annuur 1029

20
ISSN 0856 - 3861 Na. 1029 SHAABAN 1434, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu Uandikishaji unaendelea. Gharama za Hijja ni kama Hijja iliyopita mwaka jana, USD 3850. Tarehe za safari ni 19 Oktoba, 2012 na kurudi tarehe 11 Novemba, 2012. Wahi kujiandikisha sasa. Kwa mawasiliano: +255 22 2181577, +25 22 2182370, 0717 000065, 0786383820, 0754 261910 E-mail: [email protected], [email protected] Website: wwwhajjtrusttz.org Safari ya Hijja Hijiria 1433 Majina ya waliochaguliwa kujiunga na Chuo Kikuu cha MUM - Ndani Rais JK atakiwa kuuliza wanaume Kama Karume alivyomkabili Nyerere 1970 Moyo akumbusha ya Nyau, Twalla, Hanga Afichua uhuni aliofanyiwa Salum Rashid Ilikuwa wakati nyeti wa kujadili muungano UMATI wa kihistoria umekusanyika na kusoma Dua siku ya mwezi 17 Ramadhani kuiombea salama Zanzibar Serikali yakiri kukoroga sensa Yamtukanisha Mufti Zanzibar, Masheikh Hakuna aliyetoa hoja ya Qur’an, Hadithi Zanzibar wasoma Dua siku ya Badri Na Mwandishi Wetu na kuwashitaki kwa Allah wanaokula njama kuididimiza nchi hiyo. Dua hiyo iliyofanyika Masjid Shurba, Kidongo Chekundu, Inaendelea Uk. 2 Mawakala mfumokristo Arusha atumia Alshabab Katika jitihada za kunusuru sensa Afitini Waislam kwa Usalama Taifa MZEE Hassan Nassoro Moyo UMATI wa Wazanzibari wakiwa katika dua maalum Kidongo Chekundu Zanzibar mwezi 17 Ramadhan.

Upload: annurtanzania

Post on 27-Oct-2014

3.416 views

Category:

Documents


2 download

DESCRIPTION

Mawakala mfumokristoArusha atumia AlshababKatika jitihada za kunusuru sensaAfitini Waislam kwa Usalama Taifa

TRANSCRIPT

Page 1: ANNUUR 1029

ISSN 0856 - 3861 Na. 1029 SHAABAN 1434, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya WaislamuUandikishaji unaendelea. Gharama za Hijja ni kama Hijja iliyopita mwaka jana, USD 3850. Tarehe za safari ni 19 Oktoba, 2012 na kurudi tarehe 11 Novemba, 2012. Wahi kujiandikisha sasa.

Kwa mawasiliano:+255 22 2181577, +25 22 2182370, 0717 000065, 0786383820, 0754 261910E-mail: [email protected], [email protected]: wwwhajjtrusttz.org

Safari ya Hijja Hijiria 1433

Majina ya waliochaguliwa kujiunga na Chuo Kikuu cha MUM - Ndani

Rais JK atakiwa kuuliza wanaume

Kama Karume alivyomkabili Nyerere 1970Moyo akumbusha ya Nyau, Twalla, HangaAfichua uhuni aliofanyiwa Salum RashidIlikuwa wakati nyeti wa kujadili muungano

U M AT I w a k i h i s t o r i a umekusanyika na kusoma Dua siku ya mwezi 17 Ramadhani kuiombea salama Zanzibar

Serikali yakiri kukoroga sensaYamtukanisha Mufti Zanzibar, MasheikhHakuna aliyetoa hoja ya Qur’an, Hadithi Zanzibar wasoma

Dua siku ya BadriNa Mwandishi Wetu na kuwashitaki kwa Allah

wanaokula njama kuididimiza nchi hiyo.

Dua hiyo iliyofanyika Masjid Shurba, Kidongo Chekundu,

Inaendelea Uk. 2

Mawakala mfumokristo Arusha atumia Alshabab

Katika jitihada za kunusuru sensaAfitini Waislam kwa Usalama Taifa

MZEE Hassan Nassoro Moyo

UMATI wa Wazanzibari wakiwa katika dua maalum Kidongo Chekundu Zanzibar mwezi 17 Ramadhan.

Page 2: ANNUUR 1029

2 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0652 849227, 0713 110148, DSM. www.ipctz.org E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

MAONI YETU

Tahariri/Habari

Zanzibar wasoma Dua siku ya BadriInatoka Uk. 1ilihusisha uchinjaji wa ng’ombe na mbuzi kadhaa pamoja na kuku kama sadaka kwa yatima na wenye shida ibada ambayo ni kubwa katika kusindikiza dua.

Kufanyika Dua hiyo siku iliyo munasibu na siku ya Vita vya Badri ambapo Waislamu wachache wenye silaha duni walipambana na jeshi kubwa la makafiri lenye zana madhubuti kwa vita, imetajwa kuwa ishara kuwa Wazanzibari sasa wapo tayari kujitoa muhanga kupigania haki zao katika muungano kama walivyojitoa muhanga wale Waislamu katika Badri.

Aidha, uamuzi wa kutoa sadaka i l iyoandamana na kumwaga damu, imetajwa pia

kuwa somo kwamba katika kupigania haki, kitisho cha kuteswa na kumwaga damu, si kikwazo kwa watu walioamua kukataa kudhulumiwa, watu ambao hawaoni mbele yao ila haki wanayoitaka.

Wachunguzi wa mambo wanasema kuwa kinachotisha ni ule ummati wa watu waliofurika katika Dua hiyo, ummati ambao haujapata kuonekana katika siku za hivi karibuni, iwe ni katika uwanja wa siasa au mikusanyiko ya kijamii na kidini.

Duru za kiusalama zinasema kuwa kinachoendelea Zanzibar ni kuwa watu wamehama kusikiliza viongozi wao katika vyama vya siasa (CCM na CUF) na hata wa serikali wanasema nini.

Badala yake wanaowasikiliza

hivi sasa ni viongozi wao wa Kiislamu.

Hali hiyo imekuja baada ya wananchi kuona kuwa Masheikh hao ndio wanaopigania haki zao katika muungano bila ya woga na kudai Zanzibar huru yenye mamlaka kamili na Dola kamili ya Zanzibar kama ilivyokuwa kabla ya muungano.

Masheikh hao wamekuwa wakisema wazi kuwa wanachotaka sio kuvunja muungano, lakini kupigania haki na hadhi ya Zanzibar katika muungano na pia kupigania heshma ya Rais wa Zanzibar ambaye hivi sasa anaonekana akielea tu katika serikali ya muungano pasi na mamlaka yoyote.

Mawakala mfumokristo Arusha atumia Alshabab BAADHI ya watu wanaotumiwa kama wakala wa mfumokristo, w a m e t a k i w a k u a c h a kijidhalilisha na wakome kuleta farka na fitna katika jamii ya Waislamu na Watanzania kwa ujumla.

Wametakiwa kusoma alama za nyakati kama wana akili timamu na kutambua kuwa huu si wakati wa kuwadanganya Waislamu kwani wana fahamu zao na wameamuka na kuondokana na bangi walilokuwa wamevutishwa na Nyerere.

Wi t o n a n a s a h a h i z o z imeto lewa na baadhi ya Masheikh jijini Arusha kufuatia barua iliyoandikwa na watu waliojiita Bakwata kwenda kwa Mkuu wa Wilaya wakiwafitinisha Waislamu wa Arusha kwa mamlaka za serikali.

“ H a t a D C ( M k u u w a Wilaya) anawaona wajinga, maadhura wasiojijua wala kujua walifanyalo, hivi nani kawaambia DC anategemea taarifa za kiusalama kutoka Bakwata, nani kawaambia wakiibuka na uzushi wa Al Shabaab serikali itawaona wa maana sana, serikali ina watu wake mpaka ndani ya Misikiti na inajua kuwa madai yao ya Al Shabaab ni uwongo mtupu bali wanataka kuitumia serikali iwahami na kuwasaidia katika masilahi yao, kama ni Al Shabaab serikali itajua mwanzo, haisubiri ukachero usio rasmi wa Masheikh, ina watu wake wanalipwa mishahara, ndio kazi yao kila saa kila dakika.”

Anasema, Sheikh mmoja na Imamu wa Msikiti mmoja jijini hapa ambaye hata hivyo hakutaka jina lake kutajwa gazetini.

Sheikh huyo akimuonyesha mwandishi nakala ya barua iliyoandikwa na watu hao wa Bakwata alisema kuwa ni jambo

Na Mwandishi Wetu la kusikitisha kuona kuwa baadhi ya viongozi wa Bakwata hawajui hata serikali inavyofanya kazi.

“Nani kawaambia serikali inategemea ukachero na fitna zao kufanya kazi, masikini hawajijui, wanajitukanisha na kuitukanisha Bakwata yote kuwa ni wasio tambua mambo na watu wa kujikomba.” Anasema.

Barua anayoizungumzia Imam huyo ni ile iliyoandikwa na BAKWATA Mtaa wa Bondeni, Kata ya Kati mnamo Julai 30, 2012 na kusainiwa na Abdallah Salim kama Mwenyekiti.

“Baada ya uongozi huo (Msikit i Mkuu wa Ijumaa Arusha) kukiuka katiba ya BAKWATA, kwa kufanya ubadhirifu mkubwa wa fedha za msikiti, msikiti kutokuwa na akaunti na badala yake fedha kuwekwa nyumbani kwa mweka hazina, uongozi huo kuleta na kuandaa vijana wenye itikadi za siasa kali kama AL SHABAAB lililopelekea kujeruhiwa viongozi wa BARAZA na waumini kadhaa …(na) wa kuwa uongozi huo uliosimamishwa uko kinyume na BAKWATA, hata wamefikia kumkashifu na kumkejel i MUFTI ukizingatia maadili yao ya kufuata

siasa kali za itikadi ya “AL SHABAAB” na kuubadilisha msikiti kuwa na kituo chao cha ANSWAR SUNNA au WAHABBI jambo ambalo siyo siri kwa yeyote

a n a y e s h u h u d i a kinachoendelea pale.”

Hayo ni madai ya Bakwata hao kwa Mkuu wa Wilaya Arusha ambaye wamemtaka achukue hatua kabla hali ya amani na usalama kuchafuka Arusha.

“Mheshimiwa (Mkuu wa Wilaya), Baraza ngazi ya mtaa sasa l imechoka kuvumilia hujuma zote hizi

zikiendelea na tuna uhakika hata vyombo vya usalama

vinaona na kusikia mengi kutoka kwa hawa jamaa na kwa kuwa Baraza liko kisheria na linazingatia umuhimu wa A M A N I N A U T U L I V U , limeamua kukukumbusha kuhusu barua ya tarehe 03/08/2011. Tunahofia kwamba wakizidi kuendelea kuwepo hapo, watazidi kujijengea imani yao ya kipuuzi ambayo ni hatari kama ile ya ndugu zao walivyofanya kule Zanzibar na kwingineko duniani. Ni mategemeo yetu kuwa utatupa ushirikiano wako, kwani watu wa dhehebu hili ni kero kwa jamii nzima ya

KITANZANIA nasi hatuna uhusiano nao. (na) Ili kuweza kuepukana na kadhia iliyopo mbele yetu kutokana na kundi hili tunaomba sasa tupewe msaada kuwaondoa kwa haraka sana katika hii mali wanayoiharibu na

kutumia visivyo.” Inamalizia barua ya Abdallah

Salim, Mwenyekiti Baraza la Mtaa la Bakwata Mtaa wa Bondeni, Kata ya Kati.

Kinachoonekana hapa ni kuwa watu hao wa Bakwata wanataka kutumia hali ya viongozi wa Waislamu kupingana na serikali juu ya suala la sensa kutaka ijioneshe kuwa ni malaika wa heri wa kusaidia serikali na serikali nayo isaidie kuwaweka madarakani katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Bondeni.

Ni vita ya kimasilahi ambayo kwa bahati mbaya watu hao wanaitumia kujenga fitna na farka miongoni mwa Waislamu.

Barua inayofanya fitna hiyo imenakiliwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Afisa Usalama wa Taifa (W)Arusha na OCD Arusha.

ZIKIWA zimesalia wiki m b i l i k u i n g i a k a t i k a zoezi la senss ya Makazi na watu inayotarajiwa kuanza Agosti 26 mwaka huu, kuna taarifa kwamba walimu 100,000 waliokuwa wameandikishwa kwa ajili ya kufanya kazi ya kuhesabu watu wameondolewa katika kazi hiyo.

Tumezoea na imekuwa ni kawaida kwamba kwa kipindi kirefu, serikali imekuwa ikiwatumia walimu mara kwa mara kama watekelezaji muhimu wa mazoezi ya kitaifa yanayohusiana na wananchi moja kwa moja.

Baadhi ya mazoezi hayo ni sensa, uandikishaji wapiga kura katika daftari la kudumu la wapiga kura, kusimamia chaguzi, michezo na halaiki za sherehe mbalimbali za kitaifa nk.

Aidha walimu na wakati mwingine wanafunzi wao wamekuwa ndio tegemeo la serikali katika kunogesha s h e r e h e a u h a f l a a m a maadhimisho mbalimbali ya kiserikali au kitaifa nchini.

Na kama itatokea shughuli hizo za kitaifa zikakosa ushiriki wa walimu na wanafunzi wao, kwa namna moja au nyingine sherehe husika itapwaya kwa kukosekana huduma ya wadau hao.

Walimu ndio wamekuwa wakiandaa kwaya zao na za wanafunzi wao kwa ajili ya kutoa ujumbe wenye maudhui iliyokusudiwa mbele ya hadhira inayohudhuria katika sherehe au maadhimisho mbalimbali. Wao ndio wahusika wakubwa katika kuawaandaa wanafunzi kwa ajili ya kutoa burudani za nyimbo, ngoma, na maigizo mbele ya wakubwa meza kuu na wananchi.

S i h ivyo t u , wa l imu wamekuwa wakitumiwa katika hafla za mbio za mwenge, kuhudumia itifaki za kiserikali n.k.

Walimu hao hao ndio wanaotegemewa kutekeleza zoezi la sensa mwaka huu. Lakini sasa tunaambiwa takriban 100,000 wameondolewa katika dakika hizi za mwisho.

Bila shaka hatua hiyo i m e c h u k u l i w a k a m a kuwakomoa au kuwashikisha adabu kufuatia kitendo chao cha kugoma kwenda kazini

Msizidi kuwakera walimuHala hala zoezi la Sensa

wakidai haki zao kwa serikali.Sisi tunaona kuwa kuwasitisha

walimu hao kushughulikia sensa, ni kama adhabu kwao kwamba, wanaochukua hatua hiyo, wanaamini kuwa walimu ni watu wa kipato haba hivyo posho za kusimamia mazoezi haya ya kitaifa, huleta ahueni kwao kimaisha. Hivyo kwa kuwazuia kutakuwa kumewakosesha posho ambayo waliitarajia na kuisubiri kwa hamu na ambayo pengine walishaipangia bajeti.

Lakin i p ia uamuzi wa kuwaondoa walimu katika zoezi ni kuwakomoa kwa mgomo wao dhidi ya serikali. Kwamba k w a k u w a w a m e i g o m e a serikali, basi hakuna haja tena ya kuwatumia katika kazi za serikali waliyoigomea.

Ni mtazamo wetu kwamba pamoja na watawala kuona kwamba wamechukua hatua za busara na kuona kama ni dawa ya wale wanaowaona kuwa ni wakorofi kwa serikali, lakini hawakutathmini ni athari ganmi itatokea katika zoezi la sensa safari hii kwa kukwaruzana na kuwaadhibu watumishi ambao ndio wamekuwa msingi wa kufanikisha utekelezaji wa mazoezi ya kitaifa nchini.

Wasiwasi wetu mkubwa ni kwamba, walimu kwa hasira hiyo hiyo ya watawala wa serikali hususan wakuu wa mikoa, nao wanaweza wakachukua hatua za kuhamasika kutupilia mbali kuhesabiwa wao na familia zao katika sensa kwa kuwa wanaweza kuona kuwa hawapotezi kitu.

Iwapo walimu 100,000 wakichukua maamuzi ya kuzira kufuatia kadhia hii, wao na familia zao, halafu wakaungwa mkono na wenzao ambao hawakuwemo katika orodha ya kuhesabu watu, ambao watakerwa na kitendo cha kuondolewa wenzao kwa hisia zile zile kwamba, wenzao wameondolewa kwakuwa wamegoma kwenda kazini sababu ikiwa ni kudai maslahi yao, sensa hii itakuwa na kasoro.

A c h i l i a m b a l i j a m i i ya Wais lamu ambao nao w a m e a z i m i a k u g o m a kuhesabiwa, nao wakiwa na madai yao kwa serikali ambayo nayo yamepuuzwa.

Page 3: ANNUUR 1029

3 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012Habari

Serikali yakiri kukoroga sensaS E R I K A L I i m e d a i w a kuwadhalilisha Masheikh na kuwatukanisha mbele ya waumini wao kutokana na kuwatumia kutoa hoja lemavu za kuhamasisha sensa kinyume na madai ya Waislamu.

Aidha, imedaiwa kuwa serikali yenyewe imekuwa ikikiri ‘ki-aina’ kwamba imekuwa ikighushi idadi ya Wakristo nchini na baada ya ‘kuzomewa’ ndio imefanya suala la idadi ya watu kwa mujibu wa dini zao kuwa jambo nyeti kwa sababu kuna agenda ya kuwahujumu Waislamu kama ambavyo imefichuliwa katika nyaraka na vitabu mbalimbali.

“Hakuna Muislamu aliyetoa hoja kuwa sensa ni haramu, hakuna Sheikh aliyetoa Hadithi ya Mtume (s.a.w) akidai kuwa inapinga sensa, sasa kuwatumia Masheikh kudai kuwa hakuna Aya wala Hadithi inayopinga sensa, kwanza ni kupotosha ukweli, lakini baya zaidi ni kuwatukanisha na kuwadhalilisha Masheikh mbele ya waumini wao kwa sababu wataonekana wazi kusema maneno ambayo si yao.”

Amesema hayo mwananchi mmoja akisema kuwa ingekuwa jambo jepesi kwa serikali kujenga hoja au kuwatumia Masheikh hao kujibu hoja zinazosemwa wazi na wapingao kushiriki sensa kuliko kuja na mambo ya kuzua.

A m e y a s e m a h a y o kufuatia taarifa iliyotolewa juzi ikiwanukuu Masheikh mbalimbali wa Zanzibar akiwemo Mufti wa Zanzibar Sheikh Omar Ka’bi na Kadhi Mkuu pamoja na Sheikh Soraga wakihamasisha Waislamu kushiriki sensa.

“Mufti Zanzibar anasema Waislamu washiriki sensa kwa sababu hakuna Aya wala Hadithi inayopinga sensa, kwa hiyo wawapuuze wanaowakataza kuhesabiwa, Muislamu gani au Sheikh gani alimsikia akisema sensa ni haramu?”

Alisema mwananchi huyo aliyejitambulisha kwa jina moja la Mzee Shafi akiongea na mwandishi wa habari hizi jana.

“Kwa jinsi nilivyomtizama Mufti wa Zanzibar akiongea katika taarifa ya habari ITV Jumatano saa 2 usiku, unaona kabisa kwamba huyu katumwa kuyasema hayo, maana anasema mwenyewe anababaika, serikali i tawadhal i l isha Masheikh wetu mpaka lini? Kama ni kuwatumia kwa nini isiwatumie kistaarabu? Kwa nini isiwape zile hoja wanazotoa viongozi wa Waislamu ndio ikawaomba wasaidie kuzijibu?.” Alisema Shafi na kuhoji.

“ Wa i s l a m u w a n a s e m a kuwa kumekuwa kukitolewa takwimu zenye kuonesha idadi ya Waislamu na Wakristo huku baadhi ya taasisi zinazofanya hivyo zikiwa ni za serikali, wakati hakuna sensa iliyofanyika

Na Mwandishi Wetu hivi karibuni iliyotoa takwimu hizo.”

Anasema Mzee Shafi na kuongeza kuwa “wanachohoji Waislamu, takwimu hizo zimetoka wapi? Na kusema kuwa kama serikali inaona takwimu hizo ni muhimu, basi sasa ni wakati muafaka kuzipata katika njia hii ya sensa au vinginevyo ipige marufuku takwimu hizo na kutoa onyo kwa wanaozisambaza.”

“Kwa hiyo, suala hapa ni ama serikali iingize kipengele cha dini ili jambo hili lifahamike wazi kuliko hizi data za kinyemela au itangaze hadharani kupiga marufuku data zilizopo na kuonya zisitolewe tena mpaka serikali yenyewe itakapoona mantiki ya kuhesabu watu kwa dini zao katika sensa zijazo.”

Akamalizia Mzee Shafi aliyeji tambulisha kuwa ni mwananchi tu wa kawaida, sio mwanasiasa wala Sheikh, a k i s e m a k u w a “ a n g a l a u serikali ingewatendea haki na kuwaheshimu Masheikh wa Bakwata na Mufti wa Zanzibar kwa kuwapa hoja hizi za Waislamu na ndio ikawaomba kuzitolea majibu na ufafanuzi kama yenyewe imeshindwa.”

Kinyume na hivyo anasema, ni kuwatukanisha Masheikh hao kwa kuwafanya kusema mambo ambayo hayapo na hivyo kuonekana kama vipaza sauti vya serikali jambo ambalo linawavunjia heshma Masheikh hao mbele ya jamii na kuwafanya “wasiaminike na hata serikali itakapotaka kuwatumia tena haitasaidia maana inatumia watu ambao hawasikilizwi na kutiiwa.”

Kauli kama hiyo ya Mufti wa Zanzibar imewahi pia kutolewa na baadhi ya Masheikh wa Bakwata pamoja na jopo la Masheikh ambao mmoja wa viongozi wake ni Sheikh Khamisi Mataka.

Kwa upande mwingine imedaiwa kuwa kitendo cha Idara ya Takwimu nchini kusema kuwa sensa yenye takwimu ya Watanzania kwa mujibu wa dini zao ni ile ya mwaka 1957 na kwamba baada ya hapo hakuna sensa nyingine iliyohoji dini, ni sawa na serikali kukiri kuwa ilighushi matokeo ya sensa ya mwaka 1967.

Katika sensa hiyo kipengele cha dini kilikuwepo, lakini data hizo hivi sasa zikitafutwa hazipatikani na serikali yenyewe haitaki kabisa kuzungumzia sensa hiyo baada ya kushindwa kujibu hoja kuwa ilipataje idadi ya Wakristo kuwa wengi zaidi ya Waislamu.

“Hapa kuna kutokuaminiana, Waislamu wanaituhumu serikali kwamba inawahujumu mpaka kwenye sensa kwa hiyo suala hapa halitakuwa tu kuweka kipengele cha dini, bali na kukubaliana taratibu zenyewe katika hatua zote ili kuhakikisha kuwa hakuna uchakachuaji wa matokeo.”

Anasema Ustadh Ponda alipokuwa katika moja ya makongamano ya kuhamasisha Waislamu kushiriki kutoa maoni ya katiba.

Baadhi ya viongozi wa Kiislamu wamekuwa wakisema kuwa wanahisi kuna ajenda ya kutengeneza takwimu za kuonesha Waislamu ni kidogo Tanzania na hatimaye kutumia hizo takwimu kuwanyima haki mbalimbali, kama za elimu na nafasi za kazi katika serikali na taasisi za umma.

Hata hivyo, hali halisi inaonesha kuwa hata hiyo inayodaiwa kuwa ndiyo idadi ya Waislamu i n a y o g h u s h i w a k i l a l e o , haiwakilishi Waislamu katika fursa za elimu, ajira na nafasi za madaraka kiserikali nchini.

Katika maeneo mbalimbali wapo chini ya asilimia 20 mpaka 10 au kutokuwepo kabisa. Sifuri.

Kwa hiyo kuwepo kwa kipengele cha dini katika sensa hata kama kitaonesha kuwa Waislamu ni wengi au wapo sawa kwa sawa na Wakristo, sio kitakachoondoa wanachodai Waislamu hivi sasa kuwa ni ubaguzi katika elimu, ajira na nafasi za madaraka serikalini.

Kitakachosaidia ni kujitambua, kujielewa, kukataa kupunjwa na kuthubutu kuhoji bila ya hofu na kuzomea kama alivyoonyesha mfano Mzee Edwin Mtei.

L a k i n i k a m a m t i z a m o utakuwa huu huu finyu na potofu kama ule wa Mufti wa

Bakwata wa kusimama upande wa serikali na kumshutumu Mzee Mtei, Waislamu wataendelea kubamizwa kwa miaka mingi ijayo.

Alichosema Mtei ni kuwa japo tunadai kuwa serikali haina dini na hachaguliwi mtu kwa sifa ya dini yake, lakini imani ya mtu ina mchango mkubwa katika mtizamo na maamuzi yake katika utendaji wa kila siku.

Kwa mtizamo huo, wakikaa kwa mfano Wakristo watupu katika Baraza la Mitihani, huwezi kuondoa ubinadamu wao na Ukristo wao wakapendelea watoto wa Kikristo.

Na ndio maana wanapokaa peke yao chini ya Mwenyekiti Padiri katika kuteuwa wanafunzi wa kwenda ama kidato cha kwanza au cha tano, hukata watoto wa Kiislamu na kuweka akina Jackson wengi.

Hili lina ushahidi si jambo la kuzua na ndio maana Waislamu wamewasilisha waraka maalum serikalini wakipinga dhulma kama hizi na kutaka wahusika wachukuliwe hatua ikiwa ni pamoja na Katibu Mtendaji Baraza la Mitihani Dr. Joyce Ndalichako aliyechakachua matokeo ya vijana wa Kiislamu.

Ndalichako ambaye ameajiri Mchungaji kusimamia masilahi ya vijana wa Kikristo katika Baraza la Mit ihani lakini

amekataa kuajiri Mratibu wa Somo la Maarifa ya Uislamu na Lugha ya Kiarabu.

Utafiti usio rasmi uliofanywa na baadhi ya taasisi za Kiislamu unaonesha kuwa walimu katika Shule za Kata katika mkoa wa Dar es Salaam na Pwani katika maeneo yenye Waislamu wengi, wamekuwa kama wapo katika mgomo au waliopewa maelekezo maalum. Hawafundishi wala kujali hatma ya wanafunzi wao kimasomo na maadili.

Utafiti huo unaonyesha kuwa hata akija mwalimu mgeni mwenye mtizamo tofauti na akajitahidi kusaidia watoto, hufanyiwa kejeli na kila aina ya vitimvi kukatishwa tamaa.

Wa n a d a i , u t a f i t i w a o unaonyesha kuwa wengi wa walimu hao ‘walio katika mgomo baridi’ wa kusomesha katika Shule za Kata ni Wakristo.

Na ndio maana wanasema kuwa hata kama kipengele cha dini kitaingizwa katika dodoso la sensa, maadhali wahesabuji kwa asilimia 80 watakuwa walimu ambao ni Wakristo, takwimu zao hazitakuwa za kuaminika.

Watachakachua kwa hiyo lazima uandaliwe utaratibu mpya zaidi ya ule wa kuwa na mawakala katika uchaguzi ambapo pamoja na wakala mtu anakosa kuona hata kura yake aliyopiga mwenyewe.

Rais JK atakiwa kuuliza wanaume MZEE Hassan Nassoro Moyo amemtengenezea njia ya kupita Rais Jakaya Mrisho Kikwete juu ya hatma ya muungano.

“ Aw a u l i z e ‘ Wa n a u m e ’ wanataka nini kama Mzee Karume alivyomwambia Nyerere mwaka 1970.”

Hayo ni maoni ya baadhi ya wananchi waliosikiliza maelezo ya Mzee Hassan Nassoro Moyo wiki iliyopita.

Katika maelezo yake Mzee Moyo alisema kuwa mwaka 1970 Mzee Karume akiongozana na wajumbe wa Baraza la Mapinduzi walii twa Ikulu Dar es Salaam ambapo Mzee Karume aliwasilisha mambo manne waliyokuwa wakitaka Wazanzibari.

Mambo hayo ni Zanzibar kuwa na Sarafu yake, Jeshi lake la Polisi, Rais wa Zanzibar kuwa na mamlaka ya kuulizwa inapotaka kutangazwa hali ya hatari. Kwa maana kuwa Mamlaka ya Uamiri Jeshi Mkuu isibakie pekee kwa Rais wa Tanzania.

Na la nne likiwa ni kuwa na uwezo na uamuzi juu ya mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa.

Kwamba katika masuala ya kuingia mikataba na mashirikiano na nchi nyingine, Zanzibar isingoje ruhusa ya Bara kama ilivyo hivi sasa.

Mzee Moyo anasema kuwa, baada ya Mzee Aboud Jumbe kuwasilisha madai na msimamo huo wa Wazanzibari, Nyerere alimuuliza Karume, je huo ndio msimamo wa Wazanzibari?

Karume akamjibu: “Waulize wanaume hao.” Na alipouliza, Wajumbe wote wa Baraza la M a p i n d u z i w a l i o k u w e p o wakasema ndio.

Na Mwandishi Wetu Ni kwa maelezo hayo, baadhi ya wananchi wanasema kuwa mjadala wa hali na mfumo wa muungano utakuwa mwepesi kama viongozi wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar watamwambia Rais Kikwete “awaulize wanaume” wanataka mfumo gani.

Ni kwa muktadha huo, Mzee Moyo anasema kuwa haya wanayodai vijana, hawakuanza wao bali kama ni fujo walianza wazee wao wakiongozwa na Mzee Karume ambaye mwaka 1970 a l iwarudisha vi jana wa Kizanzibari waliokuwa wakipelekwa vitani Msumbiji.

Mwaka huo, bila kumwambia Karume, Rais Julius Kambarage Nyerere alitoa amri wachukuliwe vijana wa Kizanzibari kwenda vitani Msumbiji.

Mzee Moyo anasema, meli i l iyowachukua vi jana hao ilipofika Chumbe, Mzee Karume akaamuru warudi.

Anasema Nyerere alipouliza k u l i k o n i , M z e e K a r u m e alimrushia maswali ambayo hakuweza kuyatolea majibu. Akaomba radhi.

Ufupi wa maneno anasema Moyo kuwa Mzee Karume alimwambia Nyerere kuwa Rais wa Zanzibar ndiye dhamana ya vijana wa Wazanzibari na lolote litakalotokea huko vitani ndiye atakayeulizwa na wazazi wao.

Kwa hiyo hawezi kuruhusu vijana hao kwenda vitani bila yeye kujua au kuridhia tena wakati ni Makamo wa Rais.

Ilikuwa baada ya mkasa huo, anasema Mzee Moyo kuwa ndio serikali ya Zanzibar ilitaka kuwa

na sarafu yake, Polisi na kuwa na maamuzi katika kupeleka jeshi vitani, halikadhalika mambo ya nje.

Kwa hiyo, anasema kama ni fujo wameanza wazee, vijana hivi sasa wanaendeleza tu na akawataka viongozi wa serikali kuwa wakweli na kuacha woga.

Amesema, hivi sasa Rais wa Zanzibar hana mamlaka yoyote katika siasa na mahusiano ya kimataifa baada ya suala la Ushirikiano wa Kimataifa kufanywa ni la muungano.

“Mfano ushir ikiano wa kimataifa, halikuwa ni jambo la Muungano kat ika hapa wakaliongeza la Ushirikiano wa kimataiafa, hilo limeingia kinyemela tu, kwa sababu hiyo hata Rais wetu akienda Nairobi hapo hawezi kutia hata saini kununua unga wa ngano, hawezi mpaka ruhusa ipatikane Bara.”

Akasema Mzee Moyo na kuongeza kuwa hata hili suala la kujadili Katiba hivi sasa limekuja kinyumenyume.

Akataka jambo la mwanzo lifanywe mwanzo kwanza, kwamba watu wajadili kwanza m u u n g a n o w a k u b a l i a n e unatakiwa uwe wa namna gani na ndio huo uwekewe vipengele katika katiba.

“ K a t i b a u n a m t e n g e z e a nani? Madogori? Tuzungumze muungano kwanza.”

Amesema Mzee Moyo na kusisitiza kuwa yeye anataka muungano wa kimkataba.

(Soma maelezo kamili ya Mzee Moyo akiongea na waandishi wa habari Jumatano wiki iliyopita Uk. 10)

Page 4: ANNUUR 1029

4 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012Habari

SIKU ya Ijumaa tarehe 3 Agost Sheikh Mohamed Idd aliulizwa maswali kuhusu kadhi wa BAKWATA na yeye akajibu maswali hayo kwa maudhui yenye kichwa cha habari:

“Kumpokea Kadhi ni nusu shari na kumkataa ni shari kamili.”

Chini ya kichwa cha habari hiki kuna maoni mengi kuhusu kadhi huyu lakini kwa bahati mbaya, yote yalikua ni ya kukurupuka tu. Bali hata hicho kichwa cha habari chenyewe ni cha kukurupuka tu kwa sababu katika Uislamu hakuna lugha hiyo. Kwamba kitu kimoja hicho hicho kukikubali ni dhambi ndogo na kukikataa ni dhambi kubwa. Istilahi ya aina hii Sheikh Mohamed Idd kaipata wapi? Hata huko TAMTA alikosoma istilahi hii haiko.

Suala hili liko wazi kuwa huu ni munkar na ni wajibu juu ya Waislamu kuupinga na kuuondoa kwa nguvu zote.

Serikali ilitoa ahadi nyingi (kupi t ia Wazir i Mkuu)

Kumkataa Kadhi huyu wa Bakwata ni wajibu

kwamba Mahakama ya Kadhi itarejeshwa kwa utaratibu mzur i ambao u t aweza kuwaridhisha Watanzania na mchakato wake bado ulikua unaendelea. Mara Mufti wa Bakwata anakurupuka na makadhi wake ni vipi?

Hivi Sheikh Mohamed Idd hili halioni kuwa ni munkar na ni khiyana kubwa ambayo Mufti Simba kawafanyia Waislamu?

Kukurupuka huku ni dalili kwamba Mufti mwenyewe ni dhaifu na kwa sababu ya udhaifu wake, watu wenye tamaa ya ulimwengu wanapata nafasi ya kumtumia.

Hatua hii ya Mufti wa B a k w a t a k u k u r u p u k a haikua ni ya bahati mbaya kama Sheikh Mohamed Idd anavyodhani, ilikua na malengo maalumu na baadhi yake ni haya yafuatayo:

Ni kutaka kutetea ushabiki kwa lengo la kuendelea kuwagawa Waislamu kwa matakwa ya kanisa.

Pili, Mufti wa Bakwata anafanya hivyo ili kuwahi kulinda nafasi yake mapema.

Kwa sababu Mufti alikua a n a j u a k w a m b a w a l e mashekh wa taasisi nyengine ni wanazuoni wenye elimu ya juu kuliko yeye, kama ukadhi utapatikana katika mchakato ule, yeye Mufti wa Bakwata ataambulia sifuri. Hali kadhalika Sheikh Alhadi Musa hilo alikua analijua.

Tatu, hili ndilo la umuhimu zaidi na ndilo linalobainisha faida kubwa waliyoipata Maaskofu. Ni wazi kwamba Maaskofu hawaridhiki sisi Waislamu tuwe na uhuru wa kuabudu hapa nchini, na katika huo uhuru wa kuabudu ni kuwa na Mahakama ya Kadhi. Wanafurahi Mufti akiteuwa makadhi kwa sababu wana hakika kwamba atateua watu dhaifu (wachovu) ili Mahakama ya Kadhi nayo iwe dhaifu. Na hiyo ndiyo sera ya BAKWATA tangu siku Mwalimu Nyerere a l ipo ianz isha . Sera ya kuudhoofisha Uislamu kwa kuwateulia viongozi dhaifu.

Hebu Sheikh Mohammed Idd fikiria wewe mwenyewe kama hiki si kichekesho.

Unateuwaje Kadhi kabla hujaunda Mahkama yenyewe? Nini hadhi ya Kadhi wa Bakwata katika mfumo wa Sheria nchini hivi sasa? Sheria gani ya nchi imewekwa kumtambua Kadhi huyo, kazi zake na mamlaka yake? Kipi kimezidi au kupungua katika

mfumo wa Mahkama nchini kabla na baada ya Mufti wa Bakwata kutaja Kadhi? Mbona tunakuwa wapofu na wachovu wa kujua mambo kiasi hiki?

Imeandikwa na : Saidi

Kesi Mbwimbwi

SHEIKH Alhad Mussa.

UNUNIO TEACHERS' COLLEGEMafunzo ya Ualimu 2012 – 2013

Usajili Na: CU- 112Stashada ( DIPLOMA) awe amemaliza kidato cha Sita na kupata

Principle - ( E) 1 na Subsidary - ( S) .1Grade iii A ( Cheti) Sifa za muombajiAwe amemaliza kidato cha nne na awe amepata Alama zisizozidi

Div iv 27- aliyerudia ( Resiting) Awe na C -4 WANANDOA KWA NGAZI ZOTE WANAKUBALIWA.Chuo ni cha Bweni kwa waschana na Wavulana huduma zetu zote

ni za Kiwango cha Juu.Ada zetu ni nafuu sana kuliko popote. Laki Tisa tu kwa kila kitu.Wahi sasa nafasi ni chache.Fomu zinapatikana kwa mawakala wetu mikoani.Kwa mawasiliano ya moja kwa moja ya kujiunga na Chuo:-Mkuu wa Chuo , 0777 008 507/0713 022 178. Msajili/Mwadili, 0715 822 332/0756 822 332/0784 822 332.Mtaalamu, 0654 083 940/0688 910 548.Nafasi za kuhamia kwa Kunduchi F5 tu zipo,Simu-0713 465

437. Na Ununio F1 na F3 Tu-0717 008 860

RAMADHANI KAREEM

TANGAZO LA ITIKAF TAWHEED DEVELOPMENT NETWORK

TAASISI INAYOSHUGHULIKA NA KUSAFIRISHA MAHUJAJI.

I N A WAT A N G A Z I A WA I S L A M U WOTE WAKE KWA WAUME ITIKAF ITAKAYOFANYIKA INSHAALAH;

MAHALI - MASJID NNUR SINZA

SIKU YA - JUMAMOSI KUAMKIA JUMAPILI

TAREHE - 11/8/2012 KUAMKIA 12/8/2012

MUDA - KUANZIA BAADA YA SWALAT ISHAI

MADA - ZITATOLEWA NA MASHEKH MAHIRI

MUHARAMI JUMA DOGA/ TWAHA BANE

AMIRI KUNDECHA/ AMIRI HOFU/ YUSUF

MACHELENGA.

WABILLAH TAWFIQ

Page 5: ANNUUR 1029

5 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012Tangazo

B.BUSINESS STUDIES 1 ABDULLAHI SULEIMAN MTONI M2 ABDULRAHMAN OMAR KABELWA M3 ADIA JUMA KAWAMBWA F4 AHMED NASSOR SENKONDO M5 AISHA ATHUMANI RAMADHANI F6 ALLY MSUNDA ALLY M7 AMASHA ABDALLA M8 ATHUMANI SWAIBU DAUDA M9 AZIZA ATHUMANI SHIMBO F

10 AZIZI SAIDI GOMBERA M11 FADHIL JUMA KASSIM M12 FATUMA ABASI EL-SHIRAZY F13 HADIJA SALUM MSAFIRI F14 HAMISI HASHIMU KADIBA M15 HAMISI MAHAMOUD NANNIMUKA M16 HASSANI NGOMA RAMADHANI M17 ISSA HEMEDI HAMISI M18 JAMAL AHMED SAAD M19 JUMA A HUSSEIN M20 JUMANNE MWOMBEKI MKANGWA M21 KAUNDIME OTHMAN JUMA F22 KHALID SAID MAMBULI M23 KHATIB KHAMIS ALI M24 MJAKA ALI KOMBO M25 MOHAMED HAMAD MKULE M26 MOHAMED SWEDI M27 MSELEM ALLY SEIF M28 MWAFATIMA MOHAMED MWINYIGOHA F29 MWAJUMA FARDE ZUBERI F30 MWANAISHA ABDI ABU F31 NABEEL MUSSA MARUA M32 NG’UNGU HUSSEIN HHANGALI M33 OMARI HAMISI OMARI M34 OMARY IBRAHIM OMARY M35 RAJABU NUHU MKWIZU M36 RAMADHANI MOHAMED M’BANDE M37 REHEMA RAJAB KINANDE F38 ROBERT CHARLES MBONDE M39 RUHWANYA MRISHO RAMADHANI M40 SAID HASSAN KAPERA M41 SAID KHAMIS MAGANGA M42 SALEHE UWESO SALEHE M43 SALUM MUSTAPHA MBEGA M44 SAUDA ADAM JAMES F45 STALIN JAPHET KIHUNGE M46 STUMAI ABDALLAH HUMBARO F47 YAHAYA MUSTAFA RAMADHANI M48 YASINI JUMANNE MAULID M49 ZAITUNI ABDALLAH F50 ZAITUNI MUSSA MLANGI F51 ZULFA PONGWA F BSC WITH EDUCATION 1 ABUBAKARI MJENGA MUSTAPHA M2 ABUBAKARI RAMADHANI NDWATA M3 ABUBAKARY SADIKI KANYOTA M4 ADINANI MAHAMUDU MAWAZO M5 AISHA RASHID ABUBAKAR F6 ALHAMDU HAJI M7 ALLY BAKARI M8 ALLY MUSSA BENDERA M9 ALLY MVOI ALLY M

10 AMAN HUSSEIN MKWANGA M11 AMANI SELEMANI AMANI M12 AMRI ISSA RULAMYE M13 ASESO HAMISI M14 ASHURA MUSSA UHAKO F15 AWAMI UWESU FUMU M16 AWESO MOMBA HAMISI M17 AZIA ADAM ABBA F18 AZIZA SULEIMAN MOHAMED F19 BAKARI RAMADHANI BARUTI M20 BASHIRU ZUBERI SHEKIYAO M21 BUMANGA SHIGAGAGTA ITENDELEBANYA M22 ELEVAN HAJI MALIKA M23 FADHILI KADESHA M24 FATMA JUMA MBUKUZI F25 FATMA MO’HD KHAMIS F26 HAJI SUBEYA M27 HAJI SUBEYA M28 HALIMA ABDALLAH MWANGA F29 HALIMA HAMISI SALUM F30 HALIMA JUMA LUVASILE F31 HAMISI BAKARI NDIDJO M32 HAMISI RAJABU CHAMBULI M33 HAMZA KONDO KUNGWA M34 HANIFA RAJABU JUMA F35 HARID MAGAMBO RAMADHANI M36 HARUNA IDRISA MNG’ARE M37 HASHIM KASSIM ATHUMANI M38 HASHIM RASHID MWEMISIMA M39 HASSAN ISSA MPANDA M40 HENRY THABIT NGELLAH M41 HUSNA YUSUPH TELELA F42 HUSSEIN SAMIJI ALLY M43 IBRAHIM HAMISI MAATU M44 IDD JUMA M45 IDD SALUM ABDILLAH M46 IDD SALUM ABDILLAHI M47 JAFARI ABDALLAH KAWALE M48 JAFARI FARAJI MMILE M49 JAFARI OMARI NGURANGWA M50 JAMAL MNDOLWA SHEMDOE M51 JAMES FRANSIS M52 JAMILA HASSAN MABOTE F53 JAMILA JIRANI HAKIKA F54 JAMILA JUMA JORI F55 JUMA BAKARI MTOPWA M56 JUMA NGWESHANI MONERO M57 JUMA RAMADHANI LABIA M58 JUMA YASINI BUTOKI M59 JUMAA SALIM ABDALLAH M60 KASIM JUMA RAMADHAN M61 KASSIM ISSA LICHANDA M62 KHALID HAMIS KONDO M63 KHALID RAJABU M64 KIKWESHA JONAS MNYINDO M65 KINDAMBA MBWANA KINDOMITE M66 MAJALIWA SAIDI M67 MARIAM SALUM MANNA F68 MARIETHA ELIAS MWENDI F69 MARYAM ALLY SALIM F70 MATOVU YAI ZIADI M71 MGENI SAIDI M72 MOHAMED JUMA RWECHAKO M73 MOHAMED NASSORO FARAJI M74 MOHAMED SALEHE MAVURA M75 MSAFIRI SELEMANI JUMA M76 MUHSIM RUSHAKA M

77 MUSA MFAUME SAANANE M78 MUSSA AYOUB M79 MUSSA TWALIBU RAJABU M80 MWAJABU IBRAHIM F81 MWAJUMA OMARI LUNGO F82 MWAJUMA SHABANI KUNAMBI F83 MWAKA HAJI FAKI F84 MZEE SAIDI M85 NASIBU ALLY M86 NASIBU SELEMANI LUHULO M87 NASRA ABDALLA MAKOLELA F88 NASRA SHAMBA SHOMARI F89 NUNI KALUGIRA ABDUNURU M90 OMAR MOH’D ABDALLA M91 OMARI SAID OMARI M92 OMARY ISSA IDDI M93 PATRISIA FORTUNATUS MWENAMBURO F94 RAJABU ALLY MWINSHEHE M95 RAJABU MABRUKI BAKARI M96 RAMADHANI TAMIMU JUMBE M97 RAMADHANI A RAMADHANI M98 RAMADHANI OMAYA NDUNGURU M99 RAMADHANI SAID MKUMBA M

100 RAMADHANI YASSIN KAYUNGILO M101 RAMADHANI ZILI RAMADHANI M102 RASHID MBALAMULA SAIDI M103 REHEMA MASHAKA RAMADHANI F104 RICHARD JUMA MKAMBALA M105 SADIKI HAJI KARATA M106 SALIM OMAR HAMAD M107 SALIMU ISSA NKWIVI M108 SALUM HAMISI CHALEMA M109 SHAABAN CHARLES TESHA M110 SHABANI MASSENGA SALUM M111 SHABANI SAID SELEMANI M112 SHAFII SWALEHE SAIDI M113 SHELA JUMA SALUM M114 SHINUNA JUMA MATSAWILLY F115 SHOMVI SHABANI M116 SUBIRA JUMA CHIZA F117 SUDI YUSUPH M118 SUENA TEMEKE KIKANAN F119 SULEIMAN MAHAMUDU MUHAMED M120 SWAUMU FADHILI SAALUM F121 TARIQ MOHAMED ABDULRAHMAN M122 TAUSI SALEHE DIWANI F123 TERESIA MCHOME BASHIRI F124 UMMY SHABAN KAUNGA F125 UWESU MOHAMED SUWED M126 YUSUPH AMANI MKETO M127 ZAINABU OMARI MAULID F128 ZAINABU RAMADHANI CHOTILE F129 ZAKARIA MOHAMED MSENGA M130 ZEPHANIA MTOI JOHN M131 ZETI SHABANI MWISHEHE F132 ZUBEDA BAHARI ABDALLAH F133 ZUHURA IBRAHIM KAKOOLE F

B.A EDUCATION 1 ABASI SALUM DIGALU M2 ABASS KHAMIS MSELLEM M3 ABBASI HABIBU KABWE M4 ABBASI SHAIBU M

MUSLIM UNIVERSITY OF MOROGOROP.O. BOX 1031 Morogoro, Tanzania Tel: +255 23 2600256 Fax: +255 23 2600286

E-mail address:[email protected] Website: www.mum.ac.tz

ADMISSIONS FOR THE 2012/2013 ACADEMIC YEARThe following candidates have been aproved by TCU to join various undergraduate degree programmes at the Muslim University of Morogoro for the Academic year 2012/2013. The University will open on 1st October, 2012. The selected candidates should come with their original certificates for registration. The registration fees is Tshs 30,000/=

Page 6: ANNUUR 1029

6 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012Tangazo

5 ABDALLA ALI ABDALLA M6 ABDALLA MOH’D ALI M7 ABDALLAH AHMADI M8 ABDALLAH ALI M9 ABDALLAH ALI BAO M

10 ABDALLAH ALI SAIDI M11 ABDALLAH SALIM KANGAJAKA M12 ABDALLAH SALUM NGATAWA M13 ABDALLAH WAZIRI UNGANDO M14 ABDI SALEH JUMA M15 ABDILAH ALI USSI M16 ABDILLAH SALI LYANA M17 ABDUL KATANGA MAULID M18 ABDUL NURUDINI NAKUMNA M19 ABDUL SHABANI KAPATE M20 ABDUL SHABANI KAPATE M21 ABDUL SHAKUL M22 ABDULGHAFAR SALEH MARIJAN M23 ABDULGHAFAR SALEH MARIJAN M24 ABDUL-KARIM MOHAMED OGA M25 ABDULMALIKI JAFARY MKWAWA M26 ABDULRAHIM IDI MTALI M27 ABEID ALLY MABRUKI M28 ABEID SALUM M29 ABILAH MKUNGA M30 ABOUD HUSSEIN MUSTAFA M31 ABOUD HUSSEIN MUSTAFA M32 AB-TWAHIL AKILIMALI M33 ABUBAKAR ABDALLA SALUM M34 ABUBAKAR SAID MOH’D M35 ABUBAKAR SAID MOH’D M36 ABUBAKAR SAID MOH’D M37 ABUBAKARI RASHID ABDUL M38 ABUBAKARI RAMADHANI KIMIA M39 ABUBAKARY ABDALLAH MILANDU M40 ABUBAKARY ABDALLAH MILANDU M41 ABUBAKARY ABDULY KATUNZI M42 ABUTWALIB MKANGA MPEMBEE M43 ABUUBAKAR MOSHI RAJAB M44 ADAM ADIM PILLY M45 ADAM ADIM PILLY M46 ADAM OMARY ADAM M47 ADHRA SALUM ZAHORO F48 ADIA ABDALLAH OMARI F49 ADINA SELEMANI BAKARI F50 ADIRATH ADADI MSAFIRI F51 AFISWA AMIR NGAYANA F52 AFSA JUMA UGANGA F53 AGNES DAUDI MUGYABUSO F54 AHAMADI JUMBE ABDALLAH M55 AHMAD CHANDE M56 AHMAD RASHID MAGETE M57 AHMAD RASHID RAMADHAN M58 AHMAD SALUM CHOPOTI M59 AHMADI ABDUL M60 AHMED FADHILI RAI M61 AHMED SAID BAKAR M62 AINATH KASSIM MSUM F63 AISHA AYOUB OMARY F64 AISHA MATHIAS KISHOSHA M65 AISHA TWAHA KILUA F66 AJIRATH HUSSEIN MGANGA F67 AKAMA HAMDU HAJI F68 AKIBA MOHAMED ULEDI M69 AKIDU DAIMU PILLI M70 AKTARI SABIHI ISSA M71 ALFAN HAMISI SAIDI M72 ALFANI BAKARI ALFANI M73 ALI ABDALLA DADI M74 ALI ABDI ABDALLA M75 ALI FAKI JUMA M76 ALI MASOUD ALI M77 ALI MOH’D ISSA M

78 ALI MZURI KHAMIS M79 ALI RAMADHANI KHATIB M80 ALI RAMADHANI KHATIB M81 ALI SAID ALI M82 ALI SALIM ABEID M83 ALI SALIM HAJI M84 ALI SALUM SIYAHI M85 ALI SALUM SIYAHI M86 ALI SALUM SIYAHI M87 ALI SHARIF MOHAMED M88 ALI YUSSUF ALAWI M89 ALLY HASHIM MUSA M90 ALLY MUSTAFA DANGA M91 ALLY HAMZA SAID M92 ALLY HASSAN ISMAIL M93 ALLY HASSAN MUCHAN M94 ALLY HASSANI MTAWANGO F95 ALLY HATIBU NDITI M96 ALLY HEMEDI MWEHUTI M97 ALLY HUMUDI NDEGE M98 ALLY IDRISA MIKUNGE M99 ALLY JUMA DIGONZA M

100 ALLY MANGARA M101 ALLY MAULID MSUYA M102 ALLY MIRAJI ALLY M103 ALLY MIRAJI ALLY M104 ALLY RASHID MLOPOKAGE M105 ALLY SAID MAUYA M106 ALLY SAIDI LICHENJELE M107 ALLY SAIDI NASIBU M108 ALLY SAIDI OMARY M109 ALLY SALIMU ZAHARAN M110 ALLY SEIF KIWANGO M111 ALLY SHABANI LENGE M112 ALMASI AMIRI BAKARI M113 ALPHONCE BELAS NGAPONDA M114 ALPHONCE NESTORY MICHAEL M115 AMANA ABDALLA ALI M116 AMASHA HARIDI SIMBA M117 AMINA ALI HASSAN F118 AMINA ALI SOUD F119 AMINA ATHUMANI MCHOPA F120 AMINA HABABUU MOHAMED F121 AMINA HABABUU MOHAMED F122 AMINA HUSSEIN NGIDO F123 AMINA KHATIB NASSOR F124 AMINA MAKAME HAJI F125 AMINA MOHAMED ABDALA F126 AMINA MOHAMED YASSIN F127 AMINA PAULA GAO F128 AMINA SELEMANI HOZA F129 AMINA SHABANI HUSSEIN F130 AMINA SULEIMAN KATUGA F131 AMRANI IDDY MWAJASHO M132 ARABI MAURID RAHISI M133 ARABIA ALI HASSAN F134 ARAFA HARUNA MABARAZA F135 ARAFA IDDI MOHAMED F136 ARAFA SAIDI SELEMANI F137 ARAFAT IDDI KYEJU M138 ASHA ABDALLAH MWINYI F139 ASHA ABDUL MIDUMA F140 ASHA ALI HAMAD F141 ASHA ALI KHATIB F142 ASHA ATHUIMANI KISEMYA F143 ASHA HAMAD MANJA F144 ASHA IDD KUNKI F145 ASHA KHATIBU MAUYA F146 ASHA KOMBO JUMA F147 ASHA KOMBO JUMA F148 ASHA MOH’D ADAM F149 ASHA OMAR KOMBO F150 ASHA RAMADHANI MSONGELA F

151 ASHA SAID AMIR F152 ASHA SALUM MAURID F153 ASHA TWALIBU RAJABU F154 ASHA YAZIDU KATIMA F155 ASHIA OMARY ABDALLAH F156 ASHURA ABUBAKARI KIMARO F157 ASHURA KHATIB KHAMIS F158 ASHURA OTHMAN MUSSA F159 ASHURA SHABANI MAULID F160 ASIA IBRAHIM NGAKOPEYA F161 ASIA MAULID IBRAHIM F162 ASIA RAMADHANI MPENDU F163 ASIYA KHAMIS HAJI F164 ASMA ABDUL GOMA F165 ASNA MOHAMED LACHA F166 ASNA MOHAMED LACHA F167 ASNATH IDRISSA RAJABU F168 ASUMIN BAKARI F169 ATHUMAN AHMAD KAJIRU M170 ATHUMANI ALLY MAKAME M171 ATHUMANI ALLY MAKAME M172 ATHUMANI HAMISI ITAMBU M173 ATHUMANI ISSA MWENDA M174 ATHUMANI JUMA BAKARI M175 ATHUMANI MUSSA MSANGI M176 ATHUMANI SAIDI MIRABO M177 ATHUMANI SAIDI MIRABO M178 AWADH ATHUMANI MACHIBYA M179 AWENA SAID JUMA F180 AWENA SAID JUMA F181 AYOUB HAMISI CHILEMBU M182 AYOUB HAMISI CHILEMBU M183 AYOUB LOTH CHACHAGE M184 AYOUB MOHAMED MAGHIMBA M185 AYSHA SULEIMAN MSANGI F186 AYSHA ZAHRAN MOH’D F187 AYUBU BAKARI UGASSA M188 AZIZA AMOUR MABROUK F189 AZIZA HAKIM MOH’D F190 AZIZA MOH’D ALI F191 AZIZI ABDALLAH LIKATY M192 AZIZI ALLY MFAUME M193 AZIZI ASEDI LYANGA M194 AZIZI KIBWANA ABDALLAH M195 AZIZI KIBWANA ABDALLAH M196 AZIZI MOHAMED AZIZI M197 AZIZI ULEDI HUSSEIN M198 AZIZIZ AYUBU MDIMBE M199 BADRU MAULID MTAMBO M200 BADRU MAULID MTAMBO M201 BAHATI MAALIM ALI F202 BAHIA TANER ABUBAKAR F203 B A K A R I A B D A R A H A M A N I M204 BAKARI HAMAD SHARIF M205 BAKARI IDDI BAKARI M206 BAKARI JAFARI M207 BAKARI MOHAMED LINGAMBA M208 BAKARI RAMADHANI MUSSA M209 BAKUME ISMAIL RAJABU F210 BARAKA ABDUL JONGO F211 BASHIRU DAUDA M212 BASHIRU HASSAN DADI M213 BATULI YAHAYA NYANGE F214 BAWAZIRI ALLY MBUMA M215 BAYA BAKARI F216 BERTHA GEORGE KAPUFI F217 BILHUDA MIRAJI SHEMBOZA F218 BIMKUBWA ABDULLA MASOUD F219 BIMKUBWA KHAMIS SALIM F220 BUKURU YAHYA KIBALIZA M221 BURHANI HAMISI HUSSEIN M222 BURHANI UWESU AHMAD M223 BURHANI UWESU AHMAD M

Page 7: ANNUUR 1029

7 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012Tangazo

224 CATHERINE GODFREY KOBA F225 CHAUSIKU ALLY F226 CHIBOKO JUMA ABDALLAH M227 CHITELA MUSSA CHITELA M228 CHRISTOM SIMPLIS M229 DAROUS HAMAD SHAAME M230 DAUDI JUMA GUMBO M231 DAWA ALI HAJI F232 DAWA SHURURU MAKAME F233 DIANA MARTINI KONDO F234 DOGO SHABANI SALUM F235 DUA YUSSUF AMEIR F236 EDWARD ALBERT KAYOMBO M237 EMMANUEL DANIEL MUSSA M238 FADHILA AHMAD MKOBA F239 FADHILA IBRAHIM SAID F240 FADHILA MMANGA MTUMWA F241 FADHILI MWINYI KHAMIS M242 FADHILI SAIDI M243 FADHILI SHAHA SALUM M244 FAHARIA SAID HAMAD F245 FAIDA MANYAKALUMWA KABAJU M246 FAKI KHAMIS JUMA M247 FAKI KHAMIS JUMA M248 FAKI SULEIMAN OMAR M249 FAKI SULEIMAN OMAR M250 FARAJI OMARY NDUNGWI M251 FARAJI RASHID MSUSA M252 FARIDA ALLY ATHUMANI F253 FARIDA HASSAN F254 FARIDA HASSAN MOHAMED F255 FARIDA MAKAME KITWANA F256 FARIJALA ALLY MSAGATI F257 FARIJALA ALLY MSAGATI M258 FARSHUU KHALFAN HAFIDH F259 FATMA ABDULLA ZAHOR M260 FATMA HABIBU ALI F261 FATMA HAJI BAKARI F262 FATMA HASSAN KHATUM F263 FATMA IDRISA MAKAME M264 FATMA IDRISA MAKAME M265 FATMA ISSA MOHAMED F266 FATMA JUMA NASSOR F267 FATMA JUMA SUILEIMAN F268 FATMA JUMA SUILEIMAN F269 FATMA JUMA SUILEIMAN F270 FATMA MUSTAFA ABDALLAH F271 FATMA OMAR ZAHOR F272 FATMA OTHMAN HAJI F273 FATMA RASHID BAKAR F274 FATMA SAID SALIM F275 FATMA YUSSUF HAMAD F276 FATUMA ABDULLA KHAMIS F277 FATUMA AHMAD KONDO F278 FATUMA ALLY ABDALLA F279 FATUMA ALLY BARAZA F280 FATUMA AMRI SELEMANI F281 FATUMA CHIBWANA DIHONI F282 FATUMA HAJI JUMA F283 FATUMA HAMADI KHALFAN F284 FATUMA JUMA GOME F285 FATUMA LAI MASIMBA F286 FATUMA LAI MASIMBA F287 FATUMA MABRUK NASSOR F288 FATUMA MOHAMED SAID F289 F A T U M A R A M A D H A N I F290 FATUMA SELAMNI SAID F291 FAUDHIA YUSUPH KHAMIS F292 FEDHA KASHUSHU F293 FEDHA SUDI SAID F294 FIKIRI ATHUMANI KILUMBI F295 F U L U G E C E I S S A Y A M296 FUM HAJI ALI M

297 FURAHA KASSIM WAMBONAHENI F298 HABIBA DAFA HASSAN F299 HABIBA JUMA ABDALLA F300 HABIBA JUMA ABDALLA F301 HABIBU ABDALLAH MBENA M302 HADIA ALLY SAID F303 HADIA MACHANO JUMA F304 HADIJA AHAMDI ALLY F305 HADIJA HAMAD ABDALLAH F306 HADIJA HAMASI MZEE F307 HADIJA HOSENI SADIKI F308 HADIJA MOHAMED IDD F309 HADIJA MOHAMED MBAZI F310 HADIJA OAMRI KONDO F311 HADIJA ZAHIR MAEDA F312 HADIYA ABDALLA SALEH F313 HADIYA ABDALLA SALEH F314 HADIYA SAID ABDALLAH F315 HADIYA SALEHE YUSUFU F316 HAFIDH ALI ABBSI M317 HAFIDH SHAABAN SULEIMAN M318 HAFIDH SHAABAN SULEIMAN M319 HAFSA ABDALLA MAHMOUD F320 HAIDARI MUHIBU MOHAMED M321 HAJI ADAM KHAMIS M322 HAJI ALI ABDALLA M323 HAJI ALI ABDALLA M324 HAJI ALI ABDALLA M325 HAJI ALI BAKAR M326 HAJI ALI JUMA M327 HAJI ALLY USSI M328 HAJI KHAMIS HAJI M329 HAJI MUSTAFA SADIKI M330 HAJI NASSOR NGOMENI M331 HAJI SHASANI OMARI M332 HAJI SHASANI OMARI M333 HAJJI ALLY HAJJI M334 HALIMA ABDALLA ALI F335 HALIMA ABDALLAH F336 HALIMA ALI NASSOR F337 HALIMA ALI SALEH F338 HALIMA ALLY F339 HALIMA HEMED MPAKI M340 HALIMA RAJABU IBRAHIM F341 HALIMA SHABAN ADAM F342 HAMAD ALI HAMAD M343 HAMAD MOH’D MADAFU M344 HAMADI JUMA BAKARI M345 HAMADI KIMOLO M346 HAMADI KIMOLO M347 HAMADI KIMOLO M348 HAMDUNI JUMA MUKHANDI M349 HAMDUNI JUMA MUKHANDI M350 HAMISI ABDALLAH LIKAWAGA M351 HAMISI BAKARI HAMISI M352 HAMISI FAKI SAIDI M353 HAMISI HEMED MATESO M354 HAMISI MASANDA YAHAYA M355 HAMISI MLANDALI M356 HAMISI NURDINI MAULID M357 HAMISI RASHID MPENJA M358 HAMISI SAID MKELE M359 HAMISI SAIDI LUTAVI M360 HAMISI SAIDI MGOWO M361 HAMISI SHABANI UZIGO M362 HAMOUD SAID BANDIO M363 HAMZA OMARI ISSA M364 HANAFI KHALFAN ALI M365 H A N I F A M O H A M E D F366 HANIFA SAID IDD F367 HANIFA SAID IDD F368 HARUNA KHAMIS MSALALE M369 HARUNA RASHID KATEGILE M

370 HASHIM ISSA BWIKILA M371 HASHIM SAID MAZENGO M372 HASHIM SAID MBOTONI M373 HASINA HAMAD KHAMIS F374 HASSAN ABDALLAH RWAMBO M375 HASSAN ABDALLAH UWESU M376 HASSAN BASHIR NDOSSA M377 HASSAN HAJI MUHAMAD M378 HASSAN HUSSEIN KAPONA M379 HASSAN JUMA NUSURA M380 HASSAN JUMANNE MAFELE M381 HASSAN KOMBO HASSAN M382 HASSAN MAKAME OMAR M383 HASSAN MBWANA ALLY M384 HASSAN SAID MAKUMBURA M385 HASSAN SALUM KAPALATU M386 HASSANA SADICK LUBENGE F387 HASSANA SADICK LUBENGE F388 HASSANA SADICK LUBENGE F389 HASSANI ABDALLAH SELEMANI M390 HASSANI ISSA MNYAMILI M391 HASSANI JUMA DOU M392 HASSANI KAYOYO M393 HAWA ALI KOMBO F394 HAWA ATHUMANI NKUSA F395 HAWA HAKIMU KIBERA F396 HAWA MSHAMU STEPHANO F397 HAWA SHAABAN KOMBO F398 HELENA MACHALLA MANYANDU F399 HEMEDI BAKARI M400 HERI HASSAN KITOGO M401 HERY MAULID SELEMAN M402 HIDAYA ALI NUHU F403 HIDAYA BAKARI SAIDI F404 HIDAYA KHATIB ALI F405 HIDAYA TWAHA TASLIMA F406 HIJA SALUM ISSA M407 HIJA WILSON MUJIGABA F408 HIJRA JUMA MSUMBA F409 HILALI USSI ALI M410 HOSSEIN SHABANI KAJIA M411 HOSSEIN TUMBO SAIDI M412 HUBA KHATIBU SAID F413 HUBA RAMADHANI SHEHA F414 HUDHAIFA MSISI ABDALLAH M415 HUMUD AHMED SALIM SEIF M416 HUSINA ZINGA HAJI F417 HUSNA ALLY KATETA F418 HUSNA BASHIR KIVOJA F419 HUSNA IBRAHIM HUSSEIN F420 HUSNA MAULIDY ZUBERI F421 HUSNA SAID F422 HUSSEIN ABDALLAH MSONZO M423 HUSSEIN ALLY THABIT M424 HUSSEIN AYUBU MKWIZU M425 HUSSEIN KAYOYO M426 HUSSEIN SWARD LUGOME M427 IBRAHIM ATHUMANI DAUD M428 IBRAHIM ATHUMANI NKUMBI M429 IBRAHIM HAMAD ALI M430 IBRAHIM KOMBO YAHYA M431 IBRAHIM MOHAMED HONELLO M432 IBRAHIM SHAWEJI KHALID M433 IBRAHIM WALDI SILAYO M434 IBRAHIMA AMANI MRESA M435 IDD ABUTWAHI M436 IDD MANYOZA MOHAMED M437 IDD MOHAMED AWADH M438 IDD MOHAMED KIJAMBA M439 IDD MUSIBA WARIOBA M440 IDDI MUSSA MADONJI M441 IDDI SULEIMAN MFAUME M442 IDRIS SULEIMAN HASSA M

Page 8: ANNUUR 1029

8 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012Makala

443 IDRISA MOH’D NAHODA M444 IDRISA SADIKI RUKAMATA M445 IDRISSA ALI HASHIM M446 IDRISSA HASSAN ISSA M447 IFADAT HABIBU SEIF F448 ILIASA MADAI JAFAR F449 IL-YASA KHAMIS SAID M450 IMANI ABDUL-RAHMAN HAJI F451 IMANI ABDUL-RAHMAN HAJI F452 IMANI ABDUL-RAHMAN HAJI F453 IMANI THOMAS MAPUNDA M454 ISAYA DANIELI LUKINDO M455 ISAYA DANIELI LUKINDO M456 IS-HAKA OMAR SULEIMAN M457 ISMAIL ABDULRAHMANI MKONYI M458 ISMAIL ATHUMANI HAJI M459 ISMAIL ATHUMANI HAJI M460 ISSA ABDALLAH MWISHEHE M461 ISSA ATHUMANI M462 ISSA BAKARI M463 ISSA HAMDANI JUMA M464 ISSA HAMISI M465 ISSA HAMISI BOMBO M466 ISSA JUMA ISSA M467 ISSA MOHAMED YUSUPH M468 JAAFARY SADIKI MRISHO M469 JABIRI DAUDI MGOLI M470 JACROBA OMARY DIOFF M471 JAFARI APILA BONOMALLY M472 JAFARI JUMA NG’ONDAVI M473 JAFARI JUMANNE MOHAMMEDY M474 JAILANI AYUBU RAJABU M475 JALIA AHMAD KAONEKA F476 JAMALI HAMISI LINJEMBWA M477 JAMALI HAMISI LINJEMBWA M478 JAMALY MOHAMED KIMBUKWA M479 JAMILA THABIT KOMBO F480 JAMILA THABIT KOMBO F481 JAMILA THABIT KOMBO F482 JAPHARY ATHUMANI MSENGI M483 JAPHARY ISSACK MASHULANO M484 JAPHARY ISSACK MASHULANO M485 JAPHARY ISSACK MASHULANO M486 JAPHARY YAHAYA MWANDOBO M487 JASMIN AKWILIN MAKOY F488 JAZIRA NAJIBU F489 JINA SEIF JUMA F490 JOHA OMARI F491 JOHARI IBRAHIM M492 JOHARY OMARI MVUNGI F493 JOHN SIMON KANGA M494 JUMA ABUDU MUHIJA M495 JUMA ALLY AHAMADI M496 JUMA ALLY MATIGA M497 JUMA ALLY MOHAMED M498 JUMA ATHUMANI DOSSA M499 JUMA FAKI WAZIRI M500 JUMA HAJI JUMA M501 JUMA HAMAD ABDULLA M502 JUMA HILALI SHAABANI M503 JUMA HUSSEIN SAID M504 JUMA IDD BIZEI M505 JUMA IDDI ABEID M506 JUMA ISSA MBALAULE M507 JUMA JUMANNE NJIKU M508 JUMA KHAMIS ALI M509 JUMA KHAMIS JUMA M510 JUMA KHAMIS JUMA M511 JUMA KHAMIS JUMA M512 JUMA KHAMIS JUMA M513 JUMA KOMBO VUAI M514 JUMA MAKAME HAJI M

515 JUMA MOHAMED MADAKU M516 JUMA MOHAMED VUMBA M517 JUMA MWALIMU JUMA M518 JUMA NGONYANI M519 JUMA RAJABU MSUKA M520 JUMA RAMADHANI NTANDU M521 JUMA RASHID KUNDEMA M522 JUMA RASHIDI MTUMBA M523 JUMA SHABANI AMIR M524 JUMA SULEIMAN YUSSUF M525 JUMANNE MLAMBALAZI M526 JUMANNE HAMISI KOMBENGE M527 JUMANNE OMARY MAKALA M528 JUMANNE OMARY MAKALA M529 KABOGO BARUANI HEMEDI M530 KAHEMBA YUSUPH YANDIRO M531 KAIMU MTULIA MRISHO M532 KARAMA KHALID MOHAMED M533 KARIM MOHAMED MPUTA M534 KARIM SALUM CHINDORO M535 KARIM SELEMAN CHAMBUSO M536 KARIM ZOO SEIF M537 KASIMU ABUU KASIMU M538 KASSIM HAMAD JUMA M539 KASSIM HASSAN KASSIWA M540 KASSIM OMAR SULEIMAN M541 KASSIM OMAR SULEIMAN M542 KASSIM OMAR SULEIMAN M543 KASULA HADJI KASOGOTA M544 KATARINA PAUL MFINANGA F545 KAUSALI ABDUL F546 KAUTHAR MUHAMMAD MBARUK F547 KAUTHAR YUSUPH HANEIN F548 KAZIJA SALEH MZEE F549 KAZUMARI RICHARD NGUNGURU M550 KHADIJA ALLY SALUM F551 KHADIJA ALLY SALUM F552 KHADIJA AMIRI KIWANGO M553 KHADIJA DAUD MTOLELA F554 KHADIJA KOMBO MWINYI F555 KHADIJA MAKAME HAJI F556 KHADIJA MUSTAPHA AMIRI M557 KHADIJA NAHODA JUMA F558 KHADIJA SABIHI SELEMANI F559 KHADIJA SALUM KHAMIS F560 KHADIJA SHARIF ALI F561 KHADIJA SIMAI FAKI F562 KHALFAN KHAMIS AME M563 KHALFAN SULEIMAN JUMA M564 KHALFAN SULEIMAN JUMA M565 KHALFAN SULEIMAN JUMA M566 KHALFANI YASINI BWANGALO M567 KHALFANI YASINI BWANGALO M568 KHALID JUMA ALI M569 KHALID KHAMIS KAPERA M570 KHALID WAHID BAHORERA M571 KHAMIS ABRAHMAN KHAMIS M572 KHAMIS ABRAHMAN KHAMIS M573 KHAMIS ABRAHMAN KHAMIS M574 KHAMIS ALI OTHMAN M575 KHAMIS ALI SAID M576 KHAMIS ALI SAID M577 KHAMIS ALI SAID M578 KHAMIS ALI VUAI M579 KHAMIS FAKI MATI M580 KHAMIS GHALIB HASSAN M581 KHAMIS HAJI KHAMIS M582 KHAMIS HAJI UJUDI M583 KHAMIS HAJI UJUDI M584 KHAMIS HAMAD OMAR M585 KHAMIS JUMA ABAS M586 KHAMIS KOMBO MOH’D M

587 KHAMIS MALIK SUWED M588 KHAMIS MALIK SUWED M589 KHAMIS MALIK SUWED M590 KHAMIS MOHAMED IS-HAKA M591 KHAMIS MOHAMED IS-HAKA M592 KHAMIS MOHAMED IS-HAKA M593 KHAMIS MOHAMED MKOMANGI M594 KHAMIS OMAR ALI M595 KHATWIBU SIRAJI MAGAYANE M596 KHEIR ALI MAKAME M597 KHEIR ALI MAKAME M598 KIBABE MUHIDINI MAKAME M599 KIGUMI SAIDI KUBANGA M600 KIGUMI SAIDI KUBANGA M601 KIMANDA T MWAITA M602 KINANDA I MWAITA M603 KIROBO SELEMANI M604 KITWANA JUMA ABDALLAH M605 KOMBO ALI MTENGWA M606 KOMBO MACHANO ABDALLAH M607 KOMBO ZUBERI M608 KUDRA ISMAIL NKUMBI F609 KUJIJA JAFARI KUJIJA M610 KURUTHUMU OMARY MOHAMED F611 LAHAMDU ABDALLAH LIKENGE M612 LAHIU SALEHE SHEMWETA F613 LAILA ALI RIDH-WANI F614 LAILATI JUMA NKANYEMKA F615 LAINI MUSSA MKAMULIKA M616 LATIFA SULTAN SEI F617 LAURENT JOACHIM JOACHIM M618 LIGHTNESS AMOS NJALI F619 LUCAS PAUL M620 LULUA SALIM ALI F621 MABINA MOSHI MABINA M622 MABINA MOSHI MABINA M623 MAFUNDA HAMAD SAID M624 MAFUNDA ISSA HEMEID F625 MAFUNDA ISSA HEMEID F626 MAHAFUDHA ISSA SALEH F627 MAHMOUD ALI HAJI M628 MAHMOUD HASSAN ABDULRAHMAN M629 MAIMUNA MOHAMED KILINDO F630 MAIMUNA SHABANI F631 MAIMUNA SHABANI F632 MAISARA ATHUMANI SAID F633 MAJID SHABAN MWINGE M634 MAJIDI AMRI MNINGWANELA M635 MALABE HAMISI RUCHELA M636 MALEPO OMARY OTHUMAN M637 MALICK SHABAN M638 MANZI ALLY CHUMO M639 MAPESA W HAMZA M640 MARIA ZAHORO SULEIMAN F641 MARIAM ALLY SULEIMAN F642 MARIAM DAFFA HAMISI F643 MARIAM FADHIL ALI F644 MARIAM HASSAN KWELEZA F645 MARIAM MOHAMED ALLY F646 MARIAM MOHAMED NJUKI F647 MARIAM MOH’D RASHID F648 MARIAM MUSSA KAWAMBWA F649 MARIAM OMARI MSEDE F650 MARIAM SWALEHE NCHASI F651 MARIAMU FRUMENCE MGAYA F652 MARIAMU RASULI ABDALLA F653 MARICK SAID BYAMBWENU M654 MARIJANI AHMADI MBUYU M655 M A R I J A N I R A J A B U M656 MARIYAM ALI JUMA F657 MARIYAM MFAKI YUSSUF F658 MARYAM ALI SAID F

Page 9: ANNUUR 1029

9 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012Makala

659 MARYAM JUMA ABDALLA F660 MARYAM JUMA ABDALLA F661 MARYAM JUMA ABDALLA F662 MARYAM KHAMIS FEREJI F663 MARYAM KHAMIS SALIM F664 MARYAM MUHAJIRI MOHAMED F665 MARYAM OMAR MOH’D M666 MARYAM YUSSUF ALI F667 MASHA MOH’D SALIM F668 MASHAKA PAULO BUNDALA M669 MASHAVU MSHAMARA CHUMU F670 MASHUHURI ABDALLAH SULEIMAN M671 MASHUHURI ABDALLAH SULEIMAN M672 MASOUD HUSSEIN ABDALLA M673 MASUDI RASHIDI NTIMPEMA M674 MAUWA SHOMARI JUMA F675 MBARAKA ALLY CHIMELA M676 MBARAKA MOHAMED MATUTU M677 MBARAKA NYONA HAJI M678 MBAROUK ABDALLA OMAR M679 MBAROUK SULEIMAN RASHID M680 MBELU MUHAMEDI F681 MFAUME OMARI MFAUME M682 MGENI ABASS HAJI F683 MGENI ABASS HAJI F684 MIHAYO LUBAPULA M685 MIKIDADI HAMISI M686 MILDRED W SELULA F687 MINIHAJI HARUN JUMA M688 MIZA MAULID HAMADA F689 MKASI SILIMA USSI F690 MKIWA KIZIGINA ATHUMANI F691 MKOMBOZI ALLY MWEGOLE M692 MKOMBOZI KAPAYA M693 MKOSONI HAJI HAROUN F694 MKUBWA A HAMAD M695 MKUBWA ALI HAMAD M696 MNGWALI HASSAN FAKI M697 MOHAMED ALI MOHAMED M698 MOHAMED ATHUMAN SARAI M699 MOHAMED HAMISI ALLY M700 MOHAMED HAMISI LIMBOKA M701 MOHAMED HUSSEIN SELEMANI M702 MOHAMED ISSA OMARI M703 MOHAMED ISSA OMARI M704 MOHAMED JUMA OMARY M705 MOHAMED KIASSIM MANULA M706 MOHAMED KUZIGA M707 MOHAMED MFAUME HIOGORA M708 MOHAMED MKETO FADHILI M709 MOHAMED RAJABU MOHAMED M710 MOHAMED RASULY CHELANGWA M711 MOHAMED SAIDI RUDIKI M712 MOHAMED SELEMANI NGOI M713 MOHAMED SHEHE HAMISI M714 MOH’D ALI NAIM M715 MOH’D HAJI KHATIB M716 MOH’D HAMIMU ALI M717 MOH’D R. HABIB M718 MOH’D SULEIMAN HIJA M719 MOH’D SULEIMAN HIJA M720 MOH’D SULEIMAN HIJA M721 MOROZEN SHIRAZ MZEE M722 MOSES SAKILA MOSES M723 MOSHI BIKWILA OMARY M724 MPAJI ABUBAKAR OMAR F725 MPAJI ABUBAKAR OMAR F726 MPAJI ABUBAKAR OMAR F727 MRASHI MAULID KATANDE F728 MREMA HAKIM MSEMO M729 MRISHO NGULANGWA MPITA M730 MRISHO ZUBERI KAMBI M

731 MSHAMATA HASSAN MSHAMATA M732 MSHANGI MASOUD ALI F733 MSHAURI MOHAMED BOFU M734 MSHINDO ALI KHATIB F735 MTAALAM MAKAKILA M736 MTOPA SAIDI M737 MTUMWA MOSSI BAYA F738 MTUMWA MOSSI BAYA F739 MTUMWA MOSSI BAYA F740 MTUMWA SALI MOHAMED F741 MTUPE SALUM SEIF F742 MUHADHIRU HAKIKA NAWEMA M743 MUHAMED MASOUD ABDULLA M744 MUHAMMADY IDRISA MIRUKO M745 MUHIBU ISSA AHMADI M746 MUHIDINI RAJABU RAMADHANI M747 MUHIDINI RAJABU RAMADHANI M748 MUHIDINI RAJABU RAMADHANI M749 MUHIDINI ABDALAH MUHIDINI M750 MUHIDINI ABDULY GEORGE M751 MUHIDINI MOHAMED SABUNI M752 MUKSIN I SAID M753 MUSSA ABDUL GOMA M754 MUSSA ALI SOUD M755 MUSSA ALLY ABDALLAH M756 MUSSA HAJI JAHA M757 MUSSA HAJI JAHA M758 MUSSA HAJI JAHA M759 MUSSA HASSAN CHUTI M760 MUSSA HEMED MRUMA M761 MUSSA HUSSEIN M762 MUSSA JANDIBU SALUM M763 MUSSA MOHAMED MVOGOGO M764 MUSSA RAMADHANI MUSSA M765 MUSSA RASHID KUNJA M766 MUSSA SHWAIBU MUSSA M767 MUSTAFA JUMA HAMAD M768 MUSTAFA MUSSA SEIPH M769 MUSTAFA P NNUNDUMA M770 MUSTAPHA AHMAD SWALEHE M771 MUZNA HINDU MARUA F772 MVITA MGENI MOH’D F773 MWADHI MOHAMED MUWINO M774 MWAIKAMBO MOSES KALELUKA M775 MWAIKAMBO MOSES KALELUKA M776 MWAITA IBRAHIM OMARI M777 MWAJABU IBRAHIMMNGOYA F778 MWAJABU MOHAMED NDULI F779 MWAJABU MOHAMED NDULI F780 MWAJABU OMARY MNGOMA F781 MWAJUMA HAMIS NGENJE F782 MWAJUMA KONDO MKWAMA F783 MWAJUMA SAID SOMA F784 MWAKADI OMARY BAYA F785 MWAKUMUNA SALIMU KIDOMBO M786 MWALIM OMAR HASSAN M787 MWALIMU MOHAMED HAMISI M788 MWALIMU WALII MOHAMED M789 MWAMVUA OMAR SALIM F790 MWANABARAKA MSENGA MRISHO F791 MWANAFELA SHEBE F792 MWANAFELA MKUU F793 MWANAHAMISI JUMA MWARU F794 MWANAHAMISI MUSTAFA MCHITIKA F795 MWANAHAMISI SWEDI ALLY F796 MWANAHAWA R MZEE F797 MWANAHAWA RAJABU F798 MWANAHIJA JUMA SALUM F799 MWANAIDI OMAR MWINYI F800 MWANAIDI PANDU VUAI F801 MWANAISHA JUMA F802 MWANAISHA JUMA ALAWY F

803 MWANAISHA SHABAN F804 MWANAISHA SHABAN SHEMTAWA F805 MWANAISHA YASSIN F806 MWANAISHA YASSIN ABDALLAH F807 MWANAKHEIR ISSA SHAABAN F808 MWANAKOMBO HAJI F809 MWANAKOMBO HAJI HASSAN F810 MWANALI SAIDI ALI F811 MWANAMKUU SAID F812 MWANAMKUU SAID LANGIA F813 MWANASITI SAID OMAR F814 MWANASITI SAID OMAR F815 MWANAVITA MTALU F816 MWANAVITA AUGUSTINO MTALU F817 MWANZANI IDDY F818 MWANZANI IDDY KIBASU F819 MWANZO ABLAHAM LULAMBO M820 MWARAMI OMAR MAPARILO M821 MWASHAMBA JUMA KHAMIS F822 MWASHAMBA JUMA KHAMIS F823 MWASHAMBA T KUWA F824 MWASHAMBA TWALHATA KUWA F825 MWASITI IDD F826 MWASITI IDD MRUKE F827 MWATATU KASSIM F828 MWATATU KASSIM NYALUSI F829 MWEDADI ADINANI HAMISI M830 MWEMA S MWAMBAPA F831 MWEMA SETH F832 MWENCHUMU HEMED BAU M833 MWINJUMA HEMED KIMWERI M834 MWINYI IDD BAKARI M835 MWINYIMKUU JABU MAARUFU M836 MZAMILU RAMADHANI OMARI M837 MZEE AHME MWATANDA M838 NABILA AZIZI F839 NABILA AZIZI SIMAI F840 NACHIA ALI SILIMA F841 NACHIYA OMAR F842 NACHIYA OMAR HAJI F843 NADHIFA A ABDALLA F844 NADHIFA KHAMIS HAJI F845 NADHIRA HAJI HASSAN F846 NADHIRU HASHNI HAMISI M847 NADHRA YUSSUF ALI F848 NAIMA H ALI F849 NAIMA HESABU F850 NAIMA K NOOR F851 NAIMA KHUZAIMA F852 NAJMA BARAKATI SWALEHE F853 NAJMA JUMA F854 NAJMA JUMA MASOUD F855 NAMANGI MAVURA F856 NASIBU BAKARI NGEREZA M857 NASIR SALIM KITUKU M858 NASIRI HARUNA MOHAMED M859 NASRA ABULAZIZI KOOSA F860 NASRA ABULAZIZI KOOSA F861 NASRA AZIZI SIKWANDA F862 NASRA MUSTAPHA SHAMTE F863 NASRA SADALA URASA F864 NASSIR CLAUS MALIKI M865 NASSOR AMAN VUAI M866 NASSOR HAMAD NASSOR M867 NASSOR KASSIM RASHID M868 NASSOR OMAR JUMA M869 NASSOR OMAR JUMA M870 NASSOR OMAR JUMA M871 NASSOR USSI OMAR M872 NASSOR YUSHAU ALI M873 NASSUUNA SHAMILAH NASSUUNA F874 NAZISHI MOHAMMED MADEA F

Page 10: ANNUUR 1029

10 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012Makala/Tangazo

Inaendelea Uk. 11

NIMEFURAHI sana kwa walionitayarishia vijana wangu kukutana na Waandishi wa habari, na wasomi wengine kuzungumzia mambo ya Muungano wetu.

Kwanza naomba niseme mawili matatu kabla sijaanza kusema hayo niliyokusudia. Kwanza nimeweka haya katika karatasi hii, sitaki mje kuandika hovyohovyo. La pili nataka kuweka wazi kabisa, nimefurahi sana kunitayarishia mkutano huu.

Katika maisha yangu sikuwahi kupata mkusanyiko wa magazeti kama huu, nimekuwa ndani ya siasa lakini sikupata kukabiliana na kundi la magazeti kama hivi. Nimekuwa nikikutana nao mmoja mmoja tu.

Furaha yangu ni kubwa sana itaniwezesha kueleza watu nafikiri nini juu ya nchi yangu. Nataka niseme kwamba wengi wenzangu wananiandika mimi wanavyotaka wenyewe na kuna choyo fulani ndani yake, ndio maana wakisikia Moyo kasema, nao wanastuka kwa nini kasema, ndiyo nasema.

Nasema kwa sababu mimi ni mtu wa nchi hii, mimi nimezaliwa hapa. Kwa hiyo la kwanza ni kwamba mimi sikuwa muasisi wa ASP, na wala siku moja sikuwahi kusema hilo. Mimi nimekuwa mwanachama wa ASP, kuanzia mwaka 1957, sasa kama uasisi wangu, basi nimekuwa muasisi wa ASP chama kimeundwa na mimi nimekuwa mwanachama, lakini sio miongoni mwa waliounda ASP, mimi nilikuwa mdogo.

La pili mimi sikuwa mmoja katika watu wa Mapinduzi waliokwenda Bomani kupindua Serikali ya Kikoloni, sikuwa. Na nataka niseme wazi sikuwa hivyo na wala sikuwa mmoja ya watu wa fourteen. Kwangu mimi si jambo la kufurahia memba wa fourteen (14). Naelewa nini maana yake, kwangu mimi hiyo haiwezi kuwa sifa. Wala siwezi kusema nimepata hasara kwa nini sikuwa memba wa fourteen.

Mimi nimekuwa muasisi wa Baraza la Mapinduzi lililoundwa kama tarehe/ 12, mimi ndio nilikuwa mmoja katika hao, kama kuna watu walikuwa 30, nilikuwa wa kwanza, wa pili au watatu. Ile Serikali ya Mapinduzi inaundwa mimi ni mmoja katika memba wa serikali ya mwanzo kabisa. Kwa hiyo sikuwa muasisi wa ASP, sikuwa wa Fourteen, lakini nimekuwa mmoja wa Baraza la Mapinduzi. Nataka watu wanielewe hivyo, wasichanganye maelezo haya.

Lakini sasa nikizungumza hivyo maana yake nini? Watu wanadhani yale Mapinduzi yalitayarishwa na wale watu 14. Lile ni kundi la vijana kwa maana nyingine Umoja wa Vijana wa ASP, ndio kundi lile la watu 14, na mimi ndio nilikuwa Rais wa mwanzo wa Umoja wa Vijana wa ASP, maana yake nini, wale ni wanachama wangu, wakatae basi.

Sasa unapozungumzia habari ya Mapinduzi hayakuandaliwa tarehe 11 wala 12, watu wakaenda Bomani, No. Wanasiasa kama

Nani Moyo na aliyofanya ZNZ kabla ya Mapinduzi

MZEE Hassan Nassor Moyo.

kina Enzi, wanajua kwamba Mapinduzi katika nchi ni hatua na ni vuguvugu ambalo limeanza huko nyuma, na ndio shabaha ya kila chama cha ukombozi lazima waelewe siku moja

litawakuta, mnagombania kwa njia mbalimbali, mkishindwa basi njia ni hiyo.

Sasa baada ya hayo, nije k a t i k a s h u g h u l i a m b a z o nimezifanya katika mambo

yetu ya siasa. Moja katika kazi ambazo nimezifanya wakati wa maisha yangu ya ujana nilikuwa mmoja muasisi muanzilishi wa umoja wa vijana wa ASP.

Kulikuwa na umoja wa

YASU, Miembeni. Waliunda Umoja wa vijana wa Youth leag, kwa kiasi fulani hawa walikuwa wakipingana na chama chetu (ASP) kwa kuwa walijifanya wao ni wasomi. Walimfanyia Chai Mzee Karume, Gongoni pale, mimi na Balozi Diria (marehemu), Mzee Karume alikuwa hapendi kutukosa, basi alitualifu akituambia tufike tukawasikilize vijana wenzetu.

Pale vijana wale wa YASU, wakamuuliza Mzee Karume, wewe unataka Uhuru na watu wako hawakusoma huu uhuru utauendeshaje? Mzee Karume akacheka, akawaambia, “wajinga nyie. Mimi sitaki uhuru wa elimu, nataka Uhuru wa nchi yangu, tujitawale. Haya katika nyie nani aliyesoma hapa. Huyo mkubwa wenu wa Umoja wa Vijana kisoma chake kasoma kupiga sindano Ng’ombe.”

“Lakini sisi tukipata Uhuru”, anawambia vijana wale, “nyinyi mtasoma, mtakuwa madaktari, wanasheria, mtakuwa kila kitu nyie.” Palepale chai ikaja tukanywa tukaondoka.

Usubuhi siku ya pili kiasi cha saa tatu au tano, kaja ofisini kwangu kagonga dirisha nafungua dirisha namuona Mzee Karume kasimama na Baiskeli yake na kapu lake la Samaki anatoka Sokoni.

Ofisi ya pili yupo Diria, nikamwambia bwana Mzee kanita, yupo nyuma, akaniuliza, “jana unakumbuka tulikwenda kule”, nikajibu ndiyo, “wale vijana umewasikia, sasa nataka uonane na wenzio muunde umoja wa vijana wa ASP.” Wakati ulee ASP, ilikuwa haiana Umoja wa vijana, ili tupambane na wale, haya pingeni na hilo maana mmezoea Moyo akisema mnapinga.

Kutoka pale Mzee akaondoka nikamuambia asante sana, nikamuambia BaLozi Diria, naye akasema basi kawaone kina Seifu Bakari na Kepe marehemu Abbas Hussein, tukamtafuta Mzee Thabiti Kombo, wiki moja iliyofuata tukaitisha mkutano mkubwa wa watu wote palepale Jangwani, hapo dipo tulipounda Umoja wa Vijana na hapo ndipo nikachaguliwa Rais wa mwanzo wa Umoja wa Vijana wa Afro Shirazi Party. Nataka muelewe hivyo vijana.

Umoja wa vijana mlio nao leo mimi ndio Champion, wakatae. Enzi ananikumbusha siku ile kumbe pia alikuwepo Mzee Thabiti Kombo kama Katibu Mkuu wa ASP. Sasa kwa sababu mimi nilikuwa napanda Farasi wawili, huku Umoja wa Vijana huku vyama vya wafanyakazi na wakati ule ulikuwa wa mapambano, nikaona lazima niache ngazi, baada ya miezi sita, nikaacha. Ndio tulimchagua Seif Bakari, kuwa kiongozi wetu Umoja wa Vijana akaendelea mpaka Mapinduzi.

K w a h i y o m i m i n d i o championi wa Umoja wa Vijana hapa Zanzibar, kama muasisi hilo ndio nilikuwa muasisi, mi sikuwa muasisi wa ASP, lakini nimekuwa musisi wa ASP Youth league.

Tamko la umoja wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar kuunga mkono utetezi wa wawakilishi kwa maslahi ya nchi ya Zanzibar

Inaendelea Uk. 11

Ndugu Wazanzibari,A s s a l a a m A l a y k u m W a r a h m a t u l l a h Wabarakatu, Nchi ye tu iko kat ika kipindi muhimu katika historia yake ndefu na ni kwa mapenzi yake Allah SW kuwa kizazi hiki kipya cha leo kakichagua yeye mwenyewe kilete salama, amani na utengamano ambao ulikuwa umepotea kwa kipindi kirefu sana. Tunanyanyua mikono yetu juu kumshukuru Mola wetu kwa neema hii kubwa aliotufadhili.

Sisi Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar tumepata faraja kubwa isiyo kifani kwanza kwa kushuhudia kwa macho yetu na kusikia kwa masikio yetu wenyewe, ndugu zetu, Wawakilishi wetu, kusimama na kutetea maslahi ya nchi yetu ya Zanzibar bila hofu yoyote ndani ya Baraza la Wawakilishi.

Pili tumezidi kufarajika pale tulipopokea tamko

lilioandikwa na Vijana wa Umoja wa Kitaifa (VUK) wakiwapongeza Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa kuweka mbele maslahi ya nchi yetu ya Zanzibar bila ya kujali itikadi zilizokuwa zimejengwa katika misingi ya vyama vya siasa na mavuno ya kisiasa.

J u m u i y a n a Ta a s i s i z a K i i s l amu Zanz iba r zimesikit ishwa sana na tunakemea kwa hali ya juu kabisa vitendo vya vitisho na uchochezi vinavyoendeshwa na baadhi ya viongozi wachache wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) dhidi ya wanachama wake na wananchi wa Zanzibar.

Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar kwa pamoja zinaamini kabisa kwamba baadhi ya viongozi hao wachache wa CCM kuwawekea wanachama wake masharti na muungozo na kikomo juu ya nini wanachoweza kukisema ni kuwanyima uhuru, utu na

ubinadamu wao wakiwa raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na ni kinyume na haki za binadamu kwa mujibu wa misingi iliowekwa na Umoja wa Mataifa (United Nations), na ni kinyume na Katiba ya Zanzibar na ile ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kitendo cha baadhi ya viongozi wachache wa Chama Cha Mapinduzi k u j a r i b u k u w a f u n g a midomo na kuwat ishia kuwafukuza kutoka chama hicho Wawakilishi halali wa chama chao waliochaguliwa na wananchi wa Zanzibar ni hatari na ni aibu kubwa kwa chama hicho kikongwe. Maneno ya kashfa na kebehi yaliolengwa na viongozi hao wachache wa chama hicho kwa viongozi wastaafu wa nchi tena waliotokana na chama chao ni vya aibu kubwa na ni hatari kwa amani, utulivu, na mshikamano wa nchi yetu.

Page 11: ANNUUR 1029

11 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012Makala

Nani Moyo na aliyofanya ZNZ kabla ya Mapinduzi

Inatoka Uk. 10

SHEIKH Farid Hadd.

Tamko la umoja wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar kuunga mkono utetezi wa wawakilishi kwa maslahi ya nchi ya ZanzibarInatoka Uk. 10

Inaendelea Uk. 15 Inaendelea Uk. 15

M w a k a 1 9 6 1 k w e n d a 1962, niko Urusi masomoni, delegesheni za vyama Hizib na ASP, zinakwenda London, mkutano wa mwanzo wa Katiba, vyama vimekwenda kule kuzungumza Uhuru wa Zanzibar, Mzee Karume mwenyewe akaniletea Telegram, Moyo uende Uingereza ukaungane na timu ya ASP.

Nikawaambia wakubwa zangu wa Chuo wakanipa tiketi, nikaendaa kuungana na wenzangu katika mkutano wa mwanzo wa Katiba, nilikuwa mimi na Marehemu Rajabu Swaleh, yeye alitokea Ghana tulikuwa na ofisi yetu kule akiiongoza yeye (Rajab), sisi wawili tukiwa ni waangalizi katika mkutano ule wa Katiba ya mwanzo kabisa.

Mwaka 1961 mimi kijana miaka 27/28 kijana mdogo why mimi. ASP ikaniteuwa nafasi ya uchaguzi nikagombee Jimbo la Mangapwani, katika Baraza la Kutunga Sheria, nataka munielewe sana vijana leo nataka hawa wajinga wasikie nasema nini.

Uchaguzi mwingine wa mwaka 1963, Mzee Karume akaniteuwa tena kusimamia uchaguzi, why mimi, nasema haya waelewe kuwa nilikuwa mtumishi wa watu, sikuwa kibaraka. Kwani wakati huo hapakuwa na vijana mbona walikuwa wengi tu, mbona hawakuchukuliwa na ndio hawa hawa wanasema maneno yangu.

Sifichi leo nawaambieni, baada ya kuteuliwa mimi kuwa nitasimamia jimbo la Kiboje, katika uchaguzi wa 1963, na kama mnavyojua chama chetu ni Washirazi na Waafrika, jioni yake ya siku ile ile ya kuteuliwa. Wakatoka Wazee wa Kishirazi wakamuendea Mzee Karume nyumbani kwake pale Kisima Jongoo, wakamueleza kuwa Moyo, kule asisimame, asimame Nungwi kule kwa Mahizib na wakati huo ilikuwa Nungwi asimame Athumani Sharifu. Wakataka mimi niende Nungwi nikashindwe, Athumani Sharif aende Kiboje.

Mzee Karume, akawaitikia, wanaondoka tu wazee wale Mzee Karume ananipigia simu, njoo Hassan, nakupeni siri si siri tena, nikaenda jioni akanimbia sikiliza wamekuja wale Washirazi, wakinitaka nikuondoshe kule nimewaitikia tu, lakini haiwezekani lakini utasimama Kiboje, siwezi kukuacha wewe kiongozi wa wafanyakazi hapana mcheze hapa.

Na kweli hakunitoa Mzee karume nikasimama, na kweli nikashinda. Why mimi, kwani hapakuwa na kijana pale, kwa sababu nilikuwa najua ninalofanya na kwa sababu mimi nilikuwa na kundi la wafanyakazi.

Wafanyakazi wa nchi hii ilikuwa nikisema wananisikia n a n i k i i t a m k u t a n o w a wafanyakazi utadhani mkutano wa siasa, makomred wanaelewa tumepigania Uhuru wa nchi

hii.MuunganoSasa tunakuja katika hili suala

ambalo nadhani wote mlikuwa na hamu ya kulisikiliza. Muungano wakati ule tunaungana ilikuwa Afrika yote inagombania kuwa na Serikali moja na tunaendelea kupigana baadhi ya nchi fulani ziwe huru. Sasa mazungumzo ya kuunda Afrika Mashariki yalikuwa yanaendelea, miaka sita

katikati pale na sisi tushafanya mapinduzi tusha jitawala, ndipo Mwalimu (Nyerere) akaja kuonana na Mzee Karume, mimi sina hakika kama kulikuwa na mzungumzo huko nyuma sina hakika. Lakini ninachojua huko nyuma kulikuwa na urafiki wa kina Kambona kina Hanga, kina Moyo na kina Kawawa, lakini vile vile kulikuwa na uhusianao wa TANU na ASP wa kusaidiana

wakati wa mapambano. Huu uhusiano ulikuwepo, kwa lile la harakati za Afrika za kuwa na serikali moja ya Afrika, harakati za urafiki wa TANU na ASP, maelewano ya watu wa Tanganyika na Zanzibar, hivi ni vitu ambavyo kusema kweli vilitusukuma sisi kufanya Muungano huu wa Tanganyika na Zanzibar, bila kuangalia baadhi ya mambo kwa sababu

ya ule urafiki.Hivyo Muungano umeanza,

l ak in i umeanza je taa r i fa niliokuwanazo hiyo sikushuhudia inasemekana kuwa Tarehe 14 ya mwezi April, Mzee Karume aliitwa na Mwalimu kwenda Dar es Salaam na alivyokwenda huko alifatana na Salum Rashid, wakati huo akiwa Katibu Mkuu wetu wa mwanzo kabisa wa Baraza la Mapinduzi yu hai mpaka leo.

Labda nirudi nyuma, wakati wa kuunda Baraza la Mapinduzi tulitunga sheria mbili kubwa sana, moja ni kutengeneza Serikali ya Zanziba ya Mapinduzi sheria ile ilitiwa saini na sote sisi watu 31, na lingine ni kuwa ule mjumuiko wa Baraza la Mapinduzi lilikuwa na makundi manne, mle mlikuwa wazee wetu akina Aboud Jumbe, akina Mzee Karume, yaani mamemba wa Baraza la Kutunga Sheria kundi la pili, UMMA Party, Babu kaingia, eeh wakati huo Umma Party ilikuwa na uhusiano mzuri ili kuleta nguvu ya mapinduzi yetu, wengine ni wale wa Fourteen, na wote tulitia saini hakutia Karume peke yake, hao ndio wa asisi wa Baraza la Mapinduzi .

Sasa niendelee kwa hiyo Salum Rashid, Mwarabu yule Hizb lakini tayari alikwishakuwa Umma, na nasema la Mwarabu si ukabila hapana historia huwezi kuifuta ipo, itoshe kutuonyesha sisi Mzee Karume hakuwa asili yake si mtu wa ubaguzi, alikuwa ni mtu aliyekuwa akiamini nchi, nyinyi mtashanga ndiyo tupo katika motomoto pale tunaunda Baraza la Mapinduzi siri za mapinduzi ziko pale, u n a k w e n d a k u m c h u k u a Mwarabu kwenda kuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Mapinduzi, kila kinachozungumzwa yeye anajua, yataka moyo. Mimi wewe tungeweza? Lakini Mzee Karume alionyesha anaweza. Tumepigana sote Hisb upande wake s i s i upande we tu , tumeshashinda sasa lazima tutafute njia za kukaa pamoja na njia hizo ni kila unayemuona anatufaa unamchukua ili muende mbele na ndivyo alivyokuwa akifanya Mzee Karume.

Akenda naye kule Tarehe 14, Aprili, bahati alipofika tu kule Dar es Salaam, Mwalimu akamwambia Salum, mbona hujashevu ndevu, kumbe vile zile ni siasa za kiutu uzima. H a k u p e n d a ( M w a l i m u Nyerere hakupenda Salim Rashid, msomi) awepo katika mazungumzo yale, basi akapewa gari kwenda kushevu kurudi Salimu kakuta watu wako ndani, sasa mtu mzima huwezi kuingia mahala ambapo watu wazima wanazungumza (wamejifungia) waliokuzidi na wewe ukaingia. Basi akasubiri.

Basi walipomaliza wakarudi, wamezungumza nini hata Salimu hajui, lakini bila shaka yalikuwa mas’ala haya ya Muungano. Tarehe 17, April, ujumbe ukaja kutoka Dar es Salaam, na drafti ya makubaliano ya Muungano (article of Union), akaipokea Salimu, baadaye akamtafasiria Mzee Karume (iliandikwa kwa

Baadhi ya viongozi hao wachache wa Chama Cha Mapinduzi wanaendeleza ajenda ya Tanganyika dhidi ya Wazanzibari ya kuendelea kuitawala Zanzibar chini ya sera batili.

Kwa miaka 48 (takriban nusu karne) sasa, Wazanzibari wamenyimwa uhuru wa kweli wa kuamua hatma ya Muungano kwa vitisho vya sera hizo. Sasa viongozi hao wachache wa CCM wanaendeleza kiini macho dhidi ya Wazanzibari na Watanzania kwa kuwaekea mipaka kwa hiyo tunawaomba w a n a c h a m a w a C C M Zanzibar kuweka uzalendo mbele na kutumia haki yao ya maamuzi na kuirejeshea Zanzibar heshima yake mbele ya jamii za kimataifa na jumuiya za madola na ndani ya muungano wa mkataba

watakaouridhia wananchi wa Zanzibar kwa umoja wao.

J u m u i y a n a Ta a s i s i z a K i i s l amu Zanz iba r haikubaliani hata kidogo na Azimio la baadhi ya viongozi wachache wa Chama Cha Mapinduzi kwa wanachama wake wanaotoka Zanzibar ambalo linawashurutisha kusema ati serikali mbili bila ya mamlaka kamili ya kitaifa na kimataifa ya Zanzibar ndio msimamo wao. Kitendo hiki ni hatari kwa Zanzibar yenye hadhi ya kitaifa na ya kimataifa kwani nchi yoyote huru haiwezi kupata uhalali wa katiba yake ikiwa sehemu ya jamii imeshurutishwa na kunyimwa haki za msingi za kufikiri na kuamua bila ya shinikizo na kitendo hiki kinakua hatari zaidi kwani CCM ndicho chama kinachotawala sehemu zote mbili za Jamhuri ya

Muungano wa Tanzania. Ikiwa viongozi hao wachache wa CCM wanawashurutisha wanachama wenziwao, sisi wengine tunaamini tutanyimwa haki zetu juu ya aina ya mfumo wa utawala tuutakao sisi wananchi wa Zanzibar.

Hata huko Tanganyika kuna tetesi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi ( C U F ) a m e f u a t w a n a kuambiwa kuwa sera ya chama chake ni serikali tatu. Waliomuendea wanahoji mbona CUF Zanzibar inaunga mkono hoja ya Wazanzibari ya kuitaka Zanzibar yenye mamlaka kamili na kufuatiwa na mkataba? Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar zitapinga kwa msimamo mmoja chama chochote cha kisiasa kitakachoonesha dhamira/nia ya kuisaliti

Page 12: ANNUUR 1029

12 AN-NUURTangazo RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

875 NCHONO FURAHA MOHAMED F876 NCHONO FURAHA MOHAMED F877 NCHONO FURAHA MOHAMED F878 NEEMA DANIEL MMBANDO F879 NEEMA KHAMIS MAKUMPIRA F880 NEEMA MOHAMED MAVUMBI F881 NEEMA SHOMARI FUNGO F882 NEMGANGA BAKARI ZUBERI F883 NGAIGWA ADAM YAHAYA M884 NGANGAGE HASSAN MTEGA M885 NICHOLAUS NTINDA BALELE M886 NURDIN MAKONO HASSAN M887 NURDIN SIAMINI HAJI M888 NURU HUSSEIN HADING’OKA F889 NURU IBRAHIM KIHOMBO F890 NURU ISSA ALLY F891 NURU OMARI MGONDA M892 NURU SHABAN MNUBI M893 NURUFATKA OMARY F894 NURUFATKA OMARY MNOSA F895 NUSAIBA ABDALLAH HANEIN F896 NUSAYBATH ATHUMANI F897 NUSYABATH BURUHANI F898 NYAMIZI SALUM KING’ENG’ENA F899 OMAR ALI BAKAR M900 OMAR ALI OMAR M901 OMAR KAISSA MAKAME M902 OMAR SAID LIPWATA M903 OMAR SALUM KHAMIS M904 OMAR SEIF KILAMBO M905 OMAR SULEIMAN OMAR M906 OMAR SULEIMAN OTHMAN M907 OMAR SULEIMAN OTHMAN M908 OMARI AHMADI SAIDI M909 OMARI BAKARI CHITEMBEDYA M910 OMARI H SAIDI M911 OMARI HAJI TOJO M912 OMARI MOHAMED M913 OMARI NURDIN SAID M914 OMARY MUSSA HAMISI M915 OMARY SAID NGOMA M916 OMARY SWALEHE SHEDAFA M917 ONESMO BERDAN KILENZA M918 OTHMAN HAJI MKUWI M919 OTHMAN HAMAD SALEH M920 PANUEL HEMED F921 PANUEL HEMED KITIA F922 PILI ALI F923 PILI ALI NADA F924 PONGWA KHAMIS PONGWA M925 PRISILA KILIAN CHIHEU F926 RABIHU ALBAKI F927 RABIHU ALBAKI SALIM F928 RADHIA MUSSA F929 RADHIA MUSSA YUSSUF F930 RAHIKA MAKAME F931 RAHIKA MAKAME VUAI F932 RAHIL MUSSA HAJI M933 RAHIM MAKIYU KATENGA M934 RAHMA HAMAD F935 RAHMA HAMAD ALI F936 RAHMA RAJAB F937 RAHMA RAJAB MOHAMED F938 RAJAB MOHAMED RASHID M939 RAJABU ALLY M940 RAJABU IDDI RAMADHANI M941 RAJABU JAMES NYAMJANA M942 RAJABU JUMAA RAMADHANI M943 RAJABU NASSORO BATASHI M944 RAJABU RAMADHANI SAID M945 RAJABU SAIDI KITAMBULIO M

946 RAJABU SAIDI MCHANJAMBE M947 RAJIPU MUSSAH KIBOHOLA M948 RAMADHAN HAMAD RAMADHANI M949 RAMADHANI ABDULHAKIM MWALIMU M950 RAMADHANI ALLY RAMADHANI M951 RAMADHANI AMANI GELEGE M952 RAMADHANI BAKARI KASSIM M953 RAMADHANI HASSANI MSHANA M954 RAMADHANI ISSA MTUNGUJA M955 RAMADHANI JUMA MBURU M956 RAMADHANI KAKOMBE KHALFANI M957 RAMADHANI M SHABANI M958 RAMADHANI MOHAMED DILUNGA M959 RAMADHANI MUHOZYA M960 RAMADHANI OMARY JUMA M961 RAMADHANI SAID SEMROKI M962 RAMADHANI SAIDI MPONDOMOKA M963 RAMLA FAKI F964 RAMLA FAKI YUSSUF F965 RAMUNA ALLY MUNISSI F966 RAMUNA ALLY MUNISSI F967 RASHID ABDULRAHAMAN MPANDANGINDO M968 RASHID AHMAD M969 RASHID AMIIR ABDALLAH M970 RASHID AUNI CHISUSE M971 RASHID GIDION LUTAMBI M972 RASHID HAMZA KHAMIS M973 RASHID IDRISA TINDWA M974 RASHID JAFARI MALINO M975 RASHID MABROUK MARSOUK M976 RASHID MOHAMED SULEIMAN M977 RASHID MZAMILO RASHID M978 RASHID SALUM RASHID M979 RASHID SELEMAN UMELA M980 RASHID SHAAME JUMA M981 RASHID YAHAYA MUHENGA M982 RASHIDI ISSA GINGO M983 RASHIDI ALLY GUGU M984 RASHIDI SAIDI KINYOGOLI M985 RAYA KHAMIS F986 RAYA KHAMIS SHAIB F987 REGINA KEYA NJOVU M988 REHEMA BASHIRU F989 REHEMA BASHIRU LUBUVA F990 REHEMA DALLU F991 REHEMA DALLU MAGILLA F992 REHEMA MASHAKA F993 REHEMA MOHAMED MLANDULA F994 REHEMA SHOKO F995 REHEMA SHOKO BASHIRI F996 RIDHIWANI ALLY SAID M997 RIDHIWANI ASHIRY KOMBA M998 RIDHIWANI SAIDI ATHUMANI M999 RIKKO HAROUN MASAI M

1000 RIZIKI HATIBU F1001 RIZIKI HATIBU RASHID F1002 RIZIKI YAHYA SHEKOLOWA M1003 RUKIA ALLY ABDULLA F1004 RUKIA ALLY ABDULLA F1005 RUKULA JUMBE M1006 RUMANYIKA TIBEDA ABDULMARIK M1007 SAADA JUMA F1008 SAADA JUMA HAJI F1009 SAADA OMAR F1010 SAADA OMAR RASHID F1011 SAADA RIYAMI ISSA F1012 SAADA RIYAMI ISSA F1013 SAADULLAH AHMADA M1014 SABAHI SALIM A F1015 SABAHI SALIM ABDALLA F1016 SADA MUSSA JUMA F1017 SADA MUSSA JUMA F

1018 SADA YUSUF ALI F1019 SADICK AYOUB SADICK M1020 SADIKI MOSHI MPABUKA M1021 SADIKI RASHID KIGUNGULI M1022 SADIQ MASSAWE TWHA M1023 SAFIA BAKAR ALI F1024 SAFIA RAJAB MASOUD F1025 SAFINA IBRAHIM KATABARO F1026 SAID HAMAD SALIM M1027 SAID HAMAD SALIM M1028 SAID HAMAD SALIM M1029 SAID ABOUD JUMA M1030 SAID ALI SAID M1031 SAID ALI SHEHE M1032 SAID ALI SULEIMAN M1033 SAID ATHUMANI SAID M1034 SAID HAMAD SALIM M1035 SAID HAMAD SALIM M1036 SAID HAMAD SALIM M1037 SAID HAMISI MAKONGORO M1038 SAID HAMISI MAKONGORO M1039 SAID HASSAN MKANDU M1040 SAID ISSA MKUMBACHI M1041 SAID JUMA ABEID M1042 SAID JUMA MUSSA M1043 SAID KHAMIS SAID M1044 SAID MOHAMED MTAMBO M1045 SAID MRISHO HASSAN M1046 SAID RASHID KHALID M1047 SAID SAHIM KOMBO M1048 SAID SULEIMAN ABDULA M1049 SAID SULEIMAN ABDULA M1050 SAID YUSSUF ALI M1051 SAIDA ADAN CHIMA M1052 SAIDI ATHUMANI NGAGAMA M1053 SAIDI HEMEDI NJONJO M1054 SAIDI RASHID MANG’ENYA M1055 SAIDI RASHID NAMPONDA M1056 SAIDI TEWA ATHUMANI M1057 SAIDI YUNUSI M1058 SAKINA RASHID NYANGE F1059 SALAMA ISSA ALLI F1060 SALAMA MOHAMED RASHID F1061 SALAMA MOYO ABEID F1062 SALEH HASSAN VUAI M1063 SALEH MASOUD SALEH M1064 SALEHE MUHIDINI MTAULA M1065 SALEHE SELEMANI NGESA M1066 SALHA ABDULRAHMAN SEIF F1067 SALHA KHAMIS SEIF F1068 SALHA OTHMAN KHAMIS F1069 SALHA SAID AHMED F1070 SALHA USSI MJENGO F1071 SALHINA KEIS MMANGA M1072 SALIM FAKI SALIM M1073 SALIM FAKI SALIM M1074 SALIM FAKI SALIM M1075 SALIM HAMISI ALLY M1076 SALIM HASSAN SULTAN M1077 SALIM ISSA OTHMAN M1078 SALIM KHAMIS BAKAR M1079 SALIM KHAMIS SHARIFF M1080 SALIM OMAR AHMED M1081 SALIMU ADINANI LIARE M1082 SALIMU DAUDI SALIMU M1083 SALIMU RAMADHANI M1084 SALMA MOHAMED NASSOR F1085 SALMA ALLY JUMA F1086 SALMA HAMISI CHISASA F1087 SALMA HUSSEIN MUSTAFA F1088 SALMA LLY SEIF F1089 SALMA MUHIDINI MTAWAMBA F

Page 13: ANNUUR 1029

13 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012Tangazo

1090 SALMA SADICK JUMANNE F1091 SALMA SULEIMAN HAMAD F1092 SALUM AHMAD SALUM M1093 SALUM HABIBU SALUM M1094 SALUM HASSAN MUSSA M1095 SALUM MICHAEL MNONJELA M1096 SALUM MOHAMED MGENI M1097 SALUMU BURIANI NANDALA M1098 SALUMU BURIANI NANDALA M1099 SALUMU KAVENDE M1100 SALUMU OMARI M1101 SALUMU OMARI PACHANA M1102 SAMIA KOMBO MUSSA F1103 SAMIRA CHANDE KILOLA F1104 SANGIWA SALEHE M1105 SANGIWA SALEHE KINGWAHI M1106 SAUDA HASSAN HAJI F1107 SAUDA MIKIDADI MKOMANGI F1108 SAUDA MOHAMED ALI F1109 SAUMU ABRAHAMAN ALI F1110 SAUMU AME ALI F1111 SAUMU MBWANA MNYAMISI F1112 SAUMU MOHAMED ALI F1113 SAUMU MOHAMED ISMAIL F1114 SAUMU TALIB KASSIM F1115 SAVON DARAGI EDSON M1116 SEIF ALLY M1117 SEIF ALLY NAMBA M1118 SEIF MOHD M1119 SEIF MOHD SAID M1120 SEIF MZEE M1121 SEIF MZEE OMARY M1122 SEIF OMARI SEIF M1123 SEIF OMARI SEIF M1124 SEIF OMARY M1125 SEIF OMARY M1126 SEKELA FIDELIS MWAKINGILI F1127 SELEMANI ABDULRAHMAN HAJI M1128 SELEMANI ABDULRAHMAN HAJI M1129 SELEMANI ABDULRAHMAN HAJI M1130 SELEMANI ADAM M1131 SELEMANI ADAM NYENJE M1132 SELEMANI AHAMAD M1133 SELEMANI AHAMAD MLEKE M1134 SELEMANI ATHUMANI M1135 SELEMANI ATHUMANI NAMNIMUKA M1136 SELEMANI BARAKA M1137 SELEMANI BARAKA BADI M1138 SELEMANI SAIDI M1139 SELEMANI SAIDI OMARY M1140 SELEMANI TWAHA SELEMANI M1141 SELEMANI TWAHA SELEMANI M1142 SELEMNI RASHIDY M1143 SELINA UNDERSON F1144 SHAABAN JUMA M1145 SHAABAN JUMA MTINDO M1146 SHAAME MAHAMUDU M1147 SHABAN ALLI M1148 SHABAN ALLI MGANGA M1149 SHABAN HAMISI M1150 SHABAN HAMISI MNAMBA M1151 SHABAN HAMISI SAGIN M1152 SHABANI ABDALLAH LABIA M1153 SHABANI HAMISI M1154 SHABANI HAMISI M1155 SHABANI JUMA M1156 SHABANI JUMA NAHAI M1157 SHABANI JUMANNE MAKOKO M1158 SHABANI MOHAMED HARIRI M1159 SHADIA IDRISA ADAM F1160 SHADYA DHAMIR KOMBO F1161 SHADYA ISSA SALUM F

1162 SHAFII MAJID M1163 SHAFII MAJID KOMBA M1164 SHAFII SAID M1165 SHAFII SAID MUONGOLA M1166 SHAHA ABDALLAH M1167 SHAHA ABDALLAH DONGWALA M1168 SHAHAME MAHAMUDU LIKWEMBE M1169 SHAIB NOOR RUGEMA F1170 SHAIB NOOR RUGEMA F1171 SHAIBU FADHILI L M1172 SHAIBU FADHILI LYANGA M1173 SHALFINA NYANZA F1174 SHAMIMU SUED ALMAS F1175 SHAMSA OMAR AMIRI F1176 SHAMSHI OMARY CHANDE M1177 SHAMSI ABDUL M1178 SHAMSI ABDUL RUSHEKE M1179 SHAMSOIN SHIRIMA M1180 SHAMSOIN EPIMAKI SHIRIMA M1181 SHANI MACHEO F1182 SHANUNU RAHIM OMAR F1183 SHARIF KHAMIS M1184 SHARIF KHAMIS SHARIF M1185 SHARIFA ALI ABDALLA F1186 SHARIFA JUMA KHATEMA F1187 SHARIFA RASHID SELEMANI F1188 SHARIFA SELEMANI F1189 SHARIFU MASOUD MACHELA M1190 SHARIPH RASHID M1191 SHARIPH RASHID MATUMBI M1192 SHEKHE ABDALLAH M1193 SHEKHE ABDALLAH ALLI M1194 SHEMSA SAID SINAN F1195 SHEMSA SALUM ABDLLAH F1196 SHUFAA ALI NASSOR F1197 SHUFAA IBRAHIM NZARO F1198 SHUFAA JUMA SHABANI F1199 SHUFAA OMARY KABELWA F1200 SHUFAA RAMADHANI F1201 SIBELA ABASI YUSUPH M1202 SILAJI ABEID MUSSA M1203 SINGLESS BAKARI MRISHO M1204 SOMOE KHATIBU F1205 SOUD MOHAMED SALYM M1206 SOUD MOHAMED SALYM M1207 STUMAI ALLY SERERI F1208 STUMAI MBARUKU ALLY F1209 SUBIRA SHABANI KABELWA M1210 SUBIRA WITNESS ULEDI F1211 SUKUMA MAYENGA MASONGA M1212 SULEIMAN ABDALLA ABDALLA M1213 SULEIMAN ABDALLAH FIA M1214 SULEIMAN HAMAD BAKAR M1215 SULEIMAN MNGANA SULEIMAN M1216 SULEIMAN MSUYA M1217 SULEIMAN OMAR ZAHARAN M1218 SULEIMAN RASHID MOHAMED M1219 SULTAN NASSOR M1220 SUNA MWALASI AKIDA M1221 SURIA BAKAR HAMAD F1222 SWAFIA RASHID OMAR F1223 SWAHIBU SAID SEMROKI M1224 SWALEHE AMRI LONKA M1225 SWALIHINA MUSSA ZUMO F1226 SWAUM SAID KINDILE F1227 SWAUMU HUSSEIN LUHOLELA F1228 SWEDI ABDALA NJOMO M1229 TABU HUSSEIN KIMBUI F1230 TABU JUMA ATHUMANI F1231 TALIB SULEIMAN ALI M1232 TALINU ABDALLAH TALIBU M1233 TAMASHA ATHUMANI KIBEGWA M

1234 TATU HAJI KHAMIS F1235 TATU HAMDU MAKAME F1236 TATU KHAMIS HAJI F1237 TATU KHAMIS MASSOUD F1238 TATU MUHIBU MANDANJE F1239 TATU SILIMA KHAMIS F1240 TAUSI JUMA KITANO F1241 THUREA RAJAB JUMA F1242 THUWEIN THABIT MZEE M1243 THUWEIN THABIT MZEE M1244 TIME HAMAD ALI F1245 TIME KHAMIS MASOUD F1246 TIME MOH’D MKUBWA F1247 TIME RASHID MBAROUK F1248 TIME SIMAI BAKAR F1249 TUMAINI RAPHAEL MWASHA F1250 TWAHIL HALFAN M1251 TWAIBA KHALIFA KWEKA F1252 TWALHA MASOUD ABDALLA F1253 TWALIBU SELEMANI HUSENI M1254 UDDY AHMARD NGILANGWA M1255 UMARU IBRAHIM ILIAS M1256 UMI HAMAD SIMAI F1257 UMMI SHAIB SALIM F1258 UMMI SHAIB SALIM F1259 UMMU-AIMANA JAABIR KOOSA F1260 UMMUL-KHEIR ABASI OMAR F1261 UMMULKULTHUM FAT-HUDIN ALLY F1262 USSI ALI OTHMAN M1263 UWESU YUSUPH NGOCHELE M1264 UZERI ABDALLA MOH’D M1265 VICTOR JOHN TEMU M1266 WAHIDA HAROUB ALI F1267 WASTARA JUMA MASANYIWA F1268 WAZIRI SHABANI MDOE F1269 WEMA AYUBU SEIPH F1270 WEMA BARAKA KILONGOLA F1271 WEMA BARAKA KILONGOLA F1272 YAHAYA TALIB MUSSA M1273 YAHYA ALI AMOUR M1274 YAHYA MCHA ALI M1275 YAHYA MOHAMED MWINYI M1276 YAHYA MOHAMED MWINYI M1277 YAHYA SAID BAKARI M1278 YASINI MIKIDADI KABANGA M1279 YASINI MKONO M1280 YASINI MUSA MOHAMED M1281 YUSRA SILIMA ALI F1282 YUSSUF ALI RASHID M1283 YUSSUF ALLY MACHANO M1284 YUSSUF KHAMIS CHUM M1285 YUSSUF KHAMIS CHUM M1286 YUSSUF NUHU ADAM M1287 YUSSUF NUHU ADAM M1288 YUSSUF OMAR KHAMIS M1289 YUSSUFU SHAABAN KASSIM M1290 YUSUPH ABDULLAH MIRARO M1291 YUSUPH ISMAIL MAKWESA M1292 YUSUPH ISRAEL STEPHEN M1293 YUSUPH MBUGUNI HAMISI M1294 YUSUPH SALEHE LUDIMO M1295 ZABIBA HAMAD MBAROUK F1296 ZAINA SHAMTE SAIDI F1297 ZAINAB KOMBO HAJI F1298 ZAINAB MUSA ABDUL-AZIZ F1299 ZAINAB MUSA ABDUL-AZIZ F1300 ZAINAB SEIF ISSA F1301 ZAINAB SULEIMAN BAKARI F1302 ZAINAB YUSUFU TAHERALY F1303 ZAINABU HAMISI LUBUVA F1304 ZAINABU SAID NZIGE F1305 ZAITUNI MDIGO F

Page 14: ANNUUR 1029

14 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012Tangazo

1306 ZAITUNI ABDALLA OMAR F1307 ZAITUNI ABDUL OMARY F1308 ZAITUNI HAJI F1309 ZAITUNI HAJI MDIGO F1310 ZAITUNI HAMISI MBAMBAMBA F1311 ZALIHA ALI HAJI F1312 ZAMDA JAPHARI MTUNU F1313 ZAMZAM KHELEF KIBAO F1314 ZARAFI HAJI LUAMBANO M1315 ZENA ALLY BWAKILA F1316 ZENA IDD CHAMWAGO F1317 ZUBEDA SHABANI F1318 ZUBEIR MATISHO MSUNGWA M1319 ZUHURA ALLY HAMDUNI F1320 ZULFA RAMADHANI SHEMTAWA F1321 ZUWENA RAMADHANI OMARI F

B.ISLAMIC STUDIES WITH EDUCATION 1 ABASS JUMA MAKAME M2 ABDALLA CHUM JUMA M3 ABISALIT ALI SEIF M4 AISHA YAHYA SUFIAN F5 AK-THAR ALI MOHAMED F6 ALHAJI SAID JUMA M7 ALI HAJI SHEHA M8 AME MWIGA SILIMA M9 AMINA YAHYA MWECHE F

10 ANATH ATHUMANI MOHAMED F11 ASAJILE JOSHUA MHANDO M12 ASHA ADAMU MISSANA F13 FATMA ALI YASSIN F14 FATMAH ABDUL KIRIWE F15 FLORENCE PIUS RWAIGEMU M16 HAFSWA MNIRU MASOUD F17 HALIMA KOMBO ABDALLA F18 HAMIDA KHAMIS HAJI F19 HAMISI ATHUMANI NGOLILO M20 HAMISI WAZIRI MAZIKU M21 HARITH ABDALLA MOHAMED M22 IBRAHIM ALLY M23 IDD IDRISA AMEIR M24 JAMILA TAJI LILAWE F25 JUMA FAKI MAKAME M26 JUMA MOHAMED MKWACHU M27 JUMA MUSSA KILIMBI M28 JUMA MUSSA SAIDI M29 JUMAA HAMZA OMARI M30 KAITE ABDALLA MASSOUD F31 KEMSHA BURHANI ABUBAKARY F32 KHAIRAT HASSAN HAJI F33 KHAMIS BAKAR KHAMIS M34 KHAMIS MRISHO GOBEKA M35 KINANDA YUSUPH SHOMARI M36 KURTHUM NASSOR MSELEM M37 LATIFA ISSA ISSA F38 LUTTA KHALID M39 MABINA MOSHI MABINA M40 MACHANO ABDALLAH KHAMIS M41 MAIMUNA MAANGO KITWANA F42 MARIAM MJANAKHEIR MANENGELO F43 MARYAM HAJI KHAMIS F44 MARYAM MAHMOUD ALI F45 MOH’D HAMDU FADHILI M46 MTUMWA KASSIM ALI F47 MWAJUMA PANDU MAKAME F48 MWAMVUA MAKAME ALI F49 MWANA ABDULLA ALI F50 MWANAHAMISI HAMISI IDDY F51 MWANAIDI BAKARI IBRAHIM M52 MZEE ABDU MWINYI M53 NACHIA OMAR SHEHA F54 NASIBU WAZIRI M55 NASSIBU HUSSEIN NTUNDUU M

56 NUNUU OMAR MUHIDIN F57 OMAR HAMAD OMAR M58 RAHMA MBARAKA SHABANI F59 RAMLA JABIR HAMAD F60 RIZIKI KHAMIS SAID F61 SAADA BAKAR NASSOR F62 SADA HAMAD BAKAR F63 SAKINA HAJJ NASSOR F64 SALHA IDRIS RAMADHANI M65 SALIM SULEIMAN SOKA M66 SALUM ALI KHAMIS M67 SHARIFA ABEID F68 SHARIFAH SALUM AKIDA F69 SIMNI MOHAMED NAIM F70 SWALEHE RAJABU MKETO M71 SWAUMU SULEYMAN NDANI F72 TAHILA RAMADHANI KASSIM F73 TATU MSHAMBA KUNDI F74 TATU MUHAMDI ABASI F75 THOMAS PETER ATHUMANI M76 WAZIRI KHAMIS ABDALLA M77 ZABIBU SHAMUUNI HASSAN F78 ZAINAB ALLY TWAHA F79 ZAINAB JUMA USSI F80 ZAMDA SALEHE KAISI F81 ZUWENA HAMOUD AHMED F B. LLB WITH SHARIA’H 1 ABDULGHAFAR SALEH MARIJAN M2 ADAM ADIM PILLY M3 AMANA ABDALLA ALI M4 AMINA HABABUU MOHAMED F5 ASHA YAZIDU KATIMA F6 ATHUMANI ALLY MAKAME M7 AWENA SAID JUMA F8 AZIZI KIBWANA ABDALLAH M9 BADRU MAULID MTAMBO M

10 BURHANI UWESU AHMAD M11 CHAUSIKU ALLY F12 FAKI KHAMIS JUMA M13 FATMA IDRISA MAKAME M14 FATUMA LAI MASIMBA F15 HADIYA ABDALLA SALEH F16 HAFIDH SHAABAN SULEIMAN M17 HAMDUNI JUMA MUKHANDI M18 ISAYA DANIELI LUKINDO M19 ISMAIL ATHUMANI HAJI M20 JUMANNE OMARY MAKALA M21 KASSIM HASSAN KASSIWA M22 KHALFANI YASINI BWANGALO M23 MABINA MOSHI MABINA M24 MAFUNDA ISSA HEMEID F25 MAIMUNA SHABANI F26 MASHUHURI ABDALLAH SULEIMAN M27 MOHAMED ISSA OMARI M28 MUZNA HINDU MARUA F29 MWANASITI SAID OMAR F30 MWASHAMBA JUMA KHAMIS F31 OMARY MUSSA HAMISI M32 PRISILA KILIAN CHIHEU F33 RUKIA ALLY ABDULLA F34 SAID HAMISI MAKONGORO M35 SAID SULEIMAN ABDULA M36 SALHA ABDULRAHMAN SEIF F37 SEIF OMARI SEIF M38 SHAIB NOOR RUGEMA F39 SIBELA ABASI YUSUPH M40 SOUD MOHAMED SALYM M41 YAHYA MOHAMED MWINYI M42 ZAINAB MUSA ABDUL-AZIZ F B.LANGUAGE AND INTERPRETATION 1 ABUBAKAR SAID MOH’D M2 ALI SALUM SIYAHI M

3 FATMA JUMA SUILEIMAN F4 HAJI ALI ABDALLA M5 HAMADI KIMOLO M6 HASSANA SADICK LUBENGE F7 IMANI ABDUL-RAHMAN HAJI F8 JAMILA THABIT KOMBO F9 JAPHARY ISSACK MASHULANO M

10 JUMA KHAMIS JUMA M11 KASSIM OMAR SULEIMAN M12 KHALFAN SULEIMAN JUMA M13 KHAMIS ABRAHMAN KHAMIS M14 KHAMIS ALI SAID M15 KHAMIS MALIK SUWED M16 KHAMIS MOHAMED IS-HAKA M17 MARYAM JUMA ABDALLA F18 MOH’D SULEIMAN HIJA M19 MPAJI ABUBAKAR OMAR F20 MTUMWA MOSSI BAYA F21 MUHIDINI RAJABU RAMADHANI M22 MUSSA HAJI JAHA M23 NASSOR OMAR JUMA M24 NCHONO FURAHA MOHAMED F

SAID HAMAD SALIM M26 SAID HAMAD SALIM M27 SALIM FAKI SALIM M28 SELEMANI ABDULRAHMAN HAJI M29 ZAITUNI HAJI MDIGO F B.A MASS COMMUNICATION 1 ABDALLAH ALI BAO M2 ABDUL SHABANI KAPATE M3 ABOUD HUSSEIN MUSTAFA M4 ABUBAKARY ABDALLAH MILANDU M5 ALI RAMADHANI KHATIB M6 ALLY HUMUDI NDEGE M7 ASHA KOMBO JUMA F8 ASNA MOHAMED LACHA F9 ATHUMANI SAIDI MIRABO M

10 AYOUB HAMISI CHILEMBU M11 FAKI SULEIMAN OMAR M12 HABIBA JUMA ABDALLA F13 HAJI SHASANI OMARI M14 HAMISI ABDALLAH LIKAWAGA M15 HANIFA SAID IDD F16 HUSSEIN ALLY THABIT M17 JAFARI JUMANNE MOHAMMEDY M18 JAMALI HAMISI LINJEMBWA M19 KHADIJA ALLY SALUM F20 KHAMIS HAJI UJUDI M21 KHEIR ALI MAKAME M22 MGENI ABASS HAJI F23 MWADHI MOHAMED MUWINO M24 MWAIKAMBO MOSES KALELUKA M25 MWANAKHEIR ISSA SHAABAN F26 NASRA ABULAZIZI KOOSA F27 OMAR SULEIMAN OTHMAN M28 RAMUNA ALLY MUNISSI F29 SAFINA IBRAHIM KATABARO F30 SALUMU BURIANI NANDALA M31 SELEMANI TWAHA SELEMANI M32 STANLEY FEDASTO MKUNDA M33 THUWEIN THABIT MZEE M34 UMMI SHAIB SALIM F35 WEMA BARAKA KILONGOLA F36 YUSSUF KHAMIS CHUM M37 YUSSUF NUHU ADAM M

F.A. TamimFor DVC (ACADEMIC)

Page 15: ANNUUR 1029

15 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012Makala

Nani Moyo na aliyofanya ZNZ kabla ya Mapinduzi

Inatoka Uk. 11

Tamko la umoja wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Zanzibar kuunga mkono utetezi wa wawakilishi kwa maslahi ya nchi ya ZanzibarInatoka Uk. 11

Kiingereza cha Kisheria), baada ya wale kuondoka.

Mambo yakawa mazito mle. Salimu akamwambia hili suala lazima tupate mwanasheria si jambo jepesi hili la kuunganisha nchi. Ndipo Salimu akaambiwa na Mzee Karume, usimueleze yoyote suala hili, ndio maana ha t a Dorado , a l i yekuwa Mwanasheria Mkuu wa Selikali ya Mapinduzi hakujua.

Basi tarehe 22, akaja Mwalimu (Nyerere) mwenyewe na timu yake ya kina Kambona (Osca), Swai, Paul Bomani, Lusinde, Bonka Munanka, wote hao akaja nao Mwalimu, na Mzee wetu mmoja wa Kingazija, akiitwa Tambwe, aliyekuwa mtu wa TANU.

Kufika pale wakafanya mazungumzo watu wawili tu, wengine walikaa pale Ikulu, wazee wamekwenda chumbani wamepiga soga huko kutoka pale basi watu wa magazeti wapo pale saini ikatiwa ndio hao mnaona katika picha mashaidi wale, na wezetu Unguja walikuwepo Twala, Salehe Sadala na Hanga, hawa kwa sababu ya urafiki wao bila shaka walijulishwa kwamba sisi tunakuja kesho huko ni marafiki hawa na kina Kambona, lakini sisi wengine wote wa Baraza la Mapinduzi hatukujua suala lile. Tumekuja kujua lilipoitwa Baraza la Mapinduzi tarehe 23, kuelezwa kuhusu ule mkataba na kuelezwa kuwa tumeungana na Tanganyika, mananielewa vijana?

Kwa hiyo Salum, kama Katibu Mkuu aliisoma ile karatasi kwa Kiswahili, maana iliandikwa kwa Kizungu, sasa katika kuendelea kuzungumza mwenzetu mmoja Hamisi Abdallah Ameir, yu hai akamuuliza Mzee Karume, lakini Mzee hili jambo muhimu sana mbona tunalifanya harakaharaka na halina wanasheria hili jambo, tutulie, Mzee Karume alisema kama hamtaki haya makaratasi n i tamrudishia mwenyewe Nyerere.

Sasa sisi tukarudia kumuuliza sasa Mzee, kuhusu mambo yetu ya elimu haya wakati ule elimu bure, afya itakuwaje, ardhi nayo itakuwaje, tunauliza kwa sauti ya chiini kabisa wakati wenyewe ushakuwa mbaya tena, ukipandisha sauti juu utapotea.

M z e e a k a s e m a , h a y o yatakuwa chini ya Serikali yetu maana Muungano huu utakuwa na Serikali mbili, yetu itakuwa yetu sisi na wenzetu itakuwa katika Serikali ya Muungano, kwa hiyo tutakuwa na Serikali ya Muungano na Serikali ya Zanzibar, ya wao ya Tanganyika itaingia katika Serikali ya Muungano , tukanyamaza tukamaliza.

Chini ya nusu saa tumemaliza kuunganisha nchi. (Chini ya Nusu Saa Nchi imeunganishwa!!!). Hebu niambieni kweli! Lakini tumefanya lakini kilichotawala zaidi ni ule uhusiano lakini Mzee, akatueleza pamoja na yote sisi bwana nchi yetu ni ndogo na ni Kisiwa, bahari inakula Kisiwa. Sisi leo tupo laki tatu kesho na kesho kutwa tutafika milioni tatu tutawaweka wapi watu hawa, uchumi wetu ni Karafuu na

Mbata, watu hawa wakiongezeka watakula nini, kazi hatuwezi kuwapa hawa wa t akuwa wengi. Lakini tukiungana na wenzetu watakwenda kule Bara watapata kazi kule watapata mashamba, watafanya biashara watajenga nyumba, nchi ndogo lakini tutakuwa tumepata fursa nyingi.

Basi tukaona ni jambo zuri, hivyo ndivyo ilivyokuwa. Kwa hiyo Muungano wetu zaidi ulitawaliwa na udugu haukutawaliwa na sheria na Katiba, haya maneno mengine kuwa Mzee Karume alikuwa anaogopa kuja kupinduliwa na Hizbu, mambo ya kitoto. Mzee Karume alikuwa hana sifa ya woga.

H u o n d i o u k w e l i niliokuelezeani mimi kiasi n i n a v y o j u a s i o k w a m b a nimehadisiwa nilikuwa nipo, h ivyo nd ivyo Muungano

ulivyokuwa tukafika hapo tulipofika na tukaunganisha nchi yetu.

Mwanzo wa matatizoLakini sasa katika kuunganisha

tunaendelea na Muungano, Tarehe siijui lakini mwaka ninaujua yalipoanza matatizo 1970.

Mwaka huo (Tarehe 8 Agasti) bado harakati za ukombozi Afrika zinaendelea, Msumbiji bado haijajitawala, jeshi lishakuwa la Muungano, Mwalimu (Nyerere) akatoa maagizo askari vijana wetu wa kijeshi watoke waende Msumbiji kusaidia mapambano.

(Mzee Karume) alikuwa hana habari kwamba vijana wa Kiunguja watatoka hapa kwenda Msumbuji kusaidia mapambano, akaja akasikia askari wetu wapo Melini wanakaribia Chumbe, alipopata habari, Mzee Karume akatoa uamuzi

kwamba vijana warejeshwe, kweli wakarejeshwa, siku ileile Meli ishafika Chumbe, ikarejea Unguja.

Mwalimu akapata habari kwamba wale Askari wako wale uliotoa kwamba waende Msumbij i wamerejeshwa, na nani? Na Makamu (Mzee Karume). Mwalimu zikampanda kwa nini mimi ndio Amiri Jeshi Mkuu, Mzee Karume akapigiwa simu hapa, kwamba Mwalimu anataka kuonana naye.

Ikaletwa ndege hapa, Mzee Karume akaenda akapokelewa kule, na aliyempokea uwanja wa ndege alikuwa Songambele, (Mustafa) akiwa Mkuu wa Mkoa pale, moja kwa moja mpaka Ikulu, kufika pale anamkuta Mwalimu sharubu zinacheza na Mzee Karume naye akapandisha sharubu zake.

Sheikh vipi tena mbona nasikia askari wangu umewarejesha.

(Karume) Akamwambia “ndio nimewarejesha”, anamwambia Rais wake, kwa nini, akamwambia “kwa mujibu wa katiba na kwa mujibu wa makubaliano mimi si ndio msaidizi wako number one kule Unguja kwa Mambo yetu ya Muungano”, ndiyo, “mbona sijui mie, na wale ni watoto wa watu na vita maana yake ama utavunjika mguu ama utakufa nitawajibu nini wazee wa watoto wale nitawajibu Nyerere kawachukua? Mimi sina habari ndio nikawazuia nikawarejesha.”

Hapo ndio mkasa ukaanza kutokea hapo. Siku ya tatu Mzee Karume anaitisha Baraza la Mapinduzi, lilikaa kitako likamua mambo manne na akaeleza kwamba hatari ile lazima tuiwahi mapema, na yote yalikuwa ni mambo ya Muungano. Tukaamua kuanzia wakati ule hali ya hatari katika nchi kutangazwa vita lazima Rais wa Zanzibar ajulishwe na akubali.

La pili, Polisi hawa lisiwe tena jambo la Muungano kila mmoja awe na Polisi wake. La tatu Mambo ya Jje kama ni mabalozi 14, basi saba huku saba huku, pia mambo ya sarafu kila mmoja we na yake, na vile vile tufungue ofisi ndogo ya Mambo ya Nje.

Tukaandika barua kwa Mwalimu, sina hakika kama alitia saini Mzee Karume au Aboud Jumbe, i l ipelekwa ikieleza kuwa mambo hayo sasa tunataka yawe ya Muungano na mengine yasiwe ya Muungano lakini tuwe tunashauriana na kukubaliana.

M w a l i m u a k a i t u i s h a mkutanio wa pamoja Baraza la Mapinduzi na Kebineti ya Muungani, tumekwenda Dar es Salama hatuulizani hali na wenzetu wa Bara, watu wote wanajua leo ndio mwisho wa Muungano. Tunatazamana kama Chui na Paka.

Aboud Jumbe kama Waziri wa Nchi, akatoa muhtasiri wa mazungumzo yale, Mwalimu, akamuuliza Mzee Karume, h iv i nd ivyo mnavyo taka mambo haya? Mzee Karume a k a m w a m b i a : “ Wa u l i z e wanaume hao”. Mwalimu katuuliza sisi jamani hivi ndivyo mnavyotaka, soote tukaitika kwa pamoja ndiooo. Akarudia mara tatu tukajibi hivyo ndivyo tunavyotaka.

Mwalimu, akamuita Mzee Karume, Sheikh, kama hivi ndivyo mnavyotaka wakati wake bado. Sasa ndio wakati wake huu. Nilitaka nitoe hadithi hii nikufikisheni mahala hapa muelewe, msije hata mara moja mkaogopa, mkadhani nyie manaleta fujo hapa, tulianza fujo sisi wazee wenu.

Haya k ina Al ly Ameir wanisute basi, maana ndio ukweli wenyewe mimi sisemi kitu ambacho sikijui aah. Kwanza Ally Ameir, hakuwa katika Baraza la Mapinduzi, hakuwa katika Umoja wetu wa Vijana, Mzee Hammed Ameir, ndio alikuwa katika Serikali. (Itaendelea wiki ijayo)

Zanzibar na Wazanzibari katika kupata mamlaka yake kamili ya ndani na nje.

Baada ya kusema hayo tunapenda kuwashukuru Wazanzibari wote na nchi nzima ya Zanzibar na visiwa vyake kwa mshikamano mlioonyesha na kwa kutuunga mkono toka mwanzo hadi hapa ambapo kwa kushirikiana kwa pamoja tumeweza kuufikisha umma katika mustakbal mzuri. Ndugu Wazanzibari tunakuombeni tusimame pamoja na kwa sauti moja tuwaunge mkono Wawakil ishi wetu wote waliosimama ndani ya Baraza la Wawakilishi kuitetea ardhi na nchi yetu ya Zanzibar. Tunapenda kutoa shukurani za dhati na maalum kwa Mzee Mheshimiwa Hassan Nassor Moyo kwa kuendeleza msimamo wake usiotetereka katika kuitetea Zanzibar na maslahi ya Wazanzibari bila ya kujali itikadi ya chama chake.

Tunahitimisha tamko hili kwa kuwahakikishia viongozi wetu wa ngazi za juu na Wawakilishi wote katika Baraza la Wawakilishi na kila anaesimamia maslahi ya Zanzibar wakae wakijua kuwa umma wa Kizanzibari pamoja na ofisi zote na viongozi wote

watakuwa pamoja nao katika kuipigania nchi yetu. Iwapo Wawakilishi wetu wataendelea kutishwa na

kufedheheshwa, basi tuko tayari kuitisha mkusanyiko wa amani (sit-in) nchi nzima utakaomalizikia Baraza la Wawakilishi kwa lengo la kuwaunga mkono na kuwalinda Wawakilishi wetu wenye kuitetea Nchi ya Zanzibar yenye hadhi zake zote za Kitaifa na Kimataifa.

Tunatamka wazi kuwa tuko tayari kuwatetea Wawakilishi wetu na kulilinda Baraza letu la Wawakilishi ambalo ni chombo cha kisheria chenye kusimamia matakwa na matilaba ya wananchi wa Zanzibar bila ya kujali vyama vya kisiasa.

Na tunauthibitishia ulimwengu kuwa tutalinda amani na utulivu wa nchi yetu na hatutowapa mwanya maadui wa nchi ya Zanzibar kututia ndani ya mtego wa kuvuruga neema ya amani na mfungamano baada ya Allah Subhana wa Taala kuiokoa Zanzibar baada ya nusu karne ya fitina baina ya ndugu wa nchi moja.

Wabillaahi Tawfiq. ……………………………………….

AMIR: Farid Hadi AhmedMsemaji Mkuu wa Umoja wa Jumuiya na Taasisi za

Kiislam Zanzibar. NAKALA:Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi

ya Zanzibar.Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar.Spika na Wawakilishi wa Baraza la Wawakilishi

Zanzibar.Waziri wa Katiba na SheriaKamishna wa Polisi.Viongozi wa Dini na Jamii.Vijana wa Umoja wa Kitaifa (Wanafunzi wa Vyuo

Vikuu).Mabalozi na Wawakilishi wa Nchi za Nje.Waandishi na Vyombo vya Habari.Viongozi wa Vyama vya Siasa.

Page 16: ANNUUR 1029

16 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

KUNA watu wengi duniani h u w a w a n a u m w a n a magonjwa mbali mbali isipokuwa wanajijuwa kuwa wanaumwa, na wengine kwa bahati mbaya huwa hawaj i ju i kama wana ugonjwa. Na ubaya zaidi ni pale unapomwambia kuwa ndugu yangu una ugonjwa, basi huwa mkali kama pilipili. Anahisi kumwambia yeye ni mgonjwa kama umemdharau na kumshusha h a d h i . A m a w e n g i n e u n a p o w a a m b i a k a m a wana ugonjwa, hufurahi na kukushukuru kwa kuwa umemzindua na haraka huanza kutafuta tiba. Tatizo kubwa zaidi kuliko yote ni kuwa wengi katika watu hudhania ugonjwa unakuwa ndani ya mwili tu na kusahau kuwa hata moyo (nafsi) una magonjwa yake kati ya hayo ni: Chuki, hasadi, choyo, ubaguzi n.k.

Kuna mzee wetu mmoja naye tunahisi ana ugonjwa wa ubaguzi wa rangi na dini. Hayo yanadhihirika katika makala yake aliyoandika katika gazeti la RAI la Alkhamis 7-14 Juni 2012 kwenye ukurasa wa 8 yenye kichwa cha habari kinachosomeka: W A N A O V U N J A M U U N G A N O W A N A R E J E S H A USULTANI? Nashindwa kumuelewa mzee wangu anaposema maneno hayo anakusudia nini , kwani maneno kama haya na mfano wa hayo kama – vibaraka, wanatumiwa, hawaitakii mema Tanzania, wanataka kurudisha ukoloni n.k.

Kwa kweli maneno kama haya walikuwa wanaweza kuyatumia kwenye miaka ya mingi iliyopita lakini kwa karne hii si ya kudanganya watu kwani ni wakati wa utandawazi na ambao kila kitu kinafahamika ukiziba dirisha moja watu wasichungulie kuna madirisha 20 yapo wazi ambayo wewe huyajui na watu.

Sasa kusema wanaovunja muungano wanare jesha usultani labda tumuulize mzee wetu na wale wenye fikra kama yeye, maana inaonekana amekula chumvi nyingi na anajua mengi anaweza kutusaidia kupata jawabu la suali letu. Anaposema kurudisha usultani anakusudia masultani wenyewe ni : Watoto, wake, mashemegi wa: Hayati Abeid Amani Karume, Ali Hassan Mwinyi, Khamis Darweshi, Ali Muhsin, Ibrahim Amani na Pili Khamis. Au Hassan Nassor Moyo, Amani Abeid Karume, Ali Abeid Karume, Said Bavuai, Yussuf Himid, Said Washoto, Rashid Abdallah, Hasnuu Makame na Mtoro Rehani.

Au anakusudia nani? Maana hao tu l iowata ja shemeji zao wake zao na watoto wao ni Waarabu na

Halimoja mgonjwa asiyejijuaNa Abu Yusuf

watoto hao wajomba zao ni Waarabu ambao wewe unaowaita masultani. Ama kama umekusudia watoto hao ndio masultani wenyewe kwa hivyo wasipewe madaraka kwa sababu mama zao ni Waarabu ba l i wapewe madaraka watu waliotoka Tanganyika hilo unajisumbua kwani Wazanzibari halisi hawatizami hilo sasa hivi. Wao wanatizama maslahi ya Zanzibar bila ya kubaguana kirangi au kikabila, na inaonekana hicho ndio kinachowauma wale wenye fikra kama za Mzee Halimoja, kuona kwa nini Wazanzibari wamekuwa kitu kimoja hawakubali kugawiwa mapande ili watawaliwe!!

Jambo lingine ambalo l i m e p o t o s h w a k w e n y e historia inayoandikwa na wenye ugonjwa wa ukabila ndani ya nyoyo zao wala hawalizungumzi ni kuwa wal iosh i r ik i mapinduz i s i Wa a f r i k a w a l i o t o k a Tanganyika na Uganda na Kenya peke yake, bali Waarabu walishiriki katika mapinduzi hayo au labda mzee wetu ana ugonjwa wa macho unaoitwa color blind ambao humfanya mtu aone vitu vyote ni vyeupe au vyeusi, basi inawezekana mzee wetu huyu yeye haoni rangi nyengine isipokuwa nyeusi tu.

Baadh i ya Waarabu wal iosh i r ik i mapinduz i hayo kwa namna moja au nyengine ni: Ali Mahfudh, Ali Sultan Issa, Salim Ahmed Salim, Humoud Albarwaniy, Amour Aldugheishy, Amour Aldugheishy na Salum Rashid. Wengine ni Ahmed Badawiy, Hamed Hilal, Khamis Abdallah Ameir, Biubwa Zahor, Salim Saleh, Hashil Albusaidy, Mohammed Said Mtendeni, Abdurrahman Babu, Haroub Mohammed Salum, Salim Saleh na wengine wengi waliokuwa katika chama cha UMMA PARTY.

Kwa hivyo kutokea kwa watu wakaipotosha historia na kudai ni Waafrika tu ndio walioshiriki mapinduzi ni kuigeuza historia juu chini, na kudanganya watu wasioujua ukwel i , ik iwa Waarabu walishiriki mapinduzi ya kumtoa Sultani kwa nini iwe dhambi na kosa kwa M w a r a b u h u y o h u y o akisimama na kutetea maslahi ya Zanzibar na Wazanzibari? Kwa nini iwe nongwa kwa watu wa Tanganyika pindi Wazanzibari wenye rangi nyeupe wakisimama kutetea maslahi ya nchi yao? Kwa nini iwe chuki kwa Mapadri na Maaskofu wa Tanganyika pindi wakiona Wazanzibari wanatetea maslahi yao?

Hiv i wamsubi r i nan i atakayekuja kutetea maslahi yao kutoka Tanganyika? Wakati wao ndio walioimeza Zanzibar?

Hapo siku za nyuma mzee

wetu huyu Yusuf Halimoja aliwahi kuandika makala akimuunga mkono mmoja katika ya waanzilishi wa kimoja kati ya vyama vya upinzani, aliposema kuwa tume ya kukusunya maoni kuhusu mabadiliko ya katiba ina udini kwa sababu Waislamu ni wengi kuliko Wakristo.

Hapa ndipo tunaposema k u w a m z e e w e t u b a d o anasumbuliwa na dhambi za udini, kwa sababu Waislamu siku zote wanapiga kelele kuwa katika serikali ya muungano kuna udini na wanatoa data za uhakika, ila hutukumsikia akiunga mkono maneno yao hayo, tunamwomba mzee wetu na wale wenye maradhi kama hayo wasijaribu kutoa kibanzi kilicho kwenye jicho la jirani wakati katika macho yao mna maboriti !

Tunamwambia mzee wetu aangalie idadi ya Wakristo wapo wangapi na Waislamu ni wangapi katika sehemu zifuatazo halafu atwambie nani wana udini Tanzania: Mawaziri, Manaibu wao, Wakuu wa mikoa, Wakuu wa wilaya, Mahakimu, Tume ya

NECTA n.k. Toka nchi hii imepata uhuru, imepata kuwa na Wakurugenzi wa Mashitaka 11 (1961 hadi 2012). Jina la Muislamu linatokea mara moja tu.

K w a u p a n d e w a M w a n a s h e r i a M k u u , kumekuwa na wanasheria wakuu 7 na manaibu 11 toka 1961 hadi 2012 ambapo haijawahi kutokea kuwa na Muislamu katika nafasi hiyo.

Asisahau pia lile suala la MoU ambao ni mkataba wa maridhiano baina ya kanisa na serikali wakati wa ambapo serikali itatoa mgao maalum wa pesa kwa ajili ya kuyapa makanisa ya j i imar i she . Jee hizo pesa wanazopewa Makanisa si kodi za Watanzania wote wakiwemo Waislamu wakiwemo Wazanzibari?

Inawezekana mtu akasema nd io wanapewa , l ak in i wanaosoma na kutibiwa katika Vyuo na Mahospitali hayo ni watu wa dini zote bila ya ubaguzi. Tunasema sawa kwanza: Nani aliyewapa

Serikali kutiliana mkataba na Wakristo ili wapewe Mgao maalum katika bajeti ya Serikali ambayo inatokana na kodi za wananchi? Ingelikuwa Waislamu ndio waliofanya hivyo Tanzania pangelikalika kutokana na makelele ya Wakristo?

Pili faida inayopatikana katika Mashule na Mahospitali hayo wanaipeleka Serikalini au wanatumia Makanisa kujiendeleza mambo yao?

Vi l e v i l e p e s a h i z o wanazopewa Makanisa kwa nini zisingetumika kwenye kuziboresha hospitali za serikati na kuwaongezea madaktari mishahara au kuboresha mashule na vyuo vya serikali na kuwaongezea mishahara walimu?

Vile vile asisahau kuangalia pesa za kodi za wananchi zinavyotumika kupambia maofisi ya serikali katika siku za Krismas na katika sherehe za kikristo. Jee huo si udini mbona mzee wetu hauzungumzii ?

Kwa kweli yapo mengi mfano wa hayo ila tutosheke na hayo kwani lengo letu si kuelezea udini katika Tanzania ba ina ya Wai s l amu na Wakristo. Jambo hilo linataka makala yake maalum.

Jumuiya ya Kuhifadhisha Quraan Tukufu Tanzania na Tanzania Muslim Hajj Trust

Wanawaakaribisha waislam wote katika

MASHINDANO YA KUHIFADHI QUR`AN TUKUFU YA KIMATAIFA

Mashindano hayo yatashirikisha Nchi zifuatazo:- Nigeria, Yemeni, Misri, China, Kenya, Filipino Sudan, Uganda, UAE, Oman, Uingereza na Afrika Kusini.

FAINALI KWA WASICHANA:Jumamosi tarehe 11 Agosti 2012 saa 3:00 asubuhi.

UKUMBI: Starlight Hotel Hall(Waalikwa wanawake )

FAINALI ZA WAVULANA:Jumapili tarehe 12 Agosti 2012 saa 3:00 asubuhi

UKUMBI: Diamond Jubilee Hall(Waalikwa wanaune na wanawake)

Kwa mawasiliano zaidi, Barua pepe: [email protected] Tovuti: www.quran.or.tz

Changia Kuendeleza Kuhifadhisha Qur`an tukufu Tanzania.

Wabillah Tawfiiq

Page 17: ANNUUR 1029

17 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

Na Khalid S Mtwangi

KWA wale wanaofuatilia kwa karibu mienendo ya Waislamu kwao haitakuwa mara ya kwanza kwa swali hili kuulizwa. Yaani mpaka lini Waislamu wa nchi hii watakuwa ni watu wa kutumiwa kama chombo cha kufanikisha haja na madhumuni ya watu wengine tu? Huko nyuma Ustadh Mohamed Said hakuweza kuvumilia na aliliweka swali hili hadharani katika safu za gazeti hili; kweli imekuwa ni siku nyingi kidogo sasa tangu alipoliandikia swali hilo. Lakini inaelekea jibu na wala jawabu hayajapatikana. Hili limejitokeza zaidi na k w a k a s i m w e z i h u u mtukufu wa Ramadhani pale inaonekana dhahiri kuna watu wanaowadanganya Waislamu kuwa wao ni ndugu zao na wako pamoja kwa kila hali. Huu ni uwongo mtupu.

Itakumbukwa kuwa huko nyuma Mabalozi wa nchi za Magharibi, hasa Marekani na Uingereza, walijitoa wazi kwa kuwakaribisha baadhi ya Waislamu ati waende kufuturu kwao wakati wa swaumu ya mwezi wa Ramadhani. Wasomaji watakumbuka kuwa ni wakati huo ndio mataifa haya makubwa yalikuwa yamekazana kabisa kuwauwa Waislamu wasiokuwa na hatia yoyote huko Iraq na Afghanistan. Wale Wazungu wenzao walowezi wa Israel wakifurahia kuwauwa wananchi wa Palestine huku wakiikalia nchi yao kwa kutumia kila aina ya silaha. Miaka miwili hii ya karibuni kwa sababu zinazoweza kufahamika haya mataifa makubwa yamesitisha hadaa hiyo, labda tu wameacha kujitangaza hadharani kuwa bado wanawateka akili baadhi ya Waislamu ili wawatambue kuwa ni marafiki wa Waislamu ha t a kama wanaendekea kuwauwa Waislamu wenzao huko Afghanistan.

Labda inawezekna kuwa baadhi ya wasomaji wanaweza kuelewa vibaya pale huu uuite ukarimu wa ndugu wasio Waislamu wakati huu wa mfungo wa Ramadhani. Hakuna haja kabisa ya kuzua uhasama. Hilo litakuwa jambo geni kwa Waislamu wa nchi hii kwani tangu huko nyuma Waislamu wa nchi hii wameonyesha ukarimu wa hali ya juu kabisa katika mahusiano yao na wale wasiokuwa Waislamu.

Lakini hawa wanaofika hata kuandaa futari hakika ni wanafiki wa hali ya juu kabisa. Kwanza fikiria ndio hao walio mstari wa mbele kupinga kabisa Waislamu wasipate nafasi ya kutekeleza ibada zao muhimu. Wanapiga vita kabisa kuwepo kwa Mahakama za Kadhi yakiwa

Waislamu watatumiwa mpaka lini?ni sehemu ya mfumo kamili wa kutoa haki na kutekeleza sheria za nchi hii. Wanapinga kabisa nchi hii kuwa mwanachama wa OIC wakati kama inavyojulikana Baba Mtakatifu Papa wa Vatican anamuwakilishi wake hapa ambaye anahudhuria mikutano ya maaskofu kupanga mipango ya maendeleo yao nchini humu. Mipango hiyo ikiwemo ya kuendeleza elimu na afya. Huduma muhimu ambazo Serekali ya Tanzania inachangia marudufu. Hii maana yake ni kuwa huyu muwakilishi wa Papa ana sauti kubwa katika maendeleo ya nchi hii ambao pia ina wananchi wasio kuwa Wa K a t o l i k i . N d i o h a w a wanaodanganya wakuwaalika Waislamu ati kufuturu nao.

Hilo haliwahusu WaKatoliki tu peke yao. Palipotokea rabsha kule Zanzibar makanisa ya bara yalijitokeza kwa nguvu sana kuwalaani watu waliosemekana kuwa walichoma moto makanisa. Lugha iliyotumiwa na hawa viongozi wa makanisa ilikuwa kali sana dhidi ya Waislamu wote na Imani yao. Haikuonyesha hali ya urafiki hata kidogo, hakika uhasama ulionyeshwa wazi wazi. Hilo linaweza kuwa hivyo kwa sababu hawa viongozi wa makanisa wanafahamu sana kuwa Uislamu ni dini ya amani na hivyo kama kuna waumini wanafanya fujo yeyote hilo ni lao wenyewe hao wanaojiita Waislamu. Lakini ni Uislamu u l iokuwa ukishambul iwa na hawa viongozi wa dini zisizokuwa za Kiislamu. Kweli hawa wanaweza kuwa ni watu ambao wanaweza kujumuika na Waislamu katika kufuturu kwa dhati bila kuwa na unafiki nyuma yake?

K w a w a l e Wa i s l a m u wanaohudhuria hafla hizi za futari hivi kweli hawafahamu kuwa ni hao wanaowaalika ama kushirikiana nao ndio hasa wanaoendeleza MfumoKristo nchini humu ambao hakika unaotunga na kutekeleza zile sera za dhulma ambayo wao Waislamu wamekuwa wanalalamikia siku nyingi. Inakuwaje Muislamu unashirikiana nae katika dhifa ambayo ina asili ya Uislamu wakati huo huo akiondoka hapo yuko tayari kuhujumu maendeleo ya hao Waislamu. Pia Waislamu wa Tanzania wafahamu kuwa wao na dini yao ni vitu ambavyo havina thamani mbele ya Mkristo aliyeiva baada ya kupikwa na mafundisho potofu yanayo tolewa na viongozi wao. Huko nyuma katika safu ya gazeti hili ni kulikuwa na makala ambazo zilitoa taarifa ya mafundisho wanayopewa hasa Wakatoliki katika kijitabu kiitwacho DINI MBALI MBALI NA UTUME WETU ambacho kinatoa uwongo mwingi juu ya Uislamu na Waislamu. Pia Waislamu watafute kijitabu kingine kilichoandikwa na Kanisa Katoliki kinachoitwa L AW G L O S S A R Y O F ISLAMIC TERMS IN SWAHILI kilichoandikwa na Dr Jam Knappert na kupigwa chapa Peramiho. Kwa mfano anasema kuwa Iran ni POLYTHEISTS A N D S I N N E R S … T H E Y W O R S H I P H U S A Y N (Staghfurul lah) (page 9) . Uwongo kama huu unashikwa na waumini wa makanisa na

kuleta dharau juu ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla. Hawa ni watu wakushirikiana katika futari kweli?

Unafiki wa ukarimu huu wa futari inaonekana katika njia mbili. Moja ni kwamba aghlab wale wanaoalikwa si wawakilishi wa Uislamu na Waislamu nchini humu. Uwakilishi hauwezi kuwa kamili kama viongozi kama vile Sheikh BaSaleh, Sheikh Kilemile na hata Sheikh Issa Mohamed Issa na Sheikh Ponda Issa Ponda hawamo katika orodha. Ukweli ni kwamba hawa ni katika wale hakika wanaowakilisha maoni na hisia za Waislamu nchini humu. Inajulikana kuwa hawa maadui wa Uislamu nchini hawatak i kukuba l i kuwa BAKWATA sio wawakilishi

wa Waislamu ni hawa ambao wamekuwa kigingi cha maendeleo ya Waislamu ndio wanatambuliwa na wale wanaotekeleza dhulma dhidi ya Waislamu. Pili ati baadhi ya hawa wasiokuwa Waislamu wanahudhuria hafla hizo huku wamevaa kanzu na baraghashia!! Inafahamika kuwa watu ambao hi lo ni vazi lao la kawaida hudharauliwa sana kama ni watu ambao hawakusoma na hawana ustaarabu wa Kimagharibi ambao kwa mawazo ya wengi ndio tu ustaarabu unaokubalika. Pia hivi ni lazima pawepo na kamera za television na magazeti kila panapokuwa na kukaribisha kula futari? Kujionyesha na kujigamba huku si katika madili ya Kiislamu!

Pamoja na hayo yote ni muhimu kusisitiza kuwa pasiwepo na

uadui kati ya Waislamu na watu wa dini zingine hasa Wakristo. Waislamu wanatafuta haki tu sio upendeleo. Kuna Waislamu wengi ( ik iwa pamoja na muandishi huyu) ambao wana ndugu waumini wa madhebu za Kikristo. Hakika ni khulka ya Waislamu kushirikiana na wananchi wenzao katika mambo mengi na ndio maana nchi hii ina sifa ya amani. Pengine lau kama ile dhulma wanayopitishiwa wao Waislamu ndio ingekuwa wanayodhalilika hao wasiokuwa Waislamu labda sifa ya nchi hii ingekuwa ya aina nyingine.

Ta f a d h a l i n i Wa i s l a m u msikubal i kutumiwa ki la siku kwa manufaa ya wale wanaendeshao dhulma dhidi yenu. TUAMKE!!!

TAASISI YA KHIDMAT ISLAMIYA INAWATANGANZIA WAISLAMU WOTE SAFARI YA HIJA KWA GHARAMA YA DOLA 4450 TU AMBAZO ZINAWEZA KULIPWA KWA AWAMU (KIDOGO

KIDOGO). GHARAMA YA (KUHIJIWA) NI DOLA 1450 TU.

MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMA ZIFUATAZO:• NAULI YA NDEGE KWENDA NA KURUDI (KWA NGEGE YA EMIRATES) • MALAZI MAKKA, NYUMBA MWENDO WA DAKIKA 18 TU MPAKA MASJID HARAM.• MALAZI MADINA, NYUMBA MWENDO WA DAKIKA 5 TU MPAKA MASJID NABAWY• USAFIRI WA BASI KATI YA JEDDAH – MAKKA, MAKKA – MADINA • USAFIRI WA UHAKIKA WA BASI MASHAIR (MINA,ARAFAT, MUZDALIFA)• CHAKULA MILO MITATU, KUJIHUDUMIA MWENYEWE (BUFFET)• NGUO (IHRAM) KWA WANAUME NA WANAWAKE, GALONI LA LITA 10 MAJI YA

ZAMZAM• KUCHINJIWA MNYAWA WA UDH-HIYA, ZIYARAH SEHEMU ZOTE MAKKA NA MADINA

KHIDMAT ISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZA MAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NA MASJID NABAWY).SHEIKH HASHIM AHMED RUSAGANYA, SHEIKH JUMA RAJAB IKUSI NA SHEIKH HARUNA JUMANNE KAPAMA WATAKUWEPO NA KUTOA MWONGOZO KWA MAHUJAJI WAKATI WOTE. AL-HAJJ AHMED SALEH NAHDY (HAMADO) NA AL-HAJJ ZULFIKAR OSMAN (ZULLY) VIONGOZI WENYE UZOEFU WA MUDA MREFU PIA WATAKUWEPO KUSIMAMIA MASUALA YA USAFIRI. LENGO NI KUHAKIKISHA KILA HUJAJI ANATEKELEZA IBADA YAKE INAVYOTAKIWA.DAKTARI ATAKUWEPO KATIKA MSAFARA NA MADAWA YOTE MUHIMU YATAPATIKANA WAKATI WOTE WA SAFARI.

KWA MAELEZO ZAIDI NA UANDIKISHAJI WASILIANA NA: • SHEIKH HASHIM AHMAD RUSAGANYA NAMBA YA SIMU 0715 915 008, 0784 915 008• SHEIKH ABDALLAH MOHAMED JUMA – IMAM MSIKITI WA MTORO – 0713 445 545• AL-HAJJ ZULFIKAR OSMAN 0777 411 020, 0713 530 036, 0786 411 020• AL-HAJJ HAFIDH SALIM – 0655 616 623, 0682 535 319• SHEIKH HARUNA JUMANNE KAPAMA 0715 985 413• AL-HAJJ ALTAF ABDULLATIF AHMED 0789 373 222, 0779 786 786• AL-HAJJ OMAR AWADH KHAMIS - MSIKITI WA QIBLATAIN - 0715 210 666• ARUSHA: SHEIKH JUMA RAJAB IKUSI – TAYSEER STORE DUKA NO.12 MKABALA NA

NMB TAWI LA SOKO KUU NAMBA YA SIMU 0786 125 512, 0767 125 513, 0655 125 513 • MOROGORO: AL-HAJJ AHMED SALEH NAHDY (AHMADO)- 0715 372 776, 0773 372 776 • DODOMA & SINGIDA: AL-HAJJ YUNUSU RUGEIYAMU – 0754 334 400, 0786 293 901• DODOMA & KONDOA: SHEIKH ESMAIL H. ALLIY – 0713 677 683• MOSHI: IMAM MSIKITI WA SUNNI MAULANA DOGO – 0754 918 977 AU • AL-HAJJ OMAR AHMED FARAJ 0784 476 220• MPANDA: AL HAJJ HEMED SALUM -0784 838 945• MWANZA&DAR: Dr. ABDULKARIM MAMBO SALEH (DAKTARI WA DAWA ZA KISUNNA)

0773 594 334• MULEBA, BUKOBA & DAR AL-HAJJ MAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573• KIGOMA: AL-HAJJ ABASSI ISSA NYOTA 0688 154 004• TANGA: HAJAT ZAINAB MOHAMED– 0713 416 454• HANDENI: AL HAJJ MOHAMED ADAM HAJEE 0784 705 750

KATIBU MTENDAJI MUHSIN MOHAMED HUSSEIN 0784 /0715 /0774 786 680, 0767 876 680

MALIPO YAFANYE KWA KHIDMAT ISLAMIYA CHARITABLE SOCIETY BENKI YA NBC (MATAWI YOTE TANZANIA) AKAUNTI NAMBA 0211 0500 3194 KWA DOLA ZA KIMAREKANI AU KATIKA OFISI YETU ILIYOPO MTAA WA MAFIA DAR ES SALAAM

OFISI YETU IPO MTAA WA MAFIA, TUNATAZAMANA NA MSIKITI WA MANYEMA Namba ya Simu 0655 409 135 (TIGO), 0684 409 135 (AIRTEL), 0713 986 671. Barua pepe (E-Mail) [email protected] , Tovuti (Website) www.khidmatislamiya.com

Peace Travel & Tours LTD, ambayo ipo chini ya Khidmat Islamiya ni kampuni inayouza tiketi za safari ya ndege kwenda sehemu yeyote duniani na pia ni kampuni iliyosajiliwa rasmi na Serikali ya Saudia kushughulikia viza za Umrah kwa mtu mmoja mmoja, familia au kikundi.

HIJJAH NA UMRAH

Page 18: ANNUUR 1029

18 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

Yasiyojulikana Historia ya Mapinduzi ya ZanzibarNa Mohamed Said

N I k w e l i k a b i s a k u w a Zanzibar ni visiwa kidogo lakini kuna tafauti kubwa baina ya visiwa vya Zanzibaar na visiwa vya Ukerewe katika Ziwa Victoria, au hata visiwa vya Mafia au Kilwa. Zanzibar ina historia ndefu na jiografia pana sana yenye sifa ya dola yenye kujulikana duniani.

Dola ya mwisho ya Zanzibar ilikuwa ni Jamhuri ya Watu wa Zanzibar ambayo na udogo wake wote ni nchi, pekee pamoja na Tanganyika, ilioshiriki katika jaribio pekee la umoja wa Waafrika barani Afrika. Suala, ni kweli Wazanzibari walipindua tarehe 12 Januari 1964 au mapinduzi yao yalianza walipokutana Rais Amani Abeid Karume na Maalim Seif Sharif Hamad Ikulu ya Zanzibar, tarehe 5 Novemba 2009?

Kwa kipindi kirefu historia ya mapinduzi ya Zanzibar ilikuwa ni ile historia rasmi ambayo imeathiri historia nyingi Afrika. Viongozi wa Afrika wanapenda ile historia itakayowakweza na kuwaonyesha wao katika mwanga wa kupendeza . Vinginevyo historia hiyo haitakiwi. Wazalendo wenyewe h a w a k u w a n a h a m u y a kuandika historia hii na watu wa nje walioandika historia ya mapinduzi ya Zanzibar hawakupata kuifanyia haki historia ya Zanzibar labda kwa ugeni wao na kwa kuyaamini maelezo yaliyokuwa “wazi” kwa wakati ule, mfano mkubwa ukiwa ni kule kuamini kuwa m a p i n d u z i y a Z a n z i b a r yalipangwa na makomredi wa Umma Party.

Hapajakuwapo udanganyifu mkubwa katika uandishi na utafiti kama huu. Dkt Ghassany amekiweka chano uwanjani bila kawa. Akizungumza na Abdushakur Aboud wa Sauti ya Amerika Dkt Ghassany amesema kuwa historia ya Zanzibar ni historia ya kujijuwa maisha yake akiwa mjukuu wa babu wa mababu Muomani na mabibi wa Kimanyema na Kimwera– mchanganyiko wa damu ya Kiarabu na Kiafrika. Hii kwa hakika ndiyo historia ya wananchi wa Zanzibar. Ni tabu sana kumpata huyo Muarabu Zanzibar kila umuonae Muarabu basi ana mjomba na shangazi Mwafrika. Maadui wa Zanzibar wakiweka mkazo katika ubaguzi wa rangi na kuwafitinisha Wazanzibari. Ukweli huu ndiyo chanzo cha matatizo yote yaliyoikumba Zanzibar toka vyama vya siasa vilipoanza katika miaka 1950 na matatizo yaliyosababisha mauaji ya mwisho yakiwa mwaka 2001.

Mohamed Omari MkwawaMwaka 1995 wakati wa

uchaguzi wa kwanza wa vyama vyingi Tanzania nilibahatika kufuatana na mgombea urais wa CUF Prof. Ibrahim Haruna Lipumba katika kampeni za uchaguzi katika mikoa ya Kilimanjaro na Tanga. Prof. Lipumba alifanya mkutano mkubwa sana Tangamano kiasi cha kuishtua CCM. Baada ya mkutano ule Prof. Lipumba na ujumbe wake walialikwa nyumbani kwa mama mmoja akijulikana kama Mama Ummie (sasa ni marehemu) ambako

walifanyiwa dhifa kubwa. Kote tukipita mitaa ya Tanga msafara wetu ulikuwa ukishangiliwa kwa nguvu sana. CUF ilikuwa imeingia Tanga kwa kishindo kikubwa.

Mimi kazi yangu ilikuwa kuangalia niliyokuwanayaona na kupiga picha. Kwa hakika nilikuwa nikishuhudia historia ikijiandika. Historia ambayo ilikuwa imeshahibiana sana na ile ya wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika katika miaka 1950. Lakini ninalotaka kusema si hili bali ni picha ambayo niliipiga ndani ya nyumba ya Mama Ummie. Picha hii ilikuwa inamuonyesha mzee mmoja wa makamo aliyevaa fulana ya CUF mbele ikiwa na picha ya Prof. Lipumba. Mzee huyu alikuwa amekaa nyuma ya Prof. Lipumba. Kwa wakati ule picha hii haikuwa na maana yoyote kwangu na hata nilipokuwa naitazama mara kwa mara sura yake si iliyokuwa inanivutia bali ile fulana ya CUF aliyovaa ambayo ilikuwa na picha ya rafiki yangu Prof. Lipumba.

Mungu ana mipango yake. Mihangaiko ya kutafuta riziki yakanihamishia Tanga na nikawa karibu sana na baadhi ya viongozi wa CUF na wanachama wake. Sasa hapa ndipo nilipokuja kuonana uso kwa uso na mzee yule kwenye picha yangu niliyoipiga hata kwa wakati ule ilikuwa miaka mingi iliyopita. Jina la huyu mzee wangu ni Mohamed Omar Mkwawa. Ilikuwa katika barza yetu ya kawaida ya kunywa kahawa na kula pweza huku tukijadili historia ya Tanzania ambako s iku moja Mzee Mkwawa alinambia, “Mohamed nataka nikuambie kitu. Unajua mimi nimehusika sana katika mapinduzi ya Zanzibar?”

N i l i m u a n g a l i a M z e e Mkwawa kwa makini. Fikra yangu ya utafiti na uandishi ishashtuka haipo tena usingizini. Mzee Mkwawa aliendelea, “Mimi ndiye ni l iyekuwa nikiwavusha Wamakonde kutoka Kipumbwi kwenda Zanzibar kuipigia kura ASP na wakati wa mapinduzi mie ndiye niliyewavusha Wamakonde kwenda kuipindua serikali ya

Jamshid.” Sasa moyo wangu ukaanza kudunda kwa nguvu. Naisemesha nafsi yangu, “Huyu mzee anajua uzito wa maneno haya?” Tuishie hapa. Kuanzia siku ile nikawa sasa namtazama Mzee Mkwawa kwa jicho jingine na heshima yangu kwake ikawa imepanda maradufu. Nilikuwa nimeshatambua kuwa Mzee Mohamed Omari Mkwawa alikuwa mmoja wa wanahistoria waliosahaulika katika historia ya Tanganyika na Zanzibar. Juu ya hayo nilishangazwa na kitu kimoja. Iweje leo huyu mwanamapinduzi wa ASP ambae Abeid Amani Karume alimpa jina la “Tindo” kwa ujasiri wake amekuwa mstari wa mbele CUF chama ambacho kinanasibishwa na Hizbu hasimu mkubwa wa ASP?

Dr. Harith GhassanyNilikutana na Dr Harith

G h a s s a n y m w a k a 1 9 9 9 nyumbani kwake Maskati, Oman. Naikumbuka siku ile kama jana vile. Kanipeleka kwake mwenye j i wangu Farouk Abdulla lakini kabla ya kun ipe l eka n i l i kuwa nimeshalisikia jina lake mara nyingi sana pale Maskati kila nikikutana na jamaa wenye asili ya Tanzania jina lake litaibuka. Katika fikra yangu ikanijia kuwa Dkt Ghassany atakuwa ni mtu mzima. Sielewi kwa nini nilipata picha hii. Tulipopiga hodi na akatokea Dkt Ghassany kuja kutufungulia mlango nikapata mshangao mkubwa.

Aliyekuwa mbele yangu alikuwa ni kijana mdogo sana tofauti na nilivyodhani. Kwa njia ya utani hata kabla sijatoa salamu. Nikamgeukia Farouk nikasema, ”Ah! Dkt Ghassany, Dkt Ghassany, Dkt mwenyewe ndiye huyu?” Mila na tamaduni za watu wa Pwani wakikutana hazipishani. Maskhara ni dalili ya mapenzi. Dkt Ghassany pale pale alipokea yale maskhara na akajibu,”Bwana wangu we wanakutisha bure kwani we ulidhani litakuwa jitu kubwa?” Urafiki na udugu wetu umedumu hadi leo na ndipo katika mazungumzo aliponifahamisha kuwa anataka kuandika historia ya kweli ya

mapinduzi ya Zanzibar. Hapo ndipo nilipomjuvya kuhusu Mzee Mkwawa na nikamuomba aje Tanga amuhoji.

Kitu kimoja mashuhuri kwa mashujaa wa harakati za siasa katika Tanzania ni kuwa takriban wote wana hali ngumu sana za maisha. Sikujua vyema hali ya Mzee Mkwawa hadi nilipofika nyumbani kwake na Dkt Ghassany. Utu uzima na udhaifu wa maisha ulikuwa umempiga barabara. Nilimjulisha Dkt Ghassany kwa Mzee Mkwawa na kuwaacha waendelee na maongezi yao. Niliporudi mchana kumchukua Dkt Ghassany rafiki yangu alinambia nimuache nije jioni kumfuata. Niliporudi jioni nilimkuta Dkt Ghassany amechoka na uso umesawijika. Tukiwa ndani ya gari yangu tunaondoka nikamuuliza kulikoni. Dkt Ghassany akanambia maneno ambayo hadi leo yamebaki kichwani mwangu, ”Mohamed ufunguo wa kitabu changu anao Mzee Mkwakwa na kama nisingeonana naye utafiti wangu wote wa kabla ungelikuwa hauna maana yoyote.”

Dkt Ghassany al ikuwa a m e c h u k u l i w a n a M z e e Mkwawa katika safari ya zaidi ya nusu karne. Mzee Mkwawa akimshika mkono kwanza kumpeleka Pemba ambako akiwa kijana wa kiasi cha miaka 25 akifanya kazi ya uashi. Huo ndio ulikuwa wakati wa siasa za ASP na Hizbu zimepamba moto. Mzee Mkwawa alikuwa mmoja wa wachezaj i wa ngoma ile hata kama alikuwa anatoka Tanganyika. Dkt Harith akavushwa na kuletwa Pwani ya Kipumbwi na Sakura ambako Mzee Mkwawa al ikuwa akisimamia kambi ya mafunzo iliyokuwa msituni ya wakata mkonge wengi wao wakiwa Wamakonde, kambi ambayo il i toa askari waliotumika kuipindua serikali ya Mohamed Shamte 12 Aprili 1964.

Dkt Ghassany hakuwa amejitayarisha kwa haya. Al i shangazwa na uwezo wa kumbukumbu wa Mzee Mkwawa, akitaja majina na mahali na akirudia mazungumzo

neno kwa neno kati yake na maofisa wa serikali ya Tanganyika kutoka vyombo vya usalama waliomtia katika operesheni maalum ya kuipindua Zanzibar kutoka Tanganyika. Majina ya Abdulla Kassim Hanga, Jumanne Abdallah, Ali Mwinyi Tambwe, Victor Mkello, Oscar Kambona na wengine yakawa yanadondoka moja baada ya lingine. Taarifa hizi ndizo zilizommaliza Dkt Ghassany na kumsawajisha uso.

Mimi binafsi nilipigwa na butwaa. Nilibaini kama alivyobaini Dkt Ghassany kuwa Mzee Mkwawa alikuwa hazina na tulikuwa tumevumbua mgodi wa dhahabu. Kazi yetu sasa ilikuwa kuchimba tu. Kumekuwa na uvumi kwa miaka mingi katika duru za wanasiasa wapya na wa zamani na katika wanafunzi wa historia ya Tanzania na Mapinduzi ya Zanzibar kuwa Ali Mwinyi Tambwe alihusika sana katika kupinduliwa kwa serikali ya Zanzibar lakini hakuna aliyejuwa ni kwa kiwango gani na alihusika vipi. Lakini zito ni kuwa yeye mwenyewe akiudhika sana mtu akimuuliza habari zile. Kwa nini ilikuwa hivyo? Kitabu cha Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru cha Dkt Ghassany kilikuja kutoa majibu. Hakuna binadamu apendae historia yake ihusishwe na mauaji na dhulma na kufutwa kwa nchi yake.

Kwa kipindi cha takriban miaka saba Dkt Ghassany alikuwa akija Tanga kwa mahojiano na Mzee Mkwawa na katika kipindi hicho Mzee Mkwawa alitupeleka Kipumbwi na Sakura na kutuonyesha sehemu zile ambazo walikuwa na kambi na wakifanya mazoezi ya kivita na matumizi ya silaha. Mkahawa ambao wale wakata mkonge walikuwa wakila chakula cha usiku kabla ya kuvushwa kwa vyombo vya bahari kwenda Unguja bado upo hadi leo ingawa kwa sasa kijumba kile hakitumiki tena kama mkawaha. Endapo itakuja siku serikali ya Zanzibar itataka kuhifadhi historia ya Mapinduzi ya Zanzibar bila shaka moja ya vitu vitakavyokuwa katika makumbusho ni picha ya hicho kibanda.

Victor MkelloKipumbwi haijabadilika iko

kama vilevile iliyokuwa miaka ya 1960. Kipumbwi imebaki vilevile kama kijiji cha uvuvi. Mzee Mkwawa alitupeleka hadi sehemu ambapo bahari imeingia katika kijiji lakini sehemu hiyo imefunikwa na mikoko mingi na vichaka. Tuliingia ndani na kuangalia mandhari ya pale mahali. Hakika pale palikuwa sehemu nzuri ya kujificha. Leo imekuwa sehemu hii ni maarufu kwa watu wa magendo. Mzee Mkwawa alitueleza kuwa hapo ndipo walipojificha na ndipo walipopandia vyombo vyao kwa usiri mkubwa wakati wote wakiwa wamevaa nguo matambara na kofia za makuti kama wavuvi. Tanga ilikuwa kituo muhimu cha kufanikisha map induz i ya Zanz iba r. Haikuwa bure kuwa Ali Mwinyi Tambwe, Jumanne Abdallah na Victor Mkello walikuwa

Inaendelea Uk. 19

MZEE Mohamed Omari Mkwawa

Page 19: ANNUUR 1029

19 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

Yasiyojulikana Historia ya Mapinduzi ya ZanzibarInatoka Uk. 18

hapo na wala haistaajabishi kwa Dkt Ghassany kutueleza kuwa vinara wa mapinduzi kwa upande wa bara, Mkello na wenzake, walisubiri taarifa za mapinduzi katika mkesha ndani ya ofisi ya TANU Tanga.

Napenda kuk i r i kuwa s ikupata kushi r ik i kama msikilizaji wa mahojiano wakati wa utafiti wa Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru. Kazi yangu kubwa sana ilikuwa kufungua milango na kumwendesha daktari. Kwa ufupi kazi yangu ilikuwa kumwekea mwandishi mazingira mazuri ili kazi yake iwe nyepesi. Kwa hakika ilikuwa kazi ambayo na mimi vilevile nilisoma, kujifunza mengi na kupata faida kubwa. Katika haya nakumbuka sakata la kumtafuta Victor Mkello. Leo si wengi wanaomjua Victor Mkello au hata kupata kusikia jina lake likitajwa. Lakini kwa sisi tuliokuwa wadogo tukiwa shule katika miaka ya 1960 Mkello alikuwa hapungui katika magazeti ya Ngurumo na Mwafrika. Mzee Mkwawa ndiye aliyetusaidia kumtafuta alipo. Victor Mkello ndiye aliyekuwa ”Amiri Jeshi Mkuu” wa lile jeshi la Wamakonde lililokuwa na makao yake makuu katika mashamba ya mkonge ya Sakura na Kipumbwi. Bila ya kupata kauli ya Mkello kitabu kisingeweza kuandikika.

Ilichukua muda kuweza kumpata. Kwanza tulikwenda Muheza ambako ndiko kwao. Huko tukaambiwa kuwa hakuwapo hapo bali kwa muda mrefu alikuwa Tanga. Mwishowe tulimkuta nyumbani kwake Nguvu Mali. Mkello alikuwa katika kitanda cha mauti . Kisukari kil ikuwa kikimla kiwiliwili chake. Hakuwa anaweza kunyanyuka kitandani wala kukaa. Kwa hakika alikuwa anasikitisha. Huyu hakuwa Victor Mkello niliyekuwa namsoma katika magazeti wala yule ambae Mzee Mkwawa alikuwa akituelezea. Mtu mjanja al iepambana na Magiriki wamiliki wa mashamba ya mkonge akitetea haki za Waafrika katika miaka ya 1960. Huyu kwa kweli hakuwa yule Victor Mkello aliyekuwa akisaidiana na TANU na Mwalimu Julius Nyerere kupigania uhuru wa Tanganyika. Hiki mbele yetu kilikuwa kivuli chake. Hapakuwa na wasiwasi wowote Victor Mkello alikuwa akisubiri malaika wa mauti amtembelee na yeye hilo alikuwa akilijua fika.

Victor Mkello na Mzee Mkwawa wanamapinduzi waliofutwa katika historia walitazamana na wakasalimiana kama vile hawakupata kujuana. Jicho la Mkello lilikwenda kwa Dkt Ghassany kisha likaangukia kwangu kisha likarudi kwa mwanamapinduzi mwenzake Mzee Mkwawa. Baada ya utambulisho uliofanywa na Mzee Mkwawa nilihisi woga na wasiwasi kwenye sura ya Victor Mkello. Hakuwa anaamini kuwa Dkt Ghassany katoka Maskati kwa ajili ya utafiti wa historia na hili lilijidhihirisha alipofunua kinywa kuzungumza. Victor Mkello alikuwa na hisia kuwa alifuatwa kukamatwa kwa vifo vya Waarabu vilivyotokea Zanzibar wakati wa mapinduzi

ili apelekwe Mahakama ya Kimataifa. Baadae Dkt Ghassany alinifahamisha kuwa jinsi Waingereza walivyomueleza katika taarifa zao za siri ambazo yeye alizisoma London zimeafikiana kabisa na jinsi alivyomuona pale. Waingereza walimsifia Mkello kwa kusema kuwa alikuwa bingwa wa kuteleza kama samaki ndani ya maji.

Kufupisha maelezo. Ilichukua karibu miaka mitatu kwa Victor Mkello kukubali kuzungumza kuhusu mapinduzi ya Zanzibar. Dkt Ghassany akienda Maskati na kurudi Tanga na kila akienda kwa Victor Mkello, Mkello hakuwa tayari kueleza kile alichokijua kuhusu mapinduzi ya Zanzibar. Kila nilipokwenda na Dkt Ghassany kumuona Mkello hali yake ilikuwa inazidi kudidimia. Sasa alikuwa kakatwa mguu mmoja kwa ajili ya kisukari. Ilikuwa katika hali ile katika siku zake za mwisho ndipo siku moja alipomwambia Dkt Ghassany aje siku ya pili na yeye atazungumza na angependa azungumze mbele ya mkewe ili amkumbushe pale atakapokuwa kasahau kitu.

Hapa ndipo ilipo moja ya sehemu tamu kabisa ya kitabu hiki Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru. Victor Mkello Amiri Jeshi Mkuu wa Mamluki wa Kimakonde alizungumza. Mimi sikushiriki katika mazungumzo yale nilijiweka pembeni ili Mkello azungumze na Dkt Ghassany kwa utulivu. Nilikuwa nimeegesha gari yangu karibu ya msikiti jirani ya nyumba ya Mkello nikimsubiri daktari akamilishe upasuaji mgonjwa apate nafuu. Mwendo wa Dkt Ghassany wa kudunda a l ipokuwa anani j ia pa le nilipoegesha gari ulidhihirisha furaha yake.

Haukupita muda mrefu baada ya mazungumzo yale na Dkt Ghassany, Victor Mkello akaaga dunia kimya kimya. Hakuna mtu aliyejua kifo chake kama ilivyokuwa vifo vingi vya mashujaa waliopigania uhuru wa Tanganyika. Hakuna hata gazeti moja lililotoa taazia yake wala hotuba hazikusomwa kabur in i kwake . Mkel lo aliondoka katika historia ya Tanzania kimya kama jinsi mamluki wake walivyokuwa wakiingia Zanzibar kimya kimya usiku mkuu na kwa siri, mapanga yao makali ya kukata mkonge yakiwa chini ya nguo zao za ndani yakisubiri kuivamia Zanzibar na kuua watu wasio na hatia. Kazi hii kwao haikuhitaji mafunzo kwani mafunzo walikuwanayo muda mrefu katika kazi yao ya kukata mkonge katika mashamba ya mkonge ya Tanga. Pigo moja lilitosha kuangusha chini jani zito la mkonge seuze kiungo cha binadamu.

Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru ni kitabu kilichoandikwa kwa staili ya pekee wahusika wenyewe wa matokeo katika mapinduzi kujitolea kueleza kile kilichotokea katika mapinduzi, kabla na baada yake. Kuanzia mipango ya kuangusha serikali ya Zanzibar hadi katika kuwaua wale waliokujakushukiwa kuwa ni maadui wa mapinduzi hadi kufikia hata kuweka wazi jinsi walivyoshiriki katika mengi ya kusikitisha kupelekea hata

msomaji kujiuliza kwa nini hawa watu baada ya miaka yote hiyo kupita wameamua kueleza yote hayo. Vipi Abdallah Kassim Hanga, Othman Shariff, Mdungi Ussi, Jaha Ubwa, Abdulaziz Twala na wengineo walivyouliwa, nani alitoa amri ya mauaji, nani aliwauwa na katika mazingira gani. Kifo cha Karume mwenyewe kwa mtutu wa bunduki hakikuwekewa pazia na chanzo cha kuamuliwa kuwa auawe ni tofauti ya kil ichozoeleka kuelezwa. Karume hakuuawa na ”wapinga mapinduzi” kama ilivyozoeleka kuelezwa katika historia rasmi.

Kwa kumaliza tusubiri mapitio ya kitabu hiki na ni wazi kuwa wasomaji watapata mengi ya kuelimisha na kuhuisha. Tunategemea wasomi wa somo la historia watakaopitia ki tabu hiki watatufanyia hisani kubwa kwa kuwaleta katika picha wahusika wakuu wa mapinduzi – Mwalimu Julius Nyerere – fundi mkuu mwenye kishindo kikubwa lakini hakisikiki, mkono wake wa chuma hauonekani, uso wake nyuma ya pazia, Abdallah Kassim Hanga – kiongozi hasa na mpangaji wa mapinduzi, Victor Mkello – mtumishi wa Hanga na Nyerere bila ya yeye mwenyewe kujua kati ya hao wawili nani aliyekuwa bingwa kumshinda mwenzake katika mchezo mchafu wa siasa ya kuiuwa Zanzibar na Wazanzibari na wengineo.

Lakini juu ya hayo yote mipango hii ilikuwa ni ya akina Nyerere, Hanga na Mkello pekee? Dkt Ghassany anaeleza nini kuhusu mkono wa Waingereza, Alger ia , Misr i , Wachina , Warus i , Marekani na Mayahudi? Nini kilichowasukuma hao wote katika mapinduzi ya Zanzibar? Nini kilimsukuma Nyerere, k u w a p i n d u a Wa i s l a m u wal ioupigania Uhuru wa Ta n g a n y i k a n a b a a d a e kuwap induwa Wai s l amu wal ioupigania Uhuru wa Z a n z i b a r n a k u e n d e l e a kuwadhibiti hata baada ya kuipindua Zanzibar? Nini kilichowasukuma Waingereza na Wamerekani kuachia mapinduzi yafanyike? Lakini kubwa zaidi kipi kilichowasukuma Wayahudi kuingia na kusaidia mapinduzi, ni ile chuki yao ya asili dhidi ya Waarabu au kulikuwa na jengine ambalo liliwatia khofu? Na kwa nini kitabu kiitwe Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru: Zanzibar na Mapinduzi ya Afrabia? Kitabu kina majibu ya haya maswali mengine ambayo bado hayajaulizwa na chemchemu mpya za utafiti.

Dkt Ghassany anastahili pongezi kubwa sana kwa kuinusuru historia ya mapinduzi ya Zanzibar na kuwaamsha Wazanzibari na Watanganyika toka lepe zito la usingizi ili wajitambue na wamjue adui yao. Anastahiki pongezi kubwa zaidi si kwa kukiandika kitabu cha Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru bali kwa kutumia mrengo usiokuwa na mrengo. Huna pa kumuweka Dkt Ghassany na baada ya kumaliza kukisoma kitabu ukaridhika napo. Kama utafikiria kuwa kitabu ni cha CUF basi baada ya kusoma mpaka mwisho utavunjika

moyo. Kama utamtumbukiza ndani ya CCM basi ataelea. La kama unataka upae nje ya masunduku na mapakacha basi utamuona katulia ndani ya uhuisho wa Zanzibar na Tanganyika/Tanzania Mpya – ambayo itafuata mfumo wa Umoja wa Ulaya (European Union) ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru ni ngoma nzito ambayo watu wameanza kuicheza hata mdundo haujaanza kupigwa! Tayari imeshaingia katika rikodi za Hansard za Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tayari imeshasikika katika Sauti ya Marekani. Tayari daktari anafuatilia kwa karibu ukweli wa Maridhiano na kuwa kwa mara nyengine tena ukweli wake umeshaanza kupotoshwa na waroho na tayari historia mpya na kubwa zaidi hata kuliko ile ya Mapinduzi ya Zanzibar ya 1964 imeshaanza kuvurugwa.

Kwa hivi sasa muamko wa vijana juu ya Muungano ni mkubwa na japokuwa wamekaa kimya kuhusu Mapinduzi, mie naamini kwamba ‘hawataki’ kuyagusa Mapinduzi kwa sasa ili kutotibua hali ya maelewano ilokuwepo Zanzibar kwa sasa katika kipindi hichi. Hii ni kwasababu Mapinduzi ndo yanayo-define ‘utaifa’ wa Zanzibar na kwa hiyo Mapinduzi ni jambo nyeti linalogusa moja kwa moja uhalali wa Serikali ya Zanzibar iliopo. Kwa vile bado Serikali ya Umoja wa Kitafa bado ni changa, kuyapinga Mapinduzi kwa sasa sio jambo la busara, kwani kutaweza kurudisha machafuko na kutokuelewana miongoni mwa Wazanzibari.

Sababu ni kwamba bado kuna wananchi kadhaa hawajui kiini cha Mapinduzi na kwao Mapinduzi ndio uhuru kama upotoshaji wa makusudi wa kiini cha Mapinduzi hayo unavyoelekeza. Pia kuna baadhi ya viongozi kwa utashi wao wa kisiasa na maslahi yao, kupitia ushawishi walionao kwa wafuasi wao, wataleta mtafaruku pindi watu watakapoyaponda Mapinduzi hadharani na hatimae ni machafuko baina ya Wazanzibari wenyewe kwa wenyewe.

Zama za kiboko zimepitaHizi ni zama za dumaMwanauchumi maarufu

kutoka Ghana, George Ayittey, anatafautisha baina ya kizazi cha Chita na kizazi cha Kiboko. Kizazi cha zamani ni kile cha “kiboko” ambacho ni kizazi kivivu na hakiishi kulalamika juu ya ukoloni. Kizazi kipya ni kile cha “Cheetah” (Duma) ambacho kimeamua kuzikamata hatamu za mustakbali wake ndani ya mikono yao wenyewe, badala ya kuwasubiri kuendeshwa na wanasiasa ambao kivitendo huyaweka maslahi yao binafsi mbele zaidi kuliko maslahi ya nchi na ya wananchi.

Kizazi kipya cha duma cha Kizanzibari chenye kukisoma kitabu cha Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! hakitaki

kuzisikia hadithi za paukwa pakawa za Katiba au kero za Muungano. Wakitakacho ni nchi mbili, serikali mbili, na baada ya hapo ndipo wataamua aina ya Muungano wautakao. Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! kimeliamsha Taifa lililolazwa na kwa hivi sasa Wazanzibari wanadai Mapinduzi ya Muungano ambayo yalianza Zanzibar tarehe 5 Novemba, 2009.

Suala, ni jee, duma wa Kitanganyika au wa Kitanzania Bara na yeye atadai Mapinduzi ya Muungano na kuanzisha mchakato mpya wa mashirikiano baina nchi mbili huru ya Zanzibar na ya Tanganyika/Tanzania? Au kiboko cha Tanganyika/Tanzania Bara na wafuasi wao walioko Zanzibar w a t a e n d e l e a k u y a l i n d a mapinduzi yao ya Zanzibar ili kuulinda muungano wenye kutawaliwa na Tanganyika/Tanzania Bara?

Watengenezaji wa filamu Hol lywood wana mtindo wa kumaliza senema zao za matokeo ya kweli kwa kueleza katika maandishi yale yaliyowafika wahusika wa kisa kilichotengenezwa hiyo senema. Huonyesha majina na mwisho wa hao wahusika, kama wahai, wako wapi, wamekufa na kama wamekufa ni kwa kuuliwa au kwa amri ya Mungu nk. Katika Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru majina ya wahusika machache ambayo yametajwa katika makala haya yako kama hivi:

1.Mohamed Omar Mkwawa:Yu hai na anaishi Makorola Tanga

2.Abeid Amani Karume:Ameuawa 1972

3. Abdallah Kassim Hanga:Ameuawa 1967/68

4. Mustafa Songambele: Yuhai anaishi Songea.

5. Victor Mkello: Amekufa kifo cha kawaida

6. Ali Mwinyi Tambwe: Baada ya mapinduzi alikuja kuhusika katika mchakato wa kuunda muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Amekufa kifo cha kawaida.

7 . Jumanne Abdal lah : Alitumikia serikali kwa muda mrefu hadi alipofariki kifo cha kawaida

8 . O s c a r K a m b o n a : Aligombana na Nyerere na akakimbia nchi mwaka 1967 na kwenda kuishi uhamishoni Uingereza

9. Kuna vigogo kadhaa ambavyo viko hai na kwa sasa wameomba majina yao yahifadhiwe.

10. Kizazi kipya cha duma kitakachokuja kuliunganisha Bara la Afrika kwa kuufuata m f u m o w a U m o j a w a U l a y a ( E U ) b a d a l a y a kuwang’ang’ania mapacha wa Mapinduzi na Muungano ambao wameunganishwa na kutengwa na kitabu cha Dkt. Ghassany, Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru!

Page 20: ANNUUR 1029

20 AN-NUURRAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

AN-NUUR Gazeti la An-nuur na watendaji wake wanawatakia Waislamu

wote Ramadhani Kareem, Ramadhani Mubaraka.20 RAMADHAN 1433, IJUMAA AGOSTI 10-16, 2012

V I J A N A w a K i i s l a m u w a n a o j i b i d i i s h a k a t i k a kuhifadhi na kusoma Qur an nchini, wameelezwa kuwa ni hazina kubwa ya Taifa hivyo hawana budi kuendelezwa kielimu ili kupata viongozi waadilifu.

Hayo yamesemwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Alhaji Ally Hassani Mwinyi, akiongea na Waislamu mara baada ya kuwakabidhi zawadi washindi wa kuhifadhi Qur an katika mashidano yaliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika viwanja vya Sabasaba, Jijini Dar es Salaam.

Mzee Mwinyi alisema, vijana hao ni hazina kubwa hivyo ni matarajio ya Umma wa Kiislamu kuwa vijana hao wataendelezwa kitaaluma zaidi hadi kufikia ngazi ya elimu ya juu kwa faida ya Uislamu na Taifa kwa ujumla.

“Hi i n i haz ina kubwa, tuna ta ra j ia waf ike mbal i kitaaluma wasipotelee njiani, waendelezwe zaidi hata kufikia elimu ya juu katika masomo yao, watasaidia kupatikana vijana wenye maadili kiutawala.” Alisema Alhaji Mwinyi.

Alisema, moja ya faida ya hili lengo la kuhifadhisha Qur ana vijana wetu iwe pia ni kuandaa na kupata viongozi wa umma wanaomuogopa Mwenyezi

WAISLAMU wametakiwa kuwa makini na vyama vya Siasa vinavyoonyesha chuki dhini ya Dini yao na kuviepuka vinginevyo watajitia katika janga wenyewe bila kujijua.

Wito huo umetolewa na M a a l i m A l l y B a s s a l e h , akiwahutubia Waislamu mara baada ya ibada ya swala ya Ijumaa wiki iliyopita, katika Msikiti wa Idrisa, Kariakoo Jijini Dar es Salaam.

Mhadhiri huyo maarufu Jijini Dar es Salaam, ametoa wito huo, akikemea kauli aliyoitoa Bungeni Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa (CHADEMA), aliyehoji uhalali wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, kupiga marufuku kula na uuzwaji hadharani vyakula sambamba na kuvaa vimini ndani ya ibada ya mwezi huu mtuku wa Ramadhani.

Maalim Bassaleh, alisema Mbunge huyo, aliye Mchungaji pia amewachefua Wazanzibar na Waislamu kwa ujumla, na kuzidi kujidhihirisha kuwa CHADEMA ina siasa za hatari za udini.

“ M c h u n g a j i M s i g w a kawachefuwa Waislamu kwa ujumla, kwa kuwa ameonyesha chuki dhidi ya ibada yao, si hivyo tu inaonyesha zaidi kuwa chama chake CHADEMA kinasisa za udini na udini wenyewe ni Ukristo.” Alisema Maalima Bassaleh.

Bassaleh alisema kuwa Mbunge huyo wa CHADEMA, ameonyesha ni jinsi gani alivyokusudia kuidhalilisha ibada tukufu ya Kiislamu y a M w e z i M t u k u f u w a Ramadhani.

Alisema, huenda kauli ya Mchungaji Msigwa, ina ajenda ya siri ndani ya CHADEMA na mlengo wao wa kidini, huku akihoji, vipi wakishika utawala wa nchi ikiwa hivi sasa hawapo madarakani lakini vitimbi vyao dhidi ya Uislamu vinaonekana dhahiri.

“Je wakiwapa kura na kuingia madarakani hali itakuwaje?”

Huku akinukuu aya ndani ya Bibl ia z inazoamrisha Wakristo kufunga siku arobaini, alimshangaa Mchungaji huyo wa CHADEMA, akisema alitarajia yeye angekuwa mtu wa kwanza kuunga mkono amri hiyo ya Mungu lakini yeye anakurupuka na kulaumu.

“ M t u h a t a d i n i y a k o m w e n y e w e i n a k u a g i z a kufunga, leo kwa wadhifa wako wa Kichungaji na Ubunge

Mbunge Msigwa kachefua WaislamuNa Bakari Mwakangwale badala ya kuunga mkono wale

wanaotekeleza agizo hilo la Mungu, wewe unalaumu. Ni lazima Waislamu tuwe makini maana hao badala ya kusimamia haki wao wanadhirisha chuki dhidi ya Uislamu”. Amesema.

Akifafanua zaidi kauli ya Mchungaji Msigwa, dhidi ya amri i le ya kulinda Ibada ya Kiislamu Visiwani Zanzibar, Maalima Bassaleh alisema, Mbunge huyo wa CHADEMA alidai amri ile iliyotolewa na mamlaka isiyopaswa, kwa sababu siyo ya kidini bali ingetolewa na mamlaka ya Mufti wa Zanzibar.

A l i s e m a , k u m b e Mchungaji huyo inaonyesha anaelewa kuna mamlaka ya Mufti na mamlaka ya kadhi, pamoja na kujua hivyo lakini wao (wachungaji) w a m e k u w a w a p i n g a j i wakubwa wa Mahakama ya Kadhi ambayo Waislamu wanaitaka katika njia ambayo ikija itakuwa ni Mahakama kwa ajili ya kuwashughilikia Waislamu tu.

Alisema, huo ndio udini kwa kukataa na kuhoji kila jambo linalowahusu Waislamu hata kama linafaida kwao na jamii kwa ujumla.

Alisema, hali hiyo pia ya chuki za kidini kwa wachungaji na Wabunge kama hao huwa mstari wa mbele kukataa Tanzania kujiunga na OIC, wakati huo huo wao wanauhusianao wa Vatican na Ubalozi wao umo humu nchini.

Lakini , a l isema OIC i k i f u n g u l i w a m i l a n g o itanufaisha kiuchumi taifa kwa ujumla bila kujali dini zao, tatizo alidai wao (Wachungaji) wametanguliza chuki na choyo zaidi kuliko maslahi ya Taifa.

Mwanzoni mwa mwezi wa Ramadhani , Waziri wa Sheria na Katiba wa Zanzibar, alitangaza kuwa ni marufuku mtu kuonekana anakula mchana wa Mwezi wa Ramadhani hadharani pia alipiga marufuku kufungua hoteli mchana wa mwezi huu sambamba na kupiga marufuku kuvaa vimini kwa wanawake.

Hali hiyo ilimgusa Mbunge wa Chadema, Mchungaji Peter Msigwa, ambaye alilazimika kumuuliza Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda, katika maswali ya papo kwa papo, akikosoa amri hiyo.

Mwinyi ataka waliohifadhi Qur’an kupewa elimu zaidi

Na Bakari Mwakangwale Mungu ili wizi, ubadhirifu katika utawala upungue.

A l iwa taka wazaz i wa Kiislamu kuwachagiza na kuwaunga mkono watoto wao kupenda kusoma na kuhifadhi Qur an, ikae vifuani mwao kisha waiingize katika maisha yao ya kila siku.

Aidha, alisema hivi sasa Qur an, inapendwa Duniani kote kwa ile hali ya usomwaji wake na inavyoghaniwa na vijana waliohifadhi kwa ufasaha kama Mwenyez i Mungu alivyoagiza.

Alisema, kupitia njia hiyo ya uhifadhi murua wa vijana wa Tanzania, huiwakilisha nchi vizuri na kuitangaza jambo ambalo kwa sasa pia husaidia kuitangaza Tanzania katika ramani ya Dunia.

“Nimeshuhudia mara nyingi katika mashindano mengi ya nje yanayoshirikisha mataifa mbalimbali ya kuhifadhi Qur an, na Watanzania wamo, na hujitahidi kwelikweli na wanapokosekana huulizwa.” Alisema Mzee Mwinyi.

Alisema, mbali ya faida hiyo lakini vijana hao pia ni sawa na Qur an inayotembea kwani pindi ikatokea Qur an kuharibiwa au kupotea, hakuna shaka kuwa vijana hawa watakuwa msaada mkubwa kwa kuwa tayari imo ndani ya vifua vyao.

Mashindano hayo ya usomaji

na uhifadhi wa Qur an tukufu, yaliandaliwa na taasisi ya Al-Hikma Education Centre, ya Temeke Jijini Dar es Salaam, ambapo jumla ya vijana 40, kutoka katika nchi za Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na wenyeji Tanzania, walishiriki katika uhifadhi wa Juzuu moja hadi 30.

Kwa upande mwingine, katika mashindano ya kuhifadhi Qur an, yaliyofanyika Kigamboni, akisoma risala mbele ya mgeni rasmi, Ust. Abdallah Idd, alisema dhamira ya Jumuiya ya Waislamu wa Kigamboni ni kuhakikisha wanatengeneza kizazi cha Qur an.

Alisema matarajio yao ni kwamba kizazi hicho kije kuweza kusimamia mambo yao kwa kwa haki na uadilifu ili kujenga ustawi mwema katika Uislamu, Taifa na jamii yake.

“Ndugu mgeni rasmi mikakati yetu ni kuhimiza na kuuzindua umma wa Kiislamu ili sote kwa ummoja wetu tuelekeze nguvu kuziboresha Madrsa zetu na kuwasaidia walimu wa madrasa kupata mahitajio yao muhimu ili waweze kufundisha Qur an na maadili kwa ufanisi zaidi.” Alisema ust. Idd mbele ya Mgeni Rasmi Ust. Adam Athuman, aliye Kaimu Mkurugenzi wa Africa Muslim Agency.

MAALIM Ally Bassaleh