10.d - charlie pele
DESCRIPTION
Chapta 10 - Charlie Pele: Mgeni wa AjabuTRANSCRIPT
Thanks sana m
a-youth
s kwa
advice yenu po
a. Musa a
tabambika
kujua
mnam-suppo
rt. Ukich
eki MP am
a leade
r
yeyote aki-b
ehave kwa nj
ia haiku
baliki,
m-report kwa ka
cc -
Kenya Anti-Corruption Commission
...seed poa... ...seed
poa...
...seed poa...
...seed poa...
...seed mbaya...
...seed mbaya...
...seed mbaya...
...seed mbaya...
hii kazi inachosha!
Phew!
na hao vijana wangu wako wapi nikihitaji
usaidizi?
Daddy! mambo?!?
uta-plant gani na tutakula gani???
una-sort seeds???
hii ni pile ya seed poa???
unafanya???
na ile ni pile ya seed
mbaya???
Beatrice G. Musa remember dat we have only 2
tribes in Kenya 1. Rich. 2. Poor. Why hurt ur fellow
Kenyan who is of d same tribe as u?
Helen Teresia M. Nikiongezea kidogo, pia kupigia
police simu kiplani. Ndio wa save watu on time.
Nipoa kua na number za simu za police station /
Chief’s office near u.
Timothy Timo M. Weh 2na nja ya ma big fish wa
post election alafu huyu MP analeta mouth ya hate
speech. Weh, Musa huyu mse apelekwe mbele mara
pap na nyinyi majaji mkiletewa mse ka huya akuna
ati kesi kuahirishwa kama kuna stong evidence
omito mara pap.
Mgeni wa ajabu
25
eh?
siwezi waste seed poa shambani! Hizo ndizo
tunakula!
nitapanda hizo seed
mbaya shambani...
kweli seed mbaya kama hizi zinaweza kumea kitu
safi?
sauti hiyo inatoka huku...
26
eh?
siwezi waste seed poa shambani! Hizo ndizo
tunakula!
nitapanda hizo seed
mbaya shambani...
kweli seed mbaya kama hizi zinaweza kumea kitu
safi?
sauti hiyo inatoka huku...
tunaikula lini?
charlie pele! umetokezea
wapi?!?! hii siikuli!mahindi hii hapa ndiyo naitumia shambani!
tangu zamani sana, imekuwa muhimu
kutumia mimea nzuri ku-plant tena, ili
mimea zako shambani ziendelee vyema.
wacha niifunike isiguzwe na ma-hawks. naenda ku-harvest sorghum
kutoka sehemu nyingine ya shamba.
nilikuambiaje? hawa majirani
hawaelewi mambo...
nadhani kuna mwizi shambani!
LO!
27
ndiyo huyo...
oho! nimemmulika
mwizi!
ahm... ahem... pole kwa kukuamsha... urm... unajua, mahindi yako
ni nzuuuuuri sana, ehm...
nilikuwa nimekuja
kui-admire tu! iko smartest!
iko juu tu sana....
si tuisherekee pamoja, labda kamA "midnight
snack"???
lakini niliwaambia, siikuli! naipanda
shambani!
wajinga tu ndio hupanda seed
mzuri badala ya kuila! sawa basi!
kaa nayo!
aki wewe!
28
charlie huyo ni wewe?
nilikuambia nini juu ya kurukaruka
usiku?
fafa!
pole kwa kukushtua!
sema!
...lakini nimekuja kukuonya.
...vile unavyochagua mbegu zako za
kutumia shambani...
...unavyolea mtoto ndivyo
anavyoendelea maishani. na
shamba yako si tofauti.
unajua...
ukichagua sorghum mbaya ya
kupanda, kila generation itaendelea na shida
iliyotangulia.
nimeona generations nyingi
za wakulima ambapo watu
hawaelewi umuhimu wa kuganga
yajayo.
29
ona shamba yako...
...na ya jirani
wako...
...kumbuka yote niliyokwambia...
zake zitakaa miaka mingi...
...ili watoto wako wasife njaa...
JANA ALiKUWA ANAPANGA KU-PLANT SEED MBAYA LAKiNi LEO AMECHUKUA SEEDS POA
YA UJi NA KUZiPANDA SHAMBANi...
Chagua mbegu poa utapata mavuno poa!Ulijua unaweza pata seed kutoka kwa mmea? Ni poa! Chagua
mimea few iliyo-healthy kwa shamba itakayokupatia seeds za kupanda
next season!
Mark mimea utakayotumia kupata mbegu za kupanda kwa kufunga cloth kidogo kwa stem. Hii itakusaidia kujua hiyo plant ni ya ku-produce mbegu na itavunwa separate na mimea ingine.
Ngojea plant yako itoe maua na pods au mbegu. Hii itakuwa possible kama area ni ya baridi especially kwa sukuma wiki. Seeds zako zitakuwa za quality poa kama hutazi-harvest leaves au part yeyote kabla ya wakati wa kuvuna. Funika seeds za mimea uliyochagua na gunia ili seeds zizikuliwe na ndege.
Vuna mimea uliyo-select ili upate seeds za kupanda kama iko tayari.
Safisha mbegu kwa kutoa dust, mabaki ya mimea na vitu vingine, kisha ukaushe na ku-grade mbegu kabla ya kuzi-store.
Kabla ya ku-store mbegu, i-test kama ita-germinate kwa kuweka seeds chache kwa cotton wool safi iliyo na maji. Ziki-germinate, jua seeds zako ziko poa za kupanda.
Toa seeds zile: zimeoza zime-change rangi zilizo diseased. zilizovunjika za aina tofauti na
mbegu zingine.
Chagua seeds zile: za size moja hazijaharibiwa na
VarietyChagua variety ya seeds zilizo marketable na
zilizo resistant kwa diseases na wadudu.
Unaona? Ni rahisi sana! Jaribu na kisha u-share na DJ B matokeo
kwa kutumia sms on 3008 au kwa facebook fanpage ya DJ Boyie ili
tuwe ngangare kama vijana!
insects kwa shamba. with thanks to CABI for their help & advice.30