25.d - charlie pele

6
fathe! tumefika! lakini ai, hii mlima inaniumiza! nipe maji tafadhali... taabu, ndio huyo kaka wako na jamii yake wanaingia kusherehekea ndoa yako... bobo! ingia, ingia, tutatuma charlie kuchota maji... amekuja na jamii yake yote! charlie! wachana na hiyo mpira ya uchafu uende kuchota maji! lakini, mbuyu, niko na game hii afte, na nikienda kuchota maji nitachelewa! labda haukunielewa, hiyo haikuwa swali! enda utuletee maji! MAJI NI HAKI SHUJAAZ_C25.indd 26 16/02/2012 18:17

Upload: well-told-story

Post on 16-Mar-2016

269 views

Category:

Documents


8 download

DESCRIPTION

25.d - Charlie Pele : Maji ni Haki

TRANSCRIPT

Page 1: 25.d - Charlie Pele

fathe! tumefika! lakini

ai, hii mlima inaniumiza! nipe maji

tafadhali...

taabu, ndio huyo kaka wako na jamii yake wanaingia kusherehekea ndoa yako...

bobo! ingia, ingia, tutatuma charlie kuchota maji...

amekuja na jamii

yake yote!

charlie!

wachana na hiyo mpira ya uchafu uende kuchota maji!

lakini, mbuyu, niko na game hii afte, na nikienda

kuchota maji nitachelewa!

labda haukunielewa, hiyo haikuwa swali! enda utuletee

maji!

MAJI

NI HAKI

SHUJAAZ_C25.indd 26 16/02/2012 18:17

Page 2: 25.d - Charlie Pele

nikikimbia, labda naweza kurudi in time

kucheza second half

ya match yetu!

walai!sifiki!

ah! ndio hiyo

waterhole!

haiya, mbona huzuni?

kuna shida gani hapa?

pump imevunjika! na hatuna usaidizi...

tutafanya nini sasa?

kuna well tofauti mbali kidogo na

hapa... twendeni huko basi!

27

SHUJAAZ_C25.indd 27 16/02/2012 18:17

Page 3: 25.d - Charlie Pele

njia ndio hii...

tumefika!aaaah! Sasa hii

mlolongo! tutakuwa hapa hadi

kesho!yei!

28

SHUJAAZ_C25.indd 28 16/02/2012 18:17

Page 4: 25.d - Charlie Pele

AlA! charlie anarudi

nyumbani usiku???

Kumbuka, W.H.O. ina-recommend kila mtu anafaa kuwa na access

ya maji less than a km kutoka nyumba yake.

pump ya hapa ilikuwa imevunjika... ...puff... tukaenda

mbali na kulikuwa na watu wengi kwa well...

hahaha! yenyewe, hata sisi pale mjini tuna shida ya

maji.

lakini, hujui kwamba ni haki yako

kuwa na supply ya maji

yenye si shida?

huff...

puff...

...ndio hii maji yenyu...

charlie??? sasa ndio unafika?

umechelewa!!!

ei!WATOTO! wacheni kuruka-ruka kwa nyumba!

chicks za

pink!

mama watoto!

maji imefika! tupikie chai!

na uoshe

nyumba pia!

nioshe nyumba na hii maji

kidogo???

wacha niulize dj B juu ya hizi haki kuhusu

maji...29

SHUJAAZ_C25.indd 29 16/02/2012 18:17

Page 5: 25.d - Charlie Pele

Kila mtu yuko na haki ya ku-complain kwa district water officer juu ya shida ya maji.

Kama bado unaona

haujahudumiwa, enda kwa

Local Water Service Board. sasa, hadithi

yetu inaendelea sokoni...

...na sasa nataka

kuwakumbusha tu, juu ya yote nitawafanyia mkinipa kura

zenyu na kunichagua

tena.

...mali!

na maji?!

Matunda itatoka wapi bila maji? ...Tunajua

Haki zetu kila mtu anafaa kuwa na maji kilometer moja kutoka nyumba yao!

...na hiyo si hali ya mambo

wakati huu! utatuletea maji???

...masomo!

...mavazi!

...matunda!

maji!no water, no votes!

naam!

hakuna kura, bila

maji!

2030

SHUJAAZ_C25.indd 30 16/02/2012 18:17

Page 6: 25.d - Charlie Pele

Pia unaweza complain kwa Local Water

Service Providers, hata kama ni kampuni

private.

KUWA SHUJAA!

Ni haki yako ku request information juu ya issues

za ku-kosa maji.DON’T ACCEPT SECOND BEST –

TAKE ACTION!

Kama kuna shida ya maji area yenu;CHUKUA ACTION!

kama pump ime-spoil, au unaona funds hazitumiki vipoa:

1

WASREB CONTACTS:Tel: 254(0)202733559/61

Email: [email protected]: www.wasreb.go.ke

4Kama umefuata hii

process yote na haujashughulikiwa, unaweza andikia WASREB na ucheki website yao u-download

complaint form.

Kama badounaona haujahudumiwa, tuma au enda kwa Local

Water Service Board ya area yenu, kuna kadhaa

Kenya.

3

Mkumbuke pia ku-elect leaders

wale wanaleta maendeleo ya area yenu na si ku-make ma-promises tupu!

Ukiona bado complaints zako

hazisikizwi, enda kwa District Water Officer

u-raise issue yako.

2

CHUKUA ACTION,

5

Tuandikie kwa FButuambie juu ya

experiences zako hile time ulicomplain juu

ya maji.

31

SHUJAAZ_C25.indd 31 16/02/2012 18:17