02.d - charlie pele
DESCRIPTION
Chapta 2 - Charlie PeleTRANSCRIPT
likizo imeisha!vijana wangu
hawatakaa nyumbani fwaa!
unajua,meneja hafaikuchelewa...
lakinibaba...
boss alisemaataniita. ofisi
yetu inahama...
unaenda wapi?! badala ya kuwahardworking uwe meneja
kama bratha yako kilawakati ni mpira mpira tu!
mwagilia shamba maji. shika bucket!!!kwanza huyo coach kabila yao ni ile
mbaya...
14
charlie fanyahii, charliefanya ile!!
hebu nifanye tizi,inaonekana sita-
make prako ya ball...
maisha ninooma!
buda anafikiri mimi ni meneja lakininafanya kibarua kaa watchie!
mshahara si poa, mwakamzima nime-save only 2
thao... sitaki kurudi.afadhali kulima!
aa, cheki vile shamba ya coach
iko poa!
cheki vile yetu ni mbaya,lazima iwe coach wanatumia
uganga ndio wako poa...
lakini ... coach piaako na ka-daughter
kapoa!
sasa taabu! ni aje?mna do?
shhh!usiambiefathey!
15
PELE 3
hakuna... ni charlie anapelekamaji kwa shamba...
na ndoo?
come niwa-show!
sisihutumiahii pump!
unaweka kwa mto... alafummoja ana-pump, mwingine
akinyunyizia.ni rahisi sana!
elfu nnepekee!
tuchekiane!
asante sana!
kanakaa poa!
we nyamaza!
si tu-buy hiyo pumpna zile 2 thao?
hazitoshi! nasina shamba ya kutumia hiyo
pump!
tutatoa wapi 2 thao?
nimejua! nimlimiecoach anilipe, alafunipate dooh za pump
kwa shamba ya kukodisha!
16
PELE 4
wiki imepita.haurudi ofisi?
ee...nimeongezewa
leave miezimbili...
miezi mbili imepita.hurudi kazini?
boss alisemaatanipigia...
fatheyatakulipa
vipoa.
kazi ilikuwamob pia naimejilipa.
taabu, mbogazako ziko poa!
mwezi ujaonitavuna...
huyu taabu miezi tatunyumbani! kwani
alifutwa kazi? hapaiko kitu.
17
Tumia MoneyMaker Pump kuongeza mapato yako kila mweziWakulima wengi Kenya na Africa wameendelea ku-benefit kwa kutumia KickStart MoneyMaker Hip Pump kama Daniel Karanja Njenga na mke wake Nancy Gathoni walivyogundua. Daniel alipoteza mali na makao yao wakati wa post election violence, na kuwa IDPs. Daniel aliona hii pump kwa promotion ya KickStart na akaona ni poa kuitumia ili kulima.
Daniel alifanya vibarua, Ili kupata dooh ya pump. Hii pump sio nzito, ni rahisi kutumia, affordable na hu-operate manually. Daniel aliweza kulima wakati wa kiangazi. Hii pump inaweza kunyunyizia maji kwa shamba la 1 ¼ acres. Maisha ya Daniel yameimarika na ana-plan ku-expand shamba lake ili ku-manage family yake.
Shujaaz mwezi huu inapeana 2 MoneyMaker Hip Pumps na 1 Super MoneyMaker Pump. 3 FREE kwa lucky readers wetu!!
Tuma SMS ikiwa na PUMP, JINA LAKO, na kujibu swali ifuatayo kwa 3008:
MoneyMaker Hip Pump katika Imarisha Kilimo Promotion inauzwa pesa ngapi pamoja na pipes mbili?
Hii compe itaisha April 24th 2010; Washindi wa hii compe wata announce-iwa kwa Daily Nation
Staff and employees of WTS and Kickstart International are not qualified to enter this competition
Family • Life • Success
Imarisha Kilimo Promotion! Hadi 30th June 2010 KickStart itapeana 10 meters pipe FREE ya kuingiza maji kwa kila MoneyMaker pump utakayonunua! Kwa hivyo, nunua MoneyMaker Hip Pump kwa Kshs. 4,009 badala ya Kshs. 4,709 ikiwa na pipe ya kuingiza maji na ingine ya kutoa maji. Nunua Super MoneyMaker Pump kwa Kshs. 8,750 badala ya Kshs. 9,450 ikiwa na pipe ya kuingiza maji na ingine ya kutoa maji. Nunua pump yako leo au upige 0725 790050 kujua KickStart Authorised MoneyMaker Pump dealer aliye karibu nawe!
Shinda
Pump!
WAAZI, WEEKENDI TUTA-PAAAARTY!
NKT! CHUXX MBABA TENA! VIPI WASUPAA,
MNA-COMEGIG YA LEO?
LAZIMA, LAKINI SIO NA WEWE
MARIAKIM, TUINGIE ILE NGANYA YA beste yangu!
sasa mresh, UTATOKEA ILE GIG YA youth-fest?
KAMA UTALIPIA!
MARIAKIM
AAWMARIA!
nilijua tu! unalimakwa hao wachawi!
rudi town!!!baba... mimi huendatown. lakini kuuza
mboga... natengeneza pesa nyingi kulikonikiwa watchie...
kweli. nilidanganya...sasa maisha yangu nihapa kama mkulima.
sasaulinionyeshamoney makerpump... nawezakununua yangu!
nitakusaidiaku-pump...
watchman?
BCLB
NO
. 001
565
18