zaka na sadaka (ibada na sadaka)
DESCRIPTION
ZAKA NA SADAKA (IBADA NA SADAKA). Azania Front Cathedral 9-16-23 January, 2011 Na Mwl . Mgisa Mtebe 0713 497 654. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA. IBADA NA SADAKA Waebrania 7:1-10. KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA. Waebrania 7:1-10 - PowerPoint PPT PresentationTRANSCRIPT
ZAKA NA SADAKA(IBADA NA SADAKA)
Azania Front Cathedral9-16-23 January, 2011
Na Mwl. Mgisa Mtebe
0713 497 654
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
IBADA NA SADAKAWaebrania 7:1-10
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Waebrania 7:1-101 Kwa kuwa huyu Melkizedeki alikuwa Mfalme wa Salemu na
Kuhani wa Mungu aliye juu, aliyekutana na Abrahamu akirudi katika kuwapiga na
kuwashinda hao wafalme; naye Melkizedeki akambariki,
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Waebrania 7:1-102 na Abrahamu akampa
Melkizedeki “sehemu moja ya kumi (Zaka)” ya kila kitu. Jina hilo Melkizedeki maana yake,
“Mfalme wa haki,” pia “Mfalme wa Salemu” maana yake
“Mfalme wa amani (Salama).”
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Waebrania 7:1-103 (Huyo Melkizedeki, Mfalme wa Salem; )Hana Baba na wala hana
mama; hana ukoo, hana mwanzo wala mwisho wa siku
zake, ni kama Mwana wa Mungu; na yeye adumu kuhani
milele.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Waebrania 7:1-104 Tazama jinsi alivyokuwa mkuu!
Hata Abrahamu, baba yetu mkuu, alimpa moja ya kumi
(Zaka) ya nyara zake zote alizoziteka kule vitani, alipokuwa akipigana na wale wafalme, kwa
ajili ya Lutu, mpwa wake.
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Waebrania 7:1-105 Basi sheria inawaagiza wana wa
Lawi, wale ambao hufanyika makuhani, hupokea sehemu moja ya kumi kutoka watu
ambao ni ndugu zao (yaani yale makabila 11 mengine, katika
watoto 12 wa Yakobo)
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Waebrania 7:1-106 Huyu Melkizedeki, ingawa hakufuatia ukoo wake kutoka kwa Lawi, lakini alipokea moja ya kumi kutoka kwa Abrahamu na kumbariki yeye aliyekuwa
na zile ahadi (yaani Abrahamu).
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Waebrania 7:1-107 Wala hakuna shaka kwamba
mdogo hubarikiwa na aliye mkuu kuliko yeye (Kwamba Melkizedeki, ni Mkuu kuliko
Ibrahim).
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Waebrania 7:1-108 Kwa upande mmoja, sehemu
moja ya kumi (yaani Zaka) hupokelewa na wanadamu ambao hupatikana na kufa
(yaani Walawi au Makuhani) …
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Waebrania 7:1-108 … lakini kwa upande mwingine
(Zaka, yaani sehemu ya kumi), pia hupokelewa na Mungu, Yeye ambaye hushuhudiwa kuwa yu hai (Yaani Mungu).
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Waebrania 7:1-109 (Kwahiyo) Mtu anaweza hata kusema kwamba Lawi, ambaye hupokea sehemu moja ya kumi
(Zaka), naye pia alitoa hiyo sehemu moja ya kumi, kupitia
kwa Abrahamu,
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Waebrania 7:1-1010 kwa sababu, Melkizedeki
alipokutana na Abrahamu, Lawi alikuwa ndani, katika viuno vya baba yake (Yakobo, ambaye pia alikuwa ndani ya Isaka, ambaye pia alikuwa ndani, katika viuno
vya Abrahamu).
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
Waebrania 7:1-1010 Kwahiyo, Ibrahimu alipotoa
Zaka ya vitu vyake vyote kwa Melkizedeki, ndio kusema, na
Lawi pia, alitoa Zaka kupitia kwa Ibrahimu, angali bado yu katika kiuno cha babu yake (hata kabla
ya kuzaliwa kwake duniani).
KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA
IBADA NA SADAKAYohana 4:23-24
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
KWANINI IBADA ?
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe
“UNAKETI” juu ya sifa za Israel
“Inhabit” “Unaishi”
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zab 22:3 IDABA ndio kitu cha kwanza
kabisa katika moyo wa Mungu, kwasababu
MUNGU ANAISHI KATIKA IBADA na SIFA.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Zaburi 22:3 Wewe U Mtakatifu, nawe
“UNAKETI” juu ya sifa za Israel
“Inhabit” “Unaishi”
KANISA LA MTU BINAFSIZABURI 150:1-6
6 Kila mwenye pumzi amsifu Bwana, kwa sauti kuu, kwa
zeze, kwa filimbi, kwa zomari, kwa matari, kwa vinubi na kwa
matoazi yavumayo sana.
SIFA NA IBADA KWA MUNGU
Mungu Kuhani Ibada Nchi Adam
ZAKA NA SADAKA
Walawi 6:8-1312 Moto ulio juu ya
madhabahu (ibada) lazima uwe unaendelea kuwaka juu ya madhabahu, siku zote, na
kamwe usizimike. (Masaa 24 bila kukatika)
ZAKA NA SADAKA
Walawi 6:8-1313 Moto (wa ibada) lazima
uendelee kuwaka juu ya madhabahu mfululizo (Kwa Masaa 24 bila kukatika), na
kamwe usizimike!
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Nafasi ya
Sadaka katika Ibada
ZAKA NA SADAKA
Kumbukumbu 18:1-51 Makuhani na kabila lote la
Lawi hawatakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israeli.
Wataishi kwa sadaka zitolewazo kwa ajili ya BWANA;
na huo ndio urithi wao.
ZAKA NA SADAKA
Kumbukumbu 18:1-52 Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zao,
BWANA ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.
ZAKA NA SADAKA
Kumbukumbu 18:1-53 Hili ndilo fungu la makuhani kutoka kwa watu watakaotoa
dhabihu ya ng’ombe au kondoo: mguu wa mbele,
mashavu mawili na matumbo.
ZAKA NA SADAKA
Kumbukumbu 18:1-54 Mtawapa malimbuko ya
nafaka zenu, divai mpya, mafuta na sufu ya kwanza
kutoka manyoya ya kondoo zenu;
ZAKA NA SADAKA
Kumbukumbu 18:1-55 kwa kuwa BWANA Mungu
wenu amewachagua pamoja na wazao wao kutoka makabila
yenu kusimama na kuhudumu katika jina la BWANA siku zote.
MZUNGUKO WA BARAKA
Mungu Kuhani Nchi Adam
Lawi 6:12-13
Kumb 18:1-5
Malaki 3:7-12 Hagai 1:5-11
Kumb 8:6-18
Lawi 26:3-7
2Kor 9:6-8, 11
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kazi yoyote inayofanywa na kanisa (makuhani) ili Mungu apewe ibada
na utukufu anaostahili, kazi hiyo ikichechemea, kwa namna yoyote,
basi mimi na wewe hatuwezi kubarikiwa katika maisha yetu
wala katika kazi zetu.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Na utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza ofisi
yake duniani (kanisa) ni Watu wake kutuoa sehemu za mali
zetu kwake (Zaka na Sadaka) katika namna ya kuonyesha
heshima na upendo wetu kwake
ZAKA NA SADAKAMalaki 3:7-12
7 Tangu siku za baba zenu, mmegeukia mbali na amri
zangu, nanyi hamkuzishika. 8 ‘‘Mnaniibia zaka na dhabihu. 9 Hivyom mko chini ya laana,
ninyi taifa lote, kwa sababu mnaniibia mimi.
ZAKA NA SADAKA
Malaki 3:7-1210 Leteni zaka kamili ghalani,
ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, asema
BWANA Mwenye Nguvu;
ZAKA NA SADAKA
Malaki 3:7-1210 Nijaribuni katika hili,’’ asema BWANA Mwenye Nguvu, ‘‘nanyi
mwone kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni na
kuwamwagieni baraka nyingi mpaka mkose nafasi ya kutosha
au la.
ZAKA NA SADAKAMalaki 3:7-12
11 Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala
hataharibu mazao ya ardhi yenu, wala mzabibu wenu
hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake,’’ asema
BWANA Mwenye Nguvu.
ZAKA NA SADAKA
12 ‘‘Ndipo mataifa yote watawaita ninyi,
mliobarikiwa, kwa maana nchi yenu itakuwa ya
kupendeza sana,’’ asema BWANA Mwenye Nguvu.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwahiyo, Utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza ofisi
yake duniani (kanisa) ni Watu wake kutuoa sehemu za mali
zetu kwake (Zaka na Sadaka) katika namna ya kuonyesha
heshima na upendo wetu kwake
ZAKA NA SADAKA
Malaki 3:7-12
Tunamwibia?
ZAKA NA SADAKAMalaki 3:7-12
7 Tangu siku za baba zenu, mmegeukia mbali na amri
zangu, nanyi hamkuzishika. 8 ‘‘Mnaniibia zaka na dhabihu. 9 Hivyom mko chini ya laana,
ninyi taifa lote, kwa sababu mnaniibia mimi.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kuiba; ni kuchukua mali au kitu kisicho chako (kutokuachilia, mali ya mtu).
Kunyima; ni kuzuia mali au kitu kiilicho chako (kuto-kuachilia, mali yako kwa mtu mwingine)
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Uwe mwanagalifu sana na mwaminifu katika mali hii,
kwasababu,
ZAKA sio yako!ZAKA ni ya Mungu!
Zaka ni takatifu!
ZAKA NA SADAKA
10 = 1 + 9
ZAKA + MATUMIZI
(Dhabihu)
ZAKA NA SADAKA
ZAKA Ya Mungu.
Dhabihu Ya Kwako.
ZAKA NA SADAKA
ZAKA Dhabihu
Ya Mungu. Ya Kwako. 1 9
‘Unarudisha’ ‘Unatoa’
ZAKA NA SADAKA
Kwanini vitu 10?
ZAKA NA SADAKA
Kwanini vitu 10?Katika maisha mahesabu ya
vitu vyote yapo katika tarakimu 10 tu.
ZAKA NA SADAKA
1
7
6
3
54
8
9
2
0
ZAKA NA SADAKA
Kwanini vitu 10?Katika mduara, namba kumi
(10) ndiyo inayokamilisha mzunguko kamili.
ZAKA NA SADAKA
1
7
6
3
54
8
9
2
10
ZAKA NA SADAKA
Kwanini vitu 10?Pasipo ile namba kumi (10)
seti au duara linakuwa si kamilifu (hakijakamilika).
ZAKA NA SADAKA
1
7
6
3
54
8
9
2
ZAKA NA SADAKA
1
7
6
3
54
8
9
2
10
ZAKA NA SADAKA
9
8
7
65 4
3
2
110
ZAKA NA SADAKA
Kwanini vitu 10?Yaani; Mungu ndiye
ukamilifu wa maisha ya Mwanadamu.
ZAKA NA SADAKA
Unapotoa ZAKA (Sehemu ya Kumi) ya vitu vyako (mali zako),
unathamini na kuheshimu nafasi ya Mungu katika maisha
yako, kwamba;Mungu ndiye ukamilifu wako.
ZAKA NA SADAKA
Kwanini vitu 10?Yaani; Mungu ndiye
ukamilifu wa maisha ya Mwanadamu.
ZAKA NA SADAKA
Walawi 27:30-3131 Tena Zaka yote ya nchi,
kama ni Zaka ya mbegu, kama ni matunda ya nchi,
ni ya BWANA, na ni TAKATIFU kwa Bwana.
ZAKA NA SADAKA
Kwahiyo, uwe mwanagalifu sana na mwaminifu katika fedha na
mali hizi tunazopata; kwasababu …
ZAKA (1/10) yote ni ya Mungu Hivyo, Zaka ni takatifu
ZAKA NA SADAKA
ZAKA Dhabihu
Ya Mungu. Ya Kwako. 1 9
‘Unarudisha’ ‘Unatoa’ (Haibariki) (Inabariki)
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa mfano; Mapato yako.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa mfano; Mapato yako.Mshahara 500,000
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa mfano; Mapato yako.Mshahara 500,000Marupurupu 160,000
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa mfano; Mapato yako.Mshahara 500,000Marupurupu 160,000Kuku/Mayai 130,000
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa mfano; Mapato yako.Mshahara 500,000Marupurupu 160,000Kuku/Mayai 130,000Soda 110,000
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa mfano; Mapato yako.Mshahara 500,000Marupurupu 160,000Kuku/Mayai 130,000Soda 110,000Mengineyo 100,000
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa mfano; Mapato yako.Mshahara 500,000Marupurupu 160,000Kuku/Mayai 130,000Soda 110,000Mengineyo 100,000 JUMLA 1,000,000 .
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Zaka yako. Jumla 1,000,000 = 10
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Zaka yako. Jumla 1,000,000 = 10
100,000
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Walawi 27:30-3130 Tena Zaka yote ya nchi, kama
ni Zaka ya mbegu, kama ni matunda ya nchi, ni ya BWANA,
na ni TAKATIFU kwa Bwana.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Watu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao,
watatoa mali zao kwa heshima na utii, na kwa moyo wa furaha,
katika kuifanya kazi ya Mungu. Na kazi ya Mungu inakwenda vizuri,
nasi sote tunabarikiwa sana.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa kadri kila mtu alivyojaliwa na Mungu, anatakiwa kutoa
matoleo haya kwa heshima na kwa upendo, kwasababu ya ukuu na wema wa Mungu maishani mwetu, ambao
hatuwezi kuulipa.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Aliyejaliwa kidogo, katika hicho hicho kidogo, ampe Mungu iliyo yake; na kwa aliyejaliwa vingi,
katika hivyo vingi, naye pia ampe Mungu sehemu yake,
kwa heshima na upendo.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Walawi 27:30-3131 Na kama mtu akitaka
kukomboa chochote cha Zaka yake, ataongeza sehemu ya
tano (1/5) juu yake. “cha juu”
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Zaka yako.
1 X 100,000 = 5
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Zaka yako.
1 X 100,000 = 20,000 5
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Zaka yako.
100,000 (Zaka) + 20,000 (Riba)
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Zaka yako.
100,000 (Zaka) + 20,000 (Riba) 120,000 (Z’Kamili)
ZAKA NA SADAKA
ZAKA HUTOLEWA WAPI?Malaki 3:10-12
ZAKA NA SADAKA
Malaki 3:7-1210 Leteni zaka kamili ghalani,
ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, asema
BWANA Mwenye Nguvu;
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Malaki 3:7-12
NGUVU YA SADAKA (ZAKA + DHABIHU)
ZAKA NA SADAKA
Malaki 3:7-1210 Leteni zaka kamili ghalani,
ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, asema
BWANA Mwenye Nguvu;
ZAKA NA SADAKA
Malaki 3:7-1210 Nijaribuni katika hili,’’ asema BWANA Mwenye Nguvu, ‘‘nanyi
mwone kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni na
kuwamwagieni baraka nyingi mpaka mkose nafasi ya kutosha
au la.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
ZAKA + DHABIHU
Malaki 3:7-12
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
ZAKA + DHABIHU
NITAFUNGUA + KUMWAGA
Malaki 3:7-12
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
ZAKA + DHABIHU
KUFUNGUA + KUMWAGA
Malaki 3:7-12
Hagai 1:5-11
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
ZAKA + DHABIHU
KUFUNGUA + KUMWAGA (Haibariki) (Inabariki)
Malaki 3:7-12
NGUVU YA SADAKA
Malaki 3:7-12
1. Kufungua mbingu2. Kumwaga Baraka
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Sadaka yako, ina nguvu ya kukufungulia fursa (nafasi)
ambazo kikawaida, usingezipata wewe au kwa juhudi zako. Na pia
sadaka yako ina nguvu ya kukumwagia baraka mbalimbali za kukufanikisha zaidi kimaisha.
ZAKA NA SADAKAMalaki 3:7-12
11 Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala
hataharibu mazao ya ardhi yenu, wala mzabibu wenu
hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake,’’ asema
BWANA Mwenye Nguvu.
NGUVU YA SADAKA
Malaki 3:7-121. Kufungua mbingu2. Kumwaga Baraka3. Upako wa Kushinda Vita
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Sadaka yako, ina nguvu ya kufungulia upako maalumu
(msaada wa Roho Mtakatifu) ili kukuwezesha kuendelea
kupigana na adui zako katika vita vya kiroho tulivyonavyo duniani
na kushinda!
Malaki 3:7-12
12 ‘‘Ndipo mataifa yote watawaita ninyi,
mliobarikiwa, kwa maana nchi yenu itakuwa ya
kupendeza sana,’’ asema BWANA Mwenye Nguvu.
NGUVU YA SADAKA
Malaki 3:7-121. Kufungua mbingu2. Kumwaga Baraka3. Upako wa Kushinda Vita4. Kukutofautisha.
NGUVU YA SADAKA
Kutoka 9: 4, 26Nami nitaweka tofauti kati ya
Wamisri na Waebrania. (Mambo yatakayowapata Wamisri
hayatawapata Waebrania)
NGUVU YA SADAKA
Mathayo 6:26-33Mnahangaikia Chakula? Mavazi? Waangalieni Ndege na Maua …
Ninyi utafuteni kwanza Ufalme wa Mungu … hayo mengine
nitawazidishia.
NGUVU YA SADAKA
Zekaria 8:20-23‘Katika siku hizo, watu 10 wa mataifa mbalimbali, wataushika upindo wa nguo wa Myahudi (Mkristo) mmoja
na kusema, tutakwenda pamoja nawe, kwa maana tumesikia Mungu
yupo pamoja nanyi’
NGUVU YA SADAKA
Daniel 1:1717 Na katika habari za hao vijana
waliompenda Mungu, Daniel, Shadrack, Meshack, na Abednego,
Mungu aliwapa akili, busara na maarifa; na kuwa bora zaidi, mara 10 kuliko werevu wote, waganga wote
na wachawi wote wa Babeli.
KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU
Kwahiyo, Sadaka yako, ina nguvu ya kukufanya uwe tofauti na
watu wengine, ukawa bora zaidi katika utendaji, akili na maarifa, masomo, afya, uchumi, familia,
ulinzi, n.k. kwa Utukufu wa Mungu wako.
ZAKA NA SADAKA
Kwa mfano;
Ujenzi wa Nyumba (Hema) ya Mungu Jangwani
Kumb 36:2-7
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kumb 36:2-7 Wajenzi wa hekalu wakamwambia
Musa, watu wameleta sadaka nyingi sana na kuzidi, kuliko
tulivyokuwa tunahitaji. Tumewazui, lakini hawataki, nao
bado wanaleta tu.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kumb 36:2-7 Tunaomba wewe Baba, labda
watakusikia; Ndipo Musa akatoa amri, kwamba watu wasilete tena matoleo kwa ajili ujenzi wa hema
ya ibada, kwasababu walikuwa wameleta vingi sana na kuzidi.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kumb 36:2-7 … Hivyo watu wakazuiliwa kuleta
zaidi, 7 kwa sababu vitu vilivyokuwa vimeletwa, tayari
vilikuwa vimetosha, na hata kuzidi sana, kwa ajili ya kuifanya kazi
yote.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Watu wa Mungu waliomheshimu Mungu,
walitoa mali zao, kuliko hata bajeti iliyokuwa inahitajika
kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mungu kule jangwani.
Kwahiyo …
Watu wa Mungu wakielewa, nafasi ya sadaka katika maisha yao,
watatoa mali zao kwa heshima na utii, na kwa moyo wa furaha,
katika kuifanya kazi ya Mungu. Na kazi ya Mungu itakwenda vizuri, nasi sote tunabarikiwa sana.
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Huu ndio utaratibu ambao Mungu aliuweka kwa ajili ya kuitunza ofisi yake duniani
(kanisa).Malaki 3:10-12
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Na Mungu anawapenda, wale wanatoa mali zao kwa heshima na utii, na kwa moyo wa furaha,
katika kuifanya kazi yake. 2 Wakorintho 9:6-7
IBADA NA UTOAJI
2 Wakorintho 9:6-8, 11
6 Kumbukeni kwamba: Ye yote apandaye kwa uchache pia atavuna kwa uchache, naye apandaye kwa ukarimu pia
atavuna kwa ukarimu.
IBADA NA UTOAJI
2 Wakorintho 9:6-8, 11
7 Kila mtu atoe kama anavyokusudia moyoni mwake,
si kwa uchoyo au kwa kulazimishwa, kwa maana
Mungu humpenda yeye atoaye kwa moyo mkunjufu.
IBADA NA UTOAJI
2 Wakorintho 9:6-8, 11
8 Naye Mungu aweza kuwapa kila baraka kwa wingi, ili katika mambo yote kila wakati, mwe
na kila kitu mnachohitaji, ili mweze kushiriki kwa wingi
katika kila kazi njema. …
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa mfano; Mapato yako.Mshahara 500,000Kodi - 60,000 440,000Pension - 50,000 390,000
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa mfano; Mapato yako.Baki 390,000Mkopo - 100,000 290,000
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa mfano; Mapato yako. Mshahara 290,000Posho 140,000Mayai 140,000Soda 130,000Mengineyo 100,000
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa mfano; Mapato yako. Jumla 800,000
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa mfano; Mapato yako. Jumla 800,000 10
SADAKA NA IBADA KWA MUNGU
Kwa mfano; Mapato yako. Jumla 800,000 = 80,000 10
Ibada na Utoaji
Mwisho!
Mafundisho Mengine
Mwalimu Mgisa Mtebe ana Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho
ya Neno la Mungu, yanayoweza kukujenga na kukuimarisha sana
kiroho, ili uwe na maisha ya ushindi na yenye mafaniko mazuri.
Mafundisho Mengine
Vitabu vingine, CD na DVD za Mafundisho vya Mwalimu Mgisa
Mtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo la
Azania Front Cathedral Luther House, Sokoine Drive
Dar es Salaam.
Kwa mawasiliano zaidi,
Mwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)
P. O. Box 837,Dar es Salaam, Tanzania.
+255 713 497 654+255 784 497 654