naomba kutoa hoja mheshimiwa spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8....

68
1 1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Baraza lako Tukufu lipokee, lijadili na hatimae likae kama Kamati ya Mapato na Matumizi ili liidhinishe Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020. 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukuwa nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa kutujaalia afya njema na kuniwezesha kuwasilisha hotuba hii katika kikao hiki cha Baraza la Wawakilishi. Namuomba kwa uwezo wake akijaalie kikao hiki tukiendeshe na kukimaliza kwa maelewano makubwa ili tufikie lengo tulilojiwekea. 3. Mheshimiwa Spika, napenda kumshukuru kwa dhati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein kwa umakini na hekima zake za kuiongoza nchi yetu. Uongozi wake umekuwa ni dira kwetu sote na hakika umetuletea

Upload: others

Post on 08-Mar-2020

19 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

1

1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja

kwamba Baraza lako Tukufu lipokee, lijadili na

hatimae likae kama Kamati ya Mapato na

Matumizi ili liidhinishe Makadirio ya Mapato na

Matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais

kwa Mwaka wa Fedha 2019/2020.

2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukuwa

nafasi hii kumshukuru Mwenyezi Mungu

Mtukufu kwa kutujaalia afya njema na

kuniwezesha kuwasilisha hotuba hii katika

kikao hiki cha Baraza la Wawakilishi.

Namuomba kwa uwezo wake akijaalie kikao hiki

tukiendeshe na kukimaliza kwa maelewano

makubwa ili tufikie lengo tulilojiwekea.

3. Mheshimiwa Spika, napenda kumshukuru

kwa dhati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa

Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Ali

Mohamed Shein kwa umakini na hekima zake

za kuiongoza nchi yetu. Uongozi wake umekuwa

ni dira kwetu sote na hakika umetuletea

Page 2: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

2

maendeleo na faraja katika nchi yetu. Bila

shaka sisi wasaidizi wake tutaendelea

kumuunga mkono katika juhudi zake hizo ili

kwa pamoja tufikie azma yetu ya maendeleo ya

nchi kwa wote.

4. Mheshimiwa Spika, naomba sasa nikushukuru

na kukupongeza wewe binafsi Mheshimiwa

Spika pamoja na wasaidizi wako Mheshimiwa

Naibu Spika na Waheshimiwa Wenyeviti wa

Baraza kwa kuliongoza Baraza hili Tukufu kwa

umahiri mkubwa. Naomba vile vile

niwashukuru na kuwapongeza Wenyeviti na

Wajumbe wa Kamati za Kudumu za Baraza la

Wawakilishi kwa kufuatilia kwa karibu utendaji

wa Wizara na Taasisi za Serikali ili kuhakikisha

zinatoa huduma bora kwa wananchi.

5. Mheshimiwa Spika, kwa dhati kabisa

namshukuru sana Mwenyekiti wa Kamati ya

Kudumu ya Kusimamia Ofisi za Viongozi

Wakuu wa Kitaifa, Mheshimiwa Panya Ali

Abdalla, Mwakilishi wa Viti Maalum, Makamu

Page 3: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

3

Mwenyekiti, Mheshimiwa Ali Suleiman Ali

(Shihata), Mwakilishi wa Wananchi wa Jimbo la

Kijitoupele na Wajumbe wote wa Kamati hiyo

kwa kuyapitia Makadirio ya Mapato na

Matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais ya

mwaka 2019/2020 na kuyakubali na leo hii

tunayawasilisha katika kikao chako hiki

kitukufu.

HALI YA UCHUMI WA ZANZIBAR:

Ukuaji wa Uchumi:

6. Mheshimiwa Spika, uchumi wa Zanzibar

umeendelea kuwa imara katika kipindi cha

mwaka mmoja uliopita ambapo kwa mwaka

2018 kasi ya ukuaji wa uchumi imefikia

wastani wa asilimia 7.1. Pamoja na mambo

mengine ukuaji huu wa uchumi kwa mwaka

2018 umetokana na kuongezeka kwa asilimia

20.1 ya idadi ya watalii waliofika nchini na

kufikia watalii 520,809 mwaka 2018 kutoka

watalii 433,474 mwaka 2017. Aidha, kumekuwa

na ongezeko la usafirishaji wa zao la mwani

Page 4: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

4

ambalo kwa mwaka 2018 limefikia tani 18,215

ikilinganishwa na tani 12,017 mwaka 2017

sawa na ongezeko la asilimia 66. Sambamba

na hilo kumekuwepo na ongezeko la uzalishaji

wa mazao ya chakula hadi kufikia tani 323,170

mwaka 2018 ikilinganishwa na tani 306,190

mwaka 2017 sawa na ongezeko la asilimia

11.6.

7. Mheshimiwa Spika, sababu nyengine ni

kuongezeka kwa shughuli za sekta ndogo ya

usafirishaji na uhifadhi sambamba na ongezeko

la idadi ya abiria waliopitia bandarini kufikia

abiria 2,700,000 mwaka 2018 ikilinganishwa na

abiria 2,600,000 mwaka 2017 sawa na

ongezeko la asilimia 3.8. Aidha, idadi ya abiria

waliopitia viwanja vya ndege nayo imeongezeka

na kufikia abiria 1,400,000 mwaka 2018

kutoka abiria 1,200,000 kwa mwaka 2017 sawa

na ongezeko la asilimia 16.7. Vile vile,

kumekuwa na kuongezeka kwa shughuli za

utalii pamoja na muda wa kukaa kwa mgeni

Page 5: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

5

ambapo mwaka 2017 watalii 5,046 walikaa kwa

siku 31 ikilinganishwa na watalii 5,920

waliokaa kwa siku kama hizo kwa mwaka 2018

ikiwa ni ongezeko la asilimia 17.3.

8. Mheshimiwa Spika, mafanikio yote hayo

yanatokana na kuendelea kuwepo kwa hali ya

amani na utulivu nchini jambo ambalo ni

muhimu kwa ustawi wa Taifa letu.

PATO LA TAIFA NA PATO LA MWANANCHI:

9. Mheshimiwa Spika, hali ya Pato la Taifa

imeendelea kuwa nzuri ambapo kwa mwaka

2018 lilifikia thamani ya Shilingi

2,874,000,000 ikilinganishwa na thamani ya

Shilingi 2,684,000,000 mwaka 2017. Aidha,

Pato la Taifa kwa bei za soko limefikia thamani

ya Shilingi 3,663,000,000 mwaka 2018

kutoka thamani ya Shilingi 3,228,000,000

mwaka 2017. Hali hii imesababisha pia

kuongezeka kwa Pato la Mwananchi kutoka

Shilingi 2,104,000 sawa na Dola 944 na

kufikia Shilingi 2,323,000 sawa na Dola

Page 6: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

6

1,026. Tayari Zanzibar imekaribia kufikia

kiwango cha nchi ya kipato cha kati cha Dola

1,030 kwa mujibu wa vigezo vya Kimataifa.

MFUMKO WA BEI:

10. Mheshimiwa Spika, kasi ya mfumko wa bei

umeshuka hadi kufikia wastani wa asilimia 3.9

mwaka 2018 ikilinganishwa na wastani wa

asilimia 5.6 mwaka 2017. Kushuka huko

kumesababishwa na kushuka kwa bei za

bidhaa za chakula na zisizo za chakula. Bidhaa

za chakula zilitoka asilimia 5.5 mwaka 2017

hadi kufikia asilimia 1.4 mwaka 2018 na

bidhaa zisizo za chakula zimeshuka kwa

kiwango kidogo kutoka asilimia 5.8 mwaka

2017 na kufikia asilimia 5.7 mwaka 2018.

11. Mheshimiwa Spika, hatua zilizochukuliwa

katika kudhibiti mfumko wa bei ni kuongezeka

kwa uzalishaji wa mazao ya chakula ambapo

tani 323,170.2 zilivunwa kwa mwaka 2018

Page 7: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

7

ikilinganishwa na tani 302,190.4 mwaka 2017

sawa na ongezeko la asilimia 5.5.

12. Mheshimiwa Spika, hali hii inatokana

kuwawezesha wakulima kwa kutoa pembejeo na

mafunzo ya kuongeza uzalishaji kwa kutumia

teknolojia ya gharama nafuu, kuendeleza tafiti

katika sekta ya kilimo na kutokomeza maradhi

yanayokabili mazao ya matunda na mboga za

majani, kuendelea kutoa nafuu maalum ya

ushuru kwa baadhi ya bidhaa muhimu za

chakula, dawa na pembejeo za kilimo.

MWELEKEO WA HALI YA UCHUMI WA

ZANZIBAR KWA MWAKA 2019:

13. Mheshimiwa Spika, mwelekeo wa hali ya

uchumi wa Zanzibar kwa mwaka 2019

unategemea kwenda sambamba na utekelezaji

wa Dira ya Maendeleo ya 2020, MKUZA III na

Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya

mwaka 2015 - 2020.

Page 8: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

8

14. Mheshimiwa Spika, Pato la Taifa kwa mwaka

2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani

wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa

kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na

kuimarika kwa uwekezaji wa Serikali na sekta

binafsi katika sekta ndogo ya usafirishaji na

sekta ya uvuvi. Kumekuwa na ongezeko la meli

za mizigo pamoja na abiria na kuongezeka kwa

uzalishaji wa vifaranga vya samaki na ufugaji

wa samaki, kuanza kwa uvuvi wa bahari kuu

baada ya kununua boti nne za uvuvi; kuimarika

sekta ndogo ya ufugaji ambapo Serikali imezidi

kukiimarisha Kituo cha Utafiti wa Mifugo ili

kusaidia uzalishaji bora na uendelezaji wa

mifugo na mazao yanayotokana na mifugo hiyo.

15. Mheshimiwa Spika, sababu nyengine ni

kuongezeka kwa uzalishaji na usafirishaji wa

zao la karafuu kutokana na matarajio ya

msimu mkubwa kwa zao hilo katika mwaka

2019; kuongezeka kwa kiwango cha idadi ya

watalii wanaoingia nchini kutokana na

Page 9: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

9

kupatikana kwa masoko mapya ya utalii,

kuimarika kwa vivutio vya kitalii na malazi na

utumiaji wa mbinu za kidijitali katika

kuutangaza utalii; Zanzibar kuzitumia ipasavyo

fursa za Uchumi wa Buluu na kuimarisha

mazingira ya kufanya biashara sambamba na

kutumika ipasavyo kwa dhana ya Sekta

Mjumuisho kwa sekta za uzalishaji (Twin

Engine Approach); kutumika kwa Sera ya

Viwanda ipasavyo kwa kuiwezesha Mamlaka ya

Viwanda vidogo vidogo na vya kati (SMIDA),

kuimarisha viwanda hivyo na kuwawezesha

vijana kupata fursa za ajira; na kuimarisha

ajira kwa vijana kupitia utekelezaji wa

programu ya ajira kwa vijana, Mfuko wa

Khalifa (Khalifa Fund) na uwezeshaji wa

wananchi kiuchumi.

16. Mheshimiwa Spika, yote haya ni matunda ya

jitihada kubwa zinazochukuliwa na Serikali ya

Mapinduzi ya Zanzibar chini ya uongozi mahiri

wa Rais wa Awamu ya Saba Mheshimiwa Dkt.

Page 10: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

10

Ali Mohamed Shein katika kuhakikisha kuwa

hali ya uchumi na kijamii ya nchi yetu na

wananchi kwa jumla inazidi kuimarika kila

kukicha.

17. Mheshimiwa Spika, azma ya Serikali ya

Mapinduzi ya Zanzibar ni kuhakikisha kuwa

inakamilisha miradi yote mikubwa ya

maendeleo kama ilivyoahidi katika Ilani ya

Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka

2015 – 2020. Miradi hiyo ni pamoja na Ujenzi

wa Jengo la Abiria (Terminal 3) katika Uwanja

wa Ndege wa Sheikh Abeid Amani Karume,

Ujenzi wa Bandari ya Mpigaduri na Ujenzi wa

Hospitali ya Binguni. Serikali tayari imeandaa

mikakati maalum ya kutafuta fedha kwa nchi

na mashirika rafiki sambamba na kutenga

fedha kutoka katika vianzio vyake vya ndani ili

ikiwa itashindikana kupata msaada kutoka nje

Serikali iendelee na ujenzi huo.

Page 11: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

11

18. Mheshimiwa Spika, Maelezo zaidi kuhusu

mpango huu wa Serikali yatatolewa kwa kina

katika hotuba ya bajeti kuu ya Serikali kupitia

Mheshimiwa Waziri wa Fedha na Mipango.

19. MIGOGORO YA ARDHI:

Mheshimiwa Spika, Mahakama ya Ardhi

imekuwa ikichukua hatua za kutatua migogoro

inayowasilishwa hapo ambapo hadi mwishoni

mwa mwaka 2018 kati ya migogoro (mashauri)

522 iliyowasilishwa na kusikilizwa, mashauri

270 yametolewa hukumu. Jitihada nyengine

zinazochukuliwa na Serikali ni kufanya

utambuzi kwa mwenye haki ya matumizi ya

ardhi (Land Adjudication) hatua ambayo kwa

sasa inaendelea katika eneo la Kilimani na

linatarajiwa kuendelea kwa maeneo ya

Migombani, Mazizini na Mbweni.

UCHIMBAJI WA MAFUTA NA GESI ASILIA:

20. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2018/2019 Serikali imekamilisha majadiliano

Page 12: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

12

na Kampuni ya RAKGAS kwa Kitalu cha Pemba-

Zanzibar na hatimae kuweza kusainiwa

Mkataba wa Mgawanyo wa Uzalishaji wa Mafuta

na Gesi Asilia (Production Sharing Agreement -

PSA) baina ya Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar na Kampuni ya RAKGAS kutoka Ras

Al Khaimah tarehe 23 Oktoba, 2018.

21. Mheshimiwa Spika, baada ya hatua ya kusaini

Mkataba wa Mgawanyo wa Uzalishaji wa Mafuta

na Gesi Asilia (Production Sharing Agreement -

PSA) baina ya Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar na Kampuni ya RAKGAS, Serikali

kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Mafuta na Gesi

Asilia Zanzibar (ZPRA) imejipanga kufanya

mazungumzo na Kampuni nyengine zinazohitaji

kuwekeza katika Sekta ya Utafutaji wa Mafuta

na Gesi Asilia hapa Zanzibar baada ya

kukamilika kwa hatua za kuvigawa Vitalu

vyengine vilivyopo Zanzibar.

Page 13: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

13

22. Mheshimiwa Spika, Serikali katika mwaka

2018/2019 imeandaa rasimu tatu (3) za Kanuni

ambazo ni Kanuni ya uchimbaji (Drilling

regulation), Kanuni ya Ada na Vibali (Fees and

Permit Regulation) pamoja na Kanuni ya

Uwasilishaji wa Taarifa za Kila siku (Daily

Reporting Submission Regulation).

23. Mheshimiwa Spika, Serikali imesimamia zoezi la

utafiti wa utafutaji wa Mafuta na Gesi Asilia kwa

njia ya mtetemo kwa maeneo ya nchi kavu

pamoja na maeneo ya kina kifupi cha maji. Kwa

upande wa mtetemo wa maeneo ya nchi kavu

(Onshore), Serikali ilisimamia kikamilifu zoezi

hili katika Kitalu cha Pemba – Zanzibar ambalo

lilifanywa na Kampuni ya BGP kutoka China.

Zoezi hilo lilianza tarehe 8 Februari 2018 na

kukamilika tarehe 25 Septemba 2018. Lengo

kuu la zoezi hilo ni kuangalia maumbile

(features) ya miamba yenye uwezo wa kuhifadhi

Mafuta na Gesi Asilia.

Page 14: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

14

24. Mheshimiwa Spika, jumla ya mistari 25 yenye

urefu wa Kilomita 717.1 ilifanyiwa utafiti.

Mistari hiyo ni 11 kwa Unguja yenye urefu wa

kilomita 388.1 na Pemba mistari 14 yenye urefu

wa kilomita 329. Kazi ya uchambuzi/usafishaji

wa taarifa (Data Processing) na kutafsiri taarifa

hizo (Data Interpretation) inaendelea na

inatarajiwa kumalizika mwishoni mwa mwezi

wa Septemba 2019. Aidha, katika mazoezi hayo,

wataalamu wa Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar wanashiriki kikamilifu.

25. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa zoezi la

mtetemo wa kina kifupi cha maji (Transition

Zones), zoezi hili lilianza tarehe 7 Disemba,

2018 na kumalizika tarehe12 Febuari, 2019

ambapo Kampuni ya BGP kutoka China ndio

iliyofanya kazi hiyo. Jumla ya mistari kumi

(10) yenye urefu wa Kilomita 244 ilifanyiwa

utafiti. Matokeo ya mazoezi yote mawili

itatolewa kwa wananchi baada ya kukamilika

na Serikali kwa upande wake kujiridhisha.

Page 15: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

15

HALI YA UPATIKANAJI WA MCHANGA:

26. Mheshimiwa Spika, mchanga ni miongoni

mwa rasilimali muhimu hapa Zanzibar

kutokana na matumizi makubwa katika sekta

ya ujenzi. Kwa bahati mbaya eneo halisi

linaloweza kuchimbwa mchanga katika visiwa

vyetu ni dogo zaidi kwa kuwa baadhi ya

maeneo tayari yameshachimbwa, maeneo

mengine yanatumika kwa matumizi mengine ya

kibinaadamu ikiwemo makaazi, kilimo na

huduma za jamii.

27. Mheshimiwa Spika, Kutokana na hali hiyo,

tarehe 3 Machi 2017, Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar ilitangaza utaratibu mpya wa

usimamizi wa uchimbaji, usafirishaji na uuzaji

mchanga nchini ili kudhibiti uchimbaji na

usafirishaji wa rasilimali hiyo pamoja na

kudhibiti maeneo ya ardhi na kuweza kutumika

kwa shughuli nyengine hasa za kilimo.

Page 16: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

16

28. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha kuanzia

Machi, 2017 hadi Disemba, 2018 chini ya

usimamizi wa Serikali, jumla ya Tani 1,690,122

za mchanga zilichimbwa hapa Zanzibar. Kati ya

tani hizo Unguja ilichimba na kusafirishaji tani

1,605,517 na Pemba tani 84,605. Kiwango

kilichochimbwa Pemba ni sawa na asilimia 5 tu

ya uchimbaji unaofanyika Unguja. Kwa

takwimu hizi ni wazi kuwa kuna kasi kubwa ya

uchimbaji wa mchanga katika kisiwa cha

Unguja ukilinganisha na Pemba.

29. Mheshimiwa Spika, tangu usimamizi wa moja

kwa moja unaofanywa na Serikali mafanikio

mbali mbali yamepatikana ikiwemo gari za

mchanga zilipimwa ili kupata malipo na

takwimu sahihi za mchanga uliochimbwa na

kutumika hapa nchini, kupunguza

msongamano wa gari machimboni, kuweka bei

elekezi itakayowazuia wafanya biashara

kupandisha bei ya mchanga kiholela ambayo

inawaumiza sana wananchi.

Page 17: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

17

30. Mheshimiwa Spika, Vile vile wafanya biashara

ya mchanga kulipa kodi ya asilimia 3 ya

ushuru wa stempu ili kuchangia pato la Taifa,

kuweka kikomo cha “tripu” za kwenda shimoni

kuchukua mchanga, Serikali kuweka mgao wa

mapato ya mchanga yaliojumuisha gharama za

usimamizi, urejeshaji na mgao wa Halmashauri

ili kuchangia maendeleo ya jamii na malipo

yote ya fedha kulipwa benki ili kuzuia upotevu

na udokozi.

31. Mheshimiwa Spika, miongoni mwa

changamoto zilizojitokeza wakati wa usimamizi

wa mchanga ni madereva kuuza mchanga kwa

bei kubwa kinyume na bei elekezi, ongezeko la

wizi wa mchanga katika maeneo yasio rasmi

ikiwemo Mangapwani, Nungwi (maeneo ya

fukwe), Mkwajuni, Donge, Bungi, Kinyasini, Uzi

na Maruhubi; kuongezeka kwa matumizi ya

mawe na kifusi kwa kuyasaga na kufanya unga

wa mawe kwa matumizi ya matofali hali

Page 18: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

18

ambayo imeongeza kuhatarisha mazingira ya

nchi.

32. Mheshimiwa Spika, kwa kuzingatia

changamoto zilizojitokeza katika kipindi cha

2017-2019, Serikali imetayarisha Mpango

mpya wa usimamizi wa uchimbaji, usafirishaji

na uuzaji mchanga nchini kwa kipindi cha

2019 – 2021. Lengo kuu la mpango huu ni

usimamizi bora unaozingatia uhalisia wa

mahitaji, upatikanaji, usafirishaji na uuzaji wa

mchanga kwa uhifadhi wa mazingira, faida za

kiuchumi na kijamii.

33. Mheshimiwa Spika, napenda kutoa wito kwa

wananchi kwamba Serikali haitamvumilia

mwananchi yeyote yule ambaye atachimba na

kusafirisha mchanga kinyume na utaratibu

uliowekwa au kuuzwa mchanga kinyume na

bei elekezi iliyotolewa na Serikali.

Page 19: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

19

MAENDELEO YA ELIMU:

34. Mheshimiwa Spika, Tumekuwa na

tutaendelea kuchukua hatua mbali mbali

kuhakikisha kuwa mazingira ya elimu

yanakuwa mazuri ili vijana wetu waweze

kupata haki hiyo ya msingi bila ya matatizo.

Kutokana na hatua hizo, hivi sasa asilimia ya

uandikishaji katika ngazi zote za elimu ya

lazima imeongezeka ikilinganishwa na mwaka

wa fedha wa 2017/18 ambapo ngazi ya

maandalizi uandikishaji umefikia asilimia 69.4

mwaka 2018 kutoka asilimia 66.1 mwaka

2017. Kwa upande ya elimu ya msingi imefikia

asilimia 116.5 mwaka 2018 ikilinganishwa na

asilimia 107 ya mwaka 2017 na kwa elimu ya

Sekondari uandikishaji ni asilimia 85.6

mwaka 2018 ambapo 2017 ilikuwa ni asilimia

77.2. Hii inatokana na upatikanaji wa nafasi,

mwamko wa jamii kuhusu elimu na ushiriki

mzuri wa jamii katika kuleta maendeleo ya

elimu.

Page 20: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

20

35. Mheshimiwa Spika, Serikali kwa mashirikiano

na OPEC tayari imekamilisha ujenzi wa skuli

tisa za ghorofa za Sekondari ambazo zipo

Mwembeshauri, Bububu, Kinuni, Fuoni na

Chumbuni kwa Unguja na Wara, Micheweni,

Kizimbani na Mwambe kwa upande wa Pemba.

Aidha, ujenzi wa Maabara, Maktaba, na

chumba cha kompyuta kwa Skuli 24 za

Sekondari kwa mashirikiano na Benki ya

Dunia; na uimarishaji na upanuzi wa

miundombinu ya Skuli ya Sekondari Donge

zinaendelea katika hatua ya mwisho ya ujenzi.

Vile vile, ujenzi wa skuli mbili mpya za Msingi

za Mbuyumaji na Mlilile Wilaya ya Kaskazini

“A” Unguja unatarajiwa kukamilika hivi punde.

Skuli hizi zote zinatarajiwa kuchukua

wanafunzi mwezi wa Januari, 2020 na hivyo

kusaidia sana katika kupunguza msongamano

wa wanafunzi madarasani na kuwawezesha

wanafunzi kujifunza vyema.

Page 21: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

21

KADHIA YA UVUJAJI WA MITIHANI YA

KIDATO CHA PILI, ZANZIBAR

36. Mheshimiwa Spika, Itakumbukwa kuwa

mnamo mwezi wa Disemba mwaka 2018,

kulitokea uvujaji wa mitihani ya Kidato cha Pili

kwa Zanzibar. Kutokana na kadhia hiyo

isiyovumilika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali

iliifuta mitihani hiyo mara moja.

Pia, Serikali iliiagiza Kamati ya Taifa ya Ulinzi

na Usalama kufanya uchunguzi wa kina na

kujua chanzo na waliosababisha uvujaji huo wa

mitihani.

37. Mheshimiwa Spika, Naomba kuwaarifu kuwa

Kamati hiyo imekamilisha kazi yake kama

ilivyoagizwa na kuwasilisha taarifa tayari

Serikali kwa utekelezaji.

Page 22: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

22

Kufuatia taarifa ya uchunguzi imebaini

kwamba:-

i) Baadhi ya Watendaji wa Wizara ya Elimu na

Mafunzo ya Amali pamoja na baadhi ya

watendaji wa Wizara ya Habari, Utalii na

Mambo ya Kale walihusika.

Hivyo, kufuatia uchunguzi huo, Serikali ya

Mapinduzi ya Zanzibar imechukua hatua ya

kuwasimamisha kazi watendaji wote

waliohusika kutoka Wizara ya Elimu na

Mafunzo ya Amali na Wizara ya Habari, Utalii

na Mambo ya Kale kwa mujibu wa Sheria za

Utumishi wa Umma. Pia Serikali imelitaka

Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua kwa

mujibu wa makossa waliyoyafanya.

Page 23: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

23

38. KUPAMBANA NA MARADHI

YASIYOAMBUKIZA:

39. Mheshimiwa Spika, imebainika kuwa

wagonjwa wengi wanaokwenda katika vituo

vyetu vya afya na hospitali wamegundulika

kuwa na maradhi ya moyo, kisukari, saratani,

magonjwa sugu ya njia za hewa, ugonjwa wa

meno na magonjwa yanayotokana na ajali.

Miongoni mwa juhudi ambazo Serikali

inazichukua ni kufanya uchunguzi katika jamii

ili kuweza kuibua wagonjwa wa maradhi hayo

na kuwapatia huduma kwa wakati.

40. Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa taarifa

kutoka Wizara Afya, kwa kipindi cha miezi tisa

iliyopita jumla wagonjwa 7,245 wa maradhi ya

kisukari walihudhuria katika kliniki za

maradhi hayo katika Hospitali za Wilaya na

rufaa, wagonjwa 20,463 walihudhuria katika

kliniki za meno na wagonjwa 702 wa maradhi

ya kansa/saratani walifika Hospitali ya Mnazi

Mmoja kwa ajili ya huduma.

Page 24: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

24

41. Mheshimiwa Spika, Jumla ya wafanyakazi

115 wa Unguja na Pemba kutoka vituo na

kiliniki walipatiwa mafunzo ambayo

yalihusiana na namna ya kutumia muongozo

mpya wa kutibu ugonjwa wa Kisukari,

shinikizo la damu na pia kutambua hatua za

awali za maradhi ya saratani. Aidha,

wafanyakazi hao walifundishwa namna ya

kuwatambua wagonjwa wenye matatizo ya

msongo wa mawazo na magonjwa mengine ya

akili na kutakiwa kuwapatia rufaa wagonjwa

wenye matatizo makubwa kwenda hospitali

kubwa kwa hatua zaidi.

42. Mheshimiwa Spika, hatua kama hiyo pia

imechukuliwa kwa waganga wa tiba asili na

wasaidizi wao wapatao 50 kwa ajili ya

kuwawezesha kutambua maradhi ya shinikizo

la damu na kisukari ili wakiona dalili hizo kwa

wateja wao basi wawapatie rufaa katika kituo

cha afya.

Page 25: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

25

43. Mheshimiwa Spika, Serikali itaendelea

kuchukua hatua madhubuti katika kutoa

huduma za upambanaji wa maradhi

yasiyoambukiza ikiwemo uchunguzi wa

saratani ya shingo ya kizazi kwa akinamama

30,000 Unguja na Pemba, kufundisha

wafanyakazi wa afya ya jamii ili waweze kutoa

ushauri kwa wagonjwa wenye matatizo ya

kisukari na shinikizo la damu na kutoa elimu

kwa jamii juu ya vichocheo vya maradhi

yasioambukiza.

44. Mheshimiwa Spika, napenda kutoa wito kwa

Wajumbe wote wa Baraza lako Tukufu na jamii

kwa jumla tuwe na utamaduni na tabia ya

kupima afya zetu angalau mara moja kwa

mwaka.

MAPAMBANO DHIDI YA UDHALILISHAJI:

45. Mheshimiwa Spika, Serikali imekuwa

ikichukua jitihada kubwa za kupinga na

kupambana na vitendo vya ukatili na

Page 26: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

26

udhalilishaji kwa wanawake na watoto hapa

nchini. Hata hivyo, bado matukio haya

yanaendelea kuripotwa siku hadi siku

ijapokuwa takwimu za mwaka 2017/2018

kutoka Jeshi la Polisi zinaonesha kuwa

matukio haya yamepungua.

46. Mheshimiwa Spika, Uhalifu mwingine wa

kiudhalilishaji ni ule uliojitokeza kwa takriban

kipindi cha mwaka sasa ambapo wimbi la

kuibiwa watoto pamoja na masuala ya ubakaji

yamekuwa yakiripotiwa. Jumla ya matukio 466

yameripotiwa yakiwemo ubakaji 257, kulawiti

64, kutorosha 70 pamoja na shambulio la aibu

75.

47. Mheshimiwa Spika, Tunaliomba Jeshi la Polisi

liimarishe doria na kuwachukulia hatua kali

wale wote watakaobainika kufanya vitendo hivi.

Aidha, napenda kuwaasa wazazi, walezi na

jamii kwa ujumla tuwe karibu na kufuatilia

mienendo ya watoto wetu ili kujua wako wapi,

wapo na nani na wanafanya nini. Vile vile,

Page 27: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

27

Masheha na wananchi wanapogundua kuwa

kuna mtu ambaye haeleweki katika maeneo

yao watoe taarifa kwenye vyombo

vinavyohusika haraka.

48. Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua nafasi

hii kuwataka wafanyakazi wa bandari na

uwanja wa ndege watusaidie kufuatilia kwa

karibu watoto wanaposafirishwa hasa

bandarini kwani ni njia kuu inayotumika

kusafirisha watoto nje ya Zanzibar.

KUKABILIANA NA MAAFA:

49. Mheshimiwa Spika, kama tunavyoelewa

kwamba katika kipindi cha mwezi wa Machi

hadi Juni, nchi yetu huwa katika msimu wa

Mvua za Masika. Kwa mujibu wa taarifa kutoka

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Kanda ya

Zanzibar muelekeo wa Mvua za Masika kwa

sasa huenda zikapunguwa tukilinganisha na

utabiri uliotolewa hapo awali. Hali hii

inatokana na athari za vimbunga

vilivyoambatana na mvua kubwa zilizotokea

Page 28: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

28

nchini Msumbiji, Zimbabwe na Malawi na

kupelekea vifo vya mamia ya wananchi na

uharibifu wa miundombinu ya aina mbali

mbali. Tunamuomba Mwenyezi Mungu awape

subra ndugu zetu hao katika kipindi hiki

kigumu kutokana na maafa hayo.

50. Mheshimiwa Spika, Serikali kwa upande wake

wa kukabiliana na maafa inaendelea

kuimarisha miundombinu ili kupunguza athari

za mvua kubwa. Tunawataka wananchi

kuepuka kujenga katika maeneo hatarishi

ambayo mazingira yake yanaweza kuathiriwa

na mabadiliko ya hali ya hewa. Kamisheni ya

Kukabiliana na Maafa kwa kushirikiana na

Taasisi mbali mbali itaendelea kutoa elimu na

tahadhari za mapema kwa wananchi na Taasisi

zetu ili kupunguza athari zinazoweza

kujitokeza.

Page 29: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

29

UTEKELEZAJI WA KAZI ZA KAWAIDA NA

MIRADI YA MAENDELEO KWA KIPINDI CHA

MIEZI TISA (JULAI-MACHI) 2018/2019:

51. Mheshimiwa Spika, kazi za kawaida na miradi

ya maendeleo katika Ofisi ya Makamu wa Pili

wa Rais zinatekelezwa kupitia Programu Kuu

11 na Programu Ndogo 25. Kwa kipindi cha

miezi tisa (Julai- Machi) cha mwaka wa fedha

2018/2019, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais

na Taasisi zake kupitia Programu hizo zilizomo

katika Mafungu matano ya C01, C02, C03 C04

na C05 imetekeleza majukumu yake kama

ifuatavyo:-

OFISI YA MAKAMU WA PILI WA RAIS (C01)

PROGRAMU KUU (C0101): URATIBU WA

SHUGHULI ZA MAKAMU WA PILI WA

RAIS:

52. Mheshimiwa Spika, kazi zilizotekelezwa na

Programu hii zimeainishwa ukurasa wa 15–16

wa kitabu cha hotuba.

Page 30: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

30

53. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2018/2019 Programu iliidhinishiwa kutumia

Shilingi 1,291,205,007 kwa kazi za kawaida

na hadi kufikia Machi, 2019 fedha

zilizoingizwa ni Shilingi 1,112,030,384

ambazo ni sawa na asilimia 86.

PROGRAMU KUU - (CO102): URATIBU WA

SHUGHULI ZA SERIKALI:

54. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina Programu

Ndogo saba ambazo ni : -

Programu Ndogo – CO10201: Kukabiliana

na Maafa:

55. Mheshimiwa Spika, Programu hii ndogo kazi

ilizotekeleza zimeanishwa katika ukurasa wa

17 – 19 wa kitabu cha bajeti.

56. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2018/2019 Programu hii Ndogo iliidhinishiwa

kutumia Shilingi 769,800,000 kwa kazi za

kawaida na hadi kufikia Machi, 2019 fedha

Page 31: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

31

zilizoingizwa ni Shilingi 668,601,125 ambazo

ni sawa na asilimia 87. Aidha, kupitia mradi

wake wa Kujenga Uwezo wa Kukabiliana na

Maafa ilipanga kutumia Shilingi 106,000,000

na hadi Machi 2019 ilipata Shilingi

88,345,000 ambazo ni sawa na asilimia 83

kutoka kwa washirika wa maendeleo.

Programu Ndogo – CO10202: Sherehe na

Maadhimisho ya Kitaifa pamoja na

Kuwaenzi Viongozi wa Kitaifa:

57. Mheshimiwa Spika, Programu hii ndogo kazi

zilizotekelezwa zimeainishwa katika ukurasa

wa 20 wa kitabu chetu.

58. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2018/2019 Programu hii ndogo iliidhinishiwa

kutumia Shilingi 3,021,636,268 kwa kazi za

kawaida na hadi kufikia Machi, 2019 fedha

zilizoingizwa ni Shilingi 3,081,872,537

ambazo ni sawa na asilimia 102.

Page 32: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

32

Programu Ndogo – CO10203: Shughuli za

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar:

59. Mheshimiwa Spika, Program Ndogo kazi

zilizotekelezwa zimeelezwa katika ukurasa wa

21 – 24 wa kitabu chetu cha hotuba.

60. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2018/2019 Programu hii Ndogo iliidhinishiwa

kutumia Shilingi 7,531,276,133 kwa kazi za

kawaida na hadi kufikia Machi, 2019 fedha

zilizoingizwa ni Shilingi 5,346,657,862 ambazo

ni sawa na asilimia 71. Aidha, Programu hii

Ndogo ilipanga kutumia Shilingi

12,740,000,000 kwa kazi za maendeleo na

hadi Machi, 2019 ilipata Shilingi

3,666,028,400 ambazo ni sawa na asilimia 29.

Programu Ndogo – CO10204: Shughuli za

SMZ Dar es Salaam:

61. Mheshimiwa Spika, kazi zilizotekelezwa

zimeelezwa ukurasa wa 25 – 26 wa kitabu

chetu cha hotuba.

Page 33: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

33

62. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2018/2019, Programu Ndogo ya Uratibu wa

Shughuli za SMZ, Dar-es-Salaam iliidhinishiwa

kutumia jumla ya Shilingi 717,604,441 kwa

kazi za kawaida, na hadi kufikia mwezi Machi,

2019 fedha zilizoingia Shilingi 500,499,586

sawa na asilimia 70.

Programu Ndogo – CO10205: Usimamizi wa

Masuala ya Watu wenye Ulemavu:

63. Mheshimiwa Spika, kazi zilizotekelezwa

zimeainishwa ukurasa wa 26 – 29 wa kitabu

chetu cha hotuba.

64. Mheshimiwa Spika, Programu Ndogo ya

Usimamizi wa Masuala ya Watu wenye Ulemavu

kwa mwaka wa fedha 2018/2019 iliidhinishiwa

Shilingi 549,242,435 kwa matumizi ya

kawaida na hadi Machi, 2019 fedha

zilizoingizwa ni Shilingi 403,996,057 ambazo

ni sawa na asilimia 74.

Page 34: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

34

Programu Ndogo – CO10206: Usimamizi wa

Mazingira:

65. Mheshimiwa Spika, kazi zilizotekelezwa

zimeelezwa katika ukurasa wa 30 – 31 wa

kitabu chetu cha hotuba.

66. Mheshimiwa Spika, Programu Ndogo ya

Usimamizi wa Mazingira kwa mwaka wa fedha

2018/2019 iliidhinishiwa Shilingi

493,768,200 kwa matumizi ya kawaida na

hadi Machi, 2019 fedha zilizoingizwa ni

Shilingi 371,321,263 ambazo ni sawa na

asilimia 75.

Programu Ndogo – CO10207: Uratibu wa

Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi:

67. Mheshimiwa Spika, kazi zilizotekelezwa

zinaonekana ukurasa wa 32 wa kitabu chetu.

Page 35: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

35

68. Mheshimiwa Spika, Programu Ndogo ya

Uratibu wa Mazingira na Mabadiliko ya

Tabianchi kwa mwaka wa fedha 2018/2019

iliidhinishiwa Shilingi 353,456,800 kwa

matumizi ya kazi za kawaida na hadi Machi,

2019 fedha zilizoingizwa ni Shilingi

240,190,049 ambazo ni sawa na asilimia 68.

Aidha, Programu ndogo hii iliidhinishiwa

1,336,700,000 kwa Kazi za Maendeleo na hadi

Machi, 2019 iliingiziwa Shilingi 114,419,600.

PROGRAMU KUU - (CO103): UENDESHAJI

NA URATIBU WA OFISI YA MAKAMU WA

PILI WA RAIS:

69. Mheshimiwa Spika, Programu Kuu hii ya

Uendeshaji na Uratibu wa Ofisi ya Makamu wa

Pili wa Rais ina Programu Ndogo tatu ambazo

ni Uongozi na Utawala, Mipango, Sera na

Utafiti na Ofisi Kuu Pemba.

Page 36: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

36

Programu Ndogo – CO10301: Uongozi na

Utawala:

70. Mheshimiwa Spika, kazi zilizotekelezwa

zinaonekana ukurasa 33 wa kitabu chetu cha

hotuba.

71. Mheshimiwa Spika, Programu Ndogo ya

Uongozi na Utawala kwa mwaka wa fedha

2018/2019 iliidhinishiwa Shilingi

1,632,537,773 kwa matumizi ya kawaida na

hadi Machi, 2019 fedha zilizoingizwa ni Shilingi

1,075,262,139 ambazo ni sawa na asilimia

66.

Programu Ndogo – CO10302: Mipango, Sera

na Utafiti:

72. Mheshimiwa Spika, kazi ilizotekeleza

zimeanishwa katika ukurasa wa 34 – 35 wa

kitabu chetu.

73. Mheshimiwa Spika, Programu Ndogo ya

Mipango, Sera na Utafiti kwa mwaka wa fedha

Page 37: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

37

2018/2019 iliidhinishiwa Shilingi

358,484,205 kwa matumizi ya kawaida na

hadi Machi 2019 fedha zilizoingizwa ni Shilingi

252,497,712 ambazo ni sawa na asilimia 70.

Aidha, Program iliidhinishiwa Shilingi

850,000,000 kwa matumizi ya kazi za

maendeleo na hadi Machi, 2019 fedha

zilizoingizwa ni Shilingi 635,214,979 sawa na

asilimia 75.

Programu Ndogo – CO10303: Uratibu na

Utekelezaji wa Shughuli za Ofisi Pemba:

74. Mheshimiwa Spika, kazi zilizotekelezwa

zimeainishwa katika ukurasa wa 36 wa kitabu

chetu.

75. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya

Uratibu wa Utekelezaji wa Shughuli za Ofisi

Pemba kwa mwaka wa fedha 2018/2019

iliidhinishiwa Shilingi 916,688,738 kwa

matumizi ya kawaida na hadi kufikia Machi,

Page 38: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

38

2019 Ofisi imeingiziwa Shilingi 685,560,260

sawa na asilimia 75.

BARAZA LA WAWAKILISHI (C02):

76. Mheshimiwa Spika, Baraza la Wawakilishi lina

jukumu la kutunga sheria, kufuatilia utendaji

wa Serikali na kuidhinisha na kusimamia

Mipango ya Maendeleo ya Serikali ili

kuhakikisha kuwa mahitaji ya wananchi

yanapatikana. Jukumu hili la Baraza

linatekelezwa kupitia Programu Kuu mbili

ambazo ni:-

PROGRAMU KUU - (CO201): KUTUNGA

SHERIA, KUPITISHA BAJETI NA

KUSIMAMIA TAASISI ZA SERIKALI:

NA

PROGRAMU KUU - (CO202): UONGOZI NA

UTAWALA WA BARAZA LA WAWAKILISHI:

Page 39: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

39

77. Mheshimiwa Spika, kazi zinaonekana katika

ukurasa wa 37 wa kitabu chetu cha hotuba.

78. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Baraza la

Wawakilishi kupitia Programu zake mbili kwa

mwaka wa fedha 2018/2019 iliidhinishiwa

Shilingi 20,354,800,000 kwa matumizi ya

kawaida na hadi Machi 2019 fedha

zilizoingizwa ni Shilingi 15,069,399.012

ambazo ni sawa na asilimia 74.

TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR (C03):

79. Mheshimiwa Spika, Tume ya Uchaguzi ya

Zanzibar ina Programu Kuu mbili ambazo ni :-

PROGRAMU KUU - (CO301): UENDESHAJI

WA SHUGHULI ZA UCHAGUZI:

NA

Page 40: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

40

PROGRAMU KUU - (CO302): USIMAMMIZI

WA KAZI ZA UTAWALA ZA UENDESHAJI

WA SHUGHULI ZA TUME YA UCHAGUZI

YA ZANZIBAR:

80. Mheshimiwa Spika, zimeelezwa katika

ukurasa wa 38 - 40 wa kitabu chetu cha

hotuba.

81. Mheshimiwa Spika, Tume ya Uchaguzi ya

Zanzibar kupitia Programu zake kuu mbili

iliidhinishiwa Shilingi 1,774,100,000 kwa kazi

za kawaida na hadi Machi, 2019 fedha

zilizopatikana ni Shilingi 1,374,918,228 sawa

na asilimia 77.

TUME YA KITAIFA YA KURATIBU NA

UDHIBITI WA DAWA ZA KULEVYA (C04):

82. Mheshimiwa Spika, Tume ya Kitaifa ya Kuratibu

na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ina Programu

kuu mbili ambazo ni:-

Page 41: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

41

PROGRAMU KUU - (CO401): UDHIBITI WA

DAWA ZA KULEVYA:

NA

PROGRAMU KUU - (CO402): UENDESHAJI

NA UTAWALA WA TUME YA KITAIFA YA

KURATIBU NA UDHIBITI WA DAWA ZA

KULEVYA:

83. Mheshimiwa Spika, kazi zinaonekana katika

ukurasa wa 40 – 42 wa kitabu chetu.

84. Mheshimiwa Spika, Tume ya Kitaifa ya

Kuratibu na Udhibiti wa Dawa za Kulevya

kupitia Programu zake mbili kwa mwaka wa

fedha 2018/2019 iliidhinishiwa Shilingi

941,400,000 kwa matumizi ya kawaida na

hadi Machi, 2019 fedha zilizoingizwa ni

Shilingi 599,734,835 ambazo ni sawa na

Page 42: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

42

asilimia 64. Aidha, iliidhinishiwa Shilingi

500,000,000 kwa matumizi ya kazi za

maendeleo na hadi Machi 2019 fedha

zilizoingizwa ni Shilingi 166,000,000 sawa na

asilimia 33.

TUME YA UKIMWI ZANZIBAR (C05):

85. Mheshimiwa Spika, Tume ya UKIMWI ya

Zanzibar inatekeleza majukumu yake kupitia

Programu kuu mbili ambazo ni :-

PROGRAMU KUU - (CO501): KURATIBU

MUITIKO WA TAIFA WA UKIMWI:

NA

PROGRAMU KUU - (CO502): UENDESHAJI

NA UTAWALA WA TUME YA UKIMWI:

86. Mheshimiwa Spika, kazi zilizotekelezwa

zimeelezwa ukurasa wa 44 – 46 wa kitabu

chetu.

Page 43: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

43

87. Mheshimiwa Spika, Tume ya UKIMWI kupitia

Programu zake mbili kwa mwaka wa fedha

2018/2019 iliidhinishiwa Shilingi

903,500,000 kwa matumizi ya kawaida na

hadi Machi, 2019 fedha zilizoingizwa ni

Shilingi 583,200,000 ambazo ni sawa na

asilimia 65.

UTEKELEZAJI KIFEDHA:

88. Mheshimiwa Spika, Kwa ujumla, Ofisi ya

Makamu wa Pili wa Rais kwa mwaka wa fedha

2018/2019 kupitia Programu zake 11

ilizokuwa nazo na Programu Ndogo 25

iliidhinishiwa kutumia jumla ya Shilingi

41,609,500,000 kwa kazi za kawaida na hadi

kufikia Machi, 2019 imetumia Shilingi

31,365,691,048 ambazo ni sawa na asilimia

75. Aidha, Ofisi iliidhinishiwa jumla ya

Shilingi 15,532,700,000 kwa Kazi za

Maendeleo na hadi kufika Machi, 2019

Page 44: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

44

imepatiwa Shilingi 4,670,007,979 ambazo ni

sawa na asilimia 30 (Angalia Kiambatanisho

Nam. 3 na 4).

89. Mheshimiwa Spika, Ofisi vile vile imekusanya

Shilingi 104,428,000 ambayo ni asilimia 73

ya Shilingi 142,653,000 ilizopangiwa kwa

mwaka wa fedha 2018/2019.

MAPENDEKEZO YA MAKADIRIO YA

MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA

FEDHA 2019/2020:

90. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Makamu wa

Pili wa Rais pamoja na Taasisi zake kwa

mwaka 2019/2020 itatekeleza na kusimamia

Programu kuu kumi na moja (11) na

Programu Ndogo ishirini na tano (25). Kupitia

Programu hizo, Ofisi imepanga kutekeleza kazi

kama ifuatavyo:-

Page 45: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

45

PROGRAMU KUU - (C0101): URATIBU WA

SHUGHULI ZA MAKAMU WA PILI WA RAIS:

91. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha

2019/2020, Ofisi kupitia Programu ya Uratibu

wa Shughuli za Makamu wa Pili wa Rais

imepanga kutekeleza kazi ambazo

zimebainishwa katika ukurasa wa 48 wa

kitabu chetu.

92. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza kazi hizo

kwa mwaka wa fedha 2019/2020, Programu

ya Uratibu wa Shughuli za Makamu wa Pili

wa Rais imepanga kutumia jumla ya Shilingi

1,262,085,507 kwa kazi za kawaida ambapo

Shilingi 722,530,007 ni kwa ajili ya malipo

ya mishahara na Shilingi 539,555,500 kwa

matumizi mengineyo ya kiutendaji.

Page 46: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

46

PROGRAMU KUU - (C0102): URATIBU WA

SHUGHULI ZA SERIKALI:

93. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina

programu ndogo saba ambazo ni:-

Programu Ndogo – CO10201: Kukabiliana

na Maafa:

94. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya

Kukabiliana na Maafa kwa mwaka wa fedha

2019/2020 kazi zilizopangwa kutekelezwa

zimebainishwa katika ukurasa wa 49 – 50 wa

kitabu chetu cha bajeti.

95. Mheshimiwa Spika, Programu Ndogo ya

Kukabiliana na Maafa katika kutekeleza kazi

hizo imepanga kutumia jumla ya Shilingi

1,112,600,000 ambapo Shilingi

932,600,000 kwa kazi za kawaida na

Shilingi 180,000,000 ni kwa kazi za

Page 47: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

47

maendeleo. Katika Shilingi 932,600,000 za

matumizi ya kazi za kawaida, Shilingi

376,100,000 ni za mishahara na Shilingi

556,500,000 za matumizi mengineyo.

Programu Ndogo – CO10202: Sherehe na

Maadhimisho ya Kitaifa pamoja na

Kuwaenzi Viongozi wa Kitaifa:

96. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa

fedha 2019/2020, imepanga kutekeleza kazi

zilizobainishwa katika ukurasa wa 50 wa

kitabu chetu.

97. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya

Sherehe na Maadhimisho ya Kitaifa ili iweze

kutekeleza hayo, kwa mwaka wa fedha

2019/2020, tunaomba Baraza lako ukufu

kuidhinisha jumla ya Shilingi 1,228,836,268

ambapo Shilingi 168,636,268 kwa malipo ya

mishahara ya wafanyakazi na Shilingi

1,060,200,000 kwa matumizi mengineyo.

Page 48: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

48

Programu Ndogo – CO10203: Shughuli za

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar:

98. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha

2019/2020 imepanga kutekeleza kazi

zilizoelezwa katika ukurasa wa 51 – 52 wa

kitabu chetu.

99. Mheshimiwa Spika, Ili Programu ndogo ya

Shughuli za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

iweze kutekeleza hayo kwa mwaka

2019/2020, naliomba Baraza lako Tukufu

liidhinishe jumla ya Shilingi 687,858,033

kwa kazi za kawaida ambapo Shilingi

406,291,133 zitatumika kwa malipo ya

mshahara na Shilingi 281,566,900 kwa

matumizi mengineyo. Aidha, naliomba Baraza

lako Tukufu kuidhinisha jumla ya Shilingi

7,341,349,000 kwa matumizi ya Kazi za

Maendeleo ambapo Shilingi 39,730,000 ni

mchango wa Serikali kwa Mradi/Mpango wa

Page 49: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

49

Maendeleo wa Kunusuru Kaya Masikini

(TASAF III) na Shilingi 7,301,619,000 ni

mchango wa washirika wa maendeleo.

100. Mheshimiwa Spika, kupitia Programu hii vile

vile naomba Baraza lako Tukufu liidhinishe

matumizi ya Shilingi 13,900,000,000 ikiwa

ni ruzuku kwa Idara ya Uhamiaji, Zanzibar.

Programu Ndogo – CO10204: Shughuli za

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar- Dar es

Salaam:

101. Mheshimiwa Spika, Programu hii imepanga

kutekeleza kazi zilizoainishwa katika ukurasa

wa 53 – 54 wa kitabu chetu cha bajeti.

102. Mheshimiwa Mwenyekiti, ili Programu ndogo

ya Shughuli za Serikali ya Mapinduzi ya

Zanzibar, Dar es Salaam itekeleze kazi hizo,

naliomba Baraza lako Tukufu liidhinishe

Page 50: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

50

jumla ya Shilingi 616,204,441 kwa kazi za

kawaida ambapo Shilingi 342,604,441 kwa

malipo ya mishahara na Shilingi

273,600,000 kwa matumizi mengineyo.

Programu Ndogo – CO10205: Usimamizi wa

Masuala ya Watu Wenye Ulemavu:

103. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha

2019/2020, kazi zilizopangwa kutekelezwa

zimeainishwa katika ukurasa wa 54 – 55 wa

kitabu chetu.

104. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mwaka wa

fedha 2019/2020, Programu ya Usimamizi wa

Masuala ya Watu Wenye Ulemavu imepanga

kutumia jumla ya Shilingi 616,211,915 kwa

kazi za kawaida ambapo Shilingi

234,460,435 kwa malipo ya mishahara na

Shilingi 381,751,480 kwa matumizi ya

mengineyo.

Page 51: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

51

Programu Ndogo – CO10206: Usimamizi wa

Mazingira:

105. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka wa fedha

2019/2020 imepanga kutekeleza kazi

zinazoonekana ukurasa wa 56 wa kitabu

chetu.

106. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2019/2020, naliomba Baraza lako Tukufu

liidhinishe Shilingi 518,768,200 kwa kazi za

kawaida kwa Mamlaka ya Usimamizi wa

Mazingira Zanzibar ambapo Shilingi

328,768,200 ni kwa ajili ya malipo ya

mishahara na Shilingi 190,000,000 ni kwa

matumizi mengineyo.

Programu Ndogo – CO10207: Uratibu wa

Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi:

Page 52: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

52

107. Mheshimiwa Spika, Kazi zitakazotekelezwa

kupitia miradi hiyo zimeelezwa katika ukurasa

wa 57 wa kitabu cha bajeti.

108. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo Uratibu

wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi

kupitia Idara ya Mazingira inaomba

kuidhinishiwa Shilingi 1,195,056,800

ambapo Shilingi 388,456,800 kwa kazi za

kawaida na Shilingi 806,600,000 kwa kazi za

maendeleo. Kati ya Shilingi 388,456,800,

Shilingi 238,456,800 ni malipo ya mishahara

na Shilingi 150,000,000 kwa matumizi

mengineyo ya kiofisi. Aidha, kwa upande wa

fedha za maendeleo, Shilingi 350,000,000 ni

kutoka Serikalini na Shilingi 456,600,000 ni

kutoka kwa Washirika wa Maendeleo.

PROGRAMU KUU - (CO103): UENDESHAJI

NA URATIBU WA OFISI YA MAKAMU WA

PILI WA RAIS:

Page 53: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

53

109. Mheshimiwa Spika, lengo la Programu hii ni

kuimarisha mazingira bora ya wafanyakazi,

usimamizi wa mipango na shughuli za Ofisi ili

kutoa huduma bora kwa jamii. Programu hii

kuu ina Programu ndogo tatu ambazo ni

Uongozi na Utawala; Mipango, Sera na Utafiti

na Uratibu na Utekelezaji wa Shughuli za Ofisi

ya Makamu wa Pili wa Rais, Pemba.

Programu Ndogo – CO10301: Uongozi na

Utawala:

110. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2019/2020 imepanga kutekeleza kazi zake

zilizoainishwa katika ukurasa wa 58 – 59 wa

kitabu cha bajeti.

111. Mheshimiwa Spika, Program Ndogo ya

Uongozi na Utawala ya Ofisi ya Makamu wa

Pili wa Rais kwa mwaka wa fedha 2019/2020

inaomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi

1,651,917,773 kwa kazi za kawaida ambapo

Page 54: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

54

Shilingi 912,537,773 ni kwa malipo ya

mishahara na Shilingi 739,380,000 kwa

matumizi mengineyo ya uendeshaji.

Programu Ndogo – CO10302: Mipango, Sera

na Utafiti:

112. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo ya

Mipango, Sera na Utafiti kwa mwaka wa fedha

2019/2020 imepanga kutekeleza kazi

zilizoainishwa katika ukurasa wa 59 – 60 wa

kitabu chetu cha bajeti.

113. Mheshimiwa Spika, Programu ndogo

Mipango, Sera na Utafiti imepanga kutumia

jumla ya Shilingi 795,829,373 ambapo

Shilingi 445,829,373 kwa kazi za kawaida na

Shilingi 350,000,000 ni kwa kazi za

maendeleo. Katika Shilingi 445,829,373 za

matumizi ya kazi za kawaida, Shilingi

162,683,253 ni za mishahara na Shilingi

283,146,120 ni za matumizi mengineyo.

Page 55: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

55

Programu Ndogo – CO10303: Uratibu na

Utekelezaji wa Shughuli za Ofisi Pemba:

114. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2019/2020 imepanga kutekeleza kazi

zilizobainishwa katika ukurasa wa 60 – 61 wa

kitabu chetu.

115. Mheshimiwa Spika, ili Programu ndogo ya

Uratibu na Utekelezaji wa Shughuli za Ofisi ya

Makamu wa Pili wa Rais Pemba itekeleze kazi

hizo kwa mwaka 2019/2020, naliomba Baraza

lako Tukufu liidhinishe Shilingi 927,531,690

kwa matumizi ya kawaida, kati ya fedha hizo

Shilingi 666,731,690 kwa ajili ya malipo ya

mishahara na Shilingi 260,800,000 kwa

matumizi mengineyo.

116. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Makamu wa Pili

wa Rais vile vile inaratibu shughuli za Baraza

la Wawakilishi, Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar,

Page 56: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

56

Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa

Dawa za Kulevya na Tume ya UKIMWI

Zanzibar, ambazo zina programu kuu na

programu ndogo kama ifuatavyo:-

BARAZA LA WAWAKILISHI (C02):

117. Mheshimiwa Spika, Baraza la Wawakilishi

linatekeleza Program kuu mbili ambazo ni:-

PROGRAMU KUU - (CO201): KUTUNGA

SHERIA, KUPITISHA BAJETI NA

KUSIMAMIA TAASISI ZA SERIKALI:

NA

PROGRAMU KUU - (CO202): UONGOZI NA

UTAWALA WA BARAZA LA WAWAKILISHI:

118. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

wa 2019/2020 kazi zilizopangwa kutekelezwa

na Baraza la Wawakilishi kupitia Programu

hizi zinaonekana katika ukurasa wa 62 – 63

wa kitabu chetu cha bajeti.

Page 57: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

57

119. Mheshimiwa Spika, ili Ofisi ya Baraza la

Wawakilishi iweze kutekeleza malengo yake

hayo kwa ufanisi zaidi, naliomba Baraza lako

Tukufu liidhinishe Shilingi 21,009,400,000

kwa kazi za kawaida ambapo Shilingi

9,156,353,922 ni kwa ajili ya malipo ya

mishahara na Shilingi 11,853,046,078 ni

kwa kazi nyenginezo.

TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR (C03):

120. Mheshimiwa Spika, Tume ya Uchaguzi ya

Zanzibar inasimamia Programu Kuu mbili

ambazo ni:-

PROGRAMU KUU - (CO301): UENDESHAJI

WA SHUGHULI ZA UCHAGUZI:

NA

Page 58: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

58

PROGRAMU KUU - (CO302): USIMAMIZI WA

KAZI ZA UTAWALA NA UENDESHAJI WA

SHUGHULI ZA TUME YA UCHAGUZI YA

ZANZIBAR:

121. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2019/2020 kazi zilizopangwa kutekelezwa na

Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar kupitia

Programu hizi zinaonekana katika ukurasa wa

63 – 65 wa kitabu cha bajeti.

122. Mheshimiwa Spika, Ili Programu ya

Usimamizi wa Kazi za Utawala na Uendeshaji

wa Shughuli za Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar

iweze kutekeleza kazi zake, naomba Baraza

lako Tukufu liidhinishe Shilingi

1,934,400,000 kwa kazi za kawaida ambapo

Shilingi 1,227,900,000 ni kwa ajili ya malipo

ya mishahara na Shilingi 706,500,000 ni

kwa kazi nyenginezo.

Page 59: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

59

123. Mheshimiwa Spika, fedha kwa ajili ya

matumizi ya Programu ya Uendeshaji wa

Shughuli za Uchaguzi zinatoka katika Mfuko

Mkuu wa Serikali.

TUME YA KITAIFA YA KURATIBU NA

UDHIBITI WA DAWA ZA KULEVYA (C04):

124. Mheshimiwa Spika, Taasisi hii inasimamia

Program Kuu mbili ambazo ni:-

PROGRAMU KUU - (CO401): UDHIBITI WA

DAWA ZA KULEVYA

NA

PROGRAMU KUU - (CO402): UTAWALA NA

UENDESHAJI WA TUME YA KITAIFA YA

KURATIBU NA UDHIBITI WA DAWA ZA

KULEVYA:

125. Mheshimiwa Spika, Tume ya Kitaifa ya

Kuratibu na Udhibiti wa Dawa za Kulevya

Page 60: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

60

kupitia programu hizi imepanga kutekeleza

shughuli zilizoainishwa katika ukurasa wa

66.

126. Mheshimiwa Spika, mwaka wa fedha

2019/2020, naliomba Baraza lako Tukufu

liidhinishe Shilingi 973,200,000 kwa kazi za

kawaida ambapo Shilingi 220,200,000 ni kwa

ajili ya malipo ya mishahara na Shilingi

753,000,000 kwa kazi nyenginezo za

uendeshaji. Aidha, naomba liidhinishe

Shilingi 680,000,000 kwa Kazi za Maendeleo.

TUME YA UKIMWI (C05):

127. Mheshimiwa Spika, Tume ya UKIMWI

Zanzibar ina jukumu la kuratibu na kuongoza

mapambano ya kitaifa dhidi ya UKIMWI hapa

Zanzibar kupitia Programu Kuu mbili ambazo

ni:-

Page 61: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

61

PROGRAMU KUU - (CO501): URATIBU WA

MUITIKO WA TAIFA WA UKIMWI:

NA

PROGRAMU KUU - (CO502): UTAWALA NA

UENDESHAJI WA TUME YA UKIMWI:

128. Mheshimiwa Spika, kazi zilizopangwa

kutekelezwa na Tume ya UKIMWI Zanzibar

kupitia Programu hizi zinaonekana katika

ukurasa wa 67 – 68 wa kitabu chetu cha

bajeti.

129. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza kazi hizo,

nailiomba Baraza lako Tukufu kuidhinisha

Shilingi 220,619,000 kwa Kazi za Kawaida na

Shilingi 540,000,000 kwa Kazi za Maendeleo

kwa Programu ya Kuratibu Muitiko wa Taifa

wa UKIMWI na Shilingi 699,481,000 kwa

Kazi za Kawaida kwa Programu ya Utawala na

Uendeshaji wa Tume ya UKIMWI ambapo

Page 62: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

62

Shilingi 359,700,000 ni kwa ajili ya malipo ya

mishahara na Shilingi 339,781,000 ni kwa

kazi nyenginezo.

130. Mheshimiwa Spika, kwa ujumla, makisio

kwa Programu zote 11 za Ofisi ya Makamu wa

Pili wa Rais na Taasisi zake kwa mwaka wa

fedha 2019/2020 ni Shilingi 57,911,349,000

ambapo Shilingi 48,013,400,000 ni kwa kazi

za kawaida na Shilingi 9,897,949,000 ni kwa

kazi za maendeleo (Angalia Kiambatisho

Nam. 5 na 6).

UKUSANYAJI MAPATO

131. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha

2019/2020, Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais

na Taasisi zake imepangiwa kukusanya

mapato ya jumla ya Shilingi 304,410,000 na

mchanganuo wake unaoonekana katika

ukurasa wa 69 wa kitabu chetu cha hotuba.

HITIMISHO:

Page 63: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

63

132. Mheshimiwa Spika, kwa mara nyengine tena

naomba nitoe shukurani zangu za dhati kwa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la

Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed

Shein kwa kuendelea kuiongoza vyema nchi

yetu na namuomba Mwenyezi Mungu

amuongezee hekima na busara Kiongozi wetu

huyu. Nawashukuru sana Wasaidizi wangu

katika kuiongoza Ofisi ya Makamu wa Pili wa

Rais, Mheshimiwa Mohamed Aboud

Mohamed, Waziri Nchi Ofisi ya Makamu wa

Pili wa Rais na Mheshimiwa Mihayo Juma

N’hunga. Naibu Waziri Nchi Ofisi ya Makamu

wa Pili wa Rais kwa kuendelea kuzifanya kazi

zao kwa bidii na kuleta mafanikio makubwa.

Aidha, natoa shukurani kwa Watendaji na

wafanyakazi wote wa Ofisi Makamu wa Pili wa

Rais na Taasisi zake wakiongozwa na Katibu

Mkuu Ndugu Shaaban Seif Mohamed na

Naibu Katibu Mkuu, Ndugu Abdallah Hassan

Mitawi kwa kazi nzuri wanayoifanya

kuhakikisha Ofisi yetu inatoa huduma kwa

Page 64: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

64

ufanisi mkubwa. Nawapongeza na

nawashukuru sana.

133. Mheshimiwa Spika, nachukua nafasi hii pia

kuendelea kuwashukuru Waheshimiwa

Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, kwa

namna walivyoshirikiana na Ofisi yangu

katika mwaka 2018/2019, na kwa namna ya

pekee kwa Mwenyekiti na Wajumbe wa

Kamati ya Kudumu ya Kusimamia Ofisi za

Viongozi Wakuu wa Kitaifa ambayo

imetupatia ushauri na maelekezo mbali mbali

ambayo kwa sehemu kubwa yametusaidia

katika utoaji wetu wa huduma kwa wananchi.

Vile vile nazishukuru sana Ofisi ya Makamu

wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa

Tanzania na Ofisi ya Waziri Mkuu wa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambazo

tumeshirikiana nazo katika masuala mbali

mbali ya Kitaifa.

Page 65: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

65

134. Mheshimiwa Spika, napenda kuwashukuru

sana Washirika wetu wa Maendeleo kwa

kuendelea kushirikiana na Serikali katika

kuwaletea maendeleo wananchi kupitia

miradi mbali mbali. Miongoni mwa Washirika

hao ni:-

Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya

Afrika, Mashirika ya Umoja wa Kimataifa

ikiwemo UNDP, UNICEF, UNFPA, WHO, WFP,

UNAIDS, USAID, FAO na WIPO, Mfuko wa

Dunia wa Kupambana na Kifua Kikuu

Malaria na UKIMWI, Nchi za China, India,

Finland, Norway, Japan, Marekani, Oman,

Umoja wa Falme za Nchi za Kiarabu (UAE),

Cuba na nyenginezo.

135. Mheshimiwa Spika, nazishukuru Taasisi,

Mashirika na Jumuiya zisizo za Kiserikali kwa

kuendelea kutumia uwezo, taaluma na

rasilimali zao kusaidiana na Serikali katika

kuwaletea maendeleo wananchi. Navipongeza

Page 66: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

66

sana vyombo vyetu vya habari kwa

kuwaelimisha wananchi juu ya masuala

mbali mbali yanayohusu Mikutano ya Baraza

letu Tukufu pamoja na matukio ya ndani na

nje ya nchi yetu.

136. Mheshimiwa Spika, mwisho kabisa, napenda

kukutakia wewe, Mhe. Spika, Wasaidizi wako

wote pamoja na Wajumbe wote wa Baraza

lako Tukufu Mfungo mwema Mtukufu wa

Ramadhan, mwezi ambao una chumo kubwa

kwetu.

137. Mheshimiwa Spika, naomba kumalizia kwa

kuwashukuru sana wananchi wote wa

Zanzibar kwa kuendelea kuiunga mkono na

kuilinda Serikali yao ya Mapinduzi ya

Zanzibar. Aidha, nawashukuru wananchi wa

Jimbo la Mahonda kwa kuendelea kuniunga

mkono katika kutekeleza kazi zangu za

Uwakilishi Jimboni humo sambamba na kazi

yangu ya Makamu wa Pili wa Rais wa

Page 67: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

67

Zanzibar. Nawashukuru sana kwa

ushirikiano wanaonipa.

138. Mheshimiwa Spika, mwisho kabisa napenda

kukutakia wewe Mheshimiwa Spika, wasaidizi

wako wote na pamoja na Wajumbe wa Baraza

lako Tukufu Mfungo mwema wa Mwezi

Mtukufu wa Ramadhan, mwezi ambao una

chumo kubwa kwetu.

139. Mheshimiwa Spika, baada ya maelezo hayo,

sasa naliomba Baraza lako Tukufu liidhinishe

jumla ya Shilingi 57,911,349,000 kwa Ofisi

ya Makamu wa Pili wa Rais na Taasisi zake

kwa ajili ya kutekeleza Programu 11

nilizozielezea hapo awali. Mchanganuo wa

fedha hizo kupitia mafungu yao ni kama

ifuatavyo: -

Page 68: naomba kutoa hoja Mheshimiwa Spika, · 2019 linatarajiwa kukua kwa kasi ya wastani wa asilimia 7.8. Aidha, uchumi unatarajiwa kuzidi kukua kutokana na kuongezeka na kuimarika kwa

68

Ofisi ya Makamu wa

Pili wa Rais (C01)

Shilingi 31,854,249,000

Ofisi ya Baraza la

Wawakilishi (C02)

Shilingi 21,009,400,000

Tume ya Uchaguzi ya

Zanzibar (C03)

Shilingi 1,934,400,000

Tume ya Kitaifa ya

Kuratibu na Udhibiti

wa Dawa za Kulevya

(C04)

Shilingi 1,653,200,000

Tume ya UKIMWI

Zanzibar (C05)

Shilingi 1,460,100,000

JUMLA KUU Shilingi 57,911,349,000

140. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.