pastor nick and rose shaboka

88
January 22, 2016 Chat Archive for those who would like to catch up. Kwa wote walioingia kwenye kundi na hawawkupata masomo na hoja zilizokwisha tolewa. To: Pastor Nick and Rose Shaboka. Nick Shaboka, [16.01.16 07:22] Tell him to text me. Nick Shaboka, [16.01.16 07:22] Thru Telegram Agness Luhende, [16.01.16 07:24] Owk I hv dne Essau Edward, [16.01.16 07:26] asante sana! Agness Luhende, [16.01.16 07:28] Shkamoo mwl Essau Patricia Eddie, [16.01.16 07:32] Thank you Mercy Katabi, [16.01.16 07:33]

Upload: khangminh22

Post on 18-Mar-2023

2 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

January 22, 2016 Chat Archive for those who would like to catch up. Kwa wote walioingia kwenye kundi na hawawkupata masomo na hoja zilizokwisha tolewa. To: Pastor Nick and Rose Shaboka.

Nick Shaboka, [16.01.16 07:22]

Tell him to text me.

Nick Shaboka, [16.01.16 07:22]

Thru Telegram

Agness Luhende, [16.01.16 07:24]

Owk I hv dne

Essau Edward, [16.01.16 07:26]

asante sana!

Agness Luhende, [16.01.16 07:28]

Shkamoo mwl Essau

Patricia Eddie, [16.01.16 07:32]

Thank you

Mercy Katabi, [16.01.16 07:33]

Pastor Nick naomba muadd mume wangu plz 0759101055

Nick Shaboka, [16.01.16 08:03]

The easiest way is for him to text me. Please @Mercy

Luzzy Boaz, [16.01.16 08:27]

Thanks m here

Agness Luhende, [16.01.16 08:36]

Welcome my darling hubby ❤️

Luzzy Boaz, [16.01.16 08:40]

[ 👍 (sticker) ]

Luzzy Boaz, [16.01.16 08:40]

Asnteeee

Nick Shaboka, [16.01.16 09:43]

[ 👍 (sticker) ]

Agness Luhende, [16.01.16 09:50]

[ 😚 (sticker) ]

Mercy Katabi, [16.01.16 10:39]

Ok will tell him

Cecilia Julius, [16.01.16 11:19]

Thanks kwa kua hapa

Aneth Charles, [16.01.16 11:50]

Usiku mwema jamani

Agness Luhende, [16.01.16 11:52]

Usiku mwema pia

Editha Ndesu, [16.01.16 20:06]

Morning all

Editha Ndesu, [16.01.16 20:07]

Niwatakie nyote ibada njema

Patricia Eddie, [16.01.16 20:26]

Asante...nawe pia

Sospeter Ringo, [16.01.16 21:09]

Shalom! Habari za asubuhi wana ndoa tunamshukuru Mungu kwa kutuamsha salama na kutuwezesha

kuhudhuria ibada ya leo na pia ninashukuru kwa kuunganishwa na telegram asanten nawatakia jumapili

njema yenye amani katka ndoa zetu

mama bryton, [16.01.16 21:38]

Bwana asifiwe Mrs rose my hubby is on telegram now 0762028764

Ephraim Kivuyo, [16.01.16 23:09]

Thank you Pastor Nick Shaboka

Nick Shaboka, [16.01.16 23:41]

Karibu

Joyce Ephraim, [16.01.16 23:47]

Thanks pastor

Nick Shaboka, [17.01.16 00:17]

Werkam Jowisi

Agness Luhende, [17.01.16 00:29]

Good morning all! Wishing you blessed Sunday

Jerome Buretta, [17.01.16 00:36]

Good morning... Admin naomba umuweke na mke wangu namba yake ni 0768884192

Nick Shaboka, [17.01.16 00:36]

Mwambie anitumie msg

Nick Shaboka, [17.01.16 00:37]

Inakuwa rahisi

Jerome Buretta, [17.01.16 00:37]

Sawa mtumishi

Happy Buretta, [17.01.16 01:01]

Asante sana

Happy Buretta, [17.01.16 01:01]

Shalom wanandoa

Cecilia Julius, [17.01.16 02:13]

Shalom wote

Editha Ndesu, [17.01.16 03:27]

Shalom cecilia and Happy

Erick, [17.01.16 10:28]

Me na mke wangu tunawapenda

Erick, [17.01.16 10:28]

Muwe na usiku mwema

Editha Ndesu, [17.01.16 10:32]

Asante nanyi pia usiku mwema

Dickson Kigwa, [17.01.16 11:01]

Usiku mwema wana wa Mungu.

Agness Luhende, [17.01.16 11:45]

Asante na nyie pia mlale salama. Penda nyie sana. Mungu awabariki siku zote

Sospeter Ringo, [17.01.16 19:51]

Asante ninyi pia muwe na usiku wenye baraka

Tina Boaz, [18.01.16 02:21]

Rose and your husband, thank you for adding me to the group

Anna Kasebele, [18.01.16 02:22]

Shalom nashukuru sana wapendwa

Rose Shaboka, [18.01.16 02:22]

Karibuni

Noh Ney, [18.01.16 02:23]

Asante

Nick Shaboka, [18.01.16 02:25]

Kama mumeo au mkeo hajaingia humu mwambie anitumie msg kupitia telegram inakuwa rahisi

kumu-add.

Anna Kasebele, [18.01.16 02:26]

Sawa

Mercy Katabi, [18.01.16 02:26]

[In reply to Nick Shaboka]

Pastor wangu yuko kijijini akirudi nitafanya hivyo leo

Nick Shaboka, [18.01.16 02:27]

Pole@ Mercy its well

Mercy Katabi, [18.01.16 02:28]

Thank you

Gerald Bethold, [18.01.16 02:30]

Ubarikiwe sana Mtumishi

Nick Shaboka, [18.01.16 02:31]

Barikiwa pia Gerald

Koku Mutashobya, [18.01.16 02:42]

Asante

Anna Kasebele, [18.01.16 02:42]

Karibu mme wangu..sheky

Flano Mambo, [18.01.16 02:54]

thanx

Sheky Wa Anna, [18.01.16 02:55]

Asanteni

Heavenlight Sam, [18.01.16 04:00]

Waoo Many blessings to you Shaboka Family

Nick Shaboka, [18.01.16 04:08]

Thank you HS

ney mal, [18.01.16 05:02]

add this no ypo online now 0764870377

Nick Shaboka, [18.01.16 05:15]

Atume msg

Huruma Edward, [18.01.16 05:19]

Ahsante mchungaji

Nick Shaboka, [18.01.16 05:19]

Karibu

Lilian Protas, [18.01.16 05:23]

Asanten sana

Mussa Nyauga, [18.01.16 05:55]

Thank you for adding me

Mussa Nyauga, [18.01.16 05:56]

Ahsante sana barikiwa

PAULINA RICHARD, [18.01.16 06:05]

[ 😡 (sticker) ]

PAULINA RICHARD, [18.01.16 06:38]

Sor☝️☝️

Rhoda Mbowe, [18.01.16 07:51]

Pastor Nick plz add my husband. 0789 939792

Emmanuel Yaro, [18.01.16 09:03]

asante sana

Amedeus Arbogast, [18.01.16 09:18]

🇹�

Asante Mbowe, [18.01.16 10:20]

Nashukuru Sana

Nick Shaboka, [18.01.16 10:29]

[ Photo ]

Rehema Josiah, [18.01.16 10:30]

Asanteni sana

Mercy Katabi, [18.01.16 10:51]

Za jioni wapendwa.... Pastor shaboka mume wangu amekutumia msg kwa telegram kwa no 0759101055

Mercy Katabi, [18.01.16 10:51]

Please add him

Erick, [18.01.16 10:53]

Ni kweli...upendo wa kweli hauwezi kufa

Erick, [18.01.16 10:53]

Barikiwa

Nick Shaboka, [18.01.16 10:53]

Waliotuma wote nimewa-add

Mercy Katabi, [18.01.16 10:58]

Asante

Edna James, [18.01.16 11:40]

Asanteni.

Nick Shaboka, [18.01.16 11:42]

A simple marital advice❤️ Make it a habit to hold hands with your spouse and pray together every

morning and every night. It is important to build that triangle of you and God. I have realized the more

you draw closer to God is the more you draw closer to each other. Use God as glue to stick you together,

the Almighty is the only glue that never loses it's power.

At times sex, tour, jokes don't work, but prayer works always. Enjoy your night friends.

-Pastor Nick and Rose Shaboka.

Anna Kasebele, [18.01.16 11:43]

Amen thanx

Joyce Dyamo!, [18.01.16 11:45]

🙏

Gerald Bethold, [18.01.16 11:45]

🙏

Rehema Josiah, [18.01.16 11:45]

🙏🙏🙏

Ephraim Kivuyo, [18.01.16 11:45]

👍👍👍👍

Charity Chikoleka, [18.01.16 12:20]

Amen

Mussa Nyauga, [18.01.16 12:21]

Amen

Luzzy Boaz, [18.01.16 12:25]

Amen and truest indeed

Agness Luhende, [18.01.16 12:32]

Amen. Thanks alot. Be blessed alot. Gud nyt too

Aneth Charles, [18.01.16 12:57]

🙏🙏🙏☝️

Tina Boaz, [18.01.16 12:58]

Amen and thank you

Tina Boaz, [18.01.16 12:59]

Good night to everyone

Sheky Wa Anna, [18.01.16 13:45]

Amen tks

Tumaini Urio, [18.01.16 14:39]

Amen! Usiku mwema wote

Sospeter Ringo, [18.01.16 18:48]

Shalom! Muwe na asubuh njema......

Gerald Bethold, [18.01.16 20:00]

Kwa upendo wa Mungu Baba naamini mmeamka salama.

Muwe na siku njema na Mungu awabariki sana.

Tina Boaz, [18.01.16 20:03]

Amen and thank you

Tina Boaz, [18.01.16 20:04]

Pastor Nick, kindly add my husband. His number is 0755003559

PAULINA RICHARD, [18.01.16 21:33]

Shalom wapendwa...hope mmeamka salama kwa jina la Yesu

Kilangazi, [18.01.16 21:45]

Mungu mwema, Siku Imeanza vema, nawatakia siku njema wanandoa wote

PAULINA RICHARD, [18.01.16 21:54]

👍

Agness Luhende, [18.01.16 21:54]

Shalom. Nashukuru tumeamka salama. Tunawatakia siku njema wanandoa wote.

Happy Buretta, [18.01.16 21:57]

Tumeamka salama ni neema tu .Tunawatakia sk njema ndg wote

Agness Luhende, [18.01.16 21:58]

👍

Apolkarpi Peter Kanje, [18.01.16 23:16]

👍👍👍

Leonarda Erick, [18.01.16 23:58]

Shallom. Nawatakia uwajibikaji mwema. Ha a happy and peaceful Happy day

Koku Mutashobya, [19.01.16 00:44]

Ameni

Tina Boaz, [19.01.16 01:32]

Hello Pastor Shaboka, naomba muadd Mume wangu 0755003559

Tumaini Magambo, [19.01.16 01:32]

Thank you Pastor

Rhoda Mbowe, [19.01.16 11:08]

Jmn huku kumekuwa kimya bora kule analogy tulipokuwepo

Mercy Katabi, [19.01.16 11:09]

Mambo yakikamilika kutanoga tu , Rhoda

Kilangazi, [19.01.16 11:10]

Naona bado watu wanaongezwa, ila kule mwanzo wadau tulikuwa active sana

Rhoda Mbowe, [19.01.16 11:10]

Hivyo niwe mpolee

Rhoda Mbowe, [19.01.16 11:11]

Yes Kilangazi. Huku kumepoa

Mercy Katabi, [19.01.16 11:12]

Wengi hawaijui hii, hadi waidownload, wengine sim zao zinasumbua kudownload hii app. Taratibu

mambo yataenda sawa tu

Kilangazi, [19.01.16 11:12]

Naona watu bado wanaogopa nyumba mpya hii ngoja harufu ya rangi ipungue patakokwa moto chakula

kitapikwa na kitaiva , Subira yavuta heri

Rhoda Mbowe, [19.01.16 11:13]

👏👏👏

Mercy Katabi, [19.01.16 11:13]

Kabisaa

Erick, [19.01.16 11:22]

Hhhhh

Erick, [19.01.16 11:23]

Yaani mwenyewe kule nilipazoea🙈🙈

Mussa Nyauga, [19.01.16 11:24]

Tuendelee kusubiri

Dickson Kigwa, [19.01.16 11:41]

Where are admins?? We're all most 83 members. .. nashauri ili kundi lisipwaye, tuendelee trtb huku

wengine wakiongezwa kadiri muda unavyokwenda

Amedeus Arbogast, [19.01.16 11:46]

Ni kweli Dick nimewaza had kujitoa maana sioni ishu yoyote day 3 now

Mussa Nyauga, [19.01.16 11:48]

Admins tupe muongozo itatusaidia.

Dickson Kigwa, [19.01.16 11:55]

Ngoja tusubiri watawala waje hapa kundini. Nadhan they ll give a way forward

Mussa Nyauga, [19.01.16 12:00]

Subira nafikiri inahitajika bado ni mapema muitikio huu wa watu inaonyesha Somo husika lina hitajika

kiasi gani katika jamii ya watanzania wahusika For sure I pray for you MUNGU awatumie kutimiza kusudi

la MUNGU.

Mercy Katabi, [19.01.16 21:10]

Welll said, Nyauga

Mercy Katabi, [19.01.16 21:11]

Morning watu wa Mungu

Agness Luhende, [19.01.16 21:49]

Morning all

Manovaa, [19.01.16 22:06]

Mrn!! Wazma!??

Tina Boaz, [19.01.16 22:15]

Morning everyone

Mkumbo Kingu, [19.01.16 22:16]

Tuko vzr!

Linda, [19.01.16 22:17]

Morning

Mussa Nyauga, [19.01.16 22:26]

Oh good good glory to GOD.

Cecilia Julius, [19.01.16 22:29]

Morning pipo

Mussa Nyauga, [19.01.16 22:30]

Morning

Erick, [19.01.16 22:48]

Morning wapendwa

Erick, [19.01.16 22:48]

Patachangamka tuu hadi mtanunua power bank 😃😃😃

Tumaini Magambo, [19.01.16 22:50]

Shalom

Nick Shaboka, [19.01.16 22:50]

Shalom. Mtusamehe kwa ukimya tulikuwa tunachelea ili watu wafike japo 100 coz nondo za waalimu ni

za kipekee ndio maana tukahamia huku ili hazina hii isiwe kwa wachache. But kama mnaona panaboa

tutaanza na hawa waliopo.

Tumaini Magambo, [19.01.16 22:50]

Pastor kindly add my husband Ray Magambo 0755 244741

Heavenlight Sam, [19.01.16 22:50]

Amen Pastor

Sheky Wa Anna, [19.01.16 22:52]

Shalom

Nick Shaboka, [19.01.16 22:52]

Wapendwa nimeandika hii msg mara nyingi kwamba mtu akishajiunga Telegram anitumie msg kupitia

telegram inakuwa rahisi kumuingiza humu

Sheky Wa Anna, [19.01.16 22:53]

Tusubiri idadi iliyopangwa ifikie

Erick, [19.01.16 22:54]

Kwa kufafanua zaidi no kua MTU asitume namba ili aadiwe humu...jiunge na telegram then text pastor

Nicky...

Nick Shaboka, [19.01.16 22:55]

Thank you Mr. Eric

Erick, [19.01.16 22:56]

So @tumaini kindly tell hubby ajiunge telegram then atamwona pastor Nicky...akimtext tuu basi

ataadiwa humu

Nick Shaboka, [19.01.16 22:56]

Ukifuata maelekezo kama Mwalukasa na Christina mambo yanakuwa rahisi

Erick, [19.01.16 22:57]

The easiest way hakikisha kwanza ume save number ya pastor Nicky ili ukijiunga tuu

telegram..utamwona fastaaaa ka mvua ya leo

Erick, [19.01.16 22:57]

Barikiweni

Mussa Nyauga, [19.01.16 22:59]

Wa mabondeni

Tumaini Magambo, [19.01.16 23:01]

Thanx...sory nilikuwa mgeni...bless u

Erick, [19.01.16 23:03]

Usijali...kubwa ufanikiwe...hope umeelewa lakini eti eeeh

Tumaini Magambo, [19.01.16 23:03]

Yes...thanx

Erick, [19.01.16 23:03]

Bless u

Tumaini Magambo, [19.01.16 23:04]

🙏

Patricia Eddie, [19.01.16 23:25]

😊😊

Rose Shaboka, [20.01.16 02:52]

Poleni kwa ukimya we are working to put everything in place. Unfortunately tumegundua kuna watu

hawako huku na spouses wao while requirement ya kwanza tuliyokubaliana ili uwepo kwenye hili darasa

lazima uwe na mwenzako. Kule watsup kila mtu alikua na mwenzake. Naomba kama mwenzako hayuko

humu jitahidi kumuhimiza ajiunge kama ana simu unless kama ni kati ya wale mlioniambia mnatumia

simu moja. Pastor Saliboko na mke wake leo jioni wataanza kutufundisha NINI MAANA YA NDOA NA

TUKO KWENYE NDOA KUFANYA NINI, TUTEGEMEE KUKUTANA NA NINI NDANI YA NDOA NA MUNGU

ANATEGEMEA TUFANYE NINI NDANI YA NDOA ili tujue tulitumbukia kwenye kitu cha namna gani Kwa

sababu kuna watu wako ndani ya ndoa na hawajielewi.

Rose Shaboka, [20.01.16 02:57]

Hatujafika mia kwa sababu kuna watu walikua kule watsup huku hawapo. Some couples are missing.

Tutakua na Pastor Philip na mke wake kuanzia jioni Leo mpaka kesho saa nne usiku wakitufundisha na

sisi tukiuliza maswali na kuchangia na watashirikiana na walimu wengine kutujibu halafu kuanzia saa nne

na nusu usiku kesho tutaanza Somo lingine na walimu wengine. Hivyo kama una maswali au lolote

ambalo utataka kulisema tutakapokua tukizungumza topic Fulani uliseme wakati huo topic hiyo

itakapokua inazungumzwa tukiingia topic nyingine usiturudishe nyuma tena. Mbarikiwe

Ephraim Kivuyo, [20.01.16 02:57]

Asante sana,we are waiting hizo nondo

Rhoda Mbowe, [20.01.16 02:59]

Cant wait

Patricia Eddie, [20.01.16 03:02]

Mbarikiwe sana walimu wetu...tupo pamoja

Gerald Bethold, [20.01.16 03:05]

😋👍👆👆

Asante Mbowe, [20.01.16 03:07]

🙏🙏🙏

Cecilia Julius, [20.01.16 03:09]

Nasubiri ..asante

Heavenlight Sam, [20.01.16 03:16]

Kwa sie wageni

Joyce Dyamo!, [20.01.16 03:17]

🙏

Tina Boaz, [20.01.16 03:17]

Asanteni sana

Heavenlight Sam, [20.01.16 03:17]

Tutaanzia wapi?cz naona tumepitwa na mengi huko whatsapp

Erick, [20.01.16 03:41]

@heavenlight ndo tutaanza leo

Erick, [20.01.16 03:41]

Hujachelewa at all

Apolkarpi Peter Kanje, [20.01.16 05:24]

🙏🙏🙏🙏 ubarikiwe sana, tumeshajiandaa kwa somo husika

Heavenlight Sam, [20.01.16 05:58]

Asante kwa kunijuza Erick

Patricia Eddie, [20.01.16 06:42]

Karibu kaka.Raymond

Lulu Masalu, [20.01.16 06:46]

Asante tunasubiri somo

Raymond, [20.01.16 07:01]

Asante Patricia

Agness Luhende, [20.01.16 09:14]

Waiting

nelson emmanuel, [20.01.16 09:19]

Hi

Mwalukasa, [20.01.16 09:23]

Kuna somo Leo?

Apolkarpi Peter Kanje, [20.01.16 09:30]

Darasa la leo linaanza saa ngapi??

Meshack Mushi, [20.01.16 09:33]

Mpaka sasa No. Cyo mbaya tuko 88. Da Rose ningeshauri zile taratibu za hili Group ziwekwe mapema

ili kufanya members Kuparticipate freely.

Anna Kasebele, [20.01.16 10:17]

Amen tunasubiri

Rose Shaboka, [20.01.16 10:37]

The class is about to start everybody Av just communicated na wachungaji wanaotufundisha Leo ndio

wametoka kanisani they had service. Mtulie kidogo. Meshack mbona nilishaweka kaka ni kama zile zile

za watsup

Samora Mwakalindile, [20.01.16 10:38]

Amina

Rhoda Mbowe, [20.01.16 10:39]

🙏🙏

Tina Boaz, [20.01.16 10:57]

Asante sana. Naomba iwapo inawezekana hizo taratibu zingewekwa tena huku maana wengine

hatukuwepo Whatsup. Rose, would you kindly assist on that

Rose Shaboka, [20.01.16 11:27]

I will Tina thanx

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:33]

Wapendwa wote - naomba kujitambulisha - Mimi ni Mchungaji Na Mrs. Phillip Saliboko. Ni Mmoja Kati

ya wachungaji wasaidizi wa Kanisa la Winners Chapel Banana Ukonga Dar Es Salaam. Ki kazi nafanya

Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini - RITA , Kama Mtendaji Mkuu Wa Wakala. japo kwa sasa nimekuwa

kwa likizo ndefu nikishughulikia mambo ya kikazi.

Erick, [20.01.16 11:35]

Karibu sana mama

Anna Kasebele, [20.01.16 11:35]

Karibu sanaa

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:36]

Tumepata kibali cha Kuanza somo la kwanza kwa Leo na naamini kwa msaada wa Roho Mtakatifu basi

naamini utaweza kusoma na kupata jambo moja Au mawili ya kusaidia katika ndoa.

Agness Luhende, [20.01.16 11:36]

Karibu sana Mama

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:36]

Jamani ninaye andika si MAMA Bali ni Baba

Erick, [20.01.16 11:37]

🙈...

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:37]

Siri moja ya masomo Au mafundisho haya usichoke kusoma - yana maana sana..

Erick, [20.01.16 11:37]

Barikiwa pia na karibu baba

Agness Luhende, [20.01.16 11:37]

Oooooh! Karibu Baba

Anna Kasebele, [20.01.16 11:38]

Aya Mchungaji tupo tayari

Sheky Wa Anna, [20.01.16 11:38]

Aya Mchungaji tupo tayari

Miriam Mallya, [20.01.16 11:38]

Karibu sana Mt, nipo tyr kupokea.

mama bryton, [20.01.16 11:39]

Tujitahidi kusoma tuikoment wakati anaandika ili kurahisisha mtu atakaposoma asome ktk

mtiririko mzuri

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:41]

Kwa ufupi Mimi na mke wangu tuna ndoa ya Miaka 17 na kabla ya hapo tulikuwa tumefahamiana na

mke wangu kwa Miaka 3 - sasa naenda kwenye masomo ambayo nitaweka kwa lugha ya kiingereza

kidogo

Ephraim Kivuyo, [20.01.16 11:45]

Karibu baba tupo tayari kujifunza

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:49]

Introduction:

Marriage is The legal union of a man and woman as husband and wife. It is the foundation for the family,

because until it is in place, there can be no family. A family is a social group

in society, consisting of a man and woman and their offspring.

Marriage is meant to be exciting. If yours has lost its excitement, God can impart His joy and goodness

into it once again. He can make something special out of your home.

Mercy Katabi, [20.01.16 11:50]

Following...

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:51]

I pray that the Lord turns your marriage once again an exciting one in Jesus name!!

Ephraim Kivuyo, [20.01.16 11:51]

Amen

Mercy Katabi, [20.01.16 11:51]

Amen

Edna James, [20.01.16 11:51]

Amen

mama bryton, [20.01.16 11:51]

Amen

Asante Mbowe, [20.01.16 11:52]

Amen

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:52]

Let's see another dimension of definition :

Marriage is a covenant relationship. It is not just the coming together of a man and woman for the

purpose of procreation. Although having children is one of the blessings of marriage,

marriage means much more than that. Some other people think marriage is merely co- habiting with

someone of the opposite sex. Again, this perception is wrong, as marriage

goes beyond that. Marriage is a Covenant.

Aneth Charles, [20.01.16 11:53]

🙏🙏🙏🙏

Agness Luhende, [20.01.16 11:54]

🙏🙏☝️

Ephraim Kivuyo, [20.01.16 11:55]

👏👏👏

Edna James, [20.01.16 11:55]

How and when is that convenant entered?

Meshack Mushi, [20.01.16 11:55]

👂@ covenant

Rehema Josiah, [20.01.16 12:02]

👂�👂�

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 12:03]

What s A Covenant?

A covenant is a bond. It is also a formal sealed agreement or contract with witnesses. God is the

principal witness, while the people present are the cloud of witnesses.

A covenant is quite different from a promise. A promise is a declaration assuring that one will or will not

do something; a vow. There are no conditions attached to it, unlike the covenant.

The covenant of marriage is two-sided. It is both horizontal and vertical. It is horizontal

because it is between the man and his wife. Both of them must understand and obey the terms of the

covenant.

The marriage covenant is also vertical in nature because it is between God and man (husband and wife).

God's own side of the covenant is constant and settled. God is not more

faithful in one marriage than another. He is no respecter of persons. What He does for one, He will do

for another (Acts 10:34).

Many people get into marriage without understanding that it is a covenant. Instead, they keep wishing

that it will become glorious. But because they have not fulfilled their own side of the deal, they never

taste the glory in it.

In our years of marriage my wife and I , have truly enjoyed the glory in marriage!

Your spouse is not just a bedmate or a friend, but is the "wife of thy covenant" (Malachi 2:14). In

essence, you are in a covenant relationship with him or her. But this applies only to husband and wife.

The marriage covenant only comes into force when you are legally joined together with your wife or

husband in marriage. And because it is a covenant, you are expected to keep and not break it. You are

made in God's image, and He is faithful to His covenants, He

never breaks them. He said in Psalm 89:34:

My covenant will I not break, nor alter the thing that is gone out of my lips.

Ephraim Kivuyo, [20.01.16 12:07]

This is powerfull

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 12:09]

Malachi 2:15 says : Malachi 2:15 KJV

[15] ".......Therefore take heed to your spirit, and let none deal treacherously against the wife of his

youth."

The word "treacherous" means deception. God is saying, therefore, "Don't deal deceptively with your

wife or husband." In some marriages, the man plans mischief against the woman,

and she in turn looks for ways of robbing and cheating him. But that is ridiculous, because whatever you

do against your spouse, you are indirectly doing against yourself!

Some people betray their partners to their extended families or friends. A traitor is the same as a

treacherous man. I have seen people who betrayed their spouses and were also betrayed. Remember

that the law of seedtime and harvest is still in force. What you sow is what you reap (Genesis 8:22)!

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 12:10]

I hope you have learnt something for today - tomorrow I will take you through "Characteristics Of The

Marriage Covenant"

Sheky Wa Anna, [20.01.16 12:10]

Amen thanj you...

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 12:10]

Kama una maswali na comments mbalimbali Karibu sana !!! But keep your eyes and ears open for

more!!!

Editha Ndesu, [20.01.16 12:12]

Thnx u phillip

Ephraim Kivuyo, [20.01.16 12:12]

Thank u an' be blessed mafundisho mazuri sana

Anna Kasebele, [20.01.16 12:13]

Amen thanx

Nick Shaboka, [20.01.16 12:19]

Thank you Pastor Phillip for taking your time to help us. May Jehovah richly bless in blessing.

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 12:20]

Amen and amen!!

Agness Luhende, [20.01.16 12:23]

Thanks Pastor for the class, mafundisho mazuri. Tunategemea zaidi kujifunza. Ubarikiwe na Mungu

akutie nguvu

Nick Shaboka, [20.01.16 12:24]

Friends we have 6 minutes to close the chapter for tonight so we can fellowship with our spouses. We

will proceed tomorrow.

Nick Shaboka, [20.01.16 12:27]

[ Photo ]

Nick Shaboka, [20.01.16 12:27]

Remember to pray with your wife/husband. Grace be upon you.

Asante Mbowe, [20.01.16 12:28]

Amen

PAULINA RICHARD, [20.01.16 12:29]

Amen

Tumaini Urio, [20.01.16 12:44]

Amen

Gerald Bethold, [20.01.16 12:45]

Mungu awabariki sana watumishi, huduma hii ni kubwa sana na haitapita bure.

Mungu atafanya jambo kwa pande zote, kwetu wafundishwa nanyi wafundishaji pia.

Mbarikiwe na usiku mwema

Anna Kasebele, [20.01.16 12:48]

Amen

Stella N, [20.01.16 12:48]

Amen

Happy Israel, [20.01.16 12:58]

Amen

Nick Shaboka, [20.01.16 13:09]

Thank you brethrens. We love you and wish you marriages to lust.

Nick Shaboka, [20.01.16 13:09]

*Last

Nick Shaboka, [20.01.16 13:10]

Sorry (Smartphone typing error.

Mwalukasa, [20.01.16 13:20]

Amen, very helpful teachings

Mwalukasa, [20.01.16 13:23]

......wife of thy covenant ( Malachi 2:14)

Mwalukasa, [20.01.16 13:24]

May the Word of God be the only truth in our hearts

Nick Shaboka, [20.01.16 13:26]

Amen

Mwalukasa, [20.01.16 13:40]

I love this statement from your teachings pastor....I am God's image, He is faithful in His covenants and

so I am also faithful in mine. I am confessing it and confession is commitment. You are blessed pastor.

Mwalukasa, [20.01.16 19:24]

From your teachings sir ..........God is saying, therefore, "Don't deal deceptively with your wife or

husband."

Heavenlight Sam, [20.01.16 20:05]

[In reply to Nick Shaboka]

Waoo what a bless full start

Ubarikiwe Mtumishi

Heavenlight Sam, [20.01.16 20:08]

Thank you for the introductory part Pastor Phillip

Hope we follow n really understand more what to do

Rose Shaboka, [20.01.16 20:36]

Pastor Phillip am touched..

My observations:

#Marriage is a LEGAL UNION (that is God knows, the government knows, my parents knows, my in laws

and the world knows) that my spouse is legally mine and mine alone so anything that has to do with him

I must be involved. No body has the right to do anything with my spouse without my consent, and in

case of the devil's devices to take him from me bila ruhusa yangu Nina haki ya kumdai mbele za Mungu

na kisheria kwa sababu ni wa kwangu kihalali na akarudishwa.........

#Marriage is a COVENANT.

not a CONTRACT. A covenant is UNBREAKABLE, UNSTOPABLE, and as long as the two people who

entered that covenant lives that covenant holds until one of them DIES not until one of them travel for a

long time, can not give birth to children, loose a job/business,etc. Only death can break the covenant

nothing else..

#Couples should not deal deceptively with each other (Hapa Mungu atusaidie wengi)...Wapo couples

wanawasema vibaya wake zao kwa Ndugu zao yaani unakuta mwanaume anaungana na ndugu zake au

rafiki zake kumsema au kuwa against na mke wake aliyemuoa na kumchagua mwenyewe(that's the

biggest weakness a man can show) na wapo wanawake wanafanya hivyo hivyo na mwanaume anaishia

kudharaulika.....Wapo couples unajua kabisa mke/mume wako hana urafiki na watu Fulani kwa sababu

labda ya tabia Fulani walizonazo na pengine amekuonya usihusiane nao lakini wewe hujali hao hao ndio

rafiki zako na wakati mwingine ndio pamoja mnamsema mke/mumeo. Oneness Iko wapi kwenye ndoa

ya namna hiyo? Wengine wanafichana mapato, assets walizonazo, marafiki walionao etc. Hiyo yote is to

deal deceptively with your spouse....

#God is no respector of man hapendelei wala hahongeki kile ambacho amefanya kwenye ndoa ya Pastor

Saliboko anaweza kufanya kwenye ndoa yangu kama na sisi tutafanya sehemu yetu ya agano

tuliloingia...

NAPONA...Pastor asante

Rose Shaboka, [20.01.16 20:38]

Malachi 2:15 says : Malachi 2:15 KJV

[15] ".......Therefore take heed to your spirit, and let none deal treacherously against the wife of his

youth."

The word "treacherous" means deception. God is saying, therefore, "Don't deal deceptively with your

wife or husband." In some marriages, the man plans mischief against the woman,

and she in turn looks for ways of robbing and cheating him. But that is ridiculous, because whatever you

do against your spouse, you are indirectly doing against yourself!

Some people betray their partners to their extended families or friends. A traitor is the same as a

treacherous man. I have seen people who betrayed their spouses and were also betrayed. Remember

that the law of seedtime and harvest is still in force. What you sow is what you reap (Genesis 8:22)!

Rose Shaboka, [20.01.16 20:39]

☝️☝️☝️

Rose Shaboka, [20.01.16 20:39]

Imenigusa

Rose Shaboka, [20.01.16 20:50]

Mimi najifunza sana oneness kwa Pastor Saliboko na mke wake kwa sababu wamekua role models wetu

kwa muda mrefu. Huyu Baba hafanyagi kitu chochote bila kumshirikisha mke wake hata kama ni ushauri

umeomba lazima amshirikishe Mama wakushauri pamoja. Hata kama ni pesa hakuna shilingi inatoka

mfikoni kwake Mama hajaauthorise. Na huyo mama hakataagi kusaidia mtu. Wanaume wangapi humu

can do that? Lakini wanawake wangapi humu wanaweza kuwa na moyo kama wa Mama Saliboko wa

kukubaliana na Mume na kusaidia kwa sababu tupo wengine tunajulikana ni wachoyo hata mume

akikushirikisha utakataa kusaidia baba anaamua kufanya vitu mwenyewe tu bila kukushirikisha

Rose Shaboka, [20.01.16 21:05]

Nina swali, Pastor umesema marriage is the foundation for the family, because until it is in place, there

can be no family.....

Je kama kuna watoto wengine pengine one of the spouse let's say mke alizaa na mwanaume mwingine

kabla ya ndoa kisha akampata huyu aliyenaye huku kwenye group akaolewa nae na kufunga ndoa je yule

mwanaume wa kwanza aliyezaa nae does she count him as her family kwa sababu amezaa nae? Ama

familia ni hii ya mume wake wa ndoa tu?

Rose Shaboka, [20.01.16 21:07]

Kwa sababu wapo spouses anahesabu past relationship zake ni familia yake simply because kuna watoto

walizaliwa huko. Is that right?

Erick, [20.01.16 21:25]

Morning family

Erick, [20.01.16 21:26]

Barikiwa mch..nimejifunza kwakweli

Erick, [20.01.16 21:26]

Da rose sijui naweza changia kwa swali lako tho the QN sio langu?

Erick, [20.01.16 21:29]

Navyoelewa Mimi ikitokea kwamba 1 spouse anamtoto aliempata b4 marriage..sudhani kama huyo

mzazi mwenzake ni family... Ambae ni family ni huyo mtoto tuu..maana kwa kurudi kwenye

fundisho juu..family ni pale 2 pipo man n woman legally married and has a covenant b4 God

Erick, [20.01.16 21:30]

Ndo navyozani..hope wengine watachangia

Asante Mbowe, [20.01.16 21:30]

[ Audio ]

Agness Luhende, [20.01.16 21:39]

Thanks Pastor nimeguswa na mafundisho sana

Rose Shaboka, [20.01.16 21:45]

Asante kwa jibu Erick nimekuelewa

Neema Mathias, [20.01.16 21:53]

Mafundisho mazuri sana..Be blessed Pastor.

Agness Luhende, [20.01.16 22:25]

Thanks da rose kwa maelezo pia, I am touched kwa kweli.

Agness Luhende, [20.01.16 22:25]

Be blessed all

Gerald Bethold, [20.01.16 22:28]

Asanteni sana kwa mafundisho mazuri.

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 22:32]

Namshukuru Mungu- Sifa Kwa Bwana. Asante Erick Kwa ufafanuzi Kwa Rose.

Tina Boaz, [20.01.16 22:39]

Praise God

Phillip SALIBOKO, [20.01.16 22:39]

[In reply to Mwalukasa]

This is powerful and we need to be careful we don't deal deceptively!! Imeharibu ndoa nyingi sana

Tina Boaz, [20.01.16 22:41]

I am happy and I have got good learning points especially about oneness

Mwalukasa, [20.01.16 23:23]

Amen

Anna Kasebele, [21.01.16 00:08]

Amen nimebarikiwa sana

Anna Kasebele, [21.01.16 00:08]

Amen nimebarikiwa sana

Mussa Nyauga, [21.01.16 00:16]

.

Nimepata kitu barikiweni sana

Mercy Katabi, [21.01.16 00:45]

Ubarikiww pastor for the teachings... Oneness nimeielewa hapa

Aneth Charles, [21.01.16 00:46]

Nimepata vingi mbarikiwe watumishi wa Mungu

Happy Buretta, [21.01.16 01:37]

Pastor nimebarikiwa na nimejifunza jambo

Kilangazi, [21.01.16 02:15]

Thanks kwa mwanzo mzuri wa somo

Sylvia Kimambo, [21.01.16 02:32]

Am blessed sana sana

Linda, [21.01.16 04:06]

Whatever u do against ur spouse, ur doing that against itself.

Linda, [21.01.16 04:07]

👆👆👆👆👆 point noted. I like it.

Linda, [21.01.16 04:08]

Against urself(point of correction)

Dickson Kigwa, [21.01.16 08:12]

Powerful teaching by Pastor Saliboko

Mwalukasa, [21.01.16 08:34]

Sorry. Ratiba ya mafunzo imekaaje?

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 10:33]

Bwana Asifiwe- Wapendwa je mko tayari tuendelee na somo?

Dickson Kigwa, [21.01.16 10:34]

Krb pastor

Miriam Mallya, [21.01.16 10:34]

Amina Mt, karibu

Ephraim Kivuyo, [21.01.16 10:39]

We are read Pastor karibu

Rose Shaboka, [21.01.16 10:42]

Endelea Mchungaji. Nikumbushe tu darasa linakua usiku kwa sababu baadhi ya walimu wetu usiku ndio

wanapata muda wa kukaa kutuandikia namekitufundisha. Niombe wale wenye nafasi mchana ndio

muda wenu wa maswali na kuchangia. Nirudie pia nilichowahi kusema watsup wasiochangia, kuuliza

swali au kushiriki kwa vyovyote kias kwamba hatuelewi huoni mafundisho, huelewi au vipi tutawatoa.

Tufunguke ili sote tujifunze

Erick, [21.01.16 10:44]

☺️☺️

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 10:44]

Today we proceed with our lesson and I promised we will look into Characteristics of The Marriage

Covenant

Erick, [21.01.16 10:44]

Ameen

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 10:46]

Just to comment briefly as Mtumishi Rose has said - we are in fasting and prayers period so we have late

prayers and we can only type in the nights. Naamini walimu wengine wataweza kufundisha time bora za

mchana. Amen. Nivumilieni tu.

Nick Shaboka, [21.01.16 10:48]

Umeeleweka Chief @Pastor Saliboko

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 10:50]

Characteristics Of The Marriage Covenant

1. It is written

A marriage covenant is a formal declaration, usually written and having witnesses. In Malachi 2:14, we

see that God is the principal witness in the marriage covenant.

There is also the need for you to put your commitment down in writing, by having a

marriage certificate, which makes it legally binding. To the woman, let me say this: if you

are married and do not have a marriage certificate to prove that you are legally married, make sure you

get one, as this will enable you to enter into a proper covenant.

Happy Wales, [21.01.16 10:55]

Amen, karibu

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 10:56]

2. It Should Not Be Broken

The marriage covenant should not be broken. God is a covenant keeper, not a covenant breaker (Psalm

89:34). As His children, therefore, husband and wife should be covenant keepers, not covenant

breakers. An important characteristic of the marriage covenant is that it is meant to be for life.

The wife is bound by the law as long as her husband liveth; but if her husband be dead, she is at liberty

to be married to whom she will; only in the Lord.

Corinthians 7:39

The covenant of marriage is in force as long as both parties (the man and the woman) are

still alive. There is no room for divorce. Divorce is not a good experience. Only those who have

experienced it can tell the experience. I consider it as marital amputation. You must do all within your

power to avoid it.

Even though God is a God of second chance, it is better to avoid divorce than to experience it. Divorce is

like a shoot-out between siamese twins. No matter what happens, both partners become casualties.

Once you are married, the question of separation should not arise. You must settle it within yourself

that there are no alternatives, no where else to go. By entering into the covenant of marriage, you have

burnt the bridge behind you. This simple understanding will help you

settle down and make your home an exciting place.

So, the covenant of marriage is for life. May be you are married but are contemplating running away

from your home because of the challenges before you now. Hold on a while.

Remember that Malachi 2:16 says that God hates divorce. Particularly if you are a believer, and your

husband or wife is yet to become one. Don't run away, and don't give in to pressure.

You are the light of the world (Matthew 5:14), and light does not run away from darkness.

Rather, it shines in darkness and darkness cannot comprehend it (John 1:5). So, stay put and-ensure that

your light is not put under the bushel, but on the lampstand, so it can shine in your home and shatter

every form of darkness.

The covenant of marriage is meant to be in force till death. In case your spouse has already packed out

and you desire a re-union with him or her, you can go to God and plead your case, instead of rushing out

to re-marry.

Luzzy Boaz, [21.01.16 11:00]

🙏🙏☝️

Ngosha Manuel, [21.01.16 11:00]

Amen

Kilangazi, [21.01.16 11:01]

The covenant of marriage is meant to be in force till death ,Pastor ikitokea kuwa wanandoa hawawezi

kuishi pamoja kutokana na ugomvi uliofikia kuuana, hakuna mapenzi hapo Je hilo agano litadumu kweli?

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:02]

3. Exchange Of Gifts

Another feature which should be in place in a marriage is the exchange of gifts. We see an example of

this in the covenant between God and Abraham. God asked Abraham for Isaac, and Abraham did not

hesitate, neither did he bother about what Sarah was going to say, nor about Isaac's opinion. He knew

he was in a covenant relationship with God and didn't want to break it. And because the covenant

involves the exchange of gifts, he was willing to offer Isaac as a

sacrifice to God (Genesis 22).

When a man is truly in a covenant relationship with a woman, there is nothing he cannot give to her,

and vice versa. As a matter of fact, he or she should not need to ask for a thing;

the partner should always look for ways of blessing his or her spouse.

There is nothing my wife and I cannot give to each other, because we both understand how the

covenant of marriage works.

When two people are in the covenant of marriage, they ought to be committed to the good of one

another. It is, however, amazing to see couples hiding money away from each other.

Some conceal how much they earn, the property they have, etc, from their partner. But such acts reveal

that they do not understand this vital characteristic of the marriage covenant.

Once married, what a couple had before marriage now jointly belong to them. Don't allow material

things to come between you and your spouse. When God created Eve, He brought her to Adam, and the

garden of Eden was given to both of them. So husband and wife, don't

withhold anything from one another. Never play hide and seek with your spouse, if you don't want

shame (Genesis 2:25). Sister Rose was sharing an example of my own marriage yesterday that I hide

nothing from my wife and she equally shares all with me. I am truly blessed!

Sharing in marriage is so important, that God gave only one name to Adam and his wife (Genesis 5:2).

Have you ever wondered why husband and wife bear one name after

marriage? Mr. and Mrs.—— Sharing is the reason.

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:03]

And finally!!!

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:08]

4. It Has A Seal

A covenant is usually sealed with blood and has a token or sign. Noah made a covenant with God in

Genesis 8:20, and offered burnt offerings unto Him. God on His part also set a bow as a token of the

covenant (Genesis 9:13).

In Genesis 17, the seal of Abraham covenant with God was the circumcision of every male child.

Jesus also shed His blood on the cross of Calvary, as a seal of the covenant of salvation. Hebrews 8:6

Just as every covenant has a seal (a seal is among other things, "a confirming token, that which closes"),

the seal of the marriage covenant is sexual intercourse.

The first meeting between husband and wife in marriage involves the shedding of blood, no matter how

little. After this first meeting, subsequent sexual relationship between husband and wife is the "token"of

the marriage covenant.

A man's semen has a microscopic trace of blood in it. Therefore, each time he releases semen into his

wife, his blood is shed, as it were, and life is represented in that union. So, in order not to be a covenant

breaker, never get involved in a sexual relationship with anyone apart from your spouse. Sexual

immorality is dangerous!

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:09]

And .....

5. It Transcends Generations

Once a man and a woman gets married, history is made, and they can never change that lineage.

Generations after them will keep connecting them with that lineage whenever reference is being made

about them.

Men and women in a marriage covenant are expected to observe and apply the above characteristics, so

that their home will last and be the haven it was created to be.

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:10]

I pray to the Lord that whoever reads this and understand - be blessed in your marriage and the Lord

release a new bliss in your marriage!

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:11]

I see the covenant of marriage last forever in Jesus name!!

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:12]

Thank you very much Pastor and Mrs. Shaboka for privilege once again you have given me to share

above on marriage covenant. This I believe is a foundation of great marital bliss such as I enjoy. Be

blessed all In Jesus name amen!!!

Asante Mbowe, [21.01.16 11:13]

Amen.

Luzzy Boaz, [21.01.16 11:13]

Amen, and be blessed abundantly pastor

Miriam Mallya, [21.01.16 11:14]

Amen

Ngosha Manuel, [21.01.16 11:14]

Amen, thanks pastor Philip and be blessed for the wonderful lesson

Sheky Wa Anna, [21.01.16 11:15]

Amen amen asante sana kwa somo zuri

Stella N, [21.01.16 11:15]

Amen

Heavenlight Sam, [21.01.16 11:15]

Amen

Ephraim Kivuyo, [21.01.16 11:15]

Ubarikiwe sana Pastor,mafundisho kama hayo ni adimu sana kwa wanandoa,ndoa nyingi sana zitapata

uponyaji kupitia mafundisho hayo,barikiwa sana once again

PAULINA RICHARD, [21.01.16 11:18]

Samahani waanzilishi wa group,wachungaji na wapendwa wote katika hili group nina swali.

Pendo Ayo, [21.01.16 11:29]

Thank you Pastor

PAULINA RICHARD, [21.01.16 11:31]

Mafundisho ni mazuri sana,na lengo n kila mtu ajifunze aelewe sasa sielewi km upande wa lugha

tunaelewana wote vizuri bcoz wengine kingereza hawaelewi vizuri na pengine ikitumika lugha ya

kiswahili wengine hawajui vizuri kiswahili sijui hili mnalionaje.

Cecilia Julius, [21.01.16 11:31]

Thank you Pastor🙏🙏🙏

Mercy Katabi, [21.01.16 11:53]

Ubarikiwe pastor, nazidi kujifunza

Happy Wales, [21.01.16 11:59]

Thank u pastor, be blessed

Aneth Charles, [21.01.16 12:03]

Thank you very much papaa pastor Saliboka

Lilian Protas, [21.01.16 12:04]

Amen.asante sana Pastor kwa mafundisho mazuri.be Blessed

Erasto, [21.01.16 12:06]

Be blessed pastor.

Diamond, [21.01.16 12:07]

Amen Pastor...Mungu azidi kukutumia kwa kazi yake,be blessed

Erasto, [21.01.16 12:16]

[In reply to PAULINA RICHARD]

naamini hoja hii ni ya msingi..ila pia ni imani yangu kuwa litapata ufumbuzi ktk siku za usoni.

Neema Mathias, [21.01.16 12:18]

Amen Pastor..Thanks kwa somo zuri.

Anna Kasebele, [21.01.16 12:26]

Amen asante sana pastor kwa somo zuri...ubarikiwe sana

Erick, [21.01.16 12:30]

Wow...

Erick, [21.01.16 12:30]

Point ya blood covenant in marriage

Erick, [21.01.16 12:30]

Skua nimeipata inakuaje

Erick, [21.01.16 12:30]

Be blessed kwakweli

Agness Luhende, [21.01.16 12:31]

[In reply to Phillip SALIBOKO]

Amen Pastor

Asante Sana Pastor kwa mafundisho haya mazuri, hakika ndoa zetu zitapoa. Be blessed

Rose Shaboka, [21.01.16 12:43]

Pastor Philip barikiwa sana sana. Mimi napona. Walimu wetu wakwanza wanaishia hapo kwa sasa na

next time itakapokua Zamu yao tena wataendelea walipoachia mpaka tuelewe ndoa ni kitu gani.

Niwakaribishe walimu wetu wa topic ya pili UCHUMI NDANI YA NDOA ambao ni Pastor Denis&Lulu

Masawe walioko Marekani......walimu wetu KARIBUNIIIIII

Rose Shaboka, [21.01.16 12:50]

Mjifunze kwa makini baadae kuna mtihani.

Rose Shaboka, [21.01.16 12:51]

Erick na Kilangazi maswali yenu yatajibiwa am noting them

Rose Shaboka, [21.01.16 12:53]

Paulina kama kuna ambaye hajaelewa popote sababu ya lugha atatuambia lakini kwa sasa tutatumia

lugha zote mbili kiswahili na kiingereza

Dennis Massawe, [21.01.16 12:53]

Bwana asifiwe watu wa Mungu. Kwa majina sisi ni Mch. Dennis na Lulu Massawe na tutakuwa pamoja

nanyi katika kuboresha ndoa zetu. Asante wachungaji Nick na Rose Shaboka kwa maono haya na Mungu

awabariki sana.

Tungependa kuwaarifu kwamba mfumo tutakao tumia ni wa kila moja wenu kuchangia hoja kwenye

somo au mada. Kila moja wetu anakitu ambacho tunaweza kujifunza na kuboresha ndoa. Mbali na kutoa

somo, sisi tutakuwa waratibu wa mazungumzo au malumbano ya kuleta msisimko katika mada kwa

lengo la kujifunza, kufurahia, kuchekesha, na la msingi kujifunza.

Kwa kuanzia: Angalia kideo cha Marriage and Money ambayo ni dakika kama 4, kisha download

Marriage Money Matters Icebreaker pdf file yenye viswali vidogo vya kutufanya tutafakari....Baada ya

hayo; tutaanza darasa na hoja mbali mbali kama tutakavyo ratibu.

http://theflic.org/resource6.html

Tafadhali usisite kuuliza kama unahitaji ufafanuzi zaidi.

Leonarda Erick, [21.01.16 13:02]

Amen pastor. Barikiwa

Rose Shaboka, [21.01.16 13:02]

Pastor Masawe asante mnoo naomba haka kalink mkatupie na ile group ya watsup tudownloadie kule

wengine kuidownlodia hapa hivi visimu vyetu inagoma....

Me, [21.01.16 13:06]

Done!

Asante Mbowe, [21.01.16 13:08]

🙏🙏🙏

Rose Shaboka, [21.01.16 13:10]

Kila mtu ajitahidi kufanya hiyo assignment tuliyopewa hapo juu walimu wetu watakapoingia kesho saa

nne na nusu asubuhi tusichapwe

veronica m mwita, [21.01.16 13:14]

Samahn, lugha ndo ngum sana mpendwa , hakuna transltn

Me, [21.01.16 13:16]

Usijali! Mradi umeonyesha effort ya kufanya homework uko sawa. Discussion tutatumia Kiswahili humo

ndani. Tutakuwa pamoja. Tunavyoendelea tutapata wasaidizi wakukalimani. Tuvumilie mpendwa.

Raymond, [21.01.16 13:29]

Thank you Pastor Phillip SALIBOKO. Am truly blessed.

veronica m mwita, [21.01.16 13:44]

Thank u jesus for healing, b blessed!!!!!!

Dennis Massawe, [21.01.16 14:16]

Taarifa: Kwa wale wanao hitaji tafasiri ya maswali ya Chemsha Mada; tafadhali rejea link

http://theflic.org/resource6.html

na utapa iliyotafsiriwa kwa ajili yako.

Me, [21.01.16 15:13]

Tafadhali mkiingia kulala tunaomba mmute hili group kwa kuwa tunatofautiana masaa kwetu kunakuwa

mchana, so tunaweza kuwa tukipost ilimkiingia class next day mzikute post. Hatupendi kusumbua

usingizi na mengineyo😃

Kilangazi, [21.01.16 20:04]

Santee, hiyo home work nzuri na itafungua mengi

PAULINA RICHARD, [21.01.16 20:38]

Asanteni

PAULINA RICHARD, [21.01.16 20:39]

Mbarikiwe kwa mafundisho

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 20:40]

Amen namrudishia Sifa Bwana YESU Kwa wale wote mlionipongeza. Amen. 🙏🙏🙏

PAULINA RICHARD, [21.01.16 20:40]

Amen

Editha Ndesu, [21.01.16 20:48]

Mada nzuri sn, barikiwa mno kaka Phillip Saliboko. Ila hujajb swali la ndg yetu kilangazi

Dennis Massawe, [21.01.16 21:18]

Utangulizi:

Somo litakuwa na sehemu nne za mwongozo: 1. Process (Mchakato), 2. Awareness (Mwamko), 3.

Choices (Chaguo), 4. Change (Mabadiliko). Ilitufahamu uchumi katika ndoa, ni muhumu kuelewa

mchakato wa uchumi kama mfumo ambao unabidi kuheshimiwa, na kuelewa mchakato wa malezi,

makuzi, na uelewa wetu wa fedha na tabia zake. Tukiyafahamu haya mawili tutakuwa na mwamko

ambao utaleta mabadiliko ya uchumi kwa kila moja binafsi na kisha katika ndoa kwa ujumla.

Siyo wote, wamekulia kwenye maadili yanayo funidisha tabia za fedha sambamba na uchumi binafsi.

Kwa hivyo ndoa chache sana zina mume na mke ambao wote kibinafsi wana upeo na ufanisi katika

kuelewa fedha na uchumi kabla ya kuja pamoja katika taasisi ya ndoa.

Ieleweke ndoa ni taasisi ambayo ina sekta ya fedha, na ni mfumo wa uchumi ambao unajitegemea

wenyewe. Hivyo basi, iwapo ndoa ni taasisi iliyo teuliwa na Mungu, mume na mke ni mawakili

(stewards) katika taasisi ya ndoa. Paulo katika (1 Corinthians 9:17 ) anasema ni jukumu na niwajibu

anatekeleza. Neno la kiingereza “stewardship” halina tafasiri ya neno moja katika Kiebrania na kigiriki.

Katika lugha ya Kigiriki ni “Oikonomia” ambapo tunapata neno la Kiingereza “Economy.” Tafasiri yake

katika mazingira (context), na viasilia vyake (cognates) kwenye andiko hili - 1 Corinthians 9:17 )

vinajumuisha: Usimamizi (management), Utawala (administration), Ofisi (office), Commission (tume), na

mpango (plan). Kimsingi, neno “Economy” linatokana na lugha ya Kigiriki ambayo kwayo agano jipya

limetafsiriwa. Hili neno “Oikonomia” lina undwa na neno “Oikos” ambayo ni “household (kaya kwa

Kiswahili)” na “nomos” ambayo ni “governance (utawala).”

A. Sehemu ya kwanza ya mwongozo wa somo: Process (Mchakato):

Kwa kifupi sana; uchumi wa ndoa kimchakato, ni utawala wa uzalishaji bora, usambazaji, na utumiaji

bora, kwa kuzingatia kwa makini madhara ya maamuzi ya kifedha na uchumi wa ndoa kila siku. (It is the

process of good governance in production, distribution, and consumption - while bearing in mind the

consequences of our choices on a daily basis, with regards to finance and economics in marriage.

Wazo la kuchangia hoja: Kwa kufuatilia sehemu ya kwanza (A) - ya mwongozo wa somo (Process /

Mchakato), pamoja na ile assignment ya maswali ya chemsha mada: Je ni eneo lipi katika uchumi wa

ndoa yenu linahitaji kuboreshwa?

Rose Shaboka, [21.01.16 21:51]

Duh hii shule deep sana. Mimi nisaidieni eneo La *management/matumizi ya pesa ndani ya familia/ndoa

linatakiwa kuwaje na linatakiwa kuwaje na kusimamiwa na nani btn the two couples...

*couples mnapopita kipindi kigumu kifedha kiasi kwamba mnaishi from hand to mouth au wakati

mwingine hata kula ni shida how should u handle each other and how do u manage the small u get....

*wakati naolewa/naoa nilikua na ndugu labda nasomesha halafu baada ya ndoa mwenzangu lambda

anabadilika hataki waendelee kusaidiwa au anaona sio wajibu wetu au ni matumizi mabaya ya pesa na

ukiangalia wale ndugu kweli hawana msaada mwingine Mimi niliyekua nawasaidia nifanyeje niendelee

kwa siri au niwaache kama mwenzangu anavyotaka(hii sio sisi ni maswali tu ambayo na sisi tumekutana

nayo)

Dennis Massawe, [21.01.16 21:57]

Maswali mazuri sana, na ni hali halisi katika ndoa nyingi hasa zetu za kiafrika. Sasa tusubiri kidogo

wengine wakichangia kisha tuta yakusanya majibu...hapo sawa?

Ephraim Kivuyo, [21.01.16 21:59]

Darasa zuri sana hili,nina swali,unakuta couples wote mnafanya kazi lakini mshahara wa mume ndo

unafanya kila kitu kwa familia then mke anasema mshahara wake haihusiki kwenye kutunza familia wala

mume hapaswi kujua inakwenda wapi na kufanya kazi gani

Dennis Massawe, [21.01.16 22:21]

Rose: Tumeona tuheshimu walio tangulia kuto hoja na kwa sababu hiyo tutaanza jamvi hili-:).

Dennis Massawe, [21.01.16 22:27]

Najua kama wachungaji mnawakiliisha sauti nyingi: katika mgmt na matumizi ya fedha ni muhimu

kufanya kama team moja, ila kwa kuzingatia ni nani mwenye utaalam au ufahamu wa eneo la fedha na

uchumi. Kwa hivyo makubaliano ni muhimu ukizingatia mafunzo ya Mchungaji Saliboko ya Covenant.

katika kuratibu uchumi wa ndoa kuna maamuzi magumu ambayo yatafanyika wakati mwingine lakini

lazima kuzingatia maagano ya ndoa. Anayefahamu zaidi amsaidie mwenzie kuelewa kwani nyote mna

nia ya kuboresha hali ya fedha au kutatua tatizao.

Me, [21.01.16 22:28]

Praise the Lord Saints!! This is the day the Lord has made let us rejoice and be glad in it.

Statistics ama takwimu zinaonyesha siku hizi divorce rate ni kubwa kati ya Believers marriages kuliko

hata duniani. Na zaidi ya asilimia 50% ya hizo divorce zinasababishwa na shida zilizo na mizizi katika

eneo la Money and Finance. Eneo la fedha ni lakuzingatiwa mno kwa watu tunaomwamini Yesu. Maana

mitego mingi ibilisi ametutegea kama wana ndoa in this area. Kwa hiyo inatupasa kuombea fedha na

kuomba hekima katika kutembea pamoja na ki Mungu in the area.

How can two walk together lest they agree? Amos 3:3

A three strand cord is not easily broken, Ecclesiastes 4:12 yaani Mume-Mke-Mungu wakiwa ukurasa

mmoja juu ya mambo yanayohusu mali zao na fedha basi shetani anakazi ngumu.

Division ndio inafanya kazi ya shetani kuwa rahisi. Tukitambua hilo basi nusu ya safari tumefanikiwa.

Kilangazi, [21.01.16 22:28]

Yaaah ni kati ya masomo nimeyasubiri kwa hamu, Quoted"Oikos, means household, Nomos

Governance.... So means Household governance.." I like it. Kati ya changamoto kubwa Rose kwenye

ndoa ni nani asimamie mfumo wa kiuchumi wa familia, wako kina mama wanadai wao ndo wachumi

wazuri na wako kina baba kadhalika. Maoni yangu ni " ....Maisha ya money management ni tabia

inayojengwa kutokana na malezi na makuzi ya mtu husika....Wako kina mama ambao in rough sana

kwenye matumizi, wanapenda matanuzi na ufahari hata kama kiwango cha maisha hakiwaruhusu, na

matokeo take wanaiingiza familia kwenye madeni makubwa. Kina baba pia wapo wanaopenda

kujionesha kuwa wako juu na maisha ya ufahari mbele ya rafiki zao na wengine kwa kutumia fedha

iliyochumwa na wake zao. Ushauri wangu ni huu, wanandoa tukubaliane ndani yetu tunapojenga taasisi

hii, kama baba/mama unajiona ni dhaifu kwenye matumizi ya fedha mwachie mwenzako asimamie sekta

hiyo, wewe simamia nyingine.. Kuna wengine ukimpa biashara Leo kesho imekufa na bado ana

ng'ang'ania kufanya acha ili afanye yule atakaye istawisha. Ugomvi mwingine ni matumizi ya

mishahara yetu, hapo ndo utawaelewa walio olewa/oa kwa sababu ya kituui, mmh ngoja niwaache

wengine wachangie.......

Dennis Massawe, [21.01.16 22:30]

Vizuri sana Kilangazi.

Me, [21.01.16 22:30]

Inaweza kugeuka uwanja wa ndondi za kiroho tusipokuwa makini.

Kilangazi, [21.01.16 22:31]

🙏🙏🙏

Magreth Tarimo, [21.01.16 22:32]

Madini mazito sana haya mbarikiwe sana walimu

Magreth Tarimo, [21.01.16 22:32]

Naendelea kujifunza

Me, [21.01.16 22:36]

Jana tulitoa assignment ya clip yakuangalia...zoezi lilikuwa kukusaidia ujifahamu wewe binafsi na

mke/mume wako namtazamo wenu juu ya financial education. Kuna walioangalia clip ile akili ikaelekea

kwa mada za baa, unmarried couples, etc etc badala ya kusikiliza nuggets za finance. Tunawapa

changamoto kujifunza "kula samaki" when it comes to information. Hakuna mtu anayepewa samaki

kama ni mzoefu analitumbukiza mdomoni na kumeza na miba yake. Unatoa steak unakula na mifupa

unaiacha. So the point was...take the good and leave the bad😃😃😃 na kujifunza tabia ya kujisomea

binafsi na kama couple on finance and wealth. Utakuta watu wanaenda semina kwa wiki mara tano

lakini kwa mwaka hakuna semina/workshop ya finance hata moja...then we expect to grow...how??

Lazima tuwe intentional na tupange mikakati ya kujifunza juu ya fedha kama ambavyo year on year out

tinajifunza juu ya Biblia na kamwe hatu outgrow.

Nick Shaboka, [21.01.16 22:37]

Najiskia kushusha pumzi. This is deeper than I could ever imagine. I see the couple's healed in this nation

and all over the world.

PAULINA RICHARD, [21.01.16 22:39]

Kwa kweli

Dennis Massawe, [21.01.16 22:39]

Naendelea na swali la Rose: *couples mnapopita kipindi kigumu kifedha kiasi kwamba mnaishi from

hand to mouth. Hili ndilo jaribu ambalo wengi wanashindwa kusimama. Mara nyingi lawama huwa kitu

cha kwanza pamoja na magomvi. Kisha kila mmoja anamwona mwenzie ni adui wake na familia yao.

Katika hali hii, ni vyema kukumbuka kwamba ndoa siyo ya mandugu na wadogo zenu. Bali ndugu na

jamaa wanazingira ndo yeny aidha kwa mema au mabaya. Hivyo basi, ndani mwenu lazima kurejea

kusudi la ndoa na kuanza kurekebisha katika maombi na kujidadisi mbele za Mungu. Jeuri na kiburi ni

kazi ya ibilisi hasa pale ambapo mtu hataki kubadilika au kuambiwa. Makuzi na jadi za familia zetu hazina

nafasi katika taasisi mpya. Mume na Mke mntatengeneza taasisi inayojitegemea katika misingi ya

Biblia. Pakiwa na umoja na toba ya kweli, Mungu ataingilia kati na kuponya. Mafunzo ya pamoja ya

kuboresha uwelewa wa fedha na uchumi ni somo endelezi kwa wote.

Me, [21.01.16 22:40]

Na huo mtihani msipopita mtarudia darasa mpaka ngumbaru👆�👆�😁😁

Me, [21.01.16 22:41]

God is stretching us! Acha kulalamika eti ndefu😃😃 Soma mpendwa...

Beatrice Sawe, [21.01.16 22:42]

Am following! Darasa ni zuri sana. Barikiwa sana watumishi wa Mungu

Me, [21.01.16 22:42]

Changamoto imetoka leo. Usikae unaomba Mungu na huchukui hatua ya kujifunza. Imani bila

matendo???

Asante Mbowe, [21.01.16 22:44]

Kwakweli nashukuruni Sana kwa darasa zuri mzidi kubarikiwa watumishi wa Mungu.

veronica m mwita, [21.01.16 22:44]

👍

Dennis Massawe, [21.01.16 22:45]

Epharaim: unakuta couples wote mnafanya kazi lakini mshahara wa mume ndo unafanya kila kitu kwa

familia then mke anasema mshahara wake haihusiki kwenye kutunza familia wala mume hapaswi kujua

inakwenda wapi na kufanya kazi gani? Hapa mpendwa ni ufahamu wa kusudi la watu wawili kuwa katika

ndoa. Fedha zote zinakuwa kwenye uwazi, matumizi yanawekwa bayana na katika mpangilio wa haja

sana (priority), bajeti inapangwa, na palipo uhaba wa fedha mahitaji mengine kwenye orodha

yanasubiri. Mara nyingi ubanaji unatokana na kutokuaminiana, au makuzi ya jamii na wazazi walio

onyesha mfano na msingi huo. Mswada ni kulijadili na kulifanyia kazi kabla ya shida kuwa balaa na

kuachana.

veronica m mwita, [21.01.16 22:46]

Kwel kabisa

PAULINA RICHARD, [21.01.16 22:48]

Yaan mchungaji umegusa penyewe mm imeniletea shida sana

Kilangazi, [21.01.16 22:52]

Haaaaahaaa shewuuuuuuuu! Wacha nipumue kidogo,

Dennis Massawe, [21.01.16 22:55]

Sehemu ya mwisho ya swali la Rose: mnapokutana na hali za kusaidia ndugu, tumieni mfano wa kwenye

ndege ambapo kukitokea shida hewani, mna agizwa kuchukua chombo cha hewa na kujiwekea wewe

kwanza kabla ya kusaidia mwengine. Kusaidia kukizidi uwezo ni shida. kutokusaidia hata kidogo ni

ukristo. Kufanya kwa siri kukaribisha hila za mwovu kwani ndoa ni maagano. Endapo moja anakuwa

sugu wa kusaidia hali halisi na uwezo unagalipo, basi hilo ni tatizo la ubinafsi na la roho - mwenzie

adumu kwenye maombi na Mungu atamshughulika na huyo aliye na mkono birika. Mara nyingine ni

hofu kwamba pesa zita kwisha - basi bajeti ifanywe na msaada usizidi uwezo. Mara nying ni vyema

kuwasaidi wahitaji kwa mawazo ya muda mrefu. La msingi, meli yako ikiwa inazama, unasitisha uokoaji

wa majahazi mengine - iliukipona, na wengine watapona kwa wakati.

Mwalukasa, [21.01.16 22:55]

Helpful

Mwalukasa, [21.01.16 22:56]

Helpful

Me, [21.01.16 22:57]

Jambo ambalo sisi kama culture hatujafundishwa ni kuwa na wataalam wakutushauri. Yaani mtu anaona

aibu ama kero ama usumbuvu kutafuta msaada wa wataalamu. Huwezi kuniachia Mimi niking'oe jino

kama sio Daktari wa meno! Huwezi kuniachia nikufanyie ipasuaji wa moyo no matter how much I fast

and pray and speak in tongues kama sio Bingwa wa upasuaji!! Wala hutakubali nipambe harusi yako

Kama sio mpambaji-tena unaweza kuhombana na Mimi kabisaaa!! Lakini tunajiamini na finance zetu

ingawa hatuna any formal education Ana knowledge ya personal finance. Hapo ni shida inapoanzia. We

need mentor. Tujifunze pamoja Kama mke na Mume. Hususan waliotangulia na kuona njia...sio kipofu

anamuongoza kipofu😡😡 Tunahitaji hekima za kimbingu, elimu ya ki Mungu na taaluma ya hapa duniani

ili tuwe team moja na tuende in one direction. Sio unan'gan'gana huku hujui unakokwenda. Unabuni

buni tu na kutwa kucha mnabishana utadhani hampendani kimbe ni kukosa middle ground.

Jiulize je time wako kuonana na mtaalam wa personal finance (preferably believer)

Je tuna budget tunayopanga pamoja?

He tunajadili na kuombea personal finance zetu?

Je tukikaa na nyie leo mtatuonyesha in writing 5 year financial goals, 10 years, 20+ ? Au mnamsubiri

Mungu awafanyie homework?

Tukiokoka hatucheck out our brains jamani. Mungu anataka kuzirenew na tuzitumie kufikiria kiMungu!!!

#mwakawakupona

Nick Shaboka, [21.01.16 22:57]

Nadhani kwa mtazamo wangu kuna umuhimu wa kuji-adjust kwenye Ndoa na kujua badiliko la Maisha

kabla na baada ya Ndoa. Mfano, kama kabla sijaoa nilikuwa napata fedha lakini majukumu hayakuwa

mengi kiasi kwamba nikaweza kumlipia kodi ya nyumba mdogo wangu. Leo nimeshaoa na kipato

hakijaongezeka na sasa kuna kulipa ada ya shule ya mtoto wangu. Me nadhani inabidi kubadilisha

priority na kumtaka mdogo wangu ajiongeze ili kumudu maisha yake coz mambo hayawezi kuwa kama

zamani.

Japo couples wengi kwa kuogopa lawama na kuonekana wamebadilika huamua kuingia kwenye madeni

ili kulinda image mbele za watu ambao hawatashukuru. Ni muhimu kusaidia ndugu tena ni jambo la

kimungu lkn sio hekima kukwamisha familia yako (mke na watoto wako) kwa kusaidia mtu mwingine.

Huo ni mtazamo wangu.

Me, [21.01.16 23:01]

Yani Pastor hii issue tatizo ni kwamba inakuwa issue haikujadiliwa na kufikia makibaliano before

marriage. Otherwise inakuwa tatizo. Kama that is the case inabidi kusitisha misaada yooote na kurudi

drawing board hadi kukubaliana. Haina baraka mbele za Mungu kusaidia ndugu bila makibaliano katika

ndoa. Hii pia

Dennis Massawe, [21.01.16 23:04]

Kweli Mchungaji. Kutokuaidia na uwezo upo siyo ukristo. Lawama ni kitu ambacho wana ndoa lazima

wajenge ngozi ngumu ya ushupavu maana hata Mungu analaumiwa. Nakubaliana na Lulu katika kurudi

kwenye drawing board. Kimsingi wanandoa wakipoteza kauli na maagano ya ndoa, ndoa hubadilika

kuwa ushirika wa mafuriko, na hakuna hata baraka na neema ya kujikwamua kwenye tatizo.

Happy Wales, [21.01.16 23:04]

Somo linanibariki, mbarikiwe wachangiaji wa mada

Julius Ngowi, [21.01.16 23:05]

Somo zuri sana

Dennis Massawe, [21.01.16 23:06]

Tusisahau swali la machakato upi tunahitaji kuboresha.

Nick Shaboka, [21.01.16 23:06]

"Ndoa hubadilika na kuwa ushirika wa mafuriko" that's tough👆👆

Cecilia Julius, [21.01.16 23:06]

Yes masomo Haya ni mazuri mno...namshukuru mungu kuwepo APA

Karibu sana husband..

veronica m mwita, [21.01.16 23:10]

Lazima tupone

Agness Luhende, [21.01.16 23:13]

Masomo mazuri, naendelea kujifunza mengi toka kwa walimu

Agness Luhende, [21.01.16 23:14]

[In reply to Dennis Massawe]

Helpful, tutapona wengi

Tina Boaz, [21.01.16 23:16]

Nawashukuru sana, very helpful topics. Masomo yote ni mazuri sana. Hasa kuhusu kuelewa msingi mzuri

sana tuliofundishwa hapa na pastor Saliboko. To my understanding when you know the meaning of

what you are in and all it takes to live into marriage as the divine covenant then we can apply other skills

and knowledge that can better improve our lives as couples

Tina Boaz, [21.01.16 23:16]

Nafikiri tunatakiwa kuomba msaada wa Roho Mtakatifu na hekima ya Mungu ya kujua from the go kuwa

tunapoingia kwenye ndoa, tunaingia kuambatana na mume au mke. Mfano kama Mimi ni dada na Nina

ndugu anatarajia kuoa au kuolewa. Iwapo anafanya maandalizi ya harusi/ sendoff ni vizuri kumtia moyo

wakubaliane na mchumba wake badala ya kutaka kuwaamulia kila kitu. Kwani sometimes that practice

can continue and becomes a disturbance to someone else's marriage

veronica m mwita, [21.01.16 23:20]

👍

Agness Luhende, [21.01.16 23:21]

Ths is true

Dennis Massawe, [21.01.16 23:26]

Sehemu kubwa ya kupona ni usikivu na kukubali kubadilika. Ndoa zote zitapita kwenye majaribu mara

mbali mbali. Kama hamjapita, basi litakuja tu ni swala la muda. Majaribu mengine ni mitiani ya Mungu

na nilazima tupitishwe ili tukomae na kusaidiana katika safari. Ni vyema wana ndoa kuwa na mentors

katika ndo waliowatangulia katika miaka kama ifuatavyo: ndo changa chini ya 2 ziwe na mentor wa

miaka 5-10, wenye 5-10, wawe na 15-40, na wenye 40, wawe na 50 na kuendelea, pamojoa na wale wa

ndoa zilizo changa. Sababu ya hili ni forecasting (kuangalia mbele na kujifunza) na kuangalia nyuma na

kujifunza kwa waliowachanga pia..

Phillip SALIBOKO, [21.01.16 23:26]

Mchungaji Massawe natoa pongezi Kwa somo hili Na umeliweka vizuri sana. Niseme hivi moja kati ya Siri

kubwa sana ya kufurahia Ndoa yangu ya Miaka 17 ni kuwa kuna uwazi wa Hali ya Juu Na ushirika

Mkubwa sana katika musuala yote yanayohusu fesha. Hapa nashauri Ndoa yoyote inayofanya Kwa Siri

Kwa Maana ya mmoja wao kumficha mwenzake nakuhakikishia Amani katika Ndoa hiyo haiwezi

kudumu. Trust inapotea kabisa Na cheating inaanza Kwa wote. Eventually the marriage is not safe at all.

Dennis Massawe, [21.01.16 23:29]

Asante Mchungaji Saliboko. Inakuwa siyo ndoa ya maagano bali ushirika wa mafuriko. Mbarikiwe sana

kwa miaka 17. Glory to God!

Dennis Massawe, [21.01.16 23:30]

Sasa wanandoa turudi studio kwa wahenga.....Sasa tuchukue break maana hata wahenga wana maneno

ya busara:https://youtu.be/_Wf0HOkXs_Y

Tina Boaz, [21.01.16 23:38]

Nimependa sana hii.

Tukiokoka hatucheck out our brains jamani. Mungu anataka kuzirenew na tuzitumie kufikiria kiMungu!!!

Cecilia Julius, [21.01.16 23:43]

Asante sana kwa mafundisho mazuri...I believe ndio zetu zitapona kwa maana mambo Haya yanayohusu

fedha na kusaidia ndugu bila taarifa wala makubaliano ndio chanzo cha makwazo..mafarakano na

kukosa amani.

Kwasababu kama mwanandoa mmoja anamsaidia ndugu yake bila makubaliano au kumwambia mwenza

wake..

Huwa inatengeneza Picha mbaya ya kua labda kama ungeshirikishwa ungekataa kukubali kutoa msaada.

Shida kubwa kwenye familia zetu ni kuona mume ana hela anawasaidia ndugu

zake...hakwambii...mwishowe ugomvi au dharau from ndugu wa mume au wa Mke..

(Nimetolea mfano wa mafarakano mengi tunayoyaona kila Sikh)

Cecilia Julius, [21.01.16 23:43]

**siku

Cecilia Julius, [21.01.16 23:43]

**ndoa zetu

Me, [21.01.16 23:45]

Katika kuchangia labda niwape mfano hai. We are not perfect in any way lakini we strive to grow in the

key areas. Before marriage tulipata muda wakuomba na kujifunza juu Ya ndoa na kuamua kwamba tuko

tayari kuongia kindumbwendumbwe hiki😃😃

Tulisoma vitabu vya Tim Lahaye na Mkewe na Dr. James Dobson amongst many Christian writes

kupanua mawazo.

Sisi tulikubaliana kabla ya kuandikisha ndoa kuwa ndoa yetu ni responsibility ya kwanza kabla ya wazazi,

wadogo zetu hata watoto watakapokuja (enzi hizo). Tukakubaliana ndugu wa upande wangu wakija na

shida ya pesa kamwe sitotoa wala kutoa ahadi bali wataelekewa kwa Mume wangu kadhalika na ndugu

wa Mume wataelekezwa kwangu. Kisha tutakaa tijadili na kutoa maamuzi pamoja. Jibu litatolewa na

aliyefikishiwa ombi according to taratibu a familia yetu. Kwetu tulijua wale wenye legitimate hitaji

watafata taratibu hizo. Wakususa watasusa na wakusema watasema na tulikuwa gado😃😃

Mwanzoni walikuwa wanashangaa na kutoipenda kabisa hii taratibu ila baadae walizowea na

kuiheshimu. Mungu alituwekea moyoni kuwafundisha ndugu kumtegemea yeye na sio kutufanya

tuchukue nafasi ya Mungu (provider). So tunatabia ya kumuuliza Mungu kama anatutaka kusaidia na

kwa kiasi gani. Maana unaweza kuta watu wamekugeuza mungu wao hapo unatafuta laana!!! Huu ni

mfano ambao unework kwetu. Kila ndoa inachangamoto ya kuamua mapema how to deal with family

needs and extended family. Kumbuka unaresponsonility kwa Mungu juu ya ndoa yako na watoto wenu

kabla ya anyone else out there.

veronica m mwita, [21.01.16 23:51]

Kwel na hii imetesa sana ndoa yang,ndug kuwa wa kwanz zaid ya ndoa yetu, lazima tubadilike

Dennis Massawe, [22.01.16 00:06]

Swala la ndugu ni nyeti. Na wengi tumesha fanya makosa haya. Pia kuna changamoto ya jamii ya

kisasa kuchuja neno kwa manufaa ya kibinafsi. Mila, desturi na makabila pia yana changia katika

kujenga nadharia ambayo haiendani na neno la Mungu katika taratibu za maangano. Sasa, sote waume

na wake ni kurejea maagano, kujifunza kutokana na makosa, kuomba msaada na maswazo na kisha

kufanya mabadiliko. Kwa kiasi kikubwa sote ina tupasa kuwa wanafunzi wa ndoa kila siku. Punde

unajiachia tu na kudhani umefika na unaelewa ndiyo mwisho wa ndoa yako. Iwapo makazini kuna

kitengo cha mafunzo endelezo ili kuboresha tija, sembuse wewe na mimi katika ndoa zetu....? Viatabu

vipo, youtube ya bure zipo, mafunidisho kede kede yapo...Mchungaji Saliboko nafahamu anaweza

kutusaidia katika eneo la vitabu ya kujiendeleza, na kadhalika. Kitengo cha fedha kikiharibika, uchumi

wa taasisi ya ndoa ina dumaa na masasiliano yatadumaa na tendo ya ndoa ilta dumaaaaaa sanaaaa na

kuwa kero kwa wakin mama - au mojonzi, na lakini fimbo ya Mungu juu ya sisi wababa tusiyo taka kujua

lolote.

Me, [22.01.16 00:11]

Abee??? Tendo la ndoa kudumaa haina tija!! Tujihimu wapendwa.

Rose Shaboka, [22.01.16 00:13]

Chaaaa baada ya hili Somo Pastor Masawe na Mama mtuongoze tu sala ya toba hakuna namna nyingine

sasa tena. Eh this is deep

Me, [22.01.16 00:15]

◄ James 4:17 ►

New International Version

If anyone, then, knows the good they ought to do and doesn't do it, it is sin for them.

May the Lord help us all!!!

Rose Shaboka, [22.01.16 00:15]

"Lawama ni kitu ambacho wana ndoa lazima wajenge ngozi ngumu ya ushupavu maana hata Mungu

analaumiwa"...

Yaani hakuna mtu anaogopa lawama kama Mimi ngoja nivae GAMBA sasa

Cecilia Julius, [22.01.16 00:15]

Kweli...Rose Shaboka...tumeshakosea sana

Cecilia Julius, [22.01.16 00:17]

Imebd tubadilike kwa kweli maana lawama zinaturudisha nyuma sana

veronica m mwita, [22.01.16 00:18]

Kwel

Rose Shaboka, [22.01.16 00:20]

Naiona semina yetu ya wanandoa tutakapokutana Uso kwa uso halafu Walimu wetu waachilie nondo

hizi namuona Kilangazi atakavyokua analia mpaka makamasi😂

Me, [22.01.16 00:22]

Tukiishi tukidhamiria kumpendeza Mungu kwa gharama yeyote tutapona. Mwanadamu kamwe hawi

pleased...leo utamplease kwasho hufai. Let's seek to please God at any cost! Twende mbinguni jamani.

Tusikae na uchungu juu ya pesa. Hakuna aliyezikwa na masanduku ya pesa...shughulikia hilo shina la

uchungu. Mnaishi kama adui kwa sababu ya pesa ambayo leo ipo kesho haipo?? Remember jamani yale

mapenzi ya mwanzoooo ambapo ungemwachia account looote bila kujali

Me, [22.01.16 00:22]

We can not be separated by money issues! Tukatae kabisa na tutafute suluhisho. The devil is a lier.

Erick, [22.01.16 00:22]

Sekta ya pesa si mchezo...+ lawama

Erick, [22.01.16 00:23]

Kweli mungu atuhelp

veronica m mwita, [22.01.16 00:23]

Kabisa

Rose Shaboka, [22.01.16 00:23]

Yaani....na password zote za ATM tulikua tunapeana Leo hata hiyo akaunt ya Tigo pesa thubutu kugusa

simu ya mtu

Erick, [22.01.16 00:23]

Kubwa naloona hapa kama walimu wslivyosema nikuvaa ganda

Erick, [22.01.16 00:24]

Family 1st then others follows

veronica m mwita, [22.01.16 00:24]

Kwel erick

Erick, [22.01.16 00:24]

Nakua transparent na vipato vyetu...na kubwa kua na budget ya lipi lianze na lipi lifuate

Erick, [22.01.16 00:25]

Sio mie nimenunua nyanya na my twin nae akaja na nyanya AF tunashangaana uwiiii

Erick, [22.01.16 00:27]

Pia ile mentality ya baba ndo kichwa cha familia basi pesa yeye ndo atoe mmmh nayo inapaswa

kuangaliwa

Erick, [22.01.16 00:28]

Yatupasa hakika tuwe mwili mmoja

Cecilia Julius, [22.01.16 00:29]

Kweli kabisa inabd tubadilike kuanzia moyoni

Rose Shaboka, [22.01.16 00:30]

Tukirudi kwenye MSINGI aliotuwekea Pastor Saliboko tukauelewa na tukajua tuko ndani ya kitu gani

haya maswala ya pesa na mambo mengine yatakua rahisi kwetu. Kila MTU ukipata nafasi hebu rudia

notes za Pastor Saliboko halafu upite kwa hizi za Leo za Pastor Masawe. Zisome tena na tena na tena

Nick Shaboka, [22.01.16 00:36]

Ni vizuri pia ukiweza kucopy ili kuunganisha somo kuwa moja ikurahisishie kusoma na ukaliweka kama

personal notes. Kisha draw ufunuo ulioupata hapo na tengeneza point of action na kufanyia kazi. Uwe

mtendaji wa Neno na sio msikiaji (msomaji) tu. Please tutendee kazi haya mafundisho.

Dennis Massawe, [22.01.16 00:38]

Kwa sasa tunakwenda kupumzika na tutawaacha wachungaji waratibu mpake tuamkapo kesho. Neno ni

Waefeso 5:22 . Mke anayependwa na mume ambaye ana muiga kristo katika kulipenda kanisa pamoja

na madudu na vitimbwi vyake, humpenda mume huyo bila shidaaaa. Na mke hanashida kumuheshimu

na kunyeyekea katika ushirikiano wa unyumba. Tumeshiriki vyema hata kuzidi mwongozo wa somo la

leo. Tumegusia Mchakato (Process), Mwamko (Awareness), Chagua (choices), na sasa tunendelelea na

Change (mabadiliko). Wengine hawakuchangia ni wapi wanahitaji kuboresha uchumi wa ndoa zao. Hilo

naamini mtalifanyia kazi wenyewe. Kumbukeni tafasiri ya "Economy" katika utangulizi awali kwamba ni

kuwajibika katika kaya yako (household). Ukizembea, au ukawa na kiburi, basi unashindana na Mungu

aliyekupa uwakili (stewardship) wa ndoa yako. Hilo utajibu mbele za Mungu. Lingine ni tukumbuke

machakato wa uchumi ni: utawala wa uzalishaji bora, usambazaji, na utumiaji bora, kwa kuzingatia kwa

makini madhara ya maamuzi ya kifedha na uchumi wa ndoa kila siku (The process of good governance in

production, distribution, and consumption - while bearing in mind the consequences of our choices).

Kuzembea katika hili au kuliacha holele ni sawa na yule aliye ambiwa katika Matayo 25: 26 Lakini Bwana

wake akamjibu, ‘Wewe mtumishi mwovu na mvivu!..." Tukumbuke kwamba tunajukumu pia la

kuzidisha, kupanga, kubana matumizi, na kusambaza kwa hekima. May the Lord bless you and good day

to all of you. Peace and love sincerely, Dennis and Lulu,

Rose Shaboka, [22.01.16 00:42]

Aaaaameeen masaa yaende haraka muamke muendelee tena Pastor Masawe na Mama. Mbarikiwe sana

sana sana. Mungu awape usingizi kama wa watoto wadogo. Sisi wengine tulioko macho tuendelee

kuchangia na kuuliza maswali walimu wetu watayajibu wakiamka

Erick, [22.01.16 00:43]

Nilijikuta nasimamisha kazi kidg nisikute 100+ msg...mbarikiwe walimu

Mwalukasa, [22.01.16 00:44]

Kwa kweli hawa watu Mungu awabariki Sana...hivi hii knowledge ni bure?

Me, [22.01.16 00:45]

Kulala baadae kwanza kutimiza maandiko🙈🙈🙈🏃�🏃�🏃�🏃�

Dennis Massawe, [22.01.16 00:46]

yooooo yoloooo chapa chap😍😜

Erick, [22.01.16 00:47]

😃😃😃

Me, [22.01.16 00:48]

[ Photo ]

Me, [22.01.16 00:48]

Jamani epukeni economic losses kwa kuepuka👇�👇�👇�

Me, [22.01.16 00:48]

👆�👆�👆�

Mwalukasa, [22.01.16 00:56]

True love comes from God, what we are learning comes from God.

Rose Shaboka, [22.01.16 01:24]

Timizeni maandiko kabisa Dada Lulu 😂😂😂....cha mchana kinaitwaga NOONER sijui cha usiku

kinaitwaje😜😜

Kilangazi, [22.01.16 01:31]

😂😂😂😂😂 Rose let's make it happen jamani, maana nowdays ndoa haifurahiwi kweli, na imebaki ni

kuvumiliana tu, Yesuuuuu tusaidie

Ephraim Kivuyo, [22.01.16 01:31]

Binafsi nimepata elimu kubwa ya kiuchumi +ndoa,Mungu awabariki sana hawa watu wazuri

Rose Shaboka, [22.01.16 01:34]

Kilangazi it will happen brother tutapona tu

Rose Shaboka, [22.01.16 01:35]

Mwalukasa tunapewa yote haya bure kabisa tushindwe sisi tu

Kilangazi, [22.01.16 01:48]

Mungu atusaidie

Mwalukasa, [22.01.16 02:04]

Amen Dada Rose, you are blessed

Neema Culate, [22.01.16 02:23]

Haya yote tunayojifunza tukiyafanyia kazi kweli tutaona raha ya ndoa lakin ikiwa sivyo mambo ni

magumu sana, ndoa nyingi zimevunjika kwa sababu baadhi ya wanawake hawaamini kama

kuchangia kiuchumi katika ndoa yake kunamuhusu.

Neema Culate, [22.01.16 02:24]

Asanteni sana pastor kwa mafundisho mazuri ya kujenga ndoa zetu

Asante Mbowe, [22.01.16 02:35]

Akika nimepata vitu Mungu awabariki mnooooo.

Happy Buretta, [22.01.16 03:31]

Mungu akubariki sana mchungaji sasa ni wakati wa kupona kupitia hili somo .Amina

veronica m mwita, [22.01.16 03:52]

Ni kwel kabisa, asilimia kubwa inayovunja mahusiano mazuri ktk ndoa ni uchumi

Godwin Mruma, [22.01.16 03:53]

Nimejifunza mengi leo, nashukuru watoa mada na waliouliza maswali,nimevutiwa zaidi na

triangle(Mke,Mume, Mungu).

Sheky Wa Anna, [22.01.16 04:02]

Asante sana kwa somo lililoshibaa

Tumaini Urio, [22.01.16 04:11]

Somo ni zuri sana tumejifunza na kutambua mengi ya muhimu. Tunashukuru huduma nzuri hii kwetu

imeanza wakati ndoa changa hivyo inakua msingi mzuri na imara kwetu. Mbarikiwe sana

Rose Shaboka, [22.01.16 04:11]

Wageni karibuni tunaomba kila couple ambao hamkuwa mmejitambulisha bado mtume picha yenu na

utambulisho wenu kwa ufupi wakati tukiendelea na darasa la Leo.

Rose Shaboka, [22.01.16 04:17]

[ Photo ]

Rose Shaboka, [22.01.16 04:17]

Mfano: Mr & Mrs. David Chisamba.

Tunaabudu Roman Catholic. Tulifunga ndoa 25/08/2012 na Mungu ametubariki na watoto wawil wa kike

Dabria & Davina

Rose Shaboka, [22.01.16 04:24]

Wageni mnaweza pia kusoma Yale ambayo tumeshajifunza kule juu☝️

Clement Chacha, [22.01.16 04:35]

Asanteni sana, tunafuraha kua humu na kupata darasa.

Prisca Clement, [22.01.16 04:37]

Nashukuru sana kuingia humu wapendwa.

Sheky Wa Anna, [22.01.16 04:52]

[ Photo ]

Sheky Wa Anna, [22.01.16 04:52]

Mr&Mrs Moses Sheky

Tunasali Kanisa la Pentekoste Tanzania-(KLPT-Boko) Kwa mch. Shekihiyo

Tumefunga ndoa tr 20.10.2012

Tumebarikiwa kuwa na watoto wawili...

Sheky Wa Anna, [22.01.16 04:53]

Bernice & Benicia

Flano Mambo, [22.01.16 04:56]

Pastor Saliboko nafurahi kwa somo lako.kuna mtu aliukiza swali naona halijajibiwa. kuhusu ndoa yenye

magimvi yaliyopitiliza yasiyoisha bikashaka hata mapenzi hapo yanakua yameenda likizo kama si kufa

kabisa. nawatu wa namna hii utakuta wameshapitia some counselling lkn bila mafanikio na wapo wana

wa Mungu wenye shida hii hapo unashauri vipi?

Rose Shaboka, [22.01.16 05:00]

Karibuni sana Mr &Mrs Shecky

Sheky Wa Anna, [22.01.16 05:01]

Asante

Clement Chacha, [22.01.16 05:01]

[ Photo ]

Clement Chacha, [22.01.16 05:03]

Mr & Mrs Clement Marwa,,

Tunasali Dar es salaam Pentecostal Church,

Tumefunga ndoa 31.01.2015.

Rehema Josiah, [22.01.16 05:43]

Asante wachungaji kwa somo zuri

Rose Shaboka, [22.01.16 06:04]

Karibuni sana Marwa na Mama

Jesse Macha, [22.01.16 06:05]

Thnx..Hallo..fellas

Rose Shaboka, [22.01.16 06:07]

Karibu Jesse

Jesse Macha, [22.01.16 06:16]

Ahsante sana

Maria Chenelo, [22.01.16 06:16]

[ Photo ]

Maria Chenelo, [22.01.16 06:18]

Mr & Mrs Jesse Macha... Tunaabudu kkt kunduchi.. Tulifunga ndoa yetu 26 may 2012.

Sheky Wa Anna, [22.01.16 06:19]

Karibuni Mr&Mrs J Macha

Jesse Macha, [22.01.16 06:20]

Thnx..Mr & Mrs Moses

Happy Buretta, [22.01.16 06:20]

Karibuni sana ndg barikiweni

Jesse Macha, [22.01.16 06:21]

Amen

Maria Chenelo, [22.01.16 06:26]

Amen... Thank you..

Rose Shaboka, [22.01.16 07:58]

Wageni pitieni previous msgs mjifunze

Jesse Macha, [22.01.16 07:58]

Ok

Gasto Swai, [22.01.16 08:06]

Asante mpendwa

Agness Luhende, [22.01.16 08:11]

Kwa kweli nimepata somo zuri sana na la kujenga. Nashukuru sana Pastor na Mama kwa mafundisho

haya mazuri. Kwa kweli ndoa nyng kwenye uchumi ni tatizo na pia usiri unazidi tunasahau kama tu mwili

mmoja . Mungu atusaidie sana katika hili, hakika tutapona km tukizingatia na tutafurahia ndoa zetu

Luzzy Boaz, [22.01.16 08:43]

Hapa 🙏🙏

Edna James, [22.01.16 08:46]

I'm so thankful for these teachings, Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu.

Tumaini Magambo, [22.01.16 09:08]

[ Photo ]

Tumaini Magambo, [22.01.16 09:11]

Sisi ni mr na Mrs Magambo tumeoana 2011 dec3 tuna mwanetu mmoja Brianna tumeokoka tunasali

TAG Ebeneza Dodoma na mume wangu ni mchungaji Wa vijana naambatana nae...we are blessed to

have you great people of God

mama bryton, [22.01.16 09:11]

Nasoma na kusoma

Anna Kasebele, [22.01.16 09:20]

Asante sana pastor na mama nimebarikiwa sanaa kwa somo zuri...Mbarikiwe

Maria Chenelo, [22.01.16 09:25]

Mm mbona sipati previous somo...please help.

Maria Chenelo, [22.01.16 09:26]

[Forwarded from Rose Shaboka]

Chaaaa baada ya hili Somo Pastor Masawe na Mama mtuongoze tu sala ya toba hakuna namna nyingine

sasa tena. Eh this is deep

Maria Chenelo, [22.01.16 09:27]

Ninaona only from the above post.

Francis Kwetukia, [22.01.16 09:31]

Najifunza mengi

mama bryton, [22.01.16 09:31]

Maria umenichekesha eti kungozwa sara ya toba

Maria Chenelo, [22.01.16 09:33]

Mama bryton hujanielewa... Mm nimesema sioni post za nyuma naona kuanzia post hiyo hapo juu...

Jesse Macha, [22.01.16 09:37]

Mtusaidie wapendwa..ni kweli hatuzioni msg za somo la nyuma ya hapo.

Phillip SALIBOKO, [22.01.16 09:41]

[In reply to Flano Mambo]

Nashukuru Kwa swali hilo zuri. Mara nyingi hapo watu wanawaza kuachana Maana umesema

wameshafanya kila aina ya counseling. Naomba nikurudishe kwenye somo langu hapo juu.

Clement Chacha, [22.01.16 09:43]

Maybe wazi copy na ku paste ili wachelewaji tuzisome.

Phillip SALIBOKO, [22.01.16 09:44]

2. It Should Not Be Broken

The marriage covenant should not be broken. God is a covenant keeper, not a covenant breaker (Psalm

89:34). As His children, therefore, husband and wife should be covenant keepers, not covenant

breakers. An important characteristic of the marriage covenant is that it is meant to be for life.

The wife is bound by the law as long as her husband liveth; but if her husband be dead, she is at liberty

to be married to whom she will; only in the Lord.

Corinthians 7:39

The covenant of marriage is in force as long as both parties (the man and the woman) are

still alive. There is no room for divorce. Divorce is not a good experience. Only those who have

experienced it can tell the experience. I consider it as marital amputation. You must do all within your

power to avoid it.

Even though God is a God of second chance, it is better to avoid divorce than to experience it. Divorce is

like a shoot-out between siamese twins. No matter what happens, both partners become casualties.

Once you are married, the question of separation should not arise. You must settle it within yourself

that there are no alternatives, no where else to go. By entering into the covenant of marriage, you have

burnt the bridge behind you. This simple understanding will help you

settle down and make your home an exciting place.

So, the covenant of marriage is for life. May be you are married but are contemplating running away

from your home because of the challenges before you now. Hold on a while.

Remember that Malachi 2:16 says that God hates divorce. Particularly if you are a believer, and your

husband or wife is yet to become one. Don't run away, and don't give in to pressure.

You are the light of the world (Matthew 5:14), and light does not run away from darkness.

Rather, it shines in darkness and darkness cannot comprehend it (John 1:5). So, stay put and-ensure that

your light is not put under the bushel, but on the lampstand, so it can shine in your home and shatter

every form of darkness.

The covenant of marriage is meant to be in force till death. In case your spouse has already packed out

and you desire a re-union with him or her, you can go to God and plead your case, instead of rushing out

to re-marry.

Phillip SALIBOKO, [22.01.16 09:52]

Hii kwangu inakwambia kuwa lazima kufanya kila tuwezalo tusave Ndoa zetu. Kwanza Kwa kila mmoja

kuchukua responsibility Yake Na kuelewa Kwa nini yuko kwenye hiyo Ndoa. Lazima kupata haya

mafundisho. Tafuta marriage counselor- Mtumishi wa Mungu ambaye wote mnamheshimu - awashauri.

Pili. Ni vyema kumtafuta Mungu Kwa bidii katika maombi na kufunga Kwa ajili ya Ndoa yenu. Wengi

hawaombi wala hawaikabidhi Ndoa Kwa Bwana Mungu. Tatu ni vyema KUSOMA vitabu mbali mbali jinsi

ya ku- spice up your marriage. Kuna vitabu vingi vya Ndoa. Utakuta wanandoa wengi toka wameingia

kwenye Ndoa hawajasoma kitabu hata kimoja au kusikiliza seminar hata moja ya mambo ya Ndoa hivyo

ni Kama Gari haliendi service litaharibika tu!

Happy Wales, [22.01.16 09:56]

Point paster, mafundisho mazuri yamenigusa

Tina Boaz, [22.01.16 09:58]

Asante sana pastor Saliboko

Tina Boaz, [22.01.16 09:59]

Mungu awabariki kwa mafundisho mazuri mno

Phillip SALIBOKO, [22.01.16 10:08]

Na bila kutaka kutangaza BIASHARA hapa 🙈🙈🙈 na naomba Pastor and Mrs. Shaboka mnilinde-� - ni

kwamba vitabu mbali mbali kutoka Kwa very authoritative authors mbalimbali vinavyohusu NDOA

vyenye titles mbali mbali vinapatikana kwenye duka letu la vitabu naamini ni kubwa kuliko yote ya

kikristo TANZANIA - linaitwa House of Wisdom Bookshop- linapatikana NHC House , Samora Avenue ,

Mezzanine Floor No. 22. Ask for bookshop. You will never regret.

Koku Mutashobya, [22.01.16 10:13]

Mungu awabariki watumishi kwa huduma yenu njema.

Editha Ndesu, [22.01.16 10:14]

Hbrn za jioni wapendwa wote? Mtaniwia radhi na nitaomba mnivumilie kwa siku kadhaa. Nimefiwa na

baba yangu mkubwa tangu tarehe 3/1 tulikuwa tukihangaikia usafirishaji wa mwili kuja Tanzania kwa

kuwa alifia nje ya nchi. Taratibu zimekamilika hivyo tunategemea kupokea jumapili saa 7:40 usiku

uwanja wa kia. Kwa mantiki hiyo tunategemea kusafiri kesho ili kuwahi mapokezi hayo sambamba na

shughuli zote za mazishi, ambayo yatafanyika parokia ya iwa iliyopo kirua vunjo. Naomba mkiona kimya

mjue ni kukosekana kwa mtandao pia kutingwa na shughuli hiyo. Leo pia nilikuwa busy kukamilisha

vipolo ili niweze kupata ruhusu. Naomba mtuweke ktk maombi msiba huu ni mzito kwani ni sawa na

nguzo kuanguka. Nawapenda wote, nitayakuta masomo yote naamini hivyo.

Editha Ndesu, [22.01.16 10:15]

MICHUZI BLOG: HISTORIA FUPI YA HAYATI PADRI CALISTI NYAMBO ALIYEFARIKI NCHINI MAREKANI

AKIFANYA SHUGHULI ZA UTUME -

http://issamichuzi.blogspot.com/2016/01/historia-fupi-ya-hayati-padri-calisti.html?m=1

Koku Mutashobya, [22.01.16 10:19]

Pole sana na mungu awatangulie

Happy Buretta, [22.01.16 10:19]

Pole sana Editha Mungu akupe nguvu ktk kipindi hiki cha maombolezo

Dennis Massawe, [22.01.16 10:33]

Edith: Pole kwa msiba na Mungu awafariji.

Tina Boaz, [22.01.16 10:34]

Hello Editha, poleni sana

Tina Boaz, [22.01.16 10:34]

Mungu awafariji na kuwatunza

Anna Kasebele, [22.01.16 10:35]

Poleni sana Mungu awafariji

mama bryton, [22.01.16 10:44]

Hiyo ya kusoma vitabu, ni kudownload au kuvisomea online,

Tina Boaz, [22.01.16 10:51]

Kwa kweli House of Wisdom is among the best bookshop in Tanzania. I can testify for that, maana

nimekuwa mteja na wala sijajutia. Wana vitabu vizuri sana sanaa sanaaaa.

Rhoda Mbowe, [22.01.16 11:17]

Masomo ni mazuri sanaaa. Nimejifunza mengi. Editha poleni kwa msiba

Flano Mambo, [22.01.16 11:36]

Admn pls naomba umuadd mke wangu Huruma 0755706161

Rose Shaboka, [22.01.16 11:55]

Editha poleni sana kwa msiba, Pastor Philip tena utukumbushe kabisa Mara kwa Mara vitabu muhimu na

sisi wenyewe tumepona sana kwa vitabu kutoka duka hilo. Flano mwambie mke wako anitumie text

telegram

Gasto Swai, [22.01.16 12:02]

Pole sana mpendwa, mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha msiba mzito.

Agness Luhende, [22.01.16 12:04]

Pole sana Editha, Mungu awafariji

Dickson Kigwa, [22.01.16 12:12]

Majina ya Mungu yote uandikwa kwa kuanza na herufi kubwa tafadhali..

Dickson Kigwa, [22.01.16 12:13]

Pole kwa msiba ndugu yetu dada Editha

Ephraim Kivuyo, [22.01.16 13:05]

Pole Editha

Editha Ndesu, [22.01.16 18:31]

Za asbh wapendwa? Nawashukuru sn, naimani mtaendelea kutuweka kwenye maombi. Mbarikiwe sn

Dorcas BSM, [22.01.16 18:38]

[In reply to Nick Shaboka]

Masomo ni mazuri n so helpful kwa kweli. Mungu awabariki walimu wetu. Naomba hivo vitabu Rose

alivosema mwalimu atutajie na namna wa sisi tulioko nje ya dsm tunaweza kuvipata. Bless

Dorcas BSM, [22.01.16 18:38]

Pole Editha.

Mussa Nyauga, [22.01.16 19:00]

Pole dada yetu

Editha Ndesu, [22.01.16 19:25]

Asanteni Dorcas na Mussa

Noh Ney, [22.01.16 20:10]

Add my husband too 0713728552

Rose Shaboka, [22.01.16 20:11]

Mwambie anitumie msg nimuone

Jesse Macha, [22.01.16 20:12]

Pole sana Editha.

Joyce Ephraim, [22.01.16 20:42]

Pole dada Mungu awatie nguvu

Phillip SALIBOKO, [22.01.16 20:49]

[In reply to Dorcas BSM]

Nitawatajia title, author and cost Na utaratibu wa kuvipata Ndani na nje ya DAR

Dorcas BSM, [22.01.16 21:31]

Thanks pastor. Blessed

Editha Ndesu, [22.01.16 21:43]

Asante Jesse na Joyce

Me, [22.01.16 21:53]

Shalom watu wa Mungu! Tunaamini mlikuwa na wakati mwema wa maxi na kupumzika usiku pia.

Tunaamini kwamba mmepata muda wakutafakari mengi tuliyoshare jana. Kama hamjafatufa muda

tafadhali make time and discuss. Ni vitu gani ambavyo vinahitaji kufanyiwa improvement katika uchumi

katika ndoa yenu.

Me, [22.01.16 21:54]

*wa kazi

Me, [22.01.16 22:01]

Make a list. Kila mmoja wenu ajieleze kwa mwenzake (spouse) ni area gani anaona inahitaji kufanyiwa

kazi. Kazi yako wakati mwenzako anaongea nikusikiliza na sio kutoa utaalam wako wala mashauri wala

kupingana nae. Listen!!! Muandike kila mtakalo share. Baada ya hapo mtasoma Amos 3:3 na kisha

muorodheshe maandiko mengine yamakubaliona (agreement). Mkiwekea mikono karatasi

mtakayotumia kuandika haya yote mpate muda wakumuomba Mungu. Toba kwanza kwa maeneo

ambayo hakuna makubaliano. Halafu kuomba Mungu awape neema ya kuweza kusikilizana na

kukubaliana katika eneo la finance. Kisha mtaishia hapo kwa leo. Don't try to discuss what is listed.

Mtakuwa mkisoma hayo maandiko na kuomba neema yamakubaliono until mfikie mahali mnaona

mnasikia kufunguka kujadili. Wengine itachukua siku moja wengine mwezi wengine miezi. We will be in

agreement!!! Tupewe uwezo wa kujadili kistaarabu bila bugombana na kufikia makubaliano.

Me, [22.01.16 22:02]

Doing the same thing over and over and expecting different results is insanity!!!!! We will not be insane

as people of God. #lazima tupone

Me, [22.01.16 22:03]

Mkimaliza zoezi la leo (list,scriptures and pray) andika "done" humu ndani. Tutaita roll call.

Me, [22.01.16 22:03]

Kama hujaelewa uliza tafadhali

Mrs Stephen, [22.01.16 22:04]

Uwiii roll call

Gasto Swai, [22.01.16 22:05]

Sijaelewa

Me, [22.01.16 22:05]

Kabisa! Wanafunzi wazembe na watoro tutawasgughulikia.

Me, [22.01.16 22:05]

Wapi hujaelewa

Me, [22.01.16 22:06]

Ama yote Swai?

Gasto Swai, [22.01.16 22:06]

Yote lulu

Lilian Protas, [22.01.16 22:06]

Pole Sana Editha.Mungu awatie nguvu

Gasto Swai, [22.01.16 22:07]

Sor lulu massawe

Me, [22.01.16 22:08]

Kuna wageni waliingia after notes za jana...ulifanikiwa kuwepo ama uliingia baada ya notes @Swai

Gasto Swai, [22.01.16 22:08]

Baada

Me, [22.01.16 22:08]

Ok nimekuelewa

Me, [22.01.16 22:09]

Mlipata summary ya jana? Ama niirushe

Gasto Swai, [22.01.16 22:09]

Asante mpendwa kwa kunielewa

Gasto Swai, [22.01.16 22:09]

Sijapata dada lulu massawe

Me, [22.01.16 22:11]

Sawa Pastor Dennis anarusha summary.

Gasto Swai, [22.01.16 22:11]

Ok

Sheky Wa Anna, [22.01.16 22:14]

Amen

Dennis Massawe, [22.01.16 22:16]

Tumeona hitaji la kurudia utangulizi wa somo kwa wale wanandoa waliojiunga nasi. Litawasaidia kuweza

kuunganisha mafunzo na hoja tangia pale walipo jiunga.

Dennis Massawe, [22.01.16 22:16]

Utangulizi:

Somo litakuwa na sehemu nne za mwongozo: 1. Process (Mchakato), 2. Awareness (Mwamko), 3.

Choices (Chaguo), 4. Change (Mabadiliko). Ilitufahamu uchumi katika ndoa, ni muhumu kuelewa

mchakato wa uchumi kama mfumo ambao unabidi kuheshimiwa, na kuelewa mchakato wa malezi,

makuzi, na uelewa wetu wa fedha na tabia zake. Tukiyafahamu haya mawili tutakuwa na mwamko

ambao utaleta mabadiliko ya uchumi kwa kila moja binafsi na kisha katika ndoa kwa ujumla.

Siyo wote, wamekulia kwenye maadili yanayo funidisha tabia za fedha sambamba na uchumi binafsi.

Kwa hivyo ndoa chache sana zina mume na mke ambao wote kibinafsi wana upeo na ufanisi katika

kuelewa fedha na uchumi kabla ya kuja pamoja katika taasisi ya ndoa.

Ieleweke ndoa ni taasisi ambayo ina sekta ya fedha, na ni mfumo wa uchumi ambao unajitegemea

wenyewe. Hivyo basi, iwapo ndoa ni taasisi iliyo teuliwa na Mungu, mume na mke ni mawakili

(stewards) katika taasisi ya ndoa. Paulo katika (1 Corinthians 9:17 ) anasema ni jukumu na niwajibu

anatekeleza. Neno la kiingereza “stewardship” halina tafasiri ya neno moja katika Kiebrania na kigiriki.

Katika lugha ya Kigiriki ni “Oikonomia” ambapo tunapata neno la Kiingereza “Economy.” Tafasiri yake

katika mazingira (context), na viasilia vyake (cognates) kwenye andiko hili - 1 Corinthians 9:17 )

vinajumuisha: Usimamizi (management), Utawala (administration), Ofisi (office), Commission (tume), na

mpango (plan). Kimsingi, neno “Economy” linatokana na lugha ya Kigiriki ambayo kwayo agano jipya

limetafsiriwa. Hili neno “Oikonomia” lina undwa na neno “Oikos” ambayo ni “household (kaya kwa

Kiswahili)” na “nomos” ambayo ni “governance (utawala).”

A. Sehemu ya kwanza ya mwongozo wa somo: Process (Mchakato):

Kwa kifupi sana; uchumi wa ndoa kimchakato, ni utawala wa uzalishaji bora, usambazaji, na utumiaji

bora, kwa kuzingatia kwa makini madhara ya maamuzi ya kifedha na uchumi wa ndoa kila siku. (It is the

process of good governance in production, distribution, and consumption - while bearing in mind the

consequences of our choices on a daily basis, with regards to finance and economics in marriage.

Wazo la kuchangia hoja: Kwa kufuatilia sehemu ya kwanza (A) - ya mwongozo wa somo (Process /

Mchakato), pamoja na ile assignment ya maswali ya chemsha mada: Je ni eneo lipi katika uchumi wa

ndoa yenu linahitaji kuboreshwa?

Me, [22.01.16 22:17]

Baada ya hapo tuliongelea mambo ambayo yanasumbua katika eneo la fedha katika ndoa zetu. So I'm

picking up from there...kaa na spouse wako kila mmoja wenu aeleze ni eneo gani anaona linamsumbua

katika hilo eneo. Mziandike. Msijadili but read Amos 3:3 and list other scriptures that mtasimamia katika

maombi ya kumsihi Mungu awape roho ya makubaliano. Mkisikia breakthrough ya kudiscuss mfanye

hivyo.

Me, [22.01.16 22:20]

Swai tujulishe kama umeelewa please

Joyce Dyamo!, [22.01.16 22:24]

Daah.....Mungu awabariki sana walimu wetu!!! Vitu vingi tumefanya bila uelewa, Mungu atusaidie

kutatendea kazi mafunzo haya!!!

Gasto Swai, [22.01.16 22:26]

Nimekuelewa

Gasto Swai, [22.01.16 22:26]

Kwangu sehemu ya uchumi shida

PAULINA RICHARD, [22.01.16 22:35]

Mzidi kubarikiwa watu wa Mungu

End @ 10:35 PM CHAT. Jan 22 2016