pastor nick and rose shaboka
TRANSCRIPT
January 22, 2016 Chat Archive for those who would like to catch up. Kwa wote walioingia kwenye kundi na hawawkupata masomo na hoja zilizokwisha tolewa. To: Pastor Nick and Rose Shaboka.
Nick Shaboka, [16.01.16 07:22]
Tell him to text me.
Nick Shaboka, [16.01.16 07:22]
Thru Telegram
Agness Luhende, [16.01.16 07:24]
Owk I hv dne
Essau Edward, [16.01.16 07:26]
asante sana!
Agness Luhende, [16.01.16 07:28]
Shkamoo mwl Essau
Patricia Eddie, [16.01.16 07:32]
Thank you
Mercy Katabi, [16.01.16 07:33]
Pastor Nick naomba muadd mume wangu plz 0759101055
Nick Shaboka, [16.01.16 08:03]
The easiest way is for him to text me. Please @Mercy
Luzzy Boaz, [16.01.16 08:27]
Thanks m here
Agness Luhende, [16.01.16 08:36]
Welcome my darling hubby ❤️
Luzzy Boaz, [16.01.16 08:40]
[ 👍 (sticker) ]
Luzzy Boaz, [16.01.16 08:40]
Asnteeee
Nick Shaboka, [16.01.16 09:43]
[ 👍 (sticker) ]
Agness Luhende, [16.01.16 09:50]
[ 😚 (sticker) ]
Mercy Katabi, [16.01.16 10:39]
Ok will tell him
Cecilia Julius, [16.01.16 11:19]
Thanks kwa kua hapa
Aneth Charles, [16.01.16 11:50]
Usiku mwema jamani
Agness Luhende, [16.01.16 11:52]
Usiku mwema pia
Editha Ndesu, [16.01.16 20:06]
Morning all
Editha Ndesu, [16.01.16 20:07]
Niwatakie nyote ibada njema
Patricia Eddie, [16.01.16 20:26]
Asante...nawe pia
Sospeter Ringo, [16.01.16 21:09]
Shalom! Habari za asubuhi wana ndoa tunamshukuru Mungu kwa kutuamsha salama na kutuwezesha
kuhudhuria ibada ya leo na pia ninashukuru kwa kuunganishwa na telegram asanten nawatakia jumapili
njema yenye amani katka ndoa zetu
mama bryton, [16.01.16 21:38]
Bwana asifiwe Mrs rose my hubby is on telegram now 0762028764
Ephraim Kivuyo, [16.01.16 23:09]
Thank you Pastor Nick Shaboka
Nick Shaboka, [16.01.16 23:41]
Karibu
Joyce Ephraim, [16.01.16 23:47]
Thanks pastor
Nick Shaboka, [17.01.16 00:17]
Werkam Jowisi
Agness Luhende, [17.01.16 00:29]
Good morning all! Wishing you blessed Sunday
Jerome Buretta, [17.01.16 00:36]
Good morning... Admin naomba umuweke na mke wangu namba yake ni 0768884192
Nick Shaboka, [17.01.16 00:36]
Mwambie anitumie msg
Nick Shaboka, [17.01.16 00:37]
Inakuwa rahisi
Jerome Buretta, [17.01.16 00:37]
Sawa mtumishi
Happy Buretta, [17.01.16 01:01]
Asante sana
Happy Buretta, [17.01.16 01:01]
Shalom wanandoa
Cecilia Julius, [17.01.16 02:13]
Shalom wote
Editha Ndesu, [17.01.16 03:27]
Shalom cecilia and Happy
Erick, [17.01.16 10:28]
Me na mke wangu tunawapenda
Erick, [17.01.16 10:28]
Muwe na usiku mwema
Editha Ndesu, [17.01.16 10:32]
Asante nanyi pia usiku mwema
Dickson Kigwa, [17.01.16 11:01]
Usiku mwema wana wa Mungu.
Agness Luhende, [17.01.16 11:45]
Asante na nyie pia mlale salama. Penda nyie sana. Mungu awabariki siku zote
Sospeter Ringo, [17.01.16 19:51]
Asante ninyi pia muwe na usiku wenye baraka
Tina Boaz, [18.01.16 02:21]
Rose and your husband, thank you for adding me to the group
Anna Kasebele, [18.01.16 02:22]
Shalom nashukuru sana wapendwa
Rose Shaboka, [18.01.16 02:22]
Karibuni
Noh Ney, [18.01.16 02:23]
Asante
Nick Shaboka, [18.01.16 02:25]
Kama mumeo au mkeo hajaingia humu mwambie anitumie msg kupitia telegram inakuwa rahisi
kumu-add.
Anna Kasebele, [18.01.16 02:26]
Sawa
Mercy Katabi, [18.01.16 02:26]
[In reply to Nick Shaboka]
Pastor wangu yuko kijijini akirudi nitafanya hivyo leo
Nick Shaboka, [18.01.16 02:27]
Pole@ Mercy its well
Mercy Katabi, [18.01.16 02:28]
Thank you
Gerald Bethold, [18.01.16 02:30]
Ubarikiwe sana Mtumishi
Nick Shaboka, [18.01.16 02:31]
Barikiwa pia Gerald
Koku Mutashobya, [18.01.16 02:42]
Asante
Anna Kasebele, [18.01.16 02:42]
Karibu mme wangu..sheky
Flano Mambo, [18.01.16 02:54]
thanx
Sheky Wa Anna, [18.01.16 02:55]
Asanteni
Heavenlight Sam, [18.01.16 04:00]
Waoo Many blessings to you Shaboka Family
Nick Shaboka, [18.01.16 04:08]
Thank you HS
ney mal, [18.01.16 05:02]
add this no ypo online now 0764870377
Nick Shaboka, [18.01.16 05:15]
Atume msg
Huruma Edward, [18.01.16 05:19]
Ahsante mchungaji
Nick Shaboka, [18.01.16 05:19]
Karibu
Lilian Protas, [18.01.16 05:23]
Asanten sana
Mussa Nyauga, [18.01.16 05:55]
Thank you for adding me
Mussa Nyauga, [18.01.16 05:56]
Ahsante sana barikiwa
PAULINA RICHARD, [18.01.16 06:05]
[ 😡 (sticker) ]
PAULINA RICHARD, [18.01.16 06:38]
Sor☝️☝️
Rhoda Mbowe, [18.01.16 07:51]
Pastor Nick plz add my husband. 0789 939792
Emmanuel Yaro, [18.01.16 09:03]
asante sana
Amedeus Arbogast, [18.01.16 09:18]
🇹�
Asante Mbowe, [18.01.16 10:20]
Nashukuru Sana
Nick Shaboka, [18.01.16 10:29]
[ Photo ]
Rehema Josiah, [18.01.16 10:30]
Asanteni sana
Mercy Katabi, [18.01.16 10:51]
Za jioni wapendwa.... Pastor shaboka mume wangu amekutumia msg kwa telegram kwa no 0759101055
Mercy Katabi, [18.01.16 10:51]
Please add him
Erick, [18.01.16 10:53]
Ni kweli...upendo wa kweli hauwezi kufa
Erick, [18.01.16 10:53]
Barikiwa
Nick Shaboka, [18.01.16 10:53]
Waliotuma wote nimewa-add
Mercy Katabi, [18.01.16 10:58]
Asante
Edna James, [18.01.16 11:40]
Asanteni.
Nick Shaboka, [18.01.16 11:42]
A simple marital advice❤️ Make it a habit to hold hands with your spouse and pray together every
morning and every night. It is important to build that triangle of you and God. I have realized the more
you draw closer to God is the more you draw closer to each other. Use God as glue to stick you together,
the Almighty is the only glue that never loses it's power.
At times sex, tour, jokes don't work, but prayer works always. Enjoy your night friends.
-Pastor Nick and Rose Shaboka.
Anna Kasebele, [18.01.16 11:43]
Amen thanx
Joyce Dyamo!, [18.01.16 11:45]
🙏
Gerald Bethold, [18.01.16 11:45]
🙏
Rehema Josiah, [18.01.16 11:45]
🙏🙏🙏
Ephraim Kivuyo, [18.01.16 11:45]
👍👍👍👍
Charity Chikoleka, [18.01.16 12:20]
Amen
Mussa Nyauga, [18.01.16 12:21]
Amen
Luzzy Boaz, [18.01.16 12:25]
Amen and truest indeed
Agness Luhende, [18.01.16 12:32]
Amen. Thanks alot. Be blessed alot. Gud nyt too
Aneth Charles, [18.01.16 12:57]
🙏🙏🙏☝️
Tina Boaz, [18.01.16 12:58]
Amen and thank you
Tina Boaz, [18.01.16 12:59]
Good night to everyone
Sheky Wa Anna, [18.01.16 13:45]
Amen tks
Tumaini Urio, [18.01.16 14:39]
Amen! Usiku mwema wote
Sospeter Ringo, [18.01.16 18:48]
Shalom! Muwe na asubuh njema......
Gerald Bethold, [18.01.16 20:00]
Kwa upendo wa Mungu Baba naamini mmeamka salama.
Muwe na siku njema na Mungu awabariki sana.
Tina Boaz, [18.01.16 20:03]
Amen and thank you
Tina Boaz, [18.01.16 20:04]
Pastor Nick, kindly add my husband. His number is 0755003559
PAULINA RICHARD, [18.01.16 21:33]
Shalom wapendwa...hope mmeamka salama kwa jina la Yesu
Kilangazi, [18.01.16 21:45]
Mungu mwema, Siku Imeanza vema, nawatakia siku njema wanandoa wote
PAULINA RICHARD, [18.01.16 21:54]
👍
Agness Luhende, [18.01.16 21:54]
Shalom. Nashukuru tumeamka salama. Tunawatakia siku njema wanandoa wote.
Happy Buretta, [18.01.16 21:57]
Tumeamka salama ni neema tu .Tunawatakia sk njema ndg wote
Agness Luhende, [18.01.16 21:58]
👍
Apolkarpi Peter Kanje, [18.01.16 23:16]
👍👍👍
Leonarda Erick, [18.01.16 23:58]
Shallom. Nawatakia uwajibikaji mwema. Ha a happy and peaceful Happy day
Koku Mutashobya, [19.01.16 00:44]
Ameni
Tina Boaz, [19.01.16 01:32]
Hello Pastor Shaboka, naomba muadd Mume wangu 0755003559
Tumaini Magambo, [19.01.16 01:32]
Thank you Pastor
Rhoda Mbowe, [19.01.16 11:08]
Jmn huku kumekuwa kimya bora kule analogy tulipokuwepo
Mercy Katabi, [19.01.16 11:09]
Mambo yakikamilika kutanoga tu , Rhoda
Kilangazi, [19.01.16 11:10]
Naona bado watu wanaongezwa, ila kule mwanzo wadau tulikuwa active sana
Rhoda Mbowe, [19.01.16 11:10]
Hivyo niwe mpolee
Rhoda Mbowe, [19.01.16 11:11]
Yes Kilangazi. Huku kumepoa
Mercy Katabi, [19.01.16 11:12]
Wengi hawaijui hii, hadi waidownload, wengine sim zao zinasumbua kudownload hii app. Taratibu
mambo yataenda sawa tu
Kilangazi, [19.01.16 11:12]
Naona watu bado wanaogopa nyumba mpya hii ngoja harufu ya rangi ipungue patakokwa moto chakula
kitapikwa na kitaiva , Subira yavuta heri
Rhoda Mbowe, [19.01.16 11:13]
👏👏👏
Mercy Katabi, [19.01.16 11:13]
Kabisaa
Erick, [19.01.16 11:22]
Hhhhh
Erick, [19.01.16 11:23]
Yaani mwenyewe kule nilipazoea🙈🙈
Mussa Nyauga, [19.01.16 11:24]
Tuendelee kusubiri
Dickson Kigwa, [19.01.16 11:41]
Where are admins?? We're all most 83 members. .. nashauri ili kundi lisipwaye, tuendelee trtb huku
wengine wakiongezwa kadiri muda unavyokwenda
Amedeus Arbogast, [19.01.16 11:46]
Ni kweli Dick nimewaza had kujitoa maana sioni ishu yoyote day 3 now
Mussa Nyauga, [19.01.16 11:48]
Admins tupe muongozo itatusaidia.
Dickson Kigwa, [19.01.16 11:55]
Ngoja tusubiri watawala waje hapa kundini. Nadhan they ll give a way forward
Mussa Nyauga, [19.01.16 12:00]
Subira nafikiri inahitajika bado ni mapema muitikio huu wa watu inaonyesha Somo husika lina hitajika
kiasi gani katika jamii ya watanzania wahusika For sure I pray for you MUNGU awatumie kutimiza kusudi
la MUNGU.
Mercy Katabi, [19.01.16 21:10]
Welll said, Nyauga
Mercy Katabi, [19.01.16 21:11]
Morning watu wa Mungu
Agness Luhende, [19.01.16 21:49]
Morning all
Manovaa, [19.01.16 22:06]
Mrn!! Wazma!??
Tina Boaz, [19.01.16 22:15]
Morning everyone
Mkumbo Kingu, [19.01.16 22:16]
Tuko vzr!
Linda, [19.01.16 22:17]
Morning
Mussa Nyauga, [19.01.16 22:26]
Oh good good glory to GOD.
Cecilia Julius, [19.01.16 22:29]
Morning pipo
Mussa Nyauga, [19.01.16 22:30]
Morning
Erick, [19.01.16 22:48]
Morning wapendwa
Erick, [19.01.16 22:48]
Patachangamka tuu hadi mtanunua power bank 😃😃😃
Tumaini Magambo, [19.01.16 22:50]
Shalom
Nick Shaboka, [19.01.16 22:50]
Shalom. Mtusamehe kwa ukimya tulikuwa tunachelea ili watu wafike japo 100 coz nondo za waalimu ni
za kipekee ndio maana tukahamia huku ili hazina hii isiwe kwa wachache. But kama mnaona panaboa
tutaanza na hawa waliopo.
Tumaini Magambo, [19.01.16 22:50]
Pastor kindly add my husband Ray Magambo 0755 244741
Heavenlight Sam, [19.01.16 22:50]
Amen Pastor
Sheky Wa Anna, [19.01.16 22:52]
Shalom
Nick Shaboka, [19.01.16 22:52]
Wapendwa nimeandika hii msg mara nyingi kwamba mtu akishajiunga Telegram anitumie msg kupitia
telegram inakuwa rahisi kumuingiza humu
Sheky Wa Anna, [19.01.16 22:53]
Tusubiri idadi iliyopangwa ifikie
Erick, [19.01.16 22:54]
Kwa kufafanua zaidi no kua MTU asitume namba ili aadiwe humu...jiunge na telegram then text pastor
Nicky...
Nick Shaboka, [19.01.16 22:55]
Thank you Mr. Eric
Erick, [19.01.16 22:56]
So @tumaini kindly tell hubby ajiunge telegram then atamwona pastor Nicky...akimtext tuu basi
ataadiwa humu
Nick Shaboka, [19.01.16 22:56]
Ukifuata maelekezo kama Mwalukasa na Christina mambo yanakuwa rahisi
Erick, [19.01.16 22:57]
The easiest way hakikisha kwanza ume save number ya pastor Nicky ili ukijiunga tuu
telegram..utamwona fastaaaa ka mvua ya leo
Erick, [19.01.16 22:57]
Barikiweni
Mussa Nyauga, [19.01.16 22:59]
Wa mabondeni
Tumaini Magambo, [19.01.16 23:01]
Thanx...sory nilikuwa mgeni...bless u
Erick, [19.01.16 23:03]
Usijali...kubwa ufanikiwe...hope umeelewa lakini eti eeeh
Tumaini Magambo, [19.01.16 23:03]
Yes...thanx
Erick, [19.01.16 23:03]
Bless u
Tumaini Magambo, [19.01.16 23:04]
🙏
Patricia Eddie, [19.01.16 23:25]
😊😊
Rose Shaboka, [20.01.16 02:52]
Poleni kwa ukimya we are working to put everything in place. Unfortunately tumegundua kuna watu
hawako huku na spouses wao while requirement ya kwanza tuliyokubaliana ili uwepo kwenye hili darasa
lazima uwe na mwenzako. Kule watsup kila mtu alikua na mwenzake. Naomba kama mwenzako hayuko
humu jitahidi kumuhimiza ajiunge kama ana simu unless kama ni kati ya wale mlioniambia mnatumia
simu moja. Pastor Saliboko na mke wake leo jioni wataanza kutufundisha NINI MAANA YA NDOA NA
TUKO KWENYE NDOA KUFANYA NINI, TUTEGEMEE KUKUTANA NA NINI NDANI YA NDOA NA MUNGU
ANATEGEMEA TUFANYE NINI NDANI YA NDOA ili tujue tulitumbukia kwenye kitu cha namna gani Kwa
sababu kuna watu wako ndani ya ndoa na hawajielewi.
Rose Shaboka, [20.01.16 02:57]
Hatujafika mia kwa sababu kuna watu walikua kule watsup huku hawapo. Some couples are missing.
Tutakua na Pastor Philip na mke wake kuanzia jioni Leo mpaka kesho saa nne usiku wakitufundisha na
sisi tukiuliza maswali na kuchangia na watashirikiana na walimu wengine kutujibu halafu kuanzia saa nne
na nusu usiku kesho tutaanza Somo lingine na walimu wengine. Hivyo kama una maswali au lolote
ambalo utataka kulisema tutakapokua tukizungumza topic Fulani uliseme wakati huo topic hiyo
itakapokua inazungumzwa tukiingia topic nyingine usiturudishe nyuma tena. Mbarikiwe
Ephraim Kivuyo, [20.01.16 02:57]
Asante sana,we are waiting hizo nondo
Rhoda Mbowe, [20.01.16 02:59]
Cant wait
Patricia Eddie, [20.01.16 03:02]
Mbarikiwe sana walimu wetu...tupo pamoja
Gerald Bethold, [20.01.16 03:05]
😋👍👆👆
Asante Mbowe, [20.01.16 03:07]
🙏🙏🙏
Cecilia Julius, [20.01.16 03:09]
Nasubiri ..asante
Heavenlight Sam, [20.01.16 03:16]
Kwa sie wageni
Joyce Dyamo!, [20.01.16 03:17]
🙏
Tina Boaz, [20.01.16 03:17]
Asanteni sana
Heavenlight Sam, [20.01.16 03:17]
Tutaanzia wapi?cz naona tumepitwa na mengi huko whatsapp
Erick, [20.01.16 03:41]
@heavenlight ndo tutaanza leo
Erick, [20.01.16 03:41]
Hujachelewa at all
Apolkarpi Peter Kanje, [20.01.16 05:24]
🙏🙏🙏🙏 ubarikiwe sana, tumeshajiandaa kwa somo husika
Heavenlight Sam, [20.01.16 05:58]
Asante kwa kunijuza Erick
Patricia Eddie, [20.01.16 06:42]
Karibu kaka.Raymond
Lulu Masalu, [20.01.16 06:46]
Asante tunasubiri somo
Raymond, [20.01.16 07:01]
Asante Patricia
Agness Luhende, [20.01.16 09:14]
Waiting
nelson emmanuel, [20.01.16 09:19]
Hi
Mwalukasa, [20.01.16 09:23]
Kuna somo Leo?
Apolkarpi Peter Kanje, [20.01.16 09:30]
Darasa la leo linaanza saa ngapi??
Meshack Mushi, [20.01.16 09:33]
Mpaka sasa No. Cyo mbaya tuko 88. Da Rose ningeshauri zile taratibu za hili Group ziwekwe mapema
ili kufanya members Kuparticipate freely.
Anna Kasebele, [20.01.16 10:17]
Amen tunasubiri
Rose Shaboka, [20.01.16 10:37]
The class is about to start everybody Av just communicated na wachungaji wanaotufundisha Leo ndio
wametoka kanisani they had service. Mtulie kidogo. Meshack mbona nilishaweka kaka ni kama zile zile
za watsup
Samora Mwakalindile, [20.01.16 10:38]
Amina
Rhoda Mbowe, [20.01.16 10:39]
🙏🙏
Tina Boaz, [20.01.16 10:57]
Asante sana. Naomba iwapo inawezekana hizo taratibu zingewekwa tena huku maana wengine
hatukuwepo Whatsup. Rose, would you kindly assist on that
Rose Shaboka, [20.01.16 11:27]
I will Tina thanx
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:33]
Wapendwa wote - naomba kujitambulisha - Mimi ni Mchungaji Na Mrs. Phillip Saliboko. Ni Mmoja Kati
ya wachungaji wasaidizi wa Kanisa la Winners Chapel Banana Ukonga Dar Es Salaam. Ki kazi nafanya
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini - RITA , Kama Mtendaji Mkuu Wa Wakala. japo kwa sasa nimekuwa
kwa likizo ndefu nikishughulikia mambo ya kikazi.
Erick, [20.01.16 11:35]
Karibu sana mama
Anna Kasebele, [20.01.16 11:35]
Karibu sanaa
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:36]
Tumepata kibali cha Kuanza somo la kwanza kwa Leo na naamini kwa msaada wa Roho Mtakatifu basi
naamini utaweza kusoma na kupata jambo moja Au mawili ya kusaidia katika ndoa.
Agness Luhende, [20.01.16 11:36]
Karibu sana Mama
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:36]
Jamani ninaye andika si MAMA Bali ni Baba
Erick, [20.01.16 11:37]
🙈...
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:37]
Siri moja ya masomo Au mafundisho haya usichoke kusoma - yana maana sana..
Erick, [20.01.16 11:37]
Barikiwa pia na karibu baba
Agness Luhende, [20.01.16 11:37]
Oooooh! Karibu Baba
Anna Kasebele, [20.01.16 11:38]
Aya Mchungaji tupo tayari
Sheky Wa Anna, [20.01.16 11:38]
Aya Mchungaji tupo tayari
Miriam Mallya, [20.01.16 11:38]
Karibu sana Mt, nipo tyr kupokea.
mama bryton, [20.01.16 11:39]
Tujitahidi kusoma tuikoment wakati anaandika ili kurahisisha mtu atakaposoma asome ktk
mtiririko mzuri
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:41]
Kwa ufupi Mimi na mke wangu tuna ndoa ya Miaka 17 na kabla ya hapo tulikuwa tumefahamiana na
mke wangu kwa Miaka 3 - sasa naenda kwenye masomo ambayo nitaweka kwa lugha ya kiingereza
kidogo
Ephraim Kivuyo, [20.01.16 11:45]
Karibu baba tupo tayari kujifunza
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:49]
Introduction:
Marriage is The legal union of a man and woman as husband and wife. It is the foundation for the family,
because until it is in place, there can be no family. A family is a social group
in society, consisting of a man and woman and their offspring.
Marriage is meant to be exciting. If yours has lost its excitement, God can impart His joy and goodness
into it once again. He can make something special out of your home.
Mercy Katabi, [20.01.16 11:50]
Following...
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:51]
I pray that the Lord turns your marriage once again an exciting one in Jesus name!!
Ephraim Kivuyo, [20.01.16 11:51]
Amen
Mercy Katabi, [20.01.16 11:51]
Amen
Edna James, [20.01.16 11:51]
Amen
mama bryton, [20.01.16 11:51]
Amen
Asante Mbowe, [20.01.16 11:52]
Amen
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 11:52]
Let's see another dimension of definition :
Marriage is a covenant relationship. It is not just the coming together of a man and woman for the
purpose of procreation. Although having children is one of the blessings of marriage,
marriage means much more than that. Some other people think marriage is merely co- habiting with
someone of the opposite sex. Again, this perception is wrong, as marriage
goes beyond that. Marriage is a Covenant.
Aneth Charles, [20.01.16 11:53]
🙏🙏🙏🙏
Agness Luhende, [20.01.16 11:54]
🙏🙏☝️
Ephraim Kivuyo, [20.01.16 11:55]
👏👏👏
Edna James, [20.01.16 11:55]
How and when is that convenant entered?
Meshack Mushi, [20.01.16 11:55]
👂@ covenant
Rehema Josiah, [20.01.16 12:02]
👂�👂�
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 12:03]
What s A Covenant?
A covenant is a bond. It is also a formal sealed agreement or contract with witnesses. God is the
principal witness, while the people present are the cloud of witnesses.
A covenant is quite different from a promise. A promise is a declaration assuring that one will or will not
do something; a vow. There are no conditions attached to it, unlike the covenant.
The covenant of marriage is two-sided. It is both horizontal and vertical. It is horizontal
because it is between the man and his wife. Both of them must understand and obey the terms of the
covenant.
The marriage covenant is also vertical in nature because it is between God and man (husband and wife).
God's own side of the covenant is constant and settled. God is not more
faithful in one marriage than another. He is no respecter of persons. What He does for one, He will do
for another (Acts 10:34).
Many people get into marriage without understanding that it is a covenant. Instead, they keep wishing
that it will become glorious. But because they have not fulfilled their own side of the deal, they never
taste the glory in it.
In our years of marriage my wife and I , have truly enjoyed the glory in marriage!
Your spouse is not just a bedmate or a friend, but is the "wife of thy covenant" (Malachi 2:14). In
essence, you are in a covenant relationship with him or her. But this applies only to husband and wife.
The marriage covenant only comes into force when you are legally joined together with your wife or
husband in marriage. And because it is a covenant, you are expected to keep and not break it. You are
made in God's image, and He is faithful to His covenants, He
never breaks them. He said in Psalm 89:34:
My covenant will I not break, nor alter the thing that is gone out of my lips.
Ephraim Kivuyo, [20.01.16 12:07]
This is powerfull
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 12:09]
Malachi 2:15 says : Malachi 2:15 KJV
[15] ".......Therefore take heed to your spirit, and let none deal treacherously against the wife of his
youth."
The word "treacherous" means deception. God is saying, therefore, "Don't deal deceptively with your
wife or husband." In some marriages, the man plans mischief against the woman,
and she in turn looks for ways of robbing and cheating him. But that is ridiculous, because whatever you
do against your spouse, you are indirectly doing against yourself!
Some people betray their partners to their extended families or friends. A traitor is the same as a
treacherous man. I have seen people who betrayed their spouses and were also betrayed. Remember
that the law of seedtime and harvest is still in force. What you sow is what you reap (Genesis 8:22)!
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 12:10]
I hope you have learnt something for today - tomorrow I will take you through "Characteristics Of The
Marriage Covenant"
Sheky Wa Anna, [20.01.16 12:10]
Amen thanj you...
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 12:10]
Kama una maswali na comments mbalimbali Karibu sana !!! But keep your eyes and ears open for
more!!!
Editha Ndesu, [20.01.16 12:12]
Thnx u phillip
Ephraim Kivuyo, [20.01.16 12:12]
Thank u an' be blessed mafundisho mazuri sana
Anna Kasebele, [20.01.16 12:13]
Amen thanx
Nick Shaboka, [20.01.16 12:19]
Thank you Pastor Phillip for taking your time to help us. May Jehovah richly bless in blessing.
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 12:20]
Amen and amen!!
Agness Luhende, [20.01.16 12:23]
Thanks Pastor for the class, mafundisho mazuri. Tunategemea zaidi kujifunza. Ubarikiwe na Mungu
akutie nguvu
Nick Shaboka, [20.01.16 12:24]
Friends we have 6 minutes to close the chapter for tonight so we can fellowship with our spouses. We
will proceed tomorrow.
Nick Shaboka, [20.01.16 12:27]
[ Photo ]
Nick Shaboka, [20.01.16 12:27]
Remember to pray with your wife/husband. Grace be upon you.
Asante Mbowe, [20.01.16 12:28]
Amen
PAULINA RICHARD, [20.01.16 12:29]
Amen
Tumaini Urio, [20.01.16 12:44]
Amen
Gerald Bethold, [20.01.16 12:45]
Mungu awabariki sana watumishi, huduma hii ni kubwa sana na haitapita bure.
Mungu atafanya jambo kwa pande zote, kwetu wafundishwa nanyi wafundishaji pia.
Mbarikiwe na usiku mwema
Anna Kasebele, [20.01.16 12:48]
Amen
Stella N, [20.01.16 12:48]
Amen
Happy Israel, [20.01.16 12:58]
Amen
Nick Shaboka, [20.01.16 13:09]
Thank you brethrens. We love you and wish you marriages to lust.
Nick Shaboka, [20.01.16 13:09]
*Last
Nick Shaboka, [20.01.16 13:10]
Sorry (Smartphone typing error.
Mwalukasa, [20.01.16 13:20]
Amen, very helpful teachings
Mwalukasa, [20.01.16 13:23]
......wife of thy covenant ( Malachi 2:14)
Mwalukasa, [20.01.16 13:24]
May the Word of God be the only truth in our hearts
Nick Shaboka, [20.01.16 13:26]
Amen
Mwalukasa, [20.01.16 13:40]
I love this statement from your teachings pastor....I am God's image, He is faithful in His covenants and
so I am also faithful in mine. I am confessing it and confession is commitment. You are blessed pastor.
Mwalukasa, [20.01.16 19:24]
From your teachings sir ..........God is saying, therefore, "Don't deal deceptively with your wife or
husband."
Heavenlight Sam, [20.01.16 20:05]
[In reply to Nick Shaboka]
Waoo what a bless full start
Ubarikiwe Mtumishi
Heavenlight Sam, [20.01.16 20:08]
Thank you for the introductory part Pastor Phillip
Hope we follow n really understand more what to do
Rose Shaboka, [20.01.16 20:36]
Pastor Phillip am touched..
My observations:
#Marriage is a LEGAL UNION (that is God knows, the government knows, my parents knows, my in laws
and the world knows) that my spouse is legally mine and mine alone so anything that has to do with him
I must be involved. No body has the right to do anything with my spouse without my consent, and in
case of the devil's devices to take him from me bila ruhusa yangu Nina haki ya kumdai mbele za Mungu
na kisheria kwa sababu ni wa kwangu kihalali na akarudishwa.........
#Marriage is a COVENANT.
not a CONTRACT. A covenant is UNBREAKABLE, UNSTOPABLE, and as long as the two people who
entered that covenant lives that covenant holds until one of them DIES not until one of them travel for a
long time, can not give birth to children, loose a job/business,etc. Only death can break the covenant
nothing else..
#Couples should not deal deceptively with each other (Hapa Mungu atusaidie wengi)...Wapo couples
wanawasema vibaya wake zao kwa Ndugu zao yaani unakuta mwanaume anaungana na ndugu zake au
rafiki zake kumsema au kuwa against na mke wake aliyemuoa na kumchagua mwenyewe(that's the
biggest weakness a man can show) na wapo wanawake wanafanya hivyo hivyo na mwanaume anaishia
kudharaulika.....Wapo couples unajua kabisa mke/mume wako hana urafiki na watu Fulani kwa sababu
labda ya tabia Fulani walizonazo na pengine amekuonya usihusiane nao lakini wewe hujali hao hao ndio
rafiki zako na wakati mwingine ndio pamoja mnamsema mke/mumeo. Oneness Iko wapi kwenye ndoa
ya namna hiyo? Wengine wanafichana mapato, assets walizonazo, marafiki walionao etc. Hiyo yote is to
deal deceptively with your spouse....
#God is no respector of man hapendelei wala hahongeki kile ambacho amefanya kwenye ndoa ya Pastor
Saliboko anaweza kufanya kwenye ndoa yangu kama na sisi tutafanya sehemu yetu ya agano
tuliloingia...
NAPONA...Pastor asante
Rose Shaboka, [20.01.16 20:38]
Malachi 2:15 says : Malachi 2:15 KJV
[15] ".......Therefore take heed to your spirit, and let none deal treacherously against the wife of his
youth."
The word "treacherous" means deception. God is saying, therefore, "Don't deal deceptively with your
wife or husband." In some marriages, the man plans mischief against the woman,
and she in turn looks for ways of robbing and cheating him. But that is ridiculous, because whatever you
do against your spouse, you are indirectly doing against yourself!
Some people betray their partners to their extended families or friends. A traitor is the same as a
treacherous man. I have seen people who betrayed their spouses and were also betrayed. Remember
that the law of seedtime and harvest is still in force. What you sow is what you reap (Genesis 8:22)!
Rose Shaboka, [20.01.16 20:39]
☝️☝️☝️
Rose Shaboka, [20.01.16 20:39]
Imenigusa
Rose Shaboka, [20.01.16 20:50]
Mimi najifunza sana oneness kwa Pastor Saliboko na mke wake kwa sababu wamekua role models wetu
kwa muda mrefu. Huyu Baba hafanyagi kitu chochote bila kumshirikisha mke wake hata kama ni ushauri
umeomba lazima amshirikishe Mama wakushauri pamoja. Hata kama ni pesa hakuna shilingi inatoka
mfikoni kwake Mama hajaauthorise. Na huyo mama hakataagi kusaidia mtu. Wanaume wangapi humu
can do that? Lakini wanawake wangapi humu wanaweza kuwa na moyo kama wa Mama Saliboko wa
kukubaliana na Mume na kusaidia kwa sababu tupo wengine tunajulikana ni wachoyo hata mume
akikushirikisha utakataa kusaidia baba anaamua kufanya vitu mwenyewe tu bila kukushirikisha
Rose Shaboka, [20.01.16 21:05]
Nina swali, Pastor umesema marriage is the foundation for the family, because until it is in place, there
can be no family.....
Je kama kuna watoto wengine pengine one of the spouse let's say mke alizaa na mwanaume mwingine
kabla ya ndoa kisha akampata huyu aliyenaye huku kwenye group akaolewa nae na kufunga ndoa je yule
mwanaume wa kwanza aliyezaa nae does she count him as her family kwa sababu amezaa nae? Ama
familia ni hii ya mume wake wa ndoa tu?
Rose Shaboka, [20.01.16 21:07]
Kwa sababu wapo spouses anahesabu past relationship zake ni familia yake simply because kuna watoto
walizaliwa huko. Is that right?
Erick, [20.01.16 21:25]
Morning family
Erick, [20.01.16 21:26]
Barikiwa mch..nimejifunza kwakweli
Erick, [20.01.16 21:26]
Da rose sijui naweza changia kwa swali lako tho the QN sio langu?
Erick, [20.01.16 21:29]
Navyoelewa Mimi ikitokea kwamba 1 spouse anamtoto aliempata b4 marriage..sudhani kama huyo
mzazi mwenzake ni family... Ambae ni family ni huyo mtoto tuu..maana kwa kurudi kwenye
fundisho juu..family ni pale 2 pipo man n woman legally married and has a covenant b4 God
Erick, [20.01.16 21:30]
Ndo navyozani..hope wengine watachangia
Asante Mbowe, [20.01.16 21:30]
[ Audio ]
Agness Luhende, [20.01.16 21:39]
Thanks Pastor nimeguswa na mafundisho sana
Rose Shaboka, [20.01.16 21:45]
Asante kwa jibu Erick nimekuelewa
Neema Mathias, [20.01.16 21:53]
Mafundisho mazuri sana..Be blessed Pastor.
Agness Luhende, [20.01.16 22:25]
Thanks da rose kwa maelezo pia, I am touched kwa kweli.
Agness Luhende, [20.01.16 22:25]
Be blessed all
Gerald Bethold, [20.01.16 22:28]
Asanteni sana kwa mafundisho mazuri.
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 22:32]
Namshukuru Mungu- Sifa Kwa Bwana. Asante Erick Kwa ufafanuzi Kwa Rose.
Tina Boaz, [20.01.16 22:39]
Praise God
Phillip SALIBOKO, [20.01.16 22:39]
[In reply to Mwalukasa]
This is powerful and we need to be careful we don't deal deceptively!! Imeharibu ndoa nyingi sana
Tina Boaz, [20.01.16 22:41]
I am happy and I have got good learning points especially about oneness
Mwalukasa, [20.01.16 23:23]
Amen
Anna Kasebele, [21.01.16 00:08]
Amen nimebarikiwa sana
Anna Kasebele, [21.01.16 00:08]
Amen nimebarikiwa sana
Mussa Nyauga, [21.01.16 00:16]
.
Nimepata kitu barikiweni sana
Mercy Katabi, [21.01.16 00:45]
Ubarikiww pastor for the teachings... Oneness nimeielewa hapa
Aneth Charles, [21.01.16 00:46]
Nimepata vingi mbarikiwe watumishi wa Mungu
Happy Buretta, [21.01.16 01:37]
Pastor nimebarikiwa na nimejifunza jambo
Kilangazi, [21.01.16 02:15]
Thanks kwa mwanzo mzuri wa somo
Sylvia Kimambo, [21.01.16 02:32]
Am blessed sana sana
Linda, [21.01.16 04:06]
Whatever u do against ur spouse, ur doing that against itself.
Linda, [21.01.16 04:07]
👆👆👆👆👆 point noted. I like it.
Linda, [21.01.16 04:08]
Against urself(point of correction)
Dickson Kigwa, [21.01.16 08:12]
Powerful teaching by Pastor Saliboko
Mwalukasa, [21.01.16 08:34]
Sorry. Ratiba ya mafunzo imekaaje?
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 10:33]
Bwana Asifiwe- Wapendwa je mko tayari tuendelee na somo?
Dickson Kigwa, [21.01.16 10:34]
Krb pastor
Miriam Mallya, [21.01.16 10:34]
Amina Mt, karibu
Ephraim Kivuyo, [21.01.16 10:39]
We are read Pastor karibu
Rose Shaboka, [21.01.16 10:42]
Endelea Mchungaji. Nikumbushe tu darasa linakua usiku kwa sababu baadhi ya walimu wetu usiku ndio
wanapata muda wa kukaa kutuandikia namekitufundisha. Niombe wale wenye nafasi mchana ndio
muda wenu wa maswali na kuchangia. Nirudie pia nilichowahi kusema watsup wasiochangia, kuuliza
swali au kushiriki kwa vyovyote kias kwamba hatuelewi huoni mafundisho, huelewi au vipi tutawatoa.
Tufunguke ili sote tujifunze
Erick, [21.01.16 10:44]
☺️☺️
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 10:44]
Today we proceed with our lesson and I promised we will look into Characteristics of The Marriage
Covenant
Erick, [21.01.16 10:44]
Ameen
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 10:46]
Just to comment briefly as Mtumishi Rose has said - we are in fasting and prayers period so we have late
prayers and we can only type in the nights. Naamini walimu wengine wataweza kufundisha time bora za
mchana. Amen. Nivumilieni tu.
Nick Shaboka, [21.01.16 10:48]
Umeeleweka Chief @Pastor Saliboko
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 10:50]
Characteristics Of The Marriage Covenant
1. It is written
A marriage covenant is a formal declaration, usually written and having witnesses. In Malachi 2:14, we
see that God is the principal witness in the marriage covenant.
There is also the need for you to put your commitment down in writing, by having a
marriage certificate, which makes it legally binding. To the woman, let me say this: if you
are married and do not have a marriage certificate to prove that you are legally married, make sure you
get one, as this will enable you to enter into a proper covenant.
Happy Wales, [21.01.16 10:55]
Amen, karibu
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 10:56]
2. It Should Not Be Broken
The marriage covenant should not be broken. God is a covenant keeper, not a covenant breaker (Psalm
89:34). As His children, therefore, husband and wife should be covenant keepers, not covenant
breakers. An important characteristic of the marriage covenant is that it is meant to be for life.
The wife is bound by the law as long as her husband liveth; but if her husband be dead, she is at liberty
to be married to whom she will; only in the Lord.
Corinthians 7:39
The covenant of marriage is in force as long as both parties (the man and the woman) are
still alive. There is no room for divorce. Divorce is not a good experience. Only those who have
experienced it can tell the experience. I consider it as marital amputation. You must do all within your
power to avoid it.
Even though God is a God of second chance, it is better to avoid divorce than to experience it. Divorce is
like a shoot-out between siamese twins. No matter what happens, both partners become casualties.
Once you are married, the question of separation should not arise. You must settle it within yourself
that there are no alternatives, no where else to go. By entering into the covenant of marriage, you have
burnt the bridge behind you. This simple understanding will help you
settle down and make your home an exciting place.
So, the covenant of marriage is for life. May be you are married but are contemplating running away
from your home because of the challenges before you now. Hold on a while.
Remember that Malachi 2:16 says that God hates divorce. Particularly if you are a believer, and your
husband or wife is yet to become one. Don't run away, and don't give in to pressure.
You are the light of the world (Matthew 5:14), and light does not run away from darkness.
Rather, it shines in darkness and darkness cannot comprehend it (John 1:5). So, stay put and-ensure that
your light is not put under the bushel, but on the lampstand, so it can shine in your home and shatter
every form of darkness.
The covenant of marriage is meant to be in force till death. In case your spouse has already packed out
and you desire a re-union with him or her, you can go to God and plead your case, instead of rushing out
to re-marry.
Luzzy Boaz, [21.01.16 11:00]
🙏🙏☝️
Ngosha Manuel, [21.01.16 11:00]
Amen
Kilangazi, [21.01.16 11:01]
The covenant of marriage is meant to be in force till death ,Pastor ikitokea kuwa wanandoa hawawezi
kuishi pamoja kutokana na ugomvi uliofikia kuuana, hakuna mapenzi hapo Je hilo agano litadumu kweli?
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:02]
3. Exchange Of Gifts
Another feature which should be in place in a marriage is the exchange of gifts. We see an example of
this in the covenant between God and Abraham. God asked Abraham for Isaac, and Abraham did not
hesitate, neither did he bother about what Sarah was going to say, nor about Isaac's opinion. He knew
he was in a covenant relationship with God and didn't want to break it. And because the covenant
involves the exchange of gifts, he was willing to offer Isaac as a
sacrifice to God (Genesis 22).
When a man is truly in a covenant relationship with a woman, there is nothing he cannot give to her,
and vice versa. As a matter of fact, he or she should not need to ask for a thing;
the partner should always look for ways of blessing his or her spouse.
There is nothing my wife and I cannot give to each other, because we both understand how the
covenant of marriage works.
When two people are in the covenant of marriage, they ought to be committed to the good of one
another. It is, however, amazing to see couples hiding money away from each other.
Some conceal how much they earn, the property they have, etc, from their partner. But such acts reveal
that they do not understand this vital characteristic of the marriage covenant.
Once married, what a couple had before marriage now jointly belong to them. Don't allow material
things to come between you and your spouse. When God created Eve, He brought her to Adam, and the
garden of Eden was given to both of them. So husband and wife, don't
withhold anything from one another. Never play hide and seek with your spouse, if you don't want
shame (Genesis 2:25). Sister Rose was sharing an example of my own marriage yesterday that I hide
nothing from my wife and she equally shares all with me. I am truly blessed!
Sharing in marriage is so important, that God gave only one name to Adam and his wife (Genesis 5:2).
Have you ever wondered why husband and wife bear one name after
marriage? Mr. and Mrs.—— Sharing is the reason.
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:03]
And finally!!!
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:08]
4. It Has A Seal
A covenant is usually sealed with blood and has a token or sign. Noah made a covenant with God in
Genesis 8:20, and offered burnt offerings unto Him. God on His part also set a bow as a token of the
covenant (Genesis 9:13).
In Genesis 17, the seal of Abraham covenant with God was the circumcision of every male child.
Jesus also shed His blood on the cross of Calvary, as a seal of the covenant of salvation. Hebrews 8:6
Just as every covenant has a seal (a seal is among other things, "a confirming token, that which closes"),
the seal of the marriage covenant is sexual intercourse.
The first meeting between husband and wife in marriage involves the shedding of blood, no matter how
little. After this first meeting, subsequent sexual relationship between husband and wife is the "token"of
the marriage covenant.
A man's semen has a microscopic trace of blood in it. Therefore, each time he releases semen into his
wife, his blood is shed, as it were, and life is represented in that union. So, in order not to be a covenant
breaker, never get involved in a sexual relationship with anyone apart from your spouse. Sexual
immorality is dangerous!
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:09]
And .....
5. It Transcends Generations
Once a man and a woman gets married, history is made, and they can never change that lineage.
Generations after them will keep connecting them with that lineage whenever reference is being made
about them.
Men and women in a marriage covenant are expected to observe and apply the above characteristics, so
that their home will last and be the haven it was created to be.
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:10]
I pray to the Lord that whoever reads this and understand - be blessed in your marriage and the Lord
release a new bliss in your marriage!
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:11]
I see the covenant of marriage last forever in Jesus name!!
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 11:12]
Thank you very much Pastor and Mrs. Shaboka for privilege once again you have given me to share
above on marriage covenant. This I believe is a foundation of great marital bliss such as I enjoy. Be
blessed all In Jesus name amen!!!
Asante Mbowe, [21.01.16 11:13]
Amen.
Luzzy Boaz, [21.01.16 11:13]
Amen, and be blessed abundantly pastor
Miriam Mallya, [21.01.16 11:14]
Amen
Ngosha Manuel, [21.01.16 11:14]
Amen, thanks pastor Philip and be blessed for the wonderful lesson
Sheky Wa Anna, [21.01.16 11:15]
Amen amen asante sana kwa somo zuri
Stella N, [21.01.16 11:15]
Amen
Heavenlight Sam, [21.01.16 11:15]
Amen
Ephraim Kivuyo, [21.01.16 11:15]
Ubarikiwe sana Pastor,mafundisho kama hayo ni adimu sana kwa wanandoa,ndoa nyingi sana zitapata
uponyaji kupitia mafundisho hayo,barikiwa sana once again
PAULINA RICHARD, [21.01.16 11:18]
Samahani waanzilishi wa group,wachungaji na wapendwa wote katika hili group nina swali.
Pendo Ayo, [21.01.16 11:29]
Thank you Pastor
PAULINA RICHARD, [21.01.16 11:31]
Mafundisho ni mazuri sana,na lengo n kila mtu ajifunze aelewe sasa sielewi km upande wa lugha
tunaelewana wote vizuri bcoz wengine kingereza hawaelewi vizuri na pengine ikitumika lugha ya
kiswahili wengine hawajui vizuri kiswahili sijui hili mnalionaje.
Cecilia Julius, [21.01.16 11:31]
Thank you Pastor🙏🙏🙏
Mercy Katabi, [21.01.16 11:53]
Ubarikiwe pastor, nazidi kujifunza
Happy Wales, [21.01.16 11:59]
Thank u pastor, be blessed
Aneth Charles, [21.01.16 12:03]
Thank you very much papaa pastor Saliboka
Lilian Protas, [21.01.16 12:04]
Amen.asante sana Pastor kwa mafundisho mazuri.be Blessed
Erasto, [21.01.16 12:06]
Be blessed pastor.
Diamond, [21.01.16 12:07]
Amen Pastor...Mungu azidi kukutumia kwa kazi yake,be blessed
Erasto, [21.01.16 12:16]
[In reply to PAULINA RICHARD]
naamini hoja hii ni ya msingi..ila pia ni imani yangu kuwa litapata ufumbuzi ktk siku za usoni.
Neema Mathias, [21.01.16 12:18]
Amen Pastor..Thanks kwa somo zuri.
Anna Kasebele, [21.01.16 12:26]
Amen asante sana pastor kwa somo zuri...ubarikiwe sana
Erick, [21.01.16 12:30]
Wow...
Erick, [21.01.16 12:30]
Point ya blood covenant in marriage
Erick, [21.01.16 12:30]
Skua nimeipata inakuaje
Erick, [21.01.16 12:30]
Be blessed kwakweli
Agness Luhende, [21.01.16 12:31]
[In reply to Phillip SALIBOKO]
Amen Pastor
Asante Sana Pastor kwa mafundisho haya mazuri, hakika ndoa zetu zitapoa. Be blessed
Rose Shaboka, [21.01.16 12:43]
Pastor Philip barikiwa sana sana. Mimi napona. Walimu wetu wakwanza wanaishia hapo kwa sasa na
next time itakapokua Zamu yao tena wataendelea walipoachia mpaka tuelewe ndoa ni kitu gani.
Niwakaribishe walimu wetu wa topic ya pili UCHUMI NDANI YA NDOA ambao ni Pastor Denis&Lulu
Masawe walioko Marekani......walimu wetu KARIBUNIIIIII
Rose Shaboka, [21.01.16 12:50]
Mjifunze kwa makini baadae kuna mtihani.
Rose Shaboka, [21.01.16 12:51]
Erick na Kilangazi maswali yenu yatajibiwa am noting them
Rose Shaboka, [21.01.16 12:53]
Paulina kama kuna ambaye hajaelewa popote sababu ya lugha atatuambia lakini kwa sasa tutatumia
lugha zote mbili kiswahili na kiingereza
Dennis Massawe, [21.01.16 12:53]
Bwana asifiwe watu wa Mungu. Kwa majina sisi ni Mch. Dennis na Lulu Massawe na tutakuwa pamoja
nanyi katika kuboresha ndoa zetu. Asante wachungaji Nick na Rose Shaboka kwa maono haya na Mungu
awabariki sana.
Tungependa kuwaarifu kwamba mfumo tutakao tumia ni wa kila moja wenu kuchangia hoja kwenye
somo au mada. Kila moja wetu anakitu ambacho tunaweza kujifunza na kuboresha ndoa. Mbali na kutoa
somo, sisi tutakuwa waratibu wa mazungumzo au malumbano ya kuleta msisimko katika mada kwa
lengo la kujifunza, kufurahia, kuchekesha, na la msingi kujifunza.
Kwa kuanzia: Angalia kideo cha Marriage and Money ambayo ni dakika kama 4, kisha download
Marriage Money Matters Icebreaker pdf file yenye viswali vidogo vya kutufanya tutafakari....Baada ya
hayo; tutaanza darasa na hoja mbali mbali kama tutakavyo ratibu.
http://theflic.org/resource6.html
Tafadhali usisite kuuliza kama unahitaji ufafanuzi zaidi.
Leonarda Erick, [21.01.16 13:02]
Amen pastor. Barikiwa
Rose Shaboka, [21.01.16 13:02]
Pastor Masawe asante mnoo naomba haka kalink mkatupie na ile group ya watsup tudownloadie kule
wengine kuidownlodia hapa hivi visimu vyetu inagoma....
Me, [21.01.16 13:06]
Done!
Asante Mbowe, [21.01.16 13:08]
🙏🙏🙏
Rose Shaboka, [21.01.16 13:10]
Kila mtu ajitahidi kufanya hiyo assignment tuliyopewa hapo juu walimu wetu watakapoingia kesho saa
nne na nusu asubuhi tusichapwe
veronica m mwita, [21.01.16 13:14]
Samahn, lugha ndo ngum sana mpendwa , hakuna transltn
Me, [21.01.16 13:16]
Usijali! Mradi umeonyesha effort ya kufanya homework uko sawa. Discussion tutatumia Kiswahili humo
ndani. Tutakuwa pamoja. Tunavyoendelea tutapata wasaidizi wakukalimani. Tuvumilie mpendwa.
Raymond, [21.01.16 13:29]
Thank you Pastor Phillip SALIBOKO. Am truly blessed.
veronica m mwita, [21.01.16 13:44]
Thank u jesus for healing, b blessed!!!!!!
Dennis Massawe, [21.01.16 14:16]
Taarifa: Kwa wale wanao hitaji tafasiri ya maswali ya Chemsha Mada; tafadhali rejea link
http://theflic.org/resource6.html
na utapa iliyotafsiriwa kwa ajili yako.
Me, [21.01.16 15:13]
Tafadhali mkiingia kulala tunaomba mmute hili group kwa kuwa tunatofautiana masaa kwetu kunakuwa
mchana, so tunaweza kuwa tukipost ilimkiingia class next day mzikute post. Hatupendi kusumbua
usingizi na mengineyo😃
Kilangazi, [21.01.16 20:04]
Santee, hiyo home work nzuri na itafungua mengi
PAULINA RICHARD, [21.01.16 20:38]
Asanteni
PAULINA RICHARD, [21.01.16 20:39]
Mbarikiwe kwa mafundisho
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 20:40]
Amen namrudishia Sifa Bwana YESU Kwa wale wote mlionipongeza. Amen. 🙏🙏🙏
PAULINA RICHARD, [21.01.16 20:40]
Amen
Editha Ndesu, [21.01.16 20:48]
Mada nzuri sn, barikiwa mno kaka Phillip Saliboko. Ila hujajb swali la ndg yetu kilangazi
Dennis Massawe, [21.01.16 21:18]
Utangulizi:
Somo litakuwa na sehemu nne za mwongozo: 1. Process (Mchakato), 2. Awareness (Mwamko), 3.
Choices (Chaguo), 4. Change (Mabadiliko). Ilitufahamu uchumi katika ndoa, ni muhumu kuelewa
mchakato wa uchumi kama mfumo ambao unabidi kuheshimiwa, na kuelewa mchakato wa malezi,
makuzi, na uelewa wetu wa fedha na tabia zake. Tukiyafahamu haya mawili tutakuwa na mwamko
ambao utaleta mabadiliko ya uchumi kwa kila moja binafsi na kisha katika ndoa kwa ujumla.
Siyo wote, wamekulia kwenye maadili yanayo funidisha tabia za fedha sambamba na uchumi binafsi.
Kwa hivyo ndoa chache sana zina mume na mke ambao wote kibinafsi wana upeo na ufanisi katika
kuelewa fedha na uchumi kabla ya kuja pamoja katika taasisi ya ndoa.
Ieleweke ndoa ni taasisi ambayo ina sekta ya fedha, na ni mfumo wa uchumi ambao unajitegemea
wenyewe. Hivyo basi, iwapo ndoa ni taasisi iliyo teuliwa na Mungu, mume na mke ni mawakili
(stewards) katika taasisi ya ndoa. Paulo katika (1 Corinthians 9:17 ) anasema ni jukumu na niwajibu
anatekeleza. Neno la kiingereza “stewardship” halina tafasiri ya neno moja katika Kiebrania na kigiriki.
Katika lugha ya Kigiriki ni “Oikonomia” ambapo tunapata neno la Kiingereza “Economy.” Tafasiri yake
katika mazingira (context), na viasilia vyake (cognates) kwenye andiko hili - 1 Corinthians 9:17 )
vinajumuisha: Usimamizi (management), Utawala (administration), Ofisi (office), Commission (tume), na
mpango (plan). Kimsingi, neno “Economy” linatokana na lugha ya Kigiriki ambayo kwayo agano jipya
limetafsiriwa. Hili neno “Oikonomia” lina undwa na neno “Oikos” ambayo ni “household (kaya kwa
Kiswahili)” na “nomos” ambayo ni “governance (utawala).”
A. Sehemu ya kwanza ya mwongozo wa somo: Process (Mchakato):
Kwa kifupi sana; uchumi wa ndoa kimchakato, ni utawala wa uzalishaji bora, usambazaji, na utumiaji
bora, kwa kuzingatia kwa makini madhara ya maamuzi ya kifedha na uchumi wa ndoa kila siku. (It is the
process of good governance in production, distribution, and consumption - while bearing in mind the
consequences of our choices on a daily basis, with regards to finance and economics in marriage.
Wazo la kuchangia hoja: Kwa kufuatilia sehemu ya kwanza (A) - ya mwongozo wa somo (Process /
Mchakato), pamoja na ile assignment ya maswali ya chemsha mada: Je ni eneo lipi katika uchumi wa
ndoa yenu linahitaji kuboreshwa?
Rose Shaboka, [21.01.16 21:51]
Duh hii shule deep sana. Mimi nisaidieni eneo La *management/matumizi ya pesa ndani ya familia/ndoa
linatakiwa kuwaje na linatakiwa kuwaje na kusimamiwa na nani btn the two couples...
*couples mnapopita kipindi kigumu kifedha kiasi kwamba mnaishi from hand to mouth au wakati
mwingine hata kula ni shida how should u handle each other and how do u manage the small u get....
*wakati naolewa/naoa nilikua na ndugu labda nasomesha halafu baada ya ndoa mwenzangu lambda
anabadilika hataki waendelee kusaidiwa au anaona sio wajibu wetu au ni matumizi mabaya ya pesa na
ukiangalia wale ndugu kweli hawana msaada mwingine Mimi niliyekua nawasaidia nifanyeje niendelee
kwa siri au niwaache kama mwenzangu anavyotaka(hii sio sisi ni maswali tu ambayo na sisi tumekutana
nayo)
Dennis Massawe, [21.01.16 21:57]
Maswali mazuri sana, na ni hali halisi katika ndoa nyingi hasa zetu za kiafrika. Sasa tusubiri kidogo
wengine wakichangia kisha tuta yakusanya majibu...hapo sawa?
Ephraim Kivuyo, [21.01.16 21:59]
Darasa zuri sana hili,nina swali,unakuta couples wote mnafanya kazi lakini mshahara wa mume ndo
unafanya kila kitu kwa familia then mke anasema mshahara wake haihusiki kwenye kutunza familia wala
mume hapaswi kujua inakwenda wapi na kufanya kazi gani
Dennis Massawe, [21.01.16 22:21]
Rose: Tumeona tuheshimu walio tangulia kuto hoja na kwa sababu hiyo tutaanza jamvi hili-:).
Dennis Massawe, [21.01.16 22:27]
Najua kama wachungaji mnawakiliisha sauti nyingi: katika mgmt na matumizi ya fedha ni muhimu
kufanya kama team moja, ila kwa kuzingatia ni nani mwenye utaalam au ufahamu wa eneo la fedha na
uchumi. Kwa hivyo makubaliano ni muhimu ukizingatia mafunzo ya Mchungaji Saliboko ya Covenant.
katika kuratibu uchumi wa ndoa kuna maamuzi magumu ambayo yatafanyika wakati mwingine lakini
lazima kuzingatia maagano ya ndoa. Anayefahamu zaidi amsaidie mwenzie kuelewa kwani nyote mna
nia ya kuboresha hali ya fedha au kutatua tatizao.
Me, [21.01.16 22:28]
Praise the Lord Saints!! This is the day the Lord has made let us rejoice and be glad in it.
Statistics ama takwimu zinaonyesha siku hizi divorce rate ni kubwa kati ya Believers marriages kuliko
hata duniani. Na zaidi ya asilimia 50% ya hizo divorce zinasababishwa na shida zilizo na mizizi katika
eneo la Money and Finance. Eneo la fedha ni lakuzingatiwa mno kwa watu tunaomwamini Yesu. Maana
mitego mingi ibilisi ametutegea kama wana ndoa in this area. Kwa hiyo inatupasa kuombea fedha na
kuomba hekima katika kutembea pamoja na ki Mungu in the area.
How can two walk together lest they agree? Amos 3:3
A three strand cord is not easily broken, Ecclesiastes 4:12 yaani Mume-Mke-Mungu wakiwa ukurasa
mmoja juu ya mambo yanayohusu mali zao na fedha basi shetani anakazi ngumu.
Division ndio inafanya kazi ya shetani kuwa rahisi. Tukitambua hilo basi nusu ya safari tumefanikiwa.
Kilangazi, [21.01.16 22:28]
Yaaah ni kati ya masomo nimeyasubiri kwa hamu, Quoted"Oikos, means household, Nomos
Governance.... So means Household governance.." I like it. Kati ya changamoto kubwa Rose kwenye
ndoa ni nani asimamie mfumo wa kiuchumi wa familia, wako kina mama wanadai wao ndo wachumi
wazuri na wako kina baba kadhalika. Maoni yangu ni " ....Maisha ya money management ni tabia
inayojengwa kutokana na malezi na makuzi ya mtu husika....Wako kina mama ambao in rough sana
kwenye matumizi, wanapenda matanuzi na ufahari hata kama kiwango cha maisha hakiwaruhusu, na
matokeo take wanaiingiza familia kwenye madeni makubwa. Kina baba pia wapo wanaopenda
kujionesha kuwa wako juu na maisha ya ufahari mbele ya rafiki zao na wengine kwa kutumia fedha
iliyochumwa na wake zao. Ushauri wangu ni huu, wanandoa tukubaliane ndani yetu tunapojenga taasisi
hii, kama baba/mama unajiona ni dhaifu kwenye matumizi ya fedha mwachie mwenzako asimamie sekta
hiyo, wewe simamia nyingine.. Kuna wengine ukimpa biashara Leo kesho imekufa na bado ana
ng'ang'ania kufanya acha ili afanye yule atakaye istawisha. Ugomvi mwingine ni matumizi ya
mishahara yetu, hapo ndo utawaelewa walio olewa/oa kwa sababu ya kituui, mmh ngoja niwaache
wengine wachangie.......
Dennis Massawe, [21.01.16 22:30]
Vizuri sana Kilangazi.
Me, [21.01.16 22:30]
Inaweza kugeuka uwanja wa ndondi za kiroho tusipokuwa makini.
Kilangazi, [21.01.16 22:31]
🙏🙏🙏
Magreth Tarimo, [21.01.16 22:32]
Madini mazito sana haya mbarikiwe sana walimu
Magreth Tarimo, [21.01.16 22:32]
Naendelea kujifunza
Me, [21.01.16 22:36]
Jana tulitoa assignment ya clip yakuangalia...zoezi lilikuwa kukusaidia ujifahamu wewe binafsi na
mke/mume wako namtazamo wenu juu ya financial education. Kuna walioangalia clip ile akili ikaelekea
kwa mada za baa, unmarried couples, etc etc badala ya kusikiliza nuggets za finance. Tunawapa
changamoto kujifunza "kula samaki" when it comes to information. Hakuna mtu anayepewa samaki
kama ni mzoefu analitumbukiza mdomoni na kumeza na miba yake. Unatoa steak unakula na mifupa
unaiacha. So the point was...take the good and leave the bad😃😃😃 na kujifunza tabia ya kujisomea
binafsi na kama couple on finance and wealth. Utakuta watu wanaenda semina kwa wiki mara tano
lakini kwa mwaka hakuna semina/workshop ya finance hata moja...then we expect to grow...how??
Lazima tuwe intentional na tupange mikakati ya kujifunza juu ya fedha kama ambavyo year on year out
tinajifunza juu ya Biblia na kamwe hatu outgrow.
Nick Shaboka, [21.01.16 22:37]
Najiskia kushusha pumzi. This is deeper than I could ever imagine. I see the couple's healed in this nation
and all over the world.
PAULINA RICHARD, [21.01.16 22:39]
Kwa kweli
Dennis Massawe, [21.01.16 22:39]
Naendelea na swali la Rose: *couples mnapopita kipindi kigumu kifedha kiasi kwamba mnaishi from
hand to mouth. Hili ndilo jaribu ambalo wengi wanashindwa kusimama. Mara nyingi lawama huwa kitu
cha kwanza pamoja na magomvi. Kisha kila mmoja anamwona mwenzie ni adui wake na familia yao.
Katika hali hii, ni vyema kukumbuka kwamba ndoa siyo ya mandugu na wadogo zenu. Bali ndugu na
jamaa wanazingira ndo yeny aidha kwa mema au mabaya. Hivyo basi, ndani mwenu lazima kurejea
kusudi la ndoa na kuanza kurekebisha katika maombi na kujidadisi mbele za Mungu. Jeuri na kiburi ni
kazi ya ibilisi hasa pale ambapo mtu hataki kubadilika au kuambiwa. Makuzi na jadi za familia zetu hazina
nafasi katika taasisi mpya. Mume na Mke mntatengeneza taasisi inayojitegemea katika misingi ya
Biblia. Pakiwa na umoja na toba ya kweli, Mungu ataingilia kati na kuponya. Mafunzo ya pamoja ya
kuboresha uwelewa wa fedha na uchumi ni somo endelezi kwa wote.
Me, [21.01.16 22:40]
Na huo mtihani msipopita mtarudia darasa mpaka ngumbaru👆�👆�😁😁
Me, [21.01.16 22:41]
God is stretching us! Acha kulalamika eti ndefu😃😃 Soma mpendwa...
Beatrice Sawe, [21.01.16 22:42]
Am following! Darasa ni zuri sana. Barikiwa sana watumishi wa Mungu
Me, [21.01.16 22:42]
Changamoto imetoka leo. Usikae unaomba Mungu na huchukui hatua ya kujifunza. Imani bila
matendo???
Asante Mbowe, [21.01.16 22:44]
Kwakweli nashukuruni Sana kwa darasa zuri mzidi kubarikiwa watumishi wa Mungu.
veronica m mwita, [21.01.16 22:44]
👍
Dennis Massawe, [21.01.16 22:45]
Epharaim: unakuta couples wote mnafanya kazi lakini mshahara wa mume ndo unafanya kila kitu kwa
familia then mke anasema mshahara wake haihusiki kwenye kutunza familia wala mume hapaswi kujua
inakwenda wapi na kufanya kazi gani? Hapa mpendwa ni ufahamu wa kusudi la watu wawili kuwa katika
ndoa. Fedha zote zinakuwa kwenye uwazi, matumizi yanawekwa bayana na katika mpangilio wa haja
sana (priority), bajeti inapangwa, na palipo uhaba wa fedha mahitaji mengine kwenye orodha
yanasubiri. Mara nyingi ubanaji unatokana na kutokuaminiana, au makuzi ya jamii na wazazi walio
onyesha mfano na msingi huo. Mswada ni kulijadili na kulifanyia kazi kabla ya shida kuwa balaa na
kuachana.
veronica m mwita, [21.01.16 22:46]
Kwel kabisa
PAULINA RICHARD, [21.01.16 22:48]
Yaan mchungaji umegusa penyewe mm imeniletea shida sana
Kilangazi, [21.01.16 22:52]
Haaaaahaaa shewuuuuuuuu! Wacha nipumue kidogo,
Dennis Massawe, [21.01.16 22:55]
Sehemu ya mwisho ya swali la Rose: mnapokutana na hali za kusaidia ndugu, tumieni mfano wa kwenye
ndege ambapo kukitokea shida hewani, mna agizwa kuchukua chombo cha hewa na kujiwekea wewe
kwanza kabla ya kusaidia mwengine. Kusaidia kukizidi uwezo ni shida. kutokusaidia hata kidogo ni
ukristo. Kufanya kwa siri kukaribisha hila za mwovu kwani ndoa ni maagano. Endapo moja anakuwa
sugu wa kusaidia hali halisi na uwezo unagalipo, basi hilo ni tatizo la ubinafsi na la roho - mwenzie
adumu kwenye maombi na Mungu atamshughulika na huyo aliye na mkono birika. Mara nyingine ni
hofu kwamba pesa zita kwisha - basi bajeti ifanywe na msaada usizidi uwezo. Mara nying ni vyema
kuwasaidi wahitaji kwa mawazo ya muda mrefu. La msingi, meli yako ikiwa inazama, unasitisha uokoaji
wa majahazi mengine - iliukipona, na wengine watapona kwa wakati.
Mwalukasa, [21.01.16 22:55]
Helpful
Mwalukasa, [21.01.16 22:56]
Helpful
Me, [21.01.16 22:57]
Jambo ambalo sisi kama culture hatujafundishwa ni kuwa na wataalam wakutushauri. Yaani mtu anaona
aibu ama kero ama usumbuvu kutafuta msaada wa wataalamu. Huwezi kuniachia Mimi niking'oe jino
kama sio Daktari wa meno! Huwezi kuniachia nikufanyie ipasuaji wa moyo no matter how much I fast
and pray and speak in tongues kama sio Bingwa wa upasuaji!! Wala hutakubali nipambe harusi yako
Kama sio mpambaji-tena unaweza kuhombana na Mimi kabisaaa!! Lakini tunajiamini na finance zetu
ingawa hatuna any formal education Ana knowledge ya personal finance. Hapo ni shida inapoanzia. We
need mentor. Tujifunze pamoja Kama mke na Mume. Hususan waliotangulia na kuona njia...sio kipofu
anamuongoza kipofu😡😡 Tunahitaji hekima za kimbingu, elimu ya ki Mungu na taaluma ya hapa duniani
ili tuwe team moja na tuende in one direction. Sio unan'gan'gana huku hujui unakokwenda. Unabuni
buni tu na kutwa kucha mnabishana utadhani hampendani kimbe ni kukosa middle ground.
Jiulize je time wako kuonana na mtaalam wa personal finance (preferably believer)
Je tuna budget tunayopanga pamoja?
He tunajadili na kuombea personal finance zetu?
Je tukikaa na nyie leo mtatuonyesha in writing 5 year financial goals, 10 years, 20+ ? Au mnamsubiri
Mungu awafanyie homework?
Tukiokoka hatucheck out our brains jamani. Mungu anataka kuzirenew na tuzitumie kufikiria kiMungu!!!
#mwakawakupona
Nick Shaboka, [21.01.16 22:57]
Nadhani kwa mtazamo wangu kuna umuhimu wa kuji-adjust kwenye Ndoa na kujua badiliko la Maisha
kabla na baada ya Ndoa. Mfano, kama kabla sijaoa nilikuwa napata fedha lakini majukumu hayakuwa
mengi kiasi kwamba nikaweza kumlipia kodi ya nyumba mdogo wangu. Leo nimeshaoa na kipato
hakijaongezeka na sasa kuna kulipa ada ya shule ya mtoto wangu. Me nadhani inabidi kubadilisha
priority na kumtaka mdogo wangu ajiongeze ili kumudu maisha yake coz mambo hayawezi kuwa kama
zamani.
Japo couples wengi kwa kuogopa lawama na kuonekana wamebadilika huamua kuingia kwenye madeni
ili kulinda image mbele za watu ambao hawatashukuru. Ni muhimu kusaidia ndugu tena ni jambo la
kimungu lkn sio hekima kukwamisha familia yako (mke na watoto wako) kwa kusaidia mtu mwingine.
Huo ni mtazamo wangu.
Me, [21.01.16 23:01]
Yani Pastor hii issue tatizo ni kwamba inakuwa issue haikujadiliwa na kufikia makibaliano before
marriage. Otherwise inakuwa tatizo. Kama that is the case inabidi kusitisha misaada yooote na kurudi
drawing board hadi kukubaliana. Haina baraka mbele za Mungu kusaidia ndugu bila makibaliano katika
ndoa. Hii pia
Dennis Massawe, [21.01.16 23:04]
Kweli Mchungaji. Kutokuaidia na uwezo upo siyo ukristo. Lawama ni kitu ambacho wana ndoa lazima
wajenge ngozi ngumu ya ushupavu maana hata Mungu analaumiwa. Nakubaliana na Lulu katika kurudi
kwenye drawing board. Kimsingi wanandoa wakipoteza kauli na maagano ya ndoa, ndoa hubadilika
kuwa ushirika wa mafuriko, na hakuna hata baraka na neema ya kujikwamua kwenye tatizo.
Happy Wales, [21.01.16 23:04]
Somo linanibariki, mbarikiwe wachangiaji wa mada
Julius Ngowi, [21.01.16 23:05]
Somo zuri sana
Dennis Massawe, [21.01.16 23:06]
Tusisahau swali la machakato upi tunahitaji kuboresha.
Nick Shaboka, [21.01.16 23:06]
"Ndoa hubadilika na kuwa ushirika wa mafuriko" that's tough👆👆
Cecilia Julius, [21.01.16 23:06]
Yes masomo Haya ni mazuri mno...namshukuru mungu kuwepo APA
Karibu sana husband..
veronica m mwita, [21.01.16 23:10]
Lazima tupone
Agness Luhende, [21.01.16 23:13]
Masomo mazuri, naendelea kujifunza mengi toka kwa walimu
Agness Luhende, [21.01.16 23:14]
[In reply to Dennis Massawe]
Helpful, tutapona wengi
Tina Boaz, [21.01.16 23:16]
Nawashukuru sana, very helpful topics. Masomo yote ni mazuri sana. Hasa kuhusu kuelewa msingi mzuri
sana tuliofundishwa hapa na pastor Saliboko. To my understanding when you know the meaning of
what you are in and all it takes to live into marriage as the divine covenant then we can apply other skills
and knowledge that can better improve our lives as couples
Tina Boaz, [21.01.16 23:16]
Nafikiri tunatakiwa kuomba msaada wa Roho Mtakatifu na hekima ya Mungu ya kujua from the go kuwa
tunapoingia kwenye ndoa, tunaingia kuambatana na mume au mke. Mfano kama Mimi ni dada na Nina
ndugu anatarajia kuoa au kuolewa. Iwapo anafanya maandalizi ya harusi/ sendoff ni vizuri kumtia moyo
wakubaliane na mchumba wake badala ya kutaka kuwaamulia kila kitu. Kwani sometimes that practice
can continue and becomes a disturbance to someone else's marriage
veronica m mwita, [21.01.16 23:20]
👍
Agness Luhende, [21.01.16 23:21]
Ths is true
Dennis Massawe, [21.01.16 23:26]
Sehemu kubwa ya kupona ni usikivu na kukubali kubadilika. Ndoa zote zitapita kwenye majaribu mara
mbali mbali. Kama hamjapita, basi litakuja tu ni swala la muda. Majaribu mengine ni mitiani ya Mungu
na nilazima tupitishwe ili tukomae na kusaidiana katika safari. Ni vyema wana ndoa kuwa na mentors
katika ndo waliowatangulia katika miaka kama ifuatavyo: ndo changa chini ya 2 ziwe na mentor wa
miaka 5-10, wenye 5-10, wawe na 15-40, na wenye 40, wawe na 50 na kuendelea, pamojoa na wale wa
ndoa zilizo changa. Sababu ya hili ni forecasting (kuangalia mbele na kujifunza) na kuangalia nyuma na
kujifunza kwa waliowachanga pia..
Phillip SALIBOKO, [21.01.16 23:26]
Mchungaji Massawe natoa pongezi Kwa somo hili Na umeliweka vizuri sana. Niseme hivi moja kati ya Siri
kubwa sana ya kufurahia Ndoa yangu ya Miaka 17 ni kuwa kuna uwazi wa Hali ya Juu Na ushirika
Mkubwa sana katika musuala yote yanayohusu fesha. Hapa nashauri Ndoa yoyote inayofanya Kwa Siri
Kwa Maana ya mmoja wao kumficha mwenzake nakuhakikishia Amani katika Ndoa hiyo haiwezi
kudumu. Trust inapotea kabisa Na cheating inaanza Kwa wote. Eventually the marriage is not safe at all.
Dennis Massawe, [21.01.16 23:29]
Asante Mchungaji Saliboko. Inakuwa siyo ndoa ya maagano bali ushirika wa mafuriko. Mbarikiwe sana
kwa miaka 17. Glory to God!
Dennis Massawe, [21.01.16 23:30]
Sasa wanandoa turudi studio kwa wahenga.....Sasa tuchukue break maana hata wahenga wana maneno
ya busara:https://youtu.be/_Wf0HOkXs_Y
Tina Boaz, [21.01.16 23:38]
Nimependa sana hii.
Tukiokoka hatucheck out our brains jamani. Mungu anataka kuzirenew na tuzitumie kufikiria kiMungu!!!
Cecilia Julius, [21.01.16 23:43]
Asante sana kwa mafundisho mazuri...I believe ndio zetu zitapona kwa maana mambo Haya yanayohusu
fedha na kusaidia ndugu bila taarifa wala makubaliano ndio chanzo cha makwazo..mafarakano na
kukosa amani.
Kwasababu kama mwanandoa mmoja anamsaidia ndugu yake bila makubaliano au kumwambia mwenza
wake..
Huwa inatengeneza Picha mbaya ya kua labda kama ungeshirikishwa ungekataa kukubali kutoa msaada.
Shida kubwa kwenye familia zetu ni kuona mume ana hela anawasaidia ndugu
zake...hakwambii...mwishowe ugomvi au dharau from ndugu wa mume au wa Mke..
(Nimetolea mfano wa mafarakano mengi tunayoyaona kila Sikh)
Cecilia Julius, [21.01.16 23:43]
**siku
Cecilia Julius, [21.01.16 23:43]
**ndoa zetu
Me, [21.01.16 23:45]
Katika kuchangia labda niwape mfano hai. We are not perfect in any way lakini we strive to grow in the
key areas. Before marriage tulipata muda wakuomba na kujifunza juu Ya ndoa na kuamua kwamba tuko
tayari kuongia kindumbwendumbwe hiki😃😃
Tulisoma vitabu vya Tim Lahaye na Mkewe na Dr. James Dobson amongst many Christian writes
kupanua mawazo.
Sisi tulikubaliana kabla ya kuandikisha ndoa kuwa ndoa yetu ni responsibility ya kwanza kabla ya wazazi,
wadogo zetu hata watoto watakapokuja (enzi hizo). Tukakubaliana ndugu wa upande wangu wakija na
shida ya pesa kamwe sitotoa wala kutoa ahadi bali wataelekewa kwa Mume wangu kadhalika na ndugu
wa Mume wataelekezwa kwangu. Kisha tutakaa tijadili na kutoa maamuzi pamoja. Jibu litatolewa na
aliyefikishiwa ombi according to taratibu a familia yetu. Kwetu tulijua wale wenye legitimate hitaji
watafata taratibu hizo. Wakususa watasusa na wakusema watasema na tulikuwa gado😃😃
Mwanzoni walikuwa wanashangaa na kutoipenda kabisa hii taratibu ila baadae walizowea na
kuiheshimu. Mungu alituwekea moyoni kuwafundisha ndugu kumtegemea yeye na sio kutufanya
tuchukue nafasi ya Mungu (provider). So tunatabia ya kumuuliza Mungu kama anatutaka kusaidia na
kwa kiasi gani. Maana unaweza kuta watu wamekugeuza mungu wao hapo unatafuta laana!!! Huu ni
mfano ambao unework kwetu. Kila ndoa inachangamoto ya kuamua mapema how to deal with family
needs and extended family. Kumbuka unaresponsonility kwa Mungu juu ya ndoa yako na watoto wenu
kabla ya anyone else out there.
veronica m mwita, [21.01.16 23:51]
Kwel na hii imetesa sana ndoa yang,ndug kuwa wa kwanz zaid ya ndoa yetu, lazima tubadilike
Dennis Massawe, [22.01.16 00:06]
Swala la ndugu ni nyeti. Na wengi tumesha fanya makosa haya. Pia kuna changamoto ya jamii ya
kisasa kuchuja neno kwa manufaa ya kibinafsi. Mila, desturi na makabila pia yana changia katika
kujenga nadharia ambayo haiendani na neno la Mungu katika taratibu za maangano. Sasa, sote waume
na wake ni kurejea maagano, kujifunza kutokana na makosa, kuomba msaada na maswazo na kisha
kufanya mabadiliko. Kwa kiasi kikubwa sote ina tupasa kuwa wanafunzi wa ndoa kila siku. Punde
unajiachia tu na kudhani umefika na unaelewa ndiyo mwisho wa ndoa yako. Iwapo makazini kuna
kitengo cha mafunzo endelezo ili kuboresha tija, sembuse wewe na mimi katika ndoa zetu....? Viatabu
vipo, youtube ya bure zipo, mafunidisho kede kede yapo...Mchungaji Saliboko nafahamu anaweza
kutusaidia katika eneo la vitabu ya kujiendeleza, na kadhalika. Kitengo cha fedha kikiharibika, uchumi
wa taasisi ya ndoa ina dumaa na masasiliano yatadumaa na tendo ya ndoa ilta dumaaaaaa sanaaaa na
kuwa kero kwa wakin mama - au mojonzi, na lakini fimbo ya Mungu juu ya sisi wababa tusiyo taka kujua
lolote.
Me, [22.01.16 00:11]
Abee??? Tendo la ndoa kudumaa haina tija!! Tujihimu wapendwa.
Rose Shaboka, [22.01.16 00:13]
Chaaaa baada ya hili Somo Pastor Masawe na Mama mtuongoze tu sala ya toba hakuna namna nyingine
sasa tena. Eh this is deep
Me, [22.01.16 00:15]
◄ James 4:17 ►
New International Version
If anyone, then, knows the good they ought to do and doesn't do it, it is sin for them.
May the Lord help us all!!!
Rose Shaboka, [22.01.16 00:15]
"Lawama ni kitu ambacho wana ndoa lazima wajenge ngozi ngumu ya ushupavu maana hata Mungu
analaumiwa"...
Yaani hakuna mtu anaogopa lawama kama Mimi ngoja nivae GAMBA sasa
Cecilia Julius, [22.01.16 00:15]
Kweli...Rose Shaboka...tumeshakosea sana
Cecilia Julius, [22.01.16 00:17]
Imebd tubadilike kwa kweli maana lawama zinaturudisha nyuma sana
veronica m mwita, [22.01.16 00:18]
Kwel
Rose Shaboka, [22.01.16 00:20]
Naiona semina yetu ya wanandoa tutakapokutana Uso kwa uso halafu Walimu wetu waachilie nondo
hizi namuona Kilangazi atakavyokua analia mpaka makamasi😂
Me, [22.01.16 00:22]
Tukiishi tukidhamiria kumpendeza Mungu kwa gharama yeyote tutapona. Mwanadamu kamwe hawi
pleased...leo utamplease kwasho hufai. Let's seek to please God at any cost! Twende mbinguni jamani.
Tusikae na uchungu juu ya pesa. Hakuna aliyezikwa na masanduku ya pesa...shughulikia hilo shina la
uchungu. Mnaishi kama adui kwa sababu ya pesa ambayo leo ipo kesho haipo?? Remember jamani yale
mapenzi ya mwanzoooo ambapo ungemwachia account looote bila kujali
Me, [22.01.16 00:22]
We can not be separated by money issues! Tukatae kabisa na tutafute suluhisho. The devil is a lier.
Erick, [22.01.16 00:22]
Sekta ya pesa si mchezo...+ lawama
Erick, [22.01.16 00:23]
Kweli mungu atuhelp
veronica m mwita, [22.01.16 00:23]
Kabisa
Rose Shaboka, [22.01.16 00:23]
Yaani....na password zote za ATM tulikua tunapeana Leo hata hiyo akaunt ya Tigo pesa thubutu kugusa
simu ya mtu
Erick, [22.01.16 00:23]
Kubwa naloona hapa kama walimu wslivyosema nikuvaa ganda
Erick, [22.01.16 00:24]
Family 1st then others follows
veronica m mwita, [22.01.16 00:24]
Kwel erick
Erick, [22.01.16 00:24]
Nakua transparent na vipato vyetu...na kubwa kua na budget ya lipi lianze na lipi lifuate
Erick, [22.01.16 00:25]
Sio mie nimenunua nyanya na my twin nae akaja na nyanya AF tunashangaana uwiiii
Erick, [22.01.16 00:27]
Pia ile mentality ya baba ndo kichwa cha familia basi pesa yeye ndo atoe mmmh nayo inapaswa
kuangaliwa
Erick, [22.01.16 00:28]
Yatupasa hakika tuwe mwili mmoja
Cecilia Julius, [22.01.16 00:29]
Kweli kabisa inabd tubadilike kuanzia moyoni
Rose Shaboka, [22.01.16 00:30]
Tukirudi kwenye MSINGI aliotuwekea Pastor Saliboko tukauelewa na tukajua tuko ndani ya kitu gani
haya maswala ya pesa na mambo mengine yatakua rahisi kwetu. Kila MTU ukipata nafasi hebu rudia
notes za Pastor Saliboko halafu upite kwa hizi za Leo za Pastor Masawe. Zisome tena na tena na tena
Nick Shaboka, [22.01.16 00:36]
Ni vizuri pia ukiweza kucopy ili kuunganisha somo kuwa moja ikurahisishie kusoma na ukaliweka kama
personal notes. Kisha draw ufunuo ulioupata hapo na tengeneza point of action na kufanyia kazi. Uwe
mtendaji wa Neno na sio msikiaji (msomaji) tu. Please tutendee kazi haya mafundisho.
Dennis Massawe, [22.01.16 00:38]
Kwa sasa tunakwenda kupumzika na tutawaacha wachungaji waratibu mpake tuamkapo kesho. Neno ni
Waefeso 5:22 . Mke anayependwa na mume ambaye ana muiga kristo katika kulipenda kanisa pamoja
na madudu na vitimbwi vyake, humpenda mume huyo bila shidaaaa. Na mke hanashida kumuheshimu
na kunyeyekea katika ushirikiano wa unyumba. Tumeshiriki vyema hata kuzidi mwongozo wa somo la
leo. Tumegusia Mchakato (Process), Mwamko (Awareness), Chagua (choices), na sasa tunendelelea na
Change (mabadiliko). Wengine hawakuchangia ni wapi wanahitaji kuboresha uchumi wa ndoa zao. Hilo
naamini mtalifanyia kazi wenyewe. Kumbukeni tafasiri ya "Economy" katika utangulizi awali kwamba ni
kuwajibika katika kaya yako (household). Ukizembea, au ukawa na kiburi, basi unashindana na Mungu
aliyekupa uwakili (stewardship) wa ndoa yako. Hilo utajibu mbele za Mungu. Lingine ni tukumbuke
machakato wa uchumi ni: utawala wa uzalishaji bora, usambazaji, na utumiaji bora, kwa kuzingatia kwa
makini madhara ya maamuzi ya kifedha na uchumi wa ndoa kila siku (The process of good governance in
production, distribution, and consumption - while bearing in mind the consequences of our choices).
Kuzembea katika hili au kuliacha holele ni sawa na yule aliye ambiwa katika Matayo 25: 26 Lakini Bwana
wake akamjibu, ‘Wewe mtumishi mwovu na mvivu!..." Tukumbuke kwamba tunajukumu pia la
kuzidisha, kupanga, kubana matumizi, na kusambaza kwa hekima. May the Lord bless you and good day
to all of you. Peace and love sincerely, Dennis and Lulu,
Rose Shaboka, [22.01.16 00:42]
Aaaaameeen masaa yaende haraka muamke muendelee tena Pastor Masawe na Mama. Mbarikiwe sana
sana sana. Mungu awape usingizi kama wa watoto wadogo. Sisi wengine tulioko macho tuendelee
kuchangia na kuuliza maswali walimu wetu watayajibu wakiamka
Erick, [22.01.16 00:43]
Nilijikuta nasimamisha kazi kidg nisikute 100+ msg...mbarikiwe walimu
Mwalukasa, [22.01.16 00:44]
Kwa kweli hawa watu Mungu awabariki Sana...hivi hii knowledge ni bure?
Me, [22.01.16 00:45]
Kulala baadae kwanza kutimiza maandiko🙈🙈🙈🏃�🏃�🏃�🏃�
Dennis Massawe, [22.01.16 00:46]
yooooo yoloooo chapa chap😍😜
Erick, [22.01.16 00:47]
😃😃😃
Me, [22.01.16 00:48]
[ Photo ]
Me, [22.01.16 00:48]
Jamani epukeni economic losses kwa kuepuka👇�👇�👇�
Me, [22.01.16 00:48]
👆�👆�👆�
Mwalukasa, [22.01.16 00:56]
True love comes from God, what we are learning comes from God.
Rose Shaboka, [22.01.16 01:24]
Timizeni maandiko kabisa Dada Lulu 😂😂😂....cha mchana kinaitwaga NOONER sijui cha usiku
kinaitwaje😜😜
Kilangazi, [22.01.16 01:31]
😂😂😂😂😂 Rose let's make it happen jamani, maana nowdays ndoa haifurahiwi kweli, na imebaki ni
kuvumiliana tu, Yesuuuuu tusaidie
Ephraim Kivuyo, [22.01.16 01:31]
Binafsi nimepata elimu kubwa ya kiuchumi +ndoa,Mungu awabariki sana hawa watu wazuri
Rose Shaboka, [22.01.16 01:34]
Kilangazi it will happen brother tutapona tu
Rose Shaboka, [22.01.16 01:35]
Mwalukasa tunapewa yote haya bure kabisa tushindwe sisi tu
Kilangazi, [22.01.16 01:48]
Mungu atusaidie
Mwalukasa, [22.01.16 02:04]
Amen Dada Rose, you are blessed
Neema Culate, [22.01.16 02:23]
Haya yote tunayojifunza tukiyafanyia kazi kweli tutaona raha ya ndoa lakin ikiwa sivyo mambo ni
magumu sana, ndoa nyingi zimevunjika kwa sababu baadhi ya wanawake hawaamini kama
kuchangia kiuchumi katika ndoa yake kunamuhusu.
Neema Culate, [22.01.16 02:24]
Asanteni sana pastor kwa mafundisho mazuri ya kujenga ndoa zetu
Asante Mbowe, [22.01.16 02:35]
Akika nimepata vitu Mungu awabariki mnooooo.
Happy Buretta, [22.01.16 03:31]
Mungu akubariki sana mchungaji sasa ni wakati wa kupona kupitia hili somo .Amina
veronica m mwita, [22.01.16 03:52]
Ni kwel kabisa, asilimia kubwa inayovunja mahusiano mazuri ktk ndoa ni uchumi
Godwin Mruma, [22.01.16 03:53]
Nimejifunza mengi leo, nashukuru watoa mada na waliouliza maswali,nimevutiwa zaidi na
triangle(Mke,Mume, Mungu).
Sheky Wa Anna, [22.01.16 04:02]
Asante sana kwa somo lililoshibaa
Tumaini Urio, [22.01.16 04:11]
Somo ni zuri sana tumejifunza na kutambua mengi ya muhimu. Tunashukuru huduma nzuri hii kwetu
imeanza wakati ndoa changa hivyo inakua msingi mzuri na imara kwetu. Mbarikiwe sana
Rose Shaboka, [22.01.16 04:11]
Wageni karibuni tunaomba kila couple ambao hamkuwa mmejitambulisha bado mtume picha yenu na
utambulisho wenu kwa ufupi wakati tukiendelea na darasa la Leo.
Rose Shaboka, [22.01.16 04:17]
[ Photo ]
Rose Shaboka, [22.01.16 04:17]
Mfano: Mr & Mrs. David Chisamba.
Tunaabudu Roman Catholic. Tulifunga ndoa 25/08/2012 na Mungu ametubariki na watoto wawil wa kike
Dabria & Davina
Rose Shaboka, [22.01.16 04:24]
Wageni mnaweza pia kusoma Yale ambayo tumeshajifunza kule juu☝️
Clement Chacha, [22.01.16 04:35]
Asanteni sana, tunafuraha kua humu na kupata darasa.
Prisca Clement, [22.01.16 04:37]
Nashukuru sana kuingia humu wapendwa.
Sheky Wa Anna, [22.01.16 04:52]
[ Photo ]
Sheky Wa Anna, [22.01.16 04:52]
Mr&Mrs Moses Sheky
Tunasali Kanisa la Pentekoste Tanzania-(KLPT-Boko) Kwa mch. Shekihiyo
Tumefunga ndoa tr 20.10.2012
Tumebarikiwa kuwa na watoto wawili...
Sheky Wa Anna, [22.01.16 04:53]
Bernice & Benicia
Flano Mambo, [22.01.16 04:56]
Pastor Saliboko nafurahi kwa somo lako.kuna mtu aliukiza swali naona halijajibiwa. kuhusu ndoa yenye
magimvi yaliyopitiliza yasiyoisha bikashaka hata mapenzi hapo yanakua yameenda likizo kama si kufa
kabisa. nawatu wa namna hii utakuta wameshapitia some counselling lkn bila mafanikio na wapo wana
wa Mungu wenye shida hii hapo unashauri vipi?
Rose Shaboka, [22.01.16 05:00]
Karibuni sana Mr &Mrs Shecky
Sheky Wa Anna, [22.01.16 05:01]
Asante
Clement Chacha, [22.01.16 05:01]
[ Photo ]
Clement Chacha, [22.01.16 05:03]
Mr & Mrs Clement Marwa,,
Tunasali Dar es salaam Pentecostal Church,
Tumefunga ndoa 31.01.2015.
Rehema Josiah, [22.01.16 05:43]
Asante wachungaji kwa somo zuri
Rose Shaboka, [22.01.16 06:04]
Karibuni sana Marwa na Mama
Jesse Macha, [22.01.16 06:05]
Thnx..Hallo..fellas
Rose Shaboka, [22.01.16 06:07]
Karibu Jesse
Jesse Macha, [22.01.16 06:16]
Ahsante sana
Maria Chenelo, [22.01.16 06:16]
[ Photo ]
Maria Chenelo, [22.01.16 06:18]
Mr & Mrs Jesse Macha... Tunaabudu kkt kunduchi.. Tulifunga ndoa yetu 26 may 2012.
Sheky Wa Anna, [22.01.16 06:19]
Karibuni Mr&Mrs J Macha
Jesse Macha, [22.01.16 06:20]
Thnx..Mr & Mrs Moses
Happy Buretta, [22.01.16 06:20]
Karibuni sana ndg barikiweni
Jesse Macha, [22.01.16 06:21]
Amen
Maria Chenelo, [22.01.16 06:26]
Amen... Thank you..
Rose Shaboka, [22.01.16 07:58]
Wageni pitieni previous msgs mjifunze
Jesse Macha, [22.01.16 07:58]
Ok
Gasto Swai, [22.01.16 08:06]
Asante mpendwa
Agness Luhende, [22.01.16 08:11]
Kwa kweli nimepata somo zuri sana na la kujenga. Nashukuru sana Pastor na Mama kwa mafundisho
haya mazuri. Kwa kweli ndoa nyng kwenye uchumi ni tatizo na pia usiri unazidi tunasahau kama tu mwili
mmoja . Mungu atusaidie sana katika hili, hakika tutapona km tukizingatia na tutafurahia ndoa zetu
Luzzy Boaz, [22.01.16 08:43]
Hapa 🙏🙏
Edna James, [22.01.16 08:46]
I'm so thankful for these teachings, Mungu awabariki sana watumishi wa Mungu.
Tumaini Magambo, [22.01.16 09:08]
[ Photo ]
Tumaini Magambo, [22.01.16 09:11]
Sisi ni mr na Mrs Magambo tumeoana 2011 dec3 tuna mwanetu mmoja Brianna tumeokoka tunasali
TAG Ebeneza Dodoma na mume wangu ni mchungaji Wa vijana naambatana nae...we are blessed to
have you great people of God
mama bryton, [22.01.16 09:11]
Nasoma na kusoma
Anna Kasebele, [22.01.16 09:20]
Asante sana pastor na mama nimebarikiwa sanaa kwa somo zuri...Mbarikiwe
Maria Chenelo, [22.01.16 09:25]
Mm mbona sipati previous somo...please help.
Maria Chenelo, [22.01.16 09:26]
[Forwarded from Rose Shaboka]
Chaaaa baada ya hili Somo Pastor Masawe na Mama mtuongoze tu sala ya toba hakuna namna nyingine
sasa tena. Eh this is deep
Maria Chenelo, [22.01.16 09:27]
Ninaona only from the above post.
Francis Kwetukia, [22.01.16 09:31]
Najifunza mengi
mama bryton, [22.01.16 09:31]
Maria umenichekesha eti kungozwa sara ya toba
Maria Chenelo, [22.01.16 09:33]
Mama bryton hujanielewa... Mm nimesema sioni post za nyuma naona kuanzia post hiyo hapo juu...
Jesse Macha, [22.01.16 09:37]
Mtusaidie wapendwa..ni kweli hatuzioni msg za somo la nyuma ya hapo.
Phillip SALIBOKO, [22.01.16 09:41]
[In reply to Flano Mambo]
Nashukuru Kwa swali hilo zuri. Mara nyingi hapo watu wanawaza kuachana Maana umesema
wameshafanya kila aina ya counseling. Naomba nikurudishe kwenye somo langu hapo juu.
Clement Chacha, [22.01.16 09:43]
Maybe wazi copy na ku paste ili wachelewaji tuzisome.
Phillip SALIBOKO, [22.01.16 09:44]
2. It Should Not Be Broken
The marriage covenant should not be broken. God is a covenant keeper, not a covenant breaker (Psalm
89:34). As His children, therefore, husband and wife should be covenant keepers, not covenant
breakers. An important characteristic of the marriage covenant is that it is meant to be for life.
The wife is bound by the law as long as her husband liveth; but if her husband be dead, she is at liberty
to be married to whom she will; only in the Lord.
Corinthians 7:39
The covenant of marriage is in force as long as both parties (the man and the woman) are
still alive. There is no room for divorce. Divorce is not a good experience. Only those who have
experienced it can tell the experience. I consider it as marital amputation. You must do all within your
power to avoid it.
Even though God is a God of second chance, it is better to avoid divorce than to experience it. Divorce is
like a shoot-out between siamese twins. No matter what happens, both partners become casualties.
Once you are married, the question of separation should not arise. You must settle it within yourself
that there are no alternatives, no where else to go. By entering into the covenant of marriage, you have
burnt the bridge behind you. This simple understanding will help you
settle down and make your home an exciting place.
So, the covenant of marriage is for life. May be you are married but are contemplating running away
from your home because of the challenges before you now. Hold on a while.
Remember that Malachi 2:16 says that God hates divorce. Particularly if you are a believer, and your
husband or wife is yet to become one. Don't run away, and don't give in to pressure.
You are the light of the world (Matthew 5:14), and light does not run away from darkness.
Rather, it shines in darkness and darkness cannot comprehend it (John 1:5). So, stay put and-ensure that
your light is not put under the bushel, but on the lampstand, so it can shine in your home and shatter
every form of darkness.
The covenant of marriage is meant to be in force till death. In case your spouse has already packed out
and you desire a re-union with him or her, you can go to God and plead your case, instead of rushing out
to re-marry.
Phillip SALIBOKO, [22.01.16 09:52]
Hii kwangu inakwambia kuwa lazima kufanya kila tuwezalo tusave Ndoa zetu. Kwanza Kwa kila mmoja
kuchukua responsibility Yake Na kuelewa Kwa nini yuko kwenye hiyo Ndoa. Lazima kupata haya
mafundisho. Tafuta marriage counselor- Mtumishi wa Mungu ambaye wote mnamheshimu - awashauri.
Pili. Ni vyema kumtafuta Mungu Kwa bidii katika maombi na kufunga Kwa ajili ya Ndoa yenu. Wengi
hawaombi wala hawaikabidhi Ndoa Kwa Bwana Mungu. Tatu ni vyema KUSOMA vitabu mbali mbali jinsi
ya ku- spice up your marriage. Kuna vitabu vingi vya Ndoa. Utakuta wanandoa wengi toka wameingia
kwenye Ndoa hawajasoma kitabu hata kimoja au kusikiliza seminar hata moja ya mambo ya Ndoa hivyo
ni Kama Gari haliendi service litaharibika tu!
Happy Wales, [22.01.16 09:56]
Point paster, mafundisho mazuri yamenigusa
Tina Boaz, [22.01.16 09:58]
Asante sana pastor Saliboko
Tina Boaz, [22.01.16 09:59]
Mungu awabariki kwa mafundisho mazuri mno
Phillip SALIBOKO, [22.01.16 10:08]
Na bila kutaka kutangaza BIASHARA hapa 🙈🙈🙈 na naomba Pastor and Mrs. Shaboka mnilinde-� - ni
kwamba vitabu mbali mbali kutoka Kwa very authoritative authors mbalimbali vinavyohusu NDOA
vyenye titles mbali mbali vinapatikana kwenye duka letu la vitabu naamini ni kubwa kuliko yote ya
kikristo TANZANIA - linaitwa House of Wisdom Bookshop- linapatikana NHC House , Samora Avenue ,
Mezzanine Floor No. 22. Ask for bookshop. You will never regret.
Koku Mutashobya, [22.01.16 10:13]
Mungu awabariki watumishi kwa huduma yenu njema.
Editha Ndesu, [22.01.16 10:14]
Hbrn za jioni wapendwa wote? Mtaniwia radhi na nitaomba mnivumilie kwa siku kadhaa. Nimefiwa na
baba yangu mkubwa tangu tarehe 3/1 tulikuwa tukihangaikia usafirishaji wa mwili kuja Tanzania kwa
kuwa alifia nje ya nchi. Taratibu zimekamilika hivyo tunategemea kupokea jumapili saa 7:40 usiku
uwanja wa kia. Kwa mantiki hiyo tunategemea kusafiri kesho ili kuwahi mapokezi hayo sambamba na
shughuli zote za mazishi, ambayo yatafanyika parokia ya iwa iliyopo kirua vunjo. Naomba mkiona kimya
mjue ni kukosekana kwa mtandao pia kutingwa na shughuli hiyo. Leo pia nilikuwa busy kukamilisha
vipolo ili niweze kupata ruhusu. Naomba mtuweke ktk maombi msiba huu ni mzito kwani ni sawa na
nguzo kuanguka. Nawapenda wote, nitayakuta masomo yote naamini hivyo.
Editha Ndesu, [22.01.16 10:15]
MICHUZI BLOG: HISTORIA FUPI YA HAYATI PADRI CALISTI NYAMBO ALIYEFARIKI NCHINI MAREKANI
AKIFANYA SHUGHULI ZA UTUME -
http://issamichuzi.blogspot.com/2016/01/historia-fupi-ya-hayati-padri-calisti.html?m=1
Koku Mutashobya, [22.01.16 10:19]
Pole sana na mungu awatangulie
Happy Buretta, [22.01.16 10:19]
Pole sana Editha Mungu akupe nguvu ktk kipindi hiki cha maombolezo
Dennis Massawe, [22.01.16 10:33]
Edith: Pole kwa msiba na Mungu awafariji.
Tina Boaz, [22.01.16 10:34]
Hello Editha, poleni sana
Tina Boaz, [22.01.16 10:34]
Mungu awafariji na kuwatunza
Anna Kasebele, [22.01.16 10:35]
Poleni sana Mungu awafariji
mama bryton, [22.01.16 10:44]
Hiyo ya kusoma vitabu, ni kudownload au kuvisomea online,
Tina Boaz, [22.01.16 10:51]
Kwa kweli House of Wisdom is among the best bookshop in Tanzania. I can testify for that, maana
nimekuwa mteja na wala sijajutia. Wana vitabu vizuri sana sanaa sanaaaa.
Rhoda Mbowe, [22.01.16 11:17]
Masomo ni mazuri sanaaa. Nimejifunza mengi. Editha poleni kwa msiba
Flano Mambo, [22.01.16 11:36]
Admn pls naomba umuadd mke wangu Huruma 0755706161
Rose Shaboka, [22.01.16 11:55]
Editha poleni sana kwa msiba, Pastor Philip tena utukumbushe kabisa Mara kwa Mara vitabu muhimu na
sisi wenyewe tumepona sana kwa vitabu kutoka duka hilo. Flano mwambie mke wako anitumie text
telegram
Gasto Swai, [22.01.16 12:02]
Pole sana mpendwa, mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha msiba mzito.
Agness Luhende, [22.01.16 12:04]
Pole sana Editha, Mungu awafariji
Dickson Kigwa, [22.01.16 12:12]
Majina ya Mungu yote uandikwa kwa kuanza na herufi kubwa tafadhali..
Dickson Kigwa, [22.01.16 12:13]
Pole kwa msiba ndugu yetu dada Editha
Ephraim Kivuyo, [22.01.16 13:05]
Pole Editha
Editha Ndesu, [22.01.16 18:31]
Za asbh wapendwa? Nawashukuru sn, naimani mtaendelea kutuweka kwenye maombi. Mbarikiwe sn
Dorcas BSM, [22.01.16 18:38]
[In reply to Nick Shaboka]
Masomo ni mazuri n so helpful kwa kweli. Mungu awabariki walimu wetu. Naomba hivo vitabu Rose
alivosema mwalimu atutajie na namna wa sisi tulioko nje ya dsm tunaweza kuvipata. Bless
Dorcas BSM, [22.01.16 18:38]
Pole Editha.
Mussa Nyauga, [22.01.16 19:00]
Pole dada yetu
Editha Ndesu, [22.01.16 19:25]
Asanteni Dorcas na Mussa
Noh Ney, [22.01.16 20:10]
Add my husband too 0713728552
Rose Shaboka, [22.01.16 20:11]
Mwambie anitumie msg nimuone
Jesse Macha, [22.01.16 20:12]
Pole sana Editha.
Joyce Ephraim, [22.01.16 20:42]
Pole dada Mungu awatie nguvu
Phillip SALIBOKO, [22.01.16 20:49]
[In reply to Dorcas BSM]
Nitawatajia title, author and cost Na utaratibu wa kuvipata Ndani na nje ya DAR
Dorcas BSM, [22.01.16 21:31]
Thanks pastor. Blessed
Editha Ndesu, [22.01.16 21:43]
Asante Jesse na Joyce
Me, [22.01.16 21:53]
Shalom watu wa Mungu! Tunaamini mlikuwa na wakati mwema wa maxi na kupumzika usiku pia.
Tunaamini kwamba mmepata muda wakutafakari mengi tuliyoshare jana. Kama hamjafatufa muda
tafadhali make time and discuss. Ni vitu gani ambavyo vinahitaji kufanyiwa improvement katika uchumi
katika ndoa yenu.
Me, [22.01.16 21:54]
*wa kazi
Me, [22.01.16 22:01]
Make a list. Kila mmoja wenu ajieleze kwa mwenzake (spouse) ni area gani anaona inahitaji kufanyiwa
kazi. Kazi yako wakati mwenzako anaongea nikusikiliza na sio kutoa utaalam wako wala mashauri wala
kupingana nae. Listen!!! Muandike kila mtakalo share. Baada ya hapo mtasoma Amos 3:3 na kisha
muorodheshe maandiko mengine yamakubaliona (agreement). Mkiwekea mikono karatasi
mtakayotumia kuandika haya yote mpate muda wakumuomba Mungu. Toba kwanza kwa maeneo
ambayo hakuna makubaliano. Halafu kuomba Mungu awape neema ya kuweza kusikilizana na
kukubaliana katika eneo la finance. Kisha mtaishia hapo kwa leo. Don't try to discuss what is listed.
Mtakuwa mkisoma hayo maandiko na kuomba neema yamakubaliono until mfikie mahali mnaona
mnasikia kufunguka kujadili. Wengine itachukua siku moja wengine mwezi wengine miezi. We will be in
agreement!!! Tupewe uwezo wa kujadili kistaarabu bila bugombana na kufikia makubaliano.
Me, [22.01.16 22:02]
Doing the same thing over and over and expecting different results is insanity!!!!! We will not be insane
as people of God. #lazima tupone
Me, [22.01.16 22:03]
Mkimaliza zoezi la leo (list,scriptures and pray) andika "done" humu ndani. Tutaita roll call.
Me, [22.01.16 22:03]
Kama hujaelewa uliza tafadhali
Mrs Stephen, [22.01.16 22:04]
Uwiii roll call
Gasto Swai, [22.01.16 22:05]
Sijaelewa
Me, [22.01.16 22:05]
Kabisa! Wanafunzi wazembe na watoro tutawasgughulikia.
Me, [22.01.16 22:05]
Wapi hujaelewa
Me, [22.01.16 22:06]
Ama yote Swai?
Gasto Swai, [22.01.16 22:06]
Yote lulu
Lilian Protas, [22.01.16 22:06]
Pole Sana Editha.Mungu awatie nguvu
Gasto Swai, [22.01.16 22:07]
Sor lulu massawe
Me, [22.01.16 22:08]
Kuna wageni waliingia after notes za jana...ulifanikiwa kuwepo ama uliingia baada ya notes @Swai
Gasto Swai, [22.01.16 22:08]
Baada
Me, [22.01.16 22:08]
Ok nimekuelewa
Me, [22.01.16 22:09]
Mlipata summary ya jana? Ama niirushe
Gasto Swai, [22.01.16 22:09]
Asante mpendwa kwa kunielewa
Gasto Swai, [22.01.16 22:09]
Sijapata dada lulu massawe
Me, [22.01.16 22:11]
Sawa Pastor Dennis anarusha summary.
Gasto Swai, [22.01.16 22:11]
Ok
Sheky Wa Anna, [22.01.16 22:14]
Amen
Dennis Massawe, [22.01.16 22:16]
Tumeona hitaji la kurudia utangulizi wa somo kwa wale wanandoa waliojiunga nasi. Litawasaidia kuweza
kuunganisha mafunzo na hoja tangia pale walipo jiunga.
Dennis Massawe, [22.01.16 22:16]
Utangulizi:
Somo litakuwa na sehemu nne za mwongozo: 1. Process (Mchakato), 2. Awareness (Mwamko), 3.
Choices (Chaguo), 4. Change (Mabadiliko). Ilitufahamu uchumi katika ndoa, ni muhumu kuelewa
mchakato wa uchumi kama mfumo ambao unabidi kuheshimiwa, na kuelewa mchakato wa malezi,
makuzi, na uelewa wetu wa fedha na tabia zake. Tukiyafahamu haya mawili tutakuwa na mwamko
ambao utaleta mabadiliko ya uchumi kwa kila moja binafsi na kisha katika ndoa kwa ujumla.
Siyo wote, wamekulia kwenye maadili yanayo funidisha tabia za fedha sambamba na uchumi binafsi.
Kwa hivyo ndoa chache sana zina mume na mke ambao wote kibinafsi wana upeo na ufanisi katika
kuelewa fedha na uchumi kabla ya kuja pamoja katika taasisi ya ndoa.
Ieleweke ndoa ni taasisi ambayo ina sekta ya fedha, na ni mfumo wa uchumi ambao unajitegemea
wenyewe. Hivyo basi, iwapo ndoa ni taasisi iliyo teuliwa na Mungu, mume na mke ni mawakili
(stewards) katika taasisi ya ndoa. Paulo katika (1 Corinthians 9:17 ) anasema ni jukumu na niwajibu
anatekeleza. Neno la kiingereza “stewardship” halina tafasiri ya neno moja katika Kiebrania na kigiriki.
Katika lugha ya Kigiriki ni “Oikonomia” ambapo tunapata neno la Kiingereza “Economy.” Tafasiri yake
katika mazingira (context), na viasilia vyake (cognates) kwenye andiko hili - 1 Corinthians 9:17 )
vinajumuisha: Usimamizi (management), Utawala (administration), Ofisi (office), Commission (tume), na
mpango (plan). Kimsingi, neno “Economy” linatokana na lugha ya Kigiriki ambayo kwayo agano jipya
limetafsiriwa. Hili neno “Oikonomia” lina undwa na neno “Oikos” ambayo ni “household (kaya kwa
Kiswahili)” na “nomos” ambayo ni “governance (utawala).”
A. Sehemu ya kwanza ya mwongozo wa somo: Process (Mchakato):
Kwa kifupi sana; uchumi wa ndoa kimchakato, ni utawala wa uzalishaji bora, usambazaji, na utumiaji
bora, kwa kuzingatia kwa makini madhara ya maamuzi ya kifedha na uchumi wa ndoa kila siku. (It is the
process of good governance in production, distribution, and consumption - while bearing in mind the
consequences of our choices on a daily basis, with regards to finance and economics in marriage.
Wazo la kuchangia hoja: Kwa kufuatilia sehemu ya kwanza (A) - ya mwongozo wa somo (Process /
Mchakato), pamoja na ile assignment ya maswali ya chemsha mada: Je ni eneo lipi katika uchumi wa
ndoa yenu linahitaji kuboreshwa?
Me, [22.01.16 22:17]
Baada ya hapo tuliongelea mambo ambayo yanasumbua katika eneo la fedha katika ndoa zetu. So I'm
picking up from there...kaa na spouse wako kila mmoja wenu aeleze ni eneo gani anaona linamsumbua
katika hilo eneo. Mziandike. Msijadili but read Amos 3:3 and list other scriptures that mtasimamia katika
maombi ya kumsihi Mungu awape roho ya makubaliano. Mkisikia breakthrough ya kudiscuss mfanye
hivyo.
Me, [22.01.16 22:20]
Swai tujulishe kama umeelewa please
Joyce Dyamo!, [22.01.16 22:24]
Daah.....Mungu awabariki sana walimu wetu!!! Vitu vingi tumefanya bila uelewa, Mungu atusaidie
kutatendea kazi mafunzo haya!!!
Gasto Swai, [22.01.16 22:26]
Nimekuelewa
Gasto Swai, [22.01.16 22:26]
Kwangu sehemu ya uchumi shida
PAULINA RICHARD, [22.01.16 22:35]
Mzidi kubarikiwa watu wa Mungu
End @ 10:35 PM CHAT. Jan 22 2016