nguvu ya neno la mungu

Post on 12-Jul-2015

3.491 Views

Category:

Documents

146 Downloads

Preview:

Click to see full reader

TRANSCRIPT

KANUNI ZA KIROHO ZA MAISHA YA USHINDI

IMANI YA USHINDIIMANI YA USHINDINGUVU YA WAZO NA NENO

KATIKA UUMBAJIMwl. Mgisa Mtebe

i t bwww.mgisamtebe.org+255 713 497 654

KANINI ZA KIROHO ZA MAISHA YA USHINDI

IMANI YA USHINDI

N h 1 9Nahum 1:9

IMANI YA USHINDI

Nahum 1:99 Mnawaza nini juu ya 

Bwana, kwa maana Bwana k hatayakomesha mateso ya 

watu wake hayatainukawatu wake, hayatainuka tena.tena.

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ni mapenzi ya Mungu, kwamba 

k i hi i hwatoto wake, tuishi maisha mzuri ya ushindi namzuri, ya ushindi na mafanikio, ili tuweze ,

kulitimiza kusudi la Mungu la kutufanya vyombo vya ibada.

IMANI YA USHINDI

Nahum 1:9Lakini kumbe, mtu wa Mungu 

f i k b k ikana nafasi kubwa sana katika utendaji kazi wa Nguvu zautendaji kazi wa Nguvu za 

Mungu duniani; aidha kuzui au g ;kuwezesha nguvu za Mungu 

kufanya kazi.

IMANI YA USHINDI

Nahum 1:9Hivyo Mungu anatuonya k k bi hkurekebisha mawazo yetu, kabla Nguvu zake hazijaingiakabla Nguvu zake hazijaingia kazini kukomesha mateso ya yadui shetani katika maisha 

yetu hata kutubariki.

IMANI YA USHINDI

Nahum 1:99 Mnawaza nini juu ya 

Bwana, kwa maana Bwana k hatayakomesha mateso ya 

watu wake hayatainukawatu wake, hayatainuka tena.tena.

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Kuna wakati, katika baadhi ya 

b U d ji k imambo, Utendaji kazi wa Nguvu za Mungu katika kuzuiaNguvu za Mungu katika kuzuia 

mateso ya shetani yunategemea sana namna unavyowaza (imani).

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo hasi( i ) i I i(negative) yasio na Imani

unaweza kuzuia msaada waunaweza kuzuia msaada wa Mungu katika maisha yako ya g y y

kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo chanya

( i i ) I i(positive) yenye Imaniunaweza kuruhusu msaada waunaweza kuruhusu msaada wa Mungu katika maisha yako ya g y y

kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Mungu anataka sana watoto 

k i hi i h iwake, tuishi maisha mzuri, ya ushindi na mafanikio iliushindi na mafanikio, ili 

tuweze kulitimiza kusudi la Mungu la kutufanya vyombo 

vya ibada.

IMANI YA USHINDI

Nahum 1:9Hivyo Mungu anatuonya k k bi hkurekebisha mawazo yetu, kabla Nguvu zake hazijaingiakabla Nguvu zake hazijaingia kazini kukomesha mateso ya yadui shetani katika maisha 

yetu hata kutubariki.

IMANI YA USHINDI

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano 

M ( i iliwa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asiliMungu) ambayo inakupa asili ya ushindi ndani yako, dhidi yaya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani 

maishani mwako.

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1‐44 Kwa maana, kila kitu kili h li Mkilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu nahuushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

KUTEMBEA KWA IMANI2Petro 1:3‐4

k k ( i3 Kwakuwa uweza wake (yaani, nguvu zake za) uungunguvu zake za) uungu

umetupatia mambo yotetunayohitaji kwa ajili ya uzimatunayohitaji kwa ajili ya uzimana uchaji wa Mungu, kwaj g ,kumjua Yeye aliyetuita kwa

utukufu Wake na wemaWakeutukufu Wake na wemaWake mwenyewe. 

KUTEMBEA KWA IMANI2Petro 1:3‐4b b hi4 Kwa sababu hiyo, Mungu

ametukirimia ahadi zake kuu naametukirimia ahadi zake kuu naza thamani, ili kwa kupitia hizotupate kuwa washiriki wa tabiatupate kuwa washiriki wa tabia

za uungu, mkiokolewa nag ,uharibifu (au upotovu) uliokoduniani kwa sababu ya tamaaduniani kwa sababu ya tamaa.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

KUSUDI LA MUNGUKUSUDI LA MUNGUNi Kanisa liweze kulimiliki na Kutawala dunia na mazingira k ili bi d k i hiyake, ili  binadamu aweze kuishi 

maisha mazuri na kuwa chombomaisha mazuri na kuwa chombo kizuri cha kumsifu na 

kumwabudu Mungu aliye juu.

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Ibada nzuri hutoka katika moyoIbada nzuri hutoka katika moyo uliotulia na pia maisha mazuri; na maisha mazuri huchangiwa sana na mazingira mazurisana na mazingira mazuri.

Kumbukumbu 8:6‐18Kumbukumbu 8:6‐18 

KUSUDI LA MUNGU KWA KANISA 

Mazingira yakitibuka, maishaa g a ya t bu a, a s ayanatibuka, na maisha yakitibuka, b d k b kibada kwa Mungu pia, inatibuka.Hivyo Shetani anachotafuta niHivyo, Shetani anachotafuta ni kumpiga binadamu na mazingirayake, ili kumvurugia Mungu ibada, anayoitamani sana kutoka dunianianayoitamani sana kutoka duniani. 

SIFA NA IBADA KWA MUNGU

MMunguZab 22:3

Ibada NchiKumb 8:6‐18Yoh 4:23‐24

AdamZab 150:6

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1‐4Ili tuweze kulitimiza kusudi la M l k f bMungu la kutufanya vyombo vya ibada ni muhimu watotovya ibada, ni muhimu watoto wa Mungu tuishi maisha gmzuri, ya ushindi na 

mafanikio, hapa duniani.

KANUNI ZA KIROHO3Yohana 1:2

‘Mpenzi, kama vile f iki k tik hunavyofanikiwa katika roho 

yako (katika mambo yako yayako (katika mambo yako ya kiroho), ninaomba pia ufanikiwe ) p

katika mambo yako yote          (ya kimwili)’

KANUNI ZA KIROHOWarumi 8:37

‘Na katika mambo yote, tunashinda na zaidi ya kushindatunashinda na zaidi ya kushindakupitia Kristo Yesu aliyetupenda’kupitia Kristo Yesu aliyetupenda(katika yote, sisi ni washindi na(katika yote, sisi ni washindi na zaidi ya washindi, kupitia Yesu 

Kristo aliyetupenda)

KANUNI ZA KIROHOZaburi 1:1‐3

‘Heri mtu yule asiye kwenda katika shauri la wasio haki balikatika shauri la wasio haki, bali 

sheria ya Bwana ndiyosheria ya Bwana ndiyo inayompendeza, atakuwa kama mti kando ya mto, na kila jambo 

lif l lit f ikialifanyalo, litafanikiwa.

KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37

Lakini pamoja na kwamba Neno la Mungu linatuahidi Ushindi wala Mungu linatuahidi Ushindi wa Yesu msalabani, kwamba ndioYesu msalabani, kwamba ndio uwe ushindi wetu sisi tuaminio, lakini bado waumini wengi 

t i hi i h k hi dtunaishi maisha ya kushindwa.

KANUNI ZA KIROHO

Zipo sababu nyingi; Lakini moja ya sababu kubwa, ni kutojua namna ya kutishi kwa Imani kitu ambachokwa Imani, kitu ambacho 

kinasababisha kuzimika kwakinasababisha kuzimika kwa nguvu za Mungu maishani g g

mwetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Tulijifunza…Tulijifunza…Kila mtu aliyempokea Yesu 

Kristo kama Bwana na M k i i h kMwokozi wa maisha yake, ana (jenereta) chanzo chaana (jenereta) chanzo cha 

nguvu za Mungu, ndani yake,yaani Roho Mtakatifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Huyu Roho Mtakatifu,Huyu Roho Mtakatifu, anachohitaji kwako, ni wewekumtengenezea mazingira 

fulani fulani tu ndani yako ilifulani fulani tu ndani yako, ili yeye ndiye afanye kazi yayeye ndiye afanye kazi ya kuzalisha nguvu za Mungu

kutoka ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kanuni za kiroho, ni mamboKanuni za kiroho, ni mambo ambayo, tukiyaweka kwa pamoja ndani yetu, kwa kiwango kinachotakiwakiwango kinachotakiwa, zitasababisha Roho wazitasababisha Roho wa Mungu aliye ndani yetu, 

kuzalisha nguvu za Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUWAEFESO 3:2O

20 Mungu anaweza kutenda mambo ya ajabu mno yasiyomambo ya ajabu mno yasiyo‐

pimika, kuliko yote tunayowaza na kuliko yote tunayoyaomba, kwa

k di i (k ki ki i ) hkadiri (kwa kiwango au kipimo) cha nguvu zake kinachotenda kazi ndani g

yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii ina maana kwambaHii ina maana kwamba …Utendaji wa mkono wa MunguUtendaji wa mkono wa Mungu 

maishani mwako, unategemea sana kiwango

h N Mcha Nguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yakokinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

USHIRIKA WAMUNGU NAUSHIRIKA WA MUNGU NA BINADAMU KATIKA KUITAWALA DUNIA1Wakorintho 3:9

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Wakorintho 3:99 Kwa maana sisi tu watenda kazi 

pamoja na Mungu. (kwa ushindi na mafanikio)(kwa ushindi na mafanikio)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 8:28‐3028 Na kwahiyo basi, katika mambo yote, Mungu hufanya kazi pamoja

na wale wampendao katikana wale wampendao, katika kuwapatia mema. 

(ushindi, faida na mafanikio)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo;Kwahiyo;Ikiwa tutatengeneza au tutazalishaIkiwa tutatengeneza au tutazalisha 

Nguvu kidogo za Mungu ndani i kyetu, tutauzuia mkono wa Mungu 

kufanya mambo mengi nakufanya mambo mengi na makubwa anayotaka kufanya 

maishani mwetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Lakini …Ikiwa tutatengeneza au tutazalisha 

Nguvu za Mungu kwa wingi (za kutosha) ndani yetukutosha) ndani yetu,

tutauwezesha mkono wa Mungu kufanya mambo mengi na 

makubwa anayotaka kufanyamakubwa anayotaka kufanya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu, kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamu katika kutawala duniabinadamu katika kutawala dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (1);Kifo cha Yakobo na 

Uk b i P iUkombozi wa Petro gerezaniMatendo 12:1 19Matendo 12:1‐19

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa Petro

Yakobo alipokamatwa, Kanisa h k f bi t k khawakufanya maombi, motokea yake 

akachinjwa. Lakini Petro alipokamatwa, kanisa likaomba kwa bidii na Mungu akamkomboa Petrobidii, na Mungu akamkomboa Petro 

kutoka gerezani.Unadhani Kwanini?

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Kifo cha Yakobo na Ukombozi wa PetroSi kwamba Mungu anampenda Petro k lik Y k b B li hii i hkuliko Yakobo. Bali hii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa 

mkono wa Mungu maishani mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvuunategemea sana kiwango cha Nguvu

za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (2);Ushindi wa Joshua vitani

Kwa maombi ya Musa MlimaniK t k 17 8 15Kutoka 17:8‐15

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yMusa alikunyanyua mikono yake kwa 

bi J h j hi l I limaombi, Joshua na jeshi la Israeli walikuwa wakishinda vitani, Lakini Musa alichoshusha mikono (kuacha kuomba) Joshua na jeshi la Israelikuomba) Joshua na jeshi la Israeli 

walikuwa wakipigwa (wakishindwa).Unadhani Kwanini?

Matendo 12:1‐19Matendo 12:1 19Ushindi wa Joshua, Maombi ya Musa, yHii haikuwa bahati nzuri au mbaya; Bali hii i h i k b Ut d jihii inaonyesha wazi kwamba, Utendaji kazi wa mkono wa Mungu maishani 

mwako, unategemea sana kiwango cha Nguvu za Mungu unachozalishaNguvu za Mungu unachozalisha (kinachotenda kazi) ndani yako.

Unadhani Kwanini?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mfano (3);Maombi ya Musa katika 

k h M k fkumruhusu Mungu kufungua bahari ya Shamubahari ya ShamuKutoka 14:15‐28

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Fimbo ya Musa na Bahari ya Shamuy yMungu hakuifungua bahari akasubiri 

k M li h fi b kmpaka Musa aliponyoosha fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake); ndipoMungu akasaba‐ bisha upepo mkali 

uliochana bahari na kufanya ukuta 2 zauliochana bahari na kufanya ukuta 2 za maji. Israeli wakapita nchi kavu. 

Unadhani Kwanini?

Kutoka 14:15‐28Kutoka 14:15 28Fimbo ya Musa na Bahari ya Shamuy yMungu hakuifunga bahari, akasubiri  

k M li h t fi bmpaka Musa aliponyoosha tena fimbo yake (maombi) baharini (tatizo lake); ndipo Mungu akasababisha upepo 

kukatika na maji ya bahari yakarudi nakukatika na maji ya bahari yakarudi na kuwaangamiza jeshi lote la Misri.

Unadhani Kwanini?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

USHIRIKA WAMUNGU NAUSHIRIKA WA MUNGU NA BINADAMU KATIKA KUITAWALA DUNIA1Wakorintho 3:9

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Kuna wakati, katika baadhi ya 

b U d ji k imambo, Utendaji kazi wa Nguvu za Mungu katika kuzuiaNguvu za Mungu katika kuzuia 

mateso ya shetani yunategemea sana namna unavyowaza (imani).

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo hasi( i ) i I i(negative) yasio na Imani

unaweza kuzuia msaada waunaweza kuzuia msaada wa Mungu katika maisha yako ya g y y

kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo chanya

( i i ) I i(positive) yenye Imaniunaweza kuruhusu msaada waunaweza kuruhusu msaada wa Mungu katika maisha yako ya g y y

kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukweli ni Kwamba …Mungu anaweza kufanya kila kitu pasipo msaada wa binadamu, lakini 

alichagua tu kufanya kazi kwaalichagua tu, kufanya kazi kwa ushirika na binadamu; kwahiyo, 

kuna ‘partnership’ kati ya Mungu na binadamu katika kutawala duniabinadamu katika kutawala dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26,18,26 Tufanye mtu kwa sura yetu na 

kwa mfano wetu wakatawale dunia na vyote tulivyoviumba juu ya usona vyote tulivyoviumba juu ya uso 

wa dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 1:26‐1828 Mungu akaumba Mwanaume na Mwanamke, akawaweka katika bustani ya dunia akawaambiabustani ya dunia, akawaambia, zaeni mkaongezeke na kuitawala

(kuitiisha) dunia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zaburi 115:16Mbingu ni mbingu za Bwana, bali 

nchi amewapa wanadamu

Isaya 45:11k h b k k… kwa habari ya kazi za mikono 

yangu, haya niagizeni (niamuruni)yangu, haya niagizeni (niamuruni)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y19 Kwa maana nitawapa funguo za Ufalme, na mambo mtakayoyafunga 

(ninyi) yatakuwa yamefungwa(ninyi) yatakuwa yamefungwa (mbinguni), na mambo 

mtakayoyafungua  (ninyi) yatakuwa yamefunguliwa (mbinguni)yamefunguliwa (mbinguni)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 16:18‐19y18 Na milango ya kuzimu 

haitaweza kulishinda kanisa l i k l lijlangu nitakalolijenga  (kwa mfumo huu)(kwa mfumo huu).     

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Mungu anaweza kutenda20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa y , (kiwango au kwa kipimo) cha Nguvu zake kinachotenda 

kazi ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …y

Kanuni      =       Imani      =      Nguvug

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KwahiyoKwahiyo …Kuna baadhi ya mambo maishaniKuna baadhi  ya mambo maishani mwetu, Mungu hawezi kuyafanya, 

iki hikiwa hatutengeneza au hatutazalisha Nguvu za Mungu zahatutazalisha Nguvu za Mungu za 

kutosha, ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ni KwasababuNi Kwasababu …Kwahiyo Utendaji wa mkono waKwahiyo Utendaji wa mkono wa 

Mungu maishani mwako, ki hunategemea sana kiwango cha 

Nguvu za Mungu kinachotendaNguvu za Mungu kinachotenda kazi ndani yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

USHIRIKA WAMUNGU NAUSHIRIKA WA MUNGU NA BINADAMU KATIKA KUITAWALA DUNIA1Wakorintho 3:9

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Utangulizi;Utangulizi;Yesu na Pepo SuguYesu na Pepo SuguMathayo 17:9‐20Mathayo 17:9‐20.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9‐20Yesu aliposhuka kutokamlimani, alikuta umati

mkubwa wa watu ukimsubirimkubwa wa watu ukimsubiri. Baba mmoja akamwangukiaBaba mmoja akamwangukiaYesu miguuni na kumsihi

akisema …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9‐20Bwana, ninaomba umponye

mwanangu, ana pepo la kifafa; mara nyingikifafa; mara nyingi

limemwangusha katika majilimemwangusha katika majina katika moto, ili kumdhuru, 

lakini amesalimika …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9‐20Nimemleta kwa wanafunziwako, lakini wameshindwa

kumtoa Ndipo Yesukumtoa. Ndipo Yesuakaamuru akisema ‘mleteniakaamuru akisema mleteni

kwangu’ 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9‐20Kijana alipoletwa, Yesuakamkemea yule pepo naakamkemea yule pepo, nalikamtoka mara moja na

kumwacha kijana akiwa huruna mzima kabisa Watu wotena mzima kabisa. Watu wotewakashangaa na kumtukuza

Mungu kwa furaha.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9‐2019 Kisha wanafunzi wake k d Y f h iwakamwendea Yesu faraghani, 

mahali pasipokuwa na watu;mahali pasipokuwa na watu; wakamwuliza, “Bwana, Kwa ninisisi hatukuweza kumtoa yule

P ?”Pepo?”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9‐20k b k b20 Yesu akawajibu kuwaambia, 

‘‘Ni kwasababu ya upungufu waNi kwasababu ya upungufu waImani yenu (ni kwasababu yay ( yimani yenu kuwa ndogo)…

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9‐20Mathayo 17:9‐2020 “… Ninawaambia kweli, mkiwana imani kama punje ndogo yaharadali, mtaweza kuiambiaharadali, mtaweza kuiambia

milima, ‘ondoka hapa uende pale’ t d k N lnao utaondoka. Na wala

hakutakuwa na jambojlisilowezekana kwenu.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …y

Imani = NguvuImani             Nguvu

KANUNI ZA KIROHO

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,

kinachomwezesha mtu wakinachomwezesha mtu wa Mungu aishi maisha yaMungu, aishi maisha ya 

ushindi na mafanikio, katika ,kulitimiza kusudi la Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Atukuzwe Mungu yeye20 Atukuzwe Mungu, yeye awezaye kutenda mambo ya y yajabu mno (yasiyopimika) 

kuliko yote tunayo‐yawaza au t na o aombatunayoyaomba …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Mungu anaweza kutenda20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa y , (kiwango au kwa kipimo) cha Nguvu zake kinachotenda 

kazi ndani yetu.

KANUNI ZA KIROHOKuna vitu maalum 

vinavyosababisha kuzalishwa kwa Nguvu za Mungukwa Nguvu za Mungu

zinazohitajika ili kutuwezeshazinazohitajika ili kutuwezesha kuishi maisha ya ushindi na y

mafanikio duniani.Waefeso 3:20

KANUNI ZA KIROHOKanuni za kiroho, ni mambo ambayo tukiyatumia maishaniambayo, tukiyatumia maishani, yatasababisha Roho Mtakatifuyaliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu ndani yetu, zitakazotusaidia kuishi maishazitakazotusaidia kuishi maisha 

ya ushindi na mafanikio.y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …y

Maombi    =       Imani       =      Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMathayo 17:9‐20

Ndio maana Bwana Yesuli h f i kaliwaonyesha wanafunzi wake akisema kwamba; ‘Imani zenuakisema kwamba;  Imani zenuzimekuwa pungufu kwasababu

k k i hya kutokuwa na maisha yamaombi na kufunga’maombi na kufunga .

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9‐20Mathayo 17:9‐2021 lakini ya namna hii,     lakini ya namna hii,

(pepo la namna hii) halitokiisipokuwa kwa kuomba na

k f ’’kufunga.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMathayo 17:9‐20

20 “ Ninawaambia kweli20 “… Ninawaambia kweli, mkiwa na imani kama punjep jndogo ya haradali, mtaweza

k i bi ili ‘ d k hkuiambia milima, ‘ondoka hapauende pale’ nao utaondoka. Na pwala hakutakuwa na jamboli il k k ’’lisilowezekana kwenu.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMathayo 17:9‐20

B Y li i hBwana Yesu alimaanishakwamba; wanafunzi wakekwamba; wanafunzi wake 

hawakuishi Maisha ya kiroho, y ,Ndio maana hazikuzalishwaNguvu za Mungu za kutosha, 

kuondoa lile tatizokuondoa lile tatizo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Mungu anaweza kutenda20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa y , (kiwango au kwa kipimo) cha Nguvu zake kinachotenda 

kazi ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …y

Kanuni      =       Imani      =      Nguvug

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1‐4Ni mapenzi ya Mungu, 

k b k i hikwamba watoto wake, tuishi maisha mzuri ya ushindi namaisha mzuri, ya ushindi na 

mafanikio, ili tuweze ,kulitimiza kusudi la Mungu la kutufanya vyombo vya ibada.

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1‐44 Kwa maana, kila kitu kili h li Mkilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu nahuushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Imani ndio siri ya ushindi waImani ndio siri ya ushindi wa mtu wa Mungu duniani. Mtu wa Mungu asipojua siri ya k b k ikutembea kwa Imani, 

hataweza kuishi maisha yahataweza kuishi maisha ya ushindi duniani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:6‘Pasipo Imani haiwezekani 

kumpendeza Mungu.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 10:38‘Mwenye haki wangu, ataishi kwa Imani, naye akisitasita, R h h it f hi ’Roho yangu haitamfurahia.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ikiwa imani ndiyo siri ya ushindiIkiwa imani ndiyo siri ya ushindiwetu duniani na ikiwa imanindio kitu kinachokufanya uwefiki ili k brafiki wa Mungu ili kutembea

naye duniani;naye duniani; 

I i i i i?Imani ni nini?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Waebrania 11:1Imani ni kuwa na uhakika waImani ni kuwa na uhakika wa 

mambo yatarajiwayo, ni y j y ,bayana (uthibitisho) wamambo yasiyoonekana.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Ni uhakika wa mambo 

yatarajiwayo mambo ambayoyatarajiwayo, mambo ambayo bado hayajatokea, lakini tuna y j ,uhakika (imani) kwamba, hayo mambo yapo, na yatatokea 

baada ya muda (tunayatarajia)baada ya muda (tunayatarajia).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Kwa sasa hatuyaoni 

(hayaonekani) kwasababu(hayaonekani), kwasababu bado hayajatokea, lakini tuna y j ,uhakika (imani) kwamba, hayo mambo yapo, na yakuja baada 

ya muda (tunayatarajia)ya muda (tunayatarajia).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Imani ni kuwa na uhakika wa 

b i kmambo yasiyoonekana.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Kwahiyo, hata kama huoni kwa

macho au hujashika kwamikono lakini amini tu kwambamikono, lakini amini tu kwamba, hayo mambo yapo na yanakujay y p y jkutokea, baada ya muda; hivyo

anza kukiri ushindi. 

KUTEMBEA KWA IMANIKUTEMBEA KWA IMANI

Hatua za ImaniHatua za Imani TimilifuTimilifu

Warumi 4:16 24Warumi 4:16‐24

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

H t M hi KHatua Muhimu ya Kwanza;

1. Kutambua Nguvu ya Neno la MunguWaebrania 4:12

2Timotheo 3:16‐17

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 10:17‘Imani huja kwa kusikia, na kusikia huja kwa Neno

l ’la Mungu’.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(Warumi 10:17)(Warumi 10:17)

‘Imani yenye Nguvu yaImani yenye Nguvu ya kuhamisha milimakuhamisha milima, 

huzaliwa kwa Neno lahuzaliwa kwa Neno la Mungu lililovuviwa.Mungu lililovuviwa.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 4:12‘Neno la Mungu li hai, 

tena lina Nguvu’ (ya kutenda hata kuleta 

b dilik )mabadiliko)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Timotheo 3:16‐172Timotheo 3:16 17‘Kila andiko/tamko lenyeKila andiko/tamko lenye pumzi/uvuvio wa Mungu, p glafaa kwa kuleta mabadiliko 

ya tabia/mwenendo.’(mafafanuzi)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi   +  Roho = Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani

ipo katika kutabiri, yalet k k U hi ikuyatakayo, kwa Ushirika na

Roho Mtakatifu ukiwa katikaRoho Mtakatifu ukiwa katikahali ya maombi juu ya swala

unalotamani libadilike.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Kwa Mfano;Yesu na Mti wa TiniYesu na Mti wa Tini

Marko 11:12‐14 20‐24Marko 11:12‐14, 20‐24.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

kMarko 11:12‐14, 20‐2412 Kesho yake walipokuwa12 Kesho yake walipokuwawakitoka Bethania, Yesuwakitoka Bethania, Yesu

alikuwa na njaa. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

kMarko 11:12‐14, 20‐2413 Alipouona mtini kwa mbali13 Alipouona mtini kwa mbali, akaenda ili aone kama ulikuwaakaenda ili aone kama ulikuwa

na matunda. Alipoufikia, akakuta una majani tu, kwa

kuwa hayakuwa majira ya tinikuwa hayakuwa majira ya tini. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2414 Yesu akauambia ule mti14 Yesu akauambia ule mti, 

‘‘Tangu leo mtu ye yote na asilematunda kutoka kwako tena.’’ W f i W k li ikiWanafunzi Wake walimsikia

akisema hayoakisema hayo. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani

ipo katika kutabiri, yalet k k U hi ikuyatakayo, kwa Ushirika na

Roho Mtakatifu ukiwa katikaRoho Mtakatifu ukiwa katikahali ya maombi juu ya swala

unalotamani libadilike.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2420 Asubuhi yake walipokuwa20 Asubuhi yake, walipokuwawakipita, wakauona ule mtiniumenyauka kutoka juu hadi

k i i i kkwenye mizizi yake. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2421 Petro akakumbuka na21 Petro akakumbuka na

kumwambia Yesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani

k !’’umenyauka!’’ 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

22.K b K BidiiKuomba Kwa Bidii

k b b hMpaka Kusababisha U b ji R h iUumbaji Rohoni.Y k b 1 18 16Yakobo 5:17‐18, 16

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;;Maombi ya Nabii EliyaMaombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:16‐18Yakobo 5:16 18

NINI MAANA YA KUOMBAKuomba, ni namna ya mtu, 

kwenda katika ulimwengu wa h ili k ili Mroho, ili kuwasiliana na Mungu 

wake na kuuathiri ulimwengu wawake, na kuuathiri ulimwengu wa roho, katika namna ambayo, itakayoleta mabadiliko katika 

li h iliulimwengu huu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16‐1817 Eliya likuwa mwanadamu kama sisi, lakini aliomba kwa 

bidii mvua isinyeshe juu ya nchibidii, mvua isinyeshe juu ya nchi, na mvua haikunyesha juu ya nchina mvua haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu (3) 

na miezi sita (6).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16‐1818 (baada ya miaka mitatu na nusu) Eliya akaomba tena kwa bidii ili mvua inyeshe na mvuabidii, ili mvua inyeshe, na mvua 

ikanyesha, na nchi ikazaaikanyesha, na nchi ikazaa matunda yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16‐1816 Kwahiyo basi, vivyo hivyo na ninyi, ombeaneni ili mpate kuponywa; kuomba kwakekuponywa; kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,mwenye haki kwafaa sana, 

akiomba kwa bidii.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Utangulizi;Utangulizi;Yesu na Pepo SuguYesu na Pepo SuguMathayo 17:9‐20Mathayo 17:9‐20.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9‐2019 Kisha wanafunzi wake k d Y f h iwakamwendea Yesu faraghani, 

mahali pasipokuwa na watu;mahali pasipokuwa na watu; wakamwuliza, “Bwana, Kwa ninisisi hatukuweza kumtoa yule

P ?”Pepo?”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9‐20k b k b20 Yesu akawajibu kuwaambia, 

‘‘Ni kwasababu ya upungufu waNi kwasababu ya upungufu waImani yenu (ni kwasababu yay ( yimani yenu kuwa ndogo)…

KANUNI ZA KIROHO

Kuna kiwango maalum cha Nguvu za Mungu,

kinachomwezesha mtu wakinachomwezesha mtu wa Mungu aishi maisha yaMungu, aishi maisha ya 

ushindi na mafanikio, katika ,kulitimiza kusudi la Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

WAEFESO 3:2OWAEFESO 3:2O20 Mungu anaweza kutenda20 … Mungu anaweza kutenda mambo yote, kwa kadiri (kwa y , (kiwango au kwa kipimo) cha Nguvu zake kinachotenda 

kazi ndani yetu.

KANUNI ZA KIROHOKanuni za kiroho, ni mambo ambayo tukiyatumia maishaniambayo, tukiyatumia maishani, yatasababisha Roho Mtakatifuyaliye ndani yetu, kuzalisha nguvu za Mungu ndani yetu, zitakazotusaidia kuishi maishazitakazotusaidia kuishi maisha 

ya ushindi na mafanikio.y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …y

Maombi    =       Imani       =      Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMathayo 17:9‐20

Ndio maana Bwana Yesuli h f i kaliwaonyesha wanafunzi wake akisema kwamba; ‘Imani zenuakisema kwamba;  Imani zenuzimekuwa pungufu kwasababu

k k i hya kutokuwa na maisha yamaombi na kufunga’maombi na kufunga .

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mathayo 17:9‐20Mathayo 17:9‐2021 lakini ya namna hii,     lakini ya namna hii,

(pepo la namna hii) halitokiisipokuwa kwa kuomba na

k f ’’kufunga.’’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUMathayo 17:9‐20

B Y li i hBwana Yesu alimaanishakwamba; wanafunzi wakekwamba; wanafunzi wake 

hawakuishi Maisha ya Maombi, y ,Ndio maana hazikuzalishwaNguvu za Mungu za kutosha, 

kuondoa lile tatizokuondoa lile tatizo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU1Wafalme 18:41‐44

Nidh M bi dNidhamu ya Maombi ya mudamrefu inahitajika sana katikamrefu, inahitajika sana katika

kusababisha uumbaji yaj ymambo katika ulimwengu wa

roho, tunayoyahitaji sana katikaulimwengu wa mwiliulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU1Wafalme 18:41‐44

Kwa Mfano wa;Nidhamu ya Kuku 

anayelalia (anayeatamia) mayai ili kutotoa vifaranga

Marko 11:23‐24Ulimwengu wa roho

(Tumaini) (Imani)(Tumaini)                            (Imani)Maombi ya Maombi yaKuumba Sifa + Kufungulia

Kuanza Kifaranga Kifaranga

Kulalia kucheza kototoka(Ndani) (Nje)(Ndani) (Nje)

Mwilini

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda y yfulani, Roho Mtakatifu,

atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katikajambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, na baada g ,ya muda litatokeza katika 

l lulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Kwa Mfano;Yesu na Mti wa TiniYesu na Mti wa Tini

Marko 11:12‐14 20‐24Marko 11:12‐14, 20‐24.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2420 Asubuhi yake walipokuwa20 Asubuhi yake, walipokuwawakipita, wakauona ule mtiniumenyauka kutoka juu hadi

k i i i kkwenye mizizi yake. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2421 Petro akakumbuka na21 Petro akakumbuka na

kumwambia Yesu, “Mwalimu, tazama! Ule mtini ulioulaani

k !’’umenyauka!’’ 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐2422 Yesu akawajibu akawaambia, 

“Mwaminini MunguMwaminini Mungu. 23 Amin amin nawaambia mtu23 Amin, amin nawaambia, mtuye yote atakayeuambia mlima

huu ‘Ng’oka ukatupweb h i i ’baharini,’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐2423 … wala asione shaka moyonimwake bali aamini kwambamwake, bali aamini kwambahayo asemayo yametukia, y y y ,

yatakuwa yake. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐24(23) amini kwamba hayo

uyasemayo (tayari) yametukiauyasemayo (tayari) yametukia(hata kama huyaoni), hapo( y ), p

ndipo yatakuwa yake(yatadhihirika) katika

kuonekana na kushikikakuonekana na kushikika. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2424 Kwa sababu hiyo nawaambia,24 Kwa sababu hiyo nawaambia, 

yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba; 

k ( )mnayapokea (sasa) nayoyatakuwa yenu (baadaye).yatakuwa yenu (baadaye).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐24

S liSwali24 Ikiwa tayari nimeshapokea24 Ikiwa tayari nimeshapokea“sasa”,  kwanini hilo jambo liwelangu “baadaye” na sio sasa? 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐24

S liSwali24 Hiyo “baadaye” ni ya nini24 Hiyo baadaye  ni ya niniikiwa tayari nimeshapokea

hili jambo “sasa”? 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐24

S liSwali24 kwanini lisiwe langu “sasa”24 kwanini lisiwe langu sasa , 

badala yake litakuwa langu“baadaye” na sio sasa? Wakatit i i h k “ ”?tayari nimeshapokea “sasa”?

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2424 Kwa sababu hiyo nawaambia,24 Kwa sababu hiyo nawaambia, 

yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba; 

k ( )mnayapokea (sasa) nayoyatakuwa yenu (baadaye).yatakuwa yenu (baadaye).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:23‐24

k t kmnayapokea yatakuwa yenu(sasa) (baadaye)(sasa)                (baadaye)

Ulimwengu wa Ulimwengu waki h ki ilikiroho kimwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐24Mtu wa Mungu, hataweza

kuelewa kitu Yesu aliongea hapakuelewa kitu Yesu aliongea hapa, kama hajui namna Munguanavyofanya mambo, kwa

k i k d i ikanuni zake duniani.~ Njia (Style) za Mungu ~  Njia (Style) za Mungu

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;f ;

Uumbaji wa DuniaUumbaji wa DuniaWaebrania 11:3Waebrania 11:3   

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

“Nasi twajua ya kuwa, Ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Munguuliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana, y ,

havikufanywa kwa vitu vilivyo dh hi i ( i ili i idhahiri (au vitu vilivyo wazi wazi au 

vitu vinavyoonekana)”vitu vinavyoonekana)

KANUNI ZA KIROHOKwa lugha rahisi;Waebrania 11:3   

“Vitu vinavyoonekana, ili b k it i iviliumbwa kwa vitu visivyo 

dhahiri (au vitu visivyo wazi wazidhahiri (au vitu visivyo wazi waziau vitu visivyoonekana)”

Ulimwengu wa Roho

Kwahiyo;Ulimwengu wa roho ndio ulioumbwa kwanza; na kisha ulipokamilishwakwanza; na kisha ulipokamilishwa, 

ndipo Mungu akasababishaulimwengu wa mwili uzaliwe kutoka 

katika ulimwengu wa rohokatika ulimwengu wa roho. (Waebrania 11:3)(Waebrania 11:3)

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Kumb Isa Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21Mwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

Milele

33                3 ½    3 ½              

30      3 ½

e

Ulimwengu wa Roho Injili Kanisa Dhiki

700

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Kumb Isa Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21Mwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

Milele

33                3 ½    3 ½              

30      3 ½

600                        Injili

e

Ulimwengu wa Roho 2000                                                  700                               Kanisa 2000

700

Ulimwengu wa Mwili

(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa rohoWaebrania 11:3

K hi M li b d iKwahiyo, Mungu alipoumba dunia, aliiumba katika ulimwengu waaliiumba katika ulimwengu wa 

kiroho kwanza, na alipoikalimisha h d k ( krohoni, ndipo akaizaa (akai‐

photocopy au akai‐print) katikaphotocopy au akai print) katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

Waebrania 11:3Kwahiyo, kila kitu duniani kina original copy na photocopy yakeoriginal copy na photocopy yake. Au kila kitu unachokiona duniani, ujue kina soft‐copy na hard‐copy 

yake (yaani kina upande wayake (yaani kina upande wa mwilini na wa rohoni).)

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

Kil h Ki iliKila cha Kimwili, kina cha kiroho chakekina cha kiroho chake

1 Wakorintho 15:44

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho

1 W k i th 15 441 Wakorintho 15:44“Ikiwa kuna mwili wa asiliIkiwa kuna mwili wa asili, 

Basi na mwili wa roho pia, upo”p , p

NGUVU YA MAOMBI

Kwasababu, Ulimwengu wa rohondio unaotawala ulimwengu wa mwili Na hii ina maana kwambamwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyikahakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, g ,mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

KWANINI ROHO MTAKATIFUKwa jinsi Mungu 

alivyoutengeneza ulimwengualivyoutengeneza ulimwengu huu, binadamu hatawezahuu, binadamu hataweza kusababisha mabadiliko ya 

ushindi maishani mwake, pasipo k i i k ik likupitia katika ulimwengu wa 

yasiyoonekana kwanzayasiyoonekana kwanza.

KANUNI ZA KIROHO2Wakorintho 4:18   Tusiviangalie vitu 

i k ( ki ili) ivinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vituvya muda; bali tuviangalie vitu visiyoonekana (vya kiroho) y ( y )

kwani hivyo ndivyo vya milele (vya kudumu).

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   Kwasababu hiyo, 

Mambo ya Ulimwengu wa mwiliMambo ya Ulimwengu wa mwiliyanatawaliwa na mambo ya 

ulimwengu wa roho; 

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Kumb Isa Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21Mwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

Milele

33                3 ½    3 ½              

30      3 ½

600                        Injili

e

Ulimwengu wa Roho 2000                                                  700                               Kanisa 2000

700

Ulimwengu wa Mwili

(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

ULIMWENGU WA ROHO

Kabla jambo halijatokea duniani katika ulimwengu wa mwili ni lazima lifanywemwili, ni lazima lifanywe 

kutokea katika ulimwengu wakutokea katika ulimwengu wa roho kwanza. Ndivyo ambavyo 

Mungu aliutengeneza li hulimwengu huu.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

“Nasi twajua ya kuwa, Ulimwengu uliumbwa kwa Neno la Munguuliumbwa kwa Neno la Mungu, hata vitu vinavyoonekana, y ,

havikufanywa kwa vitu vilivyo dh hi i ( i ili i idhahiri (au vitu vilivyo wazi wazi au 

vitu vinavyoonekana)”vitu vinavyoonekana)

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengujambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo 

moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katikabali analifanya kwanza katika 

ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Hii ndio kanuni na huu ndio utaratibu wa uumbaji wa Munguutaratibu wa uumbaji wa Mungu 

duniani.‘Kwamba vinavyoonekana vilifanya 

k i i k ’kwa visivyoonekana.’(Waebrania 11:3)(Waebrania 11:3)

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta 

mabadiliko katika mambo yamabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktknamna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko ykatika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA NENO NA MAOMBIUlimwengu wa roho

Utendaji kazi wa Mungu duniani, huanzia katika ulimwengu wa roho

kwanza Mambo yakikamilikakwanza. Mambo yakikamilika rohoni, ndipo huyazaa mambo hayo 

katika ulimwengu wa mwili.

Ulimwengu wa rohoNeema

Uumbaji Anguko Torati na Manabii Kuzaliwa Msalaba Unyakuo Mwisho

Mwa 1 Mwa 3 Kumb Isa Dan Math 1 Math 27 1 Thes 4 Ufu 21Mwa 1            Mwa 3          Kumb, Isa, Dan             Math 1                    Math 27                  1 Thes 4         Ufu 21

(1)   Ufu 13 :8   (2) Efe 1:3‐4   7

Milele

33                3 ½    3 ½              

30      3 ½

600                        Injili

e

Ulimwengu wa Roho 2000                                                  700                               Kanisa 2000

700

Ulimwengu wa Mwili

(4) Daniel  7:13 – 14, 27 (5) Ufunuo 20:11 – 15

(3) Isaya 9: 6

Bahari Miti Upepo Nchi na vyote viijazavyo

NGUVU YA NENO NA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, siku yako/yetu ya kesho (future) ipo kamili kabisa katika 

ulimwengu wa roho na una uwezoulimwengu wa roho, na una uwezo wa kwenda rohoni kuirekebisha, 

kabla haijazaliwa katika ulimwengu wa mwiliwa mwili.

NGUVU YA NENO NA MAOMBIUlimwengu wa roho

Wewe usipokuwa na nidhamu ya kwenda rohoni kwa njia ya 

maombi kumbuka kwamba aduimaombi, kumbuka kwamba, adui yako shetani, yuko huko huko rohoni; naye atakutengenezea mambo ambayo usingetakamambo ambayo usingetaka     

kabisa yakupate.

NGUVU YA NENO NA MAOMBIUlimwengu wa roho

Waefeso 1:20‐21Bwana Yesu alipofufuka, alitufufua 

na sisi kutoka katika mautina sisi kutoka katika mauti (dhambi), na akatuketisha mahali ( )

alipoketishwa yeye, katikali hulimwengu wa roho.

NGUVU YA NENO NA MAOMBI

Waefeso 1:20‐21Waefeso 1:20 21Kwahiyo, sisi pia tumeketishwa 

mahali alipoketishwa yeye, katikaulimwengu wa roho juu sana kulikoulimwengu wa roho, juu sana kuliko 

falme na mamlaka za giza; ili g ;tuweze kuvunja na kuharibu kazi za 

h t i d i ishetani duniani. 

NGUVU YA NENO NA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kupitia siri hii, tunaweza kutawala mambo yote ya mwili (physicalmambo yote ya mwili (physical 

creation) kama tutaijua siri hii kuu ya ulimwengu wa roho na kama tutajua namna ya kwenda natutajua namna ya kwenda na 

kuutawala ulimwengu wa roho.

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta 

mabadiliko katika mambo yamabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktknamna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko ykatika ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Bwana Yesualisema katikaalisema katika

Marko 11:23‐24Kwamba;

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐24(23) (baada ya maombi) amini

kwamba hayo uyasemayokwamba hayo uyasemayo(tayari) yameshatokea (hata( y ) y (kama huyaoni), hapo ndipo

yatakuwa yake (yatadhihirika) katika kuonekana na kushikikakatika kuonekana na kushikika. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐24(24) Kwa sababu hiyo nawaambia,(24) Kwa sababu hiyo nawaambia, 

yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba; 

k ( )mnayapokea (sasa) nayoyatakuwa yenu (baadaye).yatakuwa yenu (baadaye).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:23‐24

k t kmnayapokea yatakuwa yenu(sasa) (baadaye)(sasa)                (baadaye)

Ulimwengu wa Ulimwengu waki h ki ilikiroho kimwili

Marko 11:23‐24Ulimwengu wa roho

(Tumaini) (Imani)(Tumaini)                            (Imani)Maombi ya Maombi yaKuumba Sifa + Kufungulia

Kuanza mnayapokea yatakuwa

maombi (sasa)                     (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda y yfulani, Roho Mtakatifu,

atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katikajambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, na baada g ,ya muda litatokeza katika 

l lulimwengu wa mwili.

Marko 11:23‐24Ulimwengu wa roho

Tumaini ImaniTumaini Imani“Nita …”                       “Nime ….”

Kuanza mnayapokea yatakuway p y

maombi (sasa)                     (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐24Mtu wa Mungu, hataweza

kuelewa kitu Yesu aliongea hapakuelewa kitu Yesu aliongea hapa, kama hajui namna Munguanavyofanya mambo, kwa

k i k d i ikanuni zake duniani.~ Njia (Style) za Mungu ~  Njia (Style) za Mungu

NGUVU YA MAOMBI

Kwasababu, Ulimwengu wa rohondio unaotawala ulimwengu wa mwili Na hii ina maana kwambamwili; Na hii ina maana kwamba, hakuna kitu kitakachofanyikahakuna kitu kitakachofanyika katika Ulimwengu wa mwilini, g ,mpaka kwanza kimefanyika katika Ulimwengu wa roho.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐24(23) (baada ya maombi) amini

kwamba hayo uyasemayokwamba hayo uyasemayo(tayari) yameshatokea (hata( y ) y (kama huyaoni), hapo ndipo

yatakuwa yake (yatadhihirika) katika kuonekana na kushikikakatika kuonekana na kushikika. 

NGUVU YA MAOMBIUlimwengu wa roho

Kwahiyo, Mungu akitaka kufanya jambo duniani (katika ulimwengujambo duniani (katika ulimwengu wa mwili), halifanyi jambo hilo 

moja kwa moja duniani (mwilini), bali analifanya kwanza katikabali analifanya kwanza katika 

ulimwengu wa roho.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;;Maombi ya Nabii EliyaMaombi ya Nabii Eliya

Yakobo 5:16‐18Yakobo 5:16 18

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Japo kulikuwa na kanuni zote zaJapo kulikuwa na kanuni zote za kisayansi za mvua kunyesha, lakini y y ,

Eliya, kwa njia ya maombi, lik d h i k thi i (tib )alikwenda rohoni, akaathiri (tibua) 

kanuni zinazotawala mvua mwili, na ,ndio maana mvua haikunyesha.

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Baada ya miaka mitatu na nusu nchiBaada ya miaka mitatu na nusu, nchi yote ilikuwa kavu kabisa na misitu y

yote imepukutika; kwahiyo h k k k i k t hhakukuwa na kanuni za kutosha 

kuruhusu mvua kunyesha.y

NGUVU YA MAOMBIKwa Mfano wa Nabii Eliya

Yakobo 5:17‐18;Eliya akaomba tena kwa bidii iliEliya akaomba tena kwa bidii, ili kuifungua mvua kutoka katikaf guliwengu wa roho, na Mungu 

li iki bi ik f kalimsikia, na mbingu zikafunguka na mvua (ya ki‐mwilini) ikanyesha na (y ) y

nchi ikazaa matunda yake.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya Nabii Eliya kufanya  Maombi na Sadaka, Mungu 

akaleta baraka ya mvua katikaakaleta baraka ya mvua katika nchi ya Israeli, mvua ambayonchi ya Israeli, mvua ambayo ilikuwa haijanyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na nusu.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Nguvu ya Maombi ya Eliya, ilikuwa pia katika Neno la Mungu; alisema “Bwana naMungu; alisema “Bwana na ijulikane kwamba, nimefanyaijulikane kwamba, nimefanya hayo yote kwa neno lako.”

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya ile Sadaka na Maombi, Nabii Eliya akawaambia watu, ‘Kimbieni nasikia sauti ya mvuaKimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41), kabla hata ya ( ), y

kuona dalili zozote za mvua katika l lulimwengu wa mwili.

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

Marko 11:23‐24Ulimwengu wa roho

(Tumaini) (Imani)(Tumaini)                            (Imani)Maombi ya Maombi yaKuumba Sifa + Kufungulia

Kuanza mnayapokea yatakuwa

maombi (sasa)                     (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya ile Sadaka na Maombi, kabla hata ya kuona dalili zozote za mvua katika ulimwengu waza mvua katika ulimwengu wa mwili, Nabii Eliya akawaambia , ywatu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya 

l ’ ( )mvua tele’ (mstari 41), 

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Na watu walipoondoka, Eliya alikwenda mlimani kuomba; na baada ya maombi mazito marabaada ya maombi mazito mara saba (7), ndipo mvua kubwasaba (7), ndipo mvua kubwa sana ikanyesha juu ya nchi 

(mstari 44‐45).

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baaada ya Maombi (Yakobo 5:16‐18) /     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /     Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili /      /      /       /      /      /      /       /        /

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /    Mvua ya Mwilini /        //      /      /  (Mstari 44‐45)    /       /       /

/      /      /       /      /      /      /       /        //      /      /       /      /      /      /       /        /

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Kumbe, mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, 

mpaka kwanza ilipotengenezwampaka kwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kirohokatika ulimwengu wa kiroho

kwanza.

NGUVU YA MAOMBI1Wafalme 18:41‐45;

Kwahiyo, kumbuka kwamba, i ki h diKanuni za kiroho, ndizo 

zilizotangulia kusababisha atharizilizotangulia kusababisha athari katika ulimwengu wa rohonig

kwanza, ili mvua inyeshe katika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐45;Kwahiyo, 

Ile mvua haikunyesha katika ulimwengu wa mwili, mpaka kwanza ilipotengenezwa katikakwanza ilipotengenezwa katika ulimwengu wa kiroho kwanza.u e gu a o o a a.

KANUNI ZA KIROHOWaebrania 11:3   

Mungu wetu ni Mungu wa i f bImani, anayefanya mambo 

yasiyoonekana kwanza kabla yayasiyoonekana kwanza, kabla ya kuyasababisha yatokee katika y y

ulimwengu wa mwili(ulimwengu wa yanayoonekana)

NGUVU YA MAOMBI

Ulimwengu wa roho2 Wakorintho 4:18

T i i li it i kTusiviangalie vitu vinavyoonekana (vya kimwili) ni vya muda; bali(vya kimwili) ni vya muda; bali tuviangalie vile visivyoonekana 

( k h ) k b b h(yaani vya kiroho) kwasababu hivyo ndivyo vya vya kudumundivyo vya vya kudumu 

(vinavyotawala vya kimwili).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 10:38‘Mwenye haki wangu, ataishi kwa Imani, naye akisitasita, R h h it f hi ’Roho yangu haitamfurahia.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKwahiyo, hata kama huoni kwa macho au hujashika kwa mikono, lakini amini tu kwamba hayolakini amini tu kwamba, hayo mambo yapo na yanakuja kutokea, baada ya muda. 

K b b ‘H di kKwasababu ‘Hatuenendi kwa kuona, bali kwa imani. (2Kor 5:7)’kuona, bali kwa imani. (2Kor 5:7)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Waebrania 11:1Imani ni kuwa na uhakika waImani ni kuwa na uhakika wa 

mambo yatarajiwayo, ni y j y ,bayana (uthibitisho) wamambo yasiyoonekana.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Ni uhakika wa mambo 

yatarajiwayo mambo ambayoyatarajiwayo, mambo ambayo bado hayajatokea, lakini tuna y j ,uhakika (imani) kwamba, hayo mambo yapo, na yatatokea 

baada ya muda (tunayatarajia)baada ya muda (tunayatarajia).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Kwa sasa hatuyaoni 

(hayaonekani) kwasababu(hayaonekani), kwasababu bado hayajatokea, lakini tuna y j ,uhakika (imani) kwamba, hayo mambo yapo, na yakuja baada 

ya muda (tunayatarajia)ya muda (tunayatarajia).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Kwahiyo, hata kama huoni kwa

macho au hujashika kwamikono lakini amini tu kwambamikono, lakini amini tu kwamba, hayo mambo yapo na yanakujay y p y j

kutokea, baada ya muda. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Imani ndio siri ya ushindi waImani ndio siri ya ushindi wa mtu wa Mungu duniani. Mtu wa Mungu asipojua siri ya k b k ikutembea kwa Imani, 

hataweza kuishi maisha yahataweza kuishi maisha ya ushindi duniani.

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1‐44 Kwa maana, kila kitu kili h li Mkilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu nahuushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo …y

Imani = NguvuImani             Nguvu

KANUNI ZA KIROHO1Yoh 5:4, Rum 8:37

Watu wengi wa Mungu wameshindwa kupokea msaadawameshindwa kupokea msaada waMungu kwa kushindwa kujuawa Mungu kwa kushindwa kujua 

namna Mungu anavyofanya kazi; au kwa kushindwa kuzijua 

ji Mnjia za Mungu.

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1‐4Ili tuweze kutembea na nguvu 

M h k i hi i hza Mungu, hata kuishi maisha ya ushindi duniani ni muhimuya ushindi duniani, ni muhimu na ni lazima watoto wa Mungu g

tujue namna ya kuishikwa Imani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Imani ni uhakika wa mambo yatarajiwayo mambo ambayoyatarajiwayo, mambo ambayo bado hayajatokea, lakini tuna y j ,uhakika (uthibitisho) kwamba, hayo mambo yapo, yatatokea baada ya muda (tunayatarajia)baada ya muda (tunayatarajia).

Marko 11:23‐24Ulimwengu wa roho

(Tumaini) (Imani)(Tumaini)                            (Imani)Maombi ya Maombi yaKuumba Sifa + Kufungulia

Kuanza mnayapokea yatakuwa

maombi (sasa)                     (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta 

mabadiliko katika mambo yamabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktknamna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko ykatika ulimwengu wa mwili.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya ile Sadaka na Maombi, Nabii Eliya akawaambia watu,‘Kimbieni nasikia sauti ya mvuaKimbieni, nasikia sauti ya mvua tele’ (mstari 41), kabla hata ya ( ), y

kuona dalili zozote za mvua katika l lulimwengu wa mwili.

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya ile Sadaka na Maombi, kabla hata ya kuona dalili zozote za mvua katika ulimwengu waza mvua katika ulimwengu wa mwili, Nabii Eliya akawaambia , ywatu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya 

l ’ ( )mvua tele’ (mstari 41), 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yakobo 5:16‐1817 Eliya likuwa mwanadamu ykama sisi, lakini “alitambua”Nguvu ya Uumbaji, iliyo katika 

Neno la MunguNeno la Mungu. (Neno alilochangua Mungu)(Neno alilochangua Mungu)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kumbuka Mfano;Kumbuka Mfano;Yesu na Mti wa TiniYesu na Mti wa Tini

Marko 11:12‐14 20‐24Marko 11:12‐14, 20‐24.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2414 Yesu akauambia ule mti(akatuma Neno), ‘‘Tangu leot t il t dmtu ye yote na asile matundakutoka kwako tena.’’ 

Wanafunzi wake walimsikia“ ki ” h“akisema” hayo. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2420 Asubuhi yake walipokuwa20 Asubuhi yake, walipokuwawakipita, wakauona ule mtiniumenyauka kutoka juu hadi

k i i i kkwenye mizizi yake. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐24

22 Y k bi22 Yesu akawaambia, “Mwaminini MunguMwaminini Mungu(aliye ndani yenu). ( y y )

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐2423 Amin, amin nawaambia, mtu

ye yote atakayeuambiaye yote atakayeuambia(atakayetuma neno kwa) mlima( y )

huu kusema, ‘ewe mlima, nakuamuru, Ng’oka ukatupwe

baharini ’baharini,

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐2423 … wala asione shaka moyonimwake bali aamini kwambamwake, bali aamini kwambahayo asemayo yametukia, y y y ,

yatakuwa yake. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐24(23) amini kwamba hayo

uyasemayo (tayari) yametukiauyasemayo (tayari) yametukia(hata kama huyaoni), hapo( y ), p

ndipo yatakuwa yake(yatadhihirika) katika

kuonekana na kushikikakuonekana na kushikika. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14 20‐24Marko 11:12‐14, 20‐2424 Kwa sababu hiyo nawaambia, y ,

yo yote myaombayo(myatamkayo) katika kusali(myatamkayo) katika kusali, 

aminini ya kwamba; mnayapokea (sasa) nayoyatakuwa yenu (baadaye)yatakuwa yenu (baadaye).

KANUNI ZA KIROHO

Angalizo;Angalizo;

T f tiTofauti yaAndiko Vs   Neno

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

H t M hi KHatua Muhimu ya Kwanza;

1. Kutambua Nguvu ya Neno la MunguWaebrania 4:12

2Timotheo 3:16‐17

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

H t M hi PiliHatua Muhimu ya Pili;

2. Nidhamu ya Maombiya Muda Mrefu1Wafalme 18:30‐45

Wakolosai 4:2

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 4:12Waebrania 4:12‘Neno la Mungu li hai, tena e o a u gu a , e alina Nguvu (za kuumba na 

kuleta mabadiliko)

KANUNI ZA KIROHO

Waebrania 11:3,‘Nasi twajua ya kuwa, 

Ulimwengu uliumbwa kwaNeno hata vituNeno, hata vitu

vinavyoonekana viliumbwavinavyoonekana viliumbwakwa vitu visivyoonekana.’kwa vitu visivyoonekana.

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 1:1‐4‘Neno alikuwa kwa Mungu, Neno alikuwa Mungu; nahakuna kulichoumbwahakuna kulichoumbwa, isipokuwa kwa uweza waisipokuwa kwa uweza wa

huyo Neno.’huyo Neno.

KANUNI ZA KIROHO

Lakini uwe makini sana;Lakini uwe makini sana;KwasababuKwasababu, 

Si kil A dik /T kSi kila Andiko/Tamko, i N l Mni Neno la Mungu.

KANUNI ZA KIROHOUwe mwangalifu kutumia

maandiko katika Biblia katikabi k ki i hi dimaombi na kukiri ushindi, 

Kwasababu kuna tofauti yaKwasababu kuna tofauti yaAndiko na Neno.Andiko na Neno. 

(2Timotheo 3:16‐17)( )

KANUNI ZA KIROHOAndiko lililochaguliwa na

Mungu ili litumike, ndilo tuambalo Roho Mtakatifu waambalo Roho Mtakatifu waMungu, atakuja kulivuvia, iliMungu, atakuja kulivuvia, ilikulifanya kuwa Neno lenyeUhai na Nguvu ya kutenda.(2Tim 3:16‐17, Ebr 4:12)

KANUNI ZA KIROHO

Hivyo uwe makini sana;Hivyo uwe makini sana;KwasababuKwasababu, 

Si kil A dik i NSi kila Andiko ni Neno.

KANUNI ZA KIROHO

Uwe mwangalifu sana;Uwe mwangalifu sana;

Kila Neno lafaa kuwa Andiko, lakini si kila Andiko, lafaa

k Nkuwa Neno.

KANUNI ZA KIROHO

Kwa Mfano;Kwa Mfano;

Binadamu wote ni watu, lakini, si kila Mtu ni

Bi dBinadamu.

Sehemu za mwanadamuSehemu za mwanadamu

Kwa Mfano;

Binadamu = Roho + Nafsi + MwiliBinadamu =  Roho + Nafsi + Mwili

Mtu      

SEHEMU KUU ZA MWANADAMUSEHEMU KUU ZA MWANADAMU

Mwa 2:7Mwa 2:7

M ili NAFSI O OMwili NAFSI ROHO

SEHEMU KUU ZA MWANADAMUSEHEMU KUU ZA MWANADAMU

Mwa 2:7 MtuMwa 2:7                 Mtu

FikraHisia

NAFSI ROHOMaamuzi

NAFSI ROHO

SEHEMU KUU ZA MWANADAMUSEHEMU KUU ZA MWANADAMU

Mwa 2:7 MtuMwa 2:7                         MtuNyamaDamu

M ili NAFSI ROHOMifupa Mwili NAFSI ROHO

MwanadamuMwanadamu

KANUNI ZA KIROHO

Kwahiyo;Kwahiyo; Kuna tofauti kubwa sana katiKuna tofauti kubwa sana kati

ya Mtu na Binadamuya Mtu na Binadamu.(Mwa 2:7 1Thes 5:23)(Mwa 2:7, 1Thes 5:23)

KANUNI ZA KIROHO

Hivyo uwe makini pia;Hivyo uwe makini pia;KwasababuKwasababu, 

K t f ti k b k tiKuna tofauti kubwa sana katiya Andiko na Nenoya Andiko na Neno.(2Kor 3:6 Yoh 6:63)(2Kor 3:6, Yoh 6:63)

KANUNI ZA KIROHO

Andiko ni Tamko lililowekwaAndiko, ni Tamko lililowekwatu katika herufi kwa ajili yatu katika herufi kwa ajili yakumbukumbu. Lakini si kilaandiko lafaa kutumika muda

wowote.(2Kor 3:6 ,  Yoh 6:63)

KANUNI ZA KIROHO

Neno ni Tamko lililochaguliwaNeno, ni Tamko lililochaguliwana Mungu ili litumike mahalina Mungu, ili litumike mahalihusika kwa wakati husika ilikuleta mabadiliko fulani.

(2Kor 3:6 Yoh 6:63)( )

KANUNI ZA KIROHOUsikurupuke kuchua andiko

lolote katika Biblia, ukalitumiakatika maombi na kukiri ushindikatika maombi na kukiri ushindi, 

ukadhani umetumia Neno, ukadhani umetumia Neno,kumbe umetumia Andiko tu.

(2Timotheo 3:16‐17)

KANUNI ZA KIROHOAndiko, lililochaguliwa na

Mungu ili litumike, ndilo ambaloRoho Mtakatifu wa MunguRoho Mtakatifu wa Mungu, atakuja kulivuvia, ili kulifanyaatakuja kulivuvia, ili kulifanya

kuwa Neno lenye Uhai na Nguvuya kuleta mabadiliko.

(2Tim 3:16‐17, Ebr 4:12)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi   +  Roho = Nguvu

KANUNI ZA KIROHO

Uwe makini sana;Uwe makini sana;KwasababuKwasababu, 

K t f ti k b k tiKuna tofauti kubwa sana katiya Andiko na Nenoya Andiko na Neno(2Kor 3:6 Yoh 6:63)(2Kor 3:6, Yoh 6:63)

Andiko Vs NenoTofauti 1  kati ya

Andiko Neno

Andiko ni Kitu Neno ni Uhai(Herufi)                     (Mtu)

(Yoh 1:1‐4)

Andiko Vs NenoTofauti 2  kati ya

Andiko Neno

Andiko pekee Neno ni UhaiHalijui Linajua/Anajua

(Ebr 4:12‐13)

Andiko Vs NenoTofauti 3  kati ya

Andiko Neno

Andiko pekee Neno ni UhaiHalitumwi Lina/Anatumwa

(Zab 107:20)

Andiko Vs NenoTofauti 4  kati ya

Andiko Neno

Andiko pekee Neno ni UhaiHalitendi Lina/Anatenda

(Isaya 55:10‐11)

Andiko Vs NenoTofauti 5  kati ya

Andiko Neno

Andiko pekee Neno ni UhaiLinaua Lina/Anahuisha

(Yoh 6:63)               (Mwa 2:7)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaebrania 4:12Waebrania 4:12

“Neno la Mungu li haili N ”tena lina Nguvu”

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 1:1‐4,‘Neno alikuwa kwa Mungu, Neno

lik M kil kitalikuwa Mungu, kila kitukilifanyika kwa Neno; wala pasipokilifanyika kwa Neno; wala pasipoyeye, hakuna kitu kilichofanyika.’

‘Neno ni uhai.’Neno ni uhai.

NGUVU YA NENO

2K 3 6 Y h 6 632Kor 3:6, Yoh 6:63‘Andiko linauwa lakini Roho‘Andiko linauwa, lakini Roho

anahuisha; kwahiyoanahuisha; kwahiyo, Neno langu ni Roho, tena niNeno langu ni Roho, tena ni 

Uzima; kwasababu’;

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu ya neno inatokana naNguvu ya neno inatokana naUhai wa Neno lenyewe, ambaoUhai wa Neno lenyewe, ambao

unatokana na uwepo waRoho/roho aliyevuvia hilo Neno

Waebrania 4:122Ti h 3 16 172Timotheo 3:16‐17

NGUVU YA NENO

Mith li 18 20 21Mithali 18:20‐21‘Mauti na uzima huwa katika‘Mauti na uzima huwa katika

uwezo wa ulimi na waouwezo wa ulimi, na waowautumiao, watakula,

matunda yake.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi   +  Roho = Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO

Yohana 6:63‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho) 

haufai kitu’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO

Yohana 6:63‘Maneno yangu ni Roho

nayo ndio Uzima’

KANUNI ZA KIROHO

Andiko, linauwa, baliRoho Anahuisha

(2Kor 3:6, Yoh 6:63)(Ebr 4:12)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda y yfulani, Roho Mtakatifu,

atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katikajambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, na baada g ,ya muda litatokeza katika 

l lulimwengu wa mwili.

Marko 11:23‐24Ulimwengu wa roho

(Tumaini) (Imani)(Tumaini)                            (Imani)Maombi ya Maombi yaKuumba Sifa + Kufungulia

Kuanza mnayapokea yatakuwa

maombi (sasa)                     (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipoSiri ya kutembea katika imani ipokatika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakikaa Roho Mtakatif ki a katikawa Roho Mtakatifu ukiwa katika

hali ya maombi juu ya swala hilo.hali ya maombi juu ya swala hilo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

H t M hi T tHatua Muhimu ya Tatu;

3. Usikivu kwa Uongozi wa h k fRoho Mtakatifu

Warumi 8:16, 26‐272Ti 3 16 172Tim 3:16‐17

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipoSiri ya kutembea katika imani ipokatika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakikaa Roho Mtakatif ki a katikawa Roho Mtakatifu ukiwa katika

hali ya maombi juu ya swala hilo.hali ya maombi juu ya swala hilo.

KANUNI ZA KIROHOAndiko, lililochaguliwa na

Mungu ili litumike, ndilo ambaloRoho Mtakatifu wa MunguRoho Mtakatifu wa Mungu, atakuja kulivuvia, ili kulifanyaatakuja kulivuvia, ili kulifanya

kuwa Neno lenye Uhai na Nguvuya kuleta mabadiliko.

(2Tim 3:16‐17, Ebr 4:12)

SIRI YA KANISA LA LEO

Siri ya Kutembea na Nguvu zaMungu ipo katika utii wa

uongozi wa Roho Mtakatifu juuuongozi wa Roho Mtakatifu juuya kutumia Neno sahihi kwaya kutumia Neno sahihi kwa

wakati sahihi kwa kusudi sahihimaishani mwako.(Warumi 8:16)

SIRI YA KANISA LA LEO

Warumi 8:16‘Wale wanoongozwa na Rohowa Mungu hao ndio wana wawa Mungu, hao ndio wana wa

Mungu.’Mungu.

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha nguvu za MunguKiwango cha nguvu za Mungumaishani mwako, kitategemeakiwango cha utii unaompaRoho Mtakatifu ambaye niRoho Mtakatifu, ambaye ni

Msaidizi wako.Msaidizi wako.

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha Utii unaompaKiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu wako ktk  k i b i k ( i l)• kuitambua sauti yake (signal)

• kuisikia sauti yake (kuelewa)• kuisikia sauti yake (kuelewa) • kuitii sauti yake (kutenda)kuitii sauti yake (kutenda)

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Lakini kikubwa zaidi;Roho Mtakatifu 

anataka kuongoza! Ndio moja ya kazi yake ili l t d i iiliyomleta duniani

Yohana 16:13Yohana 16:13

KAZI YA ROHO MTAKATIFU

UONGOZI WAUONGOZI WA ROHO MTAKATIFUROHO MTAKATIFU

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Huwezi kupata NGUVU NA pMSAADA  wa Roho Mtakatifu, 

kama huna  ushirika unaotokana na uhusiano mzuri na yeyena uhusiano mzuri na yeye.

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Fahamu kwamba;Roho Mtakatifu 

anataka kuongoza! Ndio moja ya kazi yake ili l t d i iiliyomleta duniani

Yohana 16:13Yohana 16:13

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Yohana 16:13‘Lakini huyo Roho mtakatifu t k k j ATAWAONGOZAatakapokuja, ATAWAONGOZAawatie kwenye kweli yote; naawatie kwenye kweli yote; na kuwapasha habari hata za 

mambo yajayo’

ROHO MTAKATIFUYohana 14:12‐29

“16 Nami nitamwomba Baba, M idi inaye atawapa Msaidizi 

mwingine akae nanyi milelemwingine akae nanyi milele. 

ROHO MTAKATIFU

Yohana 16:13Yohana 16:13‘13 Naye atawaongoza awatie 

katika weli yote, na h h b i batawapasha habari za mambo yajayo’yajayo . 

KUONGOZWA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

NAMNA YA KUSIKIA SAUTI YA MUNGU NA 

UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA  NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

1 Kwa Ushuhuda wa moyoni1. Kwa Ushuhuda wa moyoni(Sauti ya Ndani – ‘Rhema’)    Isaya 55:8‐11, Yer 29: 11 (1Kor 2:16, Rum 8:16) (2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11)

KUONGOZWA  NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

l k2.  Kwa Neno lake(Neno liliandikwa Logos);(Neno liliandikwa ‐ Logos); 

(Zab 119:105, 2Tim 3;16‐17)( , ; )

KUONGOZWA  NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

3. Kwa Amani ya rohoni3. Kwa Amani ya rohoni(Furaha/Uhuru) 

(Isa 55:12, Kol 3:15)(Fil 4 6 7 Ef 4 1 3)(Fil 4:6‐7, Efe 4:1‐3)

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Kwahiyo;Roho Mtakatifu 

anataka kuongoza! Ndio moja ya kazi yake ili l t d i iiliyomleta duniani

Yohana 16:13Yohana 16:13

KANUNI ZA KIROHOAndiko, lililochaguliwa na

Mungu ili litumike, ndilo ambaloRoho Mtakatifu wa MunguRoho Mtakatifu wa Mungu, atakuja kulivuvia, ili kulifanyaatakuja kulivuvia, ili kulifanya

kuwa Neno lenye Uhai na Nguvuya kuleta mabadiliko.

(2Tim 3:16‐17, Ebr 4:12)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi   +  Roho = Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO

Yohana 6:63‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho) 

haufai kitu’

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha Utii unaompaKiwango cha Utii unaompaRoho Mtakatifu, kinategemeakiwango cha usikivu ulionao

kwa uongozi wa Msaidizi wakokwa uongozi wa Msaidizi wako, Roho Mtakatifu.Roho Mtakatifu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOManeno ya nguvu za kuumba.Maneno ya nguvu za kuumba. 

Yohana 1:1‐4Ebrania 11:3/4:12Mith 6:2/18:20‐21

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐24(23) (baada ya maombi) amini

kwamba hayo uyasemayokwamba hayo uyasemayo(tayari) yameshatokea (hata( y ) y (kama huyaoni), hapo ndipo

yatakuwa yake (yatadhihirika) katika kuonekana na kushikikakatika kuonekana na kushikika. 

Marko 11:23‐24Ulimwengu wa roho

(Tumaini) (Imani)(Tumaini)                            (Imani)Maombi ya Maombi yaKuumba Sifa + Kufungulia

Kuanza mnayapokea yatakuwa

maombi (sasa)                     (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

H t M hi NHatua Muhimu ya Nne;

4. Ujasiri wa Kukiri UshindiWarumi 4:16‐20Mithali 18:20‐21

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Maneno yana nguvuManeno yana nguvu ya kuumba!ya kuumba!

Waebrania 11:3Yohana 1:1‐4

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Unapoachilia Neno la Mungukutoka ndani yako kwa imani, 

Roho wa Mungu huja kulivuvia iliRoho wa Mungu huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa 

hilo neno maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Unapoachilia neno baya kutoka ndani yako kwa imani, basi roho 

mbaya huja kulivuvia ilimbaya  huja kulivuvia ili kusababisha uhai na uumbaji wa hilo neno hilo maishani mwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaefeso 4:29Waefeso 4:29

Neno lolote lililo ovu, lisitoke kinywani mwenu, bali lile lililo 

jema la kumfaa msikiajijema, la kumfaa msikiaji. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOManeno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na Mawazo mazuri. Na mawazo 

i h kmazuri hutokana na Mtazamo/kuona vizuri.Mtazamo/kuona vizuri.

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa ImaniMambo tuyasemayo huwa

yanaumbika katika ulimwengu wakiroho kwanza (yametukia). Baada(y )ya kuyasema au kuyakiri, ndiponguvu za Mungu huingia kazininguvu za Mungu huingia kazinikuyaumba katika ulimwengu wa

mwili (yatakuwa yake)mwili (yatakuwa yake).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipoSiri ya kutembea katika imani ipo 

katika kukiri, yale uyatakayo, b d k h kikmara baada ya kupata uhakika

wa Roho Mtakatifu ukiwa katikawa Roho Mtakatifu ukiwa katika hali ya maombi juu ya swala hilo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Kwa Mfano;Imani ya Baba IbrahimuImani ya Baba Ibrahimu

Warumi 4:16‐20Warumi 4:16‐20.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.h h d h k16 Kwa hiyo, ahadi huja kwa njia ya

imani, ili iwe ni kwa neema naimani, ili iwe ni kwa neema naitolewe kwa wazao wa Abrahamu, si kwa wale walio wa sheria pekeyao bali pia kwa wale walio wayao bali pia kwa wale walio waimani ya Abrahamu. Yeye ndiye

baba yetu sisi sote. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16 24Warumi 4:16‐24.17 Kama ilivyoandikwa:17 Kama ilivyoandikwa: ‘‘Nimekufanya wewe kuwa 

baba wa mataifa mengi.’’ Yeye ni baba et mbele a M ngni baba yetu mbele za Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.17 … Ibrahimu baba yetu 

alimwamini, Mungu awapaye h di li k f kahadi waliokufa na akaanza kuvitaja vile vitu ambavyokuvitaja vile vitu ambavyo 

haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.19 Abrahamu hakuwa dhaifu katikaimani hata alipofikiri juu ya mwiliimani hata alipofikiri juu ya mwiliwake na alipofikiiri juu ya ufu watumbo la Sara, ambalo lilikuwakama limekufa kwani umri wakekama limekufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia

moja na Sara miaka 90.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita

kwa kutokuamini balikwa kutokuamini, baliakiiona/akiitazama ahadi ya/ yMungu, alitiwa nguvu katikaimani yake na kumpa Mungu

utukufuutukufu, 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.

21 ki h kik k bi21 akiwa na hakika kabisakwamba Mungu alikuwa nakwamba Mungu alikuwa na

uwezo wa kutimiza lilealiloahidi. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.18 Akitarajia yasiyowezak t ji Ab hkutarajiwa, Abrahamu

akaamini atakuwa, ‘‘Baba waakaamini atakuwa,  Baba wamataifa mengi,’’ 

(Hata kabla ya kuona mabadilikok ik b l )katika tumbo la Sara)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.

22 Hii di b b22 Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwailihesabiwa kwake kuwa

mwenye haki.”y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16 24Warumi 4:16‐24.23 Maneno haya, “Ilihesabiwa23 Maneno haya,  Ilihesabiwa

kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake

peke akepeke yake, 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16 24Warumi 4:16‐24.24 bali kwa ajili yetu sisi pia,24 bali kwa ajili yetu sisi pia, ambao Mungu atatupa haki, kwa ajili yetu tunaomwaminiYe e ali emf f a Yes B anaYeye aliyemfufua Yesu Bwana 

wetu kutoka kwa wafu.wetu kutoka kwa wafu. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKutembea kwa Imani

M b t hMambo tuyasemayo huwayanaumbika katika ulimwengu way gkiroho kwanza (yametukia). Baada

k k ki i diya kuyasema au kuyakiri, ndiponguvu za Mungu huingia kazininguvu za Mungu huingia kazinikuyaumba katika ulimwengu wa

mwili (yatakuwa yake).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipoSiri ya kutembea katika imani ipokatika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakikaa Roho Mtakatif ki a katikawa Roho Mtakatifu ukiwa katika

hali ya maombi juu ya swala hilo.hali ya maombi juu ya swala hilo.

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1‐44 Kwa maana, kila kitu kili h li Mkilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu nahuushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1‐4Imani ndio siri ya ushindi wa 

t M d i i Mtmtu wa Mungu duniani. Mtu waMungu asipojua siri yawa Mungu asipojua siri ya kutembea kwa Imani, 

hataweza kuishi maisha ya h d dushindi duniani.

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1‐4Ili tuweze kutembea na nguvu 

M h k i hi i hza Mungu, hata kuishi maisha ya ushindi duniani ni muhimuya ushindi duniani, ni muhimu na ni lazima watoto wa Mungu g

tujue namna ya kuishikwa Imani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Imani ni uhakika wa mambo yatarajiwayo mambo ambayoyatarajiwayo, mambo ambayo bado hayajatokea, lakini tuna y j ,uhakika (uthibitisho) kwamba, hayo mambo yapo, yatatokea baada ya muda (tunayatarajia)baada ya muda (tunayatarajia).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐2422 Yesu akawajibu akawaambia, 

“Mwaminini MunguMwaminini Mungu. 23 Amin amin nawaambia mtu23 Amin, amin nawaambia, mtuye yote atakayeuambia mlima

huu ‘Ng’oka ukatupweb h i i ’baharini,’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐2423 … wala asione shaka moyonimwake bali aamini kwambamwake, bali aamini kwambahayo asemayo yametukia, y y y ,

yatakuwa yake. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐24(23) amini kwamba hayo

uyasemayo (tayari) yametukiauyasemayo (tayari) yametukia(hata kama huyaoni), hapo( y ), p

ndipo yatakuwa yake(yatadhihirika) katika

kuonekana na kushikikakuonekana na kushikika. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

H t M hi THatua Muhimu ya Tano;

5. Kufanya Tendo la ImaniYakobo 2:17‐18

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Y k b 2 17 26Yakobo 2:17, 26K k iliKwa maana, kama mwili pasipo roho imani pasipopasipo roho, imani pasipo matendo, pia imekufa.matendo, pia imekufa.

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Ibrahimu;

Kubadili Majina yao,Abramu  – Ibrahim

Sarai – Sara Mwanzo 17:1‐22

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Nabii Eliya;

Kutawanya Mkutano ykabla ya ishara yoyote ya y y y y

mvua kuonekana1Wafalme 18:41‐43

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Yesu;

Kuamuru Wagonjwa g jKutoa Sadaka ya y

shukurani kabla ya kuona uponyaji.

Luka 17:11‐14‐19

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mfano wa Mitume;

Kuamuru Kilema Kutembea kabla ya ykuona uponyaji.

Matendo 3:1‐10‐16

KUTEMBEA KWA IMANI

Kwa Mifano Mingine mbalimbali;Kununua nepi na beseni kablaya kuona dalili za mimbaya kuona dalili za mimbaKununua suti ya harusi kabla yay ykumpata Bwana ArusiKujenga gereji ya gari kabla yakupata garikupata gari

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hatua za Imani TimilifuHatua za Imani Timilifu(1) Kulipata Neno (Warumi 10:17)( ) p ( )(2) Kulifanya litokee (Mrk 11:23)(3) Kuthibitisha Uhakika (Rum 4:21)(4) K ki i k Uh kik (R 4 17)(4) Kukiri kwa Uhakika (Rum 4:17)(5) Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1‐9)(5) Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1 9)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12 14 20 24Marko 11:12‐14, 20‐2424 Kwa sababu hiyo nawaambia,24 Kwa sababu hiyo nawaambia, 

yo yote myaombayo mkisali, aminini ya kwamba; 

k ( )mnayapokea (sasa) nayoyatakuwa yenu (baadaye).yatakuwa yenu (baadaye).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Marko 11:12‐14, 20‐2424 k ( k tik24 … mnayapokea (sasa katika

ulimwengu wa roho) nayoulimwengu wa roho) nayoyatakuwa yenu (baadaye, yatakapodhihirika, katikali ki ili)ulimwengu wa kimwili).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipoSiri ya kutembea katika imani ipokatika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakikaa Roho Mtakatif ki a katikawa Roho Mtakatifu ukiwa katika

hali ya maombi juu ya swala hilo.hali ya maombi juu ya swala hilo.

NGUVU YA MAOMBI

Kama tunataka kutawala vizuri mambo yetu ya kimaisha na kuleta 

mabadiliko katika mambo yamabadiliko katika mambo ya kimwili, basi ni lazima tuufahamu vizuri ulimwengu wa roho, na tujue namna ya kuuathiri (U’roho) ktknamna ya kuuathiri (U’roho) ktk namna itakayoleta mabadiliko ykatika ulimwengu wa mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mambo yanayosaidia Kutembea na Imani 

ya Ushindiya UshindiWarumi 4:16‐24Warumi 4:16 24

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mambo yatakayokusaidiaMambo yatakayokusaidiaKutembea kwa Ushindi.a) Macho ya rohonib) Mawazo ya ushindic) Maneno ya Ushindic) Maneno ya Ushindi

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1.Kubadilisha Mtazamo

Kuvaa Neno MachoniWaefeso 1:15‐19

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUWaefeso 1:15‐19

M R h h kiMungu awape Roho ya hekima na ufunuo Macho ya mioyona ufunuo, Macho ya mioyo 

yenu (macho ya kiroho) yatiwe nuru (yafunguliwe) ili mpate 

k jkujua uweza na nguvu zinazofanya kazi ndani yetu.zinazofanya kazi ndani yetu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Baada ya maombi ya muda y yfulani, Roho Mtakatifu,

atakushuhudia kwamba, tayari jambo lako limeumbika katikajambo lako limeumbika katika ulimwengu wa roho, na baada g ,ya muda litatokeza katika 

l lulimwengu wa mwili.

Marko 11:23‐24Ulimwengu wa roho

(Tumaini) (Imani)(Tumaini)                            (Imani)Maombi ya Maombi yaKuumba Sifa + Kufungulia

Kuanza mnayapokea yatakuwa

maombi (sasa)                     (baadaye)

Ulimwengu wa mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa ImaniSiri ya kutembea katika imani ipoSiri ya kutembea katika imani ipokatika kukiri, yale uyatakayo, mara baada ya kupata uhakikaa Roho Mtakatif ki a katikawa Roho Mtakatifu ukiwa katika

hali ya maombi juu ya swala hilo.hali ya maombi juu ya swala hilo.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoeli 3:10Yeye aliye dhaifu, na aseme

i i i h d imimi ni hodari.(aliye dhaifu asikiri udhaifu(aliye dhaifu, asikiri udhaifuwake, bali akiri ushindi, kamawake, bali akiri ushindi, kamanjia ya kubadili au kuondoa

udhaifu wake).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 4:12Neno la Mungu li hai tena lina

( k bnguvu (ya kuumba nakubadilisha mambo)kubadilisha mambo).

(Hivyo aliye dhaifu, asikiri udhaifu( y y ,wake, bali akiri ushindi, kama njia ya kubadili au kuondoa udhaifu wake)kubadili au kuondoa udhaifu wake).

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea 

Nsana na Namna unavyowaza(mind set) baada ya maombi(mind set) baada ya maombi. 

Na uwezo wa kuwazaNa uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea g

namna unavyoona.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukikosea kuona, utakoseakuwaza. Na ukikosea

k t k kkuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo Ili kuongea vizuriKwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ililazima uwaze vizuri, na iliuwaze vizuri, lazima uone,

vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Kwa Mfano;Nabii Elisha na Mtumishi

wake2Wafalme 6:10‐17

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Wafalme 6:10‐17.Elisha akamwambia Mtumishiwake ‘usiogope walio upandewake, ‘usiogope, walio upandewetu ni wengi kuliko waliowetu ni wengi kuliko walio

uapnde wao’. Lakini mtumishibado akawa na hofu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Wafalme 6:10‐17.Ndipo Elisha akamwombaakasema ‘Ee Mungu naombaakasema Ee Mungu, naombaumfungue huyu kijana, macho g y j ,yake, apate kuona (katikaulimwengu wa roho)’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Wafalme 6:10‐17.Ndipo Mungu akamfunguamacho yake naye akawezamacho yake, naye akawezakuona (katika ulimwengu wa( groho), akaona malaika wengiwaliowazunguka pande zote.

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea 

Nsana na Namna unavyowaza(mind set) baada ya maombi(mind set) baada ya maombi. 

Na uwezo wa kuwazaNa uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea g

namna unavyoona.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Kwa Mfano;Imani ya Baba IbrahimuImani ya Baba Ibrahimu

Warumi 4:16‐20Warumi 4:16‐20.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita

kwa kutokuamini balikwa kutokuamini, baliakiiona/akiitazama ahadi ya/ yMungu, alitiwa nguvu katikaimani yake na kumpa Mungu

utukufuutukufu, 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.17 … Ibrahimu baba yetu 

alimwamini, Mungu awapaye h di li k f kahadi waliokufa na akaanza kuvitaja vile vitu ambavyokuvitaja vile vitu ambavyo 

haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.19 Abrahamu hakuwa dhaifu katikaimani hata alipofikiri juu ya mwiliimani hata alipofikiri juu ya mwiliwake na alipofikiiri juu ya ufu watumbo la Sara, ambalo lilikuwakama limekufa kwani umri wakekama limekufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia

moja na Sara miaka 90.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita

kwa kutokuamini ahadi yakwa kutokuamini ahadi yaMungu, bali alitiwa nguvug , gkatika imani yake na kumpa

Mungu utukufu, 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.

21 ki h kik k bi21 akiwa na hakika kabisakwamba Mungu alikuwa nakwamba Mungu alikuwa na

uwezo wa kutimiza lilealiloahidi. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.18 Akitarajia yasiyowezak t ji Ab hkutarajiwa, Abrahamu

akaamini atakuwa, ‘‘Baba waakaamini atakuwa,  Baba wamataifa mengi,’’ 

(Hata kabla ya kuona mabadilikok ik b l )katika tumbo la Sara)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Imani ni uhakika wa mambo yatarajiwayo mambo ambayoyatarajiwayo, mambo ambayo bado hayajatokea, lakini tuna y j ,uhakika (uthibitisho) kwamba, hayo mambo yapo, yatatokea baada ya muda (tunayatarajia)baada ya muda (tunayatarajia).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 10:17

‘Imani huja kwa NenoImani huja kwa Neno la Mungu’la Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.19 Abrahamu hakuwa dhaifu katikaimani hata alipofikiri juu ya mwiliimani hata alipofikiri juu ya mwiliwake na alipofikiiri juu ya ufu watumbo la Sara, ambalo lilikuwakama limekufa kwani umri wakekama limekufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia

moja na Sara miaka 90.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita

kwa kutokuamini balikwa kutokuamini, baliakiiona/akiitazama ahadi ya/ yMungu, alitiwa nguvu katikaimani yake na kumpa Mungu

utukufuutukufu, 

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa ibrahimu kukiri ushindi na kuongea vizuri,j h li k Sjuu ya hali ya mke Sara na matarajio yao ya kupatamatarajio yao ya kupata 

mtoto, ulitegemea sana namtoto, ulitegemea sana na Namna alivyowaza (mind set) y ( )

baada ya maombi. 

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa ibrahimu kuwaza ushindi na kufikiri vizuri, juu 

h li k Sya hali ya mke Sara na matarajio yao ya kupatamatarajio yao ya kupata 

mtoto, ulitegemea sana namtoto, ulitegemea sana na Namna alivyomwona Sara. y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutembea kwa ImaniKutembea kwa Imani

Mawazo MtazamoManeno

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐20Ukikosea kuona, utakosea k N kik kkuwaza. Na ukikosea kuwaza, utakosea kuongea Kwahiyoutakosea kuongea. Kwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima g ,uwaze vizuri, na ili uwaze vizuri, lazima uone vizuri.

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 4:16‐20Ibrahimu alimwona Sara 

t f ti kil ttofauti na kila mtualivyomwona Sara Na ndichoalivyomwona Sara. Na ndicho kilichomwezesha kumuwaziakilichomwezesha kumuwazia 

vizuri na kumtaja vizuri.

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 4:16‐20Kila mtu alimwona Sara bibi 

k l k b hkizee, lakini Ibrahimu alimwona Sara Mamaalimwona Sara Mama watoto Na ndichowatoto. Na ndicho 

kilichomwezesha kumuwazia vizuri na kumtaja vizuri.

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 4:16‐20

“Si i Ib hi ”“Siri ya Ibrahimu”B b I iBaba wa Imani

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.19 Abrahamu hakuwa dhaifu katikaimani hata alipofikiri juu ya mwiliimani hata alipofikiri juu ya mwiliwake na alipofikiri juu ya ufu watumbo la Sara, ambalo lilikuwakama limekufa kwani umri wakekama limekufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia

moja na Sara miaka 90.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.20 Lakini Abrahamu hakusitasita

kwa kutokuamini balikwa kutokuamini, baliakiiona/akiitazama ahadi ya/ yMungu, alitiwa nguvu katikaimani yake na kumpa Mungu

utukufuutukufu, 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Warumi 4:16‐24.17 … Ibrahimu baba yetu 

alimwamini, Mungu awapaye h di li k f kahadi waliokufa na akaanza kuvitaja vile vitu ambavyokuvitaja vile vitu ambavyo 

haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 4:16‐20“Siri ya Baba Ibrahimu”

Ali li S k i iAlimwangalia Sara kupitia katika Neno la Mungukatika Neno la Mungu.(Alivaa Mawani ya Neno)(Alivaa Mawani ya Neno)

KUTEMBEA KWA IMANI

Warumi 4:16‐20Kila mtu alimwona Sara bibi 

k l k b hkizee, lakini Ibrahimu alimwona Sara Mamaalimwona Sara Mama watoto Na ndichowatoto. Na ndicho 

kilichomwezesha kumuwazia vizuri na kumtaja vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniHesabu 13:26‐33 4:1‐9Hesabu 13:26 33, 4:1 9

Wengine waliona majitu, wakatig j ,wengine waliwaona hao majitu

ni ‘chakula’ kwao.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya Rohoni Waefeso 1:15‐19Waefeso 1:15 19

Mtume Paul alituombea, macho ya mioyo yetu, yatiwe nuru, ili 

tupate kujua mambo yafuatayo;tupate kujua mambo yafuatayo; (1) tumaini (2) utajiri na 

(3)nguvu zilizo ndani yetu. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya Rohoni

Mambo yanayoathiriMambo yanayoathirimtazamo (Sight)mtazamo (Sight)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

1 Umbali (Yakobo 4:8)1. Umbali (Yakobo 4:8)Ukiwa mbali na Mungu, matatizoU a ba a u gu, atat ounayokutana nayo yataonekana

k b ibmakubwa, na utawaza vibaya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

2.  Mwanga (Yohana 8:12)Ukitumia Mwanga wa Yesu kuangaziaUkitumia Mwanga wa Yesu kuangaziamaisha yako (Neno), utaona tofauti na

wengine na matatizo makubwawengine, na matatizo makubwa, kwako yataonekana madogo nautawaza na kuongea vizuriutawaza na kuongea vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

3.  Lense (Warumi 4:19‐20)Ukit i L Y k iUkitumia Lense za Yesu kuangaziamaisha yako (Neno), utaona tofauti

i i k bna wengine, na matatizo makubwa, kwako yataonekana madogo nautawaza na kuongea vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

4.  Lishe (1Petro 2:2)Ukiwa na nidhamu ya kula lishe ya Neno la Mungu vizuri utakuwa naNeno la Mungu vizuri, utakuwa na

uwezo wa kuona tofauti na wengine, i ina utawaza na vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

5.  Kimo (Waefeso 4:11‐14)Ukit i N l M i i kUkitumia Neno la Mungu vizuri, kamachakula katika maisha yako, litakupa

k k ki h k ki huwezo wa kukua kimo chako kirohona utaona tofauti na wengine, na pia

utawaza na kuongea vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.

K t k 24 1 18Kutoka 24:1‐18

7. Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1‐18

^               1st Class

^^^ 2nd Class2 Class

^^^^^^^^^^ 3rd Class

KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU

NGAZI YA IMANI

Waefeso 4:11‐15Usiridhike kuwa mtu wa 

fMungu, bali tafuta kuongezeka katika ngazi yako ndani yakatika ngazi yako ndani ya 

Mungu.Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kukua katika Kimo cha KiimaniKukua katika Kimo cha Kiimani(Waefeso 4:11‐14)(Waefeso 4:11 14)

Kwa huduma ya Mitume, Manabii, Wainjilisti, Wachungaji na

Waalimu waumini tufundishwe naWaalimu, waumini tufundishwe nakukua, mpaka kufika katika cheo, pcha kimo cha utimilifu wa Kristo .

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.

L k 6 13 16Luka 6:13‐16

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU1 (Yoh 21:19‐24)

3 (Math 17:1‐9)

12 (L k 6 12 15)12 (Luka 6:12‐15)

2 70 (Luka 10:1 17)2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3‐8)

KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU

NGAZI YA IMANILuka 6:13‐16

Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu bali tafuta kuongezeka katikaYesu, bali tafuta kuongezeka katika 

ngazi yako ndani ya Mungu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUKUA KATIKA KIWANGO CHA IMANI

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali yoyote tu (japokatika hali yoyote tu (japo 

anaweza), bali anafanya kazi anawe a), bali anafanya ka ikatika viwango vyake maalum.

Ezekiel 28:30

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

5.  Kimo (Waefeso 4:11‐14)Ukik k tik k t d k iUkikazana katika kutenda kanuni zakiroho katika maisha yako, utakuwa

k k ki h kna uwezo wa kukua kimo chakokiroho na utaweza kuona, kuwaza nakuongea tofauti na watu wengine.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)

6.  Dawa (Ufunuo 3:15‐18)Ukitumia Neno la Mungu vizuri, kamadawa katika maisha yako itakupadawa katika maisha yako, itakupa

uwezo wa kuona tofauti na wengine, i k i ina pia utawaza na kuongea vizuri.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(a) Macho ya Rohoni(a) Macho ya RohoniVitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)7.  Upande (1Korintho 3:1‐3)Ukitumia Neno la Mungu vizuriUkitumia Neno la Mungu vizuri, 

litakusimamisha upande wa kiroho(sio wa kimwili), hiyo itakupa uwezowa kuona tofauti na wengine, na piag , p

utawaza na kuongea vizuri.

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

K d ki hKuenenda kiroho(K tik R h )(Katika Roho)

Wagal 5:16 25 Warum 8:5 12Wagal 5:16‐25, Warum 8:5‐121Wakor 1:1 91Wakor 1:1‐9

KIROHO NA KIMWILI

Rohoni                Mwilini

Tabia za rohoni Tabia za mwiliniTabia za rohoni    Tabia za mwiliniUpendo, Furaha, Amani           Chuki, Hasira, Uadui   Wema, Upole, Fadhili            Ubaya, Ukali, UchoyoUvumilivu, Uaminifu           Kutokuvumilia, Uongo, , , g ,

Utii, Unyenyekevu, Kiasi,          Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi Neno Ibada Uzinzi Uasherati UleviMaombi, Neno, Ibada          Uzinzi, Uasherati, UleviUtoaji, Kuhudumia, n.k.      Uchawi, Mila mbaya, n.k.

(a) Macho ya Rohoni(a)   Macho ya Rohoni 

Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)Vitu vinavyoathiri mtazamo (Sight)1. Umbali (Yakobo 4:8)2 M (Y h 8 12)2. Mwanga (Yohana 8:12)3. Lense (Warumi 13:14)4. Lishe (1Petro 2:2)5 Kimo (Waefeso 4:11‐14)5. Kimo (Waefeso 4:11‐14)6. Dawa (Ufunuo 3:15‐18)

( )7. Upande (1Korintho 3:1‐3)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

10 Kutembea kwa Imani10. Kutembea kwa Imani

Mtazamo

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2.Kujitambuaj

‘Kuwaza sawa na Kweli’Mithali 23:7

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Kujitambua2. Kujitambua(Mawazo ya Ushindi)(Mawazo ya Ushindi) 

Mithali 23:7‘ajionavyo mtu nafsini mwake(kwenye mawazo yake) ndivyo

alivyo (atakavyokuwa)’alivyo (atakavyokuwa)

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Mawazo Mtazamo

KUTEMBEA KWA IMANI

Uwezo wa kukiri ushindi na kuongea vizuri, unategemea 

Nsana na Namna unavyowaza(mind set) baada ya maombi(mind set) baada ya maombi. 

Na uwezo wa kuwazaNa uwezo wa kuwaza sawasawan unategemea g

namna unavyoona.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ukikosea kuona, utakoseakuwaza. Na ukikosea

k t k kkuwaza, utakosea kuongea. Kwahiyo Ili kuongea vizuriKwahiyo, Ili kuongea vizuri, lazima uwaze vizuri, na ililazima uwaze vizuri, na iliuwaze vizuri, lazima uone,

vizuri.

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Maneno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.kik k k kUkikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongea.na kutakosea kuongea.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kuitambua asili yaKuitambua asili ya Mungu iliyopo“Ndani yako”

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hivyo basi, Kumbey ,Chanzo kingine cha nguvu za Mungu 

za kutusaidia kuishi maisha ya ushindi na mafanikio ni kutokeaushindi na mafanikio, ni kutokeandani yetu; Kwasababu Roho 

Mtakatifu wa Mungu anaishi katika utu wetu wa ndani (roho zetu)utu wetu wa ndani (roho zetu).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

“Ndani yetu”Ndani yetumaana yake nini?y

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 2:7 inasemaMwanzo 2:7, inasema‘Bwana Mungu akafanya mtuBwana Mungu akafanya mtu

kwa mavumbi ya ardhi, akapuliza puani pumzi iliyoh i t k f i h i’hai, mtu akawa nafsi hai’.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwanzo 2:7 inasemaMwanzo 2:7, inasema

Mwili    Nafsi   Roho

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo from Mwanzo 2:7Kwahiyo, from Mwanzo 2:7Mwanadamu niMwanadamu ni

1. Mwili2. Nafsi3. Roho

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa uhalisi kabisa iko hivi;Kwa uhalisi kabisa, iko hivi;

RohoNafsiMwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo roho (wewe) inabebaKwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; kwasabau y g ;

imeumbwa/umeumbwa kwa f Msura na mfano wa Mungu 

mwenyewe.mwenyewe. 

Mungu Ndiye Asili Yetu.Mungu Ndiye Asili Yetu. 

Mwa 2:7 MunguMwa 2:7                          Mungu 

Dunia      Mwili    Nafsi   Roho

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwa 2:7Mwa 2:7                                      MunguMungu

RohoDunia                                 Nafsi(Udongo)                         Mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo;Kwahiyo;Ndani yako (rohoni) kuna asiliNdani yako (rohoni) kuna asili ya ki‐Mungu. Hii ina maana kwamba, ndani yako kuna 

uwezo wa ki‐Mungu;uwezo wa ki‐Mungu; (Nguvu za Mungu)( g g )

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo, Wewe ni munguKwahiyo, Wewe ni mungu mdogo duniani!

Zab 82:6Zab 82:6

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zab 82:6Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,6 Nilisema, Ninyi ni  miungu , ninyi nyote ni wana wa Aliye 

Juu Sana. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33‐36Yoh 10:33‐3633 Wayahudi wakamjibu, 

“Hutukupigi mawe kwa sababuya mambo mema uliyotenda,ya mambo mema uliyotenda, bali ni kwa kuwa umekufuru. W i i dWewe ingawa ni mwanadamuunajifanya kuwa Mungu.’’ j y g

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33‐36Yoh 10:33‐3634 Yesu akajibu akawaambia, ‘‘Je, haikuandikwa katika Torati yenukwamba, ‘Ninyi nimiungu?’kwamba,  Ninyi nimiungu?  

35 Kama aliwaita (ninyi) ‘miungu’,ninyi ambao neno la Mungu

limewajia …limewajia …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoh 10:33‐36Yoh 10:33‐3636 Si zaidi sana mimi, ambaye

Baba ameniweka wakfu(mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa,(mtakatifu), kujiita Mungu? Sasa, mnawezaje kusema kwamba, 

i k f ti k b bninakufuru eti kwasababunimesema ‘Mimi ni Mwana wa

Mungu (au Mungu)?’ 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1 41Yohana 5:1‐41 Kila mtu aaminiye kwamba1 Kila mtu aaminiye kwamba Yesu ni Kristo, amezaliwa na Mungu (kwahiyo, ni Mungu 

d d i i)mdogo duniani).(Zaburi 82:6)(Zaburi 82:6)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1 41Yohana 5:1‐44 Kwa maana, kila kitu4 Kwa maana, kila kitu 

kilichozaliwa na Mungu, ana nguvu ya ushindi ndani yake h t k hi d lihata kuushinda ulimwengu …

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1 41Yohana 5:1‐44 na huku ndiko kushinda,4 na huku ndiko kushinda, 

kuushindako ulimwengu, hiyoImani yetu (uhakika wa ukweli

i k k h ) ”usioonekana kwa macho).” 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waebrania 11:1Waebrania 11:11 Imani ni kuwa na uhakika wa1 Imani ni kuwa na uhakika wa 

mambo yasiyoonekana.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUWaebrania 11:1

Kwahiyo, hata kama huoni kwa h h j hik k ikmacho au hujashika kwa mikono, 

lakini amini tu kwamba, wewe nilakini amini tu kwamba, wewe ni Mungu mdogo duniani. 

Kwasababu ‘Hatuenendi kwa kuona bali kwa imani (2Kor 5:7)’kuona, bali kwa imani. (2Kor 5:7)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUWaebrania 11:1

Na huko kuamini hivyo, ndiko k k f li N Mkunakofungulia Nguvu za Mungu,za kuushinda ulimwengu. Imaniza kuushinda ulimwengu. Imani hiyo ndiyo inayo switch ‘ON’ 

k k d inguvu za Mungu kutoka ndani yako (mito ya maji ya uzima).yako (mito ya maji ya uzima).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Kujitambua2. Kujitambua(Mawazo ya Ushindi)(Mawazo ya Ushindi) 

Mithali 23:7‘ajionavyo mtu nafsini mwake(kwenye mawazo yake) ndivyo

alivyo (atakavyokuwa)’alivyo (atakavyokuwa)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Kwa Mfano;Gideon na Mawazo Dhaifu

Waamuzi 6:1‐16

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon amezaliwa na kukuliaGideon amezaliwa na kukulia katika utumwa, na ndivyokatika utumwa, na ndivyo alivyokuwa anajiona na

kujiwazia; na hali hiyo ndiyo iliyozima uwezo na nguvu zailiyozima uwezo na nguvu za 

Mungu ndani yake. Mungu ndani yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Malaika wa Mungu alimwonaMalaika wa Mungu alimwonaGideon, tofauti na yeyeGideon, tofauti na yeye 

alivyojiona; na ndio maana alimwita Gideon jina la SHUJAAjapo Gideon alikuwa anajionajapo Gideon alikuwa anajiona 

MTUMWA. MTUMWA.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Malaika wa Mungu akapuuzaMalaika wa Mungu akapuuzamalalamiko ya Gideoni, nay

kumwambia, “(usitegemee kwambanitak pa chochote k asababnitakupa chochote, kwasababu

ulichonacho, kinakutosha sana, ila, ,umekizima mwenyewe, kwa jinsi tu  

ji k ji iunavyojiona na kujiwazia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kisha Malaika wa Munguakamwambia Gideoni kwamba, “(ukibadilisha ujavyojiona na(ukibadilisha ujavyojiona na

kujiwazia, kutoka mtumwa kwendah j M d i kshujaa, nguvu za Mungu ndani yakozitaingia kazini) basi enenda katikag )

nguvu zako (hizo), ukawapigewamidiani ”wamidiani.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideoni aliposikia na kuamini tuGideoni aliposikia na kuamini tu maneno ya Malaika, namaneno ya Malaika, na akabadilisha alivyokuwa 

anajiona na kujiwazia, ndipo nguvu za Mungu zilizokuwanguvu za Mungu, zilizokuwa 

ndani yake ziliingia kazini (ON).ndani yake iliingia ka ini (ON).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon na wana wa IsraeliGideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao

(wamidian) kwa nguvu za Mungu, amba o ilik epo sik ote ndaniambazo zilikuwepo siku zote ndaniyao, lakini zilikuwa zimalala (zima) y , ( )kwa jinsi walivyokuwa wanajiona

k ji i (kit )na kujiwazia (kitumwa).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Gideon na wana wa IsraeliGideon na wana wa Israeli, waliwashinda wakoloni wao

(wamidian) kwa nguvu za Mungu, na si k a sabab n ingine o otena si kwa sababu nyingine yoyote

ya kibinadamu.yWamidian 30,000 : 300  Waisrael

Wamidian 100 :  1  Waisrael

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Kujitambua2. Kujitambua(Mawazo ya Ushindi)(Mawazo ya Ushindi) 

Mithali 23:7‘ajionavyo mtu nafsini mwake(kwenye mawazo yake) ndivyo

alivyo (atakavyokuwa)’alivyo (atakavyokuwa)

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili sikutukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” kwasababu, mawazo yako yananafasi kubwa ya kuwasha auyananafasi kubwa ya kuwasha au 

kuzima nguvu za Mungu na ku ima nguvu a Mungu nakutawala mazingira ya kimwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo yana nguvu ya kuathiriMawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako. 

Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya Na maneno yana nguvuvibaya. Na maneno yana nguvu 

ya kuumba!ya kuumba!Mithali 18:20‐21

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUHivyo basi, Kumbe

Chanzo kingine cha nguvu za Mungu za kutusaidia kuishi maishaMungu za kutusaidia kuishi maisha 

ya ushindi na mafanikio, ni kutokea ndani yetu; Kwasababu 

R h Mt k tif M i hiRoho Mtakatifu wa Mungu anaishi katika utu wetu wa ndani.katika utu wetu wa ndani.

(katika roho zetu).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kwamba roho yako ndiyo inayotumiwa naroho yako ndiyo inayotumiwa na Mungu kuachilia nguvu zake, 

kutakufanya uwe mtu mwoga nadhaifu maisha;dhaifu maisha; 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katikakutakuondolea ujasiri katika 

kukabiliana na maisha ya kila siku, yaliyojaa kila aina ya upinzani na vita dhidi ya mtu wa Munguvita dhidi ya mtu wa Mungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kuzima utendaji kazi wa nguvu zakuzima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe 

utaishi chini ya kiwango cha mtoto waMungu (yaani maisha yawa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika))

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakufanya uwe mtu wa kuhangaika huku na 

huku kutafuta msaada wa mbali juuhuku kutafuta msaada wa mbali, juu ya mambo ambayo wangeweza kuyatawala, kama wangekuwa na ufahamu wa msaada walionaoufahamu wa msaada walionao 

karibu zaidi (yaani, ulio ndani yao).(y , y )

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hosea 4:6Hosea 4:6Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Kwasababu 

i k ifnimekupa maarifa, nawe umeyakataa, basi na mimiumeyakataa, basi na mimi 

nimekukataa wewe.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndi Bibli iNdio maana Biblia inasema kwamba, unatakiwa kufundishwakwamba, unatakiwa kufundishwana kufundishika ili tukue kiroho mpaka kufika katika cheo cha

Kristo YesuKristo Yesu.Waefeso 4:11‐14

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Waefeso 4:11‐14Nguvu za Mungu zilizopo ndani yako, zinatosha kabisa kukuwezesha kuishi na kuyatawala mazingira yako kwana kuyatawala mazingira yako kwa ushindi na kwa mafanikio, kama 

Bwana Yesu alivyoishi na kuyatawala mazingira yake bila kushindwa aumazingira yake, bila kushindwa au 

kuzuiliwa na hali yoyote.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Uwezo wa ki‐MunguUwezo wa ki Mungukatika roho yakokatika roho yako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:23 21Yohana 14:23, 21‘Mtu akinipenda mimi na BabaMtu akinipenda, mimi na Baba tutampenda, na kuja kufanya 

makao ndani yake, na k jidhihi i h (k jif ) k k ’kujidhihirisha (kujifunua) kwake’.MUNGU ANAKAA NDANI YETU!MUNGU ANAKAA NDANI YETU!

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wewe una asili ya MunguWewe una asili ya Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Mwili    Nafsi  Roho

Mungu Ndiye Asili Yetu.Mungu Ndiye Asili Yetu. 

Mwa 2:7 MunguMwa 2:7                          Mungu 

Dunia      Mwili    Nafsi   Roho

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Wewe una asili ya MunguWewe una asili ya Mungu 

UTUKUFU

Kuona     Kuelewa         Kujua(See)      (Understand)   (Knowing)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwahiyo roho (wewe) inabebaKwahiyo, roho (wewe) inabeba asili ya Mungu; inayowezaasili ya Mungu; inayoweza 

kutawala mazingira yako, bila kuzuilika na kanuni za 

kimwili/kiduniakimwili/kidunia.(Physical Principles)(Physical Principles)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndani yako (rohoni) kuna asiliNdani yako (rohoni) kuna asili ya Mungu kabisa. Na hii ina y gmaana kwamba, ndani yako 

k ki M ikuna uwezo wa ki‐Mungu, yaani tabia za Kiungu;tabia za Kiungu; 

(Nguvu za Mungu)2Petro 1:3‐4 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2Petro 1:3‐42Petro 1:3 4                                      Mungug

RohoDunia                                 Nafsi(Ud ) M ili(Udongo)                         Mwili

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Tabia za Kiungu;Tabia za Kiungu; 2Petro 1:3‐42Petro 1:3 4 

‘… Mungu ametukirimia ahadi kubwa mno za thamani, ambazo kwa hizo (ahadi)ambazo, kwa hizo (ahadi), ametushirikisha tabia za 

uungu.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Zab 82:6Zab 82:66 Nilisema, Ninyi ni “miungu’’,6 Nilisema, Ninyi ni  miungu ,ninyi nyote ni wana wa Aliye 

Juu Sana. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Roho yako ndiyo iliyo na uwezo wa wa ki Mungu; yaani surawa wa ki‐Mungu; yaani surana mfano wa Mungu (Divine g (Nature). Kwahiyo Roho yako ndiyo inayoweza kutawala 

ulimwengu wa roho na mwiliulimwengu wa roho na mwili.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na kama roho ya binadamuNa kama roho ya binadamu ikitengwa na mwili au mwili

wake ukidhoofishwa, basi rohoit k dhihi i h kitaweza kudhihirisha uwezo wake wa ki‐Mungu iliyonayo; yaani ilewa ki Mungu iliyonayo; yaani ile ‘tabia ya uungu.’ (2Petro 1:3‐4).

Uwezo wa roho ya Mtu

Roho ya mwanadamu ina uwezoRoho ya mwanadamu, ina uwezo wa ki‐Mungu kabisa;wa ki Mungu kabisa; 

Kwa MfanoKwa Mfano; Uwezo wa kujua mambo bilaUwezo wa kujua mambo, bila 

kuelezwa au kuona.

NGUVU YA MAOMBI

1Wafalme 18:41‐44;Baada ya ile Sadaka na Maombi, kabla hata ya kuona dalili zozote za mvua katika ulimwengu waza mvua katika ulimwengu wa mwili, Nabii Eliya akawaambia , ywatu, ‘Kimbieni, nasikia sauti ya 

l ’ ( )mvua tele’ (mstari 41), 

Ulimwengu wa rohoUlimwengu wa RohoUlimwengu wa Roho

Baada ya Toba  na Sadaka         (Kumb 28:1‐14)/     /     /     /      /       /        /        /        /     /     

/    /     /     (mstari wa 41) /       /        /       /

/ / Mvua ya rohoni / / / //     /        Mvua ya rohoni /      /        /      /

/        /      /       /      /      /      /       /      /      /

Ulimwengu wa Mwili

Efe 2:2                               Efe 6:12                                    Efe 2:2                                     Efe 6:12Mkuu MkuuMkuu

Uyahudi                                  Uyahudi                                          Uyahudi 

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 1:Tajiri na LazaroLuka 16:19‐31

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19‐31Swali:

Tajiri na Lazaro wamekufa, hi k j iilihivyo, wako nje ya miili yao. Kule kuzimu tajiri alamwonaKule kuzimu, tajiri alamwona Lazaro upande wa pili akiwa kifuani kwa Baba Ibrahimu.

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19‐31Swali:

Ikiwa enzi zile hakukua na picha l id T ji i lij jwala video, Tajiri alijuaje kwamba yule palekwamba, yule pale 

aliyempakata Lazaro ndiye Baba Ibrahimu aliyeishi zamani sana? 

Uwezo wa roho ya Mtu

Luka 16:19‐31Jibu:

Tajiri alikuwa nje ya mwili wake, hi h k j ilihivyo roho yake nje ya mwili, ilikuwa na uwezo wa Kujua bilailikuwa na uwezo wa Kujua bila 

kuambiwa.

Uwezo wa roho ya Mtu

Mfano 2:Yesu, Musa na Eliya;

Petro, Yakobo na Yohana; wakiwa katika maombi ya 

MlimaniMlimani.Mathayo 17:1‐9Mathayo 17:1‐9

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1‐9Katika maombi ya Bwana Yesu kule mlimani, Utukufu wa 

Mungu unafunuka na ManabiiMungu unafunuka, na Manabii Musa na Eliya wanatokea y

pamoja na Yesu, na Petro anakirikwa Bwana Yesu, kuwatambua.

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1‐9Swali: 

Ikiwa enzi zile hakukua na picha l id P t li jwala video, Petro aliwezaje 

kujua kwamba yule pale nikujua kwamba, yule pale ni Petro na yule pale ni Musa?

Uwezo wa roho ya Mtu

Mathayo 17:1‐9Jibu: 

Wanafunzi wa Yesu, walikuwa d i Ut k f Mndani ya Utukufu wa Mungu, kwahiyo nafsi zao zilikuwakwahiyo nafsi zao zilikuwa 

rohoni zaidi kuliko mwilini, ndio maana walijua bila kuambiwa.

Uwezo wa roho ya MtuUwezo wa roho ya Mtu

Mwili Nafsi RohoMwili,   Nafsi,  Roho 

Ulimwengu  UlimwenguM ili Ki R hwa Mwili           Kiungo        wa Roho

Mungu Ndiye Asili Yetu.Mungu Ndiye Asili Yetu. 

Mwa 2:7 MunguMwa 2:7                          Mungu 

Dunia      Mwili    Nafsi   Roho

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Wewe una asili ya MunguWewe una asili ya Mungu 

UTUKUFUUTUKUFU

Kuona   Kuelewa   Kujua

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

Roho ya mwanadamu (wewe)Roho ya mwanadamu (wewe), ina uwezo wa ki‐Mungu kabisa;ina uwezo wa ki Mungu kabisa; na kama ikitengwa na mwili au mwili kudhoofishwa, basi rohoitaweza kudhihirisha tabia zaitaweza kudhihirisha tabia za uungu/ki‐Mungu iliyonayo.uungu/ki Mungu iliyonayo.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili sikutukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembea 

katika kiwango cha ki Mungu chakatika kiwango cha ki‐Mungu cha mafanikio na ushindi, bila mafanikio na ushindi, bilakuzuiliwa na chochote. 

Uwezo wa roho ya Mtu

*** Mawazo (ktk nafsi) yako yana uwezo mkubwa sana wa kuwasha (ON) au kuzima (OFF)kuwasha (ON) au kuzima (OFF) nguvu za Mungu na kuathiringuvu za Mungu na kuathiri 

mazingira yako, vizuri au vibaya;Inategemea tu, nafsi imeegemea upande upi, rohoni au mwilini.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo yana nguvu ya kuathiriMawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako. 

Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya Na maneno yana nguvuvibaya. Na maneno yana nguvu 

ya kuumba!ya kuumba!Mithali 18:20‐21

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

2 Kujitambua2.  KujitambuaMawazo ya UshindiMawazo ya Ushindi

Warumi 12:2Warumi 12:2, ‘Mgeuzwe fikra zenu na nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi yaMungu kwenu yaliyo mema ’Mungu kwenu, yaliyo mema…’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo ya UshindiMawazo ya Ushindi

Waefeso 4:21‐23Waefeso 4:21‐23, 21 ‘ikiwa mlisikia na kufundishwa, 

kama kweli ilivyo katika Yesu, 22 basi mvue mwenendo wa22 basi mvue mwenendo wa

kwanza, utu wa zamani, unaoharibika …’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo ya UshindiMawazo ya Ushindi

W f 4 21 23Waefeso 4:21‐23, 24 ‘ mvae utu mpya ulioumbwa24 … mvae utu mpya, ulioumbwakwa namna/mfano wa Mungu … 23 kisha mfanywe wapya katikaroho ya nia zenu (nafsi zenu)’roho ya nia zenu (nafsi zenu)  

ROHO MTAKATIFU

Yohana 14:12, ,Roho Mtakatifu tuliyenaye, ndiyel kaliyekuwa ndani ya Kristo Yesu, na ndiye aliye chanzo cha nguvu zandiye aliye chanzo cha nguvu za Mungu, tunazohitaji kufanya b k b idi k lmambo makubwa zaidi, kama yale 

yale na kuliko yale aliyoyafanya y y y y yBwana Yesu! 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yohana 14:12/16:7‐8‘Amini Amini nawaambia, kila mtuaniaminiaye mimi kazi nizifanyazoaniaminiaye mimi, kazi nizifanyazo, (miujiza) na yeye atazifanya, naam, hata kubwa kuliko hizi atafanya; kwasababu nakwenda kwa babakwasababu nakwenda kwa baba 

kuwaletea, Roho yule yule , y yaliyeniwezesha mimi kufanya haya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na si Yesu peke yake, hata bi d i k idbinadamu wengine wa kawaida, waliweza kufaya mambo ya ajabuwaliweza kufaya mambo ya ajabu duniani, kinyume na taratibu za kawaida za kimwili, na wakaishi maisha ya ushindi na mafanikiomaisha ya ushindi na mafanikio 

duniani, bila kuzuilika.Yohana 14:12/16:7‐8

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Musa aliweza kufungua b h i Sh t illi i 2bahari ya Shamu na watu millioni 2 wakapita katika nchi kavu, katikati ya p , yghorofa mbili za maji kitu ambacho ni kin me kabisa na kan ni a ka aidakinyume kabisa na kanuni za kawaida 

za kimwili (archmedis priciple).( p p )Kutoka 14:1‐31

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Joshua aliweza k i i h k d ikusimamisha mzunguko wa dunia 

hata jua likasimama mpaka j pwalipomaliza shughuli yao kitu ambacho ni kin me kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Joshua 10:12‐15Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Eliya aliweza kuzuia k i k it t jmvua kwa miaka mitatu japo 

kulikuwa na kila kanuni ya kimwili ya y ykuruhusu mvua kunyesha, kitu ambacho ni kin me kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17‐18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na ndio maana pia aliweza kurudisha j hi j h k kmvua juu ya nchi, japo hakukuwa na 

kanuni za kimwili za kuruhusu (kusababisha) mvua kunyesha, kitu ambacho ni kin me kabisa naambacho ni kinyume kabisa na kanuni za kawaida za kimwili.

Yakobo 5:17‐18Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Petro aliweza kumponya kil k tik l h k l bilkilema katika mlango wa hekalu, bila operation ya miguu (kama Yesu), kitu p y g ( ),

ambacho ni kinyume kabisa na kan ni a ka aida a kim ilikanuni za kawaida za kimwili.

Matendo 3:1‐16Matendo 3:1 16Kanuni za kimwili hazikumzuia.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Ndio maana Filipo aliweza kusafiri k k k k likwa kupaa na kunyakuliwa 

(kutoweka) kama Yesu, kitu ambacho ( ) ,ni kinyume kabisa na kanuni za 

ka aida a kim ilikawaida za kimwili.Matendo 8:26‐40Matendo 8:26 40

Kanuni za kimwili hazikumzuia.

Uwezo wa roho ya Mtu

Ndio maana Mitume waliwezakufanya mikubwa (kama Yesu), kitu ambacho si cha kawaidakitu ambacho si cha kawaida.

Matendo 5:12/19:11Matendo 5:12/19:11Na Mungu akafanya kwaNa Mungu akafanya kwa

mikono ya mitume, miujiza yakupita kawaida …

Uwezo wa roho ya Mtu

Matendo 5:12/19:11… mikono yao, vivuli vyao na 

h t l ilikhata leso zao, zilikuwa na nguvu za Mungu zilizowaponya watuza Mungu zilizowaponya watu 

walioonewa na ibilisi.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hii inaonyesha wazi kwamba; Roho yako ndiyo iliyo na uwezo 

ki M iwa wa ki‐Mungu; yaani sura na mfano wa Mungu (Divinemfano wa Mungu (Divine 

Nature). Kwahiyo Roho yako ina uwezo wa kutawala 

li h iliulimwengu wa roho na mwili.

NAMNA YA KWENDA MBELE ZA MUNGU

*** Kama watu wa Mungu*** Kama watu wa Mungu tukifanikiwa kukumbuka hili sikutukifanikiwa kukumbuka hili siku zote, nguvu za Mungu zitakuwa “ON” nasi tutaweza kutembea 

katika kiwango cha ki Mungu chakatika kiwango cha ki‐Mungu cha mafanikio na ushindi, bila mafanikio na ushindi, bilakuzuiliwa na chochote. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutakuondolea ujasiri katikakutakuondolea ujasiri katika kukabiliana na maisha ya kila ysiku, yaliyojaa kila aina ya 

upinzani na vita dhidi ya mtu wa MunguMungu.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kutokujua ukweli huu, kutazuia na kutazima utendaji kazi wa nguvu zakutazima utendaji kazi wa nguvu za Mungu maishani mwako; nawe 

utaishi chini ya kiwango cha mtoto waMungu (yaani maisha yawa Mungu (yaani maisha ya kushindwa na kuzuilika))

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Kutokujua (Kutokuwa naKwa Kutokujua (Kutokuwa na ufahamu huu) watu wa Mungu 

wengi wamezuia utendaji kazi wa nguvu za Mungu kutoka ndaninguvu za Mungu kutoka ndani yao, na Nguvu kubwa sana zayao, na Nguvu kubwa sana za Mungu zimebaki ndani yao zimelala (hazijatumika). 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Na matokeo yake ni kwamba, watuwa Mungu wengi wanahangaika nakutumia muda mwingi na gharamag gkubwa, kukimbia‐kimbia kushoto nakulia, kutafuta msaada wa mbali,kulia, kutafuta msaada wa mbali,    wakati ndani yao wameacha

msaada ulio karibu; yaani nguvu zamsaada ulio karibu; yaani nguvu zaMungu nyingi, zimebaki zimelala

ndani yao bila kutumikandani yao, bila kutumika.   

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo yana nguvu ya kuathiriMawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako. 

Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya Na maneno yana nguvuvibaya. Na maneno yana nguvu 

ya kuumba!ya kuumba!Mithali 18:20‐21

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

(b) Mawazo ya Ushindi(b) Mawazo ya UshindiMithali 23:7Mithali 23:7

‘Ajionavyo mtu nafsini mwake, ndivyo alivyo’

(Rum 12 2 Efe 4 20 24)(Rum 12:2, Efe 4:20‐24)

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Mawazo Mtazamo

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Maneno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.kik k k kUkikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongea.na kutakosea kuongea.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

3.Kukiri Ushindi

Kutamka maneno ya BarakayYoh 6:63, Mith 18:20‐21,

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

(3) Maneno ya Baraka/Ushindi(3) Maneno ya Baraka/UshindiYohana 6:63, Ebr 4:12‐13Mith 18:20‐21, Mith 6:1‐2

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Maneno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na mawazo mazuri. Na mawazo 

mazuri hutokana na kuona vizuri.kik k k kUkikosea kuona, utakosea kuwaza 

na kutakosea kuongea.na kutakosea kuongea.

Kutembea na nguvu za MunguKutembea na nguvu za Mungu

Mawazo MtazamoManeno

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaebrania 4:12Waebrania 4:12

“Neno la Mungu li haili N ”tena lina Nguvu”

KANUNI ZA KIROHO

Yohana 1:1‐4,‘Neno alikuwa kwa Mungu, Neno

lik M kil kitalikuwa Mungu, kila kitukilifanyika kwa Neno; wala pasipokilifanyika kwa Neno; wala pasipoyeye, hakuna kitu kilichofanyika.’

‘Neno ni uhai.’Neno ni uhai.

NGUVU YA NENO

2K 3 6 Y h 6 632Kor 3:6, Yoh 6:63‘Andiko linauwa lakini Roho‘Andiko linauwa, lakini Roho

anahuisha; kwahiyoanahuisha; kwahiyo, Neno langu ni Roho, tena niNeno langu ni Roho, tena ni 

Uzima; kwasababu’;

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Nguvu ya neno inatokana naNguvu ya neno inatokana naUhai wa Neno lenyewe, ambaoUhai wa Neno lenyewe, ambao

unatokana na uwepo waRoho/roho aliyevuvia hilo Neno

Waebrania 4:122Ti h 3 16 172Timotheo 3:16‐17

NGUVU YA NENO

Mith li 18 20 21Mithali 18:20‐21‘Mauti na uzima huwa katika‘Mauti na uzima huwa katika

uwezo wa ulimi na waouwezo wa ulimi, na waowautumiao, watakula,

matunda yake.’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO2 Timotheo 3:16‐17

Andiko + Pumzi = Neno (Hai)Andiko + Pumzi = Neno (Hai)

Herufi   +  Roho = Nguvu

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO

Yohana 6:63‘Roho ndio itiayo uzima (uhai), kwani mwili (pasipo roho) 

haufai kitu’

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENO

Yohana 6:63‘Maneno yangu ni Roho

nayo ndio Uzima’

KANUNI ZA KIROHO

Lakini uwe makini sana;Lakini uwe makini sana;KwasababuKwasababu, 

Si kil A dik /T kSi kila Andiko/Tamko, i N l Mni Neno la Mungu.

KANUNI ZA KIROHOUsikurupuke kuchua andiko

lolote katika Biblia, ukalitumiakatika maombi na kukiri ushindikatika maombi na kukiri ushindi, 

ukadhani umetumia Neno, ukadhani umetumia Neno,kumbe umetumia Andiko tu.

(2Timotheo 3:16‐17)

KANUNI ZA KIROHOAndiko, lililochaguliwa na

Mungu ili litumike, ndilo ambaloRoho Mtakatifu wa MunguRoho Mtakatifu wa Mungu, atakuja kulivuvia, ili kulifanyaatakuja kulivuvia, ili kulifanya

kuwa Neno lenye Uhai na Nguvuya kuleta mabadiliko.

(2Tim 3:16‐17, Ebr 4:12)

KANUNI ZA KIROHO

Andiko, linauwa, baliRoho Anahuisha

(2Kor 3:6, Yoh 6:63)(Ebr 4:12)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Mauti na uzima huwa katikauwezo wa ulimi, na wao

t i t k lwautumiao, watakulamatunda yake.matunda yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 18:20‐21Mithali 18:20 21

Tumbo la Mtu, linajazwamatunda ya kinywa chake,  

hibi hanashibishwa mazao ya   midomo yake.midomo yake.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOMithali 6:2Mithali 6:2

Umetegwa kwa maneno yako na g yumekamatwa na maneno ya 

ki h kkinywa chako.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Yoeli 3:10Yeye aliye dhaifu, na aseme

i i i h d imimi ni hodari.(aliye dhaifu asikiri udhaifu(aliye dhaifu, asikiri udhaifuwake, bali akiri ushindi, kamawake, bali akiri ushindi, kamanjia ya kubadili au kuondoa

udhaifu wake).

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWakolosai 3:16Wakolosai 3:16

Neno la Kristo likae kwa wingigndani yako katika hekima yote. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOWaefeso 4:29Waefeso 4:29

Neno lolote lililo ovu, lisitokekinywani mwenu, bali lile lililo

j l k f iki jijema, la kumfaa msikiaji. 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mawazo yana nguvu ya kuathiriMawazo yana nguvu ya kuathiri maisha yako na mazingira yako. 

Ukiwaza vibaya, utoongea vibaya Na maneno yana nguvuvibaya. Na maneno yana nguvu 

ya kuumba!ya kuumba!Mithali 18:20‐21

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

NGUVU YA NENONGUVU YA NENOManeno mazuri huzaliwa naManeno mazuri huzaliwa na Mawazo mazuri. Na mawazo 

i h kmazuri hutokana na Mtazamo/kuona vizuri.Mtazamo/kuona vizuri.

Ukikosea kuona, utakosea kuwaza na kutakosea kuongea.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Hatua za Imani TimilifuHatua za Imani Timilifu(1) Kulipata Neno (Warumi 10:17)( ) p ( )(2) Kulifanya litokee (Mrk 11:23)(3) Kuthibitisha Uhakika (Rum 4:21)(4) K ki i k Uh kik (R 4 17)(4) Kukiri kwa Uhakika (Rum 4:17)(5) Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1‐9)(5) Kutenda kwa ujasiri (Mwa 17:1 9)

NGUVU YA NENO NA MAOMBI

NGUVU YA NENO Kuuathiri 

Ulimwengu wa roho kwa Neno na maombi.

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO 

1.Kufunga Mambo unayotaka f ikyafungike

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18‐19Yakobo 5:16‐18

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO 

2. Kufungua Mambo unayotaka f kyafunguke

Mathayo 16:18‐19Mathayo 16:18‐19Yakobo 5:16‐18

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO 

3. Kuua Kufisha Mambo unayotaka f k biyafe kabisa

Marko 11:12‐14Marko 11:12‐14‘tangu leo mtu asile matunda kwako’g

(Kuanzia leo Ufe kabisa)

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO 

4. Kuhuisha / Kufufua Mambo k f f kunayotaka yafufuke

Yohana 11:11‐15Yohana 11:11‐15‘Lazaro, rudi katika uhai wako tena’,

Ezekieli 37:1‐14

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO 

5. Kuponya na kurejesha katika h li khali yake ya mwanzo

Zaburi 107:20Zaburi 107:20‘Hulituma Neno lake, na ,kuwaponya mataifa’

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA NENO 

6. Kuhamisha Nyakati/MatukioMarko 13:14‐19

‘O b i k ki bi k i k ti‘Ombeni kukimbia kusiwe wakati wa baridi (kuwe wakati wa joto)’( j )Yohana 2:1‐11, Isaya 38:1‐5

NGUVU YA NENO

7. Kujua Mambo yaliyojificha

Waebrania 4:1212 Neno la Mungu li hai

tena lina Nguvu 13 “Lawezatena lina Nguvu 13 “Lawezakuyapambanua mawazo yakuyapambanua mawazo ya moyo; wala hakuna awezaye

kujificha mbele zake

NGUVU YA NENO

7. Kujua Mambo yaliyojificha

Neno la Mungu laweza kutumwakama mjumbe kuleta taarifa, h b i i i ili jifi hhabari au siri zilizojificha.Isa 55:10‐11, Yer 1:11,Isa 55:10 11, Yer 1:11, Ezek 3:16, Ezek 35:1

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

7. Kujua Mambo yaliyojifichaa) Yaliyopita (Ufu 5:1‐5/13:8)b) Y S (D 1 17 20/17 24)b) Ya Sasa (Dan 1:17‐20/17‐24)c) Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13‐14 17)c) Yajayo (Isa 9:6/Dan 7:13‐14,17)

NAMNA YA KUOMBANGUVU YA MAOMBI 

Tukijua siri hii ya maombi, jinsi yanavyoweza kubadilisha  

ulimwengu wa roho kwa kutumiaulimwengu wa roho, kwa kutumia Nguvu ya Neno, tutaleta g y ,mabadiliko tunayotamani kuyaona katika maisha yetu 

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Mwombe Mungu akuumbieMwombe Mungu akuumbie  Kiu, Bidii na Nidhamu yaKiu, Bidii na Nidhamu ya kuomba Neno la Mungu.g

KUOMBA NENO LA MUNGUKUOMBA NENO LA MUNGU

• Ufunuo Efe 1:15 22• Ufunuo  ‐ Efe 1:15‐22, • Kukua ‐ Efe 4:11‐15Kukua  Efe 4:11 15• Afya  ‐ 1Pet 2:24• Biashara  ‐ Kumb 8:18• Kazi  ‐ Zab 1:3• Watoto  ‐ Isa 54:13

KAZI YA ROHO MTAKATIFU

UONGOZI WAUONGOZI WA ROHO MTAKATIFUROHO MTAKATIFU

UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU 

Siri ya Ushindi wetuSiri ya Ushindi wetuUpo katika Kumtambua RohoUpo a a u a bua o oMtakatifu, katika Nafasi zake;1. Yeye ni Mungu2. Yeye ni Nguvu ya Mungu3. Yeye ni Mtu ‐ Nafsi hai

UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU 

Kumtambua Roho Mtakatifu,Kumtambua Roho Mtakatifu,

Kama Mtu – Kumshirikisha yoteyNguvu ya Mungu – KumtegemeaKama Mungu – Kumtii 100%

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU 

Kanisa la Kwanza walijua hilo,Kanisa la Kwanza walijua hilo, kwasababu Yesu alisha waonya mapema, kabla ya kumleta Roho wakekumleta Roho wake.

Yohana 16:1‐16,22Y h 14 12 17Yohana 14:12‐17

UHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU 

Siri ya UshindiSiri ya Ushindi wawa 

KANISA la KwanzaKANISA la Kwanza

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU 

Kanisa la Kwanza walifauluKanisa la Kwanza walifaulu katika kujua hilo, kwasababu Yesu alisha waonya mapema, kabla ya kumleta Roho wakekabla ya kumleta Roho wake.

Yohana 16:1‐16,22Y h 14 12 17Yohana 14:12‐17

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZAKWANZA

Baada ya miaka 300 tu ya injili, kanisa la kwanza walikuwa 

k liwameuteka ulimwengu wote uliokuwa unakaliwa na watuuliokuwa unakaliwa na watu.

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZAKWANZA

K i lilik k bKanisa lilikuwa nguvu kubwa isiyoweza kuzuilika au kushindwa.y

Waebrania 11:32‐38 Matendo 17:6

‘Th h h d h ld‘These that have turned the world upside down are come here also’upside down are come here also

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

1 li b h1. Walimtambua Roho MtakatifuMtakatifu 

(katika Utu wake)(katika Utu wake)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

2 li h i i h2. Walimthamini Roho MtakatifuMtakatifu  

(katika Nafasi yake)(katika Nafasi yake)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

3 li hi iki h b3. Walimshirikisha mambo tyao yote 

(Katika Maombi)(Katika Maombi)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

li ikili li h4. Walimsikiliza alichosema (M i k )(Maagizo yake)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LA KWANZA

li ii h5. Walimtii Roho (k Ki i )(kama Kiongozi wao)

ROHO MTAKATIFU NI MUNGU

SIRI YA USHINDI WA KANISA LAKWANZA

1. Walimtambua Roho Mtakatifu2 Walimthamini Roho Mtakatifu2. Walimthamini Roho Mtakatifu3. Walimshirikisha Roho Mtakatifu3. Walimshirikisha Roho Mtakatifu4. Walimsikiliza Roho Mtakatifu5. Walimtii Roho Mtakatifu

KAZI YA ROHO MTAKATIFU

UONGOZI WAUONGOZI WA ROHO MTAKATIFUROHO MTAKATIFU

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

1Wakorintho 13:14

KIFUNGO CHA USHIRIKAKIFUNGO CHA USHIRIKA“Huwezi kupata NGUVU NA pMSAADA  wa Roho Mtakatifu, 

kama huna  ushirika unaotokana na uhusiano mzuri na yeyena uhusiano mzuri na yeye.

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Yohana 16:13‘Lakini huyo Roho mtakatifu t k k j ATAWAONGOZAatakapokuja, ATAWAONGOZAawatie kwenye kweli yote; naawatie kwenye kweli yote; na kuwapasha habari hata za 

mambo yajayo’

SIRI YA KANISA LA LEO

Siri ya Kutembea na Nguvu zaSiri ya Kutembea na Nguvu zaMungu ipo katika utii wa

uongozi wa Roho Mtakatifumaishani mwakomaishani mwako.

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha Utii unaompaKiwango cha Utii unaompa Roho Mtakatifu, kinategemea kiwango cha usikivu wako ktk  k i b i k ( i l)• kuitambua sauti yake (signal)

• kuisikia sauti yake (kuelewa)• kuisikia sauti yake (kuelewa) • kuitii sauti yake (kutenda)kuitii sauti yake (kutenda)

USHIRIKA NA ROHO MTAKATIFU

Lakini kikubwa zaidi;Roho Mtakatifu 

anataka kuongoza! Ndio moja ya kazi yake ili l t d i iiliyomleta duniani

Yohana 16:13Yohana 16:13

SIRI YA KANISA LA LEO

Kiwango cha Utii unaompaKiwango cha Utii unaompaRoho Mtakatifu, kinategemeakiwango cha usikivu ulionao

kwa uongozi wa Msaidizi wakokwa uongozi wa Msaidizi wako, Roho Mtakatifu.Roho Mtakatifu.

KUONGOZWA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

NAMNA YA KUSIKIA SAUTI YA MUNGU NA 

UONGOZI WA ROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

A.A.  NAMNA ZA KAWAIDA

KUONGOZWA  NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

l k1. Kwa Neno lake(Logos);(Logos); 

(Zab 119:105, 2Tim 3;16‐17)( , ; )

KUONGOZWA  NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

2 Kwa Ushuhuda wa moyoni2. Kwa Ushuhuda wa moyoni(Sauti ya Ndani – ‘Rhema’)    Isaya 55:8‐11, Yer 29: 11 (1Kor 2:16, Rum 8:16) (2Nyak 6:7, 2Nyak 7:11)

KUONGOZWA  NA ROHO MTAKATIFUA. Namna za KAWAIDA

3. Kwa Amani ya rohoni3. Kwa Amani ya rohoni(Furaha/Uhuru) 

(Isa 55:12, Kol 3:15)(Fil 4 6 7 Ef 4 1 3)(Fil 4:6‐7, Efe 4:1‐3)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

4 Kwa njia ya Ndoto4. Kwa njia ya Ndoto

(Math 1:18‐25  Math 2;19‐21)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

A. Namna za KAWAIDA

5. Kwa kutumia watu wengine.   

(Math18:16, Mdo 6:3‐6)

KUONGOZWA NA ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

B.B.  NAMNA ZISIZO S OZA KAWAIDA

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

6 Kwa njia ya Maono6. Kwa njia ya Maono

(Mdo 10:1‐19, Mdo 9:10‐12) (Mdo 16:9‐10)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

7 Kwa Neno la Maarifa7. Kwa Neno la Maarifa

(1Kor 12:4‐8; Mdo 5:1‐11)(Math 12:22‐28)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFUB. Namna ZISIZO KAWAIDA

8 Kwa Neno la Hekima8. Kwa Neno la Hekima

(1Kor 12:4‐8; 2Fal 2:19‐21)(Yoh 9:1‐7)

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. Namna ZISIZO KAWAIDA

9 Kwa njia ya Unabii9. Kwa njia ya Unabii. 

(1Kor 12;7‐10, 1Kor 14:10)( ; , )(Mdo 13:1‐3)  

KUONGOZWA NA ROHO MTAKATIFU

B. Namna ZISIZO KAWAIDA

10 Kwa Sauti ya Nje10. Kwa Sauti ya Nje

(Mk 9:1‐8, Mdo 9:1‐9)( , )(Yoh 12:28‐30)

KUONGOZWA NA ROHO 

VIZUIZI VYA KUSIKIAVIZUIZI VYA KUSIKIA UONGOZI WAUONGOZI WA 

ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

VIZUIZI VYA KUONGOZWA Maisha ya Kinyume cha Masharti;

1 Kuishi katika Dhambi na Uasi1. Kuishi katika Dhambi na Uasi.2. Kukosa kuabudu kirefu (binafsi).3. Kukosa maombi ya kutosha.4 K k f di h N l M4. Kukosa mafundisho ya Neno la Mungu5. Kukosa ibada (za pamoja).5. Kukosa ibada (za pamoja).6. Kuenenda kimwili (Tabia za kimwili). 7. Kukosa Ujazo na Kiwango cha kiroho.

KUONGOZWA NA ROHO 

KUONGEZA USIKIVUKUONGEZA USIKIVU KWA SAUTI YAKWA SAUTI YA 

ROHOMTAKATIFUROHO MTAKATIFU

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

1 M i h Ut k tif1. Maisha ya Utakatifu(Y h 9 31 2W k 6 14 18)(Yoh 9:31, 2Wakor 6:14‐18)(1Pet 1:15 16 Isa 57:17)(1Pet 1:15‐16, Isa 57:17)

VITA YA MWILI NA ROHOVITA YA MWILI NA ROHO 

(Utukufu) Uhusiano Mungu(Utukufu) Uhusiano Mungu

Mwili Roho

DuniaDuniaNafsi

Shetani

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

2 K if K b d2. Kusifu na Kuabudu(Y h 4 23 24 Z b 22 3)(Yoh 4:23‐24, Zab 22:3)

(2Nyak 5:13 14)(2Nyak 5:13‐14)

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

3 K N k Bidii3. Kusoma Neno kwa Bidii(W b 4 12 W k l 3 16 17)(Waebr 4:12, Wakol 3:16‐17)

(2Tim 3:16 17)(2Tim 3:16‐17)

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

4 M bi M d M f4. Maombi ya Muda Mrefu(W k l 4 2 1Th 5 17)(Wakol 4:2, 1Thes 5:17)

(Luka 6:12/18:1)(Luka 6:12/18:1)

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

5 K k ik k tik Ib d5. Kukusanyika katika Ibada(M th 18 19 20 W b 10 25)(Math 18:19‐20, Waebr 10:25)

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

6 K d ki h6. Kuenenda kiroho(K tik R h )(Katika Roho)

Wagal 5:16 25 Warum 8:5 12Wagal 5:16‐25, Warum 8:5‐121Wakor 1:1 91Wakor 1:1‐9

KIROHO NA KIMWILI

Rohoni                Mwilini

Tabia za rohoni Tabia za mwiliniTabia za rohoni    Tabia za mwiliniUpendo, Furaha, Amani           Chuki, Hasira, Uadui   Wema, Upole, Fadhili            Ubaya, Ukali, UchoyoUvumilivu, Uaminifu           Kutokuvumilia, Uongo, , , g ,

Utii, Unyenyekevu, Kiasi,          Wizi, Kiburi, Kujiona, Maombi Neno Ibada Uzinzi Uasherati UleviMaombi, Neno, Ibada          Uzinzi, Uasherati, UleviUtoaji, Kuhudumia, n.k.      Uchawi, Mila mbaya, n.k.

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Usikivu Mzuri;

7 K t b k tik ki7. Kutembea katika kiwangoW b i 5 11 14Waebrania 5:11‐14

Wagalatia 4:1Wagalatia 4:1Mathayo 17:1 9Mathayo 17:1‐9

KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri;

7 ( ) Ki h Uj7 (a) Kiwango cha Ujazo(Kiwango cha Charge)(Kiwango cha Charge)

(1Sam 16:13 Zab 23:5)(1Sam 16:13, Zab 23:5)(Matendo 4:31)(Matendo 4:31)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

Kujaa Nguvu za MunguKujaa Nguvu za Mungu   

Ki Ki i UjKiwango, Kipimo, Ujazo

KUONGOZWA NA ROHO Vizuizi vya Usikivu Mzuri;

7 (b) Ki h N i7 (b). Kiwango cha Ngazi yaKirohoKiroho

(Kutoka 24:1‐8 Luka 6:13‐16)(Kutoka 24:1‐8, Luka 6:13‐16)Waebr 5:11‐14 Waef 4:11‐15)Waebr 5:11‐14, Waef 4:11‐15)

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KUJAZWA ROHO Mt.

Mungu wetu ni Mungu wa viwango maalum, hafanyi kazi katika hali yoyote tu (japokatika hali yoyote tu (japo 

anaweza), bali anafanya kazi anawe a), bali anafanya ka ikatika viwango vyake maalum.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Musa na Wazee 70 wa Israeli.

K t k 24 1 18Kutoka 24:1‐18

7. Ngazi (Level) ya WitoKutoka 24:1‐18

^               1st Class

^^^ 2nd Class2 Class

^^^^^^^^^^ 3rd Class

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

KIWANGO CHA NGUVU ZA MUNGU

Kwa Mfano;Wanafunzi wa Yesu.

L k 6 13 16Luka 6:13‐16

NGAZI ZA WANAFUNZI WA YESU1 (Yoh 21:19‐24)

3 (Math 17:1‐9)

12 (L k 6 12 15)12 (Luka 6:12‐15)

2 70 (Luka 10:1 17)2 70 (Luka 10:1,17)

3 120 (Mdo 1:15)

500 (1Kor 15:3‐8)

KIWANGO CHA NDANI YA MUNGU

NGAZI YA IMANILuka 6:13‐16

Usiridhike kuwa mwanafunzi wa Yesu bali tafuta kuongezeka katikaYesu, bali tafuta kuongezeka katika 

ngazi yako ndani ya Mungu

KUONGOZWA NA ROHO Masharti ya Kuongozwa/Usikivu;

1 Utakatifu (1Pet 1:15‐16 Isa 57:17)1. Utakatifu    (1Pet 1:15‐16, Isa 57:17)2. Kuabudu     (John 4:23‐24, Psa 22:3) 3. Maombi      (Exo 24:12‐18, Luk6:1219)4 N (H b 4 12 C l 3 16)4. Neno            (Heb 4:12, Col 3:16)5. Ibada (Math 18:19‐20)5. Ibada            (Math 18:19 20)6. Kiroho          (Wag 5:16, War 8:5‐8)7. Kiwango      (Efes 4:11‐15, Ebr 5:11‐14)

Lengo letu ni kujifunzaLengo letu ni kujifunzaKUITAMBUAKUITAMBUA 

ASILI YA MUNGU ILIYO NDANI MWETU

2Petro 1:3‐43 Kwakuwa uweza wake (yaani, nguvu zake za) uungu umetupatianguvu zake za) uungu umetupatiamambo yote tunayohitaji kwa ajili

i h ji Mya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua Yeye aliyetuita kwaj y yutukufu Wake na wemaWake 

mwenyewemwenyewe. 

2Petro 1:3‐44 Kwa sababu hiyo, ametukirimiaahadi Zake kuu na za thamaniahadi Zake kuu na za thamanikupitia mambo haya, ili kwak i i h kkupitia hayo mpate kuwa

washiriki wa tabia za uungu, g ,mkiokolewa na uharibifu (au upotovu) ulioko duniani kwaupotovu) ulioko duniani kwasababu ya tamaa mbaya.

KUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGUKUTEMBEA NA NGUVU ZA MUNGU

1Yohana 5:1‐41Yohana 5:1‐44 Kwa maana, kila kitu,kilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu nahuushinda ulimwengu, nahuku ndiko kushinda, ,

kuushindako ulimwengu, hiyoImani yetu ”Imani yetu.”

IMANI YA USHINDI

Ndani ya kila mtoto wa Mungu, kuna Sura na Mfano 

M ( i iliwa Mungu, (yaani asili ya Mungu) ambayo inakupa asiliMungu) ambayo inakupa asili ya ushindi ndani yako, dhidi yaya ushindi ndani yako, dhidi ya kila upinzani wa adui shetani 

maishani mwako.

IMANI YA USHINDI

Nahum 1:99 Mnawaza nini juu ya 

Bwana, kwa maana Bwana k hatayakomesha mateso ya 

watu wake hayatainukawatu wake, hayatainuka tena.tena.

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ni mapenzi ya Mungu, kwamba 

k i hi i hwatoto wake, tuishi maisha mzuri ya ushindi namzuri, ya ushindi na mafanikio, ili tuweze ,

kulitimiza kusudi la Mungu la kutufanya vyombo vya ibada.

IMANI YA USHINDI

Nahum 1:9Lakini kumbe, mtu wa Mungu 

f i k b k ikana nafasi kubwa sana katika utendaji kazi wa Nguvu zautendaji kazi wa Nguvu za 

Mungu duniani; aidha kuzui au g ;kuwezesha nguvu za Mungu 

kufanya kazi.

IMANI YA USHINDI

Nahum 1:9Hivyo Mungu anatuonya k k bi hkurekebisha mawazo yetu, kabla Nguvu zake hazijaingiakabla Nguvu zake hazijaingia kazini kukomesha mateso ya yadui shetani katika maisha 

yetu hata kutubariki.

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Kuna wakati, katika baadhi ya 

b U d ji k imambo, Utendaji kazi wa Nguvu za Mungu katika kuzuiaNguvu za Mungu katika kuzuia 

mateso ya shetani yunategemea sana namna unavyowaza (imani).

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo hasi( i ) i I i(negative) yasio na Imani

unaweza kuzuia msaada waunaweza kuzuia msaada wa Mungu katika maisha yako ya g y y

kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.

IMANI YA USHINDI

Nahumu 1:9Ukiwa na mawazo chanya

( i i ) I i(positive) yenye Imaniunaweza kuruhusu msaada waunaweza kuruhusu msaada wa Mungu katika maisha yako ya g y y

kila siku, pale anapotaka kukomesha mateso ya adui.

IMANI YA USHINDI

1Yohana 5:1‐44 Kwa maana, kila kitu kili h li Mkilichozaliwa na Mungu, huushinda ulimwengu nahuushinda ulimwengu, na huku ndiko kushinda,,

kuushindako ulimwengu, ni hiyo Imani yetu.”

NGUVU LA NENO LA MUNGUNGUVU LA NENO LA MUNGU

Kanuni hizi tulizojifunza zikusaidieKanuni hizi tulizojifunza, zikusaidie kuzalisha nguvu za Mungu ndani g gyako, kwasababu, utendani kazi a mkono a M ng maishaniwa mkono wa Mungu maishani 

mwako unategemea sana kiwango g gcha nguvu zake, kinachotenda kazi 

d i kndani yako.

Mafundisho MengineMafundisho Mengine

Vitabu vingine, CD na DVD za g ,Mafundisho vya Mwalimu Mgisa 

M b ik k ik d k lMtebe, yanapatikana katika duka la Vitabu vya Kikristo laVitabu vya Kikristo la Azania Front Cathedral 

Luther House, Sokoine DriveDar es Salaam.

Kwa mawasiliano zaidi,Kwa mawasiliano zaidi,

Mwl Mgisa MtebeMwl. Mgisa Mtebe (Christ Rabbon Ministry)

P. O. Box 837,Dar es Salaam TanzaniaDar es Salaam, Tanzania.

+255 713 497 654mgisamtebe@yahoo.com

i bwww.mgisamtebe.org

top related