vita dhidi ya covid-19 serikali kugawa bustani za takwimu ...€¦ · na roselyne kavoo (kna)...

18
NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi- sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan- zisha bustani za mboga kwa matumizi ya nyumbani, kupitia mradi wa serikali kuu wa kukabili uhaba wa chakula unaokodolea macho taifa kufuatia janga la Covid-19. Waziri Msaidizi wa Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Vyama vya Ushirika, Bi Ann Nyaga, alisema bustani hizo zitasaidia kuimarisha lishe kwa kuhakikisha familia zinapata mboga, matunda na majani na hivyo kuwa na kinga bora ya mwili wakati huu wa janga. Bi Nyaga alisema kuwa janga la Covid-19, linalosababishwa na virusi hatari vya corona, limeathiri mno vi- wango vya lishe bora nchini hususan miongoni mwa jamii zisizojiweza. Hivyo, kuna haja ya kutoa msaaada wa dharura kwa familia hizo ili kuzi- wezesha kupata vyakula vyenye lishe bora na hata kuuza mazao ya ziada watakayovuna na kujipatia mapato kidogo. “Baada ya mapato kudidimia na nafasi za kazi kusitishwa katika sekta ya jua kali, familia nyingi hazina pesa za kununua chakula. Bustani hizi za mboga ambazo ni za bei nafuu kuan- zisha, zinanuia kuwakinga na ku- hakikisha wanakuwa na afya njema wakati huu wa janga,” alieleza waziri huyo msaidizi. Alikuwa akizungumza wiki jana katika soko la Kasikeu, Kaunti ya Makueni, alipoz- indua mradi huo wa Kitchen Gar- den Programme unaotarajiwa kuanza hivi ka- ribuni. Familia zi- takazohusika zitapokea kifurushi kitakachoju- muisha gramu 10 za mbegu ya sukuma wiki, spinachi, mtura (almaarufu ma- nagu), terere, na robo kilo ya mbegu za kunde. Vile vile, watapewa neti ya kuleta kivuli kwe- nye bustani hiyo na tangi la maji la lita 50. Kila kifurushi kinagharimu Sh1,350 na hivyo jumla ya Sh1.35 bil- ioni zitatumika kwa familia hizo mil- ioni moja. Kuzidisha thamani ya mazao, fa- milia zitakazokuwa na mazao ya ziada zitapewa vifaa vya kukausha mazao kwa miyale ya jua, vyenye uwezo wa kukausha kilo 10 za mboga kwa saa moja. “Vifaa hivyo vya sola, ambavyo vi- tatolewa kwa makundi ya familia 10, vitazidisha muda wa hifadhi kwa vyakula vya kuharibika haraka. Pia vitafanya wanafamilia kupunguza safari za kwenda sokoni mara kwa mara kutafuta chakula, na hili litasaidia kudhibiti maam- bukizi ya virusi vya corona,” Bi Nyaga alieleza. Aliongeza kuwa kila kaunti inata- rajiwa kusajili familia kati ya 6,000- 20,000 kulingana na mahitaji yao. “Usajili utafanywa kwa ushiriki- ano na mamlaka za usimamizi wa kaunti. Kipaumbele kitapewa nyumba zilizo na familia kubwa maskini, zilio na mzazi mmoja tu, na wa- jane,” akasema. Vijana pia watapesa vifurushi hivyo ili kuzalisha miche ya kuuza. “Hakuna kilimo cha ku- dumu kisicho- husisha vijana. Kuwajumuisha katika kampeni hii, wao pia watapewa vifaa vya ku- kausha mazao na mafunzo,” alisema Bi Nyaga na kuongeza kuwa kila familia itapewa mafunzo kuhusu mbinu mbalimbali za kilimo zitakazotumika katika bustani hizo. Gavana wa Makueni, Prof Ki- vutha Kibwana, alisema serikali yake itaunga mkono mradi huo na ku- hakikisha unafanikishwa. Alieleza Prof Kibwana: “Mradi huu umekuja kwa wakati huu mwafaka wa Covid-19 kwa sababu unaanga- zia suala la lishe bora na utaimarisha kinga ya watu walio na maradhi sugu kama vile kisukari, ambao ndio wako katika hatari kubwa zaidi ya kuam- bukizwa corona.” Watakaonufaika watapewa gramu 10 za mbegu za sukuma wiki, mchicha, manawa kunde na tangi za maji za lita 50 Serikali kugawa bustani za mboga kwa familia milioni 1 NA MOHAMMED HASSAN (KNA) KITUO muhimu cha kutibu wagonjwa wa Covid-19 mjini Mombasa kitafungwa hivi ka- ribuni, kufuatia mipango ya kufungua tena taasisi za elimu Septemba ijayo. Chuo Kikuu cha Kiufundi cha Mombasa (TUM) ambacho ki- natumika kwa sasa kutenga na kutibu wale wanaogua Covid-19 katika Kaunti ya Mombasa, kime- toa mikakati ya kufungiliwa tena. Hivyo, kitafungwa ili kutayar- ishwa kwa matumizi ya wanafunzi watakaporejea katika majuma kadha yajayo. Naibu Chansela Leila Abubakar alisema majadiliano yanaende- lea kushika kasi huku serikali ya kaunti ikijiandaa kufunga kituo hicho chenye vitanda 300 za wag- onjwa wa Covid-19. “Tulitoa jengo letu la mafunzo ya uhandisi kwa muda tu ili ku- tumika kama kituo cha kutibu waathiriwa wa ugonjwa huo, un- aosababishwa na virusi hatari vya corona. Mazungumzo yanaende- lea ili kurejesha kwetu matumizi ya jengo hilo,” alisema BI Abuba- kar. Vyuo vya elimu ya juu na shule nchini zimeathiriwa na janga la corona ambalo lilisababisha ku- fungwa kwa taasisi zote za elimu. Mwezi machi, serikali ilisitisha masomo kote nchini na kuagiza wanafunzi wote kuelekea nyum- bani, baada ya taaifa kuthibiti- sha visa vitatu vya kwanza vya maambukizi ya corona. Prof Abubakar alisema serikali ya kaunti ya Mombasa imethibiti- sha kwamba itafunga kituo hicho na kurejesha matumizi yake kwa chuo baada ya kukinyunyiza dawa ya kuua viini. Alikuwa akizungumza Juma- tano iliyopita wakati wa shughuli ya kutoa chakula cha msaada kwa familia zaidi ya 100 zisizojiweza, katika mitaa duni ya Moroto na Nyumba ya Wazee mjini Tudor. Msaada huo uliojumuisha bid- haa zingine ulitolewa na wafan- yakazi wa TUM. Kituo cha kuhudumia wagonjwa wa Covid-19 kufungwa VITA DHIDI YA COVID-19 400 Wafanyakazi wa ziada watakaoajiriwa kuharakisha ujenzi wa Thwake Dam 2,634 Watu wajiojiweza wanaonufaika na mgao wa fedha za serikali kila wiki 40,000 Katoni za chakula kilicho tayari kwa matumizi zilizopeanwa kwa serikali 242m Gharama ya kukarabati uwanja mdogo wa ndege wa Lichota, Migori 1988 Mwaka ambao Eunice Wacera aliugua ugonjwa wa Systemic Lupus Erythematosus (LUPUS) 30,000 Idadi ya watu wanaoweza kukaa katika uwanja mpya wa Jomo Kenyatta, Mamboleo, Kisumu TAKWIMU ZA WIKI INASAMBAZWA BILA MALIPO TOLEO No. 51/2019-2020 +254 020 4920000 [email protected] TATHMINI YAKO YA KILA WIKI www.mygov.go.ke Juni 30, 2020 For Valia mask, jikinge mwenyewe na wengine

Upload: others

Post on 16-Jul-2020

1 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

NA ROSELYNE KAVOO (KNA)

TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za mboga kwa matumizi ya nyumbani, kupitia mradi wa serikali kuu wa kukabili uhaba wa chakula unaokodolea macho taifa kufuatia janga la Covid-19.

Waziri Msaidizi wa Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Vyama vya Ushirika, Bi Ann Nyaga, alisema bustani hizo zitasaidia kuimarisha lishe kwa kuhakikisha familia zinapata mboga, matunda na majani na hivyo kuwa na kinga bora ya mwili wakati huu wa janga.

Bi Nyaga alisema kuwa janga la Covid-19, linalosababishwa na virusi hatari vya corona, limeathiri mno vi-wango vya lishe bora nchini hususan miongoni mwa jamii zisizojiweza.

Hivyo, kuna haja ya kutoa msaaada wa dharura kwa familia hizo ili kuzi-wezesha kupata vyakula vyenye lishe bora na hata kuuza mazao ya ziada watakayovuna na kujipatia mapato kidogo.

“Baada ya mapato kudidimia na nafasi za kazi kusitishwa katika sekta ya jua kali, familia nyingi hazina pesa za kununua chakula. Bustani hizi za mboga ambazo ni za bei nafuu kuan-

zisha, zinanuia kuwakinga na ku-hakikisha wanakuwa na afya njema wakati huu wa janga,” alieleza waziri huyo msaidizi.

Alikuwa akizungumza wiki jana katika soko la Kasikeu, Kaunti ya Makueni, alipoz-indua mradi huo wa Kitchen Gar-den Programme u n a o t a ra j iw a kuanza hivi ka-ribuni.

Familia zi-takazohusika z i t a p o k e a k i f u r u s h i kitakachoju-muisha gramu 10 za mbegu ya sukuma wiki, spinachi, mtura (almaarufu ma-nagu), terere, na robo kilo ya mbegu za kunde.

Vile vile, watapewa neti ya kuleta kivuli kwe-nye bustani hiyo na tangi la maji la lita 50.

Kila kifurushi kinagharimu Sh1,350 na hivyo jumla ya Sh1.35 bil-ioni zitatumika kwa familia hizo mil-ioni moja.

Kuzidisha thamani ya mazao, fa-milia zitakazokuwa na mazao ya ziada zitapewa vifaa vya kukausha mazao kwa miyale ya jua, vyenye uwezo wa kukausha kilo 10 za mboga kwa saa moja.

“Vifaa hivyo vya sola, ambavyo vi-tatolewa kwa makundi ya familia 10,

vitazidisha muda wa hifadhi kwa vyakula vya kuharibika haraka. Pia vitafanya wanafamilia kupunguza safari za kwenda sokoni mara kwa mara kutafuta chakula, na hili litasaidia kudhibiti maam-bukizi ya virusi vya corona,” Bi Nyaga alieleza.

Aliongeza kuwa kila kaunti inata-rajiwa kusajili familia kati ya 6,000-

20,000 kulingana na mahitaji yao. “Usajili utafanywa kwa ushiriki-

ano na mamlaka za usimamizi wa kaunti. Kipaumbele kitapewa

nyumba zilizo na familia kubwa maskini, zilio na

mzazi mmoja tu, na wa-jane,” akasema.

Vi j a n a p i a watapesa vifurushi hivyo ili kuzalisha miche ya kuuza.

“ H a k u n a kilimo cha ku-dumu kisicho-husisha vijana. Kuwajumuisha katika kampeni hii, wao pia w a t a p e w a vifaa vya ku-

kausha mazao na mafunzo,”

alisema Bi Nyaga na kuongeza kuwa

kila familia itapewa mafunzo kuhusu mbinu

mbalimbali za kilimo zitakazotumika katika

bustani hizo.Gavana wa Makueni, Prof Ki-

vutha Kibwana, alisema serikali yake itaunga mkono mradi huo na ku-hakikisha unafanikishwa.

Alieleza Prof Kibwana: “Mradi huu umekuja kwa wakati huu mwafaka wa Covid-19 kwa sababu unaanga-zia suala la lishe bora na utaimarisha kinga ya watu walio na maradhi sugu kama vile kisukari, ambao ndio wako katika hatari kubwa zaidi ya kuam-bukizwa corona.”

Watakaonufaika watapewa gramu 10 za mbegu za sukuma wiki, mchicha, manawa kunde na tangi za maji za lita 50

Serikali kugawa bustani za mboga kwa familia milioni 1

NA MOHAMMED HASSAN (KNA)

KITUO muhimu cha kutibu wagonjwa wa Covid-19 mjini Mombasa kitafungwa hivi ka-ribuni, kufuatia mipango ya kufungua tena taasisi za elimu Septemba ijayo.

Chuo Kikuu cha Kiufundi cha Mombasa (TUM) ambacho ki-natumika kwa sasa kutenga na

kutibu wale wanaogua Covid-19 katika Kaunti ya Mombasa, kime-toa mikakati ya kufungiliwa tena.

Hivyo, kitafungwa ili kutayar-ishwa kwa matumizi ya wanafunzi watakaporejea katika majuma kadha yajayo.

Naibu Chansela Leila Abubakar alisema majadiliano yanaende-lea kushika kasi huku serikali ya kaunti ikijiandaa kufunga kituo hicho chenye vitanda 300 za wag-

onjwa wa Covid-19.“Tulitoa jengo letu la mafunzo

ya uhandisi kwa muda tu ili ku-tumika kama kituo cha kutibu waathiriwa wa ugonjwa huo, un-aosababishwa na virusi hatari vya corona. Mazungumzo yanaende-lea ili kurejesha kwetu matumizi ya jengo hilo,” alisema BI Abuba-kar.

Vyuo vya elimu ya juu na shule nchini zimeathiriwa na janga la

corona ambalo lilisababisha ku-fungwa kwa taasisi zote za elimu.

Mwezi machi, serikali ilisitisha masomo kote nchini na kuagiza wanafunzi wote kuelekea nyum-bani, baada ya taaifa kuthibiti-sha visa vitatu vya kwanza vya maambukizi ya corona.

Prof Abubakar alisema serikali ya kaunti ya Mombasa imethibiti-sha kwamba itafunga kituo hicho na kurejesha matumizi yake kwa

chuo baada ya kukinyunyiza dawa ya kuua viini.

Alikuwa akizungumza Juma-tano iliyopita wakati wa shughuli ya kutoa chakula cha msaada kwa familia zaidi ya 100 zisizojiweza, katika mitaa duni ya Moroto na Nyumba ya Wazee mjini Tudor.

Msaada huo uliojumuisha bid-haa zingine ulitolewa na wafan-yakazi wa TUM.

Kituo cha kuhudumia wagonjwa wa Covid-19 kufungwa

VITA DHIDI YA COVID-19

400Wafanyakazi

wa ziada watakaoajiriwa

kuharakisha ujenzi wa Thwake Dam

2,634Watu wajiojiweza wanaonufaika na

mgao wa fedha za serikali kila wiki

40,000Katoni za chakula

kilicho tayari kwa matumizi

zilizopeanwa kwa serikali

242mGharama ya

kukarabati uwanja mdogo wa ndege

wa Lichota, Migori

1988Mwaka ambao Eunice Wacera

aliugua ugonjwa wa Systemic Lupus

Erythematosus (LUPUS)

30,000Idadi ya watu

wanaoweza kukaa katika uwanja mpya wa Jomo Kenyatta, Mamboleo, Kisumu

TAKWIMU ZA WIKI

INASAMBAZWA BILA MALIPO

TOLEO No. 51/2019-2020 +254 020 4920000 [email protected]

TATHMINI YAKO YA KILA WIKIwww.mygov.go.ke Juni 30, 2020

For

Valia mask, jikinge mwenyewe

na wengine

Page 2: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

2 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 3

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

ADDENDUM NO.1

IFB No: CRVWWDA/LVS/AfDB/KTSWSSP/W/BOMET/2019 - 2020

CONSTRUCTION OF WATER SUPPLY AND SANITATION SYSTEM FOR BOMET - LONGISA - MULOT TOWNS

Reference is made to the invitation to bid for the above mentioned works published on 10th June, 2020. All potential bidders are notified of changes in Volume 2: Bidding Forms-Bill of Quantities as follows: a) Changes in Bill No.1 b) Addition of Bill No. 9 c) Changes in the Grand Summary Page

Due to the size of the file it was not possible to upload Volume 4 (Drawings) of the Tender Documents on the websites and PPIP portal.

The bidders are advised to collect Addendum No. 1 and Volume 4 of the Tender Documents as from 1st July, 2020 at the Agency’s offices during normal working hours.

The Chief Executive Officer,Central Rift Valley Water Works Development AgencyMaji Plaza, Prison RoadOff Nakuru - Eldama Ravine HighwayP.O. Box 2451-20100Nakuru, KenyaTel: +254 718313557

SPECIFIC PROCUREMENT NOTICE (SPN)Invitation for Bids

CENTRAL RIFT VALLEY WATER WORKS DEVELOPMENT AGENCY

MINISTRY OF WATER & SANITATION AND IRRIGATION

ON BEHALF OF LAKE VICTORIA SOUTH WATER WORKS DEVELOPMENT AGENCY

PROGRAMME: KENYA TOWNS SUSTAINABLE WATER SUPPLY AND SANITATION PROGRAM

TENDER NOTICE

Agricultural Finance Corporation (AFC) is a wholly owned Government Development Finance Institution (DFI) incorporated under the Agricultural Finance Corporation Act (Cap 323 of the Laws of Kenya). AFC is charged with the mandate of supporting the development of agriculture and agriculture industries by making loans and providing managerial and technical assistance to the loan beneficiaries.

The Corporation invites eligible contractors from competent and qualified firms for the following tenders:-

AGRICULTURAL FINANCE CORPORATION

TENDER NO. TENDER NAME NCA TENDER SECURITY

ELIGIBILITY

AFC/004/06/2020 PROPOSED CONSTRUCTION OF AFC BUNGOMA BRANCH

6 & Above 150,000.00 OPEN

AFC/010/06/2020 PROPOSED CONSTRUCTION OF AFC MOLO BRANCH

6 & Above 150,000.00 OPEN

AFC/034/06/2020 PROPOSED REFURBISHMENT OF AFC BOMET BRANCH

6 & Above 150,000.00 OPEN

Detailed tender documents may be viewed and obtained by interested and eligible bidders free of charge from the Corporation’s Website: www.agrifinance.org. The completed tender document enclosed in plain sealed envelopes clearly quoting the Tender Number as indicated above should be sent through Registered Mail or deposited in the Tender Box located on 5th floor, Development House, Nairobi, addressed to:

The Managing Director,Agricultural Finance Corporation,

Development House, 7th Floor, Moi Avenue,

P.O. Box 30367, 00100 GPO NAIROBI.

So as to be received on or before 12 noon Monday, 13th July, 2020. The Tenders will be opened on the same day at 12.30 pm at the AFC/ADC 3rd Floor Conference Room, Development House, in the presence of bidders or their representatives who choose to attend.

The acquisition by limited companies of their own shares was introduced in Kenya pursuant to the Companies Act, 2015 (the Companies Act) to provide limited companies with a unique opportunity to consider this option as an additional strategy for them to re-invest in their operations.

Part XVI of the Companies Act contains general procedures to be applied by any limited company intending to acquire its own shares either through a market purchase or an off-market purchase.

In addition to the requirements under the Companies Act, the Capital Markets Authority pursuant to Section 11(3) (d) of the Capital Markets Act, Cap 485A has developed draft Guidelines on Share Buybacks by Listed Companies, 2020 that will apply to companies listed at the Nairobi Securities Exchange. The draft Guidelines provide additional requirements for share buyback transactions by listed companies, including disclosures, approval requirements and timelines. The Guidelines seek to enhance investor protection, promote liquidity and ensure transparency in share buyback trans-actions.

In accordance with Section 12A(3) of the Capital Markets Act, the Authority now invites stakeholders and the general public to submit comments on the proposed Guidelines on Share Buybacks for Listed Companies, available onwww.cma.or.ke.

Kindly submit your comments by July 31, 2020 to:

The Ag. Chief ExecutiveCapital Markets Authority

P.O. Box 74800-00200 Nairobi3rd Floor, Embankment Plaza

Longonot Road, UpperhillEmail: [email protected] ,

Website www.cma.or.ke

DRAFT GUIDELINES ON SHARE BUYBACKS FOR LISTED COMPANIES

PUBLIC NOTICE

THE CAPITAL MARKETS ACT (CAP 485A)

REFERENCE NUMBER TENDER DESCRIPTION PRE-BID MEETING/SITE VISIT CLOSING/OPENING DATE

KAA/OT/JKIA/0111/2019-2020

Provision of Maintenance Services for Heating Venti-lation and Air Conditioning (HVAC) for Terminal 1A & Parking Garage at Jomo Kenyatta International Air-port

Bidders will be required to seek through the email address, [email protected] for prior ap-pointment before visiting the site in order to ensure social distancing requirements are adhered to.

16/07/2020 at 11.00 a.m.

KAA/OT/LOK/0043/2019-2020

Proposed Rehabilitation of Runway, Taxiways and Apron for Lokichoggio Air-port- Phase 2 Works

Bidders will be required to seek through the email address, [email protected] for prior ap-pointment before visiting the site in order to ensure social distancing requirements are adhered to.

17/07/2020at 11.00 a.m.

KAA/OT/LANET/0113/2019-2020

Proposed Construction of Lanet Airstrip Aircraft Pave-ment Phase 1.

Bidders will be required to seek through the email address, [email protected] for prior ap-pointment before visiting the site in order to ensure social distancing requirements are adhered to.

17/07/2020at 11.00 a.m.

TENDER ADVERTISEMENT NOTICE

The Kenya Airports Authority invites sealed tenders from eligible firms for the following tenders:-

Information on these tender notices and documents detailing the requirements, tendering procedures and guidelines should be downloaded from our website at https://www.kaa.go.ke/corporate/procurement/ or https://suppliers.kaa.go.ke/irj/portal or Public or Procurement Information Portal at www.tenders.go.ke free of charge.

Bidders are advised to note that bidding process for the tenders is through our online tender portal athttps://suppliers.kaa.go.ke/irj/portal. For any information or clarifications, please contact us through our email, [email protected]

Canvassing for the tender by the tenderer or by proxy shall lead to automatic disqualification of their tender.

A.G MANAGING DIRECTOR/CEO

Page 3: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

2 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 3

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

MURANG’A SOUTH WATER AND SANITATION COMPANY

LIMITED

INVITATION TO TENDERThe MURANG’A SOUTH WATER AND SANITATION COMPANY LIMITED (MUSWASCO) has applied for financing from the World Bank (WB) through Water Sector Trust Fund (WSTF) towards the cost of the water and sanitation improvement project and intends to apply part of the proceeds toward payments of the cost of Construction of Public Sanitation Facilities (PSFs) and Standard Water Kiosks in different areas of operation within Murang’a South Water and Sanitation Company area of Juris-diction, Murang’a County. The Company intends to apply the proceeds toward payments under the contract mentioned below.

A pre-bid meeting shall be conducted on 10TH JULY 2020 at the address mentioned below from 9:00am. A mandatory site visit will also be conducted the same day, 10TH JULY 2020 from 10:00 am. All bidders are expected to gather at MUSWASCO’s head office before proceeding to the site.

Interested eligible Bidders may obtain further information from the office of the MANAGING DIRECTOR, MURANG’A SOUTH WATER AND SANITATION COMPANY LIMITED, via email [email protected] and inspect the Bidding document during office hours 0900 to 1600 hours at the address given below.

The Bidding document in English may be purchased by interested eligible Bidders upon payment of a non refundable fee Ksh 1,000.00 in cash. Upon payment the document shall be obtained from the address below. Bidders who wish to down-load the bid document shall do so free of charge from Murang’a South Water and Sanitation Company Limited website, www.muswasco.co.ke

Bidders who download the tender documents from the website MUST forward their particulars immediately via email to [email protected]. This is for records and any further tender clarifications and addendum where neces-sary. The particulars should include: Name of Firm, Postal Address, Telephone Number, Email Address Tender Number, Tender Name.

Complete tender documents shall be sealed and marked as stated in the tender documents and be deposited at the Tender Box located at Murang’a South Water and Sanitation Company head office. Bids must be delivered to the address below on or before Friday 17TH JULY 2020 at 10:30 a.m. Electronic Bidding will not be permitted. Late Bids will be rejected. Bids will be publicly opened in the presence of the Bidders’ designated representatives and anyone who chooses to attend at the address below on 17TH JULY 2020 at 10:30 am.

The address referred to above is:

MANAGING DIRECTORMURANG’A SOUTH WATER AND SANITATION COMPANY LIMITEDP.O BOX 84-01034 KANDARA, NEXT TO DC’S OFFICE-KANDARA. Telephone: +254716645345Email: [email protected] , Website: www.muswasco.co.ke

TENDER No : MUSWASCO/NCB/WSTF-PSFK/JUN-19/20

NCB/Tender Name Eligibility Closing Date

1 a) Construction of 5No. standard Water kiosks of sizes 2.6mx 2.6m

b) Construction of 4No. standard Public Sanitation Facilities

Construction of Water and Sanitation Improvement Project

Open Friday

17th JULY 2020 at 10:30 a.m.

Kenya National Bureau of Statistics is ISO 9001 : 2015 Certified

KENYA NATIONAL BUREAU OF STATISTICSTENDER NOTICE

The Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) is a Semi-Autonomous Government Agency established under the Statistics Act, 2006 to collect, compile, analyze, and disseminate socio-economic statistics needed for planning and policy formulation in Kenya. KNBS invites sealed open National tenders as below: -

No Tender No. Item/Service Description Closing Dates Targeted Group

1 KNBS/RFP/31/2019-2020 Supply, Delivery, Support and Mainte-nance of SPSS Software.

14th July, 2020 at 10.00 am

Open

2 KNBS/RFP/32/2019-2020 Supply, Delivery, Support and Mainte-nance of STATA Software.

14th July, 2020 at 10.00 am

Open

3 KNBS/RFP/33/2019-2020 Consultancy Services to Develop a Business Continuity and Disaster Recovery Framework for KNBS.

14th July, 2020 at 10.00 am

Open

4 KNBS/ONT/34/2019-2020 Supply and Delivery of 5No. Laptops 14th July, 2020 at 10.00am

Youth, Women and Persons with Disabilities (PWDs)

Eligible Tenderers may obtain further information and download the Tender Document free of charge from Public Procure-ment Information Portal (PPIP) (https://www.tenders.go.ke) and /or Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) web-site; www.knbs.or.ke under “Tenders” portal respectively. Those who download the document must immediately forward their particulars (i.e. Name & Contacts of Applicant) to email; [email protected] for purposes of registration.

Original and Completed Tender document plus one copy should be enclosed in plain sealed envelopes marked with tender reference number and be deposited in the Tender Box on 13th Floor – Real Towers, Upper hill addressed to: -

Director GeneralKenya National Bureau of Statistics

P. O. Box 30266-00100,NAIROBI

so as to be received on or before 14th July, 2020 at 10.00 am

Tenders will be opened immediately thereafter in the presence of the Candidates or their representatives who choose to attend at the KNBS Board Room- Real Towers Upper Hill, 13th Floor.

Any canvassing will lead to automatic disqualification. Late tenders will not be accepted.

DIRECTOR GENERALKENYA NATIONAL BUREAU OF STATISTICS

KENYA WATER INSTITUTEOPEN NATIONAL TENDER

BI-ANNUAL REGISTRATION OF SUPPLIERS OF GOODS, WORKS AND SERVICES FOR FINANCIAL YEARS 2020/2021 AND 2021/2022

The Kenya Water Institute invites applications from interested, eligible and competent bidders for Bi-annual Registration of suppliers for the Financial Years 2020/2021 & 2021/2022 for its Main Campus (Nairobi Coun-ty), Kitui Campus (Kitui County), Chiakariga Campus (Tharaka Nithi County) and Kisumu Campus (Kisumu County).

NO. TENDER NO. ITEM DESCRIPTION

1. KEWI/TEN/001/2020-2021 Bi-Annual registration of suppliers FY-2020-2022

Registration documents with details of various categories of goods, works and services shall be downloaded from the KEWI website www.kewi.or.ke free of charge.

Women, Youth and Persons with Disabilities who have registered with The National Treasury/County Governments are encouraged to apply. They are also encouraged to visit our website from time to time for awareness on available opportunities and sensitization exercise.

Bidders who download the documents MUST register with the Procurement Office or notify the Institute using the email address [email protected] properly indicating Category Title/Category Number, Name of the firm, address, telephone number and email before the closing date.

Completed documents in sealed envelopes properly indicating Category Title/Category Number, may bedeposited in the Tender Box at Kenya Water Institute, Nairobi along Ole Shapara Avenue in South ‘C’ located at the Library block not later than Thursday, 16th July, 2020,at 11.00 am’ and a statement “DO NOT OPEN BEFORE Thursday, 16th July, 2020,at 11.00 am

Addressed to;

THE DIRECTOR,KENYA WATER INSTITUTE,P.O. BOX 60013 -00200, NAIROBI.

An ISO 9001-2015 Certified Authority

KEMSA: YOUR PARTNER IN HEALTHCARE

NOTICE TO ALL OUR ESTEEMED CUSTOMERS

We wish to notify our esteemed Customers and the general public that we shall close our Nairobi Central and Regional warehouses for the annual stock-take effec-tive Monday 6th to Friday 10th July 2020, both days inclusive.

During this period, all receipts and dispatches of medical supplies will be suspended. Only emergency cases shall be attended to.

Normal Sales and Warehouse operations will resume on Monday 13th July 2020.

For more information, kindly get in touch with our Warehouse, Sales, and Customer Service teams using the following contacts:

HEAD OFFICE NAIROBI:ISDN 0719 033000,

Mobile GSM: 0726 618521 and 0726618520

KEMSA SUPPLY CHAIN CENTRE, NAIROBI on numbers 0719033000, 0719033600, 0719033403 or Email: [email protected], [email protected]

CHIEF EXECUTIVE OFFICERKENYA MEDICAL SUPPLIES AUTHORITY

Tel No.: 254 20 3922000, Fax No: 245 20 3922400, www.kemsa.co.ke , Email: [email protected] Commercial Street, Industrial Area

P.O B Box 47715-00100,GPO Nairobi, Kenya

KENYA MEDICAL SUPPLIES AUTHORITY(KEMSA)

CLOSURE FOR ANNUAL STOCK–TAKE:

Page 4: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

4 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 5

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

MINISTRY OF INTERIOR & COORDINATION OF NATIONAL GOVERNMENT

TENDER NOTICE

REPUBLIC OF KENYA

Suppliers and contractors are invited for the supply and delivery of goods, provision of services and works to National Government departments/institutions within the above sub counties on as and when required basis for the period ending 30th June, 2022.

STATE DEPARTMENT OF INTERIOR AND CITIZEN SERVICES

COUNTY COMMISSIONER – TAITA TAVETA COUNTY

Interested Bidders must attach copies of:-

• Certificate of Registration/Incorporation.• Latest and valid Tax Compliance Certificate.• Registration certificates from National Construction Authority for Tender No TT/17/2020-2022 and Tender No TT/18/2020-2022• Tender TT/10/2020-2022 and TT/09/2020-2022 Should have approval from the Kenya Bureau of Standards and Pharmacy and Poisons Board of Kenya• Fully complete the Confidential Business Questionnaire and all Tender Forms.• Any other document as indicated in the Tender Document.• Youth, women and persons with disabilities who have been fully registered with the National Treasury (Directorate of Public Procurement) must show proof of registration by providing the certificate of registration.

Tender documents may be obtained through this website www.mygov.go.ke. Price quoted must be net i.e. inclusive of all Government taxes expressed in Kenya Shillings and valid for 120 days after closing date. Completed tender documents in plain sealed envelopes clearly marked the Tender number should be deposited in the Tender Box situated at the main entrance of the County and Deputy Commissioners offices or be addressed to:-

DEPUTY COUNTY COMMISSIONER DEPUTY COUNTY COMMISSIONER COUNTY COMMISSIONERP.O BOX 3 TAVETA P.O.BOX 1 VOI P.O.BOX 1, MWATATE

DEPUTY COUNTY COMMISSIONERPRIVATE BAG WUNDANYI

So as to reach them on or before 15TH July, 2020 at 10.00 A.M.

Tenders will be opened immediately thereafter in the presence of the bidders or their representatives who may choose to attend.

HEADS: SUPPLY CHAIN MANAGEMENT SERVICESTAITA/TAVETA COUNTY

NO. TENDER NO. DESCRIPTION RESERVATION

TENDER DETAILS SUPPLY AND DELIVERY OF GOODS

1 TT/01/2020 Building Materials PVC & GI pipes fittings Open

2 TT/02/2020 Dry Food stuff & Vegetables Open

3 TT/03/2020 Meat & Its related Products Open

4 TT/04/2020 Petrol, Oils, Lubricants & Cooking gas Open

5 TT/05/2020 Wood Fuel & Charcoal Women

6 TT/06/2020 Electrical goods and appliances Open

7 TT/07/2020 Office Stationary and miscellaneous items Open

8 TT/08/2020 Supply of cleaning materials Youth

9 TT/09/2020 Pharmaceuticals and Non Pharmaceuticals Open

10 TT/10/2020 Laboratory Equipment & Chemicals Open

PRE-QUALIFICATION OF SUPPLIERS AND CONTRACTORS FOR PROVISION OF SERVICES

1 TT/11/2020 Office Equipment and Furniture Open

2 TT/12/2020 Suppliers of Mot Vehicle/Cycle tires & Batteries spare parts Open

3 TT/13/2020 Repairs of office Machines Youth

4 TT/14/2020 Repairs office motor vehicle/cycles, plant & equip. Open

5 TT/15/2020 Hire of Private security services Open

6 TT/16/2020 Transport Hire Open

7 TT/17/2020 Building Contractors Open

8 TT/18/2020 Provision of water works Open

9 TT/19/2020 Suppliers of farm inputs pumps, Agricultural chemicals genera-tors and Hay

PWD

10 TT/20/2020 Provision of catering services – Breakfast lunch and dinner and food ration

Open

11 TT/21/2020 Hire of con. facilities & Hotel accommodation Open

12 TT/22/2020 Supplier of uniforms and clothing/ textile material Women

13 TT/23/2020 Supply and delivery of computers Printer copies and accessories Open

14 TT/24/2020 Consultancy Services Open

15 TT/25/2020 Sport Kits and Accessories Open

16 TT/26/2020 Tree and Fruits seedlings PWD

17 TT/27/2020 Provision of Internet Connectivity and Maintaince (VOI) Youth

TENDER NOTICE

1.1 The Kenya Industrial Property Institute is a State Corporation under the Ministry of Industry, Trade and Enterprise Development, established under the Industrial Property Act, 2001.

1.2 The Institute wishes to invite interested eligible Suppliers to participate in the above tender.

PREQUALIFICATION OF SUPPLIERS FOR 2020/2021 - 2021/2022

1.3 The tender documents can be downloaded from the KIPI website (www.kipi.go.ke) or IFMIS supplier portal (supplier.treasury.go.ke) at no cost. The tender document is also available at the Procurement Office between 9:00 am and 4:00 pm during working days upon payment of a non-refundable fee of kshs 1000/= in bankers cheque payable at the cash office and/or addressed to the Managing Director, Kenya Industrial Property Institute. Bidders who download the tender document must register with the institute through email:[email protected] before the submission date.

1.4 All completed documents in plain sealed envelopes clearly marked with the tender number should be addressed to:

Managing DirectorKenya Industrial Property Institute P.O Box 51648-00200NAIROBI.E-Mail [email protected]

Or be deposited in the Tender Box situated at entrance of the Administration block in the Institute.

Building, so as to be received on or before 13th July 2020 at 10:00 am

1.5 Submitted tenders shall be opened in the Conference Hall immediately thereafter in the presence of tenderers or their representatives who choose to attend.

Managing DirectorKenya Industrial Property Institute

Date: 23rd June 2020

TENDER NAME: PREQUALIFICATION OF SUPPLIERS

TENDER REF. NO. (KIPI/T01/2019/2020)

TENDER NO. CATEGORY

1 KIPI/PQ/001/2019/2020 Supply of Computer Consumables

2 KIPI/PQ/002/2019/2020 Supply of Computers, Printers,and other Network Equipment

3 KIPI/PQ/003/2019/2020 Supply of motor vehicle Tyres,Tubes and batteries

4 KIPI/PQ/004/2019/2020 Supply of Staff Uniforms and Protective Clothing

5 KIPI/PQ/005/2019/2020 Supply of Detergents and Sundry items

6 KIPI/PQ/006/2019/2020 Supply of Fuel and Lubricants

7 KIPI/PQ/007/2019/2020 Supply of Hardware and Electrical Materials

8 KIPI/PQ/008/2019/2020 Supply of Bottled Mineral Water

9 KIPI/PQ/009/2019/2020 Supply of Newspapers, Periodicals and Library Books

10 KIPI/PQ/010/2019/2020 Supply of Telephone Accessories

11 KIPI/PQ/011/2019/2020 Provision of Sanitary Bin Services

12 KIPI/PQ/012/2019/2020 Provision of air Travel Agency Services

13 KIPI/PQ/013/2019/2020 Provision of Security Guards Services

14 KIPI/PQ/014/2019/2020 Provision of Radio Alarms

15 KIPI/PQ/015/2019/2020 Provision of Event Management, Outside Catering and Tent Services

16 KIPI/PQ/016/2019/2020 Provision of Printing Services

17 KIPI/PQ/017/2019/2020 Provision of Asset Tagging and Coding Services

18 KIPI/PQ/018/2019/2020 Provision of Networking and Cabling Services

19 KIPI/PQ/019/2019/2020 Provision of Courier and Mail Services

20 KIPI/PQ/020/2019/2020 Provision of Auctioneering Services

21 KIPI/PQ/021/2019/2020 Provision of Asset Valuation Services

22 KIPI/PQ/022/2019/2020 Provision of General Insurance (motor Vehicle, Computers and other Acces-sories)

23 KIPI/PQ/023/2019/2020 Provision of Minor office Partitioning/Renovation Services

24 KIPI/PQ/024/2019/2020 Provision of Public/Corporate Image Services

25 KIPI/PQ/025/2019/2020 Provision of Fire Fighting Equipment

26 KIPI/PQ/026/2019/2020 Provision and Maintenance of Plumbing Works and Services

27 KIPI/PQ/027/2019/2020 provision and maintenance of Fire Fighting Equipment

28 KIPI/PQ/028/2019/2020 Provision of Repair and Maintenance of Vehicles

29 KIPI/PQ/029/2019/2020 Repair and Maintenance of Computers Printers,Ups and other Networking Equipment

30 KIPI/PQ/030/2019/2020 Provision of Professional Legal Services

31 KIPI/PQ/031/2019/2020 Repair and Maintenance of PABX Machine and Telephone Extensions

32 KIPI/PQ/032/2019/2020 Provision of Training Services

33 KIPI/PQ/033/2019/2020 Provision of Consultancy Services

34 KIPI/PQ/034/2019/2020 Provision of Garbage Collection

Page 5: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

4 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 5

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

PREQUALIFICATION OF SUPPLIERS AND SERVICE PROVIDERS FOR GOODS, WORKS AND SERVICES FOR THE

FINANCIAL YEAR 2020/2021

TVET Curriculum Development, Assessment and Certification Council (TVET CDACC) intends to pre-qualify and register Suppliers and service providers for the provision of Goods, Works and Services for the financial year 2020/2021.

Interested and competent firms specializing in the provision of goods and services in the categories mentioned here below are invited to apply for pre-qualification/registration.

TENDER NO. CDACC/T/001/2020-2021

A. SUPPLY OF GOODS

S/No

PRE- QUALIFICATION CATEGORY NO.

ITEM DESCRIPTION ELIGIBLE GROUP

1 CDACC/PRE/01/2020-2021 Supply and delivery of general stationery items. AGPO

2 CDACC/PRE/02/2020-2021 Supply and delivery of desktop computers, laptops, printers and related ac-cessories, servers and related accessories, Supply of audio-visual equipment, projectors, projector screens, white board and related items.

Open

3 CDACC/PRE/03/2020-2021 Supply and delivery of general office equipment, office furniture and fittings Open

4 CDACC/PRE/04/2020-2021 Supply and delivery of newspapers, magazines, periodicals and publications. AGPO

5 CDACC/PRE/05/2020-2021 Supply and delivery of calling cards e.g. Safaricom, Airtel and Telkom scratch cards.

AGPO

6 CDACC/PRE/06/2020-2021 Supply and delivery of staff uniform, protective gear and clothing. AGPO

7 CDACC/PRE/07/2020-2021 Supply and delivery of cleaning materials e.g soaps, detergents and disin-fectants.

AGPO

8 CDACC/PRE/08/2020-2021 Supply and delivery of tyres, tubes and batteries. Open

B. PROVISION OF SERVICES

CATEGORY NO. ITEM DESCRIPTION

9 CDACC/PRE/09/2020-2021 Provision of printing services e.g brochures, folders, booklets and other pro-motional materials e.g shirts, caps etc

AGPO

10 CDACC/PRE/10/2020-2021 Provision of printing services – Cards/Certificates AGPO

11 CDACC/PRE/11/2020-2021 Provision of printing services – Occupational Standards, Curriculum, Learning Materials etc

Open

12 CDACC/PRE/12/2020-2021 Provision of corporate branding, communication and marketing services Open

13 CDACC/PRE/13/2020-2021 Provision of travel agency services, air-ticketing and travel arrangements – IATA registered only

Open

14 CDACC/PRE/14/2020-2021 Supply, delivery and installation of CCTV equipment and services Open

15 CDACC/PRE/15/2020-2021 Provision of engraving and marking of Council Assets AGPO

16 CDACC/PRE/16/2020-2021 Provision of Pest control Fumigation Services AGPO

17 CDACC/PRE/17/2020-2021 Provision of Cleaning Services Open

18 CDACC/PRE/18/2020-2021 Provision of Security Guard Services Open

19 CDACC/PRE/19/2020-2021 Provision of insurance services for Council assets eg motor vehicles Open

20 CDACC/PRE/20/2020-2021 Provision of Tracking service to Motor Vehicles. Open

21 CDACC/PRE/21/2020-2021 Provision of insurance services medical covers Open

22 CDACC/PRE/22/2020-2021 Provision of maintenance services for office equipment eg computers, print-ers, photocopiers

AGPO

23 CDACC/PRE/23/2020-2021 Provision of IT security solutions AGPO

24 CDACC/PRE/24/2020-2021 Provision of Software designs and training services for Council’s Database AGPO

25 CDACC/PRE/25/2020-2021 Provision of repair and maintenance services for motor vehicles (Approved Garages to attach certificate or letter of approval)

Dealers & Approved Garages

C. CONSULTANCY SERVICES

CATEGORY NO. ITEM DESCRIPTION

26 CDACC/PRE/26/2020-2021 Provision of Consultancy services for Editing of TVET CDACC Documents Open

27 CDACC/PRE/28/2020-2021 Provision of Consultancy services for Development of CBET Assessment tools Open

28 CDACC/PRE/29/2020-2021 Provision of Consultancy services for Development of Occupational Stan-dards

Open

29 CDACC/PRE/30/2020-2021 Provision of Consultancy services for Development of Learning Guides/Ma-terials

Open

30 CDACC/PRE/30/2020-2021 Provision of Consultancy services for Development of Digital Content Open

The Pre-qualification/Registration of suppliers/contractor(s) documents detailing relevant terms and conditions may be obtained at No cost from the Organization’s website www.tvetcdacc.go.ke Duly completed Pre-qualification/Registration documents in plain sealed envelopes clearly marked with the Tender Number and Pre-qualification Category No. should be mailed or deposited in the Tender Box provided on the 25th floor Telposta Towers, Uhuru Wing, addressed to:-

The Chief Executive Officer,TVET Curriculum Development, Assessment and Certification Council (TVET CDACC)

P. O. Box 15745-00100, Nairobi.

so as to be received on or before 15th July, 2020 at 10:00am East African Time. Applications/tenders will be opened immediately thereafter at the Board Room on the 25th floor Telposta Towers, Uhuru Wing, in the presence of candidates or their representatives who may wish to attend. (NB: The Government measures on Containment of Covid-19 shall be applied in full)

Any canvassing in whatever way will render the prospective bidder(s)/applicant(s) ineligible for participation.The Organization reserves the right to accept or reject any application/tender in whole or in part without giving reason(s) for its decision.

Head, Supply Chain ManagementFOR: CHIEF EXECUTIVE OFFICER

Telposta Toweras(25th Floor) P.O Box 15745-00100 NAIROBI, KENYA

Kenyatta Avenue Tel: +254 20,2217210 , Ext. 2503Email: [email protected]

The Unclaimed Financial Assets Authority (UFAA) invites interested and eligible firms to tender for the following :

UNCLAIMED FINANCIAL ASSETS AUTHORITY

INVITATION TO TENDER

Tender Ref. No. Tender Name Closing Date/Time

UFAA/MC/001/2020-2021

SUPPLY AND DELIVERY OF STATIONERY ON FRAMEWORK CONTRACT

26.09.2019 AT10.30AM

UFAA/GIC/002/2020-2021

PROVISION OF GENERAL INSURANCE COVER 15.07.2020 AT 10:30AM

A complete set of tender documents can be downloaded free of charge from Unclaimed Financial Assets Authority website: www.ufaa.go.ke or PPIP portal: www.tenders.go.ke. Bidders who download the tender document must arrange to register with UFAA, the company name, postal, physical, email and telephone address for the purposes of receiving any further tender clarifications and/or addendum if need be through the email address [email protected]. Financial Proposals submitted shall be valid for 120 days on submission.

The complete bid documents in plain sealed envelope marked with the tender reference number and tender name, should be addressed to:-

Chief Executive Officer/Managing TrusteeUnclaimed Financial Assets Authority

Pacis Centre, 2nd Floor, Slip Road Off Waiyaki Way, WestlandsP.O. Box 28235-00200 Nairobi

Tel. +254-4343440/0706866984www.ufaa.go.ke

And be deposited in the Tender Box located at the reception area of Pacis Center, 2nd Floor, Slip Road off Waiyaki Way, Westlands, Nairobi, so as to be received on or before the Wednesday 15th July, 2020 at 10.30AM.Tenders shall be opened in the Boardroom immediately thereafter in the presence of bidders who choose to attend. Late bids will not be received.

TENDER FOR SALE OF BOARDED MOTOR VEHICLES AND OTHER OBSOLETE FURNITURE ITEMS

The Kenya Electricity Transmission Company Limited (KETRACO) is a state corporation whose mandate is to plan, design, construct, own, operate and maintain high voltage electricity trans-mission lines and substations throughout the country.

KETRACO now wishes to dispose boarded Motor Vehicles “As is where is” and other obsolete furniture items to any interested bidder.

KETRACO tenders run on SAP ARIBA e-procurement platform and therefore bids with full contacts details should be submitted through this system. To view the details on the vehicles on sale and the obsolete furniture items a link will be provided on KETRACO website www.ketraco.co.ke

All the vehicles on sale can be viewed at the Isinya Substation in Isinya, the obsolete furniture items, motor cycles and used tyres at KATKO Godowns on Mombasa Road in Nairobi.

All enquiries on this tender should be channelled through [email protected]@ketraco.co.ke or [email protected]

Complete bid documents should be electronically submitted through SAP ARIBA platform on or before Tuesday 21st July 2020 at 10.00 am East Africa Time.

Bids will be opened electronically promptly thereafter in the presence of the Tenderer’s or their representatives who choose to attend in KETRACO Supply Chain Management Offices located at Kawi Complex, South C, Nairobi.

SENIOR MANAGER, SUPPLY CHAINFOR: MANAGING DIRECTOR

TENDER NUMBER : KETRACO/PT/008/2020

;

Page 6: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

6 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 7

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

Page 7: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

6 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 7

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

National Environment Management AuthorityP.O. BOX 67839-00200, Nairobi, Kenya

Tel: (254 020) 2183718, 2101370, Fax: (254 020) 6008997) E-mail: [email protected] Website: www.nema.go.ke

NOTICE TO THE PUBLIC TO SUBMIT COMMENTS ON AN ENVIRON-MENTAL IMPACT ASSESSMENT STUDY REPORT FOR

THE PROPOSED KAGONGO WEDANI IRRIGATION SCHEME IN NYANDARUA COUNTY

Pursuant to Regulation 21 of the Environmental Management and Coordination (Impact Assessment and Audit) Regulations, 2003, the National Environment Management Authority (NEMA) has received an Environmental Impact Assessment Study Report for the above proposed project

The proponent, Ministry of Agriculture, Livestock, Fisheries and Irrigation, is proposing to set up an irrigation scheme in Ka-gongo Wedani in Nyandarua County that comprises desilting of the reservoir and reconstruction of an earth dam to harvest water for use during the dry season. The initial design of the dam will comprise construction of a total embankment height of 2.5metres with a 2M deep core trench for stability, the embankment will be 150M in length, and the crest should be at least 6metres wide and will be used as a road crossing. The components for the irrigation scheme include; intake, pipelines (convey-ance, main, sub-mains and distribution), pipeline appurtenances(air valves,washouts,anchor/thrust blocks, pressure regulating valves), road crossings, gully crossing and infield for sprinkler irrigation systems at an estimated cost of Kshs. 340,200,136.41

The following are the anticipated impacts and proposed mitigation measures

Impacts Proposed Mitigation Measures

Noise pollution • Use of well serviced machines;• Provision of adequate protective gear e.g. ear muffs and dust masks;• Occupational health and safety guidelines.

Loss of vegetation cover

• Only remove vegetation on surveyed area;• Restricting machinery movement to earth dam area;• Avoid overcrowding and overstaying of livestock;• Create a watering trough;• Establish catchment committee that includes farmers both upstream and downstream.

Air Quality • Sprinkling water around the site to harness dust;• Proper servicing of machines and equipment to reduce exhaust fumes;• Provision of noise protective gear;• Occupational health and safety guidelines.

Human health impacts

• Provision of protective gear;• Site restrictions especially to the community;• Proper signage;• Train workers on manual handling techniques;• Keep records of incidences and accidents;• Creation of awareness.

Oil spills • Ensure proper disposal of oils during servicing;• Proper handling and storage of oil products.

Human waste generation

• Locate latrine more than 30metres away from camp house;• Provide Portable toilet;• Build community capacity on sanitation and hygiene practices.

Solid waste accumulation

• Storage and disposal of waste;• Recycling of waste.

Water Quality • Ensuring proper disposal of liquid wastes;• Avoid oil spill within the site;• Timely maintenance draw of system and silt trap;• Community sensitization;• Have a draw off system/accessories;• Fencing of the pan• Build community capacity on sanitation and hygiene practices.

Social impacts • land agreement;• Constitute a water management committee;• Develop rules and regulations;• Training of community;• Have a sub-project for non-benefiting farmers;• Develop of water use by-laws, meet all statutory requirements;• Outline fines and charges for vandalism.

Soil degradation • Properly designed spillway;• Catchment protection;• Train farmers on GAPs and IPM and O&M;• Timely repair and maintenance of the conveyance system;• Training of farmers o operations and maintenance;• Avoid unnecessary movement of machinery beyond the excavation area.

Human wildlife conflict

• Monitoring and reporting on movement of wildlife;• Fencing of farms;• Have rules and regulations on remedial and compensation;• Community sensitization on human wildlife interactions;• Awareness and monitoring of wildlife movement.

A copy of the EIA report can be downloaded at www.nema.go.ke

NEMA invites members of the public to submit oral or written comments within thirty (30) days from the date of publication of this notice to the Director General , NEMA, to assist the Authority in the decision making process for this report. Kindly quote ref. no. NEMA/EIA/5/2/1645

Comments can also be e-mailed to [email protected]

MAMO.B. MAMOAG.DIRECTOR GENERAL

This advertisement is sponsored by the proponent.

The full report of the project is available for inspection during working hours at:

1. Principal Secretary Ministry of Environment and Natural Resources NHIF Building, 12th Floor Ragati Road, Upper Hill P.O. Box 30126-00100 NAIROBI

2. Director, General, NEMA Popo Road, off Mombasa Road P.O. Box 67839-00200 NAIROBI

3. County Director Of Environment MERU COUNTY

RURAL ELECTRIFICATION AND RENEWABLE ENERGYCORPORATION

INVITATION TO TENDER

Rfx No. Tender Description Opening date & time

1000000462 Supply, Installation, Testing & Commissioning Of Grid Con-nected Street Lighting And Highmast Floodlighting in, Butere, Kangema, Mvita And Gem Constituencies

31st July 2020 at 10.00AM

1. The Rural Electrification and Renewable Energy Corporation invites tenders from interested firms to bid for;

2. Tender documents detailing the requirements may be viewed at REREC E- Procurement Web Portal found on the REREC website ( www.rea.co.ke) beginning on 1st July, 2020

3. Bidders who are interested in bidding for this tender MUST ensure that they are registered in REREC SAP SRM system and have set up their page. Please ensure compliance to the following

a) Each company must have two user accounts; Admin Account and Employee Account. Ensure that the following roles are NOT ASSIGNED to the employee; Employee Administrator and Supplier Master Data manager.

b) Ensure that the admin account and employee account does not share same email address.c) Ensure that the Employee user name is between 4 and 12 characters.d) It is a Mandatory requirement that all Bid Documents/Responses be uploaded to the COLLABORATION

ROOM in the link with “RFX Response Number: Company Name”. Bidders shall not attach their doc-uments at any other Tab of the Portal. Attachments placed elsewhere in the portal shall be declared non-compliant and will not be evaluated.

e) Prices MUST be entered under item tab of the RFX. The prices entered here shall be similar to the prices in the price/BoQ Schedule and shall form part of the evaluation criteria.

f) For the purpose of this tender bidding, the employee account shall be used to submit your RFX respons-es. Bidders who require clarification from our office should do so strictly 7 days before tender closing.

4. Completed Tenders are to be saved as PDF documents marked with the Tender Number and Description and submitted through the REREC E-Procurement Web Portal found on the REREC website (www.rea.co.ke) so as to be received on or before the dates in the schedule above.

5. Tenders will be opened electronically promptly thereafter in REREC Procurement Office at Kawi House, Ground Floor. Opening schedule will be sent electronically to all the bidders who participated in the tender.

6. Interested bidders are advised to visit the Corporation’s website, homepage, Information Center, SAP SRM Doc-ument, SAP SRM Supplier User Guide for registration and creation of their portal and Supplier Bidding Quick Reference Guide for submitting their response.

CHIEF EXECUTIVE OFFICERRURAL ELECTRIFICATION AND RENEWABLE ENERGY CORPORATION

NA KIPTANUI CHERONO, KNA

Vijana katika eneo bunge la Ainabkoi hivi karibuni watapata nafasi ya kutafuta kazi kwenye mitandao sawa na wenzao kwing-ineko nchini pindi kituo cha kisasa cha kidijitali cha CIH, kilichoko eneo la Il-lula, kusambaziwa umeme.

Katibu wa Habari na Teknolojia ya Mawawasi-liano Esther Koimet alisema mipango imekamilika ya kuunganisha kituo hicho na umeme. “Changamoto ili-yopo kwa sasa ni kwamba,

kampuni ya kusambaza umeme ya Kenya Power and Lighting Company inahitaji cheti cha kumiliki shamba ambapo kituo hicho kime-jengwa na hapo tayari.”

Mpango wa Kidijitali wa Ajira ni mkakati wa serikali unaondeshwa na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia kuwawezesha zaidi ya vijana milioni ku-pata nafasi za kazi kupitia intaneti. Unanuia kuwapa vijana nyenzo, mafunzo na kuwanoa kufanya kazi kokote wakati wowote il-mradi wana simu yenye

Vijana eneo la Ainabkoi kunufaikana kituo cha kidijitali kikipata umeme

intaneti au kifaa chochote kilichounganishwa na mtandao.

Akiongea katika Il-lula wakati wa shughuli ya upanzi wa miti, Katibu huyo alihimiza Serikali ya Kaunti ya Uasin Gishu ku-hakikisha kipande hicho cha ardhi kimerejeshwa kwa jamii na kupewa haki ya umilili ili KPLC iweze kuunganisha kituo hicho na umeme.

Kundi la kina mama am-balo lilidai kupewa ardhi hiyo ya umma lina hati ya umiliki.

Tree PlantingThrough the Ministry of Environment and Forestry, the Government has launched a million indigenous tree planting drive in the County.

The Government plans to increase the forest cover in the country to 10 per cent before 2022.

Tunakuhimiza upande Mti mmoja leo

Page 8: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

8 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 9

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

KMTC is an ISO 9001:2015 Certified Institution

KENYA MEDICAL TRAINING COLLEGE

TENDER NOTICECERTIFICATION BODY: Kenya Bureau of Standards (KEBS).

Kenya Medical Training College invites eligible firms and contractors for proposed construction works as described in the table below:-

S/NO

Tender No. Tender Description Tender Security Amount (Ksh)

Closing date Targeted category

1. KMTC/59/2019-2020 Construction of a Tuition Block at KMTC Kilifi Campus.

500,000 14/07/2020 Open

2. KMTC/60/2019-2020 Construction of a Tuition Block at KMTC Makindu Campus.

720,000 14/07/2020 Open

3. KMTC/61/2019-2020 Construction of a Tuition Block at KMTC Nyandarua Campus.

600,000 14/07/2020 Open

4. KMTC/62/2019-2020 Construction of a Skill Laboratory at KMTC Migori Campus.

450,000 14/07/2020 Open

5. KMTC/63/2019-2020 Construction of Headquarters Offices in KMTC, Headquarters.

360,000 14/07/2020 Open

6. KMTC/64/2019-2020 Drilling and Equipping of one(1) Borehole and Construction of Elevated Steel Pressed Water Tank at KMTC Nairobi Campus.

200,000 14/07/2020 Open

7. KMTC/65/2019-2020 Construction of a Tuition Block at KMTC Othaya Campus.

600,000 14/07/2020 Open

8. KMTC/66/2019-2020 Reinforcement of a Building at KMTC Embu Campus.

396,000 14/07/2020 Open

9. KMTC/67/2019-2020 Completion of a Hostel Block at KMTC Siaya Campus.

270,000 14/07/2020 Open

10 KMTC/68/2019-2020 Completion of a Tuition Block at KMTC Homabay Campus.

234,000 14/07/2020 Open

Tender documents with full specifications can be obtained from the KMTC Headquarters, 1st Floor – Procurement Office, upon payment of non-refundable fee of Kenya Shillings one thousand (Kshs. 1,000/=) in bankers’ cheque for the above tenders. Cash is strictly not acceptable. All tenders can be viewed and downloaded from the website: www.kmtc.ac.ke or http://tenders.go.ke at no cost. Bidders who download documents from the website should register their Tenders at KMTC Headquarters, Procurement Office during normal working hours (08.00 am – 5.00 pm) from Monday to Friday.

Completed Tender documents, in plain sealed envelopes clearly marked with the relevant Tender number (s) and bearing no indications of the sender, must be submitted in the manner described in the Tender documents and addressed to:-

The Chief Executive OfficerKenya Medical Training College

P O Box 30195-00100,NAIROBI

and be deposited in the Tender Box situated at the Entrance of the KMTC Administration Block, Headquarters Nairobi, on or before 14th July, 2020 at 10.00am.

Prices quoted must be net (V.A.T Inclusive) expressed in Kenya Shillings and should remain valid for 120 days from the closing date of the Tender while the Bid Bond shall remain valid for 150 days. Tender documents will be opened immediately thereafter in the presence of bidders or their representatives who choose to attend at the Principal’s Boardroom.

RURAL ELECTRIFICATION AND RENEWABLEENERGY CORPORATION

ADDENDUM 001 ON CHANGE OF TENDER CLOSING

Tender No. Item Description Tender Closing, Opening appearing in Tuesday 23rd June,2020

New Tender Closing, Opening Date & Time

RFX No.1000000442

Panel Cleaning & Vegetation Management

26/07/202010.00am

03/07/202010.00am

The Rural Electrification Authority and Renewable Energy Corporation wishes to inform all firms interested in participating in Tender whose details appear below and was advertised in the local dailies that REREC wishes to make the following amendments to the Tender Process:

The closing date appearing in the Tuesday 23rd June, 2020 advertise-ment is the only detail that has changed.

Except for the amendments referred to above, all other Terms in the Tender Including the Tender Description remains unchanged

Peter K. MbuguaCHIEF EXECUTIVE OFFICER.

National Drought Management Authority

REGISTRATION / PREQUALIFICATION OF SUPPLIERS FOR FY 2020 - 2022

The National Drought Management Authority (NDMA) is a public body established by the National Drought Management Authority (NDMA) Act, 2016. It previously operated under the State Corporations Act (Cap 446) of the Laws of Kenya by Legal Notice Num-ber 171 of November 24, 2011.

NDMA invites interested eligible firms for registration/prequalification of suppliers and service providers for the categories of goods, works and services as detailed in the in-vitation to tender which can be obtained from our website www.ndma.go.ke or from the https://tenders.go.ke

Completed registration/pre-qualification documents, in plain sealed enve-lopes with registration/pre-qualification reference number and name clearly marked on top, should be addressed to:

Chief Executive OfficerNational Drought Management AuthorityLonrho House, Standard Street, 8th Floor

P.O. Box 53547 – 00200, NAIROBI

The registration/pre-qualification documents, in plain sealed envelopes, should be de-posited in the tender box situated at the NDMA Reception, 8th Floor, Lonrho House, Standard Street, Nairobi, so as to be received on or before Wednesday 22nd July, 2020 at 10:30am.

The registration/pre-qualification documents will be opened immediately thereafter in the Boardroom on 17th Floor, Lonrho House, Standard Street, Nairobi.

JAMES ODUORCHIEF EXECUTIVE OFFICER

MINISTRY OF TRANSPORT, INFRASTRUCTURE, HOUSING,URBAN DEVELOPMENT AND PUBLIC WORKS

CALL ON EX-NYS SERVICE MEMBERS TO REGISTER FOR THE KAZI MTAANI PROGRAMME

STATE DEPARTMENT FOR HOUSING AND URBAN DEVELOPMENTRepublic Of Kenya

The outbreak of COVID-19 occasioned the adoption of containment policies to limit the spread of the virus across the country. The socio-economic impact of this containment policies has been particularly hard on low-income earners who often rely on daily wages from casual work.

In response to these undesirable consequences, the National Hygiene Program (NHP), dubbed as the Kazi Mtaani initiative, was conceptualized. The program is an Extended Public Works Project (EPWPs) hosted by the State Department for Housing and Urban Development and is aimed at utilizing labor-intensive approaches to create sustainable public goods in the urban development sector. Through this initiative, residents from informal settlements are recruited to undertake projects concentrated in and around infor-mal settlements with the aim of improving their environment, service delivery infrastructure, and providing income generation opportunities.

The government is preparing to roll-out the Kazi Mtaani programme to the other counties after successfully undertaking first phase in the counties of Nairobi, Mombasa, Kiambu, Nakuru, Kisumu, Kilifi, Kwale, and Mandera which saw a total of over 31,000 urban youth benefit from the programme.

The programme seeks to recruit 200,000 workers into the initiative during the second phase. It is for this reason that we invite applications from suitable applicants to join the programme in supervisory positions.

The requirements for joining the programme are detailed below: -1. Served as a recruit in the National Youth Service2. National IDs3. A valid Telephone Number registered for MPESA

Procedure for Applicants

If you fulfil the above requirements,please report to your nearest chief’s camp with your application for registration and will be contacted at an appropriate date. For more information,kindly visit www.housingandurban.go.ke

The Principal Secretary State Department for Housing and Urban Development NAIROBI, KENYA

CENTRAL RIFT VALLEY WATER WORKS DEVELOPMENT AGENCY

PROGRAMME: KENYA TOWNS SUSTAINABLE WATER SUPPLY AND SANITATION PROGRAM

Supply and Delivery of Laboratory Equipment for Lake Victoria South Water Works Development Agencies

TENDER NO: CRVWWDA/KTSWSSP/G/02C/2019 - 2020

ANDSupply and Delivery of Equipment for Non - Revenue Water Manage -ment for Lake Victoria South Water Works Development Agencies

TENDER NO: CRVWWDA/LVS/KTSWSSP/G/03C/2019 – 2020

REQUEST FOR CLARIFICATIONS AND EXTENSION OF

BID SUBMISSION DEADLINE

MINISTRY OF WATER & SANITATION AND IRRIGATION

Reference is made to the invitation to bid for the above tenders published on 12TH May, 2020. All clarifications can be obtained at the Board’s website www.rvwwda.go.ke or https://www.tenders.go.ke/website, PPIP portal, the bids submission date remains the same.

The Bid submission deadline has also been extended from 11th July, 2020 to 30th July, 2020 at 12:00 PM East Africa local time, the opening of the bids shall be carried out as from 12:05 PM on 30th July, 2020.

The Chief Executive Officer,Rift Valley Water Works Development AgencyMaji Plaza, Prison RoadOff Nakuru - Eldama Ravine Highway

Page 9: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

8 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 9

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

REPUBLIC OF KENYAMINISTRY OF EAST AFRICAN COMMUNITY

AND REGIONAL DEVELOPMENT

COAST DEVELOPMENT AUTHORITY

TENDER NOTICECoast Development Authority, a State Corporation established by an Act of Parliament (CAP. 449) of 1990 with the mandate to plan and coordinate the implementation of Intergrated development projects in Coastal region, South-ern Garissa and the exclusive economic zone. The Authority hereby invites tendereres for the ;

REPUBLIC OF KENYA

No Tender Number Tender Description Bid Bond Eligibility

1. CDA T 018/2019-2020 SUPPLY, INSTALLATION AND COMMISSIONING OF ENTERPRISE RESOURCE PLANNING (ERP) SYSTEM

200,000.00 Open

Note: Persons with Disability, Youth and Women are highly encouraged to apply.

Tender documents with detailed information can be obtained from the CDA website: www.cda.go.ke or the Public Procurement Information portal www.tenders.go.ke. Tenders downloaded from the website are free of charge.

Complete tender documents in plain sealed envelope clearly marked with the tender name and tender number should be deposited in the tender box situated at the Reception of CDA HQ main building on or before 15th July, 2020 at 12:00 Noon addressed to;

THE MANAGING DIRECTORCOAST DEVELOPMENT AUTHORITY

P.O BOX 1322-80100 MOMBASA, KENYA

Tenders will be opened immediately thereafter in the presence of candidates or their representatives who choose to attend

MANAGING DIRECTORPublication date 30th June, 2020

The Office of the Controller of Budget is an independent office established under Article 228 of the Constitution of Kenya, 2010.

Pursuant to Article 252 (1) (c) of the Constitution, the office seeks to recruit qualified and competent staff to fill the following vacant positions:

CAREER OPPORTUNITY

No. POSITION POSITION

1. Chief Manager Supply Chain Management

1

2. Manager Supply Chain Management

1

Please visit the career page on our website www.cob.go.ke for detailed job profile and instructions on how to apply. Applications should be sent by post or hand delivered to our office addressed to:

The Controller of BudgetBima House 12th Floor, Harambee Avenue.

P.O. Box 35616-00100 Nairobi

so as to reach the Office of the Controller of Budget NOT LATER THAN 14 JULY, 2020 AT 5.00PM.

Only shortlisted candidates will be contacted.

The Office of the Controller of Budget is an equal opportunity employer.

No. POSITION POSITION

3. Senior Internal Auditor 1

4. Legal Officer 1

5. Administration Officer 1

THE NATIONAL TREASURY AND PLANNING

REPUBLIC OF KENYA

PUBLIC NOTICE

The National Treasury and Planning has developed the Public Finance Management (Amendment) Bill, 2020. The Statutory Instruments Act requires that all legal instruments be subjected to public participation before they are published.

In this regard, the draft Amendments have been hosted on the National Treasury and Planning website for comments before publication.

In order to facilitate timely consultations and have adequate time for consideration of the comments, the comments should be forwarded in writing using the provided template for comments to the undersigned or through the following email [[email protected]] not later than 10th July, 2020.

HON. (AMB.) UKUR YATANI, EGHCABINET SECRETARY/THE NATIONAL TREASURY AND PLANNING

REQUEST FOR COMMENTS ON THE PUBLIC FINANCE MANAGEMENT (AMENDMENT) BILL, 2020

kasneb Towers, Hospital Road, Upper Hill, P O Box 41362 - 00100 Nairobi, KenyaTel. (020) 4923000, Cell phone numbers: 0722 -201214, 0734-600624

E-mail: [email protected] Website: www.kasneb.or.ke

POSTPONEMENT OF THE JULY 2020 EXAMINATIONS

This is to inform all our stakeholders that the Julyexaminations have been postponed to September

2020. This is due to the uncertainty brought about bythe Covid-19 situation. The deadline for registration

and examination booking for the September 2020examinations has been extended to Friday, 31 July2020. This is to allow students who may not havebooked for the examinations to do so. The specific

examination dates will be communicated in due time.

www.kasneb.or.ke [email protected] KasnebOfficial @KasnebOfficial

Dr. Nicholas K. Letting', Ph.DSECRETARY/CHIEF EXECUTIVE OFFICER

NA CHRIS MAHANDARA (KNA)

SERIKALI ya kitaifa imesema kwamba kuchelew-eshwa kwa fidia ya wahasiriwa wa mashambulizi ya wany-amapori kumetokana na janga la Covid-19.

Katibu wa Wanyamapori na Utalii, Prof Fred Segor, aliomba familia hizo kuvumilia muda kidogo akisema wanashughu-lika kurejesha taratibu za kutoa fidia hiyo katika miezi miwili ijayo. Prof Segor alikuwa aki-zungumza Jumatano iliyopita katika msitu wa Maji Mazuri,

Kaunti ya Baringo, wakati wa zoezi la kupanda miti.

Alisema fidia zote za hadi Mei 2017 zilikuwa zimekami-lika, na kwamba zozote zi-lizosalia ni za visa vilivyotokea kati ya Juni 2017 hadi sasa.

“Tungeanza mwezi Aprili kutathmini maombi ya familia za wahasiriwa waliouawa ama kujeruhiwa na wanyamapori. Lakini kwa sababu ya masharti ya kudhibiti Covid-19 zilizo-piga marufuku mikusanyiko na kudhibiti safari zozote, shughuli nzima ilisitishwa,”

alieleza katibu.Alihimiza wahasiriwa wapya

wasikate tamaa kuhusu fidia, akisema wanafaa kupiga ri-poti mara moja visa vyote vya mashambulizi, katika vituo vya polisi na ofisi za Shirika la Wanyamapori (KWS) zilizo

karibu nao ili fidia yao iju-muishwe katika awamu ita-kayotolewa baadaye mwaka huu. Prof Segor ambaye ali-kuwa ameandamana na vion-gozi wa Baringo wakiongozwa na Kamishna wa Kaunti, Bw Henry Wafula, alisema wiz-ara yake inaandaa mikakati ya kupata fedha za kufidia waathiriwa ambao barua zao za maombi bado hazijashu-ghulikiwa tangu Juni 2017 hadi leo.“Nahimiza watu kuwasili-sha maombi yao kwa kamati ya fidia katika kaunti zao, am-

bazo huongozwa na makam-ishna wa kaunti. Kamati hiyo itakagua kila ripoti kabla kuziwasilisha kwa makao makuu ili kufanyiwa uamuzi wa mwisho,” alieleza.

Alisikitika kwamba miz-ozo ya binadamu na wanay-amapori, kando na kuwa changamoto sugu kwa wiz-ara, pia inasababisha umaskini miongoni mwa jamii zinazoishi karibu na makazi ya wany-amapori kwani wanyama hao wanaharibu mimea na kuua mifugo. Wakati wa zoezi hilo,

Prof Segor aliungana na wa-nanchi kupanda miti zaidi ya 500 katika msitu wa Maji Mazuri, na kusema kuwa wa-nalenga kupanda miti 1,200 kwenye msitu huo katika kip-indi cha siku tatu.

Katibu alipongeza kaunti ya Baringo kwa juhudi zake za kupanda tena miti ya misitu, akisema kaunti hiyo inayoji-vunia asilimia 5.6 ya misitu ni ya tatu nchini Kenya kwa vi-wango vya misitu nchini baada ya kaunti za Nyeri na Elgeyo Marakwet.

Uwanja mpya wa kisasa wa Sh1.4b kujengwa mjini Kisumu

Page 10: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

10 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 11

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

MINISTRY OF INTERIOR & COORDINATION OF NATIONAL GOVERNMENT

TENDER NOTICE FOR SALE OF BOARDED GOVERNMENT VEHICLES

REPUBLIC OF KENYA

Interested bidders can obtain Tender prequalification documents with detailed specifications and tendering conditions free of charge from website www.mygov.go.ke. Bidders will be allowed to view the vehicles during official working hours at 8.30 a.m – 3.30p.m upon payment of non refundable fees of Kshs. 1,000/= and a deposit Kshs.5,000/= which will be refunded to unsuccessful bidders at close of evaluation exercise, at respective sub county national treasury.

Both payments should attract separate official receipts.Prices quoted must be VAT inclusive and remain valid for 120 days.

Completed tender documents, enclosed in plain sealed envelopes clearly marked with “Tender No. and Tender descriptions” as more particularly described in the tender documents should be addressed to:

County Commissioner, Homa Bay County, P.O.BOX 1 HOMA BAY

OR be deposited in Tender Boxes so as to reach on or before 29TH JULY ,2020 at 10.00am.

Thereafter, tenders will be opened immediately in the presence of bidders or their representatives who choose to attend at Homa Bay County Commissioner Headquarters office.

Interested bidders must attach valid copies of Tax compliance certificate, PIN certificate, Business registration Certificate/ or Copy of national identity cards for individual applicants.

HEAD, SUPPLIES CHAIN MANAGEMENT,FOR: COUNTY COMMISSIONER, HOMA BAY COUNTY.

STATE DEPARTMENT OF INTERIOR AND CITIZEN SERVICES

COUNTY COMMISSIONER – HOMA BAY COUNTY

Tenders are invited by Homa Bay County Service Delivery Coordinating Unit (HBY/CSDCU) from eligible bidders for sale of boarded government vehicles at sub counties as below:

S/NO.

VEHICLE DESCRIPTION

VEHICLE REG-ISTRATION NO.

YEAR OF MAKE

TENDER NUMBER

SUB COUNTY

1 ISUZUFVR LORRY

GKZ 969F N/A HBY/CSDCU/42/2019-2021

MBITA SUB COUNTY, DEPUTY COUNTY COMMISSINER’S HQTR.

2 PEUGEOT-SALOON504R

GKZ 936S 1997 HBY/CSDCU/43/2019-2021

RACHUONYO EAST SUB COUNTY, DEPUTY COUNTY COMMISSINER’S HQTR

3 LAND ROVER TDI POOMA

GKA784S 2009 HBY/CSDCU/44/2019-2021

RACHUNYO NORTH SUB COUNTY, DEPUTY COUNTY COMMISSINER’S HQTR

MINISTRY OF INTERIOR & COORDINATION OF NATIONAL GOVERNMENT

SALE OF UNSERVICEABLE MOTOR VEHICLES

REPUBLIC OF KENYA

Interested eligible candidates may obtain further information from and inspect the tender documents at the County Procurement Office P.O Box 1-30500 Lodwar during normal working hours.

Complete set of tender documents may be obtained by interested candidates upon payment of non-re-fundable fee of Kshs. 1,000 in cash payable to the Sub-County Accountant Turkana Central Sub-County.

Items will be sold on “As where is basis “ and tenderers may visit the indicated locations in the tender document during normal working hours to view the vehicles prior to bidding. Tenderers will also be required to pay in advance a refundable deposit as indicated in the Appendix to instruction to tenderers in the tender documents.

Tender documents are to be enclosed in plain sealed envelopes, marked with tender number, name and be deposited in the Tender Box situated at the entrance of County Commissioner’s office to be addressed to the County Commissioner P.O Box 1-30500, Lodwar so as to be received on or before the indicated date and time.

Tenders will be opened immediately thereafter in the presence of the candidates’ representatives who choose to attend the opening at the County Commissioners boardroom. All bidders must serialize their documents.

COUNTY COMMISSIONERTURKANA COUNTY

STATE DEPARTMENT OF INTERIOR AND CITIZEN SERVICES

COUNTY COMMISSIONER – TURKANA COUNTY

Ministry of Interior and Coordination of National Government –Turkana County invites tenders from eligible candidates for disposal of unserviceable vehicles.

NO. TENDER REFERENCE DESCRIPTION CLOSING DATE AND TIME

1. TUR/COUNTY/DISP/1/2019-2020

SALE OF UNSERVICEABLE MOTOR VEHICLES

14/07/2020 10:00AM

NA ROP JANET, KNA

Visa vya unyanyasi wa kijinsia nchini vimeongezeka tangu kafyu kuanzia jioni hadi alfajiri ianze kutekelezwa nchini mnamo Machi kama sehemu ya mikakati ya kudhibiti maam-bukizi ya virusi vya Corona.

Waziri wa Utumishi wa Umma na Jinsia, Profesa Margaret Kobia, alisema hatua hizo kali ambazo zinahusisha pia kusalia nyumbani zimeweka makundi kama wanawake, wasi-chana na watoto katika hatari ya kudhulumiwa nyumbani.

Waziri alisema visa vya wanawake kusham-buliwa na wenzao wa kiume vimeongezeka huku watoto wakiwa katika hatari ya kuchafuliwa na kufanyizwa kazi za vibarua, huku wasichana wakikumbwa na hatari ya kudhulumiwa kimapenzi, kupashwa tohara na kuozwa kwa nguvu.

Kobia, ambaye alikuwa akizungumza ka-tika kijiji cha Inkinye, eneo bunge la Kajiado ya Kati mnamo Jumanne wakati wa Maadhimisho ya Siku Mtoto wa Afrika aliongeza kwamba, janga hilo limesababisha wengi kupoteza kazi na viwango vya shinikizo la mawazo kupanda na hivyo kuchangia kuongezeka kwa vurugu nyumbani.

“Janga la Corona limechangia kuongezeka kwa visa vya wanawake, wasichana na wa-toto kudhulumiwa pakubwa. Huku shule ziki-fungwa, visa vya wasichana kupashwa tohara na kuozwa kwa nguvu vimeongezeka huku wasichana wasijue la kufanya,” Waziri alisema.

Waziri aliwataka wazazi na jamii kwa jumla kubuni mazingira yafaayo kwa watoto na

akawahimiza kuzungumza wakati watoto wanadhulumiwa ili watafutiwe haki na sheria itendeke. Waziri alisema mada ya mwaka huu “Kuwa na mfumo wa haki unaopendelea wa-toto Afrika” inafaa kwa kuwa kubuniwa kwa mahakama na kuwepo kwa taratibu za kisheria zinazopendelea watoto ni muhimu katika ku-wakinga dhidi ya vurugu.

Alifichua kuwa serikali imeweka mikakati inayolenga kuharakisha hatua za kuleta usawa na kuwalinda watoto.

Nambari ya kitaifa ya mawasiliano ya kuri-poti visa vya unyanyasi wa kijinsia 1195, ilipokea visa vingi vya unyanyasi ambavyo vil-iongezeka kutoka 86 mnamo mwezi wa Febru-ari hadi 116 mnamo Machi. Visa 461 viliripotiwa Aprili huku idadi hiyo ikiongezeka hadi visa 753 katika mwezi wa Mei.

Viongozi wengine waliohudhuria hafla hiyo ni pamoja na Gavana wa Kajiado Joseph Lenku, naibu wake Martin Moshisho, Waziri wa Maz-ingira, Keriako Tobiko, Wabunge Elijah Memusi (Kajiado Central) Peris Tobiko (Kajiado East), Joseph Manje (Kajiado North), Mwenyekiti wa Maendeleo ya Wanawake, Rahab Muiu, Waziri Msaidizi Rachael Shebesh, Mwenyekiti wa Bodi ya Kupambana na Tohara ya Wasichanan Agnes Pareyio, na mwakilishi wa UNFPA nchini Dkt. Ademola Olajide.

Gavana Lenku alielezea kujitolea kwa serikali yake kutekeleza haki za watoto akisema, sera ya kuwalinda watoto imo mbele ya Bunge la Kaunti na pindi itakapopitishwa, itahakikisha watoto wote wanalindwa.

Unyanyasaji wa kijinsia nchini waongezeka nyakati za Corona

Food Security.Through livestock insurance & fertilizer subsidies, the Government has lowered the cost of production. More Kenyans have subsequently taken up agriculture, boosting the country’s GDP.

Page 11: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

10 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 11

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

JARAMOGI OGINGA ODINGA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY

Jaramogi Oginga Odinga University of Science and Technology, situated along Bondo Usenge Road, in Bondo invites interested and eligible firms for The Supply and Delivery of the under-listed:

INVITATION TO TENDER

S/NO

TENDER NO TENDER DESCRIPTION

BID SECURITY

RESER-VATIONS

CLOSING DATE

OPENING DATE

BID SECURITY

1. JOOUST/ONT/WB/003/2019-2020

Supply, Delivery, Installation, Testing and Commissioning of Laboratory Equip-ment

2 % of the bid amount

OPEN 15th JULY 2020

29th July 2020

2 % of the bid amount

2 JOOUST/ONT/WB/004/2019-2020

Supply, Delivery, Installation, Testing and Commission-ing of Engineering Equipment

2 % of the bid amount

OPEN 15th JULY 2020

29th July 2020

2 % of the bid amount

Jaramogi Oginga Odinga University of Science and Technology (JOOUST) wishes to invite interested and eligible ten-derers who are registered by the National Construction Authority in Category NCA 3 in their respective areas to tender for the following works: -

A. ADMINISTRATION BLOCK

S/No.

Tender Reference Number

Tender Title Mandatory Pre-Tender Site Visit

RESERVA-TIONS

Closing Date

Opening Date

Tender Security

1. JOOUST/ONT/A1/27/2019-2020

Tender for Electrical/Generator/UPS Installation Works for the Administration Block at the Main Campus - Bondo, Siaya County.

8th JULY 2020

OPEN 22ND JULY 2020

4TH AUGUST 2020

2 % of the tender sum

2. JOOUST/ONT/A2/28/2019-2020

Tender for Plumbing, Drainage and Fire Fighting Installations for the Administra-tion Block at the Main Campus - Bon-do, Siaya County.

8th JULY 2020

OPEN 22ND JULY 2020

4TH AUGUST 2020

2 % of the tender sum

3. JOOUST/ONT/A3/29/2019-2020

Tender for Lift Installations for the Administration Block at the Main Campus - Bondo, Siaya County.

8th JULY 2020

OPEN 22ND JULY 2020

4TH AUGUST 2020

2 % of the tender sum

4. JOOUST/ONT/A4/30/2019-2020

Tender for Air Conditioning and Mechanical Ventila-tion Installations for the Administration Block at the Main Campus - Bondo, Siaya County.

8th JULY 2020

OPEN 22ND JULY 2020

4TH AUGUST 2020

2 % of the tender sum

5 JOOUST/ONT/A5/31/2019-2020

Tender for Communi-cations /Security and CCTV installations for the Administration Block at the Main Campus - Bondo, Siaya County.

8th JULY 2020

OPEN 22ND JULY 2020

4TH AUGUST 2020

2 % of the tender sum

B. TUITION BLOCK

S/No.

TENDER NO TENDER DESCRIPTION Mandatory Pre-Tender Site Visit

RESER-VATIONS

Closing Date

Opening Date

Tender Security

1 JOOUST/ONT/B1/32/2019-2020

Tender for Electrical, Audio Visual and Structured Cabling Installation for the Tution Block at Achego - Bondo, Siaya County.

9th JULY 2020

OPEN 23rd JULY 2020

5TH AUGUST 2020

2% of the tender Sum

2 JOOUST/ONT/B2/33/2019-2020

Tender for Lift Instal-lations for the Tution Block at Achego - Bon-do, Siaya County.

9th JULY 2020

OPEN 23rd JULY 2020

5TH AUGUST 2020

2% of the tender Sum

S/No.

TENDER NO TENDER DESCRIPTION Mandatory Pre-Tender Site Visit

RESER-VATIONS

Closing Date

Opening Date

Tender Security

3 JOOUST/ONT/B3/34/2019-2020

Plumbing, Drainage and Fire Fighting, Ground Water Tanks, Potable water supply, Waste Water Treatment Plant for the Tution Block at Achego - Bon-do, Siaya County.

9th JULY 2020

OPEN 23rd JULY 2020

5TH AUGUST 2020

2% of the tender Sum

4 JOOUST/ONT/B4/35/2019-2020

Tender Air Condition-ing and Mechanical Ventilation Installation, Kitchen Equipment Installation for the Tution Block at Achego - Bondo, Siaya County.

9th JULY 2020

OPEN 23rd JULY 2020

5TH AUGUST 2020

2% of the tender Sum

C: RESEARCH CENTER

S/No.

TENDER NO TENDER DESCRIPTION

Mandatory Pre-Tender Site Visit

Reser-vation

Closing Date

Opening Date

Tender Security

1 JOOUST/ONT/C1/37/2019-2020

Tender for Electrical, Generator Installations, Audio Visual and Struc-tured Cabling Installa-tion for the Research Center at Miyandhe - Bondo, Siaya County

10th JULY 2020

OPEN 24th JULY 2020

6TH AUGUST 2020

2% of the tender Sum

2 JOOUST/ONT/C2/38/2019-2020

Tender for Lift Instal-lations - Bondo, Siaya County for the Research Center at Miyandhe - Bondo, Siaya County

10th JULY 2020

OPEN 24th JULY 2020

6TH AUGUST 2020

2% of the tender Sum

3 JOOUST/ONT/C3/39/2019-2020

Tender for Plumbing, Drainage and Fire Fighting, Swimming Pool Installation, Solar Water Heating Installations, Kitchen Equipment Installation, Bio digester, Incinerator for the Research Center at Miyandhe - Bondo, Siaya County

10th JULY 2020

OPEN 24th JULY 2020

6TH AUGUST 2020

2% of the tender Sum

4 JOOUST/ONT/C4/40/2019-2020

Tender for Air Condi-tioning and Mechanical Ventilation Installation for the Research Center at Miyandhe - Bondo, Siaya County

10th JULY 2020

OPEN 24th JULY 2020

6TH AUGUST 2020

2% of the tender Sum

Tender documents containing detailed specifications can be downloaded free of charge at JOOUST website www.jooust.ac.ke and Public Procurement Information Portal www.tenders.go.ke. Tenderers who download the tender document and intend to submit a bid are required to submit their particulars to JOOUST through Email: [email protected] for the purpose of receiving any further clarification and/or addendum.

Completed bid documents must be submitted in a plain sealed outer envelope enclosing two separate-ly sealed envelopes (in “original” and “copy” all clearly marked and indicated with the tender no. as per instructions in the tender documents and addressed to:

The Vice ChancellorJaramogi Oginga Odinga University of

Science and Technology (JOOUST)P.O. Box 210 – 40601

BONDO

Or be delivered and placed in the tender box situated at the University Administration block or sent by post so as to reach the above address not later than the dates Indicated above.

Submitted bids will be opened publicly in the Assembly Hall in the presence of the tenderers or their representatives who choose to attend. Late bids will be returned unopened.

JOOUST IS ISO 9001:2015 CERTIFIED

Page 12: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

12 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 13

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

NA WILLIAM INGANGA

EUNICE Wacera haondoki nyumbani kwake mtaani Huruma, Kaunti ya Nairobi, isipokuwa kwa shughuli ya dharura.

Hatari ya kuambukizwa vi-rusi vya corona, vinavyosaba-bisha ugonjwa wa Covid-19, inamtia hofu kuu.

“Kinga yangu iko chini,” asema. “Mapafu yangu tayari ni dhaifu na kwa sababu Covid-19 ni ugonjwa wa ku-pumua, naogopa sana kuam-bukizwa. Iwapo nitaupata kwa bahati mbaya, nitaanga-mia mara moja.”

Wacera, 42, alipatikana na maradhi ya mifupa Juve-nile Rheumatoid Arthritis mnamo 1988 akiwa amgali mtoto mchanga. Miaka miwili baadaye, maradhi mengine ya Systemic Lupus Erythe-

matosus (Lupus) yakampata. Madaktari wa watoto katika hospitali kuu ya kitaifa ya Kenyatta (KNH) ndio wali-kuwa wakimtunza.

Wacera anasumbuliwa na kasoro katika kinga ya mwili, autoimmunity kwa lugha ya Kimombo.

Dkt Philip Simani anaye-hudumu katika hospitali ya Nairobi Hospital ni mmoja wa wataalamu wachache wanao-tibu maradhi ya maungo. Ali-hitimu 1991.

“Nilikutana na Wacera nilipokuwa nikihudumu ka-tika KNH mapema miaka ya 1990,” aeleza. “Tulikuwa katika harakati za kuunda kliniki ya maradhi ya maungo kwenye hospitali hiyo kuu. Wacera alikuwa mmoja wa wagonjwa wetu wa kwanza.”

Damu huwa na seli nyeupe

ambazo kazi yake ni kupigana dhidi ya bakteria, virusi na viini vingine.

“Watu wanaougua Lupus huwa imetokana na kasoro katika mfumo huo mwilini,” aeleza Dkt Simani. “Seli nye-upe huanza kushambulia mwili badala ya viini, am-bavyo ndio adui.”

Badala ya kumpa kinga, mwili wa Wacera hugeuka na kuanza kujishambulia. Ime-kuwa ni safari ndefu ya vipimo na uchunguzi kabla madak-tari kugundua kilichokuwa kikimsumbua.

“Mara kwa mara walisema ni malaria, homa ya maungo na hata upele,” asimulia. “Sampuli ya ngozi yangu ilichukuliwa kufanyiwa uchunguzi wa kina, wala si-kupatikana na kasoro yoyote ya ngozi.”

Wagonjwa wengi wanao-sumbuliwa na kasoro katika kinga ya mwili hufanyiwa uchunguzi kwa muda mrefu sana kabla ugonjwa kugun-duliwa.

“Kasoro hii huonyesha ishara mbalimbali. Yaweze-kana ni uchovu mwingi, uchungu kwenye miunganiko ya mifupa, au uchungu wa mi-suli. Zote hizi ni ishara zina-zoonekana hata kwa maradhi mengine,” asema Dkt Simani

ambaye amekuwa akimtibu Wacera hadi leo.

Aongeza kuwa wagonjwa wanapoeleza ishara hizo, madaktari wengi hupende-keza tiba ambayo haihusu kasoro ya kinga mwilini.

“Lupus kwa kawaida huathiri wanawake. kati ya wanawake 4-10 utapata mwa-namume mmoja pekee. Umri ulio hatarini zaidi miongoni mwa wanawake hao ni miaka kati ya 15-45. Maradhi haya

pia yanaweza kutokea baada ya hedhi kukoma ama wakati wa kubaleghe,” Dkt Simani alisema.

Babake Wacera, Bw Simon Maina, aeleza alivyoingiwa na kiwewe binti yake alipopati-kana kuugua maradhi hayo. “Nilishtuka sana ilipobainika kwamba hangeweza kwenda shule tena. Ugonjwa huu ul-ianza kwa uchungu katika ki-fundo cha mguu mmoja kabla kusambaa mguu wa pili.”

Kutotamauka kumewezesha Wacera kuhimili maradhi ya Lupus kwa miaka 30

Eunice Wacera akiwa nyumbani kwao mtani Huruma, Nairobi. Alianza kuugua ugonjwa wa Lupus miaka 30 iliyopita.

KENYA UNIVERSITIES AND COLLEGES CENTRAL PLACEMENT SERVICE

TENDER NOTICEThe Kenya Universities and Colleges Central Placement Service [KUCCPS] invites interested eligible bidders for the following tender as per the instructions provided hereunder.

Tender No. Description Reservation Closing Date at 10:00amKUCCPS/ONT/05/2019-2020

Tender for the Supply of Drinking Water [Framework Contract for Two Years]

Special Group [Youth, Women and Persons with Disability]

14/07/2020

The tender documents can be viewed and downloaded free of charge from the Placement Service website www.kuccps.ac.ke. Bidders who download the documents are required to forward their particulars to: [email protected] for record purposes.

Hard copies of the same are obtainable from the Supply Chain office upon payment of a non-refundable fee of Kshs. 1,000.00 where applicable in the form of cash or banker's cheque made payable to:

Account Name: Kenya Universities and Colleges Central Placement Service

Bank Name and Branch: Kenya Commercial Bank, University Way

Account Number: 1151285021

Completed tender documents in plain sealed envelopes clearly marked with the relevant tender number and description should be addressed to:

Chief Executive Officer,

Kenya Universities and Colleges Central Placement Service

P.O. Box 105166-00101,

Nairobi

and be deposited in the Tender Box located at the Placement Service reception so as to be received on or before the dates shown above at 10.00am.

Opening of submissions will be conducted thereafter in the KUCCPS Offices located at 3rd Floor ACK Garden House, 1st Ngong Avenue in Community, Nairobi and bidders or their representatives are free to attend.

Prices quoted should be in Kenya Shillings inclusive of taxes and applicable duties, transport and other incidental expenses and must remain valid for 120 days from the date of opening.

CHIEF EXECUTIVE OFFICER

KENYA UNIVERSITIES AND COLLEGES CENTRAL PLACEMENT SERVICE

PUBLIC NOTICESENSITISATION ON PROCUREMENT OPPORTUNITIES

The Kenya Universities and Colleges Central Placement Service is a State Corporation in the Ministry of Education established under the Universities Act, 2012 and mandated to coordinate the placement of Government-sponsored students to universities and colleges, among other functions. The Placement Service wishes to sensitise suppliers on procurement opportunities.

Buy Kenya, Build Kenya Initiative

In conformity with the Government's Buy Kenya, Build Kenya policy, the Placement Service reserves 40% of its annual procurement budget for the purchase of goods and services locally sourced in Kenya.

Access to Government Procurement Opportunities (AGPO) for Special Groups

The Placement Service encourages enterprises owned by Youth, Women and Persons with Disabilities and have been certified as belonging to the Special Groups category to participate in its procurement opportunities.

Continuous Registration of Suppliers

In addition, the Placement Service wishes to invite all eligible and qualified firms including those owned by Youth, Women and Persons with Disability [Special Groups] to submit applications for them to be included in the Placement Service list of registered suppliers. The applicable categories of goods, works and services can be accessed on the Placement Service website www.kuccps.ac.ke.

The applications for registration of suppliers should be submitted by filling an Online Supplier Registration Form accessible on the website or through the link: https://www.kuccps.net/index.php?q=content/tender-notice.

For more information, visit the Placement Service website www.kuccps.ac.ke or send your enquiries by email to [email protected].

CHIEF EXECUTIVE OFFICER

Page 13: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

12 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 13

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

ISO 9001:2015 CERTIFIED

Disclaimer: KRA notifies taxpayers that it will not accept responsibility for payments not received, credited and validated in the relevant KRA accounts. Corruption Reporting: +254 (0726) 984 668, Email: [email protected]. Short Messaging Services (SMS): Dial (*572#) or Text to 22572. Contact Centre: +254 (020) 4 999 999, +254 (0711) 099 999, Email: [email protected]. Complaints & Information Center Hotlines: +254 (0) 20 281 7700 / 7800, +254 (0) 20 3 343 342, Email: [email protected]

Career Opportunities

Tulipe Ushuru, Tujitegemee!

The Kenya Revenue Authority (KRA) is the National Revenue Collection Agency for the Government of Kenya. Our Vision is: “A Globally Trusted Revenue Agency Facilitating Tax and Customs Compliance”. KRA is seeking result-oriented, self-driven individuals with high integrity to fill the following vacant positions:

Note:1. All applications from interested and qualified candidates must be submitted online through the process below.2. ONLY shortlisted candidates will be contacted.3. All applications should be submitted online by 5.00 pm on 6th July 2020.4. KRA is an equal opportunity employer committed to gender and disability mainstreaming. Persons with Disability

are encouraged to apply.5. KRA does not charge any application, processing, interviewing or any other fee in connection with our recruitment

process.

Application Guidelines

Registration:1. Go to https://erecruitment.kra.go.ke/login and then click on the ‘Register’ button to start the application process. Use your

personal/private email address (non-work email) to register.2. After registration, you will receive an email enabling you to confirm your email address and complete your registration.

Log on:1. After registration go to https://erecruitment.kra.go.ke/login 2. Key in your username and password then click on ‘Log in’ to access your account.3. After successful log in, the system will open the ‘Applicant Cockpit’.

Candidate Profile (To create or update applicant detail):1. On the ‘Applicant Cockpit’ page, go to the tab ‘Candidate Profile’. 2. Click on ‘My Profile’ to create and update your profile. 3. Follow the instructions to complete your profile. 4. The process will end by clicking the tab ‘Overview and Release’.5. Ensure you click the check box on the page to complete the profile.

Application process:1. To view the open job postings click on the tab ‘Employment Opportunities’ on the ‘Applicant Cockpit’ page.2. Under the heading ‘Job Search’ click the ‘Start’ button to view all available vacancies.3. Click on the Job posting to display the details of the position. 4. To apply for the position, click ‘Apply’ button at the top of the page.5. Follow the instructions to complete and submit your application. 6. Kindly note that all mandatory fields must be completed.7. To complete the process of application, click the ‘Send Application Now’ button after reviewing and accepting the ‘Data

Privacy Statement’.

In case of any challenge, please send an email to [email protected]

Department Position Job Ref

Legal Services & Board Coordination (LS&BC)

Manager – Litigation M-LIT-20

Manager – Board Affairs M-BA-20

Manager – Independent Review of Objections M-IRO-20

Manager – Administration & Quality Assurance M-AQA-20

Corporate Support Services (Finance Division) Officer - Finance OFF-FIN-20

www.kra.go.ke

Our Vision“A citizen-centric public service”.

Our Mission“To reform and transform the public service for efficient and effective service delivery”.

PUBLIC SERVICE COMMISSION

SHORTLISTED CANDIDATES FOR THE POSITION OF DATA COMMISSIONER

Republic of Kenya

The Public Service Commission, in compliance to the provisions of Section 6(2) of the Data Protection Act, 2019 invited applications from suitably qualified Kenyans interested in being considered for nomination for the position of Data Commissioner in the print media and the Commission’s website on 25th March, 2020. By the closure of the advertisement period on 14th April 2020, the Commission had received two hundred and six (206) applications.

A list of all the applicants is available on the Public Service Commission website www.publicservice.go.ke

Following the conclusion of the shortlisting exercise, the Commission publishes the names and the interview schedule of the shortlist-ed candidates and calls for public participation requesting for comments on any of the candidates.

The list of shortlisted candidates and interview schedule is available on the Public Service Commission websitewww.publicservice.go.ke

INTERVIEW SCHEDULE TUESDAY 7TH JULY, 2020

S/No. Name Gender County Interview Time

1 John Walubengo Nyongesa, OGW Male Bungoma 8.30 a.m.

2 Thomas Oganga Odhiambo Male Homa Bay 9.15 a.m.

3 Immaculate Kassait, MBS Female Baringo 10.00 a.m.

4 Prof. David Gichoya Male Kirinyaga 11.00 a.m.

5 Brian Gichana Omwenga Male Kisii 11.45 p.m.

6 Anthony Akelo Okulo Male Kisumu 12.30 p.m.

7 Dr. Kennedy Okong’o (PhD) Male Migori 2.00 p.m.

8 Murshid Abdalla Mohamed Male Mombasa 2.45 p.m.

9 Mercy Kiiru Wanjau Female Nyandarua 3.30 p.m.

10 Dr. Mwalili Tobias Mbithi Male Machakos 4.15 p.m.

The shortlisted candidates will be interviewed at the Public Service Commission, off Harambee Avenue, Nairobi on the date and time indicated. The candidates should be at the venue at least fifteen (15) minutes before the starting time.

Shortlisted candidates should bring with them originals of the following documents:

(i) National Identity Card;(ii) Academic and Professional Certificates and Transcripts; (iii) Any other supporting documents and testimonials; and(iv) Clearances from the following bodies:

(a) Kenya Revenue Authority; (b) Higher Education Loans Board; (c) Any of the Registered Credit Reference Bureaus; (d) Directorate of Criminal Investigations (Police Clearance Certificate);

(v) Recommendation from relevant professional bodies (where applicable).

PUBLIC PARTICIPATION

Members of the public are invited to avail any credible information of interest relating to any of the shortlisted candidates (through sworn affidavits) to the Secretary/CEO, Public Service Commission, 4th floor Commission House, off Harambe Avenue, Nairobi or online through [email protected] so as to be received on or before 3rd July, 2020.

SECRETARY/CEOPUBLIC SERVICE COMMISSION

TENDER NO. ITEM DESCRIPTION

TENDERCOMMENCEMENTDATE

TENDERCLOSINGDATE

KP1/9A.2/OT/049/ID/19-20

Provision of Emergency Rehabilitation Civil Works at Kitsuru 66/11kV Substation

Tuesday30.06.2020

Wednesday 22.07.2020 at 10.00 a.m

Tender documents detailing the requirements of the above tender may be obtained from the Kenya Power website (www.kplc.co.ke) from the date shown above.

GENERAL MANAGERSUPPLY CHAIN www.kplc.co.ke

INVITATION TO TENDER

Kenya Power invites tenders from interested bidders for provision of the following:-

REPUBLIC OF KENYA

NATIONAL GOVERNMENT AFFIRMATIVE ACTION FUND

DECLARATION OF VACANT POSTS

The National Government Affirmative Action Fund (NGAAF) is a Semi-Autonomous Government Agency established under the PFM Act 2012 (NGAAF Regula-tions 2016).

The Fund wishes to recruit County Coordinators, One (1) each for Meru, Samburu and Machakos Coun-ties. For further information and details of the advert please visit www.ngaaf.go.ke

Head of Human ResourceFOR: CHIEF EXECUTIVE OFFICER

COUNTY COORDINATORS

INVITATION TO TENDER

Nuclear Power and Energy Agency invites tenders from interested bidders for provision of the following;

No Tender Number ItemDescription

Tender Closing date

Target Group

1 Tender No.NuPEA/OT/DHRA/003/19-20

Provision of Insurance Services.

15th July 2020 Registered Insurance Brokers

Tender documents detailing the requirements of the above tender may be obtained from the Nuclear Power and Energy Agency website(www.nuclear.co.ke) from the date shown above.

HEAD OF PROCUREMENT

Page 14: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

14 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 15

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

NA WAGEMA MWANGI (KNA)

SERIKALI imepokea ufadhili wa Sh600 milioni kujenga soko la kisasa la mpakani, kama mojawapo ya njia za kui-marisha ushirikiano miongoni mwa wafanyabiashara katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Katibu katika Idara ya Ju-muiya ya Afrika Mashariki (EAC), Dkt Kevit Desai, alisema serikali imejitolea kutoa maz-ingira sawa ya kukuza biashara miongoni mwa wakazi wa EAC. Hii, alisema, itafanyika kwa kulainisha shughuli za

mpakani na kuondoa vizingiti vya kibiashara.

Dkt Desai alikuwa akizun-gumza katika kaunti ndogo ya Taveta wakati wa mkutano na maafisa wa soko pamoja na wawakilishi wa wafanyabi-ashara, kujadili changamoto za bishara mpakani kufuatia janga la Covid-19.

Soko hilo jipya la kisasa lina-tarajiwa kujumuisha zahanati na kituo cha kuzima moto ili kukabiliana na visa vya mara-dhi na mioto iwapo vitatokea.

Wizara ya EAC itajadiliana na serikali ya Kaunti ya Taita-

Taveta kusaka ardhi ya ekari kati ya 50-100 kwa ujenzi wa soko hilo.

Dkt Desai alisema ufadhili huo wa mkopo ulitolewa na nchi mbalimbali ikiwemo Ire-

land, Denmark, Norway na Finland. “Serikali itawekeza katika miradi yoyote itakayo-imarisha biashara na shughuli miongoni mwa mataifa ya EAC, na kuhakikisha vizingiti vina-vyowalemea wafanyabiashara wa Kenya mpakani, vinaon-dolewa,” alieleza katibu. Kauli ya katibu huyo inafua-tia ongezeko la malalamishi kutoka kwa wafanyabiashara wa Kenya kuhusu vitendo vya ubaguzi vinavyoendelezwa na maafisa wa mpakani Tanza-nia kwa kile wanachohisi ni ushindani mkali wa kibiashara

kutoka kwa wafanyabiashara Wakenya.

Ingawa kuna makubaliano mbalimbali ya kibiashara ya EAC yanayorahisisha biashara ya Kenya na Tanzania kwa kuondoa taratibu zisizohita-jika na kujikokota, wafanya-biashara mpakani wanadai makubaliano hayo yamo tu kwenye karatasi za kum-bumbu. Bi Rachael Mutuku ambaye ni afisa wa usimamizi katika soko la Taveta asema wafanyabiashara wa Kenya bado wanahangaishwa na mamlaka za Tanzania.

Sh600m kutumika kujenga soko la kisasa mpakani

Dkt. Desai akidurusu mwongozo kuhusu vigezo vya usalama wa afya wa maafisa wanaosimamia kituo cha mpakani.

TANATHI WATER WORKS DEVELOPMENT AGENCY

INVITATION FOR BIDS

CONSTRUCTION OF WOTE WATER SUPPLY AUGMENTATION PROJECT - PHASE I

1. Tanathi Water Works Development Agency (TAWWDA) has received financing from the Government of Kenya through the Ministry of Water and Sanitation for the CONSTRUCTION OF WOTE WATER SUPPLY AUGMENTATION PROJECT - PHASE I

Tender No: TAWWDA/065/2019-2020

2. Bidding will be governed by the Government of Kenya Public Procurement rules and Procedures (The Public Procure-ment and Asset Disposal Act 2015; www.ppoa.go.ke )

The works shall comprise but not limited to the following:

i. Supply and Installation of various sizes of distribution network pipelines approximately 4 Kmii. Construction of 100 M3 Clear water tank at Kamunyolo Treatment Worksiii. Rehabilitation of Kamunyolo Treatment works including: fencing, replacing filter media, repair of backwash tank

e.t.civ. Reinstatement of sections of DN 150 GI rising main from Kamunyolo water treatment plant to Makueni Boys’

tanks.v. Rehabilitation works for Mwaani boreholes. to include provision of a stand-by generator at booster station and

borehole No. 3, repair of airvalves and wash outs along the pipeline e.t.cvi. Construction of 4 No. water kiosks.vii. Supply of assorted repair kit to WoWASCO.

3. Tanathi Water Works Development Agency now invites sealed bids from eligible and qualified bidders to undertake the works described above. The delivery/construction period is 12 months.

4. Bidding will be conducted through the National Competitive Bidding procedures specified by the Government of Kenya Public Procurement rules and Procedures (The Public Procurement and Asset Disposal Act 2015; www.ppoa.go.ke), and is open to all bidders registered in Kenya as defined in the Bidding Documents.

5. Interested eligible bidders may obtain further information from:

The Chief Executive OfficerTanathi Water Works Development Agency

Private BagKITUI, KENYA

Tel: 044 4422416 / 020 8009628 Fax: 044 4422108Email: [email protected] , Website: www.tanathi.go.ke

and Interested eligible bidders can inspect and download a complete set of bid documents free of charge at Website: www.tanathi.go.ke and www.suppliers.treasury.go.ke

6. The Application must be clearly marked “Tender for Construction of Wote Water Supply Augmentation Project - Phase I TAWWDA/065/2019-2020”

7. Qualifications requirements include:

(a) Experience as prime contractor in the construction of at least 2 works of a nature and complexity equivalent to the Works over the last 5 years.

(b) Proposals for the timely acquisition (own, lease, hire, etc.) of the essential equipment(c) Liquid assets and/or credit facilities, net of other contractual commitments and exclusive of any advance pay-

ments which may be made under the Contract, of no less than KSh 120,000,000(d) Only firms registered with the National Construction Authority under category NCA 1 to NCA 4 (WATER OPTION)

shall be eligible for this tender.

8. A consistent history of litigation or arbitration awards for the Applicant or any partner of a Joint Venture may result in disqualification.

9. Bids must be delivered to the address below at or before 1200 hours East Africa time on 28th July 2020. Late bids will be rejected and returned to the Bidder un-opened. Bids will be opened physically in the presence of the bidders or representatives who choose to attend in person at the address below.

10. A pre-tender site visit shall be held on 14th July 2020 at Wote Water Company offices in Makueni at 1000Hrs.

11. All bids shall be accompanied by a Bid Security of Kshs 800,000 (or equivalent amount in freely convertible currency).

12. The address referred to above is:

The Chief Executive OfficerTanathi Water Works Development AgencyPrivate BagKITUI, KENYATel: 044 4422416 / 020 8009628 Fax: 044 4422108Email: [email protected], Website: www.tanathi.go.ke

ManufacturingThe Government has opened up local produc-tion by creating an enabling environment for private sector-led industrial development and a business climate capable of attracting local and foreign investments.

Wafanyakazi 400 zaidi kuajiriwa ili kuharakisha ujenzi wa bwawa Thwake

NA PATRICK NYAKUNDI (KNA)WAZIRI wa Maji, Usafi na Unyunyizi Maji,

Bi Sicily Kariuki, amesema wafanyakazi 400 wataajiriwa kuharakisha ujenzi wa bwawa la Thwake ambalo muda wake wa kukamilika umecheleweshwa na janga la Covid-19.

Bi Kariuki alisema ni asilimia 37 pekee ya ujenzi ambayo imekamilika kufikia sasa, tofauti na asilimia 42 ilivyotarajiwa, na hivyo wafan-yakazi hao wa ziada watahakikisha mradi un-afuata mwelekeo sawa.

Waziri alisema masharti ya serikali kudhibiti ueneaji wa Covid-19 yatafuatwa kwenye mradi huo kuhakikisha wafanyakazi na jamii ya hapo iko salama.

“Kwa sasa kuna wafanyakazi takriban 800, na hao 400 wa ziada wataimarisha kasi yaa ujenzi na kuhakikisha asilimia tano ya mradi ambayo imechelewa inakamilika kwa wakati,” akasema.

Waziri Kariuki alikuwa akizungumza alipo-zuru eneo la ujenzi katika mwungano wa mito Athi na Thwake katika kaunti za Makueni na Kitui mtawalia.

Wakati huo huo, alisema ni familia 25 pekee ambazo hazijapokea fidia kutokana na mizozo ya kijamii, na kwamba pesa za fidia hiyo zime-shapewa Tume ya Kitaifa ya Ardhi (NLC) na zi-tatolewa mizozo hiyo ikisuluhishwa.

Page 15: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

14 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 15

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

MURANG’A SOUTH WATER AND SANITATION COMPANY

LIMITED

INVITATION TO TENDERThe MURANG’A SOUTH WATER AND SANITATION COMPANY LIMITED (MUSWASCO) has applied for financing from the World Bank (WB) through Water Sector Trust Fund (WSTF) towards the cost of the water and sanitation improvement project and intends to apply part of the proceeds toward payments of the cost of Construction of Public Sanitation Facilities (PSFs) and Standard Water Kiosks in different areas of operation within Murang’a South Water and Sanitation Company area of Juris-diction, Murang’a County. The Company intends to apply the proceeds toward payments under the contract mentioned below.

A pre-bid meeting shall be conducted on 10TH JULY 2020 at the address mentioned below from 9:00am. A mandatory site visit will also be conducted the same day, 10TH JULY 2020 from 10:00 am. All bidders are expected to gather at MUSWASCO’s head office before proceeding to the site.

Interested eligible Bidders may obtain further information from the office of the MANAGING DIRECTOR, MURANG’A SOUTH WATER AND SANITATION COMPANY LIMITED, via email [email protected] and inspect the Bidding document during office hours 0900 to 1600 hours at the address given below.

The Bidding document in English may be purchased by interested eligible Bidders upon payment of a non refundable fee Ksh 1,000.00 in cash. Upon payment the document shall be obtained from the address below. Bidders who wish to down-load the bid document shall do so free of charge from Murang’a South Water and Sanitation Company Limited website, www.muswasco.co.ke

Bidders who download the tender documents from the website MUST forward their particulars immediately via email to [email protected]. This is for records and any further tender clarifications and addendum where neces-sary. The particulars should include: Name of Firm, Postal Address, Telephone Number, Email Address Tender Number, Tender Name.

Complete tender documents shall be sealed and marked as stated in the tender documents and be deposited at the Tender Box located at Murang’a South Water and Sanitation Company head office. Bids must be delivered to the address below on or before Friday 17TH JULY 2020 at 10:30 a.m. Electronic Bidding will not be permitted. Late Bids will be rejected. Bids will be publicly opened in the presence of the Bidders’ designated representatives and anyone who chooses to attend at the address below on 17TH JULY 2020 at 10:30 am.

The address referred to above is:

MANAGING DIRECTORMURANG’A SOUTH WATER AND SANITATION COMPANY LIMITEDP.O BOX 84-01034 KANDARA, NEXT TO DC’S OFFICE-KANDARA. Telephone: +254716645345Email: [email protected] , Website: www.muswasco.co.ke

TENDER No : MUSWASCO/NCB/WSTF-PSFK/JUN-19/20

NCB/Tender Name Eligibility Closing Date

1 a) Construction of 5No. standard Water kiosks of sizes 2.6mx 2.6m

b) Construction of 4No. standard Public Sanitation Facilities

Construction of Water and Sanitation Improvement Project

Open Friday

17th JULY 2020 at 10:30 a.m.

NA EMMANUEL MASHA

MAMIA ya watu wasioji-weza katika kaunti ndogo ya Magarini, Kaunti ya Kilifi, wamepongeza serikali ya ki-taifa kwa mpango wa kuwapa fedha za kukabili makali ya Covid-19.

Uchunguzi uliofanywa na KNA katika kata ndogo nne za Magarini ulipata kuwa msaada huo wa Sh1,000 kila wiki uli-punguza makali ya hali ngumu ya maisha kwa wale walionu-faika.

Wakazi walisema kuwa pesa hizo ziliwafaa sana kwani walikuwa wamekata tamaa maishani baada ya serikali kutangaza masharti makali ya kudhibiti ueneaji wa janga la Covid-19.

Jumla ya Sh21 milioni zime-tolewa kwa wakazi 2,634 wa kaunti hiyo ndogo, katika ma-juma manane yaliyopita.

Vile vile, serikali kupitia mpango wa kuwapa pesa wa-kongwe, walemavu, maya-

tima na watoto wasiojiweza imetoa jumla ya Sh51 milioni kwa kipindi cha kuanzia Janu-ari hadi Aprili.

Janet Siamini ambaye ni mjane mwenye watoto sita, alisema pesa hizo zilimwez-esha kuwapa lishe wanawe pamoja na mke mwenza mwenye umri wa miaka 62.

Pia alitumia kiasi fulani ku-

nunua bidhaa zingine muhimu za matumizi ya nyumbani baada ya mumewe kuaga dunia mwezi Aprili.

“Mume wangu ndiye ali-kuwa akikimu mahitaji ya familia. Mimi na mke mwenza tulikuwa tukijishughulisha na ukulima wa kiwango kidogo. Tangu mzee afariki tume-kuwa na wakati mgumu sana.

Tunashukuru serikali kwa msaada huo kwani tulikuwa tumefika kiwango cha kukata tamaa maishani,” Bi Siamini alieleza.

KNA ilimpata katika boma lake kijijini Kibaoni katika kata ndogo ya Madina, kata ya Marafa, akikarabati nyumba

yao pamoja na mke mwenza, Lois Ngoyo.

“Hakuna mwanamume katika familia yetu kwa sasa, ambaye angetujenge. Wa-nangu bado ni wachanga sana kufanya shughuli hii,” aeleza mama huyo mwenye umri wa miaka 34.

Wajane hao walisema mume wao alipatwa na kiharusi miaka mine iliyopita na ame-kuwa akiugua hadi Aprili al-ipofariki.

Ugonjwa wake uliwagha-rimu rasilimali finyu wal-izokuwa nazo na kuwaacha katika uchochole mwangi.

“Nilianza kupokea pesa hizo mume wangu akiwa bado hai na zilitusaidia sana kununua dawa alizohitaji,” Bi Siamini alisema.

Aliongeza: “Ninapozipokea kwa simu huwa tunaketi chini na mke mwenza tunaamua jinsi ya kuzitumia. Hii imetu-wezesha kuzitumia kwa uan-galifu.”

Mkazi mwingine Bi Lilian Kazia Karisa kutoka kijiji cha Kalongoni kata ndogo ya Mi-kuyuni, alisema msaada huo wa kifedha umemwezesha kulisha wanawe baada yake kutengana na baba watoto.

Mama huyo wa watoto tisa anaishi katika moja ya ny-umba ambazo shirika la Red Cross liliwajengea waathiriwa wa mafuriko 2018.

Kufuatia janga la Covid-19, alishindwa kutunza familia yake kubwa baada ya ku-poteza ujira.

“Hali imekuwa afadhali tangu nianze kupokea pesa hizo. Nashukuru kwamba msaada huo unatolewa kama pesa taslimu badala ya bidhaa za chakula na matumizi men-gine,” Bi Karisa aeleza.

Pesa za msaada zilivyokuamua wakazi maskini

JUU: Janet Siamini (anayeangalia kamera) na mke mwenza Lois Ngonyo wakijenga nyumba ya nyasi katika lokesheni ndogo ya Madina, Magarini. CHINI: Mahenzo Kaingu Kapombe, aliyenufaika na hazina ya Covid-19.

Naibu Kamishna wa kaunti ndogo ya Magarini Mbiuki Mutembei anawa mikono nje ya afisi ya Kamishna Msaidizi wa kaunti Gongoni.

Dhuluma za kimapenzi dhidi ya watoto zatia maafisa hofu Lamu

NA AMENYA OCHIENGWADAU katika Kaunti ya Lamu wameelezea

wasiwasi wao kuhusu ongezeko la visa vya dhu-luma dhidi ya watoto wanaotoka katika familia maskini wakati huu ambapo janga la Covid-19 limeteka taifa.

Visa 18 vya watoto kushika mimba vimeri-potiwa katika tarafa ya Hindi tangu shule zilipo-fungwa mwezi Machi kwa sababu ya janga hilo, kwa mujibu wa ripoti ya shirika la World Vision.

Hali hiyo imeibua wasiwasi kwamba janga la Covid-19, linalosababishwa na virusi hatari vya corona, litalemaza hatua ambazo zimepigwa kukomesha visa vya dhuluma, ukahaba, na ku-jamiiana kwa maharimu miongoni mwa watoto.

Ongezeko hilo limeibua mjadala miongoni mwa wadau kuhusu viwango vya dhuluma za kimapenzi dhidi ya watoto, hususan baada ya ongezeko hilo kushuhudiwa katika wadi zote ikilinganishwa na hali ilivyokuwa mwaka jana.

Kamishna wa Kaunti ya Lamu, Bw Irungu Macharia, amekuwa mstari wa mbele kupaza sauti katika mikutano mbalimbali ya umma kwenye kaunti hiyo, akionya washukiwa kwamba watakabiliwa vilivyo.

Aidha, kamishna huyo amehimiza maafisa wa usalama kuwa sugu kwa wanaoendeleza dhu-luma za kimapenzi dhidi ya watoto.

Mamlaka za serikali za kuwalinda watoto zimeshutumiwa vikali na viongozi wa kijamii kwa kulegea katika wajibu wao wa kudhibiti dhuluma hizo, hususan katika maeneo ya Hongwe, Hindi, Baharini na Witu ambako tayari visa vya unajisi mwaka huu vimefikia asilimia 34, 33, 28 na 25 mtawalia.

“Tuna wasiwasi kuhusu ongezeko la idadi ya

watoto wanaodhulumiwa na wazazi au walezi wao, ambao huwanadi mabinti zao kwa wa-naume ili kupewa pesa ama zawadi zinginezo,” alisema meneja wa World Vision eneo la Lamu, Ndaru Mkoba.

Hali ni mbaya zaidi katika familia zisizojiweza kiuchumi.

“Ukosefu wa kazi ama kitega uchumi ndiyo sababu kuu inayosukuma wazazi katika familia hizo kulazimisha watoto wao waingilie ukahaba au hata ndoa za mapema ili wajipatie pesa,” Mkoba aliongeza.

Kauli hiyo iliungwa mkono na mwenyekiti wa shule ya msingi ya Bargoni, Pasta Eliud Sangu, ambaye alisema kuwa jamii zisizojiweza kama vile Boni zimekuwa chambo rahisi kwa wala-ghai wa kila aina, ikiwemo wanyakuzi ardhi na wanaoendeleza dhuluma za kimapenzi.

“Jamii ya Boni hususan hapa Bargoni ime-lengwa sana na washukiwa hao ambao hunyem-elea familia maskini ama zisizo na hamasisho, na kushurutisha wazazi kunadi mabinti zao ili kupata pesa za matumizi,” Pasta Sangu alieleza.

Wanakijiji wa Bargoni walisimulia KNA kisa cha hivi punde ambapo mwanafunzi wa dar-asa la nane alisemekana kuuzwa na mamake kwa mwanamume anayetambulika kwa ku-nyemelea wasichana wachanga, na ambaye tayari amewatia mimba wasichana wengine wawili kutoka kijiji jirani. “Msichana huyo al-iokolewa kwa sababu ya shinikizo za babake, ambaye hufanya kazi za kibarua, alipogundua maovu yaliyompata binti yake baada ya kutiwa mimba na mshukiwa huyo anayefahamika kwa jina Osman. Kwa hasira alimpiga mkewe kwa upanga,” aeleza Mama Abuli, mkazi wa Bargoni.

Page 16: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

16 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 17

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

Page 17: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

JUNI 30, 2020

16 | MATANGAZOJUNI 30, 2020

Funika mdomo unapopiga chafya

Nawa mikono na sabuni/Sanitaiza

Jitenge na walio na virusi

Usiguse macho, pua au mdomo na mikono michafu

Pika nyama na mayai ziive. Usile chakula kibichi

Hakikisha maeneo yote ni safi

MATANGAZO | 17

HO

MA

KIKO

HO

ZI

KUSHIND

WA

KUPUMUA

MAUM

IVU

KOONI

KUUMW

A N

A KIC

HWA

DALILI UZUIAJIKOMESHA KOMESHA

“ Virusi havitembei, watu huvisambaza, tukiacha

kutembea, virusi vitakufa”

Page 18: VITA DHIDI YA COVID-19 Serikali kugawa bustani za TAKWIMU ...€¦ · NA ROSELYNE KAVOO (KNA) TAKRIBAN familia milioni moja zi-sizojiweza zitapokea vifaa vya kuan-zisha bustani za

NA VINCENT MININGWO NA CHRISTOPHER KIPROP

SERIKALI ya kitaifa imesema kwamba kuchelew-eshwa kwa fidia ya wahasiriwa wa mashambulizi ya wany-amapori kumetokana na janga la Covid-19.

Katibu wa Wanyamapori na Utalii, Prof Fred Segor, ali-omba familia hizo kuvumilia muda kidogo akisema wa-nashughulika kurejesha tara-tibu za kutoa fidia hiyo katika miezi miwili ijayo.

Prof Segor alikuwa aki-zungumza Jumatano iliyopita katika msitu wa Maji Mazuri, Kaunti ya Baringo, wakati wa zoezi la kupanda miti.

Alisema fidia zote za hadi Mei 2017 zilikuwa zimekami-

lika, na kwamba zozote zi-lizosalia ni za visa vilivyotokea kati ya Juni 2017 hadi sasa.

“Tungeanza mwezi Aprili kutathmini maombi ya familia za wahasiriwa waliouawa ama

kujeruhiwa na wanyamapori. Lakini kwa sababu ya masharti ya kudhibiti Covid-19 zilizo-piga marufuku mikusanyiko na kudhibiti safari zozote, shughuli nzima ilisitishwa,”

alieleza katibu.Alihimiza wahasiriwa

wapya wasikate tamaa kuhusu fidia, akisema wanafaa ku-piga ripoti mara moja visa vyote vya mashambulizi, ka-tika vituo vya polisi na ofisi za Shirika la Wanyamapori (KWS) zilizo karibu nao ili fidia yao ijumuishwe katika awamu itakayotolewa baadaye mwaka huu.

Prof Segor ambaye alikuwa ameandamana na viongozi wa Baringo wakiongozwa na Kamishna wa Kaunti, Bw Henry Wafula, alisema wiz-ara yake inaandaa mikakati ya kupata fedha za kufidia waathiriwa ambao barua zao za maombi bado hazijashu-ghulikiwa tangu Juni 2017 hadi leo.

NA JANET ROP (KNA)

SERIKALI imeanza kampeni kubwa ya kitaifa kutoa chanjo kwa mifugo zaidi ya milioni 65 nchini, ili kukabiliana na maradhi yanayoambukizwa kupitia mpakani.

Zoezi hilo linalenga zaidi ya ng’ombe 18 milioni, mbuzi 26 milioni, kondoo 18 milioni na ngamia 2.2 milioni.

Chanjo hiyo inatarajiwa ku-wakinga dhidi ya maradhi ha-tari ya Foot and Mouth (FMF), Rift Valley Fever (RVF) na Blue Tongue.

Waziri wa Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Vyama vya Ushirika, Bw Peter Munya, alihimiza wafugaji kuwasilisha mifugo wa kwa chanjo hiyo ambayo itatolewa bila malipo.

Bw Munya alisema kuwa maradhi hayo matatu pamoja na Peste des Petite Ruminants (PPR), Lumpy Skin (LSD) na Brucellosis ni tisho kuu kwa mifugo, na huathiri mno kitega uchumi cha wafugaji.

Aliongeza kuwa maradhi hayo husambaa kwa haraka sana kutoka taifa moja hadi lingine, na hivyo kudhibiti mikurupuko yoyote kunahitaji matibabu na uangalizi wa mara

kwa mara sawa na ushirikiano wa mataifa.

“Serikali imejitolea kuko-mesha maradhi ya mifugo, na utoaji wa chanjo mara kwa mara ndilo suluhisho bora. Kwa sababu maradhi haya-jali mipaka, ushirikiano wa mataifa ya kanda ni muhimu sana kudhibiti ueneaji ku-toka taifa moja hadi lingine,”

akasema.Waziri alikuwa akizun-

gumza wakati wa hafla ya kuz-indua zoezi hilo la chanjo mjini Oloosuyian, Kajiado, iliyohud-huriwa na maafisa wa ngazi za juu kutoka kwa wizara na seri-kali ya kaunti ya Kajiado.

Alisema zoezi hilo li-taendeshwa kote nchini na litajumuisha utoaji huduma

za tiba kwa halaiki ya mifugo, dawa ya minyoo na chanjo.

Bw Munya aliongeza: “Takriban asilimia 90 ya wakazi katika maeneo kavu na kame hutegemea bidhaa za mifugo ikiwemo nyama, maziwa na ngozi hivyo kuna haja ya kuweka mikakati ya kulinda wanyama hao, kwa kudhibiti ueneaji wa maradhi au hata kukomesha kabisa maradhi hayo kwa manufaa ya wananchi wetu na uchumi kwa jumla.”

Wakati huo, Waziri alilaumu serikali kadha za kaunti kwa kukosa kutenga fedha za kutoa chanjo ya mifugo, na hivyo kufanya kaunti ambazo zi-mechanja wanyama wao kuwa hatarini kupata maambukizi.

“Ni wajibu wa Mabunge ya Kaunti kuhakikisha zinatenga bajeti ya kutosha kwa shu-ghuli ya utoaji chanjo, kwani jukumu la utunzaji wa mifugo lilipewa kaunti. Kaunti moja ikiwapa mifugo wake chanjo na ile jirani ikose kufanya hivyo, zoezi litakuwa bure tu kwani kutazuka mkurupuko wa maradhi ya kupitia mka-pakani,” alieleza Bw Munya.

UWANJA wa ndege wa Migori, almaarufu Lichota, utafanyiwa ukarabati kwa gharama ya Sh242 milioni.Shughuli hiyo ya ukarabati itaanza mara moja na ina-tarajiwa kuchukua miezi 12, kwa mujibu wa meneja wa Mamlaka ya Usimamizi wa Viwanja vya Ndege (KAA) kanda ya Magharibi, Bi Selina Gor.Bi Gor alisema mwana-kandarasi atakayefanya shughuli hiyo ashateuliwa na atafika eneo la ukarabati wiki ijayo.Kazi hiyo itafanywa kwa awamu mbili. Ya kwanza itajumuisha upanuzi wa barabara ya ndege kutoka kilomita 1.1 hadi 1.2 na kui-wekea lami. “Katika awamu hii pia kuta-jengwa eneo la kisasa kwa ajili ya kupakia, kupakua na kugeuzia ndege. Vile vile, kutajengwa kituo cha abiria cha kisasa na pia eneo la maegesho la teksi,” aliele-za meneja huyo. Alikuwa akizungumza alipoongoza

ujumbe wa maafisa wa ngazi za juu wa KAA pamoja na wanachama wa kamati ya usalama ya kaunti ya Migori, kukagua uwanja huo.Awamu ya pili itajumuisha ujenzi wa vifaa vikuu vi-takavyowezesha uwanja huo kupokea ndege kubwa na kuhudumia abiria wengi zaidi. Bi Gor alisema uwanja huo umetambuliwa kama kituo muhimu cha usafiri kwa kuwa katika eneo lin-alounganisha mataifa ya Kenya na Tanzania. Uwanja huo unapatikana karibu na mji wa Migori, ambao mchanganyiko wake wa wakazi umeufanya kuwa moja ya miji inayokua kwa kasi Kenya na kituo muhimu cha kibiashara nchi-ni.Kamishna wa Kaunti ya Mi-gori, Bw Joseph Rotich, am-baye aliongoza kamati ya usalama wa-kati wa ukaguzi huo, alisema uwanja huo utakuwa kichocheo muhimu cha uchumi wa hapo.

Na GEORGE AGIMBA

Ukarabati wa uwanja wa ndege Migori kugharimu Sh242 milioni

KWA UFUPIKampeni ya kitaifa ya chanjo ya mifugo yazinduliwa Kajiado

Janga la Corona lachelewesha utoaji fidia kwa walioshambuliwa na wanyamapori

JUNI 30, 2020

NAIROBI-KENYA I Issue No.51/2019-2020

DESIGN AND EDITING OF MYGOV WEEKLY BY THE KENYA YEARBOOK EDITORIAL BOARD NHIF Building , 4th Floor, P.O. Box 34035-00100 Email: [email protected] Tel: 0202715390 / 0711944538 www.kenyayearbook.co.ke

SERIKALI imepokea msaada wa katoni 40,000 za chakula maalum cha kuka-biliana na utapiamlo cha thamani ya Sh250 milioni, kutoka kwa shirika la Ac-tion Against Hunger (ACF). Chakula hicho ambacho kimeimarishwa kwa vijalizo vya lishe mahususi ya kutibu utapiamlo sugu, kitasamba-zwa katika kaunti za maeneo kame na kavu (ASAL). Hizo ni pamoja na Mandera, Wajir, Garissa, Tana River, Lamu, Kilifi, Mom-basa na Isiolo. Takriban watoto 370,000 wenye umri wa kati ya miezi 6 na miaka mitano, pamoja na wajawa-zito 78,000 na akina mama wanaonyonyesha walio maeneo ya ASAL na mitaa duni mijini, wanahitaji kwa dharura tiba ya utapiamlo.Akipokea msaada huo ka-tika makao makuu ya Wiz-ara ya Afya jumba la Afya House, Katibu wa Afya Bi

Susan Mochache alisekma janga la Covid-19 limeathiri taifa na ulimwengu mzima ikiwemo katika suala la lishe bora baada ya wananchi ku-poteza kazi zao. “Huu ni msaada muhimu ambao utaziba pengo hilo la lishe ambalo limesaba-bishwa na Covid-19,” akasema na kuongeza kuwa chakula hicho maalum kita-saidia pakubwa kukabiliana na tatizo la utapiamlo sugu ambao umekithiri katika kaunti husika.Bi Mochache alisema wiz-ara inatekeleza mpango wa pamoja wa kitaifa kuhusu lishe bora, wa 2018-2022, ambao unaeleza mikakati mahususi ya kuimarisha lishe bora nchini na kupam-bana na utapiamlo sugu.“Kuzidisha juhudi za kuka-biliana na utapiamlo sugu, ni miongoni mwa mikakati ya mpango huo,” alieleza. Na WANGARI NDIRANGU

Chakula cha kukabiliana na utapiamlo kusambazwa

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Peter Munya, amchanja ng’ombe wakati wa uzinduzi wa chanjo ya kitaifa ya mifugo katika Oloosuyian, kaunti ya Kajiado mnamo Juni 19,2020

Katibu wa Idara ya Mifugo na Utalii, Prof Fred Segor akihutubia wakazi katika uwanja kwenye msitu wa Maji Mazuri, kaunti ya Baringo wakati wa shughuli ya upanzi wa miti. Prof Segor aliandamana na viongozi wengine wakiongozwa na Kamishna wa Kaunti Henry Wafula.