swa65-0221m ndoa na talaka vgrdownload.branham.org/pdf/swa/swa65-0221m marriage and... ·...

51
NDOA N A T ALAKA Hebu na tuinamishe vichwa vyetu sasa kwa muda mdogo wa maombi. Baba mwenye Neema nyingi mno, tunakushukuru Wewe asubuhi hii kwa majaliwa haya ya kuwepo hapa katika jumba hili la mikutano, tukikabili matukio ya siku hii. Lakini hatujui siku hii inashikilia mambo gani, bali sisi twamjua Yeye Ambaye anaishikilia siku hii. Kwa hiyo tunaomba ya kwamba Yeye yule aishikiliaye siku ya leo na ya kesho, na Milele yote, atatubariki sisi leo tukiwa tumekusanyika pamoja katika Jina Lake, ili tuweze kujua vyema zaidi jinsi ya kuishi tukamtumikie Yeye. Hili ndilo kusudi letu lote, Baba. Mungu, Wewe uijuaye mioyo yetu, unajua jambo hili ni kweli. Tunajikabidhi Kwako, pamoja na—na sehemu ya baadaye ya siku hii, kwa ajili ya kukutumikia Wewe, katika Jina la Yesu Kristo. Amina. 2 Ketini. [Ndugu Branham anamwambia mtu fulani jukwaani, “Hili hapa jingine.”—Mh.] 3 Habari za asubuhi, enyi wasikizi mnaoonekana kwa macho na pia enyi wasikizi msioonekana kwa macho nchini kote ambako tumeunganishwa asubuhi hii. Hili lanipa heshima kubwa kuja hapa na kuzungumza asubuhi hii juu ya somo hili muhimu sana. Kwa wasikizi wanaoonekana, kwa kweli kidogo inatatanisha, kwa kuwa mbele yangu ni mapazia tu, halafu yanibidi kuzungumza kulia na kushoto. Na kwa wasikizi wasioonekana kwa macho, jumba la mikutano liko mkono wangu wa kulia, na pia jumba la michezo mkono wangu wa kushoto; na mimi niko sakafuni, na mapazia yaliyofunguliwa katikati, yakifanya mkono wangu wa kulia na mkono wa kushoto. Na tumejaa kabisa, asubuhi hii, katika jumba la mikutano, na pia katika jumba la michezo, na pia kanisani, kule kanisani kwenye Barabara ya Nane na ya Penn. Na katika sehemu zilimojaa watu, mfumo wa simu unaupeleka katika sehemu zile nyingine. 4 Tumekuwa na wakati wa kufurahisha mno katika Bwana, nasi tuko kwenye matazamio makuu kwa ibada hii asubuhi hii. Na sasa usiku wa leo ukiwa ni wakati wa kumalizia kampeni hii ya siku nne, mbona, hakika tunawakaribisha wote, ambao wanaweza, kuwepo hapa. Tunatumaini kwamba Bwana atatupa kilele kizuri sana usiku wa leo kwa kutenda jambo lisilo la kawaida kabisa, hivi kwamba Yeye atawaponya wagonjwa wote na kutenda mambo makuu ambayo Yeye kwa kawaida huyatenda. Nasi tuko kwenye matarajio makuu jioni hii. Umma unakaribishwa kwa furaha, kila mtu, kila kanisa la kila madhehebu. Hata si lazima uwe ni Mkristo; hakika tunawaita wenye dhambi waje, wakaketi miongoni mwetu. Nasi

Upload: others

Post on 04-Jan-2020

21 views

Category:

Documents


3 download

TRANSCRIPT

Page 1: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA

Hebu na tuinamishe vichwa vyetu sasa kwamudamdogowamaombi. Baba mwenye Neema nyingi mno, tunakushukuru

Wewe asubuhi hii kwa majaliwa haya ya kuwepo hapa katikajumba hili la mikutano, tukikabili matukio ya siku hii. Lakinihatujui siku hii inashikilia mambo gani, bali sisi twamjua YeyeAmbaye anaishikilia siku hii. Kwa hiyo tunaomba ya kwambaYeye yule aishikiliaye siku ya leo na ya kesho, na Milele yote,atatubariki sisi leo tukiwa tumekusanyika pamoja katika JinaLake, ili tuweze kujua vyema zaidi jinsi ya kuishi tukamtumikieYeye. Hili ndilo kusudi letu lote, Baba. Mungu, Wewe uijuayemioyo yetu, unajua jambo hili ni kweli. Tunajikabidhi Kwako,pamoja na—na sehemu ya baadaye ya siku hii, kwa ajili yakukutumikiaWewe, katika Jina la YesuKristo. Amina.2 Ketini. [Ndugu Branham anamwambia mtu fulani jukwaani,“Hili hapa jingine.”—Mh.]3 Habari za asubuhi, enyi wasikizi mnaoonekana kwa machona pia enyi wasikizi msioonekana kwa macho nchini koteambako tumeunganishwa asubuhi hii. Hili lanipa heshimakubwa kuja hapa na kuzungumza asubuhi hii juu ya somohili muhimu sana. Kwa wasikizi wanaoonekana, kwa kwelikidogo inatatanisha, kwa kuwa mbele yangu ni mapazia tu,halafu yanibidi kuzungumza kulia na kushoto. Na kwa wasikiziwasioonekana kwa macho, jumba la mikutano liko mkonowangu wa kulia, na pia jumba la michezo mkono wangu wakushoto; na mimi niko sakafuni, na mapazia yaliyofunguliwakatikati, yakifanya mkono wangu wa kulia na mkono wakushoto. Na tumejaa kabisa, asubuhi hii, katika jumba lamikutano, na pia katika jumba la michezo, na pia kanisani,kule kanisani kwenye Barabara ya Nane na ya Penn. Na katikasehemu zilimojaa watu, mfumo wa simu unaupeleka katikasehemu zile nyingine.4 Tumekuwa na wakati wa kufurahisha mno katika Bwana,nasi tuko kwenye matazamio makuu kwa ibada hii asubuhihii. Na sasa usiku wa leo ukiwa ni wakati wa kumaliziakampeni hii ya siku nne, mbona, hakika tunawakaribishawote, ambao wanaweza, kuwepo hapa. Tunatumaini kwambaBwana atatupa kilele kizuri sana usiku wa leo kwa kutendajambo lisilo la kawaida kabisa, hivi kwamba Yeye atawaponyawagonjwa wote na kutenda mambo makuu ambayo Yeye kwakawaida huyatenda. Nasi tuko kwenye matarajio makuu jionihii. Umma unakaribishwa kwa furaha, kila mtu, kila kanisala kila madhehebu. Hata si lazima uwe ni Mkristo; hakikatunawaita wenye dhambi waje, wakaketi miongoni mwetu. Nasi

Page 2: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

2 LILE NENO LILILONENWA

tunajitahidi kwa uwezo wetu wote kuwafundisha njia ya Bwanailivyo, tupate kuishi.5 Sasa natumaini kwamba wasikizi hawatakuwa na wasiwasi.Nami nikimtumaini Mungu kwamba sitakuwa na wasiwasi,kwani nimekuwa na usikumgumu sana, uchovumwingiwa akili.Kwa maana ninatambua kwamba mambo nitakayozungumzaasubuhi hii yatawekwa dhidi yangu katika Siku ya Hukumu,nami si—sikuweza kulala, nami najua kama siyaneni yatawekwadhidi yangu kwenye Siku ya Hukumu. Kwa hiyo hulifanya kuwagumu, huwezi kulieleza.6 Na sasa asubuhi hii ni lile somo muhimu linalotupasakuzungumzia juu ya Ndoa Na Talaka. Na sababu ya kulifanyashule ya Jumapili, ni kusudi tuweze kulizungumzia na kuchukuawakati wetu, badala ya kuhubiri mahubiri juu yake. Nimafundisho kutoka katika Maandiko.7 Nami na—nataka kusema kwamba, kama mhubiri ye yoteau wahudumu, mahali po pote, iwapo kanda hii itawahikuangukia mikononi mwao, kama tukiitoa kanda hii, sijuiambacho kanisa litafanya juu yake. Ninamwomba Ndugu Fredkuiona halmashauri ya kanisa kabla ya yeye kuiachilia kandahii. Na kwenu ninyi watu nje huko nchini kote, ambao mnanasakwa vinasasauti, tafadhali msitoe kanda hiyo isipokuwa msikietoka kwaNdugu Sothmann kuhusu jambo hilo.8 Sasa, na kama ikiachiliwa, na mmoja wa ndugu zanguwahudumu, au Mkristo ye yote mahali po pote, ambayehatakubaliana na mambo ambayo ninasema kuhusu somo hili,na—natumaini kwamba hutalipinga. Kama wewe hulielewiHilo jinsi ambavyo mimi ninalifundisha, vema, unayo hakikatika jambo hilo kama mhudumu, kama mchungaji. Namininaheshimu jambo lo lote ambalo wewe unaamini.9 Na kuna itikadimbili kuu juu ya hili. Na kama kunamaswalimawili, kunamoja ambalo halina budi kuwa sahihi, ama hakunahata moja la hayo lililo sahihi. Kwa hiyo tutajaribu kuangaliakwenye Neno la Mungu, asubuhi hii, kulitatua hili. Kwangumimi, kama ni swala la Biblia, hakika Biblia inalo jibu lake.10 Na sasa kabla tu hatujapata hizi, kuanza somo hili,hasa, kabla ya kuliombea Neno, nataka kueleza kila mmojawenu, ya kwamba mimi…hasa ninyi Wakristo, kwambanatamani au nataka mniombee asubuhi hii. Na wote huko njekwenye wasikilizaji wasioonekana wanaosikiliza asubuhi hii,niombeeni, kwa sababu nataka niwemwaminifu nawa kweli.11 Sasa tunatambua, katika kutoa matamshi haya, mtufulani, hata ikiwa ni mtu mmoja tu, atashikilia Hilo kabisakana kwamba ni kufa na kupona. Kuna wengi wenu hapawatakwenda zao wakiamini. Bila shaka, wengi wenu, labda,hamtaamini. Lakini ninajua, katika huduma yangu, kuna watuwanaokuja kunisikiliza, na kusikiliza nisemayo; kutoka, vema,

Page 3: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 3

wanaketi papa hapa asubuhi hii, mataifa mbalimbali, wengikutoka Marekani, Canada, na nchi za ng’ambo. Nawe unawezakuwazia kule kuchoka akili ambako jambo hilo hukuletea,kujua kwamba kikomo cha Milele cha mtu yule kiko mikononimwako, sababu atashikilia ambalo unasema. Kwa hiyo Munguataniwajibisha jambo hilo, nami nataka kuliendea hili kwaunyofu niwezavyo.12 Sasa na—nawasihi dada zetu. Nami nilibadilisha baadhiya maneno yangu ili nipate kulizungumzia mbele yao. Billyana mfukoni mwake, asubuhi hii, nje huko, baadhi ya mamboambayo yasingeweza kutamkwa kule mbele ya wa—wasikilizajiwaliochanganyikana. Na mengine ambayo labda nitayanena,yawabidi muelewe. Lichukueni hilo kama litokalo kwa—kwandugu yenu, kadiri nijuavyo mimi. Ungeliketi katika afisi yadaktari na kumsikiliza yeye, ingemlazimu kutamka manenowazi kabisa kwako. Na baadhi yenu vijana wanawake na vijanawanaume, sitaki tupate mawazo mabaya. Nataka muamini, nakuketi kimya tu. Kumbukeni, Ukweli lazima utamkweKikweli.13 Na, sasa, bila shaka watakuwepo wengi wenu watakaokataakukubaliana na yale yatakayosemwa, lakini ninatakakuwahakikishieni kwa Biblia. Na halafu ninaamini, kamautakuwa tu mnyenyekevu na kusikiliza, basi utapata ufahamumzuri zaidi na wazo la yale nimekuwa nikisisitiza, wakati wote.Naamini hili litalielezea, nami natumaini kwamba litalielezea.14 Sasa twaweza tukachukuamudamrefu, saamoja na nusu, aupengine zaidi, juu ya hili. Sijui litachukuamuda gani.15 Na sasa tena, ningetaka kusema kwamba, katika wakatihuu, kwamba nikijua kwamba watu hushikilia maneno yako;wanashikilia, kwa mchungaji wao. Na, bila shaka, nimekuwamchungaji.16 Nao hushikilia maneno ya mchungaji, kana kwamba ni kufana kupona. Wanashikilia neno la kasisi wao, kana kwamba nikufa na kupona. Na bila shaka, mchungaji, labda kwa yote yaleajuayo jinsi ya kutenda, yeye anawafundisha watu wake sawakabisa na alivyofundishwa katika seminari; bila shaka na kasisi,pia, katika dini mbalimbali ambazo zina makasisi. Bila shaka,mchungaji kwa kweli ni kasisi; ni mwombezi. Kwa hiyo, kamayule kasisi, katika yote aliyofundishwa katika hiyo yake, katikaseminari na katika vyuo vya watawa, yule mtu kwa unyofu wamoyo anasema sawa kabisa na yale aliyofundishwa.17 Vema, basi, sina ujuzi wo wote wa seminari au ujuzi wo wotewa vyuo vya watawa, na sina neno dhidi yake kamwe, bali ninamaisha ya kipekee sana.18 Niliitwa nilipokuwamvulanamdogo tu.Hivyo basi kulikuwana ishara ya kuonekana na kusikika wazi niliyopewa, Ngu—Nguzo yaMoto ikining’inia kijitini, kwenye umri wamiaka saba,papa hapa katika Utica Pike. Baba yangu alikuwa akifanya

Page 4: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

4 LILE NENO LILILONENWA

kazi kwa Bw. O. H. Wathen ambaye alikufa hivi majuzi tu.Nanyi mmekisoma kitabu hicho, mwaijua hadithi hiyo. Na tanguwakati huo…Kule chini mtoni basi Hiyo ikatokea waziwazimbele ya watu. Na sasa Hiyo imepigwa picha mara nyingi, nayoinaning’inia huko Washington, D.C., kama haki ya uchapishaji,katika Ukumbi wa Sanaa za Kidini, kama Kiumbe pekee chakimbinguni ambacho kiliwahi kuthibitishwa kisayansi kwambakimepigwa picha; Nguzo ya Moto ile ile, katika sura ile ilehasa na kila namna, ambayo iliwapandisha Israeli kutoka Misri.Ninaamini Hiyo ni Yesu Kristo katika umbo la Roho, katikaUana wa Mungu.19 Kwani Yeye aliitwa “Mwana wa Adamu” wakati Yeyealipokuja mara ya kwanza, sasa Yeye anaitwa “Mwana waMungu,” katika ule Utawala wa Miaka Elfu Yeye atakuwa“Mwana wa Daudi.” Alikuja kama “Mwana wa Adamu, nabii,kama ilivyonenwa kumhusu Yeye; sasa Yeye ni Mwana waMungu, katika ya kimbinguni; katika ule Utawalamkuu ujao waMiaka Elfu, Yeye akatuwaMwanawaDaudi, akiketi kwenye kiticha enzi cha Daudi. Kama wasomaji wote wa Biblia wanavyojuakwamba hiyo ni ahadi yaKiungu aliyoahidiMungu, akamwahidiDaudi, Yeye angemwinua Mwanawe kuketi kwenye kiti chakecha enzi.20 Na sasa katika huduma ya ajabu, na ya kipekee, nimeitwakila kitu kutoka “Mungu” hadi “ibilisi.” Na hivyo, ndivyo ilivyosikuzote.21 Hivyo ndivyo huyu askofu mkuu wa kanisa Katolikialivyoniambia usiku wa juzijuzi chini kule, katika yalemazungumzo, ambapo alisema, “Ndugu Branham, YohanaMbatizaji alijitambulisha dhahiri katika Maandiko, kamailivyonenwa na nabii Isaya.” Akasema, “Huduma yakoimetambulikana waziwazi katika Kanisa.” Akasema, “Waluteriwamo katika Biblia.” Akasema, “Waluteri walimjua Luther. WaWesley wanamjua Wesley. Lakini vipi Wapentekoste?” Kasema,“Wanazururazurura. Hawajui waende wapi.”

Nami nikasema, “Bwana, ninathamini jambo hilo.”22 Na ilikuwa wakati huo Roho alipomshukia bibi yule,hajawahi kuniona mimi, mkewe…naye akanena nakutambulisha mambo yale yale.23 Sasa, kwa kweli, mbele ya Ujumbe huu ninaouzungumzaasubuhi hii, sijui. Nilimwambia, nikasema, “Bwana,nisingeweza kusema hivyo. Hilo ni jambo kubwa mno kusema.Inaelekea kuwa hivyo.”24 Jambo moja ambalo ninajua, kwamba kuna kitu fulanikimetukia, dhahiri. Mambo yote haya, tu, imehakikishwakisayansi, na kuhakikishwa tena na tena ulimwengu kote,haiwezekani tu kuwa hadithi. Ni Kweli. Ni nini? Hebu niseme,kwa kuungama, kabla ya kuzungumza nanyi asubuhi hii, sijui.

Page 5: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 5

Na nisingethubutu kutenda lo lote mpaka nisikie toka KwakeYeye ambaye amezungumza nami wakati uliopita na kuniambiamambo haya.25 Kumbukeni, Bwana wetu Yesu Kristo kamwehakujitambulisha Yeye Mwenyewe kama Mwana wa Mungu.Yeye alisema, “Umesema nilikuwa hivyo; kwa kusudi hilinilizaliwa,” na kadhalika, lakini hakujitambulisha Mwenyewekamwe.26 Na, sasa, hiyo ilikuwa ile Nguzo ya Moto ambayoiliwaongoza wana wa Israeli, ilikuwa Bwana Yesu Kristo katikaumbo la Roho, (mnaamini hiyo?) yule Logos ambaye alitoka kwaMungu. [Kusanyiko lilisema, “Amina.”—Mh.]27 Na basi wakati Yeye alipokuwa duniani, Yeye alisema,“Nalitoka kwa Mungu, Nami naenda kwa Mungu.” Sotetunajua hivyo.28 Na baada ya kifo Chake, kuzikwa, na kufufuka. Sauli waTarso alikuwa akienda zake Dameski, kuwatesa Wa—Wakristo,kwa sababu walikuwa wakifundisha mambo kinyume na yalewamekwisha kufundishwa. Naye alikuwa shujaa mkuu; chiniya Gamalieli, mmoja wa waalimu maarufu sana wa wakati ule,katika shule yao, chuo chao cha watawa; na mtu mkuu, na afisawa kanisa. Na hapo ndipo ile Nuru kuu, ile Nguzo ya Mototena, ilimpiga akaanguka chini, mchana. Ndipo Sauti ikasema,“Sauli, Sauli, mbona unaniudhi Mimi?”29 Sasa kama ukitazama wakati Paulo, Sauli, alipoinuka,alisema, “Bwana, Wewe u Nani?” Sasa, mvulana yule, akiwaMyahudi, hakika asingeliita kitu cho chote, isipokuwa iweni kitu kinachoonyesha mfano wa Mungu, yeye asingelikiita“Bwana.” Kwa hiyo, ilikuwaNguzo yaMoto ile ile.30 Kama Yesu alivyosema, “Ninakwenda kwa Mungu. NilitokakwaMungu, Nami ninarudi kwaMungu.”31 Huyo hapo, amerudi katika umbo la Nguzo ya Moto tena;Yeye akasema, “Ni mimi Yesu unayeniudhi; na ni vigumu kwakowewe kuupiga mateke mchokoo.”32 Nasi tunatambua kwamba wakati Mtume Petro, ambayealipewa zile funguo kulijenga Kanisa, tunaona kwamba yeyealikuwa gerezani, nayo hii Nguzo ya Moto ile ile ikapenyakwenye fito za chuma, ikafungua milango ya gereza, na kumtoaPetro nje, kisiri, bila hata ya kumsumbua mlinzi. Kwangu mimi,Hiyo ni YesuKristo yeye yule jana, leo, na hatamilele.33 Na basi sikuzote utajua cho chote kwa asili yake. Kitucho chote hujulikana kwa asili yake, tunda kinalozaa. Naminawaomba mwangalie aina ya tunda inalozaa, Nuru hii ambayoni Mungu, kwa sababu Hiyo sikuzote hurudi kwenye Nenola Mungu, na kuthibitisha Neno la Mungu, kuhubiri Neno la

Page 6: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

6 LILE NENO LILILONENWA

Mungu, kisha Mungu anathibitisha Neno hilo dhahiri mbeleyenu. Yapaswa kuwe na kitu fulani nyuma Yake.34 Watu wameniita mimi nabii. Sijiiti mwenyewe nabiiye yote, kwa sababu nisingethubutu kusema hivyo, lakininime…Tuseme, ninaweza kusema hivi, kwamba Bwanaameniruhusu nione vitu kabla, kusema mambo ambayoyametukia, yatakayotukia, yanayotukia, na hapana hata wakatimmoja limeshindwa, katika mara kumi elfu nyingi. Kila kituambacho Yeye alisema kingetukia, kilitukia. Sote tunajua hivyo.Kama yupo mtu kwenye kusanyiko hili linaloonekana asubuhihii, au mahali po pote, anayeweza kusema haikutukia wakatifulani, uko huru kusimama na kusema hivyo. Lakini kamakila mtu anajua kwamba kila wakati, katika mara elfu nyingi,imekuwa sawa kabisa kabisa, aseme, “amina.” [Kusanyiko,“Amina! “—Mh.] Unaona? Kwa hiyo hilo lingekuwa jambo lilelile ulimwenguni kote.35 Kitu fulani kiko karibu kutukia. Mungu kamwe hapelekimambo haya bila ya kuwa na kusudi nyuma yake.36 Nilikuwa tu ninawaza hapa. Nililiweka hapa, moja yamaandishi yangu. Kwamba asubuhi hii ninavaa, viungo vyasijafu…Na wengi wenu mmemsikia huyu mcheza sinema, JaneRussell, na mama yake ni Mpentekoste; na Danny Henry nibinamu wake, binamu wa karibu, mtoto wa dada ya mamayake. Yeye alikuwa Mbatisti. Alikuwa amesimama mkutanoni,mkutano wa Wafanya Biashara huko Los Angeles, California,miaka miwili iliyopita.37 Nami nilikuwa tu nimemaliza kuzungumza ma—manenomakubwa mno na yenye nguvu, hata mwangalizi, mmoja wawaangalizi wakuu wa Assemblies of God, alishuka akajajukwaani kutoka kwenye roshani ambako alikuwa ameketi,naye akasema, “Siamini kwamba Ndugu Branham alimaanishajambo hilo.”38 Nikasema, “Yanipasa kumaanisha hilo, bwana. Ni BWANAASEMA HIVI.” Ndipo, basi, ilikuwa kuhusu kanisa katikawakati huu.39 Na mnamo wakati ule, kijana huyu mwanamume ambaye nimfanya biashara…Ndugu yake yuko…alikuwa pale akipigapicha za televisheni asubuhi ile, ndugu yake mwingine ni—nimkaguzi wa barabara za serikali huko California. Basi DannyHenry akaja mbele baada ya kufungwamkutano, jukwaani, hivi;ambapo wanaume wote walikuwa wameketi, akashuka akajaakanikumbatia. Naye akasemamaneno haya, “Ndugu Branham,natumai hili halisikiki la kukufuru, bali,” kasema, “hayoyangeweza kufanywa sura ya 23 ya Ufunuo.” Ambapo, kunasura ishirini na mbili tu katika Ufunuo. Akasema, “Natumainihili halisikiki la kukufuru.” Mara aliposema hivyo…Sasa, yulemvulana alikuwa Mbatisti, naye hakujua kitu cho chote kuhusu

Page 7: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 7

mambo ya kimbinguni. Huku amenikumbatia, alianza kunenakwa lugha isiyojulikana.40 Naye alipomaliza kunena kwa lugha, palikuwa namwanamke mnene, mweusi aliyeketi moja kwa moja mbeleyangu, akainuka, akasema, “Hiyo haihitaji tafsiri yo yote.”Akasema, “Mimi ninatoka Shreveport, Louisiana; au BatonRouge, Louisiana.”Kasema, “Hicho ni Kifaransa kitupu.”41 Victor Le Dioux, ambaye ni Mfaransa, naye pia ameketipale, kasema, “Hakika, mimi ni Mfaransa, na hicho kilikuwaKifaransa kwelikweli.”42 Nikasema, “Ngojeni kidogo. Wewe andika aliyosema, nawewe andika aliyosema, kabla ya kusema kitu cho chote.Andikeni mlichosema, na hebu tuone maandishi yenu.” Na kwahiyo mmoja akaandika, na mwingine akaandika, ikawa kwambahata vituo vilikuwa sawa.43 Ndipo yapata wakati ule, walipoleta hayo maandishi,mvulana mwenye sura nzuri, na nywele za rangi ya shabaakaja kutoka kule nyuma. Ambako, hapakuwepo na nafasi yakutosha kwake kuketi; alikuwa amesimama huko nyuma. Akajambele, akasema, “Hebu kidogo, ningetaka kutoamaandishi pia.”Akasema, “Mimi nimkalimani waKifaransa katikaU.M., UmojawaMataifa.”Akasema, “Ningetaka kuachamaandishi yangu.”44 Na, hapa, maandishi yote matatu yanafanana kabisa, yaKifaransa. Na hivi ndivyo yanavyosema. Haya ni maandishiya awali yaliyoandikwa, maandishi yaliyoandikwa papohapo. Haya ni maandishi ya Danny, mwenyewe, aliyobebamfukoni mwake. Bila shaka, yalikwenda kwaWakristo WafanyaBiashara, na kadhalika.

Kwa sababu wewe umechagua ile njia iliyonyembamba, njia iliyo ngumu zaidi; wewe umetembeakatika chaguo lako mwenyewe.Umechukua uamuzi sahihi na halisi, nayo ndiyo Njia

Yangu.Kwa sababu ya uamuzi huu muhimu sana, sehemu

kubwa ya Mbinguni itakungojea.Ni uamuzi mzuri jinsi gani wewe umechukua!Hili lenyewe ndilo litakalotoa na kutimiliza ule

ushindi mkuu sana katika upendano wa Kiungu.45 Sasa, mtu huyo aliandika jina lake hapa. “Maneno yaliyopohapo juu yalifasiriwa na, ya Danny Henry akitoa unabii juuya Ndugu Branham, yametolewa na mashahidi watatu katikamkahawa huko Los Angeles, California.”46 Sasa, kijana yuyu huyu ambaye alitoa unabii huu, bila yakujua aliyokuwa akisema, alikuwa huko Yerusalemu yapatamwezi mmoja uliopita. Alipata majaliwa ya kwenda na—na

Page 8: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

8 LILE NENO LILILONENWA

kulala katika kaburi ambamo Yesu alikufa na akazikwa. Basiwakati alipokuwa amelala pale, alisema nilikuja mawazonimwake kwa nguvu sana naye akaanza kulia. Kasema, “Jinsiambavyo imekuwa vigumumno kwaNdugu Branham kusimamadhidi ya ulimwengu namambo haya, namakanisa yote!”47 Kama ilivyo—ilivyonenwa wakati mmoja kuhusu mtummoja, kuhusu sehemu ya Billy Graham, kasema, “Tunawezakumwona Billy Graham, sababu makanisa yote yameunganapamoja kwa ajili yake. Tunamwona Oral Roberts, Wapentekoste.Lakini twawezaje daima kupata cho chote, wakati Hilo nikinyume na ambalowatuwamefundishwa?”NiMungu.48 Na, Danny, analofanya kwa kujifurahisha, hutengenezamawe madogo. Alikwenda mahali ulipowekwa ule Msalaba,ambapo walisema ule Msalaba uliwekwa katika mwamba.Hapakuwa na mtu ye yote karibu, kwa hiyo alivunjakipande kidogo cha mwamba na akakiweka mfukoni kamakumbukumbu, akafa nyumbani na kunitengenezea jozi yaviungo vya sijafu. Na, ajabu ni kwamba, alipozitengeneza,zilionekana kuwa zimetiwa damu. Na moja kwa moja katikakila moja yake, katika mfululizo, mnapita kinjia chembamba,kilichonyoka moja kwa moja ndani ya zote mbili. Sasa hiyoyaweza kuwa tu…Unaona, mtu mwingine anaweza asilionehilo, bali kwangu mimi ni kuidhinishwa kwa mambo yaleninayoamini. Ninaamini kwamba kila kitu kinamaana yake.49 Na sasa, katika wakati huu, lo lote alilo nalo Bwana. Kamahili si jambo lile ambalo Yeye alitabiri, la Malaki 4 na piala Luka 17, na Maandiko mengine mengi ambayo yanapaswakutimia katika siku hizi za mwisho, hebu niseme hivi katikakumalizia, limeweka msingi kwa mtu huyo wakati atakapokuja.Kwa hiyo ninashukuru mno kwamba Mungu Mwenyezi, kamandivyo ilivyo, ameniruhusu kutenda jambo fulani dogo, katikahali yangu ya kutoelimika, kuonyesha kuthamini kwangu kwaupendo Wake kwangu, upendo wangu Kwake, na upendo wetukwa watu.50 Kwa hiyo, kwa unyofu, ninaliendea somo hili la Ndoa NaTalaka. Mungu na aturehemu sisi sote.51 Na sasa sikiliza kwa makini. Na, akina dada, msiinuke nakutoka nje; kaeni kimya kwa muda kidogo tu. Enyi Nduguzanguni, fanyeni vile vile. Msizime redio zenu nje huko, mamboyanayowajia kwa njia hii ya simu. Msifanye hivyo. Hebu kaenikimya tu kwa dakika chache, mpaka yatakapokwisha. Sikilizenikwa makini. Kama hamkubaliani nayo, andikeni Maandikoninayotumia, kisha makayasome kirefu kwa maombi kablahamjajiamulia.

Mungu, tusaidie tunapojaribu kuliendea somo hili.52 Sasa, linaweza liwe refu kidogo. Sitaki uwe katika harakayo yote. Na chukueni tu wakati wenu, sisi sote, na tujifunze

Page 9: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 9

Neno la Mungu, kwelikweli na kwa bidii sana, jinsi tujuavyokujifunza Hilo.53 Hebu na tuanze na Mathayo Mtakatifu sura ya 19. Nakuanzia, nafikiri, na aya ya 8 ya sura ya 19, nataka kuanza.Ningeanza pia na ya 1, na kuendelea kusoma hadi aya ya 8 yasura ya 19.54 Sasa, kumbukeni, mambo haya ambayo ninasema lazimayatoke kwenyeNeno laMungu. Haiwezekani iwe ni maoni yangumwenyewe, sababu maoni yangu, ni kama ya mtu mwingine yeyote. Lakini inapaswa iambatane na Neno la Mungu. Kumbuka,Mungu huweka kila kitu katikamfululizo. Habadiliki kamwe.Niyeye yule jana, leo, na hata milele. Mnaamini hivyo? [Kusanyikolinasema, “Amina.”—Mh.] Ni yeye yule.55 Sasa nitasoma toka sura ya 19.

Ikawa Yesu alipomaliza maneno hayo, akatokaGalilaya akafika mpaka Uyahudi, ng’ambo ya Yordani.Makutano mengi wakamfuata, akawaponya huko…Basi Mafarisayo wakamwendea, wakamjaribu,…

56 Nasimama hapo kidogo ili uweze kupata mkazo wa ni naniwalikuwa wanamjaribu.

…wakimwambia, Je! ni halalimtu kumwachamkewekwa kila sababu?Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye

aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtumke,Akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye

na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawiliwatakuwa mwili mmoja?Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili

mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamuasiwatenganishe.Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa

hati ya talaka, na…kumwacha?Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo

yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakinitangu mwanzo haikuwa hivi.Sasa, Mungu, tusaidie.

57 Andiko hili, swala hili, lilimkabili Yesu mwanzoni kabisawa huduma Yake. Pia lilimkabili Musa mwanzoni kabisa mwahuduma yake. Ni swala la mbele kabisa katika mioyo yawaamini. Mwenye dhambi hajali. Lakini ni kwa ajili yawaamini,kwa sababu mwamini anajaribu kutenda yote ambayo anajuajinsi ya kutenda kuishi sawambele zaMungu. Kwa hiyo, swala lolote likija juu ya dini, basi jambo la Ndoa Na Talaka hujitokeza,(kwa nini?) kwa sababu ndilo chanzo cha dhambi ya asili. Hapo

Page 10: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

10 LILE NENO LILILONENWA

ndipo dhambi ilipoanza. Na hiyo ndiyo sababu linaletwa kilawakati, kwa sababu ndicho chanzo cha dhambi hasa.58 Sasa sitakuwa na wakati wa kuelezea mambo yote haya,lakini nitafurahia kujibu barua yako au kitu cho choteniwezacho. Au, tuna vitabu vilivyoandikwa juu yake, namaswalimengi, na hata kato zamagazeti na kadhalika hapa, kuthibitishajambo hili, tunajua kwamba ilikuwa Hawa. Tofaa ambaloalidhaniwa alikula, ambapo hata si Kimaandiko, sasa wanadaiilikuwa embe dodo; haikuwa mojawapo ya hayo. Alizini, hilolilimleta mtoto wa kwanza, ambaye alikuwa Kaini, mwana waShetani, kwani ndani yake mlikaa uovu. Haukuja kwa Habili.Mwana wa Shetani alikuwa Kaini.59 Ninajua swali lako sasa, “Hawa alisema, ‘Nimepata mtotomwanamume kwa Bwana.” Hilo ni sawa kabisa.60 Unaweza kumchukuamwanamkempotovu sana kuliko wotemjini, mwanamume mbaya zaidi ya wote; kama hao wangepatamtoto, ingebidi atoke kwaBwana, kwa sababuMungu ana sheriazilizowekwa pamoja. Na sheria hizi, kama kuchomoza kwa jua;kama ukiweka gugu katika shamba zuri, litamea. Na lazimalimee, kwa sababu ni sheria ya Mungu. Mbegu inapopandwa,lazima iote. Na hakuna kiwezacho kuotesha uhai ila Mungu,kwa sababu hutenda kazi chini ya sheria Zake. Kwa hiyo wakatiuzao mwovu ulipopandwa katika tumbo la uzazi la—la Hawa,ilibidi uoteshe, kwa sababu ni sheria ya Mungu ya kuzalisha.Na halingeweza kufanya kitu cho chote kingine ila kuuzaa, naoulibidi utoke kwa Mungu.61 Hiyo ndiyo sababu watu wanasema, “Watoto wachanga,”wakati mwingine, “ambao hawakuzaliwa na wazazi Wakristo,wamepotea.”62 Damu ya Yesu Kristo hufanya upatanisho kwa ajili yayule mtoto, sijali amezaliwaje na alizaliwa katika uovu jinsigani. Yeye ni Mwana-Kondoo wa Mungu aichukuaye dhambiya ulimwengu. Mtoto yule mdogo hawezi kutubu, kwa sababuhana kitu cha kutubia, na hiyo ndiyo iliyokuwa dhambi yaulimwengu ambayo iliondolewa na Damu ya Kristo. Watotowachanga huenda Mbinguni.63 Ni dhambi ya asili, na hiyo ndiyo sababu linaulizwa. Wakatitukio lo lote kuu linapokuja kutoka kwa Mungu, karibu jambola kwanza, “Vipi kuhusu Ndoa Na Talaka?” Sasa, kama ilivyodaima, bado ni swali miongoni mwa watu. Kama ilivyokuwakatika nyakati za Yesu, kama ilivyokuwa katika nyakati zaMusa, sikuzote imekuwa hivyo, na ndivyo ilivyo hata wa leo,swala miongoni mwa watu, kwa sababu watu wanataka kujuaUkweli ulipo.64 Lakini palipo na swali, lazima liwepo jibu. Na sasa likiwajibu, kama nilivyosema hapo kabla, juma hili, lazima kuwekona jibu sahihi. Na kama tukipata jibu kwa kitu cho chote, nalo

Page 11: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 11

si—si sahihi, basi tunajua kwamba ni kosa. Lakini lipo, badoungeliuliza mpaka swali la kweli lijibiwe, kama unataka kujuaUkweli. Na kwa kuwa hili ni swali la Biblia, sharti liwe jibula Biblia.65 Na kama nilivyosema, kama nilitaka kwenda masharikiasubuhi hii; na kwa yote ambayo nimejua hili, ilinibidi kutafutakitu fulani shambani, na kilikuwa moja kwa moja mashariki,nami nilikwenda mashariki. Mtu fulani akasema, “NduguBranham, hii ni mashariki.” Ni mashariki, kwa kuwezekana,lakini ni kaskazini mashariki. Ningepita kitu kile nilichokuwanikitafuta; ningerudi, nikijua nilikosea. Na kama mtu fulanialisema, “Ndugu Branham, nenda upande huu, mkono wako wakulia.” Sasa, huko kwa uwezekano ni mashariki, pia, bali nikusini mashariki. Ningepoteza kitu nilichokuwa nikitafuta, kwasababu nimepitamipaka ya njia kamilifu na yamoja kwamoja.66 Sasa, kama hivyo ni kweli, tuna itikadi mbili juu ya NdoaNa Talaka. Nazo ndivyo ilivyo, mojawapo husema, ya kwamba,“Mwanamume anaweza kuoa mara moja tu, isipokuwa mkeweamekufa.” Na hilo ni moja ya hayo maswali, lakini, ukiifuatahiyo, utakosa kiasi. Na halafu nyingine husema, “Loo, kamamkeaumume,mmojawao, amezini, mmojawao anaweza kuachwanaafunge ndoa tena.”Unajikuta umekosa kiasi kwa jambo hilo.67 Kwa hiyo, unaona, si kusini mashariki wala kaskazinimashariki; tunataka moja kwa moja mashariki. Utaishiwa naMaandiko unapokwenda upande huu, utaishiwa na Maandikounapokwenda upande ule. Tunataka kujua mahali Maandikoyanakutana na Maandiko, na kujua ulipo Ukweli. Kila mmojahuchukua njia tofauti, na kushindwa kuleta jibu lililo sahihi,lakini hata hivyo lazima liwepo jibu.68 Ni kama tu, leo, kuna itikadi mbili maarufu za mafundishokatika kanisa; moja yao ni Ukalvini, nyingine ni Uamin-…Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema.Nasi tunatambua kwamba wale watu wanaoamini katikaneema, Wakalvini, husema, “Mungu abarikiwe, kuvuta sigarahakunidhuru mimi. Kunywa pombe hakunidhuru. Nawezakufanya mambo haya, ninao usalama wa Milele.” Halafutunaona ule upande mwingine, wa mshika sheria, kasema,“Loo, ningetaka kumkaripia kwelikweli, ningetaka ajueninavyosikia, lakini, mimi ni Mkristo, yanipasa ninyamaze.”Unaona, unajikuta kwenye njia mbili tofauti, na hakuna hatamoja ya hizo iliyo sahihi. Sasa, hilo ni gumu kulisema hivyo, balini ukweli.69 Tunajikuta kwenye njia mbili tofauti; moja iendayo upandemmoja, mojamwingine. Sasa hebu tuoneUkweli ulipo.70 Sasa sikiliza, na uone iwapo hili linasikika la busara kwako.Kwa mfano, kama nikijitayarisha kwenda nchi za ng’ambo.Nami nitachukua jamaa yangu. Nitamwita mke wangu anijie,

Page 12: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

12 LILE NENO LILILONENWA

nami nitasema, “Tunakwe-…ninakwenda ng’ambo, mpenzi.”Basi huu ndio upande wa mshika sheria, “Sasa, mke wangu,nitakuwekea sheria! Kama ukibembwa na mwanamume ye yotewakati nimeondoka, nirudipo u mwanamke aliyetalikiwa. Namisikutaki wewe ukonyezane macho, sitaki ubembwe! Unaelewahilo? Mimi ni mumeo! Kama ukifanya hivyo, nitakuacha wakatinirudipo.”71 Ndipo atanijia na kunishika tai, na kusema, “Bwana wangumwema, nataka kukuambia jambo fulani, unaona, unaona,kwamba kama ukimkonyezea macho mwanamke ye yote, aukutembea na mwanamke ye yote, au kumbemba mwanamke yeyote, utakuwa mwanamume aliyetalikiwa utakaporudi.” Sasa,je, hiyo itakuwa nyumba yenye furaha? Hiyo ni kwa washikasheria. Sawa.72 Sasa, upande ule mwingine ni, kwamba kama nikiendang’ambo na nifanye kosa…Niondoke niende nikaseme, “Sasa,angalia, nitatembea na mwanamke huyu. Aa, ni sawa kwa kwamke wangu, yeye hajali.” Mke wangu aseme, “Nitatembea namwanamume huyu. Ni sawa kwa Bill, yeye hajali.” Kama sijali,basi kuna kasoro kwangu; simpendi mwanamke yule sawasawa.Naye kama hajali, ana kasoro. Yeye ni mke wangu; sitakiwanaumewengine wamchezee. Yeye ni mkewangu.73 Sasa, njia nzuri kwake, ni, hapo wote wawili wana ukweli,bali si Ukweli halisi.74 Sasa niendapo ng’ambo, kulifanya hilo sahihi, jamaayangu ndogo hukusanyika, nasi tunaomba pamoja. Namininawakabidhi kwa Mungu, nao wananikabidhi kwa Mungu.Nasi tunapofanya hivyo, tunakwenda ng’ambo, ninaendang’ambo. Sasa, najua yeye ananipenda; nina imani naye. Naminampenda; ana imani nami. Maadamu ninampenda hivyo,hatakuwa na wasiwasi kwamba nitatembea na mwanamkemwingine. Maadamu ananipenda sawa, mbona, hakunahaja ya mimi kufikiria kuhusu mwanamume mwingine yeyote kutembea naye, kwa sababu yeye ni mke wangu namininamwamini.75 Ninaamini, kama kwa kweli ningefanya kitu kibaya, nifanyekosa na kutembea na mwanamke fulani, nikarudi nikamwombamsamaha, na kumwambia, “Meda, sikutaka kufanya hivyo.Nilinaswa tu na mtego; mwanamke huyu alinikimbilia tuna—na kunikamata mkono, naye akaanza jambo fulani,”ninaamini angeelewa. Naamini angenisamehe jambo hilo.Lakini nisingelilitenda, hata iweje, kwa sababu ninampenda.Ingawa angelinisamehe, nisingelilitenda. Nisingemuumiza, hataiweje. Ingawa najua angenisamehe jambo hilo, sitaki kumuudhi.76 Na hivyo ndivyo ilivyo kwa Mungu. Iwapo mimi…kamaupendo wa Fileo, ambao ni upendo wa kibinadamu, upendo waushirika, unaweza kumfanya mti ajisikie hivyo kwa mkewe,

Page 13: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 13

na upendo wa Agapo je, neno la Kiyunani linalomaanisha“Upendo wa Mungu,” hilo lingenifanya nitende nini kuhusuYesu Kristo? Mimi, maadamu ninataka kwenda kulitenda,liko moyoni mwangu kulitenda; vema, ninasema, maadamulimo moyoni mwangu kulitenda, ninakwenda kulitenda.Sheria haitaniruhusu kulitenda, ni kwa sababu ninajuaningeliadhibiwa nikilitenda. Lakini Ukweli wake hasa nikwamba, ni wakati upendo wa Mungu ujapo moyoni mwakompaka wewe unataka kutenda jambo Hilo. Huo ndio Ukweliwake. Hizo hapo zile itikadi mbili. Sio sheria au jambo jingine,au Ukalvini, ni zote mbili.77 Sasa tunaona leo, pia, kuna madhehebu mengi mbalimbali.Kuna kanisa la Kikatoliki, kanisa la Kiprotestanti. Kila mojalao husema wao ndio Njia, unaona, “Tunayo Njia, sisi ndio ileKweli.” Hapo kuna Mmethodisti, anasema “Tuna ile Kweli.”Mbatisti husema, “Tuna ile Kweli.”78 Vema, kwangumimi, maadamuwanaona hivyo, si hivyo, kwasababu Yesu alisema, “Mimi Ndimi Kweli.” Unaona?79 Kwa hiyo, kama yalivyokuwamahubiri yangu usiku uliopita,kwamba Yeye ndiye mahali ambapo Mungu aliweka JinaLake, mahali pekee pa kuabudia. U Mkristo ati kwa sababuwewe u Mprotestanti. U Mkristo ati kwa sababu wewe uMkatokiki. Hu Mkristo ati kwa sababu u Mmethodisti, Mbatisti,au Mpentekoste. U Mkristo kwa sababu umebatizwa katikaYesu Kristo, kwa Roho Mtakatifu, sio kwa maji. “Kuna imanimoja; Bwana mmoja; ubatizo mmoja,” huo ni ubatizo wa RohoMtakatifu. Ubatizo wa maji hukuingiza katika ushirika. Baliubatizo wa Roho Mtakatifu hukuingiza katika Kristo. Ukwelindio huo.80 Pia tunayo mawazo mawili kuhusu hii Ndoa Na Talaka.Sasa, kwa kuwa Bwana wetu ametufungulia siri ya zile MuhuriSaba ya Neno Lake, katika siku hizi za mwisho. Sasa, wengiwenu, hili laweza liwe ni Kiyunani kwenu, lakini kanisalangu linaelewa. Kwa kitu gani? Nanyi mmesikia kuhusu yalemaono na mambo yaliyotukia. Na swali hilo ni swali la Biblia,tumekaribishwa hapa kuamini lazima kuwepo na jibu la kwelikwa siri yote nzima iliyofichwa tangu kuwekwa misingi yadunia. Na Biblia hutabiri na kusema kwamba katika sikuhii siri hizi zingefunuliwa. Ufunuo 10, “Na malaika wa sabaatakapopiga baragumu, mjumbe wa Laodikia, siri za Munguzingefunuliwa.” Na huu ndio wakati wa mwisho, ambao niLaodikia.81 Angalia ufufuo wote huu ulioendelea kwa miaka kumi namitano au zaidi, hapana madhehebu hata moja yametokeakutokana na huo. Luther alikwa na ufufuo, kukatokeamadhehebu; Wesley, kukatokea madhehebu; AlexanderCampbell, kukatokea madhehebu; watu hawa wote maarufu…

Page 14: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

14 LILE NENO LILILONENWA

John Smith na kadhalika, madhehebu, Moody, wakati wote.Lakini hapa pamekuwa na mmoja…Kwa kawaida ufufuohudumu kama miaka mitatu tu. Bali huu umeendelea kwamiaka kumi na mitano, na hakujatokea hata madhehebu moja,kwa maana huu ni wakati wa Mbegu. Hakuna kapi tena; baadaya lile kapi kuondoka, ni Mbegu.82 Mungu yuko tayari, kama Yeye halitendi hivi sasa, Yeyeataliita Kanisa lifikie ukamilifu kwa Neno Lake, Yesu Kristo.Angalia, lazima liwepo jibu mahali fulani, na ikiwa ndiyo Hiyo,siri yaMungu iliyotiwamuhuri saba, Muhuri Saba.83 Ni wangapi wanaolielewa hilo, inua mkono wako juu. Hebutuone. Nafikiri wengi wao ni kusanyiko letu kutoka hapa karibu,sikiliza. Kama sivyo, vitabu vitatoka hivi karibuni, juu ya somohilo. Tunavyo vitabu, vitabu juu Yake sasa.84 Yesu, katika kifungu chetu, anatualika turudi kule mwanzokwa jibu la kweli la Kimaandiko.85 Sasa, Yeye alipokabiliwa na hili, palikuwepo na mambomawili dhahiri yaliyojitokeza. Makuhani walimwambia Yeye,“Je!mtu anaweza kumwachamkewe, aoemwingine, kwa sababuyo yote?”

Naye Yesu akasema, “Tangumwanzo haikuwa hivi.”Ndipo wao wakasema, “Musa alituruhusu kumpa hati ya

talaka na kumwacha kwa lo lote walilotaka.”86 Yeye akasema, “Kwamba, Musa alifanya hivyo kwa sababu,”ninaachilia hilo lishike kidogo, “kwa sababu ya ugumuwamioyoyenu; lakini tangu, aumwanzoni haikuwa hivi.” Swali!87 Swali leo, kama la amani ya ulimwengu, “Je! inakujakwa siasa, muungano wa mataifa, yakiungana?” Ninawaambia,la. Sikuzote imeshindwa, na itashindwa tena. Bali kungalikuna jibu la kweli la hilo swali, “Je! kutakuweko na amaniduniani?” Ndiyo, dhambi itakapoondolewa duniani, kutakuwana amani. Lakini hadi wakati huo, hakutakuwa na amani; “taifalitaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme.”Mungu alitoa tiba ya dhambi. Sikiliza kwa makini sasa. Mungualitoa tiba kuondoa dhambi ulimwenguni, lakini mwanadamuwa duniani hatakubali tiba ya Mungu.88 Mungu alitupa tiba na njia ya kuoa wake zetu na kuishi nao,lakini mwanadamu hatakubali tiba ya Mungu, hawatakubaliNeno Lake juu yake. Yesu amesema jambo hili. Na hililinatukumbusha sisi kuhusu—kuhusu Maneno Yake, tukijuakwamba Yeye alisema, “Mbingu na nchi zitashindwa, zitapita,bali Langu halitapita.”89 Swali, jibu la kweli ambalo Yesu anatutaka tulirejee, nikurejea hapo mwanzo. Basi, hiyo ingekuwa katika kitabu chaMwanzo, sababu neno Mwanzo ni sura ya mbegu kwa kilaswali katika Biblia. Na sikuzote yakubidi urejee kwenye mbegu

Page 15: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 15

kuona ni mbegu ya aina gani iliyomo shambani, kuona mazaoyako yatakuwa nini. Sasa, ni mbegu gani imepandwa? Kitabucha Mwanzo, kwa kuwa ndicho sura ya mbegu, tungerejeakatika Mwanzo. Yesu anatupeleka kwenye Andiko hilo, “hapomwanzo.” Sasa, kumbuka, hapo ndipo wakati ulipoanza kuanza.Kabla ya hapo, ilikuwa Umilele. Sasa, swali letu hapo lilikuwa,angalia, kama tukirejea mwanzoni.90 Sasa msikose hili! Na hiyo ndiyo sababu ninatakakuzungumza pole pole, ili kwamba watu nje kwenye simu, na ilikwamba kanda zinene dhahiri.91 Kama Yesu alisema, “Rejeeni pale mwanzoni,” palikuwepona jozi moja tu ya cho chote duniani. Palikuwa na Adamummoja, Hawa mmoja, waliunganishwa na Mungu peke Yake.Farasi jike mmoja, dume mmoja; kasuku jike mmoja, wa kiumemmoja. “Hapo mwanzoni,” kama Yeye alivyotuambia turejeekule nyuma, palikuwepo na jozi moja tu ya cho chote. Hiyo nikweli? [Kusanyiko linasema, “Amina.”—Mh.] Basi, tunaona sasakwamba kila kitu hapo “mwanzo” kilikuwa kikienda katikakanuni timilifu na upatano na Mungu, hakuna kitu kilichokuwanje ya mpangilio.92 Kila kitu mbinguni bado kiko katika utaratibu; nyota zote,jamii ya nyota, mfumo wa jua, kila kitu kiko katika utaratibumkamilifu. Moja yao ikisogea, itakatizampangowote.93 Sasa sikilizeni. Mnaona? Katizo moja huharibu mpangowote! Sasa, wakati wanadamuwalipokuwawakiendelea pamojana Mungu, wakiwa ni mwanamume mmoja na mwanamkemmoja, mwanamke huyu alitenda dhambi na jambo hilolikaondoa mpango wote wa duniani katika mwendeleo waMungu. Kwa hiyo, neno moja likiongezwa kwenye Kitabu hiki,au Neno moja likiondolewa Kwake; humtupilia mbali Mkristokutoka mwendeleo moja kwa moja na Mungu, hulitupilia mbalikanisa kutoka mwendeleo pamoja na Mungu, hutupilia jamaambali na mwendeleo pamoja na Mungu. Kila mwamini anawezakutupiliwambali, kwa kutokukubali kila Neno laMungu.94 Naam, mwanamke ndiye aliyesababisha farakano laile nyumba nzuri. Si Kerubi aliihangaisha dunia. Adamusiye alifarakanisha ile nyumba. Si kitu kingine ambachokilifarakanisha yale makao, na kuondoa kitu hicho chote katikamwendeleo, bali ni mwanamke, Hawa. Na ni hapa ambapo “ulemwanzo,” ambao Yesu alinena habari zake, ulipovunjwa. Yesualisema, “Hapo mwanzo, Mungu aliumba cha kiume kimoja,cha kike kimoja, cha kila aina.” Na sasa mwanamke huyu…sifarasi jike, si mbwa jike; bali mwanamke, alivunja mwendeleowote wa utendaji wa Mungu duniani, na kutupilia kila kitumautini. Mwanamke, sio mwanamume, alivunja lile agano.Alivunja agano, kwa sababu (gani?) alivuka mipaka ya Nenola Mungu. Sasa, kama yeye alivunja agano lake na mumewe,

Page 16: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

16 LILE NENO LILILONENWA

alivunja agano lake na Mungu; basi, kwa sababu alivunja aganona Mungu, alilivunja na mumewe.95 Na wakati mlipovunja ahadi yenu na agano lenu kwa Nenola Mungu, hilo ndilo lililosababisha washiriki wengi haramuwa kanisa, kwa sababu kundi la watu lilikusanyika pamojalikasema, “Vema, Hilo halikumaanisha hivyo,” nalo hutupamadhehebu yote nje yamwendeleo pamoja naNeno. “HatuaminiHilo. Daktari Jones alisema haikuwa hivi.” Lakini maadamuMungu amesema ndivyo ilivyo, Yeye alisema, “neno la kila mtuliwe uongo, na LanguKweli!” Hapo huvunjamwendeleo.96 Sasa tunaona, kwa kuwa mwendeleo umevunjwa, basikamba ya Uhai ilikatika, pia kamba ya wakati ilikatika, aganolikavunjika, kila kitu kikavunjwa-vunjwa! Nini kililisababishajambo hilo? Mwanamke. Huyo ndiye aliyevunja agano. Sasa,kama unataka kusoma hayo, unaweza kuyasoma,Mwanzo 3.97 Sasa, hapo ndipo basi mwanamume alifanywa kumtawalamwanamke, kwa Neno la Mungu. Hakuwa tena sawa naye.Alikuwa sawa na mwanamume katika yale maumbile,unajua; lakini, wakati alipovunja Neno la Mungu, Mungualimfanya mwanamume amtawale. Mwanzo 3:16, kama unatakakuliandika. Hakuwa tena sawa na mwanamume. Alikuwamvunjaji wa Neno la Mungu.98 Je! huoni, “mwanamke,” mwanamke, kanisa chini hapa?Mvunjaji wa Neno la Mungu, hilo lilimtupilia mbali na ulemwendeleo. Na hilo ndilo ambalo kanisa limetanda, na kuingizamauti ya kiroho juu ya kitu hicho chote. Sasa mtaelewa kwa ninimimi hukemea mambo haya kwa ukali jinsi ninavyofanya. NiUkweli! Hizi ni kweli za Biblia.99 Angalia, kwa nini alitenda jambo kama hili; huyomwanamkempendwa,mrembo namkamilifu angewezaje?100 Niliona picha wakati mmoja, naamini ilikuwa Ugiriki, yamchoraji aliyechora picha yaHawa. Alikuwa kitu cha kuchukizamno ulichowahi kuona.Hilo laonyesha kilemtumwenyemawazoya kimwili anachoweza kutazama. Bali, yeye hakuwa hivyo;alikuwa mrembo, kwa sababu alikuwa mwanamke mkamilifu,mwanamke wote.101 Angalia, kwa nini alitenda jambo kama hilo, akiwa katikahilo daraja la juu? Alikuwa pamoja na mwanamume, sawa naye.Bali sote tunajua sasa alipoteza usawa wake na mwanamume,alipotenda dhambi, naye Mungu akasema, “Tangu sasa nakuendelea mwanamume atakuwa mtawala wako.” Sasa, hayo niMaandiko. Mkitaka, tungeyasoma.102 Ninawapa Maandiko, ili tuokoe wakati kwa ajili yamawasiliano haya makubwa ya simu nchini kote, ili kwambamuweze kuyasoma wenyewe.

Page 17: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 17

103 Angalia kwa nini yeye alifanya hivyo. Shetani aliwezajekumfikia?104 Ulijua kwamba Shetani alikuwa sawa na Mungu siku moja?Ndivyo hakika, kila kitu isipokuwa muumba; alikuwa kilakitu, alisimama katika mkono wa kuume wa Mungu, Mbinguni,Kerubi mkuu anayeongoza.105 Angalia sababu ya mwanamke kufanya hivyo, yeye hakuwakatika uumbaji wa asili. Yeye hayuko katika uumbaji wa asili waMungu; yeye ni kitu kilichotolewa kwa kingine. Kwa hiyo, “hapomwanzo,” kama Yesu alivyorejea kwake, hakuwa kiumbe chaasili kilichoumbwa naMungu. Yeye alitolewa kwamwanamume,wakati Yesu aliporejea “hapo mwanzo.”106 Kumbuka, Adamu alikuwa vyote viwili mwanamume namwanamke, katika uumbaji wa asili, mmoja, lakini basialitenganishwa kwa ubavu.107 Angalia, lakini kitu kilichotolewa kwa kingine, na, angalia,ndiye wa pekee miongoni mwa uumbaji wote wa Mungu, wakila mnyama na cho chote kile, ndiye wa pekee aliyetenganezwajinsi hii. Kila jike mwingine ye yote alikuwa katika uumbajiwa asili. Kila jike mwingine ye yote alikuwemo katika uumbajiwa asili, lakini Hawa hakuwa katika uumbaji wa asili. Unaona,ilibidi huyo afanyizwe jinsi hiyo. Tutalifikia baada ya mudamfupi. Angalia, katika uumbaji huu alimokuwemo, sio katikaule wa asili, bali alitolewa kwa mwingine. Na katika uumbajihuu, kuna…108 Sasa sitaki kuwaudhi, lakini nataka kuwaambia Ukweli.Nanyi hebu ketini kimya; mnatenda vyema.109 Hakuna kitu kilichotengenezwa kuwa kidanganyifu sana,kama mwanamke aliye mdanganyifu. Hakuwezi kuwa na kitukingine; hakuna kitu kilichotengenezwa kuwa hivyo.110 Pia, hakuna kitu ambacho kinaweza kudanganyikakwa urahisi sana kama mwanamke. Sasa, kule kuangukakunathibitisha tamshi hili kuwa kweli, kule kuanguka kwamwanzoni.111 Yeye hakuwemo katika ule uumbaji asili wa mwanzoni.Alikuwa ndani ya Adamu, bali sio katika jinsia ya kike, yeyemwenyewe, hapo mwanzoni. Yeye alitengenezwa kutoka kwakitu kingine.112 Naam, hakuna kitu kilichotengenezwa ambacho chawezakudanganya, na kudanganyika, kwa urahisi kama mwanamke.Hakuna kitu kilichotengenezwa au kinachoweza kujishushachini kama awezavyo mwanamke. Fikiria sasa. Hakuna kitukilichotengenezwa, katika uumbaji wote, ambacho kinawezakujishusha chini kama awezavyo mwanamke. Anawezakuurarua moyo wa mwanamume vipande vipande kwa urahisisana kuliko kitu cho chote kilichopo ulimwenguni, ni mkewe.

Page 18: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

18 LILE NENO LILILONENWA

Hebu maskini huyo mke mzuri aanze kuzurura na wanaumewengine; mtazame jamaa huyo ameketi pale na watoto, hukumachozi yanabubujika machoni. Mwanamke ameundwa jinsihiyo. Ametengenezwa kutenda jambo hili. Hakuna nguruwe,hakuna mbwa, wala mnyama mwingine, aliyetengenezwa kamayeye au anayeweza kujishusha chini kama awezavyo kujishusha.Sasa, hiyo ni kweli.

Huku nikiwaheshimu dada zangu, nataka tumuangalie.113 Hakuna mnyama awezaye kuwa mzinzi. Mnamwitambwa “mkoo,” mbwa jike, mnamwita wa kiume…nguruwe“jike,” lakini uadilifu wake umewashinda wacheza sinemawengi wa Hollywood kwa maili milioni nyingi. Hivyo ndivyoalivyotengenezwa kujishusha. Hawezi…Hebu tu liwazie hilisasa. Hakuna kitu ulimwenguni, kilichoumbwa katika uumbajiwa Mungu, kinachoweza kuwa kizinzi, kujishusha chini kiasihicho.114 Unasema, “Ngoja kidogo, ‘mwanamume’!” Tutalifikia hilo.Yambidi mwanamke aseme “ndiyo.”115 Angalia, hakuna kitu kilichotengenezwa kushuka chinihivyo, au kuwa kichafu, isipokuwa mwanamke. Mbwa hawezikufanya hivyo, nguruwe hawezi kufanya hivyo, ndege hawezikufanya hivyo. Hakuna mnyama aliye mzinzi, wala awezayekuwa, kwani hakutengenezwa kusudi aweze kuwa vile. Nguruwejike hawezi kuwa mzinzi, mbwa jike hawezi kuwa mzinzi,ndege jike hawezi kuwa mzinzi. Mwanamke ndicho kitu pekeekiwezacho kufanya hivyo.116 Sasa unaona alikokwenda Shetani? Unaona? Lakini badoyeye anao, yeye ndiye aliye na uwezowa kusema “ndiyo” au “la.”Unaona, inategemea ni wapi anakotaka kusimama. Unaona?Sasa hapa tunaona waziwazi uzao wa nyoka, ulikoingilia.Kuna mahali pamoja tu angeweza kwenda. Kama hilohalingelidhihirisha kabisa, basi mtu fulani ni kipofu. Unaona?Unaona, ilibidi uende kwake.117 Angalia, sababu ya wanyama kutoweza kufanya hivyo,mnyama wa kike, walikuwa katika uumbaji wa asili. Lakinimwanamke hakuwemo katika ule uumbaji wa asili. Sasatutarudi nyuma tulichambue hili, ndipo tuwaleteni moja kwamoja hadi siku hizi, katika Agano.118 Mwanamke ametengenezwa, peke yake, kwa ajili ya uchafuna maisha maovu. Mbwa hawezi, na hakuna jike jingineliwezalo. Mwanamke ndiye tu ambaye anaweza. Mbwa auwanyama wengine wo wote, mara moja kwa mwaka, najambo hilo kwa ajili ya watoto wake; si kwa anasa yakujuana kimwili, bali kwa ajili ya watoto wake. Yule nguruwejike wa kale, yule mbwa mkoo wa kale, mara moja kwamwaka, mara moja, hiyo ni kwa ajili ya watoto wake. Lakinimwanamke ametengenezwa kwa ajili ya wakati wo wote

Page 19: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 19

anaotamani. Nimeyafutilia mbali baadhi mambo fulani hapasasa; unaweza kuwazia yaliyobakia. Mbwa hawezi; mwanamkeanaweza. Natumaini kwamba Roho Mtakatifu atawafunuliahaya yaliyobakia niliyofutilia mbali hapa.119 Ndiye kiumbe pekee, kiumbe cha kike, ambacho kimefanywachenye sura nzuri kuliko cha kiume. Hakuna kiumbe kinginemiongoni mwa kitu cho chote. Viumbe vyote vya Mungu ni vyakiume vinavyopendeza, kama vile katika wanyama, ndege, nakadhalika, sikuzote cha kiume ndicho huvutia.120 Mwangalie kulungu dume mkubwa, pembe kubwa nzuri,kiumbe maarufu; na yule kulungu jike mdogo na mpole.Mwangalie jimbi mkubwa na manyoya yake yote yapendezayo;na kuku mdogo, wa hudhurungi. Waangalie ndege, jogoo nakuku. Mbona, kwa nini ikawa hivyo, miongoni mwa viumbevyote vya Mungu? Kila kiumbe, wa kiume ndio wanaovutiasana. Katika kondoo, katika ngu—nguruwe, katika farasi, katikakitu cho chote, sikuzote dume mkubwa ndiye apendezaye, nakatika ndege.121 Lakini katika ukoo wa binadamu, mwanamke ndiye aliyemrembo, si mwanamume; kama ana sura nzuri, kuna kasoro,kuna mbegu zilizochanganyikana mahali fulani. Ndivyo ilivyokiasili. Kwa nini, kwa nini ikafanyika hivyo? Kwa kudanganyia.Mbuni wake, Shetani, angali anamtengeneza, pia, katika sikuhizi za mwisho.122 Hebu nikome hapa kwa muda kidogo. “Urembo!” Ulijua,kwenye yalemaangamizi ya kwanza, kimataifa, ya ulimwenguni,au ulimwengu mzima, yalitokea kwa sababu ya wanawakewarembo? “Wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamuya kuwa ni wazuri, wakajitwalia wanawake.” Sivyo?123 Umeona kuongezeka kwa urembo wa wanawake katika sikuhizi? Nimeona picha ya Pearl O’Brien, ambaye alifikiriwa kuwamwanamke mrembo kuliko wote nchini, wakati mmoja. Hakunamsichana tineja katika shule hii ambaye hangemzidi, tukinenaya urembo.124 Kuongezeka kwaurembowawanawake kunaonyeshawakatiwa udanganyifu. Ni lini kanisa lilipoonekana la kuvutia sanakuliko linavyoonekana leo? Kila kitu kinaonyesha majengomakubwa mno na mazuri, na mamilioni ya hiki na mamilioni yakile. Je! huoni, “mwanamke,” undanganyifu!125 Sasa, hakuna kitu kinachoweza kujishusha kama yeye,naye ametengenezwa ili kwamba aweze kuwa mdanganyifu. NaShetani kwa kweli leo hii anamfanyia kazi, katika siku hizi zamwisho, kwa sababu ndiye mbuni wake. Naweza kuthibitishajambo hilo sasa. Rudi moja kwa moja kule mwanzoni, ninani aliyeanza kumfanyia kazi, Adamu au Shetani, Mungu auShetani? Unaona, huyo ndiye mbuni wake. Ni silaha yake kuukumtupa mwanamume kwenye uchafu wake, akiwa mwanamke

Page 20: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

20 LILE NENO LILILONENWA

mrembo, anaweza kumpeperusha mwanamume namna yo yoteatakayo. Ndugu, si klabu karamu cha chang’aa chini hapaambacho humnasa mwanamume; ni huyo mwanamke mremboanayetembeamitaani, hatua zamadaha, nusu uchi. Hicho ndichokiwezacho…Huyo ndiye mdanganyifu papo hapo. Naye nihatari sana kwake, hatari kabisa. Unaweza kuniuliza mimikuhusu Shetani kuwa mbuni wake, lakini hiyo ni Kweli. Shetanindiye aliyemtengeneza. Bado anafanya hivyo.126 Hebu nikuonyeshe kitu fulani katika Maandiko. Yanipasaniwarudishe kwenye Maandiko, ndipo nawe utoe maoni yakounapoyaangalia leo.127 Shetani ndiye anayeonyesha urembo wa namna hiyo.Kama tukiangalia, alikuwa ndiye Malaika wa kuvutia sanaMbinguni. Sivyo? Naye alitamani kupafanya Mbinguni mahalipa kupendeza sana kuliko ufalme wa Mikaeli. Sivyo? Pia,kuwaonyesha kwamba Kaini alikuwa mwanawe, alitoa ibadaya kuvutia zaidi, akapamba madhabahu yake kwa matundana maua, na kadhalika. Sivyo? Urembo! Dhambi inavutia,tunaouita urembo leo hii. Na dhambi ni danganyifu, kwakuvutia. Usingeweza kumtazama kamwe mwanamke akishukakwenda mtaani na kujua kilichoko moyoni mwake. Unaona?Lakini nilitaka kusema mambo haya ili muweze kuona kwa niniShetani ndiye mbuni wake. Hiyo ni kweli kabisa, mwanawealilithibitisha, Kaini. Sasa, yeye ni mrembo kusudi awezekudanganya.128 Ulimwengu ni malidadi kusudi upate kudanganya.Ninamaanisha cosmos, taratibu za ulimwengu. Ni malidadikusudi upate kudanganya, sehemumaarufu na nzuri za anasa.129 Mmoja wa nabii, Amosi, alipokuja na kutazama mjini,na kuuona kama Hollywood ya kisasa, macho yake madogoya kizee yakawa madogo, chini ya nywele zile zenye mvizilizoning’inia usoni mwake. Alishuka akaenda kule na Ujumbe,na akautangaza kwa nguvu mahali pale. Akasema, “Mungu yuleyulemnayedaimnamtumikia, atawaangamiza!”Hiyo ni kweli.130 Dhambi inapendeza. Wanamfikiria Yuda kama mlevi fulanimzee nje hapamtaani mahali fulani, mwenye kinywa chenye inzikimening’inia, na kadhalika, kuwa ni Yuda. Yuda alikuwa mzuriwa sura, mwenye nguvu, mdanganyifu. Si huyo jamaa aliyekaribu nawe, si mtu huyo (mzee mkulima) anayeingia akiwaamevaa ovaroli, usimjali huyo akiwa karibu namkeo; ni yulemtumjanja, yeye ndiye mlagai.131 Dhambi inapendeza machoni pa ulimwengu, lakini Munguhadhihirishwi katika urembo wa namna hiyo. Ulijua hivyo?Mungu hudhihirishwa katika tabia, tabia ipendezayo.132 Katika Biblia, Isaya 53, kama unataka kuandika Maandiko.Ina milolongo ya Maandiko iliyoandikwa kando yake hapakwa ajili yake. Isaya 53, Biblia ilinena juu ya Bwana wetu

Page 21: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 21

Yesu, kwamba, “Yeye hana uzuri hata tumtamani Yeye. Nasitulimficha nyuso zetu.” Sivyo? Hatukumtamani Yeye, kwasababu Yeye hakuwa na sura nzuri. Labda Yeye alikuwa jamaamdogo, ameinamamabega, mwekunduwa uso, Naye hatamanikikuwa kiongozi. Hakuonekana kama kiongozi. Alizungumzalugha ya mitaani, na kadhalika, kama watu wafanyavyo,watu wa kawaida, kwa hiyo basi Yeye hakuonekana kamaYeye alikuwa mwanachuoni maarufu, mwenye elimu, mzuri,aliyevalia joho, na kila kitu. Yeye alikuwa tu mtu wa kawaida.“Yeye hakuwa na uzuri, hata tumtamani Yeye.” Aliingia nakutoka miongoni mwa watu, moja kwa moja, hata hawakujuaYeye alikuwa ni Nani. Hakuonekana kama Mungu akitembea,kitu ambacho tungefikiria kuwa ni mungu. Lakini, hata hivyo,Yeye alikuwa hivyo!133 Ulitambuawakati BwanaMungu aliponena na—na Samweli,“Panda uende kwa nyumba ya Yese ukamtie mafuta mmoja wawanawe, awemfalme, kuchukuamahali pa Sauli”?134 Sasa, watu walimchagua Sauli, na huku Samweli kata kataamewaambia wasifanye hivyo. Alisema, “Mungu hawataki ninyimuwe na mfalme; Yeye ndiye Mfalme wenu.” Naye akasema,“Niliwahi kusema kitu cho chote kwenu, katika Jina la Bwana,ila ambalo lilitukia? Niliwahi kuwaomba fedha zenu au kitufulani, kingine, nipate riziki yangu?”135 Wakasema, “La, hujatuomba sisi fedha kamwe. Na lo loteulilosema, katika Jina la Bwana, lilitimia. Bali tunatakamfalme,hata hivyo,” kwa hiyo wakamchagua Sauli. Angalia ulimwenguulichochagua! Angalia kile Israeli walichochagua! Israeli, haowenye upako wa Mungu, walimchagua mtu ambaye tangumabega yake kwenda juu alikuwa mrefu kuliko mtu ye yotenchini; jamaa mkubwa mno, mtu mzuri na mwenye sura nzuri,naye sikuzote alikuwa ni tatizo kwao.136 Lakini Mungu alisema, “Nitawachagulieni mfalmenimpendaye Mimi.” Kwa hiyo Yeye akasema, “Samweli,sitakuambia yeye ni nani, lakini panda uende kule. Ni mmojawa wana wa Yese.”137 Basi Yese, mkewe, na hao wote wakaangalia huku na huko,kasema, “Ndiyo, mwana wetu mkubwa, yeye ni mtu mrefu mno,mtu mzuri wa sura, ile taji ya mfalme itamchukua kabisa. Yeyeni mwerevu. Amesoma. Ni mtu mzuri. Najua yeye atafaa kabisa.Anatamka maneno yake barabara.”138 Walipomleta, Samweli akachukua ile chupa ya mafutaakamwendea. Akasema, “La, Bwana alimkataa.” Kwa hiyoakawapitia wote, wana sita, na Bwana akamkataa kila mmojawao. Akasema, “Hakuna mwingine?”139 “Loo,” akasema, “ndiyo, yupo mmoja, yuko huko nyumaanachunga kondoo. Hukaa tu kitako huko na kupiga nyimbona kuziimba, na kupaza sauti, na kuendelea. Lakini, yeye ni

Page 22: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

22 LILE NENO LILILONENWA

maskini jamaa mdogo aliyeinama mabega, mwekundu, hatafaakamwe kuwa mfalme.”140 Akasema, “Nenda ukamlete.” Na wakati Daudi alipoliokezamachoni pa yule nabii, yule nabii akakimbia na mafutaakammiminia hayo kichwani, kasema, “Huyu amechaguliwa naMungu.” Si urembo; bali tabia. Mungu huangalia tabia.141 Binadamu huangalia uzuri wamaumbile. Hayo hudanganya.Na hiyo ndiyo sababumwanamke alipewa urembo huo, kwa ajiliya udanganyifu, kudanganya. Mwanamke mrembo, kama yeyehautumii kwa njia sahihi, ni laana kwake; huo utampeleka yeyeharaka kuzimu kuliko kitu cho chote nijuacho. Kama yeye tu…Na anaweza kuwa mrembo, hakika, maadamu yeye anakaa namumewe na kutenda yaliyo sahihi, na hilo—hilo ni zuri na nibora. Lakini anaweza kuchukua kitu hicho hicho na, jamani,jinsi anavyoweza kudanganya kwake, kwa maana alipewa huokufanya hivyo.142 Angalia, sasa, lakini Mungu hudhihirishwa katika tabia,“Yesu hakuwa na uzuri wa kumtamania,” lakini hapajawahikuwa na utu kamaWake, duniani.143 Sasa tunaona, leo, kwamba ta—tabia ya kanisa, Shetanina kundi lake, hutafuta makanisa makubwa, yanayovutia,mambo mazuri. Hilo ndilo ulimwengu unaangalia leo. “Loo, nimchungaji, wakati maarufu fulani, na fulani, kasisi kweli kwelina mcha Mungu, anatoka akiwa na majoho yake makubwa, namambo kama hayo.”Wanauita huo urembo144 Bali watakatifu halisi wa Mungu hutafuta tabia ya Nenolililothibitishwa.145 Hivyo ndivyo watakatifu walivyofanya siku zile,walipomwona Yesu. Hakuwa kitu ukimtazama, bali walionaMungu alikuwa ndani Yake. Waliona Mungu alikuwa pamojaNaye.146 Hivyo ndivyo ambavyo hao, Yaobu na watu wale waliokuwapamoja na Daudi, maskini mtu mdogo, bali waliona yule—yulemtu aliyekuwa ndani yake. Waliona kwamba Mungu alikuwandani yake, nao walijua siku moja atapata mamlaka. Wao…Mmoja aliwaua hao ndugu wengine watono wa Goliathi, akiwapeke yake. Mwingine aliwauwa watu mia tatu; wakati baadhiya wanawake walikuwa wakichuma maharagwe ya chakula chamchana, na jeshi lilikuwa limeenda zake, naye alichukua mkukina kuua watu mia tatu, Wafilisti. Tabia! Kwa nini? Walikaakaribu na Daudi. Wao walijua upako ulikuwa juu yake, piawalijua atapata mamlaka.147 Picha halisi ya Kanisa leo hii ambalo litasimama naNeno! Tunajua Hilo litathibitishwa. Tunajua Hilo litapatamamlaka siku moja. Ingawa Sauli…Naye alikuwa mkimbizikutoka mataifa mengine, lakini walijua atatawala. TunajuaYeye atatawala, pia, kwa hiyo tunachukua Neno lile na

Page 23: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 23

kusimama papo hapo, haidhuru inagharimu nini. Kamaitatubidi kuwakata-kata Wafilisti, au kuruka shimoni na kuuasimba, kama mmoja alivyofanya, tutaenda kwa vyo vyote,sababu ndivyo…ndivyo Mungu alivyopanga. Sisi hutafutatabia.148 Sasa unaweza kuniuliza, “Kwa nini Yeye alimruhusu yeyeatengenezwe namna hii?” Sitaki kuchukua wakati mrefu sana,kwa sababu ninayo mengi zaidi ya kusema hapa. “Kwa nini,”swali linaweza kuzuka basi, “kwa nini Mungu alimfanyamwanamke huyu jinsi hii? Kwa nini Yeye alimruhusu awehivyo?” Ilikuwa kwa ajili ya uradhiwamapenzi YakeMwenyewe.Hakika.149 Sasa kama unataka kufungua Biblia yako dakikamoja, hebutufungue Warumi 9, dakika moja tu, na kuwaonyesha jambofulani, jinsi Mungu atendavyo mambo haya, kama tunataka ku—kulisoma. Nasi tunaweza kuona hapa ambalo Mungu hutendakwa uradhi wamapenzi YakeMwenyewe.Warumu 9:14.

Basi tuseme nini basi?Kuna udhalimu mbele za Mungu?…

150 Wakati Yeye alipomchagua Esau, au alipomchagua Yakobona kumkataa Esau, kabla ya mmoja wa wavulana wote wawilikuweza kuwa na haki ya kuchagua, mwenyewe, wala mmojawao; kabla hawajazaliwa, wangali katika tumbo la uzazi lamama yao, Mungu alisema, “Namchukia Esau, na nampendaYakobo.” Unaona? Kwa Nini?

Maana amwambia Musa, Nitamrehemu yeyenimrehemuye, nitamhurumia yeye nimhurumiaye.Basi, kama ni hivyo, si…uwezo wa yule atakaye,

wala…yule apigaye mbio; bali wa yule arehemuye,yaani, Mungu.Kwa maana maandiko yasema juu ya Farao,

ya kwamba, Nilikusimamisha kwa kusudi hili, ilinionyeshe nguvu zangu kwako, jina langu likatangazwekatika nchi yote.Basi yeye…(sasa angalia hapa)…maana Yeye…

kumrehemu humrehemu, na atakaye kumfanya mgumuhumfanya mgumu.Basi, wewe…utaniambia, mbona basi…angali

akilaumu? Kwa maana ni nani ameshindana na kusudilake?La! sivyo, Ee binadamu; wewe u nani unayemjibu

Mungu? Je! kitu kilichoumbwa kimwambie yeyealiyekiumba, kwani kuviumba hivyo?Au mfinyazi je! hapa amri juu ya udongo, kwa fungu

moja la udongo kuumba chombo kimoja kiwe chaheshima, na kimoja kiwe hakina heshima?

Page 24: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

24 LILE NENO LILILONENWA

Ni nini basi, ikiwa Mungu kwa kutaka kuionyeshaghadhabu yake, na kuudhihirisha uweza wake,…uvumilivu mwingi, alichukuliana na vile vyombo vyaghadhabu vilivyofanywa tayari kwa uharibifu;…ili audhihirishe wingi wa utukufu wake katika vile

vyombo vya rehema, alivyovitengeneza tangu zamanivipate utukufu;

151 Sasa bishana na Hilo kidogo. Mungu alifanya hivyo! Ilimbidikulifanya hilo namna hii. Lilibidi liwepo. Sasa sikilizeni sasakwa yapata dakika tano, nataka niwaonyesheni kitu fulani.152 Mungu ni nini? Mungu ni Umilele mkuu. Mwanzoni,huko nyuma sana kabla ya mwanzo kuweko, Yeye hatahakuwaMungu. Ulijua hivyo?Mungu ni “kitu kinachoabudiwa.”Na hapakuwa na cho chote cha kumwabudu Yeye. Aliishipeke Yake.153 Na ndani Yake mlikiwemo sifa. Sifa ni nini? Wazo. Sasautapata kitu kinachohusiana na somo la usiku wa leo. Angalia,Yeye alikuwa sifa Zake ambazo zilikuwa ndani Yake. Sasa,mlikuwemo ndani Yake kuwa Baba, mlikuwemo ndani YakekuwaMungu, mlikuwemo ndani Yake kuwaMwana, mlikuwemondani Yake kuwa Mwokozi, mlikuwemo ndani Yake kuwaMponya. Na mambo yote haya hapa yanaonyesha sifa Zake.Hakuna lililotoka katika utaratibu. Unafikiri Mungu hakuonamwisho toka mwanzo? Hakika, Yeye aliuona. Hakuna cho chotekilichotoka kwenye utaratibu. Ni kuonyesha tu sifa Zake.154 Sasa, Yeye hangeweza kuwamwenye haki na kumfanya mtukuanguka. Ilimlazimu kumweka kwenye msingi wa usawa, wauhuruwa kuchagua, kujichagulia, lakini akijua angeanguka.155 Sasa, Yeye hawezi kuwa Mwokozi isipokuwa kitu fulanikimepotea. Yeye hawezi kuwa Mponya isipokuwa kitu fulani nikigonjwa. Ilibidi mambo haya yawe hivyo. Mungu aliyafanyahivyo ili kwamba sifa Zake kuu ziweze kuonyeshwa. Kamapasingekuwepo jambo hilo, Yeye kamwe asingekuwa Mwokozi.Bali tunajua Yeye alikuwa, hata kabla ya wakati kuwepo, Yeyealikuwa Mwokozi. Alikuwa Mwokozi, kwa hiyo lazima kuwepokitu fulani kilichopotea. Itakuwaje?156 Kama akikichukua na kukipoteza, kusudi tu akiokoe, basisi haki kwa hukumu Yake. Yeye asingeweza kumpeleka mtukuzimuni, na awe mwenye haki. Yeye ni mwema, mpole, mkweli,mwanimifu, Naye ni Hakimu mkuu. Unaona, Yeye angekuwaanajipinga Mwenyewe.157 Kwa hiyo ilimbidi amweke mtu nje hapa, na kumfanyaawe na uhuru wa kujichagulia, kusudi apate, akijua, apatekuanguka; na mtu huyo, katika mfano Wake Mwenyewe,angewezaje kuanguka? Sasa unaona Nuru ya mchana? Kwahiyo, ilimbidi atengeneze kitu kilichotoka kwa kingine, kitufulani kutoka kile cha uumbaji wa asili. Sasa unaliona hilo.

Page 25: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 25

Unaona? Haya basi. Unaona? Basi, hicho ndicho kilichoanguka.Alikitengeneza, akijua kitaanguka. Na kimewekwa mikononimwa Shetani, kama chombo kisicho na heshima. Heshimaimewekwa wapi leo? Hebu fikiria jambo hilo. Angalia kwamakini sasa.158 Halafu tena, kusudi la kutengenezwa namna hii na siokama jike wengine, kwa nini mwanamke kutengenezwa hivyona sio jike wengine? Hakuna hata mmoja wa hao jike wenginealiyetengenezwa hivyo. Hawako hivyo, leo. Hawawezi. Kwakuwa hajaumbwa jinsi hiyo, hawezi kufanya hivyo. Kwa ninibasi hakulifanya jike hili, mwanamke, kama tu jike wengine,ili awe tu vile vile, angeweza kulea watoto wake? Ndipoangempata mumewe, na kuishi; na ifikapo wakati mtoto wawake, angempata mtoto wake. Mbona, kwa nini Yeye alimfanyajinsi hii?159 Siwezi kusema maneno haya. Nanyi mnaelewa ambaloninalizungumzia, sivyo? Kama mnaweza kuelewa, semeni“amina.” [Kusanyiko linasema, “Amina.”—Mh.] Ndiyo. Unaona?Kuna wasichana wadogo wanaoketi hapa, na wavulana wadogo,unaona. Lakini mnajua, mnyama yambidi afikie wakati fulaniwa mwaka, na mwenziwe, na hiyo yatosha. Lakini, mwanamke,ni wakati wowote. Basi kwa nini akamfanya hivi?160 Sasa angalia mpangoWakemkuu ukijifunua, tunapokwendakupitia hapa sasa, mkamilifu tu kama ukamilifu uwezavyokuwa. Sikulijua hili mpaka hivi majuzi.161 Kwa nini Yeye hakumfanya yeye hivyo hapo mwanzo, kamajike Wake wengine? Kwa sababu isingekuwa desturi Yake. Yeyeni Chemchemi ya usafi wote. Hiyo ndiyo sababu ilimbidi Yeyekumwachia Shetani ampate, jambo lile yeye alilotenda katikaupotovu. Kiumbe kama hicho kingekuwa, kisingempasa Yeye,jinsi kilivyokusudiwa awali kuwa.162 Kazi Zake zote alizobuni Yeye, hapo awali, ziko katikamwendeleo. Kazi Zake zote za awali zilikuwa katikamwendeleo.Mbwa jike, mbwa dume; unaona, ng’ombe jike, ng’ombedume; kila kitu katika mwendeleo. Maumbile yote yakokatika mwendeleo. Mbegu inakufa, inaingia ardhini; kamatu mauti, kuzikwa, ufufuo. Utomvu hushuka chini kutokakwenye mti, unaangusha jani lake, unarudi tena mwaka ufuataona ufufuo wa jani jipya. Unaona ninalomaanisha? Kila kitu,hata maumbile, ya Mungu, yote yako katika mwendeleo,katika umoja; na hapa pana mmoja aliyetengenezwa nje yamwendeleo wa Mungu. Maumbile yameumbwa hivi kwambahayawezi kufanya dhambi. Fikiria! Maumbile ya asili, yaMungu, hayangeweza kutenda dhambi.163 Loo, hamlioni jambo hilo sasa, katika upeo huu hapa,upotovu wa kanisa? Ya asili ni Neno la Mungu! Hakuna dhambikatika Mungu. Unaona ninachomaanisha? Hapa pana kiumbe

Page 26: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

26 LILE NENO LILILONENWA

kilichotokea kwa upotovu. Mungu atakuwa na Kanisa, lakinitazama kitu hiki kilichopotoshwawalicho nacho hapa.164 Mungu ana wa kiume na wa kike. Lakini, huyu mwanamke,unaona, zile dalili zake zenyewe zinaonyesha nyuma kule kilekilichokuwa katika nia ya Mungu. Tungeweza kuchukua saamoja, au mbili, na kulivunjavunja hilo. Mwanamke, akakifanyakiumbe hiki kwa njia hiyo, Yeye alikifanya kiumbe hikikisha akakiachilia ili Shetani aweze kukipata, naye akakipata.Angali anaye bado. Afadhali akimbilie Msalabani, kamamwanamume, pia.165 Angalia, maumbile yote huenda katika mwendeleo. KamaYeye angelimuumba mwanamke katika uumbaji ule ule wa asili,kusingekuwa na dhambi, kwa sababu mwanamke asingewezakutenda hivyo, asingeweza kutenda hivyo. Yeye ni upotovu wauumbaji wa asili.166 Vivyo hivyo dhambi zote ni upotovu wa Kweli ya asili!Uongo ni nini? Ni Kweli iliyopotoshwa. Uzinzi ni nini? Nikitendo sahihi kilichopotoshwa. Kwa hiyo hicho hapo kiumbekile kilichopotoshwa, hilo hapo jambo zima lililopotoshwa. Nahilo jambo zima linaendelezwa kwa herufi d-h-a-m-b-i, imekaapale pale. Ndio maana swala hili ni kuu sana.167 Kipande tu, kipande kidogo, kilichofanywa kwamwanamume, kumdanganya; Mungu alikifanya, imethibitishwapapa hapa. Hilo ndilo kusudi la kumfanyamwanamke.168 Mwanamke mzinzi ndicho kitu duni sana kinachowezakuwaziwa, duniani. Samahani kwa hili, enyi mabibi vijana. Yeyesi kitu ila pipa la binadamu la takataka, maonyesho ya zinaa.Hivyo ndivyo tu alivyo, mwanamke mzinzi, ni pipa la uchafu wazinaa za binadamu, ambamo vinyaa, uchafu, upotovu, na vinyaavya hali ya chini sana huandaliwa naye. Ametengenezwa jinsihii kwa nini? Kwa kudanganyia. Kila dhambi ambayo iliwahikuwepo duniani ilisababishwa namwanamke.169 Na mchanganuzi aliyetoka Chicago hivi punde, mwa—mwanamke aliandika nakala hii, kikosi cha polisi; kwambawalifuatilia, Marekani, katika miji ya Marekani, kwamba“Asilimia tisini na nane ya kila uvunjaji wa sheria ambaouliwahi kutendwa katika Marekani, kulikuwa aidha namwanamke ndani yake au nyuma yake.”170 Sasa ninasema yote haya, ili kufikia jambo moja hapamwishoni, ili kwambamuweze kuona kuna nini.171 Alitengenezwa apate kudanganya, kama alivyomdanganyaAdamu mwanzoni, kumwambia kwamba tendo lile lilikuwala kupendeza, na kadhalika, ili kumdanganya na kumwondoakutoka kwenye Neno. Hivyo ndivyo kanisa linavyofanya leo,jambo lile lile.

Page 27: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 27

Lakini basi, baada ya hilo, akawa mtawala wake, apatekumtawala.172 Sasa ni tofauti jinsi gani leo hii, katika siku hizi zamawazo. Badala ya mwanamume kuwa mtawala wake,mwanamke amekuwa mungu wake. Hakika, yeye anamtawala.Sasa unaweza labda kuelewa vema jambo ambalo nimekuwanikikemea. Kwa urembo wake na kwa utawala wake wa zinaa,umbo lake alilopewa na Shetani, uundaji wa pembeni ambaoaliufanya Shetani, ametumwa kuwadanganya wana wa Mungu.Naye anaweza kuwapeperusha wengi wao kuzimuni kulikochombo cho chote alicho nacho Shetani. Hiyo ni kweli kabisa.173 Ninazungumza juu ya walio wazinzi sasa, sio ninyi akinadada. Tutawapa mahali penu, mahali sahihi, mnamo dakikachache, katikaNeno laMungu hapa. PalikuwemokatikampangowaMungu tangu mwa—mwanzoni.174 Sasa kutenda hili leo, mungu wa Marekani ni nini?Mnakumbuka kule Maskanini miaka mingi iliyopita, nilihubirijuu ya hilo? Mungu wa siku hizi, maskini kipusa anayeketi paleakiwa amejipodoa, na nguo ameivuta juu ya magoti yake, namambo kama hayo. Nilisema, “Tazameni munguwenu!” Na hiyoni kweli, yuko katika kila tangazo, nusu uchi. Yuko mtaani,vivyo hivyo.175 Ni chombo cha Shetani, “tangu mwanzo,” Yesu anasema.Mnaona? Tunaona kwamba ndivyo ilivyo sasa, na “tangumwanzo,” na yale Yeye anayozungumzia.176 Sasa, washenzi walikuwa wanamfanya yeye mungu, (ulijuahivyo?) mungu wa kike. Bila shaka. Wanamfanya mungu wakike, kwani walikuwa wanajuana kimwili katika ibada zao.Walidai kwamba, “Yeye alikuwa muumba. Katika tumbo lake lauzazi alibeba mbegu na aliumba.” Huo ni uongo. Kuna Muumbammoja tu, huyo ni Mungu. Lakini unakumbuka Paulo pale?“Diana, wa Efeso,” sanamu ya mwamba, kasema, “mungu wakike wa Mbinguni, ametupwa chini.” Huoni jinsi ilivyo ibada yakishenzi?177 Na sisi, bila habari, tunarudia moja kwa moja kwenye ibadaya kishenzi tena, kwa wanawake, kiumbe duni sana duniani,kumwabudu mwanamke! Atampeperusha mwanamumeatakavyo. Na hajui, urembo huo wote wa nje, kwamba kuzimukumo upande wa ndani. Sulemani alisema, “Yeye, lango lake nimalango ya kuzimu.”178 Sasa tunaona waziwazi hapa ambalo Yesu alizungumziakatika Ufunuo, sura ya 2 na aya ya 15, kuhusu fundisho laUnikolai, kuja kwa kanisa lile likijiondoa kwenyeNeno.179 Pia tunaweza kuona hapa, waziwazi, vipindi hivi vishenzi,vya kikafiri na vichafu kwenye televisheni, vya malkia wa zinaawa Hollywood. Tunaweza kuona uchafu wa mji huu, wakatiwatoto hawa, maskini wasichana wadogo wakitangatanga

Page 28: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

28 LILE NENO LILILONENWA

mitaani hapa, wakiwa na nguo fupi sana, zilizobana,wakienda kwa hatua za madaha, na kuna baridi ya kutoshakuwagandamiza hata wafe. Hawajui kwamba huyo ni Ibilisianayefanya hivyo. Wamepagawa na pepo mchafu, nao hawajui!Humwoni mbwa jike akifanya hivyo, sivyo? Huoni jike jingine lolote likifanya hivyo, na afadhali mtu mume ye yote asimwendee,hata hivyo.180 Mnaona, sasa mnapata picha? Tutaingiza jambo fulanipunde si punde, Bwana akipenda.

Sasa unawaonaWanikolai, unaona fundisho lao.181 Unawaona visura matineja, wanavyowaita, hawa wendauchi mitaani. Walizoea kwenda kwenye maonyesho fulanimachafu pembeni, kutazama mwanamke akivua nguo. Funguatu macho yako, angalia mitaani, ni hilo tu likubidilo kutendasasa. Kila kitu ni uchi. Hakika. Wanalitenda kwa sababu gani?Kutamanisha, kubemba, hicho ndicho kitu pekee anachowezakutendea jambo hilo. Anafanya hivyo kwa sababu yeye nimchafu. Anafanya hivyo kwa sababu ametengenezwa namnahiyo. Hatambui kwamba yeye ni chombo katika mikono yaShetani, na hivyo ndivyo alivyo.182 Hata katika shule zetu leo, wanafundisha zinaa. Ulimwenguwetu uliooza wa kumwabudu mwanamke! Najua hawatakikuamini jambo hilo. Wanasimama na kuimba wimbo fulani,na kadhalika, siku moja; na kuondoka kwenda na wanawake,kuzururazurura, usiku kucha. Unaona? Vema. Wakati, machonipa Mungu, Neno, yeye ni duni kuliko wanyama wote ambaoMungu amewaweka duniani. Angalia.183 Hiyo ndiyo sababu Mungu anamkataza kufundisha NenoLake. Hiyo ni kweli. Timotheo wa Kwanza 2: 9-15, “Simpimwanamke ruhusa ya kufundisha, au kujitwalia mamlakayo yote.” Unaona? Na pia Wakorintho wa Kwanza 14:34,“Wanawake wenu na wanyamaze katika makanisa, maanahawana ruhusa kunena; pia yanena Torati nayo.” Lakini, leo,kanisa linafanya nini? Wanawafanya wachungaji, wainjilisti,wakati Biblia kata kata inakataza jambo hilo. Na Biblia ilisema,“kama vile Torati inenavyo nayo,” kulifanya liende katikamwendeleo, jambo hilo lote.184 Kama tu alivyokuwaMwana-Kondoo, usiku uliopita, mahalipekee pa kuabudia, chini ya Damu iliyomwagika ya Mwana-Kondoo. Ndipo mahali pekee leo, katika Kristo. Njia pekeeya kufanya ni kuingia katika Yeye. Hapo ndipo mahali pekeepa kuabudia. Sikuzote imekuwa jinsi hiyo. Mahali pekee pakuabudu ni chini ya Damu iliyomwagika.185 Kwa hiyo sasa tunaona picha nzima ya jambo hilo ikijifunuakwetu. Huyo hapo. Hiyo ndiyo sababu Mungu hatamruhusukufundisha, hatamruhusu kufanya kitu cho chote kanisaniisipokuwa kuketi kimya na uso uliotiwa utaji.

Page 29: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 29

186 Sasa je, unaweza kuona kwa nini nimeyasema mambohaya na kutenda mambo ambayo nimetenda, nikijua yotehaya moyoni mwangu, wandugu, wadada? Najua, wadada,mimi ni…mnapo mahali penu (hebu kidogo), na tabia nzurisana ambayo Mungu anaweza kufinyanga ndani yenu. Lakinininajaribu kuzungumzia upande ule mwingine, kuonyesha hasa“mlivyokuwa mwanzoni.” Yesu alituambia, “rudini mwanzo,”kuchunguza hilo. Hilo ndilo tunalofanya.187 Sasa imenibidi kugonga sehemu muhimu katika mengi yamambo haya, nami natumaini mtaelewa hilo. Na ninyi watuambao nitakuwa mkisikiliza kanda hii, natumaini mtaelewa.Rudini tu kule nyuma. Ni kuonyesha tu kwamba Yesu alisema,“Rudini nyuma, tangu mwanzo, na chunguzeni.” Mambo yote,rudini nyumamwanzoni. Mnayoweza kuona leo.188 Mbona, watu, wanasema mimi ni mchukia wanawake.Hilo ni mbali na Ukweli. Siwachukii. Wananiita, “Mchukiawanawake!” Kumbuka, walimwita Paulo mchukia wanawake.Mhudumu mwanamke, si muda mrefu uliopita, alisema, “Loo,uko kama mzee Paulo, alichofanya tu ni kutuonea sisiwanawake.”189 Mtakatifu wa Mungu, ambaye aliruhusiwa kuandika Biblia,Agano Jipya, na mnapinga Maneno yake? Yeye alisema, “KamaMalaika kutoka Mbinguni atafundisha kitu kingine cho chotekuliko Hiki ambacho nimenena, na alaaniwe,” licha ya mhubirifulani mwanamke.190 Walisema Eliya alikuwa mchukia wanawake. Yeye hakuwamchukiawanawake,wanawake halisi. Yeye hakuwapenda tu haoMayezebeli.191 Na kama hivyo ndivyo ilivyo, basi lazima Mungu awe namnaile ile, kwa sababu Yeye ni Neno lile lililokuja kwamanabii. Kwahiyo lazima iwe Mungu, namna ile ile, kwa hiyo, unaona, Yeyehujua uumbaji wa asili, “tangu mwanzo,” Yeye alisema, “tangumwanzo.”Walikuwamanabii ambaowalijiliwa naNeno.192 Na Yeye alimfanya mwanamke kwa ajili ya mwanamume,na sio mwanamume kwa ajili ya mwanamke. Ulijua hivyo,kwamba, “Mwanamke aliumbwa kwa ajili ya mwanamume, nasio mwanamume kwa ajili ya mwanamke”? Wangapi wanajuahivyo? [Kusanyiko, “Amina.”—Mh.] Biblia inafundisha hivyo.Vema. Alipewamahali fulani katika mwanamume, kabla ya kulekuanguka, kuwa sawa juu ya maumbile yote. Lakini “baadaya” kule kuanguka, sasa hapa tunalileta lile somo tena. Bali“baada ya” kule kuanguka, yeye alikuwa mtawala wake, shartianyamaze katika mambo yote, sasa baada ya ule mwanzo waasili kupita.193 Yesu alisema, “Tangu mwanzo haikuwa hivi.” Hapo ndipowakati ulipoanza, wakati Mungu alipoufanya kwanza katikauumbaji Wake wa asili. Wote ambao wanaelewa, waseme

Page 30: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

30 LILE NENO LILILONENWA

“amina” tena. [Kusanyiko linasema, “Amina.”—Mh.] Hapomwanzo Mungu aliumba kimoja tu cha kiume na kimoja chakike. Lakini basi mwanamke aliumbwa tofauti na wanyama,wanyama wengine wote, apate kudanganya. Sasa angalia sasa,“Tangu mwanzo haikuwa hivi.” Aliumbwa, kama angekaakatika hali ya asili, asingesababisha kamwe anguko lo lote.Bali alisababisha kule kuanguka na vurugu ambalo lilivunjamwendeleo wote wa Mungu, na kutupilia kifo, huzuni na chochote kile, duniani. Alifanywa jinsi hiyo.194 Sasa tazama sasa “baada ya” mwanzo, baada ya mwanzo,baada ya wakati kuanza; nyuma huko ulikuwepo Umilele,umekwisha. Angalia, baada ya anguko hilo kusababishwa naHawa, baada ya anguko hilo, palikuwepo na haja ya kufanyaagano jingine. Sasa hili litawakwaza, lakini nitawapa Maandikokuthibitisha kwamba hii ni Kweli. Sasa angalia baada ya kulekuanguka, Yesu alisema…Mungu, hapo mwanzoni, alikiumbakimoja cha kila aina; bali sasa, baada ya kuanguka, sasatunavuka hapo. Lile agano lilikuwa la usawa; bali sasa, baadaya kule kuanguka, kuna agano jingine lililofanywa. Sasamwanamke hakuwa tena mtawala pamoja na mwanamume, kilammoja lazima awe na agano tofauti.195 Sasa hebu tuone kama hilo ni kweli. Hebu tuchukueMwanzo3, tuone kamahili ni kweli, sasa tunapoendelea, sababu tunatakakuwa na uhakika kuhusu mambo haya, yanafundishwa nakuonyeshwa ni kweli kabisa. Kwa hiyo labda papa hapa tunamuda kidogo, kwa sababu hatuko mbali sana na mwisho sasa,kufikia ile sehemu ya kumalizia ya somo hili, kuonyesha kwanini na vipi kuhusu talaka, na kadhalika. Sasa katika Mwanzosura ya 3, na tutaanza sasa na sura ya 3, na aya ya 16. Hebutuanzie kwenye aya ya 14.

BWANA…akamwambia nyoka, (sasa Yeyeatamlaani), Kwa sababu umefanya—umefanya hayo,umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote,…na kulikohayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo weweutakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maishayako;

Nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke,na kati ya uzao wako na uzao wa mwanamke; na huoutakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigono. (Ileahadi, “atakuja kupitia kwa mwanamke,” yule Masihi,kukomboa.)

Akamwambia mwanamke,…196 Sasa angalia, sasa kuna agano na nyoka. Ambapo, walikuwasawa hapo kabla, hapomwanzoni, au kabla yamwanzo.

Akamwambia mwanamke, hakika nitakuzidishiauchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu wewe

Page 31: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 31

utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo,naye atakutawala!Wao si sawa tena.

197 Sasa mwanamke amegeuka moja kwa moja, naye ndiyemtawala.

Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sautiyamkewako, ukalamatunda yamti ambao nalikuagiza,nikisema, Usi…yale; ardhi imelaaniwa (si Adamuamelaaniwa, sasa) ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwauchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako;Michongoma…na miiba itakuzalia; nawe utakula

mboga za kondeni;Na kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata

uirudie ardhi; ambayo katika hiyo katika hiyoulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawemavumbini utarudi.

198 Maagano mawili. Sasa jambo hili linamaliza “ule mwanzo,”wa yote aliyosema Yesu, “Tangu mwanzo haikuwa hivi.” Tunaagano jingine sasa. Angalia, ni agano jingine. Sasa kunaagano kwa kilichoumbwa, na kilichotolewa kwa kilichoumbwa.Angalia, lile anguko lililosababisha shida, mauti, kwa kilakiumbe cha uumbaji, likaleta tofauti katika maumbile yote.Sasa hebu tuangalie alichokisema Yesu kuhusu, “tangu mwanzohaikuwa hivi.” Sasa siyo hivyo “tangu,” ni sasa ni “baada ya” ulemwanzo. Sasa kuna agano maradufu.199 Kwanza lilikuwa tu agano, Adamu na Hawa walikuwa sawa,mwanamume mmoja na mwanamke mmoja. Sasa mwanamkeakatenda dhambi, na (anatenda nini?) hilo liliwatupa wotemautini, na ilimbidi Mungu afanye agano kwake, agano jingine.Hili papa hapa katikaMwanzo 3:16, Yeye alifanya agano jingine.200 Sasa ulimwengu yabidi ujazwe watu tena, sio kwa uumbajiwa asili wa Mungu, kama hapo mwanzo, sio kwa uumbajiwa asili, lakini kwa tamaa ya kujuana kimwili. Sasa hilolinashughulikia ule “mwanzo,” sivyo?Hapomwanzo kulikuwepona mwanamume mmoja na mwanamke mmoja, kimoja chakiume na kimoja cha kike; bali hapo alipovuka msitari ule nakuleta dhambi hii, sasa ulimwengu wabidi ujazwe watu tena,kwa kujuana kimwili, sio kwa uumbaji; kwa kujuana kimwili.Unaona mwanamke alipo sasa, sasa? Lakini hivyo ndivyo duniainavyojazwawatu leo, kwa njia ya wanawake.201 Hiyo ndiyo sababu ilibidi Yesu aje kwa njia ya mwanamke,kuirudisha kwenye mwanzo wake wa asili tena, bila tamaa yakujuana kimwili. Yeye amezaliwa kibikira. Lakini, haleluya,utakuja wakati ambapo haitakuwa tena kujuana kimwili, lakiniMungu ataita watoto Wake toka kwenye mavumbi ya ardhi, iwekama ilivyokuwa hapo awali, si kwa njia ya mwanamke ye yote;lakini kwa kufinyanga udongo na nuru za ulimwengu, na petroli,Yeye ataumba tena kama alivyomfanya Adamumara ya kwanza.

Page 32: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

32 LILE NENO LILILONENWA

Yesu alilifanya hilo liwezekane, kwa njia ya Mungu kujifanyaMtu na kuja ulimwenguni kusudi apate kufa, kupitiamwanamkehuyu. Sasa ni wakati wa kujaribiwa, kwa dhambi.202 Sasa unaona basi, “baada ya” mwanzo, ikawa kitu kinginekiliingizwa. Sasa hili litawashtueni. Je! mmechoka? [Kusanyikolinasema, “La.”—Mh.] Hebu ketini kimyamuda kidogo zaidi.203 Basi agano maradufu lilipofanywa na mwanamume namwanamke, kwa kujuana kimwili, agano jingine kabisa (si lileagano la hapo awali, bali agano jingine), sasa nini kinaingizwa?Kuoa wake wengi, katika wote. Basi, baada ya ule mwanzo,kuoa wake wengi kuliingizwa katika wanadamu na wanyamapia; baada ya ule mwanzo, kule kuanguka. Mungu sasa,anaweka asili mpya tena, iliyo hafifu, kwa kujuana kimwili.Mungu aliumba vya kwanza bila ya kujuana kimwili. Unaaminihilo? [Kusanyiko, “Amina.”—Mh.] Sasa ni agano jingine kwamaumbile, Yeye analiweka katika utaratibu mwingine, kwakujuana kimwili. Agano la pili: mmoja wa kiume, jike wengi;dume moja la kulungu, kundi zima la kulungu jike. Hiyo nikweli? Fahali mmoja, kundi zima la ng’ombe, ng’ombe wa kike;jimbi mmoja, uwanja mzima wa kuku. Hiyo ni kweli? Daudimmoja, aliyeupendeza moyo Wake, akiwa na wake mia tano; nawatoto mia moja waliozaliwa kwake, katika mwaka mmoja, wawanawake mbalimbali, mtu aliyeupendeza moyo Wake Mungu.Sulemani mmoja, na wake elfu moja. Lakini angalia sasa, tangumwanzo haikuwa hivi, lakini sasa ni “baada ya” mwanzo.Mwanamke ametenda jambo hili, ndipo basi akawa jinsi alivyosasa. Unaona?204 Daudi, mfalme ambaye alimwakilisha Kristo! Shikilia hiloakilini mwako. Daudi alimwakilisha Kristo. Je! mnaamini hilo?[Kusanyiko linasema, “Amina.”—Mh.] Kristo anaketi, ataketikwenye kiti chake cha enzi. Na huyu Daudi, mtu aliyeupendezamoyo Wake Mungu, alikuwa na wake mia tano. Unaonaninalomaanisha? Daudi akiwa na wake mia tano, Sulemanina elfu wake. Na Sulemani ni mwana wa Daudi, kimwili;ambaye anamwakilisha Yesu Kristo, Mwana wa Daudi, kiroho.Lakini hayo ni maisha ya kawaida, maisha ya kujuana kimwili.Haya yatakuwa kiroho, yaliyoumbwa. Kwa nini? Yameumbwa.Unaona, hivyo ndivyo ilivyokuwa hapo mwanzo, lakini si sasakatika maisha haya tunayoishi sasa.205 Angalia, msikose hili sasa, liwekeni lote mioyoni mwenu.Lakini hapana mmoja wa wanawake hao angeliweza hata kuwana mume mmoja zaidi. Mwanamume ndiye kiumbe cha asili, simwanamke. Hapanammoja wa hao wanawake angaliweza kuwana mume mmoja zaidi, lakini huyo mume mmoja angeliwezakuwa na wake elfu moja. Hilo ni BWANA ASEMA HIVI. Hiloni Biblia. Sasa nimerejea nyuma, nikachukua wakati wangu nanikawaonyesha nyuma huko kile kilichoanza, yale aliyosemaYesu. Sasamnaliona dhahiri?Waliweza kuwa nawengi…

Page 33: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 33

206 “Loo,” unasema, “hiyo ilikuwa tu kwa ajili ya Israeli.”Ati nini?207 Ibrahimu alipomchukua Sara katika nchi ya Wafilisti,kulikuweko mfalme chini kule aliyeitwa Abimeleki. Basi Saraalikuwa na umri wamiakamiamoja, karibu sana, lakini alikuwaamebadilishwa akawamwanamke kijana na alikuwa amefanywamrembo. Mnajua hivyo? [Kusanyiko, “Amina.”—Mh.] Sawa.Basi Abimeleki alimtaka awe mke wake. Mnakumbuka ujumbewangu juu yake? Abimeleki alitaka kumchukua Sara awemkewe. Pengine alikuwa na wake chungu nzima, lakiniasingeweza kumchukua kama ameolewa na Ibrahimu. Kwahiyo Ibrahimu akamwambia Sara, “Sema kwamba wewe ni,‘kaka yangu,’ kwa sababu ataniua ili akupata wewe.” Kwanini hakumfukuza tu Ibrahimu atoke nchini, na amchukuemkewe na aendelee? Si sheria tu waliyokuwa nayo waamini,bali ilikuwa kwa watu wote katika uumbaji. Mwenye dhambiau mtakatifu, unawajibika, mwanamume, kwa matendo haya.Palikuwepo na mfalme kafiri. Wangapi wanajua hadithi hiyo nikweli? [“Amina.”] Bibliani,Mwanzo, yapata sura ya 16, nafikiri.208 Mnaona, Abimeleki angemchukua kuwa mkewe.Alijitayarisha kumpata msichana huyu mgeni wa Kiebrania.Naye akasema, “Huyo ni…”Akasema, “Huyo ni ndugu yangu.”

Akasema, “Huyo ni dada yangu.”209 Basi Abimeleki akasema, “Nitamchukua tu kuwa mkebasi.” Ungewazia mtu kutenda jambo kama hilo? Lakini yeyealilitenda.210 Ndipo basi usiku ule, wakati alipokwenda kulala, Bwanaakamtokea katika ndoto, akasema, “Abimeleki, wewe u kamamtu aliyekufa.” Yeye alikuwa analinda huo, huo ukoo wadamu ya Kiyahudi pale, unaona. Akasema, “Wewe u kamamtu aliyekufa. Umemtwaa mke wa mtu mwingine unayetakakumuoa.”211 Akasema, “Bwana, unajua unyofu wa moyo wangu.”Kasema, “Je! hakuniambia huyo alikuwa ‘ndugu’ yake? Je!hakusema yeyemwenyewe, ‘Huyo ni dada yangu’?”212 Akasema, “Najua unyofu wa moyo wako, hiyo ndiyosababu nisingekuruhusu unitende dhambi Mimi.” Hiyo nikweli? Akasema, “Mrudishie mke wake, kwa kuwa mtu huyoni nabii Wangu. Na usipomrudishia mkewe…Na umwacheakuombee, sio kasisi wako. Kama hakuombei, taifa lako lotelimeangamia.” Amina. Hiyo hapo neema ya ajabu. Sawa. “Taifalako zima limeangamia. Huyo ni mke wa mtu huyo, naye ninabii Wangu.” Amina. Hiyo ni BWANA ASEMA HIVI. Hiyo niMaandiko. Sawa.213 Sasa tunaona, mauti yalisababishwa, mauti chanzo chake nidhambi ya mwanamke, yalikuja kwa njia ya mwanamke na siomwanamume. Kwa njia yake ya kuishimaisha yake, na kwa yeye,

Page 34: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

34 LILE NENO LILILONENWA

huja mauti yote. Njia yake ya kutoa uhai, ni mauti. Ni wangapiwanaojua hivyo?Ayubu 14, kama unataka kuandikaMaandiko.214 Ninayo, kama ukihoji jambo hili, ninayo Maandikoyaliyoandikwa kwa kila fungu la haya.215 Kama ukitaka kusoma Ayubu 14 hapo, inasema,“Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishisi nyingi, naye hujaa taabu.” Sivyo? “Yeye huchanua kama vileua, kisha kukatwa, likaharibika,” na kadhalika. Unaona? Kilamtu aliyezaliwa na mwanamke, amezaliwa katika mauti maraajapo.216 Bali anapozaliwa katika uumbaji wa Mungu, hawezi kufa;anatoka kwenye ule Mti mwingine uliokuwa katika bustani yaEdeni, Kristo. UzimawaMilele ulikuja kwa njia ya uleMti.217 “Loo,” unasema, “mwanamke alikwa mti?” Hakika. “Vema,walisema, ‘Usile ya mti huu.’ Mungu alisema, katika Mwanzonyuma kule, ‘Usile ya mti huu.”218 Mbona, mwanamke ni mti. Yeye ni mti wa matunda. Wewe utunda la mama yako. Tunda la tumbo la uzazi ni wewe. Hiyoni kweli. Ndipo basi tunda la Mti wa Uzima, ambao ulikuwakatika bustani ya Edeni, ni Kristo. Mauti yalikuja kwa njia yamwanamke; kwa njia ya Mwanamume, katika ule uumbaji waasili, kukaja Uzima. Kuzaliwa na mwanamke ni mauti; kuzaliwana Kristo ni Uzima. Umepata hilo wazo? Hapo ndipo. Sasaunaona ambakomiunguwa kikewalikokwenda, sivyo?219 Adamu wa kwanza na Hawa walikuwa mfano wa Adamu naHawa wa pili, unaona, kule kuongezeka. Sasa kuongezeka kwaAdamu na Hawa kulikuwa kwa njia ya kujuana kimwili, kuijazanchi, lakini tangu mwanzo haikuwa hivi. Mungu alimfanyamwanamume na mwanamke, kama Yeye alivyowaumba viumbeVyake vingine, unaona, kisheria, kama tu Kanisa.220 Hebuni sasa, kwa kuwa tuna hizi Kweli za Munguzilizothibitishwa, tutafute kidogo zaidi, kama mkitaka.[Kusanyiko linasema, “Amina.”—Mh.] Sawa. Sasa hililinaweza liumize kidogo mpaka tufikie kilindi chake, lakininitawaonyesha Ukweli wake.221 Hakuna mhudumu anayeweza kuoa mjane. Ulijua hivyo?Unataka kusoma hilo? Vema, angalia katika Walawi, Mamboya Walawi 21:7 na Ezekieli 44:22, na itakuonyesha kwambaukuhani haukupaswa kuoa mwanamke ambaye ameguswana mwanamume. Mfano huu ni wa Bibi-arusi bikira waYesu Kristo, kwa sababu waliushughulikia ule Moto waMungu, makuhani walifanya hivyo, wana wa Haruni. Hatunawakati wa kusoma hayo yote, na kutoka ifikapo adhuhuri,tungali tuna dakika ishirini. Na hao ni wana wa Haruniambao waliushughulikia Mo—Mo—Moto wa Mungu, kwahiyo hawangeweza kuoa mwanamke ambaye ameguswa namwanamume mwingine. Mungu asiyebadilika alisema hivyo.

Page 35: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 35

Hawangeweza kuoa mwanamke mwingine, na mwanamkealiyeguswa na mwanamume, ikionyesha kwa mfano hapa,kama unataka kuliona, kwamba Kanisa la Mungu aliye hai niNeno safi la Mungu lisiloghoshiwa, na sio madhehebu ambayoyameshikwa-shikwa na binadamu.222 Angalieni, hebu na tusome hili hapa. Nataka niwaonyeshehili. Mathayo 5, Yesu alizungumzia hapa juu ya jambo fulanimuhimu sana. Tunataka kuliona, Mathayo 5. Nimeliandikakwenye nini hii yangu…223 Niliwekea alama baadhi ya mambo ambayo ningeyanenakwa wanaume tu, kwa hiyo nilikuwa na wakati mgumu sanakuyanena mbele ya dada zetu. Lakini nataka ku—kutoka hapasasa kabla…224 Sasa, dada, nataka kukuweka mahali ambapo Neno laMungu lilikuahidi, nawe uhakikishe basi umekaa mahalihapo, pia.225 Mathayo 5:32. Nataka uangalie hapa, kuunga mkono wazolili hili la “mmoja” na “wengi.” Mathayo, thelathini…nafikirini Mathayo 5:32, kuanzia 31.

Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hatiya talaka,

226 Huyo ni Yesu anayezungumza, Yule aliyesema, “tangumwanzo.” Sasa tazama.

Lakini mimi nawaambia, kila mtu amwachayemkewe, isipokuwa…habari ya uasherati, amfanyakuwa mzinzi; unaona, kila mtu amwachaye mkewe,isipokuwa…habari ya uasherati, anamfanya kuwamzinzi; (kwa nini? ataolewa tena) na mtu anayemwoayule aliyeachwa alifanya uzinzi.

227 Unaona, ana mume aliye hai, kwa hiyo hakunamwanamumeawezaye kumwoa. Sijali anafanya nini na yeye ni nani, anamume aliye hai, hakuna sababu kwake kuolewa tena kamwe.Lakini, sivyo, kwa mwanamume. “Amfanya mwanamke,” siomwanamume. Mmelipata? Yakubidi ulifanye Neno liende katikamwendeleo. Mnaona, hakuna kitu kisemacho mwanamumeasingeweza, lakini mwanamke hawezi. Unaona, “amfanyamwanamke,” sio mwanamume. Hivyo ndivyo inavyosemaBiblia hasa, “amfanya mwanamke.” Haikunenwa dhidi yamwanamume kuoa tena, bali “mwanamke.” Kwa nini? Kristokatika mfano.228 Angalia, imesema kwamba mwanamume hawezi kuoa tena,ila bikira tu. Mwanamume anaweza kuoa tena. Yeye anaweza,anaweza kuoa tena kama ni bikira, bali hawezi kuoa mkewa mtu mwingine. La hasha. Na kama yeye akioa mwanamkealiyetalikiwa, anaishi katika uzinzi, sijali yeye ni nani. Biblia

Page 36: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

36 LILE NENO LILILONENWA

ilisema, “Mtu akimwoa yule aliyeachwa, anaishi katika uzinzi.”Haya basi, sio hao waliotalikiwa.229 Angalia hilo la asili nyuma kule, “tangu mwanzo,” sasa?Kuoa tena, sasa angalia, mwanamume anaweza, bali mwanamkehawezi. Kama Daudi, kama Sulemani, kama mwendeleo waBiblia nzima, sasa, vile vile kamaDaudi nawengineo.230 Sasa unaona katika Wakorintho wa Kwanza 7:10, angalia,Paulo anaamuru mke ambaye, ambaye anamtaliki mumewe,akae peke yake au akapatanishwe, sio kuolewa tena. Yampasayeye abaki peke yake, au apatanishwe tena na mumewe.Hawezi kuolewa tena. Lazima abaki peke yake, lakini, angalia,hakunena kuhusu mwanamume. Unaona, huwezi kulifanyaNeno linene uwongo. “Tangu mwanzo,” sheria ya kujuanakimwili kwa kuoa wanawake wengi. Sasa, Neno la Mungulinapatana namaumbile yaMungu, liko katikamwendeleo.231 Unaona vile kuna itikadi moja ilienda mashariki, nanyingine ikaendamagharibi, kwenye jambo hilo? Yakubidi urudikwenye Ukweli, utambue ilivyo.232 Siku zote imekuwa hivyo, hilo ndilo agano la kawaidala Mungu tangu mwanzo. Kwanza, kabla ya mwanzo, tangumwanzo kulikuwa tu na mmoja kwa mmoja. Baada ya dhambikuingia, ndipo kulipokuwepo na mwanamume mmoja na kundila wanawake; inakwenda hivyo katika maumbile, kila mnyama,na wanadamu na mwili wa kawaida ni mnyama. Sisi tu jamiiya wanyama wanyonyeshao watoto wao, tunajua hivyo, sisi sote,unaona, na yote nimaumbile yaMungu katikamwendeleo.233 Lakini sasa kwa kuwa zile Muhuri zimefunguliwa, Rohowa Kweli anatuongoza kwenye Neno. Hilo linaelezea kwa ninimakosa yote yamekuwepo katika nyakati zote, kwa sababu zileMuhuri hazikuwa zimefunguliwa. Hili halikuwa limefunuliwa.Ni kweli.234 Angalia, wewe, huwezi kuvifanya vivuli visidhihirike. Kamanilivyowahubiria usiku uliopita kuhusu kivuli kuvuka sakafu,kinapaswa kije sawa. Yawezekanaje kuwe na kivuli chandovu kikija kupita kwenye sakafu, ndipo pandikizi la mtumwembamba liwe ndilo yule ndovu, au yule ndovu kuwa ndiyepandikizi la mtu mwembamba?235 Sasa, hebu uliangalie katika mfano halisi.236 Sasa, kuna mwanamke wa kweli, mwanamke wa kweli,bikira, ambaye huolewa na mumewe, na anaishi, naye ni kitukilichobarikiwa kwa mwanamume. Kama Mungu angeliwezakumpa mwanawe kitu kizuri zaidi kuliko mke, angempayeye hicho.237 Lakini ametengenezwa awe wa kutamanisha, na hakunakiumbe kingine duniani kilichotengenezwa namna hiyo. Hiyo

Page 37: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 37

ndiyo sababu unaona kule kuoa wanawake wengi, kwa sababuya jambo hilo. Hicho ndicho kilichokuleta.238 Sasa angalia, katika mchanganuo wa mwisho, angalia, kunaYesu Kristo mmoja (sivyo?), Mtu mmoja, Mungu, Imanueli.Mnaamini hilo? [Kusanyiko, “Amina.”—Mh.] Lakini washirikiwa Mke Wake ni wengi, unaona, maelfu mara elfu yamaelfu (sivyo?), Mke Wake, Bibi-arusi, Kanisa. Mnaelewa sasa?[“Amina.”]239 Hiyo ndiyo sababu Yeye alimwambia Adamu, kabla kujuanakimwili hakujaletwa au kuingizwa, “Ongezekeni, mkaijazenchi,” wakati yeye bado alikuwa katika mwanzo, wakatialipokuwa bado vyote viwili wa kiume na kike yeye mwenyewe.Hapo, inaonyesha basi kwamba Bibi-arusi yabidi atoke kwenyeNeno, kwa ongezeko la kiroho, kuongezeka, unaona, kuijazanchi.240 Sasa katika kitendo cha zinaa, unaona, zile itikadizimevichanganyisha vitu hivyo viwili. Kwa hiyo huweziukalitenda, yakubidi ulirudishe kwenye Ukweli wake, “hapomwanzo.”241 Na hatimaye kutakuwepo na Bwana Yesu mmoja, na Bibi-arusiWakewengi, umoja. Mnaelewa? Kulikuwa naDaudi mmojakwenye kiti cha enzi kimoja, mfalme mmoja (aupendezayemoyo wa Mungu) na wake mia tano. Yesu akiketi kwenye KitiChake cha Enzi, haleluya, katika ule Utawala wa Miaka Elfu,akiwa na Mke; kama ilivyokuwa mwanzoni, aliyeumbwa kutokaardhini, kwa mkono wa Mungu Mwenyezi, katika ule ufufuo, wawashiriki wengi. Basi.242 Enyi wanawake, jitahidini kuwa hivyo, njoni katika Kristo,ndipo hamtakuwemo katika takataka za uchafu ule nje kule.Bali maadamu wewe ni mshiriki tu wa kanisa ukijaribu kuishimaisha maadilifu na mazuri, wewe mwenyewe, hutafaulu. Walamwanamume hawezi kufanikiwa nje ya Kristo. Kama Pauloalivyoendelea kusema, “Lakini wako katika Kristo, hakunamwanamumewalamwanamke.”Wote ni mmoja.243 Lakini kunyosha hii Ndoa na Talaka, ili kwamba tupatekujua lipi lilikuwa sahihi na lipi si sahihi, sasa Yeye anaonyeshahapa dhahiri katika vivuli hivi. Kuna Kristo mmoja; nawashirika wengi wa Mke yule. Angalia, Yeye anaweza kutuachakwa ajili ya uzinzi wa kiroho na mafundisho ya uongo, wakatiwo wote atakao; lakini utathubutuje kujaribu kumwacha, naukafanikiwe? Mwanamume anaweza kumwacha mkewe nakuoa mwingine; bali si mwanamke kumwacha mumewe nakuolewa na mwingine. Unaona vivuli vyote na mifano hapovimelinganishwa vizuri kabisa? Unaona ule uumbaji wa asili;sio kiumbe kilichotoka kwa kingine mahali po pote. Si kanisa;Bibi-arusi kupitia kwa Neno. Si mwanamke; mwanamume, kilawakati. Hiyo ndiyo sababu kamwe halineni neno lo lote dhidi

Page 38: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

38 LILE NENO LILILONENWA

ya mwanamume kutenda jambo hilo; sikuzote ni mwanamke.[Ndugu Branham anagonga mara tano juu ya mimbara—Mh.]Hilo ni sawa kabisa.244 Lakini anaweza kuwa Bibi-arusi wa Kristo, kwa kuwa…Na kumbuka, yeye akiwa sehemu ya mwanamume, Bibliailisema anaweza ku…“Hata hivyo simpi mwanamke ruhusaya kufundisha, wala kutwaa mamlaka yo yote, bali awe katikautulivu. Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, naHawa baadaye. Wala Adamu hakudanganywa, lakini kiumbekilichotolewa kwa kingine kilidanganywa. Walakini ataokolewakama akaendelea katika utakaso na moyo wa kiasi, na kuzaawatoto, na yote hayo,” kwa sababu basi hapo anakuwa sehemuyamwanamume huyu. Hilo ndilo linaloleta…245 Kwa nini Ibrahimu…Kwa nini Mungu hakumuua Saraakiketi pale pale, akikana, na akisema uongo papo hapo mbeleya Mungu? Akiketi pale kama Mwanadamu mwenye mwiliuharibikao, akila mkate, akinywamaziwa, Naye akasema, “Kwanini Sara alicheka nyuma kule upande wa nyuma,” nyumaYake, katika hema, Yeye hakuwa amemwona huyo mwanamke,“akisema hivi, ‘Yawezekanaje mambo haya’?”246 Akasema, “Sikusema hivyo kamwe!” Salala, jamami,kumwambia Mungu kwamba Yeye ni mwongo, mbele Zake?Lakini Yeye hangemchukua. Kwa nini? Yeye ni sehemu yaIbrahimu. Amina. Yeye asingeweza kumdhuru bila ya kumdhuruIbrahimu.247 Sasa enyi wanawake oneni mahali penu. Na Biblia ilisema,“Enyi wanawake iweni kama Sara alivyokuwa, ambayealijipamba kwamavazi ya kujisitiri, akaishi kwa uaminifu nawakweli kwa mumewe, akimpenda yeye kiasi kwamba (mumewe)yeye alimwita ‘Bwana”wake, mtawala, mwenyemali.248 Na ninyi, baadhi yenu wanawake, mnavaa nguo hizi chafuna kutoka nje hapa kujianika mbele za wanaume. Yesu alisema,“Kila mtu amtazamaye mwanamke kwa kumtamani amekwishakuzini naye moyoni mwake.” Basi ni nani aliye na hatia, huyomwanamume au wewe? Yeye ni mwanamume, amefanywa iliaweze kutekeleza kitendo hiki, unaona; na wewe u mwanamke,unayepaswa kukataa.249 Na kwa nini unajianika jinsi hiyo? Siyo kwa ajili ya starehe,unajua haiwezekani, huku unakuwa nusu maiti kwa baridiunapovaa kaptura. Unaona, haiwezi kuwa kwamba unastarehe.Basi ni nini? Ni uchafu! Hutakubali hivyo, lakini Biblia ndiyoinasema hivyo. Ni Ukweli. Ni roho mchafu aliye ndani yako.Hutaki kuwa mchafu; lakini hutambui, kiroho u mchafu, kwasababu unajionyesha mwenyewemchafu.250 Sasa, mwanamume, magoti yake mazee, machafu na yenyemafundo, na kama karibu hakuwa na nguo zo zote kamwe,isingeleta tofauti yo yote, mwili wake hautamanishi. Kwa nini?

Page 39: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 39

Alikuwa katika uumbaji wa asili, tabia; ndivyo ilivyo, unaona.Lakini, wewe ulitolewa kwamwingine, ukatamanishe.251 Mungu, turehemu! Loo, jamani, ulimwengu huu uliojawa nadhambi! Nitafurahi utakapokwisha.252 Tazama, Yeye anaweza kumwacha mke Wake wakati wowote apendao, lakini mkewe hawezi kumwacha; Yeye anawezakunifanya mimi, Yeye anaweza kunitupa mavumbini wakati wowote anapowazia kunitupa, bali, loo, ndugu, afadhali kamwenisijaribu kumtupa Yeye pale, nimekwisha.253 Sulemani angeoa mwanamke ye yote ambaye hakuwaameloewa, angeoa mwanamke ye yote aliyetaka. Kuhani angeoatumwanamke ambaye alikuwa bikira. Sulemani…254 Kama vile Daudi, alioa (jina lake alikuwa nani?) Abigaili.Ambapo, palikuwepo na mtu aliyeitwa “mpumbavu,” alikuwana mke anayependeza, naye akafa. Ndipo Abigaili akaolewa naDaudi; alikuwa mfalme, sio kuhani, unaona, kwa hiyo yeye—yeye akaoa.255 Lakini kuhani asingeweza kufanya hivyo, kwa sababuamemkaribia au alichukua mwanamke kuwa mke wake ambayetayari alikuwamkewamtumwingine. Kwa hiyo hiyo inaonyeshaubikira wa Kanisa la Bwana Yesu Kristo, itambidi Bibi-arusikuwa asiyeghoshiwa, Neno, pasipo hata Neno moja kukosekanamahali po pote. Hakika. Ungeweza kuwazia bibi-arusi halisi,titi moja limeng’olewa, na, jingine, lina kasoro, unajua? HuyohatakuwaBibi-arusi waKristo. Yeye nimkamilifu. Yeye yuNenokwa kila hali, hakunaNenomoja linaloshindwa po pote. La.256 Angalia, Yeye anaweza kumwacha, lakini bibi-arusi hawezikumwacha Yeye. Yeye alifanya hivyo, na akalithibitisha, katikasiku ambapo Luther, Wesley, na Pentekoste, walipokataakuendelea kuwa sehemu Yake kwa kufanya mapenzi ya kirohokusudi wapate mimba ya sehemu zaidi ya Neno. Mnaelewa?Alikataa. Kanisa la Kiluteri lilikataa Kristo awe na tamaazaidi kwake, Luther alikataa. Na hebu niseme hivi, mtaniitamimi kitu haidhuru; hivyo ndivyo ilivyo leo kwa kila moja yao,yanashindwa kulitwaaNeno, yanamkataa Kristo!257 Na mwanamke ye yote ambaye anamkatalia mwanamumemtoto wake, hapa haki kuwa mke kwake. Amina. Mnakumbuka,katika Biblia, mfalme alipomwoa Esther? Kwa sababu malkiaalikataa, alijipatia mwingine. Na wakati…Kulitukia niniwakati yeye alipokataa kutoka pamoja na mfalme na kumtii? Nijambo lile lile kwa mwanamke ambaye anakataa kuwa mke kwamumewe.258 Ndivyo ilivyo kwa kanisa ambalo linakataa kuchukuamimba katika wakati ambao tunaishi sasa, kuwazaa watotowa wakati huu. Sisi si Waluteri, sisi sio Wawesley, wala sisisi Wapentekoste! Yatubidi tuwe watoto wa wakati huu, kwakupatamimba yaNeno laMungu, kumzaaMtoto wawakati huu,

Page 40: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

40 LILE NENO LILILONENWA

MtotoMbegu. Amina. Natumaini mnaelewa. Asingeweza kutiwamimba, la, kwa hiyo Yeye alifanya nini? Alimwacha, katikatalaka. Hiyo ni kweli. Lakinimkewe asithubutu kumwacha. Yeyealimwacha.259 Yeye aliendelea kulifunua Neno Lake kwa ule Mwili,na kumthibitisha, yule yule, Yeye Mwenyewe. Watoto Wakewameanza kwa namna fulani kufanana na Yeye, kwa sababuHilo linakomaa sasa kabisa, au, wanakuwa wana wa Neno,sio wana wa kanisa. Wana wa Neno! Na Bibi-arusi atakuwaBibi mdogo wa Neno, anayependeza, asiyeghoshiwa, asiyeguswana dhehebu la mtu ye yote, nadharia yo yote iliyoundwa nabinadamu. Atakuwa Bibi-arusi wa Neno asiyeghoshiwa kabisa!Amina na Amina! Natumaini mnaelewa jambo hilo, ninyimnaosikiliza kwenye redio. Atakuwa binti wa Mungu aliyepatamimba.260 Unaona jinsi mwanamke anavyoweza kuwa na heshimakubwa? Waona jinsi kanisa linavyoweza kuwa kitu kikuu sana,lakini unaona ambako uchafu umelifikisha? Halafu kujaribukulinganisha kanisa lile nje kule na Kanisa hapa, huwezikufanya hivyo. Na kujaribu kulinganisha kahaba wa mitaani naKanisa la Mungu aliye hai; au mwanamke, mwanamke halisi, nakahaba?261 Kwa nini kuna mambo kama hayo? Ni sheria yaMungu, sheria ya kulinganisha. Tutajuaje jinsi ya kufurahianuru ya mchana kama kusingekuwa na usiku? Tutajuajejinsi ya kufurahia jua kama kusingekuweko na mvua?Tungejuaje kufurahia na kumheshimu mwanamke halisi, kamapasingekuwepo na aliye mchafu?262 Aliendelea kulifunua Hilo, kulifunua Neno Lake, lakinikuna mtu kati yetu anayethubutu kumwacha Yeye na kuolewana mwingine?263 Sasa hakika ni dhahiri kwa nini nadharia zote mbilizimekosea. Huwezi kulifanya liende hivi, limekwenda;ukilifanya liende vile, litaenda hata lipite ile ahadi. Hii hapaahadi, hiki papa hapa kitu kile, Neno, Hilo halijipingi. Halinabudi kukaa katika mwendeleo sasa, si zaidi ya vile Mathayo28:19 isivyopingana na Matendo 2:38.264 Sasa, baadhi yenu wanawake, baadhi yenu wanaume,na—najua ham—hamkubaliani Nalo. Sababu, unajua, huwezikulificha hilo sasa hivi. Huwezi.265 Bali hebu niwaonyesheni kitu fulani. Kama Mathayo28:19 ilisema, “Basi enendeni, mkayafundishe mataifa yote,mkiwabatiza kwa Jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu,”nao wakageuka, na kila mtu ambaye aliwahi kubatizwaalibatizwa kinyume chake, wakabatiza katika Jina Lake YesuKristo, kwani hata katika wakati wote wa Biblia na kwa miakamia tatu baada ya wakati wa Biblia, mpaka lile Baraza la Nikea.

Page 41: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 41

Ndipo walichukua mafundisho ya sharti badala yake. Kunatofauti gani, kama halijafunuliwa?266 Na je, unajua Kitabu kizima, Biblia yote, ni ufunuo? Hivyondivyo inakubidi kujua ukweli kati ya hili na lile jingine,ni kwa sababu Hiyo ni ufunuo. Na ufunuo lazima upatanekabisa na Neno, sio kinyume cha Neno. Unasema, “Vema, mimi,lilifunuliwa kwangu.” Basi kama ni kinyume cha Neno, haukujakamwe kutoka kwaMungu. Hiyo ni kweli.267 Sasa kama unataka kuchukua Mat-…Mathayo 16:18. Yesualisema, Yeye Mwenyewe, kwamba Kanisa lote, Kanisa Lake,lingejengwa juu ya ufunuo wake wa kiroho, ambaye ni Neno.“Nami nakuambia wewe, kwamba wewe ni Petro…Na mwilina damu kamwe havikukufunulia hili, bali Baba Yangu aliyeMbinguni amekufunulia hili. Na juu yamwamba huu…”268 Sasa, najua, rafiki zetu wa Kikatoliki pale, mnasema,“Lilijengwa juu ya Petro, na mtume Petro, kwa hiyo, fulani,katika makubaliano ya kimitume, uhalifa,”

Waprotestaniwalisema, “Lilijengwa juu yaYesuKristo.”269 Si kusudi niwe tofauti, lakini chukua tu yale Yeye aliyosema!Yeye alisema, “Mwili na damu havikukufunulia hili, baliBaba Yangu aliye Mbinguni amekufunulia hili. Na juu yamwamba huu, ufunuo wa kiroho wa Neno ni nini, nitajengaKanisa Langu; wala milango ya kuzimu haitaliangamiza.” MkeWake hatashawishiwa na mwanamume mwingine. “NitalijengaKanisa Langu, na milango ya kuzimu haiwezi kulitikisakamwe.”270 Na Habili na Kaini, katika bustani ya Edeni. Kaini alitoamawazo yake mwenyewe, alisema, “Sasa, angalia, Munguni Mungu mzuri. Yuko katika maumbile yote, kwa hiyonitachukua maharagwe na viazi, na nitachukua ma—maua, nanitamtengenezea Yeye madhabahu mazuri sana.” Hilo ni kanisa.Akapiga magoti. Alimwamini Mungu. Alimwabudu Mungu,akainua mikono yake, na akatoa sadaka hii. Alifanya kila kitucha kidini ambacho Habili alikifanya.271 Habili alijenga madhabahu ya namna ile ile. Lakini wakatiHabili alipoleta yake, alileta mwana-kondoo. Sasa, Kainialifikiria kwamba, alipokuwa akifanya kinga kwa ajili yadhambi, kwamba baba yake na mama yake lazima walikulatunda, kama walivyofundishwa katika bustani ile. LakiniHabili, kwa ufunuo wa Kiungu, alijua kwamba damu ndiyoiliyosababisha hilo. Kwa ufunuo wa Kiungu! Na Biblia ilisemakatika Waebrania, sura ya 12, sura ya 11, kwamba, “Habili,kwa imani, ufunuo, alimtolea Mungu sadaka iliyo bora kulikoya Kaini, ambayo kwayo Mungu alishuhudia kwamba yeyealikuwa mwenye haki.” Hiyo ni kweli? [Kusanyiko, “Amina.”—Mh.] Amina! Ndugu, dada, ni dhahiri tu kama kitu cho chotekinavyoweza kuwa, kwangu. Jambo lote ndilo hilo.

Page 42: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

42 LILE NENO LILILONENWA

272 Sasa juu ya Ndoa na Talaka, unaona, yabidi ifunuliwe.Mpaka itakapofunuliwa, huijui. Bali Yeye aliahidi katika sikuhizi za mwisho, katika wakati huu, kwamba kila siri iliyofichwakatika Biblia ingefunuliwa. Wangapi wanajua hivyo? Ufunuo,sura ya 10! Yesu aliliahidi, kwamba siri zote hizi zilizofichwa juuya—juu ya Ndoa na Talaka, siri hizi nyingine zote zilizokuwepo,zingefunuliwa katika wakati wa mwisho. Sasa mnakumbuka,Sauti ile ilisema, “Nenda Tucson.” Mnakumbuka ile Nuruisiyoelezeka angani, wale Malaika saba wakisimama pale,karudi humu na kule kufunguliwa kwa zile Muhuri Saba?Angalia kilichotukia. Hiyo ni kweli.273 Sasa tusongembele kidogo. Lakini sasa sikilizeni, enyi watu!Najua wakati wenu wa kwenda kula umekaribia, bali ninakulatu vizuri. [Kusanyoko linasema, “Amina.”—Mh.]274 Angalia, sasa, mwanamke ana mahali pake, naye ni lulu.Sulemani, mtu huyu aliyekuwa na wake elfu kumi…au alikuwana wake elfu, hasa, alisema kwamba, “Mwanamume aliyempatamke, amepata kitu chema.” Alisema, “Mwanamke mwema nilulu katika taji yake,” yaani heshima. “Lakini asiye na hakini maji katika damu yake,” yaani maisha yake. Yeye alisema,“Kwawezekana kupatikane mwanamume mmoja mwenye hakikatika elfu moja,” Sulemani alisema hivi, “lakini,” akasema,“usingempata mwanamke mmoja mwenye haki katika elfumoja.” Sulemani alisema hivyo, mnaona. Sasa angalia hilo,jinsi lilivyo.275 Lakini, unaona, ewe mwanamke, wewe u—wewe ni lulukama unataka kuwa lulu, lakini tamaa yabidi itokane na wewe.Na unaona kwa nini Ndoa Na Talaka ilikuwepo, na Yesualielekeza nyuma huko, ilikuwa kwa sababu wa aina yenundiye alikuwa chanzo cha dhambi yote. Hiyo ndiyo sababukuoa wanawake wengi na talaka, na kadhalika, viliingizwa.Hapo mwanzo haikuwa hivi kamwe, na haitakuwa hivyo katikaulimwengu wa kule ng’ambo.276 Mwangalie Yakobo, ambaye toka kwake walikuja walewazee. Alikuwa na yapata wake dazeni. Alioa dada wawili,na pia alikuwa na masuria, wanawake wa kukaa nao kimilaalioishi nao. Na haowazee bila shakawalizaliwa na haomasuria.Sivyo? [Kusanyiko linasema, “Amina.”—Mh.] Unaona, yakubidikulifanya Neno lifuatane kikamilifu.277 Loo, nina kurasa nyingi juu ya hilo. Kama kasisiakiniswali juu yake, nasi tupate kukutana pamoja, tungewezakulizungumzia. Lakini kwa kweli, kama ana hata chembe ndogoya roho kamwe, anaweza kuona papa hapa ni Kweli. Hakunaswali Kwake.278 Mwanamke mzuri ni kitu kizuri. Najua hivyo. Najua hivyokwa wanawake walio halisi. Nimekutana na wanawake halisi

Page 43: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 43

ambao ni wa kweli, walio halisi tu kama mwanamume ye yoteambaye amewahi kutembea.279 Yeye ni kiumbe kilichotolea kwa kingine na ni kipandechake, na katika kule kuanguka mwanamume alimsikilizayeye. Yeye tu…Yeye ni sehemu yake. Lakini, ni juu yake,ametengenezwa ili aweze kuwa mchafu, na amepewa haki yakukataa ama kukubali. Hilo ni kinyume chamaumbile asili hapomwanzo, unaona, bali hivyo ndivyo ilivyo.280 Sasa ni saa sita, kwa hiyo nitaacha tu kitu fulani hapa kwadakika chache. Natakata kuwaulizeni jambo fulani.281 Sasa, kumbuka, ninasema jambo hili kwa kundi langu tu. Nahuko nje hewani, ninasema hili kwa wafuasi wangu mwenyewe.Ujumbe huu ni kwa ajili yao tu, na yale nitakayosema hapa.282 Mhudumu ye yote, yeye, hao ni wake, ndiyo, yeye nimchungaji wa kundi, acha atende cho chote anachotaka. Hiloni juu yake na Mungu. Kasisi ye yote, mhubiri ye yote, hiyo nijuu yako, ndugu yangu.283 Ninazungumza tu hapa Jeffersonville, mahali pekee ambaponingezungumzia jambo hili, ni kwa sababu ni kundi langumwenyewe. Ndilo kundi ambalo Roho Mtakatifu amenipakulifahamu na kuwa msimamizi wake, ataniwajibisha kwa ajiliyake. Na watu hawa wangu wamekuwa waongofu hapa kutokanchini kote, ambao nimewaongoza kwa Kristo. Na, enyi watotowadogo, mimi nipo hapa kuwasaidieni, nami ni rafiki yenu.Ungeweza ufikirie ninanena dhidi yenu, ninasema jambo hili,unaona, kwa manufaa yenu. Ninawapenda. Na kama sivyoilivyo,Mungu ni Hakimuwangu.Mnajua nawapenda.284 Hili ni jambo zito mno, sikujua jinsi ya kulieleza. Nitafanyanini, na huku nina wanaume na wanawake wanaoketi kwenyekusanyiko langu, baadhi yao wameolewa na kuoa marambili au mara tatu? Wanaume wazuri na wanawake wazuri,wote wamechanganyikiwa! Nini imesababisha jambo hilo?Mafundisho ya uongo, bila shaka, bila ya kumngojea Bwana.285 “Aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.”Sio aliowaunganisha mwanadamu; aliowaunganisha “Mungu”!Unapopata ufunuo wa moja kwa moja kutoka kwa Mungu,huyo ni mkeo, na jambo lile lile, huyo ni wako maishani mwakomwote. Unaona? Lakini aliowaunganisha mwanadamu, mtuye yote anaweza kuwatenganisha. Lakini aliowaunganishaMungu, mwanadamu ye yote asithubutu kuwagusa. “Kilaanaowaunganisha Mungu,” Yeye alisema, “mwanadamuasiwatenganishe.” Sio wale waliounganishwa na hakimu fulanialiyelewa nusu au na kitu kingine, au mchungaji fulani aliyerudinyuma akiwa na tita la kanuni za imani katika kitabu, ambayeangewaruhusu kufanya kitu cho chote ulimwenguni, na Nenola Mungu likiwa limekaa pale pale. Unaona? Ninazungumziakuhusu wale aliowaunganisha Mungu.

Page 44: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

44 LILE NENO LILILONENWA

286 Sasa nitawaambia hivi. Ninaangalia sana ninayowaambia.Sitaki kuwa mkali kwenu enyi watu. Sitaki kuwa mkalikwenu, ndugu zangu wachungaji. Sikusudii jambo hilo.Bali ninawajibika, nikitambua kwamba nimekabidhiwa hilimikononi mwangu, nami siwezi kulizuilia. Na sijui jinsi yakulitoa, na najua kanda hii italitoa. Loo, jamani, nitajitayarisha,ofisi iko wazi, sababu hili hapa linakuja. Unaona?287 Kama tu ilivyokuwa juu ya Uzao Wa Nyoka, lakiniimethibitishwa kabisa kuwa kweli. Ninayo magazeti papa hapa,kutoka kwenye gazeti, ambapo wanawake hivi sasa…na hatakatika—katika yale makuu…Baadhi ya majimbo makuu yaaskofu yana picha za asili, nyoka akitambaa kwenye mguuuwa mwanamke, na jinsi tu anavyojizungushia kwake; yeyehupata kila namna ya nyege na kadhalika, kitu ambachomwanamume asingeweza kumgusa nacho kamwe, huku huyunyoka mkubwa amejizungushia mwilini mwake, na kadhalika.Huo ni ukweli kabisa. Na inazidi kuwa baya, na itakuwa bayazaidi. Nyoka, hakuwa nyoka, asingeweza kujuana kimwili nayewakati alipokuwa nyoka, lakini kumbuka…288 Nilikuwa na mjadala hivi majuzi na…sio mjadala,mhudumu tu wa Assembly of God na mwenzangu, akasema,“Umekosea, katika jambo Hilo.”

Nikasema, “Vema, huenda ikawa nimekosea. Ningetakawewe uniambie.”289 Akasema basi, akaendelea na akaanza kuzungumza juuyake. Punde si punde, akajitatanisha. Na jambo moja alisema,alisema, “Ndugu Branham, kiko wapi cha jinsi hiyo? Mungualisema ‘moja kwa jinsi yake.’ Sasa ki wapi kiumbe hichoulichosema kiko kati ya mwanadamu na mnyama, ambachosayansi haiwezi kukipata sasa? Kiko wapi?” Akasema, “Kipoduniani? Je! kilikuwa sokwe mtu?”290 “La, kwa sababu damu ya sokwe mtu haitachanganyikanana yamwanamke, hakunamnyamamwingine atachanganyikananaye. Hapana, haitachanganyikana, wala shahawaya mwanamume haitachanganyikana na—na ya kike.Haiwezekani.”291 “Basi yuko wapi mnyama huyo mwenyewe? Sasa, Mungualisema, ‘Kila kitu kizae kwa jinsi yake.”292 Nikangojea kidogo. Na utamu wa Roho Mtakatifu ukasema,“Mwambie, ‘Kipo hapa.”

Sasa, kwanza nikasema, “Vema, pengine hakipo sasa.”

Akasema, “Lakini, Ndugu Branham, hilo, tunazungumzakuhusu Neno, sivyo?”293 Nikasema, “Ndiyo, bwana.” Nami nikasema, “Wao, bilashaka, wanadai kwamba vitu hivyo vingine, kama wanyama

Page 45: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 45

wataambazi wa kale, hasa, hawapo tena, na kadhalika.”Nikasema, “Ingewezekana iwe hivyo?”294 Akasema, “Ndugu Branham, tunazungumzia kuhusuuthibitisho wa Neno. Kama dhambi iko hapa; basi, ile dhambiya asili, kinapaswa kuwepo papa hapa pia.”295 Nami nikasema, “Bwana Yesu, Wewe ulisema,‘Msifikirifikiri mtakalosema mnapokuja mbele za watu, kwasababu mtapewa hilo katika saa ile.’ Bwana, niseme nini?”Akasema, “Mwambie, ‘Kipo hapa.” Vile vile tu kama ninavyoonamaono jukwaani.296 Nikasema, “Kiko hapa,” nikiwa sijui wapi.

Akasema, “Wapi?”Na kabla hata sijafikiria, Yeye akasema, “Ni nyoka.”

297 Hivyo ndivyo alivyokuwa kabisa, kwani yeye si mnyamatena. Alilaaniwa na akafanywa aende kwa tumbo lake maishanimwake mwote. Yupo hapa. Sivyo? [Kusanyiko, “Amina.”—Mh.] Na bado katika kitendo hicho ambacho alitenda, badokuna dhambi ile ile inayotenda kazi kwa mwanamke, kamakujuana kimwili na mwanamume hivyo. Hapo ndipo mwanamkeanapokuwa na macho meupe na kadhalika, wakati nyege zakezinapozidi kwa mbali mno yale mwanamume ye yote angewezakutenda.298 Nitakoma hapo kwa sababu tuko katika kundilililochanganyikana. Nitawachukua wanaume, nita…tutalizungumzia zaidi. Nina makaratasi yote na kadhalika papahapa, papa hapa kwenye mkono wangu wa kuume sasa hivi,nami nilitaka kuwaleteeni asubuhi hii. Nilikuwa nichukue sikunzima juu ya jambo hili, lakini nitafunga sasa kwa kusema hivi.299 Hili ni kwa ajili ya kanisa langu tu. Sio kanisa langu…Kundi dogo linaloniamini mimi na kunifuata, hili ni kwaajili yao.300 Juzijuzi, nikijua kwamba ninapowaambia kitu cho chote,lazima kije BWANA ASEMA HIVI, basi nilikuwa na Maandikokama Yeye alivyonifunulia. Lakini, “Bwana Mungu, nitasemanini kwa kusanyiko lile? Nitasababisha watu kuachana.Wanaume watakuwa wameketi sebuleni na nje uwanjani, na kilamahali penginepo, ‘Nimwache?’ Wanawake, ‘Ni mwache mumewangu?’ ‘Nifanyeje?” Nikasema, “Bwana, nifanyeje?”301 Kitu fulani kikaniambia, “Nenda kule mlimani, naminitazungumza nawe.”302 Na wakati nilipokuwepo kule mlimani, nikiwa sijui kwambachini huko Tucson wao walikuwa wanaiona Hiyo. Lakini hatawaalimu waliwaita watoto toka…msichana wangu mdogo nawengineo, toka darasani, kasema, “Angalieni kule mlimani!Kuna Wingu la moto lenye sura ya kaharabu linapaa angani nakushuka chini, linapaa juu angani na kushuka chini.”

Page 46: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

46 LILE NENO LILILONENWA

303 Bibi Evans, upo? Ronnie, upo? Nikashuka nikarudi kwenyekile kituo, huyu mvulana kwenye kituo cha mafuta, kituo chamafuta cha Evans pale. Na kabla sijajua ambacho yule mvulanaanataka kusema, alinishangaza, akasema, “Ndugu Branaham,ulikuwa kule mlimani, sivyo?”304 Nikasema, “Unamaanisha nini, Ronnie? La,” unaona, kuonaatafanya nini. Mara nyingi vitu hutukia, mimi siwambii,huwaambii watu. Inakuwa…Jambo ni kwamba, unaona mengisana yakitukia, inakuwa kawaida kwako. Unaona? Siwaambiiwatu. Nikasema, “Ronnie, ulikuwa…”305 Akasema, “Ninaweza kukuonyesha kabisa ulipokuwa.”Kasema, “Nilimwita mama, nasi tulisimama hapa tukaangaliaWingu lile likining’inia juu kule, likipaa juu na kushuka.Nikasema, ‘Bila shaka ni Ndugu Branham anayeketi juu kulemahali fulani. Yule ni Mungu anayemzungumzia.”306 Na jiji zima, watu, waliliangalia. Kwenye siku angavu isiyona mawingu mahali po pote kamwe, huku Wingu hili kubwa lakaharabu linaning’inia kule; likishuka chini kama bomba, nakurudi nyuma na kupanuka.307 Marafiki, na halafu nitafunga, mnaweza kuondoka baadaya jambo hili. Hapo ndipo nilipokuwa ninafunuliwa jambo hili,ambalo nitawaambia sasa hivi, kwa hiyomsilikose Hili.308 Sasa nina nena kwawafuasi wetu tu, haowanaonifuatamimina Ujumbe huu peke yao, si walio nje. Nishuhudieni jambo hilimbele za Mungu. Kwa kundi hili tu!309 Sasa tunakutwa katika mchafuko huu kwa sababu yatheolojia iliyofafanuliwa vibaya. Sivyo? Hiyo ndiyo sababu ninyiwanawake mmeolewa mara ya pili, nanyi wanaume, kwa sababuya theolojia iliyofafanuliwa vibaya. Sasa nataka kuwaonyeshakitu alichoniambia.310 Na kama Mungu, Muumba wetu, aliulizwa hilo swalialipokuwepo hapa duniani, Yesu Kristo; na wakati nabii wakewa kukomboa alipokuja, Musa, huko chini Misri, kuwatoa walewana kutoka—kutoka Misri, kuwaweka kwenye nchi ya ahadi;na Yesu alisema hapa kwamba Musa aliwaona watu katikahali hii, naye akawapa hati ya talaka, kwa sababu hali ilikuwavile alivyokuwa. Musa aliyakuta hayo, kama, “Na amwache…”Mungu alimruhusu Musa, Yule nabii aliyetumwa kwa hao watu,kuwapa hii hati ya talaka.311 Na katikaWakorinthowaKwanza, su—sura ya 7, aya ya 12 naya 15, katika nabii waAgano Jipya, Paulo, ambaye alikuta jambolile lile kanisani, naye akasema hivi, “Hapa ni mimi, si Bwana.”Hiyo ni kweli? Kwa sababu ya hali za talaka.312 “Tangumwanzo haikuwa hivi.” Lakini Musa aliruhusiwa, naMungu akalitambua kuwa haki. Na Paulo pia alikuwa na haki,alipolikuta kanisa lake katika hali hiyo.

Page 47: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 47

313 Sasa aminini Hili kuwa ni kweli, na muamini linatokakwa Mungu! Na kwa udhihirisho wa Wingu Lake na UjumbeWake ambao umenifikisha umbali huu, je, Mungu huko mlimaniasingeniruhusu mimi kutenda jambo lile lile, kuwaruhusu ninyimwendelee jinsi mlivyo, na msitende jambo hilo tena! Nendenina wake zenu mkaishi kwa amani, kwani wakati umechelewa.Kuja kwa Bwana kumekaribia. Hatuna wakati wa kuvunjavunjamambo haya. Msithubutu kulitenda tena! Ninazungumza tukwa kusanyiko langu. Bali kama umefunga ndoa…Na Mungualinishuhudia kuhusu jambo hilo, kule mlimani, kwambaningeweza kunena jambo Hili, ufunuo wa kiroho, kwa sababuya kule kufunguliwa kwa zile Muhuri Saba, na hili ni swalikatika Neno la Mungu. “Waruhusu waendelee jinsi walivyo, nawasitende dhambi tena!”314 “Tangu mwanzo haikuwa hivi.” Hiyo ni kweli, haikuwahivi, na haitakuwa hivi wakati wa mwisho. Bali katika haliza kisasa, kama mtumishi wa Mungu…Sitajiita mwenyewenabii Wake; lakini ninaamini pengine, kama nisingepelekwakwa ajili ya jambo hilo, ninaweka msingi kwa ajili yake huyoajapo. Kwa hiyo katika hali za kisasa, ninakuamuru uendenyumbani kwako, na mke wako sasa. Kama unapendezwa naye,ishi naye, waleeni watoto wenu katika maonyo ya Mungu. BaliMungu na awarehemu kamamkifanya hivyo tena! Wafundisheniwatoto wenu wasije wakafanya jambo kama hilo, waleeni katikamaonyo ya Mungu. Na sasa kwa kuwa mko jinsi mlivyo,hebu twendeni sasa, katika majira ya jioni yaliyochelewaambamo tunaishi, na “tukaze mwendo tuifikilie mede yathawabu ya mwito mkuu katika Kristo,” ambapo mambo yoteyatawezekana.315 Hadi nitakapowaona usikuwa leo, BwanaMungu awabariki,tunapoomba.316 BwanaMungu, tunakushukuru. Tunakusifu. Wewe u Yehovamkuu yule yule ambaye ulimruhusuMusa. Musa, yule mtumishi,naye angewaambia nini watu wake? Basi, Mungu, ulimruhusukutoa hati ya talaka. Paulo, yule mtume maarufu ambayealikuwa mwandishi wa Agano Jipya, kama Musa alivyokuwawa la Kale. Musa aliandika Torati na wakati wa torati. Wengiwa manabii, maneno yao yaliingizwa ndani yake, lakini Musaaliandika Torati. Nawe ulimruhusu hati, kuwaandikia hati yatalaka, kwa sababu ya ugumuwamioyo yao.317 Yule Mtakatifu mkuu aitwaye Paulo, akiwa mwandishi waAgano Jipya, aliweza pia kutoa tamshi kama hilo, kwamba,“Ninazungumza katika hali hizi; mimi, sio Bwana.”318 Hivyo ndivyo ilivyo leo, Bwana Mungu, mwishoni mwaulimwengu, tukiwepo hapa chini ya rehema ya Mungu, tukijuahivi karibuni itatupasa kutoa jibu katika Uwepo Wake. Nakwa kuwa Wewe umetenda mengi sasa, Bwana, nina hakika,

Page 48: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

48 LILE NENO LILILONENWA

machoni pa watu hawa, hao watalishikilia Hili kana kwambalinatokaKwako. Na kushuhudia hapa leo, wakiwepowatuwengiwanaoketi hapa ambao hata waliona Ishara ile juu kulemlimani,ambakoMalaika wa Bwanawalikuja katika upepo wa kisulisuli,ambao ulikuja katika wale Malaika saba, ambapo ufunuo waSiri zile Saba ulifunuliwa, na Malaika yule yule, katika upandeule ule, kwenyemlima ule ule, siku ambayoHili lilifunuliwa.319 Mungu, naomba kwamba watu watakwenda nyumbaniwakiwa wamejawa na shukurani kwambaMungu ametoa neemahii kwao. Nilinena tu, Bwana, kwa ruhusa. Na ninanena tukwa ruhusa, Bwana. Na wajalie watu wawe na shukuranisana hivi kwamba hawatajaribu kamwe kutenda dhambi hiyotena! Pia jalia wasijaribu kamwe kutenda dhambi yo yote, baliwakupenda Wewe kwa mioyo yao yote. Bwana, zifanye jamaahizi ziwe na furaha, na jalia zikue na kuwalea watoto wao katikamaonyo ya Mungu.320 Kwani, Ujumbe wangu ambao ulikuwa moyoni mwanguumetolewa, Bwana. Nimetenda yote ninayojua jinsi ya kutenda.Na Shetani amenipiga vita kwa majuma kadha, na masaamengi bila usingizi. Bali sasa naliamuru, Bwana, kwa watuhawa, kwamba wajifunze Hilo, kisha waende zao wakakuishieWewe. Lijalie, Bwana. Limetoka mabegani mwangu sasa. WakomikononiMwako. Naomba kwambawewe utawabariki.321 Bariki leso hizi, Bwana, ambazo zimewekwa hapa hivipunde, kwa ajili ya wagonjwa na wanaoteseka. Jalia usiku huuuwe mmoja wa zile kuu sana na zenye nguvu, hata watu wotewapate kuponywa. Tujalie, Bwana. Tubariki sote pamoja.322 Tujalie twende kwa amani, wenye furaha nawanaoshangilia,kwa sababuMunguwa uumbaji ametuonyesha “tangumwanzo,”Naye ametukirimia, na michafuko yetu tuliyo nayo, neemaYake tena, katika siku hii ya mwisho. Ee Mungu Mkuu na waMilele, jinsi tunavyokushukuru Wewe kwake! Na jalia mioyoyetu iwe na furaha sana, hata hatutakuwa na tamaa nyingine yakukutendea dhambi. Katika Jina la Yesu. Amina.

Nampenda, (kwa nini usimpende?)NampendaKwani alinipenda kwanzaNa kununua wokovu wanguPale Kalvari…

323 Nalisema sasa ili wahudumu wapate kuelewa. Hili ni kwawale tu ambao wanafuata Ujumbe huu!324 Loo, mna furaha? [Kusanyiko linasema, “Amina.”—Mh.]Nimewaambieni Ukweli, BWANA ASEMA HIVI, kote kote![“Amina!”]325 Sasa hebu tusimame na kuinua mikono yetu juu,tunapouimba tena, “Nampenda.” Nampenda kwa neema Yake.

Page 49: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA 49

Nampenda kwa rehema Yake. Nampenda kwa Neno Lake. “NaNeno la Bwana liliwajia manabii!”

Nampenda.326 Njoo, ndugu. [Ndugu Branham anamwita mtu fulani ajearuhusu kusanyiko lipumukane—Mh.]

Page 50: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

NDOA NA TALAKA SWA65-0221M(Marriage And Divorce)

Ujumbe huu uliohubiriwa na Ndugu William Marrion Branham, ulitolewa hapoawali katika Kiingereza mnamo Jumapili asubuhi, Februari 21, 1965, katikaUkumbi wa Shule ya Sekondari Ya Parkview Junior kule Jeffersonville, Indiana,Marekani, umetolewa kwenye kanda ya sumaku iliyorekodiwa na kuchapishwabila kufupishwa katika Kiingereza. Tafsiri hii ya Kiswahili ilichapishwa nakusambazwa na Voice Of God Recordings. Ilichapishwa tena katika mwaka wa2011.

SWAHILI

©1990 VGR, ALL RIGHTS RESERVED

VOICE OF GOD RECORDINGS

P.O. BOX 950, JEFFERSONVILLE, INDIANA 47131 U.S.A.www.branham.org

Page 51: SWA65-0221M Ndoa Na Talaka VGRdownload.branham.org/pdf/SWA/SWA65-0221M Marriage And... · 2018-05-24 · Uaminia. Moja ya hizo ni ya kisheria, nyingine ni neema. Nasi tunatambua kwamba

Ilani ya haki ya kunakili

Haki zote zimehifadhiwa. Kitabu hiki kinaweza kuchapishwa kwa matbaa ya nyumbani kwa matumizi ya kibinafsi ama kusambaza, bila malipo, kama chombo cha kuitangazia Injili ya Yesu Kristo. Kitabu hiki hakiwezi kikauzwa, kunakiliwa kwa wingi, kuwekwa kwenye mtandao, kuhifadhiwa kikatolewe tena, kufasiriwa katika lugha zingine ama kutumiwa kuomba fedha bila idhini halisi iliyoandikwa moja kwa moja kutoka Voice Of God Recordings®.

Kwa habari zaidi ama kwa vifaa zaidi, tafadhali wasiliana na:

Voice of God RecoRdinGsP.o. Box 950, JeffeRsonVille, indiana 47131 U.s.a.

www.branham.org