kuishi kwa imani katika dunia iliovunjikamungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote...
TRANSCRIPT
KUISHI KWA IMANI
KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKA
Na Larry Chkoreff
Version 1.2 Desemba 2008
ISBN-978-0-9823060-0-0
Toleo la Kiswahili © 2010
Kimetafsiriwa na kuchapishwa na:
Cistern Materials Translation & Publishing Center, Nairobi,
Kenya
Barua pepe: [email protected]
www.cisternmaterialscenter.com
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliyovunjika kimechapishwa
na International School of the Bible-ISOB, Marietta, GA USA
www.isob-bible.org
Haki ya kumiliki © 2008 na Larry Chkoreff - Mwandishi
Kitabu hiki ni mali ya mwandishi. Kinaweza kuchapishwa
tena, iwapo tu kitachapishwa chote, kwa ajili ya kukisambaza
bure (bila malipo). Hairuhusiwi kukibadili au kukihariri kwa
njia yoyote ile. Kikichapishwa tena ni lazima kiwe na tangazo
la miliki.
Vifungu vyote vya Biblia vimetolewa kutoka The Holy Bible
in Kiswahili Bi UV052 BST/BSK © 2003 published by Bible
Society of Kenya and Tanzania.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
2
YALIYOMO
UTANGULIZI ........................................................................... 3
SURA YA 1 – MAELEZO YA JUMLA .................................. 6
SURA YA 2 – VIAMBATO VYA UVUMILIVU ………….. 18
SURA YA 3 – KUPIGA MBIO………………………………. 25
SURA YA 4 – KIAMBATO CHA UPENDO ………………. 34
SURA YA 5 - KIAMBATO CHA MATENDO………………. 45
SURA YA 6 - KIAMBATO CHA KUONGEA NENO……. 53
SURA YA 7 - VIAMBATO ZAIDI VYA PETRO……………. 62
SURA YA 8 – MFANO WA MPANZI ……………………….. 74
SURA YA 9 – KUSIKIA SAUTI YA MUNGU………………. 85
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
3
Utangulizi
Kuishi Kwa Imani
Katika Ulimengu Uliyovunjika
Mungu alimpa Adamu mwaliko wa kushiriki katika Mti wa
Uzima.
Mungu hakutarajia tuishi maisha haya kupitia nguvu zetu na
uwezo wetu wenyewe. Anataka kuturejesha katika “maisha ya
kawaida,” mpango wake wa kwanza kwa mwanandamu. Katika
Bustani la Adeni, alimpa Adamu chochote alichohitaji ili kuishi
maisha tele. Mungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama
wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya
pamoja na jamii yake, kuilima na kuitunza Bustani la Adeni.
Jukumu muhimu la Adamu lilikuwa kudumisha urafiki wake na
Mungu, kusikiza Neno Lake kila siku, lililosimamiwa na Mti wa
Uhai, kumtii na kutimiza amri za Mungu. Shetani aliwashawishi
Adamu na Hawa waishi kulingana na hekima yao wenyewe.
Aliwadanganya ya kwamba, kusikiliza Neno la Mungu kila siku
halikuwa jambo la lazima. Pia aliwashawishi ya kwamba Mti wa
kujua Mema na Mabaya, hekima yao, ilitosha bila Neno la Mungu.
Kurejea katika „maisha ya kawaida‟ kunamaanisha kudumisha
urafiki wa karibu sana na Yesu pamoja na Baba kupitia Roho
Mtakatifu usiku na mchana. Tunaposikia Mungu akinena, imani
inapandwa katika mioyo yetu kama mbegu, na ikidumishwa vilivyo,
itazaa tunda ndani yetu. Tunda ni zaidi ya mambo yote ambayo
tunahitaji katika maisha, uungu, na kwa ajili ya kueneza Ufalme wa
Mungu hapa duniani.
“Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisita-
sita, roho yangu haina furaha naye” (Waebrania 10:38). Andiko hili
linamaanisha ya kwamba, wale ambao wamekuwa wenye haki
kupitia kazi iliyokamilika ya Yesu Kristo kupitia kifo chake na
kufufuka, watadumisha maisha yao wenyewe kwa imani, k.m., kwa
kusikia Mungu akinena na kukubalia tunda Lake liwe dhahiri katika
maisha yao.
Endelea, chukua jukumu na urudi katika “maisha ya kawaida.”
Hatua hii itakuongoza kuishi maisha tele kama vile Yesu ameelezea.
Na utakapofika Mbinguni utasikia, “Hongera.”
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
4
Bwana ni Mchungaji wetu
Wachungaji huwatunza kondoo wao si kwa sababu
wanawapenda jinsi wanavyowapenda wanyama kipenzi
kama mbwa au paka, lakini ni kwa sababu kondoo
wanawakilisha faida kwao. Ufugaji ni kazi ya mchungaji,
biashara yake. Kwa sababu ya mapato ya ziada ambayo yeye
hutazamia kupata, anaweza kuwapenda kondoo wake na
awatunze kwa upendo. Hata hivyo, siamini wengi wa
wachungaji wanaweza kuhatarisha maisha yao mchana na
usiku miongoni mwa simba na mbweha kwa sababu ya
kuwapenda kondoo kama wanyama kipenzi. Wenye mashamba
makubwa katika Uingeleza ya kale waliwapa maskini
mashamba yili walime. Lengo lao muhimu lilikuwa ni kupata
faida kutokana na mimea. Mapato ya ziada yalikuwa maskini
walipata mahali pakuishi na chakula mradi tu waliwatumikia
mabwana wao.
Hivyo ndivyo ilivyo na Bwana wetu Yesu Kristo. Je, Yesu
ni mfalme wako?
Yeye ni Mchungaji wetu ili apate faida kutoka kwa maisha
yetu. Faida ni nini? Kutupenda sisi pamoja na wengine ambao
atatukuzwa kupitia kwetu. Yohana 15 inasema yakwamba,
Yesu hutukuzwa kwa vile tuzaavyo sana. Tunazaa matunda
kwa imani katika Mungu na hasa katika Neno lake
tunapokuwa marafiki wa karibu naye. Kutukuza kunamaanisha
kutoka gizani na kuingia katika nuru, kudhuhirishwa..
Pendo la Yesu kwetu ni zaidi ya vile mawazo ya
mwanadamu yanaweza fikiria kama “faida” Yake. Faida yake
ni pamoja na uzima wako kwa kuwa wewe ni sehemu ya
Biarusi Wake. Hii ni kinyume kabisa na uhusiano kati ya
mchungaji wa kawaida na kondoo zake.
Nina shawishika ya kwamba hautaweza kuona miujiza ya
kiroho ilioko katika Biblia na katika kitabu hiki, hadi
utakapomfanya Yesu kuwa Mfalme wako. Kuna sheria ya
kiroho inayowazuia wanaoendelea kuwa “wafalme” wa maisha
yao kuona miujiza ya ajabu ya Mungu. Wakati ambao umefika
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
5
mwisho wako na huna lingile ila kumfanya Yesu kuwa
Mchungaji wako, au kwa maneno mengine, kumfanya Yesu
kuwa mfalme wako, basi atakufunulia ukuu Wake, upendo
Wake, jinsi anavyokujali, na utashiriki baraka za ajabu
maishani!
Tunakuhimiza uweke maneno haya katika mawazo yako
unaposoma kitabu hiki, na ujiepushe na “Imani yenye ubinafsi
na ya kujifikiria mwenyewe tu,” kama vile watu wengine
hufundisha. Mimi ni na shauku, na hata zaidi, kuliko baadhi ya
walimu wanaofundisha imani isiyo sahihi. Lakini shauku langu
linampendeza Mungu na linaeneza makusudi yake wala si kwa
sababu ya mapenzi yangu ya ubinafsi kupitia imani.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
6
Sura ya 1
Maelezo ya Jumla
Ujumbe Maalum wa Yesu
Ujumbe maalum wa Yesu umetabiriwa katika Isaya 61, na
Luka 4 imeandika sehemu ambayo Yesu alitumia kuhubiri
kuhusu ujumbe wake maalum “kabla ya Msalaba.” Ujumbe
maalum wa Yesu ni badilika! Si kubadilika kwa sababu ya
kubadikia tu, lakini ni mabariko mema na yenye manufaa,
uzima tele alioahidi. Yesu aliahidi kuwahubiri maskini habari
njema, uponyaji kwa waliovunjika moyo, kuwaacha huru
waliosetwa, na kuwafungulia waliofungwa.
Kutoka kuwa mfungwa na kuwa kuhani.
“Roho wa Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu
BWANA amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari
njema; amenituma ili kuwaganga waliovunjika moyo,
kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari
za kufunguliwa kwao. Kutangaza mwaka wa Bwana
uliokubaliwa na siku ya kisasi cha Mungu wetu; kuwafariji
wote waliao. Kuwaagizia hao waliao katika Sayuni wapewe
taji ya maua badala ya majivu, mafuta ya furaha badala ya
maombolezo, vazi la sifa badala ya roho nzito; wapate kuitwa
miti ya haki, iliyopandwa na BWANA, ili atukuzwe. Nao
watajenga mahali pa kale palipoharibiwa, watapainua mahali
palipokuwa ukiwa zamani, watatengeneza miji iliyoharibiwa,
mahali palipoachwa kizazi baada ya kizazi. Na wageni
watasimama na kulisha makundi yenu, na watu wa kabila
nyingine watakuwa wakulima wenu, na watunzaji wa
mizabibu yenu. Bali ninyi mtaitwa makuhani wa BWANA;
watu watawaiteni wahudumu wa Mungu wetu; mtakula utajiri
wa mataifa na kujisifia utukufu wao” Isaya 61:1-6. Kuna ahadi
nyingi za kubadilika katika mistari inayofuata, na kifungu
kilicho hapo juu. Soma sura yote.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
7
Je, Yesu anafanya mabadiliko haya vipi, ndani yetu na
kwa ajili yetu?
Kwanza ni lazima ujue huu ni urithi, kitu ambacho tunarithi
kutokana na kifo cha mtu aliye mkubwa katika jamii yetu.
Tunafaa kuelewa ya kwamba kubadilika kwa ajili ya maisha
yetu mema, ni jambo tulioahidiwa na Mungu kupitia kwa
Yesu, sio kitu ambacho tunaweza kununua au tunachoweza
kufanya kazi ili tukipokeee. Ni kipawa cha bure, na urithi.
“…. urithi usioharibika, usio na uchafu, usionyauka,
uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu” (1 Petro 1:4).
Hata hivyo, kuna masharti katika urithi. Katika utamaduni
wa kisasa, utasikia jamii wakisomewa usia. Lazima uwe na
imani ili uamini ya kwamba jamaa huyu alikuwachia mali
hiyo.
Mungu huweka masharti Yake juu ya urithi Wake ili
auhifadhie watu fulani.
Kuiacha giza na kupokea msamah wa dhambi.
“Uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na
kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea
Mungu; kasha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi
miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi”
(Matendo 26:18).
Kushinda
“Yeye ashindaye atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu
wake, naye atakuwa mwanangu” (Ufunuo 21:7).
Imani na uvumilivu. “Ili msiwe wavivu, bali mkawe wafuasi wa hao wazirithio
ahadi kwa imani na uvumilivu”(Waebrania 6:12).
Kuishi maisha ya kutubu na kutii
“husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo,
katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha
kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo
hawataurithi ufalme wa Mungu.” (Wagalatia 5:21)
Kuwa na macho ya kiroho yaliyofunguka,
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
8
“Macho ya mioyo yenu yatiwe nuru mjue tumaini la mwito
wake jinsi lilivyo; na utajiri wa utukufu wa urithi wake katika
watakatifu jinsi ulivyo.” (Waefeso 1:18)
Anabadilisha faida zetu kwa tumaini na imani na
kuchanganyisha na kutii masharti yake.
Tukisoma Maandiko haya ya Isaya 61 tunapata tumaini.
Tumaini ni kama lengo au picha ya kitu kilicho kamilika ya
kwamba mambo yatabadilika na kuwa mwema. Hata hivyo
tumaini peke yake haiwezi kuleta matokeo. Imani na upendo
lazima ziongezwe kwa ahadi.
Imani ni jambo kubwa kwa Mungu
“…..kwa maana hakula kwa imani . Na kila tendo lisilotoka
katika imani ni dhambi.”(Warumi 14:23b)
Hi! Huo ni mistari unao washa
“Ni dhahiri ya kwamba hakubna mtu ahesabiwaye haki
mbele za Mungu katika sheria; kwa sababu mwenyuemwenye
haki ataishi kwa imani.”(Wagalatia 3:11)
Kutoamini ni dhambi
Hebrews 3:7-12 inasema, “Kwa hiyo, kama anenavyo Roho
Mtakatifu, leo , kama mtaisika sauti yake, msifanye migumu
mioyo yenu, kama wakati wa kukasirisha, siku ya kujaribiwa
katika jangwa, hapo baba zenu waliponijaribu, wakanipima,
wakaoma matendo yangu miaka arobaini. Kwa hiyo
nalichulkizwa na kizazi hiki, nikasema, sikuzote ni watu
waliopotoka mioyo hawa; hawakujizuia njia zangu; kama
nilivyoapa kwa Hasira yangu, hawataingia rahani mwangu.”
Mungu huongea nasi mambo ambayo aliyemalizisha kabala
ya msingi wa ulimwengu hayawekwa na mara nyingi bado
hatumaini ingawaji ni mambo yaliyotendwa tayari. Waebrania
4:3 inasema, “maana sisis tulioamini tunaingia katika raha ile;
kama vile alivyosema, kama nilivyoapa kwa Hasira yangu
hawataingia rahani mwangu; ijapokuwa zile kazi zilimalizika
tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu.”
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
9
Imani ni nini? Inafanya kazi vipi? Tunaipata vipi?
Wacha tuangalie vile Bibilia inavyosema imani ni
inavyofanya kazi na ivle tunavyo ipokea
Tunasikia watu wengi wakisema “imani yako ni gani?
Wanauliza kuhusu kuamini kwao kwa kidini ingawaje kuna
uhusiano huo sio hali halisi ya imani . wengine husema “ni na
imani Mungu atatenda hili ama lile” mara nyingi wanavyo
maanisha ni kuwa wanatumaini Mungu atawafanyia jambo,
lakini hawana uhakika kamili na hawana msingi wa tegemeo
kwa hilo. Hiyo sio imani. Huo ndio wakati wa kutafuta uso wa
Mungu ili aongee imani kwako!
Kuelewa kwa kimawazo kukilinganishwa na kuelewa kwa
ufunuo
Mungu ametupatia jinsia tano ambazo hutupatia ukweli wa
ulimwengu wa kwaida tunaoishi.hizi ni kuina, kuguza,kunusa
halufu na kuonja. Tunatumia hizi kupata uhakika ya kwamba
tuko katika barabar ya usalama tunapoendesah gari, kusikiza
wenyewe wakiongea kuhusu mambo na kuendelea. Tunahitaji
hizi jinisia ili kuishi katika ulimwengu huu wa kawaida.
Walakini ulimwengu wa kawaida ni matokeo ya ulimwengu
usioonekana wa kiroho.Kile tunachoona katika ulimwengu wa
kawaida kinaletwa na mwanzo wake ni katika ulimwengu wa
kiroho. Mugnu aliwaonya Aadamu na Hawa ya kwamba
waishi kulingana na neno la Mungu na watumie jinisia zao
tano kwa mambo Fulani. Waligeuzwa na wengi baada yao
wamefuta.
Waebrania 11:3 inasema, “kwa imani twafahamu ya kuwa
ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu
vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri.”
2 Wakorintho 4:18 inasema,“tusivianangalie
vinavyoonekana bali visivyoonekana. kwa maana
vinavyoonekana ni vya muda tu; bali visivyoonekana ni vya
muda tu; bali visivyoonekana ni vya milele.”
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
10
Imani ni kama hisia ya sita
Ni njia nyingine ya kupata utadi wa ukweli, njia hakika
sana Waebrania 11:1 “Basi imani ni kuwa na hakika ya
mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.”
Imani ni kitu , ukweli, kitu ambacho kinaweza guswa au
kushikwa, kitu cha kweli kinachoweza kumilikiwa.
Sasa wacha tulinganishe hisia hizi mbili.
Ninapogusa meza, ninajua iko. Ni na ushuhuda ya kwamba
inaweza kuishikilia sahani ya ya chakula. Ninapoguzaa
ufunuo wa kuelewa Mungu aliponipatia kupitia kwa neno lake
na Roho Mtakatifu, pia nimeguza ukweli hakika. Ninajua kile
Mungu alichonifunulia katika neno lake kwa Roho Mtakatifu
ni hakika, na inaeza kufanya kusudi lile lilifanya itumbue
kwangu, walakini hii inadhibitika kama kitu kama
ilivyosemwa katika Waebrania 11:1?
Neno la Mungu wakati limefanywa kwako kupitia Roho
Mtakatifu ni mbegu.
Yesu alifundisha wanafunzi wake kuhusu kanuni hii, hakika
aliwaambia katika Marko 4:11 mfano wa mpanzi ulikuwa na
maajabu ya ufalme wa Mungu.
Marko 4:3,”Sikilezeni;Tazama, mpanzi alitoka kwenda
kupanda; ikawa alipokuwa akipanda mbegu nyingine ilianguka
kando ya njia, wakaja ndege wakaila.”
“Mpanzi huyo hulipanda neno. hawa ndio walio kando ya
njia lililopandwa neno; nao, wakiisha kusikia, mara huja
Shetani, akaliondoa lile neno lililopandwa mioyoni mwao.”
Marko 4:14,15
Katika mfano huu neno la Mungu linafananishwa na mbegu
ambayo imepandwa katika moyo wa mtu. Hiyo ni kitu! Wakati
mkulima anapo pandambegu ya mahindi, hataweza kula
mahindi kesho yake, lakini ana kitu katika ardhi na anahakika
ya kwamba akiitwaa mbegu , mahindi yake yatakuwa katika
mkono wake pale anaweza kutumia na kuila. Wakati Yesu
ananpopanda mbegu ndani ya moyo wako kupitia kwa Roho
Mtakatifu utajua. Katika Sura sijazo tutachambua hili zaidi.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
11
Chembe hiki cha imani huja vipi?
Huja kwa “kumgusa Mungu”
Warumi 10:17 inasema “imani huja kwa kusikia na kusikia
Neno la Mungu.” Tazama maelezo ya Kigiriki ya “Neno” Hili
neno ni Rhema ambalo linamanisha sauti inayoishi ya mUnug
lililoongelewa kwa myo wako kabisa na kupanda kama mbegu.
Bibilia inasema katika Warumi 10:17 “imani huja kwa
kusikia (Kile kinachosemwa ) na kile kinachosikia huja kwa
kuhubiriwa ( kwa ujumbe unaotoka katika midomo) ya Kristo
Mesaya mwenyewe,”
Mtu anaweza kusikiza wahubiri kwa miaka mingi na
kusoma Bibilia usiku na mchana na asipojee imanai, mbegu
kwa nini?
Hawakupokea rhema kwa sababu Roho Mtakatifu
hakuweka nuru lile Neno litoke kwa Logos hadi kwa rhema.
Laziam shirikiane na Mungu ili Roho Mtakatifu afanye hili.
Ninaelewa ya kwamba hatuko wakamilifu na mtu ambaye
hajaokoka anasikia sauti ya Mungu kama hajaokoka hiyo ni
neema ya Mungu. Lakini hili linapotokea huyo mtu laziam
awe amefungwa moyo wake kwa njia Fulani. Aitha kwa
uwaminifu au kwa kulia kwa kutafuat msaada.
Mungu ndiye mwenye mwelekeo wetu wa imani
Waebrania 11:6 inasema, “lakini pasipo imani haiwezekani
kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima
aamini kwamba yeye yuko, na kwamaba huwapa dhawabu
wale wamtafutao.”
Nimeona watu ambao wana imani zaidi kwa kile Mungu
anafanya mbegu iliyopandwa ndani ya mioyo yetu huonesha
kile Mungu atatundea lazzima tuendelee kumtizamiiia Mungu
mwenyewe upendo wake thabihu ya Yesu na mwaminifu wake
wa kutenda yaliyo bora kwetu.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
12
Neno imani linamaanisha nini?
Neno imani laitwa “Pistis” (pie-estis) uchambuzi wa kamusi
wa Strong‟s inaelezaaa hivi, “Njia tya kushawishi ya ukweli
wa kiungu, ushahidi kwa ujumla ukijimizwa na wazo la
uaminifu na kutii kwa utukufu kulipozaliwa na imani. Ni na
shawishika ya kwamba na mtawala wa vitu vyote. Ni
hakikisho la wokovu ulioletwa kupitia kwa Kristo.”
Pili inamaanisha uaminifu na kusimama kwa mtu aliyeona
ukweli ambao umeongolewa hapo juu. Mungu hujaribu imani.
Yeye huwaamni tu watu waaminifu; watasimama katika
uaminifu na kumtii ili aweze kuwategemea.
1 Petro1:6-9 inasema, “mnafurahi sana wakati huo,
ijapokuwa sasa kwa kitambo kidogo, ikiwa ni lazima,
mmehuzunishwakwa majaribu ya namna mbalimbali; ili
kwambakujaribiwa kwa imani yenu,ambayo ina thamani kuu
kuliko dhahabu ipoteayo, ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa
moto, kuonekane kuwa kwenye sifa na utukufu na heshima,
katika kufunuliwa kwake Yesu Kristo naye mwampenda,
ijapokuwa hamkumuona; ambaye ijapokuwa hamwoni sasa,
mnamwamini; na kufurahi sana, kwa furaha isiyonenenaka
mwisho wa imani yenu, yaani wokovu waroho zenu.”
Maisha ya Abrahimu ni mfano wa imani.
Ibrahimu aliishi wakti jamii na utamaduni wake wote
waliabudu vinyago, vinyago ambavyo mtu angeguza na
kuviona. Kulikuwa na kinyago cha kila kitu katika maisha.
Siku moja Mungu akanena na Abram,(kabla hajabadilishwa
jina) kitu ambacho watu katika siku zake hawakuwa
wamesikia.
Mwanzo 12:1-4 inasema, “BWANA akamwambia Abramu,
toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya
baba yako,uende mpaka nchinitakayokuonyesha; name
nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki na
kulikuza jina lako; nawe uwe Baraka. Name nitawabariki
wakubarikio naye akulaaniye nitmlaani; na katikawewe jamaa
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
13
zote za dunia watabarikiwa. Basi Abramu akaenda, kama
BWANA alivyomwamuru; Lutu akaenda pamoja naye. Naye
Abramu alikuwa mtu wa miaka sabini na mitano alipotoka
Harani.”
Mungu alisema mambo mengi hapa ambayo yalimtatiza
Abramu
1. Katika siku hizo ni vinyago tu wangelibariki
2. Sarai alikuwa tasa
3. Aliulizwa awache jamii yake ambayo ilikuwa ni kam
shirika kubwa. Haukuwa tu utamaduni wake, maisha yake
ya urithi wake pia.
4. Abram hakuelezwa aende wapi, lakini alihitaji kusikia
sauti ya Mungu ili afike pale alipoahidiwa.
Katika Mwanzo 13 na 14, Abram alipitia majaribu katika
Misiri na vita na Chedorlaomer na wafalme wengine ambao
walisulubiwa Sodonia na kumchukua Loti, binamu ya Abram,
mateka. Baada ya hay Melchizedek alimtokea Abram na
kukubali zaka zake. Abram alikuta utajiri mkubwa aliopewa na
mfalme wa Sodomu na tamko hili, “Abramu akamwambia
mfalme wa Sodomu, nimeinua mkono wangu kwa
BWANA,Mungu aliyejuu sana, muumba mbingiu na nchi, ya
kuwa sitatwaa uzi wala gidamu ya kiatu wala cho chote kilicho
chako, usije ukasema, nimemtajirisha Abramu.” (Mwanzo
14:22-23)
Kisha katika sura ya 15:1 Mungu alimfariji Abram
“usiogope Abram mimi ni ngao yako na thawabu yako kubwa
sana” hii ilikuwa ni thawabu ya uaminfu na utiifu hata ule
wakati Abram hakuwa amesikia Mungu akiongea. Abram
alishinda kwa uvumilivu na kutiii ambako Mungu anahitaji
kutoka kwetu.
Baadaye katika sura ya 15, Mungu alimuahidi Abram motto
ili akiendeleze kizazi chake ambacho kiliahidiwa kuwa kama
nyota wa mbinguni. Abram aliuliza jinsi gani atajua hii ni
ahadi ya kweli na Mungu akampa agano la damu ambalo
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
14
lingeifanya ahadi kutimia. Mwanzo 15:6 inasema,
“Akamwamini BWANA, naye akamhesabia jambo hili kuwa
haki. ”
Kisha baada ya miaka 24 kupita Abram akapata motto na
Hagai na mwishowe ahadi yaIsaka ikaja kupita kwa Sara na
Ibrahimu. Baada ya matukio mengi katika Mwanzo 16-21.
Hatimaye miaka mingi baada ya Isajka kuzaliwa Ibrahimu
aliambiwa amtoe kama dhabihu. Tunajua hiyo hadithi
ilivyomalizika. Kondoo alitokea katika Mlima Moriah. Imani
ya Ibrahimu mwishowe alizawadwia kwa ukamilifu lakini hata
hivyo kama Bibilia inavyosema katika Waebrania 11:39-40,
“Na watu hao waote wakisha kushuhudiwa kwa sababu ya
imani yao,hawakuipokea ahadi; kwa kuwa Mungu alikuwa
ametangulia kutuwekea sisi kitu kilicho bora, ili wao
wasikamilishwe pasipo sisi.”
Hatimaye Mungu alitupatia ushuhuda wa imani ya
Ibrahimu uwe mfano kwetu.
Warumi 4:1-25
1. “Basi tusemeje juu ya Ibrahimu baba yetu kwa jinsi
ya mwili?
2. Kwa maana ikiwa Ibrahimu alihesabiwa haki kwa
ajili ya matendo yake,analo la kujisifia; lakini si mbele za
Mungu.
3. Maana maandiko yasemaje? Ibrahimu alimwamini
Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki.
4. Lakini kwa mtu afanyaye kazi, ujira wake
hauhesabiwi kuwa ni neema, bali kuwa ni deni, bali kuwa
ni deni.
5. Lakini kwa mtu asiyefanya kazi, bali haki
asiyekuwa mtauwa, imani yake mtu huyo imehesabiwa
kuwa haki.
6. Kama vile Daudi aunenavyo uheri wake mtu Yule
ambaye Mungu amhesabia kuwa na haki pasipo matendo,
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
15
7. Heri waliosamehewa makosa yao, na waliositiriwa
dhambi zao.
8. Heri mtu Yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi.
9. Basi je! Uheri huo ni kwa hao pia wasiotahiriwa,
au kwa hao pia wasiotahiriwa? Kwa kuwa twanena ya
kwamba kwake Ibrahimi imani yake ilihesabiwa ya kuwa
ni haki.
Kwa maneno mengine, ni kufuata kwa sheria ya Musa
kulikoleta Baraka hizi? Paulo alisema la. Ni imani ambayo
ililetwa na Neema.
10. Alihesabiwaje basi? Alipokwisha kutahiriwa, au
kabla hajatahiriwa? Si baada ya kutahiriwa bali kabla ya
kutahiriwa.
11. Naye aliipokea dalili hii ya kutahiriwa, muhuri ya
ile haki ya imani aliyokuwa nayo kabla hajatahiriwa;
ijapokuwa hawakutahiriwa, ili na wao pia wahesabiwe
haki,
12. tena awe baba ya kutahiriwa, kwa wale ambao si
waliotahiriwa tu, bali pia wanazifuata nyayo za imani
yake baba yetu Ibrahimu aliyokuwa nayo kabla
hajatahiriwa.
13. Kwa maana ahadi ile ya kwamba atakuwa mrithi
wa ulimwengu alipewa Ibrahimu na uzao wake, si kwa
sheria bali kwa haki aliyohesabiwa kwa imani.
14. Maana ikiwa wale wa sheria ndio warithi, imani.
Maana ikiwa wale wa sheria ndio warithi, imani imekuwa
bure, na ahadi imebatilika.
15. Kwa sababu sheria ndiyo ifanyayo hasira; maana
pasipokuwapo sheria, hapana kosa.
16. Kwa hiyo ilitoka katika imani, iwe kwa njia ya
imani ya neema, ili kwamba ile ahadi iwe imara kwa
wazao wote; si kwa wale wa torati tu, ila na kwa wale wa
imani ya Ibrahimu; aliye baba yetu sote;
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
16
17. (kama ilivyoandikwa, Nimekuweka kuwa baba ya
amataifa mengi); mbele zake yeye aliyemwamini, yaani
Mungu, mwenye kuwahuisha wafu, ayatajaye yale
yasiyokuwako kana kwamba yamekuwako.
18. Naye aliamini kwa kutarajia yasiyoweza
kutarajiwa, ili apate kuwa baba wa mataiofa mengi,
kama ilivyonenwa, Ndivyo utaavyokuwa uzao wako.
19. Yeye asiyekuwa dhaifu wa imani, alifikiri hali ya
mwili wake uliokuwa umekwisha kufa,( akiwa amekwisha
kupata umri wa kama miaka mia), na hali ya kufa ya
tumbo lake Sara.
20. Lakini akiiona ahadi ya Mungu hakusita kwa
kutoamini bali alitiwa nguvu kwa imani, akimtukuza
Mungu,
21. Huku akijua hakika ya kuwa Mungu aweza
kufanya yale aliyoahidi.
22. Kwa hiyo ilihesabiwa kwake kuwa ni haki.
23. Walakini haikuandikiwa kwa ajili yake tu kwamba
ilihesabiwa kwake,
24. Bali na kwa ajili yetu sisi mtakaohesabiwa vivyo
hivyo, sisi tunaomwamini yey aliyemfufua Yesu
Bwanawetu katika wafu;
25. Ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu, na
kufufuliwa ili mpate kuhesabiwa haki.”
Je! Na ukijihimiza ya kwamba kiwango chako cha
imanikiko chini?
Habari njema ni kwamba imani ni tunda la Roho, ni kipawa
cha bure kutoka kwa Mungu. Ongea na yee, mguse na utaona
imani yako ikija bila ugumu mwingi. Kazi itakuwa ni katika
kuongea naye na kuvumilia mpaka mwisho lakini imani sio
kazi imani huja.
“kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani;
ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha
Mungu.” (Waefeso 2:8)
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
17
Sura zinazofuata zitagusia mambo ambayo tunapaswa
kuongeza katika imani.
Imani hutenda kazi kwa upendo: kustahamili na uvumilivu:
Kukimbia mbio: Imani hutenda kwa upendo: Kazi za imani:
Kuliongea Neno: Viungo vya Petro kwa imani: Mfano wa
Mpanzi: Kusikia Sauti ya Mungu - Mto uanotiririka.
Kule kusikoonekana
Mungu muumbaji, Neno la
Munngu, shetani, mapepo, malaika,
Roho yako, maneno yako.
Laana na Baraka. Maombi
Kule kunakoonekana
Mwili, vitu vilivyojengwa, serekali, falme za dunia
hii hali za kiuchumii. “mielekeo ya kidunia.”
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
18
Sura ya 2
Viambato Vya Uvumilivu
Tukilinganisha imani yetu iliyokamilika na mchanganyiko
wa chakula ambacho lazima tuongeze viungo vingi, Kiambato
cha kwanza kujadili ni uvumilivu.
“Na hivyo kwa kuvumilia akaipata ile ahadi.” (Waebrania
6:15)
Kwa nini ningojee? Nitawezaje kungojea na kuvumilia?
Neno uvumilivu katika Kigiriki ni Makrothumeo ambalo
humanisha kuteseka na kukimia, subira, kupitia mateso kwa
wakati mrefu.
Watu wengi watafinyika mioyo siku za usoni ikiwa
hawatachukua kuvumilia huku kwa makini na katika mawazo
ya Mungu. Nasema kuna sababu mbili kuu kwa hali hii ya
kuvumilia. Moja ni kwa ajili yako kukubadisha wewe. Pili ni
kwa sababu yaw engine katika ufalme. Amani ya kwamba
waumini wachache wangeshindwa katika hali ya kuvumilia
kama wangejua jukumu, jukumu kubwa ambalo Mungu
amewaaminia kwa ajili ya mabo ya milele.
Nitawezaje kungoja kwa kutosha wakati ambapo
uvumilivu wangu wa kuruth ahadi za Mungu yaonekana
kukosekana? Kuteseka bila kulalamika ni sehemu ya tunda la
Roho, Wagalatia 5:22, ambayo yamaanisha Yesu aliye ndani
yako anao uvumilivu wa kutosha. Hiyo ni neema, ama kipawa
ambacho hukufanyia kazi, kipawa cha bure. Unahitaji kuwa
tupu ufike mwisho wako mwenyewe, na uwache yeye afanye
kazi. Atafanya!
Mwandishi wa Waebrania anatuonya ya kwamba
tukiwa wazembe hatuwezikurithi aahadi ambazo Mungu
ametupatia kwa imani.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
19
Waebrania 6:11-20
11.“Nasi twataka sana kila mmoja wenu aidhihirishe bidii
ile ile, kwa utimilifu wa matumaini hata mwisho,
12. Ili msiwe wavivu, bali mkawe wafuasi wa wazirithio
ahadi kwa imani na uvumilivu.
13.Kwa maana Mungu, alipompa Ibrahimu ahadi, kwa
sabbau alikuwa hana mkubwa kuliko yeye mwenyewe wa
kumwapa, aliapa kwa nafsi yake,
14. Akisema, Hakika yangu kubatriki nitakubariki na
kuongeza nitakuongeza.
15.Na hivyo kwa kuvumilia akaipata ile ahadi.
16. Maana wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuliko
wao; na kwao ukomo wa mashindano yote ya maneno ni kiapo,
kwa kuyadhibitisha.
17.Katika neno hilo Mungu, akitaka kuwaonyesha zaidi
sana warithio ile ahadi, jinsi mashauri yake yasivyoweza
kubadilika,alitia kiapo katikati.
18. Ili kwa vitu viwili visivyoweza kubadilika, ambavyo
katika hivyo Mungu hawezi kusema uongo, tupate faraja iliyo
imara, sisi tuliokimbilia kuyashika matumaini yale yawekayo
mbele yetu;
19. Tuliyonayo kama nanga ya roho, yenye salama, tyenye
nguvu, yaingiayo hata mle mlimo ndani ya pazia,
20.Alimoingia Yesu kwa ajili yetu, mtangulizi wetu,
amekuwa kuhani mkuu hata milele kwa mfano wa
Melkizedeki.”
Nanga ya nafsi imechimbwa kabisa ndani ya uwepo wa
Mungu. Unapoenda mbele ya uwepo wa Mungu, nanaga yako
imewekwa imara. Tabia yake na nguvu zake zitakupatia
uvumilivu unaokosa. Ikiwa umeipokea imani, ahadi ama
hakikisho kwa mguso wa kipekee ama kukutana na Mungu
kupitia kwa Neno na Roho Mtakatifu, basi nanga yako
imewekwa katika ardhi nzuri ya uwepo waMungu.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
20
Kwa nini Mungu anturuhusu kupitia wakati hu wa
uvumilivu ili kupata kile tunahitaji? Tulionywa mara nyingi
katika maandiko ya kwamba ni lazima tuteseke na tuvumilie
majaribu na kujaribiwa kwa imani. Ningetaka kupeana sababu
nne kuu, tatu katika sura hii na ya nne katika sura ijayo,
ambazo nimepata katika maandiko na katikamaisha kwa
sababu ya nyakati hizi za kuvumilia.
1. Usikose lolote
“Ndugu zangu, hesabuni ya kuwa ni furaha tupu,
mkiangukia katika majribu mbalimbali; mkifahamu ya kuwa
kujaribiwa kwa imani yenu huleta Zaburi. Zaburi na iwe na
kazi kamilifu, mpate kuwa wakamilifu na watimilifu na
watimilifu na watimilifu bila kupungikiwa na neno” (Yakobo
1:2-4). Ungetaka vipi usikose lolote? Weka hilo tumaini na
maono katika mawazo na moyo wako unapopitia mateso. Ni
lengo kubwa vipi uzima tele!
2. Tabia: ili tabia ikuzwe kwa ajili ya kazi ya Mungu
na utukufu wake. Hali ambayo imeandikwa katika Warumi 5 ni kama
mfinyanzi anaye tengeneza nyungu ya udongo.
Warumi 5:1-5 inasema, “Basi tukiisha kuhesabiwa haki
itokayo katika imani, na mwe na iamni kwa Mungu, kwa njia
ya Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa yeye tumepata kwa
njia ya imani kuifikia neema hii ambayo mnasimama ndani
yake; na kufurahi katika dhiki pia; mkijua kuwa dhiki, akzi
yake ni kuleta Zaburi; na kazi ya Zaburi ni uthabiti wa moyo;
na kazi ya uthabviti wa moyo ni tumaini; na tumaini
halitahayarishi; kwa maana pendo la Mungu limekwisha
kumiminiwa katika mioyo yetu na Roho Mtakatifu tuliyepewa
sisi. ”
Tuanaambiwa dhiki huleta subira ambayo ni neno kama
sawa na kuvumilia . subira huleta tabia amabyo huleta tumaini,
na tumaini huweka bila kufa moyo wakati wetu wa kuvumilia
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
21
kw sababu kama vile inavyosema sisi ni chombo amabcho
Roho Mtakatifu hujaza.
Nyungu ikiwa katika gurudumu la mfinyanzi, ni udongo
mwepesi. Maji ikiwejkwa kwa nyungu ikiwa bado haija kauka
haiwezi kuyashikilia. Kwa hvyo ni lazima mfinyanzi aipitishie
katika moto au aweke kwa tanuu iliyo moto ili kuifanya
kamili. Baadaye nyungu inaweza kuwekwa kitu na ishikilie
iwe ya thamani kubwa.
Warumi 5:5 inasema sisi ni vyombo vya Roho Mtakatifu.
Kwa hivyo ni lazima tupitie mioto ya maisha, tukivumilia ili
tuwe vyombo sawa kubeba Roho Mtakatifu kwa kazi ya
thamani. Tabia inaumbwa na Mungu anantupatia majaukumu
zaidi kwa utukufu wake.
3. Kupokea wokovu kamili ama kuponywa kwa nafsi
zetu.
Mungu anataka tabia yake ipigwe muhuri juu yetu. Msingi
wa Neno tabia katika Kigiriki lamaanisha muhuri au
kuchoreka. Dhiki yetu huchora mateso ya mukosi juu yetu.
“Lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye
atakayeokoka.”(Mathayo 24:13). Uchambuzi wa Strong‟s
unaelezea kuokoka hivi: kuokoka, weka salama na vyema,
okoa kutoka hatarini au uharibifu kutoka kwa majeraha au
hatari.
“Kama vile Sara alivyomtii Ibrahimu, akamwita Bwana;
nanyi ni watoto wake, mfanyapo mema, wala hamkutishwa
kwa hofu yo yote. Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake
zenu kwa akili; na kumpa mke hushima, kama chombo kisicho
na nguvu kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi
kuomba kwenu kusizuiliwe. neno la mwisho ni hili; mwe na
nia moja, wenye kuhurumiana, wenye kupendana kama ndugu,
wasikitikivu, wanyenyekevu.” (1 Petro 1:6-9)
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
22
Kuokolewa kwa nafsi- Na Watchman Nee1
Kutoka kuokoka kwa nafsi ni tofauti kabisa na kile
tunachojua kama kuokoka roho. Roho huokolewa kwa njia ya
imani; tukiamini imewekwa milele. Nafsi huokolewa kwa
kufuata haya: ni jambo la maisha yetu yote, mwendo wa
kumalizwa. Roho huokolewa kwa sababu Kristo ametoa
maisha yake kwa ajili yangu; nafsi huokolewa kwa sababu
najinyima na kumfuata Bwana.
Nafsi ndiyo kiti cha hisia zetu za kimwili. Hatuwezi kuhisi na
kufurahia. Tamanio ya maisha haya ya nafsi yanadai
kutosheleshwa. Lakini watu wakitafuta kutosheleshwa kwa
mambo haya katika maisha haya, watapoteza kutoshelezwa
katika maisha yajayo. Yeyote afurahiaye nafsi yake katika maisha
haya tayari amepata raha inayoweza kupatikana katika mwili
wake; kwa hivyo atapoteza raha hizi katika maisha yajayo.
(angalia Mathayo 16:25-26)
Yeye ashindaye dhambi huingia mbinguni, hii ni
kusamehewa Yule anaye shainda ulimwengu huingia kwa
ufalme, hi ni zawadi.
Bwana hatufundisha kujiweka kando na dunia. Yeye hutaka
kutushawishi tusisikue mateka na vitu vya dunia hii. Kama
tukianza kujilinganisha kwa vitu hivi kupita kiasi basi
tumeenda kombo. Iwe ni nafasi, chakula, majengo hatutafuti
kutoshereka kwetu wenyewe.
Mungu huweka chaguo la mbinguni au Jehanamu mbele ya
mwenye dhambi. Na vivyo hivyo huweka mbele ya muumini
wake chaguo la ulimwengu ama ufalme wake.
Kupokea wokovu wa roho ni mwanzo wa imani yetu na
kupokea wokovu wa nafsi ni mwisho wa imani yetu.(1 Petro
1:9)
Mungu anaonyesha kupitia kwa Kristo ya kwamba ni yeye
pekee yake anayeweza kuishi katika kiwango kile alichoweka.
1
Nee, Watchman. Kimetungwa na Sentinel Kulp. Secrets to Spiritual Power. Whitaker
House. New Kensington PA. 1998, ukurasa 159-160.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
23
Kwa hivyo Mungu hakumchagua Kristo afe Kalivari kwa ajili
yetu tu, lakini pia awe maisha yetu leo.
Wokovu wa Mungu humfanya Bwana Yesu aishi ndani yetu
na vivyo hivyo afe kwa ajili yetu Kalivari. Hulipa deni zetu za
dhambi zoe, lakini pia huishi ndani yetu ili tusiingie katika
dhambi tena. Kama umepata nusu ya wokovu huu pekee yake,
bila shaka utakuwa huna furaha na utakaso kuhisi furaha
kamili ya wokovu.
Hakika Mungu anakuuliza ufanye jambo moja tu: jipeane
kwake kwanzia sasa na kuendelea. Inaweza kusemwa hivui
kwa neno moja: Jisalimishe.
Kile kitu cha kindani sana katika mazingara yetu ni hisia
zetu. Kama utaweza kushinda hisia zako, utakuwa mshindi juu
ya mazingira mengine yote. Yeyote ambaye hawezi kushinda
mazingira hawezi kushinda hisia. Yule amabye ameshinda
hisia zake mwenyewe.
4. Kujipatia ufalme wa Mungu kwa vita “Nikatazamana pembe iyo hoyo ilifanya vita na watakatifu,
ikawashinda; hata akaja huyo mzee wa siku, nao watakatifu
wake Aliye juu wakapewa hukumu; na majira yakawadia
watakatifu waumiliki ufalme.” (Danieli 7:21,22)
Mara nyingi tunaona nyakati hizi za majaribu na kuvumilia
na kuteswa kujaribiwa kwa imani ni kuhisi sisi tu. Ni kweli
kuna ukweli katika hili, lakini si ukweli kabisa. Kuvumilia
kwingine ni kwa ajili ya kazi Mungu ametenda ndani yetu, na
nyingine ni kuhusiana na ufalme wa Mungu na Kanisa.
Umeshtuka! Kuvumilia ni kubwa kuliko unavyo fikiria,
kuna thawabu zaidi. Inahusu kutawala pamoja naye. Hili
nitaliongole a zaidi katika mlango unalofuata wenye kichwa,
“kukimbia mbio.”somo lijalo litaongea kuhusu zawadi na taji.
Tunagundua ya kuwa kuvumilia kwetu, mbio yetu ni zaidi yetu
tu na inabeba majukumu kuliko tulivyo thania kwanza, nguvu
za kuvumilia zitakuja kwa urahisi.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
24
“Kama tukistahimili, tutamiliki pamoja naye; kama
tukimkana yeye, yey naye atatukana sisis.”(2 Timotheo 2:12)
Wacha Historia iwe mwalimu wako.
Ukiangaliaulimwengu utaona ya kwamba watu wote walio
faulu katika jambo lolote walikuwa wa manufaa kwa jami na
ufalme wa Mungu, walikuwa na jambo moja la kawaida nalo
nikuwa waaminifu. Wanasubiri. Miaka mingi iliyopita
nilisoma kitabu xcha mtu aliyejitolea maisha yake kuhusu
watu waliokuwa maarufu sana katika miaka ya karibu. Alipata
kitu kimoja kwa wote ya kwamba walifanikiwa muda mfupi
baada ya kushindwa au baada ya kuonekana kama
wameshindwa.
Hali na ulimwengu wa kishetani utajaribu siku zote kuvunja
moyo na kukushawishi uwache kuvumilai. Kumbuka hili:
ukiwa na Mungu, kama hatakufa moyo, utashinda!
Ajabu inafunuliwa katika somo lifuatalo. Ni juu ya
kukimbia mbio.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
25
Sura ya 3
Kupiga Mbio
Mambo Zaidi Kuhusu Uvumilivu
Katika sura ya 2 tulizungumza kuhusu haja ya kuvumilia
kama kiambato muhimu cha imani. Sura hii inaendelea
kuweka mkazo haja ya uvumilivu. Mwaandishi wa kitabu cha
Waebrania anatoa onyo kali ya kwamba:
1. Tuko mbioni, mbio ambayo inahitaji uvumilivu mwingi.
2. Tutakuwa katika shida tukivujika moyo na tuondoke
kabla ya kumaliza
3. Tutapokea tuzo kubwa iewapo tutamaliza mbio.kwa
maneno mengine, “kukua au kufa”
Waebrania sura ya 6 inazungumza juu ya kuondoka kwenye
kanuni za
kawaida za Kristo na kuingia katika barabara ya kuridhi
ahadi katika imani nauvumilivu. Pia sura hii inasema ya
kwamba iwapo hatutavumilia tutaangukana tumuaibishe
Mwana wa Mungu. Ingawa siwezi kuelezea mambo yote
yalikowuwa katika mawazo ya mwaandishi, mambo haya sio
ya mzaha!
Waebrania sura ya 12 inaelezea onyo hii katika njia
inayoeleweka vyema!
“Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa
la mashahidinamna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na
dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa Zaburi
katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu, tukimtazama
Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani
yetu;ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake
aliustahilimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi mkono
wa kiume wa kiti cha enzi cha Mungu.”
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
26
“Mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina
la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu wengi
wakatiwa unajisi kwa hilo.
Asiwepo mwasherati wala asiyemcha Mungu, kama Esau,
aliyeuuza urithi wake wa mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya
chakula kimoja. Maana mwajua ya kuwa hata alipotaka
baadaye kuirithi baraka, alikataliwa(maana hakuona nafasi ya
kutubu), ijapokuwa aliitafuta sana kwa machozi.”
(Waebrania12:15-17)
Ninahisi ya kwamba sababu ambayo ilimfanya Esau
kutajwa hapa maisha yetu pia.
Uridhi wa Esau ulikuwa njiani,. Uridhi wetu pia uko njiani.
Kama vile
imetajwa katika sura ya 1 na ya 2 ya kitabu hiki, sisi huridhi
uzima tele wa Mungu kwa imani na kupitia ahadi Zake
ambazo huota kama mbegu ndani ya mioyo yetu. Tahadhari ni
ya kuwa kuna wakati wa majaribu na wakati mwingine wa
mateso katikati ya kupanda mbegu na kuzaa matunda. Kipindi
hiki kinajulikana kama “Kupiga Mbio.” Tamaa ya mwili ya
Esau ilimwambia, “Nani anayejali ahadi na uridhi wako, mwili
wangu unahitaji kula, sasa hivi!” Tusipojihadhari tunaweza
kujipata tukimwambia Mungu, “Nimechoka na mateso,
nimechoka kungojea, siwezi kuvumilia tena, na nimechoka
kabia! Imani kama hii haifanyi kazi.” Kuvujika moyo ni kama
vile Esau alichukua sahani ya chakula, ambayo iliushibisha
mwili wake ulio mchoyo.”
Pia ni muhimu kujua ya kwamba Esau hakupata aina ya
chakula alichokuwa ameomba. Alikuwa ameomba apewe
chakula chekundu, nyama nyekundu. Lakini Yakobo
alimdanganya na akampa mkate na chakula cha ndengu. Esau
hakupoteza haki yake ya mzaliwa wa kwanza tu, bali tama
yake ya mwili haikutosheleshwa.
“Esau akamwambia Yakobo, Tafadhali, ulinipe hicho
chakula chekundu nile, kwa kuwa ninazimia mimi. Kwa hiyo
walimwita jina lake Edomu.”
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
27
“Esau akasema, Tazama, mimi ni karibu kufa, itanifaa nini
haki hii ya uzazi?”
“Yakobo akampa Esau mkate na chakula cha ndengu, naye
akala, akanywa, kisha akaondoka, akaenda zake. Hivyo Esau
akaidharau haki yake ya mzaliwa wa kwanza.” (Mwanzo
25:30,32,34).
Onyo.
Esau hangetubu baada ya tukio hili, na sisi pia tunaonywa
ya kwamba tabia kama hii inamfanya mtu kuwa na uchungu
moyoni.
Pia tunaonywa tuweke tumaini letu katika neema ya Mungu
wala sivyo tutajipata wenye uchungu.
Biblia inasema katika Waebrania 12:12-15,
“Kwa hiyo inyosheni mikono iliyolegea na magoti
yaliyopooza,
13. mkaifanyie miguu yenu njia za kunyoka, ili kitu kilicho
kiwete kisipotoshwe, bali afadhali kiponywe.
14 Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo
utakatifu,ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa
nao;
15.Mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu;
Shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu
wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.”
Tunapopiga mbio hii kuna wakati ambao mikono na magoti
yetu ya kiroho haina nguvu na hulegea. Tunahisi kuchoka na
kuzimia mioyoni mwetu. Kifungu hiki kinatuambia tunastahili
kufanya jambo. Kazi yetu ni “kutengeneza njia ambayo ni
thabiti, laini na iliyonyooka” ili miguu namikono yetu ya
kiroho isije ikapooza, lakini ipate uponaji.
Kwa nini wakati mwingine tunahisi miguu na mikono
yetu ya kiroho iko karibu kuvunjika? Haya ni marudia ya
Bwana. Tazama mistari iliyotangulia maonyo kuhusu viungo
vyetu vya kiroho katika Waebrania 12.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
28
“Na pamoja na hayo tulikuwa na baba zetu za mwili
walioturudi, nasi tukawastahi; basi si afadhali sana kujitia chini
ya Baba wa roho zetu na kuishi?”(Waebrania 12:9). Mungu
anajaribu kutuweka katika barabara ambayo itatuwezesha
kupokea baraka zake.
Tunaweza kutengeneza barabara iliyolaini na tuweze
kupokea neema ya Mungu kulingana na maagizo yafuatayo
ya Biblia:
“Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia
yangu.” (Zaburi119:105).
“Kwa kuwa Wewe Bwana ndiwe kimbilio langu;
Umemfanya Aliye juu kuwa makao yako. Mabaya
hayatakupata wewe, wala tauni haitakaribia hema yako. Kwa
kuwa atakuagizia malaika zake wakulinde katika njia zako
zote. Mikononi mwao watakuchukua, usije ukajikwaa mguu
wako katika jiwe.” (Zaburi 91:10-12).
Tukikaa ndani ya Neno la Mungu kupitia Roho Mtakatifu
kutafanya njia zetu kuwa laini. Biblia katika Mithali 3:5-6
inasema ya kwamba, tukimtumaini Bwana kwa moyo wote,
naye atanyoosha mapito yetu.
Sababu za watu kukata tamaa ina uhusiano na shida
nyingi au raha nyingi.
Mfano 1 – Shida nyingi. Ninajua mtu mmoja ambaye
alikata tama. Alifikira hajakata tamaa kabisa na Mungu, lakini
hakuamini imani hufanya kazi. Dhiki na udhia zilitokea na
mbegu ikachukuliwa na Shetani kama vile Marko 4:17
inatasema, “Ila hawana mizizi ndani yao, bali hudumu muda
mchache; Kisha ikitokea dhiki au udhia kwa ajili ya lile neon
mara hujikwaa.”
Matokeo yalikuwa ni kwamba alikuwa na baridi kiroho na
akawa mbali na Mungu na mambo ya Mungu pamoja na
kanisa. Baadaye alioa mtu alye mzuia zaidi katika utembezi
wake na Mungu wa kiroho. Baada ya miaka mingi kupita
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
29
aligeuka kwa ajabu na akatubu. Mtu huyu atafika Mbinguni
lakini maisha yake hapa duniani ni machache
Mfano 2 – kupenda raha na mambo ya dunia hii. Mfano
huu ni watu ambao walioana na wakaanza na kumtumikia
Mungu. Lakini baadaye mambo ya dunia, raha ya pesa
ikawapa kutoshereka kwingi. Walihudhuria kanisa la
kipentekoste, lakini nilishuhudia wakikana kazi za Roho
Mtakatifu. Waliasi, watenda yaliyo kinyume na watu
waliojitolea kwa Mungu, na bila skaka wakarundi nyuma.
Tulipotezana lakini nadhani hawaendelei vyema. Katika Luka
17, mstari wa 26, Yesu alionya dhidi ya kuweka fokasi katika
mambo kama, ndoa, ulafi na unywaji. Ingawa hakuna ubaya na
kushiriki katika mambo haya, kujishughulisha zaidi na mambo
haya ni hatari.
“Na hawa ndio wale wapandwao penye miiba; ni watu
walisikiao lile neon, na shughuli za dunia, na udanganyifu wa
mali, na tama za mambo mengine zikiingia, hulisonga lile
neon, likawa halizai” (marko 4:18,19).
Mfano 3 – tunda la uchungu. Ninajua kundi la watu 12
hadi 15 ya watu ambao waliharibu kanisa kwa sababu ya
mafikira na tabia zao zizizo za uungu. Wakati kanisa
lilimualika mchungaji wa dhamana kulifunga kanisa, likaanza
kukua. Jambo hili liliwakasilisha kikundi hiki cha watu, ambao
bila shika walijawa na uchungu. Walianza kujaraibu kuharibu
kanisa tena kwa kusimama kwenye jukwaa kuimba, bila
kualikwa. Wangesimama katikati mwa njia baina ya viti
bkatika kanisa na hujifanya wanatoa unabii, wakimtatiza
mchungaji. Mwishowe kanisa liliwatimua kisheria. Hatimaye,
walifika mwisho na wakajiondoa kama Esau, “Walikula bakuli
lao ls supui,” na wakawa na uchungu..
Haya, Hebu sasa tutazame Taji.
Mwandishi wa Waebrania alisema, “Lakini, wapenzi,
ijapokuwa twanena hayo, katika habari zenu tumesadiki
mambo yaliyo mazuri zaidi, na yaliyo na wokovu.” Waebrania
6:9.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
30
Kupiga mbio kwa sababu ya kupokea taji.
“Na kila ashindanaye katika michezo hujizuia katika yote;
basi hao hufanya hivyo kusudi wapokee taji iharibikayo; bali
sisi tupokee taji isiyoharibika.” (1 Wakorintho 9:25).
“Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, mimi nami
nitakulinda, utoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia
ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya nchi. Naja upesi.
Shika sana ulicho nacho, asije mtu akaitwaa taji yako.”
(Ufunuo 3:10,11).
Kifungu hiki kilipewa kanisa la Filadfia. Kanisa hili
linasimamia Waumini ambao Kristo aliwapata bila makosa na
ambao hawakupata shida kwa sababu ya imani yao kama
kanisa la Simirna.Kwa sababu ya kushinda kwao, wao
watapokea taji, zawadi, uwezo, wa kufanya mambo kadhaa
katika Ufalme wa Mungu. Elewa ya kwamba Yesu aliwaonya
ingawa wako na taji, wasipolishika walicho nacho kwa subira,
mtu mwingine anaweza kuitwaa taji yao.
Taji ni zawadi. Taji ni nini?
Taji huonyesha mamlaka na uaminifu. Tunapokamilisha
mbio sisi hupokea mamlaka ya kiroho. Kukamilisha mbio ni
njia nyingine ya kusema “kushinda”.
Mamlaka juu ya nini?
Mfano katika Luka 19 kuhusu tajiri mmoja aliyewapa
wafanyi kazi wake kazi na akaondoka kwenda safari na
baadaye akarudi kuangalia uaminifu wao unatuonyesha jinsi
moyo wa Yesu ulivyo kuhusu jambo hili la kupiga mbio ukiwa
na lengo la kupokea taji.
“Basi akasema, Mtu mmoja, kabaila, alisa.ri kwenda nchi
ya mbali, ili ajipatie ufalme wa kurudi. Akaita watu kumi
katika watumwa wake, akawapa mafungu kumi ya fedha,
akawaambia, Fanyeni biashara hata nitakapokuja” (Luka
19:12,13).
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
31
“Akamwambia, Vema, mtumwa mwema; kwa vile
ulivyokuwa mwaminifu katika neno lililo dogo, uwe na
mamlaka juu ya miji kumi.” (Luka 19:17).
Mji ni nini?
Katika lugha ya Kigriki neno mji linatokana na neno
ambalo maana yake ni kuhifadhiwa katika mji uliozaliwa,
ambapo ni pahali penye vita, mabishano na matengano. Mji
ambao mtu anakaa kabla ya kuzaliwa mara ya pili. Mungu
anataka kutuhamisha kutoka mji wetu wa asili hadi katika Mji
wa Mungu, Yerusalemu Mpya, katika Ufalme wa Mungu.
Anafanya hivyo kwa kufanya mtu mwingine ashinde kwa
niamba yetu, kwa kufanya mtu mwingine akimbie kwa niamba
yetu ili wapate mamlaka ya kiroho ndiposa sisi tuwe huru. Hii
inalingana na Wakolosai 1:24 ambayo inasema “Sasa
nayafurahia mateso niliyo nayo kwa ajili yenu; tena na
yatimiliza katika mwili wangu yale yaliyopungua ya mateso ya
Kristo, kwa ajili ya mwili wake, yaani, kanisa lake.”
Zaidi yetu.
Tunapaswa kuelewa ya kwamba taji hii ya maana inahusu
Ufalme wa Mungu kuliko haja zetu na hisia njema. Faida zake
zina uzito mwingi katika mawazo ya Mungu na ufalme na
innastahili kutupea hisia kubwa ya kuwa na jukumu la
kukamilisha mbio bila kujali vile tunahisi. Kama vile dada
mmoja katika Bwana alituambia hivi karibuni, “Faida ni
mwakilishi kama vile yaliyo matokeo ya kukata tama.”
Wafilipi 4:1 ulikuwa mji mmoja wa Paulo. “Basi, ndugu zangu, wapendwa wangu, ninaowaonea
shauku, furaha yangu, na taji yangu, hivyo simameni imara
katika Bwana, wapenzi wangu.” (Wafilipi 4:1).
Ingawa mbio inahusu watu wengi, pia inakuhusu zaidi.
Kwa vile sasa unaona zawadi, je mbio ni nini?
Mbio ni sehemu katika maisha yetu ambapo nilazima
tuvumilie mateso tukisimama na Neno la Mungu kwa sababu
ya kitu ambacho Mungu ametuaminia kupitia Neno Lake.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
32
Mbegu ilipandwa Aliponena, sasa “mbio” ni kipindi ambacho
mbegu iatota hadi wakati wa kuzaa matunda. Kukaa ndani ya
Bwana wakati huu ndiyo mbio. Kutokufa moyo wakati
mawazo yetu yanalia ndiyo mbio. Mbio siyo kukimbia pahali
kidogo kwa haraka, wala ni kukimbia muda mrefu polepole.
Bibla katika Waebrania 12:22-24 inasema, “Bali ninyi
mmeu.kilia mlima Sayuni, na mji wa Mungu aliye hai,
Yerusalemu wa mbinguni, na majeshi ya malaika elfu nyingi,
mkutano mkuu na kanisa la wazaliwa wa kwanza
walioandikwa mbinguni, na Mungu mwamuzi wa watu wote,
na roho za watu wenye haki waliokamilika, na Yesu mjumbe
wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema
kuliko ile ya Habili.”
Waebrania 12:22-24 inaonyesha ya kwamba sisi tunazo
nguvu kamazawadi kutoka kwa Mungu inayotuwezesha
kumaliza mbio.
Tunao ubatizo wa Roho Mtakatifu, Msalaba, Yesu aliye
balozi wetu, malaika, na nguvu nyingi zaidi ambazo tumepewa
pamoja na ukombozi.
Paulo aliumaliza mwendo.
“Nimevipiga vita viliyo vizuri, mwendo nimeumaliza,
imani nimeilinda.” (2 Timotheo 4:7).
Imenukuliwa kutoka kitabu kiitwacho God Calling2
“Kumwita Mungu.”
Karibu na Lengo – Februari 13
Katika mbio, sio mwanzo wa mwendo unaoumiza, wala sio
hatua katika mwendo mrefu. Lakini watati mtu anaona mwisho
wa mwendo ndivyo moyo wake na mishipa inampa nguvu ya
kumaliza.
Anajitihidi zaidi, misuli yake inakujuka zaidi ya vile
angewezakuvumilia.
2 A.J. Rusell God Calling: Barbour and Company, Inc., Uhrichsville, OH., 1989,
Ukurasa 43.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
33
Kwa hivyo, pia goli yako unaiona sasa, unahitaji kunililia
nasauti yako ya mwisho. Je, hauwezi kuona kupitia kuvijika
kwa mishipa na moyo wako katika siku chache ambazo
simepita yakwamba karibu umalize mbio yako. Jipe moyo! Jipe
moyo. Sikia sauti Yangu ya kukutia moyo. Kumbuka Mimi niko
pamoja nawe, nikikupa nguvu hadi upate ushindi.
Kule mbinguni, rekondi za kuhuzunisha za wale ambao
hukimbia vizuri sana, wakiwa na ujasiri wa moyo
ulionanguvu, lakini mara tu wanapoona goli ya ushindi, wana
kufa moyo na kushindwakumaliza mwendo. Jeshi lote la
mbinguni hutamani kulia na kusema jinsi mwisho ulikua
karibu, lakini waliokatika mbio wanashindwa kumaliza, bila
kujua hadi itakapofunuliwa siku ya mwisho, jinsi walivyokuwa
karibu kupata ushindi.
Kama wangenisikiliza kwa utulivu jinsi ninyi wawili
mlivyokutana na Mimi, Wangejua. Lazima kuwe na masikio
inayosikia, vile vile na sauti nyororo.
Florence Chadwick.
Ninakumbuka siku moja nilivyokuwa nikitazama runinga
mnamo 1952 na nikashuhudia mwogeleaji hodari Florence
Chadwick alipojaribu kuvuja rekondi ya kuogelea katika
Catalina, California ya kusini.
Kutoka Wikipedia, encyclopedia ya bure
(http://en.wikipedia.org/wiki/Florence_Chadwick)
Mnamo 1952, Florence alikuwa mwanamke wa kwanza
kujaribukuogelea ubali wa maili 26 kati ya Kisiwa cha
Catalina na pwani la California. Alipoanza safari yake ya
kihistoria, alizidikishwa na mashua ndogo zilizotazama
nyangumi na walikuwa tayari kumsaidia ingawa angeumia ua
kuchoka. Saa baada ya lisaaFlorence aliogelea,lakini baada
ya masaa 15, hali ya hewa ikawa baya zaidi. Florence
akaanza kuwa na wasi wasi na akaambia mamake, ambaye
alikuya katika mashua moja, ya kwamba hakuona kama
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
34
atamaliza safari yake. Akaogelea kwa lisaa lingine moja kabla
ya kuomba msaadaavutwe kutoka ndani ya maji. Alipoketi
ndani ya mashua Florence aligundua ya kwamba alikuwa
amebakiza ubali wa maili moja ku.ka katika Pwani ya
California, mwisho wa safari yake. Florence alieleza kwa
haraka ya kwamba aliondoka kwa sababu hakuwa akiona
mwisho wa safari yake- hali ya anga ilikuwa baya sana
nahakuona vizuri. Hangeweza kuona goli yake.
Baada ya miezi miwili, Florence aliingia ndani ya maji tena
ili ajaribu kuogelea mara ingine. Wakati huu ulikuwa tofauti.
Aliogelea moja kwa moja kutoka kisiwa cha Catalina hadi
kwenye pwani ya California. Hali ya anga ilikuwa baya kama
vile ilivyokuwa maraya kwanza, lakini Florence alifaulu kwa
sababu alisema, alipokuwa akiogelea, alikuwa na picha ya
pwani ya California katika mawazo yake. Hakupoteza picha ya
mwisho wa safari yake kwa sababu alikuwa na wazo kuhusu
pwani hiyo katika mawazo yake, na kwa njia hii, akaweza
ku.kia lengo lake.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
35
Sura ya 4
Kiambato cha Upendo
Upendo wa Damu
Wakristo wengi ulimwenguni hukubali ya kuwa wamevunja
mioyo katika safari yao ya imani. Wanasema, “haya mambo ya
imani hayafanyi kazi” na hata wale wapikaji nje ya ukristo wa
na haraka kuonyesha kushindwa kwa imani.
Mwandishi Dallas Willard alisema katika kitabu chake,
“The Great ommission” 3 (Muamsho mkubwa)
Kuna tofauti kubwa kati ya upande mmoja,
tummaini la uzima ndani ya Yesu, inayopatikana ya
ukweli katika Bibilia na katika mifano mingi kutoka
kwa wafuasi wake, na upande siku, maisha ya
undani na uwepo wa kijamii ya wengi wa wale
wanao kili kunifuati.
Swali lazima litoke: mbona tofauti hii kubwa?
Je unaletwa na kitu kilichoko katika utu wa Yesu na
kile alichofundisha na kuletea binadamu? Au ni
matekeo ya mambo inayojishikilia kwa mashirika
ya kikristo na watu wanaposafiri safarini? Je tuko
katika wakati ambapo wakristo wengi na uongozi
wao kwa sababu fulani, wanakosa mwelekeo mkuu.
Ukiona jirani yako na shida na gari unafikiria
alipata mikebe.(gari mbaya) na unaweza kuwa
sawa. Lakini ukigundua anaongeza maji kidogo
kwa Petroli mara kwa mara, hautalaumu gari au
wenye kuliunda. Linapokwama au kuguruma na
kuzima. Utasema ya kwamba gari halikwenda
katika hali zile mwenyewe ameliweka. Na
utamshauri awe akaweka mafuta yaliyo sawa peke
3 Willard, Dallas, The Great Ommission, Harper Collins, New York, NY, 2006
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
36
yake katika tanki. Baada ya kazi ya ukarabati
labda gari litaenda sawa sawa.
Kitabu hiki cha imani kinatakja kuzungumza jambo hili na
kurahisisha viungo sawa ili imani yako iwe ya hakika, iwe na
nguvu na ifanye kazi na kuonyesha matokeo ndani ya maisha
yako, na kwa wale ambao wanakutazamia na katika ufalme wa
Mungu. Twahitaji tuongeze viungo vya sawa katika safari yetu
ya imani. Hii kwa vyovyote vile haiondoi ukuu wa Mungu
katika maisha yetu. Mbali inafaa kutuweka kwa njia yake na
maisha aliyo twandalia ya utele.
Petro amenakili viungo vingi muhimu kama imani. Tutazungumzia kuhusu viungo hivi na zingine katika kitabu
hiki ililiyo pandwa mioyoni mwetu. Huo ndio mwanzo wa
imani.******
2 Petro 1:2-11,
1. Neema na iwe kwenu na amani iongezwe katika
kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.
2. Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia vitu
vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa kumjua yeye
aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.
3. Tena kwa hayo ametukirimia ahadi kubwa mno, za
thamani, ili kwamba kwa hizo mpate kuwa washirika wa
tabia ya Uungu mkiokolewa na uharibifu uliomo duniani
kwa sababu ya tama.
4. Naam, na kwa sababu iyo hiyo mkijitahidi sana kwa
upande wenu,katika imani yenu tieni na wema na katika
wema wenu maarifa.
5. na katika maarifa yenu kiasi, na katika kiasi chenu
Zaburi na katika Zaburi yenu utauwa,
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
37
6. na katika utauwa wenu upendano wa ndugu,
upendo.
7. maana mambo hayo yakiwa kwenu na kuja tele,
yawafanya ninyi kuwa si wavivu wala si watu wasio na
matunda, kwa kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.
8. Maana yeye asiyekuwa na hayo ni kipofu, hawezi
kuona vitu vilivyo mbali, amesahau kule kutakaswa
dhambi zake zamani.
9. kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara
kuitwa kwenuna uteule wenu; maana mkitenda hayo
hamtajikwaa kamwe.
10. maana hivi mtaruzukiwa kwa ukarimu kuingia
katika ufalme wa milele wa Bwana wetu, Mwokozi wetu
Yesu Kristo.
Tazama mistari iliyo hapo juu.
1. Mungu hutupa sis yote tunahitaji katika maisha na
uungu kwa kumjua Yeye.
2. Ahadi zake mingi na za dhamana ni vyombo vya
yote tunayohitaji. kama nilivyosema katika sura ya 1,
sisi hupokea ahadi zake tunapokuwa na uhusiano wake
wa ndanikatika hali ya mbegu ambayo imepandwa
katika mioyo yetu. huo ni mwanzo wa imani.
3. Petro anatupatia viungo vingi vin avyohitajika
kuongezwa kwa hali hii ya imani.
Sura hii inaongea kuhusu Kiambato cha upendo
“Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala
kutokutahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo”
Wagalatia 5:6.
Kama Mungu amenena na umesikia sauti yake, basi ahadi
za Mungu ziko moyoni mwangu, mbegu imepandwa. Lakini
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
38
mbegu itafanya kazi ndani ya “moyo safi ardhi nzuri” Nzuri ni
nini? Upendo ndio ardhi ambayo itaruhusu mbegu kumea.
1 Wakorintho 13:1-9a,
“Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za
malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba
iliayo na upatu uvumao. Tena nijapokuwa na
unabii, na kujua siri zote na maarifa yote,
nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza
kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu
mimi. Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha
maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue
moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu. pendo
huvumilia, hufadhili, upendo hauhusudu; upendo
hautabakari; haujivuni,haukosi kuwa na adabu;
hautafuti mambo yake; hauoni uchungu;
hauhesabu mabaya; haufurahii udhalimu
bali,bali hufurahi pamoja na kweli; huvumilia
yote. Upendo haupungui neno wakati wo wote….
Imani itafanya kazi tu katika watu ambao wataruhusu
Yesu kuishi maisha ya upendo wake kupitia kwao.
Katika Marko 4, katika mfano wa mpanzi Yesu
ananonyeshana ya kuwa kazi kubwa ya shetani ni kuiba neno
la Mungu, mbegu ambayo yeye Yesu, amepanda moyoni
mwako. Shetanianaweza kuiba mbegu, neno, ahadi ya Mungu
kwa njia chache ambazo Yesu anaelezea katika mfano ule.
Njia hizi zinatokana na “ardhi”, au tabia ya mtu ambaye
mbegu imepandwa ndani yake. Hawa ni watu amabo mioyo
yao ni watu ambao mioyo yao ni migumu ama hawezi
kustahimili majaribu na dhiki au wale wanaotafuta roho za
ulimwengu. Kwa upande mzuri nasema “udongo mzuri” au
ardhi ambayo mbegu itazaa matunda, ni yule mtu ambaye
anaishi maisha na tabia ya upendo, au tabia ya Yesu. Hakika
viungo vingine vyote ambao tunazo na tutaziangazia ziko chini
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
39
ya sehemu ya upendo kwa sababu ni utu ya Yesu, ambaye jina
lake ni upendo.
Ni kweli hakuna hata mmoj wetu aliye mwema kama Yesu:
walakini tukiruhusu Neno la Mungu lituhukumu dhaambi zetu,
kitu cha ajabu kitatendeka tunapo kiri na kutubu. Tunaoshwa
na kuwekwa kwa hali moja na Yesu kama kwamba
hatukutenda dhambi kamwe.
Shetani hawezi kupata chochote kwa mtu kama huyo.
Kutoka The Joyful Heart, Daily Meditation na
Watchman Nee. Machi 44
Mtawala wa dunia hii anakuja nahana kitu kwangu.
“Mimi sitasema nanyi mneno mengi tena, kwa maana
yuaja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu
kwangu.”(Yohana 14:30)
Wakati mwanadamu alijaribiwa na akaanguka
Mungu alimlaani majaribu “juu ya tumbo lako
utatambaa” Akasema “na mavumbi utakula” basi
mahali palipopewa shetani ni dunia, na chakula chake
ni kutoka kwa kiel kitu kilichotumiwa kuumba
mwanadamu baada ya kugeuka kutoka kwa Mungu.
Alikuwa amejipatia “haki za usikwota” katika uumbaji
wa kale.
Bwana asifiwe kupitia kwa, Kristo shetani hana
uwezo juu yetu. Mungu mkombozi alikabiliana na hali
kwa kuondoa uumbaji wa kale pale kanisani na kuuleta
kupitia Kristo umbaji mpya. Kwa hiyo Mugnu na mtu,
hata alipokuwa hapa duniani akadhibitisha ya kwamba
mtawala wa ulimwengu huu hakuwa na kitu juu yake
kamwe. Na huyu mtu amekalia kiti cah enzi,
akidhibitisha ya kuwa shetani hana kitu ndani yetu kw
akuwa tumekombolewa. Mwana wa Aadamu
4 Nee Watchman... The joyful heart , Daily Meditations. Tyndale House Publishers.
Whearon.cl 19978 Machi 4th ukurasa.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
40
alitukuzwa ili sisi , wana wengi, pia tukaletwe katika
utukufu.
Habari njema! Upendo ni tunda. Kama upendo ni tunda
lililowekwa ndani yetu basi hiyo ni neema. “Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu,
utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; juu ya mambo kama
hayo hakuna sheria.” (Wagalatia 5:22,23)
ONYO! Tunalo chaguo. Jukumu letu ni nini?
Waefeso 3:16-19 inasema kama tumepandwa ndani ya
upendo basi tunaweza hisi upendo wake wa hakika kando na
kuujua kwa akili. Tunaweza kutoa upendo kwa Mungu na
wengine baada ya kukutana na upendo wake. Ni hali ya
kuendelea. Tunapoona upendo wa Mungu na kujibu kwake na
kwa wengine na huo huo upendo tunakuwa imara.
Waefeso 3:17-19, “Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani
mkiwa na shina na msingi katika upendo; ili mpate kufahamu
pamoja na watakatifu wote jinsi ulivyo upana, na urefu, na
kimo na kina; na kuujua upendo wake Kristo, upitao ufahamu
kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate kutimilika kwa utimilifu wote
wa Mungu.”
Richard Wurmbrand, mwanzilishi wa “Sauti ya Wateswa”
(The voice of the Martyrs) alisema neno upendo huherufiwa
kama (s-a-c-r-i-f-i-c-e) kwa Kiingereza.
Kama upendo Yesu anaishi ndani, yetu na ni yeye nditolea.
Imani yetu anayeishi maisha ya upendo, basi jukumu letu ni
kuchukua msalaba wetu. Inaitwa kujitolea. Inaitwa “upendo
ulio na damu.”
Hofu na upendo zinauhusiano
1 Yohana 4:18 inasema upendo halisi huondoa , hufukuza
hofu yote. Tutapataje upendo unaofukuza hofu yote na kufanya
imani kufanya kazi? Kujitolea. Penda mtu ambaye hapendeki.
Hiyo “itakupanda” katika upendo.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
41
Soma (1 Yohana 4:7-18)
7. Wapenzi, nampendane; kwa kuwa pendo
latoka kwa Mungu, na kila apendaye amezaliwa na
Mungu, naye anamjua Mungu.
8. Yeye asiyependa hakumjua Mungu, kwa
maana Mungu ni pendo.
9. Katika hili pendo la Mungu lilionekana kwetu,
kwamba Mungu amemtuma mwanawe pekee
ulimwenguni, ili tupate uzima kwa yeye.
Mstari wa 9 na kumi unasema alitupanda
kupitia kwa msalaba wake.
10. Hili ndilo pendo, si kwamba sisi
tulimpenda Mungu, bali kwamba yeye alitupenda
sisi, akamtuma Mwanawe kuwa kipatanisho kwa
dhambi zetu. Wapenzi ikiwa Mungu alitupenda
sisihivi, imetupasa na sisi kupendana.
11. Wapenzi ikiwa Mungu alitupenda sisi
hivi, imetupas na sisi kupendana.
12. Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati
wo wote. Tukipendana, Mungu hukaa ndani yetu, na
pendo lake limekamilika ndani yetu, kwa kuwa
tunakaa ndani yetu.
13. Katika hili tunafahamu ya kuwa tunakaa
ndani yake, naye ndani yetu, kwa kuwa
ametushirikisha Roho wake.
14. Na sisi tumeona na kushuhudia ya kuwa
Baba amemtuma Mwana kuwa Mwokozi wa
ulimwengu.
15. Kila akiriaye ya kuwa Yesu ni Mwana wa
Mungu, Mungu hukaa ndani yake, naye ndani ya
Mungu.
16. Nasi tumelifahamu pendo alilo nalo
Mungu kwetu sisi, na kuliamini. Mungu ni upendo,
naye akaaye ktika pendo, hukaa ndani ya Mungu, na
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
42
Mungu hukaa ndani yake.
17. Katika hili pendo limekamilishwa kwetu,
ili tuwe na ujasiri katika siku ya hukumu; kwa kuwa,
kama yeye alivyo, ndivyo tulivyo na sisi
ulimwenguni humu.
18. Katika pendo hamna hofu; lakini pendo
lililo kamili haitupa nje hofu; lakini pendo lililo
kamili huitupa nje hofu, kwa maana hofu ina
adhabu; na mwenye hofu hakukamilishwa katika
pendo.
Unataka upendo wako ulainishwe? Tafuat mtu
asiyependeza umpende, na utazame hofu ikitoka kwa
maisha na imani ikiinuka.
Upendo na hofu haziwezi kuishi pamaja. Dawa yangu kwa
hofu imekuwa ni kujisongeza kwa uwepo wa Mungu na
kumruhusu afanye imani kuinuka. Hii ikifanyika hofu haiwezi
kupenda wengine au wewe mwenyewe wakati hofu inakutesa.
Kiu ya Mungu kwa ajili ya umoja na John Walker.5
“Mkinipenda mtatii amri zangu”(Yohana 14:15)
Yesu anapoongea kuhusu upendo hawachi nafasi ya
misisimiko au hisia za muda. Unaona upendo kupitia
kwa macho ya Baba, na kutoka kwa nafasi hii anaelewa
kwa undani ya kuwa upendo wa kweli, wa milele, na
wakiungu unaujasiri na nguvu na bado wa uchungu
mchafu na wakujitolea.
Jiachilia Upendo wa uweza na mkuu aina hii
unaweza kuwa na mizizi katika mchanga wa kujiachilia.
Tunaachilai haki zetu, mawazo yetu na mipango yetu. Ni
huku kujiachilia kwa kabisa kwa Mungu bila kujichunga
na kufanya kile Baba alimwambia tu. 1 Yohana 14:10,
5 ©2008 Purpose Driven Life. Haki zote za kumiliki zimehifadhiwa. Mchungaji Jon
Walker ni mwandishi wa www.GraceCreates.com.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
43
“” Ni huku kujiachilia kwa hakika kuliko mwongozo
hadi kwa msalaba.
Kama tutafanyika kama Kristo ni lazima tuambatane
na mawazo na mipango ya Mungu karibu sana mpaka
tuonekane kuwa “mmoja” na yeye kama watu wawili
waliooana wanavyo jiachilia mtu kwa mwengine na
kuonekana kuishi kama mmoja. Kwa kujiachilia
tunatembea kwa karibu sana na Mungu mpaka watu
wanapotuona, wananona Baba akifanya kazi.
Yesu anafundisha kujiachilia huku anaposema
“mkinipenda mtafuata amri zangu.” kwa neno lingine,
hakuamrishi uwe mtiivu. Upendo wako kwake
utakusukuma kukumbatia makusudi yake.
Njia ya Yesu ni kwamba utii amri Mungu kwa sababu
ni lazima umtii Mungu kwa kufuata makusudi ya Mungu
una mwabudu Muumbaji.
Hii pia inakupatia mtazamo wa Kristo kwa mwelekeo
wa maisha yako ya kila siku, na kuifanya kila kauli iwe
ni wakati wa kumwabudu Mungu. Unapo muacha mtu
mwengine achukue nafasi ya kuegeza gari, wakati
unapo timiza ahadi ina gharama kuliko ulivyo thania
wakati unapo onyesha ukalimu kwa jirani yako ambaye
hapendi-Hizi ni nyakati za ibada kwa Mungu kwa
sababu unachagua kuwa mtiifu kwa makusudi yake,
kando na kutenda mambo kwa njia yako mwenyewe. Na
hata kuchgua kutotenda dhambi inafanyika ibada, kwa
maana inakuleta karibu na amri za Mungu.
Hii inamaana nini? Unapo kabiliana na kukata kauli
leo,uliza Mungu akuonyeshe ni njia gani itakuwa ni hali
ya kuabudu yeye. Kisha (najua hii ni rahisi kusema
kuliko kutend) inawekuwa anakuambia uende.
Unapo chukua hatua hii weka macho yako kwa
neema na owepo wa Mungu wakati huo. Fanya hili kwa
siku yote akuweke nakala ili uweke mwelekeo wako wa
kuwa mmoja Mungu na makusudi yake.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
44
Ishi kwa njia hii na uone tunda likichipuka ndani yako
na kukuzunguka kama maisha ya utele!
“Akamwambi, mpende Bwana Mungu wako kwa moyo
wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote. Hii
ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza. Na ya pili yafanana
nayo, nayo ni hii, mpende jirani yako kama nafsi yako ”
Mathayo 22:37-39.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
45
Sura ya 5
Kiambato cha Matendo
Matendo ya aina gani?
Paulo alisema hatuokolewi kwa matendo.
Nataka kujifunza neno hili moja kwenu. Je! Mlipokea Roho
kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na
imani? Wagalatia 3:2
Yakobo alisema iamni bila matendo imekufa
Yakobo 2:17-20 inasema Vivyo hivyo na imani, isipokuwa
ina matendo, imekufa nafsini mwake. Lakini mtu atasema,
Wewe unayo imani, nami ninayo matendo. Nionyeshe imani
yako pasipo matendo. Nami nitakuonyesha imani yangu kwa
njia ya matendo yangu.Wewe waamini ya kuwa Mungu ni
mmoja; watenda vema.Mashetani nao waamini na
kutetemeka.Lakini wataka kujua,wewe mwanadamu usiye
kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai.
Ukweli wa Mungu ni upi?
Watu wanakosea kwa upande wa kitako na kungojea
Mungu. Wengine hukose kwa upande wa wa kujua mambo
katika mikono yao wenyewe.
Watu wa tabaka na nchi zote wanazo. Vita hivi vya kujua
na kufanya, haswa katika hali ya wakristo. Kujua ikielezwa
kiroho ni uhusiano wa karibu Mungu au mmeo/mkeo kufanya
inamaanisha kitendo. Jamii zingine hukosea katika hali ya
uhusiano , kujua ila wengine hukosea katika hali kufanya.
Wakristo wengi wmechanganyikiwa. Jibu liko katika kile
ninaita matendo ya imani, kunywa na matendo ya mwili”
Bibilia inatueleza tuwe “watendaji wa neno” lakini
inatuonya pia ni unahitaji “kujua” kabla ya kuwa watendaji.
“Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana,atakayeingia
katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya
Baba yangu aliye mbinguni;Wataniambia siku ile;Bwana, Bwana,
hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na
kwa jina lako kufanya miujiza mingi?Ndipo nitawaambia dhahiri
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
46
Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu,ninyi mtendao
maovu.” (Mathayo 7:21-23)
“Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya,
atafananishwa na mtu mwenye akili, aliye jenga nyumba yake
juu ya mwamba; mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo
zikavuma, zikaipiga nyuma ile, isianguke; kwa maana misingi
yake imewekwa juu ya mwamba. Nakila asikiaye maneno
yangu asiyafanye atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga
nyumba yake juu ya mchanga;mvua ikanyesha mafuriko
yakaja, pepo zikavuma zikaipiga nyuma ile, ikaanguka; nalo
anguko lake likawa kubwa.” (Mathayo 7:24-27)
Tazama katika hadithi ya kwkanza hapo juu Yesu
hakuheshimu matendo ya “walio tenda” bila ya “kumjua.”
alisema wataharibiwa.
Katika hadithi ya pili, anaonya wajuaji ikiwa
hawakufundisha kujua kwao na kutenda ya kuwa
wataharibiwa.
Mariamu na Martha.
“Naye alikuwa na umbu lake aitwaye Mariamu, aliyeketi
miguuni pake Yesu, akasikiliza maneno yake. Lakini Martha
alikuwa akihangtaika kwa utumishi mwingi; akamwendea,
akasema, Bwana huoni vibaya hivyo ndugu yangu
alivyoniacha nitumike peke yangu? Basi mwambie anisaidie.
Bwana akamjibu akamwambia, Martha Martha, unasumbuka
na kufadhaika kwa anjili ya vitu vingi; kinachotaakiwa kitu
kimoja tu; na Mariamu amelichagua fungu lililo jema , ambalo
hataondolewa.” (Luka10:39-42
Hapa katika hadithi hii ya Mariamu na Martha na amini
Yesu hakuwa akikataa ya kutimilika na kutenda kazi ya
Martha, lakini alikuwa akionesha ya kuwa kabla ya kufanya
matendo ya dhamana, uwe na uhusiano wa karibu na yeye.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
47
Kwa nini?
`Kwa maana ndiye Mungu atendaye kazi ndani yenu,
kutaka kwenu na kutenda kwenu kwa kulitimiza kusudi lake
jema.” (Wafilipi 2:13)
Unapo tumia wakati kumjua Yesu katika hali ya kutafakari
juu yake. Neno lake, ushirika na Roho Mtakatifu kujiweka
katika nafasi ya kumsikiza basi ana”simamia “kutenda”
kwako. Ni yeye ndani yako anayetenda matendo ya imani.
Jukumu yako ni kusikia na kuitii. Hapa basi Mungu atafanya
kazi ya kushirikiana nawe. Vile ni naweza kuwaelezea ni
wewe ni “chombo” na Mungu ni “mkono” ndani ya chombo”
ni nani anayefanya kazi? Ni Mungu au ni wewe? Jibu ni
“ndio.”
wakamilifu na watu wanao sukumua kutenda wana
wakati mgumu kuonyesha majukumu yao.
Katika ufalme wa Mungu uhusiano ndio kitu cha
mwanzo.
Mawaitha yangu kwako ni mbadilika! Hata kama ina
uchungu vipi. Rafiki yangu mmoja alisema “wakati uchungu”
unaopitia unapita uchungu wa kubadilika, basi utabadilika.
Kwa mwongozo kwa tabia za kumjua unaweza kwenda kwa
tofuti yetu ya mto unatiririka http://www.isob-
bibilia.org/flowingriver.htm
Ninaweza kueleza kazi za imani katika makundi mawili
makuu. Kuongea neno na kutii sauti yake.
1. Kitu kimoja muhimu katika kazi ya imani ni kunena
neno.
“Lakini yanenaje?Lile neno li karibu nawe, katika kinywa
chako na katika moyo wako yaani ni lile neno la imani
tulihubirilo Kwa sababu ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya
kuwa ni Bwana na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu
alimfufua katika wafu utaokoka. Kwa maanaq kwa moyo mtu
huamini hata kupata haki na kwa kinywa hukiri hata kupata
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
48
wokovu.” (Warumi 10:8-10) Lakini kwa kuwa tuna roho ile ile
ya imani, kama ilvyo andikwa, Naliamini nakwa sababu hiyo
nalinena sisi nasi twaamini na kwa sababu hiyo twanena.
2 Wakorintho 4:13 inasema nitatoa sura nzima kwa ajili ya
hii baadaye katiak kitabu hiki.
Kwa ufupi kuongea neno:
(a) Inaumiza mawazo yako na kuweka laini.
(b) Inatukuza shetani
(c) Inaleta malaika pahali ulipo
(d) Humwagilia maji mbegu iliyopandwa katika moyo
wako.
(e) Inafurahisha Mungu anaposikia imani yako.
2. Matendo pia yafuatane na kutii sauti yake.
Kwa nini Mungu anaweka mkazo juu ya kazi yetu, na
wakati mwingine anaonekana kutia mkazo ya kuwa kazi yake
ndio mambo muhimu? Ninasema nguvu sana katika uhusiano
wetu na Mungu ambao hujuliwa msamaha.
Kutii kwetu kwa sauti yake kuna nguvu nyingi. Imani kwa
sehemu yako. Kumbuka katika sura ya kwanza tulielezea
imani:
Neno imani lamanisha vipi?
Neno la kiyunani la imani ni Pistis(pie- stis). Kwanza
inamaanisha kushawishika kwa ukweli katika mambo ya
kiungu. Unaposikia neno la Mungu akinena, unasawishika ni
kweli, ya kwamba inatoka na shawishi ya kuwa muumbaji
ameongea.
Pili, inamaanisha uaminifu na msimamo wa yule aliye
tunguka kwa ukweli ulionenwa hapo juu. Mungu hujaribu
imani yetu. Anawaamini watu waaminifu, wale kwa kusimama
na uaminifu humtii ili awategemee imani ya kweli italeta
matendo.
Kutii
Kumtii Mungu kuna nguvu Kutii sauti ya Mungu kuna
nguvu sana kuliko ni navyo nafasi ya kuchambua katika sura
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
49
hii, lakini elewa ndio funguo kwa kukua kwako kiroho,
uhusiano wako kwa Yesu na kwako wewe kupokea maisha
kwa utele. Ni funguo kwa kuruhusu Mungu akutume kwa kazi
yake.
Nimeona wakristo wengi tangu 1979 pia mimi nikiwemo.
Nimegundua kwa hali na kwa Neno la Mungu, ya kuwa kutii
sauti ya Mungu inaleta tofauti kati ya kushinda na kushindwa.
Nimesoma vitabu vingi kutoka kwa waandishi waliohittimu
kuniliko mimi ambao wamedhibitisha wazo hili.
Ni muhimu kuwa na kiu kugundua sauti ya Mungu kwako,
na pia awe na kiu kujua ni kumtii, gari utakalofanya kila siku,
hata kwa mambo madogo maishani mwako. Maisha yaliyojaa
hatua ndogo za kutii inaelekezwa kwa maisha ambayo
ymebadilika kwa mfano wake na maisha yanayomtukuza.
Mkinipenda, mtazishika amri zangu. Nami nitamwomba Baba
naye atawapa Msaidizi mwingine ili akae nanyi hata milele.
Yohana 14:15-16 imejaa nguvuza wazo hili.
Inasema Yesu atadhihirisha, ataionyesha hakika kwa wale
wanamsikia na kumtii. Hii ndiyo maana ya kuwa Bwana anapo
mfanya Yesu Bwana utaokolewa yaani kukombolewa kutoka
kwa hatari na kufanywa mzima. Unapo achilia haki zako za
kukata kauli na kuamua kufanya mambo yake Yesu na
kukuamuru, basi uhusiano wako na yeye unapanda juu sana.
Watu wengi lazima wafike mwisho wao na wajue unyonge
wao, na unyonge wa mwenendo wa dunia ili wategemee
kabisa kusikia n kutii Munngu. Hili litafanyika kwangu kwa
njia kuu sana katika maisha yangu ile niliokoka 1979 kisa kwa
njia mpya na kubwa miezi kumi baadaye.
Kutii kwako kuingine kutokana na kushawishiwa na Roho
Mtakatifu kwa dhambi zako na sauti nyororo.(wakati mwingi)
ili ukiri na utubu.
Yohana 14:15-26
15. Mkinipenda, mtazishi nit amri zangu
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
50
16. Nami nitamwomba Baba, naye atawapa
Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;
17. ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu
hauwezi kumpokea, kwa kuwa hamwona wala
hautamtambua; bali ninyi mnamtambua, maana
anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu.
18. Si tawaacha ninyi yatima; naja kwenu.
19. Bado kitambokidogo na ulimwengu haunioni
tena; bali ninyi mnaniona. na kwa sababu mimi ni hai,
ninyi nanyi mtakuwa hai.
20. Siku ile nanyi mtatambua ya kuwa mimi ni ndani
ya Baba yangu, nanyi ndani yangu, name ndani yenu.
21. Yeye aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye
ndiye anipendaye; naye anipendaye atapendwa na
Baba yangu; name nitampenda na kujidhihirisha
kwake.
22. Yuda (siye Iskariote), akamwambia, Bwana,
imekuwaje ya kwamba wataka kujidhihirisha kwetu,
wala si kwa ulimwengu.
23. Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda,
atalishika neno langu; Baba yangu atampenda; nasi
tutakuja kwake.
24. Mtu asiyenipenda, yeye hayashiki maneno
yangu; nalo neno mnalolisikia silo langu, ila ni lake
Baba aliyenipeleka.
25. Hayo ndiyo niliyowaambia wakati nilipokuwa
nikikaa kwenu.
26. Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu,
ambaye Baba atampeleka kwa jina langu
,atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote
niliyowaambia.
Ibrahimu alitii sauti ya Mungu na matendo yaliyo kuwa
ngumu kwake. Aliambiwa atoe dhabihu, awe mwanawe wa
kiume, mwana aliahidiwwa na Mungu. Mungu alimbariki
sana kwa kutii kwake.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
51
“Malaika wa BWANA akamwita Ibrahimu mara ya pili
kutoka mbinguni akasema, Nimeapa kwa nafsi yangu asema
BWANA, kwa kuwa umetenda neon hili, wala hukuinizuilia
mwanao, mwanao wa pekee, katika kubariki nitakubariki, na
katika kuzidisha nitauzindisha uzao wako kama nyota wa
mbinguni, na kama mchanga wa ulioko pwani; na uzao wako
utamiliki mlango wa adui zao” (Mwanzo 22:15-17).
Miaka iliyopita Ibrahimu na Sara walijaribu matendo lakini
hakuleta matunda ya Mungu. Ilikuwa ni wazo lao wenyewe
lililozaliwa na akili zao wenyewe bila kusikia sauti y Mungu
juu ya jambo hilo. Wakampata mtoto kati ya Ibrahimu na
mjakazi wa Sarai, Hagai. Matokeo ni kuwa Ishmaeli alizaliwa.
Baadaye Mungu alikubaliana na Sara ya kuwa Ishmaeli
atupwe nje, kwa kuwa ndani ya Isaka ndipo agano lilikuwa
lipitie.
Mwanzo 21:10-12 inasema,Kwa hiyo akamwambia
Ibrahimu Mfukuze mjakazi huyu na mwanaye maana mwana
wa mjakazi hataridhi pamoja na mwanangu, Isaka. Nano hilo
lilikuwa baya machoni pa Ibrahimu kwa anjili ya mwanawe.
Mungu akamwambia Ibrahimu Neno neno hili lisiwe baya
machoni pakom kwa anjili ya huyo mjakazi wako. Kila
akuambialo Sara sikiza sauti yake kwa maana katika Isaka
uzao wake utaitwa.
Unaweza kumtii Mungu tu kwa kiwango unachoweza
kusikia sauti yake.
Mwanzo utadhania hausikii sauti yake haswa kama “sauti”
ya hakika. Inaweza kuwa ni hali ya kusukumwa ndani yako
baada ya kusoma neno, jambo Mungu analo kushawishi. Pia
inaweza kuwa ni sauti ndani ya Roho na au katika neno kama
“Rhema” inayo kusikia kutoka kurasa za Bibilia. Mara nyingi
sauti yake inakujia kama picha. Anakupatia pich kwa kuleta
matokeo madogo madogo au/na maneno yanayoleta mchoro
wa picha. Anaweza leta watu karibu na wewe ambao wana kitu
cha kusema au watakukumbusha kichopita. Vile unavyo
jikumbusha kusikia sautiyake vivyo hivyo inakuwa wazi
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
52
kwako.Unavyoendelea kumsikiza na kumtii ndivyo unakuwa
na uweza wa kumsikia na kutii.
Fanyika mtumwa wa mungu
Hamjui ya kuwa kwake yye ambaye mnajitoa nafsi zenu
kuwa watumwa wake katika kumtii, mmekuwa watumwa
wake Yule mnaye tii kwamba ni utumishi wa dhambi uletao
mauti au kwamba ni utumishi wa utii uletao haki. (Warumi
6:16)
Chukua wakati mwingi ukitafakari neno la Mungu.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
53
Sura ya 6
Kiambato Cha Kunena Neno
“Likini kwa kuwa tuna roho ile ile ya imani kama ilivyo
andikwa, Naliamini nakwa sababu hiyo nalinena sisi nasi
twaamini na kwa sababu hiyo twanena” (2 Wakorinitho 4:13).
Roho ya imani hutambulika kama kunena kile mtu ana
amini.
Kwa nini tuongee neno?
Mungu na mtu wote hutawala kwa maneno. Mungu aliumba
kwa maneno yake, na huendelea kuumba na maneno yake
walakini hana mamlaka tena kunena maneno yake kwa
ulimuengu pasipo kupitia kwa mwanadamu. Mapepo pia ni
hivyo hivyo ndiposa wanajaribu kutumia mwnadamu kusema
maneno yao. Huu ulimwengu umeumba kutawaliwa na
kumilikiwa na maneno.
Alimpatia Adamu umiliki
Vinyani mwa watoto wachanga na wanyonyao umeiweka
misingi ya nguvu kwa sababu ya wao wanao shindana nawe
uwakomeshe adui namijilipiza kisasi; Nikiziangalia mbingu
zako na kazi ya vidole vyako mwezi na nyota ulizoziratibisha;
Mtu ni kitu gani hata umkumbuke,Na binadamu hata
umwangalie?Umefanya mdogo punde kuliko Mungu
Umemvika taji ya utukufu na heshima umemtawaza juu ya
kazi ya mikono yako Umevitia vitu vyote chini ya miguu
yake. Zaburi (8:2-6)
“Mbingu ni mbingu za BWANA, Bali nchi amempa
mwanadamu” Zaburi (115:16)
Kuangalia mifano ya Mungu akitimis kazi
Mungu akasema iwe nuru na ikawa nuru;(Mwanzo 1:3)
Mungu akasema, Naliwe anga katikati ya maji likayatenge
maji na maji. (Mwanzo 1:6)
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
54
Mungu akasema Maji yaliyo chini ya mbingu nay a
kusanyike mahali pamoja ili pakavu paonekane ; ikawa
hivyo.(Mwanzo 1:9)
Mungu akasema, nchi na itoe majani mche utoao mbegu, na
mti wa matunda uzaao matunda kwa jinsi yake, juu ya nchi;
ikawa hivyo (Mwanzo 1:11)
Mungu akasema Naiwe mianga katika anga la mbingu ili
itenge kati ya mchana na usiku nayo iwe ndiyo dalili na majira
na siku na miaka; (mwanzo 1:14)
Mungu akasema Maji nayajawe kwa wingi na kitu
kiendacho chenye uhai na ndege waruke juu ya nchi katika
anga la mbingu. (mwanzo 1:20)
Mungu akavibarikia, akisema,Zaeni,mkaongezeke,
mkayajaze maji ya baharini,ndege na wazidi katika nchi.
(Mwanzo 1:22)
Mungu akasema Nchi na izae kiumbe hai kwa jinsi zake
mnyama wa kufungwa,nacho kitambaacho , na wanyama
wamwitu kwa jinsi zake; ikawa hivyo. (Mwanzo 1:24)
Tazama katika haya mandiko hapo juu hakuna
kuchojibisana na neno la mungu mbali alikuwa „na ikawa
hiyo‟
Kisha Mungu akapumzika badaa ya kupatia mwanadamu
umiliki.
Mungu akasema Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa
sura yetu wakatawale samaki wa baharini na ndege waangani
na wanyama na nchi yote pia,na kila chenye kutambaa
kitambaacho juu ya nchi. (Mwanzo 1:26)
Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, zaeni
mkaongezeke mkaijaze nchi , na kuiitiisha; mkaitawale samaki
wa baharini na ndege wa angaani, na kila kiumbe chenye
kutambaa kitambaacho juu ya nchi. (Mwanzo 1:28)
Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote
aliyoifanya; akastarehe siku ya saba Mungu alimaliza kazi
akacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya. (Mwanzo 2:2)
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
55
Mungu aliongea neno hili kubwa, lililoleta kufufuka kwa
Yesu
Nitaihubiri amri; BWANA aliniambia, Ndiwe mwanangu,
Mimi leo nimekuzaa. (Zaburi 2:7)
Shetani huraibu ukweli kwa kuipinda kwa njia mbili- Wengine amekosea kwa kunena kwa kusidi wakiamini
kunena katika njia ya sawa ni jukumu la mufuasi na wao na si
mungu watachagua lakusema na kwa hivyo kile cha kundai na
maneno yao. Hii ni hali ya uchawi na ubinafsi. Ndini nyingi za
uongo zinaendesha aina hii ya kukili kwa sawa hata kama
kukuli sawa ni mbora kuliko kukili kinyumme, sisi kamma
wanafunzi lazima tutanue saa yote Yesu kama Bwana kando
na matatani na mafamanio yetu
Tunahitaji kujihathali na mwenendo unaokosa ukweli wa
mungu na ina weza mathara katika maisha yetu
Ukweli ni kuwa Mungu anatamani tushiliki naye na
tumuluhusu atupe maneno ya kuongea. Anataka atupatie
maneno yake ya imani ili atomize makusudi yake. Katika
shamba la edeni Adamu alikuwa ashiliki na neno na mti wa
uzima, kila siku na juu ya dunia. Mungu alimpa kutawala,
lakini kutawala kwake kulikua kuenezi mapenzi ya mungu
peke yake juu na dunia na wanadamu. Adamu akaamua
angekuwa na kutawala bila mti wa uzima, na kuwa ageongea
neno aliamua lilihitajika kunenwa, mti wa kujua wema na
ubaya
Baada ya Adamu kutenda haya, shetani akaasaa kuwasakili
watu kunena maneno yake, na dunia ikajaa kuchanganikiwa.
Viumbe vya kiroho vimekuwa vikingangania kutawala
maneno ya mwanadamu tangu hapo.
Uzima na kifo ziko katika nguvu ya ulimi
Mithari 18:21 inasema Mauti na uzima hua katika uwezo
wa ulimi;Na wao waupendao watakula matunda yake.„‟
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
56
Yakobo alielezea hali ya kisayinisi na umuhimu wa kiroho
wa maneno
“Maana twajikwaa sisi sote pia katikka mambo mengi.Mtu
asiye jikwaa katika kunena yeye ni mkamilifu, awezaye
kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu. Angalieni
twatia lijamu katika vinywa vya farasi ili wamtii hivi twa
geuza mwili wao wote.Tena angaliei merikabu ingawa ni
kubwa kama nini na kuchukuliwa na pepo kali zageuzwa na
usukani mdogo sana ko kote ana anakoazimia kwenda
nahodha.Vivyo hivyo ulimi nao ni Kiambato kidogo nao
hujivuna majivuno makuu.Angalieni jinsi moto mdogo
uwashavyo msitu mkubwa sana.Nao ulimi ni moto ule
ulimwengu wa uovu ule ulimi umewekwa katika viungo vyetu,
nao ndio uutiao mwili wote unajisi huuwasha moto mfulizo wa
maumbile nao huwashwa moto jehanamu. Maana kila aina ya
wanyama nay a ndege nay a vitambaavyo nay a vitu
vilivyomo baharini vinafugika navyo vimekwisha kufugwa na
waanadamu.Bali ulimi hakuna awezaye kuufuga ni uovu
usiotulia umejaa sumu iletayo mauti.Kwa huo twamhimidi
Mungu Baba yetu na kwa huo twalaani wanadamu
waliofanywa kwa mfano wa Mungu.Katika kinywa kile kile
hutoka Baraka nalaana.Nndugu zangu haifai mambo hayo
kuwa hivyo.JE! chemichemi katika jicho moja hutoa maji
matamu na maji machungu?Ndugu zangu Je!Mtini waweza
kuzaa zeituni au mzabibu kuzaa tini?Kadhalika chemichemi
haiwezi kutoa maji ya chumvi na maji matamu” (Yak. 3:2-12)
Watalamu wa aliki wameguduwa kuwa sehemu ya kunena
katika akili hutawala akili yote. Kwa nini? Mungu alijua alicho
kuwa akifanya! Ulimi unabadilisa mwelekeo wa maisha
yakekama vile msukani mdogo tu wa meli kubwa unaomua
muelekekeo wake
Mungu alimwambia Joshua kuwa ushindi ungekuja
akinena neno tu
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
57
Uwe hodari tu na ushujaa mwingi, uangalie kutenda
sawasawa na sheria yote aliyokuamuru Musa mtumishi
wangu; usiiache kwenda mkono wa kuume, au wa kushoto,
upate kufanikiwa sana kila uendapo.Kitabu hiki cha torati
kisiondoke kinywani mwako bali yatafakari maneno yake
mchana na usiku upate kuangalia kutenda sawasawa na
maneno yote yalio andikwa humo maana ndipo utakapo
ifanikisha njia yako kasha ndipo utakasitawi sana.(Josh. 1:7-8)
Kuingia kwa pumziko la Mungu.
Malaika husikiliza, mapepo yanatoloka
Yesu ndiye kuhani mkuu juu ya kukili kwetu. Wakati neno
la mungu linatangazwa na kuombwa juu ya mtu au hali lina
nguvu! Yesu aliumba kila kitu kwa neno lake. Yesu ndiye
neno. Yesu alitupatia mamulaka ya kutumia neno kama ni
yeye mwenyewe analiongea!
Hapo mwanzo kulikuwako Neno naye Neno alikuwako kwa
Mungu naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako
kwa Mungu.Vyote vilifanyika kwa kwa huyo wala pasipo yeye
hakikufanyika cho chote kilichofanyika. Yohana 1:1-3
Wakati pasaka ilipeanwe kwa isilaeli katika kutoka 12,
waisilaile waliambiwa waweke damu ya kandoo asiye na hasia
juu ya milango juu na malaika wa kifo (pepo) „ akipita juu‟
asiwadhuru. Yesu ni mwna kondoo juu ya milango ya wale
tunaopenda na tunaombea. Vipi?
Ufunuo 12:11 inasema “Nao wakamshinda kwa damu ya
Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao
hawakupenda maisha yao hata kufa.”
Maneno ya vinywa vyetu yatuwasilisha damu
Ona katika kutoka 12 ya kwamba damu kandoo ilipo kaa
katika chombo, haikifanya chochote. Lakini walipochukua na
kuipaka kwenye milango yao basi mungu na shetani
wangeiona. Majani waliotumia kupaka damu ni majani ya
kawaida ambayo hayana dhamana, maneno ya vinywa vyetu
hayaonekani ya uzito lakini kukiyotubukisa kwa neno la
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
58
mungu ( ambaye ni Yesu mwenyewe) ya kuyutumia kama
damu , mungu anaiona na shetani anaina! Yesu anajukua
kukili kwetu na kukufanya kwenye nguvu. (wa hibrania 3:1)
Tunapo ongea neno la mugu Yesu ananipelekea baba na
kumuhimiza aitimize. (yohana 16:23 ) inasema basi tunaweza
kuingia kwenye pumziko na kuacha neno ifanye kazi
(Waebrania 4:1) inasema kazi yake ikimalizika kutoka miziki
ya ulimwengu kwa hivyo tunaweza kuamini. (waebrania 4:3)
(Waebrania 4:12) malaika hufanya kazi wanapo sikia neno
la mungu (Zaburi 103:20) mapepo hutoroka (Zaburi 149:5-9 )
inasema
Yesu alitupatia mfano “Na asubuhi walipokuwa wakipita waliuona ule mtini
umenyauka umenyauka toka shinani. Petro akakumbuka habari
yake, akamwambia, Rabi, tazama, mtini ulioulaani
umenyauka. Yesu akamjibu, akamwambia, Mwaminini
Mungu. Amin, nawaambia, Ye yote atakayeuambia mlima hu,
Ng‟oka ukatupwe baharini, wala asione shaka moyoni mwake,
ila aamini kwamba hayo asemayo yametukia, yatuka yake.kwa
sababu hiyo nawaambia Yo yote myaombayo mkisali, aminini
ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu. Nanyi, kila
msimamampo na kusali, sameheni, mkiwa na neno juu ya mtu;
ili na Baba yenu aliye mbinguni awasamehe na ninyi makosa
yenu. lakini kama ninyi hamsamehe, wala Baba yenu aliye
mbinguni hata wasamehe ninyi makosa yenu.”(Mak. 11:20-26)
Yesu hakusema ni yeye pekee yake angeongea kwa
milima. Aliwambia wanafunzi wake chochote mnach ouliza
mkiomba,amini milima mara nyingi husimamia vizuri katika
bibilia. angalia kwa njia Yesu aliongea.
1. kwanza alisema “kwa hivyo na wambia” kama Yesu
alitwabia , basin a haki ya kuamini kile alichosem.Yesu
aliwambia , yeyote atakayepokea chochote sisi tuko ndani
ya mfano wa mungu, na mungu anahitaji tuongee kwa
niamba y ake hapa duniani.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
59
2. hakusema useme kile anachotaka kusema. alisema
wakati unaomba na kuamini, unapokea yote mambo
uliouliza kisha unaweza sema kwa milima, kwa hivyo ni
lazima kwanza tushiriki na Yesu katika neno lake kwa roho
mtakatifu iili tusike manachotwambia. tunaposikia
anochotuambia imani huja kwa kile kinatoka kwetu si tu
kile tunacho jitakia.
3. Tunapoelewa tunapaswa kupokea Neno lake, na imani
huja kama mbegu mioyoni mwetu, basi lazima tunene hilo
neno ambalo tumepokea ili liweze kupita.
Hii sio njia ya kujitisiaya vitu vya kibinafsi. lakini
kutusikab sema haya, kunao sheria kuhusu kuongea kwetu
ambayo mara nyingi inafanya kazi kwa wasioamini na
waaminiokwa usawa. ili sheria hatimaye itafanyikia kila
mtu. Tunapokea kile tunachoongea isipokua kile
tulichoongea ni katika kutubu dhambi.
4. Katika kifungu kilicho hapo juu, Yesu alitumia neon
“sema” mara nne na neon amini mara moja.
Ushuhuda wangu
mara nyingi tangu niokoke 1979 mungu amenipatia ahadi
kwa mahitaji ya dharura. aliniagiza ni mwagiliwe maji ile
mbegu kwa kunena ahadi kwa sauti saa zote. kwa wakati
mwingine nilinena ahadi kwa zaidi ya miaka mitano kabla ya
kuona mlima ukiondolewa. mke wangu na mimi tunanenea
maneno mengi ya kibibilia saa zote tunapo omba, tukijumika
(Zaburi 91 na Zaburi 23). kuna mengine mentgi. Tuna daftari
ya maombi ya kurasa 17 ambao imejaa maandiko ambayo
tunajiombea sisi na wengine mara nyingi kila wiki.hii ni
kuhusu maadui, Baraka na laana, mambo a kipesa , watoto
hudumu na mambo mwengine.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
60
Onyo , njia ni nyembamba
katika kifungu kifuatacho cha maandiko, nina amini esu
alikuwa akiwafundisha watu jinsi ya kukaa katika ufalme wa
mungu hapa duniani. kwa maoni yangu na wahimiza, kuuliza,
kutofuta na kubisha, kama njia ya kuomba ili kusimamisha
ufalme wake(Mathayo 7:7-12)
Yesu alikuwa akifundisha somo hili hili la ulizo tafuta na
bisha katika ( Luka 11) alipokuwa akiwafundisha wanafunzi
wake kuhisu maombi . kisha akamalizia fundisho hilo na
(Luka 11:13)
tunapo uliza mugu hutupatia ufunuo wa mapenzi yake kwa
roho mtakatifu tunapo tafuta mapenzi yake kuhusu jambo
hilo. kisha tukipokea mapenzi yake , nia na ahadi yake,
tunaweza kuanza kubisha, au kuongea lile neno atakalotupatia
(Mathayo 7:13-14)
kuongea nono kikamilifu ni tunda ya uhusiano wa karibu.
lakini ninasema ya kuwa Yesu alikuwa akionyesha katika
maadiko hapo juu yakwamba kuna hali nyembamba sana kwa
kuzaa matunda.
Angalia katika maandiko hapo juu:
1. njia nyembamba kwa kuona kwangu imeelezewa katika
mifano wa “ uliza, tatuta na bisha” kumuliza Mungu ni sawa
na “kuishi “ hii ni katika mazingara ya uhusiano na kumjua.
2. kutafuta ni kugundua mapenzi ya mungu, suluhu ya
mungu au mfano/ahadi ya mungu
3. kabisa ni kuwa wakutoacha, na kuongea neno. kuongea
neno bila uhusiano wa karibu sio njia nyembamba ya mungu.
Yesu alijua ni watu wachache waliochagua njia ya kuliza,
kutafuta na kubisha katika maish. ingewaletea uzima tele.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
61
Yesu alisitahimili msalaba kwa kunena neno
Kwa maoni yangu, Yesu alinakili sehemu ya maandiko
mengi kutoka (Zaburi 22) au hata yote ambayo iliongewa
kuhusu mateso yake msalabani. (Zaburi 22) iliandikwa karne
nyinyi kabal Yesu haja zaliwa
Zaburi 22 :31 inasema “Nao watawahubiri watakaozaliwa
haki yake, Ya kwamba ndiye aliyeyafanya.” Tua kwa muda na
usome Zaburi hii yote oune vile Yesu alipitia kusu musalaba.
Kwa kuto mwanagaza wa maombi una maandiko mengi
inaweza kumakiniwa an kuongewa juu ya hali nyingi katika
maisha nenda kwa tofauti yetu iliyo hapa chini.
www.isob-bible.org/abt/prayerbook.ltm
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
62
Sura ya 7
Viambato Zaidi Kutoka Kwa Petro
“Lakini kuliondokea manabii wa uongo katika wale watu,
kama vile uongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa
kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea
uharibifu usiokawia. Na wengi watafuata ufisadi wao; na kwa
hao njia ya kweli ittukanwa. Na katika kutamani watajipatia
faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa; ambao hukumu yao
tangu zamani haikawii, wala uvunjifu wao hausinzii. Kwa
maana ikiwa Mungu hakuwaachilia malaik waliokosa, bali
aliwatupa shimoni akawatia katika vifungo vya giz, walindwe
hata ije hukumu; wala hakuuachilia ulimwengu wa kale, bli
alimhifadhi Nuhu, mjumbe wa haki, na watu wengine saba,
hapo alipoleta Gjharika juu ya ulimwengu wa wasiomcha
Mungu; tena akaihukumu miji ya Sodoma na Gomora,
kiipindua na kuifanya majivu, akaifanya iwe ishara kwa watu
watakaokuwa hawamchi Mungu baada ya haya; akamwokoa
Lutu, yule mwenye haki aliyehuzunishwa sana na mwenendo
wa ufisadi wa hao wahalifu. Maana ntu huyu mwenye haki
akikaa kati yao, kwa kuona na kusikia, alijitesa roho yake
yenye haki, siku baada ya siku, kwa matendo yao yasiyo na
sheria; basi, Bwana ajua kuwaokoa watauwa na majaribu, na
kuwaweka wasio haki katika hali ya adhabu hata siku ya
hukumu. Na hasa wale wau fuatao mwili katika tamaa ya
mambo machafu na kudharau mamlaka. Wenye ushupavu,
wenye kujikinai, hawatetemeki wakiyatukana matukufu;
ijapokuwa malaika ambao ni wakuu zaidi kwa uwezo na
nguvu, hawaleti mashitaka mabaya juu yao mbele za Bwana.”
(2 Petro 1:1-11)
Maandiko haya katika Petro wa pili ni wazi kuhusu somo la
imani na ni kutanikasana katika maisha yetu ya kila siku.
Haya ni maono ya nguvu.
Katika hili hapa ju, Petro anasema kuwa Mungu ametupatia
kila tunachohitaji katika maisha, kinachoonekana, uungu na
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
63
kisichoonekana. Ametupatia vipawa katika mfano wa ahadi
ambazo huja kwa “kumjua” katika hali ya wakati hakika wa
uhusiano wa karibu na ushirika naye. Anaendelea kusema ni
lazima tuongeze viungo vingine kwa ahadi hii na imani yetu.
Ahadi Petro anatufanyia kama tutaongoza viungo ni za ajabu.
Anasema hatutakua tasa katika kumjua Mungu, mwito wetu n
akushughulikiwa kutakuwa imara, hatutajikwaa na kuingia
kwetu katika ufalme wa Mungu kutasambaa kwa utele.
Petro anatoa tamko nzuri katika mstari wa 10.
2 Petro 1:10, “Kwa hiyo ndugu, jitahidini zidi kufanya
imara kitwa kwenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo
hamtajikwaa kamwe. ”
Neno kujikwaa au kuanguka halimaanishi kuanguka
hakika. Linamaanisha “hapo mbeleni au wakati uliopita.”
Ninaamini kuwa Petro alikuwa akiongea kuhusu kumkana
Yesu kwake kwa hapo mbeleni. Hapa ni mtu alikuwa
ameagizwa na kushindwa na kustaajabishwa sio yu na upendo
na msamaha wa Yesu, lakini pia na nguvu ya Roho mtakatifu
kumfanya mtu upya.
Kufupisha kifungo hiki cha andiko.
1. Inasema anatupa nguvu kwa mambo yaote yanayo
ambatana na maisha na uungu. Hii inamaanisha kwangu,
mambo ya kila siku tunayo hitaji kushi maisha na tabia yetu.
Hii inajumuisha kuponywa kwa vidonda vyetu vya kitambo
vidonda ambavyo tumekaa katika kifungo na kutumika.
Sehemu kubwa ya kupona huku ni kugundua kwa imani,
kujijua kwetu katika Yesu. Imani hakika inatufanya tujue ya
kuwa tumeangikwa na Kristo na hakika tumefunuliwa kwa
kuzaliwa upya na kabila mpya. Nguvu za kiroho za kujua
ukweli wa sisi ni nani zittufanya watu huru.
2. Inasema tanapokea nguvu hii kwa kumjua au kuwa na
uhusiano na Yesu.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
64
3. Inasema tunapokea tokeo moja ya uhusiano huu ni
kupokea ahadiambazo zinatupatia watu wake, tabia na kile
chote tunachohitaji kuuepuka
4. Kama vile tumekuwa kuzungumzia katika sura
zilizopita, ahadi ni mbegu zilizopandwa katika mioyo yetu
ambazo zitazaa matunda. Ukijua mbegu imewekwa moyoni
mwako basi imani inainuka ndani yako.
Tunahitjai maono
Maoo ni kama tumaini. Ni tarajio ya kuwa tutapokea kitu
Fulani. Mungu ni Mungu wa maono. Ana maono ya kitu
kitakavyo kuwa. Anaongea na roho mtakatifu anafanya kazi.
Hapo maisha yangu ya mbeleni nilijiumbia maono na ndoto
zangu mwenyewe. Zingine zilitokea lakini hata hizo, kwa vile
hazikua kwa nia ya M ungu. Zilikuja na shida na mizigo mingi.
Watu wa kisasa (new age) hujiundia maono yao. Sisi
hatunahaja ya kufanya hvi. Kwa kuwa tunaouhusian na
Mungu. Anatupatia maono yetu, maono anayo kusudia kwa
nguvu zake kutimiza katika maono au ndoto itakuwa namna
gani wakati itatimizwa. Mara yote ni zaidi kile tunachofikiria
kwanza au kuombea. Mungu akikupa maono yake nidhamu ya
kibinafsi utapata ni kitu kitakacho kujua kwa urahisi.
Wacha turudi nyuma na turudie tuliyosoma.
1. Yesu alikuja kubadilisha mambo yawe bora. Isaya 61
na Luka 4.
2. Mabadiliko yake hutujia kwa njia ya kipawa, urithi.
Sio kitu sisi hulipwa au tulichofanyia kazi, tunazipkea kwa
zikiwa zimefungwa kwa neema.
3. Urithi wake anatujia kwa habari za imani. Imani
inatuletea kwa urithi wake.
4. Imani ianpeanwa kwetu kwa neema, ni kipawa cha
bure.
5. Imani hutufikia kwa kusikia Mungu akiongea kupitia
neno lake na Roho Mtakatifu.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
65
6. Imani hutuletea mbegu iliyopandwa ndani ya mioyo
yetu tunaposikia neno la Mungu.
7. Imani inafanyaika kitu, cha kiroho kinachoweza
kuguswa. Hii ni kama haionekani kwa macho ni ya ukweli.
Imani ndiyo hati miliki, uhakika wa ukweli wa kiroho na
ahadi amabzo haziwezi kuonekana na hisia za kawaida
(macho). Hii ni kam “hisia” ya sita.
8. Imani ili ifike kwa ukamilifu wake naizae matunda
yanayo tarajiwa ni lazima itunzwe kwa kila mtu.
9. Kwa mtu lazima aongeze viungo kadhaa kwa imani
yake. Tumekuwa tukiongea hili katika sura kadhaa.
Kufikia hapa tumeongeza kuvumilia, kustahamili kwa
wakati mrefu, upendo na matendo. Katika sura hii
tutaweka imani yetu chumvi na viungo vingine.
Uangalifu- nidhamu ya kibinafsi.
Maandiko ya Petro yana tuagiza kuongeza viungo
kadaa. Lakini anaonyesha wazi tunahitaji kutumia
uangalifu tunapofanya kuongeza.
Kamusi ya Microsofti inaelezea uangalifu kama!
Kutuacha na kufanya kazi kwa bidii katika kufanya jambo,
uangalifu na busara inayotarajiwa katika sheria katika
kufanya jambo, kama kutimiza maagizo ya mkataba.
Maelezo ya Strong‟s yanaelezea uangalifu kama neno
la kiyunani hivi: Spoude (Spoo- day) uangalifu haraka,
bishara, ukweli kufuata na kutimiza jambo, kujihisi kwa
karibu.
Naamini njia ya uangalifu kuwa makini
Kama una kiu kuhusu kupokea urith wa kwako,
utakuwa makini kwa viungo vinavyo hitajika kuliko
chochote kingine katika maisha. Itakuwa jambo lako la
kwanza.
Ninaamini kuwa neno nidhamu ya kibinafsi inafa
kutumika kwa uangalifu.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
66
Siongei kuhusu nidhamu ya “” usifanye hilo , lakini
nidhamu ya kuweka mbele viungo za imani ambayo
tumekuwa tukinena. Tukifanya sehemu na viungo, Mungu
atatupatia nguvu kwa mambo ya “usifanye hilo” kwa hali
za maisha.
Nidhamu ya kukimbia mbio.
“Je! Hamjui, ya kuwa wale washindanao kwa kupiga
mbio, hupiga mbio wote, lakini apokeaye tuzo ni mmoja?
pigeni mbio namna hiyo, ili mpate. na kila ashindanaye
katika michezo hujizuia katika yote; basi hao hufanya hivyo
kusudi wapokee taji iharibikayo; bali sisi tupokee taji
isiyoharibika . hata mimi napiga ngumi vivyo hivyo, si kama
apigaye hewa; bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha;
isiwe, nikiisha kuwaharibu wengine, mwenyewe niwe mtu
wa kukataliwa.” (1 Kor. 9:24-27)
Ifuatayo imetolewa na kukaririwa kutoka kwa
kitabu The Richest Man Who Ever Lived 6“Mtu tajiri
sana aliyewahi kuishi”
Uangalifu si kitu ambacho unazaliwa nacho,
lakini ni maarifa ya kufundisha ambayo
huunganisha ustahamilifu wa ujenzi kufanya kazi
kwa bidii katika mpangilio wa sawa na kufanywa
kwa usawa katiak wakati, kwa ubora na njia ya
sawa ili kupata matokeo safi nay a hali ya juu sana
ya ustadi.
Thawabu ya kufanyika mwangalifu kikweli
Utapata kuwa mbele
(Mithali 21:5) “Mawazo ya mwenye bidii huuelekea
utajiri tu; Bali kila mwenye pupa huuelekea uhitaji.”
Utakabili hali badala ya hali kukukabili
6 Steven Scott, The Richest Man Who Ever Lived., A currency Book, Random House.
New York, NY., 2006, ukurasa 12-27.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
67
(Mithari 12:24) “mkono wa mwenye bidii utatawala;
Bali mvivu atalipishwa kodi.”
Utapata kutosheka kamili.
(Mithari 13:4), “Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate
kitu; Bali mtu mbaya huwa karaha, hupatwa na aibu.”
Utapata heshima na dhamna ya watu ambao wako
katika mamlaka
(Mithari 22:29) “Je! wamwona mtu mwenye bidii
katika kazi zake? Huyo atasimama mbele ya wafalme;
Hatasimamma mbele ya watu wasio na cheo.”
Mahitaji yako yatatimizwa
(Mithari 28:19) “Alimaye shamba lake atakuwa na
chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi atapata
umaskini wa kumtosha.”
Utapata ushindi wa kuongezeka
(Mithari 13:11) “Mali iliyopatikana kwa haraka
itapunguka; Bali yeye achumaye kidogo kidogo
atazidishiwa.”
Bidii yako italeta faida
(Mithari 14:23) “katika kila kazi namna faida; Bali maneno
ya midomo huleta hasara tu.”
Matokeo ya kutokuwa mwangalifu. Bidii yako itakuwa
bure.
(Mithari 14:23) “katika kila kazi namna faida; Bali maneno
ya midomo huleta hasara tu.”
Kushika uzembe, kinyume cha uangalifu
Mzizi na chanzo cha uzembe
Uzembe kulingana na kile Suleimani alicho andika katika
Mithari. Ubinafsi , maringo, upumbafu na kutoajibika. Mara
nyingi huunganisha haya mawili ya mwisho katika kitengo
anacho kiita ujinga.
Chanzo cha uzembe
Ubinafsi: (Mithari 21:2), “kila njia ya mtu ni sawa
machoni pake wenyewe; bali BWANA huipima mioyo.”
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
68
Maringo
(Mithari 26:16), “Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni
pake , kuliko watu saba wawezao kutoa sababu.”
Upumbafu na kutoajibika (ujinga)
(Mithari 24:30,31) “Nalipita karibu na shamba la mvivu, Na
shamba la mizabibu la mtu asiye na akili. kumbe! lote pia
limemea miiba; uso wake ulifunikwa kwa viwavi; na ukuta
wake wa mawe umebomoka.”
Hatua za Suleimanii za kuleta uangalifu katika maisha
yako.
1. Amka kwa ukweli
(Mithari 6:9-11), “Ewe mvivu, utalala hata lini? utaondoka
lini katika usingizi wako? bado kulala kidogo, kusinzia kidogo,
Bado kukunja mikono upate usingizi. hivyo umaskini wako
huja kama mnyang’anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye
silaha.” kwa maneno mengine wacha kuahirisha.
2. Elezea maono yako
(Mithari 29:18), “Pasipo maono, watu huacha kujizuia;
Bali ana heri mtu Yule aishikaye sheria.”
3. Tafuta mshauri wa kufaa
(Mithari 15:22), “Pasipo mashauri makusudi hubatilika;
Bali kwa wingi wa mashauri huthibitika.”
4. Tafuata hekima
(Mithari 16:16), “Si afadhali kupata hekima kuliko
dhahabu? naama, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.”
Ongeza kwa imani yako.
Viungo saba kwa imani vinapatikana katika somo letu la
mwongozo, 2 Petro 1:1-11Tumeongea kuzihusu katika sura
zilizopita. Nataka niziongelee kwa ufupi hapa.
Sasa weka uangalifu wako, nidhamu kwa viungo hivi.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
69
1. Kiambato cha kwanza cha Petro, wema
Kamusi ya taja neno hili kama kuwa mwema kitabia na
mwenye haki. Mwelezo wa Strong‟s unaelezea neno la
kiyunani kama arefe arefe (ar-et-ay) njia ya mwelekeo sawa
wa mawazo, kuhisi na kutenda wama na usafi.
Hata kama naelewa ya kwamba tunafanyika wnye haki kwa
imani, kuwa na kuelewa huko kwafaa kukuelekeza kuacha
mambo ya utu wako wa kale na kuuvaa utu upya wa Yesu.
Ndio, anaishi ndani yako, lakini unaweza kuchagua kumruhusu
aishi maisha yake kupitia kwako au uishi kama bado hajaingia
ndani yako.
(Wakolosai 3:5), “Basi, visheni viungo vyenu vili”
“Basi , kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu
wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema,
unyenyekevu, upole, uvumilivu, mkichumiliana, na
kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kulaumu mwenzake;
kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vvyo na ninyi. zaidi ya
hayo yote jivikeni upendo ndio kifungo cha ukamilifu.”
(Wakolosai 3:12-14)
2. Kiambato cha pili cha Petro, ufahamu.
Kamusi inaelezea neno hili kama: hali ya kuelewa kwa
ujumla ya kuwa na habari, kweli, mawazo mazuri, ukweli au
kanuni hali ya kuelewa kwa kupitia hali ya kusoma.
Maelezo ya Strongs yananfafanua hili neno kwa kiyunani
kama gnosis kikristo kwa ndani na kwa usawa kama na kwa
hali ya juu kwa mambo ya kufanya na kutofanya kwa wakristo
hekima ya utu mwema kama ninvyo onekana kwa kuishi
vyema.
Tunahitji kusoma neno kila siku ili tupate kufahamu.
Kusoma kwa kila siku na kutafakari zaburi na Mthalini ya
dhamna ili kupata hekima na ufahamu. Lakini ona kwamba
kuelezwa kwa ufahamu kwa njia moja ni kupatikana kupitia
ujuzi”. Mara tunapopata nidhamu ya Mungu kupitia uchungu
ili tupate funzo. Wakati nimepitia funzo chunga imenifanya
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
70
nihakikishe sifanyi wengine kupitia hali ya uchungu kama ule
kwa matendo yangu. Kuhisi uchungu kunanifanya niwe
mwangalifu kwa wengine. Mapito ni mwalimu mkuu.
Kwa upande mzuri tunapata ujusi kwa kufuata watu ambao
wamefaulu katika taaluma zinzotuvutia. Elimu yangu nyingi
katika maisha imekuwa ni kufundishwa na watu wallio mbele
yangu katika biashara na mambo ya kiroho.
3. Kiambato cha Petro, kiasi
Kamusi yaelezea neno hili kama uweze wa kujizuia haswa
katika utendaji
Mwelezeo wa Strong‟s unaelezea kwa kiyunani kama
Egkratela, kiasi (mtu anaye shinda, kiu na tama zake hasa
katika hamu zake.
Ni muhimu kujua kwamba kiasi ni sehemu ya tunda la
Roho, tunda la Roho Mtakatifu anaye kaa ndani yetu. Kiasi
huja kwa neema kwa kuruhusu Yesu kuishi maisha yake
kupitia kwetu. Tunapo tenda dhambi kwa kukosa kiasi na
nafasi yetu kuruhusu Yesu atuoshe na tuache kiasi chake
kutimilika.
4. Kiambato cha Petro cha nne, kustahamili
Kamusi ya eleza neno hili kumaanisha imara na
kuendelea kutenda na kuamini haswa kwa muda mrefu na
kuamini haswa kwa muda mrefu na kukiwa na pingamizi na
vikwazo. Katika Strong‟s kwa kiyunani neno hili ni
hupomene, subira, kuvumilia, kungojea, imara, kuendelea,
katika agano jipya tabia ya mtu ambaye hafikishwi kutoka
kwa kusudi lake na kujitolea kwake kwa imani na uungu
hata katika majaribu na kuteswa.
Ni muhimu kujua kuwa uvumilivu ni sehemu ya tunda la
Roho, tunda la Roho Mtakatifu anayeishi ndani yetu.
Uvumilivu una maana ya karibu sana na kuistahimiml. Na hii
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
71
pia ni tendo la neema. Tuliangalia kuvumilia na kukimbia
mbio katika zura zilizopita. Hivi ni viungo.
5. Kiambato cha Petro cha tano, uungu.
Kamusi yaelezea neno hili kama kuishi kwa sheria na
mapenzi ya Mungu; kujitolea.
Maelezo ya strong‟s yanaelezea neno hili kwa kiyunani
kama Elusebeia uungu utakatifu, heshaima, kujitoa kwa
Mungu.
Kwa maoni yangu inaweza elezewa kama “utakatifu” au
“maisha ya Yesu ndani ya mtu kupitia kwa Roho Mtakatifu”
ishi kwa njia ya kujitoa kwa Roho Mtakatifu mpaka unaweza
kuhisi mguso wake mdogo wati anapotoka ukiri dhambi zako.
6. Kiambato cha Petro cha sita, huruma ya kidungu.
Kamusi inaelezea neno hili (huruma) kama; hali ya kuwa
na uweze wa kuonyesha huruma na fadhili tendo la
kuonyesha kuhusika na kujali.
Maelezo ya Strong‟s yanaelezea kwa neno la kiyunani
kama Phleo, Philadelphia, upendo kwa ndugu au da, upendo
wa kindugu, upendo wa wandugu, katika agano jipya, upendo
ambao wakristo hupeana kama ndugu.
Hii ni moja wapo ya “upendo”
Tunaona katika Bibilia. Haifai kuonekana kama aiana ya
upendo wa Mungu yaani Agape
Ufasili kuta kwenye mtandao
http;/www.albatrus.org/English/potpourri/sermons/wha
t-is-love.htm
PHILEO inaonyesha upendo wa kibinafsi au raha,
ikijumuisha tama wakati mwingine. haihusishi werevu au
makusudi makuu. hii inaweka Philei chini kidogo kuliko
agape. ni hali inayofutwa kwa mtu mwengine na inatarajia
kurudishwa upendo pia.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
72
Huruma kwa wengine imekuwa ni jambo lililopuuzwa.
wakati mwengine huruma ni kusikiza badala ya kuongea.
inaweza kuwa nui kuonyesha kuvutiwa kwa mtu mwengine na
hali yake kwa wema. huruma inaweza onyeshwa kwa
kutohukumu wengine na kuwacha wajue hivyo.
7. Kiambato cha saba cha Petro Upendo- agape
Tulitoa sura nzima kwa hili hata hivyo hapa kuna mambo
yakuongezea. kamusi nyingi za kingereza hazina kuelezea kwa
neno (agape) hili kwa ukamilifu. Tofuti ya Wikipedia Anaya
jumuisha haya katika kuelezea kwake.
Neno agape hutumika kwa unadili sana katika vitabu vya
kale, lakini lilitumika na wakristo wa kwanza kuonyesha
upendo wa kujiletea wa Mungu kwa wanadamu, amabao
walikuwa na jukumu kurudisha na watendae kwa Mungu na
kwa moja na mwengine.
Maelezo ya Strong’s yanaeelzea kwa neno la kiyunani kama
agape(ag-ah-pay). ni upendo ulioanza katika Mungu peke
yake. mungu ni upendo, agape. upendo wake sio wa masharti
kwa watu wake, hata kwa adui zake , unatokana na tabia yake
ya kutakia wengine mema hata kam ni kwa kujitoa kwake
mwenyewe na kufa kwa ajili yao. ninauita “upendo wa damu”.
Maelezo kutoka kwa tofuti
http:/www.albatrus.org/English/potpourri/sermons/wha
t-is-love.htm
Huu ni upendo wa ufahamu, kuelewa na kujua
ukichanganishwa na kusudi na mwelekeo. aina yake ni juu
sana kuliko upendo wa aina nyingine yoyote kwa hakika
“agape” ni hali ya kudumu ya wema kwa Mungu na watu, bila
masharti yoyote,inayochipuka kwa wazi kutoka kwa Agape
ambayo Munguameweka ndani ya mioyo ya walio wake. ni
upendo usiohusishwa chochote. tunaweza kutoa Agape kwa
wengine kama Mungu kwanza ametujaza na Agape yake. aina
nyingine yote ya upendo inahitaji kurudishwa kitu ili idumu
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
73
lakini Agape inatoka kwa Mungu na wale wamejazwa nayo
hawahitaji dhibitisho kutoka kwa wengine wakiwa wamejazwa
na Agape ya Bwana.
Waefeso 2:4-6 inasema, “Lakini Mungu, kwa kuwa ni
mwingi wa rehema, kwa mapenzi yake makuualiyotupenda;
hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu;
alituhuisha pamoja na Kristo; yaani, tumeokolewa kwa neema.
akatufufua pamoja naye akatuketisha pamoja naye katika
ulimwengu wa roho, katika Kristo Yesu.”
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata
akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee,
bali awe na uzima wa milele” Yohana 3:16.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
74
Sura ya 8
Mfano Wa Mpanzi
Siri ya Ufalme wa Mungu
“Akawaambia,Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa
Mungu bali kwa wale walio nje yote hufanywa kwa mifano ili
wakitazama watazame wasione; Na wakisikie nwasielewe
wasije wakaokoka na kusamehewa.” Mariko 4:11-12)
Ona hii hapa ndiyo tumbo ya ufalme wa Mungu na sio
kama zingine.
Uelezi wa strong's unaeleza neno maajabu kwa neno la
Kiyuhani kama: Mustemon (Moos-tay-on) kutokana na ???
(kinywa kilicho fungua) kitu kilicho fichwa, siri fumbo, siri za
ndini, kuonyeshanwa kwa wakiohitimu sio kwa wote wa
kawaida.
Ninaamini kwamba mafumbo katika Bibilia ni mambo
yaliofichwa kutoka kwa kuelewa kwa kawaida lakini
yamekusudiwa kufunuliwa wale wanaoyatafuta kwa bidii na
ambao wamehitimu katika masharti ya Mungu kupokea ujuzi
wa ufunuo “Rhema” kutoka kwa Mungu.
Katika kitabu hiki kuhusu imani tumekua tukiongea kuhusu
imani ni nini, thamani yake ni nini, tunaipokea vipi na
majukumu yetu mengi ya kuiongezea viungo. Yesu alilahisisha
hali ya imani katika mfano wa mpanzi katika Marko 4.
Aliifanya rahisi kutosha kwa waumini ambao hawakua na na
elimu wa siku zile kuelewa, lakini rahisi sana ya kwamba
ilichanganya wasomi na waandishi wa kindini wa enzi zake ya
Ayubu bado imefichwa wakrosto wengi hata wa leo.
Kufika mwisho
Ninakumbuka katika miaka ya 1980 wakati na vipi Mungu
alovyo nifunulia hii kwangu. Iligonga kwa nafsi yangu kana
nuru ikigonga katika giza. Ilikuwa ni wakati wa hitaji kuu na
kufikia mwisho katika maisha yangu. Nilikua na njaa ya
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
75
kusikia Mungu akinena, lakini aliponena mara hii ilikuja na
tukio la nguvu na la kubadilisha maisha.
Tazama katika andiko hili hapa juu ya kwamba Yesu
alisema ameficha hili fumbo kwa kupenda kwake. Nilijiuliza
mara nyingi kwa nini alisema “na wakisikia wasikie
wasielewe, wasije wakaongoka nakusamehewa: Alikua
anaongea juu ya Isaya 6 pale imenakiliwa kwamba Isaya
alipata ufunuo mpya kutoka kwa Bwana. Hii ikafichika wakati
mfalme Uzzia alikufa. Uzzia mfalme mkuu na wa nguvu
katika Israel alileta ufanisi na usalama dhidi ya uadui lakini
alipokufa, tumaini la Isaya likageuka kwa Mungu peke yake.
Ni kutokana na kufikia mwisho huku ambapo Mungu
hujifunulia watu. Katika hiyo hiyo sura, Mungu alimuita Isaya
akahubiri ujumbe usio wa kawaida. “Naye akamwambia
Enenda ukawaambie watu hawa Fulizeni kusikia lakini
msifahamu; Fulizeni kutazama lakini msione.uunoneshe moyo
wa watu hawa ukayatie uzito masikio yao kuyafumbe macho
yao wasihje wakaona kwa macho yaona kusikia kwa masikio
yao na kufahamu kwa mioyo yao na kurenjea na
kuponywa.ndipo nilipo uliza eebwana hata lini?naye akanijibu
hata miji itakapokuwa ukiwa haina wenyenji na nyumba
zitakapokuwa hazina watu na nchi hii itakapokuwa gajo
kabisa.” Isaya 6:9-11
Wakati Isaya alimuliza Mungu atahubiri ujumbe huu wa
kutisha kwa muda gani, jibu lilikua ni, katika maneno yangu. “
Mpaka wafike mwisho”
Mfano wa Mpanzi
Marko 4:251.
1. Akaanza kufundisha tena kando ya bahari
Wakamkusanyikia mkutano mkubwa mno hata yeye
akapanda chomboni akaaka baharini mkutano
wote ulikuwako juu na nchi kavu kando ya
baharini.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
76
2. akawafundisha mambo mengi kwa mfano
akawaambia katika mafundisho yake.
3. Sikilizeni; Tazama mpanzi alitoka kwenda
kupanda.
4. Ikawa alipokuwa akipanda mbegu zingine
zikaanguka kando ya njia wakaja ndege wakaila.
5. Nyingine ikaanguka penye mwamba
pasipokuwa na udongo mwingi mara ikaota kwa
kuwa na udongo haba.
6. hata jua lilipozuka iliungua na kwa kuwa
haina mizizi ikanyauka.
7.nyingine ikaanguka Penye miiba ile miiba
ikamea ikaisonga isizae matunda
8. Nyingine zikaanguka penye udongo ulio
mzuri zikazaa matunda zikimea na kukua na kuzaa
moja therathini moja sitini na moja mia.
9. akasema aliye na masikio na akasikie.
10. Naye alipokuwa peke yake wale watu walio
mzunguka nawale thenashara walimwuliza habari
za ile mifano.
11. akaambia ninyi mmejaliwa kuijua siri ya
ufalme wa Mungu bali kwa wale walio nje yote
hufanywa kwa mifano.
12. ili wakitazame wasione ; Na wasikie
wasielewe wasije wakaongoka na kusamehewa.
13. Akawaambia, Hamjui mfano huu? Basi
mifano yote mtaitambuaje?
Mbegu ni neno la Mungu, Udongo ni moyo wako Nia ya
neno na uwezo wake ni kukuletea kila kitu unachohitaji
kwa maisha lakini watu wengiwanapoteza hii dhamana!
Kwa nini? Kama kwa mkulima wa kawaida ambaye
mimea yake hukauka, huwa ameshindwa kutunza shamba.
14.Mpanzi huyo hulipanda neno.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
77
15. hawa ndio walio kandoya njia lipandapo
nenonao wakiishi kusikia mar huja Shetani
akaliondoa lile neno lili lo pandwa mioyoni mwao.
16. kadhalika nahao ndio wapandwao penye
miamba ambaokwamba wakiishi kulisikia lile neno
mara hulipokea kwa furaha.
17. ila hawana mizizi ndani yao bali hudumu
muda mchache kasha ikitokea dhiki au udhia kwa
ajili ya; lile neno mara huku jikwaa.
Kushindwa kwatoka wapi?
Nimeona waamini wengi sana wakifichilia uridhi wao kwa
kuruhusu hisia zao kuwatawala wakati shida na dhiki
zimewapiga. Kulalamika, kutokua na shukrani na hali
zisizokubalika na Mungu kampa Shetani anacho kitafuta,
mbegu ya kuiba. Uridhi ambao Mungu anawatakia watu hawa
unapotea. Njia pekee ya imani yetu kuzaa ni kukaa na hali ya
Mungu wakati wa shida na dhiki. Ni lazima tuwe wa kusamehe
na tutembee katika upendo ambayo inajumuisha kujakuwa
msalamba kinyume na hisia zisizo za kiungu.
Watchman Nee Aliandika
“Akasema, Sikia, yuda wote, nanyi mkao
Yerusalemu na wewe mfalme Yehoshafati: BWANA
awambia hivi, Msiogope, wala msifadhaike kwa
jeshi hili kwani vita si yenu bali ya Mungu.” (2
Mambo ya Nyakati 20:15)
Pigana ushinde na umeshindwa vita tangu
mwanzo.
Kushindwa kwako kwa ukristo kuanza wakati
unapo thania ni lazima ushinde. Je shetani
alitokeza kakupiga kwako nyumbani, au katika
biashara.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
78
Ugumu unajkiinua, kutoelewana kunainuka hali
ambayo hauwezi kuikabidhi au kuitorokea
nijitokesha unaomba, unafunga, unang'ang'ana na
kushindana kwa siku nyingi lakini hakuna chochote
kinachofanyika.
Kwa nini? Unajaribu kupigana kupata ushindi,
na kwa kufanya hili unapoteza mahali pako, kwa
maana katika Yesu kristo Mungu tayari ameshinda.
Ushindi ni wetu kwa sababu ni wake. Ametupatia
ushindi wake tishikilie. Shetani ni adui
aliyeshindw. Inahitajika pumzi kidogo tu kutoka
kumumaliza na ha tuko tukileta fujo! Siri basi ni
nini? Rahisi. Tazama juu na usifu Mungu, “
ushindi wako Bwana una ?? yote. Ninakusifu kwa
sababu hata hali hii imeghalimikiwa pia” Kissa
pumzika katika ushindi ulishindaniwa tayari na
Mungu.
Moyo wa kidunia- Raha nyingi
18.Na hawa ndio wapandwao penye miiba ni
watu walisikialo lile neno.
19. na shuguli za ndunia na undanganyifu wa
mali na tama a za mambo ingine zikiingia
Moyo mzuri ni moyo wa kweli na mwema
20. Na hawa ndio walio pandwa penye udongo
mzuri ni watu walisikiapo lile neno na kulipokea na
kuzaa matunda mmoja thelathini moja sitini na
mmoja mia.
(Luka 8:15) inasema “ Na zile penye udongo mzuri, ndio
wale ambao kwa unyofu na wema wa mioyo yao hulisikia
neno, na kulishika; kasha huzaa matunda kwa kuvumilia.”
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
79
Hii inaitwa neema. Hii ni kuangalia mbegu ya Mungu
ikifanyika mti mkubwa katika maisha yako. Ni hali ya
kushangaza kabisa.
Kuona Mungu akitosheleza mahitaji yako zaidi na vile
uwezo wako ungeweza ni ya ajabu. Zaidi ya hiyo kuona
Mungu akifikia, kuokoa na kuponya wengine zaidi ya uwezo
wako ungetimiza ni ya ajabu zaidi itaieleza vipi? Ni lazima
ujiojee mwenyewe.
Mbegu hazijifichi kwa mchanga milele\
21. Akawambia mwaona aje?Taa huja ili kuweka
chini ya pishi au mvunguni?Sikuwekwa juu ya
kiango.
22. kwa maana hakuna neno lililo sitirika ila
makusudi lije likadhihirika wala hakuna lililo fichwa
ila makusudi lije likatokea wazi.
Katika mwaka 2002, Mungu alinipeleka upande wa pili wa
dunia kwa inchi ya kiafrica kutembelea kikundi kilichokua
kikitumia kitabu chetu cha uwanafunzi cha Kua au kufa.
Niliona matunda. Sikufaiwa nishangae lakini nilishangaa!
Niliona wakimbizi ambao hawangepata kazi kiharari kwa
sababu hawakua raia awakizaa matunda maishani mwao
wenyewe na kwa ufalme wa Mungu. Walikua wamepanda
makirisa matano katika vijiji havikua zimefikiwa mbalani
kabisa. Nilipopanda ndege kwa safari yangu kurudi nyumbani
Bwana akaniambia “Akawaambia mwaonaje? Taa huja ili
kuwekwa chini ya pishi au mvunguni? Si kuwekwa juu ya
kiango kwa maana hakuna neno lililo sitirika ila makusudi lije
likadhihirika wala hakuna lililo fichwa ila makusudi likatokea
wazi.” (Marko 4:21,22) ilikua ni siku ya wababa marekani na
nilipokea unabii kutoka kwa rafiki yangu ya kwamba baba
yangu alitaka anipeleke mimi, mwanawe kwa ssafari maalum
ili anionyeshe mambo mazuri na awe na wakati nami. Alifanya
hivyo nami nilishtuka!. Tunapoona tunda la Mungu katika
maisha yetu inafanya wanyenyekevu, tukijua kitu
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
80
kilikamilishwa na neema, na Yesu ndani yetu. Inatufanya
tufanye kama Petro alivua samaki wengi” odoka kwangu kwa
kua mimi ni mwenye dhambi”
Simoni Petro alipoona hayo alianguka magotini pa Yesu
akisema ondoka kwangu kwakuwa mimi ni mtu mwenye
dhambi Bwana.( Luka 5:8)
Macho na masikio yako ya kiroho yatakuwa au kufa
23. Mtu akiwa na masikio ya kusikilia na asikie .
24. Akamwambia Aangalie msikialo kipimo kile
mpimacho ndicho mtakacho pimiwa na tena
mtazindishiwa.
25. kwa maana mwenye kitu atapewa naye asiwe
na kitu hata kile alichonacho atanyang’anywa.”
Neno la Mungu ni mbegu ya kunijulisha ni ya kweli
Mungu anapoongea neno lake kwetu, inapandwa ndani ya
mioyo yetu kama mbegu katika udomgo. Inafaiwa ilkete
matunda katika maisha yetu na ieneze ufalme wa Mungu. Hivi
ndivyo Mungu anahusiana nasi, kupitia kwa neno lake katika
mioyo yetu. Ona katika mfano huu wa kawaida Mbegu
inapopandwa shetani anaanza kazi. Shetani hatuogopi yeye
huogopa Yesu peke yake na Yesu amedhihirishwa leo kama
neno lilipoandikwa ndani ya mioyo yetu. Kuishi jinsi hii katika
kuleta dhiki na mateso, lakini italeta pia maisha tele ambao
Yesu alinena kuhusu.
Baada ya darasa wanafunzi walianguka mtihani
Mara moja siku ile ile baada ya fundisho hili, Yesu
aliwapatia wanafunzi wake mtihani wa mwisho aliposema “
siku ile kulipokuwa jioni akawaambia, Na tuvuke ng‟ambo.”
(Marko 4:35)
Alipoongea hivi, neno lilikua limepandwa mioyoni yao
kama vile alivyo wafundisha. Lakini mara moja hali ilikua
kinyume na neno lililopandwa. Ikatokea dhoruba kuu ya
upepo,maimbi yakakipiga chombo hata kikaanza kujaa maji.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
81
Naye mwenyewe alipokuwapo katika shetri am,emelala juu
yam to wakamwammsha wakamwambia Mwalimu, si kitu
kwako kuwa tunaangamia.“” (Marko 4:37,38)
Yesu alijibu na huruma lakini pia na kukemea
“Akaamka akaukemea upepo, akaiambia bahari Nyamaza,
utulie. Upepo ukoma ukawa shuari kuu. Akawaambia mbona
mmkuwa waoga? Hamna imani bado?” (Marko 4:39-40)
Walisoma somo?
“Wakaingiwa na hofu kuu, wakambiana,Ni nani huyu,basi
hata upepo nabahari humtii.” Marko 4:41)
Amini neno, mwamini yeye, amini nguvu zake kuu, amini
upendo kwake kwake, bali sio hisia zako za kuonekana.
“Lakini mwenye hakli wangu ataishi kwa imani naye
akisitasita`roho yangu haina furaha naye .” (Waebrania 10:38)
Neno lilikua limepandwa ndani ya moyo wako ni hadi
miliki, udhibitisho wa ahadi yake
“Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatrajiwayo, ni
bayana ya mambo yasiyoonekana.” (Wahebrania 11:1)
Ni kama mwenye mimba ambaye bado hawezi kuona
mtoto, lakini anajua kitu kiko hai ndani yake.
Mbegu ina za
wanaume na wanawake
Vile wanadamu huzaana
Manii
ya Mwanamme
Yai la mwanamke
Vile mimmea
huzaana. Hii pia inasimamia Ufalme
wa Mungu. Neno la
Mungu ni Mbegu.
Udongo -wewe
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
82
Ni mbegu ya aina gani unatarajia kuona
Kwa jumla neno la Mungu hudhihilisha mpango wa Mungu
kwako unapo ishi kwa kuzaa matunda. Nina amini kwa sababu
mili yetu ni hekalu la Mungu tunatalajia kuona vitu vile vilikua
katika helalu ya agano la kale zikidhihilika kama matunda
maishani mwetu.
Kuna matunda aina tatu, moja kawa kila tunachohitajo
na kwa kila kitu Mungu anachohitaji
1. Tunda la roho. Sheria
Tunda la ndani. Hii ni tabia ya kiungu. Hili ndilo tunda
linalo kufanya kama Yesu, Soma (Wagalatia 5:22-23) “Lakini
tunda la roho ni upendo, furaha, amni , uvumilivu, utu
wema,fadhili, uaminifu, upole,kiasi juu ya mambo kama hayo
hakuna sheria.”
2. Tunda kwa maisha yetu. Manna
Hii inajumuisha hali yetu ya kijamii, familia afya na mwili,
uchumi na kadhalika. (3 Yohana 1:2) “Mwongezewe rehema
na amni na upendano.” Nimeona mahitaji ya kuhusikiwa kama
tabia yangu ilivyo badilika. Soma (1 Wakorintho:9:7) inayo
sema “Ni askari gani aendaye vitani kwa gharama zake
mwenyewe? Ni nani apandaye mizabibu asiyekula katika
matunda yake? Au ni nani achungaye kundi, asiyekunywa
katika maziwa ya kundi.”
(Yohana 4:36) inasema “Naye avunaye hupokea mshahara
na kukusanya matunda kwa uzima wa milele. Ili yeye
apandaye nay eye avunaye wapate kufurahi pamoja.”
Ushuhuda wangu
Kulikua na wakati katika mwaka wa 1983 ambapo mapato
yetu hayakutosheleza matumizi yetu. Nilienda kua peke yangu
na Mungu katika mahali pa kupumzika nikitembea na
kumwambia kuhusu shinda yangu.
Aliongea kwa wazi sana na akasema “ Larry ukiwa
utaamini , “Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa wingi
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
83
ili ninyi mkiwa na riziki za kila namana siku zote mpate kuzidi
sana katika kila tendo njema.”(2Wakorintho 9:8) uweke kwa
midomo yako na ndani ya moyo wako, na kama utainena kwa
sauti mara nyingi unavyoweza kwa siku nitayatimiza mahitaji
yako. Tafadhali niambie bajeti yako ni nini. Nikamwambia
Mungu ili ya chini sana kutunza jamii yangu. Kwa chini ya
miezi mitano mapato yetu yalipanda kufikia kile nilimwambia
Mungu tulihitaji. Lakini nikiangalia wakati huo katilka maisha
yangu, nikakubari kwamba miaka kadhaa kabla ya wakati huo
nilikua ninatolea Mungu kwa kunipa fedha nyingi kutoka kwa
mahitaji yangu.
3. Tunda la umisonari. Mti wa Aroni ulichibua
Tunda la huduma na kwa wengine. “ Hivyo hutukuzwa
Baba yangu kwa vile mzaavyo sana mtakuwa wanafunzi
wangu.” (Johana 15:8)
kazi yetu kwa Mungu haitahesabika ispokuwa iwe matunda,
sio kazi ya mwili
Tunda zote zina mbegu ndani kwa kuzalisha
(Mwanzo 1:11) Inasema “Mungu akasema nchi naitoe
majani mche utoao na mtri wa matunda uzaao matunda kwa
jinsi yakwe ambao mbegu zake zimo ndani yake. Ju ya nchi
ikawa hivyo.” wakati tunda la ndani linakuwa ndani yetu
linatoa mbegu nje ambazo hutoa matunda ya kuonekana au
huduma ingine.
Ushuhuda wangu
Sikuwa na mpango wa kuwa na huduma kama “
International Bible School” lakini nilikua na moyo wa
kutumikia Mungu. Katika mwaka wa 1995 Bwana alininenea
kwa njia mbili, alinena (Zaburi 68:11) Inayosema “Bwana
alitoa neno lake; Wanawake watangazao habari ni jeshi
kubwa.” Aliniambia kama nikiandika na kuchapisha neno,
angefanya watu wengi kuritakasa au walichapishe tena.
Pia alinena kutoka kwa (Marko 14 ) pale mwanamke
mmoja alifuja chupa ya mafuta ya Marhamu ya nardo na
kumiminia Yesu. Bwana akaninenea na kusema “ Larry
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
84
utachukua mali yako nakumiminia kwa mwili wangu kwa
sababu inafanya nijisikie vyema?
Maneno hayo au rehema kutoka kwa Bwana yakafanyika
mbegu ndani ya moyo wangu na sasa yanazaa matunda! Ya
kupendeza ni hii, mbegu inaendelea kujumulika na kila
kipande cha tunda ambayo hufanya matunda kuongezeka sana.
Ilikua na bado iko na jambo muhimu ni kua sikuhusika sana.
Ni kweli nilifanya kazi kwa bidii lakini kwa kile nilisikia
Mungu akaongeresha moyo wangu. Nilinibu kutofanya
mipango yangu.
Tafuta uhusiano na Mungu. Andaa moyo wako kwa
udongo mzuri, utakutana na vita vingi lakini ???Mungu.
“Mimi ndimi mzabibu wa kweli na baba yangu nduiye
mkulima, kila tawi ndani yangu lisilozaa huliondoa; na mkila
tawi lizaalo hulisafisha ili lizidi kuzaa. Nini mkekwisha kuwa
safi kwa sababu ya lile neno nililo waam,bia. Kaaeni ndani
yangu name ndani yenui kama vile tawi lisivyowezaq kuzaa
peke yake lisipo kaa ndani ya mzabibu; Kadhalika nanyi,
msipokaa ndani yangu. Mimi ni mzabibu; Ninyi ni matawi
akaaye ndani yangu njami ndanui yake huyo huza sana; Maana
pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lolote. Mtu asipokaa
ndani yangu hutupwa nje kama tawi nakunyauka; watu
huyakusanya na kuyatupa motoni yakateketea. Ninyi mkikaa
ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni
mtakalo lote nanyi mtatendewa. Hivyo hutukuzwa Baba
yangu, kwa vile mzaavyo sana; nanyi mtakuwa wanafunzi
wangu.” (Yohana 15: 1-8)
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
85
Sura ya 9
Kusikia Sauti ya Mungu
Tumekuwa tukisikia kuhusu imani , vile Mungu anaitumia
nani viungo gani tunafaa kuiongezea. Mara kadhaa katika
kitabu hiki nimeandika ya kuwa imani huja kwa kusikia
Mungu akiongea, au kwa maneno mengine imani ni matokeo
ya uhusiano wetu wa karibu na Mungu Basi imani,chanzo
chake ni kusikia na kusikia huja kwa neno la kristo”(warumi
10:17)
Kusikia Mungu wakati wa dhiki imekuwa ya dhamana
sana kwangu .
Kwangu mimi wakati wa muhimu sana kusikia sauti ya
Mungu ni wakati inaonekana kana kwamba Mungu hafanyi
chochote katika maisha yangu , wakati ahadi zake zinaonekana
ni kama za wengine lakini sia zangu na wakati huo hali
zaonekana kuwa baya kabisa . Kuna wakati hatuelewi kabisa
vile Mungu anafanyana pia anatupitishia.Njia zake ziko juu na
zetu.Hata kama alinifunulia kwa nini alibidi achukuwe njia
Fulani ni nadra sana anifunulie kabla dhiki kuisha.
Wakati wa muda wa dhiki mrefu ndio sauti ya Mungu ina
dhamana.
“Lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na hekima, na aombe
dua kwa Mungu awapaye wote kwa ukarimu wala hakemei;
naye ata pewa.”Hii ni ahadi ninayo chukuwa wakati sielewi
kwa nini mambo Fulani ya nachukuwa muda mrefu
kubadilika.Ikiwa naelewa siwezi lazimisha Mungu
atuongeleshee kuna wakati ambao nimeleta andiko hili mbele
zake nanikamwambia kwa imani naweza kumbuka wakati
ambao aliongea baada ya masaa machache.
Hata katika nyakati hizo lazima tuulize kwa nini imani na
kuamini neno lake. Ila na aombe kwa imani pasipo shaka yoyote maana
mwenye shaka ni kama wimbi la bahari lililochukuliwa na
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
86
upepo na kupeperushwa huku na huku.katika matokeo yote ya
biblia kusikia shauri ya mungu.Mmoja wa muhimu sana wa
hawa ni Ibrahimu .siku za Tera zilikuwa miaka mia mbili na
mitano; Tera akafa katika Harani.(mwanzo 11-32)12-3)”name
nita wabariki wakubarikio naye akulaaniye nitamlaani na
katika wewe jamaa zote za duniani watabarikiwa”.
Nyakati zile za sheria kusikia Mungu kutiliwa mkazo.
kumbukumbu la torati 28:1-2)Itakuwa utakapo sikia sauti
ya Bwana,Mungu wako kwa bidii, kutunza kufanya maagizo
yake yake yote nikuagizayo leo ndipo BWANA, Mungu wako
atakapokutukuza juu ya mataifa yote duniani;na baraka hizi
zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya Bwana Mungu
wako.
Nyakati za Yesu hapa duniani alitilia mkazo kusikia sauti
yake
“kondoo wangu waisiki sauti yangu name n a mi na wajua
nao wanifuata.
Baada ya kufufuka kusikia sauti yake ina kuwa kwa
wingi.
Hii ni sababu Roho mtakatifu amemwagiliwa juu ya watu
nani yeye hutufanya tusikie sauti ya mungu.Nikageuka nione
ile sauti iliyosema name. Nanilipo geuka niliona vinara vyaa
taa saba na dhahabu na katika ya vile vinara vya taa nikaona
mtu mfano wa Mwanadamu amevaa vazi lililofika miguuni na
kufungwa mshipi wa dhahabu matitini”(ufunuo
1;12,13)Bwana akamwambia Paulo kwa maono usiku
usiogope bali nena wala usinyamaze”matendo 18:9)Kwa
kuwa wote wanaongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana
wa MUNGU.
Maelezo ya strong,wa neno katika kiunani huios kumanisha
mwana anaye komaa kufanana na babake kinyume na mwana
aliyezaliwa tu.
Sauti ya Mungu huponya.
Kwa ujuzi wangu kupitia huduma ya „Bondage
breakers”njia ya pekee ya kufungwa wa ulevi kuponywa ni
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
87
kwa kusikia sauti ya Mungu. Hii ina tiliwa mkazo sana katika
huduma za ukombozi. Kama tutafikilia kuhusu hizi zote
tunahitaji uponyaji wa aina Fulani. Zote tumeingia kwa njia
Fulani kusikia mambo ambayo si ya Mungu ikijumuisha na
tama za mwili. Tunaweza ingia kwa starehe na raha wengi
hujipata wakitafuta Mungu popote kwa maisha rahisi.
Yesu alifanya wazi alisema ukitaka wokovu jikane, kufa
na unifuate.
Kama haufuati uwepo na kujifundisha kusikia sauti yake
kila mara imani haitakuja. Kama imani haitakuja basi hatuwezi
kuridhi ahadi zake hatutakuwa na kila kitu tunachohitaji kwa
maisha na uungu na hatutaona mabadiliko maishani mwetu.
Mungu hatatutumia kwa kiwango anachotaka isipokuwa
tunaweza kusikia sauti yake.
Neno la Petro la mwisho kabla hajakufa
Katika sura moja iliyopita kuhusu viungo vya Petro ana
waonya wasomaji wake wa hakikishe wakati wote wawe
karibu naMungu ilikusikia sauti yake ili wapokee ahadi zake
ambazo zitaleta kila kitu wanacho hitaji kwa maisha ya
uungu.Hili lazima lilikuwa baadhi ya maneno yake ya mwisho
. Katika Petro wa 2 sura ya 1na2 anaonya kwamba kuna njia
mbili tu.Yakwanza ni neno la Mungu kuinuka ndani ya moyo
wako kama nyota ya mchana na kuleta nuru ya asubuhi. Hiyo
ingine ni kuwashawisha na walimu wa uongo na kuleta
ubinafsi na hata mambo mabaya zaidi.
Maneno ya Petro ya mwisho yalikuwa ya nguvu.
sana “kwa hiyo nitakuwa tayari kuwakumbusha hayo siku
zote ijapokuwa mnayajua na kudhibitishwa katika kweli
mliyo nayo .Nami naona ni haki , maadamu nipo mimi katika
maskani hii, kuwaamusha kwa kuwa kuwakumbusha . Nikijua
kwamba kule kuwekea mbali maskani yangu kwaja upesi,
kama Bwana Yesu kristo alivyonionyesha .Walakini
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
88
nitajitahidi, kwamba kila wakati baada ya kufariki kwangu
mpate kuyakumbuka mambo hayo.( 2Petro1:12-15)
Kusikia sauti ya Mungu huleta ufahamu sio
kufundishwa kikawaida.
Wakati Petro na yohana walitwaliwa na na kubadilika uso
kwa Yesu katika Mathayo 17 aliwajua Musa na Eliya hata
kama hawaukuwa wamewaona mbeleni.Hawa kuwa na picha
zao waliwajua tu. Wakati Roho mtakatifu anakutwa katika
ufalme wa Mungu uwepo wa Mungu na una sikia sauti yake .
Kujua utajua mengi kuhusu Yesu. Mara nyingine ni kujijua
wewe ni nanikatika kristo na upendo wake.Wakati mwingine
kujua jinsi ulivyo muovu na mwenye dhambi. Kisha anakupa
nafasi ya kutafuta msamaha na neema na anakubadilisha .
umwili wako unaondolewa . Mambo ya ajabu yanafanyika
kwa maisha yako na kwa kuendelea ufalme wa Mungu.
Tafuta kwa bidii kumjua Mungu katika uwepo
wake!Dhawabu I za milele sio tu za duniani hii ni ya muda.
Mto Unaotiririka
Dondoo kutoka katika kitabu kiitwacho A table in the
Wildreness, (Meza Katika Jangwa) Juni 20. (6)
kilichoandikwa na Watchman Nee:7
“Nami nitaonana nawe hapo, na kuzungumza
nawe nilipo juu ya kiti cha rehema, katakati ya
hayo makerubi mawili yaliyopo juu ya sanduku la
ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza kwa
ajili ya wana wa Israeli (Kutoka 25:22).
Msingi wetu wa kuzungumza na Mungu ni upi?
Ni utukufu Wake. Juu ya kiti cha rehema, pamoja
na kivuli cha makerubi mawili tunapata ushirika na
Mungu, na hao ni “makerubu wa utukufu.” Ni
7 kimetolewa kutoka kitaabu Kukua au Kufa. htpp://www.isob-
bible.org/flowingriver.htm
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
89
pahali ambapo utukufu wa Mungu huonyeshwa,
pamoja na hukumu iliyo juu ya mwanadamu, hapo
ndipo tunapata rehema pekee. Je Mungu,kwa kuwa
yeye ni Mungu, hawezi kuonyesha rehema pahali
atakapo?La, yeye anaweza kuonyesha rehema
pahali ambapo utukufu wake unahifadhiwa. Hawezi
kutenganisha kiti cha rehema na makerubi.
Damu iliyotiririka ndiyo hufanya
mwenyedhambi apate kuzungumza na Mungu. Kwa
sababu ya damu hii, Mungu anaweza kuonyesha
rehema zake bila kwenda kinyume cha utukufu
wake;anaweza kuzungumza na mwanadamu bila
kujikana mwenyewe. Kwa hivryo damu ya Yesu ni
muhimu katika ushirika wetu na Mungu. Hata
hivyo, huu sio msingi wa ushirika. Ninapo
zungumza na damu katika kiti chake cha rehema,
mimi sitazami damu iliyoyadhamana, bali mimi
hutazama utukufu. Pasia imeondolewa, na kwa uso
usiona na pasia tunaweza kuona utukufu wa
Mungu.”
Kama mwana wa Mungu una ruhusa ya kufurahia ushirika
wa ndani na Mungu. Hii ni pamoja na kufurahia ushirika
katika uwepo wake, lakini hata zaidi ya hivyo. Mathayo sura
ya 6 inasisitiza zawadi ya maombi kuliko maombi
yaliyojibiwa. Zawadi ni Mungu mwenyewe. Matokeo mengine
ya maombi ni mambo ambayo hutokea. Ikiwa una ukweli
katika ushirika wako na Yesukutakuwa na ghalama ya kulipa.
Mungu hujidhihirisha kwa watu ambao wanampenda na
hushika amri zake (Yohana 14:21). Pia Mungu
hujidhihirishwa kwa wamtafutao kwa dhati wakiwa na nia
njema. Mara kwa mara ni lazima tutoke katika mambo ya
kawaida, na tutenge wakati wa Mungu pekee. Mungu
huheshimu walio na kiu na njaa ya haki na utakatifu wa kweli.
Ikiwa wewe haupati njaa ya mambo haya, omba Mungu akupe
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
90
njaa hii. Tunajua ya kwamba uwepo wa Mungu hauondoki
kwetu kamwe, lakini inazungumza juu ya kitu tofauti kabisa.
Nazungumza kuhusu kuingia katika utukufu wake. Hii
nitofauti na ibada ya watu wengi. Hii inahusu wewe peke yako
pamoja na Mungu katika mahali patakatifu papatakatifu! Tukio
kama hili kwa kawaida halihusu mwili au .kra zako. Ingawa
inaweza kuhusisha mwili, unaweza kuwa ushirika wa undani
kabisa. Unahisi utukufu wa Mungu hadi kiwango cha maisha
yako kubadilishwa kabisa. Ninaongea juu ya ubatizo wa Roho
Mtakatifu, zaidi ya karama. Ninaongea juu ya kushambuliwa
na utakatifu wa Mungu na kuchoma utu wako wa kale wa
Adamu. Untkapoendelea kusoma, elewa ya kwamba
ninapotumia neno “uwepo” ninaongea juu ya kiwango hiki cha
ziada.
Mkristo anapoelewa kwa imani Yesu angependa kuwa na
ushirika naye, anaweza kuhisi ushrika huu mradi tu amejitolea
kabisa kufuata maagizo ya Mungu. Maagizo ya Mungu ni
kujitpeana kwa Yesu kama Mwokozi, na kutii Neno Lake.
“Maana mkono wangu ndio uliofanya hivi vyote, vitu hivi
vyote vikapata kutokea, asema BWANA; lakini mtu huyu
ndiye nitakaye mwangalia, mtu aliye mnyonge, mwenye roho
iliyopondeka, atetemekaye asikiapo neno langu” (Isaya 66:2).
Tabia moja ya mwanadamu ni kuwa na shauku la kutubu na
kugeuka kutoka kwenye tabia zetu za zamani, ambazo sio
kama tabia za Mungu.
Maagizo haya huonekana kama “mambo ya kale” kwa
Wakristo wengi, lakini kuna mengine mengine zaidi ya vile
tuonavyo. Kwa hivyo, Wakristo wengi wamo katika
“magereza” ambayo hawastahili kuwa. Wamejifananisha kuwa
waaminifu kwao wenyewe na kwa Mungu. Wakati mwingine
wao huelewa wamejifananisha lakini hawaelewi wamo katika
“gereza”. Mara kwa mara adui hufunga milango ya gereza
yake kwa undanganyifu wa kuzingatia sheria na desturi za
dini. *****
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
91
Makusudi ya Mungu ni kuwa wanadamu waliopotea.
Kwa njia gani?
Tumebarikiwa ili tuwe baraka kwa watu waliopotea na
wanaokufa kote ulimwenguni. Mungu alimwambia Ibrahimu,
“Nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani;
na katika wewe jamaazote za dunia watabarikiiwa” (Mwanzo
12:3). *****
Pasipo Utakatifu, hakuna mtu atakaemuona Mungu!
Namshukuru Mungu kwa vile ametupea haki na utakatifu
kama zawadi . Lanini unapoendelea kuzama katika uhusiano
wako na anaza kuhisi mabadiliko ya kweli na halisi katika
tabia zako za haki na utakatifu. Siongeii kuhusu baadha yake
kuwekwa juu yako. Mchezo kama huu wa kidini huzaa watu
walio na uchungu na hasira, wakati ambao utakatifu wa kweli
huzaa furaha, upendo na matunda yote ya Roho. “Mkavai utu
mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na
utakatifu wa kweli” (Waefeso 4:24).
Njia Kuu 35. Njia Kuu ya Utakatifu katika Isaya 35.
“Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia
ya Utakatifu; wasio sa. hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa
ajili ya watu hao‟ wasa.rio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea
katika njia hiyo” (Isaya 35:8). Isaya 33 inaongea kuhusu
hukumu ya Waisraeli kwa sababu ya maisha yao ya dhambi.
Isaya 34 inaongea kuhusu Mungu akiwapitisha hatika hali ya
kushinda na Isaya 35 inatuonyesha matokeo, ambayo ni
utakatifu. Faida zimeandikwa katika sura ya 35. faida hizi ni
pamoja na furaha, kusifu, nyikani pamoja na nchi yenye kiu
kutabubujika chemichemi ya maji, jangwani kutakuwa na
majani, furaha itakuwa kubwa, baada ya kuona utukufu wa
Bwana. Inaelezea macho ya vipofu yatafumbuliwa, vilema
wataruka-ruka kama kulungu, huzuni itageuka kuwa imani,
walio na kiu watapewa maji, na eatu wataishi juu ya adui wao
wa kiroho. Utafaidika ukisoma sura hii ukiwa na maoni haya.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
92
Ezekieli 47:1-12 inaonyesha picha ya mto utiririkao.
Picha aliyoonyeshwa Ezekieli ni ya Hekalu la Mungu na
mto unaotoka katika hekalu hilo. Mungu aliongea na Ezekieli
na kumwonyesha kwamba huu ulikuwa Mto wa Uzima
unaotiririka kutoka kwa Mungu hadi kwenye bahari ya chumvi
na kuingia katika maji machafu yaliyooza. Mto huu
utayaponya maji hayo na kuyafanya hai. Maandiko katika
Ezekieli sura ya 47 yanasema ya kwamba mto ulianza kama
kijito kilichotoka chini ya hekalu, lakini mto huu ukaendelea
kuwa na maji mengi yaliyotiririka hadi kwenye bahari ya
chumvi. Mto huu ulifanya bahari ya chumvi kuwa hai. Kwa
kawaida bahari katika Biblia, humaanisha bahari ya wanadamu
waliopotea. Mungu alikuwa akimuonyesha Ezekieli kwamba
njia pekee ya kuwafanya wanadamu waweze kuishi, ni kwa
kuguswa na Mungu, kwa njia ya kitu kinachoitwa Mto
unaotiririka kutoka katika uwepo wake mwenyewe.
Katika Yohana 7:38 imeandikwa hivi, “Aniaminiye mimi,
kama vile maandiko yalivyonena, Mito ya maji yaliyo hai
itatoka ndani yake.”
“Ezekieli Andika”
Mungu alimwambia Ezekieli katika sura ya 43:10-11
aandike kuhusu picha hii ya hekalu na sheria zake ili watu
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
93
wauone na ndiposa waweze kutubu na hatimaye wawe Baraka
kwa wengine. Hii ni fundisho ambayo tunapata kwenye picha
hii ya mto utiririkao.
Hekalu liko wapi leo? Katika 1 Wakorintho 6: 19-20
tunaambiwa hivi; “Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu
la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu?
Wala ninyi si mali yenu wenyewe; maana mlinunuliwa kwa
thamani. Sasa basi mtukuzeni Mungu katika miili yenu.”
Hatuwezi kubarikiwa au kuwa Baraka kwa wengine bila
kuwa katika uwepo halisi wa Mungu.
Tunahitaji uwepo wa Mungu utuweke huru na kutusa.sha,
ili tuweze kufanya aina yoyote ya huduma na hata kuomba
maombi yaletayo matokeo Hapa kuna utaratibu ambao
tunaweza kuufuata ili tuweze kuhisi ujaza wa Mungu katika
maisha yetu, kanisa lako na katika uliwengu. “Wakawa
wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na
katika kuumega mkate, na katika kusali. Kila mtu akaingiwa
na hofu; ajabu Mto unatiririka ndani ili kukusa.sha - Mto
unatiririka nje ili kuuokoa ulimwengu uliopotea. Mto
unatiririka ndani ili kukusa.Mto unatiririka nje ili kuuokoa
ulimwengu uliopotea. nyingi na ishara zikafanywa na mitume”
(Matendo 2:42-43).
Tazama mambo matatu ambayo mitume walifanya kila
siku ambayo yalisababisha ajabu nyingi na ishara
kufanyika:
1. Mafundisho ya mitume. Hii ni kufundisha neno la
Mungu kila siku.
2. Kuomba. Haya yalikuwa aina tofauti za maombi. Kanisa
la mwanzo mara kwa mara walikiri wao ni akina nani katika
Kristo na walitubu dhambi za watu wote.
3. Ushirika na kuumega mkate. Walifanya hivyo kila siku
ili kuukumbuka mwili wa Kristo na damu ya agano.
******
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
94
Tunahitaji kujua kwamba kuna maadui wanaotaka
kumzuia Mungu asionekane kwamba ni kweli yupo
pamoja nasi.
Maadui zetu huja kwetu kwa njia kuu tatu:
Utashi wetu –
Akili zetu –
Hisia zetu –
Hushambuliwa na Mwili, Ulimwengu na Shetani
Swali:
Tunawezaje kuwashinda maadui hawa ili tuweze
kuingia katika uwepo
wa Mungu na kuwa na USHIRIKA naye?
Jibu:
Mungu ameishatupatia ushindi dhidi ya maadui wote!
Njia ya kuingia katika uwepo wake ilipatikana pale
msalabani wakati pazia lilipopasuka toka juu hata chini –
Marko 15:38. Sasa ni kazi yetu kushirikiana naye.
Tunapaswa kubeba msalaba wetu – huo utatupatia
ushindi!
Katika Luka 9:23-25 Biblia inasema, “Akawaambia wote,
Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike
msalaba wake kila siku, anifuate. Kwa kuwa mtu atakaye
kuiponya nafsi yake ataiangamiza, na mtu atakayeiangamiza
nafsi yake kwa ajili yangu ndiye atakayeisalimisha. Kwa
kuwa yamfaa nini mtu kuupata ulimwengu wote, kama
akijiangamiza, au kujipoteza mwenyewe?
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
95
Neno hilo nafsi katika Luka 9 linamaanisha utashi, akili na
hisia. Neno kukana linamaanisha kukataa kitu fulani. Ufunguo
wa kupata uzima tele na kupokea baraka kutoka kwa Yesu, hii
ikiwa ni pamoja na uwepo wake, ni kukamilisha agano la
damu kwa kubeba msalaba wetu.
Wengi wetu tunajua kazi nzuri sana, yenye uweza mkuu,
iliyohusisha kila kitu, ambayo Yesu aliifanya juu ya msalaba
wa Kalivari, jinsi alivyomwaga damu yake kwa ajili ya dhambi
zetu, na kufufuka katika wafu ili kutupatia uzima. Hatuwezi
kuongeza chochote juu ya hayo. Hata hivyo, ili tuweze
kunufaika na kazi hiyo, hatuna budi pia kufa. Lazima tubebe
msalaba wetu, tujikane wenyewe na kumfuata. Ni lazima
tuiangamize nafsi yetu. Uhusiano na USHIRIKA wetu na
Mungu umejengwa juu ya msingi wa agano la damu. Kwa
wengine jambo hilo linaweza kuonekana geni. Jambo hilo
linaweza kulinganishwa vizuri zaidi na ndoa. Watu wengi sana
wana ufahamu usio wa kibiblia kuhusu uhusiano huu wa agano
la damu. Hebu jiulize swali hili: Je, ungeweza kujadiliana na
mchumba wako kuhusu uhusiano mwingine wa kimwili
unaoruhusiwa kuwa nao na wanawake wengine baada ya
ndoa?
Agano la damu huchochewa na vifo VIWILI; cha Yesu
na chako!
Ni kitu gani muhimu sana kuhusu agano la damu?
Katika 1Petro 1: 18-19 imeandikwa hivi: “Nanyi mfahamu
kwamba Katika kitabu cha 1 Petro 1:18-19 tunasoma maneno
yafuatayo: “Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa
vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka
katika mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu;
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
96
bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-kondoo asiye na
ila, asiye na waa, yaani, ya Kristo.” Katika Mambo ya
Walawi 17:11 tunasoma pia maneno yafuatayo: “Kwa kuwa
uhai wa mwili u katika hiyo damu; name nimewapa ninyi hiyo
damu juu ya madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya
nafsi zenu; kwani ni hiyo damu ifanyayo upatanisho kwa
sababu ya nafsi.”
Maisha ya kiroho yanaweza kubadilishana na ile sheria
ya mbadala.
Agano la damu hubadilisha urithi wa familia yako.
Uridhi wa Jamii. Kimsingi, hii ina maana kwamba watu
wanaweza kuzaliwa katika familia fulani, na katika familia au
ukoo wao huo, wakapokea baraka na laana kama urithi wao.
Hata hivyo, baraka na laana zinaweza kubadilishwa. Makabila
kadhaa katika bara la Afrika, na pia katika utamaduni wa
Wahindi wekundu na katika jamii nyingine za Asia, yamekuwa
kila wakati yakitafuta njia za kubadilishana na watu wengine
baraka na laana.
Kabla ya kuumbwa kwa dunia, Mungu alikuwa amepanga
kwamba Yesu asulibiwe kulingana na Roho wa UZIMA, na hii
ina maana kwamba ile kanuni ya mbadala ilikuwa ikitenda
kazi hata kabla mwanadamu hajaumbwa `(Ufunuo 13:8).
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
97
Ili agano la damu liweze kweli kufanya kazi, ni lazima kila
upande unaohusika umwage damu, au ni lazima viwepo vifo
viwili au misalaba miwili. Lazima utu wetu wa kale ufe na
kisha tujikabidhi sisi wenyewe na vyote tulivyo navyo kwa
Yesu. Jambo la kufurahisha ni kwamba hata Yesu mwenyewe
ametoa yote aliyo nayo na kujitoa mwenyewe kwetu!
Tunapounganisha msalaba wa Yesu na msalaba wetu
tunakuwa tumeunganishwa na Mungu. Nguvu hutokea! Kila wakati kunakuwa na misalaba miwili inayopaswa
kuungana ili kufanya agano la damu.
Hema ni alama yenye nguvu ya misalaba miwili inayofaa
kutumiwa kama mwongozo wa maombi. Itatusaidia kubeba
msalaba wetu na kutuingiza katika uwepo hasa wa Mungu na
kuwa na USHIRIKA naye!
Dondoo kutoka katika kitabu kiitwacho “God‟s plan and the
Overcomers” (Mpango wa Mungu na washindaji),
kilichoandikwa na Watchman Nee.
“Agano la Kale linatuambia jinsi wateule wa
Mungu walivyoishi duniani. Kwanza, Hema
lilitumika kama kituo cha makabila 12; baadaye
Hekalu ndilo lililokuwa kituo chao. Kituo cha
Hekalu kilikuwa Sanduku. Hema, Hekalu na
Sanduku ni aina mbalimbali za Kristo. Kadri wana
wa Israeli walivyokuwa na uhusiano mzuri na
Hema au Hekalu walipata ushindi, na hakuna taifa
lililoweza kuwashinda. Ingawa wana wa Israeli
walikuwa hawajui kupigana, waliwashinda maadui
zao wote waliokuwa wamejifunza jinsi ya kupigana.
Lakini wakati walipokuwa na tatizo kuhusiana na
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
98
Hema au Hekalu, walichukuliwa utumwani.
Haikusaidia kitu kuwa na wafalme wenye nguvu au
hekima kubwa, kitu muhimu kilichoangaliwa ni
iwapo wamelikosea sanduku la maskani au hekalu.
Walipotoa kipaumbele kwa Mungu, ushindi ulikuwa
wao. Ndivyo ilivyo hata leo. Tukiuzingatia ushindi
wa Kristo, sisi pia tutapata ushindi.”
Unavyoendelea kuwa na ushirika na Mungu, jaribu kujiona
kana kwamba unatembea katika Hema kama jinsi makuhani
wa Agano la Kale walivyofanya.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
99
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
100
Kwanza: Msalaba Wake
Nyakati za Agano la Kale, kila mwaka Wana wa Israeli
walikuwa wakiadhimisha Siku ya Upatanisho ijulikanayo
kama “Yom Kippur” Dhambi za wana wa Israeli zilikuwa
zikishughulikiwa katika siku hii moja tu ya mwaka, wakati
kuhani mkuu alipojiandaa kuingia katika Hema kwa niaba ya
wana wa Israeli kwa ajili ya dhambi zao.
Pale kwenye madhabahu ya Shaba, katika ua wa nje,
kulikuwa na mbuzi wawili. Mmoja alifungwa kitambaa
chekundu shingoni mwake kuonyesha kwamba atachinjwa
kwa ajili ya damu. Mwingine alifungwa nje ya lango
kuonyesha kwamba angekuwa Azazeli. Mbuzi wa kwanza
alichinjwa madhabahuni na damu yake ilipelekwa na kuhani
patakatifu pa patakatifu ambapo aliitoa kwa kufukizia kando
ya madhabahu ya kufukizia (mahali pa sifa). Uvumba
ulipokuwa ukiungua, ulisababisha moshi ujae patakatifu pa
patakatifu, na hiyo iliwakilisha (na kuleta hasa) uwepo wa
Mungu. Kuhani alinyunyiza damu juu ya Kiti cha rehema mara
moja na pia alinyunyiza damu mbele ya Kiti hicho mara saba.
Nje ya marago, kila mtu alilala kifudifudi wakati yote hayo
yalipokuwa yakiendelea. Hakuna mtu aliyeona chochote
kilichokuwa kikifanyika, na hiyo ilimaanisha kwamba dhambi
zao zilisamehewa kwa mwaka mzima.
Pili, kuhani aliporudi na kubadili nguo zake, aliweka
mikono yake juu ya mbuzi mwingine, Azazeli, kuashiria
kwamba dhambi zote zimehamishiwa juu ya kichwa cha
mnyama huyo. Kulikuwa na mtu aliyechaguliwa kumpeleka
mbuzi huyo jangwani mahali pasipokaliwa na watu na
kumwacha sehemu ambayo hawezi tena kurudi au kutoroka.
Mtu huyo kwa mfano, alimpeleka mbuzi yule hadi kwenye
bonde lililozungukwa na miamba na majabali na kisha mbuzi
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
101
yule aliteremshwa chini ili asiweze kutoroka(Mambo ya
Walawi 16:21-22).
Sasa kuhani alipoweka mikono yake juu ya mbuzi aliye hai,
ili kuanza sehemu ya pili ya ibada, aliungama dhambi zote za
wana wa Israeli. Alisema, “Bwana, weka dhambi zangu na za
wana wa Israeli juu ya kichwa cha mbuzi huyu. Haya, we
mbuzi, ondoka.” Mbuzi yule alipokuwa akipelekwa nje ya
marago, watu wote walisimama na kushangilia. Watu wote na
hata watoto waliweza kuona tukio hilo na kufahamu. Azazeli
ni mfano wa Yesu aliye Azazeli wetu, aliyeshushwa chini hata
kuzimu kwa ajili yetu huku dhambi zetu zikiwa juu ya kichwa
chake. Alichukua dhambi zetu na kuziondoa kabisa,
zisionekane tena au kurudi. Zaburi ya 103:12 inasema “Kama
vile baba awahurumiavyo watoto wake, ndivyo BWANA
anavyowahurumia wamchao.” Katika kitabu cha Mika 7:19
tunasoma pia maneno haya “Atarejea na kutuhurumia;
atayakanyaga maovu yetu; nawe utazitupa dhambi zao
zotekatika vilindi vya bahari.”
Katika kitabu cha Waebrania 9:12-14 tunapata pia maneno
yafuatayo“wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa
damu yake mwenyewealiingia mara moja tu katika Patakatifu,
akiisha kupata ukombozi wa milele. Kwa maana, ikiwa damu
ya mbuzi na mafahali na majivu ya ndama ya ng‟ombe
waliyonyunyiziwa wenye uchafu hutakasa hata kutusa.sha
mwili; basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye kwamba kwa
Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka
isiyo na mawaa, itawasa.sha dhamiri zenu na matendo mafu,
mpate kumwabudu Mungu aliye hai?”
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
102
Yesu aliposema kwamba ni lazima tujikane, tuiangamize
nafsi kwa ajili yake, nk., alikuwa na maana kwamba
tunapaswa kuikana au kuiambia nafsi “hapana”.
Nafsi yetu ina sehemu tatu: Utashi, Nia (Akili) na Hisia.
Patakatifu panawakilisha ile sehemu ya utu wetu, yaani
nafsi.Sehemu hiyo ilikuwa na na aina tatu za fanicha au samani
zinazowakilisha utashi wetu, Akili na Hisia (Angalia mchoro
huo hapo juu). Kwa hiyo tunapoziambia sehemu hizi “hapana”
na kusema “ndiyo” kwa yale aliyo nayo Mungu, huku ndiko
kuubeba msalaba wetu.
Utashi wetu -
Akili zetu -
Hisia zetu hushambuliwa - na Mwili, Ulimwengu na
Shetani
Sasa tutasa.ri hadi kwenye sehemu zote hizo tatu wakati
wetu wa maombi na pia tutaendelea na safari na kuwapita
maadui zetu hadi katika uwepo wa Mungu!
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
103
“Mto Utiririkao”
(Mwongozo wa Maombi ya Kila Siku)
Kusafiri hadi katika Uwepo wa Mungu
Maelekezo:
1. Soma kwanza kurasa 7 za mwanzo, na kisha zisome tena
angalau mara moja kwa mwezi. Halafu kila siku, anzia ukurasa
huu, na uwe na muda wa kuwasiliana na Mungu angalau kwa
dakika ishirini.
2. Utakapoanza na hema ya kukutania, mgongo wako
unapaswa kuielekea dunia huku uso wako ukimwelekea Yesu.
Hii ni muhimu kwa sababu Roho
Mtakatifu hawezi kukaa na wewe iwapo unaelekea mahali
pabaya. (mwelekeo wa kiroho, Matendo ya Mitume 26:18)
3. Nenda hadi kwenye kila “kituo” ushughulike na somo
hilo katika hali ya maombi pamoja na Bwana. Tafuta katika
Biblia baadhi ya maandiko. Uwe macho kuhusu maeneo
yanayohitaji toba, kwa sababu jambo hili ni moja kati ya
michango yetu mikubwa, wakati huu tunapokuwa na ushirika
na Mungu.
4. Ni vema ukipitia vituo hivi vyote kwa wakati mmoja.
Unaweza kufanya hivyo kwa DAKIKA ISHIRINI. Hata hivyo,
kama huna muda wa kupitia utaratibu huu wote kwa mkao
mmoja, usikate tamaa. Badala yake, anza utaratibu huu
asubuhi, na umalize angalau hatua moja. Kisha endelea na
hatua ya pili wakati wa chakula cha mchana. Kama unahitaji,
endelea siku inayofuata. Hatimaye ishi maisha yanayofuata
utaratibu huu na itakuwa kawaida kwako kukaa katika uwepo
wake Mungu.
Ua wa Nje
Kituo cha kwanza: Madhabahu ya Shaba- Msalaba wa Yesu.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
104
Madhabahu ya Shaba
Msamaha.
Agano la damu hubadili mabaya yote tuliyo nayo na
kuweka mema yote aliyo nayo Mungu. Hata hivyo hatuwezi
kupata msamaha wa dhambi bila kumfanyaYesu kuwa Bwana
(Warumi 10:9-10).
Anza leo kuwa mkweli mbele za Yesu. Neno la Mungu
katika 1 Yohana 1:9 linasema “Tukiziungama dhambi zetu,
Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu,
na kutusa.sha na udhalimuwote.”
Sehemu kubwa ya kubeba msalaba wako ni kuwa KWELI
KABISA mbele za Mungu. Unahitaji kuwa wazi kabisa na
kumwambia kila kitu. Uwe na muda wa kuumimina moyo
wako kwa Mungu kama jinsi ambavyo ungefanya kwa mtu
ambaye ni ra.ki yako sana! Biblia inasema katika 1 Yohana 1:7
kwamba “tukienenda nuruni, kama yeye alivyo katika nuru,
twashirikiana sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana wake,
yatusa.sha dhambi yote.” Yesu alisema katika Yohana 3:19
kwamba dhambi haina nguvu iwapo watu watakuja kwenye
nuru pamoja na kweli, bila kujaribu kuji.cha gizani. Yesu
hakufa kwa ajili ya visingizio vyetu. Alikufa kwa ajili ya
dhambi zetu!
Unahitaji kutembea katika upendo, na ikitokea kwamba
umefanya dhambi, kimbilia kwa Mungu, usamehewe.
“Sheria ya Roho wa uzima ule ulio katika Kristo Yesu
imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti”(Warumi
8:2). Tukimgeukia Mungu kila wakati, na kudumu katika hali
ya uaminifu mbele zake, atatushindia makosayetu na vikwazo.
***
Angalia Mto Utiririkao Kiambatisho cha F ujitathmini
mwenyewe kwa uaminifu.
Kama hakuna dhambi zinazojulikana, basi kiri kwa kinywa
chako
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
105
maneno yaliyoandikwa katika Wagalatia 2:20 na 2
Wakorintho 5:21.
Kiambatisho F
Kujichunguza Kiroho
• Upendo - Je unawatendea wengine kwa upendo wa
Mungu usio na masharti?
• Ubinafsi - Kuweka mahitaji yako mwenyewe juu ya
mahitaji ya wengine. Upendo hujishughulisha na ustawi wa
mtu mwingine – je wewe unajijali mwenyewe zaidi na kujali
tu jinsi unavyojisikia?
• Kuiba - Je unaweza kukumbuka fedha ulizopokea kwa
mali iliyokuwa si yako?
• Kulaghai - Je, ulipata kitu chochote kutoka kwa mtu
fulani kwa njia isiyo ya haki?
• Kusema uongo - Aina yoyote ya udanganyifu wa
kukusudia
• Kashfa - Kumsema vibaya mtu fulani. Kumkashifu mtu
siyo lazima useme uongo - Je, umewahi kuwasema wengine
bila upendo?
• Ufisadi - Je, unajisikia hatia kuamsha tamaa usizoweza
kuzitimiza kwa haki? Ufasiki, uchafu wote, hata kama ni juu
ya mwili wakomwenyewe.
• Ulevi - Utumiaji wa madawa ya kulevya, karamu za ulevi.
• Lugha chafu au matusi - maneno maovu, mazungumzo
mabaya au yasiyo na maana, uchafu, mazungumzo machafu,
ya kipumbavu, ya kipuzi, ya upotovu.
• Wivu - Kwa kawaida mahali penye mazungumzo
yanayohusu makosa au kushindwa kwa wengine, kuna wivu
uliojificha.
• Utovu wa shukrani - Ni mara ngapi wengine
wamekufanyia vitu lakini hukushukuru?
• Hasira - Je, umewahi kukasirika?
• Kulaani - Umetumia lugha ya matusi.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
106
• Utani - Maneno yasiyohitajika, maongezi ya kipumbavu,
kuongea na kutenda kama punguani. Masihara na mzaha na
utani wa vitendo unaoelekea kudhoo.sha viwango vitakatifu na
vyenye thamani vya maisha. Je, umewahi kulitania kabila
fulani au sehemu fulani ya ulimwengu, taifa au mkoa katika
nchi yako, au mwanasiasa fulani? Mizaha ya kikabila au
kimikoa haina nafasi katika utakatifu.
• Ukali - Ulijibu mapigo, ulinung‟unika au kurudisha
mabaya kwa mabaya?
• Tabia - Je, kila wakati una uchu upitao kiasi? Na vipi
kuhusu tabia yako ya ulaji?
• Hali ya kuwa shingo upande - Unaweza kukumbuka
nyakati ambazo kwa makusudi kabisa ulikwepa kufanya
wajibu wako kwa ukamilifu?
• Kizuizi - Umeharibu imani au matumaini ya wengine kwa
kupoteza bure muda wao? Je, umemghilibu mtu aliyekuwa na
imani na wewe?
• Unafiki - Je, maisha uliyoishi siku za nyuma,
yamewafanya baadhi ya watu waone kwamba yale
uliyoyasema juu ya Kristo na Injili yake ni ya uongo?
• Kuvunja nadhiri - Je, kuna nadhiri yoyote uliyoweka
mbele za Mungu ambayo hukuitimiza?
• Kutokusamehe - Je, una kinyongo au uchungu dhidi ya
mtu mwingine, rafiki au adui?
• Mafarakano - Misuguano, roho ya kuwa na vikundi
vinavyotofautiana.
• Kutamani, kuishi kitajiri na kutapanya mali, ula.. Kutumia pesa kupita kiasi kwa kununua vitu madukani.
Kupoteza muda bure.
• Kutowatendea vyema, au kwa upendo na heshima, wake,
waume, watoto na wazazi.
• Kutoridhika, kuwa na wivu kwa sababu wengine wana
vitu lakini wewe huna.
• Kuabudu sanamu - Shauku yoyote katika maisha yako
inayozidi shauku ya kuishi na Mungu.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
107
• Ugomvi - Umechochea ugomvi kwa maneno
yasiyohitajika?
• Uchawi - Kumtawala mwingine kwa hila ili kutimiza haja
zako.
• Kuasi mamlaka - Mkuu wako wa kazi, mwalimu, mzazi,
kiongozi wa kiroho, nk.
• Kuupenda ulimwengu - Pamoja na: tamaa za macho -
unasoma au kutazama nini? Tamaa za mwili - unatamani nini?
Kiburi cha uzima
- Ni jambo gani katika maisha unalo.kiri kwamba unaweza
kulifanya
bila Mungu kuhusika? - Kujifanya kuwa mkubwa au mdogo
kuliko jinsi ulivyo kwa njia ya mawazo au kwa kuishi.
• Kiburi - ni dhambi kubwa kuliko zote. Chunguza maeneo
haya.
• Je, unaangalia tu kushindwa au makosa ya wengine au
unajishughulisha tu na mahitaji yako ya kiroho?
• Unajihesabia haki na kuwakosoa wengine au una huruma
na moyo wa kusamehe, ukitafuta yaliyo bora kwa wengine?
• Je, unawaangalia wengine kwa dharau au unawaheshimu
wengine wote na kuwaona bora kuliko wewe?
• Je, unajitegemea na kujitosheleza mwenyewe au
unawategemea wengine na kutambua kwamba unawahitaji?
• Ni lazima udumishe hali ya kuwatawala wengine au uko
tayari kuacha kutawala?
• Je, ni lazima uthibitishe kwamba uko sahihi, au uko tayari
kuiachia haki ya kuwa sahihi?
• Una roho ya kuhitaji tu au roho ya utoaji?
• Unatamani kutumikiwa au una hamasa ya kuwahudumia
wengine?
• Unatamani kupandishwa cheo au unafurahi wengine
wanapopandishwa cheo?
• Unahitaji kupewa sifa au unafurahi wakati wengine
wanapotambuliwa?
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
108
• Unasikia kujiamini kwamba unajua mengi, au yale
ambayo bado
hujajifunza yanakufanya uwe mnyenyekevu?
• Unajifahamu jinsi ulivyo au hujishughulishi na maisha
yako kabisa?
• Unawaepuka watu au unatafuta kuwa karibu na wengine?
Uko tayari kuchukua jukumu la kuwapenda watu kwa moyo?
• Unafanya haraka kuwalaumu wengine au uko tayari
kukubali
kuwajibika?
• Wewe ni mtu usiyetaka kukaribiwa na wengine au ni mtu
rahisi kuwasikia wengine wanapokusihi?
• Wewe ni mtu unayejitetea unapokosolewa au unakubali
kukosolewa kwa unyenyekevu na moyo mweupe?
• Unajishughulisha kutafuta kuheshimiwa au kuwa kama
ulivyo?
• Unajishughulisha na yale ambayo wengine wanafikiri au
yale anayofikiri Mungu?
• Unajitahidi kudumisha hali yako au hadhi uliyo nayo?
• Je, unaona vigumu kuwashirikisha wengine mahitaji yako
ya kiroho au uko tayari kuwa wazi?
• Unajaribu ku.cha dhambi zako au uko tayari kuonekana
wakati
unapokosea?
• Unajisikia tabu kusema, “Nilikosea, tafadhali nisamehe”?
• Unapoungama dhambi, unaungama kwa ujumla, au
unakiri na kuzitaja kabisa dhambi zile ulizotenda?
• Unajutia dhambi zako unapokamatwa au unasikitika kwa
kuzitenda na unafanya haraka kutubu?
• Wakati hali ya kutoelewana au migongano inapotokea,
unangojea wengine waje kuomba msamaha au wewe ndiye
unayeanza kufanya hivyo?
• Je, unajilinganisha na wengine na kujiona kwamba
unastahili heshima au je, huwa unajilinganisha na utakatifu wa
Mungu na kusikia hitaji kubwa la kupewa rehema?
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
109
• Je, una.kiri una mambo machache au huna kabisa mambo
ya kutubu au kila siku una moyo wa toba?
• Je, una.kiri kila mtu anahitaji uamsho au kila siku unasikia
hitaji la kupata upya ujazo wa Roho Mtakatifu?
• Unajivuna unapokaa na Mkristo mpya au unafurahia ari
yake? Uko tayari kujifunza kutoka kwake?
• Je, unaogopa unapokaa na Mkristo aliyekomaa zaidi yako,
au una njaa ya kujifunza mambo mbalimbali yanayotokana na
uzoefu wake?
Upasuaji unahitajika?
Iwapo Roho Mtakatifu anatuonyesha dhambi, tunahitaji
kwenda pale ambapo Bwana alikutana nasi kwa mara ya
kwanza. Ni pale msalabani. Tunamuona Yesu akiwa
amesulibiwa tena, kwa ajili ya dhambi hiyo, amebeba adhabu
yetu.
Damu inachuruzika chini kutoka msalabani. Hali hiyo
inapaswa kutushtusha na kutuhuzunisha kwa sababu tunaona
hukumu ya Mungu ya kutisha. Tunahitaji kufahamu kwamba
ghadhabu yote na hukumu ya Mungu iliwekwa juu ya Yesu
msalabani.
Yesu anatusubiri pale, siyo kutuhukumu, bali anafurahi
tukienda msalabani na kumpa dhambi zetu. Wakristo wengi
wanapotambua dhambi humkimbia Mungu kwa aibu na
kujisikia hatia. Dawa ya Mungu ya dhambi ni kwenda
Msalabani, kwenda Patakatifu pa Patakatifu katika uwepo
wake na kuruhusu tabia yake itawale tabia yako. Utakatifu
wake utaondoa dhambi zako. Hii pekee ndiyo dawa. Hatuwezi
kufanya jambo hili sisi wenyewe. Ni kanuni ya kuondoa na
kuweka. Hatuondoi dhambi zetu, Mungu ndiye anayetujaza
utakatifu na upendo wake na dhambi lazima iondoke. Usikate
tamaa iwapo inakubidi kufanya hivi mara kwa mara. Mungu
hatuhukumu. Anayefanya hivyo ni Shetani. Mungu
atakukaribisha kila wakati utakapomwendea. Ukiacha
kumwendea hapo ndipo anapohuzunishwa.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
110
Tembea katika nuru ya kweli.
Acha kujidanganya, ikabili dhambi hii kama ilivyo. Iache
kabisa kwa moyo wa dhati. Simama upande wa Mungu na
kuipinga dhambi hiyo. Kusudia moyoni mwako kutoirudia
KAMWE.
Kuungama:
“Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa
haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusa.sha na udhalimu
wote.”(1 Yoh 1:9). “BWANA amejaa huruma na neema Haoni
hasira upesi, ni mwingi wa fadhili. Yeye hatateta siku zote,
wala hatashika hasira yake milele.Hakututenda sawasawa na
hatia zetu, wala hakutulipa kwa kadiri ya maovu yetu; maana
mbingu zilivyoinuka juu ya nchi, kadiri ile ile rehema zake ni
kuu kwa wamchao. Kama mashariki ilivyo mbali na
magharibi, ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali nasi.”
(Zaburi 103:8 - 12).
Msamaha siyo tu kuondoa.
Msamaha ni neno zito linalomaanisha kukata
na kuondoa kama daktari wa upasuaji anavyokata na
kuondoa saratani. Msamaha wa dhambi unamaanisha kwamba
dhambi imeondolwa kwako na kuwekwa kwa Yesu aliyeibeba
msalabani. Kuungama ni kukubaliana na jinsi Mungu
anavyoliona jambo na kulitamka kwa kinywa chako.
Kuungama siyo kutamka tamka tu, ni pamoja na
kukubaliana na Neno. Unyenyekevu ni kukubali kwamba
umekosea. Je, utafanya hivyo sasa? Uko tayari kama mtoto
mdogo kumwendea Baba yako mwenye neema na upendo na
kungama dhambi zako na kuomba msamaha kwa
unyenyekevu?
“Ee Mungu, unajua upumbavu wangu, wala huku.chwa
dhambi yangu… kwa ajili ya jina lako, nisamehe uovu wangu,
maana ni mwingi…BWANA kama Wewe ungehesabu maovu,
Ee Bwana, nani angesimama? Lakini kwako kuna msamaha, ili
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
111
Wewe uogopwe. Ee Mungu Baba yangu, nakuja mbele zako
kuungama dhambi yangu (zangu) ya (za): (Sasa zitaje na
kuziungama.)
Neno lako linasema kwamba matendo haya au mwenendo
huu ni dhambi nami nakubaliana na Neno lako. Sina udhuru.
Sitaki tena kufanya dhambi hii ndani ya roho, nafsi na mwili
wangu. Nataka kuiacha na kutupa mbali nami. Inanitenganisha
mimi na wewe. Inaniharibu. Nataka kuponywa, roho, nafsi na
mwili, na pia nataka kuwa karibu na wewe. Napokea msamaha
wako. Asante kwa kuweka dhambi hii juu ya Yesu, na asante
kwa kuwa aliiweka juu ya Msalaba wake kwa ajili yangu.
Najua sistahili msamaha lakini nashukuru kwa kuniweka
huru.”
Malipizo ni utayari wa kulipa au kurudisha kitu fulani kila
inapowezekana. Iwapo sasa umesamehewa mbele za Bwana ,
uko tayari kumwomba akupe ujasiri wa kuungama na kufanya
malipizo kwa wengine uliowakosea? Ukitaka kuwa huru kweli
kweli dhamiri yako lazima iwe sa. mbele za Mungu NA
wanadamu. Huwezi kumtetea Mungu huku unajiona mchafu
mbele za macho ya watu wengine.
Kumbukumbu za kushin wa kwako mbele ya macho yao
zitakuingiza ndani sana katika utumwa kila wakati
unapowakumbuka. Kama hujawaomba msamaha, hali ya
kujihisi una hatia itaiua imani yako na kukuibia mwelekeo na
nia yako. Hata hivyo, hupaswi kuungama kila dhambi kwa kila
mtu; ni dhambi zile tu ulizowatendea watu unaowajua.
Kanuni: Maungamo yanapaswa kufanywa kulingana na
dhambi zilizotendwa. Kama ulitenda dhambi mbele za Mungu
peke yake, Mungu atakusamehe na kusahau uliyoyatenda
(Zaburi 103:8-13; Isaya 43:25; Yeremia 31:34). Dhambi
ulizotenda mbele za Mungu na wanadamu ni lazima uzitubu
mbele za wote WAWILI, Mungu na mtu (watu) uliyemkosea
(uliowakosea).
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
112
Baadhi ya yale yaliyomo katika Kiambatisho F
yalichukuliwa kutoka katika vijitabu vya Winkie Pratney
vilivyochapishwa katika mtandao wa kompyuta (www)
Kituo cha Pili: Birika: Neno la Mungu
Birika la Shaba
Kwa kuwa sasa fahamu zetu ziko wazi na tunaweza
kuwasiliana na Mungu, hebu twende kwenye Neno.
Neno linasema kwamba kuhani angekufa kama angejaribu
kuingia patakatifu kabla ya kusimama
kwenye birika. Hatuwezi kwenda katika uwepo wa Mungu
bila kusa.shwa na Neno la Mungu (Waefeso 5:26-27).
Birika litatuondolea uchafu wa dunia. Litakuwa pia kioo
cha kutuhukumu, litatuletea katika akili zetu mambo
tunayopaswa kurekebisha mbele za Mungu.
Neno litahuisha nafsi zetu ili tuweze ku.kiri kiroho na kuwa
kinyume na maneno ya pepo yanayokuja katika akili au
fahamu zetu. Neno linatuambia pia kwamba Shetani
amekwisha hukumiwa (Yohana
16:11). Hakikisha unasema maneno haya kwa sauti
“Shetani umekwisha hukumiwa, umeshindwa!”
Tumia dakika mimgi katika Neno!
a. Tumia kitabu chako cha sala
b. Tumia kitabu chako cha “ISOB” au kitabu kingine cha
kujifunzia Biblia.
c. Soma kitabu cha Mithali
d. Soma Zaburi sura moja au zaidi.
e. Soma vitabu vingine vinavyohusu Biblia au soma tu
Biblia na umwombe Roho Mtakatifu akutafsirie. Soma Biblia
yote kwa mwaka mmoja.
f. Sikiliza mafundisho au kanda za nyimbo zenye Neno la
Mungu.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
113
Kituo cha Tatu: Pazia la Kwanza:
Pazia la kwanza: Kushukuru
Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru; nyuani
mwake kwa kusifu.
Kwa kuwa sasa umekaa katika Neno, unajua uko sa. mbele
za Mungu na kwamba Shetani amehukumiwa, basi unayo
mengi ya kumshukuru Mungu! Hata kama huoni kwa haraka
mambo ya kumshukuru Mungu jaribu kuyatafuta. Kama
umeshindwa kuyapata, mshukuru kwa Neno lake linalosema
kwamba unao ushindi ukiendelea kulishikilia Neno. Mshukuru
pia Mungu kwa ahadi alizokuahidi ambazo bado hazijatimia
katika maisha yako.
Kituo cha Nne: Utashi wako
Meza ya Mkate wa Wonyesho
Kituo kinachofuata kipo ndani ya Patakatifu Hapa ndipo
unapompa Yesu utashi au mapenzi yako na Yeye
anakuonyesha mapenzi yake, unampa ufahamu wako na Yeye
anakupa ufahamu wake, unampa hisia zako na Yeye anakupa
hisia zake. Huku ndiko kuubeba msalaba wako, kujikana
mwenyewe na kumfuata Yesu (Luka 9:23).
Badilisha haja za moyo wako (hata kama ni nzuri) kwa ajili
ya mpango au mapenzi ya Mungu katika maisha yako. Weka
chini matakwa na mipango yako na umwombe Mungu
akuonyeshe mapenzi yake na mipango yake kwako. Kila
wakati Mungu huangalia utashi au mapenzi yetu; hii ndio
maana ya mkate wa wonyesho. Mkate ni unga uliosagwa,
ukachanganywa na mafuta na kuokwa motoni. Matakwa yetu
na hamu zetu ni lazima kila wakati zitolewe madhabahuni
zisagwe na kuchomwa.
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
114
Hii ni sadaka maalum kabisa kwa Mungu, kwa kuwa ni
utashi wetu, na yeye hawezi kutulazimisha wala kutuamrisha
kufanya hivyo. Itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, mpate
kujua hakika mapenzi ya Mungu (Warumi 12:1-2).
Amua kusamehe hata kama hujisikii kufanya hivyo. Hii ni
nafasi ya kutubu na kuacha njia za kidunia na kuzifuata njia za
Mungu. Tunapoacha njia mbaya, tunapata nguvu za Mungu
(Mdo 26:18 na 2 Kor 3:16). Badilisha tamaa za mwili, uwe na
tunda la Roho. Tunda la Roho ni: upendo, furaha, amani,
uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole na kiasi
(Wagalatia 5:19-23).
Kituo cha tano: Nia yako
Kinara cha Taa cha Dhahabu
Badili nia au mawazo yako ya zamani uwe na nia ya Kristo.
Katika 2 Kor 10:4-6 tunaambiwa kwamba vita viko katika
mawazo na .kra zetu. Na kwamba ngome ni mawazo yetu.
Mawazo haya hutufanya tuwe mbali na elimu ya Mungu. Kuna
mengi ya kusema hapa kwa sababu mawazo yetu ni sehemu
muhimu ya maisha yetu. Tunapaswa kuyaweka huru mawazo
yetu. Kwa njia gani? Tulipokuwa watumwa wa dhambi
tulitumia Mti wa Ujuzi wa Mema na Mabaya ambao ni
mawazo yetu. Sasa tunapaswa kutumia Mti wa Uzima ambao
ni Neno la Mungu. Siwazi tena na kuamua, bali natumia akili
zangu kwa sababu ni makusudi ya Mungu, na hiyo ndiyo
kusikia na kutii! Hii pekee ndiyo itakayoangusha ngome
katika akili zetu. Tukiuona utukufu wa Mungu kama Paulo
alivyouona alipokuwa njiani kuelekea Dameski, hatuwazi tena,
tunasema tu, “Bwana, unahitaji nifanye nini.” Mara kwa mara
pepo hutushitaki na kushambulia akili zetu kwa kutumia nusu
ukweli. Katika Isaya sura ya 11 tunaambiwa kwamba Mungu
hubadilisha maarifa yetu ya asili na kutuwekea yale ya Roho
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
115
Mtakatifu, yaani Roho wa Bwana, hekima na ufahamu, shauri
na uweza, maarifa na kumcha Bwana.
Tunahitaji mawazo au nia zetu zifanywe upya kwa Roho
Mtakatifu na Neno la Mungu (Warumi 12:2). Wakati
mwingine hatujui kuomba jins itupasavyo. Katika Warumi
8:26 tunaambiwa kwamba tukiomba kwa lugha, tutaomba
sawa sawa na mapenzi kamili ya Mungu. Kwa hiyo kila
unapoomba kwa lugha utakuwa unaomba sawa sawa na Neno
la Mungu na pia sawa sawa na mapenzi ya Mungu. Ile sehemu
inayohusika na usemi au kunena, hutawala akili, na hivyo nia
au mawazo yako hufanywa upya na kusawazishwa ili yaweze
kuuambia mwili wako utende mapenzi ya Mungu.
Kituo za sita: Hisia zako Madhabahu ya kufukizia uvumba
Badilisha hisia zako za zamani zilizosababishwa na mwili
wako na ulimwengu, na nafasi yake ichukuliwe na tunda la
amani, furaha, upendo, tumaini, nk. Hapa ni mahali pa dhabihu
za sifa. Soma Zaburi 145-150 kwa sauti kubwa, kama hujisikii
kumsifu Mungu moyoni mwako. Mungu anawatafuta watu
wanaomwabudu katika Roho na kweli (Yohana 4:24). Kutoka
katika mahali hapa pa sifa, Mungu atakutafuta na atahitaji
kuwa pamoja nawe!
Mpatie hizo hisia ambazo umekuwa uki.cha; labda ni
machozi yako, labda ni kuinua kwako mikono, au labda ni
kumfunulia tu hisia zako za kweli. Songa mbele, hakuna
mwingine anayeangalia isipokuwa Yeye!
Mbele ya madhabahu hii kuna pazia linalo.cha au
kutenganisha patakatifu pa patakatifu na uwepo wa Mungu.
Mungu anataka upite katika pazia hilo mara nyingi zaidi ya
vile unavyohitaji. Atakusaidia kufanya hivyo. Hakuna
mwanadamu wa kawaida anayeweza kuingia hapo bila kufa.
Pazia hili lilipasuka kutoka juu hata chini wakati Yesu
alipokufa msalabani, akatuwezesha kuingia katika uwepo wa
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
116
Mungu kwa damu yake, na kuonyesha kwamba kifo chake
kimeondoa kizuizi kilichosababishwa na dhambi. Kizuizi
hicho kilikuwa kinatuzuia kuingia katika uwepo wa Mungu.
Msifu Mungu kwa ukweli huu.
Patakatifu pa patakatifu ni mahali aambapo hakuna mwanga
au taa isipokuwa kwa ajili ya Mungu. Kuhani Mkuu aliweza tu
kuingia hapa mara moja kwa mwaka, tena kwa masharti
maalum. Ukweli ni kwamba madhabahu hii iliingia Patakatifu
pa Patakatifu pamoja na Kuhani Mkuu mara moja kwa mwaka.
Hii inaashiria kwamba kusifu kwako na kuabudu hakuishii
hapa bali ni mlango wa kuingia katika uwepo wake, na mambo
hayo huenda pamoja nasi.
Kituo cha saba: Roho Yako - Uwepo wa Mungu
Sanduku la Agano
Sasa Mungu atakuvuta na kukupitisha katika pazia hadi
Patakatifu pa Patakatifu - penye uwepo hasa wa Mungu.
Hili hapa Sanduku la Agano. Limefunikwa na Kiti cha
rehema kilichonyunyiziwa damu. Tulihitaji rehema kwenye
madhabahu ya shaba, yaani msalaba, mwanzoni kabisa. Lakini
sasa katika uwepo wake kuna ufahamu mkubwa wa rehema
yake na damu ya Yesu kwa namna ambayo Roho Mtakatifu
pekee ndiye awezaye kukuonyesha. Rehema zake ni za milele.
Ni kama haiwezekani kabisa kuandika rehema zake jinsi
zilivyo, ni lazima mtu apate uzoefu wa rehema hizo.
Katika kila upande kuna malaika wakubwa wanaolinda kila
kitu. Hapa pia hakuna nuru kabisa au taa isipokuwa kwa ajili
ya Nuru ya Mungu. Kumbuka, sanduku la agano lipo sasa
ndani ya mioyo yetu! Sio tena kitu cha nje. Sisi ni hekalu la
Mungu. Tafakari jambo hilo.”Hamjui ya kuwa ninyi mmekuwa
hekalu la Mungu, na ya kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani
yenu?” (1 Kor 3:16).
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
117
Yaliyomo katika Sanduku la Agano yanaashiria mambo
makubwa matatu:
Mana au Neno la Mungu: Unapokuwa katika uwepo wa
Mungu, Neno la Mungu lililofunuliwa huwa hai! Kama unao
muda, hapa ni mahali pazuri sana pa kufungua Biblia yako na
kumruhusu Bwana aseme nawe. Matunda yanayohitaji katika
maisha yetu hapa ulimwenguni yanapatikana katika Neno la
Mungu (2 Petro 2:1-11).
Mbao za sheria: Huu ni ukumbusho wa thamani kwamba
sheria ya Mungu imeandikwa katika mioyo yetu. Siyo tena
orodha ya mambo tunayopaswa kufanya au kutofanya.
Fimbo ya Haruni: Hii inamaanisha huduma yetu
iliyopakwa mafuta ya kuwa watendakazi na mashujaa wa
maombi kwa ajili ya Mungu. Kulikuwa na .mbo 12
zilizovunjika za mti wa mlozi zilizowekwa Hekaluni kwa amri
ya Mungu. Fimbo mojawapo ambayo ingechipua kimiujiza
wakati wa usiku, ingekuwa ile ambayo mmiliki wake ni
mhudumu aliyechaguliwa na Mungu. Ni Mungu pekee
anayetupatia huduma, na tunatambua ni huduma gani pale tu
tunapokuwa katika uwepo wake (Hesabu 17:8).
Hapa ndipo tunapoweza hasa kupokea ahadi za Mungu
katika Neno lake. Tunapozipokea hapa, tunajua kwamba
tutakuwa nazo! Neno la Mungu katika wa.lipi 4:19 linasema
“Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa
kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.”
Hapa unakuwa katika utukufu! Huu hapa utajiri wote wa
mbinguni unakungojea. Anza kumshukuru Mungu kwamba
mambo haya matatu siyo tu kwamba yapo mbele zako, bali pia
yako NDANI yako. Siyo tu kwamba yako NDANI yako lakini
damu na kiti cha rehema na malaika wanakulinda kwa hayo.
Katika Zaburi 91 tunasoma kwamba malaika zake watakulinda
katika njia zako zote. Sasa umeandaliwa kuwa mwombezi
hasa. Unashiriki huduma ya Ukuhani Mkuu wa Yesu na
Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika
118
kuwaombea wengine ipasavyo. Yesu alisema katika Yohana
15:7 “Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa
ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa.”
Kubeba msalaba wako huzaa matunda.
Huu unapaswa kuwa muda mzuri wa kustarehe na kufurahi
katika uwepo wa Mungu. Tumia muda wa kutosha hapa katika
hali ya ukimya na kufurahia kuwa pamoja naye. Hupaswi hata
kuongea. Mungu anafurahia jambo hili. Wewe pia utalifurahia.
Jambo hili ndilo lililozungumzwa katika somo hili, yaani
kuingia katika uwepo wa Mungu! Usisome tu jambo hili na
kuendelea. Amua kabisa kwamba kila siku utafanya zoezi la
kuingia katika uwepo a Mungu. Jambo hili ni muhimu sana ili
kupata ushindi katika maisha hayana yale yajayo.
Tumezungumzia mengi yaliyo ya muhimu kuhusu
imani. Ningependa kukupatia jambo moja lakuweka
maanani katika mawazo yako kuhusu hoja hii.
Kusikia Mungu akikunenea binafsi ndio jambo la pekee
ambalo litazaa imani na kwa hivyo uwe na maisha tele. Hii
huja tu kwa mtu ambaye:
1. Anaelewa ya kwamba yeye ni mudhaifu bila kuwa
na imani ya Mungu.
2. Ana mazoefu ya kuchukua muda na kuweka bidii
ili kuwasiliana na mungu kila siku.
i Wakati neno kamusi limetumiwa, inarejelea kamusi ya Microsoft ambayo imotelewa
katika Microsoft Word.