kuishi kwa imani katika dunia iliovunjikamungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote...

118
KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKA Na Larry Chkoreff Version 1.2 Desemba 2008 ISBN-978-0-9823060-0-0 Toleo la Kiswahili © 2010 Kimetafsiriwa na kuchapishwa na: Cistern Materials Translation & Publishing Center, Nairobi, Kenya Barua pepe: [email protected] www.cisternmaterialscenter.com Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliyovunjika kimechapishwa na International School of the Bible-ISOB, Marietta, GA USA [email protected] www.isob-bible.org Haki ya kumiliki © 2008 na Larry Chkoreff - Mwandishi Kitabu hiki ni mali ya mwandishi. Kinaweza kuchapishwa tena, iwapo tu kitachapishwa chote, kwa ajili ya kukisambaza bure (bila malipo). Hairuhusiwi kukibadili au kukihariri kwa njia yoyote ile. Kikichapishwa tena ni lazima kiwe na tangazo la miliki. Vifungu vyote vya Biblia vimetolewa kutoka The Holy Bible in Kiswahili Bi UV052 BST/BSK © 2003 published by Bible Society of Kenya and Tanzania.

Upload: others

Post on 04-Feb-2020

42 views

Category:

Documents


5 download

TRANSCRIPT

Page 1: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

KUISHI KWA IMANI

KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKA

Na Larry Chkoreff

Version 1.2 Desemba 2008

ISBN-978-0-9823060-0-0

Toleo la Kiswahili © 2010

Kimetafsiriwa na kuchapishwa na:

Cistern Materials Translation & Publishing Center, Nairobi,

Kenya

Barua pepe: [email protected]

www.cisternmaterialscenter.com

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliyovunjika kimechapishwa

na International School of the Bible-ISOB, Marietta, GA USA

[email protected]

www.isob-bible.org

Haki ya kumiliki © 2008 na Larry Chkoreff - Mwandishi

Kitabu hiki ni mali ya mwandishi. Kinaweza kuchapishwa

tena, iwapo tu kitachapishwa chote, kwa ajili ya kukisambaza

bure (bila malipo). Hairuhusiwi kukibadili au kukihariri kwa

njia yoyote ile. Kikichapishwa tena ni lazima kiwe na tangazo

la miliki.

Vifungu vyote vya Biblia vimetolewa kutoka The Holy Bible

in Kiswahili Bi UV052 BST/BSK © 2003 published by Bible

Society of Kenya and Tanzania.

Page 2: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

2

YALIYOMO

UTANGULIZI ........................................................................... 3

SURA YA 1 – MAELEZO YA JUMLA .................................. 6

SURA YA 2 – VIAMBATO VYA UVUMILIVU ………….. 18

SURA YA 3 – KUPIGA MBIO………………………………. 25

SURA YA 4 – KIAMBATO CHA UPENDO ………………. 34

SURA YA 5 - KIAMBATO CHA MATENDO………………. 45

SURA YA 6 - KIAMBATO CHA KUONGEA NENO……. 53

SURA YA 7 - VIAMBATO ZAIDI VYA PETRO……………. 62

SURA YA 8 – MFANO WA MPANZI ……………………….. 74

SURA YA 9 – KUSIKIA SAUTI YA MUNGU………………. 85

Page 3: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

3

Utangulizi

Kuishi Kwa Imani

Katika Ulimengu Uliyovunjika

Mungu alimpa Adamu mwaliko wa kushiriki katika Mti wa

Uzima.

Mungu hakutarajia tuishi maisha haya kupitia nguvu zetu na

uwezo wetu wenyewe. Anataka kuturejesha katika “maisha ya

kawaida,” mpango wake wa kwanza kwa mwanandamu. Katika

Bustani la Adeni, alimpa Adamu chochote alichohitaji ili kuishi

maisha tele. Mungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama

wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya

pamoja na jamii yake, kuilima na kuitunza Bustani la Adeni.

Jukumu muhimu la Adamu lilikuwa kudumisha urafiki wake na

Mungu, kusikiza Neno Lake kila siku, lililosimamiwa na Mti wa

Uhai, kumtii na kutimiza amri za Mungu. Shetani aliwashawishi

Adamu na Hawa waishi kulingana na hekima yao wenyewe.

Aliwadanganya ya kwamba, kusikiliza Neno la Mungu kila siku

halikuwa jambo la lazima. Pia aliwashawishi ya kwamba Mti wa

kujua Mema na Mabaya, hekima yao, ilitosha bila Neno la Mungu.

Kurejea katika „maisha ya kawaida‟ kunamaanisha kudumisha

urafiki wa karibu sana na Yesu pamoja na Baba kupitia Roho

Mtakatifu usiku na mchana. Tunaposikia Mungu akinena, imani

inapandwa katika mioyo yetu kama mbegu, na ikidumishwa vilivyo,

itazaa tunda ndani yetu. Tunda ni zaidi ya mambo yote ambayo

tunahitaji katika maisha, uungu, na kwa ajili ya kueneza Ufalme wa

Mungu hapa duniani.

“Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisita-

sita, roho yangu haina furaha naye” (Waebrania 10:38). Andiko hili

linamaanisha ya kwamba, wale ambao wamekuwa wenye haki

kupitia kazi iliyokamilika ya Yesu Kristo kupitia kifo chake na

kufufuka, watadumisha maisha yao wenyewe kwa imani, k.m., kwa

kusikia Mungu akinena na kukubalia tunda Lake liwe dhahiri katika

maisha yao.

Endelea, chukua jukumu na urudi katika “maisha ya kawaida.”

Hatua hii itakuongoza kuishi maisha tele kama vile Yesu ameelezea.

Na utakapofika Mbinguni utasikia, “Hongera.”

Page 4: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

4

Bwana ni Mchungaji wetu

Wachungaji huwatunza kondoo wao si kwa sababu

wanawapenda jinsi wanavyowapenda wanyama kipenzi

kama mbwa au paka, lakini ni kwa sababu kondoo

wanawakilisha faida kwao. Ufugaji ni kazi ya mchungaji,

biashara yake. Kwa sababu ya mapato ya ziada ambayo yeye

hutazamia kupata, anaweza kuwapenda kondoo wake na

awatunze kwa upendo. Hata hivyo, siamini wengi wa

wachungaji wanaweza kuhatarisha maisha yao mchana na

usiku miongoni mwa simba na mbweha kwa sababu ya

kuwapenda kondoo kama wanyama kipenzi. Wenye mashamba

makubwa katika Uingeleza ya kale waliwapa maskini

mashamba yili walime. Lengo lao muhimu lilikuwa ni kupata

faida kutokana na mimea. Mapato ya ziada yalikuwa maskini

walipata mahali pakuishi na chakula mradi tu waliwatumikia

mabwana wao.

Hivyo ndivyo ilivyo na Bwana wetu Yesu Kristo. Je, Yesu

ni mfalme wako?

Yeye ni Mchungaji wetu ili apate faida kutoka kwa maisha

yetu. Faida ni nini? Kutupenda sisi pamoja na wengine ambao

atatukuzwa kupitia kwetu. Yohana 15 inasema yakwamba,

Yesu hutukuzwa kwa vile tuzaavyo sana. Tunazaa matunda

kwa imani katika Mungu na hasa katika Neno lake

tunapokuwa marafiki wa karibu naye. Kutukuza kunamaanisha

kutoka gizani na kuingia katika nuru, kudhuhirishwa..

Pendo la Yesu kwetu ni zaidi ya vile mawazo ya

mwanadamu yanaweza fikiria kama “faida” Yake. Faida yake

ni pamoja na uzima wako kwa kuwa wewe ni sehemu ya

Biarusi Wake. Hii ni kinyume kabisa na uhusiano kati ya

mchungaji wa kawaida na kondoo zake.

Nina shawishika ya kwamba hautaweza kuona miujiza ya

kiroho ilioko katika Biblia na katika kitabu hiki, hadi

utakapomfanya Yesu kuwa Mfalme wako. Kuna sheria ya

kiroho inayowazuia wanaoendelea kuwa “wafalme” wa maisha

yao kuona miujiza ya ajabu ya Mungu. Wakati ambao umefika

Page 5: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

5

mwisho wako na huna lingile ila kumfanya Yesu kuwa

Mchungaji wako, au kwa maneno mengine, kumfanya Yesu

kuwa mfalme wako, basi atakufunulia ukuu Wake, upendo

Wake, jinsi anavyokujali, na utashiriki baraka za ajabu

maishani!

Tunakuhimiza uweke maneno haya katika mawazo yako

unaposoma kitabu hiki, na ujiepushe na “Imani yenye ubinafsi

na ya kujifikiria mwenyewe tu,” kama vile watu wengine

hufundisha. Mimi ni na shauku, na hata zaidi, kuliko baadhi ya

walimu wanaofundisha imani isiyo sahihi. Lakini shauku langu

linampendeza Mungu na linaeneza makusudi yake wala si kwa

sababu ya mapenzi yangu ya ubinafsi kupitia imani.

Page 6: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

6

Sura ya 1

Maelezo ya Jumla

Ujumbe Maalum wa Yesu

Ujumbe maalum wa Yesu umetabiriwa katika Isaya 61, na

Luka 4 imeandika sehemu ambayo Yesu alitumia kuhubiri

kuhusu ujumbe wake maalum “kabla ya Msalaba.” Ujumbe

maalum wa Yesu ni badilika! Si kubadilika kwa sababu ya

kubadikia tu, lakini ni mabariko mema na yenye manufaa,

uzima tele alioahidi. Yesu aliahidi kuwahubiri maskini habari

njema, uponyaji kwa waliovunjika moyo, kuwaacha huru

waliosetwa, na kuwafungulia waliofungwa.

Kutoka kuwa mfungwa na kuwa kuhani.

“Roho wa Bwana MUNGU i juu yangu; kwa sababu

BWANA amenitia mafuta niwahubiri wanyenyekevu habari

njema; amenituma ili kuwaganga waliovunjika moyo,

kuwatangazia mateka uhuru wao, na hao waliofungwa habari

za kufunguliwa kwao. Kutangaza mwaka wa Bwana

uliokubaliwa na siku ya kisasi cha Mungu wetu; kuwafariji

wote waliao. Kuwaagizia hao waliao katika Sayuni wapewe

taji ya maua badala ya majivu, mafuta ya furaha badala ya

maombolezo, vazi la sifa badala ya roho nzito; wapate kuitwa

miti ya haki, iliyopandwa na BWANA, ili atukuzwe. Nao

watajenga mahali pa kale palipoharibiwa, watapainua mahali

palipokuwa ukiwa zamani, watatengeneza miji iliyoharibiwa,

mahali palipoachwa kizazi baada ya kizazi. Na wageni

watasimama na kulisha makundi yenu, na watu wa kabila

nyingine watakuwa wakulima wenu, na watunzaji wa

mizabibu yenu. Bali ninyi mtaitwa makuhani wa BWANA;

watu watawaiteni wahudumu wa Mungu wetu; mtakula utajiri

wa mataifa na kujisifia utukufu wao” Isaya 61:1-6. Kuna ahadi

nyingi za kubadilika katika mistari inayofuata, na kifungu

kilicho hapo juu. Soma sura yote.

Page 7: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

7

Je, Yesu anafanya mabadiliko haya vipi, ndani yetu na

kwa ajili yetu?

Kwanza ni lazima ujue huu ni urithi, kitu ambacho tunarithi

kutokana na kifo cha mtu aliye mkubwa katika jamii yetu.

Tunafaa kuelewa ya kwamba kubadilika kwa ajili ya maisha

yetu mema, ni jambo tulioahidiwa na Mungu kupitia kwa

Yesu, sio kitu ambacho tunaweza kununua au tunachoweza

kufanya kazi ili tukipokeee. Ni kipawa cha bure, na urithi.

“…. urithi usioharibika, usio na uchafu, usionyauka,

uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu” (1 Petro 1:4).

Hata hivyo, kuna masharti katika urithi. Katika utamaduni

wa kisasa, utasikia jamii wakisomewa usia. Lazima uwe na

imani ili uamini ya kwamba jamaa huyu alikuwachia mali

hiyo.

Mungu huweka masharti Yake juu ya urithi Wake ili

auhifadhie watu fulani.

Kuiacha giza na kupokea msamah wa dhambi.

“Uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na

kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea

Mungu; kasha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi

miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi”

(Matendo 26:18).

Kushinda

“Yeye ashindaye atayarithi haya, nami nitakuwa Mungu

wake, naye atakuwa mwanangu” (Ufunuo 21:7).

Imani na uvumilivu. “Ili msiwe wavivu, bali mkawe wafuasi wa hao wazirithio

ahadi kwa imani na uvumilivu”(Waebrania 6:12).

Kuishi maisha ya kutubu na kutii

“husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo,

katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha

kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo

hawataurithi ufalme wa Mungu.” (Wagalatia 5:21)

Kuwa na macho ya kiroho yaliyofunguka,

Page 8: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

8

“Macho ya mioyo yenu yatiwe nuru mjue tumaini la mwito

wake jinsi lilivyo; na utajiri wa utukufu wa urithi wake katika

watakatifu jinsi ulivyo.” (Waefeso 1:18)

Anabadilisha faida zetu kwa tumaini na imani na

kuchanganyisha na kutii masharti yake.

Tukisoma Maandiko haya ya Isaya 61 tunapata tumaini.

Tumaini ni kama lengo au picha ya kitu kilicho kamilika ya

kwamba mambo yatabadilika na kuwa mwema. Hata hivyo

tumaini peke yake haiwezi kuleta matokeo. Imani na upendo

lazima ziongezwe kwa ahadi.

Imani ni jambo kubwa kwa Mungu

“…..kwa maana hakula kwa imani . Na kila tendo lisilotoka

katika imani ni dhambi.”(Warumi 14:23b)

Hi! Huo ni mistari unao washa

“Ni dhahiri ya kwamba hakubna mtu ahesabiwaye haki

mbele za Mungu katika sheria; kwa sababu mwenyuemwenye

haki ataishi kwa imani.”(Wagalatia 3:11)

Kutoamini ni dhambi

Hebrews 3:7-12 inasema, “Kwa hiyo, kama anenavyo Roho

Mtakatifu, leo , kama mtaisika sauti yake, msifanye migumu

mioyo yenu, kama wakati wa kukasirisha, siku ya kujaribiwa

katika jangwa, hapo baba zenu waliponijaribu, wakanipima,

wakaoma matendo yangu miaka arobaini. Kwa hiyo

nalichulkizwa na kizazi hiki, nikasema, sikuzote ni watu

waliopotoka mioyo hawa; hawakujizuia njia zangu; kama

nilivyoapa kwa Hasira yangu, hawataingia rahani mwangu.”

Mungu huongea nasi mambo ambayo aliyemalizisha kabala

ya msingi wa ulimwengu hayawekwa na mara nyingi bado

hatumaini ingawaji ni mambo yaliyotendwa tayari. Waebrania

4:3 inasema, “maana sisis tulioamini tunaingia katika raha ile;

kama vile alivyosema, kama nilivyoapa kwa Hasira yangu

hawataingia rahani mwangu; ijapokuwa zile kazi zilimalizika

tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu.”

Page 9: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

9

Imani ni nini? Inafanya kazi vipi? Tunaipata vipi?

Wacha tuangalie vile Bibilia inavyosema imani ni

inavyofanya kazi na ivle tunavyo ipokea

Tunasikia watu wengi wakisema “imani yako ni gani?

Wanauliza kuhusu kuamini kwao kwa kidini ingawaje kuna

uhusiano huo sio hali halisi ya imani . wengine husema “ni na

imani Mungu atatenda hili ama lile” mara nyingi wanavyo

maanisha ni kuwa wanatumaini Mungu atawafanyia jambo,

lakini hawana uhakika kamili na hawana msingi wa tegemeo

kwa hilo. Hiyo sio imani. Huo ndio wakati wa kutafuta uso wa

Mungu ili aongee imani kwako!

Kuelewa kwa kimawazo kukilinganishwa na kuelewa kwa

ufunuo

Mungu ametupatia jinsia tano ambazo hutupatia ukweli wa

ulimwengu wa kwaida tunaoishi.hizi ni kuina, kuguza,kunusa

halufu na kuonja. Tunatumia hizi kupata uhakika ya kwamba

tuko katika barabar ya usalama tunapoendesah gari, kusikiza

wenyewe wakiongea kuhusu mambo na kuendelea. Tunahitaji

hizi jinisia ili kuishi katika ulimwengu huu wa kawaida.

Walakini ulimwengu wa kawaida ni matokeo ya ulimwengu

usioonekana wa kiroho.Kile tunachoona katika ulimwengu wa

kawaida kinaletwa na mwanzo wake ni katika ulimwengu wa

kiroho. Mugnu aliwaonya Aadamu na Hawa ya kwamba

waishi kulingana na neno la Mungu na watumie jinisia zao

tano kwa mambo Fulani. Waligeuzwa na wengi baada yao

wamefuta.

Waebrania 11:3 inasema, “kwa imani twafahamu ya kuwa

ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, hata vitu

vinavyoonekana havikufanywa kwa vitu vilivyo dhahiri.”

2 Wakorintho 4:18 inasema,“tusivianangalie

vinavyoonekana bali visivyoonekana. kwa maana

vinavyoonekana ni vya muda tu; bali visivyoonekana ni vya

muda tu; bali visivyoonekana ni vya milele.”

Page 10: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

10

Imani ni kama hisia ya sita

Ni njia nyingine ya kupata utadi wa ukweli, njia hakika

sana Waebrania 11:1 “Basi imani ni kuwa na hakika ya

mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.”

Imani ni kitu , ukweli, kitu ambacho kinaweza guswa au

kushikwa, kitu cha kweli kinachoweza kumilikiwa.

Sasa wacha tulinganishe hisia hizi mbili.

Ninapogusa meza, ninajua iko. Ni na ushuhuda ya kwamba

inaweza kuishikilia sahani ya ya chakula. Ninapoguzaa

ufunuo wa kuelewa Mungu aliponipatia kupitia kwa neno lake

na Roho Mtakatifu, pia nimeguza ukweli hakika. Ninajua kile

Mungu alichonifunulia katika neno lake kwa Roho Mtakatifu

ni hakika, na inaeza kufanya kusudi lile lilifanya itumbue

kwangu, walakini hii inadhibitika kama kitu kama

ilivyosemwa katika Waebrania 11:1?

Neno la Mungu wakati limefanywa kwako kupitia Roho

Mtakatifu ni mbegu.

Yesu alifundisha wanafunzi wake kuhusu kanuni hii, hakika

aliwaambia katika Marko 4:11 mfano wa mpanzi ulikuwa na

maajabu ya ufalme wa Mungu.

Marko 4:3,”Sikilezeni;Tazama, mpanzi alitoka kwenda

kupanda; ikawa alipokuwa akipanda mbegu nyingine ilianguka

kando ya njia, wakaja ndege wakaila.”

“Mpanzi huyo hulipanda neno. hawa ndio walio kando ya

njia lililopandwa neno; nao, wakiisha kusikia, mara huja

Shetani, akaliondoa lile neno lililopandwa mioyoni mwao.”

Marko 4:14,15

Katika mfano huu neno la Mungu linafananishwa na mbegu

ambayo imepandwa katika moyo wa mtu. Hiyo ni kitu! Wakati

mkulima anapo pandambegu ya mahindi, hataweza kula

mahindi kesho yake, lakini ana kitu katika ardhi na anahakika

ya kwamba akiitwaa mbegu , mahindi yake yatakuwa katika

mkono wake pale anaweza kutumia na kuila. Wakati Yesu

ananpopanda mbegu ndani ya moyo wako kupitia kwa Roho

Mtakatifu utajua. Katika Sura sijazo tutachambua hili zaidi.

Page 11: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

11

Chembe hiki cha imani huja vipi?

Huja kwa “kumgusa Mungu”

Warumi 10:17 inasema “imani huja kwa kusikia na kusikia

Neno la Mungu.” Tazama maelezo ya Kigiriki ya “Neno” Hili

neno ni Rhema ambalo linamanisha sauti inayoishi ya mUnug

lililoongelewa kwa myo wako kabisa na kupanda kama mbegu.

Bibilia inasema katika Warumi 10:17 “imani huja kwa

kusikia (Kile kinachosemwa ) na kile kinachosikia huja kwa

kuhubiriwa ( kwa ujumbe unaotoka katika midomo) ya Kristo

Mesaya mwenyewe,”

Mtu anaweza kusikiza wahubiri kwa miaka mingi na

kusoma Bibilia usiku na mchana na asipojee imanai, mbegu

kwa nini?

Hawakupokea rhema kwa sababu Roho Mtakatifu

hakuweka nuru lile Neno litoke kwa Logos hadi kwa rhema.

Laziam shirikiane na Mungu ili Roho Mtakatifu afanye hili.

Ninaelewa ya kwamba hatuko wakamilifu na mtu ambaye

hajaokoka anasikia sauti ya Mungu kama hajaokoka hiyo ni

neema ya Mungu. Lakini hili linapotokea huyo mtu laziam

awe amefungwa moyo wake kwa njia Fulani. Aitha kwa

uwaminifu au kwa kulia kwa kutafuat msaada.

Mungu ndiye mwenye mwelekeo wetu wa imani

Waebrania 11:6 inasema, “lakini pasipo imani haiwezekani

kumpendeza; kwa maana mtu amwendeaye Mungu lazima

aamini kwamba yeye yuko, na kwamaba huwapa dhawabu

wale wamtafutao.”

Nimeona watu ambao wana imani zaidi kwa kile Mungu

anafanya mbegu iliyopandwa ndani ya mioyo yetu huonesha

kile Mungu atatundea lazzima tuendelee kumtizamiiia Mungu

mwenyewe upendo wake thabihu ya Yesu na mwaminifu wake

wa kutenda yaliyo bora kwetu.

Page 12: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

12

Neno imani linamaanisha nini?

Neno imani laitwa “Pistis” (pie-estis) uchambuzi wa kamusi

wa Strong‟s inaelezaaa hivi, “Njia tya kushawishi ya ukweli

wa kiungu, ushahidi kwa ujumla ukijimizwa na wazo la

uaminifu na kutii kwa utukufu kulipozaliwa na imani. Ni na

shawishika ya kwamba na mtawala wa vitu vyote. Ni

hakikisho la wokovu ulioletwa kupitia kwa Kristo.”

Pili inamaanisha uaminifu na kusimama kwa mtu aliyeona

ukweli ambao umeongolewa hapo juu. Mungu hujaribu imani.

Yeye huwaamni tu watu waaminifu; watasimama katika

uaminifu na kumtii ili aweze kuwategemea.

1 Petro1:6-9 inasema, “mnafurahi sana wakati huo,

ijapokuwa sasa kwa kitambo kidogo, ikiwa ni lazima,

mmehuzunishwakwa majaribu ya namna mbalimbali; ili

kwambakujaribiwa kwa imani yenu,ambayo ina thamani kuu

kuliko dhahabu ipoteayo, ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa

moto, kuonekane kuwa kwenye sifa na utukufu na heshima,

katika kufunuliwa kwake Yesu Kristo naye mwampenda,

ijapokuwa hamkumuona; ambaye ijapokuwa hamwoni sasa,

mnamwamini; na kufurahi sana, kwa furaha isiyonenenaka

mwisho wa imani yenu, yaani wokovu waroho zenu.”

Maisha ya Abrahimu ni mfano wa imani.

Ibrahimu aliishi wakti jamii na utamaduni wake wote

waliabudu vinyago, vinyago ambavyo mtu angeguza na

kuviona. Kulikuwa na kinyago cha kila kitu katika maisha.

Siku moja Mungu akanena na Abram,(kabla hajabadilishwa

jina) kitu ambacho watu katika siku zake hawakuwa

wamesikia.

Mwanzo 12:1-4 inasema, “BWANA akamwambia Abramu,

toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya

baba yako,uende mpaka nchinitakayokuonyesha; name

nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki na

kulikuza jina lako; nawe uwe Baraka. Name nitawabariki

wakubarikio naye akulaaniye nitmlaani; na katikawewe jamaa

Page 13: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

13

zote za dunia watabarikiwa. Basi Abramu akaenda, kama

BWANA alivyomwamuru; Lutu akaenda pamoja naye. Naye

Abramu alikuwa mtu wa miaka sabini na mitano alipotoka

Harani.”

Mungu alisema mambo mengi hapa ambayo yalimtatiza

Abramu

1. Katika siku hizo ni vinyago tu wangelibariki

2. Sarai alikuwa tasa

3. Aliulizwa awache jamii yake ambayo ilikuwa ni kam

shirika kubwa. Haukuwa tu utamaduni wake, maisha yake

ya urithi wake pia.

4. Abram hakuelezwa aende wapi, lakini alihitaji kusikia

sauti ya Mungu ili afike pale alipoahidiwa.

Katika Mwanzo 13 na 14, Abram alipitia majaribu katika

Misiri na vita na Chedorlaomer na wafalme wengine ambao

walisulubiwa Sodonia na kumchukua Loti, binamu ya Abram,

mateka. Baada ya hay Melchizedek alimtokea Abram na

kukubali zaka zake. Abram alikuta utajiri mkubwa aliopewa na

mfalme wa Sodomu na tamko hili, “Abramu akamwambia

mfalme wa Sodomu, nimeinua mkono wangu kwa

BWANA,Mungu aliyejuu sana, muumba mbingiu na nchi, ya

kuwa sitatwaa uzi wala gidamu ya kiatu wala cho chote kilicho

chako, usije ukasema, nimemtajirisha Abramu.” (Mwanzo

14:22-23)

Kisha katika sura ya 15:1 Mungu alimfariji Abram

“usiogope Abram mimi ni ngao yako na thawabu yako kubwa

sana” hii ilikuwa ni thawabu ya uaminfu na utiifu hata ule

wakati Abram hakuwa amesikia Mungu akiongea. Abram

alishinda kwa uvumilivu na kutiii ambako Mungu anahitaji

kutoka kwetu.

Baadaye katika sura ya 15, Mungu alimuahidi Abram motto

ili akiendeleze kizazi chake ambacho kiliahidiwa kuwa kama

nyota wa mbinguni. Abram aliuliza jinsi gani atajua hii ni

ahadi ya kweli na Mungu akampa agano la damu ambalo

Page 14: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

14

lingeifanya ahadi kutimia. Mwanzo 15:6 inasema,

“Akamwamini BWANA, naye akamhesabia jambo hili kuwa

haki. ”

Kisha baada ya miaka 24 kupita Abram akapata motto na

Hagai na mwishowe ahadi yaIsaka ikaja kupita kwa Sara na

Ibrahimu. Baada ya matukio mengi katika Mwanzo 16-21.

Hatimaye miaka mingi baada ya Isajka kuzaliwa Ibrahimu

aliambiwa amtoe kama dhabihu. Tunajua hiyo hadithi

ilivyomalizika. Kondoo alitokea katika Mlima Moriah. Imani

ya Ibrahimu mwishowe alizawadwia kwa ukamilifu lakini hata

hivyo kama Bibilia inavyosema katika Waebrania 11:39-40,

“Na watu hao waote wakisha kushuhudiwa kwa sababu ya

imani yao,hawakuipokea ahadi; kwa kuwa Mungu alikuwa

ametangulia kutuwekea sisi kitu kilicho bora, ili wao

wasikamilishwe pasipo sisi.”

Hatimaye Mungu alitupatia ushuhuda wa imani ya

Ibrahimu uwe mfano kwetu.

Warumi 4:1-25

1. “Basi tusemeje juu ya Ibrahimu baba yetu kwa jinsi

ya mwili?

2. Kwa maana ikiwa Ibrahimu alihesabiwa haki kwa

ajili ya matendo yake,analo la kujisifia; lakini si mbele za

Mungu.

3. Maana maandiko yasemaje? Ibrahimu alimwamini

Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki.

4. Lakini kwa mtu afanyaye kazi, ujira wake

hauhesabiwi kuwa ni neema, bali kuwa ni deni, bali kuwa

ni deni.

5. Lakini kwa mtu asiyefanya kazi, bali haki

asiyekuwa mtauwa, imani yake mtu huyo imehesabiwa

kuwa haki.

6. Kama vile Daudi aunenavyo uheri wake mtu Yule

ambaye Mungu amhesabia kuwa na haki pasipo matendo,

Page 15: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

15

7. Heri waliosamehewa makosa yao, na waliositiriwa

dhambi zao.

8. Heri mtu Yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi.

9. Basi je! Uheri huo ni kwa hao pia wasiotahiriwa,

au kwa hao pia wasiotahiriwa? Kwa kuwa twanena ya

kwamba kwake Ibrahimi imani yake ilihesabiwa ya kuwa

ni haki.

Kwa maneno mengine, ni kufuata kwa sheria ya Musa

kulikoleta Baraka hizi? Paulo alisema la. Ni imani ambayo

ililetwa na Neema.

10. Alihesabiwaje basi? Alipokwisha kutahiriwa, au

kabla hajatahiriwa? Si baada ya kutahiriwa bali kabla ya

kutahiriwa.

11. Naye aliipokea dalili hii ya kutahiriwa, muhuri ya

ile haki ya imani aliyokuwa nayo kabla hajatahiriwa;

ijapokuwa hawakutahiriwa, ili na wao pia wahesabiwe

haki,

12. tena awe baba ya kutahiriwa, kwa wale ambao si

waliotahiriwa tu, bali pia wanazifuata nyayo za imani

yake baba yetu Ibrahimu aliyokuwa nayo kabla

hajatahiriwa.

13. Kwa maana ahadi ile ya kwamba atakuwa mrithi

wa ulimwengu alipewa Ibrahimu na uzao wake, si kwa

sheria bali kwa haki aliyohesabiwa kwa imani.

14. Maana ikiwa wale wa sheria ndio warithi, imani.

Maana ikiwa wale wa sheria ndio warithi, imani imekuwa

bure, na ahadi imebatilika.

15. Kwa sababu sheria ndiyo ifanyayo hasira; maana

pasipokuwapo sheria, hapana kosa.

16. Kwa hiyo ilitoka katika imani, iwe kwa njia ya

imani ya neema, ili kwamba ile ahadi iwe imara kwa

wazao wote; si kwa wale wa torati tu, ila na kwa wale wa

imani ya Ibrahimu; aliye baba yetu sote;

Page 16: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

16

17. (kama ilivyoandikwa, Nimekuweka kuwa baba ya

amataifa mengi); mbele zake yeye aliyemwamini, yaani

Mungu, mwenye kuwahuisha wafu, ayatajaye yale

yasiyokuwako kana kwamba yamekuwako.

18. Naye aliamini kwa kutarajia yasiyoweza

kutarajiwa, ili apate kuwa baba wa mataiofa mengi,

kama ilivyonenwa, Ndivyo utaavyokuwa uzao wako.

19. Yeye asiyekuwa dhaifu wa imani, alifikiri hali ya

mwili wake uliokuwa umekwisha kufa,( akiwa amekwisha

kupata umri wa kama miaka mia), na hali ya kufa ya

tumbo lake Sara.

20. Lakini akiiona ahadi ya Mungu hakusita kwa

kutoamini bali alitiwa nguvu kwa imani, akimtukuza

Mungu,

21. Huku akijua hakika ya kuwa Mungu aweza

kufanya yale aliyoahidi.

22. Kwa hiyo ilihesabiwa kwake kuwa ni haki.

23. Walakini haikuandikiwa kwa ajili yake tu kwamba

ilihesabiwa kwake,

24. Bali na kwa ajili yetu sisi mtakaohesabiwa vivyo

hivyo, sisi tunaomwamini yey aliyemfufua Yesu

Bwanawetu katika wafu;

25. Ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu, na

kufufuliwa ili mpate kuhesabiwa haki.”

Je! Na ukijihimiza ya kwamba kiwango chako cha

imanikiko chini?

Habari njema ni kwamba imani ni tunda la Roho, ni kipawa

cha bure kutoka kwa Mungu. Ongea na yee, mguse na utaona

imani yako ikija bila ugumu mwingi. Kazi itakuwa ni katika

kuongea naye na kuvumilia mpaka mwisho lakini imani sio

kazi imani huja.

“kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani;

ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha

Mungu.” (Waefeso 2:8)

Page 17: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

17

Sura zinazofuata zitagusia mambo ambayo tunapaswa

kuongeza katika imani.

Imani hutenda kazi kwa upendo: kustahamili na uvumilivu:

Kukimbia mbio: Imani hutenda kwa upendo: Kazi za imani:

Kuliongea Neno: Viungo vya Petro kwa imani: Mfano wa

Mpanzi: Kusikia Sauti ya Mungu - Mto uanotiririka.

Kule kusikoonekana

Mungu muumbaji, Neno la

Munngu, shetani, mapepo, malaika,

Roho yako, maneno yako.

Laana na Baraka. Maombi

Kule kunakoonekana

Mwili, vitu vilivyojengwa, serekali, falme za dunia

hii hali za kiuchumii. “mielekeo ya kidunia.”

Page 18: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

18

Sura ya 2

Viambato Vya Uvumilivu

Tukilinganisha imani yetu iliyokamilika na mchanganyiko

wa chakula ambacho lazima tuongeze viungo vingi, Kiambato

cha kwanza kujadili ni uvumilivu.

“Na hivyo kwa kuvumilia akaipata ile ahadi.” (Waebrania

6:15)

Kwa nini ningojee? Nitawezaje kungojea na kuvumilia?

Neno uvumilivu katika Kigiriki ni Makrothumeo ambalo

humanisha kuteseka na kukimia, subira, kupitia mateso kwa

wakati mrefu.

Watu wengi watafinyika mioyo siku za usoni ikiwa

hawatachukua kuvumilia huku kwa makini na katika mawazo

ya Mungu. Nasema kuna sababu mbili kuu kwa hali hii ya

kuvumilia. Moja ni kwa ajili yako kukubadisha wewe. Pili ni

kwa sababu yaw engine katika ufalme. Amani ya kwamba

waumini wachache wangeshindwa katika hali ya kuvumilia

kama wangejua jukumu, jukumu kubwa ambalo Mungu

amewaaminia kwa ajili ya mabo ya milele.

Nitawezaje kungoja kwa kutosha wakati ambapo

uvumilivu wangu wa kuruth ahadi za Mungu yaonekana

kukosekana? Kuteseka bila kulalamika ni sehemu ya tunda la

Roho, Wagalatia 5:22, ambayo yamaanisha Yesu aliye ndani

yako anao uvumilivu wa kutosha. Hiyo ni neema, ama kipawa

ambacho hukufanyia kazi, kipawa cha bure. Unahitaji kuwa

tupu ufike mwisho wako mwenyewe, na uwache yeye afanye

kazi. Atafanya!

Mwandishi wa Waebrania anatuonya ya kwamba

tukiwa wazembe hatuwezikurithi aahadi ambazo Mungu

ametupatia kwa imani.

Page 19: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

19

Waebrania 6:11-20

11.“Nasi twataka sana kila mmoja wenu aidhihirishe bidii

ile ile, kwa utimilifu wa matumaini hata mwisho,

12. Ili msiwe wavivu, bali mkawe wafuasi wa wazirithio

ahadi kwa imani na uvumilivu.

13.Kwa maana Mungu, alipompa Ibrahimu ahadi, kwa

sabbau alikuwa hana mkubwa kuliko yeye mwenyewe wa

kumwapa, aliapa kwa nafsi yake,

14. Akisema, Hakika yangu kubatriki nitakubariki na

kuongeza nitakuongeza.

15.Na hivyo kwa kuvumilia akaipata ile ahadi.

16. Maana wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuliko

wao; na kwao ukomo wa mashindano yote ya maneno ni kiapo,

kwa kuyadhibitisha.

17.Katika neno hilo Mungu, akitaka kuwaonyesha zaidi

sana warithio ile ahadi, jinsi mashauri yake yasivyoweza

kubadilika,alitia kiapo katikati.

18. Ili kwa vitu viwili visivyoweza kubadilika, ambavyo

katika hivyo Mungu hawezi kusema uongo, tupate faraja iliyo

imara, sisi tuliokimbilia kuyashika matumaini yale yawekayo

mbele yetu;

19. Tuliyonayo kama nanga ya roho, yenye salama, tyenye

nguvu, yaingiayo hata mle mlimo ndani ya pazia,

20.Alimoingia Yesu kwa ajili yetu, mtangulizi wetu,

amekuwa kuhani mkuu hata milele kwa mfano wa

Melkizedeki.”

Nanga ya nafsi imechimbwa kabisa ndani ya uwepo wa

Mungu. Unapoenda mbele ya uwepo wa Mungu, nanaga yako

imewekwa imara. Tabia yake na nguvu zake zitakupatia

uvumilivu unaokosa. Ikiwa umeipokea imani, ahadi ama

hakikisho kwa mguso wa kipekee ama kukutana na Mungu

kupitia kwa Neno na Roho Mtakatifu, basi nanga yako

imewekwa katika ardhi nzuri ya uwepo waMungu.

Page 20: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

20

Kwa nini Mungu anturuhusu kupitia wakati hu wa

uvumilivu ili kupata kile tunahitaji? Tulionywa mara nyingi

katika maandiko ya kwamba ni lazima tuteseke na tuvumilie

majaribu na kujaribiwa kwa imani. Ningetaka kupeana sababu

nne kuu, tatu katika sura hii na ya nne katika sura ijayo,

ambazo nimepata katika maandiko na katikamaisha kwa

sababu ya nyakati hizi za kuvumilia.

1. Usikose lolote

“Ndugu zangu, hesabuni ya kuwa ni furaha tupu,

mkiangukia katika majribu mbalimbali; mkifahamu ya kuwa

kujaribiwa kwa imani yenu huleta Zaburi. Zaburi na iwe na

kazi kamilifu, mpate kuwa wakamilifu na watimilifu na

watimilifu na watimilifu bila kupungikiwa na neno” (Yakobo

1:2-4). Ungetaka vipi usikose lolote? Weka hilo tumaini na

maono katika mawazo na moyo wako unapopitia mateso. Ni

lengo kubwa vipi uzima tele!

2. Tabia: ili tabia ikuzwe kwa ajili ya kazi ya Mungu

na utukufu wake. Hali ambayo imeandikwa katika Warumi 5 ni kama

mfinyanzi anaye tengeneza nyungu ya udongo.

Warumi 5:1-5 inasema, “Basi tukiisha kuhesabiwa haki

itokayo katika imani, na mwe na iamni kwa Mungu, kwa njia

ya Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa yeye tumepata kwa

njia ya imani kuifikia neema hii ambayo mnasimama ndani

yake; na kufurahi katika dhiki pia; mkijua kuwa dhiki, akzi

yake ni kuleta Zaburi; na kazi ya Zaburi ni uthabiti wa moyo;

na kazi ya uthabviti wa moyo ni tumaini; na tumaini

halitahayarishi; kwa maana pendo la Mungu limekwisha

kumiminiwa katika mioyo yetu na Roho Mtakatifu tuliyepewa

sisi. ”

Tuanaambiwa dhiki huleta subira ambayo ni neno kama

sawa na kuvumilia . subira huleta tabia amabyo huleta tumaini,

na tumaini huweka bila kufa moyo wakati wetu wa kuvumilia

Page 21: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

21

kw sababu kama vile inavyosema sisi ni chombo amabcho

Roho Mtakatifu hujaza.

Nyungu ikiwa katika gurudumu la mfinyanzi, ni udongo

mwepesi. Maji ikiwejkwa kwa nyungu ikiwa bado haija kauka

haiwezi kuyashikilia. Kwa hvyo ni lazima mfinyanzi aipitishie

katika moto au aweke kwa tanuu iliyo moto ili kuifanya

kamili. Baadaye nyungu inaweza kuwekwa kitu na ishikilie

iwe ya thamani kubwa.

Warumi 5:5 inasema sisi ni vyombo vya Roho Mtakatifu.

Kwa hivyo ni lazima tupitie mioto ya maisha, tukivumilia ili

tuwe vyombo sawa kubeba Roho Mtakatifu kwa kazi ya

thamani. Tabia inaumbwa na Mungu anantupatia majaukumu

zaidi kwa utukufu wake.

3. Kupokea wokovu kamili ama kuponywa kwa nafsi

zetu.

Mungu anataka tabia yake ipigwe muhuri juu yetu. Msingi

wa Neno tabia katika Kigiriki lamaanisha muhuri au

kuchoreka. Dhiki yetu huchora mateso ya mukosi juu yetu.

“Lakini mwenye kuvumilia hata mwisho, ndiye

atakayeokoka.”(Mathayo 24:13). Uchambuzi wa Strong‟s

unaelezea kuokoka hivi: kuokoka, weka salama na vyema,

okoa kutoka hatarini au uharibifu kutoka kwa majeraha au

hatari.

“Kama vile Sara alivyomtii Ibrahimu, akamwita Bwana;

nanyi ni watoto wake, mfanyapo mema, wala hamkutishwa

kwa hofu yo yote. Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake

zenu kwa akili; na kumpa mke hushima, kama chombo kisicho

na nguvu kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi

kuomba kwenu kusizuiliwe. neno la mwisho ni hili; mwe na

nia moja, wenye kuhurumiana, wenye kupendana kama ndugu,

wasikitikivu, wanyenyekevu.” (1 Petro 1:6-9)

Page 22: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

22

Kuokolewa kwa nafsi- Na Watchman Nee1

Kutoka kuokoka kwa nafsi ni tofauti kabisa na kile

tunachojua kama kuokoka roho. Roho huokolewa kwa njia ya

imani; tukiamini imewekwa milele. Nafsi huokolewa kwa

kufuata haya: ni jambo la maisha yetu yote, mwendo wa

kumalizwa. Roho huokolewa kwa sababu Kristo ametoa

maisha yake kwa ajili yangu; nafsi huokolewa kwa sababu

najinyima na kumfuata Bwana.

Nafsi ndiyo kiti cha hisia zetu za kimwili. Hatuwezi kuhisi na

kufurahia. Tamanio ya maisha haya ya nafsi yanadai

kutosheleshwa. Lakini watu wakitafuta kutosheleshwa kwa

mambo haya katika maisha haya, watapoteza kutoshelezwa

katika maisha yajayo. Yeyote afurahiaye nafsi yake katika maisha

haya tayari amepata raha inayoweza kupatikana katika mwili

wake; kwa hivyo atapoteza raha hizi katika maisha yajayo.

(angalia Mathayo 16:25-26)

Yeye ashindaye dhambi huingia mbinguni, hii ni

kusamehewa Yule anaye shainda ulimwengu huingia kwa

ufalme, hi ni zawadi.

Bwana hatufundisha kujiweka kando na dunia. Yeye hutaka

kutushawishi tusisikue mateka na vitu vya dunia hii. Kama

tukianza kujilinganisha kwa vitu hivi kupita kiasi basi

tumeenda kombo. Iwe ni nafasi, chakula, majengo hatutafuti

kutoshereka kwetu wenyewe.

Mungu huweka chaguo la mbinguni au Jehanamu mbele ya

mwenye dhambi. Na vivyo hivyo huweka mbele ya muumini

wake chaguo la ulimwengu ama ufalme wake.

Kupokea wokovu wa roho ni mwanzo wa imani yetu na

kupokea wokovu wa nafsi ni mwisho wa imani yetu.(1 Petro

1:9)

Mungu anaonyesha kupitia kwa Kristo ya kwamba ni yeye

pekee yake anayeweza kuishi katika kiwango kile alichoweka.

1

Nee, Watchman. Kimetungwa na Sentinel Kulp. Secrets to Spiritual Power. Whitaker

House. New Kensington PA. 1998, ukurasa 159-160.

Page 23: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

23

Kwa hivyo Mungu hakumchagua Kristo afe Kalivari kwa ajili

yetu tu, lakini pia awe maisha yetu leo.

Wokovu wa Mungu humfanya Bwana Yesu aishi ndani yetu

na vivyo hivyo afe kwa ajili yetu Kalivari. Hulipa deni zetu za

dhambi zoe, lakini pia huishi ndani yetu ili tusiingie katika

dhambi tena. Kama umepata nusu ya wokovu huu pekee yake,

bila shaka utakuwa huna furaha na utakaso kuhisi furaha

kamili ya wokovu.

Hakika Mungu anakuuliza ufanye jambo moja tu: jipeane

kwake kwanzia sasa na kuendelea. Inaweza kusemwa hivui

kwa neno moja: Jisalimishe.

Kile kitu cha kindani sana katika mazingara yetu ni hisia

zetu. Kama utaweza kushinda hisia zako, utakuwa mshindi juu

ya mazingira mengine yote. Yeyote ambaye hawezi kushinda

mazingira hawezi kushinda hisia. Yule amabye ameshinda

hisia zake mwenyewe.

4. Kujipatia ufalme wa Mungu kwa vita “Nikatazamana pembe iyo hoyo ilifanya vita na watakatifu,

ikawashinda; hata akaja huyo mzee wa siku, nao watakatifu

wake Aliye juu wakapewa hukumu; na majira yakawadia

watakatifu waumiliki ufalme.” (Danieli 7:21,22)

Mara nyingi tunaona nyakati hizi za majaribu na kuvumilia

na kuteswa kujaribiwa kwa imani ni kuhisi sisi tu. Ni kweli

kuna ukweli katika hili, lakini si ukweli kabisa. Kuvumilia

kwingine ni kwa ajili ya kazi Mungu ametenda ndani yetu, na

nyingine ni kuhusiana na ufalme wa Mungu na Kanisa.

Umeshtuka! Kuvumilia ni kubwa kuliko unavyo fikiria,

kuna thawabu zaidi. Inahusu kutawala pamoja naye. Hili

nitaliongole a zaidi katika mlango unalofuata wenye kichwa,

“kukimbia mbio.”somo lijalo litaongea kuhusu zawadi na taji.

Tunagundua ya kuwa kuvumilia kwetu, mbio yetu ni zaidi yetu

tu na inabeba majukumu kuliko tulivyo thania kwanza, nguvu

za kuvumilia zitakuja kwa urahisi.

Page 24: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

24

“Kama tukistahimili, tutamiliki pamoja naye; kama

tukimkana yeye, yey naye atatukana sisis.”(2 Timotheo 2:12)

Wacha Historia iwe mwalimu wako.

Ukiangaliaulimwengu utaona ya kwamba watu wote walio

faulu katika jambo lolote walikuwa wa manufaa kwa jami na

ufalme wa Mungu, walikuwa na jambo moja la kawaida nalo

nikuwa waaminifu. Wanasubiri. Miaka mingi iliyopita

nilisoma kitabu xcha mtu aliyejitolea maisha yake kuhusu

watu waliokuwa maarufu sana katika miaka ya karibu. Alipata

kitu kimoja kwa wote ya kwamba walifanikiwa muda mfupi

baada ya kushindwa au baada ya kuonekana kama

wameshindwa.

Hali na ulimwengu wa kishetani utajaribu siku zote kuvunja

moyo na kukushawishi uwache kuvumilai. Kumbuka hili:

ukiwa na Mungu, kama hatakufa moyo, utashinda!

Ajabu inafunuliwa katika somo lifuatalo. Ni juu ya

kukimbia mbio.

Page 25: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

25

Sura ya 3

Kupiga Mbio

Mambo Zaidi Kuhusu Uvumilivu

Katika sura ya 2 tulizungumza kuhusu haja ya kuvumilia

kama kiambato muhimu cha imani. Sura hii inaendelea

kuweka mkazo haja ya uvumilivu. Mwaandishi wa kitabu cha

Waebrania anatoa onyo kali ya kwamba:

1. Tuko mbioni, mbio ambayo inahitaji uvumilivu mwingi.

2. Tutakuwa katika shida tukivujika moyo na tuondoke

kabla ya kumaliza

3. Tutapokea tuzo kubwa iewapo tutamaliza mbio.kwa

maneno mengine, “kukua au kufa”

Waebrania sura ya 6 inazungumza juu ya kuondoka kwenye

kanuni za

kawaida za Kristo na kuingia katika barabara ya kuridhi

ahadi katika imani nauvumilivu. Pia sura hii inasema ya

kwamba iwapo hatutavumilia tutaangukana tumuaibishe

Mwana wa Mungu. Ingawa siwezi kuelezea mambo yote

yalikowuwa katika mawazo ya mwaandishi, mambo haya sio

ya mzaha!

Waebrania sura ya 12 inaelezea onyo hii katika njia

inayoeleweka vyema!

“Basi na sisi pia, kwa kuwa tunazungukwa na wingu kubwa

la mashahidinamna hii, na tuweke kando kila mzigo mzito, na

dhambi ile ituzingayo kwa upesi; na tupige mbio kwa Zaburi

katika yale mashindano yaliyowekwa mbele yetu, tukimtazama

Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani

yetu;ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake

aliustahilimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi mkono

wa kiume wa kiti cha enzi cha Mungu.”

Page 26: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

26

“Mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina

la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu wengi

wakatiwa unajisi kwa hilo.

Asiwepo mwasherati wala asiyemcha Mungu, kama Esau,

aliyeuuza urithi wake wa mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya

chakula kimoja. Maana mwajua ya kuwa hata alipotaka

baadaye kuirithi baraka, alikataliwa(maana hakuona nafasi ya

kutubu), ijapokuwa aliitafuta sana kwa machozi.”

(Waebrania12:15-17)

Ninahisi ya kwamba sababu ambayo ilimfanya Esau

kutajwa hapa maisha yetu pia.

Uridhi wa Esau ulikuwa njiani,. Uridhi wetu pia uko njiani.

Kama vile

imetajwa katika sura ya 1 na ya 2 ya kitabu hiki, sisi huridhi

uzima tele wa Mungu kwa imani na kupitia ahadi Zake

ambazo huota kama mbegu ndani ya mioyo yetu. Tahadhari ni

ya kuwa kuna wakati wa majaribu na wakati mwingine wa

mateso katikati ya kupanda mbegu na kuzaa matunda. Kipindi

hiki kinajulikana kama “Kupiga Mbio.” Tamaa ya mwili ya

Esau ilimwambia, “Nani anayejali ahadi na uridhi wako, mwili

wangu unahitaji kula, sasa hivi!” Tusipojihadhari tunaweza

kujipata tukimwambia Mungu, “Nimechoka na mateso,

nimechoka kungojea, siwezi kuvumilia tena, na nimechoka

kabia! Imani kama hii haifanyi kazi.” Kuvujika moyo ni kama

vile Esau alichukua sahani ya chakula, ambayo iliushibisha

mwili wake ulio mchoyo.”

Pia ni muhimu kujua ya kwamba Esau hakupata aina ya

chakula alichokuwa ameomba. Alikuwa ameomba apewe

chakula chekundu, nyama nyekundu. Lakini Yakobo

alimdanganya na akampa mkate na chakula cha ndengu. Esau

hakupoteza haki yake ya mzaliwa wa kwanza tu, bali tama

yake ya mwili haikutosheleshwa.

“Esau akamwambia Yakobo, Tafadhali, ulinipe hicho

chakula chekundu nile, kwa kuwa ninazimia mimi. Kwa hiyo

walimwita jina lake Edomu.”

Page 27: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

27

“Esau akasema, Tazama, mimi ni karibu kufa, itanifaa nini

haki hii ya uzazi?”

“Yakobo akampa Esau mkate na chakula cha ndengu, naye

akala, akanywa, kisha akaondoka, akaenda zake. Hivyo Esau

akaidharau haki yake ya mzaliwa wa kwanza.” (Mwanzo

25:30,32,34).

Onyo.

Esau hangetubu baada ya tukio hili, na sisi pia tunaonywa

ya kwamba tabia kama hii inamfanya mtu kuwa na uchungu

moyoni.

Pia tunaonywa tuweke tumaini letu katika neema ya Mungu

wala sivyo tutajipata wenye uchungu.

Biblia inasema katika Waebrania 12:12-15,

“Kwa hiyo inyosheni mikono iliyolegea na magoti

yaliyopooza,

13. mkaifanyie miguu yenu njia za kunyoka, ili kitu kilicho

kiwete kisipotoshwe, bali afadhali kiponywe.

14 Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo

utakatifu,ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa

nao;

15.Mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu;

Shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu

wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.”

Tunapopiga mbio hii kuna wakati ambao mikono na magoti

yetu ya kiroho haina nguvu na hulegea. Tunahisi kuchoka na

kuzimia mioyoni mwetu. Kifungu hiki kinatuambia tunastahili

kufanya jambo. Kazi yetu ni “kutengeneza njia ambayo ni

thabiti, laini na iliyonyooka” ili miguu namikono yetu ya

kiroho isije ikapooza, lakini ipate uponaji.

Kwa nini wakati mwingine tunahisi miguu na mikono

yetu ya kiroho iko karibu kuvunjika? Haya ni marudia ya

Bwana. Tazama mistari iliyotangulia maonyo kuhusu viungo

vyetu vya kiroho katika Waebrania 12.

Page 28: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

28

“Na pamoja na hayo tulikuwa na baba zetu za mwili

walioturudi, nasi tukawastahi; basi si afadhali sana kujitia chini

ya Baba wa roho zetu na kuishi?”(Waebrania 12:9). Mungu

anajaribu kutuweka katika barabara ambayo itatuwezesha

kupokea baraka zake.

Tunaweza kutengeneza barabara iliyolaini na tuweze

kupokea neema ya Mungu kulingana na maagizo yafuatayo

ya Biblia:

“Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia

yangu.” (Zaburi119:105).

“Kwa kuwa Wewe Bwana ndiwe kimbilio langu;

Umemfanya Aliye juu kuwa makao yako. Mabaya

hayatakupata wewe, wala tauni haitakaribia hema yako. Kwa

kuwa atakuagizia malaika zake wakulinde katika njia zako

zote. Mikononi mwao watakuchukua, usije ukajikwaa mguu

wako katika jiwe.” (Zaburi 91:10-12).

Tukikaa ndani ya Neno la Mungu kupitia Roho Mtakatifu

kutafanya njia zetu kuwa laini. Biblia katika Mithali 3:5-6

inasema ya kwamba, tukimtumaini Bwana kwa moyo wote,

naye atanyoosha mapito yetu.

Sababu za watu kukata tamaa ina uhusiano na shida

nyingi au raha nyingi.

Mfano 1 – Shida nyingi. Ninajua mtu mmoja ambaye

alikata tama. Alifikira hajakata tamaa kabisa na Mungu, lakini

hakuamini imani hufanya kazi. Dhiki na udhia zilitokea na

mbegu ikachukuliwa na Shetani kama vile Marko 4:17

inatasema, “Ila hawana mizizi ndani yao, bali hudumu muda

mchache; Kisha ikitokea dhiki au udhia kwa ajili ya lile neon

mara hujikwaa.”

Matokeo yalikuwa ni kwamba alikuwa na baridi kiroho na

akawa mbali na Mungu na mambo ya Mungu pamoja na

kanisa. Baadaye alioa mtu alye mzuia zaidi katika utembezi

wake na Mungu wa kiroho. Baada ya miaka mingi kupita

Page 29: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

29

aligeuka kwa ajabu na akatubu. Mtu huyu atafika Mbinguni

lakini maisha yake hapa duniani ni machache

Mfano 2 – kupenda raha na mambo ya dunia hii. Mfano

huu ni watu ambao walioana na wakaanza na kumtumikia

Mungu. Lakini baadaye mambo ya dunia, raha ya pesa

ikawapa kutoshereka kwingi. Walihudhuria kanisa la

kipentekoste, lakini nilishuhudia wakikana kazi za Roho

Mtakatifu. Waliasi, watenda yaliyo kinyume na watu

waliojitolea kwa Mungu, na bila skaka wakarundi nyuma.

Tulipotezana lakini nadhani hawaendelei vyema. Katika Luka

17, mstari wa 26, Yesu alionya dhidi ya kuweka fokasi katika

mambo kama, ndoa, ulafi na unywaji. Ingawa hakuna ubaya na

kushiriki katika mambo haya, kujishughulisha zaidi na mambo

haya ni hatari.

“Na hawa ndio wale wapandwao penye miiba; ni watu

walisikiao lile neon, na shughuli za dunia, na udanganyifu wa

mali, na tama za mambo mengine zikiingia, hulisonga lile

neon, likawa halizai” (marko 4:18,19).

Mfano 3 – tunda la uchungu. Ninajua kundi la watu 12

hadi 15 ya watu ambao waliharibu kanisa kwa sababu ya

mafikira na tabia zao zizizo za uungu. Wakati kanisa

lilimualika mchungaji wa dhamana kulifunga kanisa, likaanza

kukua. Jambo hili liliwakasilisha kikundi hiki cha watu, ambao

bila shika walijawa na uchungu. Walianza kujaraibu kuharibu

kanisa tena kwa kusimama kwenye jukwaa kuimba, bila

kualikwa. Wangesimama katikati mwa njia baina ya viti

bkatika kanisa na hujifanya wanatoa unabii, wakimtatiza

mchungaji. Mwishowe kanisa liliwatimua kisheria. Hatimaye,

walifika mwisho na wakajiondoa kama Esau, “Walikula bakuli

lao ls supui,” na wakawa na uchungu..

Haya, Hebu sasa tutazame Taji.

Mwandishi wa Waebrania alisema, “Lakini, wapenzi,

ijapokuwa twanena hayo, katika habari zenu tumesadiki

mambo yaliyo mazuri zaidi, na yaliyo na wokovu.” Waebrania

6:9.

Page 30: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

30

Kupiga mbio kwa sababu ya kupokea taji.

“Na kila ashindanaye katika michezo hujizuia katika yote;

basi hao hufanya hivyo kusudi wapokee taji iharibikayo; bali

sisi tupokee taji isiyoharibika.” (1 Wakorintho 9:25).

“Kwa kuwa umelishika neno la subira yangu, mimi nami

nitakulinda, utoke katika saa ya kuharibiwa iliyo tayari kuujilia

ulimwengu wote, kuwajaribu wakaao juu ya nchi. Naja upesi.

Shika sana ulicho nacho, asije mtu akaitwaa taji yako.”

(Ufunuo 3:10,11).

Kifungu hiki kilipewa kanisa la Filadfia. Kanisa hili

linasimamia Waumini ambao Kristo aliwapata bila makosa na

ambao hawakupata shida kwa sababu ya imani yao kama

kanisa la Simirna.Kwa sababu ya kushinda kwao, wao

watapokea taji, zawadi, uwezo, wa kufanya mambo kadhaa

katika Ufalme wa Mungu. Elewa ya kwamba Yesu aliwaonya

ingawa wako na taji, wasipolishika walicho nacho kwa subira,

mtu mwingine anaweza kuitwaa taji yao.

Taji ni zawadi. Taji ni nini?

Taji huonyesha mamlaka na uaminifu. Tunapokamilisha

mbio sisi hupokea mamlaka ya kiroho. Kukamilisha mbio ni

njia nyingine ya kusema “kushinda”.

Mamlaka juu ya nini?

Mfano katika Luka 19 kuhusu tajiri mmoja aliyewapa

wafanyi kazi wake kazi na akaondoka kwenda safari na

baadaye akarudi kuangalia uaminifu wao unatuonyesha jinsi

moyo wa Yesu ulivyo kuhusu jambo hili la kupiga mbio ukiwa

na lengo la kupokea taji.

“Basi akasema, Mtu mmoja, kabaila, alisa.ri kwenda nchi

ya mbali, ili ajipatie ufalme wa kurudi. Akaita watu kumi

katika watumwa wake, akawapa mafungu kumi ya fedha,

akawaambia, Fanyeni biashara hata nitakapokuja” (Luka

19:12,13).

Page 31: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

31

“Akamwambia, Vema, mtumwa mwema; kwa vile

ulivyokuwa mwaminifu katika neno lililo dogo, uwe na

mamlaka juu ya miji kumi.” (Luka 19:17).

Mji ni nini?

Katika lugha ya Kigriki neno mji linatokana na neno

ambalo maana yake ni kuhifadhiwa katika mji uliozaliwa,

ambapo ni pahali penye vita, mabishano na matengano. Mji

ambao mtu anakaa kabla ya kuzaliwa mara ya pili. Mungu

anataka kutuhamisha kutoka mji wetu wa asili hadi katika Mji

wa Mungu, Yerusalemu Mpya, katika Ufalme wa Mungu.

Anafanya hivyo kwa kufanya mtu mwingine ashinde kwa

niamba yetu, kwa kufanya mtu mwingine akimbie kwa niamba

yetu ili wapate mamlaka ya kiroho ndiposa sisi tuwe huru. Hii

inalingana na Wakolosai 1:24 ambayo inasema “Sasa

nayafurahia mateso niliyo nayo kwa ajili yenu; tena na

yatimiliza katika mwili wangu yale yaliyopungua ya mateso ya

Kristo, kwa ajili ya mwili wake, yaani, kanisa lake.”

Zaidi yetu.

Tunapaswa kuelewa ya kwamba taji hii ya maana inahusu

Ufalme wa Mungu kuliko haja zetu na hisia njema. Faida zake

zina uzito mwingi katika mawazo ya Mungu na ufalme na

innastahili kutupea hisia kubwa ya kuwa na jukumu la

kukamilisha mbio bila kujali vile tunahisi. Kama vile dada

mmoja katika Bwana alituambia hivi karibuni, “Faida ni

mwakilishi kama vile yaliyo matokeo ya kukata tama.”

Wafilipi 4:1 ulikuwa mji mmoja wa Paulo. “Basi, ndugu zangu, wapendwa wangu, ninaowaonea

shauku, furaha yangu, na taji yangu, hivyo simameni imara

katika Bwana, wapenzi wangu.” (Wafilipi 4:1).

Ingawa mbio inahusu watu wengi, pia inakuhusu zaidi.

Kwa vile sasa unaona zawadi, je mbio ni nini?

Mbio ni sehemu katika maisha yetu ambapo nilazima

tuvumilie mateso tukisimama na Neno la Mungu kwa sababu

ya kitu ambacho Mungu ametuaminia kupitia Neno Lake.

Page 32: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

32

Mbegu ilipandwa Aliponena, sasa “mbio” ni kipindi ambacho

mbegu iatota hadi wakati wa kuzaa matunda. Kukaa ndani ya

Bwana wakati huu ndiyo mbio. Kutokufa moyo wakati

mawazo yetu yanalia ndiyo mbio. Mbio siyo kukimbia pahali

kidogo kwa haraka, wala ni kukimbia muda mrefu polepole.

Bibla katika Waebrania 12:22-24 inasema, “Bali ninyi

mmeu.kilia mlima Sayuni, na mji wa Mungu aliye hai,

Yerusalemu wa mbinguni, na majeshi ya malaika elfu nyingi,

mkutano mkuu na kanisa la wazaliwa wa kwanza

walioandikwa mbinguni, na Mungu mwamuzi wa watu wote,

na roho za watu wenye haki waliokamilika, na Yesu mjumbe

wa agano jipya, na damu ya kunyunyizwa, inenayo mema

kuliko ile ya Habili.”

Waebrania 12:22-24 inaonyesha ya kwamba sisi tunazo

nguvu kamazawadi kutoka kwa Mungu inayotuwezesha

kumaliza mbio.

Tunao ubatizo wa Roho Mtakatifu, Msalaba, Yesu aliye

balozi wetu, malaika, na nguvu nyingi zaidi ambazo tumepewa

pamoja na ukombozi.

Paulo aliumaliza mwendo.

“Nimevipiga vita viliyo vizuri, mwendo nimeumaliza,

imani nimeilinda.” (2 Timotheo 4:7).

Imenukuliwa kutoka kitabu kiitwacho God Calling2

“Kumwita Mungu.”

Karibu na Lengo – Februari 13

Katika mbio, sio mwanzo wa mwendo unaoumiza, wala sio

hatua katika mwendo mrefu. Lakini watati mtu anaona mwisho

wa mwendo ndivyo moyo wake na mishipa inampa nguvu ya

kumaliza.

Anajitihidi zaidi, misuli yake inakujuka zaidi ya vile

angewezakuvumilia.

2 A.J. Rusell God Calling: Barbour and Company, Inc., Uhrichsville, OH., 1989,

Ukurasa 43.

Page 33: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

33

Kwa hivyo, pia goli yako unaiona sasa, unahitaji kunililia

nasauti yako ya mwisho. Je, hauwezi kuona kupitia kuvijika

kwa mishipa na moyo wako katika siku chache ambazo

simepita yakwamba karibu umalize mbio yako. Jipe moyo! Jipe

moyo. Sikia sauti Yangu ya kukutia moyo. Kumbuka Mimi niko

pamoja nawe, nikikupa nguvu hadi upate ushindi.

Kule mbinguni, rekondi za kuhuzunisha za wale ambao

hukimbia vizuri sana, wakiwa na ujasiri wa moyo

ulionanguvu, lakini mara tu wanapoona goli ya ushindi, wana

kufa moyo na kushindwakumaliza mwendo. Jeshi lote la

mbinguni hutamani kulia na kusema jinsi mwisho ulikua

karibu, lakini waliokatika mbio wanashindwa kumaliza, bila

kujua hadi itakapofunuliwa siku ya mwisho, jinsi walivyokuwa

karibu kupata ushindi.

Kama wangenisikiliza kwa utulivu jinsi ninyi wawili

mlivyokutana na Mimi, Wangejua. Lazima kuwe na masikio

inayosikia, vile vile na sauti nyororo.

Florence Chadwick.

Ninakumbuka siku moja nilivyokuwa nikitazama runinga

mnamo 1952 na nikashuhudia mwogeleaji hodari Florence

Chadwick alipojaribu kuvuja rekondi ya kuogelea katika

Catalina, California ya kusini.

Kutoka Wikipedia, encyclopedia ya bure

(http://en.wikipedia.org/wiki/Florence_Chadwick)

Mnamo 1952, Florence alikuwa mwanamke wa kwanza

kujaribukuogelea ubali wa maili 26 kati ya Kisiwa cha

Catalina na pwani la California. Alipoanza safari yake ya

kihistoria, alizidikishwa na mashua ndogo zilizotazama

nyangumi na walikuwa tayari kumsaidia ingawa angeumia ua

kuchoka. Saa baada ya lisaaFlorence aliogelea,lakini baada

ya masaa 15, hali ya hewa ikawa baya zaidi. Florence

akaanza kuwa na wasi wasi na akaambia mamake, ambaye

alikuya katika mashua moja, ya kwamba hakuona kama

Page 34: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

34

atamaliza safari yake. Akaogelea kwa lisaa lingine moja kabla

ya kuomba msaadaavutwe kutoka ndani ya maji. Alipoketi

ndani ya mashua Florence aligundua ya kwamba alikuwa

amebakiza ubali wa maili moja ku.ka katika Pwani ya

California, mwisho wa safari yake. Florence alieleza kwa

haraka ya kwamba aliondoka kwa sababu hakuwa akiona

mwisho wa safari yake- hali ya anga ilikuwa baya sana

nahakuona vizuri. Hangeweza kuona goli yake.

Baada ya miezi miwili, Florence aliingia ndani ya maji tena

ili ajaribu kuogelea mara ingine. Wakati huu ulikuwa tofauti.

Aliogelea moja kwa moja kutoka kisiwa cha Catalina hadi

kwenye pwani ya California. Hali ya anga ilikuwa baya kama

vile ilivyokuwa maraya kwanza, lakini Florence alifaulu kwa

sababu alisema, alipokuwa akiogelea, alikuwa na picha ya

pwani ya California katika mawazo yake. Hakupoteza picha ya

mwisho wa safari yake kwa sababu alikuwa na wazo kuhusu

pwani hiyo katika mawazo yake, na kwa njia hii, akaweza

ku.kia lengo lake.

Page 35: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

35

Sura ya 4

Kiambato cha Upendo

Upendo wa Damu

Wakristo wengi ulimwenguni hukubali ya kuwa wamevunja

mioyo katika safari yao ya imani. Wanasema, “haya mambo ya

imani hayafanyi kazi” na hata wale wapikaji nje ya ukristo wa

na haraka kuonyesha kushindwa kwa imani.

Mwandishi Dallas Willard alisema katika kitabu chake,

“The Great ommission” 3 (Muamsho mkubwa)

Kuna tofauti kubwa kati ya upande mmoja,

tummaini la uzima ndani ya Yesu, inayopatikana ya

ukweli katika Bibilia na katika mifano mingi kutoka

kwa wafuasi wake, na upande siku, maisha ya

undani na uwepo wa kijamii ya wengi wa wale

wanao kili kunifuati.

Swali lazima litoke: mbona tofauti hii kubwa?

Je unaletwa na kitu kilichoko katika utu wa Yesu na

kile alichofundisha na kuletea binadamu? Au ni

matekeo ya mambo inayojishikilia kwa mashirika

ya kikristo na watu wanaposafiri safarini? Je tuko

katika wakati ambapo wakristo wengi na uongozi

wao kwa sababu fulani, wanakosa mwelekeo mkuu.

Ukiona jirani yako na shida na gari unafikiria

alipata mikebe.(gari mbaya) na unaweza kuwa

sawa. Lakini ukigundua anaongeza maji kidogo

kwa Petroli mara kwa mara, hautalaumu gari au

wenye kuliunda. Linapokwama au kuguruma na

kuzima. Utasema ya kwamba gari halikwenda

katika hali zile mwenyewe ameliweka. Na

utamshauri awe akaweka mafuta yaliyo sawa peke

3 Willard, Dallas, The Great Ommission, Harper Collins, New York, NY, 2006

Page 36: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

36

yake katika tanki. Baada ya kazi ya ukarabati

labda gari litaenda sawa sawa.

Kitabu hiki cha imani kinatakja kuzungumza jambo hili na

kurahisisha viungo sawa ili imani yako iwe ya hakika, iwe na

nguvu na ifanye kazi na kuonyesha matokeo ndani ya maisha

yako, na kwa wale ambao wanakutazamia na katika ufalme wa

Mungu. Twahitaji tuongeze viungo vya sawa katika safari yetu

ya imani. Hii kwa vyovyote vile haiondoi ukuu wa Mungu

katika maisha yetu. Mbali inafaa kutuweka kwa njia yake na

maisha aliyo twandalia ya utele.

Petro amenakili viungo vingi muhimu kama imani. Tutazungumzia kuhusu viungo hivi na zingine katika kitabu

hiki ililiyo pandwa mioyoni mwetu. Huo ndio mwanzo wa

imani.******

2 Petro 1:2-11,

1. Neema na iwe kwenu na amani iongezwe katika

kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.

2. Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia vitu

vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa kumjua yeye

aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.

3. Tena kwa hayo ametukirimia ahadi kubwa mno, za

thamani, ili kwamba kwa hizo mpate kuwa washirika wa

tabia ya Uungu mkiokolewa na uharibifu uliomo duniani

kwa sababu ya tama.

4. Naam, na kwa sababu iyo hiyo mkijitahidi sana kwa

upande wenu,katika imani yenu tieni na wema na katika

wema wenu maarifa.

5. na katika maarifa yenu kiasi, na katika kiasi chenu

Zaburi na katika Zaburi yenu utauwa,

Page 37: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

37

6. na katika utauwa wenu upendano wa ndugu,

upendo.

7. maana mambo hayo yakiwa kwenu na kuja tele,

yawafanya ninyi kuwa si wavivu wala si watu wasio na

matunda, kwa kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.

8. Maana yeye asiyekuwa na hayo ni kipofu, hawezi

kuona vitu vilivyo mbali, amesahau kule kutakaswa

dhambi zake zamani.

9. kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara

kuitwa kwenuna uteule wenu; maana mkitenda hayo

hamtajikwaa kamwe.

10. maana hivi mtaruzukiwa kwa ukarimu kuingia

katika ufalme wa milele wa Bwana wetu, Mwokozi wetu

Yesu Kristo.

Tazama mistari iliyo hapo juu.

1. Mungu hutupa sis yote tunahitaji katika maisha na

uungu kwa kumjua Yeye.

2. Ahadi zake mingi na za dhamana ni vyombo vya

yote tunayohitaji. kama nilivyosema katika sura ya 1,

sisi hupokea ahadi zake tunapokuwa na uhusiano wake

wa ndanikatika hali ya mbegu ambayo imepandwa

katika mioyo yetu. huo ni mwanzo wa imani.

3. Petro anatupatia viungo vingi vin avyohitajika

kuongezwa kwa hali hii ya imani.

Sura hii inaongea kuhusu Kiambato cha upendo

“Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala

kutokutahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo”

Wagalatia 5:6.

Kama Mungu amenena na umesikia sauti yake, basi ahadi

za Mungu ziko moyoni mwangu, mbegu imepandwa. Lakini

Page 38: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

38

mbegu itafanya kazi ndani ya “moyo safi ardhi nzuri” Nzuri ni

nini? Upendo ndio ardhi ambayo itaruhusu mbegu kumea.

1 Wakorintho 13:1-9a,

“Nijaposema kwa lugha za wanadamu na za

malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba

iliayo na upatu uvumao. Tena nijapokuwa na

unabii, na kujua siri zote na maarifa yote,

nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza

kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu

mimi. Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha

maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue

moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu. pendo

huvumilia, hufadhili, upendo hauhusudu; upendo

hautabakari; haujivuni,haukosi kuwa na adabu;

hautafuti mambo yake; hauoni uchungu;

hauhesabu mabaya; haufurahii udhalimu

bali,bali hufurahi pamoja na kweli; huvumilia

yote. Upendo haupungui neno wakati wo wote….

Imani itafanya kazi tu katika watu ambao wataruhusu

Yesu kuishi maisha ya upendo wake kupitia kwao.

Katika Marko 4, katika mfano wa mpanzi Yesu

ananonyeshana ya kuwa kazi kubwa ya shetani ni kuiba neno

la Mungu, mbegu ambayo yeye Yesu, amepanda moyoni

mwako. Shetanianaweza kuiba mbegu, neno, ahadi ya Mungu

kwa njia chache ambazo Yesu anaelezea katika mfano ule.

Njia hizi zinatokana na “ardhi”, au tabia ya mtu ambaye

mbegu imepandwa ndani yake. Hawa ni watu amabo mioyo

yao ni watu ambao mioyo yao ni migumu ama hawezi

kustahimili majaribu na dhiki au wale wanaotafuta roho za

ulimwengu. Kwa upande mzuri nasema “udongo mzuri” au

ardhi ambayo mbegu itazaa matunda, ni yule mtu ambaye

anaishi maisha na tabia ya upendo, au tabia ya Yesu. Hakika

viungo vingine vyote ambao tunazo na tutaziangazia ziko chini

Page 39: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

39

ya sehemu ya upendo kwa sababu ni utu ya Yesu, ambaye jina

lake ni upendo.

Ni kweli hakuna hata mmoj wetu aliye mwema kama Yesu:

walakini tukiruhusu Neno la Mungu lituhukumu dhaambi zetu,

kitu cha ajabu kitatendeka tunapo kiri na kutubu. Tunaoshwa

na kuwekwa kwa hali moja na Yesu kama kwamba

hatukutenda dhambi kamwe.

Shetani hawezi kupata chochote kwa mtu kama huyo.

Kutoka The Joyful Heart, Daily Meditation na

Watchman Nee. Machi 44

Mtawala wa dunia hii anakuja nahana kitu kwangu.

“Mimi sitasema nanyi mneno mengi tena, kwa maana

yuaja mkuu wa ulimwengu huu, wala hana kitu

kwangu.”(Yohana 14:30)

Wakati mwanadamu alijaribiwa na akaanguka

Mungu alimlaani majaribu “juu ya tumbo lako

utatambaa” Akasema “na mavumbi utakula” basi

mahali palipopewa shetani ni dunia, na chakula chake

ni kutoka kwa kiel kitu kilichotumiwa kuumba

mwanadamu baada ya kugeuka kutoka kwa Mungu.

Alikuwa amejipatia “haki za usikwota” katika uumbaji

wa kale.

Bwana asifiwe kupitia kwa, Kristo shetani hana

uwezo juu yetu. Mungu mkombozi alikabiliana na hali

kwa kuondoa uumbaji wa kale pale kanisani na kuuleta

kupitia Kristo umbaji mpya. Kwa hiyo Mugnu na mtu,

hata alipokuwa hapa duniani akadhibitisha ya kwamba

mtawala wa ulimwengu huu hakuwa na kitu juu yake

kamwe. Na huyu mtu amekalia kiti cah enzi,

akidhibitisha ya kuwa shetani hana kitu ndani yetu kw

akuwa tumekombolewa. Mwana wa Aadamu

4 Nee Watchman... The joyful heart , Daily Meditations. Tyndale House Publishers.

Whearon.cl 19978 Machi 4th ukurasa.

Page 40: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

40

alitukuzwa ili sisi , wana wengi, pia tukaletwe katika

utukufu.

Habari njema! Upendo ni tunda. Kama upendo ni tunda

lililowekwa ndani yetu basi hiyo ni neema. “Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu,

utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi; juu ya mambo kama

hayo hakuna sheria.” (Wagalatia 5:22,23)

ONYO! Tunalo chaguo. Jukumu letu ni nini?

Waefeso 3:16-19 inasema kama tumepandwa ndani ya

upendo basi tunaweza hisi upendo wake wa hakika kando na

kuujua kwa akili. Tunaweza kutoa upendo kwa Mungu na

wengine baada ya kukutana na upendo wake. Ni hali ya

kuendelea. Tunapoona upendo wa Mungu na kujibu kwake na

kwa wengine na huo huo upendo tunakuwa imara.

Waefeso 3:17-19, “Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani

mkiwa na shina na msingi katika upendo; ili mpate kufahamu

pamoja na watakatifu wote jinsi ulivyo upana, na urefu, na

kimo na kina; na kuujua upendo wake Kristo, upitao ufahamu

kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate kutimilika kwa utimilifu wote

wa Mungu.”

Richard Wurmbrand, mwanzilishi wa “Sauti ya Wateswa”

(The voice of the Martyrs) alisema neno upendo huherufiwa

kama (s-a-c-r-i-f-i-c-e) kwa Kiingereza.

Kama upendo Yesu anaishi ndani, yetu na ni yeye nditolea.

Imani yetu anayeishi maisha ya upendo, basi jukumu letu ni

kuchukua msalaba wetu. Inaitwa kujitolea. Inaitwa “upendo

ulio na damu.”

Hofu na upendo zinauhusiano

1 Yohana 4:18 inasema upendo halisi huondoa , hufukuza

hofu yote. Tutapataje upendo unaofukuza hofu yote na kufanya

imani kufanya kazi? Kujitolea. Penda mtu ambaye hapendeki.

Hiyo “itakupanda” katika upendo.

Page 41: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

41

Soma (1 Yohana 4:7-18)

7. Wapenzi, nampendane; kwa kuwa pendo

latoka kwa Mungu, na kila apendaye amezaliwa na

Mungu, naye anamjua Mungu.

8. Yeye asiyependa hakumjua Mungu, kwa

maana Mungu ni pendo.

9. Katika hili pendo la Mungu lilionekana kwetu,

kwamba Mungu amemtuma mwanawe pekee

ulimwenguni, ili tupate uzima kwa yeye.

Mstari wa 9 na kumi unasema alitupanda

kupitia kwa msalaba wake.

10. Hili ndilo pendo, si kwamba sisi

tulimpenda Mungu, bali kwamba yeye alitupenda

sisi, akamtuma Mwanawe kuwa kipatanisho kwa

dhambi zetu. Wapenzi ikiwa Mungu alitupenda

sisihivi, imetupasa na sisi kupendana.

11. Wapenzi ikiwa Mungu alitupenda sisi

hivi, imetupas na sisi kupendana.

12. Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati

wo wote. Tukipendana, Mungu hukaa ndani yetu, na

pendo lake limekamilika ndani yetu, kwa kuwa

tunakaa ndani yetu.

13. Katika hili tunafahamu ya kuwa tunakaa

ndani yake, naye ndani yetu, kwa kuwa

ametushirikisha Roho wake.

14. Na sisi tumeona na kushuhudia ya kuwa

Baba amemtuma Mwana kuwa Mwokozi wa

ulimwengu.

15. Kila akiriaye ya kuwa Yesu ni Mwana wa

Mungu, Mungu hukaa ndani yake, naye ndani ya

Mungu.

16. Nasi tumelifahamu pendo alilo nalo

Mungu kwetu sisi, na kuliamini. Mungu ni upendo,

naye akaaye ktika pendo, hukaa ndani ya Mungu, na

Page 42: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

42

Mungu hukaa ndani yake.

17. Katika hili pendo limekamilishwa kwetu,

ili tuwe na ujasiri katika siku ya hukumu; kwa kuwa,

kama yeye alivyo, ndivyo tulivyo na sisi

ulimwenguni humu.

18. Katika pendo hamna hofu; lakini pendo

lililo kamili haitupa nje hofu; lakini pendo lililo

kamili huitupa nje hofu, kwa maana hofu ina

adhabu; na mwenye hofu hakukamilishwa katika

pendo.

Unataka upendo wako ulainishwe? Tafuat mtu

asiyependeza umpende, na utazame hofu ikitoka kwa

maisha na imani ikiinuka.

Upendo na hofu haziwezi kuishi pamaja. Dawa yangu kwa

hofu imekuwa ni kujisongeza kwa uwepo wa Mungu na

kumruhusu afanye imani kuinuka. Hii ikifanyika hofu haiwezi

kupenda wengine au wewe mwenyewe wakati hofu inakutesa.

Kiu ya Mungu kwa ajili ya umoja na John Walker.5

“Mkinipenda mtatii amri zangu”(Yohana 14:15)

Yesu anapoongea kuhusu upendo hawachi nafasi ya

misisimiko au hisia za muda. Unaona upendo kupitia

kwa macho ya Baba, na kutoka kwa nafasi hii anaelewa

kwa undani ya kuwa upendo wa kweli, wa milele, na

wakiungu unaujasiri na nguvu na bado wa uchungu

mchafu na wakujitolea.

Jiachilia Upendo wa uweza na mkuu aina hii

unaweza kuwa na mizizi katika mchanga wa kujiachilia.

Tunaachilai haki zetu, mawazo yetu na mipango yetu. Ni

huku kujiachilia kwa kabisa kwa Mungu bila kujichunga

na kufanya kile Baba alimwambia tu. 1 Yohana 14:10,

5 ©2008 Purpose Driven Life. Haki zote za kumiliki zimehifadhiwa. Mchungaji Jon

Walker ni mwandishi wa www.GraceCreates.com.

Page 43: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

43

“” Ni huku kujiachilia kwa hakika kuliko mwongozo

hadi kwa msalaba.

Kama tutafanyika kama Kristo ni lazima tuambatane

na mawazo na mipango ya Mungu karibu sana mpaka

tuonekane kuwa “mmoja” na yeye kama watu wawili

waliooana wanavyo jiachilia mtu kwa mwengine na

kuonekana kuishi kama mmoja. Kwa kujiachilia

tunatembea kwa karibu sana na Mungu mpaka watu

wanapotuona, wananona Baba akifanya kazi.

Yesu anafundisha kujiachilia huku anaposema

“mkinipenda mtafuata amri zangu.” kwa neno lingine,

hakuamrishi uwe mtiivu. Upendo wako kwake

utakusukuma kukumbatia makusudi yake.

Njia ya Yesu ni kwamba utii amri Mungu kwa sababu

ni lazima umtii Mungu kwa kufuata makusudi ya Mungu

una mwabudu Muumbaji.

Hii pia inakupatia mtazamo wa Kristo kwa mwelekeo

wa maisha yako ya kila siku, na kuifanya kila kauli iwe

ni wakati wa kumwabudu Mungu. Unapo muacha mtu

mwengine achukue nafasi ya kuegeza gari, wakati

unapo timiza ahadi ina gharama kuliko ulivyo thania

wakati unapo onyesha ukalimu kwa jirani yako ambaye

hapendi-Hizi ni nyakati za ibada kwa Mungu kwa

sababu unachagua kuwa mtiifu kwa makusudi yake,

kando na kutenda mambo kwa njia yako mwenyewe. Na

hata kuchgua kutotenda dhambi inafanyika ibada, kwa

maana inakuleta karibu na amri za Mungu.

Hii inamaana nini? Unapo kabiliana na kukata kauli

leo,uliza Mungu akuonyeshe ni njia gani itakuwa ni hali

ya kuabudu yeye. Kisha (najua hii ni rahisi kusema

kuliko kutend) inawekuwa anakuambia uende.

Unapo chukua hatua hii weka macho yako kwa

neema na owepo wa Mungu wakati huo. Fanya hili kwa

siku yote akuweke nakala ili uweke mwelekeo wako wa

kuwa mmoja Mungu na makusudi yake.

Page 44: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

44

Ishi kwa njia hii na uone tunda likichipuka ndani yako

na kukuzunguka kama maisha ya utele!

“Akamwambi, mpende Bwana Mungu wako kwa moyo

wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote. Hii

ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza. Na ya pili yafanana

nayo, nayo ni hii, mpende jirani yako kama nafsi yako ”

Mathayo 22:37-39.

Page 45: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

45

Sura ya 5

Kiambato cha Matendo

Matendo ya aina gani?

Paulo alisema hatuokolewi kwa matendo.

Nataka kujifunza neno hili moja kwenu. Je! Mlipokea Roho

kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na

imani? Wagalatia 3:2

Yakobo alisema iamni bila matendo imekufa

Yakobo 2:17-20 inasema Vivyo hivyo na imani, isipokuwa

ina matendo, imekufa nafsini mwake. Lakini mtu atasema,

Wewe unayo imani, nami ninayo matendo. Nionyeshe imani

yako pasipo matendo. Nami nitakuonyesha imani yangu kwa

njia ya matendo yangu.Wewe waamini ya kuwa Mungu ni

mmoja; watenda vema.Mashetani nao waamini na

kutetemeka.Lakini wataka kujua,wewe mwanadamu usiye

kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai.

Ukweli wa Mungu ni upi?

Watu wanakosea kwa upande wa kitako na kungojea

Mungu. Wengine hukose kwa upande wa wa kujua mambo

katika mikono yao wenyewe.

Watu wa tabaka na nchi zote wanazo. Vita hivi vya kujua

na kufanya, haswa katika hali ya wakristo. Kujua ikielezwa

kiroho ni uhusiano wa karibu Mungu au mmeo/mkeo kufanya

inamaanisha kitendo. Jamii zingine hukosea katika hali ya

uhusiano , kujua ila wengine hukosea katika hali kufanya.

Wakristo wengi wmechanganyikiwa. Jibu liko katika kile

ninaita matendo ya imani, kunywa na matendo ya mwili”

Bibilia inatueleza tuwe “watendaji wa neno” lakini

inatuonya pia ni unahitaji “kujua” kabla ya kuwa watendaji.

“Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana,atakayeingia

katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya

Baba yangu aliye mbinguni;Wataniambia siku ile;Bwana, Bwana,

hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na

kwa jina lako kufanya miujiza mingi?Ndipo nitawaambia dhahiri

Page 46: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

46

Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu,ninyi mtendao

maovu.” (Mathayo 7:21-23)

“Basi kila asikiaye hayo maneno yangu, na kuyafanya,

atafananishwa na mtu mwenye akili, aliye jenga nyumba yake

juu ya mwamba; mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo

zikavuma, zikaipiga nyuma ile, isianguke; kwa maana misingi

yake imewekwa juu ya mwamba. Nakila asikiaye maneno

yangu asiyafanye atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga

nyumba yake juu ya mchanga;mvua ikanyesha mafuriko

yakaja, pepo zikavuma zikaipiga nyuma ile, ikaanguka; nalo

anguko lake likawa kubwa.” (Mathayo 7:24-27)

Tazama katika hadithi ya kwkanza hapo juu Yesu

hakuheshimu matendo ya “walio tenda” bila ya “kumjua.”

alisema wataharibiwa.

Katika hadithi ya pili, anaonya wajuaji ikiwa

hawakufundisha kujua kwao na kutenda ya kuwa

wataharibiwa.

Mariamu na Martha.

“Naye alikuwa na umbu lake aitwaye Mariamu, aliyeketi

miguuni pake Yesu, akasikiliza maneno yake. Lakini Martha

alikuwa akihangtaika kwa utumishi mwingi; akamwendea,

akasema, Bwana huoni vibaya hivyo ndugu yangu

alivyoniacha nitumike peke yangu? Basi mwambie anisaidie.

Bwana akamjibu akamwambia, Martha Martha, unasumbuka

na kufadhaika kwa anjili ya vitu vingi; kinachotaakiwa kitu

kimoja tu; na Mariamu amelichagua fungu lililo jema , ambalo

hataondolewa.” (Luka10:39-42

Hapa katika hadithi hii ya Mariamu na Martha na amini

Yesu hakuwa akikataa ya kutimilika na kutenda kazi ya

Martha, lakini alikuwa akionesha ya kuwa kabla ya kufanya

matendo ya dhamana, uwe na uhusiano wa karibu na yeye.

Page 47: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

47

Kwa nini?

`Kwa maana ndiye Mungu atendaye kazi ndani yenu,

kutaka kwenu na kutenda kwenu kwa kulitimiza kusudi lake

jema.” (Wafilipi 2:13)

Unapo tumia wakati kumjua Yesu katika hali ya kutafakari

juu yake. Neno lake, ushirika na Roho Mtakatifu kujiweka

katika nafasi ya kumsikiza basi ana”simamia “kutenda”

kwako. Ni yeye ndani yako anayetenda matendo ya imani.

Jukumu yako ni kusikia na kuitii. Hapa basi Mungu atafanya

kazi ya kushirikiana nawe. Vile ni naweza kuwaelezea ni

wewe ni “chombo” na Mungu ni “mkono” ndani ya chombo”

ni nani anayefanya kazi? Ni Mungu au ni wewe? Jibu ni

“ndio.”

wakamilifu na watu wanao sukumua kutenda wana

wakati mgumu kuonyesha majukumu yao.

Katika ufalme wa Mungu uhusiano ndio kitu cha

mwanzo.

Mawaitha yangu kwako ni mbadilika! Hata kama ina

uchungu vipi. Rafiki yangu mmoja alisema “wakati uchungu”

unaopitia unapita uchungu wa kubadilika, basi utabadilika.

Kwa mwongozo kwa tabia za kumjua unaweza kwenda kwa

tofuti yetu ya mto unatiririka http://www.isob-

bibilia.org/flowingriver.htm

Ninaweza kueleza kazi za imani katika makundi mawili

makuu. Kuongea neno na kutii sauti yake.

1. Kitu kimoja muhimu katika kazi ya imani ni kunena

neno.

“Lakini yanenaje?Lile neno li karibu nawe, katika kinywa

chako na katika moyo wako yaani ni lile neno la imani

tulihubirilo Kwa sababu ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya

kuwa ni Bwana na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu

alimfufua katika wafu utaokoka. Kwa maanaq kwa moyo mtu

huamini hata kupata haki na kwa kinywa hukiri hata kupata

Page 48: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

48

wokovu.” (Warumi 10:8-10) Lakini kwa kuwa tuna roho ile ile

ya imani, kama ilvyo andikwa, Naliamini nakwa sababu hiyo

nalinena sisi nasi twaamini na kwa sababu hiyo twanena.

2 Wakorintho 4:13 inasema nitatoa sura nzima kwa ajili ya

hii baadaye katiak kitabu hiki.

Kwa ufupi kuongea neno:

(a) Inaumiza mawazo yako na kuweka laini.

(b) Inatukuza shetani

(c) Inaleta malaika pahali ulipo

(d) Humwagilia maji mbegu iliyopandwa katika moyo

wako.

(e) Inafurahisha Mungu anaposikia imani yako.

2. Matendo pia yafuatane na kutii sauti yake.

Kwa nini Mungu anaweka mkazo juu ya kazi yetu, na

wakati mwingine anaonekana kutia mkazo ya kuwa kazi yake

ndio mambo muhimu? Ninasema nguvu sana katika uhusiano

wetu na Mungu ambao hujuliwa msamaha.

Kutii kwetu kwa sauti yake kuna nguvu nyingi. Imani kwa

sehemu yako. Kumbuka katika sura ya kwanza tulielezea

imani:

Neno imani lamanisha vipi?

Neno la kiyunani la imani ni Pistis(pie- stis). Kwanza

inamaanisha kushawishika kwa ukweli katika mambo ya

kiungu. Unaposikia neno la Mungu akinena, unasawishika ni

kweli, ya kwamba inatoka na shawishi ya kuwa muumbaji

ameongea.

Pili, inamaanisha uaminifu na msimamo wa yule aliye

tunguka kwa ukweli ulionenwa hapo juu. Mungu hujaribu

imani yetu. Anawaamini watu waaminifu, wale kwa kusimama

na uaminifu humtii ili awategemee imani ya kweli italeta

matendo.

Kutii

Kumtii Mungu kuna nguvu Kutii sauti ya Mungu kuna

nguvu sana kuliko ni navyo nafasi ya kuchambua katika sura

Page 49: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

49

hii, lakini elewa ndio funguo kwa kukua kwako kiroho,

uhusiano wako kwa Yesu na kwako wewe kupokea maisha

kwa utele. Ni funguo kwa kuruhusu Mungu akutume kwa kazi

yake.

Nimeona wakristo wengi tangu 1979 pia mimi nikiwemo.

Nimegundua kwa hali na kwa Neno la Mungu, ya kuwa kutii

sauti ya Mungu inaleta tofauti kati ya kushinda na kushindwa.

Nimesoma vitabu vingi kutoka kwa waandishi waliohittimu

kuniliko mimi ambao wamedhibitisha wazo hili.

Ni muhimu kuwa na kiu kugundua sauti ya Mungu kwako,

na pia awe na kiu kujua ni kumtii, gari utakalofanya kila siku,

hata kwa mambo madogo maishani mwako. Maisha yaliyojaa

hatua ndogo za kutii inaelekezwa kwa maisha ambayo

ymebadilika kwa mfano wake na maisha yanayomtukuza.

Mkinipenda, mtazishika amri zangu. Nami nitamwomba Baba

naye atawapa Msaidizi mwingine ili akae nanyi hata milele.

Yohana 14:15-16 imejaa nguvuza wazo hili.

Inasema Yesu atadhihirisha, ataionyesha hakika kwa wale

wanamsikia na kumtii. Hii ndiyo maana ya kuwa Bwana anapo

mfanya Yesu Bwana utaokolewa yaani kukombolewa kutoka

kwa hatari na kufanywa mzima. Unapo achilia haki zako za

kukata kauli na kuamua kufanya mambo yake Yesu na

kukuamuru, basi uhusiano wako na yeye unapanda juu sana.

Watu wengi lazima wafike mwisho wao na wajue unyonge

wao, na unyonge wa mwenendo wa dunia ili wategemee

kabisa kusikia n kutii Munngu. Hili litafanyika kwangu kwa

njia kuu sana katika maisha yangu ile niliokoka 1979 kisa kwa

njia mpya na kubwa miezi kumi baadaye.

Kutii kwako kuingine kutokana na kushawishiwa na Roho

Mtakatifu kwa dhambi zako na sauti nyororo.(wakati mwingi)

ili ukiri na utubu.

Yohana 14:15-26

15. Mkinipenda, mtazishi nit amri zangu

Page 50: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

50

16. Nami nitamwomba Baba, naye atawapa

Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;

17. ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu

hauwezi kumpokea, kwa kuwa hamwona wala

hautamtambua; bali ninyi mnamtambua, maana

anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu.

18. Si tawaacha ninyi yatima; naja kwenu.

19. Bado kitambokidogo na ulimwengu haunioni

tena; bali ninyi mnaniona. na kwa sababu mimi ni hai,

ninyi nanyi mtakuwa hai.

20. Siku ile nanyi mtatambua ya kuwa mimi ni ndani

ya Baba yangu, nanyi ndani yangu, name ndani yenu.

21. Yeye aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye

ndiye anipendaye; naye anipendaye atapendwa na

Baba yangu; name nitampenda na kujidhihirisha

kwake.

22. Yuda (siye Iskariote), akamwambia, Bwana,

imekuwaje ya kwamba wataka kujidhihirisha kwetu,

wala si kwa ulimwengu.

23. Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda,

atalishika neno langu; Baba yangu atampenda; nasi

tutakuja kwake.

24. Mtu asiyenipenda, yeye hayashiki maneno

yangu; nalo neno mnalolisikia silo langu, ila ni lake

Baba aliyenipeleka.

25. Hayo ndiyo niliyowaambia wakati nilipokuwa

nikikaa kwenu.

26. Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu,

ambaye Baba atampeleka kwa jina langu

,atawafundisha yote, na kuwakumbusha yote

niliyowaambia.

Ibrahimu alitii sauti ya Mungu na matendo yaliyo kuwa

ngumu kwake. Aliambiwa atoe dhabihu, awe mwanawe wa

kiume, mwana aliahidiwwa na Mungu. Mungu alimbariki

sana kwa kutii kwake.

Page 51: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

51

“Malaika wa BWANA akamwita Ibrahimu mara ya pili

kutoka mbinguni akasema, Nimeapa kwa nafsi yangu asema

BWANA, kwa kuwa umetenda neon hili, wala hukuinizuilia

mwanao, mwanao wa pekee, katika kubariki nitakubariki, na

katika kuzidisha nitauzindisha uzao wako kama nyota wa

mbinguni, na kama mchanga wa ulioko pwani; na uzao wako

utamiliki mlango wa adui zao” (Mwanzo 22:15-17).

Miaka iliyopita Ibrahimu na Sara walijaribu matendo lakini

hakuleta matunda ya Mungu. Ilikuwa ni wazo lao wenyewe

lililozaliwa na akili zao wenyewe bila kusikia sauti y Mungu

juu ya jambo hilo. Wakampata mtoto kati ya Ibrahimu na

mjakazi wa Sarai, Hagai. Matokeo ni kuwa Ishmaeli alizaliwa.

Baadaye Mungu alikubaliana na Sara ya kuwa Ishmaeli

atupwe nje, kwa kuwa ndani ya Isaka ndipo agano lilikuwa

lipitie.

Mwanzo 21:10-12 inasema,Kwa hiyo akamwambia

Ibrahimu Mfukuze mjakazi huyu na mwanaye maana mwana

wa mjakazi hataridhi pamoja na mwanangu, Isaka. Nano hilo

lilikuwa baya machoni pa Ibrahimu kwa anjili ya mwanawe.

Mungu akamwambia Ibrahimu Neno neno hili lisiwe baya

machoni pakom kwa anjili ya huyo mjakazi wako. Kila

akuambialo Sara sikiza sauti yake kwa maana katika Isaka

uzao wake utaitwa.

Unaweza kumtii Mungu tu kwa kiwango unachoweza

kusikia sauti yake.

Mwanzo utadhania hausikii sauti yake haswa kama “sauti”

ya hakika. Inaweza kuwa ni hali ya kusukumwa ndani yako

baada ya kusoma neno, jambo Mungu analo kushawishi. Pia

inaweza kuwa ni sauti ndani ya Roho na au katika neno kama

“Rhema” inayo kusikia kutoka kurasa za Bibilia. Mara nyingi

sauti yake inakujia kama picha. Anakupatia pich kwa kuleta

matokeo madogo madogo au/na maneno yanayoleta mchoro

wa picha. Anaweza leta watu karibu na wewe ambao wana kitu

cha kusema au watakukumbusha kichopita. Vile unavyo

jikumbusha kusikia sautiyake vivyo hivyo inakuwa wazi

Page 52: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

52

kwako.Unavyoendelea kumsikiza na kumtii ndivyo unakuwa

na uweza wa kumsikia na kutii.

Fanyika mtumwa wa mungu

Hamjui ya kuwa kwake yye ambaye mnajitoa nafsi zenu

kuwa watumwa wake katika kumtii, mmekuwa watumwa

wake Yule mnaye tii kwamba ni utumishi wa dhambi uletao

mauti au kwamba ni utumishi wa utii uletao haki. (Warumi

6:16)

Chukua wakati mwingi ukitafakari neno la Mungu.

Page 53: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

53

Sura ya 6

Kiambato Cha Kunena Neno

“Likini kwa kuwa tuna roho ile ile ya imani kama ilivyo

andikwa, Naliamini nakwa sababu hiyo nalinena sisi nasi

twaamini na kwa sababu hiyo twanena” (2 Wakorinitho 4:13).

Roho ya imani hutambulika kama kunena kile mtu ana

amini.

Kwa nini tuongee neno?

Mungu na mtu wote hutawala kwa maneno. Mungu aliumba

kwa maneno yake, na huendelea kuumba na maneno yake

walakini hana mamlaka tena kunena maneno yake kwa

ulimuengu pasipo kupitia kwa mwanadamu. Mapepo pia ni

hivyo hivyo ndiposa wanajaribu kutumia mwnadamu kusema

maneno yao. Huu ulimwengu umeumba kutawaliwa na

kumilikiwa na maneno.

Alimpatia Adamu umiliki

Vinyani mwa watoto wachanga na wanyonyao umeiweka

misingi ya nguvu kwa sababu ya wao wanao shindana nawe

uwakomeshe adui namijilipiza kisasi; Nikiziangalia mbingu

zako na kazi ya vidole vyako mwezi na nyota ulizoziratibisha;

Mtu ni kitu gani hata umkumbuke,Na binadamu hata

umwangalie?Umefanya mdogo punde kuliko Mungu

Umemvika taji ya utukufu na heshima umemtawaza juu ya

kazi ya mikono yako Umevitia vitu vyote chini ya miguu

yake. Zaburi (8:2-6)

“Mbingu ni mbingu za BWANA, Bali nchi amempa

mwanadamu” Zaburi (115:16)

Kuangalia mifano ya Mungu akitimis kazi

Mungu akasema iwe nuru na ikawa nuru;(Mwanzo 1:3)

Mungu akasema, Naliwe anga katikati ya maji likayatenge

maji na maji. (Mwanzo 1:6)

Page 54: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

54

Mungu akasema Maji yaliyo chini ya mbingu nay a

kusanyike mahali pamoja ili pakavu paonekane ; ikawa

hivyo.(Mwanzo 1:9)

Mungu akasema, nchi na itoe majani mche utoao mbegu, na

mti wa matunda uzaao matunda kwa jinsi yake, juu ya nchi;

ikawa hivyo (Mwanzo 1:11)

Mungu akasema Naiwe mianga katika anga la mbingu ili

itenge kati ya mchana na usiku nayo iwe ndiyo dalili na majira

na siku na miaka; (mwanzo 1:14)

Mungu akasema Maji nayajawe kwa wingi na kitu

kiendacho chenye uhai na ndege waruke juu ya nchi katika

anga la mbingu. (mwanzo 1:20)

Mungu akavibarikia, akisema,Zaeni,mkaongezeke,

mkayajaze maji ya baharini,ndege na wazidi katika nchi.

(Mwanzo 1:22)

Mungu akasema Nchi na izae kiumbe hai kwa jinsi zake

mnyama wa kufungwa,nacho kitambaacho , na wanyama

wamwitu kwa jinsi zake; ikawa hivyo. (Mwanzo 1:24)

Tazama katika haya mandiko hapo juu hakuna

kuchojibisana na neno la mungu mbali alikuwa „na ikawa

hiyo‟

Kisha Mungu akapumzika badaa ya kupatia mwanadamu

umiliki.

Mungu akasema Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa

sura yetu wakatawale samaki wa baharini na ndege waangani

na wanyama na nchi yote pia,na kila chenye kutambaa

kitambaacho juu ya nchi. (Mwanzo 1:26)

Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, zaeni

mkaongezeke mkaijaze nchi , na kuiitiisha; mkaitawale samaki

wa baharini na ndege wa angaani, na kila kiumbe chenye

kutambaa kitambaacho juu ya nchi. (Mwanzo 1:28)

Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote

aliyoifanya; akastarehe siku ya saba Mungu alimaliza kazi

akacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya. (Mwanzo 2:2)

Page 55: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

55

Mungu aliongea neno hili kubwa, lililoleta kufufuka kwa

Yesu

Nitaihubiri amri; BWANA aliniambia, Ndiwe mwanangu,

Mimi leo nimekuzaa. (Zaburi 2:7)

Shetani huraibu ukweli kwa kuipinda kwa njia mbili- Wengine amekosea kwa kunena kwa kusidi wakiamini

kunena katika njia ya sawa ni jukumu la mufuasi na wao na si

mungu watachagua lakusema na kwa hivyo kile cha kundai na

maneno yao. Hii ni hali ya uchawi na ubinafsi. Ndini nyingi za

uongo zinaendesha aina hii ya kukili kwa sawa hata kama

kukuli sawa ni mbora kuliko kukili kinyumme, sisi kamma

wanafunzi lazima tutanue saa yote Yesu kama Bwana kando

na matatani na mafamanio yetu

Tunahitaji kujihathali na mwenendo unaokosa ukweli wa

mungu na ina weza mathara katika maisha yetu

Ukweli ni kuwa Mungu anatamani tushiliki naye na

tumuluhusu atupe maneno ya kuongea. Anataka atupatie

maneno yake ya imani ili atomize makusudi yake. Katika

shamba la edeni Adamu alikuwa ashiliki na neno na mti wa

uzima, kila siku na juu ya dunia. Mungu alimpa kutawala,

lakini kutawala kwake kulikua kuenezi mapenzi ya mungu

peke yake juu na dunia na wanadamu. Adamu akaamua

angekuwa na kutawala bila mti wa uzima, na kuwa ageongea

neno aliamua lilihitajika kunenwa, mti wa kujua wema na

ubaya

Baada ya Adamu kutenda haya, shetani akaasaa kuwasakili

watu kunena maneno yake, na dunia ikajaa kuchanganikiwa.

Viumbe vya kiroho vimekuwa vikingangania kutawala

maneno ya mwanadamu tangu hapo.

Uzima na kifo ziko katika nguvu ya ulimi

Mithari 18:21 inasema Mauti na uzima hua katika uwezo

wa ulimi;Na wao waupendao watakula matunda yake.„‟

Page 56: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

56

Yakobo alielezea hali ya kisayinisi na umuhimu wa kiroho

wa maneno

“Maana twajikwaa sisi sote pia katikka mambo mengi.Mtu

asiye jikwaa katika kunena yeye ni mkamilifu, awezaye

kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu. Angalieni

twatia lijamu katika vinywa vya farasi ili wamtii hivi twa

geuza mwili wao wote.Tena angaliei merikabu ingawa ni

kubwa kama nini na kuchukuliwa na pepo kali zageuzwa na

usukani mdogo sana ko kote ana anakoazimia kwenda

nahodha.Vivyo hivyo ulimi nao ni Kiambato kidogo nao

hujivuna majivuno makuu.Angalieni jinsi moto mdogo

uwashavyo msitu mkubwa sana.Nao ulimi ni moto ule

ulimwengu wa uovu ule ulimi umewekwa katika viungo vyetu,

nao ndio uutiao mwili wote unajisi huuwasha moto mfulizo wa

maumbile nao huwashwa moto jehanamu. Maana kila aina ya

wanyama nay a ndege nay a vitambaavyo nay a vitu

vilivyomo baharini vinafugika navyo vimekwisha kufugwa na

waanadamu.Bali ulimi hakuna awezaye kuufuga ni uovu

usiotulia umejaa sumu iletayo mauti.Kwa huo twamhimidi

Mungu Baba yetu na kwa huo twalaani wanadamu

waliofanywa kwa mfano wa Mungu.Katika kinywa kile kile

hutoka Baraka nalaana.Nndugu zangu haifai mambo hayo

kuwa hivyo.JE! chemichemi katika jicho moja hutoa maji

matamu na maji machungu?Ndugu zangu Je!Mtini waweza

kuzaa zeituni au mzabibu kuzaa tini?Kadhalika chemichemi

haiwezi kutoa maji ya chumvi na maji matamu” (Yak. 3:2-12)

Watalamu wa aliki wameguduwa kuwa sehemu ya kunena

katika akili hutawala akili yote. Kwa nini? Mungu alijua alicho

kuwa akifanya! Ulimi unabadilisa mwelekeo wa maisha

yakekama vile msukani mdogo tu wa meli kubwa unaomua

muelekekeo wake

Mungu alimwambia Joshua kuwa ushindi ungekuja

akinena neno tu

Page 57: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

57

Uwe hodari tu na ushujaa mwingi, uangalie kutenda

sawasawa na sheria yote aliyokuamuru Musa mtumishi

wangu; usiiache kwenda mkono wa kuume, au wa kushoto,

upate kufanikiwa sana kila uendapo.Kitabu hiki cha torati

kisiondoke kinywani mwako bali yatafakari maneno yake

mchana na usiku upate kuangalia kutenda sawasawa na

maneno yote yalio andikwa humo maana ndipo utakapo

ifanikisha njia yako kasha ndipo utakasitawi sana.(Josh. 1:7-8)

Kuingia kwa pumziko la Mungu.

Malaika husikiliza, mapepo yanatoloka

Yesu ndiye kuhani mkuu juu ya kukili kwetu. Wakati neno

la mungu linatangazwa na kuombwa juu ya mtu au hali lina

nguvu! Yesu aliumba kila kitu kwa neno lake. Yesu ndiye

neno. Yesu alitupatia mamulaka ya kutumia neno kama ni

yeye mwenyewe analiongea!

Hapo mwanzo kulikuwako Neno naye Neno alikuwako kwa

Mungu naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako

kwa Mungu.Vyote vilifanyika kwa kwa huyo wala pasipo yeye

hakikufanyika cho chote kilichofanyika. Yohana 1:1-3

Wakati pasaka ilipeanwe kwa isilaeli katika kutoka 12,

waisilaile waliambiwa waweke damu ya kandoo asiye na hasia

juu ya milango juu na malaika wa kifo (pepo) „ akipita juu‟

asiwadhuru. Yesu ni mwna kondoo juu ya milango ya wale

tunaopenda na tunaombea. Vipi?

Ufunuo 12:11 inasema “Nao wakamshinda kwa damu ya

Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao

hawakupenda maisha yao hata kufa.”

Maneno ya vinywa vyetu yatuwasilisha damu

Ona katika kutoka 12 ya kwamba damu kandoo ilipo kaa

katika chombo, haikifanya chochote. Lakini walipochukua na

kuipaka kwenye milango yao basi mungu na shetani

wangeiona. Majani waliotumia kupaka damu ni majani ya

kawaida ambayo hayana dhamana, maneno ya vinywa vyetu

hayaonekani ya uzito lakini kukiyotubukisa kwa neno la

Page 58: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

58

mungu ( ambaye ni Yesu mwenyewe) ya kuyutumia kama

damu , mungu anaiona na shetani anaina! Yesu anajukua

kukili kwetu na kukufanya kwenye nguvu. (wa hibrania 3:1)

Tunapo ongea neno la mugu Yesu ananipelekea baba na

kumuhimiza aitimize. (yohana 16:23 ) inasema basi tunaweza

kuingia kwenye pumziko na kuacha neno ifanye kazi

(Waebrania 4:1) inasema kazi yake ikimalizika kutoka miziki

ya ulimwengu kwa hivyo tunaweza kuamini. (waebrania 4:3)

(Waebrania 4:12) malaika hufanya kazi wanapo sikia neno

la mungu (Zaburi 103:20) mapepo hutoroka (Zaburi 149:5-9 )

inasema

Yesu alitupatia mfano “Na asubuhi walipokuwa wakipita waliuona ule mtini

umenyauka umenyauka toka shinani. Petro akakumbuka habari

yake, akamwambia, Rabi, tazama, mtini ulioulaani

umenyauka. Yesu akamjibu, akamwambia, Mwaminini

Mungu. Amin, nawaambia, Ye yote atakayeuambia mlima hu,

Ng‟oka ukatupwe baharini, wala asione shaka moyoni mwake,

ila aamini kwamba hayo asemayo yametukia, yatuka yake.kwa

sababu hiyo nawaambia Yo yote myaombayo mkisali, aminini

ya kwamba mnayapokea, nayo yatakuwa yenu. Nanyi, kila

msimamampo na kusali, sameheni, mkiwa na neno juu ya mtu;

ili na Baba yenu aliye mbinguni awasamehe na ninyi makosa

yenu. lakini kama ninyi hamsamehe, wala Baba yenu aliye

mbinguni hata wasamehe ninyi makosa yenu.”(Mak. 11:20-26)

Yesu hakusema ni yeye pekee yake angeongea kwa

milima. Aliwambia wanafunzi wake chochote mnach ouliza

mkiomba,amini milima mara nyingi husimamia vizuri katika

bibilia. angalia kwa njia Yesu aliongea.

1. kwanza alisema “kwa hivyo na wambia” kama Yesu

alitwabia , basin a haki ya kuamini kile alichosem.Yesu

aliwambia , yeyote atakayepokea chochote sisi tuko ndani

ya mfano wa mungu, na mungu anahitaji tuongee kwa

niamba y ake hapa duniani.

Page 59: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

59

2. hakusema useme kile anachotaka kusema. alisema

wakati unaomba na kuamini, unapokea yote mambo

uliouliza kisha unaweza sema kwa milima, kwa hivyo ni

lazima kwanza tushiriki na Yesu katika neno lake kwa roho

mtakatifu iili tusike manachotwambia. tunaposikia

anochotuambia imani huja kwa kile kinatoka kwetu si tu

kile tunacho jitakia.

3. Tunapoelewa tunapaswa kupokea Neno lake, na imani

huja kama mbegu mioyoni mwetu, basi lazima tunene hilo

neno ambalo tumepokea ili liweze kupita.

Hii sio njia ya kujitisiaya vitu vya kibinafsi. lakini

kutusikab sema haya, kunao sheria kuhusu kuongea kwetu

ambayo mara nyingi inafanya kazi kwa wasioamini na

waaminiokwa usawa. ili sheria hatimaye itafanyikia kila

mtu. Tunapokea kile tunachoongea isipokua kile

tulichoongea ni katika kutubu dhambi.

4. Katika kifungu kilicho hapo juu, Yesu alitumia neon

“sema” mara nne na neon amini mara moja.

Ushuhuda wangu

mara nyingi tangu niokoke 1979 mungu amenipatia ahadi

kwa mahitaji ya dharura. aliniagiza ni mwagiliwe maji ile

mbegu kwa kunena ahadi kwa sauti saa zote. kwa wakati

mwingine nilinena ahadi kwa zaidi ya miaka mitano kabla ya

kuona mlima ukiondolewa. mke wangu na mimi tunanenea

maneno mengi ya kibibilia saa zote tunapo omba, tukijumika

(Zaburi 91 na Zaburi 23). kuna mengine mentgi. Tuna daftari

ya maombi ya kurasa 17 ambao imejaa maandiko ambayo

tunajiombea sisi na wengine mara nyingi kila wiki.hii ni

kuhusu maadui, Baraka na laana, mambo a kipesa , watoto

hudumu na mambo mwengine.

Page 60: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

60

Onyo , njia ni nyembamba

katika kifungu kifuatacho cha maandiko, nina amini esu

alikuwa akiwafundisha watu jinsi ya kukaa katika ufalme wa

mungu hapa duniani. kwa maoni yangu na wahimiza, kuuliza,

kutofuta na kubisha, kama njia ya kuomba ili kusimamisha

ufalme wake(Mathayo 7:7-12)

Yesu alikuwa akifundisha somo hili hili la ulizo tafuta na

bisha katika ( Luka 11) alipokuwa akiwafundisha wanafunzi

wake kuhisu maombi . kisha akamalizia fundisho hilo na

(Luka 11:13)

tunapo uliza mugu hutupatia ufunuo wa mapenzi yake kwa

roho mtakatifu tunapo tafuta mapenzi yake kuhusu jambo

hilo. kisha tukipokea mapenzi yake , nia na ahadi yake,

tunaweza kuanza kubisha, au kuongea lile neno atakalotupatia

(Mathayo 7:13-14)

kuongea nono kikamilifu ni tunda ya uhusiano wa karibu.

lakini ninasema ya kuwa Yesu alikuwa akionyesha katika

maadiko hapo juu yakwamba kuna hali nyembamba sana kwa

kuzaa matunda.

Angalia katika maandiko hapo juu:

1. njia nyembamba kwa kuona kwangu imeelezewa katika

mifano wa “ uliza, tatuta na bisha” kumuliza Mungu ni sawa

na “kuishi “ hii ni katika mazingara ya uhusiano na kumjua.

2. kutafuta ni kugundua mapenzi ya mungu, suluhu ya

mungu au mfano/ahadi ya mungu

3. kabisa ni kuwa wakutoacha, na kuongea neno. kuongea

neno bila uhusiano wa karibu sio njia nyembamba ya mungu.

Yesu alijua ni watu wachache waliochagua njia ya kuliza,

kutafuta na kubisha katika maish. ingewaletea uzima tele.

Page 61: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

61

Yesu alisitahimili msalaba kwa kunena neno

Kwa maoni yangu, Yesu alinakili sehemu ya maandiko

mengi kutoka (Zaburi 22) au hata yote ambayo iliongewa

kuhusu mateso yake msalabani. (Zaburi 22) iliandikwa karne

nyinyi kabal Yesu haja zaliwa

Zaburi 22 :31 inasema “Nao watawahubiri watakaozaliwa

haki yake, Ya kwamba ndiye aliyeyafanya.” Tua kwa muda na

usome Zaburi hii yote oune vile Yesu alipitia kusu musalaba.

Kwa kuto mwanagaza wa maombi una maandiko mengi

inaweza kumakiniwa an kuongewa juu ya hali nyingi katika

maisha nenda kwa tofauti yetu iliyo hapa chini.

www.isob-bible.org/abt/prayerbook.ltm

Page 62: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

62

Sura ya 7

Viambato Zaidi Kutoka Kwa Petro

“Lakini kuliondokea manabii wa uongo katika wale watu,

kama vile uongo, watakaoingiza kwa werevu uzushi wa

kupoteza, wakimkana hata Bwana aliyewanunua, wakijiletea

uharibifu usiokawia. Na wengi watafuata ufisadi wao; na kwa

hao njia ya kweli ittukanwa. Na katika kutamani watajipatia

faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa; ambao hukumu yao

tangu zamani haikawii, wala uvunjifu wao hausinzii. Kwa

maana ikiwa Mungu hakuwaachilia malaik waliokosa, bali

aliwatupa shimoni akawatia katika vifungo vya giz, walindwe

hata ije hukumu; wala hakuuachilia ulimwengu wa kale, bli

alimhifadhi Nuhu, mjumbe wa haki, na watu wengine saba,

hapo alipoleta Gjharika juu ya ulimwengu wa wasiomcha

Mungu; tena akaihukumu miji ya Sodoma na Gomora,

kiipindua na kuifanya majivu, akaifanya iwe ishara kwa watu

watakaokuwa hawamchi Mungu baada ya haya; akamwokoa

Lutu, yule mwenye haki aliyehuzunishwa sana na mwenendo

wa ufisadi wa hao wahalifu. Maana ntu huyu mwenye haki

akikaa kati yao, kwa kuona na kusikia, alijitesa roho yake

yenye haki, siku baada ya siku, kwa matendo yao yasiyo na

sheria; basi, Bwana ajua kuwaokoa watauwa na majaribu, na

kuwaweka wasio haki katika hali ya adhabu hata siku ya

hukumu. Na hasa wale wau fuatao mwili katika tamaa ya

mambo machafu na kudharau mamlaka. Wenye ushupavu,

wenye kujikinai, hawatetemeki wakiyatukana matukufu;

ijapokuwa malaika ambao ni wakuu zaidi kwa uwezo na

nguvu, hawaleti mashitaka mabaya juu yao mbele za Bwana.”

(2 Petro 1:1-11)

Maandiko haya katika Petro wa pili ni wazi kuhusu somo la

imani na ni kutanikasana katika maisha yetu ya kila siku.

Haya ni maono ya nguvu.

Katika hili hapa ju, Petro anasema kuwa Mungu ametupatia

kila tunachohitaji katika maisha, kinachoonekana, uungu na

Page 63: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

63

kisichoonekana. Ametupatia vipawa katika mfano wa ahadi

ambazo huja kwa “kumjua” katika hali ya wakati hakika wa

uhusiano wa karibu na ushirika naye. Anaendelea kusema ni

lazima tuongeze viungo vingine kwa ahadi hii na imani yetu.

Ahadi Petro anatufanyia kama tutaongoza viungo ni za ajabu.

Anasema hatutakua tasa katika kumjua Mungu, mwito wetu n

akushughulikiwa kutakuwa imara, hatutajikwaa na kuingia

kwetu katika ufalme wa Mungu kutasambaa kwa utele.

Petro anatoa tamko nzuri katika mstari wa 10.

2 Petro 1:10, “Kwa hiyo ndugu, jitahidini zidi kufanya

imara kitwa kwenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo

hamtajikwaa kamwe. ”

Neno kujikwaa au kuanguka halimaanishi kuanguka

hakika. Linamaanisha “hapo mbeleni au wakati uliopita.”

Ninaamini kuwa Petro alikuwa akiongea kuhusu kumkana

Yesu kwake kwa hapo mbeleni. Hapa ni mtu alikuwa

ameagizwa na kushindwa na kustaajabishwa sio yu na upendo

na msamaha wa Yesu, lakini pia na nguvu ya Roho mtakatifu

kumfanya mtu upya.

Kufupisha kifungo hiki cha andiko.

1. Inasema anatupa nguvu kwa mambo yaote yanayo

ambatana na maisha na uungu. Hii inamaanisha kwangu,

mambo ya kila siku tunayo hitaji kushi maisha na tabia yetu.

Hii inajumuisha kuponywa kwa vidonda vyetu vya kitambo

vidonda ambavyo tumekaa katika kifungo na kutumika.

Sehemu kubwa ya kupona huku ni kugundua kwa imani,

kujijua kwetu katika Yesu. Imani hakika inatufanya tujue ya

kuwa tumeangikwa na Kristo na hakika tumefunuliwa kwa

kuzaliwa upya na kabila mpya. Nguvu za kiroho za kujua

ukweli wa sisi ni nani zittufanya watu huru.

2. Inasema tanapokea nguvu hii kwa kumjua au kuwa na

uhusiano na Yesu.

Page 64: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

64

3. Inasema tunapokea tokeo moja ya uhusiano huu ni

kupokea ahadiambazo zinatupatia watu wake, tabia na kile

chote tunachohitaji kuuepuka

4. Kama vile tumekuwa kuzungumzia katika sura

zilizopita, ahadi ni mbegu zilizopandwa katika mioyo yetu

ambazo zitazaa matunda. Ukijua mbegu imewekwa moyoni

mwako basi imani inainuka ndani yako.

Tunahitjai maono

Maoo ni kama tumaini. Ni tarajio ya kuwa tutapokea kitu

Fulani. Mungu ni Mungu wa maono. Ana maono ya kitu

kitakavyo kuwa. Anaongea na roho mtakatifu anafanya kazi.

Hapo maisha yangu ya mbeleni nilijiumbia maono na ndoto

zangu mwenyewe. Zingine zilitokea lakini hata hizo, kwa vile

hazikua kwa nia ya M ungu. Zilikuja na shida na mizigo mingi.

Watu wa kisasa (new age) hujiundia maono yao. Sisi

hatunahaja ya kufanya hvi. Kwa kuwa tunaouhusian na

Mungu. Anatupatia maono yetu, maono anayo kusudia kwa

nguvu zake kutimiza katika maono au ndoto itakuwa namna

gani wakati itatimizwa. Mara yote ni zaidi kile tunachofikiria

kwanza au kuombea. Mungu akikupa maono yake nidhamu ya

kibinafsi utapata ni kitu kitakacho kujua kwa urahisi.

Wacha turudi nyuma na turudie tuliyosoma.

1. Yesu alikuja kubadilisha mambo yawe bora. Isaya 61

na Luka 4.

2. Mabadiliko yake hutujia kwa njia ya kipawa, urithi.

Sio kitu sisi hulipwa au tulichofanyia kazi, tunazipkea kwa

zikiwa zimefungwa kwa neema.

3. Urithi wake anatujia kwa habari za imani. Imani

inatuletea kwa urithi wake.

4. Imani ianpeanwa kwetu kwa neema, ni kipawa cha

bure.

5. Imani hutufikia kwa kusikia Mungu akiongea kupitia

neno lake na Roho Mtakatifu.

Page 65: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

65

6. Imani hutuletea mbegu iliyopandwa ndani ya mioyo

yetu tunaposikia neno la Mungu.

7. Imani inafanyaika kitu, cha kiroho kinachoweza

kuguswa. Hii ni kama haionekani kwa macho ni ya ukweli.

Imani ndiyo hati miliki, uhakika wa ukweli wa kiroho na

ahadi amabzo haziwezi kuonekana na hisia za kawaida

(macho). Hii ni kam “hisia” ya sita.

8. Imani ili ifike kwa ukamilifu wake naizae matunda

yanayo tarajiwa ni lazima itunzwe kwa kila mtu.

9. Kwa mtu lazima aongeze viungo kadhaa kwa imani

yake. Tumekuwa tukiongea hili katika sura kadhaa.

Kufikia hapa tumeongeza kuvumilia, kustahamili kwa

wakati mrefu, upendo na matendo. Katika sura hii

tutaweka imani yetu chumvi na viungo vingine.

Uangalifu- nidhamu ya kibinafsi.

Maandiko ya Petro yana tuagiza kuongeza viungo

kadaa. Lakini anaonyesha wazi tunahitaji kutumia

uangalifu tunapofanya kuongeza.

Kamusi ya Microsofti inaelezea uangalifu kama!

Kutuacha na kufanya kazi kwa bidii katika kufanya jambo,

uangalifu na busara inayotarajiwa katika sheria katika

kufanya jambo, kama kutimiza maagizo ya mkataba.

Maelezo ya Strong‟s yanaelezea uangalifu kama neno

la kiyunani hivi: Spoude (Spoo- day) uangalifu haraka,

bishara, ukweli kufuata na kutimiza jambo, kujihisi kwa

karibu.

Naamini njia ya uangalifu kuwa makini

Kama una kiu kuhusu kupokea urith wa kwako,

utakuwa makini kwa viungo vinavyo hitajika kuliko

chochote kingine katika maisha. Itakuwa jambo lako la

kwanza.

Ninaamini kuwa neno nidhamu ya kibinafsi inafa

kutumika kwa uangalifu.

Page 66: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

66

Siongei kuhusu nidhamu ya “” usifanye hilo , lakini

nidhamu ya kuweka mbele viungo za imani ambayo

tumekuwa tukinena. Tukifanya sehemu na viungo, Mungu

atatupatia nguvu kwa mambo ya “usifanye hilo” kwa hali

za maisha.

Nidhamu ya kukimbia mbio.

“Je! Hamjui, ya kuwa wale washindanao kwa kupiga

mbio, hupiga mbio wote, lakini apokeaye tuzo ni mmoja?

pigeni mbio namna hiyo, ili mpate. na kila ashindanaye

katika michezo hujizuia katika yote; basi hao hufanya hivyo

kusudi wapokee taji iharibikayo; bali sisi tupokee taji

isiyoharibika . hata mimi napiga ngumi vivyo hivyo, si kama

apigaye hewa; bali nautesa mwili wangu na kuutumikisha;

isiwe, nikiisha kuwaharibu wengine, mwenyewe niwe mtu

wa kukataliwa.” (1 Kor. 9:24-27)

Ifuatayo imetolewa na kukaririwa kutoka kwa

kitabu The Richest Man Who Ever Lived 6“Mtu tajiri

sana aliyewahi kuishi”

Uangalifu si kitu ambacho unazaliwa nacho,

lakini ni maarifa ya kufundisha ambayo

huunganisha ustahamilifu wa ujenzi kufanya kazi

kwa bidii katika mpangilio wa sawa na kufanywa

kwa usawa katiak wakati, kwa ubora na njia ya

sawa ili kupata matokeo safi nay a hali ya juu sana

ya ustadi.

Thawabu ya kufanyika mwangalifu kikweli

Utapata kuwa mbele

(Mithali 21:5) “Mawazo ya mwenye bidii huuelekea

utajiri tu; Bali kila mwenye pupa huuelekea uhitaji.”

Utakabili hali badala ya hali kukukabili

6 Steven Scott, The Richest Man Who Ever Lived., A currency Book, Random House.

New York, NY., 2006, ukurasa 12-27.

Page 67: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

67

(Mithari 12:24) “mkono wa mwenye bidii utatawala;

Bali mvivu atalipishwa kodi.”

Utapata kutosheka kamili.

(Mithari 13:4), “Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate

kitu; Bali mtu mbaya huwa karaha, hupatwa na aibu.”

Utapata heshima na dhamna ya watu ambao wako

katika mamlaka

(Mithari 22:29) “Je! wamwona mtu mwenye bidii

katika kazi zake? Huyo atasimama mbele ya wafalme;

Hatasimamma mbele ya watu wasio na cheo.”

Mahitaji yako yatatimizwa

(Mithari 28:19) “Alimaye shamba lake atakuwa na

chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi atapata

umaskini wa kumtosha.”

Utapata ushindi wa kuongezeka

(Mithari 13:11) “Mali iliyopatikana kwa haraka

itapunguka; Bali yeye achumaye kidogo kidogo

atazidishiwa.”

Bidii yako italeta faida

(Mithari 14:23) “katika kila kazi namna faida; Bali maneno

ya midomo huleta hasara tu.”

Matokeo ya kutokuwa mwangalifu. Bidii yako itakuwa

bure.

(Mithari 14:23) “katika kila kazi namna faida; Bali maneno

ya midomo huleta hasara tu.”

Kushika uzembe, kinyume cha uangalifu

Mzizi na chanzo cha uzembe

Uzembe kulingana na kile Suleimani alicho andika katika

Mithari. Ubinafsi , maringo, upumbafu na kutoajibika. Mara

nyingi huunganisha haya mawili ya mwisho katika kitengo

anacho kiita ujinga.

Chanzo cha uzembe

Ubinafsi: (Mithari 21:2), “kila njia ya mtu ni sawa

machoni pake wenyewe; bali BWANA huipima mioyo.”

Page 68: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

68

Maringo

(Mithari 26:16), “Mtu mvivu ni mwenye hekima machoni

pake , kuliko watu saba wawezao kutoa sababu.”

Upumbafu na kutoajibika (ujinga)

(Mithari 24:30,31) “Nalipita karibu na shamba la mvivu, Na

shamba la mizabibu la mtu asiye na akili. kumbe! lote pia

limemea miiba; uso wake ulifunikwa kwa viwavi; na ukuta

wake wa mawe umebomoka.”

Hatua za Suleimanii za kuleta uangalifu katika maisha

yako.

1. Amka kwa ukweli

(Mithari 6:9-11), “Ewe mvivu, utalala hata lini? utaondoka

lini katika usingizi wako? bado kulala kidogo, kusinzia kidogo,

Bado kukunja mikono upate usingizi. hivyo umaskini wako

huja kama mnyang’anyi, Na uhitaji wako kama mtu mwenye

silaha.” kwa maneno mengine wacha kuahirisha.

2. Elezea maono yako

(Mithari 29:18), “Pasipo maono, watu huacha kujizuia;

Bali ana heri mtu Yule aishikaye sheria.”

3. Tafuta mshauri wa kufaa

(Mithari 15:22), “Pasipo mashauri makusudi hubatilika;

Bali kwa wingi wa mashauri huthibitika.”

4. Tafuata hekima

(Mithari 16:16), “Si afadhali kupata hekima kuliko

dhahabu? naama, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.”

Ongeza kwa imani yako.

Viungo saba kwa imani vinapatikana katika somo letu la

mwongozo, 2 Petro 1:1-11Tumeongea kuzihusu katika sura

zilizopita. Nataka niziongelee kwa ufupi hapa.

Sasa weka uangalifu wako, nidhamu kwa viungo hivi.

Page 69: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

69

1. Kiambato cha kwanza cha Petro, wema

Kamusi ya taja neno hili kama kuwa mwema kitabia na

mwenye haki. Mwelezo wa Strong‟s unaelezea neno la

kiyunani kama arefe arefe (ar-et-ay) njia ya mwelekeo sawa

wa mawazo, kuhisi na kutenda wama na usafi.

Hata kama naelewa ya kwamba tunafanyika wnye haki kwa

imani, kuwa na kuelewa huko kwafaa kukuelekeza kuacha

mambo ya utu wako wa kale na kuuvaa utu upya wa Yesu.

Ndio, anaishi ndani yako, lakini unaweza kuchagua kumruhusu

aishi maisha yake kupitia kwako au uishi kama bado hajaingia

ndani yako.

(Wakolosai 3:5), “Basi, visheni viungo vyenu vili”

“Basi , kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu

wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema,

unyenyekevu, upole, uvumilivu, mkichumiliana, na

kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kulaumu mwenzake;

kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vvyo na ninyi. zaidi ya

hayo yote jivikeni upendo ndio kifungo cha ukamilifu.”

(Wakolosai 3:12-14)

2. Kiambato cha pili cha Petro, ufahamu.

Kamusi inaelezea neno hili kama: hali ya kuelewa kwa

ujumla ya kuwa na habari, kweli, mawazo mazuri, ukweli au

kanuni hali ya kuelewa kwa kupitia hali ya kusoma.

Maelezo ya Strongs yananfafanua hili neno kwa kiyunani

kama gnosis kikristo kwa ndani na kwa usawa kama na kwa

hali ya juu kwa mambo ya kufanya na kutofanya kwa wakristo

hekima ya utu mwema kama ninvyo onekana kwa kuishi

vyema.

Tunahitji kusoma neno kila siku ili tupate kufahamu.

Kusoma kwa kila siku na kutafakari zaburi na Mthalini ya

dhamna ili kupata hekima na ufahamu. Lakini ona kwamba

kuelezwa kwa ufahamu kwa njia moja ni kupatikana kupitia

ujuzi”. Mara tunapopata nidhamu ya Mungu kupitia uchungu

ili tupate funzo. Wakati nimepitia funzo chunga imenifanya

Page 70: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

70

nihakikishe sifanyi wengine kupitia hali ya uchungu kama ule

kwa matendo yangu. Kuhisi uchungu kunanifanya niwe

mwangalifu kwa wengine. Mapito ni mwalimu mkuu.

Kwa upande mzuri tunapata ujusi kwa kufuata watu ambao

wamefaulu katika taaluma zinzotuvutia. Elimu yangu nyingi

katika maisha imekuwa ni kufundishwa na watu wallio mbele

yangu katika biashara na mambo ya kiroho.

3. Kiambato cha Petro, kiasi

Kamusi yaelezea neno hili kama uweze wa kujizuia haswa

katika utendaji

Mwelezeo wa Strong‟s unaelezea kwa kiyunani kama

Egkratela, kiasi (mtu anaye shinda, kiu na tama zake hasa

katika hamu zake.

Ni muhimu kujua kwamba kiasi ni sehemu ya tunda la

Roho, tunda la Roho Mtakatifu anaye kaa ndani yetu. Kiasi

huja kwa neema kwa kuruhusu Yesu kuishi maisha yake

kupitia kwetu. Tunapo tenda dhambi kwa kukosa kiasi na

nafasi yetu kuruhusu Yesu atuoshe na tuache kiasi chake

kutimilika.

4. Kiambato cha Petro cha nne, kustahamili

Kamusi ya eleza neno hili kumaanisha imara na

kuendelea kutenda na kuamini haswa kwa muda mrefu na

kuamini haswa kwa muda mrefu na kukiwa na pingamizi na

vikwazo. Katika Strong‟s kwa kiyunani neno hili ni

hupomene, subira, kuvumilia, kungojea, imara, kuendelea,

katika agano jipya tabia ya mtu ambaye hafikishwi kutoka

kwa kusudi lake na kujitolea kwake kwa imani na uungu

hata katika majaribu na kuteswa.

Ni muhimu kujua kuwa uvumilivu ni sehemu ya tunda la

Roho, tunda la Roho Mtakatifu anayeishi ndani yetu.

Uvumilivu una maana ya karibu sana na kuistahimiml. Na hii

Page 71: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

71

pia ni tendo la neema. Tuliangalia kuvumilia na kukimbia

mbio katika zura zilizopita. Hivi ni viungo.

5. Kiambato cha Petro cha tano, uungu.

Kamusi yaelezea neno hili kama kuishi kwa sheria na

mapenzi ya Mungu; kujitolea.

Maelezo ya strong‟s yanaelezea neno hili kwa kiyunani

kama Elusebeia uungu utakatifu, heshaima, kujitoa kwa

Mungu.

Kwa maoni yangu inaweza elezewa kama “utakatifu” au

“maisha ya Yesu ndani ya mtu kupitia kwa Roho Mtakatifu”

ishi kwa njia ya kujitoa kwa Roho Mtakatifu mpaka unaweza

kuhisi mguso wake mdogo wati anapotoka ukiri dhambi zako.

6. Kiambato cha Petro cha sita, huruma ya kidungu.

Kamusi inaelezea neno hili (huruma) kama; hali ya kuwa

na uweze wa kuonyesha huruma na fadhili tendo la

kuonyesha kuhusika na kujali.

Maelezo ya Strong‟s yanaelezea kwa neno la kiyunani

kama Phleo, Philadelphia, upendo kwa ndugu au da, upendo

wa kindugu, upendo wa wandugu, katika agano jipya, upendo

ambao wakristo hupeana kama ndugu.

Hii ni moja wapo ya “upendo”

Tunaona katika Bibilia. Haifai kuonekana kama aiana ya

upendo wa Mungu yaani Agape

Ufasili kuta kwenye mtandao

http;/www.albatrus.org/English/potpourri/sermons/wha

t-is-love.htm

PHILEO inaonyesha upendo wa kibinafsi au raha,

ikijumuisha tama wakati mwingine. haihusishi werevu au

makusudi makuu. hii inaweka Philei chini kidogo kuliko

agape. ni hali inayofutwa kwa mtu mwengine na inatarajia

kurudishwa upendo pia.

Page 72: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

72

Huruma kwa wengine imekuwa ni jambo lililopuuzwa.

wakati mwengine huruma ni kusikiza badala ya kuongea.

inaweza kuwa nui kuonyesha kuvutiwa kwa mtu mwengine na

hali yake kwa wema. huruma inaweza onyeshwa kwa

kutohukumu wengine na kuwacha wajue hivyo.

7. Kiambato cha saba cha Petro Upendo- agape

Tulitoa sura nzima kwa hili hata hivyo hapa kuna mambo

yakuongezea. kamusi nyingi za kingereza hazina kuelezea kwa

neno (agape) hili kwa ukamilifu. Tofuti ya Wikipedia Anaya

jumuisha haya katika kuelezea kwake.

Neno agape hutumika kwa unadili sana katika vitabu vya

kale, lakini lilitumika na wakristo wa kwanza kuonyesha

upendo wa kujiletea wa Mungu kwa wanadamu, amabao

walikuwa na jukumu kurudisha na watendae kwa Mungu na

kwa moja na mwengine.

Maelezo ya Strong’s yanaeelzea kwa neno la kiyunani kama

agape(ag-ah-pay). ni upendo ulioanza katika Mungu peke

yake. mungu ni upendo, agape. upendo wake sio wa masharti

kwa watu wake, hata kwa adui zake , unatokana na tabia yake

ya kutakia wengine mema hata kam ni kwa kujitoa kwake

mwenyewe na kufa kwa ajili yao. ninauita “upendo wa damu”.

Maelezo kutoka kwa tofuti

http:/www.albatrus.org/English/potpourri/sermons/wha

t-is-love.htm

Huu ni upendo wa ufahamu, kuelewa na kujua

ukichanganishwa na kusudi na mwelekeo. aina yake ni juu

sana kuliko upendo wa aina nyingine yoyote kwa hakika

“agape” ni hali ya kudumu ya wema kwa Mungu na watu, bila

masharti yoyote,inayochipuka kwa wazi kutoka kwa Agape

ambayo Munguameweka ndani ya mioyo ya walio wake. ni

upendo usiohusishwa chochote. tunaweza kutoa Agape kwa

wengine kama Mungu kwanza ametujaza na Agape yake. aina

nyingine yote ya upendo inahitaji kurudishwa kitu ili idumu

Page 73: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

73

lakini Agape inatoka kwa Mungu na wale wamejazwa nayo

hawahitaji dhibitisho kutoka kwa wengine wakiwa wamejazwa

na Agape ya Bwana.

Waefeso 2:4-6 inasema, “Lakini Mungu, kwa kuwa ni

mwingi wa rehema, kwa mapenzi yake makuualiyotupenda;

hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu;

alituhuisha pamoja na Kristo; yaani, tumeokolewa kwa neema.

akatufufua pamoja naye akatuketisha pamoja naye katika

ulimwengu wa roho, katika Kristo Yesu.”

“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata

akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee,

bali awe na uzima wa milele” Yohana 3:16.

Page 74: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

74

Sura ya 8

Mfano Wa Mpanzi

Siri ya Ufalme wa Mungu

“Akawaambia,Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa

Mungu bali kwa wale walio nje yote hufanywa kwa mifano ili

wakitazama watazame wasione; Na wakisikie nwasielewe

wasije wakaokoka na kusamehewa.” Mariko 4:11-12)

Ona hii hapa ndiyo tumbo ya ufalme wa Mungu na sio

kama zingine.

Uelezi wa strong's unaeleza neno maajabu kwa neno la

Kiyuhani kama: Mustemon (Moos-tay-on) kutokana na ???

(kinywa kilicho fungua) kitu kilicho fichwa, siri fumbo, siri za

ndini, kuonyeshanwa kwa wakiohitimu sio kwa wote wa

kawaida.

Ninaamini kwamba mafumbo katika Bibilia ni mambo

yaliofichwa kutoka kwa kuelewa kwa kawaida lakini

yamekusudiwa kufunuliwa wale wanaoyatafuta kwa bidii na

ambao wamehitimu katika masharti ya Mungu kupokea ujuzi

wa ufunuo “Rhema” kutoka kwa Mungu.

Katika kitabu hiki kuhusu imani tumekua tukiongea kuhusu

imani ni nini, thamani yake ni nini, tunaipokea vipi na

majukumu yetu mengi ya kuiongezea viungo. Yesu alilahisisha

hali ya imani katika mfano wa mpanzi katika Marko 4.

Aliifanya rahisi kutosha kwa waumini ambao hawakua na na

elimu wa siku zile kuelewa, lakini rahisi sana ya kwamba

ilichanganya wasomi na waandishi wa kindini wa enzi zake ya

Ayubu bado imefichwa wakrosto wengi hata wa leo.

Kufika mwisho

Ninakumbuka katika miaka ya 1980 wakati na vipi Mungu

alovyo nifunulia hii kwangu. Iligonga kwa nafsi yangu kana

nuru ikigonga katika giza. Ilikuwa ni wakati wa hitaji kuu na

kufikia mwisho katika maisha yangu. Nilikua na njaa ya

Page 75: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

75

kusikia Mungu akinena, lakini aliponena mara hii ilikuja na

tukio la nguvu na la kubadilisha maisha.

Tazama katika andiko hili hapa juu ya kwamba Yesu

alisema ameficha hili fumbo kwa kupenda kwake. Nilijiuliza

mara nyingi kwa nini alisema “na wakisikia wasikie

wasielewe, wasije wakaongoka nakusamehewa: Alikua

anaongea juu ya Isaya 6 pale imenakiliwa kwamba Isaya

alipata ufunuo mpya kutoka kwa Bwana. Hii ikafichika wakati

mfalme Uzzia alikufa. Uzzia mfalme mkuu na wa nguvu

katika Israel alileta ufanisi na usalama dhidi ya uadui lakini

alipokufa, tumaini la Isaya likageuka kwa Mungu peke yake.

Ni kutokana na kufikia mwisho huku ambapo Mungu

hujifunulia watu. Katika hiyo hiyo sura, Mungu alimuita Isaya

akahubiri ujumbe usio wa kawaida. “Naye akamwambia

Enenda ukawaambie watu hawa Fulizeni kusikia lakini

msifahamu; Fulizeni kutazama lakini msione.uunoneshe moyo

wa watu hawa ukayatie uzito masikio yao kuyafumbe macho

yao wasihje wakaona kwa macho yaona kusikia kwa masikio

yao na kufahamu kwa mioyo yao na kurenjea na

kuponywa.ndipo nilipo uliza eebwana hata lini?naye akanijibu

hata miji itakapokuwa ukiwa haina wenyenji na nyumba

zitakapokuwa hazina watu na nchi hii itakapokuwa gajo

kabisa.” Isaya 6:9-11

Wakati Isaya alimuliza Mungu atahubiri ujumbe huu wa

kutisha kwa muda gani, jibu lilikua ni, katika maneno yangu. “

Mpaka wafike mwisho”

Mfano wa Mpanzi

Marko 4:251.

1. Akaanza kufundisha tena kando ya bahari

Wakamkusanyikia mkutano mkubwa mno hata yeye

akapanda chomboni akaaka baharini mkutano

wote ulikuwako juu na nchi kavu kando ya

baharini.

Page 76: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

76

2. akawafundisha mambo mengi kwa mfano

akawaambia katika mafundisho yake.

3. Sikilizeni; Tazama mpanzi alitoka kwenda

kupanda.

4. Ikawa alipokuwa akipanda mbegu zingine

zikaanguka kando ya njia wakaja ndege wakaila.

5. Nyingine ikaanguka penye mwamba

pasipokuwa na udongo mwingi mara ikaota kwa

kuwa na udongo haba.

6. hata jua lilipozuka iliungua na kwa kuwa

haina mizizi ikanyauka.

7.nyingine ikaanguka Penye miiba ile miiba

ikamea ikaisonga isizae matunda

8. Nyingine zikaanguka penye udongo ulio

mzuri zikazaa matunda zikimea na kukua na kuzaa

moja therathini moja sitini na moja mia.

9. akasema aliye na masikio na akasikie.

10. Naye alipokuwa peke yake wale watu walio

mzunguka nawale thenashara walimwuliza habari

za ile mifano.

11. akaambia ninyi mmejaliwa kuijua siri ya

ufalme wa Mungu bali kwa wale walio nje yote

hufanywa kwa mifano.

12. ili wakitazame wasione ; Na wasikie

wasielewe wasije wakaongoka na kusamehewa.

13. Akawaambia, Hamjui mfano huu? Basi

mifano yote mtaitambuaje?

Mbegu ni neno la Mungu, Udongo ni moyo wako Nia ya

neno na uwezo wake ni kukuletea kila kitu unachohitaji

kwa maisha lakini watu wengiwanapoteza hii dhamana!

Kwa nini? Kama kwa mkulima wa kawaida ambaye

mimea yake hukauka, huwa ameshindwa kutunza shamba.

14.Mpanzi huyo hulipanda neno.

Page 77: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

77

15. hawa ndio walio kandoya njia lipandapo

nenonao wakiishi kusikia mar huja Shetani

akaliondoa lile neno lili lo pandwa mioyoni mwao.

16. kadhalika nahao ndio wapandwao penye

miamba ambaokwamba wakiishi kulisikia lile neno

mara hulipokea kwa furaha.

17. ila hawana mizizi ndani yao bali hudumu

muda mchache kasha ikitokea dhiki au udhia kwa

ajili ya; lile neno mara huku jikwaa.

Kushindwa kwatoka wapi?

Nimeona waamini wengi sana wakifichilia uridhi wao kwa

kuruhusu hisia zao kuwatawala wakati shida na dhiki

zimewapiga. Kulalamika, kutokua na shukrani na hali

zisizokubalika na Mungu kampa Shetani anacho kitafuta,

mbegu ya kuiba. Uridhi ambao Mungu anawatakia watu hawa

unapotea. Njia pekee ya imani yetu kuzaa ni kukaa na hali ya

Mungu wakati wa shida na dhiki. Ni lazima tuwe wa kusamehe

na tutembee katika upendo ambayo inajumuisha kujakuwa

msalamba kinyume na hisia zisizo za kiungu.

Watchman Nee Aliandika

“Akasema, Sikia, yuda wote, nanyi mkao

Yerusalemu na wewe mfalme Yehoshafati: BWANA

awambia hivi, Msiogope, wala msifadhaike kwa

jeshi hili kwani vita si yenu bali ya Mungu.” (2

Mambo ya Nyakati 20:15)

Pigana ushinde na umeshindwa vita tangu

mwanzo.

Kushindwa kwako kwa ukristo kuanza wakati

unapo thania ni lazima ushinde. Je shetani

alitokeza kakupiga kwako nyumbani, au katika

biashara.

Page 78: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

78

Ugumu unajkiinua, kutoelewana kunainuka hali

ambayo hauwezi kuikabidhi au kuitorokea

nijitokesha unaomba, unafunga, unang'ang'ana na

kushindana kwa siku nyingi lakini hakuna chochote

kinachofanyika.

Kwa nini? Unajaribu kupigana kupata ushindi,

na kwa kufanya hili unapoteza mahali pako, kwa

maana katika Yesu kristo Mungu tayari ameshinda.

Ushindi ni wetu kwa sababu ni wake. Ametupatia

ushindi wake tishikilie. Shetani ni adui

aliyeshindw. Inahitajika pumzi kidogo tu kutoka

kumumaliza na ha tuko tukileta fujo! Siri basi ni

nini? Rahisi. Tazama juu na usifu Mungu, “

ushindi wako Bwana una ?? yote. Ninakusifu kwa

sababu hata hali hii imeghalimikiwa pia” Kissa

pumzika katika ushindi ulishindaniwa tayari na

Mungu.

Moyo wa kidunia- Raha nyingi

18.Na hawa ndio wapandwao penye miiba ni

watu walisikialo lile neno.

19. na shuguli za ndunia na undanganyifu wa

mali na tama a za mambo ingine zikiingia

Moyo mzuri ni moyo wa kweli na mwema

20. Na hawa ndio walio pandwa penye udongo

mzuri ni watu walisikiapo lile neno na kulipokea na

kuzaa matunda mmoja thelathini moja sitini na

mmoja mia.

(Luka 8:15) inasema “ Na zile penye udongo mzuri, ndio

wale ambao kwa unyofu na wema wa mioyo yao hulisikia

neno, na kulishika; kasha huzaa matunda kwa kuvumilia.”

Page 79: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

79

Hii inaitwa neema. Hii ni kuangalia mbegu ya Mungu

ikifanyika mti mkubwa katika maisha yako. Ni hali ya

kushangaza kabisa.

Kuona Mungu akitosheleza mahitaji yako zaidi na vile

uwezo wako ungeweza ni ya ajabu. Zaidi ya hiyo kuona

Mungu akifikia, kuokoa na kuponya wengine zaidi ya uwezo

wako ungetimiza ni ya ajabu zaidi itaieleza vipi? Ni lazima

ujiojee mwenyewe.

Mbegu hazijifichi kwa mchanga milele\

21. Akawambia mwaona aje?Taa huja ili kuweka

chini ya pishi au mvunguni?Sikuwekwa juu ya

kiango.

22. kwa maana hakuna neno lililo sitirika ila

makusudi lije likadhihirika wala hakuna lililo fichwa

ila makusudi lije likatokea wazi.

Katika mwaka 2002, Mungu alinipeleka upande wa pili wa

dunia kwa inchi ya kiafrica kutembelea kikundi kilichokua

kikitumia kitabu chetu cha uwanafunzi cha Kua au kufa.

Niliona matunda. Sikufaiwa nishangae lakini nilishangaa!

Niliona wakimbizi ambao hawangepata kazi kiharari kwa

sababu hawakua raia awakizaa matunda maishani mwao

wenyewe na kwa ufalme wa Mungu. Walikua wamepanda

makirisa matano katika vijiji havikua zimefikiwa mbalani

kabisa. Nilipopanda ndege kwa safari yangu kurudi nyumbani

Bwana akaniambia “Akawaambia mwaonaje? Taa huja ili

kuwekwa chini ya pishi au mvunguni? Si kuwekwa juu ya

kiango kwa maana hakuna neno lililo sitirika ila makusudi lije

likadhihirika wala hakuna lililo fichwa ila makusudi likatokea

wazi.” (Marko 4:21,22) ilikua ni siku ya wababa marekani na

nilipokea unabii kutoka kwa rafiki yangu ya kwamba baba

yangu alitaka anipeleke mimi, mwanawe kwa ssafari maalum

ili anionyeshe mambo mazuri na awe na wakati nami. Alifanya

hivyo nami nilishtuka!. Tunapoona tunda la Mungu katika

maisha yetu inafanya wanyenyekevu, tukijua kitu

Page 80: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

80

kilikamilishwa na neema, na Yesu ndani yetu. Inatufanya

tufanye kama Petro alivua samaki wengi” odoka kwangu kwa

kua mimi ni mwenye dhambi”

Simoni Petro alipoona hayo alianguka magotini pa Yesu

akisema ondoka kwangu kwakuwa mimi ni mtu mwenye

dhambi Bwana.( Luka 5:8)

Macho na masikio yako ya kiroho yatakuwa au kufa

23. Mtu akiwa na masikio ya kusikilia na asikie .

24. Akamwambia Aangalie msikialo kipimo kile

mpimacho ndicho mtakacho pimiwa na tena

mtazindishiwa.

25. kwa maana mwenye kitu atapewa naye asiwe

na kitu hata kile alichonacho atanyang’anywa.”

Neno la Mungu ni mbegu ya kunijulisha ni ya kweli

Mungu anapoongea neno lake kwetu, inapandwa ndani ya

mioyo yetu kama mbegu katika udomgo. Inafaiwa ilkete

matunda katika maisha yetu na ieneze ufalme wa Mungu. Hivi

ndivyo Mungu anahusiana nasi, kupitia kwa neno lake katika

mioyo yetu. Ona katika mfano huu wa kawaida Mbegu

inapopandwa shetani anaanza kazi. Shetani hatuogopi yeye

huogopa Yesu peke yake na Yesu amedhihirishwa leo kama

neno lilipoandikwa ndani ya mioyo yetu. Kuishi jinsi hii katika

kuleta dhiki na mateso, lakini italeta pia maisha tele ambao

Yesu alinena kuhusu.

Baada ya darasa wanafunzi walianguka mtihani

Mara moja siku ile ile baada ya fundisho hili, Yesu

aliwapatia wanafunzi wake mtihani wa mwisho aliposema “

siku ile kulipokuwa jioni akawaambia, Na tuvuke ng‟ambo.”

(Marko 4:35)

Alipoongea hivi, neno lilikua limepandwa mioyoni yao

kama vile alivyo wafundisha. Lakini mara moja hali ilikua

kinyume na neno lililopandwa. Ikatokea dhoruba kuu ya

upepo,maimbi yakakipiga chombo hata kikaanza kujaa maji.

Page 81: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

81

Naye mwenyewe alipokuwapo katika shetri am,emelala juu

yam to wakamwammsha wakamwambia Mwalimu, si kitu

kwako kuwa tunaangamia.“” (Marko 4:37,38)

Yesu alijibu na huruma lakini pia na kukemea

“Akaamka akaukemea upepo, akaiambia bahari Nyamaza,

utulie. Upepo ukoma ukawa shuari kuu. Akawaambia mbona

mmkuwa waoga? Hamna imani bado?” (Marko 4:39-40)

Walisoma somo?

“Wakaingiwa na hofu kuu, wakambiana,Ni nani huyu,basi

hata upepo nabahari humtii.” Marko 4:41)

Amini neno, mwamini yeye, amini nguvu zake kuu, amini

upendo kwake kwake, bali sio hisia zako za kuonekana.

“Lakini mwenye hakli wangu ataishi kwa imani naye

akisitasita`roho yangu haina furaha naye .” (Waebrania 10:38)

Neno lilikua limepandwa ndani ya moyo wako ni hadi

miliki, udhibitisho wa ahadi yake

“Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatrajiwayo, ni

bayana ya mambo yasiyoonekana.” (Wahebrania 11:1)

Ni kama mwenye mimba ambaye bado hawezi kuona

mtoto, lakini anajua kitu kiko hai ndani yake.

Mbegu ina za

wanaume na wanawake

Vile wanadamu huzaana

Manii

ya Mwanamme

Yai la mwanamke

Vile mimmea

huzaana. Hii pia inasimamia Ufalme

wa Mungu. Neno la

Mungu ni Mbegu.

Udongo -wewe

Page 82: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

82

Ni mbegu ya aina gani unatarajia kuona

Kwa jumla neno la Mungu hudhihilisha mpango wa Mungu

kwako unapo ishi kwa kuzaa matunda. Nina amini kwa sababu

mili yetu ni hekalu la Mungu tunatalajia kuona vitu vile vilikua

katika helalu ya agano la kale zikidhihilika kama matunda

maishani mwetu.

Kuna matunda aina tatu, moja kawa kila tunachohitajo

na kwa kila kitu Mungu anachohitaji

1. Tunda la roho. Sheria

Tunda la ndani. Hii ni tabia ya kiungu. Hili ndilo tunda

linalo kufanya kama Yesu, Soma (Wagalatia 5:22-23) “Lakini

tunda la roho ni upendo, furaha, amni , uvumilivu, utu

wema,fadhili, uaminifu, upole,kiasi juu ya mambo kama hayo

hakuna sheria.”

2. Tunda kwa maisha yetu. Manna

Hii inajumuisha hali yetu ya kijamii, familia afya na mwili,

uchumi na kadhalika. (3 Yohana 1:2) “Mwongezewe rehema

na amni na upendano.” Nimeona mahitaji ya kuhusikiwa kama

tabia yangu ilivyo badilika. Soma (1 Wakorintho:9:7) inayo

sema “Ni askari gani aendaye vitani kwa gharama zake

mwenyewe? Ni nani apandaye mizabibu asiyekula katika

matunda yake? Au ni nani achungaye kundi, asiyekunywa

katika maziwa ya kundi.”

(Yohana 4:36) inasema “Naye avunaye hupokea mshahara

na kukusanya matunda kwa uzima wa milele. Ili yeye

apandaye nay eye avunaye wapate kufurahi pamoja.”

Ushuhuda wangu

Kulikua na wakati katika mwaka wa 1983 ambapo mapato

yetu hayakutosheleza matumizi yetu. Nilienda kua peke yangu

na Mungu katika mahali pa kupumzika nikitembea na

kumwambia kuhusu shinda yangu.

Aliongea kwa wazi sana na akasema “ Larry ukiwa

utaamini , “Na Mungu aweza kuwajaza kila neema kwa wingi

Page 83: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

83

ili ninyi mkiwa na riziki za kila namana siku zote mpate kuzidi

sana katika kila tendo njema.”(2Wakorintho 9:8) uweke kwa

midomo yako na ndani ya moyo wako, na kama utainena kwa

sauti mara nyingi unavyoweza kwa siku nitayatimiza mahitaji

yako. Tafadhali niambie bajeti yako ni nini. Nikamwambia

Mungu ili ya chini sana kutunza jamii yangu. Kwa chini ya

miezi mitano mapato yetu yalipanda kufikia kile nilimwambia

Mungu tulihitaji. Lakini nikiangalia wakati huo katilka maisha

yangu, nikakubari kwamba miaka kadhaa kabla ya wakati huo

nilikua ninatolea Mungu kwa kunipa fedha nyingi kutoka kwa

mahitaji yangu.

3. Tunda la umisonari. Mti wa Aroni ulichibua

Tunda la huduma na kwa wengine. “ Hivyo hutukuzwa

Baba yangu kwa vile mzaavyo sana mtakuwa wanafunzi

wangu.” (Johana 15:8)

kazi yetu kwa Mungu haitahesabika ispokuwa iwe matunda,

sio kazi ya mwili

Tunda zote zina mbegu ndani kwa kuzalisha

(Mwanzo 1:11) Inasema “Mungu akasema nchi naitoe

majani mche utoao na mtri wa matunda uzaao matunda kwa

jinsi yakwe ambao mbegu zake zimo ndani yake. Ju ya nchi

ikawa hivyo.” wakati tunda la ndani linakuwa ndani yetu

linatoa mbegu nje ambazo hutoa matunda ya kuonekana au

huduma ingine.

Ushuhuda wangu

Sikuwa na mpango wa kuwa na huduma kama “

International Bible School” lakini nilikua na moyo wa

kutumikia Mungu. Katika mwaka wa 1995 Bwana alininenea

kwa njia mbili, alinena (Zaburi 68:11) Inayosema “Bwana

alitoa neno lake; Wanawake watangazao habari ni jeshi

kubwa.” Aliniambia kama nikiandika na kuchapisha neno,

angefanya watu wengi kuritakasa au walichapishe tena.

Pia alinena kutoka kwa (Marko 14 ) pale mwanamke

mmoja alifuja chupa ya mafuta ya Marhamu ya nardo na

kumiminia Yesu. Bwana akaninenea na kusema “ Larry

Page 84: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

84

utachukua mali yako nakumiminia kwa mwili wangu kwa

sababu inafanya nijisikie vyema?

Maneno hayo au rehema kutoka kwa Bwana yakafanyika

mbegu ndani ya moyo wangu na sasa yanazaa matunda! Ya

kupendeza ni hii, mbegu inaendelea kujumulika na kila

kipande cha tunda ambayo hufanya matunda kuongezeka sana.

Ilikua na bado iko na jambo muhimu ni kua sikuhusika sana.

Ni kweli nilifanya kazi kwa bidii lakini kwa kile nilisikia

Mungu akaongeresha moyo wangu. Nilinibu kutofanya

mipango yangu.

Tafuta uhusiano na Mungu. Andaa moyo wako kwa

udongo mzuri, utakutana na vita vingi lakini ???Mungu.

“Mimi ndimi mzabibu wa kweli na baba yangu nduiye

mkulima, kila tawi ndani yangu lisilozaa huliondoa; na mkila

tawi lizaalo hulisafisha ili lizidi kuzaa. Nini mkekwisha kuwa

safi kwa sababu ya lile neno nililo waam,bia. Kaaeni ndani

yangu name ndani yenui kama vile tawi lisivyowezaq kuzaa

peke yake lisipo kaa ndani ya mzabibu; Kadhalika nanyi,

msipokaa ndani yangu. Mimi ni mzabibu; Ninyi ni matawi

akaaye ndani yangu njami ndanui yake huyo huza sana; Maana

pasipo mimi ninyi hamwezi kufanya neno lolote. Mtu asipokaa

ndani yangu hutupwa nje kama tawi nakunyauka; watu

huyakusanya na kuyatupa motoni yakateketea. Ninyi mkikaa

ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni

mtakalo lote nanyi mtatendewa. Hivyo hutukuzwa Baba

yangu, kwa vile mzaavyo sana; nanyi mtakuwa wanafunzi

wangu.” (Yohana 15: 1-8)

Page 85: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

85

Sura ya 9

Kusikia Sauti ya Mungu

Tumekuwa tukisikia kuhusu imani , vile Mungu anaitumia

nani viungo gani tunafaa kuiongezea. Mara kadhaa katika

kitabu hiki nimeandika ya kuwa imani huja kwa kusikia

Mungu akiongea, au kwa maneno mengine imani ni matokeo

ya uhusiano wetu wa karibu na Mungu Basi imani,chanzo

chake ni kusikia na kusikia huja kwa neno la kristo”(warumi

10:17)

Kusikia Mungu wakati wa dhiki imekuwa ya dhamana

sana kwangu .

Kwangu mimi wakati wa muhimu sana kusikia sauti ya

Mungu ni wakati inaonekana kana kwamba Mungu hafanyi

chochote katika maisha yangu , wakati ahadi zake zinaonekana

ni kama za wengine lakini sia zangu na wakati huo hali

zaonekana kuwa baya kabisa . Kuna wakati hatuelewi kabisa

vile Mungu anafanyana pia anatupitishia.Njia zake ziko juu na

zetu.Hata kama alinifunulia kwa nini alibidi achukuwe njia

Fulani ni nadra sana anifunulie kabla dhiki kuisha.

Wakati wa muda wa dhiki mrefu ndio sauti ya Mungu ina

dhamana.

“Lakini mtu wa kwenu akipungukiwa na hekima, na aombe

dua kwa Mungu awapaye wote kwa ukarimu wala hakemei;

naye ata pewa.”Hii ni ahadi ninayo chukuwa wakati sielewi

kwa nini mambo Fulani ya nachukuwa muda mrefu

kubadilika.Ikiwa naelewa siwezi lazimisha Mungu

atuongeleshee kuna wakati ambao nimeleta andiko hili mbele

zake nanikamwambia kwa imani naweza kumbuka wakati

ambao aliongea baada ya masaa machache.

Hata katika nyakati hizo lazima tuulize kwa nini imani na

kuamini neno lake. Ila na aombe kwa imani pasipo shaka yoyote maana

mwenye shaka ni kama wimbi la bahari lililochukuliwa na

Page 86: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

86

upepo na kupeperushwa huku na huku.katika matokeo yote ya

biblia kusikia shauri ya mungu.Mmoja wa muhimu sana wa

hawa ni Ibrahimu .siku za Tera zilikuwa miaka mia mbili na

mitano; Tera akafa katika Harani.(mwanzo 11-32)12-3)”name

nita wabariki wakubarikio naye akulaaniye nitamlaani na

katika wewe jamaa zote za duniani watabarikiwa”.

Nyakati zile za sheria kusikia Mungu kutiliwa mkazo.

kumbukumbu la torati 28:1-2)Itakuwa utakapo sikia sauti

ya Bwana,Mungu wako kwa bidii, kutunza kufanya maagizo

yake yake yote nikuagizayo leo ndipo BWANA, Mungu wako

atakapokutukuza juu ya mataifa yote duniani;na baraka hizi

zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya Bwana Mungu

wako.

Nyakati za Yesu hapa duniani alitilia mkazo kusikia sauti

yake

“kondoo wangu waisiki sauti yangu name n a mi na wajua

nao wanifuata.

Baada ya kufufuka kusikia sauti yake ina kuwa kwa

wingi.

Hii ni sababu Roho mtakatifu amemwagiliwa juu ya watu

nani yeye hutufanya tusikie sauti ya mungu.Nikageuka nione

ile sauti iliyosema name. Nanilipo geuka niliona vinara vyaa

taa saba na dhahabu na katika ya vile vinara vya taa nikaona

mtu mfano wa Mwanadamu amevaa vazi lililofika miguuni na

kufungwa mshipi wa dhahabu matitini”(ufunuo

1;12,13)Bwana akamwambia Paulo kwa maono usiku

usiogope bali nena wala usinyamaze”matendo 18:9)Kwa

kuwa wote wanaongozwa na Roho wa Mungu hao ndio wana

wa MUNGU.

Maelezo ya strong,wa neno katika kiunani huios kumanisha

mwana anaye komaa kufanana na babake kinyume na mwana

aliyezaliwa tu.

Sauti ya Mungu huponya.

Kwa ujuzi wangu kupitia huduma ya „Bondage

breakers”njia ya pekee ya kufungwa wa ulevi kuponywa ni

Page 87: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

87

kwa kusikia sauti ya Mungu. Hii ina tiliwa mkazo sana katika

huduma za ukombozi. Kama tutafikilia kuhusu hizi zote

tunahitaji uponyaji wa aina Fulani. Zote tumeingia kwa njia

Fulani kusikia mambo ambayo si ya Mungu ikijumuisha na

tama za mwili. Tunaweza ingia kwa starehe na raha wengi

hujipata wakitafuta Mungu popote kwa maisha rahisi.

Yesu alifanya wazi alisema ukitaka wokovu jikane, kufa

na unifuate.

Kama haufuati uwepo na kujifundisha kusikia sauti yake

kila mara imani haitakuja. Kama imani haitakuja basi hatuwezi

kuridhi ahadi zake hatutakuwa na kila kitu tunachohitaji kwa

maisha na uungu na hatutaona mabadiliko maishani mwetu.

Mungu hatatutumia kwa kiwango anachotaka isipokuwa

tunaweza kusikia sauti yake.

Neno la Petro la mwisho kabla hajakufa

Katika sura moja iliyopita kuhusu viungo vya Petro ana

waonya wasomaji wake wa hakikishe wakati wote wawe

karibu naMungu ilikusikia sauti yake ili wapokee ahadi zake

ambazo zitaleta kila kitu wanacho hitaji kwa maisha ya

uungu.Hili lazima lilikuwa baadhi ya maneno yake ya mwisho

. Katika Petro wa 2 sura ya 1na2 anaonya kwamba kuna njia

mbili tu.Yakwanza ni neno la Mungu kuinuka ndani ya moyo

wako kama nyota ya mchana na kuleta nuru ya asubuhi. Hiyo

ingine ni kuwashawisha na walimu wa uongo na kuleta

ubinafsi na hata mambo mabaya zaidi.

Maneno ya Petro ya mwisho yalikuwa ya nguvu.

sana “kwa hiyo nitakuwa tayari kuwakumbusha hayo siku

zote ijapokuwa mnayajua na kudhibitishwa katika kweli

mliyo nayo .Nami naona ni haki , maadamu nipo mimi katika

maskani hii, kuwaamusha kwa kuwa kuwakumbusha . Nikijua

kwamba kule kuwekea mbali maskani yangu kwaja upesi,

kama Bwana Yesu kristo alivyonionyesha .Walakini

Page 88: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

88

nitajitahidi, kwamba kila wakati baada ya kufariki kwangu

mpate kuyakumbuka mambo hayo.( 2Petro1:12-15)

Kusikia sauti ya Mungu huleta ufahamu sio

kufundishwa kikawaida.

Wakati Petro na yohana walitwaliwa na na kubadilika uso

kwa Yesu katika Mathayo 17 aliwajua Musa na Eliya hata

kama hawaukuwa wamewaona mbeleni.Hawa kuwa na picha

zao waliwajua tu. Wakati Roho mtakatifu anakutwa katika

ufalme wa Mungu uwepo wa Mungu na una sikia sauti yake .

Kujua utajua mengi kuhusu Yesu. Mara nyingine ni kujijua

wewe ni nanikatika kristo na upendo wake.Wakati mwingine

kujua jinsi ulivyo muovu na mwenye dhambi. Kisha anakupa

nafasi ya kutafuta msamaha na neema na anakubadilisha .

umwili wako unaondolewa . Mambo ya ajabu yanafanyika

kwa maisha yako na kwa kuendelea ufalme wa Mungu.

Tafuta kwa bidii kumjua Mungu katika uwepo

wake!Dhawabu I za milele sio tu za duniani hii ni ya muda.

Mto Unaotiririka

Dondoo kutoka katika kitabu kiitwacho A table in the

Wildreness, (Meza Katika Jangwa) Juni 20. (6)

kilichoandikwa na Watchman Nee:7

“Nami nitaonana nawe hapo, na kuzungumza

nawe nilipo juu ya kiti cha rehema, katakati ya

hayo makerubi mawili yaliyopo juu ya sanduku la

ushuhuda, katika mambo yote nitakayokuagiza kwa

ajili ya wana wa Israeli (Kutoka 25:22).

Msingi wetu wa kuzungumza na Mungu ni upi?

Ni utukufu Wake. Juu ya kiti cha rehema, pamoja

na kivuli cha makerubi mawili tunapata ushirika na

Mungu, na hao ni “makerubu wa utukufu.” Ni

7 kimetolewa kutoka kitaabu Kukua au Kufa. htpp://www.isob-

bible.org/flowingriver.htm

Page 89: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

89

pahali ambapo utukufu wa Mungu huonyeshwa,

pamoja na hukumu iliyo juu ya mwanadamu, hapo

ndipo tunapata rehema pekee. Je Mungu,kwa kuwa

yeye ni Mungu, hawezi kuonyesha rehema pahali

atakapo?La, yeye anaweza kuonyesha rehema

pahali ambapo utukufu wake unahifadhiwa. Hawezi

kutenganisha kiti cha rehema na makerubi.

Damu iliyotiririka ndiyo hufanya

mwenyedhambi apate kuzungumza na Mungu. Kwa

sababu ya damu hii, Mungu anaweza kuonyesha

rehema zake bila kwenda kinyume cha utukufu

wake;anaweza kuzungumza na mwanadamu bila

kujikana mwenyewe. Kwa hivryo damu ya Yesu ni

muhimu katika ushirika wetu na Mungu. Hata

hivyo, huu sio msingi wa ushirika. Ninapo

zungumza na damu katika kiti chake cha rehema,

mimi sitazami damu iliyoyadhamana, bali mimi

hutazama utukufu. Pasia imeondolewa, na kwa uso

usiona na pasia tunaweza kuona utukufu wa

Mungu.”

Kama mwana wa Mungu una ruhusa ya kufurahia ushirika

wa ndani na Mungu. Hii ni pamoja na kufurahia ushirika

katika uwepo wake, lakini hata zaidi ya hivyo. Mathayo sura

ya 6 inasisitiza zawadi ya maombi kuliko maombi

yaliyojibiwa. Zawadi ni Mungu mwenyewe. Matokeo mengine

ya maombi ni mambo ambayo hutokea. Ikiwa una ukweli

katika ushirika wako na Yesukutakuwa na ghalama ya kulipa.

Mungu hujidhihirisha kwa watu ambao wanampenda na

hushika amri zake (Yohana 14:21). Pia Mungu

hujidhihirishwa kwa wamtafutao kwa dhati wakiwa na nia

njema. Mara kwa mara ni lazima tutoke katika mambo ya

kawaida, na tutenge wakati wa Mungu pekee. Mungu

huheshimu walio na kiu na njaa ya haki na utakatifu wa kweli.

Ikiwa wewe haupati njaa ya mambo haya, omba Mungu akupe

Page 90: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

90

njaa hii. Tunajua ya kwamba uwepo wa Mungu hauondoki

kwetu kamwe, lakini inazungumza juu ya kitu tofauti kabisa.

Nazungumza kuhusu kuingia katika utukufu wake. Hii

nitofauti na ibada ya watu wengi. Hii inahusu wewe peke yako

pamoja na Mungu katika mahali patakatifu papatakatifu! Tukio

kama hili kwa kawaida halihusu mwili au .kra zako. Ingawa

inaweza kuhusisha mwili, unaweza kuwa ushirika wa undani

kabisa. Unahisi utukufu wa Mungu hadi kiwango cha maisha

yako kubadilishwa kabisa. Ninaongea juu ya ubatizo wa Roho

Mtakatifu, zaidi ya karama. Ninaongea juu ya kushambuliwa

na utakatifu wa Mungu na kuchoma utu wako wa kale wa

Adamu. Untkapoendelea kusoma, elewa ya kwamba

ninapotumia neno “uwepo” ninaongea juu ya kiwango hiki cha

ziada.

Mkristo anapoelewa kwa imani Yesu angependa kuwa na

ushirika naye, anaweza kuhisi ushrika huu mradi tu amejitolea

kabisa kufuata maagizo ya Mungu. Maagizo ya Mungu ni

kujitpeana kwa Yesu kama Mwokozi, na kutii Neno Lake.

“Maana mkono wangu ndio uliofanya hivi vyote, vitu hivi

vyote vikapata kutokea, asema BWANA; lakini mtu huyu

ndiye nitakaye mwangalia, mtu aliye mnyonge, mwenye roho

iliyopondeka, atetemekaye asikiapo neno langu” (Isaya 66:2).

Tabia moja ya mwanadamu ni kuwa na shauku la kutubu na

kugeuka kutoka kwenye tabia zetu za zamani, ambazo sio

kama tabia za Mungu.

Maagizo haya huonekana kama “mambo ya kale” kwa

Wakristo wengi, lakini kuna mengine mengine zaidi ya vile

tuonavyo. Kwa hivyo, Wakristo wengi wamo katika

“magereza” ambayo hawastahili kuwa. Wamejifananisha kuwa

waaminifu kwao wenyewe na kwa Mungu. Wakati mwingine

wao huelewa wamejifananisha lakini hawaelewi wamo katika

“gereza”. Mara kwa mara adui hufunga milango ya gereza

yake kwa undanganyifu wa kuzingatia sheria na desturi za

dini. *****

Page 91: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

91

Makusudi ya Mungu ni kuwa wanadamu waliopotea.

Kwa njia gani?

Tumebarikiwa ili tuwe baraka kwa watu waliopotea na

wanaokufa kote ulimwenguni. Mungu alimwambia Ibrahimu,

“Nami nitawabariki wakubarikio, naye akulaaniye nitamlaani;

na katika wewe jamaazote za dunia watabarikiiwa” (Mwanzo

12:3). *****

Pasipo Utakatifu, hakuna mtu atakaemuona Mungu!

Namshukuru Mungu kwa vile ametupea haki na utakatifu

kama zawadi . Lanini unapoendelea kuzama katika uhusiano

wako na anaza kuhisi mabadiliko ya kweli na halisi katika

tabia zako za haki na utakatifu. Siongeii kuhusu baadha yake

kuwekwa juu yako. Mchezo kama huu wa kidini huzaa watu

walio na uchungu na hasira, wakati ambao utakatifu wa kweli

huzaa furaha, upendo na matunda yote ya Roho. “Mkavai utu

mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na

utakatifu wa kweli” (Waefeso 4:24).

Njia Kuu 35. Njia Kuu ya Utakatifu katika Isaya 35.

“Na hapo patakuwa na njia kuu, na njia, nayo itaitwa, Njia

ya Utakatifu; wasio sa. hawatapita juu yake; bali itakuwa kwa

ajili ya watu hao‟ wasa.rio, wajapokuwa wajinga, hawatapotea

katika njia hiyo” (Isaya 35:8). Isaya 33 inaongea kuhusu

hukumu ya Waisraeli kwa sababu ya maisha yao ya dhambi.

Isaya 34 inaongea kuhusu Mungu akiwapitisha hatika hali ya

kushinda na Isaya 35 inatuonyesha matokeo, ambayo ni

utakatifu. Faida zimeandikwa katika sura ya 35. faida hizi ni

pamoja na furaha, kusifu, nyikani pamoja na nchi yenye kiu

kutabubujika chemichemi ya maji, jangwani kutakuwa na

majani, furaha itakuwa kubwa, baada ya kuona utukufu wa

Bwana. Inaelezea macho ya vipofu yatafumbuliwa, vilema

wataruka-ruka kama kulungu, huzuni itageuka kuwa imani,

walio na kiu watapewa maji, na eatu wataishi juu ya adui wao

wa kiroho. Utafaidika ukisoma sura hii ukiwa na maoni haya.

Page 92: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

92

Ezekieli 47:1-12 inaonyesha picha ya mto utiririkao.

Picha aliyoonyeshwa Ezekieli ni ya Hekalu la Mungu na

mto unaotoka katika hekalu hilo. Mungu aliongea na Ezekieli

na kumwonyesha kwamba huu ulikuwa Mto wa Uzima

unaotiririka kutoka kwa Mungu hadi kwenye bahari ya chumvi

na kuingia katika maji machafu yaliyooza. Mto huu

utayaponya maji hayo na kuyafanya hai. Maandiko katika

Ezekieli sura ya 47 yanasema ya kwamba mto ulianza kama

kijito kilichotoka chini ya hekalu, lakini mto huu ukaendelea

kuwa na maji mengi yaliyotiririka hadi kwenye bahari ya

chumvi. Mto huu ulifanya bahari ya chumvi kuwa hai. Kwa

kawaida bahari katika Biblia, humaanisha bahari ya wanadamu

waliopotea. Mungu alikuwa akimuonyesha Ezekieli kwamba

njia pekee ya kuwafanya wanadamu waweze kuishi, ni kwa

kuguswa na Mungu, kwa njia ya kitu kinachoitwa Mto

unaotiririka kutoka katika uwepo wake mwenyewe.

Katika Yohana 7:38 imeandikwa hivi, “Aniaminiye mimi,

kama vile maandiko yalivyonena, Mito ya maji yaliyo hai

itatoka ndani yake.”

“Ezekieli Andika”

Mungu alimwambia Ezekieli katika sura ya 43:10-11

aandike kuhusu picha hii ya hekalu na sheria zake ili watu

Page 93: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

93

wauone na ndiposa waweze kutubu na hatimaye wawe Baraka

kwa wengine. Hii ni fundisho ambayo tunapata kwenye picha

hii ya mto utiririkao.

Hekalu liko wapi leo? Katika 1 Wakorintho 6: 19-20

tunaambiwa hivi; “Au hamjui ya kuwa mwili wenu ni hekalu

la Roho Mtakatifu aliye ndani yenu, mliyepewa na Mungu?

Wala ninyi si mali yenu wenyewe; maana mlinunuliwa kwa

thamani. Sasa basi mtukuzeni Mungu katika miili yenu.”

Hatuwezi kubarikiwa au kuwa Baraka kwa wengine bila

kuwa katika uwepo halisi wa Mungu.

Tunahitaji uwepo wa Mungu utuweke huru na kutusa.sha,

ili tuweze kufanya aina yoyote ya huduma na hata kuomba

maombi yaletayo matokeo Hapa kuna utaratibu ambao

tunaweza kuufuata ili tuweze kuhisi ujaza wa Mungu katika

maisha yetu, kanisa lako na katika uliwengu. “Wakawa

wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na

katika kuumega mkate, na katika kusali. Kila mtu akaingiwa

na hofu; ajabu Mto unatiririka ndani ili kukusa.sha - Mto

unatiririka nje ili kuuokoa ulimwengu uliopotea. Mto

unatiririka ndani ili kukusa.Mto unatiririka nje ili kuuokoa

ulimwengu uliopotea. nyingi na ishara zikafanywa na mitume”

(Matendo 2:42-43).

Tazama mambo matatu ambayo mitume walifanya kila

siku ambayo yalisababisha ajabu nyingi na ishara

kufanyika:

1. Mafundisho ya mitume. Hii ni kufundisha neno la

Mungu kila siku.

2. Kuomba. Haya yalikuwa aina tofauti za maombi. Kanisa

la mwanzo mara kwa mara walikiri wao ni akina nani katika

Kristo na walitubu dhambi za watu wote.

3. Ushirika na kuumega mkate. Walifanya hivyo kila siku

ili kuukumbuka mwili wa Kristo na damu ya agano.

******

Page 94: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

94

Tunahitaji kujua kwamba kuna maadui wanaotaka

kumzuia Mungu asionekane kwamba ni kweli yupo

pamoja nasi.

Maadui zetu huja kwetu kwa njia kuu tatu:

Utashi wetu –

Akili zetu –

Hisia zetu –

Hushambuliwa na Mwili, Ulimwengu na Shetani

Swali:

Tunawezaje kuwashinda maadui hawa ili tuweze

kuingia katika uwepo

wa Mungu na kuwa na USHIRIKA naye?

Jibu:

Mungu ameishatupatia ushindi dhidi ya maadui wote!

Njia ya kuingia katika uwepo wake ilipatikana pale

msalabani wakati pazia lilipopasuka toka juu hata chini –

Marko 15:38. Sasa ni kazi yetu kushirikiana naye.

Tunapaswa kubeba msalaba wetu – huo utatupatia

ushindi!

Katika Luka 9:23-25 Biblia inasema, “Akawaambia wote,

Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike

msalaba wake kila siku, anifuate. Kwa kuwa mtu atakaye

kuiponya nafsi yake ataiangamiza, na mtu atakayeiangamiza

nafsi yake kwa ajili yangu ndiye atakayeisalimisha. Kwa

kuwa yamfaa nini mtu kuupata ulimwengu wote, kama

akijiangamiza, au kujipoteza mwenyewe?

Page 95: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

95

Neno hilo nafsi katika Luka 9 linamaanisha utashi, akili na

hisia. Neno kukana linamaanisha kukataa kitu fulani. Ufunguo

wa kupata uzima tele na kupokea baraka kutoka kwa Yesu, hii

ikiwa ni pamoja na uwepo wake, ni kukamilisha agano la

damu kwa kubeba msalaba wetu.

Wengi wetu tunajua kazi nzuri sana, yenye uweza mkuu,

iliyohusisha kila kitu, ambayo Yesu aliifanya juu ya msalaba

wa Kalivari, jinsi alivyomwaga damu yake kwa ajili ya dhambi

zetu, na kufufuka katika wafu ili kutupatia uzima. Hatuwezi

kuongeza chochote juu ya hayo. Hata hivyo, ili tuweze

kunufaika na kazi hiyo, hatuna budi pia kufa. Lazima tubebe

msalaba wetu, tujikane wenyewe na kumfuata. Ni lazima

tuiangamize nafsi yetu. Uhusiano na USHIRIKA wetu na

Mungu umejengwa juu ya msingi wa agano la damu. Kwa

wengine jambo hilo linaweza kuonekana geni. Jambo hilo

linaweza kulinganishwa vizuri zaidi na ndoa. Watu wengi sana

wana ufahamu usio wa kibiblia kuhusu uhusiano huu wa agano

la damu. Hebu jiulize swali hili: Je, ungeweza kujadiliana na

mchumba wako kuhusu uhusiano mwingine wa kimwili

unaoruhusiwa kuwa nao na wanawake wengine baada ya

ndoa?

Agano la damu huchochewa na vifo VIWILI; cha Yesu

na chako!

Ni kitu gani muhimu sana kuhusu agano la damu?

Katika 1Petro 1: 18-19 imeandikwa hivi: “Nanyi mfahamu

kwamba Katika kitabu cha 1 Petro 1:18-19 tunasoma maneno

yafuatayo: “Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa

vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka

katika mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu;

Page 96: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

96

bali kwa damu ya thamani, kama ya mwana-kondoo asiye na

ila, asiye na waa, yaani, ya Kristo.” Katika Mambo ya

Walawi 17:11 tunasoma pia maneno yafuatayo: “Kwa kuwa

uhai wa mwili u katika hiyo damu; name nimewapa ninyi hiyo

damu juu ya madhabahu, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya

nafsi zenu; kwani ni hiyo damu ifanyayo upatanisho kwa

sababu ya nafsi.”

Maisha ya kiroho yanaweza kubadilishana na ile sheria

ya mbadala.

Agano la damu hubadilisha urithi wa familia yako.

Uridhi wa Jamii. Kimsingi, hii ina maana kwamba watu

wanaweza kuzaliwa katika familia fulani, na katika familia au

ukoo wao huo, wakapokea baraka na laana kama urithi wao.

Hata hivyo, baraka na laana zinaweza kubadilishwa. Makabila

kadhaa katika bara la Afrika, na pia katika utamaduni wa

Wahindi wekundu na katika jamii nyingine za Asia, yamekuwa

kila wakati yakitafuta njia za kubadilishana na watu wengine

baraka na laana.

Kabla ya kuumbwa kwa dunia, Mungu alikuwa amepanga

kwamba Yesu asulibiwe kulingana na Roho wa UZIMA, na hii

ina maana kwamba ile kanuni ya mbadala ilikuwa ikitenda

kazi hata kabla mwanadamu hajaumbwa `(Ufunuo 13:8).

Page 97: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

97

Ili agano la damu liweze kweli kufanya kazi, ni lazima kila

upande unaohusika umwage damu, au ni lazima viwepo vifo

viwili au misalaba miwili. Lazima utu wetu wa kale ufe na

kisha tujikabidhi sisi wenyewe na vyote tulivyo navyo kwa

Yesu. Jambo la kufurahisha ni kwamba hata Yesu mwenyewe

ametoa yote aliyo nayo na kujitoa mwenyewe kwetu!

Tunapounganisha msalaba wa Yesu na msalaba wetu

tunakuwa tumeunganishwa na Mungu. Nguvu hutokea! Kila wakati kunakuwa na misalaba miwili inayopaswa

kuungana ili kufanya agano la damu.

Hema ni alama yenye nguvu ya misalaba miwili inayofaa

kutumiwa kama mwongozo wa maombi. Itatusaidia kubeba

msalaba wetu na kutuingiza katika uwepo hasa wa Mungu na

kuwa na USHIRIKA naye!

Dondoo kutoka katika kitabu kiitwacho “God‟s plan and the

Overcomers” (Mpango wa Mungu na washindaji),

kilichoandikwa na Watchman Nee.

“Agano la Kale linatuambia jinsi wateule wa

Mungu walivyoishi duniani. Kwanza, Hema

lilitumika kama kituo cha makabila 12; baadaye

Hekalu ndilo lililokuwa kituo chao. Kituo cha

Hekalu kilikuwa Sanduku. Hema, Hekalu na

Sanduku ni aina mbalimbali za Kristo. Kadri wana

wa Israeli walivyokuwa na uhusiano mzuri na

Hema au Hekalu walipata ushindi, na hakuna taifa

lililoweza kuwashinda. Ingawa wana wa Israeli

walikuwa hawajui kupigana, waliwashinda maadui

zao wote waliokuwa wamejifunza jinsi ya kupigana.

Lakini wakati walipokuwa na tatizo kuhusiana na

Page 98: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

98

Hema au Hekalu, walichukuliwa utumwani.

Haikusaidia kitu kuwa na wafalme wenye nguvu au

hekima kubwa, kitu muhimu kilichoangaliwa ni

iwapo wamelikosea sanduku la maskani au hekalu.

Walipotoa kipaumbele kwa Mungu, ushindi ulikuwa

wao. Ndivyo ilivyo hata leo. Tukiuzingatia ushindi

wa Kristo, sisi pia tutapata ushindi.”

Unavyoendelea kuwa na ushirika na Mungu, jaribu kujiona

kana kwamba unatembea katika Hema kama jinsi makuhani

wa Agano la Kale walivyofanya.

Page 99: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

99

Page 100: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

100

Kwanza: Msalaba Wake

Nyakati za Agano la Kale, kila mwaka Wana wa Israeli

walikuwa wakiadhimisha Siku ya Upatanisho ijulikanayo

kama “Yom Kippur” Dhambi za wana wa Israeli zilikuwa

zikishughulikiwa katika siku hii moja tu ya mwaka, wakati

kuhani mkuu alipojiandaa kuingia katika Hema kwa niaba ya

wana wa Israeli kwa ajili ya dhambi zao.

Pale kwenye madhabahu ya Shaba, katika ua wa nje,

kulikuwa na mbuzi wawili. Mmoja alifungwa kitambaa

chekundu shingoni mwake kuonyesha kwamba atachinjwa

kwa ajili ya damu. Mwingine alifungwa nje ya lango

kuonyesha kwamba angekuwa Azazeli. Mbuzi wa kwanza

alichinjwa madhabahuni na damu yake ilipelekwa na kuhani

patakatifu pa patakatifu ambapo aliitoa kwa kufukizia kando

ya madhabahu ya kufukizia (mahali pa sifa). Uvumba

ulipokuwa ukiungua, ulisababisha moshi ujae patakatifu pa

patakatifu, na hiyo iliwakilisha (na kuleta hasa) uwepo wa

Mungu. Kuhani alinyunyiza damu juu ya Kiti cha rehema mara

moja na pia alinyunyiza damu mbele ya Kiti hicho mara saba.

Nje ya marago, kila mtu alilala kifudifudi wakati yote hayo

yalipokuwa yakiendelea. Hakuna mtu aliyeona chochote

kilichokuwa kikifanyika, na hiyo ilimaanisha kwamba dhambi

zao zilisamehewa kwa mwaka mzima.

Pili, kuhani aliporudi na kubadili nguo zake, aliweka

mikono yake juu ya mbuzi mwingine, Azazeli, kuashiria

kwamba dhambi zote zimehamishiwa juu ya kichwa cha

mnyama huyo. Kulikuwa na mtu aliyechaguliwa kumpeleka

mbuzi huyo jangwani mahali pasipokaliwa na watu na

kumwacha sehemu ambayo hawezi tena kurudi au kutoroka.

Mtu huyo kwa mfano, alimpeleka mbuzi yule hadi kwenye

bonde lililozungukwa na miamba na majabali na kisha mbuzi

Page 101: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

101

yule aliteremshwa chini ili asiweze kutoroka(Mambo ya

Walawi 16:21-22).

Sasa kuhani alipoweka mikono yake juu ya mbuzi aliye hai,

ili kuanza sehemu ya pili ya ibada, aliungama dhambi zote za

wana wa Israeli. Alisema, “Bwana, weka dhambi zangu na za

wana wa Israeli juu ya kichwa cha mbuzi huyu. Haya, we

mbuzi, ondoka.” Mbuzi yule alipokuwa akipelekwa nje ya

marago, watu wote walisimama na kushangilia. Watu wote na

hata watoto waliweza kuona tukio hilo na kufahamu. Azazeli

ni mfano wa Yesu aliye Azazeli wetu, aliyeshushwa chini hata

kuzimu kwa ajili yetu huku dhambi zetu zikiwa juu ya kichwa

chake. Alichukua dhambi zetu na kuziondoa kabisa,

zisionekane tena au kurudi. Zaburi ya 103:12 inasema “Kama

vile baba awahurumiavyo watoto wake, ndivyo BWANA

anavyowahurumia wamchao.” Katika kitabu cha Mika 7:19

tunasoma pia maneno haya “Atarejea na kutuhurumia;

atayakanyaga maovu yetu; nawe utazitupa dhambi zao

zotekatika vilindi vya bahari.”

Katika kitabu cha Waebrania 9:12-14 tunapata pia maneno

yafuatayo“wala si kwa damu ya mbuzi na ndama, bali kwa

damu yake mwenyewealiingia mara moja tu katika Patakatifu,

akiisha kupata ukombozi wa milele. Kwa maana, ikiwa damu

ya mbuzi na mafahali na majivu ya ndama ya ng‟ombe

waliyonyunyiziwa wenye uchafu hutakasa hata kutusa.sha

mwili; basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye kwamba kwa

Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka

isiyo na mawaa, itawasa.sha dhamiri zenu na matendo mafu,

mpate kumwabudu Mungu aliye hai?”

Page 102: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

102

Yesu aliposema kwamba ni lazima tujikane, tuiangamize

nafsi kwa ajili yake, nk., alikuwa na maana kwamba

tunapaswa kuikana au kuiambia nafsi “hapana”.

Nafsi yetu ina sehemu tatu: Utashi, Nia (Akili) na Hisia.

Patakatifu panawakilisha ile sehemu ya utu wetu, yaani

nafsi.Sehemu hiyo ilikuwa na na aina tatu za fanicha au samani

zinazowakilisha utashi wetu, Akili na Hisia (Angalia mchoro

huo hapo juu). Kwa hiyo tunapoziambia sehemu hizi “hapana”

na kusema “ndiyo” kwa yale aliyo nayo Mungu, huku ndiko

kuubeba msalaba wetu.

Utashi wetu -

Akili zetu -

Hisia zetu hushambuliwa - na Mwili, Ulimwengu na

Shetani

Sasa tutasa.ri hadi kwenye sehemu zote hizo tatu wakati

wetu wa maombi na pia tutaendelea na safari na kuwapita

maadui zetu hadi katika uwepo wa Mungu!

Page 103: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

103

“Mto Utiririkao”

(Mwongozo wa Maombi ya Kila Siku)

Kusafiri hadi katika Uwepo wa Mungu

Maelekezo:

1. Soma kwanza kurasa 7 za mwanzo, na kisha zisome tena

angalau mara moja kwa mwezi. Halafu kila siku, anzia ukurasa

huu, na uwe na muda wa kuwasiliana na Mungu angalau kwa

dakika ishirini.

2. Utakapoanza na hema ya kukutania, mgongo wako

unapaswa kuielekea dunia huku uso wako ukimwelekea Yesu.

Hii ni muhimu kwa sababu Roho

Mtakatifu hawezi kukaa na wewe iwapo unaelekea mahali

pabaya. (mwelekeo wa kiroho, Matendo ya Mitume 26:18)

3. Nenda hadi kwenye kila “kituo” ushughulike na somo

hilo katika hali ya maombi pamoja na Bwana. Tafuta katika

Biblia baadhi ya maandiko. Uwe macho kuhusu maeneo

yanayohitaji toba, kwa sababu jambo hili ni moja kati ya

michango yetu mikubwa, wakati huu tunapokuwa na ushirika

na Mungu.

4. Ni vema ukipitia vituo hivi vyote kwa wakati mmoja.

Unaweza kufanya hivyo kwa DAKIKA ISHIRINI. Hata hivyo,

kama huna muda wa kupitia utaratibu huu wote kwa mkao

mmoja, usikate tamaa. Badala yake, anza utaratibu huu

asubuhi, na umalize angalau hatua moja. Kisha endelea na

hatua ya pili wakati wa chakula cha mchana. Kama unahitaji,

endelea siku inayofuata. Hatimaye ishi maisha yanayofuata

utaratibu huu na itakuwa kawaida kwako kukaa katika uwepo

wake Mungu.

Ua wa Nje

Kituo cha kwanza: Madhabahu ya Shaba- Msalaba wa Yesu.

Page 104: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

104

Madhabahu ya Shaba

Msamaha.

Agano la damu hubadili mabaya yote tuliyo nayo na

kuweka mema yote aliyo nayo Mungu. Hata hivyo hatuwezi

kupata msamaha wa dhambi bila kumfanyaYesu kuwa Bwana

(Warumi 10:9-10).

Anza leo kuwa mkweli mbele za Yesu. Neno la Mungu

katika 1 Yohana 1:9 linasema “Tukiziungama dhambi zetu,

Yeye ni mwaminifu na wa haki hata atuondolee dhambi zetu,

na kutusa.sha na udhalimuwote.”

Sehemu kubwa ya kubeba msalaba wako ni kuwa KWELI

KABISA mbele za Mungu. Unahitaji kuwa wazi kabisa na

kumwambia kila kitu. Uwe na muda wa kuumimina moyo

wako kwa Mungu kama jinsi ambavyo ungefanya kwa mtu

ambaye ni ra.ki yako sana! Biblia inasema katika 1 Yohana 1:7

kwamba “tukienenda nuruni, kama yeye alivyo katika nuru,

twashirikiana sisi kwa sisi, na damu yake Yesu, Mwana wake,

yatusa.sha dhambi yote.” Yesu alisema katika Yohana 3:19

kwamba dhambi haina nguvu iwapo watu watakuja kwenye

nuru pamoja na kweli, bila kujaribu kuji.cha gizani. Yesu

hakufa kwa ajili ya visingizio vyetu. Alikufa kwa ajili ya

dhambi zetu!

Unahitaji kutembea katika upendo, na ikitokea kwamba

umefanya dhambi, kimbilia kwa Mungu, usamehewe.

“Sheria ya Roho wa uzima ule ulio katika Kristo Yesu

imeniacha huru, mbali na sheria ya dhambi na mauti”(Warumi

8:2). Tukimgeukia Mungu kila wakati, na kudumu katika hali

ya uaminifu mbele zake, atatushindia makosayetu na vikwazo.

***

Angalia Mto Utiririkao Kiambatisho cha F ujitathmini

mwenyewe kwa uaminifu.

Kama hakuna dhambi zinazojulikana, basi kiri kwa kinywa

chako

Page 105: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

105

maneno yaliyoandikwa katika Wagalatia 2:20 na 2

Wakorintho 5:21.

Kiambatisho F

Kujichunguza Kiroho

• Upendo - Je unawatendea wengine kwa upendo wa

Mungu usio na masharti?

• Ubinafsi - Kuweka mahitaji yako mwenyewe juu ya

mahitaji ya wengine. Upendo hujishughulisha na ustawi wa

mtu mwingine – je wewe unajijali mwenyewe zaidi na kujali

tu jinsi unavyojisikia?

• Kuiba - Je unaweza kukumbuka fedha ulizopokea kwa

mali iliyokuwa si yako?

• Kulaghai - Je, ulipata kitu chochote kutoka kwa mtu

fulani kwa njia isiyo ya haki?

• Kusema uongo - Aina yoyote ya udanganyifu wa

kukusudia

• Kashfa - Kumsema vibaya mtu fulani. Kumkashifu mtu

siyo lazima useme uongo - Je, umewahi kuwasema wengine

bila upendo?

• Ufisadi - Je, unajisikia hatia kuamsha tamaa usizoweza

kuzitimiza kwa haki? Ufasiki, uchafu wote, hata kama ni juu

ya mwili wakomwenyewe.

• Ulevi - Utumiaji wa madawa ya kulevya, karamu za ulevi.

• Lugha chafu au matusi - maneno maovu, mazungumzo

mabaya au yasiyo na maana, uchafu, mazungumzo machafu,

ya kipumbavu, ya kipuzi, ya upotovu.

• Wivu - Kwa kawaida mahali penye mazungumzo

yanayohusu makosa au kushindwa kwa wengine, kuna wivu

uliojificha.

• Utovu wa shukrani - Ni mara ngapi wengine

wamekufanyia vitu lakini hukushukuru?

• Hasira - Je, umewahi kukasirika?

• Kulaani - Umetumia lugha ya matusi.

Page 106: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

106

• Utani - Maneno yasiyohitajika, maongezi ya kipumbavu,

kuongea na kutenda kama punguani. Masihara na mzaha na

utani wa vitendo unaoelekea kudhoo.sha viwango vitakatifu na

vyenye thamani vya maisha. Je, umewahi kulitania kabila

fulani au sehemu fulani ya ulimwengu, taifa au mkoa katika

nchi yako, au mwanasiasa fulani? Mizaha ya kikabila au

kimikoa haina nafasi katika utakatifu.

• Ukali - Ulijibu mapigo, ulinung‟unika au kurudisha

mabaya kwa mabaya?

• Tabia - Je, kila wakati una uchu upitao kiasi? Na vipi

kuhusu tabia yako ya ulaji?

• Hali ya kuwa shingo upande - Unaweza kukumbuka

nyakati ambazo kwa makusudi kabisa ulikwepa kufanya

wajibu wako kwa ukamilifu?

• Kizuizi - Umeharibu imani au matumaini ya wengine kwa

kupoteza bure muda wao? Je, umemghilibu mtu aliyekuwa na

imani na wewe?

• Unafiki - Je, maisha uliyoishi siku za nyuma,

yamewafanya baadhi ya watu waone kwamba yale

uliyoyasema juu ya Kristo na Injili yake ni ya uongo?

• Kuvunja nadhiri - Je, kuna nadhiri yoyote uliyoweka

mbele za Mungu ambayo hukuitimiza?

• Kutokusamehe - Je, una kinyongo au uchungu dhidi ya

mtu mwingine, rafiki au adui?

• Mafarakano - Misuguano, roho ya kuwa na vikundi

vinavyotofautiana.

• Kutamani, kuishi kitajiri na kutapanya mali, ula.. Kutumia pesa kupita kiasi kwa kununua vitu madukani.

Kupoteza muda bure.

• Kutowatendea vyema, au kwa upendo na heshima, wake,

waume, watoto na wazazi.

• Kutoridhika, kuwa na wivu kwa sababu wengine wana

vitu lakini wewe huna.

• Kuabudu sanamu - Shauku yoyote katika maisha yako

inayozidi shauku ya kuishi na Mungu.

Page 107: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

107

• Ugomvi - Umechochea ugomvi kwa maneno

yasiyohitajika?

• Uchawi - Kumtawala mwingine kwa hila ili kutimiza haja

zako.

• Kuasi mamlaka - Mkuu wako wa kazi, mwalimu, mzazi,

kiongozi wa kiroho, nk.

• Kuupenda ulimwengu - Pamoja na: tamaa za macho -

unasoma au kutazama nini? Tamaa za mwili - unatamani nini?

Kiburi cha uzima

- Ni jambo gani katika maisha unalo.kiri kwamba unaweza

kulifanya

bila Mungu kuhusika? - Kujifanya kuwa mkubwa au mdogo

kuliko jinsi ulivyo kwa njia ya mawazo au kwa kuishi.

• Kiburi - ni dhambi kubwa kuliko zote. Chunguza maeneo

haya.

• Je, unaangalia tu kushindwa au makosa ya wengine au

unajishughulisha tu na mahitaji yako ya kiroho?

• Unajihesabia haki na kuwakosoa wengine au una huruma

na moyo wa kusamehe, ukitafuta yaliyo bora kwa wengine?

• Je, unawaangalia wengine kwa dharau au unawaheshimu

wengine wote na kuwaona bora kuliko wewe?

• Je, unajitegemea na kujitosheleza mwenyewe au

unawategemea wengine na kutambua kwamba unawahitaji?

• Ni lazima udumishe hali ya kuwatawala wengine au uko

tayari kuacha kutawala?

• Je, ni lazima uthibitishe kwamba uko sahihi, au uko tayari

kuiachia haki ya kuwa sahihi?

• Una roho ya kuhitaji tu au roho ya utoaji?

• Unatamani kutumikiwa au una hamasa ya kuwahudumia

wengine?

• Unatamani kupandishwa cheo au unafurahi wengine

wanapopandishwa cheo?

• Unahitaji kupewa sifa au unafurahi wakati wengine

wanapotambuliwa?

Page 108: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

108

• Unasikia kujiamini kwamba unajua mengi, au yale

ambayo bado

hujajifunza yanakufanya uwe mnyenyekevu?

• Unajifahamu jinsi ulivyo au hujishughulishi na maisha

yako kabisa?

• Unawaepuka watu au unatafuta kuwa karibu na wengine?

Uko tayari kuchukua jukumu la kuwapenda watu kwa moyo?

• Unafanya haraka kuwalaumu wengine au uko tayari

kukubali

kuwajibika?

• Wewe ni mtu usiyetaka kukaribiwa na wengine au ni mtu

rahisi kuwasikia wengine wanapokusihi?

• Wewe ni mtu unayejitetea unapokosolewa au unakubali

kukosolewa kwa unyenyekevu na moyo mweupe?

• Unajishughulisha kutafuta kuheshimiwa au kuwa kama

ulivyo?

• Unajishughulisha na yale ambayo wengine wanafikiri au

yale anayofikiri Mungu?

• Unajitahidi kudumisha hali yako au hadhi uliyo nayo?

• Je, unaona vigumu kuwashirikisha wengine mahitaji yako

ya kiroho au uko tayari kuwa wazi?

• Unajaribu ku.cha dhambi zako au uko tayari kuonekana

wakati

unapokosea?

• Unajisikia tabu kusema, “Nilikosea, tafadhali nisamehe”?

• Unapoungama dhambi, unaungama kwa ujumla, au

unakiri na kuzitaja kabisa dhambi zile ulizotenda?

• Unajutia dhambi zako unapokamatwa au unasikitika kwa

kuzitenda na unafanya haraka kutubu?

• Wakati hali ya kutoelewana au migongano inapotokea,

unangojea wengine waje kuomba msamaha au wewe ndiye

unayeanza kufanya hivyo?

• Je, unajilinganisha na wengine na kujiona kwamba

unastahili heshima au je, huwa unajilinganisha na utakatifu wa

Mungu na kusikia hitaji kubwa la kupewa rehema?

Page 109: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

109

• Je, una.kiri una mambo machache au huna kabisa mambo

ya kutubu au kila siku una moyo wa toba?

• Je, una.kiri kila mtu anahitaji uamsho au kila siku unasikia

hitaji la kupata upya ujazo wa Roho Mtakatifu?

• Unajivuna unapokaa na Mkristo mpya au unafurahia ari

yake? Uko tayari kujifunza kutoka kwake?

• Je, unaogopa unapokaa na Mkristo aliyekomaa zaidi yako,

au una njaa ya kujifunza mambo mbalimbali yanayotokana na

uzoefu wake?

Upasuaji unahitajika?

Iwapo Roho Mtakatifu anatuonyesha dhambi, tunahitaji

kwenda pale ambapo Bwana alikutana nasi kwa mara ya

kwanza. Ni pale msalabani. Tunamuona Yesu akiwa

amesulibiwa tena, kwa ajili ya dhambi hiyo, amebeba adhabu

yetu.

Damu inachuruzika chini kutoka msalabani. Hali hiyo

inapaswa kutushtusha na kutuhuzunisha kwa sababu tunaona

hukumu ya Mungu ya kutisha. Tunahitaji kufahamu kwamba

ghadhabu yote na hukumu ya Mungu iliwekwa juu ya Yesu

msalabani.

Yesu anatusubiri pale, siyo kutuhukumu, bali anafurahi

tukienda msalabani na kumpa dhambi zetu. Wakristo wengi

wanapotambua dhambi humkimbia Mungu kwa aibu na

kujisikia hatia. Dawa ya Mungu ya dhambi ni kwenda

Msalabani, kwenda Patakatifu pa Patakatifu katika uwepo

wake na kuruhusu tabia yake itawale tabia yako. Utakatifu

wake utaondoa dhambi zako. Hii pekee ndiyo dawa. Hatuwezi

kufanya jambo hili sisi wenyewe. Ni kanuni ya kuondoa na

kuweka. Hatuondoi dhambi zetu, Mungu ndiye anayetujaza

utakatifu na upendo wake na dhambi lazima iondoke. Usikate

tamaa iwapo inakubidi kufanya hivi mara kwa mara. Mungu

hatuhukumu. Anayefanya hivyo ni Shetani. Mungu

atakukaribisha kila wakati utakapomwendea. Ukiacha

kumwendea hapo ndipo anapohuzunishwa.

Page 110: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

110

Tembea katika nuru ya kweli.

Acha kujidanganya, ikabili dhambi hii kama ilivyo. Iache

kabisa kwa moyo wa dhati. Simama upande wa Mungu na

kuipinga dhambi hiyo. Kusudia moyoni mwako kutoirudia

KAMWE.

Kuungama:

“Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na wa

haki hata atuondolee dhambi zetu, na kutusa.sha na udhalimu

wote.”(1 Yoh 1:9). “BWANA amejaa huruma na neema Haoni

hasira upesi, ni mwingi wa fadhili. Yeye hatateta siku zote,

wala hatashika hasira yake milele.Hakututenda sawasawa na

hatia zetu, wala hakutulipa kwa kadiri ya maovu yetu; maana

mbingu zilivyoinuka juu ya nchi, kadiri ile ile rehema zake ni

kuu kwa wamchao. Kama mashariki ilivyo mbali na

magharibi, ndivyo alivyoweka dhambi zetu mbali nasi.”

(Zaburi 103:8 - 12).

Msamaha siyo tu kuondoa.

Msamaha ni neno zito linalomaanisha kukata

na kuondoa kama daktari wa upasuaji anavyokata na

kuondoa saratani. Msamaha wa dhambi unamaanisha kwamba

dhambi imeondolwa kwako na kuwekwa kwa Yesu aliyeibeba

msalabani. Kuungama ni kukubaliana na jinsi Mungu

anavyoliona jambo na kulitamka kwa kinywa chako.

Kuungama siyo kutamka tamka tu, ni pamoja na

kukubaliana na Neno. Unyenyekevu ni kukubali kwamba

umekosea. Je, utafanya hivyo sasa? Uko tayari kama mtoto

mdogo kumwendea Baba yako mwenye neema na upendo na

kungama dhambi zako na kuomba msamaha kwa

unyenyekevu?

“Ee Mungu, unajua upumbavu wangu, wala huku.chwa

dhambi yangu… kwa ajili ya jina lako, nisamehe uovu wangu,

maana ni mwingi…BWANA kama Wewe ungehesabu maovu,

Ee Bwana, nani angesimama? Lakini kwako kuna msamaha, ili

Page 111: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

111

Wewe uogopwe. Ee Mungu Baba yangu, nakuja mbele zako

kuungama dhambi yangu (zangu) ya (za): (Sasa zitaje na

kuziungama.)

Neno lako linasema kwamba matendo haya au mwenendo

huu ni dhambi nami nakubaliana na Neno lako. Sina udhuru.

Sitaki tena kufanya dhambi hii ndani ya roho, nafsi na mwili

wangu. Nataka kuiacha na kutupa mbali nami. Inanitenganisha

mimi na wewe. Inaniharibu. Nataka kuponywa, roho, nafsi na

mwili, na pia nataka kuwa karibu na wewe. Napokea msamaha

wako. Asante kwa kuweka dhambi hii juu ya Yesu, na asante

kwa kuwa aliiweka juu ya Msalaba wake kwa ajili yangu.

Najua sistahili msamaha lakini nashukuru kwa kuniweka

huru.”

Malipizo ni utayari wa kulipa au kurudisha kitu fulani kila

inapowezekana. Iwapo sasa umesamehewa mbele za Bwana ,

uko tayari kumwomba akupe ujasiri wa kuungama na kufanya

malipizo kwa wengine uliowakosea? Ukitaka kuwa huru kweli

kweli dhamiri yako lazima iwe sa. mbele za Mungu NA

wanadamu. Huwezi kumtetea Mungu huku unajiona mchafu

mbele za macho ya watu wengine.

Kumbukumbu za kushin wa kwako mbele ya macho yao

zitakuingiza ndani sana katika utumwa kila wakati

unapowakumbuka. Kama hujawaomba msamaha, hali ya

kujihisi una hatia itaiua imani yako na kukuibia mwelekeo na

nia yako. Hata hivyo, hupaswi kuungama kila dhambi kwa kila

mtu; ni dhambi zile tu ulizowatendea watu unaowajua.

Kanuni: Maungamo yanapaswa kufanywa kulingana na

dhambi zilizotendwa. Kama ulitenda dhambi mbele za Mungu

peke yake, Mungu atakusamehe na kusahau uliyoyatenda

(Zaburi 103:8-13; Isaya 43:25; Yeremia 31:34). Dhambi

ulizotenda mbele za Mungu na wanadamu ni lazima uzitubu

mbele za wote WAWILI, Mungu na mtu (watu) uliyemkosea

(uliowakosea).

Page 112: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

112

Baadhi ya yale yaliyomo katika Kiambatisho F

yalichukuliwa kutoka katika vijitabu vya Winkie Pratney

vilivyochapishwa katika mtandao wa kompyuta (www)

Kituo cha Pili: Birika: Neno la Mungu

Birika la Shaba

Kwa kuwa sasa fahamu zetu ziko wazi na tunaweza

kuwasiliana na Mungu, hebu twende kwenye Neno.

Neno linasema kwamba kuhani angekufa kama angejaribu

kuingia patakatifu kabla ya kusimama

kwenye birika. Hatuwezi kwenda katika uwepo wa Mungu

bila kusa.shwa na Neno la Mungu (Waefeso 5:26-27).

Birika litatuondolea uchafu wa dunia. Litakuwa pia kioo

cha kutuhukumu, litatuletea katika akili zetu mambo

tunayopaswa kurekebisha mbele za Mungu.

Neno litahuisha nafsi zetu ili tuweze ku.kiri kiroho na kuwa

kinyume na maneno ya pepo yanayokuja katika akili au

fahamu zetu. Neno linatuambia pia kwamba Shetani

amekwisha hukumiwa (Yohana

16:11). Hakikisha unasema maneno haya kwa sauti

“Shetani umekwisha hukumiwa, umeshindwa!”

Tumia dakika mimgi katika Neno!

a. Tumia kitabu chako cha sala

b. Tumia kitabu chako cha “ISOB” au kitabu kingine cha

kujifunzia Biblia.

c. Soma kitabu cha Mithali

d. Soma Zaburi sura moja au zaidi.

e. Soma vitabu vingine vinavyohusu Biblia au soma tu

Biblia na umwombe Roho Mtakatifu akutafsirie. Soma Biblia

yote kwa mwaka mmoja.

f. Sikiliza mafundisho au kanda za nyimbo zenye Neno la

Mungu.

Page 113: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

113

Kituo cha Tatu: Pazia la Kwanza:

Pazia la kwanza: Kushukuru

Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru; nyuani

mwake kwa kusifu.

Kwa kuwa sasa umekaa katika Neno, unajua uko sa. mbele

za Mungu na kwamba Shetani amehukumiwa, basi unayo

mengi ya kumshukuru Mungu! Hata kama huoni kwa haraka

mambo ya kumshukuru Mungu jaribu kuyatafuta. Kama

umeshindwa kuyapata, mshukuru kwa Neno lake linalosema

kwamba unao ushindi ukiendelea kulishikilia Neno. Mshukuru

pia Mungu kwa ahadi alizokuahidi ambazo bado hazijatimia

katika maisha yako.

Kituo cha Nne: Utashi wako

Meza ya Mkate wa Wonyesho

Kituo kinachofuata kipo ndani ya Patakatifu Hapa ndipo

unapompa Yesu utashi au mapenzi yako na Yeye

anakuonyesha mapenzi yake, unampa ufahamu wako na Yeye

anakupa ufahamu wake, unampa hisia zako na Yeye anakupa

hisia zake. Huku ndiko kuubeba msalaba wako, kujikana

mwenyewe na kumfuata Yesu (Luka 9:23).

Badilisha haja za moyo wako (hata kama ni nzuri) kwa ajili

ya mpango au mapenzi ya Mungu katika maisha yako. Weka

chini matakwa na mipango yako na umwombe Mungu

akuonyeshe mapenzi yake na mipango yake kwako. Kila

wakati Mungu huangalia utashi au mapenzi yetu; hii ndio

maana ya mkate wa wonyesho. Mkate ni unga uliosagwa,

ukachanganywa na mafuta na kuokwa motoni. Matakwa yetu

na hamu zetu ni lazima kila wakati zitolewe madhabahuni

zisagwe na kuchomwa.

Page 114: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

114

Hii ni sadaka maalum kabisa kwa Mungu, kwa kuwa ni

utashi wetu, na yeye hawezi kutulazimisha wala kutuamrisha

kufanya hivyo. Itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, mpate

kujua hakika mapenzi ya Mungu (Warumi 12:1-2).

Amua kusamehe hata kama hujisikii kufanya hivyo. Hii ni

nafasi ya kutubu na kuacha njia za kidunia na kuzifuata njia za

Mungu. Tunapoacha njia mbaya, tunapata nguvu za Mungu

(Mdo 26:18 na 2 Kor 3:16). Badilisha tamaa za mwili, uwe na

tunda la Roho. Tunda la Roho ni: upendo, furaha, amani,

uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole na kiasi

(Wagalatia 5:19-23).

Kituo cha tano: Nia yako

Kinara cha Taa cha Dhahabu

Badili nia au mawazo yako ya zamani uwe na nia ya Kristo.

Katika 2 Kor 10:4-6 tunaambiwa kwamba vita viko katika

mawazo na .kra zetu. Na kwamba ngome ni mawazo yetu.

Mawazo haya hutufanya tuwe mbali na elimu ya Mungu. Kuna

mengi ya kusema hapa kwa sababu mawazo yetu ni sehemu

muhimu ya maisha yetu. Tunapaswa kuyaweka huru mawazo

yetu. Kwa njia gani? Tulipokuwa watumwa wa dhambi

tulitumia Mti wa Ujuzi wa Mema na Mabaya ambao ni

mawazo yetu. Sasa tunapaswa kutumia Mti wa Uzima ambao

ni Neno la Mungu. Siwazi tena na kuamua, bali natumia akili

zangu kwa sababu ni makusudi ya Mungu, na hiyo ndiyo

kusikia na kutii! Hii pekee ndiyo itakayoangusha ngome

katika akili zetu. Tukiuona utukufu wa Mungu kama Paulo

alivyouona alipokuwa njiani kuelekea Dameski, hatuwazi tena,

tunasema tu, “Bwana, unahitaji nifanye nini.” Mara kwa mara

pepo hutushitaki na kushambulia akili zetu kwa kutumia nusu

ukweli. Katika Isaya sura ya 11 tunaambiwa kwamba Mungu

hubadilisha maarifa yetu ya asili na kutuwekea yale ya Roho

Page 115: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

115

Mtakatifu, yaani Roho wa Bwana, hekima na ufahamu, shauri

na uweza, maarifa na kumcha Bwana.

Tunahitaji mawazo au nia zetu zifanywe upya kwa Roho

Mtakatifu na Neno la Mungu (Warumi 12:2). Wakati

mwingine hatujui kuomba jins itupasavyo. Katika Warumi

8:26 tunaambiwa kwamba tukiomba kwa lugha, tutaomba

sawa sawa na mapenzi kamili ya Mungu. Kwa hiyo kila

unapoomba kwa lugha utakuwa unaomba sawa sawa na Neno

la Mungu na pia sawa sawa na mapenzi ya Mungu. Ile sehemu

inayohusika na usemi au kunena, hutawala akili, na hivyo nia

au mawazo yako hufanywa upya na kusawazishwa ili yaweze

kuuambia mwili wako utende mapenzi ya Mungu.

Kituo za sita: Hisia zako Madhabahu ya kufukizia uvumba

Badilisha hisia zako za zamani zilizosababishwa na mwili

wako na ulimwengu, na nafasi yake ichukuliwe na tunda la

amani, furaha, upendo, tumaini, nk. Hapa ni mahali pa dhabihu

za sifa. Soma Zaburi 145-150 kwa sauti kubwa, kama hujisikii

kumsifu Mungu moyoni mwako. Mungu anawatafuta watu

wanaomwabudu katika Roho na kweli (Yohana 4:24). Kutoka

katika mahali hapa pa sifa, Mungu atakutafuta na atahitaji

kuwa pamoja nawe!

Mpatie hizo hisia ambazo umekuwa uki.cha; labda ni

machozi yako, labda ni kuinua kwako mikono, au labda ni

kumfunulia tu hisia zako za kweli. Songa mbele, hakuna

mwingine anayeangalia isipokuwa Yeye!

Mbele ya madhabahu hii kuna pazia linalo.cha au

kutenganisha patakatifu pa patakatifu na uwepo wa Mungu.

Mungu anataka upite katika pazia hilo mara nyingi zaidi ya

vile unavyohitaji. Atakusaidia kufanya hivyo. Hakuna

mwanadamu wa kawaida anayeweza kuingia hapo bila kufa.

Pazia hili lilipasuka kutoka juu hata chini wakati Yesu

alipokufa msalabani, akatuwezesha kuingia katika uwepo wa

Page 116: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

116

Mungu kwa damu yake, na kuonyesha kwamba kifo chake

kimeondoa kizuizi kilichosababishwa na dhambi. Kizuizi

hicho kilikuwa kinatuzuia kuingia katika uwepo wa Mungu.

Msifu Mungu kwa ukweli huu.

Patakatifu pa patakatifu ni mahali aambapo hakuna mwanga

au taa isipokuwa kwa ajili ya Mungu. Kuhani Mkuu aliweza tu

kuingia hapa mara moja kwa mwaka, tena kwa masharti

maalum. Ukweli ni kwamba madhabahu hii iliingia Patakatifu

pa Patakatifu pamoja na Kuhani Mkuu mara moja kwa mwaka.

Hii inaashiria kwamba kusifu kwako na kuabudu hakuishii

hapa bali ni mlango wa kuingia katika uwepo wake, na mambo

hayo huenda pamoja nasi.

Kituo cha saba: Roho Yako - Uwepo wa Mungu

Sanduku la Agano

Sasa Mungu atakuvuta na kukupitisha katika pazia hadi

Patakatifu pa Patakatifu - penye uwepo hasa wa Mungu.

Hili hapa Sanduku la Agano. Limefunikwa na Kiti cha

rehema kilichonyunyiziwa damu. Tulihitaji rehema kwenye

madhabahu ya shaba, yaani msalaba, mwanzoni kabisa. Lakini

sasa katika uwepo wake kuna ufahamu mkubwa wa rehema

yake na damu ya Yesu kwa namna ambayo Roho Mtakatifu

pekee ndiye awezaye kukuonyesha. Rehema zake ni za milele.

Ni kama haiwezekani kabisa kuandika rehema zake jinsi

zilivyo, ni lazima mtu apate uzoefu wa rehema hizo.

Katika kila upande kuna malaika wakubwa wanaolinda kila

kitu. Hapa pia hakuna nuru kabisa au taa isipokuwa kwa ajili

ya Nuru ya Mungu. Kumbuka, sanduku la agano lipo sasa

ndani ya mioyo yetu! Sio tena kitu cha nje. Sisi ni hekalu la

Mungu. Tafakari jambo hilo.”Hamjui ya kuwa ninyi mmekuwa

hekalu la Mungu, na ya kuwa Roho wa Mungu anakaa ndani

yenu?” (1 Kor 3:16).

Page 117: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

117

Yaliyomo katika Sanduku la Agano yanaashiria mambo

makubwa matatu:

Mana au Neno la Mungu: Unapokuwa katika uwepo wa

Mungu, Neno la Mungu lililofunuliwa huwa hai! Kama unao

muda, hapa ni mahali pazuri sana pa kufungua Biblia yako na

kumruhusu Bwana aseme nawe. Matunda yanayohitaji katika

maisha yetu hapa ulimwenguni yanapatikana katika Neno la

Mungu (2 Petro 2:1-11).

Mbao za sheria: Huu ni ukumbusho wa thamani kwamba

sheria ya Mungu imeandikwa katika mioyo yetu. Siyo tena

orodha ya mambo tunayopaswa kufanya au kutofanya.

Fimbo ya Haruni: Hii inamaanisha huduma yetu

iliyopakwa mafuta ya kuwa watendakazi na mashujaa wa

maombi kwa ajili ya Mungu. Kulikuwa na .mbo 12

zilizovunjika za mti wa mlozi zilizowekwa Hekaluni kwa amri

ya Mungu. Fimbo mojawapo ambayo ingechipua kimiujiza

wakati wa usiku, ingekuwa ile ambayo mmiliki wake ni

mhudumu aliyechaguliwa na Mungu. Ni Mungu pekee

anayetupatia huduma, na tunatambua ni huduma gani pale tu

tunapokuwa katika uwepo wake (Hesabu 17:8).

Hapa ndipo tunapoweza hasa kupokea ahadi za Mungu

katika Neno lake. Tunapozipokea hapa, tunajua kwamba

tutakuwa nazo! Neno la Mungu katika wa.lipi 4:19 linasema

“Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa

kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.”

Hapa unakuwa katika utukufu! Huu hapa utajiri wote wa

mbinguni unakungojea. Anza kumshukuru Mungu kwamba

mambo haya matatu siyo tu kwamba yapo mbele zako, bali pia

yako NDANI yako. Siyo tu kwamba yako NDANI yako lakini

damu na kiti cha rehema na malaika wanakulinda kwa hayo.

Katika Zaburi 91 tunasoma kwamba malaika zake watakulinda

katika njia zako zote. Sasa umeandaliwa kuwa mwombezi

hasa. Unashiriki huduma ya Ukuhani Mkuu wa Yesu na

Page 118: KUISHI KWA IMANI KATIKA DUNIA ILIOVUNJIKAMungu alimpa mamlaka juu ya ulimwengu na wanyama wote pamoja na mimea yote. Alimpa Adamu biashara ya kufanya pamoja na jamii yake, kuilima

Kuishi Kwa Imani Katika Dunia Iliovunjika

118

kuwaombea wengine ipasavyo. Yesu alisema katika Yohana

15:7 “Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa

ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa.”

Kubeba msalaba wako huzaa matunda.

Huu unapaswa kuwa muda mzuri wa kustarehe na kufurahi

katika uwepo wa Mungu. Tumia muda wa kutosha hapa katika

hali ya ukimya na kufurahia kuwa pamoja naye. Hupaswi hata

kuongea. Mungu anafurahia jambo hili. Wewe pia utalifurahia.

Jambo hili ndilo lililozungumzwa katika somo hili, yaani

kuingia katika uwepo wa Mungu! Usisome tu jambo hili na

kuendelea. Amua kabisa kwamba kila siku utafanya zoezi la

kuingia katika uwepo a Mungu. Jambo hili ni muhimu sana ili

kupata ushindi katika maisha hayana yale yajayo.

Tumezungumzia mengi yaliyo ya muhimu kuhusu

imani. Ningependa kukupatia jambo moja lakuweka

maanani katika mawazo yako kuhusu hoja hii.

Kusikia Mungu akikunenea binafsi ndio jambo la pekee

ambalo litazaa imani na kwa hivyo uwe na maisha tele. Hii

huja tu kwa mtu ambaye:

1. Anaelewa ya kwamba yeye ni mudhaifu bila kuwa

na imani ya Mungu.

2. Ana mazoefu ya kuchukua muda na kuweka bidii

ili kuwasiliana na mungu kila siku.

i Wakati neno kamusi limetumiwa, inarejelea kamusi ya Microsoft ambayo imotelewa

katika Microsoft Word.