je,dininimuhimu? - al-islam.org · quran tukufu haitambui mtu yeyote kwamba mwislamu kama...

108
SURAYA KWANZA DINI Dini maana yake mfumo makhususi wa imani na ibada. Kama tunaamini juu ya kitu kwa Umadhubuti na uimara, tunasema hii ni dini yangu. Hivyo kwa ufafànuzi, kama hatutendi kwa mujibu wa imani na itikadi ya dini yetu, ina maana kwamba hatuna imani na dini yetu. Quran Tukufu imetueleza kuhusu watu kama hawa. "Miongoni mwa watu kuna baadhi ambao huseme: Tunaamini katika Allah nasikuyamwisho;lakini(kwahakika)hawaamini."(2:8) Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya Uislamu wakati wote. Kama tu Waislamu wa kweli, basi lazima tufuate sheria za Ki-Islamu tukiwa ndani na nje ya nyumba zetu, yaani madarasani, katika viwanja vya michezo, Misikitini, mitaani na popote tutakapokuwa. Katika Istilahi za Ki-Islamu, neno "Dini" limetumika kama religion (kwa lugha ya Kiingereza). Lakini neno Dini (kwa lugha ya kiarabu) lina maana pana sana katika ukubwa wake kuliko neno la Kiingereza-Religion. Mbali na dini nyingine ambazo zimejihusisha na ibada tu, Uislamu hutoa: Mfumo kamili wa maisha Mfumo wa tabia. Mfumo sahihi wa maingiliano ya jamii. Katiba kamili ya utawala. Silabasi linganifu ya elimu pana. Mwelekeo sahihi wa dhamira ya utafiti wa Kisayansi. JE,DININIMUHIMU? Kuna watu wengi katika ulimwengu huu ambao hawaamini katika dini. Wanafikiria kwamba dini sio muhimu. Hutoa baadhi ya hoja ambazo hazina msingi kuunga mkono dhana yao. Kwa mfano, wanasema: 1. Mtu hujua lililo zuri na lililo baya kwake yeye. Hivyo hahitaji Mtume yeyote kumfundisha. 2. Kuna dini nyingi tofauti katika ulimwengu huu na mafundisho tofauti kabisa na dhana zinazopingana. Chakushangaza zaidi, dini zote zinadai kwamba wao tu peke yao ndio wenye ukweli wote ambapo wengine wapo katika makosa. Vipi itaweza kuwa kweli? 3. Makatazo na amri za dini hutumia nguvu nyingi na muda wa mwanadamu. Hivyo dini ni kikwazo katika maendeleo ya kisayansi. 4. Dini haituruhusu kufurahia maisha. Tunaweza tukathibitisha kwamba hoja zote hizi ni bure kabisa na, hazina uthabiti kwao Hebu ngoja tuchambue yaliomo katika kila hoja, moja baada ya moja. 1 2

Upload: others

Post on 12-Feb-2020

13 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

SURA YA KWANZA

DINI

Dini maana yake mfumo makhususi wa imani na ibada. Kamatunaamini juu ya kitu kwa Umadhubuti na uimara, tunasema hii ni diniyangu. Hivyo kwa ufafànuzi, kama hatutendi kwa mujibu wa imani naitikadi ya dini yetu, ina maana kwamba hatuna imani na dini yetu. QuranTukufu imetueleza kuhusu watu kama hawa.

"Miongoni mwa watu kuna baadhi ambao huseme: Tunaamini katika Allahna siku ya mwisho; lakini (kwa hakika) hawaamini." (2:8)

Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kamahatekelezi mafundisho yake.

Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho yaUislamu wakati wote. Kama tu Waislamu wa kweli, basi lazima tufuatesheria za Ki-Islamu tukiwa ndani na nje ya nyumba zetu, yaani madarasani,katika viwanja vya michezo, Misikitini, mitaani na popote tutakapokuwa.

Katika Istilahi za Ki-Islamu, neno "Dini" limetumika kama religion(kwa lugha ya Kiingereza). Lakini neno Dini (kwa lugha ya kiarabu) linamaana pana sana katika ukubwa wake kuliko neno la Kiingereza-Religion.

Mbali na dini nyingine ambazo zimejihusisha na ibada tu, Uislamuhutoa:

• Mfumo kamili wa maisha• Mfumo wa tabia.• Mfumo sahihi wa maingiliano ya jamii.• Katiba kamili ya utawala.• Silabasi linganifu ya elimu pana.• Mwelekeo sahihi wa dhamira ya utafiti wa Kisayansi.

JE, DINI NI MUHIMU?Kuna watu wengi katika ulimwengu huu ambao hawaamini katika

dini. Wanafikiria kwamba dini sio muhimu. Hutoa baadhi ya hoja ambazohazina msingi kuunga mkono dhana yao. Kwa mfano, wanasema:

1. Mtu hujua lililo zuri na lililo baya kwake yeye. Hivyo hahitaji Mtumeyeyote kumfundisha.

2. Kuna dini nyingi tofauti katika ulimwengu huu na mafundisho tofautikabisa na dhana zinazopingana. Chakushangaza zaidi, dini zotezinadai kwamba wao tu peke yao ndio wenye ukweli wote ambapowengine wapo katika makosa. Vipi itaweza kuwa kweli?

3. Makatazo na amri za dini hutumia nguvu nyingi na muda wamwanadamu. Hivyo dini ni kikwazo katika maendeleo ya kisayansi.

4. Dini haituruhusu kufurahia maisha.Tunaweza tukathibitisha kwamba hoja zote hizi ni bure kabisa na,

hazina uthabiti kwao

Hebu ngoja tuchambue yaliomo katika kila hoja, moja baada yamoja.

1 2

Page 2: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

1. Ni kweli kwamba Allah (s.w.t) amempa mtu ubongo wa ajabuambao unaweza kutambua jema na baya. Lakini bado tunaona watuwanahitilafiana sana katika maamuzi yao kuhusu mambo mema namabaya. Kwa mfano; watu wengi hupendezewa kukaa uchi,kunywa pombe, kamari na matendo mengine mengi kama hayoambayo yanaonekana kwa wengine kama jinai za uovu. Aidha,ubongo wa mwanadamu una mipaka fulani ambayo nje yakehuwezi kuitambua.Tunaweza kujua kwa utafiti wa kisayansi kinachotokea katika mwezi,

Mars na katika sayari zote nyingine. Lakini kamwe hatuwezi kujua kwatekinolojia yoyote ukweli wa kaburi na barzakh, na matukio ambayoyatatokea katika akhera. Kwa taarifa zote hizo, tunahitaji Mtume ambayeana mawasiliano ya moja kwa moja na Allah (s.w.t), Mola wa ulimwengu.

Hivyo, bila shaka watu ni viumbe wenye akili lakini kwa hakikawanahitaji msaada wa Mitume takriban katika kila fani ya elimu.

Tunaweza kuona leo kwamba wanasayansi wakubwa waulimwengu, wanafanya kosa kubwa sana kwa sababu hawafuatimafundisho ya Mitume watukufu. Hakuna ubishani kwamba leomaendeleo ya Kisayansi na ya Kitekinolojia yamekuwa tishio kwamwanadamu.

Hivyo akili za mwanadamu hazitoshi kugundua ukweli wote waulimwengu. Dini ya kweli hutufundisha mambo yale yote ambayo hakunaanaye weza kuyagundua kwa juhudi zake.

2. Ni kweli kuna dini nyingi tofauti zenye mafundisho tofauti na hakunahata moja ya hizo iliyo ya kweli isipokuwa moja.Dini ya kweli inaweza kugunduliwa na kila mtu baada ya utafiti. Kwamfano, katika soko tunajua kwamba vitu vyote safi na vichafu, halisina bandia, vizuri na vibovu vinauzwa na watu. Kila mmoja hudaikwamba anavyo vitu visafi, halisi na vizuri ambapo wakati wote siosahihi. Kwa kawaida huwa tunafanya nini katika hali zote hizo? Je,tuna acha kununua vitu kwa sababu wengi wanauza vitu vichafu auvibovu ama kila mtu anadai kwamba yeye peke yake anavyo, vitubora na safi? La hasha. Tunafanya juhudi zote zinazo wezekanakutafuta duka ambalo linauza vitu sahihi. Halikadhalika, kama mtuanatambua umuhimu wa dini, anaweza kuitambua dini ya kwelibaada ya utafiti na kusoma.

3. Hoja ya tatu vile vile ni ya makosa kabisa. Tunatumia wakati mwingikatika kula, kulala, kupumzika, kucheza na kuchanganyika na watuwengine (katika hafla na dhifa za kijamii-mathalani). Utumiaji wamuda na nguvu katika mambo yote haya ya kawaida ni wa juusana. Lakini kamwe hatulalamiki kwamba matendo hayo (kulala,kula na mikutano) yanapoteza muda wetu mwingi na nguvu na kwahiyo yatupasa kuyaacha ili kuendelea katika sayansi na tekinolojia.Kusema kweli, tunatambua kwamba kula kwa wasitani, kulala, na

kucheza huzalisha nguvu za kufanya kazi zaidi. Halikadhalika, kumwabuduAllah (swt) huongeza uwezo wetu wa kufanya kazi zaidi za kisayansi.

Mtu ambaye kwa unyeyekevu humwabudu Allah (swt) na ujuzi,kamwe hatapoteza muda wake katika kuangalia picha (za sinema) zisizo namaana, kusikiliza muziki, kucheza kamari katika nyumba za starehe au vituvingine vya aina hiyo. Watu hupoteza idadi kubwa ya nguvu zao na mudakatika kufanya mambo ambayo yamekatazwa katika Uislamu.

4. Hoja ya nne vile vile sio sahihi. Dini ya kweli huyafanya maisha yetukujaa furaha. Magonjwa mengi sugu kama vile UKIMWI, saratani, namatatizo ya moyo huyafanya maisha ya mwanadamu kuwa yamateso. Hakuna mtu yeyote anayeweza kufurahia, maisha na hofuya kwamba anaweza kuwa muathiriwa mwigine wa moja yamagonjwa haya hatari. Lakini wafuasi wa kweli wa dini ya kwelihawana hofu. Wanajua kwamba maisha katika ulimwengu huu ni yamuda na hatimaye watauacha ulimwengu huu kwenda ulimwengumwingine wa kudumu.Hivyo, kwa madhumuni maalumu na maisha yenye mafanikio, dini

ni muhimu. Hata hivyo, chaguo la dini isiyo sahihi, linaweza kuharibumaisha ya hapa na ya kesho Akhera.

Mwisho tunaweza kuthibitisha kwamba dini ni muhimu, kwakujichambua sisi wenyewe. Tuna silika za kiasili za kujijua sisi wenyewe.Tunaweza kuhisi huu msisitizo katika nyakati ambapo tuko huru kutokanana shinikizo za nje. Kwa mfano, imewahi kuonekana katika ajali nyingimbaya za magari, kwamba mtu aliyezimia akipata fahamu, mara mojaanauliza maswali mengi kwa watu walio mzunguuka. Huuliza, niko wapi?Nimekujaje hapa? Nani aliyenileta hapa? Ni kitu gani kimenitokeakwangu? Je, niko salama?

Maswali yote haya kwa uwazi huonyesha kwanza mtu anayo silika

3 4

Page 3: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

ya asili ya kujua ni wapi alikotoka na hatimaye ni wapi atakwenda. Dini yakweli inayo majibu sahihi ya maswali haya. Kama mtu yeyote anapuuzamaswali haya, basi ina maana kwamba hana akili timamu.

Hivyo ndivyo Amir-i-Muuminina Ali (as.) alivyosema katika moja yakhotuba zake: "Watu wanalala, wataamka baada ya vifo vyao".

Dini ya kweli hutuambia mambo mengi ambayo hatuwezi kamwekuyajua kutoka chanzo kingine chochote. Kwa mfano, Uislamu hutupamajibu sahihi kwa maswali magumu yafuatayo:

• Nani ameumba ulimwengu?• Nani ameumba aina za mamilioni ya jamii zinazoishi?• Nani amewafanya binadamu kuwa bora kushinda viumbe vyote?• Kwa nini ametuumba?

Hakuna mtu awazae kujua vipi ulimwengu na kila kitu kilichokuwemo ndani yake vimekuja kuwepo. Wanachotuambia wanasayansikuhusu asili ya ulimwengu na viumbe wanaoishi ni kazi yao ya kukisia. Hiindio sababu kuna hitilafu nyingi za nadharia katika sayansi pamoja namaelezo yenye kuhitilafiana mno. Kwa mfano, nadharia ya kishindokikubwa (Big-Bang Theory), nadharia ya hali ya kutulia (kwa ardhi) nanadharia ya mabadiliko (evolution) hutoa hadithi tofauti kuhusu kuwepokwa ulimwengu. Mpaka sasa, hakuna mwanasayansi awezae kusema kwayakini kwamba anajua kwa hakika kuhusu asili ya ulimwengu na uhai.

Lakini Quran Tukufu hutuambia kwa uwazi kuhusu asili yaulimwengu:

"Ameumba mbingu na ardhi kwa haki. Hufunika usiku juu ya mchana, nahufunika mchana juu ya usiku. Na amefanya jua na mwezi vitumike. Kilakimoja kinakwenda kwa kipindi kilicho wekewa. Jueni mtanabahi! Yeyendiye Mwenye nguvu, Mwenye kusamehe! (39:5)"

KIINI CHA FIKRALengo la msingi la somo hili ni kukupa silaha kupigana kwa akili na

propoganda za bandia za Magharibi ambazo wamekuwa wakizifanya kwaujanja dhidi ya dini. Wanafunzi lazima watambue kwamba dini ni muhimukatika maisha.

5 6

Page 4: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

SURA YA PILI

JINSI YA KUTAMBUA DINI YA KWELI

Je, sio mantiki kuipima imani yako?Kuna maelfu ya dini katika ulimwengu. Dini kubwa ambazo zina

idadi ya wafuasi ni, ya Kiyahudi, Ukristo, Ukonfyushasi (falsafa na maadiliya china), Uzoroastrian, Uhindu, Ubudha, Ujaini, Utao, Ushinto na Usikh.

Vipi tutaitambua dini ya kweli wakati wafuasi wa dini zote wanadaikwamba ya kwao ndio dini ya kweli?

Hii sio kazi ngumu. Mtu anaweza kutafiti dini ya kweli kutokakwenye dini nyingine, kama ni mnyofu na mkweli katika utafiti wake nauchunguzi.

Kwa mfano, kama utasoma na kuchunguza dini zote kubwa zaulimwengu, matokeo ya utafit i wako usio na chuki na upendeleoyatakuwa kama ifuatavyo:

(a) Uislamu ndio dini pekee ambayo hukubaliana na maumbile yamwanadamu.

"Basi uelekeze uso wako sawasawa kwenye dini, (hilo) ndilo(jamboambalo) Allah alilowaumbia watu...." (30:30)

Kwa mfano, wahandisi siku zote hujaribu kuangalia mambo yambele yanayo husiana na mwanafunzi katika maeneo kama ya usalama namazingira wakati wanafanya usanifu wa jengo la shule. Halikadhalika,sheria za Uislamu zimefanywa na Allah (SWT) kwa mujibu wa muundoambao kwamba amemuumba mwanadamu na mazingira ambayo kwayoyamepangwa kuishi.

"Ambae ameumba mbingu saba kwa matabaka. Huoni tofauti yoyotekatika uumbaji wa Mwingi wa Rehema. Hebu rudisha nadhari! Unaonakosa lolote? (67:3)

"Tena rudisha nadhari mara mbili, nadhari yako itakurejea mwenyewe haliya kuwa imehizika nayo imechoka" (67:4).

Mpango kamili na wenye kuafikiana katika anga kubwa mno,inayoonekana au isiyoonekana kwetu, hufuatia sheria sahihi za mwendo(laws of motion), huthibitisha umoja kamili na utawala wa hali ya juu sanawa Muumba Mmoja.

Sheria nyingi za aina za maumbile zimeunganishwa kwa ukaribu nakila moja katika mwendelezo wa ufanyaji kazi za ulimwengu. Hakunamwanya, hakuna kupishana wala kukatika (kwa mfuatano). Tukio hili nimoja ya ishara za umoja wa Muumba. Hivyo, sheria za dini na sheria zaulimwengu zina asili ile ile na kwa hiyo suala la kupingana halitokei.

(c) Uislamu ni dini pekee ambayo hutoa msisitizo mkali juu ya tafakari,kuhoji na kufikiri kwa akili, Uislamu huwataka wafuasi wake kuelewa

7 8

Page 5: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Quran Tukufu na kisha kuonyesha utekelezaji wake kimatendo katikamaisha. Quran imekariri mara kwa mara kuwashauri Waislamukutafakari, kuakisi na kuelewa ujumbe wake. Quran imeweka wazikabisa kwamba inazungumza kwa wale watu tu ambao wana akili.

"...Namna hivi tunazieleza ishara kwa watu wanaojua" (7:32)

"....Namna hivi tunazipambanua Aya zetu kwa watu wenye akili."(30:28)

".... Hakika katika hayo bila shaka zipo ishara kwa watu wanaofikiri"(39:42)

Quran iliteremshwa katika lugha ya kiarabu ambayo ndio iliyokuwalugha ya Waarabu.

"Hakika sisi tumeiteremsha Qurani kwa Kiarabu ili mpate kuzingatia." (12:2)

Punde tu baada ya kuingizwa kwa Uislamu katika nchi zisizo zaKiarabu, watu wa nchi ile waliitafsiri (Quran) katika lugha yao wenyewe.Watu wengine walijifundisha Kiarabu kwa sababu tu ya kuielewa Quran.

Wakristo na Wayahudi ambao waliishi katika nchi zinazo zungumzakiingereza vile vile walihitaji tafsiri ya Biblia. Lakini tafsiri ya kwanza ya Bibliakwa lugha ya kiingereza ilitokea katika miaka ya 1380. Martin Lutheralitafsiri biblia kwa lugha ya kijerumani mwaka 1534.

Kwa nini biblia ilichelewa hivyo kutafsiriwa katika lugha za watu?Kwa sababu wainjilisti kamwe hawakuruhusu tafsiri zipangwe nakuwakatisha tamaa watu kuisoma katika lugha zao

Halikadhalika, Wahindu, kundi maalumu la watu wajulikanao kama

Wabrahmin waliruhusiwa kusoma vitabu vya dini.

(a) Uis lamu ni din i pekee ambayo hukataa kabisa kufuatakimbumbumbu na hoja zisizo na mantiki.Hii ndio dalili ya wazi ya dini ya kweli. Quran imewalaumu walewatu ambao hufuata nyayo za wazee wao bila ujuzi.

(b) Uislamu ndio dini pekee ambayo kamwe hailazimishi imani yake juuya mtu yeyote kuikubali au kumsihi aikubali. Uislamu unahitaji ujuzikamili wa kiini cha fikra kabla mtu hajaikubali.

"Hakuna kulazimishana katika dini." (2:256)

Hakuna haja ya kutumia aina yoyote ya nguvu au shinikizo juu yamtu ili kuukubali Uislamu. Mantiki ya mafundisho ya Uislamu huvutiawatu sawasawa kama sumaku inavyovutia chuma kwa asili yake yamaumbile.

Punde tu tutawaonyesha Ishara Zetu katika upeo wa mbali na katika nafsizao wenyewe mpaka iwabainikie kwamba haya ni kweli. Je! Haikutoshikwamba Mola wako Yeye ni Shahidi wa kila kitu?

Hivyo, tunawajua watu wengine katika ulimwengu huu ambaowaligundua dini ya kweli kwa juhudi zao za kweli na unyofu. Mtu mmojamkubwa kama huyo alikuwa Salman Farsi.

Salman el-Farsi alizaliwa Iran. Jamaa ya familia yake yote na raiawenzake, amma walikuwa wakristo au wazoroastria. Salman vile vilealifundishwa na wazazi wake misingi ya imani na kanuni za uzoroastria.Lakini Salman hakukinaishwa na dini hii kwa sababu ya mafunzo yakeyasiyokuwa ya kawaida na imani za uwongo. Historia hutuambia kwambaSalman alikubali na kukataa dini moja baada ya nyingine lakini akawahapendezewi mpaka alipomkuta Mtukufu Mtume na akaukubali Uislamu.Salman alifurahi mno na kukinai baada ya kumkuta Mtukufu Mtume na

9 10

Page 6: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

kugundua dini ya kweli.

Halikadhalika, Wahindu, wakristo, Mayahudi na wafuasi wa dininyingine walikubali Uislanu baada ya utafiti wao wa kweli na mnyofu.Tuna orodha ndefu ya watu kama hao waliosilimu. Hebu ngoja nikupenimfano mmoja wa wakati wetu.

Dr, Maurice Bucaille bingwa maarufu wa upasuaji wa Kifaransa wawakati wetu, ni mmoja wao wa wale ambao walikubali Uislamu baada yautafiti wake wa kina katika Quran Tukufu. Dr.Bucille alikuwa Mkristo kwakuzaliwa. Aliandika kitabu (kiitwacho) Biblia, Quran na Sayansi ambachokwacho alithibitisha kisayansi kwamba Uislamu ndio dini pekee ya kweliulimwenguni.

Wasomi wengine wengi walikataa dini zao za uwongo, lakinihawakupata ukweli kamili. Mtu mmoja kama huyo mwenye kipaji alikuwani Bertrand Russell. Anasifiwa na wanahistoria miongoni mwa mafilosofawakubwa na mabingwa wa hisabati wa miaka ya 1900. Vile vile akiitwamwana mant ik i (bingwa kat ika mant iki ) muhimu mno tangumwanafilosofia wazamani wa kigiriki aitwaye Aristotle. Russell

alizaliwa Mkristo, lakini alikataa imani yake katika ukristo. Aliandikakitabu, (Kiitwacho) Kwa nini mimi sio Mkristo (Why I am not a Christian1927) ambacho ndani yake amefichua imani yake ya mwanzo isiyo yakimantiki. Russell ni mfano wa kipaji kilichoharibika. Amegundua uwongolakini hakuweza kugundua ukweli.

MSINGI WA KANUNI ZA HUKUMU

Siyo vigumu kuyakinisha utambulisho wa dini ya kweli nakuitofautisha na dini ya uwongo. Kama tunapima kwa haki msingi wa

dhana na mafundisho ya dini tofauti, basi tunaweza kuchagua dini yakweli na kukataa dini ya uwongo.

Zifuatazo ni kanuni tatu za msingi za kuchunguza dini kwa ajili yakutambua ukweli na asili ya uwongo wa dini:

1. Kupatana na sheria za kimaumbile.2. Umoja pamoja na sheria za kibaolojia (elimu ya viumbe).3. Uzito katika yaliyomo.

Kupatana na Kanuni za kimaumbiliDini ya kweli kamwe haipingani na sheria za maumbile. Ni wazi

kabisa, kwa sababu kama dini inatoka kwa Mungu, ambaye ni Muumbapekee wa ulimwengu, basi hakuwezi kuwa na migongano kati ya sheria zaulimwengu na mafundisho ya dini ile, kwa vile vyote vina asili moja.

Mgongano kwa hakika utatokea kati ya kanuni za dini na sheria zakimaumbile zinazo fanya kazi katika ulimwengu, kama dini haitoki kwaBwana wa ulimwengu, ambaye ametengeneza sheria za ulimwengu.

Leo muundo wa msingi wa dini zote, isipokuwa Uislamu,umevunjwa vunjwa kwa mashambulizi ya watafiti wa kisayansi.

Ukweli wa maumbile ulio gunduliwa na wanasayansi umeziwekauchi na kufichua uwongo wa kubuni wa dini.

Dini za kishirikina zinazo hubiri kuabudiwa kwa jua, mwezi, nyota,wanyama na maelfu mengine ya miungu kama hiyo, haziwezi kuishi sasa.

Jumba la ushirikina limeporomoka kabisa baada ya ugunduzi wakweli wa kisayansi. Katika mwaka wa 1969, wanaanga wa Apollo11 na Apollo 12 walitua kwenye kichwa cha mungu (mwezi) wawashirikina. Hiyo ilikuwa siku ya aibu kubwa kwa waabudu mwezi wote,wakati mmoja wa mungu wao alipokuwa chini ya miguu ya mtu.

Sayansi imewavunjia heshima karibu miungu wote wa washirikinakwa kufichua ukweli wao.

Mtangulizi wa matukio ya ajabu ya sayansi ya kisasa ni MtumeMuhammad (s.a..w) ambaye aliondoa vikwazo vya anga za juu kwa ajili yakutua mwezini miaka 1400 iliyopita. Historia hutuambia jinsi Mtukufu

11 12

Page 7: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Mtume (s.a.w) alivyovunja muundo wote wa miungu ya kimfano, ambayoilikuwa ikiabudiwa na watu. Uchunguzi wa kweli unaweza kuthibitishakwamba dini zote, isipokuwa Uislamu, zina mgongano wa moja kwa mojana ukweli ulio thibitishwa wa kisayansi.

Dr. Maurice Bucaille ametambulisha makosa mbali mbali katikaBiblia. Vile vile ameridhika kwamba hakuna kosa hata moja la kisayansikatika Quran Tukufu. Hivyo uchambuzi wa kisayansi kwa dini sio wa chukiau wa upendeleo na ni njia ya kuaminika ya kutambua dini ya kweli na yauwongo.

Muafaka wa pamoja na sheria za kibaolojia. Sifa nyingine muhimuya dhahiri ya dini ya kweli ni kwamba kanuni za msingi huonyesha umojakamili pamoja na maisha ya sheria za kibaolojia.

Kama kweli dini inatoka kwa Mungu, ambaye ni muumba wa watu,basi mafundisho ya kidini lazima yapatane na mahitaji ya kimaumbile yamwili wa mwanadamu. Kanuni hii vile vile inabatilisha dini zote isipokuwaUislamu.

Uislamu ndio dini pekee ambayo sio tu inaruhusa bali piainafundisha wafuasi wake kuchukuwa faida za juu kabisa kutoka kwenyemaumbile. Halali na Haramu ya Uislamu haituzui sisi kufurahia kituchochote, bali kurekebisha silka zetu za kimaumbile ili kuchukuwa faidakamili baraka za Allah (s.w.t) zisizo na idadi. Quran Tukufu imeweka wazikabisa katika aya ifuatayo:

"Sema: Ni nani aliyeharamisha Pambo la Allah alilowatolea waja wake, navilivyo vizuri katika riziki. Sema, hivyo ni kwa walio amini katika uhai wadunia, na Siku ya Kiyama vitakuwa vyao tu...." (7:32)

Kusema kweli, Quran imewalaani wale watu ambao bila sababuyoyote wanajiepusha na vitu vya halali na kufanya maisha yao kuwayenye taabu. Hata hivyo, kwa hakika Uislamu huhitaji kutoka kwa wafuasi

wake kujizoesha kujiwekea nidhamu na kujiepusha na vitu vilivyo katazwahata kama vinawavutia.

Dini nyingine huzuia kabisa mahitaji sahihi ya mwili na jamii aukuyaachilia huru kabisa kuchosa nguvu zao za thamani katika wingi waukubwa wa Maumbile.

Mifano michache ya aina hii inatolewa hapa kuonyesha tofautiiliyowazi kati ya dini ya Mungu na sheria zilizo tungwa na watu.

USEJA:Useja maana yake kujizuiya kutokana na uhalali wa mahusiano ya

kijinsia kwa ajili ya sababau za kidini, yaani, hakuna kuoa (au kuolewa)kwa ajili ya kutafuta ridhaa ya Mungu.

Watawa wa Kikristo na wa Kibudha huuona useja kama maadili yakidini. Kwa sheria, Mapadre wote wa Roman Catholic lazima wawe waseja,

13 14

Page 8: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

yaani lazima wabakie bila kuoa au kuolewa kwa maisha yao yote. Katikamakanisa ya ulaya ya mashariki, wanaume waliooa wanaweza kuwaMapadre, lakini Askofu lazima atekeleze useja.

Mtu anaweza kuuliza swali sahihi: kwa nini Papa, Maaskofu,watawa wanawake, ambao pia wana matamanio ya kimaumbile ya kijinsiakama binadamu wengine, hawaruhusiwi na dini kuoa au kuolewa?

Kama ndoa inamchukiza Mungu, basi kwa nini ameumba mfumowote wa uzazi wa jinsia? Kwa nini viumbe wote wanaoishi ukijumuisha nawanadamu wameumbwa na Mungu wakiwa na viungo maalumu vyakufanyia tendo la kijinsia?

Kama Mungu haidhinishi mahusiano ya kijinsia kwa wanaume nawanawake, basi kwa nini msingi wa mwendo ambao kwao Munguameumba wanadamu zaidi, na zaidi hutegemea kabisa juu ya uhusianowa kijinsia. Mifumo ya uzazi ya wanaume na wanawake katika wanadamuna aina nyingine za jamii zinazoishi imesaniwa maalumu na Mungu kwaajili ya kuzaa, kulisha, na kulea watoto wao wanaohusika.

Kama mantiki ya useja ingelikuwa ni mfano bora wa kufuatwa nawanadamu kama udhihirisho wao wa upendo kwa Mungu, basiungekomesha kabisa mpango wa uumbaji.

Kama wafuasi wote wa Ukiristo watafuata mfumo wa maisha yaPapa, ambaye lazima achukuliwe na wafuasi wake kama mtu bora zaidi,basi ulimwengu wote wa kikristo ungelitoweka katika kizazi kimoja. Vilevile, wakristo wote wanawatambua Hadhrat Ibrahim (a.s), Hadhrat Musa(a.s) na Mitume wengi wengine kama wajumbe wa Mungu. Mitume wotehawa walikuwa wanao wake na watoto. Hivyo, kitendo hiki cha kidini yaUkristo na Ubudha huleta mgongano wa moja kwa moja na mpango waMungu na mpango wa utendaji kazi wake wa kuendelea kuumba. Hii nikinyume na dini ya Mungu.

Uislamu hauruhusu tu taasisi ya ndoa, bali huweka msisitizomaalumu juu yake.

Quran Tukufu inasema:

"Oeni wanawake wa chaguo lenu," (4:3)

Mtukufu Mtume (s.a.w) alionyesha kutoridhishwa kwa watu kubakiabila kuoa au kuchelewesha ndoa bila sababu.

Mtume (s.a.w) alisema: "Ndoa ni sunnat yangu, yeyote yule anayejiepusha na Sunnat yangu

sio miongoni mwangu".

Kuna hadithi nyingi za Mtukufu Mtume (s.a.w) na Maimamukuhusiana na suala hili.

Uchinjaji wa Wanyama:Halikadhalika, Wahindu, Wajaini, na Wabudha hawali nyama na

wanachukulia uchinjaji wa wanyama kwa ajili ya nyama zao kama ukatilina unyama. Tunaweza kuchambua kimantiki iwapo kuchinja wanyama niukatili au la.

Tunajua kwamba kuna wanyama wengi ambao zaidi sana hulanyama. Wanyama kama hao wana tabia ya kuzaliwa na miili iliyofanywakwa ajili ya mawindo juu ya wanyama wanaokula majani. Munguamewapa wanyama hawa meno makali mno na yenye kupasua, misuli nataya yenye nguvu na mahitaji mengine muhimu ya kuwindia. Kamakuwinda, kuchinja na ulaji wa nyama ni ukatili na kitendo cha ushenzi, basikwa nini Mungu Mwenye upole mno na Mwenye huruma amewaumbawanyama walao nyama ambao hawawezi kula chochote isipokuwanyama.

Mamilioni ya mbuzi, kondoo na ngombe wanachinjwa kila siku kwamadhumuni ya kula. Lakini kamwe hakujakuwa na upungufu wawanyama hawa halali. Hivyo, kula nyama hakuwezi kuchukuliwa kamakitendo cha kishenzi. Hata hivyo, Uislamu husisitiza ulaji wa wastani wanyama za wanyama na kwa kushauri kuzingatia kanuni zihusianazo naustawi wa maisha ya jamii zote zenye uhai.

Mwisho, dini ya kweli ya Mungu inaweza kwa urahisi kutambuliwa

15 16

Page 9: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

kwa uwezo wake wa kuongoza watu katika kila fani ya maisha yake.

Vita kati ya Waislamu na wafuasi wa dini zote nyingine ni juu yasuala la uzito wa mafundisho ya Ki-Islamu.

Wanahoji kwamba dini ni kitu cha binafsi na haipaswi kujitokezakuingiliana na mambo ya kijamii na kazi ya kiofisini. Mara nyingiMwislamu wa vitendo hukabiliana na maneno kama haya ya uchokozi;usilete dini yako katika ofisi, tafadhali iweke msikitini au nyumbani kwako.Watu hawa hawajui kitu kimoja cha msingi kuhusu Uislamu na hicho niuzito wa asili ya Uislamu. Kinyume na dini nyingine, Uislamu huchukuwanafasi ya kila kipengele cha maisha ya mwanadamu na kwa

hiyo huhitaji wafuasi wake kutekeleza mafundisho yake katika kilafani ya maisha yao.

Hivyo uchambuzi wa uangalifu wa dini unaweza kumsaidia mtumwenye fikira za kimantiki kutofautisha kati ya dini ya kweli na ya uwongo.

KIINI CHA FIKRA:Lengo la somo hili ni kukuwezesha wewe kuitambua imani yako

katika njia ya kiakili. Kufuata kimbumbumbu na kurithi dini ya baba bilaujuzi wa kweli wa imani hakuna maana katika Uislamu. Kigezo cha

kwanza cha imani kilichowekwa na Quran Tukufu ni: Kuthibitisha nakwa akili kutambua imani za msingi zilizomo. Kutekeleza sharti hili lamsingi kunahitajika juhudi za ukweli ili kupata ujuzi wenye manufaa nakufanya baadhi ya utafiti. Hii ndiyo sababu, kutafuta elimu ni wajibu kwakila Mwiislamu mwanaume na mwanamke.

17 18

Page 10: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

SURA YA TATU

FAIDA ZA DINI YA KWELIFaida za dini ya kweli ni nyingi. Mtu ambaye hana dini au

amechagua dini isiyo sahihi ni mwenye hasara kubwa. Hakunakitakachofidia hasara hiyo.

Tunaona watu wengi wasioamini wametuzunguuka ambao wanautajiri, uwezo na mali. Watu wengi wanafikiri kwamba ni watu wenyebahati sana katika ulimwengu. Lakini walikuwepo watu wengi kama waozamani ambao sasa wamekufa. Kila mtu anajua bila shaka yoyote kwambawameacha utajiri wao wote, uwezo na heshima. Vitu ambavyo walikuwawakifurahia wakati wa muda wao na maisha. Hivyo kifo ni mwisho wastarehe za kiulimwengu na vitu vya kidunia. Quran Tukufu imeonyeshaukweli huu katika aya zifuatazo:

"Mabustani mangapi, na chemchem ngapi waliziacha

Na mimea na vyeo vitukufu!

Na neema walizokuwa wakijistareheshea!

Ndio hivyo! Na tu kawarithisha haya watu wengine.

Si mbingu wala ardhi hazikuwalilia,wala hawakupewa muhula.(44:25-29)

"Enyi mlioamini! Nikuonyesheni biashara itakayokuwaokoa na adhabu iliyochungu?Muaminini Allah na Mtume Wake, na piganeni jihadi katika njiaya Allah kwa mali zenu na nafsi zenu. Haya ni bora kwenu, ikiwa ninyimnajua. Atakusameheni dhambi zenu, na atakutieni katika bustanizipitiwazo na mito kati yake, na maskani nzuri nzuri katika bustani zamilele. Huku ndio kufuzu kukubwa". (61:10-12)

Quran Tukufu imerudia rudia kutuonya kwamba kila kitu ambachotunamiliki katika ulimwengu huu tutakiacha. Watu wenye akili ni waleambao hununua neema ambayo inaweza kubakia pamoja nao hata baadaya kufa. Mtu mwenye ujuzi, hata kama siyo Mwislamu anawezakuitambua.

Jean-Jacques Rousseau (1712-1778) filosofa mkubwa wa Kifaransana mwandishi muhimu sana wa zama za mantiki, alitoa baadhi ya manenoya hekima, wakati alipoandika kwa mwanae kuhusu ukweli wa maisha yaulimwengu huu:

"Najua kwamba mwisho wa safari yangu ni kufa; basi, yapasanitengeneze kiambatanisho kwa ajili yangu katika ulimwengu huu? Katikaulimwengu ambako vitu vyote vinabadilika na kupita, mimi mwenyewe nipunde tu nitatoweka. Viambatanisho vina faida gani kwangu? Emile,mwanangu, kama nikikosa, nini kitabakia kwa ajili yangu? Hata hivyolazima nijitayarishe mweyenwe kwa ajili ya hatima isiyovumilika, kwasababu hakuna mtu awezaye kunihakikishia kwamba nitakufa kabla yako.Hivyo kama unapenda kuishi kwa raha na kwa akili, tegemeza moyo wakokwenye vitu vizuri visivyotoweka; jaribu kuweka mpaka wa matamanioyako na ichukulie kazi katika heshima ya juu kuliko mengine yote. Tafutavile vitu tu ambavyo havivunji sheria ya maadili, na jizoweshe kupotezavitu bila huzuni. Usikubali chochote, mpaka vinginevyo dhamira yakoikuruhusu. Kama utafanya yote haya, hakika utakuwa na furaha".

Rousseau hakuwa Muislamu lakini alitiwa msukumo wa moyo na

19 20

Page 11: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

filosofia ya Ki-Islamu. Mtu wa kufikiri hivi anaweza kuwaongoza watuwake kuleta mapinduzi. Filosofia ya Rousseau iliwavutia watu wa wakatiwake ambayo ilisababisha mapinduzi ya Ufaransa.

Sasa ngoja tuonyeshe baadhi ya faida za kutambua dini ya kweli.

Dini hutoa utambuzi wa kujitukuza.Kutokana na mtazamo wa Ki-Islamu, binadamu wote huzaliwa kama

Waislamu, ni wazazi wao ambao huwafanya Wahindu, Wakristo,Mayahudi au Wapagani.

Kuna aina zaidi ya millioni 2 za viumbe wanaoishi na katika hao,watu ndio viumbe wa juu sana.

Jukumu la kwanza na la muhimu zaidi la mtu ni kujua cheo chakena hadhi yake katika ulimwengu na uumbaji. Ni hapo tena, anawezakudumisha nafasi yake na anaweza kuendelea zaidi katika ubadilikaji wakewa kukua na maendeleo.

Quran na hadithi ndiyo vyanzo pekee vya kuaminika vya kujua asiliya mwanadamu. Ni muhimu kuona kwamba Quran imetoa msisitizomaalum kuonyesha nafasi sahihi ya mtu kwa ajili ya kujitambua kwake.

Tamko la Unaibu wa Mungu.Allah (s.w.t) alimteuwa mtu kama khalifa wake katika ardhi.

Quran inasema:

"Naye ndiye aliyekufanyeni makhalifa wa duniani, na amewanyanyuabaadhi yenu juu ya wengine daraja kubwa kubwa, ili akujaribuni kwa hayoaliyokupeni. Hakika Mola Mlezi wako ni mwepesi wa kuadhibu, na hakikaYeye ni Mwenye Kusamehe, Mwenye kurehemu.(6:165)

Sherehe ya kutawazwa kwa mtu.Allah (s.w.t) alitayarisha sherehe maalum ya kutawazwa kwa mtu

ambayo kwayo viumbe wote waliopo wa wakati huo walitakiwakuhudhuria. Washiriki ambao walikuwa sana ni malaika, waliamrishwa naAllah (s.w.t), kuinama chini mbele ya Adam (a.s) muwakilisha wa mfanowa mwanadamu.

Quran inasema:

"Na Mola wako alipowaambia malaika: Hakika Mimi nitamuumba mtu kwaudongo unaotoa sauti, unaotokana na matope yaliyotiwa sura. Basinitakapomkamilisha na nikampulizia roho Yangu, basi mumuangukiekumsujudia. Basi malaika wote pamoja walimsujudia. Isipokuwa Iblisi.Yeye alikataa kuwa pamoja na waliosujudu. (15:28-31)

Malaika wote na malaika mkuu (Jibril) kwa heshima walifuata amri yaAllah (s.w.t) na wakasujudu, isipokuwa Shetani (jinni), ambaye kwafedheha alitolewa katika pepo kwa kutokukubaliana kwake na amri yaMungu.

Quran iliendelea kueleza hadhi ya mtu na wepesi na neema ambazokwamba amepewa na Mola wa walimwengu.

21 22

Page 12: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

"Kwa hakika tumewatukuza wanaadamu, na tumewapa vya kupanda nchikavu na baharini, na tumewaruzuku vitu vizuri vizuri, na tumewafadhilishakwa fadhila kubwa kuliko wengi miongoni mwa tuliowaumba. (17:70)

"Kwani hamuoni kwamba Allah amevifanya vikutumikieni vilivyomombinguni na kwenye ardhi, na akakujalizieni neema zake, za dhahiri na zasiri?…." (31:20)

Yeye ndiye aliye idhalilisha ardhi kwa faida yenu , basi tembeeni katikapande zake na kuleni katika riziki zake. Na kwake Yeye(pekee) ndiomarejeo. [Qur'an 67:15]

Quran hutuambia kwamba mtu ana cheo kikubwa mno miongonimwa viumbe wote wa Allah (s.w.t).

"Na tukakufadhilisheni juu ya walimwengu wote".

Mtu alipewa uwezo wa kutamaliki ulimwengu. Kila kitu kilichomoulimwenguni ni kwa ajili yake.

Ilichosema Quran miaka 1400 iliyopita kinathibitishwa sasa. Tunaonakwamba mtu anachukuwa nafasi ya juu katika viumbe wa Allah (s.w.t).Anautawala ulimwengu. Wanyama, mimea, milima na hata mwezi nanyota viko kamili chini ya matumizi yake. Hii ni heshima kubwa.

Lakini wanasayansi wa leo huwatabakisha watu miongoni mwawanyama. Wanabiolojia husema kwamba wanadamu ni wa tabaka lawanyama waitwawo mamalia (yaani wanyonyeshao) ambao hujumuishambwa, paka, punda na wanyama wote wengine.

Kwa hakika, wakati mtu anajifikiria mwenyewe kuwa kizazi chapunda,

basi mtu asishangae kama anakuwa na tabia kama za wanyama.

Haya maoni ya kujitweza yalijitokeza kwa sababu hawana diniambayo inaweza kusukuma nyoyo zao kujua hadhi yao halisi. Matokea yakutweza hadhi ya mtu ni kwamba baada ya kupanda kwenye kilele chamwezi, mtu bado yuko chini kama alivyokuwa katika zama zake za ujinga.

Hivyo jukumu la kwanza na muhimu sana la kila mwanadamu nikujua hadhi yake na nafasi yake katika viumbe wa Allah (s.w.t). Baada yakujitambua mwenyewe, atakuwa na uwezo wa kutambua madhumuni yakuumbwa kwake na sababu ya ukuu wake na neema kubwa za Mungu.Bila kutambuwa ukweli wa mtu na hadhi yake halisi, juhudi zote zamwanadamu na bidii, ziwe za kisayansi au za kiroho, zitakuwa hazinamaana na za hali ya chini mno.

Mtukufu Imam Hadhrat Ali (a.s) alieleza ukwelihuu katika njia nyingi tofauti:

¤ "Yeyote yule ajitambuaye mwenyewe amemtambua Mola wake".¤ "Nashangaa mtu ambaye hutaka al ichokipoteza ambapo

amekipoteza mwenyewe na hakitafuti".¤ "Nukta ya mwisho ya elimu ni kwa mtu kufikia kujitambua".

Hivyo dini ndio chanzo pekee cha kuaminika cha kujitambua,ambayo ndiyo mwanzo wa masuala yote ambayo yanamhusu mtu.

23 24

Page 13: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Dini huleta amani na utulivu.Wanasayansi wengi hawaamini Mungu na husema kwamba hakuna

aliyeumba wanadamu au chochote ambacho tunakijua katika ulimwengu.Matokeo ya dhana hii potofu itakuwa kwamba ulimwengu na vyotevilivyomo ndani yake havina maana. Kusema kweli, hivi ndivyowanasayansi wa kisasa wanavyoamini na hatimaye hutaraji kuhubiri:

Hakuna Mungu, ambapo kwa usahihi maana yake- hakuna dini-hakuna madhumuni- hakuna lengo- hakuna mwisho wa safari. Kwaujumla wanakataa kila kitu.

Mtu ambaye huamini katika dini ya kweli, ambayo kwa usahihihueleza kuhusu maisha baada ya kifo, atapata utambuzi sahihi wa maishayake. Hatimaye itaiangaza akili kugundua madhumuni halisi ya maisha.Hivyo, matokeo ya kutarajia (yasio epukika) ya imani hii yatakuwa:;

¤ Atamaliza nguvu zake zote kwa matayarisho hayo.¤ Atatoa mhanga kitu chochote na kila kitu ikihitajika hivyo kwa vile

ana ujuzi wa malipo kamili.¤ Kamwe hatafanya makosa katika kutambua asili halisi ya vitu.¤ Kamwe hatajisikia kushindwa kama anapoteza kitu chochote cha

kiulimwengu.Mtu mwenye akili kama huyo ataishi kwa furaha na ataruhusu

wengine kuishi kwa amani.

Leo, ulimwengu ulioendelea mno wa kitekinilojia una kila kituisipokuwa amani. Tunajua vizuri sana kwamba hatuwezi kufurahia kituchochote kama hatuna amani ya akili.

Wale ambao hawaamini katika maisha baada ya kifo, wauanawenyewe kwa wenyewe ili kupata kila kitu. Hii hutokea katika ulimwenguhuu katika madaraja yote.

Hivyo, faida ya dini ya kweli ni kwamba huleta amani na utulivukatika ulimwengu huu halikadhalika na kesho akhera.

Dini huleta hali ya usalama.Kwa dhahiri huonyesha kwamba watu wa ulaya magharibi, ambao

hawaamini katika dini, ni watu waliotosheka zaidi. Lakini kwa mujibu wa

taarifa iliyoandikwa katika Jarida la Times International Magazine: watu28,000 katika America, 25,000 katika Uswisi na idadi kama hiyo hiyo yawatu katika Ujapani hujiua wenyewe kila mwaka. Kiwango cha wanaojiuakatika Amerika kinaongezeka taratibu kuanzia mwisho wa Miaka ya 1950.Wengi wa watu wanaojiua wenyewe ni wazee, vijana wakubwa na vijanawa makamo, 75% yao ni wanaume.

Katika mwaka 1980, kitabu kilichouzika vizuri sana katika Japanikilikuwa "Jinsi ya Kujiua Mwenyewe".

Katika kitabu hiki, mwandishi amesanifu miundo tofauti ya mtukujiua mwenyewe. Mauzo makubwa ya kitabu hiki kwa usahihihuonyesha kwamba idadi kubwa ya watu katika Japani wameelekea kujiuawenyewe. Uwezekano ni kwamba wangeweza kujiua wenyewe baadae.

Kwa nini watu wajiuwe wenyewe?Swali hujitokeza, kwa nini watu wanaoishi katika nchi zenye neema

na utajiri wanajiua wenyewe?

Nchi hizi zina matatizo kiasi kidogo ya kiuchumi, kijamii, na kisiasaukilinganisha na nchi zinazoitwa ulimwengu wa tatu kama India, Pakistanina Bangladeshi.

Taarifa inasema kwamba sababu kubwa ya kawaida ya watu kujiuawenyewe ni hali ya ukosefu wa usalama. Lakini tunajua kwamba katikanchi hizi zilizoendelea, watu walio wengi wana hali nzuri, na vile vileserekali zina taratibu mbali mbali za usalama na mawakala kwa ajili yakuangalia kwa ujumla ustawi wa watu.

25 26

Page 14: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Basi, kwa nini watu hawa wapatwe na hisia za kutokuwa na usalamakiasi kwamba hatimaye iwasababishie kujiua wenyewe.

Mwanasaikolojia mmoja alitoa maelezo ya kupendeza.Anasema kwamba sisi wanadamu wote kwa asili tumezoea aina

maalum ya usalama. Ukosefu wa imani katika mungu na maisha yasiyo namalengo hufyatua hali ya kutokuwa na usalama ambayo huzaa mfadhaikowa akili na hatimaye husababishia mtu kujiua mwenyewe ili kuondokanana hofu hiyo isiyojulikana. Hii ndio sababu kwamba maelfu ya watu hujiuawenyewe na kuua kwa ajili ya hisia zao za ndani za kuvunjika moyo nahisia ya kutokuwa na usalama.

Hivyo dini ya kweli ndio suluhisho pekee la mfadhaiko wa akili nakutokuwa na usalama.

Quran inathibitisha kwamba amani halisi ya akili inaweza tukupatikana kwa ukumbusho wa Allah (s.w.t) wa kisomi.

"Wale walioamini na zikatua nyoyo zao kwa kumkumbuka Allah. Hakikakwa kumkumbuka Allah ndio nyoyo hutua!"13:28.

Mtoto hujisikia hali ya usalama kamili katika wakati akijionamwenyewe yuko karibu ya mama yake. Ni kwa sababu ya imani kubwaya mtoto kwamba mama yake atamuokoa kutokana na balaa yoyote.Mtoto asiye na hatia hajui kwamba pamoja na mama yake kumpendasana, lakini hawezi kumuokoa katika matatizo yote.

Ni Mungu pekee ambaye anatupenda Sisi (kwani yeye ndiyealiyetengeneza upendo kwa ajili ya mtoto katika moyo wa mama), na vilevile ni Mwenye nguvu zote.

"Na waja wangu watakapo kuuliza habari zangu, waambie kuwa Mimi

nipo karibu. Naitikia maombi ya mwombaji anapo niomba. Basi nawaniitikie Mimi, na waniamini Mimi, ili wapate kuongoka". (2:186)

Dini hutoa madhumuni katika maisha.

Kama tujuavyo kwamba idadi kubwa ya wanasayansi hawaaminiMungu na kumchukulia mtu kama kizazi cha kibahati ya maumbile.Hatimaye kwao wao, mtu hana madhumuni katika maisha isipokuwaambacho amekianzisha kwa ajili yake mwenyewe. Lakini dhana yao hiyohuenda kinyume kabisa na ugunduzi wao wenyewe.

Hebu ngoja tuangalie vipi hawa wanaoitwa watu wasomiwanavyosigana wenyewe.

Wanasayansi wa uganga wamechunguza kila sehemu ya mwili wamwanadamu. Sasa wanajua mpango mzima wa mwili, kutoka kwenyesehemu ndogo sana mpaka kwenye sehemu kubwa sana.

Juu ya msingi wa uchunguzi huu wanasema kwamba mwili wabinadamu umetengenezwa kwa matirilioni ya chembe chembe za uhai.Chembe chembe hizi ni za aina nyingi kama vile chembe chembe za damu,chembe chembe za misuli, na chembe chembe za neva. Kila aina yachembe chembe ina sifa maalumu na baadhi kazi makhususi.

Kama viungo maalum vyenye changamano ya hali ya juu kama vilemoyo, figo, mapafu, ini nk. Viungo vyote hivi vina kazi maalum na

27 28

Page 15: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

madhumuni yaliyo fafanuliwa vizuri ya kuwepo kwao.

Swali lazima liulizwe kwa watafiti hawa wa uganga ambao wenyewewameufichua ukweli huu.

Kwamba, kila chembe chembe na kila kiungo katika mwili wamwanadamu vina kazi maalum ya kufanya, basi ni nini kazi maalum yamwili wote wa mwanadamu?

Je, ni busara kuchukulia kwamba, chembe chembe zote, mwili nav iungo v ina madhumuni na kazi , lakin i wanadamu ambaowametengenezwa na chembe chembe na viungo hivi hawana madhumuniyaliyo fafanuliwa vizuri?

Hivyo, mtu mwenye akili ya kawaida atakubali kwamba wakati kilakiungo cha mwili kimepewa kazi maalumu, basi wanadamu vile vile lazimawana madhumuni maalum ya maisha.

Quran tukufu hutufundisha kwa usahihi madhumuni ya Mungu yauumbaji, malengo na shabaha ya kila mwanadamu. Wale ambaohutekeleza madhumuni na kufanya kazi zao husemwa kwamba wanamaisha ya maana.

"Sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi" (51:56)

Hivyo Allah (s.w.t) ametupa mwili kamilifu ambao ndani yake kilachembe chembe na kiungo bila kuchoka hutuhudumia. Katika mwili wetu,mamilioni ya mashine changamano zinafanya kazi kwa ajili yetu kutekelezamahitaji yetu na kutuweka wakakamavu na hai. Mamilioni ya kurasayahitajika kueleza kazi na harakati za mashine hizi ambazo hutuhudumiasaa zote. Mwanafunzi wa uganga huchukua miaka mitano mpaka saba ilikupata tu elimu ya kazi za viungo hivi. Kwa ufupi, hapa tunaeleza tushuguli ya baadhi za viungo:

¤ Mapafu huupa mwili oksjeni na wakati huo huo kutoa kabonidaoksaidi.

¤ Moyo ambao ni pampu yenye nguvu sana, hupiga mara 100,000kila siku kama inavyo pampu lita 4.5 za damu kwa dakika mojakwenye mwili.

¤ Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula husaga chakula tunachokulakwenye viini vyepesi ambavyo vinaweza kutumiwa na chembechembe za mwili.

¤ Mfumo wa mkojo huondoa vitu visivyo takiwa kutoka kwenye damuna kuvimwaga kutoka mwilini.

¤ Mfumo wa neva hurekebisha na kuunganisha harakati za mifumoyote ya mwili na huwezesha mwili kujirekebisha kwenye mabadilikoambayo hutokea ndani yake wenyewe na katika mazingira ya jirani.

¤ Mfumo wa tezi hudhibiti kazi za mwili kwa kuzalisha homoniambazo hufanya kazi kama wahudumu wa kemikali.

¤ Mfumo wa mishipa ya maji una mtandao wa mirija ibebayo majimeupe ya ugiligili yaitwayo limfu. Hukogesha na kurutubishachembe chembe za tishu za mwili.

¤ Mfumo wa kinga, huukinga mwili wakati wote kutokana naugonjwa- unaozalisha jems, virusi na aina nyingine ya viini vyenyemadhara. Chembe chembe zilizowekwa maalum hupinga nakuharibu aina yote ya wavamizi ambao wanaweza kuwa tishio kwaafya yetu.Sasa akili yenye wepesi na kuhisi lazima ifikirie kwamba ni utii ulioje

wa timu ya vyombo vya wafanyakazi katika mwili wetu unaotuhudumiawakati wote kama watumwa watiifu. Yatupasa tujiulize wenyewe, je,hatuwajibiki kumuabudu Allah (s.w.t), ambaye amewaumba na kishaakawafanya watumwa wetu bila malipo.

Wanasayansi ambao walichunguza mpangilio huu waajabu katikamwili kwa macho yao matupu na bado wanakataa kutokuwepo kwaMungu hawastahili chochote bali moto wa jahannamu, ambako wataishimilele kuona matokeo ya ujinga wao mkubwa na kutokua na shukranikusikoelezeka.

Wale ambao hawaamini Mungu muumba watakuwa hawana uwezowa kukamilisha madhumuni ya kuumbwa kwao. Hii ina maana kwambawatu kama hao hawana thamani kabisa, wawe ni wanasayansi wakubwaulimwenguni au marais au watu matajiri. Vitu vyote wanavyomiliki havinathamani kwao kwa sababu siku moja watavipoteza daima dawamu.

29 30

Page 16: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Quran tukufu imeeleza kutokuwa na thamani kwa kazikama hizo.

"Na waliokufuru vitendo vyao ni kama sarabi (mazigazi) Uwandani,Mwenye kiu huyadhania ni maji. Hata akiyaendea hapati chochote. Naatamkuta Allah hapo naye amlipe hisabu yake sawa sawa. Na Allah niMwepesi wa kuhisabu." (24:39)

Hivyo wanasayansi wote wakubwa wa ulimwengu, wakuu wa nchi,mawaziri wakuu na watu matajiri ambao huonekana kuwa watu wakubwasana na wakushangaza ni kama mazigazi katika jangwa kama hawaaminikatika Mungu na amri zake.

KIINI CHA FIKRA:Dini haipaswi kuwa kama alama ya biashara ya mtu. Kama mtu

anafuata dini makhususi, lazima aone faida ya dini hiyo katika maishayake.

Leo wanasayansi wanachunguza kila sehemu ya mwili wamwanadamu kwa ajili ya kujua tu madhumuni yao na kazi zao haswa.Wanajua kwamba kila kiungo kina jukumu maalum la kufanya katikamwili. Je, si jambo la kushangaza, kwamba wanasayansi wale wale ambaowana amini kwa nguvu kwamba kila kiungo katika mwili kina madhumunimakhususi, lakini hawatambui madhumuni yoyote ya wazi ya mwili mzimawa mtu.

Hivyo kukataa kuwepo kwa Mungu maana yake kukataa kila kitu.Mtu ameumbwa katika maumbile ya kuhisi kuwepo kwa Muumba wake.Hisia hii yenyewe ni dini. Uislamu ndio dini ambayo hutafsiri hisia hii yakiasili katika lugha ya mwanadamu.

SURA YA NNE:

UISLAMU NDIYO DINI PEKEE YA

KWELI YA MUNGU.Ingawa wafuasi wa kila dini wanasema kwamba dini yao ndiyo

pekee ya kweli, lakini hakuna mtu mwingine kama Mwislamu awezayekulithibitisha hilo kimantiki.

Hebu ngoja tutoe nukta zenye nguvu katika kuunga mkono imaniyetu ambayo hakuna awezaye kuzivunja chini ya sababu thabiti za kiakili.

1. Waislamu kamwe hawadai kwamba Uislamu ni dini mpya, baliwanaamini kwamba ni dini ya kwanza na ya zamani sana ambayoiliteremshwa kwa mtu wa kwanza na mtume wa kwanza, Adamu(a.s) ambaye alikuja juu ya sayari ya ardhi kwa amri ya Allah (s.w.t.).

2. Waislamu huamini katika msingi wa mafundisho ya Mtume Ibrahim(a.s), Mtume Musa (a.s), Mtume Isa (a.s) na kuonyesha kwambaMtume Muhammad (s.a.w) alikuwa Mtume wa mwisho wa Mitumeyote ambaye alishuhudia na kukamilisha ujumbe wa Mungu. Yaanini kwamba, Mitume wote kutoka Hadhrat Adamu (a.s) mpaka kwaHadhrat Muhammad (s.a.w) wana imani za msingi ule ule.

3. Quran Tukufu ni Kitabu pekee cha Mungu ambacho mpaka sasakiko katika muundo wake wa asili na kamwe hakijabadilishwa hatakidogo au kuchanganywa na mambo mengine au kufanyiwa uovukatika njia yoyote ile. Hakuna kitabu kingine kinacho daiwa kamakitabu cha Mungu kinachopatikana katika muundo wake wa asili aukatika lugha ile ile ambayo kwayo iliteremshwa (isipokuwa Qur'antu).

4. Uislamu hujumuisha kila kipengele cha maisha ya mwanadamu nahutoa ulinzi kamili katika kila eneo la masilahi ya mwanadamu. Unamfumo kamili wa ustawi wa maisha. Hakuna dini nyingine iliyo namwenendo huu wa sheria za jamii.

5. Imani za msingi na sheria za jamii za Uislamu kamwe hazigongani

31 32

Page 17: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

zenyewe kwa zenyewe. Vile vile, imani za msingi na msingi wamafundisho ya Uislamu na ukweli uliothibitishwa wa kisayansihuonyesha kupatana na kila moja. Ukweli huu ni kinyume kwa dininyingine za ulimwengu.

6. Uislamu unatueleza kwa uwazi kabisa, tumetoka wapi, kwa nini tukohapa, na hatimaye tutakapo kwenda. Uislamu kwa uwazi hufafanualengo la kuumbwa kwetu na madhumuni ya maisha yetu. Dininyingine zote hazijibu maswali haya ya msingi kwa uwazi.

7. Uislamu ni dini ya pekee ya kweli yenye kuamini Mungu mmojaambayo hutufundisha kuamini katika umoja kamili wa Mungu.

8. Wakristo wanadai kwamba wanaamini katika Mungu mmoja, lakinivile vile wanamini katika utatu, yaani, wasema 1+1+1=1 ambayo siosahihi. Halikadhalika, Wahindu wanadai kwamba wao vile vilewanaamini katika Mungu mmoja lakini wanaabudu miungu mingi.Sasa tutathibitisha kwamba mafundisho ya asili ya dini ya Wayahudi,

Ukristo na dini nyingi nyingine hushuhudia imani za msingi za Uislamu.Dini hizi sasa ni tofauti kwa sababu zimebadilishwa na watu ili kutekelezahaja zao wenyewe.

Dini ya asili ya Wayahudi na Ukristo huthibitishaUislamu.¤ Wafuasi wa dini ya Wayahudi wanajulikana kama Wayahudi.

Dini ya Wayahudi katika muundo wake wa asili si chochote bali niUislamu. Wayahudi bado wanamwamini Hadhrati Musa (a.s) ambayealikuwa mjumbe wa kweli wa (Mungu) Allah (s.w.t).

Jina la Hadhrati Musa (a.s) limetokea mara 136 katika sura tofauti 37za Qurani Tukufu. Hadhrati Musa (a.s) ni miongoni mwa Mitume watanowakubwa. Allah (s.w.t) amependezewa na juhudi za unyofu wake namchango mkubwa katika Qurani Tukufu.

"Na mtaje Musa katika Kitabu. Hakika yeye alikuwa ni mwenye

kuchaguliwa na alikuwa Mtume, Nabii". (19:51)

Hadhrati Musa (a.s) alihubiri kwenye taifa lake Amri kumi, ambazozinaelezewa katika Qurani Tukufu. Aliwafundisha watu wake kwamba,hakuna Mungu isipokuwa Allah na mimi (Musa) ni mjumbe wake.

Kama ambavyo Qurani Tukufu ilivyo teremshwa kwa MtumeMuhammad (s.a.w), Tawrati iliteremshwa kwa Hadhrati Musa (a.s). QuranTukufu imethibitisha kwamba Tawrati ilikuwa kitabu cha kweli cha Munguambacho kiliteremshwa kwa Mtume Musa (a.s).

"Amekuteremshia kitabu kwa haki, kinachosadikisha yaliyokuwa kablayake. Na aliteremsha Taurati na Injili". (3:3)

"Hakika sisi tuliteremsha Taurati yenye uwongofu na nuru…." (5:44)

Lakini leo vitabu vya kidini vya Wayahudi, vitabu vitano vya Biblia,ambavyo vinaitwa Pentateuch au Agano la kale au Tawrati, sio kitabukilekile ambacho kiliteremshwa kwa Hadhrati Musa (a.s).

Hivyo Waislamu wanaamini kwamba Tawrati, kitabu cha dini chaasili cha Wayahudi, ni kitabu cha kweli cha Mungu ambacho kiliteremshwakwa Hadhrati Musa (a.s) kutoka kwa Allah (s.w.t) lakini hawatambuiTawrati iliyopo sasa kama kitabu cha Mungu kwa vile kimebadilishwa.

Ni muhimu kufahamu kwamba baadhi ya hadithi za Hadhrati Musa(a.s) ambazo hazibadiliki, ambazo Wayahudi hawakuweza kuzibadilisha naambazo bado wanazitekeleza, zimo katika Uislamu. Kwa mfano:

a) Wayahudi bado wanafanya ukeketaji (utahiri)ambayo pia ni lazimakatika Uislamu (kwa wanaume tu).

b) Wayahudi hawali Nguruwe ambayo pia imekatazwa sana katikaUislamu.

c) Wayahudi hawali kamba, na aina nyingine wa chaza au kobe.

33 34

Page 18: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

d) Wayahudi wanafuata vitendo fulani vya uchinjaji wa Ki-Islamu.e) Viongozi wa kidini ya Kiyahudi (Rabbi) wanafuga ndevu na kufunika

vichwa vyao.f) Wayahudi hutekeleza taratibu za mazishi kwa haraka iwezekanavyo.

Inashangaza kuona kwamba Wakristo, ambao vilevile humtambuaHadhrati Musa (a.s) kama Mtume wa Mungu na huichukulia Tawrati kamasehemu ya Biblia yao, hawafuati sheria yoyote hapo juu.

Wayahudi vilevile humuamini Hadhrati Ebrahim (a.s), Mtumemkubwa wa Uislamu na babu (mhenga) wa mtukufu Mtume wa Uislamu,Hadhrati Muhammad Mustafa (s.a.w).

Mjukuu wa Hadhrati Ibrahim (a.s) alikuwa ni Hadhrati. Yakuub (a.s),ambaye vile vile aliitwa Israil. Alikuwa na watoto 12. Waliasisi makabila 12ambayo yamekuwa Wana Israili. Kwa kipindi cha muda, wengi wao (kizazicha Hadhrati Yakuub) waliloea katika nchi ya Misri, ambako hatimayewalikuwa watumwa. Katika miaka ya 1200 BC, Hadhrati Musa (a.s)aliwakomboa kutoka kwenye utumwa wa Firauni na akawatoa Misri nakuwapeleka Cannon (Palestina).

Ni bahati mbaya kwamba wafuasi wa Hadhrati Musa (a.s) na kizazicha Hadhrati Yakuub (a.s) na Hadhrati Ibrahim (a.s) walikuwa maaduiwakubwa wa mtukufu Mtume (s.a.w)

∙ Halikadhalika wafuasi wa Ukristo wanajulikana kamaWakristo.

Wakristo wanadai kwamba Ukristo umetegemea juu ya maisha namafundisho ya Hadhrati Isa (a.s) (Yesu) (a.s). Wanaamini kwamba Mungualimtuma Hadhrati Isa (a.s) kama muokozi wa wanadamu.

Lakini Ukristo katika muundo wake wa asili haukuwa chochote balini Uislamu. Hadhrati Isa (a.s) aliwafundisha watu wake kwamba Mungu nimmoja na hana mshirika, hana mtoto, hana baba na kwamba yeye nimjumbe wake. Leo Wakristo wanaanimi kwamba Hadhrati Isa (a.s) nimtoto wa Mungu na ni sehemu ya Mungu. Wanamuita Bwana waulimwengu na kumshirikisha na Mungu. Hivi ni kinyume kabisa na ukweli

na mafundisho ya asili ya Hadhrati Isa (a.s).

Quran hutuambia kwa ukweli kabisa kwamba Hadhrati Isa (a.s)hakusema kile wanachoamini Wakristo, bali alisema kile Waislamutunachoamini.

Quran vilevile huthibitisha kwamba wafuasi wa kweli wa Hadhrati Isa(a.s) walikuwa Waislamu.

"Na nilipowafunulia wanafunzi kwamba waniamini Mimi na MitumeWangu, wakasema: Tumeamini na shuhudia kuwa sisi ni Waislamu".(5:111)

Na pale Allah atakaposema: Ewe Isa bin Mariamu, je, wewe uliwaambiawatu: nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Allah?(Na Isa) atasema: Utukufu ni Wako, vipi mimi ningesema kile ambachosina haki nacho? Kama nimethubutu kusema hivyo, kwa hakika ungelijuahilo. Wewe unajua yaliyo ndani ya nafsi yangu, lakini mimi siyajui yaliyokatika nafsi Yako. Hakika Wewe ndiye Mjuzi mkubwa wa yaliyofichikana.Sikuwaambia lolote ila uliyo niamrisha , nayo ni: Muabuduni Allah, Mola

35 36

Page 19: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

wangu na Mola wenu. Na mimi nilikuwa shahidi juu yao nilipokuwa nao.Na uliponifisha ukawa Wewe ndiye Muangalizi juu yao. Na Wewe nishahidi juu ya kila kitu. Ukiwaadhibu basi hao ni waja Wako. Naukiwasamehe, basi Wewe ndiye Mwenye nguvu na Mwenye hekima.[Qur'an 5:116-118]

Hii huonyesha kwamba dai la Wakristo kwamba wanafuatamafundisho ya Hadhrati Isa (a.s) sio sahihi. Hadhrati Isa (a.s) kamwehakuwafundisha kile wanachoamini Wakristo leo.

Hivyo wafuasi wa kweli wa Hadhrati Isa (a.s) siyo Wakristo bali niWaislamu. Waislamu vile vile huamini kwamba Injili kilikuwa kitabu chaMungu ambacho kiliteremshwa kwa Hadhrati Isa (a.s) kutoka kwa Allah(s.w.t).

Biblia ya sasa (agano jipya) ambayo Wakristo wanaamini kamakitabu cha Mungu siyo kitabu cha asili cha Mungu (Injil) ambachokiliteremshwa kwa Hadhrati Isa (a.s).

Hivyo, Waislamu huamini kwa nguvu kwamba Hadhrati Isa (a.s)alikuwa mjumbe wa kweli wa Allah (s.w.t) ambaye alifundisha imani zamsingi na mafundisho ya Uislamu. Leo Wakristo wanafanya mambomengi ambayo ni kinyume kabisa na mafundisho ya Hadhrati Isa (a.s).Kituo cha kidini ya Ukristo ni Roma, ambacho kamwe hakijawahikutembelewa na yeye (Yesu). Hivyo historia huonyesha kwamba Ukristohauna mafungamano na Hadhrati Isa (a.s) na msingi wa mafundisho yake.

Hivyo, wote Wayahudi na Wakristo wanadai kwamba dini zaozimetegemezwa juu ya umoja wa Mungu, lakini hawaamini katika umojakamili wa Mungu. Quran inaonyesha:

"Na Wayahudi wanasema: uzeri ni mwana wa Mungu, na Wakristowanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa

vinywa vyao: wanayaiga maneno ya waliokufuru kabla yao. Allahawaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!". (9:30)

Dini nyingine kama Uhindu, na Uzoroasti nk, zimebadilishwa vibayamno kiasi kwamba ni vigumu kufuatilia na kujua asili zao. Hatuwezikusema kitu chochote kuhusu asili ya mafundisho na asili ya imani zao.

Ubudha, Ujaini, Ukonfusia, Ushinto, na Usikh ni fikira za akili zabinadamu na haziwezi kuchukuliwa kama dini ya Mungu.

37 38

Page 20: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

SURA YA TANO.

NINI MAANA YA NENO UISLAMU?Uislamu ni neno la Kiarabu. Lugha ya kiarabu ina utajiri mkubwa wa

msamiati ambao ndani yake neno moja lina maana nyingi tofauti. NenoUislamu vile vile lina maana nyingi kama:

1. Kusalimu amri kusiko na masharti2. Kujisalimisha kabisa3. Utii kamili4. Kujitoa kikamilifu5. Amani kamili

Tunaweza tukazihusisha maana hizi tofauti pamoja na kutoa tafsirinyepesi na sahihi ya Uislamu.

Maana ya Uislamu:Kujisalimisha kabisa kwenye utashi wa Allah (swt) pamoja na kujitoa

kikamilifu katika utii kamili kwenye sheria zake. Usafi huu wa nafsi utaletaamani kamili. Hii ina maana kwamba mwanadamu hawezi kupata amanikamili katika ulimwengu huu bila kujisalimisha kabisa kwa Allah (swt).

Leo tunaona kwamba hakuna amani katika ulimwengu. Umoja wamataifa, na mashirika mengine makubwa kama haya yanafanya juhudikupata amani lakini yameshindwa katika juhudi zao hizo. Sababu yenyeweni nyepesi sana yaani, amani haiwezi kupatikana bila kujisalimisha kabisakwa Allah (swt).

Hivyo, Uislamu huhakikisha amani ya kudumu, furaha na utulivuvitu ambavyo mwanadamu anavitafuta.

Hivyo Uislamu ndiyo jibu pekee la tatizo letu la msingi. Kamawanadamu wote kwa unyofu na kwa moyo wote wangeukubali Uislamu,basi ulimwengu ungelikuwa pepo.

Waislamu ni nani?Maana ya Mwislamu ni mtu ambaye kwa fikra na kwa makusudi

hujisalimisha mwenyewe kwenye utashi wa Allah (swt). Wale ambao kwaakili na kwa imara huamini katika Uislamu na kwa unyofu hutekelezamafundisho yake wanajulikana kama Waislamu.

Kuna Waislamu wengi katika ulimwengu ambao ni Waislamu tu kwasababu wamezaliwa katika familia ya Ki-Islamu, kuwa na jina la ki-Islamu,na kufuata baadhi ya mila za Ki-islamu katika ndoa na shuguli za mazishi.Lakini wanaishi kama wanavyoishi wengine na kufanya chochote kinachowapendeza ili kutafuta starehe za kidunia.

Wanaonyesha mhemuko wa hisia fulani kwa Mtume (s.a.w) namaimamu lakini hawafuati mafundisho yao. Uislamu huwachukulia watuhao kama Waislamu katika ulimwengu huu kwa manufaa ya Waislamu wakweli, lakini (Uislamu) hautawatambua kama Waislamu baada ya kifochao.

Ili kuwa Mwislamu, Quran huhitaji kabisa utii kamili na utekelezajiwa msingi wa kujihusisha kwa dhati wa kujisalimisha kabisa kamailivyoandikwa katika shahadah.

"Haiwi kwa Muumini mwanaume wala muumini mwanamke kuwa nakhiari, Allah na Mtume Wake wanapokata shauri katika jambo lao. Namwenye kumuasi Allah na Mtume Wake, basi hakika amepotea upotofuulio wazi". (33:36)

Mtu aliyezaliwa Mwislamu hana ubora juu ya Mwislamu

aliyezaliwa si MwislamuQuran imeweka wazi kabisa kwamba hakuna dini nyingine

isipokuwa ni Uislamu tu utakaokubaliwa na Allah (swt) katika siku yahukumu.

"Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake, NayeAkhera atakuwa miongoni mwa wenye hasara". (3:85)

39 40

Page 21: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Je, hii ina maana kwamba wasiokuwa Waislamu wote kimsingihawafai na hawastahiki pepo kwa sifa ya kuzaliwa kwao? Na kwambaWaislamu wote wana viti vilivyo andaliwa katika Jannat kwa sababu tuwalizaliwa katika familia ya Ki-Islamu?

Kama hii ni kweli, basi wote wasiokuwa Waislamu watajitetea katikasiku ya hukumu: "Ewe, Mungu, wewe ni Mwadilifu na usiyependelea.Kosa letu ni nini kama hatukuwa Waislamu. Tulizaliwa katika familiaisiyokuwa ya Ki-Islamu kwa utashi wako na siyo kwa hiari yetu.Tulijifundisha na kutekeleza dini ya baba zetu kwa sababu ilifundishwa nawazazi wetu. Hii ndiyo sababu tulikuwa Wahindu, au Wakristo auWayahudi na kufa kama wasio Waislamu".

Utetezi huu utapata nguvu kama tutalichukulia suala lifananalo,sambamba ambapo jirani wa asiyekuwa Mwislamu ni Mwislamu kwasababu tu alizaliwa katika familia ya Ki-islamu. Kama Mwislamu yuleataonekana kustahiki kuingia Jannat (pepo) kwa sababu tu alilelewa katikamazingira ya Ki-islamu na kufa kama Mwislamu. Basi swali litakuja: Ni kwasababu ipi kwamba asiyekuwa Mwislamu anaadhibiwa na jirani yakeMwislamu anazawadiwa malipo wakati walifuata tu dini ya baba zaowanaohusika.?

Kwa ujumla mtoto hukubali dini ya wazazi wake yaani, mhindu nimhindu kwa sababu baba yake alikuwa mhindu, mkristo ni mkristo kwasababu wazazi wake walikuwa wakristo, na pia Mwislamu ni Mwislamukwa sababu wazazi wake walikuwa Waislamu.

Hivyo kwa nini asiyekuwa mwislamu apaswi kuadhibiwa naMwislamu asitahiki kupata malipo wakati wote mwanzo hawakuchangiakatika dini ya kweli au ya uwongo. Hili ni swali ambalo limewachanganyawatu wengi. Ni dhahiri huonekana kuwa swali sahihi, lakini hoja hiiimetegemea juu ya dhana potofu.

Tunayo dhana ya makosa sana kwamba wale wote ambaowanazaliwa katika familia ya Ki-Islamu ni Waislamu na wale ambaowanazaliwa katika familia isiyokuwa ya Ki-Islamu kimsingi hawawezi kuwaWaislamu. Hii siyo kweli. Ukweli ni kwamba, iwapo mtu ni Mwislamu wakuzaliwa au asiye Mwislamu kwa kuzaliwa, anao uwezo wa kuzaliwakuutambua ukweli. Quran imeweka wazi kwamba kila mtu amefundishwamsingi wa kweli kabla ya kuzaliwa kwake ili kwamba asije akatoa sababuzozote zile kwamba alizaliwa katika familia isiyokuwa ya Ki-Islamu au

kwamba alikuwa haijui hali yote kabisa.

Aya 172 na 173 za Sura Aaraf zinathibitisha kwamba kila mtuanazaliwa na aina fulani ya hulka ya ujuzi ambayo kwamba anawezakudhihirisha ukweli na uwongo.

"Na pale Mola wako alipowaleta katika wanadamu kutoka migongonimwao kizazi chao, na akawashuhudisha juu ya nafsi zao, akawaambia: Je,Mimi si Mola wenu? Wakasema kwani! Tumeshudia (kwamba ni Wewe).Msije mkasema siku ya kiyama sisi tumeghafilika na hayo". (7:172)

"Au mkasema: Hakika baba zetu ndio walioshirikisha kabla yetu, na sisi nikizazi chao tu baada yao. Basi utatuangamiza kwa waliyo yafanyawapotofu? (7:173)

Wanachuo wa ki-Islamu wakimnukuu Mtukufu Mtume (saw) naMaimamu (as) wameelezea matukio ya agano hili katika vitabu tofauti.Maelezo kamili ya hadithi hii ni kama ifuatavyo:

Tukio ambalo Qur'an inalitaja katika aya mbili hapo juu, lilitokeawakati fulani katika umbali wa zama uliopita yaani, kabla ya kuzaliwa kwamtu. Allah (swt) aliwakusanya wanaadamu wote ambao walikua katikakizazi cha Adam (as) katika umbo dogo mno la chembechembe naakawataka kushuhudia imani yao Kwake (swt). Binadamu wote katika halihiyo walithibitisha kwamba wanaujua ukweli kwa kusema, "Tunashuhudiakwamba Wewe ni Mola wetu".

Ushuhuda huu kiisha ulidukizwa katika kila nafsi. Kila nafsiinayozaliwa iwe ni katika familia ya Mwislamu au isiyo ya Mwislamu. Hujana ujuzi huu wa kuzaliwa unatosheleza kuupata ukweli na kuukataauwongo. Hivyo, wanadamu wote, awe amezaliwa katika familia ya

41 42

Page 22: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

ki-Islamu au isiyo ya ki-Islamu wametayarishwa sawa sawa kuupata ukwelina kwa hiyo wana wajibu ulio sawa kwa kile wanachoamini bila kujali usuliwa utu wao.

Katika kiwango cha Uislamu, mtu hapati sifa ya kuitwa Mwislamukwa sababu tu amezaliwa katika familia ya ki-Islamu. Ni kwa sababu tu yamanufaa katika mishughuliko ya kijamii kwamba Uislamu hutambua kilaMwislamu wa kuzaliwa kama Mwislamu. Lakini kigezo cha msingi kwamtu yeyote cha kuitwa Mwislamu ni kwamba ametambua kwa akili dhanaza msingi za Uislamu na ufahamu wa kutekeleza sheria za Ki-Islamu.

Hii ina maana kwamba Mwislamu ni mtu ambaye imani yakeimetegemea juu ya utafiti wake na ujuzi wa kina wa Uislamu. Hakurithiimani yake kutoka kwa baba yake, lakini anautambua ukweli na kuukubalikwa sababu ya ubora wake. Pamoja na ufafanuzi huu katika akili, hatuonitofauti yeyote kati ya mtu ambaye amezaliwa katika familia ya Ki-Islamu auisiyo ya Ki-islamu. Kila mtu awe amezaliwa katika familia ya ki-Islamuanatakiwa kiasi kile kile cha juhudi kuupata ukweli.

Katika siku ya hukumu, kila mtu atahukumiwa kwa haki juu yamsingi wa juhudi za unyofu na fikira. Hivyo Waislamu wengi ambaowalikua Waislamu kwa sababu tu ya kuzaliwa kwao na siyo kwa utafitiwao na ujuzi watajikuta wenyewe miongoni mwa wasiokuwa Waislamu.

Kigezo cha msingi wa Uislamu ni Shahadah. Mtu anakuwaMwislamu wakati akitamka Shahadah, ambayo inasema: "Nashuhudiakwamba hakuna mungu ila Allah na nashuhudia kwamba Muhammad nimja na Mjumbe wake".

Neno ushuhuda huonyesha kwamba amekubali Uislamu kwahadhari na siyo kwa kufuata tu Kimbumbumbu. Mahitaji ya awali ya shartila ushuhuda wa sawasawa ni kwa ujuzi wa elimu. Tatizo linakuwakwamba Waislamu wengi hutamka tu Shahadah bila kuielewa maana namahitaji yake. Kama tukichambua kwa urahisi tu neno ushuhudalililotumika katika Shahadah, basi kosa katika kuelewa linawezakutambuliwa kwa urahisi.

Swali la nani anastahiki kuwasilisha kama mshuhuda siyo gumukulijibu. Sisi wote tunajua vizuri sana kwamba siku zote mshuhuda(shahidi) anategemea juu ya ushahidi.

Kwa mfano, mtu anasimama katika mahakama kama shahidi katika

kesi ya mauaji. Jaji atamtaka kutoa ushahidi katika kuunga mkono maelezoyake. Kama akishindwa kufanya hivyo, basi jaji atamuuliza sababu ambazoanamzania Bw.XYZ kwamba ametenda mauaji hayo. Sasa anajibukwamba hajui chochote kuhusu mauaji haya isipokuwa baba yake ndiyealiyemuambia. Jaji ataendelea kumuuliza: je, baba yako alimuonamshitakiwa akihusika katika mauaji? Anajibu: la, nafikiri baba yanguameyasikia kutoka kwa baba yake.

Nini itakuwa hukumu ya mahakama?Kwa hakika mahakama itakataa maelezo yake, kusema kweli,

anastahili adhabu kwa kudharau mahakama. Shahidi ambaye hushuhudiauwongo ana hatia ya jinai ya kosa la kusema uwongo (baada ya kuapakusema kweli) na anaweza akaadhibiwa vikali.

Hivyo, wale Waislamu wote ambao hudai kuwa Mwislamu bilaushahidi wowote wa nguvu katika kuunga mkono imani yao, yaani, bilautafiti wowote na ujuzi wa kina ambao kwamba wanaweza kuthibitishaimani yao, hao sio Waislamu.

Katika siku ya Hukumu, kama wasio Waislamu watawajibishwa kwakutokuukubali ukweli, basi na Waislamu kwa hakika vilevile wataulizwakuhusu namna walivyoukubali ukweli.

Hii ndiyo sababu suala la elimu katika Uislamu ni lazima (wajibu)kwa kila mwislamu mwanaume na mwanamke. Lakini wengi wetutunalichukulia ni jambo la kawaida.

KIINI CHA FIKRANENO LA MUNGU: "Islamu" limejaa mambo ya mafundisho yake.

Huhitaji kutoka kwa wafuasi-amani, usafi, kujisalimisha na utii. Hivyo, niwale ambao hufanya msimamo mkali kwa kujisalimisha kabisa kwenyeutashi wa Allah (swt) kwa kutii sheria zake.

Kila kitu cha kimwili katika ulimwengu kimetengenezwa na atom. Niimani ya nadharia ya Wanasayansi wote kwamba atom zote, yaani kila kituulimwenguni, hasa hasa hutii Sheria za kimaumbile, Wanasayansi wenginehawaamini kuwepo kwa Allah na kuziita Sheria zake kama Sheria zamaumbile. Hivyo, ulimwengu wote hutizamwa katika hali ya Uislamu.

43 44

Page 23: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Je! Hawavioni vitu alivyoviumba Allah - vivuli vyao vinaelekea kushotonina kuliani, kumsujudia Allah na vikinyenyekea?" (16:48)

"Na vyote vilivyomo mbinguni na katika ardhi tangu wanyama mpakamalaika, vinamsujudia Allah na wala havitakabari". (16:49)

Katika viumbe wake wote, Allah (s.w..t) amewapa tu aina mbili yaviumbe Wake-yaani watu na majinni hiyari katika kuhusiana nakujisalimisha kwenye utashi wake. Allah (s.w.t) amemuandaa mtu na akiliili kuchukuwa uwamuzi sahihi. Wale ambao wamehiyari kujisalimishakwenye utashi wake na kutii Sheria zake wanaitwa Waislamu.

Vipi watu wa usuli tofauti wanaweza kutegemea kuukubali Uislamu?

Quran inalo jibu swali hili:

"Basi uelekeze uso wako sawa sawa kwenye Dini- ndilo umbile ambalokwalo Allah alilowaumbia watu. Hakuna mabadiliko katika uumbaji waAllah. Hiyo ndiyo Dini iliyonyooka sawa sawa. Lakini watu wengi hawajui".(30:30)

Hivyo Quran hutuambia kwamba wanadamu wote wamepigiwamuhuri utambuzi wa Allah (s.w.t) katika nafsi zao, ikiwa ni sehemu yaokabisa ya maumbile ambayo kwamba wameumbwa nayo. Kila mtotoanazaliwa na imani ya asili katika Allah (sw.t) na mwelekeo wakumuabudu yeye peke yake katika njia ambayo Uislamu imewafundishawafuasi wake. Hii inajulikana kama maumbile au fitrah.

Mtukufu Mtume (s.a.w) amesema:"Kila mtoto anazaliwa katika hali ya fitrah, kisha wazazi wake

humfanya Myahudi, Mkristo au Mzoroast".

Hivyo siyo vigumu kwa mtu kugeuka na kuelekea kwenye asili yakehalisi, kama akifanya juhudi za maana. Wajibu wa kuweka juhudi zamaana ni kigezo kikubwa cha mwisho cha wanadamu wote.

45 46

Page 24: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

SURA YA SITA

TAWHID - UMOJA WA MUNGUKuna imani TANO za msingi wa Uislamu. Katika istilahi za Ki-Islamu

tunaziita Usul Din. Yaani Misingi ya Uislamu. Mtu yeyote ambaye anamashaka kidogo katika imani hizi za msingi au kuzikubali bila kuelewa,huyo sio Mwislamu wa kweli. Kanuni za msingi wa Uislamu ni kamazifuatazo:

1. Tawheed - Tawhid2. Adil - Uadilifu3. Nubwat - Utume4. Imamat - Uimamu5. Qiyamat - Siku ya malipo

MIZIZI YA UISLAMUNi muhimu kujua maana na kupata kuelewa vizuri hizi kanuni za

msingi wa Uislamu.

Tawhid ni nini?Tawhid ni msingi mkubwa zaidi wa kanuni za Uislamu. Uislamu ni

dini pekee ambayo hufundisha dhana halisi na kamili ya umoja waMungu ambayo haikuchanganywa na kitu duni, na hauafikiani na utaifa,ubaguzi, ushirikina, utatu, ibada ya mawalii, ibada ya masanamu aukumfikiria yeyote kwa njia yoyote kuwa yuko sawa na Mungu au sehemuya Mungu.

Dhana ya tawhid ina sehemu mbili zisizotengana:

1. imani katika kuwepo kwa Mungu2. imani katika umoja kamili wa Mungu

Wale ambao hawaamini katika kuwepo kwa Mungu wanaitwawakana Mungu. Katika istilahi za Ki-Islamu tunawaita makafir na mulhid.

Na wale ambao hawaamini katika umoja kamili wa Munguwanaitwa waabudu miungu mingi. Katika istihali za ki-Islamu tunawaitawatu kama hawa Mushrik (washirikina).

Wote Mulhid na Mushrik ni watu walio laaniwa zaidi, na hatima yamwisho wao ni moto wa jehannam milele.

Hivyo, kitu muhimu sana kinachohitajika ili kuwa Mwislamu nikwamba mtu lazima aamini katika kuwepo kwa Mungu na vile vile katikaumoja Wake kamili.

Mafundisho ya msingi zaidi ya Uislamu ni kwamba ulimwengu nakila kitu ndani yake, kama vile, moto, sayari, mwezi, milima, bahari, miti,wanyama, watu na mabilioni ya mambo mengine yenye kuonekena navitu visivyo onekana vilivyoenea ulimwenguni, vimeumbwa na Allah (SWT)peke yake bila msaada wowote kutoka kwa yeyote.

Kuzungumza kimahesabu, kitu chochote kingine kuliko yeye niuumbaji wake. Qur'an tukufu imeelezea uzuri sana maana ya Tawhidkatika sura al-Ikhlas ambayo vilevile hujulikana kama sura at-Tawhid.

Sema: Yeye Allah ni wa Pekee, Allah mkusudiwa. Hakuzaa walahakuzaliwa. Wala hana anayefanana naye hata mmoja. (Surah 112)

Sura hii kwa usahihi hutuambia kwamba, hakuna wa kulinganishwa

47 48

Page 25: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

au wa kufananishwa na Yeye. Katika sura ash-Shura, Qura'ni inaelezeaukweli uleule katika namna nyepesi.

"…Hapana kitu kama mfano wake…" [Qur'an 42:11]

KUWEPO KWA MUNGUTawi maalumu la Theologia ya ki-Islamu, lijulikanao kama ilm-ul'

Kalam hushughulika na somo hili katika maelezo kamili. Lakini, je kunahaja yeyote ya kujadili kuwepo kwa Mungu? Je, tunajali taarifa kama hizozilizo wazi kama vile tuna vidole vitano? Je, tunahoji vitu vilivyo dhahirikama vile kwanini kuna mwanga wakati wa mchana na giza wakati wausiku? HAPANA! Kwa kweli hatujadili mambo mepesi kama hayo. Basisuala la kuwepo kwa Mungu vilevile ni ukweli ulio wazi ambao hauhitajimdahalo wowote au mijadala mirefu.

Qur'an vilevile huliona kama suala la ushahidi wa kujitosheleza.

"Mitume wao wakasema: Ati pana shaka na Allah, Muumba mbingu

na ardhi? Yeye anakuiteni apate kuwafutia madhambi yenu, na akupenimuhula mpaka muda ulio wekwa. Wakasema: Ninyi si chochote ila niwanadamu kama sisi. Mnataka kutuzulia na waliyokuwa wakiabudu babazetu. Basi tuleteeni hoja iliyowazi. (14:10).

Qur'an inazitingisha zaidi bongo zilizoganda : "Je, haitoshi kwambaMungu wako ni uthibitisho wa vitu vyote?.

Huu ni uthibitisho unaopendeza wa Qur'an wa kuwepo kwaMungu. Hivyo, mtu makini na mwenye akili humuona Mungu kuwa niuthibitisho wa vitu vilivyopo, siyo vitu vilivyopo kuwa ni uthibitisho waMungu.

Hivyo, Haipaswi kuwa na mashaka katika kuwepo kwa Mungu na

hakupaswi na kuwa na haja ya aina yeyote ya kubishana kirefu.Tunachohitaji kwa kweli ni kuimarisha imani katika Mungu. Kwa sababu hiiQur'an huwahimiza waumini kutafakari katika uumbaji wa Allah (s.w.t).

Hata hivyo, tunaishi katika zama zenye mashaka, ambako watuwanakataa ukweli ulio wazi. Kwa sababu hii, tunajadili kuwepo kwaMungu kutoka pembe mbalimbali na kwa urefu wa kuridhisha

Je, Sayansi inathibitisha kuwepo kwa Mungu?Historia ya sayansi hutuambia kwamba mtu anahamu ya kuzaliwa ya

kupata elimu. Hamu hii inatokana na hamu kubwa ya kujua kuhusuMuumba wake. Wanachuoni wengi wanaamini kwamba harakati za mtukupata elimu huanza pamoja na juhudi ya kumuelewa Mungu.Wanasayansi wote wana amini kwamba lengo la utafiti wa kisayansi nikutaka kujua ukweli. Hivyo kila juhudi ya sayansi katika utafiti wa kisayansi utathibitisha kuwepo kwa Mungu kwasababu ni ukweli ulioneapote.

Qur'an huwalingania watafit i wote katika fani zao husika zautaalamu kutafakari katika uumbaji wa Allah ili kuthibitisha kuwepo kwakena umoja wake.

"Hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na kuhitalifiana usiku namchana, na marikebu ambazo hupita baharini kwa viwafaavyo watu, namaji anayoyateremsha Allah kutoka mbinguni, na kwa hayo akaihuishaardhi baada ya kufa kwake, na akaeneza humo kila aina ya Wanyama; nakatika mabadiliko ya pepo, na mawingu yanayo amrishwa kupita baina yambingu na ardhi, bila shaka zimo ishara kwa watu wanaozingatia". (2:164)

Karibu kila nidhamu ya sayansi imeshugulikiwa katika aya hii fupi yaQur'an tukufu. Ni kweli leo, kuwepo kwa Mungu ni wazo la kawaida lawanasayansi wote wanaofanya kazi katika maeneo tofauti ya sayansi.

49 50

Page 26: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Jinsi gani ya kuthibitisha kuwepo kwa Mungu katika kiwango cha shule?

Kuwepo kwa Mungu kuko wazi mno na huonekana kiasi kwambainaweza kuthibitishwa kwa kusadikishwa katika viwango vyote.

Wakati mwalimu wako wa kemia akikuambia kuhusu muundo waatom, anakufundisha kwamba baadhi ya chembe ndogo zijulikanazo kamaelektroni zinazunguuka karibu na nyukilia. Unapaswa umuulize swalijepesi, Bwana; Nani aliyeanzisha mwendo wa elektroni?

Kwa sababu mwalimu wako wa fizikia anakufundisha kwamba IsaacNewton anasema katika kanuni ya kwanza ya mwendo, kwamba hakunakinachoweza kutembea mpaka mtu fulani akifanye kitembee.

Hivyo ikiwa elektroni zinatembea katika mzingo wao husika, basinani kazifanya zitembee?

Je,mwanasayansi yeyote amekueleza kuhusu aina yoyote ya kaniambayo imezileta electron hizi kwenye mwendo?

Hapana, bila ubishani wowote kila mtu anasema "HAPANA". Basielektroni zilianza vipi kuzunguuka karibu na nyuklia katika mzingo waohusika? Jibu la swali si lolote, bali kile tunachokufundisha katika Tawhid.

"Allah! Hapana mungu isipokuwa Yeye. Yeye ana majina mazurikabisa".(20:8)

Fizikia na kemia zote zina kufundisha kwamba huwezi kuelezeamuundo wa atomi na kanuni ya kwanza ya mwendo kwa ukamilifu bilakuamini katika Tawhid.

Hiyo kila kitabu cha Sayansi, na kila ugunduzi wa wanasayansihutufundisha jinsi gani Mola wetu alivyo mkubwa; ambaye ameumbakila kitu kilichopo katika ulimwengu.Mwili wa mwanadamu ni maajabu yauumbaji wa Allah (S.W.T). Kila sehemu ya mwili, kwa utukufu wa Munguimekokotolewa kikompyuta kwa kufanya kazi mahususi. Kwa mfano,moyo ni musuli usiochoka, wenye nguvu ambao hufanya kazi saa zote.Unapampu lita 4.7 za damu mwilini kila dakika. Yaani lita7,600 za damukatika siku moja. Mamilioni ya kurasa hayatoshi kuelezea sehemu muhimu

za mwili na vifuasi vyake.

Hivyo fizikia, kemia na biolojia kwa uwazi huelezea kuhusu ukweliwa Mungu. Kwa hiyo, sayansi kwa kutosheleza huthibitisha kuwepo naumoja wa Mungu.

MAZOEZI YA UBONGO:Kama tunaona mwanga wa jua, kwa kukubalika tunathibitisha

kuwepo kwa jua bila kuliona. Kama tunaona gari limeegeshwa katikamsitu, kwa hakika tunahitimisha kwamba mtu fulani amelileta hapa kwakusudio la wazi. Kama hatuwezi kumpata karibu, bado tutaamini kwambamtu fulani amelileta hapa. Kama tukiangalia viti na madawati vimepangwavizuri kwa mpango katika chumba, na ubao wa kuandika pamoja na chakina futio, kwa kuamini tunachukulia kwamba hicho ni chumba cha darasakwa ajili ya wanafunzi. Hatukumwona mtu aliyevipanga, na hatumjui mtuambaye amevipanga. Lakini tunaamini kwa uhakika kwamba mtu anayehusika anaifanya (kazi hiyo) kwa madhumuni ya wazi.

Hivyo, kumkana Mungu maana yake, kukataa kila kitu ndani navilivyozunguka ulimwengu. Mtu yeyote mwenye tabia kama hii anaitwamwenda wazimu. Katika istilahi za Qur'an mtu kama huyo huonyeshwakama kafir

51 52

Page 27: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

SURA YA SABA

UKANAJI MUNGU -KUFR-UKAFIRI

Ukanaji mungu ni nini?Tabaini (kinyume cha moja kwa moja) ya tawhid ni ukafiri na

ushirikina. Ukafiri ni imani ya kwamba hakuna Mungu.

Kwa watu wengi katika ulimwengu ambao huamini bila ujuziwowote imara kwamba jua, nyota, sayari, ardhi, wanadamu, wanyama,mimea na mabilioni na matrioni ya vitu vingine vya ajabu, vimekujakuwepo kwa bahati, yaani vyenyewe bila Muumba. Watu wote hawahuitwa makafir (wakana Mungu).

Mtu yeyote awe mwanasayansi mkubwa, mwanachuo mkubwa aumtu msomi wa hali ya juu ambaye haamini kuwepo kwa Mungu ni mtuasiye na ujuzi. Qur'an huwaita watu kama hao wasomi ambao wanakataakukubali dalili za wazi za Mungu kama punda aliyebebeshwa vitabu.

Qur'an tukufu vilevile huthibitisha kwamba watu kama hao, hatakama wametoa mchango mkubwa katika sayansi na teknolojia, bado niwenye hasara mno.

"Mfano wa waliomkufuru Mola wao, vitendo vyao ni kama jivu linalopeperushwa kwa nguvu za upepo katika siku ya kimbunga. Hawawezikupata chochote katika waliyoyafanya. Huko ndiko kupotea kwa mbali".(14:18)

Qur'an inaendelea zaidi kutathimini thamani ya kazi zao.

"Na walio kufuru vitendo vyao ni kama sarabi (Mazigazi) uwandani.

Mwenye kiu hudhania ni maji. Hata akiyaendea hapati chochote. Naatamkuta Allah hapo naye amlipe hesabu yake sawa sawa. Na Allah niMwepesi wa kuhesabu". (24:39)

"Au ni kama giza katika bahari kuu, iliyofunikwa na mawimbi juu yamawimbi, na juu yake yapo mawingu. Giza juu ya giza. Akiutoa mtumkono wake anakaribia asiuone. Na ambaye Allah hakumjalia kuwa nanuru hawi na nuru". (24:40)

"Na waliokufuru, basi kwao ni maangamizi, na atavipoteza vitendo vyao".(47:8)

Wakana Mungu, au makafir wako aina mbili:· Wale ambao wanajua ukweli au kwa urahisi wanaweza kuuthibitisha

kutokana na elimu yao waliyo ipata, lakini kwa makusudi wanakataakuukubali. Wanauelewa ukweli lakini kwa kudhamiria wanaukataakwa sababu ya sababu zao binafsi. Kwa maneno mengine, wanajuaukweli lakini wanauficha kwa kadiri kama vile hawajui. Idadi kubwaya watu kama Firauni, Namrudi, Abu Jahil, Abu Lahab, nawanasayansi wengine wakubwa wa ulimwengu na watu wasomi nimakafiri wa aina hii. Kwa wote hawa ukweli ulifunuliwa kwao, lakiniwaliukataa kwa ajili ya kiburi chao na chuki. Watu kama hawa nimakafiri halisi na makazi yao ya kudumu ni jahannam.

· Aina ya pili ya makafir ni ya wale watu ambao ni wajinga. Sababu yaujinga wao ni amma kujiingiza kwao mno katika mambo yakiulimwengu au asili yao ya kuzembea mno. Watu hawa wasiojalihuangalia kila kitu kwa macho ya upofu na kamwe hawaufikiiukweli.Idadi kubwa ya wasomi wasio Waislamu na Waislamu wengi

wajinga wanaangukia katika kundi hili la makafiri.

53 54

Page 28: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Ukafiri unagongana na dini nyingi kubwa za ulimwengu, ikiwemoukristo, uyahudi, uhindu, nk. Konfishia na ubudha ni dini za kikafiri.

Agnosticism:[Uagnostiki ni imani ya kusadiki kuwa hatuna habari za Mungu wala

hatuwezi kuzijua.]

Uagnostiki ni chipukizi la ukafir. Ni dini ya kuwachanganya watukabisa kabisa. Wafuasi wa imani hii wanasema kwamba kuwepo kwaMungu na ukweli mwingine wa dini hauwezi kuthibitishwa. Kwa mujibuwao, hakuna njia ya kuthibitisha kuwepo kwa Mungu. Neno uagnostiki(agnoticism) limetokana na lugha ya Ki-griki agnostiki (agnostics), ambalolina maana ya "haijulikani" yaani hawaamini katika Mungu kwa sababuhawana njia za kumjua yeye. Huu ni ujinga mtupu. Watu wote kama haoni makafiri kwa vile wanajifanya na kukataa ukweli uliowazi.

Neno uagnostiki, lilibuniwa na mwanaviumbe Thomas Henry Huxleykatika mwaka wa 1869. Huxley alikuwa mtetezi imara wa Charles Darwin,na watu wamezoea kumwita mbwa dume wa darwin. Watu kama hawawanao laumiwa vikali na Qur'an ni wenye madhara zaidi. Watakwendamoja kwa moja kwenye moto wa jahannam.

Je, Sayansi inakanusha kuwepo kwa Mungu?Wanasayansi wengi wakubwa wa ulimwengu huu hawaamini

Mungu. Je, ina maana kwamba sayansi hukataa kuwepo kwa Mungu? Lahasha.

Hakuna mwanasayansi kamwe aliyewahi kuthibitisha, na kamwehawezi kuthibitisha, kwamba hakuna Mungu. Kusema kweli, katika miaka200 iliyopita, wanasayansi wote wa ulimwengu wamekuwa wakijaribukukanusha kuwepo kwa Mungu kwa juhudi zao za pamoja, lakiniwameshindwa kabisa katika jaribio lao hilo. Kwa mfano;

· Wamebuni nadharia tofauti kuthibitisha kuwepo kwenyewe kwaulimwengu.

· Wameunda nadharia ya mabadiliko (evolution) kuthibitisha kuwepokwa jamii zote zenye uhai.Kwanza kabisa, hakuna katika nadharia hii inayo weza kuthibitisha

katika viwango sahihi vya kisayansi.

Lakini hata kama tunakubali nadharia hii kama maendelezo ya kweliya sayansi, kuwepo kwa Mungu hakuwezi kukataliwa. Nadharia maarufuzaidi kuhusu asili ya ulimwengu ni:

1.Nadharia ya kishindo kikubwa -(big bang)Katika nadharia ya kishindo kikubwa wanasayansi wametoa wazo

kwamba ulimwengu umekuja kuwepo kwa mlipuko - unaoitwa kishindokikubwa. Mlipuko huu umetokea wenyewe miaka billioni 10-20 iliyopita.Sehemu kubwa ya bonge la moto ilikuwa maada, kubwa zaidi ikiwahydrojeni. Maada hii iliyo na hydrojeni na elementi nyingine nyepesiilivunjika katika mabonge makubwa na kuwa galaksi (kundi la nyota).Hivyo ndivyo ulimwengu wa makafir ulivyoundwa. Sasa hebu tuchukuliekwamba nadharia hii ni sahihi. Lakini je, inabatilisha kuwepo kwaMungu? Hapana, kwa sababu swali sahihi hujitokeza kwamba, vipi maadayenye hydrojeni, helium na elementi nyingine nyepesi zimekuja kuwepo?

Hivyo, kwa nadharia hii, kuwepo kwa Mungu hakuwezi kukataliwa.

Hoja ni kwamba, ambaye ametengeneza (ameumba) hydrojeni,atachukuliwa kama Muumba wa ulimwengu hata kama ulimwenguulianza kama matokeo ya bahati kwa kishindo kikubwa cha mlipuko.

2. Nadharia ya hali ya kutogeuka:Hii ni nadharia nyingine ya kubuni kukataa kuwepo kwa Mungu.

Kwa mujibu wa nadharia hii, ulimwengu siku zote umekuwa katika haliyake hii ya sasa. Tena, kama tunaikubali nadharia hii kama sahihi, swalilitajitokeza kwamba, maada hii imetoka wapi? Nadharia hii haisemichochote kuhusu asili ya maada.

Hivyo katika nadharia mbili hizi maarufu za nchi za ulaya yamagharibi, tunaona maelezo tofauti kabisa, na hakuna inayoungwamkono na uchunguzi wa kifalaki au hoja ya maana. Kukataa aukubatilisha kuwepo kwa Mungu, makafir lazima waumbe ulimwengu bilamali ghafi yeyote. Hawapendi kufanya hivyo, kwa sababu kama wakifanyahivyo watakuwa Miungu wenyewe kwani ni Mungu pekee ambayehuumba vitu bila kitu.

55 56

Page 29: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

3. Mabadiliko ya organiki - (viumbe hai) Halikadhalika nadharia hii imesanifiwa kwa ujanja ili kukataa kuwepo

kwa Mungu. Kwa mujibu wa nadharia hii, maarufu kwa jina la nadharia yaDarwin ya mabadiliko, jamii zote zinazoishi zimegeuka kutoka kwenyechembe chembe moja ya uhai ambayo iliishi takriban miaka bilioni 3 (tatu)iliyopita. Yaani, aina zote za viumbe hai (vinavyoishi) ambavyo vinaishikatika ardhi leo ni vizazi vya chembe chembe moja hai. Tena, hata kamatunaikubali nadharia hii ya mabadaliko, kuwepo kwa Mungu kunabakiathabiti na imani yenye mantiki. Kwa sababu, vipi chembe chembe mojayenye uhai imekuja kuwepo. Yaani, imma tuikubali au tuikatae nadharia hiiya mabadaliko, kuwepo kwa Mungu kunabakia kuwa ni imani thabiti.

Hata hivyo, kama mtu anakubali nadharia ya mabadiliko, ubishaniutajitokeza tu juu ya swali moja; kwamba mamilioni ya aina ya viumbevinavyoishi ulimwenguni vimeumbwa na Mungu kama vinvyoonekana leoau Mungu ameumba chembe chembe hai ya kwanza na kuongezekakwenye mamilioni ya aina tofauti za viumbe wanaoishi.

Ni dhahiri inaonekana kwamba aina zote tofauti za jamii zinazoishiziliumbwa na Allah (SWT) kama tunavyo ziona leo.

Hata hivyo, mabadiliko fulani ya mwili na mageuzo muhimu huendayametokea kwao katika vipindi vya muda ili kutekeleza haja za mara kwamara za kimaumbile za miili yao na kutekeleza mahitaji muhimu ya mudauliopo.

Hii ni Huruma kubwa ya Allah (s.w.t) na dalili ya wazi kwamba Yeyeni Mwenye kutoa riziki na msimamizi wa viumbe vyote alivyo viumba.Allah anajua vizuri, jamii mahususi inahitaji nini na katika muundo ganibora wa mwili itakamoishi kwa starehe. Haya ni maelezo ya ki-Islamu yasemi za Darwin, kuishi kwa wenye kufaa zaidi, na kupambana kwa ajili yakuwepo.

Hivyo, wanasayansi makafir wamejaribu kuyasema yote ili kujengatu nadharia kutulipa mbali dhana ya kuwepo Mungu, lakini kila nadhariaimethibitisha kwamba ukataaji wa Mungu haufanyi kazi kabisa.

Kusema kweli, kuelezea nadharia ya kishindo kikubwa, nadharia yahali ya kutogeuka na nadharia ya mabadiliko, kisayansi na kimantiki,wanasayansi watakubali kuwepo kwa Mungu. Hii ndiyo sababu Kepler,mwanasayansi mkubwa wa miaka ya 1700 alisema, "Kama hakuna

Mungu, lazima tubuni Mungu kuthibitisha ukweli wa kisayansi na kufanyaueleweke kimantiki".

Hivyo, ndoto ya ukweli wote wa kisayansi na kweli zilizothibitishwazitavunjika kama mtu kwa ukaidi anakataa kuwepo kwa Mungu.

Jengo lote la sayansi limetegemea juu ya msingi wa Tawhid, yaanikwa akili kutambua kuwepo kwa Mwenye Kudura, ambaye si yeyote balini Allah (SWT). Ukataaji wa Mungu Muumba, au jinai ya ukimya juu yasuala hili la msingi la sayansi ni tabia isiyo ya maana kabisa. Inadumazauzuri wa ajabu na busara ya matukio asilia.

Msingi wa kwanza na muhimu wa mafundisho ya Uislamu nasayansi ya kweli ni kwamba, ulimwengu na kila kitu kilichomo ni uumbajiwa Mwenye asili ya juu sana asiyekufa aitwaye ALLAH.

Qur'an Tukufu inatuelimisha:

"Allah ndiye Muumba wa kila kitu, na Yeye ndiye mlinzi juu ya kila kitu".(39:62).

"Yeye anazo funguo za mbinguni na ardhi. Na wale waliozikataa ishara zaAllah, hao ndio wenye kukhasiri".

Hivyo, masharti muhimu ya utafiti wa kisayansi ni kwamba:

1) Wanasayansi Lazima Wakubali Kuwepo Kwa Mungu.2) Wanasayansi lazima wafanye juhudi kuelewa madhumuni ya

uumbaji Wake.3) Wanasayansi lazima wathibitishe maelezo ya busara ya matukio

asilia.4) Wanasayansi lazima wawalinganie watu kumuabudu Mungu.

57 58

Page 30: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

SURA YA NANE

USHIRIKINA - SHIRKKinyume cha Tawhid ni ushirikina. Ushirikina au shirk maana yake

kumchukulia mtu yeyote kuwa ni Mungu wa kweli. Ni uovu mkubwa najinai isiyosameheka. Imam Jafar Sadiq (a.s) alisema: "Miongoni mwadhambi zote, shirk ni tendo la dhambi kubwa mno."

AINA ZA SHIRK AU USHIRIKINA.

Kuna aina nyingi za shirk,lakini Mtukufu Mtume (s.a.w) amezigawakatika makundi makubwa mawili, ambayo ni kama ifuatavyo:-

1. Shirk-e-Akbar. (shirk kubwa - shirk ya wazi na dhahiri)2. Shirk-e-Asghar. (shirk ndogo - iliyofunikwa au kufichwa)

SHIRK-E-AKBAR AU SHIRK KUBWA [SHIRK YA WAZIShirk kubwa maana yake ushirikina thabiti wa wazi

Ufafanuzi wa shirk kubwa

Shirk kubwa ni ya aina mbili1. kumshirikisha yeyote na Allah (s.w.t) kama sehemu yake.2. kushirikisha sifa za Allah (s.w.t) kwa mtu fulani kama zake

mwenyewekumshirikisha Allah (s.w.t) na mtu fulani au kitu fulani kama sehemu

yake, maana yake, kuamini zaidi ya Mungu mmoja, yaani, wawili, watatu

na miungu wengi waliotengana au wawili, watatu au waungu wengiwasio tenganikana.

Kushirikisha sifa za Allah kwa mtu mwingine yeyote maana yake,kutoa sifa zake, kama elimu yake au uwezo wake, kwa mtu mwingineyeyote. Au kuchukulia au kumueleza yeyote kama yeye (kwa maelezo yakuchora).

Kwa ujumla, mtu anaambiwa ametenda shirk kubwa kama:-

· Anaamini katika Miungu wengi, walio tengana au wasiotenganika.· Anashirikisha mtu yeyote katika njia yoyote pamoja na Mungu kama

sehemu yake.· Anamzungumzia au kumfahamisha mtu yeyote (kwa michoro au

aina yeyote ya kitaswiri) katika njia yeyote kwamba anao uwezo wakimiujiza kama Mungu.

· Anamueleza (kwa kutoa taswiri) au kumfahamisha kitabia Mtumeyeyote au Imamu au kiongozi kama Mungu au kufanana na Munguau sehemu ya Mungu.Watu wote kama hao wanajulikana kama waabudu miungu mingi

au Mushrikina - (Washirikina). Ni muhimu kujua zaidi kuhusu aina zote zashirk ili kujiepusha nazo kabisa.

Ibada ya sanamu-Kuamini katika miungu mingi.Ni aina ya dhahiri zaidi ya shirk. Dini zote ambazo watu wanaabudu

miungu mingi au masanamu au mwingine yeyote asiyekuwa Mungu aukumshirikisha Mungu na yeyote, ni dini za kishirikina. Wafuasi wa dini hiziwanaitwa Mushrikiina - (Washirikina).

Kuna dini nyingi zinazo tekeleza ibada na sanamu. Wazoroastriahuamini katika Waungu wawili Mungu muovu (giza) na Mungu wa wema(nuru).

Wabudha hawaamini katika Mungu, bali huabudu sanamu yaGautam Budha kama Mungu wao. Hivyo hivyo na wafuasi wa Ujainni.Zote hizo ni dini za kishirikina.

Katika Uhindu, kuna waungu wakubwa watatu, na kijadi wakomiungu wengine milioni 33 wa kiume na wa kike. Ili kujiita wenyewewenye kuamini Mungu mmoja, wanasema kwamba nyuma ya miungu

59 60

Page 31: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

yote hii, vilevile kuna Mungu mwenyewe haswa wa kiroho anayeitwaBrahma.

Wakristo vilevile huamini kwamba Mungu yupo katika miundomitatu. Hii hujulikana kama utatu yaani wanaamini kwamba katika Mungummoja kuna miungu watu watatu - Baba, Mwana na roho mtakatifu. Hiiina maana kwamba Wakristo wamemgawanya Mungu katika sehemutatu,Baba, Mwana, Roho mtakatifu, na kuwaunganisha wote pamojakufanya Mungu mmoja. Wanatumia michoro, masanamu na sanaanyingine kuchora watu wao watakatifu na hadithi kutoka kwenye Biblia.

Katika Mashariki ya Ulaya na Mashariki ya Karibu, wafanya ibadahutoa heshima maalum kwa masanamu ya Yesu au watakatifu.

Wakristo wajulikanao kama (Waikoni) wapinzani wa mila yakuabudu sanamu wanapinga matumizi ya sanamu kwa sababuhuyachukulia kama kuabudu masanamu. Lakini Wakristo wenginewanahoji kwamba masanamu hayo (ikono) ni mifumo tu ya kuwasaidiawenye kuabudu kumfikiria Mungu.

Mgogoro unaitwa mgogoro wa ki-ikoni ulilipuka baina ya pandembili katika kipindi cha miaka ya 700 na mapema katika miaka ya 800,waikoni walivunja picha na sanamu katika makanisa mengi. Kutoelewanakwa namna hiyo hiyo kulitokea baina ya waprostanti waliharibu pichanyingi na sanamu ambazo zilikuwa zikiabudiwa na wakatoliki.

Wagiriki wa zamani na Waroma walikuwa na dini za kishirikina.Walifikiria mbingu, nyota, jua, sayari, mwezi, na vitu vingi vingine kamawaungu na walizoea kuviabudu. Waliita kila siku ya juma na mwezi kwamajina ya miungu yao kama vile, Sunday (jua), Monday (Mwezi)

Watu wa zamani wa Misiri waliwachukulia wafalme wao {Mafarao}kuwa kama miungu.

Katika dini ya Shinto ya Japan, miungu wanafikiriwa kuwa wanaishikatika miti makhususi, majabali na vijito.

Kabla ya v ita ya pi l i ya dunia {1935 - 1945} , W ajapaniwalimuheshimu mfalme wao kama Mungu. Tarehe 2 Septemba 1945Mfalme Hirohito ambaye alikuwa akichukuliwa kama Mungu nakuabudiwa na Wajapani alisalimu amri rasimi na kutangaza kushindwakwake. Maelfu ya Wajapani walilia kwa kumwona Mungu wao katika halihiyo ya kudhalilika. Tarehe 1 Januari 1946, Mfalme Hirohito aliyakana

madai yote ya uungu ambayo mwanzoni alikuwa akiyakubali. Katiba yamwaka 1947, ambayo aliithibitisha, ilimbadilisha kutoka mtawalamwenyewe mamlaka kuwa "alama ya nchi".

Maghali au Maghulati, miongoni mwa Waislamu, wanaunda kundilingine la Mushirikina. Vilevile wanaitwa Mufawwiza. Wanaamini kwambaAllah ametuma uwezo wake au ameaminisha mambo yote kwa Maimamuwatukufu. Kwa mujibu wao, Maimamu hutoa uhai na kifo, na vilevilehutupa riziki. Kwa mujibu wa Maulamaa wote wa Shia mtu yeyote ambayeana imani hii au maoni kama haya kuhusu Maimamu ni Mushrik.

Uislamu huchukulia dini zote hizo kama za kishirikina na huaminikatika umoja kamili wa Mungu.

Qur'an imelaani kwa nguvu sana dini zote hizi na husema kwambawafuasi wa dini hizi wataadhibiwa vikali.

Kumshirikisha Mungu na mtu fulani

Aina nyingine za shirk kubwa ni: Kumshirikisha Allah na mtu fulani kama sehemu yake. Kumchukulia mtu yeyote kuwa anafanana naye. Kumpa mtu yeyote sifa za Mungu. Kumuabudu yeyote pamoja na Allah.

Imamu Ja'afar Sadiq (a.s) alisema:"Kama mtu fulani anatekeleza kitendo kwa ajili ya Allah, na akaingiza

ndani yake ridhaa ya mwanadamu, basi mtendaji wa kitendo hicho niMshirikina".

Maulamaa wote wa Ki-shia wanakubali, kama ilivyoelezwa namwanachuo maarufu wa Iran, Sultan'Wa'izin Shiraz, ambaye anajulikanasana kwa kitabu chake cha kumbukumbu, "The Right Path", vilevilekimechapishwa kwenye lugha ya Kiingereza kwa jina la "Peshawar Night",kwamba sadaka itolewayo kwa jina lingine la asiyekuwa Allah, aukumuingiza mtu yeyote katika utoaji sadaka kunakofanywa katika jina laAllah, hakuruhusiwi katika madhehebu ya Ahlul'l-bayti.

Anaandika zaidi katika kitabu hicho hicho, UK.40 kwamba "Kama

61 62

Page 32: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

tunafanya ibada ya kutoa sadaka isiyokuwa katika jina la Allah, bali kwamtu fulani mwingine, awe yeye amekufa au yu hai, au kamatutamchanganya yeye pamoja na jina la Allah, hata kama akiwa Imamu aumtoto wake, sadaka hiyo ni batili.

Kama ikifanywa kwa kujua, basi ni ushirikina wa dhahiri kama ilivyowazi kutoka kwenye aya:

"..Na usimuunganishe mtu yeyote katika ibada ya Mola wako" (18:110)

Anaongeza zaidi:"Wanachuo wote wa Ki-shia wanakubaliana kwamba kwa kufanya

ibada ya kutoa sadaka kwa jina la mtu yeyote, ikiwa ni pamoja na Mitumena Maimamu, ni kosa. Kama ikifanywa kwa makusudi, ni ushirikina.

Utoaji (wowote) wa sadaka lazima ufanywe kwa jina la Allah.Ingawa tunaruhusiwa kuitoa popote na wakati wowote tutakao. Kwamfano, kama mtu fulani atachukuwa mbuzi kwenye sehemu makhususi yakufanyia ibada au kwenye kaburi la Imamu na akamtoa dhahibu (sadaka)kwa jina la Allah pekee yake, hakuna madhara yeyote. Lakini kama anaapakufanya dhahibu kwa jina la Mtume au Imamu, au watu fulani wengine,inakatazwa kabisa".

Kumuelezea mtu yeyote kwa kumfananisha na Mungu.Aina ya tatu ya shirk ni kumueleza mtu yeyote kama Mungu. Aina

hii ya shirk ni ukuaji wa dhalala na utwezi. Watu wengi wakubwa,Wafalme wenye nguvu na watakatifu wakubwa walikuwa wakiabudiwakama miungu na watu wao.

Krishna, mashuhuri kwa jina Lord Krishna, Ram Chanderji, GautamBudha, Firauni, Namrud, wote walikuwa wanadamu. Lakini watuwaliwaabudu kwa sababu walivutiwa mno na tabia zao, au utajiri aunguvu.

Nusairi wanamuita Ali (a.s) Mungu wao kwa sababu ya utu wakeusio wa kawaida. Kwa dhahiri huonekana kwamba wameipandisha hadhiya hadhrati Ali (a.s) kwa kumuita yeye Mungu. Baadhi ya washairi wajinga

wa ki-shia vile vile, chini ya mvuto huu bandia, humuonesha Hadhrati Ali(a.s) kama Mungu wa Nusairi katika mashairi yao. Lakini kwa ukweli,wanatenda dhambi kubwa mno ya kumshusha cheo mtukufu Imamu nakuweka jina lake takatifu katika orodha ya Miungu (watu wa daraja za chinimno) waliotajwa hapo juu.

Hivyo, wakati wowote tukimuona mtu mkubwa yeyote na mafanikioyake ya kushangaza, lazima tumthamini, lakini lazima tumtukuze Allah,kwa sababu ni yeye aliyempa uwezo, kipaji, nguvu, fursa na mwishowemafanikio.

Kuwaelezea Mitume au Maimamu kama Miungu.Wanachuoni wote wa ki-Islamu, Shia na Suni, bila tofauti yeyote ya

maoni, hulichukua kama shirk kubwa [Shirk-e-Akbar], suala (hilo hapo) juu

Mwislamu huwa Mushrik kama anamuelezea Mtume yeyote auImamu katika njia yoyote au katika mtindo wowote kama Mungu aumwenye kufanana na Mungu au sehemu ya Mungu.

Katika sheria za matendo ya ki-Islamu, Ayyatullah al-Uzma As-SayyidAbul Qassim Al-Khui (na marja wengine wote halikadhalika) huelezaGhulat kama aina ya shirk na kufr, na anaandika:

"Wale ambao wanaamini mmoja kati ya Maimamu watukufu kumina mbili kuwa ni Mungu au kusema kwamba Mungu amepenyezamwilini mwake hao ni makafiri"{ibara 107}

Maimamu wamewalaani wale watu ambao huwapa wao sifa zaMungu na kuwaomba katika njia kama vile mtu anamuomba Mungu.

Wakati wa kipindi cha Hadhrati Imamu Jafar Sadiq {a.s}, mtu mmojaalihusisha baadhi ya hadithi za uwongo kwa baba yake, Hadhrat ImamuMuhammed Baqir{a.s} ambazo ndani yake ameambatanisha vipengelembalimbali vya uungu kwa Maimamu, akimtaja rasimi Amir'l-MumininHadhrati Ali {a.s}. Watu ambao walikuwa wafausi wa Mughir bin saidi nawale wa Abi Khattab Muhammad bin al-Assadi.Wakati Imamu Jafar Sadiq{a.s}aliposikia kuhusu hadithi hizi,alisema:

"Allah amlaani Mughira bin Saidi kwani amezoea kusema uwongodhidi ya baba yangu, Allah amefanya aonje joto la chuma kinachoungua,Allah awalaani wale ambao wanasema kuhusu sisi yale ambayo sisi

63 64

Page 33: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

wenyewe hatuyasemi, Allah awalaani wale ambao wanajaribu kutufanyasisi mbali na utumwa wa Allah, ambaye ametuumba sisi, na marejeo yetuni kwake na uwezo wote uko mkononi Mwake".

(Rijal-al-Kishi}.

Kwa usahihi, kwa mujibu wa mafundisho ya Mtukufu Mtume (s.a.w)na Ahlu'l-bayti wake (a.s) kama mtu kwa kujua au kwa ujinga akatendamoja ya matendo yafuatayo, basi atakuwa amefanya shirk kubwa.

Kumchukulia Mtume yeyote, au Imamu, au Kiongozi kama mwenyeuwezo wa kujitegemea.

Kumueleza Mtume, au Imamu kama Mungu au kufanana naMungu.

Kumpa Mtume au Imamu, au mtu yeyote, sifa za Allah au vyeo vyaMungu ambavyo huwafanya waonekane kufanana na Mungu.

Kumshirikisha yeyote kati yao na Mungu katika uwezo na utendajiwake.Vitendo vyote vilivyo tajwa hapo juu viko sawasawa tu, bali ni aina

tofauti za shirk kubwa. Waislamu lazima wajiepushe kutokana na matendoyote hayo kwa nia kamili kwani shirk ni jinai isiyo sameheka.

Mtukufu Mtume wa Uislamu na Ahlu'l-bayti wake wamefundishakuamini kwamba Allah aliumba kila kitu wakati kulikuwa hakuna kitu.Hivyo, kuumba, kutoa riziki, kuwapa watu makarama, kifo, uhai, siha,utajiri, ugonjwa, yote kwa ujumla yako katika udhibiti wake.

Amirul' Mauminina Ali ibn Abi Talib (a.s) aliandika barua ndefu kwamtoto wake Imamu Hassan (a.s) akimshauri amuombe Allah peke yakekatika hali zote za kukata tamaa.

Imamu Ali (a.s) anaadika:"….Katika mambo yako yote rejea kwa Mola wako, kwa sababu

kufanya hivyo utakuwa umerejea kwenye hifadhi yenye usalama namhifadhi mwenye nguvu. Lazima uombe (dua) kutoka kwa Mola wako tukwa sababu katika mkono wake mna vyote vya kutoa na kunyima. Ombamema (kutoka kwa Allah) kiasi unachoweza…"barua na.31 Nahjul Balagha

Waislamu lazima wachukue tahadhari kubwa wakati wanapowasifuMitume na Maimamu. Ubora wa ukubwa wao kwa hakika hauna kifani na

hadhi zao ziko nje ya mipaka ya kusifu kwetu, lakini wote walikuwawanadamu na hatupaswi kabisa kuwaonyesha (kwa maelezo au kwataaswira) kama Mungu au kufanana na Mungu au kumpa sifa za Munguyeyote kati yao.

Qur'an inaakisi:

"Wamewafanya makuhani wao na wamonaki wao kuwa ni marabi badalaya Allah, na pia Masihi bin Maryamu. Na wala hawakuamrishwaisipokuwa wamuabudu Mungu Mmoja, hapana mungu ila Yeye.Ametakasika na hayo wanayo mshirikisha nayo". (9:31)

Mafundisho ya imani kwamba kuna Mungu mmoja ni kwambahakuna Mungu ila Allah ambaye hana mshirika. Hakuna mfano wake.Kimsingi haiwezikani kuwe na yeyote anayefanana Naye, basi itakuwa namaana kwamba kuna miungu wawili kitu ambacho hakiwezikani.

Onyo la Mungu kwa Mushrikiina.Qur'an kwa usahihi imewaonya wakazi wote wa sayari ya ardhi

kwamba aina zote za mushrikiina (washirikina) watakwenda moja kwamoja kwenye moto wa Jahannamu na watabakia humo milele. Allahamefanya Pepo yake haram kwao.

"Hakika wamekufuru walio sema Allah ni Masihi mwana wa Maryamu! Nahali Masihi mwenyewe alisema: Enyi wana wa Israili! Muabuduni Allah,Mola wangu na Mola wenu. Kwani anayemshirikisha Allah, hakika Allahatamharamishia Pepo, na mahala pake ni motoni. Na waliodhulumuhawatakuwa na wa kuwanusuru".(5:72)

65 66

Page 34: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Vilevile Qur'an inaweka wazi kabisa kwamba mwingi wa Rehema -Allah (s.w.t) anaweza kusamehe dhambi zetu zingine, lakini kwa hakikahasamehi dhambi ya shirk.

"Hakika Allah hasamehi kushirikishwa, na husamehe yasiyokuwa hilo kwaamtakaye. Na anayemshirikisha Allah, basi hakika amezua dhambikubwa". (4:48)

Qur'an vile vile hujulisha kwamba Mitume na watu wenye busarawamelaani shirk na wameshauri wafuasi wao wasitende jinai hii ya uovu.

"Na Luqman alipomuambia mwanawe kwa kumpa mawaidha: Ewemwanangu! Usimshirikishe Allah, kwani hakika ushirikina bila shaka nidhuluma iliyo kubwa". (31:13)

Qur'an imetamka kwamba Mushrikiina wamefukuzwa kutokakwenye jumuiya ya wanaadamu. Uislamu humchukulia Mushrik, kamajamii ya binadamu iliyotengwa. Hawaruhusiwi ki-sheria kuingia sehemutakatifu kama Makka, Madina na Misikiti yote. Kuna vituo maalum vyausalama (wa umma) katika sehemu zote za kuingilia Makka na Madinakwa ajili ya ukaguzi.

"Enyi ambao kwamba mmeamini! Hakika washirikina ni najisi, kwa hiyowasiukaribie Msikiti Mtukufu baada ya mwaka wao huu. Na ikiwamnakhofia umasikini, basi Allah atakutajirisheni kwa fadhila Yakeakipenda. Hakika Allah ni Mwenye kujua Mwenye hikima". (9:28)

Waislamu hawaruhusiwi kuoa mwanamke mushrik au mwanamkekuolewa na mwanaume mushiriki

"Wala msiwaoe wanawake washirikina mpaka waamini. Na mjakazimuumini ni bora kuliko mshirikina hata akikupendezeni. Wala msiwaoze(binti zenu) wanaume washirikina mpaka waamini. Na mtumwamwanamume Muumini ni bora kuliko mshirikina hata akikupendezeni.Hao wanaitia kwenye Moto, na Mwenyezi Mungu anaitia kwenye pepona maghafira kwa idhini yake. Naye huzibainisha Aya zake kwa watu iliwapate kukumbuka. (2:221)

Uislamu huchukulia Mushrikiina kama watu waliotupwa zaidi.

"Mwanaume mzinifu hamuoi ila mwanamke mzinifu au mwanamkemshirikina. Na mwanamke mzinifu haolewi ila na mwanaume mzinifu aumshirikina. Na hayo yameharimishwa kwa waumini". (24:3)

Qur'an huwaonya Waislamu wasichanganyike na Mushrikiina(washrikina) na kufuata mtindo wao wa maisha. Hata hivyo Uislamuhuruhusu kuwa na uhusiano wa kibiashara pamoja na tahadhari kubwa.

"…Na mkiwafuata basi hapana shaka ninyi mtakuwa washirikina". (6:121)

Sababu inayoacha Qur'an ikataze Waislamu kuchanganyika naMushriki ina ni, kwamba wao wameambukizwa na shetani na

67 68

Page 35: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

watasambaza jemsi wa kishetani kwa wale ambao watajiunga nao bilamipaka.

"Hakika yeye hana madaraka juu ya walioamini na wakamtegemea Molawao". (16:99)

Maadui watatu madhubuti wa shirk.Mitume wote 124,000, warithi wao, wenzi na wafuasi wa kweli kwa

uthabiti walihubiri Tawhid (Imani halisi ya Mungu mmoja) na wakaipigavita shirk kwa nguvu zote lakini watatu kati yao watakumbukwa kamamashujaa na watu wanaoendelea kuvutia katika historia ya mwanadamu.

Mashujaa watatu ni:1- Hadhrat Ibrahim (a.s)2- Hadhrat Muhammad Mustafa (s.a.w)3- Hadhrat Ali (a.s)

Hadhrat Ibrahim alianzisha vita ya kihistoria dhidi ya shirk na ibadaya masanamu. Yeye peke yake alivunja masanamu yote ambayo yalikuwayakiabudiwa na umma wake wote. Qur'an imenukuu hotuba zake nyingiza kupendeza na za kisayansi ambazo alizitoa kwa umma wake akiikanashirk na ibada ya sanamu.

Hadhrat Muhammad Mustafa (s.a.w) alipigana vita kubwa mno yakishujaa dhidi ya aina zote za ushirikina na akafundisha imani kamili nahalisi ya Mungu mmoja, hakuna Mungu ila Allah, ambaye hana mshiriki.

Maelfu ya watu walikataa shirk na kukubali ujumbe wa Tawhidkatika wakati wa uhai wake, na mabilioni ya watu, kuanzia hapowamefuata mafundisho yake ya imani halisi ya Mungu mmoja. Ni shujaawa mashujaa.

Hadhrat Ali (a.s) alivunja masanamu yote 360 ambayo yaliwekwandani ya kaaba. Alitoa tangazo la kihistoria kwamba hakuna Mushrikanayeruhusiwa kuingia katika maeneo ya Kaaba Takatifu. Amri ya Munguya uzuiaji iliyotangazwa na yeye (kwa maagizo ya Mtukufu Mtume(s.a.w)) (pamoja na ile ya kuvunja masanamu) inatekelezwa mpaka leo na

itabakia kuwa amri halali mpaka umma wote ukatae ushirikina na kuwaWaislamu.

Moja ya sifa za Hadhrat Ali ni: "Muuaji wa Washirikina".

Shirk ndogo au shirk-e-Asghar(Shirk iliyojificha)

Mtukufu Mtume na Maimamu 12 wameifunga kabisa imani yaki-Islamu na kutoacha njia kwa shirk kujipenyeza.

Thomas Carlyle (1795-1881), mwandishi wa insha wa kiskotishi namwanahistoria na mwanfilosofia mkubwa, anaadika katika kitabu chakemashuhuri, 'On Heroes and heroworship'. (katika mashujaa na mashujaawa kuabudu), kwamba Muhammad (s.a.w) alivunja miungu yoteiliyotengenezwa na watu wakati alipopata cheo cha juu zaidi na akadaikwamba yeye ni mwanadamu.

Mtukufu Mtume alifanya juhudi kubwa kwamba Waislamu kamwewasitende shirk kama ummaat wa Mitume iliyopita.

Lakini pamoja na juhudi zake kubwa za kuivunja shirk, alionyeshawasiwasi wake kwamba umma wake utatenda shirk-e-Asghar. Kwa hiyokwa uwazi akatahadharisha kuhusu shirk-e-Asghar. Mtukufu Mtume(s.a.w) alisema:

"Jiepusheni kutokana na ushirikina mdogo. Kitu kinacho wavurugamno ninyi ni ushirikina wenu uliojificha; hivyo simameni juu yake kwanimiongoni mwa wafuasi wangu ni wa siri zaidi kuliko kutambaa kwasisimizi juu ya jiwe gumu katika usiku wa giza".

Shirk-e-Asghar ni nini?Shirk-e-Asghar maana yake shirk iliyojif icha. Mtu hutenda

shirk-e-Asghar, wakati akisema kwa maneno kwamba hakuna Munguisipokuwa Allah, lakini mawazo na matendo yake hayaakisi imani yake.Mfano wa dhahiri wa shirk-e-Asghar, kama ilivyotajwa na Mtukufu Mtume(s.a.w), ni Al-Riya (kujionyesha).

Riya maana yake ni kufanya shughuli yeyote pamoja na nia yaibadat (yaani, kumridhisha Allah) lakini katika uhakika wenyewe nikuonyesha watu au kumridhisha na kumpendeza mtu mwingine yeyote.

69 70

Page 36: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Mtukufu Mtume (s.a.w) alisema:"Mtu ambaye hutekeleza ibada za sala katika njia ya kujisahau ni

Mushrik. Mtu ambaye husimamisha saumu, au kutoa sadaka, aukutekeleza ibada ya Hajj kuonesha watu uzuri wake na kujipatia jina zuri, niMushrik".

Quran Tukufu inaonya:

"…Mwenye kutaraji kukutana na Mola wake basi naatende vitendo vyema,Wala asimshirikishe yeyote katika ibada ya Mola wake". (18:110)

Ayah hii huonyesha kwamba msingi wa sheria wa imani ni kwambamtu lazima afanye utii na kumuabudu Yeye (s.w.t) peke yake tu, naasimchanganye yeyote katika ibada, au kumshirikisha yeyote yulemwingine na Mungu.

Katika maneno mengine, kama mtu anatekeleza sala au hijja auanafanya kitendo chochote kizuri kwa kuonyesha tu watu, basi hiyo nishirk. Kama mtu yeyote ana kusudia kufanya sala ya maombi kwa kiumbe,yeye ni Mushrik.

Mifano mingine ya Shirk-e-Asghar ni:1- Ukosefu wa imani kwa Allah.2- Kutegemea juu ya maliasili yakinifu.3- Kumchukulia mtu yeyote mwingine asiyekuwa Allah kama msaidizi

wake pekee au mwokozi.4- Kutegemea juu ya vyanzo vya baadae ambavyo hubadilisha kabisa

uzingatiaji kutoka kwa Allah (s.w.t).Kusema kweli, aina zote za shirk zilizotajwa hapo juu zinahusiana na

zimejitokeza kwa ajili ya imani dhaifu na elimu ndogo.

Mtu ambaye hana imani yenye nguvu kwa Allah, siku zote atajengamatumaini yake na hofu juu ya vyanzo vya baadae. Anafikiri kwambauwezo kwa asili umo katika vyanzo vya baadae. Hii vile vile ni aina ya

shirk.

Vyanzo vya baadae maana yake chanzo cha dhahiri. Kwa mfano,jua, hewa, maji na mimea ni vyanzo muhimu vya uhai. Bila hivyo, viumbehai haviwezi kuishi. Ni ukweli ambao hakuna mtu awezae kuukataa. Lakinikama mtu atavichukulia kama sababu ya kwanza au vyanzo vya asili vyauhai, basi hii ni shirk.

Lakini kama tunaamini kwamba uwezo wa jua na sifa zenye faida zahewa, maji na mimea ni kwa uwezo wa Allah (s.w.t), na kwamba ni njia tuza uhai zilizowekwa na yeye ili kufurahia ukarimu wake, basi hii sio shirk.Bali ni muundo wa ibadat. Kuzingatia ishara za Allah (s.w.t) ni mwanzo wakujiambatanisha kwa Allah (s.w.t). rejea imefanywa katika ayah za Qur'anTukufu juu ya ukweli kwamba inatupasa kutafakari katika uumbaji waAllah (s.w.t) ili kujenga imani yetu kwake yeye.

Imam Jafar-e-Sadiq (a.s) ameeleza vizuri sana jinsi ya kuepukana nahali hii ya shirk. Alisema, kama mtu yeyote anaokoa maisha yako naunahisi kulazimika kumshukuru mno (ambayo vile vile ni lazima) basiusiseme kwamba, ni wewe ambae umeokoa maisha yangu. Baada yakusema hivyo, imamu alisema, itakupasa kusema, hakika namshukurusana Allah kwamba ameokoa maisha yangu kupitia kwako, na muombaAllah (s.w.t) akulipe malipo kamili ya huduma yako. Hii ina maanakwamba ni lazima tumshukuru mtu ambaye anajitoa mwenyewe kuwatayari kutoa msaada, lakini lazima tutambue ndani ya nyoyo zetu kwambachanzo halisi cha msaada ni Allah (s.w.t) ambaye amemfanya kuwa tayarina uwezo wa kunisaidia.

Hii hufanywa katika aina zote za misaada na upendeleo, uwemkubwa au mdogo.

Hivyo, wakati wowote tunapoomba msaada kutoka kwa mtuyeyote, awe yeye ni Mtume au Imamu lazima tuweke ukweli huu akilinikwamba msaada utatoka kwa Allah na kwamba kadhia yote hutegemeajuu ya utashi wa Allah (s.w.t).

Katika hali nyingine, kama tunaomba msaada kutoka kwa mtuyeyote, hata Mtume au Imamu ambao hugeuza mazingatio yetu kutokakwa Allah (s.w.t), basi kwa hakika ni shirk ambayo imekatazwa vikali naMtukufu Mtume (s.a.w) na Maimamu.

Maulamaa wote wa ki-shia na wanachuo wanaamini kwamba kama

71 72

Page 37: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

mtu yeyote humchukulia Mtume au Imamu kuwa kama Mungu auwashirika katika Nafsi Yake, au kwa ujinga huwaeleza kama wenyekufanana na Allah, hakika yeye ni Mushrik.

Wakati wowote tunapoomba msaada wa Maimamu wetu, kwa vilewako hai kwa baraka za Allah mwenye nguvu zote, huwachukulia kwausahihi kama njia za kufikia kwa Allah (s.w.t). Tunaomba msaada wa Allah(s.w.t) kupitia kwao kwa vile ni wateule. Kamwe hatuombi dua kutokakwao, lakini tunaomba dua kutoka kwa Allah kupitia kwao. Ni kama viletunavyo muendea Daktari kwa ajili ya msaada fulani wa kiuganga, tukijuakwamba ana ujuzi mzuri wa uzoefu, lakini kamwe hatumchukulii kamaMungu au kufanana na Mungu, ambaye anaweza kutuokoa kwa uwezowake mwenyewe. Hata hivyo, kama mtu yeyote atafanya hivyo, basi niMushrik, iwe anafanya hivyo kwa kujua au kutokujua.

Ni muhimu sana kusoma dua za Maimamu wetu ambaowametufundisha kwamba yatupasa siku zote kuomba msaada kutoka kwaAllah (s.w.t) na jinsi ya kuomba msaada kutoka kwa wengine bila kutendashirk.

Amirul'-Mu'miniina Hadhrat Ali (a.s) anasema katika hotuba yakeNa: 225 katika Nahjul Balagha:

"Ee Mola! Wewe ni Swahiba bora wa wale ambao wanakupenda; nachanzo bora cha tiba kwa wote ambao huweka mategemeo yao Kwako…na kama shida na matatizo yakiwashambulia, Wewe peke yako ndio kingayao".

Shirk ni nini na isiyo shirk ni nini?Baadhi ya Waislamu huwalaumu Mashia kuwa wanatenda shirk.

Wanalaumu Mashia juu ya madai kwamba wanawaelezea Maimamukama Mungu. Naam kwa hakika kama mtu yeyote anafanya hivyo, basikwa hakika huyo ni Mushrik. Lakini hii kwa hakika sio kweli kwambamadhehebu ya Shia huwaeleza Maimamu kama miungu.

Wanafanya kosa kubwa katika kuichambua madhahebu ya Shia.Wametengeneza maoni yao kuhusu madhehebu ya Shia kutokana nauchunguzi wao wa baadhi ya matendo ya mashia na sio kutoka katikavitabu sahihi ambavyo huwelezea kwa ukweli imani ya msingiyamadhehebu ya shia.

Kama mtu anataka kupambanua imani ya Jumuiya, hapaswikutegemea juu ya watu wasio na ujuzi wa jumuiya hiyo au taarifa zisizosibitishwa au vitabu visivyo tegemewa.

Kwa mafano, wengi wa Wailsamu katika ulimwengu hawana elimu,na Waislamu wengi wenye elimu hawaishi wala kutenda kwa mujibu waKi-islamu. Mtu mjinga asiye Mwislamu anaweza kuunda maoni yakimakosa kuhusu Uislamu kutokana na uchunguzi wake wa juu juu.Anaweza akahitimisha kimakosa kwamba Uislamu hautoi umuhimukwenye elimu. Lakini ukweli ni kinyime chake tu. Uislamu huchukuliaelimu kama sharti la msingi la (mtu) kuwa Mwislamu, lakini Waislamubado hawajatekeleza sharti hili, na ni dhambi yao isiyosameheka, ambayokwamba Uislamu kamwe hauwezi kulaumiwa.

Halikadhalika, kama Masunni wanataka kujua kuhusu Ushia,hawapaswi kumalizia utafiti wao katika uchunguzi wa juu juu. Masunnilazima wajue kwamba kama wakimuona Shia mjinga akifanya kitukinyume na msingi wa mafundisho ya Qur'an, basi hayo hayawezi kuwani mafundisho ya madhehebu ya Shia au ya Ulamaa msomi. Madhehebuya Shia hayawezi kulaumiwa kwa kitendo cha mtu ambaye anadai tukwamba yeye ni Shia. Vile vile Masunni hawapaswi kuamini tu vilewanavyosikia kutoka kwa watu wasio tegemewa kuhusu madhehebu yaShia.

Qur'an kwa uwazi inaonya juu ya swali hili.

"Enyie mlioamini! Akikujieni faski na habari yoyote, ichunguzeni, msijemkawasibu watu kwa kutojua, na mkawa tena wenye kujuta kwamliyoyatenda". (49:6)

Sasa ngoja tuchambue shutuma ambazo husema kwamba Mashiahuwaelezea Maimamu kama Miungu.

Je, inawezekana kwa mtu yeyote mwenye akili timamu kufadhaikakama mtu fulani anawaeleza Maimamu kama miungu, wakati Maimamuwenyewe wamejifanya kuwa ni vitabu vilivyo wazi ambavyo kila mtuanaweza kusoma bila matatizo yeyote?

73 74

Page 38: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Maimamu wetu wote wametuachia kwa ajili yetu hazina ya hotuba,dua, na hadithi ambazo zinatosha na zaidi kutuongoza na kutuweka katikanjia iliyo nyooka. Wanaoweza kupotea ni wale tu ambao kwa makusudiwanapuuza mafundisho ya Maimamu na kufanya haswa yale ambayoMaimamu wameshauri yasifanywe.

Hakuna hata mtu mmoja anayeweza kuonyesha hadithi yeyote aumaelezo ya Imamu ambayo yanasema kwamba Maimamu wameshauriwafuasi wao kuomba dua kutoka kwao kwa namna kama mtu ambavyoanaomba dua kutoka kwa Mungu, au kuwatukuza kama mtuamtukuzavyo Mungu. Maimamu wanajua sharafu ya nafasi yao na hadhiyao na kwa sababu hii wameacha idadi kubwa ya dua ili kwamba mtuyeyote asije akawafikiria Maimamu kama Mungu kwa ajili ya ukubwawao. Hapa kuna baadhi ya dua za Maimamu ambazo kwa uwazihazikuacha hata chembe ya nafasi kwa ajili ya shirk kujipenyeza.

Munajat ya Imamu Ali (a.s)Mashia na Masunni wote lazima wasome dua hii ya Hadhrat Ali (a.s)

ambayo ndani yake Imamu Ali (a.s) ameonyesha wazi kabisa kwamba, niAllah (s.w.t) peke yake na hakuna mwengine asiye kama yeye, ambayeanastahili kuabudiwa, na watu wote pamoja na Mitume na Maimamuhumuendea Yeye (s.w.t) kwa kitu chochote na kwa kila kitu wanachohitajikatika ulimwengu huu na kesho akhera.

Tarjuma ya munajat ya Imamu Ali (a.s)1. Ee Allah! Ninaomba kinga yako dhidi ya siku ambayo hakuna

chochote kama mali au watoto vitakavyokuwa na maana, nakwamba mtu atakayenufaika ni yule ambaye atakuja na moyo safi(uliotakasika).

2. Na ninaomba kinga Yako dhidi ya Siku wakati ambapo mkosajiatakuwa anajing'ata nyuma ya kiganja chake kwa masikitiko naatakuwa anasema: 'Oh, natamani ningechagua njia iliyo onyeshwana Mtume wa Allah.

3. Na ninaomba kinga Yako dhidi ya Siku wakati ambao watendamadhambi watajulikana kwa nyuso zao, na watashikwa kwa nywelezao na miguu yao (kutupwa motoni).

4. Na ninaomba kinga Yako dhidi ya Siku wakati baba hataadhibiwa

badala ya mwanae wala mtoto hataadhibiwa badala ya baba yakekwa kitu chochote, kwa vile Allah ameahidi hivyo na ahadi Yake niya kweli.

5. Na ninaomba kinga Yako dhidi ya Siku ambayo kuomba radhi kwawakosaji hakutawafanyia jema lolote, na kwa sababu hiyowatalaaniwa na watawekwa katika makazi maovu (ya Jahannamu)

6. Na ninakuomba kinga Yako kwa dhidi ya Siku wakati ambao hakunamtu yeyote atakaye miliki juu ya yeyote na uwezo utakuwa wa Allah(peke yake) siku hiyo.

Imamu anaendelea:Mola wangu, Ewe mola wangu, wewe ni Bwana, na mimi ni

mtumwa. Nani mwingine awezae kuwa na huruma kwa mtumwaisipokuwa Bwana?

Mola wangu, Ewe mola wangu, Wewe ni Mmiliki, na mimi ni mmojaninayemilikiwa na Wewe. Nani mwingine awezaye kuwa na huruma kwammilikiwa isipokuwa Mmiliki?

Mola wangu, Ewe mola wangu, wewe ni mwenye nguvu, na mimini dhaifu. Nani mwingine awezaye kuwa na huruma kwa mdhaifuisipokuwa Mwenye nguvu?

Mola wangu, Ewe mola wangu, wewe ni Muumba, na mimi nikiumbe. Nani mwengine awezaye kuwa na huruma kwa kiumbeisipokuwa Muumba?

Mola wangu, Ewe mola wangu, Wewe ni Mtukufu, na mimi nimwenye huzuni. Nani mwingine awezaye kuwa na huruma kwa mwenyehuzuni isipokuwa Mtukufu?

Mola wangu, Ewe mola wangu, Wewe ni Uwezo, na mimi nimyonge. Nani mwengine awezaye kuwa na huruma kwa myongeisipokuwa mwenye Uwezo?

Mola wangu, Ewe mola wangu, Wewe ni Tajiri, na mimi ni masikini.Nani mwengine awezae kuwa na huruma kwa masikini isipokuwa Tajiri?

Mola wangu, Ewe mola wangu, wewe ni Mtoaji na mimi ni ombaomba. Nani mwengine awezae kuwa na huruma kwa omba ombaisipokuwa Mtoaji?

75 76

Page 39: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Mola wangu, Ewe mola wangu, Wewe ni Hai, na mimi ni mfu, nanimwengine awezae kuwa na huruma kwa mfu isipokuwa mwenye Uhai?

Mola wangu, Ewe mola wangu, Wewe ni wa Milele, na mimi ni wakupita. Nani mwengine awezae kuwa na huruma kwa mwenye kupitaisipokuwa wa Milele?

Mola wangu, Ewe mola wangu, Wewe ni wa Kudumu, na mimi nimtu wa kuishi muda mfupi. Nani mwengine awezaye kuwa na hurumakwa mwenye kuishi muda mfupi isipokuwa wa Kudumu?

Mola wangu, Ewe mola wangu, Wewe ni mwenye Kukimu, na mimini mwenye kukirimiwa. Nani mwengine awezaye kuwa na huruma kwamwenye kukirimiwa isipokuwa mwenye Kukimu?

Mola wangu, Ewe mola wangu, Wewe ni Mkarimu na mimi nibahili.Nani mwengine awezaye kuwa na huruma kwa bahili isipokuwaMkarimu?

Mola wangu, Ewe mola wangu, Wewe ni Huru na mimi ni mwenyemateso. Nani mwingine awezaye kuwa na huruma kwa mwenye matesoisipokuwa aliye Huru?

Mola wangu, Ewe mola wangu, Wewe ni Mkubwa na mimi ni duni.Nani awezaye kuwa na huruma kwa mtu duni isipokuwa Mkubwa?

Mola wangu, Ewe mola wangu, wewe ni mwenye Kuongoza namimi ni mpotofu. Nani awezaye kuwa na huruma kwa mpotofu isipokuwamwenye Kuongoza?

Mola wangu, Ewe Mola wangu, Wewe ni mwenye Kulisha na mimini mwenye kulishwa. Nani mwengine awezae kuwa na huruma kwamwenye kulishwa isipokuwa mwenye Kulisha?

Mola wangu, Ewe Mola wangu, kuwa na huruma juu yangu kwaupole Wako, na uwe radhi na mimi kwa upaji Wako na ukarimu wako nahuba yako. Ewe, Mkarimu, na mwenye kuneemesha, Ewe Mwenye nguvuzote na Mneemeshaji, kwa Rehema zako, Ewe Mwingi wa upole.

Baada ya kusoma Dua hizi za Amir'l-Muminiina Ali (a.s) hapana mtuila mwendawazimu aweza kumuita Mungu. Imamu ambaye ni (mtu)mkubwa mno na mtu mkamilifu zaidi, ameonyesha kina cha unyenyekevuna kujisalimisha kwa Allah (s.w.t). Ameonyesha vizuri sana ukwelikwamba ukubwa wake uko chini ya utumwa wake kwa Allah (s.w.t).

Waislamu wote bila tofauti yeyote ya maoni huiona shirk kamadhambi kubwa. Lakini kuna mgogoro mkubwa miongoni mwa Waislamujuu ya suala la kuitambua shirk. Kuna vitu vingi ambavyo baadhi yaWaislamu huviona kama shirk ambapo sio shirk. Inasikitisha kwambaWaislamu hawamalizi tofauti zao kwa busara na unyofu katika mwangawa Quran Tukufu.

Hebu ngoja tujadili baadhi ya migororo hii na dhana potofu kuhusushirk ambayo imesababisha hali mbaya miongoni mwa Waislamu.

Je, kugusa na kubusu vitu vitakatifu ni shirk?Je, ni shirk kubusu na kugusa minara ya chuma na kuta na kuba ya

Mtukufu Mtume (s.a.w) au milango na kuta za makuba ya MaimamuWatukufu na Tabut, Bendera na Tazia ya Imamu Huseini (a.s)?

Baadhi ya Waislamu huviona vitendo hivyo hapo juu kama shirk nahawaruhusu kufanya hivyo katika nchi ambazo ziko chini ya udhibiti wao.Waislamu wengine huchukulia vitendo hivyo kama kuonyesha hisia zaupendo wa ndani, heshima na msimamo. Hebu tuzichambue kwa busarakatika mwanga wa Quran. Kuna matendo fulani makhususi kama vileSijda, Rukuu na Dua ambayo tunayofanya tu mbele ya Allah kuonyeshaukamili wetu wa kujisalimisha kwake, na kuomba aina zote za msaadakutoka kwake.

Naam hakika matendo yote hayo yamekatazwa kabisa na MtukufuMtume (s.a.w) na Maimamu watukufu (a.s) kufanywa kwa yeyoteasiyekuwa Allah (s.w.t).

Lakini kugusa na kubusu ni njia za kawaida ya kuonyesha upenzi namapendo kwa kitu au mtu. Tuna busu na kugusa Quran Tukufu na Hajaral-Aswad. Tuna busu mikono ya wazazi wetu. Tunawabusu watoto wetuwengine. Hakuna anayesema kwamba hiyo ni shirk.

Basi, kwa nini kubusu na kugusa vitu vitakatifu iwe inatafsiriwa kamashirk?

Kusema kweli, kubusu na kugusa ni matendo ambayo ni maalum tukwa wanadamu na vitu venye maumbo ya kimwili na kwa hakika sio kwaAllah kwa vile yeye hana mwili, na hana sehemu maalum ya kukaa. Hivyo,kubusu na kugusa vitu vitakatifu vya kimaumbo kwa hisia za mhemukosio shirk.

77 78

Page 40: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Tunampenda sana Mtukufu Mtume (s.a.w) na Maimamu watukufu(a.s) lakini hatuoni njia ya kuonyesha hisia zetu, kwa vile kimwili hawapopamoja nasi. Kwa hiyo, tunabusu na kugusa kwa hisia za vuguvugu zautukufu kwa kila kitu kilicho husishwa nao.

Hata hivyo, kama mtu yeyote haoneshi mapenzi yake kwaMaimamu katika namna ya kidesturi kama Mashia wengi wafanyavyo,hakuna ubaya wowote ndani yake.

Kitu cha muhimu ni mapenzi ya kweli pamoja na msimamo wakufuata nyayo za Mtukufu Mtume (s.a.w) na Maimamu watukufu (a.s) naujuzi wa kweli wa kuelewa kwamba wao ni waungaji mkono thabiti waTawhid na maadui wa kubwa wa shirk.

Je, kuzuru makaburi ya Maimamu ni shirk?Baadhi ya ndugu zetu Waislamu Masunni bila kujua wanawalaumu

Mashia kuwa wanafanya shirk wakat i wanapozuru makaburi(Roza-e-Muqaddas) ya Maimamu watukufu.

Maneno 'Ziarat-e-Rauzai-Muqaddas' ya Maimamu, yenyewe kwamaana huonyesha kwamba kitendo hiki makhususi hakiwezi kuwa shirkkwani Rauza ni ya mtu ambae amezikwa pale. Kila mtu anajua kwambamtu ambae amezikwa, kamwe hawezi kuwa Mungu, bali kwa hakika nimwanadamu. Allah yuko huru kutokana na kuzaliwa na kifo na kila kitukinacho husiana na kuzaliwa na kifo ni cha kiumbe pekee na siyoMuumba.

Hivyo, ziarat, au kuzuru makaburi ya Maimamu watukufu, ndaniyake yenyewe ni uthibitisho thabiti kwamba hatuwachukulii Maimamukama Miungu au sehemu ya Mungu.

Mbali na hili, kama ndugu zetu Masunni kwa moyo safi na unyofuwatasoma utaratibu wote wa ziarat, hawataona chembe ya shirk, baliwatashuhudia matamshi na uthibitisho wa Tawhid kila mahali na katika kilahatua ya ziarat.

Maelezo ya maelekezo ya mtu afanyae ziarat ni kamaifuatavyo: Wakati mwenye kufanya ziarat akifika kwenye mtaro wa al-Kufa,

anasimama pale na kusoma kisomo kifuatacho: "Allah ni mkubwa mno, Allah ni Mkubwa mno, Mmiliki waukubwa, Fahari, na Utukufu. Allah ni Mkubwa mno, Mmiliki waUkubwa, Utakatifu, Utukufu, na Rehema. Allah ni Mkubwa mnozaidi ya kile ninachoogopa. Allah ni mkubwa mno. Ni msaidiziwangu, juu yake nategemea na Kwake ndiko yaliko matumainiyangu, na Kwake narejea".

Wakati mwenye kufanya ziarat akifika kwenye Lango la Najaf, lazimaasome:"Shukurani zote anastahiki Allah, Ambaye ametuongoza katika hili.Tusingelikuwa wenye kuongozwa kama Allah asingetuongoza".

Wakati mwenye kufanya ziarat akifika kwenye Lango la eneotakatifu atasoma kisomo hiki baada kumhimid Allah:"Nashuhudia kwamba hakuna mungu isipokuwa Allah, mmoja,hana mshirika. Pia nashuhudia kwamba Muhammad ni mja Wakena Mtume Wake. Ametuletea ukweli kutoka kwa Allah. Allah nimkubwa mno. Pia nashuhudia kwamba Ali ni mja wa Allah nandugu wa Mtume wa Allah. Allah ni mkubwa mno, Allah nimkubwa mno. Hakuna Mungu isipokuwa Allah, na Allah nimkubwa mno. Shukurani zote zinamstahiki yeye kwa mwongozowake na msaada wake kuitikia kwenye yale ambayo ameyateremshajuu ya njia ya kufikia Kwake".

Wakati mwenye kufanya ziarat akifika kwenye Lango la Kuba(kaburi), atasoma:"Nashuhudia kwamba hakuna mungu isipokuwa Allah, mmoja.Hana mshirika pamoja nae…..".Wakati akishaomba ruhusa ya Allah, Mtume, na Maimamu, mwenye

kufanya ziarat hufika ndani ya kuba na kusoma ziarat mbali mbali ambazozina salawaat kwa Mtukufu Mtume na Amir'l-Miminiina.

Baada ya ziarat, anasali rakaa sita za sala ya ibada, rakaa mbili kwaajili ya Amir'l-Muminiina na rakaa mbili kwa kila Mtume; Adamu na Nuh,ambao wamezikwa katika eneo hilo hilo.

Watu lazima wajue kwamba salaat hii ni kama salaat nyingineambayo ndani yake kila moja na kila kitendo ni kwa ajili ya Allah pekee.

79 80

Page 41: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Salaat hii vile vile ni uthibitisho kwamba hatuamini kwa mwingine yeyoteasiyekuwa Allah (s.w.t) Ambaye ndiye Muumba ulimwengu na kila kituna kila mtu.

Haya ni maelezo kamili ya kuzuru sehemu takatifu ambayo Mashiahuyatekeleza kwa kutaka radhi za Allah (s.w.t) pekee. Je, kuna chembe yashirk katika utekelezaji wote wa ibada hii kubwa? Kila Mwislamu mnyofuatakubali kwamba ni ibada halisi ya Allah kwani kuanzia wakati mwenyekufanya ziarat aweke mguu wake katika ardhi ya Najaf mpaka baadaeanasali Namaaz-e-ziarat (Salat ya Ziarat) wakati wote anajishughulishakatika ukumbusho wa Allah.

Namna ya kuthibitisha umoja wa Mungu kwenye kiwango cha shule.

Kama kuna miungu wawili, basi kutakuwa na aina mbili tofauti zamifumo mikubwa inayoongoza utaratibu wa uumbaji katika ulimwengu.

Kama kuna miungu watatu, basi kutakuwa na aina tatu tofauti zamifumo. Na kama kuna miungu wengi, basi lazima tuone mifumo mingi.

Lakini wanasayansi wamethibitisha kwamba wameona mfumommoja katika ulimwengu wote. Hebu ngoja tuchambue utaratibu waufanyaji kazi wa uumbaji.

Atomi ni chembe chembe ndogo ya maada isiyogawanyika naisiyoonekana ( kwa macho matupu). Ni kizio cha maada. Wanasayansiiliwachukua miaka 400 kujua tu siri iliyofungiwa ndani ya atomi. Badokuna siri nyingi hazija fichuliwa na wanasayansi wanajaribu mchana nausiku kutaka kuzijua.

Kila atomi katika ulimwengu ina dalili kamili ya uumbaji wa Mungu.Zote zina harakati kubwa, uzuri na madhumuni yao.

Sasa tunajua kwamba kila kitu kimetengenezwa kwa atomi. Vituvyote vina atomi. Mabilioni ya vitu vilivyo tuzunguuka tunavyoviona, vyaasili au vilivyotengenezwa na watu, vinavyo onekana au visivyo onekanavimetengenezwa kwa atomi. Hutofautiana sana zenyewe kwa zenyewekwa sababu tu zimetengenezwa kwa aina tofauti za atomi au zinamipangilio tofauti ya atomi.

Wanasayansi wamepanga atomi zinazojulikana (elimenti) katika

jedwali ya muhula kwa mujibu wa idadi yao ya atomiki. Idadi ya atomiki niidadi ya protoni katika nyukilia za atomi.

Ni imani ya kidini ya wanasayansi wote, kwamba atomi zote,ambazo zimeanzisha mabilioni ya aina tofauti ya kompaundi (compounds)asilia na usanisi (synthetic), zina msingi wa muundo ule ule. Yaani, atomizote zina kitu kimoja kwa ajili ya zote-zote zina elektroni (chembe chembezenye mashindilio yakihansi) ambazo zinazunguuka karibu na nyukilia naprotoni (chembe chembe zenye mashindilio ya kichanya) na nuetronikatika nyukilia (kiini cha atomi). Zote zinafuata kanuni ile ile yamchanganyiko wa kemikali kuunda mabilioni ya aina tofauti ya viini.

Hivyo, wakati atomi zote katika ulimwengu ambazo ni msingi wamali ghafi wa kila kitu ambacho kipo katika ulimwengu, zina aina moja tuya utaratibu, yaani utaratibu wa ufanyaji kazi wa sawa kwa zote kwaushawishi huthibitisha kwamba zina asili moja na uumbaji mmoja tu.Uchunguzi huu wa kisayansi ambao haupingwi na mwanasayansi yeyotewa imani ya Mungu mmoja ni uthibitisho wa wazi wa umoja wa Mungu.

Hivyo Tawhid ni imani ya kisayansi ya wanasayansi wote, wakatiwanapokuwa ndani ya maabara zao za majaribio, wawe ni Wakristo katikaMakanisa yao, Wayahudi katika Masinagogi yao, Mahindu katikaMahekalu yao na waumini wa Mungu mmoja au waamini wa miungumingi katika fikra zao.

Quran vilevile inatoa uthibitisho wa nguvu kwamba kwanini lazimakuwa na Mungu mmoja tu.

"Lau wangelikuemo humo miungu wengine isipokuwa Allah, basi bilashaka hizo mbingu na ardhi zingefisidika. Ametakasika Allah, Mola waArshi na hayo wanayo yazua". (21:22)

"Sema: Hakika mimi namuomba Mola wangu, wala simshirikishi Yeye nayeyote". (72:20)

81 82

Page 42: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

SURA YA TISA

MAANA YA TAWHIDTawhid ni somo kubwa la Qur'an Tukufu. Maana ya tawhid katika

hali nyepesi sana. Hakuna mungu ila Allah.

Quran imekariri maana hii nyepesi ya tawhid katika namna 60tofauti. Baadhi ya hizo zinatajwa hapa:

Hakuna mungu ila Allah (37:35)

Hakuna mungu ila Yeye (2:163)

Hakuna mungu ila Wewe (21:87)

Hakuna mungu ila Mimi (16:2)

Nani mungu isipokuwa Allah (3:61)

Hakuna mungu ila Mungu Mmoja (5:73)

Huna mungu mwingine kuliko Yeye (7:65)

Kamwe hakuwa na yeyote pamoja Naye

Mungu mwingine (23:91)

Allah ni Mungu Mmoja tu (4:171)

Mungu wenu ni Mungu Mmoja (18:110)

Mungu wenu ni Allah tu (20:98)

Yeye ni Mungu Mmoja tu (6:19)

Mungu wako ni Mungu Mmoja (2:163)

Kwa hakika Mungu wenu ni Mmoja (37:4)

Yeye: Allah, ni Mmoja (112:1)

Kwa nini Quran inarudia maneno yale yale katika njia nyingi tofauti?

Hii ni kuifanya tu wazi kabisa kwamba ujumbe wa tawhid ni

mwepesi kabisa, wa kueleweka, rahisi kufahamika na kutambulika bilashida.

Vile vile ni kwa sababu ya kusafisha kabisa aina zote za wasiwasi namashaka kuhusu kuwepo kwa Mungu na haiachi nafasi kwa mtu yeyotekuchafua akili yake kwa uchafu wa ushirikina na uagnostiki; imani yawasemao hakuna habari za Mungu wala hatuwezi kuzijua.

Baada ya misemo hii yenye kuzindua, Quran sasa inatia ushahidiusiopingika na uthibitisho wa nguvu zaidi wa Tawhid - ushahidi waMungu.

"Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye elimu, wameshuhudiakuwa hakika hapana Mungu ila Yeye, ndiye Mwenye kusimamishauadilifu; hapana Mungu ila Yeye Mwenye nguvu na mwenye hekima".(3:18)

Katika aya ya Quran Tukufu hapo juu, Allah (s.w.t) ambaye anajuakila kitu, na ambaye hazungumzi chohcote ila ukweli mtupu, na hakunakinacho fichika katika macho Yake, anashuhudia yeye Mwenyewe kuwepoKwake na ukamilifu wa umoja Wake.

Waweka sahihi wa ushahidi wa Mungu ni wasafi zaidi na nafsi imara- malaika watiifu na watu wenye elimu zaidi. Huu ni ushahidi sahihi zaidiwa Tawhid.

Katika mwanga huu wa kutambua na hadhari mtu mwenye akili yawastani anaweza kumuona Mungu kwa jicho lake la akili.

HUKUMU ZA TAWHIDTawhid ni jengo kubwa la imani yetu ambalo kwalo jengo lote la

Uislamu limesimama.

Kosa dogo sana katika kuielewa tawhid ni balaa kubwa. Jukumu lakwanza na muhimu sana la kila Mwislamu ni kuhakikisha kwa juhudi zake

83 84

Page 43: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

zote za unyofu kwamba hatendi shirk katika njia yeyote ile au katikamuundo wowote. Kwa sababu katika muundo wake mdogo sana nisumu ambayo inaweza kutuangamiza kabisa. Kama ilivyotajwa hapo juuAllah (swt) ametahadhirisha athari mbaya isiyo koma ya shirk.

Mtu anaweza kuwa huru kutokana na shirk kama anafuatakiukamilifu hukumu za tawhid, zilizowekwa na Mtukufu Mtume (s.a.w) naMaimamu (a.s).

Kuna hukumu au vipengele vinne muhimu vya tawhid. Hatuwezikuwa Waislamu wa kweli mpaka tutekeleze mashariti yote haya manne yatawhid.

Sharit la kwanza - Kuamini katika umoja kamili wa AllahKukataa vitu vyote vinavyo chukuliwa kama Mungu na kuamini

katika umoja kamili wa Mungu. Hii ni tarjuma halisi ya shahadah. Hakunamungu ila Allah.

Hivyo, sharti la kwanza la tawhid hutueleza ukweli ufuatao: Lazimatuwe makini kuakisi kipengele hiki cha tawhid katika mawazo na vitendovyetu.

Allah ni Mwenye kujitegemea.Ni mwenye uhai ambaye hategemei vitu vyenye uhai vingine katika

hali yoyote. Kila kitu humtegemea Yeye na huhitaji msaada Wake kwakuishi kwake au kufanya kitu kwa ajili yake mwenyewe au kwa mtumwengine yeyote.

Kufafanua zaidi ukweli huu katika mafundisho ya Maimamu wetu,tunaamini kwamba:

Mitume hawawezi kuonyesha miujiza bila kibali chake. Madaktari hawawezi kuokoa maisha ya mtu yeyote kwa uwezo wao

wenyewe. Wanasayansi hawawezi kugundua siri za maumbile bila msaada

Wake.. Wahandisi hawawezi kusanifu ndege, chombo cha anga za juu,

kompyuta na kitu chochote bila msaada Wake. Marubani hawawezi kurusha ndege, chombo cha anga na roketi bila

msaada Wake.

Quran ina akisi:

"Mwenyezi Mungu - hapana Mungu ila yeye aliye hai, Msimamia mamboyote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomombinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila yaidhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala waohawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalomwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haelemewina kuvilinda hivyo. Na yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu". (2:255)

Hivyo kufanya kitu chochote kidogo au kitu kikubwa, mtu yeyote nakila mtu anahitaji msaada Wake. Sifa hii ya Allah inaelezwa katika jina lake,GHANI maana yake ukamilifu wa kujitegemea kwa kila kitu. Hivyo, yeye nimkamilifu wa kujitegemea kwa kila kitu, na kila kitu hutegemea Kwakekabisa (kwa kila hali). Quran inathibitisha ukweli huu katika aya zifuatazo:

"Enyi watu! Nyinyi ndio wenye haja kwa Mwenyezi Mungu, na MwenyeziMungu ndiye Mwenye kujitosha, Msifiwa. (35:15)

"Vinamwomba yeye vilivyomo katika mbingu na ardhi. Kila siku Yeyeyumo katika mambo". (55:29)

Allah pekee yake ndiye muumba:Kipengele cha pili cha huku kuumba ni kwamba, Allah ndiye

Muumba pekee wa kila kitu ambacho kipo katika muundo wowote, iwe

85 86

Page 44: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

kinaonekana au hakionekani, chenye umbo au kisicho na umbo, ugiligiliau kigumu, au gesi. Yeye ndie muumba pekee na chanzo cha mwisho chavitu vyote vilivyopo.

Hivyo, vitu vyote vinatoka kwake, na hatokani na kitu chochote.

Wanasayansi wamethibitisha ukweli huu kwa majaribio nawanawiita, hukumu ya ubadilishaji wa massi, ambayo husema:

Maada (mata) haiwezi kuumbwa wala kuharibiwa, baliinaweza kubadilishwa kwenye miundo tofauti:

Hii ina maana kwamba, hakuna mtu yeyote (isipokuwa Allah)awezae kutengeneza maziwa na sukari (muwa) lakini mtu anawezakuvigeuza vitu hivyo kuwa chokoleti, aisikrimu na vitu vingine vitamu.

Hakuna mtu yeyote (isipokuwa Allah) awezae kutengenezadhahabu, chuma, shaba, aluminiamu au elementi nyingine yoyote yajedwali ya elementi, lakini mtu anaweza akatumia vitu hivi kutengenezamagari, helikopta na maelfu ya mashine changamano nyingine namabilioni ya vitu.

Hakuna mtu yeyote (isipokuwa Allah) awezaye kuumba nakuangamiza watu, wanyama, mimea, milima na bahari lakini mtu anawezakuwaremba na kuviremba vitu hivi. Kwa usahihi kabisa hakuna mtu yeyote(isipokuwa Allah) awezae kutengeneza kitu bila kitu, bali anawezakutengeneza kitu kutokana na kitu.

Quran inathibitisha ukweli huu katika maneno yaliyokamilika.

"Sema: Allah ni muumba wa kila kitu" (13:16) Hivyo Allah niMuumba, na vitu vingine ni uumbaji Wake.

Katika njia hii hata kama tukiona kitu chochote chenye kupendeza aukitu chochote cha ajabu kilicho tengenezwa na mtu, lazima tumtukuzeAllah kwani yeye ni Muumba wa mtu. Miujiza ya kushangaza ya sayansina teknolojia ni udhihirisho wa ukubwa wa Allah. Lazima tumtukuze Allah(swt), wakati tunapoona miujiza ya sayansi na teknolojia. Halikadhalika,kama tukimuona mtu yeyote mkubwa na mafanikio yake ya ajabu, basilazima tumtukuze Allah ambaye ni Muumba wa mtu huyo.

Quran inatusimulia kisa cha Hadhrat Suleimani ambacho kwachotunapata somo hili.

"Akasema: Enyi waheshimiwa! Ni nani kati yenu atakaye niletea kiti chakecha enzi kabla hawajanijia nao wamekwisha salimu amri". (27:38)

Kwa kujibiwa maombi ya Suleimani, Quran inaendeleakutueleza:

"Akasema mwenye elimu ya kitabu: Mimi nitakuletea kabla ya kupepesajicho lako. Basi alipo kiona kimewekwa mbele yake, akasema: Haya nikatika fadhila zake Mola wangu Mlezi, ili anijaribu nitashukuru aunitakufuru. Na mwenye kushukuru, kwa hakika, anashukuru kwa manufaaya nafsi yake; na anaye kufuru, kwa hakika Mola wangu Mlezi ni Mkwasina Karimu. (27:40)

Mtu ambaye aliyasema haya alikuwa ni Asif-e-Barqiya, waziri mkuuwa mfalme Suleimani (a.s) kwa mujibu wa maelezo haya, alisema,anaweza kukileta kiti cha enzi cha malikia Bilqisi chini ya dakika moja.Quran inathibitisha:

"…Basi alipo kiona kimewekwa mbele yake…" (27:40

Kama alivyosema, kiti cha enzi cha Malkia Bilqisi kilikuwa pale, mbeletu ya Hadharat Suleimani (a.s) ambacho alikileta chini ya dakika moja.

Sasa, jibu la Hadharat Suleimani (a.s) lilikuwa nini wakati alipoonaajabu hii ya mafanikio ya waziri Mkuu? Je, alisema lolote kumtukuza WaziriMkuu wake, ambaye aliifanya kazi hiyo na kukileta kiti cha enzi kutokambali chini tu ya dakika moja?

La hasha, Quran inatuambia kwamba mara tu alipokiona kiti chaenzi pale,

87 88

Page 45: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

"akasema: Haya ni katika fadhila za Mola wangu. (27:40)

Hadhrat Suleimani alichukulia mafanikio ya ajabu ya waziri mkuuwake, kama neema kubwa ya Allah (swt) na kwa hiyo akamshukuru Yeye(swt) na sio mtu ambaye kwa dhahiri amekifanya kitendo hicho. Kishaakaendelea kujumuisha mafanikio ya wanadamu wote kama neema zaAllah na akasema:

Na mwenye kushukuru, kwa hakika, anashukuru kwa manufaa ya nafsiyake; na anaye kufuru, kwa hakika Mola wangu Mlezi ni Mkwasi naKarimu. (27:40)

Hivyo, somo muhimu tunaloweza kupata kutoka kisa hiki cha kwelicha Quran Tukufu ni kwamba, tusishangazwe na mtu ambaye hutimizalengo lolote kubwa au kujifaharisha kama tukifanya kazi yoyote kubwa.Katika hali zote lazima tumtukuze Allah (swt) na lazima tumshukuru Allah(swt), kwani Yeye peke Yake Ndiye ambaye anastahiki hilo. Ni kwasababu, ni Muumba wa mtu, na ni Yeye peke Yake ambaye hutoa fursakwa mtu fulani kufanya kitu chochote cha ajabu. Hivyo, ni Yeye peke Yakeambaye anapaswa kutukuzwa na kushukuriwa kwa ajili ya neema Zake.

Wale ambao hawatambui ukweli huu ni wajinga mno, wakosefu washukurani na watu duni. Wengi wa wanasayansi na watu wakubwa waulimwengu huu ambao wanajulikana kwa mafanikio yao makubwa, nimiongoni mwa watu hawa duni.

Hali kadhalika, watu wengi wajinga wanaabudu watu wakubwa kwasababu hawatambui uwezo wa Mungu nyuma ya watu hawa wakubwa.

Historia huonyesha kwamba, wakati wowote Amir'l-MumininHadhrat Ali anapomuua kafir yeyote mwenye nguvu katika medani ya vita,siku zote husema Allah Akbar. Ni dhahiri kabisa akiuthibitisha uwezo waMungu, akitukuza ukubwa wake, na akishukuru neema zake kubwa.

Sharti la pili - Allah Peke Yake ndiye chanzo cha mwanzocha baraka zote.

A- Imani kamili katika Mungu.Lazima tuamini kwamba matokeo ya mwisho ya kila kitu ni katika

mikono ya Allah tu. Quran inaakisi:

"Na kwa Allah mambo yote hurudishwa". (22:76)

Hakuna rubani awezaye kusema kwamba atafika mwisho wa safariyake salama. Yuri Gagarin, rubani wa jeshi la anga la Urusi mwenyeuzoefu wa hali ya juu na mwana anga wa kwanza ambayealizunguuka ardhi kwenye umbali wa kwenda juu wa km.327 katikachombo cha anga (12 April 1961) katika mwendo wa spidi 27000km. Kwa saa, alikufa katika ajali ya ndege. Mamia ya ndege ambazohuruka kila dakika hutua salama kwenye mwisho wa safari zao tukwa neema ya Allah (swt) mwenye nguvu zote.

"Au nani yule anae kuongozeni katika giza la bara na bahari, naakazipeleka pepo kuleta bishara kabla ya rehema zake? Je! Yupo Mungupamoja na Mwenyezi Mungu? Ametukuka Mwenyezi Mungu juu yawanao washirikisha naye. (27:63)

Hakuna dakitari mpasuaji awezae kusema kwa uhakika kwambaupasuaji wake utamuokoa mgonjwa. Ni kawaida ya utendaji wakiuganga katika upasuaji wowote mkubwa wa wagonjwa kwamba,mgonjwa au mlezi wake lazima aweke sahihi katika karatasi kabla yaupasuaji isemayo, kama kwa bahati mbaya kifo kikitokea, Dakitarimpasuaji asije akahusishwa na kifo hicho. Huu ni utamaduni wakiuganga ambao kwa uwazi huthibitisha kwamba uhai na kifo vikomkononi mwa Allah (swt) na Madakitari wapasuaji wote naMadakitari wa kawaida wanashuhudia kwamba hawajui matokeo yajuhudi zao.

Hakuna mtu yeyote, awe yeye ni Rais wa nchi yenye nguvu sana uamtu tajiri sana wa ulimwengu huu, awezae kusema kwamba kwauhakika anaweza kufanya kazi fulani, ingawa ana kila kitu na uwezo

89 90

Page 46: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

wa kuifanya. Rais wa zamani wa marekani, J.F.Kennedy alienda Texas kutoa

hotuba mwaka Nov.1963 wakati wa kampeni ya uchaguzi wa Raisambapo Kennedy alipanga kuwania kipindi cha pili. Kila kitu kilikuwakatika mpangilio sawiya kama ilivyopangwa kabla, na Rais alikuwaanakwenda na gari lake maalum kutoa hotuba yake. Mamia yamagari ya usalama yalikuwa yanazunguuka katika mitaa ya Dallasmpaka kituo cha biashara cha Dallas ambako Kennedy alipangiwakuongea saa 7 kamili mchana. Majira ya saa 6.30 kamili, wakati garila rais linakaribia barabara ya moja kwa moja katika hatua ya mwishoya safari, kwa ghafla mishindo mitatu ya risasi ikalia na rais waMarekani alianguka chini, akiwa amepigwa kwenye shingo nakichwa. Rais Kennedy, ambae alikufa palepale, alikuwa katikachumba cha upasuaji saa 7 kamili (za mchana), wakati aliopangiwakutoa hotuba.

Hakuna mtu hata mmoja awezae kusema ataishi katika mudamchache ujao. Kila siku mamia ya watu ambao hufa katika ajali zabarabarani hawana habari hata kidogo la janga lao la muda mchacheujao kabla ya vifo vyao.

Hakuna mtu awezaye kumsaidia yeyote bila msaada wa Allah. Kilakitambo kidogo katika maisha ya mtu ni ushuhuda wa ukweli huu.Historia ya mwanadamu hukubali ukweli huu.

Hakuna mtu yeyote isipokuwa Allah (swt) ana ujuzi wa kila kitu.

"Sema: Hapana katika mbingu na ardhi ajuaye ya ghaibu isipokuwaMwenyezi Mungu. Wala wao hawajui lini watafufuliwa".(27:65)

Hivyo, mafanikio na majaliwa ya mwisho ya kila kitu hutegemea juuya utashi na huruma ya Allah (swt). Quran inafundisha:

"Sema: Yeye ndiye Mwingi wa Rehema; tunamuamini Yeye, na juu yake

tunategemea. Mtakuja jua ni nani aliye katika upotovu ulio dhahiri"..(67:29)

B- Kujisalimisha kiukamilifu kwa Allah.Quran inathibitisha:

"Na viumbe vyovyote vilivyoko mbinguni na ardhini humsujudia Allahpeke Yake tu, baadhi hufanya kwa hiari na baadhi kwa nguvu, hivyo vivulivyao huwa asubuhi na jioni". (13:15)

Lazima tuonyeshe uaminifu kamili kwa Allah (swt) tu, au kwaambaye ameamrisha atiiwe. Allah (swt) lazima awe ni wa Pekee namwisho wa lengo letu la upendo, uaminifu, na utii. Lazima tupende nakuonyesha utii kwenye vitu vingine vyovyote au kwa watu tu chini yamaamrisho yake.

Hivyo upendo na utii kwa Mitume, Maimamu, na wazazi lazima uwekwa ajili ya Allah (swt).

Kama upendo kwa Mtume au kwa Imamu sio kwa ajili ya Allah(swt), basi hauna thamani katika macho ya Mtukufu Mtume (s.a.w) naMaimamu watukufu. Upendo kwa Imamu, na ufuasi na mapenzi pamojanaye, lazima iwe ni matokeo ya upendo wa Allah (swt).

Hivyo, kama tunahisi kwa nguvu sana katika nyoyo zetu, kwambaupendo wetu kwa Mtume na Maimamu unatuleta karibu na Allah, basi niibada kubwa mno na kitendo cha hali ya juu cha kusifiwa sana. Lakini,kama hali sio kama hiyo, basi hali yote ya kuonesha upendo kwa Mtumeau Imamu si chochote bali ni mitikisiko ya juu ya mhemuko.

Quran Tukufu inanukuu maneno makubwa ya Mtume Ibrahim (a.s)katika aya ifuatayo:

91 92

Page 47: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

"(Ibrahim alisema): Hakika nimeelekeza uso wangu Kwako, hali ya kuwaniko sawa sawa kwake yeye aliyeumba mbingu na ardhi. Na mimi siomushirikina. Sala zangu na kuchinja kwangu, kuishi kwangu na kufakwangu ni kwa ajili ya Allah, Mola wa ulimwengu. Hana mshirika. Hivyonimeamrishwa, na ni wa kwanza kujisalimisha Kwake". (6:79, 163-164)

Hii vile vile imekuwa ni sunnat ya Mtukufu Mtume (s.a.w) naMaimamu na watu wema na wafuasi wake wa kweli.

Sharti la tatu - Allah peke yake ana amri kamili juu nyakila kitu.

Lazima tuamini katika:

A- Mamlaka ya Mungu:Mifumo yote inayo fanya kazi katika ulimwengu ni kazi ya Allah

peke Yake na hakuna anayeweza kuivuruga bila utashi wake. Na kamakitu chochote kikienda vibaya katika mifumo ifanyayo kazi, ni yeye pekeyake awezae kuidhibiti.

A r d h i p a m o j a n a t u n g a m o ( m a s s / m a s i ) y a t a n i6,600,000,000,000,000,000,000, ina miendo mitatu sawia:

Hujisokota kuzunguuka mhimili wake wenyewe, Husafiri kuzunguuka jua, Huenda kwa kupitia kilimia pamoja na mfumo wa jua na sayari zake

zingine. Mabadiliko kidogo tu katika kasi mwendo wa ardhi auumbali wake kutoka kwenye jua kunaweza kuitupa kwenye kinakirefu cha anga za juu au moja kwa moja kwenye jua.Kuna zaidi ya nyota 100,000,000,000,000,000,000,000,000,000 tu

katika galaksi yetu, kilimia. Nyota hizi, kama jua, zina sayari na setilaitizinazo zunguuka katika mizunguko yao inayo husika. Kisha kuna zaidi yagalaksi billion 10 zinazo zunguuka katika ulimwengu. Allah (swt) anadhibitimiendo ya maumbo yote haya ya kimbinguni.

"Hakika Mwenyezi Mungu ndiye anaye zuilia mbingu na ardhi zisiondoke.Na zikiondoka hapana yeyote wa kuzizuia isipokuwa Yeye. Hakika Yeye niMpole Mwenye kusamehe". (35:41)

" Ametukuka ambae mkononi mwake umo Ufalme wote; na Yeye niMwenye uweza juu ya kila kitu". (67:1)

B- Umoja kamili wa Mungu.Yeye peke yake ndiye Muendelezaji wa ulimwengu wote. Hana

m s h i r i k a k a t i k a k a z i ya k e . K u n a a i n a z a i d i ya j a m i i2,000,000,000,000,000,000 tofauti ya viumbe vinavyoishi katika sayari hiiya ardhi. Viumbe vyote hivi vya Allah (swt) huishi juu ya uso wa ardhi(dunia) au karibu na uso wa ardhi - chini ya ardhi, au katika anga hewa.Vyote hivyo vina aina tofauti ya mahitaji na masharti tofauti ya kuishi. Allah(swt) huvipatia vyote hivyo kila kitu inachohitaji katika kiasi kilicho sawasawa (na mahitaji yake).

"Na tumekujaalieni humo vitu vya maisha yenu, na ya hao ambao nyinyisio wenye kuwaruzuku". (15:20)

"Na hakuna chochote ila asili yake inatokana na sisi; wala hatukiteremshi ilakwa kipimo maalumu". (15:21)

C-Nguvu na uwezo wote wa mtu kufanya kazi yoyote ukoKwake.

Mafanikio makubwa ya Mitume na Maimamu au kazi kubwa zakisayansi za wanasayansi ni kwa ajili ya baraka Zake.

"Kamfundisha mtu aliyo kuwa hayajui". (96:5)

93 94

Page 48: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Enyi watu! Kumbukeni neema za Allah juu yenu. Kuna muumba mwingineasiyekuwa Allah anayekupeni riziki kutoka mbinguni na ardhini? Hapanamungu ila Yeye tu. Basi wapi mnakogeuzwa?(35:3)

"Na tulimpa Luqma hekima, tukamwambia: Mshukuru Mwenyezi Mungu.Na mwenye kushukuru basi hakika anashukuru kwa manufaa ya nafsiyake. Na aliye kufuru, basi Mwenyezi Mungu ni Mkwasi, Msifiwa". (31:12)

Ewe Mola wangu ! Hakika umenipa utawala, na umenifunza tafsiri yamambo. Ewe Muumba wa mbingu na ardhi! Wewe ndiye Mlinzi wangukatika dunia hii na Akhera. Nifishe hali ya kuwa ni Mwislamu nanichanganyishe na watendao mema. [ Qur'an 12:101]

Hivyo, kutukuza kitu chochote maana yake kumtukuza Yeye.Waislamu wanafundishwa na Mtukufu Mtume (s.a.w) kumtukuza Allah(swt) wakati wanapofanikiwa katika jukumu lolote kubwa.

"Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa viumbe vyote.(1:2)

Quran Tukufu inaelezea sharti hili la Tawhid kwa uwazi kabisa katikaaya ifuatayo:

"Na sema: Alhamdulillah, Himdi zote ni za Mwenyezi Mungu ambayehana mwana, wala hana mshirika katika ufalme, wala hana rafiki wakumsaidia kwa sababu ya udhaifu wake. Na mtukuze kwa utukufumkubwa Q:17:111

Hivyo, tunasoma kuhusu ulimwengu ambao una mabilioni yagalaksi zilizo na mabilioni ya nyota, kubwa kuliko jua, - inatupasa tuseme:ALLAHU-AKBAR. (Mungu Mkubwa)

Wakati tunaposoma kuhusu vitu vya kushangaza katika biolojia,kemia, fizikia, botania, zuolojia na matawi mengi mengine ya sayansi,inatupasa wakati wote tuseme: ALHAMDU LILLAH (Shukran zote ni zaAllah)

Wakati tunaposoma au kusikia mafanikio ya Mitume, Maimamu,na watu wengine wakubwa, yatupasa tuseme kutoka ndani ya nyoyozetu: SUBHANA LLAH. (Allah ametakasika)

Kwa nini? Quran inaakisi:

"Zinamtakasa zote mbingu saba na ardhi na vyote viliomo ndani yake. Nahapana kitu ila kinamtakasa kwa sifa zake. Lakini nyinyi hamfahamukutakasa kwake. Hakika Yeye ni Mpole na Mwenye maghfira" Q:17:44

Sharti la nne - Hakuna mwingine kama Allah awezaekuabudiwa.

Masharti matatu haya hapo juu ya Tawhid yalikuwa ya nadharia.Yaani mtu anapaswa kuamini kwa njia hiyo.

Lakini sharti la nne ni la vitendo, yaani, ibada. Kuamini katika Tawhidmaana yake:

95 96

Page 49: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Kumuabudu Allah peke yake na kumkataa mwingine yeyote yulekwa ajili ya kumuabudu. Kiusahihi, hakuna mwingine kama Allahawezae kuabudiwa. Allah peke Yake anastahiki kutiiwa bila mashartina kujisalimisha Kwake kikamilifu, kwa akili na kwa vitendo.

Kimatendo: Hatuwezi kumuinamia yeyote isipokuwa Allah (swt). Hatuwezi kumsujudia yeyote isipokuwa Allah (swt). Hatuwezi kumpigia goti yeyote isipokuwa Allah (swt).

Kimsingi, Sajda na rukuu huonyesha ukubwa wa mtu, kwambahadhi yake ni ya juu mno kiasi kwamba hawezi kuinama au kumpigia gotiyeyote isipokuwa Allah (swt). Sajda hunyanyua hadhi ya mtu katika darajalake la juu. Salat ambayo ni kitendo kinacho onyesha ukamilifu wakuj isa l im isha kwa Al lah (swt ) , kwa h iyo, inaju l ikana kamaMiraj-l-Muuminina.

Hivyo, asili ya kanuni ya nne ya Tawhid ni kwamba, hakuna kituasilani kinachoweza kufanywa mshirika Kwake katika muundo wowote,katika aina yoyote ya ibada, iwe ibada ya kawaida kama Salat, na maombibinafsi (Dua). Mitume wote na Maimamu wametufundisha kwamba,hatupaswi kumuabudu yeyote isipokuwa Allah (swt). Lazima tuombemsaada kutoka kwa Allah kwani yeye peke yake ndiyo chanzo cha kilakitu.

"Na hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila tulimfunulia ya kwambahapana mungu isipokuwa Mimi. Basi niabuduni Mimi tu"Q:21:25

Imamu Ali (as) hufundisha wafuasi wake:"Kuwa na imani katika Allah, omba hifadhi Yake, elekeza sala zako,

haja, na maombi Kwake na Kwake tu peke Yake. Omba mema Kwake kiasiunachoweza, elewa kwamba Allah anamiliki hazina za mbinguni na katikaardhi, si tu kwamba ametoa ruhusa ya kuomba kwa ajili ya huruma(Rehema) Yake na neema Zake, bali vile vile ameahidi kusikiliza maombiyako. Hakuweka walinzi kuzuiya maombi yako kumfikia Yeye. Ombamsaada Wake katika matatizo na dhiki. Muombe Yeye akupe maisha

marefu na siha nzuri. Muombe Yeye kwa ajili ya neema zake na rehma,amekabidhi kwako wewe funguo za hazina Zake. Wakati wowoteunapokuwa muhitaji, omba na atakupa neema na baraka Zake".

Imamu Zainul Abidin (as) Imamu wetu wa nne, amewafundishaMashia wake kupitia dua zake katika Sahifa-e-Sajjadiya, kwambahawapaswi kuomba haja zao kwa yeyote isipokuwa Allah (swt). Kwashauku kubwa humuomba Allah katika dua zake:

"Shukurani zote zimwendee Allah ambaye Kwake Yeye natoamaombi yangu na si kwa mwingine yeyote asiyekuwa Yeye, na kamaningeyatoa kwa mwingine yeyote asiye kuwa Yeye nitavunjika moyokatika maombi yangu. Shukurani zote zimuendee Allah ambaye Kwakenageukia kwa matumaini na si kwa mwingine yeyote asiyekuwa Yeye, nakama ningegeuka kwa matumaini kwa mwingine yeyote asiyekuwa Yeye,matumani yangu yangevunjika kabisa.

"Ee Allah! Wewe ni Bwana wangu na mimi ni mtumwa wako, na nisahihi tu kwamba mtumwa huomba kwa bwana wake na hakunamtumwa aliye na bwana mkarimu mno kama wewe. Shukurani zotezimwendee Allah, simuombi mwingine asiyekuwa Yeye, na kamanigemuomba mwingine asiyekuwa Yeye, maombi yangu hayatajibiwa".

Amir-l-Muminina, Imamu Ali (as) aliandika barua kwa mtoto wakewakati anarudi kutoka vita ya Siffin, mwaka mmoja kabla ya shahada yake.Katika barua yake ya thamani, Imamu ameweka wazi ukweli kuhusu Molawake, ambao hakuna anayeweza kuutambua kwa hekima zakemwenyewe. Imamu anaandika "Elewa kwamba Yule ambaye anamilikihazina za mbinguni na ardhini amekuruhusu kumuomba Yeye naamekuahidi kuyakubali maombi yako. Amekuamuru kuomba kutokaKwake kwa ajili ya kwamba aweze kukupa, na kuomba rehma Yakekwamba aweze kuwa na huruma juu yako. Hakuweka kitu chochote katiyako na Yeye, ili kwamba aweze kujifunua kwako.

Hakuhitaji wewe kuwa na mpatanishi kwa ajili yako Kwake yeye, nakama ukikosea, hakukuzuiya wewe kutokana na kuomba toba. Hanaharaka ya kuadhibu.

Hakufedhehesha wakati wewe unastahili fedheha. Hajawa mkalikatika kukubali toba. Hakuulizi kwa ukali sana kuhusu dhambi zako.Wakati unapomlilia Yeye husikia kilio chako. Weka haja zako mbele Yake,jiweke wazi mbele Yake, Mlalamikie Yeye wasisiwasi wako, muombe Yeye

97 98

Page 50: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

kuondoa matatizo yako, omba msaada Wake katika mambo yako, naomba kutoka kwenye hazina Yake ya rehma ambayo kwamba hakunayeyote mwingine mwenye uwezo wa kutoa, kama maisha marefu, siha yamwili, na ongezeko katika riziki.

"Ameweka funguo za hazina yake katika mikono yako katika haliambayo kwamba amekuonyesha njia ya kumuomba Yeye. Kwa hiyo,unachotakiwa ni kufungua milango ya neema Zake kwa maombi, nauwache mvua nyingi ya rehma Yake inyeshe juu yako".

Kila neno la barua hii ni kombora dhidi ya shirk. Kila sentensi yabarua ya Imamu inastahiki saa nyingi za kutafakari. Ina kanuni ya msingiwa Tawhid na tafsir ya kweli ya umoja wa Mungu. Hivyo, kwa mujibu wamafundisho ya Imamu Ali (as), kwa ufupi na uhalisi wa Tawhidi nikwamba hakuna Mungu ila Allah - uwezo kamili, kuwepo kila mahali,kujitegemea kwa kila kitu, muumba Pekee, Msanii na Mtoa riziki kwa vituvyote vilivyopo (vinavyoonekana, visivyo onekana, vilivyopita na vijavyo).

Ni Mkuu mmoja ambaye uwezo wote na mamlaka ni yake, na vituvingine vyote katika ulimwengu ni udhihirisho wa uwezo na hekima Yake.Yatupasa kufuata amri zake kiukamilifu na inatupasa kuonesha ukamilifuwa kujisalimisha Kwake peke Yake. Kingine chochote ni shirk. Kamatunamuamini mtu yeyote au kuomba kitu chochote kutoka kwa mtuyeyote, tukimfikiria kuwa mwenye kujitegemea kama Allah (swt). Lazimatuombe moja ya vitu hivi kutoka kwa Allah (swt), basi hiyo ni shirk. Lazimatuwe na imani imara kwamba: uzazi, uhai, siha, kifo, ufanisi na ustawi,vyote kwa ujumla viko katika mkono wa Allah kabisa. kwani Yeye anaouwezo kamili wa kufanya chochote kile apendacho kufanya.

Quran imewalaani wakiristo na wapagani kwa kumuomba HadhratIssa (Yesu kiristo), Hadhrati Mariamu (Maria) na wanadamu wenginekuwasaidia kama Mungu

"Sema: Waombeni hao mnao wadaia badala Yake Yeye. Hawawezikukuondoleeni madhara, wala kuyaweka pengine". (17:56)

"Hao wanao waomba, wao wenyewe wanatafuta njia ya kwendea kwaMola wao Mlezi - hata miongoni mwao walio karibu mno - na wanatarajirehema Zake na wanaikhofu adhabu yake. Hakika adhabu ya Mola wakoMlezi yafaa kutahadhari nayo". (17:57)

Quran Inasema:

"Wa kuombwa kweli ni Yeye tu. Na hao wanao waomba badala Yakehawawajibu chochote; bali ni kama mwenye kunyoosha viganja vyakekwenye maji ili yafike kinywani mwake, lakini hayafiki. Na maombi yamakafiri hayako ila katika upotovu". (13:14).

"Sema: Ni nani Mola Mlezi wa mbingu na ardhi?

Sema: Mwenyezi Mungu.

Sema: Basi je, mnawafanya wengine badala Yake kuwa ni walinzi, ambaohata kwa wao wenyewe hawawezi kufanya jema wala baya?

Sema: Mwenyezi Mungu ndiye Muumba wa kila kitu." (13:16)

"Na wale wanao waomba wasio kuwa Mwenyezi Mungu hawaumbi kitu,bali wao wameumbwa". (16:20)

99 100

Page 51: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

"Enyi watu! Unapigwa mfano, basi usikilezeni. Hakika wale mnao waombabadala ya Mwenyezi Mungu, hawakuumba hata nzi ijapo kuwawatajumuika kwa hilo. Na nzi akiwapokonya kitu hawawezi kukipatakwake. Amedhoofika kweli huyo mwenye kutaka na mwenye kutakiwa(22:73)"

SURA YA KUMI

ADL - UADILIFU WA MUNGU.Imani ya pili ya msingi katika Uislamu ni Adl ambayo ina maana ya

uadilifu wa Mungu. Kuamini katika Adl maana yake kuamini kwambamatendo yote ya Allah yako katika mujibu na ukamilifu wa uadilifu namantiki. Allah ni Muadilifu - mbali na dhulma zote, Allah hapendi uonevu,ukatili na aina yoyote ya dhuluma miongoni mwa waja wake.

Moja ya dhehebu la ki-Islamu, wasunni (Ash'ari) wanakataa kabisauadilifu wa Allah. Wanaamini kwamba Allah anao uwezo kamili wakutenda kama atakavyo. Hivyo kwa uwezo na mamlaka Yake anawezakutupa mtu mwema kwenye moto wa jehannamu na mtu mwovu akamtiapeponi na hakuna anayeweza kulalamika dhidi ya amri yake.

Lakini kundi lingine la Waislamu wasunni na Waislamu Mashiawanaamini kwamba ni kweli kwamba Allah ni mwenye uwezo mkuu naMamlaka kuu na hakuna anayeweza kupinga matendo au uamuzi wake,lakini Yeye ni Mkamilifu, na kwa hiyo matendo yake yote na maamuzi sikuzote hutegemea juu ya uadilifu.

NINI MAANA YA UADILIFUNi muhimu kujua maana ya uadilifu kwa sababu wakati mwingine

hufikiriwa na usawa. Kwa mfano, mtu asiyejua maana sahihi ya uadilifuanaweza akauliza maswali mengi ya makosa, kama vile, Allah ni muadilifuna vitendo vyake vinategemea juu ya uadilifu, basi

Kwa nini kuna matajiri na masikini? Kwa nini wanaume ni wenye nguvu kimwili na wanawake ni dhaifu? Kwa nini kuna watu weusi na weupe? Kwa nini baadhi ya watu wana maisha marefu na baadhi hufa katika

umri mdogo kabisa?Ukweli wote huu na ukweli mwingi mwingine katika ulimwengu

unaweza kumtatiza mtu kama anaamini katika uadilifu wa Mungu lakinihajui maana sahihi ya uadilifu. Ni muhimu kujua kwamba maana yauadilifu sio usawa kwani maneno haya mawili yana maana tofauti kabisa.

101 102

Page 52: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Hadharati Ali (a.s) ametoa ufafanuzi sahihi wa uadilifu. Alisema, uadilifuuna maana kuweka kitu katika sehemu yake sahihi. Kinyume chake,dhulma maana yake kuweka kitu kwenye sehemu isiyostahiki.

Kwa mfano, kama tunakaa juu ya meza na kuweka vitabu vyetu juuya kiti, basi hiyo ni dhulma kwani haviko katika sehemu yake sahihi.

Halikadhalika, kama tunalipa mshahara ulio sawa kwa profesaaliyefuzu hali ya juu na mwalimu wa kawaida, tunatoa alama sawasawakwa mwanafunzi mwenye bidii na mwanafunzi mvivu, basi huo siouadilifu.

Uadilifu ni kwamba kila mtu anapaswa kupata kile anachostahiki (auKustahili). Uadilifu ni huu kwamba profesa anapaswa kupata mshaharazaidi kuliko wa mwalimu wa kawaida kwani amefanya juhudi zaidi kupataujuzi na ana uwezo bora zaidi wa kufanya kazi. Uadilifu ni kwamba kilamwanafunzi lazima apangwe kutokana na kiwango cha kazi yake. Yaani,kuwatendea sawasawa au mgawanyo sawasawa sio uadilifu, bali nidhuluma. Hivyo usawa sio sharti kwa uadilifu, bali haki na shughuli sahihini uadilifu. Kwa kuweka maana hii ya uadilifu katika akili, tunawezakuelewa kwa urahisi kwa nini kuna tajiri na masikini, warefu na wafupi,weusi na weupe katika ulimwengu. Kwa nini wanaume wana nguvu nawanawake ni dhaifu. Kuna sababu nzuri na maelezo ya kimantiki. Kwamfano, mwili mororo wa mwanamke ni urembo na kugeuza kinyume nikasoro kwake.

Hivyo uadilifu wa Mungu ni kwamba kila mtu lazima apate haki yakekulingana na mahitaji na uwezo wake. Ni muhimu vilevile kuangaliakwamba hali nyingi za dhulma tunazoziona ulimwenguni kote ni kwasababu ya upendeleo na udhalimu wa mwanadamu. Allah (s.w.t) niMuadilifu na atawaadhibu watu hao katika siku ya hukumu kwa udhalimuwao katika utendaji.

Quran Tukufu kwa uwazi hueleza kwamba maamuzi ya Allah nautendaji siku zote hutegemea juu ya uadilifu kamili. Yeye ni Mola waulimwengu na anaweza kufanya kila kitu anachotaka kwa vile katuhakuwezi kuwa na upinzani hata kidogo dhidi ya utashi Wake, bali ni mojaya sifa Zake kwamba Yeye ni Muadilifu (Adil).

Hivyo anaweza kumtupa mtu mwema katika moto wa Jehannamkwa uwezo wake, lakini kamwe hatafanya hivyo kwa sababu ya ukamilifuwake.

Atawasamehe watu wengi wanaostahili moto wa jehannam kwasababu ni mpole, mwenye rehma na huruma, yaani rehma yake hushindauadilifu Wake.

Mtume (s.a.w) ametufundisha dua kumuomba Allah (s.w.t)asitutendee sisi kwa uadilifu bali kwa rehma na upole. Quran Tukufu kwauwazi inaeleza kwamba:

"Hakika Allah hadhulumu hata uzito wa chembe moja. Na ikiwa ni jambojema, basi Yeye hulizidisha na hutoa kutoka kwake malipo makubwa".(4:40)

Nasi tutaweka mizani za uadilifu Siku ya Qiyama. Basi nafsihaitadhulumiwa kitu chochote. Hata ikiwa ni chembe ya khardali tutaileta.Nasi tunatosha kuwa washika hisabu.

"Hakika Allah anaamrisha kufanya uwadilifu, na hisani, na kuwapa jamaa;na anakataza uchafu, na uovu, na dhulama. Anakuwaidhini ili mpatekukumbuka". (16:90)

Hii huweka wazi kwa nini Shi'a huichukulia 'Adil' kama imani yamsingi wa Uislamu, na sababu inayoacha wanahitilafiana na Sunni juu yasuala hili.

Uadilifu wa Mungu katika mifumo ya kimaumbile.Ufafanuzi wa uadilifu uliotolewa na Imamu 'Ali (as) unaweza

kuonekana kwa usahihi katika sheria za Mungu za maumbile zifanyazo

103 104

Page 53: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

kazi katika ulimwengu.

Wanasayansi kwa mshangao wamethibitisha kwamba wanaona kilakitu katika sehemu yake sahihi. Hakuna kitu katika ulimwengu kisicho nampangilio na kilicho hovyo hovyo.

Wanasayansi wanasema kwamba kuna mlinganisho halisi kati yajua, ardhi na sayari nyingine. Kama mlinganisho huu unatibuliwa, mfumowote wa jua unavunjika. Mlinganisho huu ambao ni uthibitisho borakabisa wa uadilifu wa Mungu, unaonekana katika atomi ya ulimwengu.Kwa vile atomi ni kizio cha maada, ina maana kwamba uadilifu umeeneakila sehemu katika ulimwengu.

Profesa Haldane, Mwanabiolojia mashuhuri, ameandika makala "Juuya kuwa katika kimo sahihi". Katika makala hii ya kuvutia, anathibitishakwamba kila kiumbe kinachoishi (mtu, wanyama, wadudu nk) kina kimosahihi, yaani miili yao inaendana sawa na masharti ya kuishi na mazingira.

Hivyo, ulimwengu wote na vitu vyake visivyo na idadi ni ushahidiwa uadilifu wa Allah (uadilifu wa Mungu).

Quran Tukufu ilithibitisha zamani maoni haya ya kisayansi yaulimwengu:

"Na mbingu ameziinua, na ameweka mizani". (55:7)

SURA YA KUMI NA MOJA

SABABU ZA MATESO YA MWANADAMU NA

MAJANGA YA KIMAUMBILEKila siku wakati tunaposoma magazeti au kutazama TV, tunapata

kufahamu kuhusu aina nyingi tofauti za huzuni na misiba ya wanadamu.Vilevile tunaona watu walio tuzunguuka kwa huzuni wanaumwamagonjwa sugu, njaa, na umasikini. Vilevile tunasikia kuhusu misibamikuu, majanga ya kimaumbile kama vile tetemeko la ardhi, mafuriko,kimbunga, chamchela, tufani, dhoruba na ukame ukiua mamilioni ya watuna kuacha mamilioni ya wajane, yatima na vilema.

Swali hujitokeza kwamba wakati Mungu ni mwenye nguvu zote,yaani ana uwezo wa kudhibiti kitu chochote na kila kitu na Mungu vilevileni mjuzi wa yote, yaani anajua kila kitu ambacho hutokea mahali popotekatika ulimwengu, basi kwa nini matukio haya ya kutisha mno yatokee?

Hili ni swali muhimu sana. Makafiri wengi hutumia swali hili kamasababu sahihi ya kukataa kuwepo kwa Mungu. Swali hili vile vilehuwasumbua Waislamu wengi wajinga. Kwa hiyo ni muhimu sana kwawanafunzi wote Waislamu kupata jibu la kuridhisha la swali hili.

Swali hili halina jibu moja rahisi kwani kuna sababu nyingi tofauti zakutaabaki na matatizo ya mwanadamu.

Baadhi ya sababu kubwa za misiba na mateso ni kamazifuatavyo: Matokeo ya matendo yetu na adhabu ya Mungu. Onyo na ukumbusho kurudi kwa Mungu Kutia nguvu na kuchangamsha roho ya mwanadamu na kuongeza

juhudi zake. Mtihani. Mfumo wa Mungu.

105 106

Page 54: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Matokeo ya Matendo Yetu.Sababu kubwa za mateso yetu yote na taabu ni matendo yetu.

Yaani, katika hali nyingi tunateseka kwa sababu ya matendo yetu maovu.Qur'an imefichua sheria hii ya Mungu.

"Kisha walio dhulumu wataambiwa: Onjeni adhabu ya kudumu. Kwanimtalipwa isipokuwa kwa yale mliyo kuwa mkiyachuma". (10:52)

Yaani unapokea malipo ya kile ulichochuma. Kanuni hii ya Munguvilevile iligunduliwa na Isaaki Newton katika maumbile ambayotunafundisha katika fizikia. Yaani, kila tendo lina matokeo yanayolinganasawa sawa.

Kama kwa uaminifu tunachunguza na kuchambua mateso yetu nataabu zetu kwa hakika tutajua kwamba katika hali nyingi mateso yetu nimatokeo ya matendo yetu wenyewe au mtazamo. Hebu tuliangalie hilikwa dhahiri.

Njaa na UmasikiniAina ya kawaida zaidi ya mateso na maumivu ni njaa, umasikini na

magonjwa. Hebu ngoja tuzichambue sababu za mateso haya moja baadaya moja.

Umasikini ni ukosefu wa kipato cha kutosha na rasilimali ili kuishikwa furaha. Ni moja ya matatizo makubwa ya kijamii ulimwenguni. Katikanchi zote zinazo endelea na zilizo endelea, mamilioni ya watu wanatesekakwa sababu ya umasikini. Umasikini ni ugonjwa wa kawaida mno wajamii. Wengi wa watu masikini ulimwenguni hawawezi kununua chakula,nyumba, nguo, na huduma ya uganga ambayo wanaihitaji. Hii hujengahali ya ukataji wa tamaa kuvunjika moyo na ukosefu wa shauku katikamaisha. Mapema katika miaka ya 1980, ilikadariwa kwamba watu bilionimoja, takriban moja ya tano ya watu wote ulimwenguni walikuwa masikinimno kiasi kwamba afya zao na maisha yao yaliathirika

Lakini ni nini sababu ya umasikini na nani anaye paswa kulaumiwakwa mateso yote haya? Mtu au Mungu?

Umasikini una sababu mbalimbali. Baadhi ya hizo zinatajwa hapa:

a. Ukosefu wa elimu, ujuzi na kipaji cha kufanya kazi. Watu wengihawataki kufanya kazi. Wanateseka kwa sababu ya uvivu wao aukutokuwa na shauku katika kazi. Baadhi ya watu wanafikiri kwambaAllah (s.w.t) ni mtoaji riziki zetu na amechukuwa jukumu la mahitajiyetu ya msingi. Ni kweli, lakini bado juhudi nyingi zinahitajikakuchukua mgao wetu kutoka kwenye ghala la Mungu. Hivyo, katikahali nyingi umasikini ni kwa ajili ya utumiaji mdogo wa uwezo wamwanadamu na rasilimali za asili.

b. Mfumko wa bei huchangia umasikini. Mfumko wa bei maana yakeongezeko la bei za bidhaa ambalo huathiri kundi makhususi la jamii.Tumezoea kuliona tatizo hili mara kwa mara. Hii ni sababu iliyotengenezwa na mtu ambaye kwayo tabia ya uchoyo hufanya kazikupata kingi iwezekanavyo bila kufikiria chochote.

c. Baadhi ya nchi ni masikini kwa sababu ya ukosefu wa utaalamu navifaa vinavyohitajika kuzalisha chakula cha kutosha kusambazwakwa ajili ya watu wao. Vilevile ni kwa ajili ya kutojihusisha katikasayansi na tekinolojia.

d. Wanawake wengi wanakuwa masikini baada ya kutalakiwa aukutenganishwa na waume zao. Vilevile ni sababu ya mtu binafsi.

e. Katika hali fulani umaskini vilevile hutokea kutokana na majanga yakimaumbile kama vile mafuriko, ukame au mavuno kidogo. Hii piainaweza kuwa sababu isiyo ya dhahiri (ya moja kwa moja) ya maovuyetu ambayo tutaijadili baadae.Hivyo, katika hali nyingi tunaona kwamba njaa na umaskini

husababishwa haswa amma kwa ajili ya usambazaji usio mzuri wahuduma au matumizi madogo ya uwezo wakiasili wa rasilimali.

Adhabu za Mungu.Ni muhimu kujua zaidi kuhusu adhabu za Mungu. Qur'an imeeleza

adhabu za Mungu kwa mpangilio. Hata hivyo, sio rahisi kwa mtu wakawaida kutambua adhabu ya Mungu na lililo muhimu zaidi sababu yakehaswa.

107 108

Page 55: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Magonjwa na Milipuko ya MagonjwaMagonjwa vilevile ni sababu kubwa ya mateso. Ina semekana

kwamba magonjwa yameua au kuwalemaza watu zaidi kuliko vita yeyoteiliyopiganwa. Kila mwaka, makumi ya mamilioni ya watu hufa kutokana naaina tofauti ya magonjwa. Nchini Marekani peke yake magonjwa yameuatakriban watu milioni 2 kila mwaka na kuacha watu wengi vilema wakudumu. Kwa dhahiri huonyesha kama kwamba Mungu pekee anahusikana aina zote za magonjwa kwa vile Yeye ameumba virusi, bacteria ambaohusababisha aina nyingi tofauti za magonjwa. Lakini hii sio kweli.

Wataalamu wa kiuganga wanasema kwamba takriban magonjwayote yanasababishwa kwa kupuuza kiwango cha kanuni za maumbile.Yaani, mtindo wetu wa maisha, tabia zetu, hali zetu za maisha namagonjwa yanayosababishwa na uharibifu wa mazingira. Hebu tuchukuemalaria, ugonjwa wa kawaida wa nchi za dunia ya tatu. Malariayanasababishwa na jamii ya protozoa inayoitwa plasimodia nahuambukiza kwa kuumwa na mbu jike aina ya anofili. Ni kweli kwambaAllah (s.w.t) ameumba mbu na plasimodia ambao hutambuzika malaria.Lakini Allah vilevile amewaelekeza mbu kuishi katika maji machafu namazingira machafu. Hivyo, kwa kusababisha mazingira machafutunakaribisha mbu, nzi, panya na wadudu wengine wanaobeba viini vyamagonjwa na kuvileta majumbani mwetu na kusababisha magonjwa.

Halikadhalika UKIMWI, ugonjwa hatari mno usiopona, ambaoumeua mamilioni ya watu, ni ugonjwa unaofadhiliwa na wahalifu. Sababuya UKIMWI ni virusi vya HIV, hapana shaka vimeumbwa na Allah (s.w.t),lakini nani anavipeleka kwenye mwili wa mwanadamu? Allah aumgonjwa mwenyewe. Angalau katika ugonjwa huu makhususi madaktarikwa uadilifu wamekubali kwamba chanzo pekee cha ugonjwa huu nimgonjwa mwenyewe kwa vile ni yeye mwenyewe kaupata. Ndiyo maanawameuita (kwa kiingereza) Aquired Immune Deficiency Syndrome (AIDS),(Yaani tafsiri sahihi maana yake: kujipatia ukosefu wa kinga mwilini).

Hata wale watu wasio na hatia ambao wanaupata ugonjwa huukutokana na kupewa damu au kwa nyembe ni kwa sababu ya uzembe wamwanadamu

Hivyo, katika hali nyingi, mateso yatokanayo na ugonjwa suguambao hufanya maisha kuwa ya huzun ni matokeo ya matendo yetuwenyewe.

Kifo CheusiKama ilivyo tajwa hapa juu, sio siku zote, lakini katika hali nyingi,

sababu ya ugonjwa ni kitendo kibaya cha mtu mwenyewe au kuzembeaamri za Mungu. Wakati taifa lote huadhibiwa kwa mlipuko wa magonjwa.

Wanasayansi wanasema kwamba bado hawajui, vipi inakuwa ghaflatu mlipuko wa magonjwa makhususi hukua na kuenea sehemu zote nakuua mamillioni ya watu na kisha kuondoka wenyewe bila juhudi zozoteza mwanadamu.

Kwa mfano, mlipuko wa ugonjwa wa Tauni ulitaarifiwa katika vipinditofauti vya historia kwamba umeua maelfu na mamilioni ya watu.

Mwaka 542 A.D. m l ipuko wa Tauni u l iukumba mj i waConstantinople (sasa Istambul-Uturuki), na kuua nusu ya watu wote.

Mwaka 1347 A.D., moja ya janga kubwa la Tauni lilitokea katikabara la Ulaya ambalo liliua watu 40,000,000 - takriban robo ya watu wotewa Ulaya ya wakati huo. Ugonjwa huu unaoenea pote unaitwa kifo cheusikatika historia.

Katika miaka ya 1800 mlipuko wa tatu ulitokea ghafla huko China nakuenea kama moto. Uliua zaidi ya watu milioni 20.

Wanasayansi wamejaribu kukisia baadhi ya sababu za kumkinika zamilipuko hii, lakini wanashangazwa na utatanishi wa chanzo chao. Kwamfano, hawawezi kujibu maswali kama haya: Vipi sababu makhsusihutokea ambayo hueneza Tauni, na kwa nini imetokea katika muda fulanimakhususi na sio kwenye muda mwingine wowote, na vipi unatowekawenyewe bila sababu yoyote ya wazi.

Kuonyesha mfano mmoja, chukulia sababu ya wazi inayojulikana yamlipuko wa pili - kifo cheusi, ambao uliua watu milioni 40 katika bara laUlaya. Inasemekana kwamba chanzo cha mlipuko huu ni panya weusiambao hubeba jamii maalum ya viroboto viitavyo eksenopsilia cheopsia.Lakini asili ya wapi wametoka panya hawa ambao wamekuja kuenezamlipuko huu bado ni kitendawili. Cha kushangaza zaidi, kwa nini panyahao hao hawakueneza ugonjwa huo huko walikokuwa wakiishi kabla?Zaidi katika mshangao wao, iligundulika kwamba panya wa kahawia,ambao huonekana mara chache huko Ulaya, walikuja kutoka China nakuua panya weusi ambao walikuwa wakiueneza ugonjwa. Wale ambaohawaamini katika Mungu na katika mipango yake, milipuko kama hiyo

109 110

Page 56: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

itabakia kwao kama fumbo. Lakini wale ambao wanasoma Qur'anwanaweza kuelewa, kwa nini panya weusi walileta ugonjwa huko Ulayana nani aliyepeleka panya wa kahawia kuzimisha mlipuko.

Majanga ya kimaumbileMajanga ya kimaumbile kama vile tetemeko la ardhi, tufani, mafuriko

na ukame, ambayo huleta aina tofauti za mateso, wakati mwingine vilevilehusababishwa na matendo yetu mabaya. Qur'an imeeleza kwa mpangiliokwamba vipi aina hizi nyingi za majanga ya kimaumbile yalivyofyekamataifa mengi katika zama zilizopita wakati walipomuasi Allah na kuchupamipaka ya Mungu.

Qur'an inataja aina tofauti za majanga ya kimaumbile ambayoyalisababishwa na ghadhabu ya Allah (s.w.t).

"Basi kila mmoja tulimuadhibu kwa mujibu wa makosa yake. Kati yaowapo tuliowapelekea kimbunga cha changarawe; na kati yao wapo ambaotuliowadidimiza katika ardhi; na kati yao wapo tulio wazamisha. Wala Allahhakuwa mwenye kuwadhulumu, lakini walikuwa wenyewe wakijidhulumunafsi zao". (29:40)

Katika surat HUD, imetajwa pamoja na maelezo yote kwamba vipimataifa ya Mitume iliyopita ilivyo adhibiwa moja baada ya jingine kwasababu ya dhambi zao na hali ya uasi wao.

1- Mtume Nuhu (a.s)- MAFURIKOTaifa lake lote liliangamizwa kwa mafuriko makubwa isipokuwa

Masahaba wake. Mmiminiko mkubwa wa maji ulimiminika kutoka ardhinina kutokea angani na wote walikufa maji isipokuwa waumini wachache.(11:21-49)

2- Mtume Hud (a.s)- MLIPUKO WA KUTISHA MNOTaifa lake lote, liitwalo Aad liliangamizwa na janga la kimaumbile la

kutisha isipokuwa wale ambao wamemtii. (11:49-59)

3- Mtume Saleh (a.s) - MPASUKO WA NGUVU MNOTaifa lake lote, liitwalo Thamud, isipokuwa wafuasi wake wa kweli,

walisagwa sagwa na mlipuko wa kutisha ambao uliandamana sambambana tufani lenye nguvu mno. (11:61-67)

4- Mtume Lut (a.s) - TETEMEKO KUBWA MNO LA ARDHITaifa lake lote, isipokuwa wafuasi wake wa kweli waliangamizwa

kwa kugeuzwa mji wote chini juu, juu chini, ikifuatiliwa na mvua yaudongo wa mfinyazi uliochomwa, tabaka juu ya tabaka. (11:77-82)

5- Mtume Shuaib (a.s) - MPASUKO WENYE NGUVUTaifa lake lote, liitwalo Madiana, liliangamizwa isipokuwa wafuasi

wake wachache kwa mlipuko (tetemeko). (11:84-94, 29:36)

6- Mtume Musa (a.s) -KUTUPWA KATIKA BAHARI Firauni,machifu wake na jeshi lote walizamishwa katika bahari.

Baada ya kutoa maelezo yote ya majinai na adhabu, Qur'an kwauwazi kabisa hutuambia sababu ya majanga haya ya kimaumbile yakutisha katika aya ifuatayo:

"Hizi ni katika habari za miji, tunakusimulia. Mingine ipo bado na mingineimefyekwa. Na sisi hatukuwadhulumu, lakini wao wenyewewamejidhulumu. Na miungu yao waliyo kuwa wakiiomba badala ya Allahhaikuwafaa kitu ilipowafikiya amri ya Mola wako. Na hiyo miunguhaikuwazidishia ila maangamizo tu". (11: 100-101)

111 112

Page 57: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Hivyo, aya hizi za Qur'an Tukufu zimeeleza kwamba moja ya sababukubwa za majanga ya maumbile ni adhabu ya Mungu. Hata hivyo,hatuwezi kusema kwa uhakika kwamba kila janga la kimaumbile niadhabu ya Mungu. Lakini janga la kimaumbile hutokea kama zamani namatokeo ya kutisha. Mamia ya majanga ya kimaumbile ya nguvu za haliya juu sana yamehifadhiwa kimaandishi katika historia.

Hapa tunatoa machache tu ya mengi ya majanga ya kimaumbilehaya ambayo yamepiga vibaya mno mataifa mbalimbali katika miaka elfumoja ya mwisho iliyopita.

M W A K A SEHEMU V I F O AINA YA MAJANGA

856 Iran 200,000 Tetemeko La Ardhi

893 India, Iran 330,000 Tetemeko La Ardhi

1138 Misir, Syria 330,000 Tetemeko La Ardhi

1201 Misir Kasikazini 1,100,000 Tetemeko La Ardhi

1290Kasikazini MasharikiChina 100,000 Tetemeko La Ardhi

1556 Katikati Ya China 830,000 Tetemeko La Ardhi

1693 Sisilia 300,000 Tetemeko La Ardhi

1703 Honshu: Japan 200,000 Tetemeko La Ardhi

1730 Hokkaido: Japan 137,000 Tetemeko La Ardhi

1731 Beijing: China 100,000 Tetemeko La Ardhi

1737 Calcutta: India 300,000 Tetemeko La Ardhi

1779 Kasikazini Ya Iran 100,000 Tetemeko La Ardhi

1887 Mashariki Ya China 900,000 Tetemeko La Ardhi

1920 Katikati Ya China 200,000 Tetemeko La Ardhi

1923 Tokya: Japan 142,000 Tetemeko La Ardhi

1927 Katikati Ya China 200,000 Tetemeko La Ardhi

1970 Bangladesh 266,000 Kimbunga

1976 Kasikazini Ya China 240,000 Tetemeko La Ardhi

Qur'an Tukufu imetutambulisha kiini cha sababu cha aina nyingi yamajanga haya ya kimaumbile, kama ilivyotawa hapo juu, katika ayaifuatayo:

Hakika Allah hawadhulumu watu kitu chochote; lakini watu wenyewewanajidhulumu nafsi zao". (10:44)

Onyo la Mungu la Kurudi kwa Mola Wetu.Kama tunachunguza kwa uangalifu matukio machungu ya maisha

yetu ambayo hutokea katika mazingira maalum na kuyahukumu katikamukhtadha wa tabia yetu, tunaweza kutambua kwamba mengi yamatukio haya machungu yalikuwa muhimu kwa maendeleo yetu. Wakatimwingi imetokea kwamba mshituko wa ghafla au pigo katika maisha yetuhutokea kuwa kipindi muhimu. Adhabu hizi nyepesi ni za kuthibiti tukinidhamu ili kutuokoa kutokana na adhabu kali. Wale ambao wanajali,huchukuwa fursa ya matukio haya na kubadili tabia zao, lakini wale ambaohawajali watalia tu na kulalamika na mwishowe kukutana na matokeomakali mno ya tabia zao za kutojali.

Tunaona watu wengi ambao wana maisha mazuri sana na ya starehewanamsahau Mola wao na tukio la ghafla lenye machungu huwaamshakutoka kwenye usingizi wao mzito. Maisha ya wazi na rahisi ni kamakuendesha gari katika barabara kuu nzuri katika usiku wa kupendeza.Kama dereva hakuonywa kwa wakati na mgongano, hakika atakumbanana ajali inayotisha. Hii ndiyo sababu wahandisi katika barabara kubwa zakisasa wameweka vizuizi vya taa bandia katika kila umbali mfupi kwa ajiliya kumzuia dereva asilale wakati wa safari ndefu. Hivyo, kunyanyuka nakushuka na matatizo katika maisha vile vile hufanya madhumuni yale yalena kutuweka katika tahadhari ya kukwepa matukio mabaya ya kuumiza.

Qur'an huwakataa watu hawa wasiojali ambao hawachukuimafunzo kutokana na mateso yao.

113 114

Page 58: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

"Kwa nini wasinyenyekee ilipowafika adhabu yetu? Lakini nyoyo zaozilikuwa ngumu, na shetani akawapambia waliyokuwa wakiyafanya".(6:43)

Hivyo, matatizo na matukio machungu yanaweza kuwa na sababunyingi tofauti na sio haki kuyachukulia kama adhabu bila utambulisho wasawasawa. Aidha katika hali nyingi kuna baraka nyingi za Allah (s.w.t)katika mateso yetu kwani huongeza nguvu na kuamsha roho zetu nakuzidisha juhudi zetu.

Hata majanga ya kimaumbile kama matetemeko ya ardhi, ukame,mafuriko na vita huleta mabadiliko mengi ya maana katika ulimwenguwetu na jamii.

Nyoka mwenye sumu huonekana kuwa adui hatari sana kwabinadamu lakini sumu yake ambayo inaweza kumuua mtu asiyemuangalifu hutumika kama dawa kuokoa maisha ya maelfu ya watu.

SURA YA KUMI NA MBILI

NUBUWWAT - UTUMEImani ya tatu ya msingi katika Uislamu ni Utume. Ina maana

kwamba Allah (swt) ametuma wajumbe Wake kuwafundisha wanadamukuhusu madhumuni ya kuumbwa kwao. Mpango wa Mungu wa kutumaMitume ulikuwa kwamba hakuna mtu atakayeachwa bila mafundisho yaMungu. Kwa sababu hii mtu wa kwanza katika ardhi, yaani, HadharatAdamu (as) mwenyewe, alikuwa Mtume. kisha Allah (swt) kishaakapeleka Mitume kwenye mataifa yote na jumuiya zote kwenda kuhubiri.

Ufafanuzi wa UtumeUtume umefafanuliwa na mwanachuo mkubwa Allama Hilli kama

hivi; "Mtume ni mtu ambaye hutoa taarifu kutoka kwa Allah (swt) bilakupitia kwa mwanadamu yeyote"

ALLAH ð MTUME ð WATU

Nini maana ya Nabii na Rasul?1. Mtume (Nabii)2. Mtume (Rasul)

Mjumbe wa Allah anaweza kuwa Nabii (Mtume) au Rasul (Mtume) auvyote Nabiii na Rasul kwa wakati mmoja

Nabii (Mtume)Nabii ni neno la kiarabu ambalo limetokana na neno "Naba," maana

yake, Habari za kweli za kitu muhimu kabisa. Katika lugha ya ki-Arabu, nenoNaba halitumiki kwa habari za kawaida lakini hutumika kwenye habariambazo ni kweli kabisa (ukweli uliothibiti) na habari zenye manufaa makubwa.Hivyo, neno Naba huonesha kwamba ni habari kubwa na za kweli, hivyotunaweza kusema kwamba, Nabii ni mtu aliyetukuzwa na mwenye daraja yajuu sana, ambaye ana kazi maalumu kutoka kwa Allah (swt) kuwasiliana nawaja wake kwa niaba Yake.

115 116

Page 59: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Rasul (Mtume)Rasul vilevile ni neno la kiarabu ambalo limetokana na neno "Risalat"

maana yake kupeleka, hivyo maana ya Rasul ni mtu ambaye ametumwa naAllah (swt). Katika istilahi za ki-Islamu vyeo vyote, Nabii na Rasul, ni watu wadaraja ya juu walioteuliwa na Allh (Swt) kuongoza wanadamu.

Nini tofauti ya Rasul na Nabii?Baada ya kujua maana ya kiistilahi ya Rasul na Nabii, ni muhimu vilevile

kuelewa tofauti ya daraja mbili hizi kubwa. Qur'an imetumia maneno yote,Nabii na Rasul ambayo huonesha kwamba kulikuwa na aina mbili zawajumbe.

1. Baadhi ya wajumbe walikuwa ma-Nabii tu.2. Baadhi ya wajumbe walikuwa na vyeo vyote, Nabii na Rasul.

Tofauti kati ya Rasul na Nabii ni kwamba:1. Rasul alikuwa mjumbe wa Allah ambaye amepewa shariat mpya kutoka

kwake. Na nabii vilevile alikuwa mjumbe wa Allah, lakini hakupewaShariat yeyote mpya, na alifuata shariat ya Rasuli aliyepita. SheikhMufid, mwanchuo mkubwa wa ki-Islamu anaandika katika kitabuchake, (Awa'il al-Maqalat) "Kila mjumbe ni Mtume (Nabii) lakini siyo kilaMtume ni Rasul." ma-Rasul wote walikuwa ma-Nabii lakini ma-Nabiiwote hawakuwa ma-Rasul.

2. Mtume wakati wote ni Nabii kwa kuzaliwa, lakini Mtume huwa Rasulwakati akipokea rasmi nafsi hiyo na kuitangaza. Kwa mfano Mtumewetu Muhammad (s.a.w) alikuwa Nabii kwa kuzaliwa, lakini amekujakuwa Rasul wakati alipoupata na kutoa ujumbe wa Risalat akiwa naumri wa miaka 40.

3. Mtume (Rasul) hupokea ujumbe kutoka kwa Allah katika namna nyingitofauti kama vile ndoto wakati akiwa usingizini, mawasiliano ya mojakwa moja na malaika wakati akiwa macho. Yaani anaweza kuona nakuongea na malaika wakati wa kuwasilisha ujumbe wa Mungu. LakiniNabii ni tofauti na Rasul kwani yeye hawaoni malaika wakati akiwamacho lakini huwaona akiwa usingizini.

4. Rasul ni mkubwa katika daraja kuliko Nabii. Kati ya Mitume 25waliotajwa katika Qur'an Tukufu, au miongoni mwa Ma-nabii 124000,watano walikuwa Ma-Rasul, na wanaitwa Mitume Ulu'l-adhma, maana

yake wale ambao wana sifa ya uamuzi na uimara.

Rasul watano na Ulul'adhma ni:1) Hadharat Nuh(as)2) Hadharat Ibrahim(as)3) Hadharat Musa (as)4) Hadharat Isa (as)5) Hadharat Muhammad (s.a.w) Mtume Nuh alipewa shariat ambayo ilifuatwa na Mitume wengine

mpaka wakati wa Hadharat Ibrahim. Mtume Ibrahim alipewa shariat ambayo ilikaa kwenye matumizi mpaka

wakati wa Hadharat Musa.Yaani Hadharat Ya'qub, Hadharat Lut,Hadharat Yusufu (as) nk. Walifuata shariat ya Hadharat Ibrahim (as).

Mtume Musa (as) alipewa shariat mpya ambayo ilifuatwa na Mitumewote wa Bani Israil mpaka wakati wa Hadharat Isa (as).

Mtume Isa alipewa shariat mpya ambayo imekuwa katika matumizimpaka wakati wa mtukufu Mtume Muhammad (saw).

Mtume Muhammad (s.a.w) alipewa shariat ya mwisho na iliyo kamilizaidi na ambayo itabakia katika matumizi mpaka siku ya mwisho waulimwengu kufanya kazi. Shariat ya Muhammad (s.a.w) katu haiwezikubadilishwa kwa vile Mtume Muhamad (s.a.w) ni Mtume wa mwishona hakuna Mtume atakaye kuja baada yake. Mtume wetu Muhammad(s.a.w) ana ubora na daraja ya juu zaidi miongoni mwa Mitume wote.

Ni kazi gani zilikuwa maalumu kwa Mitume?Qur'an kwa usahihi kabisa huelezea wajibu wa Mitume kwa taifa lake.

"Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma,awasomee aya Zake na awatakase, na awafunze kitabu na hekima,ijapokuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhahiri." Q:62:2

Kutoka katika aya hii ya Qur'an Tukufu tunafikia hitimisho kwamba,

117 118

Page 60: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

kulikuwa na majukumu manne makubwa ya Mtume. Hakuna mtumwingine mwenye uwezo wa kuyatekeleza isipokuwa wakala wa Mungundiye awezaye kuyafanya haya.

1) Kuongoza watu kwenye njia iliyo nyooka2) Kuwajulisha watu kuhusu ukweli usio onekana na uliofichika na

ambao kamwe hawawezi kuujua au kuutambua wao wenyewe.3) Kutakasa nafsi zao na kutekeleza maadili yao ya msimamo wa

Mungu.4) Kuthibitisha matendo ya watu katika Siku ya Hukumu.

Wajibu wa kwanza wa Mtume -Kuongoza watu.Hii ilikuwa kazi ya kwanza na jukumu kubwa la Mitume wote. Ili

kufanya kazi kwa ufanisi na kwa kutosheleza, Allah amewapa Mitumevyote (viwili), kitabu cha kinadharia (kiini cha fikra) na kitabu chakimatendo (shariah- mfumo kamili wa sheria na maisha bora). Matendo nashughuli zote za Mitume zilikuwa kwa ujumla kabisa kwa mujibu wautashi wa Mungu. Kwa njia hii maisha yenyewe ya Mtume yalikuwa kitabukilicho wazi. Mitume wote walifundisha mataifa yao husika mambo yoteya maana, ambayo ni muhimu kwa maisha ya ulimwengu wa milele.

Wajibu wa pili - kuwajulisha watu kuhusu ukweliusioonekana na uliofichika.

Hii ilikuwa ni kazi muhimu ya pili ya Mitume, kuna uhakika naukweli ambao umefichika kabisa nje ya mipaka ya kufikiwa na binadamu,Mtu kamwe hawezi kuujua mpaka mtu muaminifu kutoka kwa Munguaseme na kuelezea uhakika huu.

Wajibu wa tatu - kutakasa nafsi na kuendeleza juumaadili.

Hii ni kazi muhimu ya tatu ya Mitume. Qur'an hutangaza Utumekama neema kubwa ya Allah kwa mwanadamu, na chanzo cha Rehemayake isiyo na kikomo.

"Enyi watu! Yamekujieni mawaidha kutoka kwa Mola wenu Mlezi, na pozakuponyesha yaliyomo vifuani, na uwongofu, na rehema kwaWaumini.Q:10:57

Wajibu wa nne - Kuthibitisha matendo ya watu katikasiku ya hukumu.

Qur'an inatufahamisha kwamba katika Siku ya Hukumu, Mitume nawarithi wao wa kweli, Maimamu, watatakiwa kutoa taarifa kamili za taifalao.

Siku tutakapo waita kila kikundi cha watu pamoja na Imamu wao: basiatakaye pewa kitabu chake kwa mkono wake wa kulia, basi haowatasoma kitabu chao wala hawatadhulumiwa hata chembe:"Q:17:71

Tabia muhimu za Mitume.Mbali na tabia muhimu nyingine, Mitume wote wana vitu vitano

vilivyofanana:

1. Mitume wote wali teuliwa na Allah, na hakuna aliyejiteuwamwenyewe au kuteuliwa na watu.

2. Mitume wote walikuwa Maasum na wanadamu kamili, hakunamalaika aliyetumwa kama Rasul. Mitume wote walikuwa wanaume,hakuna mwanamke aliyeteuliwa na Allah kama Nabii au Rasul.

3. Mitume wote walijaaliwa na aina fulani ya dalili za dhahiri.4. Mitume wote wamefundisha msingi wa imani za ki-Islam, yaani,

hakuna mungu ila Allah ambaye hana mshirika na kwamba kunasiku ya hukumu wakati ambao kila mtu atalipwa kutokana namatendo yake.

5. Mitume wote kwa mafanikio walikamilisha majukumu yao.Ngoja tujadili tabia za Mitume katika mwanga wa Qur'an Tukufu:

119 120

Page 61: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Kuteuliwa kwa Mitume.Mitume wote waliteuliwa na Allah na hakuna katika wajumbe

124000, ambaye alijiteuwa mwenyewe au kuteuliwa na watu. Kwa nini nilazima Allah ateuwe Mitume? Huu ni ukweli unaojitosheleza. Asili ya kaziya Mitume kwa uwazi huhitaji kwamba lazima ateuliwe na Allah na siowatu au mwenyewe. Kanuni hii vile vile itatumika juu ya mrithi wa Mtume.Mitume ni watu waliochaguliwa, ambao wana uwezo wa kupokeamwongozo wa Mungu kutoka ulimwengu usioonekana na kuuwasilishakwa watu wanaoishi katika ulimwengu unaoonekana.Ni waaminifu zaidiwasio na ubinafsi na watu wasiobadilika. Ni Allah peke Yake ambayeanaweza kuamua ni nani anafaa kufanya kazi hii, na hivyo kufaa kuwaMtume. Qur'an inathibitisha kauli hii:

"Mwenyezi Mungu ndiye Mjuzi kuliko wote wakujua nani wakumuaminisha ujumbe wake…"(6:124)

"Amemfundisha aliye mwingi wa nguvu" Q: 53:5

Hivyo hakuna mtu wa kawaida, awe na akili sana au mwenye elimusana, awezae kupata kigezo hiki, isipokuwa yule ambaye ameteuliwa naAllah, ambaye ni Mwenye uwezo wa Nguvu zote.

Umaasum wa Mitume-Sifa nyingine maarufu ya Mitume wa Allah ni kwamba wote

walikuwa Maasum wakamilifu. Neno la kiarabu la kuelezea sifa hii yapekee ni "Ismat" ikimaanisha kinga kutokana na kutenda dhambi au kosa.Hivyo, kila tendo la Mtume ni sahihi kabisa na haliwezi kuhitajiwauthibitisho. Qur'an imethibitisha kwamba Mitume kamwe hawafanyi kituchochote kwa matamanio yao au chini ya shinikizo lolote.Wakati wotekabisa, hufuata amri za Allah iwapo wanafanya kitu chochote katikafaragha au mbele za watu.

"Wala hatamki kwa matamanio ya nafsi yake…" Q:53:3

Uthibitisho mwingine wa nguvu wa Umaasum wa Mitume nikwamba, Allah amewataka watu wote kufuata nyayo za Mtukufu Mtumebila kusita kokote. Amri hii ya Mungu yenyewe ndani yake ni uthibitishosahihi kwamba Mitume wakati wote hufanya mambo yaliyo sahihi nahakuna nafasi ya aina yoyote ya makosa.

"Sema: Ikiwa nyinyi mnampenda Mwenyezi Mungu basi nifuateni mimi,Mwenyezi Mungu atakupendeni…" Q:3:31

Hivyo, kutokana na Qur'an, na vile vile kwa akili za kawaida Mtumeyuko huru kabisa kutokana na aina za aibu na makosa ya kibinadamu.

Kuna tofauti gani kati ya Mtume na mtu wa kawaida.Kimaumbile Mitume wote walikuwa kama wanadamu wa

kawaida.Wote walikuwa na miili sawa kama tuliyo nayo, na mahitaji sawakama tuliyo nayo, yaani, walizoea kula chakula, kunywa maji, kulala nakupumzika. Walioa, walikuwa na watoto, walikufa baada ya muda waumri fulani nk..

Lakini pamoja na tabia hizi nyingi za kufanana, Mitume wotewalikuwa ni nafsi zilizonyanyuliwa juu sana, pamoja na dalili maalumu natabia zisizo za kawaida. Qur'an imeelezea mchanganyiko huu pekee wakufanana na tofauti ya utu wa Mitume.

"Sema: Mimi ni mwanaadamu kama nyinyi. Ninaletewa Wahyi kwambaMungu wenu ni Mungu Mmoja. Mwenye kutarajia kukutana na Molawake Mlezi basi naatende vitendo vyema, wala asimshirikishe yeyotekatika ibada ya Mola wake Mlezi." Q:18:110

Kutoka katika aya hii ya Qur'an, tunaweza kuona mambo muhimu

121 122

Page 62: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

mawili ya ukweli ya utu wao:

Kwamba kwa ujumla Mtume huonekana hana tofauti na wanadamuwa kawaida, bali kabisa yuko sawa nao.

Lakini pamoja na kufanana kote huku kimwili, yeye vile vile hupokeaufunuo wa Mungu.Nyongeza hii na sifa hii ya kipekee ya Mitume, yaani, uwezo wa

kuwasiliana na Mungu ambao hakuna mwanadamu wa kawaida awezaekufanya hivyo, humfanya juu sana isivyoweza kuelezeka kuliko wanadamuwote.Tofauti hii iko nje ya kuwazika kokote. Sifa hii ya pekee ya Mitume,yaani, kuonekana kama mtu wa kawaida lakini tofauti isiyo na kifanikutokana na mtu, sio fumbo au ajabu. Tunaweza kuielezea kimantiki nakisayansi pamoja na mifano michache ifuatayo.

Kufanana na kutofautiana kwa almasi na mkaa.Kila mwanafunzi wa kemia huelewa vizuri sana ukweli huu

kwamba, kaboni halisi hutokea katika asili ya miundo minne tofauti kabisa- Almasi, kinywe, kaboni nyeusi na fulereni, hii ina maana kwamba, kadirimchanganyiko wa kemikali wa kaboni nyeusi (mkaa) na almasiinavyohusika vyote v iko sawa kabisa. Almasi takribani kabisaimetengenezwa kwa kaboni na mkaa mweusi ( yaani mkaa wa kawaidawa miti) kwa kiasi kikubwa huwa ina kaboni, kwa hivyo hakuna kupingaau ubishi wakati tunaposema kwamba almasi na mkaa wa miti kimsingi nisawa (kaboni halisi) lakini tofauti ya wazi kabisa iko katika manufaa nathamani. Huu ni ukweli wa kisayansi ambao hakuna awezaye kuukataa.Lakini tunaweza kubadilisha almasi kwa mkaa? Tunaweza kutoa zawadi yapete ya harusi iliyo tengenezwa kwa mkaa mweusi kwa mke mpya aliyeolewa, na kumuambia kwamba hii kimsingi ni sawa sawa kama almasi?Pamoja na asili ya msingi ya kufanana (yaani kimsingi vyote ni kabonihalisi), almasi na mkaa ni tofauti kabisa. Almasi ni ghali mno, na mkaa nirahisi mno. Almasi ni kiini kigumu mno, na hudumu kwa muda mrefusana, ambapo mkaa huvunjika kwa urahisi na ni vumbivumbi. Kwausahihi, katika njia hiyohiyo, tunaweza kuelewa kufanana na kutofautianakwa Mitume, Maimamu, na watu wa kawaida. Kimsingi wako sawa - niwanadamu, lakini wana tofauti ya hali ya juu kabisa katika tabia na ubora.Kama mtu yeyote atanukuu aya hiyo ya Qur'an na akasema kwambaMitume na Maimamu wako sawa tu na sisi, ni mwendawazimu. Kwabahati mbaya sana kuna watu wendawazimu ambao wanasema hivyo.

Mbali na hoja hii halisi ya kisayansi, vilevile tunaweza kuonyesha tofautimiongoni mwa watu wanaoishi pamoja nasi. Baadhi wana elimu ya hali yajuu kabisa, wenye akili sana na matajiri sana, ambapo wengine hawanaelimu, wazito wa akili na masikini wa kutupwa. Kimsingi wote wako sawa,lakini kiukweli kuna ulimwengu wa tofauti baina yao.

Kwanini Mitume walikuwa binadamu na siyo Malaika Swali hili liliulizwa na watu wa Mitume wengi. Qur'an inatoa

maelezo ya kimantiki kwa hoja hii.

"Na nini kilicho wazuilia watu kuamini ulipo wajia uwongofu isipokuwawalisema: Je! Mwenyezi Mungu humtuma mwanaadamu kuwa niMtume? Q:17:94

Jibu ni jepesi sana na lawazi, maelezo ya kupendeza ya swali hiliyalitolewa na M.J. Chirri katika kitabu chake kikubwa, 'Inquiries aboutIslam' (Maswali kuhusu Uislamu) ambacho husema: "Mtume ni mfanokwa binadamu, lazima ashiriki nao asili moja, uwezo mmoja na ukomommoja. Mfano wa kuvutia kwa Mtume lazima upatikane. Lazima uwe nauwezo wa kujumuisha watu kuufuata. Lau Mtume angelikuwa anatokanana asili tofauti, watu wasingethubutu kuufuata mfano wake. Ukamilifu wandugu unao oneshwa na Mtume lazima uwe unaonekana kwa wafuasiwake. Lau mwanadamu angenionesha upeo wa juu wa maisha mema,ningeshawishika kujaribu kuupata upeo huo. Yeye na mimi tuwanadamu, kinacho wezekana kwake kinawezekana kwangu. Lakini kamamalaika atanionyesha upeo wa juu wa uadilifu nisingethubutu kuufuatamfano wake. Kinachowezekana kwake kinaweza kisiwezekane kwangu,kwa sababu hatutokani na asili moja". Kuna sababu nyingine ya kuaminikwamba mwanadamu lazima apokee Mitume ya kibinadamu.Tumetangulia kusema kwamba, Mtume mtarajiwa huthibitisha ukweliwake kwa kuonesha watu utendaji usio wa kawaida. Kwa kufanya hivyowatu watajua kwamba amepewa uwezo na Mungu, kwa sababuanachokifanya ni nje ya uwezo wake wa kiasili. Hii haitafanya kazi kamaMtume sio mwanadamu - tuseme kama ni malaika.Mtume mwanadamuanaweza kwa mfano, kuonesha ukweli wake kwa kwenda safari angani

123 124

Page 63: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

bila msaada wa chombo chochote. Lau malaika angefanya hivyo,ingeonesha kuwa ni uwezo wake wa asili, kwa vile kwa asili yakeasingeathiriwa na mvutano (gravitation). Q. 33:21

Muujiza - Dalili inayoonekana ya UtumeWakati mtu anapofanya dai, ni jukumu lake kutoa uthibitisho wa

kuridhisha katika kuunga mkono dai lake. Kwa mfano, wakati baloziambaye ni mwanadiplomasia wa cheo cha juu sana wa taifa katika nchi,anapowasili kuchukuwa wadhifa wa kazi yake, kwanza hutoa nyarakasahihi zilizothibitisha nafasi yake. Serikali ya nchi kamwe haitakubali mtuyeyote katika kiwango hicho, mpaka aoneshe hati ya utambulisho sahihikama ushahidi wa kuteuliwa kwake katika nafasi hiyo. Kanuni hiyo piahutumika kwa ajili ya Utume

Hivyo, kama mtu anadai kwamba yeye ni Mtume wa Mungu, nijukumu lake la kidini kuonesha usahihi wa kuridhisha katika kuungamkono maelezo yake.

Katika istilahi za ki-Islsmu, ushahidi kama huo hujulikana kamamuujiza au Ayat, ikimaanisha dalili ya Utume. Qur'an huthibitishakwamba, kila Mtume aliyetumwa na Allah (swt), alijaaliwa na aina yauwezo mkubwa wa kiroho, ambao kwayo alikuwa na uwezo wa kuoneshamoja au zaidi ya miujiza kuthibitisha Utume wake.

Kuna tofauti gani kati ya Mtume na mwanasayansi?Kuna tofauti kubwa kati ya mwanasayansi na Mtume. Kusema kweli,

hakuna ulinganisho. Hata hivyo, kwa ajili ya kuelewa cheo kisicho kifanicha Mtume, tofauti chache za msingi zinatajwa hapa:-

1. Mtume anaonesha miujiza kuthibitisha Utume wake. Muujiza nikitendo fulani ambacho kinaweza kushangaza watu, na kitendohicho hakiwezi kufanywa na mtu mwingine yeyote.Mwanasayansi vile vile anaweza kuonesha kitu fulani ambacho

chaweza kushangaza watu, lakini kitendo hicho kinaweza kufanywa nawanasayansi wengine wa aina yake. Kamwe hakuna mwanasayansialiyeonesha kitu chochote ambacho kimekuwa hakiwezekani kwawanasayansi wengine kukifanya.

Mtume huelezea kuhusu mambo ya baadae au visivyoonekana

ambavyo kamwe havikuthibitishwa kuwa ni makosa. Wanasayansi vilevilehuelezea kuhusu vitu vingi vya baadae juu ya msingi wa ujuzi fulani namajaribio, lakini taarifa zao nyingi zimethibitishwa kuwa za makosa nawanasayansi wengine.

2. Wanasayansi wana vipaji visivyo vya kawaida, kumbukumbu kali naustadi wa kufikiri wa kushangaza. Wamesanifu darubini ya elektroniyenye uwezo mkubwa wa kukuza na kuona kitu kidogo kama inchi1/250,000,000, vilevile wamesanifu darubini zenye uwezo wa haliya juu kuona vitu vilivyoko mbali mno. Wanasayansi wanaweza kwavyombo hivi vyenye uwezo mkubwa, kupenyeza macho ndani yaatomi isiyoonekana, na galaksi za mbali zaidi. Lakini pamoja navyombo hivi vyenye uwezo mkubwa katika miliki yao, hawawezikuona kinachotokea ndani ya kaburi na baada ya kifo. Wakatiambapo Mitume wana uwezo ulio tofauti kabisa - yaani, kupokeahabari sahihi kabisa kutoka ulimwengu ambao wakati wote utakuwanje ya upeo wa darubini changamano za hali ya juu au darubini zakawaida.Mitume wakubwa walipewa aina fulani ya miujiza kuthibitisha

mamlaka yao juu ya watu wa taifa lao. Miujiza hii ilikuwa kwa kufuatanana utaalamu wa wakati wao, kwa mfano, Hadharati Musa alipewa muujizawa nyoka kuwashinda wachawi ambao walikuwa wataalamu katikamazingara ya kufanya kamba kuwa nyoka, Hadharati Isa alijaaliwa namuujiza wa kufufua wafu na kuponya watu waliozaliwa vipofu, Qur'an nimuujiza kwa mataifa yote ambayo yatatokeza muda hadi muda mpakaSiku ya Qiyama. Hivyo, Qur'an itabakia kuwa changamoto katika kila faniya masomo na kila eneo la taaluma. Hivyo, wanasayansi wanawezakufanya kazi nyingi zenye manufaa kama watawatambua Mitume kwamoyo wote kama walimu wao.

Ujumbe wa msingi wa Mitume wote - Tawhid na Siku yaHukumu.

Qur'an imethibitisha kwamba ujumbe wa msingi wa Mitume woteulikuwa mmoja. Hii huonesha kwamba kulikuwa na dini moja tu pekeeUislamu - kuaanzia mwanzo.

125 126

Page 64: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

"Na tulio wapa Kitabu wanafurahia uliyo teremshiwa. Na katika makundimengine wapo wanao yakataa baadhi ya haya. Sema: Nimeamrishwanimuabudu Mwenyezi Mungu na wala nisimshirikishe. Kuendea kwakeYeye ndiyo ninaita, na kwake Yeye ndio marejeo yangu." Q13:36

Hadharati Nuh (as) alifundisha taifa lake kuhusu Tawhid na sikuya hukumu.

"Na Sisi tulimtuma Nuhu kwa watu wake, akawaambia: Hakika mimi nimwonyaji kwenu ninaye bainisha, ya kwamba msimuambudu isipokuwaMwenyezi Mungu tu. Hakika mimi ninakuhofieni adhabu ya Siku Chungu."Qur'an 11:25-26

Mtume Ibrahim (as) alipeleka ujumbe wa Tawhid kwa watu wake.

"Na Ibrahim pale alipo waambia watu wake: Muabuduni MwenyeziMungu , na mcheni Yeye. Hiyo ndiyo kheri yenu, ikiwa nyinyi mnajua."Q29:16

Mtume Hud alitoa ujumbe huo huo kwa taifa lake

"Na kwa watu wa A'adi tulimtuma ndugu yao Hud. Akasema: Enyi watuwangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu! Nyinyi hamna mungu isipokuwaYeye. Nyinyi si chochote ila ni wazushi tu." Q11:50

Hadharati Salehe alikumbusha ujumbe huo huo wa Tawhid kwawatu wake.

"Na kina Thamud tuliwapelekea ndugu yao Saleh. Akasema: Enyi watuwangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu . Nyinyi hamna Mungu ila Yeye.Yeye ndiye aliye kuumbeni katika ardhi, na akakuwekeni humo. Basimwombeni msamaha, kisha mtubu Kwake. Hakika Mola wangu Mleziyupo karibu, anaitikia maombi." Q:11:61

Hadharati Shuaib alirudia somo hilo hilo la Tawhid wakati wa kipindichake

"Na kwa watu wa Madyana tuliwatumia ndugu yao Shua'ib. Akasema:Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu . Nyinyi hamna Munguila Yeye, wala msipunguze vipimo na mizani. Mimi nakuoneni mmo katikahali njema, nami nakukhofieni adhabu ya siku kubwa hiyo itakayokuzungukeni." Q:11:84

Hadharati Yusufu alikumbusha ujumbe uleule wa Tawhid.

"…Hakika mimi nimeacha mila ya watu wasio muamini Mwenyezi

127 128

Page 65: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Mungu, na wakawa hawaiamini Akhera. " Na nimefuata mila ya babazangu, Ibrahim, na Is-haq na Yaa'qub. Hatuna haki ya kumshirikishaMwenyezi Mungu na chochote. Hiyo ni katika fadhila ya MwenyeziMungu juu yetu na juu ya watu; lakini watu wengi hawashukuru."Q:12:37-38

"…Hapana hukumu ila ya Mwenyezi Mungu tu.Yeye ameamrishamsimuabudu yeyote isipokuwa Yeye tu. Hiyo ndiyo Dini iliyonyooka.Lakini watu wengi hawajui." Qur'an 12:40

Hadhariti Musa alipewa ujumbe huo huo kupeleka kwenye taifalake.

"Na tukampa Musa kitabu, na tukakifanya uwongofu kwa wana wa Israili.(Tukawambia) Msiwe na mtegemewa ila Mimi!" Q:17:2

Hadharati Sulaiman alisema:

"Mwenyezi Mungu- hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshitukufu" Q:27:26

Hivyo kiini kilichomo na ujumbe wa msingi wa Mitume woteulikuwa mmoja na ule ule -Tawhid na Siku ya hukumu. Huu vile vile niujumbe wa msingi wa Mtukufu Mtume (saw) na mafundisho ya msingiya Uislamu. Mitume wote kwa mafanikio walikamilisha jukumu lao lakupeleka ujumbe huu mkubwa mno, na hakuna mtu hata mmoja kutokataifa lolote la Mtume atakayeweza kutoa sababu za kutenda aina yoyote yashirk.

Kufur:Matendo yoyote, matamshi, maandishi yanayoonesha dharau hata

ndogo sana kwa Mtukufu Mtume au Maimamu watukufu ni kufur.

Idadi kamili ya WajumbeIdadi kamili na majina yote ya Mitume haijulikani, lakini kwa mujibu

wa hadithi moja mashuhuri walikuwepo Mitume 124,000. Kati ya Mitumehawa wote, Mitume 25 wametajwa katika Qur'an Tukufu,

nao ni kama wafuatao:

1) Hadharati Adam ( as)2) Hadharati Idris (as)3) Hadharati Nuh (Noa) (as)4) Hadharati Hud (as)5) Hadharati Salehe (as)6) Hadharati Ibrahim (as)7) Hadharati Ismail (as)8) Hadharati Ishaq (as)9) Hadharati Luti (as)10) Hadharati Yaqub (as)11) Hadharati Yusuph (Joseph) (as)12) Hadharati Shuab (as)13) Hadharati Ayub (Job) (as)14) Hadharati Musa (moses)(as)15) Hadharati Harun (Aron) (as)16) Hadharati Dhul- kifl (Ezekiel)(as)17) Hadharati Dawdi (David) (as)18) Hadharati Sulaiman (Solomon) (as)19) Hadharati Ilyasa (Eliasi) (as)20) Hadharati Al Yasa (elisha) (as)21) Hadharati Yanus (Yona) (as)22) Hadharati Zakariya (as)

129 130

Page 66: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

23) Hadharati Yahaya (Yohana mbatizaji) (as)24) Hadharati Isa (Yesu)25) Hadharati Muhammmad (s.a.w)

Kuna majina kumi na tatu ya Mitume katika sura moja ya Qur'an.

"Na tukampa Is-haq na Yaakub. Kila mmoja wao tulimuongoza. NaNuh tulimuongoa kabla. Na katika kizazi chake tulimuongoa Daudi naSulemani na Ayub na Yusuf na Musa na Harun. Na hivi ndivyotunavyowalipa wafanyao wema."

Na Zakariya na Yahaya na Isa na Elias. Wote walikuwa miongonimwa watu wema. Na Ismail, na Al-Yasaa, na Yunus, na Lut. Na wotetuliwafadhilisha juu ya walimwengu wote. 6:84-86 .

SURA YA KUMI NA TATU

IMAMAT (UIMAMU) - UONGOZI

Imamat ni nini?Ni msingi wa nne wa imani za ki-Islamu na sehemu ya mpango wa

Mungu. Neno Imamat linatokana na neno la kiarabu ikimaanisha Kiongozi.Hivyo, neno Imamat maana yaake ni, uongozi wa mtu fulani aliyeteuliwaambaye kateuliwa na Allah kama mrithi wa Mtukufu Mtume Muhammad(saw) kuendeleza kazi yake baada ya kifo chake, kuna Maimaamu 12 wotewaliteuliwa na Allah na kutangazwa na Mtukufu Mtume.

Majina yao ni kama yafuatayo:-Imamu wa kwanza - Hadharati Ali ibn Abi Talib (as)

Imamu wa pili - Hadharati Hasani ibn Ali (as)

Imamu wa tatu - Hadharati Husein ibn Ali (as)

Imamu wa nne -Hadharati Ali ibn Husein (Zainul Abidin) (as)

Imamu wa tano - Hadharati Muhammad ibn Ali (as)

Imamu wa sita - Hadhati Jafa'r ibn Muhammad (as)

Imamu wa saba- Hadharati Musa ibn Jafa'r ( al-kadhim) (as)

Imamu wa nane - Hadharati Ali ibn Musa (al-Ridha) (as)

Imamu wa tisa -Hadharati Muhammad ibn Ali (as)

Imamu wa kumi - Hadharti Ali ibn Ali Muhammad

Imamu wa kumi na moja - Hadharati Hasan ibn Ali (as)

Imamu wakumi na mbili-Hadharati Muhammad ibn Hasan (al-Mahid) (as).

Maimamu wote hawa waliteuliwa na Allah, na kutangazwa naMtukufu Mtume kama warithi wake mmoja baada ya mwingine, kazi yaoilikuwa kuuongoza Umma wa Mtukufu Mtume kwa mujibu wa Qur'an naSunnah, kiroho, kidini, kijamii, na mambo ya kisiasa.

131 132

Page 67: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Maimamu wote walikuwa Maasum wenye elimu ya juu zaidi nawatu watukufu. Walikuwa na ujuzi kamili wa Qur'an na hadithi nawaliruhusiwa na Mtukufu Mtume kuitafsiri. Hivyo maneno na matendo yaMaimamu wote hawa huchukuliwa kama hadithi.

Kutokuelewana kati ya Shia na Sunni juu ya imani yaImamat.

Kabla ya kuleta suala hili la mgongano chini ya mjadala, ni muhimukujua jinsi ya kushugulikia masuala yenye mgogoro miongoni mwaWaislamu. Kwanza kabisa, lazima tujue kwamba, kufanya mazungumzojuu ya migongano ya masuala mbali mbali imehimizwa sana katikaUislamu.

Uislamu huthamini sana mazungumzo haya baina ya wafuasi wamadhehebu mbali mbali kwa sababu nzuri zifuatazo:

1. Kuunganisha Waislamu wote kwa kuwakumbusha umoja wao wamsingi wa imani. Waislamu wote wanaamini katika Mungu mmoja,hufuata sunnah ya Mtume mmoja, Hadharati Muhammad nakuamini kitabu kimoja pekee cha Mungu, Qur'an Tukufu.

2. Kuimarisha taasisi ya undugu, umoja wa imani utajenga hali nzuri yahewa ya kuonekana ya undugu miongoni mwa umma wa ki-Islamu.Hii ni haja ya msingi ya kielimu na maendeleo ya jamii ya taifalililoendelea.

3. Kuchunguza na kuasisi ukweli kamili. Wakati kuna rai mbili au zaidikuhusu suala fulani, basi huonesha wazi kwamba ukweli una utatana kwa hakika hauko wazi. Kimantiki huanzisha jukwaa la kuratibujuhudi za kweli kuupata ukweli kamili.Mtukufu Mtume ambaye alitumwa kufundisha watu wote, alifanya

mazungumzo na Wakristo, Wayahudi na makafiri wa Makkah.

Allama Abu mansuri ibn Ali ibn Abi Talib Tabarsi Mwanachuomkubwa, ameandika mazungumzo mengi baina ya Mtume, Maimaamuna wapinzani wao katika kitabu chake mashuhuri 'Al-Ihtiaj'. Mashuhurizaidi miongoni mwa hii ni Mubahila -mazungumzo baina ya MtukufuMtume na wajumbe wa ki-Kristo.

Hivyo, Qur'an Tukufu na Mtukufu Mtume kwa nguvu sanawanapendelea kuanzisha mazungumzo na kutufundisha jinsi ya

kuendesha mikutano hiyo yenye manufaa. Kanuni ya msingi ambayoilifundishwa na Allah kwa Mitume wake wote ni:

"Waite waelekee kwenye njia ya Mola wako Mlezi kwa hekima namawaidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora. Hakika Molawako Mlezi ndiye anayemjua zaidi aliyepotea njia Yake, na Yeye ndiyeanayewajua zaidi walioongoka." (16:125)

Hivyo, Waislamu wakati wote lazima wakumbuke hali ya mashartiiya Qur'an katika mazungumzo wakati wowote wanapokutana kujadilimasuala ya migogoro. Hali hizi za masharti inaweza kuelezwa kwamukhatasari kama ifuatavyo:-

1. Nia pekee ya mazungumzo lazima iwe ni kuwalingania watu katikanjia ya Mungu.

2. Mtazamo wakati wote lazima uwe wa kimantiki yaani, hoja lazimazitegemee juu ya Qur'an, hadithi na ukweli wa kihistoriauliothibitishwa na kukubaliwa kwa pamoja na makundi yoteyanayohusika.

3. Mjadala lazima ufanyika katika hali nzuri ya kitabia. Kusiwe namashindano kwa ajili kushindana, au kuonesha ubora wowote aukuonesha harakati za kutaka tu kushinda. Madhumuni makubwakatika mazungumzo lazima yawe ni kuondoa tofauti na kulinganiakatika njia ya Allah.

4. Washiriki wote lazima waoneshe wazi kwamba wataukubali ukweli.

Tofauti kubwa:Kuna tofauti nzito sana za maoni kati ya Waislamu, Sunni na Shia juu

ya suala la Imamat.

1. Masuni hawaamini katika Imamat, na hawatambui Maimamu 12kama viongozi wao. Ambapo Shia huichukulia Imamat kama imaniya msingi wa Uislamu na kuwatambua Maimamu wote 12 kamawarithi halali wa Mtukufu Mtume.

2. Masunni wanamini katika khilafat kama mbadala wa Imamat. Kwa

133 134

Page 68: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

mujibu wa imani ya sunni, Mtukufu Mtume hakusema chochotekuhusu mrithi, au kumteuwa yeyote katika uhai wake mtu wa kuwamrithi wake. Shia huamini kwamba Mtukufu Mtume alimteuwaHadharati Ali kama mrithi wake na alielezea uamuzi wake kwa uwazikatika sehemu nyingi.Kuna aya nyingi katika Qur'an Tukufu, hadithi za Mtume na matukio

ya kistoria katika vitabu vyote sahihi vya Sunni na Shia, ambavyo vinatoshana zaidi kutoa mwanga kwenye umma wa Ki-Islamu kuweza kuondoamigogoro. Lakini hii huwezekana tu kama kweli wanataka kusuluhishamigogoro kimantiki na kwa amani.Tunajadili suala hili kwa ufupi katika haliya kisomi tu kwa ajili ya kulielewa na kwa ajili ya umoja wa Umma waKi-Islamu.Suala lote la Imamat na khilafat laweza kugawanywa katikasehemu mbili kubwa:

1. Je, Mtukufu Mtume aliteua mtu yeyote kama mrithi wake kuendelezakazi yake baada yake au la?

2. Kama aliteuwa, basi alimteuwa nani, na nini kilikuwa kigezo muhimukwa uteuzi wake?

Suala la kwanza - Msimamo wa SunniWanachuo wote wa sunni , bila tofauti yeyote ya maoni, husema

kwamba Mtukufu Mtume hakuteuwa mtu yeyote kama mrithi wake, walakuacha maelezo yoyote kuhusiana na mrithi wake.Vile vile wote kwapamoja wako katika kuamini kwamba Mtukufu Mtume kamwe hakufanyauteuzi wowote kwa ajili ya Hadharati Abu Bakar au Umar au Uthman aumtu yeyote, wala hakuna dalili yeyote ya Khilafat yao katika Qur,an auHadithi. Kama hili linakubaliwa na wanachuo wa ki-Sunni, basi inatatua50% ya mgogoro, kwa sababu kama Mtume hakuteuwa mtu yeyote kuwamrithi wake basi haipaswi kuwepo upinzani wowote kutoka upande waokumkubali mtu yeyote kama Khalifa wa kwanza, awe yeye ni Hadharati Aliau mtu mwingine yeyote. Kusema kweli kama Qur'an na Mtume wakokimya kabisa juu ya suala hili, kama Masunni wanavyoamini, basi, imaniyote ya Khilafat haipaswi kuchukuliwa kama suala la kidini. Katika njia hiiKhilafat ya Hadharati Abu Bakar itakuwa tu, ni tukio la kihistoria ambalohalina uhusiano na imani ya kidini. Kama hali ni hii, basi Masunnihawapaswi kuwalaumu Mashia ikiwa hawakubali khilafat ya HadharatiAbu Bakar, Umar, na Uthman, kwa vile hawakatai amri ya Mungu (wala yaMtume). Hivyo kutokana na mtazamo wa Sunni, hata kama Hadharati Ali

hakuteuliwa na Mtume kama mrithi wake, Mashia wana haki zote zakumkubali yeye kama mrithi wake katika njia ile ile kama Masunniwanavyomkubali Hadharati Abu Bakar, Umar na Uthman kama Makhalifawao. Kwa hiyo kutokana na msimamo wao mtu anaweza kufikia kwenyehitimisho kwamba, suala la khilafat sio jambo la kidini. Na kwa vile siosheria ya msingi ya imani ya Ki-Islamu, kuwakubali au kuwakataamakhalifa ni sawa sawa tu, hakuleti tofauti yoyote kwa mtu anayehusika.Kama hatumkubali hadharati Abu Bakar kama Khalifa halali, ni kama vile tukutomtambua kiongozi yeyote wa nchi ya Ki-Islamu. Kama baadhi yawatu wa Pakstan au Iran hawamtambui rais wa nchi yao aliyechaguliwakidemokrasia, hawawezi kuwa na dhambi. Hivyo, Masunni kwa mujibuwa imani yao wenyewe, hawana haki ya kuwakosoa Mashia kamahawawatambui Makhalifa ambao waliteuliwa na mtu pekee, au aliyechaguliwa na watu na hakuteuliwa na Allah au Mjumbe Wake.

Msimamo wa shia Wanachuo wote wa Ki-Shia kwa nguvu sana, wanaamini kwamba

Mtukufu Mtume kwa uwazi kabisa alitaja kuhusu mrithi wake katikamikutano mikubwa ya hadhara. Kuna orodha ndefu ya matukioyaliyoandikwa katika historia ambayo huonesha kwamba Mtumealitangaza jina la mrithi wake. Hivyo, kutokana na msimamo wa Shia,kama mtu yeyote akiukataa au hamtambui mrithi halali wa MtukufuMtume, basi, huo utakuwa ni upinzani wa dhahiri kwa mamlaka yaMtume na ukiukaji wa uwazi wa sheria ya Mungu. Hii kwa hakika nidhambi kubwa sana. Kama mtu fulani akiifanya kwa kujua na kwamakusudi, basi, ataondoka katika jumuiya ya Ki-Islamu kwa madai yakutenda kufur.

Je, ni mantiki kuamini kwamba Mtume hakusema chochote kuhusumrithi wake?

Sasa hebu tuchambue kwa unyofu na kimantiki msimamo wa Sunni,kwamba Mtume hakusema chochote kuhusu mrithi wake.

Hoja:Je, inawezekana Mtukufu Mtume ambae ameupa ulimwengu wa

Ki-Islamu katiba ya utawala bora, silabasi kamili ya elimu, programu kubwaya mwenendo wa maisha, apuuze suala muhimu zaidi lifuatalo - suala la

135 136

Page 69: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

mrithi?

Je, Mtukufu Mtume hakuhisi kutokea migogoro isiyoepukika, yakuiacha jumuiya mpya ya Ki-Islamu iliyoanzishwa yenye makabila tofauti -Bani Hashim, Bani Umaya, Addiyya, Taym, Aws na Khazraj, bila kiongozi?

Mtu mwenye kufikiria kimantiki hawezi akafikiria mtazamo wa Sunnikwamba, Mtume ambaye alikuwa akiandaa Ummah wake kushughulikiakwa uhakika matatizo yote, madogo na makubwa, ambayo wanawezawakakabiliana nayo katika siku za baadae, baada ya kifo chake mpaka sikuya Qiyamat, angeweza kuliacha suala la haraka na muhimu mno la mrithibila kuguswa na bila maelezo fulani yenye kujulikana. Haiwezekani kabisa,na ni nje ya uwezo wa fikra kwamba, Mtume ambaye alikuwa akiwaambiawatu wake kuhusu matukio yatakayo tokea baada ya vifo vyao, yeyemwenyewe hakutambua kile ambacho kingetokea baada ya kifo chakekama asingeteuwa mtu yeyote kama mrithi wake wa haki.

Historia huonesha kwamba, Hadhrat Abu Bakar, ambayealichaguliwa na watu wake kama Khalifa wa kwanza, hakuwaachaWaislamu bila kutaja kwa uwazi kuhusu mrithi wake. Imetaarifiwa kwambawakati alipokuwa kwenye kitanda chake alichofia, alitoa amri uandikweusia kuhusu mrithi wake katika maneno yaliyo wazi kabisa, ambayoyalikuwa kama ifuatavyo:

"Namteuwa Umar bin Al-Khattab kama Amir na mtawala wenu,sikilizeni maneno yake na mtiini". Hadhrati Umar ambaye aliteuliwa naHadhrati Abu Bakar kama Khalifa wa pili, alifanya kitu kama hicho hichokabla ya kifo chake.Wakati Umar alipochomwa jambia la kufisha na mtu,na alipotambua kwamba hataishi, upesi aliunda kamti ya watu sita naakawapa maelekezo kamili kuhusu suala la urithi ili kufanya mrithi wachaguo lake. Taarifa hizi mbili za kihistoria zilizohifadhiwa vizurikimaandishi, huonesha kwamba hakuna katika Makhalifa aliyeruhusuUmmah wa Ki-Islamu kuteuwa mtu yeyote wa chaguo lao kama khalifawao. Kama hali ni hii ambayo kwayo wanahistoria hawana mjadala nayo,basi kwa nini Mtukufu Mtume ambaye ni mtu mwenye kupasika zaidi,aache mvutano wa kusonga koo baada yake na asiteuwe mtu yeyote nahata asiseme chochote kuhusu mrithi wake? Suala la kuchukua mara mojaserikali baada ya kifo cha mkuu wa nchi ni muhimu mno, kiasi kwamba,nchi zote zina maelezo kamili kwa hili kutumika kama ikitokea.

Kwa mfano, wakati Rais Kennedy alipouawa kwa kupigwa risasi

wakati wa ziara yake katika jimbo la Texas, Johnson (makaumu wa Rais)ambaye alikuwa pamoja naye, alikula kiapo cha Urais kabla mwili waKennedy haujawasili kwenye uwanja wa ndege wa Texas kutokahospitalini. Saa 7.00 mchana kifo cha Kennedy kilitangazwa rasmi, na saa8.39 mchana Jaji wa wilaya Sarah T. Hughes aliwasili uwanja wa ndege waTexas kwa ndege maalum kwa ajili ya kumuapisha Rais mpya kushikamadaraka. Rais Johnson alikula kiapo kama Rais mpya wa Amerika ndaniya ndege, kabla haijaondoka kwenda Washington.

Hivyo, itakuwa haiwezekani kwa wanachuo wa ki-Sunni kutoamaelezo yeyote ya kukubalika kuthibitisha msimamo wao kimantiki.

Bal i k inyume chake, ukweli n i kwamba (kama Mashiawanavyoamini), Mtukufu Mtume alilichukulia suala la urithi kwa makinisana, kama ilivyotakiwa juu ya kiwango cha Mungu. Aliujulisha Ummahkuhusu mpango wake wa urithi katika nyakati nyingi; rasmi na katikamaneno na kwa matendo, bila kuacha nafasi yeyote ya kuchanganyikiwa,au tafsiri potofu.

Suala la pili:Imekwisha tatuliwa na hoja za kimantiki kwamba, Mtukufu Mtume

alitaja kwa uwazi kuhusu mrithi wake. Sasa sehemu muhimu ya pili yamjadala ni kwamba ni nani aliemteuwa kama mrithi wake. Kuna hadithinyingi ambazo kwazo, Mtume kwa uwazi alitaja jina la mrithi wakeambaye hakuwa mwingine bali Hadharati Ali. Moja ya hadithi isiyo naubishani ambayo kwa pamoja hukubaliwa na Waislamu wote ni kamaifuatayo "Ali anashikilia nafasi ile ile kwangu mimi kama Harun alivyofanyakwa Musa, isipokuwa kwamba hakuna Utume utakao endelea baadayangu." Hadithi hii imo katika Sahih Bukhar sura 14, uk, 387, na SahihiMuslim J.2, uk. 278.Vitabu hivi viwili ni vitabu sahih zaidi vya Sunni.Hivyo hadithi hii imekuwa ikitambuliwa na wanachuo wote wa ki-Sunnikama hadithi ya kweli.

Kutajwa rasmi kwa mrithi:Mtukufu Mtume alitamka hadharani kuhusu mrithi wake katika hali

kamili iliyokuwa rasmi wakati alipokuwa anarudi kutoka hija yake yamwisho, yaani, miezi michache tu kabla ya kifo chake, katika mkusanyikowa Waislamu 120,000. Tangazo hili lilifanywa kwa mujibu wa Amri ya

137 138

Page 70: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Mungu iliyoteremshwa kwake katika sehemu inayoitwa Ghadir Khum.Katika Qur'an Tukufu Allah anamuambia Mjumbe Wake:

"Ewe Mtume! Fikisha uliyo teremshiwa kutoka kwa Mola wako Mlezi. Naikiwa hukufanya hayo basi hukufikisha ujumbe wake. Na MwenyeziMungu atakulinda na watu. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watumakafiri.Q:5:67

Punde tu baada ya kuteremshwa kwa Amri hii ya Mungu, MtukufuMtume aliwataka Waislamu wote kusimama na kufanya matayarishoyafaayo ili kutoa tangazo hili wazi kwa watu. Baada ya kusali Salat yaDhuhr, Mtukufu Mtume alielekea kwenye mimbar ambayo iliwekwa kwaajili yake, katikati ya mkusanyiko wa Waislamu. Mtukufu Mtume kishaalianza khotuba yake kwa kumshukuru na kumtukuza Allah, na alisema"enyi watu, hivi punde nitaitikia mwito wa Mola wangu na nitaondokakatikati yenu, nitasimamishwa kwa ajili ya hesabu kama ambavyo nanyinyi pia mtakavyo kuwa. Je, hamtashuhudia kwamba hakuna mwingineapaswaye kuabudiwa kuliko Allah Mmoja na wa Pekee?

Je, mnashuhudia kwamba Muhammad ni mja na Mjumbe Wake? Je,pepo, moto wa jahannam na kifo vyote si vya kweli?

Je, si kweli kwamba siku ya kulipa kisasi na ufufuo kwa hakikaitakuja, na kwamba Allah atawarudishia uhai wale wote ambaowamezikwa katika ardhi?" Kundi la Waislamu waliokusanyika pale walijibukwa sauti moja: "Hakika, Ewe Rasul wa Allah! Tunashuhudia kwa yoteuliyosema."

Baada ya khotuba hii fupi yenye kuhusika na ujumbe huu, MtukufuMtume alimwita Ali na akamuweka katika hali ambayo kila mtu aliwezakuona uso wake unao meremeta, na kisha Mtume akasema, "kwa yuleambaye mimi namtawalia mambo yake huyu Ali ni mwenye kumtawaliamambo yake. Ewe Allah

mpende yeyote yule ambaye anampenda Ali na uwe adui kwayeyote yule ambaye ni adui wa Ali". Baada ya kumaliza khotuba yake,Mtukufu Mtume aliwataka watu walioshuhudia pale kupeleka ujumbe huu

kwa wale wote ambao hawakuewepo pale. Hii ilikuwa dalili ya uwazikabisa kwamba, hadharati Ali ni mrithi wake na atawajibika kwa kila kitukatika nafasi hii.Tangazo hili la Mtukufu Mtume limehifadhiwa kwamaandishi katika vitabu sahih zaidi vya historia na hadithi vya Shia naSunni. Imetajwa vilevile katika vitabu vya historia kwamba, punde tu baadaya tangazo hili rasmi na la wazi la urithi wake kwa niaba ya Ali , Umaralikuja kumuona Ali na akatoa hongera zake katika maneno yafuatayo:"Ewe mtoto wa Abu Talib ubarikiwe, kuanzia sasa na kuendelea umekuwadaima Bwana wa kila muumini mwanaume na mwanamke" (mishkatJ.uk.122).

Punde tu baada ya kukamilisha Amri ya Mungu aya ya mwisho yaQur'an Tukufu iliteremshwa kwa Mtukufu Mtume (saw). Q. 5:3

"…Leo nimewakamilishieni dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu ,na nimekupendeleeni Uislamu uwe ndiyo Dini yenu…"

Kwa mujibu wa mwanahistoria mashuhuri Al-yaqub, "Aya hiiiliteremshwa ghadir khum, ilikuwa aya ya mwisho kuteremshwa kwaMtukufu Mtume, Mjumbe wa Allah". Hivyo katika tukio hili hapa, namatukio mengine mbalimbali, na katika njia nyingi tofauti, MtukufuMtume aliuambia Ummah wake wa ki-Islamu kwamba Hadharati Ali nimrithi wake. Hata hivyo Masunni wote wanaamini kwamba Hadhrati AbuBakar, Umar, Uthman na Ali walikuwa makhalifa. Yaani warithi wa Mtumemmoja baada ya mwingine. Lakini wanachuoni wote wa ki-Sunni bilahitilafu yeyote ya maoni wanakubali kwamba makhalifa wao wotewaliteuliwa na watu, yaani, watu wa wakati wao, na hawakuteuliwa naMtukufu Mtume. Hivyo aina hii ya khilafat haiwezi kufikiriwa kamakhilafat-e-ilahia, yaani, Ukhalifa wa Mungu ambao umewekwa na AllahMwenyewe, na kamwe hauwezi kuwa chaguo la watu. Khali faaliyechaguliwa na watu anaweza kuwa kiongozi wa kisiasa au mfalme.

Kwanini Imamu lazima ateuliwe na Allah na sio nawatu.

Kama tulivyo taja hapo juu kwamba kuna imani mbili tofauti katika

139 140

Page 71: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Waislamu kuhusu mrithi wa Mtukufu Mtume:

Sunni wanaamini kwamba Abu Bakar ni mrithi wa Mtukufu Mtumena kwamba alipewa nafasi hii na baadhi ya watu, kisha Abu Bakarakamteuwa Umar kama mrithi wake kabla ya kifo chake. Na Umarakaunda kamati ya chaguo lake kumchagua Uthman kama mrithiwake. Mwisho baada ya mauaji ya Uthman kundi kubwa la watuwalimchagua Ali kama kiongozi wao.

Shia wanaamini kwa nguvu sana kwamba Hadhrati Ali ni mrithi waMtukufu Mtume na kwamba alipewa nafasi hii na Allah. HadharatiAli alikuwa Imamu wa kwanza na mrithi wa kweli wa MtukufuMtume, na kisha kila Imamu aliye tangulia alimteua Imamu mpyakwa mujibu wa utashi wa Mungu.Hebu tuzipime imani hizi mbili tofauti za Waislamu kwa njia ya

kimantiki:

1) Wote tunajua kwamba Mitume wanateuliwa na Allah na sio nawatu. Kama ambavyo Allah anateuwa watu maalumu kupelekaujumbe Wake, na akawapa uwezo maalumu na vipaji, watu ambaowalipewa jukumu gumu la kuendeleza kazi ya Mtume, lazima vilevile wateuliwe na Allah na sio kwa kuchaguliwa na watu.

2) Mitume wote ni Maasum na kwa hiyo warithi wao vilevile lazimawawe na sifa hiyo. Kama mrithi sio mtu imara zaidi baada ya Mtume,basi hatakuwa na uwezo wa kutafsir Ujumbe wa Mungusawasawa.Hivyo, Allah anajua vizuri zaidi ambaye yuko imara kuendesha kazi

Yake baada ya Mtume, na watu kamwe hawawezi kuchagua mtu sahihiwa kuwaongoza wao wenyewe. Katika vyuo vikuu vyote, vyuo vya chinina mashule, waalimu siku zote wanateuliwa na baraza la juu na sio nawanafunzi. Hivyo, Imamu au mrithi wa Mtume lazima ateuliwe na Allah.Kama watu watachaguwa mwalimu wa kiroho, na wao wenyewe kirohohawako kamili na duni, watafanya kosa katika uteuzi wao, na kwa makosaya uteuzi huu, Ujumbe wa Mungu utapotoshwa. Kwa hivyo,tunahitimisha kimantiki kwamba, mrithi wa Mtume lazima ateuliwe naAllah ambaye atakuwa mtu mkamilifu zaidi wa wakati wote katika halizote ili kuweza kuongoza kila mtu. Historia inaonyesha bila ya shakayeyote kwamba, Hadharati Ali (as) alikuwa mtu pekee katika Ummah wotewa Ki-Islamu ambaye alikuwa mtu mwenye kufaa zaidi kutekeleza kazi zaurithi wa Mtukufu Mtume.

Nini kilikuwa kigezo cha msingi cha uteuzi wa mrithi.Mtume (saw) hakumteua Hadhrati Ali kama mrithi wake kwa sababu

alikuwa binamu yake, au mkwe wake au mwenzi wa karibu. Qur'animethibitisha kwamba, Mitume kamwe hawafanyi kitu chochote kwa hiariyao lakini siku zote hutii amri za Allah. Hivyo, uteuzi wa Hadharati Alikama mrithi wa Mtume na Imam wa kwanza wa watu wote, ulifanywa naAllah - Mola wa ulimwengu. Sio vigumu kuelewa kwa nini Allahalimteuwa Hadharati Ali kwa sababu kazi ya Allah wakat i woteimetegemea juu ya hekima na uadilifu.

Kigezo cha msingi cha Khilafat ya Mungu kiko wazi kutoka kwenyeaya za Qur'an Tukufu zinazofuata:

Na pale Mola wako alipowaambia malaika: Mimi nitamuweka Khalifakatika ardhi, wakasema: Utaweka humo atakaye fanya uharibifu nakumwaga damu, hali sisi tunakutakasa kwa sifa Zako na tunakutaja kwautukufu Wako? Akasema: Hakika Mimi nayajua msiyo yajua. Naakamfundisha Adamu majina ya vitu vyote, kisha akaviweka mbele yamalaika na akasema: Niambieni majina ya vitu hivi ikiwa mnasema kweli.Wakasema: Umetakasika Mola wetu! Hatuna ujuzi isipokuwa kwa uliyotufunza Wewe. Hakika Wewe ndiye Mjuzi Mwenye hekima. Akasema :Ewe Adamu! Waambie majina yake. Basi alipo akawaanbia majina yake.Akasema: Je, sikukuambieni kwamba Mimi ninajua siri za mbingu na zaaridhi, na ninayajua mnayo dhihirisha na mliyokuwa mnayaficha?" Qur'an2:30-33.

141 142

Page 72: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

"Na Nabii wao akawaambia: Mwenyezi Mungu amekuteulieni Taluti kuwani mfalme juu yenu, na hali sisi tuna haki zaidi ya kupata ufalme kulikoyeye , naye hakupewa wasaa wa mali? Akasema: Mwenyezi Munguamemteua yeye juu yenu na amemzidishia ukunjufu wa elimu na kiwiliwili.Na Mwenyezi Mungu humpa ufalme wake amtakaye. Na MwenyeziMungu ni Mwenye wasaa na Mjuzi." Qur'an 2: 247.

Kutokana na aya hizo tatu za Qur'an Tukufu hapo juu, tunawezakufikia hitimisho zifuatazo:

o Maimamu na Makhalifa wakati wote wanateuliwa na Allah, na siona watu.

o Imamat na khalafat-e-Ilahia ni vyeo vikubwa mno kiasi kwambahata malaika hawastahili nafasi hizo.

o Ujuzi halisi na uwezo mkubwa wa kimaungo ni mahitaji ya muhimuzaidi kwa kushika nafasi hizi za vyeo vikubwa mno.

o Kwa hali yeyote, Khalifa au Imamu anaweza kuwa mtu ambayekamwe hajawahi kuwa mushirk.Baada ya kuchunguza hali ya mashart iliyotajwa hapo juu kwa ajili ya

Imamat au Khilafat, mtu kwa urahisi anaweza akahitimisha kwamba,hakuna mtu yeyote isipokuwa Hadharati Ali ambaye alikuwa mteule halalikwa nafasi ya mrithi wa Mtukufu Mtume - khilafat-e-Ilahia.Wanahistoriawote na wanachuo wote, Shia na Sunni wanasema bila tofauti yoyote yamaoni kwamba:

1. Hadharati Ali alikuwa mtu mwenye elimu zaidi baada ya MtukufuMtume, hadithi ya Mtume isemayo "mimi ni jiji la elimu na Ali nimlango wake" imeandikwa na wanahadithi wa historia wote.

2. Hadhrati Ali alikuwa mtu shujaa sana katika jeshi la Mtume. Historiaya Uislamu imejaa mafanikio yake katika medani ya vita. Ushindikatika vita ya Uhud, khandaki na khaibar ni kitambulisho kwake

pekee.3. Hadhrati Ali alikuwa ni mtu pekee ambaye kama Mtukufu Mtume,

kamwe hajatenda shirk au kuabudu masanamu, au kusujudu mbeleya mwingine yule ambaye asiyekuwa Allah. Sifa yake maalumu;'Karrama Llahu wajhahu' maana yake, paji la uso la mtu ambayekamwe hajainama mbele ya Mungu yeyote isipokuwa Allah.

Kiini cha fikra.Imamat limekuwa suala lenye mgogoro sana miongoni mwa

Waislamu. Masunni wanaamini kwamba, Mtukufu Mtume hakusemachochote kuhusu mrithi wake na akautoka ulimwengu huu bila tamkololote au maelezo. Mashia wanasema kwamba kuna hadithi nyingi zaMtukufu Mtume ambazo huthibitisha kwamba alitoa tamko la uwazikuhusu mrithi wake. Mbali na hadithi za Mtukufu Mtume katika suala hili,Mashia wanahoji kwamba, ni suala la akili ya kawaida kwamba, Mtumehawezi kupuuza suala muhimu kama hili na kuacha Ummah wake bilakusema chochote kuhusu mrithi wake. Inatajwa katika vitabu vyote vyahistoria kwamba Abu Bakar, na Umar walifanya mipango muhimu yachaguo lao kuhusu warithi wao kabla ya vifo vyao, basi haitakuwa nijambo la uzito mno kama Mtukufu Mtume angeliacha suala hili muhimumno bi la hukumu yeyote? Hivyo, Mashia kwa uwazi kabisahawakubaliani na Masunni katika suala hili, na kwa maana hiyowanaamini kwamba Mtukufu Mtume kwa uwazi alitamka kuhusu mrithiwake, na hakuwa mwingine bali ni Hadhrati Ali mtu Mtukufu mno baadaya Mtukufu Mtume. Aidha wanachuoni wote wa Ki-Islamu (Shia na Sunni)wanakubali bila mgogoro wowote kwamba:

1. Hadharati Ali alikuwa mtu pekee mwenye elimu zaidi baada yaMtukufu Mtume

2. Hadharati Ali alikuwa mtu pekee baada ya Mtukufu Mtume ambayekamwe hajawahi kuabudu yeyote mwingine asiyekuwa Allah. Niyeye tu peke yake ambaye ana sifa ya 'karrama Llahu wajhahu'ikimaanisha mtu ambaye paji lake la uso kamwe halijamuinamiayeyote isipokuwa Allah.Hivyo, Hadharati Ali alikuwa ni mtu imara sana baada ya Mtukufu

Mtume kuongoza Ummah wa ki-Islamu na kuhubiri ujumbe wa Munguwa Tawhid.

143 144

Page 73: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

SURA YA KUMI NA NNE

QIYAMAT - SIKU YA HUKUMUQiyamat, ufufuo au siku ya hukumu ni msingi wa tano wa imani ya

Uislamu.

Itikadi ya Tawhid na ufufuo ni dhana za msingi zaidi za Uislamuambazo zilisisitizwa na Mitume wote. Hii ndio sababu kwa nini tunaonadhana hizi mbili takriban katika dini zote za ulimwengu. Hata hivyo, katikadini nyingine, dhana ya ufufuo imedumazwa kama mafundisho mengineya Mitume, na ni Uislamu tu ndio unaotoa taarifa sahihi na barabarakuhusu kutokea kwa tukio hili kubwa.

Siku ya Hukumu: kwa nini! Vipi! na lini? Kwa nini Siku ya Hukumu lazima itokee? Vipi Siku ya Hukumu itakavyotokea? Lini Siku ya Hukumu itatokea?

Haya kwa hakika ni maswali yenye msingi kabisa. Takribani kila taifalimeuliza maswali haya kutoka kwa Mitume wao. Lakini sana maswalihaya yaliulizwa katika hali ya kejeli, kudhihaki ukweli wa dhana yenyewe.

Kimsingi, wale ambao hawana uwezo wa kuelewa ni kwaniniulimwengu uliumbwa, hawastahili kutambua ni kwanini ulimwengu uwena mwisho. Lakini, hata wale wanasayansi ambao wanakataa kiini chadhana ya uumbaji, huamini katika kutokea siku isiyoepukika - Siku yaHukumu.

Qur'an Tukufu imejibu maswali haya na mengine mengiyanayohusiana na Siku ya Hukumu katika mamia ya Ayah. AllamahFaiz-I-Kashani, mmoja wa wanachuo mashuhuri wa Ki-Islamu, amegunduazaidi ya majina 100 ya tukio hili na akasema kwamba maana ya kila jina nikwamba huonesha siri ya kioja kuhusu tukio hilo. Jina la kawaida zaidi latukio hili ni Qiyamah ambalo limetokea mara 70 katika Qur'an Tukufu.

Majina tofauti ya QiyamahBaadhi ya majina mengine ya Qiyamah ambayo hutoa mwanga

mkubwa juu ya kile kitakacho tokea katika Siku hii ni kama yafuatayo:

1. Yaumul-Hisab: Yaani, siku ambayo jumla ya mwisho ya hesabu yamatendo ya wanadamu wote itafanyika.

2. Yaumul-Akhera: Yaani, ukomo na siku ya mwisho ambayo baadayake hakuna tukio lolote lingine litakalotokea.

3. Yaumut-Talaq: Yaani, siku ambayo miliki yote itatenganishwa kutokakwa mmiliki wake.

4. Yaumul-Hashr: Yaani, siku ambayo wanadamu wote watakusanywakujua hatima ya majaaliwa yao.

5. Yaumul-Fasl: Yaani, siku ambayo utenganisho wa wazi kati yawaovu na wema utafanyika, au siku ambayo uhusiano wote uliopomiongoni mwa wanadamu utakatwa.

6. Yaumul-Jamaa: Yaani, siku ambayo kila kitu kilichopo kitaletwakwenye hesabu.

7. Yaumud-Din: Yaani, siku ambayo hukumu ya mwisho ya mamboyote itatangazwa kwa uadilifu kamili.

8. Yaumul-Haq: Yaani, siku ambayo kweli tupu itaenea.9. Yaumus-Saah: Yaani, saa haswa wakati sisi wote tutafufuliwa kwa

ajili ya hukumu ya mwisho.10. Yaumul-Bath: Yaani, s iku ambayo watu wote waliokufa

watakapopewa uhai mpya.11. Yaumun-Nashir: Yaani, siku ambayo waliozaliwa katika ulimwengu

huu watafufuka.12. Yaumul-La-Yanfaulmaal wala banuuna: Yaani, siku ambayo mali

yote ya ulimwengu na uhusiano wa kifamilia hautakuwa na maanayeyote.Hivyo, kwa kufanya mukhtasari, maana ya maneno haya

yaliyotumiwa katika Qur'an, na ukiunganisha na ukweli mwingineuliozaliwa katika aya nyingine na hadith, picha ya wazi ya Siku ya Hukumuinaweza kuonekana.

Lini itatokea Siku ya Hukumu?Wanasayansi kwa nguvu wanaamini kwamba hakika siku moja

ulimwengu huu utafikia mwisho, lakini hawajui kiusahihi lini itatokea. Kwa

145 146

Page 74: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

uwazi haiwezekani kujua muda wa Siku ya Hukumu. Kutoka kwenyeQur,an na hadith, ni wazi kwamba muda haswa wa Siku ya Hukumu ni siriya Mungu kabisa. Hakuna yeyote isipokuwa Allah (swt) ndie ajuaye Saa yaHukumu.

Qur'an kwa uwazi hutuambia kwa nini:

"Hakika Saa itakuja bila ya shaka. Nimekaribia kuificha. Ili kila nafsi ilipwekwa iliyo yafanya" Q:20:15

"Wanakuuliza Saa ( ya Kiyama) itakuwa lini? Una nini wewe hata

uitaje. Kwa Mola wako ndio mwisho wake." Q:79:42-44

Siku ya Hukumu itakuja ghafla katika muda wake uliopangiwa naAllah(swt). Muda umepangwa, lakini hakuna ajuaye isipokuwa Yeye (Allah(swt) peke Yake).

" Wanakuuliza hiyo Saa ( ya mwisho) itakuwa lini? Sema: Kuijua kwakekuko kwa Mola Mlezi wangu. Haidhihirishi hiyo kwa wakati wake ila Yeye.Ni nzito katika mbingu na ardhi. Haikujiini ila kwa ghafla tu. Wanakuulizakana kwamba wewe una pupa ya kuijua. Sema: Ujuzi wake uko kwaMwenyezi Mungu . Lakini aghlabu ya watu hawajui."Q:7:187

"Watu wanakuuliza khabari ya Saa (ya Kiyama). Sema: Ujuzi wake ukokwa Mwenyezi Mungu . Na nini kitakujuvya? Pengine hiyo Saa iko karibu"Q:33:63

Urefu wa Siku ya Hukumu utakuaje?Hakuna mtu ajuaye urefu haswa wa Siku ya Hukumu.

Hata hivyo, tunaweza kukisia hesabu kutokana na data za kuaminikatulizo nazo.

Siku ya Hukumu itasababisha kuteketezwa kabisa kwa ulimwengu.Kuna mabilioni ya galaksi katika ulimwengu na kila galaksi ina mabilioni yanyota. Hivyo, kutokana na ukubwa wa ulimwengu, na halikadhalikakutoka kwenye hadith, inaonekana kwamba tukio lote la Siku ya Hukumulitachukuwa kipindi kirefu mno cha muda.

Profesa Bashiurdin Mahmood ametoa makadirio ya urefu wa Siku yaHukumu. Alisema kwamba kutokana na aya ya Qur'an 70:4, kiwango chachini cha urefu wa Siku ya Hukumu kinaweza kufikia kiasi cha miaka50,000. lakini urefu wa siku moja ya Allah(swt) ni sawa sawa na miaka1000 (32:5).

Katika uwiano huu, kipindi cha Siku ya Hukumu ili kuenea potekuanzia mwanzo mpaka mwisho kinaweza kuwa na urefu wa miaka bilioni18 kwa vipimo vyetu vya kupimia muda vya kidunia.

Hata hivyo, hii ni hesabu tu iliyotegemea tu juu ya baadhi ya hesabuza kuaminika. Lakini hakuna anayejua muda wa kipindi cha siku yaHukumu. Allah ni Mwenye Nguvu na Uwezo wote. Anaweza kufanya kilakitu. Anaweza akaikamilisha ndani ya muda wa sekunde 18 au chini, naAnaweza akaineza ndani ya muda wa miaka bilioni 18.

Ukweli mwingine katika kuunga mkono hesabu hiyo hapo juu nikwamba Allah (swt) aliumba ulimwengu katika muda wa siku sita. Kwahakika siku hizi sio siku zetu au saa 24, kwa vile jua na ardhi havikuwavimeumbwa bado. Siku sita maana yake vipindi sita ambavyo vyawezakuwa vipindi vya mabilioni au matrioni ya miaka. Hivyo, kwa vile uumbajiwa ulimwengu ulichukua matrioni ya miaka, taratibu za uangamizaji piaunaweza ukatumia mabilioni ya miaka. [Allah ni mwenye kujua vizurizaidi.]

147 148

Page 75: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Siku ya Hukumu itaanza vipi?* (Sur: Parapanda)Siku ya Hukumu itatokea ghafla kabisa pamoja na mshindo mkubwa

wa kimaangamizi. Imetajwa katika Qur'an Tukufu kama Sur*. Hakunaanayejua haswa asili ya sur. Lakini Qur'an inatuambia kwamba Sur itakuwani mshindo wenye nguvu sana ambao utasambaza wimbi la hofu katikaulimwengu wote.

"Na siku ilitakapo pulizwa baragumu, watahangaika waliomo mbinguni nakatika ardhi, ila amtakaye Mwenyezi Mungu. Na wote watamfikia nao niwanyonge." Q:27:87

Kutakuwa na Sur mbili:

Sur ya kwanzaTarumbeta ya Mungu! Kubwa - Mshindo mkubwa - Sauti ! -

Mwanzo wa kuanza kwa Siku ya mwisho (Siku ya Hukumu). Litakuwa nitukio la kutisha. Ulimwengu wote utaanza kutetemeka na kusababisha kilakitu na kila mahali kutetemeka.

Qur'an imeiita (siku hiyo) ' siku nzito'.

Ni siku nzito katika mbingu na ardhi. Q:7:187

Machafuko makubwa yasiyo kifani na hali isiyoweza kupigiwamfano juu ya kipimo cha kosmolojia yataukumba ulimwengu wote.Wakazi wa sayari ya ardhi watashuhudia dhahama kubwa ya tetemeko laardhi yote ambalo halijawahi kutokea katika historia yote ya mwanadamu.Kisha msururu wa matukio ya majanga yatatokea moja baada ya jingineyakiharibu ulimwengu wote. Kila kiumbe kinachoishi popote katikaulimwengu pamoja na Malaika wa mauti na Malaika ambaye atapuliza Sur,

hatimaye wote watakufa.

Kila kitu kilichopo kitatoweka. Isipokuwa Uso wa Mola wako, MwenyeUtukufu na Ukarimu. Q:55:27

Sur ya pili

Siku ya Ufufuo:Kisha Allah (swt) ataamrisha kupulizwa kwa Sur ya pili kwa utashi

Wake kwa ajili ya ufufuo wa nafsi zilizokufa. Sur ya pili italeta mpangompya wa uumbaji. Allah (swt) ataumba ulimwengu mpya mkubwa zaidikuliko huu wa sasa na wakupendeza zaidi. Hii itakuwa utekelezaji waahadi ya Allah (swt) aliyoifanya katika Qur'an Tukufu.

"Siku tutakapo zikunja mbingu kama mkunjo wa karatasi za vitabu. Kamatulivyo anza umbo la mwanzo tutalirudisha tena. Ni ahadi iliyo juu yetu.Hakika Sisi ni watendao." Q:21:104

Ulimwengu mpya utakuwa tofauti usio wazika (lakini vilevile namshabihiano fulani) katika hali zote, yaani; umbo, ukubwa, hali ya hewa,kanuni na hali ya maisha.

"Siku itakapo geuzwa ardhi iwe ardhi nyengine, ina mbingu pia. Naowatahudhuria mbele ya Mwenyezi Mungu Mmoja, Mwenye nguvu.Q:14:48

Hadith muhimu kuhusu mwanzo wa Siku ya Hukumu.Mtu mmoja aliuliza swali kwa Imam Zainul-Abidiin (a.s) kuhusu

muda baina ya sur mbili. Imam alijibu "Kadri Allah atakavyo pendezewa".

149 150

Page 76: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Kisha Imamu aliulizwa na mtu yule yule asili ya sur na vipi itakavyopulizwa.

Imamu akajibu: "Kadri ambavyo mpulizo wa kwanza unavyohusika.Hakika Allah atamuamrisha malaika Israfil kuja chini kuelekea ardhinikupuliza Sur. Tarumbeta litakuwa na mdomo mmoja na mabomba mawili.Nafasi kati ya mabomba mawili itakuwa kama umbali kati ya mbingu naardhi.

"Wakati malaika watakapo muona Israfil akishuka kuelekea ardhini pamojana tarumbeta lake, watasema: 'Hakika Allah ameamrisha wakazi wa ardhikufa, na wakazi wa mbinguni kufa.'

"Kisha Israfil atalipuliza, na sauti itatoka kwenye bomba ambalo limeelekeaupande wa ardhini. Viumbe wote wanaoishi juu ya ardhi watakufa. Nasauti itatokea kwenye lile bomba lililo elekea upande wa mbinguni, naviumbe wote wanaoishi mbinguni watakufa, isipokuwa Israfil. Kisha Allahatamuambia Israfil; 'Ewe Israfil kufa', na atakufa.

"Kisha watabakia katika hali hii kwa kadiri Allah atakavyopenda. Na 'ARSH'Yake itarudi juu ya maji kama ilivyokuwa mwanzo, Yenye kujitegemeapamoja na Utukufu mkubwa na Uwezo Wake.

"Wakati huo, Allah ataumba sauti kubwa ambayo itafika katika kila sehemuya mbinguni na ardhi, ikisema: 'Ufalme ni wa nani siku hii?' Hakunaatakayejibu hata mmoja, kwa vile kutakuwa hakuna aliye hai; kisha AllahatajibuMwenyewe kwa kuumba sauti kubwa: 'Ni wa Allah, Mmoja,usiokatalika (Qur'an 40:16). Mmoja ambaye ameumba viumbe wote naakawafisha; hakika, Mimi ni Allah, hakuna mungu isipokuwa Mimi pekeYangu, hakuna mshirika kwa ajili Yangu wala waziri yeyote; na nimefanyaviumbe kwa mkono (uwezo) Wangu, na nimewafanya wafe kwa utashiWangu; na nitawafufua kwa Uwezo Wangu.' Kisha Allah atasababishampulizo wa pili wa Tarumbeta (parapanda); Sauti itatoka upande uliolekeambinguni, na wakazi wote wa mbinguni watakuwa hai na watachukuanafasi zao walizokuwa nazo huko nyuma, na watu wote watakusanywakwa ajili ya hesabu (ya matendo yao)."

Wakati Imamu alipokuwa anasema yote haya, alikuwa akilia,machozi yakimtoka tele. [Bihar-ul-Anwar, J. iii ]

Sehemu muhimu ya simulizi ya Imamu ni utokeaji wa kadhia yote,yaani, viumbe wote wanaoishi katika ulimwengu. Yaani, wakazi wote wa

ardhini na mbinguni watakufa kwa amri ya Allah, na kisha Allah peke Yakeatachukua Arsh Yake na atathibitisha kwamba, Yeye ni Muumba Pekee wakila kitu, na Yeye ni Peke Yake na Mmoja kabisa. Hana mshirika, hanaWaziri Mkuu, hana baba, na hana mtoto, na hakuna mungu wa ainayeyote isipokuwa Allah, na hakuna uwezo mwingine usio kuwa Wakeambao unaweza kuumba na kuangamiza. Ukimya kabisa isipokuwa sautimoja, ni uthibitisho kamili wa umoja Wake kamili.

Vidokezi vya kisayansi vya Siku ya Hukumu - kishindokikubwa mpaka mgongano mkubwa.

Wanasayansi wanaweza kueleza vipi, na kwanini Siku ya Hukumuitatokea.

Kama dhana ya kishindo kikubwa inavyoelezea jinsi ulimwenguulivyokuja kuwepo, dhana ya mgongano mkubwa inaelezea jinsi ganiulimwengu utakavyofikia mwisho.

Wanasayansi wanaamini kutokana na kuchunguza kuhama kwawadudu katika galaksi za wazi ambazo sasa ulimwengu unapanuka. Kwamujibu wa nadharia ya Einsten, ulimwengu una kikomo cha ukubwa nakikomo cha idadi cha haidrojen atomi. Wakati fulani katika muda ujao,hakuna ajuaye lini, upanukaji wa ulimwengu utasimama. Galaksi ambazokwa sasa zinarudi nyuma zenyewe kwa zenyewe zitaanza kusogeleanazenyewe kwa zenyewe na mwishowe zitaanza kugongana zenyewe kwazenyewe. Kwa vile kuna zaidi ya galaksi bilioni 100, mgongano wamabilioni utatokea mmoja baada ya mwingine - hii ndiyo Siku ya Hukumuya wanasayansi. Qur'an Tukufu huithibitisha.

"Kila kilichopo juu yake kitatoweka. Isipokuwa Uso wa Mola wakoMwenye Utukufu na Ukarimu" Q:55:26

Mgongano mkubwa utakuwa kama mshindo mkubwa katikakinyume chake.

Kwa sasa ulimwengu unapanuka, lakini inaonekana kwamba kasi yampanuko wa ulimwengu unapungua kidogo kidogo. Hii huoneshakwamba wakati wa Siku ya Hukumu ni karibu na unakaribia karibu.

151 152

Page 77: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Qur'an inaonya:

"Imewakaribia watu hisabu yao, nao wamo katika mghafala wanapuuza."Q:21:1

Aya hii ni ukumbusho mkubwa sana kwa wakazi wote wa ardhini, nikwamba Siku ya Hukumu haiko mbali bali kwa kidogo kidogo inasogeakwenye muda wake uliopangiwa.

"Na wamekanusha na wamefuata matamanio yao. Na kila jambo ni lenyekuthibiti." Q:54:3

Uwezekano wa maelezo ya kisayansi ya siku ya hukumu katikamwanga wa Qur'an Tukufu umeelezwa na mwanachuoni mashuhuri waki-Islamu Profesa S. Bashir-ud-Din katika kitabu chake kikubwa sana 'Sikuya Hukumu na maisha baada ya Kifo.' Tutachukuwa taarifa zinazopasikakutoka kwenye kitabu chake.

Kwa nini Siku ya Hukumu itakuwa siku ya kutishaisiyoelezeka?

Ardhi ni sayari kati ya sayari tisa za mfumo wa kisayari za jua. Jua ninyota moja kati ya mabilioni ya nyota katika kilimia zinazoelea katikau l i m w e n g u . K u n a z a i d i y a n y o t a b i l i o n i 2 0 0[200,000.000,000,000,000,000,] katika ulimwengu. Nyingi ya nyota hizini kubwa kuliko jua. Jua ni nyota tu yenye ukubwa wa wastani, lakinikipenyo chake ni zaidi mara 100 ya kipenyo cha ardhi. Siku ya Hukumuitakuwa ni tukio litakaloenea pote ambalo kwalo mabilioni ya galaksi namatrioni ya nyota zao sambamba na sayari zao, setelaiti na aina nyingineza sayari zitagongana zenyewe kwa zenyewe hatimae zitafikia mwishopamoja na mlipuko mkubwa.

Vyote; Qura'an na sayansi huelezea vipi haya yote yatakavyo tokeakatika majibizano mara tu baada ya kupulizwa kwa sur. Nyota ni mpiramkubwa wa gesi. Jua vilevile ni nyota kama nyota nyingine katika anga.Huonekana tofauti na nyota nyingine katika ukubwa na ung'aavu wake

kwa sababu ni nyota pekee ambayo iko karibu sana na ardhi yetu - Km.150 milioni. Mabilioni mengine ya nyota yako mbali sana kiasi kwambahuonekana kuwa kama mmemetuko wa vitone. Hatuwezi kukisia ukubwawa nyota hizi kubwa mno. Huonekana kama vitone vya mwanga kwasababu ziko mabilioni ya kilometa kutoka kwetu. Kwa mfano, nyota iliyokaribu sana - mbali ya jua - ni zaidi ya kilomita bilioni 40. Jeti (ndege)ikimbiayo sana itachukua milioni ya miaka kuruka umbali huo. Lakini hataumbali huu mkubwa bado ni umbali wa moja ya bilioni tu kufikia nyota zambali sana. Nyota huzalisha nishati ya nyukilia kwa kubadilisha haidrojenikuwa heliamu kupitia mfululizo wa majibizo ya nyukilia. Hii ni kama vilemlipuko wa bomu la atomi. Mabilioni na matrioni ya atomu yanalipuka kilasekunde katika jua na katika nyota zingine, zikizalisha kiasi kikubwa chanishati.

Ni kwa rehma kubwa ya Allah (swt) na Hikmat yake kwambaameutayarisha mwanga kusafiri bila njia ya nyenzo, lakini hakuyapamawimbi ya sauti kusafiri katika njia hii. Hivyo, kwa rehma Yake, wakaziwa ardhi hupokea mwanga tu kutoka kwenye jua na sio sauti ya kutishaya majibizo ya nyukilia.

Sur ya kwanzaMatukio asilia makubwa mno ambayo yatatokea katika sayari ya

ardhi na sehemu nyingine za ulimwengu yataanza kwa sur - Kamsa yaMungu. Itakuwa ni tarumbeta iliyo nyanyuliwa na Malaika maalum -Hadhrat Israfil, ambae ameteuliwa na Allah (swt) kutangaza Siku yaHukumu. Tarumbeta litakuwa na sauti ya juu sana isiyo elezeka ambayoitasikika kwa kila mtu kama vile iko karibu na itawafanya wakazi wote waardhi kuzimia mara moja kwa muda fulani.

Mfululizo wa matetemeko ya ardhi yenye nguvu ya hali ya juu sana,milipuko mikubwa sana ya volikano juu ya ardhi, na milipuko mikubwa yanukliajoto katika mfumo wa jua na katika sayari nyingine, itaunganapamoja kuleta mabadiliko ya machafuko yafuatayo katika ulimwengu.

"Na siku tutakapo iondoa milima na ukaiona ardhi iwazi, na tukawafufua

153 154

Page 78: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

wala hatutamwacha hata mmoja kati yao."Q:18:47

Rejea nyingine za Qur'an:{18:49, 20:102, 23:101, 27:87, 30:25, 36:51, 38:51, 39:68, 50:42,

69:13, 74:8, 78:18,79:13-14]

1. Ukelele wa sauti ya sur utafanya kila mtu katika mbingu na ardhikuzimia. Sauti inatolewa na mtikisiko wa kitu fulani. Ukali wa sauti hutegemea

juu ya kiasi cha nguvu inayo miminika katika mawimbi ya sauti. Kwenyemarudio yaliyotengwa, jinsi sauti inavyokuwa kali zaidi, ndivyo inavyoelekea kuwa kubwa. Sauti yenye kiwamgo cha desiBeli 140 husababishamaumivu makali katika sikio na inaweza kuharibu tishu. Ndege ya aina yaSupasoniki jeti hutengeneza mawimbi yenye mshindo mkubwa ambao nidesiBeli 130 kwa karibu. Hakuna anaye weza kufikiria ukali wa (sauti) yaSur na mbano mkubwa wa mtikisiko. Kelele ijulikanayo kama mngurumowa sauti nzito (Sonic boom) ya Sur itaenea pote juu ya ulimwengumkubwa. Wote ambao wako katika mbingu na ardhi wataanguka chini nakuzimia isipokuwa wale ambao wataachwa kwa rehma ya Allah.

"Na siku litakapo pulizwa baragumu, watahangaika waliomo mbinguni nakatika ardhi , ila amtakaye Mwenyezi Mungu. Na wote watamfikia, nao niwanyonge."Q:27:87

Rejea nyingine za Qur'an:

[22;2, 52:45, 27:87, 39:69.]

2. Ardhi itapasuka na itasawazishwa.Kuna uwezekano mkubwa sana kutokea hilo kwa sababu ya

kupasuka mlipiko wa vitu vya ndani ya ardhi. Kuna mamilioni ya tani zalava iliyoyeyuka ndani ya ardhi. Kwa mujibu wa wanajeolojia, ardhiinanywea taratibu tangu mwanzo wake. Kwa vile ardhi kwa sasa inanywea

mbano wake kwa ndani vilevile unaendelea kupanda. Katika kilele chake,wakati haiwezi tena kuendelea kuzuiya mbano wake wa ndani, ardhiitapasuka kama bomu. Nadharia hii inaungwa mkono na Qur'an Tukufu.

"Je! Hawakuona kwamba tunaifikia ardhi tukiipunguza nchani mwake? NaMwenyezi Mungu huhukumu, na hapana wa kupinga hukumu yake, nayeni mwepesi wa kuhisabu." Q:13:41

Kama Qur'an Tukufu ilivyo tueleza miaka 1400 iliyopita, wanajeolojiawa kisasa vilevile wanataarifu katika ugunduzi wao wa hivi karibunikwamba, ardhi ilikuwa ikinywea katika ukubwa tangu ilipokuja kuwepomiaka bilioni 4.5 iliyopita. Hii huonyesha kwamba kama vile jamiizinazoishi, ardhi vilevile inakaribia mwisho wake wa umri.

"Hawangojei ila ukelele mmoja tu utakao wachukua nao wamo katikakuzozana." Q:36:49

Tetemeko kubwa la ardhi la kuendelea linaweza vilevile kuisawazishaardhi. Tetemeko la ardhi kubwa mno kuliko 8.5 katika uzito wa Rikta,linaweza kusawazisha magorofa (marefu yenye kugusa mawingu) namilima mikubwa. Tetemeko kubwa laweza kutoa nishati kubwa kiasi chamara 10,000 kama kile cha kwanza cha bomu la atomu. Uwendaji wamiamba wakati wa tetemeko la ardhi kunaweza kufanya mito ibadili njiazao.

Rejea za Qur'an:

[36:51, 50:44, 54:7, 70:43, 79:13, 82:4, 99:6, 100:9,18:4, 84:45, 99:2]

3. Milima mikubwa itapeperuka kama vumbi la

155 156

Page 79: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

changarawe.Tetemeko kubwa, milipuko ya volkano na rasharasha ya vimondo

vyenye kuendelea vitaisaga milima kuwa vipande vipande. Prof. SBMahmood anatoa baadhi ya maelezo mengine ya jinsi gani milimamikubwa kama Himalaya na Kilimanjaro itakuwa kama pamba iliyotafunwa.

Kwa mujibu wake, hii huelekea kutokea kwa sababu ya kuongezekakwa kani nje ikiathiri mwili wa ardhi. Kuongezeka kwa mwendo wamzingo kuzunguuka mhimili na juu ya mizigo yake. Kwanza milimaitavunjika vipande vipande, na kisha, itatupwa mbele kama mirushokutoka chombo cha paraza.

Maelezo mengine yanayo wezekana yametolewa na yeye kwambaardhi inaweza kulipuka kama bomu lenye nguvu sana kwa mbano wakemkubwa wa ndani.

"Na unaiona milima unaidhania imetulia,nayo inakwenda kama mwendowa mawingu. Huo ndio ufundi wa Mwenyezi Mungu aliye tengenezavilivyo kila kitu. Hakika Yeye anazo khabari za yote myatendayo" Q:27:88

Rejea za Qur'an:[18:47, 20:105,-107, 27:88, 52:10, 56:5-6, 69:14, 70:9,72:10,

73:14, 77:10, 78:20, 81:13, 101:15.]

4. Mtikisiko mkubwa wa ardhiMtikisiko mkubwa wa ardhi unaweza kusababishwa kwa sababu ya

kuungana pamoja kwa athari ya tetemeko kubwa, usumbufu katikaulinganifu wa mvutano wa ardhi - jua - mwezi na sayari nyingine katikamfumo wa jua.

Inawezekana kama asteroidi kubwa au sayari nyengine yeyote yabonge kubwa mno itagonga ardhi na kuisukuma nje ya mzingo wake.Ardhi itaanza kutikisika kwa nguvu sana kwa matokeo ya kugongwa na

asteroid kubwa na vilevile kwa sababu ya kutolewa kutoka kwenyemzingo.

Kutikisika kwa ardhi kwa tetemeko la kawaida husababisha miundomikubwa kuyumba huku na huku na kudunda juu na chini, na kwendakatika njia nyingine kwa nguvu.

"Itakapo tikiswa ardhi kwa mtikiso, 5 " Na Milima itakapo sagwa sagwa,Q:56:4-5

Rejea za Qur'an:

[22:1, 56:4, 73:14, 79:6 -7, 99:1]

5. Bahari zote zitachemka na kushika motoMoto katika bahari umeelezwa kisayansi na Prof. S.B Mahmood

katika njia mbili.

1) Utokeaji wa nguvu wa lava ya moto nyekundu chini ya bahari kwasababu ya harakati ya volkano.

2) Kuna kiasi kikubwa cha haidrokabon ndani ya ardhi. Kwa vile kiasilini yenye kulipuka kwa hali ya juu sana, inaweza kushika moto kwaurahisi chini ya bahari kipindi cha matetemeko makubwa wakatiyakitokea. Bahari itakuwa vimondo.Vilevile tetemeko la ardhi katika sakafu ya bahari inaweza kuwasha

moto katika hakiba ya mafuta chini ya bahari, ambayo katika kulipukainaweza ikasababisha moto katika bahari.

Rejea za Qur'an:

[81:6, 82:3-4.]

6. Ardhi itamwaga nje mizigo yake yote.Hii inaweza ikawa ni matokeo ya tetemeko la ardhi na milipuko ya

volkano. Tetemeko la ardhi kwa kawaida huanzia ndani kabisa ya ardhi157 158

Page 80: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

katika umbali wa kilometa 70 mpaka 700 chini ya usawa wa ardhi.Tetemeko lenye nguvu litatupa nje mizigo ya ardhi kwa mbano.

3."Na ardhi itakapo tanuliwa" 4. "Na kuvitoa vilivyomo kuwa ndani yake,ikawa tupu. 5 "Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi , na ikapasiwa kumsikiliza.Q:84:3-5

Rejea za Qur'an:

[99:1-2, 84:4-5, 99:4-5, 86:9, 100:10.]

7. Angahewa ya kawaida ya ardhi itajazwa moshi wenyekusonga roho.

Athari ya pamoja ya mlipuko mkubwa wa volkano, nyenzo za gesikutoka kwenye sayari na makombora ya vimondo vitaweza kuijazaangahewa ya ardhi kwa vumbi, maada nyeupe ya porasi namchanganyiko wa gesi.

Volkano hutoa gesi kama dioksidi ya kaboni, dioksidi ya salfa,haidrojeni salfaidi, haidrojeni kloraidi, haidrojeni fluoridi, kaboni monoksaidina mvuke wa maji. Gesi hizi za volkano huenda juu kiasi ya km. 15 katikastratosfia.

"Basi ingoje siku ambayo mbingu zitakapoleta moshi ulio dhahiri, utakaowafunika watu: Hii ni adhabu kali!" Qur'an 44:10-11

Mtukufu Mtume alisema:

"Dukhan huashiria moshi ambao utaonekana Siku ya Hukumu."

Hili ni onyo kwa wale ambao wanakataa imani ya kweli. Wataona

moshi kila mahali katika Siku ya Hesabu. Utawafunika kwa adhabu kali.

Rejea za Qur'an: [44:10-11]

8. Jua, Sayari na Mwezi vitagongana.

Kuna uwezekano wa maelezo mengi:i) Sayari zote zinaelea katika mizingo yao husika chini ya athari ya

mvutano na aina nyingine za kani. Usumbufu katika ulinganifu wahizi kani nje kutazitoa sayari nje ya mizingo yao. Bila kuepukazitagongana zenyewe kwa zenyewe.

ii) Baada ya jua kuwa na wekundu mkubwa, linaweza kulipuka navipande vyake kupasuka kwenye anga.

iii) Jua na sayari zake ziko katika ulinganifu. Wakati nishati ya nyukilia yajua itakapokuwa imekwisha, sayari pamoja na ardhi yetu zitaangukiakwenye jua.

"Jua litakapo kunjwa"Q:81:1

Rejea za Qur'an [84:4-5, 99:2-3,75:8-9, 44:10-11].10) Mwanga ufanyao kiwi ya macho utapofua macho.

"Basi jicho litapo dawaa.Q:75:7

11) Galaski zitapasuka vipande vipande.Mara ulinganifu sahihi wa ulimwengu utakapovurugwa, mabilioni ya

nyota na sayari zitagongana zenyewe kwa zenyewe na kuijaza anga kwagesi.

"Na siku zitapo funguka mbingu kwa mawingu, na wateremshwe

159 160

Page 81: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Malaika kwa wingi."Q:25:25

Rejea za Qur'an: [25:25, 55:37, 69:15, 73:18, 77:9, 78:19, 82:1,84:1-2.]

12) Nyota zitaachana na kutawanyika kuwa kwenye mabonge yamavumbi.Katika ulimwengu unaopita, nyota zilizo unganishwa katika anga

nyeupe ya mto zitaanza kuchemka, na kisha zital ipuka. Nyotazitatenganishwa, na atomu zao zitavunjwa vipande vipande.

Rejea za Qur'an: [77:8, 81:2, 82:2, 70:8, 55:37.]13) Galaski zitatingishika kwa nguvu sana na anga yote itajazwa nyenzo

ya gesi.Itakuwa siri ya kunywea ulimwengu. Galaksi zitakuwa zimejaa

ghasia, kwani nyota zitakuwa zinagongana zenyewe kwa zenyewe,zikitapika gesi ya plasma ya moto. Anga ikiwa imechafuliwa na vipandevipande vya nurishi.

Hivyo, wakati vishada vya galaski vikiwa na mabilioni ya nyotavitagongana vyenyewe kwa vyenyewe, anga yote itajazwa nyenzo za gesinurishi kwa mlipuko wa nyuklia.

Rejea za Qur'an: [52:9, 44:10, 39:68.]14) nyota katika galaski zote zitavingirika nyuma kama mvingirisho wa

karatasi.Kwa mujibu wa dhana za kisasa za kosimolojia, ulimwengu wa sasa

hauko wazi bali umefungwa. Hii kwa usahihi ina maana kwambaulimwengu una mwanzo na hatimaye utafikia mwisho. Hili jambo lauumbaji na maangamizo linaelezewa kama kupanuka na kunywea kwakosimolojia.

Qur'an vile vile hutuambia kwamba kulikuepo wakati ambapo Allah(swt) aliumba ulimwengu, akaupa mwendo wake kamili wa mabadiliko, namwishowe ataukunja kisha Allah (swt) ataumba ulimwengu mpyamkubwa zaidi, ulio wazi na mtukufu zaidi ambao utadumu milele.

"Siku tutakapo zikunja mbingu kama mkunjo wa karatasi za vitabu. Kamatulivyo anza umbo la mwanzo tutalirudisha tena. Ni ahadi iliyo juu yetu.Hakika sisi ni watendao." Q:21:104

Rejea za Qur'an:[21:104, 39:69.]15) Ulimwengu wote utaanguka na utachukuwa umbo jipya.

Ulimwengu utakuwa unanywea zaidi na zaidi. Mwishowe kunyweakwa ulimwengu kutakomea kwenye mlipuko usio dhibitika -Mgongano - Mkubwa, na kuweka hatua kwa ajili ya kuanza upya.

Rejea za Qur'an: [14:48, 55:26.]Hivyo, hizi zilikuwa ni baadhi ya hali za Siku ya Hukumu, lakini

hakuna mtu hata mmoja awezae kufikiria maangamizi yake asilia kwaukamilifu. Katika aya moja ya Qur'an Tukufu, hali ya watu mwanzo watukio la Siku ya Hukumu imeelezewa kama hivi:

"Enyi watu ! Mcheni Mola wenu Mlezi. Hakika tetemeko la saa (yakiyama) ni jambo kuu. 2 "Siku mtapo iona, kila mwenye kunyonyeshaatamsahau amnyonyeshaye, na kila mwenye mimba ataharibu mimbayake. Na utaona watu wamelewa, na kumbe hawakulewa. Lakini adhabuya Mwenyezi Mungu ni kali."Q:22:1-2

Hivyo tarumbeta la kwanza la Mungu Siku ya Hukumu litafunikaulimwengu wote na litatingisha mabilioni ya galaksi mara moja. Kilakiumbe katika mbingu na ardhi kitakufa isipokuwa kwa utashi Wake Allah(swt). Utaratibu wote wa maangamizo ya ulimwengu waweza kuchukuwamabilion ya miaka.

161 162

Page 82: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Sur ya pili.1. Sur ya pili na ya mwisho itauleta ulimwengu mpya na kufanya

uwepo. [Q. 17:51.].2. Siku ya Ufufuo kuanza! Watu wote watarudishwa kwenye uhai, na

watakusanywa katika makundi na mataifa. Kila kundi litahudhuriaMahakama ya Mungu wakiwa pamoja na Imamu wao. Kila tukioliloandikwa au lisiloandikwa katika historia ya ulimwengu uliopitalitajadiliwa kwa usahihi wa hali ya juu sana, pamoja na mambo yotemadogo na makubwa. Allah (swt) Bwana wa Siku ya Hukumuatatoa uamuzi Wake wa mwisho.

Rejea za Qur'an: [53:47, 2:23, 2:222-260, 4:7, 16:48.6:36, 60, 7:14, 7:24, 7:36, 16:21, 21:104, 22:5, 23:16,26:81, 27:65, 30:14, 30:19, 31:28, 36:52, 37:144, 38:79,58:6-18, 64:7, 67:15, 71:18, 72:7, 78: 18, 83:4-6, 89:25,99:6, 45:28, 101:9.]

KIINI CHA FIKRA.Waislamu wote, Wakristo, Wayahudi, Wahindu na Wanasayansi

wakanaji Mungu kwa imara kabisa wanaamini kwamba ulimwengu huu sisehemu ya kudumu ya kuishi. Siku itakuja wakati mfumo wote wa juautavunjika. Kwa mujibu wa ugunduzi wa kisasa wa falaki, jualimekwishapita miaka bilioni 4.5 ya umri wake, na lina miaka minginebilioni 4.5 ya kuishi. Lakini mwishowe jua vile vile litakufa kama nyotanyingine katika galaksi.

Sio vigumu sana kutambua dhana ya Siku ya Hukumu. Tunajuakwamba kiwango kidogo cha Siku ya Hukumu kimetokea mara nyingikatika ulimwengu. Wataalamu wa nyota wanajua vizuri sana kwambaidadi kubwa ya nyota hufa sehemu fulani katika ulimwengu wakati wote.Halikadhalika, matetemeko ya ardhi na majanga asilia mara kwa marahutokea katika ardhi. Siku ya Hukumu itakuwa kama janga la kuenea pote(ulimwenguni) pamoja na kuanguka kabisa kwa ulimwengu.

Hata hivyo, ni Uislamu pekee unaotoa picha sahihi ya Siku yaHukumu na madhumuni yake. Uislamu hufundisha wafuasi wake kufanyamatayarisho ya lazima ili kuepuka vitisho vya Siku ya Hukumu.

Vyote; uumbaji na maangamizo ya ulimwengu ni kwa mujibu wampangilio wa Mungu. Ulimwengu haukuja kuwepo kwa bahati, walahautaangamizwa kwa ajali yeyote.

"Hatukuziumba mbingu na ardhi wala yaliyomo baina yake ila kwa haki nakwa muda maalumu. Na walio kufuru wanayapuuza yale wanayoonywa"Q:46:3

163 164

Page 83: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

SURA YA KUMI NA TANO

DALILI ZA WAZI ZA QIYAMAT.Muda haswa wa Qiyamat kama ilivyo tajwa mapema ni siri ya

Mungu kabisa. Hakuna aijuaye isipokuwa Allah. Hata malaika Israfilambaye amepewa jukumu kuanzia siku ya kwanza kupuliza Sur katikamuda wake uliopangwa, hajui muda wake haswa na kwa hadhari kubwaanangojea amri ya Allah(Swt).

Lakini Allah (swt) alimweleza Mtume wake wa mwisho (saw) baadhiya dalili kubwa ambazo zitatokea kabla ya kuanza kwa Qiyamat. Huu niupendeleo mkubwa kwake na kwa ummah wake.

Mtukufu Mtume (saw) amezielezea dalili zenyewe haswa kwa watuwake ambao walikuwa hawajui kabisa mambo ambayo yangetokea katikasiku zijazo.Kwa mfano, watu kipindi cha wakati wa Mtukufu Mtume (saw)walikuwa hawajui kuhusu television, kompyuta na vitu vingi changamanovya teknolojia ya kisasa.

Hivyo, Mtukufu Mtume alitumia ishara ya misemo rahisi iliyozoelekakwa watu wa wakati wake kuyakinisha utambulisho wa mambo yajayo.Kwa hivyo, ni muhimu kuchambua maneno ya sitiari katika hadithi iwekama kielelezo ili kutambua mambo ya methali yaliyofichwa ndani yamaneno na kufafanua matukio husika ya baadae. Aina hii ya maelezoyaliyo tengenezwa juu ya utafiti wa kina yanaweza kutoa picha kamili yasiri iliyofichika.

Hudhaifah bin Usaid al-Ghafari, akimnukuu Mtukufu Mtume (saw)alisimulia dalili 10 makhususi za Siku ya Hukumu. Baadhi ya hizo ni hizizifuatazo: (1) Moshi (2) Dajjal (3) Dabbat-Ardh (4) Jua kuchomozakutokea magharibi (5) kutokea tena kwa Imam Mahid (as) na Hadharat Isa(as) (6) Yajuj na Majuj.

Moshi: Kilele cha ufifiaji wa hali ya hewa. Kwa mujibu wa hadithinyingi, aina fulani ya moshi itaenea ulimwenguni pote karibu na Siku yaHukumu. Huu utapenyeza masikio na macho ya watu. Maelezo yakuwezekana: Inaweza kuwa ni matokeo ya milipuko mikubwa ya volcano,ikifuatiwa na matufani ya upepo wenye nguvu sana na mvua kubwa zavimondo. Muunganisho wa athari zote hizi za mambo ya misiba ina weza

kujaza anga hewa yote ya ardhi kwa moshi.

Dajjal: Kilele cha ufifiaji wa kiroho.Kwa mujibu wa hadithi nyingi, Dajjal atanyanyuka karibu na Siku ya

Hukumu. Atakuwa mtawala mwenye nguvu na adui mkubwa waWaislam. Ataonesha mambo ya kushangaza kuwavutia watu. Atakuwana njia ya kusafiria kutoka mashariki kwenda magharibi ndani ya siku mojaau sehemu yake. Atakuwa nayo jannat na jahannam. Atatoa pepo (janat)kwa wafuasi wake na atawatupa wapinzani wake kwenye Jahannamyake.

Inaelezwa pia katika hadithi kwamba Dajjal atakuwa mtu mwenyechongo ambaye atadai kwa uongo kwamba yeye ni Masihi anayengojewana Wayahudi (au wakristo). Atavuta idadi kubwa ya watu wanaoishikatika sehemu tofauti za ulimwengu na pamoja na ongezeko hili languvu, umaarufu na utukufu mwishowe atadai kwamba yeye nimungu.Dajjal atauawa na Imamu Mahidi (as), imetaarifiwa katikaSahih-e-Muslim kwamba, Mtukufu Mtume (saw) alisema: "Hakuna katiya uumbaji wa Adam mpaka kutokea kwa Qiyamah, jambo lolote gumuzaidi kuliko lile la Dajjal." Sasa ni vigumu kubuni kwa usahihi asili na pichaya Dajjal kutoka kwenye maneno ya hadithi. Watu wengi wanawezawakamfikiria Dajjal kirahisi kama mtu mwenye chongo. Lakini Dajjalanaweza vilevile kuwa ni taifa lenye nguvu lililoendelea kiteknolojia. Taifaambalo hujiita lenyewe Massiha (mwenye kufanya amani) na taifa kubwa(Mungu). Mtu mwenye chongo inaweza kutafsiriwa kama taifalililoendelea lililotafiti ulimwenguni kwa jicho moja, yaani mambo yakimwili tu.

Leo Amerika hufikiriwa na watu wengi kama Jannat. Kuna Waislamuwengi wanaoishi katika inchi za Ki-Islamu ambao kwa kukata tamaawanataka kuhamia Amerika kwa hali yeyote. Kadi la kijani kwao ni kamakibali cha kuingia Jannat.Ukiangalia maendeleo ya kiteknolojia na ushukajiwa kiroho wa inchi hii katika mwanga wa hadithi, mtu anaweza akasemaAmerika ni Dajjal. Mtukufu Mtume amewaonya Waislamu mara nyingikuhusu fitna ya Dajjal. Maana halisi ya Dajjal ni "mdanganyifu". Allah nimwenye kujua mengi zaidi.

165 166

Page 84: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Yajuj (gog) na Majaj (magog) vita vya dunia vya nyukliaKwa mujibu wa wanachuo wa Ki-Islam, Yajuj na Majuj ni makabila

mawili makubwa kutoka watoto wa Japhet. Katika agano la kale, Majujwametajwa kama wanao husiana na chifu wa Masheeh na Tubal. Sehemuhizi zimetambuliwa na watafiti kuwa sasa ziko Moscow.

Baadhi ya wanachuo vile vile wametambua neno Mangol kamaneno la kichina Mangog au Manchog. Kama hii ni kweli basi sehemu iliyohusishwa na Yajuj na Majuj itaenea sehemu yote kati ya Urusi na Chinakutoka mto Moscow mpaka Mongolia.

Katika tafsiri Majma-al-Bayan, mwandishi amesema kwamba ."Baada ya kuimiliki ardhi,Yajuj na Majuj watapenda kuitawala angawatarusha mishale kuelekea mbinguni na itarudi kwao na vitu kama damuiliyo pakazwa juu yao. Hivyo watasema ."Tumewashinda wakazi wa ardhina mbinguni." Allamah Sayyid Saeed Akhtar Rizvi ametafsiri mishalekama roket na vyombo vya anga za juu, kama uchambuzi huu ni sahihi,basi tunaweza kuhitimisha kutokana na hili kwamba kisa chote cha Yajujna Majuj huashiria "vita vya dunia" kati ya nchi zenye nguvu za nyukliakama vile Urusi, China na Marekani, zikitumia maroketi kutoka kwenyevituo mbali mbali vya silaha angani. Moshi ni dalili nyingine ya Qiyamat,yaweza kuwa ni matokeo ya vita hii ya nyuklia.

Dabba-Tul -ArdhiMaana ya Dabbat -ul -Ardhi ni mtembeaji wa ardhi. Kuna hadithi

ndefu zinazo elezea asili ya dabbat-ul-ardhi.

SURA YA KUMI NA SITA

HATUA ZA KUWEPO KWAMWANADAMU

Katika mchoro huo hapo juu, hali ya mwanadamu kuanzia tumbo lauzazi mpaka kaburini na akhera umechorwa kuelezea matukio mbalimbaliambayo hutokea moja baada ya jingine.

Hii kwa usahihi huonyesha kwamba kukaa kwetu katika ulimwenguhuu wa kimaumbile, ni mfupi mno ukilinganisha na kuwepo kabla yakuzaliwa na baada ya kufa. Tumeishi mamilioni ya miaka sehemu fulanikatika hali fulani kabla ya kutungwa mimba katika tumbo la uzazi la mama,na tutaishi mamilioni ya miaka sehemu fulani katika hali fulani wakatitutakapo tupwa kwenye tumbo la ardhi. Kutoka kule tutafufuka nakuelekea kwenye kituo cha mwisho ambacho kitakuwa nje ya mipaka yamuda, Qur'an Tukufu inatukumbusha kufikiri kwamba, vipi kipindi hikikifupi cha kukaa katika dunia hii ya maumbile kitakavyo tengeneza maishayetu yasiyo na kikomo na ya milele.

Tumbo la uzazi mpaka kaburini na AkheraChati ifuatayo imetayarishwa kwa msaada wa Qur'an Tukufu,

ambayo hutoa kumbukumbu za matukio yale yanayotokea kuanzia tumbola uzazi mpaka kaburini na akhera. Qur'an imeelezea hatua hizi katikasehemu mbali mbali ambazo ni rahisi kueleweka kwa watu wenye akili za

167 168

Page 85: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

wastani. Imefanywa kwa mukhtasari rahisi, katika ramani kuonyeshakwamba, ukweli huu uko kwa mujibu kabisa na kile kilichogunduliwa nawanasayansi, na yale yatakayogunduliwa zaidi hapo baadae. Sayansihuendelea kwa uchunguzi, majaribio na utafiti. Lakini kwa bahati mbaya,katika hali nyingi mitindo hii sahihi ya utambuzi imetiwa dosari kwa tafsiripotofu. Mtafiti mnyofu na mkweli katika sayansi anaweza kuthibitishahatua hizi zilizo fafanuliwa kwa uwazi za kuwepo mwanadamu.

TUMBO LA UZAZI MPAKA KABURINI

MWANAUME …UDUGU WA ASILI …MWANAMKE

30:21

Ndoa24:32:,25:74kujamiiana

2:187,2:223utungisho

85:13,75:37,76:2,23::13:37:8

Utungaji wa mimba86:6,71:14

maendeleo ya kilengwa

40:67,23:13,22:5kiini tete

6:140,82:7,8,22:5,31:14kuzaa

53:45,32:9,25:74,18:46,54:49

kunyonyeshamiaka miwili2:233,31:14

kulikiza

46:15,31:14maendeleo ya mwili na akili

kutambaa na kujifunza

87:2kitoto kichanga

maendeleo ya mwili -kianatomi

76:2umri wa ujana wa kwanza

22:5,23:12-14maendeleo ya ujuziUMRI WA UJANA

40:67Ndoa

22:54,4:3

Elimu ya chuo kikuuUmri wa kuhoji

76:2-3umri wa kuzalisha

ubingwa wa taaluma na uzalishaji

UMRI WA UZEE36:68

Mabadiliko muhimu katika maisha - udhaifu wa akili kutokana na uzee.

36:68kifo

21:35,14:24-26, 29:57

mahali pa mateso ya muda 36:52SIKU YA HUKUMU YA MAISHA YA MILELI

Pepo Jehannamu

169 170

Page 86: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

77:38,6:31,23:15-16,36:63,41:28,36:55-56,57:58,2:25,2:39,2:81

kutokana na ramani hii inayojielezea yenyewe, mtu mwenye kufikirikwa mantiki atafikia kwenye mahitimisho yafuatayo:

1. Allah kwanza aliumba nafsi (roho) na akaziweka katika sehemumakhususi.

2. Nafsi iliingizwa katika mwili wa kiumbe hai baada ya taratibu zautungaji wa mimba. Mwili na nafsi vilikaa katika tumbo la uzazi lamama kwa muda wa miezi 9, kutoka pale iliwasili katika dunia yakimaumbile wakati wa kuzaliwa.

3. Maisha katika dunia ya kimaumbile ni sehemu ndogo mno yamaisha halisi.

4. kifo sio mwisho wa maisha bali ni mwanzo wa kuanza awamu ya piliya maisha ya milele, kifo hutenganisha mwili na nafsi (roho).

5. Baada ya kupitia kifo, roho iliyoondoka (kwenye mwili) ya kilamwanamume na mwanamke huendelea kuishi katika sehemuambayo imewekewa masharti kwa mujibu wa utekelezaji wakekatika dunia. Sehemu hii ya kati ambayo ni daraja baina ya dunia yakimaumbile ya kwanza na dunia ya pili ya metafizikia, inajulikanakama Barzakh.

6. Muda wa kukaa katika Barzakh unaweza kuwa mrefu sana lakini siowa kudumu, roho itabakia katika kituo hiki kuanzia wakati wa kifompaka mwisho wa dunia / kuanza kwa dunia mpya yaani Siku yaQiyamah / Siku ya ufufuo.

7. Dunia itakoma kwenye muda uliowekewa, ambao ni Allah pekeendiye ajuaye. Ulimwengu wote na ki la ki tu ndani yakevitaangamizwa. Baada ya hapo, yaani baada ya utekelezaji waQiyamah na uangamizaji kabisa wa ulimwengu, kisha Allah atafufuajamii yote ya wanadamu ambayo imewahi kuwepo popote na katikawakati wowote kwa ajili ya Hukumu ya mwisho.Hii itakuwa sikumuhimu sana kwa kila roho.

Kila mwanamume na mwanamke ambaye alizaliwa katika dunia hiiatapata maisha ya mwisho ya milele ambayo atayapitisha katika sehemuijulikanayo kama Pepo au Jehannamu.

AWAMU ZA MAISHAKama ramani ya maisha inavyoonyesha, tunazo hatua mbali mbali

na awamu za maisha:

1. Maisha kabla ya kuzaliwa2. Maisha katika dunia hii3. Maisha baada ya kifo4. Maisha baada ya ufufuo.

171 172

Page 87: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

SURA YA KUMI NA SABA

AWAMU YA KWANZA YA KUWEPO

KWETU - MAISHA KABLA YA KUZALIWA.Tumekuja katika ulimwengu huu, kutoka kwenye miili ya mama zetu

kama vitoto vichanga. Lakini kutokea kwetu katika ulimwengu huu kamajamii mpya, sio hatua ya kwanza ya kuwepo kwetu. Tuliumbwa na Allahzamani kabla ya kuzaliwa kwetu. Kabla ya kuzaliwa kwetu, wote tulikuwatukiishi mahali fulani katika ulumwengu kama nafsi binafsi. Hii ndiyotunayo ambiwa na Qur'an na hadithi kuhusu asili ya kuwepo kwetu.Qur'an inasema:

"Na pale Mola wako Mlezi alipo waleta katika wanadamu kutokamigongoni mwao kizazi chao, na akawashuhudisha juu ya nafsi zao,akawaambia: Je Mimi si Mola Mlezi wenu? Wakasema: Kwani!Tumeshuhudia. Msije mkasema Siku ya Kiyama sisi tulikuwa tumeghafilikana hayo."Q:7:172

Aya hii ya Qur'an hutukumbusha kuhusu mkataba ambao tuliufanyabaina yetu na mola wetu kabla ya kuzaliwa kwetu, kwamba hakuna kamaYeye ambaye ni Mungu wetu.

Hii huthibitisha kwamba tulikuwa tupo, na tulikuwa nayo maisha yafahamu kabla ya kuzaliwa kwetu. Wale ambao hawaamini katika Qur'ansiku zote watakataa kipande hiki cha habari, yaani, kuwepo kabla yakuzaliwa, kwa sababu tu kwamba, haiwezekani kuthibitishwa juu yamsingi wa majaribio ya kisayansi. Lakini kuna vitu vingi ambavyowanasayansi wote huviamini, lakini hawawezi kuvithibitisha kwa majaribio.Takriban wanasayansi wote huamini katika ukweli fulani ambao uko njekabisa ya mipaka ya uthibitisho wa majaribio.

Hivyo, ni kweli kwamba hatuwezi kuthibitisha kuwepo kwetu kablaya kuzaliwa na baada ya kifo kwa majaribio yeyote. Lakini kutowezakuthibitisha kuwepo huko kwa majaribio, sio sababu sahihi ya kukataaukweli huu. Sasa tunajua kuhusu ukuaji wa kiini tete wakati wa hatuambali mbali za ujauzito. Yaani, ukweli mwingi kuhusu ukuaji kabla ya

kuzaliwa ambao hakuna aliyeweza kuufikiria, mamia ya miaka iliyopita.Halikadhalika hatuwezi kamwe kuujua ukweli mwingi wa maisha yetuuliotokea kabla ya kuzaliwa kwetu na baada ya kufa kwetu. Hii huoneshaumuhimu wa vitabu vya Mungu na Mitume ambavyo ni vyanzo pekee vyakuaminika kwa taarifa kama hizi. Vile vile kuna hadithi ya Mtukufu Mtume(saw) ambayo kwayo ametueleza baadhi ya hakika muhimu za kuwepokabla ya kuzaliwa.

Mtukufu Mtume (saw) alisema: "Nafsi ni (kama) jeshi lililounganishwa (katika ulimwengu wa kiroho) nafsi zote zitakazojuana (katikaulimwengu huo) huvutiwa na kila moja katika ulimwengu huu.

Na zozote zile zitakazokuwa mbali na tofauti (kule) zinakuwahazivutani zenyewe kwa zenyewe (katika ulimwengu huu)."

Katika hadithi nyingine, Imamu Jafer-as-Sadiq (as) anasema, "HakikaAllah alianzisha undugu baina ya nafsi katika (ulimwengu wa) viza miaka2000 kabla ya kuumba miili yao."

Hadithi kama hiyo imo pia katika Bukhari, ambayo kwayo MtukufuMtume amesema: "Katika kuwepo kwao huko nyuma, nafsi ziliishi pamojakama jumuiya. Wale ambao kiroho walikaribiana wenyewe kwa wenyewe,wamebakia wenyewe kwa wenyewe hapa vile vile, yaani katikaulimwengu huu. Wale ambao walikuwa mbali kutoka kwa kila mwinginekule, vile vile wana undugu mdogo wa wenyewe kwa wenyewe hapa pia."Kiini cha hadithi ni kwamba, kabla ya kuzaliwa kwetu , sisi wanadamuwote tulikuwa tukiishi kama ROHO mahali fulani katika ulimwengu. Kamakatika ulimwengu huu baadhi ya roho zilikuza uhusiano na baadhi ya rohonyingine na nguvu ya mshikamano huo umebakia wenye nguvu natunahusisha uhusiano ule wakati wowote tunapotokea kukutana naokatika ulimwengu huu. Ukweli wa hadithi hii unakubaliwa na sisi wote.Yaani tunahisi aina ya uvutiaji na kufanana kwa baadhi ya watu, na vilevlie aina ya karaha na baadhi ya watu wengine.

Kwa hakika roho zote zimeumbwa na Allah kama kitu kimojakilichotengwa. Lakini baada ya kuzaliwa tunajiona wenyewe tumehusianana kila mwingine kama mzazi - mtoto - na vizazi vyao.

Hivyo, tunaweza kupanua kisio letu juu ya msingi wa hadithi hizi,kwamba uhusiano wa damu ambao unaanzishwa baada ya kuzaliwakatika ulimwengu huu, kama vile kaka - kaka - dada - dada - wazazi -watoto una mizizi yake katika nafsi zetu, yaani, nafsi ambazo zina mapenzi

173 174

Page 88: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

na upendo katika ulimwengu wa kwanza umepandikizwa na Allah (swt)katika Jeni kuhusisha ukaribu ule wa mwanzo katika ulimwengu huu.Vinginevyo hakuna sababu yoyote nzuri inayojulikana kwetu kuthibitishakwa nini siku zote kuna mapenzi yenye nguvu na upendo katikamahusiano haya.

Roho (Nafsi) ni nini? Kila kiumbe anayeishi ana sehemu au vijenzi viwili ndani yake

ambavyo humfanya jamii inayoishi.

Mwili wa kiumbe hai Roho/Nafsi

Wanasayansi wengi hawaamini kuwepo kwa roho.

Mwili wa kiumbe haiKadiri mwil i wa kiumbe hai unavyohusika, wanasayansi

wamegundua idadi kubwa ya siri kuhusiana nao. Wamechunguza takribanmwili wote na sehemu zake kwa msaada wa darubini zenye nguvu. Sasawanaweza kueleza kazi za mwili kuanzia sehemu zake ndogo sana mpakakubwa sana. Hivyo, hakuna shaka kuwepo kwa mwil i kwa vi leunaonekana kwa uwazi na kueleweka. Lakini wanasayansi hawajuimambo mengi ya kweli kuhusu mwili na kwa hiyo hawawezi kujibumaswali mengi ya msingi kama vile:

Vipi viungo tofauti vya mwili vinavyofanya kazi? Kwa nini mwili mfu hauwezi kusogea wakati mwili huo huo ulikuwa

ukishangaza, ukifanya vitu vya ajabu punde tu kabla ya kufa? Ni kitu gani kinatoka mwilini ambacho huufanya mfu kabisa na

kutulia punde tu baada ya kufa? Kwa nini atomi na molekuli zile zile ambazo zimo ndani ya mwili

hazioneshi uhai katika viini vingine? Hakuna atomi au molekuli hatamoja katika mwili wa binadmu ya kipekee au isiyo ya kawaida. Basini kitu gani kinachofanya vitu vinavyoishi na visivyoishi vitofautianekwa kila kimoja?Wanasayansi kamwe hawatakuwa na uwezo wa kuyaelewa maswali

yote haya mpaka wamuendee Mtume wa mwisho wa Mungu.

Kwa kadiri ambavyo roho inahusika, tunayo elimu ndogo sanakuhusiana nayo. Hii ni kwa sababu roho haionekani kabisa na iko nje yamipaka ya kufikiwa na darubini yoyote yenye nguvu. Hii ndiyo sababuambayo wanasayansi hawatambui kuwepo kwa roho na kuitangaza kuwanje ya upeo wa sayansi. Kama hatuwezi kuona au kugundua kitu chochotekwa vyombo vyetu vyenye nguvu, hiyo haina maana kwamba kitu hichohakipo.

Viumbe wengi wadogo mno kama vile wadudu wasionekana kwamacho, jemsi na virusi havionekani (kwa macho matupu), lakini baada yaugunduzi wa darubini zenye nguvu sana tunaweza kuviona na hatunamashaka kuhusu kuwepo kwao. Leo watu wengi wa kawaidahawakuviona viumbe hivi, lakini bado wanaamini kuwepo kwao. Ni kwasababu wanawaamini wanasayansi na kukubali uchunguzi wao. Waleambao hawakubali ukweli wa roho wanahoji kwamba, hawawezi kuelewakitu chochote cha maumbile hayo. Lakini lazima watambue kwamba, rohosio siri pekee ya maumbile ambayo hawawezi kuyatambua kwa ukamilifu.Kuna orodha isiyo na mwisho ya vitu katika ulimwengu ambavyo kwavyowanasayansi amma wana elimu ndogo au hawajui chochote kuhusiananavyo. Roho ni moja ya vitu hivyo. Halikadhalika kutoonekana aukutokutambulika kwa roho sio sababu sahihi ya kukataa kuwepo kwake.Hivyo ndivyo ilivyo asili ya roho, kwanba hakuna mwanasayansi awezayekugundua kuwepo kwake kwa msaada wa darubini yoyote yenye nguvu,au aina nyingine yoyote ya chombo. Qur'an na Hadithi ndiyo chanzopekee cha elimu kuhusu roho.

Ndio maana tunasema kwamba, wanasayansi kamwe hawawezikugundua picha kamili ya kitu mpaka wakubali uongozi wa Mitume naMaimamu. Kama vile wanafunzi, hawawezi kutafuta elimu kwa vitabu tu,bali kwa mahitaji makubwa sana wanahitaji msaada wa Maprofesa naWalimu. Wanasayansi vile vile hawawezi kutafuta elimu kuhusuulimwengu kutoka kwenye uchunguzi wao bila mwongozo wa Mtume naKitabu cha Mungu.

Qur'an imetufahamisha kuhusu roho kwa kutoa taarifa ifuatayo:

175 176

Page 89: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

"Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema Roho ni katika mambo ya Molawangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu" Q:17:85

Aya hii ya Qur'an Tukufu hutufundisha jinsi ya kushughulika na siriza ulimwengu kama vile roho. Kutoka kwenye aya hii ya Qur'an tunawezakuona nukta muhimu zifuatazo:

1. Kuna ukweli mwingi wa kawaida na maajabu ambayo wanasayansina wasomi kamwe hawatakuwa na uwezo wa kuyafahamu, na rohoni moja kati ya hivyo.

2. Roho ni Amri ya Mungu.3. Mtume (saw) hakueleza mengi kuhusu roho kwa sababu

wanasayansi hawawezi kuelewa maelezo ya Mtume, kwani elimuyao ni yenye ukomo. Hii ina maana kwamba asili ya msingi wa rohohauwaziki, na mtu kamwe hawezi kuitambua.Hivyo, picha nzima ya roho ni nje ya mipaka ya utambuzi wa

mwanadamu. Kwa mfano, kamwe mtu hawezi kujua hisia za mtu baadaya kifo chake. Hatuwezi kujua kama mtu aliyekufa anaweza kusikia au la.Lakini Mtukufu Mtume alifichua siri hii ambayo hakuna mwanasayansi aufilosofa anayeweza kwa usahihi kulifanya hilo. Inasimuliwa kwamba wakatiwa vita vya Badir idadi ya viongozi maarufu wa mushrikina waliuawa.Mtume aliwaambia Masahaba zake wazitupe maiti za mshrikina kwenyeshimo karibu na uwanja wa mapambano. Kisha Mtukufu Mtumemwenyewe akaenda kwenye kisima na akawahutubia maiti, "Tumeonayale ambayo Allah ametuahidi kwetu sisi yamekuwa kweli. Je, na nyie vilevile mmepata kile Alichokuahidini kwenu?"

Baadhi ya Masahaba wa Mtukufu Mtume walisema: "Ewe Mtumewa Allah! Unazungumza na hawa ambao wamepigwa na wamekufa? Je,wanasikia unayoyasema?" Mtume akajibu, "Sasa wanasikia zaidi kulikonyie."

Kutokana na Hadithi hii na nyingine nyingi inakuwa wazi kwambapamoja na mtenganisho wa mwili na roho baada ya kifo, roho haivunjikabisa uhusiano na mwili ambao kwamba uliambatanishwa nao kwamiaka kadhaa.

Kwa vile tunajua kidogo sana kuhusu roho, hatuwezi kusema kwauhakika kuhusu uhakika wa vitu kama:

a) Ni wapi roho katika mwili inaishi.

b) Je, inaishi mahali katika ubongo au imeenea kila mahali katika mwili.Hata hivyo, hakuna shaka kwamba wote tunayo roho ndani yetu

wenyewe, na mwili ndiyo gari au zana ya roho.

Kwa vile viungo vyote vya mwili vinafanya kazi chini ya amri kamiliya ubongo hai, ubongo wenyewe unaamriwa na roho.

Roho - mtandao wa ubongo - Viungo vya mwili Wanasayansi wote wanaamini bila tofauti ya maoni kwamba kila

kiungo cha mwili kwa uthabiti hufuata maelekezo kwenye viungomaalumu kufanya kazi na hapa tu, ndio hufanya aina fulani ya kazi.

Lakini roho ndio kitu kikubwa cha uthibiti wa ubongo. ImamuGhazali, mwanachuo maarufu wa ki-Sunni wa karne ya 11, kwa uzurikabisa alielezea ukweli huu katika namna nyepesi sana. Alisema mwili nigari tu kwa ajili ya roho, kama farasi ilivyo kwa mpandaji. Roho ndiyoinayoamua safari yetu katika maisha haya, kama vile mpandajianavyoongoza safari ya farasi katika nchi kavu. Kwa hiyo kuwajibika nikwa mpandaji na siyo farasi.

Hii pia ni wazi kutoka kwenye Hadithi moja ya Mtukufu Mtume(saw) ambayo kwayo alisema: "Matendo yote yatahukumiwa kwa mujibuwa nia."

Nia siku zote hujengwa na roho, na matendo ni udhihirisho wake tu.Ubongo ni chombo tu ambacho huzileta nia kwenye matendo. Sehemunyingine za mwili ni njia tu za utekelezaji wa kazi.

Hukumu, nia, kupanga maamuzi, yote haya hayana sehemu ndaniya chembe chembe hai za ubongo, hayawezi kugundulika katika moyo aukatika sehemu yoyote ya mwili hai.

Ubongo huchukua tu amri kutoka kwenye roho na kuitekelezakupitia jeshi lake (viungo vinavyohusika vya mwili) kwa ajili ya ridhaa yaroho. Hivyo, kwa kitendo chetu na mawazo, roho ndiyo inayohusika.Malipo na adhabu vile vile ni kwa ajili ya roho tu. Qur'an inasema:

177 178

Page 90: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

"Leo tunaviziba vinywa vyao, na iseme nasi mikono yao, na itoe ushahidimiguu yao kwa waliyo kuwa wakiyachuma." Qur'an 36:65

"Hata watakapo ufikia Moto yatawashuhudia masikio yao, na macho yaona ngozi zao kwa waliyo kuwa wakiyatenda." Na wao wataziambia ngozizao: kwa nini mmetushuhudilia? Nazo zitasema: AmetutamkishaMwenyezi Mungu ambaye ametamkisha kila kitu! Na Yeye ndiye aliyekuumbeni mara ya kwanza, na kwake Yeye tu mtarejeshwa." Q:41:20-21

Hii ina maana kwamba viungo vyetu vyote ambavyo vilitumiwa naroho kutaka ridhaa yake, vitathibitisha dhidi ya roho yetu na vitasema juuya vipi vilivyofanya kutekeleza amri za roho yetu. Hivyo, aina zote zamaumivu na furaha huhisiwa na roho kupitia mtandao wa ubongo. Hiindiyo sababu ya roho kuwajibika kikamilifu kwa matendo yetu yote iwaponi mazuri au mabaya.

SURA YA KUMI NA NANE

AWUMU YA PILI YA KUWEPO KWETU

MAISHA KATIKA ULIMWENGU HUU.Awamu ya pili ya kuwepo kwetu ni muhimu zaidi na kipindi cha

kuamua (kushindwa au kushinda) kwa maisha yetu. Kiwango cha umriwetu kwa kadri ni kifupi sana, yaani miaka 60 mpaka 70 kwa wastani,lakini katika umri huo hupanga asili ya wazi ya maisha yetu yasio nakikomo. Katika kipimo cha Qur'an urefu wa kukaa kwetu katika dunia hii,ni chini ya siku moja.

Vipi wakati wa sasa hupanga maisha ya asili ya milele?

Hili ni swali muhimu sana ambalo sisi sote lazima tujitahidi kulijua.Qur'an imerudia rudia kutaja kwamba maisha yetu ya milele hutegemeajinsi tunavyoishi katika dunia hii. Kwa ajili hii, tutapimwa kwa vitu viwili:

1. Fikra na utambuzi - yaani imani.2. Matendo - yaani 'Amaal'

Wanadamu wote watahukumiwa kwa mambo haya mawili, ammawatakwenda Peponi au Jahannamu kwa mujibu wa matendo yao.

Sifa ya kwanza ya msingi anayohitajiwa nayo mtu kuingia Peponi nidini kamili. Qur'an kwa uwazi inaonya wanadamu wote kwamba hakunadini nyingine isiyokuwa ya Uislamu itakayokubaliwa Siku ya Hukumu

"Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu…" Q:3:19

Hivyo wasiokuwa Waislamu ambao hawatekelezi sharti hilihawafudhu kuingia Peponi. Jambo la pili na muhimu analotakiwa kuwanalo mtu ni Amaal njema - ---- yaani matendo mema.

Uislamu umetoa mpango kamili wa mwongozo unaoitwa 'Shariah'(sheria za ki-Islamu) ambao umeonesha matendo yote mema na mabaya,majukumu ya wajibu na matendo yanayo katazwa. Hivyo, Waislamu woteambao hawafuati kanuni za Shariah hawatafudhu kuingia Peponi.

179 180

Page 91: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Hata hivyo, Allah ni mpole sana na Mwenye Huruma kiasi kwambahusamehe madhambi yetu yote kama tunamuomba yeye msamaha kwaunyofu. Na ukarimu wake ni huu kwamba, atazidisha malipo ya matendoyetu mema mara kumi - yaani zaidi ya stahiki. Na adhabu haitakuwa ila nakile kinacholingana na dhambi zetu. Qur'an inathibitisha hili katika ayaifuatayo:

Afanyae wema atalipwa mfano wake mara kumi. Na afanyae ubayahatalipwa ila sawa nao tu. Na wao hawatadhulumiwa" Q:6-160

Maisha ya kufudhu ni nini? Kama ilivyo awamu ya pili - yaani katika ulimwengu huu wa

kimaumbile, ni muhimu sana na kipindi cha uwamuzi wa maisha yetuyote, ni muhimu kujua jinsi ya kufanya maisha haya kuwa ya kufanikiwana kuzaa matunda. Kuna vitabu vikubwa vya Ki-Islamu ambavyohukusanya zaidi ya aya 6000 za Mungu, zaidi ya hadithi 15000 za Mtume,zaidi ya hotuba 300 na dua za Maimamu, na akiba kubwa ya vitabu vyaMaulamaa, vyote hivyo kwa ajili tu ya kutuambia kwa wazi wazi mamboyote madogo na makubwa kuhusu, ni nini haswa maisha ya kufudhu, najinsi ya kupata mafanikio mwishowe.

Jinsi gani tunavyoweza kukamilisha madhumuni yetu ya maisha.

Ni muhimu kuelewa kwa ukamilifu na kwa usahihi nini lengo lamwanzo na la mwisho la maisha yetu ambayo kamwe hayatakuwa yamuafaka na kitu chochote katika mazingira yoyote. Qur'an imetuambiakatika namna ya kukataza kabisa kwamba, madhumuni ya Mungu yauumbaji ni kumuabudu Yeye tu. Kila dakika ya maisha yetu lazima itumikekatika ibada Yake. Hii ina maana kwamba ibada haimaanishi desturi auutaratibu wa ibada ambao kwawo tunafanya matendo fulani yaliyo elezwakatika shariah. Ibada maana yake kufuata AMRI zake katika kila kitendo.

Baadhi ya nukta muhimu za maisha ya kufudhu

1. Kitu cha kwanza na muhimu sana katika ajenda ya maisha ni nia yakweli ya kujisalimisha kwa Allah - yaani lazima tuwe na hisia hii

ndani ya mioyo yetu. Lazima tumridhishe Allah kwa njia zotezinazowezekana. Lazima tufanye kitu chochote na kila kitu kutafutaradhi Yake na mkuruba Wake.

2. Lazima tujue vizuri sana ukweli huu kwamba kila furaha namafanikio katika ulimwengu huu, asili yake ni ya muda. Mafanikioya kweli ni mafanikio ya akhera. Qur'an Tukufu imerudia rudiakuwaonya wakazi wa sayari ya ardhi kwamba kukaa kwao katikaardhi ni kwa muda mfupi mno. Kila mtu mwenye akili angalauanajua ukweli huu.

3. Pata elimu yenye manufaa kuimarisha imani. Qur'an imesisitiza juuya kufanya utafiti wa ulimwengu na kuchunguza maumbile.

"Hakika katika kuumbwa mbingu na ardhi na kukhitalifiana usiku namchana ziko Ishara kwa wenye akili". Ambao humkumbuka MwenyeziMungu wakiwa wima na wakikaa kitako"Q:3:190-191

Hivyo, ni muhimu kutafakari katika uumbaji mkubwa wa Allah ilikutukuza Utukufu Wake. Leo wanasayansi wa magharibi wanakusanyaidadi kubwa ya taarifa kuhusu ulimwengu, na vitu vyake visivyo na idadikupitia tafiti zao na uchunguzi. Kwa vile mtu hawezi kupata na kuishikaidadi kubwa ya elimu, imegawanywa kwenye vijipande pande vidogo nakupangwa, kama kemia, biolojia, falaki nk.. Masomo yote haya ya sayansiyakiwa yanafundishwa katika taasisi za kidunia yanaweza kuwa yenyemanufaa sana kama yatafundishwa kwa mtazamo wa ki-Islamu.

4. Mtu lazima ajue sheria za Uislamu ili kutekeleza majukumu ya wajibuna kujiepusha na matendo yaliyokatazwa. Sunnah ya MtukufuMtume kama ilivyo tafsriwa na Ahul Bait wake, huenea kilakipengele cha maisha bora. Hivyo, ni muhimu kufuata Sunnah namafundisho ya Maimamu ili tuipate taqwa katika maisha. Taqwamaana yake kutekeleza majukumu na wajibu kwa ukamilifu nakujiepusha na maovu na vilivyokatazwa.

181 182

Page 92: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

SURA YA KUMI NA TISA

AWAMU YA TATU YA KUWEPO KWETU

MAISHA BAADA YA KIFOAwamu yetu ya tatu ya maisha au hatua ya tatu ya kuwepo kwetu ni

maisha baada ya kifo.

Ulimwengu wa roho (Alam-e-Arwah)Tumbo la uzazi la mama -ulimwengu wa kiumbo-ulimwengu wa roho(Barzakh).

Uhai na kifo ni nini:?Wanasayansi wengi hawaamini katika kuwepo kwa Mola wa

ulimwengu.Wanafikiri kwamba viumbe wote wanaishi katika ulimwengu nimatokeo ya bahati tu ya dhana ya mabadiliko ya Darwin. Matokeo yanayotarajiwa ya imani hii isiyo ya msingi ni kwamba kila kitu hakina maana,watu kama hawa wasio na akili kamwe hawawezi kutambua filosofia yauhai na kifo.

Hii ndiyo sababu kwamba wanasayansi wa magharibi ambaowaligundua idadi kubwa ya ukweli kuhusu uhai na kifo wanajua kidogosana kuhusu uhai.Wanakiri kwamba hawawezi kutoa mfano mmoja waufafanuzi wa uhai ambao unaweza kuwa sawa sawa kujumuishavipengele vyote. Tunaona ushindi huu katika vitabu vyote vya kisasa vyakibailojia kwamba wanasayansi hawawezi kufafanua uhai kwa sababuhawawezi kuonyesha mpaka unaogawanya baina ya vitu vinavyoishi navisivyoishi kwa mfano kirusi ni chembe isiyo na uhai kwa yenyewe lakiniina kuwa hai na kuongezeka kwa haraka wakat i inapovamiachembechembe hai, yaani kirusi kina tabia zote za jamii zenye uhai nazisizo na uhai. Hivyo wanasayansi kwa wazi wanashuhudia kwambahawawezi kutoa ufafanuzi sahihi wa uhai na wanaweza tu kutoa baadhi yatabia za kawaida za viumbe hai, hivyo wakati wanasayansi hawawezi hatakufafanua uhai, vipi watatengeneza uhai.Mtoto wa maabara, mamamsaragoti(mwenye kuchukua mimba kwa famil ia nyingine) aukiloni(kiumbe kilichotokana na kiumbe kingine bila ya kujamiiana) sichochote bali ni uchezaji wa utaratibu wa kawaida wa kuzaa. Halikadhalika wanasayansi hawawezi kutambua filosofia ya kifo.Wanasema

kifo ni mwisho wa uendeshaji wote wa uhai katika kiini hai.Lakinihawawezzi kusema kitu chochote kuhusu kitu kinachofanya uendeshaji wauhai usimame. Leo madaktari wapasuaji wanaweza kupandikiza takribanikila kiungo cha mwili wa mwanadamu kama kikianza kudhoofika nakushindwa kufanya kazi vizuri, hii ina maana wangeweza kuepusha kifokwani siku zote kinasababishwa na kutofanya kazi vizuri kwa kiungochochote.Lakini wote tunajua kwamba pamoja na maendeleo makubwakatika upasuaji na uganga kiwango cha umri wa uhai takribani ni kilekilekama ilivyokuwa miaka 100 iliyopita. Hivyo, wanasayansi hawawezikutengeneza uhai wala hawawezi kuzuia utokeaji wa kifo.Ukweli huuhuonyesha asili halisi ya uhai na kifo.

"Ametukuka Ambaye mkononi umo Ufalme wote; na Yeye ni Mwenyeuwezo juu ya kila kitu. Ambaye ameumba mauti na uhai ili kuwajaribuni ninani miogoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenyenguvu na Mwenye msamaha." Qur'an 67:1-2

Katika sentenso hii fupi Qur'an imetoa ufafanuzi kamili na sahihi wauhai na kifo. Hutoa maelezo kamili ya asili na mtazamo wa uhai na kifokwa ufupi tunaweza kusema waziwazi mambo muhimu ya uhai na kifokutoka kwenye aya hii fupi ya Qur'an Tukufu

1. Uhai siyo tukio la bahati la athari za kujitokeza zenyewe zabiokemia, bali ni uumbaji mkubwa wa Allah (swt) mwenye nguvuzote.

2. Kifo sio hitilafu ya utendaji wa fizio kemikali za mifumo ya viungovya mwili bali vilevile ni aina nyengine ya uumbaji wa MwenyeNguvu zote.

3. Vyote uhai na kifo vina madhumuni mazuri yaliyo fafanuliwa katikakuwepo kwa kiumbe hai.

4. Kifo siyo mwisho wa uhai, bali mwanzo wa aina nyingine ya uhai.Ukamilifu na usahihi huu wa ufafanuzi wa uhai na kifo hufungua

akili zetu kufikiri kwa makini kuhusu uhai baada ya kifo

183 184

Page 93: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Kinatokea nini baada ya kifo?Kutokana na mtazamo wa kiuganga mtu ambaye kupumua kwake

na mapigo yake ya moyo yamesimama huchukuliwa kwambaamekufa.Mabadiliko mengi hutokea mara tu baada ya kifo kwa mfano jotola mwili hushuka kuliko lile lililo uzunguka, misuli ya mwili inakakamaa,mzunguko wa damu husimama na kutoa mchujiko wa rangi ya zambaraonyekundu katika sehamu za chini kabisa za mwili na mwishowe bacteriana viini vingine vidogovidogo hukua na kuzaana katika mwili uliokufa nakufanya uoze. Hivyo hakuna ubishani au mashaka kwamba kifo nimwisho wa uhai wa kidunia. Lakini tunaamini kwambwa binadamuametengenezwa kwa vijenzi viwili, yaani mwili wa kiumbe hai na rohois iyo ya kimwil i . Hivyo, kifo n i usimamisho wa shughul i zaviungo,tunaweza kusema kifo kinasababishwa na utenganisho wa roho namwili, hivyo kifo ni mwisho wa uhai wa kiumbe hai lakini siyo mwishokabisa wa uhai wote.Hii ina maana kwamba kuna aina fulani ya uhaibaada ya kifo, na kwamba kifo ni mabadiliko tu makubwa katika aina yasasa ya uhai.

Hii ni kweli, jengo zima la Uislamu limetegemea juu ya ukweli huukwamba kifo sio mwisho wa uhai bali ni mgeuko wa haraka ambao ainanyingine ya uhai huanza. Idadi kubwa ya hadithi na aya za Qur'an zipoambazo hueleza kwa uwazi filosofia ya uhai na kifo. Kama tuna zielewasawasawa basi tutatambua kwamba uhai katika dunia hii una athari yamoja kwa moja juu ya uhai baada ya kifo.Tunaambiwa kufanyamatayarisho mazuri katika uhai huu kwa ajili ya uhai ujao.Mtukufu Mtumena maimamu wanaelezea mwanzo wa uhai huu juu ya uhai baada ya kifokatika maneno yafuatayo:

" Hamkuumbwa ili mpotee bali mbakie milele, mtahamishwa tu kutokanyumba moja kwenda nyingine na roho katika miili ni kama wafungwa".(Mtukufu Mtume)

"Kifo ni moja ya vitu vitokanavyo (kwa mtu anaye kufa) amma ni habarinjema ya furaha kubwa ya milele, au habari mbaya za adhabu ya milele,auhakuna uhakika unaoeleweka kiasi kwamba(mtu)hajui ni katika kundi ganiatawekwa". (Hadharat Imamu Ali)

"Kifo ni furaha kubwa mno ambayo huja kwa waumini wakati wanahamakutoka nyumba ya mateso kwenda kwenye furaha kubwa ya milele, nijanga kubwa ambalo huwapata wasioamini ,wakati wana toka kwenye

pepo yao (yaani ulimwengu huu) kwenda kwenye moto ambao kamwehautazimwa na kamwe wenyewe hautachoka kuwaka."(Hadharat ImamuHasani)

"Kifo si chochote bali ni daraja ambalo huchukua kutoka kwenye shida namatatizo kwenda kwenye pepo kubwa na furaha kubwa ya milele".(Hadharat Imamu Huseini)

"Kifo kwa muumini ni kama kuvua nguo chafu na kama pingu nzito naminyororo na kuvaa nguo nzuri bora, au farasi bora zaidi na makazi yakupendeza mno". (Hadharat Zainul Abidini)

"Kifo ni kama usingizi ambao huja kila siku usiku lakini huu ni usingiziambao ni mrefu sana na hakuna kuamka ila katika siku ya kufufuliwa".(Hadharat Imamu Muhammad Baqir)

"Kifo kwa muumini ni kama upepo mwanana wa manukato kwa kunikiaauvutapo, ambako humfanya ahuike, na kila tatizo na huzunihuondolewa kutoka kwake. Na kwa wasioamini (makafir)ni kama nyokaanayeuma na mwiba wa nge, na zaidi ya hapo". (Hadhra ImamuJafer-e-Sadiq)

Kwanini tunaogopa kifo?Wale ambao hawaamini katika uhai baada ya kifo na kuchukulia kifo

kama mwisho wa maumivu ya kila kitu siku zote huishi kwa hofu kubwaya kifo.

Hii ndiyo sababu kwamba watu wengi huogopa kifo na kujaribukuepuka kufikiria kuhusu kifo, taarifa za kiuganga zinaonyesha kwambakatika hospitali za Ulaya ndugu wa karibu, marafiki, wapenzi na hataMadaktari na Wauguzi humuacha mgonjwa afe mwenyewe na kujiepushakuona wanaokata roho, na kujiepusha kuona matokeo ya kifo kwa sababuya kuogopa kifo.

Katika jamii ya ki-Islam hakuna kitu kama hicho ndugu na marafikihukaa karibu na mtu anayekufa na kusoma dua na Qur'an mpaka pumziya mwisho ya mgonjwa, hivyo sababu kubwa ya hofu ya kifo ni ujinga auhisia za kutokuwa na yakini. Katika hadithi moja inatajwa kwamba ImamuHadi (as) alikwenda kumuona mtu anayekufa ambaye alikuwa amezamakatika bahari ya hofu.Imamu kwa vizuri kabisa alimueleza asili ya kifokatika njia ifuatayo "Ewe mja wa Allah unaogopa kifo kwa sababu

185 186

Page 94: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

hukielewi sawasawa hebu niambie kama mwili wako ungechafuka kwauchafu kiasi kwamba ulikuwa unakuumiza na kukutesa kwa maumivu naunajua kwamba kukoga bafuni kutaondolea uchafu wote ule na maumivuje utajiepusha na bafu kujisafisha kuondoa uchafu, au utasita kutumianyenzo hii na utapendelea kubakia katika hali hii hii ya uchafu?"

Yule mtu mgonjwa akajibu, "Ewe mtoto wa Mtume, kwa hakikaningependelea kujisafisha na kuwa msafi." Kisha Imamu akajibu; "Basielewa kifo kinafanana kabisa na bafu, hukupa wewe nafasi ya mwisho yakuondokana na madhambi na kukusafisha kutokana na maovu. Kama kifokitakukumbatia sasa, hakutakuwa na shaka kwamba utaondolewa huzunizote na maumivu na utapata starehe na furaha ya milele". Picha hii ya waziya kifo katika maelezo ya Imamu yalimuondolea mtu yule anayekufa hofuisiyojulikana ya kifo akamfanya afe kwa amani na huba .Hivyo, zaidi sanawatu wanaogopa kifo kwa sababu hawana hakika ya kitakacho watokeaau wanajua vizuri sana kwamba wakati wa adhabu kali umefika.

Hadharat Ali, Amir wa waumini alifichua ukweli kwamba watuwanao muogopa Mungu hawana hofu yoyote ya kifo kama alivyokaririkusema yafuatayo katika uhai wake:

"Naapa kwa jina la Allah kwamba mwana wa Abu Talib yukokwenye starehe zaidi na kifo kuliko mtoto mchanga anyonyaye kwenyeziwa la mama yake"

Ladha ya kifoHisia za ndani ambazo mtu anayekufa anazo wakati ki fo

kinapomkaribia ni vigumu sana kuzijua. kwa kawaida aina zote zamawasiliano zimefungwa kati ya mtu anayekufa na ulimwengu wote.

Lakini Qur'an Tukufu kwa uwazi imetuelezea katika sehemu mbilitofauti kwamba kuna ladha makhususi ya kifo.

"Kila nafsi itaonja mauti" Qur'an 21:35

Hivyo Qur'an Tukufu hutuambia kwamba kila mtu atapata ainafulani ya hisia ya nguvu wakati wa kifo chake.Tunajua kwamba kuna ainatatu za ladha; chachu, tamu na chungu, kwa vile Qur'an haikuelezea aina

makhususi ya ladha, hisia za nguvu za kifo zaweza kuwa; ama tamu,chachu au chungu. Hii ni kweli Qur'an na hadith zote hutueleza kwambawatu wazuri watapata ladha tamu katika vifo vyao na watu wabayawatakutana na kifo cha kutisha.

Kifo - ladha tamuHakuna mashine ya kisasa inayoweza kufichua hisia za ndani za

mtu anaye kufa, kwa kawaida mtu huzimia kabla ya kifo kutokea .Wakatiwa kipindi hiki maumivu makali ya ugonjwa unao uwa au jerahahutoweka na kubadilishwa na hofu kubwa au amani kamili. Huu ndiowakati ambapo mtu anayekufa hupoteza mawasiliano yote na dunia yamaumbile, na mawasiliano na malaika wa kifo huanza .Hisia za ndaniwakati mawasiliano haya hayawezi kujulikana kwa kutumia chombochochote. Hata hivyo mtu makini na mwenye ujuzi anaweza kusoma haliza ndani kutoka kwenye uso wake. Qur'an Tukufu inawasilisha maandikoya mawasiliano.

"Wale ambao Malaika huwafisha katika hali njema, wanawaambia:Amani iwe juu yenu! Ingieni Peponi kwa sababu ya yale mliyo kuwamkiyatenda" Q:16:32

Aya hii ya Qur'an hutuambia kwamba watu watakaribishwa kwafuraha na malaika wa mauti kwa salamu za amani. Kwa mujibu wa hadithiza Maimamu wetu, wema watakaribishwa kwa furaha na malaika wamauti kwa salamu za amani. Kwa mujibu wa hadithi za Maimamu wetuzilizotajwa na Allama Murtaza Mutahheri kama hadithi sahihi. Ziko pepombalimbali kwa ajili ya watu wema baada ya kufa kwao, na sio pepomoja tu. Katika dunia ijayo Pepo hutofautiana kutokana na daraja yaukamilifu wa ukaribu kwa Allah. Kwa nyongeza ya pepo hizi kuna baadhiya pepo nyingine katika Barzakh. Hivyo Pepo iliyotajwa katika aya iliyonukuliwa hapo juu ingetoa maana ya kimakosa kwamba inahusika na Sikuya Hukumu.

Katika hadithi moja maelezo zaidi kati ya malaika wa mauti na mtuanayekufa ambayo hutokea punde tu kabla ya kuanza kwa kifo,

187 188

Page 95: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

yametolewa. Sahaba mmoja wa Imamu Jafar-as-Sadiq alimuuliza kuhusuhisia za ndani za muumini wa kweli karibu tu na kifo chake.

Imamu akajibu: "Wakati malaika wa mauti anapo kuja kuchukuaroho ya muumini kwanza anakuwa na wasiwasi,lakini baadae malaikahumfariji na kusema, "Ewe rafiki wa Allah usijifadhaishe, naapa kwa jinala Mola ambaye alimtuma Muhammad kama Mjumbe Wake kwamba,tutakushughulikia kwa upole zaidi na kwa ustaarabu kuliko baba yako!!"Malaika wa mauti ataendelea kusema, "Fungua macho yako nautuangalie." Kisha Mjumbe wa Allah na Maimamu watajitokeza mbeleyake na malaika atawatambulisha kwa muumini anayekufa kwa kusema,"Huyu ni Mtume na viongozi wa dini ambao watakuwa marafiki naswahibu zako." Kisha atafungua macho yake kiasi na kumsikia Allahakimuita kama ifuatayo: 'Ewe nafsi ambayo imeona utulivu katika hifadhiya Muhammad na kizazi chake kitakatifu, sasa rudi kwa Mola wako.Umekubali ukweli wa utawala wa Maimamu, na kwa sababu hii sasaunayo furaha. Kuwa na hakika kwamba kwako vilevile umepata ridhaa yaMola wako. Njoo sasa na Maswahiba wa kundi bora la wateule Wanguna kuchukua makazi ambayo yametayarishwa kwa ajili yako katika pepoya kudumu'". Imamu aliendelea kusema; "Hakuna kinachowezakutamanisha zaidi kwa muumini katika muda huo kwa ajili ya roho yake,kama kukimbia na kupokea yale yote ambayo ameahidiwa" Hii ni daliliwazi kwamba hakutakuwa na maumivu au aina yoyote ya adha katika kifokwa watu wema. Hiki ni kifo timamu.

Katika vita vya Karbala Imamu Hussein alimuuliza mtoto wa nduguyake mwenye umri wa miaka 10 Hardhrat Kasim bin Hassan punde kidogokabla hajaenda kutoa mhanga maisha yake., "Mtoto wangu mpenzi,unakwenda kufa, unahisi nini kuhusu kifo?". Kijana mdogo Kassim kwamara moja alijibu pamoja na matumaini, "Ami yangu, naona kifo kitamuzaidi kuliko asali."

Kifo ladha chunguLakini watu waovu watakumbana na kifo cha kuogopesha, Qur'an

imefafanua hali ya kutisha ya kifo.

"Na laiti ungeliona Malaika wanapo wafisha wale walio kufuru wakiwapiganyuso zao na migongo yao, na kuwaambia: Ionjeni adhabu ya Moto!"Q:8:50

Aya hii ya Qur'an vilevile hutoa picha ya wazi haswa ya kilekinachotokea wakati watu waovu wanapokufa. Hiki ni kifo cha ladhachungu mno. Wale watu wote ambao tabia zao hazikuwa safi lakinihawakuwa na uadui, watahisi ladha chachu katika vifo vyao. Qur 'anTukufu vilevile imeelezea hali ya mateso ya kufa ya Waislamu hao ambaowalikua hawatekelezi mfumo wa maisha ya ki-Islamu katika dunia hii.

MazishiKwa mujibu wa shariah ya Ki-Islam maiti ya marehemu lazima

izikwe kwa heshima zote za Ki-Islamu mapema iwezekanavyo baada yakufa.Wakati maiti inachukuliwa kwa ajili ya mazishi malaika wake walinzihuenda na mwili wake kwa kufuatana na roho yake .Wakati wa kukoshwa(Ghusl-e-mayyit), kukafiniwa na taratibu nyingine za mazishi, roho huhisiwale wote wanao kwenda na maiti yake na kusikiliza vilio vya ndugu namarafiki.Wakati wanaichukua maiti kuipeleka kaburini, roho huona mazishiya maiti yake katika sehemu nyembamba -kaburi. Baada ya mazishimalaika walinzi huiruhusu roho kuwaaga ndugu na marafiki zakewanaoondoka, mara baada ya ndugu kuondoka na kuliacha kaburi la mtualiyekufa, malaika walinzi huichukua roho na kuipeleka kaburini kwa ajili yamaswali-majibu. Inasimuliwa katika hadithi iliyoandikwa katika vitabusahihi vya Shia na Sunni kwamba Mtukufu Mtume amewashauri Waislamukusimama mbele ya kaburi la mtu aliyekufa baada ya mazishi na kuombakwa Allah kwa ajili ya msamaha. Mtume alisema ni wakati mgumu sanakwa mtu aliyekufa kwa vile anaulizwa maswali kuhusiana na imani namatendo yake.Talkini katika Shia inasomwa katika wakati huu.

Barzakh (toharani)- sehemu ya mapumziko ya roho Barzakh ni neno la kiarabu ambalo lina maana ya kizuizi, yaani kitu

kinachotenganisha vitu viwili.Qur'an imetumia neno hili kutujulishakwamba kuna dunia nyingine baina ya dunia hii ya maumbile na dunia yamilele ambayo tutaishi baada ya kufa kwetu mpaka siku ya kufufuliwa.Qur'an inasema:

189 190

Page 96: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

"…Nyuma yao kuna kizuizi mpaka Siku ya Hukumu."(23:100)

Hivyo barzakh ni sehemu ambako kila roho inayoondoka itaishimpaka siku ya ufufuo.hakuna anayejua ni muda gani roho zitaishi hukokwa vile wakati wa ufufuo unajulikana kwa Allah tu. Hata Mitumewameelezea kutokuwa kwao na habari kuhusu wakati huo.

Ni nini kinatokea katika kaburi?Kituo cha kwanza katika barzakh ni kaburi. Hii ni sehemu ambako

roho ya mtu aliye kufa hukutana na malaika wawili ambao humuulizamaswali fulani ya msingi. Majina ya malaika hawa wawili ni Munkir naNakiri. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Maimamu katika barzakh mtuanaulizwa kuhusu itikadi na imani yake tu, maswali mengine huachwampaka siku ya ufufuo(Allama Mutahheri). Roho ya mtu aliye kufa itaingiatena mwilini, na atatakiwa na malaika kuwa tayari kwa ajili ya maswali.

Munkir na Nakiri watauliza maswali yafuatayo:

1. NI NANI MOLA WAKO MUUMBA ?2. NI NANI MTUME WAKO?3. NI IPI DINI YAKO?4. NI KIPI KITABU CHAKO?5. NI NANI IMAMU WAKO?

Maswali hayo ni dhahir huonekana rahisi sana na ya moja kwamoja.

Tunafikiri kwamba hata mtoto mdogo anaweza kuyajibu kwaurahisi,lakini kwa kweli ni Mwislamu wa kweli na wa matendo tu ndiyeatakaekuwa na uwezo wa kuyajibu maswali hayo sawasawa na watuwengine walio bakia watakuwa na bumbuazi na kutatazika. Katika kaburiakili iliyozimia (Ruhau Roho) itazungumza. Kama mtu aliyekufa alimtambuaAllah katika wakati wake wa uhai kwa uwezo wa elimu yake, na kuelewakwa kina, basi atakuwa na uwezo wa kujibu swali la kwanza kwa sawasawa. Lakini kama alikuwa mtu wa kilimwengu, akili yake iliyozimia itajibukutokana na alivyokuwa akiishi. Anaweza kuwajibu malaika akawaambiakwamba dollar, pound, shilingi au vitu vingine, kama mungu wake.

Ni kwa sababu alikuwa akiviabudu badala ya Mungu katika wakatiwa uhai wake. Inasimuliwa kwamba wale ambao walizoea kuabudumasanamu na taswira wataanza kuabudu malaika na kusema kwamba niwaungu wao, halikadhalika swali la pili, yaani ni nani Mtume wako? Naninani Imamu wako? Jibu litategemea juu ya mtindo wa maisha, nautambuzi. Wale ambao kwa unyoofu na moyo wote wamefuatamafundisho ya Mtume Mtukufu na Maimamu watukufu katika wakati wauhai wao mara moja watatoa jibu sahihi, lakini Waislam ambao hudaikwamba wanampenda Mtukufu Mtume na Maimamu lakini walikuwawakifuata mtindo wa maisha na nyayo za baadhi ya watu wengine, akiliiliyozimia itamtaja mtu yule yule badala ya Mtume au Imamu. Maswali namajibu ni kumuonesha tu mtu aliyekufa ni ipi ingekuwa daraja lake katikabarzakh na baada ya hapo.

Kuminywa mwili katika kaburiKuminywa mwili katika kaburi hufanyika katika kaburi usiku wa

kwanza, kwa wengine kuminywa huku kutakuwa kama marafiki wawiliwapenzi wanao kumbatiana wanapokutana baada ya muda mrefu. Lakinikwa wengine hii itakuwa ni adhabu kali sana kiasi kwamba mbavu za kuliana za upande wa kushoto zitapenyezana

Roho inaishi vipi katika Barzakh?Mara tu baada ya kufa tutajiona wenyewe kwenye dunia mpya

kabisa. Vipi ulimwengu huu utakuwa na itakuwa nini hali ya maisha kule?Kutoka kwenye Qur'an na hadithi, Maulamaa wetu huelezea kwambamara tu baada ya kufa, mtu huingia katika hatua mpya ya maisha ambayokwayo huhisi kila kitu. Yaani baada ya kufa mwili unakuwa bila harakatiyoyote na usio na maana, lakini roho haifi na hisia za kuhisi hubakia.Roho ya mtu aliyekufa huhisi vitu vyote, maumivu na furaha. Lakinimaumivu na furaha katika Barzakh hutegemea juu ya maisha yaliyopita.Sehemu ya hali ya maisha katika barzakh itakuwa tofauti kwa watu tofauti.Mtukufu Mtume alisema "kaburi ni sehemu ya kwanza ya kukabiliana namatukio yanayopelekea kwenye ufufuo, kama mtu ataona wepesi, vilevilemaisha yake ya baadae yatakuwa salama. Lakini kama mambo sio mazurikwake, basi mambo yaliyobakia ya ufufuo huenda yakawa mabaya zaidikwake". Allama Mutaheri ametaja aya 15 za Qur,an Tukufu ambazohuzungumzia kuhusu hali ya maisha katika Barzakh. Tunaweza kupeleka

191 192

Page 97: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

zawadi na tunzo kwa ndugu zetu wapenzi na marafiki ambao wanaishikatika Barzakh. Matendo mema yanayo fanywa na ndugu za mtu aliyekufapamoja na nia kwamba thawabu zao ziende kwa ndugu yake aliyekufa,humfikia na kumfanya mtu aliyekufa kuwa na furaha. Kama sadaka namisaada hutolewa pamoja na nia kwamba thawabu zao ziende kwa babawa mtu aliyefariki au mama, kaka, mume,mke, rafiki mwalimu au mtumwingine, sadaka na misaada hii katika muundo wa zawadi huwasilishwakwa marehemu anayehusika, na hii humfanya kuwa na furaha.Halikadhalika kama mtu yeyote atatekeleza swala, swaumu, kutufu katikaKaaba, hijja au kitendo kingine cha sunna kwa niaba ya mtu aliye kufa,thawabu zake huenda kwake na kumfanya mtu aliyekufa kuwa na furahakuu. Imeshauriwa kwamba wale ambao wamewakasirisha wazazi waowakati wa uhai wao wachukue fursa ya upendeleo huu.

Lazima wafanye kitu cha kuwafurahisha baada ya kufa kwao kamahawakuwafurahisha wakati walipokuwa hai.

Wadi -e-SalaamHii ni sehemu ya kupumzika roho nzuri. Mwislamu mzuri wa

vitendo, baada ya kipindi cha maswali na majibu anahamishiwa kwenyesehemu inayojulikana kama Wadi-e-Salaam. Hapa atawakuta wengi katikandugu zake na marafiki zake ambao walikufa kabla yake, na wamepewamakazi hapa kwa sababu ya matendo yao mazuri. Wanaona furaha zaPepo katika kipindi hiki kwa malipo ya vitendo vyao vizuri visivyo na kifani.

Bonde la BarhutHii nisehemu ambako roho za wasioamini, washirikina, makafir na

watu waliokataliwa, huhamishiwa mara tu baada ya kifo. Mtu aliyekufaatawaona wengi katika ndugu zake, marafiki na wafuasi waliokufa kablayake, wakiwa wamewekewa kambi kwenye sehemu hiyo katika hali yamateso. Wote hao, yaani roho zao zitaishi hapo mpaka Siku ya Ufufuo.

Ingawa hesabu ya mwisho na adhabu ya mtu aliyekufa itakuwa Sikuya Hukumu, lakini roho za watu waasi, kama Firauni, Namrudi, Yazid namaadui wengine wa Mitume na Maimamu watakuwa kwenye adhabumara tu baada ya kufa kwao.

SURA YA ISHIRINI

AWAMU YA NNE YA KUWEPO KWETU

UHAI BAADA YA UFUFUO

UfufuoAwamu ya mwisho ya kuwepo kwetu, na hatua ya pili ya uhai

baada ya kifo ni ufufuo. Huu utakuwa ni mwanzo wa uhai ambao haunamwisho, yaani uhai wa milele. Huu ni mwisho ambao hauna mwisho.Katika Qur'an Tukufu, Ufufuo umeelezewa kwa sifa za majina mbalimbalikila mmoja hutoa maelezo ya ufafanuzi wa tukio linalo husika na ufufuo.Ingawa aya nyingi za Qur'an na hadithi za Mtukufu Mtume (saw) naMaimamu (as) zipo kwa ajili ya kutupa mwanga kuhusu matukio ambayoyatatokea moja baada ya jingine, lakini bado picha kamili ya ufufuo iko njeya utambulizi wetu. Ni somo pana sana. Maneno, Istilahi, na misemoambayo tunayo katika msamiati wa lugha zote zinazoongewa hayatoshikujumuisha vitu mbali mbali vinavyo husika na habari hizi.

SIKU YA HUKUMUSiku ya Hukumu ni ibara ya msingi ya imani ya ki- Islamu. Hii ni

sababu ya msingi wa ufufuo. Ni siku wakati kila mtu, ambae aliishisehemu yeyote na katika wakati wowote ataletwa kwenye Mahakama yaMungu kwa Hukumu ya mwisho. Tunakumbushwa mara kwa mara ukwelihuu katika Surat-al-Fatiha ambayo huisoma kila siku takriban mara 10katika Salat.

"Mwenye kumiliki Siku ya Malipo" Qur'an 1:4

Kutakuwa na Hukumu ya haki kabisa bila upendeleo. Qur'animekariri kusema kwamba hakutakuwa na dhulma kabisa. Kwa hiyo katikaSiku ya Hukumu Allah atasimamisha Mahakama ya kweli yenye uwezomkubwa ambako hakuna chochote bali haki tu ndiyo itakayokuwepo.

193 194

Page 98: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Hata hivyo Allah ni Adil, lakini Rehema zake siku zote hutia kivuli uadilifuWake. Atalipa mara 10 au hata zaidi kwa tendo jema moja, lakini atatoaadhabu moja kwa kosa moja au atasamehe.

Taratibu za Mahakama:Hii itakuwa Mahakama ya pekee ya haki ambako hakuna mtu

awezae kukataa aliyoyatenda. Qur'an inathibitisha;

"Siku ambayo zitawashuhudia ndimi zao na mikono yao na miguu yaokwa waliyo kuwa wakiyatenda. Siku hiyo Allah atawapa sawa malipo yaoya haki, na watajua kwamba hakika Allah ndiye Haki iliyo wazi.Q:24:24-25

Allah (swt) ametayarisha kumbukumbu ya maandishi ya kila mmoja.Kumbukumbu hii ya maandishi atapewa (mtu) Siku ya Hukumu. Qur'aninaelezea kwa uwazi juu ya suala hili:

"Na kila mtu tumemfungia a'mali yake shingoni mwake. Na siku yaKiyama tutamtolea kitabu atakacho kikuta kiwazi kimekunjuliwa" Qur'an17:13

Hii huthibitisha kwamba filamu ya video ya maisha yetu yoteinatayarishwa, na katika Siku ya Hukumu Allah atatupa mkanda uleule wavideo kwetu sisi ili tuone kile kitu ambacho tulikifanya katika dunia hii.Qur'an inasema:

"…Ole wetu! Kitabu hicho kina nini! Hakiachi dogo wala kubwa ilahuliandika? Na watayakuta yote waliyo yatenda yamehudhuria hapo. NaMola wako hamdhulumu yeyote." Qur'an 18:49

Imamu Jafar-as-Sadiq (as) alisema; " katika Siku ya Hukumu mtuatapewa kitabu chake akisome… Kisha Allah atamfanya akumbuke,kutakuwa hakuna mtizamo hata mmoja, au neno au hatua moja au kituchochote ambacho amekifanya, muda ule ule atakikumbuka kama vileamekifanya muda ule ule. Ni kwa sababu hii kwamba watasema; "Olewetu! Kina nini kitabu hiki; hakikuacha jambo dogo au kubwa bilakuliandika kwa usawa kabisa."

Maelezo ya kitabu cha Amaal (Nama-I-Amaal) katika hadithi yaImamu, hutoa picha ya uwazi ya video. Miaka 1400 iliyopita kulikuwahakuna maelezo kama haya yaliyowezekana, leo baada ya ugunduzi wakamera za video, kompyuta na televisheni, kila mmoja wetu anawezakuelewa kwamba vipi Qur'an na hadithi (viwili hivi) vimetuelezea kwaukweli kuhusu matokeo ambayo yatatokea katika siku za usoni katikadunia hii na kesho akhera.

Watu wazuri watapewa kitabu chao katika mikono yao ya kulia, nawataambiwa waende kwenye Jannat ambapo watu wabaya watapatakitabu chao katika mikono yao ya kushoto, na watatupwa kwenye motowa Jahannam.

195 196

Page 99: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Shifaat -UombeziAllah (swt) mbali ya rehema na baraka zake zisizo na kikomo

atawaruhusu Mitume wake na Maimamu kuwatoa wengi wa waja Wakekutoka kwenye moto wa Jahannam. Hivyo Mtukufu Mtume na Maimamuwatukufu, wataokoa idadi kubwa ya watu kutoka kwenye moto waJahannam. Lakini Shifaat haina maana kwamba kila mtu atasamehewa.Mtukufu Mtume (saw) na Maimamu wameweka wazi kabisa kwamba,kuna madhambi fulani na tabia ambazo kwamba hazina shifaat. Lazimatuelewe kigezo cha msingi cha Shifaat ili kwamba tuweze kujua ni kwanani atafanyiwa. Kwa mfano, Imamu Jafar-as-Sadiq (as) alisema kwambamtu yeyote anaeichukulia salat kama kila kitu cha kawaida, hastahili shifaatyetu.

Hili ni jambo jepesi ambalo mtu yeyote mwenye akili za wastanianaweza kuelewa. Lakini watu wengi wameitafsiri kinyume dhana yashifaat na wanafikiri kwamba Mitume na Maimamu watawaokoa kutokakwenye moto wa Jahannam hata kama walikuwa waasi na watovu wa utiikwa Allah (swt). Qur'an imeweka wazi kabisa kwamba hakuna Mtume auImamu atakaefanya shifaat bila idhini ya Allah.

SiratSirat ni neno la ki-Arabu ambalo lina maana ya njia. Pul-e-sarat ni

daraja katika Jahannam. Watu wote lazima walivuke. Qur'an inathibitisha.

" Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia. Hiyo nihukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe. Kisha tutawaokoawale walio mcha Mungu; na tutawaacha madhalimu humo wamepiga

magoti. " Qur'an 19:71-72

Jannat na Jahannam.Jannat au Jahannam ni mashukio ya mwisho ya kila mmoja.

Jannat -Pepo.Haiwezekani kuelezea picha hal is i ya Jannat. Ki la kitu

kinachopendeza ambacho tunakiona katika dunia hii, ni duni na chathamani ndogo zaidi kulinganisha na neema za Jannat. Qur'an imeelezeaJannat katika aya76 kutoa tu ufununu wa neema za Jannat, lakini Jannatyenyewe halisi iko nje ya mawazo yetu.

Mullah Hasani Yazidi ameelezea baadhi ya neema za Jannat kutokakwenye Qur 'an na hadi th i ka t ika k i tabu chake mashuhur i"Anwar-ul-Hidayah" ziko kama zifuatazo:

1. Starehe kubwa kabisa katika Jannat itakuwa kwa karibu na Allah.2. Watu katika Jannat wataoa wanawake warembo70000 na kufurahia

uswahiba wao3. Watu katika Jannat watapata chakula kingi cha aina mbalimbali,

vinywaji matunda na vitu vyenye ladha nzuri.4. Watu katika Jannat watapata starehe kamili, usalama, na utulivu.

Hakutakuwa na maumivu na hofu ya kitu chochote, hakuna kifo nahakuna magonjwa, hakuna umaskini na hakuna huzuni

5. Watu katika Jannat wataishi katika kasiri kubwa zitakuwa na bustanikubwa za kupendeza; vijito, mito na vitu vingi ambavyo hatuwezikuviwazia.

6. Watu katika Jannat watakuwa na aina nyingi za burudani.7. Watu katika Jannat watapata kila kitu watakachotaka kupata.8. Watu katika Jannat wataruhusiwa kumtembelea Mtukufu Mtume na

Maimamu, na watu wengine wowote wanaotaka kukutana nao.9. Watu katika Jannat wanaweza kumkaribisha Mtukufu Mtume,

Maimamu na mabilioni ya watu wengine kwa wakati mmoja.10. Qur'an na hadithi huchambua kwa mukhtasari neema za Jannat

katika maneno yafuatayo: "Hakuna mtu ajuaye furaha za machozilizofichwa katika Jannat kwa ajili yao kama malipo kwa ajili ya

197 198

Page 100: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

matendo yao mema." "Nimeweka tayari kwa ajili ya waja Wangu kileambacho kamwe jicho halijatazama na hakuna sikio kamwe limepatakusikia, wala katu moyo uliowahi kuwazia." {Hadith Qudsi}. Wale ambao wanaamini na kufanya kazi kwa utiifu Mola waoatawaongoza kwa sababu ya imani yao chini yao itamiminika mitokatika bustani za furaha kamili.Hivyo, urembo wote na vitu vyote vya thamani vya dunia hii nisampuli za kawaida tu ili kuwa na fununu kiasi ya Jannat.Katika dunia hii hakuna hata mtu mmoja aliye huru na mateso yavitu viwili:

1. Hofu2. Huzuni

Kama mtu ni tajiri sana, basi ana hofu kubwa ya kifo, magonjwa, namwenye mashaka na usalama wake. Mtu masikini analia na ufukara wake,Katika Jannat kutakuwa hakuna hofu wala huzuni bali ni furaha na furaha,na hiyo itakuwa aina mpya ya furaha ambayo hakuna mtu ambayeamewahi kuipata kabla.

Majina ya Jannat1. Jannat -ul-firdaus2. Jannat -ul-khuld3. Jannat -ul-mawa4. Jannat -ul-naim5. Dar-us-salaam6. Dar-ul-akhirah7. Dar-ul-makaamah

Katika kila Jannat kuna mamilioni ya tabaka. Tabaka ya chini kabisaya Jannat itakuwa bora mara bilioni kuliko miji ya thamani zaidi na yakupendeza zaidi ya dunia hii.

Jahannam - Moto wa JahannamJahannamu ni nyumba ya aina zote za mateso na vitu vyenye

maumivu mno. Ni sehemu ambako watu wenye fedheha na waasiwataishi ili kukabili aina nyingi tofauti za adhabu.

Kama ambavyo hakuna awezae kuwazia neema za Jannat, hivyohakuna awezae kuwazia mateso na machungu ya Jahannam. Qur'animeeleza baadhi ya mateso ya Jahannam kwa ajili ya kuiepuka kwa njiazote.

Majina ya JahannamJahannam vilevile ina majina mengi tofauti na kila jina huakisi aina ya

pekee ya mateso. Baadhi ya majina ni kama yafuatayo:

1. Ludha-nyumba ya moto. Moto wa umeme2. Jahiim-nyumba ya moto. Umejaa makaa yanayo ungua.3. Hutamah-Moto wa aina yake. Utasaga mifupa kuwa majivu4. Hawiyah-nyumba ya mateso5. Saquar6. Saeer-moto uwakao7. Jahannam

AarafAaraf ni mlima mkubwa kati ya Jannat na Jahannam. Wale ambao

hawapo katika Jannat wala katika Jahannam watakaa hapa kwa kipindi chamuda usiojulikana

199 200

Page 101: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

MISINGI

YA IMANI

YA UISLAMU

Kimeandikwa na:Sayyed QMM.Kamoonpuri, ph.D.

Kimetarjumiwa na:DR. Mohamed. S. Kanju

P.O. Box 1017 DAR ES SALAAM

Haki ya kunakili imehifadhiwa na:Tabligh Sub-CommitteeISBN: 9987-665-22-5

Kimeandikwa na:Sayyed QMM.Kamoonpuri, ph.D.

Kimetarjumiwa na:Dr. M.S. Kanju

S.L.P 1017, Dar es SalaamEmail: alitrah @daiichicorp.com

Website; www.alitrah.org

Toleo la kwanza: September 2003Nakala: 1000

Kimetolewa na kuchapishwa na:Tabligh Sub-Committee

P.O. Box 233, Dar es Salaam, Tanzania.Tel: (255) 22 2115119Fax: (255) 22 2113107

E-mail: [email protected]: www.dartabligh.org

II

Page 102: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

HIDAYA

Kitabu hiki ni kwa heshima ya baba

yangu Allama Dr. Sayyed Mujtaba

Hasan Kamoonpuri, aliyekuwa Mkuu

wa idara ya Theolojia ya Shia katika

chuo kikuu Aligarh. Kinatolewa kwa

a j i l i yake kwa sababu n i mtu

amabaye amejenga ms ingi wa

mwanzo wa utambuzi wangu.

NENO LA MCHAPISHAJI

Kitabu kilichoko mikononi mwako, lugha yake ya asili ni ya

Kiingereza, kwa jina la 'BASIC BELIEFS OF ISLAM.' Kitabu hiki ni juhudikubwa za mwanachuoni huyu mahiri Sayyed QMM. Kamoopuri zakuwaendeleza vijana wa ki-Islamu, hususani wale wanaosoma shule zasekondari na vyuo vya vya juu katika elimu ya dini sambamba namaendeleo ya sayansi na tekinolojia ya kisasa.

Tumekiona kitabu hiki ni cha maana na muhimu sana kwa vijanawetu. Na ili kiweze kuwanufaisha vijana wengi, tumeona tukitafsiri kwalugha ya Kiswahili, kwa vile ndiyo luhga inayo tumika sana hapa nchini naAfrika ya Mashariki yote.

Tunawashukuru wale wote walioshiriki kwa namna moja au nyinginena kuweza kufanikisha uchapishaji wa kitabu hiki.

Ni matumaini yetu kwamba kitabu hiki kitakuwa cha manufaamakubwa kwa vijana wetu, bali hata kwa watu wazima pia.

Mchapishaji:

Tabligh Sub Committee of Dar-Es-Salaam JamaatP. O.Box 233, Dar-Es-salaam.

III IV

Page 103: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

MWANZOKila kitu katika ulimwengu huu hubadilika. Sio tu kiwango cha

kubadilika kwenyewe ni kubadilika kwa umadhubuti, kubadilika hukukatika kiwango cha kubadilika ni kipimo sahihi cha maendeleo ya kwelikama kwa mfano, katika mwaka 1962 kompyuta iliweza kuhifadhitakribani biti 40,000 za taarifa, kufikia mwaka wa 1980, Kompyutazimeweza kuhifadhi kiasi kikubwa kufikia biti 77,786,000,000 za taarifa nazinaweza kufanya mahesabu 12,000,000 kwa sekunde moja. Sasa bitiza taarifa na uwezo wa kuhifadhi wa Kompyuta kwa uwianozinaongezeka. Hii ni dalili ya maendeleo katika Sayansi na Teknolojia.

Leo, walimu wa mafunzo ya ki-Islamu ulimwenguni potewanapewa changamoto kuleta mabadiliko makubwa katika nyenzo zakufundishia na hali kadhalika katika mbinu za kufundishia. Kuna hajakubwa ambayo kwamba mtazamo wa Kisayansi lazima utumikekufundishia Uislamu, katika (kufundishia) mila na desturi na taasisi zaelimu ya kidunia. Mabadiliko hayo ni muhimu kwa vile wanafunziwanatumia muda wao mwingi katika mashule na vyuo vya kisasa.

Walimu vilevile wanapewa changamoto na wanafunzi wao katikaviwango vyote kuonyesha uhusiano wa maingiliano ya Uislamu naSayansi. Juhudi imefanywa katika kitabu hiki kujibu changamoto hizi nakufikia mahitaji halisi ya wanafunzi wetu.

Ni muhimu kufikiria kila aina ya maoni katika kujaribu kuamuaukweli. Uislamu kimsingi uko dhidi ya kufuata kibubusa. Kitabu hikikimeandikwa kwa ajili ya Wanafunzi wa Ki-islamu ambao wanasomakatika taasisi za elimu ya kidunia. Katika baadhi ya vyuo kama hiki chetu(Al Muntazir Islamic Seminary), Wanafunzi wa Ki-Islamu wa madhehebumbalimbali wanahudhuria masomo ya dini kwa pamoja. Kwa hakikakitabu hiki ni kwa mujibu wa mtazamo wa (madhehebu ya Shia), sio kwasababu mimi ni Shia, bali ni kwa sababu ya matokeo ya muda mrefu wamaisha yangu ya utafiti.

Wafuasi wa madhehebu nyingine kiumakini wanaweza kuchambuauthibiti wa kitabu hiki ili kujenga maoni yao kuhusu mtizamo mzuri wamtu mwenyewe, ni lazima mtu kuelewa hoja za wale ambao hakubalianinao. Inawezekana kusemwa kwamba wale ambao hawaelewi kabisamtazamo wa maoni tofauti, hawaelewi kwa ukamilifu (mtizamo) wa kwaowenyewe.

YALIYOMO

Shukurani.................................................................................... VIII

Kwa Walimu ..................................................................................X

Sura ya KwanzaDini ni nini ..........................................................................................11

Sura ya PiliJinsi ya Kutambua Dini ya kweli ............................................................7

Sura ya TatuFaida za Dini ya kweli......................................................................... 19

Sura ya NneUislamu ndiyo Dini pekee ya kweli...................................................... 32

Sura ya TanoNeno Uislamu lina maana gani? ......................................................... 39

Sura ya SitaTawhid-Umoja wa Mungu ................................................................. 47

Sura ya SabaUkafiri ni nini..................................................................................... 53

Sura ya NaneShirk ni nini....................................................................................... 59

Sura ya TisaMaana ya Tawhid............................................................................. 83

V VI

Page 104: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

Sura ya KumiAdl-Uwadilifu wa Mungu................................................................. 102

Sura ya Kumi na MojaSababu za Mateso ya Mwanadamu na Majanga ya Kiasili................... 106

Sura ya Kumi na MbiliNubuwwat-Utum ............................................................................ 116

Sura ya Kumi na TatuImamat- Uimamu............................................................................ 132

Sura ya Kumi na NneQiyamat-Siku ya Hukumu ................................................................ 145

Sura ya Kumi na TanoDalili za Wazi za Qiyama .................................................................. 165

Sura ya Kumi na SitaHatua za kuwepo Mwanadamu........................................................ 168

Sura ya Kumi na sabaAwamu ya kwanza ya kuwepo kwetu Maisha kabla ya kuzaliwa........ 173

Sura ya Kumi NaneAwamu ya pili ya kuwepo kwetu Maisha katika ulimwengu huu......... 180

Sura ya Kumi na TisaAwamu ya Tatu ya kuwepo kwetu Maisha baada ya kifo.................... 183

Sura ya IshiriniAwamu ya Nne ya kuwepo kwetu Maisha baada ya Ufufuo ............... 194

SHUKRANIPamoja na sifa kubwa za Allah (swt). Mola wa ulimwengu,

namshukuru Yeye kwa kunisaidia mimi kukamilisha kazi hii. Kusema kwelihakuna njia ya kushukuru neema zake zisizo na kikomo na baraka ambazoameninyunyizia juu yangu katika kila sekunde ya maisha yangu.

Kila kitu alichokiumba katika mbingu na katika ardhi humtukuzaYeye, kiwe kikubwa kama ulimwengu au kidogo kama elektroni.

Baraka za Allah ziwe juu ya mja Wake Mustafa Mtume MuhammadIbn Abdillah Ibn Ahd'l-Muttalib, na Amir wa waumini Ali Ibn Abi Talib IbnAbd'l -Muttalib, na warithi wake, Maimamu maasumin.

Nawiwa shukurani za kina kwa baba yangu marehemu Allama DrSayyed Mujtaba Hasan Kamoonpuri, ph.D. aliyekuwa mkuu wa idara yatheolojia ya shia, chuo kikuu cha Ki-islamu Aligarh, ambaye moyo wakewote, uthabiti na maishani amejitoa kutafuta elimu siku zote. Amekuwachanzo kikubwa cha utiaji moyo na msukumo kwangu. Bila shaka mamayangu anao mchango wake muhimu uliosawa katika upeo wa ukubwawake usio na kikomo.

Kwa hakika nawashukuru sana Al-Hajj Haider F.Khaki na Al-hajjPyarali Shivji, Mwenye kiti wa Bilal Muslim Mission kwa msaada wao wahuruma na kunitia moyo.

Napenda kuelezea hisia zangu za ndani za shukurani kwa Al-hajjGhulam Bhimani kwa zawadi yake ya thamani "Kompyuta". Kitabu hiki nakazi zangu nyingine vilevile ni matokeo madhubuti ya zana hii elekevu.Vile vile namshukuru sana ndugu Mohammed Manekia wa New York,kwa kunipatia hewleltt pakard Laser jet 6l Printer na ndugu MohsinManekia wa New York kwa kuniletea mashine hiyo mpaka kwangu.Mwanafunzi wangu mwenye akili sana, Muzaffer Remtullah, amenisaidiakatika njia nyingi tofauti kupata faida ya teknolojia ya Kompyuta. Kwa

VII VIII

Page 105: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

hakika ninawashukuru sana Mabwana Akber Hameer na MohammedHameer kwa kuniunganishia Kompyuta yangu na vifaa vya wire lessinternet. Vile vile namshukuru sana Al-Hajj Habib Virani, Dr. MustafaVirani, Al -hajj Masoom Sherali Jeraj (U.K), Al-hajj Anver Manekia, Al-HajjMuhammad Somji na wajumbe wengine wengi mashuhuri wa Jamat yaKhoja Shia Ithnaashari kwa moyo wao wa kuniunga mkono. Mwishonataja pamoja na shukurani za ndani na mvuto wa juhudi za Al-HajjMustafa Pirmuhamed, Al-Hajj Akber, Karim Khatau na Mazahir Tejani kwakuvuta nadhari yangu kwenye makosa ya kuchapa katika muswada .

Nisingeweza kuandika kitabu hiki bila msaada imara wa bint zanguwapenzi, Sayyeda Zaynab Virani, na Sayyeda Kulsoom Qasim, ambaowametoa mchango mkubwa, mbali na shughuli zao nyingi za ratiba yachuo.

Vile v i le namshukuru sana mtoto wangu mdogo Ali kwakutonisumbua sana wakati wa kuandika kitabu hiki.

KWA WALIMUKatika mashirika ya kielimu ya kisasa, kama Al-Muntazir Islamic

Seminary wanafunzi wana uzoefu na mbinu za kisayansi ambazohujumuisha kupima majaribio ya nadharia ya mambo ya kawaida.Hukumu ya uchunguzi na kuthibitisha majaribio ya nadharia ni mashartiya imani ya Ki-Islamu. Kile ambacho ni kweli kinaweza tu kukubaliwakuwa kweli kwa kurejea ushahidi wa majaribio ya nadharia ya kuwepokwake. Ambapo aina nyingine za maelezo ya fikra za ki-Islamu kwauwazi huwepo, haziwi zenye mvuto kwa wanafunzi wa vyuo waliozoeautatuzi wa Kisayansi wa matatizo hayo.

Hivyo, hii ni fursa iliyopo kufundisha fikra za ki-Islamu katika chuoambako Wanafunzi wanafundishwa masomo ya Sayansi. Hii itarahisishakuonyesha uhusiano wa kina wa Sayansi na Uislamu.

Ingawa njia ya kufundishia katika shule zetu ni kwa lugha yakiingereza, walimu wanashauriwa kutumia istilahi za ki-Islamu ambazohuonyesha kwenye vipengele makhususi vya kweli katika hali ya uwaziisiyo ya mizengwe. Usawa wa Kiingereza kwa istilahi za ki-Islamuhakuwezi kutosheleza kubadilisha mambo yaliyomo kabisa na dhana yaasili katika njia iliyo pana. Uchukuaji wa tahadhari kama huo unadumishwavizuri katika Sayansi. Kwa mfano, Kiingereza kwa Calcium Carbonate, nichalk, lakini mkemia siku zote hupenda kusema Calcium Carbonatekuliko kusema chalk kwa sababu hubainisha kwa uwazi zaidi uhusianowa kemikali kati ya Calcium na Carbon kuliko neno chalk linavyofanya.

Kila sura ina idadi kubwa ya taarifa kuhusu maudhui. Lakini wakatimwingine inakuwa vigumu kutambua ni zipi nukta muhimu zaidi na ninini kiini cha fikra. Kuwasidia walimu halikadhalika na wanafunzi, maelezomafupi ya kiini cha fikra imeongezwa mwishoni mwa sura ndefu. Hii siyohasa mukhtasari wa sura, bali ni nukta muhimu ambazo zinarudiwa ili

IX X

Page 106: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

kutafakari zaidi.

Mwisho, nimewajibika kutaja kwamba kuna baadhi ya nukta zenyemigogoro zilizojadiliwa katika kitabu hiki. Natumaini kwamba nukta hizozitafundishwa katika hali halisi ya kielimu na hazitakuwa ni pingamizi kwamfuasi wa madhehebu yoyote. Nukta hizi zimejadiliwa katika kitabu hikikwa sababu ni sehemu ya imani yetu ya msingi isiyoweza kutenganishwa.Tumetumia mitazamo ya kimantiki kuliko mwendo uliozoeleka, ilikupunguza mwanya, kupoza mfadhaiko, na kuongeza utambuzi wa kwelijuu ya pande zote.

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

XI

Page 107: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

Page 108: JE,DININIMUHIMU? - Al-Islam.org · Quran Tukufu haitambui mtu yeyote kwamba Mwislamu kama hatekelezi mafundisho yake. Hivyo, Mwislamu wa kweli ni yule ambaye hufuata mafundisho ya

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................

............................................................................................................