historia kuu ya afrika, toleo lililofupishwa, v. vi: afrika kwenye karne
TRANSCRIPT
Kamati ya Kisayansi ya Kimataifa ya UNESCO kwa ajili ya Kusawidi Historia Kuu ya Afrika
HISTORIA KUU
Y A AlKIIvA* Lililofupishwa
VI Afrika kwenye Karne ya Kumi
na Tisa hadi miaka ya 1 880.
MHARIRI J. F. ADE A]AYI
TUKI"- CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM UNESCO
Africa kwenvzkarne va kitmi na tUa hadi m'^l-u v¿ l&'JÎ
^».w1
11*
1.1 Dan.« la Sherehe huko Mbelebete, kambi yajeshi la Wazulu ' / W6
kubwa na iliyosambaa sana. Khalifa mwenyewe alidumisha utawala wa kidini na
madaraka kamili ya kiserikali yalikuwa chini ya maamiri. Nchini Afrika Kusini,
Wasotho-Tswana waliishi kwenye vijiji na tawala za kichifu ambapo watawalawaliziweka pamoja shughuli za jando. Wanguni wa kaskazini waliishi kwenye kaya
zilizotawanyika na machifu wao wakiwa na madaraka madogo tu. Hata hivyo,
maendeleo yaliyoongezeka katika kipindi cha kuelekea mwishoni mwa käme ya kumi na
nane, pamoja na kuanzishwa kwa zao la mahindi, yalitoa shinikizo kubwa kwenye ardhi.
Mfumo wa kilimo ambao ulifanya ng'ombe wapate malisho machungu wakati wa mvuana malisho matamu mwishoni mwa kiangazi haukuhimili shinikizo hilo. Hali hii ilileta
mashindano makubwa katika kumiliki ardhi na ng'ombe. Kadhalika, ilisababisha kuigwa
kwa sherehe za Wasotho-Tswana za kufanya shughuli za jando kwa pamoja, kwa ajili ya
kuandikisha askari jeshii Haya yalikuwa ni mapinduzi ya Mfalme Shaka yaliyochocheahali ya Mfakane.
Uwezo wa ndani
Mwanzoni mwa nusu ya kwanza ya käme ya kumi na tisa, shughuli za mataifa ya Ulaya
Mick'keo na iivendo mpya katika Afrika kwenye käme kumi na tarn hadi kumi na tisa 21
.?. / Kanisa la Church of Scotland Mission
huko blantyre (Malawi)
3.2 Tí'jv .s,i(f,f
.22 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa nadi miaka ya 1880
i-iShule ya kijiji cha CharlottefüerraLivm; c. IUK5
zote za bara. Walipandikiza vionjo vya kigeni, walitumia bidhaa za nje kutoka Ulaya, nawalitoa mchango mkubwa katika kuingiza sehemu za bara mawazo na bidhaa za Ulaya.Kwa hiyo, tunaweza kusema kwamba hadi mwishoni mwa miaka ya 1880, kulizukatabaka jipya la kijamii katika Afrika likijumuisha wasomi waliokuwa kwenye utumishiwa serikali, huduma za kanisa na katika biashara za binafsi.
Itikadi ya Kihabeshi (Uhabeshi)
Itikadi ya uhabeshi ni moja kati matokeo mawili makuu yalitokana na kutokea kwatabaka la wasomi katika Afrika. Tokeo la pili, mapinduzi ya fikra, lilitokana na hili la
¡wanza. Matokeo yote haya mawili yalikuwa muhimu sana katika historia ya Afrika¡katika käme ya kumi na tisa. Uhabeshi ni istilahi inayoaminiwa kuwa imeundwakutokana na nukuzi kutoka kwenye Biblia (Zaburi 68, mstari 31) kwamba Uhabeshi
itamnyooshea Mungu mikono yake. Chama kilichotumia istilahi hii kilikuwa namadhumuni ya kidini na kisiasa. Vuguvugu hili lilichipuka kutokana na mateso na hasirawalizopata Waafrika kutokana na kubaguliwa na Wazungu kwenye vyeo vya kanisa navya kiserikali, hususani katika robo ya mwisho ya karne ya kumi na tisa. Hali hii
38 Afrika kwenye käme yakumi na tisa hadi miaka ya 1880
4.1 Kikundi cha wanawake wa Kioromo kikiwa ndani ya chombo HMS Dapluie, inwaka 1867,baadti ya kuokolewa kutoka jahazi ta hiashara ya watumwa Afrika ya Mashariki.
4.2i Watuniwa walioachiwa hum katika shamba la misioniya Vyuo Vikuu huko Mbweni karibuna Zamibar - Ulipaji wa ujira.
Athari za Mfekane katika Koloni la Rosi
6.1 Wanasesere wakiwakilisha mwanamume na mwanamke wa Kisan wanaouzwa hukoCape Town, mapema käme ya kumi na tisa
Afrika
kwenye
käme
yakum
inatisa
hadimiakaya
1880
kupatikana mshindi kamili. Hata hivyo, huu ulikuwa ni ushindi wa kisiasa kwa Wasothokwa sababu walibaki na bunduki zao baada ya vita.
Hitimisho
Shughuli za Waingereza nchini Afrika Kusini kwenye kipindi tunachokijadili (1950-80)zilileta matokeo kadhaa. Ingawa jitihada zao za kuunda shirikisho la éneo kwa nguvuzilishindwa, lakini walifanikiwa kuvidhoofisha vikundi kadhaa vya Waafrika kama vile
Waxhosa, Wasotho, Wamfengu na Wakhoikhoi, ambao wote waliwekwa chini ya CapeColony. Mfumo wa kisiasa wa mataifa mengine kama vile Wazulu na Wapedi ambaovvalikuwa bado hawajajumuishwa ulivurugwa na kukawa na fujo miongoni mwa watu.
Baadhi ya Makaburu kama wale wa Griqualand ya magharibi walipoteza utawala wao,lakini jamhuri kuu za Makaburu huko Orange Free State na Transvaal zilijipatia uhuruwa kufanya mambo yao isipokuwa katika masuala ya mashirikiano na mataifa mengine
ya Ulaya mbali na Uingereza. Wakati huohuo, Waingereza waliendeleza udhibiti usiothabiti wa maeneo mbalimbali ya Afrika ya Kusini kwa kuangalia hali ya mambo kupitiamaofisa wao wakazi.
Nrlii ?n Rinule la Zambezi -73.
| LOZISALA
chikunda
mpezen1 nguni
ïnsenga"
,>>% % ^.MALAWI (KALONGA)"\~^ tlVVERE NGUNI
^CHEWAUND]^MASEKO NGUNI QUITANGHÜÑA
BOO km
400 Miles \
/ Maputo)!
8.1 Watu wa siasa za Afrika ya Kati, 1800-80 (A. F. Issacman)
78 \Afrika kwenye karrte ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
tJG SM
líIS? fi
>ÉBËi&3L>^ 'î ' i
bVJHÍ
P. .I'IIIäVV. ...
1SS
ST
i
vÈëÎf\\w^S*!mV.«
B. ffAhUt
BMak -
" - |VJLi
i H
HS*'8.2 "Ruga-Ruga' (mchukua watumwa)
.AW« za Bonde la Zambezi79
w» :r -'«i'itiff»*»v^^
R.3 S/iangarna wa Soslumane walipowasili .S'/m/'i/Wii kukiisanya kodi ya imvaka kutoka kwaV'irano
bidhaa mbalimbali zenye kung'ara lakini zisizo na thamani na zisizodumu.Aidha kulizuka tofauti kubwa za kitabaka katika jamii. Ingawa eneo hili kwa ujumla
liliendelea kuwa masikini, lakini watawala pamoja na tabaka la wafanyabiashara walizidi
kuneemeka na kutajirika. Hata hivyo, wakati mwingine, tabaka la wafanyabiasharawenyeji liliungana na wafanyabiashara wa nje kudhoofisha uwezo wa kiuchumi wawatawala wa kienyeji na kuanzisha hegemonia yao ya kiuchumi, na hivyo., kupelekeakwenye uporomokaji wa haraka zaidi wa madola ya namna hiyo.
Mojawapo ya matokeo muhimu ya ongezeko la maingiliano ya kibiashara lilikuwa nikiwango kikubwa cha ukopeshanaji wa amali za kiutamaduni kilichojitokeza miongoni ,mwa vikundi mbalimbali. Mwenendo huu ulikuwa na ruwaza tatu. Kwanza, wageni
waliingizwa kwenye utamaduni wa wenyeji wao (wawindaji Wachikunda walijumuishwakwenye jumuiya za Wansenga, Waambo na Watonga wa Bondeni). Kwa upandemwingine, wenyeji waliiga utamaduni wa wageni (k.m. wafanyabiashara wa Kiyaowalisilimu kutokana na maingiliano yao na Waarabu). Tatu, lilikuwa suala la maafikiano
Pwani na bara ya Afrika Mashariki 1800- 1845
' 7
Pwani na bara ya Afrika Mashariki 1800- 1845 87
Njia za biashnra
-fí^a NatronÇ3 Mt. Kilimanjaro
¿'-^a Manyara
O IDO 200km
VHag»moy&-
0 00 11)0 '"Hili
9.2 Pwani ya kaskazhü na bara: njia za hiashara, 1H80 (A. I. üalirn)
Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
Uhusiano wa Kibiashara wa Pwani/Bara
Muda mfupi baada ya Said kupata udhibiti wa Mombasa aliamua kuhamishia makaomakuu ya usultani wake Zanzibar, mji ambao ulikuwa ukikua kwa haraka kama kituocha kibiashara chenye shughuli nyingi. Saidi alivutiwa sio tu na suhula (vifaa) za kimeliza Zanzibar, bali pia na rutuba ya kisiwa na uwezekano wake wa kuzalisha mazao yakilimo. Aliamua kuhodhi biashara yote ya kisiwa na akaendelea kukifanya kuwa kituokikuu cha uchumi katika pwani ya Afrika Mashariki.
Pwani na baraya Afrika Mashariki 1845-1880 _91
/Sí
Njia za biashara ; Wlipaka va nchl ya sasa
10.1 Biashara katika Afrika Mashariki ya kante ya kumi na usa(ilichukuliwa kutoka kwa P. Curtin, S. Feierrnan, L. Thompsonna J. Vansiiw, Historia ya Afrika, 1978, uk. 399)
Pwani na baraya Afrika Mashariki 1845-1880 97
1 0.2 Miando va nywele na unyori ¡a Kinynmwezi
10.3 Wafanyabiashara wa Kinyamwezi burabarani
Pwani na baraya Afrika Mashariki 1845-1880 101
__
10.4 Miramho, 1882 mi 1883 ,.
Pwani na baraya Afrika Masharikj 1845-1880 JOS
Wa
tun
adola
zaukanda
wa
ma
ziw
am
ala
iu10o1II
tt'atu na dola za ukanda wa maziwa makuu 109
r«Ml
11.2 [iuuanda mwnka 1X75: Mji Mkuu wa Kabaku,
11.3 Kabaku Miiresa /uunoja na waienü na maojïsa
112. Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
~ Û
im io
11.4 Nynniiia va liaziiiti na nutpambo ya in/aline Idtinaitvika wa Kmvy.wc
11.5 Vila vya mujini kurika 7,iwa Vikiona kali va Waha^anda na want wa vtsiwa. vya liitvttina, IH75
1
Afrika
kwenye
käme
yaku
mina
tisahadim
iakaya
1880
ion Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
Mipaka ya makisio va msitu wa invita, Mipaka ya makisio ya savaiui na misilii wazi
\Mipaka va éneo lenye vyeo vya tunda zaidíUkanda wenye watu wangi 400 Miles
12.1 ! Mugharibi ya Afrika ya Kali kwenye karne ya kumi na tisa (Baada ya J.L. Vellutj
Bonde la into na Angola 121
12.2 Ki¡'-i¡ dio Uinanyema; jimba la kaskaztni- Mashariki la Himaya ya Luna iniuka ya 1H70
mbinu za kilimo au ulimaji wa mazao mapya kulisababisha ulimaji uliobobea na
ougezeko la idadi ya watu. Kwa maneno mengine kuwepo kwa sehemu zenye idadi yawatu wengi katika Afrika ya Kati kulisababishwa na maendeleo au upanuzi wa kilimo.Kulikuwa na sehemu katika bonde la Lualaba na katika éneo la Kongo zilizokuwa nakilimo cha kizamani kilichobobea na katika karne ya kumi na tisa maeneo ya watu wengiyaliibuka huko Angola baina ya Wambudu na Wavimbundu. Katika Zaire, upenyuuliokuwa na watu wengi katika njia panda ya Misitu ya mvua na savana karibu latitudi
5% ya kusini haikuwa na mipaka hadi katikati ya karne ya ishirini.
Kuhusu maendeleo ya kilimo katika Afrika ya Kati, karne ya kumi na tisailiwakilisha kilele cha mwelekeo uliokuwa umeanza karne chache zilizopita. Mwelekeo
huo ulianza kwa kusambaa kwa ufuaji chuma katika karne ya kumi na taño miongonimwa Wabantu. Hii ilisababisha mabadiliko kadhaa katika karne za kumi na saba na kumi
na nane kama vile kutawaliwa kwa nchi mpya, kuanzishwa kwa nasaba mpya naupanuzi wa nguvu za kisiasa. Ilipofika karne ya kumi na tisa, maeneo yote yenye watuwengi yaliboresha ukulima wao kwa kuchukua mazao ya Kimarekani kama mahindi,
mihogo, viazi vitamu na maharagwe. Kulikuwa na ongozeko katika uzalishaji kwa kuwa
.ardhi nyingi yenye rutuba ililimwa kishadidi zaidi.
Matukio yaliyoelezwa hapo juu pengine yalichukua zaidi ya karne mbili kutokea.(1600-1850). Ilipofika 1850, mazao ya Kimarekani yalienea sana na katika éneo la
Kongo yalikwishazoeleka sana na hayakuonekana tena kama mazao ya kutoka nje.
124 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
I lil'"l'»tMW
12 3 Nfinniu za kifalme zu käme ya kumi na lisa kutoka kwenye fühlte ya Waknba
Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miakayaJ880
Mipaka ya makisio ya iiisitu wa invita
.__. Mipaka va makisio ya Silvana na inisitii waziMMM Mipaka ya enea lenye vyeo vya Lumia zaidi
\OkBvango%£? Swamp
[äSail llktiiuia wenye watu wengi
-.« Mipaka ya zoni ya biashara ya Waswahili
=== Mipaka ya zoni ya biashara ya Wareno-Waafrikaooon Mipaka ya zoni ya biashara ya intoni _22Q4QQgoo km
Mipaka ya zoni ya biashara ya Waarabu-Wasudani 0 200 4Ü0MÍI;:
12.4 Magharibi ya Afrika ya Kati: Zoni za biashara 1880 (Baada ya J.L. Vellut)
128 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
12.5 Mfalme Mitnzxi wa Mangbetu 1870 12.6 Kazembe 1831
12.7 Mwanamkewa Kimbiindu wa tnbakct la J2.8 Kimhuiulu na mwamike wa tabaka hi
Kitemi na mjakazi wake, katika miaka ya 1850 Kilemi katika miaka va 1880
Bonde la mto na Angola 129
12.9 l'einhe iliyochongwa ya kalikali ya käme ya
kumi na lisa kutoka pwani ya l.oungoyal 'ongoi tttgoiu, Iktonyeslia inalitkio ya biashara
"na va Waziuigii
132 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
esf»»*'
12.10 Kinyago cha Chibinda llunga mwanzilishi inkumbukwa wa ufalme wa Lunda. Kinyugo hikikinadhaniwa kuwa ni cha karne ya kumi na tisa
134 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
Venia II 8311'->. m,
-£W
-Xfâta
ZZ'Jíiypt 'S.
J»______ .<___> /"-s. fA^'-'s^í'SSyyfhS5___v_-_ -\ /Mers ;i<i**ä5#_l&____=___^^mLr
---^^--_4_.__#_ \.---:..:.nll . _SCL'S''1:
<-_3 BAHARI YAJ4EDITERAII __________ . .*.
.__
y'As"/^^ï///S//<$êni(*-syyy//srss ss*.\\"s ss ssss"S,ss/yyyy/A/s'''
\//ssss/sssss/K AsSSSSSSSS. -,^"sssssssssst\/SSSSSSSSSSSS\yssssssss^ m,nj,aY''/AAAsssYs's9kf''sAY""s""" ,Vi,'ssss,\"/A MISRIX"'',;,
&fâ%sss~s's'''''WÎifc==&'&SÍS^"S,S^'XS¿^^:.
Ms?y/sVsX
ts/ ya s- s / /as-/ y s r s s .^
*'''W,'/ssffî<%%';,'ss:s s.s yyyyysyssssiç. ,/,v
Asvvàn.
\ssss//yy/AA/ss-AA
'-%ffîsvysss'%i*>wmMWsv
V/ssss/sssssss¿s>
'.SfÁÚÍií-
isississsssséffî,,Vssssssssssy ,,,,,U'.'.'AAAAAAsJlsssssssss
zr3itsssss'\a .-Z:-\y s sy s s
. -y \~\s sss s.
i__ïsssssssssssi
^s%&fV'AAssssssss
NCAA'Ss"s/s-<SAAAy''&Z%,ssil;m
\sflURDOFAflAs,. ', , y s y/s ssssrSf
-. Jss. -Asfsssss
\^"sVs"Sf7"\a/AVsAs^^
xsssssss
\%%Hss%ssssss,'sVAssssXsskssssssssJAsssX"A<ssssssJ
'''i'"S'SS"S"*rA, y y y SS S Sy S S S Ss yytj- ,
" ' v,,',',',,,',',\sssssssssl/ssssss s y
'ssssssssss/y .s////////Asss/^==^,, 'syy/yy//sA.f \-_s
lÉim- _ _ s yy s s y . _ _fr-r4/"Wassi
<-35%(w^syyyyyy/A
yA/A/'//////f,u___war;_.;_f 5ö
ASS ss y
\-ssÀsss'""s'<.ssAsssy\y sst^/fsssYsSj
~r-<AiA/
> ABYSSINIA
T'-ATys! S.
_» Kampeni ya Misri va .luit dhidi ya mumluki (1808-10)t,'; .//,;./; ..,, \\r ,.,
ZsWÏEneola'Misri (1833)Kampeni dhidi ya Wahahuti in
Uarabuni HS13 ¡9)
| _____>> Kampeni ya Sudan (1820-3)Knmneiii va ieshi la Misri kuelekea r.~-. ,-,
! _ .""' .' .'l' | -,; r- ¿//m /_ Himaya ya Muhammad Aupwani ya himaya Ya Ottoman .._/..
I .tKampeni va Ibrahim dhidi va liimava « MfereJ' "'" Moltmudiyya uliojengwaya Otttoman (1831-3'' na Muhammad Ali
13.1 Himaya ya Misri ya Muhammad AU )18(!4-4\n (Banda _,_ ,4. Abdel-Malele)
140 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
> ;a/a -.
-J. 'r . . _ ,.J,
13-2 Muhammad Ali (mchoro wa Sir David Witkie)
*
-
Kipindi cha mvuvuinko wa Misri. lftOS-81141
!
13.3 Ibrahim, mtoto wa Muhammad Ali tut jenerali inkuu
wa Muhammad, uliyashitua mataifa ya Ulaya «mbayo yaliamua kumuokoa Sultani waUturuki. Hii ni kwa sababu walijua kwamba kama Muhammad Ali angeachiwakuiangamiza himaya ya Kituruki na kuanzisha mamlaka yake, upanuzi wa ukoloni wao
ungepingwa, na majimbo mengine ya himaya ya Kituruki yangehuishwa na kuimarishwa
chini ya uongozi wake.
Zaidi ya hayo, Ibrahim alikuwa na mtazamo tofauti wa uhuru wa Misri
ukilinganishwa na ule wa baba yake. Wakati ambapo Muhairtmad Ali mwanzoni alitakauhuru wa Misri ndani ya himaya ya Uturuki, Ibrahim aliamini kwamba uhuru wa Misri
ungekuwa na maana tu kama Misri ingechukua nafasi ya Umruki na kuwa kitovu nakiongozi wa himaya ya Waarabu. Kusema kweli, Ibrahim alisisitiza umuhimu wa
ufungamano wa Waarabu katika ujenzi wa taifa la Misri, yaani, kwamba Misri ilitakiwakuwa kitovu cha ufufuo wa Waarabu. Mtazamo huu, nata hivyo, ulitoweka pamoja na
Ibrahim baada ya 1840.
144 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
mwaka 1882. Lakini wakati huohuo baadhi ya mqfallahin walizidi kuwa masikini ilhali
watu wengine katika jamii wakizidi kutajirika.
Maendeleo ya kitamaduni
Katika kutafuta mvuvumko wa kitaifa, suala la maendeleo ya kitamaduni linahitajikutiliwa maanani. Baadhi ya watu walifikiri kwamba usasishaji wa uchumi, viwanda na
siasa lazima uambatane na uigaji wa maadili ya nchi za Magharibi, ilhali wenginewaliamini katika uanzishwaji wa falsafa halisi ya utamaduni wa kitaifa. Yapaswa
kuzingatia hapa kwamba wakati ambapo serikali ilitoa msukumo katika maendeleo hayaya kitamaduni, maandishi na mawazo ya Sheikh Rifaa al-Tahtawi (1801-73) yalikuwamuhimu katika mchakato huu. Yeye alipigania urejeshwaji wa utambulisho wa Misri
ambao alidhani ulikuwa ni muhimu kwa awamu ya utaifa ya maendeleo. Hili
lingewezekana tu kama lingefuatiliwa kitaifa. Kwa mtazamo wake, mawazo ya siasa kali
na mkabala wa kihakiki kwa mawazo ya kigeni na urithi wa taifa vingeigeuza nchi nakuleta usitawi wa wananchi kupitia uhuru, kazi na mawazo chanya.
Uwili wa mapokeo na usasa ulijitokeza wazi zaidi kwenye medani ya elimu, kwa vile
kulikuwepo na mifumo miwili tofauti ya elimu nchini Misri. Wa kwanza ulikuwa wa
Sudani katika karne \a kumi na tisa 149
j4 _ Sudan chini ya utawala wa wamruki
Sudani karika karne ya kumi na tisa 151
:'
_4
| fo _#' r.i._.___j . . .V , s
: '_ ¿j- ___&__«___ â Ü . Ü 4! * fcPm-
-
~ . ___ñ_-
14.2 Sennar mwaka 1821: Mji mkjuu wa Usultani wa FundjyaKale wakati wa mavamizi ya Turuki-Misri
1 _ , Msafara wa wachukua watumwa huko Kordofan
154 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
14.4 Manju wa Kizande
156 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
14.5 Ujenzi wa utawala wa Kiturku-Kimisri: Kasri ya Hukunda hukoKhartoum na mashua mtoni
Shughuli zao huko kusini zilikuwa na faida kuu mbili: Kwa upande mmoja ziliongezakasi ya kuingiza Uarabu na Uislamu huko kusini. Kwa upande mwingine zilichocheauhasama kutoka kwa watu wa kusini kutokana na tabia yao ya kupenda vita, udhalimu,
na mabavu. Hali hii ya pili ilifanikiwa kujenga kutoaminiana na hofu ambayo mpakasas'a inatawala mahusiano kati ya watu wa sehemu za kaskazini na wale wa kusini mwaSudani.
Utawala wa Kituruki ulifanikiwa pia kuanzisha utawala unganifu nchini Sudani.
Hapana shaka, chombo cha uongozi kilikuwa cha ukandamizaji, kilichojaa rushwa, nakisichokuwa na ufanisi, hasa kwa vile maafisa wa Kituruki walikuwa ni wa kiwango cha
chini. Lakini utawala huu ulikuwa unganifu hasa, ukilinganisha na aina nyingine za
serikali zilizokuwepo. Utawala uliongozwa na Gavana-Jenerali aliyeitwa Hukumdar.Baadhi ya Wasudani walioshirikiana na utawala wa himaya walipewa majukumu katikaserikali kuu. Katika vipindi vifupi ambapo nafasi ya Gavana-Jenerali ilifutwa, hasamwaka 1843 na 1882, mikoa ya Sudani iliwekwa chini ya idara moja ya serikali hukoKairo ili kuendeleza sera ya uunganifu wa utawala. Aidha, uboreshaji wa mawasiliano,kama vile mtandao wa meli na simu, ulitoa mchango mkubwa katika uunganifishaji wa
utawala. Jeshi pia lilikuwa la msaada mkubwa kwa serikali katika kuidhibiti Sudani.Kwa maneno mengine, watawala wa Kituruki waliliturnia jeshi na mawasiliano mazurikatika kudumisha usalama wa jamii, kuzima maasi ya Wasudani, na kulazimisha ulipajiwa kodi.
Ethiopia na Somalia 159
Axum
'
**&&\ -Anul.G^Maten.» S ENDARTA
«AGEMDER/ WAG O oGondar ^ ^ Ä>
DAMBEYA I , ». V_?V .^
Gafat
Tabor YAJJU
- Magdala»'" . Boni Méda
f̂A«
OROMO
/labra BerhanAnjololi. Ankobtr
SHOA Al«. « AmbiHarar
OGADEN
300 km
200 Miles
15.1 Ethiopia mapemtt karne ya kumi na lisa
Ethiopia na Somalia
164 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
15.3 Mfalme Sahk Sellase wa Shoa
15.4 Amiri Ahmad bin Muhammad wa Harar, 1794-1884
!& ^*m
166. Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
\
_. .
:^_i_.
w ts_p
Öp7 «*H, /.'V_i. .
0
15.5
______& ¿_^<gp____ c^&f
s :
í_á_.Mfaline Tewedros akikagua ujenzi wa barabara
Ethiopia na Somalia 167: i
r«ifl£.ííTP¡iHi
W "<* -*' « ' !«flw_____!
15.6 Mzinga mkubwa wa Mfalme Tewedros uiiwao 'Sebastopoi'
majimbo. Hi kuleta amani katika nchi iliyolawaliwa na vita, aliwaamuru watu warudikatika stadi zao. Mageuzi yake ya kijamii yalikuwa pamoja na kupiga marufuku biasharaya watumwa, kuondoa ujambazi na rushwa. Alijaribu kumaliza tofauti za kidini kwakuwaamuru Waislamu waliokuwa kwenye dola yake kuwa Wakristo na kwa kuwafukuza
Wakatoliki. Matatizo makubwa katika mageuzi yake yalikuwa ni mageuzi yake ya
kanisa. Alijaribu kupunguza idadi ya makasisi, kupunguza ardhi iliyomilikiwa na kanisa,na kuwafanya mapadri wategemee mishahara kutoka kwenye dola. Hayo yoteyalisababisha upinzani mkubwa kutoka kwa makasisi, na upinzani huo ulipoungana nauadui wa mamwinyi wa majimbo, idadi kubwa ya watu ilimpinga maliki, na hilolilichangia katika kuanguka kwake.
Téwedros alikuwa na wakati mgumu kupambana na upinzani wa majimbo. Upinzaniwa kwanza ulitokea Tigré. Agaw Negusé aliungoza uasi huo. Negusé aliachia bandariya Zulla kwa Wafaransa na aliahidi kukubali askofu wa Wakatoliki kuwa mkuu wakanisa la Ethiopia. Lakini kutokana na upinzani wa Waingereza, Negusé hakuungwa,mkono na Wafaransa kama ilivyotegemewa na aling'olewa mnamo 1860. Baada ya hapokulitokea mfululizo wa maasi katika miaka ya mwisho ya utawala wake kutoka kwa
malodi wa Walo, Shoa, Gojam na Gondar. Mnamo mwaka 1865 Menelik, mrithi wa kiti
Ethiopia na Somalia
15. 7 Mfalme Tewedros akijiua mhele ya Sir Roben
Napier (lapiri ya kisasa)
1869, Wamisionari wa Kiitaliano nao walinunua bandari ya Asab kwa niaba ya Wizaraya Bahari ya Italia kutoka kwa machifu wa Afar.
Maliki Yohana na ujenzi wa umoja wa Ethiopia
Ethiopia iligawanywa tena baada ya kifo cha Téwodros. Kati ya watu watatu waliokuwana madaraka katika kipindi hiki, Kassa wa Tigré ndiye aliyekuwa na nguvu zaidi. Hivyobaada ya kumshinda mtawala wa Amhara, alitawazwa kama Maliki Yohana IV hukoAksum mnamo Januari, 1872.
170 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
Ili kufanikiwa katika kuunganisha taifa, Yohana aliweka sera ya upatanishwaji namamwinyi. Kama sehemu ya mageuzi yake ya kidini, alifanya urafiki na makasisi na
alichukua mkuu wa kanisa kutoka Misri. Pia, alipeleka fedha kwa jumuiya yaWaethiopia waliokuwa Yerusalemu. Alijenga makanisa mengi mapya, mathalan vale yaAdwa na Magdala. Aliyapatia makanisa ardhi kubwa huko Aksum na alitoa msaada
mpya wa fedha kwa ajili ya nyumba ya watawa wa Dabra Bizau. Zaidi ya hayo, alijaribukuwabatiza Waislamu kwa wingi na alisakama wamisionari wa Kikatoliki. Alijaribukuongoza maadili ya kidini kwa kupiga marufuku uchawi, uvutaji sigara na ugoro.
Mapambano makubwa ya kivita ya Yohana yalikuwa dhidi ya Misri pale Wamisri,walipojaribu kuingia kwenye dola yake. Baada ya kuwaomba msaada Waingereza dhidiya Wamisri na kutopata jibu, aliyakusanya majeslu yake mnamo mwaka 1875. Katikapambano lililofuata, karibu wavamizi wote wa Kimisri waliangamizwa. Wamisriwalipojaribu kujibu mapigo mnamo 1876, walishindwa vibaya. Ushindi wa Ethiopiahaukuzima tu ndoto za Wamisri za kujenga himaya, lakini ulimwaibisha Khedive Ismailkule kwao. Matatizo hayo yalisababisha kuondolewa kwake madarakani mnamo Juni1879.
) 74 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
Comoro
îtz-__ S
Diego Suarez
-\
IS21
-V
_Vcl<____ Turtle ya ktitumwa jeshi au kuanzishwa vihio^~^zg*¡z? ^T\
Maeneo yaliyoshikiliwa na » _^--
h.mar-
manilaka ya Antananarivo 1840
Maeneo yalivokitwa liuru bado __a //ap__.- ;/y c^» # _*s t1
176 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
16.2 Aiidriaiiaiiipoiiiiiiicriiia, d. 1810 16.3 Mfalme Radanu I. 1810
16.6 Malkia lla..oiiiriiiu. IS6.Í-8 16.7 Malkia Ii,iii.n;ilona il, /.'ixV-.Yî
_._.// (Madagascar) 18001S80 m
tlF^'V9*
16.8 Jumba la Malkia huko Antananarivo lilianzwa mwaka 1839 na
Jean Labonde kwa kuambwa na Malkia Ranuvalona I
misamaha ya ushuru iliyokuwa ikitolewa kwa wafanya biashara Wazungu kisiwaniBukini. Maamuzi haya hayakuwazuia raia wa kigeni waliohitaji kuja kutoa msaadakatika miradi ya maendeleo nchini humo na wala hayakuwafukuza wamisionari, ingawashughuli zao ziliruhusiwa kufanyika katika baadhi ya miji tu. Hata hivyo, katikautekelezaji wa sera hizi, utawala wa Bukini ulikumbana na vikwazo vikubwa, hasakutoka nchi za nje.
Uingereza na Ufaransa zilipokea taarifa za kupinduliwa kwa Radama namapendekezo ya mabadiliko ya sera ya mambo ya nje ya Bukini kwa hisia tofauti.Wakati ambapo Uingereza ilikataa kuhusishwa katika ugomvi na Bukini kwa sababu yamapendekezo ya marekebisho ya mikataba baina ya nchi mbili hizo, Ufaransa Uiumizwana kuchukizwa sana na hatua hizo za Bukini. Ufaransa ilifahamu kwa uhakika kabisa
kuwa ingepoteza mambo mengi zaidi iwapo mikataba iliyokuwepo ingefanyiwamarekebisho, hivyo ilisisitiza kulipwa fidia na Btikini kabla haijayakubali marekebishoyoyote yale. Mkataba mpya baina ya Uingereza na Bukini ulitiwa saini mnamo 1865, naule wa Bukini na Ufaransa ulisainiwa 1868. Katika Mikataba yote miwili, Wamalagasi
walifanikiwa kupata madai yao yote, na nasa lile la kubatilishwa upendeleo wa kumilikiardhi uliotolewa kwa Wazungu. Hata hivyo, mwenendo wa Uingereza wa kukubalimará moja mapendekezo ya Bukini wakati wa mgogoro huo uliifanya Uingereza
182 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
i.-.
16.9 Kitanda chenye paa (ainaya máchela yenye paa) chaMalkia Rasoherina. Nyuma ni kanisa la Kiprotestrantilililojengwa wakati wa Rasoherina na Ranalona 11
liiikini (Madagascar) 1800-1880 183.
16 10 Makao ya Ranavalona aliporudi kutoka Fianaruntsoa, 1873
muhimu cha kuwapiga waasi waliogoma katika majimbo.
Mambo mengine yaliyofanywa ili kuijenga kisasa Bukini ni: Upigaji marufuku wa
biashara ya pombe; utekelezaji wa arnri ya kupiga marufuku biashara ya watumwa na
utumwa wenyewe, na kuondolewa kwa sheria za ukandamizaji. Hata hivyo, baadhi ya
Waingereza na Wafaransa waliiasi serikali ya Bukini na kuendelea na biashara ya
watumwa. Mnamo 1877, serikali ya Bukini iliwaachia hum watumwa wote 150,000kisiwani humo.
Maendeleo ya Kiuchumi
Kabla ya Bukini kuanza kushiriki kwenye biashara ya kimataifa, na hasa kabla yakuwasili kwa Wazungu wengi kisiwani humo mwaka 1860, Bukini ilikuwa na uchumiwa kujitegemea. Walizalisha karibu kila kitu walichokihitaji. Idadi kubwa ya watukisiwani humo ilijihusisha na kilimo. Mchele ndicho kilikuwa chakula kikuu kisiwanihumo na mpunga ulilimwa kwa kiwango kikubwa kiasi cha kuwafanya Wamalagasiwawe wataalamu katika ulimaji wake. Aidha walifuga mifugo kama vile kondoo nanguruwe, na samaki walikuweko kwa wingi; lakini katika mifugo yote ng'ombe ndiowaliokuwa muhimu zaidi. Mchele na nyama ya ng'ombe ndizo zilizokuwa bidhaamuhimu zilizosafirishwa nje ya nchi. Wamalagasi pia walianzisha viwanda vya
Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
Sf f i.,: v**1 ' .,£1_i __
m, ii^i - $#.-_;-___T_¡8_ 1 ,. Í / - .... .i. V:.' . \
17.1 Éneo la ndani ya Msikiti wa Ketchwawa jijini Algiers mwaka 1833 (Msikiti ulijengwu 1 794)
188 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
j^tí'. '"/
_î ' '"'
17.2 Shule ya Madrasajijini Algiers mwaka 1830
Sum mpya ya maendeleo katika nclú za maghrib: Atgcria.Tuitisia luiLibva. 193
17.3 Wanawake wa tabaka la kati nchirú Algeria wakiwa tut mlumishi wa kike mweusiantbaye pia ni mtumwa.
17.4 Wanajeshi waliovaa sare zMzofanana na ule za Askari wa Mataifa ya Magharibi
fe HàWM9mm.ty
H. _ * <h^ Sí
Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
_r _-__ ^ - '
* *__- :
17.5 Kabttri la Marehemu Muhammad ben Ali al Saixusi, Muasisi wa Sanusiyya. ;
watu wa kawaida. Zaidi ya hayo, uchumi ulikua zaidi licha ya ongezeko la bidhaa
zilizoagizwa kutoka Ulaya baada ya 1850.¡ Matatizo yalijitokeza wakati wa kipindi kirefu cha upungufu wa chakula (1881-89).' Hali hii iliathiri sana kiwango cha bidhaa zilizouzwa nje ya nchi, na kiasi cha vyakulavilivyoagizwa kutoka nje pia kiliongezeka. Mapato kutokana na biashara ya Sahara piayalipungua. Hali hii ilitokea wakati Sanusiyya ilipokuwa inakabiliana na shinikizokutoka nje pamoja na matatizo ya ndani. Baada ya kupunguka kwa mapato yakekutokana na biashara, Sanusiyya iligeuka na kuanza kuhodhi ardhi na kilimo kwa
kuwadhulumu baadhi ya wafuasi wake. Hali hii ilihimiza kujitokeza kwa jumuiyakinzani na vyama vingine vya kidini. Hadi mwaka 1910, umaarufu wa Sanusiyya katika
1 jimbo hilo ulikuwa umepungua kwa kiasi kikubwa.Picha inayoonekana katika maelezo haya ni ya jamii iliyokuwa ikibadilika sana na
ambamo mambo ya zamani yalikuwa yakitoweka kwa haraka. Wazungu hawakuzubaakatika kuhakikisha kuwa wananufaika na hali hii kwa kujihusisha kikamilifu katika
, uchumi wa jamii hiyo. Kuanzia 191 1 kulikuwa na jaribio la uvamizi lililofanywa naItalia, harakati za upinzani na vita hadi 1932.
200 Afrika kwenye karne yakumi na tisa hadi miaka ya 1880
-
18.1 Mfalme AM al- Rahman (1822 - 59) kwenye mwaka 1832
20
2A
frika
kwenye
käm
eya
kum
ina
tisah
ad
im
iaka
ya
1880
204 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
18.3 Sultani Hassan I (1873 - 94)
1 8.4 Reale yafedha iliyotengenezwa
Paris (Ufaransa) mwaka 1881 kwa ajili ya Hassan 1 *.'_-
212 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
19.1 'AU al-Kädir
Kmutza Mpya za maingilio ya Ulaya katika Maghrib 213
'**__»
!\ .. ! i
... .,. ¡ \ í
C_-
19.2 jjïfaw/ cha miguii cha Àbd al-Kdir
-
'
19.3 Kikosi cha Farasi
19.4 Kusalintu amri lava Àbd al-K_dir
Sahara katika karne ya kumi na lisa 223
Biashara va fovenve ukinet) wa iangwa: Wafdnya biashara kutoka Afrika Kaskazini waküuuuta20.1 sähdähtsi ' katika kituo cha Bukel kwenye mío Senegal.
kusafirisha mizigo, viongozi wa misafara, na jeshi la kusindikiza misafara hii. Hivyokaribuni Wanomadi wote wa Sahara walishiriki kikamilifu katika biashara iliyopitiamaeneo walimoishi.
Hata hivyo, biashara katika njia mbalimbali za Sahara haikuwa imara. Biashara
ilipanda na kushuka kwa kadiri ilivyofifia au kukua, na hali hii iliathiri maendeleo yajamii za jangwani. Udhibiti wa njia za biashara hiyo ulitafutwa kwa nguvu kiasi hichokwa sababu ya pato kubwa lililotokana nayo. Hata hivyo, ulimbikizaji wa utajirimkubwa mikononi mwa vikundi maalumu mará nyingi ulitibua uwiano wa kisiasa-jamii,na kufifia kwa njia hai ya biashara hiyo kulisababisha kujirekebisha kwa makundiyaliyoathiriwa. Kujirekebisha huko kuliweza kuwa ni kujiingiza zaidi katika biashara yakikanda ya ukingoni mwa jangwa, au kuwavamia majirani matajiri, au kujishughulishana ufugaji.
Jinsi éneo na ukubwa wa biashara ya kuvuka Sahara vilivyozidi kubadilika, biasharahiyo ilihama kutoka kwa Wafaransa wa Algeria na kuwatia uchungu sana mabeberu waKifaransa. Wafaransa walijaribu kurekebisha hali hiyo lakini mwenendo wa biasharahaukuwakubalia. Hali ilikuwa ni ya kubahatisha: njia nyingine za biashara zilikuwazinastawi wakati nyingine zinadidimia. Kwa mfano, njia ya Tripoli-Kano ilipataumaarufu hasa baada ya katikati ya karne ya kumi na tisa kutokana na ongezeko labiashara katika njia hiyo. Biashara katika njia hii ambayo iliendeshwa na Watuareg¡lianza kudidimia kutokana na sababu kadhaa, muhimu zaidi ikiwa ni ile ya kuanzishwakwa reli huko Kano katika mwaka 1911. Njia ya Benghazi-Wadai ilirithi umaarufu wanjia ya Tripoli-Kano na kudumu hadi kuingia karne mpya kwa sababu ya Sanusiyya, napia kwa kuwa maeneo yaliyohudumiwa na njia hiyo yalikuwa makubwa sana.
Sanusiyya kilikuwa ni kikundi cha udugu wa Kiislamu kilichoenea miongoni mwa
Afrika kwenve karne va kumi na tisa hadi miaka ya 1880
. ._ ^___e_.
i * "'
fe» ï- MrPJP OP"
I 5iv _1
F_SW^.VtV
I- , . .
E '" v...
? 0 . ? Ai/wra wa Msikiti wa Agades
Ukh
alifa
wa
Sokoto
naB
orn
o.
_33
_l]/_
_i..*
si
/
**-,v
*A.y
_\=
/-c"1
533'
'S*&
Afrika kwenye karne ya kunu na lisa hadi miaka ya 1880
22.3 Sheikh Muhammad al-Amin al-Kanemi
246 Afrilrn kuvirvp karne va kumi na tisa hadi miaka ya 1880
22A Blauzi ya mwanamke wa Borna iliyotarizwa ambayo imetengenezwa katika miaka ya 1870
ilipokuwa katika msukosuko, Sokoto ilikuwa pia imekumbwa na matatizo ya maasi na
machafuko. Kipengele muhimu katika matukio hayo ni kushindwa kwa kila dolakuyatumia matatizo ya mwenzake kujinufaisha. Katika nchi zote mbili, hali ilirudia
kuwa ya kawaida kwa haraka baada ya 1855.
Baada ya hapo, Borno iliunganishwa chini ya Sheikh Umar kama mkuu wa nchi.Alihodhi madaraka yote na kumpatia yeyote aliyemchagua. Hali hii lilijenga mazingira
ambamo kumtii Sheikh kulikuwa ndio sifa ya msingi ya kuweza kupanda ngazi katikamuundo wa kisiasa.
Ushindani kwa ajili ya madaraka ulikuwa wazi kwa kila mtu, bila kujali haki yakuzaliwa wala daraja. Hivyo baraza la kifalme halikuhusisha tu ndugu wa mfalme, bali
pia warn hum mashuhuri, na watumwa waliokuwa maofisa. Muundo huu wa kisiasaulikuwa ni tofauti na ule ulioendeshwa na al-Kanemi ambamo maofisa muhimu wa dola
hawakuwa waajiriwa wake hasa, bali washirika wake.
Kulikuwepo pia na mabadiliko katika uchumi. Polepole Borno iliingizwa katikamzunguko wa uchumi wa ukhalifa kama mtoaji wa mali ghafi kama vile bidhaa za ngozi,pembe za ndovu, manyoya ya mbuni, watumwa na magadi, na kama mlaji wa bidhaa zaanasa ambazo zilikuwa na faida ndogo kwa watawala kuliko hapo awali. Msingi wa
uzalishaji wa Borno haukukua haraka kama ule wa ukhalifa wa Sokoto. Matokeo yakeni kuwa madeni ya biashara ya Borno yaliongezeka. Ingawa matatizo haya ya kiuchumi
Ukhalifa wa Sokoto na Borno 247
____
*M$ñ F-*. 15
-I
ÍS t.
-Tí." -. *
___^Srí!ie^
i?J ' J-, ^- I
-_í. . . .,_*,.
..... :^C;.i.;-i- _;
i3__|fÉÉ!.iÍ_-_JW.
»*.V * -í'
_:¡;4:,s._ 51:__ ,¿S_f!
A
WfPPfFii'g_L'_í .'4rçfe_»^ife<i^ffi^
_'»*_r_ffl..îï___r»_n-r-*T-''. "- »__>.
Jn^___~^__s_____®ç^
22.2 Bidhaa za kazi za mikono za Wahausa zilizokusanywa na Gustav Nachtigal mnamo 1870
Messina na himaya ya Kitorodbe Kitukuloor) hadi mwaka 1878 251
kila jimbo likiongozwa na jamaa au mfuasi mtiifu wa Seku Ahmadu. Majimbo yenyeweyalikuwa ni: (a) Niger na eneo la mpakani baina ya mto Niger na mto Bani, (b) mpakaya magharibi, (c) eneo la kulia kando kando mwa mto Bani, (d) mpaka wa mashariki na(e) eneo la ziwa. Mji mkuu, Hamdallahi, ulianzishwa mwaka 1820. Majengo yakeyaliyovutia zaidi ni msikiti na kasri. Mji mkuu ulilindwa imara na askari wa polisi naulikuwa nadhifu mno. Maisha katika mji mkuu huu yalikuwa na nidhamu ya hali ya juu.Mathalan kulikuwa na taratibu kali zilizoelekeza jinsi matabaka mbalimbali katika jamiiyalivyotakiwa kutumia wakati wao.
* Fanikio muhimu kabisa la Seku Ahmadu ni juhudi yake ya kuwageuza Wanomadi waKifulbe waunde jamii zenye maskani ya kudumu. ILL kufanikisha azma hii, alianzishavijiji vingi vya shughuli za kilimo na ufugaji. Juhudi hizi zilizaa matunda wakati wautawala wa mwanawe, Ahmadu Seku.
Ahmadu Seku (1845-53) na kipindi kilichofiiatia
Kipindi cha utawala wa Ahamdu Seku kinachukuliwa kuwa ndicho kilichopindukia kwaamani na neema huko Massina katika käme hiyo. Jambo hili halimaanishi kwambahakukuwa na matatizo ya awali nchini na nje ya nchi. Matatizo ya ndani yalitokana namizozo iliyofuatia kifo cha Seku Ahmadu. Matatizo ya nje yalisababishwa naWabambara wa Saro na Watuareg wa eneo la Timbuktu ambao walitumia fursa ya kifocha Seku Ahmadu kufanya uasi dhidi ya mamlaka ya Massina. makundi yote mawili .yaliweza kudhibitiwa, ingawa Watuareg walishughulikiwa kwa ukatili zaidi. Baada yavita hivi Wabambara wa Monimpe vilevile walidhibitiwa.
Licha ya matatizo haya ya awali, miaka ya mwisho ya utawala wa Ahmadu Seku
Messin
an
ah
ima
yaya
Kito
rodbe
Kitu
ku
loo
r)hadim
waka
1878
Messina na lii.naya ya Kitorodbe Kitukuloor) hadi mwaka 1878 259.
23.5 Longo la kiiingilia Kasr, huko Segtt-Sikoro
23.6 Ahmadu akipokea wagem kwenye uga wa Kasr
sÊmMm^$mz3&
262 Afrika kwenye karne va kumi na tisa hadi miaka ya 1880
Nchi na watu wa
Senegambia na Upper Guinea.
[v. _ri Futa Jallon baada ya 1870
f/y'y/S\ Himaya ya Samori (kama 1885)
BAULE : Kabila
NYUMI: Nchi
24.1 NM na watu wa Senegambia na Upper Guinea (mfimo wa Y. Person)
268 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
24.2 Wapga makasia wa kru 24.3 nyumba zu wakru
Mguro wa baadi ya koo za Wakru kutoka mashariki kwenda magharibi, ambao ulikuwaukiendelea kwa karne nyingi huko bara, ulisitishwa katikati ya karne wakatiwalipokutana na vikundi vingine vyenye nguvu zaidi. Maendeleo mengine muhimuyalikuwa ni kujumuishwa kwa wakulima wadogo na mabaharia katika baadhi ya jumuiyaza Wakm. Kabla ya käme ya kumi na tisa, kulikuwa na tofauti ya muda mrefu kati yawakulima na mabaharia. ______ jinsi wakulima walivyozidi kushiriki katika biashara yawatumwa ndivyo walivyozidi kujiweka karibu na mabaharia, na kwa njia h'iyokusababisha kuchanganyika kwa vikundi hivyo viwili.
Uhusiano maalumu pia uliundwakati ya vikundi kadhaa vya Wakm na Sierra Leone.Hii ni kwa kuwa wafanyabiashara wa Kizungu ambao waliitumia Ghuba ya Guineakatika biashara ya siri ya watumwa na katika biashara halali, waliwatumia mabaharia wa
Ki-kru kama wakalimani wao. Matokeo yake ni kwamba Wakm walijijenga kwa idadikubwa huko Freetown na baadaye huko Monrovia kama vibarua na watema kuni.
Waliendelea na mshikamano wao, lakini pia walichukua nduni kadha za utamaduni waWakrioli. Athari za Uprotestanti kwa Wakm, kutoka Sierra Leone na Liberia, kwa
hakika zilichangia katika kuzuka kwa Ufalme wa Grebo ulioiga muundo wa shirikisho laWafante la 1871 huko Gold Coast, na katika kuleta mwamko wa kitaifa na lugha yamaandishi. Utaifa huu wa Grebo ulitoa usuli kwa amali ya baadaye ya Nabu Harris hukoCote d'Ivoire.
Jinsi wakati ulivyopita, jumuiya ya zamani ya wavuvi wa pwani ilizidi kuwekwachini ya athari ya shughuli za Wazungu. Baada ya 1821, ukanda wa pwani uliingia kwakiasi fulani chini ya mamlaka ya serikali ya Liberia. Mpaka wa Sassandra ulibakia imara
katika nchi ya Wakm, lakini mbele zaidi, mikusanyiko ya watu wengine ilipatikanakatika nchi ya Wakm miongoni mwa Wabete wa Gagnoa na baadhi ya Wadida. Biashara
27
2A
frikakw
enyekarne
yakum
inatisa
hadimiaka
ya1880
Nchi na watu wa mzingo wa Niger na Volta273
25.2 Kigoda cha Dhahabu cha Asante
276 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
tun«.
«;\ r~-^
*H_^TfgCT1
25.3 A7m/a _/;_ Hazina, Kumasi 1817
25.4 Wamossi waliovaa majuso;
Ai<_/i_ri f" "makithani wa ardhi" 3waliowakilisha mamlaka zfl asili;
picha ya )'.
mwanzoni mwa karne ya ishirni.
Nchi na watu wa nango wa Niger na Yalta 279
;' ' '"'__
A .'_.___ -.
«* ; .._tí? " ' -v _.__S
il$_H__
í'.*'*^Wi :.-'¿ii¿£] , __..ÍAS^C ;v£ »¡^^JS ?-/fc.>j3l
_ u ._** ^.-.»i.», .< _r_ ______
25.5 Mogho Naaba Sanem akiwa aiiasaJimiwa na raía wake, 1888.
25.6 Aína za nyumba za Bambara, 1887
. /.-- _ -.
~ .- >. ;A«_ti _.". -- . *i tí. XAttiVi'-'Wi^Tir- ;? . ' 'v v *¿v*>* _:C _--- Vf
282 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
rGi.,-..V
.
;
- v . ?S_>.ti /
25 7 Mfanyabiasharu wa Mossi, 1888
Nch
inaw
atuw
am
zingow
aN
ige
rna
Volta
28
3
286 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
re___£__M_ jPä". ' î':-fc-- ~< ' ~~- ._ aZr ilr__-~ - JV. -If ¿'.'S
SBC . ¡V\ r_^V$S$
25.9 SWaga toftta mwaka 1888.
25.10 Karakana ya seremala ya misioni ya Basal huko Christiansborg (Akkra).
Mchoro kutoka picha ya fotografió, labda ya 1870.
s^ri
Dahomey, nchi ya Yoruba, Borgu na Benin katika karne ya kumi na tisa 289
26.1 Sanamu ya askari akiwajuu ya mabega ya babalawo (mganga wa kienyeji) kutoka
kaskazini-mashariki wa "cn^ . a Yoruba; (labda) ilichongwa kati ya 1850 na 1875.
Dahomey, nchi ya Yoruba, Birgit na Benin katika karne ya kumi na tisa 293
mm _ v
if
"ill
^J "-.;__3_í^'^- _.____!>!
26.3 _«/;<;_ la mji wa Wayoruba wa Ijebtt ttitwao lpara, k. 1855. .55.
(Misiani va kanisa va Cleaver 1855)
î_ï__j__'\
_
,f
-ïV_h|>_?".
té _. ;
Kulikuwepo pia na kuundwa upya kwa mji mkuu wa Oyo huko Ago-Oja katika miaka ya1830. Makazi haya yalikuja kuwa vituo vipya vya madaraka katika nchi ya Yoruba, kilakimoja kikigombania kutambuliwa na kurithi ukuu katika ombwe la kisiasa
lililosababishwa na kuanguka kwa Oyo.
Vita vya Ijaye vilikuwa ni mashindano kati ya Ijaye na Ibadan, huku Egba narAbeokuta zikiwa zinaisaidia Ijaye bila mafanikio yoyote. Kwa kweli hizi zilikuwa ni
harakati za kugombania uongozi. Harakati hizi zilifikia kilele chake kwa maangamizi yaIjaye mnamo mwaka 1862, japo vita viliendelea taratibu kwa awamu mbalimbali hadi
pambano lililopiganwa nje ya Ikorodu mwaka 1865. Waikitiparapo walikuwa nimuungano mkubwa wa Waekiti, Waijesa, na Waigbomina, wakiungwa mkono na Waifena wengineo, wakipigana iii kupinga kutawaliwa na Ibadan. Vita hivi vilijikokota hadiWaingereza walipoingilia kuleta amani mwaka 1886, na hata hivyo havikuisha kabisahadi 1893.
Athari nyingine muhimu ya kuanguka kwa Oyo Kongwe ilikuwa ni kuibuka kwaDahomey kama ufalme unaojitawala wenyewe mwaka 1820, na uvamizi wake wa mara
kwa mara kwa nchi za Yoruba hadi ilipotekwa na Wafaransa mwaka 1892. Uimara wa
kisiasa wa Dahomey katika käme ya kumi na tisa ulikuwa ni matokeo ya utawala mrefuwa wafalme wake, kuanzishwa kwa mfumo unganifu wa utawala uliokuwa na ufanisi
Duhomey, nchi ya Yoruba, Borgt/ na Benin katika karne ya kumi na tisa Vil
26.4 Altare ya madhabaliii katika ua wa mfalme, Benin.
26.5 Sura ya mji wa Benin wakati wa kuvamiwa na Waingereza, 1897.
Dahomey, nchi ya Yoruba, Borgu na Benin katika karne ya kumi na tisa 299
26.6 i Sanamu ya mwanaume
akimwakilisha Mfälme Gezo 1818-58.
26.7 Mfalme Glélé aliyesimama, labda
(1858-89) lakionyesliwa kiisliara kama simba.
Badiliko jingine muhimu katika karne ya kumi na tisa lilikuwa ni kusambaa kwamakazi katika maeneo ya pwani yaliyokuwa yamekaliwa na watu wachache. Hilililisababishwa na mambo mengi. Kwanza kabisa, vita vya käme ya kumi na tisavilisababisha maeneo ya pwani ya kinamasi kuwa kimbilio la kuvutia kwa wahamajiwaliokuwa wanayakimbia maeneo ya vita huko bara ambayo yalikuwa wazi zaidi.
Pili, biashara ya Wazungu ya kuvuka bahari polepole ilikuwa inachukua umaarufukuliko biashara ya nchi kavu kwa sababu ya mabadiliko kutoka biashara ya watumwakwenda kwenye biashara "halali", na hivyo kuyapatia maeneo ya pwani faida ya kiuchumiya uhakika. Mwisho, kulikuwepo na kukua kwa uhakika kwa shauku ya Wazungu hukopwani, na jambo hili lilipanua dhima ya kijadi ya miji kadhaa ya pwani kama vile Lagos,Porto Novo na Kotonu, ambayo ilichukua wajibu mpya wa ziada, sio tu kama bandari,lakini pia kama vituo muhimu vya shughuli za Wazungu, na miji mikuu ya baadaye yanchi za kikoloni zilizokuwa zinaanzishwa, na nchi huru za Kiafrika zilizozirithi.
Hata hivyo, sababu za kiuchumi zilichukua nafasi kubwa sana katika mabadiliko yote
haya, hasa kwa kuzingatia kuwepo kwa Wazungu. Wakati biashara iliwaingiza Wazungukatika ukanda huo, ilihalalisha pia kuendelea kuwepo kwao mahali pale. Kwa hivyq
302
Afrika
kwenye
karneya
kumina
tisahadim
iakaya
1880
Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi mh'ka ya 1880
Delta ya mashariki
Delta ya mashariki inajumuisha madola kadhaa ya miji kama vile Boni, Nembe, Okrika
na Elem-Kalabari ya käme ya kumi na tisa. Mambo makuu matatu yalisababisha kukua
kwa madola haya. Mambo hayo ni: hali tofauti ya ekolojia ya mabwawa ya mikoko yadelta ya mashariki; biashara ya masafa marefu iliyofanywa na bara ya Igbo, na biasharana delta ya magharibi. Katika madola haya, biashara ilikuwa chini ya watawala:
Wafalme walioitwa amanyanabo na wakuu wa koo walioitwa wakuu wa kaya.Kukomeshwa kwa biashara ya watumwa na Waingereza mnamo 1807 kulileta
mabadiliko mengi katika delta ya mashariki. Kwanza, juhudi za kukomesha biashara ya
watumwa zilileta uhusiano mpya baina ya maafisa wa Kiingereza na madola ya delta.Ikawa mwanzo wa diplomasia ya kutumia mizinga ambapo mabalozi wa Kiingerezawalitumia majeshi ya wanamaji kufikia maafikiano yaliyowanufaisha wafanyabiashara
wao, wamisionari na wapelelezi. Mikataba miûgi ilitiwa saini baina yao na machifuwenyeji; mikataba hiyo ilizuia biashara ya watumwa iliyofanywa na machifu na
kuwataka kufanya biashara ya bidhaa nyingine. Mikataba hiyo iliweka pia kanuni za
Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
27.3 Mfalme Jaja wa Opobo
27A Nyumba ya Mfalme Bell mnamo miaka ya 1840
i I
¿Je m.sdSF- :. .-.,
312 Afrika kwenye käme ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
a&Xit
V ^W 'W.%_>- ' ___i
%EI±ßm te ï
J§Äi s*
rç
27.5 Mfonyahioshara wa Mto Ogowe, Wassengo, akiwa na pembe za ndovu na waimkaya wake wa kike.
27. ôAntchuwe Kowe Rapontchombo ("Mfalme Denis "), mtawala mmojawapo wa mto Ogowe,
akiwa na mkewe mkubwa.
. 5 .
_________
Kutawaiiyika kwa waafrika dunkini 315
,
.
28". 1 Kinyago cha mtu mweusi chenye kijambia cha Kiindonesia kwenye mshipi mgongoni^ inawezekana,,kinatoa Vietnam ya sasa na inawezekmta kimechongwa karne ya kumi na saba.
318 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
28.2 Mtumishi wa Kiufrika na towaihi na mtoto wa bwana wao huko India Mashariki mnamo
käme ya kumi na, tisa.
322 Afrika kwenye karne ya kumi na tisa hadi miaka ya 1880
$r
Xtir-JiP-'
28.3 Toussaint L'Ouverture, kiongozi wa mapinduzi ya Saint-Domingue na Baba wa uhuruwa HaUi. \and latin:
Historia Kuu ya Afrika
Historia hii inatoa mwanga juu ya umoja wa kihistoria waAfrika pamoja na uhusiano wake na mabara mengine,hasa Amerika na Karibian. Kwa muda mrefu aina zote
za taarifa za kubuni na hisia pendelevu zimefichahistoria ya kweli ya Afrika kwa ulimwengu kwa jumla.
Kwa kujumuisha maarifa yetu juu ya Afrik^iukiwekabayana maoni mbalimbali kuhusu tamaduni za Afrika nakwa kupitia upya historia, historia hii ina martufaa yakutoa mwanga na uvulivuli na kueleza bayána tofauti zamawazo ambazo zinaweza kuwepo baina \ a wasomi.
Mapitio ya Majuzuu yote
"Mazao ya mwanzo ya UNESCO ni lazima yasifiwe kuwani mchango mkubwa wa kitaaluma."Roland Oliver, Times Literary Supplement
"Ni mojawapo wa miradi mikubwa ya kitaalumailiofanyika katika karne hii."West Africa
"Majuzuu haya yametolewa kwa unadhifu mkubwa lakiniyana bei nafuu sana ... Yanawakilisha matumizi mazurikabisa ya pesa ambayo mnunuzi yeyote wa vitabuanaweza kuyapata ..."Basil Davidson, Third World Quarterly
VI Afrika kwenye Karne ya Kumi na Tisa hadi miaka ya 18_.
Juzuu la VI linajadili historia ya Afrika
kuanzia mwanzoni mwa karne ya kumi
na tisa hadi kuanza kwa 'ugombeanaji'wa makoloni kwenye miaka ya 1 880.
Licha ya kuanza kwa kuwepo na
biashara, dini na siasa za Wazungu
wakati wa karne hii, athari kutoka nje
zilifikia jamii za Afrika kwa njia isiyo ya
moja kwa moja, na walifanya jitihada
tofauti za wazi kiutamaduni kupanukana kuendelea. Matukio mawili
yaliyofuatana ambayo yanathari kubwa
- Mfecane huko Afrika ya Kusini na
matawi yake huko Afrika ya Kati naMashariki na nyendo za Waislamuwenye kuleta mabadiliko huko AfrikaMagharibi - yalikuwa yana nafasi
ndogo au hayakuwa na nafasi kabisa kwaathari za kigeni na hujitokeza wazi katika
sura nane kati ya sura za kitabu hiki.
Kitabu hiki kinaanza na sura nne zenye
mada maalumu zinazochunguza nguvu
kuu zilizokuwa zikifanya kazi katika jamii
za Kiafrika mwanzoni mwa karne;
mabadiliko ya nafasi ya Afrika kwenye
uchumi wa dunia; mielekeo na njia
mpya; athari za ufutaji wa biashara yautumwa. Sura hizi zinafuatiwa na sura
ishrini na tatu zinazoelezea kwa undani
maendeleo kwenye maeneo kadha. Surambili za kuhitimishia zinafuatilia
mtawanyiko wa maendeleo ya
kiutamaduni kabla ya kutamalaki kwa
Wazungu. °
t^KI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM UNESCOS.LP 35110, Dar es Salaam
ISBN 9976 911 27 0