قلاو قا ينب ةطساولا -...

36
al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah 0 www.wanachuoni.com ق واملق ال الواسطة بal-Waasitwah bayn al-Haqq wal-Khalq [Ukatikati baina ya haki na viumbe] Mwandishi: د بن تيميةم أس شيخ اShaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah Tarjama: Abu Bakr Khatwiyb al-Atrush

Upload: others

Post on 28-Oct-2019

13 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

0

www.wanachuoni.com

الواسطة بني احلق واخللقal-Waasitwah bayn al-Haqq

wal-Khalq

[Ukatikati baina ya haki na viumbe]

Mwandishi:

شيخ اإلسالم أمحد بن تيمية

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

Tarjama:

Abu Bakr Khatwiyb al-Atrush

Page 2: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

1

www.wanachuoni.com

Dibaji ............................................................................................................................................................................... 2

Maana ya ukatikati ......................................................................................................................................................... 3

Mwenye kupinga ukatikati ............................................................................................................................................ 6

Mitume hawaleti manufaa ............................................................................................................................................ 8

Wanachuoni ni warithi wa Mitume ...........................................................................................................................13

Aina zamaombezi yaliyokataliwa ...............................................................................................................................14

Uombezi unaopelekea katika Shirki ..........................................................................................................................17

Uombezi ulio sahihi na wa batili ...............................................................................................................................19

Uhakika wa maombi....................................................................................................................................................21

Du´aa iliyowekwa katika Shari´ah na uombezi .......................................................................................................23

Neema ya dunia na ya dini .........................................................................................................................................26

Ukatikati wa shirki .......................................................................................................................................................28

Kumuogopa Allaah Pekee ..........................................................................................................................................30

Mtume anaihakikisha Tawhiyd ..................................................................................................................................32

Sababu zilizowekwa katika Shari´ah na ambazo hazikuwekwa ............................................................................34

Hitimisho ......................................................................................................................................................................35

Page 3: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

2

www.wanachuoni.com

Dibaji

Himdi zote anastahiki Allaah na amani iwe juu ya waja Wake ambao amewateua.

Amma ba´d:

Kijitabu hiki kidogo ni kuhusu watu wawili waliokuwa wakijadiliana. Mmoja wao akasema

ni lazima kwetu tuwe na mkatikati1baina yetu na Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) kwa kuwa

hatuwezi kumfikia bila ya hilo...

Jibu ni kama ifuatavyo:

Himdi zote zinamstahikia Allaah, Mola wa walimwengu.

Ikiwa anamaanisha kwa hilo ya kwamba tunahitajia mkatikatiatakayetufikishia amri za

Allaah (Ta´ala), hilo ni kweli. Kwani hakika ya waja hawawezi kujua Ayapendayo Allaah na

Kuyaridhia, Anayoamrisha, Anayokataza na Kuwaandalia mawalii Wake katika karama,

Aliyowaahidi maadui Wake katika adhabu Yake au mambo ambayo Yeye (Ta´ala)

Anastahiki katika Majina Yake mazuri kabisa na Sifa Zake kuu ambazo akili haziwezi

kuyatambua na mfano wa hayo, isipokuwa kwa Mitume ambao Allaah Kawatuma kwa

waja Wake...

1Waasitwah.

Page 4: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

3

www.wanachuoni.com

Maana ya ukatikati

Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata ndio waongofu ambao wako karibu

Naye.Anazipandisha daraja zao na Kuwakarimu duniani na Aakhirah. Ama kuhusu wale

wanaokwenda kinyume na Mitume, hakika wao ni wenye kulaaniwa. Wamepotea katika

njia zao na ni wenye kuzuiawa. Anasema (Ta´ala):

وايالمذين ناي ايماينين اتيم اي ى وايأاي ملاي اي ايالاي ايوم ل ايلاييم ين م واي اي ك م ايم اي كوناي آاي باي ين آايماي ين م ايمتينيياي منك م كسك ل ين نك م ياي ك صوناي ايلاييمنك م آاي ين تين اي واياسم اينم ياي كوا اي يم اي أكولاييى ين اي أاي م اي اك ال م ين آاي ك م يني اي اي ليندكوناي ايذمبكوا ين

”Enyi wana wa Aadam, watakapokufikieni Mitume miongoni mwenu wanakusimulieni Aayah Zangu, basi atakayekuwa na taqwa na akatengemaa, haitakuwa khofu juu yao na wala hawatahuzunika. Na wale ambao wamekadhibisha Aayah Zetu na wakatakabari kwazo, hao ni watu wa Motoni, watadumu humo milele.”(al-A´raaf 07:35-37)

Vilevile amesema Allaah (Ta´ala):

ماي اي ين م ايمتينيياي منك ين ين كدد ايماينين اتيم اي اي كداياااي ايالاي اي ين ص واي اي اي م اي ى واي اينم أاي م ايضاي اين ذين م ينا اي يننم لايهك ايعيني ايةد ضاي ند واينايم ك كهك يايومي ياي اي تيك اي ياي ايسين لين اي أايتياي م اي آاي ريداقاي لاي ايذايى ىيى اي لاي اياين ليناي حاي اي متاي ين أاي مماي ى وايقايدم ك تك باي ين ماي تك ساي ى الم ينياي ايةين أاي مماي لين اي المييايوم واي ايذايى

”Basi utakapokufikieni kutoka Kwangu uongofu, basi yule atakayefuata uongofu W angu, hatopotea na wala hatopata mashaka. Na atakayeupa mgongo ukumbusho Wangu, basi huyo hakika atapata maisha ya dhiki na Tutamfufua siku ya Qiyaamah hali akiwa ni kipofu. Atasema: “Mola wangu!, kwa nini Umenifufua kipofu na hali nilikuwa naona?” Atasema: “Hivyo ndivyo zilikufikia Aayah Zetu na hivyo ndivyo leo umesahauliwa.”(Twaahaa 20:123-126)

Ibn ´Abbaas amesema:

“Allaah Kumuahidi yule wenye kuisoma Qur-aan na kufanyia kazi yale yaliyomo ndani

yakwe, kwamba hatopotea duniani na wala hatohuzunika Aakhirah.”

Page 5: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

4

www.wanachuoni.com

Allaah (Ta´ala)amesema kuhusu watu wa Motoni:

ء يننم أاي ك م كلمماي أكلم ين اي يني اي يايوم ل ساي اي ايك م اي اي ياي يك اي أايلايم ايمتيننك م ايذين ل بيم اي وايقيكلم اي اي ياي ملاي اللميهك ينن شاي م قاي لكوا بيايلاي ى قايدم جاي ءايناي ايذين ل اينايذمل اي ينري ين م ين ضايالاي

”Kila wanapotupwa humo kundi, walinzi wake watawauliza: “Je, hajakufikieni mwonyaji yeyote?” Watasema: Ndio! Hakika alitujia mwonyaji, tukakadhibishana tukasema: “Allaah Hakuteremsha kitu chochote. Nyinyi si chochote isipokuwa mumo katika upotofu mkubwa.”(al-Mulk 67:08-09)

Vilevile amesema(Subhaanahu wa Ta´ala):

لون عليكم آيت وسيق الذين كفروا إل جهنم زمرا حت إذا جاءوها فتحت أب واب ها وقال لم خزن ت ها أل يتكم رسل منكم ي ت ربكم وينذرونكم ل اء ي ومكم ه ذا قالوا ب ل ول كن ح ت كل ال ذاا عل الكافرين

“Na wataendeshwa wale waliokufuru kuelekea Jahannam makundi kwa makundi, mpaka watakapoufikia, itafunguliwa milango yake na walinzi wake watawaambia: “Je, hawajakufikieni Mitume miongoni mwenu, wakikusomeeni Aayah za Mola wenu na wakikuonyeni kukutana na siku yenu hii?” Watasema: “Ndio. Lakini neno la adhabu limehakiki juu ya makafiri.”(az-Zumar 39:71)

Vilevile amesema (Subhaanahu wa Ta´ala):

تين اي ايماينم ايناي وايأاي ملاي اي ايالاي ايوم ل ايلاييم ين م واي اي ك م ايم اي كوناي واي اي يك مسين ك الممك مسايليننياي ين م ك اي ين ين ناي واي ك ذين ين ناي آاي وايالمذين ناي ايذمبكوا ين ايايسص ك ك المعايذايااك يناي اي كوا ياي مسك كوناي

”Na Hatupeleki Mitume isipokuwa ni wabashiriaji na waonyaji. Basi yeyote atakayeamini na kutengemaa, haitakuwa khofu juu yao na wala wao hawatohuzunika. Na wale waliokadhibisha Aayah Zetu itawagusa adhabu kwa yale waliyokuwa wakifasiki.” (al-An´aam 06:48-49)

Vilevile amesema(Subhaanahu wa Ta´ala):

Page 6: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

5

www.wanachuoni.com

ييم اي ين ايى كوو وايال م ينيين نياي ينن بيايعمدينهين ييم اي ينلاييم اي ايماي أايومحاي ايسم اي طين يننم أايومحاي ييم اي ين ايى ينبيم ايا يني اي واي ينسماي يني اي واي ينسم اي قاي واي يايعم كوااي وايالم وايأايومحايواي كسكالد قايدم قاي اي م اي ك م ايلاييم اي ينن قياي م ك واي كسكالد لمم ياي م ك م ك م واي تيايييم اي آاياوكوآاي زايبكو دا واي ينيساي ى وايأاي صوااي واي كو ك اي واي اي كوناي وايسكلاييمماي ناي

لينيمد صسكالد ص اي ين ين ناي واي ك ذين ين ناي لين ايالم اينكوناي لينل م اين ايلاي اللميهين حك مةل بيايعمداي ال صسك ين ايلاييم اي واي ايلم اي اللميهك كوساي ى تاينم

”Hakika Tumekuletea Wahy kama Tulivyomletea Nuuh na Mitume baada yake, na [kama] Tulivomletea Ibrahiym na Ismaa‟iyl na Ishaaq na Ya‟quub na vizazi, na „Iysaa na Ayyuub na Yuunus na Haaruun na Sulaymaan, na [kama] Tulivyompa Daawuud Zabuur, na Mitume Tuliokwishakusimulia habari zao hapo kabla na Mitume wengine ambao Hatukukusimulia habari zao - na bila shaka Allaah alimsemesha Muusa maneno ya kweli kabisa - Mitume ni wabashiriaji na waonyaji ili pasikuweko kutoka kwa watu hoja yoyote juu ya Allaah baada ya kuletwa Mitume.” (an-Nisaa´04:163-165)

Mfano wa [Aayah kama hizi] katika Qur-aan ni nyingi. Na hili ni katika mambo ambayo

wamekubaliana kwayo Waislamu, mayahudi na manaswara. Hakika wote wanathibitisha

ukatikati baina ya Allaah na waja Wake. Wakatikati hawa ni Mitume ambao wanafikisha

amri na khabari za kutoka kwa Allaah. Amesema (Ta´ala):

اللميهك اي مطاي ين ينناي الممايالاي يننايةين كسكالد واي ينناي ال م اين

”Allaah Huteua Wajumbe miongoni mwa Malaika na miongoni mwa watu.”(al-Hajj 22:75)

Page 7: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

6

www.wanachuoni.com

Mwenye kupinga ukatikati

Na Mwenye kupinga ukatikati kama huu, huyo ni kafiri kwa maafikiano ya watu wa dini

wote.

Zile Suurah ambazo Allaah Kateremsha Makkah; mfano wa “al-An´aam”, “al-A´raaf” na

zile Suurah ambazo zinaanza kwa “Alif Laam Raa”, “Haa Miym”, “Twaa Siyn” na mfano

wazo, ndani yake kuna misingi ya dini, kama kumuamini Allaah, Mitume Wake na siku ya

Aakhirah.

Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) Ameelezea visa vya makafiri ambao wamewakadhibisha

Mitume na jinsi Alivyowaangamiza na jinsi Alivyowanusuru Mitume Wake na wale

walioamini. Amesema(Ta´ala):

واي يننم جك دايناي ايك ك الم اي لين كوناي ين يم ك م ايك ك المماي كو كوناي وايلاي ايدم ساي ياي ايتم ايلينماي يك اي لينعين اي آينناي الممك مسايليننياي

”Hakika limekwishatanguliaNeno Letu kwa waja Wetu Mitume, kwamba hakika wao bila shaka ndio wenye kunusuriwa, na kwamba hakika jeshi Letu ndilo litakaloshinda.” (asw-Swaffaat 37:171-173)

ايشم اي آك ماي ياي كومك الم يننم لاي اي ك ك كسكلاي اي وايالمذين ناي اي كوا ين احلمايياي اين الدص يمياي واي يايوم

”Hakika Sisi Tutawanusuru Mitume Wetu na wale walioamini katika maisha ya dunia na Siku watakayosimama mashahidi.”(al-Ghaafir 40:51)

Ukatikati huu unatiiwa na kufuata na unaigwa, kama Alivyosema(Subhaanahu wa Ta´ala):

واي اي أاي مسايلم اي ينن مسكول ين م لينيكطاي ااي ينينذمنين اللميهين

”Na Hatukutuma Mtume yeyote ila atiiwe kwa idhini ya Allaah.” (an-Nisaa´ 04:64)

من كطين ين ال مسكولاي ياي ايدم أاي اي ااي اللميهاي

”Atakayemtii Mtume, basi kwa hakika amemtii Allaah.”(an-Nisaa´

Page 8: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

7

www.wanachuoni.com

04:80)

قك م ينن ك ك م كين صوناي اللميهاي اي تم ينعكووين كم ين منك ك اللميهك

”Sema: “Mkiwa mnampenda Allaah nifuateni Atakupendeni Allaah.”(Aal ´Imraan 03:31)

لين كوناي اي لمذين ناي اي كوا بينهين واي اي م كوهك واي اي اي كوهك واياتيم يايعكوا ال صو اي المذينا أك ينلاي ايعايهك أكولاييى ين اي ك ك الممك م

”Basi wale waliomwamini na wakamtukuza na wakamsaidia na wakafuata Nuru ambayo imeteremshwa pamoja naye - hao ndio wenye kufaulu.”(al-A´raaf 07:157)

ماي الم ين اي وايذاي اي اي اللميهاي ايثينريدا ال حايساي ايةل لين ماين اي ناي ياي مجكو اللميهاي وايالمييايوم واي لم ايدم اي ناي لاينك م ين ايسكولين اللميهين أكسم

”Kwa hakika mna kigezo kizuri kwa Mtume wa Allaah kwa yule mwenye kumtaraji Allaah na siku ya Mwisho na akamdhukuru Allaah kwa wingi.”(al-Ahzaab 33:21)

Page 9: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

8

www.wanachuoni.com

Mitume hawaleti manufaa

Na ikiwa anakusudia kwa ukatikati ya kwamba tunahitajia ukatikati ili kuleta manufaa na

kuzuia madhara, kwa mfano kuwepo kwa ukatikati katika kuleta riziki kwa waja,

kuwanusuru, kuwaongoza na wanamuomba [mkatikati huyo]na kutarajia kwake hayo, hili

huzingatiwa ni shirki kubwa ambayo Allaah Kawakufurisha washirikina kwayo pale

ambapo walipowafanyamawalii ni washirika pamoja na Allaah na wakijaribu kupitia kwao

kuleta manufaa na kujiepusha na madhara. Hata hivyo uombezi ni kwa yule ambaye

Allaah (Ta´ala)Kamtolea idhini. Amesema(Subhaanahu wa Ta´ala):

م كم اسم يايواي ى ايلاي المعاي م ين اي مضاي واي اي بيايييم ياي كماي ين سين مةين أايآم واي اي اللميهك المذينا ايلايقاي السمماي وايااين وايالم اي لاينك ين ن آكو ينهين ينن وايلين أاي ايالاي تياي ايذاي م كوناي شاي يني

”Allaah Ambaye Ameumba mbingu na ardhi na yale yote yaliyo baina yake katika siku sita, kisha akalingana juu ya ´Arshi. Nyinyi hamna badala Yake mlinzi yeyote na wala mwombezi - je, basi hamkumbuki?”(as-Sajdah 32:04)

لاييم اي ايك ين ن آكو ينهين وايلين واي اي شاي يني ل وايأاي ذين م بينهين المذين ناي اياي كوناي أاين كم اي كوا ين ايى اي ين ين م

”Na waonye kwayo wale wanaokhofu ya kwamba watakusanywa kwa Mola wao; hawana badala Yake mlinzi wala mwombezi yeyote.”(al-An´aam 06: 51)

يلايةاي قك ين اآم كوا المذين ناي زاي ايمم ك ين ن آكو ينهين ايالاي ايمليننكوناي اي م اي ال ص ين اي نك م واي اي ايموين الد أكولاييى ين اي المذين ناي ايدم كوناي ياي يم ياي كوناي ين ايى اي ين ين ك الموايسينابايهك يننم ايذاياااي ايبين اي اي ناي مايمذكو دا أاي يص ك م أايقيم اياك واي ياي مجكوناي ايمحماي ايهك واي اياي كوناي ايذاي

”Sema: “Iteni wale ambao mnadai [kuwa ni waungu] pasi Naye. Basi hawamiliki kukuondesheeni dhara na wala hawawezi kuibadilisha.” Hao wanaowaomba [wao wenyewe] wanatafuta kwa Mola waonjia ya kujikurubisha [na] kumkurubia kadri wanavyoweza, na wanataraji Rahmah Yake, na wanakhofu Adhabu Yake - hakika adhabu ya Mola wako daima ni ya kutahadhari

Page 10: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

9

www.wanachuoni.com

nayo.”(al-Israa´17:56-57)

اي مضين واي اي ايك م يني ينماي ينن شين مك واي اي لايهك قك ين اآم كوا المذين ناي زاي ايمم ك ين ن آكونين اللميهين ثيم اي لاي ذاي ما ين السمماي وايااين واي اي ين الم اي ايمليننكوناي ينهك ين م لينماينم أايذينناي لايهك ين يم ك ين ن اي ينري واي اي تاي اي ك ال م اي ايةك ين داي

”Sema: “Ombeni wale mnadai [kuwa ni miungu] badala ya Allaah. Hawamiliki uzito wa atomu mbinguni wala ardhini, na wala wao hawana humo ushirika Naye na wala Hana msaidizi miongoni mwao.” Na wala hautofaa uombezi mbele Yake isipokuwa kwa yule Aliyempa idhini.”(Sabaa 34:22-23)

Kundi katika Salaf limesema:

"Ni baadhi ya watu walimuomba Masiyh, al-´Uzayr na Malaika. Hivyo Allaah

(Ta´ala)Akabainisha ya kwamba Malaika na Manabii hawamiliki kuwazuilia madhara wala

kubadili kitu na kwamba wao wenyewe wanatafuta kujikurubisha kwa Allaah na wanataraji

Rahmah Yake na wanaogopa adhabu Yake.”

Amesema(Subhaanahu wa Ta´ala):

تينيايهك اللميهك المنين اي ااي واياحلمكنم اي وايال يص يكومااي كم ياي كولاي لينل م اين كو كوا ين اي آدا لين ينن آكونين اللميهين وايلاييىنينن كو كوا ايبم ينيين نياي يناي اي اي ناي لين اي اي أاين يكؤمبد ك ك م تيكعايلين مكوناي المنين اي ااي واي يناي ك ك م تايدم كسكوناي ذكوا الممايالاي يننايةاي وايال م ينيين نياي أاي مباي لمنك م ين بيايعمداي ينذم أاي ك واي اي ايم ك اي ك م أاين تياي م ين أاي ايم ك ك ك بين

لينمكوناي صسم

”Ni mustahili kabisa kwa mtu kwamba Allaah amempa Kitabu na Hikmah na Unabii kisha awaambie watu: “Kuweni wenye kuniabudu mimi badala ya Allaah” Sivyo kabisa, bali “Kuweni waja wa Allaah watiifu kwa yale mliyokuwa mkiyafundisha ya Kitabu na kwa yale mliyokuwa mkiyasoma.” Na wala hakuamuruni kuwachukua Malaika na Manabii kuwafanya miungu. Je, anakuamrisheni ukafiri baada ya nyinyi kuwa Waislamu?” (Aal ´Imraan 03:79-80)

Akawa Amebainisha (Subhaanahu wa Ta´ala) ya kwamba ni kufuru kuwafanya Malaika na Manabii

kuwa washirika badala wa Allaah. Hivyo, yule mwenye kuwafanya Malaika na Manabii

kuwa wakatikati kwa njia ya kwamba akwa anawaomba, akawategemeana akawaomba

Page 11: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

10

www.wanachuoni.com

kuleta manufaa na kuzuia madhara – kama kwa mfano akawaomba wamsamehe

madhambi, waziongoze nyoyo, kuwaondoshea dhiki na kuwaepusha na ufukara - huyu ni

kafiri kwa maafikiano ya Waislamu. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala)Amesema:

ا لم ايوملين واي ك يناي م ينهين يايعممايلكوناي باي م ين اي آل صنم اي كوناي سك م اي ايهك وايقاي لكوا اتمايذاي ال ممحماييىنك وايلايدد اي أاي مدين ين م واي اي اي ايسم ين كو ايهك بين يايعملاي ك اي بياينيملين اي نايم ين هين ياي ينهين ك م ين كو يايواي اين ياي ك م ين يم ك م ينوين ينلاييىهل ين ن آكو ينهين ايذايى ايلم اي ك م واي اي اي م ايعكوناي ين م لينماينين ا متاي اي ى واي ك ين نم اي م

لين اي نايم ينا اللم لينميننياي جاي اي م اي ايذايى

”Na wakasema: “Mwingi wa Rahmah Amejichukulia mwana. Ametakasika! Hapana kabisa, [hao Malaika] ni waja waliokirimiwa. Hawamtangulii kwa kauli, nao kwa amri Yake wanafanya. Anajua yale yaliyoko mbele yao na yale yaliyoko nyuma yao na wala hawamuombei uombezi yeyote isipokuwa kwa yule ambaye Amemridhia. Nao kutokana na kumkhofu ni wenye kutahadhari. Na yeyote yule miongoni mwao atakayesema: “Mimi ni mungu pasi Naye” basi huyo Tutamlipa [Moto wa] Jahannam; hivyo ndivyo Tunavyolipa madhalimu.”(al-Anbiyaa´ 21:26-29)

ا لين لميهين واي اي الممايالاي يننايةك الممك اي مبكوناي ي ك أاين اينكوناي اي مدد م ايسايياي م ك ك ك م ينلاييمهين لمن ايسم اي نين اي الممايسين بين واي اين ايسم اي نين م اينم ين اي آايتينهين واي ايسم اينم جايينيعد

”al-Masiyh hatokataa [kwa kiburi wala kwa dharau] kuwa mja wa Allaah wala Malaika waliokurubishwa Kwake. Na yule atakayekataa kumuabudu na kutakabari, basi Atawakusanya wote Kwake.” (an-Nisaa´ 04:172)

ا ا لم ايدم جين يم ك م شايييم د ينآاوايقاي لكوا اتمايذاي ال ممحماييىنك وايلايدد اي مضك وايتايين ص المين اي لك ايد ا تايناي آك السمماي وايااك ياي ياي ايطم مناي ين مهك وايتاي ايقص الم أاين آاي ايوما ذاي وايلايدد اواي اي اي اي ين لينل ممحماييىنين أاين ياي م ين ا لينل ممحماييىنين وايلايدد اي مضين ين م ين ال ممحماييىنين اي مدد لم ايدم أايحم اي ك م ينن ك ص اين ين السمماي وايااين وايالم

ماي الم ينياي ايةين ياي مآدا واي ايدم ك م ايدا كلص ك م تينيهين يايوم

”Na wanasema: “Mwingi wa Rahmah Amejichukulia mwana!”Hakika mmeleta jambo ovu mno! Zinakaribia mbingu ziraruke [kwa tamko] hilo na ardhi kupasuka na majabali kuporomoka vipande vipande! Kwa kule kudai kuwaMwingi wa Rahmah ana mwana! Na wala haiwi kwaMwingi wa Rahmah

Page 12: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

11

www.wanachuoni.com

kujichukulia mwana; hakuna yeyote yule aliyomo katika mbingu na ardhi isipokuwa [siku ya kufufuliwa] atamfikia Mwingi wa Rahmah akiwa ni mja. Kwa hakika Amekwishawadhibiti na Amewahesabu sawasawa na kila mmoja katika wao atamfikia siku ya Qiyaamah akiwa pekee.”(Maryam 19:88-95)

ءين شك ايعاي اكناي ين داي اللميهين يىؤك اي قك م أايتيك اي ين كوناي اللميهاي يناي اي يايعملاي ك ين واي يايعم كدكوناي ينن آكونين اللميهين اي اي اي ك ص ك م واي اي اي ايعك ك م واي ياي كولكوناي اياي مضين سك م اي ايهك وايتيايعاي ايى ايمم ك م ين كوناي السمماي وايااين واي اي ين الم

”Na wanaabudu asiyekuwa Allaah ambao hawawezi kuwadhuru na wala hawawezi kuwanufaisha na wanasema: “Hawa ni waombezi wetu mbele ya Allaah.” Sema: “Je, mnamjulisha Allaah kwa yale Asiyoyajua katika mbingu na ardhini?Ametakasika na ametukuka kabisa kwa yale yote wanayomshirikisha!”(Yuunus 10: 18)

واي اي ين ن ملاي ين السمماي وايااين اي تيك م ين شاي اي اي يك ك م شايييم د ين م ينن بيايعمدين أاين ايمذايناي اللميهك لينماين اي اي ءك واي ياي مضاي ى

”Na Malaika wangapi mbinguni hautowafaa kituuombezi wao isipokuwa baada ya kuwa Allaah Ametolea idhini kwa Amtakaye na kumridhia.”(an-Najm 53:26)

هك ين م ينينذم ينهين اين ذايا المذينا اي م اي ك ين داي

”Nani huyu ambaye anashufai mbele Yake bila

ya idhini Yake?”(al-Baqarah 02:255)

لينهين واي ينن ايمسايسم اي اللميهك بين ك ايالاي اي شين اي لايهك ين م كواي ايريم ايالاي اياآم لين اي م واي ينن ك ينآمكاي ين

”Na Allaah Akikugusisha dhara, basi hakuna yeyote wa kuiondosha isipokuwa Yeye, na Akikutakia jambo la kheri, basi hakuna wa kurudisha fadhila Yake.”(Yuunus 10:107)

واي اي كمسين م ايالاي ك مسين اي لايهك ينن بيايعمدينهين م ياي م اي ين اللميهك لينل م اين ينن ممحماية ايالاي مكمسين اي اياي

Page 13: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

12

www.wanachuoni.com

”Rahmah yoyote ile ambayo Allaah Anawafungulia watu, basi hakuna wa kuizuia, na yoyote ile ambayo Allaah Anaizuia, basi hakuna wa kuipeleka baada Yake.”(Faatwir 35:02)

ناي اك اي اللميهك بين ك اي م كنم اي شين اي اك ضك ين هين أايوم أاي اياآايوين بين ايمحماية اي م كنم مكمسين قك م أاي ياي ايأاي يم ك م تايدم كوناي ينن آكونين اللميهين يننم أاي اياآايويناي اللميهك ايمحماي ينهين ايلاييمهين ياي يايواي م ك الممك يايواي ين لكوناي قك م حايسم ين

”Sema: “Je, mnaonaje wale mnaowaomba badala ya Allaah, ikiwa Allaah Atanitakia dhara, je, wao wataweza kuondosha dhara Yake? Au Akinitakia Rahmah, je, wao wataweza kuizuia Rahmah Yake?” Sema: “Ananitosheleza Allaah. Kwake wanategemea wenye kutegemea.” (az-Zumar 39:38)

Page 14: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

13

www.wanachuoni.com

Wanachuoni ni warithi wa Mitume

Yule mwenye kuamini kwamba baada ya Mitume kuna wanachuoni na wanatheolojia

ambao wanafanya kazi kama wakatikati baina ya Mtume na Ummah wake na hivyo

wanawakhabarisha, wanawafundisha, kuwapa adabu na kuwaiga, atakuwa amepatia kwa

hilo. Na watu hawa wakiafikiana juu ya jambo, maafikiano yao ni hoja yenye kukata, kwa

kuwa hawawezi kuafikiana juu ya upotevu. Na wakizozana juu ya jambo, wanalirudisha

kwa Allaah na kwa Mtume Wake. Kwa kuwa mmoja wao hakulindwa na kukosea kabisa.

Bali kila mmoja katika watu yanachukuliwa maneno yake na kurudishwa isipokuwa

Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

“Wanachuoni ndio warithi wa Mitume. Hakika ya Mitume hawarithiwi dinari wala

dirhamu, isipokuwa wanarithiwa elimu. Yule mwenye kuichukua, basi kachukua furaha

kubwa.“

Na ikiwa mtu ataamini kuwa wao ni wakatikati baina ya Allaah (Ta´ala)na baina ya waja Wake,

kama mfano wa walinzi wa mlango baina ya mfalme na raia wake, kwa kiasi ambacho

[wanachuoni]hawa wanakuwa wanampelekea Allaah haja za viumbe Wake na kwamba

Allaah Hawaongozi na Kuwaruzuku waja Wake isipokuwa tu kupitia kwa uombezi wao -

viumbe wanawaomba wao ili na wao wamuombe Allaah(Ta´ala), kama jinsi

waombeziwanavowaomba wafalme kutatua haja za watu kwa sababu ya ukaribu wao

kwao au kwa kuwa uombezi wa waombezi ni wenye manufaa zaidi kuliko wao wenyewe

kumuomba mfalme kwa kuwa wako karibu na mfalme kuliko wale wenye haja – mtu huyu

ni kafiri na ni mshirikina. Ni wajibu kwake kutubu. Na ikiwa hakufanya hivyo, ni lazima

auawe. Watu hawa wanamshabihisha Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) na viumbe na kumjaalia Allaah

(Ta´ala)washirika.

Page 15: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

14

www.wanachuoni.com

Aina zamaombezi yaliyokataliwa

Katika Qur-aan Tukufu kuna Aayah nyingi zisizohesabika zinazowaradi watu hawa.

Ukatikati unaokuwa baina ya wafalme na watu inakuwa kwa njia tatumbalimbali:

Njia ya kwanza:Wanaelezwa hali za watu ambazo wao wenyewe [wafalme] hawazijui.

Yule mwenye kusema ya kuwa Allaah hana ujuzi wa hali za waja Wake mpaka aambiwe

hilo na baadhi ya Malaika, Manabii au wasiokuwa wao, ni kafiri. Bali Yeye (Subhaanah) Anajua ya

siri na yenye kujificha na wala hafichikani na kitu kilichojificha katika ardhi wala mbinguni.

Ni Mwenye Kusikia na Mwenye Kuona yote. Anasikia Sauti za wenye kulalamika kwa

lugha mbalimbali zote na zinazohusu mahitajio mbalimbali yote. Hakumshughulishi

Kuwasikia Kwake watu hawa kwa wengine. Na wala hayamtatizi maswali mengi. Na wala

Hachoki kwa maombi ya wenye kuomba.

Njia ya pili:Mfalme awe si muweza wa kuwaendesha raia wake au kujikinga kwa maadui

wake isipokuwa kwa wasaidizi watakaomsaidia. Hivyo, ni lazima ahitajie kwa

watakaomnusuru na kumsaidia kutokana na udhaifu wake na kutoweza kwake. Na kwa

upande mwingine, Allaah (Subhanaah) Hana msaidizi wala mlinzi kwa udhaifu. Anasema (Ta´ala):

اي مضين واي اي ايك م يني ينماي ينن شين مك واي اي لايهك قك ين اآم كوا المذين ناي زاي ايمم ك ين ن آكونين اللميهين ثيم اي لاي ذاي ما ين السمماي وايااين واي اي ين الم اي ايمليننكوناي ينهك ين م لينماينم أايذينناي لايهك ين يم ك ين ن اي ينري واي اي تاي اي ك ال م اي ايةك ين داي

”Sema: “Ombeni wale mnadai [kuwa ni miungu] badala ya Allaah. Hawamiliki uzito wa atomu mbinguni wala ardhini, na wala wao hawana humo ushirika Naye na wala Hana msaidizi miongoni mwao.” Na wala hautofaa uombezi mbele Yake isipokuwa kwa yule Aliyempa idhini.”(Sabaa 34:22-23)

ا وايلايم اينكن لمهك شاي ين ل ين الممكلم ين وايلايم اينكن لمهك وايلين ين ناي الذصلين ذم وايلايدد دك لينلميهين المذينا لايم ياي م ين واي ايبين مهك تاينم ينريدا وايقك ين احلمايمم

”Na sema: “Sifa njema zote ni za Allaah, Ambaye Hakujifanyia mwana na wala Hakuwa na mshirika katika ufalme na wala hakuwa dhaifu hata awe ahitaji msaidizi, basi mtukuze matukuzo makubwa kabisa.”(al-Israa´ 17:111)

Page 16: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

15

www.wanachuoni.com

Kila sababu iliyopo duniani ni Yeye ndiye Kaiumba. Yeye ndiye Mola Wake na Mfalme

Wake. Yeye ni Mwenye Kujitosheleza kwa kila kisichokuwa Yeye. Na kila kisichokuwa

Yeye ni fakiri Kwake, tofauti na wafalme wenye kuhitajia wasaidizi wao. Uhakika ni kuwa,

wao wana ushirika katika ufalme huo tofautina Allaah (Ta´ala)ambaye Hana mshirika katika

Ufalme Wake. Hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah, hali ya kuwa peke yake hana

mshirika. Ufalme ni Wake na himdi zote ni Zake Naye juu ya kila jambo ni muweza.

Njia ya tatu: Mfalme akawa si mwenye kutaka kuwasaidia raia wake au kuwatendea wema

endapo atakuwa hana yule anayemsukuma kutoka kwa nje. Pale ambapo mfalme anaongea

na yule anayemnasihi, mwadilifu au anayemuadhimisha kwa kiasi ambacho [mfalme huyo]

akawa ni mwenye kutaraji kutoka kwake [mtu huyo] au anamuogopa, hisia za mfalme

huanza kutatua haja za raia wake. Hili hutokea, ima kwa maneno yaliyomgusa [mfalme

huyo] kutoka kwa yule aliyemnasihi, mwadilifu au kwa maneno ya mwelekezaji

yanayoathiri moyo wake, au kwa matumaini na khofu ya maneno aliyoelekezwa na

mwelekezaji.

Allaah (Ta´ala) ndiye Mola na Mfalme wa kila kitu. Yeye ni Mwenye Huruma zaidi kwa Waja

Wake kuliko mzazi kwa mwanawe. Na kila kitu kinakuwa kwa Matakwa Yake. Anayotaka

huwa, na Asiyotaka hayawi. Waja wanaponufaishana wao kwa wao, kutendeana wema,

wakaombeana, kushufaiana na mfano wa hayo, ni Yeye ndiye Kaumba yote hayo na

mfano wa hayo. Yeye ndiye Mfalme ambaye Kaumba yote hayo. Ni Yeye ndiye Kaumba

utashi wa wema, uombezi na shafaa´ah ya mwenye kutenda wema, kufanya du´aa na

kushufai kwenyemioyo ya watu. Ni jambo lisilowezekana kuwepo ulimwenguni yeyote

amtenzae nguvu kinyume na Matakwa Yake, Kumfunza kitu Asichokijua au Kutia

matarajio au khofu Yake kwa kitu. Na kwa hili, ndio maana amesema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa

sallam):

“Asiseme mmoja wenu: “Ee Allaah, Nisamehe Ukitaka”. Ee Allaah, nirehemu Ukitaka.”

Badala yake anatakiwa awe mwenye kuazimia, kwa hakika hakuna anayemlazimisha.”

Waombezi ambao wanaombea mbele Yake hawaombei isipokuwa baada ya idhini Yake.

Kama Alivyosema:

هك ين م ينينذم ينهين اين ذايا المذينا اي م اي ك ين داي

”Nani huyu ambaye anashufai mbele Yake bila ya idhini Yake?”(al-

Baqarah 02:255)

Page 17: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

16

www.wanachuoni.com

واي اي اي م ايعكوناي ين م لينماينين ا متاي اي ى

”Na wala hawamuombei uombezi yeyote yule isipokuwa kwa yule ambaye Amemridhia.” (al-Anbiyaa´ 21:28)

اي مضين واي اي ايك م يني ينماي ينن شين مك واي اي لايهك قك ين اآم كوا المذين ناي زاي ايمم ك ين ن آكونين اللميهين ثيم اي لاي ذاي ما ين السمماي وايااين واي اي ين الم اي ايمليننكوناي ينهك ين م لينماينم أايذينناي لايهك ين يم ك ين ن اي ينري واي اي تاي اي ك ال م اي ايةك ين داي

”Sema: “Ombeni wale mnadai [kuwa ni miungu] badala ya Allaah. Hawamiliki uzito wa atomu mbinguni wala ardhini, na wala wao hawana humo ushirika Naye na wala Hana msaidizi miongoni mwao.” Na wala hautofaa uombezi mbele Yake isipokuwa kwa yule Aliyempa idhini.”(Sabaa 34:22-23)

Kwa hiyo Akabainisha ya kuwa, kila kinachoombwa badala Yake hakina uola. Isitoshe,

uombezi wao hautofaa isipokuwa kwa yule Ambaye Kampa idhini. Na hili ni tofauti na

wafalme. Kwa hakika, inawezekana waombezi mbele yao wakawa na ufalme au sehemu

yake. Na kuna uwezekano wakawa ni washirika wanaowasaidia katika ufalme wao. Watu

hawa wakaombea mbele ya wafalme bila ya idhini ya wafalme. Wakati mwingine, wafalme

wanakubali uombezi wao kutokana na haja walionayo kwao, wakati mwingine kwa

kuwawanawaogopa na wakati mwingine kwa kuwa wanatendewa wema na wao na hivyo

wanawalipiza. Kuna uwezekano vilevile mfalme akawa anahitajia uombezi wa mke na

mtoto wake, kwa sababu hiyo hiyo. Wanawahitajia watoto na wake zao na watadhurika

ikiwa watakengeuka. Hali kadhalika wanakubali uombezi wa watumwa wao ili wasije

kuwadhuru au kutowatii.

Hali inakuwa namna hii pindi mja anapomuombea mja mwenzie; mtu anakubali uombezi

wa mwingine kwa matumaini na khofu fulani. Allaah (Ta´ala)Hatii matumaini Yake kwa

yeyote, Hamuogopi yeyote na wala Hamuhitajii yeyote.Hapana, Yeye ni Mwenye

Kujitosheleza.

Page 18: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

17

www.wanachuoni.com

Uombezi unaopelekea katika Shirki

Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala):

اي مضين ينن ياي م ينعكوناي ين م اللمنم واي يننم واي اي ياي م ين ك المذين ناي ايدم كوناي ينن آكونين اللميهين شك اي اي ءاي أاي اي يننم لينلميهين اين ين السمماي وايااين واي اين ين المم كواي المذينا جايعاي اي لاينك ك اللميم اي لين ايسمنك كوا ينيهين وايال يم اي اي ك م ين دا ك م ين م ايم ك كوناي ا لين ايوم آاي لين اي لاي مايعكو ياي اي لكوا اتمايذاي اللميهك يننم ين ذايى ايسم

ا ص سك م اي ايهك وايلايدد اي مضين كواي الم اي ين لايهك اي ين السمماي وايااين واي اي ين الم

”Tanabahi! Ni vya Allaah Pekee vyote vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini. Na nini wanachofuata wale wanaoomba washirika badala ya Allaah? Hakuna jengine wanachofuata isipokuwa dhana tu, nao hawasemi isipokuwa uongotu.Yeye Ndiye Ambaye Amekufanyieni usiku ili mpate utulivu humo na mchana ung‟aao. Hakika katika hayo kuna alamakwa watu wanaosikia. Wanasema: “Allaah Amejifanyia mwana.” Utakaso ni Wake! Yeye niMkwasi; ni Vyake vyote vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini.”(Yuunus 10:66-68)

Na washirikina wanachukua waombezi kwa njia ambayo wanadai kuwa ni ya uombezi.

Anasema Allaah (Ta´ala):

ءين شك ايعاي اكناي ين داي اللميهين يىؤك اي قك م أايتيك اي ين كوناي اللميهاي يناي اي يايعملاي ك ين واي يايعم كدكوناي ينن آكونين اللميهين اي اي اي ك ص ك م واي اي اي ايعك ك م واي ياي كولكوناي اياي مضين سك م اي ايهك وايتيايعاي ايى ايمم ك م ين كوناي السمماي وايااين واي اي ين الم

”Na wanaabudu asiyekuwa Allaah ambao hawawadhuru na wala hawawanufaishi na wanasema: “Hawa ni waombezi wetu mbele ya Allaah.” Sema: “Je, mnamjulisha Allaah kwa yale Asiyoyajua katika mbingu na ardhini? Utakaso ni Wake Na Ametukuka kwa Uluwa) kwa yaleyote wanayomshirikisha!”(Yuunus 10:18)

ند ينايةد لين اي ين منك ك م واي اي اي كوا ياي م ياي كوناي باي م ضايلصوا اي يم ك م يايلايوم اي اي اي اي ك ك المذين ناي اتمايذكوا ينن آكونين اللميهين قيك مباي وايذايى

”Basi kwa nini wasiwanusuru wale waliowachukua waliowafanya miungu badala ya Allaah ili iwakarubishe Kwake? Bali wamewapotea; na huo ndio uzushi wao na yale waliyokuwa

Page 19: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

18

www.wanachuoni.com

wakiyazua.”(al-Ahqaaf 46:28)

Ameeleza kwamba washirikina wamesema:

اي يايعم كدك ك م ين م لينييك اي ين بكوناي ين اي اللميهين زكلم اي ى

“Hatuwaabudu isipokuwa kwa lengo la kutukurubisha kwa Allaah ukaribu.”(az-Zumar 39:03)

Amesema(Ta´ala):

بد ذكوا الممايالاي يننايةاي وايال م ينيين نياي أاي مباي لينمكوناي واي اي ايم ك اي ك م أاين تياي م ين لمنك م ين بيايعمداي ينذم أاي ك صسم أاي ايم ك ك ك بين

”Na wala hakuamuruni kuwachukua Malaika na Manabii kuwafanya miungu. Je anakuamrisheni ukafiri baada ya nyinyi kuwa Waislamu?”(Aal ´Imraan 03:80)

Page 20: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

19

www.wanachuoni.com

Uombezi ulio sahihi na wa batili

Allaah (Ta´ala) amesema:

يلايةاي قك ين اآم كوا المذين ناي زاي ايمم ك ين ن آكو ينهين ايالاي ايمليننكوناي اي م اي ال ص ين اي نك م واي اي ايموين الد أكولاييى ين اي المذين ناي ايدم كوناي ياي يم ياي كوناي ين ايى اي ين ين ك الموايسينابايهك يننم ايذاياااي ايبين اي اي ناي مايمذكو دا أاي يص ك م أايقيم اياك واي ياي مجكوناي ايمحماي ايهك واي اياي كوناي ايذاي

”Sema: “Iteni wale ambao mnadai [kuwa ni waungu] pasi Naye. Basi hawamiliki kukuondesheeni dhara na wala hawawezi kuibadilisha.” Hao wanaowaomba [wao wenyewe] wanatafuta kwa Mola wao njia ya kujikurubisha [na] kumkurubia kadri wanavyoweza, na wanataraji Rahmah Yake, na wanakhofu Adhabu Yake -hakika adhabu ya Mola wako daima ni ya kutahadhari nayo.”(al-Israa´17:56-57)

Akaeleza kuwa vyote vinavyoombwa badala ya Allaah havimiliki kuondosha dhara wala

kuibadilisha. Wao wenyewe wanataraji Rahmah Yake na kuogopa adhabu Yake na

wanajikurubisha Kwake. Hakika Yeye (Subhaanah) Kakanusha Malaika na wala Manabii hawana

uombezi wa kuombea isipokuwa kwa idhini Yake. Na uombezi ni du´aa na ni jambo

lisilokuwa na shaka ya kwamba waja kuombeana du´aa ni jambo lenye kunufaisha, bali ni

jambo ambalo Allaah Kaamrisha. Lakini uombezi wa mwenye kuombea na mwenye

kushufaiahawezi kufanya hivyo isipokuwa baada ya idhini ya Allaah. Kwa ajili hiyo,

haombei uombezi uliokatazwa, kwa mfano uombezi kwa washirikina na kuwaombea

maghfirah. Amesema(Ta´ala):

ي ين ين وايالمذين ناي اي كوا أاين ايسم ياي م ين كوا لينلممك م ين يننياي وايلايوم اي كوا أكولين قيك م ايى ينن بيايعمدين اي تياي ياينيماي ايك م أاي يم ك م أاي م اي اك الماي ين واي اي اي ناي اي اي ناي لينل م ينهك يايلايمم تياي ياينيماي لايهك أاي مهك ايدكو لين لميهين تياي ياي مأاي ين مهك ا واي ايداي اي ينآم ايبينيهين ين م اين موم ينداي اسم ين م اي ك ينبيم ايا يني اي لين

”Haimpasii Nabii na wale walioamini kuwaombee maghfirah washirikina japokuwa ni jamaa zao wa karibu baada ya kuwabainikia kwamba wao ni watu wa Motoni. Na haikuwa Ibraahiym kumuombea maghfirah baba yake isipokuwa kwa sababu ya miadi aliyofanya naye. Lakini ilipombainikia kwamba yeye [huyo baba yake] ni adui

Page 21: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

20

www.wanachuoni.com

wa Allaah, alijitenga naye mbali.”(at-Tawbah 09:113-114)

Amesema(Ta´ala)kuhusu wanafiki:

سايواياءل ايلاييم ين م أايسم ياي م اي مااي ايك م أايمم لايم تايسم ياي م ين م ايك م لاين ياي م ين اي اللميهك ايك م

”Ni sawasawa juu yao, ukiwaombea maghfirah au usiwaombee -Allaah Hatowasamehe kamwe.”(al-Munaafiquun 63:06)

Na imethibiti katika “Swahiyh” ya kwamba Allaah Alimkataza Mtume Wake kuwaombea

msamaha washirikina na wanafiki na Akaeleza ya kwamba Hatowasamehe kama ilivyo

katika Kauli Yake:

لين اي لينماين اي اي ءك يننم اللميهاي اي ياي م ين ك أاين ك م ايكاي بينهين واي ياي م ين ك اي آكوناي ذايى

”Hakika Allaah Hasamehi kushirikishwa na Anasamehe yaliyo chini ya hayo kwa Amtakae.”(an-Nisaa´ 04:48)

ا واي اي تياي ك م ايلاي ى قيايبمينهين للميهين واي ايسكولينهين واي اي تكوا واي ك م اي سين كوناي واي اي تك اي ين ايلاي ى أايحايد ين يم ك م ااي أايبايدد ين يم ك م اي اي كوا بين

”Na wala usimswalie abadi yeyote miongoni mwao akifa na wala usisimame kaburini kwake. Hakika wao wamemkanusha Allaah na Mtume Wake na wakafa hali wao ni mafasiki.”(at-Tawbah 09:84)

Page 22: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

21

www.wanachuoni.com

Uhakika wa maombi

Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) Amesema:

يايةد ين مهك اي كين ص الممكعم ايدين ناي اآم كوا ايبمنك م تاي اي ص د واي ك م

”Muombeni Mola wenu kwa unyenyekevu na kwa khofu; hakika Yeye Hapendi wavukao mipaka.”(al-A´raaf 07:55)

Katika upetukaji mipaka ni pamoja na mja kumuomba Mola kwa kitu ambacho

Hatokifanya. Kwa mfano ni kuomba mtu apandishwe ngazi ya Manabii na yeye sio mmoja

katika wao, kuwasamehe washirikina na kadhalika. Mfano mwingine ni kumuomba Allaah

kwa kitu kilicho na kumuasi Allaah(´Azza wa Jalla), kama kwa mfano kumuomba Akusaidie kwa

kufuru, madhambi na maasi.

Hivyo mwenye kuombea ni yule ambaye Allaah Kampa idhini ya kuombea,ilihali uombezi

wake ni katikadu´aa ambayo ndani yake hamna upetukaji mipaka. Na lau mmoja wao

ataombea kwa maombezi yasiyofaa, hayatokubalika, kwa kuwa wao wamelindwa kukubali

kitu kama hicho, kama alivyosema Nuuh (´alayhis-Salaam). Allaah (Ta´ala) Amesema:

لين اي ي يايياي كووك ين مهك لاييم اي يننم أاي م ناي ك احلماي ينمين لين واي يننم واي مدايكاي احلمايقص وايأاي تاي أايحم ايالاي تايسم ايلمنين ين مهك ايماي ل ايييم ك اي لين يننم ابم ين يننم أاي مواي ين م قاي لاي اياين ينوين أاي كوذك بين اي أاينم أايسم ايلاي اي اي لاييم اي لين بينهين ينلم ل ينوين أاي ينلك اي أاين تاينكوناي ينناي الماي ينليننياي اي لاييم اي لاي اي بينهين ينلم ل

اخلماي سين ين ناي تياي م ين م لين وايتياي ممحايم ين أاي كن ين ناي

”Hakika mwanangu ni katika ahli zangu na hakika Ahadi Yako ni haki. Nawe ni Mbora zaidi wa kuhukumu!“ Ee Nuuh, hakika huyo si miongoni mwa ahli zako - hakika yeye ni mwenye „amali zisizokuwa njema! Hivyo basi, basi usiniombe yale usiyokuwa na elimu nayo. Hakika Mimi nakuwaidhi usijekuwa miongoni mwa majahili. Akasema: “Ee Mola wangu, hakika mimi najikinga Kwako kukuomba yale nisiyo na elimu nayo. Na Usiponisamehe na Ukanirehemu nitakuwa miongoni mwa waliokhasirika!”(Huud 11:46-47)

Page 23: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

22

www.wanachuoni.com

Kila maombi na uombezi wa mwenye kuomba na mwenye kushufai kwa Allaah (Subhaanahu wa

Ta´ala), maombi na uombezi wake hauwi isipokuwa baada ya Qadhwaa´, Qadar na Matakwa

Yake. Ni Yeye ndiyeMwenye Kuzijibia na Kukubali Uombezi. Ni Yeye ndiye Kaumba

sababu na kile chenye kusababishwa. Na maombezi ni katika jumla ya sababu ambazo

Allaah (Suhaanahu wa Ta´ala)Kazikadaria. Na hali ikiwa ni hivyo, huchukuliwa kuwa ni Shirki katika

Tawhiyd kuitegemea sababu pekee.

Na kuamini kuwa sababu haifanyi/haileti sababu yoyote ile, huku ni kuwa na upungufu

katika akili, na kuzipa mgongo sababu zote kabisa ni kuifedhehi Shari´ah. Ukweli ni

kwamba uaminifu, maombi, maswali na matumaini ya mja anatakiwa kuyaweka kwa

Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Na Allaah (Ta´ala) Anakadiria na Kuandika katika aina za sababuza

maombi ya waja n.k. vile Atakavyo.

Page 24: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

23

www.wanachuoni.com

Du´aa iliyowekwa katika Shari´ah na uombezi

Ni jambo lililowekwa katika Shari´ah aliye juu kumuombea aliye chinina aliye chini

kumuombea aliye juu. Waislamu walikuwa wakimuomba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)uombezi

ili wenyeshelezewena wakiomba du´aa kutoka kwake. Bali walikuwa wakiomba

kunyweshelezwa baada ya kifo chake pindi ´Umar na Waislamu wengine walimuomba

´Abbaas aombe mvua. Hali kadhalika watu siku ya Qiyaamah wataomba uombezi kwa

Mitume na Mtume Muhmammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).Yeye ndiye bwana wa uombezina ana

uombezi ambao ni maalumu kwake pekee.

Pamoja na hili, imethibiti katika “Swahiyhayn”2 ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)

amesema:

“Mnapomsikia muadhini semeni kama anavyosema kisha mniswalie. Kwani hakika yule

ambaye ataniswalia mara moja, Allaah Humswalia mara kumi, kisha mniombee kwa Allaah

uombezi (Wasiylah). Hakika ni daraja ya Pepo. Haitokuwa isipokuwa kwa mja miongoni

mwa waja wa Allaah. Na mimi natarajia ndio ntakuwa mja huyo. Mwenye kuniombea kwa

Allaah Wasiylah, uombezi wangu utakuwa ni halali kwake siku ya Qiyaamah.”

Na alimwambia ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhu)pindi alipokuwa anataka kufanya ´Umrah:

“Ewe ndugu yangu, usinisahau katika du´aa yako.”

Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kaomba Ummah wake wamuombee, lakini hilo sio kwa ajili ya

maombi yao kivyake, isipokuwa kawaamrisha hilo kama jinsi alivyowaamrisha aina zingine

zote za ´ibaadah wanazopewa thawabu kwazo. Pamoja na kuwa naye (Swalla Allaahu ´alayhi wa

sallam)anapewa ujira uleule kama wao kwa yote wanayoyafanya, hakika imethibiti kutoka

kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)ya kwamba amesema:

“Yule mwenye kulingania katika uongofu, ana ujira mfano wa yule atakayemfuata bila ya

kupunguziwa chochote katika ujira wao.Na yule mwenye kulingania katika upotevu, ana

mzigo wa madhambi mfano wa madhambi ambayo watakayoyafanya bila ya kupunguziwa

chochote katika madhambi yao.”

2 Swahiyh al-Bukhaariy na Muslim.

Page 25: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

24

www.wanachuoni.com

Na yeye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)ndiye ambaye kalingania Ummah wake katika kila uongofu na

hivyo anapata ujira mfano wa ujira wao kwa kila watakachomfuata. Hali

kadhalikawanapomswalia; Allaah Anawaswalia mara kumi wenye kufanya hivyo na yeye

(Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)ana mfano wa ujira waopamoja na du´aa zao juu yake hupokelewa.

Du´aahii Allaah (Ta´ala)Kawapa ujira kwa hilo na wakapata kama alichokipata katika manufaa,

ni neema kutoka kwa Allaah juu yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Na imethibiti katika “Swahiyhayn”,

ya kwamba (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

“Hakuna mja Muislamu ambaye Anamuombea ndugu yake kwa siri, isipokuwa Allaah

Humwakilishia Malaika, kila anapomuombea ndugu yake du´aa anasema huyo Malaika

aliyewakilishwa: “Aamiyn na wewe upate mfano wa hilo”.”

Na katika Hadiyth nyingine:

“Du´aa inayopokelewa haraka, ni du´aa ya siri (kumuombea ambaye) hayupo.”

Du´aa ya kumuombea mtu mwengineananufaika kwayo huyo mwenye kuomba na yule

mwenye kuombewa, hata kama huyo mwenye kuombea yuko mbali na mwenye

kuombewa. Ikiwa mtu atamuomba mwenzake amuombee na akakusudia kwa hilo

wanufaike wote wawili, anakuwa yeye na ndugu yake ni wenye kusaidiana katika wema na

uchaji Allaah, kwa kuwa anakuwa kamtanabahisha mwenye kuomba na kumwelekeza

katika kitu ambacho kitawafaa wote wakati mwenye kuomba amefanya kitu kinachowafaa

wote wawili na hujikuta katika manzilah ya yule mwenye kuwaamrisha wengine katika

kutendawema na uchaji Allaah. Yule aliyeamrishwa analipwa kwa hali hiyo ya kitendo

chake. Na aliyeamrisha anapewa thawabu pia kwa kuwa kaamrisha kitendo. Hili hutumika

na khaswa du´aa ikiwa ni miongoni mwa zile ambazo mja kaamrishwa. Kama Alivyosema

(Ta´ala):

واياسم ياي م ين م لينذاي ين اي وايلينلممكؤم ين يننياي وايالممكؤم ين اي اين

”Na omba maghfirah kwa dhambi zako na kwa dhambi za Waumini wa kiume na Waumini wa kike.”(Muhammad 47:19)

يمد وايلايوم أاي يم ك م ينذ ملايمكوا أاي كساي ك م جاي ءكوكاي اي سم ياي م اي كوا اللميهاي واياسم ياي م اي اي ايك ك ال مسكولك لايوايجايدكوا اللميهاي تيايومابد محين

”Lau wao pale walipojidhulumu nafsi zao wangelikujia wakamwomba Allaah maghfirah na Mtume akawaombea maghfirah, basi wangelimkuta Allaah ni Mwingi wa kupokea tawbah, Mwenye

Page 26: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

25

www.wanachuoni.com

kurehemu.”(an-Nisaa´ 04:64)

Ametaja (Subhaanahu wa Ta´ala) namna ambavyo wanaomba msamaha wao na namna ambavyo

Mtume anawaombea msamaha, kwa sababu hili ni jambo ambalo Allaah (Ta´ala)

Kamuamrisha nalo Mtume Wake hivyo Akawa Amewaamrisha awaombee msamaha

waumini wa kiume na wa kike. Allaah (Ta´ala)Hakumuamrisha kiumbe yeyote amuombe

kiumbe mwenzake kwa kitu ambacho Allaah (Ta´ala) Hakuwaamrisha nacho viumbe. Hakika

kile Allaah (Ta´ala) Alichowaamrisha viumbe ima kiwe ni wajibu au kimependekezwa. Kwa

ajili hiyo, kitendo chake mja huyo huwa ni ´ibaadah, utiifu na ukurubisho kwa Allaah (Ta´ala),

wema kwa aliefanya hivyo na anapata ujira kwalo.

Na akifanya hivyo, inakuwa kapata Ihsaan na wema uliomkubwa kwa Allaah (Subhaanahu wa

Ta´ala).Hakika ni kuwa, ni neema iliyo bora ambayo Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala)Kawaneemesha kwayo

waja Wake kwa kuwaongoza katika imani.

Na imani ni kauli na ´amali. Inazidi kwa utiifu na wema. Kilaambavyo mja matendo yake

mema yanapozidi, huzidi imani yake. Hii ndio neema ya hakika iliyotajwa katika Kauli

Yake (Ta´ala):

ين اياطاي المذين ناي أاي يمعايممتاي ايلاييم ين م ايريمين المماي م كواين ايلاييم ين م واي اي ال م لين نياي

”Njia ya wale Uliowaneemesha, si ya wale walioghadhibikiwa wala waliopotea.” (al-Faatihah 01:07)

ومن يطع الل ه والرسول فأول ئك مع الذين أن م الل ه عليهم

“Na atakayemtii Allaah na Mtume, basi hao watakuwa pamoja na wale ambao Allaah Amewaneemesha.” (an-Nisaa´ 04:39)

Page 27: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

26

www.wanachuoni.com

Neema ya dunia na ya dini

Neema ya dunia yote bila [ya mtu kuwa na] dini, je ni neema au hapana? Kuna kauli mbili

ambazo ni mashuhuri kwa wanachuoni wetu na wengine. Uhakika ni kwamba, ni neema

kwa njia fulani, hata kama sio neema iliyotimia kwa njia nyingine.

Ama kuhusu kuwa na neema ya dini - ambayo inatakikana kuitafuta - huzingatiwa kuwa ni

kheri ambayo inatakikana kuitafuta kwa maafikiano ya Waislamu. Jambo hili huchukuliwa

na Ahl-us-Sunnah kuwa ndio neema ya uhakika, kwa kuwa wao wanaamini kuwaAllaah

(Subhaanahu wa Ta´ala)ndiye ambaye Ananeemesha kwa kutenda kheri, wakati Qadariyyah wao

wanaaminikuwa Allaah Kaneemesha kwa uwezo wa hilo na ambalo ni salama kwa

vinyume vyote viwili.

Makusudio hapa ni kwamba, Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala)Hakumuamrisha kiumbe amuombe

kiumbe mwenzake isipokuwa tu kwa kitu ambacho kina maslahi kwa kiumbe huyo. Hili

ima itakuwa ni wajibu au lililopendekezwa. Hakika Allaah (Subhaanah) Hamuhitajii kiumbe kwa

chochote isipokuwa tu hicho.Vipi basi Atamuamrisha mwingine kuomba kingine

kisichokuwa hicho?Bali Kamuharamishia kiumbe kumuomba kiumbe mwingine kwa yale

alionayo isipokuwa tu wakati wa dharurah. Na ikiwa nia yake ni kumnufaisha yule

aliyemwamrisha au wote wawili yeye mwenyewe na yule aliyemwamrisha, analipwa juu ya

hilo. Na ikiwa makusudio ni kufikia mahitajio yake tu bila ya kukusudia kumnufaisha yule

mwamrishwaji, hupata lile alilolitamani juu ya nafsi yake.Allaah (Ta´ala)Hakuamrisha katu

mfano wa hilo.

Bali Kakataza maombi haya kwa kuwa linahusiana na kumuomba kiumbe kitu ambacho

chenyewe hakinufaishi wala hakimnufaishi. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala)Katuamrisha kumuabudu

Yeye na kuweka matumaini yetu Kwake na Katuamrisha kuwatendea wema waja Wake.

Na mtu huyu hakukusudia si hili wala lile. Hakukusudia kuweka matumaini yake kwa

Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala)au kumuomba, ambako ni Swalah.Na wala hakukusudia kuwatendea

wema viumbe, ambako ni Zakaah.Hata kama ikiwa mja pengine asipatemadhambi kwa

mfano wa jambo hili, lakini kuna tofauti kati ya yale mja Anayoamrishwa kwayo nayale

Aliyoruhusiwa. Huoni ya kwamba amesema katika Hadiyth ya watu 70.000 ambao

wataingia Peponi bila ya hesabu:

“Hawaombi kusomewa Ruqyah.”

Page 28: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

27

www.wanachuoni.com

Hata kama kuomba kusomewa Ruqyah ni jambo linalojuzu. Na hili tumelifafanua sehemu

zengine nyingi.

Page 29: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

28

www.wanachuoni.com

Ukatikati wa shirki

Makusudio hapa ni kuwa, yule mwenye kuweka ukatikati baina ya Allaah na baina ya

viumbe wake, kama ukatikati ulio baina ya mfalme na raia, basi huyo ni mshirikina, bali hii

ni dini ya washirikina, waabudu masanamu ambao walikuwa wanasema ya kuwa ni

masanamu ya Manabii na watu wema na kwamba ni njia wanayojikurubisha kwayo

kumfikia Allaahna ni katika shirki ambayo Allaah Kawakemea kwayo manaswara. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala):

ا دد ي اي ابمناي اي مياياي واي اي أك ين كوا ين م لينييايعم كدكوا ينلاييى د واياحين بد ين ن آكونين اللميهين وايالممايسين م ينلاييىهاي ين م اتمايذكوا أايحم اي اي ك م واي ك م اي ياي ك م أاي مباي سك م اي ايهك ايمم ك م ين كوناي كواي

”Wamewafanya wanazuoni waona watawa wao kuwa ni miungu badala ya Allaah na al-Masiyh, mwana wa Maryam, na hali hawakuamrishwa jengine isipokuwa wamwabudu Mungu mmoja wa pekee – hapana mungu wa haki isipokuwa Yeye; Ametakasika kutokana na yale yote wanayomshirkisha nayo.” (at-Tawbah 09:31)

ااي الدمااين ينذايا آاي اي نين واي ينذايا ساي ايلاي اي ين اي آينا اي ين اي ينوين قاي ين ل ي ك آاي مواي ي كوا لين وايلمييكؤم ين كوا ين لايعايلم ك م ياي مشكدكوناي أكجين يايلميايسم اي ين

”Na watakapokuuliza waja Wangu kuhusu Mimi [wajibu kwa kuwaambia] Mimi nikaribu; Naitikia maombi ya muombaji anaponiomba. Hivyo basi waniitikie Mimi na waniamini Mimi – huenda wakata kuongoka.”(al-Baqarah 02:186)

yaani waniitikie Mimi pindi ninapowaita kwa amri na makatazo na waniamini Mimi ya

kwamba nitawajibia du´aa zao wanazoomba kwa maombi na kunyenyekea. Amesema

(Ta´ala):

واي ين ايى ايبين اي اي م اي اي ينذايا ياي اي متاي اي اي م

”Basi utakapokuwa faragha [umemaliza shughuli za wajibu], jishughulishe [na „ibaadah], na kwa Mola wako uelekeze moyo wako

Page 30: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

29

www.wanachuoni.com

wote.” (ash-Sharh 94:08-09)

وإذا م كم اللضرض ال حر ل من ت عون إ إي

“Na inapokuguseni dhara baharini, hupotea wale mnaowaomba Yeye pekee.”(al-Israa´ 17:67)

اي مضين أاي من كيني ك الممك مطاي م ينذايا آاي اي هك واي اينم ين ك السصوءاي واي ايمعايلكنك م كلاي اي ءاي الم

”Ni nani Yule Anayemuitika mwenye dhiki anapomwomba na Akamuondoshea uovu na Akakufanyeni makhalifa wa ardhi? Je, yuko mungu mwengine pamoja na Allaah?”(an-Naml 27:62)

اي مضين م كواي ين شاي من ايسم ايلكهك اين ين السمماي وايااين وايالم ك م يايوم

”Wanamuomba Yeye kila alokuweko mbinguni na ardhini; kila siku Yeye Yumo katika kuleta jambo.”(ar-Rahmaan 55:29)

Allaah Kabainisha Tawhiyd aina hii katika Kitabu Chake na Akavunja chembe za

kumshirikisha ili mtu asimuogope yeyote isipokuwa Allaah pekee na wala asitarajiikutoka

kwa asiyekuwa Yeye na wala Asitegemee kwa mwengine yeyote isipokuwa Kwake pekee.

Page 31: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

30

www.wanachuoni.com

Kumuogopa Allaah Pekee

Amesema (Ta´ala):

آاي ين اياي د قايلينيالد نين واي اي تاي م ياي كوا ين ايالاي تايم ايوكا ال م ااي وايا م ايوم

“Hivyo basi msiwaogope watu! Bali Niogopeni! Na wala

msiuze Aayah Zangu kwa thamani ndogo.”(al-Maaidah 05:44)

لينياي ءايهك ايالاي تاياي كو ك م واي اي كونين ينن ك ك صؤم ين يننياي ليننك ك ال ميمطاي نك كايوين ك أايوم ين ماي ذايى

”Hakika huyo ni shaytwaan anawakhofisha marafiki zake. Basi msiwakhofu - na nikhofuni Mimi mkiwa ni Waumini!” (Aal ´Imraan 03:175)

ناي ال م ااي ااي واي تكوا ال م اي ااي يايلايمم ك ين اي ايلاييم ين ك الم ين اي لك ينذايا اي ين قل ين يم ك م ايم ايوم أايلايم تياي اي ين اي المذين ناي قيني اي ايك م ك صوا أاي مدين اينك م وايأايقينيمكوا ال مالاييايةد يايةين اللميهين أايوم أايشايدم اي م اي اي م

”Je, huoni wale walioambiwa: “Izuieni mikono yenu [msipigane] na simamisheni Swalah na toeni Zakaah”? Basi walipofaradhishiwa kupigana vita, mara kundi miongoni mwao linawakhofu watu kama kumkhofu Allaah - au khofu zaidi ya hiyo.”(an-Nisaa´ 04:77)

ااي واي تاي ال م اي ااي وايلايم ايم اي ين م اللميهاي مين الم ين ين وايأايقاي ماي ال مالاي للميهين وايالمييايوم داي اللميهين اينم ايناي بين ين ماي يايعممك ك ايساي جين

”Hakika wanaoamirisha misikiti ya Allaah ni wale wanaomwamini Allaah na siku ya Mwisho na wakasimamisha Swalah na wakatoa Zakaah na hawamuogopi yeyote isipokuwa Allaah pekee.” (at-Tawbah 09:18)

هين اي كولاييى ين اي ك ك الم اي ين كوناي واي اين كطين ين اللميهاي واي ايسكولايهك واي ايم اي اللميهاي واي ياي يم م

”Na yeyote yule atakayemtii Allaah na Mtume Wake na akamkhofu Allaah na akamcha, basi hao ndio wenye kufuzu.”(an-Nuur 24:52)

Page 32: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

31

www.wanachuoni.com

Akabainisha ya kuwa utiifu ni kwa Allaah na Mtume Wake, ama kuogopwa ni kwa Allaah

Pekee. Kasema (Subhaanahu wa Ta´ala):

لينهين واي ايسكولكهك تيني اي اللميهك ينن اي م وايلايوم أاي يم ك م ايضكوا اي آاي ك ك اللميهك واي ايسكولكهك وايقاي لكوا حايسم يك اي اللميهك سايييكؤم

”Na lau wangeliridhika yale Aliyowapa Allaah na Mtume Wake na wakasema: “Anatutosheleza Allaah [kwa mahitajio yetu na] karibuni Allaah Atatupa katika fadhila Zake na Mtume Wake pia.” (at-Tawbah 09:59)

Mfano Wake ni Kauli Yake (Ta´ala):

المذين ناي قاي لاي ايك ك ال م اك يننم ال م ااي قايدم جايايعكوا لاينك م اي م ايوم ك م ياي اياآاي ك م ين اي ند وايقاي لكوا حايسم يك اي اللميهك واي ينعم اي المواي يني ك

”Wale ambao waliambiwa na watu: “Hakika watu wamejumuika dhidi yenu, basi waogopeni.” Haya yakawazidishia imani na wakasema: “Allaah Anatutosheleza Naye ni Mbora wa kumtegemea.”(Aal ´Imraan 03:173)

Page 33: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

32

www.wanachuoni.com

Mtume anaihakikisha Tawhiyd

Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa ni mwenye kuihakikisha Tawhiyd hii kwa Ummah wake

na akifunga milango yote ya shirki, kwani hii ndio uhakikisho wa kauli yetu:

“Laa ilaaha illa Allaah.”

Ilaah (mungu) ni yule ambaye nyoyo zinamchukulia kiuungu kwa mapenzi,maadhimisho,

utukufu, ikramu, matarajio na khofu kamilifu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallaam) akawaambia:

“Msiseme: “Allaah Akitaka na akataka Muhammad”, lakini semeni “Akitaka Allaah kisha

akataka Muhammad”.”

Na kuna mtu alimwambia:

“Akitaka Allaah na wewe.”

Akamwambia(Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):

“Je, umenifanya mimi ni mshirika wa Allaah?” Sema: “Akitaka Allaah Pekee.”

Vilevile amesema(Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):

“Mwenye kutaka kuapa,basi na aape kwa Allaah au anyamaze.”

Akasema pia(Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):

“Atakayeapa kwa asiyekuwa Allaah, ameshiriki.”

Na (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kasema kumwambia Ibn ´Abbaas:

”Ukimuomba, muombe Allaah; na ukitaka msaada, taka kwa Allaah. Kalamu zimekauka

kwa yale ambayo wewe utakutana nayo. Lau viumbe wote wangalifanya juhudi

kukunufaisha kwa kitu basi wasingelikunufaisha isipokuwa tu kwa kitu ambacho Allaah

amekukadiria. Na lau wangalifanya juhudi kukudhuru kwa kitu basi wasingelikudhuru

isipokuwa tu kwa kitu ambacho Allaah amekukadiria.”

Na akasema tena (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):

“Msinisifu kwa kupindukia kama walivyopindukia manaswara kwa ´Iysaa bin Maryam.

Hakika mimi ni mja, hivyo semeni: “Mja wa Allaah na Mtume Wake”.”

Page 34: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

33

www.wanachuoni.com

Na akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):

“Ee Allaah, usilifanye kaburi langu kuwa ni sanamu lenye kuabudiwa. Msilifanye kaburi

langu kuwa ni lenye kutembelewa mara kwa mara. Niswalieni, hakika swalah zenu

zinanifikia popote mlipo.”

Na akasema(Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):

“Msiyajaaliemanyumba yenu kuwa makaburi, na wala msifanye kaburi langu kuwa mahali

pa sikukuu. Na niswalieni,hakika Swalah zenu hunifikia popote mlipo.”

Na akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)alipokuwa katika hali ya maradhi:

“Laana ya Allaah iwe juu ya mayahudi na manaswara, wamefanya makaburi ya Mitume

wao kuwa ni sehemu ya kuswalia.”

´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anha) amesema:

“Na lau sikuchelea hilo, kaburi lake lingekuwa sehemu ya wazi, lakini alikhofia lisije

kufanywa kuwa ni sehemu ya kuswalia.”

Mada hii ni pana. Pamoja na kuwa waumini walikuwa wanajua ya kwamba Allaah (Subhaanahu wa

Ta´ala)ndiye Mola na mfalme wa kila kitu, hakanushi zile sababu zilizoumbwa na Allaah

(Subhaanahu wa Ta´ala).Kwa mfano Kaifanya mvua kuwa ni sababu ya kuotesha mimea. Anasema (Ta´ala):

اي مضاي بيايعمداي ايوم يناي وايباي م يني اي ينن ك ين آايابمة ياي بينهين الم واي اي أاي ايلاي اللميهك ينناي السمماي ءين ينن م ء اي ايحم

”Aliyoteremsha Allaah kutoka mbinguni katika maji Akahuisha kwayo ardhi baada ya kufa kwake na Akaeneza humo kila aina ya mnyama.” (al-Baqarah 02:164)

Hali kadhalika Kafanya juwa na mwezi kuwa ni sababu kwa vile Anavyoviumba kwa viwili

hivyo. Na kama Alivyofanya uombezi na du´aa kuwa ni sababu ya Anavyotatua kupitia

viwili hivyo.Mfano wa hilo ni Swalah ya jeneza ya Waislamu kwa maiti. Hakika hayo ni

katika sababu ambazo Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala)Humrehemu kwazo yule maiti. Vilevile Huwapa

thawabu wale mwenye kuswali kwa Swalah hii.

Page 35: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

34

www.wanachuoni.com

Sababu zilizowekwa katika Shari´ah na ambazo hazikuwekwa

Lakini inatakikana ijulikane katika sababu kuna mambo matatu:

Ya kwanza: Sababu fulani haitoshi kwa kupata yale yanayohitajiwa, bali ni lazima kuwepo

sababu nyenginezo. Pamoja na hayo, sababu hizozina vikwazo. Ikiwa Allaah (Subhaanahu wa

Ta´ala)Hakukamilisha sababu hizo na Akaondoa vikwazo hivyo, makusudio [mahitajio] hayo

hayafikiwi. Yeye (Subhaanahu wa Ta´ala)yale Anayotaka huwa, hata kama watu hawayataki. Na yale

wanayotaka watu hayawi, isipokuwa mpaka Allaah vilevile Atake.

Ya pili: Ni jambo lisilojuzu kuamini kwa ujinga ya kuwa kitu kinafanya sababu. Yule

mwenye kuthibitisha kwa ujinga kuwa kitu ni sababu au akaenda kinyume na Shari´ah,

atakuwa ni mwenye kukosea. Ni mfano wa yule mtu mwenye kudhani ya kwamba nadhiri

ni sababu ya kujikinga na madhara na kuifikia neema. Imethibiti katika

“Swahiyhayn”kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza nadhiri na kusema:

“Hakika ya nadhiri haileti kheri. Isipokuwa hutolewa kutoka kwa bakhili.”

Ya tatu: Matendo ya kidini haijuzu kuyafanya kuwa ni sababu isipokuwa tu ikiwa

yamewekwa katika Shari´ah. ´Ibaadah imejengeka juu ya mujibu wa Qur-aan na Sunnah

peke yake,kwa sababu hiyo haijuzu kwa mtu kumshirikisha Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) na

kumuomba mwingine asiyekuwa Yeye, hata kama atadhani kuwa hiyo ni sababu ya

kumfikisha katika baadhi ya mahitajio yake.

Page 36: قلاو قا ينب ةطساولا - firqatunnajia.comfirqatunnajia.com/wp-content/uploads/2017/03/al-Waasitwah_Baina_Ya... · Maana ya ukatikati Wale wanaowaamini Mitume na kuwafuata

al-Waasitwah bayn al-Haqq al-Khalq

Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah

35

www.wanachuoni.com

Hitimisho

Kwa ajili hii, haabudiwi Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) kwa Bid´ah zinazokwenda kinyume na

Shari´ah, hata ikiwa mtu ataamini hilo. Shaytwaan anaweza kumsaidia mtu kufikia baadhi

ya makusudio [mahitajio] yake kwa kufanya Shirki. Baadhi ya watu wanaweza kufikia

mahitajio yao kwa kufanya kufuru, madhambi na maasi. Ni jambo lisilojuzu, kwa kuwa

madhara ya hilo ni makubwa kuliko manufaa utakayoyapata. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)

katumwa ili kukamilisha manufaa na faida na ili kuyaharibu [kuyaondosha] madhara na

mabalaa.

Yale Aliyoamrisha Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala), ni manufaa yenye nguvu, na Aliyoyakataza ni

madhara yenye nguvu.

Sentesi hizi zina mengi ya kuyazungumzia, jambo ambalo haliwezi kuenea katika karatasi

hizi. Na Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala)Anajua zaidi.

Sifa zote zinamstahikia Allaah. Swalah na salaam ziwe juu ya bwana wetu Muhammad na

familia yake na Allaah Anatutosheleza.