uwezo tanzania 2013 · kikundi swali & jibu q a dhana kuu mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2...

40
Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo UWEZO TANZANIA 2 0 1 3

Upload: others

Post on 28-Oct-2019

13 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

U W E Z O T A N Z A N I A

2 0 1 3

Page 2: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

ii 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

l Ni neno la Kiswahili lenye maana ya 'kipawa/umahiri'

l Ni ji� hada inayoongozwa na wananchi

l Inafanya kazi kote Afrika Mashariki (Kenya, Tanzania na Uganda)

l Inatathmini watoto ka� ka stadi za msingi za kusoma na kuhesabu

l Inakusanya taarifa kutoka shuleni na ka� ka kaya

l Ji� hada ya Uwezo imekuwa inatekelezwa na wananchi wa kawaida ka� ka makazi ya jamii zao

l Inawa� a hamasa wananchi kuchukua hatua ya kuboresha viwango vya kujifunza vya watoto wao

Lengo kuu la Uwezo kwa miaka minne ya kwanza ya utendaji ni kuchangia ka� ka uboreshaji wa angalau asilimia 10 ka� ka viwango vya kusoma na kuhesabu miongoni mwa watoto wenye umri wa miaka 7-16 ka� ka nchi za Tanzania, Kenya

na Uganda. Tunalenga kufanikisha hili kwa kuhamisha mwelekeo kutoka kujikita kwenye miundombinu na uandikishaji wa watoto kuelekea viwango halisi vya kujifunza kwa watoto.

Dhana ya Uwezo ni rahisi sana. Tunapeleka watoto shule kwa sababu tunarajia watajifunza stadi za msingi na ujuzi muhimu utakaopelekea ustawi. Hivyo, Uwezo - badala ya kuelekeza nguvu ka� ka idadi

ya kuvu� a ya madarasa yaliyojengwa, walimu walioajiriwa, na vitabu vilivyotolewa inauliza swali rahisi 'Je, Watoto wetu wanajifunza?'

Tathmini ya Uwezo ya Kitaifa ina vipengele muhimu vifuatavyo:

l Ni tathmini ya kiwango kubwa

l Inatumia zana rahisi

l Inaendeshwa na wananchi wa kawaida

l Inatoa mrejesho wa matokeo papo kwa papo

l Tathmini ya Uwezo hufanyika kila mwaka

l Ni tathmini ya kikaya

UWEZO EAST AFRICA

Uwezo ni...

Page 3: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

1Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu! 1Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

2

2

4

6

7

7

9

11

16

18

19

22

26

29

32

34

36

SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI

SURA YA 1: MAANDALIZI YA TATHMINI

SURA YA 2: MAANDALIZI YA MAFUNZO YA WAHOJAJI WA KUJITOLEA

SURA YA 3: MAANDALIZI YA ZIARA

SEHEMU 2: MWONGOZO WA MAFUNZO

SURA YA 1: DHUMUNI NA KUSUDI LA MWONGOZO WA MAFUNZO WA 2013

SURA YA 2: UTANGULIZI, MATARAJIO NA KANUNI ZA PAMOJA

SURA YA 3: KUTAMBULISHA UWEZO

SURA YA 4: KUELEZEA MCHAKATO WA UTAFITI

SURA YA 5: KUTEMBELEA ENEO LA KUHESABIA

SURA YA 6: KUTEMBELEA SHULE

SURA YA 7: KUTEMBELEA KAYA

SURA YA 8: KUPIMA WATOTO

SURA YA 9: UFAFANUZI WA TATHMINI YA KUSOMA

SURA YA 10: UFAFANUZI WA TATHMINI YA KUHESABU

SURA YA 11: MREJESHO WA PAPO KWA PAPO

SURA YA 12: MASUALA YA KIMAADILI

YALIYOMO

KUZITAMBUA NEMBO

Maswali yanayoulizwa mara nyingi

?

Mwongozo wa usimamizi wa muda

Kazi ya kikundi

Swali & JibuQ ADhana kuu

Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji

Page 4: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI

SURA YA 1: MAANDALIZI KWA AJILI YA TATHMINI

1.1: RATIBA YA SHUGHULI ZA MRATIBU WA WILAYA

Na Shughuli Malengo

1. Kuhudhuria Mkutano wa Taifa

- Kuitambua vyema kalenda ya matukio- Kuandaa baje� ya wilaya yako- Kupata vifaa kwa ajili ya mafunzo ya Wahojaji wa Kujitolea- Kuwasilisha na kujadili baje�

2. Kumtembelea Ka� bu Tawala wa Wilaya

- Kupata ruhusa ya kutembelea Maeneo ya Kuhesabia yaliyochaguliwa kisampuli ka� ka Wilaya

3.Kutembelea Maeneo ya kuhesabia ka� ka wilaya yako

- Kumtambua na kumshirikisha Mwenyeki� wa Kijiji- Hakiki ramani ya Eneo la Kuhesabia - Kama orodha ya kaya haijakamilishwa na Sekretarie� ya Uwezo,

orodhesha kaya zote ka� ka Eneo la Kuhesabia- Wapime na wachague ramsi Wahojaji wa Kujitolea

4. Kuhudhuria mafunzo ya kanda

- Kuhakikisha kuna maandalizi ya kutosha kwa ajili ya mafunzo ya Wahojaji wa Kujitolea

- Sekretarie� ya Uwezo watahakiki kaya zilizochaguliwa kisampuli kwa kila Eneo la Kuhesabia

- Wasilisha orodha ya Wahojaji wa Kujitolea

5.Mipango kwa ajili ya mafunzo ya Wahojaji wa Kujitolea

- Tafuta mapema ukumbi wa kufanyia mafunzo- Fanya maandalizi yote kwa ajili ya mafunzo ikiwa ni pamoja na

kubainisha maeneo kwa ajili ya zoezi la vitendo waka� wa mafunzo- Waalike Wahojaji wa Kujitolea kwa ajili ya mafunzo

6. Kuendesha mafunzo ya Wahojaji wa Kujitolea

- Kuwafanyia mafunzo Wahojaji wa Kujitolea kwa siku 2 - ni pamoja na ziara za vitendo

- Watawanye Wahojaji wa Kujitolea kwenda kwenye Maeneo husika ya kuhesabia

7. Kutembelea Shule, Kaya na Maeneo ya Kuhesabia

- Kufua� lia ukusanyaji wa data ka� ka shule iliyochaguliwa kisampuli- Kufua� lia ziara za kufanya tathmini kwenye Eneo la Kuhesabia, thibi� sha

orodha ya kaya kwa kushirikiana na mwenyeki� wa kijiji/mtaa - Kufua� lia zoezi la kutembelea kaya 20 zilizochaguliwa kisampuli

8.Mara ziara zote zitakapokuwa zimekamilika

- Pokea vijitabu vilivyokamilika - Hakiki ukamilifu wa data- Toa vye� kwa Wahojaji wa Kujitolea- Walipe Wahojaji wa Kujitolea kiasi kilichosalia cha posho zao

• Kabla ya kufanya shughuli zozote halisi, ni lazima umtembelee Ka� bu Tawala wa Wilaya. Ka� bu Tawala wa Wilaya atakupeleka kwa Mkurugenzi wa Wilaya au Afi sa Elimu wa Wilaya kuruhusu na kutoa ushirikiano wa utafi � kufanyika

• Onesha barua za kutoka Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia• Kisha Mkurugenzi au Afi sa Elimu wa Wilaya atatoa kibali kwa Wara� bu wa Uwezo wa Wilaya

kufanya utafi � kwa kusaidiwa na wenyevi� wa kijiji / Mtaa• Lazima pia umtembelee Mkuu wa Wilaya kumsalimia na kuonesha heshima ya uwepo wake• Maeneo ambayo Wilaya zimegawanywa, watembelee Wakurugenzi/Maafi sa Elimu WOTE, na

Wakuu wa Wilaya husika

Page 5: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

3Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

1.3: KUHAKIKI RAMANI YA ENEO LA KUHESABIA

� Tembelea Ofi si ya Halmashauri ya Kijiji ili kuomba ruhusa ya kumtembelea Mwenyeki� wa Mtaa/kijiji wa Eneo la Kuhesabia lililochaguliwa

� Watembelee Wenyevi� wa Vijiji/Mtaa na kuwaonesha ramani ya Eneo la Kuhesabia. Waombe Wenyevi� wa Vijiji/Mtaa kama baada ya hapo wanaweza kuongozana na wewe kutembelea Eneo la Kuhesabia ili kuthibi� sha maelezo ambayo unayo kwenye ramani yako

� Ongezea maelezo yoyote muhimu yanayokosekana kwenye ramani yako

MUHIMU! Mkuu wa kaya sio lazima awe mwanaume. Kuna kaya zinazoongozwa na wanawake na watoto. Hizi ni kaya pia zinazopaswa kujumuishwa ka� ka orodha ya kaya.

1.5: KUTUMIA ORODHA YA KAYA KUCHAGUA KAYA SAMPULI

Kama kuna kaya 117 ka� ka Eneo fulani la Kuhesabia, gawanya 117 kwa 20. Jibu ni 5.85. Ikaribishe namba hii kuwa namba kamili. Jibu ni 6. Kwa mujibu wa Eneo hili la Kuhesabia, 6 itakuwa ni namba ya kuhesabia (nth) kutenganishia idadi ya kaya na kaya ya kutembelea. Hii ina maana kwamba utachagua kutoka kwenye orodha Eneo la Kuhesabia kila kaya 6 itachaguliwa kisampuli kwa ajili ya kufanyiwa utafi � . Endelea kufanya hivyo mpaka umepata kaya 20.

Ili kuchagua kaya mbadala, endelea na mchakato huu huu. Kama namba ya kuhesabia (nth) itaangukia kwenye kaya ambayo tayari imekwishachaguliwa, ruka, na kuchagua kaya inayofua� a. Ili kuamua namba ya kuanzia kuchagua, andika vipande vya karatasi sita ikiwa ni namba 1-6. Viweke vikiwa vimetazama chini kisha chukua chochote kimoja. Hiyo ndiyo itakuwa kaya namba moja. Kwa hiyo, kila kaya iliyoorodheshwa ka� ya 1 na namba ya kupa� a idadi inapata nafasi sawa ya kuchaguliwa kuwa sehemu ya utafi � .

1.4: KUORODHESHA KAYA

1. Kama hakuna orodha ya kaya ka� ka Eneo la Kuhesabia, muombe Mwenyeki� wa Mtaa wa akusaidie kuandaa

2. Kama orodha ya kaya ka� ka Eneo la Kuhesabia siyo ya hivi karibuni, ifanyie marekebisho kwa msaada wa mwenyeki� wa Mtaa

3. Pale ambapo idadi ya kaya haijulikani, ingia ka� ka maskani ya watu na kutembelea Eneo lote la Kuhesabia ili kujua idadi ya kaya ka� ka kila maskani

4. Pale ambapo watu wanachangia chumba au nyumba lakini wana tara� bu tofau� za mipango ya kupika na kula, waorodheshe watu hao kama kaya tofau�

5. Muombe Mwenyeki� wa Mtaa akusaidie kutengeneza orodha ya wakuu wa kaya WOTE wa Eneo la Kuhesabia lililochaguliwa kisampuli

1.2: ENEO LA KUHESABIA NI NINI?

Nchi imegawanywa na serikali na Ofi si ya Taifa ya Takwimu ka� ka mikoa kadhaa tofau� . Eneo la Kuhesabia kimsingi limeundwa kwa madhumuni ya Sensa ya Taifa. Eneo la Kuhesabia ni eneo la ardhi ambalo linaweza kuwa mahali popote lenye ka� ya kaya 100 na 44.

Swali: Nitajuaje mipaka ya eneo langu la kuhesabia?

Jibu: Eneo lako la kuhesabia litakuwa tayari limechaguliwa kisampuli na Ofi si ya Taifa ya Takwimu. Utapewa ramani ya kukuongoza kwenye mipaka ya Maeneo yako ya Kuhesabia

Page 6: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

4 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

2.1: KUPATA UKUMBI WA MAFUNZOMra� bu wa Wilaya atakuwa anawasiliana na Mra� bu wa Mkoa ili kubaini ukumbi mzuri wenye gharama tunazomudu. Utapewa miongozo ya kuchagua mahali sahihi ndani ya viwango vya baje� vilivyowekwa. Wahojaji wote wa kujitolea wanapaswa kuhudumiwa. Kama mipango mingine ya ziada inatakiwa kufanyika, Mra� bu wa Mkoa lazima aombwe ushauri.

2.2: KUPANGA UTARATIBU WA USAFIRI WA WAHOJAJI WA KUJITOLEAKwa safari zote usafi ri utakaotumika utakuwa ni usafi ri wa umma kwenda kwenye ukumbi wa mafunzo. Hakuna gharama za usafi ri binafsi zitakazo rejeshwa. Inapowezekana, fedha zitatumwa kwa Wahojaji wa Kujitolea kupi� a simu zao za mkononi, kwa njia ya uhamishaji wa pesa kwa simu za mkononi. Wahojaji wa Kujitolea watarejeshewa gharama zao za usafi ri na Uwezo.

2.3: VIFAA VYA KUANDIKIA NA NYENZO ZA MAFUNZOVifaa na nyenzo za mafunzo vitapokelewa angalau wiki moja kabla ya mafunzo. Vifaa vitatakiwa kukaguliwa ili kuhakikisha kama vinatosheleza. Endapo vitakuwa havitoshi, hii inahitaji kuwasiliana na Mra� bu wa Mkoa angalau siku 5 kabla ya siku ya kwanza ya mafunzo.

l Mafunzo ya Wahojaji wa Kujitolea yatachukua siku mbili kamili za mara kabla ya siku ya tathminil Kwa hali yoyote ile Mra� bu wa Wilaya hapaswi kupanga ra� ba binafsi ya kufanya tathmini ka� ka wilaya yake

bila ya kuhusisha mamlaka kutoka Sekretarie� ya Uwezo na ura� bu wa Mra� bu wa Mkoa l Wara� bu wa Wilaya wana wajibu wa kupanga namna ya kufanya ziara za kutembelea kaya na shule waka� wa

kufanya tathmini kwa vitendo. Kazi zifuatazo zinapaswa kukamilika waka� unapanga mipango yako:

❶ Shule kwa ajili ya ziara ya kufanya utafi � zinabainishwa na kupewa taarifa mapema kabla ya zoezi la tathmini

� Wenyevi� wa Vijiji/Mtaa wanatambuliwa, wanapewa taarifa na kuonana nao mapema kabla ya zoezi la tathmini

� Wenyevi� wa Vijiji/Mtaa wanajulishwa kuhusu tarehe na muda wa ziara ya tathmini � Hakikisha kuna kaya za kutosha zimechaguliwa tayari ka� ka Maeneo ya Kuhesabia kwa ajili ya ziara ya

mafunzo kwa vitendo ya Wahojaji wa Kujitolea � Wahojaji wa Kujitolea wanatakiwa kutembelea kaya angalau 5 waka� wa ziara ya mafunzo kwa vitendo � Ni lazima wakamilishe kujaza Fomu ya Utafi � wa Kaya na kupima watoto ka� ka kila kaya � Wahojaji wa Kujitolea watatembelea kaya ka� ka makundi ya watu 10 lakini watafanya kazi ka� ka jozi, au

ka� ka kundi la idadi ya watu wasiozidi 4.

Pata ukumbi kwa ajili ya mafunzo

Alika Wahojaji wa Kujitolea

Pata vifaa

Endesha mafunzo kwa siku 2

Fanya ziara ya mafunzo kwa vitendo

Watawanye Wahojaji wa Kujitolea kwenda kwenye Maeneo ya

Kuhesabia yaliyo karibu

2.4: UENDESHAJI WA MAFUNZO NA ZIARA ZA MAFUNZO KWA VITENDO

SURA 2: MAANDALIZI YA MAFUNZO YA WAHOJAJI WA KUJITOLEA

Page 7: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

5Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

MUHIMU! Maeneo ya Kuhesabia yatakayotumika kwa ajili ya ziara ya mafunzo kwa vitendo yawe karibu na ukumbi wa mafunzo, lakini yasiwe miongoni mwa sampuli za Maeneo ya Kuhesabia za 2012/2013. Ikiwezekana yanapaswa kuwa ndani ya umbali wa kutembea, ili kutumia gharama ya chini zaidi kwa ajili ya usafi ri wa Wahojaji wa Kujitolea.

2.5: VIDOKEZO VYA JINSI YA KUENDESHA MAFUNZO YENYE MAFANIKIO YA WAHOJAJI WA KUJITOLEA

l FUATA KIKAMILIFU miongozo uliyopewa na Sekretarie� ya Uwezo juu ya kumbi za mafunzo ili kuepuka ucheleweshaji na kuwa na ufanisi zaidi

l TOA TAARIFA za kina kuhusu ukumbi wa mafunzo na muda wa kuwasili kwa Wahojaji wa Kujitolea mapema kabla ya mafunzo

l SOMA mwongozo wako wa mafunzo na Mwongozo wa Mafunzo ya Wahojaji wa Kujitolea mara 3 kabla ya mafunzo. Ijue vyema miongozo yote miwili. Panga mbinu za aina mbalimbali za mafunzo

l WAHUSISHE wahojaji wa kujitolea ka� ka mchakato wa kujifunza. Sisi� za kwamba wahojaji wote wa kujitolea ni sawa

l VIPINDI VYA KUFANYA KWA VITENDO vinaimarisha nadharia. Hakikisha wahojaji wote wa kujitolea wanashiriki ka� ka ziara ya mafunzo kwa vitendo na kupata uzoefu wa jinsi ya kutekeleza Tathmini ya Kitaifa ya Uwezo.

l CHUNGUZA VYEMA kama kuna Wahojaji wa Kujitolea ambao wanaweza kuhitaji msaada wa ziada au mwongozo zaidi kutoka kwako waka� wa mafunzo au tathmini

SOMA mwongozo wako wa mafunzo na

Mwongozo wa Mafunzo ya Wahojaji wa

Kujitolea mara 3 kabla ya mafunzo. Ijue

vyema miongozo yote miwili. Panga mbinu

za mafunzo za aina mbalimbali

Page 8: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

6 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

3.1: KUWATAWANYA WAHOJAJI WA KUJITOLEA KWENDA KWENYE ZIARA YA MAFUNZO KWA VITENDO

❶ Baada ya mafunzo kukamilika, Mra� bu wa Wilaya anatakiwa kuchukua dakika 15 kabla ya kuwatawanya Wahojaji wa Kujitolea kuelezea tara� bu za usafi ri na vifaa vya kutumia kwenye ziara ya mafunzo kwa vitendo

� Kwa kila kikundi, kiongozi wa kikundi anatakiwa kuteuliwa

� Mra� bu wa Wilaya anatakiwa kutoa mawasiliano yake yote kwa kiongozi wa kikundi

� Mra� bu wa Wilaya anapaswa awe na orodha ya mahali ambapo kila kundi la Wahojaji wa Kujitolea linakwenda na namba zao za simu kwa mawasiliano

� Mra� bu wa wilaya anapaswa kuongozana na makundi dhaifu zaidi kama yalivyobainika waka� wa mafunzo

SURA 3: MAANDALIZI YA ZIARA YA MAFUNZO KWA VITENDO

Mra� bu wa Wilaya anatakiwa kutoa muda wa kutosha kwa ajili ya maswali ili aweze kufafanua masuala yote ambayo yanahitaji ufafanuziQ A

3.2: KUTEMBELEA KAYA WAKATI WA ZIARA YA MAFUNZO KWA VITENDO

l Mra� bu wa Wilaya anatakiwa kuwa na vikundi 6 (vya jozi 5 za Wahojaji wa Kujitolea) ambavyo tayari vimekwisha andaliwa kabla ya kuwatawanya Wahojaji wa Kujitolea kufanya ziara ya mafunzo kwa vitendo

l Kila jozi wanapaswa kutembelea kaya angalau 5. Juhudi zinapaswa kulenga kaya zenye watoto ili Wahojaji wa Kujitolea waweze kufanya kazi halisi

3.3: KUTEMBELEA SHULE WAKATI WA ZIARA YA MAFUNZO KWA VITENDO

l Kunaweza kuwa na shule chache zilizopa� kana kwa ajili ya vipindi vya mafunzo kwa vitendo.Hakikisha umejiandaa mapema na kuchagua shule ambazo ziko jirani na ukumbi wa mafunzo

l Haipaswi Wahojaji wa Kujitolea zaidi ya 10 kutembelea shule moja waka� wa ziara ya mafunzo kwa vitendo

l Kama shule ina mkondo zaidi ya mmoja Wahojaji wa Kujitolea wanapaswa kutembelea kila mkondo

3.4: MREJESHO BAADA YA ZIARA YA MAFUNZO KWA VITENDO

l Mra� bu wilaya anapaswa kuendesha vipindi vya mrejesho ili kuzungumzia changamoto muhimu na masuala ya kiusafi ri na vifaa kwa ziara ya mafunzo kwa vitendo. Vipindi vya mrejesho ni muhimu sana. Wara� bu wa Wilaya wanahitaji kusisi� za kwamba Wahojaji wa Kujitolea wanapaswa kuwa huru kuuliza maswali yoyote kwa sababu baada ya hapo watakuwa wawili tu ka� ka zoezi la utafi � .

Page 9: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

7Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

SURA 1: MALENGO YA MWONGOZO WA MAFUNZO WA 2013

Mwongozo huu umeandaliwa kimaalum kukupa� a wewe maarifa muhimu na ujuzi ambao utakuwezesha kuwafundisha kikamilifu Wahojaji wa Kujitolea wa Uwezo kufanya Tathmini ya Mwaka 2013. Mwongozo huu utakuwezesha wewe:

l Kuwaelezea Wahojaji wa Kujitolea 'Uwezo' inahusiana na nini kwa ujumla ka� ka maneno rahisil Kuhamasisha utambulisho wa Uwezo ufafanuliwe kwa lugha za asilil Kujua vyema mbinu mbalimbali za kufanya Tathmini ya Kitaifa ya Uwezol Kuwaelezea Wahojaji wa Kujitolea kinachotarajiwa kutoka kwao kwa maneno rahisil Kusisi� za umuhimu wa kutoa mrejesho wa matokeo papo kwa papo kwa wazazi

1.1: KUZITAMBUA NEMBO

Tofau� na miongozo ya mafunzo iliyopita, mwongozo huu utakuwa na malengo maalum kuhusu Mawasiliano ya Uwezo.

SEHEMU 2: MWONGOZO WA MAFUNZO

Mambo ya kukumbuka kwa Mwezeshaji: Nembo hii inapotumika, kinachofua� a ujue kimeelekezwa kwa mwezeshaji ili kumpa ushauri au taarifa ambayo itamsaidia kuwezesha mafunzo

Maswali yanayoulizwa mara kwa mara: Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara yamejumuishwa pamoja ili kumsaidia mwezeshaji kutarajia au kujibu maswali ambayo yamekwisha ulizwa kipindi kilichopita

Dhana Kuu: Nembo ya dhana kuu inaorodhesha poin� fulani muhimu, au kifungu cha habari ambacho mwezeshaji anatakiwa kutumia muda wa kutosha ka� ka kukielezea kwa Wahojaji wa Kujitolea

Mwongozo wa Usimamizi wa Muda: Nembo hii imetumika ka� ka kila mwanzo wa sura kusaidia kumwongoza Mwezeshaji juu ya muda gani anapaswa kutumia kuwezesha kila sehemu

Kazi ya Kundi: Nembo hii inamuelekeza mwezeshaji ka� ka kuwapanga Wahojaji wa Kujitolea ka� ka makundi kufanya kazi maalum. Hii mara nyingi itahusisha Igizo dhima, ambapo Wahojaji wa Kujitolea wataigiza hali halisi ya maisha kwa kuchukua jukumu la muhisika maalum.

Swali na Jibu: Hii ni njia rahisi kutumia ambayo inaweza kutumika ka� ka matukio tofau� iwe ni kufafanua, kutafuta maoni, kuthibi� sha na kadhalika. Swali na Jibu ni njia rahisi lakini yenye ufanisi ambayo inaweza kutumika kwa kutoa mrejesho. Unapaswa kujitahidi kutumia njia hii mara nyingi kadiri iwezekanavyo.

Q A

Page 10: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

8 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

1.2: RATIBA YA MAFUNZO YA WAHOJAJI WA KUJITOLEA

Muda / Tarehe Mada

Siku ya 1: Jumanne

2:00-2:30 Usajili na Kujitambulisha Wahojaji wa Kujitolea

2:30-03:00 Matarajio na Makubaliano ya Pamoja

3:00-04:15 Kuitambulisha Uwezo

04:15-04:40 Kufafanua Mchakato wa Utafi �

04:40 - 05:00 | Chai ya Kifungua kinywa

05:00-05:20 Kutembelea Eneo la Kuhesabia (Nadharia)

05:20-06:40 Kutembelea Kaya (Nadharia)

06:40-07:30 Upimaji Watoto

07:30-08:30 | Chakula Cha Mchana

08:30-09:30 Ufafanuzi wa Tathmini ya Kusoma

09:30-10:10 Ufafanuzi wa Tathmini ya Kuhesabu

10:10-10:40 Mrejesho wa Papo kwa papo (Nadharia)

10:40-11:00 | Chai ya Alasiri na mpangilio wa tara� bu

11:00 �12:30 | WAHOJAJI WA KUJITOLEA KUTEMBELEA KAYA � MAFUNZO KWA VITENDO

Muda / Tarehe Mada

Siku ya 2: Jumatano

2:00-03:30 Mrejesho na Maswali yatokanayo na ziara ya kutembelea Kaya

03:30-04:15 Kutembelea Shule (Nadharia)

04:15-04:30 Masuala ya Kimaadili

04:30- 04:50 | Chai ya Kifungua Kinywa na mpangilio wa tara� bu

04:50 �06:30 | WAHOJAJI WA KUJITOLEA KUTEMBELEA SHULE�MAFUNZO KWA VITENDO

06:30-07:30 | Chakula Cha Mchana

07:30-08:00 Mrejesho na Maswali yatokanayo na ziara ya kutembelea Shule

Wahojaji wa Kujitolea Kuondoka kwenda vijijini kwao

Page 11: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

9Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

2.1: USAJILI WA WAHOJAJI WA KUJITOLEA

Usajili wa Wahojaji wa Kujitolea utakuwezesha kujua ni Maeneo gani ya Kuhesabia (EAs) yamewakilishwa ka� ka mafunzo yako, na kubaini kama kuna mapungufu yoyote (watafi � wowote wa kujitolea ambao wameshindwa kuhudhuria). Waka� wa usajili pia ni waka� wa kuwaunganisha watafi � wawili wa kujitolea kutoka Eneo moja la Kuhesabia, endapo hawakuwa wanafahamiana tayari.

Dakika 45

Malengo ya Mafunzo ya Wahojaji wa Kujitolea yata� mia vyema kama washiriki watafahamiana kuanzia mwanzo wa mafunzo. Kuna njia nyingi za kuwasaidia washiriki kufahamiana, au 'kuvunja-ukimya'. Mchezo mfupi unaweza kutumika ili kuwezesha utambulisho na kujenga mazingira ya kirafi ki. Mra� bu wa Wilaya ana wajibu wa kuwezesha michezo ya kuchangamana kwa Wahojaji wa Kujitolea. Hapa kuna mapendekezo machache:

2.3: KUBAINISHA MATARAJIO YA WAHOJAJI WA KUJITOLEA

Wahojaji wa Kujitolea wanaweza kuja kwenye mafunzo wakiwa na matarajio mbalimbali ambayo yanaweza yasi� mie kwa waka� wote wa mafunzo. Waombe Wahojaji wa Kujitolea waseme matarajio yao na kuyajadili. Kubali ukweli kwamba japokuwa baadhi ya matarajio yao ni ya muhimu, lakini yanaweza yasi� mie kwa waka� huu wa mafunzo ya sasa.

2.2: MALENGO YA KUJITAMBULISHA

Mchezo wa Ndege ya KaratasiKwa kutumia kipande kimoja cha Karatasi, kila mtafi � wa kujitolea anatengeneza ndege ya Karatasi na anaandika jina lake, jambo alipendelo na ukweli fulani wa kuvu� a unaomhusu yeye mwenyewe. Wakiwa wamejipanga, kila mtu anarusha ndege yake upande wowote ndani ya ukumbi. Kama utaiona ndege yoyote jirani yako, iokote na endelea kuirusha kwa muda wa dakika 1-2. Mwishoni mwa kipindi hicho, kila mtu lazima awe amepata ndege moja ya Karatasi. Huyu ndiye mtu anayepaswa kumtafuta na kumtambulisha kwa washiriki

Utambulisho wa MahojianoLigawanye kundi la washiriki ka� ka � mu za watu wawili wawili (waambie kila mtu achague mwenza anayemfahamu kidogo).

Waambie wafanye mahojiano kila mmoja kwa dakika kumi (Unaweza pia kuandaa maswali kabla ya mahojiano au kutoa mwongozo wa jumla kwa ajili ya mahojiano). Wanahitaji kujifunza kuhusu kile ambacho mwenzi anapenda kufanya ka� ka muda wake wa ziada, anapendelea nini, ametoka kijiji gani na nini maono ya kazi yake (mapendekezo mengine yanaweza kuongezewa). Baada ya mahojiano, warejeshe washiriki ka� ka nafasi zao na waambie kila � mu watambulishane kwa washiriki.

SURA 2: KUJITAMBULISHA, MATARAJIONA KANUNI ZA PAMOJA

Page 12: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

10 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

Washirikishe watafi � wote wa kujitolea ka� ka shughuli hii. Wagawe ka� ka vikundi vya watu wanne na uwatake nao wabunguebongo angalau moja ya matarajio. Waambie mwanakikundi mmoja awasilishe kwa washiriki kilichojadiliwa na mteue mmoja ka� ya Wahojaji wa Kujitolea kuandika matarajio yote yaliyojadiliwa kwenye cha� mgeuzo.

Waka� mnayapi� a matarajio kwa kusoma, hakikisha unasisi� za matarajio yapi yanaweza ku� mizwa kwa njia ya mafunzo na yapi ambayo hayawezi ku� mizwa. Jadili malengo ya mafunzo. Mara baada ya matarajio ya mafunzo kuwa yamekwisha kusanywa, sasa utakuwa na uwezo wa kupi� a malengo ya mafunzo.

2.4: KANUNI ZA MAFUNZO ZA PAMOJA

Lengo la makubaliano ya pamoja ni kupata kanuni ambazo zitazinga� wa na wakufunzi na Wahojaji wa Kujitolea kwa waka� wote wa mafunzo. Kanuni zina lengo la kuhakikisha kuna urahisi ka� ka kuendesha mafunzo na kwa hiyo lazima ziridhiwe na watafi � wote wa kujitolea.

Mara kanuni zote zinapokuwa zimeridhiwa, mkataba unapaswa uandikwe na ubandikwe ka� ka chumba cha mafunzo kwa muda wote wa mafunzo.

Mapendekezo ya kanuni ambazo zinaweza kujumuishwa pamoja ka� ka mkataba:

l Umakini wa Wahojaji wa Kujitolea kwenye mafunzol Usimamizi mzuri wa muda waka� wa mafunzol Matumizi ya lugha sahihil Usawa wa washirikil Kutosemasema waka� mtu mwingine akiwa anazungumzal Namna ya kutoa wito wa umakini - kwa mfano waka� wa kuuliza au kujibu maswalil Matumizi ya Simu za mkononi - kuchukua / kupokea simu na kutuma ujumbe wa maandishi

Kanuni zina lengo la kuhakikisha kuna urahisi

katika kuendesha mafunzo na kwa hiyo lazima

ziridhiwe na wahojaji wote wa kujitolea.

Page 13: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

11Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

SURA YA 3: KUTAMBULISHA UWEZO

l Afrika Mashariki yote, Uwezo hutegemea Wahojaji wa Kujitolea zaidi ya 22,000 kukusanya takwimu na kutathmini watoto ka� ka stadi za kusoma na kuhesabu.

l Wahojaji wa Kujitolea ni taswira ya Uwezo ka� ka vijiji vyao.l Wahojaji wa Kujitolea wanahusishwa sana na kazi wanayoifanya kwa niaba ya Uwezo,

hivyo ni muhimu kila mtafi � wa kujitolea aelewe vyema kazi ya Uwezo.l Ni lazima waweze kuielezea Uwezo kwa namna rahisi, na kuwa na uwezo wa kujibu maswali yoyote ambayo

wanaulizwa kuhusu ji� hada ya Uwezo.l Wahojaji wa Kujitolea watapokelewa vyema kama wataweza kuzungumza kwa kujiamini na kwa uelewa wa

kutosha kuhusu Uwezo na wajibu wao ka� ka ukusanyaji wa data.l Ni wajibu wa mhojaji wa kujitolea wa Uwezo kuvaa mavazi nadhifu, kutenda kwa unyenyekevu na kwa busara,

kuwa mwepesi kubadilika kulingana na mahitaji ya mchakato wa tathmini. Mpaka kufi kia mwisho wa kipindi hiki, washiriki wataweza kutoa poin� – tano rahisi, za Uwezo kwa kuelezea:

l Ji� hada ni ninil Malengo ya Uwezol Kile ambacho Uwezo SIYOl Jukumu lao ka� ka ukusanyaji datal Matokeo ya msingi ya Tathmini ya Uwezo iliyopita ka� ka wilaya zao

3.1: NAFASI YA WAHOJAJI WA KUJITOLEA NA UMUHIMU WA KUJITAMBULISHA

Saa 1,Dakika 15

HABARI ZA ASUBUHI MZEE. JINA LANGU NAITWA SARA NA NI

MTAFITI WA KUJITOLEA WA UWEZO. UMEWAHI

KUSIKIA KUHUSU UWEZO HAPO KABLA?

UWEZO NI .......

NA SIJUI UNAWEZA KUNIAMBIA, KAMA

KIJIJI HIKI KINA......KITUO CHA POLISI .....BARABARA YA LAMI.....MAJI YA UHAKIKA YA

UMMA?

USIWE NA WASIWASI, HUU SI KAMA MTIHANI

WA SHULENI. TUPO HAPA KUBAINI JINSI UNAVYOWEZA KUFANYA

VIZURI KATIKA MAJARIBIO HAYA

MAFUPI ....

Page 14: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

12 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

3.3: VIPENGELE MUHIMU VYA UWEZO

Tathmini ya Uwezo ya Kitaifa ina vipengele muhimu vifuatavyo:

l Ni tathmini ya kikaya

l Ni ya tathmini ya kiwango kubwa

l Inatumia zana rahisi

l Inaendeshwa na wananchi wazalendo

l Inatoa mrejesho wa matokeo papo kwa papo

l Tathmini hii hufanyika kila mwaka

3.2: UWEZO NI NINI?

Uwezo ni….

l Ni neno la Kiswahili lenye maana ya 'kipawa/umahiri'

l Ni ji� hada inayoongozwa na wananchi

l Inafanya kazi kote Afrika Mashariki (Kenya, Tanzania na Uganda)

l Inatathmini watoto ka� ka stadi za msingi za kusoma na kuhesabu

l Inakusanya taarifa kutoka shuleni na ka� ka kaya

l Ji� hada ya Uwezo imekuwa inatekelezwa na wananchi wa kawaida ka� ka makazi ya jamii zao

l Inawa� a hamasa wananchi kuchukua hatua ya kuboresha viwango vya kujifunza vya watoto wao

3.4: JITIHADA NI NINI?

Ji� hada inafafanuliwa kama...

l Hatua yoyote ya moja kwa moja inayochukuliwa wananchi au mtu mmoja mmoja kuboresha hali ya maisha ya watu

l Wananchi kutathmini na kuanzisha ji� hada za vitendo ambavyo huleta manufaa wakichochewa na ari ya kuwa mstari wa mbele kutaka kuleta mabadiliko

Page 15: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

13Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

Uwezo ni Ji� hada. Mwezeshaji awaulize Wahojaji wa Kujitolea wanafi kiri 'ji� hada' maana yake ni nini. Mwezeshaji anaweza kutumia mifano ifuatayo kuwasaidia Wahojaji wa Kujitolea kufi kiri:

l "Kwa shuleni, mwalimu anaweza kusema kwamba mwanafunzi " hana ji� hada"l Tangazo la kazi linaweza kusema kwamba kampuni inatafuta "mtu mwenye ji� hada"l Mzazi anaweza kulalamika kwamba mtoto wao "hafanyi ji� hada ya kutosha"

Wahojaji wa Kujitolea wanaweza kuja na yoyote ka� ya mawazo yafuatayo:

l Kufanya ji� hada maana yake ni mtu ambaye anataka kuanzisha kitul Kufanya ji� hada ni uwezo wa kuanzisha kitu fulani baada ya kuwa umefahamu nini

kinachoendeleal Ji� hada maana yake ni kuwa na wazol Kuwa na ji� hada ina maana ya kuchukua wazo na kuongeza ubunifu wa ufumbuzi kama

utatuzi wa hali iliyopol Mtu mwenye ji� hada anaona ta� zo na anataka kufanya kitu fulani kulitatua

• Uwezo sio kampuni wala

shirika. Ni Wazo. Ni Jitihada.

l Waulize Wahojaji wa Kujitolea kama kuna mtu anaweza kutoa mfano wa waka� amewahi kufanya ji� hada ya kufanya kitu.

l Fupisha kile ambacho Wahojaji wa Kujitolea wamesema na kihusishe kile walichosema kuhusu Uwezo na kwa nini Uwezo ilianzishwa. Eleza kwamba kuchukua hatua huanza na ufahamu. Huanza na uelewa wa hali ilivyo, ta� zo au changamoto. Tunajua kwamba watoto wako shuleni. Lakini watoto wanajifunza?

l Kufanya ji� hada maana yake ni kwamba mtu, au kikundi cha watu, kinaamua kufanya kitu fulani chanya kushughulikia ta� zo hili. Hivi ndivyo Uwezo ilivyoanzishwa. Hatumsubiri mtu mwingine kufanya kitu tunapogundua kwamba watoto hawajifunzi. Badala yake tunachukua hatua sisi wenyewe. Tunafanya ji� hada.

l Uwezo sio kampuni wala shirika. Ni Wazo. Ni Ji� hada.

Waache Wahojaji wa Kujitolea wafanye kazi ka� ka makundi madogo madogo kujadili baina yao na kuandika ka� ka miongozo yao wanafi kiri 'ji� hada' maana yake ni nini. Waombe Wahojaji wa Kujitolea kulitolea mrejesho kundi kubwa na kuandika mawazo yaliyotolewa kwenye kipande kikubwa cha Karatasi ambayo itaonekana wazi kwa kikundi cha washiriki.

Page 16: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

14 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

3.5: MALENGO YA UWEZO NI NINI?

Uwezo inataka:

1. Kutathmini stadi za watoto ka� ka kusoma na kuhesabu ka� ka nchi za Kenya, Tanzania na Uganda

2. Kupata data za kuaminika na za kina juu ya viwango vya kusoma na kuhesabu kila mwaka

3. Kukusanya takwimu za kiujumla ka� ka ngazi ya wilaya

4. Kutoa taarifa ya matokeo ya tathmini kwa mapana zaidi - kwa wananchi wazalendo, wazazi, walimu na serikali

5. Kuchochea raia wazalendo kuchukua hatua ili kuboresha viwango vya kujifunza vya watoto ka� ka jamii zao

l Ndani ya kundi lako la mafunzo, Wahojaji wa Kujitolea watazungumza lugha tofau� za asilil Andika jina la kila lugha tofau� sehemu ya juu ya Karatasi kubwa na bandika kwenye kuta za

chumba cha mafunzo.l Waambie Wahojaji wa Kujitolea kufanya kazi pamoja ka� ka vikundi vya lugha zao za asili

kutafsiri kila kitu ambacho sehemu hii imefundisha ka� ka lugha zao za asili.l Waombe mwakilishi mmoja wa kikundi aelezee waliyo yaandika mbele ya kundi kubwa la

washiriki.

Je, unafahamu kuwa?

1. Ni chini ya mtoto mmoja ka� ya watoto watatu walioandikishwa ka� ka Darasa la 3 ka� ka Afrika Mashariki ndiyo wana uwezo wa kufaulu majaribio yote ya Kiingereza na Hisaba� yaliyoandaliwa ka� ka ngazi ya darasa la 2

2. Hata ka� ka darasa la 7, karibu mmoja ka� ka ya watoto kumi hawezi kufaulu majaribio ya Kiingereza na Hisaba� ya ngazi ya Darasa la 2

3. Kwa wastani, karibu mwalimu mmoja ka� ya walimu kumi anakuwa hayupo mazingira ya shuleni waka� wowote uwao

3.7: MATOKEO YA UWEZO

3.6 KILE AMBACHO UWEZO SIYO

Uwezo SIYO:

û Asasi ya Kijamii

û Shirika

û mfadhiliwa wa serikali

û Chanzo cha kufi kiri/mawazo

û Kikundi cha kushawishi

Page 17: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

15Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

3.8: KUCHANGAMSHA NA TAFAKARI

Ili kusaidia kuimarisha kile ambacho Wahojaji wa Kujitolea wamejifunza ka� ka kipindi hiki, Mchezo wa Kurushiana Mpira unaweza kutumika kuwachangamsha nguvu Wahojaji wa Kujitolea na kuwasaidia kutafakari juu ya kipindi kilichopita. Mechezo wa Kurushiana Mpirani nusu – mapi� o na ni zoezi la ku� a nguvu.

Ni wajibu wa mhojaji wa kujitolea wa

Uwezo kuvaa mavazi nadhifu, kutenda

kwa unyenyekevu na kwa busara.

1. Muombe kila mtu asimame na kutengeneza duara. Watafi � wote wa kujitolea wanapaswa kuangalia ndani, wakiangaliana.

4. Kisha wanaendelea kurusha mpira kwa mtu mwingine.

6. Endelea za zoezi hadi kila mmoja awe amedaka mpira angalau mara moja na amepata fursa ya kushiriki.

2. Rusha mpira mdogo au kitu chepesi na laini kwa mtu ka� ka mduara.

5. Kisha mtu huyo ataelezea kile walichojifunza ka� ka kipindi kilichopita.

3. Yeyote atakayeupata mpira lazima alieleze kundi la washiriki kitu kimoja ambacho wamejifunza ka� ka kipindi kilichopita.

Page 18: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

16 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

SURA YA 4: KUELEZEA MCHAKATO WA UTAFITI

4.1: MALENGO

Kufi kia mwishoni mwa kipindi hiki, Wahojaji wa Kujitolea lazima wawe na uwezo wa kuelezea:

l Wapi pa kukusanya taarifa zinazohitajikal Kwa utara� bu upi taarifa zinazohitajika zinapaswa zikusanywel Namna ipi ni sahihi ya kuingia shuleni na kwenye kayal Matukio tofau� ya kifamilia yanaweza kujitokeza na watoto wa aina gani wanahitaji kufanyiwa majaribio

Dakika 25

Ka� ka mwongozo wa mafunzo ya Wahojaji wa Kujitolea, kutembelea kaya kutakuja KABLA ziara ya kutembelea shule. Hii ni kwa sababu ziara ya kutembelea kaya lazima ifanyike waka� wa mchana wa siku ya kwanza ya mafunzo. Ziara ya kutembelea shule haitafanyika mpaka siku ya pili ya mafunzo.

Wahojaji wa Kujitolea lazima waelewe kwamba waka� watakapokuwa wanafanya tathmini ya Uwezo ka� ka kijiji chao, utara� bu wa ziara unapaswa uwe kama ifuatavyo:

1. Kumtembelea Mwenyeki� wa Mtaa ili kukamilisha Taarifa za Fomu ya Eneo la Kuhesabia

2. Kutembelea Shule ili kukamilisha Fomu ya Utafi � wa Shuleni

3. Kutembelea Kaya ili kukamilisha Fomu ya Data za Kaya na kupima watoto

4.2: MUHTASARI WA MAPITIO YA SHUGHULI MUHIMU

l Hakikisha unatoa maelezo mafupi ya shughuli muhimu ka� ka mchakato wa Tathmini ya Uwezol Uliza kama kuna maswali yoyote baada ya kuwa umemaliza mapi� o yako kwa ufupi na aelezea ni nini

ambacho Wahojaji wa Kujitolea watakuwa wakifanyal Kama hakuna maswali, uliza maswali yako mwenyewe kupima uelewa wa Wahojaji wa Kujitolea

4.3: KUFAFANUA FOMU MBALIMBALI ZA KUJAZIA DATA

l Mafunzo yanaanza kwa kuwatambulisha Wahojaji wa Kujitolea vifaa kwa ajili ya tathmini. Wahojaji wa Kujitolea lazima wawe na taswira sahihi ndani ya akili zao ya vifaa vya kufanyia tathmini. Hii itawasaidia wao kujenga taswira sahihi ya mchakato wa ukusanyaji wa data kadiri mafunzo yanavyoendelea.

l Pi� sha vijitabu vya utafi � kuzunguka chumba cha mafunzo kwa ajili ya wahojaji wa kujitolea kushiriki

Waeleze Wahojaji wa Kujitolea kwamba wanatarajiwa kujaza data ka� ka aina tatu tofau� za fomu waka� wa ziara zao za utafi � . Fomu ya kwanza ni ya Kijiji au Fomu ya Data za Eneo la Kuhesabia. Fomu ya pili ni Fomu ya Data za Shule. Fomu ya mwisho ni Fomu ya Data za Kaya. Matokeo ya majaribio kwa kila mtoto ka� ka kaya pia yatajazwa kwenye Fomu ya kaya.

Page 19: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

17Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

4.4: UTARATIBU WA ZIARA

1. NGAZI YA KIJIJI: Ziara ya kumtembelea Mwenyeki� wa Mtaa inatakiwa kufanywa na Wahojaji

wa Kujitolea ka� ka siku ya kwanza ya Tathmini, kabla ya ziara ya kutembelea kaya yoyote kufanywa. Wahojaji wa Kujitolea lazima wawasilishe barua za utambulisho kwa Mwenyeki� wa Mtaa, kisha kujitambulisha wenyewe kwa Mwenyeki� wa Mtaa na kuomba muda wa kufanya mahojiano na kukamilisha kujaza Fomu ya Taarifa za Kijiji.

2. NGAZI YA SHULE: Ziara ya kutembelea Shule inatakiwa kufanywa na Wahojaji wa Kujitolea

ka� ka siku ya kwanza ya Tathmini, kabla ya ziara ya kutembelea kaya yoyote kufanywa. Wahojaji wa Kujitolea watatembelea ofi si ya mwalimu mkuu kwanza. Watazungumza na mwalimu mkuu au mwalimu mkuu msaidizi, au mwalimu ambaye ameachiwa mamlaka. Wahojaji wa Kujitolea lazima waeleze dhamira na asili ya utafi � , na kuonesha barua za utambulisho. Kisha Wahojaji wa Kujitolea wanaweza kuendelea na mahojiano na kukusanya data za shule.

3. NGAZI YA KAYA: Ziara ya kutembelea kaya inapaswa ifanywe mara tu baada ya Fomu ya Taarifa

za Kijiji na Fomu ya Taarifa za Shule kuwa zimekamilika.

Page 20: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

18 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

SURA YA 5: KUTEMBELEA ENEO LA KUHESABIA

5.1: MALENGO

Kipindi hiki kitakuwa kifupi, kwa kuwa Wahojaji wa Kujitolea hawatatumia muda mwingi kukusanya taarifa kwa ajili ya Fomu ya Eneo la Kuhesabia /Kijiji. Kipindi hiki kina lengo la kuwawezesha Wahojaji wa Kujitolea:

l Kujiamini waka� wa kutembelea Ofi si ya Serikali ya Kijijil Kuwa na uwezo wa kujitambulisha wenyewe, na kuitambulisha Uwezo, kwa kujiaminil Kuelewa shughuli muhimu / hatua za ukusanyaji wa takwimu ka� ka Eneo la Kuhesabial Kujizoeza jinsi ya kukamilisha kujaza "Fomu ya Taarifa za Eneo la Kuhesabia/Kijiji"

5.2: KUTEMBELEA OFISI YA SERIKALI YA KIJIJI

1. Mara Wahojaji wa Kujitolea wanapofi ka ka� ka Ofi si ya Serikali ya Kijiji, lazima kwanza wajitambulishe wao wenyewe, na kisha kuitambulisha Uwezo (kulingana na kile ambacho Wahojaji wa Kujitolea wamejifunza ka� ka Sura ya 3 ya mwongozo huu)

2. Wahojaji wa Kujitolea lazima wahakiki jina la Mkoa, Wilaya / Halmashauri, Kata, Mtaa na Eneo la Kuhesabia na wayaandike mambo hayo kwenye kijitabu cha utafi �

3. Wahojaji wa Kujitolea lazima baada ya hapo wakamilishe kujaza Fomu ya Taarifa za Eneo la Kuhesabia kwa msaada wa mwenyeki� wa mtaa

Dakika 20

NA SIJUI UNAWEZA KUNIAMBIA, KAMA KIJIJI HIKI KINA...... KITUO CHA POLISI

..... BARABARA YA LAMI..... MAJI YA UHAKIKA YA UMMA?

Page 21: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

19Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

SURA YA 6: KUTEMBELEA SHULE

6.1: MALENGO

Kipindi hiki kina lengo la kuwawezesha Wahojaji wa Kujitolea:

l Kuelewa jinsi ya kuitambulisha Uwezo shulenil Kuelewa shughuli muhimu / hatua ya ukusanyaji wa takwimu ka� ka shulel Kujizoeza jinsi ya kujaza Fomu ya Utafi � wa Shule

6.2: KUJITAMBULISHA SHULENI

Mara Wahojaji wa Kujitolea wanapofi ka shuleni, wanapaswa waombe kumuona Mwalimu Mkuu wa shule. Kama Mwalimu Mkuu hayupo, basi waombe kuzungumza na Mwalimu Mkuu Msaidizi au Mwalimu Mwandamizi. Mwalimu Mkuu anapaswa aoneshwe barua za utambulisho na kibali cha kufanya utafi � kutoka kwa Mra� bu wa Wilaya na Ofi si ya Elimu ya Wilaya.

NI MUHIMU KWAMBA WAHOJAJI WA KUJITOLEA WAJITAMBULISHE KWANZA KWA MWALIMU MKUU.

Saa 1Dakika 45

UWEZO NI JITIHADA YA MIAKA MINNE INAYOFANYIKA KOTE AFRIKA MASHARIKI

KUTATHMINI WATOTO KATIKA STADI ZA MSINGI ZA KUSOMA NA HISABATI.......... "

Page 22: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

20 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

Wahojaji wa Kujitolea wanatakiwa waeleze yafuatayo:

“Uwezo inachukua sampuli za jamii kutoka kila Wilaya ya Afrika Mashariki itakayo tembelewa. Shule hii imechaguliwa kama shule ya sampuli. Pia kaya ishirini ka� ka Eneo hili la Kuhesabia zitatembelewa leo na kesho, na ka� ka kaya hizo watoto wenye umri wa miaka 7-16, watafanyiwa majaribio.

Uwezo si sehemu ya serikali na hatuchunguzi utendaji wa shule. Tunakusanya takwimu ambazo zitatusaidia kuelewa ni kwa ubora kiasi gani watoto wanajifunza ka� ka Afrika Mashariki.

”6.3: MCHAKATO WA KUTEMBELEA SHULE

l Wahojaji wa Kujitolea lazima wahakikishe wana Fomu za Utafi � Shuleni mbele yaol Kama hakuna Fomu za kuwatosha kila mmoja, wanaweza kutumia zilizopo kwa kushirikishanal Kipindi kinapaswa kitolewe utangulizi kwa njia ya maelezo mafupi juu ya hatua muhimul Sehemu muhimu zaidi ka� ka mafunzo haya itakuwa ni kuwaelekeza hatua kwa hatua Wahojaji

wa Kujitolea kuhusu jinsi ya kujaza kijitabu cha utafi � .

Page 23: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

21Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

Baada ya hapo unaweza kuwagawa Wahojaji wa Kujitolea ka� ka makundi (yasiyozidi 6 yenye Wahojaji wa Kujitolea 10) kuigiza maigizo mafupi (dakika 5) kuanzia kwenye hatua ya kuingia shuleni hadi kufanya uchunguzi shuleni. Wakiwa ka� ka makundi Wahojaji wa Kujitolea wanatakiwa wafanye mazoezi yafuatayo:

1 Kujitambulisha wao wenyewe2 Kutambulisha Uwezo3 Kufafanua kwa nini shule imechaguliwa kama sampuli na asili ya utafi �

Kisha, wakiwa ka� ka makundi hayo, Wahojaji wa Kujitolea wanapaswa wafanye mazoezi ya kukusanya na kukamilisha taarifa kutoka sehemu zifuatazo:

l Ofi si ya Mwalimu Mkuul Chumba cha Darasa la 2 l Uchunguzi wa Shule

Kisha unapaswa kusisi� za kipindi cha maswali na majibu baada ya kila igizo ili kukamata masuala muhimu au changamoto kuhusu ziara ya kutembelea shule.

A

Ofi si ya Mwalimu Mkuu

B

Nenda kwenye chumba kimoja cha Darasa la Pili

D

Chunguza mazingira ya Shule

C

Hesabu vyumba vyote vya madarasa

E

Mshukuru Mwalimu Mkuu kisha nenda kwa Kiongozi wa Kijiji

Q A

Kama Mwalimu Mkuu hayupo, basi

waombe kuzungumza na Mwalimu

Mkuu Msaidizi au Mwalimu anayekaimu.

Page 24: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

22 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

SURA YA 7: KUTEMBELEA KAYA

7.1: MALENGO

Kipindi hiki kina lengo la kuwawezesha Wahojaji wa Kujitolea:

l Kuelewa jinsi ya kuitambulisha Uwezo kwenye kayal Kuelewa shughuli muhimu / hatua za ukusanyaji wa takwimu ka� ka kayal Kujizoeza wao wenyewe jinsi ya kukamilisha kujaza Fomu ya Utafi � wa Kaya

Saa 1, Dakika 20

7.2: KAYA NI NINI?

Kaya inahesabika kama kundi la watu wanaoishi ndani ya nyumba moja kila siku. Watu hawa lazima pia wawe wanapika na kula kutoka ka� ka chungu kimoja ndipo waitwe ni watu wa kaya moja.

7.3: KUINGIA KATIKA KAYA

Wahojaji wa Kujitolea wanapaswa wafanye mambo yafuatayo wanapoingia ka� ka kila kaya:

1. Wathibi� she kama ni kaya sahihi 2. Wajitambulishe kwa mkuu wa kaya. Wanaweza kukaribishwa au kutokaribishwa ndani 3. Endapo Wahojaji wa Kujitolea hawajakaribishwa ndani, waangalie eneo tulivu nje na kukaa4. Waitambulishe Uwezo na kueleza sababu ya ziara yao. (Hii ni muhimu sana)5. Wajibu maswali yoyote ambayo wanaweza kuulizwa na wanakaya6. Wawe wazi, watulivu na wenye amani. Daima wanyenyekevu na wenye heshima7. Waombe ruhusa ya kufanya utafi � kwenye kaya hiyo. Ni pale tu wanapopata ruhusa ndipo wanaweza

kuanza utafi � 8. Wawashukuru wanakaya wanapokuwa wamemaliza kufanya utafi � wao

UWEZO SI SEHEMU YA

SERIKALI. UWEZO INATATHMINI

WATOTO NA INAKUSANYA

DATA AMBAZO ZITATUSAIDIA

KUELEWA NI VIZURI KIASI GANI

WATOTO WANAJIFUNZA KATIKA

AFRIKA MASHARIKI.

Page 25: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

23Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

l Wahojaji wa Kujitolea lazima wawe na Fomu za Taarifa za Kaya mbele yaol Kama hakuna fomu za kuwatosha kila mmoja, wanaweza kutumia zilizopo kwa pamojal Kipindi kinapaswa kutolewa utangulizi kwa njia ya maelezo mafupi juu ya hatua muhimul Sehemu muhimu zaidi ka� ka mafunzo haya itakuwa ni kuwaelekeza hatua kwa hatua Wahojaji wa Kujitolea

jinsi ya kujaza kijitabu cha utafi � .

MCHAKATO WA KUTEMBELEA KAYA

Kaya zinazohesabika ka� ka utafi � Kaya ambazo hazipaswi kujumuishwa ka� ka utafi � (Kaya

hizi zinatakiwa kubadilishwa)

ü Kaya zisizo na watoto wenye umri ka� ya miaka 3-16. (Taarifa kuhusu mkuu wa kaya bado

zinapaswa kukusanywa.)

û Nyumba ambazo zimefungwa kwa sababu wanafamilia wamehama kutoka ka� ka eneo hilo au hawatarudi siku

hiyo

ü Kaya anayoishi mtu mmoja aidha mwanaume au mwanamke anakula kutoka ka� ka jiko lake

mwenyewe

û Kaya ambayo imekataa kushiriki ka� ka utafi � . Kaya hiyo inapaswa kujazwa "Hakuna jibu"

ü Kaya ambayo imefungwa au hakuna mtu aliyepo nyumbani lakini watarudi baadaye

û Nyumba ambazo kuna watoto lakini hakuna watu wazima wa kutoa idhini kwa watoto kushiriki ka� ka utafi �

Ubadilishaji wa KayaUbadilishaji wa kaya inapaswa ufuate utara� bu ambao kaya 5 za ziada zinakuwa zimekwisha chaguliwa. Kumbuka: Ubadilishaji wa Kaya unapaswa kufanyika baada TU ya kuruhusiwa na Mra� bu wa Wilaya.

MTOTO! WAZAZI WAKO WAPO

NDANI? TUNAWEZA KUZUNGUMZA

NA MAMA AU BABA YAKO?

HAPANA. WAZAZI WETU HAWAPO NYUMBANI LEO.

WANATARAJIA KURUDI NYUMBANI BAADAYE? "

HAPANA. TUMEBAKI NA MAJIRANI NDIO

WANATUHUDUMIA LEO

Page 26: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

24 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

Swali: Ni kaya ngapi zitafanyiwa tathmini ka� ka kijiji?

Jibu: Ishirini. (20)

Swali: Je, Wahojaji wa Kujitolea wanaweza kuchagua kaya ambazo wanakutembelea?

Jibu: Hapana. Kaya hizo ishirini zitakuwa tayari zimechaguliwa na Mra� bu wa Wilaya / Mtu wa Mawasiliano. Wahojaji wa Kujitolea watapewa orodha ya kaya za kutembelea zilizochaguliwa kisampuli.

Swali: Nini kinatokea endapo kaya inakataa kushiriki ka� ka utafi � ?

Jibu: Utaiacha kaya hiyo. Kisha utampigia simu Mra� bu wa Wilaya na kupanga kuibadilisha kaya hiyo

7.5: MASWALI AMBAYO HUULIZWA MARA KWA MARA KWENYE KAYA

Swali: Je, Wahojaji wa Kujitolea wanaweza kuchagua kaya ya kubadilisha?

Jibu: Hapana. Unaweza tu kubadilisha kaya ambayo ni aidha imefungwa kwa siku nyingi; inakataa kushiriki au haina watu wazima wa kutoa ridhaa ya upimaji wa watoto. Ka� ka matukio yote Wahojaji wa Kujitolea lazima wawasiliane na Mra� bu wa Wilaya ili kuwajulisha na kupanga kuibadilisha kaya

Swali: Kama wanakaya hawapo nyumbani, lakini watarudi baadaye, Wahojaji wa Kujitolea wanaweza kubadilisha kaya?

Jibu: Hapana. Kama wanakaya watarejea baadaye siku hiyo, Wahojaji wa Kujitolea waendelee kutembelea kaya nyingine zilizo kwenye orodha kwanza, na baadaye kurejea kwenye kaya hiyo mara wanakaya watakapokuwa wamerudi nyumbani. Wanaweza wasiibadili kaya hiyo.

Baada ya kuwafundisha Wahojaji wa Kujitolea jinsi ya kujaza Fomu ya Utafi � wa Kaya, waandae Wahojaji wa Kujitolea ka� ka makundi manne na waambie wafanye igizodhima. Wanapaswa kufanya mazoezi ya:

l Kuingia kwenye kayal Kujitambulisha wenyewel Kutambulisha Uwezol Kuomba ruhusa ya kufanya utafi � wa kaya, na kuomba ruhusa ya kupima watotol Mazoezi ya kukamilisha kujaza kijitabu cha utafi �

Mwongozo wa mafunzo ya Wahojaji wa Kujitolea utakuwa na sehemu ambapo Wahojaji wa Kujitolea wataweza kujipima wenyewe iwapo wasichukue data au wanapaswa kukusanya data kwenye hali zifuatazo ka� ka kaya:

l Binamu ambaye anaishi ka� ka kaya kwa sababu shule anayosoma iko ka� ka kijiji hicho lakini huwa anaenda kijijini kwao kila mwishoni mwa wiki ili kuwaona wazazi wake. Je, tunachukua taarifa zake na kumpa majaribio?

NDIYO / HAPANAl Mtoto ambaye karudi kutoka shule za bweni kwa sababu ni mgonjwa. Je, tunachukua taarifa zake na kumpa

majaribio? NDIYO / HAPANAl Mama ambaye ana umri wa miaka 16 na ana mtoto. Je, tunamfanyia tathmini? NDIYO / HAPANAl Kaya ambayo bibi kizee anaishi peke yake. Je, tunaihesabu kama kaya ya tathmini? NDIYO / HAPANA

Page 27: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

25Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

Fomu ya utafi � na maelezo ya kaya lazima ikamilishwe kabla ya mtoto yeyote wa kaya hiyo kupimwa.

Chukua maelezo ya wanakaya wote. Ikitokea watoto hawapo nyumbani (wanaweza kuwa kijijini au shambani, nk) chukua taarifa kuhusu mtoto - jina, umri na elimu yake ya sasa. Waombe wanafamilia wamwite mtoto huyo ili kwamba, uweze kuongea naye moja kwa moja. Kama hatakuja haraka kwa muda huo, iwekee alama kaya hiyo na itembelee tena baadaye mara utakapokuwa umemaliza kufanya uchunguzi kwenye kaya nyingine.

Q AUnapaswa kuuliza kama kuna maswali yoyote baada ya kipindi. Kama hakuna maswali, basi unapaswa kuuliza maswali yako mwenyewe ili kupima uelewa wa Wahojaji wa Kujitolea.

Page 28: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

26 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

SURA YA 8: KUPIMA WATOTO

Mpaka mwishoni mwa kipindi hiki, Wahojaji wa Kujitolea:

l Watajua ni watoto gani ambao wanapaswa kuwapimal Watajua jinsi ya kusimamia majaribio kwa mtotol Watajua jinsi ya kumtathmini kila mtoto na kujua ni nini mtoto anaweza kukifanya bila shidal Watajua kwa usahihi kumpangia daraja mtotol Watajua jinsi ya kutoa mrejesho wa kutosha wa matokeo papo kwa papo kwa wazazi / walezi

8.2: KUFAHAMU AINA YA WATOTO AMBAO WANAPASWA KUFANYIWA MAJARIBIO

Kuna makundi MANNE ya watoto ambao wanaweza kupa� kana ka� ka kaya. Ufuatao ni muhtasari wa maelezo ya kujaza kwa watoto wote:

Umri wa Mtoto Taarifa gani za kujaza Kusimamia majaribio?

Miaka 0-2 û Usimuorodheshe û Hapana

Miaka 3-6

ü Jina Kamili

ü Wasifu

ü Taarifa za Elimu ya Awali

û Hapana. Usimfanyie majaribio mtoto, hata kama anasoma shule ya msingi

Wenye umri wa miaka 7 – 16 ambao aidha

l Wako shulenil Wamewahi kuandishwa shule

kipindi kilichopita

ü Jina Kamili

ü Wasifu

ü Taarifa kusoma

ü Ndiyo. Toa majaribio kwa watoto wote wenye umri wa miaka 7-16 kama wanasoma kwa sasa au wamewahi kuandikishwa shule ka� ka kipindi kilichopita

Wenye umri wa miaka 7 - 16 ambao KAMWE hawajawahi kuandikishwa ka� ka shule. (Hii haijumuishi pamoja na watoto ambao waliwahi kusoma shule ka� ka baadhi ya ngazi na kisha kuacha.)

ü Jina Kamili

ü Wasifu

ü Ndiyo. Wafanyie majaribio hata kama mtoto hajawahi kuandikishwa shule

Zaidi ya miaka 16 û Usimuorodheshe

û Hapana. Usimfanyie majaribio mtoto yeyote mwenye umri wa miaka zaidi ya 16, hata kama bado anasoma shule

Dakika 50

8.1: OBJECTIVES

WATOTO WOTE KUTOKA KATIKA KAYA ZILIZOCHAGULIWA LAZIMA WAFANYIWE TATHMINI WAKIWA NYUMBANI. KWA HALI YOYOTE ILE WATOTO WASIPIMWE WAKIWA KATIKA MAZINGIRA YA SHULE ZAO.

Page 29: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

27Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

l Waombe Wahojaji wa Kujitolea wakae ka� ka makundi ya watu watatu au wanne, na kusoma kwa zamu jaribio la kusoma kwa sau� kwa kila mmoja mpaka waweze kutofau� sha bila shida ngazi tofau� za kusoma.

l Waombe Wahojaji wa Kujitolea waweke alama kwenye Fomu ya utafi � wa kaya ngazi mbalimbali za jaribio.

l Watake kila kikundi kuangalia majaribio ya hisaba� na kufanya mazoezi ya kujibu maswali. Hii itawasaidia kuyajua vyema majaribio.

l Kwa hali yoyote ile Wahojaji wa Kujitolea hawatakiwi kutoa majaribio tofau� na waliyopewa au kujitungia maswali yao mwenyewe. Kazi zote zinazotolewa kwa watoto lazima zitoke ka� ka kijitabu cha majaribio.

l Waelezee Wahojaji wa Kujitolea sababu ya kuwa na sampuli nne tofau� kwa kila moja ya majaribio.

Aliyeacha shule ni mtoto ambaye hakumaliza

aidha Mzunguuko wa Elimu ya Msingi (Darasa la

7) au Mzunguuko wa Elimu ya Sekondari (Kidato

cha 4). Waliachia mahali fulani katikati.

WATOTO WALIO NJE YA ENEO LA KUHESABIA: Kunaweza kuwa na watoto kutoka ka� ka kaya ambao wamekwenda shule za bweni au kutembelea ndugu. USIWAORODHESHE. USIWAJUMUISHE pamoja ka� ka jumla ya idadi ya wanakaya.

WATOTO WALIOKUJA KUTEMBEA: USIWAFANYIE utafi � au kuwapima watoto ambao wamekuja kutembelea ndugu zao au marafi ki ka� ka kijiji sampuli au kaya. USIWAPIME watoto wote ambao hawaishi siku zote ka� ka kaya hiyo, hata kama watakuomba uwapime.

ZINGATIA: Aliyeacha shule ni mtoto ambaye hakumaliza aidha Mzunguuko wa Elimu ya Msingi (Darasa la 7) au Mzunguuko wa Elimu ya Sekondari (Kidato cha 4). Aliachia mahali fulani ka� ka� . Mtoto aliyemaliza darasa la 7 lakini hakuweza kuendelea sekondari HAHESABIKI kama aliacha shule. Jaza kwamba mtoto huyu alimaliza shule.

Page 30: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

28 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

Hatuendi vijijini "kuchunguza" watoto, au kuwa watoa hukumu kwa makosa ya watoto. Tunakwenda kubaini kile ambacho watoto wanaweza kufanya BILA SHIDA ka� ka stadi za kusoma na kuhesabu.

l Tunapotoa majaribio kwa watoto, hatusubiri kuchukua makosa. Tunapaswa kupongeza na kuzitambua juhudi ambazo mtoto anazifanya

l Ni muhimu kuhakikisha kwamba watoto wanajengewa mazingira ya utulivu na hawana wasiwasi kuhusu kile wanachoenda kukifanya. Mazungumzo ya kirafi ki na mtoto kabla ya kumpima yanaweza kusaidia kujenga mazingira yenye utulivu

l Mara nyingi familia na majirani watakusanyika kuzunguka eneo alilopo mtoto ili kuangalia kile ambacho mtoto anafanya. Kuzungumza na mtoto kwa lugha ya kirafi ki itamsaidia mtoto kuwa mtulivu zaidi

l Ni muhimu kuwa na subira, tabasamu, na m� e moyo mtoto na kumpa� a muda wa kutosha kusoma, kufi kiri na kujibu maswali

8.3: JINSI YA KUTATHMINI WATOTO

Q AUnapaswa kuuliza kama kuna maswali yoyote baada ya kipindi. Kama hakuna maswali, basi unapaswa kuuliza maswali yako mwenyewe ili kupima uelewa wa Wahojaji wa Kujitolea.

Madhumuni ya utafi � wa Uwezo ni kubaini NGAZI YA JUU ambayo mtoto anaweza kufi kia ka� ka kazi zote alizopewa. Wahojaji wa Kujitolea wanaweza kulazimika kumpi� sha mtoto ka� ka mfululizo wa majaribio tofau� mpaka waweze kuamua kiwango cha juu kabisa alichofi kia.

MHUSA HAKUJA S ..... S .....

SHULENI LEO. MUSA ALIVUNJIKA

MGUU WAKE. ALIKUWA ANENDESHA

B ....... B ....... BAISKELI KWA KASI

SANA.....

Page 31: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

29Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

9.1: MALENGO

Mpaka kufi kia mwisho wa kipindi hiki, Wahojaji wa Kujitolea:

l Watajua hatua za kuchukua ka� ka kutathmini stadi za kusomol Watajua wapi pa kuanzia na jinsi ya kuendelea kutoka ngazi moja hadi nyingine waka�

mtu anajaribu kumuweka mtoto ka� ka ngazi sahihil Wataweza kumpanga mtoto kwa usahihi ka� ka daraja lake kwenye Fomu ya utafi �

Q A

SURA YA 9: UFAFANUZI WA TATHMINI YA KUSOMA

Sehemu muhimu zaidi ya mafunzo haya itakuwa ni kuwaelekeza Wahojaji wa Kujitolea hatua kwa hatua jinsi ya kufanya tathmini ya majaribio kwa mtoto na kumpangia daraja analostahili kwa usahihi kwenye Fomu ya utafi �

Swali: Kwa nini majaribio ya kusomo yanaanzia ka� ka ngazi ya aya? Je kwa nini majaribio yasianzie kwenye ngazi ya kutambua herufi na kupanda juu kwenye magumu zaidi pale mtoto anapoweza kukamilisha jaribio?

Jibu: Jaribio la kupima stadi za kusoma huanzia ka� ka ngazi ya aya kwa kuwa watoto wote wanaotathminiwa wanapaswa kuwa na uwezo wa kusoma na kukamilisha ngazi hii ya jaribio. Kuanzia ka� ka ngazi ya aya kwa watoto wote inachukua muda mfupi zaidi kwa mtafi � wa kujitolea ambaye anatakiwa kutembelea jumla ya kaya ishirini.

Wakifanya kazi ka� ka vikundi vya watu watatu, mtafi � mmoja wa kujitolea ataigiza kama mtoto. Mtafi � mwingine wa kujitolea ataigiza kama mpimaji (mtoa tathmini). Na mtafi � wa kujitolea wa tatu atakuwa mtazamaji. 'Mtoto' anapaswa kuanza kwa kusoma majaribio kwa sau� , kuanzia ngazi ya aya. Mtazamaji anapaswa kuamua kama mtoto anaweza kusoma aya kwa kujiamini na bila makosa au hawezi. Kwa kutumia cha� iliyopo hapa chini, kundi la Wahojaji wa Kujitolea linapaswa kuamua ni sampuli ipi ya majaribio inapaswa kufua� a ka� ka kumpima mtoto, na jinsi mtoto atakavyopangiwa daraja.

Ili kuufanya upimaji na utoaji alama uonekane wazi, waambie Wahojaji wa Kujitolea waweke alama kwenye Fomu ya sampuli ngazi mbalimbali za majaribio.

Saa 1

Page 32: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

30 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

ANZA

NDIO

NDIO

NDIO

NDIO

NDIO

HAPANA

HAPANA

HAPANA

HAPANA

Mwambie mtoto asome hadithi. Je, mtoto anaweza kusoma hadithi kwa urahisi na kasi bila

kufanya makosa zaidi ya 2?

MPANGE MTOTO HUYU

KWENYE DARAJA LA ‘HADITHI’

Weka alama 'Anaweza Kufanya' ka� ka kujibu swali

MPANGE MTOTO HUYU KWENYE

DARAJA LA 'HERUFI'

Baada ya kusikiliza mtoto akisoma

hadithi, umsomee swali. Je, mtoto kajibu swali kwa

usahihi?

MPANGE MTOTO HUYU

KWENYE DARAJA LA 'AYA'

MPANGE MTOTO HUYU

KWENYE DARAJA LA 'MANENO'

Muoneshe mtoto ukurasa wa kusoma

kwa kutambua herufi . Mwambie

asome herufi zozote tano kutoka ka� ka orodha ya herufi .

Je, mtoto anaweza kutambua / kusoma

angalau herufi 4?

Weka alama 'Hawezi kufanya'

ka� ka kujibu swali

Kama mtoto hawezi kutambua/kusoma

herufi nne,MPANGE MTOTO

HUYU KWENYE DARAJA LA

'HAJUI KITU'

Mwambie mtoto asome maneno yoyote matano kutoka kwenye orodha ya maneno. Je, mtoto anaweza kusoma maneno angalau manne?

HAPANA

Muoneshe mtoto moja ya aya mbili ambazo ni rahisi kusoma.Je, mtoto anaweza kusoma aya hii kwa kasi na bila kusitasita, na

bila kufanya makosa zaidi ya 2?

30 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

Page 33: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

31Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

9.2: Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara

Swali: Ninapomsikiliza mtoto akisoma, kuna tofau� ka� ka matamshi na sau� kutokana na lugha ya asili ya mtoto au lugha ya mama. Je, nichukulie tofau� hizi kama kosa?

Jibu: Hapana. Usichukulie tofau� hizi kama kosa. Mwambie mtoto asome tena kwa umakini.

Swali: Ninapomsikiliza mtoto akisoma, anaweza kusoma neno vibaya au kuruka neno. Je, nichukulie hili kama kosa na kumuweka mtoto ka� ka kundi la daraja la chini?

Jibu: Hapana. Kama ilivyo hapo juu, mwambie mtoto asome tena kwa umakini. Aidha atasoma vizuri kwa usahihi au ataendelea kufanya makosa yale yale. Kama ataendelea kufanya makosa yele yele, kukosea maneno au kusoma neno lisilo sahihi, basi hii ina maana kwamba mtoto anapata ugumu wa kusoma ka� ka ngazi hiyo na kwamba inapaswa awekwe kwenye ngazi ya chini.

Swali: Waka� anasoma aya au hadithi, inakuwa endapo mtoto amefanya makosa 3 au zaidi?

Jibu: Kama mtoto amefanya makosa 3 au zaidi, hana uwezo wa kusoma ka� ka ngazi hii. Anapaswa kuwekwa kwenye ngazi ya chini.

Unapaswa kuuliza kama kuna maswali yoyote baada ya kipindi. Kama hakuna maswali, basi unapaswa kuuliza maswali yako mwenyewe ili kupima uelewa wa Wahojaji wa Kujitolea.Q A

Kunaweza kuwa na watoto kutoka katika

kaya ambao wamekwenda shule za bweni au

kutembelea ndugu. USIWAORODHESHE. USIWAJUMUISHE

pamoja katika jumla ya idadi ya wanakaya.

31Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

Page 34: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

32 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

10.1: MALENGO

Hadi mwishoni mwa kipindi hiki, Wahojaji wa Kujitolea wanapaswa kuwa na uwezo wa:

l Kuelewa hatua zilizochukuliwa kutathmini stadi za kuhesabul Kuelewa wapi pa kuanza na jinsi ya kuendelea juu kutoka ngazi moja hadi nyingine mtu

anapojaribu kumuweka mtoto ka� ka ngazi sahihil Kumpanga mtoto ka� ka daraja lake kwa usahihi kwenye Fomu ya utafi �

SURA YA 10: UFAFANUZI WA TATHMINI YA KUHESABU

Sehemu muhimu zaidi ya mafunzo haya itakuwa ni kuwaelekeza Wahojaji wa Kujitolea hatua kwa hatua jinsi ya kufanya tathmini ya majaribio kwa mtoto na kumpangia daraja analostahili kwa usahihi kwenye Fomu ya utafi �

KUMBUKA KWAMBA HATUTATHMINI MBINU ZA KUJIBU MASWALI

Kama ilivyokuwa ka� ka zoezi la kazi ya kikundi iliyopita, Wahojaji wa Kujitolea watafanya kazi ka� ka makundi ya watu watatu, mhojaji mmoja wa kujitolea ataigiza kama mtoto. Mhojaji mwingine wa kujitolea ataigiza kama mpimaji (mtoa tathmini). Na mhojaji wa kujitolea wa tatu atakuwa mtazamaji. Wahojaji wa Kujitolea hawapaswi kurudia kuigiza nafasi zilezile, wabadilishane nafasi. 'Mtoto' anapaswa kuanza kwa kufanya na kukamilisha maswali ya jaribio la hesabu za kutoa. Mtazamaji anapaswa kuamua kama mtoto anaweza kufanya hesabu za kutoa bila kubabaika na bila makosa. Kwa kutumia cha� iliyopo hapa chini, kundi la Wahojaji wa Kujitolea linapaswa kuamua ni sampuli ipi ya majaribio inapaswa kufua� a kumpa mtoto, na jinsi mtoto atakavyopangiwa daraja.

Q AUnapaswa kuuliza kama kuna maswali yoyote baada ya kipindi. Kama hakuna maswali, basi unapaswa kuuliza maswali yako mwenyewe ili kupima uelewa wa Wahojaji wa Kujitolea.

Dakika 40

10.2: MASWALI YA ZIADA

l Hili ni jaribio la watoto WOTE waliomo ka� ka kundi la watoto wenye umri wa ka� ya miaka 7-16 bila kujali wanasoma shule kwa sasa au hawasomi

l Mtoto anatakiwa kujibu maswali kwa kutumia lugha yoyotel Wape watoto WOTE wenye umri wa miaka ka� ya 7-16 bila kujali ngazi zao za kusoma au kuhesabul USIMSAIDIE mtoto, wala kumpa vidokezo

32 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

Page 35: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

33Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

ANZA

NDIO

NDIO

NDIO

NDIO

NDIO

NDIO

NDIO

HAPANA

HAPANA

HAPANA

HAPANA

HAPANA

HAPANA

Mpe mtoto maswali ya kuzidisha. Mwambie mtoto achague na kufanya maswali yoyote MATATU. Angalau maswali mawili afanye kwa usahihi. Je, maswali hayo

mawili ya kuzidisha yamefanyika kwa usahihi?

Mpe mtoto maswali ya kugawanya. Mwambie mtoto achague na

kufanya maswali yoyote MATATU. Angalau maswali mawili afanye kwa usahihi. Je, maswali hayo

mawili ya kugawanya yamefanyika kwa usahihi?

MPANGE MTOTO HUYU KWENYE NGAZI YA

MTOTO WA 'KUGAWANYA'.

MPANGE MTOTO HUYU KWENYE NGAZI YA

MTOTO WA 'NAMBA IPI NI KUBWA'

MPANGE MTOTO HUYU KWENYE NGAZI YA

MTOTO WA 'KUTAMBUA NAMBA'

MPANGE MTOTO HUYU KWENYE NGAZI YA MTOTO WA 'KUHESABU NA KUOANISHA NAMBA'

MPANGE MTOTO HUYU

KWENYE NGAZI YA

MTOTO WA 'KUTOA'

MPANGE MTOTO HUYU KWENYE NGAZI YA

MTOTO WA 'KUZIDISHA'

MPANGE MTOTO HUYU

KWENYE NGAZI YA

MTOTO WA 'KUJUMLISHA'

Mpe mtoto maswali ya ‘Namba ipi ni Kubwa’. Mwambie mtoto achague na kufanya maswali yoyote MATANO. Angalau maswali MANNE afanye kwa usahihi. Je, anaweza kufanya maswali

MANNE kwa usahihi?

Mpe mtoto maswali ya ‘Kuhesabu idadi na Kuoanisha namba’. Mwambie mtoto ahesabu se� zozote TANO za alama na kuzioanisha na namba. Angalau jozi NNE afanye kwa usahihi.

Je, anaweza kukamilisha jozi NNE kwa usahihi?

MPANGE MTOTO HUYU KWENYE NGAZI YA MTOTO WA 'HAJUI KITU'

Mpe mtoto maswali ya ‘Kutambua namba’.

Mwambie mtoto asome namba zozote TANO. Angalau namba NNE

ziwe sahihi. Je, anaweza kutambua namba NNE

kwa usahihi?

Mpe mtoto maswali ya kujumlisha. Mwambie mtoto achague na kufanya maswali yoyote MATATU. Angalau maswali mawili afanye kwa usahihi. Je, maswali hayo

mawili ya kujumlisha yamefanyika kwa usahihi?

HAPANA

Mwoneshe mtoto jaribio la kutoa kwanza. Mwambie mtoto achague na kufanya maswali yoyote MATATU. Angalau afanye maswali mawili kwa sahihi. Je, maswali

hayo mawili ya kutoa yamefanyika kwa usahihi?

33Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

Page 36: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

34 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

SURA YA 11: MREJESHO WA PAPO KWA PAPO

Hadi mwishoni mwa kipindi hiki, Wahojaji wa Kujitolea wanapaswa kuwa na uwezo wa:

l Kuelewa umuhimu wa mrejesho wa papo kwa papol Kutoa mrejesho huu kwa usahihi kwa wazazi / walezi ka� ka kayal Kutambua njia ya kuibua majadiliano na wazazi / walezi kuhusu baadhi ya mambo wanayoweza kufanya ili

kusaidia kujifunza kwa watoto wao

11.1: MALENGO

Wahojaji wa Kujitolea watafanya kazi ka� ka makundi ya watu watatu, mtafi � mmoja wa kujitolea ataigiza nafasi ya mzazi. Mhojaji mwingine wa kujitolea ataigiza kama mpimaji (mtoa tathmini). Na mhojaji wa kujitolea wa tatu atakuwa mtazamaji. Wahojaji wa Kujitolea hawapaswi kurudia kuigiza nafasi zilezile kama ilivyokuwa ka� ka mazoezi ya awali, wabadilishane nafasi. Mtazamaji au mtoa tathmini atafanya zoezi la kutoa mrejesho wa matokeo papo kwa papo ka� ka matukio mbalimbali ambayo watoto wana viwango tofau� vya uwezo. Wahojaji wa Kujitolea kila mmoja abadilishane majukumu tofau� mara tatu na kuendelea, mpaka kila mtu awe amepata nafasi mara mbili ya kufanya mazoezi ya kutoa mrejesho wa matokeo papo kwa papo.

Dakika 30

11.3: USHAURI KUHUSU MREJESHO WA PAPO KWA PAPO

l Majaribio haya yameandaliwa ka� ka ngazi ya Darasa la 2.l Mtoto yeyote ambaye yuko ngazi ya juu zaidi ya Darasa la 2 anapaswa kuweza kufanya majaribio yote bila

shida.l Kama mtoto aliye ngazi ya juu ya Darasa la 2 hawezi kufanya majaribio ya Darasa la 2, si sawa kusema kwamba

mtoto amefanya vizuri.l Inashauriwa tu kusema kama mtoto ana ujuzi ka� ka stadi za msingi za kusoma na kuhesabu.l Kama hawawezi kufi kia ngazi ya juu, basi ni dhaifu.l Wahojaji wa Kujitolea wanapswa kutoa matokeo ya watoto ambao ni wazuri kimasomo ka� ka njia rahisi na

bila makeke.

11.2: MREJESHO WA PAPO KWA PAPO KATIKA NGAZI YA KAYA

l Kutoa mrejesho wa matokeo papo kwa papo ni sifa muhimu na nguzo ya Uwezo. Kile ambacho wanakaya wanaambiwa na namna ambayo matokeo yanatolewa ni muhimu SANA.

l Kabla ya kuondoka ka� ka kaya, mhojaji wa kujitolea lazima atoe mrejesho wa matokeo papo kwa papo.l Mtafi � wa kujitolea anapaswa kushirikishana kwa uaminifu matokeo ya majaribio yote na wazazi au

walezi wa watoto. Wanapaswa kutoa matokeo kwa UKWELI na uaminifu bila kufi cha na si kuongeza chumvi kuhusu uwezo wa watoto wa kujifunza.

l Wahojaji lazima wajaribu kuurahisisha mrejesho ili wazazi wapate picha halisi na jinsi ya kuwasaidia watoto wao.

l Wahojaji wa Kujitolea WASIWAAMBIE wazazi nini cha kufanya.

Page 37: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

35Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

11.4: KUKUSANYA PAMOJA TAARIFA ZA MAENEO YA KUHESABIA NA KUZITUMA

Baada ya kukamilisha tathmini na kabla ya Wahojaji wa Kujitolea kurudisha data kwa Mra� bu wa Wilaya, wanahitaji kukusanya data zote za kaya kwenye Fomu ya Eneo la Kuhesabia, ambayo ipo ka� ka Kijitabu cha Utafi � . Wahojaji wa Kujitolea hawatakiwi kuandika taarifa nje ya Kijitabu cha Utafi � . Fuata hatua hizi kwa ajili ya kujaza Fomu ya Eneo la Kuhesabia:

l Kamilisha muhtasari wa kila kaya. Muhtasari huu unapaswa kuingizwa ka� ka mstari wa chini wa Fomu ya mkusanyiko wa Kaya

l Hamishia muhtasari huu wa kaya kwenye Fomu ya Eneo la Kuhesabia. Kila kaya inatakiwa kuingizwa ka� ka mstari tofau�

l Kamilisha muhtasari wa Eneo la Kuhesabia. Jumla za Eneo la Kuhesabia zinatakiwa kuingizwa kwenye mstari wa mwisho wa Fomu ya Eneo la Kuhesabia

l Mmoja wa wahojaji wawili anapaswa kukabidhisha vitabu vya utafi � kwa Mra� bu wa Wilaya mara moja baada ya kukamilika

Unapaswa kuuliza kama kuna maswali yoyote baada ya kipindi. Kama hakuna maswali, basi unapaswa kuuliza maswali yako mwenyewe ili kupima uelewa wa Wahojaji wa Kujitolea.Q A

MAJARIBIO YAMEANDALIWA KWA NGAZI YA MAZOEZI YA

DARASA LA 2. ASHA ANASOMA DARASA LA 3, MAANA YAKE

ANAPASWA KUWEZA KUKAMILISHA NA KUFAULU MAJARIBIO

YOTE BILA SHIDA. ASHA ALIFAULU KWA NGAZI YA "HADITHI"

KATIKA KUSOMA NA NGAZI YA "KUGAWANYA" KATIKA

HISABATI. HII INA MAANA ASHA ANAFANYA VIZURI KWA

KIWANGO KINACHOTARAJIWA.

Page 38: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

36 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

12.1: MALENGO

Hadi mwishoni mwa kipindi hiki, Wahojaji wa Kujitolea wanapaswa kuwa na uwezo wa:

l Kuelewa masuala ya kimaadili yanayohusika ka� ka tathmini ya Uwezol Kuelewa makosa ambayo hufanywa mara kwa mara ka� ka tathmini za Uwezo

SURA YA 12: MASUALA YA MAADILI

12.2: MASUALA YA KIMAADILI

l Watoto haipaswi wafanyiwe majaribio bila ridhaa ya mzazi au mlezi l Ni lazima kupata ruhusa kutoka kwa mkuu wa kaya kabla ya kuanza utafi � l Wahojaji wa Kujitolea lazima wafuate hatua na kanuni zote kama zilivyoainishwa ka� ka mafunzo.

Wasiwasi wa aina yoyote, maswali au hoja LAZIMA viwekwe bayana na Mra� bu wa Wilaya KABLA ya tathmini kuanza

l Wahojaji wa Kujitolea hawapaswi kamwe kushirikishana majina au habari za mtu binafsi YEYOTE na watu wengine ka� ka kijijini

l Wahojaji wa Kujitolea HAWAPASWI kutoa ahadi ya msaada wowote au ufadhili kutoka Uwezo.l Wahojaji wa Kujitolea HAWAPASWI kuchagua watoto gani wa kuuliza maswali kwa watoto wote walio

ndani ya kundi la umri wa ka� ya miaka 7-16. Watoto wote ka� ka tabaka la umri huu lazima wafanyiwe tathmini.

l Barua za idhini ya kufanya utafi � lazima zibebwe waka� wotel Watafi � wa kujitole LAZIMA waripo� kwa Mwenyeki� wa kijiji au Mtendaji wa kijiji kabla ya kuanza utafi � l Kama nyumba imefungwa, Wahojaji wa Kujitolea wasidhani wanajua vyema taarifa za kaya hiyo na

kuamua kujaza bila wahusika kuwepo.l Wahojaji wa Kujitolea wanapaswa kuwa wakweli ka� ka mchakato mzima wa tathmini na si kutumia njia

za mkatol Wahojaji wa Kujitolea wasichukue/kupiga picha yoyote kabla ya kupata idhini l Wahojaji wa Kujitolea wanapaswa kuvaa fulana zao waka� wote wa Tathminil Wahojaji wa Kujitolea wanapaswa kuzinga� a maadili ya kitamaduni na kanuni za uvaaji wa jamii

wanayokwenda kutembelea kwa mfano, salamu, mavazi nk

Dakika 15

12.3: MAKOSA YALIYOFANYWA MARA KWA MARA NA WAHOJAJI WA KUJITOLEA MWAKA 2012

A. Kushindwa kumtembelea mwenyeki� Kijiji/Mtaa, au Mtendaji wa Kijiji (VEO)B. Kaya inapokuwa imefungwa, kujaza baadhi ya taarifa na data za wasifu bila kumuuliza mkuu wa kayaC. Kutowafanyia majaribio watoto wote wenye umri wa miaka 7-16 ka� ka kayaD. Kuwafanyia majaribio watoto wenye umri chini ya miaka 7 na zaidi ya miaka 16E. Kutokutoa Mrejesho wa matokeo papo kwa papoF. Kutorudi tena kufanya tathmini ka� ka baadhi ya kaya ambazo watoto hawawepo waka� wa tathmini

Page 39: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

37Uwezo | Elimu bora, Jukumu langu!

Page 40: UWEZO TANZANIA 2013 · kikundi Swali & Jibu Q A Dhana kuu Mambo ya kukumbuka kwa mwezeshaji. 2 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo SEHEMU YA 1: MWONGOZO WA MAANDALIZI SURA

38 2013 • Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

Mwongozo wa Maandalizi na Mafunzo

U W E Z O T A N Z A N I A

2 0 1 3

Mtaa wa Mafi nga,barabara ya Kinondoni

S L P 38342, DSM, TanzaniaE: [email protected]

www.uwezo.net