undani wa mtoto · kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo kwa watu wazima wa kuwatunza ambao...
TRANSCRIPT
Undani Wa Mtoto
Kujiunganisha na watoto waliopitia huzuni na kufiwa
Na Judy Rankin pamoja na Mch Renate Cochrane na Khulakahle
Child Counseling and Training Forum
Undani Wa Mtoto
Kujiunganisha na watoto
Na Judy Rankin pamoja na Mch Renate Cochrane na Khulakahle Child Counselling and Training Forum
Undani Wa Mtoto
Kujiunganisha na watoto
YaliyomoUtangulizi na Vifupisho ............................................................................................................................................. 4
Dibaji: Kuhusu machapisho ya Tumeitwa Kuhudumia ............................................................................. 5
Washirika wa Tumeitwa Kuhudumia .................................................................................................................. 6
Neno la Utangulizi kutoka Khulakhale na Masangane ..................................................................................... 7
Utangulizi ....................................................................................................................................................................... 11
Kipengele cha A: Utambulisho, matarajio na mawazo mapya ................................................................... 15
Kipengele cha B: Hadithi nyingi za maisha yetu .............................................................................................. 25
Kipengele cha C: Utoto - wakati maalumu wenye mahitaji maalumu ..................................................... 31
Kipengele cha D: Kujiunganisha na watoto ....................................................................................................... 39
Kipengele cha E: Nidhamu........................................................................................................................................ 47
Kiambatanisho: Vivunja ukimya, viburudisho na mapumziko .................................................................... 62
Nyenzo za ziada............................................................................................................................................................. 66
Marejeo............................................................................................................................................................................. 67
Machapisho ya Tumeitwa Kuhudumia............................................................................................................. 68
.. 53
4 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Shukrani
VifupishoUKIMWIVVU
www.stratshope.org 5
Katika nchi nyingi duniani kote, makanisa na Wakristo binafsi wanaitikia wito wa Kristo kwamba “mpende jirani yako kama nafsi yako” kwa kufanya shughuliza kijamii katika kukabiliana na changamoto nyingi za VVU na UKIMWI.
Katika nchi za Africa chini ya Jangwa la Sahara, makanisa mara nyingi yamekuwa mstari wa mbele katika jitihada za kupunguza athari za VVU na UKIMWI. Wanaonyesha kwa vitendo kwa njia nyingi kwamba wanajisikia “kuitwa kuhudumia” kwa wale ambao wameathirika au wameathiriwa na janga la VVU. Kwa mfano, wamefanikiwa kubuni njia za kufanya upatikanaji wa huduma muhimu za afya kwa watu wanaoishi na VVU, na kuwapa elimu, misaada ya kijamii na huduma za afya kwa watoto yatima waliotokana na UKIMWI.
Hata hivyo, Makanisa yamekuwa hayafanyi vizuri sana katika kushughulikia matatizo kama kujikinga na VVU, unyanyapaa unaotokana na VVU, aibu na ubaguzi, tamaduni na mambo ya kijinsia yanayohusu tabia hatarishi za kujamiiana. Kukataa ukweli wa VVU na UKIMWI ndani ya jamii za kanisa kupo kwa kiasi kikubwa. Pamoja na kuwa kujamiiana ndio njia kuu ya kuenea kwa VVU miongoni mwa nchi nyingi, ni mara chache sana inazungumziwa ndani ya kanisa kwa uwazi na katika hali isiyo ya kuhukumu.
Bado makanisa na taasisi nyingine za kiimani wana uwezo mkubwa wa kuwaimarisha watu binafsi na jamii kuhusu ufahamu, mtazamo, ujuzi na mikakati wanayohitaji katika kushughulikia masuala yanayohusu kujamiiana, jinsia na UKIMWI. Zaidi ya hayo, viongozi wengi wa makanisa wametambua uhitaji wa juhudi za kukabiliana na mambo yanayosababishwa na janga la UKIMWI kwa nguvu na kwa uwazi katika upana wake.
Ili kusaidia juhudi hizi, Wadhamini wa Mikakati ya Kuleta Matumaini wanatayarisha machapisho ya Tumeitwa Kuhudumia. Hii inajumuisha vijitabu vya miongozo inayoelekeza kutenda mambo yanayohusiana na VVU na UKIMWI kwa viongozi wa kanisa (waliobarikiwa na wasiobarikiwa) hasa walioko Africa chini ya Jangwa la Sahara. Machapisho ya Tumeitwa Kuhudumia yametayarishwa ili kuwawezesha wachungaji, mapadre na watawa wa kike na wa kiume, walei viongozi wa kanisa na waumini wao na jamii ili waweze:
Kutafakari na kuelewa kiroho, kitheolojia,
kimaadili, kiafya, kijamii, na kimatendo madhara ya janga la VVU na wito wa Kikristo wa kuitikia kwa huruma.
Kuushinda unyanyapaa, ukimya, ubaguzi,
kukataa, woga na kukataa kubadilika hali ambazo zinazuia kanisa na jamii katika kukabiliana na mambo yanayohusu UKIMWI kwa ukamilifu zaidi.
Kuwaongoza waumini wao na jamii katika mchakato wa kujifunza na kubadilika, kupelekea kwenye matendo na mienendo ya kikanisa kwa kuwasaidia watu binafsi, familia na jamii ili kupunguza kuenea kwa VVU na kupunguza athari za janga la UKIMWI.
Machapisho ya Tumeitwa Kuhudumia ni mkusanyiko wa vitabu vya kutumiwa na makundi ya kanisa na jamii katika ngazi tofauti tofauti za uelewa na uzoefu juu ya janga la VVU. Kitabu hiki. Na. 6 kimeandaliwa kuchochea jinsi ya kuwarudishia hali zao za mwanzo, yatima na watoto wengine ambao wameishi katika
wao kujirudisha nyuma wao wenyewe na kujaribu
yatatayarishwa katika kipindi cha mwaka 2008 hadi 2010. Vitabu hivi vitakuwa na mada kama vile kujikinga na maambukizi ya VVU, kuishi kwa matumaini na VVU na UKIMWI, VVU na vijana, masuala ya kijinsia, lishe na usalama wa chakula na lishe kwa watu wanaoishi na VVU.
Mradi wa Tumeitwa Kuhudumia unatekelezwa kupitia mchakato wa kimataifa, uwakilishi wa shirikisho la muungano wa makanisa, taasisi nyingine za kidini, jumuia za kanisa za kimataifa na mitandao, wachapaji, wasambazaji na washika dau wengine.
Tunakukaribisha ushiriki katika Tumeitwa Kuhudumia sio tu kwa kutumia yaliyomo kwenye kitabu hiki kwa waumini wako au jamii yako, bali pia kwa kutuandikia kuhusu uzoefu wako, ambao tungependa kuuweka kwenye tovuti ya Mikakati ya Kuleta Matumaini: www.stratshope.org.
Wenu katika imani na mshikamano,
Glen Williams MhaririWadhamini wa Mikakati ya Kuleta Matumaini
DibajiKuhusu machapisho ya TUMEITWA KUHUDUMIA
DIBAJI
‘Machapisho’ mengine ya Tumeitwa Kuhudumia
6 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Washirika wa TUMEITWA KUHUDUMIAMachapisho ya Tumeitwa Kuhudumia yanachapishwa na kusambazwa kwa kushirikiana na
mashirika yafuatayo ya kimataifa, kitaifa na ya kijamii:
Africa Christian Textbooks
African Network of Religious Leaders living with or personally affected by HIV and AIDS (ANERELA+)
Anglican Diocese of Southern Malawi
CAFOD
Catholic AIDS Action
Christadelphian Meal-a-Day Fund
Christian Aid
Christian AIDS Bureau for Southern Africa
Christian Connections for International Health
Christian Literature Fund
Council of Anglican Provinces of Africa
Ecumenical HIV/AIDS Initiative in Africa, World Council of Churches
Family Health International
International Christian Medical and Dental Association
International Network of Religious Leaders living with or personally affected by HIV and AIDS (INERELA+)
Interchurch Organisation for Development Cooperation (ICCO)/Kerk in Actie
Kachere Press
Khulakahle Child Counselling and Training Forum
Lutheran World Federation
Masangane
Maurice and Hilda Laing Charitable Trust
Mercy Ships
Micah Initiative
Misereor
Organisation of African Instituted Churches
Rede Cristao contra HIV/SIDA
Tabernacle Sifa
United Society for the Propagation of the Gospel
Tearfund
World Vision International
Zentrum Oekumene.
~
www.stratshope.org 7
8 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
www.stratshope.org 9
MALAIKA- sala ya kuchochea kazi yetu
10 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
www.stratshope.org 11
Kwa ajili ya nani?
Kwa nini?
UtanguliziNANI
KWA NINI NINI
WAPI LINIKITUMIKEJE
12 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
ndugu wengine au walezi au katika kaya
zinazoongozwa na watoto; wengine huishi
katika vituo vya kulelea watoto yatima au hata
katika taasisi nyingine. Waangalizi wao zaidi ni
wanafamilia, ndugu au wanajamii katika eneo
husika, wengi wao wakiwa pia ni wale ambao
wameathiriwa na janga la UKIMWI na hali duni
ya kiuchumi.
Yatima na watoto wengine ambao wamepitia
wana mahitaji mengi. kwa mfano: chakula,
mavazi, makazi, huduma ya afya, elimu na
malezi. Pia wanahitaji uponyaji wa kihisia na
kiroho ili waweza kurudia hali zao za mwanzo
kutoka kwenye athari walizopata kutokana na
kuugua kwa muda mrefu na vifo vya wazazi na
walezi wao, au kutokana na matukio mengine
ya maumivu ya mshituko kwenye maisha yao.
Mwisho, wanahitaji uponyaji wa kuwarudishia
hali zao za mwanzo - uwezekano wa kuishi
huzuni na kila tukio baya - na kwa mambo
hayo wanahitaji uhusiano chanya na watu
wazima wenye moyo wa kuwahudumia ambao
wanayaelewa mahitaji yao.
Katika nchi nyingi za ki-Afrika, Makanisa katika
nchi hizo na masihrika yanayojishughulisha
na mambo ya kiimani hutoa msaada wa
vitu muhimu (chakula, mavazi, mablanketi),
msaada wa kielimu (vitabu, penseli, sare za
shule), na vile vile msaada wa kihisia na kiroho
kwa yatima na watoto wengine walio katika
mazingira hatarishi. Jitihada hizi hutegemea
sana kazi ya kujitolea ya mamia kwa maelfu
ya watu wanaojitolea - wengi wao wakiwa
wamama wa makanisani - ambao mara kwa
mara wanawatembelea yatima na watoto
wengine walio katika mazingira hatarishi
kuangalia hali zao na kutoa msaada pale
panapowezekana. Wanachama wengine na
sehemu nyingine za jamii - kwa mfano walimu
wa mashule, viongozi wa dini na mashirika
ya kujitolea - pia hutoa mchango muhimu
kusaidia yatima na watoto wengine walio katika
mazingira hatarishi.
Kitu cha msingi katika kuwasaida watoto
kuendeleza hali zao za mwanzo ni kuwepo
kwa watu wazima wa kuwatunza ambao
wanayaelewa mahitaji ya mtoto, kumtia mtoto
moyo wa kujiamini, na wao wenyewe kuwa
mfano wa kuigwa na mtoto. Watu wazima hawa
wanaweza kuwa ni wazazi waliobaki, ndugu,
walezi, walimu, viongozi wa Kanisa, washiriki
wengine wa Kanisa au watu wa kujitolea katika
jamii. Mara chache, hata hivyo, watu wazima
hawa wamefundishwa ujuzi wanaouhitaji
ili kuwaunganisha na yatima na watoto
wengine walio katika mazingira hatarishi, na
kuwawezesha kuendeleza hali zao za mwanzo
ambazo wanazihitaji ili kujijengea mahusiano
mazuri wao wenyewe na wengine. Kwa hiyo
wanahitaji mafunzo katika ujuzi huu.
Zaidi ya yote, nchi za Afrika chini ya Jangwa la
Sahara, watu wazima ambao huwatunza yatima
na watoto wengine walio katika mazingira
hatarishi, kuna uwezekano mkubwa wao nao
yao. Wao pia wanaweza kuwa na hitaji la
uponyaji. Bado uzoefu wao, hata kama
unaumiza, unaweza kuwa wa thamani. Kwa
kuchunguza uzoefu wao wenyewe, na kwa
kuwashirikisha wengine, washiriki katika kozi
hizo za mafunzo wanaweza kugundua ndani
kukuza uelewa mzuri zaidi wa changamoto
zinazowakabili yatima na watoto wengine
Kuhusu nini?Shabaha muhimu ya kitabu hiki siyo katika
kuingiza habari mpya, lakini ni katika kuongeza
nguvu uwezo wa washiriki kuungana na
kuwasaidia watoto ambao wamepitia hali ya
waliopitia hali za huzuni na kufiwa
yao ‘undani wa mtoto’ . Hii itawawezesha pia
wamepitia hali hizo za kufiwa kwenye maisha
huzuni na kufiwa, na walio katika hatari ya
shida ya kufiwa na kuondokewa na wazazi
maisha yenye matumaini licha ya kufiwa,
13
Kitumike wapi na lini?
Kitumikeje?
1. Kuabudu:
2. Marudio:
3. Shughuli:
4. Waanzilishi:
5. Kufunga:
14 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
6. Kazi ya nyumbani:
Kuimba na kucheza kwa kawaida hufanyika bila maandalizi wakati wowote wa mafunzo.
Shughuli ya 1A:
Kukaribisha, Ibada na utambulisho
Makusudi:
Maelezo:
Muda unaotakiwa:
Utaratibu:1.
2.
3.
4.
“Mtu akimpokea mtoto mmoja wa namna hii kwa jina langu, anipokea mimi; na mtu akinipokea mimi, humpokea, si mimi, bali yeye aliyenituma”.
5.
6.
Kipengele cha A
Utambulisho, matarajio na mawazo mapya.
“Mtu akimpokea
www.stratshope.org 15
16 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
7.
Shughuli ya 2A:
Matumaini, matarajiona hofu
Makusudi:
Maelezo:
Muda unaotakiwa:
Utaratibu:1.
2.
3.
4.
5.
“Mtu akimpokea mtoto mmoja wa namna hii kwa jina langu, anipokea mimi; na mtu akinipokea mimi, humpokea, si mimi, bali yeye aliyenituma.”
www.stratshope.org 17
Shughuli ya 3A:
Muundo wa kozi na kanuni za kikundi
Makusudi:
Maelezo:
Muda unaohitaji:
Utaratibu:1.
2.
3.
4.
5.
Shughuli ya 4A:
Yesu na watotoKusudi:
Maelezo:
Muda unaohitajika:
Utaratibu:1
“Basi wakamletea watoto wadogo ili awaguse; wanafunzi wake wakawakemea.Ila Yesu alipoona alichukizwa sana,
waje kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto kama hawa ufalme wa Mungu ni wao. Amin, nawaambieni, Ye yote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia
yake juu yao, akawabarikia.”
18 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
2. Fafanua kwamba kuna mara nyingine moja
tu (habari ya wakopeshaji katika hekalu),
Katika habari hii, hasira yake ilielekezwa
kwa wanafunzi wake mwenyewe. Kwa nini?
Baadhi ya washiriki wanaweza kutoa maoni
mazuri sana, k.m. kwamba Mungu anathamini
wepesi, uwazi na uaminifu wa watoto. Kama
watu wazima, tunakuwa tunaishi maisha yenye
kutatiza, kujaribu kutafuta njia za kukwepa
ukweli na kutokuwaamini wengine.
3. Dokeza kuwa jibu lingine linaweza
kutegemea mafundisho ya Yesu juu ya Ufalme
wa Mungu. Kulingana na hotuba ya mlimani
(Beatitudes), wanyenyekevu na wanyonge ndio
wanaonufaika zaidi na utawala wa Mungu.
“Heri ninyi mlio maskini, kwa sababu ufalme wa Mungu ni wenu. Heri ninyi mlio na njaa sasa, kwa sababu mtashiba. Heri ninyi mliao sasa, kwa sababu mtacheka.” ( Luka
6: 20-22) Watoto wanashiriki hali hiyo hiyo
ya umaskini, ya njaa na ya mateso, ambao
hali hatarishi kwa watoto ndiyo mambo hasa
yanayowaweka alama kama ni wale ambao watakaribishwa katika ufalme wa Mungu.
4. Pia sema kwamba, katika Agano Jipya,
watoto wanawekwa mbele kama mifano
ya kuigwa na watu wazima - kitu ambacho
hakikusikika wakati wa kuishi kwa Yesu. Yesu
anasema ( Marko 10:15):
“Yeyote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia kabisa.” Kwa
sentensi hii Yesu anageuza agano la sheria ya
Wayahudi kichwa chini. Kwa kadri ya Sheria ya
Wayahudi, ni wale watu wazima tu waliofuata
Sheria katika kila kitu ndio waliokubalika na
Mungu. Yesu anatufundisha kwamba Upendo
wa Mungu hauna masharti na kwamba Mungu
yuko upande wa maskini na wanyonge, kama
wanavyowakilishwa na watoto.
5. Hitimisha kwa kusisitiza kwamba huduma
na msaada kwa watoto ndio msingi wa ufuasi
wa Kikristo. Ni kama vile Yesu anatuambia sisi:
“Nifuateni mimi - wahudumieni watoto. Nahitaji
Kanisa kuwaangalia watoto na kuwa watetezi
wao.”
Shughuli ya 5A:Kuweza kujijua wenyewe na watoto wetu
Makusudi:
Kuchunguza kumbukumbu zetu kutoka utoto wetu ili kuweza kujijua sisi wenyewe vizuri zaidi, kwa vile jambo hili linaweza kuongeza ufahamu wetu na wepesi wa kuhisi hisia za watoto.
Kusaidia kujenga uaminifu na uundaji wa kikundi kupitia katika kushirikishana hadithi binafsi.
Kujikumbusha na kutambua maana kuu
ya umuhimu wa mtu mzima katika maisha
yetu wenyewe.
Maelezo:Mjadala wa kundi zima,
ikifuatiwa na mijadala ya vikundi vidogo-
vidogo na kutoa mrejesho kwa kundi
zima.
Muda unaohitajika: Dakika 30.
Utaratibu:1. Kabla ya yote, andika maswali yafuatayo katika bango kitita, na waombe wanakikundi kuyatafakari.
Je, unaweza kukumbuka sehemu maalumu, wakati ulipokuwa unakua,
eri ninyi mlio na njaahiba. Heri ninyi mliao heka.” ( Luka
anashiriki hali hiyo hiy
a na ya mateso amba
2
19 www.stratshope.org
ambayo ina kumbukumbu
maalumu na ya maana
kwako? Mahali ulipojisikia
kuwa na furaha na kuwa
salama?
Je, kulikuwa na mtu
mzima au mtu yeyote
wakati huo ulipokuwa
unakua ambaye kwa
hakika aliunganika na
wewe? Chukua muda
huyu anaweza kuwa
mwalimu wa shule,
mwanafamilia, jirani,
mwalimu wa Shule ya Jumapili, mzazi
yeyote.
Jinsi gani mtu huyu alijiunganisha na wewe na kukufanya wewe ujione kuwa wa
maana? Je, unaweza kukumbuka kipindi
chochote au jambo lolote kwa kirefu?
2. Tafuta mwenzako na mshirikishane hadithi zenu.
3. Baada ya dakika 15, warudi kwenye kundi
zima, ambapo washiriki wataweza kuzungumza
kuhusu baadhi ya watu na sehemu
walizokumbuka.
Shughuli ya 6A:
Hadithi za watoto walio katika mazingira hatarishi kwenye jamii yetu.
Makusudi: Kuwasaidia washiriki kuwatambua watoto walio katika mazingira hatarishi kwenye jamii zao wenyewe.
kina zaidi kuhusu watoto walio katika mazingira hatarishi kwa kuchunguza uzoefu wao wa wakati wa utoto.
Kuimarisha na kujenga hali ya utulivu
na uundaji wa kikundi kwa kufanya kazi
pamoja katika igizo la kisaikolojia.
Maelekezo: Igizo la kisaikolojia;
mjadala wa kundi zima.
Vitu maalum vinavyohitajika: Kadi zenye mitiririko mbalimbali ya
maigizo inayotoa picha ya matatizo
ambayo watoto hukutana nayo mara kwa
mara katika jamii zao, kwa mfano:
Kifo katika familia.
Kuwa na mgonjwa mahututi katika
familia.
Mtoto aliye katika familia ambayo
moja iliyopita.
Kushuhudia kupigana kwa wazazi
kuhusu fedha au pombe.
Mtoto anayeishi katika hali ya umaskini.
Mtoto ambaye ameathirika kwa kubakwa
au kupigwa.
A: UTAMBULISHO, MATARAJIO NA MAWAZO MAPYA
Kuwawezesha washiriki kufikiri kwa
imefiwa na mmoja wa wanafamilia wiki
wa rafiki yako, au mtu mzima mwingine
kufikiri kwa makini. Mtu
20 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Muda unaohitajika: Dakika 45.
TAARIFA KWA WAWEZESHAJI: Igizo la
kisaikojia ni mchezo wa dakika 5 hadi 10 kwa
kila tukio. Washiriki mbalimbali huchukua nafasi
za kuigiza onyesho. Humchagua mtu mmoja
kuongoza mchezo, na wengine kuigiza sehemu
za mchezo. Washiriki wanahitaji kutiwa moyo
kutumia uzoefu wa mambo walivyopitia kwenye
maisha yao kutengeneza mchezo.
Utaratibu:1. Wagawanyike katika vikundi vidogovidogo. Kila
kikundi kichague kadi, ambayo itaainisha aina
ya igizo la kisaikolojia.
2. Vikundi vitengeneze mchezo na wapeane
majukumu, k.m. mtoto, dada, kaka, wazazi, bibi,
babu, mwalimu, mchungaji, mfanyabiashara,
mwuza duka, dereva wa basi.
3. Baada ya dakika 10, vikundi vidogovidogo
vikutane tena katika kundi zima na kila kimoja
kiigize igizo lao la kisaikolojia.
4. Sasa ongoza mjadala kuhusu uzoefu wa
mambo ambayo watoto walio katika mazingira
hatarishi huweza kukutana nayo katika maisha
yao ya kila siku, pamoja na misongo mikubwa
ambayo wamepitia. Weka mkazo kwenye hisia
walizo nazo, na katika vitu vinavyowaunganisha
na hisia, mawazo na tabia zao.
Shughuli ya 7A:
Utangulizi wa uthabiti
Makusudi:
na uzoefu wetu binafsi.
kusaidia kukuza uthabiti kwa watoto
ambao wamepitia mambo magumu na
shida.
Maelekezo: Mjadala wa kundi zima.
Muda unaohitajika: Dakika 30.
TAARIFA KWA WAWEZESHAJI: ni neno linaloweza kutusaida kuelewa jinsi
watoto wanavyoweza kurudia hali zao za
mwanzo kutoka kwenye shida. Ni kuhusu
uwezo wa watoto kurudia hali zao za mwanzo
na kuendelea na maisha yenye matumaini licha
ya vikwazo walivyopitia. Tusisahau kwamba
kila mtoto atahitaji msaada, haidhuru hata kama
wanaonekana wako imara kiasi gani. Kila mtoto
ana kipimo fulani cha uthabiti, lakini jambo hili
huhitaji kukuzwa.
Utaratibu
wa watoto katika bango kitita. Soma kwa sauti
na uulize kama maana hii imeeleweka kwa kila
mmoja katika kundi zima.
2. Waulize washiriki ni vitu gani toka nje
vinavyoweza kusaidia kukuza uthabiti kwa
kwenye orodha inayojumuisha yafuatayo:
kama babayangu angekuwa
bado hai, angejivuniasana nilivyofaulu
hesabu
:
.
.
‘Uthabiti’1. Andika ufafanuzi (hapa kushoto) wa ‘uthabiti’
watoto. Endelea kufanya hivyo mpaka ufike
Kutambulisha fikra ya uthabiti, kutokana
www.stratshope.org 21
uhusiano wa karibu na salama na mtoa
matunzo
uhusiano wa karibu na wanafamilia
wengine waliobaki
chakula cha kutosha, makazi, mavazi na
huduma za afya
elimu
uimara wa kifedha, na
muungano wa karibu na utamaduni wa
jamii yake.
3. Waombe washiriki wazungumzie uzoefu wao
juu ya uthabiti. Waulize: “Je, nani ana uzoefu wa
baadhi ya shida za utoto wao?”; “Je, nini au nani
aliyekusaidia kuwa jinsi ulivyo, ukiwa umekaa
hapa katika warsha hii leo?”; na “Je, ni vipengele
vipi hapo juu toka nje vilivyokuwa vya muhimu
kwako?” Andika baadhi ya majibu kwenye
bango kitita.
4. Elezea kwamba katika kozi hii ya mafunzo
tutakuwa tunalenga zaidi kwenye vitu vya
ndani ambavyo vinahamasisha uthabiti. Katika
kujifunza jinsi ya kujiunganisha na kuzungumza
na watoto, tutakuwa tunalenga kusaidia kukuza
uwezo wa ndani, ambao utamsaidia mtoto
kujenga mitazamo mizuri mitatu:
Nina: mahusiano ya kuaminiana; misimamo na kanuni za nyumbani; mifano ya kuigwa; hamasa; stadi mahiri za kijamii na zangu binafsi; dini na imani.
Mimi: ninapendwa; ninapenda; ninajiamini
mwenyewe; ninawajibika; ninamatumaini; na nastahili kuaminiwa.
Ninaweza : kuwasiliana; kudhibiti hisia
na mihemko; kutafuta mahusiano ya
kuaminiana.
Shughuli ya 8A:
ufahamu na uzoefu gani, unaouleta hapa leo?
Makusudi: Kutambua ujuzi wa pekee, ufahamu na uzoefu wa maisha ya mtu binafsi ambao kila mshiriki anauleta kwenye kozi ya mafunzo.
Kusisitiza kwamba watu wenye elimu rasmi ndogo wanaweza wakawa na
hekima na uzoefu mwingi wenye thamani.
Maelekezo: Shughuli ya kundi zima na mijadala ya watu wawili wawili.
Muda unaotakiwa: Dakika 45.
Vifaa maalumu vinavyohitajika:
Vipande vidogo vya karatasi vyenye rangi
tofauti tofauti vilivyokatwa kwa urefu. Kila
mtu apate vipande vitano vyenye rangi tofauti
tofauti.
Chombo/chungu cha kupikia au kikapu.
ufuatao) yaliyoandikwa kwenye bango kitita au
kipeperushi.
A:UTAMBULISHO, MATARAJIO NA MAWAZO MAPYA
Kuimarisha lugha ya uthabiti: ‘Nina’ ‘Mimi’ , ‘Ninaweza’ .
Mambo ya kufikiria (angalia ukurasa
22
UNDANI WA MTOTO
Utaratibu:1.
JE, UNA UJUZI, UFAHAMU NA UZOEFU GANI, UNAOULETA HAPA LEO?
Nina:
Ninaweza:
Mimi:
www.stratshope.org
www.stratshope.org 23
5. Kila mshiriki aende kwenye chungu cha
kupikia, mmoja baada ya mwingine, na kuweka
kipande cha karatasi ndani ya chungu, baada
ya kuwashirikisha kwa sauti kundi zima.
6. Endelea na utaratibu huu mpaka kila mmoja
ameweka vipande vyote vitano vya karatasi
ndani ya chungu cha kupikia.
7. Waulize washiriki jinsi zoezi hili linavyohusu
kutumiwa katika kufanya kazi na watoto. Je ni
aina gani za ujuzi, ufahamu na uzoefu ambao
watoto wanazo? Je ni ufahamu na hekima gani
tuliyonayo? Jadili jambo hili kwa dakika 5.
Shughuli ya 9A:
Kazi ya nyumbani
Makusudi:Kuchochea marudio ya kazi iliyofanyika
kwa siku.
Kuwasaidia wawezeshaji kuelewa jinsi
washiriki wanavyoendelea na warsha.
Kufuatilia mwenendo wa warsha
unavyoendelea.
Maelekezo: Michoro na marudio.
Muda unaotakiwa: Dakika 15.
Utaratibu:1. Eleza kwamba, mwisho wa kila siku, washiriki
wanaweza kupewa kazi ya kumalizia nyumbani.
Kazi hii itakuwa ya namna tofauti tofauti na
itafanywa na kila mshiriki, ambaye atatakiwa
kuandika jina lake katika kila kazi ambayo
ataiwasilisha.
2. Kwa kazi hii ya kwanza ya nyumbani,
wa kozi mpaka wakati huo. Kama ungeweza
kuwakilisha jibu lako mojawapo kwa kuchora,
mchoro utaonekanaje? Utakuwa na rangi
gani? Utakuwa mkubwa au ndogo kwa kiasi
gani? Utakuwa na umbo gani? Kwa kutumia
kalamu na karatasi tu, na kalamu za rangi kama
wanazo, kila mshirki achore mwitikio wake wa
kozi inavyoonekana.
Watakapokuwa wamemaliza kuchora, washirki
watafakari maswali yafuatayo na waandike
majibu kwenye mchoro wao :
Upe jina mchoro au jibu lako.
Je, jibu hili limewahi kutokea katika
wakati mwingine maishani mwako? Lini?
(Kwa mfano, wakati wa kozi zingine
ulizohudhuria?)
Mchoro huu au jibu hili hukufanya ujisikie
namna gani?
Ni kitu gani kinatia moyo kuhusu mchoro
huu au jibu hili?
Je, kuna jibu lingine ambalo ungeweza kuwa
nalo?
Kama ndivyo, ni jibu gani lingine? Ni kwa
namna gani jibu hii lingekufanya ujisikie
tofauti kuhusu kozi?
Kama sivyo, ni nini kinachohusu mchoro
wako au jibu lako ambacho hukufanya
ujisikie mwenye furaha kwa hilo kuwa kama
sehemu ya maisha yako?
A:UTAMBULISHO, MATARAJIO NA MAWAZO MAPYA
waombe washiriki wafikirie juu ya mwitikio wao
24 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
www.stratshope.org 25
Shughuli ya 1B:
Kujenga uthabiti kwa kuimarisha hali za ndani.
TAARIFA KWA WAWEZESHAJI:
Maelekezo:
Vitu maalumu:
Muda unaohitajika:
Kipengele cha B
Hadithi nyingi za maisha yetu
B: HADITHI NYINGI ZA MAISHA YETU
26 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Utaratibu:1.
2.
3.
4.
3
www.stratshope.org 27
kukumbuka na kuunganisha
5.
6.
7.
8.
9.
CHUPA YAKO YA HISIA
10.
11.
12.
13.
14.
B: HADITHI NYINGI ZA MAISHA YETU
28 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Shughuli ya 2B:
Habari za wakati wa utoto, nyimbo na michezo
Makusudi:
Maelekezo:
Muda unaohitajika:
Utaratibu:1.
2.
3.
4.
Shughuli ya 3B:
Mti wa Maisha
Makusudi:
www.stratshope.org 29
Maelekezo:
Muda unaohiyajika:
Vitu maalumu vinavyohitajika:
Utaratibu:1.
2
Mizizi:
Shina:
Matawi:
Majani:
Matunda:
Wadudu:
TAARIFA KWA WAWEZESHAJI:
30 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
3. Halafu kundi ligawanyike katika watu wawili
wawili ili kushirikishana Mti wa Maisha na
mwenzake. Waulizane maswali ili kuendeleza
habari na maelezo.
4. Washiriki warudi kwenye kundi zima, ambapo
washiriki wachache watawashirikisha wengine
Mti wa Maisha yao.
5. Wagawanyike katika vikundi viwili na kujadili
jinsi gani zoezi hili linaweza kuhusiana na
watoto ambao washiriki wanawashughulikia.
Wajaribu kulenga ni kwa jinsi gani zoezi hili
linaweza kusaidia kujenga uthabiti wa watoto
kwa kujadili sio tu habari zenye kuhuzunisha
lakini pia zenye kufurahisha pamoja na
ufahamu wa historia zao.
www.stratshope.org 31
Shughuli ya 1C:
Kusudi:
Maelezo:
Muda unaohitajika:
Utaratibu:1. “Basi yo yote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo torati na manabii.”
2.
3.
katika mahusiano kati ya wakubwa na watoto, ina maana kujaribu kuzielewa na kuziheshimu hisia za mtoto.
Kipengele cha C
Utoto - Wakati maalumu wenye mahitaji maalumu
‘
5
32 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Shughuli ya 2C:
Athari za mazingira kwa watoto
Malengo
Maelezo:
Muda unaohitajika
Utaratibu:1.
2.
3.
4.
5.
www.stratshope.org 33
Nombulelo na watoto wake
34 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Shughuli ya 3C:
Hadithi binafsi za kuunganishwa na kupoteza wakati wa utoto.
Makusudi :
Maelezo :
Muda unaohitajika :
Utaratibu:1.
2.
www.stratshope.org 35
Je, hadithi hii inaonyesha nini kuhusu uthabiti,
licha ya uchungu na kupotelewa kwa Thandi ?
3. Rudini kwenye kundi zima. Waombe washiriki kushirikishana yale waliyoyajadili katika vikundi vyao.
4. Waonyeshe washiriki, yaliyoko kwenye
bango kitita, uwezekano wa athari zifuatazo
mwingine wanayempenda.
6
Kujilaumu
Kutafuta kukubalika
Kujisikia hisia za kusalitiwa
Kuwa mlalamikaji sana
Kuchukua majukumu ya mtu mzima k.m.
majukumu ya kaka au dada zake
au kuzuia hisia zao
kuumwa tumbo, kichwa au maumivu ya kiungo chochote
Kurudia kuigiza mambo yenye machungu
picha zinazohusu kifo, huzuni, au ya maumivu yaliyosababishwa na wengine
Kuwa mgomvi na mharibifu
Kutaka kuambatana na kuwa tegemezi, kuwa mwoga wa kuachwa peke yake
Kuwa mwoga wa giza, wa mambo yajayo baadaye, n.k.
Kujirudisha nyuma kwa tabia za kujifanya kama vile wao ni wadogo zaidi ya jinsi
zaidi, katika jitihada za kujaribu kujirudisha nyuma kwenye hali ya mwanzo (na iliyo salama zaidi) ya hatua za kukua.
5. Waulize washiriki kuelezea ni athari zipi kati
ya hizo wamewahi kuziona au wao wenyewe
wamewahi kuzipitia na wana uzoefu nazo, na
hawajiulizi kujaribu kupata maelezo kwa nini
watoto wanakuwa na tabia kama hizo.
6. Mwisho wa zoezi hili, mpe kila mshiriki kitini
chenye orodha ya athari zilizoorodheshwa hapo
juu.
7. D okeza kwamba katika shughuli inayofuata
tutakuwa tunaangalia kuhusu hatua za ukuaji
wa watoto, na mambo yanayosaidia kuelezea
mambo ya hapo juu.
Shughuli ya 4C:
Mahitaji ya watoto
Makusudi: Kuchunguza ufahamu wa wenyeji wa
mahitaji na ukuaji wa watoto.
Kuelezea na kuzungumzia mawazo
kuhusu mahitaji ya watoto.
Kutambulisha mambo muhimu ya
ukuaji wa mtoto, mahitaji ya watoto,
na jinsi watoto wa umri tofauti tofauti
wanavyoyaelezea mahitaji yao.
Maelezo: Mjadala wa kundi zima.
Muda unaohitajika: Dakika 60.
Vifaa maalumu vinavyohitajika:Bango kitita mbili na kalamu za wino; kitini
Utaratibu :
1. Kutafakari kuhusu mahitaji ya watoto na
kuandika majibu katika bango kitita.
2. Kwenye bango kitita kingine, tambulisha
makundi ya aina ya mahitaji ya watoto, kama
C: UTOTO - WAKATI MAALUMU WENYE MAHITAJI MAALUMU
:
kwa watoto waliofiwa na mzazi, mlezi au mtu
kuwa ‘baba wa nyumba’ akijaribu kuchukua
‘Kujifanya’ mtundu ili kuvuta kusikilizwa
Kuficha kabisa hisia zao - kujifungia kabisa
‘Magonjwa’ ya kuhisi kisaikolojia tu, k.m.
ni kwa nini wanachukulia kufiwa kwa namna ya
yaliyopita: k.m. kuigiza ‘mazishi’ au kuchora
cha ‘Mahitaji ya Watoto’ .
36 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Mahitaji ya kimwili
Mahitaji ya kihisia
Mahitaji ya kijamii
Ujuzi na maarifa(Mahitaji ya kiufahamu)
Mahitaji ya kiroho
Mahitaji ya watoto7
www.stratshope.org 37
3.
Shughuli ya 5C :
Hatua za ukuaji
Makusudi :Maelezo :
Muda unaohitajika :
Utaratibu : 1.
38 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Umri na hatua za ukuaji8
www.stratshope.org 39
Kipengele cha D
Kujiunganisha na watoto
Shughuli ya 1D:
Kusikiliza, sio kusema
Kusudi: Kukuza stadi ya kuwauliza
watoto maswali na kuwasikiliza hadithi zao.
Maelezo: Hadithi, ikifuatiwa na kazi ya
mtu na mtu, na majadiliano ya kundi zima.
Muda unahitajika: Dakika 45.
Vifaa maalumu vinavyohitajika:Bango kitita na kalamu ya wino, kitini cha
orodha ya maswali.
TAARIFA KWA WAWEZESHAJI: Kusikiliza
na kuuliza maswali ni stadi muhimu katika
kuendeleza mazungumzo na katika
kujiunganisha na watoto. Kwa kuwauliza
maswali watoto na kusikiliza majibu yao,
tunakuwa na uwezo wa kuwatia moyo
kutueleza habari za maisha yao. Wakati
watoto walio katika mazingira hatarishi
wanapotueleza habari zao, wanajisikia
kueleweka na kupata hisia ya uponyaji.
Watoto huwasiliana kwa njia tofauti kufuatana
Habari za mtoto sio lazima ziwe za ukweli
katka kila hali lakini zinawakilisha uelewa wa
mtoto kuhusu dunia, kama anavyoielewa kwa
wakati huo.
Utaratibu:1. Soma hadithi ya Joyce na Tebongo ( ukurasa
wa 40) kama mfano wa stadi iliyotumika katika
kujiunganisha na mtoto.
2. Hadithi hii inaweza kuonekana rahisi lakini
Kujibu swali hili, kwanza tutaangalia ni jinsi gani
sisi wenyewe tunawasikiliza watu wengine na
jinsi tunavyosikilizwa nao.
Kujibu maswali na kusiliza ni stadi muhimu sana katika kujiunganisha na watoto.
D: KUJIUNGANISHA NA WATOTO
inaibua swali: ‘Je, tunazungumzaje na watot?’
40 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Hadithi ya Joyce na Tebogo
www.stratshope.org 41
3.
4.
Shughuli ya 2D:
Kusikiliza na kutokusikiliza
Makusudi:
Maelezo:
Muda unaohitajika:
Utaratibu:1.
2.
Mwulizaji wa maswali namba A:
Mwulizaji wa maswali namba B:
42 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
3.
4.
5.
6.
Shughuli ya 3D:
Kusikiliza kwa kuuliza maswali ya kudadisi
Makusudi
Maelezo:
Muda unaohitajika:
Utaratibu:1.
2.
3.
4.
5.
www.stratshope.org 43
Shughuli ya 4D:
Maswali yaliyowazi na yaliyofungwa
Kusudi Kuwawezesha watu kugundua kwa
kupitia vichekesho, tofauti kati ya maswali
yaliyowazi na yaliyofungwa.
Maelezo: Mchezo wa ndio au hapana
(kundi zima).
Muda unaohitajika: Dakika 30.
Utaratibu:1. Kwenye kundi zima, waite watu kuja mbele
kuulizwa maswali katika mada wanayochagua
wenyewe. Watu wa kundi lingine sasa
wawaulize maswali. Hata hivyo hawaruhusiwi
kujibu “ndio” au “hapana” kama wakijibu “ndio”
au “hapana” mara tatu watoke.
2. Baada ya kufanya hivi mara kadhaa, waullize
wana kikundi kuangalia aina ya maswali
ambayo mtu hujibu “ndio” au “hapana”. Eleza
huweza kujibu “ndio” au “hapana” hayasaidii
kuendeleza habari.
3. Waulize wana kikundi mifano ya maswali
“yaliyofungwa” na “yaliyowazi” na andika haya
katika bango kitita.
4. Kwa kutumia bango kitita, elezea kuwa, kwa
kupitia stadi ya kuuliza na kusikiliza, tunaweza:
Kuchunguza kwa umakini maelezo ya mtoto.
Kuendeleza na kupanua maelezo ya mtoto.
zake kuhusu maisha yake.
Kuwasiliana na mtoto kwamba tunawaelewa
na tunapenda sana kusikia anavyosema.
Kumsaidia mtoto kueleza hisia zake na
kujisikia hajatengwa sana.
5. Katika kundi zima jadili vidokezo hivyo hapo
juu.
TAARIFA KWA WAWEZESHAJI:
Maswali yaliyofungwa ni yale ambayo majibu ya “ndio” au
“hapana” ndiyo yanaweza kuwa ya pekee ya swali husika. Kwa
mfano: “Je, una huzuni?”, “Je, unampenda mwalimu wako?”,”Je,
yanapunguza kiasi cha habari tunazopokea.
Maswali yaliyo wazi ni yale yanayomwezesha anayejibukueleza habari zake. Kwa mfano: “Je, kwa jambo hilo unajiskiaje?”,“Je, unaweza kuniambia zaidi...?”, “Je, ungependa kuzungumzia...?”,“Je, ungependa kuanzia wapi?”, “Je, unajisikiaje kuhusu...?”,“Je, unaweza kunieleza hiyo ina maana gani kwako?”,“Je, ungependa mambo yaweje?”, “Je, umefikiria nini kuhusu hilo?”,“Je, ungependa kufanya nini juu ya...?”
D: KUJIUNGANISHA NA WATOTO
kuwa ‘maswali yaliyofungwa’ , ambayo watu
Je,
44 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Shughuli ya 5D:
Kuwasiliana na watoto kupitia kuchora na kupaka rangi
Makusudi:
Vifaa maalumu vinavyohitajika:
TAARIFA KWA WAWEZESHAJI:
Maelezo:
Muda unaohitajika:
www.stratshope.org 45
Utaratibu:1. Eleza kwamba, kama watu wazima,
tunaweza kuona kuwa inasaidia kushirikisha
habari zetu za huzuni au furaha kwa kuongea
au pia ndugu wa karibu. Watoto wako tofauti.
Wao hutuonyesha kupitia tabia zao kama
wanafuraha au kama wanateseka kutokana
na matatizo katika maisha yao. Mtoto anaye-
nyanyaswa nyumbani anaweza kujitenga au
kuwa mgomvi; tabia hii hutueleza habari kuhusu
mtoto.
2. Eleza kuwa watoto huchora kile
wanachokiamini kuwa dunia ndivyo ilivyo. Hata
kama wakieleza mambo ya ajabu, k.m. kwamba
mama yao yupo hai wakati ukweli ni kwamba
amekwisha kufa, hii inatupatia sisi njia ya
kuelewa kwamba mtoto hajakubaliana kabisa
na ukweli wa mambo. Basi mchoro hutoa fursa
ya kuanza kufanya mazungumzo na mtoto
kuhusu mama yake.
3. Taja kwamba wanasaikolojia mara kwa
mara hutumia kuchora na kupaka rangi
kuwachunguza na kuwaelewa watoto. Hata
hivyo, hakuna haja ya kumfundisha mtu awe
mwanasaikolojia kuweza kutumia mbinu hii
ili kuwasiliana vizuri zaidi na watoto kuhusu
mambo yanayoonekana kuwa magumu kujadili.
4. Wagawe washiriki katika makundi mawili,
kuchora mchoro wa baadhi ya watu katika
kuchora kitu wanachokihisi kuhusu maisha yao
kwa wakati huo: michoro yao ihusishe baadhi
ya watu, lakini wasiwe miongoni mwa familia
zao.
5. Waunganishe washiriki wawili wawili mmoja
wazi kwa mfano:
Je, kila mtu katika mchoro ni nani?
Je, kila mtu katika mchoro anafanya nini?
Je, ni nani mwema sana katika familia hii?
Je, nani katika familia hii hupiga kelele zaidi?
Je, nani katika familia hii anayechekesha
zaidi?
Je, nani katika familia hii ni msikilizaji mzuri?
Je, nani wa famila hii anakosekana katika mchoro?
6. Sasa wabadilishane ili kwamba washiriki wa
kama vile:
Je, picha yako ina hadithi gani?
Je, nini historia ya nyuma ya watu walioko
katika picha?
Je, unatumaini nini kitawatokea hao watu
kwenye picha?
Je, unahofu nini kinaweza kuwatokea watu
hawa katika picha?
Je, nani anakosekana katika picha hii?
Je, ungependa picha hii ibadilikeje?
7. Warudishe wote pamoja katika kundi zima
na waulize washiriki nini walichojifunza kutoka
kwenye zoezi hili.
D: KUJIUNGANISHA NA WATOTO
kuhusu uzoefu huo na marafiki zetu wa karibu
‘A’ na ‘B” . Waombe kila mshiriki wa kundi ’A’
familia yao. Waombe washiriki wa kundi ‘B’
kundi ‘A’ wawaulize maswali washirikishi wa kundi‘B’ waelezee michoro yao kwa kuuliza maswali
kutoka kikundi ‘A’ na mwingine kutoka kundi‘B’ . Watu waliotoka kikundi ‘B’ wawaulize watuwaliotoka kikundi ‘A’ mfululizo wa maswali yaliyo
46 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Shughuli ya 6D:
Makusudi: Kurudia shughuli zote tulizoshirikishana
ambazo ni muhimu katika kufanya kazi na
watoto.
Kusisitiza wazo kuu kwamba ni kwa njia
ya vitendo watoto huweza kujieleza.
Maelezo: Mjadala wa kundi zima.
Muda unaohitajika: Dakika 30.
Utaratibu:1. Tafakari na kundi zima kuhusu shughuli
ambazo tumefanya kipindi chote cha mafunzo
mpaka sasa. Uliza ni zipi ambazo tunaweza
kuzitumia na watoto ili kuwasaidia kutueleza
habari za maisha yao. Tunatumaini washiriki
watakumbuka shughuli kama zile za:
utoto
2. Shirikisha baadhi ya mawazo kuhusu vipindi,
na kisha ruhusu mjadala na kushirikishana. Hii
inaweza kudhihirisha hisia kali wakati washiriki
wanapoongea kuhusu maisha yao. Ni muhimu
kuwapa muda wa kushirikishana habari hizi
miongoni mwao, kama wanapenda kufanya
hivyo. Kwa njia hii wewe, mwezeshaji, utakuwa
unaonyesha mfano wa namna ya kusikiliza
na kuuliza maswali mambo ambayo unajaribu
kuyaelekeza kupitia mafunzo.
3. Watie moyo washiriki kwenda na michoro yao
nyumbani na kuionyesha kwa mtu muhimu wa
4. Kama kazi ya nyumbani, kila mshiriki
anapaswa kumwomba mtoto kuchora mchoro
wa kitu fulani chenye uhusiano wa familia yao.
Baada ya mtoto kumaliza kuchora, mshiriki
amwulize mtoto maswali ili kuendeleza habari
zake.
5. Eleza kuwa katika vipengele viwili vijavyo
tutafanya shughuli zaidi, ikiwa ni pamoja na
nidhamiu ya mtoto.
.
***
*
www.stratshope.org 47
Shughuli ya 1E :
Je nidhamu ipi ni nzuri kwa watoto?
Kusudi: Kuwatia moyo washiriki
kushirikishana ufahamu wao wa sasa juu
ya nidhamu ya watoto.
Maelezo: Mjadala wa kundi zima.
Muda unaohitajika: Dakika 15.
Utaratibu:1. Waulize wanakikundi maswali yafuatayo na
andika majibu yao katika bango kitita lakini
usitie maoni yoyote:
Je, nidhamu ni nini?
Je, ni kwa nini tunahitaji nidhamu?
Je, kuna njia gani nzuri za nidhamu kwa watoto na vijana?
Je, nini tofauti kati ya ‘nidhamu’ na ‘adhabu’?
2. Sasa mwombe mtu mmoja asome nukuu
ifuatayo kutoka katika orodha ya mahitaji ya
watoto iliyoandikwa kwenye bango kitita :
“Watu ni viumbe vya kijamii. Wanapaswa kuishi miongoni mwa wengine. Tunahitaji kujisikia kwamba, sisi ni sehemu ya kundi la utamaduni na taifa. Tunahitaji kufahamu sheria za kuishi na hivyo kujisikia kwamba tunahusika. Watoto wanahitaji kujifunza kipi kizuri na kipi kibaya kadri wanavyokua. Sehemu kubwa ya tabia zetu tunajifunza
kutokana na hali ya kijamii pamoja na
wahudumu.”
Waulize wana kikundi kama hili linawiana na
3. Hitimisha kwa kueleza kuwa, katika shughuli
inayofuata, tutafanya zoezi muhimu ambalo
linaunganisha nukuu hii na nidhamu na watoto.
Kipengele cha E
Nidhamu
E: NIDHAMU
9
yale wanayoyafikiria.
48 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Shughuli ya 2E:
Chumba cha masimulizi:Tunashughulikiaje matatizo ya kitabia ya watoto?
Malengo:
Maelezo:
Muda unaohitajika:
Utaratibu:1.
2.
3.
4. W
10
.
.
.
‘mbaya’ au ngumu ambayo wewe, kama mzazi
www.stratshope.org 49
5. Waombe kikundi cha kwanza kuonyesha
igizo lao. Wakimaliza muulize kila mhusika
aliyeshiriki kuigiza alikuwa anajisikiaje.
6. Waombe wana kikundi kuonyesha tena
igizo lao. Hata hivyo, wakati huu, watazamaji
wanaruhusiwa kuingilia kati kuonyesha jinsi
wangefanya. Wakati wowote mtu yeyote kutoka
kwa wasikilizaji anaweza kusema “Subiri”
na kujiunga na mchezo kwa kuchukua nafasi
ya mzazi au mlezi na kisha kushughulikia
tatizo hilo kwa njia tofauti na wa kwanza. Tena
mtu mwingine yeyote kutoka kwa wasikilizaji
anaweza kusema “Simama” na kumwingiza mtu
mwingine kwenye mchezo kutoa wazo jipya.
7. Baada ya kikundi cha kwanza kuonyesha
igizo lao kwa jinsi hii, waombe kikundi cha
pili na cha tatu kuonyesha vilevile kama cha
kwanza.
8. Hitimisha kwa kuwauliza washiriki nini
walichojifunza kupitia zoezi hili.
Shughuli E3:
Biblia na nidhamu kwa watoto
Makusudi: Kuingiza mawazo mapya kuhusu
nidhamu ya watoto kama nyongeza ya mawazo tuliyo nayo.
Kubisha kwa kukosoa (lakini kwa heshima) matumizi ya adhabu ya viboko kwa watoto.
Kuwasaidia washiriki kuelewa tofauti kati
Maelezo: Kujifunza Biblia na kundi zima.
Muda unaohitajika: Dakika 30.
Utaratibu:1. Soma mithali 13:24: “Yeye asiyetumia
ampendaye humrudi mapema”. Elezea
kwamba, kwa kawaida, mstari huu wa Agano
la Kale umeeleweka kumaanisha kwamba
wazazi inawabidi kuwaadhibu watoto wao kwa
kuwapiga. Lakini neno la Kiebrania “shebet”,
kondoo na kuwalinda dhidi ya maadui. Haikuwa
Hivi karibuni tafsiri ya mstari huu inasisitiza
umuhimu wa nidhamu badala ya adhabu.
2. Soma Mathayo 5:7: “ Heri wenye rehema; maana hao wapata rehema.”Waulize washiriki jinsi mstari huu wa Biblia
unavyoweza kutumika katika tabia ya watoto.
Jaribu kushawishi aina ya majibu kama
yafuatayo: watoto sio watu wazima bado
kwa hiyo watafanya makosa yanayotuudhi
sisi, kama watu wazima. Hii haina maana
kwamba tunatakiwa kuwaadhibu kwa kutumia
nguvu. Badala yake tunapaswa kuwaonyesha
E: NIDHAMU
wanavyofikiri wazazi au wahudumu wengine
wanyama - fimbo ndefu iliyotumika kuwaongoza
na maana ya fimbo ya kuwapigia watoto.
ya ‘adhabu’ na ‘nidhamu’ .
kawaida limetafsiriwa kama ‘fimbo’ kiuhalisiani neno kwa ajili ya fimbo ya mchungaji wa
50 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
rehema kwa kuwatendea wema na kuwaelewa.
Tungejitahidi kuwaongoza, kuwafundisha na
kuwalinda kuliko kuwakemea na kuwapiga kwa
3. Waombe washiriki waeleze tofauti kati ya
kwanza ya Kitabu cha Mithali inatafsiri aina
hii ya nidhamu (au kujifunza) kama “kupokea
maelekezo kwa kushughulika na mambo ya
busara, haki na usawa”. Hii ni tofauti kabisa
na kuwapiga watoto ili kuwalazimisha kuwa
na tabia fulani. Mwisho wa yote, njia pekee
inayofaa ya nidhamu ni nidhamu-binafsi,
ambayo watoto huweza kujifunza vizuri zaidi
kupitia mifano inayowekwa na wazazi wao,
wazima wanatakiwa kuwa mfano mzuri kwa
tabia, kuliko kuwapa watoto maelekezo tu ya
namna yakuenenda.
4. Soma Waefeso 6:1- 4: “Enyi watoto watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki. Waheshimu baba na mama yako, amri hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi. Upate heri ukae siku nyingi katika dunia, nanyi akina baba msiwachokoze watoto wenu, bali waleeni katika adabu na maonyo ya Bwana.”
Uliza kifungu hiki cha Maandiko kinasema nini kuhusu maisha yetu na maisha ya watoto chini ya uangalizi wetu.
5. Waombe washiriki watoe maoni tena juu ya
za kila kimoja katika ukuaji wa mtoto.
Shughuli E4:
Jinsi tulivyoadibishwa
Makusudi :
mawazo hayo mapya juu ya nidhamu na watoto.
unaolenga mjadala, kwa kusikiliza kwa
makini.
Maelezo: Mjadala wa kundi zima
kwenye mkao wa (bakuli la samaki) upinde
wa ndoano.
Muda unaohitajika: Dakika 45.
Utaratibu:1. Waombe watu sita wakae katikati ya chumba
katika mduara pamoja na mwezeshaji. Washiriki
wengine wakae katika mduara kuzunguka
mduara wa ndani.
2. Eleza kuwa kikundi kilichoko katikati
kuhusiana na maigizo yaliyofanywa, na mawazo
mengine kuhusu nidhamu na watoto ambayo
yamewasilishwa. Kikundi cha nje kinatakiwa
kusikiliza na sio kuingilia kati.
.
.
tofauti kati ya ‘adhabu’ na ‘nidhamu’ , na athari
‘adhabu’ na ‘nidhamu’ . Andika majibu kwenyebango kitita. Eleza kwamba ‘nidhamu’ inatokana na neno la kilatini ‘discipulus’ likamaanisha
‘mwanafunzi’ au ‘mfuasi’ . Katika sura ya
walezi na watu ‘wazima muhimu’ wengine. Watu
www.stratshope.org 51
3.
4.
5.
6.
Majadiliano yakikundi mkao wabakuli la samaki.
52 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
www.stratshope.org 53
Shughuli ya 1F:
Makusudi:
na kuomboleza kupitia kwenye uzoefu wetu wenyewe.
Kusikiliza uzoefu wa watu wengine binafsi
TAARIFA KWA WAWEZESHAJI: Ikiwa sisi, kama watu wazima, tunataka kujiunganisha
maisha ya watoto, tunatakiwa kuwa na
uwezo wa kusikiliza habari zao. Mara
nyingine inakuwa vigumu sana kwetu sisi
kufanya hivyo kwa sababu inatukumbusha
hili linafafanua hivyo na pengine hata ugumu ulivyo - na jinsi ya tunavyoweza kushughulikia changamoto hii.
Maelezo: Kipindi cha maswali na
majibu kwa watu wawili wawili.
Muda unaohitajika: Dakika 30.
Utaratibu:1. Waombe washiriki wakae katika vikundi
vya watu wawili wawili, na kutawanyika kwa
kadri inavyowezekana ndani ya chumba.
cha nyuma cha maisha yao wakati wao
Je, kilimhusu nani?
Je, mitazamo ya watu waliokuzunguka
ilikuwaje?
Je, ulikubalianaje na hali hiyo, na ni nani
(kama yupo) aliyekusaidia?
Je, ulijuaje kuhusu kifo hicho?
Je, kuna jambo lolote ambalo ungependa
kuwa lingekuwa tofauti kwa namna ulivyojua kuhusu kifo hicho?
Kipengele cha F
Kushughulika na huzunina kufiwa
F: KUSHUGHULIKA NA HUZUNI NA KUFIWA
Uzoefu binafsi wa kufiwa
Je, ulijiskiaje kipindi kile cha kufiwa?
.
Kuelewa uzoefu wa mtu binafsi wa kufiwa
wa kufiwa.
na habari za kufiwa na kuomboleza katika
maumivu ya kufiwa kwetu wenyewe. Zoezi
wenyewe binafsi walipitia uzoefu wa kufiwa.
2. Waombe washiriki kufikiria kipindi
54 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Je, ni nini kingefanya maumivu
yasiwe makali sana au usipatwe
na mshituko?
Je, ni nani alikuwa wa msaada
zaidi kwako kipindi hicho?
Je, ni hisia gani ulizo nazo sasa
kuhusu wakati ule?
Kati ya swali moja na lingine, mpe
kila mwanafunzi nafasi ya dakika
mbili kumjibu (kwa sauti ya chini)
mwenzake. Zoezi hili huweza
kuibua hisia kali miongoni mwa kundi zima.3. Waombe wote kurudi katika kundi zima,
na kisha waalike wale ambao wangependa
kushirikisha uzoefu wao wafanye hivyo.
Shughuli ya 2F:
Makusudi:
watoto wanaelewa kifo katika hali tofauti,
kutokana na hatua za ukuaji wao.
wamegundua hili au tofauti nyingine
kuhusu jinsi watoto wanavyojisikia
katika vidokezo vilivyopendekezwa kwa
kuwasaidia watoto wa kila rika.
Maelezo: Kazi ya vikundi vidogo;
kipindi cha kundi zima.
Vifaa muhimu vinavyohitajika: Taarifa ya makundi ya rika (angalia
jedwali kulia) ikiwa imenakiliwa
kwenye kadi tofauti kwa kila umri.
kikundi.
Muda unaohitajika: Dakika 90.
Utaratibu :
1. Mapema kabisa kabla ya kipindi hiki, andaa
kadi tano, moja kwa kila kundi kuu la makundi
matano ya watoto, kutokana na umri na hatua
za ukuaji wao.
Watoto wachaga ......................miaka 0 – 2
Watoto wa shule za awali ......miaka 3 – 5
Watoto wadogo ........................miaka 6 – 8
Watoto kabla ya ujana ............miaka 9 – 12
Vijana ............................................miaka 13 – 18
2. Waeleze kundi zima kwamba sasa
tunakwenda kujadili jinsi watoto wanavyoelewa
na kuitikia kuhusu kifo, kutegemea na umri wao.
3. Waonyeshe kundi zima orodha ya makundi
makuu matano ya watoto yaliyoandikwa
kwenye bango kitita, kutokana na umri na
kuhusu kundi la ki-umri ambalo wana uzoefu
sana nalo kulingana na uzoefu wao
walioupitia. Hii inaweza ikawa, kwa mfano, mtu
wanayemfahamu ambaye amefariki na kuacha
watoto wa umri fulani, au inaweza kuwa umri
wa watoto wao wenyewe. Sasa wajiunge na
kikundi hicho. (Angalizo: jaribu kuwa na idadi
Watoto na kufiwa
.
.
.
.
.
www.stratshope.org 55
sawa ya washiriki kwa kila kundi la umri wa
watoto.)
4. Sasa kila kikundi kisome na kujadili kile
kilichoandikwa kwenye kadi yao. Baada ya
mjadala, wanapaswa kunakili katika bango kitita
tabia yeyote inayoendana na uelewa na uzoefu
wao.
5. Mwombe kila mmoja kurudi katika kundi
zima. Kila kikundi kidogo sasa kiwasilishe katika
kundi zima orodha ya waliyoyafanya. Mtie moyo
kila mmoja kujadili na kushirikishana habari
zinazowahusu watoto wanaowafahamu katika
umri fulani.
Shughuli ya 3F:
Kuwasaidia watoto kukubaliana na hali ya
desturi nzuri na mbaya
Makusudi:
kwa sasa hufanywa na watu katika jamii.
makini kuhusu baadhi ya mazoea hayo.
yatawasaidia watoto kukubaliana vizuri
Maelezo: Mijadala katika vikundi vidogo-
vidogo na kiisha kwenye kundi zima.
Vifaa muhimu vinavyohitajika: Bango kitita pamoja na maswali
yaliyoandikwa mapema, karatasi za
bango kitita na kalamu za wino kwa ajili ya vikundi.
Muda unaohitajika: Dakika 45.
Utaratibu:
1. Wagawanye washiriki katika vikundi vya watu
wanne au watano. Wape kila kikundi karatasi
2. Waombe vikundi kujibu maswali yafuatayo
(yaliyoandikwa mapema kwenye bango
kitita yanayoonekana kwa kundi zima) na
kuorodhesha yale wanayoyachukulia kuwa ni
Je, uliwahi kuhudhuria mazishi kama
mtoto? Je, ni mambo gani mazuri au mabaya
unayoyakumbuka? Tafadhali yaorodheshe hayo
Je, umewahi kuona au kusikia watu
wakiwaeleza watoto habari kuhusu vifo vya
F: KUSHUGHULIKA NA HUZUNI NA KUFIWA
kufiwa na mpendwa wao:
.
.
.
k k k r kw
.
56 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
msaada? Tafadhali orodhesha hizi kama desturi
Je, umewahi kuona au kusikia watu
wakiwaeleza watoto habari kuhusu vifo vya
hazisaidii kwa watoto walioachwa? Tafadhali
Je, ni mambo gani uliyopata kusikia au
wao? Tafadhali orodhesha haya kama desturi
Je, kuna taratibu gani za ibada za ki-mila
ni nzuri kwa watoto walioachwa? Tafadhali
Je, kuna taratibu gani za ibada za ki-mila
nzuri? Tafadhali ziorodhesha hizi kama desturi
3. Rudini katika kundi zima na alika vikundi
kuwasilisha mawazo yao, ambayo baadaye
yanajadiliwa.
Desturi nzuri na mbaya za kuwasaidia watoto kukubaliana na kifo cha mzazi wake.
ziorodheshe hizi kama desturi ‘nzuri’.
www.stratshope.org 57
Wape nafasi na wawezeshe watoto kusema kwaheri: Ni vizuri kama mtoto atasema
kwaheri kwa mzazi ama mpendwa yeyote kabla
hajafariki. Kama hili haliwezekani, ishara ya
kuashiria kwaheri itengenezwe, kwa mfano
kuandika barua ya kuagana, au kuweka
maneno ya kuongea kwenye simu, kutumia
midoli au kutuma kadi au michoro ya picha
yenye ujumbe wa kuagana.
Taratibu za kimila na sherehe za kumaliza msiba: Kufanya taratibu za kimila huwapatia
waombolezaji nafasi ya kumkumbuka aliyefariki
na kumheshimu. Inawapa waombolezaji
kujisikia kutiwa moyo na kufarijiwa, wanapoona
ya kuwa hawako peke yao katika huzuni.
Watoto pia wanahitaji kushiriki katika hali ya
katika sherehe za kifamilia. Hata hivyo, kama
mtoto hataki na haelewi ni nini kinafanyika,
taratibu za kimila zingine zinaweza kuwa za
kuhuzunisha kama kifo chenyewe, zitaongeza
hofu na hali ya kuchanganyikiwa kwa mtoto. Ni
vema awepo mtu mzima atakayemfariji mtoto
katika kipindi cha taratibu za kimila.
Msaidie
mtoto kutunza kumbukumbu ya mtu aliyefariki:
kwa mfano, kupitia kitabu cha kumbukumbu au
sanduku la kumbukumbu (angalia Nyenzo za
Ziada kwenye ukurasa wa 66)
Mpe mtoto nafasi
kuongea kuhusu muda maalumu aliokuwa
nao wakati akiwa na mpendwa wake ambaye
anakaribia kufariki au amekwisha kufariki.
Ukiwepo muda wa kufurahisha, au mambo mtu
aliyofanya, na yale ya kutia moyo, kumbukumbu
za furaha na hata za kuumiza.
Mawazo hayo hapo juu yanapaswa kujadiliwa
kwa busara kwa kuzingatia tamaduni, kwa vile
zinaweza zikawa siyo za kufaa kwa makundi
yote ya umri wa watoto kwenye tamaduni zote.
TAARI A WA WAWEZESHAJI: zilizotambuliwa na vikundi, hapa chini ni baadhi ya mawazo ya kuzingatia kwa ajili yenu.
akumbukumbu za mzazi aliyefariki.
F: KUSHUGHULIKA NA HUZUNI NA KUFIWA
Desturi nzuri:11
58 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Shughuli ya 4F:
Mpango wa Kazi
Kusudi: Kuwasaidia washiriki kutumia
mpango wa kazi ili kufanya vizuri mambo
yale waliyojifunza katika kozi hii. Kila
mshiriki anatakiwa kutayarisha mpango
ambao ni halisi na unaotekelezeka na
kufanyiwa kazi kikamilifu na watu waliopo
na rasilimali za nje.
Maelezo: Tafakari ya mtu binafsi,
vipindi vya vikundi vidogo na kundi zima.
Muda unaohitajika: Dakika 45.
Utaratibu:1. Kutafakari njia kuu ambazo washiriki
wanaweza kufanya katika kuwasaidia watoto
walio katika mazingira hatarishi ndani ya jamii
zao, na kuyaandika haya kwenye bango kitita.
Kama ikiwa ni lazima, shirikisha mawazo
kutoka kwenye boksi upande wa kulia na jadili
jinsi yanavyoweza kutumika katika jamii za
makanisa yao.
2. Mpe kila mtu kipande cha karatasi na kalamu
kufanya kazi peke yake kwa dakika kumi hivi
mambo matatu wanayopenda kufanya katika
kipindi cha majuma sita yajayo ili kuweka
katika matendo yale waliyojifunza katika kozi
hii
msaada watakao uhitaji ili kufanikisha yale
wanayotaka kufanya
mipango hii ni halisi kwa kiasi gani.
3. Waweke washiriki wawili wawili pamoja ili
kushirikishana mipango yao.
4. Warudishe wote tena katika kundi moja na
waalike washiriki kushirikishana mipango yao.
Jadilini jinsi wahusika mbalimbali wa kundi
zima wanavyoweza kufanya kazi kwa pamoja
kutekeleza mipango yao.
TAARIFA KWA WAWEZESHAJI: Uwezekano
wa majukumu ya washiriki baada ya kozi hii
yanaweza kuhusisha yafuatayo:
Kusaidia shughuli za msaada unaoendelea
na mafunzo ya stadi za maisha kwa watoto.
Hii inaweza kuhusisha kuanzisha vikundi vya
watoto katika kanisa.
Kuwa tayari kujitolea kwa ajili ya watoto walio
katika mazingira hatarishi katika familia ambazo
Kuungana na wengine katika jamii nzima
ya kanisa kwa kuwa mtetezi wa watoto walio
katika mazingira hatarishi. (Kwa mfano, kuibua
masuala kama vile tofauti kati ya adhabu na
adabu katika maisha ya watoto wote.)
Kuwajulisha watu katika jamii yako, mahali
pako pa kazi, au jimboni kwako juu ya mahitaji
ya watoto walio katika mazingira hatarishi, na
jinsi mahitaji hayo yanavyobadilika kulingana na
umri na hatua ya kukua kwao.
Kutafuta mafunzo zaidi ili kuwa kama
mkufunzi wa vikundi kama vile wahudumu wa watoto, walimu wa mashuleni na walimu wa Shule za Jumapili.
Tafakari ya mtu binafsi.
www.stratshope.org 59
Shughuli ya 5F:
Kumbukumbu za kikundi
Kusudi:
Maelezo:
Muda unaohitajika:
Utaratibu:
1.
2.
3.
4.
6.
7.
Shughuli ya 6F:
Sherehe ya kufunga na kutoa vyeti
Kusudi:
Maelezo
Muda unaohitajika:
Vifaa vinavyohitajika:
Utaratibu:1.
2.
60 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Bilblia. (kwa mfano Marko 10:13-16). Kisha
kiongozi huyo wa kanisa atoe hotuba fupi, kwa
kuwapongeza washiriki kwa mafanikio yao ya
kuhitimu kozi.
3. Kiongozi huyo wa kanisa akabidhi vyeti
kwa washiriki. Kila mshiriki atoe maelezo yake
kwa ufupi sana, akieleza jinsi atakavyotumia
ujuzi alioupata kwenye kozi hiyo. Uwezekano
mwingine ni kumchagua mshiriki mmoja wa
kutoa hotuba fupi kwa niaba ya wote.
4. Kama inawezekana vitafunwa na vinywaji
vifuate kutolewa.
5. Kiongozi wa kanisa ahitimishe sherehe
hizo kwa kutoa baraka kwa washiriki wote na
waandaaji wa kozi hiyo.
www.stratshope.org 61
62 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
1. Moto! Moto!
Taarifa: Mwezeshaji afanye zoezi hili kwa
nguvu na mbwembwe zote za kimchezo.
Simama katikati ya mduara na uongee
kwa sauti ya kimaigizo kuwa moto unawaka
kwenye sakafu na washiriki warukeruke,
wakirusharusha miguu yao moja hadi mwingine
kwa kukimbiakimbia ndani ya chumba
kuonyesha wanakwepa moto. Endelea kupiga
kelele “Moto! Moto!” kwa kadri washiriki
wanavyorukaruka humo chumbani.
Baada ya sekunde 20, taja namba. Washiriki
wamkamate mtu au watu karibu naye kadri ya
namba iliyotajwa na mwezeshaji na kuunda
kikundi kidogo. Kwenye kikundi kidogo sakafu ni
ya baridi na wanaweza kupumzika.
Mwezeshaji aulize swali au kutoa maelezo
(ya kawaida au yanayoendana na kozi) ambalo
watu katika kikundi kidogo watajadili wakiwa
wamesima karibu karibu. Ruhusa muda wa
kutosha (dakika mbili au tatu) kwa kila mmoja
kusema jambo kisha piga kelele tena “Moto!
Moto!”. Kikundi kivunjike na kila mtu arukeruke
tena kuzunguka chumba mpaka namba
nyingine inapotajwa, kuonyesha ukubwa wa
kikundi.
Endelea na maswali mengine matatu au
manne.
KiambatanishoWavunja ukimya, Wachangamshaji na vipindi vya
mapunziko ya kutulizaMwanzo wa kila siku kivunja ukimya hutumika kusaidia watu kujisikia vizuri. Wakati kipindi
kikiendelea, inawezekana ikafaa pia kuwatumia wachangamshaji ili kuchochea nguvu na kupata
unafuu na wepesi wa hisia, hasa mara baada ya washiriki kushirikishana habari za huzuni.
Mara chache, pia inawezekana kutumia mapumziko ya kutuliza kusaidia watu kutulia, kusahau
yaliyopita, au kujiweka sawa wenyewe baada ya zoezi la kusisimua sana. Ifuatayo ni baadhi ya
mifano ambayo huweza kutumika.
www.stratshope.org 63
2. Mchezo wa Jina
Taarifa :
3. Muziki, kuimba na kucheza
4. Kuigiza sauti za wanyama au ndege
2.
3.
64 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
5. Mchezo wa mpira
Taarifa:
6. Mafundo
Taarifa:
1.
2.
3.
www.stratshope.org 65
7. Je mwenzangu, ni nini tofauti?
Taarifa:
1.
2.
8. Kutulia na kusaidia tafakari ya kimya
Taarifa:
Tafakari ya kimya:
Mduara wa ukimya:
Mduara wa ukimya
66 www.stratshope.org
UNDANI WA MTOTO
Nyenzo za ziadaNever too Small to Remember. Memory Work and Resilience in Times of AIDS, imehaririwa
na Philippe Denis. Kimepigwa chapa na Cluster Publication Cluster@ futurenet. Co. za , P.O. Box
2400, Pietermaritzburg, Africa ya Kusini, 2005 ISBN 1-875053 - 54 -9 (kurasa 101)
Kitabu hiki kinachopendekezwa zaidi kinahusisha sura sita, zinazokaribia kwa kina Kazi ya
Kumbukumbu na Uthabiti, hasa baada ya kipindi cha ubaguzi wa rangi Afrika ya Kusini, na
mahususi utamanduni wa Wazulu. Pia kimesheheni taarifa sahihi za undani na maelekezo kwa
kurahisisha Programu ya Kisanduku cha Mafunzo ya siku nne. Watunzi wa kitabu ni wafanyakazi
maendeleo ya jamii cha Shule za Kidini na Thiolojia, Chuo Kikuu cha Kwazulu- Natal.
A Training Programme to Sensitise Community Workers to the Psychosocial Needs of Vulnerable Children,kitabu cha pili na Beverley Killian, Rose Schoeman na Angela Hough, Shule
ya Saikolojia, Chuo Kikuu cha Natal, Pietermaritzburg, Afrika ya Kusini, 2002.
Hiki ni kitabu kilichopendekezwa zaidi kwa ajili ya programu ya mafunzo, kwa heshima ya wote
wanaojituma chini ya mazingira magumu zaidi kuwahudumia watoto wanaoishi na VVU na
UKIMWI. Kilianzishwa kwa msaada wa Sinosizo Home Based Care, the Oral History Project ya
Shule ya Thiolojia, Chuo Kikuu cha Natal, KwaZulu Natal Programme for Survivors of Ciolence, na
Shule ya Saikolojia, Chuo Kikuu cha Natal.
Building Resilience in Children Affected by HIV/AIDS, na Sr. Silke-Andrea Mallmann CPS,
Maskew Miller Longman na Catholic AIDS Action, Windhoek, Namibia 2003.
Kitabu kingine kinachopendekezwa zaidi, kilichotayarishwa kuwawezesha watu wanaoishi na
na kupendekeza michezo mbalimbali kwa ajili ya makusudi maalumu k.m. kujenga uaminifu,
kujithamini, kujiamini na ushirikiano.
kufanya kazi na watoto walioathiriwa na VVU na UKIMWI. Kinabeba mada kama vile ‘Uthabitikwa watoto yatima na walio katika mazingira hatarishi, ‘Kupoteza mzazi’ , na ‘haki za watoto’
www.stratshope.org 67
Marejeo1 [email protected].
2
J. Bunge (ed.), The Child in Christian Thought (Cambridge, U.K.: William B. Eerdmans, 2001), 36 -
48.
3 See also: Sr Silke-Andrea Mallmann CPS, Building Resilience in Children Affected by HIV/AIDS
(Windhoek: Catholic AIDS Action, 2003).
4
The International Journal of Narrative Therapy and
Community Work (No. 1, Dulwich Centre, Adelaide, Australia, 2006).
5 Susan Lawrence, Meditations on Scripture, www.parentinginjesusfootsteps.org/jesus-teachings.
html.
6 Adapted from: Beverley Killian, Rose Schoeman and Angela Hough, A training Programme to
Sensitise Community Workers to the Psychosocial Needs of Vulnerable Children, 2nd edition
(Pietermaritzburg: University of Kwazulu Natal, 2002).
7 Phillippe Denis (ed.), Never too small to remember, Memory Work and Resilience in times of
AIDS (Pietermaritzburg: Cluster Publications, 2005), 72-73.
8 Sharon Lewis, A
South Africa ( Cape Town: David Phillip, 1999), 149-53.
9 Phillipe Denis (ed.), op.cit.
10 TheInternational Journal of Mental Health, Psychosocial Work and Counselling in Areas of Armed
2 (6) 193-209.
11 Adapted from: Beverley Killian et al., op.cit.
MAREJEO
Sliep, Y (2004), ‘Narrative Theatre for Social Action: A skill for psychosocial workers’.