tume ya mipango zanzibar - planningznz.go.tzplanningznz.go.tz/doc/new/ufuatiliaji wa mpango wa...
TRANSCRIPT
-
TUME YA MIPANGO ZANZIBAR
RIPOTI YA UFUATILIAJI WA
MPANGO WA MAENDELEO
2018/2019
Agosti, 2019
-
i
YALIYOMO
YALIYOMO .................................................................................................................................... i
ORODHA YA VIFUPISHO .......................................................................................................... iii
SURA YA KWANZA: UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO 2018/19
KIFEDHA ........................................................................................................................................1
1.1. Utangulizi ......................................................................................................................... 1
1.2. Uchambuzi wa Kifedha wa Mpango wa Maendeleo Mwaka 2018/19 kwa Kipindi cha
Julai 2018 - Juni 2019 ...................................................................................................... 1
1.2.1. Mgawanyo wa Fedha za Maendeleo 2018/19 ........................................................... 1
1.2.2. Utekelezaji wa Bajeti ya Maendeleo kwa 2018/19 ................................................... 3
1.2.3. Ulinganisho wa Fedha kwa Mwaka 2016/17 na 2017/18 ......................................... 7
SURA YA PILI: UTEKELEZAJI WA PROGRAMU NA MIRADI KWA KIPINDI CHA JULAI
2018 – JUNI 2019 KWA WIZARA ................................................................................................9
2.1. Ofisi ya Rais, Ikulu na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ......................................... 9
2.2. Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais .................................................................................. 10
2.3. Wizara ya Fedha na Mipango......................................................................................... 15
2.4. Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi ............................................................. 28
2.5. Wizara ya Biashara na Viwanda .................................................................................... 40
2.6. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ......................................................................... 43
2.7. Wizara ya afya ................................................................................................................ 51
2.8. Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji, na Nishati.................................................................. 61
2.9. Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji ............................................................. 69
2.10. Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake na Watoto ........................................ 79
2.11. Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora ............................ 85
2.12. Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale ................................................................. 88
2.13. Wizara ya Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo ......................................................... 91
2.14. Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa na Idara Maalumu za SMZ ............ 94
SURA YA TATU: HITIMISHO .................................................................................................108
3.1. Hitimisho ...................................................................................................................... 108
3.2. Changamoto za Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo Julai 2018 – Juni 2019 ........ 108
3.3. Mapendekezo katika Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ..................................... 108
-
ii
KIAMBATISHO NAM 1: ...........................................................................................................110
KIAMBATISHO NAM 2: ...........................................................................................................120
-
iii
ORODHA YA VIFUPISHO
AfDB African Development Bank
AGOA African Growth and Opportunity Act
AGRA Alliance for a Green Revolution in Africa
ARV Antiretroviral
BADEA Arab Bank for Economic Development in Africa
BLRC Business Licensing Regulatory Council
BoQ Bill of Quantity
BPRA Business and Property Regulatory Authority
CCM Chama cha Mapinduzi
CEDAW Convention on the Elimination of All Forms of Discrimination Against
Women
DNA Deoxyribonucleic acid
EDF-EU European Development Funds - European Union
EMIS Education Management Information System
EU European Union
FAO Food and Agriculture Organisation
GBV Gender Based Violence
GPE Global Parneship for Education
HT High Tension
IFAD International Fund for Agriculture Development
IMCI Integrated Management of Childhood Illnesses
IRCH Integrated Reproductive and Child Health
JICA Japan International Cooperation Agency
JKU Jeshi la Kujenga Uchumi
KIST Karume Institute of Science and Technology
KMKM Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo
KVZ Kikosi cha Valantia Zanzibar
LAPA Local Adaptation of Plans of Action
MIVARF Market Infrustructure, Value Addition and Rural Finance
MKURABITA Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania
MKUZA Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini Zanzibar
MoU Memorandum of Understanding
NESAP North East Special Area Plan
NGOs Non-Government Organisations
OPEC Organization of Petroleum Expoting Countries
ORIO The Facility for Infrustructure Development (Implemented by Nertherland
Enterprise Agency)
PPP Public Private Partnership
SDGs Sustainable Development Goals
-
iv
SIDA Swedish International Development Cooperation Agency
SMIDA Small and Medium Industrial Development Authority
SMZ Serikali ya Mapinduzi Zanzibar
SUZA State University of Zanzibar
SWIOFISH South West Indian Ocean Fisheries Governance and Shared Growth
Programme
TASAF Tanzania Social Action Funds
TB Tuberculosis
THPS Tanzania Health Promotion Support
TRA Tanzania Revenue Authority
TUTU Tusome Tujifunze
TZS Tanzanian Shilings
UKIMWI Ukosefu wa Kinga Mwilini
UN WOMEN United Nations Entity for Gender Equality and Empowermrnt of Women
UNDAP United Nations Development Assistance Plan
UNDP United Nations Development Program
UNESCO United Nations Educational, Scientific and Cultural Organisation
UNFPA United Nations Population Funds
UNICEF United Nations Children’s Fund
USDA-USAID US Department of Agriculture – US Agency for International
Development
VFD Virtual Fiscal Device
VVU Virusi vya UKIMWI
WHO World Health Organisation
WUMU Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi
ZAECA Zanzibar Anti-Corruption and Economic Crimes Authority
ZAN SDI Zanzibar Special Data Infrustructure
ZANSASP Zanzibar Non-State Actors Support Programme
ZARI Zanzibar Agriculture Research Institute
ZAWA Zanzibar Water Authority
ZBC Zanzibar Broadcasting Corporation
ZBS Zanzibar Bureau of Standards
ZECO Zanzibar Electricity Corporation
ZIPA Zanzibar Investment Promotion Authority
ZIToD Zanzibar Institute of Tourism Development
ZPPDA Zanzibar Public Procurement and Disposal of Public Assets Authority
ZRB Zanzibar Revenue Board
ZSTC Zanzibar State Trade Corporation
ZURA Zanzibar Utility Regulatory Authority
ZUSP Zanzibar Urban Services Project
-
1
SURA YA KWANZA: UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO
2018/19 KIFEDHA
1.1. Utangulizi
Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo kwa mwaka 2018/19 ni muendelezo wa utekelezaji wa
Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Zanzibar Awamu ya Tatu (MKUZA III).
MKUZA III unakusudia kuendeleza mageuzi ya kiuchumi na kijamii na kupunguza umasikini
kwa (i) Kuwezesha ukuaji wa uchumi jumuishi na endelevu; (ii) Kukuza uwezo wa watu; (iii)
Kutoa huduma bora kwa wote; (iv) Kuweka mazingira endelevu na uhimili wa mabadiliko ya
tabianchi; na (v) Kushikamana na misingi ya utawala bora.
1.2. Uchambuzi wa Kifedha wa Mpango wa Maendeleo Mwaka 2018/19 kwa
Kipindi cha Julai 2018 - Juni 2019
1.2.1. Mgawanyo wa Fedha za Maendeleo 2018/19
Kwa mwaka 2018/19 Mpango wa Maendeleo umelenga kutekeleza jumla ya programu 27 na
miradi 55 (miradi 14 mipya). Jumla ya TZS 613 bilioni zilipangwa kutumika kwa ajili ya
kugharamia Mpango huo. Kati ya fedha hizo, Serikali ilipanga kutumia TZS 148.8 bilioni sawa
na asilimia 24.3 ya bajeti ya maendeleo kutoka fedha za ndani ambazo TZS 97.29 bilioni ni kwa
programu na miradi ya kimkakati, yenye dhima (Commitment) na TZS 51.46 bilioni kwa miradi
mengineyo. Aidha, jumla ya TZS 464.2 bilioni sawa na asilimia 75.7 zimepangwa kutolewa na
Washirika wa Maendeleo ambazo TZS 75.6 bilioni ni ruzuku na TZS 388.6 bilioni ni mikopo.
Bajeti ya Mpango wa Maendeleo wa 2018/19 ni ongezeko la TZS 116.4 bilioni sawa na asilimia
23.4 ikilinganishwa na bajeti ya maendeleo ya mwaka 2017/18 ya TZS 496.6 bilioni. Mgawanyo
wa fedha za Maendeleo kwa Mujibu wa Wizara na Taasisi unaonekana katika jadweli namba 1
hapo chini.
-
2
Jaduweli Nam 1: Mgawanyo wa fedha za Programu na Miradi ya Maendeleo 2018/19 kwa
Mujibu wa Wizara na Taasisi
Jina la Programu/Mradi
KilichopangwaTZS (‘000)
Serikali ya Mapinduzi
Zanzibar
Washirika
wa
Maendeleo
Jumla
Ofisi ya Rais, Ikulu na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi 1,000 1,000
Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais 973 14,060 15,033
Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Dawa
za Kulevya 500 500
Wizara ya Fedha na Mipango 20,500 63,708 84,208
Tume ya Mipango Zanzibar 609 546 1,155
Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi 5,652 33,733 39,385
Wizara ya Biashara na Viwanda 4,700 4,700
Wizara ya Elimu Na Mafunzo ya Amali 5,890 77,552 83,442
Wizara ya Afya 15,926 32,338 48,264
Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati 7,800 79,287 87,087
Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji 42,300 161,570 203,870
Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Wanawake
na Watoto 370 1,408 1,778
Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma
na Utawala Bora 1,050 1,050
Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya Kale 1,350 1,350
Kamisheni ya Utalii 1,300 1,300
Wizara ya Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo 3,800 3,800
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa
na Idara Maalum za SMZ 23,510 23,510
Ofisi ya Usajili na Vitambulisho 500 500
Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo (KMKM) 5,000 5,000
Kikosi cha Valantia 500 500
Chuo cha Mafunzo 2,100 2,100
Jeshi la Kujenga Uchumi 2,150 2,150
Kikosi cha Zimamoto na Uokozi 500 500
Mkoa wa Mjini Magharibi 770 770
JUMLA 148,750 464,202 612,952
Chanzo: Tume ya Mipango Zanzibar, 2018/19
Kuanzia bajeti ya mwaka wa fedha 2016/17 kumeanzishwa mfuko wa miundombinu ambao unahudumia
baadhi ya programu na miradi yenye hadhi ya kuimarisha miundombinu. Jumla ya programu na miradi
kumi na tatu (13) ilipangiwa fedha kutoka katika mfuko huo ambayo iligharimu jumla ya TZS 39.5
bilioni kwa mwaka wa fedha 2018/19. Jaduweli namba 2 linaonesha miradi iliyopangiwa fedha kutoka
katika mfuko wa miundombinu (infrastructure funds) na bajeti yake.
-
3
Jaduweli Nam 2: Orodha ya Programu na Miradi ya Maendeleo 2018/19 Iliyopangiwa
Fedha Kutoka Mfuko wa Miundombinu (TZS Milioni)
Jina la Programu/Mradi Kiasi cha Fedha
Kilichopangwa
Kiasi cha Fedha
Kilichopatikana
Asilimia
1. Ujenzi wa Nyumba ya Makamu
wa Pili wa Rais
850 819 96
2. Programu ya Upatikanaji
Rasilimali Fedha
1,000 0 0
3. Kuimarisha Taasisi ya Viwango
Zanzibar
2,000 581 29
4. Uimarishaji wa Elimu Mbadala na
Amali - Awamu ya Pili
1,600 82 5
5. Ujenzi wa Maabara ya Mkemia
Mkuu
900 910 101
6. Kuendeleza Visima vya Ras el
Khaimah
4,000 3,610 90
7. Usambazaji Umeme Vijijini 1,000 0 0
8. Ujenzi wa barabara ya Chake -
Wete
1,000 0 0
9. Ununuzi wa Land Craft 2,400 0 0
10. Uwekaji wa Kamera na Vifaa vya
Ulinzi
20,000 20,727 104
11. Ujenzi wa Kiwanda cha Ushoni 1,000 1,000 100
12. Ujenzi wa Wodi ya Wazazi
KMKM
1,500 1,500 100
13. Kuimarisha Huduma za Uzamiaji
na Uokozi
2,200 2,195 100
JUMLA 39,450 31,424 80
Chanzo: Wizara ya Fedha na Mipango, 2018/19
1.2.2. Utekelezaji wa Bajeti ya Maendeleo kwa 2018/19
Kwa kipindi cha kuanzia Julai 2018 hadi Juni 2019, jumla ya TZS 339 bilioni zilitumika ikiwa ni
sawa na asilimia 55 ya lengo la TZS 613 bilioni zilizopangwa kwa kutekeleza Mpango wa
Maendeleo Zanzibar kwa mwaka 2018/19. Kwa upande wa Serikali, jumla ya TZS 102.4 bilioni
sawa na asilimia 69 ya bajeti yake zimetolewa na kwa upande wa Washirika wa Maendeleo,
jumla ya TZS 236.3 bilioni sawa na asilimia 51 ya bajeti yake zimetolewa. Jaduweli nam 3
linaonesha upatikanaji wa fedha za programu na miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha
2018/19 kutoka Serikalini na Washirika wa Maendeleo kwa mujibu wa Wizara na Taasisi.
-
4
Upatikanaji wa fedha kwa programu na miradi ya maendeleo umeambatanishwa katika
Kiambatisho I, Mgawanyo kwa Wizara na Taasisi na Kiambatisho II, Mgawanyo kwa Maeneo
Makuu ya Matokeo ya MKUZA III.
Kwa upande wa Washirika wa Maendeleo, kwa jumla fedha zilizotolewa kwa kipindi cha Julai
2018 hadi Juni 2019 ni TZS 327.6 bilioni. Kati ya hizo TZS 236.3 bilioni (sawa na asilimia 72.1
ya fedha zote za Washirika wa Maendeleo) zimetolewa kwa programu na miradi iliyomo kwenye
Mpango wa Maendeleo 2018/19, TZS 5 bilioni (sawa na asilimia 1.5 ya fedha zote za Washirika
wa Maendeleo) zimetolewa kwa shughuli za kawaida na TZS 86.3 bilioni (sawa na asilimia 26.4
ya fedha zote za Washirika wa Maendeleo) zimetolewa kwa miradi ambayo haikupangiwa fedha
lakini zimeingizwa kwa ajili ya kukamilisha miradi hiyo. Miradi hiyo ni mradi wa ujenzi wa
uwanja wa Mao Tse Tung na mradi wa E-Government awamu ya pili. Mchanganuo wa fedha
ambazo hazimo katika Mpango wa Maendeleo wa 2018/19 umeambatanishwa katika
Kiambatisho III.
-
5
Jaduweli Nam 3: Upatikanaji wa Fedha za Mpango wa Maendeleo kwa Mwaka 2018/19 kutoka Serikalini na Washirika wa
Maendeleo kwa mujibu wa Wizara na Taasisi. (TZS Milioni)
Jina la Programu/Mradi Kilichopangwa Kilichopatikana Asilimia Kilichopatikana
SMZ DP Jumla SMZ DP Jumla SMZ DP Jumla
Ofisi ya Rais, Ikulu na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi 1,000 1,000 999 999 100 100
Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais 973 14,060 15,033 877 5,641 6,518 90 40 43
Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na
Udhibiti wa Dawa za Kulevya 500 500 166 166 33 33
Wizara ya Fedha na Mipango 20,500 63,708 84,208 8,798 36,393 45,191 43 57 54
Tume ya Mipango Zanzibar 609 546 1,155 425 572 997 70 105 86
Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na
Uvuvi 5,652 33,733 39,385 1,483 50,711 52,194 26 150 133
Wizara ya Biashara na Viwanda 4,700 4,700 1,496 1,496 32 32
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali 5,890 77,552 83,442 3,683 46,051 49,734 63 59 60
Wizara ya Afya 15,926 32,338 48,264 9,274 13,976 23,250 58 43 48
Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na
Nishati 7,800 79,287 87,087 5,407 40,601 46,008 69 51 53
Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na
Usafirishaji 42,300 161,570 203,870 32,162 38,512 70,674 76 24 35
Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee,
Wanawake na Watoto 370 1,408 1,778 200 3,800 4,000 54 270 225
Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi
wa Umma na Utawala Bora 1,050 1,050 343 343 33 33
Wizara ya Habari, Utalii na Mambo ya
Kale 1,350 1,350 1,050 1,050 78 78
Kamisheni ya Utalii 1,300 1,300 171 171 13 13
Wizara ya Vijana, Utamaduni, Sanaa na
Michezo 3,800 3,800 1,000 1,000 26 26
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali
za Mitaa na Idara Maalum za SMZ 23,510 23,510 23,847 23,847 101 101
Ofisi ya Usajili na Vitambulisho 500 500 500 500 100 100
-
6
Jina la Programu/Mradi Kilichopangwa Kilichopatikana Asilimia Kilichopatikana
SMZ DP Jumla SMZ DP Jumla SMZ DP Jumla
Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo
(KMKM) 5,000 5,000 5,025 5,025 101 101
Kikosi cha Valantia 500 500 500 500 100 100
Chuo cha Mafunzo 2,100 2,100 1,760 1,760 84 84
Jeshi la Kujenga Uchumi 2,150 2,150 2,149 2,149 100 100
Kikosi cha Zimamoto na Uokozi 500 500 494 494 99 99
Mkoa wa Mjini Magharibi 770 770 554 554 72 72
JUMLA KUU 148,750 464,202 612,952 102,363 236,257 338,620 69 51 55
Chanzo: Tume ya Mipango Zanzibar na Idara ya Fedha za Nje, 2018/19
-
7
1.2.3. Ulinganisho wa Fedha kwa Mwaka 2016/17 na 2017/18
Ulinganisho wa bajeti kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2016/17, mwaka wa fedha 2017/18 na mwaka wa
fedha 2018/19 umeelezwa katika jaduweli nam 4 hapo chini.
Jaduweli Nam 4: Ulinganisho wa Bajeti ya Maendeleo kwa Kipindi cha Mwaka wa Fedha 2016/17,
2017/18 na 2018/19
2016/17 2017/18 2018/19
Kiwango cha Bajeti ya Maendeleo
Jumla ya Bajeti ya Mwaka TZS 842 bilioni TZS 1,087 bilioni TZS 1,315 bilioni
Bajeti ya Maendeleo TZS 396 bilioni TZS 497 bilioni TZS 613 bilioni
Asilimia ya Bajeti ya
Maendeleo
47 46 47
Kiasi cha Fedha Kilichopangwa
Jumla TZS 396 bilioni TZS 497 bilioni TZS 613 bilioni
Serikali TZS 71 bilioni TZS 116 bilioni TZS 149 bilioni
Washirika wa
Maendeleo
TZS 325 bilioni TZS 381 bilioni TZS 464 bilioni
Asilimia ya Mchango
Serikali 18 23.7 24.3
Washirika wa Maendeleo 82 76.3 75.7
Mgawanyo wa Fedha kutoka Nje
Ruzuku TZS 89 bilioni
(27%)
TZS 82 bilioni
(22%)
TZS 76 bilioni
(16%)
Mkopo TZS 236 bilioni
(73%)
TZS 298 bilioni
(78%)
TZS 389 bilioni
(84%)
Kiasi cha fedha Kilichotoka
Jumla TZS 164 bilioni
(42%)
TZS 299 bilioni
(60%)
TZS 339 bilioni
(55%)
Serikali TZS 51 bilioni
(71%)
TZS 105 bilioni
(90%)
TZS 102 bilioni
(69%)
Washirika wa
Maendeleo
TZS 114 bilioni
(35%)
TZS 195 bilioni
(51%)
TZS 236 bilioni
(51%)
Chanzo: Idara ya Ufuatiliaji na Tathmini, 2019
-
8
Mchoro Nam 1: Ulinganisho wa Upatikanaji wa Fedha 2017/18 na 2018/19 kwa Wizara na
Taasisi
Chanzo: Idara ya Ufuatiliaji na Tathmini, 2019
101
101
100
100
100
100
99
90
84
78
76
72
70
69
63
58
54
43
33
33
32
26
26
13
69
100
104
9
62
100
99
72
99
100
92
93
79
99
102
80
60
80
56
83
53
90
0 20 40 60 80 100
Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa, Serikali za…
Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo (KMKM)
Ofisi ya Usajili na Vitambulisho
Kikosi cha Valantia
Jeshi la Kujenga Uchumi
Ofisi ya Rais, Ikulu na Mwenyekiti wa Baraza…
Kikosi cha Zimamoto na Uokozi
Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais
Chuo cha Mafunzo
Wizara ya Habari, Utalii, Mambo ya Kale
Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji
Mkoa wa Mjini Magharibi
Tume ya Mipango
Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji, na Nishati
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
Wizara ya Afya
Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee,…
Wizara ya Fedha na Mipango
Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa…
Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa…
Mahkama Kuu
Wizara ya Biashara na Viwanda
Wizara ya Vijana, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi
Kamisheni ya Utalii
JUMLA
2017/18 2018/19
-
9
SURA YA PILI: UTEKELEZAJI WA PROGRAMU NA MIRADI KWA KIPINDI CHA JULAI 2018 – JUNI 2019
KWA WIZARA
Sehemu hii inaelezea muhtasari wa utekelezaji wa programu na miradi ya maendeleo kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2018/19, Julai
2018 – Juni 2019 kwa utaratibu wa Wizara/Taasisi na programu au mradi husika.
2.1. Ofisi ya Rais, Ikulu na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
i. Mradi wa Uimarishaji wa Nyumba za Viongozi na Nyumba za Serikali
Mradi una lengo la kuimarisha makaazi ya Viongozi Wakuu wa Nchi kwa kuzifanyia
matengenezo pamoja na ujenzi ili kuyaweka katika mazingira mazuri. Kwa mwaka
2018/19, mradi ulipangiwa TZS 1 bilioni kutoka Serikalini na kupanga kutekeleza
shughuli zifuatazo: Ujenzi wa nyumba za ghorofa za wafanyakazi wa huduma za Rais
Dodoma; na ujenzi wa uzio na jiko katika Ikulu ya Chake Chake. Hadi kufikia Juni
2019, mradi umeingiziwa TZS 999 milioni (asilimia 100) na kutekeleza yafuatayo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Ujenzi katika Ikulu ya Chake Chake Asilimia ya ujenzi
iliyokamilika
100 100 100
Kufanya matengenezo katika Ikulu ya
Migombani
Asilimia ya matengenezo
iliyokamilika
100 100 100
Kufanya matengenezo katika Ikulu ya
Bosnia, Maisara
Asilimia ya matengenezo
iliyokamilika
100 92 92
Ujenzi wa ukuta wa kuzuia
mmong’onyoka wa udongo katika Ikulu
ya Mkoani
Asilimia ya matengenezo
iliyokamilika
100 92 92
-
10
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Ujenzi wa eneo la kuwekea jenereta
umefanyika katika Ikulu ya Dodoma
Asilimia ya ujenzi
iliyokamilika
100 100 100
2.2. Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais
i. Mradi wa Ujenzi wa Nyumba ya Makaazi ya Makamo wa Pili wa Rais Pemba.
Mradi una lengo la kuimarisha makaazi ya Makamu wa Pili wa Rais ili kuweza kutoa huduma bora. Mradi kwa mwaka 2018/19
ulipangiwa TZS 850 milioni kutoka Serikalini na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Ujenzi wa nyumba ya makazi ya Makamo
wa Pili wa Rais; ujenzi wa nyumba mbili za wafanyakazi, ujenzi wa kibanda cha askari, ujenzi wa jiko na sehemu ya kulia, ujenzi wa
kibanda cha jenereta, ujenzi wa sehemu ya kufanyia mazoezi, ujenzi wa sehemu ya kufulia, ujenzi wa nyumba ya ulinzi (mapokezi) na
ujenzi wa msikiti. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 819 milioni (asilimia 96) na kutekeleza yafuatayo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Ujenzi wa nyumba ya makazi ya
Makamo wa Pili wa Rais, Pagali
Pemba
Asilimia ya ujenzi
iliyokamilika
100 80 80 Ujenzi wa majengo sita umekamilika hadi
kuezekwa, ujenzi wa majengo yaliyobakia
ikiwemo nyumba ya Makamo wa Pili
unaendelea kwa hatua mbalimbali. Kazi inayoendelea sasa ni kukamilisha uwekaji
wa maji, umeme na milango
ii. Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini (TASAF III).
Mpango una lengo la kuziwezesha kaya masikini sana kuongeza kipato, fursa na uwezo wa kugharamia mahitaji muhimu ya
kibinaadamu hasa chakula, afya na elimu. Mpango huu unakusudia kutekeleza miradi iliyoibuliwa na wananchi katika nyanja mbali
mbali za elimu, afya, maji safi na ajira za muda. Kwa mwaka 2018/19 mpango ulipangiwa TZS 12.7 bilioni ambazo TZS 40 milioni
kutoka Serikalini na TZS 12.7 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo (Benki ya Dunia), na kupanga kutekeleza shughuli
zifuatazo: kuratibu shughuli za programu ya TASAF kati ya Zanzibar na Dar es Salaaam na kufanya malipo kwa kaya masikini na
kusaidia jamii kutekeleza miradi ya muda. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 5.35 bilioni (asilimia 42) ambapo TZS 25
-
11
milioni (asilimia 63) zilitoka Serikalini na TZS 5.3 bilioni (asilimia 42) zilitoka kwa Washirika wa Maendeleo na kutekeleza
yafuatayo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kufanya malipo kwa kaya
maskini na kusaidia jamii
kutekeleza miradi ya muda
Idadi ya kaya maskini
zilizopatiwa fedha
33,632 32,572 96.8 Jumla ya Shehia 233 zimepatiwa
fedha Unguja na Pemba
Kulipa fedha za masharti na ajira
za muda kwa kaya Unguja na
Pemba
Idadi ya kaya
zilizopatiwa fedha
Unguja
18,204
32,347
177.6
Idadi ya kaya 17,838 zinazonufaika
zimelipwa kwa ajili ya malipo ya
fedha za masharti na 14,509 kwa ajili
ya kazi za jamii
Pemba
14,368
26,268
182.8
Jumla ya kaya 14,044 zimelipwa kwa
ajili ya malipo ya fedha za masharti na
wanufaika 12,224 wamelipwa kwenye
sekta zisizo rasmi
Kutekeleza mpango wa kuweka
akiba na kukuza uchumi wa kaya.
Idadi ya vikundi
vilivyoweka hakiba
2,235 2,055 92
Kufanya ujenzi wa miundombinu
ya vituo vya kutolea huduma kwa
jamii Unguja
Asilimia ya ujenzi
iliyokamilika
100 96 96 Ujenzi wa jengo la Kituo cha Afya cha
Kianga umekamilika, shughuli za
umaliziaji zinaendelea
iii. Mradi wa Kujenga Uwezo wa Kukabiliana na Maafa Zanzibar
Mradi una lengo la kuimarisha uwezo wa Taifa katika kujiandaa na kukabiliana na maafa. Kwa mwaka 2018/19, mradi ulipangiwa
TZS 106 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo (UNDP), na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kuandaa mipango ya
kukabiliana na maafa katika Wilaya za Chake Chake, Mkoani na Kati; Kutoa mafunzo kwa watoto yatima juu ya kukabiliana na
maafa; Kutoa elimu ya kukabiliana na maafa katika skuli za maandalizi katika Wilaya za Kati, Magharibi ‘A’, Kaskazini ‘A’,
Micheweni na Mkoani; na Kuandaa na kurusha hewani vipindi 25 vya redio na sita vya TV juu ya kukabiliana na maafa. Hadi kufikia
Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 164 milioni (asilimia 155) kutoka kwa Washirika wa Maendeleo na kutekeleza shughuli zifuatazo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kutoa mafunzo kwa Walimu wa elimu ya awali kwa Idadi ya walimu 420 420 100
-
12
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
skuli za Magharibi ‘A’, wilaya ya Kati na Kaskazini
‘B’ na Micheweni na Mkoani kwa Pemba kuhusu
matumizi ya dawa za DRR
walioshiriki katika
mafunzo
Kuandaa mipango ya kukabiliana na maafa mara tu
yanapojitokeza (Emergence Preparedness Response
Plan) kwa upande wa wilaya za Mkoani na Chake
Chake Pemba na wilaya ya Kati kwa Unguja.
Idadi ya mipango
iliyoandaliwa
3 3 100
Kufanya mafunzo ya njia za kukabiliana na
kupunguza maafa katika vituo vinne (4) vya watoto
na vitatu (3) vya wazee kwa Unguja na Pemba.
Idadi ya vituo vya jamii
vilivyopatiwa uelewa
7 4 57
iv. Mradi wa Kukuza Uwezo wa Kitaifa wa Kuhimili Athari za Mabadiliko ya Tabianchi
Mradi una lengo la kukuza uwezo wa taasisi mbali mbali za Serikali katika kuhimili athari za mabadiliko ya tabianchi. Kwa mwaka
2018/19 ulipangiwa TZS 840 milioni ambazo TZS 33 milioni kutoka Serikalini na TZS 807 milioni kutoka kwa Washirika wa
Maendeleo (Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB)) na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kuandaa Mwongozo wa Uingizaji wa
Masuala ya Mabadiliko ya Tabia Nchi na kujenga uwezo kwa maafisa katika uingizaji wa hatua mahsusi za Mabadiliko ya Tabianchi
katika Mipango ya sekta; Kukuza uwezo wa kitengo cha Mabadiliko ya Tabianchi na maafisa (Focal persons) kutoka Ofisi ya
Makamo wa Pili wa Rais, Wizara ya Fedha na Mipango na Tume ya Mipango Zanzibar ili kuweza kusaidia upangaji wa hatua za
mabadiliko ya tabianchi, upatikanaji wa fedha na ufuatiliaji wa utekelezaji; Kukuza uwezo kwa Serikali za mitaa ili kuweza kuongoza
maendeleo ya LAPAs na shughuli zake na Kuandaa vikao vya Kamati Kiongozi na Kamati ya Wataalamu. Hadi kufikia Juni 2019,
mradi uliingiziwa TZS 173 milioni (asilimia 21) ambapo TZS 20 milioni (asilimia 61) zilitoka Serikalini na TZS 153 milioni (asilimia
19) zilitoka kwa Washirika wa Maendeleo na kutekeleza shughuli zifuatazo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kukuza uwezo wa kitengo cha
Mabadiliko ya Tabianchi na maafisa
(Focal persons) kutoka Ofisi ya Makamo
wa Pili wa Rais, Wizara ya Fedha na
Mipango na Tume ya Mipango Zanzibar
Idadi ya maafisa
waliojengewa uwezo
5 5 100
-
13
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
ili kuweza kusaidia upangaji wa hatua za
mabadiliko ya tabianchi, upatikanaji wa
fedha na ufuatiliaji wa utekelezaji
Kuandaa vikao vya Kamati Kiongozi na
Kamati ya Wataalamu
Idadi ya vikao vya
Kamati Kiongozi na
Kamati ya Wataalamu
vilivyofanyika
6 2 33
Kufanya tathmini ya ripoti za kitaalam za
washauri elekezi ili kumpata mshauri
mmoja ambaye ataweza kutoa huduma
kwa mradi
Idadi ya vikao vya
tathmini vilivyofanyika
5 3 60 Ripoti ya mwisho ya
tathmini ya kumpata
mshauri elekezi
inatayarishwa ili itumwe
makao makuu ya mradi
Ivory Coast kwa hatua
Kuhudhuria mafunzo ya muda mfupi
nchini Eswatini (zamani Swaziland) juu
ya uandaaji wa miradi (concept note) ya
miradi ya mabadiliko ya tabianchi (Green
Climate Fund)
Idadi ya wafanyakazi
waliopatiwa mafunzo 5 5 100
v. Mradi wa Kuimarisha Usimamizi wa Mazingira, Maliasili na Mabadiliko ya Tabianchi – Zanzibar
Mradi una lengo la kusaidia katika kufanyia kazi changamoto zilizojitokeza za mazingira na mabadiliko ya tabianchi kwa kukuza
uwezo kwa taasisi mbali mbali za Zanzibar. Kwa mwaka 2018/19 ulipangiwa TZS 496.5 milioni ambazo TZS 50 milioni kutoka
Serikalini na TZS 446.5 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo (UNDP) na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kuandaa
vikao vya Kamati Kiongozi na Kamati ya Wataalamu; Kuimarisha uwezo wa taasisi zinazohusika na mabadiliko ya tabianchi; Kukuza
uwezo katika upatikanaji na usimamizi wa rasilimali fedha. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 13 milioni (asilimia 26)
kutoka Serikalini na kutekeleza yafuatayo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kutayarisha maandiko (Concept note)
ya utayarishaji wa miradi ya
Idadi ya maandiko
iliyokamilika
4 0 0 Taratibu za kumpata mshauri elekezi
ambaye atakuwa Mkufunzi wa
-
14
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
maendeleo ya kukabiliana na
mabadiliko ya tabianchi katika sekta
nne (4) kwa kutumia njia shirikishi
mafunzo ya uandishi wa maandiko ya
mradi zinaendelea Idadi ya taasisi
zitakazojengewa uwezo
17 0 0
Kurejesha maeneo yaliyoharibika kwa
mabadiliko ya tabia nchi kwa kufanya
utafiti mdogo wa kujua ukubwa wa
athari na hali halisi iliyoharibika
pamoja na gharama zinazohitajika
katika marekebisho
Idadi ya maeneo
yaliyofanyiwa uhimili
wa mabadiliko ya
tabianchi
2 1 50 Utafiti wa kimazingira (rapid
assessment) umefanyika eneo la
Msuka ambalo limeathirika na
mmong’onyoko wa fukwe. Utafiti huo
unaonyesha gharama na hatua za
kuchukuliwa ili kulirejesha eneo hilo
katika hali yake ilikuwepo awali.
Asilimia ya utafiti
iliyokamilika
100 100 100
Kufanya ukarabati wa Idara ya
Mazingira pamoja na ununuzi wa
vifaa mbalimbali kwa ajili ya
kuimarisha utekelezaji wa shughuli za
mradi
Asilimia ya ukarabati
iliyokamilika 100 95 95 Idara ya Mazingira imefanyiwa
ukarabati na baadhi ya vifaa
vimenunuliwa
Kufanya ziara ya kutafuta na
kuchagua maeneo ambayo
yatafungwa vifaa vya kusomea habari
za hali ya hewa
Idadi ya maeneo
yaliyofanyiwa ziara
15 15 100 Maeneo 15 yalitembelewa kwa
upande wa Unguja na Pemba
Kufanya ziara ya ukaguzi wa vifaa
vya kusomea hali ya mvua Idadi ya ziara
zilizofanyika
2 1 50 Ziara moja ya kuvikagua vifaa
vinavyotumika kusomea hali ya mvua
imefanyika kwa upande wa Unguja na
moja inatarajiwa kufanyika Pemba
Kufanya mafunzo ya mabadiliko ya
Tabianchi na mipango ya matumizi ya
ardhi kwa watendaji wa Idara ya
Mipango,miji na vijiji na wadau
wengine
Idadi ya watendaji
waliopatiwa mafunzo 12 12 100 Mafunzo ya siku mbili (2)
yamefanyika kwa watendaji wa Idara
ya Mipango,miji na vijiji na wadau
wengine
Kufanya mafunzo ya mabadiliko ya
tabianchi na mipango ya matumizi ya
ardhi kwa watendaji wa serikali za
mitaa
Idadi ya watendaji
waliopatiwa mafunzo 75 75 100 Mafunzo ya siku tatu (3) yamefanyika.
-
15
2.2.1. Tume ya Kitaifa ya Kuratibu na Udhibiti wa Madawa ya Kulevya
i. Ujenzi wa Kituo cha Tiba na Marekebisho ya Tabia
Mradi una lengo la kukiendeleza kituo cha Kidimni ili kiweze kutoa huduma bora kwa
waathirika wa dawa za kulevya. Kwa mwaka 2018/19 ulipangiwa TZS 500 milioni
kutoka Serikalini na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kuendelea na ujenzi wa
kituo cha kurekebisha tabia kwa waathirika wa madawa ya kulevya na ununuzi wa vifaa.
Hadi Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 166 (asilimia 33) na kutekeleza yafuatayo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kuendelea na ujenzi wa kituo cha
kurekebisha tabia kwa waathirika wa madawa
ya kulevya na ununuzi wa vifaa
Asilimia ya ujenzi
iliyofikiwa
100 56 56 Ujenzi umefikia hatua
ya kukamilisha ghorofa
ya kwanza na kuendelea
na ghorofa ya pili
Asilimia ya vifaa
vilivyonunuliwa
100 0 0 Vifaa vitanunuliwa
baada ya kukamilika
ujenzi
2.3. Wizara ya Fedha na Mipango
i. Programu ya Ujenzi wa Ofisi za Serikali Zanzibar
Programu ina lengo la kujenga Ofisi za Serikali ili kuweka mazingira bora ya kazi kwa wafanyakazi. Kwa mwaka 2018/19 programu
ilipangiwa TZS 15 bilioni kutoka Serikalini na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kukamilisha ujenzi wa Ofisi za Wizara ya
Fedha na Mipango; Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora; na Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee,
Vijana, Wanawake na Watoto Pemba; Kuanza ujenzi wa Wizara ya Fedha na Mipango Unguja; na Kuanza ujenzi wa Mahkama Kuu,
Tunguu. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 8.2 bilioni (asilimia 55) na kutekeleza yafuatayo:
-
16
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kukamilisha ujenzi wa Wizara
tatu katika eneo la Gombani
Pemba
Asilimia ya ujenzi wa jengo
iliyokamilika
100 100 100 Ujenzi umekamilika na jengo
lishafunguliwa rasmi. Jumla ya
Wizara sita zimeweza kuingia
katika majengo hayo badala ya
wizara tatu.
Kuanza ujenzi wa Wizara ya
Fedha na Mipango, Unguja
Asilimia ya matayarisho
iliyokamilika
100 95 95 Mkandarasi ameshapatikana na
mikataba ya ujenzi
imewasilishwa kwa Mwanasheria
Mkuu wa Serikali ili kupata
ruhusa yakuendelea na ujenzi.
-
17
ii. Programu ya Kuimarisha Huduma za Miji (ZUSP)
Programu ina lengo la kuimarisha upatikanaji wa
huduma bora za miji ya Zanzibar na uhifadhi wa eneo la
urithi wa Mji Mkongwe ambalo ni kivutio kwa watalii
na kulinda historia ya mji wa Zanzibar. Kwa mwaka
2018/19 programu ilipangiwa TZS 41.9 bilioni kutoka
kwa Washirika wa Maendeleo (Benki ya Dunia) na
kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kuendelea na
kazi ya ujenzi wa jaa la taka la Kibele na kutayarisha
mkakati wa usimamizi wa taka; Kuimarisha mandhari
ya mji (Green Corridor) katika maeneo ya pembezoni
mwa barabara ya Malindi-Baraza la Wawakilishi la
zamani, Mlandege-Maisara na Mkunazini Kariakoo;
Kuweka taa za barabarani (Street Light) katika maeneo
ya barabara za Uwanja wa ndege - Mnazimmoja,
Kwerekwe - Kiembe Samaki na Kinazini - Kariakoo
mpaka Kilimani; na Kuendelea na kazi ya ujenzi wa
mitaro katika maeneo mbali mbali ya ng’ambo ya mji.
Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 30.6
bilioni (asilimia 59) na kutekeleza yafuatayo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kuendelea na kazi ya ujenzi wa
jaa la taka taka la Kibele na
kutayarisha mkakati wa
usimamizi wa taka taka
Asilimia ya kazi
iliyofikiwa
40 16 40 Mkataba umeshasainiwa na mshauri elekezi
yupo katika eneo la kazi. Utekelezaji wa
shughuli mbalimbali umeanza ikiwemo
ukataji wa miamba, ujenzi wa tabaka la
mwanzo la jaa nakadhalika. Aidha, fidia kwa
waathirika wa ujenzi wa jaa umefanyika.
Kuimarisha mandhari ya mji
(Green Corridor) katika
Asilimia ya
matayarisho
100 100 100 Mshauri Elekezi anaendelea kufanya
merekebisho ya Upembuzi Yakinifu kwa
-
18
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
maeneo ya pembezoni mwa
barabara ya Malindi-Baraza la
Wawakilishi la zamani,
Mlandege-Maisara na
Mkunazini Kariakoo;
iliyofikiwa mujibu wa maoni yaliyotolewa na wadau.
Kuweka taa za barabarani
(Street Light) katika maeneo ya
barabara za Uwanja wa ndege-
Mnazimmoja, Kwerekwe-
Kiembe Samaki na Kinazini-
Kariakoo mpaka Kilimani kwa
Unguja; na miji ya Mkoani,
Chakechake na Wete kwa
Pemba.
Asilimia ya
uchimbaji na
ulazaji bomba
(sleeves)
iliyofikiwa
100 100 100 Uwekaji wa mabomba kwa upande wa
Unguja umefikia kilomita 13.5 kati ya 14.3
na kwa upande wa Pemba umefikia kilomita
6 kati kilomita 17.4.
Ujenzi wa msingi wa maji ya
mvua wa system C unaoanzia
Mwanakwerekwe, Magogoni
kupitia Sebleni, Kibanda Maiti,
Kwa Abbass Hussein na
kumalizia baharini
Asilimia ya ujenzi
iliyokamilika
100 78 78 Watu 143 wamelipwa fidia ya TZS 2.32
bilioni ili kupisha eneo ambalo linahitajika ili
mkandarasi amalizie kazi ya misingi ya maji
ya mvua kwa maeneo ambayo bado
hayajamalizika. Jumla ya kilomita 6.3
zimekamilika ujenzi kati ya 10.6.
iii. Programu ya Upatikanaji Rasilimali Fedha
Programu ina lengo la kuimarisha upatikanaji wa rasilimali fedha kwa kuimarisha mapato yatokanayo na kodi na mapato yasiyotokana
na kodi kupitia utekelezaji wa sheria, miongozo na kanuni za fedha. Kwa mwaka 2018/19, programu ilipangiwa TZS 1.0 bilioni
kutoka Serikalini na kupanga kununua mashine za kutolea risiti (VFD). Hadi kufikia Juni 2019, programu haijangiziwa fedha, taratibu
za manunuzi zinaendelea.
iv. Programu ya Kuimarisha Maendeleo Endelevu (UNDAP II)
Programu ina lengo la kusaidia, kuratibu, ufuatiliaji na tathmini wa MKUZA III pamoja na Malengo ya Maendeleo Endelevu ya
Dunia (SDGs) kwa ajili ya kutoa uelewa wa utekelezaji wa malengo yaliyopangwa ili kupata matokeo yake, na kuhakikisha kwamba
-
19
rasilimali zilizopo zinatumika kwa ufanisi mkubwa na kwa manufaa ya watu na taifa kiujumla. Kwa mwaka 2018/19 programu
ilipangiwa TZS 273.3 milioni ambapo TZS 50 milioni kutoka Serikalini na TZS 223.3 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo
(UNDP) na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Ukarabati wa ofisi ya mratibu wa mradi; Kuandaa vikao viwili vya Kamati
Kiongozi na vinne vya Kamati ya Kitaalamu; Kuandaa mkakati wa mawasiliano (Communication Strategy) wa MKUZA III; Kufanya
mikutano na taasisi za Serikali kwa ajili ya kuwajengea uelewa wa uingizaji wa MKUZA III pamoja na Malengo ya Maendeleo
Endelevu katika mipango ya sekta zao; Kuandaa utaratibu wa utekelezaji wa Muongozo wa Mashirikiano ya pamoja na Washirika wa
Maendeleo; Kufanya uchambuzi na kufuatilia miradi ya UNDP na Washirika wa Maendeleo wengine ili kutambua changamoto
zilizopo; Kutoa mafunzo kwa maafisa wa idara ya Fedha za Nje katika fani za utafutaji wa misaada, usimamizi wa misaada n.k; na
Kutayarisha mfumo na sera ya utowaji wa taarifa (Data Dissemination), na kutoa mafunzo ya kutumia Micro data kutoka kwa
webportal. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 120 milioni (asilimia 54) kutoka kwa Washirika wa Maendeleo na
kutekeleza yafuatayo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kuandaa vikao viwili vya Kamati
Kiongozi na vinne vya Kamati ya
Kitaalamu
Idadi ya vikao vilivyofanyika 6 2 33
Kuandaa mkakati wa mawasiliano
(Communication Strategy) wa MKUZA
III
Asilimia ya uandaaji wa mkakati
iliyokamilika
100 90 90
Kufanya mikutano na taasisi za Serikali
kwa ajili ya kuwajengea uelewa wa
uingizaji wa MKUZA III pamoja na
Malengo ya Maendeleo Endelevu katika
mipango ya sekta zao
Idadi ya mikutano iliyofanyika 3 3 100
Idadi ya washiriki waliojengewa
uwelewa
165 165 100
Kuandaa utaratibu wa utekelezaji wa
Muongozo wa Mashirikiano ya pamoja
na Washirika wa Maendeleo
Asilimia ya muongozo wa
mashirikiano ya pamoja
100 100 100
v. Mradi wa Uimarishaji Utawala bora Awamu ya Tatu
Mradi una lengo la ukuzaji na uimarishaji wa masuala ya kifedha na kiuchumi kwa kujenga ufanisi na usimamizi wa fedha na
uboreshaji wa mazingira ya kibiashara na unatarajiwa kukamilika mwaka 2019. Kwa mwaka 2018/19 ulipangiwa TZS 7.2 bilioni
-
20
ambapo TZS 150 milioni kutoka Serikali na TZS 7.1 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo (Benki ya Maendeleo ya Afrika
(AfDB)) na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kuandaa vikao vya Kamati Kiongozi na Kamati ya Kitaalamu; Kuandaa
matangazo manane (8); Kuratibu Mkakati wa Kuzuia Rushwa na kuadhimisha siku ya rushwa kimataifa; Kutoa mafunzo kwa
Wajumbe wa Kamati ya Fedha ya Baraza la Wawakilishi kuhusu wajibu na majukumu yao; Kuandaa semina kwa Wajumbe wa
Kamati ya Fedha ya Baraza la Wawakilishi kuhusu ripoti ya Mkaguzi wa hesabu za Serikali kuhusu matumizi ya fedha za umma;
Kufanya malipo kwa washauri elekezi kwa ajili ya kazi za kuandaa Mpango Mkuu wa Uchumi wa Micheweni (Micheweni Master
Plan), Sekta ya Uwekezaji na Mapitio ya Fedha za Umma; Kutoa mafunzo kwa maafisa wa Taasisi za Serikali zinazonufaika na mradi
katika fani mbali mbali; Kununua vifaa mbali mbali vya ofisini kwa taasisi za Serikali ikiwemo vifaa vya kuimarisha huduma za
kimtandao, jenereta na vifaa vya mfumo wa ulinzi na usalama. Hadi kufikia Juni 2019, TZS 5.1 bilioni (asilimia 72) ziliingizwa na
Washirika wa Maendeleo na kutekeleza shughuli zifuatazo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kuandaa vikao vya Kamati Kiongozi na
Kamati ya Kitaalamu
Idadi ya vikao
vilivyofanyika
3 1 33
Kuandaa matangazo manane (8) Idadi ya matangazo
waliyotolewa
8 6 75
Mafunzo ya muda mfupi, warsha na
semina kwa kwa taasisi zinazofaidika na
mradi
Idadi ya taasisi
zilizopatiwa mafunzo
20 18 90 Mafunzo yamefanyika kwa
ZPPDA, Ofisi ya Mdhibiti na
Mkaguzi Mkuu wa Serikali,
Idara ya Mhasibu Mkuu wa
Serikali, Idara ya Sera za
Kodi, Wizara ya Biashara na
viwanda, ZAECA, ZIPA na
Kitengo cha PPP
Ununuzi wa vifaa vya ofisi kwa taasisi
zinazonufaika na mradi
Asilimia ya vifaa
vilivyonunuliwa
100 100 100
Kuandaa sera ya sekta binafsi na
Kuendeleza sera ya maendeleo ya sekta
binafsi pamoja na mkakati
Asilimia ya maandalizi
ya sera yaliyofikiwa
100 100 100 Ripoti ya mwisho ya kazi ya
kuandaa sera ya sekta binafsi
pamoja na mkakati
imeshakamilika.
Tathmini ya matumizi ya Fedha za Umma Idadi ya ripoti za
tathmini ya matumizi
ya Fedha za Umma
4 4 100 Mshauri elekezi tayari
amewasilisha ripoti ya
mwisho ya kazi hiyo. Na
-
21
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
kuanza matayarisho ya
kuwasilisha kwa wadau.
Kuandaa sekta vipaumbele kwa Zanzibar
vya ZIPA
Idadi ya Sekta
vipaumbele
zilizotayarishwa
3 3 100 Mshauri elekezi
ameshawasilisha rasimu ya
mwisho ya ripoti ya kazi hiyo.
Kuandaa Mpango Mkuu wa Micheweni Asilimia ya mpango
iliyokamilika
100 30 30 Mshauri elekezi tayari
amewasilisha ripoti ya awali.
hatua iliopo ni kukubaliwa na
wadau ili kukamilisha
uandaaji wa Micheweni
Master Plan.
vi. Mradi wa Uimarishaji Rasilimali za Ndani na Usimamizi wa Mali Asili
Mradi una lengo la kuimarisha rasilimali za ndani na usimamizi wa maliasili. Mradi unaratibiwa na Wizara ya Fedha na Mipango na
kunufaisha Taasisi za Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Zanzibar. Kwa mwaka 2018/19,
mradi ulipangiwa TZS 4.27 bilioni ambapo TZS 100 milioni kutoka Serikalini na TZS 4.2 bilioni kutoka Washirika wa Maendeleo
(Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB)) na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kuandaa vikao vya Kamati Kiongozi na Kamati
ya Wataalamu; Kuandaa matangazo nane (8); Kuratibu shughuli za Kamati ya Tathmini za ununuzi; Kuimarisha mfumo wa usimamizi
wa ulipaji kodi wa ZRB na uimarishaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati (ZURA); Kununua vifaa vya ofisini
za Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati (ZURA), Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Bodi ya Mapato ya
Zanzibar (ZRB); Kutoa mafunzo ya muda mfupi, warsha, semina na ziara za kujifunza kwa Taasisi za Serikali zinazonufaika na
mradi. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 346 milioni (asilimia 8) kutoka kwa Washirika wa Maendeleo, na kutekeleza
shughuli zifuatazo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Mafunzo ya muda mfupi kwa
wafanyakazi wa ZRB, ZURA na
TRA juu ya uimarishaji wa
mapato ya ndani.
Idadi ya wafanyakazi
waliopatiwa mafunzo
70 65 93
-
22
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kuwatafuta washauri elekezi
kwa kazi kumi (10) tofauti
zitakazosaidia kuimarisha
mifumo na hatua mbali mabali za
kuimarisha ukusanyaji wa
mapato kwa ZRB
Asilimia ya
utekelezaji wa
utafutaji wa washauri
elekezi
100 30 30 Kati ya kazi hizo nane (8) ni za
huduma na mbili (2) za Vifaa. Kazi
hizo zimewasilishwa Benki ya
Maendeleo ya Afrika kupata ridhaa ya
kuendelea na mchakato wa kuwapata
wataalamu elekezi
Ununuzi wa vifaa vya ofisi (ICT
and office equipment) kwa
mamlaka ya Mapato TRA-
Zanzibar na ZURA.
Asilimia ya ununuzi
wa vifaa iliyofikiwa
100 80 80
Ununuzi wa vifaa vya maabara
kwa ZURA.
Asilimia ya
utekelezaji
100 90 90
vii. Mradi wa Kuendeleza Bandari ya Mangapwani
Mradi una lengo la kuimarisha na kuendeleza mindombinu ya
barabara, umeme na maji katika eneo la bandari ya mafuta na gesi
asilia inayokusudiwa kujengwa huko Mangapwani. Kwa mwaka
2018/2019 mradi ulipangiwa TZS 4.2 bilioni kutoka Serikalini na
kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Ujenzi wa barabara ya
kuingilia katika eneo la mradi; na Uwekaji wa miundombinu ya
umeme na maji. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS
553 milioni (asilimia 13) na kutekeleza shughuli zifuatazo:
-
23
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Ujenzi wa barabara ya kuingilia
katika eneo la mradi
Asilimia ya ujenzi wa
barabara iliyofikiwa
100 100 100 Barabara imesafishwa kuanzia
barabara kuu mpaka eneo la mradi
kilomita 3.5
Uwekaji wa miundombinu ya
umeme na maji
Asilimia ya uwekaji wa
miundombinu ya maji
iliyofikiwa
100 100 100
Asilimia ya uwekaji wa
miundombinu ya umeme
iliyofikiwa
100 100 100
Ujenzi wa nyumba za makaazi
kwa waliohamishwa ilikupisha
mradi
Asilimia ya ujenzi wa
nyumba iliyofikiwa
100 25 25 Ujenzi wa nyumba 31 katika kijiji
cha Dundua katika Shehia ya
Kidanzini umefikia hatua ya msingi
viii. Mradi wa Kuimarisha Demokrasia na Utawala Bora Katika Kuzisaidia Asasi za Kiraia (ZANSASP)
Mradi una lengo la kuimarisha demokrasia na utawala bora katika kuzisaidia asasi za kiraia katika uwajibikaji, ushirikishwaji na
utekelezaji wa sera za maendeleo. Kwa mwaka 2018/19, mradi ulipangiwa TZS 250 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo
(Jumuiya ya Ulaya (EU)) na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kuzisaidia asasi za kiraia katika masuala mbali mbali ya
kimaendeleo ili kutimiza malengo yao; Kusaidia Idara ya Fedha za Nje katika masuala ya usimamizi wa misaada na utekelezaji wa
mkakati na sera ya misaada; Kuzijengea uwezo asasi za kiraia katika masuala mbali mbali yanayohusu uandaaji wa sera na utekelezaji
wake; Kuijengea uwezo Idara ya Fedha za Nje katika masuala ya makubaliano ya majadiliano ya misaada na washirika wa maendeleo.
Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 138 milioni (asilimia 55) na kutekeleza shughuli zifuatazo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kuzisaidia asasi za kiraia katika
masuala mbali mbali ya
kimaendeleo ili kutimiza
malengo yao
Idadi ya asasi ya kiraia
zilizosaidiwa
11 11 100
-
24
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kuzijengea uwezo asasi za kiraia
katika masuala mbali mbali
yanayohusu uandaaji wa sera na
utekelezaji wake
Idadi ya asasi ya kiraia
zilizojengewa uwezo
11 11 100
Kusaidia Idara ya Fedha za Nje
katika masuala ya usimamizi wa
misaada na utekelezaji wa
mkakati na sera ya misaada
Asilimia ya utekelezaji wa
mkakati wa mkakati wa sera
ya misaada
100 100 100
Kuijengea uwezo Idara ya Fedha
za Nje katika masuala ya
makubaliano ya majadiliano ya
misaada na washirika wa
maendeleo.
Idadi ya maafisa
waliojengewa uwezo
10 0 0 Kuchelewa kwa uidhinishwaji
wa fedha kutoka EU kwa muda
ulopangwa
2.3.1. Tume ya Mipango Zanzibar
i. Programu ya Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA)
Programu ina lengo la kurahisisha urasimishaji wa rasilimali na biashara zilizo katika mfumo usio rasmi ili kukidhi mahitaji ya
kisheria na umiliki wa mali ndani ya mfumo wa uchumi wa kisasa. Sekta zinazohusika na mpango huu ni biashara na ardhi. Kwa
mwaka 2018/19, programu ilipangiwa TZS 300 milioni ambazo TZS 200 milioni kutoka SMZ na TZS 100 milioni kutoka Serikali ya
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kupanga kutekeleza yafuatayo: Kushiriki mafunzo elekezi ya MKURABITA kwa maafisa
usimamizi wa mradi, pamoja na maafisa ardhi na biashara Tanzania Bara; Utoaji wa hati kwa maeneo yaliyotambuliwa ya Nungwi,
Chwaka, Kiungoni na Chokocho; Kuratibu vikao vya Kamati Kiongozi na Kamati ya Wataalamu; Ununuzi wa vifaa Pemba;
Urasimishaji wa ardhi maeneo ya Mbweni, Kilimani na Mazizini; Kujenga uwezo kwa wafanyabiashara wadogo wadogo juu ya
usimamizi na uendeshaji wa biashara kwa Wilaya ya Kaskazini B Unguja na Mkoani Pemba, Kujenga uwezo kwa wafanyabiashara
wadogo wadogo juu ya usimamizi na uendeshaji wa biashara kwa Unguja na Pemba; na Kurasimisha ardhi katika maeneo ya
Kizimbani, Nungwi na Chwaka. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 195 milioni (asilimia 65) ambazo TZS 195 milioni
(asilimia 98) zilitoka Serikalini na hakuna fedha iliyoingizwa kutoka kwa Washirika wa Maendeleo na kutekeleza yafuatayo:
-
25
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Utengenezaji wa hati katika
maeneo yaliyotambuliwa
Idadi ya hati zilizotayarishwa 2,000
900 45
Kutoa mafunzo ya ujasiriamali
na kuwathibitisha wajasiriamali
wadogo
Idadi ya wajasiriamali
waliopewa mafunzo
200 200 100 Wilaya zilizopatiwa mafunzo
ni za Mkoani na Kaskazini
‘B’, Wilaya ya Magharibi ‘A’
na Wete Pemba
Kufanya urasimishaji wa ardhi Idadi ya viwanja
vilivyotambuliwa taarifa zake
2,500 1,160 46 Eneo lililoendelezwa ni la
kwa Bint Amrani-Mpendae
Kufanya vikao vya Kamati
kiongozi na Kamati ya
Wataalamu
Idadi ya vikao vilivyofanyika 6 6 100
ii. Kupunguza Umasikini na Ufuatiliaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu
Mradi una lengo la kuendeleza uwezo wa wananchi katika kuibua na kutekeleza miradi midogo midogo itakayowawezesha
kujikwamua na umasikini. Kwa mwaka 2018/19, mradi ulipangiwa TZS 403.3 milioni, ambapo TZS 180 milioni kutoka Serikali na
TZS 223.3 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo (UNDP) na kupanga kutekeleza yafuatayo: Kujenga uelewa kwa wananchi
wa wilaya ya Mkoani juu ya matokeo ya ripoti ya utafiti wa shehia maskini katika Wilaya hiyo; Kusaidia utekelezaji wa mapendekezo
yaliyotolewa katika ripoti ya utafiti wa hali ya umasikini katika Wilaya ya Mkoani; Kufanya tafiti ya hali ya umasikini (Poverty
Profile) kwa shehia/maeneo ya Wilaya ya Micheweni; Kutoa mafunzo juu ya uibuaji na uandaaji wa miradi midogo midogo ya
maendeleo na mikakati ya kujikwamua na umasikini katika Mikoa mitano; Kusaidia uingizaji wa malengo ya SDGs katika masuala ya
umasikini, mazingira, jinsia na mabadiliko ya tabianchi katika mfumo wa ugatuzi; Kuendeleza uwezo kwa taasisi za Serikali za Mitaa
na Serikali kuu jinsi ya kuandaa na kutekeleza mikakati ya mabadiliko ya tabianchi na jinsia itakayozingatia upunguzaji wa umasikini;
Kusaidia taasisi za Serikali katika kuratibu na kusimamia utekelezaji na ufuatiliaji wa MKUZA III na SDGs; Kufanya mapitio ya Dira
ya Maendeleo ya 2020 na uandaaji wa Dira mpya ya Maendeleo ya Zanzibar. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 140
milioni (asilimia 78) kutoka Serikalini na hakuna fedha kutoka kwa Washirika wa Maendeleo na kutekeleza yafuatayo:
-
26
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kujenga uelewa kwa wananchi wa
wilaya ya Mkoani juu ya matokeo ya
ripoti ya utafiti wa shehia masikini
Idadi ya shehia
zilizopatiwa uelewa
12 12 100 Wananchi wamepatiwa uelewa juu
ya matokeo ya utafiti wa shehia
masikini uliofanyika katika shehia
12 za Wilaya ya Mkoani – Pemba
Kufanya utafiti kuhusiana na
umaskini kutokana na taarifa za
Utafiti wa Mapato na Matumizi ya
Kaya Zanzibar wa 2014/15 Wilaya
ya Micheweni na Mkoani
Idadi ya tafiti
zilizofanyika
2 1 50 Utafiti wa hali ya umasikini katika
shehia 12 za wilaya ya Mkoani
umekamilika
Kutoa mafunzo juu ya uibuaji na
uandaaji wa miradi midogo midogo
ya maendeleo na mikakati ya
kujikwamua na umasikini katika
Mikoa mitano
Idadi ya Mikoa
itakayopatiwa
Mafunzo
3 2 67 Mafunzo juu ya uibuaji na
uandaaji wa miradi midogo
midogo ya Maendeleo
yamefanyika katika Mikoa ya
Kaskazini Unguja na Kusini
Pemba.
Kutoa mafunzo kwa maafisa wa
Tume ya Mipango juu ya uchambuzi
wa hali ya umasikini
Idadi ya wafanyakazi
waliopatiwa mafunzo
32 32 100
iii. Kuoainisha Masuala ya Idadi ya Watu katika Afya ya Uzazi, Jinsia na Kupunguza Umasikini
Mradi una lengo la kuratibu utekelezaji wa Sera ya Idadi ya Watu kwa kuoanisha masuala ya afya ya uzazi, jinsia na umasikini katika
mipango ya maendeleo. Kwa mwaka 2018/2019, mradi ulipangiwa TZS 252 milioni ambapo TZS 29 milioni kutoka Serikali na TZS
223 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo (Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Idadi ya Watu
(UNFPA)) na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kuandaa vikao vya kamati ya kitaalamu kwa kila robo ya mwaka; Kuandaa
vikao vya Kamati za Masheha kuhusu daftari la shehia; Kutoa mafunzo kwa masheha na wasaidizi wao juu ya ujazaji wa daftari la
shehia; Kuimarisha taarifa za msingi za vizazi na vifo katika ngazi ya Shehia kupitia daftari la Shehia na Mfumo wa Usajili wa Vizazi
na Vifo; Uimarishaji wa utumizi wa nyenzo za mipango katika kuripoti taarifa za maendeleo endelevu ya dunia (SDGs); Kushiriki
maadhimisho ya siku ya idadi ya watu duniani na kuandaa ripoti ya hali ya idadi ya watu; Uandaaji na usimamiaji wa Sera ya Idadi ya
Watu Zanzibar. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 582 milioni (asilimia 231) ambazo TZS 10 milioni (asilimia 34)
zilitoka Serikalini na TZS 572 milioni (asilimia 257) zilitoka kwa Washirika wa Maendeleo na kutekeleza yafuatayo:
-
27
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kufanya ufuatiliaji wa daftari la Shehia Idadi ya Shehia
zilizotembelewa
38 36 95
Kutoa uwelewa juu ya ujazaji wa taarifa
katika daftari la Shehia
Idadi ya vipindi TV na redio 2 1 50
Kutoa mafunzo kwa Masheha na wasaidizi
wao juu ya ujazaji wa daftari la Shehia.
Idadi ya Masheha waliopatiwa
mafunzo
162 21 13
Kuchapisha daftari la Shehia Idadi ya madaftari
yaliyochapishwa
895 735 82
Kufanya vikao vya robo mwaka kwa
watekelezaji wa miradi ya UNFPA
Idadi ya vikao vilivyofanyika 4 1 25
iv. Mradi wa Kuendeleza Tafiti na Ubunifu
Mradi una lengo la kuinua matumizi ya matokeo ya tafiti kwa maendeleo ya Zanzibar ili kwenda sambamba na mabadiliko ya sayansi
na teknolojia. Kwa mwaka wa 2018/19, mradi ulipangiwa TZS 200 milioni kutoka Serikalini na kupanga kuratibu utekelezaji wa tafiti
zilivyoainishwa katika kitabu cha Agenda za utafiti Zanzibar. Hadi Juni 2019, TZS 80 milioni (asilimia 40) ziliingizwa na kutekeleza
yafuatayo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kufanya uchambuzi wa maombi ya
tafiti zilizowasilishwa kwa ajili ya
kupatiwa fedha za kufanyia tafiti hizo
Asilimia ya maombi
yaliyofanyiwa
uchambuzi
100 100 100 Jumla ya maombi 12
yaliwasilishwa, kati ya hayo
maombi ya tafiti 5 yamepita kwa
ajili ya kupatiwa ufadhili.
Kuratibu utafiti wa mchango wa
Wazanzibar wanoishi nje ya nchi
(Diaspora).
Asilimia ya utekelezaji 100 95 95 Uwasilishaji wa rasimu ya awali
ya utafiti kwa wadau mbali
mbali umefanyika
Kuratibu utafiti wa usarifu wa zao la
mwani.
Asilimia ya Utekelezaji 100 95 95 Uwasilishaji wa rasimu ya awali
ya utafiti kwa wadau mbali
mbali umefanyika
-
28
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kuratibu utafiti juu ya chanzo cha
vifo vya watoto.
Asilimia ya Utekelezaji 100 90 90 Jumla ya watoto 3000 chini ya
miaka 5 wamefanyiwa
uchunguzi wa afya zao
2.4. Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi
i. Programu ya Kuendeleza Miundo Mbinu ya Mifugo na Wafugaji Wadogowadogo
Programu ina lengo la kuimarisha miundombinu ya uzalishaji na masoko ya mifugo na bidhaa zake ili kuongeza kiwango cha
uzalishaji na tija kwa wafugaji wadogo wadogo. Aidha, programu inakusudia kuimarisha miundombinu ya kufanyia kazi za utafiti wa
mashamba ya mifugo sambamba na kuwapatia elimu wafugaji wadogo wadogo juu ya uzalishaji bora. Kwa mwaka 2018/19,
programu ilipangiwa TZS 856 milioni kutoka Serikalini na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kujenga karantini ya mifugo
Nziwengi-Gando Pemba na kumalizia karantini ya Donge-Muanda; Kufanya utafiti wa uzalishaji wa ng'ombe wa maziwa na kuku wa
kienyeji na ukaguzi; Ununuzi wa chanjo za maradhi ya mahepe ya kuku na maradhi ya vibuma na matengenezo ya mitambo ya
biogas; Kutoa mafunzo kwa wafugaji 240 wa ng'ombe wa maziwa katika Wilaya sita za Unguja na wafugaji wa kuku wa kienyeji 160
Wilaya ya Kaskazini A, B na Kusini Unguja na Micheweni Pemba pamoja na kuchapisha vipeperushi. Hadi kufikia Juni 2019, mradi
uliingiziwa TZS 658 milioni (asilimia 77) na kutekeleza yafuatayo:
Shughuli iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
halisi
Asilimia ya
Utelezaji
Maelezo
Kufanya malipo ya mazao ya
wakulima
Idadi ya wakulima
waliolipwa
40 40 100
Uongozi na ufuatiliaji wa shughuli
za miradi
Idadi ya miradi
iliyofatiliwa na
kutekelezwa
2 2 100
Kukarabati ofisi ya watendaji wa
mradi Maruhubi
Ujenzi wa ofisi ya
watendaji Maruhubi
1 1 100
Kukamilisha ujenzi wa karantini
ya mifugo Gando Pemba kwa
kulipa fidia wakulima 40
waliopisha ujenzi wa uzio kwenye
Ujenzi wa karantini ya
mifugo Gando Pemba
1 1 100
Idadi ya wakulima
waliolipwa fidia
40 40 100
-
29
Shughuli iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
halisi
Asilimia ya
Utelezaji
Maelezo
karantini
Kujenga matangi mawili ya maji
Pangeni
Idadi ya matangi yaliyo
jengwa
2 2 100
Kukamilika kwa kituo cha Afya
cha Mifugo na Uzalishaji-Fuoni
Idadi ya kituo cha afya
kilichokamilika
1 1 100
ii. Programu ya Kusaidia Kilimo na Uhakika wa Chakula
Programu ina lengo la kuongeza ubora wa mbegu za mpunga na utumiaji wa teknolojia ya kisasa itakayopelekea kuongezeka kwa
uzalishaji wa zao hilo na kuongeza kipato kwa wakulima na kuwa na uhakika wa chakula. Kwa mwaka 2018/19, programu ilipangiwa
TZS 4.78 bilioni ambazo TZS 80 milioni kutoka Serikalini na TZS 4.7 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo (Benki ya Dunia)
na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Ununuzi wa mbegu na kutoa mafunzo ya vitendo kwa wakulima 1,500 juu ya taaluma bora
ya uzalishaji; Kuweka mfumo endelevu wa uzalishaji na usambazaji mbegu; Kutoa mafunzo ya uendeshaji na usimamizi kwa jumuiya
za umwagiliaji; Kutoa mafunzo ya kusimamia na kuendesha miundombinu ya umwagiliaji kwa mafundi na maafisa ugani; Kuanzisha
mashamba darasa 200 ya kilimo shadidi na kutoa mafunzo kwa wakulima 1,500 wa Unguja na Pemba; Kutoa mafunzo juu ya mbinu
bora za uzalishaji wa mpunga kwa maafisa ugani 80; Kununua pembejeo kwa ajili ya Mpango wa Ruzuku; Kuandaa ziara za
kimafunzo kwa Jumuiya za Umwagiliaji na wakulima wa Unguja na Pemba. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 1.8
bilioni (asilimia 37) ambazo TZS 25 milioni (asilimia 31) zilitoka Serikalini na TZS 1.7 bilioni (asilimia 37) zilitoka kwa Washirika
wa Maendeleo na kutekeleza yafuatayo:
-
30
Shughuli iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kufanya ziara ya mafunzo kwa
wakulima
Idadi ya wakulima
walioshiriki kwenye
mafunzo
112 112 100 Ziara za mafunzo zimefanyika
mkoani Morogoro na baina ya
Unguja na Pemba.
Kutoa mafunzo ya matumizi ya vifaa
vya kisasa vya upimaji ardhi (modern
surveying equipment) kwa maafisa
umwagiliaji, Unguja na Pemba.
Idadi ya maafisa
waliopatiwa mafunzo
20 20 100 Maafisa umwagiliaji 20 (7
wanawake na 13 wanaume)
wamepatiwa mafunzo ya utumiaji
wa vifaa vya upimaji vya kisasa
(Total station na GPS).
Kutoa mafunzo ya matumizi ya
software za uandaaji wa michoro na
ramani kwa wahandisi wa
umwagiliaji, Unguja na Pemba.
Idadi ya wahandisi
waliopatiwa mafunzo
10 10 100 Wahandisi wamejifunza matumizi ya
design software (AutoCad Civil 3D
na spreadsheet), kuandaa michoro na
ramani za miundombinu ya
umwagiliaji.
Kuendeleza miundombinu ya
umwagiliaji maji kwa baadhi ya
maeneo yaliyokusudiwa
Idadi ya skimu
zilizoekewa
miundombinu ya
umwagiliaji maji
9 2 22 Ujenzi wa miundombinu katika
skimu za Mtwango na Kwalempona
unaendelea, Mtwango ujenzi
umefikia asilimia 75 na
Kwalempona asilimia 55
Upitiaji wa michoro na ramani
pamoja utayarishaji wa Kabrasha la
Zabuni kwa skimu saba (7)
(Kibondemzungu, Koani,
Mchangani, Bandamaji, Machigini,
Dobi na Ole) umekamilika na zabuni
ya ujenzi imeshatangazwa.
Idadi ya visima
vilivyochimbwa
6 6 100 Visima sita (6) kwa ajili ya
umwagiliaji vimechimbwa katika
mabonde ya Kibondemzungu, Koani,
Bandamaji, Machigini, Dobi na Ole.
Idadi ya skimu
zilizoungwa umeme
7 7 100 Kazi ya uungaji umeme katika skimu
za Kibondemzungu, Koani,
Mchangani, Bandamaji, Machigini,
Dobi na Ole imekamilika.
Idadi ya vibanda vya 6 3 50 Ujenzi wa vibanda vya pampu
-
31
Shughuli iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
pampu zilizojengwa unaendelea katika skimu za
Machigini, Dobi na Ole.
Kutoa mafunzo ya kilimo shadidi
(SRI) kupitia mashamba ya maonesho
Idadi ya wakulima
waliopatiwa Mafunzo
1500 1500 100
Idadi ya mashamba ya
maonesho
yalioanzishwa
200 50 25 Idadi haikufikia lengo kwa vile
ujenzi wa miundombinu ya
umwagiliaji haujakamilika.
Kutoa ruzuku ya pembejeo za mpunga
kwa wakulima katika maeneo ya
umwagiliaji, Unguja na Pemba.
Idadi ya tani za mbegu
zilizotolewa ruzuku
kwa wakulima.
12 8.3 69
Kuzalisha mbegu bora za mpunga Kilogramu za mbegu
daraja la msingi
zilizozalishwa
400 400 100 Mbegu za msingi aina ya SARO
(kilo 200) na SUPA BC (kilo 200)
zimezalishwa kwa mashirikiano na
Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (ZARI)
Tani za mbegu
zilizothibitishwa
zilizozalishwa
15 12.1 81 Mbegu aina ya SUPA BC
imezalishwa kupitia wakulima wa
mkataba.
Kuzalisha kilo 400 za mbegu bora za
mpunga za daraja la mtafiti (pre-basic
seeds), aina ya SUPA BC kwa
kushirikiana na ZARI.
Kilogramu za mbegu
daraja la msingi (pre-
basic seeds)
zilizozalishwa
400 0 0 Kazi ya uzalishaji inaendelea na
tayari mpunga umeshapandikizwa
katika Bonde la Mwera.
Kuzalisha tani 1 za mbegu za mpunga
daraja la msingi kwa kushirikiana na
Kitengo cha Pembejeo.
Tani za mbegu daraja
la msingi
zilizozalishwa
1 0 0 Kazi ya uzalishaji inaendelea na
tayari mpunga umeshapandikizwa
katika Bonde la Mwera.
Kuhamasisha matumizi ya mbegu
bora za mpunga kupitia vyombo vya
habari.
Idadi ya vipindi vya
redio vilivyotangazwa
6 6 100 Vipindi vimetangazwa kupitia ZBC
na Coconut FM
Idadi ya programu za
TV zilizoonyeshwa
2 2 100 Programu zimerushwa hewani
kupitia ZBC.
Kufanya ziara za siku ya wakulima
shambani kwa wakulima 230 na
Maafisa Ugani 8 kuona ubora wa
mbegu ya SUPA BC na SARO 5.
Idadi ya wakulima na
Maafisa Ugani
walioshiriki katika
ziara
238 248 104 Wakulima 240 na Maafisa Ugani
wanane (8) wameshiriki Siku ya
Wakulima Shmbani iliofanyika
katika Bonde la Cheju ambapo
wamejifunza umuhimu wa kutumia
mbegu bora za mpunga ili kuongeza
-
32
Shughuli iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
uzalishaji.
Kununua mbegu ya mpunga daraja la
mtafiti (pre-basic seeds) kilo 60
kutoka Tanzania Bara.
Kilogramu za mbegu
daraja la msingi (pre-
basic seeds)
zilizonunuliwa
60 60 100 Mbegu aina ya SARO 5
imenunuliwa kutoka Kituo cha
Utafiti wa Mpunga, KATRIN
kilichopo Morogoro.
Kuwapa mafunzo wataalamu wa
maabara na wakaguzi wa mbegu na
wataalamu wa maabara.
Idadi ya wataalamu
wa maabara na
wakaguzi waliopatiwa
mafunzo
12 12 100 Mafunzo haya ya wiki mbili
yamefanyika mara mbili katika
Taasisi ya Udhibiti wa Ubora wa
mbegu, Morogoro.
Kuandaa ziara za mafunzo ya kwa
Jumuiya za Umwagiliaji maji kutoka
skimu 16 Unguja na Pemba
Idadi ya skimu
zilizopatiwa mafunzo
24 22 91 Washiriki kutoka mabonde 16
(manane Unguja na manane Pemba)
wametembelea Chuo cha Kilimo cha
Kilimanjaro, skimu za umwagiliaji
za Lower Moshi na Leki Tatu
ambapo wamejifunza uendeshaji wa
skimu na namna ya kutanua wigo wa
vyanzo vya mapato vya Jumuiya.
Kutoa mafunzo ya mbinu bora za
uzalishaji wa mpunga kwa Maafisa
Ugani
Idadi ya Maafisa
Ugani waliopatiwa
mafunzo
40 40 100 Washiriki wa mafunzo walikuwa
Wanawake 20 na 20 wanaume.
Kutoa mafunzo ya mbinu
mchanganyiko za kudhibiti wadudu na
maradhi kwa wakulima 240 (120
Unguja na 120 Pemba).
Idadi ya wakulima
waliopatiwa mafunzo
240 240 100 Mafunzo haya yametolewa kupitia
Skuli za Wakulima.
Kulipa fidia kwa wakulima
watakaoharibikiwa na vipando/mali
katika mabonde yatayojengwa
miundombinu.
Idadi ya wakulima
waliolipwa fidia
100 115 115 Pemba wakulima 83 kutoka skimu za
Kwalempona (8), Machigini (25) na
Dobi (50), Unguja wakulima 32
kutoka skimu za Bandamaji (17),
Kibondemzungu (2), Koani (1) na
Mchangani (12).
-
33
iii. Programu ya Umwagiliaji Maji
Programu ina lengo la kuendeleza na kuimarisha kilimo cha umwagiliaji maji nchini pamoja na kutoa taaluma ya kiufundi juu ya
ujenzi na ukarabati wa miundombinu, kushajihisha na kusimamia jumuiya za wakulima katika mabonde ya umwagiliaji maji pamoja
na kutoa elimu juu ya matumizi bora ya pembejeo za kilimo kwa wakulima. Kwa mwaka 2018/19, programu ilipangiwa TZS 9 bilioni
ambazo TZS 500 milioni zilipangwa kutoka Serikalini na TZS 8.5 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo (Serikali ya Korea) na
kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Ulipaji wa fidia ya mazao kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji katika
mabonde ya Makwararani na Mlemele kwa Pemba, Kinyasini, Kilombero na Chaani kwa Unguja; Kuunga umeme wa laini kubwa
katika mabonde ya Kibonde Mzungu, Mchangani, Koani na Bandamaji kwa Unguja na Dobi kwa Pemba; Ukarabati wa miundombinu
ya umwagiliaji maji katika mabonde ya Cheju, Bumbwisudi, Kibokwa, Uzini na Mtwango; na Ujenzi wa miundombinu ya
umwagiliaji hekta 1,404 katika mabonde ya Cheju (900), Kilombero (100), Kibokwa (194), Chaani (71), Makwararani (78) na
Mlemela (61). Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 43.6 bilioni (asilimia 484) ambapo TZS 500 milioni (asilimia 100)
zilitoka Serikalini na TZS 43.2 bilioni (asilimia 507) zilitoka kwa Washirika wa Maendeleo na kutekeleza yafuatayo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Ujenzi na ukarabati wa
miundombinu ya umwagiliaji
maji, katika
skimu za Mwera, Cheju, Kianga,
Bumbwisudi na Mtwango kwa
Unguja na Makombeni na
Mangwena kwa Pemba
Ukubwa wa eneo (mita)
uliofanyiwa ukarabati
wa miundombinu ya
umwagiliaji maji
1,500 550 36 Ukarabati wa mitaro Cheju 400 mita,
Mwera 50 mita na Bumbwisudi 60 mita.
Aidha ukarabati wa jengo la ofisi wa
bonde la Mwera na Mtwango umefanyika.
Idadi ya visima
vilivyokarabatiwa
4 4 100 Matengenezo na ufungaji wa pampu mpya
katika Bonde la Cheju pamoja na
matengenezo ya mifumo ya umeme katika
vibanda 3 vya pampu vya Cheju,
Mkanyageni na Kirindunda yamefanyika.
Ulipaji wa fidia wa mazao kwa
mabonde ya Makwararani na
Mlemele kwa Pemba na
Kinyasini, Kilombero, Kibokwa
na Chaani kwa Unguja kwenye
mradi wa ujenzi wa miundo
mbinu ya umwagiliaji maji
kupitia mkopo wa Exim Bank -
Idadi ya mabonde
yaliyolipiwa fidia
7 2 28 Kazi ya ulipaji wa fidia ya mazao
imefanyika kwa wakulima 28. Aidha
mchakato wa ulipaji wa fidia kwa bonde
la Kinyasini unaendelea ambapo jumla ya
TZS 438 milioni zilitegemewa kutumika
katika shughuli hiyo.
-
34
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Korea
Kuendeleza kilimo cha
umwagiliaji maji cha
mbogamboga katika bonde la
Machekechuni
Ukubwa wa eneo
(hekta) lililoendelezwa
5 0 0 Kazi hii imeanza kwa uchimbaji wa
Kisima kwa ajili ya umwagiliaji wa
mbogamboga
iv. Programu ya Miundombinu ya Soko, Kuongeza Thamani na Misaada Vijijini (MIVARF)
Programu ina lengo la kuimarisha miundombinu ya masoko ya kilimo, kuongeza thamani ya bidhaa za kilimo na kuanzisha mfumo wa
utoaji wa huduma za kifedha vijijini. Kwa mwaka 2018/19, programu ilipangiwa TZS 1.3 bilioni ambazo TZS 300 milioni kutoka
Serikalini na TZS 950 milioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo (IFAD/AGRA/AfDB) na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo:
Kulipa fidia kwa nyumba na vipando vilivyoathirika na upitishwaji wa barabara za Mkwajuni – Kivumoni – Mtambwe; Kuwapatia
mafunzo ya utaalamu na biashara wasarifu wa mazao; Kuzijengea uwezo jumuiya za Wilaya na kijamii kwa kuwapatia mafunzo; na
Kufanya mikutano na semina. Hadi kufikia Juni 2019, programu iliingiziwa TZS 1.04 bilioni (asilimia 83) ambapo TZS 300 (asilimia
100) zilitoka Serikalini na TZS 737 (asilimia 78) zilitoka kwa Washirika wa Maendeleo na kutekeleza yafuatayo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kulipa fidia kwa nyumba na
vipando vilivyoathirika na
upitishwaji wa barabara za
Mkwajuni – Kivumoni –
Mtambwe
Idadi ya wananchi
waliolipwa fidia
1,308 1,308 100
Kuwajengea uwezo wazalishaji
na kuwaunganisha na masoko
Idadi ya mabaraza ya
wakulima
10 10 100 Mabaraza yanaendelea na mchakato wa
kuanzisha chombo kimoja cha wakulima
-
35
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
yaliyowezeshwa wote wa Zanzibar kitakachoundwa
kutokana na mabaraza ya wilaya.
Idadi ya vikundi vya
wazalishaji na wastaafu
vilivyopatiwa mafunzo
40 50 125 Vikundi vimepatiwa mafunzo ya usarifu,
masoko, uwendeshaji, uongozi, utunzaji
wa kumbukumbu, masuala ya kifedha na
mikopo. Idadi iliongezeka kutokana na
uhitaji wa mafunzo ya huduma za kifedha.
Idadi ya mikutano ya
tathmini iliyofanyika
33 33 100
Idadi ya mikutano ya
mapitio ya watoa
huduma iliyofanyika
3 2 67 Watoa huduma waliazna kazi Oktoba
2018, badala ya Julai 2018 kama
ilivyotarajiwa.
Idadi ya kamati
zilizopata mafunzo
14 14 100 Kamati 10 za vikundi vya usarifu na
vikundi vinne vya masoko vilipata
mafunzo yakiwemo: kutayarisha mipango
biashara, uongozi na uwendeshaji wa
masoko, kutayarisha miongozo
mbalimbali ya utendaji, utunzaji
kumbukumbu na fedha.
Kuwawezesha vikundi vya
wazalishaji kushiriki katika
maonesho ya kilimo ya Kitaifa
Idadi ya Vikundi
vilivyoshiriki katika
maonesho
12 12 100 Vikundi vinawezeshwa kushiriki
maonesho ya Nane Nane kwa Unguja, and
the maonesho ya siku ya chakula Duniani
kwa Pemba.
v. Uimarishaji Uvuvi wa Bahari Kuu
Mradi una lengo la kuanzisha uvuvi wa kina kirefu cha maji ili kuongeza uzalishaji wa samaki utakaopelekea kuongezeka kwa ajira,
biashara na ukuaji wa uchumi. Kwa mwaka 2018/19, mradi ulipangiwa TZS 10.4 bilioni ambazo TZS 3.7 bilioni kutoka Serikalini na
TZS 6.8 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo (JICA) na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Ujenzi wa soko na diko la
Malindi; na Kufanya tathmini ya hali ya kimazingira. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 604 (asilimia 9) kutoka kwa
Washirika wa Maendeleo na kutekeleza shughuli yafuatayo:
-
36
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Ujenzi wa soko na diko la
Malindi
Asilimia ya ujenzi
iliyofikiwa
100 0 0 Kazi ya ujenzi haijaanza, lakini
Mkandarasi ameshapatikana na ameanza
matayarisho ya ujenzi
Kufanya tathmini ya hali ya
kimazingira
Asilimia ya tathmini
iliyofikiwa
100 0 0
vi. Kuimarisha Ufugaji wa Mazao ya Baharini
Mradi una lengo la kuongeza uzalishaji kwa kuimarisha ufugaji wa samaki na ulimaji wa mwani kwa wakulima. Aidha, mradi
unakusudia kusambaza vifaranga vya samaki, vyakula na nyenzo za kuzalishia samaki, pamoja na kufanya tafiti mbali mbali za
kuongeza uzalishaji. Kwa mwaka 2018/19, mradi ulipangiwa TZS 6.9 bilioni ambazo TZS 200 milioni kutoka Serikalini na TZS 6.7
bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo (FAO/Korea) na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kujenga kituo cha kupokelea
vifaranga vya samaki, kaa na majongoo ya baharini katika maeneo ya Chokocho – Pemba; Kutotoa vifaranga vya samaki, kaa na
majongoo ya baharini; Kuanzisha mashamba ya mfano Unguja na Pemba; Kuwajengea uwezo wafugaji wa mazao ya baharini kwa
kuwapatia mafunzo juu ya mbinu bora za ufugaji wa mazao ya baharini; Kuandaa Mkakati wa kuendeleza kituo baada ya kumaliza
muda wa mradi. Hadi kufikia Juni 2019, mradi haujaingiziwa fedha lakini umetekeleza yafuatayo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kuanza matayarisho ya kujenga
kituo cha kupokelea vifaranga
vya samaki, kaa na majongoo ya
baharini katika maeneo ya
Chokocho – Pemba
Asilimia ya matayarisho
ya ujenzi iliyofikiwa
100 20 20 Michoro ya kituo hicho imeanza
kutayarishwa na Wakala wa Majenzi wa
Serikali. Itakapokamilika, Wakala hao
watatafuta Mkandarasi kwa ajili ya ujenzi
huo
Kuzalisha vifaranga vya samaki,
kaa na majongoo bahari
Idadi ya vifaranga vya
kaa vilivyozalishwa
2,000,000 2,000,000 100 Vifaranga hivyo vinatarajiwa kusambazwa
kwenye mashamba ya mfano
Idadi ya vifaranga vya
majongoo bahari
vilivyozalishwa
240,000 240,000 100
Idadi ya vifaranga vya
majongoo bahari
9,000 9,000 100 Vifaranga hivyo vimesambazwa katika
mashamba ya mfano ya Uzi na Bumbwini
-
37
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
vilivyosambazwa
Kuanzisha mashamba ya mfano
Unguja na Pemba
Idadi ya mashamba ya
mfano yaliyoanzishwa
2 2 100 Mashamba yameanzishwa maeneo ya Uzi
na Bumbwini
Kuvijengea uwezo vikundi vya
wafugaji wa mazao ya baharini
kwa kuwapatia mafunzo juu ya
mbinu bora za ufugaji wa mazao
ya baharini
Idadi ya vikundi vya
wafugaji wa mazao ya
baharini vilivyojengewa
uwezo
158 158 100 Unguja vikundi 72 na Pemba vikundi 86
vii. Mradi wa Usimamizi wa Shughuli za Uvuvi wa Kanda ya Kusini Mashariki mwa Bahari ya Hindi (SWIOFISH)
Mradi una lengo la kuimarisha ushirikiano wa Kikanda – nchi za ukanda wa Kusini Magharibi mwa Bahari ya Hindi, kuimarisha
usimamizi wa uvuvi maalum uliopewa kipaumbele utakaopelekea kuongezeka kwa kipato kwa jamii inayojishughulisha na uvuvi.
Kwa mwaka 2018/19, mradi ulipangiwa TZS 2.2 bilioni ambazo TZS 50 milioni kutoka Serikalini na TZS 2.2 bilioni kutoka kwa
Washirika wa Maendeleo (Benki ya Dunia) na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kuandaa vikao vya Kamati Tendaji na Kamati
Kiongozi; Kuimarisha Sera na Kanuni za taasisi husika; Kuimarisha tafiti na kujua wingi wa samaki na changamoto zilizopo;
Kuimarisha mpango wa taarifa za uvuvi kwa mahitaji ya kikanda; Kuimarisha mpango mkuu wa uendeshaji; Kutekeleza programu ya
kujenga uwezo kwa taasisi husika; Utekelezaji wa mikakati ya kutoa uelewa kwa wadau; Kuwezesha kongamano na NGO's za
biashara; Kuweka mikakati ya uwekaji wa miundombinu; na Kufanya matumizi mbali mbali ya uendeshaji na ufuatiliaji wa kazi za
mradi. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 4.2 bilioni (asilimia 195) na kutekeleza yafuatayo:
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
Kufanya doria shirikishi katika
maeneo ya hifadhi za bahari
Idadi ya doria shirikishi
zilizofanyika
174 174 100 Doria zimebaini kuwa wavuvi 3,839
hawakuwa na leseni na kulazimika kukata
leseni.
Kutoa mafunzo wa upandaji
mwani katika kina kirefu cha maji
Idadi ya vijiji
vilivyopatiwa mafunzo
48 48 100 Vijiji kutoka Unguja ni 15 na Pemba 33
Kuimarisha tafiti na kujua wingi
wa samaki na changamoto
zilizopo
Idadi ya tafiti
zilizofanyika
4 0 0 Maandiko ya tafiti za jodari 2, uvuvi wa
miambani moja na hadudi rejea za
utayarishaji wa andiko la uvuvi wa samaki
-
38
Shughuli Iliyopangwa Kiashiria Shabaha Utekelezaji
Halisi
Asilimia ya
Utekelezaji
Maelezo
jamii ya dagaa na pweza yamekamilika
viii. Mradi wa Kudhibiti Sumu Kuvu Inayotokana na Ulaji wa Mahindi na Njugu
Mradi una lengo la kupunguza athari zitokanazo na sumu kuvu kwenye mahindi na njugu, kuongeza taaluma na kuimarisha
miundombinu na teknolojia kabla na baada ya mavuno. Kwa mwaka 2018/19, mradi huu ulipangiwa TZS 1.9 bilioni kutoka kwa
Washirika wa Maendeleo (Benki ya Maendeleo ya Afrika) na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Ujenzi wa ghala la kuhifadhia
chakula Cheju na Ole-Dodeani; Kusaidia upatikanaji wa vifaa vya maabara kwa taasisi ya ZBS na taasisi ya kilimo Kizimbani;
Kushajihisha jamii juu ya kudhibiti na kujilinda na athari za sumu kuvu; na Kutoa mafunzo kwa wazalishaji, wafanyabiashara na
waingizaji wa bidhaa za mahindi na njugu. Hadi kufikia Juni 2019, mradi haujaingiziwa fedha hivyo hakuna utekelezaji uliofanyika.
ix. Mradi wa Uhifadhi wa Misitu kwa Faida za Kiuchumi
Mradi una lengo la kupunguza athari zitokanazo na mabadiliko ya hali ya hewa, kuimarisha maeneo ya misitu ya hifadhi na
kupunguza wimbi lisilo endelevu la bidhaa zitokanazo na misitu. Kwa mwaka 2018/19, mradi ulipangiwa TZS 223 milioni kutoka
kwa Washirika wa Maendeleo (UNDP) na kupanga kutekeleza shughuli zifuatazo: Kuunda kamati zinazoshughulikia uhifadhi wa
misitu; Kuandaa mikakati mipya ya kukabiliana na usafirishaji haramu wa misitu; Kufanya mapitio ya sera zinazosimamia maliasili na
misitu; Kufanya mapitio ya bodi ya uhifadhi ya taifa ya misitu; Kulinda, kuhifadhi na kupanda miti maeneo yaliyoharibiwa;
Kupambana na uvunaji haramu wa paa nunga. Hadi kufikia Juni 2019, mradi uliingiziwa TZS 223 (asilimia 100) fedha ambazo
amelipwa Mkandarasi kwa ajili ya kutayarisho andiko la mradi. Andiko hilo limekamilika na limewasilishwa Shirika la Umoja wa
Mataifa la Maendeleo kwa hatua zinazofuata.
x. Mradi wa Kilimo cha Kushajihisha Ukulima wa Mboga Mboga na Matunda
Mradi una lengo la kusaidia mnyororo wa thamani wa mazao mbali mbali ikiwemo mboga mboga, matunda na mazao ya biashara.
Kwa mwaka 2018/19, mradi ulipangiwa TZS 1.8 bil