ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa ......d) maji; hiki ni kipaumbele muhimu ambacho...

107
1 OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA RASIMU YA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI YA WILAYA KWA MWAKA 2018/19 KWA AJILI YA KUWASILISHWA NA KUJADILIWA KATIKA VIKAO MBALIMBALI VYA KISHERIA VYA HALMASHAURI JANUARI 2018 MKURUGENZI MTENDAJI (W), S. L. P. 108, IRINGA JANUARI 2018

Upload: others

Post on 25-Dec-2019

30 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

1

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

HALMASHAURI YA WILAYA YA IRINGA

RASIMU YA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI YA WILAYA KWA MWAKA 2018/19 KWA AJILI YA KUWASILISHWA NA KUJADILIWA KATIKA VIKAO MBALIMBALI VYA KISHERIA VYA HALMASHAURI JANUARI 2018

MKURUGENZI MTENDAJI (W), S. L. P. 108, IRINGA

JANUARI 2018

Page 2: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

2

Mh. Mwenyekiti Naomba kutoa hoja kikao chako kitukufu kipokee, kijadili na kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Halmashauri kwa mwaka 2018/2019. Rasimu ya Mpango na Bajeti hii inawasilishwa kwa kuzingatia malengo na shabaha za Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025, Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano, Ilani ya Chama Tawala 2015 na Mpango Mkakati wa Halmashauri wa mwaka 2016/17 – 20120/21 ambayo imetafsiriwa katika bajeti ya utekelezaji kwa kila mwaka na maoteo ya muda wa kati. Mh. Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Iringa katika maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Mwaka 2018/2019 pia imezingatia vipaumbele vyake ambavyo ni kama vifuatavyo; a) Ukusanyaji wa Mapato ya Halmashauri; Kutokana na jukumu la kisheria la Halmashauri (mandatory obligation) la kutoa huduma bora na

zinazotosha (quality and adequate services) kwa wananchi wake uwepo wa fedha za kutosha ni jambo la lazima hivyo kufanya ukusanyaji wa mapato kuwa kipaumbele muhimu kwa ajili ya uwepo wa Halmashauri.

b) Elimu; Ni moja kati ya vipaumbele vya Halmashauri kutokana na Changamoto zinazoikabili sekta hii kwa sasa. Uboreshaji wa elimu kwa

wananchi utasaidia kwa kiasi kikubwa kutatua changamoto zinazoikabili Halmashauri.

c) Kilimo na Mifugo; Kutokana na nafasi kubwa na uhusiano wa kimaisha iliyo nayo Sekta hii kwa wananchi wa Wilaya ya Iringa na kuijumuisha katika vipaumbele vyake.

d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano miradi inayohusisha ujenzi wa miundombinu, n. k. Aidha umuhimu wa maji unawafanya wananchi wautumie muda wao mwingi kuyatafuta na hivyo kuathiri shughuli za uzalishaji mali.

e) Mapambano dhidi ya Ukimwi; Kutokana na uzito na ukubwa wa athari zinazosababishwa na janga hili katika Halmashauri yetu imepelekea kuwa kipaumbele muhimu. Ukweli ni kuwa juhudi zote za maendeleo na rasilimali inayotumiwa na Halmashauri mwishoni hazitakuwa na maana kama walengwa wa maendeleo haya watakwisha kwa Ukimwi!

f) Afya, Ni mojakati ya vipaumbele muhimu vya Halmashauri kwa kuwa afya ya mtu ni mtaji wa kumwezesha kushiriki na kuhimili mikikimikiki ya kimaisha bila shida kubwa.

Page 3: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

3

g) Hifadhi ya Mazingira; kutokana na mchango wa sekta hii katika maendeleo ya sekta nyingine kama maji, kilimo (umwagiliaji maji ya mto Ruaha), mifugo, n. k. unafanya jambo hili kuwa kipaumbele muhimu kwa Halmashauri. Aidha uwekezaji mkubwa unaoendelea kufanywa na Halmashauri katika miundombinu ya umwagiliaji (kutokana na mto Ruaha), suala la Hifadhi ya mazingira haliwezi kupuuzwa kwa vyo vyote!

h) Utawala Bora; Eneo hili ndilo injiini ya kuratibu na kujumuisha vipaumbele vyote vilivyotambuliwa na Halmashauri. Uwepo wa utawala bora utapelekea ufanisi mkubwa katika miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri sambamba na utoaji wa huduma bora kwa wananchi.

2.0 MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2018/2019 2. 1: UTANGULIZI Mh. Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya imekuwa ikifanya maandalizi muhimu ya Mpango na bajeti kwa mwaka 2018/2019 kufuatia kukamilika kwa zoezi la uandaaji wa mipango ya kazi ngazi za Vitongoji, Vijiji na Kata lililokuwa limeanza tangu mapema mwezi Oktoba 2017. Mchakato huu umekuwa ukiendelea hadi mwishoni mwa mwezi Desemba 2017. Mapendekezo haya yanawasilishwa na kujadiliwa na Vikao vya Mamlaka za Halmashauri kwa ajili ya kupata kibali cha uhakika wa kushiriki katika utekelezaji wa Mpango huu. Hivyo kwa heshima kubwa Wajumbe wote wanaalikwa kushiriki katika majadiliano na upitishwaji wa Mpango na Bajeti ya Halmashauri kwa mwaka 2018/19 ili kusukuma mbele maendeleo ya Halmashauri yetu. Katika kufikia azma hii ya Halmashauri ya Wilaya, mahitaji muhimu ni rasilimali watu, fedha, ardhi, maji, na vitendea kazi. Katika rasimu hii, makadirio ya raslimali fedha yamefanywa kwa kuzingatia mwongozo wa mpango na bajeti wa mwaka 2018/2019 na ukomo wa kibajeti (budget ceiling) wa mwaka uliopita wa 2017/18 kwa fedha za ruzuku kutoka serikali kuu ambazo ukomo mpya (new budget ceiling) wa bajeti ya 2018/19 haujatolewa. 2.2 UMBILE LA BAJETI 2.2.1 Mapato ya mwaka 2018/19 Katika mwaka wa fedha wa 2018/19, Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imekisia kukusanya na kutumia jumla ya Tshs. 61,895,374,493 kutokana na vyanzo mbalimbali vya mapato na kutumia Tshs. 61,895,374,493 kama ifuatavyo. a) Mapato Mchanganuo wa vyanzo vya mapato ni kama ilivyoonyeshwa katika jedwali lifuatalo;

NA AINA YA CHANZO KIASI

1 Mapato ya Ndani (Own Source) 2,532,900,000

2 Mapato ya Shule za Sekondari – Kidato cha 5 & 6 tu (Ada) 1,361,670,000

Page 4: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

4

3 Mfuko wa Afya wa Jamii 150,800,000

4 Mchango wa Bima ya Afya 24,000,000

Jumla ndogo: mapato ya ndani 4,069,370,000

5 Ruzuku toka Serikali Kuu

Mishahara (PE) 45,514,738,470

Matumizi ya Kawaida (OC) 1,497,834,000

Jumla ndogo: Ruzuku ya Serikali kuu – Reccurent 47,012,572,470

6 Ruzuku ya Serikali: Miradi ya Maendeleo 5,160,862,500

7 Wadau wa Maendeleo 5,252,569,523

8 Michango ya Wananchi katika miradi ya maendeleo 400,000,000

Jumla ndogo: Miradi ya Maendeleo 10,413,432,023

Jumla kuu ya Mapato mwaka 2018/19 61,895,374,493

b) Matumizi: Matumizi yamegawanyika katika maeneo 3 ya matumizi ya fedha kama ifuatavyo:

NA AINA YA MATUMIZI KIASI

1 Mishahara:

Ruzuku ya Serikali (PE) 45,514,738,470

Fedha za ndani (PE) 0

Jumla ndogo - Mishahara: 45,514,738,470

2 Uendeshaji wa Halmashauri (OC)

Ruzuku ya Serikali 1,497,834,000

Fedha za mapato ya ndani 1,397,523,412

Mfuko wa Afya wa Jamii (CHF) 150,800,000

Mchango wa Bima ya Afya 24,000,000

Jumla ndogo – Uendeshaji wa Halmashauri: 3,070,157,412

3 Miradi ya Maendeleo:

Fedha za ndani (Local funds- ruzuku kutoka serikali kuu) 5,160,862,500

Wadau wa Maendeleo ( Foreign funds) 5,252,569,523

Mapato ya ndani katika miradi ya Maendeleo (Own source) 2,497,046,588

Mchango wa Jamii – Miradi ya Maendeleo 400,000,000

Jumla ndogo – Miradi ya maendeleo: 13,310,478,611

Jumla Kuu – Matumizi 2018/19 61,895,374,493

Page 5: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

5

2.2 MISHAHARA NA FEDHA ZA UENDESHAJI HALMASHAURI (RUZUKU KUTOKA SERIKALI KUU) Mh. Mwenyekiti Katika mwaka wa fedha 2018/19 Halmashauri ya Wilaya imekisia jumla ya Tshs. 47,012,572,470 ikiwa ni Ruzuku kutoka Serikali kuu ambapo Tshs. 45,514,738,470 ni mishahara na Tshs. 1,497,834,000 ni gharama za uendeshaji wa Halmashauri na idara zake zote. Fedha hizi zote zitaelekezwa katika sekta mbalimbali kwa mchanganuo ufuatao.

Kifungu Jina la Kifungu MISHAHARA (PE) UENDESHAJI (OC) JUMLA 2018/19

5004 Utawala 3,828,569,100 0 3,828,569,100

5000 Mishahara ya Watendaji wa Vijiji 789,721,920 0 789,721,920

5000 Utawala Rasilimali Watu 0 104,819,010 104,819,010

5000 Fedha 0 43,292,370 43,292,370

5000 Ugavi 0 7,710,150 7,710,150

5000 TEHEMA 0 4,638,470 4,638,470

5000 Ushirika 0 6,026,417 6,026,417

5000 Biashara na Masoko 0 6,026,417 6,026,417

5009 Usafi na Mazingira 0 6,026,417 6,026,417

5022 Usimamizi wa Maliasili 0 6,026,417 6,026,417

5003 Ukaguzi wa Ndani 0 9,278,040 9,278,040

5005 Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji 0 9,278,041 9,278,041

5022 Nyuki 0 6,026,417 6,026,417

5009 Ardhi 0 6,026,417 6,026,417

5027 Maendeleo ya Jamii 0 6,026,417 6,026,417

Jumla ndogo Utawala 4,618,291,020 221,201,000 4,839,492,020

5006 Elimu: Utawala Watu wazima 177,522,480 3,500,000 181,022,480

5007 Elimu Msingi 14,812,675,380.00 0 14,812,675,380.00

Uendeshaji: Shule za Msingi 0 40,879,000 40,879,000

Gharama za Uhamisho 0 111,867,000 111,867,000

Likizo 0 92,171,000 92,171,000

Mitihani Darasa la IV 0 70,704,000 70,704,000

Mitihani Darasa la VII 0 171,611,000 171,611,000

Jumla ndogo: Shule za Msingi 14,990,197,860 490,732,000 15,480,929,860

5008 Shule za Sekondari 16,808,523,480 0 16,808,523,480

Page 6: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

6

Uendeshaji 0 45,980,000 45,980,000

Likizo 0 47,039,000 47,039,000

Gharama za Uhamisho 0 13,992,000 13,992,000

Mitihani ya Kidato cha II 0 74,327,000 74,327,000

Mitihani ya Kidato cha IV 0 187,287,000 187,287,000

Mitihani ya Kidato cha VI 0 61,766,000 61,766,000

Jumla ndogo: Sekondari 16,808,523,480 430,391,000 17,238,914,480

5010 Afya (CHMT) 0 68,957,258 68,957,258

5011 Afya Kinga 337,281,810 0 337,281,810

5012 Vituo vya Afya 2,372,223,060 68,135,742 2,440,358,802

5013 Zahanati 3,436,817,580 48,490,000 3,485,307,580

On-call allowances 0 67,740,000 67,740,000

Jumla ndogo: Afya 6,146,322,450 253,323,000 6,399,645,450

5014 Ujenzi 283,020,660 27,454,000 310,474,660

5017 Maji 276,692,760 22,154,000 298,846,760

5033 Kilimo 1,601,129,340 31,547,400 1,632,676,740

5034 Mifugo na Uvuvi 790,560,900 21,031,600 811,592,500

Jumla ndogo 2,951,403,660 102,187,000 3,053,590,660

Jumla Kuu mwaka 2017/18 45,514,738,470 1,497,834,000 47,012,572,470

2.3 MAKADIRIO YA MATUMIZI KUTOKANA NA MAKUSANYO YA NDANI YA HALMASHAURI, UENDESHAJI NA MIRADI YA MAENDELEO Mh. Mwenyekiti Kwa mwaka 2018/2019 Makusanyo ya Halmashauri yamekadiriwa kufikia Tshs. 4,069,370,000. Fedha hizi zimepangwa kutumiwa katika uendeshaji wa Halmashauri na idara zake kiasi cha Tshs 1,572,323,412 pamoja na kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo ya Tshs. 2,497,046,588. Muhtasari wa makadirio ya matumizi yatokanayo na mapato ya ndani ni kama inavyooneshwa katika jedwali lifuatalo hapa chini:

FUNGU IDARA UENDESHAJI (OC) MAENDELEO JUMLA

500B Utawala na Rasilimali watu 603,794,700 79,742,063.85 683,536,763.85

Jumla ndogo 603,794,700 79,742,063.85 683,536,763.85

Page 7: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

7

514B Sheria 12,858,072.96 0 12,858,072.96

515B Ukaguzi wa ndani 20,163,320.68 0 20,163,320.68

503B Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji 15,740,208.68 37,668,175.35 53,408,384.03

518A TEHAMA 18,167,270.33 15,000,000 33,167,270.33

Jumla ndogo 66,928,872.65 52,668,175.35 119,597,048

502A Fedha 115,055,392.27 845,014,178.60 960,069,570.86

Jumla ndogo 115,055,392.27 845,014,178.60 960,069,570.86

516B Ugavi 24,136,771.24 0 24,136,771.24

502E Biashara 16,507,588.47 40,000,000 56,507,588.47

507E Utamaduni na Michezo 22,254,013.86 0 22,254,013.86

Jumla ndogo 62,898,373.57 40,000,000 102,898,373.57

512A Ardhi 49,292,997.61 92,168,588.07 141,461,585.68

Jumla ndogo 49,292,997.61 92,168,588.07 141,461,585.68

506B Kilimo na Umwagiliaji 13,384,531.19 31,032,020.86 44,416,552.05

505D Ushirika 0 4,907,661.44 4,907,661.44

Jumla ndogo 13,384,531.19 35,939,682.3 49,324,213.49

512H Maliasili 35,375,315.93 0 35,375,315.93

519B Nyuki 12,411,921.92 0 12,411,921.92

Jumla ndogo 47,787,237.85 0 47,787,237.85

527B Maendeleo ya jamii 29,936,734.76 15,000,000 44,936,734.76

Wanawake na Vijana 0 253,290,000 253,290,000

Jumla ndogo 29,936,734.76 268,290,000 298,226,734.76

511G Ujenzi 0 26,769,062.38 26,769,062.38

Jumla ndogo 0 26,769,062.38 26,769,062.38

501B Usafi na Mazingira 12,634,105.14 0 12,634,105.14

Jumla ndogo 12,634,105.14 0 12,634,105.14

508B Afya 0 32,584,077.15 32,584,077.15

Jumla ndogo 0 32,584,077.15 32,584,077.15

505B Mifugo 20,103,565.84 34,907,661.44 55,011,227.28

505D Uvuvi 3,000,000 0 3,000,000

Jumla ndogo Mifugo na Uvuvi 23,103,565.84 34,907,661.44 58,011,227.28

Page 8: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

8

Jumla ndogo 1,024,816,510.88 1,508,083,489 2,532,900,000

507H Sekondari 372,706,901 988,963,099 1,361,670,000

508F NIHF 24,000,000 0 24,000,000

508F Com. Health Funds (CHF) 150,800,000 0 150,800,000

Sub – Total 547,506,901 988,963,099 1,536,470,000

Jumla Kuu Mapato ya ndani 1,572,323,412 2,497,046,588 4,069,370,000

2.4 MIRADI YA MAENDELEO (RUZUKU YA SERIKALI KUU NA WADAU WA MAENDELEO) Mh. Mwenyekiti Kwa mwaka 2018/2019, Halmashauri imepanga kutekeleza miradi mbalimbali kwa kutumia jumla ya Tshs. 13,310,478,611 zitakazotolewa na serikali Kuu Tshs. 8,057,909,088/= na Wadau wa Maendeleo Tshs. 5,252,569,523. Katika kiasi hiki jumla ya Tshs. 2,497,046,588 zinatarajiwa kupatikana kutokana na mapato ya ndani ya Halmashauri, wakati mchango wa wananchi katika miradi ya maendeleo umekisiwa kufikia thamani ya Tshs. 400,000,000. Fedha hizi zinatarajiwa kutumika katika utekelezaji wa miradi ya Sekta mbalimbali kwa mchanganuo ufuatao: 2.4.1 MIRADI YA FEDHA ZA SERIKALI NA WADAU WA MAENDELEO

IDARA Jina la Mradi Chanzo cha Fedha Fedha za ndani (Local funds)

Fedha za nje (Foreign Funds)

Total

Maji RWSSP NWSSP 385,319,000 385,319,000

Jumla Ndogo 385,319,000 385,319,000

Elimu Sekondari

SEDP -WB WB 0 373,532,000 373,532,000

Jumla ndogo 0 373,532,000 373,532,000

Mipango Jimbo la Isimani Serikali Kuu 50,258,000 0 50,258,000

Jimbo la Kalenga Serikali Kuu 45,849,000 0 45,849,000

Jumla Ndogo 96,107,000 0 96,107,000

Afya Sekta ya Afya Fedha za Basketi 0 0 0

Ofisi ya Mganga Mkuu (W) Fedha za Basketi 0 303,086,881 303,086,881

Hospitali ya Tosamaganga Fedha za Basketi 0 258,240,750 258,240,750

Vituo vya Afya Fedha za Basketi 0 214,069,705 214,069,705

Page 9: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

9

Zahanati Fedha za Basketi 0 257,565,664 257,565,664

Kampeni ya Usafi Taifa Global fund 15,000,000 15,000,000

Jumla ndogo Afya 0 1,047,963,000 1,047,963,000

Mipango Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 1,026,711,400 0 1,026,711,400

Afya Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 54,000,000 0 54,000,000

Elimu (M) Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 60,000,000 0 60,000,000

Elimu (S) Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 60,000,000 0 60,000,000

Mifugo Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 16,000,000 0 16,000,000

Kilimo Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 18,000,000 0 18,000,000

Ardhi Ruzuku maalum ya maendeleo (CDG) Serikali Kuu 45,400,000 0 45,400,000

Utawala Ruzuku maalum ya mafunzo (CBG) Serikali Kuu 142,234,600 0 142,234,600

Jumla ndogo – LGDG (CDG &CBG) 1,422,346,000 0 1,422,346,000

UNICEF

Mipango Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Cordination & Registration)

UNICEF 0 49,410,000 49,410,000

Elimu Msingi Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Equal) UNICEF 0 461,810,000 461,810,000

Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (SWASH) UNICEF 0 110,590,000 110,590,000

Afya Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Afya ya mama na mtoto)

UNICEF 0 150,000,000 150,000,000

Afya Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Health-child protection)

UNICEF 0 81,730,000 81,730,000

M/Jamii Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Prevention) UNICEF 0 53,935,000 53,935,000

Afya Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Lishe) UNICEF 0 41,145,000 41,145,000

Afya/Maji Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (Wash) UNICEF 0 319,095,250 319,095,250

Maji Ulinzi na Maendeleo ya Mtoto (SWASH) UNICEF 0 123,030,000 123,030,000

Jumla ndogo – UNICEF 0 1,390,745,250 1,390,745,250

M/JAMII Fedha za TASAF WB 0 2,055,010,273 2,055,010,273

Jumla ndogo – TASAF 0 2,055,010,273 2,055,010,273

Page 10: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

10

Elimu Bure Elimu Msingi

CAPITATION Serikali Kuu 427,980,360 0 427,980,360

Chakula Serikali Kuu 39,992,000 0 39,992,000

Posho ya Madaraka kwa Walimu Wakuu Serikali Kuu 355,200,000 0 355,200,000

Posho ya Madaraka kwa Waratibu Elimu Kata

Serikali Kuu 84,000,000 0 84,000,000

Jumla ndogo Elimu bure: Elimu Msingi 907,172,360 0 907,172,360

Elimu Bure - Sekondari

CAPITATION Serikali Kuu 229,237,500 0 229,237,500

Chakula Serikali Kuu 2,084,400,000 0 2,084,400,000

FIDIA- KUTWA Serikali Kuu 290,420,000 0 290,420,000

FIDIA- BWENI Serikali Kuu 47,180,000 0 47,180,000

Posho ya Madaraka kwa Wakuu wa Shule Serikali Kuu 84,000,000 0 84,000,000

2,735,237,500

Jumla ndogo Elimu bure: Elimu Sekondari 2,735,237,500 0 2,735,237,500

Jumla ndogo fedha za ndani na fedha za nje 5,160,862,500 5,252,569,523 10,413,432,023

Michango ya wananchi 400,000,000 0 400,000,000

Maendeleo – Mapato ya ndani 2,497,046,588 0 2,497,046,588

Jumla kuu fedha za miradi 8,057,909,088 5,252,569,523 13,310,478,611

Mh. Mwenyekiti; Umbile la bajeti nililoliwasilisha linaelekeza tu maeneo muhimu ambayo fedha hizi zitatumika. Sehemu ifuatayo inaonyesha kwa kina shughuli/miradi itakakoelekezwa fedha husika na viwango vya fedha hizo kwa kila shughuli/mradi Kisekta. Mh. Mwenyekiti; Naomba Kuwasilisha

Robert M. Masunya Mkurugenzi Mtendaji (W)

IRINGA

Page 11: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

11

4.0 KAZI ZITAKAZOTEKELEZWA NA HALMASHAURI YA WILAYA KUPITIA IDARA NA VITENGO VYAKE MWAKA 2018/2019

4.1. RASIMU YA MPANGO NA BAJETI WA IDARA YA UJENZI KWA MWAKA 2018/2019

Idara ya Ujenzi inatarajia kutumia jumla ya kiasi cha Tshs, 54,223,062.00 kwa mwaka 2018/19 ikiwa 27,454,000.00 ruzuku ya serikali kuu ni kwa ajili ya matumizi ya kawaida na uendeshaji wa ofisi na Tshs 26,769,062.00 mapato ya ndani ikiwa ni kwa ajili ya uendeshaji wa mitambo ya ujenzi ya Halmashauri kwa mchanganuo ufuatao: RUZUKU SERIKALI KUU

Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ZILIZOPANGWA KUTEKELEZWA

MAHALI GHARAMA TSHS

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuboresha huduma

na kupunguza

maambukizi ya virusi

vya UKIMWI

Kufanya semina kwa watumishi 6 kuhusu athari za UKIMWI ifikapo June 2019

Makao makuu 90,000 Ruzuku Serikali Kuu

Mhandisi wa Ujenzi

2 Kuwezesha na kuendeleza matumizi ya sheria ya kuzuia rushwa.

Kufanya semina ya siku 1 kwa watumishi 6 kuhusu athari za rushwa katika maeneo ya kazi ifikapo Juni 2019

Makao makuu 90,000 Ruzuku Serikali Kuu

Mhandisi wa Ujenzi

3 Kuongeza na

kuimarisha

upatikanaji wa

huduma bora za

kijamii na

miundombinu

Kuwezesha gharama za uendeshaji ofisi

ifikapo Juni 2019. Shajara, Vifaa vya

kufanyia Usafi, Umeme, Gharama za maji,

Petrol, Diesel na Gharama za matumizi ya

Barua pepe na Mtandao

Makao makuu 9,834,000 Ruzuku Serikali Kuu

Mhandisi wa Ujenzi

4

Kuwezesha uendeshaji wa Ofisi ya Ujenzi

na kulipa stahili mbalimbali za watumishi

ifikapo Juni, 2019. (Likizo, ya mwaka,

zawadi ya mfanyakazi bora, ukarabati wa

ofisi na kulipa madeni ya wazabuni.

Makao makuu 5,000,000 Ruzuku Serikali Kuu

Mhandisi wa Ujenzi

5

Kuwezesha ofisi ya Mhandisi kuandaa

michoro,BOQ na usimamizi wa kazi za

Makao makuu, Kata

na Vijiji.

11,900,000 Ruzuku Serikali Kuu

Mhandisi wa Ujenzi

Page 12: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

12

ujenzi ifikapo Juni 2019 (kulipa posho

masaa ya ziada , posho ya kufanyakazi nje

ya kituo, vinywaji na viburudisho, gharama

za mazishi, matengenezo ya compyuta na

photocopy}

6 Usimamizi na

ufuatiliaji wa miradi

yote ya ujenzi.

Kusimamia miradi ya ujenzi inayotekelezwa

ndani ya Halmashauri. [Mafuta, Shajara

na posho za usimamizi].

Kata na Vijiji vyenye

miradi

5,400,000 Ruzuku Serikali Kuu

Mhandisi wa Ujenzi

7

Kujenga uwezo wa

Idara ya Ujenzi

kuwezesha watumishi 4 kushiriki katika

mafunzo ya muda mfupi ifikapo Juni 2019

Makao makuu 540,000 Ruzuku Serikali Kuu

Mhandisi wa Ujenzi

JUMLA RUZUKU SERIKALI KUU 27,454,000

MAPATO YA NDANI - MAENDELEO

8 Kuongeza na

kuimarisha

upatikanaji wa

huduma bora za

kijamii na

miundombinu

Kuwezesha matengenezo ya mitambo ya

Barabara Grader, Bowser na roller ifikapo

juni 2019

Makao makuu

26,769,062 Mapato ya ndani

Mhandisi wa Ujenzi

Jumla Kuu Ujenzi 54,223,062

4:3 IDARA YA MIPANGO, TAKWIMU NA UFUATILIAJI

4:3:0 UTANGULIZI Idara ya Mipango Takwimu na ufuatiliaji katika mwaka 2018/19 inatarajia kuendelea na utekelezaji wa majukumu yake ya uratibu wa uandaaji wa

Mipango na Bajeti ya Halmashauri, kuratibu usimamizi na ufuatiliaji wa utekelezaji wa shughuli zilizopangwa katika Sekta zote za Halmashauri

zinatekelezwa na kutoa matunda yaliyokusudiwa na kwa wakati. Aidha Idara itaendelea na jukumu lake la kuratibu uandaaji wa taarifa mbalimbali za

utekelezaji wa miradi na shughuli za Halmashauri za robo, nusu na mwaka kama inavyohitajika kisheria. Ili kutekeleza majukumu haya ya Idara,

jumla ya Tshs. 1,234,914,825 zitahitajika kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hiyo ya maendeleo na uendeshaji wa Ofisi. Fedha zitatoka katika vyanzo

Page 13: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

13

vinne vya mapato ya ndani, Ruzuku ya Serikali ya matumizi ya kawaida, ruzuku maalumu ya serikali (CDG) fedha za mifuko ya Maendeleo ya

Majimbo (Isimani na Kalenga) na UNICEF kama inavyooneshwa katika sehemu ya 2 ya mapendekezo haya katika majedwali hapa chini:-

4:3:1 MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI 2018/19

(A) FEDHA ZA MAPATO YA NDANI

No LENGO KWA

MWAKA

SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI KIASI CHANZO CHA

FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuboresha huduma

za Jamii na

kupunguza

maambukizi ya

VVU/Ukimwi.

Kufanya mafunzo ya siku moja kwa

watumishi 10 wa idara ya mipango juu ya

kujikinga na maambukizi ya VVU ifikapo

Juni 2019.

Halmashauri ya

Wilaya ya Iringa

100,000 Mapato ya ndani DPLO

2 Kukuza uelewa wa

watumishi wa idara

juu ya ubaya na athari

za rushwa.

Kufanya mafunzo ya siku moja kwa

watumishi 10 wa idara ya mipango juu ya

mapambano dhidi ya rushwa ifikapo Juni

2019.

Makao makuu ya

Wilaya

100,000 Mapato ya ndani DPLO

3 Kuboresha

uendeshaji wa ofisi na

ustawi wa watumishi

Kuwezesha watumishi 7 wa idara ya

mipango kujiendeleza katika mafunzo

mbalimbali ya Kitaaluma ifikapo Juni 2019.

Makao makuu ya

Wilaya

1,500,000 Mapato ya ndani DPLO

4 Kuboresha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi

Kuwezesha upatikanaji wa vitendea kazi

vya ofisi (gharama za umeme, shajala,

matengenezo ya gari, mategenezo

madogo madogo ya ofisi, viburudisho na

madeni 3,400,209) na malipo ya watumishi

ya muda wa ziada wa kazi ifikapo Juni

2019.

Makao makuu ya

Wilaya

13,140,209 Mapato ya ndani DPLO

5 Kuwezesha wadau

kushiri katika upangaji

na utekelezaji wa

miradi ya maendeleo

Kuwezesha watumishi kushiriki maenesho

ya kilimo kikanda, kiwilaya na kikata

ifikapo Juni 2019.

Kata ya Ilolompya

na Mbeya

900,000 Mapato ya ndani DPLO

JUMLA NDOGO MAPATO YA NDANI 15,740,209

Page 14: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

14

RUZUKU TOKA SERIKALI KUU (BLOCK GRANT)

6

Kuboresha

uendeshaji wa ofisi

na ustawi wa

watumishi

Kuwezesha ustawi wa watumishi 10 wa

Idara ya Mipango na upatikanaji wa vitendea

kazi (gharama za vifaa vya usafi, likizo,

gharama za mazishi, Uhamisho, ununuzi wa

shajala na gharama za simu na umeme)

Juni 2019.

Makao makuu ya

Wilaya

8,270,000

Ruzuku ya Serikali

kuu

DPLO

7 Kuboresha

uendeshaji wa ofisi

na ustawi wa

watumishi

Kuwezesha ulipaji wa madeni ya idara

ifikapo Juni 2019

Makao makuu ya

Wilaya

1,008,041 Ruzuku ya Serikali

kuu

DPLO

Jumla ndogo – Ruzuku ya Serikali kuu (Block Grant) 9,278,041

JUMLA KUU FEDHA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA (OC) 25,018,250

(C) FEDHA ZA RUZUKU YA MAENDELEO KUTOKA SERIKALI KUU (CDG)

Na LENGO KWA

MWAKA

SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA

FEDHA

MSIMAMIZI

8 Kuboresha

miundombinu na

upatikanaji wa

huduma za jamii

Kuwezesha uendelezaji wa Ujenzi wa

Stendi ya Mabasi ya Wilaya iliyopo

Migoli kwa awamu ya 2 ifikapo Juni

2019.

Migoli 200,000,000 CDG DPLO

9 Kuwezesha ujenzi wa jengo la kitega

uchumi (Multipurpose Hall) katika mtaa

wa Gangilonga ifikapo Juni 2019

Gangilonga 100,000,000 CDG DPLO

10 Kukuza uwezo wa

Halmashauri

kukabiliana na

majanga

Kuwezesha Halmashauri kukabiliana

na majanga ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya

Wilaya

15,539,000 CDG DPLO

Page 15: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

15

11 Kuboresha

miundombinu na

upatikanaji wa

huduma za jamii

Kuwezesha umaliziaji wa ujenzi wa

madarasa 13 na ofisi 3 katika shule za

msingi za Magombwe, Itunundu,

Ivangwa, Mahanzi, Tagamenda na

Nyabula ifikapo Juni 2019

Shule za Msingi 129,999,400 CDG DPLO

12 Kuwezeshaukamilishaji wa ujenzi wa

vyoo 6 katika shule za Makadupa,

Mahanzi, Lwato, Ivangwa, Holo na

Iguluba ifikapo Juni 2019

Shule za Msingi 30,000,000 CDG DPLO

13 Kuboresha

miundombinu na

upatikanaji wa

huduma za jamii

Kuwezesha ukarabati wa madarasa 3

katika shule ya msingi Ihemi ifikapo

Juni 2019

Shule ya msingi Ihemi 15,000,000 CDG DPLO

14 Kuwezesha ukamilishaji wa ujenzi wa

nyumba za walimu 4 katika shule za

msingi za Itagutwa, Kisilwa, Wangama

na Mlambalasiifikapo Juni 2019

Shule za Msingi 55,000,000 CDG DPLO

15 Kuwezesha ukamilishaji wa ujenzi wa

zahanati 11 katika vijiji vya

Lyamgungwe, Mkombilenga,

mfukulembe, Ibumila, Kinyika, Magozi,

Kilambo, Ufyambe na Makongati ifikapo

Juni 2019

220,000,000 CDG DPLO

16 Kuchangia ujenzi wa wodi 2 za wazazi

katika zahanati za Lumuli na Weru

ifikapo Juni 2019

Lumuli

Weru

20,000,000 CDG DPLO

17 Kuchangia ujenzi wa ofisi 7 za vijiji

katika vijiji vya Lyamgungwe, Magunga,

Wasa, Tungamalenga, Maperamengi,

Kiponzelo na Lupalama ifikapo Juni

2019.

49,000,000 CDG DPLO

18 Kuchangia ujenzi wa ofisi ya Kata ya

Wasa ifikapo Juni 2019

Wasa 10,000,000 CDG DPLO

Page 16: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

16

19 Kuboresha

miundombinu na

upatikanaji wa

huduma za jamii

Kuchangia ukamilishaji wa ujenzi wa

maabara vyumba 5 katika shule za

sekondari za Wasa na Mlowa ifikapo

Juni 2019

Sekondari za Wasa

na Mlowa

39,939,000 CDG DPLO

20 Kuwezesha Gharama za mwanzo za

miradi (utangazaji, utengezaji wa

makabrasha ya zabuni na tathmini)

ifikapo Juni 2019

Halmashauri 5,200,000 CDG DPLO

21 Kuboresha

miundombinu na

upatikanaji wa

huduma za jamii

Kuwezesha ufuatiliaji na usimamizi wa

miradi ya maendeleo ngazi ya msingi

(LLG) ifikapo Juni 2019

Kata 28 71,117,000 CDG DPLO

22 Kufanya ufuatiliaji wa miradi ya

maendeleo kwa kila robo mwaka (HLG)

ifikapo Juni 2019

Halmashauri ya

wilaya ya Iringa

52,534,200 CDG DPLO

23 Kuwezesha maandalizi ya zoezi la

tathmini ya fedha za ruzuku ya

maendeleo kutoka serikali kuu (CDG)

ifikapo Juni 2019

Halmashauri ya

wilaya ya Iringa

13,382,800 CDG DPLO

JUMLA KUU RUZUKU YA MAENDELEO KUTOKA SERIKALI KUU (CDG) 1,026,711,400

(D) MCHANGO WA ASILIMIA 5% TOKA MAKUSANYO YA NDANI (OWN SOURCES)

24 Kuwezesha wadau

kushiri katika

upangaji na

utekelezaji wa

miradi ya

maendeleo

Kuwezesha maandalizi na uratibu wa Mpango na bajeti ya Halmashauri ya Wilaya kwa mwaka 2019/2020 ifikapo Juni 2019.

Ngazi ya kitongoji, kijiji, kata na Halmashauri

28,958,175 Mapato ya ndani-

Maendeleo

DPLO

Page 17: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

17

25 Kuwezesha watumishi 8 kuhudhuria mafunzo

ya kitaalam na vikao kazi mbalimbali ifikapo

Juni 2019

Ndani ya Mkoa

na Nje ya Mkoa

1,460,000 Mapato ya ndani-

Maendeleo

DPLO

26 Kuwezesha utekelezaji wa shughuli za usajili

wa watoto wa umri chini ya miaka mitano

ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya

wilaya ya Iringa

2,250,000 Mapato ya ndani-

Maendeleo

DPLO

27 Kukuza uwezo wa

Halmashauri

kukabiliana na

majanga

Kuwezesha Halmashauri kukabiliana na

majanga ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya

Wilaya

5,000,000 Mapato ya ndani-

Maendeleo

DPLO

Jumla ndogo – Mchango wa Halmashauri wa 5% ya CDG mwaka

2018/19

37,668,175

4:3:2 SHUGHULI ZINAZOFADHILIWA NA UNICEF

(E) SEHEMU YA MIPANGO

Na LENGO KWA MWAKA SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI KIASI CHANZO CHA

FEDHA

MSIMAMIZI

28 Kuwezesha wadau

kushiriki katika upangaji na

utekelezaji wa miradi ya

maendeleo.

Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa miradi

ya maendeleo kwa kila robo mwaka

ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya wilaya

ya Iringa

28,950,000 UNICEF DPLO

29 kufanya ziara ya siku 1 ya kutembelea

miradi kwa kushirikiana na wadau na

kuwa na kikao cha siku moja ili kujadili

utekelezaji na kupata maboresho ya

utekelezaji wa miradi ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya wilaya

ya Iringa

5,760,000 UNICEF DPLO

30 Kufanya ziara mbili za tathmini juu ya

matumizi wa rejesta katika vijiji 133

ifikapo Juni 2019.

Vijiji vyote 133 vya

Halmashauri

9,700,000 UNICEF DPLO

JUMLA NDOGO UNICEF – 2018/19 44,410,000

(F) SEHEMU YA USAJILI WA WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO (5)

Page 18: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

18

31 Kuboresha upatikanaji

wa huduma bora kwa

jamii

Kuwezesha matengenezo na ununuzi wa

vifaa vya kompyuta kwenye ofisi ya

Wilaya ya usajili wa watoto wa umri chini

ya miaka mitano ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya wilaya ya

Iringa

360,000 UNICEF DPLO

32 Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa

shughuli za usajili wa watoto wa umri chini

ya miaka mitano kwa kila robo mwaka

ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya wilaya ya

Iringa

4,640,000 UNICEF DPLO

JUMLA NDOGO UNICEF 5,000,000

JUMLA FEDHA ZA UNICEF – 2018/19 49,410,000

(G) FEDHA ZA JIMBO

33

Kuwezesha utekelezaji wa miradi ya

maendeleo katika kata 13 za Jimbo la

Isimani ifikapo Juni 2018. ifikapo Juni

2019.

Kata 13 za

jimbo la

Ismani

50,867,000 CDCF DPLO

34 Kusaidia utekelezaji wa miradi ya

maendeleo katika kata 15 za jimbo la

Kalenga ifikapo Juni 2019.

Kata 15 za

jimbo la

Kalenga

45,240,000 CDCF DPLO

JUMLA NDOGO FEDHA ZA MAJIMBO 96,107,000

JUMLA KUU FEDHA ZA MIRADI ZA MAENDELEO 1,209,896,575

JUMLA KUU IDARA YA MIPANGO MWAKA 2018/19 1,234,914,825

4.4. IDARA YA UTAWALA NA UTUMISHI

Idara ya Utumishi na Utawala kwa mwaka 2018/2019 inatarajia kutumia jumla ya Tsh.46,382,427,480.00 kwa matumizi ya kawaida na mishahara

kwa mchangnuo ufuatao;- Matumizi ya kawaida (Own Source) Tsh. 603,794,700.00,Matumizi ya maendeleo (Own Source ),Tsh.79,742,063.85 ,

Fedha za Ruzuku (Local Government Block Grant) Tsh. 104,819,010.00 ,Fedha za kujengea uwezo Tsh.142,234,000.00 na mishahara ya

watumishi Tsh 45,514,738,470.00

Page 19: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

19

A: Bajeti ya Utawala-Matumizi ya kawaida Fedha za Ruzuku za Serikali Kuu (Local Government Block Grant)

1 Kuboresha maslahi ya watumishi 258 ifikapo Juni 2021

Kuwezesha maslahi ya watumishi 150 ifikapo Juni 2019.

Dizeli, Likizo, Posho ya masaa ya Ziada, Gharama za matibabu na posho ya kujikimu.

Kata na wilaya 33,522,515.00

RUZUKU SERIKALI KUU

DHRO

JUMLA NDOGO 33,522,515

2 Kuboresha Mazingira ya kufanyia kazi yanaboreshwa kutoka 80% hadi 85% ifikapo Juni 2021.

Kuwezesha uendeshaji wa Kamati ya motisha kwa Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa kwa vijiji 6 ifikapo Juni 2019

Mafuta, Shajala

Kata na Wilaya 1,950,000.00 Ruzuku ya Serikali kuu (Block Grant)

DHRO

JUMLA NDOGO 1,950,000

3 Kuboresha taarifa na kumbukumbu sahihi za Watumishi ifikapo Juni 2021

Kuwezesha uhakiki wa Watumishi waliopo kwa kila kituo ifikapo Juni 2019.Viburudisho,shajala na Mafuta

Vijiji, Kata na Makao Makuu

3,650,000 Ruzuku ya Serikali kuu (Block Grant)

DHRO

JUMLA NDOGO 3,650,000

4 Kuwezesha maadhimisho/sherehe za kitaifa ifikapo Juni 2021

Kuwawezesha watumishi 20 kushiriki maadhimisho/sherehe za kitaifa kama “Nane nane, Mei Mosi na maadhimisho ya Serikali za Mitaa ifikapo Juni 2019

Posho ya safari, Shajalai na Nauli

Makao Makuu, Kata na Vijiji

18,000,000 Ruzuku ya Serikali kuu (Block Grant)

DHRO

JUMLA NDOGO 18,000,000

5 Kuboreshasha Utawala bora na upatikanaji wa huduma za kiutawala ifikapo Juni 2021

Kuwezesha watumishi 20 kuhudhuria mafunzo ya muda mrefu ifikapo Juni 2019

Makao makuu,kata na vijiji

17,696,495 Ruzuku ya Serikali kuu (Block Grant)

DHRO

Page 20: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

20

Ada,nauli na shajala

Kuwezesha uendeshaji wa vikao vya

waheshimiwa madiwani ifikapo june

2019 Ununuzi wa Ipad 33

Makao makuu ya

Wilaya

30,000,000 Ruzuku ya

Serikali kuu

(Block Grant)

DHRO

JUMLA NDOGO 47,696,495

B: Bajeti ya Utawala-Matumizi ya kawaida Mapato ya Ndani (OWN SOURCE).

Kuongeza Idadi ya

Watumishi/Wananchi

wanaohudumiwa kwa siku

kutoka 100 hadi 300 ifikapo

Juni 2021

Kuwezesha watumishi 4 kufanya

Mitihani ya Taaluma ifikapo Juni 2019

Makao Makuu na

Kata

3,440,000 Mapato ya

Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 3,440,000

Kuimarisha na kuendeleza

mkakati wa kuzuia na

kupambana na rushwa

ifikapo Juni 2021

Kutoa mafunzo kwa watumishi 150 dhidi

ya athari ya rushwa ifikapo Juni 2019

Makao Makuu na

Kata

2,215,000 Mapato ya

Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 2,215,000

Kuongeza Idadi ta Watumishi wanaohudumiwa kwa siku kutoka 100 hadi 300 ifikapo Juni 2021

Kuwezesha Vikao 16 vya Kamati ya Wakuu wa Idara na Mikutano 3 Baraza la Wafanyakazi Ifikapo Juni 2019

Posho ya kikao, viburudisho, shajala

Makao Makuu 42,850,000 Mapato ya Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 42,850,000

Page 21: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

21

Kuwezesha vikao 3 vya Bodi ya Ajira

kwa ajiri ya kufanya usaili, kupandisha

vyeo, Kubadilishwa vyeo na Kuthibitisha

kazini watumishi ifikapo Juni 2019

Posho ya Kikao, Shajala, Nauli, Posho

ya kujikimu

Makao Makuu 13,140,000 Mapato ya

Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 13,140,000

Kuwezesha uandaaji na uwasilishaji wa

taarifa mbalimbali kwenye mamlaka

husika ifikapo Juni 2019

Posho ya Safari, mafuta , gharama ya

posta,gharama ya fax ,vocha katika za

kuratibu kero ,Nauli na Shajala

Makao Makuu 20,640,000 Mapato ya

Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 20,640,000

Kuwezesha ununuzi wa shajala kwa ajili

ya matumizi ya Kata 28 ifikapo Juni

2019

Kata 11,150,000 Mapato ya

Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 11,150,000

Kuwezesha matumizi ya Idara ya Utawala na Rasilimali watu Ifikapo Juni 2019

Mafuta, Shajala, Kulipia bili za Maji na Umeme, simu, vifaa vya usafi, Posho za Kujikimu

Makao Makuu 77,071,800 Mapato ya Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 77,071,800

Page 22: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

22

Kuwezesha uendeshaji wa ofisi ya

Mkurugenzi Mtendaji ifikapo Juni 2019

Kulipa Kampuni ya Ulinzi na Usafi,

Matengenezo ya magari 5, mafuta,

posho za safari, viburudisho, Shajala,

Ununuzi wa spika za ukumbi wa siasa ni

kilimo, kulipa madeni ya wazabuni,

gharama za mazishi na Posho ya masaa

ya ziada.

Makao Makuu na

Kata

192,613,136 Mapato ya

Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 192,613,136

Kuwezesha maslahi ya Waheshimiwa Madiwani 38 ifikapo Juni 2021

Kuwezesha ufanyikaji wa mikutano 7 ya Baraza la Waheshimiwa Madiwani, vikao 44 vya Kamati za kudumu ifikapo Juni 2019

Posho ya Kikao, Posho ya Kujikimu, Nauli, Shajala, Viburudisho

Makao Makuu 87,725,000 Mapato ya Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 87,725,000

Kuwezesha ulipaji wa maslahi ya waheshimiwa Madiwani ifikapo Juni 2019

Posho ya Mwezi, Posho ya Madaraka, Mchango wa Bima ya Afya

Makao Makuu 152,749,764 Mapato ya Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 152,749,764

JUMLA KUU 603,794,700

C: Bajeti ya Utawala – Miradi ya Maendeleo (OWN SOURCE)

Page 23: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

23

Kuongeza Idadi ya Watumishi wanaohudumiwa kwa siku kutoka 100 hadi 300 ifikapo Juni 2021

Kuwezesha ununuzi wa vitendea kazi ili kurahisisha utoaji wa huduma ifikapo 2019.

( Kompyuta mpakato 3 na printer 1 kwa matumizi ya Ofisi)

Makao Makuu

10,335,000 Mapato ya Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 10,335,000

Kuwezesha ununuzi samani za ofisi kwa Kata 11 ifikapo Juni 2019

11,150,000 Mapato ya Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 11,150,000

Kuwezesha ukarabati wa nyumba 5 za watumishi Ifikapo Juni 2019

20,840,000 Mapato ya Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 20,840,000

Kuwezesha ununuzi wa Projector kwa ajili ya matumizi ya ukumbi wa siasa ni kilimo ifikapo Juni 2019

2,067,064 Mapato ya Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 2,067,064

Kuwezesha ununuzi wa samani za ofisi ya Afisa Utumishi ifikapo Juni 2019

15,000,000 Mapato ya Ndani

DHRO

JUMLA NDOGO 15,000,000

B: Bajeti ya Utawala-Matumizi ya kawaida Fedha za kujengea uwezo (CBG)

Kuwezesha

Utawala bora

na upatikanaji

wa huduma za

kiutawala

Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa watendaji wa kata

28, watendaji wa vijiji 133 na maafisa ugani juu ya

ushirikishaji wa wadau katika miradi ya maendeleo

ifikapo June 2019

Chakula,nauli,diesel,na shajala

KATA NA VIJIJI 13,430,000 CBG DHRO

Page 24: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

24

Kuwezesha ufuatiliaji wa vijiji 56 na kata 28 juu ya

utendaji kazi wa watumishi kwa kuzingatia malengo ya

utekelezaji Ifikapo June 2019

Ununuzi wa Diesel,shajala,

KATA NA VIJIJI

10,750,000 CBG

DHRO

Kutoa mafunzo kwa wajumbe 5 wa kamati ya uadilifu ya

watumishi ifikapo Juni 2018

Shajala,ada ya mafunzo,posho ya kujikimu na Nauli

WILAYANI 4,710,000.00 CBG DHRO

Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa watumishi 50 juu ya

kiapo cha utunzaji siri ifikapo June 2019 Chakula, Posho.

WILAYANI 890,000 CBG DHRO

Kutoa mafunzo kwa watumishi 532 ngazi ya Kata na

Vijiji namna sahihi ya kujaza form za OPRAS ifikapo

June 2019.

Diesel,Posho,shajala

KATA NA VIJIJI 11,900,000 CBG DHRO

Kuwezesha watumishi 23 wenye ulemavu kuhudhuria

mikutano na sherehe za kitaifa ifikapo June 2019

Nauli,Posho

NGAZI YA MSINGI 2,900,000.00 CBG DHRO

Kutoa mafunzo ya siku 1 kwa watumishi 230 ngazi

Halmashauri juu ya ujazaji wa form za OPRAS Ifikapo

Juni 2019.Shajala,diesel,chakula

WILAYANI 2,500,000.00 CBG DHRO

Kutoa mafunzo elekezi ya siku 1 kwa watumishi 250 wa

ajira mpya ifikapo Juni 2019.Shajala, posho na nauli.

WILAYANI 3,400,000 CBG DHRO

Kuwezesha kufanyaka kwa vikao na watumishi wote

katika kata 28 kuwakumbusha majukumu yao na stahiki

KATA NA VIJIJI 6,250,000.00 CBG DHRO

Page 25: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

25

zao kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi wa

umma ifikapo Juni 2019 Posho, shajala na Mafuta

Kuwezesha mafunzo kwa WEO 28, VEO 133 na maafisa

ugani ngazi ya kijiji na kata juu ya utatuzi wa migogoro,

ukusanyaji mapato, taratibu za manunuzi na utunzaji wa

kumbukumbu ifikapo Juni 2019 Diesel, Shajala,Chakula

na Nauli.

KATA NA VIJIJI 16,099,000.00 CBG DHRO

Kuwezesha Mafunzo ya siku 2 kwa kila Tarafa kwa

watendaji wa vijiji na kata juu ya

uongozi,utawala,uendeshaji wa vikao na mikutano na

uandishi wa mihtasari na ujazaji wa rejista za wakazi

ifikapo Juni 2019.

Mafuta, chakula, nauli shajala na ununuzi wa rejista za

wakazi.

KATA NA VIJIJI 14,495,000 CBG DHRO

Kuwezesha mafunzo ya siku 2 kwa watunza

kumbukumbu 10 juu ya utunzaji wa kumbukumbu wa

kisasa ifikapo Juni 2019

NGAZI YA WILAYA 1,050,600.00 CBG DHRO

Kuwezesha mafunzo ya siku 2 kwa watumishi 9 wa

idara ya utawala juu ya uendeshaji wa vikao ifikapo Juni

2019

NGAZI YA WILAYA 2,550,000.00 CBG DHRO

Kuwezesha mafunzo ya siku 1 ya watumishi 56 juu ya huduma kwa mteja (customer care) ifikapo Juni 2019

NGAZI YA WILAYA,KATA NA VIJIJI

1,580,000.00 CBG DHRO

Kuwezesha watumishi 20 kuhudhuria mafunzo ya muda mfupi ifikapo Juni 2019

MAKAO MAKUU, KATA NA VIJIJI

8,400,000.00 CBG DHRO

Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa wajumbe wa baraza la wafanyakazi ifikapo Juni 2019

MAKAO MAKUU, KATA NA VIJIJI

5,170,000.00 CBG DHRO

Page 26: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

26

Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa wah madiwani 38 juu ya uongozi, utatuzi wa migogoro na ushirikishaji wa wadau katika miradi ya maendeleo ifikapoJuni 2019.

NGAZI YA WILAYA 8,370,000.00 CBG DHRO

Kufanya vikao na wenyeviti wa vitongoji na vijiji kwa kata zote 28 kuwakumbusha majukumu yao na kushirikishana changamoto za utekelezaji wa majukumu yao ifikapo Juni 2019 Posho, diesel, Nauli,shajala

KATA NA VIJIJI 13,790,000.00 CBG DHRO

Kuwezesha utoaji wa huduma katika ofis za kata zenye mazingila magumu ifikapo Juni 2019 Kununua Pikipiki 7

KATA NA MAKAO MAKUU

14,000,000.00 CBG DHRO

JUMLA NDOGO-CBG 142,234,000.00

JUMLA KUU (OWN SOURCE) 620,636,000.00

JUMLA KUU (BLOCK GRANT) 104,819,010.00

MISHAHARA YA WATUMISHI 45,514,738,470.00

JUMLA KUU YA BAJETI 46,382,427,480.00

4:5 IDARA YA USAFISHAJI NA MAZINGIRA

Idara ya Usafishaji na Mazingira inatarajia kutumia Jumla ya Tshs 18,660,522.14/= kwa mwaka wa Fedha 2018/2019 ikiwa ni matumizi ya kawaida

kwa mchanganuo ufuatao, Mapato ya ndani (Own Source) Tshs 12,634,105.14/= na Fedha za Ruzuku kutoka Serikalini (Block Grant) Tshs

6,026,417/=

Page 27: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

27

NA (A) RUZUKU KUTOKA SERIKALI KUU (LGBG)

LENGO LA MWAKA SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA MSIMAMIZI

1 Kuboresha huduma ya jamii

na kupunguza maambukizi

ya VVU/UKIMWI ifikapo

Juni 2021

Kufanya mafunzo ya siku 1 kwa

watumishi 5 wa Idara na wadau wa

Mazingira ifikapo Juni 2019

Wilayani 50,000 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO

2 Kuimarisha, kuendeleza na

kutekeleza kikamilifu

mkakati wa kupambana na

rushwa ifikapo 2021

Kufanya mafunzo ya siku 1 kwa

watumishi 5 wa Idara kuhusu madhara

ya rushwa ndogo na kubwa ifikapo Juni

2019

Wilayani

50,000 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO

3 Kuboresha usimamizi

endelevu wa maliasili na

mazingira ifikapo Juni 2021

Kuunda na Kuimarisha kamati 50 za

mazingira katika Halmashauri ifikapo

Juni, 2019

Kata zote 28 900,000 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO

Kuwesha utambuzi wa kumbukumbu

na utunzaji wa vyanzo vya maji 67

ifikapo Juni 2019

Kata zote 28 664,800 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO

Kuendesha mafunzo ya siku 2 kwa

wajumbe 10 wa timu ya mazingira ya

Wilaya kuhusu wajibu na majukumu

yao ifikapo Juni 2019

Wilayani 600,000 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO

4 Kuboresha usimamizi

endelevu wa maliasili na

mazingira ifikapo Juni 2021

Kuwawezesha watumishi 3 wa Idara

kuhudhuria mafunzo ya muda mfupi

ifikapo juni 2019

Wilayani

840,000 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO

5 Kuboresha usimamizi

endelevu wa maliasili na

mazingira ifikapo Juni 2021

Kufanya ufuatiliaji wa athari za

kimazingira na kijamii katika miradi 32

midogo midogo ya maendeleo

inayotekelezwa Wilayani ifikapo Juni

2019

Kata zote 28 1,271,617 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO

Page 28: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

28

6 Kuboresha usimamizi

endelevu wa maliasili na

mazingira ifikapo Juni 2021

Kufanya ukaguzi na tathimini ya usafi

wa Mazingira kila Mwezi ifikapo Juni

2019

Kata zote 28 1,650,000 Ruzuku ya Serikali Kuu DCEO

Jumla ya Fedha kutoka Serikali Kuu Mwaka 2018/2019 6,026,417

B VYANZO VYA NDANI (OWN SOURCE)

7

Kuwezesha utawala na

huduma za kiutawala ifikapo

Juni 2021

Kuwezesha stahili za watumishi 5 wa

Idara na uendeshaji wa Ofisi ifikapo

Juni 2019

Wilayani 8,904,100 Vyanzo vya Ndani DCEO

8 Kuwezesha utawala na

huduma za kiutawala ifikapo

Juni 2021

Kuwezesha watumishi 2 wa Idara

kushiriki zoezi la mipango na bajeti

wa mwaka wa fedha 2019/2020

ifikapo Juni 2019

Wilayani 1,020,000 Vyanzo vya Ndani DCEO

9 Kuwezesha utawala na

huduma za kiutawala ifikapo

Juni 2021

Kuwezesha watumishi wa Idara ya

usafishaji na mazingira kushiriki

maadhimisho ya sherehe mbalimbali

za kitaifa ikiwemo Siku ya Mazingira,

Nanenane, Mwenge wa Uhuru, Mei

mosi n.k ifikapo Juni 2019

Wilayani 1,110,000 Vyanzo vya Ndani DCEO

10 Kuwezesha utawala na

huduma za kiutawala ifikapo

Juni 2021

Kuwezesha uendeshaji wa Idara ya

usafishaji na mazingira ifikapo Juni

2019

Wilayani 1,600,005 Vyanzo vya Ndani DCEO

Jumla ndogo ya fedha za Mapato ya ndani Mwaka 2018/2019 12,634,105.14

JUMLA KUU YA IDARA YA USAFISHAJI NA MAZINGIRA 2018/2019 18,660,522.14

4:6 IDARA YA KILIMO, UMWAGILIAJI NA USHIRIKA KWA MWAKA 2018/2019 Idara ya Kilimo Umwagiliaji na Ushirika inatarajia kutumia jumla ya cha Tshs, 104,898,014.00kwa ajili ya shughuli za maendeleo na matumizi ya kawaida kwa mchanganuo ufuatao; Ruzuku ya Maendeleo (LGCDG) Tshs 18,000,000.00; Mapato ya Ndani Tshs 49,324,214.00 na Ruzuku ya serikali kuu Tshs 37,573,800.00.

Page 29: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

29

A: KILIMO; Maendeleo LGCDG, TSHS, 18,000,000.00

Na LENGO LA MWAKA

SHUGHULI ZILIZOPANGWA KUTEKELEZWA MAHALI GHARAMA TSHS CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuongeza ubora na uwingi wa huduma za jamii pamoja na miundombinu

Kukarabati bwawa la kuvuna maji ya mvua kwa ajili ya Kilimo cha umwagiliaji katika kijiji cha Kibebe ifikapo Juni 2019.

Kibebe 9,000,000.00 DADG –LGCDG

DAICO

2 Kukarabati mabomba ya maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji katika skimu ya Wangama ifikapo Juni 2019.

Wangama 9,000,000.00 DADG –LGCDG

DAICO

Jumla Kilimo 18,000,000.00

B. KILIMO: ii. MAPATO YA NDANI TSHS 44,416,552.56

3 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa wa jamii

Kuwezesha maonesho ya Nane nane Kiwilaya na kikanda Jijini Mbeya ifikapo Juni 2019.

Wilayani na Mbeya mjini 34,032,021.56 Mapato ya Ndani DAICO

4 Kufanya mikutano 12 ya uhamasishaji uzalishaji wa mazao ya biashara ya Pamba na Korosho ifikapo Juni 2019

Tarafa za Ismani, Idodi, Pawaga, Kalenga, Kiponzelo na Mlolo

2,750,000.00 Mapato ya Ndani DAICO

5 Kuwezesha mikutano 24 ya uhamasishaji wa matumizi ya maghala 13 na masoko 11 yaliyojengwa/karabatiwa ifikapo Juni 2019

Tungamalenga, Magozi, Mbuyuni, Magulilwa, L/wasenga, Ifunda, Kaning’ombe, Ismani Tarafani, Chamdindi, Mfyome, Igula, Muwimbi, Ibangamoyo,

2,554,531.00 Mapato ya Ndani DAICO

Page 30: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

30

6 Kuwezesha wakulima 20 kuzalisha mbegu za kuazimia ubora za Alizeti, Ufuta, Mahindi, Mtama na Mpunga katika Vijiji 20 vya Kata 14 ifikapo Juni 2019.

Taja kata hizo 4,000,000.00 Mapato ya Ndani DAICO

7 Kuwezesha watumishi watano wa Idara ya Kilimo wanaoishi na HIV/AIDS kupata Lishe bora ifikapo Juni 2019

H/wilaya 1,080,000.00 Mapato ya Ndani DAICO

Jumla ya Kilimo, Mapato ya Ndani 44,416,552.56

USHIRIKA: ii. MAPATO YA NDANI TSHS 4,907,661.44

8 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii

Kuwezesha wanachama 85 wa Ushirika kushiriki maadhimisho ya siku ya Ushirika Duniani ifikapo Juni 2019

Makao Makuu ya Wilaya 1,200,000.00 Mapato ya Ndani

DAICO

9 Kuboresha

upatikanaji na

utoaji wa

huduma kwa

usawa katika

jamii

Kufanya ufuatiliaji, ukusanyaji wa takwimu na utekelezaji wa maagizo ya taarifa za ukaguzi katika vyama 12 kwa kila robo mwaka ifikapo Juni 2019.

Kiwere Tob, Kiwere AMCOs, Ikimo AMCOs, Kihorogota SAC, Magubike Tob, Mhanga Tob, Kitai Tob, Mbega Tob, Mfyome Tob, Migoli SAC, Mangalali Sac, Tungamalenga

3,707,661.44 Mapato ya Ndani

DAICO

Jumla Ushirika Mapato ya ndani 4,907,661.44

Page 31: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

31

A: USHIRIKA – RUZUKU SERIKALI KUU TSHS 6,026,417.00

Na LENGO LA MWAKA

KAZI ILIYOPANGWA KUTEKELEZWA MAHALI BAJETI TSH

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

10 Kuboresha hali ya watumishi, Jinsia na kujenga uwezo kwa jamii

Kuwezesha maslahi ya watumishi 4 wa sekta ya Ushirika (likizo, uhamisho, matibabu na mazishi) ifikapo Juni 2019.

Makao Makuu ya Wilaya

1,600,000.00 Ruzuku Serikali Kuu

DAICO

11 Kuwezesha vikao / mikutano 4 ya kisekta katika wilaya/ mikoa na mafunzo rejea kwa watumishi 5 wa sekta ya Ushirika ifikapo Juni 2019

Makao Makuu ya Wilaya

2,026,400.00 Ruzuku Serikali kuu

DAICO

12 Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa wajumbe wa bodi 100 kutoka vyama vya mazao 12 kuhusu usimamizi na uongozi katika vyama vya Kiwemo, Kitai, Mfyome, Hanga, Magubike, Mbega, Lupembelwasenga, Chauki, Kihanga,Magulilwa, Mgama na Lutemi ifikapo Juni 2019.

Kata za Kiwere, Nzihi, Mgama, Ifunda, Maboga, Kihanga

2,400,000.00 Ruzuku Serikali kuu

DAICO

Jumla Ushirika Ruzuku ya Serikali kuu 6,026,400.00

B. KILIMO; RUZUKU SERIKALI KUU TSHS. 31,547,400.00

Na LENGO LA MWAKA

KAZI ILIYOPANGWA KUTEKELEZWA MAHALI BAJETI TSH CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

13 Kuboresha hali ya watumishi, Jinsia na kujenga uwezo kwa jamii

Kuwezesha upatikanaji wa maslahi ya watumishi 93 wa kitengo cha kilimo na umwagiliaji (matibabu, uhamisho, likizo na mazishi) ifikapo Juni 2019

Makao Makuu ya Wilaya

7,930,000.00 Ruzuku Serikali Kuu

DAICO

14 Kuwezesha uendeshaji wa Ofisi ya kitengo cha Kilimo na Umwagiliaji (umeme, maji, shajala, matengenezo ya gari, mfumo wa ndani wa kompyuta, kulipia bima za pikipiki, samani za ofisi, vizuia moto, mafuta, posta, muda wa maongezi DAICO na madeni) ifikapo Juni 2019

Wilayani na Katani 5,380,000.00 Ruzuku Serikali Kuu

DAICO

Page 32: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

32

15 Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa kazi za kitengo cha Kilimo na Umwagiliaji kila robo mwaka ifikapo Juni 2019

Kata zote 28 11,637,400.00 Ruzuku Serikali Kuu

DAICO

16 Kuwezesha maandalizi ya mpango na bajeti wa Idara ya Kilimo ifikapo Juni 2019

Wilayani 4,500,000.00 Ruzuku Serikali Kuu

DAICO

17 Kuwezesha watumishi watano waajiriwa wapya kujikimu wanapoanza ifikapo Juni 2019

Wilayani 2,100,000.00 Ruzuku Serikali Kuu

DAICO

Jumla Kilimo ruzuku Serikali kuu 31,547,400.00

Jumla LGCDG 18,000,000.00

Jumla Ruzuku Serikali Kuu 37,573,800.00

Jumla Mapato ya Ndani Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika 49,324,214.00

Jumla Kuu, Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika. 104,898,014.00

4:7 IDARA YA ELIMU SEKONDARI

MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019

Idara ya Elimu Sekondari kwa mwaka wa fedha 2018/2019 inategemea kutumia jumla ya Tshs 4,128,553,000 ambapo kati ya fedha hizo Tshs

417,169,000.00 ni Ruzuku ya Uendeshaji kutoka Serikali Kuu na Tshs 373,532,000.00 ni Fedha za Miradi ya Maendeleo (SEDP II) na Tshs

60,000,000.00 ni Ruzuku ya Miradi ya maendeleo (CDG) na Tshs 1,916,182,000.00 ni Fedha za Elimu ya Sekondari bila Malipo wakati Tshs

1,361,670,000.00 ni Fedha za Mapato ya Ndani (OWN SOURCE).

(A) MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI RUZUKU YA UENDESHAJI (BLOCK GRAND)

S/N LENGO LA MWAKA SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA

ZILIZOPENDEKEZ

WA

CHANZO CHA

FEDHA

MSIMAMIZI MAONI

1

Kuboresha huduma

na maambukizi ya

UKIMWI (UVU)

Kufanya Mafunzo ya siku moja kwa

walimu 60 katika shule 36 za

Sekondari juu ya UVU/UKIMWI

Tarafa ya

Isimani

400,000.00 Ruzuku

ya

Serikali

DSEO

Page 33: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

33

ifikapo Juni 2019

2

Kuwezesha Walimu 15 wanaoishi

na UVU/UKIMWI kutoka katika shule

28 za Sekondari kupata lishe bora

kwa Miezi 12 Ifikapo Juni 2019.

Shule za

Sekondari

15

1,000,000.00 Ruzuku

ya

Serikali

DSEO

3

Kuimarisha ,

kuendeleza na

kutekeleza

kikamilifu mkakati

wa kupambana na

Rushwa

Kufanya mafunzo ya Siku moja kwa

Walimu 60 katika shule 36 za

Sekondari kuhusu namna ya

kukabiliana na Rushwa Ifikapo Juni

2019

Tarafa ya

Kiponzelo

400,000.00 Ruzuku

ya

serikali

4

Kuboresha

upatikanaji na utoaji

wa huduma kwa

usawa katika jamii

Kuwezesha Walimu 28 wa Sekondari

kuhudhuria mafunzo ya muda mfupi

na mrefu kazini Ifikapo Juni 2019

Shule za

sekondari

28

4,200,000.00 Ruzuku

ya

serikali

DSEO

5

Kuwezesha ufuatiliaji wa Miradi ya

Shule na usimamizi wa ufundishaji

na ujifunzaji wa Wanafunzi kila

Mwezi katika shule 36 za sekondari

Ifikapo Juni 2019

Shule za

sekondari

36

16,456,000.00 Ruzuku

ya

Serikali

DSEO

6

Kuwawezesha watumishi 4 wa Idara

ya Elimu Sekondari kuandaa

Mpango na Bajeti ya Idara ya Elimu

Sekondari, taarifa ya LAC , kushiriki

maazimisho ya Nane Nane na

Sherehe za Kitaifa Ifikapo Juni 2019.

(shajala, Diesel na posho ya

kujikimu)

Wilayani 4,430,000.00 Ruzuku

ya

serikali

DSEO

7 Kuwezesha upatikanaji wa huduma

muhimu za kiofisi katika Ofisi ya Afisa

Elimu Sekondari ifikapo Juni 2019.

Wilayani 5,270,000.00 Ruzuku

ya

DSEO

Page 34: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

34

(posho ya masaa ya ziada, Gharama

umeme, Maji, Simu na Kulipa

Madeni)

serikali

8

Kuwezesha uhamisho wa Walimu

10 katika Shule 16 za Sekondari

ifikapo Juni 2019. (posho ya

usumbufu na uhamisho)

Shule za

Sekondari

16

6,000,000.00 Ruzuku

ya

serikali

DSEO

S/N

LENGO LA MWAKA SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA

ZILIZOPENDEKEZ

WA

CHANZO CHA

FEDHA

MSIMAMIZI MAONI

9

Kuboresha

upatikanaji na utoaji

wa huduma kwa

usawa katika jamii

Kuwezesha masilahi ya watumishi 4,

Maafisa 3 na walimu 1006 wa Idara

ya Elimu Sekondari ifikapo Juni 2019.

(Likizo, Mazishi, Uhamisho, Madeni

na Matengezo ya magari.

Shule za

sekondari

28

153,031,000.00 Ruzuku ya

serikali

DSEO

10 Kuboresha

upatikanaji na utoaji

wa huduma kwa

usawa katika jamii

Kuwezesha Walimu 36 na Wanafunzi

56 wa Sekondari kushiriki Michezo ya

UMISETA Ifikapo Juni 2019.( Posho

ya kujikimu)

Shule 36

za

Sekondari

2,100,000.00 Ruzuku ya

serikali

11

Kuboresha

upatikanaji na utoaji

wa huduma kwa

usawa katika jamii

Kuendesha Mitihani ya Kidato cha

Pili, cha Nne na cha Sita Ifikapo Juni

2019

Shule 34

za

sekondari

323,380,000.00 Ruzuku ya

Serikali

DSEO

12

Kuwezesha

ujiandaaji wa

matukio ya Majanga

katika shule 36 za

sekondari

Kuwezesha mafunzo juu ya utokeaji

wa Majanga na namna ya kuyathibiti

katika shule 36 za sekondari ifikapo

juni 2018

Shule 36

za

sekondari

600,000.00 Ruzuku ya

Serikali

DSEO

13 JUMLA NDOGO (BLOCKGRAND) 417,169,000.00

Page 35: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

35

(B) MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI MIRADI YA MAENDELEO (SEDP II)

S/N LENGO LA

MWAKA

SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA

FEDHA

MSIMAMIZI MAONI

14

Kuongeza

miundombinu

katika shule za

sekondari 28

ifikapo June

2019

Kuwezesha umaliziaji wa ujenzi

wa vyumba 10 vya maabara

katika shule 6 za Sekondari

Ifikapo Juni 2019

Shule za

Sekondari za

Kiponzelo (2),

Ilambilole(2),

Muhwana (1), Mlowa

(3), Luhota (1) na

Mseke (1)

90,000,000.00 Ruzuku ya

Serikali

DESO

15

Kumalizia ujenzi wa Hosteli 2

shule za sekondari za Lumuli na

Dimitrios ifikapo Juni 2019

Shule za sekondari

za Lumuli na

Dimitrios

70,706,400.00 Ruzuku ya

Serikali

DESO

16

Kuwezesha ujenzi wa Nyumba

11 vya Madarasa katika shule za

sekondari za TANANGOZI (1),

LUHOTA (4) PAWAGA (3) na

KALENGA (3) ifikapo Juni 2019

Shule za sekondari

za , Tanangozi,

Luhota, Pawaga na

Kalenga.

122,887,464.00 Ruzuku ya

Serikali

DESO

17

Kuwezesha ujenzi wa nyumba

tatu za Walimu katika shule za

Sekondari za LUHOTA, LUMULI,

na MLOWA Ifikapo juni 2019

Lumuli , Luhota na

Mlowa

80,706,400.00 Ruzuku ya

Serikali

DESO

18

Kuwezesha kufanya ufuatiliaji na

tathmini ya Miradi ya Maendeleo

katika shule 28 za Sekondari

Ifikapo Juni 2019

Shule 28 za

Sekondari

9,231,736.00 Ruzuku ya

Serikali

DESO

JUMLA NDOGO 373,532,000.00

Page 36: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

36

C) MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI ELIMU YA SEKONDARI BILA MALIPO S/N

LENGO LA

MWAKA

SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA

ZILIZOPENDEKEZWA

CHANZO CHA

FEDHA

MSIMAMIZI MAONI

19

Kuongeza

miundombinu

katika shule za

sekondari 28

ifikapo June

2019

Kuwezesha Ruzuku ya uendeshaji

(Capitation Grant) katika shule 28

za Sekondari, Fidia ya Ada Kutwa

katika shule 25 za Sekondari,

Fidia ya Ada Bweni shule ya

Sekondari Ifunda Ufundi, fedha ya

madaraka kwa wakuu wa shule 28

za sekondari na Chakula cha

Wanafunzi katika shule 8 za

sekondari za Bweni kila Mwezi

Ifikapo Juni 2019.

Shule 28 za

Sekondari

1,916,182,000.00 Ruzuku ya

Serikali

DESO

D) MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI YA MAPATO YA NDANI (OWN SOURCE)

S/N

LENGO LA

MWAKA

SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA

ZILIZOPENDEKE

ZWA

CHANZO

CHA FEDHA

MSIMAMIZI MAONI

20 Kuboresha

upatikanaji na

utoaji wa

huduma kwa

usawa katika

jamii

Kuwezesha usimsmizi wa ufundishaji na

ujifunzaji kwa walimu 980 katika shule 28 za

Sekondari Ifikapo Juni 2019. (Gharama za

Umeme na Maji)

Shule 28 za

Sekondari

6,995,683.00 Own source DSEO

21 Kuwezesha ufanyikaji wa vikao vya bodi za

shule 28 za sekondari kila robo mwaka

ifikapo Juni 2019. (Shajala, Posho , Chakula

na Viburudisho)

Shule 28

zasekondari

12,210,000.00 Own source DSEO

Page 37: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

37

22 Kuwezesha gharama uendeshaji na

ukarabati mdogomdogo katika shule 28 za

sekondari ifikapo Juni 2019. ( gharama za,

Umeme, Maji, kulipa Mlinzi na ununuzi wa

Diesel)

shule 28 za

sekondari

215,796,000.00 Own source DSEO

23 Kuwezesha gharama za uendeshaji wa

shule 28 za Sekondari Ifikapo Juni 2019.(

ununuzi wa shajala, na kulipa vibarua).

shule 28 za

sekondari

35,750,000.00 Own source

24 Kuwezesha Wakuu wa shule za Sekondari

kuhudhuria Vikao vya kiutendaji vya Afisa

Elimu Sekondari Ifikapo Juni 2019. (Nauli na

Posho)

Wilayani 27,515,000.00 Own source DSEO

25 Kuwezesha walimu 10 na Wanafunzi 72

wa Sekondari kushiriki michezo ya

UMISETA katika ngazi ya Wilaya ,Mkoa na

Taifa Ifikapo Juni 2019. ( Ada ya kushiriki

Michezo, Nauli na Malazi)

Shule 28 za

sekondari

24,200,000.00 Own source DSEO

26 Kuwezesha gharama za mafunzo ya muda

mfupi na muda mrefu kwa walimu 56 katika

shule 28 sekondari ifikapo Juni 2019.

(Shajala, Nauli na Gharama za Mafunzu)

Shule 28 za

sekondari

15,847,301.00 Own source DSEO

27 Kuwezesha

na kusimamia

maandalizi ya

kujikinga na

kuthibiti

Matukio ya

Majanga

Kuwezesha vifaa vya kujikinga na kuzuia

majanga katika shule 28 za Sekondari

ifikapo Juni 2019. ( Vifaa vya kuzimia moto)

Shule 28 26,303,317.00 Own source DSEO

28 Kuongeza

idadi na

ubora wa

huduma na

Kuwezesha gharama za ujenzi wa nyumba

28 na matengenezo ya nyumba 28 katika

shule 28 za sekondari ifikapo Juni 2019.

Shule 28

zasekondari

412,299,000.00 Own source DSEO

Page 38: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

38

miundombinu (Ukarabati Nyumba 28 za Walimu)

29 Kuwezesha gharama za ujenzi wa vyumba

23 vya maabara katika shule 20 za

sekondari ifikapo Juni 2019.

(Ujenzi wa vyumba 23 vya Maabara).

Shule 20

zasekondari

381,536,000.00 Own source DSEO

30 Kumalizia ujenzi wa vyumba 36 vya

Maabara katika shule 17 za sekondari

Ifikapo Juni 2019. (Ujenzi wa vyumba vya

Maabara).

Shule 17 za

sekondari

247,142,699.00 Own source DSEO

31 Kuwezesha Utengenezaji na ukarabati wa

Viti 2,735 na Meza 2,735 katika shule 28 za

Sekondari Ifikapo Juni 2019.

(Utengenezaji/Ukarabati wa samani katika

Shule za sekondari)

Shule 28 za

Sekondari

47,985,400.00 Own source DSEO

JUMLA KUU YA MAPENDEKEZO YA BAJETI YA MAPATO YA NDANI 1,361,670,000.00

JUMLA KUU YA BAJETI YOTE ELIMU SEKONDARI 4,128,553,000.00

4:8 KITENGO CHA MANUNUZI

4.8.0 UTANGULIZI Kitengo cha Manunuzi kwa mwaka wa fedha 2018/2019 kinategemea kutumia Jumla ya Tsh. 31,846,921.00 ikiwa kiasi cha Tsh. 7,710,150.00 ni kutokana na ruzuku na kiasi cha Tsh. 24,136,771.00 kutokana na Mapato ya Ndani.

RUZUKU (GPG)

S/N LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA

FEDHA MSIMAMIZI

1 Kuboresha huduma za jamii na kupunguza maambukizi ya

Kuendesha mafunzo ya siku 1 juu ya athari za maambukizi ya VVU/UKIMWI kwa watumishi 9 wa Kitengo cha Manunuzi

Makao makuu 90,000 Ruzuku DCSO

Page 39: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

39

VVU/UKIMWI. ifikapo Juni, 2019

2 Mapambano dhidi ya rushwa.

Kutoa mafunzo ya siku 1 ya mapambano dhidi ya rushwa kwa watumishi 9 wa Kitengo cha Manunuzi ifikapo Juni, 2019

Makao makuu 90,000 Ruzuku DCSO

4 Kuimarisha utawala bora na huduma bora kwa jamii.

Kuwezesha uandaaji, ufuatiliaji na usimamizi wa mipango ya manunuzi katika idara 13, Vitengo 6, Sekondari 28 na Shule za msingi 148 ifikapo Juni, 2019

Makao makuu 3,300,000 Ruzuku DCSO

5 Kuwezesha uandaaji wa mpango na bajeti ya Kitengo cha Manunuzi na Kuwezesha uandaaji wa mpango wa Manunuzi wa Halmashauri wa mwaka 2018/2019 ifikapo Juni, 2019

Makao makuu 990,000 Ruzuku DCSO

6 Kuwezesha mafunzo ya siku 4 ya sheria ya manunuzi ya mwka 2011 na kanuni zake za mwaka 2013, Pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2016 kwa watumishi 9 wa PMU na wajumbe 6 wa Bodi ya Zabuni ifikapo Juni, 2019

Makao makuu, Morogoro, Dodoma & Dar es Salaam

2,140,000 Ruzuku DCSO

7

Kuendesha mafunzo ya siku 3 ya uelewa wa sheria na kanuni za manunuzi ya umma na ufuatiliaji wa taratibu za manunuzi katika Kata 6 ambazo ni Lumuli, Wasa, Ulanda, Kising’a, Migoli na Izazi na vijiji vyenye mazingira magumu vya Maperamengi, , mkumbwanyi, Ivangwa, Chamgogo, Kisilwa,Isaka, Makadupa, Mkombilenga na Holo ifikapo Juni, 2019.

Makao makuu Lumuli, Wasa, Ulanda, Kising’a, Migoli na Izazi

1,100,150 Ruzuku DCSO

JUMLA NDOGO TSH. 7,710,150

Page 40: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

40

A. MAPATO YA NDANI (OWNSOURCE)

S/N LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA

FEDHA MSIMAMIZI

8 Uendeshaji wa ofisi na kuboresha maslahi kwa watumishi.

Kuboresha maslahi kwa watumishi 9 wa Kitengo cha Manunuzi ifikapo Juni, 2019

Makao makuu 10,796,771 Mapato ya Ndani DCSO

Uendeshaji wa ofisi (uandaaji nyaraka mbalimbali za manunuzi, likizo, matibabu na vitendea kazi mbalimbali)ifikapo Juni, 2019

Makao makuu 6,920,000 Mapato ya Ndani DCSO

9 Kuimarisha utawala bora na huduma bora kwa jamii.

Kuendesha vikao vya Bodi ya Zabuni, Kitengo cha Manunuzi na timu za tathmini za zabuni mbalimbali zilizotangazwa ifikapo Juni,2019

Makao makuu 3,300,000 Mapato ya Ndani DCSO

10 Kuimarisha Teknologia, Habari na Mawasiliano.

Kuwezesha mafunzo na uwekaji wa mifumo ya kielektronik ya Epicor kwa watumishi 9 wa PMU kwa siku 5 ifikapo Juni, 2019

Makao makuu,Dodoma, Morogoro & Dar es Salaam

3,120,000 Mapato ya Ndani DCSO

JUMLA NDOGO TSH. 24,136,771

JUMLA KUU TSH. 31,846,921

Page 41: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

41

4:9 KITENGO CHA SHERIA 4.9.0 UTANGULIZI Kitengo cha Sheria kimepanga kutekeleza shughuli mbalimbali kwa mwaka wa fedha wa 2018/19 zenye gharama ya jumla ya Tshs. 12,858,073 (Mapatoo ya Ndani) kutoka fedha za mapato ya ndani kama inavyoainishwa katika jedwali lifuatalo hapa chini.

NA. LENGO LA MWAKA SHUGHULI ZILIZOPANGWA GHARAMA CHANZO CHA

FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuboresha huduma ya

Jamii na kupunguza

maambukizi ya

VVU/Ukimwi.

Kuwezesha watumishi 3 wa kitengo cha Sheria kuhudhuria

mafunzo siku 1 juu ya maambukizi ya UKIMWI ifikapo Juni

2019.

30,000. Mapato ya Ndani LO

2 Kuendeleza na

kutekeleza kikamilifu

mkakati wa kupambana

na rushwa.

Kuwezesha watumishi 3 wa Kitengo cha Sheria kuhudhuria

mafunzo ya mapambano dhidi ya rushwa ifikapo Juni 2019.

30,000 Mapato ya Ndani LO

3 Kuwezesha utawala

bora na huduma za

kiutawala.

Kuwezesha uandaaji wa wa sheria ndogo 15 na

kuziwasilisha katika mamlaka na taasisi husika ifikapo Juni

2019.

604,050 Mapato ya Ndani LO

Kuboresha maslahi ya watumishi 3 wa kitengo cha sheria.

Gharama za Likizo, Simu na Umeme kwa DLO

4,110,000 Mapato ya Ndani LO

Kuwezesha watumishi 2 wa kitengo cha Sheria kushiriki

katika uandaaji wa bajeti ya kitengo ya mwaka 2018/19

ifikapo Juni 2019.

600,000

Mapato ya Ndani LO

Kuwezesha upitiaji na uhakiki wa mikataba mbalimbali 40

ifikapo Juni 2019.

290,000 Mapato ya Ndani LO

Kufanya mafunzo ya siku 2 kwa wajumbe wa mabaraza ya

kata 25 ifikapo Juni 2019.

1,170,000

Mapato ya Ndani LO

Kuwezesha kugharamia vitendea kazi vya ofisi ya kitengo

cha Sheria ifikapo Juni 2019.

1,800,000 Mapato ya Ndani LO

Kuwezesha watumishi 3 wa Kitengo cha sharia kuhudhuria

mafunzo mbalimbali na matukio ya kitaifa ifikapo Juni 2019.

4,224,023 Mapato ya Ndani LO

Jumla kuu sheria 12,858,073

Page 42: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

42

4:10 IDARA YA AFYA

4:10:0 UTANGULIZI

Mh. Mwenyekiti, Idara ya Afya katika mwaka 2018/2019 inatarajia kupata na kutumia jumla ya Tshs 2,723,803,623.00 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo, kulipa mishahara ya watumishi, gharama za utoaji huduma na uendeshaji wa ofisi. Fedha zitakazotumika zitatoka katika vyanzo nane ambavyo ni Ruzuku kutoka Serikali Kuu jumla ya Tshs 724,047,658.00 (Ruzuku ya uendeshaji wa ofisi Tshs 253,323,000, Ruzuku ya dawa kupitia Bohari ya dawa MSD Tsh; 470,724,658, Mfuko wa Pamoja wa Wahisani (Basket fund) Tshs 1,032,963,000, Mpango wa Maendeleo wa Afya ya Msingi (MMAM) Tshs 54,000,000; Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) Tshs 150,800,000; Bima ya Afya (NHIF) Tshs 24,000,000, Kampeni ya Kitaifa ya Usafi wa Mazingira (RWSSP) Tshs 35,000,000, Miradi ya Maendeleo kupitia Shirika la Watoto Duniani (UNICEF) Tshs 495,608,888. na Vyanzo vya Ndani (Own Source) Tshs 207,384,077 (Tshs. 32,584,077 miradi ya maendeleo, Tsh 174,584,077 uendeshaji wa ofisi)

Mh. Mwenyekiti, bajeti hii imezingatia makundi ya shughuli mbalimbali mfano ununuzi wa dawa na chanjo, ununuzi wa vifaa tiba na mitungi ya gesi, kukamilisha ujenzi wa majengo ya nje ya Zahanati katika vijiji viwili, kuunganisha umeme katika Zahanati tano, uendeshaji wa ofisi, malipo ya stahili mbalimbali za watumishi, usimamizi wezeshi, ufuatiliaji na ukaguzi, utoaji wa elimu kwa jamii na mafunzo mbalimbali.

Mh. Mwenyekiti, Idara ya Afya ina jumla ya vituo vya kutolea huduma za Afya 75 (i.e. Zahanati 64, Vituo vya Afya 10 na Hospitali moja (1),) hivyo bajeti hii imegawanyika katika majedwali ya kasma tano (5) kwa mujibu wa muongozo wa uandaaji wa Mpango Kamambe wa Afya. Kasma hizo ni Mganga Mkuu, Hospitali Teule ya Wilaya, Vituo vya Afya, Zahanati na Jamii. Ufuatao ni mchanganuo wa shughuli hizo kwa kina kwa mtiririko unaozingatia chanzo cha mapato

Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

KASMA YA MGANGA MKUU WA WILAYA

1 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kufanya ukaguzi wa watumishi katika vituo vya kutolea huduma za afya ,kuwafundisha majukumu yao na kufundisha ujazaji wa fomu za OPRAS ifikapo juni 2019

Vituo 75 vya kutolea huduma za afya.

11,200,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

Page 43: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

43

2 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kufanya mafunzo elekezi kwa waajiriwa wapya 100 juu ya miongozo ,wajibu na majukumu yao katika utendaji kazi ifikapo juni 2019

Vituo 75 vya kutolea huduma za afya.

12,380,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

3 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kufanya mafunzo ya siku 10 kwa wajumbe 20 wa uendeshaji huduma ya Afya wilaya (CHMT) juu ya utumiaji wa mfumo wa uandaaji wa mpango na bajet na utoaji wa taarifaPlanrep ifikapo juni 2019

Ifunda 12,650,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

4 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha matengenezo ya magari 4 kutoka katika ofisi ya mganga mkuu kila robo mwaka ifikapo juni 2019

Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya

45,156,625.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

5 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kufanya usimamizi wezeshi kwa kila robo mwaka katika vituo 75 vya kutolea huduma ya Afya ifikapo juni 2019

Vituo 75 vya kutolea huduma za afya.

42,302,108.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

6 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kufanya maandalizi na uandaaji wa mpango kamambe wa Afya wa mwaka wa fedha 2019/2020 (CCHP) ifikapo juni 2019

Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya

20,975,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

7 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha uandaaji wa taarifa mbalimbali za idara ya afya kama vile taarifa za robo, nusu mwaka, mwaka na za miradi ya maendeleo za basket fund, CDR, MTUHA, Usafi wa mazingira na Afya ya mama na mtoto ifikapo juni 2019

Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya

5,900,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

8 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha uandaaji wa vikao vya bodi ya Afya ya wilaya vya kila robo mwaka ifikapo juni 2019

Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya

9,770,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

Page 44: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

44

9 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ufungaji wa mfumo wa kielotroniki katika vituo 3 vya Afya wa ukusanyaji wa mapato ifikapo juni 2019

Kituo cha Afya Kiponzelo, Kimande na Idodi.

3,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

10 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kufanya mafunzo ya siku 5 kwa waganga 100 wa tiba asilia juu ya miongozo mbalimbali ya huduma ya tiba asilia ifikapo juni 2019

Nzihi 3,250,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

11 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kufanya mafunzo ya siku 3 kwa waganga wa tiba asilia 100 juu ya utunzaji kumbukumbu za wagonjwa wanaowahudumia ifikapo juni 2019

Nzihi 4,310,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

HOSPITALI TEULE YA TOSAMAGANGA

12 Kupunguza Vifo vya akina Mama Wajawazito

Kufanya Uchunguzi wa Vifo vya akina mama wajawazito ifikapo Juni 2019.

Mahali na mazingira alipokuwa anaishi marehemu

800,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

13 Kupunguza Vifo vya akina Watoto wachanga

Kufanya Mikutano ya kila mwezi Kujadili Vifo, Uchunguzi na Marejeo ya Vifo vya Watoto Wachanga Hospitalini ifikapo Juni 2019.

Tosamaganga Hospitali Teule

5,076,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

14 Kutoa chanjo na elimu ya uzazi Kutoa huduma za Mkoba kwa Mama,Baba na Mtoto kwa vijiji vitatu vinavyotuzunguka hospitali ya Tosamaganga kila mwezi ifikapo Juni 2019.

Nyamihuu,Ugwachanya na Lupalama

4,860,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

15 Kudhibiti maambukizi ya magonjwa

Kuwezesha ununuzi wa vifaa vya Kuzuia na Kudhibiti maambukizi ya magonjwa kila Mwezi ifikapo Juni 2019.

Tosamaganga Hospitali Teule

4,500,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

Page 45: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

45

16 Kupunguza Vifo vitokanavyo na magonjwa yasiyoambukiza

Kuwezesha usafirishaji wa Sampuli za wagonjwa wanaosadikika kuwa na Saratani kwenda Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya ifikapo Juni 2019.

Tosamaganga Hospitali Teule

1,080,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

17 Kutoa Huduma Bora kwa wagonjwa

Kufanya Manunuzi ya dawa na vifaa tiba kila robo mwaka kwa huduma ya Kinywa na Meno ifikapo Juni 2019

Tosamaganga Hospitali Teule

164,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

18 Kuboresha Mazingira ya Hospitali

Kuwezesha Ukarabati wa Wodi 3 za Wagonjwa na nyumba 4 chakavu za watumishi ifikapo Juni 2019

Tosamaganga Hospitali Teule

16,851,750.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

19 Kutoa Motisha kwa Wafanyakazi

Kuwezesha utoaji wa Posho kwa watumishi wanaofanya kazi baada ya muda wa kazi masaa ya ziada na za Watumishi wanaoitwa baada ya muda wa kazi kwa ajili ya dharura ifikapo Juni 2019.

Tosamaganga Hospitali Teule

62,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

20 Kutoa Huduma Bora kwa wagonjwa

Kuwezesha ununuzi wa shajala kwa ajili ya matumizi ya Ofisi na Kumbukumbu za Wagonjwa ifikapo Juni 2019.

Tosamaganga Hospitali Teule

12,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

21 Kutoa Huduma Bora kwa wagonjwa

Kufanya Mikutano ya kila mwezi ya Kamati ya Uendeshaji ya Hospitali ifikapo Juni 2019.

Tosamaganga Hospitali Teule

3,384,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

22 Kuandaa Mpango Kabambe wa Afya

Kuwezesha maandalizi na uwasilishaji wa Bajeti ya Hospitali katika Mpango Kabambe wa Afya kwa Mwaka wa Fedha 2019/2019 ifikapo Juni 2019.

Mafinga au sehemu nyingine itakayopendekezwa na DMO

6,595,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

23 Kutoa Huduma Bora kwa wagonjwa

Kufanya Mikutano ya kila robo mwaka ya Kamati ya Tiba ya Hospitali ifikapo Juni 2019.

Tosamaganga Hospitali Teule

1,128,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

Page 46: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

46

24 Kutoa Huduma Bora kwa wagonjwa

Kufanya usimamizi wezeshi na usimamizi elekezi kwa vituo vya Afya na Zahanati zilizopo katika Tarafa za Kalenga na Mlolo ifikapo Juni 2019.

Tarafa za Kalenga na Mlolo

24,350,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

25 Kutoa Huduma Bora kwa wagonjwa

Kufanya Matengenezo ya Magari 3 na Mitambo ya Hospitali ifikapo Juni 2019.

Tosamaganga Hospitali Teule

10,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mfawidhi

KASMA YA VITUO VYA AFYA

26 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha manunuzi ya dawa na vifaa tiba kwa ajili ya kusambaza katika vituo 10 vya Afya ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

161,273,103.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

27 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuaji wa delivery kit 10 na kuzisambaza katika vituo 10 vya Afya ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

2,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

28 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha rufaa za wagonjwa kutoka katika vituo vya kutolea huduma za afya kwenda Hospitali ya rufaa ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

9,071,125.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

29 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha utoaji wa huduma ya uzazi wa mpango kwa njia ya mkoba kila mwezi katika vituo vya Afya 3 ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 3 vya Kimande, Nzihi na Isman

7,200,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

Page 47: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

47

30 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa vifaa vya upasuaji kwa ajili ya kituo cha Afya Kiponzelo ifikapo juni 2019

Kituo cha Afya Kiponzelo

23,677,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

31 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kufanya mafunzo elekezi kwa watoa huduma 10 kwa siku 3 kutoka katika vituo 10 vya Afya ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

1,580,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

32 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha uanzishwaji wa vikundi 2 vya wagonjwa wa TB katika vituo vya afya vya Idodi na Kimande ifikapo juni 2019

Vituo vya afya vya Idodi na Kimande

6,217,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

33 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuaji na usambazaji wa vifaa vya maabara katika vituo 10 vya Afya ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

21,646,796.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

34 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kufanya mafunzo ya siku 2 kwa watumishi 20 kutoka katika vituo vya Afya 10 juu ya maambukizi ya magonjwa ya ngono na jinsi ya kuyatibu ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

2,994,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

35 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kufanya upasuaji wa vikope jicho katika vituo 5 vya Afya ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 5 vya Isman, Migoli, Kimande, Idodi na nzihi

9,260,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

Page 48: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

48

36 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuaji wa vifaa kwa ajili ya kliniki ya meno kituo cha Afya Nzihi ifikapo juni 2019

Kituo cha afya Nzihi

7,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

37 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha uandaaji wa mipango na bajeti ya vituo vya Afya kwa mwaka wa fedha 2019/2019 ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

7,790,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

38 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ufungaji wa mfumo wa kielotroniki katika vituo 3 vya Afya wa ukusanyaji wa mapato ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 3 vya Kimande, Kiponzelo, na Mgama

7,348,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

KASMA YA ZAHANATI

39 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuaji wa dawa na vifaa tiba vya uzazi wa mpango katika zahanati 63 ifikapo juni 2019

Zahanati 63 4,450,034.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

40 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuaji wa delivery kit 10 na kuzisambaza katika zahanzti 10 ifikapo juni 2019

Zahanati 10 za Itwaga, Mangalali, Weru, Nyavangala, Ilambilole, Izazi, Udumka,Wasa, Igula na Makuka

4,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

41 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuaji na usambazaji wa vifaa vya mnyororo baridi na kuvisambaza katika zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati 64 27,524,897.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

Page 49: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

49

42 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kufanya kampeni ya kitaifa ya ugawaji wa matone ya vitamini A na dawa za minyoo katika vijiji 133 kwa awamu mbili ifikapo juni 2019

Vijiji 133 8,800,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

43 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kutoa huduma ya mkoba katika vijiji 42 ifikapo juni 2019

Vijiji 42 10,200,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

44 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ukusanyaji wa chupa 700 za damu salama kila robo mwaka kutoka kwa wanaojitolea kutoa damu katika vijiji 133 ifikapo juni 2019

Vijiji 133 7,700,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

45 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa vyandarua 126 vyenye dawa na kuvisambaza katika zahanati 64 ifikapo juni 2019

Vituo 75 vya kutolea huduma za afya.

700,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

46 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuaji wa vifaa vya maabara vya upimaji wa TB na kuvisambaza katika zahanati 26 ifikapo juni 2019

Zahanati 26 zenye watumishi wa maabara

56,268,408.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

47 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuaji wa dawa na vifaa tiba kwa ajili ya magonjwa ya ngono na kuzisambaza katika zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati 64 2,851,500.00 Mfu ko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

48 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuaji wa vifaa vya kuhifadhia taka na kuvisambaza katika zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati 64 5,300,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

49 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa dawa za kisukari kwa zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati 64 32,217,315.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

Page 50: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

50

50 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa dawa za Afya ya akili kwa ajili ya zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati 64 32,160,853.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

51 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa dawa za kutibu magonjwa ya moyo kwa zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati 64 5,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

52 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kufanya kampeni ya uhamasishaji na ugawaji wa dawa za magonjwa yasiyopewa kipaumbele katika vijiji 133 ifikapo juni 2019

Vijiji 133 3,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

53 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa dawa za kutibu magonjwa ya macho kwa zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati 64 1,977,240.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

54 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa ajili ya magonjwa ya meno kwa zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati 64 7,545,525.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

55 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kutoa huduma ya mkoba ya kutibu wagonjwa wa meno katika vituo 10 vya kutolea huduma za Afya ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi, Mlowa na Mgama

5,450,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

56 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa viti 10 kwa ajili ya walemavu 10 ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

2,836,771.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

Page 51: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

51

57 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha matengenezo ya kila robo ya vifaa tiba katika zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati 64 3,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

58 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha uandaaji wa mipango na bajeti ya zahanati 64 kwa mwaka wa fedha 2019/2019 ifikapo juni 2019

Zahanati 64 11,280,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

59 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ufungaji wa mfumo wa kielotroniki katika zahanati 10 kwa ajili ya ukusanyaji wa mapato ifikapo juni 2019

Zahanati 10 za Itwaga, Mangalali, Weru, Nyavangala, Ilambilole, Izazi, Udumka, Makuka, Igula na Ifunda

8,664,990.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

60 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba vya dharula kwa zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati 64 3,000,000.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

KASMA YA JAMII

61 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

kuwezesha jamii ya isaka ununuzi wa vifaa vya ujenzi kwa ajili ya umaliziaji wa zahanati ya kijiji ifikapo juni 2019

Kijiji cha Isaka 8,664,990.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

62 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

kuwezesha jamii ya magozi ununuzi wa vifaa vya ujenzi kwa ajili ya umaliziaji wa zahanati ya kijiji ifikapo juni 2019

Kijiji cha Magozi 8,664,990.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

63 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

kuwezesha jamii ya Isupilo ununuzi wa vifaa vya ujenzi kwa ajili ya umaliziaji wa zahanati ya kijiji ifikapo juni 2019

Kijiji cha Isupilo 8,664,990.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

64 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

kuwezesha jamii ya Msuluti ununuzi wa vifaa vya ujenzi kwa ajili ya umaliziaji wa zahanati ya kijiji ifikapo juni 2019

Kijiji cha Msuluti 8,664,990.00 Mfuko wa pamoja wa Wahisani

Mganga Mkuu (W)

Page 52: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

52

JUMLA KUU - MFUKO WA PAMOJA WA WAHISANI 1,033,163,000.00

Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA

MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

KASMA YA MGANGA MKUU

65 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuandaa bajeti ya mishahara ya mwaka wa fedha 2019/2019 ifikapo juni 2019

Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya

1,950,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu

Mganga Mkuu (W)

66 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwesha malipo ya stahiki za watumishi 24 waliopo katika ofisi ya mganga mkuu wa wilaya ifikapo juni 2019

Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya

4,500,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu

Mganga Mkuu (W)

67 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha matengenezo ya magari 4 kutoka katika ofisi ya mganga mkuu kila robo mwaka ifikapo juni 2019

Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya

15,729,985.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu

Mganga Mkuu (W)

68 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kufanya usimamizi wezeshi kwa kila robo mwaka katika vituo 75 vya kutolea huduma ya Afya ifikapo juni 2019

Vituo 75 vya kutolea huduma za afya

7,500,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu

Mganga Mkuu (W)

69 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ulipaji wa bili za umeme,simu na maji katika ofisi ya mganga mkuu ifikapo juni 2019

Ofisi ya Mganga Mkuu Wilaya

13,700,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu

Mganga Mkuu (W)

KASMA YA HOSPITALI TEULE YA TOSAMAGANGA

Page 53: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

53

71 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha malipo ya watumishi 57 wanaoitwa kazini baada ya masaa ya kazi (Oncall alowance) katika hositali teule ya Tosamaganga ifikapo juni 2019

Hospitali Teule ya Tosamaganga

15,510,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu

Mganga Mkuu (W)

KASMA YA VITUO VYA AFYA

72 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba vya maabara kwa ajili ya HIV/AIDS na kuvisambaza katika vituo vya kutolea huduma ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

27,106,015.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu

Mganga Mkuu (W)

73 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha malipo ya oncall allowance kwa watumishi 80 waliopo katika vituo vya Afya ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

32,120,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu

Mganga Mkuu (W)

74 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ulipaji wa stahiki mbalimbali za watumishi 160 waliopo katika vituo vya Afya 10 vya kutolea huduma ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

38,500,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu

Mganga Mkuu (W)

75 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha malipo ya wafanyakazi bora kutoka katika vituo vya kutolea huma ya Afya ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

2,000,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu

Mganga Mkuu (W)

Page 54: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

54

76 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha manunuzi na upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kutoka bohari ya dawa (MSD) na kuvisambaza katika vituo vya afya 10 Ifikapo Juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

170,724,658.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu (MSD)

Mganga Mkuu (W)

76 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha matengenezo ya vifaa tiba kwa kila mwezi ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

31,998,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu

Mganga Mkuu (W)

KASMA YA ZAHANATI

76 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha malipo ya mishahara kwa watumishi mbalimbali wa zahanati 64 ifikapo Juni 2019

Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya

2,700,000,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu (Mishahara)

Mganga Mkuu (W)

77 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha manunuzi na upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kutoka bohari ya dawa (MSD) na kuvisambaza katika Zahanati 64 Ifikapo Juni 2019

Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya

300,000,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu (MSD)

Mganga Mkuu (W)

78 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha malipo mbalimbali ya stahili za watumishi 324 kutoka katika zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya

39,500,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu

Mganga Mkuu (W)

Page 55: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

55

79 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha malipo ya oncall allowance kwa watumishi 324 waliopo katika zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya

23,209,000.00 Ruzuku kutoka Serikali Kuu

Mganga Mkuu (W)

JUMLA KUU - RUZUKU KUTOKA SERIKALI KUU

724,047,658.00

Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA

MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

KASMA YA VITUO VYA AFYA

80 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa tumia fedha za CHF ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

8,200,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii

Mganga Mkuu (W)

81 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa ajili ya dharula kwa kutumia fedha za CHF ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

8,800,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii

Mganga Mkuu (W)

82 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha kamati za usimamizi wa huduma za Afya katika vituo vya Afya kushishiriki katika kuibua vipaumbele kwa ajili ya kuandaa mipango na bajeti ya vituo vya Afya 10 ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

7,750,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii

Mganga Mkuu (W)

83 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha kufanya mikutano ya kila robo mwaka ya kamati za vituo vya Afya ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

4,760,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii

Mganga Mkuu (W)

Page 56: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

56

KASMA YA ZAHANATI

84 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa kutumia fedha za CHF katika zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya

97,500,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii

Mganga Mkuu (W)

85 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha malipo ya kila mwezi ya utilities katika zahanati 64 kwa kutumia fedha za CHF ifikapo juni 2019

Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya

18,900,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii

Mganga Mkuu (W)

86 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa maboksi 64 ya kutolea maoni katika zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya

5,000,000.00 Mfuko wa Afya ya Jamii

Mganga Mkuu (W)

JUMLA - MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)

150,910,000.00

Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA

MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

87 KASMA YA VITUO VYA AFYA

88 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa kutumia fedha za NHIF na kuzisambaza katika vituo vya Afya ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

11,050,000.00 Mfuko wa Bima ya Afya

Mganga Mkuu (W)

89 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha kudurufu vitabu vya HMIS katika vituo vya Afya 10 ifikapo juni 2019

Vituo vya Afya 10 vya Isman, kiponzelo, Idodi, Wenda, Migoli, Kimande, Ifunda, Nzihi,Mlowa na Mgama

950,000.00 Mfuko wa Bima ya Afya

Mganga Mkuu (W)

KASMA YA ZAHANATI

Page 57: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

57

90 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa kutumia fedha za NHIF katika zahanati 64 ifikapo juni 2019

Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya

12,000,000.00 Mfuko wa Bima ya Afya

Mganga Mkuu (W)

JUMLA - BIMA YA AFYA 24,000,000.00

Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA

MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

KASMA YA JAMII

91 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha umaliziaji wa jengo la wagonjwa wa nje katika zahanati ya Mgera ifikapo juni 2019

Zahanati ya Mgera 25,000,000.00 HSDG/MMAM Mganga Mkuu (W)

92 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha umaliziaji wa jengo la wagonjwa wa nje katika zahanati ya Kihorogota ifikapo juni 2019

Zahanati ya Kihorogota 29,000,000.00 HSDG/MMAM Mganga Mkuu (W)

JUMLA - HSDG / MMAM

54,000,000.00

Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA

MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

KASMA YA JAMII

93 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ujenzi wa Hospitali ya wilaya ifikapo juni 2019

Kijiji cha Mgama 32,584,077.00 MAPATO YA NDANI

Mganga Mkuu (W)

Page 58: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

58

94 Kuimarisha upatikanaji na utoaji huduma bora kwa jamii

Kuwezesha malipo ya ankara mbalimbali na ufungaji wa mifumo ya kieletroniki kwenye vituo 61 vya kutolea huduma ifikapo Juni 2019

vituo 61 vya kutolea huduma za afya

174,800,000.00 MAPATO YA NDANI

Mganga Mkuu (W)

JUMLA - MAPATO YA NDANI

207,384,077.00

Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

KASMA YA MGANGA MKUU WA WILAYA

95 Kupanua wigo na ubora wa usafi wa mazingira katika shule za msingi toka 12% hadi 16% ifikapo Juni 2018

Kuandaa na kuendesha mafunzo kwa Maafisa Afya na Waratibu Elimu katika Kata 8 juu ya Mkakati wa maji safi/salama, Usafi wa mwili na mazingira (WASH) mashuleni kwa muda wa siku 6 ifikapo Juni 2019

Kata za Mlenge, Itunundu, Mboliboli, Izazi, Ilolompya, Mlowa, Idodi na Migoli

12,480,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

96 Kufanya Upembuzi wa kina juu ya hali halisi ya maji safi na salama, usafi wa mwili na mazingira mashuleni, katika shule zote zilizopo katika vijiji vya kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli kwa kutumia mwongozo maalumu (Revised SWASH guideline) hadi kufikia Juni 2019

Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli

7,200,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

Page 59: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

59

97 Vituo 30 vya huduma ya afya na vijiji 60 vinatoa huduma ya uzazi na watoto wachanga zilizo boreshwa ifikapo juni 2018

Kutoa mafunzo kwa watoa huduma wapya 30 juu ya utoaji huduma na uandaaji wa taarifa za huduma ya uzazi na watoto wachanga kwa kufuata miongozo ifikapo juni 2019

Kata za Maboga, Mgama, Izazi, Migoli, Itunundu, Ilolompya na Idodi

8,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

98 Maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto kupungua kutoka 6% kwenda chini ya 5% ifikapo juni 2018

Kuendesha mafunzo rejea kwa watumishi 30 kutoka katika vituo 30 yanayohusu kuzuia maambukizi vya VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto na ugunduzi wa mapema wa VVU kwa watoto wachanga kwa kutumia miongozo mipya kwa muda wa siku 5 ifikapo Juni 2019

Kata za Maboga, Mgama, Izazi na Migoli

11,200,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

99 Kuwezesha ukusanyaji na usafirishaji wa sampuli za damu kwa watoto wachanga waliozaliwa na mama wenye VVU katika vituo 75 na kuzipeleka maabara kuu ya kanda Hospitali ya rufaa Mbeya ifikapo juni 2019

Vituo 75 vinavyotoa huduma za afya.

9,600,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

100 Kutoa mafunzo kwa wasimamizi 22 wa uendeshaji wa huduma za afya wilaya juu ya utambuzi wa maeneo ambayo watoto hawafikiwi katika utoaji wa huduma za chanjo na kuandaa mpango kwa siku 3 ifikapo juni 2019

Ifunda 8,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

Page 60: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

60

101 Kuendesha mafunzo kwa vitendo na usimamizi wezeshi kila robo mwaka kuhusu utoaji wa huduma za kuzuia VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto na ,ugunduzi wa mapema wa VVU kwa watoto wachanga na utunzaji sahihi wa takwimu za mama wenye VVU katika vituo 75 vya kutolea huduma za afya ifikapo juni 2019

Kata za Maboga, Mgama, Izazi na Migoli

19,200,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

102 Kupunguza hali ya udumavu unaotokana na lishe duni kutoka 52% hadi 32% ifikapo Juni 2018

Kufanya vikao vya kamati ya wilaya ya lishe yenye wajumbe 12 kila robo mwaka ifikapo juni 2019

Makao Makuu (W) 7,805,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

103 Vituo 30 vya kutolea huduma ya afya na vijiji 60 vinatoa huduma ya uzazi na watoto wachanga zilizo boreshwa ifikapo juni 2018

Kufanya mikutano ya kujadili sababu za vifo vinavyotokana na uzazi na vifo vya watoto wachanga na kupanga mikakati ya kupunguza vifo hivyo kila robo mwaka ifikapo juni 2019

Makao Makuu (W) 5,600,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

104 Kuwafuatilia na kutoa chanjo kwa watoto walioachwa kwenye ratiba ya chanjo/waliochelewa kuchanjwa kwa kuzingatia mpango wa watoto walioachwa nje ya ratiba ifikapo Juni 2019

Kata za Maboga, Mgama, Izazi na Migoli

8,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

KASMA YA JAMII

Page 61: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

61

105 Kupanua wigo na ubora wa usafi wa mazingira toka Kaya 1,550 hadi kufikia kaya 2,385 ifikapo Juni 2017

Kuendesha vikao elekezi vya siku 2 kwa baraza la maendeleo la kata, mabaraza ya maendeleo ya vijiji vilivyopo kata ya Mlenge, Mboliboli na Itunundu, wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za afya na waalimu juu ya usafi bora wa mazingira na mpango wa WASH kwa mashule ifikapo Juni 2019

Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli

14,355,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

106 Kiwango cha chanjo kuongezeka kutoka 83.3% kwenda 99% ifikapo juni 2018

Kuwezesha timu ya wilaya kutambua mapungufu ya watoa huduma za chanjo na kuimarisha timu ya uendeshaji huduma za afya wilaya kuhusu utoaji wa mafunzo kwa vitendo kwa watoa huduma wapya ifikapo juni2019

Vituo 75 vinavyotoa huduma za afya.

16,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

107 Kupunguza vifo vinavyotokana na uzazi kutoka 306/100,000 hadi 290/100,000 ifikapo juni 2018

Kutoa mafunzo kuhusu huduma za dharura za uzazi na usalama wa watoto wachanga ifikapo juni 2019

Kata ya Mgama 24,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

108 Kupunguza hali ya udumavu unaotokana na lishe duni kutoka 52% hadi 32% ifikapo Juni 2019

Kufanya usimamizi elekezi wa masuala ya lishe katika vituo 75 vya kutolea huduma za afua na ukusanyaji wa takwimu ifikapo juni 2019

Zahanati zote 64 zinazotoa huduma za afya

8,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

109 Kupunguza hali ya udumavu unaotokana na lishe duni kutoka 52% hadi 32% ifikapo Juni 2019

Kutoa mafunzo ya siku 5 kwa watoa huduma 44 kuhusu mikakati ya lishe ifikapo juni 2019

Kata za Maboga, Izazi, Migoli na Mgama

11,244,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

Page 62: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

62

110 Kupunguza hali ya udumavu unaotokana na lishe duni kutoka 52% hadi 32% ifikapo Juni 2019

kufanya usimamizi wezeshi kwa vitendo kwa watoa huduma 45 juu ya utoaji wa huduma endelevu kwa watu wanaoishi na VVU juu ya lishe bora ifikapo juni 2019

Kata za Maboga, Izazi, Migoli na Mgama

8,030,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

111 Kupunguza hali ya udumavu unaotokana na lishe duni kutoka 52% hadi 32% ifikapo Juni 2019

Kuwezesha utoaji wa mafunzo kwa vitendo kwa watoa huduma 15 kutoka vituo 5 katika kata 4 juu ya ulaji wa mtoto na unyonyeshaji pekee wa maziwa ya mama ifikapo Juni 2019

Kata za Maboga, Izazi, Migoli na Mgama

3,550,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

112 Uanzishaji na uendelezaji wa promosheni za Afya ya jamii, kinga na udhibiti wa magonjwa na ulemavu Katika ngazi za jamii na vituo vya kutolea huduma wilayani ifikapo Juni 2018

Kuandaa na kuendesha mafunzo rejea ya siku 2 kwa watoa huduma 56 wa afya ya Jamii juu ya Mfumo wa Kijamii wa ukusanyaji taarifa za afya ya uzazi na mtoto, chanjo na Lishe ifikapo Juni 2019

Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama

6,290,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

113 Kuandaa na kuendesha mafunzo ya siku 3 kwa watendaji wa kijamii 220 (CORPs) juu ya Early Child stimulation kwa watoto walio na umri wa miaka 0 hadi 3 ifikapo Juni 2019

Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama

12,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

114 Kufanya uhamasishaji jamii juu ya ushiriki wa kina-baba kwenye huduma za kuzuia maambukizi ya VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT) ifikapo Juni 2019

Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama

15,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

Page 63: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

63

115 Kuinua ubora wa usafi wa mazingira na unawaji mikono kwa sabuni katika shule za msingi toka 12% hadi 16% ifikapo Juni 2014

Kuboresha matundu 40 ya vyoo bora katika shule 3 za msingi katika kata za Itunundu, Mlenge na Mboliboli ifikapo Juni 2019

Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli

93,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

116 Kuwezesha uanzishwaji na kufundisha klabu za usafi wa mazingira katika shule za msingi 6, ifikapo Juni 2019

Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli

2,850,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

117 Kuongeza kiwango cha ubora wa usafi wa mazingira toka Kaya 1,550 hadi kufikia kaya 2,385 ifikapo Juni 2018

Kutoa mafunzo ya ujenzi wa choo bora na aina mbalimbali za vifaa vya kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni kwa mafundi wa ujenzi 18 ifikapo Juni 2019

Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli

8,830,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

118 Kuendesha zoezi la uchefuaji ngazi ya jamii katika vijiji teule 6 ifikapo Juni 2019

Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli

12,520,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

119 Kuendesha mashindano ya usafi wa mazingira ngazi ya shule za msingi, kaya katika vitongoji, na vijiji vilivyopo katika kata 3 za Mlenge, Itunundu na Mboliboli ifikapo Juni 2019

Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli

7,660,800 UNICEF Mganga Mkuu (W)

120 Kuendesha vikao 4 vya tathmini ya utendaji na utoaji mrejesho kwa ngazi zote wa timu ya maji ya wilaya , usafi wa mwili na mazingira, watendaji wa Kata, watendaji wa vijiji na wahamasishaji ngazi ya jamii ifikapo Juni 2019

Kata za Mlenge, Itunundu na Mboliboli

1,750,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

Page 64: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

64

121 Uelewa wa wanajamii juu ya huduma za afya ya msingi kuongezeka katika vijiji 40 ifikapo juni 2018

Kutambulisha miongozo na taratibu za wahudumu ngazi ya jamii namna ya kuwahudumia na kuwashauri wazazi juu ya kuwatunza watoto wenye umri kuanzia 0 mpaka miaka 3 kila kijiji siku 1 ifikapo juni 2019

Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama

32,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

122 Kiwango cha chanjo kuongezo kutoka 83.3 kwenda 99% ifikapo juni 2018

kufanya mafunzo ya siku 7 ya kuwajengea uwezo wajumbe 22 wa kamati ya uendeshaji wa huduma ya afya wilaya kuhusu kutambua changamoto katika utoaji wa huduma za chanjo na kutoa mafunzo kwa vitendo kwa watoa huduma za afya 30 ifikapo juni 2019

Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama

16,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

123 Maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto kupungua kutoka 6% kwenda chini ya 5% ifikapo juni 2018

Kufanya mikutano ya uhamasishaji kwa wahudumu wa afya wa msingi 56 juu ya namna ya utunzaji wa watoto katika vjiji 20 ifikapo juni 2019

Kata ya Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama

32,000,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

124 Kufanya mikutano na kuanzisha vikundi vya akina mama na wenza wao wanaoishi na VVU katika vijiji 20 vinavyohudumiwa na zahanati hizo ifikapo juni 2019

Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama

20,873,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

0 Kupunguza hali ya udumavu unaotokana na lishe duni kutoka 52% hadi 32% ifikapo Juni 2018

Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa watoa huduma 56 wa Afya ya Msingi juu ya Afua muhimu za Lishe ifikapo juni 2019

Kata za Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama

23,190,000 UNICEF Mganga Mkuu (W)

122 Kuwafundisha watoa huduma wa Afya ya Msingi 56 juu ya ulishaji bora wa watoto kwa siku 1 ifikapo juni 2019

Kata ya Maboga, Izazi, Migoli, na Mgama

29,380,200 UNICEF Mganga Mkuu (W)

JUMLA - UNICEF 495,608,000

Page 65: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

65

Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI ILIYOPANGWA

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

KASMA YA JAMII

123 Kaya 3,534 kufikiwa na huduma ya vyoo bora na unawaji wa mikono kwa sabuni ifikapo juni 2018

Kukusanya takwimu za awali katika kaya na shule za msingi 6 ili kufaniksha usafi ifikapo juni 2019

Kata ya Mahuninga na Idodi

4,660,000 RWSSP Mganga Mkuu (W)

124 Kuwatambua na kutoa mafunzo ya siku 3 kwa wahudumu wa afya watano 5 na mafundi 5 wa kutengeneza visungura na ujenzi wa vyoo bora ifikapo juni 2019

Kata ya Mahuninga na Idodi

9,280,000 RWSSP Mganga Mkuu (W)

125 Kufanya mikutano ya robo mwaka kuangalia mafanikio ya utendaji kwa Timu ya huduma za maji na usafi wa mazingira Wilaya, Wawezeshaji ngazi ya Wilaya, WEO's, VEO's, Wawezeshaji ngazi ya Jamii na kupeana mshindo nyuma ifikapo june 2019

Kata ya Mahuninga na Idodi

3,310,000 RWSSP Mganga Mkuu (W)

126 Kuwezesha utekelezaji wa mashindano ya usafi wa mazingira na mtu binafsi nyumba kwa nyumba katika vitongoji 33 na vijiji 9 vya kata za Mahuninga na Idodi ifikapo 2019

Kata za Mahuninga na Idodi

6,750,000 RWSSP Mganga Mkuu (W)

127 Kufanya usimamizi wezeshi uelimishaji na ufuatiliaji kwa watumishi wa ugani na wachefuaji wa vijijini 9 vya kata ya Idodi na Mahuninga, mafundi wa vijijini 18 ifikapo juni 2019

Kata za Mahuninga na Idodi

7,000,000 RWSSP Mganga Mkuu (W)

Page 66: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

66

4:11 IDARA YA MAENDELEO YA JAMII

Idara ya Maendeleo ya Jamii inatarajia kutumia Tshs 2,413,198,418 kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ikiwa ni matumizi ya kawaida na miradi ya

maendeleo kwa mchanganuo ufuatao, Mapato ya ndani Tshs 298,226,735 (Fedha za uendeshaji wa ofisi 29,936,735, Fedha za mfuko wa wanawake

na vijana 253,290,000 na fedha mapambano dhidi ya UKIMWI 15,000,000), Fedha za ruzuku kutoa serikalini Tshs. 6,026,417 na fedha miradi za

wafadhili Tshs 2,108,945,266 (Mpango Makuzi na Malezi ya Mtoto ( UNICEF) 53,935,000 na Mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) Mpango wa

kunusuru kaya maskini Tshs 2,055,010,266 ).Mchanganuo wa shughuli zitakazotekelezwa umeonyeshwa kwenye jedwali hapa chini

A: RUZUKU KUTOKA SERIKALINI.

NA LENGO SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kupambana na rushwa ili kuboresha mazingira ya kiutendaji

Kutoa mafunzo kwa watumishi 38 juu ya kupambana na rushwa mahali pa kazi ifikapo 2019

Makao makuu 380,000.00 Fedha ya ruzuku ya serikali kuu

DCDO

2 Kuwezesha wadau wa maendeleo kushiriki katika upangaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo

Kutoa mafunzo ya siku 1 juu ya utawala bora,upangaji wa mipango , bajeti na usimamizi kwa wajumbe wa Halmshauri za vijiji 1000 katika vijiji 40 ifikapo Juni 2019

Katika kata 10 za Kihanga, Mlenge, Mboliboli, Migoli, Mgama, Lyamgungwe Nyang'oro, Kiwere, Ilolompya na Magulilwa

3,555,000.00 Fedha ya ruzuku ya serikali kuu

DCDO

128 Kutoa mafunzo ya siku 2 kwa watoa huduma 6 na mafundi 18 juu ya utengenezaji wa Mafiga ya kisasa ya choo (Visungura) katika kata za Idodi na Mahuninha ifikapo Juni 2019

Kata za Mahuninga na Idodi

4,000,000 RWSSP Mganga Mkuu (W)

JUMLA - RWSSP 35,000,000.00

JUMLA KUU - IDARA YA AFYA 2018 - 2019

9,476,098,492.00

Page 67: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

67

3 Kuwezesha ustawi wa jamii na jinsia

Kufanya ufuatiliaji wa utendaji kazi wa mabaraza ya watoto ngazi ya kata 12 na kuwezesha uanzishaji wa baraza la wilaya ifikapo Juni 2019

Katika Kata 12 za Mgama ,Wasa, Nyang'oro, Mlowa , Itunundu, Malengamakali ,Mboliboli,Izazi,Maboga, Lyamgungwe, Mlenge ,Ilolompya na Kihorogota.

2,091,417.00 Fedha ya ruzuku ya ruzuku ya serikali kuu

DCDO

JUMLA NDOGO VYANZO VYA BLOCK GRANT 6,026,417.00

B: FEDHA KUTOKA MAPATO YA NDANI (OWNSOURCE)

NA LENGO SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

4

Kuwezesha utawala bora na huduma za kiutawala

Kuwezesha gharama ya uendeshaji wa ofisi na stahili za watumishi kwa kila mwezi na kulipa madeni ( rikizo za watumishi , matibabu , umeme , madeni ya watumishi , matengenezo ya gari, gharama za uhamisho, gharama za simu, ununuzi wa samani za ofisi, lishe kwa watumishi kwa watumishi wanaoishi na VVU/ UKIMWI vifaa vya usafi na ununuzi wa shajara ) ifikapo Juni 2019

Makao makuu 15,000,000 Mapato ya ndani

DCDO

Kuwawezesha watumishi kuhudhuria mikutano 4 ya kila robo ya kisekta (kitaifa,mkoa na wilaya ) ifikapo Juni 2019

Itategemea na mahali mkutano utakopofanyika

2,000,000 Mapato ya ndani

DCDO

5 Kufanya mikutano ya uhamasishaji na ufuatiliaji wa shughuli za kujitegemea ili kuamsha ari ya wananchi katika katika kushiriki shughuli za maendeleo katika vijiji 60 ifikapo Juni 2019

Katika kata za Mseke, Magulilwa, Nduli, Izazi , Migori ,Luhota, Mahuninga , Idodi , lumuli , Nyang'oro, Maboga , Kihanga. Lyamgungwe

4,141,735 Mapato ya ndani

DCDO

Page 68: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

68

6 Kuwezesha ustawi wa jamii na jinsia

Kufanya mikutano 25 ya kuelimisha jamii juu ya ukatili wa kijinsia katika vijiji 25 vya kata 10 ifikapo Juni 2019

Katika kata za kata, Malengamakali, Idodi, Kihorogota, Itunundu, Migoli, Ulanda, Wasa Magulilwa, Kiwere, Kisinga, Mboliboli. Mboga, Maboga.

1,275,000 Mapato ya ndani

DCDO

Kuwezesha maadhimisho 4 mbalimbali ya kitaifa katika ngazi ya wilaya(siku ya wanawake,siku ya familia na siku ya mtoto, Siku ya UKIMWI Duniani, Kampeni ya kupinga ukatili Dhidi ya wanawake na watoto ) ifikapo Juni 2019

Maeneo yatakayo pangwa Maadhimisho

4,040,000 Mapato ya ndani

DCDO

Kuwezesha watumishi 4 wa idara kuhudhuria kikao cha maandalizi ya bajeti ifikapo juni 2019

Itategemea na mahali mkutano utakopofanyika

1,960,000 Mapato ya ndani

DCDO

8

Kutoa mafunzo kwa viongozi wanawake kutoka katika vikundi 16 namna ya kushiriki kujitokeza katika nafasi mbalimbali za uongozi Ifikapo 2019

Kata 16 Mlowa , Kihanga na Mahuninga , Mlenge , Lumuli, Luhota, Kalenga , Nzihi , Ilolo Mpya , Nyang'oro , Malengamakali , Izazi , Migoli, Lyamgungwe

1,140,000 Mapato ya ndani

DCDO

9

Kuberesha huduma za jamii na kupunguza maambukizi ya VVU/UKIMWI

Kutoa mafunzo kwa watumishi 38 wa Idara juu ya kujikinga na mmambukizi ya VVU/UKIMWI ifikapo Juni 2019

Watumishi 38 wa idara 380,000 Mapato ya ndani

DCDO

JUMLA NDOGO MAPATO YA NDANI 29,936,735

C: MCHANGO WA HALMASHAURI KUCHANGIA MFUKO WA WANAWAKE NA VIJANA KWA MAKUSANYO YA PATO LA NDANI

Page 69: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

69

NA

LENGO NA SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

10 Kuwezesha ustawi wa jamii na jinsia

15 Kutoa mafunzo ya siku 2 juu ya ujasiriamali na kuhamasisha uanzishaji wa viwanda vidogo vidogo kwa vya wanawake 140 na vikundi 60 ifikapo Juni 2019

Kata za Lumuli, Mgama, mseke, Ifunda, Ulanda, Kalenga , Nduli, Luhota, Migoli , Kiwere , Nzihi Migoli

11,645,000.00 Mapato ya ndani

DCDO

17

Kufanya ufutiliaji wa urejeshaji wa mikopo na uendeshaji wa vikundi kwa vikundi 140 vya wanawake , na vikundi 60 vya vijana ifikapo Juni 2019

katika kata zote 28 13,645,000 Mapato ya ndani

DCDO

18

Kutoa mikopo kwa vikundi 140 vya wanawake na 60 vya vijana ifikapo Juni 2019

Kata 28 Mikopo itatolewa kulingana na maombi kutoka kwenye vijiji

228,000,000 Mapato ya ndani

DCDO

JUMLA NDOGO VYANZO VYA NDANI VIKUNDI VYA WANAWAKE NA VIJANA 253,290,000

D. MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI

LENGO NA SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

11 Kuboresha huduma za jamii na kupunguza maambukizi ya VVU/ UKIMWI

16 Kuendesha mafunzo ya siku 1 juu ya UKIMWI na afya ya Uzazi kwa wanafunzi 2300 wa sekondari katika sekondari 23 ifikapo Juni 2019

Katika shule za sekondari za Lipuli, Kidama ,Idodi, Dimitrius, Ilolompya, Pawaga, Kiwele, Kihanga, Wasa, Ilambilole, Isimani, Nyang'oro, Nyerere, Mseke, Lyandembela, Kiponzelo, Mgama, Isimila, Mhwana na Luhota.

2,100,000 Mapato ya ndani

DCDO/CHAC

12 18 Kuendesha mkutano wa siku 1 kwa viongozi wa kijamii , watu maarufu na viongozi wa dini 400 katika vijiji 10 juu ya shughuli za kudhibiti UKIMWI ifikapo Juni 2019

Kata za Kihanga, Malengamakali, Mbolimboli, Masaka, Mgama, Lyamgungwe, Nyang'oro, Wasa, Kalenga, Nzihi

3,400,000 Mapato ya

ndani

DCDO/CHAC

Page 70: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

70

13 21 Kutoa mafunzo ya siku 1 kwa wajumbe 450 kwa kamati za UKIMWI kata 18 juu ya wajibu , majukumu yao na kuwapatia miongozo ya uendeshaji wa shughuli za mapamabano dhidi ya VVU/UKIMWI ifikapo Juni 2019

Katika kata za Maguliwa, Ifunda ,Masaka, Wasa, Maboga, Kihanga , Ilolompya, Kihorogota, Migoli, na Malengamakali .

7,900,000 Mapato ya ndani

DCDO/CHAC

14 25 Kuwezesha uratibu, ufuatiliaji kwa kila robo ,gharama za ofisi na kuhudhuria vikao mbalimbali ifikapo Juni 2019.

Makao makuu ya wilaya 1,600,000.00 Mapato ya

ndani

DCDO/CHAC

15,000,000

F: MPANGO WA MALEZI NA MAKUZI YA MTOTO (UNICEF )

LENGO NA SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

15 Kuwezesha ustawi wa jamii na jinsia

1 Kufanya maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika na kutoa elimu ya kupinga akatili wa mtoto ifikapo June 2019

Eneo litakalo pangwa 3,650,000 UNICEF DCDO

2 Kufanya ufuatiliaji kwenye vikundi 15 vya malezi katika kata 15 juu ya utekelezaji wa shughuli za ulinzi na usama wa mtoto ifikapo June 2019

Kihorogota , izazi , Itunundu , Ilolo mpya , Malengamakali , Mgulilwa , Lyamgungwe , Lumuli , Ifunda , Kalenga , Nzihi , Migoli , Luhota , Mseka , Masaka

7,580,000 UNICEF DCDO

3 Kufanya ufuatiliaji na kutoa msaada wa fedha za usafiri kwa wawezashaji jamii wa malezi ngazi ya kata (TOTs) 60 katika kata 10 ifikapo Juni 2019.

Kihorogota , izazi , Itunundu , Ilolo mpya , Malengamakali , Mgulilwa , Lyamgungwe , Lumuli , Ifunda , Kalenga , Nzihi , Migoli , Luhota , Mseka , Masaka

3,840,000 UNICEF DCDO

Page 71: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

71

4 Kuwezesha kutoa mafunzo na kuongoza mijadala ya siku mbili kwa viongozi 8 wa kijamii (LGAs, CBOs, NGOs and FBOs) juu ya kuzuia ukatili kwa watoto kwa mila kandamizi katika kata 5 ifikapo Juni 2019

Kata 10 migoli, Mboliboli, itunundu, kiwele, kihanga, mgama, mahuninga, ilolompya, maboga, malengamakali

8,225,000 UNICEF DCDO

5 Kuwezesha waandishi wa habari kutoa elimu kwa njia ya radio na kuibua matukio ya ukatili dhidi ywa watoto katika kata 16 ifikapo Juni 2019

Kata 10 Ulanda , Mseka , Masaka , Kihorogota , lyamgungwe, wasa, mlenge, ifunda, kihorogota, luhota, lumuli,ifunda, izazi, Nyang’olomalengamakali na nzihi

1,440,000 UNICEF DCDO

6 Kutoa mafunzo kwa walimu wakuu na walimu wa ushari nasaha 27 kutoka katika shule za masingi 9 juu malezi bora, kuzuia ukatili dhidi ya watoto na utoaji wa taarifa za matukio ya ukatili watoto ifikapo Juni 2019

Idodi , Mahuninga, Kihanga, Mlenge, Mboliboli, Ilolo mpya, kiwere, magulilwa na wasa

9,640,000

UNICEF DCDO

7 Kutoa mafunzo wawezeshaji jamii ngazi ya kata 36 katika kata 6 juu ya malezi bora na kuzuia ukatili dhidi ya watoto ifikapo Juni 2019

Idodi, Mahuninga, Kihanga, Mlenge, Mboliboli, Ilolo mpya,

11,400,000 UNICEF DCDO

16 8 Kutoa mafunzo kwa kwa wazazi wanaoamika 120 kutoka katika vijiji 60 kila kijiji watu 2 juu ya malezo bora ya mtoto na kuzuia ukatili dhidi ya mtoto ifikapo June 2019.

Kihorogota, izazi, Itunundu, Ilolo mpya, Malengamakali, Mgulilwa, Lyamgungwe, Lumuli, Ifunda, Kalenga, Nzihi, Migoli, Luhota, Mseka, Masaka

8,160,000

UNICEF DCDO

JUMLA 53,935,000

G: MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII (TASAF) MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI ( PSSN)

Page 72: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

72

LENGO NA SHUGHULI MAHALI GHARAMA CHANZO CHA

FEDHA

MSIMAMIZI

Kuwezesha wadau wa maendeleo kushiriki katika upangaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo

19 Kufanya Uhawilishaji wa fedha (Cash Transfer ) kwa kaya 8,144 katika vijiji 82 vilivyopo kwenye Mpango wa kunusuru kaya Maskini ifikapo June 2019

Vijiji 82 vilivyopo katika kata 28 1,844,253,266 TASAF DCDO , MRATIBU WA TASAF

21 Kuwezesha usimamizi na uhawilishaji fedha katika vijiji 82 kwa awamu 6 ikiwa ni posho za wanakamati wakati wa kuchukua fedha na kulipa,wawezeshaji ,wenyeviti wa vijiji na ununuzi wa shajala na mafuta katika ifikapo Juni 2019

Vijiji 82 katika kata 28 203,007,500 TASAF DCDO , MRATIBU WA TASAF

23 Kutoa mafunzo ya kuwajengea uwezo Kamati za usimamizi za miradi, wataalam na wadau mbalimbali wa utekelezaji wa mpango wa kunusuru kaya Maskini ifika June 2019

Kata 28 7,749,500 TASAF DCDO , MRATIBU WA TASAF

JUMLA NDOGO MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII ( TASAF ) 2,055,010,266

1 FEDHA ZA RUZUKU KUTOKA SERIKALINI (BLOCK GRANT) 6,026,417

2 MAPATO YA NDANI (OWNSOURCE) 29,936,735

3 MCHANGO WA MFUKO WA WANAWAKE NA VIJANA KUTOKA VYANZO VYA NDANI 10% 253,290,000

4 MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII TASAF 2,055,010,266

5 MCHANGO WA HALMASHAURI KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI (OWNSOURCE) 15,000,000

6 MPANGO WA MALEZI NA MAKUZI YA MTOTO (UNICEF) 53,935,000

JUMLA IDARA YA MAENDELEO YA JAMII + UNICEF+ TASAF 2,413,198,418

Page 73: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

73

4:12 KITENGO CHA TEHAMA

4:12:0 UTANGULIZI

Kitengo cha TEHAMA kwa mwaka wa fedha 2018/2019 kinatarajia kupata na kutumia kiasi cha Tsh. 37,805,740.00 kwaajili ya utekelezaji wa

shughuli za usimamiaji na uendeshaji wa mifumo yote ya Kompyuta, Uboreshaji wa Miundombinu ya mawasiliano ya Kompyuta, Kuwezesha vifaa

vya kugawanya mawasiliano ya internet, kuwezesha upatikanaji wa mtandao wa “Internet”, Tovuti na barua pepe za Halmashauri, kusimamia na

kuboresha Habari na Mahusiano katika Halmashauri pamoja na uendeshaji wa ofisi kwa ujumla. Fedha zitakazotumika na Kitengo zitatoka katika

vyanzo viwili, chanzo cha kwanza ni mapato ya ndani (Own source) ( Tshs 18,167,270 Kwaajili ya utekelezaji wa Shughuli za kawaida, na

Tsh 15,000,000 kwaajili ya miradi ya maendeleo. Chanzo cha pili ni Ruzuku Toka Serikali kuu (Block Grant) Tshs 4,638,470/=.

4:11:1 MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI YA KITENGO KWA MWAKA 2018/2019

(A) FEDHA ZA RUZUKU TOKA SERIKALI KUU (BLOCK GRANT)

LENGO SHUGHULI KIASI MAHALI CHANZO MHUSIKA

1. Kuboresha huduma za jamii na Kupunguza maambukizi ya Virusi vya UKIMWI

1. Kufanya mafunzo ya siku moja ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya Ukimwi kwa watumishi 6 wa kitengo cha TEHAMA ifikapo Juni 2019.

60,000 HQ BG DICTO

2. Kuimarisha mapambano dhidi ya Rushwa.

2. Kufanya mafunzo ya siku moja juu ya mapambano dhidi ya Rushwa kwa watumishi 6 wa kitengo cha TEHAMA ifikapo Juni 2019.

60,000 HQ BG DICTO

3. Kuwezesha Utawala bora na Huduma za kiutawala kwa watumishi.

3. Kuwezesha ukusanyaji, Uandaaji, Uandikaji na Usambazaji wa Habari za Halmashauri kwa jamii ifikapo Juni 2019

2,778,470 HQ BG DICTO

4. Kuwezesha huduma za jamii kwa watumishi wa kitengo cha TEHAMA kama kulipa Gharama za Umeme na simu.

1,740,000 HQ BG DICTO

JUMLA NDOGO

4,638,470

Page 74: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

74

(B) FEDHA ZA MAPATO YA NDANI (Matumizi ya utekelezaji wa shughuli za kawaida)

Kuwezesha Utawala bora na Huduma za kiutawala kwa watumishi

1. Kuwezesha mafunzo ya kitaalamu ya siku nne kwa watumishi wawili wa kitengo cha TEHAMA, Likizo kwa watumishi 6, shajala, gharama za simu na umeme, kuhudhulia matukio ya kitaifa na malipo ya kufanya kazi kwa muda wa ziada kwa watumishi 6 wa kitengo cha TEHAMA ifikapo Juni 2019.

5,700,000

HQ Mapato ya ndani

DICTO

2. Kuwawezesha watumishi wawili (2) wa kitengo cha TEHAMA kufanya maandalizi ya bajeti ya mwaka 2018/2019 ifikapo juni 2019.

910,000 HQ Mapato ya ndani

DICTO

4. Kuboresha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

3. Kuwezesha Tovuti ya Halmashauri, barua pepe na Upatikanaji wa Mtandao wa “Internet” ifikapo Juni 2019.

7,725,000 HQ Mapato ya ndani

DICTO

4. Kuwezesha ukarabati na ufanyaji kazi wa mifumo ya Kompyuta na vifaa vyote vya ki-elekitroniki ifikapo Juni 2019.

400,000

HQ Mapato ya ndani

DICTO

5. Kuwezesha upatikanaji wa kompyuta, program tumizi (Application software) na program za kuendeshea kompyuta (Operating system software, ifikapo juni 2019.

3,432,270 HQ Mapato ya ndani

DICTO

JUMLA NDOGO YA MAPATO YA NDANI ( MATUMIZI YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA KAWAIDA)

Tsh. 18,167,270

(C) FEDHA ZA MAPATO YA NDANI (Matumizi ya Utekelezaji wa miradi ya Maendeleo

Kuboresha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

Kuwezesha upatikanaji wa vifaa vya kugawanya mawasiliano ya Computer (Network Devices) kwaajli ya kukamilisha mradi wa GovNet ifikapo Juni 2019.

15,000,000 HQ Mapato ya ndani

DICTO

JUMLA NDOGO YA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI (UTEKELEZAJI WA MIRADI Tsh. 15,000,000

JUMLA NDOGO YA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI (MATUMIZI YA KAWAIDA Tsh. 18,167,270

JUMLA NDOGO YA FEDHA ZA RUZUKU TOKA SERIKALI KUU Tsh. 4,638,470

JUMLA KUU YA FEDHA KWA VYANZO VYOTE Tsh. 37,805,740

Page 75: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

75

4:13 IDARA YA FEDHA

IDARA YA FEDHA: MPANGO NA BAJETI YA IDARA 2018/19 Idara ya fedha na biashara kwa mwaka wa fedha 2018/2019 inategemea kutumia jumla ya Tshs 1,065,895,946 kwa ajili ya shughuli za uendeshaji na Miradi ya Maendeleo, kati ya fedha hizo Tshs 1,016,577,159 zinatokana na mapato ya ndani na Tshs 49,318,787 zinatokana na Ruzuku. Fedha za shughuli za uendeshaji ni Tshs. 180,881,767 na Miradi ya Maendeleo ni Tshs 885,014,179 1.1 FEDHA UTAWALA – MAPATO YA NDANI

NA LENGO LA MWAKA

SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA MSIMAMIZI

1 Kuboresha huduma za Jamii na kupunguza maambukizi ya VVU/Ukimwi

Kuendesha kikao cha siku 1 juu ya uhamasishaji wa kupima VVU/Ukimwi na kupata ushauri nasaa ifikapo Juni 2019

H/0 Makao makuu ya Wilaya

500,000

Mapato ya ndani (Own source)

DT

2 Kukuza uelewa wa watumishi wa idara juu ya ubaya na athari za rushwa

Kuandaa mafunzo kwa watumishi 19 wa Idara ya fedha kwa siku 1 juu ya mapambano dhidi ya rushwa ifikapo Juni 2019

Makao makuu ya Wilaya

140,000.00

Mapato ya ndani (Own source)

DT

3 Kudhibiti na kulipa madeni ya Halmashauri

Kuwezesha kulipa madeni ya Halmashauri ifikapo Juni 2019

Makao makuu ya Wilaya

6,465,200 Mapato ya ndani (Own source)

DT

JUMLA YA OWNSOURCE 7,105,200

1.2 FEDHA: KITENGO CHA HESABU ZA MWISHO

NA LENGO LA MWAKA

SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA MSIMAMIZI

1 Kuwezesha kuboresha taarifa za fedha

Kuandaa taarifa ya fedha za mwaka 2017/2018 ifikapo Juni 2019 (Ununuzi wa Mafuta,Kujikimu shajala , matangazo na ushauri wa kitaalam.

Makao makuu ya Wilaya

21,424,875 Mapato ya ndani (Own source)

DT

Jumla Kitengo cha Hesabu za Mwisho 21,424,875

Page 76: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

76

1.3 FEDHA: KITENGO CHA MATUMIZI

NA LENGO LA MWAKA

SHUGHULI ILIYOPANGWA

MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMA MIZI

1 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi

Kuwezesha maandalizi ya taarifa za fedha za mwezi, robo na mwaka mzima na ifikapo Juni 2019 (Ununuzi wa shajala na masaa ya ziada)

Makao makuu ya Wilaya

8,675,000 Mapato ya ndani (Own source)

DT

2 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi

Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na kuboresha maslahi ya watumishi 19 ya kila mwezi (Ununuzi wa shajala, samani za ofisi, umeme, simu) ifikapo Juni 2019

Makao makuu ya Wilaya

42,541,502.73 Mapato ya ndani (Own source)

DT

3 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi

Kuwezesha mafunzo ya kitaaluma kwa watumishi 6 wa Idara ifikapo Juni 2019

Makao makuu ya Wilaya

5,453,928.25 Mapato ya ndani (Own source)

DT

4 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi

Kuwezesha mafunzo ya msaada wa kitaalam kwa watumishi wa idara ya fedha 6 juu ya mfumo wa Epicor 0.9 ifikapo juni 2019

Makao makuu ya Wilaya

4,530,000

Mapato ya ndani (Own source)

DT

JUMLA MATUMIZI 61,200,431

1.4 FEDHA KITENGO CHA MAPATO

NA LENGO LA MWAKA

SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii.

Kuwezesha ukusanyaji wa mapato, ufuatiliaji na usimamizi katika kata 28 na vijji 133 ifikapo Juni 2019, Ununuzi wa risiti za mashine za kukusanyia mapato(POS), diesel, matengenezo ya gari, nauli na kukijimu kwa mawasilisho mapato

Makao makuu ya Wilaya

25,324,886 Mapato ya ndani (Own source) na

DT

JUMLA MAPATO 25,324,886

Page 77: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

77

1.5 FEDHA KITENGO CHA BIASHARA

NA LENGO LA MWAKA

SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi

Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na maslahi ya watumishi 2 wa kitengo cha biashara ifikapo Juni 2019 (ununuzi wa Diesel,Shajala, Ushauri wa kitaalam).

Makao makuu ya

Wilaya

5,385,000 Mapato ya Ndani

DTO

2 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi

Kuwezesha vikao 4 kufanyika kwa Mabaraza ya Biashara ifikapo Juni 2019.

Makao makuu ya Wilaya

1,132,038 Mapato ya Ndani DTO

3 Kuwezesha shughuli za uwezeshaji wa wananchi kiuchumi kwa muongozo wa Baraza la Taifa

Kuwezesha Mikutano 28 ya madawati ya uwezeshji, Semina, ushauri wa kitaalam, usimamizi na ufuatiliaji wa shughuli za kila siku kwa wananchi

Makao makuu ya Wilaya/ Kata na

Vitongoji

9,990,550 Mapato ya Ndani DTO

JUMLA BIASHARA 16,507,588

JUMLA KUU YA MAPATO YA NDANI

131,562,980

1.1 FEDHA UTAWALA - RUZUKU

NA LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA MSIMAMIZI

1 Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii.

Kuchangia vijiji 133, 20% ya mapato yatokanayo na fidia ya vyanzo vilivyofutwa ifikapo Juni 2019

Makao makuu ya Wilaya

31,179,070 Ruzuku DT

JUMLA UTAWALA 31,179,070

1.2 FEDHA: KITENGO CHA HESABU ZA MWISHO

NA LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA MSIMAMIZI

Kuwezesha maandalizi ya taarifa za za mahesabu za mwisho wa mwaka

Kuandaa taarifa mahesabu ya mwisho wa mwaka(Final account) ifikapo Juni 2019

Makao Makuu ya Wilaya

7,421,300 Ruzuku

JUMLA KITENGO CHA HESABU ZA MWISHO 7,421,300

Page 78: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

78

1.3 FEDHA KITENGO CHA MAPATO

NA LENGO LA MWAKA

SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii.

Kuwezesha ukusanyaji wa mapato, ufuatiliaji na usimamizi katika kata 28 na vijji 133 ifikapo Juni 2019

Makao makuu ya Wilaya

4,692,000 Ruzuku DT

JUMLA KITENGO CHA MAPATO 4,692,000

1.4 FEDHA KITENGO CHA BIASHARA

NA LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuboresha kwa upatikanaji huduma bora kwa jamii

Kufanya ukaguzi wa leseni za biashara 500 ifikapo Juni 2019

Makao makuu ya Wilaya

4,024,917 Ruzuku DTO

2 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi

Kuwezesha uandaaji na uwasilishaji wa taarifa za mwezi, robo mwaka, na mwaka mzima ifikapo Juni2019

Makao makuu ya Wilaya

2,001,500 Ruzuku DTO

JUMLA KITEMGO CHA BIASHARA

6,026,417

JUMLA KUU YA RUZUKU 49,318,787

1.1 FEDHA UTAWALA – MIRADI YA MAENDELEO

NA LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii.

Kuchangia , Mfuko wa Serikali za Mitaa na miradi ya maendeleo ifikapo Juni 2019

Makao makuu ya Wilaya

16,000,160.00 Mapato ya ndani DT

2 Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii.

Kuchangia Vijiji 133 asilimia 20% ya mapato ya ndani ifikapo Juni 2019

Makao makuu ya Wilaya

480,288,492.11 Mapato ya ndani DT

Page 79: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

79

3 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi wa watumishi

Kuwezesha kulipa mkopo wa ununuzi wa Caterpillar ifikapo Juni 2019

Makao makuu ya Wilaya

72,725,528.50 Mapato ya ndani DT

JUMLA FEDHA UTAWALA 569,014,180.61

1.2 FEDHA KITENGO CHA MAPATO

NA LENGO LA MWAKA

SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii.

Kuwezesha ununuzi na usambazaji wa vifaa vya ukusanyaji wa mapato katika Kata 28 Vijiji 133 ifikapo Juni 2019

Makao makuu ya Wilaya

30,000,000 Mapato ya ndani DT

Kuwezesha ada(Commission fee) ya Mawakala wanaokusanya Mapato ifikapo juni 2019

Makao makuu ya Wilaya

246,000,000 Mapato ya ndani DT

JUMLA KITENGO CHA MAPATO 276,000,000

1.3 FEDHA KITENGO CHA BIASHARA

NA LENGO LA MWAKA

SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuboresha mazingira ya uwekezaji wa viwanda

Kuwezesha mafunzo ya uwekezaji,kushawishi vijiji kutenga maeneo ya uwekezaji,kuibua viwanda bubu na kutangaza fursa zilizopo Halmashauri ya wilaya ifikapo juni 2019

Makao makuu ya Wilaya,Kata na

vitongoji

40,000,000 Mapato ya ndani DTO

JUMLA KITENGO CHA BIASHARA

40,000,000

JUMLA KUU YA MAENDELEO 885,014,179

JUMLA KUU IDARA YA FEDHA NA BIASHARA

1,065,895,946

Page 80: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

80

4:14 IDARA YA MIFUGO NA UVUVI

Idara ya Mifugo na Uvuvi inatarajia kutumia jumla ya Tshs, 101,485,244.83 kwa ajili ya shughuli za maendeleo na matumizi ya kawaida kwa mchanganuo ufuatao;

Ruzuku ya maendeleo (LGCDG) Tshs 16,000,000; Matumizi ya kawaida (OC-ruzuku serikali kuu) Mifugo Tshs, 21,031,600.00 na Jumla ya mapato ya ndani Tshs 58,011,223.83 (matumizi ya miradi ya maendeleo Tshs 34,907,658 na matumizi ya kawaida Tshs 23,103,565.83. Mgawanyo wa Kisekta; Mifugo Tshs, 84,824,100.00 na Uvuvi Tshs, 16,661,144.83.

MIFUGO

A. MIFUGO- RUZUKU YA MAENDELEO YA LGCDG

Na Lengo Shughuli Mahali Gharama Chanzo Msimamizi

1 Kuwezesha ukarabati wa majosho 2 katika vijiji 2 vya Itengulinyi na Ilolompya ifikapo Juni 2019.

Itengulinyi na Ilolompya

6,000,000.00 Ruzuku-CDG DLFO

2 Kuwezesha ujenzi wa birika 1 la kunyweshea maji mifugo katika kijiji cha Mboliboli ifikapo Juni 2019.

Mboliboli 6,000,000.00 Ruzuku-CDG DLFO

3 Kuwezesha ukarabati wa mfumo wa maji bomba katika machinjio ya kisasa ya Nzihi ifikapo Juni 2019.

Nzihi 4,000,000.00 Ruzuku-CDG DLFO

Jumla Mifugo LGCDG 16,000,000

4 Kuboresha hali ya watumishi, Jinsia na kujenga uwezo kwa jamii

Kuboresha ustawi wa watumishi 41 na stahiki zao (Likizo, uhamisho, tiba, zawadi za mei mosi na mazishi) ifikapo Juni 2019.

Makao makuu na kata 28

7,580,000.00 Ruzuku Serikali Kuu

DLFO

5 Kuwezesha uendeshaji wa ofisi ya mifugo na uvuvi (matengenezo ya gari, shajala, dizeli, petroli, bili za maji, simu na umeme, na kulipa madeni ya idara) ifikapo Juni 2019

Makao makuu 4,065,000.00 Ruzuku Serikali Kuu

DLFO

Page 81: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

81

6 Kuwezesha ufuatiliaji na usimamizi wa shughuli za mifugo na uvuvi kila robo mwaka na katika wa ARDS web portal ifikapo Juni 2019.

Makao makuu na kata zote 28

9,386,600.00 Ruzuku Serikali Kuu

DLFO

Jumla Mifugo OC (Grants) 21,031,600.00

C: MIFUGO-Mpango na Bajeti mapato ya ndani (Own source) 2018/2019

7 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii

Kutoa elimu ya masuala ya maambukizi na kujikinga na UKIMWI kwa watumishi 41 ifikapo Juni 2019.

Makao makuu na kata zote 28

400,000.00 mapato ya ndani

DLFO

8 Kutoa chanjo ya magonjwa ya mlipuko ya mifugo kwa Ng’ombe 5000 dhidi ya Ugonjwa wa Homa ya mapafu (CBPP), ng’ombe 560 dhidi ya ugonjwa wa Chambavu (BQ), Mbwa 12,500 dhidi ya kichaa cha Mbwa na Kuku 570,500 dhidi ya kideri (NCD) ifikapo Juni 2019.

Vijiji vyote 133 2,822,421.00 Mapato ya ndani

DLFO

9 Kuwezesha uhamasishaji wa viwanda katika uendelezaji wa mnyororo wa thamani katika mifugo na mazao yake na kuboresha mazingira rafiki ya uwekezaji wa viwanda katka kata 16 ifikapo Juni 2019.

Kata za Migoli, Idodi, Nzihi, Ifunda, Kalenga, Mgama, Masaka, Itunundu, Lumuli, Magulilwa, Luhota, Kihorogota, Nyang’oro, Malengamakali, Ulanda na Kising’a.

620,000.00 Mapato ya ndani

DLFO

10 Kuboresha hali ya watumishi, Jinsia na kujenga uwezo kwa jamii

Kuwezesha ushiriki wa wafugaji na wataalamu kwenye maadhimisho nanenane za Kiwilaya Kikanda na kitaifa ifikapo Juni 2019.

Wilayani, kikanda na kitaifa

2,600,000.00 Mapato ya

ndani

DLFO

Jumla mifugo mapato ya ndani

6,442,421.00

Page 82: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

82

E: MIFUGO-Mpango na Bajeti ya maendeleo mapato ya ndani (Development Own source) 2018/2019

11 Kuwezesha ujenzi wa mnada wa awali wa mifugo wa Igingilanyi ifikapo Juni 2019.

Igingilanyi 30,000,000.00 Mapato ya

ndani

DLFO

12 Kutoa chanjo ya magonjwa ya mlipuko ya mifugo kwa Ng’ombe 2500 dhidi ya Ugonjwa wa Midomo na kwato (FMD), Mbwa 5000 dhidi ya kichaa cha Mbwa na Kuku 237,890 dhidi ya kideri (NCD) ifikapo Juni 2019.

Vijiji vyote 133 4,907,658.00 Mapato ya

ndani

DLFO

Jumla mifugo mapato ya ndani ya maendeleo

34,907,658.00

UVUVI

UVUVI-Mpango na Bajeti ya Matumizi ya Kawaida (OWNSOURCE)

13 Kuboresha upatikanaji wa huduma kwa usawa katika jamii

Kuwezesha uendeshaji wa ofisi na ustawi za watumishi 6 wa uvuvi (Shajala, dizeli, bili za maji na umeme na matengenezo ya gari na boti) ifikapo Juni 2019

makao makuu 8,750,044.83 Mapato ya ndani

DLFO

14

Kuwezesha na kutoa mafunzo ya siku 2 kwa watu 50 katika vikundi vya 16 vya BMUs juu ya uendeshaji shughuli za uvuvi na ukusanyaji mapato katika bwawa la Mtera ifikapo Juni 2019

Mtera 825,000.00 Mapato ya ndani

DLFO

15

Kuendesha operesheni za kudhibiti uvuvi haramu kwa kufanya doria 160 kwa mwaka katika check pointi 2, bwawa la Mtera na Kibebe ifikapo Juni 2019

Mtera, Kibebe na vituo vya ukaguzi

6,161,100.00 Mapato ya ndani

DLFO

Page 83: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

83

16

Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa wafugaji samaki 50 juu ya ufugaji wa samaki katika mabwawa ya kuchimba katika vijiji 7 vya Itunundu, Wasa, Mkumbwanyi, Chamgogo, Tosamaganga, Mkombilenga na Isaka ifikapo Juni 2019.

Itunundu, Kihanga, Ilolompya, Wasa, Kalenga, Idodi, Masaka na Mgama.

925,000.00 Mapato ya ndani

DLFO

Jumla OC Uvuvi 16,661,144.83

Jumla ya mapato ya ndani mifugo &Uvuvi

23,103,565.83

JUMLA KUU MIFUGO NA UVUVI

101,485,244.83

4:15 IDARA YA MAJI

Idara ya Maji katika mwaka 2018/2019 inatarajia kupata na kutumia jumla ya Tshs 374,529,000 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo na uendeshaji wa ofisi. Fedha zitakazotumika na Idara zitatoka katika vyanzo vya Ruzuku ya Serikali ya matumizi ya kawaida Tsh.17,813,000 , fedha za maendeleo ya miradi ya maji WSDP Tsh 233,686,000 na UNICEF Tsh 123,030,000 kama inavyoonesha katika jedwari lifuatalo

A: WATER SECTOR DEVELOPMENT PROGRAM – NWSSP

NA LENGO KWA MWAKA

SHUGHULI ILIYOPANGWA

MAHALI

GHARAMA

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha kufanya usimamizi wa ujenzi wa miradi ya maji 4 (Pawaga,Izazi, Migoli, miradi ya jumla ya (Isupilo, itengulinyi na lumuli,) inayoendelea kujengwa hadi ifikapo Juni 2019

Izazi, Migoli,Pawaga na Isupilo

21,600,000.00

WSDP DWE

Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha kuendelea na ujenzi wa mradi wa Pawaga Mlenge hadi ifikapo Juni 2019

Kata ya Mlenge 80,000,000.00

WSDP DWE

Page 84: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

84

3 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha kuendelea na ujenzi wa mradi wa maji vijiji vya Izazi Mandani hadi ifikapo Juni 2019

Izazi na Mnadani 45,619,000.00

WSDP DWE

4 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha kuendelea na ujenzi wa mradi wa maji vijiji vya Migoli Mtera hadi ifikapo Juni 2019

Migoli na Mtera 50,000,000.00

WSDP DWE

5 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha kuendelea na ujenzi wa mradi wa maji vijiji vya Isupilo, Itengulinyi na Lumuli hadi ifikapo Juni 2019

Isupilo, Itengulinyi na Lumuli

60,000,000.00

WSDP DWE

6 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kufanya ukarabati wa vituo 20 vya kuchotea maji vilivyopo katika mradi wa maji Isimani na ukarabati wa tanki la maji Mwambao chini ya programu ya Payment by Result (PBR) ifikapo Juni 2019

Tarafa ya isimani 20,000,000.00

WSDP DWE

7 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha Kufanya uendeshaji wa mafunzo ya vyombo vya watumiaji maji 5 (Muwimbi, Kiponzero, Mgera na Mlenge) katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ifikapo Juni 2019

Jumuiya 5 6,900,000 WSDP DWE

8 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha ununuzi na ufungaji wa mfumo wa pampu na mfumo wa umeme jua katika mradi wa maji wa kijiji cha Mgera ifukapo Juni 2019

Mgera 44,000,000 WSDP DWE

9 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha timu ya wilaya ya Maji na usafi wa mazingira kuhudhuria vikao mbali mbali vya ngazi vya wilaya , mkoa na kitafa hadi ifikapo Juni 2019

Iringa, Mbeya, DSM na Arusha

2,320,000 WSDP DWE

10 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha Idara ya maji kulipa madeni inayodaiwa na wazabuni mbali mbali ifikapo Juni 2019

Makao makuu 900,000 WSDP DWE

11 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha kupima ubora maji katika vyanzo 8 vya maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa ifikapo Juni 2019

Pawaga, Isimani, ,Magubike, Mgera na Tanangoz kalenga

3,800,000 WSDP DWE

Page 85: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

85

12 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha kazi ya usimamizi na ushauri wa mradi wa maji Pawaga Mlenge kwa kumlipa Mtaalam Mshauri (Consultant) ifikapo Juni 2019

Kata ya Malenge 40,000,000 WSDP DWE

Kuwezesha Ukarabati wa tanki la maji kijiji cha Mwambao ifikapo Juni 2019

Mwambao 10,000,000 WSDP DWE

JUMLA YA BAJETI YA MIRADI MAENDELEO – NWSSP 385,319,000

LENGO KWA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha upimaji wa maji ardhini (hydrogeology survey) kwa shule ya msingi Kibena ifikapo Juni 2019

Kibena 2,000,000.00 UNICEF DWE

2 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha uchimbaji wa kisima kirefu katika shule ya msingi Kibena hadi ifikapo Juni 2019

Kibena 23,800,000.00 UNICEF DWE

3 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha ununuzi na ufungaji wa pampu inayotumia umeme jua pamoja na miundombinu ya maji ikiwemo tanki na vituo vya kuchotea maji kwa shule ya msingi Kibena ifikapo Juni 2019

Kibena 32,050,000

UNICEF DWE

4 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha usimamizi wa kazi za upimaji maji ardhini shule 1, Uchimbaji kisima 1 na ufungaji wa mfumo wa pump, ujenzi wa miundombinu ya maji ya mtiririko na usambazaji wa maji katika shule za msingi 2 Kibena na Lumuli ifikapo Juni 2019 (Ununuzi wa mafuta, shajala na posho)

Kibena na Lumuli 6,380,000 UNICEF DWE

Page 86: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

86

5 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha kufanya mafunzo ya siku 3 juu ya uendeshaji wa miradi ya maji mashuleni kwa wajumbe 8 juu ya uendeshaji wa miradi ya maji kwenye maeneo ya shule za msingi Kibena na Lumuli ifikapo Juni 2019

Kibena na Lumuli 3,310,000.00 UNICEF DWE

6 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha ujenzi wa skimu ndogo ya maji ya mtiririko kwa shule ya msingi ya Lumuli

Lumuli 34,300,000 UNICEF DWE

7 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha ujenzi wa vinawia mikono kwa makundi kwa shule za Msingi Mboliboli, Itunundu, Magombwe, Chamgogo, Kimande, Luganga, Mibikimitali, Mkombilenga, Mbuyuni na Isele chini ya program ya Fit for School (F4S) ifikapo Juni 2019

Mboliboli, Itunundu, Magombwe, Chamgogo, Kimande, Luganga, Mibikimitali, Mkombilenga, Mbuyuni na Isele

10,000,000

UNICEF DWE

8 Kuongeza upatikanaji wa huduma bora kwa kuboresha miundombinu

Kuwezesha kufanya mafunzo rejea kwa kamati za maji za shule 21zilizopata ufadhili wa kujengewa miundombinu ya maji na UNICEF hadi ifikapo Juni 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

11,280,000 UNICEF DWE

JUMLA –UNICEF 123,030,000

JUMLA KUU FEDHA ZA MAENDELEO 508,169,000

C. RUZUKU YA MATUMIZI YA KAWAIDA

LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1

Kuongeza huduma za jamii na kupunguza maambukizi ya VVU/UKIMWI

Kuwezesha kutoa chakua cha lishe kwa watumishi 2 wa Idara ya maji VVU ifikapo Juni 2019

Makao makuu 1,200,000 Ruzuku DWE

2

Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma za kijamii na kuendeleza mikakati ya mapambano dhidi ya rushwa.

Kufanya mafunzo ya siku 2 kwa watumishi 18 wa idara ya maji juu ya mapambano dhidi ya rushwa ifikapo juni 2019

Page 87: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

87

3

Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii

Kuwezesha kumsaidia mtumishi mmoja masomoni kulipa karo ya shule ifikapo Juni 2019

Makao makuu 1,000,000 Ruzuku DWE

4

Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii

Kuwezesha uendeshaji wa ofisi ya mhandisi wa maji kwa kununua (mafuta, shajala, matengenezo ya gari, kulipa maji na umeme) ifikapo Juni 2019

Makao makuu 13,614,000 Ruzuku DWE

5

Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii

Kuwezesha watumnishi 18 wa idara ya maji kushiriki katika maadhimisho mbali mbali(wiki ya maji, wiki ya mazingira na siku ya wakulima nane nane) ifikapo Juni 2019

Makao makuu 5,140,000 Ruzuku DWE

6

Kuboresha upatikanaji wa huduma bora kwa jamii

Kuwezesha ukusanyajina uboreshaji wa takwimu za vituo vya maji vilivyopo ndani ya Halmashauri ifikapo Juni 2019

Vijiji 133 1,200,000 Ruzuku DWE

JUMLA KUU FEDHA ZA RUZUKU 22,154,000

JUMLA KUU IDARA YA MAJI 530,323,000

4:16 IDARA YA ELIMU MSINGI MPANGO NA BAJETI KWA KIPINDI CHA MWAKA 2018/2019

Idara ya Elimu Msingi kwa kipindi cha Mwaka 2018/2019 inatarajia kutumia kiasi cha fedha cha Tshs. 2,087,363,014.00 kutokana na vyanzo vya mapato vifuatavyo : Serikali kuu Tshs. 1,223,620,000.00 Mapato ya ndani Tshs. 20,284,964.42, UNICEF(EQUAL) Tshs. 458,670,000.00 na UNICEF (SWASH) Tshs. 342,440,000.00 Muhtasari wa shughuli zilizopangwa kutekelezwa na kiasi cha fedha zilizotengwa ni kama zinavyooneshwa hapa chini.

(A) ELIMU MSINGI -ELIMU YA WATU WAZIMA

NA. LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI

1 kuongeza idadi ya wajifunzaji kutoka 600 hadi 1000 katika vituo 33 ifikapo Juni 2022

Kufanya ufuatiliaji na kusimamia utoaji wa honoraria kwa wawezeshaji katika vituo 33 vya watu wazima ifikapo Juni 2019.

VITUONI 1,500,000 SERIKALI KUU

AFISA ELIMU MSINGI

Page 88: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

88

2 kuongeza idadi ya wajifunzaji kutoka 600 hadi 1000 katika vituo 33 ifikapo Juni 2022

Kuwezesha na kuratibu JUMA la ELIMU YA WATU WAZIMA ifikapo Juni 2019

TARAFA YA PAWAGA

2,000,000 SERIKALI KUU

AFISA ELIMU MSINGI

JUMLA NDOGO 3,500,000

(B) ELIMU -UTAWALA

NA. LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI

3 Kuboreshwa kwa utoaji elimu bora,vifaa na Mfumo wa ukaguzi kwa shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022.

Kutoa mafunzo ya siku 2 kwa Maafisa na Wasaidizi 20 wa Idara ya Elimu juu ya kuzuia na kupambana na rushwa ifikapo Juni 2019

MAKAO MAKUU 450,000.00 SERIKALI KUU

AFISA ELIMU MSINGI

4 Kuboreshwa kwa utoaji elimu bora,vifaa na Mfumo wa ukaguzi kwa shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022.

Kufanya usimamizi na ufuatiliaji wa taaluma kwa shule za awali 133 na shule za msingi 148 ifikapo Juni 2019 (Posho,Mafuta,Shajala)

SHULENI 9,899,000.00

SERIKALI KUU

AFISA ELIMU MSINGI

5 Kuboreshwa kwa twakwimu na usimamizi wa fedha katika shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022

Kuwezesha ukusanyaji wa taarifa za uandikishaji, utunzaji wa kumbukumbu na uwasilishaji wa TSM/TSA/TWM kwenye mamlaka husika ifikapo Juni 2019.

MAKAO MAKUU 13,527,000.00

SERIKALI KUU

AFISA ELIMU MSINGI

7 Kuboreshwa kwa utoaji elimu bora,vifaa na Mfumo wa ukaguzi kwa shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022.

Kuwezesha ustawi wa watumishi wa idara , na gharama za uendeshaji wa ofisi ifikapo Juni 2019.(Matengenezo ya magari,samani za ofisi,ankara mbalimbali,madeni ya wazabuni na Likizo)

MAKAO MAKUU 12,840,000.00

SERIKALI KUU

AFISA ELIMU MSINGI

JUMLA NDOGO 36,879,000.00

Page 89: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

89

(C) ELIMU MSINGI

NA. LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI

1 Kupunguza maambukizo ya VVU&UKIMWI kwa wanafunzi na walimu 1500 ifikapo Juni 2022

Kutoa lishe bora kwa walimu 40 wanaoishi na VVU&UKIMWI ifikapo Juni 2019.

SHULENI 4,000,000.00 SERIKALI KUU

AFISA ELIMU MSINGI

2 Kuboreshwa kwa utoaji elimu bora,vifaa na Mfumo wa ukaguzi kwa shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022.

Kuwezesha kufanyika kwa ukaguzi wa shule za msingi 50 kati ya 148 ifikapo Juni 2019 (Posho na mafuta kwa idara ya ukaguzi)

SHULE 50 ZA MSINGI

7,560,000.00 SERIKALI KUU

AFISA ELIMU MSINGI

3 Kuboreshwa kwa Ustawi wa walimu 1,500 ifikapo Juni 2022.

Kuwezesha uboreshaji wa ustawi wa walimu 1500 ifikapo Juni 2019. (Likizo,Uhamisho,Matibabu,Mafunzo,Mazishi na Motisha)

SHULENI 193,641,000.00 SERIKALI KUU

AFISA ELIMU MSINGI

4 Kuboreshwa kwa Ustawi wa walimu 1,500 ifikapo Juni 2022.

Kuwezesha ufanyikaji wa mitihani ya darasa la saba na darasa la nne na ufundi stadi ifikapo Juni 2019

SHULE 148 ZA MSINGI

242,315,000 SERIKALI KUU

AFISA ELIMU MSINGI

JUMLA NDOGO 447,516,000.00

JUMLA YA MAPENDEKEZO YA RASMU YA BAJETI ELIMU WATU WAZIMA, UTAWALA NA MSINGI TSHS. 487,732,000.00 (D) MAPENDEKEZO YA RASMU YABAJETI YA ELIMU YA MSINGI BILA MALIPO (FREE PRIMARY EDUCATION)

NA. LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI

1 Kuboreshwa kwa Ustawi wa walimu 1,500 ifikapo Juni 2022.

Kuwezesha malipo ya posho ya madaraka kwa walimu wakuu 148 na waratibu Elimu kata 28 ifikapo Juni 2019

SHULE 148 ZA MSINGI

355,200,000 SERIKALI KUU

AFISA ELIMU MSINGI

2 Kuboreshwa kwa utoaji elimu bora,vifaa na Mfumo wa ukaguzi kwa shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022.

Kuwezesha ugawaji wa fedha za ada mbadala (Capitation) kwa shule za msingi 148 ifikapo Juni 2019.

SHULE 148 280,696,000.00 SERIKALI KUU

AFISA ELIMU MSINGI

Page 90: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

90

3 Kuboreshwa kwa utoaji elimu bora,vifaa na Mfumo wa ukaguzi kwa shule za msingi 160 ifikapo Juni 2022.

Kuwezesha uendeshaji wa shule ya msingi Kipera kwa watoto wenye mahitaji maalum kwa kuwapatia chakula kifikapo Juni 2019.

KIPERA S/M 39,992,000.00 SERIKALI KUU

AFISA ELIMU MSINGI

JUMLA NDOGO 675,888,000.00

(E) RUZUKU SERIKALI KUU (CDG)

NA. LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI

9 Kuboresha miundombinu na upatikanaji wa huduma za kijamii

Kuwezesha ujenzi wa miundo mbinu (madarasa katika shule za msingi za kidilo, Chamgogo, ibogo lwato, ibumila na kisilwa) ifikapo Juni 2019

SHULE YA MSINGI KIPERA

60,000,000.00 CDG AFISA ELIMU MSINGI

JUMLA NDOGO 60,000,000.00

JUMLA KUU YA ELIMU WATU WAZIMA,UTAWALA NA MSINGI

(E) UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO

NA.

LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI

1 Kuboreshwa na kuendeleza kwa shughuli za kiutamaduni ifikapo Juni 2022

Kuwezesha kuhudhuria mkutano mkuu wa mwaka wa utamaduni kwa Afisa elimu utamaduni ifikapo Juni 2019

HALMASHAURI YA WILAYA

707,000.00 MAPATO YA NDANI

AFISA ELIMU MSINGI

2 Kuboreshwa na kuendeleza kwa shughuli za kiutamaduni ifikapo Juni 2022

Kuratibu vikundi vya sanaa katika mapokezi ya wageni wa kitaifa ifikapo Juni 2019

HALMASHAURI YA WILAYA

2,381,000.00 MAPATO YA NDANI

AFISA ELIMU MSINGI

3 Kuboreshwa na kuendeleza kwa shughuli za kiutamaduni ifikapo Juni 2022

Kuwezesha kushiriki Maadhimisho ya sherehe mbalimbali za Kitaifa ifikapo Juni 2019

HALMASHAURI YA WILAYA

450,000.00 MAPATO YA NDANI

AFISA ELIMU MSINGI

Page 91: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

91

4 Kuboreshwa na kuendeleza kwa shughuli za kiutamaduni ifikapo Juni 2022

Kutoa mafunzo ya siku 1 kwa Vikundi 4 vya Sanaa ifikapo Juni 2019

HALMASHAURI YA WILAYA

700,000.00 MAPATO YA NDANI

AFISA ELIMU MSINGI

JUMLA NDOGO 3,080,000.00

(F) MICHEZO

NA.

LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI

1 Kuboreshwa kwa Michezo kwa watu wazima na vijana 350 ifikapo juni 2022

Kuratibu na kuwezesha Ushiriki wa michezo ya UMITASHUMTA kwa watumishi 4 ifikapo Juni 2019

MAKAO MAKUU

3,700,964.00 MAPATO YA NDANI

AFISA ELIMU MSINGI

2 Kuboreshwa kwa Michezo kwa watu wazima na vijana 350 ifikapo juni 2022

Kuwezesha ushiriki wa watumishi 40 wa Halmashauri katika michezo ya SHIMISEMITA ifikapo Juni 2019

DODOMA 4,108,000.00 MAPATO YA NDANI

AFISA ELIMU MSINGI

3 Kuboreshwa kwa Michezo kwa watu wazima na vijana 350 ifikapo juni 2022

kuwezesha Kushiriki kwa Afisa Michezo katika ufunguzi na uzimaji wa Mwenge wa Uhuru ifikapo Juni 2019

DODOMA 6,300,000.00 MAPATO YA NDANI

AFISA ELIMU MSINGI

4 Kuboreshwa kwa Michezo kwa watu wazima na vijana 350 ifikapo juni 2022

Kuwezesha na kuratibu shughuli za Mwenge wa Uhuru ifikapo Juni 2019

HALMASHAURI YA WILAYA

5,065,050.00 MAPATO YA NDANI

AFISA ELIMU MSINGI

JUMLA NDOGO 19,174,014.00

JUMLA NDOGO UTAMADUNI NA MICHEZO 22,254,014.00

(G) ELIMU MSINGI –UNICEF

NA.

LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI BAJETI CHANZO MSIMAMIZI

1 Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.

Kuendesha mafunzo ya siku 3 kwa walimu 20 wa shule za sekondari juu ya TUSEME na viongozi wa Wanafunzi 148 kuhusu mbinu na stadi za maisha ifikapo Juni 2019.

SHULENI 145,285,000.00 UFADHILI WA UNICEF

AFISA ELIMU MSINGI

Page 92: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

92

2 Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.

Kuendesha mafunzo ya siku 7 kwa walimu wa shule za Misingi 148 kuhusu ushauri nasaha,kujikinga dhidi ya VVU/UKIMWI na unyanyasaji kutoka shule 74 zilizochaguliwa ifikapo Juni 2019.

IFUNDA 104,880,000.00

UFADHILI WA UNICEF

AFISA ELIMU MSINGI

3 Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.

Kuendesha mafunzo ya siku 1 kwa kamati za shule 148 juu ya uongozi na uendeshaji wa kamati za shule, WSDP na uwajibikaji ifikapo Juni 2019.

IFUNDA 37,000,000.00

UFADHILI WA UNICEF

AFISA ELIMU MSINGI

4 Kuborshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.

Kuendesha mafunzo ya siku 10 kwa walimu 39 wa IPOSA ifikapo Juni 2019.

IFUNDA 52,060,000.00

UFADHILI WA UNICEF

AFISA ELIMU MSINGI

5

Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo juni 2022.

Kuendesha mafunzo ya siku 6 kwa viongozi wa TUSEME 60 wa shule za sekondari juu ya mbinu za stadi za maisha ifikapo juni 2019.

IFUNDA 33,645,000.00 UFADHILI WA UNICEF

AFISA ELIMU MSINGI

6 Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.

Kuwawezesha mafunzo ya siku 2 kuhusu tathimini ya elimu jumuishi katika shule za msingi 148 na kufanya ufuatiliaji wa shughuli kila robo mwaka ifikapo Juni 2019.

SHULENI 8,890,000.00 UFADHILI WA UNICEF

AFISA ELIMU MSINGI

8 Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.

Kuwezesha kufanyika kwa vikao 2 vya ufuatiliaji na vikao rejea kuhusu elimu maalum ifikapo Juni 2019.

SHULENI 50,450,000.00

UFADHILI WA UNICEF

AFISA ELIMU MSINGI

Page 93: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

93

9 Kuboreshwa kwa mazingira ya kutolea taaluma na vifaa vya kufundishia kwa shule 148 za msingi ifikapo Juni 2022.

Kufanya mkutano wa siku 1 kwa walimu na wadau 106 wa IPOSA ifikapo Juni 2019.

IFUNDA 26,460,000.00

UFADHILI WA UNICEF

AFISA ELIMU MSINGI

458,670,000.00

IDARA YA ELIMU (SWASH) SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kuboreshwa kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022 ,

Kufanya utafiti wa upatikanaji wa eneo la uchimbaji visima katika shule za Msuluti na Kibena ifikapo Juni 2019

Msuluti na Kibena 4,000,000.00

UNICEF DE0 (P)

2 Kuboreshwa kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022

Kuwezesha uchimbaji visima 2 katika shule teuzi za Msuluti na Kibena ifikapo Juni 2019

Msuluti na Kibena 47,600,000.00

UNICEF DEO (P24,00)

3 4

Kuboresha upatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022

Kuwezesha ufungaji wa mfumo wa umeme jua kwenye pampu za matanki ya maji katika shule za Msingi 2 za Msuluti na Kibena zilizoteuliwa ifikapo juni 2019.

Msuluti na Kibena 65,900,000 UNICEF DEO(P)

Kuboresha upatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022

Kuwezesha utengenezaji wa mifereji

mseleleko katika shule ya Msingi Lumuli

ifikapo Juni 2019

Lumuli 35,300,000.00 UNICEF DEO(P)

Kuboresha upatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022

Kuwezesha ufatiliaji na tathimini katika

miradi 2 ya ujenzi wa visima ifikapo Juni

2019

Msuluti na Kibena 11,060,000.00 UNICEF DEO(P)

Page 94: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

94

5 6 7 8 9

Kuboresha upatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022

Kuwezesha kufanyika mafunzo ya siku 3

katika kamati za shule 2 kuhusu namna ya

utunzaji wa mradi,vifaa vya SWASH na

O&R katika shule 3 za (Msuluti,Kibena na

Lumuli) ifikapo Juni 2019.

Msuluti,Kibena na

Lumuli

4,660,000.00 UNICEF DEO(P)

Kuboresha upatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022

Kuwezesha mafunzo ya siku 3 ya

kubadilishana uzoefu kwa kamati 21 (SWC)

za usafi shuleni zinazowezeshwa na

UNICEF namna ya usimamizi na

uendeshaji miradi,mafanikio na

changamoto kwa wajumbe 2 kwa kila

kamati za usafi (SWC) ifikapo Juni 2019

Ifunda 11,530,000.00 UNICEF DEO(P)

Kuboresha upatikanaji wa miundombinu na kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022

Kuwezesha ujenzi wa maeneo ya kunawia

F4S kwa shule 10 ,( Mboliboli, Itunundu,

Magombwe, Ilolo Mpya, Kimande,

Luganga, Magozi, Mkombilenga, Mbuyuni)

ifikapo Juni 2019

Mboliboli, Itunundu,

Magombwe, Ilolo

Mpya, Kimande,

Luganga, Magozi,

Mkombilenga,

Mbuyuni

Mlambalasi

10,000,000 UNICEF DEO(P)

Kuboresha kupatikanaji wa smiundombinu na kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022

Kuwezesha ukamilishaji wa ujenzi wa

matundu 12 ya vyoo shule ya Msingi

Mlambalasi kwa kuzingatia mwongozo wa

SWASH

19,200,000.00 UNICEF DEO (P)

Kuboresha upatikanaji wa miundombinu na kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022

Kusimamia ujenzi wa matundu mapya 7 ya

choo shule ya Msingi Kibena kwa

kuzingatia mwongozo wa SWASH

Kibena 28,000,000.00 UNICEF DEO(P)

Page 95: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

95

10 11

Kuboresha upatikanaji wa miundombinu na kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022

Kusimamia ujenzi wa matundu 25 ya choo

katika shule za Msingi kidamali kwa

kuzingatia mwongozo wa SWASH

Mboliboli 100,000,000.00 UNICEF DEO(P)

Kuboreshaa upatikanaji wa miundombinu na kupatikanaji wa maji, na kinga ya unawaji pamoja na vifaa kutoka 14% hadi 16% ifikapo Juni 2022

Kuwezesha ufatiliaji , usimamiaji na ufanyaji

tathimini kwa kipindi cha ujenzi katika

shule tatu ifikapo Juni 2019

Mlambalasi,Kibena

na Mboliboli

5,190,000.00 UNICEF DEO (P)

JUMLA NDOGO SWASH

342,440,000.00

JUMLA KUU 2,087,363,014.00

4:17 IDARA YA ARDHI NA MALIASILI

Utangulizi: Idara ya Ardhi na Maliasili katika mwaka wa fedha wa 2018/2019 imepanga kutumia kiasi cha Tshs.266,640,334.00 kwa ajili ya shughuli za Maendeleo na uendeshaji wa ofisi. Kati ya fedha hizo Tshs. 209,187,500.00 ni mapato ya ndani , fedha za ruzuku kutoka serikali kuu ni Tshs. 12,052,834.00 na Ruzuku ya Maendeleo ni Tshs.45,400,000.00. Kiasi cha Tshs.159, 900,000.00 kitatumika kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo na Tshs 106,740,334.00 zitatumika kwa ajili shughuli za kawaida za Idara ya Ardhi na Maliasili.

S/N LENGO LA MWAKA SHUGHULI ILIYOPANGWA MAHALI GHARAMA PENDEKEZWA

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

UTAWALA – ARDHI

1 Kuendeleza na kutekeleza kikamilifu mkakati wa kupambana na rushwa.

Kufanya mafunzo ya siku 1 kwa watumishi 10 wa Idara kuhusu madhara ya rushwa mahala pa kazi fikapo Juni 2019

Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya

300,000.00

Ruzuku ya Serikali

DLNRO

Page 96: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

96

2 Kupunguza maamukizi ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI kwa kuboresha huduma kwa waathirika.

Kutoa mafunzo ya siku moja kwa watumishi 10 wa idara yahusuyo mapambano ya dhidi HIV/AIDS ifikapo Juni 2019

Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya

130,000.00 Ruzuku ya Serikali

DLNRO

3 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii

Kuiwezesha idara ya Ardhi kulipia gharama kila siku za uendeshaji wa ofisi (matengenezo ya magari na ununuzi wa vipuri, mafuta na ulipaji wa madeni ya Idara) ifikapo Juni 2019.

Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya

5,766,417.00 Ruzuku ya Serikali

DLNRO

Jumla ndogo Ardhi na Utawala (Ruzuku ya Serikali) 6,026,417.00

UTAWALA – ARDHI

4 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii

Kuwezesha watumishi 13 wa idara ya Ardhi kuhudhuria mafunzo ya Kitaalam ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya 2,600,000.00

Mapato ya Ndani

DLNRO

5 Kuwezesha watumishi 3 kushiriki katika maadhimisho ya kikata, kiwilaya, kikanda na kitaifa ya Nanene na serikali za mitaa ifikapo Juni 2019.

Mbeya/ Halmashauri ya Wilaya

2,500,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

7 Kuiwezesha idara ya Ardhi kulipia gharama kila siku za uendeshaji wa ofisi (maji, umeme, diseli, matengenezo ya magari na ununzi wa vipuri, vifaa vya usafi, shajala, uwekaji wa internet, ukarabati wa ofisi, mazishi, posho ya mkuu wa idara, viburudisho, na ulipiaji wa sanduku la posta pamoja kulipia likizo za watumishi) ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya 22,710,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

Page 97: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

97

8 Kuwezesha idara ya Ardhi kuandaa na kuwasilisha taarifa mbalimbali (Bajeti, Taarifa za utekelezaji, Mpango Mkakati wa Idara na LAAC) ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya 2,550,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

9 Kuwezesha Idara kulipa madeni ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya 6,483,500.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

Jumla ndogo Utawala – Ardhi (Mapato ya Ndani) 36,843,500.00

USIMAMIZI WA ARDHI

10 Kuboresha upatikaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii

Kuhakiki na kupima mashamba 350 ya wananchi wa Tarafa za Mlolo, Kiponzelo na Idodi kwa ajili ya utayarishaji wa hatimiliki za Kimila ifikapo Juni 2019.

Tarafa za Mlolo, Kipozelo, Idodi na Isimani.

2,650,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

11 Kusaidia uanzishaji wa masijala 2 za Ardhi Vijiji ifikapo Juni 2019.

Lupembelwasenga na

Matembo.

985,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

Kuiwezesha Halmashauri katika kulipia kodi za ardhi na majengo ambazo inadaiwa na Mamlaka nyingine ifikapo June 2019.

Halmashauri ya Wilaya 5,000,000.00 DLNRO

12 Kutayarisha na Kusajili Hatimiliki 350 za Kimila kutoka Tarafa za Mlolo, Kipozelo na Idodi ifikapo Juni 2019.

Tarafa za Mlolo, Kipozelo, Idodi na Isimani.

2,160,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

13 Kuandaa na kupeleka hati za miliki ya kiserikali 1000 kwa msajili wa hati Kanda ya Kusini Mbeya kwa ajili ya uthibitisho na usajili ifikapo Juni 2019.

Mbeya/ Halmashauri ya Wilaya

8,250,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

14 Kuwezesha ufanyikaji wa vikao 2 vya kamati ya Ugawaji Ardhi Wilaya ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya 2,250,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

Page 98: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

98

15 Kuwezesha ufanyikaji wa vikao vya utatuzi wa migogoro ya ardhi kati ya vijiji na vijiji na watumiaji wengine wa ardhi mara inapotokea ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya 3,050,000.00 Mapato ya

Ndani

DLNRO

16 Kukagua viwanja 560 na mashamba 150 ili kubaini uvunjwaji wa masharti ya uendelezaji kufikia Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya 3,514,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

17 Kuwezesha uwasilishaji wa taarifa za makusanyo kodi ya ardhi na tozo zake kila mwezi Wizara ya Ardhi ifikapo Juni 2019.

Dar es Salaam 1,800,000.00 Mapato ya

Ndani

DLNRO

Jumla Ndogo Usimamizi wa Ardhi (Mapato ya Ndani) 29,556,000.00

USIMAMIZI ARDHI

18 Kuboresha upatikaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii

Kuandaa na kupeleka hati za miliki ya kiserikali 1000 kwa msajili wa hati Kanda ya Kusini Mbeya kwa ajili ya uthibitisho na usajili ifikapo Juni 2019.

Kalenga, Ugwachanya, Migoli na Ifunda

8,709,000.00 Ruzuku ya Maendeleo - CDG

DLNRO

Jumla Ndogo Usimamizi wa Ardhi (Ruzuku ya Serikali - CDG) 8,709,000.00

Kitengo Cha Upimaji Na Ramani

19 Kupima na kuandaa ramani za upimaji wa viwanja 1000 katika maeneo ya Migoli, Kalenga na Ugwachanya ifikapo Juni 2019.

Migoli, ,Kalenga (Isakalilo) na Ugwachanya

23,502,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

20 Kuwasilisha Ramani ya Upimaji yenye viwanja 1000 wizara ya Ardhi Dar Es Salaam kwa ajili ya ukaguzi na usajili wa ramani hizo ifikapo Juni 2019.

Dar es Salaam 2,100,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

21 Kupima mipaka ya vijiji vipya 2 vya Uhominyi, Ivangwa na Mikong’wi vilivyoanzishwa ifikapo Juni 2019.

Uhominyi, Ivangwa na Mikong’wi

1,954,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

Page 99: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

99

Jumla Ndogo Upimaji na Ramani (Mapato ya Ndani) 27,556,000.00

Kitengo Cha Upimaji Na Ramani

22 Kuboresha upatikaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii

Kupima na kuandaa ramani za upimaji wa viwanja 1000 katika maeneo ya Migoli, Kalenga na Ugwachanya ifikapo Juni 2019.

Migoli, ,Kalenga (Isakalilo), Migoli na Ugwachanya

19,851,000.00 Ruzuku ya Maendeleo - CDG

DLNR0

Jumla Ndogo Upimaji na Ramani (Ruzuku ya Serikali) 19,851,000.00

KITENGO CHA UTHAMINI

23 Kuboresha upatikaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii

Kufanya uthamini wa fidia ya ardhi na mazao ya wananchi kwa ajili ya uendelezaji miji ya inayokadiriwa kufikia ekari 150 ifikapo Juni 2019.

Kalenga,

Ugwachanya na

Ihemi.

2,900,000.00

Mapato ya Ndani

DLNRO

24 Kuwezesha wataalam kufanya utafiti wa bei za mazao na thamani za ardhi kwa ajili ya kanzi data ifikapo Juni 2019.

Vijiji vyote 6,620,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

25 Kuwezesha ulipaji wa fidia kwa wananchi waliotwaliwa ardhi yao kwa ajili ya upimaji viwanja eneo la Kalenga ifikapo Juni 2019.

Kalenga 42,448,000.00

Mapato ya Ndani

DLNRO

26 Kuwezesha uandaaji na uidhinishaji wa taarifa mbalimbali za uthamini wizarani Iringa ifikapo Juni 2019.

Vijiji Vyote 3,000,000.000 Mapato ya Ndani

DLNRO

Jumla ndogo Uthamini (Mapato ya Ndani) 54,968,000.00

KITENGO CHA MIPANGO MIJI

27 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii.

Kutoa elimu ya uendelezaji miji na uhifadhi wa mazingira kwenye Kata 2 za Kalenga na Mseke ifikapo Juni 2019.

Kalenga na Mseke 2,120,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

28 Kufanya ufuatiliaji na usimamiaji wa shughuli za ujenzi kwenye maeneo ya

Kalenga,Tungamal

enga,Migoli, Mtera,

Ifunda, Tanangozi

5,510,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

Page 100: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

100

Kalenga,Tungamalenga,Migoli, Mtera, Ifunda, Tanangozi na Ugwachanya ifikapo Juni 2019.

na Ugwachanya

29 Kuwezesha uandaaji wa ramani ndogo za hati na viziduo kwa ajili ya uandaaji wa hati ifikapo Juni 2018

Halmashauri ya Wilaya

1,9500,000.00 Mapato ya Ndani

DLNRO

30 Kuwezesha utayarishaji na uidhinishaji wa michoro 6 ya Mipangomiji ya Migori, Ugwachanya, Tungamalenga na Kalenga ifikapo Juni 2019.

Migori, Ugwachanya, Tungamalenga na Kalenga

11,100,000.00

Mapato ya Ndani

DLNRO

Jumla ndogo ( Mapato ya Ndani) 20,680,000.00

31 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii.

Kuwezesha uandaaji wa ramani ndogo za hati na viziduo kwa ajili ya uandaaji wa hati ifikapo Juni 2019

Migori, Ugwachanya, Tungamalenga na Kalenga

2,400,000.00 Ruzuku ya Maendeleo - CDG

DLNRO

32 Uidhinishaji wa michoro 6 ya Mipangomiji ya Migori, Ugwachanya, Tungamalenga na Kalenga ifikapo Juni 2019.

Migori, Ugwachanya, Tungamalenga na Kalenga

8,440,000.00 Ruzuku ya Maendeleo - CDG

DLNRO

Jumla Ndogo Mipango Miji (Ruzuku ya Serikali –CDG) 10,840,000.00

UTAWALA WA WATUMISHI SEKTA YA MALIASILI

33 Kuboresha huduma kwa watu wanaoishi na VVU na kupunguza maambukizi ya HIV/AIDS

Kuwezesha mafunzo ya kujikinga na UKIMWI kwa watumishi 18 na kuwezesha utoaji wa huduma ya lishe kwa watumishi 2 wanaoishi na maambukizi ya HIV/AIDS ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya 400,000.00 Ruzuku ya Serikali

DLNRO

34 Kuendeleza na kutekeleza kikamilifu mkakati wa kupambana na rushwa.

Kutoa elimu ya kupambana na rushwa kwa watumishi 18 wa maliasili ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya 180,000.00 Ruzuku ya Serikali

DLNRO

Page 101: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

101

35 Kuboresha upatikaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii

Kuwezesha sekta ya Maliasili kugharamia malipo mbalimbali kama likizo kwa watumishi 18 , ununuzi wa shajara,umeme, maji, vifaa vya usafi, madeni n.k ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya 4,606,417.00 Ruzuku ya Serikali

DLNRO

36 Kuwezesha watumishi 18 kushiriki katika maadhimisho ya kikata, kiwilaya, kikanda na kitaifa ya Nanene na serikali za mitaa ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya/Mbeya

840,000.00

Ruzuku ya Serikali

DLNRO

Jumla ndogo Utawala Maliasili (Ruzuku ya Serikali) 6,026,417.00

Jumla Kuu (Ruzuku ya Serikali) 12,052,834.00

USIMAMIZI WA MISITU

37 Kuboresha utawala bora na usimamizi wa utoaji huduma

Kuwezesha sekta kulipia gharama za uedeshaji wa ofisi za kila siku kama mai, umeme, ununuzi wa vipuri vya magari, matengenezo ya magari , watumishi kwenda likizo n.k ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya 4,961,400.00 Mapato ya Ndani DLNRO

38 Kuboresha usimamizi endelevu wa maliasili na mazingira

Kuwezesha doria ya mazao ya misitu za kila wiki katika maeneo mbali mbali na barabara zote zinazoingia Manispaa ifikapo Juni 2019.

Maeneo yanayopakana na Manispaa

3,241,600.00 Mapato ya Ndani DLNRO

39 Kufanya doria katika misitu ya kupanda ya Halmashauri na misitu ya asili katika kata 23 ifikapo Juni 2019.

Maeneo yote yenye Misitu ya Asili

800,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO

40 Kuwezesha uoteshaji wa miche 60,000 ya miti katika Bustani za miti za Ruaha na Udumuka ifikapo Juni 2019.

Ipogoro na Udumka 3,000,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO

Jumla ndogo Kitengo cha Misitu (Mapato ya Ndani) 6,833,000.00

Page 102: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

102

KITENGO CHA USIMAMIZI WA MISITU

41 Kuboresha usimamizi endelevu wa maliasili na mazingira

Kuwezesha uoteshaji wa miche 60,000 ya miti katika Bustani za miti za Ruaha na Udumuka ifikapo Juni 2019.

Ipogoro na Udumka 6,000,000.00 Ruzuku ya serikali (CDG)

DLNRO

Jumla ndogo Kitengo cha Misitu (Mapato ya Ndani) 6,000,000.00

KITENGO CHA WANYAMAPORI NA UTALII

42 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii.

Kuwezesha sekta ya Maliasili kugharamia malipo mbalimbali kama likizo kwa watumishi 18 , ununuzi wa shajara,umeme, maji, vifaa vya usafi, madeni n.k ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya 4,780,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO

43 Kuboresha usimamizi endelevu wa maliasili na mazingira

Kufanya doria za kuzuia ujangili katika Tarafa za Pawaga , Isman, Idodi na Kalenga ifikapo Juni 2019.

Tarafa za Pawaga , Isman, Idodi na Kalenga

4,650,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO

44 Kuwezesha udhibiti wa wanyamapori waharibifu dhidi ya wananchi na mali zao kwenye vijiji vinavyopakana na Hifadhi za wanyama na eneo la Kalenga ifikapo mwezi Juni 2019.

Vijiji vinavyopakana na maeneo ya Hifadhi ya Wanyamapori

5,840,200.00 Mapato ya Ndani DLNRO

45 Kuwaelimisha wananchi namna ya kujikinga na Wanyamapori wakali na waharibifu kwa kutumia njia za asili katika Tarafa za Pawaga, Idodi na Kalenga na Ismani ifikapo mwezi Juni 2019.

Tarafa za Pawaga, Idodi na Kalenga na Ismani

4,615,750.00 Mapato ya Ndani DLNRO

46 Kuwezesha vikao vya baraza la ushauri masuala ya maliasili Wilaya.

Halmashauri ya Wilaya 810,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO

Page 103: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

103

47 Kuwaelimisha wananchi toka vijiji 15 vya Tarafa za Mlolo Pawaga, Idodi na Kalenga juu ya umuhimu wa uwekezaji katika utalii wa kiikolojia na kiutamaduni ifikapo Juni 2019.

Tarafa za Mlolo Pawaga, Idodi na Kalenga

1,150,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO

48 Kuwawezesha watumishi 3 kukagua ubora wa huduma za mahoteli katika Tarafa za Idodi, Pawaga na Ismani kufikia Juni 2019.

Tarafa za Mlolo Pawaga, Idodi na Kalenga

1,593,000.00 Mapato ya Ndani DLNRO

Jumla ndogo – Kitengo cha wanyamapori na Utalii (Mapato ya Ndani)

22,812,000.00

49 Jumla Kuu (Mapato ya Ndani) 193,187,500.00

50 Jumla Kuu (Ruzuku ya Serikali) 12,052,834.00

51 Jumla Kuu (Ruzuku ya Maendeleo - CDG) 45,400,000.00

52 Jumla (Mapato ya Ndani na Ruzuku ya Serikali) 266,640,334.00

4:18 KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI

Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kimepanga shughuli mbalimbali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 zenye gharama ya Tshs. 20,163,321.00 kutoka

fedha za mapato ya ndani na Tshs. 9,278,361.00 kutoka fedha za Ruzuku toka Serikali Kuu na kufanya jumla ya Tshs. 29,441,361.00 kama

inavyoonekana kwenye jedwali

Na LENGO LA MWAKA

SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA (TSH)

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

1 Kupunguza hatari ya

Kuwezesha watumishi 2 wa kitengo cha Ukaguzi wa Ndani katika kipindi cha robo ya pili ya mwaka kupata mafunzo ya

Makao makuu ya

50,000.00 MAPATO YA NDANI

DIA

Page 104: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

104

maambukizi ya VVU.

uelewa wa maambukizi ifikapo Juni 2019. Wilaya

2

Kuimarisha huduma na utawala bora.

Kuwezesha watumishi 2 wa kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kuhudhuria mafunzo mbalimbali ya muda mfupi ifikapo Juni 2019.

Makao makuu ya wilaya na Nje ya Mkoa.

2,900,000.00

MAPATO YA NDANI

DIA

Kuwezesha upatikanaji wa vifaa vya kufanyia kazi kwa wakaguzi 2 ili kuboresha utendaji kazi wa Kitengo cha ukaguzi wa Ndani ifikapo Juni 2019 (Diesel, shajala namatengenezo ya gari).

Makao makuu ya Wilaya

6,773,321.00

MAPATO YA NDANI

DIA

Kufanya ukaguzi wa taratibu za manunuzi na thamani ya fedha kwa miradi 25 ya sekta mbalimbali katika ngazi ya Wilaya, Kata na Vijiji kwa robo nne za mwaka ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya

9,380,000.00

MAPATO YA NDANI

DIA

Kuwezesha kuwasilisha taarifa za robo 4 na kaguzi maaalumu 10 za ukaguzi wa ndani katika Taasisis na mamlaka husika (IAG, NAO, WIZARA na RAS) ifikapo Juni 2019.

Makao makuu ya Wilaya na Nje ya mkoa.

420,000.00

MAPATO YA NDANI

DIA

Kuwezesha stahiki za watumishi 2 wa kitengo cha Ukaguzi wa Ndani ifikapo Juni 2019 (likizo, simu, umeme, posho na nauli).

Makao makuu ya Wilaya

640,000.00

MAPATO YA NDANI

DIA

JUMLA YA FEDHA MAPATO YA NDANI 20,163,321.00

Na LENGO LA MWAKA SHUGHULI ZILIZOPANGWA MAHALI GHARAMA (TSH)

CHANZO CHA FEDHA

MSIMAMIZI

2 Kuwezesha watumishi wa Halmashauri kukabiliana na Rushwa.

Kuwezesha ukaguzi na utoaji elimu juu ya mapambano dhidi ya Rushwa katika kata 5 na ngazi ya wilaya ifikapo Juni 2019.

Makao makuu ya Wilaya

50,000.00 RUZUKU DIA

3

Kuimarisha huduma na utawala bora.

Kufanya ukaguzi wa taratibu za manunuzi na thamani ya fedha kwa miradi 25 ya sekta mbalimbali katika ngazi ya Wilaya, Kata na Vijiji kwa robo nne za mwaka ifikapo Juni 2019.

Halmashauri ya Wilaya

3,200,400.00 RUZUKU DIA

Kuwezesha kuwasilisha taarifa za robo 4 na kaguzi maaalumu 10 za ukaguzi wa ndani katika Taasisis na mamlaka husika (IAG, NAO, WIZARA na RAS) ifikapo Juni 2019.

Makao makuu ya Wilaya na Nje ya mkoa.

131,640.00 RUZUKU DIA

Page 105: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

105

Kuwezesha stahiki za watumishi 2 wa kitengo cha Ukaguzi wa Ndani ifikapo Juni 2019 (likizo, simu, umeme, posho na nauli).

Makao makuu ya Wilaya

5,896,000.00 RUZUKU DIA

JUMLA YA FEDHA RUZUKU

9,278,040.00

JUMLA KUU (MAPATO YA NDANI NA RUZUKU) 29,441,361.00

4:18: KITENGO CHA NYUKI RASIMU YA MPANGO NA BAJETI MWAKA 2018/2019

Kitengo cha nyuki kimelenga kutumia kiasi cha Tshs 18,438,339 kwenye bajeti yake ya mwaka wa fedha 2018/2019. Kati ya fedha hizo Tshs

12,411,922 zinatokana na mapato ya ndani na Tshs 6,026,417 ni fedha za ruzuku kutoka serikali kuu. Fedha kiasi cha Tshs 8,081,922 zitatumika

kwa shughuli za kawaida na Tshs 10,356,417 zitatumika kwenye miradi ya maendeleo. Kama ilivyobainiskwenye jedwali hapa chini

1 Watumishi wa kitengo cha Nyuki kuwezeshwa kutambua athari za UKIMWI ifikapo June 2019

Kuwezesha upatikanani wa lishe kwa mtumishi mwenye virusi vya UKIMWI ifikapo Juni 2019

400,000 Mapato ya ndani DBO

Watumishi wa kitengo cha Nyuki kuwezeshwa kutambua athari za UKIMWI ifikapo June 2019

Kuendesha semina ya siku moja ya watumishi wa kitengo cha nyuki na watumishi wenzao wa idara zingine yenye lengo la kutoa elimu ya ugonjwa wa UKIMWI ifikapo Juni 2019

60,000.00 Mapato ya ndani DBO

2 Watumishi wa 3 wa kitengo cha Nyuki kuwezeshwa kutambua athari za Rushwa ifikapo June 2019

Kuendesha mafunzo ya siku 2 kwa watumishi wa kitengo cha nyuki na watumishi wa idara zingine kuhusu madhara ya rushwa ifikapo Juni 2019

30,0000 Mapato ya ndani DBO

3 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii.

Kuwawezesha watumishi 3 wa kitengo cha nyuki kwenda likizo zao za mwaka na huduma muhimu za uendeshaji wa ofisi ifikapo Juni 2019

430,000 Mapato ya ndani DBO

4 Kuboresha upatikanaji na utoaji wa huduma kwa usawa katika jamii.

Kulipa madeni ya wazabuni na watumishi ifikapo Juni 2019

1,000,000 Mapato ya ndani DBO

5

Kuandaa mpango na bajeti ya kitengo cha nyuki ifikapo juni 2019

Kuwezesha maandalizi ya mpango na bajeti ya

720,000 Mapato ya ndani DBO

Page 106: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

106

6 Kugharamia gharama za uendeshaji wa ofisi na stahiki za watumishi 3 ifikapo Juni 2019

Kugharamia ununuzi wa shajara, printa pamoja na stahiki za watumishi wapya watakaoajiriwa ifikapo Juni 2019

3,191,922 Mapato ya ndani DBO

7 Kugharamia maadhisho ya nanenane na maadhimisho rasmi mbalimbali ifikapo Juni 2019

Kuwezesha watumishi kuhudhuria maadhimisho mbalimbali kama vile Nanenane, maonesho ya asali, na siku ya wafanyakazi.

2,200,000 Mapato ya ndani DBO

Jumla ya Fedha za Matumizi ya Kawaida 8,081,922

8 Kuongeza uzalisahaji wa asali n anta kutoka kilo 40,000 za asali za sasa hadi kufikia kilo 50,000 na Nta kutoa kilo 2500 hadi 3500 ifikapo Juni 2019.

Kuwezesha mafunzo ya ufugaji bora wa nyuki kwa wafugaji wapya 100 ya nyuki wasiouma na wanaouma ifikapo Juni 2019

2,840,000 Mapato ya ndani DBO

Kuadhimisha na kuhamasisha wananchi kutundika mizinga katika wiki ya utundikaji wa mizinga kitaifa ifikapo Juni 2019

Kuwezesha mafunzo ya ufugaji bora wa nyuki kwa wafugaji wapya 100 ya nyuki wasiouma na wanaouma ifikapo Juni 2019

1,490,000 Mapato ya ndani DBO

JUMLA NDOGO (MAPATO YA NDANI) Kuwezesha mafunzo ya ufugaji bora wa nyuki kwa wafugaji wapya 100 ya nyuki wasiouma na wanaouma ifikapo Juni 2019

12,411,922

10 Kutambua wafugaji wapya na kuunda vikundi 4 katika kata 4

Kuwatambua wafugaji wapya wa nyuki na kuunda vikundi 4 vya ufugaji nyuki 4 kwenye kata nne ambazo ni Kiwere, Kising’a, Migoli na Idodi ifikapo Juni 2017

1,388,917 Ruzuku kutoka serikali kuu

DBO

11 Kuwezesha uanzishaji wa manzuki 10 (mashamba ya nyuki ifikapo 2019

4,637,500 Ruzuku kutoka serikali kuu

DBO

JUMLA NDOGO (RUZUKU KUTOKA SERIKALI KUU)

6,026,417

Jumla ya fedha ya miradi ya maendeleo 10,356,417

JUMLA KUU (KITENGO CHA NYUKI) 18,438,339

Naomba kuwasilisha

Robert M.Masunya MKURUGENZI MTENDAJI WA WILAYA

IRINGA

Page 107: OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ......d) Maji; Hiki ni kipaumbele muhimu ambacho kutopatikana kwake kunadumaza hata uwekezaji wa miradi mingine ya maendeleo mfano

107