mwongozo wa kujenga miundombinu kwa …ubora unaotakiwa. programu imehamasisha jamii kwa kupitia...

52
MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA KUSHIRIKISHA JAMII DISEMBA 2017

Upload: others

Post on 24-Feb-2020

40 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA KUSHIRIKISHA JAMII

DISEMBA 2017

Page 2: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi
Page 3: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

iMwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

Yaliyomo

FAHARASA YA VIFUPISHO MBALIMBALI .............................................................................. III

NAMNA YA KUTUMIA MWONGOZO HUU .............................................................................IV

1. UTANGULIZI NA DHUMUNI ................................................................................................. 1

1.1. UTANGULIZI .........................................................................................................................................................1

1.2. DHUMUNI .............................................................................................................................................................2

2. MCHAKATO WA UJENZI ....................................................................................................... 4

2.1 SHULE SHIKIZI ......................................................................................................................................................4

2.2 KUMALIZIA MABOMA .......................................................................................................................................5

3. MCHAKATO WA MAFUNZO ................................................................................................. 6

3.1 UTEKELEZAJI WA MAFUNZO .........................................................................................................................6

3.2 VIFAA NA NYENZO .............................................................................................................................................6

3.3 MUUNDO WA CHUMBA CHA MAFUNZO ..................................................................................................7

3.4 MBINU ZA UWEZESHAJI ..................................................................................................................................7

3.5 MAMBO YA KUZINGATIA KWENYE UWEZESHAJI WA MAFUNZO ...................................................8

3.6 MAZOEZI YATAKAYOTUMIKA KWENYE MAFUNZO ..............................................................................9

4. UTARATIBU WA KUFANYA MANUNUZI ............................................................................ 13

5. MWONGOZO WA UTARATIBU WA KUTUMIA ‘AKAUNTI MAALUM YA UJENZI’ ............ 14

5.1. UTANGULIZI ...................................................................................................................................................... 14

5.2 MADHUMUNI YA MWONGOZO HUU ...................................................................................................... 14

5.3 KANUNI ZINAZOSIMAMIA UTARATIBU WA UJENZI WA SHULE SHIKIZI NA KUKAMILISHA MADARASA KWA KUTUMIA ‘AKAUNTI MAALUM YA UJENZI’ ................................ 14

5.4 WAJIBU WA CHOMBO CHA MANUNUZI, IDARA AU HALMASHAURI ......................................... 15

5.5 UTOAJI TAARIFA NA UTUNZAJI KUMBUKUMBU KATIKA NGAZI YA HALMASHAURI NA SHULE .................................................................................................................................................................. 16

Page 4: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

ii Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

KIAMBATISHO I - HADIDU ZA REJEA - WAHANDISI WA WILAYA NA MAAFISA UFUNDI KATIKA KUTEKELEZA UJENZI WA SHULE SHIKIZI NA KUMALIZIA VYUMBA VYA MADARASA ......................................................................................................................................................17

KIAMBATISHO II - HADIDU ZA REJEA - MHANDISI WA MKOA WA UFUATILIAJI WA UBORA NA MAENDELEO YA PROGRAMU YA EQUIP-TANZANIA .........................................................20

KIAMBATISHO III - RATIBA YA MAFUNZO ...................................................................................................22

KIAMBATISHO IV - MICHORO ..........................................................................................................................23

KIAMBATISHO V - ORODHA YA VIFAA VYA UJENZI WA SHULE SHIKIZI ..........................................37

KIAMBATISHO VI - CHATI YA UDHIBITI UBORA WA VIFAA VYA UJENZI ..........................................39

KIAMBATISHO VII - MAELEKEZO MUHIMU YA KUZINGATIA WAKATI WA KUTEKELEZA ZOEZI LA JENZI ........................................................................................................................................................40

KIAMBATISHO VIII - CHATI YA UDHIBITI UBORA WA VIFAA VYA UJENZI .......................................42

KIAMBATISHO IX- CHATI YA UFUATILIAJI WA HATUA ZA UJENZI WA SHULE SHIKIZI ..............43

KIAMBATISHO X - CHATI YA UFUATILIAJI WA HATUA ZA UMALIZIAJI WA MABOMA ...............44

Page 5: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

iiiMwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

Faharasa ya vifupisho mbalimbali

AEW A�sa Elimu wa WilayaFM Fundi MchundoDE Mhandisi wa WilayaRE Mhandisi wa MkoaGoT Serikali ya TanzaniaMM Mwalimu MkuuMWL MwalimuMJ Mwakilishi JamiiMoeST Wizara ya Elimu na Mafunzo ya UfundiAZAKI Asasi za KiraiaOR-TAMISEMI O�si ya Rais–Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa PSLE Mtihani wa Kumaliza Elimu ya MsingiUWW Ushirikiano wa Walimu na WazaziRAS Katibu Tawala wa MkoaAEM A�sa Elimu wa MkoaKS Kamati ya ShuleSh. ShilingiEQUIP-Tanzania Mpango wa kuinua Ubora wa Elimu TanzaniaVC Mwenyekiti wa KijijiVEO A�sa Mtendaji wa Kijiji

Page 6: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

iv Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

Mwongozo huu utatumiwa na Wawezesheji wa Wilaya waliopata mafunzo kutoka OR – TAMISEMI kwa kushirikiana na EQUIP-Tanzania. Mwongozo huu unawatambua watu hawa wanatajwa kuwa ni Wawezeshaji wa Wilaya wa mafunzo husika.

Mwongozo huu utalenga kuwasaidia wawezeshaji katika mchakato wa kuandaa mpango wa ujenzi, kwa kutoa muundo thabiti na kupendekeza shughuli ambazo watashirikishana ku�kia muafaka. Kuna mapendekezo ya nyenzo nyingi ambazo zimefanyiwa majaribio ili kuendana na uhalisia na lengo husika ambazo mwezeshaji anaweza kutumia kwenye mchakato wa kuandaa mpango.

Hata hivyo, ni muhimu kutambua kuwa Mwongozo huu ni njia tu inayopendekezwa na kwamba inatumika kutoa mwelekeo wa mchakato tajwa kwenye mikoa mingi nchini, ambamo kuna shule nyingi. Hivyo, ni vigumu kugusa kila eneo au kuendana na mazingira yote ambayo a wawezeshaji watakutana nayo. Katika maeneo mengine inawezekana jamii ikawa ilishapitia mchakato huu. Hivyo, badala ya kuanza upya ni vyema wawezashaji wakaangalia namna ya kuuboresha mpango uliopo.

Kwa hiyo ni muhimu kwa wawezeshaji wa wilaya kutumia busara na ubunifu kuhakikisha wanatumia mwongozo huu ipasavyo. Wawezeshaji wa wilaya ndio wataalam katika maeneo mnayotoka. Kama kuna marekebisho yoyote yatafanyika kwenye mwongozo ni muhimu kuhakikisha kuwa baada ya mchakato mpango utakaokuwa umeandaliwa unatekelezwa vizuri na kuhakikisha kuwa mchakato mzima unakuwa wa Uwazi na Jumuishi. Ni muhimu kuhakikisha kuwa misingi ya uwazi na ujumuishi inazingatiwa kwenye jamii kama mpango unavyosisitiza.

Namna ya kutumia Mwongozo huu

Page 7: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

1Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii1

1.1. UTANGULIZI

Hotuba ya ufunguzi: Wawezeshaji watapaswa kutoa nafasi kwa ajili ya ufunguzi rasmi. Baadhi ya watu wanaoweza kufanya ukaribisho huu ni pamoja na A�sa Elimu wa Wilaya. Ufunguzi huu usitumie zaidi ya dakika 10.

Utambulisho wa Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania (EQUIP-Tanzania)

1. EQUIP-Tanzania ni mpango wa miaka minne wenye malengo ya kuinua ubora wa Elimu ya msingi. Mpango huu unatekelezwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na kuratibiwa na OR-TAMISEMI. Pia, Asasi za Kiraia zinashiriki kuhamasisha jamii, Shule na wanafunzi ndiyo walengwa wakuu. Mpango unatekelezwa kwenye mikoa tisa ya Tanzania bara; Kigoma, Tabora, Shinyanga, Simiyu, Dodoma, Singida, Katavi, Mara na Lindi.

2. Hadi sasa utakuwa umekwisha ona shughuli nyingi zilizofanywa na programu hii kama vile: • Mafunzo ya kamati ya shule yaliyotolewa mwaka 2014 yaliyofafanua wajibu na majukumu

ya kamati ya shule ili ziweze kusimamia uendeshaji wa shule ipasavyo. Mafunzo juu ya misingi ya usimamizi mzuri na uundwaji wa Ushirikiano wa Wazazi na Walimu (UWW) na jinsi ya kuratibu ruzuku ya UWW.

• Kuendesha mafunzo kwa walimu wa shule za msingi walioko mikoa saba iliyotajwa hapo juu kwa lengo la kukuza stadi na mbinu za kufundisha na kujifunza umahiri wa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu.

• Kujenga uwezo wa Waratibu wa Elimu Kata wote na Waalimu Wakuu wa shule za msingi zote ili waweze kuongoza na kusimamia shule kwa tija, ufanisi zaidi na kuwajibika katika ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi na wanajamii na mahitaji ya shule zao ili waweze kusaidia na kuendeleza shule zao.

• Kuanzisha na kuimarisha ushirikiano wa wazazi na walimu kwa kuunda UWW kwenye shule zote ili wazazi watambue umuhimu wao katika kuleta mafanikio ya mwanafunzi shuleni na kusaidia shughuli mbalimbali za ustawi wa wanafunzi katika darasa husika.

• Kutoa fedha za ruzuku kwa shule na UWW • Jamii na wazazi wanashiriki kwenye utekelezaji wa mpango wa utayari wa kuanza shule • Mafunzo ya walimu wakuu kuhusu usimamizi wa shule na utengenezaji wa mfumo wa

taarifa shuleni. • Kuziwezesha shule kubuni miradi ya kudumu na kuiendesha ili kuongeza fedha na

kipato cha shule kitakachoweza kukidhi mahitaji na uendeshaji wa shule bila kutegemea misaada.

3. Pamoja na haya, mpango wa EQUIP-Tanzania kwa kushirikiana na serikali unatekeleza mpango wa kujenga shule shikizi pamoja na kumalizia vyumba vya madarasa yaliyojengwa kwa nguvu za wanajamii. Hili hasa ndio lililotuleta pamoja leo.

1. Utangulizi na Dhumuni

Page 8: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

2 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

ZOEZI LA 1. UTAMBULISHO: (Dakika 15)

Waambie washiriki wasimame kwenye duara ndani au nje ya chumba cha mafunzo

• Ni muhimu kuhakikisha kuwa mazingira ni ra�ki na huru kabla ya kuwataka washiriki kujibu maswali yafuatayo:

• Jina na nafasi yako kwenye jamii? • Ni mambo gani ya kujivunia yaliyoko kwenye shule au kijiji chako? • Ni mabadiliko gani yameletwa na Mpango wa EQUIP-Tanzania kwenye eneo lako

mpaka sasa?

1.2. DHUMUNI

Dhumini kuu la kuanzisha shule shikizi ni kutoa nafasi sawa kwa watoto wote wenye umri wa kwenda shule kupata elimu bora katika mazingira mazuri, ra�ki na salama.

Shule Shikizi

Malengo ya kuanzisha shule shikizi ni kama ifuatavyo: -

Ni kuwezesha wanafunzi wa shule ya awali na darasa la kwanza na la pili kuandikishwa na kuhudhuria shuleni siku zote kwenye shule shikizi na kwa muda sahihi, na pia kuepuka umbali mrefu kwenda na kutoka shuleni.

Kuboresha upatikanaji wa elimu bora ya awali kwa wanafunzi na kuwawezesha wanafunzi kuendelea kujifunza kikamilifu mara wanapojiunga kwenye shule mama ya msingi.

Kuiandaa shule shikizi kwa ajili ya kuwa shule kamili ya msingi siku za zijazoi kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zilizowekwa.

Shule shikizi zitasaidia;i. Kutoa nafasi nzuri kwa watoto wengi wanaoishi mbali na shule mama kupata elimu bora ya

msingi.

ii. Kupunguza mzigo wa umbali wa kutembea kwa watoto waliokuwa wakitembea umbali mrefu kutafuta shule.

iii. Kutia moyo wazazi kupeleka watoto wao shule na kuwasaidia kufuatilia kiurahisi maendeleo ya elimu ya watoto wao.

iv. Watoto kupenda shule na kuongeza kiu ya kujifunza kupitia elimu rasmi.

ZOEZI LA 2: KANUNI ZA MAFUNZO: (Dakika 5)

1. Waulize washiriki wataje kanuni ambazo wangependa zitumike wakati wa mafunzo (Muda wa kuanza, muda wa kuwasili, simu kuwa kwenye mtetemo, n.k.),

2. Andika kanuni hizi kwenye bango kitita na hakikisha kila mmoja anakubaliana nazo. 3. Bandika bango kitita lenye kanuni kwenye ukuta ambapo kila mtu anaweza kuona.

Page 9: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

3Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

Malengo ya kumalizia ujenzi wa maboma ya madarasa

Kuongeza idadi ya vyumba vya madarasa kwenye shule ambazo zina uhitaji mkubwa. Umaliziaji wa maboma ya madarasa utapewa kipaumbele katika shule ambazo zimeonyesha juhudi kwa kujenga madarasa mpaka usawa wa lenta kama ilivyoelekezwa na mpango wa MEM.

Lengo mahususi ni kupunguza idadi kubwa ya wanafunzi kwenye madarasa ambao ni mwitikio wa utekelezaji wa sera ya elimu bila malipo.

Page 10: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

4 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

2.1 SHULE SHIKIZI

Ujenzi wa shule shikizi unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Uingereza kupitia EQUIP-Tanzania utakuwa na:

i. Madarasa mawili – moja ni kwa ajili ya shule ya awali na la pili ni kwa ajili ya darasa la kwanza na la pili. Madarasa yatawekewa samani kulingana na matumizi yake (kuzingatia umri na mahitaji) madawati kwenye darasa la kwanza na la pili na sakafu husika kwa darasa la shule ya awali.

ii. O�si ya mwalimu na bohari – hii itajengwa katikati ya madarasa mawili na itampa mwalimu nafasi ya kuandaa, kutunza vifaa vya kufundishia na kujifunzia, na pia vitu vingine vitatunzwa kwa usalama.

iii. Vyoo vya shimo vilivyoboreshwa – vyoo vya shimo kwa ajili ya wanafunzi (wasichana na wavulana) na kwa ajili ya walimu vitajengwa. Hivi vitajengwa katika hali ambayo itahakikisha usalama na huduma nzuri kwa wasichana, pia kutakuwa na eneo la kunawia mikono.

iv. Shule hizi shikizi zitakuwa pia na nyongeza ya vitu mbalimbali ili kujitosheleza kutoa huduma muhimu vikiwemo vifaa vya kuvunia maji ya mvua na kuyatunza ili kuhakikisha upatikanaji wa maji (ikiwezekana pia na vifaa vya kupikia vinavyotumia nishati kidogo pamoja na chujio la maji sa�)

Namna zote za ujenzi zitaidhinishwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na OR-TAMISEMI ili kuhakikisha zinaendana na utaratibu wa kitaifa.

Jamii itahusishwa kuchangia yafuatayo:

i. Angalau nyumba moja ya mwalimu wa darasa la kwanza na la pili atakayeteuliwa na shule. Ikiwezekana na nyumba ya pili kwa ajili ya mwalimu wa shule ya awali

ii. Jiko kwa ajili ya kutayarisha chakula cha watoto

Halmashauri watahitajika kufanya yafuatayo:

Kuteua mhandisi na fundi mchundo watakaosimamia ujenzi muda wote na kuratibu ujenzi wa madarasa na vyoo wakati wa maandalizi na utekelezaji wa mradi huu wa ujenzi.

OR-TAMISEMI ngazi ya mikoa watafanya yafuatayo:

Kuteua mhandisi wa ujenzi katika kudhibiti ubora na mwenendo wa ujenzi wakati wa maandalizi na utekelezaji wa mradi

2. Mchakato wa Ujenzi

Page 11: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

5Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

2.2 KUMALIZIA MABOMA

Shughuli za ujenzi wakati wa utekelezaji wa mradi huu zitasimamiwa na kamati za shule katika shule husika. Japokuwa, OR-TAMISEMI na jamii husika zitakuwa na majukumu ya kusimamia utekelezaji mradi.

i. Kazi na wajibu wa Halmashauri: • Kuainisha maeneo yenye maboma ya kumaliziwa • Kuhakikisha maandalizi yamekamiliza katika kila eneo lengwa la ujenzi, wakisaidiwa na

EQUIP-Tanzania. • Kutoa muda wa kutosha kwa mhandisi na fundi mchundo ili kusimamia na kuratibu

ujenzi. • Kuhamisha fedha kwenda shule zilizochaguliwa kwenye ujenzi kama bajeti

itakavyoelekeza. • Kujadiliana ku�kia muafaka na kamati ya shule kuhusu mikataba ya ujenzi wa shule

shikizi na umaliziaji wa maboma ili kukubaliana kuhusu idadi ya vifaa, bei za vifaa na gharamza za ufundi. Kuhakikisha kwamba kuna ubora wa vifaa vya ujenzi na ufundi kama inavyoelekezwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

• Kuratibu mchakato wa ujenzi na kutoa taarifa kwa Mhandisi wa mkoa • Kupitisha malipo yanayoa�kiwa na kamati ya shule. (Rejea Kiambatisho I)

ii. Shule mama • Manunuzi ya vifaa vya ujenzi na uangalizi wa ujenzi na mafundi kwa kutumia fedha

zilizotengwa kwa kushirikiana na kamati ya shule • Uangalizi mkuu wa ujenzi kwa kushirikiana na kamati ya shule

iii. O�si ya Katibu Tawala wa Mkoa • Kusimamia mchakato wa kuainisha maeneo ya ujenzi • Kuhakikisha maandalizi ya ujenzi yamefanyika kikamilifu katika kila eneo kwa kushirikiana

na EQUIP-Tanzania. • Kutoa muda wa kutosha kwa mhandisi wa mkoa kufanya uangalizi na kutoa ripoti za mara

kwa mara za mwenendo wa ujenzi. (Rejea Kiambatisho II)

iv. O�si ya Rais TAMISEMI • Kusimamia mradi kwa ujumla • Uangalizi wa ujezi kitaifa kwa kuzingatia ubora na viwango

v. Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu – Tanzania (EQUIP-Tanzania) • Kutoa ushauri wa kitaalamu na kuwezesha kifedha

Page 12: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

6 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

3.1 UTEKELEZAJI WA MAFUNZO

i. Wawezeshaji kutoka EQUIP-Tanzania watatoa mafunzo kwa maa�sa wa Halmashauri (Mhandisi na Fundi Mchundo)

• Maa�sa wawili wa Halmashauri watawezesha mafunzo kwenye wilaya yao. • Mafunzo yatafanyika kwenye Halmashauri husika. • Mafunzo yatakuwa ya siku moja.

ii. Wawezeshaji wa wilaya wataendesha mafunzo ya siku moja yatakayohudhuriwa na wawakilishi wa jamii kwenye ngazi ya wilaya. (Rejea mbinu za uwezeshaji 3.4)

• Wawezeshaji wa wilaya wataandaa eneo/chumba cha mafunzo kinachofaa kwa ajili ya shughuli hiyo na kuwasiliana na washiriki kutoka kwenye jamii.

• Wawezeshaji watatumia vitini vitakavyotolewa na OR-TAMISEMI kwa kushirikiana na EQUIP-Tanzania.

• Posho ya kujikimu na nauli zitatolewa.

iii. Wawakilishi wa jamii watarudi kwenye jamii zao na kutekeleza mambo waliyokubaliana. Wawezeshaji wa wilaya wanatakiwa kukamilisha mambo yafuatayo kabla ya kutoa mafunzo kwa wawakilishi wa Jamii:

• Kupata mafunzo kutoka ngazi ya mkoa. • Kusoma na kuuelewa mwongozo huu. • Kupokea nakala za kutosha za mwongozo huu ili kuwagawia wawakilishi wa jamii

watakaoshiriki (Nakala 3 kwa kila shule). • Kupanga tarehe ya mafunzo ya wawakilishi wa Jamii. Inashauriwa kwamba mafunzo

yatolewe na wawezeshaji wawili kwa pamoja. • Kuchagua na kuandaa chumba cha kuendeshea mafunzo.

3.2 VIFAA NA NYENZO

Wawezeshaji watahitaji vifaa vifuatavyo kwa ajili ya mafunzo:

• Karatasi kubwa za kuandikia (bango kitita) • Kalamu rashaha 20 za kuandikia za rangi mbalimbali (marker pens) • Ubao mweupe au mweusi wa kuandikia • Chaki/ kalamu kubwa za ubao mweupe za kufutika (white board markers) • Gundi ya utepe • Karatasi za rangi • Mkasi

3. Mchakato wa Mafunzo

Page 13: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

7Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

Kabla ya mafunzo utahitaji kugawa ratiba ya siku kwa washiriki kama inavyooneshwa kwenye Kiambatisho III

3.3 MUUNDO WA CHUMBA CHA MAFUNZO

• Chumba cha mafunzo/ukumbi kina/unatakiwa kuwa na ukubwa wa kuwatosha washiriki wote. Tunapendekeza kuwapo na nafasi ya ziada ili kutoa uwezekano kwa washiriki kupita na kufanyika kwa kazi za vikundi.

• Chumba cha mafunzo/ukumbi kina/unatakiwa kuandaliwa kabla washiriki hawaja�ka. Ikiwezekana, unapaswa kuwa na viti vilivyopangwa kuzunguka meza kuelekea upande wa mbele.

3.4 MBINU ZA UWEZESHAJI

Kama mwezeshaji, wakati wote lazima ujue kanuni jumuishi na shirikishi.

Katika makundi kwa kawaida kunakuwa na watu wenye kujiamini na wenye aibu, wenye kelele na wakimya.

Kama mwezeshaji, moja ya majukumu yako ni kuhakikisha kuwa kila mmoja anapata nafasi ya kuchangia na hakuna maoni ya mtu yeyote yatakayopuuzwa, kusahaulika, kuchekwa wala kupuuzwa.

Utajiri, nafasi (kazi), hadhi katika jamii, dini, jinsia, maumbile au kiwango cha elimu visiwe na athari yoyote katika ujumuishi kwenye utaratibu huu, washiriki wote wapewe fursa na nafasi sawa ya kuchangia mawazo yao.

Ni muhimu sana kuyawasilisha mazoezi yote yaliyoko kwenye Mwongozo kwa namna ambayo yanaweza kueleweka kirahisi na wale wawakilishi ambao hawajui kusoma na kuandika ili nao washirikishwe kwa kiwango sawa.

Wakati wa mafunzo ushiriki wa wanawake uangaliwe kwa jicho la pekee kutokana na uzoefu wa awali ambao unaonyesha kuwa katika baadhi ya maeneo mawazo ya wanawake hayazingatiwi ukilinganisha na wanaume. Katika mchakato huu mwezeshaji ajitahidi kushirikisha makundi yote ili kuwe na uwakilishi sawa kati ya wanaume na mawazo yote yajumuishwe.

Kwa kuongezea, kazi ya mwezeshaji ni kuwawezesha wengine ili waweze kutoa mawazo yao, na sio kulazimishia ajenda zao. Hii ina maana kwamba jukumu lako ni kusaidia mchakato uende vizuri na kupata matokeo yanayotarajiwa na sio kulazimisha mchakato ukupe majibu unayoyataka wewe. Hivyo kama unapata ugumu kwenye zoezi lolote unaweza kutoa mfano ila mfano huo usiwe ndio majibu ya moja kwa moja ya zoezi husika, isipokuwa tu pale ambapo washiriki kwa pamoja wamekubaliana mfano uliotolewa uwe ndio majibu.

Katika kuwezesha mafunzo kuna wakati utagundua kuwa ushiriki umekuwa mdogo au ha�fu au watu wanakuwa wamechoka. Tumia mbinu mbali mbali ambazo utakazokuwa umezipata kutoka kwenye mafunzo ya ngazi ya wilaya kuwachangamsha washiriki., Kwa mfano; kupasha, mazoezi ya kikundi, kujinyoosha, na nyingine ambazo ni za kibunifu na zinazochangamsha na kurudisha umakini wa washiriki.

Page 14: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

8 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

Hakikisha kwamba wewe na wengine walioko kwenye mafunzo mnafuata kanuni zilizoainishwa hapo chini baada ya kuhakikisha kuwa zimefafanuliwa na kueleweka na kila mmoja.

√ Mawazo yote yaheshimiwe √ Mawazo na makubaliano yote yawekwe bayana na yawekwe mahali panapoonekana wakati

wote wa mchakato √ Kusikilizana na kuheshimiana √ Kuzingatia muda √ Kutafuta ufumbuzi na makubaliano… na sio matatizo na migogoro.

3.5 MAMBO YA KUZINGATIA KWENYE UWEZESHAJI WA MAFUNZO

i. Kanuni Kuu za Kujifunza kwa Watu Wazima:

• Maarifa na stadi hukuzwa kupitia uzoefu na tafakuri; hayawezi kupandikizwa kwa watu. Kwa sababu hiyo, Wawezeshaji wanapaswa kuepuka kutoa mihadhara mirefu, na badala yake wajumuishe muda wa kutosha kwa ajili ya mijadala, mifano, na igizo dhima. Mkakati huu unakuza uwezekano wa kukumbukwa kwa dhana zilizofundishwa kwa muda mrefu.

• Ufanisi katika kujifunza unapatikana pale malengo ya mafunzo na dhana muhimu vinapofanyiwa mapitio. Hakikisha unaelezea malengo kwa ufasaha mwanzoni mwa kila kipindi. Mwishoni mwa kila kipindi, fanya mapitio ya vipengele muhimu kwa njia ya maswali na ufupisho.

• Ili kujifunza kwa ufanisi ni lazima mwezeshaji kuhusisha dhana na maisha halisi ya washiriki na kusaidia kubainisha namna dhana zinavyoweza kutumika darasani.

ii. Jukumu la Mwezeshaji:Kuwapatia washiriki mazingira ya kujifunza kwa ufanisi. Hii ni pamoja na:

• Kuhamasisha ushirikishaji wa washiriki wote • Kukuza hali ya ushirikiano, heshima, na kutiana moyo • Kuhusianisha vipindi tofauti, na kuwasaidia washiriki kufanya hivyo • Kuwahamasisha washiriki kuhusianisha uzoefu wa vikundi na hali halisi ya maisha • Kuwezesha washiriki waweze ku�kia muafaka.

iii. Mikakati itakayosaidia kuendesha mafunzo kwa ufanisi:

• Kukutanisha macho– Washiriki watashirikishana vizuri zaidi kama utasisitiza kuwatazama usoni wakati unapozungumza nao au unapowasikiliza.

• Kifanye kipindi kiwe na uhai– Mbali ya mtiririko asilia wa mafunzo, mwezeshaji anatakiwa kufanya maamuzi kuhusu muda na mlolongo wa matukio ili kukipatia kipindi ufanisi zaidi. Ni muhimu kulinda muda, ni vyema kuwakumbusha muda uliosalia wa kazi za vikundi vidogo (“Bado dakika tano,“ n.k.).

• Hamasisha washiriki wote kujitokeza na kutoa mawazo yao– Kama kuna watu wachache tu wanaoshiriki, uliza maswali mapya na uchague mikono tofauti inayojitokeza; washukuru na kutambua michango yao. Ushiriki mpana ni muhimu katika kujifunza.

• Kufahamiana kwa karibu – Jaribu kuwafahamu zaidi washiriki wako wakati wa mapumziko,

Page 15: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

9Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

ikiwa ni pamoja na kujua majina yao. Kufahamiana kwa karibu katika ngazi ya mtu binafsi kutaimarisha mienendo kwenye mafunzo na kuhamasisha kujifunza.

iv. Makosa ya Kuepuka katika Uwezeshaji: Unapokuwa unaendesha mafunzo, kuwa mwangalifu kwa mapungufu yafuatayo – ni makosa ya kawaida miongoni mwa wawezeshaji wa warsha;

• Maoni ya mtaalamu dhidi ya mshiriki:- mwezeshaji anapaswa kuepuka kujipambanua kama mtaalamu. Mwezeshaji anapaswa kufahamu kuwa jambo muhimu zaidi kwa washiri-ki kujifunza ni mchakato wa kukuza maarifa au stadi, siyo maarifa na stadi zenyewe.

• Kukosa kiwango, juu, ushirikishaji, washiriki: - kutokana na shinikizo na u�nyu wa muda, unaweza kushawishika kuharakisha mchakato wa mafunzo kwa kutumia njia za mkato kama vile mhadhara, Hii inawasababisha washiriki kuwa watazamaji na kuwapunguzia uwezo wa ku�kiri na kujifunza. Kumbuka watu hujifunza vizuri zaidi pale wanaposhiriki kikamilifu kwenye mchakato wa kujifunza.

• Kushughulikia maswali yasiyohusiana na malengo:- kuna maswali yasiyohusiana na malengo yanaweza kujitokeza wakati wa kipindi. Hakikisha hautumii muda mrefu kwa ajili ya maswali yasiyohusika; maswali hayo yanaweza kutunzwa hadi wakati wa mapumziko au baada ya vipindi.

3.6 MAZOEZI YATAKAYOTUMIKA KWENYE MAFUNZO

Mafunzo yatahusisha mazoezi mbalimbali yanayolenga kuufanya mchakato mzima kwenda sambamba na mbinu za kujifunza za watu wazima. Ikibidi mazoezi yanaweza yakarekebishwa kutokana na idadi ya washiriki. Hata hivyo, pale mabadiliko au marekebisho yoyote yatafanyika, yanatakiwa kufanywa kwa njia ambayo haitaathiri ufanisi wa mafunzo.

ZOEZI LA 3: HATUA MUHIMU KWA AJILI YA SHUGHULI ZA UJENZI (Dakika 45)

Lengo: kuelewa hatua muhimu zinazohusika kwenye mchakato wa ujenzi

Wagawe washiriki katika makundi madogo ya watu 5-8.

Waambie washiriki wa�kirie kuhusu mradi wakujenga vyumba vya madarasa, pia wa�kirie shughuli zinazohusika kwenye mchakato huo wa ujenzi na kisha wajadili na kuandika shughuli hizo kwenye karatasi ngumu (manila cards) kwa kutumia kalamu za rashasha (marker pen).

Yaambie makundi yazipange shughuli hizo kwa mtiririko kuanzia hatua ya kwanza mpaka ya mwisho.

Karibisha makundi kuwasilisha kazi zao

Wezesha mjadala juu ya hatua za mchakato wa ujenzi hadi kuwe na makubaliano ya kundi zima kuhusu mchakato wa ujenzi.

(Rejea Kiambatisho IV)

Page 16: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

10 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

ZOEZI LA 4: MICHORO (Dakika 30)

Lengo: Kuweza kusoma na kuielewa michoro ya majengo

Waambie washiriki waketi katika makundi madogo ya watu 5-8.

Wagawie nakala ya michoro ya madarasa kwenye kila kundi.

Yaambie makundi kujadili michoro hiyo ya vyumba vya madarasa na kisha wajibu maswali yafuatayo na kuandika kwenye bango kitita;

• Vyumba vya madarasa vina ukubwa gani? • Vyoo vina ukubwa gani? • Kuta zina urefu na upana gani? • Madirisha na milango yana vipimo gani? • Msingi una kina gani? Lenta ya kuzunguka ina ukubwa gani? • Je, kunakitu chochote ambacho hakieleweki?

Waambie washiriki wawasilishe kazi zao za makundi ikifuatiwa na mrejesho na majadiliano ya kundi zima.

(Rejea Kiambatisho IV)

ZOEZI LA 5: KUCHAGUA ENEO LA UJENZI (Dakika 30)

Lengo: Kupata uelewa wa vitu vya kuzingatia wakati wa kuchagua eneo la ujenzi

Anza mjadala kwa kuwauliza washiriki maswali yafuatayo.

• Ni vitu gani muhimu vya kuzingatia wakati wa kuchagua eneo la ujenzi? • Je, eneo linatakiwa liweje? • Ni watu gani wanahusika kwenye kuchagua eneo la ujenzi? • Vitu gani vya kuzingatia? • Je, kuna kitu kingine chochote cha ziada?

Wakati washiriki wanajibu maswali, mwezeshaji aandike majibu kwenye bango kitita /ubao mweuzi au mweupe. Wapatie muda mfupi wa majadiliano kabla ya kuhitimisha zoezi.

ZOEZI LA 6: NGUVUKAZI KWA AJILI YA UJENZI (Dakika 30)

Lengo: Kuweza kuainisha nguvukazi inayohitajika kwa ajili ya ujenzi.

Anza kwa kuwataka washiriki kuelezea namna wanavyowapata mafundi na vibarua kwa ajili ya ujenzi kwenye jamii inayowazunguka.

Waambie washiriki wakae katika makundi ya watu 5- 8 (makundi yawe tofauti na ya awali)

Wape kila kikundi nakala ya mahitaji ya mafundi na vibarua kwa ajili ya ujenzi wa shule shikizi

Waambie kila kikundi kijadili kwa kulinganisha uzoefu wao na Mwongozo unavyoelekeza.

Page 17: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

11Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

ZOEZI LA 7: KUAINISHA VIFAA VYA UJENZI (Dakika 30) (Zoezi hili linaweza kuendeshwa sambamba na zoezi la 6 kwa kutumia makundi tofauti)

Lengo: Kuweza kuainisha vifaa kwa ajili ya ujenzi

Anza kwa kuwauliza washiriki waelezee namna wanavyopata vifaa vya ujenzi katika jamii yao

Wakati washiriki wakiwa wameketi katika makundi yao madogo:

• Wapatie kila kundi nakala ya orodha ya vifaa vinavyohitajika kwa ajili ya ujenzi • Yaambie makundi yapitie orodha ya vifaa na kuona kama vinapatikana kwenye jamii

yao. • Waambie kila kikundi kijadili kwa kulinganisha uzoefu wao na Mwongozo

uliondaliwa. • Wawezeshaji watoe muda kwa ajili ya maswali kutoka kwenye makundi.

ZOEZI LA 8: GHARAMA ZA VIFAA NA UFUNDI (Dakika 40)

Lengo: Kuelewa jinsi ya kuandaa gharama za vifaa vya ujenzi

Wakiwa kwenye makundi madogo ya watu 5-8, waambie washiriki wajadili njia wanazozitumia kujua bei za vifaa vya ujenzi na gharama za ufundi kwenye jamii yao.

Waambie kila kikundi kiwasilishe kazi yao. Sisitiza kwamba kama kitu kimeshatajwa na kikundi kimoja hakuna haja ya kurudia kwenye kikundi kingine.

Waambie washiriki kwamba gharama ya vifaa na mafundi/vibarua itaandaliwa na wanajamii kwa kutumia fomu maalumu.

Wagawie kila kikundi orodha ya vifaa na mafundi/vibarua zinazoonesha vifaa vyote vinavyohitajika na pia makadirio ya siku zote za kazi za wasimamizi, mafundi na vibarua ili waipitie ikifuatiwa na maswali na majibu.

(Rejea Kiambatisho V)

ZOEZI LA 9: UDHIBITI WA UBORA KWENYE UJENZI (Dakika 40)

Lengo: Kuwa na uelewa wa vigezo vya kuhakiki ubora wa kazi na vifaa

Waambie washiriki wakae wawili wawili

Zigawe karatasi za udhibiti ubora kwa kila mshiriki

Wawezeshaji wafafanue maelekezo yaliyoko kwenye karatasi ya udhibiti ubora ikifuatiwa na majadiliano mafupi ya pamoja.

(Rejea Kiambatisho VI, VII, VIII)

Page 18: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

12 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

ZOEZI LA 10: UFUATILIAJI (Dakika 30)

Lengo: Kuelewa nini cha kufuatilia wakati wa ujenzi

Waambie washiriki wakae wawili wawili

Zigawe karatasi za udhibiti ubora kwa kila mshiriki

Wawezeshaji wafafanue maelekezo yaliyoko kwenye karatasi ya ufuatiliaji ikifuatiwa na majadiliano mafupi.

Elezea: Karatasi hizi za ufuatiliaji zitakuwa zinakusanywa kila mwezi na mhandisi wa wilaya na kuwasilishwa kwa mhandisi wa mkoa.

Page 19: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

13Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

i. Kutakuwa na makubaliano ya uchaguzi wa eneo la ujenzi wa shule shikizi na umaliziaji wa maboma kati ya Serikali ya mkoa na OR-TAMISEMI kwa kufuata vigezo vilivyotolewa na Mwongozo wa awali.

ii. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, OR-TAMISEMI pamoja na EQUIP-Tanzania watakubaliana kuhusu michoro, vipimo, orodha ya vifaa na ufundi kwa ajili ya shule shikizi na umaliziaji wa vyumba vya madarasa ambavyo havijakamilika.

iii. A�sa wa wilaya watakubaliana na bei ya vifaa na ufundi kulingana na makadirio yaliyoandaliwa na OR-TAMISEMI pamoja na EQUIP-Tanzania. Bei za vifaa na ufundi zinaweza kutofautiana kidogo kutoka mkoa mmoja hadi mwingine na hasa maeneo ya vijijini.

iv. A�sa wa wilaya watathibitisha makubaliano yao na jamii zitakazonufaika na ujenzi kwa kutumia mfumo maalum ujulikanao kama (Forced Account).

4. Utaratibu wa Kufanya Manunuzi

Page 20: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

14 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

5. Mwongozo wa Utaratibu wa Kutumia ‘Akaunti Maalum ya Ujenzi’

5.1. UTANGULIZIMwongozo huu wa matumizi ya Akaunti Maalum ya Ujenzi unaelezea yafuatayo:

• Madhumuni ya Mwongozo huu • Maana ya Akaunti Maalum ya ujenzi kama ilivyofasiliwa chini ya Kanuni Na 167 ya Sheria

ya PPR, 2013 • Muktadha ambao ‘Akaunti Maalum ya ujenzi’ inaweza kutumika • Ushiriki wa Jamii kwa mujibu wa Kanuni Na 168 ya PPR, 2013 • Wajibu wa kitengo au idara ya manunuzi ya Halmashauri • Utoaji Taarifa juu ya maendeleo ya ujenzi na mchakato wa kukamilisha ujenzi

Mwongozo huu umeandaliwa mahsusi kwa ajili ya:

• Mhandisi wa Wilaya, A�sa Ufundi wa Wilaya na Maa�sa Elimu na Wafanyakazi wengine ngazi ya Halmashauri (Mf. Wathibiti Ubora wa Shule). Pia A�sa waandamizi wa Halmashauri kama Mkurugenzi Mtendaji (DED) A�sa ELimu Wilaya (DEO), A�sa Taaluma (DAO), A�sa Vifaa na Takwimu (DSLO), A�sa Mipango (DPLO), A�sa Maendeleo ya Jamii (DCDO) na Mtunza Hazina (DT).

• A�sa ngazi ya Mkoa, akiwemo Mhandisi wa Mkoa, A�sa Elimu Mkoa, A�sa Taaluma Mkoa na A�sa Mipango mkoa kuwasaidia kwenye jukumu kusimamia utekelezaji.

5.2 MADHUMUNI YA MWONGOZO HUU Madhumuni ya Mwongozo huu ni kuwaelekeza watendaji wote wenye wajibu wa kutekeleza mchakato wa ujenzi wa shule shikizi na kukamilisha maboma ya madarasa kwa kutumia fedha za EQUIP–Tanzania zilizoko kwenye Halmashauri. Mwongozo huu umeandaliwa kwa kurejea Kanuni Namba 167 na 168 ya Sheria ya PPR, 2013.

Kwa mujibu wa Sheria ya PPA Na 7 ya mwaka 2011 na marekebisho yake yaliyofanywa mwaka 2016, mchakato wa utoaji zabuni kwa njia ya ushindani umesisitizwa na kupewa kipaumbele. Hata hivyo, kwenye mazingira ambapo mchakato wa ushindani wa zabuni hauwezi kutekelezwa kwa urahisi na bidhaa au huduma zinaweza kupatikana katika maeneo hayo, Kanuni ya 168 inatoa fursa ya kupata huduma hizo kwa kutumia vikundi vya kijamii vinavyotambulika. Baadhi ya huduma hizi ni pamoja na mafundi seremala, mafundi ujenzi au wafanyakazi wa muda mfupi nk.

Lengo ni kuimarisha ushiriki wa jamii katika shughuli mbalimbali za maendeleo ndani ya maeneo yao. Utaratibu wa kutumia akaunti maalum ya ujenzi husaidia utekelezaji wa miradi inayomilikiwa na serikali katika ngazi ya jamii.

Page 21: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

15Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

5.3 KANUNI ZINAZOSIMAMIA UTARATIBU WA UJENZI WA SHULE SHIKIZI NA KUKAMILISHA MADARASA KWA KUTUMIA ‘AKAUNTI MAALUM YA UJENZI’ Kanuni ya 167 – Akaunti Maalum ya Ujenzi

Matumizi ya akaunti maalum ya ujenzi au kutumia mafundi moja kwa moja kunaweza kuhalalishwa kama kuna mazingira mojawapo kati ya haya;

a. Kazi inayotakiwa kufanyika imetawanyika sana au iko katika maeneo ya mbali ambako makampuni ya ujenzi yenye ujuzi hayawezi kuomba zabuni kupitia mchakato stahiki;

b. Kazi inahitajika kufanywa bila kuvuruga shughuli zinazoendelea;

c. Athari za usumbufu usioepukika zinabebwa vizuri na chombo cha manunuzi au mamlaka ya umma kuliko mkandarasi;

d. Kuna dharura inayohitaji kushughulikiwa haraka

e. Chombo cha manunuzi kina wafanyakazi wenye ujuzi wa kutekeleza na kusimamia kazi inayohitajika; au;

f. Ukarabati au ujenzi ni sehemu ya shughuli za kawaida za chombo cha manunuzi.

Kwa madhumuni ya sheria hii ‘Akaunti Maalum ya ujenzi’ ina maana ya ujenzi unaotekelezwa na chombo cha manunuzi au kutumia mashirika/wakala au idara ya umma inayohusika na ujenzi-ambapo taasisi au shirika la umma linatumia wafanyakazi na vifaa vyake au mafundi/ wafanyakazi wa kukodi kwa muda fulani.

Kanuni ya 168 – Ushiriki wa Jamii kwenye Manunuzi

Ambapo, kwa malengo ya kuufanya mradi kuwa uendelevu au kufanikisha malengo maalum ya kijamii ya mradi, ni muhimu kwa vipengele vya mradi vilivyochaguliwa;

a. Kutoa wito kwa jamii, au wakulima na makundi mengine kushiriki kikamilifu;

b. Kuongeza matumizi ya mafundi/wataalamu wa ndani na bidhaa zinazotengenezwa maeneo husika; au

c. Kutumia nguvukazi kubwa na teknolojia nyingine zinazofaa.

Maelezo:

• Taratibu za manunuzi, vipimo/vigezo na vipengele vya mkataba vitawekwa ili kuendana na maslahi au malengo hayo.

• Jamii inayonufaika itawajibika kwenye shughuli za manunuzi chini ya kipengele cha mradi

• Mamlaka itatoa miongozo husika kwa ajili ya ushiriki wa jamii kwenye kesi za manunuzi

5.4 WAJIBU WA CHOMBO CHA MANUNUZI, IDARA AU HALMASHAURI a. Wahandisi wa Wilaya watatoa msaada wa kiufundi na ufuatiliaji wa mchakato wa ujenzi

wakati wote; na

b. Kwa mujibu wa Taarifa ya Serikali Na 446 ya 2013, manunuzi yote yaliyo chini ya Kanuni ya 168 yataratibiwa ngazi ya Serikali za Mitaa.

Kwa pamoja, kwa Taarifa ya Serikali Na 446 ya 2013, yafuatayo yanapaswa kuzingatiwa na Halmashauri;

Page 22: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

16 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

c. Uchaguzi wa maeneo ya kujenga shule shikizi na kumalizia maboma ya madarasa ukubaliwe na Sekretarieti ya Mkoa, OR-TAMISEMI na EQUIP Tanzania kwa kuzingatia vigezo vilivyotolewa kwenye Mwongozo wa wazo la mradi;

d. OR-TAMISEMI na Wizara ya Elimu wakubali michoro, vipimo na vifaa vya kujengea shule shikizi na kupaua maboma ya madarasa;

e. Halmashauri zikubaliane na bei za vifaa na gharama za ufundi zilizokadiriwa na OR-TAMISEMI na EQUIP-Tanzania. Bei za vifaa na gharama za ufundi vinaweza kutofautiana kidogo mkoa hadi mkoa na hasa kwa ujenzi unaofanyika maeneo ya vijijini mbali; na

f. Halmashauri kuthibitisha mikataba ya jamii zinazonufaika kwa ajili ya ujenzi ambao utatekelezwa kwa kutumia utaratibu wa ‘Akaunti Maalum ya ujenzi’.

5.5 UTOAJI TAARIFA NA UTUNZAJI KUMBUKUMBU KATIKA NGAZI YA HALMASHAURI NA SHULE

a. Pamoja na taratibu za malipo zilizopo Serikali za mitaa, Shule na Halmashauri zitaandaa ripoti za maendeleo ya ujenzi na kuzipeleka sekretarieti ya mkoa kila mwezi;

b. Kumbukumbu sahihi na ushahidi wa kutosha zitawekwa katika ngazi ya Halmashauri na shule;c. Ripoti za Fedha za Halmashauri au Shule zitakuwa na yafuatayo;

• Taarifa sahihi ya benki • Taarifa ya benki ya ulinganishi wa mahesabu iliyoidhinishwa • Uchambuzi wa kitabu cha fedha - kutambua kiasi kilichopokelewa na malipo

yaliyofanywa kwa wauzaji; • Ankara za malipo kuhalalisha malipo yaliyofanywa; • Mikataba iliyosainiwa ya mafundi waliochaguliwa katika ngazi ya jamii; • Hati za mapendekezo ya bei kutoka kwa wauzaji zilizopatikana kutoka kwa jamii • Matumizi yaliyofanyika kipindi chote cha utekelezaji wa ujenzi; • Mikataba ya kazi au madai yoyote yaliyolipwa katika ngazi ya jamii; • Nakala ya mpangokazi wa ujenzi; • Orodha ya misaada au michango mbalimbali iliyotolewa na wanajamii; na • Mkakati wowote wa kupata fedha uliokubaliwa na wanajamii kama sehemu ya umiliki

wao na uendelevu wa mradi.

d. Ripoti ya Maendeleo ya ujenzi ya Halmashauri au Shule itakuwa na yafuatayo;

Halmashauri itazisaidia shule na kuzijengea uwezo ili kuhakikisha shule zina uwezo wa kutoa taarifa za maendeleo yao kwenye ngazi mbalimbali. Ripoti ya maendeleo ya mradi itakuwa na sehemu zifuatazo;

• Utangulizi; • Shughuli zilizofanywa mwezi uliopita kama ilivyopangwa kwenye Mpango wa

Maendeleo ya Shule (MMS); • Shughuli zilizopangwa kufanyika mwezi ujao kama ilivyo kwenye Mpango wa

Maendeleo ya Shule (MMS); • Chati ya kufuatilia maendeleo ya ujenzi itakayojazwa na mhandisi wa wilaya na mkoa; • Shughuli nyingine zilizofanywa ambazo haziko kwenye mpangokazi ; • Mafanikio; • Changamoto; na • Mapendekezo

Page 23: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

17Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

UTANGULIZIMpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania (EQUIP-Tanzania) ni programu inayofadhiliwa na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Uingereza (DFID). Mpango huu unalenga kuisaidia serikali ya Tanzania kuimarisha ubora wa elimu katika shule za msingi na kuongeza idadi ya watoto hasa wasichana wanaofanikiwa kuendelea na elimu ya sekondari.

EQUIP-Tanzania itagharamia ujenzi wa jumla ya shule shikizi 240 na kumalizia vyumba vya madarasa 240 katika mikoa 9 inayotekeleza programu ya EQUIP-Tanzania. Shule hizi shikizi zitakuwa na jengo lenye vyumba viwili vya madarasa pamoja na o�si ndogo moja, na chumba cha kuhifadhia vitu, vyote vitajengwa katika jengo moja, Pia kutakuwa vyoo kwa kuzingatia jinsi. Shule zote shikizi zitajengwa maeneo ya vijijini sana ambako kuna umbali wa angalau km 3 kutoka ilipo shule ‘mama’.

Mbali na ujenzi wa shule shikizi, fedha zimetolewa ili kukamilisha majengo ya madarasa ambayo yamejengwa na wananchi hadi kwenye hatua ya lenta. Utoaji wa fedha kwa ajili ya umaliziaji utafuata masharti ya vigezo vya ujenzi wa msingi na boma la jengo ili kukidhi vigezo na viwango vya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

Ujenzi wa shule shikizi na kazi ya kumalizia maboma utafanywa na jamii na utafuata taratibu zilizowekwa na MMEM (Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi) uliofadhiliwa na Benki ya Dunia). Mchakato wa shughuli zote utasimamiwa na Halmashauri pamoja na Mkoa.

A�sa wa wilaya na mafundi watawajibika katika kutekeleza shughuli zote za ujenzi wa miundo mbinu zinazofadhiliwa na Programu ya EQUIP-Tanzania katika ngazi ya Halmashauri na jamii. Wahandisi na mafundi wa wilaya wana wajibu wa kufanya kazi pamoja na jamii ili kuhakikisha kwamba viwango vya ubora vinavyohitajika vinazingatiwa, na mradi utatekelezwa kwa wakati.

Wajibu/Ngazi ya Utoaji Taarifa: Mhandisi wa wilaya na mafundi watakuwa ni sehemu ya watumishi wa Halmashauri lakini pia watakuwa chini ya mhandisi wa mkoa ambaye atapokea na kushirikishana taarifa zote na na OR-TAMISEMI na EQUIP-Tanzania aliyeko Dar es Salaam

Muda wa Utekelezaji: Utekelezaji wa kazi ni kuanzia wakati wa maandalizi mpaka wakati wa ujenzi wa shule shikizi (unakadiriwa kuanza mwezi Agosti 2017 - mwezi Novemba 2018).

Hadidu za Rejea: Wahandisi wa wilaya na mafundi watafanya kazi ndani ya Halmashauri na watabeba majukumu yafuatayo ya nyogeza kwa ajili ya programu ya EQUIP-Tanzania

KIAMBATISHO IHadidu za Rejea - Wahandisi wa Wilaya na Afisa

Ufundi katika kutekeleza ujenzi wa Shule Shikizi na Kumalizia vyumba vya Madarasa

Page 24: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

18 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

1. Kukamilisha Majengo Yaliyopo

Masharti ya awali. Wahandisi na mafundi wa wilaya watahakikisha kuwa vigezo vifuatavyo vina�kiwa kabla fedha haijatolewa kwenda maeneo husika;

Eneo la Ujenzi

• Watahakikisha kuwa kamati ya usimamizi ya jamii ipo • Watahakikisha kuwa jengo husika liko mahali panapofaa kwa shule / jamii iliyopo • Watahakikisha jengo limejengwa kwenye eneo salama lisilo hatarishi • Watahakikisha kuwa eneo hilo huwa halikumbwi na mafuriko na kwamba lina mifereji ya

kutosha ya kupitisha maji • Watahakikisha kuwa kuna eneo la kutosha kwa ajili ya upanuzi wa baadaye itakapohitajika

kufanya hivyo

Ukubwa wa Darasa

• Ukubwa wa jengo lazima uzingatie vigezo vya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ili kutosheleza idadi ya wanafunzi katika darasa

Misingi na Boma la Jengo

• Misingi iliyopo inapaswa kuwa imara na iwe katika hali nzuri • Kuta lazima ziendane na vigezo vya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na ziwe na mkao

mzuri • Madirisha na milango lazima yawe katika maeneo sahihi yanayofaa na yenye ukubwa wa

kutosha na nguzo zake ziwe katika hali nzuri • Kuta zake lazima ziwe zimejengwa hadi ku�kia kiwango cha lenta (angalau urefu mita

2.7)

Kazi ya Maandalizi.

• Lenta ya boma iwe na vipimo (250 kwa 150 nondo 4 za milimita 12, na zege la nchi 8 katika ya ukuta wa mm 150) ili liweze kufaa.

• Urefu wa Paa na hanamu utaamriwa na uongozi wa Jamii

Orodha ya vifaa na rasimu za mikataba ya kazi itaandaliwa na makubaliano yatafanywa na jamii

Usimamizi wa Ujenzi

• Mhandisi wa wilaya na fundi mchundo watahakiki ubora wa vifaa (saruji, nondo, mchanga na kokoto, mbao za paa na mabati)

• Ubora wa kazi unaopaswa kudhibitiwa (lenta, kenchi na kupiga bati)

Page 25: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

19Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

2. Ujenzi wa Shule Shikizi Kazi ya Maandalizi

• Hakikisha kamati ya usimamizi ya jamii ipo • Kuendesha mafunzo ya kutambulisha programu kwa wadau wote katika muundo

ulioandaliwa na kukubaliana pamoja na mhandisi wa mkoa, OR-TAMISEMI na EQUIP-Tanzania. Mafunzo yatatolewa kwa wahandisi wa wilaya juu ya uendeshaji wa Semina. Mada za kufundisha zitajumuisha:

• Utaratibu wa kufuata katika mchakato wa ujenzi • Ufafanuzi wa michoro • Orodha ya vifaa na mikataba ya kazi • Umuhimu mkubwa wa ubora wa vifaa na kazi

• Kwa kushirikiana na jamii hakiki eneo la jengo la darasa na vyoo na hakikisha kuwa majengo hayako katika eneo hatarishi, hayakabiliwi na mafuriko na yana mifereji ya kupitisha maji

• Hakikisha kuna eneo la kutosha kwa ajili ya upanuzi wa majengo hapo baadaye itakapohitajika, na andaa mpango rahisi wa eneo la ardhi wenye madarasa ulioelekezwa kwenye mstari wa Mashariki ya Magharibi. Mpango wa ardhi utaonesha eneo na mwelekeo wa jengo, darasa na vyoo kuendana na jengo lenyewe. Maeneo yaliyopendekezwa kwa ujenzi wa baadaye yanapaswa pia kuoneshwa.

• Wapatie jamii nyaraka na miongozo yote inayohitajika kwa ajili ya ujenzi (michoro, orodha ya vifaa, maelezo, rasimu ya mikataba ya kazi nk)

• Zungumzia mkataba wa kazi na jamii kwa ajili ya ujenzi wa shule shikizi kwa kuzingatia Orodha ya vifaa na rasimu ya mkataba wa Kazi

Usimamizi wa Ujenzi

• Tembelea kila moja ya maeneo ya kazi za ujenzi angalau mara moja kwa juma wakati wa kipindi cha ujenzi

• Hakikisha vipimo na maelekezo ya ujenzi vinazingatiwa na kwamba ubora wa vifaa na kazi ya ujenzi vinakidhi viwango vinavyotakiwa. Hakikisha kwamba hatua za maboresho zinachukuliwa kila inapohitajika na msaada unatolewa kwa jamii kila inapohitajika.

• Fuatilia maendeleo ya kazi na kutoa ripoti mara kwa mara kwenye o�si ya wilaya na mkoa. Tuma taarifa za maendeleo ya kazi kwa njia ya chati rahisi ya ufuatiliaji kwa mhandisi wa mkoa na OR-TAMISEMI na EQUIP-Tanzania kila baada ya majuma mawili.

• Idhinisha malipo yanayotakiwa kutokana na ujenzi kupitia o�si ya wilaya. • Toa taarifa za matatizo yoyote ambayo hayawezi kutatuliwa kwenye eneo la kazi kwenda

o�si ya wilaya na mkoa.

Page 26: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

20 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

UTANGULIZI

Mpango wa Kuinua ubora wa Elimu Tanzania (EQUIP-Tanzania) ni programu inayofadhiliwa na Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Uingereza (DFID). Mpango huu unalenga kuisaidia serikali ya Tanzania kuimarisha ubora wa elimu katika shule za msingi na kuongeza idadi ya watoto hasa wasichana kuweza kuendelea na elimu ya sekondari.

O�si ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali ya Mitaa kwa kushirikiana na EQUIP-Tanzania inakusudia kutekeleza ujenzi wa shule shikizi 240 na kumalizia vyumba vya madarasa 240 katika mikoa 9 inayotekeleza programu. Shule hizi shikizi zitakuwa na jengo lenye vyumba viwili vya madarasa pamoja na o�si ndogo moja, na chumba cha kuhifadhia vitu, vyote vitajengwa katika jengo moja pamoja na vyoo vya kisasa. Shule zote shikizi zitajengwa maeneo ya vijijini sana ambako kuna umbali wa angalau km 3 kutoka ilipo shule ‘mama’.

Pamoja na ujenzi wa shule shikizi , fedha zimetolewa ili kukamilisha majengo ya madarasa ambayo yamejengwa na wananchi hadi kwenye hatua ya lenta. Utoaji wa fedha kwa ajili ya upauaji unategemea kufuatwa kwa masharti ya vigezo vya ujenzi wa msingi na boma la jengo ili kukidhi vigezo na viwango vya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

Kazi za ujenzi wa shule shikizi na uezekaji wa paa zitafanywa na jamii na zitafuata taratibu zilizowekwa na MMEM. Mchakato huo utasimamiwa kwenye ngazi ya Serikali za mitaa na kuangaliwa kwa karibu na ngazi ya mkoa.

Tunahitaji pia kuwa na mhandisi wa ziada ngazi ya mkoa ili kuhakikisha kuwa viwango vya ubora vinavyohitajika vinazingatiwa, na ataweza kufuatilia maendeleo ya ujenzi. Hii itasaidia sana kuhakikisha kuwa ujenzi unafanywa kwa kiwango cha juu na kwa wakati.

Mahitaji: Mhandisi mmoja anahitajika katika kila mkoa iliko programu ya EQUIP-Tanzania (mikoa 9 kwa jumla). Wakati wa utekelezaji wa mpango wa ujenzi wa shule shikizi EQUIP-Tanzania itatoa Mtaalamu-Kiongozi ambaye atakuwa Dar es Salaam. Mtaalamu-Kiongozi ataendelea kuwasiliana na wahandisi wa mkoa na kufanya ziara mara kwa mara kutembelea mikoa na wilaya husika.

Wajinu/Ngazi za Utoaji Taarifa: Mhandisi wa mkoa wa ufuatiliaji wa ubora na maendeleo ya ujenzi atakuwa sehemu ya wahandisi wa mkoa lakini kwa kuongezea kwenye utoaji taarifa kwa mhandisi wa mkoa, mhandisi huyo atatoa matokea na kujadili maendeleo ya ujenzi na Mtaalamu-Kiongozi wa EQUIP-Tanzania.

Muda wa Utekelezaji: Utekelezaji wa kazi ni kuanzia wakati wa maandalizi mpaka wakati wa ujenzi wa shule shikizi (unakadiriwa kuanza mwezi Agosti 2017 - mwezi Novemba 2018).

KIAMBATISHO IIHadidu za Rejea - Mhandisi wa Mkoa wa Ufuatiliaji wa Ubora na Maendeleo ya Programu ya EQUIP-Tanzania

Page 27: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

21Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

Hadidu za Rejea

1. Nyaraka. Ili kuhakikisha kuwa nyaraka zilizotolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na OR-TAMISEMI na EQUIP-Tanzania zimekamilika na zinatosha kuzielekeza Halmashauri kuendelea na ujenzi. Nyaraka hizi zitajumuisha michoro, orodha ya vifaa, vipimo na rasimu ya mikataba ya Kazi. Mhandisi atasimamia usambazaji wa nyaraka za kiufundi na za kiutawala kwenye Halmashauri na jamii zilizochaguliwa katika mkoa. Mhandisi pia atasaidia kwenye kupitia mikataba itakayopewa kazi.

2. Mafunzo. OR-TAMISEMI kwa kusaidiwa na EQUIP-Tanzania itatoa mafunzo katika ngazi ya mkoa kwa wahandisi na wataalamu wa wilaya ambao watasimamia ujenzi. Semina hizi zitafafanua masuala ya kiufundi ya kazi (michoro na orodha ya Vifaa) na pia itafafanua taratibu zinazopaswa kufuatwa. Kutakuwa na msisitizo mkubwa juu ya udhibiti wa ubora. Mhandisi atatakiwa kushiriki na kuendesha semina hizi.

Semina hizi pia zitafanyika katika ngazi ya jamii ili kuhakikisha kuwa jamii zinaelewa utaratibu wa ujenzi, na pia zinafahamu vizuri viwango vya ubora wa kazi na vifaa vinavyohitajika. Semina hizi zitafanyika wilayani kupitia wahandisi wa wilaya. Muundo na utaratibu wa semina utaandaliwa kwa msaada wa EQUIP-Tanzania lakini mhandisi anatakiwa kusimamia utekelezaji wa semina hizi.

3. Usimamizi na Uangalizi wa Ujenzi. Mhandisi atahakikisha anawasiliana mara kwa mara na wahandisi na mafundi ujenzi wa ngazi ya halmashauri na mkoa ili kuhakikisha kuwa taratibu zote za usimamizi wa ujenzi zinafuatwa kwa usahihi na viwango vya ubora vina�kiwa. Pale inapobidi hatua za kusahihisha zinapaswa kuwekwa na kufuatiwa.

4. Udhibiti wa Ubora. Kwa kuwasiliana mara kwa mara na wahandisi wa wilaya na mafundi mchundo na ziara za mara kwa mara kwenye eneo la kazi, mhandisi atatakiwa kuhakikisha kuwa viwango vya mazingira ya kazi na ubora wa vifaa vinazingatiwa. Ikiwa kuna masuala yoyote ya ubora ambayo hayatatuliki kwa haraka kwenye eneo la kazi, Mhandisi atapaswa kuishauri OR-TAMISEMI na EQUIP-Tanzania.

5. Maendeleo ya Ujenzi. Maendeleo ya ujenzi yatafuatiliwa kwa uendelevu. Chati rahisi ya ufuatiliaji wa maendeleo ya ujenzi itatayarishwa na EQUIP-Tanzania ambayo itahitaji kubadilishwa kila baada ya wiki mbili kwa kila eneo la ujenzi na kurejeshwa kwa EQUIP-Tanzania.

6. Ziara za kutembelea eneo la kazi. Wakati wa ujenzi mhandisi atahitajika kufanya ziara za mara kwa mara kuthibitisha ripoti zinazowasilishwa na wahandisi wa wilaya. Vile vile ukaguzi wa mwisho wakati wa kukamilika kwa kazi utafanyika katika maeneo hayo ili kuhakiki ubora.

7. Msaada wa EQUIP Tanzania. Mshauri kiongozi wa miundombinu wa EQUIP-Tanzania na kiongozi wa timu ya wataalam watafanya ziara za mara kwa mara kwenye mkoa ili kufuatilia na kushirikishana taarifa katika ngazi ya Mkoa kuhusu ufuatiliaji wa ubora na maendeleo ya ujenzi. Kwa mujibu wa sheria, mkaguzi wa kujitegemea atatembelea mkoa angalau mara moja wakati wa ujenzi ili kuhakikisha kuwa ujenzi unatekelezwa kwa kiwango cha juu.

Page 28: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

22 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

KIAMBATISHO III

Ratiba ya Mafunzo

Ratiba ya Mafunzo ya Wawakilishi wa JamiiMuda Shughuli02.00 - 02.30 Kuwasili na Usajili02.30 – 03.00 Ufunguzi na Utambulisho03.00 – 04.00 Hatua Muhimu kwa Ajili ya Shughuli za Ujenzi04.00 – 04.30 Mapumziko ya Asubuhi.04.30 – 5.00 Michoro ya Majengo05.00 – 05.45 Kuandaa Eneo la Ujenzi05.45 – 06.30 Kuainisha nguvukazi06.30 – 07.00 Kuainisha Vifaa07.00 – 08.00 Chakula cha Mchana08.00 – 09.00 Gharama na Bei09.00 – 09.40 Uthibiti wa Ubora09.40 – 10.00 Mapumziko ya Jioni10.00 – 11.00 Ufuatiliaji na Hatua Zitakazofuata

Page 29: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

23Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

KIAMBATISHO IV - MICHORO

STA

ND

AR

D C

LAS

SR

OO

M B

LOC

K -

LAY

OU

T P

LAN

SC

ALE

1:1

00S

HE

ET

1 O

F 7

DA

TE:

May

201

7C

LIE

NT.

Drg

No.

1

TITL

E.

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

Page 30: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

24 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

STA

ND

AR

D C

LAS

SR

OO

M B

LOC

K -

FO

UN

DA

TIO

NS

CA

LE 1

:100

, 1:

40S

HE

ET

2 O

F 7

DA

TE:

May

201

7C

LIE

NT.

Drg

No.

2

TITL

E.

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

Page 31: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

25Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

STA

ND

AR

D C

LAS

SR

OO

M B

LOC

K -

SE

CTI

ON

S SC

ALE

1:5

0 &

1:2

5S

HE

ET

3 O

F 7

DA

TE:

May

201

7C

LIE

NT.

Drg

No.

3

TITL

E.

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

NO

TE:

Inte

rnal

fini

sh- S

moo

th p

last

erE

xter

nal F

inis

h- T

yrol

ean

plas

ter

Fron

t Ele

vatio

n ha

s sm

ooth

plas

ter f

inis

h E

xter

nally

Insi

de c

lass

room

glo

ss p

aint

upto

1.5

m h

eigh

t

Page 32: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

26 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

STA

ND

AR

D C

LAS

SR

OO

M B

LOC

K -

RO

OF

PLA

N D

ETA

ILS

HE

ET

4 O

F 7

DA

TE:

May

201

7C

LIE

NT.

Drg

No.

4

TITL

E.

TRU

SS

DE

TAIL

SC

ALE

1:5

0

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

Page 33: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

27Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

STA

ND

AR

D C

LAS

SR

OO

M B

LOC

K -

TR

US

S D

ETA

ILS

HE

ET

5 O

F 7

DA

TE:

May

201

7C

LIE

NT.

Drg

No.

5

TITL

E.

TRU

SS

DE

TAIL

SC

ALE

1:5

0

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

NO

TE:

All

Stru

ctur

al T

imbe

r to

beTr

eate

d w

ith D

udu

Kill

er

Page 34: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

28 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

STA

ND

AR

D C

LAS

SR

OO

M B

LOC

K -

ELE

VA

TIO

NS

SCA

LE 1

:100

SH

EE

T 6

OF

7

CLI

EN

T.

Drg

No.

6

TITL

E.

FRO

NT

ELE

VA

TIO

NS

CA

LE 1

:100

RE

AR

ELE

VA

TIO

NS

CA

LE 1

:100

DA

TE:

May

201

7

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

NO

TE:

Inte

rnal

fini

sh- S

moo

th p

last

erE

xter

nal F

inis

h- T

yrol

ean

plas

ter

Fron

t Ele

vatio

n ha

s sm

ooth

pla

ster

finis

h E

xter

nally

Ext

erna

l Fin

ish-

Tyr

olea

n pl

aste

r with

Em

ulsi

on p

aint

Ext

erna

l Fin

ish-

sm

ooth

pla

ster

with

Bla

ck b

itum

inou

s pa

int

Ext

erna

l Fin

ish-

sm

ooth

pla

ster

with

glo

ss p

aint

upt

o 1.

5 m

hig

h

Ext

erna

l Fin

ish-

sm

ooth

pla

ster

with

Bla

ck b

itum

inou

s pa

int

Page 35: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

29Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

STA

ND

AR

D C

LAS

SR

OO

M B

LOC

K -

ELE

VA

TIO

NS

CA

LE 1

:50

SH

EE

T 7

OF

7

CLI

EN

T.

Drg

No.

7

TITL

E.

TYP

ICA

L S

IDE

ELE

VA

TIO

NS

CA

LE 1

:50

DA

TE:

May

201

7

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

NO

TE:

Inte

rnal

fini

sh- S

moo

th p

last

erE

xter

nal F

inis

h- T

yrol

ean

plas

ter

Tyro

lean

pla

ster

with

em

ulsi

on p

aint

Ext

erna

l Fin

ish-

sm

ooth

pla

ster

with

Bla

ck b

itum

inou

s pa

int

Page 36: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

30 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

TO

ILE

T B

LOC

K -

LAY

OU

T P

LAN

SC

ALE

1:5

0S

HE

ET

1 O

F 7

DA

TE:

MA

Y 2

017

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

CLI

EN

T.

Drg

No.

1

TITL

E.

KE

Y H

OLE

OP

EN

ING

DE

TAIL

SC

ALE

1:2

0

Page 37: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

31Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

TO

ILE

T B

LOC

K -

PIT

FO

UN

DA

TIO

N P

LAN

SC

ALE

1:4

0S

HE

ET

2 O

F 7

DA

TE:

MA

Y 2

017

CLI

EN

T.

Drg

No.

2

TITL

E.

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

Page 38: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

32 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

TOIL

ET

BLO

CK

- S

EC

TIO

NS

SC

ALE

1:5

0, 1

:25

SH

EE

T 3

OF

7

DA

TE:

MA

Y 2

017

CLI

EN

T.

Drg

No.

3

TITL

E.

SE

CTI

ON

1-1

SC

ALE

1:5

0

SE

CTI

ON

2-2

SC

ALE

1:5

0

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

NO

TE:

Inte

rnal

fini

sh- S

moo

th p

last

erE

xter

nal F

inis

h- T

yrol

ean

plas

ter

No

Pla

ster

insi

de th

e pi

t

DE

TAIL

1

DE

TAIL

1

Page 39: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

33Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

TO

ILE

T B

LOC

K -

ELE

VA

TIO

NS

SC

ALE

1:5

0S

HE

ET

4 O

F 7

DA

TE:

MA

Y 2

017

CLI

EN

T.

Drg

No.

4

TITL

E.

RE

AR

ELE

VA

TIO

NS

CA

LE 1

:50

SID

E E

LEV

ATI

ON

SC

ALE

1:5

0

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

Page 40: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

34 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

STA

FF T

OIL

ET

BLO

CK

- LA

YO

UT

AN

D F

OU

ND

ATI

ON

PLA

NS

CA

LE 1

:50

SH

EE

T 5

OF

7

DA

TE:

MA

Y 2

017

CLI

EN

T.

Drg

No.

5

TITL

E.

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

Page 41: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

35Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

TOIL

ET

BLO

CK

- S

EC

TIO

NS

CA

LE 1

:50

, 1:2

0S

HE

ET

6 O

F 7

DA

TE:

MA

Y 2

017

CLI

EN

T.

Drg

No.

6

TITL

E.

SE

CTI

ON

1-1

SC

ALE

1:5

0

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

NO

TE:

Inte

rnal

fini

sh- S

moo

th p

last

erE

xter

nal F

inis

h- T

yrol

ean

plas

ter

No

Pla

ster

insi

de th

e pi

t

Det

'1'

Det

'1'

Page 42: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

36 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

STA

FF T

OIL

ET

BLO

CK

- E

LEV

ATI

ON

S SC

ALE

1:5

0S

HE

ET

7 O

F 7

DA

TE:

MA

Y 2

017

CLI

EN

T.

Drg

No.

7

TITL

E.

EQ

UIP

SA

TELL

ITE

SC

HO

OLS

RE

AR

ELE

VA

TIO

NS

CA

LE 1

:50

SID

E E

LEV

ATI

ON

SC

ALE

1:5

0

Page 43: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

37Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

KIAMBATISHO V

Maelezo ya Vifaa KipimoDarasa na

Ofisi

Choo cha Wanafunzi

(4)

Choo cha Wafanyakazi

(1) Jumla Kiwango Kiasi MaelezoMasonary RelatedCement 50 kg bags 433 113 55 601 Sand 7TLorry/4M3 12 3 2 17 Aggregate 7TLorry/4M3 10 2 1 13 Hard core/Stones 7TLorry/4M3 5 1 0 6 Kifusi 7TLorry/4M3 7 - 1 7 Water 7TLorry/4M3 12 3 2 16 Solid Blocks 230x150x450** No 3,589 1,604 849 6,042 Rebar 12mm 12m length 45 4 1 50 Rebar 8mm 12m length 47 3 1 51 Rebar 6mm 12m length 3 1 1 5 Anti Termite Litres 5 0.5 0.5 6 PVC Sheet 50x1.2m roll 3 1 1 5

Sub Total - ** if fired bricks are to be used equivalent number to be calculated

Timber / Carpentry RelatedUntreated Treated 50x50 18 foot length 4 4 1 9 Treated 50x50 18 foot length 90 6 3 99 Treated 50x100 18 foot length 33 7 4 44 Treated 50x150 18 foot length 59 - - 59 Treated 25x250 18 foot length 14 3 2 19 2 inch nails kgs 9 5 3 16 4 inch nails kgs 17 7 3 26 6 inch nails kgs 5 - - 5 Plywood 1/2 inch 1.2x2.4m sheets 5 5 1 11 Gypsum ceiling board 9mm 1.2x2.4m sheets 52 - - 52 Ceiling cornice plain gypsum 3m length 30 - - 30

Sub Total - Hardwood Windows, Doors and IronmongeryTimber window complete with bars and weld mesh

No of 1500x1550 11 - - 11

Steel window complete with glass panels

No of 1500x1550 - - -

Timber Door and frameNo of

1000x2450 3 - - 3

Timber Toilet door + Frame No of 800x1700 4 1 5 Timber window complete with burglar bars

No of 1000x1550 1 - - 1

3 lever Union mortice lock No 3 - - 3 100mm Door brass butt hinges Item 9 8 2 19 HD Door barrelr bolt No 3 4 1 8

Sub Total -

Kiambatisho V: Orodha ya vifaa vya ujenzi wa shule shikiziORODHA YA VIFAA VYA UJENZI WA SHULE SHIKIZI

Page 44: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

38 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

Maelezo ya Vifaa KipimoDarasa na

Ofisi

Choo cha Wanafunzi

(4)

Choo cha Wafanyakazi

(1) Jumla Kiwango Kiasi MaelezoRoofing

Resincot 28G CI roof sheets 3mx862mm pcs 122 5 3 130

Roofing Nails (Galvanised) Packets of 100 20 1 1 22 Ridge/ Hip capping 3m lengths 15 - - 15 Coffee tray mesh M2 2 - - 2 Louvres for vent No 2 - - 2

Sub Total - Rain Water Collection150mm water gutter 4.5m lengths 15 1 1 17 100mm gutter outlet Item 2 2 1 5 Gutter connector(150mm) No 15 - - 15 Brackets for gutters No 116 8 8 132 PVC pipe 110dia Class B 6m lengths 1 1 1 3 PVC Elbow 110dia Class B No 4 4 2 10 2000L Simtank or Equiv water tank No 2 - - 2 500L Simtank or Equiv water tank No - 2 1 3 3/4 inch pvc pipe m 2 - - 2 3/4 inch pipe connector No 2 2 1 5 3/4 inch brass water tap No 1 2 1 4 Insect mesh M2 2 1 - 3

Sub Total - PaintingAll paint to be Sadolin/Goldstar or EquivalentBituminous Wall paint 4 Lt tins 2 0.5 0.5 3 Wall Primer 20 Lt tins 2 - - 2 Wall Emulsion 20 Lt tins 4.5 1.0 0.5 6 Wall Super Gloss 4 Lt tins 11 - 11 Timber Gloss 4 Lt tins 1 1 1 3 Blackboard Paint 4 Lt tins 1 - - 1 Gypsum powder kgs 5 5 Gypsum tape m 60 60

Sub Total -

Jumla vifaa - UsafiriAllowance for transport of Materials Item 1 -

MOEST normally allows 1-2 %, say1.5%

jumla Vifaa na Usafiri -

Page 45: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

39Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

KIAMBATISHO VI

Chati ya Udhibiti Ubora wa vifaa vya Ujenzi

Aina ya kifaa Vitu vya kuangaliaMchanga Gredi sahihi, uwe sa�, asiwe na vumbi.Kokoto/ Mawe Gredi sahihi, mawe yakidhi viwango, yasiyo na mchanganyoSaruji Saruji itakayonunuliwa iwe katika mifuko iliyofungwa na

itunzwe mahala pasipo na unyevunyevu.Tofali la saruji/Tofali la kuchoma Vipimo viwe sahihi. Uimara ukidhi vigezo. Vipimo rahisi vya

ubora vifanyike eneo la ujenzi. Matofali yamwagiwe maji ya kutosha ili yawe imara.

Nondo Ubora endapo unakidhi viwango, Kipenyo kilicho sawa, vipimo vya upindaji,

Kuzuia mchwa Dawa ya Aldrin ili mradi ikidhi viwango vilivyowekwa.Milango + Madirisha Ubora wa utengenezaji, inayokidhi viwango. Bawaba imara,

vifanyavyo kazi vizuri.Mbao za kupaulia Ziwe za viwango na vipimo sahihi . Mbao ziwe zilizotiwa

dawa na kukaushwa vizuri.Mabati Mabati yenye migongo ya kawaida, yawe ya Rangi (Rangi

halisi ya kiwandani) geji 28.Gata na vifaa vya mabomba Gata, vishikizi na bomba za plastiki ziwe nzito (Gredi B)Matanki ya Maji ya plastiki Yawe Simtank au Polytank au yanayolingana ubora.Rangi Rangi iwe Sadolini au inayolingana ubora na sadolini

Page 46: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

40 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

KIAMBATISHO VIIMaelekezo Muhimu ya Kuzingatia Wakati wa Kutekeleza

zoezi la jenzi

Viwango na taarifa mahususi kwa vifaa na utendaji kazi katika ujenzi ni kama ilivyoainishwana (Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, OR-TAMISEMI Oktoba 2014)

TAARIFA MAHUSUSIZifuatazo ni taarifa mahsusi ambazo zitatumika kwenye programu ya EQUIP-Tanzania:

1. Mchanganyiko wa Saruji, Mchanga na Kokoto

Zege la msingi (Bilachuma) 1:3:6Zege (Jamvi na Lenta) 1:2:4Mota 1:6Plasta ya ndani 1:6Plasta ya nje 1:4Sakafu 1:4

2. Upakaji Rangi

Ndani na kwenye Varanda:

• Chini mpaka usawa wa 1500 mm: mkono 1 saruji nyeupe (lipu), mkono 1 rangi ya maji (emulsion undercoat) na mikono 2 rangi ya mafuta (yakumalizia)

• Juu ya 1500 mm: Mkono 1 saruji nyeupe (lipu), mikono 2 rangi ya maji (acrylic emulsion) ya ukuta

• Dari: Mkono 1 saruji nyeupe (lipu), mkono1 rangi ya maji (emulsion undercoat) namikono 2rangi ya maji kumalizia

• Kuta zote nje: Kumalizia kwa kupiga chupingi inayochanganywa na rangi [Tyrolean �nish with color �nish]. (Colored Slurry included in the Tyrolean mix)

• Mstari wa futi moja kuzunguka jengo mikono 2 ya rangi nyeusi (Lami) [Skirting bituminous paint 2 cots]

3. Kazi za mbao:

Mbao ya�sha ipakwe rangi ya mafuta mikiono 2 [Fascia board Super gloss paint 2 cots]

Fremu za milango na adirisha: mikono2 rangi ya mafuta (super gloss)

Kutibu mbao za kujengea:

Kutibu mbao za kujengea, inashauriwa kuwa mbao zikakazotumika kujengea ziwe (zilizotibiwa), yaani-zilizopakwa dawa ya kuzuia wadudu toka kiwandani mbao za paa [roof truss], mbao ya

Page 47: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

41Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

�sha [fascia board] na mbao za kushikilia dari [brandering]. Katika maeneo ambayo ni shida kupatikana kwa mbao zilizotibiwa kiwandani, njia za kutibu mbao kwa njia za kienyeji zinaweza kutumika ili kutimiza malengo

Dawa ya mchwa

Tunashauri matumizi ya dawa za mchwa yafanyike kwa uangalifu mkubwa na pia yazingatie maelekezo yaliyotolewa na mtengenezaji wa hiyo bidhaa

Kumbuka:

Huu ni mwongozo tu wa ujenzi, kuna vitu havijaelezewa kwa undani hii inatokana na kutofautiana kwa mazingira ya eneo husika katika kila mkoa. Mtaalamu husika atapaswa kutumia utaalamu wake katika kuhakikisha tunakuwa na majengo yanayodumu na yenye ubora. Utaalamu na uzoefu utumike katika kufanya maamuzi ya kitaalamu wakati wa ujenzi

Page 48: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

42 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

KIAMBATISHO VIII

Chati ya Udhibiti wa Ubora wa Kazi

Kazi Vitu vya kuangaliaMaeneo ya kujenga miundombinu ya shule + Kuandaa Msingi

Thibitisha kutoka kwa mwalimu mkuu wa shule na Kamati ya shule mama

Angalia Mraba na Mshazari kama uko sawaKuondoa udongo wa juu Ondoa uchafu wote na Udongo wa juuKuchimba Msingi Kina na upana uwe sawaZege la kusawazisha Mchanganyo na kina kiwe sawaMchanganyiko Zege la kusawazisha 1:3:6

Zege la Msingi, lenta 1:2:4

Mota 1:4

Lipu ya nje 1:4

Lipu ya ndani 1:6Kazi za uwashi Kunyoosha, Ulalo na kunyoosha ukuta

Unene wa mota

Ubora wa lenta

Uwazi wa madirisha + Milango Kimo + MrabaJamvi (zege ya sakafu) Mchanganyiko na Ulalo (Level)

Kina Chake

Ulalo na �nish

Mchanganyo wa sakafu, unene na �nishKupaua Makenchi yafungwe barabara kwenye mtambaa panya na

Lenta mzunguko

Mbao zote ziwekewe dawa

Msitari na ulalo wa paa

Kupiga mabati, Mpangilio wa kupiga mabati, skrubu na washeri

Dari Unyooshaji na ufugaji

Kuziba mianyaKupiga Lipu Mchanganyiko uko sawa, Umaliziaji na kwa wakatiKupaka rangi Ubora wa rangi

Mikono mingapi (Koti ngapi 2)

Page 49: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

43Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

KIAMBATISHO IX

KIAMBATISHO IX: CHATI YA UFUATILIAJI WA HATUA ZA UJENZI WA SHULE SHIKIZI MFANO: TAARIFA YA MAENDELEO YA UJENZI MKOA DODOMA

HALMASHAURI

SHULE SHILIZI/ SHULE MAMA

SOW

ETO

/ ZUZ

U

MKO

MBO

LA /

H/BW

AWAN

I

NYER

ERE

B / I

BIHW

A

SUGU

TA /

BAHI

MAK

ULU

WAL

I / IZ

AVA

MBU

GANI

/ CH

IFUK

ULO

MAR

IPU

/MAU

NO

KIDO

ME

/ SOR

O

SERE

NGEN

YI /

TUM

BENO

CHAN

DIM

O / M

ONGO

ROM

A

CHIZ

ILAN

HEM

O /C

HISE

YU

IKUL

U / M

BORI

NANT

E / C

HASE

MIL

AKAN

I / P

EMBA

MOT

O

NGHA

LOND

EKI /

IHAN

DA

1. Majengo kwenye shule shikiziPesa imeingia shuleni Andika ndio au hapana panapohusika% ya Pesa iliyotumika Sub structure Concrete Floor Slab Blockwork Roofing Jaza kwa asilimia sehemu ya kazi iliyokamilika Doors + Windows Floor, Wall + Ceiling Finish Painting External Work

2. Vyoo vya wanafunzi Pit foundation Pit Blockwork Pit Top Slab Blockwork Jaza kwa asilimia sehemu ya kazi iliyokamilika Roofing Doors Floor, Wall, and Finish Painting

3. Vyoo vya walimu Pit foundation Pit Blockwork Pit Slab Blockwork Jaza kwa asilimia sehemu ya kazi iliyokamilika Roofing Doors Floor, Wall, and Finish Painting

4. Sehemu ya kunawia mikono Bases Tanks, Gutters etc

KONDOA TC MPWAPWA CHEMBA

Ndio / Hapana

KONGWA

Iliyokamilika; Kwa Asilimia Iliyokamilika; Kwa Asilimia

DODOMA MC

Iliyokamilika; Kwa Asilimia Iliyokamilika; Kwa Asilimia

BAHI CHAMWINO KONDOA DC

Page 50: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi

44 Mwongozo wa Kujenga Miundombinu kwa Kushirikisha Jamii

KIAMBATISHO X

KIAMBATISHO X: CHATI YA UFUATILIAJI WA HATUA ZA UMALIZIAJI WA MABOMAMFANO: TAARIFA YA MAENDELEO YA UJENZI MKOA DODOMA

Halmashauri

shuleM

PAM

ANTW

A

CHIK

OLA

Idadi ya madarasa 1 2

Umaliziaji Maboma

Pesa imeingia shuleni

% ya Pesa iliyotumika

Ring beam cast

Blockwork

Roofing

Concrete Floor Slab

Doors + Windows

Floor, Wall + Ceiling Finish

Painting

External Work

Kumbuka Jaza kwa asilimia sehemu ya kazi iliyokamilika

Ndio / Hapana

2

CHIT

ABUL

I

FILI

MO

HACH

WI

NHYI

NILA

Wai

da

CHIM

LATA

CHEMBAM

SALA

TO B

WAW

ANI

2 2 1 2 2

KONGWA

Iliyokamilika; Kwa Asilimia Iliyokamilika; Kwa Asilimia

DODOMA MC

Iliyokamilika; Kwa Asilimia Iliyokamilika; Kwa Asilimia

BAHI CHAMWINO KONDOA DC KONDOA TC MPWAPWA

2

Page 51: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi
Page 52: MWONGOZO WA KUJENGA MIUNDOMBINU KWA …ubora unaotakiwa. Programu imehamasisha jamii kwa kupitia mikutano ya kijiji kwa kutumia asasi za kiraia ili watambue majukumu yao kama wazazi