mwanzo wa kamisa la kikristo nchini uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs ›...

39
Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu [266] Mwanzo wa Kanisa la Kikristo Nchini Uingereza (Toleo La 1.0 20060801-20060801) Mara nyingi watu wanauliza ni lini Kanisa liliingia huko Uingereza na liliamini imani gani. Kwa kweli inashangaza sana na usiri mkubwa unaozingira baadhi yake ni mambo ya muhimu sana kwenye historia. Christian Churches of God PO Box 369, WODEN ACT 2606, AUSTRALIA E-mail: [email protected] (Hati Miliki © 2006 Wade Cox ) (Tr. 2014) Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

Upload: others

Post on 28-Jun-2020

10 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu[266]

Mwanzo wa Kanisa la Kikristo Nchini Uingereza

(Toleo La 1.0 20060801-20060801)

Mara nyingi watu wanauliza ni lini Kanisa liliingia huko Uingereza na liliamini imani gani. Kwa kweli inashangaza sana na usiri mkubwa unaozingira baadhi yake ni mambo ya muhimu sana kwenye historia.

Christian Churches of GodPO Box 369, WODEN ACT 2606, AUSTRALIA

E-mail: [email protected]

(Hati Miliki © 2006 Wade Cox ) (Tr. 2014)

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:http://www.logon.org na http://www.ccg.org

Page 2: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Page 2 Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza

Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza

HistoriaWatu wengi wanatuuliza kuwa ni lini Kanisa la Washika Sabato lilianza huko Uingereza, na liliingia vili huko Uingereza. Jibu lake ni kwamba, lilianza kwa mnyororo na lililetwa nchini Uingereza na watoto wa wafalme wafungwa au waliochukuliwa mateka.

Kuna hadithi ya kiapokrifa au isiyorasmi inayo husiana na Yusufu wa Armathaya na hadithi hiyo imerekodiwa kikamilifu kama ilivyo kwenye tovuti ifuatayo ya :http://britannia.com/history/biographies/joseph.html

“Yusufu wa Arimathaya alikuwa ni mwanafunzi wa Yesu aliyekuwa tajiri, ambaye, kwa mujibu wa kitabu cha Mathayo 27:57-60, alimuomba Pontio Pilato ruhusa ya kuuchukua mwili wa Yesu ili akauandae kwa maziko. Pia alilitoa kaburi ambalo Bwana wetu aliyesulibiwa akalazwe hadi Kufufuka kwake. Huyu Yusufu ametajwa mara chache sambamba na maandiko machache kwene vitabu vya Marko, Luka na Yohana, lakini hakuna kilichoelezewa zaidi kuhusu maisha na matendo yake baada ya hapo.Hatahivyo, hadithi zisizo rasmi zinaendelea kutuambia habari zake zaidi zikidai kwamba Yusufu alifuatana na kundi la Mtume Filipo lililowajumuisha kina Lazaro, Mariamu Magdalena & wengine kwenye huduma yakiumishenari kwenda kuhubiri huko Gaul. Lazaro & Mariamu walikaa huko Marseilles, wakati wengine walisafiri kuelekea upande wa kaskazini. Kwenye Kundi la wale walioenda Uingereza, Mt. Filipo alimtuma Yusufu, na wanafunzi wengine kumi na wawili wakaanzishe imani ya Kikristo katika pande za mbali sana mwa pembe za Dola ya Warumi, kwenye Kisiwa cha Uingereza. Mwaka wa 63AD ulikuwa ndio uliofanyika “tukio” hili, na mwaka 37AD wakati mwingine undhaniwa kuwa huenda ndio ulikuwa pia. Ilisemwa kwamba Yusufu alijipatia utajiri wake kutokana na niashara ya vitu vya chuma alivyokuwa anauza, na katika kufanya kwake shughuli hii ya biashara, ndipo huenda alipojikuta akifahamiana na Mwingereza au Waingereza waliotokea sehemu za kusini-magharibi ya nchi hii. Cornwall lilikuwa ni jimbi kuu na mashuhuri na lililojulikana sana kwenye Dola ya Warumi kwa uzalishaji wake wa chuma. Mji wa Somerset ulijulikana sana kwa kuongoza kwake kuzalisha madini yene thamani kubwa. Kuna wengi a ambao walifikia kusema kwamba

yusufu alikuwa mjomba au binamu wa Bikira Mariamu na kwa hiyo ni ndugu wa Yesu pia, na kwamba huenda aliwahi kusafiri naye wakati akiwa kijana mdogo wakati wa mizunguko yake ya kibiashara kwenye viaiwa hivi. Ndipo maneno yaliyo kwenye tenzi mashuhuri za Blake kuhusu Yerusalemu unasema:Na ilifanya miguu hiyo, nyakati za kale,Ilitembea kwenye vilima vya kijani vya Uingereza?

Ilikuwa ni kitu cha asilia na kawaida tu, kwamba Yusufu angeweza kuchagua kuifanya safari yake ya kwanza ya kimisheni kwenda huko Uingereza ,na ni dhahiri kwamba angeweza kuja kwanza hadi Glastonbury, na ni kituo kilichoweka mvutano kwenye yaliyomo kwenye hadithi hii, upande wa Magharibi mwa Nchi. Hadithi au ngano zinazosimuliwa na wenyeji na kienyeji zinasema kuwa Yusufu alisafiri kwa njia ya bahari hadi Mwishoni mwa Nchi na aliwaongoza kuelekea mbele akonekana kuwa aliwahikwenda zamani kwenye migodi. Hapa mashua yake ilienda kwa kupitia kandokando ya bahari ya Glastonbury Marshes na akiwa pamoja na wafuasi wake, alipanda juu ya kilima cha karibu ili kuipeleleza nchi iliyo karibu nao na inayowazunguka. Akiwa ameletewa fimbo yenye Taji Takatifu ya Kristo ya Thorns, alikitupa chini ardhini na akatangaza kuwa yeye na wale wenzake kumi na mbili walikuwa "Uchovu Wote". Fimbo ya mwiba iliota mizizi ya kimiujiza kwa haraka, na inaweza kuonekana bado ziko kwenye Mlima Wearyall, Yusufu alikutana na kiongozi mwenyeji aitwae Arviragus, na mara moja akajiandalia maficho kumi na mawili ya nchi huko Glastonbury kwa kujenga majumba ya kitawa nchini Uingereza. Tangu hapa hapo akafanyika uwa mmisionari wa nchi.Menginemengi yaliongezwa kuhusu hadithi za Yusufu kipindi cha zama za kati. Alikuwa akiingizwa polepole kwenye kundi la watakatifu wakuu na shujaa ya kidini kwenye imani potofu, pamoja na kudhaniwa kuwa ni baba wa Wamonaki au Watawa wengi wa Uingereza na anasemekana kuwa alikileta kikombe kilichotumika kwenye Mlo wa Meza ya Bwana huko Uingereza na pia aliichukua tone la damu lililochuruzika mwilini mwa Kristo alipokuwa amewambwa mtini. Mbali na hadithi hii ni kwamba Yusufu alichukua alipokuwa anakwenda huko na vifaa au chupa mbili, moja ilikuwa na damu na nyingine ilikuwa na jasho la Kristo. Na vitu hivi vinajulikana kuwa ni Kikombe Takatifu, na zilikuwa ni Vyombo vilivyotumika kwenye Meza ya Duara ya Usiku wa Mfalme Arthur. Hadithi mojawapo inaenda mbali kwa kusema kuwa Yusufu aliificha “

Page 3: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza Page 3

Kikombe kitakatifu cha kushiriki Ushirika Mtakatifu” kwenye Kisima cha Kikombe kitakatifu cha kunywea divai huko Glastonbury kwa nia ya kuihifadhi salama. Kuna mawazo na mitazamo mbalimbali kutoka kwa wanazuoni wasomi kuhusu somo hili, hata hivyo, ni jambo linaloleta mashaka kuweza kuwepo kwamba kama Yosufu aliwahi kweli kuja Uingereza kwa dhumuni lolote lile.”

Hakuna uhakika sana kuamini kuwa Yusufu aliwahi au hajawahi kabisa kwenda Uingereza, lakini inawezakana pia kwamba huenda aliwahi kwenda huko pia. Mnyororo wa uzawa unaoenda numa kihistoria hadi kwa Yusufu kwa kweli unafikia hadi kwenye mkutaniko huu na Arviragus, hata hivyo, tukio hili linawezekana kuwa halikufanyika nchini Uingereza ila ni huko Roma.

Mfalme Lucius wa Uingereza anasemekana kuwa waliingia kwenye Ukristo akiwa huko Uingereza mwaka 156 BK.

Mt. Cadval, mmisionari wa Kiingereza, alipotoka nje ya Glastonbury, alianzisha kanisa huko Tatentum, Italia, mnamo mwaka 170 BK.

Hata hivyo, vuguvugu la kimisionari lilimlazimu Lucius kuomba msaada wa askofu wa Roma. Askofu huyu aliwasili na kuripoti huko Eleutheris (mwaka 174-189). Askofu Eleutherius is alinakiliwa kuwatuma wamisionari wawili, yaani, Faganus na Duvanus waende Uingereza (kwa mujibu wa kitabu kiitwacgo Venerable Bede na Liber Pontificalis).

Kwa mujibu wa Liber Pontificalis, Mt. Eleutherius alikuwa Myunani kutoka Nicopolis huko Epirus. Jina la baba yake aliitwa Habundius. Aliamuru kwamba hakuna chakula kinachomfaa mwanadamu kinachotakiwa kudharauliwa au kuachwa na Wakristo. Amrisho hili, kama ni sahihi, huenda liliazimiwa au liliwalenga Wanostiki au Wamontana, ambazo ni dini zenye imani na matendo ya kushangaza na kusikitisha, ambao walidharau na kukataa ulaji wa nyama.

Irenaeus, baba mashuhuri wa Kanisa, alitumwa na askofu Pothinus (b. 87, d. 177) na kasisi wa Lyons kuungana na Papa Eleutherius kuhusu imani ya Kimontani. Pothinus alikuwa askofu wa Lyon na aliwekwa wakfu huenda mapema sana kabla ya mwaka 150 BK.

Tunajua kwamba Eleutherius alikuwa ni shemasi aliyetumika huko Anicetus nchini Roma aliyefanyika kuwa askofu mwaka 154-164 BK wakati Justin Martyr alikuwa pia akihudumu kule. Alihudumu chini ya askofu aliyefuatia Soter na alimrithi yeye kama askofu mwaka 174.

Kitabu cha Fafanuzi cha Kikatoliki maarufu kama The Catholic Encyclopedia kinasema hivi inaposhughulikia tatizo hili kwa Kanisa la Roma.Papa Eleutherius, [anasema huyu mwandishi], alipokea kutoka kwa Lucius, mfalme wa Uingereza, waraka ambao ulitangazwa baadae kwamba kwa kushurutishwa anaamua awe Mkristo (Hic accepit epistula a Lucio Brittanio rege, ut Christianus efficerentur per ejus mandatum). Wakati kwamba mwandishi wa sehemu ya kwanza wa "Liber Pontificalis" alileta taarifa hii, haiwezekani kabisa kusema. Kwa usemi wa kihistoria, ukweli ni kwamba haiwezekani kabisa, na imekataliwa na ukosoaji wa hivi karibuni. Na mwishoni mwa karne ya pili, uongozi wa Warumi ilikuwa imeanzilishwa salama huko Uingereza, hawakuweza kuwapo tena mule kisiwani wazawa halisia wa wafalme. Na kwamba mtemi mmoja wa kikabila, aliyejulikana kama mfalme, aliweza kuchukua nafasi ya askofu wa kanisa la Kirumi kwa ajili ya kuhudumu na kuwafundisha mambo ya Kiimani yaliyokuwa yanaonekana kuwa hayawezekani kabisa kwa wakati ule. Madai ambayo hayajasaidiwa na kusadikika ya "Liber Pontificalis", uandishi wa wasifa wa kipapa ambao ulikuwepo tangu kwenye umbo la mwanzoni zaidi hauwezi kuhesabia robo ya kwanza ya karne ya sita, hauwezi kuwa ni msingi wa kutosha wa kuufanya usemi huu ukubalike. Kwa wengine inachukuliwa kama hadithi inayokusudia kuonyesha uanzishaji wa Warumi Kanisa la Uingereza, na hatimaye utiifu au kusalimu amri walioufanya baadae kwa Warumi. Kuliweka hili wazi sana, waliweka mwanzo wa hadithi kuwa ilikuwa katika karne ya saba, wakati wa`mafarakano, kati ya Kanisa la Waingereza wa kale na wasiostaarabika na Kanisa la hivi karibuni la Waanglo-Saxon lililoanzishwa kutoka Roma. Lakini kwenye

Page 4: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Page 4 Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza

utata na mkanganyiko huu uthibitisho wa namna yoyote ile unakosekana. Inaangukie kwenye ukweli rahisi kwamba sehemu ya kwanza ya "Liber Pontificalis" iliandikwa siku nyingi kabla ya mafarakano haya, na uwezekano wake mkubwa huenda ni (Duchesne) na wahafdhina wa Kirumi wakati wa utawala wa Papa Boniface II (530-532), au (Waitz na Mommsen) mwanzoni mwa karne ya saba. Zaidi sana, wakati wa mgogoro wote huu uliotuama kwenye desturi za aimana yake za kipekee za Kanisa la Mwanzoni la Uingereza, hakuna kumbukumbu zilizowahi kuwekwa kwa huyu anayedaiwa kuwa ni Mfalme Lucius. Mtakatifu Bede ni mwandishi wa kwanza wa Kiingereza (673-735) kuionyesha hadithi hii akirudia mara kwa mara (Hist. Eccl., [Historia ya Kanisa] I, V; V, 24, De temporum ratione, ad an. 161), na aliichukulia hii, sio kutoka kwenye vyanzo vya habari za wenyeji, ila kutokana na "Liber Pontificalis". Harnack anashirikisha dhana zaidi ya kukubalika na kuelekea (Sitzungsberichte der Berliner Akademie, 1904, I, 906-916). Kwenye jarida au kabrasha anasema, kutokana na kile ambacho muanzilishi au muandishi/mbunifu wa dhana hii ya "Liber Pontificalis" ilipata taarifa yake, jina lililokutikana sio la Britanio, ila ni Britio. Sasa hili ndilo jina (Birtha- Britium) la Edessa ya zamani. Mfalme anayeulizwa, kwa hiyo ni, Lucius Ælius Septimus Megas Abgar IX, wa Edessa, mfalme Mkristo, kama alivyojulikana sana. Sera na ukiri wa kwanza wa "Liber Pontificalis", kwenye nadharia hii kanganyifu, haikuwa na lolote la kuwaathiri Waingereza. Mrejesho ulifanywa kwa Abgar IX wa Edessa. Lakini muanzilishina mwandishi na mtunzi wa nadharia hii ya "Liber Pontificalis" alilibadilisha neno Britio na kuwa Brittanio, na kwa jinsi hii iliwezesha kuwepo kwa mfalme wa Uingereza kuwa ni Lucius, Msyria. Kwenye kitabu cha karne ya kumi na tisa cha "Historia Brittonum" [Historia ya Uingereza], kinachoonekana kwenye tafsiri za Lucius ,tafsiri za Mceltiki aitwaye Llever Maur (kitabu chake cha Great Light [Nuru Kuu]), anasema kwamba wajumbe wa Lucius walikuwa ni Fagan na Wervan, na kinatuambia kwamba pamoja na mfalme huyu, wafalme wengine wote wa visiwani (reguli Britanniæ) walibatizwa (Hist. Brittonum, xviii). Vitabu vya mambo ya nyakati za karne ya kumi na tatu vinaongeza mambo mengine kwa kina. Hawa "Liber Landavensis", kwa mfano (ed. Rees, 26, 65), wanayatambulisha majina ya Elfan nd Medwy,wajumbe waliotumwa na Lucius kwa papa, na wanautaja utawala au maeneo anayomiliki mfalme kuwa ni hadi Wales. Mwitikio wa hadithi hii ulipenya hadi hata huko Switzerland. Kwenye ujumbe wa mahubiri uliohubiriwa huko Chur na ambao uliendelea kudumu kwenye maandiko ya kwenye karne za nane na tisa, Mt. Timothy anaelezwa kuwa ndiye alikuwa mtume wa huko Gaul, wakati alipokuja Uingereza na kumbatiza

mfalme wa huko aitwaye Lucius, ambaye alikujakuwa ni mmisionari, aliyeenda Gaul, na hatimaye aliweka makazi yake huko Chur, ambako alihubi injili kwa mafanikio makubwa. Kwa jinsi hii, Lucius, mmisionari wa kwanza wa jimbo la Uswitzi huko Chur, akawa amejulikana na kile kinachodaiwa kuwa ni Mfalme wa Uingereza wa ki "Liber Pontificalis". Kazi iliyofuatia ni kuchukua madaraka kutokana na kile kilichosemekena baadae kuwa Eleutherius alifariki tarehe 24 Mei, na alizikwa kwenye Kilima huko Vatican (ndani ya Vaticano) karibu na ulipozikwa mwili wa Mt. Petro. http://www.newadvent.org/cathen/05378a.htm

Jambo la kweli ni kwamba, hii ijulinakayo kama Utawala wa Papa au Liber Pontificalis inajaribu kuanzisha mfumo na imani ya Kikristo huko Uingereza pamoja na iliyotangulia ya Kirumi, wakijua kwamba ilikuwa imeanzishwa karne nyingi kabla yake. Inaonekana kuwa huenda harakati za wamisionari kutoka Glastonbury tangu nusu ya Pili ya karne ya pili walikuwa wanahitaji msaada wa Warumi, kama ilivyokuwa kwenye harakati nyingine nyingi zilizokuwa zikifanyika na kuendelea huko Italia na sio mbali na Roma penyewe.

Warumi walianzisha aina za ibada za kuabudu siku za Jumapili sambamba na zile za Sabato mwaka 111 CE. Inawezekana kuwa wamisionari huenda waliyachukua matendo na imani hii kuafikiana nayo, lakini haijaonekana kuwa ilikuwa hivyo huko Uingereza, ambako walisalia kuwa ni Washika Sabato na kuiadhimisha Pasaka kama ilivyokuwa imeamriwa na mtume Yohana, kama tujuavyo kkutoka kwene historia (soma jarida la Malumbano ya Wakwortocediman (Na. 277). Kanisa la huko Gaul liliteswa wakati huu na Wakristo wengi walikimbilia Uingereza kutafuta ulinzi kwa Wakristo waliokuwepo huko.

Paulo anaongelea kuhusu watu waliokuweko huko Roma kwamba wote walikuwa wa muhimu na tunaweza kuwatambua watu hawa.

Paulo anamtaja Linus, ambaye alikuwa ni mshirika wa Kanisa huko Roma, pamoja na wengine. Irenaeus, ambaye anasema kuwa Petro na Paulo walianzisha Kanisa huko

Page 5: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza Page 5

Roma (Adversus Haereses, 3, 3, 3), anatueleza kwamba ni huyuhuyu Linus ndiye alichaguliwa kwanza kuwa ni askofu wa Roma na nafasi yake ilirithiwa na Anacletus na hatimaye Clement. Irenaeus hamtaji Petro kuwa ni askofu wa Roma, ila zaidi tu anamtaja Paulo kuwa ni mwanzilishi wa Kanisa la huko. Tunajua pia kwamba Petro alikuwa ndiye askofu wa Antiokia na alimchagua na kumweka wakfu wamrithi wake. Hakuna mahali palipotaja ki mamlaka kuwa Petro alikwenda Uingereza, bali wengine wanadai kuwa alifanya hivyo. Tukio la kufa kwake huko Roma linaweza kuunganisha pia na madai haya yakapata mashiko wakifikia mahali pa kudai kuwa aliwekwa wakfu huu wakati wa utawala wa Nero.

Maandiko yaliyoandikwa baadae na Augustine wa Hippo, yanaweka dhana au wazo la tofauti kutokana na yale ya Irenaeus.

Augustine (354-430), kwenye Nyaraka zake au Letters, No. 53, zilizoandikwa mwaka 400 AD: Kwa kuwa baada ya Petro alirithiwa na Linus, baada ya Linus, Clement, baada ya Clement Anacletus, baada ya Anacletus Evaristus, ... hadi Siricius Anastasius.

Hapa tunaon madai kwamba Petro alikuwa ni askofu wa Roma, na kwa wakati huu yalikuwa ni mambo ya kisiasa kutumia kuanzisha na kueneza imani na maffundisho ya Waathanasius ya Utatu au Utrinitarian na uhodari wa Warumi.

Agano Jipya linasema kwenye 2 Timotheo 4:21:Eubulo, Pude, Lino, Klaudia, na ndugu wote wanakusalimu.

Je, watu hawa walikuwa kina nani? Walitokea wapi? Ili kuyajibu maswali haya tunapaswa kwenda Uingereza. Nyaraka hizi ziliandikwa na kupelekewa Timotheo mnamo mwaka 66 BK kabla ya kufa kwake Paulo. Watu waliojulikana kuwa walikuwa hai na walikuwepo huko Roma kwa wakati ule. Waaraka hazimtaji Petro kuwa

alikuwako huko Roma wakati ule. Paulo alikuwako pia huko peke yake. Kwa hiyo, Petro hakuwa rais wala askofu wa Roma na angesika huko, kwa kweli kama angeenda huko kama yanavyodai mapokeo, kuwa alifanya hivyo wakati fulani mwaka 66 BK baada ya kuandikwa kwa waraka, na baada ya kuuawa kwa Paulo. Kulikuwa na uhusiano kati ya ufale wa Uingereza na nchi yenyewe ya Uingereza na Kanisa lilihusika kwenye mchakato huu kwa kuwa walikuwa ni waumini wa Kanisa.

“Utunzaji wa Sabato ulikuwa imata huko Uingereza kutoka kwene mijadala muhimu. Ndipo Uingereza kwa hakika iliingia kwenye Ukristo kipindi cha mapema zaidi na Tertullian wa Carthage (mwandishi mahiri na mwene mvuto)kwenye kitabu cha Dhidi au Kinyume na Wayahudi {Against the Jews} [kinamtaja Tertullian, Akiwajibu Wayahudi (Answer to the Jews) ch. VII, ANF, Vol. III, pp. 157-158]Mashua za sehemu ile ya Uingereza zinaruhuswa zinaingilika na Warumi ambao kwa kweli walishindwa na Kristo. Hiyo iliandikwa yapata miaka mia mbili bada ya kuzaliwa kwa Kristo (Edwards, Christian England, Vol. I, p. 20).

Maeneo ya Glastonbury yalikuwa chini ya uthibiti wa Uingereza hadi Ine, Mfalme wa Magharibi mwa Saxons (688-722), ilipoikalia. Alilikuta kanisa la mbao huko likionekana tayari kama kimeanza kutumika tangu zamani. Aliitoa ardhi kubwa na kumpa kasisi wake na liliendelea kudumu hadi lilipochomwa moto na kubomoshwa mwaka 1184. Wafia dini za zamani sana wa Kikristo waliandikwa na Warumi huko Uingereza, ni Alban. Anaonekana kuwa alikuwa ni askari wa Kirumi na ambaye alimhifadhi kasisi wa Kikristo aliyekuwa anatoroka kutoka Gaul na alibatizwa na kasisi huyo (Edwards, p. 21). Gildas na Bede wanatuambia pia kuhusu wafiadini Aaron na Julius wa Caerleon. Jina la Aaron linaashiria kuwa alikuwa ni Myahudi (Edwards, ibid.).

Kulikuwa na Wakristo watano Waingereza, wakiwemo maaskofu watatu wa baraza la Mtaguso wa Arles la mwaka 314. Eborius, askofu wa York, Restitutus, askofu wa

Page 6: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Page 6 Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza

London, Adelfius, askofu wa Lincoln (lakini hili haliko bayana tangu mwandishi alipoandika kitabu cha Colonia Londoninensium zaidi ya kile cha Colonia Lindensium), kuwa ni cha makasisi na washemasi (Edwards, ibid.)” (sawa na jarida la Mgawanyo Mkuu wa Makanisa Yanayozishia Sabato (Na. 122) [General Distribution of the Sabbath-keeping Churches (No. 122)].

Mfalme Constantine alimtangaza Augustus, au mfalme wa huko York tarehe 25 Julai 306, katika kifo cha Constantius, baba yake. Alijulishwa kwa Waingereza au Ukristo wa Kiceltiki tangu alipoishi huko Uingereza na huko Ufaransa. Alijaribu kuiunganisha Dola chini yake na alibatizwa kwenye imani ya Kiyunitarian na Eusebius wa Nicomedia akiwa taabani kifoni kitandani. Alijulikana kwenye imani ya Kimithra wakati akiwa jeshini kama ilivyokuwa wanajeshi wengine wengi.

Wakristo wa KwanzaImani ya Wasabato ilianzishwa huko Uingereza yangu karne ya Kwanza BK na wana wa Caradog au Caratacus (takriban mwaka 54 BK), mfalme wa Wawacantii (tangu takriban mwaka 40) na mfale wa Catavellauni (tangu mwaka 43-51). Alikuwa ni ndugu wa Aviragus ambaye alikuwa amechukuliwa kutoka Roma na yeye. (Mti wa familia upo kwenye Jalada la 2 la Nyongeza hapo chini). Yeye pamoja na familia yake walichukuliwa kutoka Roma kwenye myororo na Claudius baada hatimaye kufukuzwa huko Wales akiwa na kundi la Wanajeshi wapatao 15,000. Alisalitiwa na Cartimandua, malakia wa Brigantes (tangu mwaka 43-69 BK) ambaye alifanya mapatano na Warumi. Kulikuwa na Chieftains wa Kiingereza waliochukuliwa hadi Roma pamoja nao. Claudius pia alimuweka watawala kibaraka wa uzao wa wafalme wa Kiingereza ambao alidhani kuwa walikuwa na haib a stahili ya kustahili kuaminiwa. Familia ya Caratacus walibatizwa huko Roma kwenye Kanisa la mtume Paulo na wanafunzi wake mapema kabla ya mwaka 54 BK. Hii ilikuwa ni mapema kabla ya kifo cha Caratacus (au

Caradog) na Claudius, na kwa kweli kabla ya kuuawa kiufia dini kwa Paulo wakati wa utawala wa Nero (aliyetawala mwaka 54-68), aliyewekwa madarakani yapata mwaka 66 BK. Mtoto wa Caradog alitwaye Linus, akawa askofu wa kwanza wa Roma na mtoto wake mwingine, Cyllin na familia waliripotiwa kuwa walirudi Uingereza na kuanzisha Imani kule. Binti yake aliolewa na Coel I ambaye pia alikuwa amechukuliwa hadi Roma kwenye mnyororo pamoja na Caratacus na Arviragus. Mtoto wa kiume wa Arviragus, Marius (Uenezaji wa imani ya Kiceltiki ya Kirumi ya Meurig kutoka Y-Veurig, na kuwa Arviragus) alimuoa binti wa aliyechaguliwa na Claudius, Prasutagus na Boudica. Wana wao Coel alimuoa binamu yake wa pili, binti wa Cyllin, na wakawa ni wazazi wa Lucius. Marius anaelezewa pia kuwa alimuoa binti wa mwenyeheri Bran ambaye mama yake, mke wa Bran, alikuwa ni binti wa Yusufu wa Arimathaya. Wote hawa pia alirudi Uingereza (soma kitabu cha Mike Ashley, cha The Mammoth Book of British Kings and Queens, [Kitabu cha Utajiri au Mammothi wa wafalme wa Malkiwa wa Uingereza] Carroll and Graf 1999, pp. 67, 75, 78, 79). Mtoto wao wa kiume (au mtoto wake) Lucius alitawazwa kuwa mfalme na alipokuwa na umri za uzee alimuomba Eleutherius, askofy wa Roma (mwaka 174) amsaidie pamoja na wamisionari, kama tulivyppne hapo juu. (Soma jalada la Nyongeza kupata undani zaidi.)

Tunapifanya rejea kwenye maandiko ya waraka wa Mtume Paulo kwa 2Timotheo 4:21 tunweza kuwaona baadhi ya watu hawa. Kwa mfano, tuna rekodi ya kihistoria ya hawa kina Pude na Claudia. Anaweza kuitwa pia kama Claudia Rufina. Ukurasa wa Maelezo au Wikipedia una haya ya kusema kuhusu jambo hili.Claudia Rufina alikuwa ni mwanamke mwenye nasaba ya wazazi Waingereza waliokuwa wanaishi huko Roma kwenye miaka 900, na alijulikana kuwa ni Wanandoa maarufu waliojishughulisha na ughani na malenga wa mashairi. Uanandoa wao umeelezewa kwao kwenye kitabu cha Mashairi XI:53, kikimtaja yeye kuwa "caeruleis [...] Britannis edita"

Page 7: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza Page 7

("waliotawanyika wakijulikana kama Waingereza wa bluu", ikidhaniwa na kujulikana kama desturi ya Kiingereza ya kujipaka au kujipaka rangi na woad), na wakimsifia kwa uzuri wake, elimu na rutuba.Huenda anajulikana pamoja na "Claudia Peregrina" ("Claudia Mgeni") aliyemuoa rafiki yake Aulus Pudens, Askari Muambrian ambaye mashairi yake mdngi yanamtaja , Martial anaelezea kwenye kitabu chake cha Epigrams IV:13. Anaweza kuwa pia ni Claudia ambaye urefu wake Martial anaulinganisha na jumba la makumbusho lenye sanamu kubwa la Palatine, sanamu kubwa ambalo liliwahi kusimamishwa karibu na Kilima cha Palatine (kwa mujibu wa tovuti ya Epigrams VIII:60). http://en.wikipedia.org/wiki/Claudia_RufinaInawezekana kuwa yeye pamoja na mume wake wanaweza kujulikana pia kama Claudia na Pudens waliotajwa kwenye 2 Timotheo 4:21 kwenye Agano Jipya. Utambulisho huu ulifanyika mapema sana kabla ya karne ya 1, na James Ussher, Askofu Mkuu wa Armagh, kwenye uandishi wake uliojulikana kama British Ecclesiastical Antiquities[Nyaraka za kale za Makanisa ya Uingereza], na kitabu chake kinachoelezea mambo sawa na kile cha Kaldinari Alford, mwanahistoria, ambaye alijitegemea kujumuisha mbili hizi kwenye kitabu chake na Regia Fides. Shemasi Mkuu John Williams kitabu chake cha mwaka 1848 cha Claudia na Pudens kinachokwenda kwa undani zaidi kuelezea uhusiano uliokuwako kati ya Claudia na Pudens na nasaba zao za kiokoo ambazo kamwe Ussher au Alford hawakuzigusia. Mtazamo huu ulisaidiwa pia na Giovanni Battista de Rossi (d. 1894), Mtaalamu wa elimu kale na uchimbuzi wa Kikristo.Martial aliandika kwenye miaka ya 90, ambapo Nyaraka za Kichungaji kimapokeo ziliwekwa kwenye kalenda ya miaka ya 60, kwa hiyo machoni mwake utambulisho huu ungeonekana kuwa na mashaka. Hata hivyo, wanazuoni wengi wakosoaji wanadhani kwamba Nyaraka hizi za Kichungaji kuwa zinaelezea mambo ya uwongo na wanazikadiria kuwa ziliandikwa miaka ya 90; na hii ingeziweka kwenye wakati muafaka lakini ingeweza kuondoa mashaka yaliyokuwepo.Wasomi wengi wa mapokeo ya Roman Katoliki wanahitilafiana na utambulisho huu kwa mujibu wa wanazuoni wa CCEL, madai haya yalipingwa kinagaubaga na BollandistsWazo lililowekezwa kwenye kitabu cha The Drama of the Lost Disciples[Igizo la Mwanafunzi Mpotevu], la kitabu cha mwaka 1961 kilichoandikwa na Mwanahistoria wa uwongo Mwingereza mwenye asili ya Kiyahudi aitwaye George Jowett, anamuonyesha Claudia kuwa ni binti wa kiongozi wa upinzani wa Kiingereza aitwaye Caratacus.Jowett hakuanzisha mawazo haya yote: bali aliyachukua kutoka kwa wanahistoria wa zama za mavumbuzi kama akina Askofu Mkuu James

Ussher, Kaisari Baronius na John Hardyng, pamoja na waandishi nguli wenginei kama kina Kaisari, Tacitus na Juvenal. Mabishano mengine yanaonekana kuwa yalianzishwa na Shemasi Mkuu J. Williams kwene kitabu chake cha Antiquities of the Cymry(1862), Claudia and Pudens (1848), na kwenye makala iliyopewa kichwa cha somo "The Romans at Colchester [Warumi wa Colchester]" kwenye Robo ya Uandishi wake Mpya wa mwaka 1858. Williams alimjua vyema James Ussher ambaye alipinga uwezekano wa kuwepo uhusiano kati ya Claudia, Pudens na Caratacus mapema sana kwenye kitabu chake cha Nyaraka za Kale za Makanisa ya Uingereza. Ussher mwenyewe anamtaja Baronius kuwa ndiye chanzo chake.Binti za Mfalme CogidubunusAlipopewa jina lake ilidhaniwa kuwa alikuwa na uhusiano na Tiberius Claudius Cogidubnus, mfalme wa Uingereza aliyetawala kama wakala au liwali wa Warumi kwenye miaka ya mwishoni mwa karne ya 1. Hatat hivyo akina Claudii walikuwa ni familia muhimu ya Warumi wenye itikadi ya mrengo wa kiaristocrati, na kila mwanamke wa familia hii alichukua jina la kiukoo na kuitwa Claudia — sawa na kama ilivyokuwa kwa kila mtumwa wa kike aliyeachiliwa huru hapo zamani alikuwa anatumikia kwenye ukoo huu, aliendelea kuitwa jina hili la ukoo wa Claudii, na ndivyo hata kwa mwanamke mwingine yeyote katika dola hii ambaye baba yake alipewa uraia chini ya wafalme Claudius na Nero. Zaidi sana, wafalme wengine kadhaa wa Kiingereza, kama Tincomarus, Dubnovellaunus, Adminius na Verica, wanajulikana kuwa walikmbia kutoka Uingereza na kukimbilia Roma, na Caratacus aliletwa kule kama mfungwa. Idadi kubwa sana ya Waingereza wengine vivyohivyo waliopelekwa kule kama mateka wa kibalozi, wasiotajwa kama ni mateka wa kvita waliuzwa kama watumwa, wakipewa majina mbalimbali ya kinasaba au koo za watu wanaowamiliki. Kwa kuwa Martial hajawa muwazi kuhusu nasaba yake, basi jaribio lolote la kuutambulisha uhusiano wake linaweza kuwa na mkanganyyo au utata. (Wikipedia ibid.)

Desturi na mapokeo pia vinasema kwamba familia ya Martial pia ili0hiriki pamoja nao, na mama yake nayeye alidhaniwa sana kuwa ni mwanamke ya Kiyahudi ambaye alikwenda Uingereza na mume wake. Jina la baba alikuwa anaitwa Marcellus na mama yake ni Elizabeth. Wanadhaniwa kuwa walikwenda Uingereza na Zakayo na Wayahudi wengine. Pasi na shaka kabisa na n I jambo sahihi kuwa Martal alikuzoea Uingereza kama tunavyomuona hapa Claudia pia. Pudens anaweza kuwa alikuwa

Page 8: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Page 8 Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza

ni askari aliyekuwa kwenye zamu ya ulinzi huko Yudea.

Kulikuwa na walinzi au askari ambao walikuwa na uhusiano wa moja kwa moja na Yesu Kristo. Mmoja wao ni yule ambaye mtumishi wake aliponywa kwa imani yake kubwa (Mathayo 8:5-13; Luka 7:6).

Hata hivyo, kulikuwa na askari miguuni mwa Yesu wakati wa Pasaka ya kusulibiwa kwake, aliyemtangaza Kristo na kumkiri kuwa ni Mwana wa Mungu (Mathayo 27:54; Marko 15:39) au aliyemkiri kuwa ni “mtu mwenye haki na mtakatifu” (Luka 23:47). Inaonekana kuwa aliongoka, kama alivyofanya Pilato baadae. Pilato alimwambia askari kabla hajautoa mwili wa Kristo kwa Yusufu wa Armathaya aliyewapa kina Mariamu Magdalena na Mariamu Yule mwingine, mama yao kina Yakobo (Mdogo), Yose na Salome. Huyu sio Yule askari aliyetajwa pale kama Kornelio kwenye Matendo 10:1. Kuna askari mwingine aliyewasiliana na Paulo na mitume wengine (Matendo 21:32; 22:25-26; 23:17,23; 24:23; 27:1,6,11,31,43; 28:16). Yapasa ijulikane pia kwamba Drusilla mke wa Felix (Matendo 24:24) alikuwa mwanamke wa Kiyahudi, kwa hiyo ndoa ya namna ile ya mwanamke wa Kiyahudi na Mmataifa wakati wa Agano la kale kama ilivyokuwa kwa Hiramu aliyekuwa na wazazi wa Tiro na baadhi ya artiwasanii au wasaidizi wake.

Kama mama yake Martial alikuwa ni Myahudi, ndipo huenda tunaone mchanganyiko wa nasaba za washirika wa Kanisa hili la Roma lililoundwa kutokana na uzoefu walioupata kwenye huduma na utumishi wa Kristo, na ambayo imeweka msingi wa wongofu wa wafalme wa Uingereza na watemi au machifu waliyochukuliwa, au washirika wa Warumi na watu wa “Nyumba ya Waingereza” kule.

Ashley anasema kwamba mtoto wa kiume wa Marius, ambaye alikuwa ni mtoto wa Arviragus, alikuw Coel ambaye alilelewa na kusomeshwa huko Roma. Marius alirudi kwa Silures na ameandikwa kuwa alikuwa

mfalme wa Uingereza ambaye alilipa kodi zake huoko Roma na alikuwa na tabia ya uadilifu. Ashley anadhania kwamba inawezekana sana kuwa alikuwa ni liwali au mtawala mwenz wa Warumi, kama walivyofanyika kina Prasotagus na Cogidubnus. Cogidubnus alikuwa mfalme wa Regnii waliokuwa upande wa laskazini mwa Thames na huko Wiltshire lakini inaweza kuwa na ushirikiano na Dobunni kama jina lake lilikuwa Tog Y Dobunni au Mfalme wa Wadobunni. Kama hivi ndivyo ilivyokuwa, basi alipewa ardhi mbali na nchi ya uzawa wake ya Gloucester (kwa mujibu wa kitabu cha Ashley, op. cit., p. 79). Aliwasaidia Warumi mwaka 43 BK wakati wa kushambuliwa kwao na baadae kwenye naasi ya Caratacus na Boudica (malakia wa Iceni (59-61) baada ya kifo cha mume wake Prasutagas).

Ashley anadhania pia kwamba Coel, mwana wa kiume wa Marius, anaweza kuwa alichanganishwa na Cogidubnus na Geoffrey wa Monmouth lakini kipindi mpito hakikuendana nae. Ashley alimchukulia kama ni mtoto wa Marius na mume wa binti wa Cyllin, mwana wa Caratacus. Kuna mashaka kidogo kwamba Linus askofu wa kwanza wa Roma ni huyuhuyu Lino aliyeandikwa kwenye 2Timotheo na kwamba mtu huyu anaonekana kuwa ni wa nasaba ya Kiingereza. Claudia anachukuliwa kuwa ni mke wa Pudens. Iwapo kama atakuwa ni kweli yule Pudens aliyemuoa Claudia Rufina, ndipo sasa tutakuwa na askari wa kwanza Mkristo. Pudens na Claudia wanaweza kuwa walibakia huko Roma au Umbria. Linus pia alibakia huko Roma. Kama Coel alilelewa na kusomeshwa huko Roma, basi binti wa Cyllin anaweza kabisa kuwa alibakia Roma hadi kufikia wakati wa kurudi kwake Coel huko Uingereza kumrithi baba yake.

Inawezekana sana kuwa watoto wa Cogidubnus, Prasotagus na Marius walikuwa wamerudi wote Roma kwene Nyumba ya Waingereza na kusomeshwa huko huenda ni kwa kuulinda uaminifu na uadilifu wa wazazi wao. Hata hivyo,

Page 9: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza Page 9

mabinti wawili wa Prasutagas walikuwa huko Uingerza hadi mwaka 59-61 BK na walibakwa walipokuwa huko Colchester wakati mama yao alipokuwa akiwalaumu au kuwashambulia kwa kuwalaumu na kulalamikia matendo ya udhalilishaji ya Warumi katika nchi yao. Kitendo hicho kilisababisha maasi ya Waiceni na Watinovantes na unyonyaji wa Colchester na London.

Tarehe au mwaka alioteuliwa Linus kuwa ni askofu wa Roma hadi mwisho wake inadhaniwa kuwa kipindi cha miaka 26 tangu kupaa kwa Kristo, ambao unadhaniwa kuwa ni mwaka 30 BK, na ndipo Linua alipoteuliwa au kuteuliwa na mtume Paulo kuwa Askofu mnamo mwaka 56 BK, ni miaka kumi kabla ya Petro hajarudi huko Roma. Kitabu cha fafanuzi cha The Catholic Encyclopaedia kinasema kuwa tarehe au mwaka huu ni mapema sana.

Mwandishi mmoja anadai kwamba Linus alikuwa ni Mtaliano arudishwe kwao lakini haonekani kuungwa mkono na vyanzo vya maandiko ya kale.

Kitabu cha Ethel Ross Barker, (cha Rome of the Pilgrims and Martyrs [Roma ya Mahujaji na Wafia dini], London, 1913, p. 64), anasema kuwa Linus alikuwa ni Mtaliano, wa mkoa wa Tuscia; baba yake alikuwa ni Herulanus. Anadhaniwa kuwa aliketi kwenye kiti cha uaskofu kwa miaka kumi na moja, miezi mitatu, na siku kumi kumi na mbili. Kipindi hiki kilikuwa ni tangu balozi ndogo za Saturninus na Scipio hadi kile cha Capito na Rufus, yapata mwaka 56 hadi 67 BK. Kifo chake mwaka 67 kinaiingiza kwenye amri ya kukomeshwa, iliyopelekea mauaji ya ufia dini ya Paulo na hatimaye Petro (kama tutayaamini na kuyapa mashiko mapokeo) kwa kipindi hichohicho. Tarehe na miaka hii ni za muhim sana kama zilivyoonyeshwa na Lightfoot (kitabu chake cha Apostolic Fathers, p.253) lakini tarehe ya kifo iliyotolewa na Barker zilikuwa za uwongo. Lililo muhimu hapa ni kwamba Petro hakuwa huko Roma na Linus alichaguliwa kuwa askofu kwa mara ya kwanza. Petro

alifika au kutembelea Roma kwa mujibu wa mapokeo na huu ulikuwa ndio mwisho wa kipindi cha Linus kuwa askofu na ni kipindi kifupi tu mara baada ya kuaawa kwake akiifia imani mwezi Septemba uliofuatia (kutokana na kitabu cha Liber Pontificalis kuhusu mwezi huu wa Tisa – kama novem). Chanzo kutoka kwenye kitabu cha fasiri cha Catholic Encyclopaedia kimesema yafuatayo kumhusu Linus kwa kile kinachochukuliwa kuwa ni sababu za wazi.

“Muhula wa Linus kuwa kwenye ofisi, kwa mujibu wa orodha ya mapapa tuliyopewa sisi, uliishia miaka kumi na mbili tu. Katalogia ya Waliberia inaonyesha kuwa kiliishia miaka kumi na mbili na miezi mine na siku kumi na mbili. Kipindi kilichotolewa kwenye katalogi hii cha miaka ya 56 BK, hadi 67 BK, sio sahihi. Huenda ilikuwa ni hesabu ya siku hizi ambavyo waandishi wa karne ya nne walitoa mawazo yao kwamba Linus alidumu kwenye wadhifa huu wa kuwa mkuu wa jumuia ya Warumi wakati wa maisha ya Mtume; kama vile, Rufinus aliye kwenye ukurasa wa utangulizi wa tafsiri yake wa Clementine-wa uwongo "Ajulikanaye". Lakini nadharia hii haina msingi wa kihistoria. Haiwezi kuonewa mashaka kwamba kwa mujibu wa hesabu za Irenaeus kuhusiana na Kanisa la Roma wakati wa karne ya Pili, Linua alichaguliwa kuwa kiongozi wa jamii ya Wakristo wa Roma, baada ya kifo cha Mtume. Kwa sababu hii tarehe zake za kuwa papa tangu mwaka wa vifo vya Mitume, Petro na Paulo, ambao, hata hivyo, hakijulikani kwa kweli.

Sera ya “Liber Pontificalis” inadai kwamba nyumbani kwa Linus kulikuwa ni huko Tuscany, na kwamba jina la baba yake alikuwa ni Herculanus; lakini hatuwezi kujua asili yake na alikotokea kiuzawa. Kwa mujibu wa kitabu hichohichio cha orodha ya Mapapa, Linus anaonekana kuwa alitoa amri na tangazo “ili kuithibisha na kuimarisha na ile amri au agizo la Mt. Petro”, kwamba wanawake na wafunike vichwa vyao wawapo kanisani. Bila shaka, amri na agizo hili halikuwa la kubuniwa, na ilinukuliwa na mwandishi wa “Liber Pontificalis kutoka kwenye Waraka wa kwanza wa Mtume Paulo kwa Wakorintho (11:5) na kuonekana hafai kwa mrithi wake wa kwanza wa Mtume huko Roma. Usemi uliotumika kwenye chanzo hichohicho kwamba Linus aliuawa mfia dini hayawezi kuthibishwa na haiwezekani. Kwa kuwa kipindi cha utawala wa kati ya Nero na Domitian hakutajwi kuwa kulikuwa na aina yoyote ya mateso kwenye Kanisa la Kirumi; na Irenaeus (1. c., III, iv, 3) kutokana na maaskofu wa mwanzoni zaidi wa Kiroma waliomtukuza Telesphorus peke yake kuwa ndiye mfia dini

Page 10: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Page 10 Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza

mwenye heri.”http://www.newadvent.org/cathen/09272b.htm

Kwa kweli, wanapaswa kujadili kuhusu ufia dini uliotokana na ujenzi wao mpya wa utawala wao uliofuatia baadae, ambao kwa tarehe sahihi za mwanzoni zilifanya isiwezekane kwa Petro kuwa ni askofu. Kwa kweli, kama ilivyoonekana, Irenaeus hasemi kuwa Petro alikuwa ni askofu, lakini anayemtaja hivyo ni Linus kuwa ni askofu aliyeteuliwa na mitume. Kwamba kutokana na maandiko haya yanamtaja Hippolytus hapo chini, ambayo yalikanushwa pia na kutangazwa kwa namna mbili huko Roma. Aina hiihii ya urithishaji ndio uliosemekena kuwa ndio Kristo alivyowachagua Mitume na lile baraza la wale Sabini na Mitume hawakuwa maaskofu wa mahala popote, bali zaidi tu ni kwamba walianzisha na kuendeleza makanisa na kuwachagua wale Sabini kuwa viongozi wa makanisa wakiwa maaskofu wao. Mambo ya kina yaliyoelezwa kwenye sera ya Liber Pontificalis yamechukuliwa kuwa yaliwekwa hapo kwa makusudi ili kukanusha yaliyonenwa na askofu wa kwanza wa Roma na muunganiko na Uingereza kwenye tarehe hizi za kwanzoni na kuiweka hii nyuma zaidi. Tertullian kwa wazi kabisa anaondoa uwezekano huo kwa maelezo yake (yaliyonukuliwa ndani yake).

Hippolytus, Myunani, alikuwa mwanafunzi wa Irenaeus huko Lyons aliyefundishwa na Polycrates na huenda Polycarp mwanafunzi wa Yohana. Polycarp “alifundishwa na Mitume” (Irenaeus, op. cit., III, iii, 4) na aliwahi kuwa mwanafunzi wa Mt. Yohana (Eusebius, op. cit., III, 36; V, 20) ambaye huduma yake ya wakati mmoja ilikuwa ni kipindi cha mwanzoni mwa maka ishirini.

Hippolytus akawa askofu wa Portus Romanus na kwa akali askofu wa Roma, ambaye kwa wakati huu walikuwa waanza kuitwa mapapa, sambamba na kuitwa maaskofu kwa mtazamo mkubwa mwingine. Anatajwa kimakosa kuwa alikuwa ni askofu wa Roma, kwa kuwa aliishi karibu na Roma, huko Ostia, mji wa bandari wa Roma kwenye kipindi ambacho

aliandika habari kinyume chao. Anaunganika pia na Asia na anaweza kuwa alitokea kutoka Lyons kutoka Smyrna ambako kina Polycarp na Polycrates walikuwa wanafundisha, kama walivyofanya maaskofu wa Lyons na kuhudumu. Aliuawa shahidi huko Ostia mdomoni mwa Tiber wakati wa utawala wa Alexander Severus. Baadhi ya Wakatoliki wa Roma wanamtaja yeye kuwa ni “mpinga papa” kwa sababu ya kuwashambulia kwake maaskofu wa Roma na kutojua kwao kuwa alikuwa ni askofu wa Roma, watati hakuwa hivyo. Eusebius anamtaja mara tatu akimjumuisha na Beryllus askofu wa Bostra, wa Arabia, na inawezekana kabisa kuwa alifundishwa huko Asia Ndogo, huenda huko Bosra au Smyrna na akatumwa aende Lyons, ambao uliunganika na Smyrna na maaskofu wake walifundshwa huko. Mwaka 192 Victorinus aliwasomea fatwa ya kuwalaani Waquartodecimans wote, jambo lililosababisha matatizo makubwa huko Lyons na maaskofu wake na walimuona Polycrates na Smyrna akivutana na kuhitilafiana au kufarakana na Roma.

Mwandishi wa maandiko ya utangulizi ya tafsiri ya ANF anasema hivi kuhusu Hippolytus na vitabu vyake.

1. Kwamba sio Hippolytus wala bwana wake [Irenaeus] aliyekuwa na wazo lolote kwamba Askofu mkuu wa jimbo la kiaskofu la Roma anakuwa na mamlaka yoyote ya ukuu, ambayo kwamba wengine wote wanakuwa ni tofauti naye, ni ushahidi wa wazi kabisa kutoka kwenye historia ya wote wawili. Hata hivyo, waliwatia hatiani maaskofu wa Roma kuwa wanamakosa, na zaidi sana waliwakemea kwa mwenendo wao mpotofu.2. Hippolytus ndiye mwandishi wa kitabu kinachoitwa Mkanganiko Mdogo, ambao unafanana na kilichovumbuliwa hivi karibuni cha Philosophumena, ambacho hakmtaji wala kumuonyesha Askfu Mkuu wa Roma kuwa na wadhifa mwingine wowote ule zaidi ya huu wa mtu mwenye uweza wa “kutokosea au kutenda makosa” ambacho kwa kumnukuu Irenaeus ni mkaribu sana na asiyefanya mashindano kukidumisha. Alivyoshindwa kuelewa kifungu ni kwamba, ndipo inatosha kwa kweli. Hebu cha pili na tudhanie kile kinachoonekana, kutokana na mwenendo wake, kuwa anamuelewa vema Irenaeus.3. Nimeonyesha kwenye ufafanuzi au maelezo

Page 11: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza Page 11

tayari ikitaja, na jinsi anavyothibitisha Irenaeus kwamba Roma ni mji ambao kila mtu anautembelea kutoka pande mbalimbali za dunia na kwamba Wakristo wanakimbilia huko, kwa kuwa ni Mji Mkubwa na wa Kifalme, uliochukua ushuhudawa makanisa mengine yote. Kwa hiyo unakuwa ni wa ushahidi shindaniwa wa quod ab omnibus, kwa kuwa hauwezi kukosa kujua kile ambacho makanisa yote mengine yanachokifundisha kwa mshikamano wao. Malumbano haya kwa hiyo yalirudisha nyuma kwenye mapokeo ya kutunga ya kidini ya Warumi; Uroma wa kale uliorudishwa kwa muonekano wa kihafithina, badala ya kuielezea. Aliijitengenezea ushuhuda wa kikatoliki uingizwe ndani yake kutoka kwenye makanisa yote, yalazimike kuyachukua kama nuru unayomulika; na sio kufanya kuwa ni yake yenyewe, lakini kile ambacho alikipeleka kwa uaminifu kwa nadra zamani pamoja na makanisa mengine yaliyoelimika zaidi kuliko hilo lenyewe. Pasi na shaka, alipanda na kumwagiliwa na Mt. Paulo na Mt. Petro, lakini bilashaka pia aliweza kuonywa sana na kuyategemea kwake makosa ya zamani na kwenye umakini kutoka kwenye mawasiliano ya mitume. Hippolytus aliishi kipindi kigumu sana, watati marufuku hizi za kutisha yalipokuwa yanaonekana karibu kugunduliwa na kujulikana.4. Kwa hiyo sasa, kutoka Portus na kutoka Lyons, Hippolytus aliyaleta na kuyaingiza Roma mafundisho ya Kikatoliki na kuwashawishi wawili kati ya maaskofu wake juu ya mafundisho haya yenye uzushi mkubwa na maisha maisha maovu. Na kwa hiyo, kama Irenaeus anavyofundisha, imani iliendelea na kuenea huko Roma kwa ushuhuda hawa waliotokea pande zote wakipumzika na kukimbilia huko, na wala sio kwa ajili ya ukuu au mamlaka ya Askofu Mkuu na jimbo lenyewe. Yote haya yataonekana wazi sana kadiri mwanafunzi anavyoendelea kwenye mitihani ya volume hii (ANF, Vol. V, pp. 4-5).

Kitabu kinachomtafsiri Hippolytus kwenye kinachojulikana kama Ante Nicene Fathers Vol. 5, kna jalada la nyongeza linaloorodha vitu ambavyo vinavyoonekana kutoeleweka vizuri au hadaa. Kwenye jalada hilo la nyongeza kuna orodha kamili ya mitume sabini na mahali walikokwenda, na nyadhifa walizokuwa nazo, na kisha kujulikana jinsi walivyokufa. Kwenye orodha ile anaonekana Linus askofu wa kwanza wa Roma ambaye anaaminika kuwa mmojawapo kati ya Sabini. Pia aliorodheshwa Aristobulus askofu wa Uingereza. Yakobo ametajwa tu kuwa ni ndugu yake Bwana na ni askofu wa

Yerusalemu. Kefa ameorodheshwa pia lakini hakutajwa kama likuwa ni askofu wa mahala popote pale, na huenda hii ndiyo sababu kubwa iliyopelekea hatimaye orodha hii igawanywe na kuonekana kama haieleweki, lakini kuna pengo linaloonekana kwenye maandiko haya. Haikuorodheshwa kama maelezo ya uwongo na inaonyeshwa kwake kwenye maandiko lakini ikawekwa na wengine wale waliohadaa.

Petro ameorodheshwa na Hippolytus kama aliyehubiri injili huko Ponto, Galatia, Kapadokia na Bethania, na Italia na Asia. Kwa hiyo anaaminika kuwa alisulibiwa kichwa chini moguu juu wakati wa utawala wa Nero (ANF, Vol. V, pp. 254-255). Hata hivyo, kupikuwako pia na idadi ya mitume wengine zaidi waliosulibiwa kichwa chini na miguu yao juu, kama vile Filipo na Bartholomew. Andrea alisulibiwa pia kwenye mti wa mzeituni.

Upana au maeneo yote ya huduma ya Petro inafanya vigumu kudhnia au kuamini kuwa alikuwa ni askofu wa Roma. Betania ipo eneo la Tbilisi katika Caucasus. Ni eneo ambaIo Waanglo-Saxons walifanyika kuwa sehemu ya hordo ya Parthian na ni ambapo Waisraeli waliuawa kwa mauaji ya kuangamiza. Eneo kuu la Petro la kihuduma ilikuwa ni kwenye Makabila Yaliyopotea yaliyotawanyika nchi za nje za mbali na walikimbilia na kujichanganya na Wascythians na Waparthians, na sio Roma. Paulo alikuwa mtume wa Mataifa na sio Petro; alikuwa ni mtume kwa walio na tohara.

Petro alikuwa hapo mwanzoni kabisa ni askofu wa wanafunzi wa Anthiokia, na alimteua Evodius awe askofu wa huko ili achukue mahala pake, mapema kabisa kabla ya kufa kwake. Evodius alifariki mwaka 68 na nafasi yake ilichukuliwa na Ignatius wa Antiokia kuwa askofu. Eusebius, (Historia Ecclesiastica, II.iii.22) ameandika kwamba Ignatius alichukua mahala pa Evodius. Theodoret (Dial. Immutab., I, iv, 33a) anasema kwamba Petro mwenyewe alimteua Ignatius kwa askofu mkuu wa Antiokia. Hii inamaanisha kwamba ni

Page 12: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Page 12 Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza

lazima Petro alikuwapo huko mnamo mwaka 68 BK wakati wa kifo cha Evodius, na hatimaye alirudi Roma au vinginevyo hakufia mjini Roma. Uwezekano mkubwa ni kwamba, Ignatius inawezekana kuwa alikwenda Roma wakati alipokufa Evodius, au alikuwa ameteuliwa kwa mamlaka ya Petro na huenda aliwekwa wakfu na Yohana. Kwa hiyo, Petro ni mshiriki wa karibu na wakuaminika huko Antiokia, na sio na Roma, na anawachagua maaskofu wake.

Ignatius alijifananisha na kujiita kuwa Theophoret au aliyemchukua Mungu, na anajulikana kuwa ni mwanafunzi wa Petro na Yohana. Kwa kweli, anapaswa kuwa sawa na kama alivyoishi Yohana na kulisimamia Kanisa kutoka Efeso na Ignatius ni lazima awe ni mshirika wa karibu na yeye.

Ignatius aliuawa shahidi kati ya miaka ya 98 na 117 BK.

Kama mapokeo yataaminika na kukubalika kwamba Petro alimuweka wakfu Clement awe askofu wa Roma baada ya kufa kwake Linus, basi itamaanisha kuwa Petro hakuuawa shahidi huko Roma wakati ikiaminika na kila mmoja kuwa aliuawa huko. Mtazamo wa namna hii unapaswa uondolewe vinginevyo Linus atakuwa ameuawa kipindi kifupi kabla ya Petro, na kwamba Petro alimteuwa Clement, au alimpa maelekezo kama hayo.

Paulo alikuwa mtume kwa siasi kikubwa na mara nyingi huko Roma, na mwaka 66 wakati kwenye 2Timotheo iliandikwa pale haimtaji Petro kabisa. Ni jambo lisilofikirika kabisa kuwa Petro alikuwa ameacha na huku akionekana kuwa alikuwepona kama alikuwepo huko Roma. Ni kutokana na Nyaraka zake mbili kwa Timotheo zilizoandikwa yapata mwaka 66 na mwaka uliofuatia (yaani mwaka 67 BK) unaoaminika, na wa Tito uliandikwa katika wakati mmoja huohuo. Mashambulizi ya sasa kwenye msimamo wao mkali kutokana na kile huenda kinachojulikana kama mgawanyo wa majukumu ya kisiasa.

Hawa mitume kumi na mbili akiwemo Yohana, Hippolytus alidai kwamba Mathayo pia alikufa kifo cha kawaida, kama walivyokufa kila Mathia, Simon Zelote aliyeorodheshwa pia kuwa ni askofu wa Yerusalemu baada ya kufa kwa Yakobo, na ni yeye ndiye aliyeorodheshwa kwa kuitwa Yuda so died naturally, as did Matthias. Simon the zealot is so lis. Yuda au Yude pia ni jina la ndugu yake Kristo.

Kama orodha hii ni sahihi inaonyesha kuwa Linus alikuwa ni sehemu ya hawa Sabini, na Aristobulus pia ambaye alikuwa ametumwa aende Uingereza, kisha afanye mawasiliano kati ya Uingereza na Yudea, jambo ambalo linawezekana lilikuwa ni kweli au lilidhaniwa tu kwa kiasi kidogo kuwa hivyo (ANF, Vol. V, pp.254-256). Inaashiria pia kuwa wakati hawa Sabini walipotumwa waende walitumwa waende mahali penye fununu ya kiasi fulani cha Imani, na Uingereza kulikuwa ni mojawapo ya maeneo hayo iliyojumuisha watu walio wa jamii yenye lafudhi ya Kiebrania. Tumeona suala la yule aliyeweza kuwa na kwa kina imeelezewa kwa kina kwenye jarida la Chimbuko lg Kinasaba la Mataifa (Na. 265) Vita ya Hamon-Gogu (Na. 294) [Genetic Origin of the Nations (No. 265) and War of Hamon-Gog (No. 294)]. Huenda iaweza kuwa ni kipimo cha nasaba cha YDNA cha kundi damu la Haplogroup I (Isles) ya watu wale wa eneo ambalo wameshamiri kuishi siku hizi nje ya wale waliokubalika huko Roma Kanisani. Ndpo Aristobulus mnamo mwaka 62 na mambo yasiyo na maana ya zamani kuyaanzisha makanisa. Kwa hiyo tunaweza kuhitimisha kwa kusema kwamba Kanisa la Uingereza lilipaswa liwe limekwisha anzishwa tayari wakati huu kiasi cha yeye mkuwa ni askofu wake.

Mstari wa uzao wa YusufuBwana Mkubwa, au Mfalme wa Uingereza katika karne ya Kwanza KK alikuwa ni Beli Mawr (lit. Lord Great). Watoto wake wawili wa kiume walikuwa ni kina Llud na Caswallon.

Caswallon alikuwa ni baba wa Mfalme Lear

Page 13: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza Page 13

wa Shakespeare maarufu. Hatimaye alimuoa binamu yake wa pili Penardun, binti wa Llud, na mtoto wao wa kiume alikuwa Bran Mwenyeheri. Imeandikwa kwa kina sana kwenye mstari wa uzao wa kinasaba kwamba Bran alimuoa Anna, ambaye alikuwa ni binti wa Yusufu wa Arimathaya. Kanisa la Kicoptic limeandika jina linguine la binti aitwaye Yose. Kama hii itakuwa ni muhimu, kama ilivyoandikwa kwenye historia na nasaba z uzawa, kwamba Yusufu alikuwa ni mjomba wa Bikira Mariamu, na halafu Anna alikuwa binamu yake, na pia alikuwa ni binamu wa Mariamu, mkewe Kleopa. Uzao wa ndoa hii hadi Bran walirithi moja kwa moja mstari wa uzawa wa Kristo kwenye Luka 3 habi nyuma ya zama za Daudi kupitia kwa Nathan, ni kama Yusufu alivyoonekana kuwa (mjomba mkubwa) wa Kristo na kaka mdogo wa Heli, baba yake Mariamu. Ilikuwa ni kwa sababu hii ndipo Pontio Pilato alimpa Yusufu mwili wa Kristo ili akauzike.

Mtoto wa kiume wa Bran na Anna alikuwa Beli (soma jalada la Nyongeza 2). Huyu Beli mara nyingi anachanganywa na Beli Mawr au “Bwana Mkubwa” ambaye alikuwa ni babu wa babu yake huyu Bran aliyeishi katika karne ya Kwanza KK. Wanahistoria waliofanya makosa haya ndio waliondoa mstari wa uzao ulio na msingi wa kipindi kisichoshindanika. Ukweli ni kwamba, wanashughulikia watu wawili tofauti na Anna alikuwa ni mama yake Beli, mtoto wa Bran na sio mke wa Beli Mawr. Wanafunzi na wasomaji wa Biblia watagundua kuwa Beli aliye kwenye matamshi ya Kibrythoniki ni sawa tu na Baali kwa Kiebrania na lugha zote mbili zinamaanisha “Bwana”.

Mstari wa uzao unaendelea kutoka kwa Bran hadi kwa Beli hadi kwa Amalech, na unashuka hadi kwa Coel Hen kwa mstari mwingine kutoka kwa Eudelen, na hadi kwa Cunedda kwa upandce mwingine kutoka kwa Eugein. Cunedda alimuoa Gwawl binti wa Coel Hen (Mfalme wa Zamani Colewa wawimbo wa watoto). Watoto wa kiume wa Coel Hen waliwaendea watemi wa Kaskazini (Northumbria) na huko Welsh na

kwa wafalme wa mwisho wa Wales wakipitia mstari wa ukoo wa Cunedda. Cunedda aliombwa na Vortigern, Mfalme Mkuu wa Uingereza, kurudisha nyuma mashambulizi ya Waairishi. Akaumiliki mwenyewe upande wa Kaskazini mwa Wales na huenda hata kwenye Ngome ya Warumi ya Chester.

Warumi walibakia na kuutegemea mstari huu wa uchifu wa Uingereza, na kwa mfano, kizazi cha Cunedda kinamfanya yeye kuwa ni mjukuu wa Padarn Beisrudd, ambaye anatafsiriwa kama Paternus wa Pambo la rangi Nyekundu. Paternus alikuwa karibu sawa na afisa wa Kirumi wa daraja na cheo cha juu aliyewekwa kwenye kamandi ya majeshi karibu na eneo la Votadini au Gododdin mwaka 388.

Mstari wa uzao waliochukuliwa hadi Roma wa Wacaratacus na Waarviragus waliunganishwa pia kwenye mstari wa uzao wa Yusufu, na ndipo Marius (Lat. for Meurig i.e. Arviragus) ananukuliwa ameandika kuwa alimuoa binti wa Bran Mbarikiwa na kwa hiyo bibi yake alikuwa ni binti wa Yusufu wa Armathaya. Kwa hiyo Yesu Kristo alikuwa ni binamu wa bibi yake kwa mtazamo huu (soma pia Ashley, op. cit., p. 78).

Inafuatia kwamba, kwa msingi wa mlolongo wa vizazi, Waceltiki wengi wakiaristocrasi wa Uingereza wanadaiwa kuwa walitokea kutoka kwenye familia ya Yesu Kristo.

Tunapopewa orodha ya vizazi tumeona, kuenea kwake sasa ni opotoshaji wa dhahiri kwa watu wote wa Uingereza na makoloni yake.Maelezo ya kimapokeo yanayomtaja Yusufu huko Uingereza yanasema ifuatavyo.Maelezo ya William ya kitabu cha Malmesbury cha HISTORY OF GLASTONBURY [HISTORIA GLASTONBURY] anasema kuwa Yusufu alipelekwa Uingereza na Mt. Filipo ambaye alikuwa anahubiri injili huko Gaul. Kuhusu Gaul, kunamapokeo yanayosema kwamba, akiwa na kina Mariamu Magdalena, Lazaro, Martha na wengine, Yusufu aliingia kwenye mashua, ambayo ililiongozwa au kuendeshwa kwa msaada wa kimbinguni hadi

Page 14: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Page 14 Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza

Marseilles. J. W. Taylor anasema kuna hadithi au ngano ya Waaquitanian inayosema kuwa Yusufu alikuwa sehemu moja wapo iliyoshuka huko Limoges katika karne ya kwanza na kwamba kuna hadithi ya Kihispania inayohusisha jinsi Yusufu pamoja na Mariamu Magdalena, Lazaro na wengine, walipokwenda huko Aquitaine. Taylor anayataja mapokeo au desturi ya Waigereza kuwa ni yale ambayo Drennalus, askofu wa kwanza wa Treguier, kwamba alikuwa mwanafunzi wa Yusufu. Taylor anayaona mapokeo haya kuwa ni sehemu ya jaribio la kuonyesha kwamba Yusufu alikuwa ametokeo huko Gaul, halafu huko Uingereza. Inapaswa ijulikane, hata hivyo kwamba mapokeo yasemayo Mariamu Magdalena na Lazaro kuwa walitokea Marseilles kwa sasa hayachukuliwi kuwa ni muhimu sana na wana jiolojia wengi. – Yusufu alisemekana, sio tu kuwa alikuja Uingereza, bali aliishi pia huko Glastonbury ambako alipewa ardhi na Mfalme Arviragus. Desturi na mapokeo ya kienyeji huenda sio za zamani sana zaidi ya karne ya kumi na tisa yasemayo kuwa alishiriki Mlo wa Pasaka zaidi ya majira ya baridi ya huko Glastonbury na kwa hiyo maji yalikuwa na rangi nyekundu. Mapokeo yanayotokana na miongoni mwa masonara fulani yalikuwa ni yale ya kipindi fulani yalikuwa ni yale ya zama za kabla ya Kusulibiwa, ni kweli kabisa kwamba Yusufu aliwahi kumleta Jesu na Mariamu huko Cornwall. Benjamin asasema na kudhani kuwa inawezekana kuwa Yusufu anaweza kuwa alijulikana na Joachim, baba yake Bikira Mariamu kwenye kitabu chake cha UNJILISHAJI (PROTEVANGELIUM) WA YAKOBO (PROTEVANGELIUM OF JAMES), ambacho ni cha kiapokrifa; lakini majina mawili haya ni tofauti nay ale ya mwanzo asilia. Kenye kitabu chake cha ESTOIRE Ysufu anapewa mwana aitwaye Josephe. Kwenye kitabu cha SONE DE NAUSAY alikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Adamu, wakati mapokeo ya imani ya kicoptic yanadai alikuwa na binti aliyeitwa, Saint Josa. Kwa kuikamilisha sura hii tunaweza kusema kwamba ukurasa huu huu wa kwanza ya kitabu cha Dugdale's Monasticon Anglicanum yanajumuisha mambo yanayoonyesha ukweli wa hadithi ya kuwasili kwa Yusufu wa Armathaya huko Uingereza, pamoja na maelezo mengine mengi kuhusu John wa Glastonbury. Kwa hiyo ni inastahili kabisa tunapoinukuu tukiiunganisha na kichwa cha somo kilichopo hapo juu. Jarida # 779: kuhusu maoni ya Dugdale yanaanza kwa kusema yafuatayo: "Kipindi cha takriban miaka sitini na tatu baada ya Kuzaliwa kwa Bwana wetu, Mt. Yusufu wa Armathaya, alisindikizwa na wanafunzi wengine kumi moja wa Mt. Filipo, walikwenda na kuwasili na Mtume Yule hadi Uingereza, kuanzisha imani ikichukua nafasi ya ubararian wa dini au imani ye umwagaji damu, iliyoshamiri na kujulikana kwa muda mrefu na

mhafidhina na druids zilizo chambuliwa, wanyofu na imani ya Ukristo uliochanganika na upagani. Walifanikiwa kwa kujipatia ruhusa kutoka kwa Arviragus, mfalme wa Uingereza ruhusa ya kuweka makazi kwenye kisiwa kidogo, ambacho kilikuwa cha hovyo na hakilimwi, na kila mmoja wao kati yao kumi na mmoja wote walipangiwa waende huko, wakajipatia riziki yao katika nchi iliyoitwa ya mafichoni, wakijumuisha wilaya wanayoishi hata leo MAFICHO YA WATU KUMI NA MMOJA YA GLASTON. Mipaka yao, pamoja na majina ya maeneo yake muhimu vimeandikwa na kujumuishwa ndani yake, vinaonekana kwenye jalada la Nyongeza (yaani jalada la Nyongeza la Wamonasticon). Walinufaika na msamaha wa heshima ya kisheria, tangu kipindi cha zama kale na uanzidhaji wa kwanza wa Ukristo katika nchi ile. Mmoja ulikuwa na fursa ya kipekee ambayo kanisa hili lilinufaika nayo kutokana na upendeo wa mfalme Canute, ambao kwamba hakuna somo linaliloweza kuingizwa kwenye wilaya hii bila ruhusa ya mtwa mkuu wa nyumba ta watawa. Kwa sasa inajumuisha parishi zifuatazo; Glastonbury Mt Benedict, Glastonbury Mt John, Baltonsbury, Bradley, Mere, WestPennard, na North-Wotton. "Jina ambalo lilitumika ili kukitofautisha kisiwa hiki na Uingereza lilikuwa ni Ynswytryn, au Kisiwa cha Glassy, kutokana na rangi ya mrefeji ay mto ambau ulikizunguka kisiwa hiki. Baadae kilipewa jina la Avallon, kutokana na mwonekano wa Kikonyo cha tunda la Epo ambacho kinakaa kwenye mchongeko wa tunda hili; au ni kutokana na Avallon, mfalme wa Uingereza, ambaye hapo zamani alikimiliki. Hatimaye Wasaxons walikiita Glæsting-byrig. Hapa huyu Mt Yusufu, ambaye anachukuliwa na wataalamu wa historia ya tumbili kama viumbe wa kwanza, alisimamishwa kwa heshima ya Bikira Mariamu, mwenye mabawa ya manyoya, ni sanamu ya kwanza ya kimapokeo ya kidini kusimamishwa nchini Uingereza." # 24 - 156 - 261 - 320 - 392 - 418 - 604 - 779http://www.celticgrounds.com/chapters/encyclopedia/j.html

Kinachotajwa kwenye biblia ni kumhusu Yusufu ni kwamba alikuwa mjumbe wa Baraza la Kidini (Marko 15:43) na baraza hili lilijulikana kama ni la Sanhedrin, na sio tu kuwa alikuwa ni mjumbe anayewakilisha kijiji chake cha Armathaya kwenye baraza hili, au mji wa Rama uli kwenye mashariki mwa shinani mwa mlima Yopa au mji wa Tel-Abib.

Anaaminika kuwa alikuwa na undugu na Yesu Kristo kwenye nakala zote za kimapokeo zinazomuelezea yeye, na

Page 15: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza Page 15

Hippolytus hakumuorodhesha kuwa alikuwa mmojawapo wa wale Sabini (sona jalada la Nyongeza au Appendix 1).

Mathayo 27:57 inamtaja kuwa alikuwa ni mtu tajiri. Pia alimiliki kaburi kwa ajili yake mjini Yerusalemu. Huenda kaburi la kifamilia alilimiliki nyumbani kwake Armathaya.

Yohana 19:41 inasema kuwa kaburi lake lilikuwa kwenye bustani ya karibu kutoka mahali palipokuwa panatumika kuwasulibisha watu.

Kuna msukumo wa kisheria unaoonekana kuwa huenda alikuwanao Yosufu ukamfanya Yusufu awe ni mtoaji msaada huu kwa wema. Kitabu alichoandika H. C. Kee kiitwacho the Interpreters Dictionary of the Bible [Kamusi ya Kutafsiri Biblia](Vol. 2, pp. 980-981) anaandika kwamba inawezekana sana ni kwamba uongozi wa Baraza la Wayahudi ungeweza kuyadhuru maisha yake ili kuwaridhisha wahuni wafanya fujo wa Galilaya, kiongozi ambaye alikuwa ndiye kwanza tu anahukumiwa kifo. Kee anadhani kwamba alifanya hivyo kwa kufuata kujibu wa Torati akiwa kama afisa mwenye dhamana kuiangalia, kama “inavyoonekana” kwenye Marko 15:42-43. Totari anasema na kuamuru kuwa maiti inamfanya kuwa najisi mtu anayeigusa. Basi ilipaswa izikwe kabla Sabato haijaanza jioni. Torati iliagiza pia kuwa wahalifu na wazikwe mchana wa siku ile ile wanayouawa (Kumbukumbu la Torati 21:23). Huenda Warumi wangeiacha miili ya watu hawa kwenye miti ili iliwe na ndege wala mizoga. Hata hivyo, mamlaka iliyokuwepo ingewajibika na jambo hili na wakaratibu utaratibu kwa kuwa walikuwa wanahusika na kuguswa nalo kwa kuwa walikuwa ni wajumbe wa baraza la Sanhedrin. Mitazamo hii inayotofautiana ingeweza kuendelea kusema kuwa huenda alikuwa anafanya hivyo tu kwa niaba ya baraza la Sanhedrin. Hata hivyo, kama hiyo ndiyo ilikuwa ni sababu basi asingeweza kuchimba kaburi lake mwenyewe kwa kujitoa na kujitolea. Yeye pia hakuwa amekubaliana na mashitaka waliyoyafanya

kumshitaki Yesu Kristo na alikataa kutoa ushirikiano nao au uthini yake kwao (Luka 23:51). Kwenye kitabu cha Marko haisemi kwamba alikuwa anautarajia Ufalme wa Mungu. Marko 15:43 inasema tu: “akafanya ujasiri, akaingia mbele ya Pilato akauomba mwili wake Yesu”. Kisha akamzika Kristo akiwa na Nikodemo (Yonana 19:39).

Mathayo anasema kwamba Yusufu alikuwa ni mmoja wa wanafunzi wake Yesu (Mathayo 27:57).

Maelezo yaliyo kwenye Injili hizi kimsingi yanakubaliana na Marko 15:46 yakisema kuwa Yusufu alinunua sanda ya kitambaa cha hariri na kwamba mwili ulikabidhiwa kwa Mariamu Magdalena na Mariamu mama wa Yakobo mdogo wao kina Yose na Salome.

Tunajua sote kwamba alikuwa ni mwanafunzi tajiri na kwamba hakumnyima msaada wa kushughulikia mwili wa Kristo. Hata hivyo, alichotakiwa ni kuuomba tu ule mwili. Watawala hawakuwa wanaitoa miili hii kwa mtu yeyote, na ndivyo walivyofanya hata hapa.

Waliweka walinzi kaburini kwa siku tatu ili kuhakikisha kuwa asipotee ama kuchukuliwa na mtu.

Kitu cha namna hiyohiyo ambacho Pilato alikifanya kwa namna ile kilikuwa ni kwamba aliona kuwa Yusufu alikuwa na sababu ya kisheria kuudai mwili, na kwamba alikuwa pia ni ndugu kwa namna moja au nyingine, na pia kwamba alikuwa karibu na familia ile kwa mambo ya kiofisi. Akiwa mwanafunzi, angeweza pia kufanya mambo kwa kutumia wadhifa wake wa ujumbe wa baraza la wazee Sabini, wadhifa ambao alikuwanao pia, ambako kwa mujibu wa mapokeo alishirikiana na Aristobulus ambaye alikwenda naye huko Uingereza. Inawezakuwa kwamba Hippolytus aliorodhesha ujazilisho na yeye kwenye baraza hili la watu Sabini baada ya kufa kwake na mwanafunzi yule hatimaye alipangiwa aende sehemu nyingine au dayosisi nyingine. Alikuwa pamoja na

Page 16: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Page 16 Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza

Nikodemo katika kushughulikia kuuzika mwili wa Kristo. Inawezekana kuwa wote wawilikuwa kwenye baraza hili la Sanhedrin. Mtazamo hata hivyo ulikuwa ni kwamba alikuwa na ushurikiano na Mariamu na kwamba alimsaidia kimahitaji kipindi cha baada ya kufa kwake Kristo. Kitabu cha kiapokrifa cha Agano Jipya kinachoelezea Dha ya Ubikira, kinamuelezea Yusufu wa Amrvathaya kinasema kuwa aiiendelea kumhudumia Mariamu mama wa Yesu Kristo hadi kufa kwake. Maandiko ya Biblia yanasema kuwa Kristo alimkabithi Yohana mama yake ili amhudumie. Mkanganyo unaweza kujitokeza na kuonekana kuwa alimchanganya na Maria ambaye jina lake linafanana tu na huyu alikuwa ni mke wa Klopa, na kwa hiyo jina lake halikuelezewa kiusahihi na linaandikwa Maria na ambalo lilikuwa ni jina la dada yake, mke wa Klopa na na mapokeao yanawahusianisha Yusufu na wa pili wake na Mariamu Magdalena. Ni mapokeo haya ndiyo yaliyosababisha kuibuka kwa mapokeo mengine yaliyosababisha kuwepo kwa Mnyororo mwingine wa kizazi cha Wamerovingian wenye undugu na Kristo huko Ufaransa, na hadithi ya Fisher Mfalme anayesimuliwa tu kwenye hadithi kuwa alikuwako huko Scandinavia na kuwa ndiye Mtukufu Grail.

Yanayotajwa kwenye mapokeo haya ni muhimu sana kuhusu uhusiano wa Yusufu kwenye familia ya Kristo na Biblia inaonyesha kuwepo kwa uhusiano wa karibu kutokana na matendo yake, na alikuwa ni mwanafunzi mdogo kuliko wote lakini alikuwa tajiri sana.

Pia kuna jalada la Nyongeza lenye kichwa cha somo Historia ya Yusufu wa Armathaya kenye kitabu cha “Matendo ya Pilato”.

Uingereza kama Kitovu cha UmishenariKuna idadi kadhaa ya maandiko ya kimapokeo yanayoelezea ucteuaji wa maaskofu kwa maelekezo ya Mtume Paulo na Kanisa la Uingereza ukifanyika huko Gaul sawa na jinsi ulivyofanyika huko Avignon. Inadaiwa na Waingereza fulani

wenye asili ya Kiisraeli kuwa Parmena, mwanafunzi wa Yusufu wa Armathaya, aliteuliwa kuwa askofu wake wa kwanza, na wengine wanadhaniwa pia kuwa na heshima sawa nayeye. Kitabu cha Ufafanuzi cha Kikatoliki kiitwacho The Catholic Encyclopaedia kinasema hivi:Hakuna uthibitisho kwamba Mt. Rufus, mwanafunzi wa Mt. Paulo (kwa mujibu wa mapokeo fulani mwana wa Simoni Mkirene) na Mt. Justus, wote hawa wanastahili heshima sawa kutokana na ushuhuda wa Avignon, walikuwa anaheshimika kwa ubunifu kama askofu wa kiti kile cha kiuaskofu. Askofu wa kwanza anayejulikana kwenye historia ni Nectarius, ambaye alichukua sehemu yake kwenye mabaraza kadhaa wa kadhaa kipindi cha takriban cha katikati mwa karne ya tano.http://www.newadvent.org/cathen/02158a.htm

ni wazi sana kwamba Rumi haikuwahi kuwafukuza Avignon hadi kipindi cha katikati mwa karne ya Tano. Ni jambo lililodhahiri sana kwamba kituo kama hiki kingeweza kuachwa peke yake na Wakristo nab ado wanayashikilia mapokeo haya muhimu. Jibu ni kwamba hakikuwa n I kituo cha Wakatoliki wa Roma hadi wakati wa upagani wa ukengeufu wa Julian.

Madai yametokana na mapokeo ya siku nyingi sana katika Uingereza kuwa Kanisa huko Glastonbury lilihusika kuwahubiria Wazungu wengi, kwa kipindi cha karne kadhaa.

Maandiko yanayoelezea mapokeo ya Wafaransa yanayahusisha makanisa aya pia moja kwa moja kwa mitume wa mwanzo. Historia ya Kanisa la Ufaransa na Uingereza inalifanya lijulikane kuwa imani ya kidini hadi kutekwa kwa Ufaransa ilikuwa ni ya Kiyunitariani au Kiarian, kwenye nchi zote za kaskazini na kwa washambuliaji. Kituo cha Roma kiliwahonga kwa kuwapa rushwa viongozi wao (soma pia majarida ya Kazi ya Amri ya Nne Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu Yanayozishika Sabato (Na. 170) na pia Mgawanyiko Mkuu wa Makanisa Yayayozishika Sabato (Na. 122) [Role of the Fourth Commandment in the Historical Sabbath Keeping Churches of God (No. 170) and also General Distribution of the Sabbath-keeping Churches (No 122)].

Page 17: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza Page 17

Kuna taarifa nyingine ya kimapokeo kama tulivyoona hapo juu zinazosema kuwa Drennalus alimsaidia yusufu kuanzisha Kanisa huko Morlaix, na ndiye hatimaye aliteuliwa aende Treguier akiwa ni askofu wake wa kwanza huko.

Haishangazi sana kuona kuwa Kanisa Katoliki likiwa kimywa kuhusu jambo hili, lakini wanakubali kuwa:

“Mtawa, Mt. Ronan, mzaliwa wa Ireland, mara nyingi anachukuliwa kuwa mmoja wa maaskofu 350 waliowekwa wakfu na Mt Patrick, alikuwa ni mmoja wa mitume huko Cornouailles katika karne ya tano aliyehudumu pia maeneo mengine yaliyozunguka nay a karibu ya Léon” (CE artic. Morlaix).

Na kwa hiyo wanakiri kuwa na ushawishi wa nje kutoka kwa Makanisa ya Kicelitiki ili kuanzisha cheo cha kiuaskofu.Ni kama Tréguier unavyosemekana:“Tréguier ni mji ulio takriban maili 36 Kaskazini Magharibi mwa Sait- Brieuc kwa barabara. Bandari imejengwa takrinban maili 5 1/2 kutoka Mkondo wa Uingereza kwenye kingo za mito miwili inayotokea kwenye Mto mkubwa wa Tréguier.Tréguier (Trecorum), unayokadiriwa tangu karne ya 6, uliojengwa jengo la watawa iliyojrngwa na Mt. Tudwall (aliyefariki mwaka 564). Katika karne ya 9 ulikuja kuwa mji wa makao ya askofu, ulioangushwa Julai 12, 1790 (tangazo na amrisho la Novemba 14, 1789). Pop. (1906), 2605 (cf. Wikipedia).

Kuna mji mmoja kati ya saba uliofungamanishwa na Wtakatifu saba wanaopatikana kwa Wakatoliki wa Brittany, one of whom was Tudwall. Thus the Roman Catholic Church does not recongise the Celtic Church of Brittany waliokutikana kabla ya Tudwall haijajenga jumba ya watawa huko kwenye karne ya 6. Ni dhahiri kuwa haishawishi akiIi kuwa Amorica au Brittany, ambao ulikuwa na ukaribu kama huo pamoja na Waceltic wa Britain, haikuweza kushirikishwa na uinjilishaji wa kidini. Kile kilichoanzishwa bila shaka ni kwamba mji wa Brittanny au Amorica

haukuwa ni mji wa Kikatoliki hadi kufikia karne ya Sita na ilikubalika kuwa hivyo kwenye historia, kama tuonavyo hapa kutoka kwenye maelezo ya kijarida hiki cha kila wiki.Tro Breizh (Breton kwa "Ziara ya Uingereza") ni hija ya Kikatoliki inayounganisha miji ya watakatifu saba waanzilishi waBrittany, pamoja na Tréguier mji wa Mtakatifu Tudwal.

Ili kuelewa kilichotokea huko Brittany hapa tunapaswa kuijua historia. Wakatoliki wa Kirumi hawakuweza kushughulikiwa na wao mapema sana kabla yake, kama wawakuwa huko kipindi kile, na katika karne ya Sita wakazi asilia walikuwa wameondoka na kuanza tu kurudi kwenye mashambulizi ya Uingereza kwa wa Angles Saxons na Jutes, kama tunavyoona kutoka kwenye historia ya Brittany au Bretagne....vyanzo vya habari vya Kirumi vinayaelezea makabila ya Armoricani ya wa Veneti, Osismii, Namneti, Coriosoliti na Riedoni akiishi eneo la zama za chuma.Mwaka 56 KK eneo hilo lilitekwa na Warumi wakiongozwa na Kaisari Julius. Warumi waliliita jimbo hili Armorica (kwa Kilatini neno la Kiceltic lenye maana ya "ukanda wa pwani"), lenye jimbo kubwa sana la Gallia Lugdunensis. Idara au eneo la Côtes-d'Armor limechukua jina lake la zamani. Kuinuka kwa Bagaudae katika karne ya 3 kulipelekea maangamizo ya vijiji na kupungua idadi yao.Katika karne ya 4 makabila ya mchanganyiko wa Warumi na Waingereza kutoka kwenye Mrengo wa Waingereza walianza kuweka makazi. Mmiminiko huu wa Waingereza uliongezeka wakati majeshi ya Kirumi na viongozi wake walipoondolewa kutoka Uingereza, na kupelekwa na kuongozwa na wa Anglo-Saxons na Scotti hadi Uingereza kulivyoongezeka. Kuingia kwa Waingereza kulikuwa na mkoa wao na jina lake la sasa na kulichangiwa na lugha ya wa Breton, Brezhoneg, lugha dada ya we Welsh na wa Cornish. Watu wanaoongea lugha ya Kifaransa walio kwenye mkoa waliwaita "Bretagne" (Brittany kwa Kiingereza) kwenye eneo ambako Waingereza waliishi wakiwafukuza mashambulizi ya wa Anglo-Saxon wa Britannia, na ndipo waliwaita jina la "Grande Bretagne" (Muungano wa Nchi Kuu ya Uingerza) na kwenda kisiwani ambako Waingereza hawa walitokea.http://en.wikipedia.org/wiki/Brittany

Historia inathibitisha bila shaka kwamba makabila ya Uingereza sio tu kwamba yalienda huko, bali pia yalileta mila zao na dini zao. Ndpo kabila la Bagaudae na vijiji

Page 18: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Page 18 Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza

na makanisa viliangamizwa vyote katika Karne ya Tatu na watu wakakimbilia kwa Waceltiki Waingereza ambako uthibiti wa Warumi ulikuwa dhaifu sana, kama mwanahistoria wa Kiingereza anavyosema. Na ndiyo sababu rekori ya uinjilishaji wa Waingereza huko Brittany inathibitisha kutoka na maandishi ya Waceltiki wa kwanza huko Uingereza, na sio kwenye Kanisa Katoliki la Roma huko Uingereza au Ufaransa. Kwa kweli hawakuwepo huko.

Kijiji cha Bagaudae huko Tréguier kiliangamizwa na ndivyo lilivyofanyiwa kanisa lake pia na ndiyo maana Tudwall aliweza kujenga hapo jumba la watawa wa Kikatoliki katika karne ya Sita. Ukawa sio mji tena. Na hii ndiyo sababu hauonekani kutuma maaskofu wowote au maafisa kwenye Baraza la Mtaguso wa Arles mwaka 314.

Wabagaudae walikuwa wanamgambo wa Kikristo wa mrengo wa Kiceltiki walioendesha harakati zao huko Amorica chini ya viongozi wao Amandus na Aeilianus ambao walikuwa makabaila waliomiliki kiasi kikubwa cha ardhi. Walikuja kupenda mambo ya uongozi tangu mwaka 284, na waliangamizwa na kuuawa mwaka 286 na Makaisari Maximian na Carausius, waliokuwa wanamtumikia Augustus Diocletian. (sawa na inavyosema Makala ya Wikipedia article Bagaudae). Carausius alikuwa ni raia wa Kirumi huko Uingereza na Kasakzini mwa Gaul aliyejitangazia mwenyewe kuwa ni mfalme wa Uingreza na Kasakazini mwa Gaul akishutumiwa kwa kwa ulaghai na Diocletian na kusikia maneno na hukumu yake. Alijitangaza kuwa ni mfanya marejesho mapya ya Uingereza na akapata usaidizi wa vikosi vitatu vha majeshi ya Kiingereza na kikosi kingine cha komandi ya wapiganaji wa jeshi la wanamaji. Ni kweli kabisa kwamba komandi hii ya wanamaji ilikuwa ni ya muhimu katika kuwasambaratisha na kuwashinda Wabagaudae.

Tendo hili lilikuwa ni kabla ya miaka kumi ya mateso yaliyofanywa na Diocletian

upande wa mashariki.

“Diocletian, alikuwa ni mfalme wa Dola ya Rumi tangu Novemba 20, 284 hadi Mei 1, 305 [pamoja na Maximian]. Diocletian alihitimisha zama mashuhuri iliyojulikana na wanahistoria kama za "Mgogoro wa Karne ya Tatu" (235–284). Alianzisha muundo wa kiutawala wa kiutocrasia na aliwajibika kwa kuipa umuhimu kazi ya kuipangilia nchi kwa awamu ya pili kufanywa na Dola ya Kirumi, ambayo ilijulikana kwa namna mbalimbali kuwa ni "Umiliki wa Kidola" (sera iliyopingana na ile ya zamani ya Utawala na mamlaka yaliyoanzishwa na Augustus), "Liwali", au kwa ufupi ndiyo hatimaye ilikuja kuwa ni "Dola ya \Baadae ya Kirumi". Matengenezo mapya ya Diocletian yalisaidia kuendelea kuwepo kwa Magharibi mwa Dola ya Kirumi kwa kipindi kingine cha miaka mia mbili, na kuendelea kuwepo kwa Mshariki ya Dola ya Kirumi (hatimaye ilikuja kuwa ni Dola ya Byzantine) kwa kipindi kingine cha miaka elfu.” (http://en.wikipedia.org/wiki/Diocletian)

Constantine alitawazwa kuwa mfalme rasmi mwaka 306 baada ya kufariki baba yake. Wakristo walianza kuvumiliwa baada ya azimio au tangazo la Milan la mwaka 311. Tangu hapa tunaweza kuwaona Wakristo wa madhehebu ya Celtic wakiendesha huduma zao wakiwa kwenye kikundi huru wakipingana na mamlaka ya Warumi wakati wa utawala wa Diocletian na aiishurutisha utawala wake wa kiotokratiki kwenye Dola ya Kirumi. Kisha Diocletian aliendelea kutokomeza upinzani wote katika sehemu zote mbili za magharibi na mashariki. Ukotomezaji huu ulihusu na mambo yote mawili, wapinzani na Kanisa. Kanisa lililokuwa huko Roma lilikuwa rahisi kambini mwa Warumi na halikukumbwa na mateso kwa kipindi cha takriban zaidi ya miaka miwili upande wa mashariki. Kanisa la Waceltiki la Brittany lilifutiwambali kabisa au lilikomeshwa kabisa. Inaonekana kuwa baadhi yao wanaonekana kuwa walirudi kutoka Uingereza wakipewa majina ya Bretagne au Brittany.

Kanisa la kwanza la Waceltiki la Gaul liliteseka likiwa kama sehemu ya walengwa kwa mkakati wa kutokomezwa. Wamisionari wa Kicelkiti, Sidonius, Saturninus na Cleon wote wanachukuliwa habari zao kwenye mapokeo ya Kanisa la

Page 19: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza Page 19

kwanza kuwa walitumwa kutoka Uingereza waende Gaul. Wanaripotiwa kuwa walirudi Uingereza. Historia kwa makusudi kabisa haitunzwa, kuonyesha kuwa Kanisa la Waceltiki halikuwa ni hili la Wakatoliki wa Rumi na kwamba ukweli wake lilikuwa ni la watunza Sabato wanaoamini Maadhimisho ya Mlo wa Mezaaa ya Bwana mara moja tu kwa mwaka ambayo ni jioni ya Abibu 14, maarufu kama Wauartodeciman.

Nchini Uswizi Mapokeo ya Waceltiki yanasema kwamba Kanisa lililoanzishwa Uingereza hatimaye liliwatuma wamisionari sio tu huko Gaul, bali pia huko Helvetii ambao hatimaye walijitanua hadi nchini Uswizi. Mmisionari aliyejulikana kwa jina Beatus kwenye orodha ya wanahistoria hapo juu. Anaaminika kuwa alibatizwa na Barnaba. Wengine wanasema kuwa alikuwa ni Yose Mlawi aliandikwa kwenye Maandiko Matakatifu. Mapokeo ya zamani yamechukuliwa kwenye nakala za kihistoria maarufu kama the Historians’ History of the World [Historia ya Wanahistoria wa Ulimwengu], Vol. XVI, p. 533) ambapo Beatus ameandikwa kuwa ni askofu wa kwanza wa Helvetii katika karne ya Kwanza. Mrejesho umefanywa kuhusu Lucius, Mrhaetian, kwenye krne ya Tatu na kwa kikosi cha Theban mwishoni mwa karne ya Nne. Wanahistoria wanazijua pia saini za maaskofu na wazee wa makanisa waliohudumu huko Valais, kwenye miji ya Geneva, Coire, Aventicum na mahala pengine popote katika karne ya Nne. Wanachukuliwa kuwa na uadilifu usiotiliwa mashaka na kwamba kulikuwa na kanisa huko Valais katika karne ya Tano na mengine mengi sehemu nyinginezo baada ya hapo. Tena sababu nyingine ya muhimu ni kwamba hawakuwa waumini wa Ukatoliki wa Rumi na hakuna mahala popote panapoonyesha kwa wao kuwapo huko Roma. Wahelvetii walikuwa Waceltiki walioshirikiana na Wacimbri na pia Wateutones. Walikuwa wameshindwa na wao chini ya kaisari huko Gaul walipokuwa wanaelekea pande za magharibi hadi kwenye visiwa vya Cimbri huko Gaul, na

walirudishwa nyuma hadi nchini mwao na kuwa chini ya himaya ya Warumi na kunyanyaswa na wao wakipokea na kutumikia amri zao kwa kipindi cha karne kadhaa. Katika karne ya Tano (mnamo mwaka 443 BK). Hatimaye Waburgundians walishambulia na kuvamia na kuzikalia kingo zote mbili za Jura na Ziwa Geneva, huko Valais, kwenye kingo za Rhone na Saone. Tangu mwaka 409, wakiwa pamoja na makabila mengine, walishambulia mipaka ya Dola. Wavandals na Wasuevi waliishambulia Hispania na Goths ikaangukia mikononi mwa Italia. Wagoths walilazimika kuwafuatia Wahispania wakiijifanya kuwa ni Wavisigoths au Wagoths wa Magharibi, na kikundi kingine kidogo cha wao kilikuwa kimekwisha enda Scandinavia na walifuatwa na Wasvear.

Makabila haya yote yalikuwa ni ya Wasabato wa mrengo wa Kiunitarian, na kwamba Kanisa hili chimbuko lake wote walikuwa ni watunza Sabato huko Uswizi na kwingineko kote huko Kasakazini mwa Ulaya kuanzia Rhine, Waoder na Wavistula, hadi maeneo ya pwani, ikiwemo Fris na Dutch, na hatimaye hadi kufikia Uingereza.

LorraineInaaminika kuwa Mansuetus ndiye alikuwa askofu wa kwanza wa Lotharingians (yapata mwaka 49 BK) ambapo makao yake makuu yalikuwa huko Toul. Anaaminika kuwa ndiye aliyelianzisha Kanisa huko Lorraine, ambalo ambaye ndiye yeye huyo aliyeanzisha lile la Lotharingia kutoka kwenye eneo kazi la kidola la Charlemagne. Waandishi wengine wanaamini na kusema kwamba alikuwa anawasiliana na Roma baada ya kifo cha Clement aliyekuwa askofu wa huko.

Wakatoliki wa Roma wanadai kuwa ndiye alikuwa askofu wao wa kwanza huko Trier mwaka 250 BK na kwamba waliwatuma wamisionari kutoka huko waende Lorraine.“Nchi ambayo hatimaye ilijulikana kama Lorraine ilibadilika na kuwa ya Kikristo wakati ikiwa bado chini ya utawala wa Warumi. Wamisionari wakuja huko waktokea Trier ambao askofu wao wa kwanza alikuwa ni Mt. Eucharius (mwaka 250). Mmoja wa warithi

Page 20: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Page 20 Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza

wake, Maternus (313-14), alianzisha wadhifa wa askofu Mkuu wa Cologne.”http://www.newadvent.org/cathen/09362a.htm

kwa hiyo, eneo hilo hapo kabla halikuwa na la waumini wa Katoliki ya Roma, na lilikuwa ni la Wajerumani kwa upande wa mashariki na Wafaransa upande wa magharibi. Makabila haya hapo zamani yalikuwa ni watu wenye asili ya Kisabato, waliojulikana kwa Wakatoliki kama Waarians. Makabila ya Wafri na Wajerumani ya Kianglo Saxons na Wathuringians/Hermanduri walikuwa ndpo wanauingia Ukatoliki baada ya kuongolewa kwa shuruti kwa Waingereza na kupelekwa kwa Boniface huko Frisland na Ujerumani. Baadhi yao hawakujiunga na wao wakitokea kwenye imani ya Ukristo wa Kisabato hadi kwenye kipindi cha baadae cha karne ya Nane. Ufaransa ilishurutishwa kujiunga na Ukatoliki kwa nguvu za Wafaransa.

Miji ya Cologne na Trier ilikuwa ni miwili iliyokuwa na maaskofu hapo zamani ambao walijiunga na Ukatoliki na kumilikiwa na mingine. Toul ndiyo ulikuwa mmojawapo wa miji hii mingine yenye maaskofu. Wakatoliki wakaweka nyadhifa za askofu mwenye mamlaka kwa maaskofu wao wakuu kama ifuatavyo:Mnamo mwaka 811, Trier ilipata askofu wake mkuu, mwenye daraja la Juu la Kiaskofu aitwaye Metz, Toul, na Verdun walikuwa ni wasaidizi kwake. Tangu mwaka 511, Metz alikuwa ni mkuu katika Austrasia, na kufanyika kuwa makao ya askofu katika karne ya sita, na mmoja kati ya maaskofu wake wa kwanza alikuwa ni Mt. Chrodegang (742-66). Miji ya Toul na Verdun ikawa yenye hadhi ya makao ya askofu tangu karne ya nne. Ukiwa chini ya Askofu Hildebold, mwaka 799, mji wa Cologne ulipata kutoka kwa Mt. Boniface mahakama ya kimataifa dhidi ya Liège na Utrecht. Miji hii miwili yenye maaskofu wakuu hapo zamani ikafanyika kuwa ni ya hadhi ya ubwana kwa muda kitambo. http://www.newadvent.org/cathen/09362a.htm

kumbuka kuwa uanzishaji huu haukufanyika mapema hadi ilipofika karne ya Tisa. Mji wa Trier ukawa wa kiaskofu katika karne ya Sita. Miji ya Toul na Verdun ilikuwa ya kiaskofu katika karne ya Nne. Mapema kabla ya kipindi hiki maeneo yote yalikuwa

yanakaliwa na Wasabato wa mrengo wa Kiyunitariani na sio na Wakatoliki wa Rumi. Mji wa Toul uliuwa ni Mji wa ki Gallo-Roman na ni mji wa zamani sana kuwa na askofu huku wakazi wake wakiwa ni wa imani ya Kisabato huko Uingereza.

Waandishi wa Kianglikana waliandika kwamba Kanisa la Uingereza lilitunza Sabato na sheria ya vyakula, na walikuwa ni Waquartodecimans (soma kwa mfano kitabu cha Askofu Edwards cha Ukristo Nchini Uingereza [Christian England]). Niall aliyejulikana kuwa wa Mateka Tisa [Nine Hostages], Mfalme Mkuu wa Tara katika karne ya Nne, aliishambulia Gaul na kuwakamata takriban watu mia mbili. Mmoja wao alikuwa ni Mt. Patrick. Patrick alimshuhudia na kumuingiza kwenye imani mjukuu wa Niall, ambaye ndiye aliyekuja kuwa Mt. Columba wa Iona. Alikuwa ni Msabato, kama alivyokuwa Aidan wa Lindisfarne. Kanisa walilolianzisha Kaskazini mwa Uingereza lililazimishwa kujiunga na imani ya Kirumi mwaka 664 BK kwenye sinodi ya Whitby kwa nguvu na shuruti ya Angles aliyekuwa chini ya mamlaka ya Ethelbert. Lililazimishwa kichinichini huko Uingereza na Wales mnamo mwaka 1054, na huko Scotland chini ya Malkia Margaret. Kufuatia Mtaguso wa Genoa mwaka 1190, Wasabato waliojulikana kama Mahuru au Wapublicani au Wapauliani (baada ya Wapaulicians au Wapauliani) walihukumiwa wauawe kwa kuchomwa moto huko Oxford mwaka 1191. Na mateso haya yaliendelea hadi mwaka 1612 wakati Edward Wightman alipouawa kwa kuchomwa moto kwa kosa la kufundisha ukweli akipinga ubatizo wa watoto wachanga na akipinga fundisho la Wakatoliki la Utatu pamoja ma mambo mengine mengi. Alikuwa ni wa mwisho kuuawa kwa ajili ya makosa kama haya. Kuitunza na kufundisha watu kuhusu imani ya Sabato kuliendelea kuwa ni chukizo kuu nchini Uingereza katika kipindi cha karne ya Kumi na Saba. Watoto wakiume wa Wightman walikwenda Marekani hadi kwenye Kisiwa cha Rhode ili kuungana na wenzao wengine waliojulikana kama Wasabato wa Kibaptist [Seventh Day

Page 21: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza Page 21

Baptists] (walioitwa Wabrown au Brownists wakifuatana na kiongozi wao kutoka Surrey). Jambo lisilo la kawaida na la kushangaza lilikuwa ni kuona uwingi wa Wasabato waliokuwepo na kuona kuwa ilikuwa ni imani maarufu yenye wafuasi wengi walioitwa kwa jina la viongozi au eneo kama vile Wawaldensians au Vallenses. Ambako aliona pia matumizi ya majina kama ya Waarmstrong, Waduggerites, Wadavidians (kutokana na Mfaranza Davidis), Watransylvanians nk. Kundi hili la Wabaptisti Wasabato waliitwa Wabrown au Brownists na walisafiri hadi Uholanzi kutafuta mahala pa kujificha kwa usalama wao na baada ya miaka kadhaa michache ya kuwa ukimbizini walipata

usafiri wa majini mashua au meli zilizojulikana kama Mayflower na Speedwell hadi Marekani. Wanajulikana kule kama Mababa Wasafiri. Hata hivyo, Usabato wao wa Kiyunitariani unapuuzwa au kupingwa kwenye mchakato au sheria ya uanzishaji au usajili dini wa Marekani. Walifuatwa huko kutoka Uingereza na utaratibu wa usajili na hatimaye walilazimika kukimbilia kwenye Kisiwa cha Rhode (soma jarida la Uhusiano wa Waholanzi na Mababa Wasafiri (Na. 264) [The Dutch Connection of the Pilgrim Fathers (No. 264) kwenye tovuti ya www.ccg.org/english/s/P264.html)].

Page 22: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Page 22 Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza

Jalada la Nyongeza [Appendix] 1:

WASIFA WA MITUME KUMI NA WAWILI

Kule ambapo kila mmoja wao alihubiri, na walikokutana na kifo au mwisho wao.

1. Petro aliihubi Injili katika ponto, na Galatia, na Kapadokia, na Bethania, na Italia, na Asia, na hatimaye aliuawa kwa kusulibiwa na Nero kichwa chake kikiwa kimegeuzwa chini na miguu yake juu, kama alivyagiza na kusihi afanyiwe hivyo.

2. Andrea alihubiri katika Scythians na Thracians, na akauawa kwa sulubu, akitundikwa juu ya mti wa mzeituni, huko Patrae au Petra, mji ulio katika Akaya na ndiko alikozikiwa.

3. Yohana, tena, alikuwa Asia, alifungwa na mfalme Domitian kwenye kisiwa cha Patmo, ambako ndiko aliandika Injili na kuona maono ya kinabii; na wakati wa utawala wa Trajan alilala mauti huko Efeso, ambako masalia yake yanatafutwa kwa bidii kubwa lakni hayapatikani.

4. Yakobo ndugu yake Bwana, alipokuwa anahubiri katika Yudea, aliuawa kwa upanga na Liwali Herode, na alizikwa huko.

5. Filipo alihubiri huko Frigia, na aliuawa kwa kusulibiwa huko Hierapolis kichwa chake kikiwa kimeinamishwa chini wakati wa utawala wa Domitian, na alizikwa hukohuko.

6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako alipenda kuwahubiria Injili iliyoandikwa na Mathayo, na aliuawa kwa kusulibiwa kichwa chini, na alizikwa huko Allanum, mji wenye Waarmenia wengi.

7. Mathayo aliandika Injili kwa lugha ya Kiebrania na kuichapisha na kuitangaza huko Yerusalemu, na alilala mautini huko Hierees, mji ulioko Parthia.

8. Thomaso aliwahubiria Waparthians, Wamedi, Waajemi,Wahyrcanians, Wabactrians, na Wamarians, na aliuawa kwa kutupwa kwenye miili ya washirika wake wanne kwa mkuki wa msonobari huko Calamene, mji ulioko huko India, na alizikwa huko huko.

9. Na Yakobo mwana wa Alfayo, alipokuwa anahubiri mjini Yerusalemu, aliuawa kwa kupigwa mawe na Wayahudi, na alizikwa huko mkabala na hekalu.

10. Yuda, ambaye anaitwa pia Lebayus, alihubiri kwa watu wa Edessa, na katika Mesopotamia yote, na akalala mautini huko Berytus na alizokwa huko.

11. Simoni Mzealote, mwana wa Klopa, ambaye pia anaitwa Yuda, alifanyika kuwa askofu wa Yerusalemu baada ya Yakobo Mwenye haki, na alilala mauti na alizikwa huko akiwa na umri wa miaka 120.

12. Matthias, ambaye alikuwa ni mmoja wa wale Sabini, anahesabiwa pamoja na mitume kumi na mbili, na alihubiri huko Yerusalemu; alilala mautini na alizikwa huko.

13. Paulo aliingia kwenye utume mwaka mmoja baada ya kuitwa na kukubalika na Kristo; na alianzia Yerusalemu, akaendelea hadi Illyricum, na Italia, na Hispania, akihubiri Injili kwa kipindi cha kati ya miaka mitano hadi thelathini. Na wakati wa Nero aliuawa kwa kukatwa kichwa huko Roma na alizikwa huko.

Page 23: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza Page 23

WASIFA KAMA HUO HUO WA MITUME WENGINE SABINI

1. Yakobo ndugu wa Bwana na askofu wa YJerusalemu.2. Klopa [au Cleofas] kama alivyoelezewa hapo juu, ni askofu wa Yerusalemu. (Mume wake Mariamu, dada wa Mariamu) 3. Matthia, aliyejaza mahala palipoachwa wazi kwenye idadi ya mitume kumi na mbili.4. Thadeo, aliyempelekea waraka Augarus.5. Anania, aliyembatiza Paulo, na alikuwa askofu wa Dameski.6. Stefano, mfia dini na shahidi wa kwanza.7. Filipo, aliyembatiza towashi.8. Prokoro, askofu wa Nicomedia, ambaye alikuwa wa kwanza pia wa wale walioondoka, akiamini pamoja na dada zake.9. Nicano alifariki wakati Stefano alipokuwa anauawa. 10. Tinioni, askofu wa Bostra.11. Parmena, askofu wa Soli.12. Nikolaus, askofu wa Samaria.13. Barnaba, askofu wa Milan.14. Marko mwinjilisti, askofu wa Alexandria.15. Luka muinjiloisti.Hawa wawili walikuwa ni miongoni mwa walewanafunzi sabini ambao walitawanyika kutokana na kukwaza kwa lile neno kama alivyosema Kristo, “Mtu asiyekula mwili wangu na kuinywa damu yangu hanistahili”. Lakini mtu aliyemshawishi amrudie Bwana kwa kazi njema ya Petro, na nyingine ya Paulo, walipewa heshima au kutunukiwa kuhubiri Injili kwa kiasi ambacho nao waliuawa wakifia dini na mashahidi, mtu aliyeuawa kwa kuchomwa moto, na watu wengine waliouawa kwa kuangikwa juu ya mti wa mzeituni.16. Sila, askofu wa Korintho.17. Silvano, askofu wsa Thesalonike.18. Crisces (Crescens), askofu wa Karkedoni huko Gaul.19. Eprenetus, askofu wa Carthage.20. Andronicus, askofu wa Pannonia.21. Amplias, askofu wa Odyssus.22. Urban, askofu wa Makedonia.23. Stachys, askofu wa Byzantium.24. Barnabas, askofu wa Heraclea.25. Phygellus, askofu wa Efeso. Alikuwa na uhusiano pia na Simoni.26. Hermogenes. Yeye alikuwa na nia moja na Yule wa kwanza.27. Dema, ambaye alikujakuwa pia kuhani wa ibada za sanamu.28. Apelles, askofu wa Smirna.29. Aristobulus, askofu wa Uingereza.30. Narcissus, askofu wa Athens.31. Herodion, askofu wa Tarso.32. Agabo nabii33. Rufu, askofu wa Thebes.34. Asyncritus, askofu wa Hyrcania.35. Phlegon, askofu wa Marathon.36. Herme, askofu wa Dalmatia.37. Patrobulus, askofu wa Puteoli.38. Herma, askofu wa Filipi.39. Linus, askofu wa Roma.40. Caius, askofu wa Efeso.41. Philologus, askofu wa Sinope.

Page 24: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Page 24 Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza

42. Olympus na 43. Rhodion walikuwa wafia dini huko Roma.44. Lucius, askofu wa Laodikiaa huko Syria.45. Yasoni, askofu wa Tarso.45. Sosipater, askofu wa Ikonio.47. Tertius, askofu wa Ikonio.48. Erastus, askofu wa Panellas.49. Quartus, askofu wa Berytus.50. Apollo, askofu wa Kaisaria.51. Kefa.52. Sosthenes, askofu wa Colophonia.53. Tychicus, askofu wa Colophonia.54. Epaphroditus, askofu wa Andriace.55. Caesar, askofu wa Dyrrachium.56. Marko, mjomba wa Barnaba, askofu wa Apolonia.57. Justus, askofu wa Eleutheropolis.58. Artemas, askofu wa Lystra.59 Clement, askofu wa Sardinia.60. Onesiphorus, askofu wa Corone.61. Tychicus, askofu wa Kalkedoni.62. Carpus, askofu wa Berytus nchini Thrace.63. Evodus, askofu wa Antiokia.64. Aristarchus, askofu wa Apamea.65. Marko, ambaye pia anaitwa Yohana au John, askofu wa Bibloupolis.66. Zenas, askofu wa Diospolis.67. Philemon, askofu wa Gaza.68. Aristarchus na 69. Pude.70. Trophimus, ambaye aliuawa akifia dini pamoja na Paulo.

Page 25: Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza [266]kiswahili.ccg.org › weblibs › study-papers-word › p266.doc  · Web view6. Bartholomeyo, alihubiri tena huko India, ambako

Mwanzo wa Kamisa la Kikristo Nchini Uingereza Page 25