mafanikio katika udhibiti wa chakula, dawa ...secure site ...ni kulinda afya ya jamii dhidi ya...
TRANSCRIPT
MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA
MAFANIKIO KATIKA UDHIBITI WA CHAKULA, DAWA, VIPODOZI NA VIFAA TIBA
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
i
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
i
Yaliyomo
ii
VIREFU VYA VIFUPISHOAAS - AtomicAbsorptionSpectrophotometer
ACT - AntiMalariaCombinationtherapy
ADDO - AccreditedDrugDispensingOutlet
ADHFTA - ChamachaWatoaHudumaBinafsizaAfya
ADRI - AnimalDiseasesResearchInstitute
AGORA - AccesstoGlobalOnlineResearchinAgriculture
ALAT - AssociationofLocalAuthoritiesofTanzania
ALU - Artemether+Lumefantrine
CEM - CohortEventMonitoring
CSC - ClientsServiceCharter
CSR - CorporateSocialResponsibility
DLDB - DukalaDawaBaridi
DLDM - DukalaDawaMuhimu
EAC - EastAfricanCommunity
FTIR - FourierTransformedInfraRed
GCL - GovernmentChemistLaboratory
GCLA - GovernmentChemistLaboratoryAgency
GCP - GoodClinicalPractices
GDP - GoodDispensingPractices
GHP - GoodHygienicPractices
GLP - GoodLaboratoryPractices
GMP - GoodManufacturingPractices
GSP - GoodStoragePractices
HACCP - HazardAnalysisCriticalControlPoint
HINARI - HealthInterNetworkAccesstoResearchInitiative
HIV - HumanImmunodeficiencySyndrome
HPLC - HighPerformanceLiquidChromatography
HPTLC - HighPerformanceThinLayerChromatography
I.V - Intravenous
IEC - InternationalElectrochemicalCommission
IMCI - IntegratedManagementofChildhoodIllnesses
ISO - InternationalOrganizationforStandardization
KCMC - KilimanjaroChristianMedicalCenter
KISUVITA - KikundichaSanaanaUtamadunichaViziwiTanzania
MAB - MinisterialAdvisoryBoard
MIS - ManagementInformationSystem
MSD - MedicalStoresDepartment
MSH - ManagementSciencesforHealth
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
iii
MUHAS - MuhimbiliUniversityofHealthandAlliedScience
MUHASA - ChuoKikuuChaSayansiyaAfya
NCT - NationalCollegeofTourism
NEMC - NationalEnviromentalManagementCouncil
NGOs - Non-GovermentalOrganisations
NHL-QATC - NationalHealthLaboratory–QualityAssuranceandTrainingCenter
NIMR - NationalInstituteforMedicalResearch
NIT - NationalInstituteofTransport
NRA - NationalRegulatoryAuthority
OARE - OnlineAccesstoResearchintheEnvironment
OPRAS - OpenPerformanceReviewandAppraisalSystem
OSHA - OccupationalSafetyandHealthAuthority
OTC - Over-the-Counter
PHLB - PrivateHealthLaboratoriesBoard
POM - PrescriptionOnlyMedicines
PSRP - PublicServiceReformProgramme
PST - PharmaceuticalSocietyofTanzania
QMS - QualityManagementSystem
RDT - RapidDiagnosticTest
RUCO - RuahaUniversityCollege
SADCAS - SouthernAfricanDevelopmentCommunityAccreditationServices
SADC - SouthernAfricanDevelopmentCommunity
SOPs - StandardOperatingProcedures
TAFOPA - TanzaniaFoodProcessorsAssociation
TAKUKURU - TaasisiyaKuzuianaKupambananaRushwa
TAMISEMI - TawalazaMikoanaSerikalizaMitaa
TASA - TFDAAnnualStaffAppraisal
TEHAMA - TeknolojiayaHabarinaMawasiliano
TFDA - TanzaniaFoodandDrugsAuthority
TFNC - TanzaniaFoodandNutritionCentre
TNF - TanzaniaNationalFormulary
TSJ - TimesSchoolofJournalism
TUGHE - TanzaniaUnionofGovernmentandHealthEmployees
TUKUTA - TumeyaKudhibitiVyakulayaTaifa
UKIMWI - UpungufuwaKingaMwilini
UNICEF - UnitedNationsChildren’sFund
WHO - WorldHealthOrganization
ZOLGAC - ZonalOfficesandLocalGovernmentAuthoritiesCoordinator
iv
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
v
Nawapongeza sana kwa mafanikio hayo mliyoyapata, ikiwa ni pamoja na Maabara ya TFDA kuwa ya kwanza barani Afrika miongoni mwa maabara za Serikali za udhibiti wa bidhaa kutambuliwa na Shirika la Afya Duniani… Mnaipeperusha vyema bendera ya nchi yetu na mmetuletea heshima kubwa, hongereni sana.
Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania,wakatiakizinduamaabarayaTFDAtarehe18Machi,2013
vi
BARUA YA KUWASILISHA
Mhe.Dkt.HusseinA.Mwinyi(Mb,),WaziriwaAfyanaUstawiwaJamii,S.L.P9083,DarEsSalaam.
Bi.ReginaL.Kikuli,KaimuKatibuMkuu,WizarayaAfyanaUstawiwaJamii,S.L.P9083,DarEsSalaam.
Mhe.Waziri,
NinayoheshimakuwasilishakwakoKitabuchaMiaka10yaMamlakayaChakulanaDawa(TFDA).KitabuhikikimeainishahistoriayaudhibitiwabidhaakablayaTFDAkuanzakazirasmimwaka2003namafanikiokatikaudhibitiwachakula,dawa,vipodozinavifaatibanchinikwakipindichaJulai2003–Juni2013.Aidha,changamotombalimbali katikaudhibitiwabidhaahusikakwakipindi chamiaka 10zimeainishwandani yaKitabu.
Nawasilisha,
Regina L. KikuliKAIMU KATIBU MKUU
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
vii
UJUMBE KUTOKA KWA MWENYEKITI WA BODI YA USHAURI
NinayofurahakubwakushuhudiaMamlakayaChakulanaDawa(TFDA)ikitimizamiaka10yautekelezajiwamajukumuyakekwakuzingatiasera,kanuninamiongozoyaudhibitiwachakula,dawa,vipodozinavifaatibanchini.
NitumiefursahiikuipongezaTFDAkwakufikishamiakakumiyautendajikazinakwakupatamafanikiombalimbalikamaambavyoyameainishwakatikakitabuhiki.
Napenda kuipongezaWizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kwa maelekezo sahihi ya kiseraambayoyameiwezeshaTFDAkupatamafanikiomakubwakatikakipindichamiakakumi.Pianawashukuruwajumbewa Bodi yaUshauri yaWizara kwaTFDA katika vipindi tofauti kwamichangoyaokatikakuboreshautendajiwaTFDA.
Natambua michango ya wadau mbalimbali katika ushauri wa kitaalam na fedha iliyolengakuijengea TFDA uwezo wa kiutendaji kwa kipindi chote cha miaka 10.Mafanikio ya TFDAnimatokeoyamichangonaushirikianobainayaTFDAnawadauwake.Nimatarajio yangukwambaushirikianohuuutaendeleakuimarishwa ili kuwezakufikiaDhimanaDirayaTFDAambapojamiiitahakikishiwausalama,uboranaufanisiwachakula,dawa,vipodozinavifaatibawakatiwote.
KipekeenapendakumpongezaMkurugenziMkuuwaTFDA,Bw.HiitiB.SillonaWajumbewaMenejimentiyaTFDAkwauongozimadhubutipamojanawatumishi wotekilammojakwanafasiyakekwakuwezeshaTFDAkufikiamafanikioyaliyoainishwakatikakitabuhiki.
Nimatarajioyangukuwakwakipindikijacho,TFDAitaendeleakuimarishautendaji kazi kwa kujikita katikamisingi ya kazinakuendelezayalemazuri yaliyofikiwa ili hatimaye iwezekufikia dira yake ya kuwa taasisi inayoongoza baraniAfrikakatikakudhibitiusalama,uboranaufanisiwachakula,dawa,vipodozinavifaatibakwawote.
“Kwa pamoja tupambane na bidhaa duni na bandia ili kulinda afya zetu”
Balozi Dkt. Ben MosesMWENYEKITI WA BODI YA USHAURI
viii
DIBAJIShughuli zaudhibitiwabidhaahususanchakulanadawazilianzakufanyikakablayakuundwakwaMamlakayaChakulanaDawa(TFDA)mweziJulai2003.Wakatihuo,usimamiziwasheriambalimbalizilizotungwanakuwepoulifanywana IdarapamojanaVitengomaalumndaniyaWizara tofautinabaadayekusimamiwanaBodizaKitaalam.
KutokananakukuakwaharakakwateknolojianabiasharayasokohuriasanjarinamsukumowaSerikalikupitiaOfisiyaRais,MenejimentiyaUtumishiwaUmmawakuboreshautendajinautoajihudumakwawananchi,ilionekanakunaumuhimuwakuundwakwaWakalazaSerikali.HiinikatikakuboreshauwezowaSerikalikufanyakazikulingananakasinauhitajiwasokonakufikiamatarajioyawatejanawadau kwaujumla.Kwakuzingatiahilo,WakalambalimbalizaSerikaliikiwanipamojana
TFDAzilianzishwachiniyaSheriayaWakalazaSerikaliSura345yamwaka1997namarekebishoyakeyamwaka2009.
BaadayakutungwaSheriahiyo,TFDAiliundwanakupewamajukumu ya kudhibiti usalama, ubora na ufanisi wa
chakula,dawa,vipodozinavifaatiba.MajukumuhayapiayameainishwakwenyeSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219.TFDAilianzakazirasmitarehe1Julai,2003.
Katika kipindi cha miaka 10 ya uhai wake, TFDAimeweza kupata mafanikio mengi katika udhibitiwa usalama, ubora na ufanisi wa chakula, dawa,vipodozinavifaatiba.KatiyamafanikioyaTFDAnipamojanakuwanamifumomadhubutiyausajiliwa bidhaa, ukaguzi na ufuatiliaji wa usalama,uboranaufanisiwabidhaapamojanauchunguziwa sampuli kabla ya kusajiliwa au kuruhusiwakuuzwa kwenye soko la Tanzania. TFDA piaimeweka na kusimamia mifumo ya ufuatiliaji na uchanganuzi wamadhara yatokanayo namatumizi ya dawa na chakula pamoja namfumowaudhibitiwamajaribioyadawanavifaatiba.Lengokuuni
kuhakikishausalama,uboranaufanisiwabidhaazinazodhibitiwakablanawakatizikiwakwenyesokolaTanzaniailikulindaafyazawatumiaji.
Vilevile,TFDAimefanikiwakuwekanakusimamiamifumoyautendajiborawakaziambapoilipatachetichakiwangochaKimataifachaISO9001:2008tangumwaka2009katikaudhibitiwavyakula,dawa,vipodozinavifaatibabaadayakufanyiwaukaguzinaKampuniyaACMLtdyaUingereza.Sanjarinahilo,MamlakaimeandaanakutekelezaMkatabawaHudumakwaWatejamwaka2006nabaadayekuufanyiamarekebishomwaka2012kwakuboresha
viwango vya utoaji huduma kwa kuzingatia maoni na mapendekezoyawadauhusika.Hii ni katika kutekelezadhanayauwajibikaji nakumjali mteja bila kuathiri usalama, ubora na ufanisi wa bidhaazinazodhibitiwa.
“TFDA imeweza kupata mafanikio mbalimbali katika udhibiti wa usalama, ubora na ufanisi wa chakula, dawa, vipodozi na vifaa tiba”
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
ix
Mamlakapia imefanikiwa kujenga jengo laOfisi yaMakaoMakuu lililopobarabara yaMandela,eneolaMabibo-External,DaresSalaampamojanakufunguaofisitano(5)zaKandakwenyeMikoayaArusha,Mwanza,Mbeya,DaresSalaamnaDodomailikusogezahudumazaTFDAkaribunawananchi. Aidha,Mamlaka imefanikiwa kufanya upanuziwa jengo laMaabara na kuweka vifaavyaupimajivyakisasasanjarinakufanyamafunzokwawachunguziwamaabara.HiiimewezeshaMaabarayauchunguziwaDawakupataithibatiyaShirikalaAfyaDuniani(WHO)mnamomweziJanuari,2011naileyaMikrobiolojianaChakulakupataithibatikutokaTaasisiyaIthibatiyaSouthern African Development Community Accreditation Services – SADCAS kwa kiwango cha kimataifa chaISO/IEC17025:2005.HiiinamaanishakuwamatokeoyauchunguzikutokaMaabarahizizaTFDAyanatambuliwanakukubalikakimataifa.
Aidha,Mamlaka imeweka utaratibu wa kukusanyamaduhuli kwa kutumia vyanzo vya ndani nanjeambapomakusanyoyameongezekakwaasilimia727%katikakipindi chamiaka10yaTFDA.Sambambanahilo,hesabuzaTFDAkwakipindichakuanziaJulai2003hadiJuni2012zimekuwazikiandaliwakwamujibuwaSherianaKanunizaFedhanakukaguliwanaMdhibitinaMkaguziMkuuwaSerikali(CAG)ambapoTFDAimepatahatisafikwavipindivyotevyamiakatisa(9)mfululizo.
Pamoja na mafanikio haya, Mamlaka imeendelea kukabiliwa na changamoto mbalimbali katikakutekelezamajukumuyakeikiwanipamojanauhabawawatumishikulingananamajukumuyaliyoponauwepowabidhaabandianadunikwenyesokozinazopitanjiazisizohalali,maarufukamanjiazapanya.ChangamotonyinginenikutokuwepokwamifumoyaudhibitiwabidhaainayofananabainayanchiwanachamawaEACnaSADChivyokuongezaugumukatikaudhibiti.
Hata hivyo, TFDA inawajibika kuimarisha ukaguzi na elimu kwa umma pamoja na kuendeleakushirikiananawadaumbalimbaliilikwapamojatuwezekufikiadhimanadirayakuwataasisiborabaraniAfrikakatikakuhakikishausalama,uboranaufanisiwachakula,dawa,vipodozinavifaatibakwawote.
NachukuanafasihiikuishukurutimuiliyoandaakitabuhikichiniyausimamiziwaBw.AdamMitanguFimbo,MkurugenziwaDawanaVipodozinawajumbe;Bw.BrycesonKibassa,Bi.SiyaAugustine,Bw.DidasK.Mutabingwa,Bw.JasonJ.Kyaruzi,BwFrancisMapunda,Bw.SundayKisoma,Bw.YonahHebron,Bw.DavidMatlenaBi.JoyceKomba.
NatambuapiamchangowaMkurugenziwaUendeshajiHuduma,Dkt.SikubwaboS.Ngendabanka,MenejaMasoko,Bw.ChrispinSevere,AfisaUhusianoBi.GaudensiaSimwanza,Bw.JamesNdege,Dkt.NditondaChukilizonaBw.OctaviusSolikwakusanifunakuharirikitabuhikimuhimu.
Nimatarajio yangu kwamba katika kipindi chamiaka kumi ijayo, tutaimarisha zaidimifumo yaudhibitikwakuzifanyiakazichangamotozilizopoilikufikiamalengoyakuundwakwaTFDAambayonikulindaafyaya jamiidhidiyamadharayatokanayonamatumiziyachakula,dawa,vipodozinavifaatibavisivyofaa.
“Kwa pamoja tupambane na bidhaa duni na bandia ili kulinda afya zetu”.
Hiiti B. SilloMKURUGENZI MKUU
x
Dhima Kulindaafyayajamiikwakuzuiaatharizinazowezakujitokezakutokananamatumiziyachakula,dawa,vipodozinavifaatiba.
Dira KuwaMamlakainayoongozabaraniAfrikakatikakudhibitiusalama,uboranaufanisiwachakula,dawa,vipodozinavifaatibakwawote.
Falsafa Kutoahudumaborazaudhibitikatikakulindaafyayajamiinamazingirakwakutumiawafanyakaziwenyeujuzinaariyakazi.
Misingi ya kazi Kufanyakazikwaushirikiano,
Uaminifu,
Kuzingatiamahitajiyawateja,
Ubora
Uwajibikaji.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
1
1.1 Utangulizi Udhibitiwachakulanadawaulianzamiakaya1930chiniyaSheriambalimbalizilizosimamiwanaSerikaliyaMkoloni. Sheriahizi zimekuwazikibadilikamudahadimudakwaniayakuboreshaudhibitiwabidhaahizi.
Hata hivyo, sheria zote zilizokuwepo kabla yakuundwakwaMamlakayaChakulanaDawa(TFDA)hazikuwezakuhimilikasiyamabadilikoyakiuchumina teknolojia, yaliyosababisha kukua kwa biasharaza bidhaa husika nchini hivyo kufanya shughuli zaudhibitiwakekuwanachangamotokubwa.Vilevile,hakukuwana taasisimahususiyakusimamiasheriahizikablayamwaka1978,badalayakeusimamiziwasheriauliachwachiniyaIdaranaVitengovyaWizarazilizohusika.
Taratibuzaudhibitiwabidhaahizi,waliohusikapamojanamabadilikombalimbaliyaSheriazilizotumikakablayakuanzishwakwaTFDAmwaka2003,zimeelezwakwakinakwenyeSurahii.
1.2 Udhibiti wa Dawa Udhibiti wa dawa kabla ya kuundwa kwa TFDA,ulisimamiwa na sheria mbalimbali ikiwa ni pamojana:-
SheriayaChakulanaDawayamwaka1937(The Food and Drug Ordinance Cap 93, 1937);
Sheria yaDawa na Sumu yamwaka 1937 (The Pharmacy and Poison Ordinance Cap 416, 1937); na
SheriayaUdhibitiwaDawaHatarishiyamwaka1937 (The Dangerous Drugs Ordinance, 1937).
Wizara ya Afya kupitia kitengo chake cha dawandiyo iliyokuwa ikisimamia utekelezaji wa sheriahizi hadi mwaka 1978. Kitengo hiki kiliongozwa na
Msajili,ambapoviongoziwakekatiya1937na1978wameonyeshwakamailivyoainishwakwenyeJedwaliNa.1hapachini.
Jedwali Na. 1: Viongozi wa Kitengo cha Dawa
S/N Jina la Kiongozi Kipindi cha Uongozi
1. Bw.H.M.W.Nicholson Mwaka1937-19552. Bw.P.J.Mackenzie Mwaka1956-19613. Bw.D.Moors Mwaka19624. Bi.P.M.Shiel Mwaka19635. Bw.J.Karey Mwaka1964-19686. Bw.C.Mshiu Mwaka1969–1977
Mwaka 1978, Sheria ya Dawa na Sumu Na. 9 yamwaka 1978 (The Pharmaceuticals and Poisons Act, No. 9 of 1978) ilitungwanakuzifutasheriazaawali.IlikusimamiautekelezajiwaSheriahii,BodiyaMadawailiundwa.
1.2.1 Kuanzishwa kwa Bodi ya Madawa
BodiyaMadawailianzishwamwaka1978ilikudhibitiubora,usalamanaufanisiwadawaikiwanipamojanataalumayafamasinchini.BodihiiiliwekamifumoyaudhibitiwadawanailiongozwanaMsajiliambayendiye alikuwa Mtendaji Mkuu na msimamizi warasilimalinakazizakilasiku.ViongoziwaBodikatiya1979na2003wanaonekanakamailivyoainishwakwenyeJedwaliNa.2hapachini:
Jedwali Na. 2: Viongozi wa Bodi ya Madawa
S/N Jina la Msajili Kipindi cha Uongozi1. Bw.C.Mshiu Mwaka1978–19792. Bw.J.E.Chiliko Mwaka1979-19923. Bw.L.R.Mhangwa Mwaka1993-19964. Bi.M.Kimaro Mwaka1997-19985. Bi.M.Ndomondo-SigondaMwaka1998–2003
SURA YA KWANZA 1 UDHIBITI WA BIDHAA KABLA YA KUUNDWA KWA TFDA
2
1.2.2 Muundo wa Bodi ya Madawa BodiyaMadawailiundwanaIdaranneambazoni:
i. IdarayaUsajiliwaDawa;
ii. IdarayaUkaguzi;
iii. IdarayaMaabara;na
iv. IdarayaUtoajiTaarifazaDawa.
WakuuwaIdarandiowaliosimamiakazizaIdarahizonawaliwajibikamojakwamojakwaMsajiliambayenaye alikuwa anawajibika kwa Bodi ya UtendajiiliyoundwanaWaziriwaAfya.
1.2.3 Mifumo ya Udhibiti wa DawaBodiyaMadawailiwekamifumoyaudhibitiwadawaikiwa ni pamoja na usajili wa dawa na maeneo yabiashara za dawa, ukaguzi, ufuatiliaji wa ubora nausalamawadawakwenyesoko,udhibitiwauingizajiwadawanchini,utoajielimukwaummanauchunguziwakimaabara.Bodihiipiailikuwainasajiliwafamasiawaliomalizaelimuyachuokikuukablayakuruhusiwakufanyakaziyaufamasianchini.
Kanuninamiongozombalimbali iliandaliwachiniyaSheria ya Dawa na SumuNa. 9 yamwaka 1978 ilikurahisishashughulizaudhibiti.Kanuninamiongozohiyonamiakailipoandaliwanikamaifuatavyo:
i. KanunizaOrodhayaSumuyamwaka1979(The Poisons List (Declaration) Order, 1979);
ii. KanunizaDawanaSumuyamwaka1980(The Pharmaceuticals and Poisons Regulations, 1980);
iii. KanunizaDawanaSumuyamwaka1990(The Pharmaceuticals and Poisons Regulations, 1990);
iv. KanunizaUsajiliwaMadukayaDawayamwaka1992;
v. KanunizaUtengenezajiBorawaDawazamwaka1999 (The Guidelines for Good Manufacturing Practices Order, 1999);
vi. Kanuni za Orodha ya Dawa za Binadamuzilizotambuliwazamwaka1999na2001(The List of Human Notified Drugs Order, 1999 and 2001)
vii. Kanuni za Orodha ya Dawa za Mifugozilizotambuliwa ya mwaka 1999 na 2001 (The List of Veterinary Notified Drugs Order, 1999 and 2001)
viii. Kanuni za Maadili kwa Wanaotangaza Dawaya mwaka 1999 (The Code of Conduct for Drug Promoters Order, 1999).
Kupitiakanunihizipamojanamiongozombalimbaliiliyoandaliwa,Bodiiliwezakufanyakaziyaudhibitiwadawakwaufanisi.
1.2.3.1 Usajili wa Maeneo Utaratibu wa kusajili maeneo ya biashara ya dawaulianza wakati wa ukoloni hususan mwaka 1937kabla ya kuundwa kwa Bodi ya Madawa. Maeneohaya yalikuwa yanasajiliwa ili kutambua dawazinapotengenezwa, kuhifadhiwa na kutolewa kwawagonjwa.Utaratibuhuuulisaidiakuzuiauwepowadawabandianadunikwenyesoko.
Maeneo yaliyokuwa yanasajiliwa ni pamoja namaduka ya dawa ya jumla na rejareja, maghala,viwandanamagariyakusambaziadawa.
Kanuninamiongozoiliandaliwakwaajiliyakurahisishautendajinakuwaelimishawaombajininiwanatakiwawafanyeilikusajilimaeneoyao.
1.2.3.2 Ukaguzi wa Maeneo Utaratibuwaukaguziwamaeneoyakutoleahudumaya dawa ulianza mwaka 1992 baada ya kutungwakwakanunizausajiliwamadukayadawa.Miongozombalimbaliyakufanyaukaguzinaufuatiliajiwadawailiandaliwa pia ili kuhakiki kama sheria, kanuni nataratibuzinafuatwa.
Ukaguzi wa maeneo yaliyokuwa yanajishughulishanautengenezaji,uhifadhinauuzajiwadawaulikuwaukifanyikakwenyeviwandavyandaninanjeyanchi,hospitali, vituovyaafya,zahanati,madukayadawayajumlanarejarejanamaghala.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
3
Lengolilikuwanikuhakikiutengenezajiborawadawa(Good Manufacturing Practices – GMP), uhifadhi(GoodStoragePractices–GSP)nausambazajiborawadawa(GoodDistributionPractices–GDP).
Kupitia kaguzi hizi dawa duni na bandia ziliwezakubainika na hatua ya kuziondoa kwenye sokozilichukuliwa ikiwa ni pamoja na kuteketeza dawazotezilizokuwahazifaikwamatumiziyabinadamu.
1.2.3.3 Usajili wa DawaBodi ya Madawa ilianzisha utaratibu wa kusajilidawa mwaka 1998 ili kuboresha udhibiti wa dawanchini.Utaratibuhuoulihusishauhakikiwataarifazakisayansi zadawa juuyaubora, usalamanaufanisiikiwanipamojanamifumoyauzalishajiwakekablayakusajiliwa.
Miongozoyausajili iliandaliwa,mafunzoyalifanyikandaninanjeyanchiilikujengauwezowawatathminikuwezakutathminimaombiyakusajilidawa.
Dawa yenye jina Artenam (Artemether injection) iliyotengenezwa na kiwanda cha Dragon Pharmaceuticals Limited U.K ndio ilikuwa ya kwanza kusajiliwa na Bodi ya Madawa mwezi Machi, 1999.
1.2.3.4 Uchunguzi wa KimaabaraBodiyaMadawa ilijengaMaabarayauchunguziwadawamwaka1994-1998ambayoilizinduliwarasminaaliyekuwaWaziriwaAfya,hayatiDkt.AaronChiduo,mnamomwaka2000.Maabara hii ilianzishwa kwalengo la kuchunguzauboranausalamawadawa ilikusaidiakatikakufanyamaamuzikatikashughulizaudhibiti.
Vifaa mbalimbali vya maabara ikiwa ni pamojana kemikali vilinunuliwa na wachunguzi kuajiriwaili kuwezesha uchunguzi wa dawa kufanyika kwaufanisi.Maabarahiiilikuwainafanyauchunguzikwakutumia viwango vinavyotambulika kimataifa kamaBritish Pharmacopoeia, International Pharmacopoeia, European Pharmacopoeia, United States Pharmacopoeia na Japanese Pharmacopoeia.
4
Kupitia chunguzi za Maabara hii, dawa bandia naduniziliwezakutambuliwanahivyokuiwezeshaBodikuchukuahatuazakisheriadhidiyawahusikapamojanakuziondoadawahusikakatikasoko.
1.2.3.5 Utoaji taarifa za Dawa Bodi yaMadawa iliweka utaratibuwa kutoa taarifazadawakwaumma(druginformation)mwaka1993katikaIdarayaDawayaHospitaliyaTaifa,Muhimbili.Kupitia utaratibu huu, machapisho, vijarida,vipeperushi na mabango yalikuwa yakiandaliwa nakusambazwakwaumma.Lengolilikuwanikuelimishaummanawataalamuwaafyajuuyausalama,ufanisinauborawadawa.
Vilevile, mfumo wa kufuatilia madhara yatokanayonamatumiziyadawaulianzishwanaulisaidiakupatataarifazamadharayadawakwawatumiaji.
1.2.3.6 Usajili wa Wataalam wa DawaBodi ya Madawa ilikuwa na jukumu la kusajiliwafamasia na kuwaorodhesha kwenye rejista.Wataalam hawa baada ya kuhitimu elimu ya chuokikuunamafunzokazini(internship),walisajiliwanaBodi.
Vilevile, Bodi ilikuwa inadhibitimaadili na nidhamuyawafamasiaambapomfamasiaaliyebainikakukiukamaadilialichukuliwahatuakwamujibuwaKanunizaMaadilinaNidhamu(Code of Ethics and Conduct).
Kazi ya kusajili wafamasia ilihamia Baraza la Famasi baada ya kutungwa kwa Sheria ya Famasi ya mwaka 2002 ambayo ilifutwa na kutungwa sheria ya Famasi ya mwaka 2011.
1.3 Udhibiti wa Vipodozi na Vifaa Tiba Sheria ya Dawa na Sumu Na. 9 ya mwaka 1978haikuipa dhamana Bodi ya Madawa kudhibitivipodozinavifaatiba.BidhaahizipamojanamajengoyaliyokuwayakitumikakuzihifadhinakuuzahayakuwayakisajiliwanaBodi.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
5
1.4 Udhibiti wa Chakula Udhibiti wa chakula kabla ya kuundwa kwa TFDA,ulisimamiwanasheriambalimbaliikiwanipamojana:- Sheria ya Chakula na Dawa ya mwaka 1937
(The Food and Drug Ordinance Cap 93, 1937) iliyosimamiwa na Wizara ya Afya.
Sheria ya Usalama wa Nyama ya mwaka 1961(The Meat Hygiene Ordinace, 1961) iliyosimamiwa na wizara ya kilimo na maendeleo ya mifugo.
Sheria ya Sekta ya Maziwa ya mwaka 1966(Dairy Industries Act, 1966), iliyosimamiwachiniyaWizarayaKilimonamaendeleoyamifugo
SheriayaShughulizaUvuviyamwaka1970(The Fisheries Act, 1970),chiniyaWizarayaMaliasilinaUtalii
SheriayaViwangoyamwaka1975(The Standard Act, 1975) chini ya Wizara ya Viwanda naBiashara.
Sheriahizizilitumikahadimwaka1978ambapoSheriayaUdhibitiwaUborawaVyakulaNa. 10yamwaka1978(The Food Control of Quality Act, No. 10 of 1978)ilitungwa nakuundaTumeyaKudhibitiVyakulayaTaifa(TUKUTA).
1.4.1 Kuanzishwa kwa TUKUTATume ya Kudhibiti Vyakula ya Taifa (TUKUTA)ilianzishwamwaka1978ilikudhibitiuboranausalamawachakulanchini.TUKUTAiliwekamifumoyaudhibitiwa chakula na iliongozwa naMsajili ambaye ndiyealikuwaMtendajiMkuunamsimamiziwa rasilimalinakazizakilasiku.ViongoziwaTUKUTAkatiya1978na2003wanaonekanakamailivyoainishwakwenyeJedwaliNa.3hapachini:
Jedwali Na. 3: Viongozi wa TUKUTA
S/N JinalaKiongozi KipindichaUongozi1. Bw.W.Mnyone Mwaka1978-19882. Bw.E.D.Kadete Mwaka1988-19893. Bw.F.A.Shirima Mwaka1989–19964. Bw.F.Magoma Mwaka1996-20005. Bw.O.M.Soli Mwaka2000–2003
1.4.2 Muundo wa TUKUTATUKUTAilikuwanaVitengovinne(4)ambavyoni:i. KitengochaUsajiliwaMajengo;ii. KitengochaUkaguzi;iii. KitengochaUtawala.iv. KitengochaUdhibitiwauingizajinausafirishaji
chakulanjeyanchi
Wakuuwavitengondiowaliosimamiakazizavitengohivyo na waliwajibika moja kwa moja kwa Msajiliambaye naye alikuwa anawajibika kwa Bodi yaUtendajiiliyoundwanaWizarayaAfya.
1.4.3 Mifumo ya Udhibiti wa VyakulaTUKUTAiliwekamifumoyaudhibitiwavyakulaikiwanipamojanakutoavibali vyakuingizanakusindikavyakula, kusajili maeneo ya biashara za vyakula,ukaguzi,ufuatiliajiwauboranausalamawavyakulakwenye soko. Uchunguzi wa sampuli za chakulaulikuwaunafanywanailiyokuwaMaabarayaMkemiaMkuuwaSerikali(GCL),ambayokwasasainajulikanakama Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu waSerikali(GCLA).
Kanuni mbalimbali ziliandaliwa chini ya Sheria yaUdhibitiwaUborawaVyakulaNa.10yamwaka1978ili kurahisisha shughuli za udhibiti. Kanuni hizo namiakazilipoundwanikamaifuatavyo:i. KanunizaVikolezovyaVyakulayamwaka1994
(Food Additive Regulations, 1994)
ii. KanunizaUdhibitiwaMatangazonaUborawaVyakulavyaWatotoyamwaka1994(Marketing of Breast Milk Substitutes and Designated Products Regulations, 1994)
iii. Kanuni za Machinjio, Uchinjaji na Ukaguziwa Nyama ya mwaka 1994 (Slaughter houses, Slaughtering and Inspection of Meat Regulations, 1994)
iv. Kanuni zaViwango vyaMafuta yaMawese yamwaka1994 (Palm oil Regulations, 1994)
v. KanunizaUsafiwaChakula (Food Hygene, 1982)
Kupitiakanunihizipamojanamiongozombalimbaliiliyoandaliwa Tume iliweza kufanya kazi ya udhibitiwavyakulailiyokuwaimepangiwa.
6
TUKUTAilifanyakazizaudhibitikwakushirikiananaHalmashaurizaJiji,Miji,ManispaanaWilayanchini.
1.4.3.1 Usajili wa Maeneo TUKUTAilikuwainasajilimaeneoyabiasharayavyakulaili kuhakikisha kuwa mahali panapotengenezwa,kuhifadhiwanakuuzwachakulapanakidhiviwango.
Maeneo yaliyokuwa yanasajiliwa ni pamoja namaduka ya vyakula ya jumla na rejareja, hoteli,migahawa,maghala,viwandanamagariyakubebeanyama.Kanuninamiongozo iliandaliwakwaajili yakurahisishautendajinakuwaelimishawaombajininiwanatakiwawafanyeilikusajilimaeneoyao.
1.4.3.2 Ukaguzi wa Vyakula Ukaguzi wa vyakula ulisimamiwa na TUKUTA kwamujibuwaSheriayaUdhibitiwaUborawaVyakulaNa. 10 yamwaka 1978 ili kuhakikisha kama sheria,kanuninataratibuzinafuatwa.Miongozonataratibumbalimbali za kufanya ukaguzi na ufuatiliaji wavyakulaziliandaliwakwaajiliyakurahisishausimamiziwasheria.
Ukaguzi wa maeneo yaliyokuwa yanajishughulishanausindikaji,uhifadhinauuzajiwavyakulaulikuwaukifanyikakwenyeviwandavyandaniyanchi,madukaya vyakula ya jumla na rejareja, hoteli, migahawa,maghalanamagariyakubebeanyama.Lengolilikuwani kuhakiki utengenezaji bora wa vyakula (Good Manufacturing Practices - GMP)nakuwepokwausafikwenye maeneo ya kuhifadhia na kuuzia vyakula(GoodHygienePractices–GHP).
Kupitiakaguzihizivyakuladuniviliwezakubainikanahatuazakuviondoakwenyesokozilichukuliwaikiwani pamoja na kuteketeza vyakula vyote vilivyokuwahavifaikwamatumiziyabinadamu.
1.4.3.3 Usajili wa VyakulaVyakulavilisajiliwawakatiwaTUKUTAkwakufuatautaratibuwa kutoa kibali cha kuzalisha au kuingizachakula nchini baada ya sampuli ya chakula husikakufanyiwa uchunguzi wa kimaabara na kukidhimatakwayasheria.
1.4.3.4 Uchunguzi wa KimaabaraWakati wa enzi za TUKUTA , sampuli za vyakulazilikuwazikichukuliwanakupelekwakwaMaabarayaMkemiaMkuuwaSerikali(GCL),ambayokwasasaniWakalawaMkemiaMkuuwaSerikali(GCLA)kwaajiliyauchunguziilikuhakikishakamavyakulahivyovinakidhiviwangovyauboranausalama.
Matokeo ya chunguzi za kimaabara yaliiwezeshaTUKUTAkuchukuahatuambalimbalizaudhibitiwabidhaazavyakula.
1.5 Kufutwa kwa Bodi ya Madawa na TUKUTA
Kupitia mpango wa Serikali wa Kuboresha UtoajiHuduma kwenye Sekta ya Umma (Public ServiceReformProgramme)WizarayaAfyamnamomwaka1996ilifanyatathminiyaIdarazakeambazozingefaakuwawakalailikuboreshautoajihudumakwaumma.Katika tathmini hii ilibainika kwamba mifumo yautendaji na bidhaa zilizokuwa zikidhibitiwa na BodiyaMadawanaTUKUTAzilikuwazikifanananahivyoilikubalikakuwataasisihiziziunganishweilikuboreshaufanisi.
Mchakato wa kuunda TFDA ulianza mwaka 2000namabadilikohayayalifanyikakwakufutaSheriayaDawanaSumuyamwaka1978naileyaUdhibitiwaUborawaVyakulayamwaka1978kufuatiakutungwakwaSheriayaChakula,DawanaVipodoziyamwaka2003.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
7
SURA YA PILI 2
KUUNDWA KWA MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA (TFDA)2.1 UtanguliziKama ilivyoelezwa katika Sura ya 1 sehemu 1.5,uundwajiwaMamlakayaChakulanaDawa(TFDA)ilikuwa ni sehemu ya utekelezaji wa Mpango waSerikali wa Kuboresha Utoaji Huduma kwenyeSektayaUmma(PublicServiceReformProgramme-PSRP). Mchakato wa kuanzishwa TFDA ulianzamwaka 1996 ambapo timumaalum ilipitiamifumoya utendaji wa Taasisi na Idara zaWizara ya AfyanakupendekezakwambailiyokuwaBodiyaMadawana TUKUTA ziunganishwe na kuwa taasisi mojakutokananamifumoyautendajinabidhaazilizokuwazinazodhibitiwakufanana.
Kufuatiamaamuzihayo,timuyakuratibumchakatowauanzishwajiwaTFDAiliundwanakuanzakazimwaka2000.Wajumbewatimuhiinikamaifuatavyo:i. SikubwaboS.Ngendabanka(Dkt) –Kiongoziii. RaymondWigenge -Mjumbeiii. MartinKimanya(Dkt) -Mjumbeiv. NdengerioJ.Ndossi(Dkt) -Mjumbev. RosemaryAaron -Mjumbevi. WilliamS.Kitundu -Mjumbevii. EmmanuelD.Kadete -Mjumbeviii. MariamMirambo -Mjumbe
2.2 Sheria na Sababu za Kuundwa kwa TFDA
TFDAiliundwachiniyaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219.Sheriahii ilifutaSheriayaDawana Sumu Na. 9 ya mwaka 1978 na ile ya Udhibitiwa Ubora wa Vyakula Na. 10 ya mwaka 1978. Hilililifanyika pia baada ya kutungwa kwa Sheria yaWakalazaSerikaliyamwaka1997.Mamlakailiundwakwalengolakudhitibiusalama,uboranaufanisiwavyakula,dawa,vipodozinavifaatiba.
BidhaazavipodozinavifaatibazilikuwahazidhibitiwikablayaTFDAkuundwamwaka2003.IliyokuwaBodiyaMadawanaTUKUTAzilidhibitiuboranausalamawadawanavyakulapekee.
SababunyinginezakufutwakwaSheriaNa.9na10zamwaka1978nakuundwakwaTFDAnipamojana;-
(a) Uwepo wa vyakula nyongeza kwenye sokoambaoudhibitiwakeulihitajiutaalamuwadawanachakulakwapamoja;
(b) Kuunganisharasilimalikidogoiliyokuwepokatikaudhibitiwachakulanadawailikuongezaufanisi;
(c) Kuboreshasheriambilizaudhibitiwachakulanadawakwakupanuawigowamaeneoyaudhibiti.
Vilevile,mabadilikombalimbali ya kiuchumi, kijamiina kiteknolojia na kuanza kwa utekelezaji wa Seraya soko huria kulipanua wigo na wingi wa bidhaaza dawa na chakula nchini na kusukuma nia yakuunganishanguvuzataasisizotembiliilikuongezauwezowaudhibitiunaoendananachangamotompyazilizotokananasokohuria.
8
2.3 Dhima, Dira na Falsafa
Dhima, Dira na Falsafa ni misingi na mitazamo yataasisi ili kutekeleza majukumu yake kwa ufanisina kufikia malengo iliyojiwekea. Dhima ya TFDAinatokananajukumulamsingikwamujibuwaSheriayaChakula,DawanaVipodozi, Sura219yamwaka2003.DirayaTFDAinatokananamwelekeoambaoimejiwekeakuwezakudhibitibidhaazachakula,dawa,vipodozinavifaatibakwaufanisi.
Dhima yaTFDAnikulindaafyaya jamiikwakuzuiaathari ambazo zinaweza kujitokeza kutokana namatumiziyachakula,dawa,vipodozinavifaatiba.
Dira ambayo iliidhinishwa baada ya kuundwa kwaTFDA mwaka 2003 ni kwamba “TFDA itakuwa taasisi inayoongoza katika udhibiti wa usalama, ubora na ufanisi wa chakula, dawa, vipodozi na vifaa tiba barani Afrika ifikapo mwaka 2015.” HatahivyobaadayakufanyamapitioyaMpangoMkakatimwaka2011/12,Dirailibadilishwanakuwa“Mamlaka inayoongoza barani Afrika katika kudhibiti usalama, ubora na ufanisi wa chakula, dawa, vipodozi na vifaa tiba kwa wote.” Pamoja namabadiliko haya, TFDAimeweza kufikiamalengo yake kwa sehemu kubwakuendananaDirayakwanzailiyoidhinishwa.
Falsafa ya TFDAni kutoa huduma bora za udhibitikatikakulindaafyayajamiinamazingirakwakutumiawatumishiwenyeujuzinaariyakazi.
PamojanaDhima,DiranaFalsafa,TFDApiaimewekaMaadiliyaMsingi(CoreValues)kwawatumishiwakeambayoni;
Uaminifu Kufanya kazi kwa uwazi nauadilifu;
Kumjali mteja Kumhudumia mteja kwawakatinakumjali;
Ubora Kujitumakatikakutoahudumaboranakwaueledi;
Kufanya kazi kwa umoja
Kufanya kazi kwa pamojana kuheshimu maoni ya kilamtumishi;na
Uwajibikaji Kuwajibika kwa utendaji wakazi.
Ili kuweza kutoa huduma bora kwa wateja, TFDAimewekaSerayaNdaniyaUborawaHuduma.Serahiiinasemaifuatayo:
“TFDA imejizatiti katika utoaji huduma bora ilikukidhi mahitaji na matarajio ya wateja wake.Mamlaka itajitahidi kukidhi matarajio ya watejawake wote huku ikihakikisha ubora, usalama naufanisi wa vyakula, dawa, vipodozi na vifaa tibaunadumishwa.Tumedhamiriakufuatanakutekelezakanunizakimataifazautoajiborawahudumakamazilivyoainishwakatika ISO9001:2008nakuendeleakuboresha na kusimamia mfumo bora wa utoajihuduma(Quality Management System).Tutahakikishanakusimamiaupatikanajiwarasilimalizinazohitajikakatikauboreshajiwahudumazinazotolewailikukidhimahitajinamatarajioyawateja”.
2.4 Kazi na Majukumu ya TFDA KazinamajukumuyaTFDAyameainishwakwenyekifunguNa.5chaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219.Kazihizonipamojana:-
(a) Kudhibitiutengenezaji,uingizaji,usambazajinauuzajiwavyakula,dawa,vipodozinavifaatiba;
(b) Kuwekaviwangovyauboranausalamawavyakula,dawa,vipodozinavifaatiba;
(c) Kukaguaviwandavyautengenezajinamaeneoyamauzoyabidhaailikuhakikishaviwangovilivyowekwavinafikiwa;
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
9
(d) Kutathmini na kusajili vyakula, dawa, vipodozina vifaa tiba ili kuhakikisha vinafikia viwangovilivyowekwakablayakuruhusiwakwenyesokolaTanzania;
(e) Kutoa leseni na vibali mbalimbali kwa bidhaazachakula,dawa,vipodozinavifaatibaikiwanipamojanalesenizakuingizanakutoanjebidhaahusika;
(f) Kufanya uchunguzi wa kimaabara ili kuhakikiuboranausalamawabidhaazinazodhibitiwa;
(g) Kufuatiliamadhara yatokanayonamatumizi yabidhaazinazodhibitiwanaMamlakakatikasoko;
(h) Kuhamasishamatumizisahihiyadawa,vipodozinavifaatiba;na
(i) Kuelimisha na kutoa taarifa sahihi kwa wadauna wananchi kwa ujumla kuhusu bidhaazinazodhibitiwanaMamlaka.
2.5 Muundo wa TFDA
2.5.1 Muundo wa KwanzaMuundo ulioanza kutekelezwa baada ya TFDAkuundwa mwaka 2003 ulijumuisha Kurugenzi nne(4) ambazo ni Kurugenzi ya Tathmini na Usajili;Kurugenzi ya Ukaguzi na Ufuatiliaji; Kurugenzi yaHuduma za Maabara na Kurugenzi ya UendeshajiHuduma.MuundohuuulitekelezwakatiyaJulai2003naFebruari2008.
Katika Muundo wa kwanza, Mkurugenzi Mkuualikuwamtendaji na msimamizi mkuu wa shughulizote za TFDA. Mkurugenzi Mkuu aliwajibika kwaKatibu Mkuu,Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamiiambaye ndiye aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi yaUshauriyaWizarakwaTFDA(MAB).
Mchoro Na. 1:Muundo wa Kwanza wa TFDA (2003 – 2008)
10
Chini ya Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu, kulikuwa naVitengo vitano (5) pamoja na kurugenzi nne (4)kamaifuatavyo:-
(i) Kurugenzi ya Tathmini na Usajili – ilikuwana jukumu la kusimamia ubora, usalama naufanisiwavyakula,dawa,vipodozinavifaatibakwakufanyatathmininausajiliwabidhaahizo,tathminiyamatangazonaufuatiliajiwamadharayachakulanadawakwenyesoko.
(ii) Kurugezi ya Ukaguzi na Ufuatiliaji – ilikuwana jukumu la kufanya ukaguzi wa viwanda namaeneoyabiashara,ufuatiliajiwachakula,dawa,vipodozinavifaatibakwenyesoko,kutoalesenizamajengoyabiasharanavibalivyauingizajinautoajiwabidhaanjeyanchi;
(iii)Kurugenzi ya Huduma za Maabara–ilikuwanajukumu lakufanyauchunguziwakimaabarawa
vyakula,dawa,vipodozinavifaatibailikusaidiakufanyamaamuzisahihiyaudhibiti;
(iv)Kurugenzi ya Uendeshaji Huduma – ilikuwana jukumu la kusimamia mambo ya kiutawalanamatumizisahihiya rasilimaliwatu, fedhanavifaa.
MuundowakwanzawaTFDAumeoneshwakwenyeMchoroNa.1
2.5.2 Muundo wa PiliTFDA ilianzakutumiaMuundowapili (MchoroNa.2) mwezi Machi 2008 baada ya kufanya mapitioya Muundo wa kwanza. Mapitio hayo yalifanyikaili kuboresha utendaji kazi na kujumuisha Idarambalimbalikamailivyotakiwanasheriambalimbalizanchipamojanakuwekauwianosawawamajukumu.
Mchoro Na. 2: Muundo wa Pili wa TFDA (2008 – 2013)
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
11
UpungufuulioonekanakwenyeMuundowakwanzanipamojana:-(a) Muundo kuzingatia majukumu (function wise
structure) badala ya bidhaa (product wisestructure);
(b) MuundokutokuwanaOfisizaKanda;
(c) Idara ya Manunuzi kuwa chini ya Mkurugenziwa Uendeshaji Huduma badala ya Ofisi yaMkurugenzi Mkuu kulingana na matakwa yaSheriayaManunuziyamwaka2004;
(d) KutokuwepokwaOfisiyaMkaguziwaNdaniwahesabunarasilimalizaMamlakakwamujibuwaSheriayaFedhayamwaka2004nakanunizake.
2.5.2.1 Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa TFDA (MAB)
Bodi ya Ushauri ya Wizara kwa TFDA (MAB)iliundwailikumshauriWaziriwaAfyanaUstawiwaJamiijuuyautendajiwaTFDA.BodihiiiliundwakwamujibuwaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219 pamoja na ile yaWakala za Serikali, Sura 345iliyorejewamwaka2009.
WajumbewaBodiyaUshauriyaWizarakwaTFDA(MAB)katiyaJulai2003hadi Juni2013 walikuwakamailivyoainishwakatikakurasaza12hadi14.
ChininibodiyaUshauri ikiwakatikamojayavikaovyakevyakawaida.
12
Wajumbe wa MAB (2003 - 2006)
Bi. Margareth Ndomondo-Sigonda
Mjumbe
Bw. Charles Ekelege;Mjumbe
Dkt. W. C. Mleche;Mjumbe
Bw. Mick Kiliba;Mjumbe
Dkt. D. G. Ndossi;Mjumbe
Bi. Christine Kilindu;Mjumbe
Dkt. Malik A. Juma;Mjumbe
Bi. Sia B. Mrema;Mjumbe
Bw. John Mngondo;Mjumbe
Bw. Abraham Nyanda, Mjumbe
Dkt. Deo Mtasiwa;Mjumbe
Bi. Tabu Chando;Katibu
Bi. Mariam J. MwaffisiMwenyekiti
Bw. G. Nanyaro;Mjumbe
Bw. S. Nyimbi;Mjumbe
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
13
Wajumbe wa MAB (2006 - 2010)
Bi. Hilda A. GondweMwenyekiti - 2006-2007
Wilson C. MukamaMwenyekiti - 2007-2008
Bi. Blandina S. J. NyoniMwenyekiti - 2008-2010
Bi. Margareth Ndomondo-Sigonda
Mjumbe
Bw. Charles Ekelege;Mjumbe
Dkt. W. C. Mleche;Mjumbe
Bw. Mick Kiliba;Mjumbe
Dkt. D. G. Ndossi;Mjumbe
Bi. Christine Kilindu;Mjumbe
Dkt. Malik A. Juma;Mjumbe
Bi. Sia B. Mrema;Mjumbe
Bw. John Mngondo;Mjumbe
Bw. Abraham Nyanda, Mjumbe
Dkt. Deo Mtasiwa;Mjumbe
Bi. Tabu Chando;Katibu
Bw. G. Nanyaro;Mjumbe
Bw. S. Nyimbi;Mjumbe
14
Dkt. Subilaga KazimotoMjumbe
Prof. Bendantunguka TiisekwaMjumbe
Prof. Olipa NgassapaMjumbe
Bw. John MponelaMjumbe
Wajumbe wa MAB (Juni 2010 - Juni 2013)
Balozi Dkt. Ben MosesMwenyekiti
Bw. Hiiti B. SilloKatibu
Dkt. Joseph MhandoMjumbe
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
15
Bw. Raymond WigengeMkurugenzi, Usalama wa
Chakula Bi. Charys N. UgullumMkurugenzi, Huduma za
Maabara
Wakurugenzi wa TFDA 2013
Bw. Hiiti B. SilloMkurugenzi Mkuu
Bw. Adam M. Fimbo Mkurugenzi, Dawa na Vipodozi
Dkt. Sikubwabo S. Ngendabanka
Mkurugenzi, Uendeshaji Huduma
16
2.5.2.2 Mkurugenzi MkuuKatika Muundo wa pili ulioanza kutumika mwaka2008, Mkurugenzi Mkuu ndiye mtendaji namsimamizi mkuu wa shughuli zote za TFDA.Mkurugenzi Mkuu anawajibika kwa Katibu Mkuu,WizarayaAfyanaUstawiwaJamii.
ChiniyaofisiyaMkurugenziMkuukunavitengovinne(4)naOfisizaKandaambazozinajukumulakutoahuduma zaMamlaka katikamikoa iliyopo ndani yakandahusika.
2.5.2.3 KurugenziChiniyaOfisiyaMkurugenziMkuu,kunaKurugenzinne(4),kamaifuatavyo:-i. Kurugenzi ya Dawa na Vipodozi –inajukumula
kusimamiaubora,usalamanaufanisiwadawa,vipodozi na vifaa tiba kwa kufanya tathmini nausajili, ukaguzi, ufuatiliajiwauboranausalamawabidhaahizokwenyesoko,usajiliwamaeneoyabiasharayabidhaahizo,udhibitiwamatangazonaudhibitiwamajaribioyadawanavifaatiba.
ii. Kurugezi ya Usalama wa Chakula–inajukumulakusimamiausalamanauborawavyakulakwakufanyausajili,ukaguzinaufuatiliajiwausalamawa vyakula kwenye soko. Majukumu mengineni kudhibiti matangazo ya vyakula; usajili wamaeneo ya biashara za vyakula pamoja naufuatiliajiwamadharayatokanayonamatumiziyachakula.
iii. Kurugenzi ya Huduma za Maabara–inajukumulakufanyauchunguziwakimaabarawavyakula,dawa,vipodozinavifaatibailikusaidiakufanyamaamuzisahihiyaudhibiti;
iv. Kurugenzi ya Uendeshaji Huduma–inajukumula kusimamia matumizi sahihi ya rasilimaliwatu,fedhanavifaa.Piainasimamiamasualayautawala,mipango,uhusianonautoajielimukwaumma,mawasilianonamifumoyautendajikazi.
WakurugenziwaTFDAkatiya Julai2003hadi Juni2013nikamawalivyoainishwakwenyeJedwaliNa.4hapachini.
Jedwali Na. 4: Menejimenti ya TFDA (2003 – 2013)
MUUNDO WA KWANZA
Kipindi MkurugenziMkuuWakurugenzi
TathmininaUsajili
UkaguzinaUfuatiliaji
HudumazaMaabara
UendeshajiHuduma
Jul2003-Jan2005 MargarethNdomondo-Sigonda
LeguR.Mhangwa
OctaviusM.Soli
Bi.OllympiaKowero
SikubwaboS.Ngendabanka(Dkt.)
Feb2005-Feb2008 MargarethNdomondo-Sigonda
LeguR.Mhangwa
Bi.OllympiaKowero
Bi.CharysUgullum SikubwaboS.Ngendabanka(Dkt.)
MUUNDO WA PILIKipindi MkurugenziMkuu Wakurugenzi
UsalamawaChakula
DawanaVipodozi
HudumazaMaabara
UendeshajiHuduma
Machi2008-
Aprili2010
MargarethNdomondo-Sigonda
RaymondWigenge
HiitiB.Sillo CharysN.Ugullum SikubwaboS.Ngendabanka(Dkt.)
Mei2010–Juni2011(KaimuMkurugenziMkuu)
HiitiB.Sillo RaymondWigenge
AdamM.Fimbo CharysN.Ugullum SikubwaboS.Ngendabanka(Dkt.)
Juni2011–hadisasa(MkurugenziMkuu)
Ilikutekelezamajukumuyakekwaufanisi,TFDAimewekamifumoyaudhibitikamainavyoainishwakwenyesurazinazofuatia.
Mamlaka ya Chakula na Dawa - TFDA
17
SURA YA TATU 3 UDHIBITI WA CHAKULA
3.1 Utangulizi Chakulanikituchochotekinacholiwaaukunywewana binadamu kama chakula isipokuwa dawa,tumbakuaukipodozi.Udhibitiwavyakulaunafanyikaili kuhakikisha chakula kinachomfikia mlaji ni borana salama. TFDA imeweka mifumo ya udhibiti wavyakulanchinikamainavyoainishwahapachini;
3.2 Usajili wa vyakulaKifungu Na. 28 cha Sheria ya Chakula, Dawa naVipodozi, Sura 219 kinazuia mtu yeyote kuzalisha,kuingiza, kusambaza na kuuza nchini chakulakilichofungashwa kabla ya kusajiliwa na Mamlaka.Vyakulavinavyosajiliwanivileambavyovimesindikwanakufungashwa(pre-packagedfood)kwenyekasha,kopoauchupa tayari kutolewakwamlajimojakwamojaaukutumikakwakutayarishiachakula.
Vyakula ambavyo havijafungashwa kamamatunda,maharage, nafaka na karanga havisajiliwi, badalayake hudhibitiwa kwa utaratibu mwingine ambaounahusishaukaguzi,uchukuajiwasampulikwalengolakufanyauchunguziwakimaabaranauchanganuziwa madhara yanayoweza kutokea kutokana namatumiziyachakula.
Kuna makundi mbalimbali ya vyakula kamailivyoorodheshwakwenyeJedwaliNa.5hapachini:-
Jedwali Na. 5: Makundi ya vyakula
Na. KundilaChakula Na. KundilaChakula1. Nyamanamazaoyake 9. Vyakulavilivyookwa2. Samakinamazaoyake 10. Mafuta3. Nafakanamazaoyake 11. Majiyakunywa4. Mimea,matundanamazaoyake 12. Sukarinaasali5. Maziwanamazaoyake 13. Chumvinaviungo6. Mayainamazaoyake 14. Vinywajilaininavileo7. Chai,KahawanaKokoa 15. Vyakulavyawatotowachanganakulikiza8. Vyakulanyongeza
18
Utaratibuwausajiliwavyakula,hujumuishamamboyafuatayo:- Tathmini ya taarifa za kisayansi za ubora na
usalama wa viambato, vikolezo na vifungashiovilivyotumika;
Uchunguziwakimaabarawasampulizavyakulahusika;
Tathminiyataarifazakwenyelebona
Ukaguziwamifumoyauzalishaji kwenye jengolakusindikiavyakulakwakuzingatiamatakwayausindikajiborawavyakula(GMP/GHP/HACCP),
Jedwali Na. 6: Vyakula vilivyosajiliwa (2003-2013)
Mwaka Maombi yaliyopokelewa
Maombi yaliyotathminiwa
Vyakula vilivyosajiliwa
Maombi yaliyokataliwa
2003/04 162 2 0 02004/05 612 406 26 02005/06 272 187 179 02006/07 583 625 219 02007/08 253 263 64 02008/09 1,533 933 176 02009/10 1,446 1,869 1,054 02010/11 2,585 2,321 746 5972011/12 2,109 1,923 1,308 4292012/13 2,134 2,728 2,146 639Jumla 11,689 11,257 5,918 1,665
MUHIMU:
Baadhi ya bidhaa zilifanyiwa tathmini lakini zilikuwa hazijasajiliwa wala kukataliwa usajili kwa sababu waombaji walikuwa wanasubiriwa kujibu hoja (queries) zilizotolewa na watathmini. Pia ifahamike kuwa bidhaa ambazo hazikufanyiwa tathmini kwa mwaka husika hujumuishwa katika mwaka unaofuata. Kwa mwaka wa fedha 2003/2004, maombi yaliyotathminiwa yalikuwa kidogo sana kutokana na upungufu wa watathmini. Aidha, mwaka huo hakuna usajili wa vyakula uliofanywa kwa sababu maombi yote yaliyotathminiwa yalikuwa na hoja za kujibiwa na waombaji.
Baada ya kubaini kuwa waombaji walikuwa wanachukua muda mrefu sana kujibu hoja na hivyo kusababisha mlundikano wa maombi yanayosubiri hoja kujibiwa, kuanzia mwaka 2010/2011 Mamlaka ilifanya marejeo ya muda wa kusubiri majibu ya hoja kutoka miezi 6 hadi miezi 4 na kuboresha mifumo ya utunzaji kumbukumbu. Hivyo, kuanzia wakati huo maamuzi ya kukataa usajili kwa bidhaa ambazo waombaji hawakujibu hoja katika muda muafaka yalianza kutolewa.
Katika kipindi cha miaka 10 tangu kuanzishwakwake, TFDA imeweza kusajili jumla ya vyakula5,918. Mchanganuo wa usajili wa vyakula kuanziaJulai 2003 hadi Juni 2013 ni kama ilivyoainishwakwenyeJedwaliNa.6hapachini.Aidha,kumekuwanaongezekolamaombiyausajilipamojanabidhaazachakulazinazosajiliwamwakahadimwakakamainavyoonekanakwenyeMchoro Na. 3.
19
Mamlaka ya Chakula na Dawa - TFDA
Mfumo wa usajili wa vyakula umekuwa ukiimarikamwakahadimwakanaidadiyavyakulavilivyosajiliwaimekuwa ikiongezeka. Mfumo huu umeisaidiaMamlaka kuboresha udhibiti wa ubora na usalamawa vyakula vinavyouzwa kwenye soko la Tanzania.Vilevile, usajili wa vyakula umesaidia kuboreshamifumo ya uzalishaji kwenye viwanda vya chakulanchini.
3.3 Usajili wa Maeneo VifunguNa. 18na20vyaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219vinazuiamtuyeyotekuzalisha,kuhifadhi, kusambaza na kuuza chakula katikaeneo ambalo halijasajiliwa na Mamlaka. Maeneoyanayosajiliwa na TFDA ni pamoja na majengo yakusindikia vyakula, maghala, maduka ya nyama,mahoteli, migahawa, maduka ya jumla na rejareja,magariyabebayovyakulanamachinjio.
Utaratibu wa kusajili maeneo unajumuishamamboyafuatayo:-
Kupokeamaombiyausajiliwaeneo;
Kuhakikimaombiyaliyowasilishwa;
Kukaguaeneohusika;
Kutoachetichausajiliwaeneo;na
Kutoakibalichabiashara.
Katikakipindichamiaka 10,TFDA imewezakusajilijumla ya maeneo 7,373. Maeneo yaliyosajiliwayamekuwayakiongezekamwakahadimwaka.
Mfumo wa usajili wa maeneo umeisaidia TFDAkutambua maeneo ambako vyakula vinasindikwa,vinahifadhiwa, vinasambazwa na kuuzwa. Mfumohuo mpya umesaidia kuhakikisha maeneo husikayanakidhi vigezo vya ubora kwa mujibu wa sheria,kanuninataratibuzilizowekwa.
3.4 Ukaguzi wa VyakulaVifunguNa.5(1)(h)na106chaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219vimeipamamlakaTFDAkukagua maeneo yote yanayojihusisha na biasharaya chakula. Maeneo yanayokaguliwa ni pamoja naviwanda, maduka ya jumla na rejereja, mahoteli,migahawa,machinjio,magariyakubebeavyakulanamasoko.
Ukaguzihufanyikawakatiwowote ilikuhakikiuborawa majengo, mifumo na mazingira ya uzalishaji,usambazaji, uhifadhi, uuzaji pamoja na ubora wavyakula.Wakaguzi huteuliwa naMkurugenziMkuuwa TFDA na kutangazwa kwenyeGazeti la SerikalichiniyakifunguNa.105chaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219.
Katikakipindichamiaka10,jumlayamaeneo14,394yamekaguliwa. Hatuambalimbali zilichukuliwa kwawaliovunjasheria ikiwanipamojanakuwaelimisha,kuwapabaruazaonyo,kuzuiabidhaazaozisiuzweaukusambazwa,kuwanyimavibali,kuwafungiabiasharanakuwafunguliamashitaka.
Katikakipindihicho,shughulizaukaguzizimeimarikakwa kuongeza idadi ya wakaguzi na kaguzi. Hiiimesaidiakuimarishaudhibitiwauboranausalamawavyakulanchini.
Mchoro Na. 3 Mlinganisho wa maombi ya vyakula vilivyosajiliwa kuanzia 2003/04 – 2012/13
20
3.5 Udhibiti wa vyakula MipakaniVifunguNa.36-38vyaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219vinaipaTFDAmamlakayakudhibitiuingizajipamojanakusajiliwaingizajiwavyakulanchini.Vilevile,kifunguNa.5(1)(l) kinaainishamatakwa ya kudhibiti utoajiwa vyakulanjeyanchi.
TFDA imeweka mifumo ya udhibiti wa uingizaji na utoajiwa vyakula kwenye vituo vya forodha. Vituo vya forodhavinavyotambuliwa ni 32 kama ilivyoorodheshwa kwenyeJedwaliNa.7hapachini:
Jedwali Na. 7: Vituo vya forodha vinavyotambuliwa na TFDA
Na. Kituo cha forodha Na. Kituo cha forodha
1. Namanga 17. UwanjawandegewaDaresSalaam
2. Sirari 18. UwanjawandegewaKilimanjaro
3. Tunduma 19. BandariyaKipili
4. Holili 20. BandariyaLindi
5. Horohoro 21. BandariyaMtwara
6. Tarakea 22. BandariyaMbambaBay
7. Rusumo 23. BandariyaMwanza
8. Mutukula/Kyaka 24. BandariyaMusoma
9. Isaka 25. BandariyaBagamoyo
10. Kabanga 26. BandariyaBukoba
11. Kasumulu 27. BandariyaDaresSalaam
12. Mabamba 28. BandariyaTanga
13. Manyovu 29. BandariyaItungi
14. Mafia 30. BandariyaKasesya
15. UwanjawandegewaMwanza 31. BandariyaKemondo
16. UwanjawandegewaKigoma 32. BandariyaKigoma
Utaratibuwakutoavibalivyakuingizanakutoavyakulanjeyanchiunajumuishahatuazifuatazo:-
Kupokeamaombiyausajiliwamuingizajiikiwanipamojanavyakulavinavyotakakuingizwa;
Kufanyatathminiyamaombi;
Kufanyauchunguziwakimaabara;na
Kutoakibalichakuingiza(ImportPermit)aukutoavyakulanjeyanchi(HealthCertificate)
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
21
KatiyaJulai2005–Juni2013, jumlayavibali 19,925vyakuingizavyakulanchininavibali2,115vyakutoavyakulanjeyanchivilitolewa.MchanganuowavibalivilivyotolewaumeainishwakwenyeJedwaliNa.8hapachini:-
Jedwali Na. 8: Utoaji wa vibali vya kuingiza na kutoa chakula nchini (Julai 2005 – Juni 2013)
Mwaka Maombi ya vibali vya kuingiza vyakula nchini Maombi ya vibali vya kutoa vyakula nchiniYaliyoidhinishwa Yaliyokataliwa Yaliyoidhinishwa Yaliyokataliwa
2005/06 1718 5 - -2006/07 1630 43 21 -2007/08 2148 0 44 12008/09 3283 30 126 42009/10 2665 236 - -2010/11 3008 444 659 62011/12 3649 386 673 102012/13 1824 177 592 0Jumla 19,925 1,321 2,115 21
Muhimu:
Utaratibu wa kuweka kumbukumbu za vibali vinavyotolewa ulianza mwaka 2005/06. Kabla ya hapo, kiasi cha shehena ya chakula kilichoruhusiwa au kukataliwa ndio kilikuwa kinawekwa kwenye kumbukumbu.
Udhibitiwauingizajiwavyakulanchiniumekuwaukiimarikamwakahadimwaka,naumeiwezeshaMamlakakuzuiauingizajiwavyakulavisivyokidhiviwangokuwafikiawalaji.Vilevile,udhibitiwauingizajinautoajivyakulanjeyanchiumeendeleakuboreshwaambapoidadiyawakaguzikwenyevituovyaforodhaimeongezwa,vifaavyaTEHAMAkununuliwanakuunganishwakwenyemtandaounaounganishavituovyaforodha.
22
3.6 Udhibiti wa Matangazo ya VyakulaVifunguNa.95hadi98vyaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219vinakatazamtuyeyotekutoamatangazoyabiasharayavyakulabila kibali chaTFDA.Matangazohayo ni pamoja na picha, filamu,mabango, vipeperushi,machapishombalimbali namatangazo ya kwenyeRedionatelevisheni.
Lengo la kudhibiti matangazo ni kuhakikisha kuwahayapotoshi umma. Waombaji hutakiwa kuwasilishamaombiyamatangazoyaoambayohufanyiwatathmininaTFDAkablayakutoakibali.Matangazoyanayoruhusiwakutolewa kwa umma, ni yale ambayo yamepata kibalicha TFDA. Matangazo haya yamekuwa yakipewa vibalikwakipindichamudasawanauleambaochakulahusikakimeruhusiwanaMamlakakuwakatikasoko.
Katikakipindichamiaka10, jumlayamatangazo180yachakula yalipata kibali cha TFDA. Katika kipindi hicho,udhibiti wamatangazo ya chakula umekuwa ukiimarikamwakahadimwaka,idadiyamatangazoyaliyoidhinishwaimekuwaikiongezekanamatangazoyanayopotoshaummayamekuwayakiondolewakwenyesoko.
3.7 Ufuatiliaji wa Ubora wa Vyakula kwenye Soko
TFDAimewekamfumowaufuatiliajiwauboranausalamawachakulakatikasoko.Mfumohuuunajumuishauchukuajiwasampulizavyakulakwenyesoko,upimajikwenyemaabara,tathminiyamajibu yamaabara na uchukuaji hatua zakisheria. Hatua hizo ni pamoja na kuondoasokonibidhaazinazobainikakutokidhiviwango,kutoaonyokwawasindikajinawasambazajinakuwaelimisha kuhusu namna bora na salamayakusindika,kutunzanakusambazavyakula.
Mfumo wa ufuatiliaji wa ubora wa vyakulakwenyesokoulianzamwaka2006/07.KutokakipindihichohadiJuni2013,jumlayasampuli739 za vyakula zilichukuliwakwenye sokonakufanyiwa uchunguzi wa kimaabara. Idadi yasampuli na aina ya vyakula vilivyochukuliwakwenye soko na matokeo ya uchunguzi wakimaabarayameainishwakwenyeJedwaliNa.9hapachini:-
Jedwali Na. 9: Vyakula vilivyofuatiliwa kwenye soko
Mwaka Aina ya chakula Idadi ya sampuliZilizochukuliwa Zilizopimwa Zilizokidhi Zisizokidhi
2006/07 Mchanganyiko 157 117 88 292007/08 146 129 78 512008/09 - - - - -2009/10 - - - - -2010/11 - - - - -2011/12 Maji 98 98 96 2
Mafuta 30 30 28 22012/13 Nyamayang’ombe 31 31
Matokeobadokupatikanakwavileufuatiliajiunaendelea
Samaki 74 74Mayai 72 72Maziwa 83 83Nyamayakuku 48 48
Idadikubwayasampulizilizochukuliwakwenyesokozilifauluvipimovyamaabara.Kutokananamatokeoyachunguzihizi,hatuambalimbali zilichukuliwanaTFDA ikiwanipamojanakuondoasokonibidhaaambazosampulizakehazikukidhiviwangonakuwaelimishawasindikajihasawajasiriamaliwadogokuhusuumuhimuwakuhakikishabidhaazaozinakidhiviwangovyausalamanaubora.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
23
Kwaujumla,mfumohuuumeiwezeshaTFDAkubainihaliyauboranausalamawachakulakwenyesokoambavyovingewezakuathiriwalaji.Vilevile,mfumoumeiwezeshaTFDAkuhakikishakuwavyakulavilivyokwenyesokovinaendeleakudumishaviwangovyauboranausalama.Aidha,mikakati imewekwayakuhakikishavyakuladuni na visivyokidhi viwango vinaondolewa katika soko la Tanzania ili kuwalinda walaji dhidi yamadharayanayowezakuwatokeaikiwawatavitumia.
3.8 Uchanganuzi na Ufuatiliaji wa Madhara ya Chakula
TFDAimewekamfumowakufuatilianakuchanganuamadhara yatokanayo na matumizi ya chakulakisichosalama.Mfumohuuumewekwa ili kuisaidiaMamlakakufahamumadharayakiafyakwabinadamuyanayosababishwa na kula vyakula vilivyochafuliwanavimeleavyamaradhi,viuatilifu,sumuasilia,mabakiyadawazamifugonamadini (Heavy metals).
Mfumohuuunahusishahatuazifuatazo; Kusambaza fomu za kukusanyia taarifa za
madharayavyakula;
Kupokea taarifa zamadhara ya vyakula visivyosalama;
Kufanyatathminiyataarifahizo;na
Kuchukua hatua ambazo hujumuisha kuzuiamatumizi ya vyakula hivyona kutoa elimu kwaumma.
Taarifa za magonjwa mbalimbali yaliyohusishwana matumizi ya chakula zimekuwa zikitolewa nakufanyiwatathminikatikavipindi tofauti tofautikatiyaJulai2003naJuni2013.Magonjwayaliyotolewataarifa ni pamoja na kuhara, kutapika, homa yamatumbo, kuhara damu na mzio (allergy). PiaMamlaka ilipokea taarifa za vifo vilivyohusishwanakulavyakulavilivyochafuliwa.
3.9 Uteketezaji wa VyakulaVifunguNa.6(c),34,35,na99vyaSheriayaChakula,DawanaVipodoziSura219vimeipamamlakaTFDAkuzuianakuharibuvyakulavisivyofaakwamatumiziya binadamu. Mfumo wa uteketezaji wa vyakulavisivyofaa umewekwa ambapo unajumuisha hatuazifuatazo; Kupokeamaombiyakuteketezavyakula;
Kukaguaidadinanaainayavyakulavilivyoombewakuteketezwa;
Kuthaminisha mzigo utakaoteketezwakunakofanywanamuombaji;
Kuteketeza vyakula visivyofaa kwa gharama yamuombaji;na
Kutoakibalichakuteketeza(DisposalCertificate).
Uteketezajihufanywakwenyemadampoyaliyosajiliwana Serikali katika Halmashauri mbalimbali nchini.Zoezi la uteketezaji hujumuishamkaguzi wa TFDAna wawakilishi kutoka Baraza la Mazingira la Taifa(NEMC),JeshilaPolisinaHalmashaurihusika.
Katiya Julai2003naJuni2013,TFDA imesimamiauteketezaji wa vyakula visivyofaa (duni na bandia)vyenye thamani ya takriban TZS bilioni 11.88 kamailivyoainishwakwenyeJedwaliNa.10hapachini:
Jedwali Na. 10: Uteketezaji wa bidhaa duni na bandia zilizokamatwa
MwakaThamani ya bidhaa zilizoteketezwa
Julai2003–Juni2008 2,384,542,386
Julai2008–Juni2009 1,265,846,620
Julai2009–Juni2010 2,718,429,788
Julai2010–Juni2011 2,197,488,982
Julai2011–Juni2012 1,353,186,185
Julai2012–Juni2013 1,958,400,300
Jumla 11,877,894,261
24
Idadinahaliyaviwandavinavyosindikavyakulanchini(2005-2006);
Tathminiyauwepowakiwangochasumukuvu(aflatoxin)kwenyenafakanavyakulavyawatoto(2008–2013);
Madhara ya sumu kuvu kwa binadamu (2011hadisasa);
Upunguzajiwasumukuvukwenyenafakabaadayamavuno(2012–hadisasa);
Mabakiyaviuatilifukwenyenyanya(2012–hadisasa).
Tafiti hizi zimesaidia katika kuandaa viwango nakufanyamaamuzijuuyausalamanauborawavyakula.Aidha,zimechangiakuongezawigowaufahamukwawatumishi wa TFDA kwenye nyanja za sayansi nateknolojiayavyakula.
3.13 Uandaaji wa Miongozo Ili kurahisisha utendaji kazi wa Mamlaka ikiwa nipamoja na kuweka wazi taratibu zake, Miongozombalimbali imeandaliwa.Miongozo hiyo ni pamojana:-
(a) Mwongozo wa Usajili wa Vyakula wa mwaka2004(uliorejewamwaka2006,2009na2011);
(b) Mwongozo wa Usajili wa Majengo na UtoajiVibaliwamwaka2011;
(c) MwongozowaUingizajinaUtoajiwaVyakulanjeyanchiwamwaka2011;
(d) Mwongozo wa Uchunguzi na Udhibiti waMadhara yatokanayo na Vyakula wa mwaka2011);
(e) Mwongozo wa Uwekaji Virutubishi kwenyeVyakulawamwaka2011;na
(f) MwongozowaUkaguziwaViwandawamwaka2013(rasimu)
Njiazauteketezaji(DisposalMethods)zinategemeana aina ya chakula kinachokusudiwa kuteketezwa.Utaratibuwakuteketezavyakulavisivyofaaumesaidiakuzuia vyakula hivyo visiwafikiewalaji.UshirikishajiwaNEMCumewezeshakupataushauriwakitaalamuwakuteketezabilakuharibumazingira.
3.10 Kuwianisha Mifumo ya Udhibiti wa Vyakula
Mamlaka imekuwa ikishiriki katika majadiliano yakuwianishamifumo ya udhibiti wa vyakula kwenyeJumuiya ya AfrikaMashariki (EAC) na Jumuiya yaMaendeleo ya KusinimwaAfrika (SADC).Mifumohiyo inalengakuwekataratibuzinazofananakwenyeusajili,usafirishajimipakani(cross-border)nauuzajiwavyakulabainayanchiwanachama.
Mambo ambayo yameshakamilishwa ni pamoja nakuwianishaMakubalianoyakisheriajuuyaUsalamanaAfyayaBinadamu,WanyamanaMimea(SanitaryandPhytosanitaryProtocol),Sheriayaviwangovyavyakula ya EAC na baadhi ya viwango vya chakula(Food Standards). Vilevile, taratibu za kuwianishaHatua za Udhibiti wa Usalama wa Vyakula (FoodSafetyMeasures)zinaendelea.
3.11 Uandaaji wa ViwangoTFDAimekuwaikishikirikatikauandaajiwaviwangombalimbali vya ubora wa vyakula. Wataalam waTFDA wanashiriki kwenye Kamati mbalimbali zakitaalamuzakuandaaviwangovyakitaifa (TZS)nakimataifa(mfanoCODEX standardsnaEast Afican Standards).Viwangohivivimekuwavikitumikakamarejeawakatiwa kufanya tathmini na uchunguziwavyakula.
3.12 Tafiti MbalimbaliTafitimbalimbalikuhusuuboranausalamawavyakulazimekuwa zikifanyika katika kipindi cha miaka 10iliyopita.Tafitihizonipamojana:-
Mabaki ya viuatilifu kwenye chakula (2003 –2006);
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
25
SURA YA NNE 4 UDHIBITI WA DAWA
4.2 Usajili wa DawaKifungu cha 51 cha Sheria ya Chakula, Dawa naVipodozi,Sura219kinaipaTFDAmamlakayakusajilidawa zote kabla ya kuruhusiwa kutumikaTanzania.TFDA inasajili dawa iwapo mahitaji yafuatayoyamekamilika:
(a) Kiwandakinachotengenezakimefikiamatakwayautengenezajiborawadawa(GoodManufacturingPractices–GMPrequirements);
(b) Dawahusikanibora,salamanafanisina
(c) Uwepowadawahiyoutakuwanikwamanufaayaumma.
Utaratibu wa kusajili dawa ambao umewekwa naTFDAunahusishahatuazifuatazo:
(a) Kupokeamaombiyausajili;
(b) Kufanyatathminiyataarifazakisayansizatafitizilizofanyikakuhakikiubora,usalamanaufanisiwadawahusika;
(c) Kupima sampuli za dawa iliyoombewa usajilikwenyeMaabarayaTFDAilikuchunguzauborawake;na
(d) Kufanya ukaguzi kwenye kiwandakinachotengeneza dawa ili kuhakiki kamakinatekeleza mahitaji ya utengenezaji bora wadawa(GMP)na
(e) Kutoachetichausajiliwadawa.
Katikakipindichamiaka 10,TFDA imewezakusajilijumla ya dawa 4,782. Mchanganuo wa usajili wadawahizo kati ya Julai 2003na Juni 2013ni kamailivyoainishwakwenyeJedwaliNa.19hapachini:
4.1 UtanguliziSheria ya Chakula, Dawa na Vipodozi, Sura219 inatoa maana ya dawa kama kitu chochotekilichochanganywa, kutengenezwa au kuuzwa kwaajiliya:
Kupima, kutibu au kuzuia ugonjwa, ulemavuau dalili zozote za ugonjwa kwa binadamu nawanyama;
Kurudisha, kubadilisha au kuboresha akili yabinadamuaumnyama;na
Kuuavimeleakwenyemaeneoauvifaaambakovyakulanadawazinatengenezwa,kusindikwaaukuwekwaikiwanipamojanahospitalinamaeneoyakufugawanyama.
Kuna aina mbalimbali za dawa ikiwa ni pamojana dawa za binadamu, dawa za mifugo, dawa zaasili, dawa za mitishamba na dawa za kibaiolojia(biologicals)mfanochanjo.
Dawa hizo hutumika kutibu ama kuzuia magonjwayanayoathiri mifumo na viungo mbalimbali katikamwili kama vilemfumowa chakula, figo,maini, utiwamgongo, ubongo, kifua, ngozi,miguu, nyama zamwili,macho,masikio,kinywa,uzazinamagonjwayawatoto.
Mifumo ya udhibiti wa dawa iliyowekwa na TFDAimeainishwahapachini:
26
Jedwali Na. 11: Dawa zilizosajiliwa (2003 – 2013)
Mwaka Maombi Yaliyopokelewa
Maombi Yaliyotathminiwa
Dawa Zilizosajiliwa Maombi Yenye Hoja Mbalimbali
2003/04 471 321 265 562004/05 857 557 368 1892005/06 557 783 673 1102006/07 1,504 1,531 417 1,1142007/08 1,074 964 374 5902008/09 1,525 865 512 3532009/10 1,088 1,082 369 7132010/11 1,264 1,148 576 5722011/12 920 1,322 891 4312012/13 1,011 975 337 235Jumla 10,271 9,548 4,782 4,363
kwamujibuwakifunguNa.21chaSheriayaChakula,DawanaVipodoziSura219.
Kufuatia kutungwa kwa Sheria ya Famasi, Sura 311mnamomwaka 2011, utaratibu wa kusajili maeneoulibadilika ambapoMaduka ya rejareja ya dawa zabinadamunamadukayajumlayadawazabinadamuambayo hayaingizi dawa nchini yanasajiliwa naBarazalaFamasi.
TFDAimebakinajukumulakusajiliviwanda,madukaya jumla ya dawa za binadamu yanayoingiza dawanchini, maduka ya rejareja na jumla ya dawa zamifugo.
Utaratibu wa kusajili maeneo unajumuishamamboyafuatayo:- Kupokeamaombiyausajiliwaeneo;
Kuhakikimaombiyaliyowasilishwa;
Kukaguaeneohusika;
Kutoachetichausajiliwaeneo;na
Kutoakibalichabiashara.
Katikakipindichamiaka 10,TFDA imewezakusajilijumla yamaeneo 17,073.MchanganuowamaeneoyaliyosajiliwanikamailivyoainishwakwenyeJedwaliNa.12hapachini:
Mchoro Na. 4 unaonesha kuongezeka kwa kasi yaushughulikiajiwamaombiyausajiliwadawapamojanaidadiyadawazinazosajiliwamwakahadimwakatanguTFDAkuanzakutekelezamajukumuyakerasmimwezi Julai, 2003. Aidha, ni kielelezo tosha kuwamfumowausajiliwadawaumekuwaukiimarikanaumeisaidia Mamlaka kuboresha udhibiti wa ubora,usalama na ufanisi wa dawa zinazotumika hapanchini.
Mchoro Na. 4: Usajili wa Dawa (2003-2013)
4.3 Usajili wa Maeneo TFDA ilikuwa ikisajili maeneo ya biashara ya dawaikiwanipamojanaviwanda,madukaya rejarejanajumla,magariyakubebeadawanamaghalakatiyaJulai 2003 na Juni 2011. Utaratibu huu ulikuwa ni
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
27
Jedwali Na. 12: Maeneo yaliyosajiliwa (2003-2013)
Mwaka MaeneoViwanda vya dawa (nje
na ndani ya nchi)Famasi (Pharmacy) Maghala DLDMs DLDBs Jumla
2003/04-2007/08
250 677 - 820 9,274 11,021
2008/09 26 619 35 - 1058 1,7382009/10 12 455 27 1,096 0* 1,5902010/11 31 314 12 1,419 0* 1,7762011/12 23 286 0 537 0* 8462012/13 25 46 31 0 0* 102Jumla 367 2,397 105 3,872 10,332 17,073
*Idadi ya DLDB zenye kupewa kibali imepungua kutokana na utekelezaji wa Mpango wa Maduka ya Dawa Muhimu. Utaratibu wa kutoa vibali vya majengo ya kuuzia dawa hususan Famasi na DLDM, ulibadilika mwaka 2011 baada ya kutungwa na kuanzwa kutekelezwa kwa Sheria ya Famasi, Sura 311.
Mfumo wa usajili wa maeneo umeisaidia TFDAkutambua maeneo ambako dawa zinatengenezwa,kusambazwa, kuhifadhiwa na kuuzwa. Vile vile,umesaidia kuhakikisha maeneo husika yanakidhimahitaji kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibuzilizowekwa.
4.4 Ukaguzi wa DawaKifunguNa.5(1)(h)na106chaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219kimeipamamlakaTFDAkukagua maeneo yote yanayojihusisha na biasharaya dawa. Maeneo yanayokaguliwa ni pamoja naviwanda, maduka ya dawa ya jumla na rejereja,magari ya kubebea dawa, maghala, hospitali, vituovya afya, zahanati, kliniki za mifugo, minadani nakwenyemaoneshombalimbali.
Ukaguzi hufanyika ili kuhakiki kuwa dawa zilizokosokonizinakidhimatakwayakisheria(zimesajiliwa),piamazingirayauhifadhiauuuzajipamojanamifumoyautengenezajiwadawakwenyeviwandayanakidhivigezovilivyowekwakwamujibuwasheria,kanuninamiongozo.
WakaguzihuteuliwanaMkurugenziMkuuwaTFDAna kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali chini yakifungu Na. 105 cha Sheria ya Chakula, Dawa naVipodozi,Sura219.
Katikakipindichamiaka10,jumlayamaeneo17,761yalikaguliwa. Maeneo haya yanajumuhisha Famasi
zajumlanarejerejazadawazabinadamunamifugo,Maduka ya Dawa Muhimu, DLDB, Maghala yakuhifadhiadawapamojanamaeneoyakutoleadawakwenyemahospitali.Katikakipindihicho,shughulizaukaguzi zimeimarika kwakuongeza idadi ya kaguzi.Hiiimesaidiakuimarishaudhibitiwauborawadawanchini.
Baadayaukaguzi,hatuambalimbalihuchukuliwakwawanaovunja sheria ikiwani pamojana kutoaelimu,kuwapabaruazaonyo,kuzuiadawazao,kuwanyimavibali, kuwafungia biashara na kuwafunguliamashitaka.
4.5 Udhibiti wa Dawa MipakaniMizigo mbalimbali ya dawa ikiwa ni pamoja namalighafihupitakwenyevituovya forodha.KifunguNa. 73 cha Sheria ya Chakula, Dawa na Vipodozi,Sura219kinaipaTFDAmamlakayakudhibitiuingizajiwadawanchini.
Vituo vya forodha vinavyoruhusiwa kupitisha dawazinazoingia nchini vipo kumi kama vilivyoainishwakwenyeJedwaliNa.13hapachini:
28
Jedwali Na. 13: Vituo vya forodha vinavyoruhusiwa kupitisha dawa
Na Kituo cha forodha Na Kituo cha forodha1. Namanga 6. Kasumulu2. Sirari 7. UwanjawaNdegewaDaresSalaam3. Tunduma 8. UwanjawaNdegewaKilimanjaro4. Holili 9. BandariyaDaresSalaam5. Horohoro 10. BandariyaTanga
Utaratibuwakutoavibalivyakuingizanakutoadawanjeyanchiunajumuishahatuazifuatazo:-
Kupokeamaombiyadawazinazoombewakuingizwaaukutolewanchini;
Kufanyatathminiyamaombiikiwanipamojanakuangaliakamadawahusikaimesajiliwa;
Kufanyauchunguziwakimaabara;na
Kutoakibalichakuingiza(Importpermit)aukutoadawanjeyanchi(ExportCertificate).
Katikakipindichamiaka10,jumlayavibali20,233vyakuingizadawanchininavibali539vyakutoadawanjeyanchivilitolewa.MchanganuowavibalivilivyotolewaumeainishwakwenyeJedwaliNa.14hapachini:-
Jedwali Na. 14: Utoaji vibali vya dawa (2003 – 2013)
Mwaka Maombi ya kuingiza dawa nchini Maombi ya kutoa dawa nje ya nchiYaliyoidhinishwa Yaliyokataliwa Yaliyoidhinishwa Yaliyokataliwa
2003/04 -2007/08 6,523 447 122 02008/09 1,808 0 37 02009/10 2,538 94 41 02010/11 4,457 132 190 02011/12 2,911 177 87 02012/13 1,996 111 62 0Jumla 20,233 961 539 0
UkaguziwamizigoyadawakatikavituovyaforodhaumeimarikahivyokusaidiaMamlakakudhibitiuingizajiwadawaduninabandianchini.
4.6 Udhibiti wa Matangazo ya DawaVifungu Na. 95 – 98 vya Sheria ya Chakula, DawanaVipodozi, Sura219vinakatazamtuyeyotekutoamatangazoyabiasharayadawabilakibalichaTFDA.Matangazohayonipamojanapicha,filamu,mabango,vipeperushi,machapishombalimbali namatangazoyakwenyeredionatelevisheni.
Lengo la kudhibiti matangazo ni kuhakikisha kuwataarifa zake ni sahihi na hayapotoshi. Waombaji
hutakiwa kuwasilisha maombi ya matangazo yaoambayohufanyiwatathmininaTFDAkablayakutoakibali.
Katika kipindi cha miaka 10 iliyopita jumla yamatangazo 859 ya dawa yalipata kibali cha TFDA.Idadi yamatangazo ya dawa ambayo yalipokelewa,kutathminiwanakuidhinishwanaTFDAimeainishwakwenyeJedwaliNa.15hapachini:
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
29
Jedwali Na. 15: Matangazo ya dawa (2003 -2013)
Mwaka Maombi yaliyopokelewa
Maombi yaliyotathminiwa
Matangazo yaliyoidhinishwa
Matangazo yaliyokataliwa
2003/04 – 2007/08 387 386 345 412008/09 92 86 86 02009/10 196 190 175 152010/11 116 91 79 122011/12 100 118 118 02012/13 62 62 56 6Jumla 953 933 859 74
Katikakipindihicho,udhibitiwamatangazoyadawaumekuwaukiimarika,idadiyamatangazoyaliyoidhinishwaimekuwaikiongezekanamatangazoyanayopotoshaummayamekuwayakiondolewakwenyesoko.
4.7 Ufuatiliaji wa Ubora wa Dawa kwenye SokoTFDAimewekamfumowaufuatiliajiwauborawadawakatikasoko.Mfumohuuunajumuishauchukuajiwasampulizadawakwenyesoko,upimajikwenyemaabara,tathminiyamajibuyamaabaranauchukuajihatuazakisheria.Hatuahizonipamojanakuondoakatikasokodawazinazobainikakutokidhiviwango,kutoaonyokwawatengenezajinakuelimishawahusika.
Mfumowaufuatiliajiwauborawadawakwenyesokoumekuwaukitekelezwakatiyamwaka2009na2013.Katikakipindihichojumlayasampuli423zadawazilichukuliwakutokakwenyesokonakufanyiwauchunguziwakimaabara.IdadiyasampulinaainayadawazilizochukuliwakutokakwenyesokonamatokeoyauchunguziwakimaabarayameainishwakwenyeJedwaliNa.16hapachini:
Jedwali Na. 16: Dawa Zilizofuatiliwa Kwenye Soko
Mwaka Aina ya dawa Idadi ya sampuliZilizochukuliwa Zilizopimwa Zilizokidhi Zisizokidhi
2009/10 Cloxacillin 138 60 30(50%) 30(50%)Quinine 143 70 70(100%) 0(0%)
2010/11 Artemether+Lumefantrine 59 9 9(100%) 0(0%)2011/12 Stavudine+Lamivudine+Nevirapine 58 22 20(90.9%) 2(9.1%)2012/13 Zidovudine+Lamivudine+Nevirapine 25 12 12(100%) 0(0%)Jumla 423 173 141(81%) 32(18%)
SampulizilichukuliwakutokaBohariyaDawa(MSD),kwenyevituovyakutoleahudumayaafyanamadukayadawayaliyokomikoayaMorogoro,Dodoma,Mbeya,Lindi,Mtwara,Ruvuma, Iringa,Shinyanga,Kagera,SingidanaRukwa.
MfumohuuumeiwezeshaTFDAkubainidawazenyeuboraduni.Dawaainayacloxacillinzilizotengenezwanabaadhiyaviwandazilifanyiwauchunguziwakimaabaranakubainikakuwanakiambataamilifuchiniyakiwangokinachotakiwa(assaycontent)nahivyoziliondolewakatikasoko.
Dawanyingineikiwanipamojanaquinine,dawamsetoyamalariayaArtemether+Lumefantrine(maarufukamaAlu), dawamseto zaUKIMWIaina yaZidovudine+ Lamivudine+Nevirapinena ile yaStavudine+Lamivudine+NevirapinezilikidhiviwangovyauboranahivyokuruhusiwakuendeleakuuzwakwenyesokolaTanzania.
30
4.8 Ufuatiliaji wa Madhara ya Dawa kwenye Soko
Mfumo wa ufuatiliaji wa madhara yatokanayo namatumizi ya dawa ulianza mwaka 1993. Mfumohuu ujulikanao kitaalamu kama “spontaneouspharmacovigilance system” unatumia fomu zakutoleataarifazamadharayatokanayonamatumiziyadawa(YellowForms)kukusanyataarifazamadharayadawa.Fomuhizohusambazwakwenyehospitali,vituovyaafya,zahanatinamadukayadawanchini.
Wagonjwahutakiwakutoataarifakwawataalamuwaafyawakipatamadharaambapowataalamuwaafyahujaza taarifa hizo kwenye fomu za njano na kishakuzituma TFDA. Gharama ya kuzituma fomu hizokwanjiayaPostazimeshalipiwanaTFDA.
Taarifa za madhara zikipokelewa TFDA hufanyiwatathmini na matokeo kutolewa kwa njia ya vijaridana taarifa kwa umma. Vituo vya kuratibu kazi yakukusanyataarifavilianzishwamwaka2001kwenyehospitali zilizokoMwanza (Hospitali ya Bugando),Dar-es-Salaam (Hospitali ya Taifa, Muhimbili),Mbeya(Hospitaliyarufaa)naKilimanjaro(Hospitaliya KCMC).Mwaka 2011, vituo viliongezwa kwenyemikoa ya Dodoma (Hospitali ya Mkoa), Mtwara(HospitaliyaLigula)naKigoma(HospitaliyaMkoa).
Kupitia mfumo huu, TFDA imeweza kukusanyataarifa 7,212 za madhara ya dawa. Idadi ya taarifazinazokusanywazimekuwazikiongezekamwakahadimwaka kama ilivyoainishwa kwenyeMchoro Na. 3hapachini.
Mchoro Na. 5: Taarifa zilizokusanywa za Madhara ya Dawa kati ya 2003 -2013
Miongozo ya WHO inataka angalau taarifa 200zikusanywe kwa kila watu 1,000,000 kwa mwakaili kuweza kupata uthibitisho wa kisayansi juuya madhara yaliyotokea na uwezekano wa dawakusababishamadharahayo.KwanchikamaTanzaniayenyewatu karibumilioni40, angalau ripoti8,000zinatakiwaziwezinakusanywakilamwaka.
Kulingana naMchoroNa. 5, taarifa zamadhara yadawazilizopokelewaTFDAkwakutumiamfumohuunichiniyakiwangokilichowekwanaWHOchataarifazinazotakiwa kupokelewa kwa mwaka. Hivyo ripotizilizokusanywanaTFDAambazonisawanaasilimia2.5 ya matarajio kwa mwaka haziwezi kutoa halihalisi ya aina yamadhara yanayowapatawagonjwawanaotumia dawa. Aidha Mamlaka inaendelea najitihadazakuhamasishaupatikanajiwataarifahizo
Mfumomwinginewakukusanyataarifazamadharaujulikanaokitaalamukama“Cohort Event Monitoring (CEM)” ulianzishwa mwaka 2009 ili kuiwezeshaMamlakakukusanyataarifanyingizaidi.Mfumohuuunahusishaufuatiliajiwakaribu(activesurveillance)wa aina za dawa zinazotolewa kwenye vituo vyakutoleahudumazaafya.
Dawazinazotumikakutibumagonjwayanayowaathiriwatuwengi (diseases of public health importance)kamamalaria,kifuakikuunaUKIMWIhufuatiliwanataarifazamadharayakekukusanywa.
30
Mamlaka ya Chakula na Dawa - TFDA
31
Mfumo huu umesaidia katika ukusanyajiwa taarifanyingi za madhara ya dawa tofauti na ule wamwanzoni ambapo taarifa 8,040 za madhara yadawaainayaArtemether + Lumefantrine (ALu)zakutibumalaria zilikusanywa na kufanyiwa tathmini.Matokeoyatathminiyanaoneshadawahiinisalamakwamatumiziyajamii.
Kupitiamfumohuu,dawaainayadihydroartemisinin + piperaquine (Duo-cotecxin) ya kutibu malarianadawazakufubishamakaliyavirusivyaUKIMWIzimeanza kufuatiliwa. Matokeo ya ufuatiliajiyatatolewamwaka2014.
4.9 Udhibiti wa Majaribio ya DawaVifungu Na. 61 – 71 vya Sheria ya Chakula, Dawana Vipodozi, Sura 219 vinaipa TFDA mamlaka yakudhibitimajaribioyadawanchini.
Majaribio ya dawa ni tafiti zinazofanyika kwabinadamu kutathmini kama dawa ni salama nazenye ufanisi. Majaribio haya hufanyika baada yakukamilishahatuazaawalizakutathminidawakwawanyamawadogo(mfanopanyanasungura).Mtafitiyeyote mwenye nia ya kufanya majaribio ya dawahutakiwakupatakibalikutokaTFDA.
Baadayakutoakibali,TFDAhufanyaukaguzikwenyevituo vya majaribio ili kuhakiki kama taratibu zakufanya majaribio zinafuatwa ikiwa ni pamoja nakuzingatia kanuni namaadili ya kutumia binadamukwautafiti (Good Clinical Practice - GCP).Vilevile,taarifazamadharayadawazamajaribiohukusanywailikutathminiusalamawadawa.
Katika kipindi cha Julai 2003 – Juni 2013, TFDAiliidhinisha na kukagua jumla ya majaribio 83 yadawa.
Mfumo wa kudhibiti majaribio umeisaidia TFDAkufahamu idadi na aina yamajaribio yanayofanyikanchini.Piamfumohuuumewezeshakulindahakizabinadamuwanaoshirikikatikamajaribiohayo.
Vilevile, katika kutekeleza mfumo huu, TFDAinashirikiananataasisinyinginekamavileTaasisiyaTaifayaUtafitiwaMagonjwayaBinadamu(National Institute for Medical Research - NIMR)inayodhibiti
maadili kwenye tafiti za binadamu na Taasisi yaTaifayaUtafitiwaMagonjwayaWanyama (Animal Diseases Research Institute - ADRI) inayodhibitimaadilikwenyetafitizawanyama.
4.10 Udhibiti wa Dawa za Tiba ShufaaKifunguNa.78(1–3)chaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219kimeipamamlakaTFDAkudhibitidawa za tiba shufaa (palliative care). Dawa hizizenyemadharayakulevyazinajumuhisha“narcotics”na “psychotropic substances” ambazo hutumikakwenyehospitalikutibumagonjwambalimbaliikiwanipamojanamaumivumakaliyanayosababishwanamagonjwakamakansa.
TFDA imeweka utaratibu wa kudhibiti dawa hizikwakuwazinamadhara ya kulevyahivyo zinawezakusababisha madhara ya kiafya kwa binadamuendapozitatumikavisivyo.Mamlakakatikakudhibitidawa hizi inatambua uwepo wa sheria ya KuzuiaUsafirishaji wa Dawa za Kulevya ya mwaka 1995(Drugs and Prevention of Illicit Traffic in Drugs Act, 1995).
Dawahizihaziruhusiwikuingizwanchininamadukaya dawa binafsi. Bohari ya Dawa (MSD) ndiyoinayoruhusiwa kuziingiza na kuzisambaza kwenyehospitali za Serikali na binafsi ambazo zimepewakibalinaTFDA.HospitalizotezinazotumiadawahizihutakiwakuwasilishaTFDAtaarifazamatumizikilarobomwakakwaajili yaya tathmininakuidhinishamahitajimapyakulingananamahitaji.TFDAhutumataarifa za matumizi ya dawa hizi katika Bodi yaKudhibiti Dawa za Tiba Shufaa (Narcotics ControlBoard)iliyokomjiniVienna–Austria.
HadikufikiamweziJuni2013,TFDAilikuwaimeshatoajumlayavibali890vyakuingizadawazatibashufaanchini.
4.11 Uteketezaji wa DawaKifungu Na. 99 cha Sheria ya Chakula, Dawa naVipodozi, Sura 219 kimeipa TFDA mamlaka yakuzuia na kuharibu dawa zisizofaa kwa matumiziya binadamu. Utaratibu wa uteketezaji wa dawazisizofaanikamaulewakuteketezavyakula(angaliaSehemuya3.9,SurayaTatu).
32
Mpaka kufikia mwezi Juni 2013, TFDA ilisimamiauteketezaji wa dawa zisizofaa zenye thamani yatakribanTZSBilioni4.94 kamailivyoainishwakwenyeJedwaliNa.17hapachini:
Jedwali Na. 17: Thamani ya dawa zilizoteketezwa (2003 – 2013)
Mwaka Thamani (TZS)Julai2003–Juni2008 786,148,786Julai2008-Juni2009 1,265,620Julai2009-Juni2010 1,915,495,744Julai2010-Juni2011 844,302,796Julai2011-Juni2012 1,353,186,185Julai2012-Juni2013 40,860,000Jumla 4,941,259,131
4.12 Mpango wa Maduka ya Dawa Muhimu (DLDM)
TFDAkwakushirikiananashirikalisilolakiserikalilakimataifalijulikanalokama“Management Sciences for Health (MSH)”naSerikalizaMitaa,ilitekelezampangowaMaduka ya DawaMuhimu (DLDM) unaolengakuboresha upatikanaji wa dawa zilizo salama, borana fanisi katika maeneo ya vijijini na miji midogo.Hii ilitokana na tathmini iliyofanywa kuhusu utoajiwa dawa kwenye maduka ya dawa baridi (DLDB)yaliyoanzishwachiniyaSheriayaDawanaSumuyamwaka 1978.Matokeo ya tathmini hiyo yalioneshaumuhimuwa uboreshajiwa huduma ya dawa hasakwenyemaeneoyapembezoni.
Mpango huu maarufu kama Mpango wa ADDOyaani ‘Accredited Drug Dispensing Outlets’, ulianzakwamajaribiomkoaniRuvumakatiyamwaka2002– 2005. Mwongozo wa usambazaji wa mpangouliandaliwanakutumika.Utekelezajiwampangohuuulihusishahatuazifuatazo:(a) Kufanya uhamasishaji wa viongozi wa Serikali
katikangazizaMkoanaHalmashauri;
(b) Kufanyautambuziwamadukayadawabaridi;
(c) Kufanyaukaguziwaawaliwamadukayadawabaridi;
(d) Kufanyamafunzokwawatoadawa,wamilikinawakaguziwakata;
(e) Kufanya ukaguzi wa mwisho wa madukayaliyorekebishwa;
(f) KufanyavikaovyaKamati zaChakulanaDawazaHalmashauri;na
(g) Kupandisha hadhi DLDB na kuwa DLDM kwakutoavibalivyabiashara.
Mafanikio yaliyoonekanamkoani Ruvumabaada yamajaribionipamojana:
(a) Madukakujengwa/kutengenezwakwauborawahaliyajuu;
(b) Dawakuhifadhiwakwauborawahaliyajuu;
(c) Watoa dawa kuwa na utaalamu wa dawa nakufuatamiongozoyautoajiborawadawa(GoodDispensingPractices);
(d) UshirikishwajiwaHalmashauri katikamaamuziyakutoavibalivyabiasharakuanziangaziyakatahadimkoa;
(e) Kupanua wigo wa ukaguzi na kuwezesha Katakufahamu maduka yanayoanzishwa kwenyemaeneoyao;
(f) Kuwekamfumomzuriwaudhibitiwadawaikiwanipamojanamadukayaliyoanzishwa;
(g) Kutumia DLDM kutoa huduma nyingine kamavilehudumazabimayaafya,uzaziwampangona afya yamtoto kupitiaMkakati wa KudhibitiMagonjwa ya Watoto kwa Uwiano yaani(Integrated Management of Childhood Illness- IMCI) programme pamoja na usambazaji wadawamseto ya safu ya kwanza kwawagonjwawamalaria(ACT).
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
33
Kwa kuwaMpango huu ulionyeshamafanikiomakubwamkoani Ruvuma, Serikali kupitiaWizara yaAfyailiamuakuusambazanchinzimakuanziamwaka2006.
Ilikuwezakuyasimamiamadukahayavizuri,KanunizaMadukayaDawaMuhimuzamwaka2006ziliandaliwaambapo zimeainisha taratibu za kufunguamaduka husika, kuyaendesha na aina za dawa zinazoruhusiwakuuzwakwenyemadukahayo.Dawahizonidawazotebaridi(OTC)pamojanabaadhiyadawamoto(POM)zilizoorodheshwakwenyeJedwaliNa.18hapachini:
Jedwali Na. 18: Orodha ya Dawa Moto Zinazoruhusiwa kwenye ADDO
Na. Aina ya Dawa NguvuDawa za Pumu
Aminophyllineinjection(ampoules) 25mg/mLin10mLViua vijasumu (Antibiotics)
Amoxycillintrihydratecapsules 250mg,500mgAmoxycillintrihydrateoralsuspension 125mg/5ml,250mg/mlBenzylPenicillinpowderforinjection 3gm(500,000IU)invialCo-trimoxazolesuspension 240mg/5mlin100mLBottleCo-trimoxazoletablets 480mgDoxycyclinecapsules/tablets 100mgErythromycinoralsuspension 125mg/5ml,250mg/5ml.
Erythromycintablets 250mg,500mgMetronidazoletablets 200mg,250mg,400mg,Metronidazolesuspension 200mg/5mlin100mLMetronidazoleinjection 200mg/100mlNitrofurantointablets 50mg,100mgOxytetracyclineHydrochlorideeyeointment 5%(w/v),10%(w/v)
PhenoxymethylPenicillinsuspension 125mg/5ml,250mg/5mlin100mL
PhenoxymethylPenicillintablets 250mgProcainePenicillinFortified 4g(400,000IU)-4MUSilversulfadiazinecream 10mgChloramphenicoleyedrops/ointment 5mg/mlin10ml
Dawa za kupunguza maumivu (Anti-Inflammatory/Analgesics)Diclofenacsod.Tablets 25mg,50mgIndomethacincapsules 25mgHydrocortisoneointment/cream 1%,0.5%Annusolsuppositories BismuthOxideAnhydrous-24mg
ZincOxide-296mgBalsamPeru-46mgBismuthSubgallate-59mg
Dawa za ganzi (Anaesthetics, local)Lignocaineinjection 1%in10mlvial,2%in30mlvial
Dawa za Fangasi (Anti-Fungal)Nystatinoralsuspension 100,000IU/mlin30mLBottleNystatinpessaries 100,000IUNystatinskinOintment 100,000IU/gmNystatintablets 500,000IUKetoconazoletablets 200mg
34
Na. Aina ya Dawa NguvuDawa za Malaria (Anti Malarials)
Quininetablets(sulphateorbisulphate) 300mgQuinineinjection(asdihydrochloride) 300mg/mlin2mLArtemether+Lumefantrinetablets/ACT Artemether20mgLumefantrine120mg
Dawa za Magonjwa ya Moyo (Cardiovascular (Anti-arrhythmic drugs)Propranololtablets(Hydrochloride) 10mg,40mg,80mg
Dawa za Kupunguza Maji Mwilini (Diuretics)Bendrofluazidetablets 5mg
Vichocheo (Oxytocics)ErgometrineInjection(maleate) 0.2mg/mL in 1mLampoule,0.5mg/mL in
2mLampouleDawa ya Kulainisha Tumbo (Laxative)
Bisacodyltablets 5mgDawa ya Kupunguza Mzio (Antihistamines)
Cetirizinehydrochloridetablets 10mgCetirizinehydrochlorideoralsolution 5mg/5ml
Dawa ya Kulegeza Misuli Laini (antispasmodics)Hyoscinebutylobromidetablets 10mgHyoscinebutylobromideinjection 20mg/ml
Dawa za Uzazi wa Mpango (Oral Contraceptives)EthinylestRediol(0.03mg)+Novethisterone(0.3mg) 0.03mg+0.30mgEthinylestRediol(0.03mg)+Levonorgestrel(0.15mg) 0.03mg+0.15mg
Madini na Vitamini (Minerals/vitamins)
NeurobionForte ThiamineMononitrate-10mgRiboflavine-10mgPyridoxideHCL-3mgCynocobalamine-15mgNicotinamide-45mgCalciumPentothenate-50mg
Zincsulfatetablets 20mg
Dawa ya Kuzuia Kutapika (Anti Emetic)PromethazineHydrochlorideInjection 25mg/mlin2mLampoule
Vimiminika na Elekroliti (Fluids and Electrolytes)Dextrose 5%NormalSalineInjection 0.9%WaterforInjection N/A
Dawa za Kifafa (Anti-Epileptic)Phenytointablets/capsules(Sodiumsalt) 50mg,100mg
HadikufikiaJuni2013,mpangowaADDOulikuwaumesambazwakatikamikoayoteyaTanzaniabara.Jumlayawatoadawa13,643walipewamafunzoyautoajidawa(dispensing).Aidha,madukayaDawaMuhimu3,873yalikuwayamesajiliwa.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
35
Kufuatia kupitishwa Sheria ya Famasi, Sura 311mnamomwaka2011,usajilinausimamiziwaMadukayaDawaMuhimuumehamishiwaBarazalaFamasi.TFDA inaendelea na jukumu la kusajili na kudhibitidawazinazouzwakwenyemadukahayo.
4.13 Kuwianisha Mifumo ya Udhibiti wa Dawa
Tanzania ni mwanachama wa nchi zilizo kwenyeJumuiyayaAfrikaMashariki(East African Community - EAC) na nchi zilizo kusini mwa Bara la Afrika(Southern African Development Community - SADC).Nchihizizimekuwakatikamikakatinamazungumzoya muda mrefu juu ya kuwianisha (harmonize)taratibu za udhibiti wa dawa. Lengo hili limekujaili kuweka mifumo inayofanana katika udhibiti nakuruhusudawazilizobora,salamanafanisikuuzwakwenyenchihizo.
Kufuatiamikakatihiyo,taasisizaudhibitikatikanchihizozimeanzamchakatowakurazinishamifumoyaudhibitiwadawa.KwenyeEAC,taratibuzausajiliwadawa,ukaguziwaviwanda,mifumoyaTEHAMAnamifumo ya utendaji bora wa kazi (QMS) zimeanzakuwianishwa.
Mpangohuu ulizinduliwa rasmimweziMachi 2012jijiniArushanaMwenyekitiwaBaraza laMawaziri.MpangohuuunahusishaTaasisizaUdhibiti(National Regulatory Authorities - NRAs)katikanchiwanachamawa EAC.Mpango huu utatekelezwa kwamuda wamiakaminne(2012–2016).
Katika SADC, miongozo ya udhibiti wa majaribioya dawa, miongozo ya tafiti za usalama na ufanisiwa dawa (bioequivalence and bioavailability studies) nataratibuzamanunuzinaugaviwadawa(pooledprocurement) ilirazinishwa mwaka 2005 ambaponchiwanachama zimeridhiamatumizi yamiongozona taratibu hizo. Miongozo ya Tafiti za chanjo yaUKIMWIkwabinadamu,Usajiliwachanjo,Usajiliwadawazamitishambanatibambadala,Kufuatiliauborana usalama wa dawa kwenye soko, Usajili vyakulanyongeza,UsajiliwamajengonaulewaUdhibitiwamatangazobadoikokatikahatuazauwianishajitokamwaka2005.
4.14 Kamati za KitaalamuKifungu Na. 13 cha Sheria ya Chakula, Dawa naVipodozi, Sura 219 kimempamamlakaMkurugenziMkuu kuunda Kamati za Kitaalamu ili kumshaurikwenyemasualambalimbaliyaudhibitiwachakula,dawa,vipodozinavifaatiba.Katikaeneolaudhibitiwadawa, Kamati za Kitaalamumbalimbali zimeundwaikiwanipamojanazifuatazo:(a) Kamati ya Kitaalamu ya Usajili wa Dawa za
Binadamu;
(b) Kamati ya Kitaalamu ya Usajili wa Dawa zaMifugo;
(c) KamatiyaKitaalamuyaUsalamawaDawa;na
(d) KamatiyaKitaalamuyaMajaribioyaDawa.
4.14.1 Kamati ya Kitaalamu ya Usajili wa Dawa za Binadamu
Kamati ya Kitaalamu ya Usajili wa Dawa zaBinadamu(HumanMedicinesRegistrationTechnicalCommittee) iliundwamwaka 2008 na inajumuishawataalamukutokandaninanjeyaTFDA.WataalamuhaoniwafanizaUdaktariwaBinadamu,Ufamasia,Maikrobiolojia,Chanjo,FamakolojianaFamakognosia.Uteuziwawajumbehuzingatiafani,uzoefunauwezowaokwenyemaeneohusika.Kamati hii, pamojanamambomengine,hutoaushaurikwenyemasualayausajliwadawazabinadamu.Kamatihukutanamarasita kwamwaka kwamujibuwahadidu za rejea zakuendesha kamati hii. Mpaka kufikia Juni 2013,Kamatiilifanyavikao13.
WajumbewaliotumikianaambaobadowanatumikiaKamati hii ni kama walivyoorodheshwa kwenyeJedwaliNa.30(Tazama4.14.4).
4.14.2 Kamati ya Kitaalamu ya Usajili wa Dawa za Mifugo
KamatiyaKitaalamuyaUsajiliwaDawazaMifugo(Veterinary Medicines Registration Technical Committee)iliundwa mwaka 2008 na inajumuisha wataalamukutokandaninanjeyaTFDA.WataalamuhaoniwafanizaUdaktariwaMifugo,Ufamasia,Maikrobiolojia,ChanjonaFamakolojia.Kamatihiipamojanamambomenginehutoaushaurikwenyemasualayausajliwadawazamifugo.
36
4.14.4 Kamati ya Kitaalamu ya Majaribio ya Dawa
KamatiyaKitaalamuyaMajaribioyaDawa(Clinical Trials Technical Committee) iliundwa mwaka 2008na inajumuisha wataalamu kutoka ndani na nje yaTFDA.Wataalamuhaoniwa fani zaTafiti,Maadili,UdaktariwaBinadamu,Ufamasia,MaikrobaiolojianaFamakolojia.Kamatihii,pamojanamambomengine,hutoa ushauri kwenye masuala ya udhibiti wamajaribioyadawa.
Kamati hukutana mara nne kwa mwaka na tayariimeshafanyavikaosita(6)tangukuanzakwakekazi.WajumbewaliotumikianaambaobadowanatumikiaKamati hii ni kama walivyoorodheshwa kwenyeJedwaliNa.19hapachini:
Jedwali Na. 19: Wajumbe wa Kamati za Kitaalamu (2008 – 2013)
Kipindi Kamati za KitaalamuUsajili wa Dawa za Binadamu
Usajili wa Dawa za Mifugo
Usalama wa Dawa
Majaribio ya Dawa
Jul2008–Jun2011
Prof.M.Moshi(Mwenyekiti)
Bw.H.BSillo/Bw.A.M.Fimbo(Katibu)
Prof.O.Ngassapa
Prof.P.Rugarabamu
Prof.S.Aboud
Dkt.E.Kaale
Dkt.R.Kaushik
DktM.Shimwela
Dkt.S.Kubhoja
Bw.Y.Hebron
Bw.L.Mhangwa
Prof.L.Kinabo(Mwenyekiti)
Bw.H.B.Sillo/Bw.A.M.Fimbo(Katibu)
Dkt.B.Jullu
Dkt.S.Luwongo
Dkt.P.Risha
Bw.G.Y.Mlavwasi(Mwenyekiti)
Bw.H.B.Sillo/Bw.A.M.Fimbo(Katibu)
Dkt.VenanceMaro
Dkt.O.Minzi
Bw.J.Pemba
Dkt.RKingamkono(Mwenyekiti)
Bw.H.B.Sillo/Bw.A.M.Fimbo(Katibu)
Bi.J.Ikingura
Dkt.D.Mloka
Prof.A.Kamuhabwa
Dkt.G.Massenga
Dkt.VickyManyanga
Kamatihukutanamarannekwamwakakwamujibuwahadidu za rejea zilizoandaliwa.Kamati imeshafanyavikao vitano (5). Tangu kuanzishwa kwake nawajumbe wake wameainishwa kwenye Jedwali Na.30(Tazama4.14.4).
4.14.3 Kamati ya Kitaalamu ya Ufuatiliaji wa Usalama wa Dawa
Kamati ya Kitaalamu yaUfuatiliaji waUsalamawaDawa (Pharmacovigilance Technical Committee)iliundwa mwaka 2008 na inajumuisha wataalamukutokandaninanjeyaTFDA.WataalamuhaoniwafanizaUfamasia,Famakolojia,UdaktariwaBinadamuna Maikrobaiolojia. Kamati hii, pamoja na mambomengine,hutoaushaurikwenyemasualayautambuzi,tathmini na udhibiti wa madhara yatokanayo namatumiziyadawa.
Kamati hukutana mara nne kwa mwaka naimeshafanyavikaovitatu(3).WajumbewaKamatihiiwametajwakwenyeJedwaliNa.19(tazama4.14.4).
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
37
Kipindi Kamati za KitaalamuUsajili wa Dawa za Binadamu
Usajili wa Dawa za Mifugo
Usalama wa Dawa
Majaribio ya Dawa
Jul2011–hadisasa
Prof.S.Aboud(Mwnyekiti)
Bw.A.MFimbo(Katibu)
Prof.M.Moshi
Dkt.E.Kaale
DktM.Shimwela
Dkt.S.Kubhoja
Dkt.E.Ngaimisi
Dkt.E.Kija
Dkt.S.Maregesi
Dkt.G.Shoo
Prof.L.Kinabo(Mwenyekiti)
Bw.A.MFimbo(Katibu)
Dkt.B.Jullu
Dkt.S.Luwongo
Dkt.P.Risha
Bw.G.Y.Mlavwasi(Mwenyekiti)
Bw.A.MFimbo(Katibu)
Dkt.VenanceMaro
Dkt.O.Minzi
Bw.J.Pemba
Dkt.R.Kingamkono(Mwenyekiti)
Bw.A.MFimbo(Katibu)
Bi.J.Ikingura
Dkt.D.Mloka
Prof.A.Kamuhabwa
Dkt.G.Massenga
4.15 Uandaaji wa Miongozo Miongozo mbalimbali ya udhibiti wa dawaimeandaliwa katika vipindi tofauti kati ya 2003 na2013. Miongozo hii inaainisha taratibu mbalimbaliambazowatejahutakiwakuzifuatawakatiwanaletamaombi yao TFDA. Miongozo iliyoandaliwa katikakipindihichoimeorodheshwahapachini:(a) Mwongozo wa Usajili wa Dawa za Binadamu
wa mwaka 2004 (uliorejewa mwaka 2008 na2012);
(b) Mwongozo wa Usajili wa Dawa zaMifugo wamwaka2003;
(c) MwongozowaUsajiliwaDawazaKibaiolojiawamwaka2004;
(d) MwongozowaUsajiliwaDawazaMitishambawamwaka2004;
(e) Mwongozo wa Usalama wa Dawa wa mwaka2006(uliorejewamwaka2010);
(f) MwongozowaUsajili waMajengo ya Biasharawamwaka2008;
(g) MwongozowaMabadilikoyaUsajiliwaDawazaBinadamuwamwaka2008;
(h) MwongozowaUtengenezajiBorawaDawawamwaka2008;
(i) Mwongozo waMafunzo kwaWatoa Dawa waMadukayaDawaMuhimuwamwaka2008;
(j) MwongozowaUtoajiMafunzo kwaWakufunziwaMadukayaDawaMuhimuwamwaka2008;
(k) Mwongozo wa Mafunzo kwa Wamiliki waMadukayaDawaMuhimuwamwaka2008;
(l) Mwongozo wa Mafunzo kwa Wakaguzi waMadukayaDawaMuhimuwamwaka2008;
(m)MwongozowaUanzishajiwaMadukayaDawaMuhimuwamwaka2008;
(n) Mwongozo wa Kuharibu Dawa Zisizofaa kwaMatumiziyaBinadamuwamwaka2009;
(o) MwongozowaUingizajinaUtoajiDawaNjeyaNchiwamwaka2000(uliorejewamwaka2011);
(p) MwongozowaUdhibitiwaDawazaTibaShufaawamwaka2008;
(q) Mwongozowa Udhibiti waMajaribio ya Dawawamwaka2009;
(r) MwongozowaNjiaBorazaUsambazajiwaDawawamwaka2009;
(s) MwongozowaKufuatiliaUborawaDawakwenyeSokowamwaka2010;
(t) Mwongozo wa Ufundishaji wa Wataalam waAfyajuuyaUsalamawaDawawamwaka2010;
(u) Mwongozo wa Bima kwa wanaoshiriki kwenyeMajaribioyaDawawamwaka2010;
(v) Mwongozowa Usajili wa Dawa zaWatoto wamwaka2011;na
(w)MwongozowaKutoataarifazaUsalamawakatiwaMajaribioyaDawawamwaka2011.
38
SURA YA TANO 5 UDHIBITI WA VIPODOZI
5.1 Utangulizi Kipodozi ni kitu chochote kinachoweza kutumikakwenye mwili au sehemu ya mwili kwa njia yakujipaka, kuosha, kunyunyizia, kujipulizia kwa ajiliya kusafisha, kujiremba, kujipamba, kuongezauzuri wa ngozi au kubadili muonekano wa sura.Kipodozi hakitakiwi kutumiwa katika uchunguziwa magonjwa, kutibu au kuzuia magonjwa nahakitakiwikuathirikazihalisiyangoziyamwiliaukaziyamwili.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
39
Kusababishaugonjwawangozinakuathirikakwangozipindiuwapojuani;
Ngozi kuwa laini na kuwa kwenye hatari yakuweza kushambuliwa na magonjwa kamafangasinavimeleavyamaradhi;
Mamamjamzitoakitumiavipodozivyenyezebakimtotohuathirikaakiwatumboni;
Viambato kama zirconium na vinyl chloridehusababishakansayangozinamapafu;
Hydroquinone,husababishamuwashowangozi,kuchubuka kwa ngozi na kusababisha mabakameupenameusi;na
Madharayakiuchumiyanayotokana nagharama za matibabupale mtu akipatamadhara.
Vipodozivinatengenezwakatikahalimbalimbalikwamfano,loshenikrimu,marashi,manukato,yamajimajinayakupulizia,rangizakucha,vipodozivyakunyolea,poda,sabunizakuogeanakadhalika.Aidha,vipodozihutengenezwakwakutumiaviambatotofauti.
Hata hivyo, baadhi ya viambato vina madhara yakiafyakwamtumiajiwavipodozi,hivyonijukumulaTFDA kuhakikisha kuwa vipodozi vyenye viambatovyenyemadharahavitumikinchini.
Viambato vilivyopigwa marufuku vimeainishwakwenyeJedwaliNa20hapachini.
Jedwali Na. 20: Viambato vilivyopigwa marufuku
S/N Kiambato1. Zebaki(Mercury)2. Chlorofluorocarbons3. Steroids4. Hydroquinone5. Bithionol6. Hexachlorophene7. VinylChloride8. Zirconium9. ChloroformPropellants10 MethylChloride11. HalogenatedSalicylanilidesViambatovyenyemadharakwawatumiajivimepigwamarufuku kutumika kwenye vipodozi kwa mujibuwaKifunguNa.87.chaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219.
5.2 Madhara ya Vipodozi Vyenye Viambato Sumu
Viambato sumu vikitumika katika vipodozihusababisha madhara mbalimbali kwa mtumiaji.Baadhiyamadharayamatumiziyavipodozivyenyeviambatosumunikamayafuatavyo:- Kupatamziowangozi(allegy);
39
40
5.3 Vipodozi vya Kienyeji (Mikorogo)Kutokananagharamazavipodozikuwakubwa,baadhiyawananchiwamekuwawakitengenezavipodozivyakienyeji. Baadhi ya vipodozihivi vya kienyeji hususanvile vinavyotengenezwanavyakula vyamashambaninabidhaazakenisalamakwanihavinamadharakwawatumiaji.Hatahivyo,vipodozivinginehutengenezwakwamchanganyikowa bidhaambalimbali ikiwa ni pamoja kemikali na dawa.Vipodozi hivimaarufu kama‘MIKOROGO’vikovyaainatofauatikamainavyooneshwakwenyeJedwaliNa.21hapachini.
Jedwali Na. 21: Mikorogo Mbalimbali
Na. Jina la Mkorogo Mchanganyiko/Maandalizi Yake Matumizi1. MkorogoSpecial SabuniyaJaribu(chemsha)+KrimyaJaribu+Colgate
(1/2tube)+JIK+Lotionyaainayoyote:KorogasanaPakamarambili(2)kwasiku
2. ITVSpecial HamiraLotion+HamiraCream:Chemshasana Pakamarambili(2)kwasiku3. SaloonSpecial KrimyeyoteyenyeSteroidhasa(Dermovate)+Losheni
yeyote+Maji+kemikaliyaHydrogenPeroxideWakatiwowoteinapofaa
4. Mkorogo Dermovate+Revlon+JIK+SabuniyaOMO Pakamarambili(2)kwasiku5. Mamboyote Sabuniisagwekwenyechombokamabeseni(bathtub)
+JIKOngezaCementnyeupe:changanyakwamasaayakutosha
Ogandaniyakekwadakikakadhaa
5.4 Matumizi Mabaya ya Dawa kama VipodoziMojakatiyaviambatovilivyopigwamarufukukutumikakamakipodoziniainaya‘Steroids’ambazokimsinginidawa.Mfanowaviambatohivinipamojana‘Clobetasol’na‘Betamethasone’zinazopatikanakwenyedawaainayaMovate, Betacort-N, Diproson, Gentrisone,n.k.
Bidhaa hizi zinaendelea kutumika kama dawa za cheti (prescription onlymedicines)nalazimakutolewakwawagonjwawangozikwakufuatamaelekezoyadaktarinamfamasia.Hatahivyo,haziruhusiwikutumikakamavipodozi.
Dawanyinginezilizopigwamarufukukutumikakamavipodozinizilezakuongezamakalio namatiti. Hii ni kutokana na kusadikiwa kuwa huletamadhara kwawatumiajiikiwanipamojanakusababishakutokeakwaugonjwawakansa.
Kutokananamadharayakiafyanakiuchumiyanayosababishwanamatumiziyamikorogona vipodozi vyenye viambato sumu,TFDA imewekamifumoyaudhibiti wa vipodozi ili kuhakikisha kuwavipodozivinavyotumiwanawananchiniboranasalama. Hii ni kwa kuhakikisha kuwa vipodozihivihavinaviambatovyenyesumuvinavyowezakudhuruafyayawatumiaji.
Mifumo ya udhibiti wa vipodozi inajumuhishaUsajili wa vipodozi, udhibiti katika uingizaji,ukaguzi na ufuatiliaji na Utoaji wa vibali vyabiasharayavipodozikamailivyoainishwahapachini;
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
41
Uchunguziwakimaabarawasampulizavipodozihusika;na
Tathminiyataarifazakwenyelebo.
Kabla ya taratibu za usajili wa vipodozi kuanza,TFDA iliwekautaratibuwakuvitambuakatiya Julai2003naFebruari2008.Katikakipindichamiaka10tangukuanzishwakwake,TFDAimewezakutambuana kusajili jumla ya vipodozi 3,968. Mchanganuowake kuanzia Julai 2003 hadi Juni 2013 ni kamailivyoainishwakwenyeJedwaliNa.22hapachini:
Jedwali Na. 22: Vipodozi vilivyotambuliwa/kusajiliwa na TFDA (2003-2013)
Taratibu za udhibiti
Mwaka Maombi yaliyokuwepo (yaliyopokelewa na baki)
Maombi yaliyotathminiwa
Vipodozi vilivyoruhusiwa
Utambuzi 2003/04 0 0 02004/05 805 798 7872005/06 402 340 1612006/07 1,142 1,279 3082007/08 512 512 4442008/09 481 301 342009/10 1,119 1,024 5052010/11 886 886 5012011/12 1066 786 4222012/13 1095 850 806Jumla 7,508 6,776 3,968
Mfumowausajiliwavipodoziulioanzakufanyiwakazimwaka2003umekuwaukiimarikamwakahadimwakanaidadiyavipodozivilivyosajiliwaimekuwaikiongezeka.MfumohuuumeisaidiaMamlakakuboreshaudhibitiwauboranausalamawavipodozivinavyouzwakwenyesokolaTanzanianahivyokuwalindawatumiajidhidiyamadharayamatumiziyavipodozivyenyeviambatosumu.
5.5 Usajili wa Vipodozi Vifungu Na. 86-90 vya Sheria ya Chakula, Dawana Vipodozi, Sura 219 vinazuia usambazaji nauuzajiwa vipodozi vinavyoweza kumleteamtumiajimadhara.Sheriahiiinawalazimishawalewoteambaowanajihusishanautengenezaji,uagizajinausambazajiwavipodozihapanchinikuvisajili.
Utaratibuwausajiliwavipodozihujumuishamamboyafuatayo:-
Tathmini ya taarifa za ubora na usalama waviambatovilivyotumika;
5.6 Usajili wa Maeneo VifunguNa.86–90vyaSheriayaChakula,DawanaVipodoziSura219,vinazuiamtuyeyotekuzalisha,kuhifadhi,kusambazanakuuzavipodozikatikaeneoambalohalijasajiliwanaMamlaka.MaeneoyanayosajiliwanaTFDAnipamojanamajengoyakutengeneza,maghalanamadukayajumlanarejarejayavipodozi.
Utaratibuwakusajilimaeneounajumuishamamboyafuatayo:-
Kupokeamaombiyausajiliwaeneo;
Kuhakikimaombiyaliyowasilishwa;
Kukaguaeneohusika;
42
Kutoachetichausajiliwaeneo;na
Kutoakibalichabiashara.
Katika kipindi cha miaka 10, TFDA imeweza kusajili jumla ya maeneo 1,223 ya vipodozi. Maeneo hayayanajumuhishaviwanda7vyautengenezajiwavipodozi,maghala3namadukayajumlanarejareja1,223.
Mfumo wa usajili wa maeneo umeisaidia TFDA kutambua maeneo ambayo vipodozi vinatengenezwa,kuhifadhiwa, kusambazwana kuuzwana kuhakikishamaeneohusika yanakidhi vigezo vyauborana kuuzavipodozizinavyoruhusiwakwamujibuwasheria,kanuninataratibuzilizowekwa.
5.7 Ukaguzi wa VipodoziKifunguNa.5(1)(h)chaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219kimeipamamlakaTFDAkukaguamaeneoyoteyanayojihusishanabiasharayavipodozi.Maeneoyanayokaguliwanipamojanaviwanda,maghala,madukayajumlanarejerejanavyombovyausafirihususanmabasiyaabiria.
Katikakipindichamiaka10,jumlayamaeneo4,164yabiasharayajumlanarejarejayavipodoziyalikaguliwa.MchanganuowamaeneoyaliyokaguliwakatiyaJulai2003naJuni2013nikamailivyoainishwakwenyeJedwaliNa.23.
Jedwali Na. 23: Maeneo Yaliyokaguliwa (2003-2013)
Eneo Mwaka wa fedha Jumla 2003/04
-
2007/08
2008
-
2009
2009
-
2010
2010
-
2011
2011
-
2012
2012
-
2013MadukayaJumlanaRejareja 706 142 905 1,049 871 475 4,148Viwandanamaghala 3 2 3 3 3 2 16Jumla 709 144 908 1,052 874 477 4,164
Hatuambalimbalizimekuwazikichukuliwadhidiyawavunjasheriaikiwanipamojanakutoaelimu,kuwapabaruazaonyo,kuzuiabidhaazao,kuwanyimavibali,kuwafungiabiasharanakuwafunguliamashtaka.
5.8 Udhibiti wa Vipodozi MipakaniKifungu Na. 86 cha Sheria ya Chakula, Dawa naVipodozi,Sura219kinaipaTFDAmamlakayakudhibitiuingizajivipodozinchini.Vilevile,kifunguNa.5(1)(l)kinaainishamatakwayakudhibitiutoajiwavipodozinjeyanchi.
TFDA imeweka mifumo ya udhibiti wa uingizajina utoaji wa vipodozi kupitia vituo vya forodhavinavyotambuliwa. Utaratibu wa kutoa vibali vyakuingizanakutoavipodozinjeyanchiunajumuishahatuazifuatazo:- Kupokeamaombiyausajiliwamuingizajiikiwani
pamojanavipodozivinavyotakiwakuingizwa;
Kufanyatathminiyamaombi;na
Kutoakibali chakuingizaaukutoavipodozinjeyanchi.
Katika kipindi cha miaka 10, jumla ya vibali 914vyakuingizavipodozinchininavibali 155vyakutoavipodozinjeyanchivilitolewa.
Udhibiti wa uingizaji wa vipodozi nchini umekuwaukiimarika mwaka hadi mwaka, hasa baada yautaratibu wa usajili kuanzishwa. Mfumo huuumeisaidia Mamlaka kuzuia uingizaji wa vipodozivyenye viambato sumu nchini na hivyo kuwalindawananchidhidiyamadharayake.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
43
5.9 Uteketezaji wa VipodoziVifunguNa.6(c),34,35,na99vyaSheriaya Chakula, Dawa na Vipodozi, Sura 219vimeipamamlakaTFDAkuzuianakuharibubidhaa zinazodhibitiwa ikiwa ni pamoja navipodozivyenyeviambatosumu.Mfumowauteketezajiwavipodozivisivyofaaumewekwaambapounajumuishahatuazifuatazo;
Kupokea maombi ya kuteketezavipodozi;
Kukagua idadi na na aina ya vipodozivilivyoombewakuteketezwa;
Kuthaminisha mzigo utakaoteketezwakunakofanywanamuombaji;
Kuteketeza vipodozi vyenye viambatosumukwagharamayamuombaji;
Kutoakibalichakuteketeza(DisposalCertificate).
UteketezajihufanywakwenyemadampoyaHalmashaurimbalimbalinchinikwakujumuishanakuwahusishawakaguziwaTFDAnawawakilishikutokaNEMC,JeshilaPolisinaHalmashauri.
5.10 Uandaaji wa Miongozo Ili kurahisishautendaji kaziwaMamlaka ikiwanipamojanakuwekawazi taratibuzake,Kanuni zaKusajiliVipodoziziliandaliwamwaka2010chiniyaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219.Aidha,Miongozombalimbali ya udhibitiwa vipodozi iliandaliwa ikiwa ni pamoja naMwongozowaUsajili waVipodozowamwaka2008;
44
SURA YA SITA 6 UDHIBITI WA VIFAA TIBA
6.1 UtanguliziVifaa tiba ni vitu vitumikavyo katika uchunguzi wamagonjwa, kutibu, kurekebisha viungo au kuzuiamagonjwa kwa binadamu au wanyama. Maana hiiimeainishwa kwenye kifungu Na. 3 cha Sheria yaChakula, Dawa na Vipodozi, Sura 219. Vifaa tibavinaweza kugawanywa katika makundi mannekulingana na madhara yanayoweza kujitokezakutokananamatumiziyakekamaifuatavyo:(a) Madhara madogo (low risk medical devices).
Mfano“gauze”,“bandage”,kitandachahospitali,vichunguzakoo(tonguedepressors)na“surgicalretractors”
(b) Madhara ya kati (low - moderate risk medicaldevices). Mfano “hypodermic needles” na“suctionequipment”
(c) Madharamakubwa(moderate-highriskmedicaldevices). Mfano “lung ventilators” na “bonefixationplates”
(d) Madhara makubwa sana (high risk medicaldevices). Mfano “prosthetic heart valves” na“implantabledefibrillators”.
Udhibiti wa bidhaa hizi unategemea kundi la kifaatiba. Mifumo iliyowekwa ya kudhibiti vifaa tibainaainishwahapachini:
6.2 Usajili wa Vifaa TibaKifungu cha 51 cha Sheria ya Chakula, Dawa naVipodozi, Sura 219 kinaipa uwezo TFDA kusajilivifaa tiba kabla ya kuruhusiwa kutumika Tanzania.Utaratibuwakusajilivifaatibaunahusisha:(a) Kupokeamaombiyausajiliwakifaatiba;
(b) Kufanya tathmini ya awali (screening) ilikufahamu kundi la kifaa tiba nakiwango cha ada atakacholipiamwombaji;na
“Vifaa tiba vimegawanyika katika makundi manne kulingana na madhara yake (risk)”
(c) Kufanya tathmini ya taarifa za kiufundi nakisayansiilikuhakikiusalamanaufanyajikaziwakifaatibahusika.
45
Mamlaka ya Chakula na Dawa - TFDA
Utaratibuwakusajilivifaatibaulianzarasmimwaka2008baada ya kuundwa kwa Idara yaTathmini naUdhibitiwaVifaaTiba.Mwaka2009vifaatibavilianzakutambuliwaambapovifaatiba3,500vilitambuliwa.Mwaka2010, awamuya kwanzayausajiliwavifaatibailianzaambapoainachachezavifaatibavilianzakusajiliwa.
Aina hizo ni pamoja na sindano na bomba zakuwadunga wagonjwa, nyuzi za kushonea vidonda,glovu zinazotumika katika kupima au kupasuawagonjwa, vifaa vya kutolea au kuwekeawagonjwadamu, nyembe zinazotumika katika upasuaji wawagonjwa,sementizamifupa,vifaavyaupaswajiwamifupanakadhalika.
Katiyamwaka2010na2013,jumlayavifaatiba96vimesajiliwa.
6.3 Usajili wa Maeneo Usajiliwamaeneoyabiashara ya vifaa tiba ilikuwaikifanywa na TFDA kati ya mwaka 2003 na 2011.Maeneoyaliyosajiliwaniviwanda,madukayarejarejana jumlanamaghala.Utaratibuhuuulikuwanikwamujibu wa kifungu Na. 21 cha Sheria ya Chakula,DawanaVipodozi,Sura219.
Utaratibu wa kusajili maeneo umebadilika mwaka2011baadayakutungwakwaSheriayaFamasi,Sura311. Sheria hii imelipa mamlaka Baraza la Famasikusajili maduka ya rejareja na ya jumla ambayo
hayaingizi vifaa tiba nchini. TFDA inaendelea nausajili wa viwanda, maghala na maduka ya jumlayanayoingizavifaatibanchini.
HadikufikiamweziJuni2013,TFDAimewezakusajilijumlayamaeneosita(6)yakuuziavifaatiba.Eneomoja (1) lilisajiliwa mwaka 2008/09 na maeneomatano(5)yaliyobakiyalisajiliwamwaka2009/10.
6.4 Ukaguzi wa Vifaa TibaKwamujibuwakifunguNa.5(1)(h)na106chaSheriaya Chakula, Dawa na Vipodozi, Sura 219. Maeneoyote yanayojishughulisha na biashara ya vifaa tibahukaguliwanaTFDA.MpakakufikiamweziJuni2013,jumlayamaeneo28yanayojihusishanabiasharayavifaa tiba ikijumuhisha viwanda vya utengenezaji,maghala namaduka ya jumla na rejareja, yalikuwayamekaguliwanaTFDA.
6.5 Utoaji Vibali vya Kuingiza Vifaa Tiba
TFDA imeweka pia utaratibu wa kutoa vibali vyakuingizavifaatibanchinipamojanakutoanjeyanchi.Waingizajihutakiwakuombakibalikablayakusafirishamizigoyao.HiipianikwamujibuwakifunguNa.73chaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219.
Katika kipindi chamiaka 10, jumla ya vibali 4,967vyakuingizavifaatibanchininavibali34vyakutoavifaa tibanjeyanchivilitolewakama ilivyoainishwakwenyeJedwaliNa24hapachini:-
Jedwali Na. 24: Utoaji Vibali vya vifaa tiba (2003 – 2013)
Mwaka Maombi ya kuingiza nchini Maombi ya kutoa nchiniYaliyoidhinishwa Yaliyokataliwa Yaliyoidhinishwa Yaliyokataliwa
2008/09 980 0 3 02009/10 340 0 - -2010/11 1,333 123 15 02011/12 337 92 1 02012/13 1,977 1,754 15 0Jumla 4,967 1,969 34 0
Mifumoyaudhibitiwavifaatibailiandaliwanakuanzakutekelezwamwaka2008/09.
46
Vilevile,TFDAkwakushirikianana taasisinyingine(BodiyaMaabaraBinafsi–(PHLB),BohariyaDawa(MSD) naMaabara ya Taifa ya Afya na Kituo chaMafunzo ya Ubora (NHL-QATC) imekuwa ikishirikikwenyeMpangowaKufuatiliaUborawaVitendanishikwenye Soko. Jumla ya sampuli 40 za vitendanishiainayaHIV Test Kitszimekusanywakwenyesokonakupimwa kwenye Maabara ya NHL-QATC. Kati yahizo,22nizaAlere Determinena18zaUnigold.Majibuya uchunguzi yanaonyesha sampuli zote kufauluvipimo.
MpangohuuunafadhiliwanaShirikalaAfyaDuniani(WHO)naunatekelezwakwamiakamiwili(2012/13–2013/14).
6.6 Ufuatiliaji wa Ubora wa Vifaa Tiba na Vitendanishi kwenye Soko
Vifaatibanibidhaazinazowezakusababishamadharana hivyo ni muhimu kufuatilia ubora, ufanisi nausalamawakekatikasoko.TFDAimewekamfumowaufuatiliajiwauboranausalamawavifaa tibakatikasoko.Mfumohuuunajumuishauchukuajiwasampuli,upimajikwenyemaabara,kufanyatathminiyamajibunauchukuajihatuazakisheria.
Mfumohuu umeanzamwaka 2012 ambapo bidhaaaina ya bandeji, sindano, kondomu, glovu zaupasuaji zilichukuliwa kwenye soko na kupimwakwenyeMaabara ya TFDA.Matokeo ya uchunguziyameonesha vifaa tibahivyo kukidhi viwango.Hatahivyo, toleo moja la kondomu aina ya ContempoFamily (Durex Ribbed) halikukidhi vipimo vyakimaabara na kifaa tiba hiki kimeondolewa kwenyesoko.
6.7 Uandaaji wa Miongozo Miongozombalimbaliyaudhibitiwavifaatibaimeandaliwakatiya2003na2013.MiongozohiiinaainishataratibumbalimbaliambazowatejahutakiwakuzifuatawakatiwanaletamaombiyaoTFDA.Miongozohiyoimeorodheshwahapachini:
(a) MwongozowaUsajiliwaVifaaTibawamwaka2009;
(b) MwongozowaUsajiliwaMajengoyaBiasharayaVifaaTibawamwaka2011;na;
(c) MwongozowaUsambazajiBorawaVifaaTibawamwaka2011.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
47
SURA YA SABA 7 HUDUMA ZA MAABARA
7.1 UtanguliziTFDA imejengaMaabarakwaajili yauchunguziwavyakula, dawa, vipodozi na vifaa tiba. Maabara hiiilianzishwa chini ya kifungu cha 14(1) cha Sheriaya Chakula, Dawa na Vipodozi, Sura 219.Maabarahii ilianza kufanya kazi mwaka 2000 wakati wailiyokuwaBodi yaMadawa.Mwaka2009Maabarailipanuliwa zaidi ili kuiongezea uwezo kulingana nakasiyamabadilikoyakisayansinakukidhimatakwaya ithibati na utambuzi kulingana na viwango vyakimataifa.
7.2 Muundo wa MaabaraMaabara ya TFDA imeundwa na Idara nne kamaifuatavyo: MaabarayaDawanaVipodozi
MaabarayaChakula
MaabarayaMaikrobiolojia
HudumazaKiufundinaUtafiti
Muundo huu umezingatia aina ya bidhaazinazochunguzwa na viwango vya kimataifa vyakufanyauchunguzikwaufanisi.
48
7.3 Uchunguzi wa Sampuli Maabarahufanyauchunguziwasampulizabidhaazavyakula,dawa,vipodozinavifaatibailikuhakikiuborawake.UchunguzihufanyikakwakufuataviwangovyakitaifanakimataifanakwakutumiamashinezakisasakamaambavyozimeorodheshwakwenyeJedwaliNa.25hapachini.
Jedwali Na. 25: Orodha ya baadhi ya mashine za uchunguzi za kisasa
S/N Aina ya Kifaa S/N Aina ya Kifaa1. HighPerformanceLiquidChromatography(HPLC)-7
withUV/Vis,Diodearray,Fluorescence,RefractiveIndex,Detectors
10. DissolutionMachinestwo(2)
2. AtomicAbsorptionSpectrophotometer(AAS)withGraphitefurnace,FlamePhotometer,HydrideVapourGenerator
11.. DisintegrationMachine
3. HighPerformanceThinLayerChromatography(HPTLC) 12. DigitalPolarimeter4. Fouriertransformedinfrared(FTIR) 13. KjeldahlApparatus5. StabilityChambers(2) 14. DigitalMicrowaveDigester
Apparatus6. NearInfrared3600Ultraviolet/VisibleSpectrophotometer 15. FreezeDryer7. Ultraviolet/VisibleSpectrophotometer(3) 16. SterilityTestingApparatus8. Cryoscope 17. BioSafetyCabinet(4)9. IncubatorsFive(5) 18. Autoclavestwo(2)
Kwa upande wa dawa za binadamu, mifugo,mitishamba na dawa asili, uchunguzi unaofanyikahuangalia myeyuko (dissolution), uchangukaji(disintegration), identification, assay, bioassay, related substances (impurities profiles), friability, pH, meltingpointnauchunguziwakimaikrobiolojia.
Uchunguzi wa vipodozi huangalia viambatovilivyopigwa marufuku, uwepo wa madini tembo(heavy metals), hydroquinone, steroidsnavimelea.
Uchunguzi wa vyakula nyongeza, vyakulavilivyosindikwa na visivyosindikwa huangalia
uchangukaji, kiwango cha kuyeyuka, madini, pH, conductivity, refractive index, proximate analysis (protini,wanga, mafuta, fibres, jivu), vikolezo vya utamu(sweeteners),rangizachakula(foodcolors),vitamini,vikolezo(mfanocitricacid),vihifadhi(preservatives),vichafuzi mfano melamine, madini tembo (heavy metals), sumu kuvu (mycotoxins), masalia ya dawazamifugonamasaliayaviuatilifunauchunguziwakimaikrobiolojia.Uchunguziwa vifaa tiba huangaliauwepowavimelea,pyrogens na sterility.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
49
Mpakakufikiatarehe30Juni2013,jumlayasampuli5,652zabidhaazachakula,dawa,vipodozinavifaatibazilikuwazimechunguzwanakatiyakesampuli4,835sawana85.5%zilikidhivigezo.Mchanganuowaidadiyasampulizilizochunguzwa,kukidhinakutokidhiviwangokatikakipindichaJulai2003–Juni,2013umeainishwakwenyeJedwaliNa.26hapachini:
Jedwali Na. 26: Uchunguzi wa Sampuli (2003 – 2013)
Mwaka Chakula Dawa Vipodozi Vifaa tiba
Zilizochunguzwa Zilizokidhi Zisizokidhi Zilizochunguzwa Zilizokidhi Zisizokidhi Zilizochunguzwa Zilizokidhi Zisizokidhi Zilizochunguzwa Zilizokidhi Zisizokidhi
2003/04 318 279 39 429 398 31 2 2 0 0 0 0
2004/05 587 512 75 921 850 71 121 15 106 0 0 0
2005/06 494 421 73 1341 1302 39 61 48 13 0 0 0
2006/07 629 589 40 452 439 13 20 3 17 0 0 0
2007/08 127 92 35 240 227 13 78 45 33 0 0 0
2008/09 412 367 45 482 436 46 20 20 0 0 0 0
2009/10 426 377 49 700 658 42 0 0 0 0 0 0
2010/11 544 414 130 301 297 4 0 0 0 8 7 1
2011/12 665 577 88 626 590 36 2 2 0 19 19 0
2012/13 1,450 1,207 243 1,322 1,281 41 3 3 0 15 14 1
Jumla 5,652 4,835 817 6,814 6,478 336 307 138 169 42 40 2
7.4 Tafiti Mbalimbali Maabara imefanikiwa kufanya tafiti na kuchapishamatokeo katika majarida ya kisayansi ya kimataifakama vile Journal of Chromatography A, Journal of Pharmaceutical and Biomedical Analysis, Journal of Chromatographic Sciences, Journal of Food Science and Biotechnology, Journal of Food Control, Journal of Food Science of Animal Resources na Journal of Radiation Physics and Chemistry.
Maabara pia imekuwa ikishirikiana na wadaumbalimbalindaninanjeyanchikufanyatafitikatikamaeneoyanayohusiananakazizaudhibiti.HadisasaMaabara inafanya tafiti kwa kushirikiana na ChuoKikuuchaSayansizaTibachaMuhimbili(Tanzania),Chuo Kikuu cha Taifa chaGyeosang (Korea), VyuoVikuuvyaBrusselsnaGent(Belgium)naChuoKikuuchaLeeds(UK).
7.5 Mafunzo Maabara inatoamafunzoyauchunguziwachakula,dawa, vipodozi na vifaa tiba kwa taasisi mbambalizilizokondaninanjeyanchi.Katikakipindichamiakakumi mafunzo yameweza kutolewa katika maeneoyafuatayo;
Utengenezaji na uhakiki wa njia za uchunguzikatikamaabara;
Mifumoyautendajikaziborakatikamaabarazauchunguziwasampuli(GLP,ISO/IEC17025);
Utendajikaziborakatikavituovyamajaribioyadawa(GCP/GLP);
Utendajikaziborakatikamaabarazauchunguziwasampulizahospitalini(ISO15189);na
Matumiziyavifaavyamaabara.
50
SURA YA NANE 8 UTOAJI ELIMU KWA UMMA
8.1 UtanguliziKifunguNa. 5 (1)(k) cha Sheria yaChakula,Dawana Vipodozi, Sura 219 kinaielekezaMamlaka kutoataarifasahihinakwawakatikwaummazinazohusuubora, usalama na ufanisiwa bidhaa inazozidhibiti.Taarifa hizo ni pamoja na kutoa elimu kwa ummakuhusumatumizi sahihi ya vyakula, dawa, vipodozinavifaatiba,taratibuambazomtuanatakiwakufuataanapohitaji kufanyabiashara inayohusubidhaahizi,madhara yasababishwayo na matumizi ya bidhaaduni na bandia pamoja na majukumu ya walaji nawadau mbalimbali kuhusu usalama wa bidhaa. PiakutoaelimukuhusumahitajiyaSheriahusikapamojana kanuni zake ili kurahisisha utekelezaji wake bilashuruti.Mipango,miongozona kazi yautoaji elimukwaummainaainishwakwenyesurahiihapachini.
8.2 Elimu kwa Umma na Kuitangaza Mamlaka
Ilikufikialengolakuongezauelewawawadaukuhusumajukumu mbalimbali ya TFDA, elimu kwa ummahutolewakupitianjiazifuatazo:
8.2.1 Semina za Uhamasishaji na Mafunzo kwa Wadau
Semina za uhamasishaji na mafunzo yamekuwayakifanyikakwalengolakuwataarifunakuwaelimishawadaukuhusumahitajiyaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219nakazimbalimbalizaTFDA.
Katika kipindi cha miaka 10, TFDA imeweza kutoasemina na mafunzo kwa washiriki wa makundimbalimbali nchi nzima. Washiriki wa semina namafunzohayanipamojanawasindikaji,wazalishaji,wasambazaji,wafanyabiasharawa jumlanarejarejanawaingizaji nchiniwa chakula, dawa, vipodozi auvifaatiba.Piaseminanamafunzohayoyametolewakwawasimamiziwasheria,wawakilishiwamashirikaya kiserikali na yasiyo ya kiserikali, wahariri nawaandishiwahabari,wanafunziwavyuonashulezasekondari,makundiyawasiojiwezanawananchikwaujumla.
Kwa upande wa mafunzo kwa wanafunzi, vyuovilivyohusikani pamojanaChuoKikuuchaSayansiyaAfya (MUHAS),ChuoKikuuKishiriki chaRuaha(RUCO),ChuochaUtaliichaTaifa(NCT),ChuochaUsafirishaji(NIT),ChuochaUandishiwaHabari(TSJ)naChuochaDayStarkilichopoDaresSalaam.ShulezilizohusikaniShulezaSekondarizaKibaha(Pwani),Makamba(DaresSalaam),Kifungilo(Iringa),Bunju(DaresSalaam),naLoyola(DaresSalaam).Aidha,katiya2010–2012,mafunzoyalitolewakwavipinditofauti kwa wajumbe wa Kikundi cha Sanaa naUtamadunichaViziwiTanzania(KISUVITA).
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
51
8.2.2 Vipindi vya Redio na TelevisheniRedionaTelevisheninikatiyanjiamuhimuambazoMamlakaimekuwaikizitumiakutoataarifanaelimukwaumma.
Katikakipindichamiaka10,TFDAimewezakuandaanakurushaidadiyavipindivyaRedio157,programu41 za TV na matangazo mafupi (Redio spots) 105yenye ujumbe wa kuelimisha umma kwa kutumiavyombo hivi. Vipindi namatangazo yalihusu dhimambalimbaliikiwanipamojanazifuatazo:-
Na. Mada
1. MahitajiyaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219
2. Muundo,kazinamajukumuyaTFDA
3. Taratibuzakupatavibalinalesenizabiasharayachakula,dawa,vipodozinavifaatiba
4. WajibuwaMlajikatikakuhakikishanakusimamiausalamawabidhaahususanchakulachabinadamu
5. Udhibitiwavipodozinavifaatibanchini
6. Taratibuzauingizajinautoajibidhaanjeyanchi
7. Udhibitiwamatangazoyachakula,dawa,vipodozinavifaatiba
8. Matumizisahihiyadawahususanviuavijasumu,dawazamalarianaARVs
9. Usajiliwachakula,dawa,vipodozinavifaatiba
10. Udhibitiwamadinijotokwenyechumvi
11. Udhibitiwavipodozinamadharayamatumiziyavipodozivyenyeviambatosumu
12. Madharayatokanayonamatumiziyadawa
13. Mamboyakuchunguzakwenyeleboyachakula
14. Udhibitiwavyakulavyawatoto
15. HudumazaMaabarayaTFDA
16. ChangamotozaudhibitiwabidhaamipakaninambinuzitumiwazonawakaguziwaTFDAkatikakukabiliananazo
Vituo vya Redio ambavyo Mamlaka imevitumiakurusha vipindi vyake ni pamoja na BBC, RedioTanzania (kwa sasaTBC - Taifa), RedioOne, RedioFree Africa (RFA), Redio Clouds, Redio Uhuru,Redio Upendo, Redio Tumaini, Redio Maria, RedioPambazuko, Redio Kwizera - Ngara, na Best FM–Iringa. Pia, TFDA imetoa elimu kwa umma kupitiavituombalimbalivyaTelevishenihapanchiniikiwanipamojana ITV,DTV-Channel 10,Star-TV,TBC-1naMlimaniTV.
8.2.3 Makala na Taarifa kwa Umma kupitia Magazeti
Makala namatangazombalimbali kuhusuusalamana ubora wa bidhaa zinazodhibitiwa na mchangowa TFDA katika kulinda afya ya jamii yamekuwayakichapishwa na kurushwa kupitia vyombombalimbali hususan kwenyemagazeti namajarida.Makala na matangazo haya yamesaidia kuelimishaummajuuyausalama,uboranaufanisiwabidhaa.
Katikakipindichamiaka10,TFDAilichapishamakalazenyeujumbembalimbalikuhusuusalamanauborawa vyakula, dawa, vipodozi na vifaa tiba. Jumla yataarifa 103 zilitolewa kwa umma kuhusu uborana usalama wa bidhaa zilitolewa kupitia vyombombalimbalivyahabari.
VyombovilivyotumikakurushamakalanamatangazokwaummanipamojanamagazetiyaThe Guardian, Daily News, The Express, The Citizen, The East African,Nipashe, Mwananchi, Mtanzania, Uhuru, Majirana Raia Mwema. Aidha, matangazo kwa ummayamekuwayakitolewakupitia kituochamabasi chaUbungo – Dar es Salaam, mitandao ya kijamii nakwenyetovutiyaTFDA.
Matangazo mafupi kuhusu Mamlaka na kazi zake(TFDA Adverts) yametolewa kwenye majarida namachapisho ya Health Focus (kati ya 2006-2008),Tanzania Medical Directory (2009-2013), SADC Directory(2008/09),Yellow Pages(2003–2013)naEast African Manufaturer’s Directory (2009).
52
8.2.4 Kitabu cha Taarifa za Dawa Kwamujibuwa kifunguNa. 5 (1)(j) cha Sheria yaChakula,DawanaVipodozi,Sura219TFDAinatakiwakuandaa kitabu cha taarifa za dawa (TanzaniaNationalFormulary-TNF).Toleo lakwanza lakitabuhiki, liliandaliwa mnamo mwaka 2005 na nakala1,500zilichapishwanakugawiwakwawatoahudumayaafya.
BaadayakuanzakutekelezwakwaSheriayaFamasiSura311mnamomwaka2011,kaziyakuandaaTNFilianzakusimamiwanaBarazalaFamasi.
8.2.5 Ushiriki Katika MaonyeshoUshiriki katika maonesho ni njia mojawapo yakuwafikiawananchimojakwamojaambapopamojana kuwaelimisha kuhusu shughuli za Mamlaka,wananchiwamekuwawakipatanafasi ya kuuliza maswali nakupata ufafanuzi wa ana kwaana kuhusu ubora na usalamawabidhaazinazodhibitiwa.
Katika kipindi cha miaka 10iliyopita, Mamlaka imekuwaikishiriki katika maoneshombalimbali ikiwa ni pamojana;- Maonyesho ya Wiki ya
UtumishiwaUmma
Maonyesho ya KibiasharayaKimataifamaarufukamaMaoneshoyaSabasaba
Maonyesho ya Sikukuu ya Wakulima (Nanenane)
MaonyeshoyaWikiyaUsalamawaChakula.
MaonyeshoyaWikiyaMaziwa
MaonyeshoyaMiaka50yaUhuru
Maonyesho ya Wajasiriamali WadogoyanayoratibiwanaSIDO
Maonyesho yanayoratibiwa na taasisi nyinginekamavileTaasisiyaTaifayaUtafitiwaMagonjwayaBinadamu(NIMR),JumuiyayaSerikalizaMitaa(ALAT), ChamachaWafamasia(PST),ChamachaWasindikajiWadogo(TAFOPA),ChamachaWatoa Huduma Binafsi za Afya (APHFTA) nakatikamikutanoyamwakayaWagangaWakuuwaMikoainayofanyikakilamwaka.
Katikamaoneshohayavipeperushinavifaambalimbalivya matangazo vilikuwa vikigawiwa kwa wananchiwaliotembeleabandalaTFDA.Piamiongozo,vitabuvyasherianakanunizimekuwazikiuzwakwawashirikiwenyekuhitaji.
Aidha, watumishi wa TFDA hutumia fursa yakushirikikwenyemaoneshokwaajiliyakuwatambuawafanyabiashara hususan wajasiriamali wavyakula, dawa, vipodozi na vifaa tiba wanaoshiriki,kuwaorodhesha na baadaye kuwafuatilia baada yamaonesho.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
53
8.2.6 Machapisho MbalimbaliMachapishombalimbaliyanayolengakutoaelimukwaummajuuyaudhibitinamatumizisahihiyachakula,dawa,vipodozinavifaatibayamekuwayakitolewanakusambazwakwaumma.Machapishohayonipamojanavielelezovyauelimishajikamavilevipeperushi,mabango,majaridananataarifazautendajipamojanavifaavyamatangazoikijumuhishakalenda,shajala(diary),fulana,mifukoyamatairi(wheelcovers).
Katikakipindichamiaka10,jumlayamachapisho196,924yalitolewakwaajiliyauelimishajiwaummakwakuzingatiamchanganuokwenyeJedwaliNa.27
Jedwali Na. 27: Machapisho ya TFDA kati ya 2003-2013
Na Aina ya Chapisho Mwaka2003-2008 2008-2009 2009-2010 2010-2011 2011-2012 2012- 2013 Jumla
1. Vipeperushi 72,300 16,500 18,500 18,000 18,000 20,000 163,300
2. Mabango 26 15 4 9 6 19 79
3. Shajala(diaries) 800 200 200 300 300 450 2250
4. Kalenda 5000 1500 1500 1500 2500 2500 14,500
5. Mifukoyamatairi(wheelcovers)
200 200 0 50 150 200 800
6. Mifuko(TFDAbags) 200 150 0 0 150 300 800
7. Fulana(T-shirts) 700 1000 300 320 300 725 3,345
8. Kofia 400 1000 0 100 0 350 1,850
9. Taarifazautendajizamwaka
5000 1000 1000 1000 1000 1000* 10,000
Jumla 84,626 21,565 21,504 21,279 22,406 24,544 196,924
Machapisho haya yamekuwa yakisambazwa kwawadauwaTFDAkwanyakatitofautiikiwanipamojanawakatiwamaoneshoyakitaifanakimataifanchinina kwawagenimbalimbali wanaotembelea ofisi zaMakaoMakuu na Ofisi za Kanda zaMamlaka. Piamachapisho yamekuwa yakisambazwa kupitiaOfisiza Halmashauri, Maktaba mbalimbali na tovuti yaTFDA.
8.2.7 Tovuti ya MamlakaTovuti ya Mamlaka (www.tfda.or.tz) imekuwaikitumika kama njia mojawapo ya kuelimishaumma kuhusu kazi ambazo Mamlaka inazifanyaikiwemokusambazamiongozo, kanuni, taratibu namachapishombalimbaliyanayotumiwanamamlakakutekelezamajukumuyakekatikautoajihuduma.
Pia, habari mbalimbali kuhusu usalama na uborawa bidhaa, taarifa na matukio yanayoendana namajukumuyaTFDA,orodhayavyakula,dawavipodozinavifaatibavilivyosajiliwavinawekwakwenyetovutikwaajiliyarejea.
Takwimu zinaonyesha watumiaji zaidi ya 305,982wametembeleatovutiyaTFDAtangu ilipozinduliwarasmimwaka2004mpakakufikiaJuni,2013.Aidha,Mamlaka kwa kutumia tovuti yake na mtandaowa ndani (intranet) imeweza kupokea maombiya huduma, hoja, mapendekezo na malalamikombalimbali ya wadau, kuyafanyia kazi na kutoamrejesho kwa wakati kwa kutumia mtandao kwakuzingatia viwango vya huduma vilivyoainishwakwenyeMkatabawaHudumakwaWateja.
54
8.3 Mahusiano na Huduma kwa WatejaMamlaka imeanzisha na kuendeleza mahusianomazurinawadauwakeilikurahisishakazizaudhibitiwa bidhaa.Ofisimaalum yamahusiano pamoja nadawati la hudumakwawateja vilianzishwamwaka2006 ili kuratibu shughuli hizo pamoja na kuwekadarajakatiyaTFDAnawadauwake.
8.3.1 Mahusiano na WadauWadau ambao Mamlaka imekuwa ikishirikiananao ni pamoja na taasisi za umma, jeshi la polisi,Halmashauri,Wizara, Idara naWakala nyingine zaSerikali.Wadauwenginenipamojanamashirikayakimaitaifa,mashirikayasiyokuwayakiserikali(NGOs),wafanyabiasharawabidhaazinazodhibitiwa, vyamavyawafanyabiashara, vyombo vya habari,walaji nawananchikwaujumla.
MahusianokatiyaTFDAnawadauwakeyamekuwayakiboreshwamwakahadimwakaambapoMamlakaimekuwa na utaratibu wa kukutana nao katikamikutano, semina za uhamasishaji na mafunzombalimbaliinayoyaratibu.
8.3.2 Uboreshaji wa Huduma kwa Wateja
Huduma kwa wateja wa TFDA zimeboreshwa kwakuanzishautaratibuwakuwahudumiakupitiadawatimaalum (one stop customer care center). Kupitiadawatihili,hojambalimbalizawadauikiwanipamojanamaombiyahudumazitolewazo,taarifa,maswali,malalamiko, mapendekezo na maoni zimekuwazikipokelewa,kurekodiwanakushughulikiwa.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
55
HadikufikiamweziJuni,2013jumlayahoja127kutokakwawatejazilikuwazimepokelewanakatiyakehoja114zimeshughulikiwanakukamilikanahoja13badozinashughulikiwa.
8.3.3 Uimarishaji wa Mifumo ya Usimamizi wa Taarifa
Teknolojia ya Habari na Mawasiliano tehamaimekuwaninyenzomuhimukatikakutoahudumakwanjiayamtandao,matumiziyabenkiyakumbukumbu(database) na mitambo inayojiendesha yenyewe(automation). Benki za kumbukumbu za usajiliwa dawa, usajili wa vyakula, huduma za maabara,ukaguzi, uingizaji nchini na usafirishaji nje ya nchibidhaapamojanauhasibuzilianzishwanazinatumika.Aidha,mpangowakuimarishamfumowausimamiziwa taarifa (Management Information SystemMIS)ulizinduliwanakuanzakutekelezwamwaka2008ilikuboreshautoajihudumakwanjiayatehama.
Aidha, sera ya ndani ya Teknolojia ya Habari naMawasiliano inayotoa mwongozo wa matumizi yamfumohuuuliandaliwanainatumika.WatumishiwaMamlakapiawamepatamafunzombalimbalikuhusuICTambayoyamewapaujuziwakutumiateknolojiahiikwaufanisi.
8.3.4 Mkataba wa Huduma kwa WatejaKatikakuboreshautoajiwahudumanakuifanyaTFDAkutekelezamajukumukwauwazinakuonyeshadhanaya uwajibikaji, Mkataba wa Huduma kwa Wateja(Clients’ServicesCharter–CSC)ulianzishwamwaka2006.Mkatabaulianzakutekelezwailikuanzishanakuenzi utamaduniwa utoaji huduma bora ndani yaTFDA.
MkatabahuupiaunaainishauwajibikajiwaMamlakakwawatejawakenakubainishaviwangovyahudumaambavyo wateja wanategemea kutoka TFDA naviwangoambavyoTFDAinategemeakutokakwawateja.
HiinikwamujibuwaserayandaniyaTFDAyautoajiwahudumabora,ambapoimejizatitikukidhimahitajinamatarajio yawatejawake bila kuathiri usalama,uboranaufanisiwabidhaa.
MkatabawaHudumakwaWatejaulirejewamwaka2012baadayakuboreshwakwaviwangovyautoajiwahuduma.Marejeohayayalifanyikakwaushirikianonawadauiliviwangovyahudumavitakavyoainishwaviwe sahihi kutokana na kukua kwa teknolojia nawakati.
8.4 Huduma za Maktaba
Ili kuhakikisha kuwawataalamuwa ndani ya TFDAwanapata taarifa za kisayansi zenye kwenda nawakati,MaktabayaTFDAilianzishwamwaka2000.Maktabahiiiliboreshwakwakununuavitabuvyarejeana kuajiriwa kwa Mkutubi mwaka 2003. Maktabainaratibuupatikanajiwavitabuvyarejea,majaridanamachapishombalimbaliyenyekusaidiakutoataarifazinazoendanawakatikwawatejanawananchikwaujumla.
Aidha,kupitiahudumazamaktabahii,TFDAimejisajilina inalipia huduma za kupata taarifa za kitafiti zakisayansikupitiabenkizakumbukumbuzakimataifakamaHINARI,AGORAnaOARE.
Taarifahizi zinasaidiawataalamuwaTFDAkufanyakazi kwa ufanisi pamoja na kutoa mapendekezoya kisayansi kuhusu usalama, ubora na ufanisi wachakula,dawa,vipodozinavifaatibahivyokurahisishautoajiwamaamuzijuuyaudhibiti.
56
8.5 Tafiti MbalimbaliIlikuwanamikakatimahususiyauelimishajijamiinauboreshajiwa huduma kwawatejawake,Mamlakaimefanya tafiti mbalimbali kwa kushirikiana nawataalamuwanje.
Tafiti hizi ni pamoja na zile zilizohusu kiwango chawateja kuridhika na huduma za TFDA (customer satisfaction survey) zilizofanywa na M/s Excel Media (mwaka2004),TFDA(mwaka2006)naM/s Prime Consult (T) Ltd (mwaka 2008). Matokeo ya tafitihizi ambayo yameelezewa bayana kwenye Sura ya10 (sehemu 10.2.2), yalipelekea TFDA kuboreshambinu za utoaji huduma kwa wadau wa ndani nanje ya TFDA na kuwa namikakati yamakusudi yakutekelezamajukumuyakekwakuzingatiamatarajioyawateja bila kuathiri usimamiziwa Sera ya ndaniyaUtoajiHudumabora.Vilevile,tafitizimeiwezeshaTFDAkuwekamipangonakuongezabajetiyaelimukwa umma kwa lengo la kuongezawigowawadauwanaoifahamu kwa kutumia mbinu mchanganyiko(combined marketing strategies).
Tafiti nyingine iliyofanyika ni kuhusu uelewa wawananchi juu ya umuhimu wa madini joto kwenyechumvi.Tafitihiiilifanyikamwaka2008nailiratibiwana TFDA kwa kushirikiana na Shirika la Umoja waMataifalinalohusikanaafyayawatoto(UNICEF)naTaasisiyaChakulanaLishenchini(TFNC).MatokeoyatafitihiiyalisaidiakuandaavielelezovyauelimishajinavifaavyamatangazokuhususomohusikaambavyovilisambazwakwawadaunawananchihasamaeneoyaliyoathirikanaukosefuwamadinijotokatikamikoayaKigoma,Katavi,Iringa,Kilimanjaro(Same),SingidanaLindi.
Tafiti hizi kwa ujumla zimesaidia kuandaaMpangoKabambe wa Masoko wa 2008-2013 ambaoulifanyiwamarejeomwaka2013kwaajiliyamatumiziya2013/14–2017/18.
TFDAikokatikamchakatowakufanyatafitinyinginekuhusukuridhikakwawatejakwahudumainazopata,inayotarajiwakufanyikakablayamwishowamwaka2013.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
57
SURA YA TISA 9 HUDUMA ZA OFISI ZA KANDA NA HALMASHAURI
nikuwezeshaupatikanajiwahudumazitolewazonaMamlaka kuwa karibu na wananchi. Kutokana naumuhimuhuomwaka2006ofisizaTFDAKandayaKaskazini,KandayaZiwanaKandayaNyandazaJuuKusinizilizinduliwa.
Mpaka kufikia Juni 2013, Mamlaka imekwishakuanzisha ofisi tano za kanda kama ilivyoainishwakwenyeJedwaliNa.28hapachini:-
9.1 UtanguliziIli kuweza kusogeza huduma karibu na wananchiMamlaka imefungua ofisi tano (5) za kanda katikamikoambalimbali.VilevileMamlakainashirikiananaHalmashaurizawilayazotenchinikatikakutekelezamajukumu yake ambapo imewajengea uwezo wakuwezakusimamianakutekelezaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219.
9.2 Kuanzishwa kwa Ofisi za KandaLengokuulakuanzishwakwaOfisizaKandailikuwa
Jedwali Na. 28 Ofisi za Kanda
S/N Kanda Mikoa Inayohudumia1. KandayaKaskazini(Arusha) Arusha,Manyara,KilimanjaronaTanga2. KandayaZiwa(Mwanza) Mwanza,Mara,Kagera,Shinyanga,GeitanaSimiyu3. NyandazaJuuKusini(Mbeya) Mbeya,Iringa,Rukwa,Njombe,RuvumanaKatavi4. Mashariki(DaresSalaam) DaresSalaam,PwaninaMorogoro5. Kati(Dodoma) DodomanaSingida.
Mikoa4ambayohainaofisizakandainahudumiwakiutawalanaofisizakandayaMasharikikwamikoayaMtwaranaLindinaKandayakatikwamikoayaTaboranaKigoma.UtaratibuhuuutaendeleahadiofisiyakandayaKusinikwaajiliyakuhudumiamikoayaMtwaranaLindi,nakandayaMagharibikwamikoayaTaboranaKigomaitakapoanzishwa.
9.3 Kukasimisha Majukumu kwa HalmashauriMamlakailikasimishabaadhiyamajukumuyakekwaHalmashaurizaWilaya,ManispaanaMijikwamujibuwaWarakawaKukasimuMadarakaGN.162wamwaka2006kutokaofisiyaWaziriMkuu,TawalazaMikoanaSerikalizaMitaa(TAMISEMI).LengolautaratibuhuuilikuwanikuimarishausimamiziwasherianakupunguzagharamazauendeshajikwaMamlaka.Pamojanaukasimishwajihuo,badoMkurugenziMkuuanamamlakayakukubaliaukutenguamaamuzikuhusuusajiliwabidhaanamaeneoyabiasharapamojanautoajiwavibalimbalimbali.
Katikakipindichamiaka10iliyopita,MamlakaimeendeleakuwajengeauwezowasimamiziwasheriakatikaHalmashaurikwakuwapamafunzonavitendeakazikamavilemiongozo,kanunina taratibumbalimbalizautoajihudumazilizokasimiwa.
58
9.4 Uratibu wa Ofisi za Kanda na Halmashauri
Ili kuwezeshausimamizinaufuatiliajiwakazi zilizokasimishwa kwa Halmashauri,Mamlaka ilianzisha kitengomaalumkwaajili ya uratibu. Kitengo hicho ambachokipo chini ya ofisi ya Mkurugenzi Mkuupamojanamambomengineinaratibukazimbalimbali za TFDA zilizokasimiwa kwahalmashauri, kuhakikisha upatikanaji wavitendea kazi na kuratibu uendeshaji waofisizakanda.
9.5 Huduma Zitolewazo
9.5.1 Ofisi za KandaOfisizakandazaTFDAzinajukumulakutoabaadhiyahudumazitolewazonaofisiyaTFDAMakaoMakuu.KazizaofisizaKandanipamojana:-
i. Ukaguzi wa bidhaa,maeneo ya biashara, vituovya forodha na uendeshaji wa biashara zotezinazodhibitiwa;
ii. Kutoa vibalivyakuingizanakusafirishabidhaanjeyanchi;
iii. Kuhuisha vibali vya maeneo ya biashara yabidhaazinazodhibitiwa;
iv. KusimamiamakusanyonamatumiziyafedhazaMamlakakulingananataratibu;
v. Kufanyaufuatiliajiwabidhaakwenyesoko;
vi. Udhibitiwamatangazoyabidhaa;
vii. KusimamianakuratibuutekelezajiwakazizilizokasimiwakwaHalmashauri;
viii. Kufuatilia na kusimamia maabara ndogozinazohamishikakwaajiliyaupimajiwadawanamadinijotokwenyechumvi;
ix. KutoaelimukwaummakuhusukazinamajukumuyaMamlaka;na
x. Kuchukua hatua zozote muhimu kwa ajili yakuhakikisha usalama na ubora chakula, dawa,vipodozinavifaatibakwa lengo lakulindaafyayajamii.
9.5.2 Ofisi za HalmashauriMajukumu ya Ofisi za Halmashauri zinazosimamiakazizaTFDAzilizokasimiwakwaonipamojana:-
i. Ukaguziwabidhaa,maeneoyabiasharanavituovyaforodha;
ii. Kutoanakuhuishavibalivyamaeneoyabiasharayakuuziavyakulaisipokuwaviwandanahotelizakitalii;
iii. Kukusanya ada na tozo kwa maeneoyaliyokasimiwa na kuzituma Makao Makuu yaMamlaka;
iv. Kuchukuasampulizabidhaawakatiwaukaguzina kuzitumaMaabara yaMamlaka kwa ajili yauchunguzi;
v. Uendeshajiwa vikao vya kamati za chakula nadawa;na
vi. Kuchukua hatua zozote muhimu kwa ajili yakuhakikishausalamanauborawachakula,dawa,vipodozinavifaatibakwa lengo lakulindaafyayajamii.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
59
SURA YA KUMI 10 MIFUMO YA UHAKIKI UBORA WA HUDUMA
Uandaaji wa taratibu sanifu za utendaji kazi(StandardOperatingProcedures-SOPs)katikaidarazotezaMamlaka;
Utekelezaji wa mifumo ikiwa ni pamoja nakufanya mafunzo kwa wakaguzi wa ndani wamifumo(InternalQualityAuditors)ambapohadisasawakaguzi16wamepatamafunzo;na
Kuwekataratibuzaukaguziwandaniwamifumoili kubaini mapungufu kwa ajili ya kuendeleakuboreshazaidi.
Ili kuendelea kuboresha huduma za Mamlaka nakuhakikishakuwamafanikioyanaendeleakupatikanakatika utekelezajiwaQMS,mapitio yamuundowaMamlakayalifanyikamwaka2008ambapoIdarayaUhakikiMifumoiliundwailikusimamiakazizaQMS.
Katikakipindichamiaka10, jumlayamichakato30naSOPs105ziliandaliwanakutekelezwa.
10.2.2 Tathmini ya Huduma kwa WatejaKupitiamifumoiliyowekwa,kaziyakufanyatathminiya huduma zinazotolewa kwa wateja ilifanyika piamwaka 2008. Matokeo ya tathmini yalionyeshakuwawateja nje ya TFDAwaliridhika kwa kiwangocha asilimia 67% ukilinganishwa na kiwango cha
10.1 Utangulizi Mifumo ya kuhakiki ubora ni mifumo ya kiutawalakatika taasisi inayolenga kutoa huduma bora kwawateja. TFDA imeweka na inatekeleza mifumo yauhakikiuboranautendajikazi(QualityManagementSystems - QMS) kwa Viwango vya Kimataifa vyaISO 9001:2008 kwa taasisi nzima na ISO/IEC17025:2005 kwa umahiri wa maabara. Vile vile,mifumo ya uchunguzi wa kimaabara inazingatiavigezovyaShirikalaAfyaDuniani(WHO).
Shirika la Viwango la Kimataifa (InternationalOrganizationforStandardization)lilianzishautaratibuwakufuatamifumoyauhakikiuborakwamashirikanataasisizoteilikuwezakukidhimatakwayawatejabilakuvunjasheriazaudhibiti.Utaratibuhuuniwahiarinataasisiyoyoteyenyeniayakutekelezamifumohiiinaruhusiwakufanyahivyo.
10.2 Utekelezaji wa ISO 9001:2008ChimbukolautekelezajiwaMifumoyaUhakikiUbora(QMS) ni tathmini ya utendaji kazi wa TFDA (SelfAssessementoftheperformanceofTFDAyear2003-2005)iliyofanyikamwaka2005chiniyauratibuwaaliyekuwaAfisaUhakikiMifumoBw.HiitiB.Sillo.
Utekelezaji ulifanywa hatua kwa hatua kamaifuatavyo;
Kutoamafunzo kwa watumishi wote wa ndanijuuyamifumonajinsiyakuitekeleza.
Kuandaamwelekeo (RoadMap)wautekelezajiwaQMS
Kuandaa sera ya ndani na malengo ya utoajihudumabora;
Kuandaakitabuchamwongozowauhakikiuborawahudumayaani“QualityManual”;
Kuandaa michakato (processes) ya utendajikazi;
60
42% kwa tathmini ya mwaka 2004 wakati watejawandaniwaliridhikakwakiwangochaasilimia63%ukilinganishwanakiwangocha72%kwatathminiyamwaka2004.
UpungufuulioonekanakatikatathminihiyouliendeleakufanyiwakazikwakutumiaQMSikiwanipamojanakuingizakatikaMpangoMkakatiwamwaka2008/09-2012/13mipangoyakuondoaupungufuhuo.
10.2.3 Kutunikiwa Cheti cha ISO 9001:2008
BaadayakutekelezaQMSkwaufanisi,TFDAiliamuakuanzamchakatowakupataithibati(Accreditation)chiniyakiwangocha ISO9001:2008mwaka2007.Katika jitihada hizo, kampuni ya ACM Limited yaUingerezailialikwakujakufanyaukaguziwamifumoyaTFDA.Baadayaukaguzi,TFDAilionekanakukidhimatakwa yaQMSna hivyomnamo tarehe 24 Julai2009kutunukiwa ithibati chiniyakiwangocha ISO9001:2008.
Kwa kuwa cheti hicho ni cha miaka mitatu, TFDAilifanyiwaukaguzitenamweziMei2012nachetichaISO9001:2008kilihuishwaambaposasakitaendeleakushikiliwahadiMei,2015.
10.3 Mfumo wa Uhakiki Ubora wa Huduma za Maabara (ISO/IEC 17025:2005)
Kiwango cha ISO/IEC 17025:2005 kinachowekamahitajiyaumahiriwamaabarakilianzakutekelezwa
mwaka2005.Hiinibaadaya tathminizilizofanywamwaka2004na2005ambapopamojanamambomengine zililenga kujua hali ya utendaji kazi wamaabarayaTFDAilikubainihatuazakuchukuakwaajiliyakuboreshahuduma.
Kutokananamatokeoyatathminihizombili,Mamlakailichukua hatua za makusudi za kuhakikisha kuwamaabarainatoahudumaborakwawatejawake.MbinumojawapoiliyochukuliwanaMamlakanikusimamiana kutekeleza mfumo wa ISO/IEC 17025:2005. Ilikuhakikisha kiwango hiki kinatekelezwa shughulimbalimbalizilifanyikaikiwanipamojana: Kuandaa “roadmap” ya utekelezajiwa kiwango
chaISO/IEC17025:2005;
Kufundisha wafanyakazi wote wa maabara juuyaumuhimuwakutekelezakiwangochaISO/IEC17025:2005;
Kuandaa taratibu sanifu za utendaji wa kazi(SOPs)katikaidarazotezamaabara;
Kuandaaserayauborawahudumazamaabara;
Kuandaakitabuchamwongozowautekelezajiwamfumowauhakikiuborawahudumazamaabarayaani“Laboratory Quality Manual”.
Katika kipindi cha miaka 10, Maabara chini yautekelezaji wa kiwango cha ISO/IEC 17025:2005imeweza kufanya shughuli tajwa hapo juu ikiwa nipamojanakuandaajumlayaSOPs22.
10.3.1 Kupata IthibatiMwaka 2011 wakaguzi wa nje kutoka “Southern African Development Community Accreditation Services (SADCAS)” walifanya ukaguzi ili kubaini kamaMaabarayaTFDAinatekelezakiwangochaISO/IEC17025:2005 kwa lengo la kupata ithibati. Baada yaukaguzi huo na kufuatia marekebisho ya upungufuuliyobainishwa,MaabarayaTFDAilipataithibatikwakiwangochaISO/IEC17025:2005mnamotarehe18Septemba,2012.
10.3.2 Maabara Kutambuliwa na WHO Shirika laAfyaDuniani (WHO) limeweka utaratibupia wa kutambua maabara duniani zenye mifumo
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
61
inayotambulika ya kufanya uchunguziwa dawa.Maabara ya TFDA imefanyiwaukaguzinaWHOkatikavipinditofautikatiyamwaka2004na2011.Katikakaguzihizoupungufumbalimbali ulikuwaukionekanaambapo TFDA ilichukua jitihada zakuurekebisha.
Baadhi ya upungufu huo ni pamoja naufinyu wa jengo la maabara, uhaba wavifaa vya uchunguzi, kutokuwepo kwakemikalizakupimia(referencestandards),matengenezonamarekebishoyamashinekutofanyika kama inavyopaswa nakutokuwepo kwa SOPs kwa baadhi yakazi za uchunguzi. TFDA ilichukuamiakamitano(5)kurekebishaupungufuhuo.
Baada ya kazi ya kurekebisha upungufukukamilika, hatimaye tarehe 18 January2011 Maabara ya TFDA ilitambuliwa nashirikalaAfyaDuniani(WHO).Kwamsingihuu, matokeo ya uchunguzi wa dawakatika Maabara ya TFDA yanatambulikanakukubalikakimataifa.
62
SURA YA KUMI NA MOJA 11 SHERIA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI
11.1 UtanguliziMafanikio ya TFDA kwa kipindi cha miaka 10yasingewezekanakamakusingekuweponawatumishiwenyedhamiranakujitumakatikakazizao,usimamizimzuri wa sheria na rasilimali ikiwa ni pamoja nafedha na vifaa. Kwa kutambua umuhimuwa nafasiyamfanyakazikatikakufikiamalengoyake,Mamlakailiweka mkazo zaidi katika kuhakikisha inaajiriwafanyakazi wenye sifa na uwezo na kuwawekeamazingira mazuri ya kufanyia kazi na kuwapatiavitendea kazi muhimu. Usimamizi wa rasilimali zaMamlaka katika kipindi cha miaka 10 umeelezewakwakinakatikasurahii.
11.2 Usimamizi wa SheriaWakatiMamlakainaanzishwahapakuwanakitengocha huduma za sheria. Ukosefu wa kitengo hikiulisababishausumbufukwaMamlakakuwezakutimizamajukumu yake kikamilifu. Maeneo yaliyohitajiutalaamwasheriakatikakutafsirinakuandaakanuniausheriambalimbali,miongozonaushauriwasheriapamoja na kesimbalimbali hayakupata huduma yaharaka.
Mnamomwaka2005,KitengochaSheriakilianzishwana Mwanasheria Mshauri aliongoza kitengo hicho.Kanuninamaamuziyakiudhibitikwataasisi,yakaanzakusimamiwanakutekelezwa.
Ili kuhakikisha kuwa Sheria ya Chakula, Dawa naVipodozi, Sura 219 inatekelezwa ipasavyo, kanunimbalimbali zilitungwa kwa lengo la kudhibiti uborana usalama wa vyakula, dawa, vipodozi na vifaatiba. Kanuni hizi zinaelekeza kwa undani namna yakudhibiti uzalishaji, uuzaji, usambazaji na uingizajinchiniwabidhaazinazodhibitiwanaMamlaka.
Aidha, tangu taasisi ianze kufanya kazi kesi 231zimefunguliwa na kusikilizwa katika mahakamambalimbali zilizomo nchini, zikiwa katika makundimawiliambayonikesitano[5]zamadainakesi226zajinai.KesizilizofunguliwazilikwishanawatuhumiwakupewaadhabukatiyafainiyaTsh50,000naMilioni1aukifungochiniyamiakamiwili.
11.3 Rasilimali watu11.3.1 AjiraMamlaka imekuwa ikiajiri wafanyakazi wenyesifa na uwezo kulingana namajukumu ya kazi kwanyakati tofauti.Mamlaka ilianza nawafanyakazi 62mwaka 2003 waliokuwa watumishi wa iliyokuwaBodiyaMadawanaTUKUTA.Idadihiyoimeendeleakuongezekamwakahadimwakanakufikia181mweziJuni2013.Hatahivyo,idadihiinipungufuukilinganishana idadiyawatumishi266 inayotakiwakwamujibuwaMpangowaRasilimaliWatuwamiakamitano(5)wamwaka2010/11-2014/15.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
63
Jedwali Na 29: Idadi ya wafanyakazi wa TFDA kulingana na kada zao (Julai 2003 – Juni, 2013)
Sn. KadaWatumishi wa awali (2003-04)
Jumla ya watumishi mpaka kufikia tarehe Juni, 2013
1. Mfamasia 25 42
2. Mteknolojiawavyakula/Mkemia
5 48
3. AfisaAfya 4 9
4. DaktariwaMifugo/Binadamu
2 10
5. Maikrobiolojisti 1 2
6. FundiSanifuwaMaabara
1 8
7. MsaidiziwaFundiSanifuwaMaabara
2 2
8. Msaidiziwamaabara
1 1
9. FundiSanifuwaDawa
4 4
10. MteknolojiawaHabari
- 3
11. Mhasibu - 6
12. MhasibuMsaidizi - 2
13. MsaidiziwaHesabu 1 0
14. Mchumi - 1
15. AfisaUtawalanaUtumishi
- 4
16. Mwanasheria - 2
17. MkaguziwaHesabuwaNdani
- 2
18. AfisaUgavi 1 3
19. AfisaUhusiano/AfisaHabarinaMawasiliano
- 3
20. Mkutubi 1 1
21. KatibuMuhtasi 4 8
22. MtunzaKumbukumbu
1 3
23. Mpokezi 1 1
24. Dereva 3 12
25. Wahudumu 2 3
26. Walinzi 3 2
Jumla 62 182
11.3.2 MafunzoKatika kuboresha utendaji kazi na ufanisi wamfanyakazi,MamlakaimewekautaratibuwamafunzoyamudamfupinamudamrefukwawatumishikwakuanzishaSerayaNdaniyaMafunzoyamwaka2005.Aidha, Mamlaka imekuwa ikiandaa na kutekelezampangowamafunzokilabaadayamiaka3kuanziamwaka 2005. Mamlaka ina utaratibu wa kufanyamafunzoyandanikwawatumishimarakwamarailikuboreshautendajikaziwakilasiku.
Katika kipindi cha miaka 10, Mamlaka imewezakuwasomesha wafanyakazi 142 katika mafunzo yamuda mfupi na mrefu ndani na nje ya nchi kamailivyoainishwakwenyeJedwaliNa30hapachini.
Jedwali Na 30: Mafunzo kwa watumishi (2003-2013).
Na. Mafunzo Ndani ya nchi
Nje ya Nchi
Jumla
1. ShahadayaUzamivu 1 3 4
2. ShahadayaUzamili/StashahadayaUzamili
17 8 25
3. Shahada/Stashahadayajuu
2 - 2
4. Stashahada 4 - 4
5. Mafunzoyamudamfupinaastashahada
58 84 142
Aidha, kuna jumla ya wafanyakazi wengine 14wanaoendeleanamafunzombalimbalikatikangaziyashahadayauzamivu,uzamili,shahadanastashahadaambapo11waponchinina3njeyanchi.
Vilevile,Mamlakaimekuwaikitoamafunzoyandani(inhouse training) kwa watumishi wote katikamaeneoyaujasiriamali,hudumakwawateja,maishabaada ya kustaafu, utunzaji nyaraka, rushwa namaadili,UKIMWI,uhakikimifumo,usajilinaukaguziwabidhaazinazodhibitiwanaTFDA.
64
Katika kipindi cha miaka 10 Mamlaka imefanikiwakufanyamanunuziyavifaambalimbalikulingananamahitaji, matengenezo ya vifaa na ujenzi wa jengola ofisi ya makao makuu na upanuzi wa jengo lamaabara.
11.4.2 UgaviUgaviwavifaakwamatumizimbalimbaliyaMamlakaumekuwa ukifanyika kwa mujibu wa miongozona taratibu zilizowekwa kwa kuzingatia Sheria yaManunuziyamwaka2004nakanunizake.Mamlakainautaratibuwakufanyauhakikiwamatumiziyavifaambalimbalivilivyogawiwanahudumazilizotolewa.
Tangu kuanzishwa kwake hadi kufikia tarehe 30Juni2012Mamlaka imefanikiwakupatahati safiyautekelezajiwaSheriayaManunuziyamwaka2004nakanunizakezamwaka2005kutokakwaMdhibitinaMkaguziMkuuwahesabuzaserikali(CAG).
11.5 Rasilimali Fedha
11.5.1 MapatoMamlakaimeendeleakuongezabajetiyakeyamapatonamatumizikilamwakatangukuanzishwakwake.Hiinikutokananakubunivyanzombadalavyamapatonakuboreshamakusanyo.
Katika jitihada za kuongeza mapato, mikakatimbalimbali iliwekwa ambayo ilibainisha vyanzotofauti vya mapato. Vyanzo vikuu vya mapato yaMamlaka ni ruzuku kutoka Serikali Kuu, fedha zamisaada kutoka kwa Washirika wa Maendeleo na,makusanyoyanayotokananavyanzovyaTFDAkamailivyoainishwakisheria.
11.3.3 Tathmini ya Utendaji Kazi (TASA)
Mamlaka inatekeleza utaratibuwa kupima utendajiwawatumishikwamujibuwamaelekezoyaSerikali.Mfumo uliotolewa na Serikali wa OPRASmwaka2005 ulifanyiwa marekebisho na Mamlaka ilikuendana na taratibu za utendaji kazi. MaboreshohayoyalipelekeaMamlakakuwanamfumowawaziuliojulikana kwa jina laTFDAAnnual Staff Appraisal(TASA)ulioanzakufanyiwamajaribiomwaka2008-2009. Aidha, mwongozo wa TASA uliandaliwamwaka2009/10ilikurahisishauwekajiwamalengoyakazinaupimajiwautekelezajiwake.
Baada yamfumo huu kutumika kwamajaribio kwamiaka mitatu (3) umeonyesha mafanikio na hivyokuwasilishwaOfisiyaRaismenejimentiyautumishiwaummakwaidhini.
11.3.4 Usalama Mahali pa KaziIli kuhakikisha usalama wa watumishi mahali pakazi ikiwani pamoja na kulinda afya zao,MamlakainatekelezakanuninataratibuzinazotolewanaOSHA.Aidha,Mamlaka imeandaamwongozowa usalamamahali pa kazi na mwongozo kwa wafanyakaziwanaofanyakazikatikamazingirahatarishikwalengolakulindaafyanausalamawawatumishi.
11.4 Rasilimali Vifaa
11.4.1 Manunuzi Mamlaka imekuwa ikifanya manunuzi ya vifaambalimbali kwa mujibu wa Sheria ya Manunuziya mwaka 2004. Manunuzi ambayo yamekuwayakifanyika ni pamoja na vitendea kazi kamavifaa vya maabara, vyombo vya usafiri, samani zaofisi, na huduma kama umeme, maji, simu, ulinzi,matengenezo ya vifaa na ukarabati wa majengo.ManunuziyotehufanyikakwakuzingatiaMpangowaManunuziunaoandaliwanakuidhinishwakilamwakanaMamlaka kupitiaBodi yaManunuzi.Aidha,malina vifaa vyaMamlaka vinavyonunuliwa vinawekwakatikarejestanakuhifadhiwastookablayaugavi.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
65
MamlakaimepewauwezochiniyakifunguNa.7chaSheriayaChakula,DawanaVipodozi,Sura219 wakutoza na kukusanya ada mbalimbali kutokana nahudumazitolewazoilikukidhimahitajiyauendeshajinaudhibitiwabidhaazinazosimamiwachiniyasheriahiyo.Mwaka2005,MamlakailiandaaKanunizaAdanaTozo(FeeandChargesRegulations,2005)kamazilivyorejewa mwaka 2011 zinazoainisha hudumambalimbaliambazowatejawaTFDAwanawajibikakuzilipiaambazonipamojana:-
Usajiliwabidhaa;
Adakwabidhaazinazoingizwanchini;
Uuzajiwavitabunamiongozo;
Uchunguziwasampulikimaabara;
Ukaguzi;
UsajiliwaMajengo;
Uhakiki wa matangazo ya biashara ya bidhaazinazodhibitiwanaMamlaka;
Adhabukwauchelewashajiwamalipokwavibaliauleseni;
Usajiliwawawakilishiwamakampuniyadawa;na
Vibalinaleseni.
Utekelezaji wa Kanuni hizi ulianza mwaka 2006ambapo baadhi ya kazi ya ukusanyaji ada na tozona ya majukumu ya TFDA yalikasimiwa kwenyeHalmashauri za Jiji, Miji, Manisapaa na Wilayaili kuleta ufanisi na kusogeza huduma karibu nawananchi.MkurugenziMkuuwaTFDAndiyemwenyewajibuwakukusanyanakutumiamapatoyatokanayonaadanatozokwamujibuwaKanunihizoambapomakubaliano yalifikiwa na Halmashauri kutumiakiasicha40%yamakusanyokwaajiliyakuboreshausimamiziwakazizaTFDAzilizokasimiwa.
KatikakipindichaMiaka10,kumekuwanaongezekolaasilimia727%yamakusanyokwakutumiavyanzovyotevilivyoainishwa.(ChatiNa.4)
Ongezeko hili limechangiwa na kuongezeka kwamakusanyo kwa kutumia vyanzo vya ndani kutokaTFDAambapokunatofautiyaasilimia460.2%kwamakusanyo ya TZS. 1.443 billioni mwaka 2013/14ukilinganishanaTZS.10.848bilionimwaka2012/13.
Chati Na. 4: Makusanyo ya Fedha kwa Kipindi cha 2003/04 – 2012-13
(Kiasi x 000,000 TZS)
11.5.2 MatumiziBajetiyamatumiziyaTFDAimekuwaikiongezekakilamwakakutokananakukuakwashughuli zaudhibitipamojanamiradiyakuboreshahuduma.
MatumiziyarasilimalifedhazaMamlakayamekuwayakifanyikakwakuzingatiaSheriayaFedhazaUmmaya mwaka 2001 na Kanuni zake ambayo ilirejewamwaka2004.Aidha,ilikuendeleakuwekautaratibumzuri wa matumizi ya fedha, Mamlaka iliandaaKanunizandanizaFedhanaUtumishimwaka2004zilizorejewamwaka2011nakuidhinishwanaOfisiyaRaisMenejimentiyaUtumishiwaUmma.
Aidha, katika usimamizi wa mapato na matumizi,Mamlaka imeendeleakuwanarekodinzuriambapohesabuzakekwakipindichamiakatisa(9)mfululizoyaani2003/04–2011/12zimekaguliwanaMdhibitinaMkaguziMkuuwaSerikali(CAG)nakupataHatiSafi.
Ripoti ya CAG kwa hesabu za Mamlaka mpakakufikiatarehe30Juni,2012imeambatanishwakamaKiambatisho I.
66
SURA YA KUMI NA MBILI 12 MASUALA MTAMBUKA
12.1 UtanguliziMbalinakazizaudhibiti,TFDAkamazilivyotaasisizingine za Serikali na zisizo za kiserikali, imekuwamstariwambelekatikakutekelezaseranamipangoinayohusu mapambano dhidi ya UKIMWI, rushwanamasuala ya jinsia namahusiano ya jamii. TFDApia imekuwa ikihifadhimazingiranakushiriki katikamichezo. Ushiriki wa TFDA kwenye mambo hayaunaainishwahapachini:
12.2 Mapambano Dhidi ya UKIMWIUKIMWI ni janga la kitaifa na kimataifa ambalolinahitaji kudhibitiwakwapamojana taasisi zotezaSerikalinazisizozakiserikali.Jukumuhililimeainishwapia kwenye Sera ya Taifa ya Kudhibiti UKIMWI yamwaka2001.IlikutekelezaSerahiyo,TFDAimewekautaratibuwakupambananaUKIMWImahalipakazi.
Jitihadahizonipamojanazifuatazo:
KuteuaMratibuwaMasualayaUKIMWI;
Kutoa mafunzo kwa watumishi wake kuhusuUKIMWInajinsiyakujikinganamaambukizi;
Kusambazakondommaliwatoni;
Kutoa huduma maalum kwa watumishiwanaoishinavirusivyaUKIMWI;
Kuandaa na kuweka vipepeprushi kwenyemilangomaliwatoni;
Kuhamasisha watumishi kwenda kupima virusivyaUKIMWIkwahiari;na
KulipagharamazamatibabukwakutumiaMfukowaBimayaAfya.
UsimamiziwaSerapamojanautekelezajiwamikakatihiiunazingatiapiaMwongozowaKudhibitiUKIMWIKatikaUtumishiwaUmmawaNovemba2011pamojana Waraka wa Watumishi wa Umma Na. 2 wa
mwaka2006kuhusuHudumakwaWatumishi waUmmaWanaoishinaVirusivyaUKIMWInawenyeUKIMWI.
12.3 Mapambano Dhidi ya RushwaRushwa ni mojawapo ya mambo hatari katikamustakabali wa jamii au nchi yeyote ulimwenguni.Rushwa ni adui wa haki na kwa kutambua hili,Mamlaka imekuwamstariwambelekuungamkonoSera na Sheria mbalimbali zilizoundwa ili kudhibitirushwanchini. Sheria hizo ni pamoja na SheriaNa.11yamwaka2007iliyoanzishaTaasisiyaKuzuianaKupambananaRushwanchini(TAKUKURU).Katikamapambanohaya,TFDAimewekamkazonakufanyayafuatayo:-
(a) Kuwa na lengo mahususi kuhusu “kuimarishana kutekeleza kwa ufanisimkakatiwaTaifawakuondoa rushwa” kwenyeMpangoMkakatiwaTFDAwa2012/13–2016/17;
(b) Kutoa mafunzo kwa watumishi kuhusumapambano dhidi ya rushwa na suala zima lamaadilikatikautumishiwaumma;
(c) Kusimamia shughuli za manunuzi ndani yaMamlakakwamujibuwaSheriayaManunuziyamwaka2004;
(d) Kufanya upekuzi kwa waajiriwa wapya nakuwalishaviapovyauaminifu;
(e) Ili kupunguza uwezekano wa kupokea rushwa,maslahiyawatumishiyamekuwayakiboreshwakamavilekuwekaviwangovizurivyamishahara,mazingiramazuri ya kazi na kununua vitendeakazikwawatumishi;na
(f) Kukusanya takwimu na vielelezo vinavyowezakuashiriauwepowarushwandaniyaTFDA.
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
67
(d) Kuongeza asilimia ya wanawake katika nafasizauongoziwajuuwaTFDA.Mpaka2013,kunajumlayaviongozi32,kati yahao,viongozi6niwanawakeambaonisawanaasilimia19;na
(e) Kuweka upendeleo wa kuwapeleka masomoniwanawakeilikuwajengeauwezo.
12.5 Mahusiano na Jamii (Corporate Social Responsibility)
Ni wajibu wa taasisi yoyote ya Serikali au isiyoya kiserikali kuweka utaratibu wa kusaidia jamiiinayoizunguka. Katika kutekeleza hili, mwaka2009/10TFDAiliwekautaratibuwakutoamichangona misaada kwa makundi mbalimbali kulingana nauhitajinauwezowaMamlakakwakipindihusikakamanjiayakuboreshamahusianonapiakurudishafadhilakwajamii(Corporate Social Responsibility – CSR).
MsaadanamichangohutolewanaTFDAkwakufanyayafuatayo:
(a) Kutembeleawagonjwamahospitaliniilikuwafarijinakuwaombeawaponeharaka;
(b) Kutembeleawatotoyatimakwenyevituonakutoam i s a a d a mbalimbali ikiwa ni pamoja na
mavazi, sabuni, dawa yamswaki, vinywaji, fedha nachakula;
12.4 Maendeleo ya Wanawake na JinsiaSerayaMaendeleoyaWanawakenaJinsiayamwaka2000 inafafanuakuwa Jinsianimtazamompyawakuharakisha maendeleo kwa kuangalia mahusianoya jamii kati ya wanawake na wanaume ambayoyanatambuatofautizilizopozakijinsi(sex)bainayaopamojanamgawanyowamajukumukatikajamii. Ilikuweza kupata maendeleo ya haraka na endelevudhana ya jinsia pia inatilia mkazo umuhimu wakushirikiana na kufanya kazi kwa kutegemeana katiyawanawakenawanaume.Hii inatokananaukwelikuwamajukumuyamwanamkekatikajamiinitofautinayaleyamwanaumenakuwayotenimuhimukwamaendeleoyafamilia,jamiinataifa.
TFDA imeanza kusimamia utekelezaji wa Sera hiimwaka2007.Kaziambazozimefanyikanipamojanahizizifuatazo:(a) Kuweka mambo yanayohusiana na maendeleo
yawanawakenajinsiakwenyeMpangoMkakatiwaTFDAwa2013–2017;
(b) KuzingatiajinsiawakatiwakuajiriwatumishikwamujibuwaSheriaNa.8yaAjiranaMahusianoKazini,Sura366.MpakakufikiamweziJuni2013,TFDAimeajiriwatumishiwanawake67ambaoniasilimia37yawafanyakaziwote;
(c) Kuanzisha kamati ya wanawake ndani yaHalmashauriyaTUGHE;
68
(c) Kutembelea wahanga wa matukio mbalimbalikamamabomu,mafurikonamoto;
(d) Kuandaa mwongozo wa kusaidiana wakati warahanashida;na
(e) Kutembelea watumishi wanaopata watoto,kufiwanasherehembalimbali.
KatikakutekelezadhanahiiyaCSR,katiya2009/10naJuni2013,TFDAimewezakugawachakulanavifaambalimbaliikiwanipamojanamavazi,sabuni,mafutaya kujipaka na dawa za meno kwa watoto yatimawalioko Kijiji cha Furaha – Mbweni, ‘The GuardianAngel’–KimaranakundilinginelililopoKigogo.
Mamlaka na watumishi wake imetoa michango yakutengeneza madawati 100 na kuyagawa kwenyeshulezamsingiMakuburinaMabibozilizopoeneolaExternal-Makuburi,DaresSalaam.
Aidha, Mamlaka imekuwa ikitoa tuzo kila mwakakuanzia 2003/04 kwa wanafunzi wanaofaulumasomoya ‘PharmacyPractice’kutokaChuoKikuucha Muhimbili (MUHAS). Vilevile, TFDA hutengafedha katika bajeti yake ya kila mwaka ili kusaidiashughulizakijamii.
12.6 MazingiraMazingiranimakaziyaviumbevyote(mimea na wanyama) ambao ndiyourithiusiokuwanambadala.Mazingirayanaipatianchimahitajiyoteyamsingikwa ajili ya mahitaji mbalimbali yakijamii na kiuchumi. Sera ya Taifa yaMazingirayamwaka1997imeainishamatakwa mbalimbali juu ya utunzajiwamazingira.MadhumuniyaSerahiinipamojana:Kuhakikisha uendelevu, usalama
na matumizi sawa ya rasilimalikwa mahitaji ya msingi ya sasana ya vizazi vijavyo bila kuharibumazingira au kuhatarisha afya nausalama;
Kuzuia na kudhibiti uharibifu waardhi,maji,mimeanahewaambayondiyo husaidia mfumo wa uhaiwetu;
Kurekebisha hali na uzalishaji wa maeneoyaliyoharibiwapamojanamakaziyawatumijinina vijijini ili watanzania wote waweze kuishikatikahali yausalama, kiafya, kuzalishabidhaapamojanakuishikatikamazingiramazuriyenyekuvutia;
Mamlakaimekuwamstariwambelekatikakuhifadhimazingira. Katika kipindi cha miaka 10 iliyopitamamboyafuatayoyamefanyika:
(a) Kuwekautaratibuwakuteketezabidhaazisizofaaunaozingatiauharibifuwamazingira.Uteketezajiwa bidhaa unaoendena na njia iliyoainishwakutumika (disposal method), aina ya bidhaainayoharibiwa na unahusisha wataalamu waTFDA,Halmashauri, Jeshi laPolisinaBaraza laMazingiraTanzania(NEMC);
(b) KuandaaMwongozowaKuharibuBidhaa;
(c) Kutoavibalibaadayabidhaakuharibiwa(disposalcertificate);
(d) Kuhakikisha mazingira yanayozunguka ofisiyanakuwanadhifumudawote;
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
6969
(e) Kupanda miti na majani ili kutengeneza hewasafi na kupunguza vumbi katika maeneoyanayozungukaofisi;
(f) Kuwekautaratibuwakutumiamakaratasivizuri;
(g) Kuweka utaratibu wa kuharibu kemikali zaMaabarazilizotumikakwanjiaambazohaziharibumazingira;
(h) Kutoa zabuni kwa watoa huduma ya kutunzamazingirayanjenausafindaniyaofisi;
(i) Kutengaeneomaalumkwaajili ya chakula chamchanakwawatumishi;na
(j) Kuweka mambo yanayohusiana na mazingirakwenyeMpangoMkakati wa TFDAwa 2013 –2017.
12.7 MichezoMojawapo ya kiungo muhimu katika kila jamii yabinadamu duniani ni michezo. Michezo ni jambomuhimukatika kuendeleza jamii, kukomazaafya yamwilinaakilinakujenganidhamu.MambohayapiayamefafanuliwakatikaSerayaMaendeleoyaMichezoyamwaka1995.
TFDA imeweka utaratibu wa kuwa na michezombalimbali kwawatumishiwake.Katikakipindichamiaka10,TFDAimefanyayafuatayo:
(a) Kuunda timu na kushiriki kwenye michezombalimbali kama vile mpira wa miguu, mpirawa pete, mpira wa mikono na riadha ambayohushindanishataasisimbalimbali;
(b) Kushindanisha Kurugenzi za TFDA katikamichezombalimbali;
(c) Kukodi mwalimu wa michezo kuwafundishawatumishimazoezi;
(d) Kununua na kugawa vifaa vya michezo kwawatumishi;
(e) Kuhamasisha watumishi kushiriki kwenyemichezo;na
(f) Kuandaauwanjawamichezokaribunaofisi.
70
Mamlaka ya Chakula na Dawa - TFDA
SURA YA KUMI NA TATU 13 MAFANIKIO NA CHANGAMOTO
13.1 UtanguliziTangu kuanzishwa kwake katika kipindi cha miaka10, TFDA inajivunia kupatikana kwa mafainikiombalimbalihususankatikautekelezajiwamajukumuyake iliyopewa kisheria. Aidha katika kipindi hichotaasisiimekumbananachangamotombalimbalipiakatikakutekelezamajukumuyake.
13.2 Mafanikio
13.2.1 Rasilimali, Mipango na UongoziKatika kipindi cha miaka 10,Mamlaka imefanikiwakuongeza na kuboresha rasilimali zake mbalimbaliikiwanipamojana:-i. KujengajengolaOfisiyaMakaoMakuu;
ii. Kupanuajengolamaabaranakuongezavifaavyauchunguzi;
iii. Kuongezaidadiyawatumishikutoka62mwaka2003/04hadi182mweziJuni,2013;
iv. Kuwapatiamafunzowatumishi;
v. KuanzishaofisizaKanda;
vi. KuandaanakutekelezaMipangoMkakati;
vii. Kuongezekakwamapatokwakiwangocha727%katiya2003/04na2012/13;
viii. KusimamiaipasavyovitabunahesebuzafedhaambapoMamlaka imepata hati safi za ukaguzikwamiakatisa(9)mfululizo;
ix. Kuwekanakusimamiamifumothabitiyaudhibitiiliyopelekea kupata cheti cha ISO 9001:2008,maabarakupata ithibati kwakiwangocha ISO/IEC17025:2005nakutambuliwanaWHO.
x. Mamlaka ilipata ushindi wa kwanza katikamashindano ya kutafuta Taasisi yenye mifumobora ya utawala na uongozi (Best ManagedInstitution) kati yaWizara, IdaranaWakala zaSerikalikwamwaka2010na2011;na
xi. KuanzishanakutekelezakwamafanikioMpangowaMadukayaDawaMuhimu(ADDO).
70
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
13.2.2 Udhibiti wa BidhaaKatika kipindi cha miaka 10,Mamlaka imefanikiwakusimamiasheriaipasavyokatikakudhibitiusalama,uboranaufanisiwabidhaaikiwanipamojana:-
i. Kusajili bidhaa za chakula, dawa, vipodozi navifaa tiba kwamujibu wa sheria ambapo idadiyabidhaazilizosajiliwa zimekuwazikiongezekamwaka hadi mwaka kutoka 265 mwaka 2003hadikufikia4,289mwaka2013.
ii. Kusajilimajengokwamujibuwasheria,ambapoidadi ya majengo yaliyosajiliwa yamekuwayakiongezekamwakahadimwaka.
iii. Kuboresha udhibiti wa vituo vya forodha kwakuwekawakaguzinavifaavyaukaguzi;
iv. Kuwekana kutekelezamifumoyaufuatiliajiwamadhara ya dawa ikiwa ni pamoja na mfumowa“CohortEventMonitoring(CEM)“ambapotakwimu za madhara hayo zinazopatikanazinatumika kuweka mikakati madhubuti yaudhibitiwadawa;
v. Kufanya tafiti kuhusu uwepo wa sumu kuvu(mycotoxins)kwenyevyakulavyaainayanafakaambapo matokeo ya tafiti hizo yanachangiakatika mikakati ya udhibiti wa usalama wavyakulahivyo;
vi. Kuweka na kutekeleza mfumo wa udhibitiwa majaribio ya dawa na vifaa tiba kwabinadamu ambapo baada ya kuweka mfumohuu, makampuni husika yamekuwa yakifanyamajaribiobaadayakupatakibalikutokaTFDA.
vii. Kuweka mfumo wa kukagua viwandavya dawa na chakula nje ya nchi ambapo
bidhaa zinazoruhusiwa kuingia nchini ni zilezinazozalishwakatikaviwandaambavyomifumoyakeyauzalishajiimethibitishwanaMamlaka.
viii. Kupitia elimu kwa umma kuhusu usalamana ubora wa bidhaa, mwamko wa wananchikufahamunakudaibidhaasalamanaborakutokakwawauzajiumeanzakuongezeka.
13.3 ChangamotoMamlakakatikajitihadazakezakutekelezamajukumuyake iliyopewa kisheria katika kipindi chamiaka 10imekumbananachangamotombalimbaliambazonipamojanahizizifuatazo:-
i. Kutokuwanaofisinchinzima;
ii. Kuwepo kwa mwingiliano wa majukumu nataasisinyinginezaSerikali;
iii. UtekelezajiwakanunizakukasimishamajukumuyaTFDA;
iv. Uhabawawatumishikulingananamajukumuyakazihususanzauchunguziwamaabara,tathmininaukaguziwabidhaa;
v. Kutokuwa na uwezo wa kuajiri na kushikiliawatumishi;
vi. Kuingia kwa bidhaa bandia na duni pamoja navipodozivyenyeviambatosumukupitiamipakaisiyorasmi;
vii. Uwezomdogowaviwandavyandanivyachakulana dawa na kutokidhi vigezo vya utengenezajiborawabidhaa(GMP);na;
viii. Uelewamdogowajamiikuhusuuboranausalamawabidhaa.
71
72
TAARIFA YA HESABU ZILIZOKAGULIWA - 2011/2012
3.0 AUDIT REPORT ON THE FINANCIAL STATEMENTS
To: AmbassadorDr.BenMoses, ChairpersonBoardofDirectors, TanzaniaFoodandDrugsAuthority, P.O.Box77150, DaresSalaam
IntroductionIhaveaudited theaccompanyingfinancial statementsof theTanzaniaFoodandDrugsAuthority,whichcomprisethestatementoffinancialpositionasat30June2012,statementofcomprehensiveincome,statementofchangesinequityandstatementofcashflowsfortheyearthenended,andasummaryofsignificantaccountingpoliciesandotherexplanatorynotessetoutfrompages18to35ofthisreport.
Directors’ Responsibility for the Financial StatementsTheBoardofDirectorsoftheTanzaniaFoodandDrugsAuthorityisresponsibleforthepreparationand fairpresentationof thesefinancial statements inaccordancewith InternationalPublicSectorAccountingStandard.Thisresponsibilityincludesdesigning,implementingandmaintaininginternalcontrolrelevanttothepreparationandfairpresentationoffinancialstatementsthatarefreefrommaterialmisstatement,whetherduetofraudorerror,selectingandapplyingappropriateaccountingpoliciesandmakingaccountingestimatesthatarereasonableinthecircumstances.
Responsibilities of the Controller and Auditor GeneralMyresponsibilityasauditoristoexpressanindependentopiniononthefinancialstatementsbasedontheaudit.TheauditwasconductedinaccordancewithInternationalStandardsonAuditing(ISA)and such other audit procedures I considered necessary in the circumstances. These standardsrequirethatIcomplywithethicalrequirementsandplanandperformtheaudittoobtainreasonableassuranceaboutwhetherthefinancialstatementsarefreefrommaterialmisstatement.
Anauditinvolvesperformingprocedurestoobtainauditevidenceabouttheamountsanddisclosuresinthefinancialstatements.Theproceduresselecteddependontheauditor’sjudgement,includingtheassessmentof therisksofmaterialmisstatementof thefinancialstatements,whetherduetofraudorerror.Inmakingthoseriskassessments,theauditorconsiderstheinternalcontrolrelevanttotheTanzaniaFoodandDrugsAuthoritypreparationandfairpresentationofthefinancialstatementsinordertodesignauditproceduresthatareappropriateinthecircumstances,butnotforthepurposeof expressing an opinion on the effectiveness of theTanzania Food andDrugsAuthority internalcontrol.Anauditalsoincludesevaluatingtheappropriatenessoftheaccountingpoliciesusedandreasonableness of accounting estimatesmade bymanagement, aswell as evaluating the overallpresentationofthefinancialstatements.
Mamlaka ya Chakula na Dawa - TFDA
73
Inaddition,Section10(2)ofthePAANo.11of2008requiresmetosatisfymyselfthattheaccountshave been prepared in accordance with appropriate accounting standards and that; reasonableprecautionshavebeentakentosafeguardthecollectionofrevenue,receipt,custody,disposal,issueandproperuseofpublicproperty,andthatthe law,directionsand instructionsapplicabletheretohavebeendulyobservedandexpendituresofpublicmonieshavebeenproperlyauthorized.
Further,Section44(2)ofthePublicProcurementActNo.21of2004andRegulationNo.31ofthePublicProcurement(Goods,WorksNon-consultantservicesandDisposalofPublicAssetsbyTender)Regulationsof2005requiresmetostateinmyannualauditreportwhetherornottheauditeehascompliedwiththeprovisionsoftheLawanditsRegulations.
IbelievethattheauditevidenceIhaveobtainedissufficientandappropriatetoprovideabasisformyauditopinion.
Unqualified OpinionInmyopinion,thefinancialstatementspresentfairly,inallmaterialrespects,(orgiveatrueandfairviewof)thefinancialpositionofTanzaniaFoodandDrugsAuthorityasat30thJune,2012anditsfinancialperformanceand itscashflowsfortheyearthenended inaccordancewith InternationalPublicSectorAccountingStandardandTanzaniaFood,DrugsandCosmeticsActNo.1of2003.
Report on Other Legal and Regulatory Requirements Compliance with Public Procurement ActIn view of my responsibilty on the procurement legislation, and taking into consideration theprocurementtransactionsandprocessesIreviewedaspartofthisaudit,IstatethatTanzaniaFoodandDrugsAuthorityhasgenerallycompliedwiththePublicProcurementAct;2004anditsrelatedRegulationsof2005.
LudovicS.L.UtouhCONTROLLER AND AUDITOR GENERAL
74
OfficeoftheControllerandAuditorGeneral,NationalAuditOffice,Dar es Salaam
14thFebruary,2013
3.1 STATEMENT OF RESPONSIBILITY ON THE FINANCIAL STATEMENTS FOR THE YEAR ENDED 30TH JUNE, 2012ThesefinancialstatementshavebeenpreparedbytheManagementoftheTanzaniaFoodandDrugsAuthorityinaccordancewiththeprovisionsofsection25(4)ofthePublicFinanceActNo.6of2001.Thefinancial statementscomplywithgenerallyacceptedaccountingpracticesas requiredby thesaidActandarepresentedinamannerconsistentwiththeInternationalPublicSectorAccountingStandard(IPSAS).
TheManagement of the Tanzania Food and Drugs Authority is responsible for establishing andmaintainingasystemofeffectiveinternalcontroldesignedtoprovidereasonableassurancethatthetransactionsrecordedintheaccountsarewithinthestatutoryauthorityandthattheycontainthereceiptanduseoftheFinancialStatementforthe2011/2012financialyear.
Iacceptresponsibilityfortheintergrityofthefinancialstatements,theinformationitcontains,anditscompliancewiththePublicFinanceActNo.6of2001(revised2004)andtheinstructionsissuedbytheTreasuryinrespectoftheyearunderreview.
SignedbyDirectorGeneral
Date12/02/2013
Mamlaka ya Chakula na Dawa - TFDA
75
3.2 AUDITED FINANCIAL STATEMENTS
TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY
STATEMENT OF FINANCIAL POSITION AS AT 30TH JUNE, 2012
Note 2012Tshs.
2011Tshs.
Non Current Assets
Property,PlantandEquipment 2 3,007,399,112 2,742,785,367
Current Assets
AccountsReceivable 4 1,054,617,568 582,325,034
CashandCashequivalent 5 6,287,850,704 3,817,823,190
TotalCurrentAssets 7,342,468,272 4,400,148,224
Total Assets 10,349,867,384 7,142,933,591
Equity and Liabilities
Equity
Capital 6 1,139,932,800 1,139,932,800
RetainedSurplus 8,313,840,430 5,649,422,399
9,453,773,230 6,789,355,199
Current Liabilities
AccountsPayable 7 896,094,154 353,578,392
Total Equity and Liabilities 10,349,867,384 7,142,933,591
Note1to17formpartoftheAccounts
ChairpersonoftheBoard DirectorGeneral
Date Date
Office of the Controller and Auditor General AR/TFDA/2011/12
12/02/2013 12/02/2013
76
TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY
STATEMENT OF FINANCIAL PERFORMANCE
FOR THE YEAR ENDED 30TH JUNE, 2012
Note 2011/2012Tsh
2010/2011Tshs
Revenue
Feesandcharges 8 8,528,640,917 7,087,847,287
GovernmentGrants 9 2,908,295,455 3,370,939,882
DonorsGrants 10 4,372,943,744 5,041,673,467
Revenuefromexchangetransactions 11 2,327,910 64,017,651
OtherRevenue 12 94,974,726 37,656,901
Total Revenue 15,907,182,752 15,602,135,188
Salariesandemployeebenefits 13 6,048,759,822 5,248,714,404
Suppliesandconsumablesused 14 2,790,500,974 2,677,943,971
Otherexpenses 15 3,752,326,958 3,694,805,098
Financecosts 16 62,266,880 28,092,527
Provisionfordoubtfuldebt - 29,813,000
Depreciationandamortization 2 588,910,087 536,577,381
Total Expenses 13,242,746,721 12,215,946,381
Surplusfortheperiod 2,664,418,031 3,386,188,807
Note1to17formpartoftheAccounts
ChairpersonoftheBoard DirectorGeneral
Date Date
Office of the Controller and Auditor General AR/TFDA/2011/12
12/02/2013 12/02/2013
Mamlaka ya Chakula na Dawa - TFDA
77
12/02/2013 12/02/2013
TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY
STATEMENT OF FINANCIAL POSITION AS AT 30TH JUNE, 2012
Capital FundTshs
Accumulated Surplus (Deficit)
Tshs.
TotalTshs.
Balanceasat01.07.2010 1,139,932,800 2,223,500,259 3,363,433,059
Restatementoferror – 39,733,333 39,733,333
Surplusfortheyear – 3,386,188,807 3,386,188,807
Balance as at 30.06.2011 1,139,932,800 5,649,422,399 6,789,355,199
Balanceasat01.07.2011 1,139,932,800 5,649,422,399 6,789,355,199
Surplusfortheyear – 2,664,418,031 2,664,418,031
Balance as at 30.06.2012 1,139,932,800 8,313,840,430 9,453,773,230
Note1to7formpartoftheAccounts
Chairpersonoftheboard DirectorGeneral
Date Date
Office of the Controller and Auditor General AR/TFDA/2011/12
78
TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY
STATEMENT OF CASH FLOWS
FOR THE YEAR ENDED 30TH JUNE, 2012
2011/2012Tshs
2010/2011Tshs
Surplus/(deficit) 2,6444,418,031 3,386,188,807
Add:NonCashexpenses
DepreciationExpenses 588,910,087 536,577,381
Provisionfordoubtfuldebt - 29,813,000
(Gain)/LossonDisposal - -
3,253,328,118 3,952,579,188
Change in working capital
Increase/(decrease)inReceivables 472,292,534 320,710,354
Increase/(decrease)inAccountspayable 542,515,762 112,273,144
Net cash flow from operating activities 3,323,551,346 3,744,141,978
Investment activities
Proceedsfromsaleofassets
Purchaseoffixedassets 853,523,832 503,522,333
Net cash used in investing activities 853,523,832 503,522,333
Net cash flow for the year 2,470,027,514 3,240,619,645
Add:Cashthebeginningoftheyear 3,817,823,190 577,2203,545
Net cash and cash equivalent at the end of the year 5 6,287,850,704 3,817,823,190
Note1to17formpartoftheAccounts
ChairpersonoftheBoard DirectorGeneral
Date Date
Office of the Controller and Auditor General AR/TFDA/2011/12
12/02/2013 12/02/2013
Maelekezo yako tutayazingatia
79
MATUKIO KATIKA PICHA Ugeni kutoka International
Atomic Energy Agency
Tuko tayari kukupokea mgeni wetu
Hii inawezekana ukifanya mazoezi
Tuko tayari kukupokea mgeni wetu
Michezo huburudisha mwili n a akili
Ugeni kutoka NEPAD Baadhi ya Tuzo zetu
Tulianzia Hapa
80
Kwa mtazamo wangu…
Maelekezo yako tutayazingatia
Tuko tayari kwa mechi
Michezo hutukutanisha pamoja
Lengo letu ni moja
Tunatambulika kitaifa
Hiki ndio moja ya kipodozi kisichofaa
Wanawake wanaweza
Lengo letu ni moja katika
masuala ya udhibiti
80
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
81
Mamlaka ya Chakula na Dawa - TFDA
“Nawapongezeni”
Tumefurahi kwa kututembelea, Karibu tena
Afya ya mwili
Tumekamilika
Uchunguzi hufanyika hivi
Tuko tayari kukupokea mgeni wetu
Kikosi cha mashambulizi
Tuko makini
Tunabadilishana mawazo
81
82
Kutoka Magazetini
Kutoka Magazetini
Chan
gam
oto,
Apr
ili 2
4, 2
007
Alasiri, Disemba. 23, 2006
The Guardian, Septemba 23, 2003
Daily News, Mei 10, 2013
Mtanzania, Julai, 2004
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
83
Tanzania Daima, Mei 22, 2012
The Express, Mei 9 - 15, 2013
Guardian, Aprili 1, 2009
Uhuru, Julai 3, 2008
Nipashe, Mei 27, 2011
Nipashe, Agosti 27, 2010
84
The Guardian, Machi 19, 2013
The Citizen, September 11, 2012
Raia Mwema, Machi 28 - Aprili 3, 2012
Daily News, Agosti 28, 2012
Mwananchi, Julai 27, 2012
Daily News, Julai 10, 2013
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
85
Risasi, Machi 28 - 30, 2012
Ijumaa, Machi 30 - Aprili 5, 2012
Habari Leo, Aprili 24, 2013
86
Mahali Tulipo
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Makao Makuu
BarabarayaMandela,External-MabiboS.L.P.77150,DaresSalaam
Simu:+255222450512/2450751/2452108+255658445222/685701735/777700002
Nukushi:+255222450793Baruapepe:[email protected]
Tovuti:www.tfda.or.tz
Kanda ya Ziwa,MtaawaNkurumah,S.L.P.543,Mwanza
Simu:+255282500733.Nukushi:+255282541484
Baruapepe:[email protected]
Nyanda za Juu Kusini,JengolaOfisiyaMifugo(Mkoa),
S.L.P.6171,MbeyaSimu:+255252504425.
Nukushi:+255252504425Baruapepe:[email protected]
Kanda ya Kaskazini,MtaawaSakina,
S.L.P.16609,ArushaSimu:+255272547097.
Nukushi:+255272547098Baruapepe:[email protected]
Kanda ya Mashariki,JengolaMakaoMakuuyaTFDABarabarayaMandela,External-MabiboS.L.P.77150,DaresSalaamSimu:+255222450512/2450751/2452108Nukushi:+255222450793Baruapepe:[email protected]
Kanda ya Kati,JengolaHospitaliyaRufaayaMkoaS.L.P.1253,DodomaSimu:+255262320156Nukushi:+255262320156Baruapepe:[email protected]
Miaka 10 ya TFDA (2003 -2013)
87
Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Makao MakuuBarabarayaMandela,External-MabiboS.L.P.77150,DaresSalaamSimu:+255222450512/2450751/2452108+255658445222/685701735/777700002Nukushi:+255222450793Baruapepe:[email protected]:www.tfda.or.tz