kiongozi cha mwezeshaji mafunzo endelevu kwa afisa elimu kata · 2018-09-06 · kwa afisa elimu...

66
1 Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata Januari 2018

Upload: others

Post on 14-Jul-2020

33 views

Category:

Documents


4 download

TRANSCRIPT

Page 1: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

1

Kiongozi cha Mwezeshaji

Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata

Januari 2018

Page 2: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

2

YALIYOMO

UTANGULIZI .................................................................................................................................. 3

SEHEMU YA KWANZA ................................................................................................................ 4

MAJUKUMU YA MWEZESHAJI .................................................................................................. 4

1.1 Kazi yako kubwa kama mwezeshaji ni .............................................................................. 4

1.2 Namna ya kuwezesha kipindi ................................................................................................. 4

1.3 Jinsi gani unaweza kuhamasisha majadiliano kati ya washiriki ............................................. 4

1.4 Jinsi ya kuwachukulia washiriki wenye tabia tofauti ............................................................. 4

1.6 Jinsi mafunzo haya yatakavyoendeshwa ................................................................................ 5

SEHEMU YA PILI .......................................................................................................................... 7

UWEZESHAJI WA MAFUNZO ENDELEVU .............................................................................. 7

SEHEMU YA TATU ..................................................................................................................... 11

VIAMBATISHO ............................................................................................................................ 57

MPANGILIO WA MADA ZA MAFUNZO .................................................................................. 57

Page 3: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

3

UTANGULIZI

Mwezeshaji au mkufunzi yeyote mwenye mafanikio ni yule anayetumia muda mwingi

kubuni mbinu mbalimbali za kuendesha mafunzo au kufundisha watu ili washiriki watumie

muda mchache sana kuelewa na kupokea maarifa tarajiwa. Mwezeshaji mwenye mafanikio

ni yule anayetambua kuwa washiriki/wanafunzi wake wanajua mambo mengi, na baadhi yao

wanauelewa mpana wa mada wanazofundishwa. Hivyo, kazi ya mwezeshaji ni kuwezesha

washiriki kushirkishana na kupeana maarifa wao wenyewe ili kila mmoja anufaike na ujuzi,

maarifa na uzoefu wa mwingine.

Kosa kubwa kwa Mwezesaji yeyote ni kuwa na mtazamo kwamba washiriki wa mafunzo

HAWAJUI na wewe ndiye unayejua YOTE. Ni udhaifu mkubwa sana kwa mwezeshaji

kujifanya yeye ndo kila kitu na washiriki wamekuja kupokea kutoka kwake. Mtazamo huu

husababisha Mwezeshaji kushindwa kufikia malengo na washiriki kushindwa kutoa

ushirikiano kwa mwezeshaji. Kazi ya Mwezeshji siyo kufundisha wala kuelekeza. Ni

kuweka mazingira ya washiriki kujifunza wao wenyewe na kushirikisha uzoefu na maarifa

waliyonayo.

Mwongozo huu wa mwezesahji wa mafunzo endelevu ya kitaalaamu kwa Maafisa Elimu

kata ni moja ya dhana muhimu itakayomsaidia mwezeshaji kufuata mpangilio mzuri wa

kuwezesha masomo yanayohusu mafunzo endelevu. Pamoja na vitabu vingine mwongozo

huu umependekeza mbinu kadhaa za kutumia kuendesha mafunzo. Mbinu hizo siyo lazima

zitumiwe zote. Mwezeshaji anaruhusiwa kubuni mbinu nyingine nyingi zitakazowashirikisha

wana-semina wote kwa lengo la kufikia malengo ya mafunzo.

Tunawasihi wawezeshaji wote watumie kitabu hiki kama kiongozi chao kwenye kubuni

mbinu nyingi zaidi za kuwezesha ili mafunzo yalete manufaa tarajiwa.

Page 4: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

4

SEHEMU YA KWANZA

MAJUKUMU YA MWEZESHAJI

1.0 Kueleweka kwa mada/somo ni kiini cha mafanikio ya Mwezeshaji

Mwezeshaji una jukumu kubwa la kuhakiksha malengo ya mafunzo yanafikiwa, na washiriki

wa mafunzo wanaelewa na kufuatilia somo kwa ukamilifu. Ubunifu binafsi wa mwezeshaji

na matumizi ya mbinu mchanganyiko wakati wa kuwezesha mafunzo vitakusaidia kufikia

malengo tarajiwa.

1.1 Kazi yako kubwa kama mwezeshaji ni:

Kutambulisha mada ya mafunzo na malengo yake

Kuhakikisha majadiliano hayatoki kwenye lengo lililokusudiwa na pia kufanya

majadiliano hayo yalete matokeo tarajiwa.

Kuwasaidia washiriki washirikishane uzoefu na kuangalia mbinu tofauti za kutatua

changamoto

Kuuliza maswali ya udadisi ili kuamsha fikra na kumfanya kila mmoja awe na

ushiriki na umuhimu ulio sawa.

Kusisitiza mambo muhimu na kufafanua eneo linalohitaji ufafanuzi au maoni ya

ziada

1.2 Namna ya kuwezesha kipindi

Mwazoni kabisa mwa kipindi, jitambulishe kwa lugha nyepesi, eleza kazi yako katika

kipindi,

Weka wazi malengo na matarajio ya kipindi kabla ya kuanza kipindi

Hamasisha washiriki kwa kuanza kipindi na mchezo mwepesi au bungua bongo

Hakikisha umeelewa mada vizuri kabla ya kuanza kuwezesha ili uwe na ujasiri wa

kutoa ufafanuzi au kujibu maswali.

Kama swali limeulizwa na huna uhakika wa jibu lake, tumia mbinu mbadala kujibu

mfano “hebu kila mmoja amgeukie mwenzake wa kushoto na wajadili”

Kazi yako sio kutoa mhadhara au kujibu maswali bali ni kuhimiza washiriki watoe

maoni yao na kushiriki kwenye kipindi

Katika kufunga kipindi waulize washiriki waeleze ni nini walichojifunza kwa kifupi

Malizia kipindi kwa kusisitiza jambo moja au mawili muhimu

Hakikisha kuwa unatunza muda

1.3 Jinsi gani unaweza kuhamasisha majadiliano kati ya washiriki

Anzisha hoja zenye utata ili kufanya washiriki wajadili kwa mapana

Wape washiriki mifano halisi na waache wajadili

Uliza maswali ya udadisi na ya kufuatilia mfano: halafu ikawaje? Unafikiri kwanini

aliamua hivyo? Kuna uhusiano gani kati ya matukio hayo mawili? Una uthibitisho

gani katika habari hii?

1.4 Jinsi ya kuwachukulia washiriki wenye tabia tofauti

Wazungungumzaji sana: Wakumbushe washiriki kuwa kila mmoja ana nafasi sawa

ya kuchangia mjadala. Gawa majukumu kwa zamu ili kila mmoja ashiriki.

Washiriki wasiozungumza sana: Wachague mara kwa mara kujibu au kuuliza

maswali au kufafanua jambo wale ambao hawazungumzi sana ili kuwahamasisha

washiriki kama wengine

Page 5: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

5

Wanaotoka nje ya mada: Waruhusu watoke nje ya mada mara chache, washukuru

kwa mchango wao na kisha hakikisha unawarudisha kwenye mada husika mara moja.

Wakatisha tamaa wenzao: Wakumbushe sheria na kanuni za kipindi kila mara ili

wawahesimu na kuwathamini wengine

1.5 Mambo yanayoonesha kuwa kipindi kimefanikiwa

Washiriki wako huru kuuliza maswali na kutoa maoni yao.

Kila mshiriki anamheshimu na kumsikiliza mwenzake

Washiriki wanakuja wakiwa wamejiandaa kujifunza na kufundisha

Washiriki wanabaki kwenye mada hata kama kuna wengine wametoka nje ya mada

1.6 Jinsi mafunzo haya yatakavyoendeshwa

Mwongozo huu umegawanyika katika sehemu kuu tano. sehemu ya kwanza ni ya

lazima kwa kila Afisa Elimu Kata kujifunza mara mafunzo yanapoanza.

Sehemu ya kwanza: Mafunzo Elekezi ( Induction/Orientation)

Sehemu ya Pili: Uongozi na Usimamizi katika Elimu

Sehemu ya Tatu: Uelekezi na Ushauri Elimishi ( Coaching and mentoring)

Sehemu ya Nne: Uwezo wa kujiongoza mwenyewe na Mwenendo bora kiutendaji na

mahusiano na wengine (Uongozi binafsi)

Sehemu ya Tano : TEHAMA

1.7 Hatua na taratibu za kufuata kutekelea mafunzo Endelevu kwa Maafisa Elimu

Kata

Mwezeshaji eleza kwa mapana hatua na taratibu kadhaa muhimu zinazopaswa kufuatwa

ili kutekeleza mafunzo endelevu:

Hatua ya kwanza

Idara ya elimu ya wilaya pamoja na ofisi ya uthibiti ubora ya wilaya watatoa mafunzo

kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu.

Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo huu ni ya LAZIMA zifundishwe kwa

Maafisa Elimu kata wote

Mafunzo elekezi yatatolewa kwa muda wa saa moja, na inapendekezwa saa moja

kabla ya kuanza mkutano wa elimu wa mwezi wa wilaya itumike kutoa mafunzo

haya. Mfano kama mkutano unaanza saa nne asubuhi, basi mafunzo yafanyike

kuanzia saa tatu hadi saa nne asubuhi .

Nukuu za mafunzo zinaweza kutumiwa lakini haimfungi mwezeshaji kuongeza

nukuu nyingine

Mafunzo mengine (TEHAMA) AEK anatakiwa kutafuta wanapota mafunzo ya

vitendo.

Hatua ya pili

Baada mafunzo elekezi, kila Afisa Elimu Kata atatakiwa kujaza fomu ya maombi ya

kujiunga kulingana na hitaji lake. (fomu imeambatishwa)

Maombi yatapelekwa ofisi ya elimu kuanzia mwezi wa Januari hadi Februari

mwishoni, na Julai hadi Agusti mwishoni

Ofisi ya elimu itapitia maombi yatakayopelekwa na kuyapitisha au kuyakataa au

kupendekeza vinginevyo kwa kusema sababu za kufanya hivyo

Page 6: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

6

Ofisi ya uthibiti ubora wa shule wa wilaya itamjulisha AEK kama amechaguliwa

kuanza masomo

AEK anatakiwa kujibu barua ya kukubali au kukataa mafunzo hayo muda wa siku 14

tangu amepokea barua ya kutakiwa kujiunga na mafunzo endelevu

Hatua ya tatu

Ofisi ya Uthibiti Ubora wa shule watakusanya maombi yote na kutengeneza ratiba ya

mafunzo kulingana na maombi waliyopokea

Mafunzo yataanza mwezi wa tatu kila mwaka hadi itakapobadilishwa kutokana na

mahitaji

Ofisi ya uthibiti ubora wa shule wilaya pamoja na ofisi ya Elimu Wilaya wafafuatilia

maendeleo ya AEK anayehudhuria mafunzo kwa kuangalia mendeleo na mabadiliko

ya utendaji kazi wake.

Taarifa ya maendeleo ya mafunzo itajumuishwa katika ripoti ya utendaji wa ofisi ya

uthibiti ubora na ofisi ys elimu za kila robo mwaka.

Wawezeshaji wa mafunzo haya ni:

Ofisi ya Elimu Wilaya

Ofisi ya uthibiti ubora wa shule wa wilaya

Ofisi ya mipango ya wilaya

Ofisi ya TSC wilaya/mkoa

Wengine wanaruhusiwa kulingana na mahitaji

Usimamizi

Mthibiti mkuu wa ubora shule wa Wilaya ndiyo atakuwa msimamizi mkuu wa

mafunzo haya akisaidiwa na afisa toka ofisi ya Elimu Wilaya.

Uthibitisho wa kuhitimu

Baada ya mafunzo Ofisi ya Elimu na Uthibiti ubora itatengeneza cheti ambacho

kitatolewa kwa washiriki waliohitimu kwa nadharia na vitendo.

Page 7: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

7

SEHEMU YA PILI

UWEZESHAJI WA MAFUNZO ENDELEVU

----------------------------------------------------------------------------------------------------------------

KIPINDI CHA KWANZA:

Mada: Kuuelewa kwa kina Mwongozo wa Mafunzo kwa Afisa Elimu Kata Muda dk:

60 Mada hii ni LAZIMA kufundishwa kwa kila mafunzo mapya yanapoanza hata kama

washiriki walishapata mafunzo mengine ili kuwa na uelewa wa pamoja.

Vifaa

Mwongozo wa Mafunzo Endelevu kwa AEK

Malengo ya somo: elezea lengo la somo

Kazi ya 1: Kuelewa maana ya mafunzo endelevu dakika 5

Elezea

Tumia njia mbalimba kuhakikisha washiriki wanapata fursa ya kutafakari maana ya mafunzo

Endelevu kulingana na wanavyojua. Baada ya kupata tafsiri kadhaa unganisha tafakari zao

na hii hapa chini.

Ni mchakato endelevu wa kujifunza ili kuongeza Maarifa, Ujuzi, Uzoefu na Umahiri

unaofanyika kwa njia rasmi au isiyo rasmi kwa lengo la kuongeza ufanisi katika utendaji

kazi wa kila siku.

Kazi ya 2:

i. Wape muda wa dk 30 kila mmoja apitie muongozo

ii. Baada ya dk 30 wagawe katika makumdi 3 na kila kundi liandike maeneo ambayo

yanahitaji ufafanuzi zaidi (dakika 10)

iii. Fafanua kulingana na maswali ya washiriki (dk 10)

Hitimisho la Kipindi

Hitimisha kipindi kwa kuwaalika washiriki katika kipindi kijacho, wape taarifa endapo kuna

vifaa vya kuchukua katika kipindi kijacho. Kabla ya kipindi kuisha, hakikisha kila mshiriki

amepata mwongozo.

KIPINDI CHA PILI: FAIDA ZA MAFUNZO ENDELEVU DAKIKA: 60

Mada hii ni LAZIMA kufundishwa kwa kila mafunzo mapya yanapoanza hata kama washiriki

walishapata mafunzo mengine. Hii itawafanya wakumbuke na kuweka kipaumbele katika

mipango yao ya kazi

Vifaa: Bangokitita, kalamu rashaha, gundi utepe, video ya CPD

Kazi ya 1: Faida ya mafunzo endelevu kwa Afisa Elimu Kata dakika

10

Wagawanye washiriki katika makundi matatu; Waeleze kuwa kila kikundi kujadili ni faida

gani kuu tano zinazopatikana katika kushiriki kwenye mpango wa mafunzo endelevu

waandike mawazo yao kwenye bango kitita. Kikundi cha kwanza kumaliza kitasema kwa

Page 8: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

8

sauti "BINGO". Kundi hili litabandika bangokitita lao ukutani. Endelea hadi makundi yote

matatu yakamilishe.

Kazi ya 2: Mrejesho wa Kikundi na Mjadala wa wote dakika 15

Kila kundi libandike Bangokitita lao kwenye ukuta. Yaambie makundi yasome orodha ya

faida za mafunzo endelevu waliyoainisha. Mwezeshaji sasa ongoza majumuisho ya mrejesho

kwa kutumia maswali yafuatayo:

Kwa jinsi gani mafunzo hayo yatafanikisha kazi zako za kila siku?

Unafikiri mabadiliko gani yanaweza kutokea kwenye shule endapo utashiriki katika

mafunzo endelevu kwa kikamilifu?

Ni vikwazo gani unafikiri vitakukwamisha katika safari yako ya mafunzo endelevu?

Nini kitakufanya uendelee na mafunzo endelevu?

Mambo ya Kusisitiza:

Waeleze umuhimu wa mafunzo endelevu na jinsi itakavyowasaidia kuinua utendaji

kazi wao wa kila siku.

Kazi ya 3: Kwa nini kuwe na mafunzo endelevu kwa Afisa Elimu Kata? dakika

15

Hakikisha kila kikundi kina karatasi ya bangokitita na kalamu rashasha. Yakumbushe

makundi kwamba wanapaswa kuchagua mtu mmoja ambaye ataandika maelezo na

kuwasilisha wakati wa mjadala wa wote.

Kwanini msisitizo wa mafunzo endelevu umeelekezwa kwa Afisa Elimu Kata?

Nini tofauti ya mafunzo endelevu na mafuzo yasiyoendelevu?

Kazi ya 4: Mrejesho wa wote dakika

15

Waambie kila kikundi kikuambie majibu yao (majibu yasizidi 2). Kisha zungukia tena

kuuliza majibu toka kwenye makundi mengine. Waambie wana kikundi wasirudie kile

kilichosemwa na wengine. Andika kwenye bango kitita mambo muhimu tu (siyo kila neno)

yaliyotolewa na vikundi.

Page 9: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

9

KIPINDI CHA TATU: NJIA ZA KUPATA MAFUNZO ENDELEVU DAKIKA

60

Vifaa; Bangokitita, karamu rashaha, gundi utepe, Video ya CPD

Waratibu Elimu Kata waje na majibu ya kazi waliyopewa katika kipondi kilichopita

Kazi ya 1: Kila AEK awasilishe majibu ya kazi yake Dakika 20

Malego ya kipindi

Kutaja njia za kupata mafunzo endelevu na kupendekeza njia zinazofaa kulingana na

mazigira ya kazi na eneo.

Kazi ya 2: Shughuli za Mafunzo Endelevu Dakika

15

Waeleze washiriki kila aina ya shughuli za Mafunzo Endelevu

Mwezeshaji tambua kuwa kuna aina nyingi za utoaji mafunzo endelevu ambazo zitaendana

na mahitaji, kwa kuwa lengo ni kufanya mafunzo endelevu yahusishe wengi, njia hizi

zinazingatia gharama, muda na maudhui ya masomo ili kufanya Afisa Elimu Kata asilemewe

Faida za Mafunzo Endelevu

Kuwa mahiri kitaalamu kwenye taaluma uliyosomea na eneo la majukumu yako ya

kazi

Kuwa na mwendelezo wa kujifunza zaidi kwa utaratibu unaotekelezeka na

kuhakikisha kuwa ujuzi huo unatumika kuimarisha utendaji kazi wa kila siku

Kuhuisha ujuzi na maarifa ya mtu ili aendane sambamba na mahitaji/mabadiliko ya

utendaji kazi

kuongeza ufanisi katika utendaji kazi ili kupata matokeo yaliyotarajiwa

Kumuandaa mtu kwa ajili ya majukumu makubwa zaidi

kukuza weledi wa kitaalamu

kujitathmnini na kubaini maeneo yenye changamoto na kuyatafutia ufumbuzi

Fursa ya kujiendeleza kitaaluma na kiutalaam zaidi

Hutumia gharama ndogo kutekeleza mafunzo hayo

Mambo ya kusisitiza:

Eleza kwa ufupi juu ya mafunzo endelevu na taratibu zake

Waambie washiriki kuwa kila mmoja aeleze njia anayoona inafaa ili kupata mafunzo

endelevu. Na kila mmoja atawasilisha kipindi kijacho.

Page 10: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

10

na mzigo wa majukumu yake ya kila siku na muda wa kujifunza. Zifuatazo ni njia mojawapo

zinazopendekezwa:

Mfumo wa kawaida wa mafunzo ya darasani (traditional training model)

Mafunzo elekezi

Mafunzo kwa njia ya mtandao

Mafunzo kwa njia ya kuwasilisha mada au kuhudhuria mikutano na kongamano

Kujifunza kwa kujitolea kufanya kazi bila malipo

Ongeza njia nyingine ambazo washiriki wameziongeza

Kazi ya 3: Kujadili njia zipi rahisi kuzitekeleza na kwa nini? dakika 10

Kwenye vikundi vya watu 6 hadi 8 waliochanganyika

Jadili njia gani za mafunzo endelevu ambazo ni rahisi kuzitekeleza na kwa nini?

Kazi ya 4: Mrejesho wa Jumla na mjadala dakika 10

Mwezeshaji waalike washiriki kufanya mjadala wa wazi kushirikishana majibu ya kazi ya 3

Hitimisho dakika 5

Mambo muhimu ya kusisitiza

Njia za kujifunza mafunzo endelevu hazina mipaka, ni muhimu kuangalia kuwa njia ipi

inaendana na malengo uliyojiwekea na kuleta mabadiliko katika utendaji wako wa kazi.

Page 11: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

11

SEHEMU YA TATU

MAENEO YA KUJIFUNZA KATIKA MAFUNZO ENDELEVU

Maeneo ya kujifunza Kumwendeleza Afisa Elimu Kata

Mwezeshaji eleza kuwa Mafunzo endelevu yametokana na mahitaji ya mafunzo kutoka kwa

MaAfisaelimu Kata. Mahitaji ya mafunzo yamegawanyika katika makundi makubwa

matano: 1. Mafunzo Elekezi binafsi 2. Uongozi 3. Uelekezi na elimu elimishi 4. Uongozi

binafsi 5. TEHAMA

MAFUNZO ELEKEZI

Kipindi cha kwanza: Mwongozo kwa AEK Muda dakika:

Mada hii ni LAZIMA kufundishwa kwa kila mafunzo mapya yanapoanza hata kama

washiriki walishapata mafunzo mengine ili kuwa na uelewa wa pamoja.

Vifaa: Mwongozo wa Mafunzo Endelevu kwa AEK

Malengo ya somo: washiriki waeleze maana ya Mafunzo Endelevu na umuhimu wake katika

kazi zao za kila siku.

Utangulizi: Mafunzo endelevu ni nini? dakika 5

Waulize washiriki wachache waeleze wanafahamu nini kuhusu mafunzo endelevu: kisha

elezea maana ya Mafunzo Endelevu:

Ni mchakato endelevu wa kujifunza ili kuongeza maarifa, ujuzi, uzoefu na umahiri

unaofanyika kwa njia rasmi au isiyo rasmi kwa lengo la kuongeza ufanisi katika utendaji

kazi wa kila siku.

Kisha waeleze washiriki kuhusu mwongozo kwa kifupi na kuwagawia kila mmoja nakala

yake.

Kazi ya 1:

iv. Wape muda wa dk 20 kila mmoja apitie muongozo

v. Baada ya dk 15 wagawe katika makundi matatu na kila kundi liandike maeneo

ambayo yanahitaji ufafanuzi zaidi

vi. Fafanua kulingana na maswali ya washiriki (dk 5)

AU:

Soma na washiriki hatua kwa hatua kitabu cha mwongozo wa mafunzo Endelevu na

fafanua toa nafasi ya maswali kabla hujaendelea hatua inayofuata.

Page 12: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

12

Hitimisho: dakika 5

Hitimisha kipindi kwa kuwaalika washiriki katika kipindi kijacho, wape taarifa endapo kuna

vifaa vya kuchukua katika kipindi kijacho. Kabla ya kipindi kuisha, hakikisha kila mshiriki

amepata mwongozo.

Kipindi cha Pili: UMUHIMU WA MAFUNZO ENDELEVU

Vifaa: Bangokitita, kalamu rashaha, gundi utepe, video ya CPD

Utangulizi Mafunzo endelevu ni nini? dakika 5

Toa maswali machahe kuhusu mada ya kipindi kilichopita

Kazi ya 1: dakika 5

Faida ya mafunzo endelevu kwa Afisaelimu Kata

Wagawanye washiriki katika makundi matatu; Waeleze kuwa kila kikundi kujadili ni faida

gani kuu tano zinazopatikana katika kushiriki kwenye mpango wa mafunzo endelevu

waandike mawazo yao kwenye bango kitita. Kikundi cha kwanza kumaliza kitasema kwa

sauti "BINGO". Kundi hili litabandika bango kitita lao kwenye ukuta. Endelea hadi makundi

yote matatu yakamilishe.

Kazi ya 3 Mrejesho wa Kikundi na Mjadala wa wote dakika 10

Kila kundi wabandike bangokitita lao kwenye ukuta. Waambie kila kikundi kusoma orodha

ya faida za mafunzo endelevu waliyoyaainisha.

Ongoza majumuisho ya mrejesho kwa kutumia maswali yafuatayo:

Kwa jinsi gani mafunzo hayo yatafanikisha kazi zako za kila siku

Unafikiri mabadiliko gani yanaweza kutokea kwenye shule endapo utashiriki katika

mafunzo endelevu kwa kikamilifu

Ni vikwazo gani unafikiri vitakukwamisha katika safari yako ya mafunzo endelevu?

Nini kitakufanya uendelee na mafunzo endelevu?

Page 13: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

13

Kipindi cha Tatu: NJIA ZA KUPATA MAFUNZO ENDELEVU

Vifaa: Bangokitita, karamu rashaha, gundi utepe, Video ya CPD

Utangulizi: Kila AEK asome majibu ya kazi waliyopewa Dakika 10

Malengo ya kipindi

Kutaja njia za kupata mafunzo endelevu na kupendekeza njia zinazofaa kulingana na

mazigira ya kazi na eneo.

Faida za Mafunzo Endelevu

Kuwa mahiri kitaalam katika fani husika

Kuhakikisha kuwa kujifunza zaidi kunaendelea katika utaratibu unaotekelezeka na

kuhakikisha kuwa ujuzi huo unatumika kuimarisha utendaji kazi wa kila siku

Kuhuisha ujuzi na maarifa ya mtu ili aendane sambamba na mahitaji/mabadiliko ya

utendaji kazi

kuongeza ufanisi katika utendaji kazi ili kupata matokeo yaliyotarajiwa

Kumuandaa mtu kwa ajili ya majukumu makubwa zaidi

kukuza weledi wa kitaalam

kujitathmnini na kubaini maeneo yenye changamoto na kuyatafutia ufumbuzi

Fursa ya kujiendelza zaidi

Hutumia gharama ndogo kutekeleza

Mambo ya kusisitiza:

Eleza kwa ufupi juu ya mafunzo endelevu na taratibu zake

Waeleze umuhimu wa mafunzo endelevu na jinsi itakavyowasaidia kuinua utendaji

wao wa kazi zao za kila siku.

Waambie washiriki kuwa kila mmoja akiwa nyumbani aeleze njia anayoona inafaa ili kupata

mafunzo endelevu. na kila mmoja atawasilisha kipindi kijacho.

Page 14: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

14

Kazi ya 1: Shughuli za Mafunzo Endelevu Dakika 10

Baada ya kusikia majibu ya washiriki, waeleze washiriki kila aina ya shughuli za Mafunzo

Endelevu

Namna ya utoaji wa mafunzo

kuna aina nyingi za utoaji mafunzo endelevu ambazo zitaendana na mahitaji, kwa kuwa

lengo ni kufanya mafunzo endelevu yahusishe wengi, njia hizi zinazingatia gharama, muda

na maudhui ya masomo ili kufanya Afisaelimu asilemewe na mzigo wa majukumu yake ya

kila siku na muda wa kujifunza. Zifiatazo ni njia zilizopendekezwa

Mfumo wa kawaida wa mafunzo ya darasani (traditional training model)

Mafunzo elekezi (Coaching)

Mafunzo kwa njia ya mtandao (Online/ e-leaning)

Mafunzo kwa njia ya kuwasilisha mada au kuhudhuria mikutano na kongamano

(Presentation)

Kujifunza kwa kujitolea kufanya kazi bila malipo ( Volunteer)

Ongeza njia nyingine ambazo washiriki wameziongeza

Kazi ya 3: Njia zipi ni rahisi kuzitekeleza na kwa nini? Dakika 10

Kwenye vikundi vya watu 6 hadi 8 waliochanganyika

Jadili Njia gani za mafunzo endelevu ambazo ni rahisi kuzitekeleza na kwa nini?

Hitimisho: Ufupisho wa mada za kipindi dakika 5

Mambo muhimu ya kusisitiza

Njia za kujifunza mafunzo endelevu hazina mipaka, ni muhimu kuangalia kuwa njia ipi

inaendana na malengo uliyojiwekea na kuleta mabadiliko katika utendaji wa kazi.

Kipindi cha Nne : SIFA ZA WEO

VIFAA: Bango kitita, Nakala ya Sifa za WEO, Kalamu za rashasha nk

Page 15: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

15

LENGO: Washiriki waweze kubainisha sifa zinazomfanya awe WEO

WEO waweze kujitathimini wao wenyewe kama wanazo sifa hizo

NJIA ZA KUFUNDISHIA

Igizodhima, kisa mkasa na majadiliano

Mwezeshaji achague njia mojawapo kati ya hizo hapo juu au zaidi ili kuwasilisha

somo lake

KAZI YA 1 DAKIKA 10

Hakikisha katika njia uliyotumia inagusa sifa za WEO kama zilivyooneshwa katika

mwongozo

Baada ya Igizodhima/kisa mkasa/majadiliano washiriki wbainishe sifa zilizo nzuri na

zilizo mbaya kawa WEO

Mwezeshaji awape washiriki kazi ya kuorodheresha sifa nzuri alizonazo

MMwezeshaji awape washiriki kazi ya kuorodheresha sifa mbaya alizonazo

Washiriki kila mmoja aeleze hadharani sifa nzuri na sifa mbaya aliyo nayo na

atafanya ninin kuiondoa sifa hiyo mbaya aliyonayo.

HITIMISHO/TATHIMINI:

Mwezeshaji waeke msisistizo katika kuacha sifa mabaya aliyo nayo na kila mmoja awe

msaada kwa mwenzake ili kusaidia kuicha sifa hiyo.

Tumia kila njia ya Ubunifu ili kuona kila mshiriki anataja sifa yake mbaya

Bandika stika mgongoni kwa kila mshiriki na washiriki wote waandike kwenye stika

hiyo sifa mabya alizonazo

Tumia njia ya mduara wa uaminifu.

Page 16: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

16

Kipindi cha Tano: KAZI ZA WEO

VIFAA: Bango kitita, Nakala ya kazi za WEO, Kalamu za rashasha

LENGO: Washiriki waweze kuzibainisha na kuzitaja na kuzitekeleza kwa Ufanisi

NJIA ZA UFUNDISHAJI

Majadiliano – Dakika 40

Kazi ya kufanya

Mwezeshaji awaongoze washiriki waorodhodheshe kazi zaidi ya tano ambazo ni

muhimu kwa WEO.

Kisha kila mmoja azisome.

Mwezeshaji aandike majibu ya washiriki bila kurudia yaliyotajwa awali

Mwezeshaji awe na majukumu rasmi ya WEO ayasome na kujumuisha yale

yaliyotajwa awali

Washiriki wayanakili majukumu yaote rasimi yaliyo wasilishwa

Kazi zotezilizowasilishwa wazichukue kuwa vitendea kazi muhimu katika

maeneo yao ya kazi

Majadiliano

Mwezeshaji awape nafasi washiriki wajadili changamoto zinazojitokeza katika

Utendaji wao wa kazi

HITIMISHO/TATHIMINI

Mwezeshaji atoe majumuisho ya somo na kuangalia ushiriki wa kila mmoja

Kipindi cha Sita: MAJUKUMU YA WEO

VIFAA: Bango kitita, Nakala ya Majukumu ya WEO, Kalamu za rashasha nk

LENGO: Washiriki waweze kubaini majukumu yao na waweze kuyatekeleza kwa usahihi

Kazi ya 1: DAKIKA 15

Mwezeshaji awagawe washiriki kwenye makundi ya watu wanewanne na kisha

waandike majukumu yao ya kila siku

Kisha kila kundi liwasilishe kazi yao ubaoni

Page 17: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

17

Kazi ya 2: DAKIKA 10

Mwezeshaji aeleze tofauti kati ya kazi na majukumu

Mwezeshaji awaongoze wanakikundi kuorodhesha kwa kutofautisha kazi na

majukumu yao kwenye bango kitita

Kazi ya 3: DAKIKA 25

Mwezeshaji awaongoze wanakikundi waeleze changamoto zinzojitokeza katika majukumu

yao na namna ya kuzitatua

JUKUMU CHANGAMOTO NJIA ZA UTATUZI

HITIMISHO/TATHIMINI: Majukumu, changamoto na utatuzi zilizoainishwa zitasaidia na

kutumika kama zana za kutendea kazi ili kuondoa changamoto zilizobainishwa na kuboresha

utendaji wa WEO

Kipindi cha saba: Nafasi (Madaraka) na Mipaka ya majukumu ya WEO

Zana/vifaa: Bangokitita, kiongozi cha mwezeshaji, kalamu rashasha, picha za matukio

MALENGO YA JUMLA

Kuwawezsha washiriki kuelewa nafasi/madaraka na mipaka ya majukumu ya Afisa

Elimu Kata.

MALENGO MAHUSUSI

Hadi mwisho wa kipindi washiriki wawe wameelewa:

Nafasi/madaraka waliyonayo Maafisa Elimu Kata

Mipaka ya majukumu ya WEO

NJIA ZA KUFUNDISHIA

Mwezeshaji atumie njia mbalimbali zitakazowesha washriki kuelewa mada, njia hizo ni

pamoja na;

Maswali na majibu

Majadiliano katika vikundi

Page 18: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

18

Kisa mafunzo

Mwezeshaji waongoze washiriki kubunguabongo kwa kuwauliza maswali kuhusu

nafasi na mipaka ya majukumu ya WEO, andika majibu yao kwenye bango kitita.

Mwezeshaji awagawe washiriki kwenye makundi ya watu watano watano wajadili

kuhusu nafasi na mipaka ya majukumu ya WEO na waandike majibu yao katika

Bangokitita. Washiriki wawasilishe majibu yao waliyoandika kwenye Bangokitita.

Baada ya mawasilisho fanya majumuisho kwa kubainisha mambo muhimu kuhusu

nafasi ya WEO na mipaka ya majukumu yao

Mwezeshaji awagawe Washiriki kwenye makundi ya watu watano watano na kuwapa

kila kundi kupitia kisa-mafunzo aliyoiandaa inayohusu nafasi na mipaka ya WEO.

Baada ya kupitia Kisa-mafunzo iliyoandaliwa, Washiriki katika vikundi vyao

wabainishe upungufu wa Kiongozi huyo katika kutambua nafasi na mipaka yake.

Mwezeshaji afanye majumuisho kubainisha nafasi na mipaka ya WEO

Kisa-mafunzo: nafasi na mipaka ya majukumu ya WEO

Mwezi Novemba timu ya Wadau wa Elimu ilitembelea kata ya Mapinduzi kwenda kujifunza

namna uongozi wa kata unavyofanya kazi, na jinsi kata hiyo inavyopambana kujiletea

maendeleo katika sekta za elimu, afya na maji. Tulipokelewa na Mratibu Elimu Kata ambaye

alitoa taarifa fupi ya utenda kazi wake kwenye kata hiyo. Mratibu alisema hivi. Nanukuu;

‘’ kwenye Kata yangu huwa natekeleza majukumu yangu kwa kufuata sheria, Kanuni na

Taratibu za utumishi. Kila wiki huwa natemebelea shule moja iliyo ndani ya kata yangu.

Nikiwa shuleni hukagua kazi za walimu na kuongea na Mwalimu mkuu. Ninapogundua kuwa

kuna Mwalimu ambaye hatekelezi wajibu wake ipasavyo huwa namkemea na akiwa mbishi

namchapa viboko ili iwe fudisho kwa wengine. Mwalimu mkuu ambaye hasimamii vizuri

shule yake huwa napeleka taarifa zake kwa Afisa elimu mkoa na hata kumsimamisha kazi

kwa muda ili ajifunze. Mimi sina utani kwenye kazi! Mara nyingi huwa nakutana pia na

Wajumbe wa kamati za shule, kwasababu wengi hawana elimu ya kutosha juu ya majukumu

yao katika Shule zao, huwa natoa maelekezo kwao na kuwapangia majukumu yao. Pia

inapotokea Shule imepokea fedha Mwalimu mkuu ni lazima atoe taarifa kwangu na hawezi

kutumia fedha hadi ziidhinishwe na mimi. Na kila ninapotembelea Shule ni lazima Shule

husika waniandalie chai na mafuta ya pikipiki yangu ili niweze kufanya kazi zangu kwa

ufanisi. Mbinu hizi zimenisaidia sana kupata mafanikio mnayoyaona’’ Mwisho wa kunukuu.

Karibuni sana Kata ya Mapinduzi .

Page 19: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

19

Kipindi cha Nane: RIPOTI NZURI YA AFISA ELIMU KATA (AEK) INA SIFA GANI?

Vifaa

Bango kitita, Kalamu rashasha na gundi utepe

Afisa Elimu Kata waje na ripoti zao zilizounganishwa

Kazi ya 1

Utangulizi Nini kinaifanya taarifa ya Afisa Elimu Kata iwe nzuri? dakika 10

Kila mshiriki aandike jibu la swali hili kwenye karatasi/daftari

Kazi ya 2: Muda dakika 20

Kila mshiriki asome majibu yake na mwezeshaji aandike majibu kwenye bango kitita,

hakikisha haurudii uliyoandika awali

Wote mpitie mambo ambayo umeyaandika na ongoza mjadala kwa nini mambo hayo ni

muhimu katika uandishi wa taarifa nzuri.

Hitimisho Dakika 5.

Wape zoezi la kufanya nyumbani, kila mshiriki aandike taarifa ya maendeleo ya shule zake

na kuileta katika kipindi kijacho. Wazingatie yale muhimu yaliyofundishwa katika kipindi

hiki

Kipindi cha Tisa: Kushirikishana Taarifa za Afisa Elimu Kata (AFISA ELIMU KATA)

Kazi ya 1 dakika 25

Waeleze washiriki wabadilishane taarifa walizoandika na kuja nazo na wachunguze ubora wa

ripoti kwa kutumia vigezo vifuatavyo.

Sentensi zina ujumbe mahususi unaoeleweka?

Je, unafahamu matatizo makuu ya shule ni nini?

Je, maendelao ya shule yameelezwa kwa ufasaha na yanaeleweka kwa urahisi?

Je, unafahamu shughuli gani zilikubaliwa kufanyika kwa ajili ya kuboresha shule?

Je, mpangilio wa taarifa unaeleweka?

Bainisha mambo yaliyosahauliwa kwenye taarifa hiyo.

Kazi ya 2 Mrejesho wa wote dakika 25

Kila mmoja awasilishe matokeo ya taarifa aliyokuwa anaifanyia kazi na washirikishane

Page 20: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

20

Hitimisho dakika 10

Hitimisha somo kwa kusisitiza umuhimu wa kuandika taarifa nzuri na kwa wakati. Pia eleza

athari za kutokuandika taarifa nzuri na kwa wakti.

Toa nafasi ya maswali na fafanua pale panapohitaji maelekezo yako

Kipindi cha 10: MKUTANO WA ELIMU WA WILAYA

Vifaa: Bangokitita, kalamu rashaha, gundi utepe

Kazi ya 1:

Utangulizi Mkutano wa Elimu wa Wilaya (MEW) ni nini? dakika 5

Elezea

Mkutano wa Elimu wa Wilaya ni mkutano wa kila mwezi ambao unajumuisha Maafisa wa

Elimu kutoka Wilayani, Wathibiti Ubora wa shule na Afisa Elimu Kata.

MEW ni mkutano rasmi wa Wilaya unaozihusu Wizara za, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za

Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Wizara ya Elimu, wenye lengo la kuunganisha

mawazo na uzoefu ili kuweza kusaidia uboreshaji wa shule zetu.

Kazi ya 2: dakika 10

Wajibu na majukumu ya sasa kwenye uboreshaji wa shule wilayani

Wagawanye washiriki katika makundi matatu; Kundi la 1 litaigiza kama Afisa Elimu Kata,

kundi la 2 litajifanya kuwa Wathibiti Ubora (QAs) na kundi la 3 litakuwa la Maafisa. Lipatie

kila kundi bango kitita na kalamu rashasha.

Waambie kila kikundi kujadili jinsi wanavyowajibika kuboresha shule na waaandike mawazo

yao kwenye bango kitita. Kikundi cha kwanza kumaliza kitasema kwa sauti "BINGO".

Kundi hili litabandika bango kitita lao kwenye ukuta. Endelea hadi makundi yote matatu

yakamilishe.

Kazi ya 3: Mrejesho wa Kikundi na Mjadala wa wote dakika 10

Kila kundi libandike Bangokitita lao kwenye ukuta. Waambie wasome orodha ya majukumu

waliyoainisha.

Mwezeshaji sasa ongoza majumuisho ya mrejesho kwa kutumia maswali yafuatayo:

Page 21: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

21

Jukumu lipi kati ya hayo linaathari kubwa kwenye uboreshaji wa shule?

Je, muda mwingi unatumia kufanya jukumu gani?

Jukumu na wajibu gani unakusaidia kutekeleza uboreshaji wa shule?

Ni majukumu gani yanayokusaidia kutekeleza uboreshaji wa shule yako?

Mambo ya Kusisitiza:

Kupitia jamii inayojifunza Wilaya ni lazima ihakikishe kuwa:

Ufundishaji na ujifunzaji unaboreshwa

Viwango na madaraja ya wanafunzi yanaimarika

Shule zinawajibika ipasavyo

Hoja za kifedha zinajadiliwa kama vile ruzuku ya Miradi ya shule (IGA)

Wananchi wanashiriki na kujihusisha na masuala ya shule zao

Taarifa zinapokelewa na kutolewa kwa wengine kupitia ripoti

Huu ni wajibu wa pamoja!

Kufanya kazi pamoja kunahitaji muda maalum uliotengwa, muda huo unaitwa

Mkutano wa Elimu wa Wilaya (MEW)

Unashughulikia masuala yanayohusu ufundishaji na ujifunzaji yanapoibuka

Kushirikishana na kuimarisha maboresho ya elimu wilayani

Unasaidia kuleta mawasiliano yenye ufanisi

Kazi ya 4: Faida za Mkutano wa Elimu wa Wilaya (MEW) ni zipi? dakika 10

Hakikisha kila kikundi kina karatasi ya bangokitita na kalamu rashasha. Yakumbushe

makundi kwamba wanapaswa kuchagua mtu mmoja ambaye ataandika maelezo na

kuwasilisha wakati wa mjadala wa wote.

Kuna faida zipi kwa Wathibiti Ubora wa Shule (QAs), Afisa Elimu Kata na Maafisa

wa Wilayani kukutana kila mwezi kuzungumzia suala la ubora wa elimu katika

wilaya yenu?

Kipi ni tofauti kuhusu Mkutano wa Elimu wa Wilaya (MEW)?

Kazi ya 5: Mrejesho wa wote dakika 15

Page 22: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

22

Omba kila kikundi kikuambie majibu yao (majibu yasizidi 2). Kisha zunguukia tena kuuliza

majibu toka kwenye makundi mpaka pointi zote zitolewe. Waambie wana kikundi wasirudie

kile kilichosemwa na wengine.

Andika kwenye bango kitita pointi muhimu tu (siyo kila neno) zilizotolewa na vikundi.

Kipi cha tofauti kuhusu MEW?

Mikutano ya Afisa ELimu Wilaya (DEO) na Afisa Elimu Kata, itahusu, vipengele vingi

vikiwemo:

Wajibu wa kiutawala, kuendana na mahitaji na taratibu za Wizara

Kuwataarifu wafanyakazi kuhusu nyaraka na maagizo

Kujadili maendeleo na ufaulu wa wanafunzi

MEW ni chombo mahususi kwa ajili ya kuboresha utendaji wa shule:

Mijadala hujikita zaidi kwenye jinsi ya kuboresha elimu wilayani

Maamuzi hufanywa kwa pamoja kama ‘Jamii inayojifunza’

Ufumbuzi unapatikana, badala ya matatizo, Kwa Afisa Elimu Kata, Wathibiti Ubora

wa shule na Maafisa Elimu kufanyakazi pamoja

Dhamira na wajibu kwa ajili ya kuboresha shule vinashirikishwa kwa wote,

Faida za Mikutano ya Elimu ya Wilaya (MEW)

Mambo ya kusisitiza:

Uelewa wa pamoja wa michango iliyotolewa na kila mtu na kushirikishana mawazo

Kushirikishana masuala ya kufanya yaliyokubalika na wote kwa ajili ya kuboresha

kwa pamoja shule wilayani

Kuthamini na kujenga uwezo wa washiriki wote kwenye mkutano,

Kushirikisha mafanikio na ubunifu mpya

Umuhimu wa mahusiano ya Mkutano wa Elimu (MEW) na majukwaa mengine ya

jamii inayojifunza

Umuhimu wa kushirikishana ripoti za mikutano ya “Jamii inayojifunza”

Kuboresha utendaji wa shule ni kazi ya pamoja!

Page 23: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

23

vinakubaliwa, na kufuatiliwa

Fursa kwa Wathibiti Ubora wa Shule na Maafisa kuwajengea uwezo AEK

Afisa Elimu Kata wanabeba jukumu la kutafuta ufumbuzi

Hitimisho dakika 10

Kwa ufupi elezea jinsi unavyoiona mikutano ya MEW:

Kujenga uelewa wa pamoja wa mbinu za kupandisha viwango na ubora wa elimu

wilaya nzima

o Kwa Wathibiti Ubora kuchangia utaalamu wao na kwa Maafisa Elimu kupata

taarifa kuhusu shule zao kwenye wilaya zao

o Kwa halmashauri kupokea taarifa ili kuandaa mipango yao ya kusaidia,

kuelekeza na kuhimiza shule kufanya vizuri, pamoja na kuweka vipaumbele

vya mipango yao kwa ajili ya kuboresha na kugharamia elimu

o Kwa mtiririko wa taarifa kati ya Wathibiti ubora, Maafisa Elimu na Afisa Elimu

Kata kuhusu shughuli za mwezi uliopita na shughuli zitakazopangwa kufanyika

mwezi ujao.

Kupitia maendeleo ya miradi ya Wilaya na kupata mrejesho

Kujikita kwenye masuala ya kuinua ubora wa elimu Wilayani: kupanga shughuli za

mafunzo na kusaidia utekelezaji wa mpango wa maemdeleo ya shule

Kutoa fursa kwa Wathibiti ubora, Maafisa Elimu na Afisa Elimu Kata kuwa na

mikutano ya kila mwezi ya ‘Jamii inayojifunza”, ili kuibua mawazo mapya na

kutafuta njia za kutatua matatizo kwa ajili ya kuboresha shule.

JAMII YA KUJIFUZA YA WALIMU WAKUU

Kipindi cha 11: Jamii ya kujifunza ya Walimu Wakuu ni nini?

Malengo ya kipindi:

Yafuatayo ni malengo ya kipindi hiki:

Kuelezea shabaha ya Jumuiya ya kujifunza ya walimu wakuu

Page 24: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

24

Kutoa wasaa kwa washiriki kurejea uzoefu wao wa kuendeleza shule zao hadi sasa

Matokeo Mahsusi:

Mwisho wa kipindi hiki kila mshiriki:

Ataweza kueleza uhusiano uliopo kati Mpango wa maendeleo ya shule na jumuiya ya

kujifunza

Vifaa: Bango lenye maana na malengo ya jumuiya ya kujifunza kwa walimu wakuu

Pangilia ukumbi vizuri ili washiriki wakae kwenye nafasi nzuri ya kukaa na kujadili

1. Jumuiya ya kujifunza ya walimu wakuu (Dakika 10)

Kazi ya 1:

Uliza maswali machache kuhusu maana ya Jumuiya ya kujifunza , wape nafasi ya

kujibu mmoja mmoja.

Kisha waeleze maana ya jumuiya ya Kujifunza ya walimu wakuu

"Jumuiya ya kujifunza ya walimu wakuu ni kikundi cha walimu wakuu

wanaoshirikishana malengo, kusudi, hamu na mitazamo inayofanana, na wanaokutana

mara kwa mara ili kufanya kazi pamoja kwa ajili ya maendeleo ya shule zao".

Jumuiya ya kujifunza ya walimu wakuu inatoa fursa:

Kushirikishana ujuzi, uzoefu, hofu na mashaka

Kuwasaidia kujifunza yaliyo mazuri kutoka kwa kila mmoja

Kuboresha utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya shule

Kazi ya 2: Majadiliano ya vikundi (Dakika 10)

Kwanini Jumuiya ya kujifunza kwa walimu wakuu?,

Kwenye makundi yao washiriki wajadili umuhimu wa Jumuiya ya kujifunza ya walimu

wakuu, kwanini inafaa na ni muhimu. Waweke kumbukumbu ya mambo muhimu kwenye

bango na wamchague mmoja wao kwa ajili ya uwasilishaji.

Kazi ya 3: Mrejesho wa pamoja (Dakika 10)

Kila kundi libandike bango lao ukutani. Kila kundi liwasilishe mambo muhimu waliojadili

(Mwezeshaji ahakikishe makundi hayarudii jambo lililokwisha wasilishwa na kundi

lililotangulia).

Page 25: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

25

Mambo ya kukazia: Kwa nini Jumuiya ya kujifunza kwa walimu wakuu

Hitimisho:

Waulize washiriki kama wana maswali na toa ufafanuzi juu ya suala lililoulizwa.

Kushirikishana uzoefu, ujuzi, maarifa, hofu na mashaka

Kusaidia ya Walimu Wakuu kujifunza mambo mazuri kutoka kwa kila mmoja

Kusaidia Walimu Wakuu kuwa na ufanisi katika kutekeleza mabadiliko

Kuboresha utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya shule

Jumuiya ya kujifunza itawasaidia walimu wakuu wajifunze kutoka kwa kila

mmoja, waweze kufanya jambo lisilo sahihi/sawa kuwa sahihi/sawa

Kipindi cha 12: SIFA ZA JAMII YA KUJIFUNZA YA WALIMU WAKUU

Vifaa: Bango kitita, kalamu za rashasha,

Njia za kufundishia: Maswali na majibu, majadiliano.

Kazi ya 1: Muda dakika 10

Wagawe washiriki katika makundi mawili na wajadili sifa kuu za jamii ya Kujifunza

zilizoainishwa hapa kila kundi wafanyie kazi sifa mbili

Kwenye jamii ya kujifunza hakuna madaraka

Wanachama wote wa jamii ya kujifunza ni wanafunzi

Jamii ya kujifunza huanzishwa kwa makusudi, ina mpangilio maalum na ina misingi

ya kuaminiana kati ya wanachama.

Jamii ya kujifunza huzingatia hamu ya kujifunza, wasi wasi, au changamoto ambazo

walimu wakuu wanataka kuzifanyia kazi kwa Pamoja

Kazi ya 2: Dakika 10

Kila kundi wawasilishe kazi yao na wengine wachangine mawazo yao.

Baada ya kuwasilisha kila kundi waongeze sifa kuu mbili.

Hitimisho: Dakika 10

Eleza umuhimu wa sifa hizo zilizoainishwa ili waweze kufahamu ni aina gani ya jamii ya

Kujifunza inayotakiwa kuundwa

Page 26: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

26

Kipindi cha 9: Hatua nne za kuunda jamii ya kujifunza kwa walimu wakuu

Vifaa: Bango kitita, kalamu za rashasha,

Njia za kufundishia: Maswali na majibu, Igizodhima.

Kazi ya 1: Muda dakika 15

Eleza kwa kina maana ya kila hatua, kisha wagawe washirika katika makundi manne

kulingana na hatua zilizopo. Kisha waambie washirika kutengeneza igizodhima juu ya

kila hatua

Kujenga ushirika

Kutafuta kusudi la pamoja

Kutafuta njia ya kufikia mabadiliko na maboresho

Kubaini uwezo wa jamii ya kujifunza (ujuzi, maarifa na uzoefu wa wanajamii

Kazi ya 2: Dakika 20

Wape nafasi washiriki waoneshe igizo kulingana na hatua (waanze wa hatua ya kwanza)

Baada ya kuwasilisha wape nafasi ya kujadiliana juu ya maigizo hayo.

Kazi ya 3: Dakika 20

Chagua washiriki watatu na waigize kama Afisa Elimu Kata kwa zamu, na wengine wawe

ndio walimu wakuu. Washiriki watatu waliochaguliwa waunde jamii ya Kujifunza kwa

zamu, baada ya kundi la kwanza kuundwa, washiriki wajadili kama kuna Maeneo ya

kuyaimarisha zaidi. Wafanye hivyo hadi wote watatu watakapomaliza.

Hitimisho: Dakika 5

Waeleze washiriki kuwa sasa wanatakiwa kuunda jamii za Kujifunza za walimu wakuu

katika kata zao. Pia wanatakiwa kusimamia na kutoa msaada inapohitajika na kuona walimu

wakuu wanafanya vizuri katika masomo yao.

Kipindi cha 13: KUFANYAKAZI NA WADAU WENGINE WA ELIMU

Zana/vifaa: Bangokitita, kiongozi cha mwezeshaji, kalamu rashasha, chati ya wadau

wa elimu

MALENGO YA JUMLA: Kuwawezsha washiriki kuwatambua wadau muhimu wa elimu

na jinsi ya kufanya nao kazi ili kufanikisha malengo ya elimu.

Page 27: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

27

MALENGO MAHUSUSI

Hadi mwisho wa kipindi Afisa Elimu awatambue wadau muhimu wa Elimu katika kata yake

anaopaswa kufanya naye kazi ili kufikia malengo ya elimu.

NJIA ZA KUFUNDISHIA

Mwezeshaji atumie njia mbalimbali zitakazowesha washriki kuelewa mada, njia hizo ni

pamoja na;

Maswali na majibu

Majadiliano katika vikundi

Igizodhima

Kazi ya 1: dakika 25

Mwezeshaji awagawe washiriki kwenye makundi ya watu watano watano , kila kikundi

waorodheshe wadau wa elimu ambao wanafanya nao kazi na wabainishe wengine wapya.

Kisha kila kikundi waoneshe ni jinsi gani watafanya kazi na kila mdau na kazi yake ni

nini

wajadili kuhusu jinsi wanavyopaswa kufanya kazi kwa kushirikiana na wadau wengine

wa elimu.

Washiriki wafanye mawasilisho kwa kutumia Bango kitita kwa Mfano uliooneshwa

Jina la mdau/mtu au

Taasisi

Shughuli anayofanya Utafanya nae kazi katika

Maeneo gani

Mfano: Visiga

foundation

Mchimbaji wa visima vya

maji

Kumshirikisha katika mkakati

wa upatikanaji wa maji shuleni

Hitimisho: dakika 5

Baada ya mawasilisho mwezeshaji afanye majumuisho kwa kuonesha chati iliyoandaliwa

inayofafanua wadau muhimu wa Elimu ambao WEO anapaswa kushirikiana nao katika

utekelezaji wa majukumu yake.

Page 28: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

28

Kipindi cha 14: SHERIA, KANUNI, MIONGOZO NA NYARAKA ZINAZOHUSU

MASUALA YA ELIMU.

Zana/vifaa: Bangokitita, kiongozi cha mwezeshaji, nakala za; Sheria ya Utumishi wa

umma, utumishi wa waalimu na kanuni zake,Kanuni za kudumu za

utumishi wa umma za mwaka 2009,Miongozo na Nyaraka zinayohusu

masuala ya Elimu.

Muda: Dakika 120 (gawanya kipindi hiki katika vipindi/ Sehemu ndogondogo ili

washiriki waelewe kikamilifu)

MALENGO YA JUMLA

Kuwawezsha washiriki kuweza kubainisha sheria, kanuni, miongozo na nyaraka

mbalimbali wanazopaswa kuzitumia katika kutekeleza majukumu yao.

MALENGO MAHUSUSI

Hadi mwisho wa kipindi washiriki wazitambue;

Sheria Na.8 ya Utumishi wa umma ya mwaka 2003 na Na. 25 ya Utumishi wa Waalimu

ya mwaka 2015.

Kanuni za Utumishi wa Umma za mwaka 2003 na za Utumishi wa Waalimu za mwaka

2016.

Kanuni za Kudumu za Utumishi wa Umma za mwaka 2009.

Sera ya Elimu ya mwaka 2014

Waraka wa mishahara wa mwaka 2015

Waraka Na. 3 wa mwaka 2016 unaohusu Utakelezaji wa Elimu Msingi bila malipo

Waraka Na.1 wa Elimu 2013 wa kuchangia ngarama za ukaguzi wa shule kwa kiwango

cha shilingi 1,000 kwa kila mwanafunzi, kwa shule za sekondari zisizo za serikali.

Miongozo ya bajeti upande wa masuala ya Elimu, 2018-01-19

Muongozo wa Matumizi ya fedha za Ruzuku ya Uendeshaji (Capitation Grants) kwa

shule za Msingi za Serikali kufuatia uamuzi wa Serikali kutekeleza Elimu msingi bila

Malipo.

Muongozo wa fomu za kujiunga na kidato cha kwanza kwa shule za sekondari za serikali

Kumb. Na.DC.297/507/01/146/ ya 23/11/2015.

NJIA ZA KUFUNDISHIA

Mwezeshaji atumie njia mbalimbali zitakazowesha washiriki kuelewa mada, njia hizo ni

pamoja na;

Page 29: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

29

Maswali na majibu

Majadiliano katika vikundi

Igizodhima

JINSI YA ZA KUFUNDISHA

Mwezeshaji awagawe washiriki kwenye makundi ya watu watano watano waandae

Igizodhima linalohusu uvunjwaji wa Sheria, kanuni na miongozo iliyowekwa.

Igizodhima kuhusu uchangiaji wa Elimu msingi bila Malipo kinyume cha Sheria, Kanuni na

Miongozo iliyowekwa.

IGIZO DHIMA JUU YA UCHANGIAJI WA ELIMU MSINGI BILA MALIPO- KISA

MKASA.

Mkata Kicheko ni mkuu wa shule katika Shule ya Sekondari Asante Nyerere. Shule hii ipo

wilayani Katamajani katika Wilaya ya Mkonganje. Mkuu wa shule akishirikiana na

mwenyekiti wa Shule ndugu Kikombe badilisha, waliitisha kikao cha bodi ya shule na

kuwaeleza wajumbe changamoto mbalimbali zinazoikabili shule hiyo. Baadhi ya

changamoto hizo zilikuwa ni pamoja na shule kutokuwa na walimu wa masomo ya sayansi,

kutokuwa na mlinzi, uhaba wa fedha za kuendesha mitihani, uchache wa majengo, kutokuwa

na uzio na hivyo wananchi kukatiza hovyo katika mazingira ya shule na wakati mwingine

kuiba mali za shule, pamoja na changamoto zingine. Mwisho wa kikao mkuu wa shule

pamoja na bodi ya shule walikubaliana kuandaa fomu kwa ajili ya kuwaomba

wazazi/wananchi michango ya fedha ili kupunguza changamoto hizo. Fomu hiyo ilionesha

aina ya michango iliyokuwa inahitajika. Miongoni mwa michango hiyo ni kama ifuatavyo;-

michango kwa ajili ya waalimu wa Sayansi, ulinzi, mitahani/majaribio, ukarabati wa

madarasa, ununuzi wa samani, ujenzi wa uzio wa shule, mhafali ya kidato cha nne, ununuzi

wa t-shirt, uwekaji nembo, ziara za kitaaluma, vitambulisho na picha za kadi za maendeleo.

Baada ya hapo kikao kiliridhia na Mtendaji wa kata ambae pia ni mjumbe wa bodi katika

shule hiyo aliahidi kufanya kazi ya kukusanya michango akishirikiana na watendaji wake wa

vijiji baada tu ya kufanya kikao cha hadhara na wananchi wake.

Mwezeshaji awaongoze Washiriki waweze kubainisha mambo yanayoashiria uvunjaji

wa Sheria , Kanuni na Taratibu katika

kushughulikia masuala ya Elimu msingi bila malipo kwa mujibu wa habari

waliyoisoma.

Aidha, Washiriki wabainishe hatua zinazopaswa kufuatwa katika kuridhia michango

iliyotokana na wazazi/wananchi.

Mawasilisho yafanyike kwa kutumia bangokitita.

Page 30: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

30

Baada ya mawasilisho mwezeshaji afanye majumuisho kwa kubainisha ukiukwaji wa

Sheria Kanuni,Taratibu na Miongozo uliofanywa na Mkuu wa Shule kwa Mujibu wa

kisa mkasa.

Mwezeshaji awaongoze washiriki kupitia Kanuni Na. 12(3) ya Kanuni za Utumishi

wa Walimu za mwaka 2016 ambayo imewapa Walimu Wakuu na Wakuu wa shule

mamlaka ya

Mwezeshaji awaongoze Washiriki kupitia Kanuni Na. 12 (3) cha Kanuni za Utumishi

wa Walimu za mwaka 2016 ambapo imetamkwa kuwa Mamlaka ya Nidhamu ya

Mwalimu katika ngazi ya Shule ni Mwalimu Mkuu au Mkuu wa Shule. Baada ya

kupitia Kanuni hiyo katika vikundi wabainishe aina ya makosa ambayo Mwalimu

anaweza kuyafanya na adhabu zinazoendana na makosa hayo.

Mwezeshaji awape washiri kazi ya vikundi inayohusu kesi ya Kinidhamu ya

Mwalimu ambaye hufika shuleni lakini hatimizi wajibu wake.

Kipindi cha 15: WAJIBU, MIIKO NA MAADILI YA KAZI YA UALIMU

Zana/vifaa: Bangokitita, kiongozi cha mwezeshaji, nakala ya Mkataba wa Ajira wa

Mwalimu.

MALENGO YA JUMLA

Kuwawezsha washiriki kuweza kubainisha Wajibu, Miiko na Maadili ya kazi ya

ualimu

MALENGO MAHUSUSI

Hadi mwisho wa kipindi washiriki wawe kutekeleza;

Wajibu wao

Miiko na Maadili ya Kazi ya Ualimu.

NJIA ZA KUFUNDISHIA

Mwezeshaji atumie njia mbalimbali zitakazowesha washiriki kuelewa mada, njia hizo ni

pamoja na;

Maswali na majibu

Majadiliano katika vikundi

Page 31: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

31

Kazi ya 1: Dakika 20

Wagawe washiriki katika makundi ya watu wanne wanne, kila kundi waandike majuku

makuu 5 ya mwalimu mkuu au mkuu wa shule. Wape nafasi kubandika ukutani kazi yao

kisha wasomee zile zilizoandaliwa na washiriki waongezee zile wasizokuwa nazo.

Ni mtaaluma mkuu katika shule;

Kuhakikisha kuwa maagizo na miongozo yote inayohusu elimu inazingatiwa na

walimu na jamii pamoja na kusimamia utekelezaji wake;

Kuongoza jumuiya nzima ya shule;

Kusimamia shughuli zote za uendeshaji wa shule;

Ni kiungo kati ya shule na jumuia inayozunguka shule, viongozi wa Serikali, wazazi;

jamii na Taasisi mbalimbali;

Msimamizi wa raslimali zote za shule;

Kuhakikisha kuwa fedha zote za shule zikiwemo ruzuku toka serikalini au vyanzo

vya shule zinathibitiwa ipasavyo na kutumika kwa malengo kusudiwa tu;

Kuhakikisha kuwa walimu na watumishi wasio walimu wanashirikiana katika

uongozi na maendeleo ya shule;

Kuhakikisha kuwepo kwa uwazi juu ya mapato na matumizi ya fedha za shule kwa

walimu, wanafunzi na jamii husika; na

Kubuni mikakati ya kuboresha taaluma na maendeleo ya shule kulingana na

mazingira yake.

Kazi ya 2: Dakika 10

Wagawe washiriki katika jozi na kila jozi ijadili na kufafanua jukumu mojawapo la mwalimu

mkuu au mkuu wa shule. Hakikisha kila jozi imepata kazi.

Baada ya mawasilisho hitimisha kipindi kwa kusisitiza kuwa ni jukumu la Afisa Elimu Kata

anahakikisha kuwa mwalimu mkuu au mkuu wa shule anatekeleza majukumu yake

kikamilifu na anamsaidia pale anapopata tatizo katika utekelezaji.

Page 32: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

32

SHERIA ZA UTUMISHI

Kipindi cha 16: MAADILI YA UONGOZI

VIFAA: Bango kitita, kalamu za rashasha, Maadili ya Uongozi,

LENGO: Washiriki waweze kubaini na kutekeleza maadili ya uongozi katika sehemu zao za

kazi

KAZI YA 1: DAKIKA 10

Mwezeshaji awagawe washiriki katika jozi na wajadili maana ya maadili

Mwezeshaji aunganishe jozi mbili na washirikishane majibu ya majadiliano yao

Washiriki waandike yale waliyokubaliana na wayawasilishe ubaoni kwenye bango

kitita

Mwezeshaji atoe nafasi kwa kila kikundi kuwasilisha kazi yake

Kazi ya 2: Dakika 10

Mwezeshaji awaongoze washiriki kuoroghesha maadili ya uongozi wanayo yafahamu

katika vikundi vya watu watano watano

Mwezeshaji awape nafasi wanakikundi kuwasilisha kazi zao

Kila kikundi kibandike kazi yake ukutanii mmoja atateuliwa kuwasilisha na wengine

watazungukia kazi za wenzao

Kazi ya 3: Dakika 30

Mwezeshaji awasilishe rasmi maadili ya uongozi kwa washiriki

Mwezeshaji awape nafasi washiriki wajadili yale waliyowasilisha

Mwezeshaji aandae maswali ya kuwaongoza washiriki katika majadiliano kwenye makundi

ya watu watano watano na wajibu maswali yafuatayo

1. Je viongozi wanayo maadili

2. Je wanayajua

3. Je wanayafuata, Kama hawayafuati ni changamoto gani zinazowafanya washindwe

kuyafuata

4. Wewe kiongozi (WEO) ni kwa jinsi gani maadili ya uongozi yanakusaidia kutekeleza

kazi zako za Kielimu

5. Wanakikundi watawasilisha majadiliano yao mbele ya washiriki

HITIMISHO/TATHIMINI: Mwezeshaji atawaambia washiriki wachukue nukuu za somo

kwa ajili ya rejea.

Page 33: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

33

Kipindi cha 17: HAKI NA STAHIKI

VIFAA: Makala za haki na stahiki, bangokitita nk

LENGO: Washiriki wajue haki na stahiki wanazo stahili ili ziweze kuwasaidia katika

kutekeleza majukumu yao ya kila siku kwa ufanisi zaidi

NJIA ZA KUFUNDISHIA

Majadiliano

Mapitio ya nyaraka na uchambuzi wake

Jedwali la kutofautisha Haki na stahiki

S/N HAKI STAHIKI

KAZI YA 1: DAKIKA 40

Mwezeshaji awaongoze washiriki kubaini maana ya haki na stahiki (Rights and

Privileges

Washiriki waorodheshe haki na stahiki zao katika jedwali

Mwezeshaji awapitishe kwenye haki na stahiki kama zilivyoandikwa kwenye sheria

za utumishi

Washiriki wajadili utekelezaji wa haki na stahiki zao

KAZI YA 2: DAKIKA 10

ICE BREAKER – Ichukue muda wa dakika kumi kuhakikisha kuwa inahusisha mada

ya haki na stahiki

HITIMISHO NA TATHIMINI:

Mwezeshaji atoe majumuisho ya somo na kuangalia ushiriki wa kila mmoja pia na

kupokea maoni kutoka kwa washiriki.

Pia atafute nyaraka zifuatazo

Page 34: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

34

1. Maadili ya uongozi

2. Haki za mtumishi

3. Stahiki za mtumishi

4. Kazi za weo

5. Sifa za weo

6. Majukumu ya weo

AINA ZA HAKI ZA MTUMISHI

Likizo..........(Zipo aina tofauti ...)

Haki ya kuacha kazi

Haki ya matibabu

Haki ya mazishi

Haki ya kuazimwa

Haki ya mafunzo/kujiendeleza

Haki ya kukata rufaa kutoka

mamlaka moja kwenda mamlaka

nyingine (Mamlaka ya nidhamu)

Haki ya kulipwa mashahara

Haki ya kupanda cheo...... vipo vitu

vya kuzingatia

Haki ya kuthibitishwa kazini

Haki ya ajira (Kuwa na mkataba wa

kaz

UONGOZI NA MENEJIMENT KATIKA ELIMU

Kipindi cha kwanza: MAANA YA UONGOZI

ZANA / VIFAA: Bango kitita, karatasi, na kalamu rashasha

MALENGO YA JUMLA

Kuwawezesha washiriki kuelewa dhana nzima ya uongozi na utekelezaji wake

kwa lengo la kufanikisha malengo ya taasisi husika.

MALENGO MAHUSUSI

Hadi mwisho wa kipindi washiriki wawe wamebainisha na kutambua:

NJIA ZA KUFUNDISHIA

Mwezeshaji atumie njia mbalimbali kuhakikisha washiriki wanaelewa dhana nzima ya

Uongozi. njia hizo ni pamoja na kumwalika mgeni, mapitio ya nyaraka, vitabu na

mitandao .

Kazi ya 1: Dakika 10

waambie washirika waandika kwenye daftari zao maana ya Uongozi kwa jinsi wanavyoelewa.

Wape nafasi kila mmoja kueleza maana ya Uongozi aliyoiandika.

Wapatie tafsisi ya Uongozi uliyoinandaa na kuwafafanulia zaidi.

Page 35: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

35

Kazi ya 2: Dakika 10

Wagawe washilriki katika makundi matatu, na kila kundi waeleze kiongozi ni nani, na

majukumu yake ni nini katika shule kisha wawasilishe kazi yao.

Uliza maswali ya udadisi ili waweze kueleza zaidi.

Kazi ya 3: Dakika 20

Waambie kila mmoja andike katika daftari lake kwa nini anafikiri kuwa yeye

ni kiongozi katika kata.

Kisha kila mmoja ashirikishane na mwezake aliye upande wake wa kulia.

Waunganishe sifa zao na wawasilishe.

Washiriki wengine waulize maswali au juu ya yanayowasilishwa

Hitimisho

Hitimisha kwa kuelezea maana ya Uongozi na nani ni kiongozi.

Pia awakumbushe kuwa wao ni viongozi katka kata zao.

Kipindi cha 2: AINA ZA UONGOZI

Utangulizi: Dakika 5

Wakumbushe kwa njia ya maswali kiongozi ni nani na Uongozi ni nini?

Kazi ya 1: Dakika 20

Zana/vifaa Bangokitita, kiongozi cha mwezeshaji, kalamu rashasha, picha za viongozi mbalimbali.

Mwezeshaji abandike picha za viongozi mbalimbali ukutani na awatake washiriki

wabunguebongo katika jozi kwa kurejea picha hizo.

Mwezeshaji awatake washiriki kutoa mrejesho wa walichokibaini kutokana na picha hizo.

Mwezeshaji awagawe washiriki katika vikundi vya watu watano watano na kuwapa orodha ya

viongozi 20 wa Afrika na kuwataka wabainishe aina ya uongozi wao na sababu za ubainisho

huo.

Mwezeshaji aongoze washiriki kufanya majadiliano ya pamoja kubainisha aina za viongozi

kulingana na majadiliano ya vikundi.

Mwezeshaji, achague mshiriki mmoja aongoze zoezi la kuchangamsha mwili kwa vitendo.

Changamsha mwili inaweza kuwa kuimba, kucheza, au kufanya zoezi lolote kwa vitendo.

Hitimisha kwa kuwaeleza kuwa somo litaendelea kipindi kijacho

Kazi ya 2: Dakika 20

Waulize washiriki wataje aina za Uongozi wanazozifahamu kulingana na majadiliano ya

zoezi la kwanza.

Andika aina za Uongozi zilizotajwa

Wagawe washiriki kulingana na aina za Uongozi zilizotajwa na waeleze faida na hasara za

aina hizo na watoe angalau Mfano mmoja halisi. Kisha waeleze ni aina ipi ya Uongozi ni

bora zaidi?

Wape nafasi ya kuwasilisha

Page 36: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

36

Hitimisho: Dakika 5

Hitimisha kipindi kwa kuwauliza mmoja mmoja je wao wanatumia aina gani ya Uongozi na kwa

nini

Kipindi cha Tatu: MAJUKUMU YA KIONGOZI

Utangulizi: Dakika 5

Wakumbushe washiriki juu ya aina za Uongozi na sifa zake.

Zana/vifaa Bangokitita, kiongozi cha mwezeshaji, kalamu rashasha, simulizi ya utendaji wa

kiongozi iliyoandaliwa.

Simulizi Mwezeshaji atafute simulizi inayohusiana na majukumu ya kiongozi

Kazi ya 1: Dakika 10

Mwezeshaji awagawe washiriki katika vikundi vya watu watano na kuwapa karatasi

inayosimulia utendaji wa Kiongozi. Baada ya kupitia habari hiyo, mwezeshaji awatake

kubainisha majukumu ya Kiongozi waliyoyabaini kutokana na habari waliyoisoma.

Mwezeshaji awaongoze washiriki kubainisha majukumu ya Kiongozi.

Wape nafasi ya kuwasilisha.

Kazi ya 2: Dakika 25

Kila mshiriki aandike majukumu yake makuu matano (hakikisha kila mmoja anaandika

majukuu yake na sio kuangalia kwa mwingine)

Kila mshiriki awasilishe majukumu yake

Andika majukumu ya kila mmoja kwenye bangokitita (usirudie lililotajwa)

Bandika majukumu ya AEK kama iliyoainishwa na Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia

Wape nafasi washiriki wanakili majukumu yao rasmi.

Kazi ya 3: dakika 10

Ongoza majadiliano jinsi wanavyotekeleza majukumu yao, kuna changamoto gani na

wanazitatuaje? Je wakipata changamoto wanapata wa msaada?

Hitimisha kipindi kwa kuwaelezea umuhimu wa kujua majukumu yao na kuyatekeleza

Kipindi cha nne: SIFA ZA KIONGOZI

Utangulizi Dakika 15

Kila mshiriki amtaje amuelezee kiongozi anayemuhusudu na kwa sababu gani

Kazi ya 1: Dakika 10

Page 37: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

37

Zana/vifaa Bangokitita, kiongozi cha mwezeshaji, kalamu rashasha, aeneo i ya utendaji wa

kiongozi iliyoandaliwa.

Mwezeshaji awagawe washiriki kwenye makundi ya watu watano watano wajadili na waandike

sifa za kiongozi bora wanazozifahamu na kutoa mifano halisi, na kuwasilisha majibu yao

waliyoandika kwenye Bangokitita.

Kazi ya 2: Dakika 15

Mwezeshaji awagawe washiriki katika vikundi vya watu watano, watano na kuwapa karatasi

inayosimulia utendaji wa Kiongozi. Baada ya kupitia aeneo hiyo, mwezeshaji awatake kuainisha

sifa za Kiongozi walizobaini kutokana na aeneo waliyoisoma.

Simulizi, Mwezeshaji: Andaa kisa mkasa au igizodhima kuhusu sifa za kiongozi

Kazi ya 3: Muda dakika 20

Mambo yanayofanya mtu kupoteza sifa za kiongozi bora.

Zana/vifaa: Bangokitita, kiongozi cha mwezeshaji, kalamu rashasha, picha za viongozi

mbalimbali.

Wagawe washiriki katika makundi matatu.

Mwezeshaji awatake washiriki wataje mambo yanayoweza kumfanya yeye akiwa ni kiongozi

apoteze sifa ya Uongozi watoe mifano halisi na athari zake kwa maendeleo ya kata/wilaya zao.

Hitimisho

Waambie washiriki wataje jambo moja walilojifunza kuhusu sifa na majukumu ya kiongozi

MENEJIMENT/USIMAMIZI

Kipindi cha 5: Kuelewa dhana ya Menejiment/Usimamizi

Zana/vifaa: Bangokitita, kiongozi cha mwezeshaji, kalamu rashasha,

Muda: Dakika 20

MALENGO YA JUMLA

Kuwawezsha washiriki kuelewa dhana nzima ya Menejimenti na utekelezaji wake

kwa lengo la kufanikisha malengo ya taasisi husika.

MALENGO MAHUSUSI

Hadi mwisho wa kipindi washiriki wawe wamebainisha:

Dhana ya Menejimenti

Umuhimu wa Taasisi kuwa na Menejimenti/Usimamizi

Kubainisha Kanuni za Menejimenti.

Kutathmini aina ya Menejiment zilizopo katika taasisi za elimu

NJIA ZA KUFUNDISHA

Majadiliano, maswali na majibu kazi za vikundi

Page 38: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

38

Kazi ya 1: Umuhimu wa Menejiment muda dakika 40

Zana/vifaa Bangokitita, kiongozi cha mwezeshaji, kalamu rashasha, Kisa mafunzo

Mwezeshaji awagawe washiriki katika vikundi vya watu watano na kuwapa karatasi

inayosimulia menejimenti katika taasisi mbili tofauti. (Kisa mafunzo yameambatishwa-

Kiambatisho 1&2)

Baada ya kupitia habari hiyo, mwezeshaji awatake kuainisha umuhimuna athari za

kutokuwa na Menejimenti kwenye makundi hayo.

Hitimisho

Hitimisha kipindi kwa kuwapa zoezi la kufanya nyumbani kama kuna umuhimu wa kuwa na

menejimenti au uongozi katika shule, waeleze kuwa tutawasilisha mwanzo wa kipindi kijacho

Kipindi cha 6: Kanuni za Menejimenti/Usimamizi

Zana/vifaa Bangokitita, kiongozi cha mwezeshaji, kalamu rashasha

Utangulizi Dakika 5

Wakumbushe washiriki kusoma majibu ya kazi uliyowapatia kipindi kilichopita

Kazi ya 1: Dakika 20

Mwezeshaji awagawe washiriki kwenye makundi ya watu watano watano wajadili na waandike

Kanuni za Menejiment wanazozifahamu na kuwasilisha majibu yao waliyoandika kwenye

Bangokitita.

Mwezeshaji aongoze washiriki kufanya majadiliano ya pamoja kubainisha Kanuni za

Menejimenti kulingana na majadiliano ya vikundi.

Mwezeshaji kwa kukazia maarifa awatake washiriki watatu kusimulia kisa mkasa

kinachoashiria kufuatwa au kutokufuatwa kwa Kanuni za Menejimenti kama walivyoziainisha

kwenye makundi yao.

Kipindi cha Saba: UMUHIMU WA MENEJIMENTI KATIKA SHULE

VIFAA: Bango kitita, Igizo dhima, kalamu rashasha.

LENGO LA KIPINDI: Kuwezesha washiriki kupata umuhimu wa management katika Elimu.

NJIA ZA KUFUNDISHIA

Mwezeshaji atumie njia shirikishi kuwaongoza washiriki kutoa fasili mbalimbali kuhusu

menejimenti.

Wagawe washiriki wakae wawili wawili wajadiliane kisha wakupe fasihi moja

waliokubaliana

Mwezeshaji awaelekeze kuziandika kwenye bango kitita na kuzibandika ukutani

Page 39: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

39

Mwezeshaji awaongoze washiriki kuzipitia fasili hizo na kisha kutoa fasili moja sahihi

ya wanakikundi watakayo kubaliana nayo.

Kazi ya 1 Muda Dk.40

Mwezeshaji ataunda kikundi cha watu watano watakaoigiza katika kuhusiana na umuhimu wa

menejiment na uongozi katika Elimu.

Washiriki wengine waliobakia watakuwa wanasikiliza na kufuatilia kwa makini mtiririko

mzima wa Igizodhima kisha watawasilisha kile walichokibaini kwenye igizodhima kutokana na

menegiment na uongozi katika Elimu.

Washiriki wagawanywe kwenye makundi matatu ya watu watano watano, kisha watoe

mrejesho.

HITIMISHO NA TATHIMINI dk 20

Mwezeshaji afanye majumuisho ya mada nzima ya umuhimu wa menejimenti na uongozi katika

Elimu. Atoe muda wa maswali. Pia aangalie ushiriki wa kila mmoja katika somo/kipindi kizima.

Kipindi cha Nane: TOFAUTI YA MENEJA NA UONGOZI

VIFAA: Bango kitita, Igizodhima, Kadi ndogo na kalamu za rashasha

Utangulizi: Dakika 5

Tengeneza mpira mdogo wa makaratasi na warushie, atakayeudaka aeleze sababu moja ya

umuhimu wa menejimenti na Uongozi, akimaliza amrushie mwingine, wafanye hivyo hadi wote

wamemalizika.

LENGO: Kuwawezesha washiriki kubaini tofauti zilizopo kati ya menejiment na uongozi katika

Elimu

Kazi ya 1: Dakika 10

Mwezeshaji abandika maneno mawili ukutani (Meneja na Kiongozi)

Mwezeshaji agawe stika kwa washiriki wote na kila mshiriki aandike sifa mbili mbili kwa

meneja na kiongozi

Mwezeshaji awaongoze kubandika stika chini ya neno meneja au kiongozi

Mwezeshaji awaongoze kuzipanga stika kulingana neno husika na kuzipitia ili kuonesha

utofauti

Mwisho mwezeshaji aawaleze tofauti kati ya meneja na kiongozi , kisha washiriki wapange

stika zao kulingana na maelezo ya mwezeshaji

Page 40: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

40

KAZI YA 2: dakika 30

Wagawe washiriki katika makundi mawili, kundi moja waigize kama meneja , kundi la pili waigize

kuhusu kiongozi, wakionesha tofauti zake. Baada ya Kuonesha igizodhima, katika jozi wajibu

maswali yafuatayo:

1. Je umejifunza nini kutokana na igizodhima

2. Je kuna uwezekano wa mtu moja kuwa meneja na kiongozi kwa wakati moja? Ndio au Hapana

Eleza.

3. Wewe ni kiongozi au meneja?

4. Je mwalimu mkuu ni kiongozi au meneja?

Kazi ya 3: Dakina 10

Kila jozi iungane na jozi nyingine na kushirikishana majibu, yao, waandike majibu yao kwenye

bango kitita na kuyawasilisha

Waulize umuhimu wa kuwa na tofauti hizo, kama ndio au hapana ni kwa sababu gani

HITIMISHO dakika 5

Mwezeshaji afanye majumuisho kwenye mada nzima na aelezee umuhimu wa tofauti kati ya

menejiment na uongozi katika Elimu

UELEKEZI NA USHAURI ELIMISHI

Kipindi cha kwanza

UTANGULIZI: Wakaribishe washiriki katika kipindi waeleze mada itakayofundishwa .

Mada: Maana Ya Uelekezi Na Ushauri Elimishi Dakika 30

VIFAA: Bango Kitita, Kalamu za rashasha, gundi,

MALENGO: Washiriki waweze kuelezea kwa ufasaha maana ya uelekezi na Ushauri Elimishi

Kazi ya 1: Dk 10

Wagawe washiriki katika makundi manne kulingana na idadi ya washiriki. Kila kundi wajadili na

kuandika kwenye bango kitita maana ya uelekezi na Ushauri Elimishi –

Kazi ya 2: Dk 10

Waongoze washiriki kuwasilisha kazi za vikundi, toa nafasi ya kujadili kazi iliyowasilishwa.

HITIMISHO: Dk 10

Hitimisha mjadala kwa kutoa maana ya Uelekezi na ushauri elimishi washiriki wanakili maana

ulizotoa kwa kuongezea yale waliyowasilisha hapo awali.

Page 41: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

41

Kipindi cha pili

Mada: umuhimu wa uelekezi na ushauri elimishi katika uongozi

VIFAA: Bango Kitita, Kalamu za rashasha, Igizodhima

Utangulizi: dakika 5

Waulize washiriki kurejea mada ya kipindi kilichopita kwa kuwauliza maana ya uelekezi na ushauri

elimishi na nini nafasi yake katika Uongozi

Malengo: Washiriki waweze kufahamu umuhimu wa kuwa na mwelekezaji na Mshauri Elimishi

katika uongozi

Njia za ufundishaji

Mwezeshaji atatumia njia ya maswali na majibu, kazi katika vikundi, Majadilianao, Igizo dhima.

Kazi ya 1: Igizodhima – Umuhimu wa uelekezi na ushauri elimishi Dakika 20

Chagua washiriki wachache na watengeneze igizo kulingana na kisa-mafunzo kifuatacho

Afisa elimu kata ya Mivumoni amepata walimu wa kuu watatu katika kata zake. Waalimu wakuu

hao ni mara yao ya kwanza kushika nyadhifa hizo. Jumatatu asubuhi, alikutana na walimu hao na

kuwaonesha shule zao zilipo na kuwatambulisha kwa walimu, aliwaambia walimu hao wasisite

kumtaarifu wakati wowote watakapopata tatizo linalohotaji msaada wake. Kisha aliondoka na

kuendelea na kazi zake za kila siku.

Wakati washiriki wengine wanajiandaa waulize washiriki waliobaki tofauti wanayoiona kati ya

uelekezi na ushauri elimishi.

Baada ya kuona igizodhima, wagawe washiriki katika makundi ya matatu kisha wajibu maswali

yafuatayo:

Kundi la 1: Je kama wewe ni Afisa Elimu kata huyo ungefanya nini tofauti kwa walimu wakuu

wapya hao? Kwa nini?

Kundi la 2: Eleza jinsi unavyotoa msaada kwa walimu wakuu wapya wanaohamia kwenye kata

yako

Kundi la 3: Changamoto gani za kiutendaji unazipata unapowapokea walimu wakuu au walimu

wapya katika kata yako: je unazitatuaje?

HITIMISHO: Dakika 5: Fanya majumuisho kwa kusisitiza mambo mawili muhimu kwa kiongozi

kutumia mbinu za uelekezi na ushauri elimishi

Page 42: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

42

Kipindi cha Tatu

Mada: Kanuni za Uelekezi na Ushauri Elimishi Muda dk 60

MALENGO: Washiriki waweze kubainisha kanuni za uelekezi na ushauri elimishi na kuzitekeleza

katika majukukumu yao ya kila siku

VIFAA: Bango kitita, kalamu rashasha, nakala ya kitabu cha mwongozaji

NJIA ZA KUFUNDISHIA

Mwezeshaji atatumia njia mbalimbali katika kuendesha mada, kama vile Bongua bongo,

majadilianao, maswali na majibu.

Kazi ya 1: Dk 40

Wagawe washirika katika makundi mawili, wapatie kundi moja kanuni za uelekezi na

kundi la pili wapatie kanuni za ushauri elimishi.

Wape muda wa kujadili kisha wawasilishe jinsi walivyoelewa juu ya kanuni waliyoijadili.

Kipindi cha Nne kanuni za uelekezi na ushauri elimishi

Utangulizi: Wape maswali ya ufahamu juu ya kipidi kilichopita

Jambo gani kubwa Kujifunza juu ya kanuni za uelekezi na ushauri elimishi.

Kazi ya 2: Dk 45

i. Wagawe washiriki katika makundi Katika makundi mawili, waeleze washiriki kujadili

namna watakavyotumia kanuni za uelekezi na ushauri elimishi katika kazi zao.

Wape muda wa kuwasilisha kisha ruhusu majadiliano

Uliza maswali ya udadisi ili kuwafanya wahusika waeleze na kuelewa zaidi.

HITIMISHO:

Mwezeshaji atoe majumuisho ya somo na kutathimini ushiriki wa kila mshiriki

Page 43: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

43

Kipindi Cha Tano: Changamoto Za Kufanya Uelekezi Na Ushauri Elimishi

Muda: dk 60

Vifaa: kalamu rashasha, bangokitita

Njia za kufundishia: Oneshombinu, majadiliano katika vikundi , maswali na majibu

Malengo: Kuainisha changamoto mbalimbali zitokanazo na kufanya uelekezi na kutoa ushauri

elimishi kwa mtu

kazi ya 1: dk 15

Mwezeshaji wagawe washiriki katika vikundi vya watu watatu watatu, kasha waongoze kujadili

changamoto za kufanya Uelekezi na kutoa ushauri elimishi. Baada ya kujadili kila kundi liandike

majibu yake kwenye bando kitita na kubandika ukutani, kasha liwasilishe majibu yao.

Kazi ya 2: dk 15

Mwezeshaji akusanye mambo muhimu na kuyafafanua kwa undani ili kila mshiriki aelewe

vizuri

Mwezeshaji ongoza washriki kujadili ufumbuzi wa changamoto zilizoainishwa

HITIMISHO: Mwezeshaji waongoze washriki kuchukua nukuu za somo kwa ajili ya rejea

Kipindi cha Sita: Changamoto za kufanya Uelekezi Muda: dakika 60

Mada: changamoto za kufanya uelekezi/kutoa mafunzo kwa vitendo na kutoa ushauri elimishi

Vifaa: kalamu rashasha, bangokitita

Njia za kufundishia: Oneshombinu, majadiliano katika vikundi , maswali na majibu

Malengo ya somo: Kuainisha changamoto mbalimbali zitokanazo na kufanya uelekezi na kutoa

ushauri elimishi kwa mtu

Ufunguzi: kulitambulisha somo

Kazi ya 1: dk 15

Mwezeshaji wagawe washiriki katika vikundi vya watu watatu watatu, kasha waongoze kujadili

changamoto za kufanya Uelekezi na kutoa ushauri elimishi. Baada ya kujadili kila kundi liandike

majibu yake kwenye bando kitita na kubandika ukutani, kisha liwasilishe majibu yao.

Kazi ya 2: dk 15

Page 44: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

44

Eleza mambo muhimu na kuyafafanua kwa undani ili kila mshiriki aelewe vizuri

Mwezeshaji ongoza washriki kujadili ufumbuzi wa changamoto zilizoainishwa

Kazi ya 3: Dakika 30

Washiriki wasome kisa- mafunzo kifuatacho kisha wabainishe Changamoto zilizojitokeza na wape

nafasi wajadili namna ya kuzitatua Changamoto hizo.

Mwezeshaji aandae kisa mkasa

Hitimisho: Mwezeshaji ahitimishe kipindi kwa kutoa ufupisho wa mambo muhimu yaliyojitokeza.

Kipindi cha Saba: Namna ya kufanya uelekezi

Malengo: kuwezesha washiriki kutambua na kuelewa namna ya kufanya uelekezi na ushauri

elimishi

Malengo mahususi:

Afisa elimu kata kuwa na uwezo wa kufanya uelekezi katika kutekeleza majukkumu yake

Afisa elimu kata awe tayari kufanyiwa uelekezi pale inapohitajika

Zana/vifaa: bango kitika, kalamu za rashasha

Kazi ya 1: dk15

Kisa mafunzo: Uelekezi

Maria ni mkurugenzi wa shirika la watoto Tanzania, amefanya kazi mashairika mbalimbali

kwa muda mrefu na ameonesha mafanikio makubwa katika kufanikisha kuwaeleisha wazazi

kuhusu haki za watoto.

Maria anaona Grace ambaye amefanya kazi nae kwa muda mrefu na ana uwezo mkubwa wa

kiutendaji. Kwa kuwa Maria anatarajia kustaafu miaka mitatu ijayo, ameamua kumfanyia

uelekezi Grace ili aweze kushika majukumu makubwa zaidi siku zijazo.

Kila anapokwenda kuendesha mafunzo humpa jukumu grace la kuendesha mafunzo hayo na

kuangalia maeneo ya kuboresha na humshauri mara kwa mara.

Grace amefurahia sana utaratibu huo na anaona imemsaidia sana kujijenga kiutendaji pia

imekuza mahusiano mazuri ya kikazi kati yake na Maria.

Kazi ya 2: dk15

Baada ya washiriki Kuonesha igizo, wagawe washiriki katika makundi ya watu watano watano,

waeleze washiriki waigize kisa kilichoandaliwa na kisha wajadili:_

Page 45: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

45

Kuna umuhimu gani wa kufanya uelekezi na ushauri elimishi

Mambo gani muhimu ya kuzingatia

Nani anastahili kufanyiwa uelekezi au ushauri elimishi

Mpango binafsi : dk 20

Wape nafasi washikiri wabainishe eneo moja ambalo watafanya uelekezi kwa mwalimu mkuu

katika shule mojawapo katika kata yake.

HITIMISHO DAKIKA 10

Hitimisha somo kwa kutoa mifano michache ya uelekezi na umuhimu wake katika kuletaufanisi

katika kazi. Kisha anakili eneo ambalo Afisa Elimu kata atatoa uelekezi kwa mwalimu mkuu[.

hakikisha unatunza kumbukumbu kwa ajili ya ufuatiliaji baadaye.

Kipindi cha 10: Elimu Elimishi

Malengo: Kuwezesha washiriki kutambua na kuelewa namna ya kufanya uelekezi na ushauri

elimishi

MALENGO MALENGO MAHUSUSI:

Afisa Elimu kata kuwa na uwezo wa kufanya ushauri elimishi katika kutekeleza

majukkumu yake

Afisa Elimu kata awe tayari kufanyiwa Uelekezi na ushauri elimishi pale inapohitajika

Zana/vifaa: Bango kitika, kalamu za rashasha ,

Kazi ya 1: Dakika 40

Bwana Miche ni AEK mgeni katika kat ya Ungwani ambayo ipo umbali wa kilomita 10 toka

kata ya Shura, kata hii ina AEK ambaye ni mzoefu na amefanya kazi kwa mudawa miaka 20.

Pia katika taaluma, kata ya Shura inafanya vizuri sana.

Afisa Elimu wilaya anamuunganisha Bwana Miche na AEK ya Shura ili aende kujifunza

kama AEK mpya lakini pia kupata uzoefu na kujifunza kutokana na utendaji wa AEK ya

Shura.

Washiriki wasome kisa-mafunzo kilichoandaliwa

Wagawe washiriki katika makundi mawili

Kila kundi watengeneze igizo Kuonesha ni jinsi gani watakavyotoa ushauri elimishi kwa

Afisa Elimu mpya.

Wape nafasi ya kila kundi Kuonesha igizo

Hitimisho dakika 10

Hitimisha somo kwa kutoa kufafanua zaidi juu ya namna ya kufanya uelekezi

Toa nafasi kwa maswali na majadiliano.

Page 46: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

46

UONGOZI BINAFSI

Kipindi cha Kwanza: UONGOZI BINAFSI

Vifaa

Bango kitita, Kalamu za rashasha na gundi utepe

Kazi ya 1: Kila mmoja ajibu maswali haya na kisha wengine wamuulize maswa Dk 10

Toa nafasi kwa watu 4 wawili waliofikia ndoto za maisha yao na 2 ambao hawakufikia waeleze

uzoefu wao.

Wape nafasi washiriki kujadili kwa mida mfupi wa DK 5

Kazi ya 2: dk 15

Kila mmoja awe na kipande cha karatasi na aandike ni tabia na mwenendo gani ambao

unamtofautisha na wengine. wahamasishe wawe huru na kila mmoja awe mwaminifu kwake

mwenyewe

Bandika karatasi kubwa mbili ukutani na Kila mmoja (bila kuandika jina) aandike kwe tabia

ambazo anapenda kuziendeleza na anazotaka kutoziendeleza

Tabia ninazotaka kuziendeleza Tabia nisizotaka kuziendelza

Mfano: Kusoma vitabu Kuzungumzia Habari za watu wengine

Baada ya dk 15, wape nafasi washiriki waeleze maoni yao na kisha waongoze kuweka

mambo ambayo yametokea katika washiriki wote kisha

Ongoza mjadala kuhusu mambo yaliyojitokeza kwa wote na kutafuta njia /suluhisho/kauli

ya pamoja Dk 15

Je ulipokuwa mdogo ulitamani kuwa nani?

Sasa umekuwa mtu mzima umekuwa kama uliyotaka?

Kama ni jibu ni hapana kwa nini hukufikia malengo

Kama ni ndio umewezaje kufikia malengo?

Page 47: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

47

Hitimisha kipindi kwa kufafanua mambo muhimu katika kufanikisha malengo binafsi

Dk 15

Uongozi binafsi ni kichocheo muhimu sana katika Kujifunza

Kujitathmini mwenyewe (unakotoka, uliko na unkokwenda)

Nguvu na udhaifu ulionao ili kufikia malengo yako (Imani ya kufikia lengo na thamani

uliyotoa kwa lengo lako)

Dhamira thabiti (Uzito gani unatoa katika kufikia lengo lako)

Dhamira (kulifikia lengo kwa Kujifunza zaidi na kukua kiutendaji) Kwa nini upo hapo

ulipo?

Kazi ya Kufanya nyumbani (wape washiriki maswali haya na waje na majibu yake kipindi

kijacho)

Malengo yako ni nini katika kazi yako?

Unahitaji nini kutimiza lengo lako?

Nini kinazuia kufika ulipotaka kufikia?

Kipindi cha pili: Mpango wa uongozi binafsi

Utangulizi: Dakika 10

waeleze washiriki mpango binafsi wa uongozi ni nini na umuhimu wake kwao kama viongozi

Malengo ya kipindi: washiriki waweze kutambua na kutengeneza mpango binafsi wa uongozi

Kazi ya 1: Dakika 5

Waeleze kila mshiriki aandike sifa ujuzi au maarifa matatu muhimu anayotaka kuyajua au

kuyaimarisha katika uongozi wake

Kazi ya 2: Dakika 40

Kila mmoja atengeneza mpango wake binafsi wa uongozi kwa kufuata mtiririko ufuatao

1. Taja mambo matatu yanayofanya mtu awe kiongozi mzuri

2. Ainisha angalau tabia tatu zinazokutambulisha wewe kama kiongozi

3. Andika maono yako katika safari ya uongozi

Unataka kuwa kiongozi wa aina gani

Unataka kufanikisha nini

Page 48: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

48

Ni kwa jinsi gani utafanikisha

4. Wengine wanakuonaje, je kama ukiondoka wengine watasema nini juu yako?

5. Bainisha ujuzi unaohitaji katika kuimarisha uongozi wako

6. Tengeneza mpango wa uongozi binafsi

Hitimisho: waeleze kila mmoja kuwa afuatilie utekelezaji wa mpango aliouengeneza.

Kipindi cha Tatu: Uongozi wa mkakati

Lengo Kuu: washiriki waweze kufikia malengo ya kazi zao kwa ufanisi na mafanikio

Kazi ya 1: Wagawe washiriki katika makundi ya watu 3. Kisha wape swali lifuatalo na walifanya

ke kufanya igizo fupi la dk 10

Shule ya masige haina madarasa ya kutosha, wanafunzi wa darasa la nne hadi la saba, wanakaa

chini ya mti, shule ina vyoo viwili tu, na walimu hawana ofisi. Shule ina walimu sita tu ambao huto

mazoezi na kuondoka darasani, wachache husahihisha kazi za wanafunzi, kutokana na kulemewa na

vipindi. shule ina wanafunzi 600 wanaokaa umbali wa kilometa 5 hadi 14. Shule inafanya vibaya

katika matokeo ya darasa la saba. Wazazi hawajitolei katika maendeleo ya shule. Wanajamii

wamejenga katika eneo la shule hivyo wanafunzi hawana uwanja wa michezo. Je utafanya nini

kuifanya shule iwe shule bora na ya mfano wa kuigwa.

Kazi ya 2: Kuwasilisha (DK 10)

Kila kikundi kioneshe jinsi walivyoshughulikia tatizo hilo

Baada ya kuwasilisha wapatie muda wa kujadili maamuzi ya kila kikundi

Kazi ya 3: Uchambuzi wa uongozi wa kimkakati (Dk 20)

Page 49: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

49

Wagawe washiriki katika makundi 4 na kila kundi lifanyie kazi sehemu moja ya mkakati bila

kuwaonesha sehemu zake kazi ya kufanya:

Ni mambo gani utayaangalia katika kutengeneza mkakati wa eneo la mkakati ulipopewa

Wawasilishe kazi zao na kisha uhitimishe kipindi

Hitimisho:

Waeleze washiriki kuwa uongozi wa kimkakati inakufanya uweze kufikiri ni kwa jinsi gani utafikia

malengo yako. Na katika muktadha wa elimu lengo letu kubwa ni kumfanya anayejifunza kupata

maarifa na ujuzi utakao mfaya amudu maisha yake kwa ufanisi.

Pia nyanja hii inasisitiza kufikiri kimkakati ua kufikiri kwa makini ili kupata suluhisho la

kudumu la tatizo au kufikia mafanikio yanayotakiwa.

eneo hili linaangalia pia ubora wa utoaji wa huduma na hapa tunaangalia ufundishaji na ubora wa

mtaala. Jambo la mwisho ni uongozi na utawala wa watu, rasilimali na mchakato wa kujifunza.

Ni muhimu kuyazingatima mambo haya ili uweze kufanikiwa katika usimamizi na uongozi wa

elimu katika kata.

Kipindi cha nne: UONGOZI WA KIKUNDI/TEAM KATIKA KATA

Utangulizi Muda: Dakika 5

Katika somo hili team au kikundi ni watu wanaongozwa na Afisaelimu kata ambao ni Waalimu,

Wanafunzi na Jamii au wengine walio chini yake kulingana na kazi au jukumu alilopewa.

Lengo la somo:

Afisaelimu Kata aweze kuongoza kikundi/team yake vizuri zaidi katika utekelezaji wa shughuli

zake za kila siku.

VIFAA: Picha, Bango kitita, Kalamu za rashasha

Kipindi cha Tano: KIONGOZI WA TIMU NI NANI

Kazi ya 1: dakila 10

Andika maswali kwenye bango kitita kisha washiriki wajibu kwa jozi na kuwasilisha

1. Nani ana jukumu la kuwaongoza walimu wakuu katika kutekeleza majukumu yao?

Afisa Elimu Kata Afis Elimu Wilaya

mwalimu mkuu Afisa wa ajira

Page 50: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

50

2. Nani ana jukumu la kuhakikisha kuwa jukumu linatekelezwa shuleni?

3. Nini kazi ya kiongozi wa timu

4. Ukiwa ni kiongozi wa Kata je timu yako inatengenezwa na akina nani?

Kazi ya 2: Muda dakika 20

wagawe washiriki katika makundi mawili, kila kundi waeleze je ni mambo gani yanamfanya

kiongozi wa timu kufanikiwa katika kazi yake

Kazi ya 1: Dakika 5

waambie wasimame duara kisha warushie mpira mdogo na kila mmoja ataje sifa za

kuwa kiongozi wa timu

Andika majibu yao kwenye bango kitita

Kazi ya 2: DAKIKA 10

wape nafasi washiriki kusoma yaliyoandikwa kwenye bango kitita, kisha kila mmoja

abainishe sifa kuu tatu alizo nazo na sifa tatu ambazo hana.

Kazi ya 3: Dakika 20

Wagawe washiriki katika makundi mawili

kundi la kwanza washugulike sifa walizonazo kama viongozi wa timu mambo gani

watafanya kuhakikisha kuwa sifa hizo zinaendelezwa

na kundi la pili washughulike sifa wasizo nazo kama viongozi wa timu mambo gani

watafanya kuhakikisha kuwa zinarekebishwa

Hitimisho: dakika 5

Hitimisha kipindi kwa kuwaelezea umuhimu wa kuwa kiongozi wa timu mwenye sifa

zinazostahili.

Sifa za kiongozi bora wa timu

- Hufanya mawasiliano yenye tija - hupanga utaratibu wa kazi zake

- Anaiamini timu yake

- Ana heshimu wengine

- Anatoa maamuzi bila upendeleo

- Mwaminifu - Anawezesha kwa umahiri

- Anatoa nafasi kwa wengine

kutekeleza au kushika madaraka

Page 51: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

51

KIPINDI CHA SITA: KUISAIDIA TIMU KUTEKELEZA JUKUMU

KAZI YA 1 MUDA: Dakika 10

MWEZESHAJI:

• Andika kwenye karatasi/kadi namba 1 hadi 4 kisha zibandike ukutani

• Waambie washiriki wote wasimame kwenye namba wanayoipenda

• Angalia kundi moja lisizidi washiriki watano

Waweke katika vikundi kulingana na namba walizochagua kisha wape swali lifuatalo walifanye

katika vikundi vyao. Zingatia muda uliowekwa

SWALI: Ni hatua gani tano muhimu utafuata ili kuwaongoza wenzako kutekeleza kazi

mliyopewa na mkuu wa Mkoa?

KAZI YA 2: Muda: Dk 20

Washiriki wasome habari hizi kisha wajibu maswali kulingana na visa mkasa

KISA: 1

Katika kata ya Mketo kuna shule 7 ambazo ziko chini ya uongozi wa Mratibu Elimu Kata

bwana Lifu. Katika uongozi wake aliamua kufanya kikao na walimu wakuu wote akieleza

taratibu na kuwakumbusha kuhusu Majukumu yao ya kila siku kazini. Baada ya kikao hicho

Walimu wakuu nao walienda kukaa na walimu shuleni na kuwakumbusha taratibu za kazi.

Hivyo walimu kwa pamoja walijipanga na kuamua kuongeza muda kidogo wa kutoka ili

wabaki kazini lakini wala wazazi na wanafunzi hawakuelezwa kuhusu mpango wa jitihada za

ziada. Mratibu akiwa kwenye pikipiki yake alipita shule mojawapo na akakuta walimu

hawajatoka alipowaona, yeye aliamini kuwa walimu wake wamebaki pale ili wawafundishe

wanafunzi. Baada ya hapo hakufuatilia tena akijua agizo lake litafanikiwa.

Matokeo ya mtihani yalipotoka wanafunzi wa shule za kata yake hawakufanya vizuri kama

aliyotarajia na kwani shule zote za kata zilifanya vibaya zaidi.

Kisa: 2

Fuli ni Afisaelimu kata wa kata ya Fulele, anashule zipatazo kumi anazozisimamia. Afisaelimu

wa wilaya amempa jukumu la kuwaongoza maafisa wengine wa kata kuandaa mpango wa

maendeleo ya elimu ya Mkoa wa Futa. Fuli aliwaita maAfisaelimu wenzake na kuaambia jukumu

walilopewa, aliwapa nafasi watoe mawazo jinsi gani watatekeleza kazi ya kwa muda wa wiki

moja waliopewa.

Baada ya majadiliano, Fuli aliwagawia kila mmoja kazi yake na pia aliwaambia kuwa wawe huru

kutumia njia mbalimbali za kutekeleza kazi hiyo. Baada ya siku mbili aliwatembelea kuona

maendeleo yao. Alitoa msaada wa maelekeao kwa wale waliohitaji msaada wake. Pia aligundua

Page 52: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

52

kuwa kuna Afisaelimu kata mmoja amepatwa na dharula hivyo hataweza kushiriki katika

utekelezaji. Fuli ashika nafasi ya yule aliyepatwa na dharula ili kufanya kazi iendelee.

Baada ya wiki moja kazi ikawa imekwisha. Afisaelimu alikuja kuiangalia maendeleo ya kazi, Fuli

alimpa Afisaelimu kata wa Kole kuelezea jinsi mpango wa maendeleo ya elimu ya mkoa

utakavyotekelezwa. Afisaelimu alifurahi sana na kumpongeza Fuli kwa kazi nzuri. Fuli

alishukuru na kusema kuwa kazi kubwa imefanywa na maAfisaelimu wa wilaya yote hivyo sifa

ziwaendee wao.

SWALI:

• Je unajifunza nini kati ya uongozi wa Fuli na Lifu?

• Mambo gani unafikiri ni mazuri na mambo gani ambayo siyo mazuri? ni kwa nini

unafikiri hivyo?

Baada ya majadiliano, washiriki wawasilishe kazi zao (zingatia muda)

KAZI YA 3: Muda Dk. 15

Bandika picha ubaoni kisha waambie washiriki waiangalie kwa makini na kuandika maelezo

juu ya picha hiyo.

HITIMISHO: Muda: Dk.10

• Mwezeshaji hitimisha kwa kufanya majumuisho juu ya Uongozi wa Kikundi/Team

• Ruhusu maswali na majadiliano ya muda mfupi kuhusiana na somo.

Teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA)

5. TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO (TEHAMA)

Maudhui ya mafunzo kuhusu TEHEMA yanahusisha maeneo muhimu kuhusu maarifa na

ujuzi wa TEHEMA yenye lengo la kujenga wataalamu wenye ujuzi, utaalamu kwenye

TEHEMA utakaowasaidia kwenye shughuli nyingi za maendeleo ya kitaaluma na

kiuchumi. wataalamu hawa wataweza kufanya kazi kwa ufanisi kwa kutumia maarifa na

ujuzi waliopata wakati wa kozi. Vipengele vya TEHAMA ni pamoja na:

Page 53: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

53

i. Uelewa kuhusu TEHAMA kwa ujumla

Vipengele muhimu ni:

TEHAMA ni nini

Mawanda ya TEHAMA kwenye elimu

Athari za TEHAMA katika elimu

ii. Jinsi ya kuitimia Kompyuta

Vipengele muhimu ni:

Kompyuta ni nini

Kompyuta inafanyaje kazi

Aina za kompyuta

Matumizi ya kumpyuta

Aina za mifumo ya utendajikazi wa kompyuta

Programu za mifumo ya utendajikazi wa Kompyuta

Sehemu mbali mbali za mifumo ya utendajikazi wa kompyuta na kazi zake

iii. Programu ya Ofisi

(a) Uuundaji na uandishi wa neno kwenye Kompyuta

Vipengele muhimu ni:

Kutengeneza na kuhifadhi

Kuchapa

Kuchagua herufi/neno/sentensi na kufanya mabadiliko tarajiwa

Utangulizi juu ya menu ya Kompyuta na sehemu zake

Njia za ufupisho (shortcuts)

Kuthibitisha usahihi wa maandishi (kuhakikisha usahihi wa herufi)

Jedwali (kutengeneza, kurekebisha, kufuta ‘safu’ au ‘mlalo’)

Mpangilio wa maneno na hati

Rangi na ‘watermark’

Kuchapisha

Page 54: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

54

(b) Program ya kusadisi mahesabu (Ekseli)

Vipengele muhimu ni:

Utangulizi juu ya program ya kufanyia mahesabu-ekseli

Kutengeneza karatasi ya ukokotozi wa mahesabu na kuhifadhi

Utangulizi juu ya maeneo na zana mbali mbali za kutumia ekseli

Kuunda mtindo mbalimbali ya karatasi la mahesabu

Kokotozi mbali mbali

Kanuni mbali mbali na namna ya kuzitumia

Kuchapisha karatasi la mahesabu

Matumizi ya kila siku ya program ya mahesabu (kukokotoa matumizi, n.k)

(c) Programu za Kuandalia na Kuwasilisha mada

Vipengele muhimu ni:

Utangulizi juu ya uandaji mada na Powapointi

Kutengeneza mada ya kuwasilisha kwa kutumia powapointi

Jinsi ya kutengeneza slaidi

Kutengeneza maudhui na muonekano wa slaidi

Jinsi ya kuweka Madoido ya slaidi kwenye powapointi

Kutumia picha na vionjo mbalimbali kwenye kwenye wasilisho

Kuongeza maelezo kwenye slaidi

Kutengeneza Maombo mbali mbali

Kutumia powapointi kwenye Kuonesha picha jongefu

(d)Programu za Kuendesha kompyuta (Maunzilaini)

Vipengele muhimu ni:

Utangulizi juu ya dhana ya program (maunzilaini)

Kuingiza na kuitoa program kwenye kompyuta

Vitafutio vya intaneti

Page 55: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

55

Programu za kuzuia virusi

Program za kucheza nyimbo na video

iv. Intaneti

Vipengele muhimu ni:

Utangulizi juu ya dhana ya intaneti

Namna ya kujiunganisha kwenye intaneti

Faida na matumizi ya intaneti

Vitafutio vya Intaneti

(a) vidokezo

(b) Menu

(c) Njia za mkato

Kurasa za tovuti, Viunganishi, tovuti

Injini za kutafutia taarifa kwenye mtandao

Tovuti za ndani ya nchi – tovuti za serikali, n.k.

Utangulizi juu ya mawasiliano ya barua pepe

Kutengeneza akaunti ya barua pepe

Vielekezi mbalimbali kwenye akaunti ya barua pepe, vipengele vya usalama

Kutuma, kupokea, kujibu na kufuta barua pepe

Kutumia intaneti/injini za kutafutia taarifa/zana za barua pepe kwenye simu ya

mkononi

Utangulizi juu ya mitandao ya kijamii

Kuweka na kupakua taarifa kwenye mitandao

Usalama mitandaoni (Cyber security)- namna ya kujiepusha nayo

Mambo yanayoruhusiwa kufanyika na yasiyoruhusiwa kwenye intaneti.

v. Mawasiliano: kwenye mtandao na kikazi

Vipengele muhimu ni:

Mapitio ya mawasiliano ya baruapepe

Utangulizi juu ya taratibu/kanuni za intaneti

Page 56: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

56

Kuwasiliana na mwingine kwa kutumia baruapepe, mitandao ya kijamii na

vituma ujumbe mfupi

vi. Namna mbalimbali za kuwasilisha taarifa kwenye Kompyuta

Vipengele muhimu ni:

Utangulizi wa namna za kuwasilisha taarifa kwenye kompyuta

Vifaa mbalimbali vya kusanifia taarifa kwenye kompyuta

Program mbalimbali za kuendeshea taarifa zilizo kwenye maumbo tofauti

Njia mbalimbali za kuwasilisha taarifa kwenye mtandao (Mfano, Youtube)

Page 57: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

57

VIAMBATISHO

MPANGILIO WA MADA ZA MAFUNZO

1. Mpangilio wa Mada za mafunzo

a. Utangulizi

Sehemu ya kwanza: Mafunzo Elekezi

Mada:

a. Maana na madhumuni ya Mafunzo Endelevu

b. Usimamizi na uthibiti wa ubora wa shule

i. Mwongozo mpya wa uthibiti ubora wa shule

ii. Jinsi ya kusaidia shule kujaza fomu ya kujipima

iii. Alama za ubora wa shule

iv. Utoaji wa taarifa

v. Mkutano wa elimu wa Wilaya

vi. Jamii za Kujifunza za walimu wakuu

c. Sheria, Kanuni na taratibu za Utumishi wa umma

i. Sifa za AEK

ii. Kazi na majukumu ya AEK

iii. Mipaka ya AEK

iv. Sheria, stahiki na haki ya mtumishi wa Umma

Sehemu ya pili: Uongozi na menejiment katika elimu

Mada

i. Maana ya Uongozi na menejimenti

ii. Tofauti kati ya uongozi na menejiment

iii. Misingi ya Uongozi

iv. Kanuni za Uongozi na menejiment

v. Sifa za kiongozi

vi. Umuhimu wa Uongozi na menejiment katika elimu

vii. Maadili ya Utumishi wa umma

viii. Kutengeneza mpango wa kazi

ix. Ufuatiliaji na utoaji wa taarifa

Sehemu ya Tatu : Uelekezi na Ushauri Elimishi

Mada

Maana ya Uelekezi na Ushauri Elimishi

umuhimu wa Uelekezi na Ushauri Elimishi katika uongozi

Page 58: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

58

Ujuzi/ maarifa ya Uelekezi na Ushauri Elimishi

Namna ya kufanya Uelekezi na Ushauri Elimishi wenye tija

Kanuni za kufanya Uelekezi na Ushauri Elimishi

Changamoto za kufanya Uelekezi na Ushauri Elimishi katika Uongozi

Mahali na wakati wa kufanya Uelekezi na Ushauri Elimishi

Sehemu ya nne: Uongozi binafsi (Personal Leadership)

Mada

• Uhusiano wa kina wa malengo na dhamira

• Uelewa juu ya maadili, imani, uwezo na udhaifu wako

• Usimamizi wa mawazo yako na muda

• Uwazi wa maoni na changamoto

• Ujifunzaji na ukuaji endelevu

• Kuwa mfano kwa wengine

• Uongozi binafsi ni muonekano wa maadili yako, tabia na imani yako

• Uongozi binafsi ni chanzo cha ndani cha ufanisi wa kiongozi

i. Uongozi wa kimkakati (Strategic leadership)

• Kuangalia mambo kwa mtazamo mkubwa

• Kuwa na muda kwaajili ya kufikiri kimkakati

• Kupata ufafanuzi juu ya vipaumbele mkakati na matokeo

• Kufanya maamuzi kwa makusudi

ii. Uongozi wa Timu (Team Leadership)

• Kuhusisha mioyo na akili za wengine ili kufikia dira

• Kutoa wasaa kwa kila mmoja kuchangia kulingana na uwezo na vipaji vyao

• Uongozi wa timu unahitaji ushirikiano na ubunifu ili kufikia lengo la pamoja

Sehemu ya Tano: Teknolojia Ya Habari Na Mawasiliano (Tehama)

Maudhui ya mafunzo kuhusu TEHEMA yanahusisha maeneo muhimu kuhusu maarifa na

ujuzi wa TEHEMA yenye lengo la kujenga wataalamu wenye ujuzi, utaalamu kwenye

TEHEMA utakaowasaidia kwenye shughuli nyingi za maendeleo ya kitaaluma na

kiuchumi. wataalamu hawa wataweza kufanya kazi kwa ufanisi kwa kutumia maarifa na

ujuzi waliopata wakati wa kozi. Vipengele vya TEHAMA ni pamoja na:

Mada

Page 59: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

59

vii. Uelewa kuhusu TEHAMA kwa ujumla

Vipengele muhimu ni:

TEHAMA ni nini

Mawanda ya TEHAMA kwenye elimu

Athari za TEHAMA katika elimu

viii. Jinsi ya kuitimia Kompyuta

Vipengele muhimu ni:

Kompyuta ni nini

Kompyuta inafanyaje kazi

Aina za kompyuta

Matumizi ya kumpyuta

Aina za mifumo ya utendajikazi wa kompyuta

Programu za mifumo ya utendajikazi wa Kompyuta

Sehemu mbali mbali za mifumo ya utendajikazi wa kompyuta na kazi zake

ix. Programu ya Ofisi

(a) Uuundaji na uandishi wa neno kwenye Kompyuta

Vipengele muhimu ni:

Kutengeneza na kuhifadhi

Kuchapa

Kuchagua herufi/neno/sentensi na kufanya mabadiliko tarajiwa

Utangulizi juu ya menu ya Kompyuta na sehemu zake

Njia za ufupisho (shortcuts)

Kuthibitisha usahihi wa maandishi (kuhakikisha usahihi wa herufi)

Jedwali (kutengeneza, kurekebisha, kufuta ‘safu’ au ‘mlalo’)

Mpangilio wa maneno na hati

Rangi na ‘watermark’

Kuchapisha

(b) Program ya kusadisi mahesabu (Ekseli)

Vipengele muhimu ni:

Utangulizi juu ya program ya kufanyia mahesabu-ekseli

Kutengeneza karatasi ya ukokotozi wa mahesabu na kuhifadhi

Utangulizi juu ya maeneo na zana mbali mbali za kutumia ekseli

Page 60: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

60

Kuunda mtindo mbalimbali ya karatasi la mahesabu

Kokotozi mbali mbali

Kanuni mbali mbali na namna ya kuzitumia

Kuchapisha karatasi la mahesabu

Matumizi ya kila siku ya program ya mahesabu (kukokotoa matumizi, n.k)

(c) Programu za Kuandalia na Kuwasilisha mada

Vipengele muhimu ni:

Utangulizi juu ya uandaji mada na Powapointi

Kutengeneza mada ya kuwasilisha kwa kutumia powapointi

Jinsi ya kutengeneza slaidi

Kutengeneza maudhui na muonekano wa slaidi

Jinsi ya kuweka Madoido ya slaidi kwenye powapointi

Kutumia picha na vionjo mbalimbali kwenye kwenye wasilisho

Kuongeza maelezo kwenye slaidi

Kutengeneza Maombo mbali mbali

Kutumia powapointi kwenye Kuonesha picha jongefu

(d)Programu za Kuendesha kompyuta (Maunzilaini)

Vipengele muhimu ni:

Utangulizi juu ya dhana ya program (maunzilaini)

Kuingiza na kuitoa program kwenye kompyuta

Vitafutio vya intaneti

Programu za kuzuia virusi

Program za kucheza nyimbo na video

x. Intaneti

Vipengele muhimu ni:

Utangulizi juu ya dhana ya intaneti

Namna ya kujiunganisha kwenye intaneti

Faida na matumizi ya intaneti

Vitafutio vya Intaneti

(d) vidokezo

(e) Menu

(f) Njia za mkato

Kurasa za tovuti, Viunganishi, tovuti

Page 61: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

61

Injini za kutafutia taarifa kwenye mtandao

Tovuti za ndani ya nchi – tovuti za serikali, n.k.

Utangulizi juu ya mawasiliano ya barua pepe

Kutengeneza akaunti ya barua pepe

Vielekezi mbalimbali kwenye akaunti ya barua pepe, vipengele vya usalama

Kutuma, kupokea, kujibu na kufuta barua pepe

Kutumia intaneti/injini za kutafutia taarifa/zana za barua pepe kwenye simu ya

mkononi

Utangulizi juu ya mitandao ya kijamii

Kuweka na kupakua taarifa kwenye mitandao

Usalama mitandaoni (Cyber security)- namna ya kujiepusha nayo

Mambo yanayoruhusiwa kufanyika na yasiyoruhusiwa kwenye intaneti.

xi. Mawasiliano: kwenye mtandao na kikazi

Vipengele muhimu ni:

Mapitio ya mawasiliano ya baruapepe

Utangulizi juu ya taratibu/kanuni za intaneti

Kuwasiliana na mwingine kwa kutumia baruapepe, mitandao ya kijamii na

vituma ujumbe mfupi

xii. Namna mbalimbali za kuwasilisha taarifa kwenye Kompyuta

Vipengele muhimu ni:

Utangulizi wa namna za kuwasilisha taarifa kwenye kompyuta

Vifaa mbalimbali vya kusanifia taarifa kwenye kompyuta

Program mbalimbali za kuendeshea taarifa zilizo kwenye maumbo tofauti

Njia mbalimbali za kuwasilisha taarifa kwenye mtandao (Mfano, Youtube)

Page 62: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

62

VIAMBATISHO

F1

FOMU YA MPANGO WA KUJIENDELZA BINAFSI

Mkoa------------------------------ Wilaya -------------------------------------Kata------------

Maelezo binafsi

Jina: ___________________ Jinsi: Ke/Me ----------------Umri__________

Simu: ______________________________ Baruapepe

Muda Malengo Shughuli za mafunzo

Muda wa kukamilisha malengo

Matokeo tarajiwa

Mpango wa muda mfupi: KukIdhi mahitaji ya muda mfupi

Mpango wa muda wa kati (Medium) kukidhi mahitaji ya majukumu mapya

Mpango wa muda mrefu: kukidhi mahitaji ya kitalaamu

Page 63: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

63

F2. FOMU YA KUJIUNGA NA MAFUNZO ENDELEVU

Mkoa------------------------------ Wilaya -------------------------------------Kata-------------------

Maelezo binafsi

Jina: __________________________ Jinsi: Ke/Me………………..Umri__________

Simu: ______________________________ Barua pepe--------------------------------------

Historia ya kazi

a) Miaka uliyofundisha shule ya msingi ---------------------------------------------- b) Muda uliofundisha sekondari -------------------------------------------------------- c) Muda uliofundisha vyuo vya ualimu-------------------------------------------------

Sifa za kitaaluma (v)

(i) Diploma ------------------------------------------- (ii) Shahada ya kwanza --------------------------- (iii) Shahada ya Uzamili -------------------------- (iv) Shahada ya Uzamivu --------------------------

Aina ya mafunzo unayoyaomba

i) -----------------------------------------------------------------------------------------------------

ii) ----------------------------------------------------------------------------------------------------- Mafunzo uliyowahi kupitia

Mafunzo

uliyohudhuria

Mwaka Muda wa

mafunzo

Taasisi iliyoandaa

mafunzo

Page 64: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

64

Uthibitisho

Mimi -------------------------------------------- Afisa wa Elimu Kata ya------------------------ ni

naahidi kwamba nitajifunza kwa bidii na kutumia ujuzi wangu kwa kuongeza ufanisi katika

utendaji wangu wa kazi. Nitajituma na kufuata taratibu zote za mafunzo endelevu

Saini ya mwombaji ----------------------------------- tarehe -----------------------------------------------

Imepitishwa na: Jina-----------------------------------Cheo------------------------Saini --------------

Tarehe---- (Afisa wa Elimu wa Wilaya)

F3.

FOMU YA TATHMINI BINAFSI YA MAFUNZO

(Ijazwe kila baada ya kuhudhuria mafunzo)

Mkoa------------------------------ Wilaya -------------------------------------Kata--------------

Maelezo binafsi

Jina: __________________________ Jinsi: Ke/Me----------------- Umri__________

Simu: ______________________________ Barua pepe--------------------------------------------

Tarehe ya mafunzo Mfano: 2/02/2018

Mafunzo yalihusu nini Mfano: matumizi ya kompyuta

Namna gani mafunzo yaliyotolewa (Mfano: mkutano, kongamano, mafunzo darasani

Matokeo ya mafunzo (ujuzi na maarifa)

Matokeo katika utendaji

Uthibitisho wa mtoa mafunzo. (Jina, saini na tarehe)

Page 65: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

65

F4.

FOMU YA KUJIUNGA NA MAFUNZO ENDELEVU

Mkoa------------------------------ Wilaya -------------------------------------Kata--------------

Ndugu Afisa Elimu Kata (Jina)…….......................................................………………………………

KUKUBALIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO ENDELEVU

Page 66: Kiongozi cha Mwezeshaji Mafunzo Endelevu kwa Afisa Elimu Kata · 2018-09-06 · kwa Afisa elimu kata wote katika wilaya juu ya mpango huu. Mada za sehemu ya kwanza katika mwongozo

66

Ofisi ya Uthibiti Ubora wa Shule wa wilaya, inayofuraha kukuarifu kuwa umechaguliwa

kujiunga na mafunzo endelevu kwa mwaka ---------------------------- katika eneo

….………………….ambayo yataanza………………………..hadi……………….............................……………..

Ni mategemeo yetu kuwa, kwa muda wote wa mafunzo utajifunza kwa bidii na kuonesha

mabadiliko ya kiutendaji na pia utaweka kumbukumbu ya maendeleo ya masomo yako

Tafadhali kubali au kataa kujiunga na mafunzo haya kwa maandishi ndani ya siku 14 tangu

kupokea kwa barua hii

Hongera!

Jina---------------------------------------------------- Saini------------------------------ Tarehe ------------

Ofisi ya Uthibiti Ubora wa Shule wa wilaya