imam ali (a.s.) ndugu yake mtume muhammad (s.a.w.) fileimam ali (a.s.) ndugu yake mtume muhammad...

187
IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU YA PILI Kimeandikwa na: Sheikh Muhammad Jawad Chirri Kimetarjumiwa na: Salman Shou Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page A

Upload: others

Post on 25-Oct-2019

27 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE

MTUME MUHAMMAD(S.A.W.)

Usahihishaji Upya wa Historia naUtafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia

JUZUU YA PILI

Kimeandikwa na: Sheikh Muhammad Jawad Chirri

Kimetarjumiwa na:Salman Shou

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page A

Page 2: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

©Haki ya kunakili imehifadhiwa na:AL-ITRAH FOUNDATION

ISBN: 9987 - 427 - 512 - 89 - 8

Kimeandikwa na: Sheikh Muhammad Jawad Chirri

Kimetarjumiwa na:Salman Shou

Kimepangwa katika Kompyuta na:Hajat Pili Rajab

Toleo la kwanza: Oktoba,2011 Nakala: 1000

Kimetolewa na kuchapishwa na:Alitrah Foundation

S.L.P. 19701 Dar es Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 2110640

Simu/Nukushi: +255 22 2127555Barua Pepe: [email protected]

Tovuti: www.ibn-tv-comKatika mtandao: w.w.w.alitrah.info

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page B

Page 3: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

YALIYOMO

Sura ya Kumi na SitaImam wakati wa enzi ya makhalifa watatu........................................4Khutba ya Abu Bakar .......................................................................5Kongamano la Kisiasa.......................................................................6Umar alizungumza kuhusu kongamano ...........................................7Maswali ya kisharia na kihistoria......................................................8Aisha alisimulia kinyume................................................................10Chuki ya dhahiri bila sababu...........................................................12Hadith ya Maghafiir.........................................................................13Umar aliuona uchaguzi kama ni vurugu.........................................15Tamko la mwisho la Umar.............................................................. 16Je! Kuchaguliwa kwa Abu Bakr kulikuwa ni halali?.......................21Mteule wa Mtukufu Mtume (s.a.w.)................................................24Maquraishi na Ukhalifa...................................................................26Maquraishi na uchaguzi havipatani.................................................33

Sura ya Kumi na SabaAli anautaamani huo Urithi.............................................................35

Sura ya Kumi na NaneAbu Bakr amtaja mrith wake...........................................................41

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page C

Page 4: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Sura ya Kumi na TisaUmar anarithi...................................................................................45Umar na Elimu ya Ali......................................................................48

Majadiliano yahusuyo ukhalifa.......................................................52

Ukubwa wa Sera ya Umar...............................................................55

Aliandaa Mapema kabla juu ya Mustakabali wa Waislamu............57

Watu wachochezi kwenye mfumo wa utawala wa khalifa..............61

Ukoo wa Bani umayyah uliingia kwenye Uongozi..........................62

Utawala wa Bani Umayyah ulikuwa si wa kuepukika....................65

Kilichomaanishwa na ubashiri wa kinabii.......................................65

Sura ya IshiriniJopo la mkutano wa uchaguzi maelezo ya utaratibu........................71Je, Mtu asiye Quraishi angeweza kuwa Khalifa.............................78Hivi, Uislamu unakataza upinzani?.................................................82Onyo lisilotiliwa maanani...............................................................84Uhalalisho kwa kutumia Hadithi ...................................................89Kujitolea kwa kipekee kwa Ali........................................................93Utabiri wakweli................................................................................................94Nia na matokeo................................................................................97Tabaka Jipya....................................................................................99Fursa iliyopotea...............................................................................99

D

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page D

Page 5: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Sura ya Ishirini na mojaUtawala wa Uthman......................................................................102

Mtu kiiunganishi............................................................................104Upinzani ulianza mapema.............................................................105Utekelezaji wa mpango wa bani Umayyah...................................109Muawiya na Syria..........................................................................110Ibnabu Sarha akiwa Misri..............................................................111Basrah............................................................................................114Sera legelege ya hazina ya Umma.................................................117Umar na Abu Hurairah...................................................................121Misaada mingine kwa watu wengine............................................122Sera ya magavana ni majimbo.......................................................122Kuongezeka kwa upinzani............................................................125Wajumbe wengine wawili wa jopo la uchaguzi........................... 127Upinzani kutoka kwa masahaba wasiokuwa maquraishi...............131Abu Dharr uhamishoni................................................................. 132Uhamisho wa kudumu...................................................................133Abdullah Ibn Mas’ud.....................................................................136Upinzani kutoka nje ya Madina.....................................................138Imam anapatanisha........................................................................148Makazi ya Khalifa yazingirwa.......................................................150Kutubia na kujirudi........................................................................151Muawiyah alitukatisha tamaa Khalifa..........................................155Watu wa Madina ya walimkatisha Tamaa Khalifa.......................156

E

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page E

Page 6: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

F

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

NENO LA MCHAPISHAJI

Kitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiingerezakiitwacho, The Brother of the Prophet. Sisi tumekiita, Imam Ali (as) Nduguwa Mtume Muhammad (saw). Kitabu hiki kilitungwa na aliyekuwa mubal-lighi mashuhuri wa dini ya Kiislamu ya Ushia nchini Marekani, MarehemuSheikh Muhammad Jawad Chirri.

Kitabu hiki ni wasifu wa mtu mkubwa ambaye alikuwa mwanamume wakwanza kuamini Utume wa Muhammad (saw) na wa kwanza kusali nyumayake.

Imam Ali (as) hakuwa kiongozi wa Waislamu tu bali wa wanadamu wote.Maisha na mwenendo wa Imam Ali (as) umewavutia watu wote, marafikina maadui, hali ambayo imemfanya kuwa kiongozi wa umma.

Mtukufu Mtume (saw) alimtangaza mwanzoni kabisa mwa Ujumbe wakekatika kile kikao mashuhuri kabisa cha “karamu ya jamaa”, aliposema:“Huyu ni ndugu yangu, wasii wangu, waziri wangu, khalifa wangu namrithi wangu. Basi msikilizeni na mumtii.” Hili lilikuwa tangazo la mwan-zo kabisa alilolitoa Mtukufu Mtume (saw) kwa ajili ya Imam Ali (as) naaliendelea kuwakumbusha Waislamu kuhusu uongozi wa Imam Ali baadayake katika matukio mengi yaliyofuata baadaye, kama vile katika tukio laGhadir Khum pale aliposema: “Man kuntu mauwahu fahadha Aliyyunmawlahu – Yule ambaye mimi kwake ni kiongozi basi na huyu Ali ni kio-gozi wake.” Na mwisho ni tukio la “Karatasi” pale Mtukufu Mtume (saw)alipokuwa ni mgonjwa na maradhi yamemzidi akaomba aletewe karatasi,kalamu na wino, mashuhuri kama “hadithi ya karatasi.”

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page F

Page 7: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa sana, hususan wakati huu wamaendeleo makubwa ya elimu katika nyanja zote, ambapo uwongo, nganoza kale na upotoshaji wa historia ni mambo ambayo hayana nafasi tenakatika akili za watu.

Kutokana na ukweli huo, Taasisi yetu ya Al-Itrah Foundation imeamuakukichapisha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili kwa madhumuni yakeyaleyale ya kuwahudumia Waislamu, hususan wazungumzaji waKiswahili.

Tunamshukuru ndugu yetu, Maalim Dhikir U. Kiondo (ambaye sasa nimarehemu - Allah amrehemu) kwa kukubali jukumu hili la kukitarjumikitabu hiki. Vilevile tunawashukuru wale wote walioshiriki kwa njia mojaau nyingine hadi kufanikisha kuchapishwa kwake.

Ni matumaini yetu kwamba kitabu hiki kitakuwa ni mwanga kwa waso-maji wetu na kuzidisha upeo wao wa elimu ya dini na ya kijamii.

Mchapishaji:Al-Itrah FoundationS. L. P. 19701Dar-es-Salaam.

G

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page G

Page 8: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

BIBLIOGRAFIAUBAINIFU

Tarehe zilizotajwa kwenye bibliografia hii zimetegemea Kalenda yaKiislamu ambayo ilianza kwa tukio la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuondo-ka Makka na kwenda Madina. Tukio hilo la kuondoka huitwa ‘Hijiriya’ yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), ambalo lilitokea mwaka wa 622 Baada yakuzaliwa Isa (a.s.).

Endapo msomaji anataka kubadilisha tarehe kutoka tarehe za Kiislamu nakuwa kalenda ya Gregory – ya Nchi za Kimagharibi, lazima azingatietofauti ya miaka 622 kabla ya Hijiriya. Zaidi ya hayo, mwaka wa mwan-damo wa mwezi ambao Kalenda ya Kiislamu ndio msingi wake, unazosiku 354 tu. Hivyo mwaka huu ni pungufu kwa siku 11 kuliko mwaka wajua. Kila miaka mia moja ya jua inakuwa miaka 103 ya miaka inay-ohesabiwa kwa kuandama kwa mwezi. Miaka elfu moja ya jua ni sawa namiaka 1030 inayohesabiwa kwa mwandamo wa mwezi.

QUR’ANI TUKUFU

AMIINI (Sheikh Hussein Ahmad Al-Amiin) Al-Ghadiir (Tangazo lililosimuliwa la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuhusuImam Ali hapo Ghadiir Khum), chapa ya pili ilifanywa na Al-HaidariPrinting Tehran, 1372 Hijiriya. Al-Amiin ni mwandishi wa historia maaru-fu wa zama za leo.

ASKARI (Sayyid Murtadha Al-Askari) Abdallah ibn Saba, chapa ya pili ilifanywa na Matabi-a Al-Kitab Al-Arabimjini Cairo, 1381 A.H. Al-Askari ni mwandishi wa historia na theolojia wazama za leo.ATHIIR (Ali Ibn Muhammad Al-Shaibani, ajulikanaye kama Ibn al-Athiir) Al-Kamil (kilicho kamilika), kitabu maarufu cha historia ya Uislamu, kili-

H

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page H

Page 9: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

chochapishwa na Al-Azhari Printings 1301 Hijiriya. Pia kimepigwa chapana Dar-Al-Kitab Al-Lubnani (The Lebanese House of Books), 1973 Baadaya kuzaliwa Isa. Nukuu zilizomo humu nyingi zinatoka kwenye chapa yapili. Ibn Al-Athiir alikufa mwaka wa 750 Hijiriya.

BALADHURI. (AL-Baladhuri).Ansabul-Ashraf (Nasaba za Masharifu). Kitabu maarufu cha historia yaUislamu, kimechapishwa Jerusalem. Al-Baladhuri, ni mwandishimashuhuri wa historia, alikufa mwaka wa 279 Hijiriya.

BIRR (Yusuf Ibn Abdul-Birr)Al-Istii’ab Fi Maarifat al-Ass’hab (Elimu linganishi kuhusu Masahaba waMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kitabu maarufu cha historia ya Kiislamu,kimechapishwa na Al-Fajjala Printing, Cairo, mwaka wa 1970 AD. IbnAbdul-Birr ni mwandishi wa historia maarufu, alikufa mwaka wa 463Hijiriya.

BUKHARI (Muhammad Ibn Isma’il, al-Bukhari).Sahih al-Bukhari (Sahih ya Al-Bukhari), mojawapo ya vitabu sita vilivyoSahihi vyenye Hadith zilizoandikwa (Hadith ni tamko lililosimuliwa autendo au uthibitisho wa kimya wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Muhamamds.a.w.w) Kitabu kilichapishwa na Muhammad Ali Subh huko Al-Azhar,Cairo, Al-Bukhari ni mchaguzi na mwandishi wa Hadith mashuhuri, alik-ufa mwaka wa 256 Hijiriya.

DAWUD (Suleiman Ibn Al-Ash’ath Ibn Shaddad anayejulikana kama Abu-Dawood)

Sunan Abu Dawood (Hadith za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) zilizoandika).Mojawapo ya vitabu sita vya hadith zilizoandikwa, kilichochapishwa naMustafa Al-Babi al-Halabi – Misri, mwaka 1952 AD. Abu Dawood nimkusanyaji na mwandishi wa Hadith mashuhuri alikufa mwaka 275Hijiriya.FAIRUZABADI (Sayyid Murtadha Al-Fairuzabadi).

I

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page I

Page 10: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Fadha-il Al-Khamsah Min As-Sihah Al-Sitta (Fadhila za watu watano, zili-zoandikwa kwenye vitabu Sahihi Sita), chapa ya tatu ilifanywa na Al-Alami Institute of Printing, Beiruti, mwaka 1973 AD, Al-Fairuzabadi nimkusanyaji wa Hadith, mwanatheolojia na mwandishi wa Hadith wa zamaza leo.

HADIID (Izzud-Din, ajulikanaye kama Ibn Abil-Hadiid).Sharh Nahjul–Balaghah (Maelezo kuhusu Njia ya Ufasaha wa manenoyaliyokusanywa ya Imam Ali), kitabu kinachosomwa kwa wingi sana.Kimechapishwa na Dar Al-Kutub Al-Arabiyah Al-Kubrah (NyumbaKubwa ya Vitabu vya Kiarabu), ya Mustafa Al-Babi, Cairo, Ibn Abil-Hadiid ni mwanatheolojia na mwandishi wa historia maarufu, alikufamwaka 655 Hijiriya.

HAIKAL (Dk. Muhammad Husein Haikal) Hayat Muhammad (Maisha ya Muhammad), Chapa ya tatu iliyofanywa na Dar Al-Kutub Al-Misriah (The EgyptianHouse of Books) Cairo, mwaka 1358 Hijiriya. Dr. Haikal ni mwandishi wahistoria wa zama za leo.

HAKIIM (Sayyid Muhammad Taqi Al-Hakim) Al-Madkhal Ila Darasat Al-Fiqh Al-Muqaran (Utangulizi kuelekeakwenye masomo ya Fiqhi linganishi) kilichapishwa na Dar Al-Andalus,Beirut. 1963 AD. Hakiim ni mwanatheolojia wa zama za leo.

AL-HAKIM. (Muhammad Ibn Abdullah Al-Nissaburi, ajulikanaye kamaAl-Hakim). Al-Mustadrak Alas-Sahihain (Hadithi ambazo sahihi za Al-Bukhari naMuslaim imziacha). Hadith zilizomo kwenye kitabu hiki zinachukuliwakuwa za kweli na wanachuoni Waislamu, isipokuwa zikataliwe na Al-Dhahabi, ambaye maoni yake yamechapwa pembezoni mwa kitabu cha Al-Mustadrak, kilichochapishwa na Al-Nasr Printing, Riyadh Saudia Arabia,mwaka 1335 Hijiriya. Al-Hakim ni mwanachuo, mwandishi wa Hadith namkusanyaji wa Hadith maarufu, alikufa mwaka 405 Hijiriya.

J

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page J

Page 11: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

HALABI (Ali Ibn Burhanud-Diin Al-Halabi) Al-Siirah Al-Halabiyah (Wasifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ulioandik-wa na Al-Halabi), kilichochapishwa na Al-Maktaba Al-Kubra ya MustafaMuhammad, Cairo, Al-Halabi ni mwandishi wa historia maarufu, alikufamwaka 1044 Hijiriya.

HANBAL (Ahmad Ibn Hanbal)Musnad Ahmad, kilichochapishwa na as-Sader Printing, Beiruti, mwaka1969AD. Ibn Hanbal ni mmojawapo wa maimam wa matapo ya Kiislamu,alikufa mwaka 241 Hijiriya.

HISHAMU (Abdul Malik Ibn Hisham) Al-Siirah Al-Nabawiyah (Wasifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kili-chochapishwa na Mustafa Al-Babi Al-Halabi, Misri, mwaka 1955 AD. IbnHisham ni mwandishi maarufu wa historia ya Kiislamu, alikufa mwaka281 Hijiriya.

HUSEIN (Dk. Taha Husein)Al-Fitnat Al-Kubra (Mgogoro wa Fitna Kubwa katika dini), Kilichapishwana Dar Al-Maarif, Misri mwaka 1953 AD. Taha Husein ni mwanachuo namwandishi wa historia wa zama hizi.

JALALAIN (Jalalud-Din Muhammad Al-Halabi na Julalud-Din As-Suyuuti)

Tafsiirul-Jalalain (Tafsiri za Jalal mbili kuhusu Qur’ani Tukufu)

KHALID (Muhammad Khalid)Fi Rihab Ali (kwenye nyumba ya wageni ya Ali), Khalid ni mwandishi namwanahistoria wa Misri wa zama za leo.

MAJAH (Muhammad Ibn Majah) Sunnan Ibn Majah (Hadith zilizokusanywa na Ibn Majah). Mojawapo yavitabu sita vilivyo sahih vya Hadith kilichochapishwa na Dar Ihya Al-Kutub Al-Arabiyah (Nyumba ya Uhuishaji wa Vitabu vya Kiarabu) ya IsaAl-Babi, Cairo, 1952 AD. Ibn Majah ni mkusanyaji na mwandishi wa

K

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page K

Page 12: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

L

Hadith maarufu, alikufa mwaka 275 Hijiriya.

MAQSOUD (Abdul Fattah Abdul-Maqsoud) Al-Imam Ali Ibn Abi Talib (kitabu cha historia ya Imam Ali), kimechapish-wa na Al-Irfan Printing, Beiruti, Abdul-Maqsoud ni mwandishi namwanahistoria wa Misri wa zama za leo.

MUGHNIYAH (Sheikh Muhammad Jawad Mughniyah).Hadhi Hiya Al-Wahhabiyah (Huu ndio Uwahabbi), Sheikh Mughniyah nimwanatheolojia maarufu wa zama za leo.

MUHSIN (Sayyed Muhsin Al-Amiin) Aayan Al-Shi’ah, kitabu chenye maelezo mengi kilichopangwa kwa alfa-beti. Sayyid Muhsin ni mwanatheolojia na mwandishi wa historia maarufuwa zama za leo.

MUSLIM (Ibn Al-Hajjaj Al-Qusheiri)Sahih Muslim (Ukweli na usahihi wa Muslim). Ni kimojawapo cha Vitabusahihi sita vya Hadith kilichochapishwa na Muhammad Ali Subh Printing,Misri, mwaka 1349 Hijiriyya. Muslim ni mkusanyaji na mwandishi waHadith maarufu sana, alikufa mwaka 365 Hijiriya.

MUTTAQI (Ali Ibn Hussamul-Diin Al-Hindi Al-Muttaqi)Kanzul-Ummal (Hazina ya waja wa Mwenyezi Mungu), mkusanyikomkubwa wa hadith. Hadith zilizomo kwenye kitabu hiki zimewekwa kati-ka mfululizo.MUTTAQI (Ali Ibn Hussamul-Diin Al-Hindi Al-Muttaqi)Muntakhab Kanzul-Ummal (hadith zilizoteuliwa kutoka kwenye Kanzul-Ummal) zilizochapishwa pembezoni mwa Musnad Ibn Hanbal, na as-Sader Printing, Beiruti. Al-Muttaqi ni mkusanyaji na mwandishi maarufuwa hadith ambaye aliishi mnamo Karne ya Kumi na Moja, Hijiriya.

NISABUURI (Ali-Hasan Ibn Ahmad Al-Nisabuuri)Gharaibul - Qur’ani (fasili juu ya Qur’ani Tukufu) zimechapishwa pem-bezoni mwa Jami-ul-Bayan ya Al-Tabari (fasili zingine na Al-Tabari) na

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page L

Page 13: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

M

Al-Matba-ah Al-Meimaneyah, Misri, 1321 Hijiriya. Al-Nasabuuri nimfasili wa Qur’ani tukufu, alikufa wakati wa karne ya nane Hijiriya.

NISA’I (Ahmad Ibn Shu’aib Al-Nisa’i)Sunnan Al-Nisa’i (Hadith zilizokusanywa na Al-Nisai), kutoka kwenyeVitabu Sita Sahihi vya hadith vilivyopigwa chapa na Al-Matba-ah Al-Meimaneyah, Misri, 1321 Hijiriya. Al-Nisa-i ni mteuzi na mkusanyaji wahadith maarufu, alikufa 303 Hijiriya.

RAYYAH (Mahmood Abu Rayyah)Adhwa-a Ala Al-Sunnah Al-Muhamadiyah (miale juu ya hadith za MtukufuMtume (s.a.w.w.) zilizosimuliwa) chapa ya tatu imefanywa na Dar Al-Maarif (Nyumba ya Maarifa), Misri, 1957 AD. Abu Rayyah ni mwandishimaarufu wa zama za leo.

RAZZI (Fakhrud-Diin Muhammad Ar-Razzi)At-Tafsiir Al-Kabiir (Tafsiri pana za Qur’ani Tukufu) chapa ya pili ime-fanywa na Al-Matba-ah Al-Sarafiyah, mwaka 1304 Hijiriya. Ar-Razzi nimwanatheolojia na mfasili wa Qur’ani Tukufu maarufu sana, alikufamwaka 606 Hijiriya.

SAAD (Muhammad Ibn Saad Al-Zuhri, ajulikanaye kama Ibn Saad)Al-Tabaqat Al-Kubra (kitabu maarufu cha historia ya masahaba waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na wanafunzi wao), kilichapishwa na Dar as-Sader, Beiruti mwaka 1960 AD. Ibn Saad ni mtaalamu wa Historia yaKiislamu maarufu, alizaliwa mwaka wa 168 Hijiriya.

SHALTUTE (Sheikh Mahmood Shaltute)Tafsiir Al-Qur’ani (Tafsiri za Qur’ani Tukufu), kimechapishwa na Dar-Al-Qalam Printing, mwaka 1960 AD. Sheikh Shaltute ni Sheikh maarufumiongoni mwa masheikh wa Al-Azhar).

SHARAFUD-DIIN (Sayyid Abdul Husein Sharafud-Diin).Al-Muraj’at (Majadiliano) kilichapishwa na Al-Irfan, Saida, Lebanon,mwaka 1936 AD. Sayyid Sharafud-Din ni mwanatheolojia na mwandishiwa historia maarufu wa zama za leo.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page M

Page 14: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

SHABLANJI (Mumin Ibn Hussam Al-Shablanji)Nurul-Absar (Nuru ya Macho), chapa ya nane ilifanywa na Atif, mwaka1973. AD, Misri. Al-Shablanji ni mkusanyaji maarufu wa Hadith, alizali-wa mwaka 1251 Hijiriya.

TABARI (Muhammad Ibn Jariir Al-Tabari)History of Messengers and Kings (Historia ya Mitume na Wafalme). Al-Tabari ni mwandishi wa historia, mwanatheolojia na mfasili wa Qur’aniTukufu maarufu, alikufa 310 Hijiriya. Nukuu zote katika Jz. 2, ambazozilichukuliwa kutoka kwenye historia ya Tabari, zilichukuliwa kutoka Jz.4, chapa ya 4, na Jz. 5, chapa ya 2, iliyochapishwa na Dar Al-Ma’arif yaMisri.

TABARI (Muhammad Ibn Jariir Al-Tabari) Jami-ul-Bayan (Ubainifu Mkubwa), Tafsiri ya Qur’ani Tukufu,kilichapishwa na Maimaneyah Printing, Misri, mwaka 1321 Hijiriya.

TABARSI (Ahmad Ibn Ali Ibn Abi Talib At-Tabarsi)Al-Ihtijaji (mazungumzo) kilichapishwa na Al-Naaman Printing, Al-Najaf,Iraq, 1966 AD. At-Tabarsi ni mwanatheolojia maarufu aliyeishi katikakarne ya sita Hijiriya.

TIRMIDHI (Muhammad Ibn Isa At-Tirmidhi)Sunan At-Tirmidhi mojawapo ya vitabu Sita Sahih vya Hadith. Sehemu yatano ilichapishwa na Al-Fajjalah Printing, Cairo, 1967AD. At-Tirmidh nimteuzi na mwandishi wa hadith maarufu, alikufa 279 Hijiriya.

WAQIDI (Muhammad Al-Waqidi)Al-Maghazi (uvamizi), kilichapishwa na Oxford Printing. Al-Waqid nimtaalam wa historia Mwislamu maarufu, alikufa mwaka 207 Hijiriya.ZUHRAH (Sheikh Muhammad Abu Zuhrah)

Al-Imam As-Sadiq, kilichapishwa na Dar Al-Fikr Ak-Arabi (Nyumba yaFikra za Kiarabu zilizoandikwa) Misri. Sheikh Abu Zuhrah ni mwanathe-olojia na mwandishi wa historia wa zama za leo.

N

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page N

Page 15: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

UTANGULIZIImam Ali Foundation ilianzishwa kama chama cha kutoa msaada chenyelengo na madhumuni ya kueneza mafundisho ya Uislamu asilia kamaulivyo hubiriwa mwanzo na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kama ulivy-ofafanuliwa na Ahlul-Bait watukufu, watu wa nyumba ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na uzao wake.

Kitabu hiki ‘Ndugu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)’ ni mojawapo yavitabu vizuri vilivyoandikwa na marehemu Muhammad Jawad Chirri.Alifafanua historia ya maisha ya Imam Ali (a.s) na akachanganua masualambali mbali muhimu ya maisha yake, ama wakati wa uhai wa MtukufuMtume (s.a.w.w.) au baada ya kifo chake.

Imam Ali (a.s) Foundation ilikiona kitabu hiki kuwa na mvuto na manufaakwa wasomaji wa Kiingereza hususan ambapo inafahamika kwambavitabu vichache sana vimeandikwa kuhusu Imam Ali (a.s) kwa lugha yaKiingereza. Tumepata ari ya kukichapisha tena kitabu hiki kama faida yaWaislamu kwa ujumla na pia wasio Waislamu ambao wanataka kujifunzahistoria ya maisha ya mtu wa pili kwa umashuhuri kwenye Uislamu baadaya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Toleo la kwanza la kitabu hiki lilikuwa na juzuu mbili zilizo tenganishwa.Ili kurahisisha zaidi namna ya kushika na kusoma, tulipendeleakukichapisha katika juzuu moja.

Imam Ali (a.s) Foundation inakaribisha maoni yako kuhusu yale yaliyomokwenye kitabu hiki. Kama unataka maelezo zaidi, tafadhali tuandikie.

Imam Ali (a.s) Foundation.18th Dhulhija, 1418/16th April, 1998.

O

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page O

Page 16: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

P

KUHUSU MWANDISHI.

Imam Muhammad Jawad Chirri ni mzalendo wa Lebanon na ni mhitimu(Graduate) wa taasisi ya kidini iliyo maarufu ya Najaf nchini Iraq. Yeye nimwanatheolojia ya Kiislamu, mhadhiri mwandishi na mwanahistoria. Nimwendeshaji wa kipindi cha redio cha kila wiki kiitwacho ‘Islam in Focus’kinachotangazwa na WNIC. Katika vitabu vyake vilivyo chapishwa ni:

Muslim Practice.Islamic TeachingImam Husein, Leader of the Marteyrs.Inquiries About Islam (Maelfu ya maktaba za Marekani wamekitwaakitabu hiki - Kitabu hiki pia kimetafsiriwa katika lugha ya Kiswahili naTaasisi ya Al-Itrah Foundation, kwa jina la “Maswali kuhusu Uislamu”).‘Al-Khilafatu Fi Al-Dustous Al –Islam’ (The Calphate in the Islam consti-tution- Arabic).Amiir Al-Muminiin (The leader of Belivers –Arabic).

Imam Chirri alialikwa na Detroit Muslim Community awe kiongozi waowa kiroho. Alisaidia sana katika ujenzi wa Islamic Center of Detroit,mojawapo ya taasisi kubwa sana za Kiislamu - America ya kaskazini. Sasahivi yeye ndiye Mkurugenzi wa Taasisi hii.

Kazi ya Imam Chirri ilipanuliwa hadi Afrika ya Magharibi. Alipokuwakatika msafara wa kuhadhiri mnamo mwaka 1958, aliweza kuishawishijamii ya Kilebanoni iliyoko Sierra Leone kujenga hospitali ya watoto kamazawadi kwa wazalendo wa nchi hiyo.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page P

Page 17: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Wakati alipotembelea Mashariki ya kati mwaka wa 1959, mwandishi huyualilishughulikia tatizo la Kiislamu la siku nyingi na kufaulu kupata ufum-buzi wake. Kwa kipindi cha miaka elfu moja, Waislamu walikuwawamegawanyika katika makundi mawili; Sunni na Shi’ah (wala hakunahata upande moja baina ya hizo pande mbili uliotambua uthabiti wamafundisho ya kundi lingine licha ya makubaliano ya matapo yote mawilikuhusu mafundisho yote ya Qur’ani Tukufu na hadithi za Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) zilizosimuliwa kwa usahhihi.

Mwandishi huyu alikutana na marehemu Sheikh mkuu wa Al-Azhar,Sheikh Mahood Shaltut mnamo tarehe 1, Julai, 1959. Alizungumza nayekuhusu suala hilo muhimu. Katika hitimisho la mazungumzo SheikhShaltut alikubali uthabiti wa Tapo la Kiislamu la Shia Jaafariya.Mwandishi huyu alimwomba Sheikh kutangaza usawa baina ya tapo laShia Jaafariya na Sunni. Tangazo (fatwa) hilo lilirushwa hewani nakuchapishwa Julai 7, 1959. Tamko hili lilikuwa la kihistoria na la kwanzala namna yake tangu matapo hayo yalipotengana.

Moyo wa udugu wa kweli wa Kiislamu unaweza kuwepo tu kwa uelewanowa pande zote miongoni mwa matapo mbali mbali ya Kiislamu. Ni kwamtazamo huu kwamba Mwandishi anawasilisha kitabu hiki, ‘Ndugu yakeMtukufu Mtume (s.a.w.w.).’ Bila kuwa na haja ya kusema kwambamabishano miongoni mwa matapo mbali mbali ya Kiislamu yanazungukahasa zaidi kwenye historia ya Imam huyu mashuhuri. Ufahamu wa kwelina wa hakika wa nafasi yake katika Uislamu utawafanya Waislamu waele-kee kwenye undugu wa kweli zaidi.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page 1

Page 18: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

2

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page 2

Page 19: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

3

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page 3

Page 20: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

4

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

SURA YA KUMI NA SITA

IMAM WAKATI WA ENZI YA MAKHALIFA WATATU.

Abu Bakr Anachukua Urithi

Hatimaye, lile lisiloepukika likaja kutokea. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)akatawafu, na kifo chake kilikuwa hasara kubwa kuzidi kiasi ambayo hai-japata kumkumba mwanadamu. Wahyi wa Mbinguni kwa watu wa dunianiulikoma. Alikuwa ni Mwisho wa Mitume, na hapana Mtume mwingineatakayekuja baada yake.

Waislamu walilemewa sana kwa kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hivyokwamba ilikuwa vigumu kwa sahaba yeyote maarufu kufikiria.

Umar Alikana Kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Umar alisimama msikitini, akasema: “Baadhi ya wanafiki wanadai kwam-ba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ametawafu. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)hajatawafu. Yeye alikwenda tu kwa Mola wake Mlezi kama Nabii Musamwana wa Imr?n alivyokwenda kwa Mola Wake. Aliwaacha watu wakekwa siku arobaini, halafu akarudi kwao baada ya kusemekana kuwa aliku-fa. Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) atarudi kamaalivyorudi Musa (a.s.). Atakata mikono na miguu ya watu wanaodai kuwaamekufa.”1

1 Ibn Hishamu, kwenye kitabu chake cha ‘Wasifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),’sehemu ya 2, uk. 655.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page 4

Page 21: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

5

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

KHUTBA YA ABU BAKR.

Abu Bakr alikuwa mkweli zaidi na mwenye akili iliyotulia vizuri kulikoUmar. Alisimama na akasema: “Enyi watu, yeyote aliyekuwa anamuabuduMuhammad sharti ajue kwamba Muhammad amekufa. Yeyote aliyekuwaanamuabudu Mwenyezi Mungu ajue kwamba Mwenyezi Mungu yupo nakamwe hata kufa.” Halafu akakariri Aya ifuatayo:

“Na Muhammad hakuwa ila ni Mtume tu. Wamekwishapita kablayake Mitume. Je akifa au akauawa ndio mtageuka mrudi nyuma? Naatakayegeuka akarudi nyuma huyo hatamdhuru Mwenyezi Munguhata kidogo. Na Mwenyezi Mungu Atawalipa wanaoshukuru.”(Qur’ani Tukufu 3:144).

Aliposikia maneno haya Umar alitambua kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alikwishatawafu na akaanguka chini.

KUSHUGHULISHWA NA MAZIKO MATAKATIFU.

Uzito wa msiba huu wa kuvunja nguvu, aliyeuhisi zaidi si mwingineisipokuwa Ali na watu wengine wa nyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kiliwafanya wakose fahamu yamambo mengine hapa duniani. Huzuni ya familia hii iliyoondokewailikuwa haielezeki kabisa. Walitamani kutoweka duniani hapa palealipoondoka Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page 5

Page 22: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

6

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliongea kwa siri na binti yake Fatima Az-Zahra mara mbili wakati anaugua. Wakati mmoja alimjulisha juu ya kifochake, akalia sana. Kisha alimfahamisha kwamba yeye atakuwa mtu wakwanza wa familia yake kumfuata yeye, na alicheka. Alifurahi Fatimakujua kwamba hataachanishwa naye kwa muda mrefu.

Mume wake Fatima, Ali (a.s.) aliishi miaka ishirini na tatu na MtukufuMtume (s.a.w.w.) akijitolea maisha yake kwa ajili ya kumlinda yeye(s.a.w.w.) dhidi ya hatari. Ghafla akaona kwamba maisha hayo ya thamaniyalikoma ambapo hakuwa na uwezo wa kuyakomboa. Kifo cha MtukufuMtume (s.a.w.w.) kilimuuma sana Ali kuliko kama angekufa yeyemwenyewe.

KONGAMANO LA KISIASA.

Hata hivyo, msiba haukuwazuia masahaba wengine, wa kutoka Makka nawa Madina kufikiri na kufanya kisiasa kabla hata ya kuzikwa MtukufuMtume (s.a.w.w.).

Kama ilivyodokezwa huko nyuma, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alijaribulakini hakuandika wasia, ambamo alitarajiwa kumtaja mrithi. Alijaribukumtaja mtu ambaye uongozi wake ungeleta usalama kwa umma dhidi yakukengeuka. Kundi la masahaba likiongozwa na Umar, lilikataa kuandik-wa wasia huo, na mbinu ya kukataa kwao ilifanya hati hiyo iliyopen-dekezwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kukosa maana.

Tangazo la Ghadiir Khum na matamshi mengine ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) mahali mbali mbali kuhusu Ali yalidharauliwa. Kinachowezakusemwa kwa usahihi zaidi kuhusu msimamo wa masahaba kuhusu usemihuo ni kwamba hawakuona ushahidi wa kulazimisha kuhusu uteuzi wa Ali.Watu wa Makka na Madina, walianza na kumaliza mashindano yao ya uon-gozi kabla Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hajazikwa.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page 6

Page 23: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

7

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

UMAR ALIZUNGUMZIAKUHUSU KONGAMANO.

Umar, wakati wa mwaka wa mwisho wa utawala wake, alizungumzakuhusu kilichotokea baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Aliwataarifu wasikilizaji wake kwamba alipokufa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), watu wa Madina wakiongozwa na Sad Ibn Ubadah walijitengana watu wa Makka, na watu wao mashuhuri walikutana huko SaqifahBanu Saidah, wakajaribu kuchagua Khalifa kutoka miongoni mwao. AliIbn Abu Talib, Zubeir Ibn Al-Awam na wengine waliokuwa pamoja naowakajiepusha nao, na watu wa Makka walikwenda na Abu Bakr.

Abu Bakr, Umar na Abu Ubeidah Ibn Al-Jarah, walikwenda kwenyekongamano la watu wa Madina kisitisha jaribio lao. Abu Bakr aliwaambiawatu hao wa Madina kwamba Waarabu hawangemkubali kiongozi wa koonyingine isipokuwa koo za Qureishi (watu wa Makka) ambao walikuwamashuhuri zaidi miongoni mwa Waarabu na kutoka kwenye jiji lenyehadhi kubwa sana. Inasemekena kwamba Abu Bakr aliwaambia kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) wakati fulani alitangaza kwamba Maimamwanatoka kwa Maquraishi.2 “Mimi ninaridhika, aliwaambia, na uongoziwa yeyote wa hawa watu wawili (Umar na Abu Ubeidah). Mpeni kiapo chautii yeyote kati ya hawa watu wawili ambaye mtamchagua.” Baadhi yawatu wa Madina walishauri kiongozi atoke upande wao na mwingine atokeupande wa watu wa Makka. Mabishano yalikuwa makali na Umarakamwambia Abu Bakr: “Nyoosha mkono wako.” Abu Bakr alifanyahivyo na Umar akampa mkono kutoa kiapo cha utii kwake. Watu waMakka waliokuwa hapo nao pia walitoa kiapo cha utii na watu wa Madinawaliokuwa wanashauriana walifanya hivyo, isipokuwa Saad Ibn Ubadahna watu wanaomuunga mkono.

2 Dr. Taha Husain, Al-Fitnatul-Kubra sehemu ya 1, uk. 35.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page 7

Page 24: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

8

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Siku iliyofuata, watu walikusanyika msikitini. Umar alisimama naakawaambia wasikilizaji: “Mwenyezi Mungu amewezesha nyinyi kukubalikadiri ya uwezo wenu wote, sahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)aliyekuwa pamoja naye kwenye pango (Lu Thour wakati wa Hijiriya).Simameni mtoe kiapo cha utii kwake.” 3 Na walifanya hivyo.

MASWALI YA KISHARIA NA KIHISTORIA.

Urithi wa Abu Bakr unasababisha maswali haya:Je! Abu Bakr aliwahi hata kidogo kudai kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimfanya yeye mrithi wake?

Kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakumteua yeye, alionesha dalili zakupendelea kumteua yeye?

Je! Uchaguzi wa Abu Bakr ulikuwa wa hatari kwa mtazamo wa Kiislamu?Hivi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: Maimam wanatoka kwaMaquraishi, na alimaanisha nini kusema hivyo?

Historia inatoa jibu la swali la kwanza kwa kukataa, kwani Abu Bakrkamwe hakudai kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimfanya yeye kuwamrithi wake. Wala hapana sahaba yeyote ambaye alifanya kazi kwa juhudikatika kuanzisha Ukhalifa wake alidiriki kudai kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimfanya Abu Bakr mrithi wake. Msomaji unaweza kukumbu-ka kwamba mabishano ya Abu Bakr ambayo aliyaanzisha kwenye mku-tano wa watu wa Madina hayakuwa na dokezo zozote za uteuzi wowote waMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Yeye aliuambia mkutano kwamba Waarabuhawangetambua uongozi usiokuwa wa Maquraishi. Kwani Maquraishi,alisema, wanaheshimiwa zaidi miongoni mwa Waarabu na wanatoka3 Ibn Hishamu, kwenye kitabu chake cha Wasifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),sehemu ya 2, uk. 659-660.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page 8

Page 25: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

9

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

kwenye jiji linaloheshimika sana. Kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)angekuwa ameonesha utashi wake wa kumfanya yeye kuwa mrithi wake,Abu Bakr angefanya tamko la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuwa hoja yakepekee, bila kukimbilia kuwasifu Maquraishi. Pia Umar angenukuu tamkokama hilo kuegemeza hoja yake kuhusu kuchaguliwa kwa Abu Bakr.

Wanachuo wa Madhehebu ya Sunni wanakubaliana kwa pamoja kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kamwe hakumteua mrithi. Hii inamaanishakwamba wanakubali kwamba hakumfanya Abu Bakr mrithi wake.

Hata hivyo, imesimuliwa kwamba mwanachuo wa zama za sasa waMadina wa madhehebu ya Wahabi alidai kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimteua Abu Bakr kama mrithi wake.4 Aliegemeza madai yakekwenye hadith isemayo kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema:

“Na Mwenyezi Mungu na waumini wanakataa (uongozi wowote)isipokuwa ule wa Abu Bakr.” Pia alidai kwamba hadith hii ni ‘Mutawatir’(imesimuliwa na wahadithiaji wengi sana sifa inayoifanya hadith hii kuwaya kweli).

Hadith ni ile ambayo Muslim ameiandika kwenye Sahih yake kupitia kwamsimulizi wake hadi kwa Urwah ambaye alisimulia kwamba Aisha alise-ma: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliniambia; ‘mwambie baba yako AbuBakr aje hapa na kaka yako, ili niweze kuandika maelekezo. Nina hofukwamba mwenye kutamani anaweza akatamani na msemaji anawezaakasema; Ninayo haki zaidi (ya uongozi kuliko Abu Bakr) na MwenyeziMungu na Waumini wanakataa (uongozi wowote) isipokuwa wa AbuBakr.”5

4 Sheikh Muhammad Jawad Mugneyah aliandika hadith hii kwenye kitabu chakecha Hadhihi Hiya Al-Wahabiya (huu ndio Uwahabi).

5 Muslim, Sahih Muslim sehemu ya 15, uk. 155.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:40 PM Page 9

Page 26: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

10

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Al-Bukhari aliandika hadith hii kwa namna inayofanana na hii lakiniilikuwa na neno: “Nusura nijaribu kumuita Abu Bakr na mtoto wake naniandike maelekezo ….”6

Inafaa kuzingatia kwamba hadith hii si mutawatir kama anavyodai huyumwanachuo wa Madhehebu ya Wahabi, kwani hadith hii haikusimuliwa namasahaba wengi sana. Kwa kweli, ilisimuliwa na Aisha peke yake. Hatahivyo, kuionesha hadith hii kama uthibitisho wa kuteuliwa kwa Abu Bakrkama mrithi ni ushahidi wa kupungukiwa na ujuzi mkubwa wa hadith,kwani hadith hii inapingana na hadith tatu sahihi ambazo zimesimuliwa naAisha mwenyewe;

AISHA ALISIMULIA KINYUME

Muslim aliandika kupitia wahadithiaji wake hadi kwa Masrooq kwambaAisha alisema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakuacha dinari au dirham, aukondoo au ngamia, wala hakuacha wasia wa kitu chochote.”7

Kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) angemteua Abu Bakr kama mrithi wake,Aisha hangesema; “Wala yeye (Mtunme) hakuandika wasia wa kitu cho-chote.” Kwani kama angekuwa amemteua Abu Bakr, angekuwa ameandi-ka wasia wa kitu muhimu sana.

Muslim pia aliandika kupitia kwa wahadithiaji wake hadi kwa Al-AswadIbn Yaziid kwamba alisimulia kwamba watu walitaja mbele ya Aishakwamba Ali alikuwa wasii wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Aisha akasema:“Wakati gani yeye Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimfanya Ali wasii?Nilikuwa nimeuegemeza mgongo wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwenyekifua changu (au alisema paja langu). Aliitisha beseni, kisha akazirai

6 Al-Nawawi kwenye fasili yake ya Sahih Muslim aliwasilisha hadith hii.7 Muslim, Sahih Muslim, Sehemu ya 11 (Kitabu cha Wasia), uk. 89.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 10

Page 27: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

11

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

kwenye mapaja yangu na sikudhani kwamba alikufa. Wakati gani alim-fanya Ali kuwa wasii wake?”8

Hadith hii, inaelezea hadith nyingine ambamo Aisha alisema: “Walahakuandika wasia wa kitu chochote.” Kwenye hadith zote mbili Aishaalikuwa anajaribu kukanusha kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alim-fanya Ali wasii wake. Hii kwa jinsi inavyoonekana inaonesha kwambafikira ya uwasii wa Abu Bakr haikuenezwa kwa watu. Kilichokuwa kimee-nea kwa watu ni kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimfanya Ali kuwawasii wake. Kwa hiyo, Aisha alikuwa anajaribu kukanusha kwa juhudikubwa.

Kama Aisha angekuwa amefikiria kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alimteua Abu Bakr, angewaambia wale waliotaja jina la Ali kuhusu uwasiikwamba baba yake, na wala sio Ali, alikuwa ndiye wasii.

Muslim pia alisimulia kupitia wahadithiaji wake hadi kwa Abu Malikahkwamba alisimulia yafuatayo; “Nilimsikia Aisha, na aliulizwa: Je, kamaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) angetaka kumteua mrithi, angemteua nani?Alisema; Abu Bakr, wakamwambia; Halafu angemteua nani baada ya AbuBakr? Aisha alisema: Umar. Halafu akaulizwa: Angemteua nani baada yaUmar? Akasema; Abu Ubaidah Ibn Al-Jarrah. Halafu akaishia hapo.”9

Kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) angesema: “na Mwenyezi Mungu naWaumini wanakataa (uongozi wowote) isipokuwa wa Abi Bakr, angekataahilo swali la kufikirika kuhusu uteuzi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wamrithi. Kwani uteuzi ungekuwa jambo la kweli na si la dhana na Abu Bakrangekuwa ndiye mteule halisi hasa. Lakini Aisha alilichukua jambo hilikinadharia, kwa sababu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakufanya tamko laaina hiyo kuhusu Abu Bakr.

8 Ibid.9 Ibid, Sehemu ya 2, uk. 154.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 11

Page 28: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

12

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

CHUKI YA DHAHIRI BILA SABABU

Chuki ya Aisha dhidi ya Ali inaonekana wazi kwenye hadith tatu zilizota-jwa kwenye kurasa za nyuma. Kwenye hadith ya Abu Malikah Aisha ali-jaribu kutuambia kwamba Abu Ubaidah alikuwa anastahili kuwa Khalifakuliko Ali. Hakuna mtu anayeunga mkono jambo hili, kwani Waislamukwa pamoja wanakubali kwamba Ali alikuwa na daraja la juu zaidi naalikuwa kipenzi cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) zaidi ya Abu Ubaidah.

Kwenye hadith ya Al-Aswad Ibn Yaziid, Mama wa Waumini alijaribukukanusha uwasii wa Ali bila ya uthibitisho wowote. Natukubalianekwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikufa wakati ameegemea kifua chaAisha na kwamba hakumfanya Ali kuwa wasii wake wakati huo, tukio hilihalikanushi uwasii wa Ali. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema hadharanimahali paitwapo Ghadiir Khum, kwa niaba ya Ali, aliwaambia maelfu yamahujaji kwamba Ali alikuwa Mawla (Mlezi) wa walioamini na kwambayu kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika kuwa na haki zaidi juu yaokuliko walivyo na haki kwao wao wenyewe.

Zaidi ya hayo, Umm Salamah alisimulia kile kinachopingana na madai yaAisha. Al-Hakim, kupitia kwa wahadithiaji wake ambao yeye na Al-Thahabi waliiona kuwa ni sahihi, alisimulia kwamba Umm Salamah (mkewa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)) alisema: “Kwa Yule ambaye kwa Jina lakemimi ninaapa, Ali alikuwa mtu wa mwisho kugusana na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kabla hajatawafu. Tulimtembelea Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kabla ya Adhuhuri na alikuwa anasema kwa kurudia rudia: “Ali amekwishakuja?” Fatima alisema: “Inaonekana kama vile umemtuma kwenye kazi.”Yeye (Umm Salamah) akasema: “Ali akaja, na nilidhani kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) alikuwa na jambo la kumwambia kwa faragha.Tuliondoka chumbani na tukaketi mlangoni, na mimi nilikuwa karibu zaidina mlango. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliinama kuelekea kwa Ali akiwaanamwambia siri kwa kusema kwa kunong’ona, halafu Mtukufu Mtume

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 12

Page 29: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

13

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

(s.a.w.w.) akatawafu mnamo siku hiyo. Hivyo Ali alikuwa mtu wa mwishokuwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hadi anakata roho.”10

HADITH YA MAGHAFIIR

Aisha alikuwa na desturi ya kusimulia baadhi ya matukio ambayo hayaku-tokea kamwe, kama riwaya ingekidhi matamanio aliyoyataka mwenyewe.Hadith ya Maghafiir (utomvu mzito unaotoka kwenye miti maalum) inaju-likana sana katika historia ya Kiislamu na imetajwa kwenye Qur’aniTukufu Sura ya 66 iitwayo ‘Al-Tahriim.’ Yeye (Aisha) na Hafsa (binti yaKhalifa wa pili) walikula njama kwamba kila mmoja wao akiwa peke yakena Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitakiwa amwambie Mtukufu Mtume(s.a.w.w.): “Ninapata harufu ya Al-Maghafiir kutoka kwako,” ambapowote wawili walijua kwamba huo ni uwongo.

Al-Bukhari aliandika kwenye Sahih yake kwamba Ubaid Ibn Umairalisimulia kwamba Aisha alisema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa natabia ya kunywa asali nyumbani kwa Zainabu, Binti yake Juhsh (mkemwingine wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)) na kukaa naye. Hafsa na mimitukala njama ya kumwambia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) atakapokuja kwayeyote mmoja wetu amwambie: Umekula Maghafiir. Ninahisi harufu yaMaghafiir” Akasema: Hapana; lakini nilikuwa ninakunywa asali nyum-bani kwa Zainabu, na sitafanya hivyo tena. Na ninaapa kwamba hau-tamwambia yeyote kuhusu tukio hili.”11

Aisha alimsaliti Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa kutoa siri ambayo alimua-muru aifiche. Mwenyezi Mungu akamwambia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)juu ya jambo hilo na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na hili lilimfanyaakasirike. Sura Al-Tahriim iliteremshwa kwa ajili ya tukio hili. Yaliyomohumo ni haya yafuatayo:10 Al-Hakim, al-Mustadrak, Jz. 3, uk. 13911 Sahih Bukhari, Jz. 6, ‘Kitabu juu ya tafsiri ya Qur’ani.’ Iko kwenye tafsiri yaSuratut-Tahriim, uk. 194

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 13

Page 30: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

14

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

“Na Nabii alimwambia mmoja wa wake zake jambo la siri. Basialipolitangaza yule mke, na Mwenyezi Mungu akamdhihirishiaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), alimjuvya sehemu na akaacha nyingine.Alipomwambia hayo huyo mke akasema; Nani aliyekwambia haya?Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema: Kaniambia Mjuzi Mwenyekhabari zote! “Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa MwenyeziMungu, basi nyoyo zenu zimekwishaelekea huko. na mkisaidianadhidi yake (Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)), basi hakika Mwenyezi Mungundiye kipenzi chake, na Jibril na waumini wema, na zaidi ya hayoMalaika pia watasaidia.” (Qur’ani Tukufu; 66:3-4)

Al-Bukhari pia alisimulia kupitia wahadithiaji wake hadi kwa Ubeid IbnHunein, kwamba alisema: Nilimsikia Ibn Abbas akisema: Nilikaa mwakamzima nikijaribu kumuuliza Umar Ibn Al-Khattab kuhusu Aya fulani yaQur’ani na nisingeweza kuuliza kwa sababu ya khofu, hadi alipoondokakwenda Hija na mimi nilikuwa naye. Tulipokuwa barabarani, tunarudiMadina, alichepuka kuelekea kwenye kichaka ili ajisitiri. Ibn Abbas akase-ma: Nilimngojea hadi alipomaliza, halafu nilitembea naye. Nikasema: EweAmiri wa Waumini, ni nani hao wawili miongoni mwa wake zake MtukufuMtume (s.a.w.w.) ambao walisaidiana dhidi ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?Umar akasema: Hao ni Hafsa na Aisha.”12

12 Sahih Al-Bukhari, sehemu ya 6, uk. 195.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 14

Page 31: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

15

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

UMAR ALIUONA UCHAGUZI KAMA NI“VURUGU”

Kama mtu yeyote ataulizia kutaka ushahidi zaidi kuhusu ukweli kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakumfanya Abu Bakr mrithi wake, tamko laUmar lifuatalo kuhusu uchaguzi wa Abu Bakr linatosha kuondoa shaka juuya jambo hili kwa ukamilifu.

Al-Bukhari kwenye Sahih yake,13 Ibn Hishamu kwenye kitabu chake chaWasifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),14 na Imam Ahmad kwenye Musnadyake,15 wameandika kwamba Umar alisema kwenye khutba yake aliy-ohutubia wakati wa mwaka wake wa mwisho wa ukhalifa wake:

“….. Nimepata taarifa kwamba mtu mmoja kutoka miongoni mwenuanasema; Kwa jina la Mwenyezi Mungu, endapo Umar anakufa nitamch-agua fulani (mtu ambaye jina lake Umar hakutaka kulitaja). Mtu yeyotenaasijidanganye kwa kujisemea mwenyewe kwamba uchaguzi wa AbuBakr ulikuwa ni ‘vurugu’ na ni jambo lililopita. Hakika uchaguzi wa AbuBakr ulikuwa ‘vurugu’ (kitendo kilichofanywa haraka bila uangalifu …)”

Jambo hili linaonesha kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kamwe hakud-hihirisha nia yake ya kumfanya Abu Bakr Khalifa wake. Kama MtukufuMtume (s.a.w.w.) angekuwa ameonesha nia kama hiyo au alisemaalivyosimulia Aisha, uchaguzi wa Abu Bakr haungekuwa kitendo chapurukushani zaidi, kingekuwa kitendo kilichopangwa vizuri na MwenyeziMungu na Mtukufu Mtume Wake (s.a.w.w.).

13 Al-Bukhari, kwenye Sahih yake, sehemu ya 8, uk. 21014 Ibn Hishamu kwenye kitabu chake Wasifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), sehe-mu ya 2, uk. 658.15 Imam Ahmad kwenye Musnad yake, sehemu ya 1, uk. 55.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 15

Page 32: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

16

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

TAMKO LA MWISHO LA UMARHata hivyo, Khalifa wa Pili aliondoa wasiwasi wote baada ya kuchomwakisu. Muslim katika Sahih yake,16 na Ibn Saad kwenye Al-Tabaqat,17 naIbn Hisham kwenye kitabu chake cha Wasifu wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.),18 waliandika kwamba Abdullah Ibn Umar alisema kwambaalimshauri baba yake kumtaja mrithi wake na Umar alisema: “Kamasikumtaja mrithi, basi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakumtaja mrithi nakama nikimtaja mrithi, Abu Bakr alimtaja mrithi.”

Al-Bukhari kwenye Sahih yake aliandika kwamba Abdullah Ibn Umaralisema kwamba baba yake aliambiwa: “Kwa nini humtaji mrithi?”Akasema: “Kama nikimtaja mrithi mtu ambaye ni bora zaidi yangu, AbuBakr alimtaja mrithi. na kama sikumtaja mrithi aliye bora zaidi yangu,Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakumtaja mrithi.”19

JE! MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.) ALITAKAKUMTEUA ABU BAKR KUWA MRITHI WAKE.

Matukio ya siku za mwisho za uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) yalione-sha kwa wazi kabisa kwamba urithi wa Abu Bakr haukuwepo katika fikiraya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Hakuna kinachothibitisha hilo kamailivyokuwa kuhusu msafara wa kijeshi wa Usama. Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimfanya Usama Ibn Zayd Ibn Harith kamanda mkuu wa jeshina alitoa maelekezo ya kumuamuru avuke mipaka ya Al-Balqa na Al-Daroon nchini Palestina. Watu walijitayarisha na muhajirina wa mwanzowalijiunga na jeshi la Usama.20

16 Muslim kwenye Sahih yake, sehemu ya 12, uk. 206.17 Ibn Saad kwenye at-Taqat yake, sehemu ya 3, uk. 342.18 Ibn Hisham kwenye kitabu chake Wasifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), sehe-mu ya 2, uk. 65319 Al-Bukhari kwenye Sahih yake sehemu ya 9, uk. 100.20 Ibn Hishamu kwenye kitabu chake ‘Wasifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),’sehemu ya 2, uk. 642.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 16

Page 33: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

17

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Kutoka kwenye matukio yanayojulikana sana ya historia kwenye msafarawa Usamahni haya yafuatayo:

Abu Bakr, Umar na wengine miongoni mwa muhajirina walikuwa kwenyejeshi la Usama.21

Ali Ibn Abu Talib hakuwemo kwenye jeshi hilo.

Inaonesha kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakutaka Ali ashirikikwenye vita zaidi baada ya kuanzishwa dola ya Kiislamu kwenye Rasi yaArabia kama matokeo ya vita vya kujihami ambamo Ali alikuwa shujaamkubwa. Hakumruhusu (au angalau hakumuagiza) Ali ashiriki vita vyaMutah ambapo alilipeleka jeshi la Waislamu chini ya uongozi wa Zayd IbnHarith (baba yake Usama) kwenye mipaka ya Syria, ambako Zayd, Ja’farIbn Abu Talib na Abdullah Ibn Rawahah waliuawa. Wala hakumruhusu Alikuungana naye kwenye kampeni ya Tabuk. Aliamua kumweka Madina iliamrithi yeye anapokuwa hayupo.

Misingi ya dola ya Kiislamu ilikwishaanzishwa na ilikuwa si muhimukuyapeleka maisha ya Ali kwenye hatari zaidi. Kwa hiyo, hakumpelekakwenye jeshi la Usama. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakumpa uongoziwowote Ali kwenye vita vyovyote. Yeye alikuwa mbeba bendera waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika vita vyote ambavyo viliongozwa naMtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe.22 Na alikuwa kamanda Mkuu wamisafara yote ya kijeshi ambayo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimpelekaAli.

21 Hadith hii imeandikwa na Ibn Al-Athiir kwenye Al-Kamil na Ibn Saad, Al-Tabaqat, sehemu ya 2, uk. 290, na Al-Dahlani, na Al-Tabari, kwenye kitabu chakecha ‘Wasifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),’ (zote hizi zilihadithiwa na Sharraful-Diin kwenye Al-Murajaat).22 Ibn Saad, kwenye Al-Tabaqat yake sehemu ya 3, uk. 25, na Al-Hakim kwenyeAl-Mustadrak yake sehemu ya 3, uk. 111.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 17

Page 34: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

18

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Wasomaji wa historia ya Uislamu walijua kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimpa Abu Bakr na Umar ukamanda wa jeshi kwenye vita vyaKhaybar kwa muda wa siku mbili mfululizo. Wakati huo Ali alikuwaanaumwa ugonjwa wa kuvimba macho ambao ulimzuia asishiriki kwenyevita. Macho yake yalipotibiwa na kuponywa kwa muujiza mnamo siku yatatu, Ali akawa kamanda Mkuu na Masheikh wawili Abu Bakr na Umar namasahaba wengie wakawa chini ya uongozi wake.

Ibn Saad amesimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimfanyaUsama kamanda wa jeshi. Jumatano ilipofika, maradhi ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) yalianza kumsumbua, alikuwa na homa na kuumwa kichwa, sikuya Alhamisi Asubuhi alimpa bendera Usama. Usama alibeba bendera,halafu yeye akampa Buraidah Al-Aslami na wakapiga kambi huko Al-Jurf.Masahaba wote mashuhuri wa kutoka Makka na Madina pamoja na AbuBakr, Umar Ibn Al-Khattab, Abu Ubaidah Ibn Al-Jarrah na Saad Ibn AbuWaqqas walijiunga na jeshi la Usama.”23

3. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliugua baada ya kumpa Usama bendera.Jeshi lilikuwa bado karibu na Madina na bado lilikuwa halijaanza safariyake. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alishangazwa na mwendo wa kujikongo-ja wa jeshi na kutokuwa tayari kwa wapiganaji kuondoka Madina. Kwahiyo, alikwenda Msikitini mara mbili akiwa katika hali ya kuumwa nakuwaamuru waanze safari yao na kwa mwendo wa haraka. Alirudia agizohili mara tatu kwenye khutuba moja.24

Alifanya yote haya ambapo anatambua ukaribu wa kifo chake. Utambuziwa kifo chake umesimuliwa kwenye hadith zifuatazo:

Ibn Hisham aliandika kwamba Abu Muwaihibah alisimulia kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikwenda naye kuzuru makaburi ya Al-Baqii

23 Ibn Saad, Al-Tabaqat, sehemu ya 2, uk. 249.24 Ibn Saad, Al-Tabaqat, sehemu ya 2, uk. 248.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 18

Page 35: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

19

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

usiku kabla ya kuanza kuugua. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisimamakwenye uwanja wa makaburi na kuwapa hongera wakazi wa humo kwakuepushwa na migogoro ya kupima imani ya siku za usoni. AbuMuwaihibah alisimulia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimwambia:Abu Muwaihibah, nimepewa funguo za hazina za dunia hii na maishamilele ndani yake pamoja na Peponi. Nilipewa chaguo hilo baina ya hilona kukutana na Mola wangu Mlezi na Pepo. Abu Muwaihibah akasema:Baba na mama wawe kafara ya kukukomboa wewe. Chukua funguo zahazina za dunia hii na za maisha ya mielele ndani yake, pamoja na Peponi.Akasema: Hapana, Abu Muwaihibah, nimechagua kukutana na Molawangu Mlezi na Pepo.”25

Na alipoketi kwenye mimbari yake alihutubia ambapo alikuwa mgonjwa,yeye kwa mujibu wa Ibn Hisham alimaliza hutuba kwa kusema: Kwa haki-ka Mwenyezi Mungu amempa chaguo mmojawapo wa waja Wake(Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa anasema hivi kuhusu yeyemwenyewe) baina ya dunia hii pamoja na Akhera, na kile alichonachoMola Mlezi. Mja alichagua kile alichonacho Mola Mlezi (alichagua kuku-tana na Mola wake Mlezi).26 Hivyo, alikuwa anawataarifu wasikilizajiwake kwamba alikuwa amekaribia kuondoka hapa duniani.

Muslim aliandika kwenye Sahih yake kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alimwambia Binti yake Fatima alipokuwa anaumwa maradhi ambayondiyo yaliyomuua: “Jibril alikuwa na desturi ya kupitia Qur’ani Tukufuakiwa na mimi mara moja au mbili kwa mwaka na sasa ameipitia akiwa namimi mara mbili.” Halafu akamwambia Binti yake: “Ninahisi kwambakifo changu kiko karibuni, Mtii Mwenyezi Mungu na uwe mvumilivu,mimi ni mzazi wako mwema ……”27

25 Ibnu Hishamu, ‘Wasifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)’ sehemu ya 2, uk. 642.26 Ibnu Hishamu katika ‘Wasifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)’ sehemu ya 2,uk. 64927 Muslim, kwenye Sahih yake, sehemu ya 17, uk. 7.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 19

Page 36: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

20

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Al-Bukhari kupitia wahadithiaji wake hadi kwa Aisha aliandika kwambaalisema: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimuita Fatima (a.s), akiwa anauguamaradhi yaliyomuua, na akamwambia jambo kwa siri, naye akalia: halafuakamwambia jambo jingine kwa siri na Fatima akacheka. Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alipomuuliza binti yake kuhusu jambo hilo, Fatima alisema:Alinitaarifu kwamba alitarajia kufa kwa ugonjwa huu alionao sasa, namimi nikalia. Halafu akanitaarifu kwamba mimi nitakuwa mtu wa kwanzamiongoni mwa watu wa Nyumba yake kumfuata yeye, na nikacheka.”28

Hadith zote hizi zinashuhudia kwamba alikuwa anatambua kwa ukamilifuukaribu wa kifo chake. Endapo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa anata-ka kumteua Abu Bakr kuwa mrithi wake ambapo alikuwa anatambuaukaribu wa kifo chake, hangemuagiza kuondoka Madina haraka. Badala yakumhamasisha Abu Bakr na wenzake kuondoka Madina, Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) angemzuia Abu Bakr kujiunga kwenye msafara wa jeshi.

Kwa msafara wa Usama kufika Palestina, apigane na kurudi Madinaingechukua miezi miwili au zaidi, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kwa upandemwingine angekwisha tawafu siku chache baada ya jeshi kuondoka, nayeye mwenyewe alikuwa anatarajia kufa baada ya muda si mrefu.Hakumteua Abu Bakr kabla ya jeshi kuondoka. Hangemteua baada yakurudi toka Palestina kwa sababu Abu Bakr hangeweza kumuona MtukufuMtume (s.a.w.w.) akingali hai. Hangemteua Abu Bakr wakati hayupoMadina, kwani haingeingia akilini kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)angeruhusu jiji lisiwe na Khalifa baada ya kifo chake kwa kipindi chamiezi miwili au zaidi ambapo alitambua hatari zilizokuwa zinatishiaMadina na Dini ya Kiislamu.

Zaidi ya hayo, Abu Bakr angeweza kuuawa wakati akiwa kwenye mapam-bano ya kivita. Kifo cha Khalifa vitani wakati wa kipindi hicho cha hatarikingelielekeza umma wa Waislamu na Uislamu kwenye matokeo mabayasana.28 Al-Bukhari, kwenye Sahih yake, sehemu ya 7, uk. 12..

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 20

Page 37: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

21

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Endapo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) angekuwa anataka kumteua Abu Bakrkuwa mrithi, hangemruhusu kuwemo kwenye jeshi hilo. Lakini ukweli nikwamba kuchelewa kwa kuondoka kwa Abu Bakr na masahaba wengineilikuwa kinyume na alivyotaka Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na aliwadhi-hirishia wazi. Alisisitiza sana watekeleze msafara wa Usama, na kurudiamisisitizo huo mara kadhaa alipokuwa kwenye mimbari na kwenye kitan-da chake.

Hivyo, Abu Bakr, licha ya kuwa na nafasi ya juu na mapenzi ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) juu yake, hakukusudiwa na Mtukufu Mtume kuwa mrithiwake.

* * * * *

JE! KUCHAGULIWA KWA ABU BAKRKULIKUWA NI HALALI?

Waislamu walikuwa na haki ya kumchagua Abu Bakr kama MtukufuMtume (s.a.w.w.) hakuchagua mtu mwingine kumrithi yeye. Na Abu Bakralikuwa na haki ya kukubali uchaguzi. Uchaguzi kama huo unafanyizamkataba ambao unalazimisha kutoka pande zote mbili utimilifu wake kwamujibu wa masharti ambayo uchaguzi huo ulitegemezwa. Pale ambapomasharti ya uchaguzi yanamtaka mtu aliyechaguliwa kufuata Kitabu chaMwenyezi Mungu na mafundisho ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kwam-ba mpiga kura anatakiwa amheshimu mteule katika kile kinachofikiriwakuwa utii kwa Mwenyezi Mungu na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Wake, uch-aguzi ungekuwa mkamilifu na wa kuwajibisha pande zote.

Hata hivyo, uchaguzi kama huo, licha ya kuwa ni halali, ulikuwa na pandembili zinazohasi:

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 21

Page 38: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

22

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Haki ya kutokubaliana na walio wengi. Kwa kuwa urithi wa Abu Bakrulipatikana kwa kura ya walio wengi na si kwa uteuzi wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), Mwislamu mwema angekataa kuungana na waliomchagua bilakutenda dhambi. Kila Mwislamu anastahili kuwa na uhuru wa kisiasa, nahapana yeyote ambaye ana haki ya kumlazimisha yeyote kufanya asilolita-ka, au kumbambikiza kwake sharti ambalo halikutoka kwa MwenyeziMungu. Mtu asilazimishwe kumchagua mtu ambaye hataki kumpa mamla-ka.

Ni ukweli huo huo kwamba wachache hawana haki ya kuwapinga waliowengi katika kuendesha mambo ya nchi alimuradi yapo makubaliano kamahayo, kwamba walio wengi ndio wenye haki ya kuendesha nchi. Hatakukiwa hakuna makubaliano kama hayo, walio wengi wanayo haki yakuendesha nchi. Hii ni kwa sababu wachache hawana haki ya kuende-sha mambo ya walio wengi, na endapo walio wengi wanawekewapingamizi na wachache, nchi lazima itaangamia.

Kwa kuwa kila mtu binafsi anayo haki kutokubaliana na walio wengiingekuwa ni dhuluma kwa upande wa walio wengi kuwalazimisha waliowachache kukubaliana nao. Kwa hili, tunafikiri ilikuwa ni dhuluma kum-lazimisha Zubeir Ibn Al-Awwam kumchagua Abu Bakr, ijapokuwaalikuwa na sifa za kustahili kuwa kiongozi. Abu Bakr hakuteuliwa naMwenyezi Mungu na Mtume Wake (s.a.w.w.) na kukataa kwa Zubeir kum-chagua yeye hakukuleta uvunjaji wa amri ya Mwenyezi Mungu. Abu Bakrna masahaba walio wengi waliingia kwenye mkataba, na Zubeir alikuwana haki ya kutokuafiki mkataba huo. Kumlazimisha aingie kwenye mkata-ba kama huo ilikuwa ni kuingilia haki zake.

Ilikuwa ni kitendo cha kutomtendea haki Ali kujaribu kumlazimisha kuun-gana na wapiga kura baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kumtangaza yeyekuwa Mawla (Mlezi) wa kila Mwislamu, pamoja na Abu Bakr. Haki ya mtubinafsi au walio wachache kutokubaliana na walio wengi ni ya kuheshimi-wa na ya kuangaliwa katika chaguzi zote za kidemokrasia. Pale ambapo

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 22

Page 39: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

23

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

wagombea zaidi ya mmoja hushindana kwa nafasi ya juu, na mmojawapowa wateule anapata kura nyingi, walio wengi hawafanyi jaribio lakuwalazimisha wapiga kura kumchagua aliyeshindwa kuungana nao wam-chague mshindi. Hata hivyo kwenye umma wenye chama kimoja, ambaposerikali huwataka watu wapige kura ya ndio au hapana matokeo yanapoju-likana kamwe serikali haiwalazimishi watu waliosema ‘hapana’ waseme‘ndio.’ Huu ni msimamo wa Uislamu, dini ya haki.

Kuwalazimisha watu kufanya vile wasivyotaka kufanya ni uchokozi naMwenyezi Mungu hawapendi wachokozi.

Imam Ali alichaguliwa baada ya kifo cha Uthman, Abdullah Ibn Umar,Saad Ibn Abu Waqqas, Usamah Ibn Zayd na masahaba wengine walikataakumchagua yeye. Imam hakuwalazimisha waungane na walio wengi, walahakuwafikiria wao kuwa wavunja sheria. Jambo moja tu alilotaka wafanyeni kutokuzuia utawala wake.

Masahaba walioishi wakati huo wa kuchaguliwa kwa Abu Bakr walikuwana haki ya kumchagua au kukataa kumchagua yeye, na walikuwa na hakiya kuamini au kutokuamini sifa zake za kumfanya astahili kuchaguliwa.Kama ndivyo, vizazi vya Waislamu ambao walizaliwa baada ya uchaguzihuo walikuwa na hali hiyo hiyo. Hawatakuwa wanatenda dhambi kwakuchukua msimamo wa kukubali au kukataa Ukhalifa wa Abu Bakr.

Kutokana na hali hii inadhihirika wazi kwamba kuwatia hatiani kwa pamo-ja Waislamu wa leo kwa ama kuchukua msimamo wa kukubali au kukataaukhalifa wa Abu Bakr ni wenye makosa na kunawakilisha fikira zaukereketwa usio na kipimo.

Kipengele cha pili chenye mwelekeo hasi cha aina hii ya uongozi ni kwam-ba haufanyi neno au tendo la Khalifa kuwa sharia tukufu. Kabla ya kuch-aguliwa alikuwa hana kinga ya kutenda dhambi kama sahaba mwingineyeyote, na angeendelea kuwa hivyo hata baada ya kuchaguliwa. Uchaguzi

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 23

Page 40: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

24

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

haubadilishi haiba yake, wala hauongezi elimu na ujuzi wake. Uchaguzihamnyanyui juu ya waumini wengine bora mbele ya Mwenyezi Munguwala haufanyi maneno yake na matendo yake yote kuwa sawa. Sana sanalabda yeye angeweza kuwa ‘mujitahidi’ mwadilifu (mwanachuo mwenyeuwezo kufanya maoni yenye kujitegemea kuhusu sharia ya Kiislamu).Wanachuo wengine wanayo haki kutokukubaliana naye, na Waislamu wakawaida wanayo haki ya kuwafuata wanachuo wengine badala yake.

Mujitahidi mwingine anapoamini kwamba Khalifa kama huyo ni mwenyemakosa kwenye maneno na matendo yake, hapasi kumfuata. KuwatakaWaislamu kufuata uamuzi usio sahihi ni kuwataka watu wafuate muelekeoambao si wa Mwenyezi Mungu, na kuongezeka kwenye dini jambo amba-lo halitokani kwenye dini.

MTEULE WA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.).

Hizi pande mbili za uchaguzi wa uongozi zenye mwelekeo hasizisingekuwepo kwenye uongozi ulioegemezwa kwenye uteuzi waMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Endapo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alichaguakiongozi, uamuzi wake ungekuwa wenye kumfunga kila Mwislamu, nakwa mujibu wa Qur’ani Tukufu, hapana yeyote ambaye angekuwa na hakiya kuukana.

“Haiwi kwa muumini mwanamume wala muumini mwanamke kuwana hiari katika jambo, Mwenyezi Mungu na Mtume Wake wanapoka-ta shauri katika jambo lao. Na mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu naMtume basi hakika amepotea upotofu ulio wazi.”29

Watu wanapotoa kiapo cha utii kwa mteule wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),wangekuwa kwa kweli wanafanya hivyo kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

29 Qur’ani Tukufu - al-Ahzaab; 33:36.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 24

Page 41: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

25

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Na yeyote anayotoa kiapo cha utii kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)angekuwa anatoa kiapo cha utii kwa Mwenyezi Mungu. Qur’ani Tukufuinatangaza:

“Bila ya shaka wanaofungamana nawe, kwa hakika wanafungamanana Mwenyezi Mungu. Mkono wa Mwenyezi Mungu uko juu yamikono yao. Basi avunjaye ahadi hizi anavunja kwa kuidhuru nafsiyake, na anayetekeleza aliyomuahidi Mwenyezi Mungu atamlipa ujiramkubwa.” (Qur’ani; 48:10).

Khalifa aliyeteuliwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anao utakatifuutokanao kwenye utakatifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Waislamu wan-zake wa zama za uhai wake wanatakiwa kufuata maagizo na sheria zake,na ni vivyo hivyo kwa vizazi vitakavyofuata baada yao. Kwa kiwangofulani, anayo mamlaka ya kisheria yanayofanana na yale ya MtukufuMtume (s.a.w.w.), isipokuwa yeye sio Mtume. Hatarajiwi kuongeza aukupunguza kanuni za Kislamu. Hapatakuwepo Mtume baada yaMuhammad (s.a.w.w.), na kanuni za Muhammad ni za daima na zitaende-lea kuwepo hadi Siku ya Hukumu. Khalifa aliyeteuliwa na MtukufuMtume (s.a.w.w.) humwakilisha yeye, na kwa sababu hiyo anatakiwa kuwamjuzi wa Qur’ani Tukufu na mafundisho ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kwa kiwango cha juu sana. Lolote atalakolihalalisha litakuwa halali, nalolote atakalo liharamisha litakuwa haramu. Hapana Mwislamuatakayekuwa na haki ya kutokubaliana naye. Yeye ni mjuzi wa ngazi ya juuna utiifu kwake ni sawa na utiifu kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 25

Page 42: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

26

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

MAQURAISHI NA UKHALIFA.

Hivi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kwamba Maimam wanatoka kwaMaquraishi? Na kama alisema hivyo, alikuwa na maana ya kusema kuwaukhalifa utapatikana kwa njia ya uchaguzi au urithi, au kwa uteuzi kutokakwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe?

Hadithi nyingi kuhusu mada hii zimeandikwa kwenye Sahih na vitabuvingine, ambazo baadhi yake ni kama zifuatazo:

Muslim aliandika kwamba Abu Hurairah alisimulia kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema: “Watu ni wafuasi wa Maquraishi. Waislamuwao wanawafuata Waislamu, na makafiri wao (asiye mumini ) wanawafu-ata makafiri wao.”30

Pia aliandika kwamba Jabir Ibn Abdullah alisimulia kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema: Watu ni wafuasi wa Maquraishi katika mema namaovu.”

Muslim pia anaandika kwamba Abdullah alisimulia kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema; “Mamlaka ya Kiislamu (ukhalifa) yatakuwakwa Maquraishi alimuradi watu wawili watakuwa hai hapa duniani.”

Pia aliandika kwamba Jabir Ibn Samurah alisumulia kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema: “Dini hii itaendelea kudumu hadi Siku yaHukumu inawadia au mpaka wawatawaleni nyinyi makhalifa 12 kutokakwa Maquraishi.”

Al-Bukhari aliandika kwamba Ibn Umar alisimulia kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema: “Mamlaka haya ya Kislamu yatakuwa katika30 Hadith hii na hadith tatu zifuatazo zimeandikwa na Muslim kwenye Sahihyake, Jz. 12 Kitabu cha Al-Imarah, uk. 200-202.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 26

Page 43: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

27

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

miliki ya Maquraishi almuradi watu wawili kutoka kwa Maquraishiwanaendelea kuishi.”31

Aliandika kupitia kwa wahadithiaji wake hadi kwa Jabir Ibn Samurahkwamba alisema: Nilimsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anasema:“Watatokeza watawala kumi na mbili. Halafu akasema neno ambalosikulisikia, na baba yangu alisema kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alisema: Maimam wote hao watatokana na Maquraishi.” Al-Tirmidhialiandika hivyo hivyo, isipokuwa alisema kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alisema: “Watatokeza watawala kumi na mbili baada yangu,” nakwamba baba yake na Jabir alisema: Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema:“Maimam hao wote watatokana na Maquraishi.”32 Al-Hakim kupitia kwawahadithiaji wake hadi kwa Masrooq aliandika kwa kusema: Tulipokuwatumeketi na Abdullah (Ibn Umar), mtu mmoja alimuuliza: ‘Ewe AbuAbdul–Rahman, je wewe na masahaba wengine mliwahi kumuulizaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni makhalifa wangapi watatawala umma huu?’Abdullah akajibu: ‘Hapana mtu mwingine ambaye ameniuliza swali hilikabla yako tangu nimekuja Iraq.’ Halafu akasema: “Tulimuuliza MtukufuMtume (s.a.w.w.) na akasema; Kumi na mbili, idadi sawa na wawakilishiwa wana wa Israeli aliokuwa nao Musa (a.s.).”33

Imam Ahmad aliandika kwamba Abu Bakr alisema: (kumwambia Saad IbnAbadah) “Na wewe, Saad ulijua kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alise-ma wakati ulikuwa umeketi: Maquraishi ndio watu wa mamlaka haya.Waadilifu miongoni mwa watu ni wafuasi wa waadilifu wao, na waovumiongoni mwa watu ni wafuasi wa waovu wao.”34

.31 Al-Bukhari, Sahih Al-Bukhari (kwenye kitabu cha Al-Ahkam) sehemu ya 9,uk. 78.32 Al-Tirmidhi, kwenye Sunan yake, sehemu ya 2, uk. 35 (Al-Fairuzabadi kwenyekitabu chake cha Fadha-il Al-Khamsah – fadhila za watano) sehemu ya 2, uk. 23.33 Al-Hakim, Al-Mistadrak, sehemu ya 4, uk. 501.34 Imam Ahmad, kwenye Al-Musnad yake, sehemu ya 1, uk. 5.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 27

Page 44: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

28

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Ni dhahiri kwamba hadith ya kwanza haisemi kitu kuhusu ukhalifa. KwaniMaquraishi wote wakati wa ukhalifa walikuwa hawajagawanyika kati yaWaislamu na wasio Waislam. Maquraishi wote walikuwa wamekubaliUislam wakati huo. Inaonesha kwamba hadith hii ilikuja wakati ambapoMaquraishi walio wengi walikuwa makafiri. Hadith inazungumzia ushaw-ishi wa Maquraishi juu ya makabila ya Waarabu. Kwani walikuwa wapin-zani wa Uislamu wakati Maquraishi walikuwa wanapigana nao. NaMaquraishi walipoingia kwenye dini hii mpya Waarabu wengi walikimbil-ia imani hiyo. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika hadith hii hakuwa ana-jaribu kutangaza sharia ya Kiislamu au kutoa agizo kwa Waislamu.Alikuwa anasema kuhusu ukweli. Ambao ni mvuto wa Maquraishi naathari zake kwa makabila mengine ya Waarabu.

Hadith ya pili, kama ile ya kwanza, haizungumzii habari za ukhalifa, walakuhusu nani atakuwa Khalifa. Ni taarifa ya hali ambayo ilikuwepo wakatiwa hadith hiyo.

Kuhusu hadith sita za mwisho, kwa wazi zinazungumzia ukhalifa. Hadithhizi zinatofautiana kuhusu yale yaliyomo katika kila hadith bila kupingana.Baadhi ya hadith hizo zinasema kwamba unamilikiwa na Maquraishi.Hadith nyingine zinaongeza kwamba ukhalifa utaendelea kuwa miliki yaMaquraishi hadi mwisho wa dunia. Na nyingine zinaongeza kwambamakhalifa ni 12 na nyingine zinasema kwamba idadi ya makhalifa ni 12lakini hazisemi kwamba wanatokana na Maquraishi.

Ili hadith hizi zieleweke, tunatakiwa kuziweka pamoja hadith mbili zaAbdullah Ibn Umar, ambazo ndani ya mojawapo alisimulia kwamba ukhal-ifa utaendelea kuwa miliki ya Maquraishi hadi mwisho wa dunia, na kati-ka hadith nyingine ambamo alisimulia kwamba idadi ya makhalifa ni 12kama wawakilishi wa wana wa Israeli. Hadith hizi mbili zina hali ya hadithmoja inaeleza mambo ya hadith nyingine na zinakubaliana na hadith yaJabir Ibn Samurah ambayo ni mahsusi zaidi miongoni mwa hadith hizi zotena inayoweza kuzielekeza zile ambazo si mahsusi miongoni mwao.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 28

Page 45: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

29

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Hivyo, hadith hizi zinatutaarifu kwamba watu ambao si Maqureshihawatakuwa makhalifa na kwamba makhalifa ni kumi na mbili tu, nakwamba ukhalifa utaendelea kuwa miliki ya Maquraishi almuradi watuwawili waliendelea kuishi duniani.

Matamko yanaweza kufasiliwa kwa mojawapo ya njia zifuatazo:

Je, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Alikuwa Anatabiri?

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakuwa anajaribu kuwaelekeza Waislamu nakuwataarifu kile wanachotakiwa kufanya baada yake kuhusu Ukhalifa.Alikuwa, badala yake, alipozungumza nao kuhusu siku za usoni, akibashirikwamba ukhalifa utakuwa chini ya miliki ya Maquraishi, daima hadi Sikuya Hukumu. Hivyo, anatutaarifu kwamba ukhalifa kamwe hautaingiliwakati almuradi watu wanaishi kwenye uso wa ardhi na kwamba kila Khalifaatakuwa Quraishi, na kwamba makhalifa watakuwa kumi na mbili.

Kama mambo yalivyo, hii haiwezi kuwa kweli kwa sababu ukhalifa ulii-ingiliwa kati na kukoma kwa sababu makhalifa walio wengi kama vileUthmainiyah hawakuwa Maquraishi ama Waarabu.

Nyongeza ya haya, kusema kuwa makhalifa ni kumi na mbili haiwezikuwa kweli kama ilikuwa na maana ya makhalifa ambao ni waadilifu tu auwote pamoja na wasio waadilifu. Kwani idadi ya makhalifa waadilifuhaikufika kumi na mbili, na kama tukiwajumlisha pamoja na idadi yawasio waadilifu idadi yao ni kubwa zaidi ya kumi na mbili.

Je! Utawala wa Maquraishi ni Wakurithiana

2. Njia ya pili ya kufasili hadith hizo hapo juu ni kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alikuwa anajaribu kutoa maelekezo na kuwasilisha kwaWaislamu amri ya kidini, kwa hiyo, aliuambia umma wake kwamba baadayake makhalifa watatokana na Maquraishi na hapana mtu anayestahiki

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 29

Page 46: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

30

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

kuwa Khalifa isipokuwa Qureishi. Hii ni kwa sababu Maquraishi wanaoukhusiano wa udugu na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wa karibu au wa mbali,kwani wanaungana na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kupitia kwa baba wababu yao “Fihr Ibn Malik.” Kwa sababu hii, Quraishi Mwislamu anges-tahili kuwa na sifa za kuwa Khalifa na asiyekuwa qureishi hangestahilikuwa Khalifa.

Kama tunakubali fasili hii, tutakuwa tunakiri kwamba mamlaka yaKiislamu ni kwa kurithiana na kwamba haki ya kurithiana haingeachandugu wa karibu wa Mtukufu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Ni pana zaidihasa vya kutosha kujumuisha koo zote za Maquraishi ambao ni kizazi cha‘Fihr Ibn Malik.’

Kuamini kwamba Maquraishi Waislamu wanazo sifa za ukhalifa kwasababu ya kuwa ndugu wa karibu au mbali wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),ni sawa na kukubali nadharia ya kurithiana ambayo sharia ya mirathi yaKiislam haiikubali. Kama mamlaka ya Uislam yanaweza kurithiwa kupitiaundugu wa kuzaliwa, ndugu wa karibu huwazuia ndugu wa mbali kurithi,kwa mujibu wa sharia ya Kislamu.

Zaidi ya hayo, kuzuiwa kwa idadi ya makhalifa kuwa kumi na mbiliinakuwa haina mantiki kwani waadilifu miongoni mwa makhalifa waQureishi haikufika idadi ya kumi na mbili na wasio waadilifu miongonimwao walikuwa wengi zaidi ya kumi na mbili.

Je! Makuraishi ni Bora Zaidi?

3. Fasili ya tatu ya hadith hizi ni kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwanjia ya matamko haya alikuwa anatangaza sheria ya kidini ambayo huu-fanya ukhalifa kuwa haki ya pekee ya Maquraishi. Hii si kwa sababuwanao uhusiano wa kindugu naye bali ni kwa sababu Mwenyezi Mungualiwapendelea wao zaidi ya wale wasio Maquraishi. Kama tukichukuafasili hii, tunapaswa lazima tukubali dhana mbili zinazopingana:

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 30

Page 47: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

31

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

a). Ukhalifa hauwi ni kwa njia ya uchaguzi wa Waislamu. Bali ni kwauteuzi kutoka kwa Mwenyezi Mungu, kwa sababu ni Yeye NdiyeAliyeamuru kwamba makhalifa wawe Maquraishi, watu wakubali amawakatae.

b). Dini ya Uislamu inawataka wafuasi wake kuamini ubora wa kikabila nautawala wa kabila la Maquraishi ambao watu wake bila kujali kiwango chaimani yao wanapendelewa na Mwenyezi Mungu kuliko watu wengine,hata kama watu wengine wangekuwa washika dini zaidi, wenye hekimazaidi na wenye ujuzi zaidi.

Tunasema fikra hizi mbili zinapingana kwa sababu kama ukhalifa unap-atikana kwa amri ya Mwenyezi Mungu, Muweza wa Yote anategemewakumteua kwa uongozi wa waumini yule aliye na hekima zaidi na mwenyeelimu na mwadilifu zaidi. Haingekuwa na mantiki kusema kwambaMwenyezi Mungu anampendelea Abu Sufyani zaidi ya Ammar Ibn Yasir,kwa sababu Abu Sufyani alipigana na Uislamu na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kwa muda wa miaka ishirini na moja.

Historia inakumbuka kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mnamo siku yakutekwa Makka alisimama na kutangaza ifuatavyo:

“Enyi watu wa Qureishi, kwa hakika Mwenyezi Mungu amekomeshamajivuno ya fikra za kabla ya Uislamu na maringo ya wahenga. Watuwanatokana na Adam na Adam alitokana na udongo.” halafu alikariri Ayaifuatayo:

“Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume namwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ilimjuane. Hakika aliye Mbora zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu niyule ambaye ni mcha- Mungu zaidi katika nyinyi.” Hivyo kuwawekaMaquraishi juu ya wengine, si kwa sababu yoyote isipokuwa tu kwambawao ni Maquraishi, inapingana na Kitabu cha Mwenyezi Mungu na

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 31

Page 48: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

32

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

mafundisho ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa maneno na matendo.

Tena kuzuiwa kwa idadi ya makhalifa kuwa kumi na mbili ingekuwa sihaki kwa sababu ile ile tuliyoitaja kabla.

Kwani Watu Waliteuliwa Kwa Uadilifu Wao Tu?

4. Njia ya nne ya kufasili Hadith hizi ni kusema Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alikuwa anajaribu kuwapa taarifa Waislamu kwamba Mwenyezi Mungualiwateua watu kutoka kwa Maquraishi kuwa makhalifa. Hakuwateua watuhawa kwa sababu walikuwa na uhusiano wa kindugu na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), wala si kwa sababu walikuwa Maquraishi. Aliwachagua waokwa sababu walikuwa ndio bora zaidi miongoni mwa Waislamu. Watuhawa ndio Makhalifa wa halali, kwa vyovyote vile, watu wachague auwawakatae.

Hadith sita za makhalifa wa Kiquraishi zinaonesha wazi kabisa kwambaMwenyezi Mungu hakuwaachia Waislamu fursa kamili katika kuteuamakhalifa wao. Bali hasa aliamua kwamba makhalifa wao walikuwawatokane na Maquraishi. Haingekuwa na mantiki kuamini kwamba ali-fanya hivyo kwa sababu Maquraishi ni ndugu zake Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) au kwa sababu Maquraishi ni bora zaidi kuliko Waislamuwengine. Hii ingekuwa ni kukaribisha utawala wa kikabila, jambo ambaloni geni kwa imani ya Uislamu inayodai usawa, hutukuza waadilifu nahuwadharau wahalifu. Historia ya Uislamu inashuhudia kwambaMaquraishi walio wengi walikuwa na chuki sana kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na dini yake kabla ya wao kukubali kuwa Waislamu, nawaliokuwa na imani dhaifu kuliko wengine baada ya kukubali Uislamu.

Ingekuwa na mantiki tu kusema kwamba Uqureishi wa Makhalifa ni kamaUqureishi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe. Mwenyezi Munguhakumteua Muhammad kwa sababu alikuwa anatokana na Maqureishi aukwa sababu alikuwa Bani Hashim au kutoka kwa dhuriya ya Abdul

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 32

Page 49: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

33

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Mutalib au kutoka Makka. Alimteua yeye kwa sababu alikuwa ndiyembora kabisa miongoni mwa watu hapa duniani na ilitokea kwamba aliyembora miongoni mwa watu wa dunia alikuwa Qureishi, kutoka kwadhuriya ya Abdul Mutalib. Na kwa hiyo makhalifa ambao Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alizungumza habari zao waliteuliwa na Mwenyezi Mungu kwasababbu walikuwa ni watu bora zaidi miongoni mwa watu wa dunia na ili-tokea kwamba walikuwa wanatoka kwa Maquraishi. Fasili hii yenye man-tiki inakubaliana na madhehebu ya Shia. Mwenyezi Mungu anapomteuamtu kuwa Imam wa watu, atakuwa Imam ijapokuwa Waislamuwatamkubali au watamkataa, kama vile ambavyo Mwenyezi Munguanavyoteua Mtume, atakuwa Mtume hata kama watu wawe hawaaminiUtume wake.

MAQURAISHI NA UCHAGUZI HAVIPATANI.

Ni jambo lisiloweza kupatanishwa kusema kwamba Mwenyezi Munguameamuru kwamba makhalifa watoke kwa Maquraishi na kwamba ali-waachia Waislamu suala la kuwachagua makhalifa kutoka miongoni mwaMaquraishi.

Mwenyezi Mungu ameamuru kwamba Khalifa watoke kwa Maquraishi iliwawaongoze Waislamu kwa kile kilicho bora zaidi kwao. Kama aliachauteuzi wa Khalifa kutoka kwa Quraishi kuwa chaguo la Waislamu,angeacha ukhalifa wa siku za usoni katika jinsi ya kubahatisha.Kuchaguliwa na watu haina maana ya kupatikana uongozi ulio bora kabisakwani watu hawajui nini kilichojificha ndani ya nyoyo za watu. MwenyeziMungu Ndiye tu anayejua hayo.

Kwa kuwa Mwenyezi Mungu hakuacha ukhalifa kuwa chaguo la watumoja kwa moja na aliamuru kwamba makhalifa wao wapatikane kutokakwenye kundi la Maquraishi, chaguo lote lazima liwe la kwake.Hangegawa chaguo baina Yake na Waislamu na Yeye kubaki na chaguo la

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 33

Page 50: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

34

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

kabila na uchaguzi wa mtu, kutoka kwenye kabila ufanywe na Waislamu.

Mwenyezi Mungu anatarajiwa kuchagua kabila kwa ajili ya upatikanaji wamteule na si kumteua mtu kwa ajili ya kabila. Mwenyezi Mungu amech-agua ukoo wa Hashim na kabila la Qureishi kwa ajili ya upatikanaji waMuhammad, na hakumchagua Muhammad kwa sababu yeye ni wa ukoowa Hashim na kabila la Quraishi. Kuchagua mtu badala ya ukoo ndipounapopatikana uongozi ulio bora. Hivyo, Mwenyezi Mungu na MtumeWake walipotuambia kwamba makhalifa walipatikana katika kabila laQureishi, kwa usahihi walikuwa wanatuambia kwamba wapo watu mah-susi waliotokea kwenye kabila la Quraishi, na waliteuliwa na MwenyeziMungu kuwa makhalifa. Walichaguliwa kwa sababu ya sifa zao za juu sanaza kuwafanya wastahili kuwa makhalifa na si kwa sababu ya wao kuwa niMaqureishi.

* * * * *

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 34

Page 51: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

35

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

SURA YA KUMI NA SABAALI ANAUTAZAMA HUO URITHI.

Ipo nadharia inayodai kwamba vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivy-otokea wakati wa utawala wa Abu Bakr vingeepukwa endapo Ali angem-rithi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Nadharia hii ya kuvutia (ambayo mimiwala sithibitishi ama kukanusha) imeegemezwa kwenye sababu zifuatazo:

1. Tangazo la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hapo Ghadiir Khumalipokuwa anarudi kutoka kwenye Hija yake ya mwisho, lili-wafanya maelfu ya mahujaji kuamini kwamba alikuwa amemch-agua Ali kumrithi yeye.

Walicho kielewa kutoka kwenye tangazo kilionekana kuendana namila yao ambayo humpa mamlaka ndugu aliye karibu sana na kion-gozi. Walipotambua kwamba Abu Bakr ndiye aliyepewa uongozibaada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), baadhi yao waliipingaserikali mpya na wakakataa kutoa Zaka (kodi ya Kiislamu). Wenginewalifika mbali zaidi kwa kuukimbia Uislamu, wakifikiria kwambamasahaba waliasi tangazo la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Walidhanikwamba masahaba hawakuwa makini katika kuukubali Uislamu. nakwa hiyo, makabila ya Waarabu walifikiri kwamba walikuwa na hakiya kuacha Uislamu na kurudi kwenye upagani.

2. Kama Ali angepata uongozi baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),sifa yake ya kivita ingeweza kumzuia yeyote ambaye angetaka kumpachangamoto kuhusu uongozi wake. Hadith kuhusu ushujaa wakezilikuwa zinakumbukwa na kila Mwarabu. Mabedui pamoja na wakaziwa vijiji na mijini waliona na kushuhudia vitendo vyake vya kivitakatika kipindi cha miaka kumi ya mwisho ya uhai wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Kwa nini wathubutu kukabiliana naye kwenye vitaambavyo hawatashinda?

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 35

Page 52: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

36

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Endapo kama nadharia hii ni sahihi au si sahihi, vita vya wenyewe kwawenyewe vilikuwa vya uamuzi kuhusu Ali. Vilimlazimisha kusitisha upin-zani wake kwa Abu Bakr na kuahidi msaada wake ili serikali ya Waislamuisije kudhoofu katika mapambano yake dhidi ya walioritadi. Ali alikuwamcha-Mungu mno kuweza kuendeleza upinzani wake ambapo hatarizilikuwa zinatishia msingi wa Uislamu.

Kwa miezi kadhaa Imam Ali alikataa kuungana na wale waliomchaguaAbu Bakr, na alitarajiwa kuendelea kufanya hivyo. Vita vya wenyewe kwawenyewe hata hivyo, vilifanya alazimike kubadilisha msimamo wake.

Mtazamo wa Imam unaweza kuwasilishwa kama ifuatavyo:

Aliamini kwamba uongozi ni haki yake yeye peke yake. Alikuwa hazina yaujuzi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), chaguo lake na ndugu yake wa karibusana. Inasimuliwa kwamba wakati Abu Bakr alipomtaka Ali aungane nawatu waliomchagua yeye, Ali alijibu: Mimi ndio ninayo haki ya uongozi.Sitakufuata wewe ambapo wewe ndiye unayetakiwa kunifauta mimi.” AbuBakr alipomuuliza Ali: “Hivi kuchaguliwa kwangu hakutokani na ridhaaya walio wengi?” Ali akajibu: “Lakini uliwaambia Maquraishi na watu waMadina kwamba wewe unastahili uongozi kwa sababu una uhusiano wakindugu na Muhammad, na wakakubaliana na wewe. Mimi ninayo hojahiyo hiyo dhidi yako.” Halafu akasema: “Sisi tunayo haki zaidi kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), awe hai au amekufa. Sisi ni watu wa Nyumbayake, sehemu yake na kuhifadhia siri, hazina ya elimu yake na hekima.Hapana mtu yeyote katika umma huu anaweza kuja karibu na nafasi zawatu wa Nyumba ya Muhammad. Na wale ambao wanapaswa kuwashuku-ru kwa wema wao wasilinganishwe nao.”35

35 Abdul Fattah Abdul Maksuud, Al-Imam Ali Ibn Abu Talib, sehemu ya 1, uk.179.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 36

Page 53: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

37

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Alisema pia: “Mimi ni wasii wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), waziri wakena mdhamini wa siri zake na ujuzi wake ….. Mimi ni mtu wa kwanzakumwamini yeye, mimi ni mtetezi wa nguvu sana wa Uislamu mionginimwenu katika kupambana na makafiri, mjuzi wa kiwango cha juu sana waKitabu cha Mwenyezi Mungu na mafundisho ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na mwenye uwezo mkubwa wa kubashiri athari za matokeo yamatukio. Hadi lini mtaendelea kukataa kutupatia uongozi wetu? Tupenihaki, na mzikubali haki zetu kama watu wa Madina walivyofanyakwenu.”36

Ali hakukosa kuwa na ushahidi wa uwasii wake au waziri wake. MtukufuMtume (s.a.w.w.) alimpa kazi ya uwasii alipokusanya ndugu zake wakaribu, miaka kumi kabla ya Hijiriya. Kwenye mkutano huo, MtukufuMtume (s.a.w.w.) aliwaambia watu wa ukoo wake, wakati mkono wakeulikuwa kwenye shingo ya Ali; “Huyu ni ndugu yangu, wasii wangu namrithi wangu. Msikilizeni na mumtii.” kuhusu kazi yake ya uwaziri, tamkola Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambalo lililosimuliwa kwa usahihi,linashuhudilia: “Ewe Ali, hungefurahi wewe kuwa kwangu kama Harunakwa Musa (a.s.), lakini hapatakuwepo na Mtume tena baada yangu?”Haruna alikuwa waziri wa Musa (a.s.) kwa mujibu wa Qur’ani Tukufu:

“Na nipe waziri katika watu wangu, Haruna ndugu yangu. Kwakeyeye niongeze nguvu zangu, na mshirikishe katika kazi yangu.”37

Kuhusu udhamini wa siri za Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na ujuzi wake,inatosha kukumbuka kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Mimini Jiji la Elimu na Ali ni Lango Lake. Yeyote anayetaka kuingia kwenye Jijilazima apite kwenye Lango.”

Yeye Aliamini Kwamba Kuchaguliwa Kwa Abu BakrHakukuambatana Na Masharti.36 Al-Tabarsi, Al-Ihtijaj sehemu ya 1, uk. 95.37 al-Qur’an; 20: 28-31

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 37

Page 54: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

38

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam aliuona uchaguzi wa kumweka madarakani Abu Bakr haukuambat-ana na masharti yenye kuwabana wale waliomchagua. Kwa dhahiri aliami-ni kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimteua yeye kuongoza umma nakuendesha mambo yake baada yake, na kwamba chaguo la MtukufuMtume (s.a.w.w.) liliambatana na masharti kwa umma. Hivyo, ummahauna haki ya kuchagua kiongozi mwingine. Kama Imam hangekuwaameamini hivi hangewaambia watu wa Madina kubadilisha msimamo waobaada ya kumchagua Abu Bakr. Uchaguzi uliokamilika ni mkataba unao-takiwa kutimizwa, na Ali alikuwa mwadilifu sana kiasi cha kutowezakuwataka watu kuvunja mkataba halali.

Yeye na mke wake Fatima Az-Zahra (mama wa nuru), binti yakeMtukufu Mtume (s.a.w.w.), waliwatembelea masahaba wa Madinakwa madhumuni ya kutafuta kuungwa mkono nao na kuwaombawabadili msimamo wao kuhusu Abu Bakr.

Muawiya, kwenye mojawapo ya barua zake kwa Imam alisema:Na ninakumbuka ulikuwa na desturi ya kumbeba mke wakowakati wa usiku juu ya punda ambapo mikono yako ikiwa juu yamikono ya watoto wako Al-Hasan na Al-Husein, baada ya kuch-aguliwa kwa Abu Bakr. Ulimtembelea kila shujaa wa Badr nakaribu kila Mwislamu wa siku za mwanzo ili wakuunge mkono nauliwaendea ukiwa na mke wako, ukiwaonesha watoto wako waw-ili, na ukiwaomba wakupe msaada dhidi ya sahaba wa MtukufuMtume (s.a.w.w.) …”38

38 Ibn Abu Al-Hadeed, fasili yake ya Nahjul Balaghah, Juz. 1, uk. 131.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 38

Page 55: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

39

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Hakutaka Kufikia Lengo Lake Kwa Nguvu.

Licha ya imani kuwa haki yake iliporwa hakutaka kuirejesha kwa nguvu,wala hakutaka kuharibu mshikamano wa Waislamu. Imam alitambuakwamba alikuwa hana msaada mkubwa. Watu wote wa Makka walikuwawapinzani wake kabisa. Kwao, alikuwa mtu ambaye aliwauwa baba, kaka,watoto na ndugu zao wengi katika kampeni yake ya kuuhami Uislamu.Watu wa Madina walikuwa karibu naye kuliko Maquraishi, lakinihawakuwa na dhamira ya kujitoa mhanga kwa ajili ya uongozi wake.Walikwishawekeana mkataba na Abu Bakr, na walidhani kwamba kiapochao cha uaminifu kililenga mahali pake.

Ali alikuwa na watu kadhaa miongoni mwa masahaba mashuhuriwaliomuunga mkono kama vile: Bilal, Salman Al-Farsi, Abu Dharr, Al-Bursa Ibn Azib, Ammar Ibn Yasir, Al-Miqdad Ibn Al-Aswad na Zubeir Al-Awwam. Lakini masahaba hawa hawakuwa na wafuasi. Hivyo Imamakaona kwamba hakuwa na chaguo lingine isipokuwa uvumilivu.

Alibadili Msimamo Wake kwa Ajili ya Kudumisha Umoja.

Angeweza kuendelea na upinzani dhidi ya Abu Bakr alimuradi Abu Bakraliendelea kuwa hai. Saad Ibn Ubadah aliendelea na upinzani hadi mwishowa uhai wa Abu Bakr. Hata hivyo, vuguvugu la makabila ya Waarabukuikimbia imani, kwake hilo likawa jambo la kusababisha aamuevinginevyo. Upinzani wake kwa Abu Bakr haukusababishwa na tamaa yamakuu. Badala yake msimamo huo ulisababishwa na kutaka kwakekuwaweka Waislamu kwenye njia ya kweli ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Uislamu ulipotishiwa na harakati za kuuhama, Ali aliona si busara kujihu-sisha na mbinu ya kuwaongoza Waislamu ambapo kuwepo kwa Uislamuwenyewe kulikuwa kunakabiliwa na hatari kubwa.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 39

Page 56: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

40

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Al-Baladhuri aliandika kwamba Waarabu walipokimbia dini ya UislamuUthman alimwendea Ali akisema: “Ewe binamu, hakuna mtu atakayepi-gana na adui wakati wewe unakataa kusuluhishana na Abu Bakr.”39

Alimshawishi Imam kwenda naye kwa Abu Bakr; pale Abu Bakr alipo-muona Imam, walikumbatiana na kulia. Waislamu walifurahishwa na tukiohilo na kuazimia kupigana na wale wanaoritadi.

Al-Bukhari, kwenye Sahih yake aliandika kwamba Imam alimwambia AbuBakr walipokutana: “Tunatambua msimamo wenu na kile ambachoMwenyezi Mungu amewapeni lakini mmechukua uongozi bila kushauri-ana na sisi. Tunaamini kwamba tunao mgawo wetu na haki yetu katikauongozi kwa sababu ya uhusiano wetu na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).”AbuBakr akalia; waliahidiana kukutana msikitini, usiku. Ali alikwendaMsikitini na kawaambia watu kwamba upinzani wake haukusababishwa nawivu juu ya Abu Bakr wala kukanusha nafasi yake; “lakini tunaamini,kwamba tunayo haki katika uongozi huu, na alichukua uongozi huu bilakushauriana na sisi, hivyo, tulihisi wasiwasi.”40

Imam alisema kuhusu kile kilichotokea katika kipindi hicho kwenyeujumbe aliotuma kwa watu wa Misri, alipompeleka Malik Al-Ashtar kuwagavana:

“….. Na nilizuia mkono wangu hadi hapo nilipoona watu waliokuwawanakimbia Uislamu wanatangaza kuangamiza dini hii ya Muhammad.(Wakati hatari hii ilijitokeza, mimi nilibadili msimamo wangu) na niliamuakuusaidia Uislamu na wafuasi wake, isijekuwa nikashuhudiakuangamizwa kabisa kwa Uislamu au sehemu yake, halafu msiba kwanguunakuwa mkubwa zaidi kuliko kupoteza uongozi wenu ambao ni wa kupi-ta.”41

39 Sayed Murtadha Al- Askari aliwasilisha kwenye kitabu chake; Abdallah IbnSaba, uk. 73.40 Al-Bukhari, Sahih yake sehemu ya 5, uk. 108.41 Nahjul Balaghah, sehemu ya 3, uk. 198-199.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 40

Page 57: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

41

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

SURA YA KUMI NA NANEABU BAKR AMTAJA MRITHI WAKE.

Abu Bakr alikufa, na maisha yaliyojaa mafanikio muhimu yalikoma.

Aliwadhibiti waliokuwa wanakimbia imani na ambao walizuia kulipaZaka. Aliyarudisha makabila ya Waarabu kwenye Uislamu, na akawafanyakuwa wapiganaji walinzi wa Uislamu baada ya kuwa maadui.

Kwa Amri yake Aya na Sura za Wahyi zilikusanywa kwenye kitabu chaUislamu, Qur’ani Tukufu.

Alipeleka imani ya Uislamu nje ya mipaka ya Rasi ya Bara Arabu. Alikufaambapo majeshi ya Waislamu yalikuwa yanapambana na majeshi Uajemindani ya Iraq na majeshi ya Kirumi ndani ya Syria.

Kifo cha Abu Bakr kilipokaribia aliamua kumteua mrithi, na hii ilikuwa nihaki yake. Aliamua asiliache jambo hili la uongozi wa dola kwenye hatmaya kubahatisha.

Kama historia ingekuwa na mantiki, Ali angemrithi Abu Bakr. Alirukwabaada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa sababu uchaguzi uli-fanyika haraka bila mpango wala kushauriana. Inasemekana kwambadharura iliyosababishwa na mkutano wa watu wa Madina huko SaqifaBanu Sa’idah, na kutokuwepo kwa Ali ambaye alijishughulisha na mazikoya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) iliwafanya masahaba wasimtilie maanani Ali(a.s.) na sifa zake.

Kama huu ndio ulikuwa ukweli, Ali angelikumbukwa wakati huo.Hapangekuwepo na dharura yoyote na Khalifa aliweza kumteua yeyotealiye mtaka. Bado Ali hakutiliwa maanani na Khalifa.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 41

Page 58: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

42

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Maquraishi walisimama dhidi yake kwa sababu nyingi, na sifa zake bain-ishi za kiwango cha juu pamoja na yeye kuwa na uhusiano wa karibu wakindugu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) zilikuwa ndio sababu kuu.

Koo za watu wa Makka zilipigana vita vya gharama kubwa dhidi yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa sababu hawakutaka ukoo wa Hashim kuwana sifa ya pekee ya kutokeza Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) miongoni mwao.Msimamo huu ulizifanya koo za watu wa Makka kuuzuia ukoo wa Hashimkuwanayo sifa nyingine ya pekee ya kumruhusu Ali kumrithi MtukufuMtume (s.a.w.w.).

Ushawishi wa Maquraishi ulikua haraka wakati wa utawala wa Abu Bakr.Kukua kwa haraka kwa mvuto wa Maquraishi kulitarajiwa kuongezaumbali baina ya Ali na hicho Cheo cha Juu.

Mtu anaweza kusema kwamba Abu Bakr asingefuata msimamo waMaquraisha usio wa haki kuhusu Ali baada ya kuwa amesikia matamkomengi sana ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambayo yalionesha kwamba Alialikuwa chaguo lake. Lakini Abu Bakr alionesha kutokuamini kwambamatamko ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuhusu Ali yaliwalazimishaWaislamu kumfuata yeye. Kama angeamini hivyo, hangekubali kuwaKhalifa wa kwanza. Kwa kuwa nayo maoni ya aina hii, alidhani alikuwana hiyari ya kumchagua Ali au mtu mwingine yeyote kutoka miongonimwa masahaba mashuhuri. Hakumchagua Ali, kwa sababu alikuwa mshin-dani wake mkubwa. Alimteua Umar Ibn Al-Khattab, msaidizi wake mkuu,mtu mpangaji wa kuchaguliwa kwake na mtu wa karibu sana katikamambo yake yote.

Msomaji anaweza kukumbuka kwamba Ali alipoelewana na Abu Bakralilalamika kwa nini Abu Bakr hakutaka ushauri wake wakati alipochag-uliwa na kwamba alichukua kutoka kwa Ali kile ambacho kilikuwa stahiliya Ali. Abu Bakr alisikiliza malalamiko yake na akalia. Machozi ya AbuBakr yalionesha dalili kwamba hangerudia tena kosa kama hilo. Alikuwa

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 42

Page 59: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

43

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

anatarajiwa kutaka ushauri wa Ali na watu wengine wa ukoo wa Hashim,pamoja na masahaba waliokuwa wanamuunga mkono Ali. Abu Bakr hak-ufanya hivyo.

Inafaa kuzingatia kwamba Fatima Az-Zahra, Binti yake Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), alikuwa hawasemi vizuri na Abu Bakr, na alikuwa anawasihiwatu wa Madina kumuunga mkono Ali badala ya Abu Bakr. Fatimaalimkasirikia Abu Bakr kwa sababu ya ukhalifa na kwa sababu alitaifisha‘Fadak’ (viunga vya bustani) ambayo alipokea kutoka kwa baba yake naalitakiwa kuwa navyo kama zawadi au urithi. Lakini Abu Bakr alitoa taar-ifa na kusema kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema; Sisi, Mitumehatuachi vitu vya kurithiwa.

Fatima alikanusha kwamba baba yake hakusema hivyo, kwa sababualivyosema Abu Bakr ni kinyume cha Qur’ani ambayo inasema kwambaSuleiman alipokea urithi wake kutoka kwa baba yake Daudi. Wote wawili,Daudi na Suleiman walikuwa Mitume.

Abu Bakr alijitahidi kufanya uhusiano uwe wa kawaida bila kubadili msi-mamo wake kuhusu Fadak, lakini Fatima alikataa kusema naye, na alipok-ufa Abu Bakr hakuambiwa kuhusu kifo chake, ili asije akahudhuria mazikoyake.42

Abu Bakr alihangaishwa sana na hasira za Fatima kwa sababu MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema: “Fatima ni pande la nyama yangu. Yeyoteanayemkasirisha yeye amenikasirisha mimi.” Pia alisema: “Fatima nikiongozi wa wanawake wa Peponi.” (Hadith hizi mbili zimeandikwa naAl-Bukhari kwenye Sahih yake, sehemu ya uadilifu wa Fatima).

42 Al-Bukhari ameandika kwenye Sahih yake, sehemu ya 5, uk. 178. Pia Muslimaliandika kwenye Sahih yake, sehemu ya 12 ‘Hukm ya Al-Fei’ (utajiri upatikanaokutoka kwa maadui wa Uislamu) uk. 77.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 43

Page 60: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

44

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Kwa yote haya, Khalifa mwadilifu angetarajiwa kumtaja Ali mrithi wake,kwani kitendo hicho kingemfurahisha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwasababu kingemfurahisha Fatima, ingawa kwa kuchelewa. Abu Bakr haku-fanya hivyo, wala hakutaka ushauri wa Ali au mtu yeyote wa ukoo waHashim pamoja na Al-Abbas mjomba wake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Kwa kweli, Abu Bakr hakutaka ushauri wa sahaba yeyote kuhusu naniamrithi yeye. Hakuwapa chaguo la baina ya wagombea wawili au zaidi.Aliwataka ushauri masahaba wachache kuhusu Umar na Umar pekee yake.Waliotakiwa kutoa ushauri ni Abdul-Rahman Ibn Awf, Uthman Ibn Affanna Usaid Ibn Hudheir. Hawa walikuwa watu wanaomuunga mkono Umar.Talha, binamu yake Abu Bakr hakuwemo kwenye orodha ya washauri, naalipomshutumu Umar, Abu Bakr aling’aka kwa hasira.

Kwa nini tusiyaite matukio haya kwa majina yao? Abu Bakr alikuwaanamwia Umar katika kuchaguliwa kwake na kuanzisha uongozi wake.Alikuwa msaidizi wake mkuu wakati wa Ukhalifa wake. Abu Bakr alitakakulipa fadhila kwa rafiki yake mzuri. Tunasema hivi, bila kujali kupunguzauaminifu wa Khalifa wa Kwanza.

Alipokuwa anafariki, Abu Bakr alimuamuru Uthman kuandika wasiawake. Alipofika kwenye maneno yafuatayo: “Nimemteua kama mrithi,’alipoteza fahamu kabla ya kutamka jina la mteule wake. Alipopata fahamutena alimwambia Uthman amsomee yale aliyokwishaandika, na kwamshangao wake, Uthman aliandika jina la Umar. Abu Bakr alifurahishwasana na hilo.

Kama mambo yalivyo, Khalifa mpya alifurahishwa zaidi na kitendocha Uthman. Alikumbuka kitendo hiki cha upendeleo kwa Uthman.Alimpa zawadi ya upendeleo wa iana hiyo hiyo mwishoni mwautawala wake.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 44

Page 61: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

45

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

SURA YA KUMI NA TISA.UMAR ANARITHI.

Umar alichukua nafasi kuwa Khalifa wa Pili miaKa 14 baada ya Hijiriya(635 A.D). Alithibitisha kuwa Khalifa aliyefaa sana miongoni mwamakhalifa katika kuelekeza sera ya Dunia ya Kiislamu na matukio yake.

Kipindi cha uongozi wake kilijaa mafanikio ya kustaajabisha na matukioyaliyo dhahiri. Kama kawaida sera ya kiongozi wa nchi huwa na vipengelevya ndani na nje ya nchi, sera ya Umar ilikuwa na vipengele vyote hivyo,pamoja na vipengele vya siku za nyuma na za usoni, kwani ushawishiwake ulivuka nje ya mipaka ya utawala wake, yenye athari nyingi sana.

Kufuzu kwa sera yake ya nje kulikuwa kunag’ara kwenye macho yawanahistoria, Waislamu na wasio Waislamu. Alirithi kutoka kwa Abu BakrVita ya Dunia dhidi ya dola mbili kuu za wakati huo; Dola ya Uajemi naRumi.

Majeshi ya Waislamu wakati wa utawala wake, yalipambana na majeshi yaUajemi na yaliweza kuiweka Iraq na Ajemi pamoja na Al-Ahwaz naAzarbaijan, chini ya himaya ya Uislamu. Majeshi ya Waislamu yaliyokuwaKaskazini Magharibi yaliweza kuyashinda majeshi ya Rumi na kuiingizaSyria na Misri kwenye mamlaka ya Kiislamu.

Hivyo, chini ya uongozi wake, majeshi ya Waislamu yaliweza kuzisam-baratisha dola mbili mashuhuri za wakati wake. Ushindi wa kirohouliotokea sambamba na ule wa kijeshi ulikuwa mkubwa zaidi. Sera yakekuhusu wakazi wasio Waislamu wa nchi zilizotekwa, ilikuwa ya hali nzuri.Alitoza kodi kwa nchi iliyotekwa, pamoja na kodi ya kila mtu mzimamwanamume. Hapana yeyote miongoni mwa wafuasi wa dini nyinginezoaliyeonewa wakati wa utawala wake. Alitambua haki zao za msingi na

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 45

Page 62: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

46

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

uhuru wao. Historia iliandika neno lake kama lilivyoelekezwa kwa AmrIbn Al-Aas, ambaye alikuwa gavana wa Misri wa kuteuliwa na yeyeambaye mwanae wa kiume alimpiga Mkristo Mkibti. “Amr, ni lini ulipowafanya watu watumwa ambapo walizaliwa wakiwa huru?”43

Sera yake ya ndani hasa zaidi ilikuwa imefuzu. Inaweza kufupishwa ifu-atavyo: Kuhusiana na familia yake, Waislamu kwa ujumla, kuhusiana nawenzake miongoni mwa sahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kuhu-siana na watu wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Kuhusu yeye na familia yake: Sera yake ilikuwa kamilifu. Mamia yamamilioni ya dirham (dirham ya wakati wake ilikuwa sawa na dola mojaya wakati wetu) zilikuwa zinamiminika kwenye hazina ya serikali yaKiislamu. Japokuwa alikuwa na mamlaka yasiyo na mipaka, yeye na famil-ia yake waliishi kwenye umasikini. Imesimuliwa kwamba alisema;“Ninashughulikia hazina ya Waislamu kama ninavyoshughulikia mfukowa mayatima. Kama sihitaji, siigusi, na kama ninahitaji ninatoshelezamahitaji yangu tu.”

Kuhusiana na Waislamu kwa ujumla: Sera yake ilijulikana kuwa yauadilifu, thabiti na ya kusaidia. Aliwapa wapiganaji na familia zao nawakazi wa Madina pamoja na wengine wengi mahitaji ya kutosha.

Kuhusu uhusiano wake na masahaba: Aliwagawia mahitaji yao kwamujibu wa jinsi walivyoshiriki katika kutetea Uislamu. Alijaribu kuwazuiamasahaba wasivutiwe na tamaa ya utajiri au kuogopa kutumia uzoefu waomzuri sana katika kuendeleza mvuto wao, aliwazuia masahaba wasiishikwingineko popote isipokuwa Madina. “Mimi ninasimama kwenye langola Madina, alisema, akishikilia makoo ya Maquraishi na mikanda wasijewakaangukia motoni.”44 Hivyo, aliwadhibiti masahaba wa Mtukufu

43 Ibn Saad, Al-Tabaqat, sehemu ya 3, uk. 276.44 Abdul-Fattah Abdul-Maqsoud, Al-Imam Ali Ibn Abu Talib, sehemu ya 1, uk.223.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 46

Page 63: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

47

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Mtume (s.a.w.w.) wenye tamaa ya makuu kwa uangalifu mkubwa.

Kuhusu watu wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.): Sera yakeilichanganyika na uvutiwaji na tahadhari. Hakumpa yeyote miongonimwao kazi yeyote ya kiserikali. Hata hivyo, wasiwasi baina yake na Aliulioanza baada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kuendelea wakatiwa kipindi cha Abu Bakr ulipungua na badala yake hali ya urafiki ilishikanafasi hiyo polepole na kukua jinsi muda ulivyosonga mbele. Umaralikuwa na desturi ya kukimbilia kwa Ali kutaka ushauri kuhusu matukiomakubwa, akitafuta ufumbuzi wa matatizo makubwa.

Alipopewa taarifa kwamba serikali ya Uajemi imeandaa jeshi kubwa sanakwa lengo la kupigana na Waislamu, alitaka ashiriki katika vita hivyo ilikuhamasisha jeshi la Kiislamu. Alipotaka ushauri kutoka kwa Imam Ali namasahaba wengine, Imam alimwambia: Njia ya Kiislamu haikushinda aukushindwa kwa ukubwa au udogo wa idadi. Ni dini ya Mwenyezi Munguambaye Ndiye aliyeifanya iendelee kudumu na jeshi lake ambalo alilian-daa na kupanuka hadi kufika hivi lilivyo na kuonekana kama lilivy-oonekana. Tumeahidiwa na Mwenyezi Mungu na Atatimiza ahadi yake nakulisaidia jeshi lake. Nafasi ya kiongozi ni nafasi ya kamba (uzi) kwenyeshanga. Uzi huukusanya shanga na kuziunganisha na kuwa pamoja, kamauzi ukikatika, shanga zitasambaa na kamwe hazitakuwa pamoja kabisa.Ingawa Waarabu ni wachache leo kulinganishwa na wengine, wao ni wengikupitia Uislamu na wanazo nguvu kwa sababu ya kuungana kwao. Wewekama muhimili wa kinu, kiruhusu kinu kizunguke na waruhusu Waarabuwashiriki vitani bila wewe kuwepo. Ukiondoka utakuwa umeacha nyumayako hatari ambazo zitakuhangaisha zaidi kuliko yale utakayo kabiliananayo vitani.

Kama Waajemi watakuona wewe kwenye uwanja wa vita, watasema:‘Huyu ndiye chanzo cha hatari. Mkimwangamiza mtashinda.’ Vita vyaovitakuwa vikali sana na matumaini yao kuwashinda Waislamu yataongeze-ka zaidi.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 47

Page 64: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

48

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Kama ulivyosema kuhusu Waajemi kutembea kwa lengo la kupigana naWaislamu, Mwenyezi Mungu Muweza wa Yote anayachukia matembeziyao kuliko kama unavyoyachukia wewe, na Yeye anao uwezo wa kubadilikile asichokipenda. Kuhusu idadi yao kubwa, sisi kamwe hatukupiganakwa nguvu ya wingi wa idadi. Sisi tulipigana kwa msaada tu wa MwenyeziMungu na kusaidiwa na Mwenyezi Mungu.”45

UMAR NA ELIMU YA ALI

Umar alipendezewa sana kwa ujuzi mkubwa wa Ali. Inasemekena kwam-ba alisema; “Hapana mtu ambaye ataruhusiwa kutoa fatwa kama Ali yupokwenye Msikiti wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).” Umar alipofanya uamuzimbaya kuhusu kanuni za Kislamu, Ali alikuwa na desturi ya kumsahihisha.Mara kwa mara alikuwa akisema: “Kama Ali hangekuwepo, Umar angek-wisha angamia (kiroho).”46 Umar alionesha kuwa anahitaji sana ujuzi waAli kwa kusema: “Mwenyezi Mungu na aniepushe na tatizo linapotokeaAbu Hasan akiwa hayupo.”

Mwanamke alishitakiwa kwa sababu alijifungua mtoto miezi sita baada yakuolewa. Umar aliamua mwanamke huyo apigwe mawe hadi kufa. Aliakamwambia: “Ewe kiongozi wa Waumini, mwanamke huyu akikata rufaakwenye Kitabu cha Mwenyezi Mungu, kwa kuhoji uamuzi wako,atakushinda. Mwenyezi Mungu anasema; Vipindi vya mimba na kuny-onyesha ni miezi thelathini.” Tena Mwenyezi Mungu anasema: “Akinamama hunyonyesha watoto wao kwa miaka miwili kamili kwa yeyoteanayetaka kipindi kamili cha kunyonyesha.” Kama tukitoa miezi ishirini nanne kutoka kwenye miezi thelathini, miezi itakayo bakia ni sita. Umaralibadilisha uamuzi na akamwachia huru mwanamke huyo.

45 Al-Sayyed Al-Radhi, Nahjul Balaghah, sehemu ya 2, uk. 29-30.

46 Abul-fattah Abdul Maqsoud, Al-Imam Ali Ibn Abu Talib, sehemu ya 1, uk.226.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 48

Page 65: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

49

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Wakati fulani Ali alikuwa na Umar ambapo watu wengine walikuwepo. Alialipoondoka hapo, mmojawapo wa watu waliokuwepo hapo alianzakumshutumu na kumlaumu kwamba ni mtu mwenye majivuno na mbinaf-si. Umar akasema: Mtu kama Ali anastahili kujivuna. Kwa jina laMwenyezi Mungu, bila ya upanga wake nguzo ya Uislamu haingesi-mamishwa. Yeye ni hakimu wa daraja la juu sana katika umma huu, niMwislamu wa kwanza na wa kuheshimiwa sana.”47 Mtu aliyekuwaanamshutumu aliuliza kitu gani kilichomzuia yeye (Umar) kumpa uongozibaada ya kifo cha Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), Umar alijibu: Hatukuupendaumri wake mdogo, na mapenzi yake kwa ukoo wake.”

Hata hivyo, hii haina maana kusema kwamba Umar alikuwa anamtakaushauri Ali kuhusu mambo yote au alikuwa akifuata maoni yake yote yadini. Umar alikuwa anajitegemea sana. Wakati fulani alionekana kama vilealikuwa akipingana na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alifanya kuwa wajibu wa hujaji yeyote ambaye hakufuatana nawanyama wa kuchinja sadaka ya Hija ya ‘tamattu’ (ambamo hujaji huachakufuata masharti yanayolazimishwa mwanzoni mwa vitendo vya Hija).Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliamuru mtu kama huyo kufanya mizungukosaba kuzunguka Kaaba na kufanya matembezi ya baina ya As-Safa naMarwa mara saba; halafu itakuwa halali yeye kumkurubia mke wake kablaya kuendelea na Hija yake tena kabla ya kuondoka Arafa.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) pia alihalalisha ndoa ya Mutta. Umar aliamuakuharamisha pamoja na kumwadhibu vikali yeyote aliyemuoa mwanamkekwa kipindi cha mapatano (Muta). Muslim kwenye Sahih yake aliandikakwamba Abu Nudrah alisema ifuatavyo; Ibn Abbas (binamu yake MtukufuMtume (s.a.w.w.)) alikuwa na desturi ya kuhalalisha ‘Muta’ na Ibn Zubeiralikuwa na desturi ya kuharamisha. Niliposema hivyo kwa Jabir IbnAbdallah (sahaba mashuhuri wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)), alisema:

47 Ibn Abu Al-Hadeed, fasili yake ya Nahjul Balaghah, juz. 3 uk. 179.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 49

Page 66: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

50

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Yafuatayo yalitokea mbele yangu: “Tulitekeleza ndoa ya Muta wakati wauhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) …. Umar alipopata ukhalifa alisema:Mwenyezi Mungu alikuwa na desturi ya kumhalalishia Mtukufu MtumeWake (s.a.w.w.) chochote alichotaka, kupita chochote alichokitaka.Qur’ani iliteremshwa kwa lengo la kulinganaia maisha yetu. Lazima umal-ize Hijja na Umrah (inayotangulia hija) kama Mwenyezi Mungu alivyoa-muru kufanya (bila kuacha masharti ya kawaida kabla ya kwenda Arafa).Acheni kuoa mwanamke kwa ndoa ya Muta. Kama mwanamume alioamwanamke kwa ndoa ya Muta na akaletwa kwangu, nitampiga mawe (hadiafe).”48

Maoni haya ya Khalifa wa pili kuhusu Hija, yanaonekana kupingana mojakwa moja na Qur’ani:

“….. na mtakapokuwa salama, basi mwenye kujistarehesha kwakufanya Umra kisha ndio akahiji, basi achinje mnyama aliyemwepesikumpata. Na asiyepata afunge siku tatu katika Hija na siku sabamtakaporudi, hizi ni kumi kamili. Hayo ni kwa ajili ya yule ambayewatu wake hawako karibu na Msikiti Mtakatifu……” (Qur’ani2:196).

Hadith hii hata hivyo inaonesha wazi kwamba ndoa ya Muta ilikuwa halaliwakati wa uhai wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), na kwamba hakuharamishabaada ya kuhalalisha. Kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) angeharamishandoa ya namna hii, Khalifa wa pili angewakumbusha masahaba kuhusu

48 Muslim kwenye Sahih yake, Sehemu ya 8, uk. 169.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 50

Page 67: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

uharamisho huo. Yeye (Umar) kusema: “Acheni kuoa mwanamke kwandoa ya Muta, inatuambia kwamba masahaba walikuwa bado wanaendeleakutekeleza ndoa ya Muta wakati wa uhai wake. Vinginevyo, hangewaamu-ru kuacha kufanya hivyo. Kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) angekuwaameharamisha ndoa ya Muta baada ya kuhalalisha, masahaba hawangeen-delea na ndoa ya Muta, na Khalifa wa pili hangewaonya na kuwatishiakuwapiga mawe wale walioendeleza ndoa hiyo.

Kuhusu Hija ya ‘Tamattu,’ Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akiwa kwenye Hijayake ya mwisho alisema alipokuwa Makka:

“Kama ningekuwa mwanzoni mwa Hija yangu, nisingefuatana na wanya-ma wa kuchinjwa kwa sadaka, na ningeifanya kuwa Umra (kutenganishana hija kwa kusitisha masharti ya Ihram). Yeyote ambaye hakufuatana nawanyama wa sadaka, lazima aache kuvaa vazi la Ihram na kufanya iweUmra.” Suraqah Ibn Malik Ibn Jaasham alisimama na akamwambiaMtukufu Mtume (s.a.w.w.): Ni kwa ajili ya mwaka wetu pekee au itadu-mu milele? Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliweka vidole vya mikono yakekatikati ya kila kimoja na alisema: Umra iliingia kwenye Hija (alirudiatamko hilo mara mbili). Si kwa ajili ya mwaka huu tu. Ni daima milele.”49

Hivyo kujiamini mno kwa Khalifa wa pili ni msimamo uliomfanyaaharamishe Hija ya Al-Tamattu na kuhalalisha kuuawa kwa mtu atakayeoamwanamke kwa ndoa ya Muta. Lakini Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliwaa-muru Waislamu kutekeleza hija ya Al-Tamattu na kuhalalisha ndoa yaMuta.

Mtu ambaye anajiamini mno kifikira hangetarajiwa kutaka ushauri waImam Ali kwa kila tatizo au kufuata maoni yake yote. Hata hivyo alimuonaAli kuwa ni sahaba mwenye utambuzi mkubwa zaidi miongoni wa masa-haba na mamlaka ya juu zaidi yanayohusuu dini.

51

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

49 Muslim, Sahih Muslim, sehemu ya 8, uk. 172-179.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 51

Page 68: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

MAJADILIANO YAHUSUYO UKHALIFA.

Ukhusiano baina ya Khalifa na Imam uliendelea kuboreka na hatimayeUmar alimuoa Umm Khulthum, binti yake Imam. Licha ya uhusiano kuwamzuri, historia kwa kadiri nijuavyo haikuandika mazingumzo yoyote bainaya Khalifa na Imam kuhusu Ukhalifa. Lakini Khalifa alipata kufanyamazungumzo mara kadhaa na Abdullah Ibn Abbas (binamu yake MtukufuMtume (s.a.w.w.)) kuhusu kutokuelewana baina ya Imam na yeye. Katikamazungumzo haya, Umar alionekana kuridhika na yale yaliyotokeamojawapo ya mazungumzo yalikwenda ifuatavyo:

Umar: “…..Jamii ya Maquraishi haikutaka kuwaruhusu nyinyi (BaniHashim) kuwa na sifa mbili; Ukhalifa na Utume, ili mridhie haki ya jamiiyenu. Maquraishi walijichagulia wenyewe. Walifaulu na walifanya uamuziulio sahihi.

Ibn Abbas: Ulisema kwamba Maquraishi hawakutaka kuturuhusu kuwana sifa zote mbili yaani ukhalifa na utume. Lakini Muweza wa Yote ali-wazungumzia watu wengine kuwa na chuki’ aliposema: “kwa sababuwalichukia kile alichokiteremsha. Mwenyezi Mungu, alibatilisha matendoyao mema.” Ulisema kwamba jamii ya Maquraishi walijichaguliawenyewe na kuwa walifaulu na walifanya uamuzi ulio sahihi. Kamawangechagua kile ambacho Mwenyezi Mungu aliwachagulia, hakiingekuwa upande wao, haingejadiliwa wala kuonewa wivu…”50

Kwenye mazungumzo mengine Umar alimwambia Ibn Abbas ifuatavyo:Palikuwepo maneno ya hali ya juu sana kutoka kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) (kuhusu Ali). Lakini maneno hayo hayakuwa na uthibitisho uliowazi juu ya uongozi wake, wala hayakuondoa vipingamizi vyovyote (kwawale ambao hawakumuunga mkono). Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa

52

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

50 Ibn Al-Athiir, kwenye kitabu chake Al-Kamil, sehemu ya 3, uk. 31

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 52

Page 69: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

anajaribu kumpa Ali uongozi. Alitaka kuandika jina lake alipokuwamgonjwa mahututi, lakini mimi nilimzuia asifanye hivyo, kwa maslahi yaUislamu. Kwa jina la Mola wa Kaaba, Maquraishi hawatamuunga mkonokamwe. Kama angepata mamlaka mara tu baada ya kifo cha MtukufuMtume (s.a.w.w.), Waarabu wangeasi dhidi yake.” Kwenye mazungumzomengine, maongezi hayo yalifanyika ifuatavyo:

Umar: “Ewe Mwana wa Abbas mtu huyu anafanya jitihadi katika ibadahadi amekonda, akijaribu kuonesha uchaji Mungu.”

Ibn Abbas: “Mtu huyu ni nani?”

Umar: “Huyo ni binamu yako (Ali)”

Ibn Abbas: “Ananufaika nini anapoonesha ucha-Mungu wake?”

Umar: “Anataka kujidhihirisha kwa ajili ya ukhalifa.”

Ibn Abbas: “Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimteua yeye kwa nafasi yaukhalifa na hakuipata.”

Umar: “Alikuwa katika ujana wake na Waarabu walidhani kwambaalikuwa bado mdogo sana. Lakini sasa amefika umri wa kukomaa.Hukutambua kwamba Mwenyezi Mungu hakumtuma Mtume mwenyeumri chini ya miaka arobaini?”

Ibn Abbas: “Watu wenye hekima na uamuzi mzuri wanamfikiria yeyekuwa bora na amekomaa kwani Mwenyezi Mungu alinyanyua nuru yaUislamu. Lakini wanamuona yeye amenyang’anywa na hana bahati.”

Umar: Atafika hapo baada ya matatizo, halafu mguu wake utateleza nahataweza kufikia lengo lake. Abdullah utashuhudia hilo. Halafu wote wat-apambanukiwa. Halafu utaona ukamilifu wa msimamo wa muhajirina wamwanzoni (masahaba) ambao walichepua uongozi usiwe kwake.”

Kwenye mazungumzo mengine, Umar anaonekana kuwa na majuto kwajinsi ambavyo Ali alitendewa. Alimwambia Ibn Abbas walipokuwa

53

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 53

Page 70: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

wanatembea kwenye mojawapo ya mitaa ya Madina, huku wameshikanamikono:Umar: “Nadhani kwamba Ali hakutendewa haki.”

Ibn Abbas: “Ewe Amiri wa Waumini, mrudishieni haki yake.”

Umar aliondoa mkono wake kwenye mkono wa Ibn Abbas, na akaondokahuku anasema peke yake kwa hasira. Halafu alisimama na akamuita IbnAbbas. Pale Ibn Abbas alipofika karibu, Umar akasema: “KilichowafanyaMaquraishi wasimpe uongozi ilikuwa umri wake. Walidhani alikuwa badomdogo mno.” Ibn Abbas akajibu: “Kwa jina la Mwenyezi Mungu wala siMwenyezi Mungu ama Mtume Wake alimfikiria Ali kuwa mdogo mnowalipomuamuru achukue Sura ya ‘Bara-ah’ kutoka kwa mtu wenu (AbuBakr) alipokuwa anajitayarisha kuondoka kwenda hija na kuitangazahuko.”

Aliposikia hivi, Khalifa aligeuka na kuondoka haraka. Kwenye maongezimengine na Ibn Abbas, Umar alionekana mtulivu isivyo kawaida.Akamwambia Ibn Abbas: “…unaweza kudhania kwamba Abu Bakralikuwa wa kwanza kuwasukuma Bani Hashim nyuma. Hakuwa na maanahiyo. Kuna jambo lilitokea na hakuwa na njia zaidi nyingine ya kuchukuaya busara zaidi ya hiyo. Kama hangekuwa na mawazo yake kuhusu mimiangekupa wewe mgawo wako wa uongozi. Kama angefanya hivyo, watuwenu (Maquraishi) hawangewaacheni mfurahie uongozi………...Wanawatazameni nyinyi kama fahali wa ng’ombe amuangaliavyo mchin-jaji wake.”51

54

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

51 Ibn Abil-Hadiid ameyaandika mazungumzo haya katika Sharh Nahjul-Balaghah, Jz. 3, uk. 94

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 54

Page 71: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

UKUBWA WA SERA YA UMAR

Msimamo wa Khalifa wa pili juu ya Maquraishi na mkondo wake wa fiki-ra ulikuwa na athari nyingi katika matokeo yake. Tunaweza kuona atharizake katika matukio yaliyotokea kabla na baada ya utawala wake ambamoilielekeza sera za siku zilizofuata za ulimwengu wa Waislamu kwa kiwan-go kikubwa.

Ushawishi wake ulionekana dhahiri wakati wa kipindi cha Abu Bakr. Yeyealikuwa ndio yuko nyuma ya kuchaguliwa kwake na msaidizi wake mkub-wa mwenye nguvu zaidi katika kusimamisha uongozi wake.

Ifuatayo ni Hadith fupi inayoonesha kiwango cha ushawishi wake wakatiwa utawala wa Abu Bakr: Uyainah Ibn Hissn na Al-Aqra Ibn Habis walik-wenda kwa Abu Bakr na wakasema: Khalifa wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.): Kipo kipande cha ardhi kisichotumiwa kwa uzalishaji wowote,hakioti mimea na hakifai. Tunakuomba utupatie kipande cha ardhi hicho ilitulime na kupanda mimea humo. Mwenyezi Mungu anaweza akatupatiariziki kupitia humo mnamo siku za usoni.” Abu Bakr aliwataka ushaurimasahaba waliokuwa wamemzunguka. Wakati masahaba walikuwawanampa ushauri kuhusu jambo hilo, yeye alikuwa anaandika waraka,akaweka sahihi yake na masahaba waliokuwa wanashuhudia pia waliwekasahihi zao. Halafu akawapa hao watu wawili nyaraka hiyo.

Kwa kuwa Umar hakuwepo miongoni mwa masahaba wake watu wawiliwalikwenda kwake wakampe nyaraka hiyo ili asaini. Kwa kuwa walimku-ta anashughulika na kazi ya kumpaka ngamia lami, walimwambia kwam-ba Khalifa aliwapa nyaraka wampelekee ili aisaini. Walimuuliza kamaangependa kusoma kwanza au wao wamsomee. Aliwaambia wamsomee.Baada ya kusikia yale yaliyokuwa kwenye barua hiyo, aliichukua nyarakahiyo, akaitemea mate na akafuta maandishi yaliyokuwa humo. Watu hao

55

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 55

Page 72: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

wawili walikasirika ghafla na wakasema maneno yasiyopendeza.Aliwaambia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa na desturi yakuwatuliza hao pale ambapo imani ya Uislamu haikuwa na nguvu.Mwenyezi Mungu aliuimarisha Uislamu. “Ondokeni nendeni’Aliwaambia, “na fanyeni lolote lililoko katika uwezo wenu.” Walikwendakwa Abu Bakr huku wanalalamika na wakamwambia: “Hatujui mtawala ninani. Ni wewe au Umar?” Abu Bakr akajibu: “Yeye ni kiongozi kamaanataka kuwa.”

Umar alipokwenda kwa Abu Bakr mazungumzo baina yake na Abu Bakryalifanyika ifuatavyo:

Umar: “Niambie kuhusu ardhi ambayo umewapa watu hawa wawili.Ardhi hii ni yako au ni mali ya Waislamu wote?

Abu Bakr: “Ni mali ya Waislamu wote.”

Umar: “Kitu gani kimekufanya uwape ardhi hii watu hawa wawili nakuwaacha Waislamu walio wengi?”

Abu Bakr: “Nilipata ushauri wa masahaba waliokuwapo hapo nawakakubali.”

Umar: “Umewaambia Waislamu wote na wakakuruhusu?”

Abu Bakr: “Nilikwisha kukuambia kwamba wewe ni mwenye uwezozaidi kuliko mimi katika kushughulikia mambo ya umma, lakini weweulishinda juu yangu na ukanifanya mimi Khalifa.”52

Si rahisi kuelewa ni vipi Umar alimtarajia Abu Bakr kutaka ushauri kuto-ka kwa Waislmu wote kwa hili jambo la kipande cha Ardhi kisichozalisha

56

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

52 Ibn Abu Al-Hadiid fasili zake za Nahjul Balaghah, Juz. 3, uk. 108-109.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 56

Page 73: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

chochote, ambapo hakuwataka ushauri Waislamu wote wakati wa kumpaAbu Bakr uongozi. Uongozi kwa Waislamu ulikuwa ni jambo la muhimuzaidi kuliko kipande cha ardhi, hata hivyo, tukio linatuambia ukubwa wauathiri wa Umar wakati wa utawala wa Abu Bakr.

Ushawishi wake ulienea si tu katika kipindi cha Abu Bakr. Ulionekana piawakati Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anaumwa. Wasomaji wa vitabu vyaSahih wanajua kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitaka kuandika wara-ka wakati akiwa mgonjwa mahututi ili kuhakikisha kwamba umma hau-tapotea. Umar alipinga kuandika kwa waraka wa aina hiyo, na akasemakwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa anaweweseka kwa sababu yamaradhi au kwamba alikuwa anaota njozi. Kwa kukataa kwake, Waislamuwalinyimwa fursa ya kuipata nyaraka ambayo ilitarajiwa kutia nurukwenye njia ambayo ingefuatwa na umma katika siku zake za usoni nakuupatia usalama dhidi ya upotofu.

ALIANDAA MAPEMA KABLA JUU YAMUSTAKABALI WA WAISLAMU.

Ushawishi wa sera yake Umar katika kuelekeza mustakabali wa Waislamiuwote duniani unaweza kuonekana dhahiri kwenye maamuzi yake mengiambayo aliyafanya akidhani yalikuwa kwa maslahi ya umma. Lakini yali-jaa vitisho na matokeo ya hatari. yafuatayo ni machache tu ya maamuzihayo:Aliacha kufuata mbinu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) (ambayo Abu Bakralifuata) ya kugawa fedha ya hazina ya umma miongoni mwa Waislamukatika usawa unaotakiwa. Umar alipoulizwa kuhusu ugawaji wake usiofu-ata usawa, alisema, “Sitawagawia sawa wale waliompiga vita MtukufuMtume (s.a.w.w.) na wale waliomsaidia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuupi-ga vita upagani.” Alitenga dirham elfu tano kama mshahara wa mwakakwa kila sahaba aliyeshiriki katika Vita vya Badr; na alitenga dirham elfunne kama mshahara wa mwaka kwa kila sahaba aliyeshiriki Vita vya Uhud.Alimpa kila mtoto wa mtu aliyeshiriki Vita vya Badr dirham elfu mbili

57

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 57

Page 74: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

isipokuwa Al-Hasan na Al-Husein. Aliwapa hawa watoto wawili mshaharasawa na baba yao kwa sababu ya uhusiano wao na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Alitenga dirham elfu kumi na mbili kwa kila mmojawapo wawake zake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Kwa watu ambao walihama kabla ya kutekwa kwa Makka, aliwapa msha-hara wa mwaka wa dirham elfu tatu na wale waliokubali kuwa Waislamubaada ya kutekwa Makka aliwapa mshahara wa mwaka wa dirhamu elfumbili kila mmoja. Halafu akawaweka Waislamu katika kundi moja, kwakuwapa kila mmoja wao dirhamu ishirini na tano kwa mwaka, au kufu-atana na daraja zao za kidini, kusoma Qur’ani Tukufu na jitihada ya kilammojawao katika kuutetea Uislamu.

Watu wa Yemen na Qaisite ambao walikuwa katika huduma ya jeshi hukoIraq na Syria aliwapa mshahara wa mwaka wa dirhamu kati ya elfu mbilina elfu tatu kila mmoja. Aliweka kiwango chao cha chini cha mshahara chadirhamu mia tatu kwa kila mmoja kwa mwaka.53

Khalifa alitiwa hamasa kwa nia njema alipowapendelea Waislamu wa sikuza mwanzo na watetezi wa Uislamu. Alikuwa na sababu ya kuridhishakabisa katika kuwapendelea ndugu zake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), naangewapa zaidi ya alivyowapa yeye, kwa sababu walistahili kupewaangalau moja ya sita (1/6) ya moja ya tano (1/5) ya ngawira kwa mujibuwa Qur’ani Tukufu.

“Na jueni kwamba ngawira mnayoipata basi Khums (sehemumoja ya tano) ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na Mtume, najamaa, na mayatima, na masikini, na wasafiri, ikiwa nyinyimmemwamini Mwenyezi Mungu na tuliyoyateremsha kwa mjawetu siku ya kipambanuo, siku yalipokutana majeshi mawili. NaMwenyezi Mungu ni Muweza wa kila kitu.”54

58

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

53 Ibn Saad kwenye Al-Tabaqat yake, sehemu ya 3, uk. 296-297.54 Quran Tukufu, Sura 8:41.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 58

Page 75: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Hata hivyo, ni vigumu sana kuhalalisha kidini upendelepo wake wa watuwaliopigana Vita vya Badr zaidi ya wale waliopigana Vita vya Uhud na waUhud zaidi ya wale waliokubali kuwa Waislamu kabla ya kutekwa Makkana wale ambao walikubali Uislamu wakati wa kutekwa Makka juu ya waleWaislamu waliokubali baada ya kutekwa Makka. Hatuwezi kuhalalishaupendeleo kama huu baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliyegawa hazi-na ya Kiislamu sawa kwa sawa miongoni mwa Waislamu.

Lilikuwa tamko zuri la kishairi kwa upande wa Khalifa aliposema: “Siwezikuwalinganisha sawa wale watu waliopigana na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na wale waliomsaidia katika kuutetea Uislamu, na ingekuwaukamilifu mkubwa kama angewapendelea Waislamu wa mwanzo kwakuwatukuza na kuwaweka kiroho juu ya wengine.

Upendeleo katika ugawaji wa hazina pia ungeruhusiwa kama fedha hiyoingekuwa mali binafsi ya Khalifa. Lakini ilikuwa si haki kuwapa kundimoja zaidi ya mengine kutoka kwenye hazina ambayo inamilikiwa naWaislamu wote sawa sawa. Ruzuku aliyowapendelea Waislamu wa siku zamwanzo, ilikuwa inamilikiwa na Waislamu wote na aliichukua kutokakwao bila ya ruhusa yao.

Kama ruzuku ingekuwa ni stahili ya makundi yaliyopendelewa, MtukufuMtume (s.a.w.w.) angewapa wao badala ya Waislamu wote vinginevyoangekuwa anagawa miongoni mwa Waislamu wote kile ambacho kilikuwamali ya Waislamu wa siku za mwanzo.

Hivyo ama tutalazimika kusema kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ali-wanyima Waislamu wa siku za mwanzo kutokana na kile walichostahilikatika ruzuku au kwamba Umar aliwanyima Waslamu wengi kutokakwenye haki yao kwenye ruzuku ambayo aliwapendelea Waislamu wa sikuza mwanzo. Tuchague nadharia ipi?

59

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 59

Page 76: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Matokeo Yasiyopendeza.

Kama ugawaji ulikuwa wa upendeleo, ulikuwa halali au si halali, kwahakika hali hiyo ilisababisha kutengenezeka kwa tabaka la matajiri mion-goni mwa Waislamu. Kundi la wachache lililofaidika kutokana na sera yaugawaji wa upendeleo, wahusika walipata zaidi kuliko walivyohitaji kati-ka matumizi. Hivyo, wahusika wa watu hao wachache waliweza kuwekezafedha zao za ziada kwa kununua na kuuza rasilimali na biashara.

Matokeo yake, jamii ya Kiislamu iligawanywa na kutokeza tabaka la mata-jiri sana, na lingine ambalo lingeweza kukidhi mahitaji yake bila kutajiri-ka, kundi la tatu, lilinyimwa na kushindwa kupata nguo za muhimu nachakula cha muhimu. Hata hivyo, matokeo ya mgawanyiko huu katikajamii hayakujitokeza kuwa ya kusababisha vurugu wakati wa utawala waUmar.

Kwa hakika, Khalifa wa pili alishuhudia ishara za uovu wa mgawanyikohuu mwishoni mwa utawala huu, pale aliposema kwa masikitiko ya wazi:“Kama nikipewa fursa ya kufanya tena, ningechukua fedha za ziada zamatajiri na kuzirudisha kwa mafakiri.” Lakini muda ulikwishamtupamkono. Alikufa kabla hayarekebisha hali hiyo.

Inafaa kuzingatia kwamba matabaka yaliyopendelewa yalifurahia kilewalichokipata na kuamini kwamba walikuwa wanastahili kidini kile wali-chopata. Imam alipokalia kiti cha ukhalifa na akataka kurejesha mbinu yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuwarudishia walionyimwa kile kilichokuwachao, wale wachache waliopendelewa wakafanya maasi dhidi yake.Walitumia kila njia iliyowezekana kupambana naye ili wadumishe upen-deleo wao. Kwa nini isiwe hivyo? Walikuwa wamefurahia haki hiyo yapekee kwa zaidi ya miaka ishirini, na kwa uelewa wao waliifanya kuwahaki ya msingi.

60

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 60

Page 77: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

WATU WACHOCHEZI KWENYE MFUMO WA UTAWALA WA KHALIFA

Bila kujali hatari zilizoonekana wazi, Khalifa wa pili aliwapatia kazikubwa watu wa kutoka kabila la Qureishi ambao walikuwa na tamaa yamakuu kisiasa, na wasio waadilifu kidini. Hali hii ilisababisha matokeo yahatari baada ya kifo chake.

IBN AL-AAS.

Alimteua Amr Ibn Al-Aas gavana wa Misri. Kabla hajakubali kuwaMwislamu, Amr alikuwa na chuki kubwa sana kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na alikuwa anambughudhi sana. Alimkaripia sana MtukufuMtume (s.a.w.w.) kwa beti sabini za mashairi.

Kwa kuchelewa sana Amr aliamua kuwa Mwislamu baada ya kuona yajayosiku za mbele kutokana na woga wake na akili yake kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) na wafuasi wake lazima wangeshinda.

Njama za Amr zilidhihiri baadaye alipokuwa msitari wa mbele katikauchochezi dhidi ya Uthman, baada ya Uthman kumfukuza kazi ya ugavanana kumweka Abdullah Ibn Sarh badala yake. Aliendelea na kampeni yakumuonea kijicho Uthman hadi alipouawa. Halafu akatumia mauaji yaUthman kwa malengo yake maovu. Alikuwa mtu wa pili katika kundi lawachochezi lililopigana na Ali, Imam wa haki, kwa kisingizio cha kulipakisasi kumwagika kwa damu ya Uthman ambaye kifo chake kilisabaishwana uchochezi wa Amr na wengine kama yeye.

61

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 61

Page 78: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

UKOO WA BANI UMAYYAH ULIINGIAKWENYE UONGOZI

Khalifa wa pili alimteua Muawiyah, mtoto wa Abu Sufyani, kama gavanawa Damscus. Akamteua kaka yake Yazid Ibn Abu Sufyani gavana waJordan. Yazid alipokufa, Khalifa wa pili aliiongoza Jordan kwa utawala waMuawiya.55

Kwa tukio hili, mamlaka ya Muawiyah yalianza kuongezeka kisiasa nakijeshi. Wakati wa utawala wa Umar, Muawiya alikuwa mtu muhimu,hivyo kwamba alitosha aogopwe na watu na kuzingatiwa. Umaralipochomwa kisu, aliwaambia wajumbe waliokuwa kwenye mkutano wauchaguzi kwa mujibu wa Ibn Abbas alisimulia: “…..Na mkibadilishanawivu na chuki na mkatae kuungana pamoja, Muawiya atapora mamlaka yaukhalifa kutoka kwenu.”56

UKOO WA HASHIM WATOLEWAKWENYE UONGOZI.

Khalifa wa pili hakumweka yeyote katika watu wa ukoo wa Hashimkwenye uongozi wowote wenye mamlaka, japokuwa walikuwa ni watuhodari kama vile Ibn Abbas. Umar aliulizwa kwa nini hakumpa yeye (IbnAbbas) ugavana wa jimbo japokuwa anao ujuzi na uwezo. Khalifa alione-sha uelewa wake kwamba Ibn Abbas angeweza kutafsiri aonavyo kanuniza Kiislamu.

Ni dhahiri kwamba, Khalifa wa pili alidhani kwamba Ibn Abbas angewezakuhalalisha kwa ajili yake mwenyewe au ndugu zake kuchukua kile amba-cho Mwenyezi Mungu aliwatengea ndugu zake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kwenye Qur’ani Tukufu ambayo ni moja ya tano (1/5) ya ngawira.

62

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

55 Dkt. Taha Husein, Al-Fitnat Al-Kubra, sehemu ya 1, uk. 118.56 Ibn Abu Al-Hadeed kwenye fasili zake za Nahjul-Balaghah, Juz. 1, uk. 62.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 62

Page 79: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Khalifa alionekana kuwaweka watu wa ukoo wa Hashim mbali na kazi zamamlaka makubwa kwenye jimbo lolote la Kiislamu, wasije wakapataumaarufu kwenye maeneo hayo. Alidhani kwamba watu wa majimbo hayowangeanza kuwatukuza wao kwa sababu walitokana na ukoo wa MtukufuMtume (s.a.w.w.).

Akiwa anampenda Mwenyezi Mungu na Mtume Wake (s.a.w.w.), Khalifaalitarajiwa kutowapa kazi yoyote Bani Umayyah kwenye mfumo wautawala wake kwa sababu ya upinzani wao kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Pia alitegemea kuwapa ukoo wa Hashim nafasi kubwa katikamfumo wa utawala wake kwa ajili ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kinyumena matarajio yote, Khalifa wa pili hakuwapa kazi kubwa ukoo wa Hashimna akawaingiza Bani Umayyah na akawapa mamlaka makubwa.

Khalifa alimwacha Muawiyah aendelee na ugavana japokuwa alitambuavema kwamba alikuwa na tamaa ya makuu na alivyoshuhudia kukua kwamamlaka yake. Alimweka katika kazi hiyo katika kipindi cha utawalawake, kinyume na mbinu yake ya kuwafukuza magavana wake aliowateuayeye mwenyewe na kuwaweka wengine badala yao.

Khalifa alionekana kupendezwa na uwezo wa Muawiyah wa kuendeshamambo, na uhodari wake wa kulinda mipaka yake iliyokuwa jirani naUfalme wa Rumi. Bado, Umar alikuwa akiamini kwamba ushindi waWaislamu na kufuzu kwao hakukutegemea mtu au watu, bila kujali uwezowao, kwani Mwenyezi Mungu huwasaidia Waislamu kwa nguvu yaUislamu, na si kwa uwezo wa watu. Alimfukuza Khalid Ibn Al-Waliidkutoka kwenye ukamanda wa msitari wa mbele wa Syria baada ya kuwamaarufu sana. Badala yake alimpeleka Abu Ubaidah Ibn Al-Jarrah ambayealikuwa hajulikani hata kidogo kuwafanya Waislamu watambue kwambaMwenyezi Mungu angewasaidia wao bila ya kuhitaji uongozi wa Ibn Al-Waliid.

63

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 63

Page 80: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Inawezekana Khalifa aliliwazwa na utiifu wa Muawiya kwake. Hivyo ali-taka anufaike kwa akili yake na uwezo wake wa utawala, na Muawiyaalikuwa na shaksia kali na hakuna Mwislamu ambaye angediriki kumpachangamoto.

Utii wa Muawiya kwake hata hivyo haungemfanya asahahu yale anayoya-jua kuhusu hatari ya watu wa ukoo wa Muawiya juu ya Uislamu wa baa-daye. Kwani Umar alisikia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kilekilichomtenganisha yeye na wao. Alimwambia Ibn Abbas kwamba alisikiaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) anasema: “Wana wa Umayyah watapandakwenye mimbari yangu, na niliwaona katika ndoto wanarukaruka kwenyemimbari kama nyani.” Na kuhusu wao aya ifuatayo iliteremshwa “…. nahatukuifanya ndoto tuliokuonesha ila ni kuwajaribu watu, na mti uli-olaaniwa katika Qur’ani ……”57

Pia Umar alimwambia Al-Mughirah Ibn Shu’bah (ambaye alikuwa najicho moja): “Mughira, umepata kuona kitu chochote kupitia jicho lakobaada ya kulipoteza? Mughira alipojibu kinyume chake, Umaralimwambia: “Kwa jina la Mwenyezi Mungu, wana wa Umayyah watau-fanya Uislamu upoteze jicho kama lilivyopotea jicho lako. Halafuwataupofusha Uislamu hadi ushindwe kutambua uelekee wapi na ujekutokea wapi.”58

64

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

57 Ibn Abdul-Hadiid, fasili zake za Nahjul Balaghah, juz. 2, uk. 376. Zipohadith zaidi zilizoandikwa na Imam Al-Razi kwenye fasili zake za Qur’aniTukufu, Sura 17, sehemu ya 5, uk. 423-424.

58 Ibn Abu-Al-Hadiid, Fasili ya Nahjul Balaghah, Juz. 2, uk. 277.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 64

Page 81: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

UTAWALA WA BANI UMAYYAH ULIKUWASI WA KUEPUKIKA.

Labda yale aliyoyasikia Khalifa kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kuhusu wana wa Umayyah yalimfanya aamini kwamba wao kuchukuauongozi ilikuwa ni jambo lililokwishawekewa hatima na lisingeepukika.Kwa hiyo alijiruhusu kutembea kwenye njia hii iliyowafikisha Umayyahkwenye mamlaka haraka. Hivyo, alifanya hivyo akiwa anaridhia yale aliy-odhani kuwa ni matokeo yaliyokwishapangwa.

Huenda imani yake kwamba kufika kwa Bani Umayyah kwenye kazi yamamlaka kubwa ni mpango ambao haungezuilika ulimfanya amwambieIbn Abbas kwamba Ali ataufikia ukhalifa baada ya ghasia kubwa, halafuatateleza na hatafanikisha lengo lake. Halafu akamwambia Ibn Abbas:Abdullah utashuhudia, na mambo yatakuwa wazi kwa kila mtu mwenyeakili, halafu utaona ukamilifu wa msimamo wa muhajirina wa mwanzoambao walichelea Ukhalifa usimfikie yeye.”

Kama mambo yalivyo, kufikia kwa dhuriya wa Umayyah kwenye mamla-ka likawa jambo linaloeleweka na lililotarajiwa baada ya wao kuwa sehe-mu muhimu sana ya Dola ya Waislamu. Kuwepo kwa Muawiya nawengine wa aina yake kwenye nafasi za mamlaka ilitarajiwa kuwakipingamizi muhumu ambacho Ali angekabiliana nacho kama angewezakupata mamlaka.

Kwa kweli, matatizo na vipingamizi ni hali iliyokuwa inazidi kuongezekana kulundikana wakati wa utawala wa Umar na iliendelea kuongezekabaada ya kifo chake hadi ikawa hakuna uwezekano wa Ali kutawala kwaamani.

65

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 65

Page 82: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Hali hii haikusababishwa na udhaifu wa Ali, bali ilisababishwa na matukioyaliyotokea kabla yeye hajapata mamlaka ya uongozi. Matukioyangeepukwa, kwani matukio hayo yalitengenezwa na mtu na utashi wakena hayakuwa hatima iliyowekwa na Mwenyezi Mungu. Kama Umarhangemweka Muawiya kwenye nafasi ya mamlaka au kama hangemuwe-ka kwenye uongozi Muawiya hangekuwa kipingamizi kwa Ali, kwani bilaugavana wa Syria, Muawiya angekuwa mtu wa kawaida.

KILICHOMAANISHWA NA UBASHIRI WA KINABII

Jambo alilosema Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika ubashiri wake ambamoaliwaona dhuriya wa Umayyah wanapanda kwenye mimbari ya MtukufuMtume (s.a.w.w.), lilikuwa onyo kwa umma kwamba ufuate njia ambayohaitaufikisha kwenye tukio hilo lililobashiriwa. Lakini umma ulifuata njiaambayo iliwafikisha Bani Umayyah kwenye mimbari hiyo.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliuambia umma kwamba mjukuu wake Al-Husein angeuawa, na kwamba Ali angepigana na wale waliovunja mkata-ba, kundi la wakosaji na Khawariji (Waliojitenga). Pia alimtaarifu Alikwamba umma ungemsaliti yeye. Alimwambia Zubeir kwamba angepi-gana na Ali bila haki. Alimtaarifu mama wa Waumini, Aisha kwambaangebwekewa na mbwa wa Al-Houab, ambapo angekuwa anachepuka nakuacha njia ya haki na kufuata njia ya uovu. Pia aliwaambia Waislamukwamba kundi la wenye shari lingemuua Ammar Ibn Yasir.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakuwajulisha Waislamu matukio yote hayakwa kuwajulisha kwamba yaliamuliwa na Mwenyezi Mungu. Hakuwa namaana ya kuwaambia Waislamu kwamba matukio yaliyotabiriwahayangeepukwa na kwamba utashi wa mwanadamu haungekuwa kipen-gele cha kuyasababisha au kuyazuia.

66

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 66

Page 83: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Kama angekuwa ana maanisha hivyo basi wasiotii, watenda dhambi,wauaji wavunja mikataba na wakosaji hawangelaumiwa. Alichotaka kuse-ma Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni kwamba matukio haya yaliyotarajiwa,ambayo yalimhuzinisha, yangetokea kwa sababu ya maamuzi yasiyo sahi-hi ambayo yangefanywa na umma, au na baadhi ya viongozi wao.

Msimamo wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) katika kuyabashiri matukio hayani sawa na msimamo wa bingwa wa tiba anayemtahadharisha mtu ambayeamedhoofu maungo yake kile kitakachomtokea kama hatachukua hatua zakinga ambazo alimwelezea.

Kama mgonjwa akikataa kuchukua dawa za kinga, halafu akaugua,ugonjwa wake hautakuwa matokeo ya majaaliwa wala si kwamba matokeohayo hayangeepukwa. Ugonjwa wake ungekuwa matokeo ya kushindwakwake mwenyewe na uamuzi usio sahihi.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alibashiri matukio haya mabaya ambayoalitegemea na akaueleza umma hatua sahihi za kuzuia yasitokee, yaanikuambatana na Kitabu cha Mwenyezi Mungu na mafundisho ya watu waNyumba yake. Aliwaambia Waislamu kwamba wao wangeshikamana navitu hivi viwili wangekuwa na uhakika wa usalama wa umma dhidi yamatukio mabaya na uovu wa kila aina. hata hivyo, umma haukuzingatiaonyo la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), wala haukutambua vyema uzito naukubwa wa matamko yake. Umma ulifuata njia ya uovu ambayo ulielekezakwenye matukio hayo maovu.

Kwa hili ninaamini kwamba Khalifa wa pili alikosea alipomwambia IbnAbbas kwamba mwanga wa nuru ungetokeza kwa yeyote mwenye akili nakwamba Ibn Abbas mwenyewe angekuwa shahidi na kugundua ukamilifuwa msimamo wa muhajirina wa siku za mwanzo ambapo waliuchepuaUkhalifa usimfikie Ali.

67

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 67

Page 84: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Ukweli ni kwamba kile kilichomtokea Ali hakikuthibitisha ukamilifu wamsimamo wa muhajirina wa siku za mwanzo. Badala yake, kilithibitishakwamba walifanya kosa lenye gharama na la kuogofya. Kamahawangechepua ukhalifa kutoka kwa Ali baada ya kifo cha MtukufuMtume (s.a.w.w.), mawingu hayangetanda kwenye upeo wa ujuzi wakewala vipingamizi na matatizo ni mambo ambayo hayangelundikanakwenye utendaji wake.

Ali angefika kwenye utawala wa amani hata baada ya ukhalifa kuk-wepeshwa mara mbili kutoka kwake. Kama Khalifa wa Pili angetumiamvuto wake mkubwa katika kuwatiisha Maquraishi na kuwaelekeza kwaAli, Ali angefanikisha lengo lake. Endapo hangewaingiza Bani Umayyahkatika mfumo wa utawala wake na kuepuka kutengeneza tabaka la watu wakupendelewa na masahaba wa mwanzo kupitia mgawo wake wa kupende-lea wa hazina ya umma, Ali hangepata matatizo makubwa.

Hata baada ya matukio yote haya kutokea, Ali angeweza kuwa na utawalawa amani kama Umar angemtaja yeye kuwa mrithi au angeunda Jopo lamkutano wa uchaguzi la wajumbe wenye msimamo mzuri kwa Ali, badalaya Uthman. Kama Ali angefaulu kufika kwenye mamlaka kwa amani,Waislamu wangeepushiwa ghasia zote za kupima imani ambazo zilieleke-wa baada ya kifo cha Uthman.

* * * * *

68

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 68

Page 85: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

SURA YA ISHIRINI.JOPO LA MKUTANO WA UCHAGUZI.

Khalifa wa pili aliuawa wakati anasali na kumwomba Mola Wake Mlezikwenye msikiti wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Madina. Kwa mauaji yakemaisha ya mmoja wa wajenzi wakuu wa historia yalikoma. Utawala wakehaukuzidi miaka kumi, bado ulijaa matukio ambayo yalibadilisha mkondowa historia. Maisha yalikoma, lakini mvuto wake haukukoma. Hakufakabla ya kuusukuma umma kwenye mimba ya matukio muhimu ya siku zausoni, ufunguo wa matukio ni Jopo la Mkutano wa Uchaguzi ambalo alil-iunda wakati yu mahututi kitandani.

Muslim kwenye Sahih yake ameandika kwamba Abdullah Ibn Umar,alimwambia baba yake: “Wanadai kwamba hutaki kumtaja mrithi wako.Kama unaye mchungaji wa kondoo au ngamia wako, na akarudi kwako nakuwaacha bila mchungaji, utamuona ni mzembe. Kuchunga watu nimuhimu zaidi kuliko kuchunga wanyama.”

Abdullah alisema: “Maneno yangu yalionekana kumpendeza. Aliwekakichwa chake chini kwa muda mfupi, halafu akakinyanyua akisema:“Kama sitamtaja mrithi nitakuwa ninafuata mfano wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). kama nikimtaja mrithi, nitakuwa ninafauta mfano wa AbuBakr.”59

Khalifa, mwanzoni alikataa kumtaja mtu yeyote. At-Tabari na Ibn Al-Athiir walisimulia kwamba Umar alishauriwa kumteua mtu mmoja baadayake, lakini akasema: “Kama Abu Ubaidah Ibn Al-Jarrah angekuwa hai,ningemteua yeye. Kama Mwenyezi Mungu akiniuliza, nitasema:“Nilimsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) Wako akisema: Abu Ubaidah ni

69

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

59 Muslim kwenye Sahih yake, Sehemu ya 2, uk. 206.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 69

Page 86: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

mwaminifu wa umma huu.”

Kama Salim huria wa Abu Hudhaifa angekua hai, ningemteua yeye. KamaMwenyezi Mungu ataniuliza, nitamwambia Yeye: “Nilimsikia MtukufuMtume (s.a.w.w.) Wako anasema: “Salim anayo mapenzi makubwa kwaMwenyezi Mungu.” Umar alikataa kumteua mwanae Abdullah kwenyekazi hiyo kubwa, akasema: “Nitawezaje kumteua mtu ambaye alishindwakumtaliki mke wake, au alisema hajui kumtaliki mke wake?”60

WATEULE SITA.

Kwa mara nyingine, alishawishiwa kumteua mrithi, lakini alikataa, akase-ma: Baada ya kusema neno langu la mwisho niliamua kumchagua mtumwenye sifa ya juu katika kuuongoza umma huu kwenye njia iliyonyooka(huku akimnyooshea kidole Ali). Halafu nikazirai, na wakati nipo kwenyekuzirai, nilimuona mtu ameingia kwenye bustani. Aliokota kila tunda bichina lenye kuiva akaondoka nayo, na akayaweka chini yake. Nikatambuakwamba Mwenyezi Mungu aliamuru kitu fulani na Atashinda. Sikutakakuchukua wajibu wake, niwe hai au maiti. Ninawapendekeza hawa watusita ambao Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alithibisha kwamba ni kutoka watuwa Peponi: Ali, Uthman, Abdul-Rahman, Saad Ibn Abu Waqass, ZubeirIbn Al-Awam na Talha Ibn Ubeidullah. Watu hawa wanatakiwa kumteuaKhalifa kutoka miongoni mwao. Kama wakimteua mmojawao, mnatakiwakushirikiana naye na kumsaidia.”

Wakati Ali na ndugu zake walipoondoka nyumbani kwa Khalifa, Abbas(ammi yake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)) alimshauri Ali asiingie kwenyejopo hilo. Ali akasema: “Sipendi mfarakano; Abbas akajibu: Na utapatakile usichokipenda.” hata hivyo, Khalifa hakufafanua kuhusu jambo hili,wala hakubainisha mbinu ambayo ingetumika kumteua Khalifa kutokakwa hawa watu sita.

70

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

60 Ibn Al-Athiir, Al-Kamil, sehemu ya 3, uk. 34. (mchapishaji Dar Al-Kitab Al-Arabi, Beirut, Lebanon).

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 70

Page 87: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

MAELEKEZO YA UTARATIBU.

Mnamo siku ya pili, Khalifa alibainisha mbinu ya uchaguzi. Aliwaambiawaliokuwepo katika hao watu sita: Nikifa, kutaneni kwa siku tatu, naSuheib ndiye atakayeongoza Swala. Itakapofika siku ya nne muwe mmek-wisha chagua kiongozi; Abdulah Ibn Umar lazima ahudhurie mikutanoyenu kama mshauri, lakini hana sehemu katika ukhalifa. Talha ni mwen-zenu katika jambo hili (hakuwepo). Kama akija katika kipindi cha sikutatu, mchukueni awe na nyinyi. Kama siku tatu zikipita bado hajafika,fanyeni uamuzi wenu ….Ninafikiria mmoja tu kati ya watu wawili, Ali naUthmna, atakuwa Khalifa. Kama Uthmna akichaguliwa, udhaifu wake nihuruma yake. Kama Ali akichaguliwa, dosari yake ni uchangamfu wake.Na ni mwenye sifa bora zaidi kustahili kuongoza watu kwenye njia iliy-onyooka.”

Khalifa alimuamuru Abu Talha (kutoka watu wa Madina) achague watukamsini kutoka watu wa Madina na wawe walinzi wa Jopo la Mkutano wauchaguzi, na kusisitiza kwamba wachague Khalifa kutoka miongoni mwaobaada ya maziko ya Khalifa. Aliwaambia wao: “Kama watano kati ya sitawanakubaliana, na mmoja anakataa muueni. kama wanne wanakubalianana wawili wakakataa, waueni hao wawili. Kama wanagawika sawa kwasawa, mfanyeni Abdulah Ibn Umar kama mpatanishi. Kamahawatakubaliani na upatanishi wake, muungeni mkono Abdul-Rahman IbnAuf na waueni wengine kama hawakubaliani na wanachokubali watu.”61

Imesimuliwa pia kwamba alisema: “Kama siku tatu zinapita kabla hawa-jaamua nani atakuwa kiongozi, waueni wote na Waisilamu wachague kion-gozi wenyewe.”62

71

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

61 Ibn al-Athiir, Al-kamil, sehemu ya 3, uk. 35.62 Ibn Saad, Al-Tabaqat, sehemu ya 3, uk. 342.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:41 PM Page 71

Page 88: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Wajumbe wa Jopo la Mkutano wa Uchaguzi walikutana baada ya mazikoya Khalifa. Walibishana na hawakukubaliaana. Imetaarifiwa kwambaTalha alijiondoa kwenye kundi la kumuunga mkono Uthman na Zubeir ali-jiondoa kwenye kundi la kiumuunga mkono Ali na Saad Ibn Abu Waqassakajiondoa kwenye kundi la kumuunga mkono Binamu yake Abdul-Rahman. Kama hii ilikuwa kweli au si kweli, ingejulikana sana kwambaAbdul-Rahman alishauri kwamba ajitoe kwenye kinyang’anyiro, nakwamba apewe mamlaka ya kuchagua mmoja kati ya wawili. Ali auUthman. Uthman aliukubali bila kusita. Ali hakumruhusu hadi alipom-fanya atoe kiapo cha kuwa mkweli, asifuate utashi binafsi, asipendeleendugu na kujitahidi kufanikisha maslahi ya umma. Abdul-Rahman alikuwashemeji yake Uthman (alimuona dada yake Uthman Umm Khuluthumu).

Saad Ibn Abu Waqass alimshauri binamu yake Abdul-Rahman ajichaguemwenyewe. Lakini Abdul-Rahman alisema: “Sipendi mtindo huo kwasababu kwenye ndoto yangu usiku wa jana niliona mbuga iliyojaa majanimabichi. Ngamia mzuri aliingia humo na alipita bila kula jani lolote.Ngamia mwingine alipita humo na alifanya kama alivyofanya ngamia wamwanzo. Ngami wa tatu na mkubwa alifuata na alifanya kama alivyofanyangamia wa mwanzo. Halafu ngamia wa nne aliingia kwenye mbuga naalianza kula yale majani kwa ulafi. (Alifasili ngamia wanne kuwa MtukufuMtume (s.a.w.w.) na makhalifa watatu baada yake, na mbuga ya majanikuwa hazina ya umma).

Kwa jina la Mwenyezi Mungu, mimi sitakuwa ngamia wa nne,” Alisema:“Mtu atakayemrithi Abu Bakr na Umar kamwe hataweza kuwaridhishawatu.”

Abdul-Rahman aliwataka ushauri marafiki zake akiwauliza angemchaguanani. Maquraishi walio wengi walimtaka Uthman, masahaba mashuhuriwasio Maquraishi walimtaka Ali. Alikutana na Ali na Uthman kila mmojakwa wakati wake. Mnamo siku ya tatu Abdul-Rahman alinuia kulifikishajambo hili kwenye hatima yake. Watu walikusanyika kwenye Msikiti

72

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 72

Page 89: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Mtukufu majira ya Asubuhi. Msikiti ulijaa watu.

Abdul-Rahman alisimama na akasema: “Watu wageni waende kwenye mijiyao. Nipeni ushauri. Ammar Ibn Yasir alisimama na akamwambia yeye:“Kama ukitaka usitokee mfarakano miongoni mwa Waislamu. MchagueAli.” Al-Miqdadi Ibn Al-Aswad, sahaba mwingine mashuhuri alimuungamkono Ammar, akasema: “Ammar amesema kweli. Kama ukimteua Alitumesema: Tumesikia na tunatii.”

Masahaba hao wawili walipingwa na Abdullah Ibn Abu Barh, ambayealimwambia Abdul-Rahman: “Ukitaka Maquraishi wasifarakane, mchagueUthman.” Abdullah Ibn Abu Rabi’ah kutoka ukoo wa Makhzoom alimuun-ga mkono akasema: “Umesema kweli. Kama Abdul-Rahman akimchaguaUthman, tutasema: “Tulisikia na tutatii.” Ibn Abu Sarh alitabasamu lakiniAmmar alimwambia: “Ni lini ulikuwa mwaminifu kwa Waislamu?” (IbnAbu Sarh alikubali kuwa Mwislamu wakati wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Halafu akaikimbia imani. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliwaamuruWaislamu wamuue popote watakapo muona).

Ukoo wa Hashim walizungumza na vivyo hivyo ukoo wa Umayya wal-izungumza. Ammar aliongea na watu akasema: “Enyi watu, hakikaMwenyezi Mungu ametuenzi sisi kwa kutupatia Mtukufu Mtume Wake(s.a.w.w.) na akatuimarisha sisi kwa dini Yake. Wapi unakotaka kuugeuziaukhalifa kutoka kwenye Nyumba ya Mtume wenu?” Mtu kutoka ukoo waMakhzuum alimpinga kwa kusema: “Ewe mwana wa Sumayah, wewe ninani kuwaambia Maquraishi nini cha kufanya kwa ajili yao wenyewe?”Saad Ibn Abu Waqas akamwambia binamu yake Abdul-Rahman: Limalizejambo hili kabla watu hawajafarakana.”

73

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 73

Page 90: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

ABDUL-RAHMAN ALIMCHAGUA UTHMAN.

Abdul-Rahman alimuita Ali. Akamwahidi kwamba angekuwa Khalifakama angekubali sharti jipya: “Utamtii Mwenyezi Mungu na umuahidiYeye kwamba utafuata Kitabu cha Mwenyezi Mungu, mafundisho yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kufuata nyayo za Makhalifa wawili (AbuBakr na Umar) baada yake?” Ali akajibu: “Nitafuata Kitabu cha MwenyeziMungu, mafundisho ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), na nitafuata elimuyangu iliyo bora na kujitahidi kadiri ya uwezo wangu wote.”

Kwa kuwa hakukubali sharti alilopewa, Abdul-Rahman alimgeukiaUthman na kumpa sharti hilo hilo, na Uthman alikubali sharti hilo.Inasemekana kwamba Abdul-Rahman alimpa kila mmoja wao sharti hilomara tatu, Ali alikataa na Uthman alikubali.

Baada ya tukio hilo, Abdul-Rahman alinyanyua kichwa chake na kuangaliakwenye dari ya Msikiti akisema: “Mwenyezi Mungu, awe shahidi yangu,nimehamisha wajibu kutoka kwangu na kumpa Uthman.” Halafu akatoakiapo chake cha utii na uaminifu kwa Uthman.

Ali alitamka maneno machache kuhusu tukio hilo akasema: “Hii si mara yakwanza nyinyi kushirikiana katika usaliti dhidi yetu, watu wa Nyumba yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Kwa jina la Mwenyezi Mungu, umempa yeyeuongozi ili tu baadaye aurudishe kwako. Mwenyezi Mungu anao uwezo wakubadilisha hali hiyo.” Halafu akawageukia wote wawili Abdul-Rahmanna Uthman akasema: “Mwenyezi Mungu na awapeni masaibu ya uadui wadaima milele.” Abdul-Rahman alijibu kwa hasira akasema: “Ewe Ali, usi-jitafutie matatizo juu yako (akimkumbusha kwamba Khalifa alimwagizakumuua yeyote asiyekubaliana na mawazo ya wenzie).”

Ali aliondoka baada ya kutoa kiapo chake cha uaminifu kwa Uthman,akisema: “Kile kilichoandikwa kuhusu matukio yaliyowekewa muda

74

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 74

Page 91: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

mwisho wake utafika.”

Ammar alimwambia Abdul-Rahman: “Kwa jina la Mwenyezi Mungu,umemwacha mtu wa ukweli na maamuzi sahihi!” Al-Miqdad Ibn Al-Aswad alimuunga mkono Ammar akasema: Wallahi, sijapata kamwekushuhudia jambo lolote linalofanana na hili ambalo wamefanyiwa watuwa Nyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) baada ya kifo chake.Nimeshangazwa na Maquraishi ambao wamemuacha mtu ambaye halin-ganishwi na yeyote kwa ujuzi, ucha-Mungu, na kupenda haki. Kamanitakuwa na wanaoniunga mkono, nitapigana na Maquraishi sasa, kamanilivyopigana nao kwenye vita vya Badr na Uhud.” Abdul-Rahman aka-jibu: “Ewe Miqdad, muogope Mwenyezi Mungu. Ninahofia kwambawewe utasababisha mfarakano miongoni mwa Waislamu.” Al-Miqdad ali-jibu kwa hasira, akasema: “Yule ambaye anasababisha mfarakano ni yuleanayefuata maslahi yake binafsi.”63

MAONI YA KUZINGATIA.

Kama ambavyo tumewasilisha matukio ya Jopo la Mkutano wa Uchaguzikwa ufupi, ingefaa kutoa maoni yafuatayo:

1. Khalifa wa Pili alisema kwamba kama Abu Ubaidah Ibn Al-Jarrahna Salim mtumishi wa Abu Hudhaifa,wangekuwa hai, angemteuammoja wao, kwani Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “AbuUbaifdah ndiye mwaminifu wa umma huu, na Salim anayo mapenzimakubwa na kwa Mwenyezi Mungu.” Alikataa kumteua Ali ambayekuhusu yeye alisikia kutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) matamkomengi sana. Matamko hayo hayakuhusu sahaba mwingine yoyote.

75

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

63 Ibn Al-Athiir, kwenye Al-Kamil yake, sehemu ya 3, uk. 32-35, na Ibn Abu Al-Hadiid kwenye fasili zake za Nahjul- Balaghah, Juz. 1, uk. 63-65.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 75

Page 92: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Tudhanie kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kwamba AbuUbadiah alikuwa mtu mwaminifu katika umma huu, Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) pia alisema: “Ali anatokana nami na mimi natokana naye nahapana yeyote anayestahili kuniwakilisha mimi isipokuwa Ali.”64

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakumpa mamlaka Abu Ubaidah wala yey-ote kutoka miongoni mwa masahaba kuwasilisha amana alizokuwanazo za watu wa Makka wakati alipokuwa anahama Makka kwendaMadina (hijiriya). Alimkabidhi kazi hiyo Ali tu kwa niaba yake. Piaalimkabidhi kuwasilisha Sura ya Bara’ah kwa mahujaji, na alimuagizaaichukue Sura hiyo kutoka kwa Abu Bakr baada ya kumpa mamlakaya kuwasilisha. Jibril alimwambia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.):“Hapana mtu mwingine atakayewasilisha kwa niaba yako isipokuwawewe au mtu kutoka katika kundi la watu wa Nyumba yako.”65

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa mujibu wa Umar, alisema: “Salimanayo mapenzi makubwa kwa Mwenyezi Mungu,” lakini hakusemakwamba Mwenyezi Mungu anampenda Salim. Khalifa huyu ambayealikuwa katika dakika za mwisho wa uhai wake, angekumbuka kwam-ba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Mwenyezi Mungu ameniamu-ru mimi kuwapenda watu wanne na ameniambia kwamba Yeyeanawapenda watu hawa.” Halafu akasema: “Ali ni mmojawapo,”akarudia usemi huo mara tatu. Endapo Khalifa hakusikia tamko hilikutoka kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), hakika alisikia kutoka kwake,pale Khaybar tamko la muhimu zaidi. Jeshi la Kiislamu chini ya uon-gozi wa Abu Bakr na Umar lilishindwa kuteka ngome ya Khaibar.Katika kipindi kile cha hatari, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema:“Nitampa bendera kesho mtu anayempenda Mwenyezi Mungu naMtume Wake (s.a.w.w.) na Mwenyezi Mungu na Mtume Wake(s.a.w.w.) wanampenda yeye. Mwenyezi Mungu atafungua ngome

76

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

64 Al-Tirmidh, Sunan Al-Tirmitdi sehemu ya 5, uk. 300, hadith Na. 3803.65 Al-Hakim, Al-Mustadirak, sehemu ya 3, uk. 51.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 76

Page 93: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

hizo kwa kutumia mikono yake.” 66

Umar alikuwa na desturi ya kusema kwamba hakutamani uongozikamwe isipokuwa siku hiyo, ili kwamba maneno ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) yaweze kuwa ni kwa ajili yake yeye. Siku iliyofuataMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alimpa Ali Ibn Abi Talib bendera, baada yakumtibu macho yake mawili kwa muujiza, yaliyokuwa na maradhi yakuvimba. Na mnamo siku hiyo Muweza wa Yote alifungua milango yangome kwa kutumia mikono ya Ali.

Hata hivyo, wala si matamko haya ama matamko mengine muhimukuhusu Ali yangeweza kumshawishi Khalifa aliyekuwa katika dakikazake za mwisho wa uhai wake kumteua Ali kushika kazi hiyo kubwa.

JE HADITH HII NI SAHIHI?

Ni vigumu sana kuamini kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisemakwamba Abu Ubaidah alikuwa mtu wa kuaminika zaidi katika umma. AbuUbaidah hakuwa mwaminifu zaidi ya Ali au Abu Bakr au Umar.Inawezekana Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitamka maneno hayo kwa utani.Labda alisema kwamba Abu Ubaidah ni mmojawapo wa watu waaminifukatika umma huu na Umar hakuelewa tamko hilo, na hali hii ingekuwa yakawaida, Umar na mwanae walipitiwa na kwa makosa waliona kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Maiti ataadhibiwa kwa sababu yakuliliwa sana na familia yake.” Muslim kwenye Sahih yake ameandikakwamba Aisha alikanusha tamko hilo la kusingiziwa, akasema: “Umar namwanae wala si waongo ama kutoaminika. Lakini mara nyingine sikiohusikia vibaya. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema tu kwamba MwenyeziMungu huongeza adhabu ya asiyeamini anapokufa na kuliliwa sana na

77

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

66 Al-Bukhari, Sahih Al-Bukhari, sehemu ya 5, uk. 171, na Muslim, kwenye Sahihyake, sehemu ya 15, uk. 170-171.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 77

Page 94: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

familia yake.” Halafu alikariri Aya ya Qur’ani:

“Na hakuna nafsi itakayoadhibiwa kwa dhambi za nafsi nyingine.”(sehemu ya 6, uk. 230-232).

JE, MTU ASIYE QUREISHI ANGEWEZAKUWA KHALIFA?

2. Khalifa aliyekuwa katika dakika za mwisho za uhai wake kwa mfululi-zo alikuwa anatetea kwamba ukhalifa ulikuwa haki ya pekee yaMaquraishi. Alirudia usemi huo mara kwa mara wakati wa utawala wakena Abu Bakr. Bado alitamani Salim, mtumishi wa Abu Hudhaifa,angekuwa hai. Kwani angemteua yeye kuwa mrithi wake, anbapo Salimwala hakuwa Quraishi ama Mwarabu. Mtu huyu alitoka Ustokhar.Alifanywa mtumwa na kuuzwa mara kadhaa. Hatimaye akamilikiwa naAbu Hudhaifa, na kwa sababu baba yake hakujulikana, akapewa jina laSalim, mtumwa wa Abu Hudhaifa.67

Hivyo, Khalifa huyo aliyekuwa mahututi alikuwa tayari kumteua Salimambaye wala hakuwa Quraishi, ama Mwarabu, lakini hakuwa tayari kum-teua Ali ambaye alikuwa binamu yake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) naMtukufu Mtume (s.a.w.w.) akamfanya kuwa ndugu katika udugu waKiislamu.

MASAHABA WA MADINA WAACHWA KABISA.

3. Khalifa huyo mahututi aliteua masahaba sita kutoka kwenye kundi laMaqurasihi kuwa wajumbe wa Jopo la Mkutano wa Uchaguzi. Aliwapahaki ya kugombea ukhalifa wao peke yao, na aliwapa haki ya kumchaguaKhalifa wao peke yao. Aliwaamuru Waislamu wote wawafuate wao na

78

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

67 Taha Husein, Al-Fitnat Al-Kubra, sehemu ya 2, uk. 37.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 78

Page 95: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

kuzingatia uamuzi wao. Umma, kufuatana na msimamo wake haukuwa nahaki ya kukataa lolote lililoamuliwa na wajumbe hao. Katika wajumbe sitaaliongeza wa saba (Abdullah, mwanae) kama mshauri na mpatanishi, namshauri huyo alikuwa Quraishi pia.

Khalifa hakumpa sahaba yeyote kutoka Madina kazi ya kupiga kura aukama mshauri. Khalifa si Khalifa wa Maquraishi tu. Yeye ni Khalifa waWaislamu wote. Watu wa Madina hawakupewa haki ya kumchaguaKhalifa kutoka miongoni mwao, lakini walikuwa na haki sawa na ile yaMaquraishi ya kumchagua Khalifa kutokana na Quraishi yeyote.

Ni dhahiri kwamba, Khalifa huyu mahututi aliwaengua watu wa Madinakwa sababu: Watu wa Madina walio wengi walikuwa wanamuunga mkonoAli. Kama angejumuisha wajumbe kutoka miongoni mwao, wangewezakumpa Ali ushindi katika uchaguzi na Umar hakutaka itokee hivyo. Mbinualiyotaka wajumbe wa mkutano wa uchaguzi wafuate katika kuteuaKhalifa kwa wazi kabisa ilikuwa na mwelekeo wa jambo hilo kuwakinyume na Ali. Wajumbe sita ambao ndio tu aliwapa haki ya kugombeauongozi na kumchagua kiongozi, kila mmoja wao alikuwa na mwelekeowake uliojulikana kwa Khalifa. Uthman alikuwa anautaka ukhalifa, Abdul-Rahman alikuwa shemeji yake, Saad Ibn Abu Waqass alikuwa binamuyake Abdul-Rahmna, na hangempinga. Talha Ibn Ubaidullah alitokeakwenye ukoo wa Abu Bakr ambao ulikuwa na uhasama na Ali kwa sababuya ushindani baina yake na Khalifa wa kwanza. Hivyo wajumbe waliowengi wa Jopo la Mkutano wa Uchaguzi walikuwa hawampendi Ali.

Ali aligundua kuwepo kwa tatizo hili alipomsikia Khalifa wa pili anatoamaelekezo kwa wajumbe sita kuhusu mbinu ya kumteua Khalifa.Alipoondoka nyumbani kwa Umar, Ali aliwaambia ukoo wa Hashim:“Endapo watu wenu (Maquraishi) watapewa heshima, hamtaufikia uon-gozi kamwe.” Alimwambia mjomba wake Al-Abbas: “Mjomba, uongozitayari umekwisha ondoshwa kutoka kwenu….. Umar alimlinganishaUthman na mimi na akawaagiza watu kuwafuata walio wengi miongoni

79

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 79

Page 96: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

mwa wajumbe wale sita. Endapo wanagawanyika sawa kwa sawa, ali-waambia Waislamu wamuunge mkono Abdul-Rahman, na Abdul-Rahmanm ni shemeji yake Uthman. Saad ni binamu yake Abdul-Rahman,na hawawezi kupingana wao kwa wao, kama wajumbe wengine wawiliwataniunga mkono mimi, hawatanufaika.”68

Kama Khalifa angeongeza wajumbe wengine zaidi wachache ambaohawakuwa na malengo yao, Ali angeshinda uchaguzi. Wakati anaelekeakufa, Khalifa wa pili alirudia mara kwa mara kusema kwamba Ali alikuwana sifa bora zaidi za kumstahilisha kuongoza umma kwenye njia iliyony-ooka miongoni mwa wajumbe sita. Ushahidi huu unaendana na usemi waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambao alitangaza kwamba Ali kamwehakuachana na Qur’ani Tukufu na kwamba alikuwa mshirika mkubwa waukweli.

Kama Khalifa aliyeoonesha imani yake kubwa kwa Ali, alitarajiwa kuten-geneza mazingira ya kumwelekeza Ali kwenye ushindi kwa kuwashauriwajumbe wa mkutano wa uchaguzi kumuunga mkono yeye endapo pange-tokea mgawanyiko. Kinyume na mategemeo haya, Khalifa wa pili ali-waambia wajumbe wa mkutano wa uchaguzi kukubali upatanishi wamwanae endapo wangegawanyika sawa kwa sawa. Kama wangekataaupatanishi wake, Khalifa aliamuru wamfuate Abdul-Rahman Ibn Awf(badala ya Ali). Inajulikana kwamba, kitendo cha Khalifa hakikulingana nakutangaza uthibitisho wake kuhusu Ali.

ABDULLAH IBN UMAR.

4. Tunaona katika kuingizwa kwa Abdullahi Ibn Umar kwenye Jopo lauchaguzi kama mshauri na mpatanishi kuwa hiyo ni dosari nyingine.Sahaba huyu mwadilifu alikuwa kwa mujibu wa ushahidi wa baba yake,

80

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

68 Ibn Al-Athiir, Al-Kamil sehemu ya 3, uk. 33.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 80

Page 97: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

hawezi kufanya uamuzi kuhusu kumwacha au kuendelea kuishi na mkewake. Mwanamume ambaye hana uwezo kiasi kile hangefanywa kuwamshauri au mpatanishi kwenye jambo kubwa kama la ukhalifa ambamohatima ya Uislamu inategemea.

Udhaifu na chuki ya Abdullah kwa Ali ni hali iliyodhihirika baada ya kupi-ta miaka baada ya kifo cha baba yake. Dunia yote na Waislamu, isipokuwaMuawiya na wafuasi wake wa Syria, ilimchagua Imam Ali baada ya kifocha Uthman. Lakini Abdullah alikataa kupiga kura ya kuchagua Imam.Utawala wa Imam ulidumu takriban miaka mitano na Abdullah aliendeleakukataa kumtii Ali kwa kipindi chote cha utawala wake japokuwa alikuwaanafahamu aliyoyasema Mtukufu Mtume kuhusu yeye. Abdullah huyuhuyu baadaye alikuwa tayari kutoa kiapo cha kumtii Yaziid Ibn Muawiya.Muslim kwenye Sahih yake aliandika ifuatavyo:

“Abdullah Ibn Umar alikwenda kwa binamu yake Abdullah Ibn Mutiiwakati Vita vya Al-Harrah vilipotokea (kwenye vita hivi mji mtakatifu waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) ulinajisiwa na jeshi la Yaziid, na watu wakewaadilifu waliuawa kiholela). ‘Tandika mto chini kwa ajili ya Abu Abdul-Rahman (Abdullah Ibn Umar);’ Abdullah Ibn Mutii aliiwaambia wasaidiziwake. Lakini Ibn Umar alimwambia; Sikuja hapa ili niketi chini. Nimekujaili nisimulie hadith. Nilimsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anasema:Yeyote anayeonesha msimamo wa wazi wa kutomtii (Khalifa ambayeanamwia utii wake) atakutana na Mwenyezi Mungu mnamo Siku yaHukumu bila udhuru wowote. Na yeyote anayekufa bila kumtii (Khalifa)anakufa akiwa kafiri.”69

Kwa kusimulia hadith hii, Ibn Umar alikuwa anajaribu kumzuia Ibn Mutiiasimuasi Yaziid, akamshawishi kutoa kiapo cha utii na uaminifu kwaKhalifa fisadi. Hii inaonesha kwamba Ibn Umar yeye mwenyewe alikuwaanafikiria kwamba angekutana na kifo cha kikafiri kama hakutoa kiapo cha

81

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

69 Muslim, Sahih Muslim Sehemu ya 12, uk. 40.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 81

Page 98: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

utii kwa Yaziid. Lakini Yaziid alikuwa ndiye muuaji wa Imam Husein namchafuzi wa utakatifu wa Madina na mvurugaji wa Kaaba. LakiniAbdullah alikuwa haogopi kufa kifo cha kikafiri alipokataa kutoa kiapocha utii na uaminifu kwa Ali, yule ambaye Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alimfanya ndugu katika ‘udugu wa kiroho.’

Ile namna sahaba huyu alivyoyaelewa maneno ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) inashangaza. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwenye maelezo yakeyaliyosimuliwa, alikataza kuasi dhidi ya Khalifa mwadilifu ambaye muasialikwisha toa kiapo cha utii na uaminifu. Uasi wa aina hiyo, kama mamboyalivyo, hausameheki mbele ya Mwenyezi Mungu. Lakini Ibn Umar ali-fikiri kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa anawaamuru Waislamukumtii na kutoa kiapo cha utii kwa mtawala mwovu.

Kutomtii Khalifa wa aina hiyo si tu inasameheka kwa Mwenyezi Mungulakini pia Anapendezwa na kitendo hicho. Kwa kweli, Uislamu unawaa-muru Waislamu kuwapindua watawala wao waovu na hukataza kutoakiapo cha utii na uaminifu kwao. Qur’ani Tukufu inasema: “Huwakutiwatu wanaomuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho kuwawanawapenda wanaompinga Mwenyezi Mungu na Mtume Wake.”70

Msimamo wa Abdullah kwa matukio haya unaondoa shaka kwamba kuin-gizwa kwake kwenye Jopo la Uchaguzi la wajumbe sita ilikuwa nimafanikio zaidi kwa Uthman na matatizo zaidi kwa Ali.

HIVI, UISLAMU UNAKATAZA UPINZANI?

5. Khalifa huyu anayekaribia kufariki aliwaelekeza Waislamu kumuuayeyote miongoni mwa wajumbe wa Jopo la uchaguzi ambayehatakubaliana na walio wengi. Kama wajumbe wangegawanyika sawa kwasawa kundi la Abdul-Rahman ndilo lifuatwe. Wengine watatu piawangeuawa kama hawangefanya uamuzi wowote katika kipindi cha siku

82

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

70 Qur’ani Tukufu (58:32).

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 82

Page 99: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

tatu baada ya maziko yake, na kuwapa uhuru Waislamu wachague Khalifawenyewe. Hali hii inashangaza, kwani Uislamu hauruhusu kumuuamuumini kwa sababu amekataa kukubaliana na walio wengi au na Abdul-Rahman au na Khalifa. Uislamu unatakasa maisha ya waumini wote. Namtu anayemuua muumini analaaniwa milele daima. Qur’ani tukufu inase-ma:

“Na mwenye kumuua muumini kwa kukusudia, basi malipo yake niJahanamu humo atadumu; na Mwenyezi Mungu amemkasirikia, naamemlaani, na amemuandalia adhabu kubwa.”71

Kama kumuua muumini yeyote ni kosa kubwa, kumuua mmojawapo wawajumbe sita ni kosa kubwa zaidi, kwa sababu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)(kwa mujibu wa taarifa ya Umar) aliwafikiria wao ni wanaotokana na watuwa Peponi.Kwa melekezo yake, Khalifa wa pili alidokeza pendekezo la kumuawa Alikama angepingana na walio wengi miongoni mwa wajumbe sita au Abdul-Rahman. Lakini Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Mwenyezi Mungumpende yeyote anayempenda Ali na mchukie yeyote anayemchukia yeye.”Hivyo, chuki dhidi ya Ali, licha ya kumuuwa, peke yake ni kuchokozahasira za Mwenyezi Mungu.

Ni vigumu kuelewa ni vipi Umar alipendekeza kuuawa masahabamashuhuri au mtu wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwakutokukubaliana naye tu au na Abdul-Rahman. Waislamu walikuwa nadesturi ya kutokukubaliana na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) naye hakuwaad-hibu. Umar mwenyewe alikuwa akihitilafiana na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na alimzuia asiandike wasia na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) haku-muua wala hakumwadhibu. Hivi matakwa ya Umar au Abdul-Rahmanyalikuwa yametakasika zaidi kuliko ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)?

Labda Khalifa alifikiria kwamba kukubalika kwa uteuzi wake alikopokea

83

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

71 Qur’ani Tukufu; 4:93

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 83

Page 100: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

kutoka kwa Waislamu mwanzoni mwa utawala wake ndio alikuwa amepe-wa mamlaka yasiyo na masharti na mipaka kufanya lolote alilofikiria nikwa maslahi ya Waislamu. Juu ya hili, alitoa hatua kali ambazozingechukuliwa kwa wajumbe sita. Lakini ni dhahiri kwamba kitendo hikikilikuwa kosa.

Khalifa aliyeteuliwa na Khalifa mwingine, na ambaye uteuzi wakeulikubaliwa na Waislamu, angeweza kuwa na haki ya kuteua mrithi wakeau kudhibiti uhuru wa waliomchagua au kuwanyima baadhi ya haki zao.Lakini kukubalika huko hakumpatii yeye haki ya kumuua sahabamashuhuri, ambaye alitangazwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuwa nimmojawapo wa watu wa Peponi, kwa sababu tu ya kutofautiana nayekuhusu maoni yake. Waislamu hawana haki ya kumpa mamlaka yeyekutenda yale ambayo yameharamishwa kwake na kwao pia. Waislamuhawana haki ama kwa pamoja wala kama mtu binafsi, ya kumuua mtuambaye uhai wake umetakaswa na Mwenyezi Mungu. Kuchaguliwa kwaKhalifa kamwe si uhuru wa kufanya atakavyo. Kwa usahihi zaidi ukhalifaunashurutishwa kuambatana na Kitabu cha Mwenyezi Mungu namafundisho ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), na vitu vyote hivyo vime-haramisha kumuua muumini.

ONYO LISILOTILIWA MAANANI.

6. Ndoto mbili zilizotokea wakati wa kipindi cha Mkutano wa Uchaguzi:

Ndoto ya Khalifa aliyekuwa mahututi ambaye aliona katika ndoto yakemtu anayeingia bustanini na akachukua matunda yote yaliyoiva namabichi, akayaweka matunda hayo chini yake.

Ndoto ya Abdul-Rahman ambamo aliona ngamia mzuri wa kupendezaanaingia kwenye mbuga ya majani mabichi. Ngamia huyo alipita majanihayo bila kula hata kidogo. Ngamia wa pili na wa tatu walifuata na wali-

84

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 84

Page 101: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

fanya kama alivyofanya ngamia wa kwanza. Halafu aliingia ngamia wanne ambaye alikula majani hayo kwa ulafi.Waotaji wote wa ndoto hizo walielewa kutoka kwenye ubashiri waokwamba Khalifa anayekuja hatakuwa mwadilifu kuhusu hazina ya umma.Watu hao wawili wangeshawishiwa na hizo ndoto zao za kushangaza kum-chagua mtu mwenye uadilifu mkubwa kwa kazi ya ukhalifa, ambayehangejiruhusu kuchukua kile kisichokuwa chake. Lakini waotaji hao waw-ili wa ndoto hizo, hawakutilia maanani onyo hilo. Walichukua hatuaambazo zilimuengua mtu aliye mwadilifu sana miongoni mwa masahabana wakamchagua mtu mwenye sera za kutia hasara kwenye hazina yaumma.

Historia imeandika matamko mawili yaliyofanywa na Umar kuhusu Ali naUthman. Kuhusu Ali alisema: “Wewe ni mtu mashuhuri aliyeje! Kamautapewa uongozi, utauongoza umma kwenye njia iliyonyooka.” KuhusuUthman alisema; “Natarajia Maquraishi watakupatia wewe ukhalifa kwasababu wanakupenda wewe. Halafu utawabeba watu wa nyumba yakokwenye shingo za Waarabu kwa kuwapa hazina ya umma. Halafu kundi lambwa mwitu la Waarabu kutoka sehemu mbali mbali litakusanyika nakukuua wewe.”72

Kama tukiuamini utabiri huu tunashangaa ni vipi huyu Khalifa mahututialimpendelea Uthman badala ya Ali. Kwa kuwa aliamini au alituhumukwamba Uthman angefuata sera za kusababisha hasara kwenye hazina yaumma, angemuengua kutoka kwenye Jopo la Uchaguzi. Kwa bahatimbaya, huyu Khalifa wa pili si tu kwamba alimjulisha yeye, lakinimaelekezo yake kwa wajumbe wa jopo la uchaguzi yalikuwa na dokezo lakumpendelea Uthman na kwa hiyo ushindi ulimwelekea yeye.

Hivyo Khalifa alifanya kila jinsi alivyoweza kutangaza na kumfagilia njiaya ushindi yule ambaye aliyemtuhumu na kumtweza yule aliyemwamini.

85

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

72 Ibn Abu Al-Hadeed, kwenye fasili zake za Nahjul Balaghah.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 85

Page 102: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Uaminifu wa Ali kuhusu hazina ya umma ulionekana dhahiri kwa Umar namasahaba wengine. Hakuwa na tamaa ya makuu na utajiri wa malihaukumvutia yeye. Tofauti na masahaba wengine kama Talha, Zubeir,Abdul-Rahman, Uthmna na masahaba wengine ambao waliohodhi mamil-ioni ya dirham, Ali aliishi maisha ya wastani. Katika kipindi chote cha uhaiwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na makhalifa wawili wa mwanzo, Ali alifa-hamika kuishi maisha ya kiucha-Mungu na kiuwanachuo.

Onyo ambalo Umar na Abdul-Rahman walilipokea kupitia ndoto zao zaajabu lingewashawishi kumteua Ali badala ya Uthman, kwa uongozi. Kwabahati mbaya walitekeleza vinginevyo.

MASHARTI YASIYO NA MAANA

7. Masharti ya Abdul–Rahman ambayo yalimtaka yule ambaye angekuwaKhalifa wa Tatu kufuata maagizo ya Makhalifa wawili wa mwanzo,yalikuwa nyongeza isiyo na uhalali. Wajibu wa kila Khalifa ni kufuataKitabu cha Mwenyezi Mungu na mafundisho ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Hawajibiki kufuata nyayo za aliyemrithi isipokuwa yuleanayemrithi awe ameteuliwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). InapokuwaKhalifa mpya ni mjuzi zaidi wa yule aliyemrithi na anaona baadhi yamatendo yake kuwa yenye makosa au taratibu zake zimekosewa, atawa-jibika kutokukubaliana naye.

Kuweka miongozo ya Makhalifa wawili wa mwanzo katika uwiano sawana Kitabu cha Mwenyezi Mungu na mafundisho ya Mtume Wake Mtukufu(s.a.w.w.) ni kosa kubwa. Kitabu cha Mwenyezi Mungu ni chenye kwelitupu na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) amepewa kinga ya kutokutenda dham-bi katika maelekezaji yake ya kidini. Kwa upande mwingine, makhalifawawili wa mwanzo walikuwa kama masahaba wema kwa ujumla wamasahaba wote, hawakuwa na kinga ya kutenda makosa. Kuweka maten-do yao na maneno yao katika usawa mmoja na Qur’ani Tukufu na

86

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 86

Page 103: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

mafundisho ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa kweli huo ni uasi katikadini.

Ukhalifa unaweza kutegemezwa kwenye uteuzi wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kwa kutegemea Wahyi wa Mwenyezi Mungu. Pia unawezakutegemea Wahyi wa Mwenyezi Mungu. Pia unaweza kutegemezwakwenye uchaguzi wa kuchaguliwa na watu wengi au watu wachacheambao ni mashuhuri au kuteuliwa na mrithi wa au aliyechaguliwa aualiyeteuliwa na mrithi wa aliyeteuliwa.

Maneno na matendo ya Khalifa aliyechaguliwa (au aliyeteuliwa na mrithiwa aliyechaguliwa) hayawezi kuwa sharia ya Kiislamu iliyotakatifu. Kablaya kuchaguliwa kwake, angekuwa kama Waislamu wengine wema, ambaohawana kinga ya kufanya makosa. Ataendelea kuwa kivyo baada ya kuch-aguliwa. Kuchaguliwa kwake hakubadilishi tabia yake; wala kumfanyayeye kuwa na ujuzi mkubwa endapo alikuwa na ujuzi mdogo.

Kwa kiasi cha juu sana, anaweza kuwa mujitahid (mwanachuo anayewezakuunda maoni yake kwa kujitegemea kuhusu sharia ya Kiislamu). Hapanamwanachuo mwingine wa Kiislamu anatakiwa kumfuata yeye, nainaruhusiwa kwa maamuma kumfuata mwanachuo na si yeye.

Kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) (kwa kutegemea Wahyi wa MwenyeziMungu) angemteua Khalifa, Waislamu wote wangetakiwa kumfuatamteule. Kumkataa kwao mteule wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ingekuwasawa na kumkataa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe. Makhalifawawili wa mwanzo hawakuteuliwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Khalifawa kwanza alichaguliwa kwa wingi wa kura za masahaba wa MtukufuMtume (s.a.w.w.), na Khalifa wa pili aliteuliwa na Khalifa wa kwanza.Hapana yeyote kati ya hao anaweza kufikiriwa kuwa zaidi ya mujitahidi,ambaye hana kinga ya kukosea.

87

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 87

Page 104: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Khalifa anayewafauata wao hatakiwi kufuata nyayo zao.Hii inaonesha kutokuthibitika na upuuzi wa sharti la Abdul-Rahman amba-lo alilipachika kwa yule ambaye angekuwa Khalifda wa tatu. Kichekeshohicho kilifika kwenye kilele pale ambapo Abdul-Rahman alijaribukukamilisha mwambatano wa Ali na njia ya Makhalifa wawili ambaowalikuwa na desturi ya kukimbilia kwa Ali kama mamlaka katika shariaya Kiislamu.

Zaidi ya hayo, haingewezekana kwa mtawala yeyote kufuata miongozo yamakhalifa wawili wa mwanzo. Khalifa wa pili hakukubaliana na Khalifawa kwanza katika mambo mengi, miongoni mwao ilikuwa mbinu yakugawa hazina ya umma wa Kiislamu. Abu Bakr alifuata mbinu yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na aligawa fedha kwa Waislamu bila upen-deleo. Umar aliwapanga masahaba kwa makundi na aliyapendelea baadhiya makundi zaidi ya mengine.

Na kwa kutofautiana kwa Makhalifa hao wawili wao kwa wao, ikawahakuna uwezekano wa Khalifa yeyote kukubaliana na makhalifa hao waw-ili hata kama angetaka kufanya hivyo.

Kwa hili, tunafikiri kwamba tamko la Abdul-Rahman si tu kwambalilikuwa nyongeza katika dini na bidaa kwenye Uislamu, lakini pia nijambo ambalo halingetekelezeka.

Abdul-Rahman kwa kweli mambo yake yalikuwa ya kifalme akamteuamfalme. Khalifa wa kwanza akamteua Khalifa wa pili na hakumtaka afu-ate nyayo zake. Alimtarajia kufuata Kitabu cha Mwenyezi Mungu tu namafundisho ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Wala Khalifa wa pilihakuwelekeza Abdul-Rahman kukamilisha mwambatano wa Khalifaanayefuata nyayo zake.

Sidhani kwamba Abdul-Rahman alikuwa hatambui ubatili wa sharti lakealilolidhihirisha. Alikuwa sahaba mashuhuri na hakuwa mjinga kiasi hicho.

88

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 88

Page 105: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Vinginevyo, Khalifa wa pili hangempa mamlaka muhimu kiasi hicho.Ukweli ni kwamba aliongeza sharti lake lisilo halali kwa sababu tu yakumwengua Ali. Ilikuwa vigumu yeye kumpendelea Uthman na si Ali bilaya kisingizio. Wala si Uthman ama sahaba mwingine yeyote alikuwa nakila alichokuwa nacho Ali chenye sifa bainifu katika ujuzi, jitihada katikaUislamu, na udugu kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na kuwa mwanamumewa kwanza kuwa Mwislamu. Licha ya sifa zote hizi bainifu Abdul-Rahmanalinuia kumpa uongozi Uthman badala ya Ali japo alikuwa na sifa zisi-zoweza kulinganishwa na za mtu mwingine. Uthman ni shemeji yakeAbdul-Rahman na kumpa uongozi ni mpango wenye manufaa.

Uthman anatarajiwa kulipa fadhila kwake kwa kumteua kuwa mrithi wake.Kwa upande mwingine Ali, si mtu wa mipango. Uongozi wake utafungamlango kwa Maquraishi wote wenye tamaa ya makuu. Watoto wakewanatarajiwa kumrithi yeye. Wao ni wajukuu wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) na kwa ushahidi wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wao ni viongoziwa vijana wa Peponi.

Lakini inawezekana Abdul-Rahman ampendelee Uthman zaidi kuzidi Alibila kuhatarisha hadhi yake kama sahaba mtenda haki na mwadilifu?Alihitaji udhuru, na alivumbua sharti lake kama udhuru. Alimpa Ali uon-gozi, halafu kwa Uthman, akiwawekea sharti la wao kuambatana na mwe-nendo wa Makhalifa wawili wa mwanzo, akitambua kwamba Aliangekataa sharti kama hilo lisilo na uhalali. Lakini siri hiyo haikufichwasawa sawa. Haraka sana Ali alimshutumu, akasema: “Kwa jina laMwenyezi Mungu, umempa Uthman ukhalifa kwa sababu tu unatarajiabaadaye ataurudisha kwako….”

UHALALISHO KWA KUTUMIA HADITH.

Inawezekana kusemekana kwamba sharti la Abdul-Rahman linahalalishwana matamko mawili yanayohusishwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

89

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 89

Page 106: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Hadith ya kwanza ifuatayo: “Fuateni mfano wa watu wawili baada yangu,Abu Bakr na Umar …”

Lakini yale yaliyomo kwenye hadith yanathibitisha kuwa hakuna ukwelindani yake kwa haya yafuatayo: Hadith inaonesha kwamba MtukufuMtume (s.a.w.w.) alikwishawateua Abu Bakr na Umar kuwa warithi wake,ambapo ni jambo linalojulikana sana katika historia kwamba kati ya watuhawa wawili hapana aliyeteuliwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Abu Bakr alipokuwa anabishana na watu wa Madina huko Saqifa ali-waambia: “Waarabu hawatakubali uongozi wowote isipokuwa utokane naMaquraishi,” na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema: “Maimam watatokanana Maquraishi.” Kama hadithi iliyosimuliwa ingekuwa ya kweli, angeitu-mia hiyo kama ushahidi wa dhahiri.

Abu Bakr aliwataka Waislamu huko Saqifa kumchagua ama Abu Ubaidahau Umar. Kama Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) angewataka Waislamu kufuatamfano wa watu hao wawili baada yake, Abu Bakr na Umar, angemkatazaAbu Bakr kuwataka Waislamu wamchague Abu Ubaidah kwa sababu niyeye tu (Abu Bakr) na Umar walioteuliwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)

Abdul-Rahman alilaumiwa na kushutumiwa na Ali, Ammar na Al-Miqdadakiwa na nia ya siri katika sharti lake. Kama hadithi hii ingelikuwa yakweli, angejitetea mwenyewe kwa kuinukuu.

Tena, kama hadith ingekuwa ya kweli, Ali angekubali sharti la Abdul-Rahman. Kwa mujibu wa hadith, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliwatakaWaislamu kuwafauta Makhalifa wawili. Na Ali alikuwa mtiifu sana kwaMwenyezi Mungu na Mtume Wake (s.a.w.w.). Kukataa kwa Ali shartilililowasilishwa ni uthibitisho kwamba alikuwa haijui hadithi hii. Lakinialikuwa ndiye mjuzi zaidi katika mafundisho ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.).

90

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 90

Page 107: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Zaidi ya hayo, kushindwa kwa masahaba wote kusimulia hadith hii wakatiwa Kongamano la Uchaguzi, inaonesha kwamba hapana sahaba yeyotealiyejua hadith hii. Hali hii peke yake inaifanya hadith hii kuwa si yakuaminika.

Ni ukweli unaojulikana sana katika historia kwamba ukhalifa ulikuwa hakiyake ya pekee na kwamba alikataa kutoa kiapo cha utii na uaminifu kwaAbu Bakr na aliendelea na kukataa kwake hadi kifo cha mke wake Fatima.Kama tamko lililosimuliwa lilikuwa la kweli, Ali wala hangedai haki kamahiyo ama kukataa kutoa kiapo cha utii kwa Abu Bakr.

Hadith ya pili ambayo inaweza kutajwa kwa ajili ya kuthibitisha sharti laAbdul-Rahman ni kama ifuatayo: “Hakika Mwenyezi Mungu anawekaukweli kwenye ulimi kwa Umar na moyoni mwake ….” kama manenohaya yangekuwa ya kweli ingekuwa lazima kwa Khalifa yeyote baada yakekufuata.

Labda Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitamka maneno haya yaliyosimuliwawakati fulani ambapo Umar alitoa maoni mazuri, na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alikuwa anashuhudia ukamilifu wa maoni ya Umar kwenye fursahiyo. Hivyo, tamko husika lisieleweke kama tamko la jumla kama tanga-zo, kwa sababu zifautazo:

Kama tukiichukua hadith kama tamko la jumla, tutatakiwa kuamini kwam-ba Umar alikuwa na kinga kamili ya kutenda kosa kwa maneno amamatendo, ama kwenye mambo ya dunia au ya dini. Lakini Waislamu waliowengi hawaamini kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) mwenyewe alikuwana kinga dhidi ya kukosa. Wanaamini kwamba anayo kinga ya kutendakosa katika maelekezo ya dini tu!

Sababu nyingine ya kukataa hadithi hii ni kwamba Umar alitenda makosamara kadhaa. Hakuwa mkweli alipokanusha kifo cha Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Ibn Hishamu kwenye kitabu chake cha Wasifu wa MtukufuMtume (s.a.w.w.) na waandishi wa historia wengine wengi walisimulia

91

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 91

Page 108: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

kwamba Umar alisema mnamo siku hiyo: “Hakika wapo wanafiki,wanadai kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ametawafu. Kwa jina laMwenyezi Mungu, atarudi kama alivyorudi Musa (a.s.) na atakataa mikonona miguu ya watu wanaodai kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ametawa-fu.”Al-Bukhari kwenye Sahih yake ameandika kwamba Abu Bakr alifika haposiku hiyo ambapo Umar alikuwa anazungumza na watu. AlimwamuruUmar kukaa chini, lakini Umar alikataa kufanya hivyo. Watu wakamwachaUmar na wakamgeukia Abu Bakr naye aliwaambia: “Yeyote miongonimwenu aliyekuwa anamuabudu Muhammad lazima aelewe kwambaMuhamnad ametawafu. Na yeyote ambaye alikuwa anamuabuduMwenyezi Mungu aelewe kwamba Yu hai na kamwe hafi. Muweza waYote alisema: “Na Muhammad ni Mtume tu; Mitume wa kabla yakewalipita.” baadaye Umar alisema: “Kwa jina la Mwenyezi Mungu, nili-posikia Abu Bakr anakariri Aya hii, miguu yangu ililegea. Nilianguka chininiliposikia Abu Bakr anakariri kwamba Muhammad alikwishatawafu.”73

Kweli haikuwa na Umar alipompinga Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alipokuwa anajaribu kuandika wasia wake. Alichokoza hasira ya MtukufuMtume (s.a.w.w.), na kwa upinzani wake umma ulinyimwa nyarakaambayo ilitegemewa kutia nuru njia ya kufuatwa na umma baada yake.74

Kwa hakika Umar alikosea sana kwenye fursa hii. Alimkataza MtukufuMtume (s.a.w.w.) kuandika wasia wake, na hiyo ni dhambi kubwa. Alihojiuwezo wa kiakili wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambao Qur’ani Tukufuinasema: “Na Mtume hasemi kwa matamanio yake ya binafsi. NiWahyi tu ndio unaopelekwa kwake.”75

Tena Qur’ani inatangaza: “Enyi mlioamini, mtiini Mwenyezi Mungu naMtume Wake ………” 76

92

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

73 Ibn Hishamu, Wasifu wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), sehemu ya 2, uk. 656; naSahih Al-Bukhari, sehemu ya 6, uk. 17.74 Al-Bukhari, Sahih Al-Bukhari, sehemu ya 1, uk. 39.75 Qur’ani Tukufu (53:3-4)76 Qur’ani Tukufu (59:7).

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 92

Page 109: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Umar hakuwa na ukweli mnamo siku ya Al-Hudaibiyah. Waandishi wa his-toria wanakubaliana kwa pamoja kwamba Umar alibishana na MtukufuMtume (s.a.w.w.) na akakataa kutekelezwa kwa mpango wa amani bainaya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na Qureishi makafiri. Umar alisema baadaya hapo: “Nitatoa Sadaka, nitafunga saumu, nitaswali na kuwaachia huruwatumwa kama malipo ya makosa ambayo niliyafanya siku hiyo.

Khalifa wa pili hakuwa sahihi kuunda Jopo la Uchaguzi. Kukataa kwakekumteua Imam Ali na maelekezo yake kwa wajumbe wa kongamano lauchaguzi la kumteua mtu ambaye angekuwa Khalifa wa tatu lilimpaUthman mamlaka na ukhalifa ukawekwa mikononi mwa ndugu wa ukoowa Umayya ambao waligeuza ukhalifa kuwa udikteta na utawala wakurithiana.

Haya ni machache tu miongoni mwa fursa mbali mbali ambazo Khalifa wapili aliziwekea msimamo wa kimakosa. Kwenye ulimi wa Umar maranyingi hapakuwepo na neno sahihi wala ukweli haukuwepo moyonimwake. Hivyo, hizi hadith mbili haziwezi kuhalalisha sharti lililovumbuli-wa na Abdul-Rahman.

KUJITOLEA KWA KIPEKEE KWA ALI.

Namna ambavyo Ali alijiendesha mwenyewe katika kipindi cha hali yahatari ya Jopo la Uchaguzi haingelinganishwa katika historia ya Uislamubaada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Ulikuwa mfano wa hali ya juu wauadilifu, uimara na kushikamana na ukweli. Uongozi wa Dunia yaWaislamu alipewa yeye, na bei yake ilikuwa ni bei hiyo na akakataa uon-gozi kwa sababu yaliwekwa masharti ambayo yalimtaka aingie kwenyeupotofu na kuacha kiasi fulani cha kanuni zake. Hapana jaribio la ukubwawowote ambalo lingemvutia mtu huyu mkweli. Ukhalifa kwake haukuwandio mwisho wa kila kitu; hiyo ilikuwa ni jinsi ya kuanzisha haki nakuyaelewa maadili ambayo alikuwa anafungamana nayo na ambamo ali-

93

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 93

Page 110: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

weka maisha yake kwani masikio yake yalisikia wito wa Muhammad.

Alikasirishwa na kuundwa kwa Jopo la Uchaguzi na aliliona kama tukio lakisirani lililojaa hatari. Muundo wa Jopo la Uchaguzi ulikuwa na hatima yakumweka Uthman kwenye mamlaka. Hii ingewaweka ndugu zake wenyetamaa ya makuu na wasio waadilifu kwenye kazi za changamoto, nakuwafanya watafute kazi ya juu kabisa kwa namna yoyote ile.

Baada ya kuona hatari hizi, Imam aliamua kujaribu kuwazuia kwa kuutafu-ta ukhalifa.

UTABIRI WA KWELI.

Historia iliandika kwamba Ali alitoa matamko mawili ya ubashiri katikakipindi cha jopo la uchaguzi akitabiri matukio yaliyokuwa yametarajiwa,kama vile alikuwa anasoma kutoka kwenye kitabu.

At-Tabari alisimulia kwamba Ali alizungumza na ammi yake Abbas baadaya Khalifa wa pili kutoa maelezo yake kuhusu mbinu ya kumteua Khalifawa Tatu. “Ninajua kwamba watamteua Uthman” alisema, “Na ataleta bidaana mabadiliko yasiyokubalika. Na endapo nitaishi, nitakukumbusha.Uthman akifa au akiuawa, ukoo wa Umayya utaufanya ukhalifa uzungukemiongoni mwao. Na endapo nitakuwa bado hai, wataniona mimi ninafikamahali ambapo wao hawataki.”

Pia Ali alizungumza na wajumbe wa jopo la uchaguzi pale walipokuwawanajaribu kumteua Khalifa mpya: “Sifa zote Anastahiki MwenyeziMungu ambaye kutoka miongoni mwetu amemchagua Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kutoka miongoni mwetu, na akamtuma kwetu kama Mtume. Sisini watu wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), chanzo cha heshima,usalama wa watu wa duniani, na kimbilio la wale watafutao usalama (dhidiya upotofu).

94

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 94

Page 111: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

“Tunayo haki. Endapo tunapewa hiyo haki, tutaichukua; kamatukinyang’anywa tutakaa nyuma hata kama safari itakuwa ndefu. KamaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) angetupatia sisi maelekezo, tungetimiza. Kamaangetuambia tuchukue hatua yoyote, tungepigania jambo hili hadi tufe.Hapana mtu atakayeitika haraka kuliko mimi kuelekea kwenye wito ulioadilifu au wema kwa ndugu.

“Sikilizeni maneno yangu na mfahamu uwasilisho wangu. Uongozi wenubaada ya Jopo hili la Uchaguzi (endapo mnashindwa kumteua kiongozimwenye sifa zinazostahili) utakabiliwa na mapambano makali sana.Mikataba itavunjwa na mapanga yatachomolewa hadi hapo mshikamanaowenu utakapofika mwisho. Baadhi yenu mtakuwa Maimam wa mabadilikoya itikadi, baadhi watakuwa wafuasi wa watu wa ujinga.”77

Utabiri huo wote ulifanikiwa. Uthman aliteuliwa. Alileta mabadilikoyasiyokubalika, na hii ilisababisha kifo chake. Kwa kifo chake cha kikatili,umoja wa Kiislamu ulikoma. Imam Ali (a.s.) alichaguliwa baada yake,lakini masahaba mashuhuri walivunja mikataba yao na yeye baada yakutoa kiapo cha utii kwake. Uongozi ulikabiliwa na mapambano makali.Mapanga yalichomolewa na vita vingi vilipiganwa.Viongozi wa madilikoya itikadi, upotofu na ujahiliya walijitokeza, na umma walio wengi wali-wafuata.

Akitarajia matukio haya mabaya, Imam alilazimika kuingia kwenye jopola uchaguzi, akijaribu kila awezavyo kuzuia matukio tarajiwa yasitokee.Hali hii ndio iliyomfanya adharau maoni ya ami yake Abbas ambayealimshauri asiingie kwenye jopo la uchaguzi.

Kuwa mjumbe wa jopo la uchaguzi ni jambo lililomshushia hadhi yake,lakini alilazimika kuwajibika. Kama hangeingia kwenye jopo la uchaguzi,angewapa wajumbe wengine sababu ya kumwengua au wangeelewa

95

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

77 Ibn Al-Athiir, Al-Kamil, sehemu ya 3, uk. 37.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 95

Page 112: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

kukataa kwake kuwa ndio ushahidi wa yeye kutokuvutiwa na kugombeauongozi.

Kukataa kwa Imam Ali kuingia kwenye jopo la uchaguzi ni hali ambayoingemweka Imam kwenye nafasi ambayo hangeweza kujitetea kihistoria.Hii inaweza kutufanya tufikirie kwamba alijinyang’anya uongozimwenyewe. Ambapo uongozi huo ulikuwa wa kwake. Tunawezatukafikiria kwamba hakujitahidi vya kutosha katika kuepusha matukiomabaya ambayo alikuwa anayatarajia.

Zaidi ya haya kukosa kuwepo kwake kwenye jopo la uchaguzi, ni kitendoambacho kingefikiriwa kuwa ni msimamo wa kukataa wajibu na kwa hiyokuwatia moyo wajumbe wa jopo hilo kumchagua mtu mwingine. Hivyo,angeshiriki pamoja nao wajibu wa kutenda kosa hilo.

Ulikuwa wajibu wa Ali kuhudhuria jopo hilo la uchaguzi na kuwakum-busha wajumbe wake kuhusu haki yake kwa uongozi na kwamba watu waNyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni chanzo cha heshima, usalama wawatu wa duniani dhidi ya upotofu, na kimbilio la yeyote anayetaka usala-ma huo. Na hii ndio ilikuwa maana ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuwaa-muru umma kufuata Kitabu cha Mwenyezi Mungu na watu wa Nyumbayake, na akawafananisha na Safina ya Nuhu.

Imam alitimiza wajibu wake kwa kuhudhuria jopo la uchaguzi. Aliwaonyawajumbe hao kuhusu matokeo ya hatari kama wakimchagua mtu asiyefaa.Aliwakumbusha kuhusu haki ya Nyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kwa uongozi, haki ambayo Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakuwaambiandugu zake wapiganie.

Historia inasema kwamba mazungumzo baina ya Ali na wajumbe wakongamano la uchaguzi yalifanyika na yalikuwa kama ifuatavyo: Imam: “Katika jina la Mwenyezi Mungu; ninawaulizeni: Yupo yeyotemiongoni mwenu isipokuwa mimi aliyeitwa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)

96

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 96

Page 113: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

ndugu wa kiroho?”

Wajumbe: “Hakuna isipokuwa wewe.”

Imam: “Yupo miongoni mwenu isipokuwa mimi ambaye MtukufuMtume (s.a.w.w.) alisema kuhusu yeye: Yeyote ambaye mimi ni ‘Mawla’wake, Ali ni ‘Mawla’ wake?

Wajumbe: “Hapana yeyote”

Imam: “Hivi yupo yeyote miongoni mwenu ambaye Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alimwambia: Wewe kwangu ni kama alivyokuwa Harun kwaMusa (a.s.), lakini hapatakuwepo na Mtume baada yangu?”

Wajumbe: “Hakuna.”

Imam: Hivi yupo miongoni mwenu isipokuwa mimi aliyekabidhiwa Suraya Bara’ah, na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akasema kuhusu mtu huyo:hapana yeyote atakayewasilisha kwa niaba yangu isipokuwa mimimwenyewe au mtu kutoka kwangu?”

Wajumbe: “Hakuna.” 78

Imam aliwaambia yote hayo, na walikuwa wanatambua kuhusu ukweli wayale aliyoyasema. Lakini maslahi yao binafsi yalipingana na yale waliyoy-ajua kuhusu yeye.

NIA NA MATOKEO

Imam alijitahidi kwa kutumia mantiki kuwazuia wajumbe wa jopo lauchagyuzi wasifanye uamuzi usiofaa, ambao utawaelekeza Waislamukwenye machafuko ya wendawazimu, ambayo yangeweza kutawala umma

97

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

78 Ibn Abu Al-Hadeed, fasili yza nahjul Balagha, Juz. 2, uk. 198-199.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 97

Page 114: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

kwa vizazi vingi vijavyo. Kwa bahati mbaya, wajumbe walishindwa kun-yanyuka na kufika kiwango ambacho huhitajiwa katika hali ya hatari.Hususan wao walikuwa na tamaa ya makuu na hawakutaka kusahaumaslahi yao. Endapo Ali angepata mamlaka ya uongozi, matumaini yaobinafsi ya kufika kwenye uongozi siku za usoni yangefifia. Kama uongoziungerudi kwenye Nyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ungedumu humokwa kipindi kirefu. Kwa upande mwingine, kumpa uongozi Uthman, mlan-go wa kwenda kwenye uongozi ungebaki wazi kwa watu kama Abdul-Rahman ambaye alikuwa na matumaini kwamba Uthman mwenye umrimkubwa angekufa kabla yake na kwa hiyo angemtaja yeye kuwa mrithi.

Wajumbe wa Jopo la uchaguzi walikuwa tayari kisaikolojia kumzuia Aliasipate ukhalifa, japokuwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema mengikuhusu yeye. Kwa nini? Makhalifa wawili wa kwanza pamoja na uadilifuwao, walifanya hivyo. Masahaba wengine walitarajiwa kufanya vivyohivyo.

Kwa kuwa kukwepesha uongozi kutoka kwa Ali wakati wa kifo chaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) ni jambo ambalo halikutegemewa, kukwepeshauongozi huo kwa Ali baada ya Makhalifa wawili pia ni jambo ambalohalikutegemewa. Khalifa wa pili hakuona kuwa ni kukiuka utaratibukumpa ukhalifa Uthman. Labda alifikiri kuwa ni tendo jema ambalo lin-gelipwa kwa upendeleo kwake.

Wasomaji wanaweza kukumbuka kwamba Uthman aliandika wasia waAbu Bakr ambamo alimtaja Umar kuwa mrithi wake. Wakati anatamkaimla ya wasia wake, Abu Bakr alipoteza fahamu kabla ya kutamka jina laUmar. Akiogopa kwamba labda Khalifa angezirai na kufa moja kwa moja,Uthman aliandika jina la Umar bila kungoja kauli ya Khalifa. Abu Bakralipata fahamu, akamtaka Uthman asome yale aliyoandika. Uthman ali-fanya hivyo, na aliposoma jina la Umar, Abu Bakr alishangaa na kufurahi.Kama mambo yalivyo, Umar kamwe hakusahau lile alilomfanyia Uthman.

98

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 98

Page 115: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

TABAKA JIPYA.

Kwa kuwa matukio yaliyotangulia Mkutano wa Uchaguzi yalileta kuund-wa kwa matabaka mapya ya kijamii; Maquraishi, masahaba waliopendele-wa, na Bani Umayya, kuundwa kwa jopo la uchaguzi kuliongeza tabakajingine jipya. Talha, Zubeir, Saad na Abdul-Rahman wakawa watu watabaka la juu zaidi miongoni mwa masahaba. Umar aliwapandisha cheokwa ajili ya kuwa na sifa za kustahili kuwa Khalifa kwa kuwaingizakwenye jopo la uchaguzi. Tukio hili liliwasha tamaa ya kupata uongozi.

Tukio hili liliwafanya wahisi kwamba wao wapo sawa na Ali na washin-dani wake. Hali hii ilisababisha matukio mengi ya hatari. IlisababishaTalha na Zubeir kujaribu kuharakisha kifo cha Uthman baada ya kutoakiapo cha utii na imani kwake. Walikula njama dhidi yake na kila mmojawao alikuwa kwenye kinyang’anyiro cha kumrithi yeye. Hali hii ilis-ababisha kifo cha Uthman katika hali ya vurugu kubwa ambapo ilisitishamshikamano wa Kiislamu. Tamaa ya makuu ile ile iliwahamasisha masa-haba hawa wawili wazuri kuuwekea changamoto uongozi wa Ali baadayekwa kuvunja makubaliano naye ambapo waliapa kuwa waaminifu na wati-ifu kwake.

FURSA ILIYOPOTEA.

Kupitia na kuundwa kwa jopo la uchaguzi, Waislamu na Khalifa wa piliwalipoteza fursa ya mwisho ya kurekebisha hali na kuepusha misiba isiy-ohesabika ambayo ingelitokea kwa umma.

Khalifa wa pili alijiandikia yeye mwenyewe na umma wake kurasa tukufuzing’arazo katika historia. Wakati wa utawala wake na wa yule aliyemtan-gulia, ukhalifa ulichukua njia ya uadilifu, kwa kutiwa msukumo na mwon-gozo wa Qur’ani Tukufu na miongozo ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Lakini lengo la ujumbe wa Mbinguni ilikuwa si kuendeleza serikali

99

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 99

Page 116: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

iliyoadilifu kwa miaka kumi na mbili tu na baadaye kutolewa katika njiaya haki, udugu, na demokrasia ya kweli.

Uongozi ulikwepeshwa kutoka kwa Ali na kwenda kwa Abu Bakr, halafukwa Umar, na wote wawili walikuwa watendaji waadilifu. Kama Aliangechukua uongozi baada ya Umar, kuingia kwake kwenye mamlakaingekuwa hajachelewa sana, umma lilikuwa bado na nguvu, likitawaliwana moyo wa udugu na kuiweka dini yake juu ya mambo yake ya kidunia.Ilikuwa inawezakana kwa Imam Ali kwa kuwa na sifa zake kubwa, kuen-delea kuliweka umma kwenye njia iliyonyooka na kuongezea kurasazing’arazo kwenye rekodi yake nzuri. Ingewezekana yeye kuzuiamfarakano usitokee.

Ushawishi wa Bani Umayya ulianza kukua wakati wa kipindi cha Umar,lakini ushawishi huo ulikuwa bado haujapanuka vya kutosha na kus-ababisha hatari kubwa kwa ukhalifa. Mfano wa utawala wa jimbo waMuawiya haukuwa na nguvu ya kutosha kuwa changamoto kwa mamlakaya serikali kuu. Kama Ali angemrithi Umar, angeweza kuwa na nafasi yakung’oa mmea wa Bani Umayyah huko Damascus (kumwondoaMuawiya) kabla mizizi yake haijakwenda kwenye kina kirefu zaidi na kue-nea kwenye ardhi ya Syria.

Masahaba waliopendelewa hawangekuwa na uwezo wa kutoa changamotokwa uongozi wa Imam. Wala Talha na Zubeir hawangekuwa na mamlakaya kutosha kuwa tishio kwake. Walikuwa wawili tu kati ya makundi yabaadhi ya masahaba wema.

Kama Umar angempa Ali uongozi, angeliepusha umma kwenye matukioyote hayo ya maangamizi, na angepata mwendelezo wa mshikamano waumma pamoja na mwendelezo wa ukhalifa adilifu kwa vizazi vingi vyasiku za usoni.

100

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 100

Page 117: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Endapo Umar angefanya hivyo, angekuwa ameirudisha haki ya watu waNyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwao na uongozi wa Kislamu naangekuwa amewalinda watu hawa waadilifu mno dhidi ya uovu wa BaniUmayyah. Kwa kufanya hivyo, angekuwa ameleta furaha kwenye rohoTakatifu ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).

Kwa kutumia hekima yake kubwa, Umar alitarajiwa kufuata mkondo huuwa uadilifu. Kwa bahati mbaya, mwambatano wa kiukoo wa Maquraishiulizidi busara za sahaba huyu mashuhuri. Hali hii ilisababisha msiba waMkutano wa Uchaguzi.

101

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 101

Page 118: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

SURA YA ISHIRINI NA MOJAUTAWALA WA UTHMAN.

Jopo la uchaguzi lilitoa matokeo na kuhitimisha kazi yake kama ilivy-otarajiwa. Uthman akapewa mamlaka ya kuwa Khalifa wa tatu. Akiwakatika daraja la sahaba, Uthman hakuwa pungufu ya wale wawili waliom-tangulia: Abu Bakr na Umar. Alikuwa miongoni mwa watu wanne baina yawatu kumi waliokubali Uislamu mwanzoni (katika watu 40 Waislamu wamwanzo). Uislamu wake ulikuwa wa mwanzo zaidi ya ule wa Umar, nakabla ya kusilimu hakuwa na vurugu kama Umar katika kuupingaUislamu. Alikuwa na sifa bainifu ambayo hapana hata mmojawapo kati yawale waliomtangulia aliyekuwa nayo:

Uthmna alikuwa mkwe wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), mara mbili.Alimuoa Rukia, mmojawapo wa mabinti wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Tunda la ndoa hii ni mtoto aliyeitwa Abdullah ambaye alifariki akiwa naumri wa miaka sita baada ya kifo cha mama yake. Baada ya Rukia, Uthmanalimuoa dada yake Umm Kuluthumu.79 Pia huyu hakuishi naye mudamrefu. Alifariki wakati wa uhai wa baba yake Mtukufu.

HAKUWA MPIGANAJI.

Uthman hakushiriki kwenye vita vya Badr. Alikuwa Madina akimuuguzamke wake Rukia ambaye alikufa kabla baba yake Mtukufu hajarudi kuto-

102

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

79 Hii ni kwa mtazamo wa mwandishi. Lakini kwa mujibu wa utafiti wa kina wawatafiti wetu adhimu ni kwamba mabinti hao wawili hawakuwa watoto wa kuzaawa Mtume wa Mwenyezi Mungu, bali ni kama vyanzo vingi vya kitafiti vilivy-oelekeza kwamba walikuwa ni watoto wa kulea wa Mtume au watoto wa dadayake na Khadija waliokuwa chini ya malezi yake, na hili la pili ndilo chaguo safitoka katika kilele bora cha utafiti na uhakika, na hivyo hititmisho ni kwambaMtume hakuwa mkwe halisi wa Uthman. – Mhariri.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 102

Page 119: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

ka kwenye uwanja wa vita. Uthman alishiriki vita vya Uhud na vinginevyo.Historia haikuandika chochote kuhusu kushiriki kwake kwenye mapiganokwenye vita vyovyote vile. Kama masahaba walio wengi, na yeyealimkimbia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wakati wa Vita vya Uhud. Alirudikwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) baada ya vita kwisha, na alikuwa mmo-jawapo wa masahaba waliosamehewa na Muweza wa Yote kwa mujibu waQur’ani Tukufu:

“Hakika wale waliorudi nyuma miongoni mwenu siku yalipopambanamajeshi mawili. Shetani ndiye aliyewatelezesha kwa sababu ya baadhiya makosa waliyofanya; na Mwenyezi Mungu amekwishawasamehe.Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mpole.” (Qur’ani3:155).

Uthman hakuwa shujaa, lakini alikuwa mtu wa kutoa misaada. Alishirikikikamilifu katika kuruzuku jeshi la Tabuk. Taarifa inasema kwambaalimpelekea Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) dinari elfu moja (wakati wakuchapishwa kitabu hiki ilikuwa sawa na dola elfu kumi) ili zitumikekuimarisha misheni ya jeshi. Alitoa misaada mingine pia.

Uthman aliingia madarakani mwishoni mwa mwaka wa ishirini na tatubaada ya Hijiriya (644 A.D). Utawala wake ulianza akiwa na umri wa zaidiya miaka sabini na aliendelea kutawala kwa miaka kumi na mbili.

Katika kipindi cha miaka sita ya mwanzo wa utawala wake, mambo yauendeshaji wake yalikuwa sawa. Waislamu walipata ushindi katika sehemunyingi wakati wa kipindi hiki. Walikuwa bado wapo katika hali ya kivitana falme mbili mashuhuri za wakati huo: Ajemi na Byzantine. Kwenye

103

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 103

Page 120: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

falme ya Ajemi zile sehemu ambazo zilikuwa hazijatekwa na utawala waUmar, zilichukuliwa na utawala wa Kislamu chini ya uongozi wa Uthman.Afrika ya Kaskazini pia ilichukuliwa kutoka Falme ya Rumi na kuwa sehe-mu ya Nchi ya Kiislamu. Khalifa wa tatu aliondoa amri ya kutokutumianjia za bahari kwa shughuli za kivita. Kundi muhimu la Kiislamu la vipan-do vya baharini liliundwa kwenye Bahari ya Kati (Mediteranian Sea).

Miaka sita ya mwisho wa utawala wa khalifa wa tatu ilijaa matukiomabaya. Mapambano ya matabaka ya wanaolipwa ruzuku kuzidi wenginena wale waliokuwa wanalipwa fedha kidogo, yalianza kupanuka harakahadi yalipolipuka kwa mapinduzi na majeruhi wake wa kwanza alikuwaKhalifa wa tatu. Matukio yaliyotokea katika kipindi cha miaka sita yamwisho wa utawala wa Uthman yalitengenezwa kabla ya kipindi hiki.Fikira za kutengeneza matukio haya ziliasisiwa mwanzoni mwa utawalawake na wakati wa vipindi vya utawala wa walio mtangulia.

MTU KIUNGANISHI.

Uthman wala hakuwa na busara ama dhamira ya wale waliomtangulia.Ama hakuwa na msimamo wao wa kutokuwa na tamaa ya utajiri wa mali.Kwa hakika shaksia yake ilikuwa na pande mbili zinazopingana. Kwaupande moja, alikuwa Muislam wa mwanzoni. Aliandamana na MtukufuMtume (s.a.w.w.) kwa muda mrefu, akapata heshima ya kuoa mabintiwawili wa Mtume, na alikuwa mtoaji sadaka mzuri katika njia yaMwenyezi Mungu. Kwa upande mwingine yeye alikuwa mtu wa ukoo waUmayyah. Alikuwa anawapenda sana watu wa ukoo wake japokuwawalikuwa na rekodi mbaya kwa uadui wao dhidi ya imani ya Uislamu naMtume wake (s.a.w.w.). Pande hizi za utu wake ziliwafanya masahabamashuhuri wabashirie uwezo wa Khalifa wa tatu kuwa kama darajaambamo ukhalifa utapita kutoka kwenye utawala adilifu wa masahaba waawali wa Muhammad na kuingia kwenye utawala wa kidikteta na kidhal-imu wa watu wa ukoo wa Bani Umayyah.

104

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 104

Page 121: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Msomaji anaweza kukumbuka kwamba Umar alipotoa maelekezo yakekuhusu uteuzi wa mrithi wake, Ali alimwambia ammi yake, Al-Abbas:“Najua kwamba watampa ukhalifa Uthman na endapo anauawa au anaku-fa, watu wa ukoo wa Bani Umayyah watafanya ukhalifa uzunguke mion-goni mwao na endapo mimi nitakuwa hai, wataniona nipo mahaliwasipopapenda.”

Inashangaza kwamba Maquraishi walikataa kumpa Imam Ali uongozi,wakihofia kwamba uongozi labda unaweza ukabaki kwenye Nyumba yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.), kwa sababu ya sifa yao ya kuzingatia dini, sifaambayo hailinganishwi na yoyote, bado Maquraishi walichagua kufanyaUkhalifa uwe kwenye nyumba ya Bani Umayyah ambao walijulikana kwachuki kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na dini yake.

UPINZANI ULIANZA MAPEMA.

Labda hii inaweza kuwa mojawapo ya sababu ambazo ziliwafanya masa-haba wawili ambao ni mashuhuri; Ammar Ibn Yasir na Al-Miqdad Ibn Al-Aswad, waanze upinzani dhidi ya Uthman mwanzoni mwa utawala wake.Kwa sauti kubwa walikataa kuingia kwake madarakani japokuwa walijuakuhusu uadilifu wake.

Historia imeandika kwamba Ammar alitoka nje akiwa anapiga kelelebaada ya kuchaguliwa kwa Uthman: “Wewe mtangazaji wa kifo, jitokezembele na utangaze kifo cha Uislamu. Haki imekoma, na uovu umetokeza.Kwa jina la Mwenyezi Mungu, kama nikiona wasaidizi nitapigana naMaquraishi. Kwa jina la Mwenyezi Mungu kama nikimuona mtu miminitakuwa wa pili wake.”80

105

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

80 Ibn Abu Al-Hadeed, Fasili zake za Nahjul Balagha, Juz. 2, uk. 411-412.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 105

Page 122: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Alimwendea Imam Ali na akamtaka aanze vita dhidi ya Maquraishi. LakiniImam alimkumbusha yeye juu ya upungufu wa wanaomuunga mkono.Alimwambia yeye na wengine: Nisingependa kuhatarisha uhai wenu, auniwabebesheni mzigo ambao unazidi uwezo wenu.”

Al-Miqdadi alitokeza nje mnamo siku iliyofuata baada ya kuchaguliwakwa Uthman. Alipokuwa anatembea, alikutana na Abdul-Rahman Ibn Awf,mfagiliaji wa mfalme mtarajiwa ambaye ndiye aliyesimamia kuteuliwakwa Uthman. Makabiliano ya masahaba wawili yalitokea kama ifuatavyo:

Al-Miqdad: “Ewe Abdul-Rahman, Mwenyezi Mungu na akujaalie hapaduniani na Akhera kama ulitaka kumridhisha MwenyeziMungu kwa haya uliyoyafanya. Na Akuongezee utajiri kamaumedhamiria kutafuta maslahi ya kidunia kwa kufanya kamaulivyofanya.”

Abdul-Rahman: “Mwenyezi Mungu na akuhurumie; nisikilize.”

Al-Miqdad: “Kwa jina la Mwenyezi Mungu, sitasikiliza.” Miqdadi akaon-dosha mkono wake kutoka kwenye mkono wa Abdul-Rahmnana akaondoka.

Masahaba hawa wawili walipambana kwa mara nyingine mahali pengine:

Al-Miqdad: “Wallahi, kamwe sijapata kuona mfano wowote wa yalewaliyofanyiwa watu wa Nyumba ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.).”

Abdul-Rahman: “Ewe Miqdad, kwa nini unajihusisha na haya?

Al-Miqdad: Wallahi! Ninawapenda wao kwa mapenzi ya MtukufuMtume (s.a.w.w.). Ninashangazwa na Maquraishi ambaowanadai kuwa bora kuzidi watu wengine kwa sababu ya

106

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 106

Page 123: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

uhusiano wao kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), halafu wana-jidirikisha kuchukua mamlaka ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)kutoka kwa watu wa Nyumba yake.

Abdul-Rahman: “Wallahi, nimejaribu kufanya kile ambacho ni kizurikwa maslahi ya watu.”

Al-Miqdadi: “Wallahi, umemwacha mtu ambaye ndio mwenye uwezowa kuuongoza umma huu kwenye njia iliyonyooka nakudumisha uadilifu na kutenda haki. Kwa jina la MwenyeziMungu kama ningepata watu wa kuniunga mkono dhidi yaMaquraishi, nitapigana nao kama nilivyopigana nao kuleBadr na Uhud.”

Abdul-Rahman: “Mama yako na aachwe mkiwa kwa kufariki kwako.Naasiwepo mtu wa kuyasikia maneno hayo kutokakwako. Nina hofu kwamba wewe umekuwa mtumbadilishaji wa itikadi na unayeendeleza mfarakano.”

Al-Miqdad: “Mtu anayewaita watu wafuate ukweli na haki si mbadil-ishaji wa itikadi. Lakini mtu anayewaswaga watu waelekeeuwongo na anapenda ubinafsi badala ya ukweli ndiye mtumbadilishaji na mpenda faraka …..”81

Si Ammar wala Al-Miqdad, wao walikuwa hawana tamaa ya makuu yakisiasa, na wala hapana yeyote kati yao alikuwa anajaribu kujitahidi kupa-ta rasilimali. Masahaba hawa walisifiwa sana na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.).

Ibn Majah amesimulia kwenye Sunan yake kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alisema: Mwenyezi Mungu ameniamuru mimi niwapende watu

107

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

81 Ibn Abu Al-Hadeed, kwenye Fasili zake za Nahjul Balagha, Juz. 2, uk. 411-412.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 107

Page 124: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

wane, na akanitaarifu kwamba Yeye anawapenda watu hao.” Alipoulizawatu hao ni akina nani, akasema: “Ali ni mmojawapo (akarudia usemi huomara tatu) Abu Dharr, Salman na Al-Miqdad.” 82

Al-Tirmidhi amesimulia kwenye Sunan yake kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alisema: “Kila Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipewa Masahabawenye sifa bainifu lakini mimi nilipewa kumi na nne.” Halafu akahesabuAmmar na Miqdad miongoni mwa hao kumi na nne.”83

Al-Tirmidhi pia ameandika kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisemapale ambapo Ammar Ibn Yasir aliomba ruhusa kuingia kwenye nyumba yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.): “Mwambieni aingie. Karibu ewe mwema,uliyetakaswa.”84

Pia ameandika kwamba Aisha alisimulia kwamba Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) alisema: “Pale ambapo Ammar amepewa fursa kuchagua mambomawili, huchagua kile ambacho ni kiadilifu zaidi ya kingine.”85

Al-Tirmidhi ameandika pia kwamba Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)alimwambia Ammar: “Ewe Ammar uwe na furaha, kundi la watu waovundilo kitakalo kuua.”86

108

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

82 Ibn Majah, Sunan yake sehemu ya 1, uk. 53 (hadith Na.149).83 Al-Tirmidh, Sunan yake, sehemu ya 5, uk. 329 (Hadith Na. 149).84 Al-Tirmidh, Sunan yake, sehemu ya 5, uk. 332.85 Al-Tirmidh, Sunan yake, sehemu ya 5, uk. 332-333.86 Al-Tirmidh, Sunan yake, sehemu ya 5, uk. 332-333.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 108

Page 125: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

UTEKELEZAJI WA MPANGO WABANI UMAYYAH.

Yale ambayo masahaba hawa wema waliona katika hisia zao sasa yakian-za kuwa kweli. Ishara za hali ya baadaye zilianza kuonekana haraka hara-ka. Watu wa ukoo wa Bani Umayyah walikutana nyumbani kwa Uthmanbaada ya kuchaguliwa. Abu Sufyani mzee wao, ambaye alikwishakuwakipofu kwa sababu ya uzee aliwauliza: Wapo ambao si wa ukoo wa BaniUmayyah miongoni mwenu?” Walipomhakikishia kwamba hapakuwepona yeyote, alisema: “Wana wa Umayya, uzungusheni (ukhalifa) miongonimwenu kama watoto wanavyozungusha mpira wa miguu. Kwa jina la yuleambaye Abu Sufyani anaapa, wala hapatakuwepo na Pepo au Jahanamu auufufuo au Siku ya Hukumu.”87

Kama mambo yalivyo, Khalifa alimkemea, lakini karipio halikubadilishamsimamo wake Abu Sufyani. Alimuomba mtu amsindikize kwenye kaburila Hamza, ami yake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na fahari ya mashahidi.Aliposimama juu ya kaburi alisema, akimwambia Hamza: “Ewe AbuImarah (jina la siri la Hamza) jambo ambalo tulipania sasa limekuwamchezo uliomo mikononi mwa vijana wetu.” Halafu akalipiga teke kaburikwa mguu wake.”88

Usemi wa Abu Sufyani ulikuwa na maana kwamba ukoo wa BaniUmayyah na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na familia yake walipigana kwasababu ya mamlaka. Sababu mamlaka ilifika mikononi mwa BaniUmayyah na watu wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)walinyang’anywa mamlaka hayo.

109

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

87 Ibn Abul Al-Hadeed, kwenye Fasil zake za Nahjul Balaghah, Juz. 2, uk. 411.

88 Ubd Al-Fattah, Abd Al-Maqsood, Al-Imam Ali, Sehemu ya 1, uk. 284

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 109

Page 126: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Haikuchukua muda mrefu kabla maneno haya hayajatafsiriwa kuwa kweli.Watu wa ukoo wa Bani Umayyah walitumia upole wa Khalifa wa tatu naupendo wake mkubwa sana kwa ukoo wake. Katika kipindi cha miakamichache ya mwanzo wa utawala wake, Bani Umayyah walivishika vyan-zo viwili vya mamlaka. mamlaka ya majimbo muhimu ya serikali yaKiislamu na hazina zao.

Mamlaka makuu na utajiri wa serikali ya Kiislamu vilikuwa kwenyemajimbo matatu; Syria, Iraq na Misri. Katika kipindi cha miaka michacheya mwanzo wa utawala wa Uthman, maeneo haya mapana yalikuwa chiniya utawala wa Bani Umayyah.

MUAWIYA NA SYRIA.

Tumesema katika Sura ya 19 kwamba Umar alimteua Muawiya kuwagavana wa Damascus, halafu akaongeza Jordan kwenye mamlaka yakebaada ya kifo cha Yaziid (kaka yake Muawiya). Umar pia alimteua UmairIbn Saad (mtu wa Madina) kuwa gavana wa Homs, na Qinnasrine naAbdul-Rahman Ibn Alqamah kuwa gavana wa Palestina. Umar alipokufa,hawa watu wawili walikuwa bado wamo kwenye kazi zao. Lakini Abdul-Rahman Ibn Alqamah alifariki mnamo mwanzoni mwa utawala waUthman na Umar alijiuzulu kwa sababu ya maradhi. Uthman aliongezaPalestina, Homs na Qinnrisrine kwenye mamlaka ya Muawiya.89 Hivyokatika kipindi cha miaka miwili tangu ulipoanza utawala wa Uthman,Muawiyah akawa gavana wa ile inayoitwa leo Syria Kubwa ‘GreaterSyria.’

Ushawishi wa Muawiya ulianza wakati wa kipindi cha Umar. Lakini,ulibakia kuwa mdogo na ambao ulikuwa unaangaliwa sana na Umar.Ukubwa wa eneo lake ulikuwa zaidi ya mara mbili ya wakati wa utawala

110

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

89 Ibn Al-Athiir kwenye Al-Kamil, sehemu ya 3, uk. 57.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 110

Page 127: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

wa Uthman na ushawishi wake ukawa kamili na bila uangalizi wowote.Katika kipindi cha miaka michache, Syria ikawa serikali inayojiamuliamambo yake ndani ya serikali ya Kiislamu, na Muawiya akawa mtumwenye mamlaka na uwezo mkubwa wa dunia ya Waislamu. Katika kipin-di cha miaka michache alikuwa na uwezo wa kuwa na jeshi kubwa kwenyeuwanja wa vita likiwa na wapiganaji laki moja. Inafaa kufahamu kwambaMuawiya, hakuwa mtu mwadilifu zaidi ya baba yake Abu Sufyani.

IBN ABU SARH AKIWA MISRI.

Umar alikufa wakati ambapo Amr Ibn Al-Aas alikuwa gavana wa Misri.Uthman alimfukuza mnamo miaka miwili ya mwanzo wa utawala wake.Badala yake akamteua kaka yake wa kuchangia kunyonya Abdullah IbnSaad Ibn Abu Sarh, ambaye aliendelea na kazi hiyo hadi mwisho wautawala wa Uthman. Ibn Abu Sarh alikuwa mmojawapo wa maadui waMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Alikubali kuwa Mwislamu wakati wa uhai waMtukufu Mtume (s.a.w.w.), halafu akaritadi. Alikuwa na tabia ya kukejeliQur’ani Tukufu, akisema: “Nitaleta ufunuo sawa na ule ambao MwenyeziMungu ameteremshia Muhammad.”

Ibn Hishamu ameandika kwamba Ibn Abu Sarh aliukubali Uislamu naakawa mwandishi wa Wahyi ulioteremshwa kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.). Halafu akaikimbia imani hii na akarudi kwa Maquraishi.Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipoingia Makka aliagiza Ibn Abu Sarh auawe.Akakimbilia nyumbani kwa Uthman ndugu yake wa kunyonya, nayeakamficha. Hali ilipotulia, Uthman alimpeleka kwa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), akamwombea msamaha. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alinyamazakimya kwa muda mzuri tu, halafu akasema: “Ndio.” Uthman na nduguyake wa kunyonya walipoondoka, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema nakuwaambia masahaba waliokuwa wamemzunguuka: “Nilinyamaza kwakipindi kirefu, nikiratajia kwamba mmoja wenu angemuua mtu huyu.”Sahaba wa kutoka Madina aliuliza: “Ewe Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), kwa

111

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 111

Page 128: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

nini hukunipa mimi ishara?” Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) akajibu: “Mtumehaui kwa kutumia ishara.”

IRAQ.

Ilikuwepo miji mikuu miwili ndani ya Iraq: Kufah na Basrah. Umar alim-teua Saad Ibn Abi Waqass gavana wa Kufah. Halafu akamfukuza na badalayake akamteuwa Al-Mughiirah Ibn Shubah kushika nafasi hiyo.Uthman alipoteuliwa kuwa Khalifa, alimfukuza Al-Mughiirah na badalayake alimteua Saad Ibn Abi Waqass kwa kuzingatia mapendekezo ya Umarkabla hajafa.

Saad alikuwa sahaba aliyeheshimiwa sana na alipata nafasi mashuhuri paleUmar alipomteua kuwa mjumbe wa jopo la uchaguzi. Licha ya kuwa nanafasi hii Uthman alimweka kwenye nafasi hii ya ugavana kwa mwakamoja tu. Alimwondoa na badala yake alimteua Waliid Ibn Aqabah, binamuna kaka wa kambo wa Khalifa wa tatu.

Waliid alikuwa muovu kwa ushahidi wa Qur’ani Tukufu. Aliingia kwenyeUislamu baada ya mwaka wa mkataba wa amani wa Hudaibiyah. MtukufuMtume (s.a.w.w.) alimpeleka kwenye kabila la Banul-Mustalaq, kwa kaziya kukusanya Zaka. Wakitarajia kufika kwake, Banul Mustalaq walipandafarasi kwenda kumpokea. Alipowaona wanakwenda mbele yake, aliogopana akarudi kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kabla ya kukutana nao.Alimwambia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwamba Banul Mustalaq walita-ka kumuua yeye. Wakitegemea taarifra yake Waislamu walifikiria namnaya kuwaadhibu hao Banul Mustalaq. Lakini Mustalaq walikwenda kwaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na wakamwambia nia yao ilikuwa kumpokeana kumheshimu Waliid na si kumuua yeye. Wahyi uliteremka kuhusuWaliid na Bani Mustalaq ukiwakataza waumini kuamini taarifa za watuwasio waadilifu kama Waliid, kwa sababu fasiki hafai kuaminiwa. Hivyotunasoma kwenye Surat Al-Hujurat ifuatavyo:

112

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 112

Page 129: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

“Enyi mlioamini! Akikujieni fasiki na habari yoyote, ichunguzeni,msije mkawasibu watu kwa kutojua, na mkawa tena wenye kujutakwa mnayoyatenda. Na Jueni kuwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) waMwenyezi Mungu yuko nanyi. Lau angelikutiini katika mambo mengi,bila ya shaka mngelitaabika. Lakini Mwenyezi Mungu amekupen-dezeeni Imani, na akaipamba katika nyoyo zenu, na amekufanyeniwenye kuchukia upotovu na uasi. Hao ndio walioongoka.”90

Ni dhahiri kwamba Waliid alikuwa ameweka akili yake ya kabla yaUislamu katika maisha yake yote. Alikuwa gavana wa Kufah kwa miakamitano, hadi mashahidi kutoka watu wa Kufah walitoa ushahidi kwambaalikuwa anakunywa kilevi. Alipewa adhabu inayostahili kwa kosa hilo, naKhalifa alitakiwa kumfukuza kazi. Hali ya Waliid ilijulikana vya kutoshakwa Uthman na kwa Waislamu wema, hususan baada ya Qur’ani Tukufuilipomuita yeye fasiki.

Imeandikwa kwamba Waliid alipokwenda kushika nafasi badala ya Saad,Saad alimuuliza: “Umekwisha kuwa na busara au sote tumekuwa wapum-bavu?” Waliid alijibu: “Ewe Abu Is’haq (jina la siri la Saad), wala hakunalolote. Ni mamlaka ya Kifalme ambayo baadhi ya watu huchukua kamachakula cha mchana na halafu wengine wanachukua kama chakula chajioni.” Saad akajibu: “Nyinyi (Bani Umayyah) ni dhahiri kwamba mmeu-fanya ukhalifa kuwa ufalme.” Pia Abdullah Ibn Mas’ud alimwambiaWaliid: “Sijui kama umegeuka kuwa mwema au watu wamekuwawabaya.”91

Kwa kuwa Khalifa alitakiwa kumfukuza kaka yake wa kunyonya, baada yakashfa alitarajiwa kumbadilisha na kumweka badala yake sahaba kamaSaad Ibn Abu Waqass, au Ammar Ibn Yasir au Abdullah Ibn Mas’ud.

113

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

90 Qur’ani Tukufu (49:6-7), Ibn Hishamu aliandika tukio hili kwenye Wasifuwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), sehemu ya 2, uk. 296. 91 Ibn al-Athiir kwenye Al-Kamil, sehemu ya 3, uk. 40.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 113

Page 130: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Lakini Khalifa hakufanya lolote kati ya haya. Alimbadilisha na Said IbnAl-Aas, Umayya mwingine. Japokuwa rekodi ya Said haikuwa kama yaWaliid, alikuwa ndiye tu mmoja wa vijana wa Bani Umayyah ambaye uga-vana wake haukuwatia moyo watu wa Kufah na kuwapa matumanini walakurekebisha yale yaliyotakiwa kurekebishwa. Tutaona baadaye kwambamatukio yalitokea na kubadili hali na kuwa mbaya zaidi wakati wa siku zaSaid.

BASRAH.

Alipokufa Umar, Abu Musa Al-Ashari alikuwa gavana wa Basrah.Aliendelea na kazi hiyo kwa miaka mitatu au mitano wakati wa utawala waUthman. Ujumbe kutoka Basrah ulikwenda kumwona Khalifa, ukilalami-ka kuhusu ubadhirifu wa hazina ya umma uliokuwa ukifanyiwa na AbuMusa. Abu Musa hakuwa miongoni mwa masahaba wema. Ilitokea wakatifulani alishutumiwa na Umar kuhusu kujitajirisha kwa gharama yaWaislamu, na Umar alimnyang’anya utajiri wake wa zaidi na kuurudishakwenye hazina ya umma. Bado alimwacha akiendelea na kazi yake ile ilekwa sababu ya kuwa mwaminifu sana kwa Khalifa wa pili.

Khalifa wa tatu alitarajiwa kuchunguza malalamiko ya ujumbe wa Basrahna kumweka mtu mwingine badala yake endapo angeonekana ana hatiakwa uthibitisho wa sahaba aliye mbora zaidi. Lakini Uthman hakufanyahivyo. Badala yake, alisikiliza malalamiko ya ujumbe huo, akamfukuzaAbu Musa na badala yake alimteua Abdullah Ibn Amir, kijana mwinginewa ukoo wa Umayya. Hivyo, katika kipindi cha miaka michache yautawala wa Uthman, majimbo matatu muhimu ya serikali ya Kiislamu yal-ishikwa na watu wa ukoo wa Bani Umayyah. Wengi wa viongozi waowalikuwa maadui wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na waliolaaniwa naye auna Qur’ani Tukufu.

Athari mbaya ya kuteuliwa kwao kushika nafasi za juu kama hizozingepunguzwa kwa uangalizi mkubwa wa Khalifa. Ilikuwa rahisi Khalifa

114

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 114

Page 131: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

kuwa na washauri waadilifu na wenye akili kutoka miongoni mwa masa-haba. Angewapa mamlaka washauri kama hao ya kuchunguza na kusi-mamia uendeshaji wa majimbo haya. Bahati mbaya, usimamizi haukuwe-po kabisa. Mshauri mkuu wa Ukhalifa alikuwa binamu yake Marwan IbnAl-Hakam, Bani Umayyah mwingine asiye mwadilifu. Uwezo wa mamla-ka aliopewa huyu kijana wa ukoo wa Bani Umayyah haupo kwa wazirimkuu yeyote wa wakati wetu. Kwa kweli, Marwan ndiye hasa aliyekuwaKhalifa na Uthman alikuwa kama nembo tu ya ukhalifa.

Hivyo, ukhalifa ulibadilishwa na kuwa ufalme halisi wa ukoo wa BaniUmayyah. Kuuandaa ulimwengu wa Bani Umayyah, maofisa watendajiwalitetea ubora wa Maquraishi kuzidi Waarabu wengine na ubora wa ukoowao kuzidi Maquraishi wa koo zingine. Walilazimisha kimya kamilikuhusu kuwaainisha watu wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwaujumla, na hususan Ali. Waliwapa taarifa raia wao kuhusu uhusiano waowa karibu na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Historia ya uadui wao kwake nawatu wa Nyumba yake haukutakiwa kutamkwa kwa raia hao ambaowalikuwa Waislamu wapya, na hawajui historia ya Uislamu.

Wakati fulani Muawiya alikutana na Ammar Ibn Yasir huko Madina.Katika mabishano makali, alimwambia Ammar: “Huko Damascus wapozaidi ya watu laki moja watoto na watumishi wao. Hupokea mishahara yaoya mwaka, na hawamjui Ali na uhusiano wake na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) au Ammar na Uislamu wake wa siku za mwanzo, wala Zubeir nausahaba wake.92 Jundab Ibn Abdullah Al-Azdi wakati fulani alijaribukuwapa taarifa watu wa Kufah kuhusu sifa bainifu za Imam Ali. Taarifahiyo ilipomfikia Waliid Ibn Aqabah, gavana wa Kufa, alimfunga jela nahakumfungulia hadi hapo watu mashuhuri walipoingilia kati na wakam-wombea msamaha ili aachiwe huru.93

115

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

92 Abdul-Fathah Abd Al-Maqsood kwenye Al-Imam Ali Ibn Abu Talib, sehemuya 2, uk. 120.93 Ibn Abu Al-Hadeed kwenye fasili zake za Nahjul-Balaghah, Juz. 2, uk. 412.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 115

Page 132: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

KHALIFA WA TATU NA WAWILIWALIO MTANGULIA

Unaweza kukumbuka kwamba Abdul-Rahman Ibn Awf aliwapa Ali naUthman ukhalifa, na kuweka sharti kwamba Khalifa wa tatu alitakiwa afu-atae nyayo za makhalifa wawili wa mwanzo. Ali alipoteza ukhalifa kwasababu alikataa sharti hilo. Uthman alipata ukhalifa kwa sababu alikubalisharti la kufuata nyayo za makhalifa wawili wa mwanzo. Natuangaliekama alitimiza ahadi yake kwa Abdul-Rahman na kwa Waislamu wote.

Hapana mmojawapo baina ya hao makhalifa wawili wa mwanzo waliteuandugu zao wowote kushika kazi yoyote kwenye majimbo ya Kiislamu aumiji mikuu. Kinyume chake, Uthman aliwaweka ndugu zake kwenye kaziza ugavana katika majimbo yote muhimu. Kwa kufanya hivi alikuwa anaoulinganifu wowote katika utendaji wake na makhalifa wawili wa mwanzo?Khalifa wa tatu hakuonekana kuamini kwamba utendaji wake haukupatanana jinsi walivyofanya wale makhalifa wawili waliomtangulia. Alithibitishauteuzi wa ndugu zake kwa ukweli kwamba Umar alimteua Muawiya nawatu wengine kama Muawiyah, kama vile Amr Ibn Aas na Maghiirah IbnShubah kuwa gavana wa Damascus, Misri na Kufah. Umar hakuteua masa-haba bora sana wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa kazi hizi. Khalifa watatu angesema pia kwamba Umar alimkabidhi mamlaka ya ukusanyaji waZaka Waliid Ibn Aqabah huko Jazirah. Labda pia Umar alimteua AbdullahIbn Sarh kwa kazi ndogo. Khalifa wa tatu alikuwa sahihi aliposema hivi.Lakini ukweli ulibaki kwamba Umar hakumteua ndugu yake yeyote kushi-ka kazi yoyote kubwa au ndogo. Uthman aliteua ndugu zake kushika kazikubwa na aliwapa mamlaka bila kuwawekea usimamizi wa kufaa.

Ni halali kusema kwamba Uthman hakuwa anafanya kinyume na walivy-ofanya makhalifa wawili wa mwanzo kwa kuwateua ndugu zake na kuwa-pa kazi kubwa kwani mvuto wa Bani Umayyah ulianza kukua nakuonekana wazi wakati wa utawala wa Umar. Ilikuwa ni kawaida kwa

116

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 116

Page 133: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

mvuto huo kuongezeka wakati wa utawala wa Uthman, kwa kipengele chamuda na kwamba anatoka kwenye kundi la ukoo wa Umayya.

Kama Umar angekuwa hataki kuona mvuto wa ukoo wa Bani Umayyahukikua kiasi hicho hangewapa watu wa ukoo wa Bani Umayyah kazi mbalimbali katika serikali yake. Hangeunda jopo la Uchaguzi au angalauhangemjumuisha Uthman kwenye jopo hilo, Umar alitambua kwambaUthman alikuwa anawapenda sana watu wa ukoo wake. Kwa hiyo,hatuwezi kusema kwa uhakika kwamba mpango wa Uthman wa kuwaen-deleza ndugu zake, haukuwiana na sera ya Umar, kwani Umar ndiyealiyeanza kuwaweka watu wa ukoo wa Bani Umayyah kwenye mkondo wakuelekea kwenye mamlaka na akazidisha mvuto wao kwa njia isiyodhahiri, walimweka ndugu yao Uthman kwenye kazi kubwa kabisa.

SERA LEGELEGE YA HAZINA YA UMMA.

Kipengele ambacho Khalifa wa Tatu kwa dhahiri alitofautiana na wenzakewawili aliowafuata ni sera legelege ya hazina ya umma. Ni jambolinaloeleweka vema kwamba Makhalifa wawili wa mwanzo waliishimaisha rahisi na duni, wao na familia zao. Wakati wowote Umar alipowaa-giza watu wafanye jambo, alitarajia ndugu zake kuwa mfano kwaWaislamu wengine katika kufuata agizo hilo. Khalifa wa tatu kinyumechake aliishi maisha ya anasa na wakati wote alikuwa anawamwagia nduguzake zawadi kutoka kwenye hazina ya umma. Aliwapendelea ndugu zakekwa kuwapa misaada mikubwa ambayo hawakuwa wazingativu wamafundisho ya Kiislamu kuliko Waislamu wengine.

KUHESHIMU HUKUMU YA UHAMISHO YA MTUKUFU MTUME (S.A.W.W.).

Al-Baladhuri ameandika kwamba Uthman alimpa mjomba wake Al-Hakam Ibn Abu Al-Aas dinari laki tatu (sawa na dola za Kimarekani laki

117

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 117

Page 134: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

tatu wakati huo wa kuandika kitabu hiki) baada ya kumrudisha Madina.94

Mtu huyu alikuwa mmojawapo wa maadui wabaya sana wa MtukufuMtume (s.a.w.w.) kabla hajawa Mwislamu. Baada ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kuteka Makka, Al-Hakam alikwenda Madina akitangazaUislamu kinafiki na kwa sababu tu ya kuokoa maisha yake. Bado aliende-lea kumbughudhi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Alikuwa na desturi yakumfedhehesha yeye kwa kuiga mwendo wake. Wakati mmoja MtukufuMtume (s.a.w.w.) alimuona anachungulia chumbani kwake kupitia kwenyempasuko wa mlango. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitoka nje akiwaamekasirika na alipomtambua, akasema: “Hivi yupo mtu wa kunishutumukama nikimuadhibu huyu mdudu aliyelaaniwa?” Halafu akamwadhibukwa kumhamisha yeye na familia yake na kumpeleka Ta’if, akawakatazayeye na watoto wake kuishi Madina.

Kitendo cha kumruhusu Al-Hakam na watoto wake kurudi Madina,Uthman alikuwa anapingana wazi kabisa na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) naMakhalifa wawili wa mwanzo, ambao hawakumruhusu Al-Hakam kurudiMadina japokuwa Uthman alifanya upatanishi kwa ajili yake.

Uthman alimpa kaka yake wa kunyonya, Abdullah Ibn Saad Ibn Abu Sarhmoja ya tano (1/5) ya ngawira iliyotekwa na msafara wa kwanza wa kijeshiambao uliongozwa na Abdullah huko Afrika ya Kaskazini. Marwan Ibn Al-Hakam alinunua moja ya tano ya ngawira (1/5) iliyotekwa na msafara wapili huko Afrika ya Kaskazini kwa bei ya dinari laki tano (sawa na dola zaKimarekani milioni tano za wakati huo wa kuandika kitabu hiki). HalafuKhalifa alimruhusu achukue ngawira yote.95

Khalid Ibn Abdullah Ibn Usaid (mtu mwingine wa Bani Umayyah)alipokea dinari laki tatu kutoka kwenye hazina ya umma alipomtembelea,

118

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

94 Al-Baladhuri, Ansab Al-Ashraf sehemu ya 4, uk. 28.95 Ibn al-Athiir, kwenye Al-Kamil sehemu ya 3, uk. 49.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 118

Page 135: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

akiandamana na ujumbe. Khalifa aliagiza kila mtu aliyekuwa kwenyeujumbe huo alipwe dinari laki moja.

Pale Abdullah Ibn Arqam, mtunza hazina wa umma alipokataa kulipa kiasihicho kikubwa cha fedha, Khalifa alimhoji kwa majivuno: “Wewe ni nanikuingilia kati agizo langu? Wewe ni mweka hazina wangu tu.” LakiniAbdullah alijibu vikali akasema: “Sikuamini kwamba mimi nilikuwamweka hazina wako. Mweka hazina wako ni mmojawapo wa watumishiwako. Mimi ni mweka hazina wa Waislamu.” Halafu akaenda akaziangikafunguo za hazina kwenye mimbari ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hapomsikitini na akajiuzulu kazi.

Khalifa aliagiza Abdullah Ibn Arqam alipewa dinari laki tatu baada ya kuji-uzulu kazi; lakini kwa kumuonea huruma, Abdullah alikataa msaada huowa fedha.96

Pia Uthman alimpa Said Ibn Al-Aus dinari laki moja. Na alipowaozamabinti zake watatu au wanne kwa wanamume kutoka kabila la Qureishi,kila mmojawao alimpa dinari laki moja. Alimpa binamu yake Al-HarithIbn Al-Hakam (aliyeadhibiwa kwa kupelekwa uhamishoni na MtukufuMtume (s.a.w.w.)) dinari laki tatu. Alimteua kama mkusanyaji wa Zaka waQudah. Alipokusanya Zaka, Khalifa alimruhusu achukue na kufanya maliyake.97

Hatupaswi kusahau kwamba Abu Sufyani, mzee wa ukoo wa BaniUmayyah, pia alipokea kutoka kwa Khalifa dinari laki mbili, ambapo mzeehuyo alipigana na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwa miaka ishirini na mojana alitangaza kukubali Uislamu kwa sababu tu ya kuponya maisha yakebaada ya yeye na watu wengine wa Makka waliposhindwa kabisa.

119

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

96 Taha Husein, Al-Fitnat Al-Kubraa sehemu ya 1, uk. 193.

97 Dkt. Taha Husein, kwenye Al-Fitnat Kubra yake sehemuu ya 2, uk. 193.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 119

Page 136: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Alishangilia sana Waislamu waliposhindwa na makafiri wa Hawazin hukoHunain, na akasema; “Wataendelea kurudi nyuma hadi wafike baharini.”(Ibn Hishamu aliandika haya kwenye kitabu chake cha Wasifu waMtukufu Mtume (s.a.w.w.). Sehemu ya 2, uk. 443).

Khalifa wa tatu si tu aliwamwagia ndugu zake fedha za hazina ya umma,lakini pia aliwapa maeneo makubwa ya ardhi ambayo yalikuwa mali yaumma.

Fadak, kiunga cha miti ya matunda (ambayo ilikujakuwa mali ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) kwa sababu ilipatikana kwa Waislamu bila vita), piaUthman alikigawa kwa baadhi ya ndugu zake. Fadak ilitakiwa kurithiwa naFatima Binti yake Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), chote au sehemu, lakini AbuBakr aliitaifisha kwa sababu ya hadith ambayo alisimulia kwambaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kwamba kile kinachoachwa na Mitumekingekuwa sadaka. Hata hivyo, Uthman alimpa Fadak Marwan Ibn Al-Hakam, mtu aliyepewa adhabu ya uhamisho na Mtukufu Mtume(s.a.w.w.)! (Sunan Abu Dawood sehemu ya 2, uk. 127).

Uthman hakufuata sera ya wenzake wawili waliomtangulia kuhusu hazinaya umma. Alikuwa akidhani kwamba alikuwa na haki ya kutumia hazinaya Waislamu jinsi alivyotaka mwenyewe. Yeye alikuwa Imam waWaislamu, na alikuwa na haki ya kufanya atakavyo kuhusu matumizi yahazina yao. Hii ilikuwa kinyume cha sera sahihi yenye shuruti iliyofuatwana Khalifa wa pili ambaye alikuwa na tabia ya kutaka mahesabu kamilikutoka kwa wale aliowateua kuhusu matumizi ya hazina ya umma nakuuliza endapo mtu yeyote alijitajirisha miongoni mwao: “Ulipataje rasil-imali hii?” Na alikuwa na desturi ya kurudisha chochote cha ziada katikautajiri wao kwenye hazina ya Kiislamu.

120

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 120

Page 137: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

UMAR NA ABU HURAIRAH.

Umar alimteua Abu Hurairah kukusanya kodi za Al-Bahrain. Alipotambuakwamba Abu Hurairah alitajirika alimwambia: “Nilikupeleka Al-Bahrainambapo ulikuwa huna hata viatu, hukuwa na uwezo wa kununua viatu vyakustiri miguu yako. Nimepewa taarifa kwamba umeuza farasi kwa dinarielfu moja na mia sita.”

Abu Huraira: “Nilikuwa na farasi ambao waliongezeka kwa kuzaana.”

Umar: “Nitazuia mshahara wako na kiasi kile ulichokuwa unapata katikamgawo wa chakula, au uniletee kile ambacho ni ziada ya utajiri wako.”

Abu Hurairah: “Huna haki ya kufanya hivyo.”

Umar: “Ndio, Wallahi ninayo, na nitakuumiza mgongo wako.” Halafuakampiga kwa mjeledi wake hadi mgongo ukatoka damu na akamuamuruamletee fedha ya ziada.Abu Hurairah alipopeleka kiasi kilichotakiwa, alisema: “Ninayo matu-manini kwamba Mwenyezi Mungu atanipa fidia ya hii.” Umar akasema:“Hiyo itakuwa kweli endapo ulipata mali hii kihalali na kulipa kwa hiarikabisa. Wallahi mama yako hakukuzaa ili upate kazi ya ukusanyaji wa kodiya mapato kutoka Hajar, Al-Yamamah, na sehemu za mbali za Al-Bahrain,na ukusanye fedha yote iwe mali yako, na isiwe mali ya Mwenyezi Munguau Waislamu. Mama yako alikuzaa ili uwe mchungaji wa punda.” Halafuakamfukuza kazi.98

Ipo dunia ya tofauti baina ya sera hii yenye masharti na ile ya Uthmanambaye alikuwa na desturi ya kuwapa ndugu zake mamia ya malaki nawakati mwingine mamilioni ya dinari, bila yeye kuona ubaya wa kufanyahivyo.

121

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

98 Ibn Abu Al-Hadiid, kwenye fasili yake za Nahjul Balaghah, Juz. 3, uk. 104

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 121

Page 138: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

MISAADA MINGINE KWA WATU WENGINE.

Ukarimu wa Khalifa haukuishia kwa ndugu zake. Ukarimu huo ulienezwakwa watu wengine ambao alikuwa anawalipa kiasi kikubwa kama zawadikwa ajili ya uaminifu wao kwake au kama kitulizo kwa baadhi ya wapin-zani wenye uwezo. Alimpa Zubeir dinari laki sita, na Talha Ibn Ubaidullahalimpa dinari laki mbili.99

Masahaba hawa wawili walikuwa wajumbe wa jopo la uchaguzi ambalondilo lilimfikisha Uthman kwenye Ukhalifa.

Hapana yeyote kati ya masahaba hawa wawili aliyekuwa anahitaji msaadawa fedha. Wote wawili walikuwa matajiri wenye miliki na biashara kubwa.Walikuwa na mashamba makubwa mengi na fedha taslim.

Inafaa kuona kwamba historia haisemi kwamba ukarimu wa Khalifaulielekezwa kwa watu wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ambaoQur’ani Tukufu iliwatengea, angalau moja sita (1/6) ya moja ya tano (1/5)ya ngawira.

SERA YA MAGAVANA WA MAJIMBO.

Magavana wa majimbo walifanya yale waliyotarajiwa kwa kufuata serainayofanana na ile ya Khalifa katika kushughulikia hazina ya Waislamu.Imesimuliwa kwamba Waliid Ibn Aqabah alichukua mkopo kutoka kwenyehazina ya Kufah alipokuwa gavana wa jiji hilo. Wakati wa kulipa ulipowa-dia, mweka hazina Abdullah Ibn Mas’ud alimwambia alipe deni hilo laki-ni Waliid hakulipa. Mweka hazina alipodai malipo, gavana alimwandikiaKhalifa akilalamika kuhusu mweka hazina. Khalifa alimwandikia mweka

122

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

99 Taha Husein, Al-Fitnat Al-Kubra sehemu ya 1, uk. 77.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 122

Page 139: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

hazina akimwambia amwache Waliid alivyo na deni lake na akamwambiakwamba yeye alikuwa mweka hazina tu wa Khalifa. Alipopata taarifa hii,Ibn Mas’ud alijiuzulu kazi kwa hasira.100

Waislamu wa Kufah walikuwa na bahati kuwa na mtu kama Abdullah IbnMas’ud ambaye alikuwa na ujasiri wa kumkabili Waliid na kumtaka alipedeni. Waislamu wa Syria hawakuwa na bahati hiyo. Muawiyah alikuwamtawala dikteta wa Syria ambaye mamlaka yake hayakuwa na mipaka.Alikuwa akiishi kama mfalme, alikuwa anashughulikia hazina ya umma yaSyria kama vile ilikuwa ya kwake binafsi, bila usimamizi wowote.Alitumia hazina ya umma kwa kununua utii na kuungwa mkono na wate-mi wa makabila ya Syria na watu mashuhuri wenye mvuto. Alikuwa ana-jitayarisha kumrithi, Uthman, na alikuwa na muda wa kutosha wa mata-yarisho kama haya.

Kwa kweli, alianza matayarisho yake kuhusu kufanikisha lengo lakewakati wa utawala wa Umar. Ubadhirifu na israfu ulidhihiri kwa Umarmwenyewe. Khalifa wa Pili alipokwenda mpakani mwa Syria, alikasirish-wa na maisha yake ya anasa ya hali ya juu. Lakini Muawiyah alimridhishaKhalifa kuhusu ukamilifu wa sera yake, akitumia ujasiri na Falme yaRumi, kama kisingizio cha kutetea matumizi mabaya ya hazina ya umma.

Ni jambo la kushangaza kwamba Khalifa alimtaka Abu Hurairah kutoamaelezo ya kina ya matumizi ya dinari elfu moja na mia sita, lakinialishindwa kumuuliza Muawiyah ni jinsi gani aliweza kumudu kuendeshamaisha yake ya anasa.

Miongoni mwa magavana, si Muawiyah tu aliyekuwa akitumia fedha kwamaslahi yake binafsi. Maafisa walioteuliwa na Uthman walifuata mbinuhiyo hiyo kulingana na mamlaka yao na kutokana na usimamizi. Wotewalikuwa wanafanya kazi kwa lengo la kubadilisha Ukhalifa kuwa utawala

123

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

100 Al-Baladhuri, kwenye Ansab Al-Ashraf, seheku ya 4, uk. 31.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 123

Page 140: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

wa kidikteta na ulimwengu wa Waislamu kuwa ufalme wa Bani Umayyah.

Sera hii isiyo na tahadhari ilikuwa na matokeo mengi mabaya:Kukua kwa utajiri wa tabaka la watu matajiri kwenye jamii ya Kiislamu.Wengi wa watu binafsi wenye kubahatika ambao walipokea zawadi kuto-ka kwa Khalifa na maafisa wake aliowateua waliwekeza fedha zote aukiasi fulani katika kununua mashamba na biashara. Mpango huu uliwapa-tia faida kubwa sana. Masahaba wengi waliokuwa wanalipwa mishaharamikubwa wakati wa utawala wa Umar walitajirika sana kwa kuwekezaziada ya mishahara yao kwenye mashamba na biashara. Utajiri wa masa-haba hawa ulitarajiwa kukua kufautana na kupita kwa muda. Uthmanalipowaruhusu masahaba kuishi nje ya Madina (kusitisha sharti lililowek-wa na Umar kwa masahaba), wengi wa masahaba hawa matajiri walionanjia mpya za kuongeza utajiri wao. Walinunua majumba, viunga vya mitiya matunda na ardhi huko Iraq na majimbo mengine. Khalifa wa tatu piaaligawa ardhi ya umma huko Hijaz kwa ndugu zake wengi, marafiki nawanaomuunga mkono.

Mapatano ya kibiashara na mabadilishano ya milki kubwa baina ya wami-liki utajiri waliokuwa wanaishi Iraq na wenzao walioko Hijaz na Yemenyaliendelea, na Khalifa aliyatilia mkazo mapatano haya ya biashara.101

Hivyo, mapatano mengi yalifanyika na mitaji ya wafanya biashara hawailiongezeka haraka.

Masahaba wengi na watu wengi waliibuka kuwa mamilionea. Rasilimaliya Zubeir ilifika dinari milioni 40102 na kwamba rasilimali ya Talha ilifikadinari milioni 30103 na utajiri wa Abdul-Rahman Ibn Auf ulifika dinarimilioni tatu. 104

124

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

101 Ibn al-Athiir, kwenye Al-Kamil, Sehemu ya 3, uk. 52.102 Ibn Saad, kwenye Al-Tabaqat yake, sehemu ya 3, uk. 110.103 Ibn Saad, kwenye Al-Tabaqat yake, sehemu ya 3, uk.222.104 Ibn Saad, kwenye Al-Tabaqat yake, sehemu ya 3, uk. 126

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 124

Page 141: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Matokeo mengine ya jinsi Khalifa wa Tatu alivyosimiamia hazina yaumma yalikuwa ni ongezeko la shinikizo kwa walipa kodi wa nchi zili-zotekwa. Ukarimu wa Khalifa na maafisa wake aliowateua kwa kazi yakusimamia hazina ya umma na zawadi zao kwa watu binafsi ulihitaji fedhataslim ambazo hazingepetikana isipokuwa kwa njia ya kutoza kodi kubwazaidi kwenye zile nchi zilizotekwa. Kitengo hiki hakikutajwa wazi wazikatika historia yetu, kwa sababu maumma yaliyotekwa hayakuwa na mam-laka au sauti ya kisiasa.

Mazungumzo baina ya Khalifa na Amr Ibn Al-Aus (ambaye aliwahi kuwagavana wa Misri na nafasi yake ikachukuliwa na Abdullah Ibn Abu Sarh)yaonesha ongezeko la shinikizo kwenye nchi zilizotekwa. Khalifaalimwambia Amr: Ngamia wanatoa maziwa mengi zaidi baada ya kuondo-ka wewe.” (Alimanisha kwamba fedha nyingi zaidi zilikuwa zinaingiakutoka Misri baada ya kufukuzwa kwake). Na Amr alijibu: “Ndio, lakiniwatoto wao wameangamia!” (alimaanisha kwamba kwa kutoza kodi zaidikutoka kwa watu wa Misri, Wamisri walikuwa wanafanywa maskini).105

KUONGEZEKA KWA UPINZANI.

Upinzani wa awali dhidi ya Khalifa wa tatu ulianzishwa mwanzoni mwautawala wake na Ammar Ibn Yasir na Al-Miqdad Ibn Al-Aswad, ambaowalikuwa masahaba mashuhuri na walikuwa hawana tamaa ya kisiasa nakutajirika. Upinzani huo ulitulizwa mnamo miaka michache ya mwanzowa utawala wa Khalifa wa tatu, kwa sababu ya kukosa watu wa kuungamkono na kwa sababu kile walichotarajia kutokea hakikutokea mwanzonimwa kipindi cha utawala wake.

Hata hivyo, matukio yaliyotokea baadaye yalitoa mchango wa kukua hara-ka kwa upinzani. Nia ya upinzani ilikuwa ama ya kidini au kisasa na maranyingine ilikuwa sababu zote mbili.

125

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

105 Al-Fitnat Al-Kubra, Sehemu ya 1.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 125

Page 142: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Abdul-Rahman Ibn Awf, mtu ambaye alimteua Uthman na kumwekakwenye mamlaka, alikuwa mmojawapo wa wakosoaji wa mwanzo dhidi yaKhalifa. Hakufurahishwa kuona Khalifa aliyemteua anafuata serakinyume na ile ya Makhalifa wawili wa mwanzo, japokuwa aliahidikufanya hivyo wakati wa kuteuliwa. Bila shaka masahaba wengi walim-laumu Abdul-Rahman kwa kumteua Uthman na kumnyang’anya Ali ukhal-ifa. Walimuona yeye ndiye mwenye kuhusika na sera ya Khalifa katika usi-mamizi wa hazina ya umma na kulazimisha mamlaka ya Bani Umayyahkwa Waislamu.

Abdul-Rahman alibadili moyo wake kuhusu mtu aliyemteua na kugeukanyuzi 180 kutoka kwenye msimamo wa muunga mkono mkubwa kabisawa Khalifa na kuwa adui yake na mkosoaji wake.

Mkondo aliouchukua Uthman labda ulimuonesha Abdul-Rahman kwambaukhalifa ungeendelea kumilikiwa na Bani Umayyah baada ya Uthman.Ndugu wa Khalifa walikuwa na uwezo na mamlaka makubwa sana nawalikuwa wanaweza kuuweka Ukhalifa kwenye ukoo wao. Wakiwa namvuto usio na mpaka kwenye akili ya Khalifa, waliweza kumridhisha iliampe mmoja wao Ukhalifa. Hivyo, Abdul-Rahman kwa kuchelewa kabisaaling’amua kwamba matumaini yake ya kuwa mrithi wa Uthman yalikuwasi ya kweli.

Tunaweza kukumbuka kwamba Ali alimwambia Abdul-Rahman baada yakumteua Uthman: “Wallahi, ulimpa uongozi ili tu baadaye aurudishekwako. Mwenyezi Mungu naakutaabisheni wewe na yeye kwa kuchukianawenyewe kwa wenyewe kwa mfululizo!”

Endapo Abdul-Rahman angekuwa na kumbukumbu nzuri angekumbukaonyo hilo ambalo alilipata kwenye ndoto yake wakati wa kipindi cha sikuza Jopo la Uchaguzi. Aliota ndoto ya mbuga ya majani mabichi ambamongamia mzuri aliingia na akapita humo bila kula hata jani moja. Ngamiahuyo alifuatiwa na ngamia wengine wawili, mmoja baada ya mwingine, na

126

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 126

Page 143: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

walifuata tabia yake. Halafu alipita ngamia wa nne na alikula kila kitu ali-choweza. Abdul-Rahman alifasiri ndoto yake kwa kufikiria kwambangamia wa nne angekuwa Khalifa wa tatu ambaye hangefuata maadili yaMtukufu Mtume (s.a.w.w.) na makhalifa wawili wa kwanza katika kusi-mamia hazina ya umma.

Kwa sababu ya ndoto hii, Abdul-Rahman hakutaka kuwa Khalifa wa tatu,asije kuwa ngamia wa nne. Kama Abdul-Rahman angekumbuka ubashiriangetambua kwamba hakuzingatia onyo lililokuwemo kwenye ndoto hiyo.Angetambua kwamba alimteua mtu ambaye asingemchagua naakamwacha mtu ambaye angemchagua. Kama angemteua Ali angeliepushaumma kwenye matukio yote ya msiba ambayo yalitokea baadaye.

Unaweza kukumbuka kwamba Umar pia aliona kwenye ndoto zake kwam-ba mtu aliingia kwenye bustani ya matunda na aliokota kila tunda lililobichi na lililoiva na kuyaweza chini ya miliki yake. Huu ubashiri wa ainambili ulifanana na mwitiko wa kila aliyeota ndoto hizi mbili. Wote wawiliwalimchagua mwokotaji na mlaji mlafi.

WAJUMBE WENGINE WAWILI WA JOPO LA UCHAGUZI.

Talha na Zubeir ambao pia walikuwa wajumbe wa Jopo la Uchaguzi, wal-ijiunga na upinzani. Zubeir hakuwa na vurugu sana katika upinzani wakekuliko Talha.

Ni vigumu kuamini kwamba masahaba wawili hawa walimpinga Uthmankwa sababu ya ufujaji wa hazina ya umma. Kama mambo yalivyo, Khalifaaliwapa ndugu zake kiasi kikubwa cha fedha, lakini masahaba hao wawilinao walipata mafungu yao makubwa ya ukarimu wake. Mgawo wa Zubeirulikuwa dinari laki sita na Talha alipokea dinari laki mbili. Hawakuwezakuzuia msaada wa Khalifa kwa ndugu zake ambapo walihalalisha msaadawa kwao.

127

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 127

Page 144: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Inaonekana kwamba watu hawa wote wawili walikuwa wagombea wakumrithi Uthman. Umar alipowapa nafasi ya ujumbe wa kuwa kwenyeJopo la Uchaguzi, kwa hakika alikuwa amewapa sifa ya kustahili kuwakatika uongozi. Utajiri mkubwa wa masahaba hao wawili uliongezeaumaarufu mbele ya macho yao na macho ya Waislamu wengi. Talha ali-pata watu wanaomuunga mkono wengi sana huko Basrah na hivyo hivyoilikuwa kwa Zubeir huko Kufa. Kama Abdul-Rahman, masahaba haowawili waliogopeshwa na ukuaji wa haraka wa mamlaka ya ukoo wa BaniUmayyah ambayo yaliwawezesha kuwa washindani na sahaba yeyote kati-ka kugombea uongozi.

Ilikuwa inawasumbua wao kudhani kwamba Uthman angemteuaMuawiyah au mtu mwingine wa ukoo wa Bani Umayyah kurithi ukhalifa.Mabadiliko ya hali ya mambo yaliashiria kwamba Bani Umayyahwangeubakisha ukhalifa kwenye ukoo wao, hivyo kuziba njia yaMaquraishi wengine wasipate kazi hiyo kubwa. Masahaba hao wawiliwalitambua kwamba kimya kingetoa mchango kwa ushindi wa BaniUmayyah katika kufanikisha lengo lao. Kwa sababu hii, waliamuakumpinga Khalifa na kujaribu kukomesha utawala wake kabla hajamch-agua mtu kutoka ukoo wa Bani Umayyah kuwa mrithi wake. Hali hiiingemwezesha mmojawapo wa masahaba hao wawili kumrithi Khalifa.

AISHA

Aisha, mke wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) pia aliungana na upinzani.Akawa mkosoaji wa dhahiri wa Uthman, akimshutumu yeye kwakuchukua mwelekeo tofauti na ule wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Marakwa mara alionesha nguo ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), akisema kwambanguo ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ilikuwa bado haijachakaa, lakiniUthman alikwisha yaharibu maadili ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Alikuwa na desturi ya kumwita Uthman ‘Naathal’ (Myahudi mwenyendevu nyingi). Waandishi wa historia wameandika kwamba alikuwa na

128

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 128

Page 145: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

tabia ya kusema: “Muueni Naathal kwa sababu ametelekeza imani.”106

Inaonesha kwamba nia yake ilikuwa ni ya kisiasa tu wala si ya kidini.Hakukasirishwa na ukiukwaji wa sharia ya Kiislamu wa Uthman, kwasababu yeye mwenyewe alijiruhusu kukiuka amri kubwa zaidi yaMwenyezi Mungu. Aisha alimpinga Ali ambaye alishikamana sana naKitabu cha Mwenyezi Mungu na maadili ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.).Alikuwa mpinzani mwenye vurugu zaidi wa ndugu yake Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) kuliko katika upinzani kwa Uthman. Aisha alimkosoa Uthmankwa sababu aliwaumiza baadhi ya masahaba na alifuja hazina yaWaislamu, bado alianzisha vita ambayo vilisababisha vifo vya Waislamumaelfu. Kuua Waislamu ni dhambi kubwa zaidi kuliko kuwajeruhi aukupora kiasi fulani cha fedha zao.

Nia yake katika kumpinga Uthman ilifanana na ile ya Talha na Zubeir.Aisha alitaka binamu yake Talha au shemeji yake Zubeir amrithi Uthman.Ukuaji wa mvuto wa Talha katika upinzani dhidi ya Khalifa ulimfurahishasana Aisha.

At-Tabari aliandika kwamba Aisha alimwambia Ibn Abbas: “Wewe ni mtuwa kuelewa, mwenye busara na uwezo wa kujieleza. Kwa jila naMwenyezi Mungu ninakuomba usiwazuie watu kwenda kumuunga mkonoTalha. Hali ya Uthman imedhihiri. Watu kutoka miji mikuu mbalimbaliwamekusanyika kwa tukio kubwa ambalo litatokea hivi karibuni.Nimepata taarifa kwamba Talha tayari anadhibiti nyumba zenye hazina yaumma na funguo zote anazo yeye. Nadhani, Mwenyezi Mungu, akipendaatafuata njia ya binamu yake Abu Bakr.” Ibn Abbas alimjibu kwa ukali,akasema: “Mama, kama jambo lolote litamtokea Uthman, watu watakim-bilia kwa mtu wetu (Ali).” Aisha, kama mambo yalivyo, yeye

129

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

106 Al-Tabari, Historia ya Mitume na Wafalme, kuhusu matukio ya mwaka 36,uk.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:42 PM Page 129

Page 146: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

hakukubaliana naye, lakini alimwambia: “Ewe Ibn Abbas, mimi sitaki kuk-ufanyia uadui wewe au kubishana na wewe.”107

Aisha alikuwa anatazama matukio kwa macho ya Talha na Zubeir.Matumaini yake kwamba mmoja kati ya hao wawili angefika kwenyeukhalifa kupitia ushirikiano na Uthman yalikuwa yanafifia pole pole kwakulinganishwa na ukuaji haraka wa uwezo na mamlaka ya Bani Umayyahna Uthman kuendelea kuwa Khalifa. Ilidhihiri kwa Aisha na masahaba haowawili kwamba Khalifa angefuata ushauri wa watu kama Marwan naMuawiyah tu, na kwamba washauri hawa wangemshauri kuchagua mrithikutoka ukoo wa Bani Umayyah.

Aisha na masahaba hawa wawili walifikiri kwamba kimya chao kingewa-saidia Bani Umayyah katika kufanikisha lengo lao. Kwa sababu hii masa-haba hawa wawili wakapiga ukelele dhidi ya Khalifa, na Aisha aliwatakaWaislamu wamuuwe.

AMR IBN AL-’AS.

Amr Ibn Al-’?s alijiunga na upinzani. Mwanasiasa huyu hakuwa na tamaaya kuwa Khalifa. Yeye hakuwa miongoni mwa masahaba wa siku zamwanzo au mjumbe wa Jopo la Uchaguzi, wala hakuwa na mvuto unaohi-tajika kumfanya yeye atamani kufika kwenye kazi ya ukhalifa. Upinzaniwake ulikuwa msukumo wa nia ya kutaka kulipa kisasi. Al-’?s alikuwagavana wa Misri wakati wa utawala wa Umar. Alitaka kuendelea kwenyekazi ya ugavana, lakini Uthman alimfukuza na badala yake akamteuaAbdullah Ibn Saad Ibn Abu Sarh. Alirudi Madina, akangojea fursa ya kum-rukia Khalifa. Aisha na watu wengine walipoanza kampeni yao dhidi yaUthman, Amr akawa mchochezi aliyefahamika sana. Alitumia akili yakena utashi wake katika kuwachochea watu dhidi ya Khalifa.108

130

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

107 Ibn Abu Al-Hadeed, Fasili za Nahjul Balaghah, Juz. 2, uk. 506.108 Ibn al-Athiir, Al-Kamil sehemu ya 3, uk. 82.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 130

Page 147: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Uthman alipouawa, Amr aliungana na waliokuwa wanataka kulipa kisasicha damu ya Uthman kwa sababu Muawiya alimuahidi ugavana wa Misri.

UPINZANI KUTOKA KWA MASAHABAWASIOKUWA MAQURAISHI.

Masahaba kutoka kabila la Maquraishi hasa zaidi walisukumwa na tamaaya kisiasa katika upinzani wao kwa Uthman. Upinzani uliotokana namsukumo wa kidini ulitoka kwa masahaba mashuhuri wasio Qureishi.Aliyefahamika sana miongoni mwao katika historia ya wakati huoalikuwa:

ABU DHARR.

Khalifa wa Tatu alipompa binamu yake Marwan dinari milioni tano, naZayd Ibn Thabit dinari laki moja, na Harith, kaka yake Marwan, dinari lakitatu, Abu Dharr alipiga kelele mara nyingi akikariri aya ya Qur’ani ifu-atayo: “Wape habari ya adhabu kali kwa wale wanaokusanya nakuhodhi dhahabu na shaba na hawazitumii katika njia ya MwenyeziMungu.”

Uthman aliwatuma wajumbe wake kwa Abu Dharr wamkataze asikaririmaneno hayo ya Qur’ani. Abu Dharr alikataa, akasema: “Uthman anatakakunizuia mimi nisikariri Kitabu cha Mwenyezi Mungu na kuwakanya walewanaoacha kutii amri ya Mwenyezi Mungu? Wallahi inapendeza zaidikwangu mimi na vizuri zaidi kwangu mimi kumridhisha Mwenyezi Mungukwa kumkasirisha Uthman kuliko kumkasirisha Mwenyezi Mungu kwakumridhisha Uthman.”109 Msimamo huu ulimkasirisha Uthman.

131

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

109 Ibn Abu Al-Hadeed, Fasili za Nahjul Balaghah, Juz. 1, uk. 240.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 131

Page 148: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Haikuwa vigumu kwa Uthman kutatua tatizo la Abu Dharr na wakosoajiwengine wote, Abu Dharr mwenyewe alimwambia Uthman ufumbuzi watatizo hilo. Siku moja alimwambia ‘Fuata njia ya makhalifa wawiliwaliokutangulia na hakuna mtu atakaye kukosoa wewe.” Lakini Khalifahakuwa na mawazo ya aina hii. Alitaka kufumbua tatizo hilo kwa kumwad-hibu yeyote aliyeweza kukmpata. Kwa dhahiri, hakuweza kutambuakwamba kulitibia

tatizo hili la ukosoaji wenye ukweli ndani yake, kwa kutumia nguvukungeweza kuletea matatizo makubwa zaidi.

ABU DHARR UHAMISHONI.

Ilikuwa vigumu Khalifa kuwaadhibu wakosoaji Maquraishi. Tayari walik-wishakuwa na uwezo wa mamlaka makubwa mno yeye kuweza kuwaad-hibu. Abu Dharr na wengine kama yeye, japokuwa walikuwa na sifa nzuriza Kiislamu, wala hawakuwa na uwezo, ama matajiri. Khalifa alichaguaadhabu ya aina ambayo ilikuwa haistahili na haitekelezeki kwao.Alichagua adhabu ya kumpeleka uhamishoni Abu Dharr, ambayo imeain-ishwa na Qur’ani kwa ajili ya watu walioko vitani dhidi ya MwenyeziMungu na Mtume Wake (s.a.w.w.), na wenye kufanya ufisadi juu ya ardhi.Abu Dharr hakuwa miongoni mwa hawa. Yeye kwa usahihi zaidi alikuwasahaba mwadilifu, ambaye matamanio yake yalikuwa kukataza maovu nakuamrisha mema. Hakutoa changamoto dhidi ya mamlaka ya serikali(Khalifa), wala hakushawishi watu wamuasi yeye.

Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikosolewa na mnafiki ambaye alimwambia:“Lazima ufanye haki katika kugawa ngawira miongoni mwa Waislamu.”Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) hakumhamisha, wala hakumwadhibu.Alimwambia tu yeye: Laana ikuangukie. Kama mimi sikutenda haki naniatakaye fanya hivyo?”

132

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 132

Page 149: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Abu Bakr aliwaambia watu waliomchagua: “Mnitii mimi almuradi miminina mtii Mwenyezi Mungu. Kama nisipomtii Yeye, hamtawajibika nyinyikunitii mimi.”

Umar alikuwa na desturi ya kusema: “Mnapoona mimi nimepotoka, jari-buni kunirejesha kwenye njia iliyonyooka.”

ABU DHARR NA MUAWIYA.

Uthman hakuchukua msimamo wa wale waliomtangulia yeye.Alimhamisha Abu Dharr kwenda Syria, akamweka chini ya mamlaka yaMuawiyah, ambaye kwa hakika alikuwa serikali ndani ya serikali.Alipoona israfu ya Muawiya na ufujaji wake wa hazina ya umma, AbuDharr aliinua sauti dhidi yake. Muawiya alipojenga Ikulu yake maarufuiliyopewa jina la Al-Khadra, Abu Dharr alimwambia: “Kama fedha iliyo-jenga jumba hili inatoka kwenye hazina ya Waislamu, ni wizi. Kama ina-toka mfukoni mwako, ni ufujaji.”

Abu Dharr alikuwa na desturi ya kupiga kelele mlangoni kwa Muawiyah,akisema: “Ewe Mwenyezi Mungu, walaani wale wanaoamrisha mema nakisha wao wenyewe hawatendi mema. Na uwalaani wale wanokatazamaovu na wao wenyewe hutenda maovu.

UHAMISHO WA KUDUMU.

Hali hii ilimkera Muawiyah. Alilalamika kwa Khalifa kuhusu Abu Dharr.Khalifa alimuita arudi Madina na alisafirishwa kwenda Madina kwa njia yakikatili sana.110 Abu Dharr alipofika Madina, Khalifa alimuona badoanang’ang’ania kwenye msimamo wake wa ukosoaji dhidi ya serikaliyake. Kwa sababu hii alimuamuru aondoke Madina. Abu Dharr aliomba

133

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

110 Ibn al-Athiir, Al-Kamil, sehemu ya 3, uk. 56.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 133

Page 150: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

ruhusa arudi Damascus, au aende Misri, au Makka, kwa mujibu wa riwayazingine. Khalifa hakumruhusu kufanya hivyo. Alimuamuru aende kwenyejangwa la Najd, akimwambia: “Elekea upande huu na usiende mbele zaidiya Al-Rabathah.”

Khalifa aliwaagiza watu wasiseme na Abu Dharr wala kumuaga. AbuDharr alipokuwa anaondoka, Marwan alitembea naye kwa lengo lakuwazuia watu wasiseme naye. Hakuna mtu aliyediriki kuwa naye wakatianaondoka isipokuwa Imam Ali, wanae wawili Hasan na Husein, kakayake Aqiil na Ammar Ibn Yasir. Kwa kufanya hivi, walikuwa wamekiukaamri ya Khalifa. Hali hii iliongeza kuzidi kuzorota kwa uhusiano wa Imamna Khalifa. Maneno ya mwisho ya Imam kwa Abu Dharr yalikuwa yafu-atayo:

“Ewe Abu Dharr, uliwapinga watawala kwa sababu hawakumtii MwenyeziMungu. Weka matumani yako Kwake. Watawala walikuogopa wewe kwaajili ya maslahi yao binafsi, na wewe ulihofia wangeitia hatarini dini yako.Waachie mikononi mwao yale wanayotaka kuyalinda na kimbia uchukueyale ambayo unataka kuyalinda. Watawala hawa wanataka kuwa navyovile vitu ambavyo wewe ulijaribu kuwanyang’anya. Utatambua ni nanimwenye hatima ya furaha na wakuonewa wivu. Kama mbingu na duniazikifunga milango juu ya mtumishi mwadilifu wa Mwenyez Mungu, Yeyeatampa mlango wa kutokea. Uache ukweli uwe ndio rafiki yako na uwon-go uwe ndio tu adui yako. Endapo ungekuwa umekubalia hiyo njia yao,wao wangekupenda; na endapo ungegawana ngawira na wao wangekuami-ni.”111

Baadhi ya waandishi wa historia wanasema Abu Dharr aliondoka Madinakwenda Rabathah kwa hiyari, lakini inaonesha kwamba hakunauwezekano wa Abu Dharr kuchagua kuwa bedui wa kuishi jangwanibadala ya kuishi kwenye jiji la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Hata hivyo, upo

134

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

111 Nahjul-Balaghah, sehemu ya 2, uk. 12-13.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 134

Page 151: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

uhakika kwamba alihamishwa na kupelekwa Damascus kabla hajakwendaRabathah, halafu akarudishwa Madina. Hakushauriwa kuhusu uhamishowake wala kurudi kwake.

Abu Dharr aliweka makazi yake Rabathah, wakati wote aliishi maisha yataabu na ufakiri usiovumilika hadi alipoaga dunia. Alipokufa, hapakuwepona watu wa kutosha kumzika. Endapo isingekuwa Abdullah Ibn Mas’ud nawenzake wachache (pamoja na Malik Al-Ashtar) kupita njia hiyo, AbuDharr asingezikwa.

Uhamisho wa Abu Dharr kwenda Rabathah ulikuwa ni kosa kubwa la kisi-asa kwa upande wa Khalifa. Waislamu wema walishtushwa na ushamishowa sahaba huyu mashuhuri, kwani yeye alikuwa na msimamo usioteterekakatika jitihada zake za kuwa mkweli. Alikuwa kipenzi cha Mtukufu Mtume(s.a.w.w.), na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alisema kuhusu yeye: “Hapanayeyote chini ya mbingu na juu ya ardhi ambaye ni mkweli zaidi ya AbuDharr.” Waislamu waadilifu walisikitishwa sana kwa yale yaliyomtokeaAbu Dharr kama walivyosikitishwa kwa yale yaliyowatokea wale wali-uokufa vifo vya kishahidi ambao walikuwa mashuhuri kwa kuwa wakweli,ambao roho zao zilijazwa kujitolea katika kuyafikia maadili ya kiwangocha juu ambayo waliishi na kufa nayo.

ABDULLAH IBN MAS’UD.

Abdullah Ibn Mas’ud sahaba mwingine mashuhuri ambaye sio Qureishi,pia aliungana na upinzani. Kama Abu Dharr, Abdullah hakuwa na tamaa yakisiasa au utajiri wa kidunia. Mtu huyu alikuwa mweka hazina wa jimbo laKufa na alijiuzulu kazi kwa hasira Khalifa alipomwandikia: “….Wewe nimweka hazina wetu tu, mwache Waliid (gavana wa Kufa wa ukoo wa BaniUmayyah) alivyo na deni lake alilokopa kutoka hazina.” Riwaya inasemakwamba Abdullah Ibn Mas’ud alikuwa akitoa hotuba ya kila wiki ambapoalijumuisha maneno yafuatayo: “Hakika Kitabu cha Mwenyezi Mungu

135

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 135

Page 152: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

ndicho chenye ukweli hasa, na mwongozo mzuri zaidi ni mwongozo waMuhammad. Na tendo baya zaidi kuzidi yote ni lile lisiloendana namafundisho ya Mwenyezi Mungu na Mtukufu Mtume Wake (s.a.w.w.).Kwani kila tendo la aina hiyo ni bidaa na kila bidaa ni uzushi na kila uzushimwisho wake ni Jahannamu.”112

Waliid alimpa taarifa Khalifa kuhusu hotuba za Ibn Mas’ud zilizojaavijembe na khalifa alimuita. Ibn Mas’ud alipoingia kwenye Msikiti waMtukufu Mtume (s.a.w.w.), Uthman alisema na kuwaambia jamaa: “Mtualiyeingia msikitini hivi punde ni mdudu mdogo aliyemuovu ambaye hus-ababisha mtu kutapika na hutoa kinyesi juu ya chakula anamotembea.” IbnMas’ud akasema: “Mimi sipo hivyo, lakini mimi nilikuwa sahaba waMtukufu Mtume (s.a.w.w.) kwenye Vita vya Badr, Uhud, Hudaybiyah;Khandak na Hunain.” Uthman alimuagiza mmojawapo wa watumishiamtupe nje ya Msikiti. Mtumishi alimbeba juu kwenye mabega yake nje yaMsikiti kwa nguvu.113

Baadhi ya mbavu za Abdullah zilivunjika. Halafu Khalifa akamnyimamshahara. Abdulah aliishi kwa kipindi cha miaka mitatu baada ya hapo,akiendeleza upinzani wake kwa Uthman. Alipokufa aliusia kwambaUthman asisalie maiti yake, na Ammar Ibn Yasir alikuwa ndiye wasiiwake. Ammar alimzika Abdullah bila kumwambia Khalifa kuhusu kifochake.

NA AMMAR IBN YASIR.

Ammar alikuwa mtu aliyeingia kwenye upinzani mwanzoni kabisa.Aliwataka Waislamu wapigane na jamii ya Maquraishi kwa sababu ilim-chagua Uthman kwa uongozi na ikamwacha Ali. Kama alivyoona Ali,Ammar aliona katika mwenendo wa Uthman kuwa kama daraja ambamoukhalifa ungepita kutoka kwa masahaba wema wa Muhammad kwenda

136

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

112 Dr. Taha Husein, Al-Fitnat Al-Kubra sehemu ya 1, uk. 160.113 Dr. Taha Husein, Al-Fitnat Al-Kubra sehemu ya 1, uk. 160-161.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 136

Page 153: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

kwa ukoo wa Bani Umayyah. Mfuatano wa matukio ulikuwa na hatima yakuthibitisha tu kwa Ammar na wenzake yale waliyoyatarajia.Yaliyomtokea Abu Dharr na Abdullah Ibn Mas’ud yalimfanya Ammar awemakini zaidi kwenye upinzani wake dhidi ya Uthman. Ibn Yasir hakuwamtu wa aina ya wale wanaonyamaza kimya anapoona jambo linalokinzanana Kitabu cha Mwenyezi Mungu na mafundisho ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.).

Upinzani wa aina hiyo ulitarajiwa kumweka Ammar kwenye hatari yakupewa adhabu kali sana kutoka kwa Khalifa. Uthman alitakakumhamisha kama alivyofanya kwa Abu Dharr, lakini Ali na masahabawengine walikataa vikali, hali ambayo ilimfanya Khalifa amtishiekumhamisha Ali mwenyewe. Lakini Ali alimwekea pingamizi asifanyehivyo.

Palikuwepo na vito vyenye thamani kubwa kwenye hifadhi ya hazina naUthman aliwapa zawadi wake zake vito hivyo. Watu wakasema kuhusutukio hilo, na Uthman alikasirika kuhusu mzungumzo hayo ya watu.Alisema wakati alipokuwa anatoa hotuba: “Tutachukua kile tunachokihita-ji kutoka hazina hata kama watu wengine hawatafurahi.” Ali alijibu:“Halafu utazuiwa na kukomeshwa.” Na Ammar akasema: “NinamshuhudiaMwenyezi Mungu kwamba mimi ni mtu wa kwanza miongoni mwa watuwasiofurahia tukio hilo.” Uthman alijibu kwa hasira: “Wewe unathubutukuniambia hivyo mimi? Mchukueni.”

Alikamatwa na Uthman akaenda pale alipozuiliwa Ammar. AlimpigaAmmar hadi akazirai, na alidumu katika hali hiyo hadi akaikosa Swala yaAdhuhuri, Alasiri na Magharibi. Alipopata fahamu, alichukua udhu,akaswali swala zake, na akasema: “Sifa zote zinamstahiki Yeye MwenyeziMungu. Hii si mara yangu ya kwanza kuteswa kwa sababu ya jitihadazangu katika njia ya Mwenyezi Mungu.”114

137

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

114 Dr. Taha Husein, Al-Fitnat Al-Kubra sehemu ya 1, uk. 167.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 137

Page 154: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Imesimuliwa kwamba kundi la masahaba (miongoni mwao akiwemoTalha, Zubeir, Al-Miqdad na Ammar) lilimwandikia Uthman baruaambamo lilikosoa idadi fulani ya matendo ya Uthman, lilimshutumu yeyekwa kuisaliti dini yake na kumwonya kwamba kundi hilo lingepigananaye. Ammar aliwasilisha barua hiyo kwa Uthman. Uthman aliposomasehemu ya barua hiyo, alimuuliza Ammar: “Ni wewe peke yako ambaye nijasiri miongoni mwao kunikabili mimi na hii?” Ammar akajibu: “Mimi nimshauri wako bora miongoni mwao.”

Uthman akamwambia: “Mwana wa Sumayah (mama yake na Ammar)umedanganya.” Ammar alijibu hasira: “Kwa jina la Mwenyezi Mungumimi ni mwana wa Sumayyah na Yasir” Uthman akawaagiza watumishikumlaza Ammar chini na kumshika miguu na mikono yake. HalafuUthman akampiga mateke tumboni. Maumivu hayo yalisababisha apatemaradhi ya henia. Ammar alikuwa mzee na dhaifu, akazirai.

Ammar alikuwa ndiye msemaji sana na kwa sauti kubwa sana dhidi yaUthman. Upinzani wake kwa Uthman ulidhihiri kuwa mkubwa kwa sababuya sifa yake njema sana na kwa sababu Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliyoy-asema kuhusu yeye.

UPINZANI KUTOKA NJE YA MADINA.

Utawala wa kidikteta wa Maquraishi katika jamii ya Kiislamu ulianzamwanzoni mwa utawala wa Khalifa wa kwanza. Kwenye hoja yake kuhusuuongozi wa Maquraishi huko kwenye mkutano wa Saqifa, Abu Bakr alise-ma kwa kuwaambia wazalendo wa Madina kwamba Waarabuhawangekubali uongozi wa mtu asiye Qureishi. Kwani Qureishi ilikuwajamii ya daraja la juu sana miongoni mwa Waarabu na jamii ya Jiji linalo-heshimiwa sana.

Baada ya kuambiwa haya, watu wa Madina walikubali uongozi kuchukuli-wa na Maquereishi. Hivyo masahaba wengi wa Makka na Madina wali-

138

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 138

Page 155: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

iona hali hiyo kama ubora wa kikabila. Kwa hoja hii mamlaka ya juu yaMaquraishi yalianzishwa, japokuwa Imani ya Uislamu, dini ya usawa,inakataza aina yoyote ya ukabila.

Ukabila huu ulikua wakati wa utawala wa Khalifa wa Pili na kufikakwenye kilele chake wakati wa kipindi cha utawala wa Khalifa wa Tatu.Fikira ya ubora wa Maquraishi ilikua wakati wa utawala wa Uthman nakufika mbali zaidi hadi kuiona dunia ya Waislamu kuwa Ufalme waMaquraishi. Hatima ya hali hii ilikuwa ionekane kutokuwapendeza watuwenye kuelimika ambao walitambua kwamba Uislamu ni dini ya usawa naudugu. Ujumbe wa Uislamu unalengo la kumnyanyua kila Mwislamu nakuwapa hadhi wote waomuamini Mwenyezi Mungu badala ya kuwapahadhi wachache kwa gharama ya mamilioni wengine.

Waislamu waadilifu walisumbuliwa na dai la Maquraishi la ubora wao kwajina la dini, ambapo Bani Umayyah ambao walichukua nembo ya uongozimiongoni mwa Maquraishi hawakuwa waadilifu hata kidogo miongonimwa Waislamu.

Cheche ya upinzani nje ya Madina ilianza Kufah. Watu wake walio wengiwalikuwa wanatoka Yemen. Riwaya zinasema kuwa baadhi ya viongoziwa Jiji hilo, walipomtembelea gavana, walizungumzia kuhusu viunga vyamiti ya matunda vya Kufa. Mazungumzo baina yao na Kamanda Mkuu waPolisi wa Jiji Abdul-Rahman Ibn Khumeis yalifanyika kama ifuatavyo:

Ibn Khumeis: “Ningependa viunga vyote vingemilikiwa na gavana, nanyinyi watu wa Kufa, mmemiliki viunga vizuri kuliko viunga hivi.”

Maliki Al-Ashtar: “Mtake gavana amiliki viunga vizuri zaidi ya viungahivi lakini hatutaki amiliki rasilimali zetu.”

Ibn Khumeis: Ni vipi utashi wangu ulikuumiza na kufanya wewe ukunjeuso mbele yangu? Kwa jina la Mwenyezi Mungu, kama gavana akitaka

139

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 139

Page 156: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

hivyo, atachukua viunga hivi.”

Al-Ashtar: “Kwa jina la Mwenyezi Mungu, kama akitaka hivyo, hatapatakitu.”

Said alisema kwa hasira: “Viunga vyote hivi vya matunda ni mali yaMaquraishi.”

Al-Ashtar: “Unataka kufanya kile tulichokipata kwa mikuki yetu na kileambacho Mwenyezi Mungu ametupatia, kuwa kiunga chako na watuwako?”

Na watu wengine wakazungumza wakimuunga mkono Al-Ashtar.

Al-Ashtar: “Yupo mtu yeyote hapa? Mtu huyu asiruhusiwe kufanikishaalichosema.”

Watu walimrukia Ibn Khumeis, wakamkanyaga sana hadi akazirai. Halafuwakamvuta. Hatimaye uso wake ulimwagiwa maji hadi akapata fahamu.

Ibn Khumeis alimwambia Said: “Watu uliowachagua wameniua.”

Said: “Hakuna mtu atakaye kuwa na mimi jioni hii baada ya tukio hili.”

Waandishi wengine wa historia wameandika kwamba baadhi ya watuwalisema mbele ya Said kuhusu ukarimu wa Talha Ibn Ubaidullah nakwamba maoni ya magavana na watu waliomtembelea yalikwenda kamaifuatavyo:

Said: “Mtu mwenye utajiri kama wa Talha na miliki zake lazima awekarimu. Endapo ningemiliki mali kama ya Talha, ningekufanyeni muishikatika mafanikio.”

140

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 140

Page 157: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Kijana kutoka kabila la Asad akasema: “Ningependa umiliki viunga vyotevilivyomo pande zote mbili za mto wa Euphrates.” Usemi huu uliwaudhibaadhi ya watu waliokuwepo hapo na kusababisha wamkemee kwa ghad-habu kijana huyo. Baba yake kijana huyo akasema: “Bado mdogo sana.Msimwadhibu kwa yale aliyoyasema.” Wale watu walioudhika wakasema:“Anamtaka Said achukue rasilimali zetu.” Walimrukia kijana huyo. Babayake akataka kumtetea. Watu hao walimpiga baba na mwanae hatakupoteza fahamu. Watu wa kabila la Asad wakapata taarifa ya tukio hili nawalikwenda wakizunguka Ikulu. Said aliwapa maelezo ya kuridhishawakaondoka.115

Maelezo yote ya pande mbili ya tukio hili yanakubaliana kwamba Al-Ashtar na wengine waliokuwa hapo walikaa mbali na gavana na wakase-ma maneno ya upinzani dhidi ya Said na Khalifa bila hofu. Ni kwenyetukio hili ndipo upinzani ulipojitokeza Kufah. Ama taarifa ya kwanza au yapili ndio ilikuwa ya kweli, tukio hili linaonesha kwamba katika kipindihicho watu walichoshwa na mwenendo wa Maquraishi, viongozi wake,madai yao makubwa ya ghilba yao iliyokithiri.

Tukio hili kwa hakika ndilo lililovunja nguvu ya Maquraishi. Mfuatano wamatukio ulikuwa na mwelekeo kwenye mlipuko wa kisiasa usio epukika.Abdullah Ibn Mas’ud alitoa hotuba ambazo zilikosoa sera za Uthman namaafisa wake, zilisaidia kuwafanya watu wa Kufah waelewe tatizo la rush-wa serikalini. Uhamisho wa Abu Dharr pia ulikuwa kipengele kilichotiachachu kwenye upinzani. Tumekwishasema kwamba Al-Ashtar nawengine kutoka Kufa walikuwa pamoja na Ibn Mas’ud wakati wa mazikoya sahaba huyu aliyeonewa. Yale yaliyomtokea Abdullah Ibn Mas’ud baa-daye ni kipengele kingine pia. Watu wa Kufa walikuwa wanamheshimusana sahaba huyu mashuhuri ambaye alitupwa nje ya Msikiti Mtukufu kwanguvu kwa amri ya Khalifa.

141

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

115 Ibn al-Athiir, Al-Kamil, Juz. 3, uk. 71-72.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 141

Page 158: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Watu wa Kufa walimfahamu Ammar Ibn Yasir na sifa yake inayong’arakatika Uislamu. Alikuwa gavana wa jiji lao wakati wa utawala wa Umar.Walikuwa wanamheshimu sana huyu sahaba mashuhuri. Yale yaliy-omtokea wakati wa utawala wa Khalifa wa tatu pia yalikuwa ni kipengelekilichoongezeka na ambacho kilifanyiza mlipuko wa upinzani kutoka kwawatu waadilifu wa Kufa kuwa jambo la kutegemewa. Moto ulikuwa karibuuwake na ulipata cheche yake kwenye tukio lililomhusu Said.

Upinzani wa Kufa ulipata adhabu ile ile aliyopewa Abu Dharr. Uhamishoikawa adhabu ya kawaida kwa anayeikosoa serikali; na Damascus ikawakituo cha wakosoaji waliohamishwa. Wakiwa huko walipata adhabu zaokutoka kwa Muawiyah, mtu mwenye mamlaka makubwa kwa serikali yaKiislamu.

Watu wa Kufa waliohamishwa waliwekwa kwenye kanisa la Mariamu.Muawiyah alikutana nao, aliongea nao na aliwafundisha. Mada ya mafun-zo yake ilikuwa ni sifa maalumu ya Maquraishi katika historia ya Uislamuna kabla ya historia ya Uislamu. Alijaribu kuthibitisha ubora waMaquraishi kwa ukweli kwamba jamii zingine zote zilipata kuvamiwaisipokuwa Maquraishi ambao walilindwa na Mwenyezi Mungu. Pia alise-ma kwamba Mwenyezi Mungu alifanya ukhaifa uwe mikononi mwa masa-haba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wenye asili ya Qureishi. Hivyo, waondio wenye sifa za kustahili uongozi. Halafu akawaambia kwambaMwenyezi Mungu aliwalinda Maquraishi ambapo bado hawajawa waumi-ni.” Mnafikiri kwamba Mwenyezi Mungu hatawalinda wakati ambapo niwafuasi wa dini Yake.”116

Aliwaambia kwamba Abu Sufyani (baba yake Muawiya) alikuwa mtumwenye kuheshimiwa sana na mtoto wa mtu aliyekuwa anaheshimiwasana miongoni mwa Maquraishi isipokuwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),halafu akaongeza: “Nadhani kwamba endapo Abu Sufyani angekuwa baba

142

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

116 Ibn al-Athiir, Al-Kamil, Juz. 3, uk. 70.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 142

Page 159: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

wa watu wote, watu wote wangekuwa na hekima.”117

Said Ibn Sa’sa’ah Ibn Souhan alimuonesha jinsi mfano ule usivyostahikikwa mtu huyo aliyetajwa, kwa kusema: “Adamu alikuwa bora zaidi kulikoAbu Sufyani. Mwenyezi Mungu alimuumba kwa mkono Wake, akapulizapumzi ndani mwake kutoka kwenye roho Yake na akawaamuru malaikawamsujudie yeye. Alikuwa baba wa binadamu wote. Bado tunaona mion-goni mwao wema na waovu, wapumbavu na wenye busara.”

Mantiki ya Muawiyah ilijaa upotoshaji wa ukweli. Alisema kwamba babayake Abu Sufyani alikuwa mtu bora zaidi baada ya Mtukufu Mtume(s.a.w.w.) (pamoja na Abu Bakr na Umar).

Alisahau kwamba ulinzi wa Mwenyezi Mungu uliofanywa kwaMaquraishi haukuwa kwa ajili ya Abu Sufyani, wanawe na wengineo kuto-ka kabila la Qureishi. Kwa usahihi zaidi, ulinzi huo ulikuwa kwa ajili yaile Nyumba Tukufu na kwa ajili ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), mboraaliyetokana na uzao wa Ibrahim. Pia hilo lilikuwa ni jibu la dua ya Ibrahim,Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), ambaye Qur’ani Tukufu inatuambia:

“Na aliposema Ibrahim: ‘Ee Mola wangu Mlezi! Ufanye hu uwe mjiwa amani na uwaruzuku watu wake matunda, wale wanaomuaminiMwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho.’ Akasema: ‘Na mwenye kuku-furu pia nitamstarehesha kidogo, kisha nitamsukumiza kwenyeadhabu ya Moto, napo ni pahala pabaya mno pa kurejea.”118

Muawiya hakufahamu kwamba ukhalifa kwenye uzao wa Ibrahim, pamo-ja na Maquraishi ulifanywa kwa uteuzi wa Mwenyezi Mungu. Uteuzi huohaukuwafikia madhalimu miongoni mwao. Tunasoma kwenye Kitabu chaMwenyezi Mungu:

143

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

117 Ibn al-Athiir, Al-Kamil Juz. 3, uk. 71.118 Qur’ani Tukufu (2:126).

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 143

Page 160: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

“Na Mola wako Mlezi alipomjaribu Ibrahim kwa kumpa amri fulani,naye akazitimiza, akamwambia; ‘Hakika nitakufanya uwe Imam wawatu.’ Ibrahim akasema: “Je, na katika vizazi changu pia? Muwezawa Yote akasema: ‘Ahadi yangu haitawafikia wenye kudhulumu.119

Historia inatuambia kwamba Muawiya aliwaachia huru wale waliopewaadhabu ya kuhamishwa na waliporudi Kufa waliendelea na upinzani wao.Kwa hiyo walihamishwa tena na kupelekwa Humus. Waliwekwa chini yamamlaka ya Abdul-Rahman Ibn Khalid Ibn Al-Walid. Adhabu hii ilikuwakali zaidi ya kukasirisha kuliko ile ya Muawiya. Walimuonesha kutubia, naakawaachia huru. Al-Ashtar alikwenda kwa Khalifa, na Khalifa akam-ruhusu aende popote anapotaka. Alirudi tena Humus. Upinzani ulipozidikuongezeka huko Kufah, Al-Ashtar alirudi na kujiunga na upinzani. Yeyena Yaziid Ibn Qaisw waliongoza umati wa watu kwenda sehemu iitwayoAl-Jarah kumzuia Said Ibn Al-Auss asiingie tena Kufa. Said alirudiMadina na watu wa Kufah walimtaka Uthman amweke Abu Musa (a.s.)kuwa gavana wa Kufa badala ya Said.

Tunaweza kutambua uchungu ambao watu waliopewa adhabu yakuhamishwa walihisi tunaposoma ujumbe kutoka kwa Malik Al-Ashtarkwenda kwa Uthman kama jibu la barua aliyoandika Khalifa kwa watu waKufah akiwakemea wapinzani:

“Kutoka kwa Malik Ibn Al-Harth kwenda kwa Khalifa mwenye mtihani namtenda dhambi ambaye anapotoka kutoka kwenye maadili ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) na kukipatia kisogo Kitabu cha Qur’ani Tukufu.

“Tumesoma ujumbe wako. Lazima ujizuie wewe na maafisa wako msi-fanye udhalimu, uchokozi na kuwapa adhabu ya uhamisho watu wetuwaadilifu. Hali hii itatufanya turidhike na kukutii wewe. Ulidai kwambasisi ndio wakosefu. Huu ni ubunifu ambao ulisababisha wewe kuangamia

144

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

119 Qur’ani Tukufu (2:124).

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 144

Page 161: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

(kiroho) na ulikufanya wewe ufikirie upendeleo ni haki na batili kuwausawa. Kuhusu tunachotaka sisi, tunataka ubadilike na utubu, naumwombe Mwenyezi Mungu msamaha Wake kwa kuwatia hatarini watuwetu wema, unatutoa kwenye majumba yetu na kututawala kutumia vijanawetu. Tunataka umteue Abdallah Ibn Qais, Abu Musa (a.s.), kuwa gavanawa Jiji letu. Tunakuomba uwaweke watu wako wawili hawa, Waliid naSaid mbali na sisi.”120

Khalifa alijibu kwa kumteua Abu Musa kuwa gavana wa Kufa. Upinzanidhidi ya sera ya Khalifa ulienea sehemu zingine nyingi kuvuka mipaka yaKufa. Ulienea hadi Basra huko Iraq na pia Misri. Waandishi wa historiawanatuambia kwamba Muhammad Ibn Abu Bakr na Muhammad Ibn AbuHudhaifah walikwenda Misri na kuwachochea watu waasi dhidi yaUthman. Kwa kuwepo kwa Abdullah bin Saad Ibn Abu Sarh huko Misrikama gavana, hawa Muhammad wawili hawakuhitaji kupeleka Misriushahidi wa nyongeza unaohusu uovu serikalini. Imesimuliwa kwambamtu mmoja wa Misri alikwenda Madina, akalalamika kwa Khalifa kuhusugavana. Mlalamikaji aliporudi Misri, gavana huyo akamuua.

Imesimuliwa kwamba kundi la masahaba waliokuwa Madina wali-waandikia barua masahaba wenzao waliokuwa majimbo mbali mbali,wakisema: “Kama mnataka kufanya Jihad, njooni kwetu. Dini yaMuhammad inanajisiwa na Khalifa wetu. Kwa sababu hii, watuwamemgeuka na kuasi.”121

SASA WATU WAKAMKUMBUKA ALI.

Kuendelea kurudi nyuma kwa matukio ya kisiasa kuliwafanya Waislamuwasio Maquraishi kutambua ukubwa wa msimamo wa kimakosa waMaquraishi kwa Ali. Sasa waliweza kuona kwa uwazi kabisa ukubwa wa

145

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

120 Al-Baladhuri, Ansabul Ashraf, sehemu 4, uk. 46.121 Ibn al-Athiir, Al-Kamil, Juz. 3, uk. 73 na 83.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 145

Page 162: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

kosa ambalo lilifanywa na wajumbe wa Jopo la Uchaguzi walipochepuaukhalifa kutoka kwa Ali na kumpa Uthman. Kwa kufanya hivyo, wal-iuswaga umma na kuingia kwenye kilele cha hatari ambayo ilikuwa hai-japata kutokea. Watu wenye busara walielewa dhahiri kwamba ummausingeingia kwenye kilele cha mgogoro kama Ali angekuwa Khalifa.Hivyo, watu walianza kufikiria kwamba uongozi wa Ali ulikuwa ndioufumbuzi wa tatizo la umma.

Watu walizungumzia habari za Ali bila kuficha na kwa sauti za kusikika naUthman alianza kuona kwamba kuwepo kwa Ali na yeye Madina ni haliiliyofanya matatizo kuwa makubwa zaidi. Uthman alimwomba Ali aon-doke Madina aende kwenye kiunga chake huko Yunbu, ili watu labdawangemsahau; lakini mgogoro ulipozidi kuwa mkubwa, alimwambia arudiMadina ili aweze kuwa kama ngao yake dhidi ya hatari. Halafu Ibn Abbasalikwenda kwake akiwa na ujumbe kutoka kwa Uthman, ambao ulimtakaaondoke aende Yunbu, akitegemea kwamba watu wangeacha kutamka jinalake. Imam akasema: “Ewe Ibn Abbas, Uthman anataka kunifanya mimikama ngamia, kwenda na kurudi ndoo za maji zikiwa zimejaa. Aliniambianiende Yunbu, halafu akaniambia nirudi. Sasa ananiambia niondoke kwen-da Yunbu tena. Wallahi nimemtetea hadi nikaogopa kwamba huenda nina-tenda dhambi.”122

Ali aling’amua kwamba Uthman mwenyewe alikuwa ni tatizo kubwa zaidikuliko lile ambalo Uthman alikuwa anakabiliwa nalo. Mambo yoteyalikuwa chini ya uwezo wa Uthman kwa kubadilisha sera yake kamaufumbuzi wa kutatua matatizo yake yote yaani, jinsi ya kushughulikia haz-ina ya umma, kuwafukuza kazi ndugu zake, na kumwondoa Marwan asiwekaribu naye. Hatua hizi zingemrejeshea uaminifu wa watu kwake na kurid-hika kwao.

146

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

122 Nahjul Balaghah, sehemu ya 2 uk. 233.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 146

Page 163: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Kwa upande mwingine, Ali hakuwa na njia za kutatua tatizo lake na tatizola umma lililopo kwa Uthman mwenyewe. Ali alikuwa anaona kupitia nuruya Mwenyezi Mungu kwamba kuendelea kudumu kwa umma na hatimayake ni hali ambayo ingeamuliwa kwa kiwango kikubwa na jambo amba-lo lingempata Uthman. Uthman alikwishaanzisha sera ambayo inge-wawezesha ukoo wa Bani Umayyah kutawala dunia ya Waislamu kwavizazi vingi vifuatavyo. Bado watu wa ukoo wa Bani Umayyah walifa-hamika kwa wao kutokuwa waaminifu kwa Uislamu. Walisilimu hapo tuambapo waliona wameshindwa kabisa.

Ali aliwatambua vizuri sana kama watu wazima na watoto. Ni yeye ndiyealiyevunja nguvu yao na kuwadhalilisha hadi wakakubali imani yaUislamu kwa shingo upande. Alijua kwamba kama wangepata mamlakawangekula hazina ya umma, wangewafanya watumwa watumishi waMwenyezi Mungu na kunajisi dini Yake.

Uthman alikuwa na mambo matatu ya kuchagua: (1). Kujiuzulu; (2).kung’ang’ania sera yake na kukataa kujiuzulu, au (3) abadili kabisa serayake. Njia mbili za kwanza zilikuwa uovu na ya tatu haikutarajiwa. Kamaangeamua kuendelea na sera yake, angeuawa. Mauaji yake yangekuwatukio baya na la kuogofya. Angekuwa Kiongozi wa kwanza kuuawa naWaislamu. Watu wa ukoo wa Bani Umayyah, ndugu zake khalifa, tayariwalikwishakuwa na uwezo wa kutosha kuwawezesha kuwapa changamotoWaislamu wema kwa kuanzisha vita, kulipa kisasi cha kifo chake, kukitu-mia kifo hicho kama njia ya kunyakua mamlaka.

Kama Uthman angelazimishwa kujiuzulu na watu wamchague mtu wakumrithi, watu wa ukoo wa Bani Umayyah, wakiwa na uwezo mkubwa,hawangekubali kushindwa. Wangeweza kudai kwamba Uthman alikuwaKhalifa halali na kwamba kumlazimisha kujiuzulu hakungeondoa uhalaliwa uongozi wake. Kwa sababu hii, wangefikiria malengo waliyoyataka.Na ingekuwa rahisi zaidi wao kufanikisha lengo lao kama angeuawa.

147

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 147

Page 164: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Njia ya tatu haikutegemewa. Hapakuwepo katika tabia ya Uthman kuone-sha uwezekano wa mabadiliko yanayotakiwa. Hata kama angetakakubadilisha sera yake ya fedha na kuwafukuza ndugu zake waovu,Marwan angemshawishi asifanye hivyo, na alikuwa hana ushupavu ambaoungempa kinga ili aepuke ushawishi wake.

Ali alitambua yote haya. Bado alijaribu kila iwezekanavyo kufikiria njia yatatu ili kuepuka uovu wa njia mbili za kwanza. Waandishi wa historiawanatutaarifu kwamba kundi la masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.)ambao walikuwa wanaishi Madina, waliwaandikia barua masahabawaliokuwa kwenye mipaka ya serikali ya Waislamu, wakisema: “Njoonirudini Madina. Jihad ipo hapa.” Watu walikuwa wanamsema Uthman kwaubaya na hakuna sahaba aliyemtetea isipokuwa Zayd Ibn Thabit, AbuUsaid Al-Sa’idy, Kaab Ibn Malik na Hasan Ibn Thabit. Hawa walikuwawaaminifu kwa Khalifa kwa sababu walipokea zawadi zake za ukarimu.

IMAM ANAPATANISHA.

Masahaba walikutana na wakazungumza na Ali ili awe mpatanishi bainayao na Uthman. Alikutana na Khalifa na akazungumza naye, akasema:“Watu walioko nyuma yangu waliniomba niwe mpatanishi baina yako nawao. Kwa jina la Mwenyezi Mungu, sijui ni kwambie nini. Wala siwezikuonesha mambo ambayo wewe huyajui. Umemuona, umesikia nauliambatana naye Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na ukapata sifa ya kuwamkwe wake. Wewe pia unategemewa kufanya mema kama alivyofanya IbnAbu Quhafan (Abu Bakr) na Ibn Al-Khatab (Umar). Wewe uko karibuzaidi kwa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) kuliko wote wawili na umepata kwasababu ya ndoa kile ambacho wao hawakukipata. Wala hawakukutanguliakwa lolote. Wallahi ninakuomba ujihurumie wewe mwenyewe. Hunamaradhi ya upofu wala ujinga. Njia iliyonyooka inaonekana wazi nadhahiri na mipaka ya dini haibadiliki.

148

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 148

Page 165: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

“Ewe Uthman, kumbuka kwamba mtumishi wa Mwenyezi Mungu aliyebora mbele ya Mwenyezi Mungu ni Kiongozi anaye tenda haki ambayeameongozwa kwenye ukweli na yeye huongoza kuelekea kwenye ukweli.Hivyo, anathitisha maadili yajulikanayo na huondosha na kuacha bidaa.Aliye mbaya kuliko wote ni Imam aliye dhalimu ambaye si mnyoofu nahuongoza kuelekea kwenye upotovu. Hivyo, huondosha maadlili yaju-likanayo sana na kuhuisha bidaa iliyoachwa.

“Nimemsikia Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) anasema: Kiongozi asiyetendahaki, mnamo Siku ya Hukumu ataletwa akiwa hana msaidizi wala mtetezi.Atatupwa Jahanamu …... Ninakuonya kuhusu ghadhabu ya MwenyeziMungu na machungu na adhabu Yake. Hakika adhabu Yake ni chungu nani kali. Ninakuonya usijekuwa Kiongozi aliyeuawa wa umma huu.Inasemekana kwamba Kiongozi atajauawa na kifo chake kitafungua mlan-go wa umma kuanza mauaji na vita hadi Siku ya Hukumu. Atachafuamambo ya umma na kuwatupa Waislamu kwenye mifarakano, hivyokwamba hawataweza kuona ukweli kwa sababu ya urefu wa udanganyifu…”123

Maneno ya Imam hayakumfurahisha Khalifa. Mazungumzo baina ya watuwawili yalifanyika ifuatavyo:

Uthman: “Umar aliteua na kuwaweka kwenye ofisi watu kama hao ambaomimi nimewateua na kuwaweka kwenye ofisi.”

Ali: “Umar aliwateua watu kama hao lakini alikuwa anawakemea.Alipogundua ukiukwaji mdogo umefanywa na yeyote miongoni mwao,alimuita na kumwadhibu vikali. Wewe umedhoofu kwa sababu unawahu-rumia sana ndugu zako.”

149

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

123 Ibn al-Athiir, Al-Kamil, Sehemu ya 3 uk. wa 76.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 149

Page 166: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Uthman: “Watu hawa ni ndugu zako pia.”

Ali: “Ndio, ni ndugu zangu, lakini hawana uadilifu.”

Uthman: “Hujui kwamba Umar alimteua Muawiyah na akamwachaakaendelea na kazi yake hadi mwisho wa utawala wake?”Ali: “Kwa jina la Mwenyezi Mungu, ninakuuliza. Hujui kwambaMuawiyah alikuwa akimuogopa Umar zaidi ya Yarfah, mtumishi waUmar.”

Uthman: “Ndio.”

Ali: “Muawiyah hufanya uamuzi bila kupata ushauri wako, halafuhuwaambia watu: “Hii ni amri ya Uthman.’ Wewe unajua na hubadilishikitu chochote. Wala humwambii aache hayo anayofanya.”124

Hivyo Ali, tofauti na mtu mwingine yeyote hakutumia matatizo ya vuruguza Khalifa ambaye alimuona kuwa mpotoaji wa haki yake ya uongozi kwamanufaa yake. Alijitokeza na kuushinda udhaifu huo na akawa mlinziwake mkubwa akawa anajaribu kurekebisha hali ya mshindani wake kwasababu hatima yake ilikuwa na uhusianao wa hatima ya umma wote.Lakini Uthman aliuchukulia ushauri wa Ali kuwa uchochezi. Alikwendakwenye mimbari akatoa hotuba kali akiwatishia wapinzani kwamba ange-waadhibu vikali. Alikuwa anategemewa kufanya hivyo tu, almuradiMarwan alikuwa mshauri wake mkuu. Hivyo, moto wa upinzani uliende-lea kuwa mkali.

MAKAZI YA KHALIFA YAZINGIRWA.

Ujumbe uliopelekwa na masahaba waishio Madina kwenye majimbo mbalimbali ulitetea matokeo yaliyotarajiwa. Makundi kutoka Misri, Kufa, na

150

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

124 Ibn al-Athiir, Al-Kamil, sehemu 3, uk. 76.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 150

Page 167: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Basra yalikwenda Madina na kumtaka Khalifa kuwafukuza ndugu zakewaliomo kwenye kazi za utawala au yeye ajiuzulu. Vinginevyo, walikuwatayari kumuua. Khalifa alipotambua uzito wa hali, alikwenda kwa Ali naakamwomba afanye usuluhishi baina yake na washindani wake.

Ali alimuuliza: “Masharti yako ya mapatano yakoje?” Khalifa alijibu:“Wewe umepewa mamlaka kamili ya kuahidi kwao chochote utakachoonakinawafaa.” “Mimi nitatekeleza lolote utakalo pendekeza” Alialimkubusha kwamba aliwahi kuzungumza naye mara nyingi kuhusu hatuafulani za kurekebisha na kwamba Khalifa mara kwa mara aliahidikutekeleza hatua hizo. Halafu, ahadi hazikutekelezwa na Khalifa, ambayealikuwa kwenye mvuto wa Marwan, Muawiyah, Ibn Amr na Abdullah IbnSaad Ibn Abu Sarh. Uthman akajibu: “Sitawatii wao, nitakutii wewe.”

Akiwa amefuatana na watu thelethini wa kabila la Quraishi na wenginekutoka Madina, Imam alikwenda kukutana na kundi la Misri. Aliwapamaelezo ya kuridhisha na akawaambia wasikimbilie matumizi ya nguvu naaliwaahidi kwa niaba ya Khalifa kutimiza madai yao ya kuwafukuza nduguzake na kubadili sera yake kuhusu ugawaji wa hazina ya umma.Alipokwenda kwa Khalifa alimshauri aende msikitini na atoe ahadi hadha-rani ya kufanya mabadiliko.

KUTUBIA NA KUJIRUDI.

Khalifa aliitikia na kukubali ushauri mzuri. Alikwenda kwenye mimbari naakahutubia jamii, akasema: “Mimi ni wa kwanza anayetakiwa kumtiiMwenyezi Mungu. Ninamwomba Mwenyezi Mungu anisamehe kwa yaleambayo nimeyafanya. Nitatubu Kwake. Mtu kama mimi anatarajiwakubadilika na kutubu. Nitakapoteremka chini viongozi wenu waje iliwafanye uamuzi kuhusu mimi. Wallahi endapo haki itaniteremsha darajana kuwa mtumwa nitafanya kama afanyavyo mtumwa, na nitakuwamnyenyekevu kama mtumwa.

151

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 151

Page 168: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Si rahisi kukwepa hasira ya Mwenyezi Mungu isipokuwa kumwendeaYeye. Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, nitawapeni myatakayo hadimtosheke na nitamweka Marwani na ndugu zangu mbali na mimi.Nitakuwa na nyinyi miongoni mwenu.125

Maneno haya yaliwasisimua wasikilizaji. Walilia hadi machozi yalilowe-sha ndevu zao, na Khalifa naye akalia, na watu wakawa na matumaninimazuri.

Marwan alikuwa anangojea. Mara tu Uthman aliporudi nyumbani kwake,Marwan alimgeuza mawazo akarudi kwenye msimamo wake wa zamani.Marwan alitoka nje akakabiliana na umati wa watu waliokuwa wanasubirimageuzi. Akawakaripia na akawaambia …Mmekuja kutunyang’anyamamlaka ambayo yapo mikononoi mwetu. Ondokeni nendeni zenu. Kwajina la Mwenyezi Mungu, mkitupatia changamoto, mtakiona cha mtemakuni …”

Ali alipotambua nini kilichotokea alisema: “Enyi waja wa MwenyeziMungu, mimi nikikaa nyumbani kwangu yeye anasema; ‘Unaniangushalicha ya uhusiano wangu wa kindugu na wewe na kile ninachostahili kuto-ka kwako.’ Nikijaribu kumsaidia na juhudi zangu zikisababisha matokeomazuri, Marwan humshauri na humdanganya. Amekuwa kitendea kazikitiifu mikonini mwa Marwan baada ya kuwa sahaba wa Mtukufu Mtume(s.a.w.w.).’”126

Alikwenda kwa Uthman na akazungumza naye kwa ukali akasema:“Hungemridhisha Marwan isipokuwa ukengeuke kutoka kwenye dini nabusara yako. Umekuwa kama ngamia wa kipando anayeongozwa na mshi-ka hatamu wake na kuelekea popote atakiwapo. Wallahi, ninabashirikwamba Marwan atakupeleka hatarini, lakini atashindwa kukuokoa.Sitarudi tena kwako baada ya leo. Umeharibu heshima yako na umepoteza

152

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

125 Ibn al-Athiir, Al-Kamil, sehemu 3, uk. 82.126 Ibn al-Athiir, Al-Kamil, sehemu 3, uk. 82.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 152

Page 169: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

uwezo wa maamuzi.”127

Ali aliacha upatanishi baina ya Uthman na waasi. Uthman alipozingirwanyumbani kwake, alikwenda kwa Ali na akamwambia: “Ninayo haki yaudugu wa Uislamu, uhusiano na wewe na mimi kuwa mkwe wa MtukufuMtume (s.a.w.w.). Endapo hapana lolote kati ya mambo haya lililokuwepona tungekuwa kwenye siku za ujahiliya, ingekuwa aibu kwa wana wa AbuMunaf (babu wa babu wa ukoo wa Hashim na Bani Umayyah) kumruhusumtu kutoka Taymi (Talha Ibn Ubaidullah) atunyang’anye mamlaka yetu.”

Talha alikuwa anaunga mkono kwa bidii sana waasi. Aliwasaidia naakakubaliana na mpango wao wa kumzingira Uthman. Labda uvamizi waowa Madina ulikuwa matokeo ya mawasiliano yake na uchochezi wake.

Ali alikwenda kwa Talha na aliwakuta watu wamekusanyika na kumzun-guka pande zote. Alimuuliza Talha: “Mambo gani haya unajihusishanayo?” Talha alijibu: “Umechelewa mno.” (Alimaanisha kwamba mwishowa Uthman ulikuwa umefika) Ali alikwenda kwenye jumba la hifadhi yahazina na akataka pafunguliwe. Funguo zilipokosekana alivunja mlango naaligawa baadhi ya vitu vilivyokuwa humo miongoni mwa watu waliokuwawamemzunguka Talha. Watu hao waliondoka na wakamwacha peke yake,na Uthman alifurahishwa na tukio hilo. Talha alikwenda kwa Uthman nakamwambia: “Ewe Amiri wa waumini, nilitaka kitu fulani na MwenyeziMungu amenizuia nisikipate.” Uthman alimjibu: “Kwa jina la MwenyeziMungu, wewe hukuja kutubu; ni kwamba umeshindwa kabisa. MwenyeziMungu akuwajibishe kwa yale uliyoyafanya.”128

Ibn Al-Athiir amesimulia kwamba Ibn Abbas alisema: “Nilikwenda kwaUthman alipozingirwa. (Ilikuwa kabla Uthman hajampeleka Ibn Abbaskama kiongozi wa mahujaji wa Hija ya mwaka huo). Yeye (Uthman) alin-ishika mkono wangu na akaniongoza kuelekea mlangoni, akaniamuru

153

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

.127 Ibn al-Athiir, Al-Kamil, sehemu 3, uk. 84.128 Ibn al-Athiir, Al-Kamil, sehemu 3, uk.82.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 153

Page 170: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

niyasikilize maneno ya waliozingira nyumba yake. Baadhi yao walikuwawanasema: Tunangoja nini? Wengine walisema: “Na tungoje. Labdaanaweza kubadilika.” Tulipokuwa tumesimama, Talha alikuja na akauliziakuhusu Ibn Udais (mmojawapo wa viongozi wa waasi wa Misri) Ibn Udaisalikwenda kwa Talha, na wakateta jambo. Ibn Udais aliporudi, aliwaagizawafuasi wake wasimruhusu mtu yeyote kuingia au kutoka ndani ya nyum-ba ya Uthman.

Uthman akamwambia Ibn Abbas: “Hili ni agizo la Talha, MwenyeziMungu na amwangalie Talha. Amewachochea watu hawa dhidi yangu.Wallahi, nina matumanini kwamba mgawo wake wa Ukhalifa utakuwasufuri na kwamba atauawa.” Ibn Abbas akasema: “Nilipotaka kuondokawao walinizuia hadi Muhammad Ibn Abu Bakr aliponiombea ruhusa.”129

Kuhusu Zubeir, inasemekana kwamba aliondoka Madina kabla Uthmanhajauawa. Waandishi wa historia wengine waliandika kwamba alikuwepoMadina wakati alipokufa Uthman. Aisha alikwenda Hija na alipokuwakwenye shughuli za ibada aliwasihi watu wamkane Uthman.

Uthman alipozingirwa, waasi walikata huduma ya maji. Ali alikwenda nakiriba cha maji na akazungumza na Talha, akasema: “Maji haya apeweUthman,” Maji hayo alipewa Uthman. Alijaribu mara nyinginekumpelekea maji Uthman na akazungumza na waasi, akasema:“Mnachofanya hakifanani na matendo ya waumini au wasioamini!Msiondoe huduma ya maji kwake. Warumi na Waajemi walimlisha nakumpa maji mfungwa wao.” Lakini waasi walikataa maji yasimfikieUthman.

Kuzingirwa kwa Khalifa kuliendelea kwa siku arobaini. Waasi walikuwawanamlazimisha Uthman abadili sera yake au ajiuzulu. Alikataa kujiuzulu,akasema: “Siwezi kuvua shati ambalo Mwenyezi Mungu amenivisha.”

154

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

129 Ibn al-Athiir, Al-Kamil, sehemu 3, uk. 87.

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 154

Page 171: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Labda Uthman alikuwa sahihi kukataa kujiuzulu. Lakini alikosea kusemakwamba ukhalifa ni shati ambalo Mwenyezi Mungu alimvisha, kwaniuongozi wake haukutokana na uteuzi wa Mwenyezi Mungu au MtumeWake (s.a.w.w.). Mtu aliyemvisha shati ni Abdul-Rahman Ibn Auf nanyuma yake Maquraishi; au tunaweza kusema kwamba Khalifa wa pilindiye aliyemvisha Uthman shati hilo.

Inaonesha kwamba waasi hawakuwa na nia ya kumlazimisha Khalifa aji-uzulu wala hawakuwa tayari kumuua. Walichotaka kutoka kwake nikubadili sera yake ya kushughulikia hazina ya umma, kuwafukuza katikakazi ya ugavana ndugu zake na Marwan asiendelee kuwa mshauri wakemkuu. Aliahidi kufanya hivyo, lakini kamwe hakutekeleza ahadi yake.Hivyo, walimtaka ajiuzulu na alikataa. Sasa baadhi ya waasi walikimbiliamatumizi ya nguvu.

MUAWIYAH ALIMKATISHATAMAA KHALIFA.

Inashangaza kwamba Muawiyah na magavana wengine wa ukoo wa BaniUmayyah hawakujaribu kwa dhati kumuokoa Khalifa ambaye ni nduguyao. Hawakupeleka majeshi kusitisha kuzingirwa kwa Khalifa aukuwazuia wavamizi wasimuue. Bado Khalifa aliomba msaada wao.Imesimuliwa kwamba Muawiyah alipeleka jeshi ambalo lilifika karibu yaMadina lakini wakati huo Khalifa alikwishazingirwa. Muawiyah alimua-muru Kamanda wa jeshi hilo asifanye lolote hadi atakapopata amri kutokakwake. Alimwambia: “Usiseme kwamba aliyepo anaona kile ambachoasiyekuwepo hawezi kukiona. Wewe ni asiyekuwepo na mimi ni aliyopo.”

155

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 155

Page 172: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

WATU WA MADINA PIAWALIMKATISHA TAMAA KHALIFA.

Kitu kingine ambacho kinaweza kuonekana kwa urahisi kwenye matukioya siku hizo yaliyosimuliwa ni kutokuwepo na upinzani wowote kutokakwa watu wa Madina. Wala hawakuwapinga waasi waliovamia, amakuwazuia wasimuue Khalifa. Inaonesha kwamba Maquraishi katikawakazi wa Madina (isipokuwa ukoo wa Bani Umayyah) hawakuwa nahuruma kwa Uthman. Walikinahi na mwenendo wa Bani Umayyah na kasikubwa ya ongezeko la ushawishi wao katika ulimwengu wa Waislamu.Maquraishi walio wengi walioko Madina walikuwa pamoja na Aisha,Talha na Zubeir kimsimamo na hisia zao kuhusu Khalifa.

Wakazi wengi wa Madina hawakufurahishwa na sera za Uthman zakuwatukuza watu wa kabila la Quraishi na kuwaweka Bani Umayyah,ukoo ambao miongoni mwa Maquraishi si wafuasi makini wa dini, kwenyeshingo za Waislamu. Wazalendo wa Madina kwa dhahiri hawakuwa wana-jihisi kuwa wanamuunga mkono Khalifa, kwa sababu wao walikuwahawapokei mgawo wa ukarimu wake sawa na ule waliokuwa wanapataMaquraishi. Kwa tabia yao, wenyeji wa Madina walikuwa washika dinizaidi kuzidi Maquraishi.

Hivyo wakazi wengi wa Madina walimkatisha tamaa Uthman nahawakumpa ulinzi, ingawa kwa idadi walikuwa wengi zaidi ya waasiwavamizi.

Imam Ali alikuwa sahaba ambaye hakutaka kabisa Uthman auawe naalikuwa mkweli sana katika kujaribu kurekebisha sera ya Khalifa. Si tukwamba alionesha huruma yake kwa Khalifa kwa maneno tu, alijaribukumpa ulinzi kwa kutumia silaha. Alihatarisha maisha ya watoto wakewawili; Al-Hasan na Al-Husein ambao kwake walikuwa na thamani zaidi

156

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 156

Page 173: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

kuliko macho yake mawili. Aliwapeleka hao vijana wawili wamlindeUthman na aliwaagiza wasimame mlangoni kwake wakiwa na silaha iliwawazuie waasi wasiingie nyumbani kwa Uthman.

Hatimaye, waasi walipewa taarifa kwamba majeshi kutokea miji mbalimbali yalikuwa njiani kwenda Madina kumuokoa Uthman. Baadhi yawaasi walihisi kwamba ufumbuzi mmoja tu uliokuwepo hapo ni kumuuaKhalifa. Kwa kuwa hawangeweza kuingia mlangoni, walipanda juu yanyumba kupitia kwenye ukuta na wakamuua ambapo walinzi waliokuwamlangoni hawakujua kilichotokea ndani!

Hivyo, jambo ambalo Ali alijaribu kulizuia kwa bidii sana lilitokea, najuhudi zake zote kuzuia jambo hilo lisitokee zilishindwa. Mauaji yaKhalifa yalikuwa tukio baya sana ambalo matokeo yake yalikuwa yana-hatarisha kuendelea kudumu kwa Uislamu na Waislamu. Jambo hilihalingetokea kama Khalifa angesikiliza na kuzingatia ushauri wa Ali, kwakuwafukuza kazi maafisa waovu kutoka kwenye serikali yake na kuitakasaserikali isiwe na ufisadi.

Kama Uthman angesikia ushauri wa Ali kwa kufuata sera ya wenzakewawili waliomtangulia, Abu Bakr na Umar, hangeuawa. Lakini Khalifahuyu wa tatu hakuwa na uwezo wa kudhibiti mambo. Marwan, mtoto wamtu aliyepewa adhabu ya uhamisho na Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), alikuwandiye mtawala halisi wa ulimwengu wa Waislamu na mshauri mkuu waKhalifa. Marwan alikuwa na uwezo wa kuendesha na kumwelekeza popotealipotaka.

Hata hivyo, nina shaka kwamba Uthman alikuwa anaweza, hata kama ali-taka kufanya hivyo, kumfukuza Muawiyah ambaye alikwishakuwa nauwezo zaidi kumzidi Khalifa. Na tudhani kwamba Uthman alimwambiaMuawiyah kuondoka kwenye kazi yake ya ugavana na akakataa kutii.Uthman angejaribu kumlazimisha aondoke ofisini? Na Uthman alikuwa nauwezo wa kutosha kufanya hivyo?

157

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 157

Page 174: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

MAZINGATIO

Tunapokaribia kuhitimisha maelezo yetu mafupi ya matukio ya siku zaUthman na mwisho wake wa kusikitisha, tunalazimika kukumbuka yafu-atayo:

Ukhalifa wa Uthman na matukio yake umethibitisha kwamba uongozi waulimwengu wa Uislamu baada ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) ungeteuliwana Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) na si kuchaguliwa na masahaba. Alikuwa niyeye peke yake aliyesaidiwa na ufunuo na Wahyi kutoka kwa MwenyeziMungu. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) aliwajua wenye sifa nzuri sana za uon-gozi miongoni mwa watu wa Nyumba yake na masahaba.

Uongozi haungeachwa kwenye hali ya fursa za uchaguzi wa Waislamukwa ujumla au wa masahaba wa Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) au wa udikte-ta hususan kama ule wa jamii ya Quraishi. Wala haungeachwa kwenyefursa ya uteuzi kutoka kwa Khalifa aliyekwisha kuchaguliwa kwa uwazi aukwa undani. Wala uongozi haungeachwa kwenye uchaguzi wa wajumbewa Jopo la uchaguzi. Uchaguzi au uteuzi kama huu ungeweza kumwekamtu bora sana au nzuri anayefuatia au mbaya sana kwenye mamlaka yauongozi. Hii ni hatari kwa mustakabali wa umma unaobeba ujumbe kwaajili yake wenyewe na kwa ajili ya ulimwengu wote, hasa zaidi paleambapo umma bado upo kwenye mwanzo wake wa maendeleo na kukua.Uchaguzi wa aina hii wakati mwingine ungeleta kwenye mamlaka ya uon-gozi, uongozi dhaifu ambao hauna uwezo wa kubeba ujumbe. Wakatimwingine ungeweza kuleta uongozi imara ambao ungepotosha umma naujumbe, kwa kukusudia au bila kukusudia, kutoka kwenye njia yao iliy-onyooka ambayo ilikuwa imeamriwa na mtu wa ujumbe.

Kufuzu kwa uchaguzi wa kwanza uliofanywa na masahaba na uteuzi wakwanza wa Khalifa aliyechaguliwa ambao ulimweka Abu Bakr na Umar

158

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 158

Page 175: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

kwenye mamlaka ya uongozi, uliwafanya Waislamu waandishi wa historiana wanachuo kutotilia maanani uharibifu uliosababishwa na kushindwakwa uchaguzi wa Khalifa wa tatu. Mafanikio ya Makhalifa wawili wamwanzo yamedumaza akili za Waislamu. Hawakuweza kuona kwambamatukio ya Ukhalifa wa Uthman yalitoa ushahidi wa wazi kwamba uch-aguzi si njia iliyo salama ya kufuatwa na umma wenye ujumbe wamageuzi.

Waislamu wamesahau ukweli ulio dhahiri kwamba madhumuni ya ujumbewa Kiislamu ilikuwa si kuanzisha serikali adilifu ambayo ingedumu miakakumi na mbili au thelathini tu. Makusudio ya ujumbe wa Mbinguniyalikuwa na lengo la juu na la muda mrefu zaidi.

Hapo Ghadir Khum, Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alipotangaza uongozi waAli na watu wengine waliotakaswa wa Nyumba yake, alikuwa anafuatanjia ya kawaida tu. Hivi ndivyo inavyotakiwa kufanywa na kiongozi yey-ote wa serikali anapokaribia kumaliza muhula wake wa kazi.

Hii ingekuwa kweli iliyo dhahiri pale ambapo kiongozi wa nchi ni mwenyekubeba ujumbe muhimu sana ambamo humo ndimo chimbuko la Dolainamoundwa na Serikali yake inatakiwa kubeba ujumbe huo na kuupelekakwenye mataifa ya dunia na pia kwa watu wake.

Upotofu wowote unaotokea kwenye ujumbe kwa ujinga, udhaifu, ukosaucha-Mungu wa uongozi, unaweza kuingiza ujumbe wote hatarini.Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa anaingalia hali ya siku za usoni kupitiakwenye nuru ya Mwenyezi Mungu alipopendekeza kwa ajili ya umma,wakati anakaribia kukata roho, kuwa na hati ya maandishi – yenyemaelekezo - ambayo kwayo umma haungepotea baada yake.

Alibashiri kwamba baada yake Waislamu wangekabiliwa na hatari nyingizenye kujaribu imani zao. Kwa hiyo, ilikuwa ni muhimu kumteua kiongoziwa umma ambaye anazo sifa za kweli za uongozi ili aweze kuuweka umma

159

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 159

Page 176: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

huo kwenye njia iliyonyooka.

Kwa bahati mbaya sana, Umar, akisaidiwa na masahaba wengine,walikataa pendekezo la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) wakidai kwambaalikuwa amezidiwa na maradhi na kusema Kitabu cha Mwenyezi Mungukingewatosha.

Matukio ya Jopo la uchaguzi ambalo lilimpa Uthman mamlaka, na matukioyaliyotokea wakati wa kipindi cha ukhalifa wake na matokeo yake yame-onesha ukubwa wa kosa la Umar. Kitabu cha Mwenyezi Munguhakikumzuia yeye kuunda Jopo la Uchaguzi ambalo lilimnyang’anya Aliuongozi na kumpa Khalifa Uthman. Kitabu cha Mwenyezi Munguhakikumzuia Uthman kufanya makosa ya dhati, wala hakikuwazuiaWaislamu wasitumie nguvu katika kujibu kushindwa kwake kuendeshamambo ya Waislamu na kufuatiwa na vita kadhaa vya wenyewe kwawenyewe baada ya kifo chake na kusababisha umwagaji damu mkubwa.

Ili Kitabu cha Mwenyezi Mungu kiweze kazi na kuwazuia watuwasichukue njia inayoelekea kwenye upotofu, lazima kiunganishwe nauongozi madhubuti na imara wenye ujuzi mkubwa kufasili Kitabu hicho napia mafundisho ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.). Uongozi wa aina hii huki-wezesha Kitabu cha Mwenyezi Mungu kufanya kazi na kuwaelekeza watukwenye njia ya Qur’ani.

Uongozi huu ndio ambao Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alitaka kuupata kwaajili ya umma kwa njia ya kuandika pendekezo lake lenye maelekezo kwamaandishi. Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) alikuwa na maana hii alipotangazamnamo siku hiyo ya Ghadir Khum alipowaambia Waislamu kwambaalikuwa anawachia vitu viwili ambavyo vingewaepusha wasije kutum-bukia kwenye uovu na kuacha njia iliyonyooka, Kitabu cha MwenyeziMungu na watu wa Nyumba yake, na kwamba vitu hivi viwili kamwe hav-itaachana.

160

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 160

Page 177: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

Kukataza kuandikwa pendekezo la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) lenyemaelekezo, kuligharimu umma mshikamano wake wa kisiasa na kiroho nakuusababishia umma pigo lisilorekebishika. Masahaba walipopuuza kuzin-gatia tangazo la Mtukufu Mtume (s.a.w.w.) la hapo Ghadiir Khum nakukataa waraka alioupendekeza Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), walisukumwana ubinafsi wao.

Walikuwa hawapendelei kumpa Ali uongozi baada ya kifo cha MtukufuMtume (s.a.w.w.) kwa sababu hawakutaka kuuachia ukhalifa kwenye ukoowa Hashim. Kumruhusu Ali kumrithi Mtukufu Mtume (s.a.w.w.),kingekuwa kitendo cha kukubali, angalau kwa njia isiyo wazi, kwambauongozi wake (Ali) uliamriwa na Mwenyezi Mungu na Mtume Wake(s.a.w.w.) ambaye alisadikisha kwamba watu wa Nyumba ya MtukufuMtume (s.a.w.w.) kamwe hawangefarakana na Qur’ani Tukufu. Hiiingeuweka uongozi kwenye kundi hili lenye kuheshimiwa sana.

Masahaba wa Makka wa koo mbali mbali hawakuwa radhi kuacha mata-manio yao. Walitaka kuuweka ukhalifa kuwa kitu cha kushindaniwa kwakumpa mtu wa Makka asiye wa ukoo wa Hashim. Katika hali hii ukhalifaungepata hadhi ya kushindaniwa na kuwaruhusu watu wa koo mbalimbalikuingia kwenye kinyang’anyiro cha kugombea uongozi kwa sababu haku-na aliye bora kuzidi mwenzake miongoni mwao.

Nadharia hii iliwafanyia kazi kwa muda fulani. Masahaba watatu, (AbuBakr, Umar na Uthman) kutoka kwenye koo tatu za Makka walirithianakwenye uongozi katika kipindi cha miaka kumi na tatu. Masahaba wenyetamaa, hata hivyo kwa kuchelewa waliamka wakati wa utawala waUthman walipogundua kwa masikitiko sana, kwamba matumanini yao yakufika kwenye kazi hiyo kubwa yalikuwa yanafifia. Walikabiliwa na kileambacho walikuwa wanakiepuka.

Bani Umayyad walikaribia kufanya ukhalifa usiwe kitu cha kushindaniwakwa sababu walikwishatawala ulimwengu wa Waislamu katika kipindi cha

161

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 161

Page 178: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

miaka sita ya utawala wa Uthman. Walikaribia kuanzisha utawala wakinasaba, ambao msingi wake si utakatifu na sifa bora ya Kiislamu kamaile ya watu wa Nyumba ya Mtukufu Mtume (s.a.w.w.), lakini msingiulioegemezwa kwenye mamlaka yaliyopatikana kwa ufisadi, uporaji naumilikaji. Matokeo yake ya kwanza yaliyotegemewa yalikuwa ni kumzuiasahaba yeyote mwenye shauku asifike kwenye ofisi hiyo ya Juu. Majeruhiwa kwanza wa maendeleo haya yangekuwa ni ndoto za Talha, Zubeir,Abdul-Rahman na Aisha.

Wakipata msukumo kutokana na woga wa kutawaliwa kwa nguvu na ukoowa Bani Umayyah watu hawa wenye kutaka makuu walianza kampeni yaodhidi ya Khalifa wa Tatu. Walijaribu kuzuia ndoto ya kuanzisha utawala waufalme wa kinasaba na kuwafungulia tena Mlango wa Uongozi watu waJopo la Uchaguzi.

Masahaba hawa wenye tamaa walikuwa hawamuogopi Ali, kwaniwaliamini kwamba wangeweza kuziba njia yake ya kufika kwenye ukhal-ifa pindi Uthman akifa. Mpinzani wake alikuwa Kureishi na Maquraishi,ndio walikuwa watu wenye kuathiri uteuzi wa kiongozi. Hapana mtumwingine aliyelijua hili zaidi ya Ali ambaye aliwaambia Bani Hashimwakati wa Mkutano wa Uchaguzi kwamba: “Almuradi watu wenu(Maquraishi) wanapewa utii (katika ule wakupewa ninyi), basi ninyi ham-tapewa uongozi kamwe.”

Hata hivyo, matumaini ya masahaba wenye shauku hayakutokea kuwakweli. Hawakujumuisha katika mpango wao ukweli kwamba Quraishiwangepoteza udhibiti wa kisiasa kwa kipindi kifupi baada ya kifo chaUthman, ambapo watu wengine, mbali na Maquraishi ndio wangekujakuwa wenye athari ya uteuzi wa kiongozi.

* * * * *

162

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 162

Page 179: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

“Tunazitia hofu nyoyo za waliokufuru katika walivyomshirikishaMwenyezi Mungu na washirikina ambao hakuwateremshia hoja yoy-ote. Na makazi yao ni motoni; na ni maovu yaliyoje maskani ya wenyekudhulumu.”

163

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 163

Page 180: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NAAL-ITRAH FOUNDATION

1. Qur'an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thalathini

2. Uharamisho wa Riba3. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza 4. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili5. Hekaya za Bahlul6. Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)7. Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.)8. Hijab vazi Bora9. Ukweli wa Shia Ithnaashari10. Madhambi Makuu11. Mbingu imenikirimu12. Abdallah Ibn Saba13. Khadijatul Kubra14. Utumwa15. Umakini katika Swala16. Misingi ya Maarifa17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia18. Bilal wa Afrika19. Abudharr20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu21. Salman Farsi22. Ammar Yasir23. Qur'an na Hadithi24. Elimu ya Nafsi25. Yajue Madhehebu ya Shia26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur'an Tukufu

164

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 164

Page 181: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

27. Al-Wahda28. Ponyo kutoka katika Qur'an. 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii30. Mashukio ya Akhera31. Al Amali32. Dua Indal Ahlul Bayt33. Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna.34. Haki za wanawake katika Uislamu35. Mwenyeezi Mungu na sifa zake36. Amateka Na Aba'Khalifa37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s)38. Adhana.39 Upendo katika Ukristo na Uislamu40. Nyuma yaho naje kuyoboka41. Amavu n’amavuko by’ubushiya42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya swala mbili44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya46. Kusujudu juu ya udongo47. Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s)48. Tarawehe49. Malumbano baina ya Sunni na Shia50. Kupunguza Swala safarini51. Kufungua safarini52. Umaasumu wa Manabii53. Qur’an inatoa changamoto54. as-Salaatu Khayrun Mina -'n Nawm55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu

165

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 165

Page 182: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mitume

Muhammad (s)61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili63. Kuzuru Makaburi64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu67. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne68. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano69. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita70. Tujifunze Misingi Ya Dini71. Sala ni Nguzo ya Dini72. Mikesha Ya Peshawar73. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu74. Ubora wa Imam 'Ali Juu ya Maswahaba Na Ushia ndio njia

iliyonyooka75. Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake76. Liqaa-u-llaah77. Muhammad (s) Mtume wa Allah78. Amani na Jihadi Katika Uislamu 79. Uislamu Ulienea Vipi?80. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 81. Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s) 82. Urejeo (al-Raja’a )83. Mazingira84. Utokezo (al - Badau) 85. Sadaka yenye kuendelea 86. Msahafu wa Imam Ali

166

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 166

Page 183: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

87. Uislamu na dhana88. Mtoto mwema89. Adabu za Sokoni90. Johari za hekima kwa vijana91. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza92. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili93. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu94. Tawasali95. Imam Mahdi katika Usunni na Ushia96. Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu97. Hukumu ya kujenga juu ya makaburi98. Swala ya maiti na kumlilia maiti99. Shiya na Hadithi (kinyarwanda)100. Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu101. Hadithi ya Thaqalain102 Fatima al-Zahra103. Tabaruku104. Sunan an-Nabii105. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza)106. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Pili)107. Mahdi katika sunna108. Kusalia Nabii (s.a.w)109. Ujumbe -Sehemu ya Kwanza110. Ujumbe - Sehemu ya Pili111. Ujumbe - Sehemu ya Tatu112. Ujumbe - Sehemu ya Nne113. Ngano ya kwamba Qur’ani imebadilishwa

167

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 167

Page 184: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

114. Iduwa ya Kumayili.115. Maarifa ya Kiislamu.116. Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza117. Ukweli uliopotea sehemu ya Pili118. Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu119. Ukweli uliopotea sehmu ya Nne120. Ukweli uliopotea sehmu ya Tano121. Johari zenye hekima kwa vijana122. Safari ya kuifuata Nuru123. Idil Ghadiri124. Myahudi wa Kimataifa125. Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi126. Visa vya kweli sehemu ya Kwanza127. Visa vya kweli sehemu ya Pili128. Muhadhara wa Maulamaa129. Mwanadamu na Mustakabali wake130. Imam Ali binamu ya Mtume Sehemu ya Kwanza131. Imam Ali binamu ya Mtume Sehemu ya Pili132. Khairul Bariyyah133. Uislamu na mafunzo ya kimalezi134. Vijana ni Hazina ya Uislamu.135. Yafaayo kijamii136. Kusoma sura zenye Sijda ya wajibu137. Taqiyya138. Vikao vya furaha 139. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje?

168

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 168

Page 185: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

140. Uislamu na Mazingatio Sehemu ya Kwanza141. Uislamu na Mazingatio Sehemu ya Pili142. Azadari-Kuhuzunika na Kuomboleza143. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah144. Mtazamo Mpya - Wanawake katika Uislamu145. Kuonekana kwa Allah146. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt

(Sehemu ya Kwanza)147. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili)148. Ndugu na Jirani149. Ushia ndani ya Usunni150. Maswali na Majibu151. Mafunzo ya hukmu za ibada 152. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No 1153 Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No 2154. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No 3155. Abu Huraira156. Kati ya Alama kuu za dini Swala ya Jamaa.157. Mazingatio kutoka katika Qur’an sehemu ya Kwanza158. Mazingatio kutoka kaitka Qur’an sehemu ya Pili159. Mazingatio kutoka katika Uislamu sehemu ya kwanza160. Mazingatio kutoka katika Uislamu sehemu ya Pili161. Hukumu zinazomuhusu mkuu wa kazi na Mfanyakazi162. Falsafa ya mageuzi ya Imam Husein (a.s)163. Huduma ya Afya katika Uislamu164. Hukumu za Mgonjwa

169

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 169

Page 186: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

165. Falsafa ya Mageuzi ya Imam Husein166. Uislamu Safi167. Majlis ya Imam Husein168. Mshumaa169. Tiba ya Maradhi ya Kimaadili170. Uislam wa Shia171. Amali za Makka172. Amali za Madina173. Uislamu na mfumo wa Jamii ya dini nyingi174. Sira ya Imam Ali kuhusu Waasi175. Ukweli uliofichika katika neno la Allah176. Elimu ya Tiba za Kiislam Matibabu ya Maimamu177. Falsafa ya Dini

BACK COVERImam Ali (as) hakuwa kiongozi wa Waislamu tu bali wa wanadamu wote.Maisha na mwenendo wa Imam Ali (as) umewavutia watu wote, marafiki

170

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 170

Page 187: IMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) fileIMAM ALI (A.S.) NDUGU YAKE MTUME MUHAMMAD (S.A.W.) Usahihishaji Upya wa Historia na Utafiti wa Kina wa Madhehebu ya Shia JUZUU

na maadui, hali ambayo imemfanya kuwa kiongozi wa umma.

Mtukufu Mtume (saw) alimtangaza mwanzoni kabisa mwa Ujumbe wakekatika kile kikao mashuhuri kabisa cha “karamu ya jamaa”, aliposema:“Huyu ni ndugu yangu, wasii wangu, waziri wangu, khalifa wangu namrithi wangu. Basi msikilizeni na mumtii.” Hili lilikuwa tangazo la mwan-zo kabisa alilolitoa Mtukufu Mtume (saw) kwa ajili ya Imam Ali (as) naaliendelea kuwakumbusha Waislamu kuhusu uongozi wa Imam Ali baadayake katika matukio mengi yaliyofuata baadaye, kama vile katika tukio laGhadir Khum pale aliposema: “Man kuntu mauwahu fahadha Aliyyunmawlahu – Yule ambaye mimi kwake ni kiongozi basi na huyu Ali ni kio-gozi wake.” Na mwisho ni tukio la “Karatasi” pale Mtukufu Mtume (saw)alipokuwa ni mgonjwa na maradhi yamemzidi akaomba aletewe karatasi,kalamu na wino, mashuhuri kama “hadithi ya karatasi.”

Kimetolewa na kuchapishwa na:Alitrah FoundationS.L.P. 19701 Dar es Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 2110640Simu/Nukushi: +255 22 2127555Barua Pepe: [email protected]: www.ibn-tv-comKatika mtandao: w.w.w.alitrah.info

171

Imam Ali (a.s) Binamu yake Mtume Sehemu ya pili

Imam Ali binamu yake Mtume sehemu ya Pili.qxd 7/1/2011 4:43 PM Page 171