hadithi za kitabu cha mormoni alma …...alma anabatiza watu wengi mtu mmoja aliyeitwa alma...
TRANSCRIPT
76 L i a h o n a
H A D I T H I Z A K I T A B U C H A M O R M O N I
VIEL
ELEZ
O N
A AP
RYL
STO
TT
Abinadi alikuwa nabii. Alifundisha watu kumwamini Yesu na kuacha kufanya matendo mabaya. Mfalme muovu aitwaye Nuhu alikasirishwa na Abinadi. Nuhu hakutaka kutubu.
Alma Anabatiza Watu Wengi
Mtu mmoja aliyeitwa Alma alimwamini Abinadi. Alitoroka na kujificha mbali na mfalme mwenye hasira. Alisikitika kwa kufanya matendo mabaya, na alitubu, kama vile Abinadi alivyokuwa amefundisha.