JUM
A 1
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Maazimio ya Kazi: Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1
2
3
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi
Ufahamu
Utu ni bora kuliko mali
Fasihi yetu: Chimbukona sifa bainifu za fasihisimulizi
Ndio msingi wa mangi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya utu.· kufafanua maadili na mafunzo katika
somo.· kujadili kwa ufasaha mada waliyopewa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza chimbuko la fasihi simulizi.· kufafanua sifa bainifu za fasihi simulizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma shairi kwa ufasaha.· kukariri shairi kwa mahadhi.· kujibu maswali kwa usahihi.· kufafanua ujumbe wa shairi.
· Maelezo naufafanuzi
· Mjadala· Maswali na majibu· Ufahamu na
kusikiliza· Masimulizi
· Majadiliano katikamakundi
· Ufaraguzi· Maelezo na
ufafanuzi· Maswali na majibu· Kazi mradi
· Kuigiza· Usomaji· Utatuzi wa mambo· Tajriba· Uchunguzi kifani
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 1
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 1-3
· Magazeti aumajarida
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 1-3
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 3-4
· Vielelezo vya sifabainifu za fasihisimulizi
· Vielezo vya viperavya fasihi simulizi
· Kanda za sauti navideo kuhusu fasihisimulizi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 3-4
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 4-5
· Vielelezovya maadiliyanayohimizwa nashairi
· Vibonzo vya watuwanaotukanana
· Wanafunzi wenyewe
HAKIUZWI
JUM
A 1
JUM
A 2
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4
5-6
Sarufi
Fasihi
Upatanisho wa kisarufi
Tamthilia: Kifo kisimani– Utangulizi
· kueleza matumizi ya lugha.· kuzingatia mafunzo ya shairi.Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana na manufaa ya
upatanisho wa kisarufi.· kukamilisha sentensi ili kuleta
upatanisho wa kisarufi.· kugeuza sentensi za wingi ziwe kwa
umoja na za umoja ziwe kwa wingi.· kusahihisha makosa katika sentensi.· kutunga sentensi zenye upatanisho wa
kisarufi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutaja na kugusia yaliyomo katika
tamthilia.
· Tajriba· Maswali na majibu· Mifano
· Kusikiliza· Kuandika· Kujadiliana· Uchambuzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 4-8
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 5-7
· Vielelezo· Majedwali· Vitu halisi
· Kifo kisimani
1 Ufasaha wa lugha Lugha ya simu Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza sifa za lugha ya simu.· kutumia sifa za lugha ya simu katika
utendaji.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu KcM 4, uk. 8-9· Majadiliano · Kiswahili Fasaha,· Uigizaji MwM 4, uk. 7-8
· Vielelezo vyamazungumzo ya simu
· Wanafunzi wenyewe· Vibonzo
HAKIUZWI
JUM
A 2
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
2
3
Fasihi teule
Utunzi
Chimbuko la mashairi yaarudhi
Barua ya kirafiki
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza chimbuko la mashairi ya arudhi.· kupambamua sifa za mashairi ya arudhi.· kuhakiki shairi la arudhi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza kanuni za uandishi wa barua ya
kirafiki.· kubainisha muundo wa barua ya kirafiki.· kuandika barua ya kirafiki kwa usahihi.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu KcM 4, uk. 9-10· Majadiliano · Kiswahili Fasaha,· Uchunguzi MwM 4, uk. 8· Kazi ya vikundi · Mikusanyo ya
mashairi ya arudhi aujadi
· Chati ya mashairi yaarudhi
· Kanda za sauti auvideo kutoka KIE
· Mifano halisi ya barua · Kiswahili Fasaha,za kirafiki KcM 4, uk. 10
· Tajriba · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu MwM 4, uk. 8-9· Maelezo na ufafanuzi · Vielelezo vya barua za· Kuandika kirafiki
4
5
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi
Ujirani mwema baina yanchi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusimulia hadithi.· kujibu maswali kwa sauti na ufasaha.· kueleza maana ya maneno na misemo.· kuzingatia mafunzo katika hadithi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua vitushi mbalimbali katika
tamthilia.
· Masimulizi· Maelezo· Tajriba· Ufahamu wa
kusikiliza
· Kusoma· Kuandika· Maelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 11
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 9-12
· Ramani· Kadi za hoja· Mikusanyo
magazetini
· Kifo kisimani –Onyesho la Kwanza
HAKIUZWI
JUM
A 2
JUM
A 3
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6
1
2
Fasihi
Ufahamu
Sarufi
Chimbuko na sifa bainifuza fasihi andishi
Kutegea kazi
Umoja na wingi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza asili na maendeleo ya fasihi
andishi.· kufafanua sifa zinazobainisha fasihi
andishi.· kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kukariri shairi.· kujibu maswali kwa usahihi.· kufafanua matumizi ya lugha.· kueleza ujumbe wa shairi.· kuzingatia mafunzo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha maumbo ya maneno katika
umoja na wingi.· kugeuza sentensi katika umoja na wingi.· kueleza mabadiliko ya viambishi vya
ngeli na upatanisho wa kisarufi katikaumoja na wingi.
· Mjadala· Maswali na majibu· Uvumbuzi
· Kuigiza· Usomaji· Utatuzi wa mambo· Uchunguzi kifani
· Mifano· Maelezo· Ufaraguzi· Tajriba
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 11-12
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 12-13
· Vielelezo· Vitabu vya fasihi
andishi· Chati ya sifa bainifu
za fasihi andishi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 13-14
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 13-14
· Mabango· Magazeti· Picha au michoro
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 15-17
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 14-15
· Chati ya viambishivya ngeli
· Vielelezo· Majedwali· Ubao
3 Fasihi teule Chimbuko la mashairi huru Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua wakati na sababu za
kuchipuka kwa mashairi huru.· kupambanua pingamizi dhidi ya
mashairi huru.· kutoa maoni kuhusu mgogoro wa
mashairi wa jadi na huru.
· Dayolojia· Maelezo· Utafiti· Tajriba· Mifano
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 19-20
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 16-17
· Mikusanyo yamashairi huru
· Picha za washairi wakimapinduzi
· RamaniHAKIUZWI
JUM
A 3
JUM
A 4
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4 Utunzi Mchezo wa kuigiza: Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziNjia za kufufua na aweze:kuendeleza viwanda nchini · kuandika mchezo wa kuigiza kwa
kuzingatia kanuni za utunzi wake.· kubainisha njia za kufufua na
kuendeleza viwanda nchini.· kutumia alama za uakifishaji ipasavyo.
· Maigizo· Kazi mradi· Vikundi· Utatuzi wa mambo· Kuandika
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 20
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk.17-18
· Uandishi wa insha· Waalikwa· Makala magazetini· Picha za
viwanda na watuwaliosimamishwakazi
5
6
Ufasaha wa lugha
Fasihi
Muhtasari
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua umuhimu wa muhtasari.· kueleza mambo muhimu ya kuzingatia
katika ufupisho.· kuandika muhtasari wa taarifa kwa
usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuelezea mchezo katika onyesho la pili.
· Maswali na majibu· Majadiliano· Kuandika
· Kusoma· Kuandika· Kujadiliana· Uchambuzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 18
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 15-16
· Kazi za hoja· Vielelezo vya
ufupisho· Vidokezo ubaoni
· Kifo kisimani –Onyesho la Pili
1 Kusikiliza nakuzumgumza
Imla:Kukonda kupita kiasi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusikiliza na kuandika taarifa kwa
usahihi.· kufafanua ujumbe· kueleza matumizi ya alama za
uakifishaji.· kuzingatia mafunzo ya ujumbe.
· Mifano · Kiswahili Fasaha,· Tajriba KcM 4, uk. 21· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Ufahamu wa MwM 4, uk. 18-19
kusikiliza · Mikusanyo ya picha· Imla magazetini na habari
kuhusu watu
HAKIUZWI
JUM
A 4
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
2
3
4
5
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Methali
Vyama vya ushirika
Nomino
Uakifishaji
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kupambanua chanzo cha methali.· kufafanua matumizi ya methali.· kutumia methali katika mazungumzo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa sauti na kimya.· kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.· kueleza maana za maneno na methali.· kueleza hasara na manufaa ya vyama vya
ushirika.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuanisha nomino na kutoa mifano ya
aina za nomino.· kutumia nomino katika sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha alama za uakifishaji.· kuafisha maandishi.
· Utafiti· Mifano· Kazi mradi· Uchunguzi
· Usomaji· Maelezo· Utatuzi wa mambo· Maswali na majibu
· Tajriba· Mifano· Mashindano· Upambanuzi
· Mifano· Maelezo na ufafanuzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 21-22
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 19-20
· Waalikwa· Mikusanyo ya methali· Miktadha ya
matumizi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 22-25
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 20-21
· Mikusanyo kuhusuvyama vya ushirika
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 25-27
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 21-22
· Mabango ya vyamavya ushirika
· Vielelezo ubaoni
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 27-29
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 22-23
· Kanda za sauti navideo
· Chati ya alama zauakifishaji
· Vielelezo
HAKIUZWI
JUM
A 4
JUM
A 5
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6
1
2
3
Fasihi
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Kifo kisimani
Fani katika mashairi yaarudhi
Insha ya methali
Haki za wafanyakaziviwandani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza mtiririko wa onyesho la tatu
kwa muhtasari.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana na umuhimu wa fani
katika mashairi ya arudhi.· kufafanua muundo, mtindo, wahusika
na matumizi ya lugha ya mashairi yaarudhi.
· kuchambua fani katika mashairi yaarudhi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya methali.· kufafanua muundo wa insha za methali.· kupambanua sifa za insha za methali.· kuandika insha ya methali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubadilisha mawazo kwa njia ya
majadiliano.· kusikiliza kwa makini na kutekeleza.· kueleza haki za wafanyakazi.
· Uchunguzi· Kusoma· Kujadili· Kuandika
· Udadisi· Uchunguzi· Mifano· Maswali na majibu· Uhakiki
· Masimulizi· Uchunguzi· Mifano· Kuandika
· Majadiliano· Uchunguzi na udadisi· Utatuzi wa mambo· Makundi
· Kifo kisimani– Onyesho la Tatu
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 29-32
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 23-24
· Mikusanyo yamashairi ya arudhi
· Vielelezo· Chati za miundo na
mpangilio wa vina namizani
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 32
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 24-25
· Tarasha· Vielelezo· Mazingira halisi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 33
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 25-27
· Picha, michoro navibonzo
· Taarifa kutoka redio,runinga na mtandao
· Makala ya gazeti
HAKIUZWI
JUM
A 5
JUM
A 6
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4
5
6
Fasihi yetu
Ufahamu
Fasihi
Misemo
Mfinyanzi hulia gaeni
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya misemo na umuhimu
wake.· kutoa mifano ya misemo na kuitumia
katika sentensi kimantiki na kisarufi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma taarifa kwa ufasaha na usahihi.· kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.· kueleza maana ya maneno kama
yalivyotumika katika taarifa.· kuzingatia mafunzo na maadili katika
taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza yaliyomo katika onyesho la nne
na tano.· kueleza matumizi ya lugha katika
onyesho la nne na tano.
· Mashindano· Majadialiano katika
makundi· Maelezo na ufafanuzi· Maswali na majibu
· Kusoma· Maswali na majibu· Mjadala· Utafiti· Ufaraguzi
· Kusoma· Kujadiliana· Kuandika· Kuhakiki
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 33-34
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 27-28
· Jedwali la misemo namaana zake
· Vielelezo vya misemo
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 35-37
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 28-29
· Magazeti na majarida· Taarifa kutoka redio,
runinga na mtandao· Picha na michoro
· Kifo kisimani –Onyesho la Nne naTano
1 Sarufi Vitenzi:Mzizi na viambishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza dhana ya mzizi na viambishi
katika vitenzi.· kubainisha mzizi na viambishi awali na
tamati katika vitenzi.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu KcM 4, uk. 37-40· Majadiliano katika · Kiswahili Fasaha,
vikundi MwM 4, uk. 29-31· Tajriba · Jedwali la kubainisha
mzizi na viambishikatika vitenzi
· Kamusi ya KiswahiliSanifu
· Vielelezo vyamaumbo ya vitenzi
HAKIUZWI
JUM
A 6
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
2
3
4
5
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Matumizi ya manenomaalumu
Fani katika mashairi huru
Insha ya mazungumzo
Mjadala –Umoja wa Afrika haunafaida
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana na kubainisha matumizi
sahihi ya maneno maalumu.· kutunga sentensi kwa kutumia maneno
maalumu.· kusahihisha matumizi mabaya ya
maneno maalumu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana na umuhimu wa fani.· kufafanua fani katika mashairi huru.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza insha ya mazungumzo.· kufafanua muundo wa insha ya
mazungumzo.· kuandika insha ya mazungumzo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuendesha mjadala darasani.· kujadili hoja muhimu kwa ufasaha na
mantiki.· kuzingatia mitindo ya kujadili.
· Maelezo na ufafanuzi· Majadiliano katika
makundi· Tajriba· Maswali na majibu· Mifano
· Udadisi· Uchunguzi· Mifano· Maswali na majibu· Uhakiki
· Maelezo na ufafanuzi· Majadiliano· Ufaraguzi wa
mazungumzo· Tajriba· Maswali na majibu· Kuandika
· Mjadala· Maelezo na ufafanuzi· Kazi ya vikundi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 40-43
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 31
· Magazeti na majarida· Vielelezo vya sentensi
zenye manenomaalumu
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 43-46
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 31-33
· Vielelezo· Chati ya vipengele vya
fani· Mikusanyo ya
mashairi huru
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 46
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 33
· Mazingira yawanafunzi
· Wanafunzi wenyewe· Mikusanyo ya insha
za mazungumzo
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 47
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 33-34
· Ramani· Picha· Mikusanyo ya makala
HAKIUZWI
JUM
A 6
JUM
A 7
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6
1
2
3
Fasihi
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Kifo kisimani
Mafumbo
Historia ya Umoja waAfrika
Aina za vitenzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza mtiririko wa onyesho la sita na
yaliyomo katika onyesho hili.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutoa maana ya mafumbo.· kueleza sifa bainifu za mafumbo.· kupambanua dhima ya mafumbo.· kutoa mifano ya mafumbo.· kufumbua mafumbo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma maandishi kwa ufasaha.· kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.· kueleza maana za maneno.· kuzingatia mafunzo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya vitenzi.· kubainisha vitenzi katika sentensi.· kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi
vikuu, visaidizi, vishirikishi, vishirikishi-vipungufu na vitenzi sambamba.
· Kusoma· Kujadili· Kuandika· Uhakiki
· Ufumbuzi wamafumbo
· Uvumbuzi huria· Michezo ya lugha· Maelezo ya ufafanuzi· Mifano
· Usomaji· Maswali na majibu· Mahojiano· Utafiti
· Maelezo· Mifano· Tajriba
· Kifo kisimani –Onyesho la Sita
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 47-49
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 34-35
· Chati za mafumbo· Wanafunzi wenyewe· Kadi za mafumbo· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 49-51
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 35-36
· Ramani· Picha za viongozi· Magazeti na majarida· Waalikwa· Tarakimu, grafu na
chati
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 51-54
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 36-38
· Mandhari ya shule· Chati ya aina za
vitenzi na mifanoyake
· Vielelezo
HAKIUZWI
JUM
A 7
JUM
A 8
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4 Ufasaha wa lugha Muhtasari: Kiswahili baada Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziya uhuru aweze:
· kufupisha taarifa kuambatana namaagizo.
· kueleza maendeleo ya Kiswahili tanguKenya ipate uhuru.
· kubainisha matatizo yanayoikabili lughaya Kiswahili na ustawi wake.
· Kuandika· Kufupisha· Utatuzi wa mambo· Mahojiano
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 55-56
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 38-39
· Ripoti magazetini· Chati· Historia ya Kiswahili
(OUP)· Picha na michoro· Ramani
5 Fasihi teule Maudhui katika mashairi ya Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziarudhi aweze:
· kueleza maana ya maudhui.· kupambanua hatua za kupata maudhui.· kusoma shairi na kujibu maswali ya
ufahamu.· kufafanua maudhui ya shairi la arudhi.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Mifano KcM 4, uk. 57-58· Ugunduzi · Kiswahili Fasaha,· Makundi MwM 4, uk. 39-40· Uhakiki · Mikusanyo ya visa vya
udhalimu magazetini· Mikusanyo ya
mashairi ya arudhi
6
1
Fasihi
Kusikiliza nakuzungumza
Kifo kisimani
Unene wa kupindukia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza mtiririko wa onyesho la saba
na kudondoa matukio makuu katikaonyesho hilo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza hoja kwa mantiki na ufasaha.· kujadili chanzo na madhara ya unene wa
kupindukia.· kupendekeza hatua za kukabiliana na
unene wa kupindukia.
· Kusoma· Kujadili· Kuandika· Uhakiki
· Mjadala· Makundi· Maelezo· Maswali na majibu· Ufahamu wa
kusikiliza
· Kifo kisimani –Onyesho la Saba
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 59
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 41-43
· Makala· Picha na michoro· Wanafunzi
JUM
A 8
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
2
3
Fasihi yetu
Ufahamu
Lakabu
Usafiri wa umma siku hizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya lakabu.· kufafanua sifa za lakabu.· kutoa mifano na kufafanua maana za
lakabu katika vitabu vya fasihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma ufahamu wa ufasaha.· kujibu maswali ya taarifa kwa usahihi.· kueleza ujumbe wa taarifa.· kueleza maana za maneno.
· Maelezo· Usomaji· Maswali na majibu· Tajriba· Utafiti· Majadiliano
· Maelezo· Usomaji· Maswali na majibu· Tajriba· Utafiti
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 59-60
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 43-44
· Vielelezo· Wanafunzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 60-63
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 44-45
· Picha na michoro· Mazingira ya
wanafunzi
4 Sarufi Viwakilishi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya viwakilishi.· kuanisha viwakilishi mbalimbali na
mifano yake.· kufafanua matumizi ya viwakilishi.· kutunga sentensi sahihi kwa kutumia
viwakilishi.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu KcM 4, uk. 63-66· Majadiliano · Kiswahili Fasaha,· Tajriba MwM 4, uk. 45-46
· Majedwali· Maandishi kutoka
magazeti na vitabu
5 Ufasaha wa lugha Muhtasari: Manufaa ya taka Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma taarifa kwa ufasaha na ufahamu.· kudondoa hoja kuu kutoka katika
taarifa.· kueleza hoja kwa muhtasari bila
kupoteza au kubadili maana.· kujibu maswali ya ufupisho kwa usahihi
kulingana na vidokezo.
· Maelezo· Ufafanuzi· Majadiliano· Kutoa mifano· Maswali na majibu· Kusoma· Kuandika
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 66-67
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 46
· Wanafunzi wenyewe· Kielelezo cha hatua za
kufupisha habari
JUM
A 8
JUM
A 9
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6
1
2
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Mafunzo na tathminikatika mashairi
Mashairi ya arudhi nahuru
Mawazo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuonyesha mambo muhimu ya
kushughulikiwa katika tathmini yaushairi.
· kufafanua hatua za kupitia wakati wakujibu maswali ya mashairi.
· kujibu maswali ya ushairi kwa usahihi.· kueleza mafundisho katika ushairi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutunga mashairi ya arudhi na
huru kwa kuzingatia utunzi wao namaudhui waliyopewa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa ufasaha.· kusikiliza kwa makini.· kujadili hoja kwa ufasaha.
· Majadiliano· Makundi· Utendaji· Maswali na majibu· Maelezo na
ufafanuzi
· Maelezo· Tajriba· Utafiti· Utungaji wa kisanii
· Maelezo· Mdahalo· Maigizo· Uchunguzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 68-70
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 46-48
· Kanda za sauti auvideo
· Vielelezo· Mashairi kutoka
vitabu mbalimbali
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 71-72
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 48-49
· Vielelezo· Mikusanyo ya
mashairi· Makala toka
magazeti
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 73-74
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 49-50
· Vielelezo· Wanafunzi· Waalikwa· Vibonzo
JUM
A 9
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
3
4
5
6
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Fasihi
Misimu
Barua wazi kwaMkurugenzi
Vivumishi
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza misimu.· kueleza sababu ya misimu kuchipuka.· kufafanua sifa za misimu.· kutoa mifano na maana za misimu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa makini.· kupambanua sifa za barua rasmi.· kujibu maswali kwa usahihi.· kueleza matumizi ya lugha.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza vivumishi.· kuanisha vivumishi.· kutoa mifano ya vivumishi.· kubainisha maumbo ya vivumishi.· kutumia vivumishi katika sentensi
kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuelezea mtiririko wa onyesho la
nane.· kutambua matukio makuu katika
onyesho la nane.
· Mifano· Ufaraguzi· Utafiti· Maelezo na
ufafanuzi· Michezo ya lugha
· Ugunduzi wakuongozwa
· Maswali na majibu· Utafiti· Tajriba· Usomaji
· Maelezo naufafanuzi
· Utafiti· Mifano· Tajriba
· Kusoma· Kujadiliana· Kuandika· Uhakiki
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 74-76
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 50-52
· Kamusi ya Sheng· Kanda za sauti na
video· Idhaa mbalimbali za
redio· Mikusanyo ya
misimu· Magazeti, hasa ya
udaku
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 77-78
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 52-53
· Magazeti· Vielelezo vya barua
rasmi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 79-81
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 53-54
· Chati za vivumishi· Maandishi
mbalimbali
· Kifo kisimani –Onyesho la Nane
I
JUM
A 10
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1
2
3
4
Ufasaha wa lugha
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Muhtasari:Wajibu wa Kiswahilikitaifa na kimataifa 1
Barua rasmi
Mjadala
Ngano
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma na kufupisha habari ipasavyo.· kufafanua wajibu wa Kiswahili.· kueleza maenezi ya lugha ya
Kiswahili.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuandika kwa usahihi akizingatia
muundo, maudhui na hatua za baruarasmi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutetea hoja kikamilifu.· kuwasilisha hoja kwa kuzingatia
kanuni za kuendesha midahalo.· kuzungumza kwa ufasaha na usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya ngano.· kufafanua muundo na umuhimu wa
ngano.· kuanisha ngano.· kuhakiki ngano.
· Kufupisha· Utafiti· Majadiliano· Kazi mradi· Usomaji· Kuandika
· Mifano· Maelezo· Majadiliano· Uchunguzi· Kuandika
· Ufafanuzi· Mjadala· Tajriba· Utendaji au uigizaji
· Maelezo naufafanuzi
· Masimulizi· Majadiliano· Maswali na majibu· Makundi· Uhakiki
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 82-83
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 54-55
· Ramani· Magazeti· Redio na mdahilishi· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 85-86
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 56-58
· Vielelezo· Chati· Mikusanyo
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 87
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 58-60
· Makala· Kanda za sauti· Wanafunzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 87-89
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 60-63
· Chati za muundo,aina na umuhimuwa ngano
· Kanda za sautikutoka KIE
· Vielelezo
HAKIUZWI
JUM
A 10
JUM
A 11
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
5
6
1
2
Ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi
Ubakaji
Viunganishi
Wasifu na tawasifu
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa ufasaha.· kubainisha maudhui au ujumbe wa
taarifa.· kueleza maana ya msamiati.· kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya neno viunganishi.· kubainisha viunganishi vya asili ya
Kibantu na vya kukopwa.· kufafanua sifa na dhima za
viunganishi.· kutunga sentensi kwa kutumia
viunganishi kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya wasifu na tawasifu.· kueleza umuhimu wa wasifu na
tawasifu.· kutoa mifano ya wasifu na tawasifu.· kufafanua mafunzo kutokana na
mifano ya wasifu na tawasifu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza mtiririko wa onyesho la tisa.
· Usomaji· Majadiliano· Maelezo na
ufafanuzi· Maswali na majibu
· Maelezo naufafanuzi
· Maswali na majibu· Majadiliano· Mashindano· Makundi
· Maelezo naufafanuzi
· Tajriba na mifano· Maswali na majibu· Majadiliano
· Kusoma· Kujadiliana· Uchambuzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 90-92
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 63-64
· Picha na michoro· Magazeti
na majaridayanayogusia ubakaji
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 92-94
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 64-66
· Majedwali· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 95-96
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 66-69
· Vielelezo vya wasifuna tawasifu
· Kanda za sauti auvideo zenye madahii
· Picha na michoro
· Kifo kisimani –Onyesho la Tisa
HAKIUZWI
JUM
A 11
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
3
4
5
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Insha ya wasifu natawasifu
Mkutano Mkuu waMwaka
Miviga
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza muundo na hatua za kuandika
insha za wasifu na tawasifu.· kuandika insha za wasifu na tawasifu
kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusikiliza kwa makini.· kujibu maswali kwa usahihi.· kueleza shughuli za mkutano na
umuhimu wake.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza miviga.· kufafanua dhima ya miviga.· kueleza sifa za miviga.· kutoa mifano ya miviga.
· Uchunguzi· Mifano· Tajriba· Maswali na majibu· Maelezo na
ufafanuzi· Kuandika
· Mjadala· Makundi· Mifano· Maelezo na
ufafanuzi
· Mifano· Tajriba· Utafiti· Maigizo· Maelezo na
ufafanuzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 98
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 70
· Vielelezo vya inshaza wasifu na tawasifu
· Magazeti namajarida yenyewasifu au tawasifu
· Kanda za sauti auvideo juu ya maishaya watu maarufu
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 99-101
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 70-71
· Mikusanyo yakumbukumbu
· Ripoti za mikutanomagazetini
· Vielelezo
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 101-102
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 71-72
· Mikusanyo ya miviga· Mwalikwa· Kanda za sauti· Picha za sherehe
HAKIUZWI
JUM
A 11
JUM
A 12
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6
1
2
3
Ufahamu
Sarufi
Fasihi
Ufasaha wa lugha
Kitengo cha ukimwichazinduliwa
Vielezi
Kifo kisimani
Muhtasari:Wajibu wa Kiswahilikitaifa na kimataifa 2
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa makini.· kueleza hali ya wahasiriwa wa ukimwi
katika mazingira ya kazini.· kufafanua maana za maneno.· kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya vielezi.· kuainisha vielezi vya mahali na idadi.· kutumia vielezi kutungia sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza mtiririko katika onyesho la
kumi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma na kufupisha habari ipasavyo.· kufafanua wajibu wa Kiswahili.· kueleza ufundishaji wa Kiswahili
katika vyuo vikuu.· kupima matumizi ya Kiswahili katika
vyombo vya habari.
· Ufaraguzi· Utatuzi wa mambo· Maswali na majibu· Usomaji
· Tajriba· Kazi mradi· Masimulizi· Uigizaji
· Kusoma· Kujadiliana· Kuandika· Uchambuzi
· Maswali na majibu· Usomaji· Kuandika· Maelezo· Majadiliano· Uchunguzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 102-104
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 72-73
· Picha za maeneo· Ripoti za visa vya
maonevu kazini· Tarakimu za
wahasiriwa waukimwi
· Magazeti namajarida
· Kanda za video
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 104-106
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 73-74
· Mabango· Ramani· Mandhari katika
ujirani wa shule
· Kifo kisimani –Onyesho la Kumi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 106-107
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 74
· Magazeti· Mdahilishi· Redio· Vielelezo· Historia ya
Kiswahili (OUP)HAKIUZWI
JUM
A 12
JUM
A 13
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Kwanza
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4
5
6
1
Utunzi
Fasihi yetu
Ufahamu
Mtihani nakusahihisha
Kumbukumbu
Mighani
Mwacha mila
Marudio na mazoezi yastadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuandika insha ya kumbukumbu kwa
usahihi akizingatia mbinu za uandishiwake.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza mighani.· kuonyesha sifa za mighani.· kufafanua sifa za mighani kuhusu
Nyerere.· kusimulia mighani.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma taarifa kwa makini na ufasaha.· kutoa maoni kuhusu mila ya kuzika
maiti ‘kwao’.· kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.· kueleza maana za maneno.· kuzingatia mafunzo katika taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kupitia yote waliyojifunza.· kubuni na kujieleza.· kusahihisha makosa waliyoyafanya.
· Utatuzi wa mambo· Tajriba· Ufaraguzi· Mazungumzo· Kuandika
· Maswali na majibu· Maelezo na ufafanuzi· Tajriba· Majadiliano· Masimulizi
· Mjadala· Maswali na majibu· Mifano· Usomaji· Tajriba· Maelezo na ufafanuzi
· Tajriba ya wanafunzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 110
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 75-76
· Vielelezo· Ubao· Mikusanyo
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 111-114
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 79-80
· Vielelezo vyamighani
· Magazeti, majaridana makala tokakwenye wavutiyenye mighani
· Wanafunzi wenyewe
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 114-116
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 79-80
· Vielelezo· Mikusanyo ya visa
magazetini
· Karatasi za mitihani· Kalamu
JUM
A 1
, KidatoSHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
: Muhula wa PiliKIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIA
NYENZO ZA
1 Sarufi Vihusishi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya vihusishi.· kufafanua dhima ya vihusishi.· kubainisha aina za vihusishi.· kutumia vihusishi katika sentensi kwa
usahihi.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu KcM 4, uk. 116-118· Majadiliano · Kiswahili Fasaha,· Tajriba MwM 4, uk. 80-81
· Majedwali· Vielelezo· Mikusanyo ya sentensi
zenye vihusishi
2 Fasihi Kifo kisimani Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza mbinu mbalimbali za lugha
ambazo zimetumika.
· Kujadiliana· Kuandika· Kusoma· Uchambuzi
· Kifo kisimani
3 Ufasaha wa lugha Uundaji wa maneno Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza sababu za lugha kuendelea
kuunda maneno kila wakati.· kutaja mifano ya maneno ambayo
yamezuka katika nyanja mbalimbalikutokana na maendeleo ya jamii.
· kueleza mojawapo ya njia ambazohutumiwa katika kuunda maneno.
· kufafanua namna manenoyanavyotumiwa kuunda manenomengine.
· kutoa maneno yaliyoundwa kutokanana mengine katika sentensi kwausahihi.
· Tajriba · Kiswahili Fasaha,· Majadiliano KcM 4, uk. 118-120· Mifano · Kiswahili Fasaha,· Majibu na maswali MwM 4, uk. 81-83· Maelezo na ufafanuzi · Chati ya aina za
maneno· Vielelezo
vya manenoyaliyoundwakutokana namengine
· Makala yenyemaandishi
305 HAKIUZWI
JUM
A 1
JUM
A 2
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4-5
6
1
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Fani katika hadithi fupi
Uandishi wa matangazo
Hotuba:Balozi wa Umoja waMataifa juu ya mazingira
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma hadithi fupi.· kupambanua vipengele vya fani.· kuchambua fani katika mkusanyo wa
hadithi fupi.· kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza matangazo.· kueleza umuhimu wa matangazo.· kubainisha aina za matangazo.· kuandika matangazo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusikiliza kwa makini.· kufafanua ujumbe wa hotuba kwa
ufasaha.· kueleza matatizo ya uharibifu wa
mazingira na ufumbuzi wake.· kueleza maana za maneno.· kupambanua mchango wa vijana
katika kuhifadhi mazingira.
· Tajriba· Maswali· Uhakiki· Kazi mradi· Udadisi· Usomaji· Maelezo na ufafanuzi
· Tajriba· Maswali na majibu· Uchunguzi· Makundi· Kuandika
· Mdahalo· Maigizo· Makundi· Utatuzi wa mambo· Kazi mradi· Kuhutubu
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 120-123
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 83-84
· Mandhari halisi· Chati ya vipengele
vya fani· Kitabu kiteule cha
hadithi fupi (MayaiWaziri wa Maradhi)
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 123-124
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 84-85
· Mabango· Mdahilishi, runinga,
redio· Picha magazetini· Mandhari halisi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 125-126
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 85-86
· Mabango· Mdahilishi, runinga
video na redio· Picha magazetini· Mandhari halisi
HAKIUZWI
JUM
A 2
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
2
3
4
Fasihi yetu
Ufahamu
Sarufi
Ulumbi
Haki za watoto nawanawake
Vihisishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza ulumbi.· kueleza majukumu ya walumbi.· kupambanua sifa za ulumbi.· kutoa mifano ya walumbi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa ufasaha na makini.· kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.· kueleza maana za maneno na methali.· kuzingatia mafunzo katika taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza vihisishi.· kuanisha vihisishi.· kutoa mifano ya vihisishi katika
Kiswahili.· kutumia vihisishi katika maandishi na
mazungumzo.
· Mifano· Utazamaji· Uchunguzi kifani· Maelezo na
ufafanuzi
· Ufaraguzi· Maelezo· Maswali na majibu· Mahojiano na
majadiliano
· Maigizo· Utafiti· Mifano· Masimulizi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 127-128
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 86-87
· Kanda za sauti· Picha· Waalikwa
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 128-130
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 87-88
· Vibonzo· Waalikwa· Vyombo vya habari· Makala· Kamusi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 130-133
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 88-89
· Kanda za sauti auvideo
· Mikusanyo yavihisishi
· Mazungumzokwenye runinga auredio
HAKIUZWI
JUM
A 2
JUM
A 3
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
5
6
1
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Fasihi teule
Mwingiliano wa aina zamaneno
Fani katika riwaya
Maudhui katika riwaya
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha dhana ya mwingiliano wa
maneno.· kutambulisha aina za maneno.· kutunga sentensi kudhihirisha
mwingiliano wa maneno mbalimbali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya fani.· kubainisha mambo muhimu katika
fani.· kufafanua umuhimu wa fani.· kuhakiki riwaya teule kifani.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maudhui na dhamira.· kupambanua hatua na vigezo vya
kupata maudhui.· kufafanua maudhui ya riwaya teule.
· Mifano· Utafiti· Uchunguzi
· Maelezo naufafanuzi
· Maswali na majibu· Uchambuzi· Majadiliano· Makundi
· Majadiliano· Makundi· Maswali na majibu· Tajriba· Ugunduzi· Utafiti· Uhakiki
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 130-133
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 89-90
· Kadi za maneno· Jedwali la aina za
maneno· Mandhari ya
wanafunzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 107-110
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 75
· Riwaya teule· Chati· Kanda za sauti
kutoka KIE
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 135-136
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 90
· Kanda za sautikutoka KIE
· Riwaya teule· Picha za watu, vitu,
hali na mandharimbalimbali
JUM
A 3
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
2
3
4
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Uandishi wa hotuba:Kenya tuitakayo
Mahojiano:Jopo la waajiri
Soga
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya hotuba.· kufafanua sifa za hotuba.· kueleza muundo wa hotuba na hatua
za kuiandika.· kuandika hotuba.· kuzingatia ujumbe katika hotuba.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza sifa za mahojiano katika jopo
la waajiri.· kuendesha mahojiano ya jopo la
waajiri kwa usahihi.· kuandika insha ya mahojiano ya kazi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya soga.· kufafanua sifa za soga.· kubainisha mafunzo katika soga· kutoa mfano wa soga.
· Maigizo ya hotuba· Muundo wa hotuba· Jinsi ya kuandika
hotuba· Ujumbe katika hotuba· Ufahamu wa kusikiliza
· Maelezo na ufafanuzi· Maigizo· Ufaraguzi· Mahojiano· Majadiliano· Tajriba· Maswali na majibu
· Maelezo na ufafanuzi· Maigizo· Ufaraguzi· Maswali na majibu· Majadiliano
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 136
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 90-92
· Vielelezo vya hotubambalimbali
· Magazeti namajarida ya hotuba
· Picha za mandharikutoka nchimbalimbali
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 137-138
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 92-93
· Vielelezovya maswaliyanayoulizwa najopo
· Wanafunzi wenyewe
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 138-139
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 93-94
· Vielelezo vya sogambalimbali
· Jedwali· Kanda za sauti
JUM
A 3
JUM
A 4
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
5 Fasihi Kifo kisimani Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuzitambua mbinu na fani mbalimbali
za lugha zilizotumika katika tamthilia.
· Kujadiliana· Kusoma· Kuandika· Uchambuzi
· Kifo kisimani
6
1-2
Ufahamu
Sarufi
Kazi mbi si mchezomwema
Vijenzi vya sentensi 1
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma ufahamu kwa ufasaha.· kueleza yaliyomo katika taarifa.· kujibu maswali kwa usahihi.· kueleza maana za maneno na vifungu.· kuzingatia mafunzo katika taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha vijenzi vya sentensi.· kutunga sentensi ili kudhihirisha
vijenzi maalumu.· kutoa mifano ya vijenzi vya sentensi
ambavyo vinashughulikiwa.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Usomaji KcM 4, uk. 140-142· Maswali na majibu · Kiswahili Fasaha,· Majadiliano MwM 4, uk. 94-96· Tajriba · Picha na michoro
· Makala ya magazeti· Kamusi ya
Kiswahili Sanifu
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Uchunguzi KcM 4, uk. 142-146· Majadiliano · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu MwM 4, uk. 96-97
· Vielelezo vya vijenzivya sentensi
· Mikusanyo yamaandishi, kamavitabu viteule,magazeti na kamusi
3 Ufasaha wa lugha Dayolojia:Uwajibikaji wa viongoziwaliochaguliwa
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma na kuigiza dayolojia kwa
ufasaha.· kujibu maswali kutokana na dayolojia
kwa usahihi.· kuandika dayolojia nyingine kama
walivyoelekezwa kwa usahihi.
· Uigizaji· Makundi· Majadiliano· Maelezo na ufafanuzi· Maswali na majibu
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 146-148
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 97-98
· Wanafunzi wenyewe· Vielelezo vya
dayolojia
HAKIUZWI
JUM
A 4
JUM
A 5
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4 Fasihi teule Maudhui katika hadithifupi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya maudhui.· kueleza vigezo vya kuzingatia katika
uchambuzi wa maudhui.· kufafanua maudhui ya hadithi
mbalimbali katika mkusanyo teule wahadithi fupi.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu KcM 4, uk. 148-150· Tajriba · Kiswahili Fasaha,· Ugunduzi wa MwM 4, uk. 98-99
kuongozwa · Kitabu kiteule cha· Uhakiki hadithi fupi
· Kanda za uhakikikutoka KIE
5-6
1
2
Fasihi
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Kifo kisimani
Mahojiano
Wavuti
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutambua maudhui yanayoendelezwa
katika tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua muundo wa mahojiano.· kuandika insha ya mahojiano kwa
usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutumia wavuti ipasavyo.· kuendesha majadiliano kutokana na
ujumbe katika wavuti kwa ufahasa.· kuzingatia ujumbe katika wavuti.
· Kusoma· Kujadili· Kuandika· Uchambuzi
· Maelezo· Kuandika· Mahojiano· Kuigiza· Mifano· Maswali na majibu· Makundi
· Uchunguzi· Tajriba· Majadiliano· Maelezo na ufafanuzi
· Kifo kisimani
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 150
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 99-100
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 151
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 100-101
· Wavuti· Ramani· Picha kutoka
magazeti
HAKIUZWI
JUM
A 5
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
3
4
5-6
Fasihi yetu
Ufahamu
Fasihi
Malumbano ya utani
Taarifa ya wavuti kuhusuajira ya watoto
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuchunguza mifano ya malumbano ya
utani.· kupambanua aina za utani.· kueleza matumizi ya lugha katika
malumbano ya utani.· kufafanua dhima ya malumbano ya
utani.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa makini.· kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.· kueleza maana za maneno.· kuzingatia mafunzo katika taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kutambua maudhui yanayoendelezwa
katika tamthilia hii.
· Uchunguzi kifani· Mifano· Tajriba· Maswali na majibu· Maswali na majibu
· Tajriba· Uchunguzi kifani· Maelezo na ufafanuzi
· Kusoma· Kujadiliana· Kuandika· Uchambuzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 151-153
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 101
· Kanda za sauti· Mikusanyo ya
malumbano ya utani· Ripoti za utafiti
kuhusu utani
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 153-155
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 101-103
· Wavuti· Picha katika
magazeti namajarida
· Redio, runinga navideo
· Kamusi yaKiswahili Sanifu
· Kifo kisimani
HAKIUZWI
JUM
A 6
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1-2 Sarufi Vijenzi vya sentensi 2 Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza vijenzi vya sentensi.· kubainisha vijenzi mbalimbali vya
sentensi kama shamilisho, vishazi navirai.
· kutoa mifano ya vijenzi vya sentensi.· kufunga sentensi kudhihirisha vijenzi
maalumu vya sentensi.
· Mifano· Uchunguzi· Tajriba· Maelezo na ufafanuzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 155-159
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 103-104
· Vielelezo· Mikusanyo ya
maandishi
3 Ufasaha wa lugha Muhtasari: Ponografia naathari zake
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufupisha habari.· kueleza chanzo cha ponografia.· kufafanua sababu na njia za kuenea
kwa ponografia.· kujadili athari za ponografia.· kupendekeza njia za kukabiliana na
ponografia katika jamii.
· Maswali na majibu · Kiswahili Fasaha,· Uchunguzi kifani KcM 4, uk. 160-161· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Kuandika MwM 4, uk. 104-105
· Mifano ya vyombovya mawasiliano
· Mwalikwa
4
5-6
Fasihi teule
Fasihi
Mafunzo na tathminikatika riwaya
Kifo kisimani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza mafunzo na tathmini.· kupambanua vipengele vya mafunzo
na tathmini.· kufafanua mafunzo ya riwaya teule.· kufanya tathmini ya riwaya teule.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maudhui katika tamthilia ya
kifo kisimani.
· Tajriba· Utatuzi wa mambo· Maswali na majibu· Maelezo na ufafanuzi· Majadiliano· Uhakiki
· Kusoma· Kujadiliana· Kuandika· Uhakiki
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 162-163
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 105-106
· Riwaya teule· Mwalikwa
· Kifo kisimani
JUM
A 7
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1-2 Utunzi Memo, baruameme naujumbe wa rununu
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya memo, baruameme
na ujumbe wa rununu.· kupambanua sifa za memo,
baruameme na ujumbe wa rununu.· kubainisha tofauti na mfanano baina
ya barua rasmi na memo, baruamemena ujumbe wa rununu.
· kuandika memo, baruameme naujumbe wa rununu kwa usahihi.
· Maelezo na ufafanuzi· Mifano· Uvumbuzi· Kuandika· Utafiti· Maswali na majibu
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 164-166
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 106-107
· Vielelezo· Mikusanyo ya
memo, baruamemena ujumbe warununu
· Tarasha zamatangazo
· Mdahilishi· Rununu
3
4
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Mjadala
Mawaidha katika fasihisimulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuendesha mjadala darasani.· kujadili hoja muhimu kwa mantiki na
ufasaha.· kuzingatia mitindo ya kujadili.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana na umuhimu wa
mawaidha kama kipera cha fasihisimulizi.
· kufafanua sifa na dhima ya mawaidha.· kuchambua mawaidha waliyopewa.· kuandika mawaidha kwa usahihi.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Mjadala KcM 4, uk. 167· Mashindano · Kiswahili Fasaha,
MwM 4, uk. 107-109· Kielelezo cha
mdahilishi· Hoja kuhusu
manufaa namadhara yamdahilishi katikamagazeti, majaridana mtandao
· Ufaraguzi · Kiswahili Fasaha,· Utafiti KcM 4, uk. 167-168· Majadiliano · Kiswahili Fasaha,· Makundi MwM 4, uk. 109-111· Maelezo na ufafanuzi · Vielelezo vya
mawaidha· Mwalikwa
HAKIUZWI
JUM
A 7
JUM
A 8
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
5
6
1
2-3
Fasihi teule
Fasihi
Ufahamu
Sarufi
Mafunzo na tathminikatika fasihi simulizi
Kifo kisimani
Utandawazi
Uchanganuzi wa sentensi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua mafunzo yanayojitokeza
katika vipera vya fasihi.· kueleza hatua za kuzingatia wakati
wa kushughulikia mtihani wa fasihisimulizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maudhui katika tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma taarifa kwa ufasaha.· kueleza ujumbe wa taarifa.· kueleza maana ya msamiati.· kujibu maswali kwa usahihi.· kuzingatia mafunzo katika somo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya uchanganuzi wa
sentensi.· kufafanua sentensi sahili, ambatano na
changamano.· kuchanganua sentensi mbalimbalai
kwa njia za majedwali, mistari, mishalena michoro ya matawi.
· kueleza vijenzi vya sentensi baada yauchanganuzi.
· Majadiliano· Makundi· Tajriba· Maelezo na ufafanuzi· Maswali na majibu
· Kusoma· Kujadiliana· Kuandika· Uchambuzi
· Uvumbuzi· Majadiliano· Makundi· Maelezo na ufafanuzi· Maswali na majibu
· Maelezo· Majadiliano· Mifano· Tajriba· Maswali na majibu
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 97-98
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 69
· Vielelezo vyatathmini ya kazi zafasihi simulizi
· Kifo kisimani
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 169-171
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 111-113
· Kamusi yaKiswahili Sanifu
· Magazeti namajarida
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 171-175
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 113-124
· Vielelezovya sentensizilizochanganuliwakupitia kwamajedwali, mistari,mishale na michoroya matawi
JUM
A 8
JUM
A 9
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4-5 Ufasaha wa lugha Ukanushaji wa nyakati nahali
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya ukanushaji.· kufafanua jinsi ya kukanusha kwa
kutegemea nafsi, nyakati na hali.· kubainisha maumbo ya viambishi vya
ukanushaji.· kubadilisha sentensi katika hali
yakinifu au hali kanushi.
· Tajriba · Kiswahili Fasaha,· Majadiliano KcM 4, uk. 176-180· Mifano · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu MwM 4, uk. 124-125· Maelezo na ufafanuzi · Vielelezo vya
sentensi katika haliyakinifu na halikanushi
· Jedwali la viambishivya ukanushaji
6 Fasihi Mtindo wa mwandishikatika tamthilia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza mtindo wa mwandishi katika
tamthilia ya kifo kisimani.
· Majadiliano· Maswali na majibu· Kuandika· Uchambuzi
· Kifo kisimani
1
2
Fasihi teule
Utunzi
Mafunzo na tathminikatika hadithi fupi
Insha ya masimulizi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua mafunzo yanayojitokeza
katika hadithi fupi.· kueleza namna ya kushughulikia
tathmini katika utanzu wa hadithi fupi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua sifa za insha ya masimulizi.· kusimulia kisa kwa sauti.· kuandika insha aliyosimulia kwa
usahihi.
· Majadiliano · Kiswahili Fasaha,· Makundi KcM 4, uk. 180-182· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Tajriba MwM 4, uk. 126
· Mkusanyo teule wahadithi fupi
· Vielelezo vya hatuaza kuzingatia wakatiwa kushughulikiatathmini ya hadithifupi
· Makundi · Kiswahili Fasaha,· Majadiliano KcM 4, uk. 182· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu MwM 4, uk. 126-127· Kuandika · Vielelezo vya insha
za masimulizi· Kanda za video
au sauti zenyemasimulizi
· Chati
HAKIUZWI
JUM
A 9
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
3
4
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Ilani na onyo
Maigizo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza ilani na onyo.· kutoa mifano ya ilani na onyo.· kujadili ujumbe katika ilani na onyo.· kuzingatia ujumbe katika ilani na
onyo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya maigizo.· kufafanua sifa za maigizo.· kutoa mifano ya maigizo.· kuzingatia ujumbe katika maigizo.
· Maigizo· Mifano· Uchunguzi· Maelezo na ufafanuzi· Kuandika
· Maigizo· Mifano· Ugunduzi· Maelezo na ufafanuzi· Maswali na majibu
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk.183-185
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 127-128
· Mikusanyo ya ilanina onyo
· Picha na michoro· Hali halisi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 185-186
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 128-129
· Vielelezo· Kanda za sauti na
video
5 Ufahamu Tohara Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma shairi kwa mdundo ufaao.· kujibu maswali kwa usahihi.· kuzingatia ujumbe wa shairi· kueleza maana za maneno.
· Maswali na majibu · Kiswahili Fasaha,· Uvumbuzi KcM 4, uk. 187-188· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Makundi MwM 4, uk. 129-130· Usomaji na kukariri · Visa vya tohara
magazetini· Michoro au picha· Wasakatonge
6 Fasihi Wahusika Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza sifa za wahusika wakuu katika
tamthilia
· Majadiliano· Maelezo· Maswali na majibu· Uchambuzi
· Kifo kisimani
HAKIUZWI
JUM
A 10
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1-2
3
4
5-6
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Fasihi teule
Fasihi
Mnyambuliko wa vitenzi 1
Muhtasari:Janga la Tsunami
Chimbuko na usuli watamthlia
Wahusika
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza mnyambuliko wa vitenzi.· kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi.· kufafanua maana ya vitenzi katika
kauli mbalimbali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma taarifa kwa makini.· kufupisha habari.· kufafanua hoja kuhusu janga la
Tsunami.· kuzingatia mafunzo katika taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza chimbuko na usuli wa
tamthilia.· kueleza mikondo ya tamthilia.· kufafanua mambo ya kuzingatia katika
uchunguzi wa usuli.· kupambanua usuli wa tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza sifa za wahusika wote katika
tamthilia.
· Kuandika· Maelezo na ufafanuzi· Mifano· Uchunguzi· Tajriba
· Utatuzi wa mambo· Maelezo na ufafanuzi· Maswali na majibu· Mifano
· Uvumbuzi· Tajriba· Utafiti· Uchunguzi kifani
· Majadiliano· Maswali na majibu· Uhakiki· Kuandika
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 188-194
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 130-131
· Vielelezo· Chati ya viambishi
vya kauli za vitenzi· Mandhari halisi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 194-196
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 131-132
· Ramani· Picha
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 196-198
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 132-133
· Picha· Kanda za sauti· Mikusanyo ya
tamthilia
· Kifo kisimani
HAKIUZWI
JUM
A 11
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1 Utunzi Ratiba ya tamasha ya sanaaza maonyesho
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha sifa za ratiba.· kueleza mambo ya kuzingatia katika
maandalizi ya ratiba.· kupambanua umuhimu wa ratiba.· kukamilisha ratiba ya mashindano ya
sanaa ya maonyesho.
· Uchunguzi kifani· Kazi mradi· Tajriba· Ufaraguzi· Kuandika
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 198-200
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 133
· Vielelezo vya ratiba· Kalenda· Saa· Orodha ya mambo
ubaoni
2
3-4
5
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Ufahamu
Wimbo:Ufisadi ukome!
Nyimbo
Mgawanyo wa majukumukatika familia
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuimba wimbo kwa mahadhi
yanayovutia.· kujadili ujumbe wa wimbo· kuanisha wimbo· kuzingatia mafunzo katika wimbo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya wimbo.· kupambanua sifa na muundo wa
nyimbo.· kuainisha aina mbalimbali ya nyimbo.· kuzingatia mafunzo katika nyimbo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma ufahamu kwa ufasaha.· kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.· kueleza kwa tafsili maana za maneno
na vifungu.· kuzingatia mafunzo.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Majadiliano KcM 4, uk. 201· Utendaji, hasa uimbaji · Kiswahili Fasaha,· Vikundi MwM 4, uk. 133-135· Tajriba · Vielelezo vya nyimbo
· Wanafunzi
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Utendaji KcM 4, uk. 201-205· Majadiliano · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu MwM 4, uk. 135-137· Makundi · Kanda za kunasia
sauti· Ala za muziki· Waalikwa (waimbaji)· Vielelezo vya nyimbo
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Majadiliano KcM 4, uk. 205-207· Tajriba · Kiswahili Fasaha,· Usomaji MwM 4, uk. 137-139· Maswali na majibu · Magazeti na majarida
· Kanda za sauti· Maelezo na ufafanuzi
HAKIUZWI
JUM
A 11
JUM
A 12
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
6 Sarufi Hali ya kuamuru Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza dhana ya kuamrisha.· kubainisha vigezo vinavyotawala hali
ya kuamrisha.· kutunga sentensi katika hali ya
kuamrisha katika umoja na wingi.
· Majadiliano· Uchunguzi· Tajriba
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 207-209
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 139-140
· Jedwali la viambishivinavyohusika katikahali ya kuamisha
· Sentensi vielelezokatika hali yakinishina kuamuru
1 Ufasaha wa lugha Muhtasari:Nyimbo za kazi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma taarifa kwa ufasaha.· kufafanua ujumbe wa taarifa.· kufupisha taarifa kulingana na
maagizo.· kufafanua dhima ya nyimbo za kazi.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Uvumbuzi KcM 4, uk. 209-211· Tajriba · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu MwM 4, uk. 140-141· Usomaji · Vielelezo vya· Kuandika nyimbo za kazi
· Vielelezo vya habariiliyofupishwa
2-3 Fasihi teule Fani katika tamthlia Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza vipengele vya fani, kama vile
mtindo na muundo, matumizi ya lughana usawiri wa wahusika.
· kufafanua matumizi na umuhimuwa mtindo, muundo, matumizi yalugha na usawiri wa wahusika katikatamthilia.
· kuchambua fani katika tamthilia teule.
· Uchunguzi· Udadisi· Ugunduzi· Maigizo· Maswali na majibu· Uhakiki
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 211-214
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 141
· Majedwali yamiainisho tofauti yatamthilia
· Vielelezo vya fani· Tamthilia teule
HAKIUZWI
JUM
A 12
JUM
A 13
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Pili
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4
5
6
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Mtihani nakusahihisha
Maagizo na maelekezokatika mazingira ya kazi
Mjadala bungeni
Maghani
Marudio na mazoezi yastadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya maagizo na
maelekezo.· kufafanua umuhimu wa maagizo na
maelekezo katika mazingira ya kazi.· kueleza sifa au muundo wa maagizo na
maelekezo.· kuandika maagizo na maelekezo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kuigiza mjadala bungeni ipasavyo.· kufafanua majukumu ya watu
mbalimbali bungeni.· kutoa maoni kuhusu mjadala bungeni.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya maghani.· kutoa mfano wa maghani.· kupambanua sifa za maghani.· kufafanua umuhimu wa maghani.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kupitia yote waliyojifunza.· kubuni na kujieleza.· kusahihisha makosa waliyoyafanya.
· Maelezo na ufafanuzi· Tajriba· Ufaraguzi· Maswali na majibu· Makundi· Kuandika
· Uchunguzi kifani· Maigizo· Ziara bungeni· Mifano
· Maelezo na ufafanuzi· Maigizo· Uchunguzi kifani· Mifano· Maswali na majibu
· Tajriba ya wanafunzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 214
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 142
· Vielelezo· Magazeti
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 215-217
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 142-143
· Picha na michoro yabunge
· Mikusanyo ya ripotiza bunge magazetini
· Nakala za Hansard· Vipindi katika
redio na televishenikuhusu bunge
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 217-218
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 143
· Kanda za sauti· Mikusanyo ya
mwalimu nawanafunzi
· Karatasi za mitihani· Kalamu
JUM
A 1
, KidatoSHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Maazimio ya Kazi: Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
1 Ufahamu Mfumo wa soko huruhaufai
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa makini na kwa ufasaha.· kutoa hoja kwa mantiki na ufasaha.· kueleza faida na hasara za mfumo wa
soko huru.· kufafanua maana za maneno.· kujibu maswali ya ufahamu kwa
usahihi.
· Mjadala· Tajriba· Maigizo· Maelezo na ufafanuzi· Usomaji
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 218-220
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 144-145
· Kamusi ya KiswahiliSanifu
· Mikusanyo ya taarifamagazetini
· Picha za viwandavilivyofungwa
· Mabango ya bidhaazilizoagizwa kutokanje
2 Sarufi Viambishi maalumu Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza viambishi maalumu.· kufafanua matumizi ya viambishi
maalumu vya -ku-, -ndi- na –ji-.· kutoa mifano ya viambishi maalumu.· kutumia viambishi maalumu kutungia
sentensi.
· Vielelezo · Kiswahili Fasaha,· Tajriba KcM 4, uk. 220-223· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Mifano MwM 4, uk. 145-146· Majadiliano · Vielelezo vya
viambishi maalumu· Jedwali la sentensi na
viambishi maalumu
3 Ufasaha wa lugha Muhtasari:Matatizo ya Kiswahili
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma na kufupisha habari ipasavyo.· kueleza matatizo ya Kiswahili.· kufafanua namna ya kusambaza
Kiswahili.
· Maelezo· Mifano· Tajriba· Mjadala· Utatuzi wa mambo
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 223-225
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 146
· Ripoti magazetini· Historia ya Kiswahili
(OUP)
HAKIUZWI
JUM
A 1
JUM
A 2
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4-5
6
1-2
3
Fasihi teule
Utunzi
Kusikiliza nakuzungumza
Fasihi yetu
Maudhui katika tamthilia
Insha ya maelezo
Umuhimu wa utafiti
Ngomezi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maudhui na dhamira.· kubainisha vipengele vinavyobeba
maudhui.· kufafanua maudhui ya tamthlia teule.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua sifa za insha za maelezo.· kubainisha dhana ya magulio.· kuandaa vidokezo vya insha.· kuandika insha ya maelezo kwa
usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza utafiti ni nini.· kueleza umuhimu wa utafiti.· kufafanua maana ya msamiati.· kuzingatia mafunzo kutokana na mada.· kueleza maana za istilahi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza maana ya ngomezi.· kuainisha ngomezi.· kufafanua matumizi na manufaa ya
ngomezi katika jamii ya sasa.
· Tajriba· Mjadala· Maigizo· Maswali na majibu· Kuandika· Uchambuzi
· Maelezo· Utazamaji· Utafiti· Kuandika· Mahojiano· Ziara
· Mafunzo· Ufahamu wa kusikiliza· Maelezo· Uchunguzi· Tajriba· Makundi· Majadiliano
· Maelezo na ufafanuzi· Maigizo· Ufaraguzi· Maswali na majibu· Utafiti· Majadiliano
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 225-227
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 146-147
· Kifo kisimani· Kanda za sauti
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 111, 227-228
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 76-78,147-148
· Picha· Vidokezo ubaoni
· Kiswahili FasahaKcM 4, uk. 229
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 148-150
· Vielelezo· Vyombo vya habari
na mawasiliano
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 229-230
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 150-152
· Mikusanyo· Zana halisi· Kanda za sauti· Wanafunzi
HAKIUZWI
JUM
A 2
JUM
A 3
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
4 Ufahamu Kuchelewa ni ada yaMwafrika?
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kusoma kwa ufasaha.· kufafanua ujumbe wa taarifa.· kueleza maana za maneno.· kuzingatia mafunzo ya taarifa.
· Maswali na majibu· Maelezo na ufafanuzi· Majadiliano· Tajriba· Usomaji
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 230-232
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 152-153
· Kielelezo cha saa· Kamusi ya
Kiswahili Sanifu
5-6 Sarufi Mnyambuliko wa vitenzikutokana na shina 2
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kubainisha maumbo ya vitenzi katika
kauli ambazo zinashughulikiwa katikasomo.
· kugeuza vitenzi kutoka kauli moja hadinyingine.
· kutunga sentensi kwa kutumia vitenzikatika kauli zinazoshughulikiwa katikasomo.
· kufafanua maana ya sentensiwalizotunga katika kauli mbalimbali.
· Maelezo na ufafanuzi · Kiswahili Fasaha,· Maswali na majibu KcM 4, uk. 232-235· Tajriba · Kiswahili Fasaha,· Majadiliano MwM 4, uk. 153-155
· Vielelezovya sentensizilizonyambuliwakatika kauli ambazozinashughulikiwa
· Kamusi yaKiswahili Sanifu(toleo la pili)
· Jedwali la vitenzivilivyonyambuliwakatika kaulimbalimbali
1-2 Ufasaha wa lugha Muhtasari:Mikakati ya kuimarishaKiswahili
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kufafanua mikakati inayoweza
kutumika ili kukiimarisha Kiswahili.· kueleza mchango wa wanafunzi katika
kuimarisha Kiswahili.· kuandika muhtasari wa habari
kulingana na maagizo.· kuzingatia mafunzo katika taarifa.
· Utatuzi wa mambo· Maelezo na ufafanuzi· Mifano· Masimulizi· Majadiliano· Kufupisha· Kuandika
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 235-237
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 155-156
· Kamusi yaKiswahili Sanifu
· Ramani· Historia ya
Kiswahili (OUP)· Chati
JUM
A 3
JUM
A 4
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
3-4
5-6
1-2
Fasihi teule
Utunzi
Mitihani
Mafunzo na tathminikatika tamthilia
Barua kwa mhariri wagazeti
Mtihani Mwigo 1:Karatasi 1
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza namna ya kupata mafunzo
katika tamthilia.· kupambanua mafunzo kwenye
tamthilia teule.· kufafanua mahitaji ya mwanafunzi
katika kujibu maswali kutokana natamthilia kwa usahihi na kikamilifu.
· kueleza yanayolengwa katika tathminiya tamthilia.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kueleza muundo wa barua kwa mhariri
wa gazeti.· kufafanua sifa za barua kwa mhariri wa
gazeti.· kuzingatia mafunzo.· kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kupitia yote waliyojifunza.· kubuni na kujieleza.· kusahihisha makosa waliyoyafanya.
· Maelezo na ufafanuzi· Maswali na majibu· Uhakiki· Uchanganuzi· Tajriba· Majadiliano
· Kutoa mifano· Makundi· Maswali na majibu· Maelezo na ufafanuzi· Majadiliano· Tajriba· Kuandika
· Tajriba ya wanafunzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 237-240
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 156-157
· Vielelezo vyamaswali ya tamthiliana mafunzo
· Kifo kisimani
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 240
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 157-158
· Kurasa za baruakwa mhariri katikamagazeti
· Kanda za kunasiasauti
· Mazingira yamwanafunziyanayoonyeshauzembe kazini
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 241
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 159-160
· Karatasi· Kalamu
HAKIUZWI
JUM
A 4
JUM
A 5
SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
3-4
5-6
1-2
3-4
Mitihani
Mitihani
Mitihani
Mitihani
Mtihani Mwigo 1:Karatasi 2
Mtihani Mwigo 1:Karatasi 3
Mtihani Mwigo 2:Karatasi 1
Mtihani Mwigo 2:Karatasi 2
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kupitia yote waliyojifunza.· kubuni na kujieleza.· kusahihisha makosa waliyoyafanya.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kupitia yote waliyojifunza.· kubuni na kujieleza.· kusahihisha makosa waliyoyafanya.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kupitia yote waliyojifunza.· kubuni na kujieleza.· kusahihisha makosa waliyoyafanya.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunziaweze:· kupitia yote waliyojifunza.· kubuni na kujieleza.· kusahihisha makosa waliyoyafanya.
· Tajriba ya wanafunzi
· Tajriba ya wanafunzi
· Tajriba ya wanafunzi
· Tajriba ya wanafunzi
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 241-248
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 160-170
· Karatasi· Kalamu
· Kiswahili FasahaKcM 4, uk. 248-252
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 170-175
· Karatasi· Kalamu
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 252-253
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 175
· Karatasi· Kalamu
· Kiswahili Fasaha,KcM 4, uk. 253-256
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 175-177
· Karatasi· Kalamu
HAKIUZWI
JUM
A 6-
12JU
MA
5SHABAHA NJIA ZA KUFUNDISHIA MAONI
Karatasi 3 Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi wanafunzi · Kiswahili Fasaha,
Kiswahili, Kidato cha 4Maazimio ya Kazi
Muhula wa Tatu
KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO KUFUNDISHIANYENZO ZA
5-6 Mitihani Mtihani Mwigo 2:aweze:· kupitia yote waliyojifunza.· kubuni na kujieleza.· kusahihisha makosa waliyoyafanya.
327
· Tajriba yaKcM 4, uk. 257-260
· Kiswahili Fasaha,MwM 4, uk. 178-184
· Karatasi· Kalamu
HAKIUZWI