ch 32 - shujaaz fm
DESCRIPTION
Comic ya month ya October ndio hii. CH 32 mara dat dat!!TRANSCRIPT
Kumbe ni ukweli, nyinyi ni jirani
walaghai?
Walaghai? Sisi walaghai? Si wewe huongezea watu wetu bei ya bidhaa?
Kwendaaa Huuuko!!!
Umejaza ujinga!!!
Tumeisha! Wuuu- u! Saidieni!
Watoto wameangukiwa!
Wooiiii! mungu wanguuu!!!!!
I K
MISUWATU
na ni
USIWAHI KUNIONGELESHA TENA!
WAREMBO KAMA WEWE NI VICHWA NGUMU SANA!
NAENDA KUTAFUTA MSICHANA MWENYE HUWA
HAOGI!
DAN, KWANI NIME-DO? SI TUONGEE
KAMA WATU WAZIMA? VITU GANI HIZO UNASEMA
SASA?
POLE, SIFA...
MARIA KIM, SASA NITA-DO? NINAMPENDA
SANA!AH, J.K.,
NILIMSHOW SIMTAKI TENA. SIJUI ANALIALIA NINI. WASICHANA NA KULIALIA!! MIMI NIKO
FITI!
I FEEL GOOD! TARA TARA TARA
TAA!!
KWELI?
THANKS MZEYA! NINAACHANA NA SIFA LEO LEO!
KAZI YANGU NI KUSAIDIA WATU TU. LAKINI LAZIMA
UCHOTE!
BAADAYE...
BAADAYE kwa sifa...kwa hang out ya ma-boys...
I THINK INAFAA UJARIBU KUONGEA NA YEYE VIPOA.
MISUNDERSTANDINGS HU-HAPPEN WATU WASIPOKUWA NA COMMUCA-
TION POA.
i feel...i feel...
ah, hi place ina vumbi inafanya
machozi itoke...
dan, i think
itakuwa poa uongee na
sifa...
nakubaliana na wewe, maria kim. nikienda kuongea
na yeye si utanipeleka?
jaribu ku-communicate na
yeye vizuri, am sure hii stori itakuwa poa.
you are right. si-feel poa vile
nili-do. hata sikusikiza anything alikuwa anasema.
nitapanga kum-meet tuongee.
poa. ukitaka naeza
come na wewe.
FEEL OD! TARA RA TARA TAA!!
haya! maria kim! sikujua pia una-come! sasa
sifa?
dan, sijui nili-do nini, am sorry...
no, mimi ndio niko sorry. nilisikiza advice
ya fala...
mkiongea pamoja ita-solve mashida nyingi. j.k. na mimi
tutawasaidia kuongea mkituhitaji.
hiyo jioni...