agriculture and food authority

24
September 2018 Edition AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY SERVICE CHARTER

Upload: others

Post on 27-Oct-2021

7 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

September 2018 Edition

AGRICULTURE ANDFOOD AUTHORITY

SERVICE CHARTER

Page 2: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY
Page 3: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

CONTENTS

1. Foreword 3

2. Introduction 4

3. Directorates 4

3. Our Mandate 5

4. Our Customers/Stakeholders 5

5. Customers/stakeholders Rights 6

6. Customers/stakeholders Obligations 6

7. Our Duties and Obligations 7

8. National Values and Principles of Governance 7

9. Complaints Handling 8

10. Review of the Service Charter 8

11. Monitoring Performance 8

12. Feedback 8

13. Resolved Citizens Service Charter 9

14. AFA Service Points & Contacts 10

Page 4: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

Our Crops, our Wealth3

SERVICE CHARTER

FOREWORD

The Agriculture and Food Authority (AFA) is a statutory institution with the mandate and responsibility to oversee the Regulation, Development and Promotion of scheduled crops. Through the provisions of the AFA Act (Act No. 13 of 2013), Crops Act (Act 16 of 2013) and other relevant laws and regulations as well as partnerships with other public and private institutions, AFA continues to facilitate the industry within the context of its Mission, Vision, Core Values and set service delivery standards.

Our firm commitment to quality service is hinged on the observance of the rule of law, professionalism, integrity, accountability, teamwork, customer focus, efficiency, impartiality, public participation, respect of human dignity through equity, social justice, inclusiveness, equality, human rights, non-discrimination and protection of the marginalized.

This service charter is a commitment by AFA to deliver high quality service to our customers, partners and the general public. We look forward to your feedback to enable us continually improve our service delivery.

This service charter is also aligned to the Constitution of Kenya 2010, AFA Act (Act No. 13 of 2013), Crops Act (Act No. 16 of 2013) and Vision 2030.

INTERIM DIRECTOR GENERAL

Page 5: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

SERVICE CHARTER

Our Crops, our Wealth 4

1. INTRODUCTION

Agriculture and Food Authority (AFA) is a state corporation under section 3 of the Agriculture and Food Authority Act of 2013. The role of the Authority is to Regulate, Develop and Promote sched-uled Crops value chains, for increased economic growth.

The Act consolidates the laws on the regulation and promotion of agriculture and makes provision for the respective roles of the national and county governments in agriculture and related matters, in line with the provisions of the Fourth Schedule of the Constitution of Kenya.

Our VisionTo be a World Class Regulations in the Agriculture Sector.

Our MissionTo sustainably develop and promote crops value chains through effective regulation for economic growth.

Core Values

• Customer Focus• Teamwork • Integrity• Innovativeness • Professionalism

2. DIRECTORATES

The Authority is the successor to the institutions existing before the commencement of the AFA Act 2013 and the Crops Act 2013. These are the Coconut Development Authority, Kenya Sugar Board, Tea Board of Kenya, Coffee Board of Kenya, Horticultural Crops Development Authority, Pyrethrum Board of Kenya, Cotton Development Authority and Sisal Board of Kenya. These now function as the following Directorates of AFA:

Page 6: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

Our Crops, our Wealth5

SERVICE CHARTER

3. OUR MANDATE

The mandate of the authority is to:

a) Administer the AFA Act and the Crops Act in accordance with the provisions of these Acts;

b) Promote best practices and regulate, the production, processing and marketing of agricultural products;

c) Collect, collate data and maintain a database on agricultural;d) Determine the research priorities in agriculture;e) Advise the national government and the county governments on

agricultural and levies for purposes of planning, enhancing harmony and equity in the sector.

4. OUR CUSTOMERS/STAKEHOLDERS

The Authority offers services to partners in the Agriculture sector include:

a) Individual Farmers, Farmer Groups and Associationsb) Transporters of Agricultural producec) Processorsd) Agricultural produce marketers

Page 7: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

SERVICE CHARTER

Our Crops, our Wealth 6

e) Exporters/Importers f) Suppliers of goods and servicesg) Financial institutions h) Donor Agenciesi) Development Partnersj) Universities, Tertiary Colleges and related research and training institutionsk) Government Ministries and Departments l) State Corporationsm) County Governmentsn) Private Sector Extension Service Providerso) General Public

5. CUSTOMERS/STAKEHOLDERS RIGHTS

Our customers have a right to:

a) Courteous treatmentb) Timely responsec) Privacy and confidentialityd) Access to informatione) Quality services and productsf) Conducive environment g) Effective communication

6. CUSTOMERS/STAKEHOLDERS OBLIGATIONS

To enable us serve you better and work in the spirit of mutual support and relationship, our customers are obliged to:

a) Be courteous and respectful;b) Provide precise information; c) Provide feedback on our services;d) Adhere to stipulated regulations, procedures and policies; e) Observe integrity;f) Embrace innovative and competitive agricultural practices.

Page 8: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

Our Crops, our Wealth7

SERVICE CHARTER

7. OUR DUTIES AND OBLIGATIONS

The Authority is committed to the following:

a) Continuous improvement of skills, knowledge, experience and exposure of our staff to ensure quality service delivery

b) Provision of timely and quality services to our customers c) Being responsive to customer needs and dynamicd) Zero tolerance to Corruptione) Compliance with legal and statutory requirements;f) Maintain privacy and confidentiality of customer and any classified information;g) Impartial handling of disputes;h) Objectivity in decision making process.

8. NATIONAL VALUES AND PRINCIPLES OF GOVERNANCE

In line with Article 10 of the Constitution of Kenya 2010, we subscribe to national values and principles of governance which bind all State organs, State officers, public officers and all persons.

These national values and principles of governance include:

a) Patriotism, national unity, sharing and devolution of power, the rule of law, democracy and participation of the people;

b) Human dignity, equity, social justice, inclusiveness, equality, human rights, non-discrimination and protection of the margin-alized;

c) Good governance, integrity, transparency and accountability; and

d) Sustainable development

In the event that any of these values and principles are breached in the course of our service delivery, report the same through the provided complaints handling channels.

Page 9: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

SERVICE CHARTER

Our Crops, our Wealth 8

9. COMPLAINTS HANDLING

Confidentiality is guaranteed where necessary in respect to complainant’s identity and substance of complaint to safeguard the rights of the customer/stakeholder and the service provider as well. However complainants are encouraged to identify them-selves to facilitate timely feedback and follow up.

The Authority shall acknowledge receipt of complaint within seven days, document, evaluate and handle genuine complaints/con-flicts as per laid down regulations.

10. REVIEW OF THE SERVICE CHARTER

In order to continuously meet and exceed the expectations of our stakeholders, this Service Charter shall be reviewed from time to time. Such review will take into consideration customer feedback and emerging issues.

11. MONITORING PERFORMANCE

The Authority shall ensure that the commitments of the charter are upheld through regular customer satisfaction surveys and moni-toring and evaluation.

12. FEEDBACK

For further inquiries, compliments, complaints and request for information please use the customer service telephone numbers +254 722 200 556, +254 734 600 944 or 020-2536869/86 or contact the following office:

Interim Director General,Agriculture and Food Athority,Tea House, Naivasha Rd, Off Ngong RdP.O Box 37962-00100, NAIROBI, KENYAwww.afa.go.ke

Page 10: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

Our Crops, our Wealth9

SERVICE CHARTER

You may also drop your feedback at the suggestion boxes located at accessibles points at our offices or use the feedback platform on our website or the feedback leaflets available at any of our service delivery points or Directorates.

SERVICE REQUIREMENTS/CONDITIONS

CHARGES TIMELINE

General written inquiries

Customer’s written inquiry Free 7 working days from the date of receipt of inquiry

Telephone inquiries

Customer’s telephone inquiry Free A maximum of 24 hours from time of inquiry

Email inquiries Customer’s email inquiry Free A maximum of 12 hours from receipt of email.

Public Complaints

Customer’s complaint Free A maximum of 7days from the dateof receipt of thecomplaint

Media inquiries Media inquiry Free A maximum of 2 days from the time of receipt of the inquiry

Payment for goods and services

Satisfactory delivery of goods and services and related invoices

Free A maximum of 30 working days from the date of satisfactory delivery of goods/services.

Dissemination of information

Customer’s request Free 1 day for readily available information and 60 days for information that requires research/retrieval.

Enforcement of standards and regulations

Standards and Regulations As provided for in the Standards and Regulations

As provided for in the Standards and Regulations

Arbitration • Customer’s request• Emerging industry disputes

Free Within 60 working days

13. RESOLVED CITIZEN SERVICE CHARTER

Page 11: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

SERVICE CHARTER

Our Crops, our Wealth 10

14. AFA SERVICE POINTS & CONTACTS

Compliments, complaints and any suggestions for the betterment of service delivery shall be addressed to the Director General AFA and the respective Heads of AFA Directorates.

1. Agriculture and Food Authority (AFA) Tea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBILandline: (+254 - 20) 2536869/86 Cell phone: (+254)722-200556; (+254)734-600944Website: www.afa.go.ke Email: [email protected]

2. Tea DirectorateTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 20064 - 00200 NAIROBILandline: (+254 - 20) 2536869/86 Cell phone: (+254)722-200556 | (+254)734-600944Email: [email protected] Website: www.afa.go.ke

3. Food Crops DirectorateTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBILandline: (+254 - 20) 2536869/86 Cell phone: (+254)722-200556; (+254)734-600944 Email: [email protected] Website: www.afa.go.ke

4. Miraa, Pyrethrum & Other industrial Crops DirectorateTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBILandline: (+254 - 20) 2536869/86 Cell phone: (+254)722-200556; (+254)734-600944Email: [email protected] Website: www.afa.go.ke

Page 12: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

Our Crops, our Wealth11

SERVICE CHARTER

5. Sugar DirectorateSukari Plaza, Upper Kabete, `Off Waiyaki way, Nairobi, Kenya P.O Box 51500 - 00200 Tel: +254 20 801 8750 - 3 Mobile: +254 722-203127/ 8, 733-333378/ 9 Email: [email protected]: www.afa.go.ke

5. Coffee DirectorateCoffee Plaza Building, 10th FloorHaile Selassie AvenueP.O Box 30566 - 00100 NAIROBI, KENYAPhone: +254 20 3342717Mobile: +254 710 670 026, 0788109426Email: [email protected]: www.afa.go.ke

6. Horticultural Crops DirectorateAirport Road Opposite J.K.I.AP.O. Box 42601 - 00100 NAIROBITel:+254 20 2088469/3597362/3597356/2131560Email: [email protected] Website: www.afa.go.ke

7. Fibre Crops DirectorateWest Riverside Lane, off Riverside DriveP O Box 66271—00800Westlands, NAIROBITel: +254 20 2339829 +254 20 2339829/30Website: www.afa.go.ke

8. Nuts and Oil Crops DirectorateNSSF Building, 6th Floor Nkrumah Road P.O. Box 84351-80100 MOMBASA.Landline: +041 2319617 Cell phone: +254 702 217682 / +254 737 217682.Email: [email protected]: www.afa.go.ke

Page 13: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

MKATABA WA HUDUMA

Our Crops, our Wealth11

DIBAJI

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) inalo jukumu la kudhibiti, kuendeleza na kukuza mazao yaliyoorodheshwa. Kupitia vifungu vya Sheria ya AFA – (AFA Act 2013) na Sheria ya mazao (Crops Act 2013), sheria na kanuni zingine husika, na ushirikiano na taasisi nyingine za umma na binafsi, AFA inaendelea kuwezesha sekta hiyo katika mazingira ya Ujumbe wake, Maono, Maadili ya msingi na kuweka viwango vya utoaji wa huduma.

Uaminifu wetu wa huduma bora unazingatia utawala wa sheria, utaalamu, uaminifu, uwajibikaji, ushirikiano, matarajio ya wateja, ufanisi, kutopendela, ushiriki wa umma, heshima ya utu na haki za binadamu, usawa, haki ya kijamii, bila ubaguzi na ulinzi wa walipembezoni.

Mkataba huu wa huduma ni ahadi ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kutoa huduma bora kwa wateja wetu, washirika na umma kwa jumla. Tunatarajia maoni yako ili kutuwezesha kuen-delea kuboresha huduma zetu.

Mkataba huu wa huduma pia unaambatana na Katiba ya Kenya 2010, Sheria ya AFA (Sheria ya 13 ya 2013), Sheria ya Mazao (She-ria ya 16 ya 2013) na Vision 2030.

MKURUGENZI MKUU

1. UTANGULIZI

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) ni shirika la serikali chini ya kifungu nambari 3, 2013 cha Sheria ya Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya mwaka 2013. Jukumu la Mamlaka ni Kudhibiti, Kuen-deleza na Kukuza Mazao yaliyoorodeshwa ili kuendeleza uchumi wa nchi.

Sheria hii imeimarisha sheria za kudhibiti na uendelezaji wa kilimo na hubainisha majukumu ya serikali za kitaifa na za Kaunti katika kilimo na masuala yanayohusiana, kulingana na masharti ya ratiba ya nne ya Katiba ya Kenya.

RuwazaMamlaka inaayoongoza kwa kudhibiti Kilimo

LengoKuendeleza na kukuza mazao kupitia kanuni bora ili kuendeleza uchumi.

Maadili Ya Msingi• Kuzingatia matarajio ya wateja • Ushirikiano• Uaminifu• Uvumbuzi• Ustadi

2. IDARA

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni mrithi wa mashirika yaliyokuwa kabla ya kutekelezwa kwa Sheria ya AFA 2013 na Sheria ya Mazao ya 2013. Mashirika hayo sasa yanahudumu chini ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kama Kurugenzi zifuatazo:

3. MAJUKUMU MAKUU

Majukumu ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni:

a) Kusimamia Sheria ya AFA na Sheria ya Mazao kwa mujibu wa masharti ya Sheria hizo;

b) Kukuza maadili bora na kudhibiti, uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa bidhaa za kilimo;

c) Kusanya na kuhifadhi takwimu za bidhaa za kilimo;d) Kuamua vipaumbele vya utafiti katika kilimo;e) Kushauri serikali ya kitaifa na serikali za gatuzi juu kuhusu

kilimo kwa madhumuni ya mipangilio sawa, kuimarisha usawa na utulivu katika sekta hiyo.

4. WATEJA/WADAU WETU

Mamlaka hii hutoa huduma kwa wadau wa kilimo kama vile:

a) Wakulima binafsi, Mashirika ya wakulima na Mashirika;b) Wasafirishaji wa mazao na bidhaa za kilimo c) Wasindikajid) Wauzaji wa mazao na bidhaa za kilimo e) Wauzaji nje / Waagizaji

f) Wauzaji wa bidhaa na hudumag) Taasisi za Fedhah) Mashirika i) Vyuo vikuu, Vyuo vya juu na utafiti na taasisi zinazohusiana na

mafunzoj) Wizara ya Serikali na Idarak) Makampuni ya Serikalil) Serikali za Kauntim) Sekta ya Binafsin) Umma kwa jumla

5. HAKI ZA WATEJA/WADAU

Wateja wetu wana haki ya:

a) Kuhudumiwa kwa heshima na hadhib) Kupokea majibu ya papo kwa hapoc) Usiri na faraghad) Kupokea taarifa e) Huduma na bidhaa boraf) Mazingira mwafakag) Mawasiliano bora

6. WAJIBU WA WATEJA/WADAU

Ili kukuhudumia bora na kuhakikisha ushirikiano wetu na wateja unafana, wateja wetu wanahitajiwa kutimiza yafuatayo:

a) Kuonesha heshima na nidhamu ;b) Kutoa taarifa muhimu;c) Kutoa habari, maelezo, taarifa kuhusiana na huduma zetu;d) Kuzingatia sheria, taratibu na sera;e) Kuzingatia uadilifu; f) Kuwa tayari kupokea mbinu za kisasa na ubunifu katika sekta

ya kilimo.

7. WAJIBU NA MAJUKUMU YETU

Mamlaka inalenga kutimiza yafuatayo:

a) Kuboresha mara kwa mara ujuzi, elimu, tajriba kwa wafanyikazi wetu ili kutoa huduma bora zaidi;

b) Utoaji wa huduma bora kwa wakati ufaao kwa wateja wetu; c) Kuwa mstari wa mbele katika kuwawajibikia wateja wetu;d) Kutojihusisha kamwe na ufisadi;e) Kutenda majukumu kwa mujibu wa sheria;f) Kuweka siri taarifa na kuzingatia ufaragha wa mteja; g) Kusuluhisa mizozo kwa haki bila mapendeleo;h) Kutoegemea upande wowote katika utoaji wa maamuzi 8. MAADILI YA KITAIFA NA MISINGI YA USIMAMIZI

Kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya 2010, tunazingatia maadili ya kitaifa na kanuni za utawala ambao hujumuisha viungo vyote vya Serikali, maafisa wa Serikali, maafisa wa umma na watu wote. Maadili haya ya kitaifa na kanuni za utawala ni pamoja na:

a) Uzalendo, umoja wa kitaifa, ugatuzi, utawala wa sheria, demokrasia na ushiriki wa watu;

b) Utu wa kibinadamu, usawa, haki ya kijamii, ushirikishwaji, haki za binadamu, kutobagua na ulinzi wa wa wapembeni;

c) Utawala bora, uaminifu, uwazi na uwajibikaji; nad) Maendeleo ya kudumu

Katika tukio yoyote kwamba maadili haya na kanuni zimevunjawa wakati wa utoaji wa huduma zetu, piga ripoti kwa njia zilizoorod-heshwa katika mkataba huu.

9. SULUHU ZA MALALAMISHI

Inapohitajika hatutomfichua mlalamishi ili kutunza haki za wate-ja/wadau na pia watoaji wa huduma. Hata hivyo, walalamishi wanashauriwa kujitambulisha ili kurahisisha kuhudumiwa na pia kufuatilia malalamishi yao.

Mamlaka itatoa ithibati ya kupokea lalama katika muda wa siku saba, na kisha kutathmini na kuyashughulikia malalamishi hayo kwa mujibu wa sheria.

10. TATHMINI YA MKATABA WA HUDUMA

Ili kuwaridhisha vema wadau wetu, mkataba huu wa huduma utakuwa ukifanyiwa marekebisho ipasavyo. Tathmini hii itafan-yika kwa kuzingatia mapendekezo na maoni ya wateja mbali na mada ibuka.

11. UCHUNGUZI WA UTENDA KAZI

Mamlaka itahakikisha kuwa huduma za mkataba zinazingatiwa kikamilifu kupitia kwa tathmini, tafiti na hojaji za mara kwa mara za wateja wetu. Aidha, kutakuwa na tathmini za utenda kazi na kuwasilisha ripoti za mara kwa mara kupitia kwa machapisho.

12. MAONI

Kwa maoni, pongezi, malalamishi au mahitaji ya habari tafadhali tumia nambari zifuatazo: +254734600944 au 020-2536869/86 au wasiliana na afisi yetu:

Mkurugenzi MkuuMamlaka Kilimo na Chakula,Tea House, Naivasha Rd, Off Ngong Rd,S.L.P 37962-00100, NAIROBI, KENYAwww.afa.go.ke

Waweza pia kuwasiliana nasi kwa kutoa maoni katika vijisanduku maalum vilivyoko katika afisi zetu au kupitia kwa mtandao wetu.

14. VITUO VYA HUDUMA NA ANWANI

Pongezi, malalamishi na maoni ya kuboresha utoaji wa huduma yaelekezwe kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) na ofisi za AFA kama ifuatavyo:

1. Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) Tea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Tovuti: www.afa.go.keBarua Pepe: [email protected]

2. Ukurugenzi Wa chaiTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P Box 20064 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556 | (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

3. Ukurugenzi Wa Mimea Ya ChakulaTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

4. Ukurugenzi Wa Miraa Na ParetoTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa Sukari Sukari Plaza, Upper Kabete, ` Off Waiyaki way, Nairobi, Kenya S.L.P 51500 - 00200 Simu: +254 20 801 8750 - 3 Rununu: +254 722-203127/ 8, 733-333378/ 9 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa KahawaCoffee Plaza Building, 10th FloorHaile Selassie AvenueS.L.P 30566 - 00100, NAIROBI, KENYASimu: +254 20 3342717Rununu: +254 710 670 026, 0788109426Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

6. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Mboga, Matunda Na MauaAirport Road Opposite J.K.I.AS.L.P 42601 - 00100, NAIROBISimu:+254 20 2088469/3597362/3597356/2131560Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

7. Ukurugenzi Wa Mimea Ya NyuziWest Riverside Lane, off Riverside DriveS.L.P 66271—00800Westlands, NAIROBISimu: +254 20 2339829 +254 20 2339829/30Tovuti: www.afa.go.ke

8. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Njugu Na MafutaNSSF Building, 6th Floor Nkrumah Road S.L.P 84351-80100 MOMBASA.Simu: +254 41 2319617 Rununu: +254 702 217682 / +254 737 217682.Barua Pepe: [email protected]: www.afa.go.ke

Page 14: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

MKATABA WA HUDUMA

Our Crops, our Wealth 10

DIBAJI

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) inalo jukumu la kudhibiti, kuendeleza na kukuza mazao yaliyoorodheshwa. Kupitia vifungu vya Sheria ya AFA – (AFA Act 2013) na Sheria ya mazao (Crops Act 2013), sheria na kanuni zingine husika, na ushirikiano na taasisi nyingine za umma na binafsi, AFA inaendelea kuwezesha sekta hiyo katika mazingira ya Ujumbe wake, Maono, Maadili ya msingi na kuweka viwango vya utoaji wa huduma.

Uaminifu wetu wa huduma bora unazingatia utawala wa sheria, utaalamu, uaminifu, uwajibikaji, ushirikiano, matarajio ya wateja, ufanisi, kutopendela, ushiriki wa umma, heshima ya utu na haki za binadamu, usawa, haki ya kijamii, bila ubaguzi na ulinzi wa walipembezoni.

Mkataba huu wa huduma ni ahadi ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kutoa huduma bora kwa wateja wetu, washirika na umma kwa jumla. Tunatarajia maoni yako ili kutuwezesha kuen-delea kuboresha huduma zetu.

Mkataba huu wa huduma pia unaambatana na Katiba ya Kenya 2010, Sheria ya AFA (Sheria ya 13 ya 2013), Sheria ya Mazao (She-ria ya 16 ya 2013) na Vision 2030.

MKURUGENZI MKUU

1. UTANGULIZI

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) ni shirika la serikali chini ya kifungu nambari 3, 2013 cha Sheria ya Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya mwaka 2013. Jukumu la Mamlaka ni Kudhibiti, Kuen-deleza na Kukuza Mazao yaliyoorodeshwa ili kuendeleza uchumi wa nchi.

Sheria hii imeimarisha sheria za kudhibiti na uendelezaji wa kilimo na hubainisha majukumu ya serikali za kitaifa na za Kaunti katika kilimo na masuala yanayohusiana, kulingana na masharti ya ratiba ya nne ya Katiba ya Kenya.

RuwazaMamlaka inaayoongoza kwa kudhibiti Kilimo

LengoKuendeleza na kukuza mazao kupitia kanuni bora ili kuendeleza uchumi.

Maadili Ya Msingi• Kuzingatia matarajio ya wateja • Ushirikiano• Uaminifu• Uvumbuzi• Ustadi

2. IDARA

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni mrithi wa mashirika yaliyokuwa kabla ya kutekelezwa kwa Sheria ya AFA 2013 na Sheria ya Mazao ya 2013. Mashirika hayo sasa yanahudumu chini ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kama Kurugenzi zifuatazo:

3. MAJUKUMU MAKUU

Majukumu ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni:

a) Kusimamia Sheria ya AFA na Sheria ya Mazao kwa mujibu wa masharti ya Sheria hizo;

b) Kukuza maadili bora na kudhibiti, uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa bidhaa za kilimo;

c) Kusanya na kuhifadhi takwimu za bidhaa za kilimo;d) Kuamua vipaumbele vya utafiti katika kilimo;e) Kushauri serikali ya kitaifa na serikali za gatuzi juu kuhusu

kilimo kwa madhumuni ya mipangilio sawa, kuimarisha usawa na utulivu katika sekta hiyo.

4. WATEJA/WADAU WETU

Mamlaka hii hutoa huduma kwa wadau wa kilimo kama vile:

a) Wakulima binafsi, Mashirika ya wakulima na Mashirika;b) Wasafirishaji wa mazao na bidhaa za kilimo c) Wasindikajid) Wauzaji wa mazao na bidhaa za kilimo e) Wauzaji nje / Waagizaji

f) Wauzaji wa bidhaa na hudumag) Taasisi za Fedhah) Mashirika i) Vyuo vikuu, Vyuo vya juu na utafiti na taasisi zinazohusiana na

mafunzoj) Wizara ya Serikali na Idarak) Makampuni ya Serikalil) Serikali za Kauntim) Sekta ya Binafsin) Umma kwa jumla

5. HAKI ZA WATEJA/WADAU

Wateja wetu wana haki ya:

a) Kuhudumiwa kwa heshima na hadhib) Kupokea majibu ya papo kwa hapoc) Usiri na faraghad) Kupokea taarifa e) Huduma na bidhaa boraf) Mazingira mwafakag) Mawasiliano bora

6. WAJIBU WA WATEJA/WADAU

Ili kukuhudumia bora na kuhakikisha ushirikiano wetu na wateja unafana, wateja wetu wanahitajiwa kutimiza yafuatayo:

a) Kuonesha heshima na nidhamu ;b) Kutoa taarifa muhimu;c) Kutoa habari, maelezo, taarifa kuhusiana na huduma zetu;d) Kuzingatia sheria, taratibu na sera;e) Kuzingatia uadilifu; f) Kuwa tayari kupokea mbinu za kisasa na ubunifu katika sekta

ya kilimo.

7. WAJIBU NA MAJUKUMU YETU

Mamlaka inalenga kutimiza yafuatayo:

a) Kuboresha mara kwa mara ujuzi, elimu, tajriba kwa wafanyikazi wetu ili kutoa huduma bora zaidi;

b) Utoaji wa huduma bora kwa wakati ufaao kwa wateja wetu; c) Kuwa mstari wa mbele katika kuwawajibikia wateja wetu;d) Kutojihusisha kamwe na ufisadi;e) Kutenda majukumu kwa mujibu wa sheria;f) Kuweka siri taarifa na kuzingatia ufaragha wa mteja; g) Kusuluhisa mizozo kwa haki bila mapendeleo;h) Kutoegemea upande wowote katika utoaji wa maamuzi 8. MAADILI YA KITAIFA NA MISINGI YA USIMAMIZI

Kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya 2010, tunazingatia maadili ya kitaifa na kanuni za utawala ambao hujumuisha viungo vyote vya Serikali, maafisa wa Serikali, maafisa wa umma na watu wote. Maadili haya ya kitaifa na kanuni za utawala ni pamoja na:

a) Uzalendo, umoja wa kitaifa, ugatuzi, utawala wa sheria, demokrasia na ushiriki wa watu;

b) Utu wa kibinadamu, usawa, haki ya kijamii, ushirikishwaji, haki za binadamu, kutobagua na ulinzi wa wa wapembeni;

c) Utawala bora, uaminifu, uwazi na uwajibikaji; nad) Maendeleo ya kudumu

Katika tukio yoyote kwamba maadili haya na kanuni zimevunjawa wakati wa utoaji wa huduma zetu, piga ripoti kwa njia zilizoorod-heshwa katika mkataba huu.

9. SULUHU ZA MALALAMISHI

Inapohitajika hatutomfichua mlalamishi ili kutunza haki za wate-ja/wadau na pia watoaji wa huduma. Hata hivyo, walalamishi wanashauriwa kujitambulisha ili kurahisisha kuhudumiwa na pia kufuatilia malalamishi yao.

Mamlaka itatoa ithibati ya kupokea lalama katika muda wa siku saba, na kisha kutathmini na kuyashughulikia malalamishi hayo kwa mujibu wa sheria.

10. TATHMINI YA MKATABA WA HUDUMA

Ili kuwaridhisha vema wadau wetu, mkataba huu wa huduma utakuwa ukifanyiwa marekebisho ipasavyo. Tathmini hii itafan-yika kwa kuzingatia mapendekezo na maoni ya wateja mbali na mada ibuka.

11. UCHUNGUZI WA UTENDA KAZI

Mamlaka itahakikisha kuwa huduma za mkataba zinazingatiwa kikamilifu kupitia kwa tathmini, tafiti na hojaji za mara kwa mara za wateja wetu. Aidha, kutakuwa na tathmini za utenda kazi na kuwasilisha ripoti za mara kwa mara kupitia kwa machapisho.

12. MAONI

Kwa maoni, pongezi, malalamishi au mahitaji ya habari tafadhali tumia nambari zifuatazo: +254734600944 au 020-2536869/86 au wasiliana na afisi yetu:

Mkurugenzi MkuuMamlaka Kilimo na Chakula,Tea House, Naivasha Rd, Off Ngong Rd,S.L.P 37962-00100, NAIROBI, KENYAwww.afa.go.ke

Waweza pia kuwasiliana nasi kwa kutoa maoni katika vijisanduku maalum vilivyoko katika afisi zetu au kupitia kwa mtandao wetu.

14. VITUO VYA HUDUMA NA ANWANI

Pongezi, malalamishi na maoni ya kuboresha utoaji wa huduma yaelekezwe kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) na ofisi za AFA kama ifuatavyo:

1. Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) Tea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Tovuti: www.afa.go.keBarua Pepe: [email protected]

2. Ukurugenzi Wa chaiTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P Box 20064 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556 | (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

3. Ukurugenzi Wa Mimea Ya ChakulaTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

4. Ukurugenzi Wa Miraa Na ParetoTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa Sukari Sukari Plaza, Upper Kabete, ` Off Waiyaki way, Nairobi, Kenya S.L.P 51500 - 00200 Simu: +254 20 801 8750 - 3 Rununu: +254 722-203127/ 8, 733-333378/ 9 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa KahawaCoffee Plaza Building, 10th FloorHaile Selassie AvenueS.L.P 30566 - 00100, NAIROBI, KENYASimu: +254 20 3342717Rununu: +254 710 670 026, 0788109426Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

6. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Mboga, Matunda Na MauaAirport Road Opposite J.K.I.AS.L.P 42601 - 00100, NAIROBISimu:+254 20 2088469/3597362/3597356/2131560Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

7. Ukurugenzi Wa Mimea Ya NyuziWest Riverside Lane, off Riverside DriveS.L.P 66271—00800Westlands, NAIROBISimu: +254 20 2339829 +254 20 2339829/30Tovuti: www.afa.go.ke

8. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Njugu Na MafutaNSSF Building, 6th Floor Nkrumah Road S.L.P 84351-80100 MOMBASA.Simu: +254 41 2319617 Rununu: +254 702 217682 / +254 737 217682.Barua Pepe: [email protected]: www.afa.go.ke

Page 15: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

MKATABA WA HUDUMA

Our Crops, our Wealth9

HUDUMA HITAJICONDITIONS

MALIPO MUDA

Maulizo kupitiamaandishi

Maandishi ya mteja Bila malipo Siku 7 za kazi tangukupokea ombi lamteja

Maulizo kwanjia ya simu

Simu mteja Bila malipo Saa 24 tangukupokea simu yamteja

Maulizo yabarua-pepe

Barua-pepe ya mteja Bila malipo Saa 12 tangukupokea barua-meme ya mteja

Malalamishiya umma

Malalamishi ya mteja Bila malipo Siku 7 tangukupokeamalalamishi yamteja

Maulizo kutokakwa vyombovya habari

Maulizo ya vyombo vya habari Bila malipo Siku 2 tangukupokea maulizo yavyombo vya habari

Ulipaji wabidhaa nahuduma

Kukidhia utoaji wa bidhaa nahuduma na ankara husika

Bila malipo Siku 30 za kazi

Utoaji wataarifa

Kwa mujibu wa sheria Bila malipo Siku 1 kwa taarifazilizopo, siku 60kwa taarifazinazohitaji utafiti.

Utekelezaji waviwango nakanuni

Viwango na kanuni Kwa mujibuwa viwangona kanuni

Kwa mujibuwa viwangona kanuni

Suluhisho • Ombi la mteja• Migogoro ibuka

Bila malipo Siku 60 za kazi

DIBAJI

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) inalo jukumu la kudhibiti, kuendeleza na kukuza mazao yaliyoorodheshwa. Kupitia vifungu vya Sheria ya AFA – (AFA Act 2013) na Sheria ya mazao (Crops Act 2013), sheria na kanuni zingine husika, na ushirikiano na taasisi nyingine za umma na binafsi, AFA inaendelea kuwezesha sekta hiyo katika mazingira ya Ujumbe wake, Maono, Maadili ya msingi na kuweka viwango vya utoaji wa huduma.

Uaminifu wetu wa huduma bora unazingatia utawala wa sheria, utaalamu, uaminifu, uwajibikaji, ushirikiano, matarajio ya wateja, ufanisi, kutopendela, ushiriki wa umma, heshima ya utu na haki za binadamu, usawa, haki ya kijamii, bila ubaguzi na ulinzi wa walipembezoni.

Mkataba huu wa huduma ni ahadi ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kutoa huduma bora kwa wateja wetu, washirika na umma kwa jumla. Tunatarajia maoni yako ili kutuwezesha kuen-delea kuboresha huduma zetu.

Mkataba huu wa huduma pia unaambatana na Katiba ya Kenya 2010, Sheria ya AFA (Sheria ya 13 ya 2013), Sheria ya Mazao (She-ria ya 16 ya 2013) na Vision 2030.

MKURUGENZI MKUU

1. UTANGULIZI

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) ni shirika la serikali chini ya kifungu nambari 3, 2013 cha Sheria ya Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya mwaka 2013. Jukumu la Mamlaka ni Kudhibiti, Kuen-deleza na Kukuza Mazao yaliyoorodeshwa ili kuendeleza uchumi wa nchi.

Sheria hii imeimarisha sheria za kudhibiti na uendelezaji wa kilimo na hubainisha majukumu ya serikali za kitaifa na za Kaunti katika kilimo na masuala yanayohusiana, kulingana na masharti ya ratiba ya nne ya Katiba ya Kenya.

RuwazaMamlaka inaayoongoza kwa kudhibiti Kilimo

LengoKuendeleza na kukuza mazao kupitia kanuni bora ili kuendeleza uchumi.

Maadili Ya Msingi• Kuzingatia matarajio ya wateja • Ushirikiano• Uaminifu• Uvumbuzi• Ustadi

2. IDARA

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni mrithi wa mashirika yaliyokuwa kabla ya kutekelezwa kwa Sheria ya AFA 2013 na Sheria ya Mazao ya 2013. Mashirika hayo sasa yanahudumu chini ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kama Kurugenzi zifuatazo:

3. MAJUKUMU MAKUU

Majukumu ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni:

a) Kusimamia Sheria ya AFA na Sheria ya Mazao kwa mujibu wa masharti ya Sheria hizo;

b) Kukuza maadili bora na kudhibiti, uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa bidhaa za kilimo;

c) Kusanya na kuhifadhi takwimu za bidhaa za kilimo;d) Kuamua vipaumbele vya utafiti katika kilimo;e) Kushauri serikali ya kitaifa na serikali za gatuzi juu kuhusu

kilimo kwa madhumuni ya mipangilio sawa, kuimarisha usawa na utulivu katika sekta hiyo.

4. WATEJA/WADAU WETU

Mamlaka hii hutoa huduma kwa wadau wa kilimo kama vile:

a) Wakulima binafsi, Mashirika ya wakulima na Mashirika;b) Wasafirishaji wa mazao na bidhaa za kilimo c) Wasindikajid) Wauzaji wa mazao na bidhaa za kilimo e) Wauzaji nje / Waagizaji

f) Wauzaji wa bidhaa na hudumag) Taasisi za Fedhah) Mashirika i) Vyuo vikuu, Vyuo vya juu na utafiti na taasisi zinazohusiana na

mafunzoj) Wizara ya Serikali na Idarak) Makampuni ya Serikalil) Serikali za Kauntim) Sekta ya Binafsin) Umma kwa jumla

5. HAKI ZA WATEJA/WADAU

Wateja wetu wana haki ya:

a) Kuhudumiwa kwa heshima na hadhib) Kupokea majibu ya papo kwa hapoc) Usiri na faraghad) Kupokea taarifa e) Huduma na bidhaa boraf) Mazingira mwafakag) Mawasiliano bora

6. WAJIBU WA WATEJA/WADAU

Ili kukuhudumia bora na kuhakikisha ushirikiano wetu na wateja unafana, wateja wetu wanahitajiwa kutimiza yafuatayo:

a) Kuonesha heshima na nidhamu ;b) Kutoa taarifa muhimu;c) Kutoa habari, maelezo, taarifa kuhusiana na huduma zetu;d) Kuzingatia sheria, taratibu na sera;e) Kuzingatia uadilifu; f) Kuwa tayari kupokea mbinu za kisasa na ubunifu katika sekta

ya kilimo.

7. WAJIBU NA MAJUKUMU YETU

Mamlaka inalenga kutimiza yafuatayo:

a) Kuboresha mara kwa mara ujuzi, elimu, tajriba kwa wafanyikazi wetu ili kutoa huduma bora zaidi;

b) Utoaji wa huduma bora kwa wakati ufaao kwa wateja wetu; c) Kuwa mstari wa mbele katika kuwawajibikia wateja wetu;d) Kutojihusisha kamwe na ufisadi;e) Kutenda majukumu kwa mujibu wa sheria;f) Kuweka siri taarifa na kuzingatia ufaragha wa mteja; g) Kusuluhisa mizozo kwa haki bila mapendeleo;h) Kutoegemea upande wowote katika utoaji wa maamuzi 8. MAADILI YA KITAIFA NA MISINGI YA USIMAMIZI

Kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya 2010, tunazingatia maadili ya kitaifa na kanuni za utawala ambao hujumuisha viungo vyote vya Serikali, maafisa wa Serikali, maafisa wa umma na watu wote. Maadili haya ya kitaifa na kanuni za utawala ni pamoja na:

a) Uzalendo, umoja wa kitaifa, ugatuzi, utawala wa sheria, demokrasia na ushiriki wa watu;

b) Utu wa kibinadamu, usawa, haki ya kijamii, ushirikishwaji, haki za binadamu, kutobagua na ulinzi wa wa wapembeni;

c) Utawala bora, uaminifu, uwazi na uwajibikaji; nad) Maendeleo ya kudumu

Katika tukio yoyote kwamba maadili haya na kanuni zimevunjawa wakati wa utoaji wa huduma zetu, piga ripoti kwa njia zilizoorod-heshwa katika mkataba huu.

9. SULUHU ZA MALALAMISHI

Inapohitajika hatutomfichua mlalamishi ili kutunza haki za wate-ja/wadau na pia watoaji wa huduma. Hata hivyo, walalamishi wanashauriwa kujitambulisha ili kurahisisha kuhudumiwa na pia kufuatilia malalamishi yao.

Mamlaka itatoa ithibati ya kupokea lalama katika muda wa siku saba, na kisha kutathmini na kuyashughulikia malalamishi hayo kwa mujibu wa sheria.

10. TATHMINI YA MKATABA WA HUDUMA

Ili kuwaridhisha vema wadau wetu, mkataba huu wa huduma utakuwa ukifanyiwa marekebisho ipasavyo. Tathmini hii itafan-yika kwa kuzingatia mapendekezo na maoni ya wateja mbali na mada ibuka.

11. UCHUNGUZI WA UTENDA KAZI

Mamlaka itahakikisha kuwa huduma za mkataba zinazingatiwa kikamilifu kupitia kwa tathmini, tafiti na hojaji za mara kwa mara za wateja wetu. Aidha, kutakuwa na tathmini za utenda kazi na kuwasilisha ripoti za mara kwa mara kupitia kwa machapisho.

12. MAONI

Kwa maoni, pongezi, malalamishi au mahitaji ya habari tafadhali tumia nambari zifuatazo: +254734600944 au 020-2536869/86 au wasiliana na afisi yetu:

Mkurugenzi MkuuMamlaka Kilimo na Chakula,Tea House, Naivasha Rd, Off Ngong Rd,S.L.P 37962-00100, NAIROBI, KENYAwww.afa.go.ke

Waweza pia kuwasiliana nasi kwa kutoa maoni katika vijisanduku maalum vilivyoko katika afisi zetu au kupitia kwa mtandao wetu.

13. MAAFIKIANO YA MKATABA KWA UMMA

14. VITUO VYA HUDUMA NA ANWANI

Pongezi, malalamishi na maoni ya kuboresha utoaji wa huduma yaelekezwe kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) na ofisi za AFA kama ifuatavyo:

1. Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) Tea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Tovuti: www.afa.go.keBarua Pepe: [email protected]

2. Ukurugenzi Wa chaiTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P Box 20064 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556 | (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

3. Ukurugenzi Wa Mimea Ya ChakulaTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

4. Ukurugenzi Wa Miraa Na ParetoTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa Sukari Sukari Plaza, Upper Kabete, ` Off Waiyaki way, Nairobi, Kenya S.L.P 51500 - 00200 Simu: +254 20 801 8750 - 3 Rununu: +254 722-203127/ 8, 733-333378/ 9 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa KahawaCoffee Plaza Building, 10th FloorHaile Selassie AvenueS.L.P 30566 - 00100, NAIROBI, KENYASimu: +254 20 3342717Rununu: +254 710 670 026, 0788109426Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

6. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Mboga, Matunda Na MauaAirport Road Opposite J.K.I.AS.L.P 42601 - 00100, NAIROBISimu:+254 20 2088469/3597362/3597356/2131560Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

7. Ukurugenzi Wa Mimea Ya NyuziWest Riverside Lane, off Riverside DriveS.L.P 66271—00800Westlands, NAIROBISimu: +254 20 2339829 +254 20 2339829/30Tovuti: www.afa.go.ke

8. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Njugu Na MafutaNSSF Building, 6th Floor Nkrumah Road S.L.P 84351-80100 MOMBASA.Simu: +254 41 2319617 Rununu: +254 702 217682 / +254 737 217682.Barua Pepe: [email protected]: www.afa.go.ke

Page 16: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

MKATABA WA HUDUMA

Our Crops, our Wealth 8

DIBAJI

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) inalo jukumu la kudhibiti, kuendeleza na kukuza mazao yaliyoorodheshwa. Kupitia vifungu vya Sheria ya AFA – (AFA Act 2013) na Sheria ya mazao (Crops Act 2013), sheria na kanuni zingine husika, na ushirikiano na taasisi nyingine za umma na binafsi, AFA inaendelea kuwezesha sekta hiyo katika mazingira ya Ujumbe wake, Maono, Maadili ya msingi na kuweka viwango vya utoaji wa huduma.

Uaminifu wetu wa huduma bora unazingatia utawala wa sheria, utaalamu, uaminifu, uwajibikaji, ushirikiano, matarajio ya wateja, ufanisi, kutopendela, ushiriki wa umma, heshima ya utu na haki za binadamu, usawa, haki ya kijamii, bila ubaguzi na ulinzi wa walipembezoni.

Mkataba huu wa huduma ni ahadi ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kutoa huduma bora kwa wateja wetu, washirika na umma kwa jumla. Tunatarajia maoni yako ili kutuwezesha kuen-delea kuboresha huduma zetu.

Mkataba huu wa huduma pia unaambatana na Katiba ya Kenya 2010, Sheria ya AFA (Sheria ya 13 ya 2013), Sheria ya Mazao (She-ria ya 16 ya 2013) na Vision 2030.

MKURUGENZI MKUU

1. UTANGULIZI

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) ni shirika la serikali chini ya kifungu nambari 3, 2013 cha Sheria ya Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya mwaka 2013. Jukumu la Mamlaka ni Kudhibiti, Kuen-deleza na Kukuza Mazao yaliyoorodeshwa ili kuendeleza uchumi wa nchi.

Sheria hii imeimarisha sheria za kudhibiti na uendelezaji wa kilimo na hubainisha majukumu ya serikali za kitaifa na za Kaunti katika kilimo na masuala yanayohusiana, kulingana na masharti ya ratiba ya nne ya Katiba ya Kenya.

RuwazaMamlaka inaayoongoza kwa kudhibiti Kilimo

LengoKuendeleza na kukuza mazao kupitia kanuni bora ili kuendeleza uchumi.

Maadili Ya Msingi• Kuzingatia matarajio ya wateja • Ushirikiano• Uaminifu• Uvumbuzi• Ustadi

2. IDARA

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni mrithi wa mashirika yaliyokuwa kabla ya kutekelezwa kwa Sheria ya AFA 2013 na Sheria ya Mazao ya 2013. Mashirika hayo sasa yanahudumu chini ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kama Kurugenzi zifuatazo:

3. MAJUKUMU MAKUU

Majukumu ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni:

a) Kusimamia Sheria ya AFA na Sheria ya Mazao kwa mujibu wa masharti ya Sheria hizo;

b) Kukuza maadili bora na kudhibiti, uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa bidhaa za kilimo;

c) Kusanya na kuhifadhi takwimu za bidhaa za kilimo;d) Kuamua vipaumbele vya utafiti katika kilimo;e) Kushauri serikali ya kitaifa na serikali za gatuzi juu kuhusu

kilimo kwa madhumuni ya mipangilio sawa, kuimarisha usawa na utulivu katika sekta hiyo.

4. WATEJA/WADAU WETU

Mamlaka hii hutoa huduma kwa wadau wa kilimo kama vile:

a) Wakulima binafsi, Mashirika ya wakulima na Mashirika;b) Wasafirishaji wa mazao na bidhaa za kilimo c) Wasindikajid) Wauzaji wa mazao na bidhaa za kilimo e) Wauzaji nje / Waagizaji

f) Wauzaji wa bidhaa na hudumag) Taasisi za Fedhah) Mashirika i) Vyuo vikuu, Vyuo vya juu na utafiti na taasisi zinazohusiana na

mafunzoj) Wizara ya Serikali na Idarak) Makampuni ya Serikalil) Serikali za Kauntim) Sekta ya Binafsin) Umma kwa jumla

5. HAKI ZA WATEJA/WADAU

Wateja wetu wana haki ya:

a) Kuhudumiwa kwa heshima na hadhib) Kupokea majibu ya papo kwa hapoc) Usiri na faraghad) Kupokea taarifa e) Huduma na bidhaa boraf) Mazingira mwafakag) Mawasiliano bora

6. WAJIBU WA WATEJA/WADAU

Ili kukuhudumia bora na kuhakikisha ushirikiano wetu na wateja unafana, wateja wetu wanahitajiwa kutimiza yafuatayo:

a) Kuonesha heshima na nidhamu ;b) Kutoa taarifa muhimu;c) Kutoa habari, maelezo, taarifa kuhusiana na huduma zetu;d) Kuzingatia sheria, taratibu na sera;e) Kuzingatia uadilifu; f) Kuwa tayari kupokea mbinu za kisasa na ubunifu katika sekta

ya kilimo.

7. WAJIBU NA MAJUKUMU YETU

Mamlaka inalenga kutimiza yafuatayo:

a) Kuboresha mara kwa mara ujuzi, elimu, tajriba kwa wafanyikazi wetu ili kutoa huduma bora zaidi;

b) Utoaji wa huduma bora kwa wakati ufaao kwa wateja wetu; c) Kuwa mstari wa mbele katika kuwawajibikia wateja wetu;d) Kutojihusisha kamwe na ufisadi;e) Kutenda majukumu kwa mujibu wa sheria;f) Kuweka siri taarifa na kuzingatia ufaragha wa mteja; g) Kusuluhisa mizozo kwa haki bila mapendeleo;h) Kutoegemea upande wowote katika utoaji wa maamuzi 8. MAADILI YA KITAIFA NA MISINGI YA USIMAMIZI

Kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya 2010, tunazingatia maadili ya kitaifa na kanuni za utawala ambao hujumuisha viungo vyote vya Serikali, maafisa wa Serikali, maafisa wa umma na watu wote. Maadili haya ya kitaifa na kanuni za utawala ni pamoja na:

a) Uzalendo, umoja wa kitaifa, ugatuzi, utawala wa sheria, demokrasia na ushiriki wa watu;

b) Utu wa kibinadamu, usawa, haki ya kijamii, ushirikishwaji, haki za binadamu, kutobagua na ulinzi wa wa wapembeni;

c) Utawala bora, uaminifu, uwazi na uwajibikaji; nad) Maendeleo ya kudumu

Katika tukio yoyote kwamba maadili haya na kanuni zimevunjawa wakati wa utoaji wa huduma zetu, piga ripoti kwa njia zilizoorod-heshwa katika mkataba huu.

9. SULUHU ZA MALALAMISHI

Inapohitajika hatutomfichua mlalamishi ili kutunza haki za wate-ja/wadau na pia watoaji wa huduma. Hata hivyo, walalamishi wanashauriwa kujitambulisha ili kurahisisha kuhudumiwa na pia kufuatilia malalamishi yao.

Mamlaka itatoa ithibati ya kupokea lalama katika muda wa siku saba, na kisha kutathmini na kuyashughulikia malalamishi hayo kwa mujibu wa sheria.

10. TATHMINI YA MKATABA WA HUDUMA

Ili kuwaridhisha vema wadau wetu, mkataba huu wa huduma utakuwa ukifanyiwa marekebisho ipasavyo. Tathmini hii itafan-yika kwa kuzingatia mapendekezo na maoni ya wateja mbali na mada ibuka.

11. UCHUNGUZI WA UTENDA KAZI

Mamlaka itahakikisha kuwa huduma za mkataba zinazingatiwa kikamilifu kupitia kwa tathmini, tafiti na hojaji za mara kwa mara za wateja wetu. Aidha, kutakuwa na tathmini za utenda kazi na kuwasilisha ripoti za mara kwa mara kupitia kwa machapisho.

12. MAONI

Kwa maoni, pongezi, malalamishi au mahitaji ya habari tafadhali tumia nambari zifuatazo: +254734600944 au 020-2536869/86 au wasiliana na afisi yetu:

Mkurugenzi MkuuMamlaka Kilimo na Chakula,Tea House, Naivasha Rd, Off Ngong Rd,S.L.P 37962-00100, NAIROBI, KENYAwww.afa.go.ke

Waweza pia kuwasiliana nasi kwa kutoa maoni katika vijisanduku maalum vilivyoko katika afisi zetu au kupitia kwa mtandao wetu.

14. VITUO VYA HUDUMA NA ANWANI

Pongezi, malalamishi na maoni ya kuboresha utoaji wa huduma yaelekezwe kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) na ofisi za AFA kama ifuatavyo:

1. Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) Tea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Tovuti: www.afa.go.keBarua Pepe: [email protected]

2. Ukurugenzi Wa chaiTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P Box 20064 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556 | (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

3. Ukurugenzi Wa Mimea Ya ChakulaTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

4. Ukurugenzi Wa Miraa Na ParetoTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa Sukari Sukari Plaza, Upper Kabete, ` Off Waiyaki way, Nairobi, Kenya S.L.P 51500 - 00200 Simu: +254 20 801 8750 - 3 Rununu: +254 722-203127/ 8, 733-333378/ 9 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa KahawaCoffee Plaza Building, 10th FloorHaile Selassie AvenueS.L.P 30566 - 00100, NAIROBI, KENYASimu: +254 20 3342717Rununu: +254 710 670 026, 0788109426Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

6. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Mboga, Matunda Na MauaAirport Road Opposite J.K.I.AS.L.P 42601 - 00100, NAIROBISimu:+254 20 2088469/3597362/3597356/2131560Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

7. Ukurugenzi Wa Mimea Ya NyuziWest Riverside Lane, off Riverside DriveS.L.P 66271—00800Westlands, NAIROBISimu: +254 20 2339829 +254 20 2339829/30Tovuti: www.afa.go.ke

8. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Njugu Na MafutaNSSF Building, 6th Floor Nkrumah Road S.L.P 84351-80100 MOMBASA.Simu: +254 41 2319617 Rununu: +254 702 217682 / +254 737 217682.Barua Pepe: [email protected]: www.afa.go.ke

Page 17: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

MKATABA WA HUDUMA

Our Crops, our Wealth7

DIBAJI

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) inalo jukumu la kudhibiti, kuendeleza na kukuza mazao yaliyoorodheshwa. Kupitia vifungu vya Sheria ya AFA – (AFA Act 2013) na Sheria ya mazao (Crops Act 2013), sheria na kanuni zingine husika, na ushirikiano na taasisi nyingine za umma na binafsi, AFA inaendelea kuwezesha sekta hiyo katika mazingira ya Ujumbe wake, Maono, Maadili ya msingi na kuweka viwango vya utoaji wa huduma.

Uaminifu wetu wa huduma bora unazingatia utawala wa sheria, utaalamu, uaminifu, uwajibikaji, ushirikiano, matarajio ya wateja, ufanisi, kutopendela, ushiriki wa umma, heshima ya utu na haki za binadamu, usawa, haki ya kijamii, bila ubaguzi na ulinzi wa walipembezoni.

Mkataba huu wa huduma ni ahadi ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kutoa huduma bora kwa wateja wetu, washirika na umma kwa jumla. Tunatarajia maoni yako ili kutuwezesha kuen-delea kuboresha huduma zetu.

Mkataba huu wa huduma pia unaambatana na Katiba ya Kenya 2010, Sheria ya AFA (Sheria ya 13 ya 2013), Sheria ya Mazao (She-ria ya 16 ya 2013) na Vision 2030.

MKURUGENZI MKUU

1. UTANGULIZI

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) ni shirika la serikali chini ya kifungu nambari 3, 2013 cha Sheria ya Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya mwaka 2013. Jukumu la Mamlaka ni Kudhibiti, Kuen-deleza na Kukuza Mazao yaliyoorodeshwa ili kuendeleza uchumi wa nchi.

Sheria hii imeimarisha sheria za kudhibiti na uendelezaji wa kilimo na hubainisha majukumu ya serikali za kitaifa na za Kaunti katika kilimo na masuala yanayohusiana, kulingana na masharti ya ratiba ya nne ya Katiba ya Kenya.

RuwazaMamlaka inaayoongoza kwa kudhibiti Kilimo

LengoKuendeleza na kukuza mazao kupitia kanuni bora ili kuendeleza uchumi.

Maadili Ya Msingi• Kuzingatia matarajio ya wateja • Ushirikiano• Uaminifu• Uvumbuzi• Ustadi

2. IDARA

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni mrithi wa mashirika yaliyokuwa kabla ya kutekelezwa kwa Sheria ya AFA 2013 na Sheria ya Mazao ya 2013. Mashirika hayo sasa yanahudumu chini ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kama Kurugenzi zifuatazo:

3. MAJUKUMU MAKUU

Majukumu ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni:

a) Kusimamia Sheria ya AFA na Sheria ya Mazao kwa mujibu wa masharti ya Sheria hizo;

b) Kukuza maadili bora na kudhibiti, uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa bidhaa za kilimo;

c) Kusanya na kuhifadhi takwimu za bidhaa za kilimo;d) Kuamua vipaumbele vya utafiti katika kilimo;e) Kushauri serikali ya kitaifa na serikali za gatuzi juu kuhusu

kilimo kwa madhumuni ya mipangilio sawa, kuimarisha usawa na utulivu katika sekta hiyo.

4. WATEJA/WADAU WETU

Mamlaka hii hutoa huduma kwa wadau wa kilimo kama vile:

a) Wakulima binafsi, Mashirika ya wakulima na Mashirika;b) Wasafirishaji wa mazao na bidhaa za kilimo c) Wasindikajid) Wauzaji wa mazao na bidhaa za kilimo e) Wauzaji nje / Waagizaji

f) Wauzaji wa bidhaa na hudumag) Taasisi za Fedhah) Mashirika i) Vyuo vikuu, Vyuo vya juu na utafiti na taasisi zinazohusiana na

mafunzoj) Wizara ya Serikali na Idarak) Makampuni ya Serikalil) Serikali za Kauntim) Sekta ya Binafsin) Umma kwa jumla

5. HAKI ZA WATEJA/WADAU

Wateja wetu wana haki ya:

a) Kuhudumiwa kwa heshima na hadhib) Kupokea majibu ya papo kwa hapoc) Usiri na faraghad) Kupokea taarifa e) Huduma na bidhaa boraf) Mazingira mwafakag) Mawasiliano bora

6. WAJIBU WA WATEJA/WADAU

Ili kukuhudumia bora na kuhakikisha ushirikiano wetu na wateja unafana, wateja wetu wanahitajiwa kutimiza yafuatayo:

a) Kuonesha heshima na nidhamu ;b) Kutoa taarifa muhimu;c) Kutoa habari, maelezo, taarifa kuhusiana na huduma zetu;d) Kuzingatia sheria, taratibu na sera;e) Kuzingatia uadilifu; f) Kuwa tayari kupokea mbinu za kisasa na ubunifu katika sekta

ya kilimo.

7. WAJIBU NA MAJUKUMU YETU

Mamlaka inalenga kutimiza yafuatayo:

a) Kuboresha mara kwa mara ujuzi, elimu, tajriba kwa wafanyikazi wetu ili kutoa huduma bora zaidi;

b) Utoaji wa huduma bora kwa wakati ufaao kwa wateja wetu; c) Kuwa mstari wa mbele katika kuwawajibikia wateja wetu;d) Kutojihusisha kamwe na ufisadi;e) Kutenda majukumu kwa mujibu wa sheria;f) Kuweka siri taarifa na kuzingatia ufaragha wa mteja; g) Kusuluhisa mizozo kwa haki bila mapendeleo;h) Kutoegemea upande wowote katika utoaji wa maamuzi 8. MAADILI YA KITAIFA NA MISINGI YA USIMAMIZI

Kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya 2010, tunazingatia maadili ya kitaifa na kanuni za utawala ambao hujumuisha viungo vyote vya Serikali, maafisa wa Serikali, maafisa wa umma na watu wote. Maadili haya ya kitaifa na kanuni za utawala ni pamoja na:

a) Uzalendo, umoja wa kitaifa, ugatuzi, utawala wa sheria, demokrasia na ushiriki wa watu;

b) Utu wa kibinadamu, usawa, haki ya kijamii, ushirikishwaji, haki za binadamu, kutobagua na ulinzi wa wa wapembeni;

c) Utawala bora, uaminifu, uwazi na uwajibikaji; nad) Maendeleo ya kudumu

Katika tukio yoyote kwamba maadili haya na kanuni zimevunjawa wakati wa utoaji wa huduma zetu, piga ripoti kwa njia zilizoorod-heshwa katika mkataba huu.

9. SULUHU ZA MALALAMISHI

Inapohitajika hatutomfichua mlalamishi ili kutunza haki za wate-ja/wadau na pia watoaji wa huduma. Hata hivyo, walalamishi wanashauriwa kujitambulisha ili kurahisisha kuhudumiwa na pia kufuatilia malalamishi yao.

Mamlaka itatoa ithibati ya kupokea lalama katika muda wa siku saba, na kisha kutathmini na kuyashughulikia malalamishi hayo kwa mujibu wa sheria.

10. TATHMINI YA MKATABA WA HUDUMA

Ili kuwaridhisha vema wadau wetu, mkataba huu wa huduma utakuwa ukifanyiwa marekebisho ipasavyo. Tathmini hii itafan-yika kwa kuzingatia mapendekezo na maoni ya wateja mbali na mada ibuka.

11. UCHUNGUZI WA UTENDA KAZI

Mamlaka itahakikisha kuwa huduma za mkataba zinazingatiwa kikamilifu kupitia kwa tathmini, tafiti na hojaji za mara kwa mara za wateja wetu. Aidha, kutakuwa na tathmini za utenda kazi na kuwasilisha ripoti za mara kwa mara kupitia kwa machapisho.

12. MAONI

Kwa maoni, pongezi, malalamishi au mahitaji ya habari tafadhali tumia nambari zifuatazo: +254734600944 au 020-2536869/86 au wasiliana na afisi yetu:

Mkurugenzi MkuuMamlaka Kilimo na Chakula,Tea House, Naivasha Rd, Off Ngong Rd,S.L.P 37962-00100, NAIROBI, KENYAwww.afa.go.ke

Waweza pia kuwasiliana nasi kwa kutoa maoni katika vijisanduku maalum vilivyoko katika afisi zetu au kupitia kwa mtandao wetu.

14. VITUO VYA HUDUMA NA ANWANI

Pongezi, malalamishi na maoni ya kuboresha utoaji wa huduma yaelekezwe kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) na ofisi za AFA kama ifuatavyo:

1. Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) Tea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Tovuti: www.afa.go.keBarua Pepe: [email protected]

2. Ukurugenzi Wa chaiTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P Box 20064 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556 | (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

3. Ukurugenzi Wa Mimea Ya ChakulaTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

4. Ukurugenzi Wa Miraa Na ParetoTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa Sukari Sukari Plaza, Upper Kabete, ` Off Waiyaki way, Nairobi, Kenya S.L.P 51500 - 00200 Simu: +254 20 801 8750 - 3 Rununu: +254 722-203127/ 8, 733-333378/ 9 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa KahawaCoffee Plaza Building, 10th FloorHaile Selassie AvenueS.L.P 30566 - 00100, NAIROBI, KENYASimu: +254 20 3342717Rununu: +254 710 670 026, 0788109426Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

6. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Mboga, Matunda Na MauaAirport Road Opposite J.K.I.AS.L.P 42601 - 00100, NAIROBISimu:+254 20 2088469/3597362/3597356/2131560Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

7. Ukurugenzi Wa Mimea Ya NyuziWest Riverside Lane, off Riverside DriveS.L.P 66271—00800Westlands, NAIROBISimu: +254 20 2339829 +254 20 2339829/30Tovuti: www.afa.go.ke

8. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Njugu Na MafutaNSSF Building, 6th Floor Nkrumah Road S.L.P 84351-80100 MOMBASA.Simu: +254 41 2319617 Rununu: +254 702 217682 / +254 737 217682.Barua Pepe: [email protected]: www.afa.go.ke

Page 18: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

MKATABA WA HUDUMA

Our Crops, our Wealth 6

DIBAJI

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) inalo jukumu la kudhibiti, kuendeleza na kukuza mazao yaliyoorodheshwa. Kupitia vifungu vya Sheria ya AFA – (AFA Act 2013) na Sheria ya mazao (Crops Act 2013), sheria na kanuni zingine husika, na ushirikiano na taasisi nyingine za umma na binafsi, AFA inaendelea kuwezesha sekta hiyo katika mazingira ya Ujumbe wake, Maono, Maadili ya msingi na kuweka viwango vya utoaji wa huduma.

Uaminifu wetu wa huduma bora unazingatia utawala wa sheria, utaalamu, uaminifu, uwajibikaji, ushirikiano, matarajio ya wateja, ufanisi, kutopendela, ushiriki wa umma, heshima ya utu na haki za binadamu, usawa, haki ya kijamii, bila ubaguzi na ulinzi wa walipembezoni.

Mkataba huu wa huduma ni ahadi ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kutoa huduma bora kwa wateja wetu, washirika na umma kwa jumla. Tunatarajia maoni yako ili kutuwezesha kuen-delea kuboresha huduma zetu.

Mkataba huu wa huduma pia unaambatana na Katiba ya Kenya 2010, Sheria ya AFA (Sheria ya 13 ya 2013), Sheria ya Mazao (She-ria ya 16 ya 2013) na Vision 2030.

MKURUGENZI MKUU

1. UTANGULIZI

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) ni shirika la serikali chini ya kifungu nambari 3, 2013 cha Sheria ya Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya mwaka 2013. Jukumu la Mamlaka ni Kudhibiti, Kuen-deleza na Kukuza Mazao yaliyoorodeshwa ili kuendeleza uchumi wa nchi.

Sheria hii imeimarisha sheria za kudhibiti na uendelezaji wa kilimo na hubainisha majukumu ya serikali za kitaifa na za Kaunti katika kilimo na masuala yanayohusiana, kulingana na masharti ya ratiba ya nne ya Katiba ya Kenya.

RuwazaMamlaka inaayoongoza kwa kudhibiti Kilimo

LengoKuendeleza na kukuza mazao kupitia kanuni bora ili kuendeleza uchumi.

Maadili Ya Msingi• Kuzingatia matarajio ya wateja • Ushirikiano• Uaminifu• Uvumbuzi• Ustadi

2. IDARA

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni mrithi wa mashirika yaliyokuwa kabla ya kutekelezwa kwa Sheria ya AFA 2013 na Sheria ya Mazao ya 2013. Mashirika hayo sasa yanahudumu chini ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kama Kurugenzi zifuatazo:

3. MAJUKUMU MAKUU

Majukumu ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni:

a) Kusimamia Sheria ya AFA na Sheria ya Mazao kwa mujibu wa masharti ya Sheria hizo;

b) Kukuza maadili bora na kudhibiti, uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa bidhaa za kilimo;

c) Kusanya na kuhifadhi takwimu za bidhaa za kilimo;d) Kuamua vipaumbele vya utafiti katika kilimo;e) Kushauri serikali ya kitaifa na serikali za gatuzi juu kuhusu

kilimo kwa madhumuni ya mipangilio sawa, kuimarisha usawa na utulivu katika sekta hiyo.

4. WATEJA/WADAU WETU

Mamlaka hii hutoa huduma kwa wadau wa kilimo kama vile:

a) Wakulima binafsi, Mashirika ya wakulima na Mashirika;b) Wasafirishaji wa mazao na bidhaa za kilimo c) Wasindikajid) Wauzaji wa mazao na bidhaa za kilimo e) Wauzaji nje / Waagizaji

f) Wauzaji wa bidhaa na hudumag) Taasisi za Fedhah) Mashirika i) Vyuo vikuu, Vyuo vya juu na utafiti na taasisi zinazohusiana na

mafunzoj) Wizara ya Serikali na Idarak) Makampuni ya Serikalil) Serikali za Kauntim) Sekta ya Binafsin) Umma kwa jumla

5. HAKI ZA WATEJA/WADAU

Wateja wetu wana haki ya:

a) Kuhudumiwa kwa heshima na hadhib) Kupokea majibu ya papo kwa hapoc) Usiri na faraghad) Kupokea taarifa e) Huduma na bidhaa boraf) Mazingira mwafakag) Mawasiliano bora

6. WAJIBU WA WATEJA/WADAU

Ili kukuhudumia bora na kuhakikisha ushirikiano wetu na wateja unafana, wateja wetu wanahitajiwa kutimiza yafuatayo:

a) Kuonesha heshima na nidhamu ;b) Kutoa taarifa muhimu;c) Kutoa habari, maelezo, taarifa kuhusiana na huduma zetu;d) Kuzingatia sheria, taratibu na sera;e) Kuzingatia uadilifu; f) Kuwa tayari kupokea mbinu za kisasa na ubunifu katika sekta

ya kilimo.

7. WAJIBU NA MAJUKUMU YETU

Mamlaka inalenga kutimiza yafuatayo:

a) Kuboresha mara kwa mara ujuzi, elimu, tajriba kwa wafanyikazi wetu ili kutoa huduma bora zaidi;

b) Utoaji wa huduma bora kwa wakati ufaao kwa wateja wetu; c) Kuwa mstari wa mbele katika kuwawajibikia wateja wetu;d) Kutojihusisha kamwe na ufisadi;e) Kutenda majukumu kwa mujibu wa sheria;f) Kuweka siri taarifa na kuzingatia ufaragha wa mteja; g) Kusuluhisa mizozo kwa haki bila mapendeleo;h) Kutoegemea upande wowote katika utoaji wa maamuzi 8. MAADILI YA KITAIFA NA MISINGI YA USIMAMIZI

Kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya 2010, tunazingatia maadili ya kitaifa na kanuni za utawala ambao hujumuisha viungo vyote vya Serikali, maafisa wa Serikali, maafisa wa umma na watu wote. Maadili haya ya kitaifa na kanuni za utawala ni pamoja na:

a) Uzalendo, umoja wa kitaifa, ugatuzi, utawala wa sheria, demokrasia na ushiriki wa watu;

b) Utu wa kibinadamu, usawa, haki ya kijamii, ushirikishwaji, haki za binadamu, kutobagua na ulinzi wa wa wapembeni;

c) Utawala bora, uaminifu, uwazi na uwajibikaji; nad) Maendeleo ya kudumu

Katika tukio yoyote kwamba maadili haya na kanuni zimevunjawa wakati wa utoaji wa huduma zetu, piga ripoti kwa njia zilizoorod-heshwa katika mkataba huu.

9. SULUHU ZA MALALAMISHI

Inapohitajika hatutomfichua mlalamishi ili kutunza haki za wate-ja/wadau na pia watoaji wa huduma. Hata hivyo, walalamishi wanashauriwa kujitambulisha ili kurahisisha kuhudumiwa na pia kufuatilia malalamishi yao.

Mamlaka itatoa ithibati ya kupokea lalama katika muda wa siku saba, na kisha kutathmini na kuyashughulikia malalamishi hayo kwa mujibu wa sheria.

10. TATHMINI YA MKATABA WA HUDUMA

Ili kuwaridhisha vema wadau wetu, mkataba huu wa huduma utakuwa ukifanyiwa marekebisho ipasavyo. Tathmini hii itafan-yika kwa kuzingatia mapendekezo na maoni ya wateja mbali na mada ibuka.

11. UCHUNGUZI WA UTENDA KAZI

Mamlaka itahakikisha kuwa huduma za mkataba zinazingatiwa kikamilifu kupitia kwa tathmini, tafiti na hojaji za mara kwa mara za wateja wetu. Aidha, kutakuwa na tathmini za utenda kazi na kuwasilisha ripoti za mara kwa mara kupitia kwa machapisho.

12. MAONI

Kwa maoni, pongezi, malalamishi au mahitaji ya habari tafadhali tumia nambari zifuatazo: +254734600944 au 020-2536869/86 au wasiliana na afisi yetu:

Mkurugenzi MkuuMamlaka Kilimo na Chakula,Tea House, Naivasha Rd, Off Ngong Rd,S.L.P 37962-00100, NAIROBI, KENYAwww.afa.go.ke

Waweza pia kuwasiliana nasi kwa kutoa maoni katika vijisanduku maalum vilivyoko katika afisi zetu au kupitia kwa mtandao wetu.

14. VITUO VYA HUDUMA NA ANWANI

Pongezi, malalamishi na maoni ya kuboresha utoaji wa huduma yaelekezwe kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) na ofisi za AFA kama ifuatavyo:

1. Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) Tea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Tovuti: www.afa.go.keBarua Pepe: [email protected]

2. Ukurugenzi Wa chaiTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P Box 20064 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556 | (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

3. Ukurugenzi Wa Mimea Ya ChakulaTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

4. Ukurugenzi Wa Miraa Na ParetoTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa Sukari Sukari Plaza, Upper Kabete, ` Off Waiyaki way, Nairobi, Kenya S.L.P 51500 - 00200 Simu: +254 20 801 8750 - 3 Rununu: +254 722-203127/ 8, 733-333378/ 9 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa KahawaCoffee Plaza Building, 10th FloorHaile Selassie AvenueS.L.P 30566 - 00100, NAIROBI, KENYASimu: +254 20 3342717Rununu: +254 710 670 026, 0788109426Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

6. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Mboga, Matunda Na MauaAirport Road Opposite J.K.I.AS.L.P 42601 - 00100, NAIROBISimu:+254 20 2088469/3597362/3597356/2131560Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

7. Ukurugenzi Wa Mimea Ya NyuziWest Riverside Lane, off Riverside DriveS.L.P 66271—00800Westlands, NAIROBISimu: +254 20 2339829 +254 20 2339829/30Tovuti: www.afa.go.ke

8. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Njugu Na MafutaNSSF Building, 6th Floor Nkrumah Road S.L.P 84351-80100 MOMBASA.Simu: +254 41 2319617 Rununu: +254 702 217682 / +254 737 217682.Barua Pepe: [email protected]: www.afa.go.ke

Page 19: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

Our Crops, our Wealth5

MKATABA WA HUDUMA

DIBAJI

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) inalo jukumu la kudhibiti, kuendeleza na kukuza mazao yaliyoorodheshwa. Kupitia vifungu vya Sheria ya AFA – (AFA Act 2013) na Sheria ya mazao (Crops Act 2013), sheria na kanuni zingine husika, na ushirikiano na taasisi nyingine za umma na binafsi, AFA inaendelea kuwezesha sekta hiyo katika mazingira ya Ujumbe wake, Maono, Maadili ya msingi na kuweka viwango vya utoaji wa huduma.

Uaminifu wetu wa huduma bora unazingatia utawala wa sheria, utaalamu, uaminifu, uwajibikaji, ushirikiano, matarajio ya wateja, ufanisi, kutopendela, ushiriki wa umma, heshima ya utu na haki za binadamu, usawa, haki ya kijamii, bila ubaguzi na ulinzi wa walipembezoni.

Mkataba huu wa huduma ni ahadi ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kutoa huduma bora kwa wateja wetu, washirika na umma kwa jumla. Tunatarajia maoni yako ili kutuwezesha kuen-delea kuboresha huduma zetu.

Mkataba huu wa huduma pia unaambatana na Katiba ya Kenya 2010, Sheria ya AFA (Sheria ya 13 ya 2013), Sheria ya Mazao (She-ria ya 16 ya 2013) na Vision 2030.

MKURUGENZI MKUU

1. UTANGULIZI

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) ni shirika la serikali chini ya kifungu nambari 3, 2013 cha Sheria ya Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya mwaka 2013. Jukumu la Mamlaka ni Kudhibiti, Kuen-deleza na Kukuza Mazao yaliyoorodeshwa ili kuendeleza uchumi wa nchi.

Sheria hii imeimarisha sheria za kudhibiti na uendelezaji wa kilimo na hubainisha majukumu ya serikali za kitaifa na za Kaunti katika kilimo na masuala yanayohusiana, kulingana na masharti ya ratiba ya nne ya Katiba ya Kenya.

RuwazaMamlaka inaayoongoza kwa kudhibiti Kilimo

LengoKuendeleza na kukuza mazao kupitia kanuni bora ili kuendeleza uchumi.

Maadili Ya Msingi• Kuzingatia matarajio ya wateja • Ushirikiano• Uaminifu• Uvumbuzi• Ustadi

2. IDARA

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni mrithi wa mashirika yaliyokuwa kabla ya kutekelezwa kwa Sheria ya AFA 2013 na Sheria ya Mazao ya 2013. Mashirika hayo sasa yanahudumu chini ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kama Kurugenzi zifuatazo:

3. MAJUKUMU MAKUU

Majukumu ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni:

a) Kusimamia Sheria ya AFA na Sheria ya Mazao kwa mujibu wa masharti ya Sheria hizo;

b) Kukuza maadili bora na kudhibiti, uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa bidhaa za kilimo;

c) Kusanya na kuhifadhi takwimu za bidhaa za kilimo;d) Kuamua vipaumbele vya utafiti katika kilimo;e) Kushauri serikali ya kitaifa na serikali za gatuzi juu kuhusu

kilimo kwa madhumuni ya mipangilio sawa, kuimarisha usawa na utulivu katika sekta hiyo.

4. WATEJA/WADAU WETU

Mamlaka hii hutoa huduma kwa wadau wa kilimo kama vile:

a) Wakulima binafsi, Mashirika ya wakulima na Mashirika;b) Wasafirishaji wa mazao na bidhaa za kilimo c) Wasindikajid) Wauzaji wa mazao na bidhaa za kilimo e) Wauzaji nje / Waagizaji

f) Wauzaji wa bidhaa na hudumag) Taasisi za Fedhah) Mashirika i) Vyuo vikuu, Vyuo vya juu na utafiti na taasisi zinazohusiana na

mafunzoj) Wizara ya Serikali na Idarak) Makampuni ya Serikalil) Serikali za Kauntim) Sekta ya Binafsin) Umma kwa jumla

5. HAKI ZA WATEJA/WADAU

Wateja wetu wana haki ya:

a) Kuhudumiwa kwa heshima na hadhib) Kupokea majibu ya papo kwa hapoc) Usiri na faraghad) Kupokea taarifa e) Huduma na bidhaa boraf) Mazingira mwafakag) Mawasiliano bora

6. WAJIBU WA WATEJA/WADAU

Ili kukuhudumia bora na kuhakikisha ushirikiano wetu na wateja unafana, wateja wetu wanahitajiwa kutimiza yafuatayo:

a) Kuonesha heshima na nidhamu ;b) Kutoa taarifa muhimu;c) Kutoa habari, maelezo, taarifa kuhusiana na huduma zetu;d) Kuzingatia sheria, taratibu na sera;e) Kuzingatia uadilifu; f) Kuwa tayari kupokea mbinu za kisasa na ubunifu katika sekta

ya kilimo.

7. WAJIBU NA MAJUKUMU YETU

Mamlaka inalenga kutimiza yafuatayo:

a) Kuboresha mara kwa mara ujuzi, elimu, tajriba kwa wafanyikazi wetu ili kutoa huduma bora zaidi;

b) Utoaji wa huduma bora kwa wakati ufaao kwa wateja wetu; c) Kuwa mstari wa mbele katika kuwawajibikia wateja wetu;d) Kutojihusisha kamwe na ufisadi;e) Kutenda majukumu kwa mujibu wa sheria;f) Kuweka siri taarifa na kuzingatia ufaragha wa mteja; g) Kusuluhisa mizozo kwa haki bila mapendeleo;h) Kutoegemea upande wowote katika utoaji wa maamuzi 8. MAADILI YA KITAIFA NA MISINGI YA USIMAMIZI

Kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya 2010, tunazingatia maadili ya kitaifa na kanuni za utawala ambao hujumuisha viungo vyote vya Serikali, maafisa wa Serikali, maafisa wa umma na watu wote. Maadili haya ya kitaifa na kanuni za utawala ni pamoja na:

a) Uzalendo, umoja wa kitaifa, ugatuzi, utawala wa sheria, demokrasia na ushiriki wa watu;

b) Utu wa kibinadamu, usawa, haki ya kijamii, ushirikishwaji, haki za binadamu, kutobagua na ulinzi wa wa wapembeni;

c) Utawala bora, uaminifu, uwazi na uwajibikaji; nad) Maendeleo ya kudumu

Katika tukio yoyote kwamba maadili haya na kanuni zimevunjawa wakati wa utoaji wa huduma zetu, piga ripoti kwa njia zilizoorod-heshwa katika mkataba huu.

9. SULUHU ZA MALALAMISHI

Inapohitajika hatutomfichua mlalamishi ili kutunza haki za wate-ja/wadau na pia watoaji wa huduma. Hata hivyo, walalamishi wanashauriwa kujitambulisha ili kurahisisha kuhudumiwa na pia kufuatilia malalamishi yao.

Mamlaka itatoa ithibati ya kupokea lalama katika muda wa siku saba, na kisha kutathmini na kuyashughulikia malalamishi hayo kwa mujibu wa sheria.

10. TATHMINI YA MKATABA WA HUDUMA

Ili kuwaridhisha vema wadau wetu, mkataba huu wa huduma utakuwa ukifanyiwa marekebisho ipasavyo. Tathmini hii itafan-yika kwa kuzingatia mapendekezo na maoni ya wateja mbali na mada ibuka.

11. UCHUNGUZI WA UTENDA KAZI

Mamlaka itahakikisha kuwa huduma za mkataba zinazingatiwa kikamilifu kupitia kwa tathmini, tafiti na hojaji za mara kwa mara za wateja wetu. Aidha, kutakuwa na tathmini za utenda kazi na kuwasilisha ripoti za mara kwa mara kupitia kwa machapisho.

12. MAONI

Kwa maoni, pongezi, malalamishi au mahitaji ya habari tafadhali tumia nambari zifuatazo: +254734600944 au 020-2536869/86 au wasiliana na afisi yetu:

Mkurugenzi MkuuMamlaka Kilimo na Chakula,Tea House, Naivasha Rd, Off Ngong Rd,S.L.P 37962-00100, NAIROBI, KENYAwww.afa.go.ke

Waweza pia kuwasiliana nasi kwa kutoa maoni katika vijisanduku maalum vilivyoko katika afisi zetu au kupitia kwa mtandao wetu.

14. VITUO VYA HUDUMA NA ANWANI

Pongezi, malalamishi na maoni ya kuboresha utoaji wa huduma yaelekezwe kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) na ofisi za AFA kama ifuatavyo:

1. Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) Tea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Tovuti: www.afa.go.keBarua Pepe: [email protected]

2. Ukurugenzi Wa chaiTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P Box 20064 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556 | (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

3. Ukurugenzi Wa Mimea Ya ChakulaTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

4. Ukurugenzi Wa Miraa Na ParetoTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa Sukari Sukari Plaza, Upper Kabete, ` Off Waiyaki way, Nairobi, Kenya S.L.P 51500 - 00200 Simu: +254 20 801 8750 - 3 Rununu: +254 722-203127/ 8, 733-333378/ 9 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa KahawaCoffee Plaza Building, 10th FloorHaile Selassie AvenueS.L.P 30566 - 00100, NAIROBI, KENYASimu: +254 20 3342717Rununu: +254 710 670 026, 0788109426Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

6. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Mboga, Matunda Na MauaAirport Road Opposite J.K.I.AS.L.P 42601 - 00100, NAIROBISimu:+254 20 2088469/3597362/3597356/2131560Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

7. Ukurugenzi Wa Mimea Ya NyuziWest Riverside Lane, off Riverside DriveS.L.P 66271—00800Westlands, NAIROBISimu: +254 20 2339829 +254 20 2339829/30Tovuti: www.afa.go.ke

8. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Njugu Na MafutaNSSF Building, 6th Floor Nkrumah Road S.L.P 84351-80100 MOMBASA.Simu: +254 41 2319617 Rununu: +254 702 217682 / +254 737 217682.Barua Pepe: [email protected]: www.afa.go.ke

Page 20: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

MKATABA WA HUDUMA

Our Crops, our Wealth 4

DIBAJI

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) inalo jukumu la kudhibiti, kuendeleza na kukuza mazao yaliyoorodheshwa. Kupitia vifungu vya Sheria ya AFA – (AFA Act 2013) na Sheria ya mazao (Crops Act 2013), sheria na kanuni zingine husika, na ushirikiano na taasisi nyingine za umma na binafsi, AFA inaendelea kuwezesha sekta hiyo katika mazingira ya Ujumbe wake, Maono, Maadili ya msingi na kuweka viwango vya utoaji wa huduma.

Uaminifu wetu wa huduma bora unazingatia utawala wa sheria, utaalamu, uaminifu, uwajibikaji, ushirikiano, matarajio ya wateja, ufanisi, kutopendela, ushiriki wa umma, heshima ya utu na haki za binadamu, usawa, haki ya kijamii, bila ubaguzi na ulinzi wa walipembezoni.

Mkataba huu wa huduma ni ahadi ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kutoa huduma bora kwa wateja wetu, washirika na umma kwa jumla. Tunatarajia maoni yako ili kutuwezesha kuen-delea kuboresha huduma zetu.

Mkataba huu wa huduma pia unaambatana na Katiba ya Kenya 2010, Sheria ya AFA (Sheria ya 13 ya 2013), Sheria ya Mazao (She-ria ya 16 ya 2013) na Vision 2030.

MKURUGENZI MKUU

1. UTANGULIZI

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) ni shirika la serikali chini ya kifungu nambari 3, 2013 cha Sheria ya Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya mwaka 2013. Jukumu la Mamlaka ni Kudhibiti, Kuen-deleza na Kukuza Mazao yaliyoorodeshwa ili kuendeleza uchumi wa nchi.

Sheria hii imeimarisha sheria za kudhibiti na uendelezaji wa kilimo na hubainisha majukumu ya serikali za kitaifa na za Kaunti katika kilimo na masuala yanayohusiana, kulingana na masharti ya ratiba ya nne ya Katiba ya Kenya.

RuwazaMamlaka inaayoongoza kwa kudhibiti Kilimo

LengoKuendeleza na kukuza mazao kupitia kanuni bora ili kuendeleza uchumi.

Maadili Ya Msingi• Kuzingatia matarajio ya wateja • Ushirikiano• Uaminifu• Uvumbuzi• Ustadi

2. IDARA

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni mrithi wa mashirika yaliyokuwa kabla ya kutekelezwa kwa Sheria ya AFA 2013 na Sheria ya Mazao ya 2013. Mashirika hayo sasa yanahudumu chini ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kama Kurugenzi zifuatazo:

3. MAJUKUMU MAKUU

Majukumu ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni:

a) Kusimamia Sheria ya AFA na Sheria ya Mazao kwa mujibu wa masharti ya Sheria hizo;

b) Kukuza maadili bora na kudhibiti, uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa bidhaa za kilimo;

c) Kusanya na kuhifadhi takwimu za bidhaa za kilimo;d) Kuamua vipaumbele vya utafiti katika kilimo;e) Kushauri serikali ya kitaifa na serikali za gatuzi juu kuhusu

kilimo kwa madhumuni ya mipangilio sawa, kuimarisha usawa na utulivu katika sekta hiyo.

4. WATEJA/WADAU WETU

Mamlaka hii hutoa huduma kwa wadau wa kilimo kama vile:

a) Wakulima binafsi, Mashirika ya wakulima na Mashirika;b) Wasafirishaji wa mazao na bidhaa za kilimo c) Wasindikajid) Wauzaji wa mazao na bidhaa za kilimo e) Wauzaji nje / Waagizaji

f) Wauzaji wa bidhaa na hudumag) Taasisi za Fedhah) Mashirika i) Vyuo vikuu, Vyuo vya juu na utafiti na taasisi zinazohusiana na

mafunzoj) Wizara ya Serikali na Idarak) Makampuni ya Serikalil) Serikali za Kauntim) Sekta ya Binafsin) Umma kwa jumla

5. HAKI ZA WATEJA/WADAU

Wateja wetu wana haki ya:

a) Kuhudumiwa kwa heshima na hadhib) Kupokea majibu ya papo kwa hapoc) Usiri na faraghad) Kupokea taarifa e) Huduma na bidhaa boraf) Mazingira mwafakag) Mawasiliano bora

6. WAJIBU WA WATEJA/WADAU

Ili kukuhudumia bora na kuhakikisha ushirikiano wetu na wateja unafana, wateja wetu wanahitajiwa kutimiza yafuatayo:

a) Kuonesha heshima na nidhamu ;b) Kutoa taarifa muhimu;c) Kutoa habari, maelezo, taarifa kuhusiana na huduma zetu;d) Kuzingatia sheria, taratibu na sera;e) Kuzingatia uadilifu; f) Kuwa tayari kupokea mbinu za kisasa na ubunifu katika sekta

ya kilimo.

7. WAJIBU NA MAJUKUMU YETU

Mamlaka inalenga kutimiza yafuatayo:

a) Kuboresha mara kwa mara ujuzi, elimu, tajriba kwa wafanyikazi wetu ili kutoa huduma bora zaidi;

b) Utoaji wa huduma bora kwa wakati ufaao kwa wateja wetu; c) Kuwa mstari wa mbele katika kuwawajibikia wateja wetu;d) Kutojihusisha kamwe na ufisadi;e) Kutenda majukumu kwa mujibu wa sheria;f) Kuweka siri taarifa na kuzingatia ufaragha wa mteja; g) Kusuluhisa mizozo kwa haki bila mapendeleo;h) Kutoegemea upande wowote katika utoaji wa maamuzi 8. MAADILI YA KITAIFA NA MISINGI YA USIMAMIZI

Kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya 2010, tunazingatia maadili ya kitaifa na kanuni za utawala ambao hujumuisha viungo vyote vya Serikali, maafisa wa Serikali, maafisa wa umma na watu wote. Maadili haya ya kitaifa na kanuni za utawala ni pamoja na:

a) Uzalendo, umoja wa kitaifa, ugatuzi, utawala wa sheria, demokrasia na ushiriki wa watu;

b) Utu wa kibinadamu, usawa, haki ya kijamii, ushirikishwaji, haki za binadamu, kutobagua na ulinzi wa wa wapembeni;

c) Utawala bora, uaminifu, uwazi na uwajibikaji; nad) Maendeleo ya kudumu

Katika tukio yoyote kwamba maadili haya na kanuni zimevunjawa wakati wa utoaji wa huduma zetu, piga ripoti kwa njia zilizoorod-heshwa katika mkataba huu.

9. SULUHU ZA MALALAMISHI

Inapohitajika hatutomfichua mlalamishi ili kutunza haki za wate-ja/wadau na pia watoaji wa huduma. Hata hivyo, walalamishi wanashauriwa kujitambulisha ili kurahisisha kuhudumiwa na pia kufuatilia malalamishi yao.

Mamlaka itatoa ithibati ya kupokea lalama katika muda wa siku saba, na kisha kutathmini na kuyashughulikia malalamishi hayo kwa mujibu wa sheria.

10. TATHMINI YA MKATABA WA HUDUMA

Ili kuwaridhisha vema wadau wetu, mkataba huu wa huduma utakuwa ukifanyiwa marekebisho ipasavyo. Tathmini hii itafan-yika kwa kuzingatia mapendekezo na maoni ya wateja mbali na mada ibuka.

11. UCHUNGUZI WA UTENDA KAZI

Mamlaka itahakikisha kuwa huduma za mkataba zinazingatiwa kikamilifu kupitia kwa tathmini, tafiti na hojaji za mara kwa mara za wateja wetu. Aidha, kutakuwa na tathmini za utenda kazi na kuwasilisha ripoti za mara kwa mara kupitia kwa machapisho.

12. MAONI

Kwa maoni, pongezi, malalamishi au mahitaji ya habari tafadhali tumia nambari zifuatazo: +254734600944 au 020-2536869/86 au wasiliana na afisi yetu:

Mkurugenzi MkuuMamlaka Kilimo na Chakula,Tea House, Naivasha Rd, Off Ngong Rd,S.L.P 37962-00100, NAIROBI, KENYAwww.afa.go.ke

Waweza pia kuwasiliana nasi kwa kutoa maoni katika vijisanduku maalum vilivyoko katika afisi zetu au kupitia kwa mtandao wetu.

14. VITUO VYA HUDUMA NA ANWANI

Pongezi, malalamishi na maoni ya kuboresha utoaji wa huduma yaelekezwe kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) na ofisi za AFA kama ifuatavyo:

1. Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) Tea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Tovuti: www.afa.go.keBarua Pepe: [email protected]

2. Ukurugenzi Wa chaiTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P Box 20064 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556 | (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

3. Ukurugenzi Wa Mimea Ya ChakulaTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

4. Ukurugenzi Wa Miraa Na ParetoTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa Sukari Sukari Plaza, Upper Kabete, ` Off Waiyaki way, Nairobi, Kenya S.L.P 51500 - 00200 Simu: +254 20 801 8750 - 3 Rununu: +254 722-203127/ 8, 733-333378/ 9 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa KahawaCoffee Plaza Building, 10th FloorHaile Selassie AvenueS.L.P 30566 - 00100, NAIROBI, KENYASimu: +254 20 3342717Rununu: +254 710 670 026, 0788109426Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

6. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Mboga, Matunda Na MauaAirport Road Opposite J.K.I.AS.L.P 42601 - 00100, NAIROBISimu:+254 20 2088469/3597362/3597356/2131560Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

7. Ukurugenzi Wa Mimea Ya NyuziWest Riverside Lane, off Riverside DriveS.L.P 66271—00800Westlands, NAIROBISimu: +254 20 2339829 +254 20 2339829/30Tovuti: www.afa.go.ke

8. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Njugu Na MafutaNSSF Building, 6th Floor Nkrumah Road S.L.P 84351-80100 MOMBASA.Simu: +254 41 2319617 Rununu: +254 702 217682 / +254 737 217682.Barua Pepe: [email protected]: www.afa.go.ke

Page 21: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

Our Crops, our Wealth3

MKATABA WA HUDUMA

DIBAJI

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) inalo jukumu la kudhibiti, kuendeleza na kukuza mazao yaliyoorodheshwa. Kupitia vifungu vya Sheria ya AFA – (AFA Act 2013) na Sheria ya mazao (Crops Act 2013), sheria na kanuni zingine husika, na ushirikiano na taasisi nyingine za umma na binafsi, AFA inaendelea kuwezesha sekta hiyo katika mazingira ya Ujumbe wake, Maono, Maadili ya msingi na kuweka viwango vya utoaji wa huduma.

Uaminifu wetu wa huduma bora unazingatia utawala wa sheria, utaalamu, uaminifu, uwajibikaji, ushirikiano, matarajio ya wateja, ufanisi, kutopendela, ushiriki wa umma, heshima ya utu na haki za binadamu, usawa, haki ya kijamii, bila ubaguzi na ulinzi wa walipembezoni.

Mkataba huu wa huduma ni ahadi ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kutoa huduma bora kwa wateja wetu, washirika na umma kwa jumla. Tunatarajia maoni yako ili kutuwezesha kuen-delea kuboresha huduma zetu.

Mkataba huu wa huduma pia unaambatana na Katiba ya Kenya 2010, Sheria ya AFA (Sheria ya 13 ya 2013), Sheria ya Mazao (She-ria ya 16 ya 2013) na Vision 2030.

MKURUGENZI MKUU

1. UTANGULIZI

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) ni shirika la serikali chini ya kifungu nambari 3, 2013 cha Sheria ya Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya mwaka 2013. Jukumu la Mamlaka ni Kudhibiti, Kuen-deleza na Kukuza Mazao yaliyoorodeshwa ili kuendeleza uchumi wa nchi.

Sheria hii imeimarisha sheria za kudhibiti na uendelezaji wa kilimo na hubainisha majukumu ya serikali za kitaifa na za Kaunti katika kilimo na masuala yanayohusiana, kulingana na masharti ya ratiba ya nne ya Katiba ya Kenya.

RuwazaMamlaka inaayoongoza kwa kudhibiti Kilimo

LengoKuendeleza na kukuza mazao kupitia kanuni bora ili kuendeleza uchumi.

Maadili Ya Msingi• Kuzingatia matarajio ya wateja • Ushirikiano• Uaminifu• Uvumbuzi• Ustadi

2. IDARA

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni mrithi wa mashirika yaliyokuwa kabla ya kutekelezwa kwa Sheria ya AFA 2013 na Sheria ya Mazao ya 2013. Mashirika hayo sasa yanahudumu chini ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kama Kurugenzi zifuatazo:

3. MAJUKUMU MAKUU

Majukumu ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni:

a) Kusimamia Sheria ya AFA na Sheria ya Mazao kwa mujibu wa masharti ya Sheria hizo;

b) Kukuza maadili bora na kudhibiti, uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa bidhaa za kilimo;

c) Kusanya na kuhifadhi takwimu za bidhaa za kilimo;d) Kuamua vipaumbele vya utafiti katika kilimo;e) Kushauri serikali ya kitaifa na serikali za gatuzi juu kuhusu

kilimo kwa madhumuni ya mipangilio sawa, kuimarisha usawa na utulivu katika sekta hiyo.

4. WATEJA/WADAU WETU

Mamlaka hii hutoa huduma kwa wadau wa kilimo kama vile:

a) Wakulima binafsi, Mashirika ya wakulima na Mashirika;b) Wasafirishaji wa mazao na bidhaa za kilimo c) Wasindikajid) Wauzaji wa mazao na bidhaa za kilimo e) Wauzaji nje / Waagizaji

f) Wauzaji wa bidhaa na hudumag) Taasisi za Fedhah) Mashirika i) Vyuo vikuu, Vyuo vya juu na utafiti na taasisi zinazohusiana na

mafunzoj) Wizara ya Serikali na Idarak) Makampuni ya Serikalil) Serikali za Kauntim) Sekta ya Binafsin) Umma kwa jumla

5. HAKI ZA WATEJA/WADAU

Wateja wetu wana haki ya:

a) Kuhudumiwa kwa heshima na hadhib) Kupokea majibu ya papo kwa hapoc) Usiri na faraghad) Kupokea taarifa e) Huduma na bidhaa boraf) Mazingira mwafakag) Mawasiliano bora

6. WAJIBU WA WATEJA/WADAU

Ili kukuhudumia bora na kuhakikisha ushirikiano wetu na wateja unafana, wateja wetu wanahitajiwa kutimiza yafuatayo:

a) Kuonesha heshima na nidhamu ;b) Kutoa taarifa muhimu;c) Kutoa habari, maelezo, taarifa kuhusiana na huduma zetu;d) Kuzingatia sheria, taratibu na sera;e) Kuzingatia uadilifu; f) Kuwa tayari kupokea mbinu za kisasa na ubunifu katika sekta

ya kilimo.

7. WAJIBU NA MAJUKUMU YETU

Mamlaka inalenga kutimiza yafuatayo:

a) Kuboresha mara kwa mara ujuzi, elimu, tajriba kwa wafanyikazi wetu ili kutoa huduma bora zaidi;

b) Utoaji wa huduma bora kwa wakati ufaao kwa wateja wetu; c) Kuwa mstari wa mbele katika kuwawajibikia wateja wetu;d) Kutojihusisha kamwe na ufisadi;e) Kutenda majukumu kwa mujibu wa sheria;f) Kuweka siri taarifa na kuzingatia ufaragha wa mteja; g) Kusuluhisa mizozo kwa haki bila mapendeleo;h) Kutoegemea upande wowote katika utoaji wa maamuzi 8. MAADILI YA KITAIFA NA MISINGI YA USIMAMIZI

Kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya 2010, tunazingatia maadili ya kitaifa na kanuni za utawala ambao hujumuisha viungo vyote vya Serikali, maafisa wa Serikali, maafisa wa umma na watu wote. Maadili haya ya kitaifa na kanuni za utawala ni pamoja na:

a) Uzalendo, umoja wa kitaifa, ugatuzi, utawala wa sheria, demokrasia na ushiriki wa watu;

b) Utu wa kibinadamu, usawa, haki ya kijamii, ushirikishwaji, haki za binadamu, kutobagua na ulinzi wa wa wapembeni;

c) Utawala bora, uaminifu, uwazi na uwajibikaji; nad) Maendeleo ya kudumu

Katika tukio yoyote kwamba maadili haya na kanuni zimevunjawa wakati wa utoaji wa huduma zetu, piga ripoti kwa njia zilizoorod-heshwa katika mkataba huu.

9. SULUHU ZA MALALAMISHI

Inapohitajika hatutomfichua mlalamishi ili kutunza haki za wate-ja/wadau na pia watoaji wa huduma. Hata hivyo, walalamishi wanashauriwa kujitambulisha ili kurahisisha kuhudumiwa na pia kufuatilia malalamishi yao.

Mamlaka itatoa ithibati ya kupokea lalama katika muda wa siku saba, na kisha kutathmini na kuyashughulikia malalamishi hayo kwa mujibu wa sheria.

10. TATHMINI YA MKATABA WA HUDUMA

Ili kuwaridhisha vema wadau wetu, mkataba huu wa huduma utakuwa ukifanyiwa marekebisho ipasavyo. Tathmini hii itafan-yika kwa kuzingatia mapendekezo na maoni ya wateja mbali na mada ibuka.

11. UCHUNGUZI WA UTENDA KAZI

Mamlaka itahakikisha kuwa huduma za mkataba zinazingatiwa kikamilifu kupitia kwa tathmini, tafiti na hojaji za mara kwa mara za wateja wetu. Aidha, kutakuwa na tathmini za utenda kazi na kuwasilisha ripoti za mara kwa mara kupitia kwa machapisho.

12. MAONI

Kwa maoni, pongezi, malalamishi au mahitaji ya habari tafadhali tumia nambari zifuatazo: +254734600944 au 020-2536869/86 au wasiliana na afisi yetu:

Mkurugenzi MkuuMamlaka Kilimo na Chakula,Tea House, Naivasha Rd, Off Ngong Rd,S.L.P 37962-00100, NAIROBI, KENYAwww.afa.go.ke

Waweza pia kuwasiliana nasi kwa kutoa maoni katika vijisanduku maalum vilivyoko katika afisi zetu au kupitia kwa mtandao wetu.

14. VITUO VYA HUDUMA NA ANWANI

Pongezi, malalamishi na maoni ya kuboresha utoaji wa huduma yaelekezwe kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) na ofisi za AFA kama ifuatavyo:

1. Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) Tea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Tovuti: www.afa.go.keBarua Pepe: [email protected]

2. Ukurugenzi Wa chaiTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P Box 20064 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556 | (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

3. Ukurugenzi Wa Mimea Ya ChakulaTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

4. Ukurugenzi Wa Miraa Na ParetoTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa Sukari Sukari Plaza, Upper Kabete, ` Off Waiyaki way, Nairobi, Kenya S.L.P 51500 - 00200 Simu: +254 20 801 8750 - 3 Rununu: +254 722-203127/ 8, 733-333378/ 9 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa KahawaCoffee Plaza Building, 10th FloorHaile Selassie AvenueS.L.P 30566 - 00100, NAIROBI, KENYASimu: +254 20 3342717Rununu: +254 710 670 026, 0788109426Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

6. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Mboga, Matunda Na MauaAirport Road Opposite J.K.I.AS.L.P 42601 - 00100, NAIROBISimu:+254 20 2088469/3597362/3597356/2131560Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

7. Ukurugenzi Wa Mimea Ya NyuziWest Riverside Lane, off Riverside DriveS.L.P 66271—00800Westlands, NAIROBISimu: +254 20 2339829 +254 20 2339829/30Tovuti: www.afa.go.ke

8. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Njugu Na MafutaNSSF Building, 6th Floor Nkrumah Road S.L.P 84351-80100 MOMBASA.Simu: +254 41 2319617 Rununu: +254 702 217682 / +254 737 217682.Barua Pepe: [email protected]: www.afa.go.ke

Page 22: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

YALIYOMO

1. Dibaji 3

2. Utangulizi 4

3. Idara 4

4. Majukumu Makuu 5

5. Wateja Wetu/Wadau 5

6. Haki za Wateja/Wadau 6

7. Wajibu wa Wateja/Wadau 6

8. Wajibu na Majukumu Yetu 6

9. Maadili Ya Kitaifa na Misingi Ya Usimamizi 7

10. Suluhu Za Malalamishi 7

11. Tathmini Ya Mkataba Wa Huduma 8

12. Uchunguzi Wa Utenda Kazi 8

13. Maoni 8

14. Maafikiano Ya Mkataba Kwa Umma 9

15. Vituo Vya Huduma & Anwani 9

DIBAJI

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) inalo jukumu la kudhibiti, kuendeleza na kukuza mazao yaliyoorodheshwa. Kupitia vifungu vya Sheria ya AFA – (AFA Act 2013) na Sheria ya mazao (Crops Act 2013), sheria na kanuni zingine husika, na ushirikiano na taasisi nyingine za umma na binafsi, AFA inaendelea kuwezesha sekta hiyo katika mazingira ya Ujumbe wake, Maono, Maadili ya msingi na kuweka viwango vya utoaji wa huduma.

Uaminifu wetu wa huduma bora unazingatia utawala wa sheria, utaalamu, uaminifu, uwajibikaji, ushirikiano, matarajio ya wateja, ufanisi, kutopendela, ushiriki wa umma, heshima ya utu na haki za binadamu, usawa, haki ya kijamii, bila ubaguzi na ulinzi wa walipembezoni.

Mkataba huu wa huduma ni ahadi ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kutoa huduma bora kwa wateja wetu, washirika na umma kwa jumla. Tunatarajia maoni yako ili kutuwezesha kuen-delea kuboresha huduma zetu.

Mkataba huu wa huduma pia unaambatana na Katiba ya Kenya 2010, Sheria ya AFA (Sheria ya 13 ya 2013), Sheria ya Mazao (She-ria ya 16 ya 2013) na Vision 2030.

MKURUGENZI MKUU

1. UTANGULIZI

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) ni shirika la serikali chini ya kifungu nambari 3, 2013 cha Sheria ya Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya mwaka 2013. Jukumu la Mamlaka ni Kudhibiti, Kuen-deleza na Kukuza Mazao yaliyoorodeshwa ili kuendeleza uchumi wa nchi.

Sheria hii imeimarisha sheria za kudhibiti na uendelezaji wa kilimo na hubainisha majukumu ya serikali za kitaifa na za Kaunti katika kilimo na masuala yanayohusiana, kulingana na masharti ya ratiba ya nne ya Katiba ya Kenya.

RuwazaMamlaka inaayoongoza kwa kudhibiti Kilimo

LengoKuendeleza na kukuza mazao kupitia kanuni bora ili kuendeleza uchumi.

Maadili Ya Msingi• Kuzingatia matarajio ya wateja • Ushirikiano• Uaminifu• Uvumbuzi• Ustadi

2. IDARA

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni mrithi wa mashirika yaliyokuwa kabla ya kutekelezwa kwa Sheria ya AFA 2013 na Sheria ya Mazao ya 2013. Mashirika hayo sasa yanahudumu chini ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kama Kurugenzi zifuatazo:

3. MAJUKUMU MAKUU

Majukumu ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni:

a) Kusimamia Sheria ya AFA na Sheria ya Mazao kwa mujibu wa masharti ya Sheria hizo;

b) Kukuza maadili bora na kudhibiti, uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa bidhaa za kilimo;

c) Kusanya na kuhifadhi takwimu za bidhaa za kilimo;d) Kuamua vipaumbele vya utafiti katika kilimo;e) Kushauri serikali ya kitaifa na serikali za gatuzi juu kuhusu

kilimo kwa madhumuni ya mipangilio sawa, kuimarisha usawa na utulivu katika sekta hiyo.

4. WATEJA/WADAU WETU

Mamlaka hii hutoa huduma kwa wadau wa kilimo kama vile:

a) Wakulima binafsi, Mashirika ya wakulima na Mashirika;b) Wasafirishaji wa mazao na bidhaa za kilimo c) Wasindikajid) Wauzaji wa mazao na bidhaa za kilimo e) Wauzaji nje / Waagizaji

f) Wauzaji wa bidhaa na hudumag) Taasisi za Fedhah) Mashirika i) Vyuo vikuu, Vyuo vya juu na utafiti na taasisi zinazohusiana na

mafunzoj) Wizara ya Serikali na Idarak) Makampuni ya Serikalil) Serikali za Kauntim) Sekta ya Binafsin) Umma kwa jumla

5. HAKI ZA WATEJA/WADAU

Wateja wetu wana haki ya:

a) Kuhudumiwa kwa heshima na hadhib) Kupokea majibu ya papo kwa hapoc) Usiri na faraghad) Kupokea taarifa e) Huduma na bidhaa boraf) Mazingira mwafakag) Mawasiliano bora

6. WAJIBU WA WATEJA/WADAU

Ili kukuhudumia bora na kuhakikisha ushirikiano wetu na wateja unafana, wateja wetu wanahitajiwa kutimiza yafuatayo:

a) Kuonesha heshima na nidhamu ;b) Kutoa taarifa muhimu;c) Kutoa habari, maelezo, taarifa kuhusiana na huduma zetu;d) Kuzingatia sheria, taratibu na sera;e) Kuzingatia uadilifu; f) Kuwa tayari kupokea mbinu za kisasa na ubunifu katika sekta

ya kilimo.

7. WAJIBU NA MAJUKUMU YETU

Mamlaka inalenga kutimiza yafuatayo:

a) Kuboresha mara kwa mara ujuzi, elimu, tajriba kwa wafanyikazi wetu ili kutoa huduma bora zaidi;

b) Utoaji wa huduma bora kwa wakati ufaao kwa wateja wetu; c) Kuwa mstari wa mbele katika kuwawajibikia wateja wetu;d) Kutojihusisha kamwe na ufisadi;e) Kutenda majukumu kwa mujibu wa sheria;f) Kuweka siri taarifa na kuzingatia ufaragha wa mteja; g) Kusuluhisa mizozo kwa haki bila mapendeleo;h) Kutoegemea upande wowote katika utoaji wa maamuzi 8. MAADILI YA KITAIFA NA MISINGI YA USIMAMIZI

Kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya 2010, tunazingatia maadili ya kitaifa na kanuni za utawala ambao hujumuisha viungo vyote vya Serikali, maafisa wa Serikali, maafisa wa umma na watu wote. Maadili haya ya kitaifa na kanuni za utawala ni pamoja na:

a) Uzalendo, umoja wa kitaifa, ugatuzi, utawala wa sheria, demokrasia na ushiriki wa watu;

b) Utu wa kibinadamu, usawa, haki ya kijamii, ushirikishwaji, haki za binadamu, kutobagua na ulinzi wa wa wapembeni;

c) Utawala bora, uaminifu, uwazi na uwajibikaji; nad) Maendeleo ya kudumu

Katika tukio yoyote kwamba maadili haya na kanuni zimevunjawa wakati wa utoaji wa huduma zetu, piga ripoti kwa njia zilizoorod-heshwa katika mkataba huu.

9. SULUHU ZA MALALAMISHI

Inapohitajika hatutomfichua mlalamishi ili kutunza haki za wate-ja/wadau na pia watoaji wa huduma. Hata hivyo, walalamishi wanashauriwa kujitambulisha ili kurahisisha kuhudumiwa na pia kufuatilia malalamishi yao.

Mamlaka itatoa ithibati ya kupokea lalama katika muda wa siku saba, na kisha kutathmini na kuyashughulikia malalamishi hayo kwa mujibu wa sheria.

10. TATHMINI YA MKATABA WA HUDUMA

Ili kuwaridhisha vema wadau wetu, mkataba huu wa huduma utakuwa ukifanyiwa marekebisho ipasavyo. Tathmini hii itafan-yika kwa kuzingatia mapendekezo na maoni ya wateja mbali na mada ibuka.

11. UCHUNGUZI WA UTENDA KAZI

Mamlaka itahakikisha kuwa huduma za mkataba zinazingatiwa kikamilifu kupitia kwa tathmini, tafiti na hojaji za mara kwa mara za wateja wetu. Aidha, kutakuwa na tathmini za utenda kazi na kuwasilisha ripoti za mara kwa mara kupitia kwa machapisho.

12. MAONI

Kwa maoni, pongezi, malalamishi au mahitaji ya habari tafadhali tumia nambari zifuatazo: +254734600944 au 020-2536869/86 au wasiliana na afisi yetu:

Mkurugenzi MkuuMamlaka Kilimo na Chakula,Tea House, Naivasha Rd, Off Ngong Rd,S.L.P 37962-00100, NAIROBI, KENYAwww.afa.go.ke

Waweza pia kuwasiliana nasi kwa kutoa maoni katika vijisanduku maalum vilivyoko katika afisi zetu au kupitia kwa mtandao wetu.

14. VITUO VYA HUDUMA NA ANWANI

Pongezi, malalamishi na maoni ya kuboresha utoaji wa huduma yaelekezwe kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) na ofisi za AFA kama ifuatavyo:

1. Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) Tea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Tovuti: www.afa.go.keBarua Pepe: [email protected]

2. Ukurugenzi Wa chaiTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P Box 20064 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556 | (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

3. Ukurugenzi Wa Mimea Ya ChakulaTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

4. Ukurugenzi Wa Miraa Na ParetoTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa Sukari Sukari Plaza, Upper Kabete, ` Off Waiyaki way, Nairobi, Kenya S.L.P 51500 - 00200 Simu: +254 20 801 8750 - 3 Rununu: +254 722-203127/ 8, 733-333378/ 9 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa KahawaCoffee Plaza Building, 10th FloorHaile Selassie AvenueS.L.P 30566 - 00100, NAIROBI, KENYASimu: +254 20 3342717Rununu: +254 710 670 026, 0788109426Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

6. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Mboga, Matunda Na MauaAirport Road Opposite J.K.I.AS.L.P 42601 - 00100, NAIROBISimu:+254 20 2088469/3597362/3597356/2131560Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

7. Ukurugenzi Wa Mimea Ya NyuziWest Riverside Lane, off Riverside DriveS.L.P 66271—00800Westlands, NAIROBISimu: +254 20 2339829 +254 20 2339829/30Tovuti: www.afa.go.ke

8. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Njugu Na MafutaNSSF Building, 6th Floor Nkrumah Road S.L.P 84351-80100 MOMBASA.Simu: +254 41 2319617 Rununu: +254 702 217682 / +254 737 217682.Barua Pepe: [email protected]: www.afa.go.ke

Page 23: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

DIBAJI

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) inalo jukumu la kudhibiti, kuendeleza na kukuza mazao yaliyoorodheshwa. Kupitia vifungu vya Sheria ya AFA – (AFA Act 2013) na Sheria ya mazao (Crops Act 2013), sheria na kanuni zingine husika, na ushirikiano na taasisi nyingine za umma na binafsi, AFA inaendelea kuwezesha sekta hiyo katika mazingira ya Ujumbe wake, Maono, Maadili ya msingi na kuweka viwango vya utoaji wa huduma.

Uaminifu wetu wa huduma bora unazingatia utawala wa sheria, utaalamu, uaminifu, uwajibikaji, ushirikiano, matarajio ya wateja, ufanisi, kutopendela, ushiriki wa umma, heshima ya utu na haki za binadamu, usawa, haki ya kijamii, bila ubaguzi na ulinzi wa walipembezoni.

Mkataba huu wa huduma ni ahadi ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kutoa huduma bora kwa wateja wetu, washirika na umma kwa jumla. Tunatarajia maoni yako ili kutuwezesha kuen-delea kuboresha huduma zetu.

Mkataba huu wa huduma pia unaambatana na Katiba ya Kenya 2010, Sheria ya AFA (Sheria ya 13 ya 2013), Sheria ya Mazao (She-ria ya 16 ya 2013) na Vision 2030.

MKURUGENZI MKUU

1. UTANGULIZI

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) ni shirika la serikali chini ya kifungu nambari 3, 2013 cha Sheria ya Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya mwaka 2013. Jukumu la Mamlaka ni Kudhibiti, Kuen-deleza na Kukuza Mazao yaliyoorodeshwa ili kuendeleza uchumi wa nchi.

Sheria hii imeimarisha sheria za kudhibiti na uendelezaji wa kilimo na hubainisha majukumu ya serikali za kitaifa na za Kaunti katika kilimo na masuala yanayohusiana, kulingana na masharti ya ratiba ya nne ya Katiba ya Kenya.

RuwazaMamlaka inaayoongoza kwa kudhibiti Kilimo

LengoKuendeleza na kukuza mazao kupitia kanuni bora ili kuendeleza uchumi.

Maadili Ya Msingi• Kuzingatia matarajio ya wateja • Ushirikiano• Uaminifu• Uvumbuzi• Ustadi

2. IDARA

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni mrithi wa mashirika yaliyokuwa kabla ya kutekelezwa kwa Sheria ya AFA 2013 na Sheria ya Mazao ya 2013. Mashirika hayo sasa yanahudumu chini ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kama Kurugenzi zifuatazo:

3. MAJUKUMU MAKUU

Majukumu ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni:

a) Kusimamia Sheria ya AFA na Sheria ya Mazao kwa mujibu wa masharti ya Sheria hizo;

b) Kukuza maadili bora na kudhibiti, uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa bidhaa za kilimo;

c) Kusanya na kuhifadhi takwimu za bidhaa za kilimo;d) Kuamua vipaumbele vya utafiti katika kilimo;e) Kushauri serikali ya kitaifa na serikali za gatuzi juu kuhusu

kilimo kwa madhumuni ya mipangilio sawa, kuimarisha usawa na utulivu katika sekta hiyo.

4. WATEJA/WADAU WETU

Mamlaka hii hutoa huduma kwa wadau wa kilimo kama vile:

a) Wakulima binafsi, Mashirika ya wakulima na Mashirika;b) Wasafirishaji wa mazao na bidhaa za kilimo c) Wasindikajid) Wauzaji wa mazao na bidhaa za kilimo e) Wauzaji nje / Waagizaji

f) Wauzaji wa bidhaa na hudumag) Taasisi za Fedhah) Mashirika i) Vyuo vikuu, Vyuo vya juu na utafiti na taasisi zinazohusiana na

mafunzoj) Wizara ya Serikali na Idarak) Makampuni ya Serikalil) Serikali za Kauntim) Sekta ya Binafsin) Umma kwa jumla

5. HAKI ZA WATEJA/WADAU

Wateja wetu wana haki ya:

a) Kuhudumiwa kwa heshima na hadhib) Kupokea majibu ya papo kwa hapoc) Usiri na faraghad) Kupokea taarifa e) Huduma na bidhaa boraf) Mazingira mwafakag) Mawasiliano bora

6. WAJIBU WA WATEJA/WADAU

Ili kukuhudumia bora na kuhakikisha ushirikiano wetu na wateja unafana, wateja wetu wanahitajiwa kutimiza yafuatayo:

a) Kuonesha heshima na nidhamu ;b) Kutoa taarifa muhimu;c) Kutoa habari, maelezo, taarifa kuhusiana na huduma zetu;d) Kuzingatia sheria, taratibu na sera;e) Kuzingatia uadilifu; f) Kuwa tayari kupokea mbinu za kisasa na ubunifu katika sekta

ya kilimo.

7. WAJIBU NA MAJUKUMU YETU

Mamlaka inalenga kutimiza yafuatayo:

a) Kuboresha mara kwa mara ujuzi, elimu, tajriba kwa wafanyikazi wetu ili kutoa huduma bora zaidi;

b) Utoaji wa huduma bora kwa wakati ufaao kwa wateja wetu; c) Kuwa mstari wa mbele katika kuwawajibikia wateja wetu;d) Kutojihusisha kamwe na ufisadi;e) Kutenda majukumu kwa mujibu wa sheria;f) Kuweka siri taarifa na kuzingatia ufaragha wa mteja; g) Kusuluhisa mizozo kwa haki bila mapendeleo;h) Kutoegemea upande wowote katika utoaji wa maamuzi 8. MAADILI YA KITAIFA NA MISINGI YA USIMAMIZI

Kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya 2010, tunazingatia maadili ya kitaifa na kanuni za utawala ambao hujumuisha viungo vyote vya Serikali, maafisa wa Serikali, maafisa wa umma na watu wote. Maadili haya ya kitaifa na kanuni za utawala ni pamoja na:

a) Uzalendo, umoja wa kitaifa, ugatuzi, utawala wa sheria, demokrasia na ushiriki wa watu;

b) Utu wa kibinadamu, usawa, haki ya kijamii, ushirikishwaji, haki za binadamu, kutobagua na ulinzi wa wa wapembeni;

c) Utawala bora, uaminifu, uwazi na uwajibikaji; nad) Maendeleo ya kudumu

Katika tukio yoyote kwamba maadili haya na kanuni zimevunjawa wakati wa utoaji wa huduma zetu, piga ripoti kwa njia zilizoorod-heshwa katika mkataba huu.

9. SULUHU ZA MALALAMISHI

Inapohitajika hatutomfichua mlalamishi ili kutunza haki za wate-ja/wadau na pia watoaji wa huduma. Hata hivyo, walalamishi wanashauriwa kujitambulisha ili kurahisisha kuhudumiwa na pia kufuatilia malalamishi yao.

Mamlaka itatoa ithibati ya kupokea lalama katika muda wa siku saba, na kisha kutathmini na kuyashughulikia malalamishi hayo kwa mujibu wa sheria.

10. TATHMINI YA MKATABA WA HUDUMA

Ili kuwaridhisha vema wadau wetu, mkataba huu wa huduma utakuwa ukifanyiwa marekebisho ipasavyo. Tathmini hii itafan-yika kwa kuzingatia mapendekezo na maoni ya wateja mbali na mada ibuka.

11. UCHUNGUZI WA UTENDA KAZI

Mamlaka itahakikisha kuwa huduma za mkataba zinazingatiwa kikamilifu kupitia kwa tathmini, tafiti na hojaji za mara kwa mara za wateja wetu. Aidha, kutakuwa na tathmini za utenda kazi na kuwasilisha ripoti za mara kwa mara kupitia kwa machapisho.

12. MAONI

Kwa maoni, pongezi, malalamishi au mahitaji ya habari tafadhali tumia nambari zifuatazo: +254734600944 au 020-2536869/86 au wasiliana na afisi yetu:

Mkurugenzi MkuuMamlaka Kilimo na Chakula,Tea House, Naivasha Rd, Off Ngong Rd,S.L.P 37962-00100, NAIROBI, KENYAwww.afa.go.ke

Waweza pia kuwasiliana nasi kwa kutoa maoni katika vijisanduku maalum vilivyoko katika afisi zetu au kupitia kwa mtandao wetu.

14. VITUO VYA HUDUMA NA ANWANI

Pongezi, malalamishi na maoni ya kuboresha utoaji wa huduma yaelekezwe kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) na ofisi za AFA kama ifuatavyo:

1. Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) Tea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Tovuti: www.afa.go.keBarua Pepe: [email protected]

2. Ukurugenzi Wa chaiTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P Box 20064 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556 | (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

3. Ukurugenzi Wa Mimea Ya ChakulaTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

4. Ukurugenzi Wa Miraa Na ParetoTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa Sukari Sukari Plaza, Upper Kabete, ` Off Waiyaki way, Nairobi, Kenya S.L.P 51500 - 00200 Simu: +254 20 801 8750 - 3 Rununu: +254 722-203127/ 8, 733-333378/ 9 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa KahawaCoffee Plaza Building, 10th FloorHaile Selassie AvenueS.L.P 30566 - 00100, NAIROBI, KENYASimu: +254 20 3342717Rununu: +254 710 670 026, 0788109426Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

6. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Mboga, Matunda Na MauaAirport Road Opposite J.K.I.AS.L.P 42601 - 00100, NAIROBISimu:+254 20 2088469/3597362/3597356/2131560Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

7. Ukurugenzi Wa Mimea Ya NyuziWest Riverside Lane, off Riverside DriveS.L.P 66271—00800Westlands, NAIROBISimu: +254 20 2339829 +254 20 2339829/30Tovuti: www.afa.go.ke

8. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Njugu Na MafutaNSSF Building, 6th Floor Nkrumah Road S.L.P 84351-80100 MOMBASA.Simu: +254 41 2319617 Rununu: +254 702 217682 / +254 737 217682.Barua Pepe: [email protected]: www.afa.go.ke

Page 24: AGRICULTURE AND FOOD AUTHORITY

Nakala ya Septemba 2018

MAMLAKA YA KILIMONA CHAKULA

MKATABA WA HUDUMA

DIBAJI

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) inalo jukumu la kudhibiti, kuendeleza na kukuza mazao yaliyoorodheshwa. Kupitia vifungu vya Sheria ya AFA – (AFA Act 2013) na Sheria ya mazao (Crops Act 2013), sheria na kanuni zingine husika, na ushirikiano na taasisi nyingine za umma na binafsi, AFA inaendelea kuwezesha sekta hiyo katika mazingira ya Ujumbe wake, Maono, Maadili ya msingi na kuweka viwango vya utoaji wa huduma.

Uaminifu wetu wa huduma bora unazingatia utawala wa sheria, utaalamu, uaminifu, uwajibikaji, ushirikiano, matarajio ya wateja, ufanisi, kutopendela, ushiriki wa umma, heshima ya utu na haki za binadamu, usawa, haki ya kijamii, bila ubaguzi na ulinzi wa walipembezoni.

Mkataba huu wa huduma ni ahadi ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kutoa huduma bora kwa wateja wetu, washirika na umma kwa jumla. Tunatarajia maoni yako ili kutuwezesha kuen-delea kuboresha huduma zetu.

Mkataba huu wa huduma pia unaambatana na Katiba ya Kenya 2010, Sheria ya AFA (Sheria ya 13 ya 2013), Sheria ya Mazao (She-ria ya 16 ya 2013) na Vision 2030.

MKURUGENZI MKUU

1. UTANGULIZI

Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) ni shirika la serikali chini ya kifungu nambari 3, 2013 cha Sheria ya Mamlaka ya Kilimo na Chakula ya mwaka 2013. Jukumu la Mamlaka ni Kudhibiti, Kuen-deleza na Kukuza Mazao yaliyoorodeshwa ili kuendeleza uchumi wa nchi.

Sheria hii imeimarisha sheria za kudhibiti na uendelezaji wa kilimo na hubainisha majukumu ya serikali za kitaifa na za Kaunti katika kilimo na masuala yanayohusiana, kulingana na masharti ya ratiba ya nne ya Katiba ya Kenya.

RuwazaMamlaka inaayoongoza kwa kudhibiti Kilimo

LengoKuendeleza na kukuza mazao kupitia kanuni bora ili kuendeleza uchumi.

Maadili Ya Msingi• Kuzingatia matarajio ya wateja • Ushirikiano• Uaminifu• Uvumbuzi• Ustadi

2. IDARA

Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni mrithi wa mashirika yaliyokuwa kabla ya kutekelezwa kwa Sheria ya AFA 2013 na Sheria ya Mazao ya 2013. Mashirika hayo sasa yanahudumu chini ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) kama Kurugenzi zifuatazo:

3. MAJUKUMU MAKUU

Majukumu ya Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula ni:

a) Kusimamia Sheria ya AFA na Sheria ya Mazao kwa mujibu wa masharti ya Sheria hizo;

b) Kukuza maadili bora na kudhibiti, uzalishaji, usindikaji na uuzaji wa bidhaa za kilimo;

c) Kusanya na kuhifadhi takwimu za bidhaa za kilimo;d) Kuamua vipaumbele vya utafiti katika kilimo;e) Kushauri serikali ya kitaifa na serikali za gatuzi juu kuhusu

kilimo kwa madhumuni ya mipangilio sawa, kuimarisha usawa na utulivu katika sekta hiyo.

4. WATEJA/WADAU WETU

Mamlaka hii hutoa huduma kwa wadau wa kilimo kama vile:

a) Wakulima binafsi, Mashirika ya wakulima na Mashirika;b) Wasafirishaji wa mazao na bidhaa za kilimo c) Wasindikajid) Wauzaji wa mazao na bidhaa za kilimo e) Wauzaji nje / Waagizaji

f) Wauzaji wa bidhaa na hudumag) Taasisi za Fedhah) Mashirika i) Vyuo vikuu, Vyuo vya juu na utafiti na taasisi zinazohusiana na

mafunzoj) Wizara ya Serikali na Idarak) Makampuni ya Serikalil) Serikali za Kauntim) Sekta ya Binafsin) Umma kwa jumla

5. HAKI ZA WATEJA/WADAU

Wateja wetu wana haki ya:

a) Kuhudumiwa kwa heshima na hadhib) Kupokea majibu ya papo kwa hapoc) Usiri na faraghad) Kupokea taarifa e) Huduma na bidhaa boraf) Mazingira mwafakag) Mawasiliano bora

6. WAJIBU WA WATEJA/WADAU

Ili kukuhudumia bora na kuhakikisha ushirikiano wetu na wateja unafana, wateja wetu wanahitajiwa kutimiza yafuatayo:

a) Kuonesha heshima na nidhamu ;b) Kutoa taarifa muhimu;c) Kutoa habari, maelezo, taarifa kuhusiana na huduma zetu;d) Kuzingatia sheria, taratibu na sera;e) Kuzingatia uadilifu; f) Kuwa tayari kupokea mbinu za kisasa na ubunifu katika sekta

ya kilimo.

7. WAJIBU NA MAJUKUMU YETU

Mamlaka inalenga kutimiza yafuatayo:

a) Kuboresha mara kwa mara ujuzi, elimu, tajriba kwa wafanyikazi wetu ili kutoa huduma bora zaidi;

b) Utoaji wa huduma bora kwa wakati ufaao kwa wateja wetu; c) Kuwa mstari wa mbele katika kuwawajibikia wateja wetu;d) Kutojihusisha kamwe na ufisadi;e) Kutenda majukumu kwa mujibu wa sheria;f) Kuweka siri taarifa na kuzingatia ufaragha wa mteja; g) Kusuluhisa mizozo kwa haki bila mapendeleo;h) Kutoegemea upande wowote katika utoaji wa maamuzi 8. MAADILI YA KITAIFA NA MISINGI YA USIMAMIZI

Kwa mujibu wa Ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya 2010, tunazingatia maadili ya kitaifa na kanuni za utawala ambao hujumuisha viungo vyote vya Serikali, maafisa wa Serikali, maafisa wa umma na watu wote. Maadili haya ya kitaifa na kanuni za utawala ni pamoja na:

a) Uzalendo, umoja wa kitaifa, ugatuzi, utawala wa sheria, demokrasia na ushiriki wa watu;

b) Utu wa kibinadamu, usawa, haki ya kijamii, ushirikishwaji, haki za binadamu, kutobagua na ulinzi wa wa wapembeni;

c) Utawala bora, uaminifu, uwazi na uwajibikaji; nad) Maendeleo ya kudumu

Katika tukio yoyote kwamba maadili haya na kanuni zimevunjawa wakati wa utoaji wa huduma zetu, piga ripoti kwa njia zilizoorod-heshwa katika mkataba huu.

9. SULUHU ZA MALALAMISHI

Inapohitajika hatutomfichua mlalamishi ili kutunza haki za wate-ja/wadau na pia watoaji wa huduma. Hata hivyo, walalamishi wanashauriwa kujitambulisha ili kurahisisha kuhudumiwa na pia kufuatilia malalamishi yao.

Mamlaka itatoa ithibati ya kupokea lalama katika muda wa siku saba, na kisha kutathmini na kuyashughulikia malalamishi hayo kwa mujibu wa sheria.

10. TATHMINI YA MKATABA WA HUDUMA

Ili kuwaridhisha vema wadau wetu, mkataba huu wa huduma utakuwa ukifanyiwa marekebisho ipasavyo. Tathmini hii itafan-yika kwa kuzingatia mapendekezo na maoni ya wateja mbali na mada ibuka.

11. UCHUNGUZI WA UTENDA KAZI

Mamlaka itahakikisha kuwa huduma za mkataba zinazingatiwa kikamilifu kupitia kwa tathmini, tafiti na hojaji za mara kwa mara za wateja wetu. Aidha, kutakuwa na tathmini za utenda kazi na kuwasilisha ripoti za mara kwa mara kupitia kwa machapisho.

12. MAONI

Kwa maoni, pongezi, malalamishi au mahitaji ya habari tafadhali tumia nambari zifuatazo: +254734600944 au 020-2536869/86 au wasiliana na afisi yetu:

Mkurugenzi MkuuMamlaka Kilimo na Chakula,Tea House, Naivasha Rd, Off Ngong Rd,S.L.P 37962-00100, NAIROBI, KENYAwww.afa.go.ke

Waweza pia kuwasiliana nasi kwa kutoa maoni katika vijisanduku maalum vilivyoko katika afisi zetu au kupitia kwa mtandao wetu.

14. VITUO VYA HUDUMA NA ANWANI

Pongezi, malalamishi na maoni ya kuboresha utoaji wa huduma yaelekezwe kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) na ofisi za AFA kama ifuatavyo:

1. Mamlaka Ya Kilimo Na Chakula (AFA) Tea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadP.O. Box 37962 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Tovuti: www.afa.go.keBarua Pepe: [email protected]

2. Ukurugenzi Wa chaiTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P Box 20064 - 00200 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556 | (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

3. Ukurugenzi Wa Mimea Ya ChakulaTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

4. Ukurugenzi Wa Miraa Na ParetoTea House | Naivasha Road, Off Ngong RoadS.L.P 37962 - 00100 NAIROBISimu: (+254 - 20) 2536869/86 Rununu: (+254)722-200556; (+254)734-600944Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa Sukari Sukari Plaza, Upper Kabete, ` Off Waiyaki way, Nairobi, Kenya S.L.P 51500 - 00200 Simu: +254 20 801 8750 - 3 Rununu: +254 722-203127/ 8, 733-333378/ 9 Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

5. Ukurugenzi Wa KahawaCoffee Plaza Building, 10th FloorHaile Selassie AvenueS.L.P 30566 - 00100, NAIROBI, KENYASimu: +254 20 3342717Rununu: +254 710 670 026, 0788109426Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

6. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Mboga, Matunda Na MauaAirport Road Opposite J.K.I.AS.L.P 42601 - 00100, NAIROBISimu:+254 20 2088469/3597362/3597356/2131560Barua Pepe: [email protected] Tovuti: www.afa.go.ke

7. Ukurugenzi Wa Mimea Ya NyuziWest Riverside Lane, off Riverside DriveS.L.P 66271—00800Westlands, NAIROBISimu: +254 20 2339829 +254 20 2339829/30Tovuti: www.afa.go.ke

8. Ukurugenzi Wa Mimea Ya Njugu Na MafutaNSSF Building, 6th Floor Nkrumah Road S.L.P 84351-80100 MOMBASA.Simu: +254 41 2319617 Rununu: +254 702 217682 / +254 737 217682.Barua Pepe: [email protected]: www.afa.go.ke