annuur 1170

20
ISSN 0856 - 3861 Na. 1170 JAMADIUL AKHER 1436, IJUMAA , MACHI 27-APRILI 2, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu facebook: [email protected] AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST Hofu ya kuibuka ‘Janjaweed’ Zanzibar yatanda Ni baada ya Ofisi za CUF kuchomwa moto Mzee Moyo asema Wazanzibar hawatakubali Maalim: CUF haitafukua makaburi kulipa kisasi Ugaidi: Mpango wa kuuwa Waislamu Unatumika pia kuchafua Uislamu, kupora mali Jeremy Morlock, Mkufunzi wa kijeshi wa Marekani. (4) JEE, UMESHAMZURU MTUME WAKO? Mtume(saw) amesema, “Mwenye kuja kunizuru baada ya mauti yangu ni kama aliyenizuru wakati wa uhai wangu”. Neema iliyoje kumzuru Mtume(saw)! Uko wapi ushahidi wa mapenzi yako kama hujamzuru Mtume wako? Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437. MASHEIKH wanne wamefungua shauri Mahakama Kuu juzi Jumatano, kupinga mpango wa serikali Mahakama ya Kadhi: Masheikh wafungua kesi Mahakama Kuu Na Mwandishi Wetu kupitia hoja ya Mahakama ya Kadhi kuipa BAKWATA uwezo rasmi kisheria kusimamia mambo ya Waislamu. Masheikh hao Rajabu Katimba, Juma Ramadhani, Ramadhani Lwambo na Fadhili Chambo, wamefungua shauri hilo namba 17 la 2015 dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, anayeiwakilisha Inaendelea Uk.12 MAALIM Seif alipotembelea ofisi ya CUF iliyochomwa moto Dimani.

Upload: zanzibariyetu

Post on 07-Feb-2016

1.169 views

Category:

Documents


0 download

TRANSCRIPT

Page 1: ANNUUR 1170

ISSN 0856 - 3861 Na. 1170 JAMADIUL AKHER 1436, IJUMAA , MACHI 27-APRILI 2, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamufacebook: [email protected]

AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST

Hofu ya kuibuka ‘Janjaweed’ Zanzibar yatandaNi baada ya Ofisi za CUF kuchomwa motoMzee Moyo asema Wazanzibar hawatakubaliMaalim: CUF haitafukua makaburi kulipa kisasi

Ugaidi: Mpango wa kuuwa Waislamu

Unatumika pia kuchafua Uislamu, kupora mali

Jeremy Morlock, Mkufunzi wa kijeshi wa Marekani.

(4) JEE, UMESHAMZURU MTUME WAKO?Mtume(saw) amesema, “Mwenye kuja kunizuru baada ya mauti yangu ni kama aliyenizuru wakati wa uhai wangu”. Neema iliyoje kumzuru Mtume(saw)! Uko wapi ushahidi wa mapenzi yako kama hujamzuru Mtume wako? Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437.

M A S H E I K H w a n n e wa m e f u n g u a s h a u r i Mahakama Kuu juzi J u m a t a n o , k u p i n g a m p a n g o wa s e r i k a l i

Mahakama ya Kadhi:Masheikh wafungua kesi Mahakama Kuu

Na Mwandishi Wetu kupitia hoja ya Mahakama ya Kadhi kuipa BAKWATA uwezo rasmi kisheria kusimamia mambo ya Waislamu.

Masheikh hao Rajabu Katimba, Juma Ramadhani,

R a m a d h a n i L wa m b o n a F a d h i l i C h a m b o , wamefungua shauri hilo namba 17 la 2015 dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, anayeiwakilisha

Inaendelea Uk.12

MAALIM Seif alipotembelea ofisi ya CUF iliyochomwa moto Dimani.

Page 2: ANNUUR 1170

2 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri

KATIKA mchezo wa soka yaani mpira wa miguu, timu mbili ndizo zinazopambana uwanjani. Kila timu inakuwa na wachezaji kumi na moja, wote wakiwania kudhibiti mpira mmoja uwanjani.

Hii ina maana kwamba wachezaji 22 wa timu mbili uwanjani wanagombania mpira mmoja, kila upande ukita kuupiga barabara mpira huo na kufunga magoli iwezekavyo ili kupata ushindi.

Tumelazimika kutoa mfano huo wa mpira wa soka, ikiwa ni kujaribu kuoanisha namna jamii ya Waislamu inavyochezewa n a wa n a s i a s a k a t i k a mambo yao ya msingi na ya kiibada, hasa kila unapokaribia uchaguzi mkuu hapa nchini.

Uzoefu wa miaka mingi unaonyesha kwamba, jamii ya Waislamu nchini imekuwa ni mtaji rahisi wa kura kwa wanasiasa, hususan kila kinapokaribia kipindi cha uchaguzi Mkuu.

N a s a b a b u k u b wa ya kufanywa mtaji na wanaowania mamlaka, h a s a w a l e w a l i o p o m a d a r a k a n i a m b a o wanatamani kuendelea kubakia katika madaraka hayo ni matatizo yao.

K w a m u d a m r e f u Waislamu wamekuwa na matatizo mengi ambayo yanahitaj i utatuzi wa serikali, lakini kwa kipindi chote hicho yameendelea kubaki kama yalivyo bila ufumbuzi kwa awamu zote nne za uongozi zilizoingia madarakani.

I t a k u m b u k wa h a t a katika awamu ya tatu ya Uongozi wa Rais mstaafu Benjamin Mkapa, baada ya Masheikh kumpelekea shida zao na kuhitaji utatuzi wa serikali yake, muda ulikwenda na hatimaye akaja na jibu kwamba matatizio ya Waislamu hayatatuliki kwa sababu ni ya kihistoria.

Pamoja na matatizo hayo kuendelea kuachwa b i l a k u s h u g h u l i k i wa au kupatiwa ufumbuzi, wanasiasa kwa upande wao wameendelea kuyatumia kama mtaji muhimu kwao

Waislamu sio mpira wa sokakatika kushawishi umma wa Kiislamu kujenga imani na kuwa na matumaini kwao kwamba watayapatia ufumbuzi.

Kwa mtazamo wetu, ushawish i huu mara nyingi hujitokeza kila unapokaribia Uchaguzi Mkuu, au kukihitajika Waislamu katika zoezi lolote la kiserikali.

Lakini uchaguzi au zoezi l ikipita, wakuu w a k i s h a p a t a k i l e w a l i c h o k i h i t a j i a u wakitimiza malengo yao, Waislamu wanaendelea kubaki na matatizo yao, hata wakijaribu kukumbusha a h a d i w a l i z o k u w a wakipewa, huishia kupata majibu ya dhihaka, kejeli, hadaa, kudharauliwa na kupuuzwa.

Suala la Mahakama ya Kadhi ni moja ya ahadi zilizowahi kutolewa miaka kumi na tano iliyopita. Tunakumbuka ilifika hata ahadi hiyo ikaingizwa kwenye Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya 2005, Wa i s l a m u wa k a p a t a matumaini makubwa.

Leo ni miaka kumi tangu ahadi iingizwe kwenye ilani ya CCM, mahakama ya Kadhi haijakuwepo na malumbano yanaendelea.

K i p i n d i h i k i tunashuhudia suala hili likipamba moto zaidi ikiwa ni takribani bado miezi sita tu iliyosalia kuingia katika uchaguzi mkuu. Katika kipindi hiki tunashuhudia suala la Mahakama ya Kadhi l ik ishika kas i . Ta y a r i k u n a t a a r i f a kwamba hoja inapelekwa Bungeni . Wakat i huo huo tayari tunashuhudia harakati zikianza. Wapo ambao wameshatangaza nia ya kugombea, wapo wanaoshawishi umma k u w a k u b a l i , w a p o wanaoanza kuchafuana nk.

Wanaopinga kurejeshwa c h o m b o h i c h o k w a W a i s l a m u n a o p i a wamepamba moto.

U jumla wa mambo ni kwamba, wanasiasa w a n a j a r i b u t e n a kutumia utaratibu wao waliouzoea wa kuendelea kuwashawishi Waislamu,

waendelee kujenga imani kwao kwamba wanaguswa na matatizo yao ili wawe mtaji wao wa kura, japo k wa ya k i n i wa n a j u a hawatayatekeleza wanayo ahidi zaidi ya kuendelea kuwageuza Waislamu mpira wa soka, waupige watakavyo, waendelee kutumia matatizo yao kama silaha ya kuwachezea kila unapokaribia uchaguzi.

Ufike wakati jamii ya Waislamu nchini itambue kwamba wakati ukuta. Muda ni muhimu sana kwao kuliko kuendelea kubaki na matumaini yasiyotarajiwa kutimia.

Watambue kwamba wanachezewa kama mpira wa soka ambao wanaofaidi n i wacheza j i . Wakat i wanawaza kutatuliwa matatizo yao huku miaka ikizidi kuyoyoma bila kupata matokeo chanya ya kile walichoahidiwa, wanaowaahidi wanawaza kupata madaraka na wanayapata kwa wakati muafaka na kutupilia mbali utekelezaji wa kile walichoahidi.

Tuseme tu kwamba umefika wakati wa kuamka na kujitambua. Masheikh wetu wawajuze waumini w a o . Wa n a o k u j a n a ahadi, kwanza waulizwe wametekeleza vipi zile walizozitoa miaka iliyopita.

Hakuna lenye mwanzo likakosa mwisho.

Ilani hizi zinakusudia nini?

Wiki hii Ubalozi wa Marekani nchini Uganda umetoa tahadhari kuwa kuna uwezekano mkubwa k wa j i j i l a K a m p a l a kushambuliwa na magaidi. Na ikataja kuwa maeneo yenye uwezekano mkubwa wa kushambuliwa ni yale ambayo hutembelewa sana na watu kutoka Ulaya na hasa Marekani. Kwa hiyo Ubalozi huo ukawaonya raia wake walio Uganda kuwa makini na kujizuiya kwenda katika maeneo waliyokuwa wamezoea kwenda kama hoteli.

Hata hivyo, pamoja na kusema kuwa shambulio hilo laweza kufanyika punde tu (that an attack may take place soon), ilani hiyo haikusema lini na mahali gani hasa.

Yapo maswali mengi ya kujiuliza katika Ilani hizi za Marekani za mara kwa mara. Moja, kwa

nini waseme kuwa wenye hatari ya kushambuliwa n i Wazungu na hasa Wa m a r e k a n i . K wa n i wamewakosea nini hao wa n a o wa i t a m a g a i d i mpaka wawe shabaha zao za mara kwa mara? Tujiulize na wao wajiulize.

Lilipotokea shambulio la Septemba 11, ilikujasemwa kuwa makachero walikuwa na taarifa za ki-intelijensia kuwa shambulio hi lo litatokea. Lakini hata kwa lile la Julai 7, London ilikuwa hivyo hivyo hali iliyosababisha Netanyahu kuahirisha ratiba yake ya siku na kubakia hotelini. Kuwepo kwa taatrifa hizo za kikachero hakukuzuiya kufanyika kwa shambulio hilo.

U k i j u a k u wa k u n a mipango ya kushambulia, h a p a n a s h a k a h a t a mshambuliaji utakuwa na taarifa zake. Tena k a m a l a L o n d o n , mpaka siku ilijulikana. Kwa nini watuhumiwa h a w a k u k a m a t w a w a k a a c h w a m p a k a wakatekeleza mipango yao?

Wa k a t i A l j a z e e r a walipotoa maelezo jinsi askari wa kupambana na ugaidi wa Kenya (ATPU) wanavyouwa wanaodai kuwa ni watuhumiwa wa ugaidi, waliambatanisha na zilizoitwa taarifa za k i k a c h e r o a m b a p o inaelezwa kuwa magadi kadhaa kutoka Somalia wameingia Kenya na k u g a wa n y i k a k a t i k a vikundi viwili, kimoja kikienda sehemu fulani na kingine mahali pengine.

M t u u n a j i u l i z a , inakuwaje kuwa na taarifa za kina kama hizi lakini wahusika wasikamatwe? Unawezaje kujua kuwa wameingia magaidi 20 Kenya kutoka Somalia, labda 11 wamekwenda Mombasa na 9 wameelekea Nairobi, halafu watu hao wasikamatwe!

Kwa mujibu wa majalada yaliyofichuliwa katika ile taarifa ya hivi karibuni ya Aljazeera, taarifa kama zi ndio askari na vyombo vya usalama vya Kenya vinavyofanyia kazi. Lakini kazi yenyewe ni kuuwa raia na wananchi wenzao wa Kenya. Hutas ik ia wamekamata watu hao kutoka Somalia wakiwemo wale waliodaiwa kuvamia We s t g a t e S h o p p i n g Mall Nairobi au wale waliodaiwa kuuwa abiria Wakristo kule Mandera.

K a t i k a u c h a m b u z i

wa k e j u u ya v i t i s h o kama hivi, mwandishi na mchambuzi wa mambo ya usalama Bruce Schneier aliwahi kuandika kuwa ili kujihakikishia kuwa anachaguliwa kipindi cha Pili, George W Bush alifanya kitisho cha ugaidi ndio turufu yake. Ikafanyika kampeni ya kutisha watu n a m a s h a m b u l i z i ya kigaidi na yeye kujitokeza kama shujaa anayeweza kuwahakikishia usalama w a o W a m a r e k a n i waliotishika na ugaidi.

Ni kutokana na hali kama hiyo tunajiuliza, ni biashara gani inatafutwa katika kukariri vitisho hivi vya mashambulizi ya ugaidi Kampala wakati huu?

Mambo mawili ni wazi. La kwanza ni kuwa kwa serikali ya Marekani kuwa ya mbele kila siku kutoa I lani na tahadhari ya mashambulizi ya ugaidi, inajisajili katika akili zetu kuwa ndiyo kiranja na kachero pekee mwenye uwezo wa kutambua magaidi na mipango yao, kwa hiyo tumtambue hivyo na kumpa heshma na haki yake kwa kuhakikisha k u wa a n a i n g i a h a d i chumbani (bed room) na darini kwetu kutusaidia kupambana na magaidi.

Lakini kama ni hivyo, kwamba anaweza kujua kuwa magaidi hivi sasa wamepanga kushambulia Kampala, basi namna bora ya kutusaidia ni kutumia umahiri wake h u o k u wa z u i ya h a o magaidi wasitushambulie. Lakini inavyoonekana h i lo hafanyi . Anatoa Ilani, hazuii, ila likitokea anatwambia, tulisema. Sasa ‘tulisema’, inatusaidia nini wakati tumeshaumizwa!

La pili lililo wazi katika mchezo huu ni kuwa kinachotakiwa hapa ni kudumisha kitisho cha ugaidi . Kila kukipoa, kinakolezwa kama mtu anayechochea na kuongeza kuni moto usizimike.

Ni kweli tunahitaji sana usaidizi wa kukabiliana na hatari yoyote inayotukabili, lakini usaidizi wenyewe kama utakuwa wa kutoa Ilani na kupewa taarifa kama zile za Kenya na Al-Shabab, lakini Al-Shabab hawa, kila wakishambulia h u t e l e z a n a k u r e j e a salama Mogadishu, halafu tunabaki tukikamata, kutesa na hata kuuwa watu wetu, hatudhani kuwa Ilani kama hizo zitakuwa na maana kwetu zaidi ya hasara.

Page 3: ANNUUR 1170

3 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015Habari

SIKU zikizidi kuyoyoma kuelekea uchaguzi m k u u , w a s i w a s i umeanza kuwakumba wananchi wa Visiwani wakihofia kuibuka kwa vitendo vya ‘Janjaweed’ na ‘Melody’ za zama za Komandoo.

W a s i w a s i h u o umeibuka muda lakini umepata nguvu zaidi b a a d a ya t u k i o l a kuchomwa moto ofisi ya CUF kule Dimani.

Ofisi hiyo ilichomwa m o t o n a w a t u wasiojulikana mapema wiki hii ambapo katika k a u l i ya k e M a a l i m Sei f Shar i f f Hamad amewataka wafuasi wa CUF kutokuchukua hatua za kulipa kisasi.

H a y o y a k i j i r i , Mzee Hassan Nassor M o y o a m e s e m a k u wa Wa z a n z i b a r i hawatakubali kuona nchi yao ikirejeshwa katika hali ya chuki, uhasama na vurugu iliyokuwepo kabla ya kuja Serikali ya Umoja wa Kitaifa.

M z e e M o y o amesisitiza kuwa Kamati ya Maridhiano pamoja na wananchi wote wa Zanzibar hawawezi kukubali kuiona Zanzibar iliyotulia inaingizwa katika matatizo mengine ya mifarakano.

A k i o n g e a k a t i k a mkutano wa wazee wa CUF kama mualikwa akiwa mzee na kada wa CCM, Mwenyekiti huyo wa Kamati ya Maridhiano, a m e w a t u h u m u viongozi aliosema kuwa wanatamani Serikali ya Umoja wa Kitaifa iondoke, kuwa hawana lolote la maana kwa Zanzibar ila wanapigania maslahi yao binafsi tu.

M z e e M o y o aliwasifu Rais Mstaafu Mheshimiwa Amani Karume na Maal im Seif, aliye Makamu wa Kwanza wa Rais kwamba wamefanya kazi kubwa kutuliza hali ya kisiasa na kijamii Zanzibar na kuwale ta wananchi

Hofu ya kuibuka ‘Janjaweed’ Zanzibar yatandaNa Mwandishi Wetu pamoja.

Kwa maana hiyo , i t a k u wa n i u s a l i t i m k u b w a k w a viongozi hao shujaa, iwapo Wazanzibar i watawafumbia macho watu wanaojali matumbo yao tu, kuharibu hali njema iliyopo hivi sasa.

A m e s e m a , h u k o nyuma hali i l ikuwa mbaya, lakini hivi sasa Zanzibar ni njema.

Akasema, CCM, CUF na watu wengine pamoja na taasisi za kitaifa na kimataifa, zil i jaribu mara kadhaa kuleta m a r i d h i a n o , l a k i n i walikwama.

Maridhiano na amani ilipatikana baada ya Wazanzibari wenyewe w a k i s u k u m w a n a Uzanzibari wao, kukaa kitako na kujiuliza, ‘kuuwana huku mpaka lini?’, alisema Mzee Moyo katika mkutano huo kama nasaha kwa Wazanzibar, wasikubali kurejeshwa katika hali ya uhasama na vurugu i l i y o k u w e p o h u k o nyuma.

Mzee Hassan Nassor Moyo alisema Maalim Seif ni kiongozi jasiri mwenye azma ya dhati is iyotetereka katika kuhakikisha Zanzibar inabaki katika ulivu n a wa n a n c h i wa k e wanakuwa wamoja.

Akatoa mfano juu ya namna alivyotuliza hali tete iliyokuwepo wakati wa kutangazwa matokeo ya u c h a g u z i m k u u uliopita, kwa kukubali matokeo yaliyotangazwa n a T u m e h u k u akiwatuliza wafuasi wa CUF waliokuwa wamefura kwa hasira dhidi ya walichotuhumu kuwa ni hujuma za Tume ya Uchaguzi.

Wa k a t i h u o h u o , Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema CUF si chama cha visasi.

Akifafanua akasema kuwa, CCM pamoja n a wa n a n c h i w o t e

watafanya shughuli zao bila ya kubaguliwa wala kubughudhiwa, iwapo CUF itaingia Ikulu ya Zanzibar mwezi Oktoba mwaka huu.

Maalim Seif amesema h a y o a l i p o k u w a akizungumza na wazee wa chama hicho kutoka Wilaya sita za Unguja huko hoteli ya Bwawani Zanzibar, ambapo pia Mwenyekiti wa Kamati ya Maridhiano, Mzee Hassan Nassor Moyo wa CCM alihudhuria.

Maalim Seif ambaye pia n i Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar alisema katika msamiati wake yeye binafsi neno ‘kisasi’ amelifuta kabisa, na amewataka wana CUF wenye mawazo kwamba chama hicho kikiingia Ikulu itakuwa zamu yao ya kutesa wasahau hilo.

“Tunataka tushike dola ili kila mtu apate haki zake zote, hakutakuwa n a u b a g u z i , C C M itafanya sughuli zake za kisiasa kwa haki, Polisi watatakiwa kusimamia haki na kuzingat ia maadili ya kazi zao”, alisema Maalim Seif.

A l i s e m a C U F kitaangalia mbele na w a l a h a k i t a f u k u a

makaburi, kitasimamia usawa hakutakuwa na ubaguzi katika ajira kwa misingi yoyote ile, na kila mmoja atatembea kifua mbele ili ajione ni Mzanzibari sawa na mwengine.

Alisema ni jukumu la wazee wa chama hicho kuwaongoza v i jana kat ika kuhakik isha CUF kinapata ushindi mkubwa si chini ya a s i l i m i a 7 5 k a t i k a uchaguzi mkuu ujao, kwa sababu chama hicho kwa sasa ndicho pekee tegemeo la Wazanzibari k a t i k a k u w a l e t e a ukombozi.

Katibu Mkuu huyo alisema kwa Wazanzibari mwaka 2015 s io tu wa uchaguzi bali ni m wa k a wa u a m u z i juu ya musatakabali wa Zanzibar, hivyo Wazanzibari wajipange wakipe chama hicho ushindi wa kihistoria ili kiweze kushika dola bila ya kikwazo chochote na kisimamie matarajio yao.

“ W a z e e w a n g u t u j i a n a d a e k u t wa a nchi, tuwaunganishe wananchi na wale wana CCM ambao hivi sasa wanaingia CUF kwa wingi , kuweni nao karibu muwape moyo

na wala msiwavunje moyo”, aliwahimiza.

A l i e l e z a k u w a wananchi wengi wa Z a n z i b a r h i v i s a s a w a m e k i e l e w a n a wanakikubali CUF, na hata katika yale maeneo ambayo kilikuwa na u p i n z a n i m k u b wa , kufikia hatua ya viongozi w a C U F k u p i g w a mawe na kuzomewa, hivi sasa viongozi hao wakipita wanalindwa na wananchi wa maeneo hayo.

W a k i z u n g u m z a katika mkutano huo waasisi wa chama hicho, Mzee Ali Haji Pandu n a M z e e M a c h a n o Khamis Ali wal i toa wito kwa wananchi wa Zanzibar kumpa nguvu na kuzidi kumuunga mkono Katibu Mkuu h u y o , M a a l i m S e i f katika kutetea hadhi na heshima ya Zanzibar.

“Tumepi ta ka t ika m a w i m b i m a z i t o hadi tumefika hapa, mwelekeo wetu sasa ni mzuri tumuunge mkono Katibu Mkuu aendelee k u t u o n g o z a k a t i k a kutetea haki na maslahi ya Zanzibar kwa maslahi ya vijana wetu na watu wetu”, alisema mzee Ali Haji Pandu.

MAALIM Seif alipotembelea ofisi ya CUF iliyochomwa moto Dimani.

Page 4: ANNUUR 1170

4 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015Makala

Z I P O h a r a k a t i z i n a z o f a n y w a n a makundi mbalimbali ya kutetea haki za binadamu, kutetea haki za kijinsia nk. ambazo zimesambaa katika nchi mbalimbali ulimwenguni kote, huku chimbuko lake likiwa ni katika nchi za Magharibi. Moja ya harakati hizo ni kampeni kabambe inayoitwa ya "kumkomboa m w a n a m k e " . Yameanzishwa mashirika, t a a s i s i , v y a m a n a mitandano makhsusi inayopewa fedha nyingi kutoka kwa wahisani kwa ajili ya kazi hiyo. Tunachojiuliza ni je, kuna uwezekano wa mwanamke kupitia mitandao hii atakombolewa? Au hiyo ni miradi tu ya watu kuvuna fedha na kujinufaisha, h u k u k u k i k o s e k a n a dhamira ya dhati ya kumkomboa mwanamke.

L a k i n i i l i i w e p o sababu ya kukombolewa m w a n a m k e , l a z i m a mtu aj iul ize maswali haya: Huyu mwanamke anakombolewa kutoka kwenye nini? Na chanzo cha mata t izo mpaka aingie kwenye dhana ya k u k o m b o l e wa n i nini. Mada hii hakika ni muhimu sana kwa wakati huu. Ni mada ambayo imekuwa ikijadiliwa na inayoendelea kujadiliwa n a wa t u m b a l i m b a l i d u n i a n i k o t e k w a mitazamo mbalimbali. Sehemu kubwa ya mjadala hasa kwa watu wenye mtazamo wa kimagharibi, p a m o j a n a k u g u s a baadhi ya maeneo, lakini wanamwona mwanamke anahitaji ukombozi zaidi katika sehemu kubwa mbili.

Kwanza wanamuona mwanamke wa Kiislamu kama ndicho k igezo cha mwanamke ambaye bado hajapata nuru ya ukombozi. Sababu ya pili ni kumzungumzia mwanamke dhid i ya m w a n a m m e . K w a mtazamo wao mwanamke wa Kiislamu bado hadi leo hii anakandamizwa na kile wanachokiita kuwa ni ‘mfumo dume’ ambao ni matokeo ya Uislamu. Wanauliza kwa nini leo hii Uislamu unawafanya wanawake "wabaki nyuma" na "wawe watumwa". Mtazamo huu wa watu

Ukombozi wa mwanamke katika UislamuNa Azza Ally Ahmed

wanaotii na wanawake wanaotii na wanaume wanaosema kweli na wanawake wanaosema k w e l i n a w a n a u m e wanaosubiri na wanawake wanaosubiri, na wanaume w a n a o n y e n y e k e a , n a w a n a w a k e w a n a o n y e n y e k e a , wanaume wanaotoa (zaka na sadaka) na wanawake w a n a o t o a ( z a k a n a sadaka) na wanaume wanaofunga na wanawake wanaofunga na wanaume wanaojihifadhi tupu zao na wanawake wanaojihifadhi tupu zao na wanaume wa n a o m t a j a M u n g u kwa wingi na wanawake wanaomtaja Mungu kwa wingi, Mwenyezi Mungu amewaandalia msamaha na ujira mkubwa.

H a d i t h z a M t u m e (s.a.w.) zikaelekeza daraja ya juu ambayo mwanamke wa Kiislamu amepewa. K a t i k a h a d i t h i h i z o mwanamke ni Malkia, malaika kheri tupu awe mama, mke au binti (mtoto wa kike).

Mtume amesema: "Pepo ziko chini ya miguu ya mama zenu".

Alipoulizwa siku moja: "Nani anastahali matunzo mazuri/shukrani kutoka kwangu. Mama yako, mama yako, mama yako, halafu baba yako, na baadaye ndugu zako wa karibu".

Hotuba ya kuaga (Arafa) 10 AH = C 7th, Mtume alisema, "Enyi watu, wake zenu wana haki juu yenu nyinyi mna haki juu yao. Wafanyieni wema na kuweni na huruma kwao, kwa sababu ni wenzi wenu na wasaidizi wenu".

Akasema pia: "Mbora zaidi miongoni mwenu ni yule aliye mwema zaidi kwa mkewe".

"Atakayejaaliwa watoto w a k i k e a k a w a l e a /kuwatunza vyema hadi akawapa waume, basi atafufuliwa bega kwa bega na mimi".

U i s l a m u u k a w e k a bayana haki za mwanamke katika Qur'an na Hadith. Haki ambazo mwanamke hakuzipata kabla ya Uislamu. Uislamu umempa mwanamke haki ya kupata elimu, kumiliki, kurithi na kuendesha shughuli zozote halali kumpatia kipato katika mipaka ya Allah, haki ya kuchangia/kutoa ridhaa kwa mume mtarajiwa, kudai talaka iwapo inabidi, kupewa mahari (zawadi yake toka kwa mume), kuolewa tena anapofiwa na mumewe, kufanya biashara, kumiliki mali, kuingia katika siasa na mengi mengineyo.

Pamoja na haki hizo Uislamu pia ukabainisha kwa Qur'an na Sunnah majukumu ya mwanamke katika jamii ya Kiislamu. M a j u k u m u h a y o yanayojumuisha kuwa mlezi wa familia/watoto, kumtii mumewe, kuwa chanzo cha utulivu katika nyumba yake na mumewe, kuwalea watoto katika maadili na kuhakikisha jamii nzima inafaidika kwa elimu yake, kujihifadhi na kutunza mali ya mumewe anapokuwa hayupo.

Tatizo tulilonalo ni kuwa, tunazungumzia moja katika mitazamo miwili tofauti na pia inayopingana. Wakati U i s l a m u n i m f u m o w a m a i s h a a m b a o unamweka Muumba na mfumo aliouletea juu ya kila jambo kwa mfano kuendesha maisha yote, usekula (secularism) ni kinyume chake. Usekula k w a k i f u p i k a m u s i mbalimbali zimeuelezea kama "kipinga dini".

U s e k u l a u n a p i n g a Mwenyezi Mungu au dini kuwa ndio usukani wa kila jambo. Tatizo linaloongezeka ni pale upande mmoja (kwa k u w a n a n g u v u z a ibilisi) umetumia mbinu mbalimbali kuudhalilisha mwingine. Usekula ambao ni fikra za Kimagharibi siku zote umechukulia Uislamu kuwa ni adui mkubwa.

wa Magharibi kwamba imani ya Kiislamu haimpi mwanamke uhuru na haki yake, umekuwa upotofu mkubwa na wala hawatoi mifano wala ushahidi wa hadithi wala kutoka kitabu cha Wais lamu, yaani Qur’an kuhusu nafasi ya mwanamke. Wenyewe wamekuwa wakipotosha bila kupata ufahamu wa dini yenyewe. Labda kwasababu ya kulinda maslahi ya agenda zao walizokusudia.

Hata hivyo, ni jambo lenye kutia moyo kuona kwamba Waislamu wengi, wanaelewa nafasi ya dini yao. Wengi hivi sasa wamepambanukiwa na ukweli kwamba Uislamu ni dini isiyoishia Msikitini tu, bali ni mfumo kamili wa maisha. Waislamu wameelewa kuwa masuala yote yanayohusu maisha yao yote yanahusu siasa (utawala), elimu, biashara, mahusiano katika jamii (nafasi ya mwanamke Vs mwanaume, mke Vs mume, mtoto Vs mzazi, jirani Vs ndugu na mengi mengineyo yaliyoelezwa katika Uislamu.

Histor ia inaonesha kuwa jamii nyingi duniani kwa wakati huo na hata baadhi ya jamii hivi sasa zimekuwa zikimdhalilisha mwanamke. Mwanamke siku zote alihesabika kuwa ni kiumbe duni, a s i y e s t a h i l i y o y o t e isipokuwa majukumu tu ya nyumbani kama v i l e k u p i k a , k u o s h a vyombo kulea watoto na kuhakikisha nyumba yake ipo salama pamoja na mali zilizopo hapo.

Uislamu umemletea nini mwanamke?

Uislamu umekuja kama baraka kwa mwanamke na nuru ya maisha yake tena mkombozi wake. Ni mfumo ambo umekuja k u m p a m w a n a m k e anavyostahili kwa kuweka bayana tangu chanzo/asili yake, maisha yake ya dunia (haki, majukumu) h a d i a k h e r a y a k e (malipo/adhabu) baada ya kifo. Qur'an inasema asili ya mwanamke na mwanamume ni moja.

Allah (s.w.) anasema: " E n y i wa t u ! M c h e n i M o l a w e n u a m b a y e amekuumbeni kat ika nafsi (asili) moja. Na akamuumba mkewe katika nafsi ile ile. Na akaeneza wa n a u m e w e n g i n a wanawake wengi kutoka katika wawili hao". 4:1.

Na 49:13: "Enyi watu! Kwa hakika nimekuumbeni nyote kutokana na yule m w a n a u m e m m o j a (Adam) na yule yule m w a n a m k e m m o j a (Hawa)..."

Wa f a n y a j i m e m a , wanaume au wanawake, hali ya kuwa ni Waislamu, tutawahusisha maisha mema, na tutawapa ujira wao (akhera) mkubwa kabisa kwa sababu ya yale mema waliyokuwa wakiyatenda". 16:97.

P i a k a t i k a Q u r ' a n 3 3 : 3 5 A l l a h ( s . w . ) anatuambia kuwa: "Bila shaka wanaume wenye kufuata vizuri nguzo za Uislamu, na wanawake wanaozifuata vizuri nguzo za Uislamu na wanaume wanaoamini vizuri nguzo za imani, na wanawake wanaoamini vizuri nguzo za imani, na wanaume

Page 5: ANNUUR 1170

5 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015Makala ya Mtangazaji

S H A R M E L - S H E I K H , ( WA FA) – P r e s i d e n t M a h m o u d A b b a s i s scheduled to arrive in Sharm El-Sheikh’s city of Egypt on Friday to take part in the Arab League summit’s 26th regular session, chaired by Egypt ‘s president Abdel Fattah el-Sisi.

Palestine’s Ambassador to Egypt and Palestinian Author i ty ’ s permanent representative to the Arab L e a g u e J a m a l S h o b a k i told WAFA that Abbas’ participation in this session has a great importance in light of the challenges and risks facing the Palestinian cause.

Shobaki said that Abbas is due to meet with Arab leaders and officials on the sidelines of the summit and brief them on the latest developments in the Palestinian Territories and the peace talks.

Abbas to Arrive in Sharm el-Sheikh to Attend Arab League Summit

RAMALLAH, (WAFA) – President Mahmoud Abbas Wednesday expressed his utmost sorrow for the victims of the German plane crash in the French Alps, which killed all 150 passengers on board on Tuesday.

According to the Guardian website, Germanwings A320 aircraft flying from Barcelona to Düsseldorf went down in southern French Alps on Tuesday, killing all 150 passengers and crew on board.

The passengers included Germans, Spaniards, Turks and Australians, and among them was a class of 16 German high school students and two teachers who were returning from a study program near Barcelona, according to the New York Times.

In sympathy for the victims who lost their lives, Abbas sent identical letters e x p r e s s i n g h i s s o r r o w to his French counterpart François Hollande, German Chancellor Angela Merkel, and to the Spanish Prime Minister Mariano Rajoy.

Abbas also expressed his deep sorrow and full support for the victims’ families.

Abbas Expresses Sorrow over Plane Crash Victims in French Alps

GAZA, (WAFA) – Prime Minister Rami Hamdallah Wednesday arrived in the Gaza Strip on a two-day visit with the aim of boosting the Palestinian reconciliation and speed Gaza’s long-awaited reconstruction process.

Speaking during a press conference, Hamdallah said, we have got a significant task ahead of us; which is seeking to definitively move beyond the Palestinian division. We will invest every effort to have a full partnership and take up our responsibility in every aspect in order to reach the strongest form of national consensus.

The premier arrived in Gaza Wednesday afternoon t h r o u g h B e i t H a n o u n crossing and held a press conference in Gaza city upon his arrival. He is due to meet with officials and figures from both Fatah and Hamas separately during his stay in Gaza.

Hamdallah affirmed that Palestinians will not accept establishing a Palestinian state, unless it is a unified state comprising of both the West Bank and Gaza Strip with East Jerusalem as its capital.

He said that based on r e c o m m e n d a t i o n s b y President Mahmoud Abbas, the purpose of his visit is to boost reconciliation and

Prime Minister Visits Gaza to Boost Reconciliation, Speed Reconstruction

resume a ‘comprehensive and encouraging’ dialogue among various Palestinian factions; a dialogue that addresses all pending issues and unif ies Palestinian factions in their struggle against the Israeli occupation and fosters national unity ahead of parliamentary and presidential elections.

The issue of public servants recruited by Hamas after it assumed control in the Gaza Strip in 2007 is another major issue that Hamdallah seeks to resolve during his visit. According to Hamdallah, a national plan has been drawn up to ‘contain’ this issue and bring about justice and equity for all public servants.

The plan is based on asking all employees to return to work in order to count those who refrained and later reappoint the thousands of employees who were assigned after 2007 while giving special care to the fields of health and education. Rewards, incentives or early retirement will be granted to those who wish for it.

Hamdallah reiterated that no employee will be left in the “street” and said, “We will find solutions to all civil servants, and however, such solutions couldn’t be reached w i t h o u t h a n d i n g o ve r crossings to the consensus government as a preface to encourage all donor countries

to fulfill their obligations in the reconstruction process.

Regarding the ongoing financial crisis, Hamdallah said that an emergency budget has been approved and wages will be paid according to the adopted mechanism for the January, Februry and March.

He added that a total sum of $800 million was allocated to the reconstruction process and helping needy people. Hamdallah yet stressed the importance of donations from other countries which pledged to offer financial help.

Hamdallah revealed that the government is currently working on the rehabilitation and maintenance of power n e t w o r k s a n d f i n d i n g solutions to activate the power plant and solve power cuts issues.

He finally stressed that the reconciliation and unity is the only path to strengthen the national project of the Palestinians.

Hamadallah’s last visit to the Gaza Strip took place in October 2014. He intended to visit the Gaza Strip on November 8 , 2014, but postponed his visit due to attacks that targeted Fatah officials’ homes in Gaza, which left no injuries.

On the other hand, Hamas has called on Hamdallah’s government to provide practical solutions to the problems facing the Strip.

WASHINGTON, (WAFA) – T h e U n i t e d S t a t e s President Barack Obama insis ted Tuesday that his disagreements with Israel's newly re-elected Prime Minister Benjamin Netanyahu stem from a substantial policy difference rather personal animosity, according to AFP.

“The issue is a very clear, substantive challenge,” O b a m a t o l d r e p o r t e r s at a joint White House n e w s c o n f e r e n c e w i t h Afghanistan’s President Ashraf Ghani.

“We believe that two states is the best path forward for Israel's security, for Palestinian aspirations and for regional stability,” he remarked. “That's our view and that continues to be our view. And Prime Minister Netanyahu has a different approach.”

Obama denied it was a matter of personal animosity b e t w e e n h i m s e l f a n d

Obama Says Rift with Netanyahu over Policy rather PersonalNetanyahu, describing their notoriously cold relations as “businesslike.”

Nonetheless , he said the US still supports the creation of a Palestinian state alongside Israel, and that he would take the issue up with Netanyahu's government once it is formed.

“This is a matter of figuring out how we get through a knotty policy difference that has great consequences for both countries and the region,” he said.

“What we can’t do is pretend that there’s the possibility of something that’s not there, and we can’t continue to premise our public diplomacy based on something everyone knows is not going to happen,” Obama said in reference to the Middle East peace process.

Prior to Israel’s March 17 elections, which saw Netanyahu rise head office for a fourth term, he said he

would not allow the creation of a Palestinian state if he was re-elected, falling behind his acceptance six years ago of a two-state solution.

Few days after he was elected, the Israel premier softened the impact of his

pre-election controversial statements regarding the two-state solution and his racist rhetoric against Palestinians in Israel, saying he wanted a two-state solution, with few circumstances that have to change.

RAMALLAH, (WAFA) – Israeli forces Wednesday raided a school to the west of Ramallah, where they detained students and the teaching staff inside the school and prevented them from leaving for almost two hours, according to the school principle.

The principle , Samir Badir, told WAFA that Israeli soldiers raided the school in a vicious manner, under the pretext of throwing rocks at the soldiers, and imposed a tight siege on the school; preventing anyone from entering or leaving the school for about two hours.

The principle added that this is the second time such incident happens, however under a different pretext.

He said that Israeli soldiers threatened to shut down the school, which is located near an illegal Israeli settlement, an Israeli military camp and a road used by settlers, stressing that Israeli forces await the chance to take over the school for the benefit of settlement expansion.

Israeli army previously c a r r i e d o u t n u m e r o u s attacks, with the deliberate and reckless use of force, a g a i n s t s c h o o l s a n d educational facilities across the West Bank, in a serious violation of international law and students’ right to pursue education in a safe environment.

Israeli Forces Raid School, Prevent Students from Leaving

President Barack Obama.Prime Minister Benjamin Netanyahu.

Page 6: ANNUUR 1170

6 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015Makala

“Wewe tu tunakuabudu”. (Al-Fatiha:5)K a m a t u n a v y o j u w a sote na kama ilivyokuja katika tafsiri zote kwa hakika madhumuni ya undani hapa kutokana n a k u m t a n g u l i z a mtendwa, madhumuni hayo kwa ufupi: Ee Mola wa haki, hakika sisi tunakiri na hatuukubali isipokuwa uungu wako na hatunyenyekei kwa yeyote asiyekuwa wewe na hatupati utulivu na upole na kuliwazika isipokuwa mbele zako.

Na undani mwengine, a m b a o u n a s t a h i k i kuandikwa hapa undani huo ni kwamba badala ya k u t u m i wa t a m k o lililopita “Ameabudu” limekuja tamko la muda wa sasa wa kitendo hicho hicho “Tunaabudu” kwa sababu tamko la kitendo kilichopita linakusanya maana mengi, mifano ya tumeabudu – tumeswali – tumefanya hivi na vile. Maana kuna baadhi ya maana ya kudanganyika ambayo hayakubaliani na moyo wa ibada na uja.

Ama katika tamko: “Tunaabudu” haipatikani ishara yoyote, kwa mfano wa ubaya wa kufahamu h u k u , k w a k i t e n d o “tunaabudu” kinaashiria kwenye kushindwa kwa b inadamu na uhi ta j i wake mbele za hadhara ya Mwenyezi Mungu Mtukufu na kuendelea kuuelewa ushindwaji huo na tunaweza kuyafupisha yale ambayo anayataka binadamu hapa kama hivi:

“Ee Bwana wangu, kwa hakika nimeifunga azma yangu juu ya kutoyatoa muhanga uhuru wangu w a l a k u i d h a l i l i s h a nafsi yangu kwa yeyote asiyekuwa Wewe. Kwa s a b a b u h i y o , m i m i ninaelekea kwako na kwenye mlango wako kwa ujio wa nafsi yangu, kwa niya ya utumwa na udhalili, na ninaelekea kwenye ibada yako na twaa yako, kwa nafsi iliyojaa shauku na mapenzi, hali ya kuifunga azma juu ya kujiepusha na maasia yako na yote usiyoyapenda na usiyoyaridhia, niya yangu ni kubwa sana na bora kuliko matendo yangu na mimi nina nyenyekea k wa k o , n i n a k u o m b a n ikuba l i n iya yangu kutokana na kutenda mbele zako kwa kukifanyia kazi kipimo cha yale ninayonuiya kuyatenda, na si kwa kipimo cha yale ambayo nimekwisha kuyafanya. Ee Bwana

Mafundisho ya Qur’an

MUFT wa Rwanda akiswalisha.wangu.”

Kisha hakika yeye anasisitiza kwamba yeye hakuwa peke yake katika uwanja wa matarajiwa na kunyenyekea huku, bali anasema, kwa hakika ndugu zake wanashirikiana naye katika matarajiwa na unyenyekevu huu maana anaonyesha hapa uzuri wa dhana pana yenye kuenea. Na wakati huo huo anakusanya kuunga mkono kwao na kushiriki kwao kwenye upande wake, kwa hiyo anadhamiria muafaka na makubaliano ambayo hawezi kuyatia kasoro na yaliyokuwa yeye anaelekea k w e n y e m l a n g o wa mwenye kukidhi mahitaji kwa hiyo anajiepusha na wasiwasi wa shetani na anatoa sura kamili ya uja uliyokamilika mbele za Mungu uliyokamilika ambao hauna mpaka.

“(1) Alif Lam Mym. (2) Kitabu hicho hapana shaka ndani yake, ni mwongozo k wa we n ye k u m c h a Mwenyezi Mungu” [Al-Baqarah 1-2]

Ta m k o ( H U D A N )

ambalo limekuja katika aya tukufu, tamko hilo limo katika mfano wa Masdar – chembuko la neno – na linabeba maana ya kwamba binadamu hawezi kufikia kwenye uongofu na kwenye lengo linalotazamiwa nyuma ya tamko hilo pasi na juhudi yake iliyotakata na kwa maelezo mengine kwa hakika s is i v i le vile tukichunguza kwa mazingatio – TANWIN- tutajuwa kwamba kitabu hiki ambacho haipatikani n d a n i ya k e c h e m b e yoyote ya shaka, ndilo chimbuko la uongofu kwa wenye kumcha Mwenyezi M u n g u . K wa we n ye kumcha Mwenyezi Mungu tu, kwa sababu nafsi zao zimeepukana na shaka na matatizo na nyoyo zao na roho zao zimeelekea kwenye kuukubali ukweli na kuzichunga kanuni za maumbile za Mwenyezi Mungu na sharia yake tukufu na nafs i zao zimetakata na zimejiandaa kuukubali uongofu na kufaidika nao na sina kuwazuia na jambo hilo

fikra yoyote au hukumu iliyotangulia.

Isipokuwa ni kwamba tamko “HUDAN” lililo mwishoni mwa aya “wako juu ya uongofu kutoka kwa Bwana wao”. [Al-Baqarah 5] l imetajwa kwa mfuo wa –Masdar – chembuko la tamko, maana ni kwamba Mwenyezi Mungu mtukufu huenda akawafanyia ukarimu waja wake kwa uongofu pasi na kupatikana uhusiano wa sababu na matokeo a m b a y o a m e ya u m b a na akayafanya ni katika sababu za uongofu. Na m l a n g o wa k u m c h a Mwenyezi Mungu ndiyo mlango ambao unafikisha na unafunguka juu ya ukarimu huu na utoaji. Na daraja la kwanza la mfano wa uchaji huu ni imani na maarifa ya kweli na daraja la mwisho ni kufika kwenye kupata r a d h i z a M w e n y e z i Mungu Mtukufu. Kama ilivyokuja katika maelezo ya wazi yaliyopitishwa ya aya kwamba, hatafika na hatapata nja ya kuokoka isipokuwa yule aliyefika

kwenye kiwango hiki cha uongofu. Kisha kwa hakika pamoja na mtiririko wa aya na kuwa uongofu u m e f u n g a m a n a n a kupatisha kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa h u o u o n g o f u , k w a h a k i k a k u f i k a k w a binadamu kwenye amani na usalama na kwenye utulivu katika dunia na kwenye kufuzu siku ya Kiyama na kunarejea kwenye kipimo kikubwa kwenye mwenendo wake na matendo yake ambayo anayadhihir isha kwa matakwa yake yaliyo huru.

K w a m s i n g i h u o , kunawezekana na kusema kwa ufupi : Kwamba t a m k o ( H U D A N ) l a kwanza ni sababu na tamko (HUDAN) la pili yakiwa matokeo, likiwa l imepakwa manukato ya upole na wema na matamko yote mawili ni majibu ya maombi ya (tuongoze) ambayo limekuja katika Surat Al-Fatiha na ni ufafanuzi vile vile wa namna ya mwenendo wa wale wenye kupatikana juu ya njia.

“Ndani ya nyoyo z a o p a n a u g o n j w a akawazidishia Mwenyezi Mungu ugonjwa”, [Al-Baqarah 10]

Imekuja katika baadhi y a t a f s i r i k w a m b a : “Akawazidishia Mwenyezi Mungu ugonjwa” maneno hayo ni katika mlango wa “malipo na katika jinsi ya matendo”. Isipokuwa ni kwamba mimi naona kwamba ni bora sana kukaribia kwenye maana ya aya kama hivi:

“Hakika Mwenyezi Mungu amewaongezea ugonjwa katika nyoyo zao” kwa sababu wao wamejichafua kwa shari na maasia mbalimbali katika kiwango cha niya na kila wanapokuta kuwa fursa iko tayari, wanajitahidi kuzihakikisha niya zao mbaya hizo , na kwa s a b a b u z i n a p o z i d i , huzidi matokeo na hili l inamaanisha kuingia kwao ndani ya duara ambayo hana mahala pa kutokea. Maana yake ni kwamba wao hawakuweza kuziokoa nyoyo zao na niya hizi mbaya, bali ni kwamba hawakufikiria kabisa jambo hilo, na niya hizi mbaya zimejaa nia mbaya nyingine juu ya nia hizi yamezaa matendo mengine na kwa sababu ya kuingia katika hii duara ambayo haina mahali pa kutokea, kumepatikana kuangamia kwa wanafiki.

Inaendelea Uk. 7

Page 7: ANNUUR 1170

7 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015Makala

Mafundisho ya Qur’anInatoka Uk. 6Mambo yakiwa hivyo,

wakat i tunapoi fas i r i aya hii, “Akawaongezea M w e n y e z i M u n g u ugonjwa”, ni juu yetu kuyachunguza maana yake kama matokeo ya kitabia ya kuingia katika hii duara isiyokuwa na mahali pa kutokea.

K w a h a k i k a a f y a ya mwili ndiyo msingi na ugonjwa ni jambo lililozuka. Ni hivyo hivyo, maumbile yaliyosalimika ndiyo msingi, na ugonjwa wa moyo ndicho kitu kipya. Kwa sababu hiyo yule ambaye hashughuliki na afya ya moyo wake na kuulinda na kuyashika masharti yote ya kihali kwa ajili ya kuukinga, a t a k i a c h a h i k i k i t u muhimu kilichowekwa na Mwenyezi Mungu mtukufu kuwa ni tonge nyepesi na laini kwa virusi na bacteria mbalimbali. Ijulikane kuwa pamoja na kuwa mwanzo huenda ukawa ni kitu kidogo sana, kwa hakika kuhama kutoka katika makosa na kwenda kwenye makosa mengine na kutoka katika d h a m b i n a k w e n d a kwenye dhambi nyingine na kutoka katika maasia n a k w e n d a k w e n y e maasia mengine, hayo yatapelekea mwishoni kwenye kuchanika ile sehemu na kuingia kwenye maasia makubwa sana ambayo yanapita kiwango cha kutia akilini maana itapelekea kwenye kubwa la maasia yote, nalo ni kumshirikisha Mwenyezi Mungu, kwa sababu kuna njia nyingi sana zinazopelekea kwenye ukafiri.

Ukiwa uharibifu wa itikadi au kupinduka kati ya mambo yenye kutatiza na shaka ndiyo ugonjwa wa wanafiki, hili linamaanisha wakati huo huo kupatikana kwa hali ya kukubali ambayo imejificha ya ukafiri na upingaji. Iwapo msaada wa Mwenyezi Mungu haukuuwahi ugonjwa huu na havikuvunjika vile vikuku vyenye kufikisha kutoka maasia, na kwenda kwenye ukaf ir i , kwa hakika maasia kwa sababu ya kuongezeka kwake maradufu, hupelekea k w e n y e k u m k u f u r u M w e n y e z i M u n g u mtukufu. Bali huzuka mara nyingi kwamba binadamu wakati inapomzunguka shaka, huenda zikawa na sababu ya kuikata njia yenye kuunganisha kati yake na Mwenyezi Mungu

Mtukufu. Kwa hiyo shaka yake inaongezeka katika kila kitu, na anadhani kwamba yeye na watu wote katika shaka hii wako sawasawa. Anabakia kujinyonganyonga katika mazingira ya shaka hii, maradufu. Hakika yeye wakati inapomzunguka shaka katika njia yenye kufikisha na kuunganisha kati ya Mwenyezi Mungu na kati ya nafsi yake, na anafanya shaka katika kila kitu, na anawafananisha watu wengine juu ya nafsi yake, kwa sababu hiyo anaishi ha l i ya kugeukaguka, kat ika matatizo na shaka na kuz ingaz inga ka t ika kiwango cha kupinga. Anaishi na hal i hiyo katika nafsi yake maana anadhania watu wengine kwamba wanafanana na yeye pasi na kuamini na pasi na kunyenyekea na hakuwezekani kuwaamini au kuwategemea, maana anaishi katika ulimwengu ambao umetengenezwa na f ikra zake zenye ugonjwa na dhana yake na hutakomea kwake jambo lake kwenye kusagika

chini ya magonjwa haya.“Mfano wao ni kama

mfano wa mtu ambaye a m e u w a s h a m o t o ulipovionyesha vilivyo p a m b i z o n i m w a k e akauondosha Mwenyezi Mungu mwangaza wao na akawaachia katika viza hawaoni kitu chochote”. [Al-Qarah 17]

A y a h i i t u k u f u , i n a u s w a m i r i s h a ulimwengu wa ndani, na inaonyesha kwa mfano wenye kuguswa na wenye kushuhudiwa.

Kutokana na kuangalia k w a m b a w a n a f i k i wanaishi kati ya Waislamu na wanachanganyika nao, kwa sababu hiyo unakuwa mwepesi kwao wakati mwingi muweko w a n u r u y a i m a n i . Isipokuwa unafiki ambao umezama na kubobea kwao katika nyoyo zao n a v i c h wa n i m wa o , unawazuia kufaidika na nuru hii. Ndiyo hawa wanafiki wamegeuka na kuingia kwenye hali ambayo hawaoni pamoja na kwamba macho yao yamefunuliwa ama kwa sababu ya kutoshughulika

na nuru ya Mwenyezi Mungu ambao anauchukua Mtume mtukufu mkononi mwake au kuudharau mwenge huo au kwa sababu ya kuyaharibu maandalizi ya maumbile yao. Isipokuwa pamoja na hayo inawaelekea nuru ya mwenge ambayo inayachukua macho na badala ya kuiangalia nuru kwa jicho la kuamini, tunawaona wanafanya haraka kwa shaka zao na kuzingazinga kwao kuifuta nguvu yenye k u c h e m b u k a k a t i k a roho zao na wanaiondoa taathira yake mpaka tamko (Istaqada) – ameuwasha moto linaashiria kwamba wao walikuwa wanafanya mpango wa kuipindua nuru hii na kuigeuza kuwa moto wenye kuunguza badala ya kufaidika nayo katika kuikataa njia.

Ama makafiri wao, hawakuijua imani wala nuru yenye kutokana na imani. Hawakuiona milele na hawakuingia katika mazingira yake matakatifu. Kwa sababu hiyo wakati walipohisi makafiri sababu hii au

hiyo nuru katika hisia yao “tukawatoa wapingaji katika wao” walijaribu k u s h i k a m a n a n a y o na kuipitisha sehemu ya maisha yao kama waumini wenye Ikhlasi. Hapana shaka kwamba tofauti kati ya nuru na kiza na kati ya imani na ukafiri ina mchango mkubwa katika jambo hili. Wale ambao walikuwa w a n a o n a h i i h u k o nyuma mambo mengine, w a k a t i w a l i p o i o n a n u r u h i i , wa l i i n g i a k a t i k a u l i m w e n g u unaozungukwa na uzuri wa Uislamu na mvuto wake. Kwa sababu hii wakati tunapolinganisha kati ya ufuataji wa dini wa wale ambao wanasikia kutokana na Uislamu na wanauelewa kwa mara ya kwanza na wanauamini na wanaishi nao na kati ya ufuataji wa dini kwa wale Waislamu ambao wamezaliwa katika nchi za Kiislamu – isipokuwa wachache katika wao, atafahamu kwa sura ya wazi sana usahihi wa yale ambayo tumeyasema hapo juu.

“Wao ni viziwi, wao n i m a b u b u , wa o n i vipofu, kwa sababu hiyo hawarejei”. [Al-Baqarah 18]

Moja kati ya aya mbili hizi, inafungamana na wanafiki na nyingine inafungamana na makafiri. Na kama inavyoonekana hapa kuna kigawanyo cha pamoja kati ya wanafiki na kati ya makafiri katika maudhui ya ung’ang’anizi n a k u t o v u m i l i a n a kukosekana ulaini katika mwelekeo wa mtazamo na fikra iliyobadili. Kwa sababu hiyo kila moja katika makundi mawili haya linasifiwa kwamba wao ni viziwi, mabubu, vipofu. Isipokuwa sababu kati ya makundi hayo mawili zinatofautiana kufuatana na hizo aya mbil i . Kwani sababu katika aya ya kwanza inarejea kwenye kutorejea kwao kwenye umbile lao la asili, lililotangulia. Ama sababu katika aya nyingine inarejea kwenye kutozitumia akili zao. Na chachu ya pamoja ambayo inawafanya wawe viziwi, mabubu, vipofu na kutoongoka kwao kuelekea kwa Muumbaji mtukufu kwa kukisoma kitabu cha Ulimwengu ambacho kimewekwa mbele ya macho yao kama maonyesho ya Mwenyezi Mungu yenye kupendeza yenye kustaajabisha, na

Page 8: ANNUUR 1170

8 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015Makala

NDUGU zangu katika Imani , jukumu lenu nini sasa kama wasomi? Tumeshaona changamoto zinazoukabili umma wa Kiislamu na tumeshaona nguvu ya Waislamu ilipo. Tunatakiwa kufanya nini ili kuzishinda changamoto hizo. Jukumu la msingi kabisa ni "I'tisam bi Allah" (kushikamana kikweli na Mwenyezi Mungu). Hakuna ushindi kwa Waislamu nje ya Uislamu. Mapambano yote ya Waislamu, iwe ya kudai haki, usawa, kujikomboa au kusimamisha haki, yameshaelekezwa ndani ya miongozo ya Kiislamu.

Jukumu j ing ine n i k u s o m a n a k u f a n ya u c h a m b u z i w a k ina kuhusu fa l sa fa zinazoongoza ulimwengu hivi sasa na kubainisha u d h a i f u n a u p o t o f u wake zikilinganishwa na Uislamu. Kama wasomi, mna jukumu la kujenga haiba zenu na za umma wa Kiislamu kwa kufuata mwenendo mwema wa Mtume wa Mwenyezi Mungu (Uswah Nabyi). Mtu akiwaona tu, anajua kuwa hawa ni Waislamu walio sawasawa. Siyo Waislamu wa majina au wa kufuata mkumbo.

Kama wasomi , p ia mna jukumu la kupanga harakati au shughuli za Kiislamu kwa kuzingatia usimamizi mzuri wa muda na vipaumbele vya umma wa Kiislamu. Haiwezekani kufanya shughuli yoyote bila ya kuwa na muda maalumu wa kuifanya shughuli hiyo. Haiwezekani Waislamu wa f a n ye j i t i h a d a z a k u j i k wa m u a k u t o k a kwenye changamoto zinazowakabili milele. Lazima katika kipindi fulani malengo yawe yamefikiwa na kama bado, basi ifahamike eneo gani na kwanini? Waislamu wa awali, wakiongozwa na Mtume walikamilisha lengo ndani ya miaka 13 tu ya harakati, dola ya Madina ikasimama!

A m a k u h u s u vipaumbele , wasomi mnapaswa kuusaidia

Changamoto zinazoukabili umma wa Kiislamu-2IFUATAYO ni sehemu ya pili na ya mwisho ya mada iliyowasilishwa kwenye mahafali ya wanafunzi Waislamu wa kidato cha sita wa shule za Sekondari Pugu na Minaki jijini Dar es Salaam hivi karibuni na USTAADH SAID RAJAB.

u m m a wa K i i s l a m u kutambua vipaumbele vyao katika harakati za kukabiliana na changamoto zinazowakabili. Katika k u j i k o m b o a k u t o k a kwenye changamoto hizo, lazima Waislamu wawe na vipaumbele - tuanze na lipi na kwanini tunaanza n a h i l o ? U s i p o we k a vipaumbele katika mambo muhimu, maana yake unaweka vipaumbele katika mambo yasiyo muhimu. Kwa maana hiyo unapoteza bure wakati na Rasiliamali - hufanikiwi ng'o!

Lakini wasomi pia mna jukumu la kuzalisha fikra mpya za kupeleka mbele Uislamu kwa kuzingatia mafundisho ya Qur'an na Sunna za Mtume wa Mwenyezi Mungu. Mfanye I j t ihad i l iyora t ib iwa kitaalamu ili iweze kuleta matokeo yanayotarajiwa katika harakati mbalimbali za Kiislamu. Mfikishe ujumbe wa Uislamu kwa hekima na mawaidha yaliyo mazuri.

Katika kujikwamua k u t o k a k w e n y e changamoto zinazoukabili u m m a wa K i i s l a m u , mkakati wetu ni kurejea kikamilifu kwenye Qur'an na Sunna. Kufundisha ufahamu sahihi wa Dini ya Kiislamu, kuimarisha taasisi zetu za kielimu, kiuchumi na kisiasa na kujiepusha na utegemezi kutoka kwa mabeberu.

Awali, katika jamii za Kiislamu, Qur'an ilikuwa ndiyo kitabu cha mwanzo kabisa kusomwa na kila mtoto. Hisia za mwanzo za Qur'an ndizo zilizokuwa zikifinyanga maisha ya Waislamu. Watoto pia walikuwa wakijifunza taaluma na stadi nyingine za msingi kimaisha kupitia falsafa ya Qur'an.

Katika zama za sasa, idadi kubwa ya Waislamu h a wa i f a h a m u v i z u r i Qur'an. Wanashindwa k u t a m b u a k w a m b a kusoma Qur'an siyo tu ni ibada ya kupata thawabu, bali ndio njia inayoweza kubadili maisha yote ya Muislamu anayesoma aya hizo za kitabu cha

Mwenyezi Mungu. Ni mchakato hai wa ndani, ambao unambadilisha na kumjenga Muislamu, j ins i ya kuyaangal ia mambo yote yaliyopo na yanayotokea duniani. Muingiliano huu na Kitabu cha Mwenyezi Mungu pia ulikuwa ni mchakato wa kujifunza wa maisha yote ya Muislamu.

Awali, Qur'an ilikuwa ndiyo kitabu kilichozalisha u o n g o z i m a d h u b u t i katika jamii za Waislamu - uongozi ambao, uliweza k u f a h a m u m a t a t i z o makubwa ya ulimwengu h u u n a k u y a p a t i a ufumbuzi, ikiwa ni pamoja na kugundua njia sahihi ya kuelekea ulimwengu ujao.

Ndugu zangu katika imani, hali haiko hivyo tena leo. Mtazamo kuhusu d u n i a ( w o r l d v i e w ) walionao Waislamu wengi haukujengwa juu ya msingi wa Qur'an, bali umejengwa na elimu za kisekula, huku Uislamu ukifundishwa k w a k u d o n o a , t e n a katika mtindo wa nusu nusu (piecemeal). Huu ndiyo mzizi wa majanga yote yanayowakumba Waislamu duniani leo.

Wakoloni waliotawala Waislamu walifahamu v y e m a k w a m b a i l i kuudhoofisha ulimwengu wa Waislamu, lazima wakate kabisa mizizi ya mfumo wa elimu wa Waislamu. Walihujumu vipawa na karama za Wa i s l a m u . Wa l i p o r a m a l i n a k u v u r u g a t a a s i s i z a e l i m u z a

Waislamu, ambazo ndizo zilizokuwa zikizalisha wasomi wa Kiislamu. Sina maana ya wasomi Waislamu, na badala yake wakapandikiza mifumo na taasisi zao za kielimu.

Baada ya muda, mifumo hii mipya ya elimu kutoka ulimwengu wa Magharibi, ikabadili mfumo mzima wa elimu katika ulimwengu wa Waislamu, na kuzalisha aina mpya ya wasomi, ambao wameng'olewa kutoka kwenye shamba lao la kiitikadi na kitaaluma. Matokeo yake, Waislamu wengi katika dunia ya leo, wana ufahamu mdogo sana kuhusu dini yao na mila yake ya kisomi. Leo hii, mafundisho ya Uislamu na utamaduni wake madhubut i wa kitaaluma, vimepuuzwa kabisa na Waislamu walio wengi.

Ndugu zangu katika Imani, sasa tuzungumzie c h a n g a m o t o ya v i t a vya kifikra kwa umma wa Kiislamu, ambavyo vinaonekana Waislamu wengi hawana taarifa nayo. Vita vya kifikra au mapigano ya kiitikadi ni moja ya mbinu za mapambano zilisoasisiwa n a u l i m w e n g u w a M a g h a r i b i , i l i kuusambaratisha umma wa Kiislamu.

Mbinu hii ilibuniwa baada ya vita vya msalaba, ambavyo vilipiganwa kwa karne tatu, kushindwa kabisa kuleta ushindi kwa watu wa Ulaya, ambao mara zote wal ikuwa

wakipigwa na Waislamu. Baada ya vita hivyo, wasomi na wanazuoni bobezi wa ulimwengu wa Magharibi, walichambua k wa k i n a v i p e n g e l e vilivyowaletea ushindi Waislamu.

Uchambuzi wao huo wa kitaalamu, uligundua kwamba ukar ibu wa umma wa Kiislamu kwa Qur'an tukufu, ndiyo siri ya ushindi wao. Waligundua k w a m b a n g u v u y a Waislamu kupambana k ishujaa na kupinga uvamizi wa Makruseda bila ya kuchoka, ilitoka ndani ya Qur'an.

K w a k u z i n g a t i a u c h a m b u z i h u o , wataalamu wa Magharibi kuhusu ulimwengu wa Mashariki na Uislamu – ‘orientalists' walibuni wazo, kwamba njia bora kabisa ya kusambaratisha na kuvamia umma wa Kiislamu ni kuutenga umma huo na Qur'an t u k u f u n a U i s l a m u w e n y e w e . L a z i m a Waislamu wawe mbali na Qur'an na Uislamu, ndiyo watawezekana.

Mfalme Louis wa tisa wa Ufaransa alianzisha 'Crusade' ya saba mwaka 1248 mpaka 1254 AD kwa kuivamia Misri. Mfalme huyo alitekwa na majeshi ya Waislamu na kuachiwa huru baada ya kutoa kikomboleo.

Baada ya kuachiwa huru, mwaka 1270 AD, a l i re jea na kuhuisha tena 'Crusade' ya nane

Inaendelea Uk. 12

SHEIKH Said Ricco (wa tatu kushoto) akikabidhi misaada kwa walemavu katika viwanja vya Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Page 9: ANNUUR 1170

9 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015Makala

K U S E N G E N YA n i maradhi yanayoondoa mapenzi na kuleta chuki baina ya ndugu, rafiki, j amaa , na hat imaye y a n a k u l a t h a w a b u za mtu na kuzimaliza kama moto unavyokula kuni. Mtume(Swalla Llahu alayhi wa sallam) amesema:

"Yamekufikieni maradhi ya waliokuja kabla yenu, Husda na chuki. Maradhi hayo ndiyo yanayonyoa, yananyoa dini hayanyowi nywele. Naapa kwa yule ambaye nafs i yangu imo mikononi mwake, hamuingii Peponi mpaka muamini, na hamuamini m p a k a m p e n d a n e . Nikuambieni ni jambo gani mkilifanya mtapendana? Enezeni (salam) amani baina yenu". (Ahmed - Attirmidhy na Al Bazzar).

Kusengenya ni tatizo kubwa lililowakumba Waislamu wakiwemo hata baadhi ya wanavyuoni. K u t o k a n a n a c h u k i i n a y o s a b a b i s h wa n a kusengenyana ba ina ya Waislamu pamoja na mfarakano mkubwa unaopatikana baina yao, ukijumlisha na hasara inayopatikana kutokana na mfarakano huo, nimeona b o r a n i y a c h a m b u e za id i maudhui haya y a G h i y b a h u k u tukimuomba Mwenyezi Mungu atusaidie katika kupunguza ukal i wa Moto huu, na atujaalie tuifahamu vizuri darsi hii na atupe uwezo wa kuyatekeleza maamrisho yake - Amin.

Moto, ni jina linalofaa kuliita tatizo hili, kwa s a b a b u k u s e n g e n ya , kunaziunguza thawabu za mtu aliyehangaika kuzichuma kwa Kuswali na Kufunga na kutoa Zaka na kusoma Qurani na mengineyo kama moto unavyokula kuni. Ulimi ulionolewa kwa ajili ya kusengenya watu, n i sababu kubwa ya mtu kupoteza thawabu z a k e a l o h a n g a i k a kuzichuma kwa tabu na pia ni sababu kubwa ya watu kutumbukizwa kwa wingi katika Moto wa J a h a n n a m k a m a alivyotufahamisha Mtume wa MwenyeziMungu (Swalla Llahu alayhi wa sallam) katika hadithi ya Muadh bin Jabal (Radhiya Llahu anhu) iliyoshamili mambo yote muhimu katika dini na namna

KusengenyaNa Abu saumu Kombo Hassani kidumbu

gani mtu anavyoweza k u z i p o t e z a t h a wa b u zake zote hizo baada ya kuhangaika kufanya yote anayotakiwa kuyafanya.

Tatizo lilipo leo kwenye jamii yetu ya Kiislamu, i w e n i Wa n a v y u o n i (Madai’yah, Masheikh na Maustadhi) na Jamii yetu ya “Maamuma”, n i j a m i i i n a y o u g u a Maradhi ya Hatari ya “ K U S E N G E N YA N A” hali ya kuwa ni jambo ambalo nimekatazwa k a b i s a k u f a n y wa n a Muislamu, kwa Mujibu ya maelekezo ya Mwenyezi Mungu, kupitia Qur’ani na mwongozo wa Mtume (s.a.w.).

A m e s e m a A l l a h (s.w.): “Enyi mlio amini! J iepusheni na dhana nyingi, kwani baadhi ya dhana ni dhambi. Wala m s i p e l e l e z a n e , wa l a msisengenyane nyinyi kwa nyinyi. Je! Yupo katika nyinyi anaye penda kuila nyama ya nduguye aliye kufa? Mnalichukia hilo! Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi M u n g u n i M w e n y e kupokea toba, Mwenye kurehemu.” (Suratul Al Hujuraat 49:12).

Amesema Allah (s.w.): “Na hakika tumemuumba mtu , nas i tunaya jua yanayo mpitikia katika nafsi yake. Na Sisi tuko

karibu naye kuliko mshipa wa shingoni mwake.”

“ W a n a p o p o k e a wapokeaji wawili, wanao kaa kuliani na kushotoni.”

“Hatamki neno ila karibu yake yupo mwangalizi tayari.” (Suratul Qaaf 50:16. 17 na 18).

Na Amesema Allah (s.w.): Wala usiyafuate usiyo na ujuzi nayo. Hakika masikio, na macho, na moyo - hivyo vyote vitasailiwa.” (Suratul Ban Israil 17:36)

Abu ‘Abdirrahman na Bilal bin Al Harith Al M u z a n y ( M w e n y e z i Mungu Awawiye Radhi): A m e s e m a M t u m e (s.a.w.): “kwa hakika Mja atazungumza (neno) linalomridhisha Allah (s.w.), wala asidhani kuwa litafikia lilipofikia, Allah (s.w.) Amwandikie kwa neno hilo, Radhi zake hadi Siku ya Qiyama. Kwa hakika mja atazungumza neno linalomkasirisha Allah, wala asidhani kuwa litafikia lilipofikia. Allah (s.w.) Amwandikie kwa neno hilo, hasira zake hadi siku ya Qiyama”.

Chanzo: Malik katika Muwatta na Tirmidhy, na amesema: Hadithi hii ni hasan Sahihi.

M a r a d h i y a kusengenyana baina yetu Waislamu yametufanya tushindwe kuungana na

kuwa kitu kimoja, badala yake na tunafanyiana uadui. Hivyo kutufanya tushindwe kusimamisha U i s l a m u k a t i k a k i l a kipengele cha maisha yetu.

Maana ya Kusengenya (Ghiybah) Kilugha: Kila k i l i c h o k u wa h a k i p o mbele yako. Na imeitwa Ghiybah kwa kutokuweko a n a y e t a j w a w a k a t i anapotajwa na wengine.

K i s h a r i ’ a h : K u m s e n g e n y a m t u asiyekuwepo kwa mambo a m b a y o a t a c h u k i a kuyasikia. Na maana yake ametujulisha Mtume (Swalla Allahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) alipowauliza Maswahaba:

“Je, mnajua maana ya Ghiybah? [Kusengenya]” Wa k a s e m a : “A l l a a h n a M j u m b e W a k e wa n a j u a . ” A k a s e m a : “Kumsema ndugu yako anayoyachukia.” [Al-Bukhaariy]

Imaam An-Nawawiy a m e s e m a k u h u s u Ghiybah: "Kumsema mtu nyuma yake kwa yale anayoyachukia."

Akaendelea kusema: “Kumsema mtu kwa anayoyachukia ikiwa yanayohusu mwili wake, au dini yake, au dunia yake, au nafsi yake, au umbile lake au tabia yake, au mali yake, au wazazi wake, au mtoto wake, au

mke wake, au mtumishi wake, au nguo yake, au nyendo (shughuli) zake na mengineyo yote yanayomhusu, ikiwa ni kumsema kwa kauli, au kwa ishara au kukonyeza, hata kama kusema neno la kumkejeli.”

M a a n a n y i n g i n e ya Ghiybah ni kama a l i v y o s e m a I b n Taymiyah : "Wengine wanasengenya kwa kauli zao za kustaajabu kama kusema: 'Nimeshangazwa na fulani vipi hafanyi kadhaa na kadhaa' na wengine wanaosengenya moyoni (kwa nia) kwa k u n e n a : ' m a s i k i n i fulani amenisikit isha anayoyatenda'”

T o f a u t i B a i n a y a Ghiybah na Buhtaan. Buhtaan, ni kumzulia mtu jambo lisilokuwa la kweli. Ametubainishia Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) tofauti baina ya Ghiybah na Buhtaan katika Hadiyth ifuatayo:

K u t o k a k w a A b u H u r a y r a h ( R a d h i y a Allaahu ‘anhu) kwamba aliuuliza Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam): “Je mnajua m a a n a ya G h i y b a h ? [Kusengenya]” Wakasema: Allaah na Mjumbe Wake wanajua. Akasema: “Ni kumtaja ndugu yako kwa jambo analochukia.” Akaulizwa: “Hebu nieleze, i wa p o n d u g u ya n g u anayo yale niyasemayo? Akasema: “Ikiwa analo h i l o u s e m a l o b a s i , umeshamsengenya, na ikiwa hana hilo usemalo bas i umeshamzushia uongo.” [Muslim]

Vi le v i le Hadiyth ifuatayo inaelezea: Kutoka kwa 'Abdullaah bin 'Amru kwamba walimtaja mtu mmoja mbele ya Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) wakasema: "Hali hadi alishwe, wala haendi hadi apelekwe" Akasema Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) ( ( M m e m s e n g e n y a ) ) . Wakasema: "Ewe Mjume wa Allaah, tumehadithia ya k we l i a l i y o n a y o " Akasema: ((Inakutosheleza kumsema ndugu yako kwa al iyonayo)) [Al-Albaaniy katika Silsilatus-Swahiyhah]

Na kutoka katika Qur-aan Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Anasema:

“Na wale wanaowaudhi Waumini wanaume na wanawake pasina wao kufanya kosa lolote, bila ya shaka wamebeba dhulma kubwa na dhambi zilizo dhaahiri.” [Al-Ahzaab: 58]

Itaendelea toleo lijalo

BAADHI ya walemavu w a ngozi wakikabidhi misaada kutoka Al-Malid. Hafla hiyo ilifanyika katika viwanja vya Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Page 10: ANNUUR 1170

10 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015Makala

Na Omar Msangi

MACHI 2011 Askari wa Marekani Jeremy Morlock alihukumiwa kifungo cha miaka 24 jela baada ya kukiri kuua wa-Afghani wasio na hatia wala kushika silaha, bali akifanya mauwaji hayo kwa kulenga shabaha kama Mtalii muwindaji anayepata burudani ya kuwinda wanyama. Askari huyo alikiri mahakamani kuwa alikuwa sehemu ya kikundi wenyewe wakijiita, 'kikundi cha kuua' (Kill Team) ambacho kiliwaua kwa makusudi raia wa Afghanistan wasio na silaha kwa mchezo wa kulenga shabaha mwaka 2010. Jeremy Morlock, mwenye umri miaka 23 , akiwa Mkufunzi wa kijeshi, aliiambia mahakama ya kijeshi kuwa alisaidia kuua raia watatu wa Afghanistan.

"Mpango ulikuwa ni kuua watu, mheshimiwa," a l i m wa m b i a J a j i wa Kijeshi Kambi ya Fort Lea, karibu na Seattle jimbo la Washington ukanda wa Pacific nchini humo, baada ya kuhitajiwa ajibu mashitaka.

K u t o k a n a n a yaliyoelezwa mahakamani wakati wa kusikilizwa kesi hiyo, ilisababisha k u c h a p i s h wa h a b a r i zenye vichwa vya habari vilivyojaa hasira katika nchi nyingi duniani . Kat ika mfulul izo wa maelezo yaliyonakiliwa katika mkanda, baadhi ya yale aliyosema yakiwa yametangazwa katika televisheni za Marekani, Morlock alieleza kwa kirefu jinsi yeye na washiriki wengine wa brigedi ya ‘Stryker’, walivyounda na kudanganya kuwa ni mazingira ya mapigano ili waweze kuua raia ambao hawakuwa ni hatari kwao kwa lolote. Waliwasingizia raia hao wasio na hatia kuwa ni magaidi hatari i l i wapate kuwauwa. Kesi hiyo ilielezwa kuwa n i m k a s a m w i n g i n e mbaya unaonyesha jinsi Waislamu wasio na hatia wanavyoteswa na kuuliwa kwa kupachikwa ugaidi wasio kuwa nao kama ilivyokuwa kwa ule mkasa wa jela ya Abu Ghraib nchini Irak.

Katika kuelezea kesi hiyo, gazeti la kila wiki

Ugaidi: Mpango wa kuuwa WaislamuUnatumika pia kuchafua Uislamu, kupora maliIS-Mkakati wa Waislamu kumalizana wenyewe

zinachefua kwao kama binadamu na kinyume k a b i s a c h a v i wa n g o na maadili ya jeshi la Marekani.

Hata hivyo, Morlock akijitetea alisema kuwa mauaji hayo yalichochewa na Afisa katika kikosi chake, Sajini Mwandamizi Calvin Gibbs. Alielezea jinsi mipango ya kina ilivyoandaliwa kuchagua raia walengwa, kuwaua na halafu kuonyesha vifo vyao kuwa vilikuwa vya wapiganaji waasi na magaidi. Kwa maana kuwa halikuwa tukio la askari binafsi, bali mpango wa kikosi chini ya kamanda ambaye kwa taratibu za kijeshi ilibidi lazima Morlock atii amri yake.

Katika maelezo yake ya kukiri vitendo hivyo, Morlock alielezea pia alivyoua mhanga mmoja wakati Gibbs akimtupia guruneti. "Tunachagua mtu. Gibbs anatoa elekezo’ kuwa tumuangamize mtu huyo. (Angalia: US Soldier Admits Killing Unarmed Afghans For Sport-By Paul Harris.)

H i y o n d i y o h a l i inayowasibu raia wa Afghanistan na hata Iraq ambapo ilielezwa kuwa Marekani inavamia nchi hizo ili kuwaokoa raia wa nchi hizo kutokana na ukatili wa Taliban na Saddam Hussein kwa kule Iraq!

Hayo yakijiri, televisheni moja ya Ufaransa, Channel 4, mapema Januari maka huu 2015 imemnukuu k a c h e r o m m o j a w a C I A a k i s e m a k u w a wanachotaka kuona katika Iraq/Syria, ni Sunni na Shia kuuwana wenyewe kwa wenyewe mpaka wamalizane.

"The thing was ideal when IS was advancing on Baghdad because Sunnis were killing Shias. That's exactly what we need. - Our best hope right now is to get the Sunnis and Shias fighting each other and let them bleed each other white."

A m e n u k u l i w a Michael Scheuer akisema a k i m a a n i s h a k u w a wanachotaka ni Sunni na Shia kuuwana, wamwage damu zao wenyewe kwa wenyewe mpaka wakauke. M i c h a e l S c h e u e r , n i kachero wa zamani wa CIA ambaye alikuwa Kamanda

la Ujerumani Der Spiegel lilichapisha picha tatu z i l izoonyesha askar i wa Marekani, akiwemo Morlock, wakipiga picha na mait i ya mvulana mmoja wa Afghanistan kana kwamba ni mnyama

aliyeuawa katika utalii wa kuwinda . Askar i k a d h a a w a n a d a i w a kuhifadhi viungo vya wale waliowaua, ikiwa ni pamoja na fuvu, meno na kucha kama kumbukumbu na zawadi ya kupeleka

makwao (Souvenir gifts). Katika kujitetea, jeshi

la Marekani lilijiweka mbali na tukio hilo likidai kuwa ni vitendo vya watu binafsi na likiomba radhi kwa familia za waliokufa likasema kuwa picha hizo Inaendelea Uk. 11

JUU baadhi ya askari wa Marekani walioshitakiwa kwa kuua kikatili Afghanistan. Chini mmoja wao akipigwa picha wakati akiua kijana asiye na hatia.

Page 11: ANNUUR 1170

11 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 201511 AN-NUURMakala

Ugaidi: Mpango wa kuuwa WaislamuInatoka Uk. 10wa Kikosi cha kupambana na Osama Bin Laden.

Katika mahojiano na Channel 4 News, juu ya IS , kachero huyo M i c h a e l S c h e u e r , n i kama anarudia yale yale aliyowahi kuyasema kuwa kinachodaiwa kuwa ni ugaidi wa Al-Qaida kama adui wa Marekani ni mambo ya kuzua tu ili mabeberu wapate mradi wao katika Mashariki ya Kati na mahali pengine duniani. Michael Scheuer aliwahi kusema kuwa Al-Qaida, haikuwahi kuwa adui wa Marekani Osama akiwa hai na hata baada ya Osama Bin Laden kufa.

K a u l i y a k a c h e r o m s a t a a f u M i c h a e l Scheuer kuwa inachotaka M a r e k a n i n i k u o n a Waislamu wakiuwana wenyewe kwa wenyewe kupitia IS (Sunni) na Shia (jeshi la Iraq/Sunni), inatilia nguvu alichowahi kusema Prof . Michel Chossudovsky kuwa inachofanya Marekani ni danganya toto tu katika kile inachosema kuwa inawashambulia IS kwani ingetaka ni jambo la dakika chache tu inawamaliza. Bali inahadaa ulimwengu kuwa inawapiga wakati inawataka na kuendelea kuwapa silaha na pesa ili kuwafanyia kazi.

Pamoja na kutimiza m a l e n g o h a y o y a mabeberu, inaelezwa kuwa yapo mafanikio mengine yanapatikana katika haya yanayokolezwa na IS, Boko Haram na wengine kama hao. Kuuchafua U i s l a m u k a m a n j i a nyingine ya kuupiga vita ukose kukubalika kwa walimwengu. Kupitia visa vya IS na Boko Haram, U i s l a m u u n a p a k w a matope uonekane n i dini ya mauwaji, ukatili, ushenzi na ukale uliopitwa na wakati.

Hali inakuwa mbaya kwa Waislamu kwa sababu wakati wanasingiziwa ugaidi, ukatili na mauwaji, wanalipa pia gaharama ya uwongo huo. Wao ndio wanaouliwa kwa kusingiziwa ugaidi kama walivyouliwa wale vijana wa Afghanis tan kwa mchezo wa kulengwa shabaha wakisingiziwa ugaidi.

Ukisoma uchambuzi “The Muslim Bogeyman”, u l ioandikwa na Kim Pe t e r s e n , h i v i s a s a Waislamu wamefanywa k u w a ‘ d u b w a n a ’ (bogeyman), unazuliwa urongo, yanafanyika mashambulizi ya kupanga (false flag terror attacks), wanasingiziwa Waislamu na inakuwa sababu ya kupigwa tena.

Kwa bahat i mbaya kabisa, umekosekana uongozi kwa Waislamu wenye kutambua hila h i z i z a m a k a f i r i n a u n a o k u b a l i k a k w a Waislamu, unaoweza kutoa uchambuzi wa kisomi na maelekezo kwa Waislamu. Matokeo yake katika mtafaruku huo, Waislamu wanajikuta w a k i o n g o z w a n a mihemko isiyo na tija na kutumbukia katika balaa jingine la kutumika katika proxy war ya mabeberu na maadui wa Uislamu.

Habari kuwa majeruhi wa ISIS wanatibiwa katika hospitali za kijeshi za Israel, ni ushahidi mwingine kuwa hawa IS ni ‘kifaa’ kingine na ‘intelligence asset’ za mabeberu kama ilivyo Al-Qaida na Boko Haram.

L a k i n i u k i a c h a h a o w a n a o h e m k w a wakazolewa na kuingizwa katika kikosi cha ‘vifaa vya wapigania masilahi ya mabeberu’ bila wao kujitambua, huku tuliko nako mihemko ni ile ile ambapo, baadhi yetu tunajikuta tukijitumbukiza katika vitendo ambavyo haiwi vigumu kwa akina Jeremy Morlock na “Kill Team” zao pamoja na mawakala wao nchini, k u j i p a t i a s a b a b u z a kututumbukiza katika tuhuma za ugaidi na kutubamiza.

Kwa hakika , kama kuna k i tu Wais lamu wanakihitajia hivi sasa kuliko chingine, ni uoni wa Kiislamu wa kisomi utakaoweza kuchambua h a l i i n a y o w a k a b i l i Waislamu hivi sasa na kutambua namna ya k u j i n a s u a n a k u t o a uongozi kwa ulimwengu kwa ujumla.

Michael Scheuer. Picha chini maiti za vijana wasio na hatia waliouliwa na askari wa Marekani nchini Afghanistan katika kile kilichoitwa "Kill game".

Page 12: ANNUUR 1170

12 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 201512 MAKALA

Changamoto zinazoukabili umma wa Kiislamu - 2

Inatoka Uk. 8

kwa kuivamia Tunisia. Walishindwa vibaya sana! Kwa mara nyingine tena, Makruseda wakashindwa kuiteka nchi ya Waislamu. Wakati Mfalme Louis wa tisa alipokuwa gerezani baada ya 'Crusade' ya saba, aliweza kubuni mbinu ya jinsi ya kuusambaratisha umma wa Ki i s lamu, mbinu ambayo haraka aliitangaza kwa jamii ya Ulaya. Aliwaambia wenzake:

“You can’t possibly defeat the Muslims in the battle arena, you must first defeat them in the arena of ideology. Then, it would be easy for you to dominate them. And, they are a people who are careful against cultural sedatives from you.”

" H a i w e z e k a n i kuwashinda Waislamu k w e n y e u wa n j a wa m a p a m b a n o , l a z i m a u w a s h i n d e k w a n z a k w e n y e u wa n j a wa itikadi. Halafu, ndiyo itakuwa rahisi kwenu kuwatawala. Na hawa ni watu waangalifu mno dhidi ya vishawishi vya k iutamaduni kutoka kwenu"

Maneno hayo ya mfalme Louis, ndiyo yamekuwa muongozo kwa viongozi wa kisiasa, kijeshi na k id in i baran i Ulaya mpaka leo. Kwa kweli, hata Napoleon Bonaparte, alijifanya kuwa Muislamu i l i aweze kuubomoa Uislamu kutokea ndani, wakati alipoivamia Misri mnamo karne ya 19.

Kwa kuidhoof i sha nguvu yao ya imani, hakika wito wa Jihad kwa Waislamu kuwafukuza wavamizi katika ardhi zao, haukuweza kusikika t e n a . M a s h a m b u l i z i ya kiit ikadi yalianza kupenyezwa kwenye fikra za Waislamu baada ya kuanguka kwa dola ya mwisho ya Kiislamu, 'Ottoman Empire' kule Uturuki. Mafundisho ya Usekula, ukomunisti, utaifa, demokrasia na nadharia za 'evolution' yakabebwa kichwa kichwa na umma wa Kiislamu, ambao tayari ulishakuwa mbali na mafundisho ya Qur'an.

N d u g u z a n g u , mafundisho hayo ni uwanja wa v i ta vya kifikra, ambayo hupata m s u k u m o m k u b w a

kutoka kwa watawala vibaraka katika nchi za Waislamu, ambao hutumiwa na maadui kuwahujumu Waislamu wenzao.

Hivi ni vita vya kiitikadi. Ni vita vya kifikra ambavyo ni vibaya zaidi kuliko vile vya silaha. Maadui wa Mwenyezi Mungu wamevamia fikra za Waislamu duniani kwa kutumia mbinu za hali ya juu. Uvamizi huo wa kifikra uko katika miundo kama hii:

Ta s h k i k - Ya a n i kupandikiza mashaka n a u p o t o f u k we n ye akili za Waislamu kuhusu maarifa ya Uislamu. Ndiyo maana utaona makundi ya Waislamu yanapingana katika vitu vya msingi sana ambavyo vilipaswa kuwaunganisha badala ya kuwagawa.

Tashwish - kuwaondolea Waislamu fahari (izzah) ya dini yao.Wamekuwa wakichora picha mbaya ya Uislamu kuwa ni dini ya ukatili, ugaidi, siasa kali na isiyostaharabika. Na wanafanya hivyo kwa kupotosha historia na ukweli kuhusu Uislamu.

Tadzwib - kuchanganya haki na batili kwa kupandikiza ' s h u b h a t ' m b a l i m b a l i ,

mpaka umma wa Kiislamu unachanganyikiwa kiasi cha kutojua lipi ni la ukweli na lipi ni la uongo. Utamkuta Muislamu anatetea upotofu kwa Aya na Hadith, mpaka mate yanamkauka, wakati Mwenyezi Mungu anaonya:

"Wala msichanganye haki na batili, na mkaficha haki, na hali mnajua" (Qur 2:42:).

Taghrib - Kuufanya umma wa Kiislamu duniani uchukue mwelekeo wa Kimagharibi kwa kupandikiza fikra, mafundisho na utamaduni wa Kimagharibi . Hapa ndipo utakapoona umuhimu wa maneno ya Mwenyezi Mungu:

" Wa l a h a w a t a a c h a kupigana nanyi mpaka wakutoeni katika dini yenu, kama wakiweza..." (Qur 2:217).

Ni kutokana na sababu hii kwamba ni muhimu sana kwa Muislamu mmoja mmoja kufanya 'Muhasabah' (kujihakiki yeye mwenyewe). Tujiulize upande wetu uko wapi katika vita hii? Je, tunashinda vita hii ya kifikra au tunashindwa? Tupo kwenye kambi mmoja na makafiri au kwenye kambi inayopingana nao?

Masheikh wafungua kesi Inatoka Uk. 1serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

M a s h e i k h h a o wa m e wa s i l i s h a h o j a nzito mahakamani hapo, wakipinga mpango huo ambao wamesema upo kinyume na Uislamu na Katiba ya Tanzania.

Kwa mujibu wa hati ya madai iliyofunguliwa kwa hati ya dharura, Masheikh hao wamejenga hoja kwamba, mpango wa serikali kumpa Mufti wa BAKWATA mamlaka ya kuunda Mahakama ya Kadhi na kuteua Makadhi, ni kinyume cha sheria za Kiislamu kwani Mufti ni mtu ambaye yuko chini ya Kadhi hivyo si sahihi yeye kuteua Makadhi.

A i d h a w a m e d a i kuwa sio sahihi Mufti wa BAKWATA kupewa m a m l a k a ya k u t e u a M a k a d h i w a k a t i B A K WATA , t a a s i s i anayoiongoza ni taasisi ya binafsi wakati Mahakama ni taasisi ya umma yenye mamlaka ya kimahakama, kwa maana hiyo jukumu la uundwaji wake haiwezi kuwa sahihi kupewa taasisi binafsi na kwamba, kitendo hicho ni kinyume cha katiba.

K a t i k a h a t i h i y o Masheikh hao wamedai kuwa BAKWATA ni taasisi inayowakilisha sehemu ndogo ya waumini wa Kiislamu, hivyo haina m a m l a k a ya k i s h e r i a kusimamia na kuwakilisha Waislamu wote na kwamba, kulazimisha hilo ni kuvunja katiba ya nchi.

Vile vile imedaiwa kuwa serikali haijazingatia maoni ya taasis i za Ki is lamu yal iyotolewa mbele ya K a m a t i ya S h e r i a ya Bunge kuhusu muswada wa Mahakama ya Kadhi, badala yake imechukua m a o n i ya s i y o k u wa ya Waislamu na BAKWATA pekee bila kuwepo muafaka na Waislamu ambao ndio wa t a k a o h u k u m i wa n a mahakama hiyo, jambo ambalo ni kinyume cha sheria.

K u l i n g a n a h o j a w a l i z o z i w a s i l i s h a m a h a k a m a n i h a p o , Masheikh hao wanaiomba mahakama itoe amri ya kuzuia muswada huo kupelekwa Bungeni , hadi kwanza muafaka upatikane baina ya serikali na Waislamu.

“Hili ni jambo la kisheria kwa sababu mahakama lazima iwe na nguvu za kisheria na iwe chombo

cha kusimamia utekerezaji wake, sasa ikiwa taasisi binafsi imepewa nguvu hiyo, utekelezaji utakuwa vipi? Ndio maana sisi t u m e k u j a k u p i n g a hilo kwamba, kwanza lijadiliwe na taasisi zote za Kiislamu ikijumuishwa na Bakwata katika kufanya hiyo”. Alisema Sheikh Lwambo alipozungumza na gazeti hili.

Alisema kwa kipindi kirefu serikali imekuwa ikiipa nguvu BAKWATA ili kuwadhibiti Waislamu kiujanja ujanja na kwamba, wakati wote huwa ujanja huo hufanyika hususani kinapokaribia kipindi cha uchaguzi, hapo hutafutwa hila zozote za kuwadhibiti Waislamu na kuharibu taratibu za mchakato wa Mahakama ya Kadhi.

S h e i k h L w a m b o alisema serikali inataka kuipa nguvu taasisi moja ili kuwadhibiti Waislamu, wakati kukiwa hakuna sheria inayoipa mamlaka serikali kuwachagulia Wais lamu taas is i ya kuwaongoza na kwamba, hata katika chama cha s i a s a , h a i w e z e k a n i kuwalazimisha watu wote wawe CCM, CUF au CHADEMA.

“ H a i w e z e k a n i kuwachagulia Waislamu kuwa katika taasisi moja, wakati kuna taasisi na jumuiya zilizosajiliwa k a m a i l i v y o s a j i l i wa Bakwata, tatizo hilo ndilo l inalowafanya hivyo watu waamini kwamba Bakwata ni tawi au ni chombo tu cha serikali cha kuwadhibiti Waislamu, k w a k w e l i s e r i k a l i inafanya jambo la hatari kuipa taasisi moja nguvu kama kuunda Mahakama, jambo ambalo halijawahi kutokea kama itafanya hivyo.

“ D u n i a n i k o t e Mahakama zinaundwa kwa mujibu wa sheria zinazoongoza nchi na hawezi kuwa iundwe na taasisi. Kuipa nguvu BAKWATA ni kinyume cha sheria, kwa hiyo sisi tunalipinga hilo, sasa tunasubiri tarehe ya kuanza kesi”, alisema Sheikh Luambo.

Kesi hiyo ni tofauti na ile iliyofunguliwa na Mchungaji Christopher Mtikila, ambaye ameomba mahakama izuie kabisa mchakato wa Mahakama ya Kadhi nchini.

Shauri hilo limepangwa kusikilizwa tarehe 31 mwezi huu mbele ya Majaji watatu ambao ni Jaji Stella Mugasha, Jaji Sylvester Mziray na Jaji Suleiman Kihiyo.

ILALA ISLAMIC SECONDARY USAJILI S.2401

KIDATO CHA TANO NA KURUDIA MITIHANI

KWA WASICHANA TUIPO: ILALA-AMANA-MTAA WA ARUSHA: MASJID SHAFII

SHULE YA BWENI NA KUTWA

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,

B/keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Qur’anCOMBINATION

PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEAUFAULU 2014

KIWILAYA 3/76, KIMKOA 10/191, KITAIFA 118/2322Kwa shule za kiislam KIWILAYA (1) KIMKOA (2) KITAIFA (5)

Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, VMAWASILIANO

Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964

KWA WAVULANA TUIpo Ilala-Bungoni: Masjid Taqwa

DAR ES SALAAM ISLAMIC SEC.

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce, B/

keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Qur’an

COMBINATIONPCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA

UFAULU 2014Kama Ilala Islamic, imetenganishwa toka Ilala Islamic

Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, VMAWASILIANO

Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964Ada ni nafuu na inalipwa kwa awamu nne

MLETE MWANAO APATE ELIMU NA MALEZI BORA

USAJILI S.4384

Page 13: ANNUUR 1170

13 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015MAKALA

DAWA UGONJWA UNAOTIBIWA1 HAIIBA DENTAL

GUARDM a u m i v u ya meno

Maambukizi ya gram positive bakteria kwenye kinywa H a r u f u m b a y a kinywani

2 HAIIBA DENTAL GUARD COMBO

M a u m i v u ya meno

Maambukizi ya gram p o s i t i v e b a k t e r i a kwenye kinywa

H a r u f u m b a y a kinywani

Magonjwa ya fizi Kujenga upya meno yenye matundu

3 HAIIBA IG Kuongeza kinga za mwili Vidonda vya tumbo Kurekebisha athari za kisukari cha ukubwani

4 H A I I B A I G COMBO

Hupunguza mzigo wa virusi vya ukimwi mwilini

5 HAIIBA TIMAMU TEA

M a u m i v u ya viungo

Kusawazisha Cholesterol

K u h i f a d h i m n y u m b u k o wa ngozi

Kupunguza shinikizo la damu

Hupunguza madhara ya kisukari cha ukubwani

Hukinga dhidi ya uharibifu wa ini

Uchovu Kupunguza k a s i y a kuzeeka

K u i m a r i s h a siha ya ngozi

Kupunguza uwezekano wa kupata shambulio la moyo (Heart Attack)

Hupunguza makali ya maradhi ya kupoteza k u m b u k u m b u (Alzheimer’s disease)

Hukinga mapafu yasipate makovu

Homa za mara kwa mara

Usagaj i wa c h a k u l a tumboni

K u i m a r i s h a siha ya macho

Huboresha siha ya mishipa ya fahamu

Huharakisha kupona majeraha

Hukinga dhidi ya ugonjwa wa ngozi k u c h u j a r a n g i (vitiligo)

M f u r o (Inflammation)

Kusafisha ini Kinga dhidi ya saratani

H u o n g e z a A l k a l i mwilini

Hupunguza makali ya ugonjwa wa baridi ya yabisi (Arthritis)

Husafisha kinywa dhidi ya bacteria wasiotumia oxygen

Kinga za mwili K u b o r e s h a m z u n g u k o wa damu

Kuharibu seli z a s a r a t a n i z i l i z o k o mwilini

Huzuia cholesterol m b a y a ( L D L ) kuingiliana na oxygen na kuleta madhara

Hupunguza kasi ya ongezeko la virusi vya ukimwi

Ni kinga dhidi ya utapiamlo

DAWA UGONJWA UNAOTIBIWA6 HAIIBA GLUCOMASTER

PROGRAMMEHutibu Kisukari cha ukubwani Kurekebisha athari za kisukari

cha ukubwani

7 HAIIBA P & B Kuziba mkojo Kibofu kilicholegea8 HAIIBA C CLEAN Malaria sugu Maambukizi ya njia ya

mkojoKuondoa bacteria wabaya tumboni Saratani mbalimbali

9 H A A I B A FA M I LY BUSINESS

Kuondoa ukhanithi Kuimarisha sana uwezo wa tendo la ndoa Maumivu ya kiuno na mgongo

10 HAIIBA CLEAN UP Kusafisha tumbo na njia ya haja kubwa

Kurekebisha mfumo wa usagaji chakula Nguvu za kiume

11 HAIIBA MLONGE PACK Kinga imara dhidi ya utapiamlo Huimarisha kinga za mwili Huondoa uchovu

HERBAL IMPACTP.O.BOX 70949, DAR ES SALAAM.

SIMU: 0754281131/0655281131MOSQUE STREET, NO.1574/144, KITUMBINI DAR ES SALAAM (MKABALA NA MSIKITI WA SUNNI

Inaendelea Uk. 16

WATU wanaoumwa ugonjwa wa figo (kidney disease/renal failure) wanahimizwa kuwa makini na chakula chao ili kupunguza kasi ya ugonjwa na madhara yake. Kazi ya figo ni kuondoa sumu (toxins) kutoka katika mzunguko wa damu na kuzitoa mwilini kupitia njia ya mkojo. Kama figo hazifanyi kazi vizuri, mwili unaanza kuhifadhi kiwango kikubwa kuliko inavyohitajika cha maji, taka na mazao mengine yasiyohitajika yanayotokana na mchakato wa ujenzi na uvunjifu wa kemikali mwilini (metabolisim)

Kuna aina nne za taka a m b a z o z i s i p o o n d o k a mwilini kwa muda muafaka, basi mwili utainingia katika matatizo makubwa sana kiafya. Taka hizi ni: Maji yaliyokwisha tumika mwilini, Ziada ya madini chumvi

Umuhimu wa miiko ya lishe kwa wagonjwa wa figoNa Juma Kilaghai (sodium), Ziada ya madini ya

potassium, Ziada ya madini aina ya phosphorous na Ziada ya protini

Taka hizi ni zao la lishe ye tu ya k i la s iku . Hi i ina maana kwamba kwa mgonjwa wa figo ambaye mwili wake hauna uwezo wa kuondoa taka hizi kwa kasi na kiwango kinachotakiwa, suala la kuangalia lishe kwa umuhimu mkubwa ni la lazima.

Kuna virutubisho vitano: Maji ni kirutubisho muhimu sana kwa mwili. Bila kunywa maji mwili unajiweka katika mazingira ya kukabiliwa na upungufu mkubwa wa maji na hali hiyo itapelekea kuzuka kwa matatizo mengi sana ya kiafya. Maji yakishafanya kazi iliyokusudiwa mwilini, ni lazima yatolewe nje ya mwili. Njia zinazotumika ni pamoja na njia ya mkojo, njia ya jasho na njia ya kupumua. Hata hivyo njia kuu ni ile ya mkojo. Wagonjwa wa figo hutoa kiasi kidogo tu cha mkojo,

na wakati mwingine hawatoi kabisa. Hali hii hupelekea siyo tu maji yaliyotumika kulundikana mwilini, lakini pia kulundikana kwa taka nyingine ambazo ili zitoke m w i l i n i k wa k i wa n g o kinachotakiwa, ni lazima zitoke kama viambata vya mkojo.

Kitendo cha kulundikana kwa maji mwilini kinaweza kumsababishia mgonjwa madhara makubwa. Kwa sababu hii, kitendo cha kunywa maji mengi kwa mgonjwa wa figo ni cha h a t a r i . M z u n g u k o wa damu unapokuwa na kiasi kikubwa cha maji kuliko kikomo cha ujazo wake, maji yanaanza kulundikana katika seli na hatimaye kujaa katika mapafu, na maeneo mengine yoyote ya mwili yanakoweza kupata hifadhi. Hali inapofikia hapa, viungo vya mwili, kwa mfano uso, viganja na miguu huvimba hali inayoweza kupelekea pete na viatu vikaanza

kubana. Ukubwa wa tatizo la kujaa maji mwilini hauwezi kuendelea kupuuzwa pale tatizo linapoanza kuathiri utendaji kazi wa moyo na mapafu.

Hata hivyo kutokunywa maji kabisa haiwezekani kwa sababu mgonjwa atakabiliwa na upungufu mkubwa wa maji na atakumbwa na matatizo ya kiafya yanayotokana na upungufu mkubwa wa maji ndani ya mwili. Wataalamu wanashauri kuwa mgonjwa wa figo asiache kunywa maji kabisa, bali kwa siku anywe maji kiasi kinacholingana na ujazo wa mkojo aliokojoa katika siku iliyotangulia, na nyongeza ya kiasi cha mililita 500 hadi 700. Hii ina maana kwamba mgonjwa wa figo ni lazima kupima ujazo wa mkojo anaokojoa kila siku.

MADINI CHUMVI (SODIUM)Kwa kawaida madini

chumvi yana tabia ya kuzuia maji kuondoka mwilini. Hii ndiyo sababu idadi kubwa ya watu hukumbwa na kiasi

fulani cha kuvimba siku moja baada ya kuwa wamekula chakula chenye chumvi nyingi. Hata hivyo kama mafigo yao yanafanya kazi vizuri, hali hiyo hujitatua yenyewe ndani ya siku moja au mbili. Mtu mwenye afya njema anaweza pia kujisaidia zaidi kuondokana na hali hiyo kwa kunywa kiasi kikubwa cha maji, ambayo yatafanya kazi ya kusafisha ( f lush) madini chumvi yaliyozidi mwilini kwa kasi zaidi kupitia njia ya kukojoa.

Watu wenye maradhi ya figo wanatakiwa kuwa makini sana na kiasi cha madini chumvi kinachongia mwilini mwao. Inapendkezwa kuwa watu hawa was i ing ize mwilini mwao zaidi ya mg 1,500 za madini chumvi kwa siku. Figo zinazoumwa zinafanya kazi chini ya kiwango katika uondoshaji wa majimaji yenye sumu k a t i k a m z u n g u k o w a

Page 14: ANNUUR 1170

14 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015Makala

Na Ben Rijal

Na Ben Rijal

M a k a l a h i i i t a m u a n g a l i a Mwanasayansi, mjuzi wa elimu ya nyota na hesabati na mshairi O m a r K h a y y a m ambaye ni kati ya wale wa l i o t o a m c h a n g o katika maendeleo ya Sayari yetu hii. Ni nani Omar Khayyam? Jina hili katika ulimwengu w a M a g h a r i b i huzungumzwa zaidi juu ya ushairi kuliko taaluma y a s a y a n s i . O m a r Khayyam ameandika mashairi mengi katika maisha yake, mashairi a l iyoyaandika kwa mtindo wa baiti nne nne. Inafahamika kuwa Omar Khayyam ameandika zaidi ya mashairi alfu moja, lakini lilotia fora na kujulikana zaidi ni lile la Rubaiyat Omar Khayyam lilotafsiriwa kwa Kiengereza na Edward Fitz Gerald alioishi kutoka mwaka wa 1809 hadi 1883.

O m a r K h a y y a m ni mzaliwa wa Iran amezaliwa tarehe 18 Mei ka t ika mwaka wa 1048 . J ina lake kamili ni Ghiyath al-Din Abu’l-Fath Umar I b n I b r a h i m A l -Nisaburi al-Khayyami. Anatokana na kizazi cha watengeneza mahema.

O m a r K h a y y a m , m s h a i r i , m j u z i wa Sayans i na Mwana Falsafa

Katika maisha yake ya utotoni na ujana wake aliisihi katika mji wa Balikh ambao inaaminika kwa sasa ndio nchi ya Afghanistan. Alianza masomo yake

Mchango wa Waislamu Katika Maendeleo ya DuniaOmar Khayyam -4

Sanamu ya Mwanasayansi Omar Khayyam

Fatilia kuandama kwa MweziLeo Ijumaa ni tarehe 6 Jumada-at-Thania

1436 AH yaani mfungo Tisa, tarehe 27 kwa Kizungu.

Tutaangalia kuandama kwa mwezi wa Rajabu tarehe April 19, 2015.

Tutaangalia kuandama kwa mwezi wa Shabana tarehe May 18, 2015.

Tutaangalia kuandama kwa mwezi wa Ramadhani tarehe June 16, 2015.

Kutoka leo Ijumaa ya tarehe 27 March hadi kufika Ramadhani, tumebakisha siku 91.

Mwezi utazaliwa tarehe 16 June 2015 saa 11:05 za jioni. Juni 16 hautoonekana mwezi popote pale Duniani. Na tarehe 17 utaonekana kwa taklifu katika maeneo ya Kusini-Mashariki ya Asia, Kaskazini mwa Afrika, Australia na Indonesia. Lakini utaonekana kwa urahisi katika maeneo ya Afrika Mashariki na sehemu mbalimbali za bara la Afrika. Ramadhani Mosi itakuwa tarehe 18 Juni, 2015.

kwa mmoja wa magwiji waliokuwa wanavuma z a m a h i z o S h e i k h Muhammad Mansuri kisha akaendelea na

masomo yake chini ya kigogo kilichokuwa kikiaminika katika mji wa Khorasan, Imam Mowaffaq Nishapuri.

O m a r K h a y y a m alikuwa mtu mujitahid, katika maisha yake ya utu uzima akiutumia wakati wake katika kusomesha, kufanya kazi katika mahakama na unapofika usiku b a d a l a y a k u l a l a , alikuwa akijishugulisha kufanya utafiti juu ya mwenendo wa nyota.

Somo la Aljebra na Jomitri (Algebra na geometry) ndio masomo mawili aliyoyafanyia kazi kubwa na kuandika juu ya r i sa la zake mbalimbali. Alikuwa akihudhuria kat ika mahakama ya Selijuq akiwa kama mshauri muelekezaji kwa Malik-Shah I . Al iendelea kufanya kazi zake za kitafiti na kupata utulivu mkubwa alipokuwa chini ya uongozi wa Sultan Malik-Shah I, lakini alipofariki Sultan Malik-Shah I alikuwa k a t i k a m s u k o s u k o mkubwa uliompelekea kushindwa kufanya kazi zake kwa utulivu. Hayo yalitokana na mjane wa Sultan Malik-Shah I kutomkubali na kutompa nafasi ya kujifaragua. Hapa ndipo utapoona f ika j insi wanawake wanaposhika hatamu kushindwa kuwa wastahamailivu na kuwa wakali.

Katika uga wa hesabati, Omar Khayyam alifanya kazi kubwa mno kwani aliweza kufanikisha juu ya somo la Umbo la sambusa katika uwili (triangular array of binomial coefficients) ikiwa kimambo leo inajulikana kama umbo la sambusa la Pascal’s (Pascal's triangle). Baada ya kazi hii nzito ndipo hapo utapomfahamu Omar Khayyam akili yake ilivyokuwa na upeo mkubwa wa hesabati alipoandika Sharh ma ashkala min musadarat kitab Uqlidis akielezea namna kazi ya Myunani Eucilid juu ya hesabu na kuweza kuirahisisha na kuifanya ifahamike zaidi na kuifanyia kazi kwa njia ya wepesi. Kazi hii ilitafsiriwa kwa Kiengereza "On the Difficulties of Euclid's Definitions”, kazi hii ikaja kueleweka zaidi

na Thabit ibn Qurra. Al-Haytham alizama katika kuyasoma maandishi ya Omar Khayyam na kazi yake hii ilikuja kupata upinzani na upinzani huo ulikuja kuchochea kuonekana kuwa ni kazi ya maana katika nchi za Magharibi.

Katika somo la Jometri (geometry) katika suala la mlingano (Proportion) alifanya kazi kubwa kuweza kuifahamisha nadharia hii ambayo ika ja kufwatwa na wajuzi kama Al-Khazini n a A b u H a t i m a l -Muzaffar ibn Ismail al-Isfizari walioifanya fani hii kufwata mkondo huo hadi hivi sasa.

M o j a y a k a z i z a k e z a h e s a b a t i za Omar Khayyam zimehifadhiwa katika Makumbusho ya Iran

Katika elimu ya nyota alijushugulisha sana na ulipofika mwaka wa 1073, Mfalme wa Seljuq Sultan Jalal al-Din Malik-Shah Saljuqi (Malik-Shah I, 1072–92), alimpa kazi ya kuongoza utafiti Omar Kahayyam akiwa kama kiongozi wa jopo la wasomi katika kuirekebisha kalenda i l iokuwa ikitumiwa nyakazi hizo. Kazi hiyo ilikamilika katika mwaka wa 1079 iki julikana kama kalenda ya Jalali. Kalenda hii ilitumika kuanzia karne ya 11 hadi ya 20 ikiwa ndio msingi mkuu wa Kalenda ya Ki-Iran inayotumiwa hadi sasa katika nchi za Iran na Afghanistan. Kazi hii inaaminika kuwa ilikuwa yenye ubora na ukamilifu kuliko kalenda ya Kizungu (Gregorian Calendar).

K a t i k a u g a w a F a l s a f a a m e a n d i k a maandiko mbalimbali ambayo yamebakia kuwa kigezo hadi hii leo, namna alivyokuwa akiona mbali na kuweza kuzitolea tafsiri kazi za Ibn Sinna utaelewa kuwa Omar Khayyam alikuwa ni mzito na wa kupigiwa mfano. Wengine wakimuona kuwa ni Suffi na wengine wakimtoa makosa hasa katika kazi zake za ushairi.

Katika kazi za ke za Falsafa: Ameandika Risālat Al-Kawn wa al-taklīf

Inaendelea Uk. 18

Page 15: ANNUUR 1170

15 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015Makala

MAKALA hii itaangalia miti iliyokuwa ya madawa iliyotajwa katika Quran na tiba zake. Miti ni sehemu kubwa ya mwanadamu katika maisha yake iwe kujipatia chakula, majengo, kupata fanicha za nyumbani, maguzo ya taa na simu, majengo n.k. Mwanadamu katika maisha yake katika nyakati tafauti ameweza kuelewa faida ya baadhi ya miti na faida zake. Tunaelezwa kuwa katika watu wa Marekani ya Kusini pale mgonjwa wa Malaria ilipopanda kichwani homa ya Malaria, alikimbia na kufika mpaka kwenye mti wa Mkuinini akaanza kutafuna magome yake na baada ya muda mchache, akapata nafuu na kuanzia hapo ikawa wakazi wa hapo anapoumwa na Malaria huchemshiwa gome la Mkuinini na hupata nafuu.

Miti mbalimbali ya madawa imetumika kwa njia hizo za kubahatisha. Hivi sasa kuna somo maalumu linaoitwa “Ethno Botany” linalohusiana na miti ya madawa. Kuna matibabu ya maradhi ambayo Mtume SAW aliwafundisha masahaba na vilevile kuna miti katika Qur’an baada ya utafiti ilikuja kujulikana kuwa ina faida kubwa katika matibabu.

Makala hii nimejaribu kuiorodhesha miti 10 kati ya mi t i 19 i l io fanyiwa utafiti kuwa na faida kubwa katika uwanja wa utibabu. Nimejaribu kuweka picha zake i l i msomaji aweze kuitambua na iwe kisaidizi kwa wanafunzi wanaosoma somo la Uhai (Biology).

Mtende : Mtende kwa kitaalamu unaitwa Phoenix dactylifera.Umetajwa katika Quran mara 20 katika Surah: 2:266; 6:99; 6:141; 13:4; 16:11; 16:67; 17:91; 18:32; 19:23; 19:25; 20:71; 23:19; 26:148; 36:34; 50:10; 54:20; 55:11; 55:68; 69:7; 80:29.

Faida zake: Pale sukari inaposhuka (Hypoglycemia) unapokula tende huipandisha k wa h a r a k a n a n d i p o Wais lamu wamesuniwa wanapofungua kwa kuwa sukari ndani ya mwili huwa i m e s h u k a wa m e t a k i wa jambo la mwanzo wale tende tena kwa njia ya witri (odd) yaani kwa kula kwa idadi isio gawika kwa 2, 1, 3, 5, 7, 9…..unapokohoa unapotumia tende husaidia kupona kwa haraka kikohozi, unapoharisha ukila tende huzuwia kuharisha.

M z a i t u n i : M z a i t u n i kwa jina la Kitaalamu Olea europea.

Mzaituni umetajwa katika Quran mara 6 katika Surah 6-99; 6-141; 16-11; 23-20; 24-35.

Miti katika Qur’an na Mazingira-2Na Ben Rijal

Picha ya Mzaituni

MTENDE

KOMAMANGA

Faida zake :Mafuta ya Mzaituni ni mafuta yasio na lahamu ni mazuri kwa kupikia kuweza kuwa na afya bora. Unapopata na uchafu wa mkojo Zaytuni ni hurahisha kusafisha mkojo. Zaytuni husaidia kushusha sukari.

Mzabibu: Mzabibu kwa jina la Kitaalamu Vitis vinifera

Mzabibu umetajwa mara 11 katika Surah ((2-266; 6-99; 13-4; 16-11; 16-67; 17-91; 18-32; 23-19; 36-34; 78-31, 32; 80-28

Faida zake : Mzabibu una kitu kinaitwa Antioxidant husaidia unapokula Zabibu kutibu maradhi ya Moyo na Figo. Mbegu za mzabibu zinapotwangwa na kuchanganywa na maji na kuosha uso, husaidia kuumwa kwa mtoto wa jicho na saratani ya matiti.

4.Komamanga : Komamanga kwa kitaalamu unaitwa Punica granatum

Komamanga limetajwa mara 3 katika Surah 6-99; 6-141; 55-68, Tini imetajwa mara 1 Surah 95 :1

Faida zake : Hupunguza maumivu ya tumbo. Kamba lake unapolichemsha, ina Vitamini C. Inashusha sukari, ina riboflavin, thiamine, niacin, na phosphorous vitu vilivyo muhimu kwenye mwili wa mwanadamu.

Komamanga5. Thoumu : Ki tunguu Thoumu kwa

kitaalamu unaitwa Allium sativum.

Kitunguu Thoumu kimetajwa mara moja Surah 2 :61.

F a i d a z a k e : H u s a i d i a kushusha lahamu, husaidia kupunguza kuganda kwa damu, hupunguza uvimbe, husaidia kuondosha makovu. Sharbati yake hutumiwa kwa wingi katika nchi za bara la Asia. Hivi sasa kwa kitaalamu kumetengenezwa vidonge vya Thoumu na watu hutumia kila siku kidonge kimoja hadi viwili kuweza kudhibiti maradhi ya moyo.

Kitunguu Thoumu6. Kitunguu maji: Kitunguu

Maji kwa kitaalamu unaitwa Allium cepa

Kitunguu maji kimetajwa mara moja katika Surah 2:61

Faida zake: kitunguu maji husaidia kupanda kwa sukari mwilini, huponyesha kuumwa kwa tumbo na husaidia katika kuponyesha kuumwa na tumbo. Tunapokitumia katika malaji yetu ya kila siku, hufanya kazi ya hayo niliokwisha kuyaeleza.

7. Mtangawizi: Mtangawizi kwa kitaalamu unaitwa Zingiber officinalis

Mtangawizi umetajwa mara moja Surah 76 :17.

Faida zake : Wataalamu wa A m e r i c a n C a n c e r Society wanafahamisha kuwa tangawizi hutumiwa katika kutibu Saratani. Husaidia kuzuwia uvimbe k u k u wa . K a t i k a t a f i t i nyengine z inaonyesha kuwa Tangawizi husaidia kulewa kwa bahari. Katika taaluma ya tiba husema kuwa Tangawizi humsaidia mja mzito ingawa kuna baadhi ya tafiti zinaeleza kuwa sio vyema kwa mja mzito kutumia Tangawizi.

Tangawizi 8 . Hena: Hena kwa

k i t a a l a m u u n a i t w a Cinnamonum camphora

Hena umetajwa mara moja katika Surah 76 :5,

Faida zake: Hutumika k u u w a v i j i d u d u vinosababisha maradhi. H u s a i d i a k u p u n g u z a Shindikizo la damu. Maradhi ya pafu hut ibiwa kwa kutumia mhina. Mzizi wa Mhina hutumiwa vibaya na wawanawake na sio vyema kutaja hayo wayafanyao w a s i o j u a w a k a a m u a kuutumia. Wafasiri wengine wa Quran wanasema huu Mhina uliotajwa sio huu tulionao. Mhina huo upo Peponi na wataunywa wale walionadi sala.

9. Arak (Msuwaki wa jiti): Arak kwa kitaalamu unaitwa Salvadora persica

Mkunazi kama Msuwaki umetajwa mara moja 34 :16.

F a i d a z a k e : H u i t wa Msuwaki wa jiti ambao unaelezewa ukiwa unaupigia huimarisha meno kuwa mazima na kupambana na vijidudu kama bacteria. Unapoutumia huwa huna haja ya kutafuta dawa za meno mfano wa Colgate, Pepsodent, White dent n.k. Majani yake unapoyatwanga na kusugua kwenye uvimbe, hurudia hali ya kawaida.

10. Adesi: Kitaalamu unaitwa: Lens culinaris

Adesi umetajwa mara moja katika Surah 2 :61

Katika makala ya mwisho ya Miti katika Qur’an na M a z i n g i r a , n i t a j a r i b u kuangalia umuhimu wa miti hasa katika wakati huu wa mabadiliko ya tabianchi (Climate change).

Arak (Msuwaki)

Page 16: ANNUUR 1170

16 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015Makala

Umuhimu wa miiko ya lishe kwa wagonjwa wa figoInatoka Uk. 13

damu, na hivyo unywaji wa maji ya ziada hausaidii. Hii ina maana kuwa unywaji wa maji mengi na uwepo wa ziada yoyote ya madini chumvi mwilini kutaweka shinikizo (stress) kubwa kwa viungo mbali mbali vya mwili, ikiwemo na figo zenyewe, ukizingatia kuwa madini hayo huzuia kasi ya maji kuondoka mwilini. Ukweli ni kwamba kitendo cha mgonjwa wa figo kunywa maji mengi na huku akiwa na kiwango kikubwa cha madini chumvi mwilini kinaweza hata kuhatarisha maisha yake.

Njia moja kubwa sana ya kuingiza madini chumvi mwilini ni lishe. Kwa sababu hii basi kuna umuhimu mkubwa mno kwa mgonjwa wa figo kuchagua chakula. Kwa kawaida mgonjwa huyu anatakiwa kuachana na vyakula vyote vyenye kiwango kikubwa cha madini chumvi na kuweka mkazo katika vyakula ambavyo au havina madini chumvi kabisa, au kiwango cha madini chumvi kilichopo ni kidogo.

Kimsingi hakuna uwezekano wa kutokula madini chumvi kabisa kwa sababu madini hayo yamo katika vyakula vingi mno. Hata hivyo kuna uwezekano wa kupunguza kiwango katika lishe. Ni dhahiri kwamba HATUA YA KWANZA kwa mgonjwa wa figo ni kuondoa katika lishe yake vyakula vyote vyenye kiwango kikubwa cha madini chumvi. Orodha ya vyakula hivi inajumlisha i d a d i k u b wa ya V YA K U L A V I L I V Y O C H A K A T U L I W A NA KUSINDIKWA na vyakula vinavyoandaliwa kwa mapishi ya kichina au kihindi.

Kwa kawaida madini chumvi 'hujificha' katika vyakula vingi ambavyo vimeandaliwa kibiashara. Hii ni kutokana na ukweli kwamba kwa kuwa madini chumvi ni kihifadhi/kitunzaji (preservative) kizuri sana, huwa hutumiwa katika vifungashio vingi vya vyakula kama nafaka, mikate, na mbogamboga. Hii ina maana kwamba kwa mgonjwa wa figo chakula 'fresh', yaani ambacho hakijachakatuliwa na kusindikwa kwa namna yoyote ni chaguo bora na la hekima zaidi. Kama kumekuwa na ulazima wa kula vyakula vilivyosindikwa, madini chumvi yanaweza yakapunguzwa kwa kuvisuza kwa muda mrefu kwa kutumia maji safi. Vyakula hivyo viwekwe kwenye chekeche na kuwekwa chini ya maji ya bomba yanayotiririka kwa dakika moja nzima kisha viachwe vichujuke mpaka unyevunyevu wote uishe.

Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha madini chumvi

Orodha ya vyakula hivi inajumlisha i d a d i k u b wa ya V YA K U L A VILIVYOCHAKATULIWA NA KUSINDIKWA. Hii ni kutokana na ukweli kwamba madini chumvi ni kihifadhi/kitunzaji (preservative) kizuri sana. Kwa sababu hii kwanza huongezwa ndani ya vyakula vyenyewe vil ivyochakatuliwa na kusindikwa, na pili, aghalabu h u t u m i wa k a m a s e h e m u ya vifungashio vingi vya vyakula vilivyochakatuliwa na kusindikwa.

Vyakula vinavyoandaliwa kwa mapishi ya Kiasia. Mapishi ya vyakula

hivi hujuisha kuongeza chumvi wakati chakula kinatayarishwa, na siyo kuongezea chumvi mezani wakati wa kula.

Vyakula vyenye kiasi muafaka cha madini chumvi: Baadhi ya vyakula 'fresh', yaani vile ambavyo bado viko katika hali ya uasilia wake (raw) pamoja na kwamba pia vina madini chumvi, lakini madini hayo yako katika wastani unaokubalika kwa mgonjwa wa figo. Vyakula hivi ni pamoja na: Nyama za viumbe wa nchi kavu, Nyama za viumbe wa baharini/majini, Maziwa na mazao yake, Nafaka , mboga za majani na matunda.

Hii ina kuwa uchaguzi wa vyakula vya mgonjwa wa figo unatakiwa ulenge zaidi kundi hili, almradi tu kusiwe na uongezaji chumvi wakati wa uandaaji wa mlo husika.

POTASSIUM: Kiwango kikubwa cha madini ya potassium kwenye mwili kina madhara makubwa, hasa kwa moyo. Wakati mtu asiye na tatizo la ugonjwa wa figo anatakiwa kupata kiasi cha mg 4,700 za madini ya potasium kwa siku, hususan kupitia lishe, inashauriwa kuwa mgonjwa wa figo asizidishe kiasi cha mg 1,500 - 2,700 kwa siku. Madhara yanayoweza kusababishwa na kuwepo na kiwango kikubwa cha potassium mwilini kuliko inavyohitajika ni pamoja na moyo kushindwa kufanya kazi (heart failure), kuwa na mapigo holela ya moyo, na kukumbwa na kifo cha ghafla kinachosababishwa na moyo kusimama ghafla (sudden cardiac death).

Ni rahisi sana kwa mgonjwa wa figo kulundika kiasi kikubwa cha potassium mwilini kwa kuwa kiasi cha madini hayo kinachoondoka mwilini kwa njia ya mkojo ni kidogo sana. Hii ina maana kuwa, kama ilivyo kwa madini chumvi, watu wenye maradhi ya figo wanatakiwa kuwa makini sana na kiasi cha madini ya potassium kinachoingia mwilini mwao.

Njia moja kubwa sana ya kuingiza madini ya potassium mwilini ni lishe. Kwa sababu hii basi kuna umuhimu mkubwa mno kwa mgonjwa wa figo kuchagua chakula. Kwa kawaida mgonjwa huyu anatakiwa kuachana na vyakula vyote vyenye kiwango kikubwa cha madini ya potasium na kuweka mkazo katika vyakula ambavyo vina viwango muafaka vya madini hayo.

Vyakula vyenye kiasi kikubwa cha madini ya Potassium: 1/2 kikombe cha vyakula vifuatavyo kina kiasi cha mg 250 au zaidi madini ya potassium. Pale ambapo inawezekana mgonjwa

wa figo aepuke vyakula hivi, au ale kiasi kidogo sana. Vinywaji vyote vinavyotumika kuongeza nishati mwilini (sports drinks), Njugu zilizokaangwa au kupikwa za aina zote (karanga, korosho, nakadhalika), Parachichi, ndizi, nazi, embe, chungwa, papai, peasi, komamanga, tende, viazi vikuu, viazi vitamu, viazi ulaya, na matunda yaliyokaushwa. Maharage, broccoli, kabichi mbichi, k a r o t i m b i c h i , m b o g a m b o g a za kijani, zeituni, uyoga, achali, maboga, spinachi, nyanya, na mazao ya nyanya. Maziwa na mazao ya maziwa. Samaki, dagagaa, nyama ya ng'ombe. Kemikali zinazotumiwa kama mbadala wa madini chumvi kwenye chakula.

Vyakula vyenye kiasi muafaka cha madini ya Potassium: 1/2 kikombe cha vyakula vifuatavyo kina madini ya potassium ambayo ni chini ya mg 250. Nafaka zote ambazo zimekobolewa, Chai, kahawa, vinywaji vya matunda ambavyo siyo kwa ajili ya kuongeza nishati mwilini (sports drinks) na vilivyoandaliwa na matunda yasiyo na potassium nyingi. Tufaha (apples), zambarau na matunda mengine ya jamii ya zambarau, zabibu, balungi, nanasi, tikiti, na strawberries. Maharage machanga (green beans), kabichi iliyopikwa, karoti iliyopikwa, cauliflower, mahindi mabichi, tango, bilinganya, letusi, mbata, kitunguu, giligilani, njegere, pilipili mbichi, spinachi mbichi, zucchini, asparagus. Nyama ya kuku, nyama ya bata, nyama ya bata mzinga, mayai, uduvi, mbegu za maboga, mbegu za alizeti, na njugu mbichi (karanga, korosho, nakadhalika)

PHOSPHORUS: Vyakula vyenye kiwango kikubwa cha phosphorus vinapaswa kuepukwa pia. Soda (hasa za cola), siagi ya karanga (peanut butter) njugu (nuts) za aina mbalimbali, maini, maziwa, na mazao yake ni vyakula ambavyo vina kiasi kikubwa cha madini ya phosphorus.

Tatizo la madini ya phosphorus kwa mgonjwa wa figo ni kwamba inajilundika katika mzunguko wa damu na kusababisha madini ya kalisi (calcium) kuyeyuka kutoka kwenye mifupa na kuingia kwenye mzunguko wa damu. Hali hii inapojitokeza siyo tu kwamba mifupa inakuwa dhaifu, lakini pia mishipa ya damu inajaa 'tope' la calcium ambalo huganda kwenye kuta za mshipa hiyo, kwenye tishu za moyo, kwenye tishu za mapafu, na kwenye tishu za viungio mbalimbali kwenye mwili. Mgando huu hupelekea tishu hizo kukakamaa na kuwa ngumu, kitu ambacho

ndiyo chanzo, au muendelezo wa magonjwa hatari mwilini, ikiwemo yale ya mfumo wa mzunguko wa damu, kama vile magonjwa ya moyo, shinikizo la damu, na kiharusi.

Inapendekezwa kuwa kiasi cha phosphorus kwenye lishe ya watu wenye afya ni kiasi cha mg 700 kwa siku kwa watu wazima, na kiasi cha mg 1,250 kwa siku kwa watoto na kina mama waja wazito. Hata hivyo inapendekezwa kuwa lishe ya watu wenye maradhi ya figo iwe na kiwango kidogo zaidi cha phosphorus.

PROTINI: Chembechembe za protini ni miongoni mwa taka ngumu sana kuweza kuchujwa na kuondolewa mwilini kwa njia ya mkojo. Chembechembe hizi ambazo zinashindikana kuchujwa hugeuka kuwa kemikali ya urea ndani ya mzunguko wa damu. Bila ya kemikali hii kuondolewa ndani ya damu ya mhusika kupitia njia mbadala (dialysis), basi itamletea mhusika madhara makubwa. Pamoja na kwamba protini ni ya lazima katika ujenzi na utunzaji wa misuli yenye afya na ina mchango katika kuusaidia mwili kupambana na maambukizi. Kwa mgonjwa wa figo ni muhimu mno kupunguza kiwango kilichoko katika lishe. Vyakula vyenye protini nyingi ni nyama, nyama ya kuku, mayai, samaki, na maziwa. Maharage mabichi na mbogamboga za majani ni vyakula vyenye protini kidogo.

Pamoja na kwamba inapendekezwa kuwa mgonjwa wa figo asile zaidi ya gramu 0.8 za protini kwa kila kilo moja ya uzito wa mwili wake kwa siku, baadhi ya wataalamu wanasema kiwango hicho bado ni cha juu sana. Hawa wanapendekeza kiasi hicho kisizidi gramu 15 hadi 20 kwa siku. Kwa maneno mengine ni sawa na kusema mgonjwa mwenye uzito wa kilo 60 anatakiwa kula kiasi cha gramu 0.25 na 0.33 kwa kila kilo moja ya uzito alionao.

Hatua za ugonjwa wa figoUfanisi wa figo katika kuchuja

na kuondoa uchafu hupimwa kwa kigezo kinachoitwa Glomerular Filtration Rate (GFR). Viwango vya hali ya afya ya figo viko vitano kwa mujibu wa kigezo hiki. Viwango hivi ni: Figo safi, Figo zina afya njema, mililita 90 kwa dakika au zaidi. 2. Hatua ya awali: Figo zina madhara japokuwa GFR ni ya kawaida au zaidi. 3. Hatua ya pili, Figo zina madhara na GFR imepungua kidogo mililita 60-89 kwa dakika. Hatua ya tatu, GFR imepungua kwa kiasi Fulani, mililita 30 -59 kwa dakika. 5. Hatua ya nne, GFR imepungua sana, mililita 15 -29 kwa dakika. 6. Hatua ya tano (au ya mwisho), Mafigo yameshindwa kabisa kufanya kazi, chini ya mililita 15 kwa dakika.

Madaktari hutumia kigezo cha GFR na vipimo vingine vya damu kubaini kiwango cha ugonjwa ili kujua aina na kiasi cha dawa kwa ajili ya mgonjwa na kutoa mwongozo wa lishe kwa mgonjwa husika. Udhaifu wa hali ya juu wa figo katika utendaji kazi huitwa " ugonjwa wa figo wa hatua ya mwisho". Inapofikia hatua hii ina maana kwamba njia pekee ya kumsaidia mgonjwa, ni kutumia njia mbadala ya kuondoa uchafu na maji visilundikane mwilini "dialyisis" au kuwekewa figo nyingine.

Ugonjwa wa figo ni miongoni mwa magonjwa yanayodhibitiwa kwa kiasi kikubwa kwa kutumia lishe. Umakini katika lishe unaweza kuahirisha mahitaji ya ''dialysis" kwa miezi au hata miaka kadhaa.

Page 17: ANNUUR 1170

17 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015

TANGAZO

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:• KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – SAME – KILIMANJARO • NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – MWANZA • UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L – DAR ES SALAAM

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE• P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO – 2015/2016Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTS na BIASHARA. Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao

(internet) katika kujifunza.Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano ziolizotolewa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi amabazo ni :Ufaulu wa masomo matatu (3) kwa kiwango cha ‘Credit’(yaani A,B+,B au C0 katika mtihani wa Kidato cha Nne, ns Ufaulu usiopungua Daraja la ‘Credit’ au GPA ya 1.6 katika Mtihani wa Kidato cha Nne, na Ufaulu usiopungua Gredi D kwenye masomo yote ya tahasusi (combination).AUUfaulu wa masomo matatu (3) ya tahasusi kwa kiwango cha ‘Credit’ bila kujali daraja alilopata mtahiniwa kwenye matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne.

Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.Mwsho wa kurudisha fomu ni tarehe 15 Mei 2015.

Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni : 0783552414/0762817640.

Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490 - Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344. - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075 - Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054. - Ugweno – Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.

Tanga - Twalut Islamc Centre – Mabovu Darajani : 0715 894111- Uongofu Bookshop: 0784 982525 - Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008. - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533. -Handeni –Mafiga -0782 105735/0657093983

Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.- Ofisi ya Islamic Education Panel – Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362.Musoma - Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623Shinyanga - Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0752180426 - Kahama ofisi ya AN –NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi : 0753 993930/0688794040 Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School : 0756584625/0657350172 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel –Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin : 0655144474/0787119531 Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale : 0715704380.Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0718661992Singida - Ofisi ya Islamic Education. Panel – karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039. Manyara - Ofisi ya Islamic Ed. Panel – Masjid Rahma: 0784491196Kigoma - Msikiti wa Mwandiga: 0714717727 - Kibondo – Islamic Nursery School: 0766406669. - Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653 705627.Mtwara - Amana Islamic S.S: 0715 465158/0787 231007.Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772. - Mkuzo Islamic High School :0717 348375.Mbeya - Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini – 0785425319. - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319. Rukwa - Sumbawanga:Jengo la Haji Said –Shule ya Msingi Kizwike 0717082 072.Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566/0787237342 Nzega -Dk Mbaga-0754 576922/0784576922.Iringa - Madrastun – Najah: 0714 522 122.Pemba -Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326.Unguja - Madrasatul – Fallah: 0777125074. - PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na uwanja wa LumumbaMafia - Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu : 0773580703.

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU – WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

MKURUGENZI

WABILLAH TAWFIIQ

1

Page 18: ANNUUR 1170

18 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015

Makala

Mchango wa Waislamu Katika Maendeleo ya DuniaInatoka Uk. 14

Omar Khayyam, mshairi, mjuzi wa Sayansi na Mwana Falsafa

(Risala ju ya kukuwepo na wajibu wa mja) kazi hii aliandika katika mwaka wa 1080 kutokana na ombi la al-Nasawi. Kazi nyengine katika uwanja wa Falsafa ni Djawāb ‘an thālath masā'il: darūrat al-tadādd fī 'l-ālam wa'l-djabr wa'l-baqā' (Jawabu katika masuala matatu, juu ya Umuhimu wa ukinzani katika dunia, Jitahada na Maisha marefu). Kazi hii ilikuwa ina uzito wa hali ya juu kutokana na masuala hayo matatu. Suala la Ukinzani katika dunia yetu ya leo ndio inayoleta mashaka na mafanikio. Omar Khayyam alijaribu kuangalia juu ya ukinzani, ingawa wana Falsafa wa karibuni walikuja n a m a e l e z o k u w a “Ukinzani ndio chimbuko la maendeleo”. Aidha, alielezea suala la kujitahidi kwa kufahamisha kuwa katika mafanikio yoyote yale kujitahidi ndipo kutapoweza kufanikisha maendeleo ikiwa kwa mtu mmoja mmoja, jamii hata nchi. Ukiangalia katika nchi za Ki-Afrika, jitahada katika maendeleo ni ndogo, s iasa ndio i l iombele. Omar Khayyam alielezea jitahada kwa upana kabisa na kuitaka ndio iwe dira yenye kuongoza kuweza kufikia maendeleo.

Aliandika mswada uliojulikana kama Al-Ziyā' al-'aqli fī mawdū' al-'ilm al-kullī (Kutoa sababu kuhusu Sayansi ya Kilimwengu). Kazi hii ilikuwa katika maandishi ya Kiarabu.

A l i a n d i k a j u u y a kuweko na Muumba kazi hii iliandikwa chini ya anuwani Risāla fī al-wudjūd, kazi aliyoiandika kwa Kiarabu. Suala la muumba na kukuweko k w a k e n i s u a l a ambalo wana Falsafa limewashughulisha sana na kuwafanya wengi wa watu wa Falsafa kuukanya uwepo wa utangu na kukuweko kwa muumba.

Katika kazi zake za mwisho alizoandika katika uga wa Falsafa zilikuwa ni Risāla fī kulliyāt al-wujūd (kukuweko kwa mwanzo wa uumbwaji), Darkhwāst-nāma (Kitabu juu ya mahitaji) na Risāla-yi silsila al-tartīb ambazo kazi hizo zote aliiandika kwa lugha ya Kifursi.

Moja ya kazi zake za hesabati za Omar Khayyam zimehifadhiwa katika Makumbusho ya Iran

limefasiriwa kwa zaidi ya lugha 30. Naye mjuzi wa mashairi wa Kiswahili Shaaban Robert alitafsiri Rubaiyat Omar Khayyam katika Kiswahili pamoja na mashairi ya Voltaire.

M o j a y a b a i t i z a

Utaona kuwa katika kazi zake akiandika baadhi kwa lugha yake ya asili lugha ya Kifursi na kazi nyengine akiziandika kwa

lugha ya Kiarabu.Katika Ushairi, Omar

Khayyam amepata sifa kubwa katika nchi za Magharibi kwa kuandika mashairi marefu yenye

bai t i nne nne. Omar K h a y y a m k a a n d i k a mashair i mengi sana yasiopungua alfu mmoja katika mtindo huu wa

baiti nne nne. Shairi la Rubaiyat ndilo linamfanya Omar Khayyam liliompa sifa na kuweza kujulikana zaidi katika ulimwengu wa Magharibi. Shairi hili

Ishi maisha yako kwa umahiri, haitajii kujuwa zaidi;

Jaribu kujua kanuni mbili za utangu; Bora ukae na njaa koliko kupapia;

Bora uwe pweke kuliko kuwa na yoyote yule,

K a t i k a b a i t i z a Rubaiyyat:

Amesomesha elimu mbalimbali kwa zaidi ya miaka 30 na alitumia Falsafa ya Ibn Sinna k a t i k a m a e l e k e z o aliyokuwa akitoa. Alikuwa amestakimu katika mji wa Nishapur na hapo ndipo alipofia. Tukimwangalia Omar Khayyam tunaweza kumuangalia kwenye pande mbili, utachagua wapi unapomkubali zaidi. Pande mbili hizo moja ni ya Ushairi na ya pili ni ya Elimu ya Sayansi ya maumbile na elimu ya Sayansi ya Kijamii. Wasomi kama Bayhaqi, Nezami Aruzi na Zamakhshari wamemchambua kwa kina Omar Khayyam ukiwafahamu wasomi hao na ukizifwatilia kazi zao, ndipo utapokiona kipawa alichokuwa nacho Omar Khayyam.

Huu ni muhtasari wa kumuelewa Omar

Kitabu ambacho kina maandishi halisia ya Rubaiyyat

Rubayiat:Oh kitisho cha Motoni

na Matumaini ya Peponi;K i m o j a k a t i a

k i l i c h o k u w a n a uhakika, nikuwa maisha yanamalizika;

Moja katika lilokuwa na uhakika, ni kuwa maisha yanaongopea;

Uwa lilochanua leo, halidumu katika hali hio.

Ubaiti mwengine:

Khayyam Shair i la Rubaiyat Omar Khayyam utapotaka kulifanyia kazi utaandika kitabu kamili.

Katika makala ijayo tutamuelezea Thabit Ibn Qurra mjuzi wa Hesabati na elimu ya Nyota na mchango wake katika maendeleo ya Sayari yetu hii.

Page 19: ANNUUR 1170

19 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015Habari

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amelitaka Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina kuwajua watu waliohusika kuchoma moto ofisi za chama hicho jimbo la Dimani na baadaye wafikishwe mbele ya mkono wa sheria.

Maalim Seif amesema hayo wakati alipotembelea ofisi hizo zilizoteketezwa kabisa kwa moto, tukio l i l i l o f a n y wa n a wa t u wasiojuilikana juzi usiku, huko katika eneo la Kisauni, Wilaya ya Magharibi Unguja.

Katibu Mkuu wa CUF amesema tukio hilo ni la kusikitisha lililolengwa kuchafua hali ya amani na utulivu iliyopo Zanzibar, b a a d a y a k u f i k i w a

SERIKALI imetakiwa kutoa silaha kwa walemavu wa ngozi (Albino) kwa ajili ya kujilinda sambamba n a k u wa p a t i a u l i n z i binafsi (Bodyguard) ikiwa itashindwa kuwadhibiti wauaji.

Kauli hiyo imetolewa na mmoja wa walemavu hao akiwasilisha kilio chao mbele ya mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Jijini Dar es Salaam, Bw. Jeremia Mkorere, katika hafla ya kuwagawia misaada walemavu i l iyo to lewa na Taasisi ya Kiislamu ya Al-Malid Internatinal Propagation Center.

Mlemavu huyo, kijana ambaye An nuur, haikuweza kupata jina lake, alipewa nafasi ya kutoa neno kwa niaba ya walemavu wenzake kabla ya kuaza kwa zoezi la kugawa misaada hiyo.

Alisema, hali ya usalama

Ofisi ya CUF yachomwa moto Dimani Al Malid watoa misaada kwa walemavuInatoka Uk. 20 alisema Taasisi hiyo ya

Mihadhara ya kidini ndani na nje ya nchi (Al-Malid International Propagation Center) kwa kugawa msaada huo bila kubagua imani za watu imeonyesha wajibu wa Kiislamu katika jamii.

Alisema, Al-Malid, ipo kwa ajili ya kulingania watu kwa kuelimisha Uislamu kwa kutumia vitabu vinne ambavyo vyote vipo katika Biblia, hivyo imeonyesha kwa vitendo kuwa Uislamu si kuswali tu bali ni pamoja na kusaidia watu mbalimbali.

“Leo Al-Malid, tumeona wamegawa msaada kwa watoto yatima , Albino, s h u l e z e n ye wa t o t o wenye mahitaji maalum wakiwemo Waislamu na Wakristo, huu ndio Uislamu hakika ni mfano wa kuigwa na Taasisi zingine.” Alisema Maalim bassaleh.

Kwa upande wake mgeni rasmi katika zoezi hilo, Bw. Jeremia Makorere, aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Ilala, alisema ilichofanya Taasisi hiyo ya Kiislamu ni jambo linalostahiki pongezi.

Alisema, Taasisi hiyo baada ya kupata msaada huo iliona ni bora iugawe kwa makundi mbalimbali bila kubagua imani zao jambo ambalo linaleta upendo na mshikamano katika jamii.

“Ilichofanya Taasisi hii ni kujenga umoja na mshikanano katika jamii, haikutaka kuwaita Wa i s l a m u p e k e ya o i wa p a t i e v i f a a h i v i wameona waite watu wa imani zote wenye kuhitaji msaada. Utaratibu huu uigwe na taasisi zote, wa t o e m i s a a d a b i l a kubagua makundi katika ya kijamii.” Alisema Bw. Makorere.

Kwa upande wake A m i r w a A l - M a l i d k u t o k a W i l a y a n i Handeni, Ustadhi Omari Mohammed, mara baada ya kupokea msaada wa Mashine ya kusukuma maji (Water Pump) alisema wanafaidika na mashine hiyo katika kilimo cha umwagiliaji.

Alisema, wao kama Al-Malid, Handeni, wana kikundi chao cha kilimo cha mazao yanayohitaji k u m wa g i l i wa h i v y o kwa kupata mashine hiyo anadhani uzalishaji

utakuwa mkubwa zaidi ya awali.

Alisema, mashine hiyo itakuwa msaada mkubwa kwao katika kupiga hatua katika shughuli yao hiyo kwani alidai mashine hiyo ina uwezo wa kusukuma maji kwenda juu mita 9, na kwenda chini mita 200.

U s t . M o h a m m e d , a l i s e m a k w a k u w a m s a a d a h u o n i w a kijamii watagawa nguo walizokabidhiwa kwa watoto yatima waliopo katika mtaa wao na wale a m b a o wa p o k a t i k a mazingira magumu.

Alisema, hatua ya Al-Malid, kugawa misaada hiyo ni k i tendo cha kiuadilifu na kinapaswa kuigwa na taasisi nyingine ambazo hupokea misaada kwa anuani ya kusaidia yatima na walemavu, t o f a u t i n a n y i n g i n e ambazo misaada kama h i y o h u w a n u f a i s h a viongozi wa Taasis hizo.

“Msaada huu unatupa c h a n g a m o t o k a t i k a kuyaendea maendeleo n a k u t o a n a f a s i ya k u j i s h u g h u l i s h a n a kilimo, walichoonyesha Al-Malid, Makao Makuu ni kitendo cha uadilifu, kwani misaada kama hii hupokelewa na Taasisi nyingi lakini haiwafiki walengwa.” Alisema Ust. Mohammed.

maridhiano ya k is iasa yaliyosababisha wananchi kuishi kwa amani.

“Polisi hili ni tukio baya sana na hili sio la kwanza, kama mtawaachia watu hawa waendelee kufanya haya, wataipeleka nchi hii pabaya”, amesema Maalim Seif alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea eneo hilo.

Aliwataka Polisi katika kufanya kazi yao kwa weledi na wasiingize mitazamo ya kisiasa hata kama kitendo hicho kimefanyiwa CUF, bali walichukulie ni tukio la kihalifu lililopangwa linalohitaji kufanyiwa kazi kwa kina.

A i d h a , a l i w a t a k a wananchi hasa wanachama

na wafuasi wa CUF, wawe watulivu na wala wasilipize kisasi kwa sababu kitendo cha kulipa kisasi kitawafanya nao wanachangia vitendo vya kihalifu.

“ T u n a w a o m b a wanachama wa CUF wawe watulivu katika kipindi hichi na kamwe wasichokozeke kulipiza kisasi, wakifanya h i v y o n a o wa t a k u wa wanachangia matukio ya kihalifu”, alionya Katibu Mkuu wa CUF, ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais.

Amesema matukio ya kuchomeana moto ofisi na kushushwa bendera za vyama yameshapitwa na wakati Zanzibar.

Ya l i j i t o k e z a k a t i k a miaka ya 1990 hadi 2005 na yalikomeshwa baada ya maridhiano ya kisiasa, h ivyo hayapaswi tena kukaribishwa Zanzibar.

Katika hatua nyengine, Maal im Se i f amei taka Kamati Tendaji ya chama hicho ibuni njia za kulijenga haraka jengo hilo la ofisi ya jimbo la Dimani katika eneo hilo hilo, ili iweze kutumiwa na wanachama wa eneo hilo.

Mapema akitoa taarifa kwa Katibu Mkuu wa CUF, Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CUF, Salum Bimani alisema mashuhuda wa tukio hilo walisema watu wasiojuilikana walifika katika ofisi hizo majira ya saa nane usiku wakiwa na gari na waliposhuka waliingiza matairi ya gari ndani ya ofisi na baadaye kuilipua.

Bimani alimweza Maalim Seif kuwa kiasi cha shilingi mil ioni 135 z imepotea kufuatia hujuma hiyo.

(Habar i kwa hisani ya Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais, Zanzibar)

Walemavu wa ngozi wataka ulinzi zaidiNa Bakari Mwakangwale kwa upande wao kama

sehemu ya raia wa Tanzania ni mbaya kwani wanaishi katika hofu ya kuuliwa wakati wowote.

Kutokana na hali hiyo ya kukithiri kwa mauaji, ki jana huyo al iyekuwa akiongea kwa hisia, akasema ikiwa Serikali imeshindwa kuwadhibiti wauwaji, basi ifike wakati iwape silaha na walinzi wa kuwalinda ili wajilinde wenyewe.

Alisema, kama viongozi wa Ser ikal i wanapewa silaha na walinzi binafsi (Bodyguard) kwa a j i l i ya usalama wao, haoni sababu ya kuzuia na wao walio katika mazingira ya kuuwawa kupewa ulinzi huo kwa ajili ya usalama wao.

“Hali ikizidi itafika wakati tutaiomba Serikali silaha na walinzi binafsi kwa ajili ya kutulinda, mbona viongozi wetu wana silaha na walizi wakati hawana hali mbaya ya kutishiwa uhai wao kama sisi.

Lakini hatupendi hali ifike huko, bali tunaiomba Serikali iongeze juhudi kat ika kupambana na madhalimu hao.” Alisema kijana huyo.

Akawataka viongozi wa dini kutokemea ufisadi tu, bali wahubiri na kukemea pia mauaji ya Albino.

Akiongelea suala hilo, U s t a d h i S a i d i R i c c o , alisema, kitendo cha Serikali kuchelewesha kesi za wauaji wa Albino ni kama vile inawalinda, kwani kauli iliyo maarufu ya Serikali n i kwamba uchunguzi unaendelea.

“Mtu anakutwa na kiungo cha Albino, na mwenye kiungo (Albino) pengine yupo hospitalini au tayari kauwawa uchunguzi wa nini hapo, wakati ushahidi amekutwa nao, huku ndio kuwalinda wauaji hawa.” Alisema Ust. Ricco.

K wa u p a n d e wa k e , Maal im Ally Bassaleh, alisema mauaji ya Albino yanasikitisha sana na suala

hili halina budi kupewa kipaumbele na Serikali vinginevyo hali itakuwa mbaya zaidi.

A l i s e m a , U i s l a m u unakemea kuuwa tena si kuuwa mwanadaamu tu, bali kiumbe chochote hairuhusiwi kukidhurumu uhai wake pasi ya sababu ya msingi.

“ Tu n a a m b i wa k u n a mwanamke aliyesababisha k u m u u w a p a k a k w a kumfungia ndani asimpe chaklula, huyu alipobainika n a y e a l i i n g i a k a t i k a hukumu ya muuaji, sasa vipi binadaamu kuuwa binadamu mwenzake.” Alieleza Maalim Bassaleh.

A k i j i b u k i l i o h i c h o c h a w a l e m a v u w a ngozi, aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo, akimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Bw. Jeremia Makorere, alisema amesikia kilio hicho kama kiongozi wa Serikali.

Bw. Jeremia Mkorere.

Page 20: ANNUUR 1170

20 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 201520 MAKALA AN-NUUR

20 JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA MACHI 27-APRILI 2, 2015

Soma gazeti la AN-NUUR

KWA TSH 800/=kila Ijumaa

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

TAASISI ya Al-Malid ya Jijini Dar es Salaam, imegawa misaada ya vitu mbalimbali vyenye thamani ya shil ingi Milioni 42, kwa watu we n ye u l e m a v u wa viungo na yatima bila kujadi imani zao.

Ta a s i s i h i y o y a Mihadhara ya kulingania Dini kwa kutumia vitabu vya Qur an, Injili, Zaburi p a m o j a n a Ta u r a t i , imegawa misaada hiyo mwishoni mwa wiki iliyopita katika viwanja vya Hoteli ya Lamada, Ilala, Jijini Dar es Salaam.

Akiongea na Waandishi

J U M U I Y A y a Wa f a n y a b i a s h a r a w a Uturuki imesema Zanzibar i n a m a l i a s i l i n y i n g i n a m a z i n g i r a m a z u r i ya kibiashara ambazo zikitumiwa vizuri zinaweza kuisaidia kuondoa hali ya umasikini kwa kiasi kikubwa.

Jumuiya hiyo imesema kutokana na hal i hiyo imeamua kuisaidia Zanzibar kukuza utaalamu katika sekta za kibiashara, uzalishaji na masoko ili utajiri huo uweze kunufaisha wananchi wa Zanzibar ipasavyo.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyabiashara wa Uturuki na Tanzania, Atakan Giray wakati yeye na ujumbe wake walipofanya mazungumzo na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, ofisini kwake Migombani mjini Zanzibar.

M w e n y e k i t i h u y o amesema wameridhishwa na mandhari ya Zanzibar katika nyanja ya biashara, utalii, ujenzi, kilimo na uzalishaji wa bidhaa kwa ajili ya kuzisafirisha na kwamba kinachohitajika ni utaalamu zaidi.

Amesema mazingira ya Uturuki yanalingana kwa kiasi kikubwa na Zanzibar na ni jambo zuri utaalamu unaopat ikana Uturuki ukatumika pia Zanzibar katika kukuza sekta za b iashara na uzal isha j i ambazo zinachangia kwa kiasi kikubwa kubadilisha hal i za wananchi kwa kuweza kuongeza kipato chao.

Giray amesema ujumbe kutoka Uturuki utakuja Z a n z i b a r k u t e m b e l e a maeneo tafauti yenye fursa za kiuchumi na kibiashara na baadaye fursa hizo kutangazwa kupitia vyombo vya habari vya Uturuki ili kuweza kufikia azma hiyo ya kuinua hali za watu wa Zanzibar.

Naye Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amezitaja miongoni mwa fursa nyingi za kiuchumi zilizopo Zanzibar kuwa ni uvuvi wa bahari kuu, utalii, kilimo cha viungo na matunda ambazo zina nafasi ya kutoa ajira nyingi na kukuza uchumi.

Maalim Seif amesifu

Uturuki kusaidi kukuza uchumi Zanzibaruhusiano wa kihistoria baina ya nchi mbili hizo, ambao umeanza kuzaa matunda kwa Wazanzibari, wakisemo wale wanakwenda kwa wingi nchini Uturuki kwa ajili ya biashara zikiwemo za vyakula, nguo na vifaa vya ujenzi.

“Sekta ya uvuvi, hasa uvuvi wa bahari kuu pia ina fursa kubwa, tuna maliasili nyingi za baharini a m b a z o h a z i j a t u m i k a , hili ni eneo moja wapo ambalo wafanyabiashara na wawekezaji wa Uturuki wanaweza kujikita zaidi”, amesema Makamu wa Kwanza wa Rais.

Amesema amefurahishwa na ahadi ya wafanyabiashara wa U t u r u k i k u s a i d i a utaalamu na kuleta mashine za kisasa na kuitangza zaidi, hatua ambayo itawasaidia vijana na wananchi wa Zanzibar kupata fursa na kukuza uchumi na maendeleo yao.

Wakati huo huo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Z a n z i b a r a m e k u t a n a na kufanya mazunguzo na u jumbe wa Ire land ukiongozwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wan chi hiyo bwana Jean Sherlock.

Kat ika mazungumzo hayo, Maalim Seif amesema Zanzibar bado inahitaji kushirikiana na washirikia wa maendeleo ikiwemo Ireland katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Amefahamisha kuwa Zanzibar ikiwa nchi ya visiwa, tayari imeshuhudia athari mbambali zitokanazo na madiliko ya tabia nchi, ikiwemo maji ya bahari kuingia katika maeneo ya kilimo na kuyafanya maeneo hayo kushindwa kutumika kwa shughuli za kilimo.

A m e y a t a j a m a e n e o mengine ambayo Zanzibar ingeweza kushirikiana na Ireland kuwa ni pamoja na kilimo cha umwagiliaji, msongomano wa wanafunzi madarasani pamoja na maendeleo ya Chuo kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA).

Akizungumzia kuhusu hali ya siasa nchini, Maalim Seif amesema Zanzibar iko salama na itaendelea kutunza na kulinda amani iliyopo, ili kuwawezesha wawekezaji kuendelea kuishi na kufanya shughuli zao bila ya hofu.

K u h u s u u c h a g u z i m k u u u j a o , M a k a m u wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar amesema ipo haja ya kuwepo waangalizi makini wa kimataifa katika mchakato wa uchaguzi, ili kushuhudia hali halisi ya siasa za Zanzibar.

Nae Naibu Waziri wa

Mambo ya Nje wa Ireland bwana Jean Sherlock ambaye aliambatana na balozi wa nchi hiyo nchini Tanzania, amesema Ireland itaendelea kushirikiana na Zanzibar katika kuendeleza miradi yake ya maendeleo.

Bwana Sherlock amesema Ireland inajivunia uhusiano

mwema uliopo kati yake na Zanzibar, na kwamba kuna haja ya kuimarishwa zaidi katika maeneo tofauti kwa maendeleo ya nchi zote mbili.

( H a b a r i k wa h i s a n i ya Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais).

Al Malid watoa misaada kwa walemavuNa Bakari Mwakangwale wa habari mara baada

ya kugawa misada hiyo, kiongozi mwandamizi wa Taasisi hiyo ya Al-m a l i d I n t e r n a t i o n a l Propagat ion Center , Sheikh Rajab Katimba, amesema wastan wa watu 275, wenye ulemavu na mayat ima wamepata misaada hiyo, mbali ya makundi ya kijamii.

Alianisha baadhi ya misaada hiyo waliyotoa kuwa ni mashine za kusukuma maji (Water Pump), nguo, sukari pamoja na vifaa vya shule, ambavyo viligaiwa kulingana na mahitaji ya walengwa.

K a t i m b a a l i s e m a

wamegawa mashine za maji kwa makundi ya watu wa mikoani kwa kuzingatia kuwa Taifa lipo katika mikakati ya kuinua kilimo kwa wananchi wake ‘Kilimo Kwanza’ ili kujikwamua katika kilimo cha umwagiliaji.

Al i sema, wametoa m i s a a d a h i y o k w a makundi pamoja na matawi yao ya Al-Malid, yaliyopo mikoani kwa lengo la kuhakikisha msaada huo unafika kila kona nje ya Jiji la Dar es Salaam.

Kwa upande wake Maalim Ally Bassaleh,

Inaendelea Uk. 19

SHEIKH Said Ricco (wa tatu kushoto) akikabidhi misaada kwa walemavu katika viwanja vya Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.