27 - shujaaz.fm - chapta 27
Post on 08-Mar-2016
289 Views
Preview:
DESCRIPTION
TRANSCRIPT
CH 27 [FINAL].indd 1 13/04/2012 11:19
CH 27 [FINAL].indd 2 13/04/2012 11:19
CH 27 [FINAL].indd 3 13/04/2012 11:19
CH 27 [FINAL].indd 4 13/04/2012 11:19
CH 27 [FINAL].indd 5 13/04/2012 11:19
CH 27 [FINAL].indd 6 13/04/2012 11:19
CH 27 [FINAL].indd 7 13/04/2012 11:19
CH 27 [FINAL].indd 8 13/04/2012 11:19
CH 27 [FINAL].indd 9 13/04/2012 11:19
CH 27 [FINAL].indd 10 13/04/2012 11:19
market..
Aiii! Kwani vitunguu zako zinakuja na ndege?
hio bei ni ghali.
Nkt! Maskini!
Kama hamna pesa songeni niongee na mwenye duka.
hehehe
mnacheka nini...
?
aaaargh
kwetumarket
CH 27 [FINAL].indd 11 13/04/2012 11:19
Mheshimiwa! Mheshimiwa!
Mheshimiwa! Tutakutana kwa
maskan!?
Mnaona? ...He knows class
1
2 3
7
8
914
15
16 ...kwani minister
ana-need gari ngapi
Auuu uu! Wameharibu
biashara yangu…
CH 27 [FINAL].indd 12 13/04/2012 11:19
…tunaumia huku nao wananona na magari
kubwa kubwa!
Hao watu wana-deserve.
Unadhani wanauza
mangoes?Nyinyi ni watu wadogo
sana kuelewa vile government ina-spend.
Vile ina-spend pesa yao inahusu Wakenya wote.
Hata hao MP hawalipi taxes wananunua
unga ghali,
Gas na mafuta imependa,
nilipeleka mtoto wangu hospitali na hakukuwa
na madaktari
Hizi shida zote ni juu hawa watu
wanatumia pesa zetu vibaya.
hahaha! Wewe Mama Mboga unajua nini?
CH 27 [FINAL].indd 13 13/04/2012 11:19
Stop! Cheki…
Poleni sana! Msi pigane
Hehe! Nimetumwa hapa na
mheshimiwa kulipia hasara.
...
Pesa ya serikali ina husu watu wadogo kama
hawa?
Serikali ikitumia pesa mingi kwa barabara, pesa ya mahospitali
ina punguka.
Kwa hivyo vitu ni ghali juu wananunua
magari wasiohitaji?
Aaaah, yes!
Actually… wako right.
CH 27 [FINAL].indd 14 13/04/2012 11:19
CH 27 [FINAL].indd 15 13/04/2012 11:19
CH 27 [FINAL].indd 16 13/04/2012 11:19
CH 27 [FINAL].indd 17 13/04/2012 11:20
CH 27 [FINAL].indd 18 13/04/2012 11:20
sasa chuxx!umeona...
janet!unatafutwa!
unafanya nini na huyu chuxx?
mbona huji
shule?
nywele yako ni
orange siku hizi?!
oh, puulizz!natafutwa
kwani nime-win lottery?
mtakoma kunifuata-fuata na kuniuliza maswali nyingi kama clinic!
eh... maria kim, si
unajua ni wewe tu? huyu janet sikuwa serious na yeye...
wameanza machozi. mimi nime-bounce!
aki maria kim, mimi ni bure sana! hakuna kitu
naeza-do! hata kusoma imenishinda. hata in future
sijui nita-do nini.
none of your
business!
familia yetu ni masikini... umeona mamangu? kwani life
yangu pia itakuwa hivo? kuosha manguo na kuzaa watoto tu?
afadhali nikule raha saa hizi!
eh, usiongee hivyo. kuacha masomo juu ya raha si poa. kuna vitu mob sana unaeza
achieve.
najua hauniamini, lakini i can prove it!
haiya, nimewaita hapa leo juu kuna mtu
ningependa abonge nanyi. stori yake ni kali
sana...
siku kadhaa baadaye...
CH 27 [FINAL].indd 19 13/04/2012 11:20
CH 27 [FINAL].indd 20 13/04/2012 11:20
CH 27 [FINAL].indd 21 13/04/2012 11:20
CH 27 [FINAL].indd 22 13/04/2012 11:20
CH 27 [FINAL].indd 23 13/04/2012 11:20
CH 27 [FINAL].indd 24 13/04/2012 11:20
CH 27 [FINAL].indd 25 13/04/2012 11:20
CH 27 [FINAL].indd 26 13/04/2012 11:20
nitachoma hizi seeds hadi ziwe brown na
shiny!
halafu nitakuwa na
vifaa vya kuuza
sokoni!
na vile hizo njugu ni mbaya!
na vile nazipenda!
asante, baba!
sikukupikia!
26
CH 27 [FINAL].indd 27 13/04/2012 11:20
CH 27 [FINAL].indd 28 13/04/2012 11:20
CH 27 [FINAL].indd 29 13/04/2012 11:20
CH 27 [FINAL].indd 30 13/04/2012 11:20
CH 27 [FINAL].indd 31 13/04/2012 11:20
CH 27 [FINAL].indd 32 13/04/2012 11:20
top related